1
Mapitio ya Matumizi ya Umma (PER)
Makala kwa ajili ya Semina ya Mafunzo kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi,
Zanzibar
Limetayarishwa na
Dk. Joseph L.M.Shitundu Mkurugenzi, Kitengo cha Utafiti wa Uchumi
Chuo Kikuu , Dar es Salaam
12 May, 2008
Dar es Salaam
2
Mapitio ya Matumizi ya Umma (PER)
1.0 Utangulizi
2. Mapitio ya Matumizi ya Umma (PER) ni nini?
3. Vitu muhimu katika PER nzuri
4. Kwa nini tunaanda PER?
5. Madhumuni ya mafunzo haya mafupi
6. 6. Utayarishaji wa PER Tanzania Visiwani
6.1 Nini Madhumuni yake
6.2 PER na utaratibu wa Budget
(PER and Budget Process)
3
• Muundo wa matumizi ya muda wa Wastani (MTEF)
• Mzunguko wa kuandaa budget and PER
Mchoro No. 2.1
Mchoro na 2.2
6.3 Ripoti ya PER ikoje?
6.4 Mapungufu ya PER
7.0 Mfano wa vitu/maswali muhimu ya sekta ya
elimu
4
8.0 Matokeo (impact) ya PER
9.0 Tumejifunza nini kutokana na PER
5
Mapitio ya Matumizi ya Umma (PER)
1.0 Utangulizi
• Katika kusukuma mbele maendeleo
serikali mbalimbali huzingatia utoaji wa
huduma bora (goods and services) na pia
husimamia na kusaidia ukuaji wa sekta
binafsi.
6
• Serikali hufanya matumizi (ya pesa) ili
kufikia malengo mbalimbali ya kiuchumi,
kijamii na kisiasa. Miongoni mwa malengo
hayo ni:
• Kuondoa umaskini
• Kujenga mazingira bora/wezeshi kwa
sekta binafsi
7
• Matumizi ya serikali/umma (Public
spending) ni nyenzo muhimu ya kuondoa
umaskini. Lakini inahitaji kwamba:
- Matumizi yapangwe na kulengwa
katika maeneo muhimu yanayoongeza
maskini kupata huduma na pia kuongeza
uwezo wao wa kujipatia kipato.
8
- Utafiti/uchambuzi wa kina kufanyika
- Ziwepo taasisi, taratibu madhubuti
katika utandaji kazi wa serikali.
• Mageuzi yamechochea ari ya kutaka
kudhibiti/kusimamia vyema matumizi ya
umma
- Jinsi fedha za umma zinavyopatikana
9
- Malengo ya matumizi
- Faida itokanayo na matumizi
• Tutambue kuwa:
- mara nyingi “mahitaji” ni makubwa
kuliko “pesa”.
- Chaguzi zetu za vitu/mahitaji
zinabanwa
10
- Matumizi ya umma pia hubanwa i.e.
kiwango ambacho serikali inaouwezo wa
kutumia.
• Kwa hali hiyo ni muhimu kwamba
“matumizi ya umma” yanatumika
vizuri/ubora iwezekanavyo kupata huduma
nyingi na nzuri za kutosha.
11
2.0 Mapitio ya Matumizi ya Umma (PER)
ni nini?
• PER hufanya kazi ya kuchambua
matumizi ya umma, hususani kuhusiana
na “kutosha” na “usahihi” wake katika
kufikia malengo ya maendeleo.
• PER inawakilisha “mfumo” na
“mazao/matoikeo” ya uchambuzi wa
mfumo wa mapato na matumizi, ikiainisha
na kupendekeza mbadiliko muhimu katika
12
mgano wa matumizi ya umma na
taasisi/taratibu na sheria zitumikazo.
