Ofisi ya Mawasiliano Serikalini inapokea habari za matukio
mbalimbalikwa ajili ya News Bullettin hii na Jarida la Wizara ya
Nishati na MadiniWasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu
Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263au Fika Ofsi
ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe:
[email protected] ZANISHATI &MADINIToleoNo.
80Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM Agosti 13 - 19,
2015BulletinNewsOfisi ya Mawasiliano Serikalini inapokea habari za
matukio mbalimbalikwa ajili ya News Bullettin hii na Jarida la
Wizara ya Nishati na MadiniWasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano
kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263au
Fika Ofsi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe:
[email protected]://www.mem.go.tzHABARI ZANISHATI
&MADINIToleoNo. 51Limesambazwa kwa Taasisi na Idara zote MEM
Tarehe - 23-29 Januari , 2015 JWTZwapongezwakunusurumtambowa
Msimbati-Uk4Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter
MuhongoNaibu Waziri wa Nishati na Madini, anayeshughulikiaMadini
Stephen MaseleNaibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia
Nishati, Charles KitwangaMkurugenzi Mtend-aji wa TANESCO, Mhandisi
Felchesmi MrambaMkurugenzi Mkuu wa REA, Dk. Lutengano
MwakahesyaWabungeSoma habariUk. 2Waimwagia sifa MEM, TANESCO,
REAWAZIRI WA NISHATI NA MADINI AZINDUA RASMI BODI YA TANESCO
-Uk2Tanzania Kuanzisha maabara ya Upimaji Madini Nchi za Maziwa
MakuuSerikali yavuna mabilioni katika madini vito, almasiSoma
habariUk. 4Washiriki wa Warsha ya Kimataifa ya Madiniiliyokutanisha
Wataalam kutoka nchi 12 za Kanda za Maziwa Makuu yenye lengo
lakujadili mpango wa uendelezaji wa maabara kwa ajili ya ukaguzi wa
madini.2 Bulletin Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA
NISHATI/MADININa Greyson Mwase, Dar
esSalaamTanzaniainatarajiakuanzisha maabarayakimataifakatika Kituo
cha Maabara cha Afrika MasharikinaKati(SEAMIC) kwa ajili ya
kutoahuduma za upimajiwamadiniyaainambalimbali katika nchi za
maziwa makuu ili kubaini asili yake kwa njia ijulikanayo kwa
kitaalam kamaAnalyticalFingerPrint(AFP)na kudhibiti biashara haramu
ya madini. Akizungumza ofisini kwake Kamishna Msaidizi wa Madini
Huduma za Leseni, John Nayopa alisema kuwauanzishwaji wa maabara
hii ni moja ya maazimioya nchi za MaziwaMakuu katikaudhibiti
wauvunaji na uuzajiharamu wa rasilimali ikiwepo
madini.Nayopaalitajanchihizokuwani pamojanaTanzania,Kenya,Uganda,
Rwanda,Burundi, Sudan, Sudan Kusini, Zambia,Angola,Kongo,Jamhuriya
DemokrasiayaKongonaJamhuriya Afrika ya
Kati.Alisemambalinamakubaliano yauanzishwajiwamaabarahiyo,
makubalianomengineyaliyofanywa nanchizamaziwamakuunipamoja
nakilanchikuhakikishainawekasheria
itakayowezeshautekelezajiwampango wa kudhibiti uzalishaji na uuzaji
haramu wabiasharayamadininakutoataarifa za siri (whistleblowing)
kuhusu biashara haramuya madini.Aliongezakuwamakubaliano
menginenipamojanakuimarisha utekelezaji wa mpango wa kuongeza
uwazinauwajibikajikatika tasniayauziduaji (ExtractiveIndustries Tr
a n s p a r e n c y Inititative;EITI), k u r a s i mi s h a
shughuli za wachimbaji wadogo,kudhibiti
unyanyasajiwawatotonawanawake migodinina kuweka kanzidata ya
madini. Akielezeamanufaayamaabarahiyo, Nayopa alisema maabara hiyo
itawezesha wazalishaji na wanunuzi wa madinikuwa
naimaninamadiniyanayozalishwana kuuzwa nje ya
nchi.Hiiitakuwanifursakwanchiya Tanzaniakutangazaainazamadini
hususanTanzanite,sokokupanuka kimataifanakuvutiauwekezajimkubwa
haliitakayopelekeapatolataifa kuongezeka, alisema Mhandisi
Nayopa.Aliendeleakusemakuwa mpangohuuutawahakikishia
wazalishajihalaliwa madinikupatamasoko njeyanchibila
vikwazo.Tanzania Kuanzisha maabara ya Upimaji Madini, Nchi za
Maziwa MakuuTanzania mwenyeji wa warsha ya madini- Nchi za Maziwa
MakuuKaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi
Ngosi Mwihava (kushoto) akibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa
Programu yaDemokrasia na Utawala Bora Balozi Ambeyi Ligabo
kutokaSekretarieti ya Mkutano wa Kimataifa wa Nchi za Kanda za
Maziwa Makuu. Mhandisi Mwihava alifunguawarsha ya kimataifa ya
madiniiliyokutanisha wataalam kutoka nchi 12 za kanda hiyo yenye
lengo lakujadili mpango wa uendelezaji wa maabara kwa ajili ya
ukaguzi wa madini nchini Tanzania.Na Greyson
MwaseTanzaniaimekuwamwenyeji katikawarshayasikumbili
iliyoshirikishanchizaMaziwa Makuuyenyelengolakujadili kuhusu
uanzishwaji wa huduma ya upimaji wa madiniilikubaini asili yake
kwanjiaijulikanayokwakitaalamkama Analytical Finger Print (AFP) na
kudhibiti biashara haramu ya madini.Akizungumzakatikamahojiano
maalum wakati wawarsha hiyo, Kamishna Msaidizi wa Madini Huduma za
Leseni, JohnNayopaalisemawarshahiyo iliyofanyika Jijini Dar es
Salaam, ilikutanisha wawakilishiwaserikali,wataalamelekezi na
wawakilishi kutoka nchi wafadhili.Akielezeamatarajioyawarshahiyo
Mhandishi Nayopa alieleza kuwa ni pamoja nakukubaliana muundobora
na endelevu wahudumazamaabaranakuongeza kuaminika kwa hati za
kusafirishia madini.Aliongeza kuwa miakaya hivi karibuni nchi
zilizoendelea zikiongozwa na Marekani naUmojawaUlayaziliwekasheria
zinazokataza makampunikatika nchi hizo
kununuamadiniambayoyanadhaniwa kuwa yamechimbwa na kuuzwa kiharamu
aukuhusiananamakundiyawapiganaji (blood
minerals)Aliendeleakusemakamamkakatiwa
kukuzabiasharayamadinikatikanchi zamaziwamakuu,mwaka2006nchi
hizozilikubalianakuanzishaumojahuo kwa ajiliya kudhibiti biashara
haramu ya madini.3Bulletin Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA
NISHATI/MADINITahaririMEMNa Badra MasoudFIVE PILLARS OF REFORMSKWA
HABARI PIGA SIMU KITENGO CHA MAWASILIANOBODI YA UHARIRI MHARIRI
MKUU: Badra MasoudMSANIFU: Essy OgundeWAANDISHI: Veronica Simba,
Asteria Muhozya, Greyson Mwase Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda
James , Nuru Mwasampeta na Zuena MsuyaINCREASE EFFICIENCYQUALITY
DELIVERYOF GOODS/SERVICESATISFACTION OFTHE CLIENTSATISFACTION OF
