-
ISSN 0856 - 3861 Na. 1178 SHAABAN 1436, IJUMAA , MEI 22-28, 2015
BEI TShs 800/=, Kshs 50/=
Sauti ya Waislamufacebook: [email protected]
AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST
Masheikh wasilimisha SegereaAliingia Emanuel, anatoka
Nassor'Atiwa Suna' huko huko Gerezani Kasema kweli Mh. Lowassa
Ndivyo tulivyo WatanzaniaWa chai ya rangi, ya maziwa, lakiniWote
wanaambiwa wapo hotelini
Tukimeza chambo tumeumiaAl-Shabab wa Nkurunziza
watatubamizaBendera nyeusi, akina Kaisi, mtego tuKutuingiza katika
kundi la Wajinga ndio
Waheshimiwa Wakubwa, Sheikh huyu aelekea kuwa gaidi!
Jiulize mwenyewe. Hivi picha hii i n a o n y e s h a m t u g a i
d i , a l iyetakabar i , asiyejua kuwa kuuwa, ni dhambi?
Je, hii ni sura inayowakilisha j i t u k a t i l i , jahili
lisilojua kuwa Uislamu unakataza kabisa k u s a b a b i s h a m a d
h a r a k wa w a n a w a k e , watoto na watu wengine wasio na
hatia! (Soma zaidi uk. 2, 3 na 10)
MAKAMU wa kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad.
Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein.
Mh. Edward Lowassa wakati wa Harambee ya kuchangia Msikiti wa
Patandi Arusha hivi karibuni.
SHEIKH Msellem Ali.
Allah Ameonya mwenye kwenda kuhiji asivunjiwe heshima, yaani
atukuzwe(Al-Maaidah:2). Kwa mapenzi ya Allah, huyu amepewa cheo
maalum cha "Al-Hajj au HAJJAT". Waislamu hatuna budi tuipende sana
Hijja Muda unakwisha! Gharama zote kwa Hijja ni Dola 4,500. Umra ya
Ramadhani ni Dola 2,300. Karibuni Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa huduma
nzuri na uongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania Bara:
0765462022;0782804480;
0717224437.Zanzibar:0777468018;0777458075;0777845010.
(11) "MWENYE KUHIJI" NI KIPENZI CHA ALLAH!
-
2 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786Cel: 0784 370 208, 0713 110 148,
0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]
zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam
Tahariri/Habari
Kasema kweli Mh. Lowassa Ndivyo tulivyo WatanzaniaKWA hakika
kasema kweli Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Edward Lowassa. Hivi
ndivyo t u l i v y o Wa t a n z a n i a . Hatubaguani kwa hali
zetu, dini zetu wala kabila zetu. Ila tu, tunayatambua madaraja
yetu.
Ukiingia katika hoteli zetu za mitaani, utakuta mtu anakunywa
chai ya rangi na zege (maandazi yamekatiwa katiwa ndani ya
maharage), mwingine chai ya maziwa, omleti na maini au supu ya kuku
wa kienyeji na chapati. Kama ni mchana, yupo kaagiza wali wake na m
c h i c h a , m w i n g i n e anakula pilau kwa kuku. Lakini wote
wanaambiwa wapo hotelini. Wala yule aliyeagiza wali mchuzi juu,
hajioni mnyonge. Anakula na kujisikia vyema akamshukuru Mola wake
akaendelea na shughuli zake.
S h a m r a s h a m r a n a shukrani zi l izotolewa A r u s h a
b a a d a y a Mheshimiwa Edward L o w a s s a k u s h i r i k i
harambee ya uchangiaji fedha za ujenzi wa Msikiti wa Pa t a n d i ,
a m b a p o z i l ipat ikana za idi ya shilingi milioni 200,
inataka kurasimisha hali hii hata katika nyanja za kisiasa na haki
za raia wa nchi hii wa dini tofauti.
Kama vile yule anayeingia hotelini akala ugali wake dagaa
akaridhika huku wengine wakila wali maini wakishushia na juisi ya
karoti, basi isije ikawa sasa bei ya Waislamu ni michango ya
harambee, wakat i wengine , k i la mwaka wanatengewa fungu katika
bajeti ya nchi kuendesha miradi yao ya kimaendeleo.
Kwa mujibu wa hotuba ya Mheshimiwa Ra is Kikwete aliyotoa katika
Misa ya kusimikwa Askofu wa Jimbo la Dodoma, Gervas Nyaisonga,
Machi 2011, serikali imekuwa i k i t o a m a b i l i o n i y a
shilingi kutoka Hazina
ya Taifa kuzipa taasisi za Kikristo kuendesha miradi yao ya
elimu na afya (kupitia Memorandum of Understanding).
Katika hotuba hiyo Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete alisema
kuwa kwa mwaka 2010 serikali iliwapa Wakristo ruzuku ya shilingi
bilioni 61 .9 (61 ,900 ,000 ,000) . Ambapo kwa mwaka 2009/2010
walipewa bilioni 50.
L a k i n i k a m a v i l e kuonyesha kuwa bei ya Waislamu sio
kuwekewa M o U , i l i p o t o k e a Waislamu kuhoji kwa nini wao
hawapewi pesa hizo na hakuna MoU ya Waislamu na serikali, jibu la
serikali lilikuwa kwamba Waislamu hawakuomba. Lakini ni serikali
hiyo hiyo, wakati huo Waziri Mkuu akiwa Mheshimiwa S a m w e l M a
l e c e l a , Waislamu walipoomba kukutana naye kuwasilisha
malalamiko na maombi yao juu ya MoU, serikali haikujali hata kujibu
barua yao ya maombi.
Sasa yote haya, tunadhani ni katika vielelezo vya kutufahamisha
kuwa wapo watu wa MoU, wa kula biryani kwa kuku hotelini na wale wa
wali mchuzi juu. Tunadhani kisiasa hii haikukaa vizuri.
S a s a m a a d h a l i Mheshimiwa Edward Lowassa amewaal ika
Masheikh na Waislamu waje kumuunga mokono atakapotangaza Safari
yake ya Matumani pale Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha, Mei 24,
tunadhani itakuwa busara k wa M a s h e i k h we t u kulisema
hili.
Tarehe 24 mwezi huu katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid siku hiyo
nitasema neno ambalo nitahitaji mniunge mkono.
"Ukiulizwa unaenda wa p i , s e m a u n a k u j a kuniunga mkono
katika safari yangu ya matumaini".
Hiyo ilikuwa kauli na wito wa Mheshimiwa
Lowassa kwa Masheikh, Waislamu na watu wote waliokuwa
wamehudhuria harambee ya uchangiaji Msikiti wa Patandi.
Sasa kat ika Safar i h i i y a M a t u m a i n i , tukumbushane
kuwa kule hotelini, hakuna shida. Ni kila mmoja na alicho nacho
mfukoni mwake. Lakini inapokuja kwa Hazina ya Taifa inayochangiwa
na kodi za Watanzania wote, Waislamu na Wakristo, pasiwe tena na
wananchi wa MoU wa kupewa zaidi ya bilioni 61 kila mwaka, huku
wengine wakiwa bei yao ni harambee ya siku moja.
Waheshimiwa Wakubwa,huyu aelekea kuwa gaidi!
Mwaka 1989 Profesa Noam Chomsky alitoa m u h a d h a r a ( l e c
t u r e ) ambao ulikuja kurekodiwa na kusambazwa Machi 1990 ukipewa
anuwani: Propaganda Terms in the Media and What They Mean: "peace
process" has two meanings.
K a t i k a m u h a d h a r a huo Profesa Chomsky alisema kuwa
hutaona au kusikia, hata mara moja katika vyombo vya habari ndani
ya nchi hiyo, Marekani ik i laumiwa kuwa inahatarisha amani au
inapinga mazungumzo ya kuleta amani, japo kwa vitendo vya wazi
kabisa, Marekani inahatarisha amani na kuchafua kabisa amani
Mashariki ya Kati na Amerika ya Kusini. Akatoa mifano mingi tu.
K a t i k a k u f a f a n u a akasema kuwa hutasikia
wanasiasa wa nchi hiyo wakizungumzia serikali ya Marekani
kupinga mazungumzo ya amani au kuhatarisha amani ya nchi yoyote ,
kwa sababu kila wanalolifanya wao, wanaamini kuwa ndio sah ih i . I
l a k i la anayepingana nao, ndio waovu, wavunja amani na
magaidi.
Ndio pale akasema, "peace process" has two meanings.
Kwamba, kuna tafsiri za kwenye kamusi, ambazo hazifanyi kazi
katika siasa za Marekani . Profesa Chomsky anasema kuwa kwa
serikali ya Marekani, kila inachofanya kukidhi maslahi yake ya
kibeberu, basi hiyo ndiyo amani, ndio ustaarabu na ndio demokrasia,
hata kama itakuwa ni kuhatarisha m a i s h a ya we n g i n e ,
kuvunja haki zao, uhuru w a o n a k u w a p o r a demokrasia yao.
Na katika hiki kinachoitwa Vita Dhidi ya Ugaidi, ilitangaza wazi,
kwamba kama hupo pamoja na Marekani, basi upo na magaidi. Huna
uhuru wa kuchagua.
Sasa inavyoelekea, na sisi tunaelekea kushika njia hiyo hiyo. Ni
zaidi ya mwaka sasa kuna Masheikh, viongozi wa Kiislamu wapo
rumande wakipachikwa tuhuma za ugaidi. Mengi yamesemwa juu ya
kuvunjwa haki z a o z a k i b i n a d a m u , kiraia na kisheria.
Lakini, haionekani kuwa kuna kujali. Kile wanachosema, w a n a o w
a t u h u m u , kinaonekana ndio sahihi, huku vikitumika
vipengele
vya kisheria na kauli za kisiasa kuzidi kuwashikilia Masheikh
hao, bila kujali hali zao kiafya na hata bila kujali iwapo kuna
sababu za kutosha kuwashikilia kwa tuhuma nzito kama hizo.
Ukisikiliza, maneno y a P r o f . C h o m s k y unachojifunza ni
kuwa, ubinadamu ukishakuwa bidhaa adimu, basi lolote linaweza
kufanyika na likahalalishwa hata kama lingekuwa jambo ovu kiasi cha
kumfanya hata shetani kuona vibaya kulisogelea.
Yupo Bwana mmoja aliwahi kufika nyumbani k w a M t u m e ( s . a
. w ) akamkuta Mtume akiwa kawapakata na kucheza na wajukuu zake.
Yule Bwana akashangaa sana. Akasema, yeye ana watoto wengi, lakini
hajawahi kucheza n a o , k u w a k u m b a t i a hata kuwabusu kama
a n a v y o f a n ya M t u m e (s.a.w). Jibu la Mtume (s.a.w) kwa
Bwana yule lilikuwa kwamba, kama ameondokewa (kama hana) mapenzi
ndani ya moyo wake wa kuwapenda watoto wake, hana la kumsaidia.
S i s i t u n a d h a n i jambo hili kuna haja ya kutizamwa
kibinaadamu. La kama viongozi wetu na wanaowangangania M a s h e i
k h h a o , wameondokewa na hata ile chembe ya ubinadamu, sasa hapo
la kufanya ni kumlilia Mwenyewe Allah Mtenza Nguvu kwa Dua, Itqaaf
na Swaumu. Tunaamini Yeye, hadhulumu mtu na hakuna pazia baina Yake
na Dua ya mwenye kudhulumiwa.
KILIO cha Masheikh wanaoshikiliwa bila ya kesi zao kuzungumzwa h
u k u w a k i n y i m w a dhamana, kimepiga hodi Bungeni baada ya
mbunge kuhoji, hatma yao.
Alikuwa Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA) Mheshimiwa Maryamu Salum
Msabaha kutoka Pemba, aliyetaka kujua nini hatma ya Masheikh hao
ambao wanashikiliwa kwa zaidi ya mwaka sasa.
Mheshimiwa Maryam alisema kuwa ukiacha k u w a w a m e t o l e w
a
Mbunge ahoji kulikoni Masheikh wa UAMSHOVipi ingekuwa ni
MaaskofuSpika Makinda aingilia kati
Na Mwandishi Wetu Zanzibar, ambayo ni nchi na kuletwa Bara,
lakini bado kumekuwa na kushikiliwa huku wakinyimwa haki ya
dhamana.
Alisema, kama wana kesi ya kujibu, basi kesi i n g e z u n g u m
z w a n a kuhukumiwa ikajulikana kuwa ni wakosa.
L a k i n i w a m e k u w a w a k i s h i k i l i w a b i l a
kesi kumalizika huku wakinyimwa dhamana.
Maryam alihoji, hebu ifikiriwe kama ingekuwa ni Maaskofu na
Mapadiri, nao wangefanyiwa hivyo. Na kama wangefanyiwa, hali
ingekuwaje.
Hata hivyo, kabla ya kumaliza hoja yake mbunge huyo, Spika
Mheshimiwa Anne Makinda alimkatisha kuwa alikuwa akiongea mambo
yaliyo nje ya mada.
Wiki iliyopita, gazeti hili liliarifu kuwa hali za watuhumiwa wa
ugaidi ni mbaya na baadhi yao walikuwa wamegoma kula.
S h e i k h F a r i d H a d Ahmed akizungumzia hali hiyo, mbele
ya Hakimu wa Mahakama anayesikiliza kesi yao, Renatus Rutta,
alisema kuwa kumekuwa na udhalilishaji mkubwa
Inaendelea Uk. 4
-
3 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015Habari
Masheikh wasilimisha SegereaW A F U N G W A n a Mahabusu katika
Gereza la Segerea, Jijini Dar es Salaam, wameendelea kupata Daawa
gerezani humo na kusilimu kwa nyakati tofauti.
Kazi hiyo imekuwa ikifanywa na Waislamu walio katika gereza hilo
walio nyimwa dhamana takriban mwaka mmoja sasa, kwa tuhuma za
ugaidi, akiwemo Sheikh Mselem.
A k i o n g e a n a A n nuur katikati ya wiki h i i , mfungwa
mmoja aliyemaliza kifungo chake katika gereza hilo na kurejea
uraiani, amesema aliingia gerezani akiitwa Solo Emanuel Malaja,
akiwa Mkristo, muimba kwaya, na sasa anatoka akijulikana kwa jina
la Nassoro Emanuel Malaja.
A l i s e m a , b a a d a ya kusilimu alibaini kasoro aliyodumu
nayo akiwa M k r i s t o , n a i l i a w e Muislamu safi,
alilazimika k u h i t a j i h u d u m a ya k u f a n y i w a T o h
a r a (kutahiriwa) kwa Masheikh gerezani humo.
Baada ya kusil imu nilibaini bado sijakamilika kutokana na
mafundisho ya Uislamu niliyokuwa nikiyasoma kupitia vitabu vidogo
vya Ki is lamu walivyokuwa wakinipa Masheikh, kabla sijasilimu.
