Top Banner
Ofisi ya Mawasiliano Serikalini inapokea habari za matukio mbalimbali kwa ajili ya News Bullettin hii na Jarida la Wizara ya Nishati na Madini Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263 au Fika Ofisi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: [email protected] HABARI ZA NISHATI &MADINI Toleo No. 88 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Oktoba 9 - 15, 2015 Bulletin News http://www.mem.go.tz JK kuzindua Mradi wa Bomba la Gesi Soma habari Uk. 3 >>> Ni mkubwa wa Kwanza Tanzania >>> Kuzindua pia Kiwanda cha Saruji cha Dangote UK 2 Nyumba za kuishi Wafanyakazi na Wahandisi waliopo katika eneo la Mitambo ya kuchakata Gesi Asilia wa Madimba, mkoani Mtwara. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete Zaidi ya bilioni 7 kuwanufaisha wachimbaji wadogo
13

MEM 88 Online.pdf

Jan 23, 2016

Download

Documents

Welcome message from author
This document is posted to help you gain knowledge. Please leave a comment to let me know what you think about it! Share it to your friends and learn new things together.
Transcript
Page 1: MEM 88 Online.pdf

Ofisi ya Mawasiliano Serikalini inapokea habari za matukio mbalimbali kwa ajili ya News Bullettin hii na Jarida la Wizara ya Nishati na Madini

Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263 au Fika Ofisi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: [email protected]

Habari za nisHati &madini

Toleo No. 88 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Oktoba 9 - 15, 2015

BulletinNews

Ofisi ya Mawasiliano Serikalini inapokea habari za matukio mbalimbali kwa ajili ya News Bullettin hii na Jarida la Wizara ya Nishati na Madini

Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263 au Fika Ofisi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: [email protected]

http://www.mem.go.tz

HABARI ZA NISHATI &MADINI

Toleo No. 51 Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Tarehe - 23-29 Januari , 2015

JWTZ wapongezwa kunusuru mtambo wa Msimbati-Uk4

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, anayeshughulikia Madini Stephen Masele

Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Charles Kitwanga

Mkurugenzi Mtend-aji wa TANESCO, Mhandisi Felchesmi Mramba

Mkurugenzi Mkuu wa REA, Dk. Lutengano Mwakahesya

Wabunge Soma habari Uk. 2

Waimwagia sifa MEM, TANESCO, REA

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AZINDUA RASMI BODI YA TANESCO -Uk2JK kuzindua Mradi wa Bomba la Gesi

Soma habari

Uk. 3

>>> Ni mkubwa wa Kwanza Tanzania

>>> Kuzindua pia Kiwanda cha Saruji cha Dangote

UK2

Nyumba za kuishi Wafanyakazi na Wahandisi waliopo katika eneo la Mitambo ya kuchakata Gesi Asilia wa Madimba, mkoani Mtwara.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete

Zaidi ya bilioni 7 kuwanufaisha wachimbaji wadogo

Page 2: MEM 88 Online.pdf

2 BulletinNewshttp://www.mem.go.tzHabari za nisHati/madini

Asteria Muhozya na Teresia Mhagama

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wiki hii atazindua Mradi wa

Ujenzi wa Mitambo ya Kusafishia Gesi Asilia Madimba - Songo Songo, pamoja na Bomba la Kusafirisha Gesi hiyo kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam lenye urefu wa kilomita 542.

Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara, uzinduzi huo utafanyika tarehe 10 Oktoba, 2015, katika eneo la Madimba- Mtwara na kurushwa moja kwa moja kupitia Televisheni ya Taifa (TBC1).

Mradi huo wa Bomba la Gesi unatajwa kuwa, moja ya miradi mikubwa ya aina yake barani Afrika katika kusafisha na kusafirisha gesi asilia, ambao umesimamiwa na Serikali ya Tanzania kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).

Kukamilika kwa mradi huo kumetokana na jitihada za Serikali katika kuhakikisha kwamba Tanzania inakuwa na Nishati ya Umeme ya uhakika na gharama nafuu itakayotokana na Gesi inayozalishwa nchini ambayo imefikia futi za ujazo trilioni 55.08 (tcf).

Pamoja na Gesi hiyo kutumika kuzalisha umeme lakini pia itatimika kwa matumizi mbalimbali kama vile Nishati ya kupikia majumbani, kuzalisha mbolea, kutumika katika vyombo vya usafiri pia itawezesha halmashauri zinazozunguka miradi ya Gesi kupata mapato yanayotokana na kodi ya huduma ambayo ni asilimia 0.3 ya mauzo ya Gesi.

Mradi huo wa kusafirisha gesi asilia kutoka maeneo ya Madimba Mtwara Vijijini na Songosongo Wilayani Kilwa hadi Dar es Salaam kupitia Somanga Fungu utaunganisha maeneo yanayozalisha gesi asilia hususan Mnazi Bay - Mtwara, Songo Songo, Kiliwani, Mkuranga, Ntorya na gesi iliyogunduliwa katika eneo la bahari ya kina kirefu cha bahari.

Katika kuzalisha umeme, mteja mkuu wa kwanza wa kununua gesi ya mradi huo ni Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), ambapo tayari limeanza kuzalisha umeme unaotokana na gesi asilia katika eneo la Ubungo II jijini Dar es Salaam.

Kuhusu ajira kwa Watanzania katika mradi huo, taarifa za Wizara zinaeleza kuwa, kumekuwepo na wastani wa wafanyakazi wapatao 1,427 wenye mchanganyiko wa wageni pamoja na watanzania kwa ngazi zote.

Kwa Upande wa TPDC, limeajiri wafanyakazi wapya 92 kwa upande

wa mitambo ya kusafisha gesi na 42 kwa upande wa bomba la kusafirisha gesi ambao tayari wamekwishaajiriwa na wameshiriki kwenye usimamizi wa shughuli za ujenzi ikiwa ni pamoja na kupatiwa mafunzo.

Katika hatua nyingine, Rais Kikwete pia anatarajiwa kuzindua Kiwanda cha Saruji kilichojengwa nje kidogo ya mji wa Mtwara kinachomilikiwa na

Mfanyabiashara maarufu Barani Afrika na Mwenyekiti wa Kundi la Makampuni ya Dangote, Alhaji Aliko Dangote.

Rais Kikwete anazindua mradi huo wa gesi huku tayari akiwa amekwisha saini Sheria ya Mafuta na Gesi Asilia, Uwazi na Uwajibikaji na Sheria ya Usimamizi wa Mapato ya Mafuta na Gesi Asilia, ambazo zitasimamia sekta

husika na kuondoa wasiwasi wa namna taifa litakavyonufaika na rasilimali hiyo.

Mradi wa Ujenzi wa Mitambo ya Kusafishia Gesi Asilia Madimba na Bomba la Kusafirisha Gesi hiyo unaelezwa kugharimu kiasi cha Dola za Marekani bilioni 1.225 ambapo asilimia 95 ni mkopo wa masharti nafuu kutoka Benki ya Exim ya China, huku asilimia 5 zikiwa ni fedha za ndani.

JK kuzindua Mradi wa Bomba la Gesi

Mtambo wa BVS one (block valve station) ni moja ya vituo vya kukagua gesi kabla ya kufika Dar Es Salaam.