BUSINESS PARTNERSSATISFACTION OF
SHAREHOLDERSTEL-2110490FAX-2110389MOB-0732999263Maabara ya Upimaji
Madini ni Tiba yauvunaji, uuzaji madini
haramuTEL-2110490FAX-2110389MOB-0732999263MEM, JICA watia saini
Mpango kabambe wa umeme nchi nzimaNa Zuena Msuya, Dar es
SalaamSerikalikupitia WizarayaNishatina Madiniimekutana naUongoziwa
ShirikalaMaendeleo laJapani(JICA)kwalengo lakusainimakubalianoya
kudurusuMpangoKabambe wa Kuendeleza Sekta Ndogo ya
Umemenchini-PowerSystem MasterPlan(PSMPUpdates
2012).SerikaliyaJapankupitia ShirikalakelaMaendeleo
(JICA)ndioimetoaufadhili huowaPSMPUpdates 2012utakaowekamipango
yaUzalishaji,Usafirishajina Usambasajiwaumemenchini
itakayowapatiawananchi umeme wa uhakika.Hayo yalielezwa hivi
karibuni naKaimuKatibuMkuuwa WizarayaNishatinaMadini
MhandisiNgosiMwihava, OfisinikwakejijiniDarEs Salaam wakati wa
kuweka saini makubaliano hayo na Mwakilishi
kutokaShirikalaMaendeleola Japan JICA, Toshio
Nagase.Aidha,Mwihavaalisema baadayakukamilishampango
husika,uandaajiwaMpango Kabambe wa Kuendeleza Sekta Ndogo ya Umeme
katika Mikoa yaDaresSalaamnaPwani utatekelezwa.Aliongeza kuwa,
ufadhili wa utekelezaji wa miradi ya umeme
nchiniinajumuishaujenziwa njia ya usafirishaji wa umeme wa msongo
wa Kilovoti 400 kutoka Dodoma-Singida,ambayoni sehemu ya mradi wa
kuimarisha gridiyaTaifakutokaIringa-Dodoma-Singida-Shinyanga,
400kVKenya-Tanzania PowerInterconnector,pamoja nauandaajiwaMpango
Kambambewakuendelezagesi asilia. KwaupandewakeMratibu
wamradihuo,Mhandisi EdsonNgaboamesemazoezi laukusanyajiwatakwimu
zitakazotumikalitaanzaMwezi Agosti-Oktoba, 2015.Aidha,ukusanyajiwa
takwimu hizo utasaidia kudurusu mpangohusikasualaambalo
litachangiakutoamwelekeo halisi wa Sekta ya umeme.Mwakilishi
waJICA, Toshio Nagase,ameihakikishiaSerikali yaJamhuriyaMuunganowa
Tanzaniakuwawatatekeleza Mpangohuonakuiomba WizarayaNishatinaMadini
kushirikiana kwa karibu pamoja nakuwepokwaKikosiKazi kilichoundwa
na Wizara wakati wa kutekeleza zoezi
hilo.NimaranyinginetenaSektayaMadiniinazidi kupiga hatua ya
kuhakikisha kwamba Watanzania na taifa letu tunanufaika na
rasilimali zetu hususan madini.Wiki hii Serikali imekuwa mwenyeji
katika Warsha inayozishirikishanchizaMaziwaMakuukujadili
uanzishwajiwahudumayaupimajiwamadiniili kubaini asili yake kwa njia
ijulikanayo kitaamu (Analtical Finger Print (AFP) ikiwemo kudhibiti
biashara haramu ya madini.Warshahiyoambayoimekutanishawawakilishi
wa serikali, wataalam waelekezi na wafadhilikutoka
katikanchizaTanzania,Kenya,Uganda,Rwanda,
Burundi,Sudan,SudanKusini,Zambia,Angola, Kongo, Jamhuri ya
Demokrasia ya Kongo na Jamhuri
yaAfrikayaKati,wanatarajiakukubalianajuuya muundo borana endelevu
wa huduma za maabara na kuongeza kuaminika kwa hati za kusafirisha
madini.Niwazikuwa,maazimioambayoyamefikiwa
katikawarshahiyoikiwemokuhakikishakilanchi inaweka sheria
itakayowezesha utekelezaji wa mpango wa kudhibiti uzalishaji haramu
wa biashara ya madini yatakuwa na manufaa kwa nchi wanachama
ikiwemo Tanzania.Aidha,maazimiomengineyametajwakuwani pamoja na
kutoa taarifa za siri (whistle blowing) kuhusu biashara haramu ya
madini. Kwetu sisi hiyo ni hatua
nyinginemuhimuambayoinadhihirishaadhmaya Serikali kuhakikisha
kwamba inasimamia rasilimali za madini ili ziwanufaishe watanzania
wote.Pamojanamaazimiohayomengineyameelezwa
kuwanikuimarishautekelezajiwampangowa kuongeza uwazi na uwajibikaji
katika tasnia ya uziduaji
(ExtractiveIndustriesTransparencyInitiative;EITI, kurasimisha
shughuli za wachimbaji wadogo, kudhibiti
unyanyasajiwawatotonawanawakemigodinina kuweka kanzidata ya
madini.Ni ukweli kuwa, uwepo wa Maabara hiyo hususan kwa nchi yetu
ambayo imebarikiwa kuwa na rasilimali
nyingizamadiniyaainambalimbaliitawezesha wazalishaji na wanunuzi wa
madini kuwa na imani na madini yanayozalishwa na kuuzwa nje ya
nchi.Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Ngosi
Mwihava (kulia) naMwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Japan -
JICA Toshio Nagase (kushoto) wakitia saini hati ya makubaliano ya
kuendeleza Sekta ndogo ya Umeme nchini.(Picha chini ni) Kaimu
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Ngosi Mwihava
(kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Mratibu wa Mradi wa Kuendeleza
Sekta ndogo ya Umeme nchini Mhandisi Edson Ngabo kabla ya kusaini
hati ya makubaliano ya kuendeleza sekta hiyo nchini. Wengine ni
wawakilishi kutoka Wizara ya Nishati na Madini naShirika la
Maendeleo la Japan - JICA4 Bulletin Newshttp://www.mem.go.tzHABARI
ZA NISHATI/MADININa Veronica Simba - MwanzaMratibuwaKituocha
Jemolojia Tanzania (TGC), Mussa Shanyangi amesema Kituohichokitatoa
fursakwaWatanzania waliomalizadarasalasabawatakaohitaji mafunzo
maalum ya muda mfupi kwa ajili ya kuongeza ujuzi hususan katika
tasnia ya madini vito.Alisemakuwapamojanakuwa
kiwangochachinichaelimuchakujiunga
nakozinyinginembalimbalizitakazokuwa zikitolewa na Kituo hicho ni
Kidato cha Nne auelimuinayolingananahiyo;utaratibu
umewekwailiwahitimuwadarasalasaba wapatefursayakufundishwamafunzo
maalum ya kuongeza ujuzi katika kada
hiyo.Shanyangialiyasemahayowakati akiwasilishamadakuhusuMaendeleo
yaKituohichokwenyeSeminaya WathaminishajiMadiniyaVitonaAlmasi
iliyofanyika Agosti 12 na 13 jijini
Mwanza.Aidha,Shanyangialisemaufauluwa
masomoyaHisabatinaKingerezanisifa
nyingineitakayotumikakatikakuchagua wanafunziwatakaoombakujiungana
masomo katika Kituo hicho.Akizungumziakozizitakazotolewana
TGC,Shanyangializitajakuwanipamoja na Jemolojia, Utambuzi wa Madini
ya Vito, Ukatajinaungarishajiwamadiniyavito,
UchongajiwaVinyagovyaMawepamoja naUbunifunaUtengenezajiwabidhaaza
mapambo.Alisemampakasasakumefanyika
jitihadazakusajiliKituokatikaMamlaka yaElimunaMafunzoyaUfundiStadi
(VETA) ambapo Kituo kimepata usajili wa
awali(PreliminaryRegistration)naCheti kinaandaliwa makao makuu ya
VETA, Dar es Salaam.Kwa upande wa changamoto, Shanyangi
alisemakuwanipamojanaukosefu wawakufunziwaKitanzaniawenye
uzoefunaumahirikatikakufundishakozi zilizoainishwa.
