-
ISSN 0856 - 3861 Na. 1117 JAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA , MACHI
21-27, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=
Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz
Facebook:[email protected]
Abiria 239 wapo wapi?Ni siku ya 14 toka walipopoteaWapo
walitoweka 1,945 hadi leoKuna wale wa baharini wa 1,872
Masheikh wa Uamsho
wafutiwa mashitaka
Msaidizi wa Sheikh Rogo ashambuliwa Mombasa
Polisi wadai kuanza msako kwa wahusika Sheikh Farid Hadd
Ahmed.
NDEGE ya Shirika la Ndege la Malaysia Air Line inayosadikiwa
kupotea. Habari kamili Uk. 8
Sheikh Azzan Hamdan
Wasiwasi wazidi Zanzibarbaadhi watuhumu usalitiVibonzo
vyasambazwa mtandaoniSeif Khatib arejea siasa za Upemba
Pamoja na kauli ya Jussa......
Uk. 4
-
2 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 21-27, 2014AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786Cel: 0784 370 208, 0713 110 148,
0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]
zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
Tahariri/Habari
UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL inatangaza program maalum ya
maandalizi ya kujiandaa kurudia Mtihani wa kidato cha NNE
2014.Program hii itaanza tarehe 15/03/2014 hadi tarehe 15/10/2014.
Jumatatu hadi ijumaa kuanzia saa 2:00 kamili asubuhi hadi saa 9:00
Alasir.
Masomo yatakayofundishwa ni:-Elimu ya dini ya Kiislamu, English
language, Lugha ya kiarabu, Basic Mathematics, Civics, History,
Geography, Kiswahili, Physics, Chemistry, Biology, Commerce na Book
Keeping.
ADA: Ni Tshs 500,000/= (Laki Tano) tu. Inalipwa yote kabla ya
kuanza programu.
Fomu za Kujiunga zinapatikana shuleni BURE baada ya kulipa
ada.Mlete mwanao apate Elimu yenye tija itakayomwezesha kufanya
mtihani wake vizuri.
Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba:0712 974428
Wabllah tawfiq MKUU WA SHULE
Ubungo Islamic high SchoolP.o. Box 55105 Tel: 2450069, 0712
974428, fax: 2450822 Dar es salaam.
E-mail: [email protected]
MAANDALIZI YA KUJIANDAA KURUDIA MTIHANI WA KIDATO CHA 4,
2014
S I K U y a J u m a n n e w i k i hii, Mwenyekiti w a T u m e y
a Mabadi l iko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba, aliwasilisha
mbele ya Bunge Maalum la Katiba, rasimu ya Katiba mpya ya Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania.
J a j i Wa r i o b a a m e w a s i l i s h a rasimu hiyo ya
Katiba mpya mbele ya wajumbe wa Bunge maalum, baada ya wajumbe hao
kufanikiwa kupi t i sha kwa kiasi kikubwa, k a n u n i z a
kuliongoza Bunge hilo, jambo ambalo limetoa fursa kwa wa j u m b e
s a s a k u a n z a r a s m i kuijadili rasimu ya katiba hiyo.
K w a k u w a sasa Bunge hili maalum limeanza kuijadili rasimu
ya Katiba Mpya, ni wajibu wetu kutoa indhari au kukumbushana mambo
kadhaa ya msingi.
K a m a inavyofahamika, K a t i b a n d i o m w o n g o z o mkuu
wa dola au
mamlaka yeyote ya kidemokrasia.
L a k i n i z a i d i , k a t i b a n i k wa ajili ya wananchi
husika na wao ndio wanaostahili kutoa maoni wawe na katiba ya aina
gani kwa maslahi yao na Taifa kwa ujumla.
K w a m s i n g i huo, tunawataka wabunge wa bunge maalum la
katiba, k u h a k i k i s h a k w a m b a wanajadili rasimu hiyo ya
kat iba m p y a , h u k u w a k i t a m b u a kuwa rasimu hiyo ndio
hasa maoni ya wananchi wa Tanzania.
Hatutara j i na wala halitakuwa jambo la busara kama wajumbe hao
watatumia nafasi za kuwawakilisha wa wa n a n c h i , kuweka
pembeni au kujadili kwa u c h a c h e j u u ya maoni hayo y a w a n
a n c h i yaliyomo ndani ya rasimu, na kuanza kulumbana juu ya
maslahi ya vyama, taasisi au makundi yaliyowachagua.
