MAFUNZO YA WALIMU KAZINI NGAZI YA SHULE KWA WALIMU WA MADARASA YA MWANZO MODULI YA TATU: TATHMINI YA WANAFUNZI NA MSAADA KWA WANAFUNZI WANAOJIFUNZA KWA SHIDA Mwongozo wa Mrabu wa Mafunzo ya Walimu Kazini
MAFUNZO YA WALIMU KAZINI NGAZI YA SHULE KWA WALIMU WA MADARASA YA MWANZO
MODULI YA TATU: TATHMINI YA WANAFUNZI NA MSAADA
KWA WANAFUNZI WANAOJIFUNZA KWA SHIDA
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo
ya Walimu Kazini
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini
Maelezo Muhimu kwa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini Ngazi ya Shule
Mwongozo huu utatumika sanjari na moduli ya tatu ya mwalimu ili kumsaidia mratibu wa mafunzo kuwa na mpangilio mzuri wenye kufuata hatua kwa hatua ili kuwafanya walimu washiriki kikamilifu katika kujifunza maudhui ya moduli ya tatu.
Mwongozo huu umegawanyika katika sehemu mbili. Sehemu ya kwanza ambayo ni upande wa kushoto wa mwongozo unabeba maelezo ambayo mratibu wa mafunzo ya walimu kazini ngazi ya shule atatakiwa kuyafuata wakati wa kuratibu kipindi cha kujifunza maudhui ya moduli. Sehemu ya pili ambayo ni upande wa kulia wa mwongozo unabeba maudhui yaliyo kwenye moduli ya mwalimu ambayo watayasoma wakati wa kipindi cha kujifunza.
Wakati wa kipindi cha kujifunza, unatakiwa kufuata maelezo yanayokuongoza yaliyo upande wa kushoto wa mwongozo huu na kuyahusianisha na maudhui yaliyo kwenye moduli ya mwalimu ambayo yapo upande wa kulia wa mwongozo huu kama yanavyosomeka kwenye moduli ya mwalimu.
1Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini
DIBAJI
Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025, imetoa kipaumbele katika sekta ya elimu ili kuleta mageuzi ya kiuchumi na kijamii. Lengo la Dira ya Maendeleo ni kuwa na taifa la watu waliolelimika na jamii iliyo tayari kujifunza ku�kia 2025. Serikali ya Tanzania imethibitisha kwa vitendo kuwa Elimu ni kiambato muhimu katika kupunguza umaskini na kuimarisha maendeleo ya taifa. Kwa muda mrefu serikali imetambua kuwa “Ubora wa Elimu yoyote hauwezi kuwa bora kuliko mwalimu mwenyewe” hivyo imetilia mkazo mafunzo kazini kwa walimu kupitia mikakati mbalimbali ili kuimarisha umahiri wa walimu katika ufundishaji na ujifunzaji darasani.
Katika kuongeza ufanisi wa ufundishaji na ujifunzaji darasani, Taasisi ya Elimu Tanzania kwa kushirikiana na EQUIP-Tanzania, wameandaa moduli hii ambayo imesheheni kazi mbalimbali ambazo waalimu mtazitenda katika vikundi wakati wa mafunzo kwa kutumia mbinu ya Mafunzo ya Walimu Kazini ngazi ya shule. Mbinu hii inatambua umuhimu wa walimu kujifunza pamoja na kubaini changamoto zinazowakabili ili kupata suluhisho la changamoto za ufundishaji na ujifunzaji kwa pamoja.
Moduli hii ya Mafunzo ya Walimu Kazini, imeandaliwa ili kusaidia juhudi za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kuhakikisha kuwa mbinu fanisi zinatumika darasani wakati wa ufundishaji na ujifunzaji. Moduli hii pia inawasaidia walimu kushirikishana uzoefu na umahiri katika ufundishaji na ujifunzaji darasani. Vilevile Moduli inatoa mafunzo ya ziada ikitarajiwa kuwa walimu watakuwa wamekwisha pata Mafunzo Kabilishi ya utekelezaji wa Mtaala ulioboreshwa wa kuimarisha ufundishaji wa KKK kwa wanafunzi wa darasa la kwanza na la pili.
Taasisi ya Elimu Tanzania inatarajia kuwa moduli hii itawasaidia walimu kuimarisha umahiri wa ufundishaji na ujifunzaji ili kuwasaidia wanafunzi waweze kujenga uwezo unaokusudiwa wakati wa kujifunza.
Changamoto iliyo mbele yetu ni kuhakikisha kuwa tunaonyesha kwa vitendo matokeo mazuri yanayotokana na maudhui ya moduli hii wakati wa ufundishaji na ujifunzaji darasani ili kuimarisha ubora wa elimu ya shule ya msingi.
Dr. Leonard AkwilapoKaimu Mkurugenzi Mkuu,Taasisi ya Elimu Tanzania.
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 2
Moduli hii imetayarishwa kwa ushirikiano na:
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Taasisi ya Elimu Tanzania Chuo Kikuu cha Dodoma
Morogoro Chuo cha Ualimu Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam Chuo Kikuu Huria cha Tanzania
Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa EQUIP-Tanzania
Moduli hii imewezeshwa kwa ushirikiano na:
C.C.U Butimba C.C.U Bustani C.C.U Tabora C.C.U Ndala C.C.U Kasulu
C.C.U Kabanga C.C.U BundaC.C.U Tarime
C.C.U ShinyangaC.C.U Mpwapwa
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 3
Maelekezo na taswira katika moduli
Kuna picha na michoro mingi katika moduli. Baadhi zinajirudia mara nyingi kwa sababu zinamaanisha jambo mahususi linalotokea. Chini kuna mfano wa taswira mbalimbali ambazo zinapatikana katika moduli pamoja na kile ambacho zinawakilisha:
Jadili na mwenzako: Wakati wote wa kusoma moduli, walimu wataelezwa kufanya kazi pamoja na mwalimu mwingine juu ya maswali au kazi.
Fikiri– Wawili wawili – Shirikishana: Kama ilivyo katika maelezo ya hapo juu, hapa vilevile walimu wanafanya kazi wakiwa wawili wawili. Japokuwa, hapa walimu wanatafakari mmoja mmoja kwanza juu ya swali au tatizo, halafu wanafanya kazi mwalimu mwenzake na mwishoni wanawasilisha katika kundi lote.
Jadiliana katika kikundi: Wakati mwingine walimu wataelekezwa kutafakari au kujadili maswali mbalimbali katika kikundi.
Soma: Katika kila moduli kuna “dhana kuu” ambayo kwa kawaida huwasilishwa kwa kirefu katika maelezo.
Andika: Moduli itawahamasisha walimu kuchukua maelezo na kuandika fikra zao na majibu.
Igizo: Baadhi ya mazoezi yatahitaji walimu kuigiza kazi ya kufundisha wakati wengine watapaswa kuigiza kama wanafunzi.
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini gazi ya ul 3
Maelekezo na taswira katika moduli
Kuna picha na michoro mingi katika moduli. Baadhi zinajirudia mara nyingi kwa sababu zinamaanisha jambo mahususi linalotokea. Chini kuna mfano wa taswira mbalimbali ambazo zinapatikana katika moduli pamoja na kile ambacho zinawakilisha:
Jadili na mwenzako: Wakati wote wa kusoma moduli, walimu wataelezwa kufanya kazi pamoja na mwalimu mwingine juu ya maswali au kazi.
Fikiri– Wawili wawili – Shirikishana: Kama ilivyo katika maelezo ya hapo juu, hapa vilevile walimu wanafanya kazi wakiwa wawili wawili. Japokuwa, hapa walimu wanatafakari mmoja mmoja kwanza juu ya swali au tatizo, halafu wanafanya kazi mwalimu mwenzake na mwishoni wanawasilisha katika kundi lote.
Jadiliana katika kikundi: Wakati mwingine walimu wataelekezwa kutafakari au kujadili maswali mbalimbali katika kikundi.
Soma: Katika kila moduli kuna “dhana kuu” ambayo kwa kawaida huwasilishwa kwa kirefu katika maelezo.
Andika: Moduli itawahamasisha walimu kuchukua maelezo na kuandika fikra zao na majibu.
Igizo: Baadhi ya mazoezi yatahitaji walimu kuigiza kazi ya kufundisha wakati wengine watapaswa kuigiza kama wanafunzi.
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini gazi ya ul 3
Maelekezo na taswira katika moduli
Kuna picha na michoro mingi katika moduli. Baadhi zinajirudia mara nyingi kwa sababu zinamaanisha jambo mahususi linalotokea. Chini kuna mfano wa taswira mbalimbali ambazo zinapatikana katika moduli pamoja na kile ambacho zinawakilisha:
Jadili na mwenzako: Wakati wote wa kusoma moduli, walimu wataelezwa kufanya kazi pamoja na mwalimu mwingine juu ya maswali au kazi.
Fikiri– Wawili wawili – Shirikishana: Kama ilivyo katika maelezo ya hapo juu, hapa vilevile walimu wanafanya kazi wakiwa wawili wawili. Japokuwa, hapa walimu wanatafakari mmoja mmoja kwanza juu ya swali au tatizo, halafu wanafanya kazi mwalimu mwenzake na mwishoni wanawasilisha katika kundi lote.
Jadiliana katika kikundi: Wakati mwingine walimu wataelekezwa kutafakari au kujadili maswali mbalimbali katika kikundi.
Soma: Katika kila moduli kuna “dhana kuu” ambayo kwa kawaida huwasilishwa kwa kirefu katika maelezo.
Andika: Moduli itawahamasisha walimu kuchukua maelezo na kuandika fikra zao na majibu.
Igizo: Baadhi ya mazoezi yatahitaji walimu kuigiza kazi ya kufundisha wakati wengine watapaswa kuigiza kama wanafunzi.
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 4
Moduli ya Tatu: Tathmini ya Wanafunzi na Msaada kwa Wanafunzi Wanaojifunza kwa Shida
MAELEKEZO KWA MRATIBU WA MAFUNZO YA WALIMU KAZINI
MAUDHUI YA MODULI: Moduli hii inamwongoza mwalimu kutathmini kwa haraka kiwango cha kujifunza cha wanafunzi wakati wa somo ili kupima kwa kiasi gani wanafunzi wanafikia malengo ya somo. Vilevile inajadili, mwalimu afanye nini iwapo wanafunzi wanashindwa kuelewa dhana mpya.
WAKATI WALIMU WANASOMA MAELEKEZO HAYA KWA DAKIKA 5, TAFADHALI WAELEKEZE KUJIORODHESHA NA KUSAINI HAPO CHINI NA TAARIFA ZINGINE ZIJAZWE MWISHONI MWA KIPINDI.
Tarehe:
Idadi ya walimu waliomaliza kipindi:
Muda wa Kuanza:
Jina la Mratibu na sahihi yake:
Muda wa Kumaliza:
Jina la Mwalimu Mkuu na sahihi yake:
Jina la Mwalimu: Sahihi: Darasa 1
2
3
4
5
6
7
8
Mwisho wa kipindi andika:
Mafaniko ya jumla ya kipindi hiki: Changamoto za jumla za kipindi hiki:
DHANA KUU:
Tathmini – mchakato wa kupima uelewa wa wanafunzi katika somo au dhana. Inaweza kufanywa wakati wote wa somo au mwisho wa kipindi au kwa muda maalumu.
Utofautishaji – kurekebisha sehemu ya somo ili ilingane na uwezo tofauti wa wanafunzi katika kujifunza.
MALENGO YA MODULI: Washiriki wakifika mwishoni mwa moduli hii, waweze:
Kupanga na kutoa tathmini rahisi ya shughuli za wanafunzi ambayo itasaidia kupata uelewa na ufahamu wa wanafunzi
Kutekeleza mikakati ya kusaidia wanafunzi walio na matatizo ya kujifunza
MAANDALIZI YA KIPINDI: Tafuta changarawe uje nayo katika kipindi.
UTARATIBU ZA KUJIFUNZA KWA KILA KIPINDI:
1. Kutana katika sehemu tulivu yenye ubao kama inavyoonekana katika picha
2. Panga madawati/meza ili kuwezesha washiriki wote waonane na kuongea pamoja
3. Kuwa huru kuuliza maswali kama hujaelewa 4. Kuwa wa msaada kwa wenzako
Kuwa mbunifu na fikiria jinsi dhana unazojifunzazinahusiana na darasa lako Weka simu yako katika hali ya mtetemo
Moduli ya Tatu: Tathmini ya Wanafunzi na Msaada kwa Wanafunzi Wanaojifunza kwa Shida
MAELEKEZO KWA MRATIBU WA MAFUNZO YA WALIMU KAZINI
MAUDHUI YA MODULI: Moduli hii inamwongoza mwalimu kutathmini kwa haraka kiwango cha kujifunza cha wanafunzi wakati wa somo ili kupima kwa kiasi gani wanafunzi wanafikia malengo ya somo. Vilevile inajadili, mwalimu afanye nini iwapo wanafunzi wanashindwa kuelewa dhana mpya.
WAKATI WALIMU WANASOMA MAELEKEZO HAYA KWA DAKIKA 5, TAFADHALI WAELEKEZE KUJIORODHESHA NA KUSAINI HAPO CHINI NA TAARIFA ZINGINE ZIJAZWE MWISHONI MWA KIPINDI.
Tarehe:
Idadi ya walimu waliomaliza kipindi:
Muda wa Kuanza:
Jina la Mratibu na sahihi yake:
Muda wa Kumaliza:
Jina la Mwalimu Mkuu na sahihi yake:
Jina la Mwalimu: Sahihi: Darasa 1
2
3
4
5
6
7
8
Mwisho wa kipindi andika:
Mafaniko ya jumla ya kipindi hiki: Changamoto za jumla za kipindi hiki:
DHANA KUU:
Tathmini – mchakato wa kupima uelewa wa wanafunzi katika somo au dhana. Inaweza kufanywa wakati wote wa somo au mwisho wa kipindi au kwa muda maalumu.
Utofautishaji – kurekebisha sehemu ya somo ili ilingane na uwezo tofauti wa wanafunzi katika kujifunza.
MALENGO YA MODULI: Washiriki wakifika mwishoni mwa moduli hii, waweze:
Kupanga na kutoa tathmini rahisi ya shughuli za wanafunzi ambayo itasaidia kupata uelewa na ufahamu wa wanafunzi
Kutekeleza mikakati ya kusaidia wanafunzi walio na matatizo ya kujifunza
MAANDALIZI YA KIPINDI: Tafuta changarawe uje nayo katika kipindi.