• PER inaimarisha mfumo wa bajeti
• PER inatoa fursa ya `kukodineti’ misaada
na kupima matokeo yake
• Zipo PER za kitaifa (macro) na za kisekta
13
3.0 Vitu muhimu katika PER nzuri
• PER nzuri inapatikana kwa kutumia mfumo bora wa uchambuzi, ukihusisha:
- Uchambuzi wa ushirikiano sahihi wa sekta ya umma na sekta binafsi katika kutooa huduma na mahitaji. Na pia ukionyesha umuhimu wa uhalali (rationale) wa sekta ya umma kuingilia pale nguvu za soko huru zinaposhindwa kuleta ufanisi na usawa.
14
- Kuchambua na kupima vipa-umbele vya
matumizi ya umma katika sekta mbalimbali huku
ikizingatiwa ufinyu wa rasilimali na mgao wenye
usawa.
- Kuangalia kwa ukaribu mfumo, taasisi na sheria
pamoja na malengo ya kisiasa ili kuboresha vitu
hivyo vilivyo muhimu katika kuhakikisha kuwa
matumizi ya umma yanakuwa bora na ya
kudumu (sustainable).
15
4.0 Kwa nini tufanye PER
- Hutoa mchango muhimu katika mfumo wa bajeti
- Inashughulia vitu muhimu katika maendeleo ya
muda wa kati na mrefu
- Inapima na kuchambua madhara ya “mambo ya
jumla” (cross cutting issues)
- Inatoa fursa ya kuchunguza kwa makini jinsi
Wizara, Idara na Taasisi zingine za umma
zinavyotumia fedha na raslimali zingine.
16
- Inatoa fursa ya kupima mafanikio ya sera
na mipango yetu kwa mfano jinsi serikali
na umma kwa ujumla kupitia wizara,
sekta, idara na taasisi zake
zinavyotekeleza Mpango wa Kupunguza
Umaskini Zanzibar (MKUZA).
17
5.0 Kutayarisha/Kuandaa PER
• Mfumo wa budget unahusisha utayarishaji
wa mipango ya matumizi ya umma,
mapitio ya matumizi ya umma (PER)
“miongozo ya bajeti”, Muundo wa
Matumizi ya muda wa wastani (MTEF)na
bajeti ya mwaka. PER na MTEF hususani
inasaidid akuhakikisha kwamba MKU\A ni
sehemu ya mfumo wa mipango na bajeti
18
uliokamilika unaoongozwa na upembuzi
wa mambo ya kupewa umbele na kuwa na
nidhamu ya kuangalia hyali halisi ya bajeti.
- Lengo la jumla ni kuongeza idadi ya
raslimali zinazoelekezwa kwenye
maeneo muhimu zaidi katika zoezi la
upunguzaji umaskini.
19
- Hivyo uandaji wa PER huhusisha wadau
na taasisi mbalimbali
- Kwa kawaida “mzunguko wa uandaaji wa
bajeti” unahusisha utayarishaji na utoaji
wa “miongozo ya bajeti (BGL) kwa ajili ya
MTEF kutoka kwa :Kamati ya taifa ya
Miongozo ya Bajeti”.
20
• Miongozo ya Bajeti inatoa: picha
maendeleo ya kiuchumi kitaifa na kisekta.
- sera au vipengele muhimu vya sera
vinavyopaswa kutiliwa maanani wakati wa
kuandaaa bajeti
- Majukumu ya taasisi mbalimbali katika
uandaaji wa bajeti
21
• Mfumo wa bajeti kwa kipindi cha kati na
format ya kutayarisha makadirio ya bajeti
kwa wizara, idara na taasisi za umma.
• Mfumo wa bajeti huonyesha rasilimali
(funds) zilipo na mapendekezo ya
“ceilings” kwa wizara, idara, sector and
taasisi za umma.
22
• Kwa kufupi Miongozo ya Bajeti (BGL) ina vitu muhimu vifuatavyo:
- muhtasari wa hali ya jumla kiuchumi na makisio (macro-economic performance and projections)
- muhtasari wa utendaji katika sekta na sera na mikakati husika
- “ceiling” za kasma (vote) za matumizi kulingana na upatikanaji wa raslimali
23
- taratibu/mfumo wa kuandaa na
kuwasilisha riport ya awali (draft) ya
bajeti huko Wizara ya Fedha.