Visima vya maji safi na salama vilivyojengwa kutokana na Mradi wa Gesi Asilia vyenye uwezo wa kuzalisha maji safi na salama lita 75,000 kwa siku yanayotumiwa na wanavijiji elfu tatu 3000 vinavyozunguka eneo la Madimba.

Mnara uliopo ndani ya mradi wa Gesi Asilia wa Madimba mkoani Mtwara ambao hutumika kutoa ishara pale inapotokea matumizi ya dharura.

Page 3: MEM 88 Online.pdf

3BulletinNewshttp://www.mem.go.tzHabari za nisHati/madini

TahaririMEM

Na Badra Masoud

Five Pillars oF reForms

KWa HaBari PiGa simU KitenGo cHa maWasiliano

Bodi ya uhariri

MharIrI Mkuu: Badra MasoudMsaNIfu: Lucas Gordon

WaaNdIshI: Veronica simba, asteria Muhozya, Greyson Mwase Teresia Mhagama, Mohamed saif, rhoda James ,

Nuru Mwasampeta na Zuena Msuya

increase eFFiciencyQUality delivery

oF Goods/service

satisFaction oF tHe client

satisFaction oF BUsiness Partners

satisFaction oF sHareHolders

tel-2110490FaX-2110389

moB-0732999263

Hongera Serikali kuwawezesha Wachimbaji Wadogo

tel-2110490FaX-2110389

moB-0732999263

ZAIDI YA BILIONI 7 KUWANUFAISHA WACHIMBAJI WADOGO

Wiki hii tumeshuhudia Wachimbaji Wadogo na Watoa Huduma za uchimbaji wakipata mafunzo juu ya namna bora wanavyoweza kutumia fedha watakazopata katika Awamu ya Pili ya utoaji ruzuku, lengo likiwa kuendeleza uchimbaji madini mdogo.

Jitihada za Serikali katika kuwezesha wachimbaji wadogo kutoka uchimbaji mkubwa zinaonekana kupitia Awamu ya Kwanza ya utoaji ruzuku na sasa Serikali imetoa Mikataba ya wachimbaji madini waliopata ruzuku kwa Awamu ya Pili.

Ikiwa Serikali imeweka jitihada zake kuhakikisha lengo linatimia, wachimbaji na watoa huduma pia hawana budi kuhakikisha kwamba adhma na lengo la Serikali kuwafanya kuwa wachimbaji wa kati na hatimaye wachimbaji kuwa wakubwa na kutoka katika uchimbaji mdogo linafikiwa.

Kama alivyoeleza Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene kuhakikisha wachimbaji hao wanafanya kazi kwa bidii, ubunifu na nidhamu ya matumizi ya ruzuku hiyo, ni wazi kuwa, Tanzania na hususan wachimbaji wadogo watatoka walipo na kuingia na katika hatua nyingine ya uchimbaji wa kati na hatimaye uchimbaji mkubwa na kwa pamoja tutatekeleza Dira ya Maendeleo ya Taifa ifikapo 2025, ikiwa ni pamoja na kuifanya sekta ya madini kuchangia zaidi katika pato la taifa na ukuaji wa sekta hiyo.

Aidha, kama ambavyo Waziri amesisitiza kuhusu wajibu wa kulipa kodi kama Sheria inavyotaka ni wazi kuwa, endapo kila mmoja atazingatia haya, rasilimali madini itatunufaisha wote yaani wachimbaji, Serikali na watanzania wote na ikizingatiwa kwamba, hadi sasa bado nchi yetu ina kiasi kikubwa cha madini ambayo hayajavunwa kwa kuwa ni asilimia 10 tu ya madini yaliyopo ardhini ambayo yamevunwa wakati asilimia 90 ya rasilimali hiyo bado haijavunwa.

Shime wachimbaji wadogo, tutumie vizuri fursa ya ruzuku tuliyopata kwa maendeleo yetu na nchi yetu.

Na Veronica Simba - Dodoma

Serikali imepanua wigo wa utoaji ruzuku katika sekta ya uchimbaji madini mdogo ambapo imetenga takribani Shilingi za Kitanzania bilioni 7.2 kwa vikundi 111 vya

wachimbaji wadogo na watoa huduma mbalimbali katika sekta ya uchimbaji madini mdogo ukilinganisha na Dola za Marekani 500,000 sawa na takribani Shilingi za Kitanzania bilioni moja zilizotolewa kwa waombaji 11 katika awamu ya kwanza.

Aidha, utoaji ruzuku katika awamu hii ya pili pamoja na wachimbaji wadogo, utawanufaisha pia watoaji huduma mbalimbali katika sekta husika tofauti na ilivyokuwa katika awamu ya kwanza iliyofanyika katika Mwaka wa Fedha 2013/14 ambapo Wizara iliwalenga wachimbaji madini wadogo pekee.

Hayo yalisemwa Oktoba 8 mwaka huu mjini Dodoma na Waziri wa Nishati na Madini George Simbachawene wakati akifunga mafunzo yaliyoambatana na utoaji mikataba kwa wachimbaji madini wadogo na watoa huduma za uchimbaji madini, waliopata ruzuku awamu ya pili ya kuendeleza uchimbaji madini mdogo.

“Awamu hii ya pili tumepanua zaidi wigo ambapo pamoja na wachimbaji wadogo, pia tumewapa watoa huduma katika uchimbaji

madini mdogo ikiwa ni pamoja na vikundi vya wakina mama wanaotoa huduma ya chakula, kushona nguo kwa wachimbaji madini na wale wanaojishughulisha na uongezaji thamani madini, hasa ukataji na uchongaji madini ya vito,” alifafanua Waziri.

Aliongeza kuwa vipo vikundi vinavyojishughulisha na uzalishaji wa zana za kuchenjulia madini, hasa ya dhahabu maarufu kama makarasha, nao wamepewa ruzuku ili kuboresha huduma wanazotoa kwa lengo la kuleta tija katika sekta hii ndogo lakini muhimu kwa utoaji ajira hasa wananchi waliopo vijijini.

Akizungumzia kuhusu mchango wa sekta ya madini katika Pato la Taifa, Simbachawene alisema kuwa Dira ya Maendeleo ya Taifa

>>Inaendelea Uk. 4

Meneja Mradi wa Usimamizi na Uendelezaji wa Rasilimali za Madini (SMMRP), Mhandisi Idrisa Yahya (katikati), akifurahia jambo na Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (kushoto), mara Waziri alipowasili katika Ukumbi wa Hoteli ya African Dream mjini Dodoma, kufunga mafunzo kwa waliopata ruzuku awamu ya pili ya kuendeleza uchimbaji madini mdogo. Kulia ni Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyabiashara wa Madini Tanzania (TAMIDA), John Bina.

Page 4: MEM 88 Online.pdf

4 BulletinNewshttp://www.mem.go.tzHabari za nisHati/madini

Na Veronica Simba – Dodoma

Waziri wa Nishati na Madini George Simbachawene amesema hakuna linaloshindikana

kwa wachimbaji madini wadogo kutoka katika hatua hiyo hadi kufikia kuwa wachimbaji wa kati na hatimaye wakubwa iwapo watafanya kazi kwa bidii, ubunifu na kuweka nidhamu.