UTARATIBU ZA KUJIFUNZA KWA KILA KIPINDI:
1. Kutana katika sehemu tulivu yenye ubao kama inavyoonekana katika picha
2. Panga madawati/meza ili kuwezesha washiriki wote waonane na kuongea pamoja
3. Kuwa huru kuuliza maswali kama hujaelewa 4. Kuwa wa msaada kwa wenzako
Kuwa mbunifu na fikiria jinsi dhana unazojifunzazinahusiana na darasa lako Weka simu yako katika hali ya mtetemo
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 5
Moduli ya Tatu: Tathmini ya Wanafunzi na Msaada kwa Wanafunzi Wanaojifunza kwa Shida
MAELEKEZO KWA MRATIBU WA MAFUNZO YA WALIMU KAZINI
MAUDHUI YA MODULI: Moduli hii inamwongoza mwalimu kutathmini kwa haraka kiwango cha kujifunza cha wanafunzi wakati wa somo ili kupima kwa kiasi gani wanafunzi wanafikia malengo ya somo. Vilevile inajadili, mwalimu afanye nini iwapo wanafunzi wanashindwa kuelewa dhana mpya.
WAKATI WALIMU WANASOMA MAELEKEZO HAYA KWA DAKIKA 5, TAFADHALI WAELEKEZE KUJIORODHESHA NA KUSAINI HAPO CHINI NA TAARIFA ZINGINE ZIJAZWE MWISHONI MWA KIPINDI.
Tarehe:
Idadi ya walimu waliomaliza kipindi:
Muda wa Kuanza:
Jina la Mratibu na sahihi yake:
Muda wa Kumaliza:
Jina la Mwalimu Mkuu na sahihi yake:
Jina la Mwalimu: Sahihi: Darasa 1
2
3
4
5
6
7
8
Mwisho wa kipindi andika:
Mafaniko ya jumla ya kipindi hiki: Changamoto za jumla za kipindi hiki:
DHANA KUU:
Tathmini – mchakato wa kupima uelewa wa wanafunzi katika somo au dhana. Inaweza kufanywa wakati wote wa somo au mwisho wa kipindi au kwa muda maalumu.
Utofautishaji – kurekebisha sehemu ya somo ili ilingane na uwezo tofauti wa wanafunzi katika kujifunza.
MALENGO YA MODULI: Washiriki wakifika mwishoni mwa moduli hii, waweze:
Kupanga na kutoa tathmini rahisi ya shughuli za wanafunzi ambayo itasaidia kupata uelewa na ufahamu wa wanafunzi
Kutekeleza mikakati ya kusaidia wanafunzi walio na matatizo ya kujifunza
MAANDALIZI YA KIPINDI: Tafuta changarawe uje nayo katika kipindi.
UTARATIBU ZA KUJIFUNZA KWA KILA KIPINDI:
1. Kutana katika sehemu tulivu yenye ubao kama inavyoonekana katika picha
2. Panga madawati/meza ili kuwezesha washiriki wote waonane na kuongea pamoja
3. Kuwa huru kuuliza maswali kama hujaelewa 4. Kuwa wa msaada kwa wenzako
Kuwa mbunifu na fikiria jinsi dhana unazojifunzazinahusiana na darasa lako Weka simu yako katika hali ya mtetemo
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 6
TAFAKARI TAFAKARI
Kipindi kilichopita tulijifunza kuhusu mikakati ya usimamizi fanisi wa darasa. asa kila mmoja aandike jambo moja alilofanikiwa na moja ambalo lilikuwa changamoto katika kutekeleza mikakati hiyo darasani wakati wa vipindi vya kusoma na kuandika.
Andika peke yako dakika 5 Tafadhali andika kwenye visanduku mafanikio na changamoto ulizokutana nazo wakati wa kutekeleza mikakati hii katika darasa lako.
Jadiliana katika kikundi dakika 1 hirikisha wenzako kwenye kundi mojawapo ya uzoefu huo. Kwa kila changamoto, jaribu kutoa suluhisho lako kwa ajili ya kutatua changamoto za
wenzako. Wakati wa majadiliano, andika ufumbuzi unaoendana na changamoto ulizobainisha.
Andika peke yako dakika 5
WAAMBIE WALIMU: TOKEA KIPINDI KILICHOPITA CHA MAFUNZO,MMEKUWA MKITUMIA DARASANI ITENDO IWILI YA USIMAMIZI WA DARASA AMBA YO ILIJIKITA KATIKA
KUTENGENEZA KANUNI ZA DARASA NA KUMUDU TABIA KWA KUTUMIA IKUNDI. CHUKUA MUDA KIDOGO NA UANDIKE MWENYEWE MAFANIKIO NA CHANGAMOTO ULIZOPATA WAKATI WA KUTEKELEZA ITENDO HI YO DARASANI. UNA MUDA WA DAKIKA 5 KUKAMILISHA ZOEZI HILI.
Jadiliana katika kikundi dakika 1
WAAMBIE WALIMU: SASA TUTASHIRIKISHANA MAFANIKIO NA CHANGAMOTO KATIKA KIKUNDI.
KWA KILA CHANGAMOTO ITAKAYOTAJWA NA WENZAKO, HEBU TUJARIBU KUTAFUTA UFUMBUZI KWA KILA CHANGAMOTO YAO. HAKIKISHA UNAANDIKA UFUMBUZI AMBAO UNAONA UNASAIDIA AU UNAZINGATIA CHANGAMOTO ULIYOBAINI. TUTATUMIA MUDA WA DAKIKA KWA MAJADILIANO.
Ufumbuzi Unaowezekana Mawazo muhimu kwa wenzetu
Mafanikio lezea utaratibu uliotumia na fafanua jinsi ulivyofanikiwa
Changamoto lezea utaratibu uliotumia na fafanua changamoto zake
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 7
TAFAKARI TAFAKARI
Kipindi kilichopita tulijifunza kuhusu mikakati ya usimamizi fanisi wa darasa. asa kila mmoja aandike jambo moja alilofanikiwa na moja ambalo lilikuwa changamoto katika kutekeleza mikakati hiyo darasani wakati wa vipindi vya kusoma na kuandika.
Andika peke yako dakika 5 Tafadhali andika kwenye visanduku mafanikio na changamoto ulizokutana nazo wakati wa kutekeleza mikakati hii katika darasa lako.
Jadiliana katika kikundi dakika 1 hirikisha wenzako kwenye kundi mojawapo ya uzoefu huo. Kwa kila changamoto, jaribu kutoa suluhisho lako kwa ajili ya kutatua changamoto za
wenzako. Wakati wa majadiliano, andika ufumbuzi unaoendana na changamoto ulizobainisha.
Andika peke yako dakika 5
WAAMBIE WALIMU: TOKEA KIPINDI KILICHOPITA CHA MAFUNZO,MMEKUWA MKITUMIA DARASANI ITENDO IWILI YA USIMAMIZI WA DARASA AMBA YO ILIJIKITA KATIKA
KUTENGENEZA KANUNI ZA DARASA NA KUMUDU TABIA KWA KUTUMIA IKUNDI. CHUKUA MUDA KIDOGO NA UANDIKE MWENYEWE MAFANIKIO NA CHANGAMOTO ULIZOPATA WAKATI WA KUTEKELEZA ITENDO HI YO DARASANI. UNA MUDA WA DAKIKA 5 KUKAMILISHA ZOEZI HILI.
Jadiliana katika kikundi dakika 1
WAAMBIE WALIMU: SASA TUTASHIRIKISHANA MAFANIKIO NA CHANGAMOTO KATIKA KIKUNDI.
KWA KILA CHANGAMOTO ITAKAYOTAJWA NA WENZAKO, HEBU TUJARIBU KUTAFUTA UFUMBUZI KWA KILA CHANGAMOTO YAO. HAKIKISHA UNAANDIKA UFUMBUZI AMBAO UNAONA UNASAIDIA AU UNAZINGATIA CHANGAMOTO ULIYOBAINI. TUTATUMIA MUDA WA DAKIKA KWA MAJADILIANO.
Ufumbuzi Unaowezekana Mawazo muhimu kwa wenzetu
Mafanikio lezea utaratibu uliotumia na fafanua jinsi ulivyofanikiwa
Changamoto lezea utaratibu uliotumia na fafanua changamoto zake
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 8
UTANGULIZI UTANGULIZI
Zoezi la Ku hangamsha dakika 1
Kalamu na Changarawe: Weka kalamu na changarawe yako juu ya meza yako. ikiliza kauli zinazosomwa na mwezeshaji wako.
Kama kauli ni ya kweli kamata kalamu yako na uinyanyue juu tazama picha hapo chini . Kama kauli sio ya kweli kamata hangarawe yako uinyanyue juu . tazama picha hapo chini
Fikiri –Wawili wawili – Shirikishana dakika 1 adili maswali yafuatayo na mwenzako. aadaye tutashirikishana katika vikundi.
1. Katika zoezi hili mlitakiwa kufanya nini 2. Mratibu wa Mafunzo anaweza kupima nini 3. Kazi hii inaweza kuwa na manufaa kwa mwalimu Kwanini 4. e, unaweza kuliboresha zoezi hili lifae kutumika darasani kwako
Zoezi la Ku hangamsha dakika 1 Hakikisha kuwa kila mshiriki ana kalamu na hangarawe, kisha waambie walimu: TUTAANZA MODULI HII KWA KICHANGAMSHA MWILI KINACHOITWA KALAMU NA CHANGARAWE.
WEKA KALAMU NA CHANGARAWE MBELE YA DAWATI LAKO. NITASOMA USEMI KWA SAUTI KUBWA. KAMA UNAFIKIRI USEMI HUO NI KWELI, SHIKA KALAMU YAKO NA NYOOSHA MKONO JUU. KAMA USEMI SIYO WA KWELI, CHUKUA CHANGARAWE YAKO NA INUA MKONO WAKO JUU. KUNA MASWALI USEMI WA KWANZA: Mikakati ya usimamizi wa darasa ni mbinu na njia mbalimbali ambazo walimu wanaweza kutumia kuwafanya wanafunzi wawe na mwelekeo mmoja, wasikilize na kushiriki kikamilifu katika kujifunza darasani. Wape walimu muda wa kuinua kalamu zao au hangarawe, kisha mwambie mwalimu mmoja aeleze jibu lake. USEMI WA PILI: Mazingira yaliyosheheni machapisho ni madarasa ambayo yana herufi na maneno mengi ambayo yanasaidia wanafunzi kujenga ujuzi wa kusoma. Wape walimu muda wa kuinua kalamu zao au hangarawe, kisha mwambie mwalimu mmoja aeleze jibu lake. USEMI WA MWISHO: jumbe wa asubuhi ni picha ambayo mwalimu huchora ubaoni kwa wanafunzi kumaliza siku Wape walimu muda wa kuinua kalamu zao au hangarawe, kisha mwambie mwalimu mmoja aeleze jibu lake.
IZURI, HAPO NDIO MWISHO. SASA MNAWEZA KUSOMA WENYEWE SWALI LIFUATALO NA KUFIKIRIA MAJIBU. KISHA JADILI MAJIBU NA MWENZAKO. BAADA YA HAPA MTAWASILISHA MAJIBU YENU KATIKA KIKUNDI CHA WOTE. HUHITAJI KUANDIKA, HILI NI ZOEZI LA KUONGEA TU. SHUGHULI HII NI YA MUDA WA DAKIKA . Baada ya dakika walimu washirikishane mawazo yao katika kikundi ha wote. Kama walimu wakikwama hapa kuna mifano ya majibu inayoweza kusaidia:
. Tulisikiliza kauli zinazohusu moduli ya kwanza na ya pili, kisha tukaamua kama zilikuwa kweli au si kweli na kuonesha majibu yetu kwa kutumia itu hi yo. Mwezeshaji anaweza kusema tuli hokumbuka kwa kuangalia itu tuli yoinua juu.
. Ikiwa tulielewa maudhui ya mafunzo ya kipindi kili hopita
. Ndiyo kwa sababu m hezo unaweza kuwasaidia walimu kujua kama wanafunzi wanaelewa wali hofundishwa
. Mwalimu anaweza kutengeneza semi za kweli si kweli kuhusu dhana ambazo wanazifundisha na wanafunzi watainua kalamu au hangarawe kuonesha jibu. Mfano, kitendo hi ho kinaweza kutumika kuona iwapo wanafunzi wanaelewa tofauti kati ya sauti ya herufi mbili, kama kitu ni tunda au m hi ha n.k
KITENDO HIKI KINATUONESHA KUWA KUNA NJIA NYINGI ZA HARAKA NA RAHISI AMBAZO
WALIMU WANAWEZA KUZITUMIA KUPIMA UELEWA WA WANAFUNZI JUU YA DHANA ZILIZOTOLEWA. WALIMU WASITEGEMEE MITIHANI NA MAJARIBIO PEKE YAKE KUPATA MREJESHO WA KILE WANACHOJUA WANAFUNZI. BADALA YAKE WATUMIE MICHEZO KAMA KALAMU NA CHANGARAWE KUWAPA WANAFUNZI FURSA YA KUONESHA UELEWA WAO WAKATI WOTE WA SOMO. ILE ILE INATOA MREJESHO WA WANAFUNZI GANI WANAOHITAJI MSAADA ZAIDI.
UTANGULIZI UTANGULIZI
Zoezi la Ku hangamsha dakika 1
Kalamu na Changarawe: Weka kalamu na changarawe yako juu ya meza yako. ikiliza kauli zinazosomwa na mwezeshaji wako.
Kama kauli ni ya kweli kamata kalamu yako na uinyanyue juu tazama picha hapo chini . Kama kauli sio ya kweli kamata hangarawe yako uinyanyue juu . tazama picha hapo chini
Fikiri –Wawili wawili – Shirikishana dakika 1 adili maswali yafuatayo na mwenzako. aadaye tutashirikishana katika vikundi.
1. Katika zoezi hili mlitakiwa kufanya nini 2. Mratibu wa Mafunzo anaweza kupima nini 3. Kazi hii inaweza kuwa na manufaa kwa mwalimu Kwanini 4. e, unaweza kuliboresha zoezi hili lifae kutumika darasani kwako
Zoezi la Ku hangamsha dakika 1 Hakikisha kuwa kila mshiriki ana kalamu na hangarawe, kisha waambie walimu: TUTAANZA MODULI HII KWA KICHANGAMSHA MWILI KINACHOITWA KALAMU NA CHANGARAWE.
WEKA KALAMU NA CHANGARAWE MBELE YA DAWATI LAKO. NITASOMA USEMI KWA SAUTI KUBWA. KAMA UNAFIKIRI USEMI HUO NI KWELI, SHIKA KALAMU YAKO NA NYOOSHA MKONO JUU. KAMA USEMI SIYO WA KWELI, CHUKUA CHANGARAWE YAKO NA INUA MKONO WAKO JUU. KUNA MASWALI USEMI WA KWANZA: Mikakati ya usimamizi wa darasa ni mbinu na njia mbalimbali ambazo walimu wanaweza kutumia kuwafanya wanafunzi wawe na mwelekeo mmoja, wasikilize na kushiriki kikamilifu katika kujifunza darasani. Wape walimu muda wa kuinua kalamu zao au hangarawe, kisha mwambie mwalimu mmoja aeleze jibu lake. USEMI WA PILI: Mazingira yaliyosheheni machapisho ni madarasa ambayo yana herufi na maneno mengi ambayo yanasaidia wanafunzi kujenga ujuzi wa kusoma. Wape walimu muda wa kuinua kalamu zao au hangarawe, kisha mwambie mwalimu mmoja aeleze jibu lake. USEMI WA MWISHO: jumbe wa asubuhi ni picha ambayo mwalimu huchora ubaoni kwa wanafunzi kumaliza siku Wape walimu muda wa kuinua kalamu zao au hangarawe, kisha mwambie mwalimu mmoja aeleze jibu lake.
