Top Banner
` MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 GHARAMA ZA MIRADI FEDHA ZILIZOTENGWA 2,732,068,741.20 KATA MIRADI ILIYOPELEKWA MABWEPANDE Ujenzi wa nyumba za watumishi wa afya katika Hospitali ya Mabwepande Ujenzi wa jengo la wazazi katika hospitali ya Mabwepande Ukarabati wa Zahanati na kuweka mfumo wa umeme waTanesco katika Zahanati ya Mbopo Ujenzi wa nyumba ya walimu shule ya msingi Mabwepande Ukarabati wa nyumba 4 za walimu shule ya msingi Mabwepande Ukamilishaji wa bweni la wanafunzi Mbopo sekondari Ununuzi wa vitanda na magodoro 100 kwa Bweni la wanafunzi Mbopo sekondari Ujenzi wa maabara 02 Shule ya sekondari Mabwe Tumaini girls Ujenzi wa madarasa 03 shule ya sekondari Mabwepande Tumaini Girls ununuzi wa vifaa vya maabara(2) MABWE SEK ununuzi wa vifaa vya maabara(3) MBOPO SEK ununuzi wa vifaa vya maabara(3) NJECHELE SEK Ununuzi wa madawati 100 kwa shule ya sekondari Mabwepande Tumaini Girls Matengenezo ya Boksi Kalavati Mabwepande - Mji mpya Matengenezo ya Boksi Kalavati Mbopo Ujenzi wa machinjio ya ng’ombe ya kisasa.
22

MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE … · MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MSASANI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,464,300,640.00 KATA MIRADI

Jan 09, 2020

Download

Documents

dariahiddleston
Welcome message from author
This document is posted to help you gain knowledge. Please leave a comment to let me know what you think about it! Share it to your friends and learn new things together.
Transcript
Page 1: MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE … · MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MSASANI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,464,300,640.00 KATA MIRADI

`

MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018

GHARAMA ZA MIRADI FEDHA ZILIZOTENGWA 2,732,068,741.20 KATA MIRADI ILIYOPELEKWA

MABWEPANDE Ujenzi wa nyumba za watumishi wa afya katika Hospitali ya

Mabwepande

Ujenzi wa jengo la wazazi katika hospitali ya Mabwepande Ukarabati wa Zahanati na kuweka mfumo wa umeme waTanesco

katika Zahanati ya Mbopo Ujenzi wa nyumba ya walimu shule ya msingi Mabwepande

Ukarabati wa nyumba 4 za walimu shule ya msingi Mabwepande

Ukamilishaji wa bweni la wanafunzi Mbopo sekondari

Ununuzi wa vitanda na magodoro 100 kwa Bweni la wanafunzi Mbopo

sekondari Ujenzi wa maabara 02 Shule ya sekondari Mabwe Tumaini girls

Ujenzi wa madarasa 03 shule ya sekondari Mabwepande Tumaini Girls

ununuzi wa vifaa vya maabara(2) MABWE SEK

ununuzi wa vifaa vya maabara(3) MBOPO SEK

ununuzi wa vifaa vya maabara(3) NJECHELE SEK

Ununuzi wa madawati 100 kwa shule ya sekondari Mabwepande

Tumaini Girls

Matengenezo ya Boksi Kalavati Mabwepande - Mji mpya

Matengenezo ya Boksi Kalavati Mbopo

Ujenzi wa machinjio ya ng’ombe ya kisasa.

Page 2: MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE … · MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MSASANI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,464,300,640.00 KATA MIRADI

KATA MIRADI ILIYOPELEKWA

Ujenzi wa banda la kuku la mafundisho kwa wafugaji malolo.