Sikutaka nifiche kitu, niliwaambia kutokana na mila ya kwetu
(Usukumani) na dini niliyotoka kutokuwa na muongozo wa jambo hilo,
hivyo nilikuwa bado sijafanyiwa suna. Alisema Bw. Malaja.
Alisema, katika vitabu alivyosoma akiwa gerezani, kabla
hajasilimu, alijifunza kuwa kufanya sunna (tohara) ni katika hatua
ya usafi kwa Muislamu na ukamilifu.
Bw. Malaja (27) alisema, wapo wengi wanapata m a f u n d i s h o
h u m o gerezani na wengine w a n a s i l i m u k w a n i Masheikh
wanatumia v i t a b u m b a l i m b a l i wanavyopelekewa na
Waislamu katika kufikisha mafundisho ya Uislamu gerezani humo.
Bw. Malaja amesilimu Januar i 1 , 2015 , kwa usimaizi wa Ustadh
Salum, kisha kuchagua jina la Nassor.
Mimi nimefuata dini sahihi, sijafuata ushabiki au maslahi, kuwa
kwangu gerezani nimepata fursa ya kujifunza upande wa pili wa Dini
ya Kiislamu baada ya kukutana na Masheikh na Waislamu waliopo
gerezani. Alisema
Na Bakari Mwakangwale Bw. Malaja.Alisema, katika maisha
yake ndani ya Ukristo, a m e s h a w a h i k u w a m wa n a k wa
ya k a t i k a v i k u n d i m b a l i m b a l i hususani katika
Mji wa Kahama.
N i k i w a K a h a m a , niliimba katika kwaya m b a l i m b a
l i n i k i w a kiongozi na mtungaji na mara ya mwisho nilikuwa
katika kwaya moja inaitwa AIC iliyopo katika kijiji cha Bufuko, nje
kidogo ya Mji wa Kahama. Alisema.
Alisema, mara baada ya kufanya maamuzi ya kusilimu, alipata
lawama kutoka kwa baadhi ya Wakristo wenzake gerezani humo,
wakimueleza kuwa atakuwa gaidi , huku akiwajibu kuwa amesilimu kwa
kue lewa ukwel i kuhusu imani ya dini ya Uislamu.
A l i s e m a , w a t u w a m e k u w a wakiwaaminisha kuwa
ndani ya Uislamu kuna ugaidi, lakini akasema kwa jinsi alivyosoma
baadhi ya v i tabu kwa muda mchache, hajaona mahala ambapo kuna
chembe ya mafundisho ya Ugaidi, zaidi ya kubaini kuwa Uislamu ni
dini nzuri na ustaarabu.
Kwa kawaida mt i wowote ukiwa na matunda mazuri na matamu ni
lazima utapigwa mawe na kushambuliwa na kila mtu au wadudu, pengine
hata kabla hayo matunda hayajaiva. Alisema Bw. Malaja.
Akielezea sababu ya kuwa karibu na Masheikh gerezani humo kabla
ya kusilimu, alisema ni baada ya kukutana na Sheikh Mohammed Isyaka
Yusufu, (Mshatakiwa namba sita) ambaye aliwahi kuwa bosi wake mwaka
2007, Sumbawanga katika duka la vyakula.
A l i s e m a , b a a d a ya kumuona alimfuata na kusalimiana
naye, kisha naye aliwatambulisha kwa Masheikh wenzake, kwamba
alikuwa kijana wake katika biashara zake Sumbawanga, lakini yeye ni
Mkristo na kwamba w a l i m l i n g a n i a , b i l a
mafanikio.
A l i s e m a , w e n z a k e w a l i m u e l e z a k u w a huwa
halazimishwi mtu kufuata haki, ila akizidi kulinganiwa na akiujua u
k w e l i , m w e n y e w e ataufuta tu, na haipaswi kumkatia
tama.
B w . M a l a j a aliyehukumiwa kifungo kwa kosa la kununua
pikipiki ya wizi, alisema awali alikuwa mahabusu, na baada ya
kuhukumiwa
kifungo alipewa kitengo cha kusaidia jikoni, jambo ambalo
lilimfanya awe karibu zaidi na Masheikh hao kwa mahitaji yao
mbalimbali, hususani maji kutokana na shida ya maji gerezani
humo.
Zaidi alisema, alipewa jukumu la kumuhudumia Ustadh Salumu baada
ya kurejea kutoka katika m a t i b a b u a l i y o p a t a
hospitali ya Muhimbili, hatua iliyomfanya kuwa karibu zaidi na
Waislamu wengine walio katika kundi la Sheikh Mselem na
wenzake.
A l i s e m a , k u t o k a n a n a m a r a d h i ya U s t .
Salumu, aliwekwa katika selo maalumu ambayo h u w e k wa wa g o n j
wa na raia wa mataifa ya nje ambapo humo pia alikuwemo Mzungu, raia
wa Uingereza, ambaye ni Muislamu.
A l i s e m a , M z u n g u huyo aliyemtaja kwa jina la Hassan,
pia alikuwa ni rafiki yake wa karibu kwa muda mrefu gerezani h u m
o , h i v y o k w a kushirikiana na Masheikh, naye alitumia ukaribu
wao kumuelimisha kuhusu dini kwa ujumla.
Baada ya mimi kuwa mgumu kwa Masheikh, wao walimtumia Mzungu
(Hassan) kunielimisha zaidi ambaye yeye alikuwa akinifuata hadi j
ikoni akiwa na shida. Alisema.
Alisema, awali Masheikh w a l i k u w a w a n a m p a vitabu
vidogo vidogo vya Kiislamu, vilivyo andikwa Kiswahili, Kiingereza
na Kiarabu lakini alikuwa
akivikataa.Hata hivyo alisema,
walipomtumia Mzungu ( H a s s a n ) , a l i a n z a kuvipokea na
kuvisoma usiku na mchana.
K u n a s i k u m o j a walinipa vitabu viwili, k i m o j a k i
k u b wa c h a K i i s l a m u ( M s a h a f u ) pamoja na Biblia,
(Agano la Kale na Jipya) ambapo waliniandikia sehemu maalum za
kusoma katika Msahafu na Biblia.
Ni l i soma k ipande kwa k ipande kutoka katika vitabu hivyo,
kweli nilipata mambo mapya ya kujifunza na nilitafakari zaidi
kuhusiana na imani za dini hizi mbili katika kumuabudu Mungu.
Alisema.
Hata hivyo akasema, matukio na matendo machafu, kuingi l iana
kinyume cha maumbile, gerezani humo, nayo yalimfanya atafakari sana
kiimani, kwani alidai mambo hayo yamekithiri sana, lakini kwa
wafungwa Wa i s l a m u n i n a d r a kuyaona.
Maana wale rafiki zangu wa kiimani kabla sijasilimu (Wakristo)
walikuwa na mambo hayo ilifika kipindi mpaka niliamua kuachana nao
na nilikuwa naona tabu hata kula nao pamoja, lakini nikiwa na
Waislamu mambo hayo huyakuti wala huyasikii.
Ha l i h i i i l i chang ia k u i n g i a k w a n g u katika
Uislamu ambao mafundisho yake yamejaa ustarabu na inakemea wazi
wazi tofauti na upande
niliotoka. Alisema Bw. Malaja.
Alisema, Desemba 29, 2014, alipopeleka maji ya moto kwa Ust.
Salumu, aliwakuta Shekh Nondo, A b u b a k a r M g o n d o , pamoja
na Jihadi Jaribuni, ambapo walimpa darsa zito na kumfafanulia zaidi
yale aliyo yasoma.
Baada ya hapo ilipofika, Januari 1, 2015, nilipo peleka maji kwa
Ust. Salumu, akiwa na Hassan (Mzungu) niliwaeleza kuwa sasa n ipo
tayar i kus i l imu baada ya kujiridhisha na mafundisho ya Uislamu
pamoja na nasaha zenu.
Walienda kuwaita Sheikh Jihadi, Abubakari pamoja na Nondo, ambao
kwa pamoja walifika pale na kunisilimisha rasmi, kisha waliniambia
nichague jina, nikachagua jina la Nassoro. alibainisha Bw. Nassoro
Malaja.
A l i s e m a , b a a d a ya kusilimu alikabidhiwa kwa Mzungu
(Hassan) ili amfundishe hatua za awali za kuiendea ibada (Kuswali)
ambaye alianza kunifundisha mambo mbali mbali ya awali ya
Uislamu.
Alisema, hapo ndipo l i l i p o k u j a s u a l a l a kufanyiwa
Tohara, baada ya kuwaeleza, ambapo alisema Ust. Jihadi na Hassan
walisema wao wana pesa ambazo walizikabidhi wakati wakiingiia
gerezani, h i v y o wa t a o n g e a n a uongozi ili kiasi fulani
kitumike katika gharama za kumshughulikia.
Alisema, jukumu hilo alikabidhiwa Daktari wa hapo Segerea,
aliyemtaja kwa jina la Hamisa, ambaye naye alilisimamia kwa
kumletea Daktari kutoka Gereza la Ukonga, ambaye alimfanyia Suna
humo humo gerezani.
Bw. Nassoro (Solo) kwa sasa yupo J i j in i Dar es Salaam, chini
ya Kamati ya Maafa ya Shura ya Maimamu, ambayo inafanya mchakato wa
kumtafutia Chuo cha mafunzo ya Dini, ikiwa ni ombi lake la
kusaidiwa kuusoma Uislamu.
Katibu wa Kamati hiyo, Ustadhi Ally Mbaruku, ametoa wito kwa
Wadau wa elimu katika vyuo vya Dini, kuwasiliana na Kamati,
(0655/0784 816 040) ili kuweza kumsaidia kielimu Muislamu huyo
mpya, aliyesilimu akiwa Gerezani.
NASSOR Emmanuel Malaja (Solo)
-
4 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015Makala
Mbunge ahoji kulikoni Masheikh wa UAMSHOInatoka Uk.
2waliofanyhiwa.S h e i k h F a r i d H a d akimpa Hakimu historia
fupi ya kesi yao iliyopo mbele yake, alisema kuwa, wamebambikiziwa
kesi ya ugaidi kwa kudai nchi yao huru ya Zanzibar na kusema mfumo
wa M u u n g a n o u l i o p o hawautaki.
Alisema, kesi yao ni ya kisiasa na si vinginevyo na kwamba,
walikamatwa na kuletwa bara kuja kudhalilishwa tu na polisi wa kike
na wakiume.
S h e i k h F a r i d alimtambulisha Hakimu h u y o k u w a w a
o n i Viongoz i wa Taas i s i mbalimbali na yeye akiwa ni kiongozi
Umoja wa Mihadhara na Sheikh Mselem Ali Mselem ni kiongozi wa
Jumuiya ya Uamsho, zote za Zanzibar.
Sheikh Kama huyu ( M s e l e m ) k a f a n y i wa udhalilishaji
mkubwa wa kuachwa uchi wa mnyama huku amening'inizwa kwa p ingu,
huyu n i Sheikh anayesoma kitabu kitakatifu cha Mwenyezi Mungu,
akisikika akisoma Qur'an tukufu katika R e d i o n y i n g i k a t
i k a Afrika ya Mashariki, lakini anafanyiwa ushenzi kama huo
Alisema Sheikh Farid mbele ya hakimu huyo.
Naye mshitakiwa Salum alimkumbusha Hakimu Rut ta kuwa a l i ah
id i kuwa atafuatilia hali zao gerezani na kuhoji mbona
hawakumuona?.
Alisema yeye ni moja wa wal iodhal i l i shwa na Polisi kwa
kutiwa chupa na majiti, lakini
Ile kesi yao mpaka leo inazunguushwa, ni kwa nini kesi ile
isiwekwe wazi ikaamulia mbivu na mbichi. Kama kweli Masheikh wale
wana m a t a t i z o a u k a m a wameenda kinyume ama wana kitu
gani, basi wahukumiwe wajue kama wamefungwa.
L a k i n i
Alichosema Mhe. Maryam Msabaham a n a w a z u n g u s h a , l e
o h i i wa m e g o m a kula mnaipeleka wapi S e r i k a l i . M n a
s e m a hakuna mgawanyo wa dini. Leo nataka niseme tena kwa kinywa
kipana, ingekuwa ni Mapadri na Maaskofu, wamo mle ndani leo
kungekuwa na amani Tanzania Bara?
L e o m n a s e m a ,
MBUNGE wa Viti Maalum (CHADEMA) Maryam Msabaha toka Pemba.
Zanzibar ni nchi, sasa ikiwa Zanzibar ni nchi, kwa nini wale
Masheikh waliletwa huku.
Mh. Spika, haya ni masuala ya kuishauri Serikali, ni masuala ya
amani. Tunataka amani na utulivu. Zanzibar tunasema Zanzibar njema
atakae na aje.
alisikitishwa na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe
ambaye alisema hawajatendewa chochote huku akijua sio kweli.
Kulingana hali hiyo Sheikh Farid, aliiomba Mahakama kufika
katika gereza hilo kuangalia hali halisi ya watuhumiwa hao i l i
hatua stahiki zichukuliwe.
Tunaiomba mahakama k u j a k u l e g e r e z a n i mjionee hali
halisi, ili hatua stahiki z iweze kuchukuliwa, vinginevyo subirini
kupokea maiti na muingie katika historia ya Zanzibar. Alisema
Sheikh Farid Mahakani hapo bila kufafanua zaidi.
A s k a r i M a g e r e z a a m b a y e h a k u w e z a
kufahamika jina lake mara moja, alikiri kuwepo kwa hali hiyo kwa
watuhumiwa hao wa ugaidi baada ya Hakimu wa Mahakama ya Kisutu
jijini Dar es Salaam anayesikiliza kesi hiyo Renatus Rutta, kupokea
maelezo na taarifa hiyo ya Amir Hadi na kumuhoji askari huyo.
Hakimu alimtaka Ofisa wa Magereza aeleze ni kwa nini watuhumiwa
hao watatu hawakufika mahakamani.
Afisa huyo aliieleza m a h a k a m a k u w a wameshindwa kufika
kutokana mgomo na wametoa masharti kuwa wanahitaji Mwanasheria Mkuu
wa Serikali wa Zanzibar na wa Tanzania bara pamoja na Jaji Mkuu, wa
wa t e m b e l e e h u k o gerezani.
Watuhumiwa ambao hawakuweza kufika ni Said Amour, Salum na Said
Shehe, Sharifu na Abdallah Hassani Hassani.
Serikali ya Zanzibar imeombwa kutoa ulinzi na kutunza usalama wa
Masheikh kuhubiri amani pale wanapotekeleza majukumu yao kutokana
na usalama wa Masheikh hao kuwa hatarini muda wote
wanapohubiri.
Khofu hiyo imeoneshwa juzi kwenye semina ya siku moja ya
kuhamisisha v iongozi wa dini ya Kiislamu katika kusimamia amani
wakati wa uchaguzi mkuu iliyofanyika katika ukumbi wa Shirika la
Bima Zanzibar.