T u n a s e m a haya kwa kuwa d a l i l i m b a y a
z i n a z o a s h i r i a kuwepo agenda n a m i s i m a m o y a
k i g o n j w a , z i l i s h a a n z a k u j i t o k e z a katika
hatua ya awali kabisa ya kujadili kanuni za kuliongoza bunge hilo
maalum la katiba.
M i v u t a n o y a k i c h a m a , k i m a k u n d i ilionekana
dhahiri, ikiwa ni ishara tosha kwamba u t a k a p o a n z a m j a d
a l a w a rasimu yenyewe, maslahi ya wenye maoni yao kwenye r a s i
m u y a n aweza kutotiliwa maanani.
T u s e m e t u k wa m b a k u n a haja ya wajumbe k u t a m b u
a kwamba, katiba
w a n a y o i t a k a watanzania sio mali ya chama wala taasisi
au kikundi cha watu. Ni mali ya watanzania wote.
Hatuna maana ya wajumbe wawe waitikiaji wa kila kinachojadiliwa
katika Bunge hilo, Lah. La msingi ni kuwa na fikra y a k i z a l e
n d o kwamba, rasimu ya katiba ndio maoni yenyewe y a w a n a n c h
i yaliyokusanywa na kuchambuliwa n a k u w e k w a pamoja.
W a j u m b e wayajadili wakiwa na fikra kwamba wanajadili yale
yaliyotokana na wananchi wenywe. Tu n a c h o k a t a a n i w a j u
m b e
kutanguliza fikra za kimaslahi ya vyama au taasisi z a o b a da
l a ya maslahi ya umma kat ika kujadi l i rasimu hiyo.
T u m a a m i n i kabisa kwamba hata wajumbe wa Bunge hili
maalum l a k a t i b a , n a o walipewa nafasi ya kutoa maoni yao
ndani ya rasimu wakati Tume ya Jaji Warioba ilipokuwa inakusanya
maoni y a w a n a n c h i n a h a t i m a y e kupatikana rasimu
kamili.
N a f a s i y a o sasa ni kujadili y a l i m y o m o kwenye
rasimu, sio kuja na maoni yao mapya kwa misingi binafsi i s i y o k
u w a n a m a s l a h i k w a umma.
Bunge la katiba lizingatie maoni ya wananchi
-
3 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 21-27, 2014Habari
Masheikh wa Uamsho wafutiwa mashitakaV I O N G O Z I w a Jumuiya
ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislam (JUMIKI) wamefutiwa mashitaka
yaliyokuwa yakiwakabali katika mahakama ya wilaya ya Mwanakwerekwe,
ya kufanya mkusanyiko bila ya kibali , kesi iliyofunguliwa Mei
mwaka juzi visiwani Zanzibar.
Uamuzi wa kuwafutia mashitaka viongozi hao umetolewa na Hakimu
wa Mahakama hiyo Ame Msaraka Pinja, baada ya kuonekana k u wa wa s
h i t a k i wa hawana hatia katika kesi iliyokuwa imefunguliwa na M
kurug enz i wa Mashitaka Zanzibar DPP.
A k i t o a k u h u m u k a t i k a k e s i h i y o , Hakimu
Pinja alisema kuwa, kutokana na ushahidi uliowasilishwa mahakamani
hapo na mashahidi wanne wa upande wa mashitaka, na kwa kusikiliza
utetezi wa washitakiwa wenyewe, ambao waliithbitishia mahakama
kwamba k a t i k a m k u s a n y i k o w a o h a w a k u w a
wakizungumzia mambo ya d in i , i s ipokuwa w a l i z u n g u m z i
a M u u n g a n o w a T a n g a n y i k a n a Zanzibar, imeonekana
k u wa wa s h i t a k i wa h a wa k u h i t a j i k u wa n a k i b
a l i c h o c h o t e cha kisheria kabla ya kuandaa mkusanyiko huo
kwa vile walikuwa wakizungumzia mambo ya Muungano.
K wa m s i n g i h u o , mahakama il itupilia m b a l i s h i t
a k a lililofunguliwa dhidi ya Masheikh hao.