Alisema,kwahivisasaKituohicho kinatoamafunzoyaukatajinaungarishaji
wa madini ya vito (lapidary) ambayo yalianza
mweziNovemba,2014,ambapojumla yawanafunzi15wanawakewalihitimu
mafunzo hayo. Mafunzo hayo yalifadhiliwa na Mfuko
waKuwajengeaUwezoWanawakejuuya uongezajithamanikatikamadinihususani
madiniyavito(AGFWomenFoundation Fund)ambaounasimamiwanaKamatiya
Maonesho ya Vito na Usonara (Arusha Gem
Fair).Aliongezakuwa,Awamuyapiliya mafunzoyaukatajinaungarishajiwa
madiniyavitoyameanzamweziAgosti, 2015ambapowanafunziwanawake18
wamechaguliwa.Mafunzohayoyanachukuamudawa miezi sita hadi
kukamilika.Kituo cha Tanzania Gemological Centre
(TGC)kilichokuwakinajulikanakama Arusha Gemstone Carving Centre
(AGCC) kilianzishwamnamomwaka2003wakati
SerikaliikitekelezaMradiwaMaendeleo yaSektayaMadini(MSD-TA)ambao
ulitekelezwakatiyamwaka1994na2005 kwa mkopo kutoka Benki ya
Dunia.UanzishwajiKituohikinimojakati
yajuhudizaSerikalizakutekelezaSera yaMadiniyaMwaka2009kwavitendo
yaaniuongezajithamanikatikamadiniya vitonakutoamafunzoyauchongajiwa
mawe ya urembo (stone carving), jimolojia,
utengenezajiwabidhaazamapambo/urembo (jewelry design &
manufacturing) na ukataji wa madini ya vito hapa nchini, hivyo
kukuza matumizi ya madini ya vito nchini.Lengo la kuanzisha Kituo
hiki ni kukuza nakufanikishashughulizauongezaji thamani katika
madini ya vito nchini, kukuza na kuendeleza ujuzi na ufahamu katika
tasnia ya madini ya vito, na kuongeza kipato na ajira kwa
watanzania. TGC kuwawezesha darasa la sabaSerikali yavuna mabilioni
katika madini vito, almasiNa Veronica Simba, MwanzaSerikali
imekusanya mrabaha wa DolazaKimarekanimilioni 3.46, sawa na
Shilingi bilioni 6.30 zaKitanzaniakatikamwaka wa fedha 2014/15,
kutokana na mauzo ya almasi zenye thamani ya Dola za Kimarekani
milioni 69.22.Pia,katikamadiniyavitovyarangi,
SerikaliilikusanyamrabahawaShilingi bilioni2.97kwamwakahuowafedha,
ambapoKilogramumilioni2.28za madiniyamapambo,Gramumilioni
2.00zamadiniyavitoghafinaKarati 479,688 za madini ya vito
vilivyochongwa yalithaminiwa.Madinihayo
yalithaminiwakwaDolazaKimarekani milioni
49.16.Hayoyalielezwahivikaribuni naMkurugenziwaKitengocha
UthaminishajiwaMadiniyaAlmasina VitochaWizarayaNishatinaMadini
(TANSORT), Archard Kalugendo wakati
akiwasilishataarifayautekelezajiwa majukumu ya Kitengo chake kwa
mwaka 2014/2015 katika Semina ya Wathamini
MadiniyaVitonaAlmasinchini, iliyofanyika Agosti 12 na 13, mwaka huu
katika Hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza.Kalugendo alisema kuwa,
kwa upande wamadiniyaalmasi,ThaminiTisa(9)
zilifanyikakatikakampuniyaElHillal
MineralsLtdnaThamini36zilifanyika kwa kampuni nyingine 14
zinazojihusisha nabiasharayaalmasi.Aidha,alisema kuwa jumla ya
Thamini 1,630 zilifanyika katika Kampuni 149 za madini ya
vito.Akizungumziamafanikio yaliyopatikanakatikakipindihicho,
Kalugendoalisemakuwawastaniwa bei ya almasi ya Tanzania katika soko
la Duniaumepandakwaasilimiambili(2) kutoka Dola za Kimarekani
285.54 kwa karati moja mwaka 2013/2014 hadi Dola za Kimarekani
291.83.Aidha,aliongezakuwamauzoya almasi yalipanda kwa asilimia 12
ki-uzito na asilimia 14 kwa thamani ikilinganishwa
namwaka2013/14hivyokusababisha makusanyoyamrabahakupandakwa
asilimia 14.Kwaupandewachangamoto, Kalugendo alisema kuwa mauzo ya
vito yalishukakwaasilimiaTisa(9)kutoka Dola za Kimarekani milioni
53.86 mwaka 2013/14hadiDolazaKimarekani
milioni49.16mwaka2014/15nahivyo kusababishamrabahakushukakwa
asilimia Tisa (9) ikilinganishwa na mwaka 2013/14.Pia, alitaja
changamoto nyingine kuwa nipamojanakutokuwepokwakadaya Wajemolojia
katika muundo wa kada za UtumishiSerikalini,kutokuwepojengo au
sehemu mahsusi ya kufanyia biashara ya madini ya thamani kubwa hapa
nchini pamoja na ukwepaji wa kodi na tozo za
Serikalinautoroshwajiwamadiniya vitohasamiongonimwawazalishajina
wafanyabiasharawadogowamadiniya vito hususani
Tanzanite.Pamojanachangamotohizo, Kalugendoalielezakuwaufumbuzi
wake ni pamoja na matarajio ya kuanza tena kukua kwa uchumi wa
Dunia hivyo kuinua mauzo na bei ya almasi na
vito.Alitajaufumbuzimwinginewa changamotokuwanikuendeleakutoa
elimukwaummakuhusumadhara yavitendovyaukwepajikodinatozo mbalimbali
za Serikali.Alisemajuhudizimeongezwakatika
usimamiziwaSheriailikuhakikisha hatua stahiki zinachukuliwa pale
vitendo vyauvunjajisheriavinapobainikana
kuthibitishwa.MkurugenzihuyowaTansort alieleza mwelekeo wa Tasnia
husika kwa mwakawafedhaulioanza(2015/16),
kuwanipamojanakuendeleakutimiza majukumu yake kwa ufanisi zaidi
pamoja na kujenga uwezo wa Kitengo ili kiweze
kutoahudumakwaWatanzaniawengi
zaidi.Vilevile,Kalugendoalitajamwelekeo mwingine wa Tansort kuwa ni
kutoa elimu ya kulinda na kukuza soko la ndani na nje la almasi na
vito kwa lengo la kuchangia ukuaji wa sekta ya almasi na vito
nchini ili iweze kutoa mchango mkubwa kiuchumi kwa
Taifa.AlimaliziakwakuwaasaWathamini MadiniyaAlmasinaVitokufanyakazi
kitaalamu, kizalendo, kwa uwazi na kwa
kujitumailikuhakikishaSerikaliinapata mrabaha stahikina kuhakikisha
mchango watasniahiyokwenyeuchumiwanchi
unaongezeka.KazikuuzaTansortnikuchambua
nakuthaminimadiniyaalmasinavito vyarangipamojanakutoahudumaza
Kijemolojia, kusimamia mauzo ya almasi na vito pamoja na kufanya
tafiti za masoko na bei za madini hayo kwenye masoko ya
kimataifa.Mratibu wa Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC), Mussa
Shanyangi akiwasilisha mada kuhusu Maendeleo ya Kituo hicho kwenye
Semina ya Wathamini Madini ya Vito na Almasi iliyofanyika Agosti 12
na 13 katika Hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza.Kutoka Kushoto ni
Mkurugenzi wa Kitengo cha Uthaminishaji wa Madini ya Almasi na Vito
cha Wizara ya Nishati na Madini (TANSORT) Archard Kalugendo, Kaimu
Katibu Mkuu wa Wizara Mhandisi Ngosi Mwihava, Kaimu Kamishna wa
Madini nchini Mhandisi Ally Samaje na Mkurugenzi wa Utawala na
RasilimaliWatu Mrimia Mchomvu, wakijadili jambo muda mfupi kabla ya
kuanza kwa Semina ya Wathamini Madini ya Vito na Almasi nchini,
iliyofanyika Agosti 12 na 13, 2015 katika Hoteli ya Gold Crest
jijini Mwanza5Bulletin Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA
NISHATI/MADINISerikali yazungumzia usalama wa mazingira na afya kwa
wachimbaji MadiniNa Veronica Simba -
MwanzaImeelezwakuwaSerikaliinafanya jitihadambalimbalikatika
kuhakikishainawajengeamazingira mazuri ya kazi wachimbaji wadogo wa
Madini hususan katika kujikinga namadharayanayotokananamatumizi ya
kemikali hatarishi kwa afya zao na jamii
inayowazunguka.Hayoyalielezwahivikaribunikwa nyakati tofauti na
Wataalamu wa Serikali wa Afya na Mazingira kutoka Wizara ya
NishatinaMadinipamojanaWakala waUsalamanaAfyaMahalapaKazi
(OSHA).Wataalamhao,WinnifridaMrema kutokaKitengochaMazingiracha
WizarayaNishatinaMadininaDkt. AbdulssaraamOmarykutokaOSHA,
walikuwawakiwasilishamadakwa nyakatitofautizinazohusuAfyana
Uhifadhiwamazingirakwenyeshughuli zauchimbajiMadini,katikaSeminaya
WathaminiMadiniyaAlmasinaVito nchini, iliyofanyika katika Hoteli ya
Gold CrestjijiniMwanzaAgosti12na13, mwaka
huu.Pamojanakupongezajitihada zinazofanywanaSerikalikatika
kuhakikisha shughuli za uchimbaji Madini zinafanyika katika hali ya
usalama pasipo kuathiriafyayaviumbenamazingira,
DktOmaryalishaurimambokadhaa yazingatiwe zaidi ili kupata ufanisi
katika kuendeleza jitihada hizo.Alishaurikuongezaufahamuau
ujuziwamatumiziyakemikalihatarishi miongonimwawatumiajinawanaouza
kemikalihizo,kuhamasishawachimbaji kuelewanakutoakipaumbelekwa
masualayaafyanausalamamahalipa kazi,pamojanakutumiavifaakinga
(PersonalProtectiveEquipments-PPE) ipasavyo.
