-
ISSN 0856 - 3861 Na. 1142 DHULQAAD, IJUMAA , SEPTEMBA 12-18,
2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=
Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz
Jamani Zanzibar hakuna magaidi! Zanzibar kuna watu wanaotaka
mamlaka kamili ya nchi yao.
Muundo wa Muungano wa Serikali mbili, unalenga kuitia kitanzi
Zanzibar kama nchi.
Masheikh wa Uamsho wa l i g u n d u a h i l o n a walisimama
kidete kuidai
Mtuhumiwa wa ugaidi akatwa mguuYadaiwa ni kutokana na mateso ya
kutishaMwingine mahututi, asomewa kesi kitandaniWaislamu
wawasilisha malalamiko Ikulu
Hiyo ndiyo gharama ya kutaka Zanzibar huru!
Hata Mzee Aboud Jumbe yalimkutaAlikwenda Dodoma Rais akarudi
raia
Fitna hii Kisonge kwa faida ya nani?
Zanzibar yao huru.Masheikh hao, s iyo
w a k w a n z a k u p a t a misukosuko kutokana na kuidai
Zanzibar huru.
Hata Mzee Aboud Jumbe alipohoji tu muundo tata wa Muungano wa
Serikali mbili alionja joto ya jiwe! (Soma uk. 8)
Sheikh Bassaleh ataka Serikali ichukue hatua
Asema aliyofichua Farid ni mazitoKongamano Kichangani Jumapili
Uk. 4
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Uhusiano, Mh. Steven Wasira. Sheikh
Rajabu Katimba
Hakuna kitu kinachowaliza wenye akili zaidi kuliko wasiwasi wa
kuokoka na Moto na kupata Pepo! Hijja peke yake ndiyo inayoweza
kumsafisha muislamu na madhambi yote, akarudi kama siku aliyozaliwa
na mama yake, na akapata Pepo katika muda wa siku tano. Gharama
zote ni Dola 4,500. Karibuni Ahlu Sunna wal Jamaa kwa mipango
mizuri na huduma bora. Karibuni kwa Hijja "mabroor". Tafadhali
wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0655/0765/0682/0777 - 462022;
Zanzibar: 0777468018/0685366141/0657606708.
(18) KUPATA PEPO KWA SIKU TANO!
-
2 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 12-18, 2014AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786Cel: 0784 370 208, 0713 110 148,
0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]
zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
Tahariri/Habari
SHEIKH Ponda Issa Ponda (kushoto) akiteta jambo na Wakili wake
Juma Nassor, katika Mahakama Kuu Dar es Salaam hivi karibuni.
SIKU za hivi karibuni, serikali imelazimika kuingia gharama za
dharura ili kukabilia na ugonjwa wa Dengue, ambao uliibua wasiwasi
na kuwa tishio la maisha ya watanzania ,hususan wakazi wa jiji la
Dar es Salaam.
Haukupi ta muda, hivi sasa tunaishuhudia ser ikal i ik i
lazimika tena kuingia gharama za dharura, kujiandaa kukabiliana na
hatari ya ugonjwa wa Ebola, ambao tayari umekuwa tishio na
umeshagharimu maisha ya maelfu ya watu katika nchi za Afrika
magharibi.
Hata hivyo, wakati t u k i e n d e l e a n a maandalizi haya,
maisha ya watanzania yanazidi kuteketea kila uchao kutokana na
kukithiri ajali za barabarani.
Kipindi hiki , kwa muda mfupi tu, tayari zimetokea ajali mbaya
na za mfululizo zaidi ya tatu za mabasi ya abiria na kuangamiza
maisha ya watu.
Wiki iliyopita, zaidi ya watu hamsini walipoteza maisha yao
katika ajali iliyohusisha mabasi ya abiria ya kampuni za J4 Coach
na Mwanza Coach, ajili iliyotokea k w a m a b a s i h a y o
kugongana uso kwa uso katika barabara ya Mwanza Musoma.
Licha ya kusababisha vifo vya watu, ajali hiyo mbaya kabisa
ilijeruhi a b i r i a we n g i n e n a kusababisha uharibifu na
kupotea mali.
Haukupi ta muda, tukasikia ajali nyingine mbaya imetokea huko
Kilosa mkoani Morogoro, ambayo ilihusisha basi la abiria la kampuni
ya Air bus, linalofanya safari zake Dar -Tabora.
Tusifanye mzaha ajali zinatumaliza
Katika a ja l i h iyo, iliarifiwa kuwa abiria w a n n e w a l i
p o t e z a maisha katika eneo la tukio na wengine 35
kujeruhiwa.
Wiki hii, ikatangazwa ajali nyingine kutokea huko Songea mkoani
Ruvuma, ambapo basi dogo la abiria liligonga mt i na kupinduka .
Taarifa zimeeleza kuwa basi hilo lilipata ajali, baada ya dereva
wake kumkwepa mwendesha baiskeli na kushindwa kulimudu basi hilo na
hatimaye kuparamia mti na kupinduka.
Tumeelezwa kuwa abiria watatu walipoteza maisha yao na wengine
24 kujeruhiwa katika ajali hiyo.
Juzi tu huko mkoani L i n d i , t u l i a r i f i w a kwamba
gari la jeshi liliparamia nyumba za raia na kusababisha vifo.
Matukio ya ajali hizi yamefuatana sana. Hizo ni baadhi tu ya
ajali za barabarani , ambazo zinatokea na kuripotiwa kat ika vyombo
vya habari.
Tunaamini kabisa kwamba kila siku, maisha ya wengi yanapotea
sehemu mbal imbal i nchini , na wengine kujeruhiwa au kupata
ulemavu kutokana na kukithiri kwa ajali hizo, lakini taarifa za
ajali hizo zinakuwa hazivifikia vyombo vya habari kuripotiwa.
A j a l i z a p i k i p i k i pekee zimegharimu na zinaendelea
kuangamiza maisha ya wengi kila siku, achilia mbali za magari
binafsi, ya abiria na ya mizigo.
Hata hivyo, pamoja n a k u w e p o k w a ushahidi wa kutosha wa
kuteketea maisha ya watanzania kwasababu
ya kukithiri ajali za barabarani, bado serikali haionekani
kushtushwa na kasi ya ajali hizi kama inavyoshtushwa na ebola au
dengue, na hatimaye kuamua kuchukua hatua zinazotekelezeka za
kudhibiti ajali hizi.
Wengi tunashuhudia n a m n a a s k a r i w a usalama barabarani
wanavyotumia makosa ya waendesha vyombo vya moto barabarani, k u v
u n a f e d h a z a mifukoni.
Kuna tetesi kwamba wapo wanaombatana na vitabu viwili vya faini
(notification), vitabu halisi na dublicated, hizo ni tetesi na s i
tunazichukulia kuwa ni tretesi.
Yaani kosa linaloweza k u l e t a m a d h a r a barabarani,
linaweza k u f u m b i wa m a c h o likaachwa tu liendelee hata
likidhuru maisha ya wengine alimuradi afande kafutika senti zake
mfukoni.
N a k u m b u k a tulishawahi kuandika maoni katika gazeti hili
na kushauri serikali kufanya kila iwezalo, kuhakikisha kunakuwa na
vifaa vya kutosha na vya uhakika kwa ajili ya kuchunguza na
kufuatilia masuala ya usalama barabarani ( Ve h i c l e t r a c k i
n g system), kama ilivyo katika nchi za wenzetu.
Kwa kutumia vifaa
hivi , i takuwa rahisi kuwangamua madereva wazembe, wavuta bangi
au walevi akiendesha gari kihasara, bila hata ya kuwa na haja
askari wa usalama kila kona barabarani.
Tunaamini kabisa kwamba mfumo huo pekee, ndio utakaosaidia k u r
e j e s h a h e s h i m a barabarani na hatimaye k u o k o a m a i
s h a ya maelfu ya wananchi yanayopotea kila mwaka kwa ajali za
kizembe barabarani.
Pia tukumbushe tu kuwa, lingekuwa jambo la maana zaidi kwa
serikali kuliwezesha jeshi la polisi, hususan kikosi cha usalama
barabarani kuwa na vifaa vya kutosha vya uokoaji.
Hii itasaidia mara baada ya ajali kutokea, iwe ni rahisi kuokoa
m a j e r u h i , k u o n d o a maiti, mizigo na gari au magari
yaliyopata ajali katika eneo la tukio na huduma kuendelea bi la
usumbufu kwa watumniaji wengine wa barabara.
Jeshi la Polisi kama lilivyo na magari ya patro, linaweza kuwa
na magari yake ya break down na ambulance zao, ambayo yanaweza
kutoa huduma katika maeneo ya matukio ya ajali kwa wakati. Kama ni
malipo, yanaweza kufanywa na wenye vyombo vilivyohusika
na ajali na maduhuli kuingia katika mfuko wa serikali au katika
kitengo hicho cha usalama ili kumudu kujiendesha.
Kama kwa muda mfupi tu, serikali imeweza kutumia mabilioni ya
fedha kwa dharura ya kujipanga kukabilia na ebola, kama serikali
kwa muda mfupi ilipata fedha kugharamia mlipuko wa dengue, na
tunaamini likitokea afa jingine inaweza kuingia katika gharama za
kukinga wananchi wake, kwa nini isitumie dharura hiyo hiyo
kugharamia u w e k e z a j i k a t i k a usalama barabarani, ili
kuokoa maisha ya maelfu ya wananchi wanaokufa kila mwaka kwa ajali
za kizembe barabarani?.
Hata hivyo, tunashauri kwamba kwa maslahi ya usalama wa maisha
ya watu wetu, ni vyema pia elimu ya usalama b a r a b a r a n i i k
a w a inatolewa tangu shule za msingi, ili kujaribu ku jenga ta i
fa watu wenye ufahamu mzuri wa sheria za usalama barabarani siku za
usoni.
Hii i tasaidia sana kupunguza kwa kiasi kikubwa ajali zisizo za
lazima, zinazotokana na ujinga wa kujua sheria za barabarani, kwa
kuwa raia wote watakuwa wanajua sheria hizi wawe ni madereva au
watembea kwa miguu.
-
3 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 12-18, 2014Habari
Mtuhumiwa wa ugaidi akatwa mguuM M O J A w a Wa i s l a m u
waliopo mahabusu kwa tuhuma za ugaidi, imedaiwa k u wa a m e k a t
wa m g u u kufuatia jeraha alilolipata katika kile kilichodaiwa
kuwa ni mateso na vipigo wakati wa kukamatwa na akiwa rumande.
Wakati mtuhumiwa huyo aliyetajwa kwa jina la Sudi Nasibu Lusuma,
akipoteza mguu wake, mtuhumiwa mwingine, Abulkarimu Thabiti,
inadaiwa kuwa yu mahututi.
Hayo yamebainishwa na msemaji wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu
(T) Sheikh Rajabu Katimba, akiongea na vyombo vya Habari, katikati
ya wiki hii, katika Ofisi za TAMPRO, Magomeni, Jijini Dar es
Salaam.
Katimba amesema kuwa katika zoezi la kamata kamata dhidi ya
Waislamu inayoendelea katika miji ya Zanzibar, Arusha na Dar es
Salaam, wamebaini kuwa limekuwa likiambatana na utesaji uliovuka
mipaka.
A l i s e m a , u t e s a j i h u o unafanyika wakatika wa
kuhojiwa, kwani alidai hadi sasa wapo waliovunjwa miguu, waliopigwa
hadi kupoteza fahamu, na wengine kuhojiwa wakiwa uchi na mbaya
zaidi alidai kuna waliotumbukiziwa vitu katika sehemu zao za
siri.
Katika hao, Sudi Lusuma, kutoka Arusha imepelekea kukatwa mguu
kufuatia mateso makubwa yaliyopelekea mguu wake uliopondwa kuoza,
lakini Muislamu mwingine Abudulkarimu Thabiti, ni mahututi ambapo
alisomewa mashitaka akiwa taabani kitandani. Alisema Katimba.
Katimba alisema kuwa watu hao ni watuhumiwa tu, na haoni ni kwa
sababu gani wateswe tena ndani ya nchi ambayo inaongozwa kwa
utawala wa haki na sheria na kuheshimu misingi ya haki za
binaadamu.
Alisema, kimsingi umma unatambua wazi kuwa sheria ya ugaidi ya
mwaka 2002, kwa kiasi kikubwa ipo dhidi ya Waislamu nchini, hata
hivyo akasema Jumuiya hiyo haipingi watu kukamatwa na kuhojiwa kwa
taratibu za kisheria zinazozingatia maadili na utawala bora.
Tunachopinga vikali na kulaani ni kuteswa watuhumiwa na
kuwadhalilisha kwa hisia tu, mtu ahesabiwe kuwa ni
Na Bakari Mwakangwale mkosaji baada ya Mahakama kuthibitisha
tuhuma zake kisha apewe adhabu kwa mujibu wa sheria na taratibu za
nchi. Alisema Sheikh Katimba.
Akaongeza kuwa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu inajiuliza, hawa
watendaji wanaokiuka taratibu za sheria za nchi wana mwakilisha
nani katika zoezi hili la kutesa watuhumiwa.
Akabainisha kuwa Jumuiya na Taasisi, katika kufuatilia kadhia
hiyo, wamelazimika kukutana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
Uhusiano, Mh. Steven Wasira, ili kuwasilisha malalamiko ya Waislamu
juu ya yanayojiri kwa Waislamu wanaoteswa wakiwa mikononi mwa
vyombo vya dola.
Alisema, katika kikao chao na Waziri Wasira, Jumuiya na Taasisi
za Kiislamu (T), imetoa mapendekezo yake na namna ya
kulishughulikia
jambo hili la tuhuma za Ugaidi ambazo kwa asilimia kubwa
linathiri kundi moja katika jamii jambo ambalo ni hatari kwa
mustakabali wa Taifa kwa ujumla.
T u n a i t a k a S e r i k a l i kusimamia uadilifu katika
utendaji ili kutoleta hisia za
kundi fulani la wananchi kuhisi kuonewa, hii ni kutokana na
historia ya kuwa ni viongozi wa Kiislamu tu wanaokutwa na masaibu
haya. Alisema Katimba.