H a k i m u P i n j a aliongeza kuwa baada ya mahakama kupitia
jalada la kesi hiyo, imeona k u wa wa s h i t a k i wa hawana
hatia, hivyo i n a w a a c h i a h u r u washitakiwa kwa sababu
kosa waliloshitakiwa, halikuhitaji kibali cha
Na Mwandishi Wetu
Mufti kabla ya kuandaa mkusanyiko huo.
Kufuat ia hukumu hiyo, Hakimu huyo wa mahakama ya wilaya ya
Mwanakwerekwe alisema kuwa iwapo
upande wa mashitaka w a S e r i k a l i k a m a haujaridhika na
uamuzi wa mahakama hiyo, unaweza kukata rufaa mahakama ya mkoa
ndani ya siku thelathini
tangu kutolewa kwa hukumu ya mahakama hiyo.
W a t u h u m i w a waliokuwa wakikabiliwa na kesi hiyo ni
Sheikh Farid Hadd Ahmed,
Sheikh Mussa Juma Issa, Sheikh Haji Sadif Haji, Sheikh Suleima
Juma Suleiman,Sheikh Fikirini Mjawaliwa Fikirini na Sheikh Abdallah
Said Ali.
A w a l i M a s h e i k h h a o wa l i f u n g u l i wa
mashitaka mahakamani h a p o y a k u f a n y a mihadhara ya
Kiislamu bila kibali cha Mufti, jambo ambalo lilidaiwa kuwa ni
kinyume cha kifungu cha 6(1)(2) cha kanuni za kuidhinisha na
kuratibu mihadhara zinazotengenezwa chini ya kifungu 15(1) ya
sheria Namba 9 ya mwaka 2001, kifungu cha 10(1)(c) na kifungu cha
14(2) cha sheria namba 9 ya mwaka 2001.
Ilidawa kuwa Mei 26 mwaka juzi majira ya saa 3:30 katika viwanja
vya Lumumba wilaya y a M j i n i U n g u j a , w a s h i t a k a i
w a h a o walifanya mihadhara ya Kiislamu bila ya kuomba kibali cha
Mufti wa Zanzibar, jambo ambalo ni kinyume cha sheria.
Msaidizi wa Sheikh Rogo ashambuliwa MombasaMOMBASA
Sheikh Ali Bahero, a m b a y e a l i k u w a msaidizi wa ulamaa
wa Kiislamu aliyeuawa kwa kupigwa risasi h u k o M o m b a s a K e
n y a , m a r e h e m u Sheikh Aboud Rogo Mohammed, amekutwa akiwa
ameloa damu baada ya kushambuliwa m j i n i M o m b a s a ,
limeripoti gazeti la Daily Nation la Kenya.
Mkuu wa Kitengo cha Polisi cha Mombasa, G e o f f r e y M a y e
k , a m e s e m a p o l i s i walikwenda kufuatilia ripoti ya tukio
moja huko Chuo cha Gateaway na walipofika, walipata taarifa za
tukio hilo na kumkuta Sheikh huyo
akiwa hoi huku kalowa damu.
I m e d a i w a k u w a kufuatia tukio hilo, Polisi mjini
Mombasa walianzisha msako dhidi ya vijana waliodaiwa k u f i k i a
4 0 a m b a o imeelezwa kuwa asubuhi ya Alhamisi ya Machi 13 mwaka
huu, walitumia mawe na vitu vyenye ncha kali kumshambulia Sheikh
huyo katika eneo la Majengo, ikidawa k u wa S h e i k h h u y o
kuhitilafiana na vijana hao.
S h e i k h B a h e r o alipelekwa Hospitali ya Jocham, ambako
inasemekana kuwa hali yake inaendelea nzuri.
"Hadi sasa hakuna aliyekamatwa kwani vijana hao walikimbia
lak in i tumeanzisha uchunguzi juu ya suala hilo," alisema mkuu
wa kituo Mayek.
M k u u h u y o a m e d a i w a k u s e m a k u w a w a t a c h
u k u a maelezo zaidi kutoka k w a S h e i k h h u y o mara tu
atakapoweza kuzungumza na polisi.