IZURI, HAPO NDIO MWISHO. SASA MNAWEZA KUSOMA WENYEWE SWALI LIFUATALO NA KUFIKIRIA MAJIBU. KISHA JADILI MAJIBU NA MWENZAKO. BAADA YA HAPA MTAWASILISHA MAJIBU YENU KATIKA KIKUNDI CHA WOTE. HUHITAJI KUANDIKA, HILI NI ZOEZI LA KUONGEA TU. SHUGHULI HII NI YA MUDA WA DAKIKA . Baada ya dakika walimu washirikishane mawazo yao katika kikundi ha wote. Kama walimu wakikwama hapa kuna mifano ya majibu inayoweza kusaidia:
. Tulisikiliza kauli zinazohusu moduli ya kwanza na ya pili, kisha tukaamua kama zilikuwa kweli au si kweli na kuonesha majibu yetu kwa kutumia itu hi yo. Mwezeshaji anaweza kusema tuli hokumbuka kwa kuangalia itu tuli yoinua juu.
. Ikiwa tulielewa maudhui ya mafunzo ya kipindi kili hopita
. Ndiyo kwa sababu m hezo unaweza kuwasaidia walimu kujua kama wanafunzi wanaelewa wali hofundishwa
. Mwalimu anaweza kutengeneza semi za kweli si kweli kuhusu dhana ambazo wanazifundisha na wanafunzi watainua kalamu au hangarawe kuonesha jibu. Mfano, kitendo hi ho kinaweza kutumika kuona iwapo wanafunzi wanaelewa tofauti kati ya sauti ya herufi mbili, kama kitu ni tunda au m hi ha n.k
KITENDO HIKI KINATUONESHA KUWA KUNA NJIA NYINGI ZA HARAKA NA RAHISI AMBAZO
WALIMU WANAWEZA KUZITUMIA KUPIMA UELEWA WA WANAFUNZI JUU YA DHANA ZILIZOTOLEWA. WALIMU WASITEGEMEE MITIHANI NA MAJARIBIO PEKE YAKE KUPATA MREJESHO WA KILE WANACHOJUA WANAFUNZI. BADALA YAKE WATUMIE MICHEZO KAMA KALAMU NA CHANGARAWE KUWAPA WANAFUNZI FURSA YA KUONESHA UELEWA WAO WAKATI WOTE WA SOMO. ILE ILE INATOA MREJESHO WA WANAFUNZI GANI WANAOHITAJI MSAADA ZAIDI.
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 9
UTANGULIZI UTANGULIZI
Zoezi la Ku hangamsha dakika 1
Kalamu na Changarawe: Weka kalamu na changarawe yako juu ya meza yako. ikiliza kauli zinazosomwa na mwezeshaji wako.
Kama kauli ni ya kweli kamata kalamu yako na uinyanyue juu tazama picha hapo chini . Kama kauli sio ya kweli kamata hangarawe yako uinyanyue juu . tazama picha hapo chini
Fikiri –Wawili wawili – Shirikishana dakika 1 adili maswali yafuatayo na mwenzako. aadaye tutashirikishana katika vikundi.
1. Katika zoezi hili mlitakiwa kufanya nini 2. Mratibu wa Mafunzo anaweza kupima nini 3. Kazi hii inaweza kuwa na manufaa kwa mwalimu Kwanini 4. e, unaweza kuliboresha zoezi hili lifae kutumika darasani kwako
Zoezi la Ku hangamsha dakika 1 Hakikisha kuwa kila mshiriki ana kalamu na hangarawe, kisha waambie walimu: TUTAANZA MODULI HII KWA KICHANGAMSHA MWILI KINACHOITWA KALAMU NA CHANGARAWE.
WEKA KALAMU NA CHANGARAWE MBELE YA DAWATI LAKO. NITASOMA USEMI KWA SAUTI KUBWA. KAMA UNAFIKIRI USEMI HUO NI KWELI, SHIKA KALAMU YAKO NA NYOOSHA MKONO JUU. KAMA USEMI SIYO WA KWELI, CHUKUA CHANGARAWE YAKO NA INUA MKONO WAKO JUU. KUNA MASWALI USEMI WA KWANZA: Mikakati ya usimamizi wa darasa ni mbinu na njia mbalimbali ambazo walimu wanaweza kutumia kuwafanya wanafunzi wawe na mwelekeo mmoja, wasikilize na kushiriki kikamilifu katika kujifunza darasani. Wape walimu muda wa kuinua kalamu zao au hangarawe, kisha mwambie mwalimu mmoja aeleze jibu lake. USEMI WA PILI: Mazingira yaliyosheheni machapisho ni madarasa ambayo yana herufi na maneno mengi ambayo yanasaidia wanafunzi kujenga ujuzi wa kusoma. Wape walimu muda wa kuinua kalamu zao au hangarawe, kisha mwambie mwalimu mmoja aeleze jibu lake. USEMI WA MWISHO: jumbe wa asubuhi ni picha ambayo mwalimu huchora ubaoni kwa wanafunzi kumaliza siku Wape walimu muda wa kuinua kalamu zao au hangarawe, kisha mwambie mwalimu mmoja aeleze jibu lake.
IZURI, HAPO NDIO MWISHO. SASA MNAWEZA KUSOMA WENYEWE SWALI LIFUATALO NA KUFIKIRIA MAJIBU. KISHA JADILI MAJIBU NA MWENZAKO. BAADA YA HAPA MTAWASILISHA MAJIBU YENU KATIKA KIKUNDI CHA WOTE. HUHITAJI KUANDIKA, HILI NI ZOEZI LA KUONGEA TU. SHUGHULI HII NI YA MUDA WA DAKIKA . Baada ya dakika walimu washirikishane mawazo yao katika kikundi ha wote. Kama walimu wakikwama hapa kuna mifano ya majibu inayoweza kusaidia:
. Tulisikiliza kauli zinazohusu moduli ya kwanza na ya pili, kisha tukaamua kama zilikuwa kweli au si kweli na kuonesha majibu yetu kwa kutumia itu hi yo. Mwezeshaji anaweza kusema tuli hokumbuka kwa kuangalia itu tuli yoinua juu.
. Ikiwa tulielewa maudhui ya mafunzo ya kipindi kili hopita
. Ndiyo kwa sababu m hezo unaweza kuwasaidia walimu kujua kama wanafunzi wanaelewa wali hofundishwa
. Mwalimu anaweza kutengeneza semi za kweli si kweli kuhusu dhana ambazo wanazifundisha na wanafunzi watainua kalamu au hangarawe kuonesha jibu. Mfano, kitendo hi ho kinaweza kutumika kuona iwapo wanafunzi wanaelewa tofauti kati ya sauti ya herufi mbili, kama kitu ni tunda au m hi ha n.k
KITENDO HIKI KINATUONESHA KUWA KUNA NJIA NYINGI ZA HARAKA NA RAHISI AMBAZO
WALIMU WANAWEZA KUZITUMIA KUPIMA UELEWA WA WANAFUNZI JUU YA DHANA ZILIZOTOLEWA. WALIMU WASITEGEMEE MITIHANI NA MAJARIBIO PEKE YAKE KUPATA MREJESHO WA KILE WANACHOJUA WANAFUNZI. BADALA YAKE WATUMIE MICHEZO KAMA KALAMU NA CHANGARAWE KUWAPA WANAFUNZI FURSA YA KUONESHA UELEWA WAO WAKATI WOTE WA SOMO. ILE ILE INATOA MREJESHO WA WANAFUNZI GANI WANAOHITAJI MSAADA ZAIDI.
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 10
. Mwalimu mmoja anaanza kusoma kwa sauti. Baada ya kukamilisha aya anamwita mwalimu mwingine kwa jina asome aya inayofuata.
. Wakati unaposoma: Weka alama ya mshangao katika sehemu ambayo unaona ni muhimu Weka alama ya katika sehemu ambayo huelewi au hukubaliani nayo Weka mduara katika maneno ambayo ni mapya.
DHANA KUU DHANA KUU
Umuhimu wa tathmini endele u wakati wa kufundisha dakika 1
Tathmini ya wanafunzi inasaidia walimu kujua kama wanafunzi wamefikia lengo lililowekwa la kusoma na kuandika. Kama wanafunzi hawajafikia lengo ina maana kwamba bado hawajaelewa yaliyofundishwa katika somo hilo. Vilevile tathmini ya wanafunzi inasaidia walimu kuchukua hatua ili kuweza kujiandaa vyema zaidi na kuandaa vipindi muhimu vya kupitia yale waliyofundisha.
Je kutathmini wanafunzi kunamsaidiaje mwalimu
Walimu wanaweza: Kufahamu kama wanafunzi wameweza kufikia
lengo la somo Kuthibitisha ufahamu wa wanafunzi katika somo Kuthibitisha jinsi wanafunzi wanavyofanikiwa na
kwa kiwango gani Kupima idadi ya wanafunzi wanaofahamu dhana
zilizofundishwa na idadi ya wale wanaohitaji mazoezi na msaada zaidi.
Kuandaa masomo ya kufundisha kwa wakati ujao.
Je, tathmini zinamsaidiaje mwanafunzi
Wanafunzi wanaweza: Kufahamu ni makosa gani wanayofanya Kupima uelewa na ufahamu wao wenyewe na
kutambua maeneo wanayohitaji msaada Kuinua ubora na kasi ya kuelewa dhana
zinazofundishwa. Kujijengea hali ya kujiamini kulingana na uwezo
wao Kusaidia wenzao wenye matatizo ya kujifunza .
Tathmini za Wanafunzi siyo lazima ziwe za kufanya majaribio ya kuandika kwenye karatasi mwishoni mwa kila sura ya kitabu cha kiada. Tathmini za mwanafunzi zinaweza na zinapaswa kufanyika wakati wote kwa kila somo unalofundisha. Kuna aina kuu mbili za tathmini unazoweza kutumia wakati wa kufundisha:
Umuhimu wa tathmini endele u wakati wa kufundisha dakika 1
WAAMBIE WALIMU:
SASA TUTASOMA MAUDHUI MUHIMU. TUTASOMA KWA SAUTI MATINI KWA KUPOKEZANA.
BAADA YA MWALIMU WA KWANZA KUSOMA AYA YA KWANZA, ATAMWITA MWALIMU MWINGINE KWA JINA ILI ASOME AYA INAYOFUATA. WAKATI WA KUSOMA WEKA ALAMA ZIFUATAZO KWENYE MATINI UNAYOSOMA.
WEKA ALAMA YA MSHANGAO KWENYE WAZO AMBALO UNADHANI NI MUHIMU.
WEKA ALAMA YA KIULIZO KUONESHA KUTOKUKUBALIANA NA DHANA HIYO.
WEKA ALAMA YA DUARA KUONESHA KUWA DHANA HIYO NI MPYA KWAKO.
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 11
. Mwalimu mmoja anaanza kusoma kwa sauti. Baada ya kukamilisha aya anamwita mwalimu mwingine kwa jina asome aya inayofuata.
. Wakati unaposoma: Weka alama ya mshangao katika sehemu ambayo unaona ni muhimu Weka alama ya katika sehemu ambayo huelewi au hukubaliani nayo Weka mduara katika maneno ambayo ni mapya.
DHANA KUU DHANA KUU
Umuhimu wa tathmini endele u wakati wa kufundisha dakika 1
Tathmini ya wanafunzi inasaidia walimu kujua kama wanafunzi wamefikia lengo lililowekwa la kusoma na kuandika. Kama wanafunzi hawajafikia lengo ina maana kwamba bado hawajaelewa yaliyofundishwa katika somo hilo. Vilevile tathmini ya wanafunzi inasaidia walimu kuchukua hatua ili kuweza kujiandaa vyema zaidi na kuandaa vipindi muhimu vya kupitia yale waliyofundisha.
Je kutathmini wanafunzi kunamsaidiaje mwalimu
Walimu wanaweza: Kufahamu kama wanafunzi wameweza kufikia
lengo la somo Kuthibitisha ufahamu wa wanafunzi katika somo Kuthibitisha jinsi wanafunzi wanavyofanikiwa na
kwa kiwango gani Kupima idadi ya wanafunzi wanaofahamu dhana
zilizofundishwa na idadi ya wale wanaohitaji mazoezi na msaada zaidi.
Kuandaa masomo ya kufundisha kwa wakati ujao.
Je, tathmini zinamsaidiaje mwanafunzi
Wanafunzi wanaweza: Kufahamu ni makosa gani wanayofanya Kupima uelewa na ufahamu wao wenyewe na
kutambua maeneo wanayohitaji msaada Kuinua ubora na kasi ya kuelewa dhana
zinazofundishwa. Kujijengea hali ya kujiamini kulingana na uwezo
wao Kusaidia wenzao wenye matatizo ya kujifunza .
Tathmini za Wanafunzi siyo lazima ziwe za kufanya majaribio ya kuandika kwenye karatasi mwishoni mwa kila sura ya kitabu cha kiada. Tathmini za mwanafunzi zinaweza na zinapaswa kufanyika wakati wote kwa kila somo unalofundisha. Kuna aina kuu mbili za tathmini unazoweza kutumia wakati wa kufundisha:
Umuhimu wa tathmini endele u wakati wa kufundisha dakika 1
WAAMBIE WALIMU:
SASA TUTASOMA MAUDHUI MUHIMU. TUTASOMA KWA SAUTI MATINI KWA KUPOKEZANA.
BAADA YA MWALIMU WA KWANZA KUSOMA AYA YA KWANZA, ATAMWITA MWALIMU MWINGINE KWA JINA ILI ASOME AYA INAYOFUATA. WAKATI WA KUSOMA WEKA ALAMA ZIFUATAZO KWENYE MATINI UNAYOSOMA.
WEKA ALAMA YA MSHANGAO KWENYE WAZO AMBALO UNADHANI NI MUHIMU.
WEKA ALAMA YA KIULIZO KUONESHA KUTOKUKUBALIANA NA DHANA HIYO.
WEKA ALAMA YA DUARA KUONESHA KUWA DHANA HIYO NI MPYA KWAKO.
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 12
TATHMINI UFAFANUZI
Tathmini Endele u
i mchakato wanaoutumia walimu wakati wa kufundisha ili kupata mrejesho wa kuwezesha kurekebisha ufundishaji unaoendelea ili kuinua uwezo wa wanafunzi kufikia malengo ya kujifunza.