Vilevile,DktOmaryambayepiani KaimuMenejawaAfyawaOSHA,
alishaurikuwanauhifadhiwakemikali unaozingatiaviwango,kuwekaalama
zaviashiriahatarikatikavyombovya kuhifadhia kemikali, na kukuza
uelewa wa uhifadhi na utunzaji wa kemikali miongoni mwa
wachimbaji.Kwaupandewake,BibiWinnifrida MremaambayeniMkemiaMkuu,
alishaurikuendelezauelimishajina kuongeza ufahamu kwa wadau
mbalimbali wa sekta ya madini kuhusu mbinu bora za
uhifadhiwamazingiramigodinipamoja na namna bora ya kukabiliana na
majanga au athari mbalimbali zinazosababishwa na uharibifu wa
mazingira.Aidha,BibiMremaalishaurina
kusisitizaushirikianonawadauwenye dhamanayakusimamiamasualaya
mazingira kutoka sekta mbalimbali kama
vileMaafisaMazingirawaWilayaili washirikianenaMaafisawaMazingira
kutokaWizarayaNishatinaMadini katika kusimamia shughuli
zinazofanywa na wachimbaji wadogo wa madini nchini,
hususankatikamasualayausalamawa mazingira na afya za wachimbaji
wenyewe pamoja na jamii inayowazunguka.Mkemia Mwandamizi kutoka
Kitengo cha Mazingira cha Wizara ya Nishati na Madini, Bibi
Winnifrida Mrema, akiwasilisha mada kuhusu uhifadhi wa mazingira
migodini katika Semina ya Wathamini Madini ya Almasi na Vito
iliyofanyika Agosti 12 na 13 katika Hoteli ya Gold Crest jijini
Mwanza.Wathamini madini vito waaswa kuwa wabunifuNa Veronica Simba
- MwanzaKaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi
NgosiMwihavaamewataka Wathamini Madini ya Vito na Almasi nchini
kuendelea kuwa wabunifuilikutafutamajibunasuluhisho kwa changamoto
zinazoikabili tasnia ya vito nchini.Aliyasemahayoalipokuwaakifungua
SeminayaNneyaWathaminiMadiniya Vito na Almasi nchini iliyofanyika
Agosti 12 na 13, mwaka huu katika Ukumbi wa Hoteli ya Gold Crest,
jijini Mwanza.Mwihavaalisemakuwachangamoto
mbalimbalizinazoikabilitasniahiyo zitawezakuondolewaendapowatumishi
katikakadahiyowatajitumakufanyakazi
kwauaminifu,weledinaubunifuwahali juu. Napendakuwakumbushakwamba
Watanzaniawanatakakuonafaidastahiki kutoka katika sekta ya madini
hasa itokanayo naalmasinavitovingine;kadhalikahata mimi nataka
kuona matokeo yanayopimika namalengohayokutimianahatakuzidi
viwangowanavyotarajia,alisemaKaimu Katibu
Mkuu.Akifafanuazaidi,Mwihavaaliongeza
kuwaangependakuonaSokolauhakika kwaMadiniyanayopatikananchini
hususanAlmasinaVitoiliWatanzania wanaojishughulisha na biashara
hiyo wajue utaratibu wote.Alisemakuwaangependakuona
wataalamhaowakitumiaipasavyo mitandaoiliyopokatikakuwavutia
wafanyabiasharanawakatajiwavitokuja nchini kununua na kuwekeza
katika tasnia husika.Aidha,Mwihavaaliongezakuwa
angependakuonawataalamuhaowa Madini ya vito na almasi wakitumia
ujuzi waokatikakuwasaidiawadauwatasnia
husikakupatatafsirisahihinakuzingatia Sheria ya Madini ya mwaka
2010 pamoja na Kanuni zake.Nawaagizamzingatiemaadilina
miongozoyakazikatikautekelezajiwa majukumuyenu;msomenakuzingatia
Sera ya Madini ya mwaka 2009, Sheria ya Madini ya mwaka 2010 pamoja
na kanuni zake na Mkataba wa Huduma kwa Mteja, alisisitiza Mwihava.
Vilevile,KaimuKatibuMkuu alitahadharishakuwayeyoteatakayefanya
kazikinyumenamatarajio,kwakupokea rushwa,wiziaukufanyajambojingine
lolote kinyume na maadili ya utumishi wa
Ummanakusababishakuathirijuhudi zinazofanywa na Wizara,
hatavumiliwa.AkizungumziamchangowaSerikali
katikakuinuatasniayaMadiniyavitona almasi, Mwihava alisema Wizara
imeahidi kuongezamapatoyatokanayonasektaya
madiniilikuongezauwezokwaSerikali kujitegemea katika bajeti yake.
Endapo azma hii itafanikiwa, uchumi
wetukamaTaifautakua,fursazaajira zitaongezekanakipatochaWatumishi
kitaboreshwa.Aidha,wananchiwatapata
hudumastahiki,muingilianowabiashara
utakuanahivyokuchocheaufikiajiwa malengo ya Dira ya Taifa, yaani
kuwa nchi yenye kipato cha kati ifikapo 2025.
Alisisitizakuwasualamuhimuzaidini
kuhakikishaWatanzaniawanaridhishwa
nautendajikaziwawatumishiwaSerikali
hususanwaliokokatikakadahusikana kuwaonyeshaWatanzaniakwambawana
uwezowakusimamiasektahusikakwa niabayaonapiawananchiwaonekwa
manenonavitendokwambakazihiyo inafanyika
vizuri.Mwihavaalihitimishakwakuwataka
washirikiwaseminahiyokuitumiakama fursa muhimu ya kujitathmini,
kubadilishana uzoefu,kupeanambinuzautendajibora, kutafuta majibu ya
changamoto mbalimbali zinazowakabilinakukumbushanamaadili mema ya
kazi na utumishi wa umma. Alitoachangamotokuwaanatarajia baada ya
semina husika, wataalam hao wa sekta ya Madini vito na almasi
watakuja na mkakatiwakuboreshaukusanyajimapato ya Serikali kutoka
katika tasnia ya almasi na vito, ili kuisadia Wizara kufikia
malengo ya makusanyo na kuboresha utendaji wao. Mkurugenzi wa
Kitengo cha Uthaminishaji wa Madini ya Almasi na Vito cha Wizara ya
Nishati na Madini (TANSORT), Archard Kalugendo (Kulia), akimwongoza
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara, Mhandisi Ngosi Mwihava kuingia Ukumbi
wa Semina ya Wathamini Madini ya Vito na Almasi nchini,
iliyofanyika Agosti 12 na 13 katika Hoteli ya Gold Crest jijini
Mwanza.6 Bulletin Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA
NISHATI/MADININa Asteria Muhozya, LindiWachimbajiwasiokuwa na
Leseni za uchimbaji madiniwameshauriwa wajirasimisheili kuweza
kupata leseni za uchimbaji au leseni ndogo za biashara ya madini,
hatua ambayo itawezesha wapate mapato na serikali kupata kodi
stahiki.RaihiyoilitolewanaMhandisi waMadinikutokaWizarayaNishati
naMadini,RaysonNkyawakatiwa MaoneshoWakulima(NaneNane)
yaliyofanyikakatikaViwanjavya Ngongomkoani,Lindi,nakuongeza
kuwa,wachimbajimadiniwanatakiwa kuzitumia ofisi za Madini zilizoko
katika Mikoambalimbalinchinikwaajiliya
kupatataarifasahihikuhususektahiyo, ikiwemo kufahamu bei elekezi ya
madini ya vito utambuzi na uthaminishaji madini
.Aliongezakuwa,Ofisizamadini zinawatambuawafanyabiasharawenye
leseni hivyo kufika kwao katika ofisi hizo
kutasaidiakuwaunganishawachimbaji hao na wafanyabiashara wa madini
jambo ambalo pia litasaidiakudhibiti utoroshaji wa madini
nchini.Wakati huo huo, Nkyaalieleza kuwa,
kumekuwanamwitikiomkubwawa wachimbajikujitokezakutumiahuduma za
maombi ya leseni kwa njia ya mtandao
(OnlineMiningCadastre),nakuwataka wachimbajikutumianjiahiyokwanini
bora na rahisi zaidi.HivisasaWizarainaendeleakutoa
elimuyakuhusunjiahiyompya,vilevile tumetumiamaoneshoyaNaneNaneili
wachimbaji waliopo katika mikoa ya Lindi na Mtwara wapate elimu na
taarifa sahihi kutokavyanzosahihikuhususektahii, alisema Nkya.