W a t u h u m i w a w a l i r i p o t i w a k u m s h a m b u l
i a p i a mwal imu mkuu wa shule, ambaye alijaribu kuingilia kati
kumuokoa Sheikh Bahero.
" T u n a s h u k u kwamba vi jana hao w a l i o m s h a m b u l
i a S h e i k h B a h e r o wamepandikizwa siasa kali , lakini bado
ni mapema kwangu mimi k u wa u n g a n i s h a n a
ghasia za Masjid Mussa," aliongeza Mkuu wa kituo cha polisi huko
Mombasa Bw. Mayek, akirejea vurugu zilizosababisha kumwagika damu
kati ya polisi na vijana wa Kiislamu wanaodaiwa kupandikizwa siasa
kali katika msikiti huo mapema mwezi wa Februari.
S h e i k h B a h e r o amekuwa akifundisha kwenye Madrasa
Fathil Adhym na madrasa ya Kisauni , na p ia a l iwahi kukamatwa na
polisi muda mfupi n a p o l i s i m w a k a 2 0 1 1 a k i t u h u m
i wa kuwaandikisha vijana kwa ajili ya al-Shabaab, tuhuma ambazo
Sheikh huyo alizikana.
VIONGOZI wa UAMSHO katika picha ya pamoja.
-
4 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 21-27, 2014Makala
M A D A I m a z i t o w a m e r u s h i w a wanasiasa wa
Zanzibar wanaopigania kubaki k w a m u u n d o w a muungano wa
serikali mbili.
Madai yanayotolewa
Pamoja na kauli ya Jussa...
Wasiwasi wazidi Zanzibarbaadhi watuhumu usaliti
Vibonzo vyasambazwa mtandaoniSeif Khatib arejea siasa za
Upemba
Na Mwandishi Wetu ni kuwa wanaoipigia debe sera ya Serekali
mbili wana agenda ya siri ya kuidalali Zanzibar kwa kulinda maslahi
yao binafsi.
M i o n g o n i m w a wanaotajwa kushika bango la serikali mbili
ni pamoja na Mheshimiwa
Seif Khatibu na Ali Karume.
M a o n i ya n a m n a hii yanakuja kufuatia juhudi za baadhi ya
wanasiasa wa Bara na Visiwani, hasa kutoka Chama Cha Mapinduzi,
CCM, kutamka wazi kuwa wanapigania kuendelea na mfumo wa muungano
wa serikali mbili.
Akizungumzia suala hilo, Mjumbe wa Bunge la Katiba na aliyewahi
kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa R a i s ( M u u n g a n o )
, Mheshimiwa Mohamed Seif Khatibu amesema muundo wa Serikali tatu,
hautaisaidia nchi, bali ni njia ya mzunguko ya kuvunja
Muungano.
Alisema hayo mjini Dodoma hivi karibuni akiongea na baadhi ya
vyombo vya habari ambapo al ibainisha kuwa, kuna kila sababu ya
kulinda Muungano a m b a o u n a p e l e k e a Watanzania Bara na
Zanzibar, kuishi kwa uhuru bila kubaguana.
Mohamed Seif Khatib akitoa maoni yake, anaonekana kurejea yale
yale ya kale ya kuwagawa Wazanzibari kat ika makundi ya Wapemba na
Waunguja pale a l i p o s e m a k u w a W a p e m b a n d i o
wanaotaka muungano wa Mkataba.
Na kwamba lengo ni kuvunja muungano na kisha kudai kuwa
h a t a w a n a o s e m a serikali tatu, haisaidii kuimarisha
muungano zaidi ya kuwa ni njia ya mzunguko ya kuuvunja.
Akionyesha kuwa Zanzibar ndiyo inayo f a i d i z a i d i k a t i
k a muungano kuliko Bara akasema kuwa hata usafi ri unatoa fursa
zaidi kwa Zanzibar kuliko Bara usafi ri wa boti ni mara nne kwa
siku.
Na kwamba fursa nyingi zinapatikana Bara kama maeneo ya kulima
na kufuga. Zanzibar unapata eka 3, lakini ukija Bara unapata hata
eka 10,000. Kuna masuala ya afya ambayo yanatolewa bila
kubagua.