Jumla ya Waislamu 46, kutoka Jijini Arusha, Dar es Salaam na
Visiwani Zanzibar, wamekamatwa na kufikishwa Mahakamani kwa tuhuma
mbalimbali za Ugaidi.
Hata hivyo Agosti, 21. 2014, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi
Kisutu, Sheikh Farid Had Ahmed, na wenzake walitoa tuhuma nzito
mbele ya Mahakama hiyo kwamba, Jeshi la Polisi na Vyombo vya
Usalama, baada ya kuwakamata waliwatesa na kuwadhalilisha huku
wakidai kufanyiwa mambo machafu ya wale waovu wa Qaumu Lut.
Hatimaye rufaa ya Sheikh Ponda Issa Ponda sasa itaanza
kusikilizwa Septemba 22, 2014 Mahakama Kuu jijini Dar es
Salaam.
Jaji anayesikiliza shauri hilo, Augustino Shangwa, alisema kuwa
shauri la rufaa hiyo litasikilizwa katika chumba (chamber ) ,
ambapo sasa mawakili wa pande zote mbili, yaani upande wa Jamhuri
na ule wa Sheikh Ponda, watawasilisha hoja zao kwa maandishi.
M a m i a y a Wa i s l a m u walifurika mahakamani hapo
kufuatilia kesi hiyo huku msafara wa Waislamu kutoka Morogoro
ukiongozwa na Sheikh Ibrahimu Makange.
Hata hivyo Jaji anayesikiliza rufaa hiyo Mhe. Augustino Shangwa,
amewata Waislamu kutosumbuka tena kuja kwa wingi mahakamani hapo
kwa kuwa sasa kesi hiyo itakuwa ikisikilizwa katika chumba
(Chamber) na sio katika vyumba
Rufaa ya Ponda Septemba 22Waislamu waridhia ushauri wa Jaji
Shangwa
Na Abdulkarim Msengakamba vya kawaida vya mahakamani hapo
walivyovizoea.
"Tukubaliane kuwa siku ya tarehe 22 hakuna haja ya kuja kwakuwa
mawakili watakuja kuleta shauri lao kwa maandishi, sasa hakuna haja
ya kuja. Lakini siku ya hukumu mtaruhusiwa kuja wote. Hiyo ndiyo
siku muhimu, sio siku za kusikiliza shauri kwakuwa siku hiyo Sheikh
hamtamuona kwasababu kesi itakuwa ikisikilizwa chamber. Nawashauri
tu lakini siwazui kuja, alifafanua Jaji Shangwa.
Naye Sheikh Ponda alisimama na kumuomba Jaji atoe ushauri wake,
ambapo alisema kuwa yeye anakubaliana na ushauri wa Ja j i , lakini
akashauri kuwa itakuwa vyema Jaji a k a wa r u h u s u Wa i s l a m
u watano au sita kuwawakilisha wenzao kusikil iza shauri lake
mahakamani hapo, nao watawapelekea wenzao yale yatakayojiri
mahakamani hapo.
Jaji Shangwa alikubaliana na ombi la Sheikh Ponda.
Kufuatia maelezo ya Jaji Shangwa na Sheikh Ponda, Wa i s l a m u
w a l i o f u r i k a mahakamani hapo kwa pamoja waliridhia ushauri
wa Jaji pamoja na ombi la Sheikh.
Sheikh Rajabu Katimba.
Sheikh Ponda Issa Ponda.
-
4 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 12-18, 2014Habari
JUMUIYA ya Wamiliki wa Vyombo vya Habari nchini K e n ya ( M O
A) , i m e t i s h i a kuchukua hatua za kisheria ikiwa mswada
unaolipa Bunge nguvu za kuwaadhibu waandishi wa habari wanaolikosoa
Bunge hilo utapitishwa, liliripoti gazeti la Daily Nation la
Kenya.
Mswada wa Madaraka na Fursa za Bunge wa Mwaka 2014,
uliowasilishwa na Mbunge wa Eldas, Adan Keynan, unalipa Bunge nguvu
kubwa za kuubana uwezo wa waandishi wa habari katika kuandika
habari za Bunge na unatoa adhabu kali kwa kile walichokiita iwapo
uandikaji wao wa habari utaonekana una matatizo.
Mswaada huu mpya una vifungu hatari ambavyo kama vikiruhusiwa
kupita, vitabana uandishi wa habari za Bunge na pia kukandamiza
maandamano ya asasi za kijami," alisema Mwenyekiti wa MOA nchini
humo
Wanahabari Kenya vyapinga rasimu ya sheria 'kandamizi' ya
habari
Sheikh Bassaleh ataka Serikali ichukue hatua
MAALIM Ally Bassaleh, a m e s e m a m a m b o yaliyoelezwa na
Sheikh Farid, mbele ya Mahakama ni mazito, na kwamba mtu mzima
kutoa malalamiko ya kutendewa vitendo visivyo vya kibinadamu si
suala la kupuuzwa.
Ni kwa sababu hiyo, ameitaka Serikali ilipe uzito suala hilo
bila kujali yule aliyetoa tuhuma hizo ni mtu wa namna gani katika
jamii kwa kuzingatia utawala wa Sheria na haki za binadaamau.
Tuhuma hizo zimetolewa Mahakamani sio mtaani , na waliosema ni
Masheikh a m b a o n i v i o n g o z i wa Kiislamu wanaojua kwamba
kusema uongo ni haramu na haifai, bado Serikali mpaka leo
haishituki ipo kimya tu. Alisema Maalim Bassaleh, akionyesha
kustaajabu.
H a t a h i v y o a l i s e m a , k u o n y e s h a k w a m b a
wanachola lamikia ak ina Sheikh Farid, kuwa ni cha kweli, kwa mara
nyingine tena katika Mahakama hiyo (Kisutu) mmoja wa washitakiwa
hao ameionyesha Mahakama nguo yake ya ndani jinsi ilivyojaa damu,
akimwambia Hakimu, Angalia hii.., naomba nifanyiwe uchunguzi.
Alisema Maalim Bassaleh, akimnukuu mtuhumiwa huyo.
A l i s e m a , n i v y e m a Serikali ikaunda tume huru
uchunguzi ukafanyika ili ijulikane yale yamefanyika kweli au
hayajafanyika na kama yamefanyika hatua gani zinachukuliwa dhidi ya
wale waliofanya.
Kwa upande mwingine, Waislamu Jijini Dar es Salaam, wanatarajia
kukutana Jumapili ya Septemba 14, 2014 (Kesho kutwa), katika
Kongamano litakalo zungumzia madhila wayapayo Sheikh Farid Had na
wenzake waliopo gerezani, kwa tuhumza za Ugaidi.
K o n g a m a l o h i l o lililoandaliwa na Jumuiya na Taasisi
za Kiislamu (T) litafanyika katika Msikiti wa Kichangani, Magomeni
Jijini Dar es Salaam, kuanzia majira ya saa nane mchana (baada ya
swala ya Adhuhur) ambapo Masheikh wa Jumuiya hiyo watalitolea
taarifa suala hilo na hatua ambazo hadi sasa wameshazichukua.
Akizungumzia Kongamano hilo, Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la
Jumuiya na Taasisi za Kiislamu (T) Sheikh Ramadhani
Na Bakari Mwakangwale
Sanze, amesema baada ya taarifa hizo kusikika kupitia
Mahakamani, Jumuiya na Taasisi za Kiislamu zilikutana na kutafakari
madai ya Sheikh Farid Hadi.
Alisema, katika vikao vyao chini ya uwakilishi wa Jumiya hiyo
inayoundwa na taasisi zipatazo 30, walikubaliana mambo kadhaa ya
kulifuatilia suala hilo, ikiwamo Kongamano la kukutana na
Waislamu.
Sanze, amesema Kongamano hilo ni hatua ya mwisho katika
makubaliano ya viongozi wa Jumuiya na Taasisi, ikitanguliwa na
kukutana na viongozi wa Serikali na kulifikisha katika asasi
mbalimbali zisizo za Kiserikali, wakiwemo Mabalozi wa nchi
mbalimbali nchini.
Alizitaja sehemu ambazo tayari taarifa hiyo imefikishwa kwa
maandishi kuwa ni asasi za kutetea haki za binaadamu kama vile
Tanzania Human Right Legal Centre pamoja na Tume ya Haki za
Binadamu na Utawala Bora.
Pia alisema, wamefika kwa Balozi mbalimbali zilizopo nchini,
miongoni mwa hizo ni Ubalozi wa Finland, Norway, Ujerumani,
Uingereza pamoja na Marekani.
Kwa upande wa Vyama vya siasa, alisema wameonana na viongozi wa
vyama vya vya CCM, CHADEMA, CUF na NCCR, kote huko alidai
kuwa wameleza hatari ambayo inaweza kutokea endapo unyama na
udhalili kama huo hautokomeshwa.
Na kwa upande wa Serikali, alisema Viongozi wa Jumuya hiyo
wameonana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi, Mh. Steven
Wasira, pamoja na kumuandikia Jaji Mkuu wa Serikali, na
kuwafahamisha juu ya kadhia hii na.
Sasa hatua inayofuata n i k u f a n ya K o n g a m a n o kubwa
kabisa ili kuweka w a z i h a t u a a m b a z o viongozi
tumeshazichukua huku tukisubiri majibu na utekelezaji wake hususani
kutoka Serikalini. Kabla ya hatua hii tuliona ni vyema kwanza
tuonane na kuzifikisha katika mamlaka mbalimbali za Serikali na
zisizo za Serikali. Alisema Shkh. Sanze.
Alisema, Jumuiya na Taasisi hazihoji hatua ya vyombo vya dola
kukabiliana na tuhuma za kuwepo viashiria vya kuwepo ugaidi, bali
tatizo lao ni kuona jinsi haki za binadamu zinavyovunjwa tena chini
ya vyombo vya sheria huku mamlaka za Serikali zikiwa kimya kana
kwamba hakuna utawala wa Sheria.
Sanze, alikumbushi tukio la kuuwawa Waislamu katika Msik i t i
wa Mwembecha mwaka 1998, jambo ambalo lilikaliwa kimya huku wengine
wakifurahia na kupongezana.
na Mkurugenzi wa Standard Media Group, Sam Shollei, Siku ya
Jumatatu.
"Kama vyombo vya habari, tuna haki ya kuchukua hatua dhidi ya
uanzishwaji wa mswada huu na tutachukua hatua za kisheria
kuvitangaza vifungu husika kuwa ni kinyume cha sheria." Alisisitiza
Mkurugenzi huo ambaye pia aliwahi kuwa M k u r u g e n z i M t e n
d a j i wa Mwananchi commonication hapa nchini.
Alisema kuwa katika mswada huo, kulitukana Bunge ni kipengele
kilichoorodheshwa kuwa ni kosa linaloweza kuadhibiwa kwa faini ya
hadi shilingi 500,000 za Kenya (dola 5,650).
"Dhamira ya adhabu kama hizo inaonekana wazi inatokana na
kampeni za hivi karibuni za vyombo vya habari na asasi za kijamii
dhidi ya tabia za kibinafsi (za wabunge), ikiwepo ile ya
kujiongezea mishahara yao," alisema Bw. Shollei.
MAALIM Ally Bassaleh (kulia) akielezea jambo katika kongamano
lililofanyika Msikiti wa Kichangani hivi karibuni.
Katikati ni Sheikh Katimba.
-
5 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 12-18, 2014Habari
MAHAKAMA moja ya Misri imewahukumu vifungo kwa miaka 20 jela
viongozi wawili wa harakati ya Ikhwanul Muslimin nchini humo kwa
kosa la kujaribu kuwaua polisi wawili.
Mahakama hiyo Jumanne wiki hii iliwatia hatiani Bw. Mohamed al
Biltaji, kiongozi w a I h w a n u l M u s l i m i n na Safwat
Hijazi kiongozi wa kidini wa ngazi ya juu wa harakati hiyo kwa kosa
lililoelezwa kuwa ni kujaribu kuwaua polisi wawili katika
maandamano yaliyofanyika huko Cairo mwezi Julai mwaka jana.
Aidha mahakama hiyo imewawahukumu madaktari wawili kifungo cha
miaka 15 jela, kwa kosa la kuwatibu waandamanaji waliojeruhiwa kat
ika ghasia kubwa za maandamano huko Cairo.
Bw. Mohamed Bi l ta j i , ambaye anafahamika kama mkosoaji
mkubwa wa kitendo cha kuondolewa madarakani Bw. Muhammad Mors i ,
ametuhumiwa pia kwenye kesi nyingine kadhaa.
Mwezi Aprili mwaka huu, Bw. Bil ta j i al ihukumiwa kifungo cha
mwaka mmoja jela kwa kosa la kuvitukana vyombo vya mahakama vya
Misri.(www. irib.ir)
Mahakama Misri yawahukumu viongozi wa Ikhwan
P O L I S I n c h i n i K e n y a imewakamata raia wawili wa
Kijerumani kwa kuwashuku kuwa na uhusiano na al-Shabaab, liliripoti
gazeti la The Standard la Kenya Jumanne wiki hii.
U j e r u m a n i y a k a m a t a washukiwa 3 wa al-Shabaab
wakirejea kutoka Kenya
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Polisi cha Kupambana na Ugaidi nchini
humo, John Mulaulu, alisema watuhumiwa hao wawili walikamatwa
jijini Nairobi Agosti 29, siku kadhaa baada ya kuwasili kutoka
Somalia ambako walikuwa wakiishi tangu mwaka 2012.
"Kunaweza kuwepo na wapiganaji zaidi wa kigeni ambao sasa
wanarejea kwenye nchi zao kwa sababu kundi walilokuwa wakilipigania
linasambaratika," alisema Mulaulu.
Kwa mujibu wa shirika la habari la AFP, Wizara y a M a m b o y a
N j e y a
Wajerumani wakamatwa Kenya wakihusishwa na al-Shabaab
Ujerumani ilithibitisha kuwa raia hao wawili walikuwa
wamekamatwa, lakini haikutoa k wa u n d a n i s a b a b u z a
kukamatwa kwao.