• Wadau wakuu wanaoshiriki katika PEWR
ni: Serikali, wawakilishi kutoka World
Bank, Wafadhili, Taasisi zisizo za
Kiserikali.
24
- Wadau hawa huunda “PER Sector Working
Group na PER Working Group na kwa sasa ni
“PER Cluster WG” na `PER Macro Group”
- PER Macro Group huishauri kamati ya taifa ya
miongozo ya bajeti kuhusu.
- Kipewa umbele katika mgawanyo wa matumizi,
bajeti, na muunda na matumizi ya muda wa
wastani na uandaaji wa miongozo ya bajeti.
25
• Mzunguko wa utayarishaji wa MTEF/PER
Bajeti
- Husika na Chati 2.1
- Husika na Chati 2.2
26
6.0 Ripoti ya PER ikoje?
• Ripoti ya PER siyo ya aina moja lakini sehemu muhimu za Ripoti kwa ujumla ni:
(i) Utangulizi
(ii) Uchambuzi kwa kifupi wa maendeleo ya utekelezaji wa mapendekezo ya PER iliyotangulia
• Muhtasari wa mapendekezo
• Uchambuzi wa utekelezaji na maendeleo yaliyofikiwa
• Vipewa-umbele vikuu
27
(iii) Upitiliaji wa mfumo wa Bajeti katika sekta husika
(iv) Uchambuzi wa mgao wa Bajeti na matumizi katika vipaumbele vya utekelezaji kwa miaka mitatu ya nyuma na mwaka husika wa fedha
• Uchambuzi wa bajeti kwa mambo ya jumla na athari za kutokuyaingiza katika bajeti
• Uchambuzi wa mahitaji ya sasa na yanaotakiwa kuimarisha uwezo (capacity) na ujuzi wa wafanyakazi katika sekta husika.
28
(v) Kutathmini/kuboresha ukadinaji wa
gharama za kutekeleza mikakati
mbalimbali katika sekta husika ili kufikia
malengo ya kupunguza umaskini
• Uchambuzi wa fedha zinazotakiwa
kulinganisha na makadirio ya pesa
zinazoweza kupatikana.
29
• Njia mbadala za kupanga matumizi ili
kufikia malengo husika
• Kuangalia maana/matokeo ya njia
mbadala zilizopendekezwa.
(vi) Kutathmini mfuko wa raslimali kwa
sekta pamoja na maeneo ya kupewa
umbele katika kupewa za matumizi
30
• Uchambuzi wa huduma muhimu zinazotolewa
na sekta
• Uchambuzi wa wapi pesa inaweza kupatikana
• Uchambuzi wa muko wa rasilimali za kutekeleza
MTEF ikilinganishwa na pengo la raslimali
• Uchambuzi wa maeneo ya kupewa umbele
katika matumizi ya raslimali katika sekta husika
31
(vii)Uchambuzi wa mambo ya jumla na jinsi
ya kuyaweka katika bajeti
(viii)Majumuisho na mapendekezo na
wahusika wa kutekeleza/kusimamia
utekelezaji wa yaliyopendekezwa.
32
7.0 Mapungufu ya PER
• PER kwa ujumla inafaa kupanga vyanzo
vya mapato, mgawanyo na matumizi.
Lakini PER haiwezi kuhakikisha kuepukwa
yafuatayo:
- mgao au uwekezaji usiosahihi kwa
huduma halisi itolewayo
- huduma duni ukilinganisha na fedha
zilizotolewa
33
- huduma kutokutumika na walengwa
• Hivyo ipo mifumo mingine kusaidiana na PER
- PETS
- QS
Mifano wa Mambo muhimu katika PER ya Sekta ya Elimu
• Maelezo kwa kifupi kuhusu mipaka ya sekta itakayohusishwa na PER
34
• Vipengele muhimu kwa ujumla:
(i) Kiasi gani kinatumika katika sekta ya
elimu? Na serikali inatumia kiasi gani
(ii) Ni vipi serikali inalipia/kutoa fedha kwa
sekta ya elimu?