Kuendeleza mradi wa kisima cha maji mpiji Mtaa wa Mbopo

Mabwepande Kuboresha huduma ya upatikanaji maji Mabwepande

Kuwezesha ujenzi wa mabweni 2 kwa ajili ya matuizi ya wanafunzi wa

kilimo katika Kituo cha Kilimo Kata ya Mabwepande Kuwezesha vikundi 4 vya vijana kufanya kilimo cha kitalu nyumba

(Green house farming). Kuwezesha ujenzi wa jengo la maabara katika Kituo cha Kilimo Mjini

Malolo Kata ya Mabwepande JUMLA KATA YA MABWEPANDE

Page 3: MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE … · MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MSASANI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,464,300,640.00 KATA MIRADI

MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MSASANI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,464,300,640.00

KATA MIRADI ILIYOPELEKWA

MSASANI Ujenzi wa matundu 16 ya vyoo shule ya msingi Bongoyo Ukarabati wa vyumba 8 vya madarasa shule ya msingi Msasani

A

Ukarabati wa vyumba 7 vya madarasa shule ya msingi

Oysterbay Kufanya ukarabati wa madarasa 08 Oysterbay sekondari

Kusafisha na kupanua mto Feza Ujenzi wa barabara ya Twiga - Rufiji Km 0.5

Matengenezo ya barabara ya Ali Bin Said Avenue Km 0.5

Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Kenyatta Km 1.4

Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Toure Drive Km

5.5 Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Chole Km 3.0

Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Kimweri Km 2.3

Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Kaunda Km 0.75

Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Katoke Km 0.3

Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Karume Km 1.5

Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Yatch Km 0.25

Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Zambia Km 0.3

Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Slipway Km 2.1

Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Haile Selasie Km

5.1

Page 4: MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE … · MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MSASANI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,464,300,640.00 KATA MIRADI

KATA MIRADI ILIYOPELEKWA

Ujenga ofisi ya kata Msasani

Ujenzi wa uzio wa josho la kuogeshea mbwa Oysterbay.

JUMLA KATA YA MSASANI

Page 5: MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE … · MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MSASANI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,464,300,640.00 KATA MIRADI

MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MAKONGO KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 554,089,286.95

KATA MIRADI ILIYOPELEKWA

MAKONGO Ujenzi wa zahanati mpya Makongo Juu Ujenzi wa zahanati mpya Changanyikeni

ununuzi wa vifaa vya maabara(3) LONDA SEK

Matengenezo maalum barabara ya changanyikeni Shule

KM 2.20 Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya

Changanyikeni Km 2.8 JUMLA KATA YA MAKONGO

Page 6: MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE … · MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MSASANI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,464,300,640.00 KATA MIRADI

MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MBEZI JUU KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018

FEDHA ZILIZOTENGWA 447,021,400.00

KATA MIRADI ILIYOPELEKWA

MBEZI JUU Ununuzi wa vifaa vya Wodi ya wazazi zahanati ya Ndumbwi

Ujenzi wa incinerator zahanati ya Ndumbwi

Ununuzi wa madawati 100 kwa shule ya sekondari Mbezi juu

Umaliziaji wa ujenzi wa madarasa 06 shule ya sekondari Mbezi

juu Matengenezo ya Boksi Kalavati Ndumbwi Dispensary

Matengenezo ya Boksi Kalavati Ndumbwi II

kuongeza upatikanaji wa maji safi na salama katika kata ya

Mbezi Juu Kusambaza huduma ya majisafi katika mataa wa SAKUVEDA

Kujenga kisima cha maji Mbezi Juu

JUMLA KATA YA MBEZI JUU

Page 7: MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE … · MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MSASANI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,464,300,640.00 KATA MIRADI

MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA KAWE KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 2,511,014,062.65

KATA MIRADI ILIYOPELEKWA

KAWE

Ujenzi wa matundu 10 ya vyoo shule ya msingi Kawe B Ujenzi wa matundu 10 ya vyoo shule ya msingi Mirambo Ujenzi wa matundu 10 ya vyoo shule ya msingi Mbezi Beach