Alisema iwapo watakuwa na nidhamu ya kazi, watawezesha sekta hiyo ndogo kukua na kuweza kuchangia katika Pato la Taifa kwa

asilimia 10 ifikapo mwaka 2025 kama Dira ya Maendeleo ya Taifa inavyoeleza huku akitumia neno “tutafika” akisisitiza kuwa jambo hilo linawezekana.

Simbachawene aliyasema hayo Oktoba 8 mwaka huu mjini Dodoma, wakati alipokuwa akifunga mafunzo na utoaji mikataba ya wachimbaji madini wadogo na watoa huduma za wachimbaji madini wadogo waliopata ruzuku awamu ya pili kwa ajili ya kuendeleza uchimbaji madini mdogo.

“Pesa mlizopata siyo za kufanyia sherehe au kufanyia shughuli nyingine yoyote iliyo kinyume na malengo yaliyoainishwa na kuafikiwa wakati

wa kuomba ruzuku husika. Ni pesa inayopaswa kutumika kwa ajili ya kuongeza thamani ya shughuli zenu za uchimbaji madini na utoaji huduma za uchimbaji madini mdogo,” alisisitiza Waziri.

Aidha, Simbachawene aliwataka wote waliobahatika kupata ruzuku hiyo ya awamu ya pili kutambua kuwa, Serikali kupitia Wizara husika itafuatilia ili kujiridhisha iwapo fedha hiyo imetumika ipasavyo na hivyo kuleta mabadiliko chanya.

Pia, aliwataka kutambua kuwa kiwango chochote cha fedha ambacho kila muhusika amepata, kinatosha kuleta mabadiliko ya aina fulani kulingana na thamani yake. “Hakuna hela ndogo endapo mtu atakuwa na dhamira ya dhati kuifanyia kazi kama inavyotakiwa. Ni lazima mabadiliko yataonekana,” alisema.

Vilevile, Simbachawene aliwasisitiza wachimbaji madini

wadogo kuhakikisha wanatimiza wajibu wao wa kulipa kodi kama sheria inavyowataka ili kuweza kuchangia ipasavyo katika Pato la Taifa.

Wakati huohuo, Waziri huyo mwenye dhamana ya sekta husika, alitoa hamasa kwa wachimbaji hao kuachana na jina la wachimbaji wadogo na watumie jina la wachimbaji wa madini ili iwasaidie kujitambua kuwa wanao uwezo wa kufanya mambo makubwa kupitia kazi yao ambayo italeta mchango mkubwa kwao wenyewe na Taifa kwa ujumla.

Akizungumzia maneno ambayo yamekuwa yakisemwa na baadhi ya watu ndani ya jamii kuwa madini yanaelekea kuisha hapa nchini kutokana na kuvunwa sana, Simbachawene alisisitiza kuwa mpaka sasa ni asilimia 10 tu ya madini yaliyopo nchini ndiyo ambayo yamevunwa hivyo bado kuna asilimia 90 iliyoko ardhini.

Simbachawene alikemea dhana potofu ambayo imekuwa ikitumiwa na baadhi ya wachimbaji wadogo wa madini kuwa imani za kishirikina ikiwemo kutumia viungo vya albino kunaweza kuleta mafanikio katika kazi hiyo na kuwataka kuondokana na imani hizo potofu.

“Sisi kama Serikali tunafanya jitihada mbalimbali kuhakikisha tunawasaidia wale wenye imani hizo kuondokana nazo kwani hazina tija. Tayari tumenunua mashine mbili za kufanya utafiti wa madini ambazo zitawasaidia wachimbaji madini wadogo kufanya utafiti husika na kuachana na masuala ya kupiga ramli,” alieleza.

Pia, Waziri aliahidi kuyafanyia kazi maombi yaliyowasilishwa awali na Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Madini Wadogo, John Bina kuhusu uanzishwaji wa Benki maalumu kwa ajili ya wachimbaji wadogo.

TUTAFIKA – Simbachawene>>> Awaasa wachimbaji wadogo kuongeza bidii kazini>>> Fedha za Ruzuku kufuatiliwa

Mjasiriamali anayejihusisha na biashara ya vito vya madini kwa kukata, kusanifu na kuuza, Susie Kennedy kutoka Arusha, akipokea mkataba kutoka kwa Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene wakati wa mafunzo kwa waliopata ruzuku awamu ya pili ya kuendeleza uchimbaji madini mdogo.

Sehemu ya Washiriki wa Mafunzo maalum kwa waliopata ruzuku awamu ya pili ya kuendeleza uchimbaji madini mdogo, wakifanya moja ya majaribio waliyokuwa wakipewa na Wakufunzi wao kutoka Shule ya Uhandisi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Mafunzo hayo ya siku mbili yalifanyika mjini Dodoma Oktoba 7 na 8, 2015.

Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (wa pili kutoka kulia – waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na Makamishna Wasaidizi wa Madini wa Kanda pamoja na Maafisa Madini Wakazi, baada ya kufunga mafunzo kwa waliopata ruzuku awamu ya pili ya kuendeleza uchimbaji madini mdogo.

Page 5: MEM 88 Online.pdf

5BulletinNewshttp://www.mem.go.tzHabari za nisHati/madini

ZAIDI YA BILIONI 7 KUWANUFAISHA WACHIMBAJI WADOGO

inaeleza kuwa ifikapo mwaka 2015, sekta ya madini itakuwa inachangia kwa asilimia 10 hivyo alibainisha kuwa ni matarajio ya Wizara ya Nishati na Madini kuwa sehemu kubwa ya mchango huo uwe unatokana na wachimbaji wadogo.

Alisisitiza kuwa njia pekee ya uchimbaji mdogo kuweza kutoa mchango mkubwa ni kwa wachimbaji kuanza kufanya kazi kiujasiriamali zaidi na kuweka rekodi zao vizuri ili pamoja na mambo mengine waweze kukopesheka kutoka Benki mbalimbali na hivyo kuboresha kazi zao za uchimbaji.

“Ukiweza kukopa Benki na Serikali ikatoa ruzuku, ni wazi mtaji utakuwa mkubwa kuwawezesha kufanya kazi kwa tija,” alieleza.

Aidha, Waziri aliwapongeza wachimbaji waliopokea ruzuku katika awamu ya kwanza na kueleza kuwa walitumia fedha walizopatiwa vizuri na hivyo imewasaidia kupata tija kwenye kazi zao.

Alitoa mfano wa mmoja wa walionufaika na awamu hiyo kuwa ni kampuni ijulikanayo kama Precision Décor inayomilikiwa na mwanamke na inajishughulisha na uchimbaji wa madini ya ujenzi yanayoitwa, Tanga stone.

“Katika awamu hiyo, wakina mama wameonesha mfano mzuri. Natarajia pia katika awamu hii wakina mama tena watakuwa mfano wa kuigwa. Dhana ya akina mama wakisaidiwa ni sawa na kusaidia jamii kubwa, inajitokeza hapa,” alisema Waziri.