Akisoma majumuisho hayo mbele ya washiriki hao, Ustadh Masoud
Hemed amesema wajumbe
Serikali itoe ulinzi kwa Masheikh wa ZanzibarNa Salma Al
Ghaithiyyah, Zanzibarhao wameanzimia hayo kutokana na hali
ilivyo ya khofu na wasiwasi kwa watu ambao wanahubiri amani na
mambo mengine ambapo bado baadhi ya Masheikh wapo ndani kwa kutoa
maoni, huku wengine hawajui khatima yao.
Serikali iwe tayari k u w a p a M a s h e i k h u l i n z i n a
k u t u n z a usa lama wao wakat i Masheikh watakapokuwa
wanatekeleza Jukumu la kuhubiri amani kama walivyotakiwa na Semina
hii . amesema Ustadh Hemed.
K a t i k a m i c h a n g o y a o , w a m e s e m a
wanashangazwa na hali ilivyo tete, ambapo wakati mambo ya l
ivyokuwa
yameharibika, walilitwa Masheikh kutuliza hali ya nchi
kuzungumza na wananchi misikitini na katika mikusanyiko jambo
lililosaidia kuundwa kwa serikali ya umoja wa kitaifa, lakini sasa
ndio wanateseka magerezani bila ya kuhukumiwa.
Sisi tunashangaa kwa nini tul iweza kuitwa kuhubiri amani wakati
ule nchi ilipochafuka tukatakia kufanya sala ya pamoja na kuomba
dua lakini kwa nini ishindikane sasa hivi kuna nini? Alihoji Ustadh
Hamad.
Amesema, sio tabia nzuri inayotendeka kuwanyima uhuru Masheikh
kutoa m i h a d h a r a h u k u wakiogopa kukamatwa n a p o l i s i
k a m a
walivyofanyiwa wenzi wao zaidi ya 20 ambao wapo ndani zaidi ya
mwaka sasa wakikabiliwa na kesi ya ugaidi huko Tanzania Bara.
W a s h i r i k i h a o w a m e s e m a k a t i b a imeruhusu
watu kutoa maoni yao, lakini baada ya kukamatwa watu na kuwekwa
ndani, baadhi ya masheikh wamerudi n y u m a k u h u b i r i
wakiogopa kwa kuwa hawajui wakati gani na wao watafuatwa na wao na
kusingiziwa kesi.
Aidha katika maazimio Masheikh na viongozi wa Taasisi za
Kiislamu watumie hafla mbalimbali za k idini pamoja na mikusanyiko
ya kiibada ikiwemo khotuba za Ijumaa
kuhimiza na kuhamasisha amani na utulivu wakati wa uchaguzi
mkuu.
K a t i k a m a a z i m i o mengine, Masheikh hao wamesema kwa
kuwa chanzo k ikubwa cha machafuko Zanzibar ni uchaguzi, basi Tume
ya Uchaguzi Zanzibar iwajibike katika kusimamia na kuendesha
uchaguzi ulio huru, haki na uadilifu ili kuepusha visababishi vya
uvunjaji wa amani katika nchi.
A i d h a , M a s h e i k h washirikiane na viongozi wa Taasisi
za Kiislamu kuandaa Dua ya Kitaifa ya kuiombea nchi amani, u t u l
i v u n a u s a l a m a kuelekea uchaguzi Mkuu.
Wamesema, Semina Inaendelea Uk. 5
-
5 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28,
2015Habari/Matangazo
WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MASOMO, CHUO KIKUU CHA INTERNATIONAL
UNIVERSITY OF AFRICA, KHARTOUM SUDAN 2015/2016.
Munazzat Al- Daawa Al- Islamiyya (MDI) ofisi ya Tanzania
inayofuraha kuwatangazia wafuatao kuwa wamechaguliwa kujiunga na
Chuo Kikuu cha INTERNATIONAL UNIVERSITY OF AFRICA kilichopo
Khartoum, Sudan kwa mwaka wa masomo 2015/2016. Usajili utaanza
tarehe 01/09/2015 masomo yataanza tarehe 13/09/2015.
SN NAME OF APPLICANT FACULTY1 KHADIJA HIJJA KANDEGE MEDICINE2
AMOUR ISSA SULEIMAN MEDICINE3 NUSURA ABDALLAH SAIDI NURSING4
FAT-HIYA FAKIH ABDALLAH NURSING5 AMINA MOHAMED MAKAME NURSING6
SAFIA ALI HAMAD NURSING 7 ZULEKHA MUDHIHIRI AHMAD PHARMACY8
SULEIMAN SAID SULEIMAN PHARMACY9 AISHA OMARI SAID DENTIST
10 MUHAMMED SALIM MUHAMMED DENTIST11 AMAN MOHAMED AMAN
PETROLEUM12 SALUM ABDALLAH PETROLEUM13 TAKIYU MIKIDADI PETROLEUM14
HARUNA BURHANI PETROLEUM15 ALI ABDULLA KHAMIS PETROLEUM16 HUSSEIN
ABOUD HASSAN PETROLEUM17 ALI MASOUD RASHID PETROLEUM18 ALI MIRAJI
MSOMI PETROLEUM 19 ABDULRAHMAN MWINYIPEMBE MTORO ENGINEERING20
SALUM KHAMIS NGWALI ENGINEERING21 MARIAM SULEIMAN MZEE LAB
SCIENCE22 HAMIDA JUMA HAJI LAB SCIENCE23 SAIDE OMAR AHMED LAB
SCIENCE24 AMINA ABOUD DARWESH LAB SCIENCE25 MARYAM ALLIY KILIMA
COMP SCIENCE26 ACKRAM S. KIBONAJORO COMP SCIENCE27 JABIR DAUDA
AHMAD PURE SCIENCE28 SAMIRA MBARAKA HEMED ECONOMY29 MALIK SHAAME
KAI ECONOMY30 AHMED SALIM ALI ECONOMY31 FAHMI ABASI SULEIMAN LAW
& SHARIA32 YUSUFU ABDALLAH ISSA LAW & SHARIA33 OMARI
SWALEHE OMARI LAW & SHARIA34 KHERI JUMA NASSOR LAW &
SHARIA35 SWAALIHINA SAIDI GELLEKO LAW & SHARIA36 YAHYA MUSTAFA
NGALAWA LAW & SHARIA37 AULA NUHU HUSSEIN LAW & SHARIA38
HUSSEIN JUMANNE SAADY LAW & SHARIA39 SHABANI LUJAMA MWIZARUBI
LAW & SHARIA40 MARYAM SEIF KHAMIS LAW & SHARIA41 WILDAT
SULEIMAN MOHAMED LAW & SHARIA42 MAULIDI BAKAR ALI LAW &
SHARIA43 AHMED YUSUPH KAISI ISLAMIC STUDIES44 ISSA MASOUD RASHID
ISLAMIC STUDIES45 SALMIN RASHID HASSAN ISLAMIC STUDIES46 OMARI
ATHUMAN SULEIMAN ISLAMIC STUDIES47 RASHIDI HAMADI YASINI ISLAMIC
STUDIES48 ASNALI MUDATHIR MACHEYA ISLAMIC STUDIES49 HASSAN AHMED
MFAUME ISLAMIC STUDIES50 DHULKHAIR SULEIMAN ISSA ISLAMIC
STUDIES
KWA MAELEZO ZAIDI FIKA KITUO ULICHOFANYIA MTIHANI AU PIGA SIMU
0786 806662.
KHAMIS M.A. LIYENIKEIDARA YA DAWA
WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MASOMO, CHUO KIKUU CHA INTERNATIONAL
UNIVERSITY OF AFRICA, KHARTOUM SUDAN 2015/2016.
Munazzat Al- Daawa Al- Islamiyya (MDI) ofisi ya Tanzania
inayofuraha kuwatangazia wafuatao kuwa wamechaguliwa kujiunga na
Chuo Kikuu cha INTERNATIONAL UNIVERSITY OF AFRICA kilichopo
Khartoum, Sudan kwa mwaka wa masomo 2015/2016. Usajili utaanza
tarehe 01/09/2015 masomo yataanza tarehe 13/09/2015.
SN NAME OF APPLICANT SEX FACULTY EXAMINATION CENTRE 1 KHADIJA
HIJJA KANDEGE F MEDICINE DAR ES SALAAM 2 AMOUR ISSA SULEIMAN M
MEDICINE ZANZIBAR 3 NUSURA ABDALLAH SAIDI F NURSING IRINGA 4
FAT-HIYA FAKIH ABDALLAH F NURSING ZANZIBAR 5 AMINA MOHAMED MAKAME F
NURSING ZANZIBAR 6 SAFIA ALI HAMAD F NURSING ZANZIBAR 7 ZULEKHA
MUDHIHIRI AHMAD F PHARMACY DAR ES SALAAM 8 SULEIMAN SAID SULEIMAN M
PHARMACY ZANZIBAR 9 AISHA OMARI SAID F DENTIST DAR ES SALAAM
10 MUHAMMED SALIM MUHAMMED M DENTIST ZANZIBAR 11 AMAN MOHAMED
AMAN M PETROLEUM DAR ES SALAAM 12 SALUM ABDALLAH M PETROLEUM MWANZA
13 TAKIYU MIKIDADI M PETROLEUM MWANZA 14 HARUNA BURHANI M PETROLEUM
MWANZA 15 ALI ABDULLA KHAMIS M PETROLEUM ZANZIBAR 16 HUSSEIN ABOUD
HASSAN M PETROLEUM ZANZIBAR 17 ALI MASOUD RASHID M PETROLEUM
ZANZIBAR 18 ALI MIRAJI MSOMI M PETROLEUM ZANZIBAR 19 ABDULRAHMAN
MWINYIPEMBE MTORO M ENGINEERING DAR ES SALAAM 20 SALUM KHAMIS
NGWALI M ENGINEERING ZANZIBAR 21 MARIAM SULEIMAN MZEE F LAB SCIENCE
DAR ES SALAAM 22 HAMIDA JUMA HAJI F LAB SCIENCE ZANZIBAR 23 SAIDE
OMAR AHMED M LAB SCIENCE ZANZIBAR 24 AMINA ABOUD DARWESH F LAB
SCIENCE ZANZIBAR 25 MARYAM ALLIY KILIMA F COMP SCIENCE DAR ES
SALAAM 26 ACKRAM S. KIBONAJORO M COMP SCIENCE MWANZA 27 JABIR DAUDA
AHMAD M PURE SCIENCE MWANZA 28 SAMIRA MBARAKA HEMED F ECONOMY DAR
ES SALAAM 29 MALIK SHAAME KAI M ECONOMY ZANZIBAR 30 AHMED SALIM ALI
M ECONOMY ZANZIBAR 31 FAHMI ABASI SULEIMAN M LAW & SHARIA DAR
ES SALAAM 32 YUSUFU ABDALLAH ISSA M LAW & SHARIA DAR ES SALAAM
33 OMARI SWALEHE OMARI M LAW & SHARIA DAR ES SALAAM 34 KHERI
JUMA NASSOR M LAW & SHARIA IRINGA 35 SWAALIHINA SAIDI GELLEKO M
LAW & SHARIA IRINGA 36 YAHYA MUSTAFA NGALAWA M LAW & SHARIA
IRINGA 37 AULA NUHU HUSSEIN M LAW & SHARIA IRINGA 38 HUSSEIN
JUMANNE SAADY M LAW & SHARIA MWANZA 39 SHABANI LUJAMA MWIZARUBI
M LAW & SHARIA MWANZA 40 MARYAM SEIF KHAMIS F LAW & SHARIA
ZANZIBAR 41 WILDAT SULEIMAN MOHAMED F LAW & SHARIA ZANZIBAR 42
MAULIDI BAKAR ALI M LAW & SHARIA ZANZIBAR 43 AHMED YUSUPH KAISI
M ISLAMIC STUDIES DAR ES SALAAM 44 ISSA MASOUD RASHID M ISLAMIC
STUDIES IRINGA 45 SALMIN RASHID HASSAN M ISLAMIC STUDIES IRINGA 46
OMARI ATHUMAN SULEIMAN M ISLAMIC STUDIES IRINGA 47 RASHIDI HAMADI
YASINI M ISLAMIC STUDIES IRINGA 48 ASNALI MUDATHIR MACHEYA M
ISLAMIC STUDIES IRINGA 49 HASSAN AHMED MFAUME M ISLAMIC STUDIES
IRINGA 50 DHULKHAIR SULEIMAN ISSA M ISLAMIC STUDIES IRINGA KWA
MAELEZO ZAIDI FIKA KITUO ULICHOFANYIA MTIHANI AU PIGA SIMU 0786
806662.
KHAMIS M.A. LIYENIKE IDARA YA DAWA
Serikali itoe ulinziInatoka Uk. 4za aina hii ziendelee kufanyika
kwa wadau wengine muhimu wa uchaguzi wakiiwemo watumshi wa Tume ya
Uchaguzi Zanzibar, Polisi, Viongozi wa Vyama vya Siasa na Watumishi
wakuu wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara
Maalumu.
H a t a h i v y o , Vyombo vya Ulinzi na Usalama visijihusishe
kwa namna yoyote n a m a s u a l a y a kisiasa, badala yake
vitekeleze shughuli zao kwa uadilifu zaidi
ili kulinda maslahi ya wananchi nay a Taifa kwa ujumla.
Ustadh Hemed amesema Waislamu w a n a t a k i w a wadumishe
amani, utulivu na udugu wao katika kipindi hiki cha kuelekea u c h
a g u z i m k u u , bila ya kujali tofauti zao za kivyama na
misimamo ya kisiasa.
L a k i n i p i a wamesema Serikali k u p i t i a W i z a r a y
a E l i m u n a Mafunzo ya Amali i i n g i z e m a f u n z o ya
amani , udugu n a m s h i k a m a n o
katika mitaala ya ngazi zote za Elimu n a k u w e p o n a
Mkutano wa pamoja kati ya Masheikh na Viongozi wakuu wa Nchi ili
kuzungumzia m u s t a k a b a l i Ta i f a kuelekea uchaguzi M k u
u h u k u l e n g o likiwa ni kudumisha hali ya amani.
M a d a m b i l i zimewasilishwa katika semina hiyo ikiwemo k u
s i m a m i a a m a n i wakati uchaguzi mkuu iliyowasilishwa na
Abdallah Talib na nafasi ya Uislamu katika kujenga amani katika
jamii.
Waislamu wote nchini mnaalikwa kuhudhuria Tamasha la Ujenzi wa
Kituo cha Kiislamu Ilongo Mbeya litakalofanyika kuanzia tarehe 05,
12 Juni, 2015.
Shime Waislamu tujitahidi kuhudhuria kwa wingi. Wasio na wasaa
wa kuhudhuria wachangie fedha na vifaa vya ujenzi.