Ukarabati wa vyumba 2 vya madarasa shule ya msingi Kawe Ukarabati wa vyumba 2 vya madarasa shule ya msingi Kawe B Ukarabati wa vyumba 2 vya madarasa shule ya msingi Lugalo Ukarabati wa vyumba 2 vya madarasa shule ya msingi Mbezi Beach Ukarabati wa vyumba 2 vya madarasa shule ya msingi Mirambo Ukarabati wa vyumba 8 vya madarasa shule ya msingi Tumaini ununuzi wa vifaa vya maabara(01) KAWE SEK Ujenzi wa barabara ya Makonde Km 1.8 Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Lugalo Golf Km 0.8 Ujenzi wa kituo cha mafunzo ya mifugo ya kata ya Kawe.

JUMLA KATA YA KAWE

Page 8: MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE … · MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MSASANI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,464,300,640.00 KATA MIRADI

MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA BUNJU KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 535,329,575.90

KATA MIRADI ILIYOPELEKWA

BUNJU

Ujenzi wa TB DOT Unit eneo la Bunju Ukamilishaji wa vyumba 2 za walimu boko sekondari ununuzi wa vifaa vya maabara(3) BOKO SEK ununuzi wa vifaa vya maabara(3) BUNJU SEK

Ujenzi wa mfereji wa maji ya mvua Basihaya katika kata ya Bunju Matengenezo ya Boksi Kalavati la Burumawe Ujenzi wa mfereji wa maji ya mvua Basihaya katika kata ya Bunju Kukamilisha ujenzi wa madarasa 2 Shule ya msingi Boko Kukarabati ofisi ya Kata,Kata ya Bunju Kuendeleza mradi wa kisima cha maji Boko Chama JUMLA KATA YA BUNJU

Page 9: MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE … · MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MSASANI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,464,300,640.00 KATA MIRADI

MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA KIGOGO KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 836,930,000.00

KATA MIRADI ILIYOPELEKWA

KIGOGO Upanuzi wa Zahanati ya Kigogo

Ujenzi matundu 16 ya vyoo shule ya msingi Mapinduzi Ukarabati wa madarasa 5 shule ya msingi Kigogo

Ukarabati wa madarasa 8 shule ya msingi Mkwawa Ujenzi wa madarasa 3 shule ya sekondari KIGOGO Kusafisha na kupanua mto Kibangu Ujenzi wa Boksi Kalavati Kigogo – Mburahati Kuwezesha ununuzi wa ng’ombe wa maziwa na ujenzi

wa banda la ng’ombe katika shule ya msingi Kigogo JUMLA KATA YA KIGOGO

Page 10: MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE … · MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MSASANI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,464,300,640.00 KATA MIRADI

MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA KUNDUCHI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018

FEDHA ZILIZOTENGWA 3,295,536,573.90 KATA MIRADI ILIYOPELEKWA

KUNDUCHI Ujenzi wa zahanati mpya katika eneo la Kondo Upanuzi wa jengo la OPD - Tegeta ununuzi wa vifaa vya maabara(3) KONDO SEK ununuzi wa vifaa vya maabara(3) MTAKUJA SEK

Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Kunduchi Beach km 1.7 Ujenzi wa barabara ya Tegeta – Nyuki kwa kiwango cha lami km 3.1 Matengenezo ya sehemu korofi ya Generali Maneno km 2.5 Kuwezesha ununuzi wa ng’ombe wa maziwa na ujenzi wa banda la

ng’ombe katika shule ya msingi Ununio kata ya Kunduchi. Kukarabati vituo vya kupokelea samaki vya Ununio na Kunduchi ifikapoa

Juni 2018 Kuwezesha uboreshaji na kupendezesha bustani ya Kawe Mtaa wa

Kilongawima Kata ya Kunduchi katika Manispaa ya Kinondoni

JUMLA KATA YA KUNDUCHI

Page 11: MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE … · MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MSASANI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,464,300,640.00 KATA MIRADI

MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MWANANYAMALA KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 534,744,786.95