Kwa mujibu wa madai hayo yaliyosambazwa k a t i k a b a a d h i
y a mitandao ya kijamii, i n a e l e z wa k u we p o k w a m a d a
l a l i w a kuiangamiza Zanzibar kupi t ia mfumo wa Serekali
mbili.
Inadaiwa kuwa mfumo huo unainawir i sha B a r a ( Ta n g a n y i
k a ) i l iyojivika ngozi ya Tanzania huku Zanzibar ikizidi
kupokonywa
Inaendelea Uk. 16
P.O. BOX 72045, Dar es Salaam, TANZANIA. TEL+255 0655 654900,
+255 752 245446. Email: [email protected], Web: www.tampro.org
CAREER GUIDANCE KWA WAHITIMU WA KIDATO CHA SITA
JUMUIYA YA WATAALAMU WA KIISLAMU TANZANIA (TAMPRO) INAWAALIKA
WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA KUHUDHURIA KATIKA CAREER GUIDANCE JUU
YA UOMBAJI WA UNDERGRADUATE SCHOLARSHIPS NJE YA NCHI. PIA, FURSA ZA
UFADHILI ZILIZOPOKELEWA NA TAMPRO ZITATANGAZWA. SIKU: IJUMAPILI
TAREHE 30/03/2014 MUDA: SAA 3:00 ASUBUHI 6:00 MCHANA WASICHANA SAA
8:00 MCHANA 10:00 JIONI - WAVULANA MAHALA: CHUO CHA UALIMU SAFINA,
BOKOBASI HAYA, DAR ES SALAAM PIA WALIOSOMA ELIMU YA DINI YA
KIISLAMU WAKIWA NA VYETI WANAOMBWA WAHUDHURIE. TAFADHALI UKIIPATA
TAARIFA HII WAARIFU NA WENGINE KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA
NAMBA: 0716 234391, 0652 212672, 0688 130828 AU EMAIL:
[email protected], [email protected]
Ngoi Kayeko MKURUGENZI MTENDAJI
NB: KUTAKUWA NA CHAKULA CHA MCHANA KWA WASHIRIKI WOTE
BW. Seif KhatibuBW. Ismail Jussa
-
5 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 21-27, 2014Habari za
Kimataifa
SERIKALI ya Canada i m e t a n g a z a r a s m i kuondoa
wanajeshi wake wote waliokuwa nchini Afghanistan, hivyo kuhitimisha
ushiriki wake katika harakati mapambano nchini Afghanistan.
Hatua hiyo imekuja baada ya kufungwa mafunzo ya kijeshi kwa
Wanajeshi wa Serikali ya Karzai kwenye uwanja wa Ndege mjini
Kabul.
Bendera ya Canada iliteremshwa rasmi siku ya Jumatano iliyopita
baada ya kufanyika sherehe fupi kwenye kambi ya wanajeshi wa wa
NATO mjini Kabul.
Kwa muda wa miaka 12 Serikali ya Canada imekuwa mshirika wa
Shehena ya kwanza ya misaada ya kibinadamu kutoka Jamhuri ya
Kiislamu ya Iran, kwa Waislamu wa Jamhuri ya Afr ika ya Kat i
imewasili kwa nde3ge maalum katika kambi ya wakimbizi wa nchi hiyo
iliyopo nchini Chad.
S h e h e n a h i y o iliyotumwa na Jumuiya ya Hilali Nyekundu
ya Iran, inajumuisha mahema, mablanketi, d a w a n a v y a k u l a
i m e t u m w a k w a
Maimamu na walimu wa madrasa wapatao mia moja kutoka maeneo
mbalimbali ya Zanzibar, wa m e s h i r i k i k a t i k a kongamano
maalum la Kiislamu lililoandaliwa na Kituo cha Kiislam cha Markaz
Changombe cha jijini Dar es Salaam kwa kushirikana na Ofisi ya
Mufti ya Zanzibar, lililofanyika Jumamosi iliyopita visiwani
humo.
M a d a z a m d a h a l o h u o u l i o k u w a n a anuani ya
umuhimu wa mazungumzo ka t ika kupiga vita ubabe na ugaidi,
ziliwasilishwa na Mashekhe wa Markaz na wa Zanzibar miongoni mwao
wakiwa ni Mufti wa Zanzibar Sheikh Swaleh Omari Kaabi na Katibu wa
Mufti Sheikh Fadhili Solaga, ambaye aliongoza Kongamao hilo.