S i k u y a J u m a m o s i , W a j e r u m a n i w a t a t u wa
l i k a m a t wa b a a d a ya kurudi nyumbani wakitokea Kenya,
wakishukiwa kuwa na mafungamano na al-Shabaab.
Walikamatwa kwa tuhuma za ugaidi kwenye uwanja wa ndege wa
Frankfurt na kupelekwa mahakamani siku iliyofuata, ambapo Jaji
aliamuru wawekwe kizuizini wakingojea kesi yao, ilisema ofisi ya
mwendesha mashtaka wa serikali ya shirikisho.
Raia kadhaa wa kigeni kutoka mataifa ya magharibi wamekamatwa
Afrika ya Mashariki kwa kuhisiwa kuwa na mafungamano na al
-Shabaab, huku Kenya ikionekana kama njia kuu ya kupitia kuingia
Somalia.(www.sabahionline)
RIPOTI ya uchunguzi wa ajali ya ndege ya Malaysia - MH17,
iliyotokea Mashariki mwa Ukraine imesema kuwa ndege hiyo iligongwa
na vitu vya kasi kubwa na kwamba, ilivunjika ikiwa angani.
Habari hizo zilizotangazwa k a t i k a r i p o t i m o j a
iliyochapishwa na idara ya
Ndege ya Malaysia ilitunguliwa Ukraineusalama wa safari za ndege
mj ini The Hague nchini Uholanzi, inaonyesha kuunga mkono dhana
kwamba ndege hiyo ilitunguliwa.
Abiria wote 298, wakiwa ni pamoja na raia 193 wa Uholanzi
waliuawa wakati ndege hiyo ilipoanguka Julai 17, wakati ikiwa
njiani kutoka Amsterdam kuelekea Kuala Lumpur.
N c h i z a M a g h a r i b i z i l i w a s h u t u m u w a a s
i wa n a o u n g wa m k o n o n a Urusi kwa kuitungua ndege hiyo
wakitumia mtambo wa kufyatua makombora kutoka ardhini.
Hata hivyo Urusi ilililaumu jeshi la Ukraine kwa kuhusika na
ajali hiyo.(www.irib.ir)
KIONGOZI wa kundi moja la waasi nchini Syria ameuawa Jumanne
wiki hii katika mlipuko wa bomu pamoja na maafisa wengine wa ngazi
ya juu wa kundi hilo.
Hata hivyo mpaka sasa hakuna kundi lililojitokeza k u d a i k u
h u s i k a n a shambulizi hilo lililomuua Bw. Hassan Aboud na
wanachama wengine wakuu wa Ahrar al-Sham.
A i d h a i m e e l e z w a kuwa haidhaniwi kuwa wanajeshi
watiifu kwa serikali ya Rais Bashar al-Assad wnaweza kuhusika na
tukio hilo, ikidaiwa kuwa katika operesheni zao huwa hawatumii
walipuaj i wa kuj i toa mhanga.
K u n a w a s i w a s i kwamba inaonekana majeshi yaliyopo ndani
ya makundi ya upinzani katika mgogoro wa Syria uliodumu miaka
mitatu sasa, ndiyo yalihusika.
S h a m b u l i z i h i l o liliulenga mkutano wa ngazi ya juu
wa kundi l a A h r a r a l - S h a m ulioandaliwa katika mji wa
Kaskazini Magharibi wa Ram Hamdan, mkoa wa Idlib nchini Syria.
Taarifa kutoka kwa kundi hilo zimesema mlipuko huo ulimuuwa
Aboud, anayefahamika pia kama Abu Abdullah al-Hanwi, pamoja na
viongozi wengine wakuu kumi na moja.
Mlipuko wa bomu waua viongozi wa waasi Syria
AL-HAMAWI Hassan Aboud Abu Abdullah
-
6 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 12-18, 2014Habari
SHIRIKA la kutetea haki za binadamu limesema katika ripoti yake
kuwa, wanajeshi wa Umoja wa Afrika wanaolinda a m a n i n c h i n i
S o m a l i a wamewadhalilisha kijinsia wasichana na wanawake wa
kisomali wanaoishi katika mazingira magumu mjini Mogadishu.
Shirika hilo la Human Rights Watch, limesema nchi za kiafrika
zilizochangia askari katika jeshi hilo pamoja na wafadhili wa
AMISOM, wanapaswa kushughulikia ukiukaji huo wa haki za binadamu
haraka iwezekanavyo na kuimarisha utaratibu ndani ya Somalia wa
kutafuta haki ya wanawake hao.
Ripoti hiyo yenye kurasa 71 iliyopewa jina la The Power These
Men Have Over Us' yaani nguvu walizonazo wanaume hawa dhidi yetu,
inaonesha waz i v i sa wal ivyofanya wanajeshi hao kwa kutumia
misaada ya kibinadamu, kuwadhal i l i sha k ingono wanawake na
wasichana tangu mwaka wa 2013.
W a n a j e s h i h a o wa n a se me k a n a k u t u m i a
misaada hiyo ili kuwashinikiza wanawake kushiriki vitendo vya
ngono.
Ripoti hiyo imeendelea kufafanua kuwa wanajeshi hao wamewabaka
baadhi ya wanawake waliokuwa wa k i t a f u t a m s a a d a wa
matibabu pamoja na maji katika kambi za AMISOM.
Umetolewa mfano kuwa mwaka 2013, mmoja mwenye umri wa miaka 15
alikwenda k a t i k a e n e o wa n a l o k a a wanajeshi wa Burundi
katika kambi ya AMISOM, kuomba msaada wa dawa kwa ajili ya mama
yake aliyekuwa m g o n j w a . I m e e l e z w a kuwa baadaye
mkalimani wa kisomali aliamuamuru kuwafuata wanajeshi wawili
waliokuwa na dawa hizo, kijana huyo aliliambia shirika la HRW
kwamba badala ya kupewa dawa alizohitaji , alipelekwa katika maeneo
ya misitu na kubakwa na mmoja wa wanajeshi hao, kisha baada ya
kitendo akapewa dola kumi na aliyemtendea unyama huo.
HRW limewahoji wanawake 21 waliopitia masaibu hayo.
A i d h a s h i r i k a h i l o l a
Kashfa nzito vikosi vya AMISOMWanawake wabakwa SomaliaNa Amina
Abubakar,HRW
kutetea haki za binadamu limekusanya vielelezo vyake kwa
kuwafanyia mahojiano wanawake 21 na wasichana ambao wameelezea
kubakwa au kudhalilishwa kijinsia na wanajeshi kutoka Burundi na
Uganda, wanaofanyakazi na wanajeshi wa Umoja wa Afrika.
B a a d h i ya wa n a j e s h i w a U m o j a w a A f r i k a
wanatumia nafasi zao vibaya kwa kuwafanyia maovu wanawake na
wasichana mjini Mogadishu, alisema Liesl Gerntholtz, Mkurugenzi wa
Haki za Wanawake katika
shirika hilo.Gerntholtz, amesema kwa
sasa Somalia ina matatizo mengi, lakini uongozi wa Somalia na
Umoja wa Afrika unaweza kubadilisha hali ilivyo kwa kuwawajibisha
wanajeshi waliotekeleza vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia.
Imeelezwa kuwa kwa miaka mingi ya mapigano na ukosefu wa chakula
nchini Somalia, yamesababisha maelfu ya watu kuyahama makazi yao
huku wakiishi bila kazi au kipato chochote cha kumudu maisha. Wengi
wanategemea usaidizi
kutoka nje na wanalazimika kushawishika katika visa vya
udhalilishaji ili kujikimu kimaisha pamoja na watoto wao.
Mwaka wa 2007 Baraza la Usalama la Amani la Umoja wa mataifa
liliwapeleka wanajeshi wa kulinda amani nchini Somalia
wanaojulikana kama AMISOM, chini ya maelekezo ya Baraza la Usalama
la Umoja wa Mataifa kulinda miundo mbinu ya Somalia, pamoja na
maafisa wa serikali na pia kusaidia katika kutoa misaada ya
kibinadamu.
Wanajeshi wa AMISOM wanachangiwa na mataifa ya Uganda, Burundi,
Kenya, Ethiopia, Djibouti, na Sierra Leone.
Hata hivyo wanaharakati wanasema Umoja wa Afrika, hauwezi
kulifungia j icho suala hili maana ya kwamba watakuwa wanaupotezea
uaminifu umoja huo katika mpango wake wa kulinda amani Somalia.
Shirika hilo limeeleza kuwa kinachohitajika hivi sasa ni
serikali zinazounga mkono uwepo wa vikosi vya AMISOM Somalia,
kufanya kazi na Umoja wa Afrika kumaliza visa vya udhalilishaji wa
kijinsia dhidi ya wasichana na wanawake nchini humo na kuchukua
hatua kwa wanajeshi wanaosemekana kutekeleza hujuma hiyo, huku
wakifanya kila wawezalo kukomesha kabisa visa hivyo.
KIJANA Ali Mahmoud wa Tomondo Wilaya ya Magharibi Unguja,
amefanya utafiti wa namna ya kuzalisha umeme nafuu wa upepo kuanzia
mwaka 1999. Mwaka 2009 kwa uwezo wake Allah (sw) utafiti wake
ulimwezesha kufanikiwa kugundua namna ya kuzalisha umeme nafuu kwa
upepo.
Hivi sasa anaunda mtambo wa majaribio wa kuzalisha umeme huo
huko Tomondo na kuthibitisha kipaji chake.
Mpaka sasa ameshatumia kiasi cha shilingi 6,000,000, katika
kuunda mtambo huo
Mvumbuzi huyu anahitaji msaadaikiwa ni michango ya Waislamu.
Awali aliwasilisha mchoro wa uvumbuzi wake Tume ya Sayansi na
Teknolojia Dar baada ya kuitwa Julai 31, 2012 kuonyesha uwezo
wake.
Tume ilithibitisha ubunifu wake na akashauriwa kuacha mchoro kwa
ajili ya kupelekwa Chuo cha Ufundi Dar Tech ili ufanyiwe kazi.
Hata hivyo hakuwahi kuitwa tena wala kupewa taarifa yeyote
kuhusu kuendelezwa ugunduzi wake. Hali hiyo ndiyo iliyomfanya
kuamua kuundeleza ugunduzi wake
yeye mwenyewe kwa msada wa michango ya Waislamu.
Majaribio ni gharama na Bw. Ali Mahmoud hana uwezo. Hivyo
anawaomba Waislamu, k u m c h a n g i a c h o c h o t e
watakachojaaliwa ili aweze kukamilisha uvumbuzi wake huo na
hatimaye kuzalisha umeme nafuu wa upepo utakaotokana na teknolojia
ya Mtanzania.
Msaada unaweza kufika kupitia namba zifuatazo:
0774 775189, 0659 382025A/c No 54110100021946
Benki ya Watu wa Zanzibar Ltd.
RAIS Museven. Jeshi lake linaunda jeshi la Afrika.
RAIS Uhuru Kenyatta. Jeshi la nchi yake lipo Somalia.
-
7 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 12-18, 2014Makala
KITABU kitakatifu cha Qurani kinawapigia mfano wa kiigizo
waumini, mke wa Firauni kama ni kiigizo cha juu.
Asia, mke wa Firauni a l i k u w a m u u m i n i n a m w a n a m
k e m w e n y e ufahamu mkubwa. Licha ya kuishi katika mazingira
mabaya kabisa ya dhulma na uonevu, yaani katika kasri ya Firauni,
hakuachana na imani yake thabiti na wala hakuathirika kifikra na
dhulma iliyokuwa ikifanywa na Firauni na wasaidizi wake.
M w a n a m k e h u y o alitawakali na kumtegemea Mwenyezi Mungu
na hivyo kushikamana na njia ya haki. Bila shaka Bibi kama huyo
anaweza kuwa miongoni mwa viigizo vyema na bora kwa wanadamu kwa
ajili ya malezi. Mwenyezi
Mungu anasema katika aya ya 11 ya Surat at-Tahrim kwamba: Na
Mwenyezi Mungu amewapigia mfano walio amini - mkewe Firauni, alipo
sema: Mola wangu mlezi! Ni jengee kwako nyumba peponi, na uniokoe
na F irauni na v i tendo vyake, na uniokoe na watu madhaalimu.
Bi. Maryam (AS), mama yake Nabii Issa (AS) ni mfano na kiigizo
kingine chema kwa waumini tunachoarifishiwa n a Q u r a n i t u k u
f u . Qurani inamuarifisha na kumtambulisha Bibi Maryam kwamba
ndiye mwanamke bora zaidi katika zama zake. Moja kati ya sura za
Qurani imeitwa kwa jina na Bibi mwema huyo.
Kwa hakika Bi. Maryam, ni mwanamke wa peponi. Miongoni mwa sifa
njema za Bibi mwema huyo ni usafi, tabia njema, kulinda heshima
yake, ukweli, uaminifu na utakasifu.
Ni kutokana na sababu hiyo ndio maana Mwenyezi Mungu akamchagua
Bibi huyo kuwa miongoni mwa wanawake bora kabisa ulimwenguni.
Mwenyezi Mungu anasema katika aya ya 12 ya Surat
Viigizo vya tabia na malezi katika Qurani tukufu-2Na Salum
Bendera
at-Tahrim kwamba: Na Mariamu binti wa Imrani, aliye linda
ubikira wake, na tukampulizia humo kutoka roho yetu, na akayasadiki
maneno ya Mola wake mlezi na vitabu vyake, na alikuwa miongoni mwa
watiifu.
Subira na uvimilivu na kustahamili matatizo na mushkili, ni sifa
nyingine aliyokuwa nayo Bibi mwema huyo, ambazo waumini wanaweza
kujifunza na kumfanya mwanamke huyo kuwa kiigizo chao katika maisha
hayo.
V i i g i z o v i n g i n e kat ika Qurani tukufu
vimetambulishwa kama ni mkusanyiko, mjumuiko wa watu wema, mataifa,
jamii ya watu fulani, kama vile As-Habul Kahf, yaani watu wa
pangoni. Katika Suratul Kahf, kuanzia aya ya 9 hadi 26 Mwenyezi
Mungu anaelezea kisa cha vijana hao waliohajiri, wakikimbia
udhalimu wa mtawala wa Kirumi. Vijana hawa wakawa ni kiigizo na
ruwaza njema kutokana na msimamo wao thabiti. Vijana hao walikuwa
wakiishi kat ika neema kubwa, lakini waliamua kuachana na neema
zote hizo ili kulinda imani yao na kuonyesha kutoridhishwa na
udhalimu na ukandamizaji uliokuwa ukionyeshwa na mtawala wa wakati
huo.