Katika hatua nyingine, Afisa Mazingira Mwandamizi,WizarayaNishatina
Madini,EphraimMushi,akizungumza nawananchikatikaMaoneshohayo,
alisemakuwa,KitengochaMazingira katikamwakawafedha2015/16kwa
kushirikiana Ofisi za Halmashauri pamoja na Taasisi Zisizo za
Kiserikali kimepanga kutumia Mpango Kazi wa Mazingira wa Wizara wa
mwaka 2011-2016 kutoa elimu ya mazingira katika Mikoa kadhaa nchini
ikiwemo Lindi na Mtwara.Aliongezakuwa,elimuhiyo
itasaidiakuzuiauharibufuwamazingira
unaotokananaukatajimitikwaajiliya matumizi ya kuni na mkaa kama
nishati inayotumiwa kila siku. Aidha,aliongezakuwa,Kitengo
kimepangakuhamasishajamiikuhusu matumiziyateknolojiarahisikwaajili
yakuzalishakuninamajikosanifuna banifuyatayotumiakuninamkaakwa
kiasi kidogo. Kitengo cha Mazingira pia
kimejipangakutoaelimukuhusuathari zamabadilikoyatabianchiambayo
yanatokananashughulizakibinadamu ikiwemo za kukata miti,alisisitiza
Mushi. Aidha,akizungumziamasualaya
ulinziwamiundombinuyakusafirishia
gesiasiliakutokaMtwarakupitiaLindi, PwanihadiDaresSalaam,Mjiolojia
MwandamiziWizarayaNishatina Madini,HabbasNgulilapialisema
kuwaulinzihuounapaswakuwa shirikishiukiwahusishawananchiwote
wanaopitiwanamiundombinuhiyo, kwani manufaa yakesi tuyatainufaisha
Mikoa ya Lindi na Mtwara bali taifa
zima.Ngulilapialiongezakuwa,manufaa yatakayotokana na rasilimali
hiyo ni mengi ikizingatiwakuwa,matoleoyabomba
lagesihiyoyamejengwakatikamaeneo mengi hivyo suala la ulinzi ni
muhimuna siyo kuiachia Serikali pekee.Wachimbaji wasio na leseni
washauriwa kujirasimishaMhandisi Rayson Nkya (katikakati)
akimwonesha mwananchi aliyetembelea banda la Wizara, taarifa
mbalimbali kupitia kipeperushi kuhusu wizara, wakati wa maonesho ya
NaneNane. Wanaofuatilia kushoto ni Godfrey Fweni na kulia ni Godwin
Masabala.Mhandisi wa Mazingira kutoka Kitengo cha Mazingira Wizara
ya Nishati na Madini, Ephraim Mushi (wa kwanza kulia), akiwaeleza
jambo kuhusu masuala ya mazingira wananchi waliotembelea Banda la
Wizara Wakati wa Maonesho ya Nane Nane, Lindi. Katikati ni Afisa
Madini kutoka Kanda ya Kusini, Kasuhu Warioba.Mhandisi wa Mazingira
kutokaKitengo cha Mazingira Wizara ya Nishati na Madini, Ephraim
Mushi (katikati) na Afisa kutoka Wizara ya Nishati,Salum Kazikamwe
(kulia) wakimsikiliza mmoja wa wananchi waliotembelea banda la
Wizara.Mmoja wa wananchi waliotembelea banda la Wizara ya Nishati
na Madini akiweka saini katika kitabu cha wageni, Wanaofuatilia
(katikati) ni Godfrey Fweni na kulia ni Mjiolojia Mwandamizi Habbas
Ngulilapi.7Bulletin Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA
NISHATI/MADININdyetabula Clinton, Dar es SalaamImeelezwa kuwa
madini yaTanzania hususanTanzaniteyataanza
kutambulikakimataifabaadanchiza maziwa makuu kukamilisha ujenzi wa
maabara nchini Tanzania kwa ajili ya upimaji wa madini ili kubaini
asili yake.HayoyalielezwanaKaimuKatibu
MkuuwaWizarayaNishatinaMadini, MhandisiNgosiMwihavakwenye ufunguzi
wawarsha ya kimataifa ya madini iliyokutanisha wataalam
mbalimbalikutoka nchi za Maziwa Makuu.NchizaMaziwaMakuunipamoja
naTanzania,Kenya,Uganda,Rwanda, Burundi, Zambia, Sudan Kaskazini,
Sudan Kusini, Kongo, Jamhuriya Demokrasia ya Kongo na
AngolaMhandisiMwihavaalisemakuwa kumekuweponachangamotoyamadini
yaTanzanitekutokutambulikaasiliyake kutokana na utoroshwajiwa
madini hayo unaofanywanawafanyabiasharawasio
waaminifu.AlisemanchizaMaziwaMakuu zilikubalianamambombalimbaliili
kudhibitibiasharaharamuyamadinina kuwaponasheriazinazotawalakatika
udhibiti wa biashara haramu ya madini na uhalalishajiwa madini
pamoja na kujiunga naMpangowaKuongezaUwazina Uwajibikaji katika
Tasnia ya Uziduaji (EITI)Aliendeleakutajamambomengine
kuwanipamojawachimbajiwadogo kutambuliwakatikamfumohuonautoaji wa
taarifa za madini. Mwijage akagua miradi ya umeme pembezonimwa
bomba la GesiNa Teresia MhagamaNaibuWaziriwaNishatina
Madini,CharlesMwijage amefanyaziarayakukagua utekelezajiwamiradiya
umemevijijiniAwamu yaPiliinayotekelezwapembezonimwa
bombakubwalagesikatikamkoawa Mtwara.Pamojanakukaguamiradihiyo
inayofadhiliwanaWakalawaNishati Vijijini(REA)nakutekelezwanashirika
laUmemenchini(TANESCO),Naibu Waziri pia amekagua maendeleo ya kituo
chakuchakatagesikilichopokijijicha Madimba katika mkoa wa
Mtwara.KatikaziarahiyoMwijageameagiza
kuwavifaavyaumemevinavyohitajika katikautekelezajiwamiradihiyoya
umeme,viwasilishwendaniyawakati uliopangwa ili miradi hiyo
itekelezwe kwa ufanisi.Akijibu suala hilo la uwasilishaji vifaa
vyaumeme,MhandisiMiradiwaREA, JensenMahavilealisemakuwavifaavya
utekelezaji wa mradi huo ikiwemo nguzo
zaumemevitawasilikwameliwishoni mwa wiki hii.1. Naibu Waziri wa
Nishati na Madini, Charles Mwijage (mwenye suti ya bluu) akiwa
amezungukwa na wanakijiji cha Sinde B, mkoani Mtwara wakati wa
ziara yake ya kukagua utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini.2.
Naibu waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage akisaini kitabu
cha wageni katika ofisi ya Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara kabla ya
kuanza ziara ya kukagua miradi ya umeme vijijini mkoani
Mtwara.Kushoto ni Katibu Tawala mkoa wa Mtwara, ALfred Luanda.3.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage (kulia)
akijadiliana jambo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa
Kimataifa, Benard Membe, (katikati) mara baada ya Naibu Waziri
kuwasili mjini Mtwara kwa ziara ya kukagua miradi ya umeme vijijini
inayotekelezwa pembeni mwa bomba la gesi mkoani Mtwara. Kushoto ni
Christopher Bitesigirwe, Mhandisi wa Nishati, Wizara ya Nishati na
Madini.4.Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage
(kushoto) akimsikiliza mwananchi wa kijiji cha Mnaweni mkoani
Mtwara, Bakari Oga ambaye alikuwa akimweleza Naibu Waziri kuhusu
changamoto ya utekelezaji wa miradi ya umeme kijijini hapo.12
34Naibu waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage (wa pili)
kushoto akijadiliana jambo na wataalam wa Wizara ya Nishati na
Madini alioambatana nao katika ziara ya kukagua miradi ya umeme
vijijini inayofadhiliwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika
mkoa wa Mtwara.Kutoka kushoto ni Mjiolojia Mkuu, Sebastian Shana,
Eng. Robert Dulle na Christopher BitesigirweTanzanite kutambuliwa
zaidi kimataifaMjiolojia Mkuu kutoka Wizara ya Nishati na Madini,
Aloyce Tesha (kushoto) akifafanuajambo kwa waandishi wa habari
waliohudhuria warsha hiyo.Kulia ni Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara
yaNishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava.8 Bulletin
Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA NISHATI/MADINIWaziri wa Ujenzi,
Dkt. John Magufuli akizungumza jambo wakati wa Kilele cha
Maadhimisho ya Wakulima (NaneNane) kushoto ni Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt.Jakaya Kikwete.Afisa Mwandamizi kutoka