Tukumbuke, tukifanya hivyo tutakuwa tumefanya biashara na Allah
(s.w) kwa mafanikio ya hapa duniani na malipo ya Pepo Quran
(61:10-13)
Usafiri / Gharama: Kutokana na Miundombinu ya barabara kwa sasa
kila mkoa utaratibu safari ya Mbeya kupitia Maamir wa Mikoa
Kwa kupitia Dar es Salaam nauli ni Tshs. 70,000/- kwenda na
kurudi Dar. Kuripoti Dar es Salam ni tarehe 04/06/2015
(0689665045/0713 992395).
Kipindi hiki Mkoa wa Mbeya una baridi, hivyo wanatamasha waje na
nguo za kuzuia baridi.
Wabillah TawfiiqAMIR TAIFA
TAMASHA LA KITAIFAILONGO MBEYA
05 12 JUNI , 2015
-
6 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015TANGAZO
Inaendelea Uk. 7
ISLAMIC PROPAGATION CENTRE
Muda wa Kozi ni miaka miwili
SIFA ZA MUOMBAJI:(a) Awe Muislamu.(b) Awe amefaulu masomo manne
(4) au zaidi kwa kiwango cha D au zaidi katika Mtihani wa Kidato
cha 4.(c) Atakayekuwa na ufaulu wa kiwango cha D au zaidi katika
Lugha ya Kiarabu, Kiingereza, Kiswahili na Elimu ya Dini ya
Kiislamu atapewa kipaumbele zaidi.
Mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu ni tarehe 15 JULAI,
2015.Fomu za maombi zinapatikana kwa gharama ya Shilingi 5,000/=
(elfu tano) katika Tovuti:www.ipcorg.tz na katika vituo
vifuatavyo:
KOZI YA UALIMU WA LUGHA YA KIARABU, KIINGEREZA, KISWAHILI NA
ELIMU YA DINI YA KIISLAMU NGAZI YA CHETI
USIKOSE NAFASI HII ADHIMU - WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!
Bismillahir Rahmaanir Rahiim
KIRINJIKO ISLAMIC TEACHERS COLLEGE - SAME, KILIMANJARO
ARUSHA: Ofisi a Islamic Education Panel, Jambo Plastic, Ghorofa
ya 2 mkabala na Msikiti Mkuu wa Bondeni, Simu: 0783 552414/0762
817640.KILIMANJARO-Moshi: Msikiti wa Riadha: 0712216490 Same Juhudi
Studio mkabala naBenki ya NBC Same: 0757013344.Same: Kirinjiko
Islamic Secondary School: 0784 296424/0655 676075.
Usangi: Falhum Kibakaya: 0787 142054.
Ugweno: Kifula shopping Centre: Yusuph Shanga: 0784 585776.
TANGA: Twalut Islamic Centre - Mabovu Darajani: 0715
894111Uongofu Bookshop: 0784 982525.Korogwe: SHEMEA SHOP: 0754
690007.Lushoto: Mandia Shop: 0782 257533Handeni: Mafiga - 0782
105735/0657 093983.MWANZA: Nyasaka Islamic Secondary School: 0717
417685/0786 417685.Ofisi ya Islamic Education Panel, Mtaa wa Rufiji
mkabala na Msikiti wa Al-Amin: 0785086770/0714 097362.MUSOMA: Ofisi
ya Islamic Education Panel Mtaa wa Karume, Nyumba Na. 05:
0765024623.
SHINYANGA: Msikiti wa Majengo karibu na Manispaa ya Shinyanga
Mjini: 0752 180426.Kahama: Ofisi ya AN-NUUR na Msikiti wa Ibadhi:
0753 993930/0688 794040.
DAR ES SALAAM: Ubungo Islamic High School: 0756584625/0657
350172.Ofisi ya Islamic Education Panel, Temeke - Msikiti wa Nurul
Yakin: 0655144474, 0787119531.
MOROGORO: Ramadhani Chale-0715704380
DODOMA: Hijra Islamic Primary School: 0716
544757/0718661992.
SINGIDA: Ofisi ya Islamic Education Panel, karibu na Nuru Snack
Hotel:0786425838/0784 928039.
MANYARA: Ofisi ya Islamic Education Panel-Masjid Rahma: 0784
491196.
KIGOMA: Msikiti wa Mwandiga: 0714 717727Kibondo: Marubona Isl.
SS. 0714 710802.
LINDI: Wapemba Store: 0784 974041/0783 488444/0653 705627.
MTWARA: Amana Islamic S.S. 0715 465158/0787 231007.
SONGEA: Kwa Kawanga karibu na Msikiti wa Nuru - 0713 249264/0683
670772.
Mkuzo Islamic High School: 0717 348375.
MBEYA: Ofisi za Islamic Education Panel Uhindini- 0785
425319.
Rexona Video mkabala na Mbeya RETCO, 0713 200209/0785
425319.
RUKWA: Sumbawanga: Jengo la Haji Said - Shule ya Msingi Kizwike
0717 082072.
TABORA: Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566, 0787
237342.Nzega: Dk. Mbaga 0754 576922/0784 576922.
IRINGA: Madrastun-Najah: 0714 522 122
PEMBA: Wete Islamic Sch. 0777 432331/0712772326
UNGUJA: Madrasatul - Fallah: 0777 125074
Pandu Bookshop: 0777 462056 karibu na uwanja wa Lumumba.
MAFIA: Ofisi ya Ust. Yusufu Ally jirani na Msikiti Mkuu: 0773
580703.
Kwa maelezo zaidi piga simu: 0787 188964, 0784 267762 na 0654
613080
-
7 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015Makala
Profesa Ibrahim Noor Shariff
Propaganda za udini shuleni Tanzania-3
KATIKA toleo lililopita, kuna maelezo ambayo hayakuwa
yameambatana na picha zilizokusudiwa hivyo, kutokufahamika kama il
ivyotarajiwa. Tunakirejea kipande hicho pamoja na picha zake.
N a h i i ya j u u p i a inamshirikisha Mwarabu
Nini lengo la wachoraji picha kuficha ukweli?
katika ukamataj i . Na inayofuata inawashirikisha
Picha hii imechorwa kuonesha kuwa hakuna wa kulaumiwa katika
ukamataji wa watumwa ila Waarabu Waislamu.
Na katika picha hii pia, wenye kulaumiwa kwa ukamataji wa
wanyonge wa Kiafrika ni Waarabu na Waswahili Waislamu.
Waarabu na Waswahili k a t i k a k i t e n d o kilichofanywa na
Waafrika wa Bara. Dhahiri kuwa ukhabithi wa wakamataji wa kweli,
yaani makabila ya Waafrika wa Bara yaliyokuwa na nguvu wanatupiwa
Waarabu na Waswahili. Kisa ni kwa kuwa ni Waislamu.
N a h i z i p i c h a zinazofuata kutokana na vitabu vya
kusomeshea historia Tanzania hali ndiyo hiyohiyo. Mtwike Mwarabu
lawama zote za ukamataji wa wanyonge wa Kiafrika na kuwatia
utumwani na kwa kufanya hivyo lengo khasa la kuichukiza dini yao ya
Kiislamu litafikiwa katika bongo za watoto vijana katika shule za
Tanzania. Lakini hilo halitafikiwa kwa sababu kila kukicha
wengi wenye kutumia akili zao wanazidi kuuona
Mwarabu hajulikani wa wapi! Wanawake wa Kiafrika katika zama
hizo kweli walikuwa wakivaa vitambaa
ukweli. Lakini wenye lengo lao la siasa kali za udini ni sawa
kwao
wanaona kuwa haidhuru kitu wakija Waislamu na Wakristo kuuwana
siku za mbele, na Tanzania ikawa nchi isiyokalika. Siasa zao kali
za udini ni masikitiko makubwa kwa nchi nzima.
Na hii inayofuata ndiyo naipa nishani kubwa kabisa. Maelezo
yanasema, kwa tafsiri: Watumwa wakiwa kazini katika mashamba ya
miwa katika West Indies.
West Indies ni visiwa vilioko Amerika ambako Waarabu hawakuweko
huko. Sasa inakhusu nini nokoa achorwe Mwarabu? H a wa wa a n d i s
h i n a wachoraji wenye siasa kali za propaganda za udini dhidi ya
Waislamu
Angalia na picha inayofuata. Tena na tena picha za kuchora
zinamlaumu Mwarabu kwa ukamataji wanyonge wa Kiafrika na kuwatia
utumwani.
wamefikaje kuidhibiti manhaji (karikulamu) ya kusomeshea
historia
Hata katika mashamba ya miwa ya West Indies ambako Waarabu
hawakuweko, wanawalaumu Waarabu kuwa ndio waliokuwa manokowa!
Ta n z a n i a n a h u k u tunaambiwa Tanzania haina dini?
Hapana ubaya kufikisha ujumbe, ikiwa ujumbe wenyewe ni sahihi,
lakini ikiwa ujumbe si sahihi au umekusudia kupotosha ukweli au
kuleta chuki au kuigawa jamii, basi ujumbe huo utakuwa ni wa
khatari sana, na kila mpenda haki na usalama wa nchi na jamii zake
anatakiwa aupinge kwa kupaza sauti yake, khasa ikiwa wanaofikishiwa
ujumbe ni wanafunzi wadogo ambao watakuwa viongozi wetu kesho, na
wao ndio watakuwa wanatuamulia mambo yetu na kutuongoza.
Angalia pia na picha hii ya wafanyabiashara wa Kiafrika. Jaribu
utambue propaganda iliomo ndani yake:
Propaganda si lazima iwemo katika yaliyosemwa a u y a l i y o c
h o r w a . I n a w e z a k u w e m o k a t i k a y a l i y o k u w
a hayakuzungumzwa au yaliyokuwa hayakuchorwa pia. Katika picha hii
tunawaona Waafr ika kutoka Bara wamechukua v i t u v i c h a c h e
k a m a ngoma, mikeka, pembe za ndovu (na mmoja katika watu wawili
hao,
Inaendelea Uk. 18
-
8 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015Makala
LINI kilikuwa Kipindi cha Israa na Miiraaj? Tarehe hasa ya tukio
la Israa na Miiraaj haifahamiki kwa uhakika. Ibn Kathiyr amenukuu
kutoka kwa wanachuoni mbali mbali katika kitabu chake Al-Bidaayatu
wan-Nihaayah (3/108) juu ya terehe ya tukio hilo. Wanachuoni wengi
wanaona kuwa tarehe hiyo ilikuwa kati ya miezi 12 na 16 kabla ya
Hijra yake kwenda Madiynah. Na wa zaidi ya hapo wamekhitilafiana
juu ya siku na hata huo mwezi.
K a b l a y a S a f a r i : Malaika Jibriyl (Alayhis-Salaam)
alifungua kifua cha Mtume Muhammad (Swalla Allaahu alayhi wa aalihi
wa sallam), akatoa moyo wake na kuuosha kwa maji ya Zam Zam.
Anasema Anas Bin Maalik (Radhiya Allaahu anhu): RasuluLlaah (Swalla
Allaahu alayhi wa aalihi wa sallam) alichukuliwa katika Israa na
Miiraaj kutoka Msikiti Mtukufu wa (Makkah) Kaabah. Watu watatu
walimjia (ndotoni) akiwa amelala ndani ya Msikiti wa Makkah kabla
Wahyi haujaletwa kwake. Mmoja wao akasema: Ni yupi kati ya hawa
watu? Malaika wa kati akasema Yule ambaye ni mbora kuliko wote na
Malaika wa Mwisho akasema, Chukueni aliye mbora wao. Mambo haya
yalitokea katika usiku huo huo. Usiku huo hakuwaona, lakini
aliwaona usiku mwingine ambapo tayari wahyi ulikuwa umeletwa kwake
na alikuwa macho amelala lakini alikuwa hadhiri (Ni kawaida ya
Mitume wote kulala macho wakati wako hadhiri). Wale Malaika h a w a
k u m s e m e s h a bal i wal imbeba hadi wakamfikisha kat ika
kisima cha Zam Zam. Miongoni mwao Jibriyl (Alayhis-Salaam) alikuwa
akiongoza na kuelekeza kifanyike nini. Alipasua sehemu kati ya koo
na kati ya kifua na akatoa vyote vilivyokuwemo kifuani na kuviosha
kwa maji ya Zam Zam kwa mikono yake mwenyewe na pia kusuuza sehemu
za ndani za mwili na kisha kikaletwa chano cha dhahabu kikiwa na
bakuli la dhahabu
kililetwa ndani ya bakuli mkiwa mkajazwa imani na busara.
Jibriyl (Alayhis-Salaam) akachukua vitu hivyo kutoka ndani ya
bakuli na kuvijaza kifuani m w a M t u m e k i s h a akachukua
viungo vya Mtume pamoja na mishipa ya damu akavijaza kifuani kwa
Mtume na kukifunga k i f u a S wa h i y h A l -Bukhaariy Juzuu 9
Namba 608, na Juzuu 5 Namba 227).
Israa maana yake ni safari ya Mtume (Swalla A l l a a h u a l a
y h i wa aalihi wa sallam) yeye akiwa ni mwili wake na akili zake
na roho yake kutoka Kaabah huko Makkah mpaka Msikiti wa Al -Aqswaa
huko Quds (Jerusalem) akiwa amebebwa na mnyama wa ajabu mwenye
kuvutia umbo lake anayeitwa Buraaq na kisha safari ya kurejea kwake
Makkah.
A l - B u r a a q : M t u m e (Swalla Allaahu alayhi wa aalihi
wa sallam) a l i chukul iwa kutoka M s i k i t i w a H a r a m ,
Makkah mpaka Msikiti wa Al -Aqswaa mj in i Quds juu ya mnyama
aitwaye Al-Buraaq akiwa ameambatana na Malaika Jibriyl
(Alayhis-Salaam) Mtume (Swalla Allaahu a layhi wa aal ihi wa
sallam) alimwelezea Al-Buraaq kuwa, Nililetewa Al-Buraaq, mnyama
mrefu wa umbo na mweupe, ni mkubwa kiasi zaidi ya punda lakini ni
mdogo kuliko nyumba, ambaye a n a p o k w e n d a m b i o hatua
yake ni upeo wa
macho yake. Nilimpanda mnyama huyo mpaka nikafika Msikiti wa
Al-Aqswaa huko Al-Quds ( J e r u s a l e m ) . H a p o nilimfunga
pale mahali ambapo Mitume wengine wal ikuwa waki funga wanyama wao.
(Swahiyh Al-Bukhaariy na Swahiyh Muslim)
A n a s B i n M a a l i k alisema, Katika usiku ambao Mtume
alipelekwa mbinguni , Al-Buraaq aliletwa kwake akiwa amefungwa
vikuku na ana matandiko, lakini alileta ujeuri kidogo, na ndipo
Jibriyl alipomwambia Al-Buraaq Je unafanya haya kwa Muhammad?