M w e n y e z i M u n g u anasema katika aya ya 13 ya Suratul
Kahf kwamba: Sisi tunakusimulia khabari zao kwa kweli. Hakika wao
walikuwa ni vijana walio muamini Mola wao mlezi. Na Sis i
tukawazidisha uwongofu.
Nabi i Yusuf (AS) n i miongoni mwa mifano na viigizo vingine vya
malezi ndani ya Qurani tukufu, ambavyo visa vyao ni ibra na
mazingatio makubwa kwa waumini. Kisa chake kinaenezwa na Qurani
kuwa ni, Ahsanal Qaswas, yaani simulizi nzuri kabisa. Qurani
inamtambulisha Nabii Yusuf (AS) kama bingwa na mshindi wa
kukabiliana na matamanio ya kinafsi.
Bi. Zulaikha aliyekuwa mke wa aliyekuwa mmoja wa watawala wa
Misri, alimtamani na kumtaka kimapenzi Nabii Yusuf (AS). Nabii huyo
wa Mwenyezi Mungu aliushinda mtihani huo kutokana na kutawakali na
kumtegemea Allah. Mwenyezi Mungu anaashiria hilo katika Surat
Yusuf, aya ya 23 kwa kusema: Na yule bibi wa nyumba a l i y o k u w
a m o Y u s u f alimtamani kinyume cha nafsi yake, na akafunga
milango. Akamwambia: Njoo! Yusuf akasema: Audhubillahi! Najikinga
na Mwenyezi Mungu. Huyu bwana wangu kaniweka maskani nzuri, na
hakika wenye kudhulumu hawatengenekewi.
Fauka ya hayo, Nabii Yusuf bin Yaqub (AS) alikuwa tayari
kuziacha raha zote na hishima aliyokuwa akipewa katika kasri la
mtawala huyo aliyekuwa mumewe Zulaikha, kama anavyosema Mwenyezi
Mungu katika Surat Yusuf, aya ya 33, Yusuf akasema: Ee Mola mlezi
wangu! Nastahabu kifungo kuliko haya anayo niitia. Na usipo
niondoshea vitimbi vya wanawake mimi nitamili kwao, na nitakuwa
katika wajinga.
Hivyo basi, watu waliotajwa katika Qurani tukufu kama ni viigizo
vya malezi, ni watu wa Mungu na shakhsia bora ambao maisha yao
yalijaa mambo mema na hiyo bila shaka ni natija ya kumtegemea na
kumtaka msaada Mwenyezi Mungu pekee pasina ya kumshirikisha. Maisha
ya watu hao yanaonyesha kwamba, mja anaweza kufikia kilele cha
tabia njema, saada na ufanisi kwa kuichagua njia sahihi na ya
haki.
Mwenyezi Mungu anatutajia kiigizo kingine cha malezi, nacho ni
Nabii Ismail, mwana wa Nabii Ibrahim (AS) na kumtaja Nabii huyo
kuwa ni nembo ya kusalimu amri mbele ya sheria na amri ya Mwenye
Mungu, mtu ambaye hakusita wala kutetereka wakati baba yake, yaani
Nabii I b r a h i m , a l i p o m wa m b i a kwamba ameamrishwa na
Allah amchinje.
Aidha Nabii Ibrahim, naye pia ni mja mwema ambaye wanadamu
hawana budi kumfanya kiigizo chao kutokana na subira kubwa
aliyoinyesha katika maisha yake na hasa katika kisa cha kuamrishwa
amchinje mwanaye kipenzi. Mbal i na vi ig izo vyema a m b a v y o m
w a n a d a m u anapaswa kuvifanya kuwa mfano wake wa kuiga, kama
tulivyosema katika kipindi chetu kilichopita, Qurani pia imetaja
viigizo vibaya ambavyo mja anapaswa kujitenga navyo na kupata ibra
na mazingatio kutokana na hatima iliyowapata watu hao.
Firauni, Qaruun, mke wa Nabii Luti na Nabii Nuhu ni baadhi ya
watu wanaotajwa ndani ya Qurani kuwa, si viigizo vyema ambavyo mtu
anapaswa kuvifuata.
Mamia ya Waislamu walifurika mahakama Kuu Dare s Salaam
kufuatilia kesi inayomkabili Sheikh Ponda Issa Ponda mahakamani
hapo hivi karibuni.
-
8 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 12-18, 2014Makala
NIMEUMIZWA kwa kiasi kikubwa na tuhuma za kudhalilishwa masheikh
w a U a m s h o , w a k a t i wakiwa mikononi mwa vyombo vya dola.
Jamani Zanzibar hakuna magaidi! Z a n z i b a r k u n a wa t u
wanaotaka mamlaka kamili ya nchi yao. Muundo wa Muungano wa
Serikali mbili, unaoshabikiwa na CCM, unalenga kuitia kitanzi
Zanzibar kama nchi. Masheikh wa Uamsho w a l i g u n d u a h i l o
n a walisimama kidete kuidai Zanzibar yao huru.
Labda niwakumbushe k idogo . Mashe ikh wa Uamsho visiwani
Zanzibar, siyo wa kwanza kupata misukosuko kutokana na kuidai
Zanzibar huru. Hata Mzee Aboud Jumbe alipohoji tu muundo tata wa
Muungano wa Serikali mbili alionja joto ya jiwe! A l i k w e n d a
D o d o m a akiwa Rais wa Zanzibar, akarudishwa Mji Mwema kama raia
wa kawaida! Hiyo ndiyo gharama ya kutaka Zanzibar iwe huru!
M a r e h e m u S h e i k h Ilunga Kapungu alipata kusema katika
mfululizo
Hakuna magaidi Zanzibar
Na Said Rajab.
wa makongamano yake kuhusu 'Mfumo na Athari zake Tanzania kwamba
visiwani Zanzibar, mfumo huo unafanya kazi kupitia Muungano wa
Serikali mbili. Ukigusa tu muundo wa Muungano, utawaona wenye
muungano wao waliojificha nyuma ya pazia wakija juu!
Angalau Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulikia
Sera, Uratibu na Bunge, bwana William Lukuvi amekuwa mkweli kidogo.
Huyu bwana alifichua kanisani, sababu halisi ya CCM kung'ang'ania
Muungano wa Serikali mbili. Kwenye hafla ya kusimikwa Askofu mjini
Dodoma, Lukuvi alisema Serikali tatu zitasababisha Zanzibar
kujitenga na kuunda Dola ya Kiislamu! Kwa hiyo hofu ni Uislamu
Zanzibar!
Lukuvi, bila ya kutambua,
harakati za kuidai Zanzibar huru, basi unakuwa adui namba moja
wa 'Mfumo', kwa sababu unasababisha mgongano wa maslahi. Wenye
Muungano wao lazima wakunyamazishe, kupitia vitisho, propaganda, u
d h a l i l i s h a j i n a h a t a
mwake.Nelson Mandela, kama
kiongozi wa chama cha 'African National Congress' (ANC),
aliendesha harakati za kupinga mfumo wa ubaguzi wa rangi kwa
kutumia njia zote, ikiwemo ushawishi na ghasia. Wakati leo Mandela
akiheshimika duniani kwa kazi yake hiyo, kipindi cha harakati zake
za kisiasa, yeye na chama chake cha ANC waliitwa magaidi!
Kama ilivyokuwa kwa Mzee Nelson Mandela, bado kuna maelfu ya
watu wengine hapa duniani, ambao wanapigania haki zao na kujitoa
muhanga, ili kuleta mabadiliko katika jamii zao. Watu kama hao ni
pamoja na wale Masheikh wa Uamsho visiwani Zanzibar. Kuna mafunzo
ya kuchota kwenye harakati za kuleta mabadiliko zilizoendeshwa na
Mzee Nelson Mandela.
M z e e h u y u a l i a m i n i katika msingi kwamba Waafrika
Weusi hawawezi kubaguliwa kwa sababu ya rangi yao. Imani hiyo n d i
y o i l i y o m s u k u m a kufanya harakati kadhaa, ili
kubadilisha mfumo huo katika mazingira ya nchi yake. Mandela
aliendesha
Inaendelea Uk. 9
a m e t h i b i t i s h a k i l e kilichosemwa na Sheikh Ilunga
Kapungu, kwamba ' M f u m o ' u n a wa t a f u n a Waislamu wa
Zanzibar kupitia Muungano huu wenye utata. Masheikh wa Uamsho
walikuwa wakifanya harakati za kuwazindua Wazanzibari kuhusu hatari
ya Muungano huu.
Sasa katika mazingira h a y a , u n a p o e n d e s h a
kubambikiwa kesi. Ni jambo la hatari sana!
Mzee Nelson Mandela, mwanaharakati mashuhuri wa kupinga ubaguzi
wa rangi nchini Afrika Kusini, ameondoka hapa duniani akiwa ni mtu
mwenye heshima kubwa. Heshima hiyo i l i tokana na j insi
alivyojitoa muhanga, katika harakati za kupinga mfumo wa ubaguzi wa
rangi nchini
MAREHEMU Sheikh Ilunga Kapungu.
HAYATI Nelson MandelaMZEE Aboud Jumbe (mwenye miwani)
akisalimiwa na Makamu wa Rais Dkt. Mohamed Gharib Bilal.
-
9 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 12-18, 2014Makala
Hakuna magaidi ZanzibarInatoka Uk. 8harakati za kuhakikisha
kwamba mfumo wa ubaguzi w a r a n g i ( A p a r t h e i d System),
haufanyi kazi na Waafrika weusi nchini humo hawatawaliki kupitia
mfumo huo.
A l i wa k u s a n ya wa t u wengine kujiunga naye na kufichua
maovu ya mfumo wa ubaguzi wa rangi, ikiwa ni pamoja na kuendesha
harakati za ghasia zilizolenga kuidhoofisha serikali ya makaburu.
Aliandaa watu na kuwajaza Itikadi ya ukombozi, ikiwa ni pamoja na
kuwajenga, ili waweze k u k a b i l i c h a n g a m o t o
zinazotokana na kusimamia msingi huu wa kupinga ubaguzi wa
rangi.
Mazingira hayo aliyoandaa Mzee Nelson Mandela, yalihakikisha
kwamba kifo chake au kutokuwepo kwake, hakuwezi kukwamisha harakati
za Waafrika Weusi kupinga kubaguliwa nchini mwao. Kazi hii ya
kusimamia msingi wa kupinga ubaguzi wa rangi, ilimfanya Mandela
alipe gharama kubwa mwaka 1962, wakati alipohukumiwa kifungo cha
maisha jela.
Chama cha (ANC) na tawi lake la kijeshi, Umqhonto we Sizwe,
kiliendelea na harakati zake kama kawaida, na ilipofika mwishoni
mwa miaka ya 1980, utawala wa makaburu wa Afrika Kusini, ukafahamu
wazi kwamba ubaguzi wa rangi hauwezekani tena nchini humo. Huyo
ndiyo Mandela. Mzee huyu ametufundisha kwamba mapambano ya kudai
haki hayakomi mpaka haki ipatikane.
Wasomaji wangu mniwie radhi, mada yangu leo siyo Mzee Nelson
Mandela na ANC yake. Natumia tu harakati za Mzee huyu kama mfano
hai wa kile ninachotaka kueleza. Binafsi, namkubali sana Nelson
Mandela, kama mwanaharakati asiyeyumba kat ika kus imamia l i l e
analoamini kuwa ni sahihi,
RAIS wa zamani wa Marekani, Ronald Reagan.
hata mazingira yakionekana magumu vipi. Yuko tayari kufa!
Mandela alichukiwa na tabaka tawala la Afrika Kusini wakati ule,
kwa sababu alikuwa akipigania
mabadiliko ya kuwaondoa watawala madarakani . Ser ikal i ya
Makaburu, Waziri Mkuu wa Uingereza, Margareth Thatcher na Rais
Ronald Reagan wa Marekani, wote walimwita "Gaidi."
M z e e M a n d e l a hakuchukiwa kwa sababu alipigania
mabadiliko, bali kwa sababu mabadiliko a l iyopigania yal i lenga k
u u n g ' o a m f u m o u l i o k u we p o . M a n d e l a al
iendesha harakati za k u u n g ' o a m f u m o w a ubaguzi wa rangi
nchini Afrika Kusini. Harakati zake kuwahamasisha wananchi kupinga
ubaguzi, ndizo zilizoishinikiza serikali ya M a k a b u r u k u a n
z a mazungumzo na chama cha ANC mwishoni mwa miaka ya 1980.
Mkakati ule ule uliotumiwa na utawala wa Makaburu nchini Afrika
Kusini pia u m e k u w a u k i t u m i w a na watawala katika nchi
nyingine zinazoitwa huru. Watawala hawa wamekuwa w a k i w a t u h
u m u w a l e wanaopigania mabadiliko ya mfumo kuwa magaidi au
wachochezi.
K a m a a l i v y o k u w a Mzee Mandela, Masheikh wa Uamsho,
wamekuwa w a k i f a n y a h a r a k a t i z i n a z o l e n g a k
u l e t a mabadiliko ya mfumo na muundo wa Muungano, ambayo
yataifanya Zanzibar kuwa huru na yenye mamlaka kamili kama nchi.
Muundo wa Muungano wa serikali mbili, unaopigiwa debe na CCM, hauna
dhamira njema na Zanzibar.
Harakati za kudai haki za Mzee Nelson Mandela zinatufundisha
kwamba kuleta mabadiliko ya mfumo maana yake ni mapambano makali
kati ya wanaonufaika na mfumo huo na wale wanaoupinga. Madhalimu
huwa hawataki mabadiliko ya mfumo. Lakini katika mapambano ya Haki
na Batili, Haki ndiyo itakayoshinda. Mwenyezi Mungu awape s u b i r
a M a s h e i k h w a Uamsho. InshaAllah kile wanachopigania
Zanzibar, iko siku kitakuwa kwa sababu ni haki.