KATA MIRADI ILIYOPELEKWA

MWANANYAMALA Ujenzi wa Jengo la bima ya Afya hospitali ya Mwananyamala Ukarabati wa Majengo katika hospitali ya Mwananyamala. Ununuzi wa Generator 1katika hospitali ya Mwananyamala Upanuzi wa Zahanati ya Kambangwa

Ukarabati wa ofisi ya walimu shule ya msingi Msisiri

ununuzi wa vifaa vya maabara(3) KAMBANGWA SEK

Ukarabati wa madarasa 04 shule ya sekondari KAMBANGWA

Ujenzi wa madarasa 04 shule ya sekondari KAMBANGWA

Ujenzi wa mfereji wa maji ya mvua Dunga katika kata ya

Mwananyamala

Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Iringa km 1.8

Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Malanga km

1.4 Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Mwinyijuma km

2.7 Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Kwa Kopa km

0.5

JUMLA KATA YA MWANANYAMALA

Page 12: MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE … · MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MSASANI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,464,300,640.00 KATA MIRADI

MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MAKUMBUSHO KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,617,946,036.95

KATA MIRADI ILIYOPELEKWA

MAKUMBUSHO Ukarabati wa Ofisi ya kata ya Makumbusho

ununuzi wa vifaa vya maabara(3) MAKUMBUSHO

SEK

Ujenzi wa Barabara ya Akachube Km 1.0

Ukarabati wa madarasa 3 shule ya msingi Minazini

Ujenzi wa mfereji wa maji ya mvua Mwananyamala

bwawani hadi mto ng’ombe JUMLA KATA YA MAKUMBUSHO

Page 13: MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE … · MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MSASANI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,464,300,640.00 KATA MIRADI

MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MBWENI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,304,829,573.90

KATA MIRADI ILIYOPELEKWA

MBWENI Ukarabati wa jengo la kujifungulia katika zahanati ya Mbweni

ununuzi wa vifaa vya maabara(3) MBWENI TETA SEK

Ukarabati wa madarasa 03 MBWENI TETA sekondari

Ukarabati wa madarasa 03 MBWENI sekondari

ununuzi wa vifaa vya maabara(3) MBWENI SEK

Matengenezo ya sehemu korofi barabara ya Maputo km 0.5

Matengenezo maalum barabara ya Mbweni Km 1.0

JUMLA KATA YA MBWENI

Page 14: MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE … · MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MSASANI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,464,300,640.00 KATA MIRADI

MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MIKOCHENI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,182,384,786.95

KATA MIRADI ILIYOPELEKWA

MIKOCHENI Ujenzi wa kliniki ya RCH katika eneo la Mikocheni Ukarabati wa madarasa 5 shule ya msingi Mikocheni Ukarabati wa madarasa 3 shule ya msingi Ushindi Ukamilishaji wa madarasa 08 shule ya sekondari Mikocheni

ununuzi wa vifaa vya maabara(3) MIKOCHENI SEK Ununuzi wa madawati 100 kwa shule ya sekondari MIKOCHENI Ujenzi wa maabara 03 Shule ya sekondari Mikocheni Ujenzi wa mfereji wa maji ya mvua Mtaa wa Darajani (TMJ) katika kata

ya Mikocheni Madeni ya Ujenzi wa barabara za zege za migombani na Chwaka Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Garden km 2.6 Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya ITV km 2.3 Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Regent km 0.9 Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Migombani km 1.25 Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Chato km 0.7 Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Mazinde km 0.55 Matengenezo maalum barabara ya Mikocheni ‘B’ km 0.9 Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya viongozi km 2.8

Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Ursino km 0.9 JUMLA KATA YA MIKOCHENI

Page 15: MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE … · MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MSASANI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,464,300,640.00 KATA MIRADI

MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA NDUGUMBI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018

FEDHA ZILIZOTENGWA 527,436,906.95

KATA MIRADI ILIYOPELEKWA

NDUGUMBI Ukarabati wa mfumo wa majitaka katika kituo cha afya

Magomeni Landscaping na ujenzi wa mifereji katika kituo cha afya

magomeni Ukarabati na upanuzi wa chumba cha kujifungulia kituo cha

afya Magomeni

ununuzi wa vifaa vya maabara(3) TURIANI SEK

Ukarabati wa ofisi ya kata,Kata ya Ndugumbi.