Hakuna mtu mtukufu aliyewahi kukupanda ambaye ni mtukufu zaidi ya
huyu mbele ya Macho ya Allaah. Kisha akatoa jasho. (At- Tirmidhiy
na Musnad Ahmad)
Maana Ya Al-Buraaq Kwa Kiarabu Ni Mwale Unaotoka Katika Mwanga.
Leo hii , Wanasayansi w a n a t u a m b i a k u w a mwanga una
mwendo kasi zaidi ya vitu vyote duniani. Huenda masafa ya maili 700
milioni kwa saa moja. Miaka 1400 iliyopita wakati ambapo kulikuwa
hapajatokea uta f i t i na uvumbuzi palikuwa hakuna mtu ambaye al
iweza hata kukisia mwendo kasi wa mwanga wala ukweli wake ukoje.
Allaah (Subhaanahu wa Taala) na Mtume Wake (Swalla Allaahu alayhi
wa aalihi wa sallam) w a l i m w i t a m n y a m a huyo kama
Al-Buraaq
kwa msingi wa mwendo wake ulivyo na kasi kali.. Huu ni ukweli
ambao unathibitisha ukweli wa Uislamu na ukweli wa Utume wa
Muhammad (Swalla Allaahu alayhi wa aalihi wa sallam) k a m a A l i
v y o s e m a Allaah ndani ya Qur-aan, Tutawaonyesha ishara Zetu
katika upeo wa mbali na katika nafsi zao wenyewe mpaka iwabain ik
ie kwamba haya ni kweli. (Fusswilat 41:53).
H a p o k a l e w a t u walipinga na kusema mnyama huyo katokea
w a p i t e n a a m b a y e a l i m c h u k u a M t u m e (Swalla
Allaahu alayhi wa aalihi wa sallam) kutoka sehemu moja ya dunia
mpaka nyingine na kisha kapita naye katika anga za mbingu na tena
katika usiku mmoja? Leo hii tunaona vipando ambavyo vimeundwa na
binadamu, roketi na misali vikisafiri maelfu ya maili kwa muda
dakika chache tu. Iwapo mtu ambaye ni kiumbe cha Allaah Muumba wa
Ulimwengu, Je, Allaah kwa nini asiumbe mnyama mwenye uwezo wa
kukata masafa ya mamilioni ya maili kwa muda mfupi.
Kituo cha kwanza cha Safari - Al-Aqswaa: Mtume alisema: Kisha
niliingia Msikiti wa Al-Aqswaa, nikaswali Rakaah mbili (Swahiyh
Muslim)
Kuna riwaya nyingine
ambazo zinaeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu a layhi wa aal ihi
wa sallam) aliswali na Mitume wengine hapo msikitini na yeye akiwa
Imaam. Msikiti wa Al-Aqswaa umekuwa na sifa ya kuwa ni kituo cha
Mitume wote. Toka siku ya Al-Khaliyl Ibraahiym ( Alayhis -Salaam)
hivyo Mitume wote walikusanyika hapo na Mtume Muhammad (Swalla
Allaahu alayhi wa aalihi wa sallam) akawa Imaam wao. Hii ni dalili
ya nafasi kubwa aliyo nayo Muhammad ambaye ni Mtume wa mwisho
miongoni mwa Mitume wengine (Alayhimus- Salaam). [Tafsiyr Ibn
Kathiyr]
K i s a c h a I s r a a n a M i i r a a j k i m e e l e z wa
ndani ya Qur-aan (Al-Israa 17:1) Aayah inayofuatia inaeleza matendo
ya aibu na makosa ya Mayahudi na kufuatia juu ya hayo makemeo
makali ya Qur-aan. Mpangilio huo si kwa bahati tu, Al-Quds ( J e r
u s a l e m ) i l i k u wa ni ki tuo cha kwanza cha safari hii ya
Usiku na hapa kuna ujumbe a m b a o u n a e l e k e z wa k w a M a
y a h u d i n a kupewa ujumbe kuwa hadhi waliyokuwa nayo ya
kuongoza dunia na binadamu kwa ujumla imetanguliwa. Utenguzi wa
uongozi kwa mayahudi ulitokana na mabaya yao waliyokuwa wakiyafanya
n a y a l e a m b a y o wanaendelea kuyafanya.
U j u m b e h u o unathibitisha wazi wazi k u w a u o n g o z i
h u o umehamia kwa Mtume M u h a m m a d ( S wa l l a Allaahu
alayhi wa aalihi wa s a l l a m ) a c h u k u e u o n g o z i w a m
a k a o makuu ya Aqiydah ya Baba Ibraahiym na pia kuwa makao hayo
sasa ni Makkah na Msikiti wa Mbali (Al-Aqswaa) huko Al-Quds (
Jerusalem). Hivyo mamlaka hayo yalihamishwa kwenda kwenye tai fa
ambalo ni la Wacha Mungu na lenye utii kwa Allaah p a m o j a n a M
t u m e ambaye amependelewa kubeba Qur-aan ambayo inaongoza watu
kuelekea kwenye ukweli. [Ibara imechukuliwa kutoka katika kitabu
Ar-Rahiyqul-Makhtuum].
Safari ya Israa na Miiraaj
Inaendelea toleo lijalo
MASJID Nabawi Madina.
-
9 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015Makala
WEWE tu tunakuabudu. (Al-Fatiha:5)Kama tunavyojuwa sote na kama
ilivyokuja katika tafsiri zote kwa hakika madhumuni ya undani hapa
kutokana na kumtanguliza mtendwa, madhumuni hayo kwa ufupi: Ee Mola
wa h a k i , h a k i k a s i s i tunakiri na hatuukubali isipokuwa
uungu wako na hatunyenyekei kwa yeyote asiyekuwa wewe na hatupati
utulivu na upole na kuliwazika isipokuwa mbele zako.
Na undani mwengine, ambao unastahiki kuandikwa hapa undani huo
ni kwamba badala ya kutumiwa tamko l i l i lop i ta Ameabudu
limekuja tamko la muda wa sasa wa kitendo hicho hicho Tunaabudu kwa
sababu tamko la kitendo kilichopita linakusanya maana mengi, mifano
ya tumeabudu tumeswali tumefanya hivi na vile. Maana kuna baadhi ya
maana ya kudanganyika ambayo hayakubaliani na moyo wa ibada na
uja.
A m a k a t i k a t a m k o : Tunaabudu haipatikani ishara
yoyote, kwa mfano wa ubaya wa kufahamu h u k u , k w a k i t e n d
o tunaabudu kinaashiria kwenye kushindwa kwa binadamu na uhitaji
wake m b e l e z a h a d h a r a ya Mwenyezi Mungu Mtukufu na
kuendelea kuuelewa ushindwaji huo na tunaweza kuyafupisha yale
ambayo anayataka binadamu hapa kama hivi:
Ee Bwana wangu, kwa hakika nimeifunga azma yangu juu ya
kutoyatoa muhanga uhuru wangu wala kuidhalilisha nafsi yangu kwa
yeyote as iyekuwa Wewe. Kwa sababu hiyo, mimi ninaelekea kwako na
kwenye mlango wako kwa ujio wa nafsi yangu, kwa niya ya utumwa na
udhalili, na ninaelekea kwenye ibada yako na twaa yako, kwa nafsi
iliyojaa shauku na mapenzi, hali ya kuifunga azma juu ya kujiepusha
na maasia yako na yote usiyoyapenda na usiyoyaridhia, niya yangu ni
kubwa sana na bora kuliko
Mafundisho ya Quran
matendo yangu na mimi nina nyenyekea kwako, ninakuomba nikubali
niya yangu kutokana na kutenda mbele zako kwa kukifanyia k a z i k
i p i m o c h a ya l e ninayonuiya kuyatenda, na si kwa kipimo cha
yale ambayo nimekwisha kuyafanya. Ee Bwana wangu.
K i s h a h a k i k a y e y e anasisitiza kwamba yeye hakuwa
peke yake katika uwanja wa matara j iwa na kunyenyekea huku, bali
anasema, kwa hakika ndugu zake wanashirikiana naye katika
matarajiwa na unyenyekevu huu maana anaonyesha hapa uzuri wa dhana
pana yenye kuenea. Na wakati huo huo anakusanya kuunga mkono kwao
na kushiriki kwao kwenye upande wake, kwa hiyo anadhamiria muafaka
na makubaliano ambayo hawezi kuyatia kasoro na yaliyokuwa yeye
anaelekea kwenye mlango wa mwenye kukidhi mahitaji kwa hiyo
anajiepusha na wasiwasi wa shetani na anatoa sura kamili ya uja
uliyokamilika mbele za Mungu uliyokamilika ambao hauna mpaka.
(1) Alif Lam Mym. (2) Kitabu hicho hapana shaka ndani yake, ni
mwongozo kwa wenye kumcha Mwenyezi Mungu [Al-Baqarah 1-2]
Tamko (HUDAN) ambalo limekuja katika aya tukufu, tamko hilo limo
katika mfano wa Masdar chembuko la neno na linabeba maana ya k wa m
b a b i n a d a m u hawezi kufikia kwenye uongofu na kwenye lengo
linalotazamiwa nyuma ya tamko hilo pasi na juhudi yake iliyotakata
na kwa maelezo mengine kwa hakika sisi vile vile tukichunguza kwa
mazingatio TANWIN-
tutajuwa kwamba kitabu hiki ambacho haipatikani ndani yake
chembe yoyote ya shaka, ndilo chimbuko la uongofu kwa wenye kumcha
Mwenyezi Mungu. Kwa wenye kumcha Mwenyezi Mungu tu, kwa sababu
nafsi zao zimeepukana na shaka na matatizo na nyoyo zao na roho zao
zimeelekea kwenye kuukubali ukweli na kuzichunga kanuni za maumbile
za Mwenyezi Mungu na sharia yake tukufu na nafsi zao zimetakata na
z imej iandaa kuukubal i uongofu na kufaidika nao na sina kuwazuia
na jambo hilo fikra yoyote au hukumu iliyotangulia.
Isipokuwa ni kwamba tamko HUDAN l i l i lo mwishoni mwa aya wako
juu ya uongofu kutoka kwa Bwana wao. [Al-Baqarah 5] limetajwa kwa
mfuo wa Masdar chembuko la tamko, maana ni kwamba Mwenyezi Mungu
mtukufu huenda akawafanyia ukarimu waja wake kwa uongofu pasi na
kupatikana uhusiano wa sababu na matokeo ambayo ameyaumba na
akayafanya ni katika sababu za uongofu. Na mlango wa kumcha
Mwenyezi Mungu ndiyo mlango ambao unafikisha na unafunguka juu ya
ukarimu huu na utoaji. Na daraja la kwanza la mfano wa uchaji huu
ni imani na maarifa ya kweli na daraja la mwisho ni kufika kwenye
kupata radhi za Mwenyezi Mungu Mtukufu. Kama ilivyokuja katika
maelezo ya wazi yaliyopitishwa ya aya kwamba, hatafika na hatapata
nja ya kuokoka isipokuwa yule aliyefika k we n ye k i wa n g o h i
k i cha uongofu. Kisha kwa hakika pamoja na mtiririko
wa aya na kuwa uongofu umefungamana na kupatisha kwa Mwenyezi
Mungu Mtukufu kwa huo uongofu, kwa hakika kufika kwa binadamu
kwenye amani na usalama na kwenye utulivu katika dunia na kwenye
kufuzu siku ya Kiyama na kunarejea kwenye kipimo kikubwa kwenye
mwenendo wake na matendo yake ambayo anayadhihirisha kwa matakwa
yake yaliyo huru.
K w a m s i n g i h u o , kunawezekana na kusema kwa ufupi:
Kwamba tamko (HUDAN) la kwanza ni sababu na tamko (HUDAN) la pili
yakiwa matokeo, likiwa limepakwa manukato ya upole na wema na
matamko yote mawili ni majibu ya maombi ya ( tuongoze) ambayo
limekuja katika Surat Al-Fatiha na ni ufafanuzi vile vile wa namna
ya mwenendo wa wale wenye kupatikana juu ya njia.
Ndani ya nyoyo zao pana ugonjwa akawazidishia Mwenyezi Mungu
ugonjwa, [Al-Baqarah 10]
Imekuja katika baadhi y a t a f s i r i k w a m b a :
Akawazidishia Mwenyezi Mungu ugonjwa maneno hayo ni katika mlango
wa malipo na katika j insi ya matendo. Isipokuwa ni kwamba mimi
naona k wa m b a n i b o r a s a n a kukaribia kwenye maana ya aya
kama hivi:
Hakika Mwenyezi Mungu amewaongezea ugonjwa katika nyoyo zao kwa
sababu wao wamejichafua k wa s h a r i n a m a a s i a mbalimbali
katika kiwango cha niya na kila wanapokuta kuwa fursa iko tayar i ,
wanajitahidi kuzihakikisha niya zao mbaya hizo, na kwa sababu
zinapozidi, huzidi
matokeo na hili linamaanisha kuingia kwao ndani ya duara ambayo
hana mahala pa kutokea. Maana yake ni kwamba wao hawakuweza
kuziokoa nyoyo zao na niya hizi mbaya, bali ni kwamba hawakufikiria
kabisa jambo hilo, na niya hizi mbaya zimejaa nia mbaya nyingine
juu ya nia hizi yamezaa matendo mengine na kwa sababu ya kuingia
katika hii duara ambayo haina mahali pa kutokea, kumepatikana
kuangamia kwa wanafiki.
Mambo yakiwa hivyo, wakati tunapoifasiri aya hii, Akawaongezea
Mwenyezi Mungu ugonjwa, ni juu yetu kuyachunguza maana yake kama
matokeo ya kitabia ya kuingia katika hii duara isiyokuwa na mahali
pa kutokea.
Kwa hakika afya ya mwili ndiyo msingi na ugonjwa ni jambo l i l
i lozuka. Ni hivyo hivyo, maumbile yaliyosalimika ndiyo msingi, n a
u g o n j wa wa m o y o ndicho kitu kipya. Kwa sababu hiyo yule
ambaye hashughuliki na afya ya moyo wake na kuulinda na kuyashika
mashart i yote ya kihali kwa ajili ya kuukinga, atakiacha hiki kitu
muhimu kilichowekwa na Mwenyezi Mungu mtukufu kuwa ni tonge nyepesi
na laini kwa virusi na bacteria mbalimbali. Ijulikane kuwa pamoja
na kuwa mwanzo huenda ukawa ni kitu kidogo sana, kwa hakika kuhama
kutoka katika makosa na kwenda kwenye makosa mengine na kutoka
katika dhambi na kwenda kwenye dhambi nyingine na kutoka katika
maasia na kwenda kwenye maasia mengine, hayo yatapelekea mwishoni
kwenye kuchanika ile sehemu na kuingia kwenye maasia makubwa sana
ambayo yanapita kiwango cha kutia akilini maana itapelekea kwenye
kubwa la maasia yote, nalo ni kumshirikisha Mwenyezi Mungu, kwa
sababu kuna njia nyingi sana zinazopelekea kwenye ukafiri.