Vilevile, Simbachawene alibainisha kwamba Wizara inaendelea kuweka mikakati mingi ili kuendeleza wachimbaji wadogo. Alisema kuwa kupitia Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Sekta ya Madini ambao unapata fedha za mkopo kutoka Benki ya Dunia, Wizara itajenga vituo vya mfano saba katika maeneo ambayo kuna uchimbaji madini kwa kiasi kikubwa.

Akifafanua zaidi, Waziri alisema kuwa kutakuwa na migodi ya mfano katika vituo hivyo na wachimbaji wadogo watavitumia na kufundishwa njia za kisasa za kuchimba na kuchenjua madini.

Simbachawene aliongeza kuwa, Serikali inaendeleza juhudi kubwa ya kuleta maendeleo katika sekta ndogo ya madini kwa kuhakikisha inatoa mafunzo na ruzuku kwa wachimbaji wadogo kwa matarajio kwamba wachimbaji kwa upande wao wataongeza juhudi zaidi ili hatimaye malengo ya sekta husika kuchangia kwa asilimia 10 katika Pato la Taifa yanafikiwa ifikapo mwaka 2025.

>>Inatoka Uk. 3

Kutoka Kushoto ni Kamishna Msaidizi wa Madini Sehemu ya uendelezaji na uchimbaji madini mdogo, Julius Sarota, Kamishna Msaidizi wa Madini sehemu ya utoaji Leseni, Mhandisi John Nayopa na Afisa Sheria kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Tulimbumi Abel, wakijadiliana jambo muda mfupi kabla ya kuanza mafunzo kwa waliopata ruzuku awamu ya pili ya kuendeleza uchimbaji madini mdogo. Mafunzo hayo ya siku mbili yalifungwa rasmi Oktoba 8, 2015 na Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene mjini Dodoma.

Mwenyekiti wa Chama cha Wachimbaji Madini Wanawake Tanzania (TAWOMA), Eunice Negele akizungumza wakati wa mafunzo kwa waliopata ruzuku awamu ya pili ya kuendeleza uchimbaji madini mdogo. Mafunzo hayo ya siku mbili yalifanyika mjini Dodoma Oktoba 7 na 8, 2015.

Mkurugenzi wa Usimamizi wa Fedha za Serikali kutoka Benki ya Maendeleo ya TIB, Prisca Chang’a akizungumzia utaratibu wa kukabidhi fedha za ruzuku kwa waliopata ruzuku awamu ya pili ya kuendeleza uchimbaji madini mdogo, wakati wa mafunzo yaliyofanyika mjini Dodoma Oktoba 7 na 8, mwaka huu.

Page 6: MEM 88 Online.pdf

6BulletinNewshttp://www.mem.go.tzHabari za nisHati/madini

Serikali yasisitiza Uadilifu upitiaji Mikataba ya Madini Na Greyson Mwase, Dar es Salaam

Imeelezwa kuwa uadilifu ndiyo silaha kuu katika upitiaji wa Mikataba ya Madini ili rasilimali hizo ziweze kuwa na mchango mkubwa katika ukuaji

wa uchumi nchini.Hayo yalisemwa na Mkurugenzi

wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu, Mrimia Mchomvu wakati akizindua timu ya majadiliano kwa ajili ya kupitia mkataba wa utafutaji na uchimbaji wa madini aina ya graphite kati ya kampuni ya Uranex na Wizara ya Nishati na Madini. Alizindu timu hiyo kwa niaba ya Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava.

Mchomvu alisema kuwa timu hiyo ina wajibu wa kuhakikisha inafanya kazi kwa uadilifu na

weledi mkubwa kwani inawakilisha watanzania.

Akielezea mambo ya kuzingatia wakati wa majadiliano ya mkataba huo, Mchomvu alieleza kuwa ni pamoja na wajumbe kuwa na uelewa mpana wa mradi husika, kujiandaa ipasavyo, kuwa msikilizaji mzuri wakati wa majadiliano, kufanya kazi kwa pamoja, kuelezea hoja kwa ufasaha, kufanya kazi kwa pamoja, kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi sahihi na kwa wakati na kudhibiti tofauti zinazoweza kujitokeza.

Wakati huo huo akiielezea timu hiyo Kamishna wa Madini Nchini, Mhandisi Paul Masanja alisema kuwa timu hiyo iliyoundwa kwa ajili ya kufanya majadiliano ya mkataba kati ya Serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini na kampuni ya Uranex katika uchimbaji wa madini aina ya graphite ina jumla ya wajumbe 17.

Masanja aliongeza kuwa timu

hiyo ina wajumbe kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Fedha, Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Wakala wa Ukaguzi wa Madini Nchini (TMAA) na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)

Alisema timu hiyo itapitia rasimu ya mkataba huo kwa muda wa siku mbili kuanzia tarehe 12 hadi 13 Oktoba, 2015 na kuongeza kuwa mara baada ya timu hiyo kukamilisha awamu ya kwanza itakaa na kampuni ya Uranex kwa ajili ya majadiliano ya pamoja kuanzia tarehe 15 hadi 16 Oktoba, 2015 na hatimaye kutoka na mkataba bora.

Alisisitiza kuwa kila kipengele katika mkataba huo kitapitiwa kwa makini, ili kuhakikisha mkataba bora unapatikana utakaonufaisha pande zote yaani mwekezaji na wananchi.

Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu, Mrimia Mchomvu (mbele) akisoma hotuba ya uzinduzi wa timu ya majadiliano kwa ajili ya kupitia mkataba wa utafutaji na uchimbaji wa madini aina ya graphite kati ya kampuni ya Uranex na Wizara ya Nishati na Madini kwa niaba ya Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava.

Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu, Mrimia Mchomvu akisoma hotuba ya uzinduzi wa timu ya majadiliano kwa ajili ya kupitia mkataba wa utafutaji na uchimbaji wa madini aina ya graphite kati ya kampuni ya Uranex na Wizara ya Nishati na Madini kwa niaba ya Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava.

Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu, Mrimia Mchmvu ( wa tatu kutoka kushoto, mbele) akiwa katika picha ya pamoja na timu ya majadiliano kwa ajili ya kupitia mkataba wa utafutaji na uchimbaji wa madini aina ya graphite kati ya kampuni ya Uranex na Wizara ya Nishati na Madini mara baada ya uzinduzi wa timu hiyo.

Kamishna wa Madini Nchini, Mhandisi Paul Masanja akisoma taarifa ya maandalizi ya timu ya majadiliano kwa ajili ya kupitia Mkataba wa Utafutaji na Uchimbaji wa Madini aina ya graphite kati ya kampuni ya Uranex na Wizara ya Nishati na Madini

Page 7: MEM 88 Online.pdf

7 BulletinNewshttp://www.mem.go.tzHabari za nisHati/madini

Na Veronica Simba Dodoma

Wachimbaji Madini Wadogo nchini w a m e a s w a kuithamini kazi yao na kuweka

nidhamu hususan katika matumizi ya fedha wanazopewa na Serikali kama ruzuku kwa ajili ya kuboresha na kuendeleza sekta ya uchimbaji madini mdogo.