Ukarabati wa uzio wa shule ya Turiani

Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Kondoa km 1.5

JUMLA KATA YA NDUGUMBI

Page 16: MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE … · MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MSASANI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,464,300,640.00 KATA MIRADI

MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA WAZO KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 308,222,960.85

KATA MIRADI ILIYOPELEKWA

WAZO Ujenzi wa nyumba ya mtumishi zahanati ya Salasala Ukamilishaji wa nyumba 01 ya mwalimu Twiga Sek

ununuzi wa vifaa vya maabara(3) KISAUKE SEK

ununuzi wa vifaa vya maabara(3) TWIGA SEK

Kufanya ujenzi wa choo shule Mpya ya sekondari Mivumoni SEK

Kufanya ujenzi wa choo shule ya sekondari MAENDELEO SEK

Ukarabati wa madarasa 05 TWIGA sekondari

ununuzi wa vifaa vya maabara(3) MAENDELEO SEK

Ujenzi wa mfereji wa maji ya mvua kutoka Salasala hadi mto

Magwaza kata ya Wazo

Ujenzi wa mfereji wa maji ya mvua kutoka Salasala hadi mto

Magwaza kata ya Wazo

Matengenezo ya sehemu korofi barabara ya Mboma km 2.2

Kufanya matengenezo ya magari 2 na usimamizi wa miradi

iliyoachwa na wafadhili Good Neighbours

JUMLA KATA YA WAZO

Page 17: MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE … · MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MSASANI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,464,300,640.00 KATA MIRADI

MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA KIJITONYAMA KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 291,363,536.95

KATA MIRADI ILIYOPELEKWA

KIJITONYAMA

Landscaping na ujenzi wa mifereji katika zahanati ya

Mwenge 13,000,000.00

ununuzi wa vifaa vya maabara(3) SALMA KIKWETE SEK 1,414,786.95

Ujenzi wa mfereji wa maji ya mvua Bwawani kata ya

Kijitonyama 70,000,000.00

Mtengenezo ya mara kwa mara barabara ya Africasana

km 1.1 11,130,000.00

Mtengenezo ya mara kwa mara barabara ya Ali Maua

km 1.8 7,750,000.00

Mtengenezo ya mara kwa mara barabara ya Kajenge km

1.9 13,250,000.00

Matengenezo ya sehemu korofi barabara ya Sayansi –

Kipande km 0.15 50,000,000.00

Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Sayansi

km 0.65 10,600,000.00

Matengenezo ya sehemu korofi barabara ya Msikitini -

Mwenge km 0.3 30,000,000.00

Matengenezo ya sehemu korofi barabara ya Kanisani

TAG - Mwenge km 0.5 40,000,000.00

Ukarabati wa madarasa 5 shule ya msingi Kijitonyama 44,218,750.00

JUMLA KUU KIJITONYAMA

Page 18: MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE … · MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MSASANI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,464,300,640.00 KATA MIRADI

MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MAGOMENI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018