Ukiwa uharibifu wa itikadi au kupinduka kati ya mambo yenye
kutatiza na shaka ndiyo ugonjwa wa wanafiki, hili linamaanisha
wakati huo huo kupatikana kwa hali ya kukubali ambayo imejificha ya
ukafiri na upingaji. Iwapo msaada wa Mwenyezi Mungu haukuuwahi
ugonjwa huu na havikuvunjika vile vikuku vyenye kufikisha kutoka
maasia, na kwenda kwenye ukafiri, kwa hakika maasia kwa sababu ya
kuongezeka kwake maradufu, hupelekea k w e n y e k u m k u f u r u
Mwenyezi Mungu mtukufu. Bali huzuka mara nyingi kwamba binadamu
wakati inapomzunguka shaka, huenda zikawa na sababu ya k u i k a t
a n j i a ye n ye kuunganisha kati yake na Mwenyezi Mungu
Mtukufu.
Fethullah-Gulen
-
10 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015Makala/Tangazo
K I A S I w i k i m b i l i zilizopita, vyombo vya habari
viliripoti kuwa w a n a o d a i w a k u w a magaidi wa kundi la The
Islamic State, wamekiri kuhusika na shambulio k u l e D a l l a s ,
Te x a s , Marekani. Watu wawili, ambao baadae waliuliwa na Polisi,
wanadaiwa kumshambulia askari aliyekuwa katika lindo nje ya ukumbi
uliokuwa ukionyesha vikaragosi (cartoons) vikifananishwa na Mtume
Muhammad (s.a.w).
I n a y o d a i w a k u w a Redio ya IS, ikitajwa kwa jina la Al
Bayan radio station, inadaiwa kutoa taarifa i l iyodai kuwa
washambuliaji wawili wa Dola ya Kiislamu, Elton Simpson na Nadir
Soofi, wali fanya shambul io h i l o k u wa t i a a d a b u
wanaomkashifu Mtume na Uislamu.
"We tell ... America that what is coming will be more grievous
and more bitter and you will see from the soldiers of the Caliphate
what will harm you, God willing".
Inadaiwa kusema taarifa ya IS kupitia Al Bayan radio, ikitoa
kitisho kwa Marekani kuwa shambulio hilo ni mwanzo tu, lakini
mashambulio makubwa na ya kutisha zaidi yanakuja kutoka kwa askari
wa Khilafah.
Hata hivyo, ukisoma taarifa hiyo, unachogundua na kilicho wazi
ni kuwa ni katika zile zile propaganda za kuteka akili za raia wa
Marekani wawe tayari kuunga mkono hatua za serikali yao kupelekea
askari Iraq na Syria kwa kisingizio cha kupambana na magaidi hatari
wa IS (sio Osama Bin Laden wala Al-Qaida tena).
K w a m b a h i y o n i sehemu ya propaganda, inathibitishwa na
taarifa n a u j u m b e m w i n g i u l i o m i m i n i k a k a t i
k a mi tandao ya k i j ami i ikiwapongeza waliofanya shambulio hilo
na kutoa vitisho zaidi. Moja ya ujumbe huo katika Twitter
unasema
"How are you (Americans) going to live when we create our lone
wolves to be nuclear bombs ... by God, you can't match us and in
the heart of your homes you will see".
Wana mipango mikakati na waandaa propaganda hizi, Wanachowaambia
wananchi wa Marekani ni
Tukimeza Chambo TumeumiaAl-Shabab wa Nkurunziza
watatubamizaBendera nyeusi, akina Kaisi, mtego tuKutuingiza katika
kundi la Wajinga ndio
Na Omar Msangi kuwa kama hawataunga mkono mipango ya serikali
yao kwenda kuwapiga magaidi wa IS huko huko Syria na Iraq walipo,
basi wajue kuwa watakujieni na kukupigeni huku huku Dallas na New
York!
Al-Shabaab wa Nkurunziza
US warns of al-Shabaab attacks in Burundi ni k i c h w a c h a h
a b a r i kilichokuwa kimebeba tahadhari iliyotolewa na Wizara ya
Mambo ya Nje ya Marekani Oktoba 2014 ikitahadharisha kuwa Burundi
watapigwa na Al-Shabaab. Taarifa hiyo iliyotolewa na Wizara ya
Mambo ya Nje ya Marekani ( S t a t e D e p a r t m e n t ) ,
iliitaka serikali ya Burundi kuchukua tahadhari kwani kulikuwa na
taarifa za ki-intelijensia kwamba kundi la al-Shabaab wanaweza
kuipiga Burundi.
W a s w a h i l i w a n a msemo wao, waj inga ndio waliwao.
Burundi imefanywa upawa wa kukorogea uji wa moto, m a b e b e r u w
a n y w e kwa raha zao. Serikali ya Burundi, kama ilivyo kwa
Uganda, Tanzania na Kenya, haikuhusika kwa namna yoyote kuchochea
ghasia na kuibuka kwa wapiganaji wa Al-Shabaab. Ni mabebru,
wakiitumia E t h i o p i a a m b a o waliivurumisha serikali ya
Umoja wa Mahakama za Kiislamu iliyokuwa imeleta amani katika nchi
hiyo. Baada ya kuivuruga nchi hiyo, sasa wanaitwa Burundi, Kenya,
Uganda, wakapigane kwa niaba ya Beberu aliyetoka maelfu ya maili
kutoka huko atokako kuja kuivuruga Somalia kwa masilahi yake. Ili
msifike mahali m k a c h o k a , m k a t a k a kurejesha majeshi
yenu nyumbani, lazima mtiwe kitanzi na motisha ya kuendelea kuweka
majeshi yenu Somalia. Motisha yenyewe ni kutishwa kila wakati kuwa
Al-Shabaab wanakuwindeni. Ni magaidi kat i l i na hatari. Kama
wanaweza kwenda kupiga Dallas, Te x a s , h a wa s h i n d w i kuja
kukubamizeni hapo Bujumbura na Mwanza.
Kwa hiyo mnapigiwa n g o m a y a k i t i s h o c h a k u s h a m
b u l i w a n a A l - S h a b a a b k i l a wakati. Mkikaa kidogo
mnakumbushwa kutoka Department of State
Inaendelea Uk. 11
TA N G U S e p t e m b a 11 , 2001 , Bin Laden amekuwa zaidi
mtajwa asiyekuwepo. Video zake chache au mikanda ya video ilikuwa
haiaminiki, na wasiwasi kuhusu kifo chake umesikika mara kadhaa.
Hapo Julai 11, 2002, Amir Taberi aliandika katika gazeti la New
York Times, "Osama bin Laden amekufa. Habari hiyo kwanza ilikuja
kutoka vianzio nchini Afghanistan na Pakistan karibu miezi sita
iliyopita: mkimbia sheria huyo al ikufa mwezi wa Desemba na
alizikwa katika milima ya kaskazini mashariki ya Afghanistan."
Akiwa na his ia ya kujisikia inayofanana na Mlima Everest, Osama
bin Laden asingeweza kubaki kimya kwa muda wote huo kama bado
angekuwa hai (alisema mwandishi huyo. Wakati wote alipenda
kutangaza kuhusika na vitu ambavyo hakuwa na uhusiano navyo.
Iweje
Bin Laden: Hivi kweli tunajua nini?Na Linh Dinh
May 16, 2015 - 'Mtandao wa Kupashana Habari, na 'Lew
Rockwell'
Osama bin Laden
akae kimya kwa miezi tisa na asijisifu kwa kushinda hatari
zote?
Lakini nje ya video moja yenye utata, Bin Laden hata siku moja
hakudai kuhusika na 9/11. Kinyume chake, alikataa mara kadhaa
kuhusika kwa njia yoyote kwa mauaji hayo ya watu wengi. Hapo
Septemba 28, 2001, alihojiwa na gazeti la Karachi Ummat, gazeti la
lugha ya ki-Urdu. Shirika la habari za nchi za nje la Marekani,
kitengo cha CIA, lilitafsiri: (Osama alisema yafuatayo:)
" N i m e s h a s e m a kuwa mini sihusiki na mashambulio ya
Septemba 11 nch in i Marekani . Kama Muislamu, najaribu niwezavyo
kutosema uwongo. Wala sikuwa na ufahamu wowote wa mashambulio hayo
na sioni mauaji ya wanawake, watoto na binadamu wengine wasio na
hatia kuwa ni jambo adilifu. U i s l a m u u n a k a t a z a k a b
i s a k u s a b a b i s h a madhara kwa wanawake, watoto na watu
wengine wasio na hatia. Kufanya
Inaendelea Uk. 11
Rais Nkurunziza (katikati)
-
11 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 201511
AN-NUURMakala
Tukimeza Chambo TumeumiaInatoka Uk. 10au Ubalozini kwamba,
jamanae.. Al-shabaab wanakuja! Na hivyo nchi kama Burundi, Uganda
na Kenya ambazo tayari zina majeshi kule, lazima zikumbushwe mara
kwa mara kwamba mkiacha Al-Shabaab wakishinda, b a s i w a t a k u
f u a t e n i huko nyumbani kwenu Bujumbura na Garissa.
A l i j i s e m a M z e e Al l i Hassan Mwingi kuwa mtoto
akibebwa hutizama kichogo cha mamaye, wakati ule yeye akimaanisha
kuwa kama Rais atakuwa akitizama mapito ya Baba wa Taifa Mwalimu
Nyerere. Sasa Rais Pierre Nkurunziza n a y e a n a t i z a m a
kichogo cha mabeberu a n a o wa t u m i k i a k u l e Somalia.
Wakati tatizo lililopo ni wananchi wake kumkatalia kugombea urais
kwa muhula wa tatu, yeye anageuza mada inakuwa ni ugaidi wa
Al-Shabaab.
Kwa kweli ukichukua msemo huu kuwa Wajinga ndio waliwao,
unatukaa vizuri sana. Katika taarifa hiyo ya tahadhari ya
kushambuliwa Burundi mwaka jana, ilielezwa kuwa sababu ni kutokana
na Burundi kuwa na majeshi Somalia. Taarifa ilisema:
It is believed that al-Shabaab wish to attack the country
because Burundian troops are part of a coalition of African Union
(AU) forces which are battling the groups insurgency in
Somalia.
The al-Qaida linked al-Shabab insurgents have claimed recent
attacks in Kenya,Uganda and Djibouti, who also sent peacekeepers to
Somalia.
Labda tujiulize, Burundi, au hata Tanzania yetu, na kwa maana
hiyo AU iliyo na vikosi vya kulinda amani Somalia, inahusika vipi
na kuibuka hao al-Shabaab insurgents? Hivi viongozi wetu hawajui
nani alilikoroga Somalia? Hivi hawajui kwa nini al-Shabaab? Nani
kaleta huu u-alQaidah katika al-Shabaab na Somalia? Kwa nini
hawamwambii aliyelikoroga alinywe m w e n y e w e ! K a m a hoja ni
kuwa Burundi itapigwa kwa sababu ina majeshi Somalia, kwa nini
Bujumbura isijiulize inafanya nini kule?
La kusikitisha ni kuwa hao hao wanaotugeuza
mkakati mwingine wa kuwafanya wananchi wa Ufaransa na Ujerumani
waunge mkono uwepo wa majeshi ya nchi zao Afghanistan.
Moja ya mikakati hiyo imetajwa kuwa ni ku-D r a m a t i z e u n
ya m a wa Tal iban dhidi ya wanawake kupitia vyombo vya habar i .
Kwamba yakionyeshwa matukio ya kikatili wanayofanyiwa wanawake na
kwamba ukatili huo unafanywa na Taliban, basi wananchi wa nchi hizo
wataona b o r a wa n a j e s h i wa o wa z i d i k u k a a h u k o
wawatokomeze magaidi katili wa Taliban. Lakini v y o m b o v ya h a
b a r i vitatumika pia kuonyesha kuwa kama wananchi wa Ulaya
wataacha Taliban ishinde, wajue itawafuata huko huko katika miji ya
Ulaya. (Soma: Why Counting on Apathy May Not Be Enough)
Unaposoma taar i fa kama hizi, lazima uwe na wasiwasi kuwa hata
yale matukuo ya msichana M a l a l a a l i y e d a i w a kupigwa
risasi na Taliban kwa sababu eti anataka kusoma shule, huenda ni
katika mambo ya kupanga k a t i k a k u k a m i l i s h a mikakati
hii.
Lakini pia ukitizama jinsi baadhi ya vyumba vyetu vya habari
hapa nchini vinavyopigia debe kitisho cha ugaidi, ukirejea matukio
ya akina Kaisi na michango yao ya pesa za kununulia tasbih
(risasi), ukija na yale ya kukutwa vijana msikitini wakiwa na mi l
ipuko pamoja na bendera ya ki-Al Shabaab, Lazima wasiwasi uwe
mkubwa k u w a t u m e t u p i w a chambo. Na kwa bahati mbaya
baadhi ya vyombo vyetu vya habari, ama kwa ujinga tu au kununuliwa
na usal i t i , vimemeza chambo hicho. Vinafanya kazi kwa juhudi
kubwa kusimika kit isho cha ugaidi. Wao watanufaika vipi, hata
ukiwauliza wenyewe hawajui. Lakini la uhakika ni kuwa kama ni
kuangamia, itakayohiliki ni nchi, si watu wa dini fulani pekee.
Hata hivyo, matarajio yetu ni kuwa ndani ya jamii yetu, ndani ya
vyombo vyetu vya usama na ndani ya serikali, tuna watu wazalendo
wenye akili zilizofunga vizuri na mambo haya wanayaona kwa mtizamo
sahihi.
k u w a u p a w a w a kuwapoozea uji wa moto, ndio wanaotoa kaul
i kuwa tupo katika hatari ya kupigwa kwa sababu tuna vikosi kule.
Lakini ndio hao hao wanapotupa mikakati yao ya kutuundia v ikos i
vya Counter Terrorism, kama i le ATPU ya Kenya . Na ndio hao hao
hutugeuka n a k u t u s h u t u m u kuwa tunakiuka haki z a b i n a
d a m u , AT P U wanapotesa na kuuwa watu kikat i l i ! Lakini baya
zaidi, mikakati yao inatutumbukiza katika machafuko na maafa
zaidi.