Wito huo ulitolewa jana mjini Dodoma na Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Madini

Wadogo wa Madini Tanzania (FEMATA), John Bina, wakati akitoa neno la shukrani kwa Serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini, wakati wa mafunzo kwa waliopata ruzuku awamu ya pili ya kuendeleza uchimbaji madini mdogo nchini.

Mafunzo hayo ya siku mbili yaliyofunguliwa rasmi jana na Kamishna Msaidizi wa Madini Sehemu ya Leseni kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi John Nayopa ambaye alimuwakilisha Kamishna wa Madini nchini, Mhandisi Paul Masanja.

“Kwa wale tuliobahatika kupata

ruzuku hii ya awamu ya pili, ni lazima tuwajibike na tuidhihirishie Serikali na jamii kwa ujumla kwamba tumedhamiria kubadilika ili tuwe na maendeleo ambayo tumekuwa tukiyalilia kwa muda mrefu,” alisisitiza Bina.

Kiongozi huyo wa FEMATA alisema kamwe wachimbaji hawawezi kupata mafanikio ikiwa hawatabadilika na kuondokana na utamaduni wa uvivu na matumizi mabaya ya fedha hata kama wataendelea kuwezeshwa na Serikali.

Aliwataja kuzitumia fedha hizo za ruzuku kutoka Serikalini kwa matumizi waliyoyaainisha wakati wakiomba fedha husika na siyo kwa matumizi mengine yoyote.

Aidha, Bina aliwataka wachimbaji wadogo wa madini kufanya kazi kwa bidi na kujituma ikiwa wanataka kupata mafanikio kupitia kazi hiyo.

“Ni lazima tuidhihirishie

Serikali ambayo imeonyesha dhamira ya dhati kutusaidia kuwa sisi pia tunatosha kuwa wachimbaji wakubwa na kwamba tumedhamiria kupata mafanikio kupitia kazi ya uchimbaji madini kwa faida yetu wenyewe na ya taifa kwa ujumla,” alisema.

Alisema, iwapo wachimbaji wataonyesha dhamira ya dhati kujikomboa kutoka kwenye umaskini kupitia kazi hiyo, inawezekana kuwa na wachimbaji wengi watakaoweza kutoka kwenye uchimbaji mdogo hadi mkubwa kwa kipindi cha miaka mitano kutoka sasa.

Mafunzo hayo maalum kwa wachimbaji wadogo wa madini yameandaliwa na Wizara ya Nishati na Madini kwa lengo la kuwawezesha kuendeleza uchimbaji madini mdogo kwa tija ambapo yanatolewa na Wahadhiri kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Idara ya Uhandisi.

Wachimbaji madini waaswa kuzingatia nidhamu ya kazi

Kamishna Msaidizi wa Madini sehemu ya utoaji Leseni, Mhandisi John Nayopa, akifungua rasmi mafunzo ya siku mbili kwa wachimbaji wadogo waliopata ruzuku Awamu ya Pili ya kuendeleza uchimbaji madini mdogo (hawapo pichani), Mhandisi Nayopa alifungua mafunzo hayo kwa niaba ya Kamishna wa Madini nchini, Mhandisi Paul Masanja, Oktoba 7, 2015 mjini Dodoma.

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Madini Wadogo wa Madini Tanzania (FEMATA), John Bina, akitoa neno la shukrani kwa Serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini, wakati wa mafunzo kwa waliopata ruzuku awamu ya pili ya kuendeleza uchimbaji madini mdogo nchini. Mafunzo hayo ya siku mbili (Oktoba 8 - 9, 2015), yaliyofanyika mjini Dodoma.

Sehemu ya washiriki wa mafunzo kwa wachimbaji wadogo wa madini waliopata ruzuku awamu ya pili, wakiwa katika mafunzo ya siku mbili (Oktoba 8-9, 2015) mjini Dodoma.

Page 8: MEM 88 Online.pdf

8BulletinNewshttp://www.mem.go.tzHabari za nisHati/madini

Na Veronica Simba - Dodoma

Wizara ya Nishati na Madini imeandaa na kutoa mafunzo maalum kwa wachimbaji wadogo

wa madini na watoa huduma za uchimbaji madini kuhusu masuala ya uchimbaji mdogo wa madini.

Mafunzo hayo ya siku mbili yalifunguliwa rasmi jana Oktoba 7, 2015 mjini Dodoma na Kamishna Msaidizi wa Madini, Sehemu ya Leseni, Mhandisi John Nayopa aliyemuwakilisha Kamishna wa Madini nchini, Mhandisi Leonard Masanja.

Akifungua mafunzo hayo, Mhandisi Nayopa alisema lengo lake ni kuwawezesha wachimbaji wadogo wa madini kuendeleza uchimbaji madini mdogo kwa tija, ikizingatiwa kuwa sasa Serikali imekuwa na utaratibu wa kutoa ruzuku kwa wachimbaji wadogo ili kuiinua sekta hiyo.

Aidha, Nayopa alisema kuwa katika siku ya pili ya mafunzo husika, kutafanyika makabidhiano ya mikataba ya ruzuku awamu ya pili kupitia Benki ya Maendeleo Tanzania (TIB), ambayo imepewa jukumu

na Wizara ya Nishati na Madini kusimamia utoaji wa fedha za ruzuku ambapo Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene alikuwa mgeni rasmi.

Alisema, ruzuku hiyo imetolewa kwa kuzingatia idadi ya maombi yaliyopokelewa katika kila Kanda, jumla ya fedha iliyoombwa na ukubwa wa Kanda husika.

Akitoa ufafanuzi wa utoaji ruzuku husika, Mhandisi Nayopa alieleza kuwa kwa kuzingatia utaratibu huo, Kanda ya Mashariki yenye mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Morogoro na Tanga ilitoa washindi 13 ambapo Kanda ya Kati Magharibi yenye mikoa ya Singida na Dodoma ilitoa washindi 10 na Kanda ya Kati Magharibi yenye mikoa ya Shinyanga na Tabora ilitoa washindi tisa.

Aliendelea kufafanua kuwa, kwa upande wa Kanda ya Ziwa Nyasa yenye mikoa ya Ruvuma na Njombe ilitoa washindi sita; Kanda ya Kaskazini yenye mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara ilitoa washindi 12 na Kanda ya Kusini yenye mikoa ya Mtwara na Lindi ilitoa washindi 18.

Vilevile, Mhandisi Nayopa alieleza kuwa Kanda ya Kusini Magharibi yenye mikoa ya Mbeya na Iringa ilitoa washindi 10; na Kanda ya Magharibi yenye mikoa ya Katavi, Rukwa na Kigoma, ilitoa washindi 12.

Mhandisi Nayopa aliwapongeza wote waliopata fursa ya ruzuku kwa awamu ya pili na kuwataka kuzitumia fedha hizo kwa malengo yaliyokusudiwa ili kuhakikisha lengo lililokusudiwa na Serikali la kuiinua sekta hiyo linafikiwa.

Wachimbaji madini wadogo wapewa mafunzo maalum

Watumishi kutoka Wakala wa Jiolojia Tanzania (Geological Survey of Tanzania – GST), Masota Magigita (wa kwanza kushoto) na Marovoko Msechu (wa pili kutoka kushoto), wakitoa maelekezo ya kujisajili kwa baadhi ya washiriki wa mafunzo kwa waliopata ruzuku awamu ya pili ya kuendeleza uchimbaji madini mdogo. Mafunzo hayo ya siku mbili yalifunguliwa rasmi, Oktoba 7, 2015 mjini Dodoma.