VIONGOZI wa Jumuiya ya JUMIKI Zanzibar.
-
10 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 12-18, 2014Makala
SERA ya mambo ya nje ya Marekani hailengi kupambana na kuenea
kwa 'Uislamu wa siasa kali,' ni tofauti kabisa. Kuzuka kwa harakati
hizo kunaendana kabisa na sera za Marekani tangu kuanguka kwa
iliyokuwa Urusi na hali ya Mashariki ya Kati haikabani na mwelekeo
uliofichika wa Marekani.
Mkakati wa Marekani ni kukoleza na kudhibiti wimbi la ugaidi ili
kuyumbisha jamii za mataifa tofauti na kuzuia kuzuka kwa madai ya
kijamii yanayokinzana na maslahi ya himaya ya kiuchumi ya Marekani.
U t a w a l a w a Wa s h i n g t o n unaendelea kuunga mkono, kwa
kutumia operesheni za siri za CIA, kushamiri kwa siasa kali za
Kiislamu kote Mashariki ya Kati, katika Urusi ya zamani, na hata
China na India.
P r o p a g a n d a y a v i t a : Mashambulizi ya kigaidi katika
ardhi ya Marekani ya kiwango na aina ya Septemba 11 2001 yalifikia,
kwa mujibu wa mkuu wa zamani wa makao makuu ya Jeshi la Marekani,
Jenerali Tommy Franks ambaye ndiye aliyesimamia uvamizi wa Irak
mwaka 2003, kukauka kwa mfumo wa kikatiba wa serikali nchini
Marekani.
Katika mahojiano ya Desemba 2003, ambayo yalitajwa kwa uchache
mno katika vyombo vya habari nchini Marekani, Jenerali Franks
aliainisha mazingira ambako kuondolewa kwa utawala wa Katiba
kungefikia kuundwa kwa serikali ya kijeshi nchini Marekani.
Alisema shambuilio kubwa la kigaidi linalogharimu maisha ya watu
wengi mahali fulani katika nchi za Magharibi - iwe kwa mfano ni
Marekani - ambako kunafikisha mahali watu wanahoji Katiba yetu na
kuanza kuisuka upya nchi kijeshi ili kuondoa uwezekano wa shambulio
jingine kama hilo, iliyochapishwa katika blogu ya 'Cigar
Aficionado' (mpenda sigara nene) Desemba 2003.
Franks alikuwa akiashiria kile kinachoitwa kitaaluma 'tukio kama
la Pearl Harbour' (ambako Japan ilishambulia kwa ghafla kambi kuu
ya jeshi la Marekani katika Bahari ya Pacific wakati nchi hizo
hazikuwa vitani bado, mwaka 1942, ikaingiza Marekani vitani rasmi).
Tukio kama hilo lingezua mchecheto katika hisia za watu kukubali
kuundwa kwa serikali ya kijeshi yenye mtandao mkali sana wa usalama
wa taifa.
Tukio la kigaidi ambalo lingechukua maisha ya watu wengi
lilizungumziwa na Jenerali Franks kama ambalo lingesababisha
mabadiliko makubwa. Mgogoro ambao ungetokea, kuvurugika
Dhamira iliyofichwa ya Marekani-2Na Profesa Michel
Chossudovsky
kwa mshikamano kijamii na hasira ya makundi makubwa ya watu
ingewezesha kutokea mageuzi makubwa katika mifumo ya kisiasa,
kijamii na kiutawala nchini Marekani. Ni muhimu kuelewa kuwa
Jenerali Franks alikuwa hatoi maoni yake binafsi kuhusu suala
hilo.
Taarifa yake inaendana na hisia zinazofahamika kwa uwazi katika
makao makuu ya jeshi la Marekani na Idara ya Usalama wa Ndani
kuhusu jinsi ambavyo matukio yangeweza kufikia hali ya hatari
kutangazwa nchini.
"Matukio ya kusababisha maafa Makubwa."
Tukio la kusababisha maafa makubwa ni sehemu muhimu ya
ufundishaji katika ngazi za kuu za jeshi. Uharibifu na kupoteza
maisha kutokana na shambulio la kigaidi kunasababisha hasira kubwa
miongoni wa watu. Ni matukio ambayo yanaweka mazingira ya woga wa
pamoja na tishio, hali ambayo inafananisha kuondolewa kwa uhuru wa
mtu binafsi na kuingizwa kwa hatua za udhibiti wa hali ya nchi kwa
mitandao ya kiusalama.
Mashambulio ya Septemba 11 2001 dhidi ya majengo pacha ya Kituo
cha Biashara cha Kimataifa na makao makuu ya jeshi la Marekani
yalitumiwa kuinua uungwaji mkono na wananchi kwa uvamizi wa
Afghanistan, ambao ulifanyika wiki nne baadaye. Marekani ilikataa
kuwasilisha ushahidi kuhusu kuhusika kwa Al Qaeda ambao ulidaiwa na
serikali ya Taliban ili kumtoa Osama bin Laden, hivyo Taliban
ikabebeshwa mzigo wa kuhusika na mashambulio ya 9/11.
Mipango ya kuanzisha vita ya upana mkubwa i l ikuwa imeanza
mapema tu kabla ya 9/11. Wakati majeshi ya Marekani tayari yalikuwa
katika 'hali ya juu ya utayari' wa vita. Mapema kabisa kabla ya
mashambulio ya
9/11, uamuzi wa kuingia vitani na Afghanistan ulitangazwa kesho
yake asubuhi. Wakati huo huo NATO iliainisha Ibara ya 5 ya Mkataba
wa Washington (wa kuunda umoja huo wa kujihami) na kutangaza vita
dhidi ya Afghanistan kwa niaba ya wanachama wote wa umoja wa nchi
hizo.
Tangazo la vita la NATO l i l i loendana na kanuni ya
'kujilinda' lilichukuliwa ndani ya saa 24 baada ya mashambulio ya
9/11.
Ibara ya 5 ya Mkataba wa Washington ilitajwa kwa suala hilo
Septemba 12, 2001. Washirika wa Ulaya pamoja na Canada wal iahidia
kuunga mkono mara baada ya mashambulizi ya k igaidi ya 9 /11 . NATO
iliafiki mpango uliobuniwa na Marekani wa 'Vita ya Dunia dhidi ya
Ugaidi. Wanachama 14 wa NATO walipeleka vikosi Afghanistan kwa
mujibu wa jarida la NATO la muhula wa kiangazi, 2006, kuhusiana na
'Operation Northwoods.'
Tukio la kuondoa maisha ya watu kwa wingi la 9/11 lilikuwa na
umuhimu mkubwa katika mkondo wa mipango ya kijeshi. Ilitoa nafasi,
katika macho ya wengi, sababu ya kutosha (au kisingizio cha
kutosha) kwenda vitani.
Kuzushwa kwa 'visingizio vya kwenda vitani' ni sehemu ya
miongozo ya Pengaton (makao makuu ya jeshi la Marekani). Kwa kweli
ni sehemu mahsusi ya historia ya kijeshi ya Marekani. Mwaka 1962,
wakuu wa majeshi tofauti ya Marekani walitunga mpango wa s i r i
unaoi twa ' O p e r a t i o n N o r t h w o o d s ' kutengeneza
maafa makubwa ya watu ili kuhalalisha kuishambulia Cuba.
"Tungeweza kulipua meli ya Marekani eneo la ufukwe wa Guantanamo
na kudai Cuba i m e h u s i k a . " " Tu n g e w e z a kuanzisha
kampeni ya kigaidi ya kikomunisti ya Cuba katika eneo la Miami,
katika miji mingine ya jimbo la Florida na hata mjini Washington,"
hivyo "idadi ya maafa katika magazeti ya Marekani inatumainiwa
ingewezesha wimbi la hasira kote nchini," kwa mujibu wa waraka
uliowekwa wazi wa mwaka 1962 uitwao "Kuhalalisha Uingiliaji wa
Marekani nchini Cuba." na kuelezewa katika machapisho ya Global
Research, (http://www.globalresearch.ca/articles/NOR111A.html).
Tahadhari za ugaidi na matukio ya ugaidi
ili iwe na 'ufanisi,' kampeni za hofu na udanganyifu haziwezi
kutegemea tu 'tahadhari' kuhusu uwezekano wa kushambuliwa baadaye,
ila inahitaji matukio 'hal is i ' ya kigaidi , ambayo yanawezesha
kuaminika kwa mipango ya vita ya utawala uliopo madarakani.
Propaganda inakubalisha hitaji la kutekeleza 'hatua za dharura'
pamoja na
mashambulizi ya kujibu mapigo.Tahadhari za mashambnlizi na
matukio ya kigaidi yamesaidia kutoa kisingizio cha kuhalalisha
maamuzi makubwa ya kijeshi. Kufuatia ulipuaji jijini London mwezi
Julai 2005, Makamu wa Rais Dick Cheney aliripotiwa kuiagiza kamandi
kuu ya jeshi la Marekani USSTRATCOM (US Strategic Command) kuandaa
mpango unaowezekana wa muda mfupi "unaoweza kutumika kama likitokea
shambulio lingine la kigaidi kama lile la 9/11 nchini Marekani."
Kilichoainishwa katika mpango huo wa muda mfupi ni uhakika kuwa
Iran ingekuwa inahusika na shambulio la pili la aina ya 9/11.
Mpango huu wa muda mfupi ulitumia kisingizio cha '9/11 ya pili,'
ambayo bado ilikuwa haijatokea, kujitayarisha kufanya operesheni
kubwa ya kijeshi dhidi ya Iran, wakati shinikizo likielekeza Iran
kuhusiana na madai hewa ya mpango wa silaha za nyuklia.
Kilicho cha kishetani zaidi katika uamuzi wa Makamu wa Rais wa
Marekani ni kuwa uhalalishaji wa Cheney kuipiga vita Iran
ulitegemea madai ya kuhusika kwa Iran katika shambulio la kigaidi
dhidi ya Marekani, ambalo lilikuwa bado halijatokea.
Mpango huo ni pamoja na mashambulizi makubwa ya anga juu ya Iran
yakitumia silaha za kawaida na zinazoshabihiana na zile za nyuklia.
Ndani ya Iran kuna zaidi ya maeneo ya kulengwa muhimu 450, ikiwa ni
pamoja na yale yanayodhaniwa yanahifadhi mitambo ya kufanya
majaribio ya kutengeneza silaha za nuklia. Mengi kati ya maeneo ya
kulengwa yamezingirwa kwa zege ya aina maalum au yako chini sana
ardhini na hayawezi kufikiwa na silaha za kawaida, hivyo kuwepo
zile zinazoshabihiana na silaha za nuklia.
Kama iliyokuwa wakati wa kushambuliwa Irak, mashambulizi hayo
yasingetegemea kuhusika halisi kwa Iran katika tukio la ugaidi
dhidi ya Marekani. Maofisa kadhaa wa ngazi za juu wa jeshi la anga
la Marekani waliohusika na kuandaa mipango hiyo walisemekana
kushtushwa na kile walichokuwa wanafanya - k u wa I r a n i n a a n
d a l i wa kushambuliwa bila sababu yoyote - lakini hakuna
aliyekuwa tayari kuvuruga matazamio yake kikazi kwa kuanza kuuliza
maswali, kwa mujibu wa Philip Giraldi, katika jarida la 'The
American Conservat ive ' (Uhaf idhina Marekani) la Agosti 2,
2005.
Hivi tuelewe kuwa wapanga mikakati wa Marekani, Uingereza na
Israel wanangojea tu itokee Septemba 11 nyingine, kuanza operesheni
za kijeshi kuelekea Syria na Iran?
Makamu wa Rais wa zamani wa Marekani, Dick Cheney.
-
11 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 12-18, 2014Makala
UMASIKINI katika dunia ya leo ni hangaiko kubwa kabisa l
inalomtesa mwanadamu. Umasikini umeshadidi hata katika maeneo
ambayo kuna ardhi nzuri yenye rutuba, maliasili na utajiri kama
madini, dhahabu na almasi.
Ni ukweli unaosikitisha kuona kuwa idadi kubwa ya wakazi wa
dunia hii ni masikini na wengi wao ni masikini kupita kiasi. Ukiwa
umebahatika kuwa na nyumba ya kukusitiri, basi kuna mamilioni kama
wewe ambao hawana makazi, kama umebahatika wewe na familia yako
kupata milo mitatu ya uhakika kwa siku, basi kuna mamilioni kama
wewe ambao wanakufa kwa kukosa mlo mmoja kwa siku, kama wewe na
familia yako mnapata huduma ya tiba pale mnapoihitaji, basi kuna
mamilioni kama wewe ambao kupata asprini kwa ajili ya kutuliza
maumivu yao ni neema kubwa kwao.
Miongoni mwa vitisho na migogoro mikubwa na ya muda mrefu kwa
jamii ya mwanadamu, umasikini ni moja ya vitu hivyo.
Historia ya umasikiniHistoria ya umaskini ni sawa
na takribani umri wa historia ya mwanadamu. Kuna watu wengi
wamepoteza maisha yao katika vipindi tofauti kutokana na uhaba wa
chakula au kushindwa kupata suhula na mahitaji ya awali kabisa ya
maisha kama chakula, maji safi ya kunywa, mahala pa kuishi na
huduma za kimsingi za afya.
Leo hii ulimwengu umepiga hatua na kila siku wataalamu wa m e k
u wa wa k i f a n i k i wa kugundua mambo mengi ya kielimu na
kiteknolojia, ambayo bila shaka ni maendeleo kwa nchi husika kwa
ajili ya ustawi. Licha ya maendeleo yote hayo kat ika nyanja
mbalimbali , lakini inasikitisha kuona kuwa, si tu umasikini,
kutokuwa na kitu, uhohehahe na ulala hoi haujatokomea, bali hata
kupungua haujapungua na hali ya leo huwa mbaya kuliko ya jana
yake.