FEDHA ZILIZOTENGWA 413,402,120.00

KATA MIRADI ILIYOPELEKWA

MAGOMENI Ujenzi wa uzio shule ya msingi Ali Hassan Mwinyi

Ujenzi wa uzio shule ya msingi Magomeni

Ujenzi wa matundu 16 ya vyoo shule ya msingi Magomeni

Ukarabati wa vyumba 3 vya madarasa shule ya msingi Ali Hassan

Mwinyi Ujenzi wa zahanati mpya eneo la Magomeni

Kusafisha na kupanua mto Ng’ombe

Ujenzi wa uzio wa shule ya msingi Alli Hassan Mwinyi

Ujenzi wa uzio wa shule ya msingi Magomeni

Ujenzi wa matundu 16 ya vyoo shule ya Msingi Magomeni

Ukarabati wa madarasa 3 shule ya msingi Alli Hassan Mwinyi

Matengenezo ya mara kwa mara Barabara ya Chemchem km 0.8

Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Idrisa km 1.1

JUMLA KATA YA MAGOMENI

Page 19: MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE … · MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MSASANI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,464,300,640.00 KATA MIRADI

MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA TANDALE KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 329,000,000.00

KATA MIRADI ILIYOPELEKWA

TANDALE Ujenzi wa matundu 16 ya vyoo shule ya msingi Muhalitan

Ujenzi wa matundu 16 ya vyoo shule ya msingi Hekima

Ujenzi wa matundu 16 ya vyoo shule ya msingi Tandale Magharibi

Ujenzi wa matundu 16 ya vyoo shule ya msingi Tandale

Ukarabati wa vyumba 3 vya madarasa shule ya msingi Tandale

Ujenzi wa vyumba 7 vya madarasa shule ya msingi Muhalitan

Ujenzi wa mfereji wa maji ya mvua Goda kata ya Tandale

Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Mlandizi km 5.1

JUMLA KATA YA TANDALE

Page 20: MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE … · MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MSASANI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,464,300,640.00 KATA MIRADI

MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MZIMUNI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,453,013,378.00

KATA MIRADI ILIYOPELEKWA

MZIMUNI Ujenzi wa matundu 16 ya vyoo shule ya msingi Mzimuni.

Ukamilishaji wa uzio shule ya msingi Mzimuni.

Ukarabati wa nyumba 1 ya mwalimu shule ya msingi Mikumi

Ukamilishaji wa madarasa 06 shule ya sekondari Mzimuni

Ununuzi wa madawati 100 shule ya sekondari Mzimuni

Kufanya matengenezo ya mfereji wa maji ya mvua katika Kata ya

Mzimuni Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Madaba km 0.4

Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Mikumi km 1.4

Matengenezo ya sehemu korofi barabara ya Ruaha Km 0.4

Matengenezo ya sehemu korofi barabara ya Shoka Km 0.5

Ujenzi Wa Soko la Kisasa Magomeni.

Kujenga kisima cha maji Mzimuni

Kukarabati ofisi ya kata, Kata ya Mzimuni

JUMLA KATA YA MZIMUNI

Page 21: MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE … · MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MSASANI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,464,300,640.00 KATA MIRADI

MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA HANANASIFU KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 412,426,986.95

KATA MIRADI ILIYOPELEKWA

HANANASIFU ununuzi wa vifaa vya maabara(3) HANANASIF SEK

Ujenzi wa madarasa 04 Hananasif SEK

Ujenzi wa mfereji wa maji ya mvua katika kata ya Hananasifu

Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Hananasifu km 0.75

Matengenezo ya smara kwa mara barabara ya Sterio km 1.1

Ujenzi wa Zahanati Mpya Kata ya Hananasifu

JUMLA KATA YA HANANASIF

Page 22: MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MABWEPANDE … · MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA MSASANI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 1,464,300,640.00 KATA MIRADI

MIRADI ITAKAYOTEKELEZWA KATIKA KATA YA KINONDONI KWA BAJETI YA MWAKA 2017/2018 FEDHA ZILIZOTENGWA 80,130,000.00

KATA MIRADI ILIYOPELEKWA

KINONDONI Ujenzi wa mfereji wa maji ya mvua kutoka Best Bite hadi

King Solomon Matengenezo ya mara kwa mara barabara ya Tunisia

km 0.8 Kujenga mradi wa maji Kinondoni shamba

JUMLA KATA YA KINONDONI