Wizara ya Nishati na Madini, Mjiolojia Habbas Ngulilap akihojiwa na
mwandishi wa Channel Ten wakati wa Maadhimisho ya Wakulima
NaneNane. Wanaomsikiliza ni Mhandisi wa Mazingira Ephraim Mushi
(katikati) na Mhandisi wa Nishati Marwa Petro.Rais wa Jamhuri
yaMuungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete akibonyeza kitufe
kuashiria Uzinduzi wa Benki ya Wakulima.Afisa kutoka Wizara ya
Nishati na Madini, Mhandisi Shukran Gilbert akiwaeleza baadhi ya
wanafunzi waliotembelea banda la Wizara wakati wa maonesho ya
Wakulima (NaneNane) kuhusu masuala yanayohusu Nishati.MATUKIO
KATIKA PICHA: NANENANEWatumishi wa Wizara ya Nishati na Madini,
kutoka kushoto, Godfrey Fweni, Kasuhu Warioba, Tulimbumi Abelna
Godwin Masabala wakiwasiliza wananchi waliofika banda la Wizara
wakati wa maonesho ya Wakulima (NaneNane), Lindi.Waziri wa Nchi,
Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
(TAMISEMI), Hawa Ghasia (kushoto) akisoma vipeperushi katika banda
la Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), kulia
anayemwandalia machapisho ni Mkuu waKitengo cha Mawasiliano TPDC,
Maria Msellemu.9Bulletin Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA
NISHATI/MADINIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, Jakaya
Kikwete akivishwa Skafu na Chipukizi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),
mara baada ya kuwasili katika Viwanja vya Ngongo, Lindi, kufunga
Maadhimisho ya Wakulima (NaneNane).Waziri wa Kilimo, Chakula na
Ushirika, Stephen Wassira akizungumza na wananchi (hawapo pichani)
wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Wakulima (NaneNane),
Lindi.Maafisa kutoka Wakala wa Ukaguzi wa Madini (TMAA) Ysambi
Shiwa (kulia) na Lydia John (kushoto) wakijadiliana jambo katika
banda la TMAA wakati wa maonesho ya Wakulima (NaneNane),
Lindi.Kamishna Msaidizi wa Madini Kanda ya Kusini, Mhandisi
Benjamin Mchwampaka akimkabidhi Mkutubi wa Chuo cha Madini Dodoma
(MRI) Kanuti Mhongole, Tuzo inayokitambua Chuo hicho kama Taasisi
bora katika utoaji wa mafunzo nchini iliyotolewa katika kilele cha
Maadhimisho ya Wakulima (NaneNane) yaliyofanyika katika viwanja vya
Ngongo mkoani Lindi.NANENANEMhandisi wa Nishati Wizara ya Nishati
na Madini Marwa Petro akiwaonesha Grid ya Umeme wananchi waliofika
banda la Wizara ya Nishati na Madini wakati wa Maadhimisho ya
NaneNane yaliyofanyika viwanja vya Ngongo, Lindi.Baadhi ya wananchi
waliohudhuria Kilele cha Maadhimisho ya Wakulima (NaneNane)
iliyofanyika Kitaifa mkoani Lindi, wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (hayupo pichani).10
Bulletin Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA NISHATI/MADINIMATUKIO
KATIKA PICHA:Meza Kuu wakiwa katika Semina ya Wathamini Madini ya
Vito na Almasi nchini. Semina ilifanyika Agosti 12 na 13, 2015
katika Hoteli ya Gold Crest jijini Mwanza. Kutoka Kushoto ni
Mkurugenzi wa Kitengo cha Uthaminishaji wa Madini ya Almasi na Vito
cha Wizara ya Nishati na Madini (TANSORT), Archard Kalugendo, Kaimu
Katibu Mkuu wa Wizara Mhandisi Ngosi Mwihava, Kaimu Kamishna wa
Madini Ally Samaje na Mkurugenzi wa Utawala na RasilimaliWatu
Mrimia Mchomvu.Kamishna Msaidizi wa Madini, Kanda ya Ziwa Victoria
- Magharibi, Mhandisi David Mulabwa akifuatilia mada mbalimbali
katika Semina ya Wathamini Madini ya Vito na Almasi nchini
iliyofanyika Agosti 12 na 13, 2015 katika Hoteli ya Gold Crest
jijini Mwanza.Kaimu Kamishna wa Madini nchini, Mhandisi Ally
Samaje, akifafanua jambo katika Semina ya Wathamini Madini ya Vito
na Almasi nchini iliyofanyika Agosti 12 na 13, 2015 katika Hoteli
ya Gold Crest jijini Mwanza.Mtaalamu kutoka Kitengo cha
Uthaminishaji wa Madini ya Almasi na Vito cha Wizara ya Nishati na
Madini (TANSORT), Bw. Edward Rweyemamu (aliyesimama), akizungumza
jambo wakati wa Semina ya Wathamini Madini ya Vito na Almasi nchini
iliyofanyika Agosti 12 na 13, 2015 katika Hoteli ya Gold Crest
jijini Mwanza.Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini,
Mhandisi Ngosi Mwihava (Wa pili kushoto waliokaa mbele), akiwa
katika picha ya pamoja na Washiriki wa Semina ya Wathamini Madini
ya Vito na Almasi. Wengine kutoka Kulia (waliokaa) ni Kamishna
Msaidizi wa Madini Kanda ya Ziwa Victoria - Magharibi, Mhandisi
David Mulabwa, Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Mrimia
Mchomvu, pamoja na Mkurugenzi wa Kitengo cha Uthaminishaji wa
Madini ya Almasi na Vito cha Wizara ya Nishati na Madini (TANSORT),
Archard Kalugendo.MADINI VITO/ALMASI11Bulletin
Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA NISHATI/MADININa Mohamed
SaifWachimbajimadininchini wametakiwakufuata sheriakatikashughuli
zao zote ili kuepukana na migogoro isiyo ya
lazima.Witohuoumetolewahivikaribuni mjini Songea na Afisa kutoka
Kitengo cha LesenizaMadini,WizarayaNishatina
Madini,IddMgangawakatiwamafunzo ya matumizi ya huduma za leseni kwa
njia ya mtandao yaani Online Mining Cadastre Portal kwa wachimbaji
wadogo wa madini Kanda ya Ziwa Nyasa-
Songea.Akizungumzakwenyemafunzohayo,
Mgangaaliwaasawachimbajikuepuka kufanya shughuli zao bila kufuata
utaratibu maalumuliowekwanaSerikali.Mkifuata
sheriazinavyoelekezahatamigogoro kwenyeshughulizenuhaitokuwepo,
alisema Mganga.Alisema kwa kufuata sheria, kanuni na
taratibuzilizowekwanaSerikali,shughuli za uchimbaji madini
zitaongeza kipato kwa mchimbaji mmoja mmoja na kwa Taifa kwa
ujumla.Mgangaaliwatakawachimbajiwa madini kushirikiana na Serikali
kwa kulipa kodi na tozo zinazotambulika kisheria kama inavyoagizwa
kwenye Sheria ya Madini ya Mwaka 2010 ili kuimarisha sekta ya
madini nchini na vilevile kukuza uchumi wa
Taifa.Alisemailimchimbajiwamadini anufaike zaidi na shughuli
husika, yampasa azingatieanayoelekezwanawataalamu
wamadinikwanikwakufanyahivyo kutamuwezesha kuwa na uchimbaji madini
wenye tija kwake binafsi na kwa Taifa kwa
ujumla.Aidha,aliwaasawachimbajiwadogo
wamadininchinikuhakikishawanafika
kwenyeOfisizaMadinizilizokaribuyao huku wakiwa na leseni zao hai
kwa ajili ya uhakikinahatimayekusajiliwailikuweza kutumia Mfumo huo
wa OMCTP.Naye Mhandisi wa Migodi kutoka Ofisi ya Madini kanda ya
Ziwa Nyasa, Mhandisi George Wandibha akizungumza kwa niaba
yaKamishnaMsaidiziwaKandahiyo alisemaMafunzohayokwawachimbaji
madini ni mpango wa wizara wa kuwajengea uwezo wachimbaji wa madini
nchini. Alisema wizara inafanya kila jitihada ili mafunzo hayo
yawafikie wachimbaji wengi nchini,ndiyomaanahivileowachimbaji
mnaohudumiwanaOfisiyaMadiniya Songeamnafaidikanampangohuu,
alisema.Mhandisi Wandibha aliongeza kwamba
WizarayaNishatinaMadiniimepanga kuboresha huduma za leseni ili
kuwezesha shughulizauchimbajimadinikufanyika
kwauwazikatikakuwashirikishawadau walesenikwenyeUtoajiwalesenikwa
njiayamtandao(OnlineMiningCadastre Transactional Portal - OMCTP)
kwenye mfumo ujulikanao kama Mining Cadastral Information System