Natija ya kwanza tunayoipata kutokana na uhakika huu m c h u n g
u w a u m a s i k i n i ni kwamba, maendeleo ya makubwa
yaliyopatikana katika nyanja mbalimbali ulimwenguni, ambayo
yametokana na juhudi za huyu mwanadamu mwenyewe hasa katika miongo
ya hivi karibuni, kamwe hayajaweza kusaidia sana kupunguza na
kuhafifisha moja kati ya misiba mikubwa ya mwanadamu, yaani
Umasikini tishio kwa usalama wa duniaNa Salum Bendera
HALI ya umasikini Somalia iliyosababishwa na vita vya wenyewe
kwa wenyewe vinavyoendelea nchini humo.
umasikini. Vi le v i le uvumbuzi huu
unaoonekana na kutangazwa kila siku kuhusiana na masuala m b a l
i m b a l i u l i m we n g u n i , haujaweza kufanikiwa kupunguza v
i t a d u n i a n i n a k u s a i d i a kueneza amani na usalama au
hata kulitatua tatizo la dawa za kulevya, magendo ya binadamu,
utumwa mambo leo nk.
Kwa nini maendeleo hayajaweza kupunguza machungu ya
umasikini?
Sababu hasa ya maendeleo haya ulimwenguni kushindwa kulitafutia
ufumbuzi suala la umasikini ni kuwa, maendeleo ya mwanadamu huyu
hayakuja na kupatikana kwa aji l i ya kumhudumia mwanadamu, bali ni
kwa ajili ya kuyahudumia madola makubwa na tajiri ulimwenguni,
yaani kwa ajili ya kuhudumia mabepari.
Katika hali ambayo kuna watu ambao hata hawawezi kukidhi mlo
mmoja kwa siku, watu wengine ni matajiri kupita kiasi na kila siku
wamekuwa wakifikiria, wakiwaza na kuwazua namna ya kujilimbikizia
mali na kuongeza utajiri wao,tena kwa dhulma. Lau kama matajiri hao
badala ya kujifikiria wao na kuongeza utajiri wao wangekuwa
wanafikiria namna ya kuwapunguzia matatizo mustadhaafu na wenye
kuhitajia, sidhani kama hali ingekuwa hii tunayoishuhudia hii leo
katika pembe mbalimbali duniani.
Aina za umasikini
Kwa ujumla wataalamu wa mambo wanaugawa umasikini katika makundi
mawili makuu. Umasikini mkubwa au ulala hoi na umasikini usio
mkubwa. Katika umasikini mkubwa au
ulala hoi wa kupindukia, ni kuwa utapata watu hawana uwezo wa
kukidhi mahitaji yao ya kimsingi kama vile, chakula, nyumba, mavazi
na huduma za afya na matibabu. Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa,
kigezo kinachotumika kwa ajili ya kuainisha umasikini huo ni wale
watu ambao wanaishi kwa kipato cha chini ya dola moja kwa siku,
ambapo kwa mujibu wa takwimu za Benki ya Dunia, zaidi ya asilimia
20 ya watu ulimwenguni wanaishi kwa kipato hicho.
Sehemu ya pili ya umasikini unaojulikana kama umasikini usio
mkubwa. Hata kama hali si mbaya ukilinganisha na ya umasikini wa
aina ya kwanza, lakini katika kundi hili la umasikini pia kuna watu
ambao hawapati huduma muhimu na za lazima kama elimu, afya, lishe
bora na mambo mengine ambayo ni huduma za lazima na za dharura
katika maisha.
Ta k w i m u z i n a o n y e s h a kuwa, takribani nusu ya watu
duniani wamo katika hali hii ya pili ya umasikini. Takwimu hizo
zinazohusiana na ueneaji wa umasikini duniani ni za kusikitisha na
zenye kufanya mtu ajiulize maswali mengi, hasa kutokana na
maendeleo makubwa tunayoyashuhudia hi i leo ul imwenguni. Hata
hivyo tunapochunguza kwa makini, tunaona kuwa tatizo hilo
halisababishwi na uhaba au upungufu wa suhula, bali unatokana na
siasa mbovu za mataifa pamoja na ugawaji wa utajiri usio wa
kiadilifu au kuweko madarakani viongozi ambao ni vibaraka wa madola
ya kibeberu, ambao huruhusu mali na utajiri wa mataifa yao kuporwa
na kuhamishiwa katika madola hayo ya kibeberu.
Kwa mujibu wa takwimu rasmi kuanzia mwaka 1990, pato la nchi
zinazoendelea ongezeko lake kwa wastani lilikuwa ni asilimia 3.
Lakini wakati huo huo, katika kipindi hicho pato la wastani la nchi
54 duniani lilipungua. Branko Milanovic, mmoja kati ya wanauchumi
wa Benki ya Dunia ameweka wazi nukta hiyo katika uchunguzi wa kila
upande alioufanya na kubainisha kwamba, pato la asilimia moja
miongoni mwa watu matajiri kabisa duniani ni sawa na kiwango cha
asilimia 57 ya masikini duniani.
Katika maeneo mbalimbali duniani hali ya dhulma, ubaguzi na
ukosefu wa uadilifu inaonekana wazi kabisa. Kwa mfano katika maeneo
ya Amerika ya Latini kipato cha asilimia 5 cha tabaka la matajiri
katika jamii ni mara mia tatu ya kipato cha asilimia 5 cha tabaka
masikini kabisa katika nchi za eneo hilo.
Takwimu zilizopo zinaonyesha kuwa, asilimia 60 ya watoto Kusini
mwa Asia na Kusini mwa Jangwa la Sahara wanaishi katika umasikini
mutlaki. Kwa kuzingatia uhakika huo, bila shaka kuna haja ya
kuandaliwa mipango madhubuti kwa ajili ya kukabiliana na baa la
umasikini ulimwenguni.
Sehemu kubwa ya hali mbaya ya kiuchumi duniani inatokana na
mfumo mbovu ulioenea ulimwenguni, wa ugawaji mitaji na fursa za
kiuchumi na kibiashara. Katika mfumo huo wa kiuchumi, ni dhahiri
inaonekana kuna fursa za uwiano na mlingano, ambazo hupatiwa watu
wote lakini kwa vitendo matajiri na wenye mitaji mikubwa ndio ambao
hufaidika zaidi na fursa hizo, kwa ajili ya kujiongezea nguvu zao
za kisiasa na kiuchumi.
Ukoloni wa zamani na ukoloni mambo leo umetokana na fikra hii ya
kupata faida ya Kimagharibi, ambapo kupitia mfumo huo utajiri wa
makumi ya nchi za ulimwengu wa tatu umeporwa na wakoloni wao. Si
hayo tu, bal i kuna mambo mengine yanayotawala ulimwengu leo hii,
ambayo kwa hakika hayawezi kufumbiwa mambo kutokana na kuwa na
nafasi katika kueneza umasikini ulimwenguni.
Bila shaka hakuna anayepinga kwamba, baadhi ya asasi za kifedha
za kimataifa kama vile Mfuko wa Fedha wa Kimataifa ( IMF) na Benki
ya Dunia , zimekuwa na nafasi katika kuenea umasikini ulimwenguni
kutokana na utendaji wao kutokuwa wa uwiano na uadilifu. Asasi hizo
kwa kutoa mikopo na kutwisha masharti ikiwa ni pamoja na kuchukua
faida na riba kubwa kwa mikopo yake hiyo kutoka kwa nchi
zinazostawi, zimekuwa zikizishinikiza mno nchi hizo.
Kutokana na nchi hizo wakati
-
12 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 12-18, 201412
Barua/Mashairi
Ndugu Mhariri,N a s h a n g a z w a n a Wayahudi kila uchao
kuwaua Wapalestina katika Ukanda wa Gaza. Nikiwa binadamu m w e n y
e k u j a l i utu, nahuzunishwa kushuhudia mauaji ya wasiokuwa na
hatia, nalaani mauaji hayo na nawausia wapenda a m a n i w e n g i
n e kufanya hivyo.
K i s h a w a l i o d h u l u m u wataambiwa ionjeni a d h a b u
i k a a y o . H a m t a l i p w a i l a kwa yale mliokuwa
mkyachuma. (Quran suratul Yunus).
D h u l m a k a f a r a , chumo la hasara, amali dhaifu, kilio
na hofu. Lakini matendo mema neema.
Tu t a f a k a r i s i k u watoto watakapouliza kisa na sababu
ya k u u l i w a k w a o . Waliowafanya wengine walemavu kwa vita
wataonja adhabu pevu.
Waliowaua watoto, ajuza na wanawake
Ya Gaza yanishangazawasiokuwa na hatia watapata malipo yao kwa
Allah (sw).
W a m e a n g a m i z a m a j u m b a , s h u l e , hospitali,
Misikiti hakika w a t a n a s a k w e n y e ulimbo wa kuchukiza.
Huo ni ukweli, si kama naapiza. Sina sifa ya kupatiliza.
La haki nil iseme, Waarabu na Wayahudi k w a m u j i b u w a
maandiko ni ndugu wa baba mmoja. Wote ni watoto wa Nabii I b r a h
i m , a m b a y e katika kipindi kabla ya kuzaliwa Nabii Isa (as),
alihama kutoka Iraq na kuishi katika mji wa Khalil.
Hapo aliruzukiwa kupata watoto wawili ambao ni Nabii Ismail
(kaumu ya Waarabu) na Nabii Ishaq (Kaumu ya Wayahudi) na baadae
mwaka 1750 Nabi i Yakub alizaliwa.
W a a r a b u n a Wa y a h u d i k a t i k a kuthibitisha kuwa
ni ndugu wanaotokana na baba mmoja, hata sura
zao wanafanana.K a m a w a t a a c h a
vita na kupatana nina hakika sehemu kubwa ya Mashariki ya Kati
itakuwa salama.
Hata hivyo, Marekani a m b a y o i m e k u w a bwana wa
Wayahudi, isijivike joho la Mungu kuwatuma Wayahudi k u z i t o a r
o h o z a Waarabu.
Marekani na Israel, warudi kwa Mungu w a o . W a y a h u d i
wajifunze kutoka kwa Hitler, juu ya athari za kihistoria za vita
vya pili vya dunia.
I l e n e m b o y a Marekani iliyochagizwa na maneno In God we
trust , hebu ifanyieni kazi kwa uadilifu ili dunia iwe salama!
Tumechoka na zogo la vita huku wakubwa w a k i n y a m a z a n a
kuangalia kama sinema.
Y a G a z a yanashangaza, yanaliza.
M z e e H a s s a n M k we n d e H a s s a n (Kuchona)
Unyama wa mazayuni, dhidi ya PALESTINA,Unyama wa mazayuni, si
usiku si mchana,Unyama wa mazayuni, bila shaka mwauona,Unyama wa
mazayuni, walimwengu kila kona,Tupinge uhayawani, wao japo kwa
kunena. Unyama wa mazayuni, umekithirika sana,Unyama wa mazayuni,
kiasi si kunga tena,Unyama wa mazayuni, kwa insi kutouona,Unyama wa
mazayuni, na madharaye bayana,Tupinge uhayawani, wao japo kwa
kunena.
Unyama wa mazayuni, wahilikisha insana,Unyama wa mazayuni,
MADHULUMU kwa khiyana,Unyama wa mazayuni, japo hatia hawana,Unyama
wa mazayuni, kwa ya kivita mazana,Tupinge uhayawani, wao japo kwa
kunena.
Unyama wa mazayuni, pamwe na yao mazana, Unyama wa mazayuni,
waogopa kupambana,Unyama wa mazayuni, na wa JESHI wale WANA,Unyama
wa mazayuni, wa HAMAS tena sana,Tupinge uhayawani, wao japo kwa
kunena.
Unyama wa mazayuni, badalaye wakazana, Unyama wa mazayuni, kuua
WAKE na WANA, Unyama wa mazayuni, na RAIA waso zana,Unyama wa
mazayuni, japo hatia hawana,Tupinge uhayawani, wao japo kwa
kunena.
Unyama wa mazayuni, siriye moja kunena,Unyama wa mazayuni, leo
aula naona,Unyama wa mazayuni, ipate tambulikana,Unyama wa
mazayuni, kwa walimwengu bayana,Tupinge uhayawani, wao japo kwa
kunena.
Unyama wa mazayuni, unyuma wa yule 'bwana',Unyama wa mazayuni,
ajifanyaye 'mungwana',Unyama wa mazayuni, na 'mwenye huruma sana',
Unyama wa mazayuni, kila kona kupambana! Tupinge uhayawani, wao
japo kwa kunena. Unyama wa mazayuni, ni kweli hajauona? Unyama wa
mazayuni, hapana hilo nakana!Unyama wa mazayuni, kwanini
yashindikana?, Unyama wa mazayuni, u nyumaye huyo 'bwana',Tupinge
uhayawani, wao japo kwa kunena.
Unyama wa mazayuni, si sawa kuunong'ona,Unyama wa mazayuni,
tuutongoe bayana,Unyama wa mazayuni, waumanye hata WANA,Unyama wa
mazayuni, kwa mawanda na kwa kina,Tupinge uhayawani, wao japo kwa
kunena.
ABUU NYAMKOMOGI-SAFARINI KAGERA.