Wengine ni Mkurugenzi wa Markaz Changombe ya Dar es Salaam Dk.
Osama Mahmoud Ismail ambaye alizungumzia juu ya umuhimu wa
mazungumzo ka t ika kuzungumzia Uislamu sahihi.
Aidha aliandaa mada
Canada yaondoa majeshi yake Afghanistanvita vinavyoendelea
nchini Afghanistan. Hata hivyo baada ya k u k a m i l i s h a k a z
i ya kuondoa v ikos i vyake vi l ivyodumu
Afghanistan kwa miaka mitatu, sasa imetamka r a s m i k u w a o
n d o a wanajeshi wake.
C a n a d a i l i t u m a w a n a j e s h i w a k e
Afghanistan mwaka 2001 kushir iki vi ta dhidi ya wapiganaji wa
Taliban, ambapo vituo vyao vilikuwa kwenye mikoa ya kusini mwa
Afghanistan, hususan mkoa wa Kandahar.
Mpaka sasa Canada i m e k i r i k u p o t e z a wanajeshi 158
katika vita nchini Afghanistan.
Misaada kwa Waislamu wa Jamhuri ya kati yawasili Chadwakimbizi
wa Kiislamu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wanaopewa hifadhi nchini
Chad.
Umoja wa Mataifa n a m a s h i r i k a y a kimatai fa ya kutoa
misaada ya kibinadamu, yamekuwa na wasiwasi kuhusu uwezekano wa
kujitokeza balaa la njaa na mauaji ya kimbari yanayofanywa na
wanamgambo wa Kikristo wa Anti Balaka dhidi ya Wais lamu nchini
humo.
Markaz wafunda Maimamu ZanzibarNa Mwandishi Wetu juu ya umuhumu
wa
m s a m a h a n a k u p i g a vita ubabe kwa kueneza utamaduni
wa Uislamu katika jamii.
M a d a n y i n g i n e z i l i z o wa s i l i s h wa n a k u j
a d i l i w a k a t i k a kongamano hilo ni somo kuhusu kuvuka
mipaka sio tabia ya Uislamu na suala la ulazima wa kuwahifadhi
watoto wasiingie katika ufahamu mbaya.
Dk. Osama alitoa fikra ya mwanzo juu ya maana ya msamaha wa
Uislamu, ambapo alisema kwamba unalingania upole na ulaini na wala
haulinganii ubabe wala kuvuka mipaka na ugaidi. Alisema masuala
hayo yote yapo nje ya mtazamo wa Uislamu.
S h e i k h A b u b a k a r i Suleiman, mmoja wa walimu wa
Markaz ya Kimisri alitoa fikra zake juu ya malezi ya watoto katika
ufahamu sahihi na kuwaepusha na ufahamu mbaya. Alisema iwapo jamii
itafumbia macho suala la malezi sahihi, basi hali itazidi
kuharibika.
Hivyo alishauri uwepo m j a d a l a wa k i n a i l i kulipatia
ufumbuzi tatizo la malezi katika jamii.
Elimu sahihi ni moja ya hoja zilizojadiliwa katika kongamano
hilo
kama ilivyonukuliwa aya ya Mwenyezi Mungu anaposema Waulizeni
wanaojua kama nyinyi haumjui
Aidha wajumbe katika kongamano hilo walitaka kujua pia maana ya
ugaidi. Dk. Ismail alisema ugaidi ambao wanauzungumzia watu wengi
duniani
siku hizi, hauna maana nyingine isipokuwa ni kuwatisha watu
wenye amani na kuwaogopesha waliotulia na kuwatikisa na kuondoa
amani katika miji ambayo ipo katika utulivu.
Alisema yote hayo ni makosa makubwa katika Uislamu na
kinyume
cha makusudio ya kuja Uislamu.
Mwisho wa kongamano Sheikh Swaleh Omari Kaabi, Mufti wa Zanzibar
alifunga mdahalo kwa kuishukuru Markaz ya Kimisri nchini Tanzania
kwa kutoa elimu sahihi ya dini na chuo cha Azhari Sharif kwaz
kuwasomesha watanzania.