Serikali yaahidi neema uchimbaji madini mdogoNa Veronica Simba - Dodoma

Serikali kupitia Wizara ya Nishati na Madini itaendelea kutekeleza mikakati mbalimbali inayolenga kuendeleza uchimbaji mdogo wa madini kwa kuzingatia Sera

ya Madini ya Mwaka 2009.Hayo yalielezwa mjini Dodoma na

Kamishna Msaidizi wa Madini, Sehemu ya Leseni, Mhandisi John Nayopa wakati akifungua rasmi mafunzo ya siku mbili kwa wachimbaji wadogo wa madini waliopata ruzuku awamu ya pili ya kuendeleza uchimbaji madini mdogo.

Nayopa ambaye alimuwakilisha Kamishna wa Madini nchini, Mhandisi Paul Masanja, alisema kuwa kwa sasa uchimbaji mkubwa ndiyo ambao unachangia kwa kiasi kikubwa kwenye Pato la Taifa, lakini akaongeza kwamba Serikali inaamini kuwa uchimbaji mdogo unaweza kutoa mchango mkubwa kuliko ilivyo sasa.

Aidha, alisema kuwa lengo la Serikali ni kuona wachimbaji madini wadogo wanakuwa hadi kuwa wachimbaji wa kati na hatimaye kuwa wachimbaji madini wakubwa.

“Tunayo mifano michache ambapo kuna wachimbaji madini wadogo wamekua hadi kuwa wa kati na kuweza kuajiri wataalamu wa ndani ya nchi na hata kutoka nje ya nchi. Zipo nchi ambazo sera zao kwa uchimbaji madini mdogo haziwapi nafasi ya kukua na kuwa wakubwa.”

Akieleza kuhusu mikakati ambayo

Serikali imeweka ili kuinua sekta ya uchimbaji madini mdogo, Mhandisi Nayopa aliitaja baadhi kuwa ni pamoja na kutenga maeneo maalumu kwa ajili ya uchimbaji mdogo.

“Kati ya mwaka 1996 hadi 2005, Wizara ilitenga maeneo ya hekta 33,981 (Merelani block I-V, Kilindi), na Maganzo; mwaka 2006 – 2007, maeneo ya hekta 3,855 (Mihama Ziwa Viktoria na Winza Mpwapwa; na mwaka 2008 – Aprili 2015, hekta 197,432 zimetengwa katika maeneo mbalimbali Tanzania Bara,” alisema Nayopa.

Alitaja mkakati mwingine kuwa ni kupeleka huduma za kupatikana leseni za uchimbaji mdogo katika ofisi za madini za Kanda tangu mwaka 2010 na hivyo kurahisisha upatikanaji wa leseni ambapo alisema kuwa katika kipindi

cha kuanzia mwaka 2010 hadi Julai 2015, leseni za PML zipatazo 40,000 zimetolewa.

Mhandisi Nayopa alisema kuwa mkakati mwingine ni kuwa kuanzia kipindi cha mwaka huu 2015 hadi kufikia mwaka 2018, Serikali itajenga vituo saba vya mfano katika maeneo ambayo kuna uchimbaji mwingi wa madini.

Alisema katika vituo hivyo, kutajengwa migodi ya mfano na kuwekewa mitambo ya uchenjuaji kupitia vituo hivyo. “Kituo kama hivyo, kinaendelezwa katika kijiji cha Lwamgasa mkoani Geita kwa ushirikiano wa Wizara, Benki ya Dunia na Mgodi wa GGM.”

Akiendelea kutaja mikakati iliyowekwa na Serikali, Mhandisi Nayopa alisema kuwa mingine ni

pamoja na kuendeleza utoaji wa huduma ya mafunzo kwa wachimbaji madini wadogo pamoja na kuweka mazingira mazuri ya kuhamasisha wachimbaji wafanye kazi ya kuongeza thamani madini nchini ili wayauze kwa faida kubwa kuliko ilivyo sasa.

Vilevile, alisema mkakati mwingine ni kuanza utaratibu ambao hatimaye utawezesha kuachana na matumizi ya madini ya zebaki katika uchenjuaji wa dhahabu ambapo alifafanua kuwa, Serikali ya Tanzania imeridhia utaratibu wa Kimataifa unaoitwa Minemata Convention ambao unataka nchi wanachama kuachana na matumizi ya zebaki kutokana na kusababisha madhara ya kiafya na mazingira.

Kutoka kushoto ni Kamishna Msaidizi wa Madini Sehemu ya Leseni, Mhandisi John Nayopa, Kamishna Msaidizi wa Madini, Kanda ya Magharibi, Aloyce Tesha na Ofisa Mwandamizi kutoka Ofisi ya Madini Kanda ya Kusini Magharibi, Shikimayi Muyinza, wakiwa katika mafunzo kwa wachimbaji wadogo wa madini waliopata ruzuku awamu ya pili. Mafunzo hayo ya siku mbili (Oktoba 8 – 9, 2015), yaliyofanyika mjini Dodoma.

Page 9: MEM 88 Online.pdf

9 BulletinNewshttp://www.mem.go.tzHabari za nisHati/madini

Mtambo wa kuchakata gesi uliopo Madimba, mkoani Mtwara.

Mitambo ya gesi iliyopo kwenye kisima cha gesi katika eneo la Msimbati, Mtwara. Gesi hiyo itasafishwa hapo kabla ya kusafirishwa kwenda jijini Dar es Salaam

KUELEKEA UZINDUZI MRADI WA GESI

Page 10: MEM 88 Online.pdf

10BulletinNewshttp://www.mem.go.tzHabari za nisHati/madini

Mwenyekiti wa Chama cha Wachimbaji wadogo wa Madini Mkoa wa Mara (MAREMA), Stephano Mwera Maseti, akiuliza swali wakati wa mafunzo kwa wachimbaji wadogo wa madini waliopata ruzuku awamu ya pili. Mafunzo hayo ya siku mbili (Oktoba 8 – 9, 2015) yaliyofanyika mjini Dodoma.

Kutoka Kulia ni Kamishna Msaidizi wa Madini Kanda ya Ziwa Nyasa, Fred Mahobe, Kamishna Msaidizi wa Madini Kanda ya Kati, Sosthenes Masola, Ofisa Mwandamizi kutoka Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) Richard Nsangila na Ofisa Madini Mkazi wa Handeni Frank Makyao, wakifuatilia mafunzo kwa wachimbaji wadogo wa madini waliopata ruzuku awamu ya pili. Mafunzo hayo ya siku mbili (Oktoba 8-9, 2015) yaliyofanyika mjini Dodoma.

Kamishna Msaidizi wa Madini Kanda ya Ziwa Viktoria Mashariki, Mhandisi Juma Sementa, akifafanua jambo wakati wa mafunzo kwa wachimbaji wadogo wa madini waliopata ruzuku awamu ya pili. Mafunzo hayo ya siku mbili (Oktoba 8-9, 2015) yaliyofanyika mjini Dodoma.