(MCIMS). AkizungumziaOMCTP,alisema wachimbajiwadogowamadininiwadau
wakubwa wa mtandao huo hivyo mafunzo hayo ni ya kuwaandaa ili
kuweza kuongeza ufahamu mpana wa mtandao huo na namna
unavyofanyakazizaupokeajimaombina utunzaji wa kumbukumbu za
leseni.Akizungumza kwa niaba ya wachimbaji
madiniwaliohudhuriamafunzohayo, MosesSunguraambayenimchimbaji
madini kutoka Kijiji cha Makoro, wilayani
MbingaaliipongezaWizarakwakuandaa mafunzohayonakuiombakuendeleza
mpangowamafunzoilihatawachimbaji ambaohawakuwezakuhudhurianao
wanufaike.Binafsi nimejifunza mambo mengi sana
maananilikuwanafanyashughulihiziza uchimbaji kienyeji sana na sasa
ninawaahidi kuwabaloziwenuhukoninapokwenda, alisema Sungura. Aidha,
akizungumzia huduma za leseni kwanjiayamtandao(OMCTP),alisema
kwambahudumahiyowameipokeavizuri na alielezea matumaini yao kuhusu
huduma husika.Kwatulivyoelekezwanawataalamu,
hudumahiiitatusaidiasanapamojana kutupunguziausumbufuwakusafirimara
kwamarakujakwenyeofisizamadini maanamamboyotetutafanyawenyewe,
alisema Sungura.MfumowaHudumazaLesenikwa njia ya mtandao
ulizinduliwa rasmi mnamo tarehe 8 Juni, 2015. Uzinduzi huo
ulifanyika baadayakipindichamwakamzimawa maandalizi ya mfumo huo wa
kielektroniki ujulikanaokamaOnlineMiningCadastre Transactional
Portal (OMCTP). Pamoja na malengo mengine, inaelezwa
kwambaMfumohuoumeanzishwaili kutekeleza agizo la Serikali la kutaka
Wizara na taasisi za Serikali ziwe zinapokea malipo ya Serikali kwa
njia za kielektroniki. OMCTP ni neema kwa waombaji leseni za madini
nchiniWachimbaji madini watakiwa kufuata sheriaNa Mohamed Saif,
NjombeImeelezwa kwamba huduma ya leseni zamadinikwanjiayamtandao
itampunguziagharamanaadhaza usafirimmilikiwalesenizamadini
kwakumuwezeshakulipiaadaza leseni yake pale alipo.Hayo yameelezwa
hivi karibuni na Afisa MadiniMkazi-Njombe,SamwelAyubu alipokuwa
akifungua mafunzo ya matumizi kuhusuhudumazalesenikwanjiaya
mtandaoyaaniOnlineMiningCadastre Portal(OMCTP)kwawachimbajiwa
madini mkoani Njombe. Ayubualisemakupitiamfumowa
zamani,wakatimwinginemmilikiwa lesenianalazimikakusafiriumbalimrefu
nakutumiaghramakubwanakupata usumbufu usio wa lazima pindi
anapohitaji kuhuisha leseni yake ama pale anapokuwa na maombi ya
leseni.Kwakupitiahudumahiiya kielektroniki,mmilikiwaleseniataweza
kuepuka changamoto mbalimbali alizokuwa
akikutananazowakatiwamfumowa zamani wa uombaji leseni, alisema
Ayubu.Alitajamanufaamengineambayo yanatokananahudumahiyokuwani
kuongeza uwazi na kasi ya utoaji wa leseni
zamadinikwakuwawaombajiwaleseni watajazamaombiyaleseniwaowenyewe
nahivyokupunguzatatizolamlundikano wa maombi kwenye ofisi za
madini. Aidha,AfisaMadiniMkazihuyo aliwatakawachimbajiwaliohudhuria
mafunzohayokuwamabalozikwawale ambaohawakupatafursayakuhudhuria
mafunzo hayo.Kwamafunzomtakayoyapatahapa,
nawaombamkawewalimukwawenzenu ambao hawakufanikiwa kuhudhuria
semina hii, alisema.Alimaliziakwakuwaasawachimbaji
haokuhakikishawanatembeleaOfisiya Madini-Njombekwalengolakupatiwa
elimu zaidi kuhusu mfumo huo na vilevile kufika hapo kwa ajili ya
kusajiliwa kwenye huduma hiyo.Mjiolojia Mwandamizi, Idd Mganga
akiwasilisha mada kwa wachimbaji madini wa Songea (hawapo pichani)
wakati wa mafunzo ya huduma za leseni kwa njia ya mtandao
yaliyofanyikia mjini Songea.Afisa Madini Mkazi- Njombe, Samwel
Ayubu (kulia) akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mafunzo kwa
wachimbaji Madini wa Mkoani Njombe kuhusu Huduma za Leseni kwa njia
ya Mtandao (OMCTP) mjini Njombe. Wengine ni Maafisa kutoka Kitengo
cha Leseni Mjiolojia Mwandamizi, Idd Mganga (kushoto) na Mhandisi
Edward Mumba (katikati).Watumishi wa Wizara ya Nishati wakiwa
katika picha ya pamoja kwenye Ofisi za Madini-Njombe baada ya
Mafunzo kwa wachimbaji madini mkoani humo. Watatu kutoka kushoto ni
Afisa Madini Mkazi-Njombe, Samwel Ayubu kushoto kwake ni Idd Mganga
na kulia kwake ni Mhandisi Edward Mumba.12 Bulletin
Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA NISHATI/MADININa Teresia Mhagama,
LindiChuochaMadini,Dodoma (MRI)kimepataTuzo inayokitambuaChuohicho
kamaTaasisiborakatika utoajiwamafunzonchini iliyotolewa katika
kilele cha Maadhimisho yaWakulima(NaneNane)yaliyofanyika katika
viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.TuzohiyoilitolewanaRaiswa
JamhuriyaMuunganowaTanzania, Dk.JakayaMrishoKikwetena
kupokelewanaKamishnaMsaidiziwa Madini,KandayaKusini,Mhandisi
BenjaminiMchwampakaambaye aliiwakilisha Wizara na Taasisi zake
katika Maadhimisho hayo.Akiongea mara baada ya kupata Tuzo hiyo,
Mkutubi wa MRI, Kanuti Mhongole alieleza kuwa Chuo hichokina
wanafunzi 668 wanaosomea kozi mbalimbali katika
ngaziyaChetinaStashahadaikiwemo Jiolojia,UhandisiMigodi,Uchenjuaji
Madini,UhandisinaUsimamizi MazingirakatikaMigodinaKoziya Mafuta na
Gesi.Alielezakuwakwakutambua mchangowawadauwamadinikatika kukuza
uchumi wa nchi, Chuo hicho pia hutoa kozi mbalimbali za madini za
muda mfupiambazohuwalengawachimbaji wadogo,wafanyakaziwamigodini,
watumishiwaserikali,watumishikatika sekta binafsi na wadau
mbalimbali katika sektazamadinipamojanamafutana
gesiilikuhakikishashughulizamadini zinakuwa zenye
tija.Aliongezakuwa,ilikuwezakujiunga na Chuo hicho kwa masomo
katika ngazi ya cheti na Stashahada lazima uwe na sifa za uhitimu
wa kidato cha nne na kufaulu masomoyasayansikuanziakiwango
chaalamaDkatikamasomoyasayansi ambapoDmbilizinatakiwakuwaza masomo
ya fizikia na hisabati.Vilevile alieleza kuwa Chuo kipo katika
mchakatowakubadilimfumowakewa utoaji wa mafunzo ya aina moja na
kuingia katika mfumo wa utoaji mafunzo ya kada mbalimbali za
kitaalam (polytechnic).Kanuti alisema kuwa Chuo kimeamua
kubadilimfumouliopokwasasana kuhamiakatikamfumompyawa
polytechnicilikutanuawigowautoaji mafunzoambapokitawezakufundisha
masomoyasektayamadiniambayo yanatolewasasapamojanataaluma nyingine
kulingana na mahitaji ya Taifa.Chuokimeonakunasababuza
msingizakuhamiakwenyepolytechnic kutokananamahitajiyanchikwa
sasa,kwamfanokutokananauwepo warasilimalizagesinamafuta,Chuo
chetukimeanzakutoakoziyamafuta nagesikatikangaziyastashahadahivyo
kuwawezesha watanzania wengi kushiriki
katikakuendelezasektahiyo,alisema
Kanuti.AlielezakuwaadhimahiyoyaChuo
imeshatangazwakatikagazetilaserikali
nataratibumbalimbalizakukamilisha mchakato huo zinaendelea.Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete akimkabidhi
Kamishna Msaidizi Kanda ya Kusini, Mhandisi Benjamin Mchwampaka
Tuzo inayokitambua Chuo cha Madini Dodoma kama Taasisi bora katika
utoaji wa mafunzo nchini iliyotolewa katika kilele cha Maadhimisho
ya Wakulima (NaneNane) yaliyofanyika katika viwanja vya Ngongo
mkoani Lindi. Anayeshuhudia ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mwantumu
Mahiza.Chuo cha Madini chapata Tuzo NaneNaneWatumishi wa Chuo cha
Madini Dodoma, wakifurahia Tuzo mara baada ya kukabidhiwa na