K a t i k a m a k a l a
E x p l o i t i n g S o c i a l Issues for Mili tarism a n d I m
p e r i a l i s m , m w a n d i s h i G l e n n Greenwald ananukua
n ya r a k a m b a l i m b a l i akionyesha jinsi mabeberu
wanavyohangaika katika mikakati yao ya kushikilia akili za wajinga
ndio wal iwao i l i waweze kushiriki katika mikakati yao. Akielezea
juu ya Afghanistan, anasema kuwa wasiwasi uliopo ni kuwa washirika
wa Marekani kwa maana ya nchi za Ulaya kama Ufaransa na Ujerumani,
huenda zikaondoa majeshi yao katika muungano
unaoikal ia kibamavu nchi hiyo- International Security
Assistance Force ( ISAF) . Anasema, i le kusema tu kuwa kuna
kitisho cha ugaidi/Osama, Taliban n.k, haitasaidia. Wa n a h i t a
j i k u t a f u t a m k a k a t i m w i n g i n e . Waweka mikakati
wa mabebrru wanasema, ile kwamba awali, nchi hizo zi l i tegemea
kile wal i choki i ta Publ i c A p a t h y , k w a m b a wa n a n c
h i wa l i k u wa hawajal i inachofanya serikali na jeshi lao kule
A f g h a n i s t a n , i t a f i k a mahali isifanye kazi. Kwa
hiyo lazima utengenezwe
Bin Laden: Hivi kweli tunajua nini?Inatoka Uk. 10
h i v y o k u n a k a t a z w a katika mwenendo wa mapambano. Ni
Marekani ambayo inaendeleza kila ubaya dhidi ya wanawake, watoto na
watu wa kawaida wa imani nyingine, hasa wafuasi wa Uislamu. K i l e
k i n a c h o e n d e l e a huko Palestina kwa miezi 11 iliyopita
kinatosha kuitisha ghadhabu ya Mungu kwa Marekani na Israel. Kuna
onyo pia kwa zile nchi za Kiislamu, ambazo zimeshuhudia yote haya
zikabaki kimya. Nini kilifanyika hapo kabla kwa watu wasio na hatia
wa Irak, Chechnya na Bosnia? Ni jumuisho moja tu linaweza kufikiwa
kwa
kutojali kwa Marekani na nchi za Magharibi kwa matendo haya ya
uharamia na kuwafadhili madhalimu kwa nchi hizi kuwa Marekani ni
nchi inayopigana na Uislamu na inafadhili harakati za kuupinga
Uislamu. Urafiki wake na nchi za Kiislamu ni onyesho tu, au
udanganyifu. Kwa kuzivuta au kuzitisha n c h i h i z i , M a r e k
a n i inazilazimisha kuchukua nafasi inayotaka. Tupa jicho
kuangalia dunia utaona kuwa watumwa wa Marekani ni watawala au
maadui (wa Waislamu). Marekani haina marafiki, wala haitaki kuwa
nao kwani hitaji la kwanza la urafiki ni kufika katika
h a t u a ya u r a f i k i n a kumwona kuwa ni sawa na wewe.
Inatazamia utumwa kutoka kwa wengine. Hivyo, nchi nyingine ni
watumwa wake au wasaidizi wake. (............) Yeyote aliyefanya
matendo ya Septemba 11 siyo rafiki wa watu wa Marekani.
Nimeshasema kuwa tunapinga mfumo wa Marekani, siyo dhidi ya watu
wake, wakati ambapo k a t i k a m a s h a m b u l i o hayo, watu wa
kawaida wa Marekani wameuawa. (.....) Marekani ingejaribu
kuwatafuta waliofanya mashambulio hayo ndani ya nchi yake
yenyewe;
Inaendelea Uk. 12
WANANCHI wa Burundi wakiandamana kumpinga Rais Nkurunziza
-
12 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 201512
MAKALA/MASHAIRI
1. Kwa jina lake Jalali, Mola mwenye MiujizaMuumbaji wa awali,
dunia kaitandazaYote kwake ni sahali, gumu hakulibakizaAsiyejua
maana, kwani haambiwi mana
2. Kisha swala kwa Rasuli, Mtumewe mpendezaMaswahabaze Rijali,
Tumwa walo mtukuzaWalotoa zao mali, elimu kuisambazaAsiyejua maana,
kwani haambiwi mana
3. Sasa nianze suali, wenzangu kuwaulizaLanisumbua akili, macho
yanaona kizaNiwaambie ukweli, hili limenitatizaAsiyejua maana,
kwani haambiwi mana
4. Ni semi za Kiswahili, Babu yangu kanifunzaAu sijui methali,
vyema hakunielezaZinafika mia mbili , ninazo nimezitunzaAsiyejua
maana, kwani haambiwi mana
5. Nyenginezo afadhali, kufafanua nawezaHazinipi mushkeli , japo
ni za kuchokozaIla hii nimefeli, ingali ikinikwazaAsiyejua maana,
kwani haambiwi mana
6. Jambo tunalokubali, kawaida ni la kwanzaAnoshindwa tafaswili,
vizuri kumwelekezaMimi naona muhali, asojua kumtwezaAsiyejua maana,
kwani haambiwi mana
7. Shida ilonikabili, Babu nimeshapotezaNikimjulia hali, haya
tukizungumzaSasa sinae batwali, walobaki ni vilazaAsiyejua maana,
kwani haambiwi mana
8. Enyi malenga wakweli, nini mtanielezaKuwapuuzia mbali,
wasojua ni ruwazaAu la kuwabadili, mtazamo kugeuzaAsiyejua maana,
kwani haambiwi mana
9. Mimi natoa kauli, kabla sijamalizaNakataa jambo hili, Babu
alinipotezaItapokuwa halali, msimamo taregezaAsiyejua maana, kwani
haambiwi mana
Mtunzi: Ukht. Zainab MtimaMbweni, Zanzibar - 0717 165 602
SHAIRI LA ASIYEJUA MAANA
Naianza simulizi, kwa jina lake KarimaMola wetu U mjuzi, mfano
huwezi pimaSifa zako zote hizi, za kuumba na uzimaMwili raha yake
kazi.
Zote hizi zako sifa, za kuumba na uzimaUkazipa maarifa, ili
mwali kujitumaKiungo kimoja kifa, mwili zote huzizimaMwili raha
yake kazi.
Ndugu mwana mhimili, isikilize kalmiaKwa kuushangaa mwili,
Zainab wa MtimaViungo hujihimili, hadi kazi kusimamaMwili raha yake
kazi.
Kama kazi zikizidi, mwili nao hulalamaHuuleta ukaidi, na kufikia
kugomaAkili yajitahidi, mwili wazidi kuzamaMwili raha yake
kazi.
Hapa ninapiga mbizi, pembeni ninayoyomaNinafunga simulizi,
shairi langu kukomaMajibu ukimaizi, nambie ulipokwamaMwali raha
yake kazi.
SHAABAN AYOUB-Mjukuu wa KabongoDar es Salaam.
Raha ya mwili kazi
Bin Laden: Hivi kweli tunajua nini?Inatoka Uk. 11watu ambao ni
sehemu ya mfumo wa Marekani, lakini wana dukuduku dhidi yake, au
wale ambao wanatumik ia mfumo mwingine; watu wanaotaka kui fanya
karne hii iwe ni karne ya mapambano ili ustaarabu wao, taifa, nchi
au itikadi yao iweze kudumu. (....).
Halafu kuna mashirika y a k i j a s u s i n c h i n i M a r e k
a n i , a m b a y o yanahitaji mabilioni ya fedha za Marekani
kutoka Bunge na serikali kila mwaka. Suala hili (la kutoa fedha)
halikuwa t a t i z o ( w a k a t i w a ) uwepo wa Urusi lakini
baada ya hapo bajeti za mashirika haya zimekuwa hatarini.
Wanahitaji adui. Hivyo walianza kwanza propaganda dhidi ya Usama na
Taliban halafu tukio hi l i l ikatokea . Unaona, utawala wa Bush
ulipitisha bajeti ya d o l a b i l i o n i 4 0 . K i a s i h i k i
k i k u b wa cha fedha kitakwenda wapi? Kitatolewa kwa mashirika
hayo hayo ambayo yanahitaji fedha nyingi na kuonyesha umuhimu wake.
Sasa yatatumia fedha hizo kwa kujipanua na kuongeza umuhimu wao.
Nitakupa mfano. Wauza madawa ya kulevya kutoka kote duniani
wanawasiliana na mashirika ya kijasusi ya Marekani. Mashirika haya
hayataki kufutilia mbali ulimaji wa bhangi na usafirishaji wa unga
kwa sababu umuhimu wao utapungua. Maofisa wa Shirika la Kupambana
na Madawa ya Kulevya (DEA) wanahamasisha biashara hiyo ili waweze
kuonyesha wanachofanya na kupata mamilioni ya dola katika bajeti.
Jenerali Noriega (mtawala wa z a m a n i wa Pa n a m a ukanda wa
Amerika ya Kati) alifanywa kuwa m u u z a u n g a n a
ilipohitajika, akafanywa mbuzi wa kafara.
Kwa njia hiyo hiyo, kama ni Rais Bush au rais mwingine yeyote,
hawawezi kuif ikisha Israel mbele ya sheria kwa uvunjaji wake wa
haki za binadamu au kuiwajibisha kwa uhalifu huo. Haya yote ni kitu
gani? Hivi si inaonyesha kuwa kuna serikali ndani ya serikali ya
Marekani? Serikali hiyo
ya siri lazima iulizwe nani aliyefanya mashambulio hayo. (Hiyo
ni kauli ya Osama Bin Laden)
J iul ize mwenyewe. Hiv i h i i inaonyesha mzungumzaj i kichaa
anayetamka chochote k i le , anaye j i s ik ia n i mkubwa kama
Mlima Everest? Anaelekea kuwa mtulivu, kwa uhakika, na ana uelewa
unaopenya akilini kuliko wanasiasa wote na wasomi wote wa Marekani.
Kwa hali yoyote, mahojiano haya yalikuwa mazungumzo ya mwisho yenye
uzito kutoka kwa Bin Laden. Baada ya hapa, ni kama vile
alipotea.
L i c h a y a k u w a h a k u o n e k a n a w a l a k u s i k i
k a , a l i k u w a a n a k u m b u s h i w a k u h a l a l i s h a
u h a l i f u ambao Marekani ilikuwa ikiwafanyia wengine, na hata
raia wake yenyewe. Bin Laden alidhihirisha c h o c h o t e a m b a
c h o viongozi wetu waliamua kufanya. Lakini miaka kumi ni mingi
kutupa kivuli hiki katika kuta zetu. Mtu huyu mwenye m a d e v u a
l i k u w a amekuwa kama mzaha hivi, kusema kweli. Katika onyesho
la katuni, wakazi wa South Park jimbo la Colorado walifikia mahali
wakamtaka Bin Laden awasaidie kupambana na kundi la maharamia l i n
a l o va m i a k u t o k a New Jersey. (Ni kama kusaidia kupambana
na maharamia wanaovamia Tabora, kutoka Tanga)!
Hapo Mei 2 , 2011 serikali yetu ikaamua kumalizika mbali mzuka
wa Bin Laden. Kwa vile Marekani inasemekana ilikuwa inamtafuta
tangu mwaka 1998 (milipuko katika balozi za Marekani A f r i k a M
a s h a r i k i ) ungedhania wangebaki naye kirefu zaidi baada ya
kumpata, endapo walimpata, lakini ndani ya masaa kadhaa ya kumpata
adui yao namba moja, Marekani ikamfutilia mbali Bin Laden.
Hola, kama huwezi kunionyesha chochote, labda hunacho, hasa kama
wewe ni mwongo a l iyekubuhu na upo katika biashara ya bisu
lililofichwa chini ya koti. Kwa kesi za mauaji kwa nchi zinazotumia
lugha ya Kiingereza tangu kupotea
kwa William Harrison mwaka 1660, kumekuwa na kanuni ya 'bila
maiti hakuna mauaji ' (mtu kuhukumiwa kwa shitaka hilo), lakini
hapa kuna mtu anayesema kuwa ameua, akatangaza kila mahali, lakini
hakuna mwili , kitu ambacho ni sawa na kuteketeza ushahidi,
ushahidi wowote ule.
K w a h i y o C I A inachotuambia hasa ni "mbwa al ikula mait i
hiyo." Kusema kweli mzaha huu uliundwa bila ustadi wowote, maelezo
yake yakiwa hayaingii ak i l in i kabisa , k ias i kwamba
wanaotutawala l a z i m a w a n a d h a n i kuwa sisi ni mataahira,
t u m e f a g i l i wa b o n g o zetu kwa propaganda tangu kuzaliwa
hadi kufa inayotolewa kwa kuchapishwa au kwa m w a n g a n a s a u
t i . Nachelea kufikiria kuwa wanaweza kuwa sahihi.
Katika picha iliyobezwa sana, Bush anaonyeshwa akiwa katika koti
la Jeshi, m k o n o wa k e u k i wa umeshika sahani yenye kanga al
iyekaangwa, amefunikwa na zabibu. Amezungukwa na askari wa
Marekani, wengi wao wakiwa hawamwangalii. Hii ina nia ya kuonyesha
k u w a p i c h a h i y o ilichukuliwa kikawaida, bila urasimu,
kusimama kwa kupiga picha. Hivyo ni ya uhakika.
Katika picha nyingine, ambayo mara moja ilitajwa kama ya
kukumbukwa na ya kuhifadhiwa kwani inabadili tunachofahamu akilini
mwetu, Obama a n a o n ye s h wa a k i wa k a t i k a c h u m b a c
h a mikutano cha Ikulu ya Marekani, amezungukwa na washauri wake
wakuu wa masuala ya usalama. Wanaangalia kitu fulani. Kati ya watu
hao 13, hakuna anayeangalia kamera. Hii pia ni kuonyesha kuwa picha
hiyo ilikuwa ya kawaida, ya kiasili na siyo ya kuundwa kwa ajili ya
tukio. Obama a n a o n ye s h wa a k i wa amevalia koti la kawaida,
Biden amevaa shati ya mikono mifupi, vianzio vinavyoonyesha kuwa
wako kazini, na siyo wanachukua picha ya propaganda. Monekano h u o
u m e k u w a w a u h a k i k a k i a s i c h a
Inaendelea Uk. 17
-
13 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015MAKALA/TANGAZO
K WA wa l e wa l a j i wa mikate ya kiasili y a K i z a n z i b
a r i maarufu kama boflo, wanafahamu ambacho hutokea pale mkate huo
unapovamiwa na umma wa sisimizi. M l a j i w a m k a t e huo
hususan pale anapokuwa na njaa kali, hujaribu kukata kipande cha
mkate huo na kukipigapiga chini mara kadhaa ili sisimizi watoke
ndani ya mkate huo, lakini wapi, huwa hawatoki bali huzidi
kujificha ndani kwa ndani . Mara nyengine mlaji hujaribu kuupasha
moto mkate huo ili kuona kama athari ya sisimizi hao itapungua ili
aweze kuula, lakini hata hivyo hakuna k i n a c h o b a d i l i k a
. Badala ya sisimizi hao kubaki ndani ya mkate wakiwa hai, sasa
hubaki wakiwa wafu. Ni yale yale, mkate umezidiwa na sisimizi,
hauliki.
H e b u s a s a tuufananishe mkate huu wa boflo uliojaa sisimizi
na Chama kikongwe c h a s i a s a , C C M , upande wa Zanzibar.