Baadhi ya wajumbe wa Sekretariet iliyoratibu mafunzo kwa wachimbaji wadogo wa madini waliopata ruzuku awamu ya pili. Hapa wakiendelea na kazi katika siku ya kwanza ya mafunzo hayo, Oktoba 8, 2015 mjini Dodoma. Kutoka Kushoto ni Mhandisi Fadhili Kitivai na Neema Richard.

Kamishna Msaidizi wa Madini Kanda ya Ziwa Viktoria Magharibi, Mhandisi David Mulabwa, akichangia moja ya mada zilizowasilishwa wakati wa mafunzo kwa wachimbaji wadogo wa madini waliopata ruzuku awamu ya pili. Mafunzo hayo ya siku mbili (Oktoba 8-9, 2015) yaliyofanyika mjini Dodoma.

Baadhi ya wajumbe wa Sekretariet iliyoratibu mafunzo kwa wachimbaji wadogo wa madini waliopata ruzuku awamu ya pili. Hapa wakiendelea na kazi katika siku ya kwanza ya mafunzo hayo, Oktoba 8, 2015 mjini Dodoma. Kutoka Kushoto ni Veronica Nangale na Elizabeth Samwel.

MAFUNZO KWA WALIOPATA RUZUKU

Mhadhiri Mwandamizi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dkt. Helena Thomas, akiwasilisha mada mbalimbali kwa washiriki wa mafunzo kwa wachimbaji wadogo wa madini waliopata ruzuku awamu ya pili. Mafunzo hayo ya siku mbili (Oktoba 8-9, 2015) yaliyofanyika mjini Dodoma.

Page 11: MEM 88 Online.pdf

11 BulletinNewshttp://www.mem.go.tzHabari za nisHati/madini

STATE MINING CORPORATIONCAREER OPPORTUNITY

MANAGING DIRECTOR - STAMICOThe State Mining Corporation (STAMICO) is a state owned enterprise which was established in 1972 with the objective of developing the mining industry. Following changes in the economic policies of the early 1990’s in favor of private sector led mining industry development, STAMICO and its subsidiaries were privatized and others were liquidated. However, the Government reversed the decision to close down STAMICO through Government Notice No. 88 of 2009, after considering lessons learned in the performance of private sector led mining industry development. The Mining Act, 2010 among others, requires that the Government should have free carried or purchased interest in strategic major mines.

In that regard, STAMICO’s new role is to oversee Government interests in large scale mines, invest in the mining sector through mineral prospecting, development and operating mines, drilling, providing consultancy services to small scale mining and other related business.

In order for STAMICO to implement its new responsibilities and roles, it is desired to recruit a suitable candidate to fill the vacant post of Managing Director. For that reason, STAMICO which is an entity under the Ministry of Energy and Minerals is looking for an experienced, dynamic, energetic, visionary and qualified candidate to apply for the said post.

The Managing Director is the Chief Executive Officer of the Corporation and is expected to operate in this dynamic and challenging environment of potential growth, to provide strategic leadership and deliver results efficiently, expeditiously and in line with the national policies and development aspirations as articulated in various national and sector plans and strategies. The Managing Director reports to the Board of Directors, and is responsible for the day to day running of the institution to achieve its mission of investing in the mining industry through mineral prospecting; developing and operating mines; shareholding; mineral trading; value addition and provision of quality services in management of mines, drilling, consultancies and other related businesses. Specific day to day duties and responsibilities of the Managing Director of STAMICO are as provided here.

1.0 Principal Duties and Responsibilities of the Managing Director

a) Provides strategic leadership and operational direction of the Corporation;

b) Directs and supervises the administration of the activities under the responsibility of the Corporation;

c) Ensures that the Corporation develops well focused vision and mission as approved by the Board of Directors;

d) Plans, Organizes, Co-ordinates, monitors, controls and evaluates implementation of Corporation’s policies and operations in order to achieve the Corporation’s goal and objectives;

e) Effectively promotes a positive image of the Corporation;

f) Chairs Management Team meetings;g) Coordinates preparation and reviews the

Corporation’s budget and periodic reports, and ensures adequate mechanisms for internal control and monitoring as approved by the Board;

h) Coordinates the preparation of Strategic and Business Plans and submits to the Board of Directors for approval;

i) Implements directives of the Board of Directors pursuant to Corporation’s policies, relevant Acts and Regulations governing the industry;

j) Keeps the Board of Directors regularly informed of any important matters that have a bearing on the functions of the Board;

k) Ensures that the Corporation’s resources, both human, financial and physical are nurtured, developed, managed and harnessed optimally;

l) Operates bank account and banking transactions as one of the authorized signatories;

m) Acts as the Accounting Officer of the Corporation responsible for implementing all policies;

n) Authorizes all payments whether of capital or revenue nature to ensure efficient and effective mobilization and utilization of resources;

o) Advises the Board of Directors on the Corporation’s performance;

p) Directs and ensures that annual reports and statement of accounts are submitted to the Board of Directors;

q) Formulates policies and strategies aimed at improving revenue collection for the Corporation;

r) Supervises the application and review of Corporation Act, regulations and systems procedures and ensures that STAMICO’s legal responsibilities and interests are well protected;

s) Liaises with the Ministry of Energy and Minerals and other stakeholders to promote an understanding of the problems and constraints that STAMICO sometimes encounters in its operations;

t) Ensures that core functions of the Corporation which are mineral rights acquisition, exploration, drilling, mine development, mining and mineral marketing and joint venturing are effectively supervised;

u) Facilitates provision of consultancies and specialized technical services to small scale miners and other stakeholders;

v) Conducts open performance review and appraisal of subordinates; and

w) Performs any other duties assigned to him/her by the relevant authorities as may be called upon from time to time.

2.0 Minimum Qualifications and ExperienceThe candidate for this position must hold a

university degree in either engineering, geo-science, economics, finance, accounting, law, management or other related fields from a recognized institution. Masters in Business Administration or equivalent will be an advantage. He/she must have at least 10 years working experience at senior position

with a large reputable organization preferably a profit organization out of which two years must have been in the mining industry. A holder of post graduate degree preferably at the PhD level in any relevant academic field will be an added advantage.

3.0 Desired Attributes and Competences:-a) Must be visionary, proactive and forward

looking;b) Must be innovative and results oriented;c) Must have the ability to maintain a multi-task

focus;d) Must demonstrate integrity and

professionalism;e) Must be able to deal effectively with

demanding situations and respond with speed;

f) Must be able to work independently and under tight time schedules;

g) Must be able to manage continuity, change and transition;

h) Must be computer literate;i) Must be able to communicate with excellent

writing skills;j) Must be fluent in written and spoken English

and Swahili; andk) Must have the ability to supervise and direct

multi-functional professionals.

4.0 Age LimitApplicants for this position must not be less than

35 years and below 55 years of age

5.0 RemunerationRemuneration package is in accordance with

STAMICO’s Scheme of Service - Salary Scale SMC 11.

6.0 Mode of Applicationa) Interested and suitable candidates should

submit application letters along with their curriculum vitae, indicating current e-mail and telephone contacts;

b) Certified copies of relevant certificates and one recent passport size photograph should be attached to application letters;

c) Each applicant must provide names and contact details of two reputable and reachable referees.