(iii) Ni sehemu/mambo yapi ambayo serikali
inalipia katika sekta ya elimu?
35
(iv) Je matumizi ya umma katika elimu
yanalinda usawa katika jamii?
(v) Je raslimali za umma (fedha, watu,
majengo, vitabu) vinatumika kwa ufanisi
na kwa manufaa?
(vi) Je matumizi ya umma katika sekta ya
elimu yanatosha na yanaweza
kuendelea kwa muda mrefu?
36
• Vipengele muhimu kwa undani
(i) Kuhusu kiasi kinachotumika katika
sekta ya elimu:
• Ni kiasi gani cha pesa kinapatikana
kutoka vyanzo vyote (serikali, sekta
binafsi, wafadhili na mashirika yasiyo ya
kiserikali) kwa matumizi katika elimu?
37
• Ni kiasi gani kinatumika katika elimu
kutoka vyanzo vya umma?
• Matumizi katika elimu ni asilimia ngapi ya
pato la taifa?
• Je matumizi ya umma katika elimu
yanatokana na mapato ya jumla au kodi
maalumu?
38
• Ni kiasi gani cha matumizi katika elimu
kinalipwa na sekta binafsi?
• Uandikishaji wa watoto/wanafunzi
kiasilimia kwa shule za binafsi na za
umma ukoje?
• Ni kwa kiasi gani sekta ya elimu
inategemea fedha za wafadhili? Na ni
maeneo yapi ya bajeti?
39
(ii) Serikali inalipiaje sekta ya elimu?
• Mgawanyo wa fedha za elimu ukoje kwa
serikali kuu na serikali za mitaa?
• Katika mgao huo ni nini kinacholipiwa?
• Je wanaotoa maamuzi ya bajeti ya elimi ni
watu wa kuchaguliwa au la na wanawajibika
kwa nani?
• Je serikali za mitaa zinayomamlaka kamili ya
kukusanya pesa na kuzitumia katika elimu?
40
• Ni kiasi gani cha fedha kutoka serikali kuu
hupelekwa katika elimu serikali za mitaa? Je
fedha hizo huka kama fungu maalumu la elimu
au kama fungu la jumla?
• Mfumo wa kuripoti mapato na matumzi ya fedha
za elimu ukoje?
• Je shule zina bajeti zao na wanayo mamlaka ya
jinsi ya kutumia? Je shule zinamapato kutoka
vyanzo vyake? Na pesa hiyo hupelekwa wapi?
41
(iii)Serikali hulipia nini?
• Mgano wa fedha za elimu ukoje katika ngazi mbalimbali za elimu?
• Ni nini “unit cost” katika ngazi mbalimbali za elimu? Linganisha na pato la mtu.
• Mgao wa fedha za umma ukoje kwa huduma mbalimbali za elimu?
• Je fedha kutoka kwa wafadhili zinatumika wapi zaidi?
42
• Ni kiasi gani cha fedha hutolewa kwa
matunzo/matengenezo na ukarabati wa
shule? Je kinatosha kulingana na
gharama halisi?
• Je vitabu vinatosheleza kwa kila
mwanafunzi. Kila na wanafunzi wangapi?
43
(iv)Sera na Matumizi ya Umma na Usawa
• Nini tofauti ya uandikishwaji, kumaliza na mafunzo kati ya makundi mbalimbali katika jamii?
• Je serikali hutoa ruzuku kwa shule za binafsi? Kwa sheria na utaratibu upi?
• Je kuna mianya na vitendo vya rushwa katika kupata nafasi shuleni na kufaulu? Katika kutoa huduma?
44
(v) Je Raslimali za umma zinatumika kwa manufaa na ufanisi?