Tathmini Tamati
hughuli rasmi za tathmini ambazo zinaonesha hatua waliyofikia wanafunzi katika kipindi maalumu
aada ya kupima kiwango cha wanafunzi cha kujifunza kutokana na tathmini endelevu, walimu wanaweza
kurekebisha mikakati yao ya ufundishaji kulingana na mahitaji. Mfano, ikiwa tathmini endelevu inaonesha kuwa wanafunzi hawaelewi dhana fulani, inabidi mwalimu ajaribu kuelezea dhana hiyo kwa kutumia njia nyingine au atumie mifano mingine mipya. Vilevile mwalimu anaweza kutumia tathmini endelevu kubaini wanafunzi wenye shida zaidi katika kujifunza na kuwapa msaada stahiki.
Jadiliana katika kikundi kikubwa dakika 5
Zoezi dakika 5 ungushia duara aina ya tathmini iliyo sahihi tathmini endelevu, tathmini tamati, au zote mbili
kulingana na maelezo ya aina za tathmini katika jedwali hapo chini. Mara baada ya kuzungushia duara, ukiwa katika kikundi, jadili majibu na kutoa maelezo ya kina zaidi.
Maelezo ya aina za Tathmini Aina ya Tathmini
1 Inatathmini rasmi uwezo/maarifa kwa kipindi maalumu mfano: mwishoni mwa sura au mwishoni mwa nusu mhula n.k
Tathmini ndelevu
Tathmini ya Tamati
ote mbili
2 Inawapa walimu taswira ya ufahamu wa wanafunzi wakati wote wa somo.
Tathmini ndelevu
Tathmini ya Tamati
ote mbili
3 Inawapa wanafunzi fursa ya kuonesha ufahamu wao. Tathmini ndelevu
Tathmini ya Tamati
ote mbili
Jadiliana katika kikundi kikubwa dakika 5
WAAMBIE WALIMU: SASA KILA MWALIMU ANAWEZA KUWASILISHA CHOCHOTE ALICHOKIONA KIWE NI MUHIMU, HAKIELEWEKI AU KIPYA.
Zoezi dakika 5
WAAMBIE WALIMU:
MALIZA KAZI HII YA KUANDIKE PEKE YAKO. SOMA KILA MAELEZO YA TATHMINI KISHA
ZUNGUSHIA JIBU SAHIHI. aada ya walimu kukamilisha, chagua atakayejitolea kuwasilisha jibu kwa kila swali na sababu za kuchagua jibu
hilo. Toa pongezi kwa kila jibu sahihi:
. Tathmini Tamati
. Tathmini Endele u
. Zote mbili
ZOEZI ZOEZI
Mikakati ya Tathmini Endele u dakika 1
Kuna njia nyingi za haraka za kutathmini ujifunzaji wa wanafunzi wakati somo linaendelea. Ifuatayo ni mikakati minne ambayo unaweza kutumia hata katika madarasa makubwa:
Kalamu na Changarawe Waambie wanafunzi kila mmoja aje na changarawe moja darasani. Waambie waweke kalamu zao na changarawe katika madawati yao. Waambie wanafunzi kuwa utasoma kauli zinazotokana na
Mikakati ya Tathmini Endele u dakika 1
WAAMBIE WALIMU:
TATHMINI UFAFANUZI
Tathmini Endele u
i mchakato wanaoutumia walimu wakati wa kufundisha ili kupata mrejesho wa kuwezesha kurekebisha ufundishaji unaoendelea ili kuinua uwezo wa wanafunzi kufikia malengo ya kujifunza.
Tathmini Tamati
hughuli rasmi za tathmini ambazo zinaonesha hatua waliyofikia wanafunzi katika kipindi maalumu
aada ya kupima kiwango cha wanafunzi cha kujifunza kutokana na tathmini endelevu, walimu wanaweza
kurekebisha mikakati yao ya ufundishaji kulingana na mahitaji. Mfano, ikiwa tathmini endelevu inaonesha kuwa wanafunzi hawaelewi dhana fulani, inabidi mwalimu ajaribu kuelezea dhana hiyo kwa kutumia njia nyingine au atumie mifano mingine mipya. Vilevile mwalimu anaweza kutumia tathmini endelevu kubaini wanafunzi wenye shida zaidi katika kujifunza na kuwapa msaada stahiki.
Jadiliana katika kikundi kikubwa dakika 5
Zoezi dakika 5 ungushia duara aina ya tathmini iliyo sahihi tathmini endelevu, tathmini tamati, au zote mbili
kulingana na maelezo ya aina za tathmini katika jedwali hapo chini. Mara baada ya kuzungushia duara, ukiwa katika kikundi, jadili majibu na kutoa maelezo ya kina zaidi.
Maelezo ya aina za Tathmini Aina ya Tathmini
1 Inatathmini rasmi uwezo/maarifa kwa kipindi maalumu mfano: mwishoni mwa sura au mwishoni mwa nusu mhula n.k
Tathmini ndelevu
Tathmini ya Tamati
ote mbili
2 Inawapa walimu taswira ya ufahamu wa wanafunzi wakati wote wa somo.
Tathmini ndelevu
Tathmini ya Tamati
ote mbili
3 Inawapa wanafunzi fursa ya kuonesha ufahamu wao. Tathmini ndelevu
Tathmini ya Tamati
ote mbili
Jadiliana katika kikundi kikubwa dakika 5
WAAMBIE WALIMU: SASA KILA MWALIMU ANAWEZA KUWASILISHA CHOCHOTE ALICHOKIONA KIWE NI MUHIMU, HAKIELEWEKI AU KIPYA.
Zoezi dakika 5
WAAMBIE WALIMU:
MALIZA KAZI HII YA KUANDIKE PEKE YAKO. SOMA KILA MAELEZO YA TATHMINI KISHA
ZUNGUSHIA JIBU SAHIHI. aada ya walimu kukamilisha, chagua atakayejitolea kuwasilisha jibu kwa kila swali na sababu za kuchagua jibu
hilo. Toa pongezi kwa kila jibu sahihi:
. Tathmini Tamati
. Tathmini Endele u
. Zote mbili
ZOEZI ZOEZI
Mikakati ya Tathmini Endele u dakika 1
Kuna njia nyingi za haraka za kutathmini ujifunzaji wa wanafunzi wakati somo linaendelea. Ifuatayo ni mikakati minne ambayo unaweza kutumia hata katika madarasa makubwa:
Kalamu na Changarawe Waambie wanafunzi kila mmoja aje na changarawe moja darasani. Waambie waweke kalamu zao na changarawe katika madawati yao. Waambie wanafunzi kuwa utasoma kauli zinazotokana na
Mikakati ya Tathmini Endele u dakika 1
WAAMBIE WALIMU:
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 13
TATHMINI UFAFANUZI
Tathmini Endele u
i mchakato wanaoutumia walimu wakati wa kufundisha ili kupata mrejesho wa kuwezesha kurekebisha ufundishaji unaoendelea ili kuinua uwezo wa wanafunzi kufikia malengo ya kujifunza.
Tathmini Tamati
hughuli rasmi za tathmini ambazo zinaonesha hatua waliyofikia wanafunzi katika kipindi maalumu
aada ya kupima kiwango cha wanafunzi cha kujifunza kutokana na tathmini endelevu, walimu wanaweza
kurekebisha mikakati yao ya ufundishaji kulingana na mahitaji. Mfano, ikiwa tathmini endelevu inaonesha kuwa wanafunzi hawaelewi dhana fulani, inabidi mwalimu ajaribu kuelezea dhana hiyo kwa kutumia njia nyingine au atumie mifano mingine mipya. Vilevile mwalimu anaweza kutumia tathmini endelevu kubaini wanafunzi wenye shida zaidi katika kujifunza na kuwapa msaada stahiki.
Jadiliana katika kikundi kikubwa dakika 5
Zoezi dakika 5 ungushia duara aina ya tathmini iliyo sahihi tathmini endelevu, tathmini tamati, au zote mbili
kulingana na maelezo ya aina za tathmini katika jedwali hapo chini. Mara baada ya kuzungushia duara, ukiwa katika kikundi, jadili majibu na kutoa maelezo ya kina zaidi.
Maelezo ya aina za Tathmini Aina ya Tathmini
1 Inatathmini rasmi uwezo/maarifa kwa kipindi maalumu mfano: mwishoni mwa sura au mwishoni mwa nusu mhula n.k
Tathmini ndelevu
Tathmini ya Tamati
ote mbili
2 Inawapa walimu taswira ya ufahamu wa wanafunzi wakati wote wa somo.
Tathmini ndelevu
Tathmini ya Tamati
ote mbili
3 Inawapa wanafunzi fursa ya kuonesha ufahamu wao. Tathmini ndelevu
Tathmini ya Tamati
ote mbili
Jadiliana katika kikundi kikubwa dakika 5
WAAMBIE WALIMU: SASA KILA MWALIMU ANAWEZA KUWASILISHA CHOCHOTE ALICHOKIONA KIWE NI MUHIMU, HAKIELEWEKI AU KIPYA.
Zoezi dakika 5
WAAMBIE WALIMU:
MALIZA KAZI HII YA KUANDIKE PEKE YAKO. SOMA KILA MAELEZO YA TATHMINI KISHA
ZUNGUSHIA JIBU SAHIHI. aada ya walimu kukamilisha, chagua atakayejitolea kuwasilisha jibu kwa kila swali na sababu za kuchagua jibu
hilo. Toa pongezi kwa kila jibu sahihi:
. Tathmini Tamati
. Tathmini Endele u
. Zote mbili
ZOEZI ZOEZI
Mikakati ya Tathmini Endele u dakika 1
Kuna njia nyingi za haraka za kutathmini ujifunzaji wa wanafunzi wakati somo linaendelea. Ifuatayo ni mikakati minne ambayo unaweza kutumia hata katika madarasa makubwa:
Kalamu na Changarawe Waambie wanafunzi kila mmoja aje na changarawe moja darasani. Waambie waweke kalamu zao na changarawe katika madawati yao. Waambie wanafunzi kuwa utasoma kauli zinazotokana na
Mikakati ya Tathmini Endele u dakika 1
WAAMBIE WALIMU:
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 14
somo unalofundisha. Kama wanafikiri kauli hiyo ni ya kweli, washike kalamu zao mkononi na kuinua juu. Kama wanafikiri kuwa usemi huo siyo kweli, wachukue changarawe zao na wainue juu. Mfano, baada ya kujifunza siku za juma, unaweza kutengeneza kauli ifuatayo: Kama ilivyo katika shughuli uliyofanya mwanzoni mwa moduli, aina hii ya mkakati wa tathmini inasaidia kupima kama wanafunzi wanaelewa dhana ambazo umekuwa ukifundisha.
M hezo wa kulala Waambie wanafunzi waweke viganja vya mikono yao usoni na wainamishe vichwa vyao kwenye madawati wakiwa wamefumba macho kama vile wamelala waambie wasifumbue macho Waambie wanafunzi utatamka semi ambazo zinauhusiano na somo unalofundisha. Kama wanafikiri kauli hiyo ni ya kweli, wainue mikono yao wakiwa wameweka vichwa vyao chini . Kama wanafikiri kuwa usemi huo siyo kweli, wasiinue mikono yao. Mchezo wa kulala unafanana na ule wa Kalamu na hangarawe, lakini mchezo huu unawapa wanafunzi fursa ya kujibu kwa uaminifu bila kuangalia wenzao kupata jibu sahihi.
M hezo wa Nioneshe Kuhakiki kama wanafunzi wanaelewa unachofundisha, waambie wanafunzi kuwa utauliza swali la haraka na wanatakiwa kuandika jibu katika karatasi au nyuma ya daftari zao . Wakimaliza wainue karatasi zao juu uzione. Mfano, ikiwa unafundisha silabi, unaweza kuuliza Kisha wanafunzi wakuoneshe majibu yao. naweza kuendelea na mchezo huu kwa kusema
Okota kwa Kubahatisha Wanafunzi waandike majina yao katika vitu
vya kudumu kama vile, vipande vya makasha kutoka makasha yaliyotupwa , kifuniko cha chupa au hata kipande cha jiwe kilicho na uso laini. Weka vitu vyote katika mkoba, kasha au ndoo na uwe navyo katika kila somo. Wakati unapouliza swali, chomoa kwa kubahatisha kitu kimojawapo kutoka katika mkoba, kasha au ndoo na mwanafunzi ambae jina lake lipo katika kitu hicho ajibu swali. Mbinu hii inasaidia kuchagua wanaojibu kwa njia ya kubahatisha. ii ina maana kuwa wanafunzi ambao wananyoosha mikono mara kwa mara hawatawali majadiliano ya darasani na tathmini . Vilevile inasaidia kupata majibu zaidi ya yale ya ndio au hapana.
Igizo dakika 2
Kila mwalimu achague mojawapo kati ya mikakati minne ya tathmini endelevu iliyoelezwa hapo juu Kalamu na hangarawe, Mchezo wa Kulala, mchezo wa ioneshe na Kuokota kwa Kubahatisha . Kila mwalimu aandae igizo dhima
ambapo yeye ni mwalimu na walimu wengine ni wanafunzi wake. Tumia mkakati wako wa tathmini uliochagua kutathmini ujifunzaji wa wanafunzi katika mada unayofundisha katika somo la Kiswahili, kama vile, herufi, rangi, siku za juma au mada nyingine katika muhtasari. Mfano, kama ukichagua kutathmini wanafunzi kuhusu uelewa wao wa rangi na umechagua kutumia mkakati wa Mchezo wa Kulala, andika semi ambazo ni kweli au siyo kweli ambazo wanafunzi wanaweza kuchagua jibu kama vile, majani ya mti ni ya zambarau . na dakika 1 kujiandaa. aada ya hapo kila mwalimu ataonesha igizo lake kwa kupokezana.
SASA TUTASOMA KUHUSU MIKAKATI MBALIMBALI YA TATHMINI ENDELE U.
TUTAPOKEZANA KUSOMA MATINI KWA SAUTI. BAADA YA MWALIMU WA KWANZA KUSOMA AYA YA KWANZA, ATAMWITA MWALIMU MWINGINE KWA JINA ILI ASOME AYA INAYOFUATA.
Igizo dakika 2
WAAMBIE WALIMU: SASA TUTAIGIZA JINSI TUNA YOWEZA KUTUMIA MIKAKATI MBALIMBALI YA TATHMINI ENELE U KATIKA MADARASA YETU. KILA MMOJA WENU ANAPASWA KUCHAGUA MKAKATI WA TATHMINI AMBAO
ANGEPENDA KUJARIBU. ANDAA NAMNA UTAKA YOSHIRIKIANA NA WALIMU MENGINE HAPA AMBAO WATAKAOJIFANYA KUWA WANAFUNZI WAKO KUTUMIA MKAKATI HUO. HAKIKISHA UNATATHMINI UJIFUNZAJI WA WANAFUNZI KATIKA MADA ILIYOPO KATIKA MUHTASARI WAKO. UNA MUDA WA DAKIKA KUANDAA. BAADA YA HAPA MTAIGIZA KWA KUPOKEZANA MMOJA MMOJA.
somo unalofundisha. Kama wanafikiri kauli hiyo ni ya kweli, washike kalamu zao mkononi na kuinua juu. Kama wanafikiri kuwa usemi huo siyo kweli, wachukue changarawe zao na wainue juu. Mfano, baada ya kujifunza siku za juma, unaweza kutengeneza kauli ifuatayo: Kama ilivyo katika shughuli uliyofanya mwanzoni mwa moduli, aina hii ya mkakati wa tathmini inasaidia kupima kama wanafunzi wanaelewa dhana ambazo umekuwa ukifundisha.