Kumbuka asili yako 1.Mwanadamu hutambui, asiliyako ni nini
Wajifanya hubaini, hukuwa wewe manii Khasimu wa rahamani, mwanadamu
punguani Twakuonya huonyeki, ipo siku utajuta.2.Kwanini wajihiliki,
kutufanyia mzaha Tumekuletea haki, waifanyia fedheha Kuisadiki
hutaki, iposiku utahaha Subiri yaje mauti, ndipo chamoto
taona3.Twakukumbusha qiyama, tukio hili la haki Bila shaka
tasimama, hakuna atayebaki Ukweli utausema, japo moyo hautaki Ndio
utasimamishwa, mbele yao halaiki4.Tukio hili fedheha, litadumu
kwayakini Halitojali jamaa, wala ndugu wa nyumbani Siku moja ya
fedheha, ni miaka hamsini Mwanadamu we-tubia, sujudu kwa
rahamani5.Hakika u-khasarani, na utatiwa motoni Hivi unavyojikhini,
kwa kutupa qur-ani Hujui u-safarini, twakusubiri wanjani Tutakuvuta
kwa nguvu, zako nywele za utosi.6.Utosi ulokiburi, unokupa ukafiri
Utosi wenye jeuri, wakufunza ufedhuri Tutakushika vizuri, vizuri
kwa ujabari Utakiona cha moto, na kusagasaga meno7.Chamoto
utakiona, hilo mapema ujuwe Vizuri tutakubana, kwa yetu makubwa
mawe Katu huwezi kupona, twasema ujitambue Amakweli mwanadamu,
mjinga usofikiri8.Ni mjinga bila shaka, mjinga sotafakari Kwanini
umeumbika, tena kwa umbo makini Iposiku bila shaka, utaipata
khabari Utajuta mwanadamu, kwahili twakukariri9.Hii nema takuhoji,
kwa vile yetu amana Tumekupa mahitaji, yalomengi yakufana Umekua
mfujaji, watumia kwa laana Kweli tauona moto, hasa moto
unochoma10.Huo ni moto mkali, unobabua ngozini Moto unoshika mwili,
namna takuchomeni Hili ni onyo dhahiri, kwenu ninyi miongoni Tubia
mshike dini, mola takusameheni11.Juu yake tumeweka, walinzi
mekamilka Moja tisa malaika, vizuri wamefunzika Basi na atayetaka,
haraka atakumbuka Hili ni letu kumbusho, tamfaa tayeshika
Abu Nurain Al-Tanza
UNYAMA WA MAZAYUNI!
WAISLAMU wa Masjid Kadiria Mwasiti uliopo kijiji cha Kibuta
wilayani Kisarawe mkoani Pwani wanawashukuru Waislamu na Dada
Mwasiti Hamisi kwa kufanikisha ujenzi wa Msikiti wa kisasa wa
matofali ambao awali ulikuwa wa miti.
Hata hivyo wanaomba msaada wa kuchimbiwa kisima katika Msikiti
huo, madrasa ya watoto na jenereta kwa ajili ya kusukuma maji kwa
ajili ya matumizi Msikitini.
Gharama za uchimbaji wa kisima hicho ni shilingi milioni tatu.
Dada Mwasiti amejitahidi kuchangisha pesa kwa ajili ya kuchimba
kisima hicho na mpaka sasa amefanikiwa kupata milioni moja tu.
Watoto wameshapatiwa sare na Juzuu za mafunzo.
Shime Muislamu kutoa ni moyo, unaombwa kuchangia chochote
Msaada Masjid Kadiria
ulichojaaliwa na Muumba wako kwa ajili ya kuweka akiba ya Akhera
yako.Unaweza kuchangia kupitia Akaunti ya benki na namba za simu
zifuatazo:
0656 092 436 au 0655-906898.
A/c No 001340085740001 Amana Bank
Wabillah Tawfiq
-
13 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 12-18, 2014MAKALA
N I j a m b o l a k h e r i k w a mwanadamu, mume au mke kuwa na
mwenza wake wa ndoa katika nyakati za maisha yao yote hapa duniani.
Kuoa au kuolewa, ni tendo ambalo huleta faraja kubwa ya moyo kwa
mwanadamu katika maisha yake, huchochea uwajibikaji, kujiamini na
kujenga heshima katika jamii.
N i j a m b o l i l i l o d h a h i r i kwamba mahusiano baina
ya wanandoa, ndiyo mahusiano yaliyo bora kabisa katika maisha ya
mwanadamu.
Leo tuzungumzie umuhimu wa mume kumuenzi mkewe, mke ambaye
Mwenyezi Mungu ametueleza kuwa ndio faraja na tulizo kwa mume.
Katika maisha yetu ya kila siku, mke ndio mwenzi katika maisha
yote ya mume, ndiye mwandani wake na rafiki yake kipenzi.
Kuna kila sababu ya mume kumuenzi na kumjali mkewe, hasa
ikizingatiwa kwamba kwa uwezo wa mwenyezi Mungu, mwanamke ndiye
alojaaliwa kubeba sehemu kubwa ya mchakato wa kuumbwa kiumbe
binadamu hadi kumletwa duniani.
Kisha kiumbe hicho kinapewa ubini wa baba (patrinial) badala ya
mama, na mama hakuona husda wala jazba katika hilo, zaidi ya
kuongeza utii kwa mumewe na kumkirimu.
Mara nyingi mke mwema anaona kuwa ana deni la kushiriki na
mumewe katika nyakati zote za uhai wa mumewe, ziwe ni za furaha au
huzuni, shida au raha, mafanikio au taabu, mke atakuwa pamoja na
mumewe.
Mume akiumwa, mkewe atampa huduma bora kwa kadiri ya uwezo wake.
Unapohitaji msaada atafanya awezavyo kwa ajili yako, ukihitaji
ushauri, atakupa ushauri kadiri itakavyofaa.
Kwa mume anayejali, mkewe anakuwa ndio mtu wa mwisho kumuona
kabla ya kulala na wa kwanza kumuona baada ya kuamka.
Mke ndiye anayejua kwa undani aibu za mumewe zote, anayejua
hulka za mumewe huyo, anayejua uwezo wake, tabia zake, mahitaji
yake, machukizo yake n.k.
Hakika Mwenyezi Mungu anajua kila jambo. Anasema katika Quran:
Wao ni vazi kwenu, na nyinyi ni vazi kwao [Al-Baqarah 2:187].
Kweli, wanandoa ni kama vazi juu ya wao kwa wao kwa sababu
wanapeana ulinzi, liwazo, kinga, stara, kusaidiana n.k.
Mahusiano ya kimapenzi ya
NAFASI YA MWANAMKE
Wanaume tuwaenzi wake zetuNa Shaban Rajab mume na mke ni ya
kipekee
kabisa. Ni mahusiano ambayo si rahisi kuyaelezea kirahisi. Hii
inathibitishwa na Mwenyezi Mungu pale aliposema: Na Allah
Amekuumbieni wake (na wenza) katika jinsi yenu) An-Nahl 16:72.
M w e n y e z i M u n g u amekuumbieni wake zenu kutokana na
nafsi zenu ili mpate utulivu kwao. Na amejal ia mapenzi na huruma
baina yenu. Hakika katika haya bila ya shaka zipo ishara kwa watu
wanaofikiri." A-Ruum 30:21.
Lakini Allaah Subhanahu Wa Taaala Anajua kwamba moyo wa
binaadamu sio kitu ambacho kiko tuli, wakati mwengine huwa dhaifu
na wakati mwengine huwa na nguvu.
Hisia zinaweza kubadilika na hubadilika pindi wakati u n a v y o
s o g e a . M a p e n z i yanaweza kufifia na kupayuka mbalini.
Mshikamano wa ndoa unaweza kuwa dhaifu kama haujahudumiwa vizuri.
Furaha katika ndoa haiwezi kudharauliwa; furaha ya kuendelea
inahitaji utowaji wa daima kutoka pande zote. Ili mti wa mapenzi ya
ndoa ubaki hai na kuendelea kuishi, udongo lazima udumishwe,
uhifadhiwe, umwagiwe maji na ulelewe.
Kamwe usidharau umuhimu wa vitu vidogo vidogo kama vile kuweka
chakula kwenye mdomo wa mkeo, kumfungulia mlango wa gari, na hali
kadhalika. Kumbuka kwamba Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi
wa sallam) alikuwa anasogeza goti lake kwa mkewe amkanyage kuweza
kumpanda ngamia.
Jaribu kutafuta wakati ili nyote wawili muweze kuswali pamoja.
Kuuimarisha uhusiano kati yenu na Allaah (Subhanahu wa Ta'aala) ni
hakikisho kubwa kuwa uhusiano wenu wa kindoa utabaki madhubut i .
Kuwa na amani kati yenu na Allah (Subhanahu wa Ta'ala) daima
kutapelekea ndani mwenu kuwa na amani zaidi. Kumbuka kwamba Mtume
(Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) aliwapa habari nzuri
(aliwabashiria) wanandoa wanaoamka usiku kuswali pamoja. Mtume
(Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) anamsisitiza mwanandoa
anayeamka mwanzo amuamshe mwenzake, japo kummwagia maji katika uso
wake.
Ni vizuri wanaume wakajaribu kwa kadiri wawezavyo kuwa watu
wazuri kwa wake zao kwa vitendo. Kimantiki mwanamke huwa mtulivu na
mwenye aibu na hufarijika sana asikiapo maneno matamu yanayoonyesha
kumjali kutoka kwa mumewe.
Pia hekma ya mume katika kumkabili mkewe, daima ni silaha kubwa
ya kuepusha kibri na mitafaruku baina ya wanandoa.
K u w a t i m i z i a a h a d i tunazowaahidi ni jambo la
msingi sana kwa mwanamme kumuenzi mkewe. Kama uliahidi
kumnunulia zawadi basi timiza ahadi hiyo. Kama ulimuahidi kuzuru
naye mahali fulani ni vyema ukatimiza ahadi hiyo nk.
Pamoja na mapenzi katika ya mke na mume, pamoja na mume kutimiza
jukumu la kumuenzi mke barabara na mke kuendelea utii kwa mumewe,
itoshe wote kuwa na yakini kuwa kuna maisha baada ya mauti.
K w a w e m a n a i h s a n i uliyomfanyia mkeo duniani, na kwa
uvumilivu na utii aliofanya mke kwa mumewe, basi watakuwa na nafasi
kubwa mbele ya Allah (sw) pale aliposema, Ingieni Peponi, nyinyi na
wake zenu; humo mtafurahishwa. (Az-Zukhruf 43:70).
Ni somo tosha iwapo tutafuata somo la mapenzi ya Mtume Muhammad
(saw) kwa mkewe Bi. Hadijah aliyeishi naye kwa miaka 25.
Pamoja na kwamba Bi. Hadijah alikuwa tajiri mkubwa na mkubwa kwa
Mtume (saw), mkewe huyo alimheshimu sana, alimtii kwa kila hali
hata kabla ya Mtume kupewa Utume.
Naye Mtume alimuenzi kwa kila hali mkewe, hakumkwaza na
alimkumbuka kila wakati hata baada ya kupita miaka mingi baada ya
kifo cha mkewe.
Kama alitoa zawadi hakuacha kuwakumbuka wale aliokuwa akiwapenda
Khadijah. Akichinja
mbuzi sharti atume sehemu kwa familia ya Bibi Khadijah na
marafiki zake.
Pamoja na kwamba hutoa hitilafu kati ya mume na mke, lakini
Mwenyezi Mungu kaajalia subra na uvumilivu.
Kwa wenye hekima, hitilafu za mizozo ya mke na mume huondolewa
kwa kusubiri hasira, baada ya kupoa, wawili hukaa pamoja na
kuombana radhi na kuelekezana palipotokea kosa na kusawazisha.
Hata Mtume (Saw) wakati fulani i l i tokea kukerwa na wakeze,
ilipotokea hali hii alikaa mbali kwa muda, kisha alirejea na
kuzungumza nao hali ya kuwa wote wamepoa.
Na wakati mwingine joto lilipopanda, Mtume alichukua kiasi cha
maji na kunywa. Tendo hili husaidia kushusha hasira na kutulia.
Pia ni vyema kuzunguza na mwezi wako nyote mkiwa mmekaa,
hitilafu ya maneno kwa waliosimama haina kupoa haraka.
Yote haya ni mafunzo ya Mtume (saw) juu ya maisha yetu ya kila
siku katika jamii.
Inshaalah mwenyezi Mungu awajaalie wanaume kuwa na wake wema,
wanawake kuwa na waume wenye mapenzi ya dhati kwa wake zao na
familia zao na hatimaye lipatikane zao jema katika familia.
-
14 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 12-18, 2014Habari
Maalim Seif aikosoa serikali kuhusumigogoro ya wakulima na
wafugajiInatoka Uk. 16
akihutubia katika mikutano ya hadhara katika vijiji vya Ngudu na
Hungumalwa Wi layani humo, amefuatana na viongozi waandamizi wa
CHADEMA wa mkoa wa Mwanza.
Alisema katika kipindi cha miaka 53 tangu nchi ilipopata uhuru,
kadiri siku zinavyokwenda mbele hali za maisha ya wananchi zinazidi
kuwa mbaya, kutokana na nchi kukosa uongozi bora chini Chama cha
Mapinduzi.
Ujumbe wetu kwenu ni kuwa CCM imeshalewa madaraka, h a i w e z i
t e n a k u w a l e t e a mabadiliko ya kimaisha, kipeni talaka na
mchague vyama vyenye uwezo wa kuwaletea maendeleo, alisema Katibu
Mku wa CUF.
Alisema uthibitisho wa CCM kukosa uwezo wa kuwaletea mabadiliko
ya kimaisha wananchi ni namna ambavyo wanavuruga mchakato wa kupata
Katiba Mpya, ambao wananchi wa Tanzania Bara na Zanzibar
walitarajia uweke misingi bora ya maisha yao ikiwemo matumizi ya
maliasili za ardhi, madini, kilimo, elimu bora na utawala bora kwa
jumla.
Maalim Seif alisema CCM wa m e b a d i l i s h a m a o n i ya
wananchi yaliyowasilishwa na Tume ya Mbadiliko ya Katiba chini ya
Jaji Mstaafu Warioba, maoni ambayo msingi wake ni mfumo wa Serikali
tatu baada ya wananchi hao kubaini ndio wenye maslahi kwao.
Alisema badala yake, CCM kimepindua maoni hayo bila ya kujali
fedha nyingi zilizotumika, lengo lao likiwa ni kulinda maslahi ya
wachache na kupuuza shida zinazowakabili Watanzania ambao
wameshaona mfumo wa Serikali mbili hauwafai tena.
Alieleza kuwa wanafanya hivyo kuendeleza ufisadi unaofanywa na
baadhi ya viongozi wa chama hicho, kama ule wa kuiba fedha nyingi
za wananchi na kwenda kuzificha katika mabenki ya nje kama nchini
Uswisi.
Vyama vya CUF, CHADEMA na NCCR Mageuzi vina viongozi makini,
wenye uwezo wa hali ya juu na vimedhamiria kikweli kuwaletea
mabadiliko ya kimaisha wananchi wote wa Tanzania bila ya ubaguzi
kama inavyofanyika chini ya CCM, alisema.