Chama hichi badala ya kutekeleza kazi na urithi kilioachiwa na
mtangulizi wake A S P , a m b a y o n i kukamilisha malengo ya
kupigania uhuru wa visiwa hivi, chama hicho kimeukengeuka kabisa
wajibu huo. ASP ilipigania uhuru w a W a z a n z i b a r i i k i m
a a n i s h a k u m k o m b o a mwananchi kutokana na kila aina ya
idhlali na unyonge ili wana wa visiwa hivi vitukufu waweze kuishi
katika maisha bora, na yenye heshima.
ASP il ipigana na h a t i m a e k u u n g o a utawala
uliohodhiwa n a w a c h a c h e n a hatimae mamlaka ya nchi yakawa
ndani ya mikono ya wengi. Ilifanikiwa kuondoa kila aina ya ubaguzi
wa rangi, kabila, asili na kadhalika, hatimae Wa z a n z i b a r i
w o t e wakawa na haki sawa, heshma sawa na hadhi sawa. Ilifanikiwa
kwa kiasi kikubwa kuondoa umasikini wa kipato, chakula, mavazi na
makaazi na Wazanzibari kuwa watu wenye kuheshimika ndani ya nchi
yao.
C C M Z a n z i b a r , m r i t h i w a A S P imesaliti wajibu
wake w a k u y a e n z i n a kuyaendeleza mazuri hayo ya ASP.
Badala yake imekuja kujengea
CCM Zanzibar mkate wenu umejaa sisimiziNa Ahmed Omar Khamis
misingi mipya miovu
na kuweka mazingira mapya ya kuyaendeleza yale yote yaliyopigwa
vita na ASP. Utawala wa nchi hii umetolewa n d a n i y a m i k o n
o y a W a z a n z i b a r i n a u m e k a b i d h i wa kwa majirani
zetu, k w a k i s i n g i z i o c h a M u u n g a n o . W a t a n g
a n y i k a wanautumia vyema Muungano huo na fursa zake kuijenga
nchi yao na kuiimarisha kiuchumi na kisiasa h u k u Z a n z i b a r
i k i d h a l i l i k a n a ikitokomea pole pole kutoka katika
ramani ya ulimwengu.
CCM imere jesha upya ubaguzi miongoni m wa Wa z a n z i b a r i
wenyewe kwa wenyewe kwa misingi ya rangi zao, makabila yao na asili
zao na kuifanya kazi kubwa ya ASP ya kufuta laana hiyo ya ubaguzi
kuwa ni bure. Nyimbo zile za zama zile za Uarabu, U a f r i k a , u
b w a n a , utwana, na kadhalika ambazo sisi vijana wa leo
tumezikuta vitabuni na katika masimulizi ya walimu wetu maskulini,
sasa tunazisikia zikitoka ndani ya midomoya viongozi wa CCM na
katika mabango ya maskani za CCM. Ni jambo la kushangaza sana.
ASP iliikomboa ardhi na kuweka sera na sheria ambazo ziliwezesha
wanyonge wa nchi hii kuweza kuitumia na kuimiliki ardhi ya nchi yao
pamoja na udogo wake. CCM imerejesha tena kadhia hi i ya laana ya
kuimilikisha ardhi katika mikono y a w a c h a c h e n a kuipora
kutoka kwa masikini na mafukara walio wengi. Ardhi ni raslimali
muhimu kwa nchi ndogo ya Zanzibar ambayo wananchi wake wanaongezeka
kila siku. Badala ya kuwekewa sera na sheria nzuri na madhubuti za
umiliki na matumizi yake. Sehemu nyengine ya ardhi inauzwa kifisadi
kwa matajiri na wawekezaji na kuwawacha raia masikini wakikosa hata
sehemu ya kuzikiwa. Nchi yetu inanuka migogoro ya ardhi kila upande
kuanzia Nungwi hadi Mkoani Pemba.
W a n a n c h i w a Zanzibar wanaishi bila matumaini. Njaa
itokanayo na ukosefu wa kazi za kufanya na kipato kisichokidhi
mahitaji, ndio kilio kikubwa kinachosikika k a t i k a k i l a k o
n a ya nchi. Visiwa hivi vilivyojaaliwa wingi w a r a s l i m a l i
n a
utajiri wa kila aina havionekani kuwa na mvuto na utulivu kwa
wananchi wake. Watu wanaishi kwa rehma za Mwenyezi Mungu. Hakuna
anaethubutu kula ak ipendacho, kuvaa nguo aipendayo au kuishi ndani
ya nyumba aipendayo. Yote hayo sasa kwa Wazanzibari yamekuwa n i n
d o t o . C C M imewapiga Wazanzibari wamepigika.
Matokeo ya usaliti huu, CCM Zanzibar imepata pigo kubwa. Nguo ya
umaarufu na heshma ambayo ilijivalisha kutoka kwa mri thi wake,
ASP, sasa inavuliwa maana haistahiki tena kuivaa. Inainukisha kupuu
na vundo. Ngome zake z o t e z i n a b o m o k a . I k i j a r i b
u k w e n d a kujenga palipobomoka kidogo jana, kesho ya k e k u n
a b o m o k a kwengine zaidi ya jana. CCM inahamwa kama mji
uliokumbwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe. Haina tena hata i le
kauli mbiu ya kujifakharisha n a k u j i p a m b a n a historia ya
uombozi ambapo Mapinduzi daima! sasa husikika katika majukwaa ya C
U F . Wa a s i s i n a w a n a m a p i n d u z i wanaonyesha wazi
wazi kuwa Chama hicho kinawaaibisha na hivyo wanakikimbia.
B a d a l a ya C C M k u j i t a t h m i n i n a kufahamu kwamba
imekwisha k i s iasa mbele ya Wazanzibari na haina pakushika ili
ijizoezoe kunyanyua u p ya m g u u wa k e na kujaribu kupiga h a t
u a m b e l e , i m e a m u a k u f a n ya m a i g i z o i k i d h
a n i itasalimika. Inaona kitakachoinusuru ni rafu katika
uchaguzi.
H i v i s a s a kunafanyika zoezi la kupitia upya mipaka ya
wilaya, wadi na shehia na kutangazwa mipaka na majina ya wilaya,
wadi na shehia hizo katika gazeti la serikali. Ukataji huo wa
wilaya, wadi na shehia uliotangazwa unaakisi vyema wazi wazi ramani
ya kisiasa na sio kijeografia wala kidemografia. Ukataji h u o u m
e p u n g u z a j u m l a ya wa d i 3 0 kutoka katika wadi
zilizokuwepo huku wadi 25 zikipunguzwa kutoka k is iwa cha Pemba
peke yake . Ukataji umezichukua shehia zisizooana au zisizolingana
kijeografia na kuzifanya wadi moja, huku katikati
yao zikitenganishwa na shehia za wadi n ye n g i n e . L e n g o
la ukata j i huo ni k u w e k a r a m a n i i t a k a y o i o n g o
z a Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar kupitia na kukata upya majimbo ya
Uchaguzi kwa upendeleo wa kisiasa (gerrymandering).
I n a s e m e k a n a Tume ya Uchaguzi y a Z a n z i b a r
ilikwishakamilisha kazi ya kupitia na kukata upya majimbo ya
Uchaguzi mapema sana lakini hata hivyo ukataji huo ulipingwa v i k
a l i n a C C M wakidhani hautakuwa na faida na chama chao. Badala
yake Tume ya Uchaguzi ikalazimika kusubiri ukataji wa mipaka ya
wilaya, wadi na shehia utakaofanywa ili iwe kigezo na muongozo
kwa ajili ya ukataji wa majimbo ya uchaguzi.
K wa m u j i b u wa sheria inayofuatwa na Tume ya Uchaguzi ya
Taifa (NEC), ukataji wa majimbo hautafanyika katika kipindi kilicho
chini ya miezi sita kabla ya Uchaguzi Mkuu. Ikizingatiwa pia Tume
ya Uchaguzi ya Zanzibar ni wakala wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,
majimbo ya Zanzibar pia ni majimbo ya Uchaguzi katika uchaguzi wa
Jamhuri ya Muungano, hivyo basi nayo hayapaswi k u g u s wa c h i n
i ya kipindi cha miezi sita. Mpango wowote au jaribio lolote la
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar kupitia na kukata upya mipaka ya
majimbo ya Zanzibar bila shaka ni kinyume na sheria, kwa sababu
moja tu, Tume ya Uchaguzi
ya Zanzibar inashea majimbo hayo hayo na Tume ya Uchaguzi ya
Taifa.
H a t a C C M ikifanikiwa kukata u p ya m a j i m b o ya Zanz
ibar k inyume n a s h e r i a n a k wa kutumia ramani yake ya
upendeleo wa kisiasa ishayoitengeneza, bado haitapata nusura na h a
i t a o k o k a . M i m i n a h i s i h a i t a s a i d i a kwani
hakuna tena n g o m e y a C C M , hakuna tena pakukata wala
pakuacha. CCM haipo tena popote. Hakuna il ipobakia, s i o K a s k
a z i n i , s i o Kusini, sio mawioni wala machweoni. Ndio maana
tunasema CCM Zanzibar mkate wenu umeshajaa s is imizi wote. Hauna
pakukata tena, kilichobaki ni kufumba macho na kuumeza.
-
14 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 22-28, 2015Makala
Na Ben Rijal
Na Ben Rijal
Mchango wa Waislmau katika maendeleo ya Dunia - 11
UWANJA WA VIJANA - JIONGEZEE MAARIFACHEMSHA BONGO namba 6
1. Majina ya Mwenye-enzi- Mungu katika Quran yametajwa majina
mangapi? Jawabu: 99
2. Surah gani na aya ipi katika Quran inayosmea Hapana
kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha pambanuka na
upotofu. Basi anaye mkataa Shet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu
bila ya shaka amekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na
Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua. 2:256, 43:22,
2:222. Jawabu: 2:256
3. Waislamu wanavikubali vitabu vingapi vilioteremshiwa Mitume?
Jawabu: Tawrat, Injil, Zabur, Quran.
4. Mwaka wa Kiislamu una siku pungufu ngapi ukilinganisha na
mwaka wa Kizungu? Jawabu: 11
5. Kinywaji gani kimeharamishwa na mnyama yupi ameharamishwa
kula kwa Waislamu? Jawabu: Ulevi, Nguruwe.
6. Jina gani limechukua nafasi kubwa kwa Waislamu kuwaita watoto
wao? Jawabu: Mohammad
7. Kiongozi gani maarufu kazikwa katika kisiwa cha St. Helena?
Napolon, Colombus, Vasco Dagama. Jawabu: Napolon
8. Zambia na Zimbabwe kwa pamoja zikiitwa kwa jina gani? Jawabu:
Rhodesia
9. Jimbo gani la Marekani lilio karibu na Urusi? Alaska, Hawai,
New York Jawabu: Alaska
10. Kikawaida moyo wa mwanadamu hupiga mara ngapi kwa nukta
(minutes)? 72-80, 70-75, 82-87 Jawabu: , 72-80
N G U R U W E N A M
1 2 A Q I U 7 A L O 1 A B U N L 2 P A H
9 C V R J E 8 O S A 9 R T A I V 0 L K M
U P P N L I P E A M
Z A B U R X C O G A
2: 2 5 6 2: 2 2 N M D
R H O D E S I A I O
T A W R A T 43: 2 2 N
K a t i k a m a k a l a i l iopi ta , n i l i j a r ibu k u m u
e l e z e a I b n Khaldun kwa kuweza k u m t a m b u a n a mchango
wake katika maendeleo ya dunia yetu hii. Makala hii n i t a k i z u
n g u m z i a k i t a b u c h a k e c h a M u q a d d i m a h n a
mchango aliochangia katika suala zima la somo la elimu ya
jamii.
Watu wengine wa nchi za Magharibi husema kuwa Ibn Khaldun
hakuandika yeye h icho k i tabu cha Muqaddimah na kuna wasemao kuwa
kaiba kazi za wengine na kuandika kitabu hicho. Hoja hizo hazina
mashiko kwani hakuna m m o j a a l i o w e z a kuthibitisha kuwa
Ibn Khaldun kazi yake kubwa ya Muqaddimah amedokoa katika kazi za
watu wengine.
M w a n d i s h i m a s h u h u r i w a Kiingereza katika karne
ya 20, Toynnbee, yeye bila kuchelea kuitwa mtu wa ajabu, amesema
kuwa Muqaddima ni kazi kubwa ya aina yake ambayo haijawahi kubuniwa
na akili ya mtu yeyote yule, wakati wowote ule na mahali popote
pale, ikiwa ni uchambuzi mpana na angavu wa maisha ya mwanadamu
ambao haujafanyika popote pale.
K a z i k u b w a y a Muqaddimah ya Ibn Khaldun al iandika
katika mwaka wa 1377 na alijizatiti kuandika tarekhe yaani historia
ya mwanadamu ikiwa ni Kitab al-akbar na jina kamili la kitabu hicho
ndani ya Muqaddimah ni Kitbu l-ibar wa Diwnu l-Mubtada' wa l-Habar
f tarikhi l-arab wa l-Barbar
Ibn Khaldun-2wa man sarahum m i n D a w A s h -Sha'n l-Akbr,
katika utangulizi huu alikuwa analinganisha tarehe ya Waarabu na
Wabarbar kazi ambayo iliojaa utafiti na kutayarishwa na yeye Ibn
Khaldun.
A l i a n z a M u q a d d i m a h k wa k u w a t o a m a k o s a
w a t a n g u l z i w a k e walioandika historia na katika
migawanyiko y a u a n d i s h i n a kuayaangalia maeneo 7 kwa kina
juu ya maelezo yake. Maeneo hayo ni: Ushirikiaono, imani na mawazo,
kujiamini mtu katika kuandika na kuelezea historia, kushindwa kwa
mtu kufahamu alichokikusudia katika kuiandika historia, makosa ya
kuamini u k we l i wa j a m b o , kutokuwa na uwezo wa mwandishi wa
historia kuelezea eneo lilotokea tokea kwa kulinukulu i t a k i wa
v y o , h a m u ya waandishi katika kujipendekeza kwa watawala kwa
kuwasifu katika maandishi na ujuhula wa wandishi wa kutojuwa sheria
ziliopo katika mabadiliko ya jamii ya mwanadamu inayomzunguka.
Katika nukta 7 hizo ndipo alipoweza kuziratibu na kuandika nadharia
ya jamii ya Mwanadamu inayomzunguka katika Muqaddimah.
Utangulizi huu wa Muqaddimah kama alivyoandika Sati al-Husri kwa
kusema kazi yake ya ilimu ya jamii aliinukulu ndani ya kitabu
kimoja kwa kutoa vitabu 6 ikiwa ilimu ya jamii kwa jumla, ilimu ya
jamii katika maisha ya mijini, ilimu ya ja