M hezo wa kulala Waambie wanafunzi waweke viganja vya mikono yao usoni na wainamishe vichwa vyao kwenye madawati wakiwa wamefumba macho kama vile wamelala waambie wasifumbue macho Waambie wanafunzi utatamka semi ambazo zinauhusiano na somo unalofundisha. Kama wanafikiri kauli hiyo ni ya kweli, wainue mikono yao wakiwa wameweka vichwa vyao chini . Kama wanafikiri kuwa usemi huo siyo kweli, wasiinue mikono yao. Mchezo wa kulala unafanana na ule wa Kalamu na hangarawe, lakini mchezo huu unawapa wanafunzi fursa ya kujibu kwa uaminifu bila kuangalia wenzao kupata jibu sahihi.
M hezo wa Nioneshe Kuhakiki kama wanafunzi wanaelewa unachofundisha, waambie wanafunzi kuwa utauliza swali la haraka na wanatakiwa kuandika jibu katika karatasi au nyuma ya daftari zao . Wakimaliza wainue karatasi zao juu uzione. Mfano, ikiwa unafundisha silabi, unaweza kuuliza Kisha wanafunzi wakuoneshe majibu yao. naweza kuendelea na mchezo huu kwa kusema
Okota kwa Kubahatisha Wanafunzi waandike majina yao katika vitu
vya kudumu kama vile, vipande vya makasha kutoka makasha yaliyotupwa , kifuniko cha chupa au hata kipande cha jiwe kilicho na uso laini. Weka vitu vyote katika mkoba, kasha au ndoo na uwe navyo katika kila somo. Wakati unapouliza swali, chomoa kwa kubahatisha kitu kimojawapo kutoka katika mkoba, kasha au ndoo na mwanafunzi ambae jina lake lipo katika kitu hicho ajibu swali. Mbinu hii inasaidia kuchagua wanaojibu kwa njia ya kubahatisha. ii ina maana kuwa wanafunzi ambao wananyoosha mikono mara kwa mara hawatawali majadiliano ya darasani na tathmini . Vilevile inasaidia kupata majibu zaidi ya yale ya ndio au hapana.
Igizo dakika 2
Kila mwalimu achague mojawapo kati ya mikakati minne ya tathmini endelevu iliyoelezwa hapo juu Kalamu na hangarawe, Mchezo wa Kulala, mchezo wa ioneshe na Kuokota kwa Kubahatisha . Kila mwalimu aandae igizo dhima
ambapo yeye ni mwalimu na walimu wengine ni wanafunzi wake. Tumia mkakati wako wa tathmini uliochagua kutathmini ujifunzaji wa wanafunzi katika mada unayofundisha katika somo la Kiswahili, kama vile, herufi, rangi, siku za juma au mada nyingine katika muhtasari. Mfano, kama ukichagua kutathmini wanafunzi kuhusu uelewa wao wa rangi na umechagua kutumia mkakati wa Mchezo wa Kulala, andika semi ambazo ni kweli au siyo kweli ambazo wanafunzi wanaweza kuchagua jibu kama vile, majani ya mti ni ya zambarau . na dakika 1 kujiandaa. aada ya hapo kila mwalimu ataonesha igizo lake kwa kupokezana.
SASA TUTASOMA KUHUSU MIKAKATI MBALIMBALI YA TATHMINI ENDELE U.
TUTAPOKEZANA KUSOMA MATINI KWA SAUTI. BAADA YA MWALIMU WA KWANZA KUSOMA AYA YA KWANZA, ATAMWITA MWALIMU MWINGINE KWA JINA ILI ASOME AYA INAYOFUATA.
Igizo dakika 2
WAAMBIE WALIMU: SASA TUTAIGIZA JINSI TUNA YOWEZA KUTUMIA MIKAKATI MBALIMBALI YA TATHMINI ENELE U KATIKA MADARASA YETU. KILA MMOJA WENU ANAPASWA KUCHAGUA MKAKATI WA TATHMINI AMBAO
ANGEPENDA KUJARIBU. ANDAA NAMNA UTAKA YOSHIRIKIANA NA WALIMU MENGINE HAPA AMBAO WATAKAOJIFANYA KUWA WANAFUNZI WAKO KUTUMIA MKAKATI HUO. HAKIKISHA UNATATHMINI UJIFUNZAJI WA WANAFUNZI KATIKA MADA ILIYOPO KATIKA MUHTASARI WAKO. UNA MUDA WA DAKIKA KUANDAA. BAADA YA HAPA MTAIGIZA KWA KUPOKEZANA MMOJA MMOJA.
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 15
somo unalofundisha. Kama wanafikiri kauli hiyo ni ya kweli, washike kalamu zao mkononi na kuinua juu. Kama wanafikiri kuwa usemi huo siyo kweli, wachukue changarawe zao na wainue juu. Mfano, baada ya kujifunza siku za juma, unaweza kutengeneza kauli ifuatayo: Kama ilivyo katika shughuli uliyofanya mwanzoni mwa moduli, aina hii ya mkakati wa tathmini inasaidia kupima kama wanafunzi wanaelewa dhana ambazo umekuwa ukifundisha.
M hezo wa kulala Waambie wanafunzi waweke viganja vya mikono yao usoni na wainamishe vichwa vyao kwenye madawati wakiwa wamefumba macho kama vile wamelala waambie wasifumbue macho Waambie wanafunzi utatamka semi ambazo zinauhusiano na somo unalofundisha. Kama wanafikiri kauli hiyo ni ya kweli, wainue mikono yao wakiwa wameweka vichwa vyao chini . Kama wanafikiri kuwa usemi huo siyo kweli, wasiinue mikono yao. Mchezo wa kulala unafanana na ule wa Kalamu na hangarawe, lakini mchezo huu unawapa wanafunzi fursa ya kujibu kwa uaminifu bila kuangalia wenzao kupata jibu sahihi.
M hezo wa Nioneshe Kuhakiki kama wanafunzi wanaelewa unachofundisha, waambie wanafunzi kuwa utauliza swali la haraka na wanatakiwa kuandika jibu katika karatasi au nyuma ya daftari zao . Wakimaliza wainue karatasi zao juu uzione. Mfano, ikiwa unafundisha silabi, unaweza kuuliza Kisha wanafunzi wakuoneshe majibu yao. naweza kuendelea na mchezo huu kwa kusema
Okota kwa Kubahatisha Wanafunzi waandike majina yao katika vitu
vya kudumu kama vile, vipande vya makasha kutoka makasha yaliyotupwa , kifuniko cha chupa au hata kipande cha jiwe kilicho na uso laini. Weka vitu vyote katika mkoba, kasha au ndoo na uwe navyo katika kila somo. Wakati unapouliza swali, chomoa kwa kubahatisha kitu kimojawapo kutoka katika mkoba, kasha au ndoo na mwanafunzi ambae jina lake lipo katika kitu hicho ajibu swali. Mbinu hii inasaidia kuchagua wanaojibu kwa njia ya kubahatisha. ii ina maana kuwa wanafunzi ambao wananyoosha mikono mara kwa mara hawatawali majadiliano ya darasani na tathmini . Vilevile inasaidia kupata majibu zaidi ya yale ya ndio au hapana.
Igizo dakika 2
Kila mwalimu achague mojawapo kati ya mikakati minne ya tathmini endelevu iliyoelezwa hapo juu Kalamu na hangarawe, Mchezo wa Kulala, mchezo wa ioneshe na Kuokota kwa Kubahatisha . Kila mwalimu aandae igizo dhima
ambapo yeye ni mwalimu na walimu wengine ni wanafunzi wake. Tumia mkakati wako wa tathmini uliochagua kutathmini ujifunzaji wa wanafunzi katika mada unayofundisha katika somo la Kiswahili, kama vile, herufi, rangi, siku za juma au mada nyingine katika muhtasari. Mfano, kama ukichagua kutathmini wanafunzi kuhusu uelewa wao wa rangi na umechagua kutumia mkakati wa Mchezo wa Kulala, andika semi ambazo ni kweli au siyo kweli ambazo wanafunzi wanaweza kuchagua jibu kama vile, majani ya mti ni ya zambarau . na dakika 1 kujiandaa. aada ya hapo kila mwalimu ataonesha igizo lake kwa kupokezana.
SASA TUTASOMA KUHUSU MIKAKATI MBALIMBALI YA TATHMINI ENDELE U.
TUTAPOKEZANA KUSOMA MATINI KWA SAUTI. BAADA YA MWALIMU WA KWANZA KUSOMA AYA YA KWANZA, ATAMWITA MWALIMU MWINGINE KWA JINA ILI ASOME AYA INAYOFUATA.
Igizo dakika 2
WAAMBIE WALIMU: SASA TUTAIGIZA JINSI TUNA YOWEZA KUTUMIA MIKAKATI MBALIMBALI YA TATHMINI ENELE U KATIKA MADARASA YETU. KILA MMOJA WENU ANAPASWA KUCHAGUA MKAKATI WA TATHMINI AMBAO
ANGEPENDA KUJARIBU. ANDAA NAMNA UTAKA YOSHIRIKIANA NA WALIMU MENGINE HAPA AMBAO WATAKAOJIFANYA KUWA WANAFUNZI WAKO KUTUMIA MKAKATI HUO. HAKIKISHA UNATATHMINI UJIFUNZAJI WA WANAFUNZI KATIKA MADA ILIYOPO KATIKA MUHTASARI WAKO. UNA MUDA WA DAKIKA KUANDAA. BAADA YA HAPA MTAIGIZA KWA KUPOKEZANA MMOJA MMOJA.
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 16
Fikiri –Wawili wawili Shirikishana dakika 5
i kwa namna gani kila mkakati umesaidia kutathmini uelewa wa wanafunzi tawezaje kutekeleza mikakati hii darasani kwako Kwa namna gani utaitumia hiyo mikakati Kuna mikakati mingine ya tathmini endelevu ambayo imekujia kichwani kwako wakati ukiwa sehemu ya igizo
dhima
Mikakati ya Kusaidia Wanafunzi Wanaopata Shida Kujifunza dakika 15
napotathmini wanafunzi wakati wote wa somo, unaweza kuona wanafunzi wengi ambao hawajaelewa dhana fulani. Katika hali kama hii inabidi ufundishe upya maudhui ya mada husika, utumie njia bora zaidi ya kuelezea maudhui hayo au kutoa mifano zaidi. ata hivyo, pamoja na kwamba wanafunzi wengi watakuwa wamefikia malengo yaliyowekwa, bado wapo wanafunzi wachache ambao watakuwa na shida ya kujifunza. natakiwa kuhakikisha kuwa wanafunzi hawa wanaopata shida kujifunza wanakuwa na mwelekeo chanya na
hawakati tamaa pamoja na kwamba wako nyuma ya wenzao. Ifuatayo ni mikakati ya kusaidia wanafunzi wanaopata shida kujifunza:
Kazi Zilizotofautishwa: Kama unafahamu kwamba mwanafunzi anayepata shida kujifunza hataweza kukamilisha zoezi, panga marekebisho rahisi katika ufundishaji wako ili wanafunzi wa aina hii waweze kukamilisha kazi wanazopewa. Mfano, Kama wanafunzi wa arasa la 2 wanaandika matini kuhusu walichofanya mwisho wa juma, wanafunzi wanaopata shida kujifunza wanaweza kuchora picha kwanza na baadaye wajikite tu katika kuandika maneno ya msingi,
Wawili Wawili Kimkakati Wanafunzi wanaopata shida kujifunza, mara nyingi hujifunza kujenga stadi zao kutoka kwa wenzao ambao wako mbele katika kujifunza. Kuweka mkakati wa kuchagua mwenzao anayeweza kusaidia mwanafunzi anayepata shida kujifunza, ni fursa nzuri ya kuwapa msaada binafsi ambao wasingeupata wakiwa katika darasa kubwa. Mfano, baada ya mwanafunzi anayepata shida kujifunza kuandika maneno ya msingi kuhusu mwisho wa juma kaka, kuku, chipsi , mwenzake anaweza kumsaidia kuandika maneno yaliyorukwa kukamilisha sentensi
.
Mpangilio wa Kukaa Wakati mwingine wanafunzi wanaopata shida katika somo, utakuta wana uono hafifu. aribu kuweka wanafunzi wa aina hii mbele ya darasa kupunguza vikwazo na kuwarahisishia kuona maudhui ya somo na vifaa. akikisha unawaambia wanafunzi kwamba, kukaa mbele ya darasa ni upendeleo na siyo kwa sababu ya kutoelewa. .
Msaada wa ziada Ikiwa darasa linafanya mazoezi binafsi, unaweza kutoa msaada wa ziada wa pamoja kwa wanafunzi wengi kwa kuwaketisha karibu karibu. Mfano, waketishe wanafunzi wenye shida ya kujifunza mbele ya darasa kwa mara nyingine waeleze kwamba ni upendeleo ili kuwapa msaada wa karibu wanapofanya mazoezi.
Muda wa kusubiri unapowaita wanafunzi wenye shida ya kujifunza kujibu maswali darasani, wape muda mrefu wa kufikiria maswali. naweza kuhesabu kichwani mwako taratibu kuanzia moja hadi tano
Fikiri –Wawili wawili Shirikishana dakika 5
BAADA YA WALIMU WOTE KUWASILISHA KAZI ZAO, WAAMBIE: SASA ANGALIA KITENDO CHA KUSHIRIKISHANA WAWILI WAWILI. KWANZA SOMA
MWENYEWE MASWALI NA FIKIRIA MAJIBU. KISHA ONGEENI WAWILI WAWILI KUHUSU MAJIBU YAKO. MWISHOWE WASILISHA MAWAZO YENU KATIKA KIKUNDI CHA WOTE. HUHITAJI KUANDIKA. HILI NI ZOEZI LA KUONGEA TU. SASA ANZA.
Mikakati ya Kusaidia Wanafunzi Wanaopata Shida Kujifunza dakika 15
BAADA YA MAJADILIANO, SEMA:
MIKAKATI YA TATHMINI INASAIDIA KUBAINI WANAFUNZI WANAOPATA SHIDA KUJIFUNZA. SASA TUTASOMA MBINU MBALIMBALI AMBAZO TUNAWEZA KUTUMIA KUSAIDIA WANAFUNZI WA AINA HII. TUTAPOKEZANA KUSOMA MATINI KWA SAUTI. BAADA YA MWALIMU WA KWANZA KUSOMA AYA YA KWANZA, ATAMWITA MWALIMU MWINGINE KWA KINA ILI ASOME AYA INAYOFUATA.