• Je serikali hupima “inputs”, utaratibu na matokeo ya matumizi ya umma?
• Je serikali hupima mafanikio yatokanayo na matumizi ya umma katika elimu? Na je njia mbadala hupendekezwa.
• Mgao wa waalimu ukoje? Je ni sahihi kwa kila ngazi?
45
• Nini ratio kati ya waalimu, wanafunzi na
watumishi wasio waalimu?
• Waalimu wanatumikaje? Nini mzigo wao wa
kufundisha? Wanafundisha kwa kiasi gani?
• Kwa wastani mwalimu mmoja hugharimu kiasi
gani?
• Ni gharama ya mitaala ukizingatia vitabu na
mafunzo maalumu kwa walimu ili waendane na
mitaala mipya?
46
• Je fedha za ujenzi (capital) zinatumikaje?
- Vigezo gani hutumika kuamua kujenga
shule mpya na wapi?
- Ni nini gharama halisi za kujenga
darasa moja?
- Ni gharama za kutengeneza/kukarabati
darasa? Je shule inayo bajeti hiyo?
47
Wastani ukoje kwa shule zingine?
- Je juna uwazi na ufuataji wa taratibu na
kanuni za manunuzi katika utoaji wa
tenda katika ujenzi, ukarabati na utoaji
wa vifaa vikiwemo vitabu? Je hakuna
rushwa au mazingara ya rushwa?
• Nini wastani wa watoto katika darasa moja
kati ya mijini na vijijini?
48
• Je ni shule ngapi zina “shift” mbili?
• Je wanafunzi wangapi wanaacha shule?
Wararudia? Na gharama zake zikoje.
49
9.0 Impact ya PER
• Kutayarisha vipa umbele vizuri zaidi
• Kuongezeka kwa taarifa na hivyo kuboresha maamuzi
• Kuboresha “coordination” ya wafadhili na uingizaji wa misaada katika bajeti kwa njia bora zaidi?
• Mfumo mzuri zaidi wa programmu za maendeleo kisekta
• Kujenga uwezo miongozi mwa wadau mbalimbali wa bajeti
50
10.0 Tumejifunza nini?
• Ushirikiano (Partnership) miongoni
mwa wadau wa PER
- Faida za ushirikiano huu ni:
- Wadau kuelewa vizuri sekta
mbalimbali
- Pesa za wafadhili katika kuandaa
PER
51
- Kuibuliwa kwa masuala muhimu ya
bajeti
- Kusambazwa miongoni mwa Wadau
ripoti za PER katika mikutano na vikao
mbalimbali
52
• Majadiliano na Ushiriki
- Majadiliano yameboresha uandaaji na utumiaji wa PER katika bajeti
- Fursa kwa wadau mbalimbali wa PER katika kushiriki maandalizi ya PER na MTEF za kisekta
- Fursa kwa taasisi/mashirika yasiyokuwa ya kiserikali, sekta binafsi, wabunge/wawakilishi wanataaluma kuchangia mawazo na mapendekezo yao katika bajeti ikiwa ni pamoja na “consultative meeting”
53
• Uhusiano na kusaidia Taasisi na nchini
- Taasisi za ndani zinashiriki kuandaa na kuchambua PER. Hiyo mfumo na mawasiliano yanaboreshwa kuhusiana na menejimenti na sera za kibajeti.
• Maboresho ya bajeti
- Namna nzuri zaidi yakupanga na kulipia vipa umbele katika sekta mbalimbali.
54
- Mgao bora zaidi “strategic allocation” kwa kutumia PER na MTEF.
- Kuimarisha uandaji na usimamizi wa bajeti
- Kuboresha uwajibikaji katika bajeti
- Kuelewa kwa undani zaidi hali halisi ya bajeti na usimamizi wa matumizi ya umma katika sekta mbalimbali na hasa serikali za mitaa.
- Fursa ya kupitia/evaluate mafanikio ya bajeti imeboreshwa.
55
Ahsanteni Sana