It should be noted that:a) Applications without relevant documents

will not be considered; and b) Only shortlisted candidates will be contacted.

Applications must reach the undersigned by REGISTERED MAIL on or before 20th October, 2015

The Chairman,STAMICO Board of Directors,State Mining Corporation,Plot No. 417/418 United Nations Road,P.O. Box 4958,DAR ES SALAAM,TANZANIA.

Page 12: MEM 88 Online.pdf

12BulletinNewshttp://www.mem.go.tzHabari za nisHati/madini

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA MINISTRY OF ENERGY AND MINERALS

APPOINTMENT OF DIRECTORS TO CONSTITUTE THE BOARD OF DIRECTORS OF TPDC

2nd October, 2015:

The desire to appoint a Competent Board of Directors

The Ministry of Energy and Minerals (MEM) of the Government of the United Republic of Tanzania as mandated under the Public Corporations Act and, in that on behalf of the Shareholder of Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC), would like to recruit able and competent Tanzanians to constitute and serve in the Board of Directors of TPDC.

It is desired that upon their appointment as such as required under the Law, members of the Board of Directors of TPDC will lead and govern this strategic Corporation to highest levels of performance in terms of: investing strategically in the entire petroleum value chain, provision of reliable and quality oil and natural gas to the Nation, and managing prudently the petroleum resource and other resources of the Corporation for the benefit of the present generation and future generations.

In short, it is expected that under the governance of this Board of Directors, TPDC shall go forward in recording desirable positive contributions to the wellbeing of the Nation in all respects; thus, satisfying the needs and desires of its shareholder, the Government; investors; customers; development partners; and other stakeholders.

In these regards, MEM shall closely monitor the performance of the Board of Directors as required under the Law, and in line with pre- agreed Key Performance Indicators (KPIs). The KPIs shall reflect the expectations outlined in major policy documents of the Government, the laws governing the sector, TPDC’s contractual obligations and those of its customers and other stakeholders.

Qualifications/Qualities of individuals to be appointed as members of the Board of Directors

MEM therefore desires that the Board of Directors of TPDC shall be composed of individuals who have demonstrated significant achievements in their respective professional careers, in business management and their service in either public or private sector, or both. The aspirants must possess requisite knowledge;

intelligence and experience to enable them make significant positive contribution in the Board of Directors’ decision making process.

In light of Government policies and priorities on one hand, and the Company’s Mission and Vision on the other hand, the individuals are expected to possess qualifications and qualities and experience that will add value in the energy sector and the petroleum sub-sector in particular. Specifically, the following qualities are considered desirable to any candidate aspiring to become member of the Board of Directors of TPDC:

1. Education: it is desirable that a candidate should hold a degree from a respected college or university majoring in the fields of, natural sciences, economics, finance, engineering, law, or management/administration. Possession of a Masters or doctoral degree will be an added advantage;

2. Experience: a candidate must have extensive experience (not less than 10 years) in his/her professional career and must demonstrate positive track record of performance in management in either public or private service, or both. An ideal candidate should have sufficient experience to fully appreciate and understand the responsibilities of a director in a challenging company like TPDC;

3. International Experience: experience working in either senior management or as director in international organizations/corporations relevant to the petroleum industry will be considered as an advantage to a candidate’s profile;

4. Individual Character and Integrity: a candidate must be a person of highest moral and ethical character, impeccable record and integrity. In this regard, a candidate must exhibit independence and demonstrate personal commitment to serve in the Company’s and public interests;

5. Personal Qualities: a candidate must have personal qualities that will enable him to make substantial active contribution in the Board’s decision-making process. These qualities include intelligence, self-assuredness, independence, highest ethical standing, practical knowledge to corporate governance

standards, willingness to ask difficult questions, inter-personal skills, proficiency in communication skills and commitment to serve,

6. Knowledge of the Sector: a candidate must have sufficient knowledge of TPDC’s work and situation and issues affecting the energy sector and the petroleum sub-sector in Tanzania. In this regard, a candidate must have particular knowledge of TPDC’s or rather, the energy sector’s stakeholders’ desires, needs and challenges, like those of the Government, development partners, investors, regulators, customers, etc.

7. Courage: a candidate must be able and willing to make right decisions at all times, even if the same would make the person look difficult or unpopular;

8. Availability: a candidate must be willing to commit, as well as have, sufficient time available to discharge his or her duties as member of the Board of Directors. Therefore, a desirable candidate should not have other corporate board memberships;

9. Compatibility: a candidate should be able to develop good working relationship with other members of the Board of Directors and members of senior management of the Company; and

10. Conflict of Interest: a candidate must not be in a position of conflict of interest with Company’s activities.

Invitation to apply: MEM invites candidates who possess the mentioned qualifications and qualities to apply to be considered for appointment as directors and serve in the Board of Directors of TPDC. Interested candidates must write and submit their applications by Friday, 16th October, 2015 demonstrating their respective qualifications and qualities, attaching photostat copies of their testimonials and detailed CVs to;

The Permanent Secretary,Ministry of Energy and Minerals,5 Samora Machel Avenue,P.O.BOX 2000,11474, DAR ES SALAAM.Email: [email protected]

Page 13: MEM 88 Online.pdf

13 BulletinNewshttp://www.mem.go.tzHabari za nisHati/madini

Kwa wadau wa sekta za Nishati na Madini, tembelea kurasa mpya za Wizara kwenye Mitandao ya Kijamii ya Twitter na Facebook kwa anuani ya ‘Nishati na Madini’ Karibu tuhabarishane na

tujadili kuhusu sekta za Nishati na Madini kwa maendeleo ya Watanzania wote.Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

SHIRIKA LA MAENDELEO YA PETROLI TANZANIA (TPDC)

TAARIFA KWA UMMAShirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), kwa kushirikiana na Wizara ya Nishati na Madini, wanayo furaha kuwafahamisha kwamba,ujenzi wa miundombinu ya kuchakata na kusafirisha gesi asilia, kutoka Madimba-Mtwara na Songosongo-Lindi hadi Dar es salaam umekamilika.

Kukamilika kwa ujenzi wa miundombinu hii, kutafungua historia mpya ya uchumi wa nchi yetu, kwani kutawezesha upatikanaji wa nishati ya uhakika, na hivyo kukuza uchumi na kuongeza pato la Taifa.

Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, atazindua miundo mbinu hii – Tarehe 10/10/2015 huko Madimba, Mtwara.

Wote mnakaribishwa kushuhudia tukio hili la kihistoria nchini kwetu.

‘Gesi asilia, kwa maendeleo ya Taifa’

Imetolewa na:Mkurugenzi MtendajiShirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).

 

Extractive Inter-stakeholders Forum (EISF) in Collaboration with the Ministry of Energy and Minerals

(MEM) Invites You to participate and exhibit    

The TANZANIA OIL, GAS AND MINERALS BUSINESS AND SUPPLY CHAIN

Creating awareness on the Extractive Industry Value Chains, Financing, Marketing and Business Opportunities

The event will be held on 24-25 March 2016 at Hyatt Regency Dar es Salaam - The Kilimanjaro