Kamishna Msaidizi Kanda ya Kusini Benjamin Mchwampaka. Chuo
kilipata Tuzo hiyo inayokitambua kama Taasisi bora katika utoaji
mafunzo nchini wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Wakulima (Nane
Nane), yaliyofanyika mkoani Lindi na kufungwa na Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete.Watumishi wa Wizara na
Taasisi zake walioshiriki katika Maadhimisho ya Wakulima (NaneNane)
mkoani Lindi wakishangilia pamoja na Kamishna Msaidizi Kanda ya
Kusini, Mhandisi Benjamin Mchwampaka (wa sita kushoto) mara baada
ya kukabidhiwa Tuzo inayokitambua Chuocha Madini Dodoma kama
Taasisi bora katika utoaji wa mafunzo nchini.13Bulletin
Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA NISHATI/MADININa Asteria Muhozya,
LindiKamishna Msaidizi wa Madini KandayaKusini,Mhandisi
BenjaminMchwampaka amesifu hatua ya Kanda hiyo
kuvukalengolaukusanyaji maduhuli ya madini kwa asilimia 102. 86 kwa
mwaka wa fedha 2014/15 na kueleza kuwa,mafanikiohayoyametokanana
elimu iliyotolewa na Ofisi za Kanda hiyo kwawananchikuhusuumuhimuwa
kulipa kodi.Mchwampaka aliyaeleza hayo wakati
akihojiwanawaandishiwahabari waliofikakatikabandalaWizaraya
NishatinaMadiniwakatiwaKilelecha MaadhimishoyaSikuyaWakulima
(NaneNane) yaliyofanyika katika viwanja vya Ngongo, mkoani Lindi,
na kufungwa naRaiswaJamhuriyaMuunganowa
Tanzania,Dkt.JakayaMrishoKikwete. Waandishihaowalifikabandanihapo
ilikufahamuninamnaganiKandahiyo imewezakuvukalengolaukusanyaji
Maduhuli iliyopangiwa na Serikali.Aidha,sababunyingineilitajwa
naMchwampakakuwanikutokana nauwekekajiwavizuiziiliKudhibiti
usafirishajimadinikatikamaeneoya kuingia na kutoka katika Mkoa wa
Mtwara jamboambalolimepelekeawachimbaji wote kulipa kodi stahiki na
hivyo Kanda hiyo kuongoza kwa ukusanyaji miongoni mwa Kanda zote
nchini.Tuliwaelimishawachimbajina wananchi na wakaelewa kwamba,
madini nimaendeleonakuwawanatakiwa kulipa kodi. Lakini zaidi
tuligundua kuwa Mtwaranikubwanamjiunaojengwa
kwakasihivyotukajipanga,alisema Mchwampaka.Aidha, alieleza kuwa,
bado watanzania wengihawakotayarikulipakodiza Serikali hivyo
alitumia fursa hiyo kutoa rai kwawachimbajiwotenchinikulipakodi
zinazotokananashughulizauchimbaji, kwa kuwa kodi inayopatikana ni
kwa ajili ya manufaa ya taifa zima.TaarifailiyotolewaawalinaOfisa
MadiniKandahiyoKasuhuWarioba, ilielezakuwa,Mtwarailipewalengola
kukusanyakiasichashilingimilionimia
tisa(900,000,000/-)lakiniilivukalengo
nakukusanyazaidiyashilingimilioni
miatisaishirininatano.(925,000,000/-), ambayo ni sawa na asilimia,
102.86 na hivyokushikanafasiyakwanzakatika ukusanyaji maduhuli
madini nchini katika mwaka 2014/15.Kwa ujumla Kanda ya Kusini
ilipewa lengolamakusanyoyashilingibilioni
1.2,lakiniilifanikiwakukusanyakiasi
chabilioni1.85ikiwanisawanaasilimi 90.42nakuwaKandayaKwanzakwa
ukusanyajimaduhulinchini,ilieleza sehemu ya taarifa hiyo.Kwa mujibu
wa Mchwampaka, Madini yaujenzindiyoambayoyamechangia kiasi kikubwa
zaidi katika maduhuli hayo nakuyatajakuwanipamojanamadini ya Jasi
(gypsum), kokoto, chokaa, shaba, na madini ya chumvi. Aidha
aliyataja pia madinivitonadhahabuinayopatikana eneo la
Masasi.Katikahatuanyingine,akifunga Maadhimishohayo,RaisKikwete
alielezakuwa,SerikaliyaAwamuya Nneimetekelezamasualamengikatika
sektayakilimoambayoaliitajakuwa nikiongozikatikaajiranategemeola
asilimia 75 ya watanzania waishio vijijini. Vilevile, alieleza
kuwa, Serikali imejitahidi kutekelezailichoahidikatikaIlaniya
ChamachaMapinduzi(CCM),na kuongezakuwa,haliyakiuchumikatika
mikoayaLindinaMtwaraikiwemo uzalishaji,
umeongezeka.Aidha,Katikakilelehicho,Rais
KikwetealizinduaBenkiyaWakulima nakuelezakuwa,itakuwamkombozi
wawakulima,kwaniitawezesha kutatuachangamotoambazowakulima
wanakabiliana nazo.Mchwampaka aeleza Siri ya Mafanikio
UkusanyajiMaduhuliKamishna Msaidizi wa Madini Kanda ya Kusini,
Mhandisi Benjamin Mchwampaka, (kulia) akimsikiliza, Mkuu wa Wilaya
ya Liwale, Ephraim Mmbaga (kushoto) alipotembelea banda la Wizara
ya Nishati na Madini, wakati wa maonesho ya NaneNane yaliyofanyika
kitaifa mkoani Lindi. Anayesikiliza ni Mhandisi wa Nishati, Wizara
ya Nishati na Madini, Marwa Petro.Kamishna wa Madini Msaidizi Kanda
ya Kusini, Mhandisi Benjamin Mchwampaka (wa pili kushoto)
akimweleza jambo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za
Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia ( wa kwanza
kushoto) wakati alipotembelea banda la Wizara wakati wa maonesho ya
NaneNane yaliyofanyika kitaifa mkoani Lindi. Wanafuatilia kulia ni
Maafisa kutoka wizaraniKamishna wa Madini Msaidizi Kanda ya Kusini,
Mhandisi Benjamin Mchwampaka akihojiwa na Waandishi wa Habari
kutoka Star TV ambao pia walitaka kufahamu ni namna gani Kanda hiyo
imevuka malengo katika ukusanyaji maduhuli ya madini.14Bulletin
Newshttp://www.mem.go.tzHABARI ZA NISHATI/MADINIKwa wadau wa sekta
za Nishati na Madini, tembelea kurasa mpya za Wizara kwenye
Mitandao ya Kijamii ya Twitter na Facebook kwa anuani ya Nishati na
Madini Karibu tuhabarishane na tujadili kuhusu sekta za Nishati na
Madini kwa maendeleo ya Watanzania wote.Imetolewa na Kitengo cha
Mawasiliano SerikaliniNa Koleta Njelekela STAMICOWaziriwaNishati na
Madini George Simbachawene a n a t a r a j i wa k u z i n d u a
KamatiyaPamojayaUendeshaji JointOperatingCommittee(JOC)
yaMgodiwaTanzanite,uliopo Merelaniilikuimarishausimamizi wa
uendeshaji wa mgodi huo.KaimuMkurugenziwa RasilimaliwatunaUtawala
waShirikalaMadinilaTaifa (STAMICO),DeusdedithMagala amesema
uzinduzi wa Kamati hiyo yaJOCutafanyikakatikaeneola
mgodilililopoMerelanitarehe14 Agosti, 2015.KwamujibuwaMagala,
Kamatihiyoinawajumbe3 kutokaSTAMICOna3kutoka
TanzaniteOneMiningLimited (TML). Magalaamesema STAMICOkupitia
Serikali iliingia rasmi ubia wa umiliki wa mgodi wa
TanzaniteOneuliopo KitaluCkwauwiano wa50:50yaleseniya
uchimbajimadiniwa Tanzanitemnamo tarehe20Juni,2013na Kampuni hiyo
ya TML. Kamatihiyoya JOCinamajukumuya kusimamiashughuliza
uendeshajinauzalishaji wamgodizinazofanywa naTMLilikuhakikisha
kuwazinazingatia mashartiyamkataba kwamanufaayapande
zotekatikamfumo waubia;kuidhinisha bajetinamipangoya
uzalishajinamaendeleo yamgodi;kubunisera zitakazosaidia uendeshaji
wa mgodi nakuundakamatimbalimbali kulingana na mahitaji katika
harakati za kuimarisha utendaji katika Mgodi wa Tanzanite wa
Merelani. Aidha, Magalaamesema kuwa KamatiyaJOCpiaitawajibika
kuingiamakubalianoyapamojana Kitengo cha Uangalizi na Usimamizi
(MonitoringandEvaluationUnit) kuhusu mfumo wa uendeshaji mgodi wa
Tanzanite wa Mirerani. Kitengo hiki chenye wawakilishi
kutokapandezote,kilianzishwana STAMICOAprili,2014nakina
jukumulakufuatilia,kusimamia nakushaurijuuyamwenendowa
uendeshajiwamgodipamojana utekelezajiwamasualayamkataba wa ubia.
Simbachawene kuzindua Kamati ya Pamoja ya Uendeshaji (Joint
Operating Committee-JOC) ya Mgodi wa Tanzanite -Merelani