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 17
Fikiri –Wawili wawili Shirikishana dakika 5
i kwa namna gani kila mkakati umesaidia kutathmini uelewa wa wanafunzi tawezaje kutekeleza mikakati hii darasani kwako Kwa namna gani utaitumia hiyo mikakati Kuna mikakati mingine ya tathmini endelevu ambayo imekujia kichwani kwako wakati ukiwa sehemu ya igizo
dhima
Mikakati ya Kusaidia Wanafunzi Wanaopata Shida Kujifunza dakika 15
napotathmini wanafunzi wakati wote wa somo, unaweza kuona wanafunzi wengi ambao hawajaelewa dhana fulani. Katika hali kama hii inabidi ufundishe upya maudhui ya mada husika, utumie njia bora zaidi ya kuelezea maudhui hayo au kutoa mifano zaidi. ata hivyo, pamoja na kwamba wanafunzi wengi watakuwa wamefikia malengo yaliyowekwa, bado wapo wanafunzi wachache ambao watakuwa na shida ya kujifunza. natakiwa kuhakikisha kuwa wanafunzi hawa wanaopata shida kujifunza wanakuwa na mwelekeo chanya na
hawakati tamaa pamoja na kwamba wako nyuma ya wenzao. Ifuatayo ni mikakati ya kusaidia wanafunzi wanaopata shida kujifunza:
Kazi Zilizotofautishwa: Kama unafahamu kwamba mwanafunzi anayepata shida kujifunza hataweza kukamilisha zoezi, panga marekebisho rahisi katika ufundishaji wako ili wanafunzi wa aina hii waweze kukamilisha kazi wanazopewa. Mfano, Kama wanafunzi wa arasa la 2 wanaandika matini kuhusu walichofanya mwisho wa juma, wanafunzi wanaopata shida kujifunza wanaweza kuchora picha kwanza na baadaye wajikite tu katika kuandika maneno ya msingi,
Wawili Wawili Kimkakati Wanafunzi wanaopata shida kujifunza, mara nyingi hujifunza kujenga stadi zao kutoka kwa wenzao ambao wako mbele katika kujifunza. Kuweka mkakati wa kuchagua mwenzao anayeweza kusaidia mwanafunzi anayepata shida kujifunza, ni fursa nzuri ya kuwapa msaada binafsi ambao wasingeupata wakiwa katika darasa kubwa. Mfano, baada ya mwanafunzi anayepata shida kujifunza kuandika maneno ya msingi kuhusu mwisho wa juma kaka, kuku, chipsi , mwenzake anaweza kumsaidia kuandika maneno yaliyorukwa kukamilisha sentensi
.
Mpangilio wa Kukaa Wakati mwingine wanafunzi wanaopata shida katika somo, utakuta wana uono hafifu. aribu kuweka wanafunzi wa aina hii mbele ya darasa kupunguza vikwazo na kuwarahisishia kuona maudhui ya somo na vifaa. akikisha unawaambia wanafunzi kwamba, kukaa mbele ya darasa ni upendeleo na siyo kwa sababu ya kutoelewa. .
Msaada wa ziada Ikiwa darasa linafanya mazoezi binafsi, unaweza kutoa msaada wa ziada wa pamoja kwa wanafunzi wengi kwa kuwaketisha karibu karibu. Mfano, waketishe wanafunzi wenye shida ya kujifunza mbele ya darasa kwa mara nyingine waeleze kwamba ni upendeleo ili kuwapa msaada wa karibu wanapofanya mazoezi.
Muda wa kusubiri unapowaita wanafunzi wenye shida ya kujifunza kujibu maswali darasani, wape muda mrefu wa kufikiria maswali. naweza kuhesabu kichwani mwako taratibu kuanzia moja hadi tano
Fikiri –Wawili wawili Shirikishana dakika 5
BAADA YA WALIMU WOTE KUWASILISHA KAZI ZAO, WAAMBIE: SASA ANGALIA KITENDO CHA KUSHIRIKISHANA WAWILI WAWILI. KWANZA SOMA
MWENYEWE MASWALI NA FIKIRIA MAJIBU. KISHA ONGEENI WAWILI WAWILI KUHUSU MAJIBU YAKO. MWISHOWE WASILISHA MAWAZO YENU KATIKA KIKUNDI CHA WOTE. HUHITAJI KUANDIKA. HILI NI ZOEZI LA KUONGEA TU. SASA ANZA.
Mikakati ya Kusaidia Wanafunzi Wanaopata Shida Kujifunza dakika 15
BAADA YA MAJADILIANO, SEMA:
MIKAKATI YA TATHMINI INASAIDIA KUBAINI WANAFUNZI WANAOPATA SHIDA KUJIFUNZA. SASA TUTASOMA MBINU MBALIMBALI AMBAZO TUNAWEZA KUTUMIA KUSAIDIA WANAFUNZI WA AINA HII. TUTAPOKEZANA KUSOMA MATINI KWA SAUTI. BAADA YA MWALIMU WA KWANZA KUSOMA AYA YA KWANZA, ATAMWITA MWALIMU MWINGINE KWA KINA ILI ASOME AYA INAYOFUATA.
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 18
kuhakikisha kuwa umetoa muda wa kutosha wa kufikiria na kutoa jibu. Mara nyingi ni vigumu mwalimu kutoa muda huu wa kusubiri, lakini unaweza kuwa wa thamani. Vile vile ni muhimu kufafanua maswali au kuwapa maelekezo zaidi. i muhimu kwa wanafunzi wenye shida ya kujifunza kukuza uwezo wa kujiamini. akikisha unawasaidia kufikia jibu sahihi.
Jadili katika kikundi dakika 5
Kwa wastani, kuna wanafunzi wangapi wanaopata shida ya kujifunza darasani kwako nafikiri ni mikakati ipi kati ya hiyo inaweza kuwasaidia kufanya vizuri e, kuna mikakati mingine unayoweza kutumia kusaidia wanafunzi wanaopata shida kujifunza
adiliana na walimu wenzako.
Jadili katika kikundi dakika 5
WAAMBIE WALIMU: SASA ANGALIA MASWALI YA KUJADILI. TUTAPOKEZANA KUSOMA KILA SWALI, KISHA KUSHIRIKISHANA MAWAZO YETU KUHUSU MASWALI HAYO. HATUHITAJI KUANDIKA. HILI NI ZOEZI LA KUONGEA TU.
TATHMINI BINAFSI TATHMINI BINAFSI
Andika dakika 5 Tafadhali kamilisha tathmini binafsi ifuatayo. Weka katika nafasi husika kuonesha kwa kiasi gani unatumia
mkakati huo K TIK K . I TI : Tathmini hii binafsi ni ya kwako mwenyewe huhitaji kumshirikisha mtu yeyote na ni njia ya kujichunguza kuona uwezo ulionao na ni maeneo gani unahitaji kujiimarisha katika utendaji wako.
Tathmini na Mikakati ya Kusaidia Sielewi Naelewa lakini sifanyi
Nafanya lakini naweza
kufanya izuri zadi
Nafanya izuri sana
atengeneza na kutoa aina mbalimbali za tathmini tamati kufuatilia uelewa wa wanafunzi.
atengeneza na kutoa aina mbalimbali za tathmini endelezi kufuatilia uelewa wa wanafunzi.
arekebisha ufundishaji wangu kulingana na matokeo ya tathmini na ninarudia kufundisha maudhui ya mada inapobidi.
atoa muda wa ziada wa kusubiri kwa wanafunzi wanaopata shida kujifunza wakati wanapojibu maswali au wanapokamilisha kazi.
ajitahidi kujenga uwezo wa kujiamini wa wanafunzi wanaopata shida ya kujifunza ili wasijione ni wajinga.
Wakati wa kuuliza maswali darasani, nachagua wanafunzi tofauti tofauti na siyo lazima wale wanaonyoosha mikono yao kwanza.
abaini wanafunzi wanaopata shida kujifunza na kuweka mikakati ya kuwasaidia.
Andika dakika 5
WAAMBIE WALIMU:
SASA TUTAJIPIMA WENYEWE KWA KUTOKANA NA MIKAKATI TULIYOJADILI LEO. KATIKA KITENDO HIKI UTAWEKA ALAMA KATIKA KISANDUKU KINACHOSHABIHIANA NA KIASI UNACHOTUMIA MIKAKATI WA TATHMINI AU MKAKATI WA MSAADA. HII TATHMINI BINAFSI NI YAKO MWENYEWE. HUHITAJI KUMSHIRIKISHA MTU YEYOTE. NI NJIA YA KUJIPIMA UWEZO WAKO NA KUONA KILE AMBACHO UNGEPENDA KUJIIMARISHA KATIKA UTENDAJI WAKO. Wape moyo walimu wakamilishe zoezi hili wenyewe kwa uaminifu.
kuhakikisha kuwa umetoa muda wa kutosha wa kufikiria na kutoa jibu. Mara nyingi ni vigumu mwalimu kutoa muda huu wa kusubiri, lakini unaweza kuwa wa thamani. Vile vile ni muhimu kufafanua maswali au kuwapa maelekezo zaidi. i muhimu kwa wanafunzi wenye shida ya kujifunza kukuza uwezo wa kujiamini. akikisha unawasaidia kufikia jibu sahihi.
Jadili katika kikundi dakika 5
Kwa wastani, kuna wanafunzi wangapi wanaopata shida ya kujifunza darasani kwako nafikiri ni mikakati ipi kati ya hiyo inaweza kuwasaidia kufanya vizuri e, kuna mikakati mingine unayoweza kutumia kusaidia wanafunzi wanaopata shida kujifunza
adiliana na walimu wenzako.
Jadili katika kikundi dakika 5
WAAMBIE WALIMU: SASA ANGALIA MASWALI YA KUJADILI. TUTAPOKEZANA KUSOMA KILA SWALI, KISHA KUSHIRIKISHANA MAWAZO YETU KUHUSU MASWALI HAYO. HATUHITAJI KUANDIKA. HILI NI ZOEZI LA KUONGEA TU.
TATHMINI BINAFSI TATHMINI BINAFSI
Andika dakika 5 Tafadhali kamilisha tathmini binafsi ifuatayo. Weka katika nafasi husika kuonesha kwa kiasi gani unatumia
mkakati huo K TIK K . I TI : Tathmini hii binafsi ni ya kwako mwenyewe huhitaji kumshirikisha mtu yeyote na ni njia ya kujichunguza kuona uwezo ulionao na ni maeneo gani unahitaji kujiimarisha katika utendaji wako.
Tathmini na Mikakati ya Kusaidia Sielewi Naelewa lakini sifanyi
Nafanya lakini naweza
kufanya izuri zadi
Nafanya izuri sana
atengeneza na kutoa aina mbalimbali za tathmini tamati kufuatilia uelewa wa wanafunzi.
atengeneza na kutoa aina mbalimbali za tathmini endelezi kufuatilia uelewa wa wanafunzi.
arekebisha ufundishaji wangu kulingana na matokeo ya tathmini na ninarudia kufundisha maudhui ya mada inapobidi.
atoa muda wa ziada wa kusubiri kwa wanafunzi wanaopata shida kujifunza wakati wanapojibu maswali au wanapokamilisha kazi.
ajitahidi kujenga uwezo wa kujiamini wa wanafunzi wanaopata shida ya kujifunza ili wasijione ni wajinga.
Wakati wa kuuliza maswali darasani, nachagua wanafunzi tofauti tofauti na siyo lazima wale wanaonyoosha mikono yao kwanza.
abaini wanafunzi wanaopata shida kujifunza na kuweka mikakati ya kuwasaidia.
Andika dakika 5
WAAMBIE WALIMU:
SASA TUTAJIPIMA WENYEWE KWA KUTOKANA NA MIKAKATI TULIYOJADILI LEO. KATIKA KITENDO HIKI UTAWEKA ALAMA KATIKA KISANDUKU KINACHOSHABIHIANA NA KIASI UNACHOTUMIA MIKAKATI WA TATHMINI AU MKAKATI WA MSAADA. HII TATHMINI BINAFSI NI YAKO MWENYEWE. HUHITAJI KUMSHIRIKISHA MTU YEYOTE. NI NJIA YA KUJIPIMA UWEZO WAKO NA KUONA KILE AMBACHO UNGEPENDA KUJIIMARISHA KATIKA UTENDAJI WAKO. Wape moyo walimu wakamilishe zoezi hili wenyewe kwa uaminifu.
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 19
kuhakikisha kuwa umetoa muda wa kutosha wa kufikiria na kutoa jibu. Mara nyingi ni vigumu mwalimu kutoa muda huu wa kusubiri, lakini unaweza kuwa wa thamani. Vile vile ni muhimu kufafanua maswali au kuwapa maelekezo zaidi. i muhimu kwa wanafunzi wenye shida ya kujifunza kukuza uwezo wa kujiamini. akikisha unawasaidia kufikia jibu sahihi.
Jadili katika kikundi dakika 5
Kwa wastani, kuna wanafunzi wangapi wanaopata shida ya kujifunza darasani kwako nafikiri ni mikakati ipi kati ya hiyo inaweza kuwasaidia kufanya vizuri e, kuna mikakati mingine unayoweza kutumia kusaidia wanafunzi wanaopata shida kujifunza
adiliana na walimu wenzako.
Jadili katika kikundi dakika 5
WAAMBIE WALIMU: SASA ANGALIA MASWALI YA KUJADILI. TUTAPOKEZANA KUSOMA KILA SWALI, KISHA KUSHIRIKISHANA MAWAZO YETU KUHUSU MASWALI HAYO. HATUHITAJI KUANDIKA. HILI NI ZOEZI LA KUONGEA TU.
TATHMINI BINAFSI TATHMINI BINAFSI
Andika dakika 5 Tafadhali kamilisha tathmini binafsi ifuatayo. Weka katika nafasi husika kuonesha kwa kiasi gani unatumia
mkakati huo K TIK K . I TI : Tathmini hii binafsi ni ya kwako mwenyewe huhitaji kumshirikisha mtu yeyote na ni njia ya kujichunguza kuona uwezo ulionao na ni maeneo gani unahitaji kujiimarisha katika utendaji wako.
Tathmini na Mikakati ya Kusaidia Sielewi Naelewa lakini sifanyi
Nafanya lakini naweza
kufanya izuri zadi
Nafanya izuri sana
atengeneza na kutoa aina mbalimbali za tathmini tamati kufuatilia uelewa wa wanafunzi.
atengeneza na kutoa aina mbalimbali za tathmini endelezi kufuatilia uelewa wa wanafunzi.
arekebisha ufundishaji wangu kulingana na matokeo ya tathmini na ninarudia kufundisha maudhui ya mada inapobidi.
atoa muda wa ziada wa kusubiri kwa wanafunzi wanaopata shida kujifunza wakati wanapojibu maswali au wanapokamilisha kazi.
ajitahidi kujenga uwezo wa kujiamini wa wanafunzi wanaopata shida ya kujifunza ili wasijione ni wajinga.