N a y e M w e n y e k i t i w a CHADEMA Wilaya ya Ilemela,
Greyson Wanzagi Warioba,
akihutubia katika mkutano wa N g u d u a l i s e m a C C M
imejidhihirisha wazi hakikuwa upande wa wananchi kwa miaka yote
tangu kupatikana uhuru, kutokana na kitendo chao cha kujifungia
Dodoma na kupindua maoni ya wananchi wa Tanzania.
Alisema chama hicho kinajali maslahi yao binafsi, na Umoja wa
Kutetea maoni ya Wananchi (UKAWA) utaendela kufichua maovu
wanayofanya, ili wananchi wayaelewe na wakikatae katika uchaguzi
mkuu ujao.
Kwa upande wake, Naibu Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na
Mawasiliano ya Umma CUF, Hamis Kambaya alisema Serikali ya CCM
haiwajali wananchi wa Kanda ya Ziwa kutokana na kitendo cha
kuwapatia wananchi hao mbegu zisizofaa za zao la Pamba.
Mbali na hilo alisema bei ya zao hilo hivi sasa ni ya chini
kiasi kwamba haiwezi kumsaidia mkulima anayekabiliwa na hali duni
ya maisha na kumfanya ashindwe kupata mlo kamili wa siku, mbali na
huduma nyengine kadhaa wa kadhaa muhimu za kijamii
zinazomkabili.
Mwenyekiti wa Wanawake wa CHADEMA katika mkoa wa Mwanza, Suzan
Masele alisema umefika wakat i wanawake waepuka kulaghaiwa kwa
Khanga
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Mhe. Maalim Seif Sharif
Hamad akihutubia mkutano wa hadhara wakati wa ziara yake mkoani
Mwanza hivi karibuni.
na Vitenge kunakofanywa na viongozi wa CCM wakati wa
uchaguzi kwa sababu mambo hayo tayari yamepitwa na wakati.
-
15 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 12-18, 2014Makala ya
Mtangazaji
45 children critically injured in Gaza to be treated in Germany
GAZA CITY (Maan) -- Forty-five children severely injured in Israels
seven-week offensive on Gaza will be transferred to Germany on
Monday to receive medical treatment, a Palestinian MP said.
Ashraf Jumaa said 45 children, some of whom underwent
amputations in Gaza hospitals, will be treated abroad in
Germany.
The trip was organized and paid for by the Union of Palestinian
Doctors and Pharmacists in Germany after a visit to the besieged
enclave on Sunday.
The union will also reportedly take custody of 300 children
orphaned during the Israeli offensive.
Some 90 entire families were killed during the conflict, Jumaa
said.
Over 2,100 Palestinians, most of them civilians, were killed in
Israels seven-week assault on the Gaza Strip, with a further 11,000
injured.
Up to 1,000 Palestinians are likely to suffer a permanent
disability from their wounds.
Israel must end discrimination against Palestinians: OHCHR
The United Nations High Commissioner for Human Rights has called
for an end to the Israeli regimes discrimination against the
Palestinian people in the occupied West Bank and the Gaza
Strip.
Another example of the need to end persistent discrimination and
impunity is the Israel-Palestine conflict, with the recurring
violence and destruction evident in the repetition of crises in
Gaza, Zeid Raad Al Hussein, UN High Commissioner for Human Rights,
said in his opening statement at the Human Rights Councils 27th
session in Geneva on Monday.
He added that the recent Israeli aggression against the
Palestinians resu l ted in a par t i cu lar ly devastating death
toll, suffering and destruction, and compounded an already
precarious situation due to the Gaza blockade imposed by Tel Aviv
in 2007.
Current and future generations of Palestinians in Gaza and the
West Bank, including East Jerusalem, have a right to live normal
lives in dignity: without conflict, without a blockade, indeed
without the wide range of daily human rights infringements that are
generated by military occupation, illegal settlements, excessive
use of force, home demolitions, and the Wall that continues to be
constructed across the occupied Palestinian
territory, Hussein pointed out.Israel started pounding the
blockaded enclave in early July. Some 2,140 Palestinians, mostly
civilians, including women, children and elderly people, were
killed in the Israeli military aggression against the Gaza Strip.
Around 11,000 others were injured.
Israeli Forces Seize Bulldozer from Stone-Cutting Factory near
Bethlehem
BETHLEHEM (WAFA) Israeli forces seized Monday a bulldozer from a
stone-cutting factory in Beit Fajjar to the south of Bethlehem,
said a local source.
According to Head of the Union of Stone and Marble Industry in
Palestine Subhi Thwabteh, large Israeli troops raided and cordoned
off Khalit Hajja area in Beit Fajjar, where they extensively
searched some stone and marble-cutting factories, opened fire on
Palestinian workers, seized a bulldozer and damaged an
excavator.
Thawabteh noted that Israeli forces f requent ly targeted
Palestine stone-cutting factories and industrial facilities,
causing extensive losses to their owners.
Jerusalem clashes after teens funeral
JERUSALEM (Maan) -- Israeli forces attacked the funeral
procession of slain Jerusalem teenager Abd al-Majid Sinokrot after
mourners marched from his hometown of Wadi Joz to the al-Aqsa
mosque on Monday.
Mourners raised Palestinian flags and after they left the
mosque, Israeli forces fired stun grenades, tear gas, and
rubber-coated steel bullets toward them near al-Sahira gate.
Clashes also broke out along Salah al-Din Street in
Jerusalem.
The clashes shut down traffic throughout much of occupied East
Jerusalem.
O v e r 7 7 0 P a l e s t i n i a n s have been detained in East
Jerusalem following widespread demonstrations in the East Jerusalem
neighborhood of Shufat after the murder of teenager Muhammad Abu
Khdeir on July 2.
Child Injured, Four Children Kidnapped, Near Jenin
(IMEMC) - Israeli soldiers invaded, on Monday at night, the town
of Yabad, West of the northern West Bank city of Jenin, shot and
injured a Palestinian child, and kidnapped several residents.
Eyewitnesses have reported that clashes took place between the
invading soldiers and local youths, and that the soldiers fired
rounds of live ammunition, rubber-coated metal bullets and gas
bombs.
The clashes took place in different parts of the town, focusing
mainly in the School Area, and another area where local workshops
are located.
Medical sources said the wounded child, identified as Imad
Herzallah, 14 years of age, was shot by a live round in his
shoulder, and was moved to a local hospital.
In addition, soldiers kidnapped four children in the town, and
took them to a nearby military and security base.
Eyewitnesses said the soldiers also fired dozens of rounds of
live ammunition, concussion grenades and gas bombs at a number of
homes, and stores, causing dozens of residents to suffer the
effects of tear gas inhalation.
Army Kidnaps Twelve Palestinians
Near Nablus(IMEMC) - Israeli soldiers,
stationed at the Zatara military roadblock, south of the
northern West Bank ci ty of Nablus, kidnapped on Monday evening
twelve Palestinians and took them to an unknown destination.
Eyewitnesses said the soldiers were searching cars and
inspecting the ID cards of dozens of Palestinians, causing a huge
traffic jam, upon which they kidnapped twelve young Palestinians
who remained unidentified at the time of this report.
The army also closed the roadblock, preventing hundreds of
Palestinians from crossing, and did not provide a reason for the
arrests, and the temporary closure of the roadblock.
Earlier on Monday at dawn, Israeli soldiers invaded different
communities of the occupied West Bank, broke into and searched
several homes and kidnapped six Palestinians.
IOF soldiers round up Palestinian citizens in WB raids
R A M A L L A H - I s r a e l i occupation forces (IOF) rounded
up several Palestinian citizens during raids in many areas of the
West Bank at dawn Monday and Sunday night.
The Palest inian prisoner association (pps) said in a statement
on Monday that IOF soldiers nabbed two Palestinians in Tubas
town.
It said that three others were detained in Bethlehem, one in
Jericho and a teenager in al-Khalil.
Israeli policemen nabbed a 17-year-old boy from his home in
occupied Jerusalem.
Meanwhile, eyewitnesses told reporter that large numbers of IOF
soldiers raided the village of Burin, south of Nablus, at dawn
Monday and broke into many homes.
They said that the soldiers field-interrogated several citizens
but no arrests were reported.
In Nablus city, IOF soldiers in dozens of army jeeps raided
al-Ein suburb and searched many shops and warehouses after blasting
their doors.
The PPS said in a statement on Sunday that IOF soldiers rounded
up 127 Palestinians in the first week of September.
Contact us: P.O Box 20307, 612 UN Road Upanga West, Dar es
Salaam Tel: 2152813, 2150643 Fax: 2153257 Email:
[email protected]: www.pal-tz.org
-
16 AN-NUURDHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 12-18, 201416
MAKALA
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105
na kupigwa chapa na POA Printing Works Limited, S.L.P. 4605 Dar es
Salaam.
AN-NUUR16 DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 12-18, 2014
Tanzania Muslim Hajj Trust. Uandikishaji unaendelea, gharama za
Safari ni $ 4400Tarehe za safari ni 22 na 24 Septemba na Kurudi 16
na 19 Oktoba, 2014.Tunasafiri na Shirika la Ndege Umoja wa Falme za
Kiarabu EMIRATES.
Wahi kujiandikisha sasa.Kwa Mawasiliano: +255222181577
+2552221823700786 383820 0717 [email protected] or
Website: wwwhajjtrusttz.org
Safari ya Hijja Hijiria 1435/2014
K AT I B U M k u u w a Chama cha Wananchi CUF, Mhe. Maalim Seif
Sharif Hamad, amesema migogoro inayowakumba wakulima na wafugaji na
kusababisha mauaji, inatokana na Serikali i l i y o p o m a d a r a
k a n i kukosa sera sahihi ya kilimo na ufugaji.
Maalim Seif, aliyasema hayo alipokuwa akihutubia wananchi katika
mikutano mbalimbali ya hadhara katika ziara yake ya siku nne mkoani
Mwanza, ambapo alizindua miradi ya maendeleo iliyo katika Kata
zinazoongozwa na CUF mkoani humo.
A k i z u n g u m z a n a wa n a n c h i b a a d a ya kuzindua
daraja katika Kata ya Igogo, alisema inasikitisha kuona kila siku
wakulima na wafugaji wakiuana kwa kugombea maeneo ya kilimo na
kulishia mifugo, huku S e r i k a l i i k i s h i n d wa kudhibiti
hali hiyo.
Maalim Seif ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar,
alisema mauaji kati ya wakulima na wafugaji yasingekuwepo kama
Serikali ingekuwa na Sera thabiti zinazoanisha maeneo maaluma kwa
ajili ya ufugaji na maeneo maalum kwa shughuli za kilimo pekee.
K a m a S e r i k a l i i n g e k u w a n a S e r a inayoanisha
maeneo ya ufugaji na ya kilimo, t u s i n g e s h u h u d i a
mapigano na mauaji haya, wakulima na wafugaji wangefanya kazi zao
kwa utulivu na kazi zao zingewapatia maslahi makubwa, alibainisha
Maalim Seif.
Maalim Seif aikosoa serikali kuhusumigogoro ya wakulima na
wafugaji
Aunga mkono mgombea wa UKAWA 2015Na Mwandishi Maalum
A l i o n g e z a k u w a Tanzania imejaliwa kuwa na maliasili
nyingi kuliko nchi nyingi duniani na kwamba, iwapo serikali
ingeweza kuzitumia vizuri kusingekuwa na sababu ya nchi kuwa
miongoni mwa nchi masikini.
Maalim Seif ameeleza kuwa mbali na maliasili zilizopo chini ya
ardhi kama vile madini, gesi na mafuta, Tanzania imejaaliwa kuwa na
hali ya hewa inayotafautiana k a t i k a m a e n e o mbalimbali,
hali ambayo inaifanya nchi kuzalisha mazao tafauti tafauti.
Hata hivyo, alisema kwa kukosekana kwa sera muafaka,
kumesababisha
wananchi walio wengi kushindwa kunufaika na neema iliyopo katika
nchi yao, akatoa mfano wa watu wa kanda ya Ziwa kuwa licha ya
wananchi katika ukanda huo kuongoza kwa kilimo cha pamba, lakini
hakuna hata kiwanda cha nguo.
Wananchi wa Kanda hii nyinyi ndio mnaozalisha pamba, lakini
pamba hiyo inasafirishwa Ulaya, w a n a t e n g e z a n g u o
wanavaa na baadaye wanatuletea sisi ikiwa ni mitumba na sisi
tunaivaa, alibainisha Maalim Seif.
A k i h u t u b i a k a t i k a mkutano wa hadhara k a t i k a u
w a n j a w a F u r a h i s h a K i r u m b a ,
K a t i b u M k u u h u y o alisema kuwa wananchi hawana budi
kujiandaa kufanya mageuzi ya uongozi wa nchi, kwa kuwaweka
madarakani viongozi wenye uwezo na mtazamo mpya wa kuleta
maendeleo ya wananchi.N a ye M b u n g e wa
N ya m a g a n a k u p i t i a C H A D E M A , E z e k i e l
Wenje, akihutubia katika mkutano huo alisema njia muafaka ya kuleta
mageuzi ya kiuongozi nchini ni vyama vya upinzani kuendeleza
ushirikiano na kuwa na mgombea mmoja katika ngazi zote.
Wenje alisema yeye b i n a f s i y u k o t a ya r i kufadhili
safari ya viongozi wakuu wa CHADEMA, CUF na NCCR Mageuzi wa k a j i
f u n g i e n c h i n i Sychelles, ili waweze kupata mgombea mmoja
ambaye watamsimisha kuwania Urais katika
u c h a g u z i m k u u wa m w a k a n i k u p i t i a muungano
wa Umoja wa Katiba ya Watanzania (UKAWA).
Hata hivyo akilifafanua hilo, Maalim Seif alisema jambo hilo
wala halihitaji
kwenda kuamuliwa nje ya nchi, na badala yake viongozi hao
wanaweza kutoa maamuzi hayo hapa hapa nchini.
A wa l i a k i h u t u b i a mkutano wa hadhara W i l a y a n i
K w i m b a , Maalim Seif Sharif Ham