Wakati wa kuuliza maswali darasani, nachagua wanafunzi tofauti tofauti na siyo lazima wale wanaonyoosha mikono yao kwanza.
abaini wanafunzi wanaopata shida kujifunza na kuweka mikakati ya kuwasaidia.
Andika dakika 5
WAAMBIE WALIMU:
SASA TUTAJIPIMA WENYEWE KWA KUTOKANA NA MIKAKATI TULIYOJADILI LEO. KATIKA KITENDO HIKI UTAWEKA ALAMA KATIKA KISANDUKU KINACHOSHABIHIANA NA KIASI UNACHOTUMIA MIKAKATI WA TATHMINI AU MKAKATI WA MSAADA. HII TATHMINI BINAFSI NI YAKO MWENYEWE. HUHITAJI KUMSHIRIKISHA MTU YEYOTE. NI NJIA YA KUJIPIMA UWEZO WAKO NA KUONA KILE AMBACHO UNGEPENDA KUJIIMARISHA KATIKA UTENDAJI WAKO. Wape moyo walimu wakamilishe zoezi hili wenyewe kwa uaminifu.
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 20
KUPANGA MKAKATI
KUPANGA MKAKATI
Kupanga Kipindi ha Kusoma na Kuandika dakika 15
Ili kuimarisha uwezo wa wanafunzi wa kusoma, ni muhimu walimu waweze kutumia mbinu mpya za kusoma na kuandika ambazo wamejifunza katika MWK. Vile vile ni muhimu wanafunzi wapate muda maalumu wa kusoma. ii ndiyo maana ni muhimu kuwa na kipindi cha kusoma na kuandika mara moja kwa juma kando ya kipindi cha Kiswahili . Pamoja na kuwa shughuli zinazofuata hazina uhusiano mahususi katika kusoma na kuandika zinaweza kutumika kutathmini na kusaidia wanafunzi katika darasa lolote na somo lolote lakini zitasaidia katika kufundisha wanafunzi kusoma. Tafadhali jaribu kutumia shughuli hizi katika kipindi chako cha kusoma na kuandika.
Kitendo ha Matumizi : Tathmini ya Kuokota kwa Kubahatisha Maandalizi
Kabla ya siku ya somo, waagize wanafunzi walete vitu vidogo vilivyoandikwa majina yao kifuniko cha chupa, kipande cha kasha, au kipande cha jiwe chenye uso laini . Vitu vya kudumu vinaweza kutumika mwaka mzima lakini karatasi zinaweza kutumika vile vile.
Tafuta mkoba, kasha au ndoo kwa ajili ya kuwekea vitu vya wanafunzi. Tayarisha orodha ya maswali ya kutathmini ujifunzaji wa wanafunzi katika mada ambayo unafundisha au ambayo umeifundisha karibuni. iandae kuuliza wanafunzi maswali yapatayo 1 2 .
Kitendo Muhimu cha fundishaji
1 Waambie wanafunzi kwamba kutakuwa na mapitio ya kujifunza. Waeleze kuwa utaokota jina kwa kubahatisha, na mwanafunzi mwenye jina hilo lazima ajibu swali atakalopewa. Wasisitizie kuwa yeyote anaweza kuitwa jina kwa hivyo wasikilize kwa makini wakati wote.
2 nza kitendo, lakini hakikisha unawapa wanafunzi sekunde chache za kusubiri kabla ya kujibu swali. Kama wanashindwa kupata jibu, angalia kama unaweza kuwadokezea ili wafikie jibu sahihi. Vile vile unaweza kuchagua mwanafunzi mwingine adokeze jibu. .
3 aada ya swali, tumia dakika chache kuelezea jibu sahihi. ii ni nafasi nyingine ya kujifunza maudhui kwa wanafunzi wanaopata shida kujifunza.
Matendo
1 Katika vikundi vidogo au dawati kwa dawati wanafunzi wafanye kwa pamoja kitendo cha kuokota kwa kubahatisha. Kila mmoja aandike jina lake katika kikaratasi. aada ya hapo wanabadilishana kuwa mwalimu na kuokota jina la kujibu mojawapo ya maswali ya mapitio. Wanaweza kurudia maswali ya mwalimu au kufikiria maswali yao mengine ya mapitio.
2 unguka darasani kufuatilia wanafunzi. Weka kumbukumbu ya mada ambazo zinaonekana zina utata kwa wanafunzi wengi na ambazo zitahitaji kufundishwa upya.
Kupanga Kipindi ha Kusoma na Kuandika dakika 15
WAAMBIE WALIMU:
SASA TUTASOMA KUHUSU ITNDO YA TATHMINI NA MSAADA AMBA YO NI MUHIMU KU IJARIBU DARASANI MWETU. INAFANANA NA ITENDO ULI YOFANYA LEO. KITENDO KIMOJA WAPO KINAJUSU KUCHAGUA WANAFUNZI WA KUJIBU MASWALI KWA KUBAHATISHA NA NYINGINE INAJUSU KUWEKA WANAFUNZI KATIKA JOZI WASAIDIANE. JEBU TOPOKEZANE KUSOMA MATINI KWA SAUTI.
BAADA YA MWALIMU WA KWANZA KUKAMILISHA ATAMWITA MWALIMU MWINGINE KWA JINA ILI ASOME AYA INAYOFUATA.
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 21
KUPANGA MKAKATI
KUPANGA MKAKATI
Kupanga Kipindi ha Kusoma na Kuandika dakika 15
Ili kuimarisha uwezo wa wanafunzi wa kusoma, ni muhimu walimu waweze kutumia mbinu mpya za kusoma na kuandika ambazo wamejifunza katika MWK. Vile vile ni muhimu wanafunzi wapate muda maalumu wa kusoma. ii ndiyo maana ni muhimu kuwa na kipindi cha kusoma na kuandika mara moja kwa juma kando ya kipindi cha Kiswahili . Pamoja na kuwa shughuli zinazofuata hazina uhusiano mahususi katika kusoma na kuandika zinaweza kutumika kutathmini na kusaidia wanafunzi katika darasa lolote na somo lolote lakini zitasaidia katika kufundisha wanafunzi kusoma. Tafadhali jaribu kutumia shughuli hizi katika kipindi chako cha kusoma na kuandika.
Kitendo ha Matumizi : Tathmini ya Kuokota kwa Kubahatisha Maandalizi
Kabla ya siku ya somo, waagize wanafunzi walete vitu vidogo vilivyoandikwa majina yao kifuniko cha chupa, kipande cha kasha, au kipande cha jiwe chenye uso laini . Vitu vya kudumu vinaweza kutumika mwaka mzima lakini karatasi zinaweza kutumika vile vile.
Tafuta mkoba, kasha au ndoo kwa ajili ya kuwekea vitu vya wanafunzi. Tayarisha orodha ya maswali ya kutathmini ujifunzaji wa wanafunzi katika mada ambayo unafundisha au ambayo umeifundisha karibuni. iandae kuuliza wanafunzi maswali yapatayo 1 2 .
Kitendo Muhimu cha fundishaji
1 Waambie wanafunzi kwamba kutakuwa na mapitio ya kujifunza. Waeleze kuwa utaokota jina kwa kubahatisha, na mwanafunzi mwenye jina hilo lazima ajibu swali atakalopewa. Wasisitizie kuwa yeyote anaweza kuitwa jina kwa hivyo wasikilize kwa makini wakati wote.
2 nza kitendo, lakini hakikisha unawapa wanafunzi sekunde chache za kusubiri kabla ya kujibu swali. Kama wanashindwa kupata jibu, angalia kama unaweza kuwadokezea ili wafikie jibu sahihi. Vile vile unaweza kuchagua mwanafunzi mwingine adokeze jibu. .
3 aada ya swali, tumia dakika chache kuelezea jibu sahihi. ii ni nafasi nyingine ya kujifunza maudhui kwa wanafunzi wanaopata shida kujifunza.
Matendo
1 Katika vikundi vidogo au dawati kwa dawati wanafunzi wafanye kwa pamoja kitendo cha kuokota kwa kubahatisha. Kila mmoja aandike jina lake katika kikaratasi. aada ya hapo wanabadilishana kuwa mwalimu na kuokota jina la kujibu mojawapo ya maswali ya mapitio. Wanaweza kurudia maswali ya mwalimu au kufikiria maswali yao mengine ya mapitio.
2 unguka darasani kufuatilia wanafunzi. Weka kumbukumbu ya mada ambazo zinaonekana zina utata kwa wanafunzi wengi na ambazo zitahitaji kufundishwa upya.
Kupanga Kipindi ha Kusoma na Kuandika dakika 15
WAAMBIE WALIMU:
SASA TUTASOMA KUHUSU ITNDO YA TATHMINI NA MSAADA AMBA YO NI MUHIMU KU IJARIBU DARASANI MWETU. INAFANANA NA ITENDO ULI YOFANYA LEO. KITENDO KIMOJA WAPO KINAJUSU KUCHAGUA WANAFUNZI WA KUJIBU MASWALI KWA KUBAHATISHA NA NYINGINE INAJUSU KUWEKA WANAFUNZI KATIKA JOZI WASAIDIANE. JEBU TOPOKEZANE KUSOMA MATINI KWA SAUTI.
BAADA YA MWALIMU WA KWANZA KUKAMILISHA ATAMWITA MWALIMU MWINGINE KWA JINA ILI ASOME AYA INAYOFUATA.
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 22
Kitendo ha Matumizi : Wawili wawili Kimkakati Maandalizi
Waambie wanafunzi kwamba, lengo la somo la leo ni kuwafanya wanafunzi kufanya kazi katika jozi wawili wawili na mwenzake ambaye hawafahamiani vizuri. engo lingine ni kujenga timu nzuri ambapo mmoja wao anaweza kusaidia mwenzake inapohitajika.
Mwalimu utaanza mchakato wa kuwaweka wanafunzi wawili wawili. nza kwa kuwaweka mbele ya darasa wanafunzi wanaopata shida kujifunza. ii itahakikisha kwamba, wanaona ubao vizuri na kusikia maelezo vizuri. aada ya hapa, waweke pia wanafunzi wanaojiweza mbele ya darasa na kuhakikisha kila jozi ina mwanafunzi
anayejiweza na mwanafunzi ambaye anapata shida kujifunza. aada ya kupata jozi hizo, wanafunzi wengine wakae katika jozi na wenzao ambao hawafahamiani vizuri au kukaa pamoja.
Waeleze wanafunzi wote kwamba, lengo ni kusaidia wenzao wakati wa somo. ata hivyo, wawasaidie wenzao pale inapohitajika.
Kitendo muhimu cha ufundishaji:
1 Waambie wanafunzi kwamba, utafundisha mtoto wa shule ya awali kupiga mswaki meno yake. Kwa hivyo itabidi utoe maelekezo fasaha na kueleza namna ya kufanya kwa usahihi.
2 Waambie wanafunzi kwamba, hatua ya kwanza wakati wa kupiga mswaki meno yako ni kuchukua mswaki. Kisha andika sentensi hiyo katika ubao wakati unasema kila neno unavyoendelea kuandika. Mfano:
3 Waulize wanafunzi wakueleze hatua inayofuata. ndika hatua hiyo ubaoni.
4 ndelea kuuliza wanafunzi hatua inayofuata na andika kila hatua katika ubao. 5 aada ya kuandika hatua zote katika ubao, soma maandiko hayo kwa sauti mbele ya darasa wakati huo huo unaonesha kila neno unalosoma. Matendo inafsi
Wanafunzi wa Darasa la : Waambie wanafunzi wasome maelekezo katika ubao pamoja na wenzao katika jozi. aada ya hapo watachora picha kwa kila hatua Mfano, picha ya kwanza itaonesha mtoto akichukua mswaki . Waambie wanafunzi kwamba, wanaweza kuwaomba wenzao kuwasaidia kuelewa hatua yeyote iliyoandikwa katika ubao kama hawawezi kusoma ubaoni au hawakumbuki.
Darasa la : uta neno moja katika kila sentensi. Waambie wanafunzi waandike upya maelekezo katika madaftari yao na kuweka maneno yanayokosekana. Waambie wanafunzi kwamba, wanaweza kuomba msaada kwa wenzao katika jozi kuandika au kukumbuka maneno yeyote ambayo yanawatatiza.
Darasa la : uta hatua zote. Waambie wanafunzi waandike upya maelekezo wanayoyakumbuka. Waambie wanafunzi kwamba wanaweza kuomba msaada kwa wenzao katika jozi kukumbuka hatua yeyote au kutamka herufi moja moja katika neno lolote.
Kitendo ha Matumizi : Wawili wawili Kimkakati Maandalizi Kitendo muhimu cha ufundishaji: Matendo inafsi
2. Weka dawa ya mswaki katika mswaki.
1. Chukua mswaki
Kitendo ha Matumizi : Wawili wawili Kimkakati Maandalizi
Waambie wanafunzi kwamba, lengo la somo la leo ni kuwafanya wanafunzi kufanya kazi katika jozi wawili wawili na mwenzake ambaye hawafahamiani vizuri. engo lingine ni kujenga timu nzuri ambapo mmoja wao anaweza kusaidia mwenzake inapohitajika.
Mwalimu utaanza mchakato wa kuwaweka wanafunzi wawili wawili. nza kwa kuwaweka mbele ya darasa wanafunzi wanaopata shida kujifunza. ii itahakikisha kwamba, wanaona ubao vizuri na kusikia maelezo vizuri. aada ya hapa, waweke pia wanafunzi wanaojiweza mbele ya darasa na kuhakikisha kila jozi ina mwanafunzi
anayejiweza na mwanafunzi ambaye anapata shida kujifunza. aada ya kupata jozi hizo, wanafunzi wengine wakae katika jozi na wenzao ambao hawafahamiani vizuri au kukaa pamoja.
Waeleze wanafunzi wote kwamba, lengo ni kusaidia wenzao wakati wa somo. ata hivyo, wawasaidie wenzao pale inapohitajika.
Kitendo muhimu cha ufundishaji:
1 Waambie wanafunzi kwamba, utafundisha mtoto wa shule ya awali kupiga mswaki meno yake. Kwa hivyo itabidi utoe maelekezo fasaha na kueleza namna ya kufanya kwa usahihi.
2 Waambie wanafunzi kwamba, hatua ya kwanza wakati wa kupiga mswaki meno yako ni kuchukua mswaki. Kisha andika sentensi hiyo katika ubao wakati unasema kila neno unavyoendelea kuandika. Mfano:
3 Waulize wanafunzi wakueleze hatua inayofuata. ndika hatua hiyo ubaoni.
4 ndelea kuuliza wanafunzi hatua inayofuata na andika kila hatua katika ubao. 5 aada ya kuandika hatua zote katika ubao, soma maandiko hayo kwa sauti mbele ya darasa wakati huo huo unaonesha kila neno unalosoma. Matendo inafsi
Wanafunzi wa Darasa la : Waambie wanafunzi wasome maelekezo katika ubao pamoja na wenzao katika jozi. aada ya hapo watachora picha kwa kila hatua Mfano, picha ya kwanza itaonesha mtoto akichukua mswaki . Waambie wanafunzi kwamba, wanaweza kuwaomba wenzao kuwasaidia kuelewa hatua yeyote iliyoandikwa katika ubao kama hawawezi kusoma ubaoni au hawakumbuki.
Darasa la : uta neno moja katika kila sentensi. Waambie wanafunzi waandike upya maelekezo katika madaftari yao na kuweka maneno yanayokosekana. Waambie wanafunzi kwamba, wanaweza kuomba msaada kwa wenzao katika jozi kuandika au kukumbuka maneno yeyote ambayo yanawatatiza.
Darasa la : uta hatua zote. Waambie wanafunzi waandike upya maelekezo wanayoyakumbuka. Waambie wanafunzi kwamba wanaweza kuomba msaada kwa wenzao katika jozi kukumbuka hatua yeyote au kutamka herufi moja moja katika neno lolote.
Kitendo ha Matumizi : Wawili wawili Kimkakati Maandalizi Kitendo muhimu cha ufundishaji: Matendo inafsi
2. Weka dawa ya mswaki katika mswaki.
1. Chukua mswaki
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 23
Kitendo ha Matumizi : Wawili wawili Kimkakati Maandalizi
Waambie wanafunzi kwamba, lengo la somo la leo ni kuwafanya wanafunzi kufanya kazi katika jozi wawili wawili na mwenzake ambaye hawafahamiani vizuri. engo lingine ni kujenga timu nzuri ambapo mmoja wao anaweza kusaidia mwenzake inapohitajika.
Mwalimu utaanza mchakato wa kuwaweka wanafunzi wawili wawili. nza kwa kuwaweka mbele ya darasa wanafunzi wanaopata shida kujifunza. ii itahakikisha kwamba, wanaona ubao vizuri na kusikia maelezo vizuri. aada ya hapa, waweke pia wanafunzi wanaojiweza mbele ya darasa na kuhakikisha kila jozi ina mwanafunzi
anayejiweza na mwanafunzi ambaye anapata shida kujifunza. aada ya kupata jozi hizo, wanafunzi wengine wakae katika jozi na wenzao ambao hawafahamiani vizuri au kukaa pamoja.
Waeleze wanafunzi wote kwamba, lengo ni kusaidia wenzao wakati wa somo. ata hivyo, wawasaidie wenzao pale inapohitajika.
Kitendo muhimu cha ufundishaji:
1 Waambie wanafunzi kwamba, utafundisha mtoto wa shule ya awali kupiga mswaki meno yake. Kwa hivyo itabidi utoe maelekezo fasaha na kueleza namna ya kufanya kwa usahihi.
2 Waambie wanafunzi kwamba, hatua ya kwanza wakati wa kupiga mswaki meno yako ni kuchukua mswaki. Kisha andika sentensi hiyo katika ubao wakati unasema kila neno unavyoendelea kuandika. Mfano:
3 Waulize wanafunzi wakueleze hatua inayofuata. ndika hatua hiyo ubaoni.
4 ndelea kuuliza wanafunzi hatua inayofuata na andika kila hatua katika ubao. 5 aada ya kuandika hatua zote katika ubao, soma maandiko hayo kwa sauti mbele ya darasa wakati huo huo unaonesha kila neno unalosoma. Matendo inafsi
Wanafunzi wa Darasa la : Waambie wanafunzi wasome maelekezo katika ubao pamoja na wenzao katika jozi. aada ya hapo watachora picha kwa kila hatua Mfano, picha ya kwanza itaonesha mtoto akichukua mswaki . Waambie wanafunzi kwamba, wanaweza kuwaomba wenzao kuwasaidia kuelewa hatua yeyote iliyoandikwa katika ubao kama hawawezi kusoma ubaoni au hawakumbuki.
Darasa la : uta neno moja katika kila sentensi. Waambie wanafunzi waandike upya maelekezo katika madaftari yao na kuweka maneno yanayokosekana. Waambie wanafunzi kwamba, wanaweza kuomba msaada kwa wenzao katika jozi kuandika au kukumbuka maneno yeyote ambayo yanawatatiza.
Darasa la : uta hatua zote. Waambie wanafunzi waandike upya maelekezo wanayoyakumbuka. Waambie wanafunzi kwamba wanaweza kuomba msaada kwa wenzao katika jozi kukumbuka hatua yeyote au kutamka herufi moja moja katika neno lolote.
Kitendo ha Matumizi : Wawili wawili Kimkakati Maandalizi Kitendo muhimu cha ufundishaji: Matendo inafsi
4 ndelea kuuliza wanafunzi hatua inayofuata na andika kila hatua katika ubao.
2. Weka dawa ya mswaki katika mswaki.
1. Chukua mswaki
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 24
Jadili na mwenzako dakika 15
Wewe na mwenzako, jadili namna unavyoweza kuingiza vitendo hivyo viwili katika andalio lako la somo katika vipindi viwili vijavyo vya kusoma na kuandika. Tafadhali andika mawazo yako, hasa namna utakavyotumia vitendo hivyo kulingana na kiwango cha darasa lako darasa la 1, 2 au 3 . aada ya majadiliano, wasilisha katika kikundi cha wote.
Mwisho dakika 5
ibu maswali yafuatayo mwenyewe.
K
K
Jadili na mwenzako dakika 15
WAAMBIE WALIMU: SASA NINGEPENDA UJADILIANE NA MWENZAKO NI KWA NAMNA GANI
UTAININGIZA KAZI HIZO MBILI KATIKA KIPINDI CHA WIKI CHA KUSOMA NA KUANDIKA. UNA DAKIKA 5 ZA KUKAMISHA ZOEZI HILI KISHA MTAJADILIANA KATIKA KIKUNDI. Baada ta dakika 5, waambie walimu wasiendelee na kisha muanze majadiliano
Mwisho dakika 5
WAAMBIE WALIMU:
TUMEFIKA MWISHO WA MODULI YA PILI, UNA DAKIKA 5 ZA KUFANYA TAFAKARI KUHUSU MODULI. ANDIKA MAJIBU YAKO KWA UHURU.
Wakati walimu wakijabu maswali, andika taarifa kuhusu mada itakayofuata ubaoni .
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 25
Jadili na mwenzako dakika 15
Wewe na mwenzako, jadili namna unavyoweza kuingiza vitendo hivyo viwili katika andalio lako la somo katika vipindi viwili vijavyo vya kusoma na kuandika. Tafadhali andika mawazo yako, hasa namna utakavyotumia vitendo hivyo kulingana na kiwango cha darasa lako darasa la 1, 2 au 3 . aada ya majadiliano, wasilisha katika kikundi cha wote.
Mwisho dakika 5
ibu maswali yafuatayo mwenyewe.
K
K
Jadili na mwenzako dakika 15
WAAMBIE WALIMU: SASA NINGEPENDA UJADILIANE NA MWENZAKO NI KWA NAMNA GANI
UTAININGIZA KAZI HIZO MBILI KATIKA KIPINDI CHA WIKI CHA KUSOMA NA KUANDIKA. UNA DAKIKA 5 ZA KUKAMISHA ZOEZI HILI KISHA MTAJADILIANA KATIKA KIKUNDI. Baada ta dakika 5, waambie walimu wasiendelee na kisha muanze majadiliano
Mwisho dakika 5
WAAMBIE WALIMU:
TUMEFIKA MWISHO WA MODULI YA PILI, UNA DAKIKA 5 ZA KUFANYA TAFAKARI KUHUSU MODULI. ANDIKA MAJIBU YAKO KWA UHURU.
Wakati walimu wakijabu maswali, andika taarifa kuhusu mada itakayofuata ubaoni .
Jadili na mwenzako dakika 15
Wewe na mwenzako, jadili namna unavyoweza kuingiza vitendo hivyo viwili katika andalio lako la somo katika vipindi viwili vijavyo vya kusoma na kuandika. Tafadhali andika mawazo yako, hasa namna utakavyotumia vitendo hivyo kulingana na kiwango cha darasa lako darasa la 1, 2 au 3 . aada ya majadiliano, wasilisha katika kikundi cha wote.
Mwisho dakika 5
ibu maswali yafuatayo mwenyewe.
K
K
Jadili na mwenzako dakika 15
WAAMBIE WALIMU: SASA NINGEPENDA UJADILIANE NA MWENZAKO NI KWA NAMNA GANI
UTAININGIZA KAZI HIZO MBILI KATIKA KIPINDI CHA WIKI CHA KUSOMA NA KUANDIKA. UNA DAKIKA 5 ZA KUKAMISHA ZOEZI HILI KISHA MTAJADILIANA KATIKA KIKUNDI. Baada ta dakika 5, waambie walimu wasiendelee na kisha muanze majadiliano
Mwisho dakika 5
WAAMBIE WALIMU:
TUMEFIKA MWISHO WA MODULI YA PILI, UNA DAKIKA 5 ZA KUFANYA TAFAKARI KUHUSU MODULI. ANDIKA MAJIBU YAKO KWA UHURU.
Wakati walimu wakijabu maswali, andika taarifa kuhusu mada itakayofuata ubaoni .
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 26
Andika taarifa ya kipindi kija ho
Mada:
Tarehe na Muda:
Mahali:
Kupima Utendaji Kazi dakika 5
Tafadhali tafakari jinsi mratibu wa MWK alivyofanya kazi leo. aza fomu ifuatayo kwa ajili ya kumbukumbu ya upimaji wako. omu hii itakusanywa na Timu ya Wilaya ya MWK na Kamati za limu za Kata kwa ajili ya kuwasaidia waratibu wa MWK. Mwongozo wa kutoa alama kupima utendaji kazi wa Waratibu wa MWK: Alama : ajaweza kabisa
Alama : meweza kidogo
Alama : meweza kiasi cha kuridhisha
Alama : meweza vizuri sana
Mratibu wa MWK hajaweza kufanya yale yaliyoorodheshwa
Mratibu wa MWK ameweza kidogo kufanya yale yaliyoorodheshwa
Mratibu wa MWK ameweza kufanya kwa kiwango cha kuridhisha yale yaliyoorodheshwa
Mratibu wa MWK ameweza kufanya vizuri sana yale yaliyoorodheshwa
Kazi zilizotekelezwa wakati wa kipindi ha Mafunzo Kazini:
1. Maandalizi: Mratibu wa mafunzo amejiandaa kwa kipindi – amesoma vizuri moduli na ameandaa vifaa vyote vya kufundishia
2. Uwezeshaji: Mratibu wa mafunzo anasimamia vizuri majadiliano – anajua jinsi ya kuwafanya watu wajieleze na namna ya kupata majibu
3. Uwezeshaji: Mratibu wa mafunzo anajua namna ya kusimamia makundi – anahakikisha kuwa walimu wanatoa ushirikiano, wanashirikiana na wana hamasika
4. Kuelekeza na kushauri: Mratibu wa mafunzo anajua jinsi ya kuwahamasisha walimu – anafuatilia kujua waliokosa vipindi au kuchelewa na kutukumbusha kwanini mafunzo kazini ni muhimu kwetu
Kuelekezana kushauri : Mratibu wa mafunzo anatoa ushirikiano – anafuatilia maendeleo yetu kujua kama tunatumia mbinu mpya darasani na anatusaidia pale anapoona tuna tatizo
lama za jumla: /15 1
ANDIKA UBAONI, TAARIFA YA KIPINDI KIJACHO
Mada:
Tarehe na Muda:
Mahali:
Kupima Utendaji Kazi dakika 5
WAAMBIE WALIMU: MWISHO TUMIA CHATI HII YA MWISHO KUNITHAMINI NAMNA
NILI YOWEZESHA MODULI HII LEO. TAARIFA HIZI ZA TATHMINI ZITAWASILISHWA KWA MWALIMU MKUU KWA AJILI YA KUWASILISHWA KWENYE TIMU YA WILAYA YA MAFUNZO KAZINI KWA AJILI YA KUIMARISHA UENDESHAJI WA MAFUNZO YA WALIMU KAZINI
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 27
Andika taarifa ya kipindi kija ho
Mada:
Tarehe na Muda:
Mahali:
Kupima Utendaji Kazi dakika 5
Tafadhali tafakari jinsi mratibu wa MWK alivyofanya kazi leo. aza fomu ifuatayo kwa ajili ya kumbukumbu ya upimaji wako. omu hii itakusanywa na Timu ya Wilaya ya MWK na Kamati za limu za Kata kwa ajili ya kuwasaidia waratibu wa MWK. Mwongozo wa kutoa alama kupima utendaji kazi wa Waratibu wa MWK: Alama : ajaweza kabisa
Alama : meweza kidogo
Alama : meweza kiasi cha kuridhisha
Alama : meweza vizuri sana
Mratibu wa MWK hajaweza kufanya yale yaliyoorodheshwa
Mratibu wa MWK ameweza kidogo kufanya yale yaliyoorodheshwa
Mratibu wa MWK ameweza kufanya kwa kiwango cha kuridhisha yale yaliyoorodheshwa
Mratibu wa MWK ameweza kufanya vizuri sana yale yaliyoorodheshwa
Kazi zilizotekelezwa wakati wa kipindi ha Mafunzo Kazini:
1. Maandalizi: Mratibu wa mafunzo amejiandaa kwa kipindi – amesoma vizuri moduli na ameandaa vifaa vyote vya kufundishia
2. Uwezeshaji: Mratibu wa mafunzo anasimamia vizuri majadiliano – anajua jinsi ya kuwafanya watu wajieleze na namna ya kupata majibu
3. Uwezeshaji: Mratibu wa mafunzo anajua namna ya kusimamia makundi – anahakikisha kuwa walimu wanatoa ushirikiano, wanashirikiana na wana hamasika
4. Kuelekeza na kushauri: Mratibu wa mafunzo anajua jinsi ya kuwahamasisha walimu – anafuatilia kujua waliokosa vipindi au kuchelewa na kutukumbusha kwanini mafunzo kazini ni muhimu kwetu
Kuelekezana kushauri : Mratibu wa mafunzo anatoa ushirikiano – anafuatilia maendeleo yetu kujua kama tunatumia mbinu mpya darasani na anatusaidia pale anapoona tuna tatizo
lama za jumla: /15 1
ANDIKA UBAONI, TAARIFA YA KIPINDI KIJACHO
Mada:
Tarehe na Muda:
Mahali:
Kupima Utendaji Kazi dakika 5
WAAMBIE WALIMU: MWISHO TUMIA CHATI HII YA MWISHO KUNITHAMINI NAMNA
NILI YOWEZESHA MODULI HII LEO. TAARIFA HIZI ZA TATHMINI ZITAWASILISHWA KWA MWALIMU MKUU KWA AJILI YA KUWASILISHWA KWENYE TIMU YA WILAYA YA MAFUNZO KAZINI KWA AJILI YA KUIMARISHA UENDESHAJI WA MAFUNZO YA WALIMU KAZINI
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 28
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini 29
Mwongozo wa Mratibu wa Mafunzo ya Walimu Kazini