Kituo cha kiislamu cha Misri nchini Tanzania (Markaz) kimefanya
kongamano la Kidini Zanzibar mada ilikuwa umuhimu wa mazungumzo
katika kupiga vita ubabe na ugaidi kongamano hili limefanyika hivi
karibuni.
RAIS wa Mpito JAK, Catherine Samba Panza.
-
6 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 21-27, 2014Makala
AFRICA MUSLIMS AGENCY
)TANZANIA OFFICE( DIRECT AID
aid.org-Tanzania@directMAIL: -P.O.BOX 9211 DSM E TANZANIA
OFFICEAFRICA MUSLIMS AGENCY,DIRECT AID 787486666MOBILE: 255
[email protected]
Africa Muslims Agency -Direct Aid -is an international
organization based in Kuwait with regional offices in a number of
African countries. The organization is mainly concerned with
uplifting the standards of the needy
through education. Thus it has set up a number of schools from
primary to universities in a number of African countries.
To accomplish its set goals it looks forward to recruit
intellectuals in the field of education to fill the available
vacancies.
Job Title: Education Supervisor Job Station: Tanga and Moshi
Available Positions: 2 posts
Roles and Responsibilities Complies with state administrative
regulations and Board of Education policies Adheres to school and
local school system procedures and rules Demonstrates timeliness
and attendance for assigned responsibilities Maintains accurate,
complete, and appropriate records and files reports promptly
Preparing weekly and monthly reports and ensure timely submission
of reports to the administration Assist in recruitment and in
service training of teachers Evaluate teaching techniques and
suggest means of improving them Visit classrooms to see
effectiveness of teaching and teaching materials. Conduct seminars
and workshops to teachers to demonstrate new teaching methods,
teaching materials
and teaching. To provide to teachers teaching materials and all
necessary equipments for teaching process.
Qualifications
A holder of degree in education with any specification Has at
least two years in teaching or similar position with good track
record Must be willing and available to work in Tanga or Moshi
Strong leadership, communication, interpersonal, and
organizational skills Computer application skills. Experience in
working with donor funded projects. Excellent written and oral
communication skills in English and Kiswahili, including report
writing. Excellent networking and organizational skills Self
motivated person
Mode of Application Send your Application including application
letter, CV and copies of certificates to:
The Director Africa Muslims Agency
P o Box 9214
Dar es Salaam
aid.org-tanzania@directOr Email:
Deadline: Two weeks after first advertisement.
Wasiwasi wazidi Zanzibarbaadhi watuhumu usaliti
Inatoka Uk. 4utambulisho wake hal i inayotishia uwepo wake kama
nchi.
M a d a i h a y o katika mmoja wa mitandao ya kijamii,
yameambatanishwa n a k i b o n z o kinachoonyeshwa unaodaiwa kuwa u
h u s i a n o w a Ta n g a n y i k a n a Zanzibar katika hali hii
ya mfumo wa serikali mbili.
Tukija katika mfumo huu wa Muungano tulio n a o w a m i a k a 5
0 , we n ye wa o madalali husema huu ni Muungano wa pekee duniani
tuenzi, tuulinde na tuudumishe kwa nguvu zetu zote.
Sasa tujiulize ndugu zangu Wana wa Zanzibar, ni nchi gani au
mshirika gani alio ungana na
kama tuliungana na Tanganyika kwa nini inapigwa vita Tanganyika
kurudi? Hii ndiyo agenda ya kunyongwa na kuuliwa Zanzibar kimbinu
na wauaji wakubwa sio watu wa mbali ni hao hao Wazanzibar wenyewe
wenye kusaka tonge kwa migongo ya nchi.
Hayo ni baadhi ya madai ya baadhi ya watu wanaotaka m a b a d i
l i k o k a t i k a m u u n d o w a m u u n g a n o w a k i r u s h
a tuhuma kwamba wanaongangania m f u m o u l i o p o wana agenda ya
siri ambayo hatimaye ni kufanya Zanzibar i p o t e z e k a b i s a
uwepo wake.
T u s i s a h a u kuwa kutokuitetea Z a n z i b a r y e t u
n a t u k a w a n a mgawanyiko, basi wabeba lawama wakubwa
watakua ni madalali ambao t u n a m j u a m o j a baada ya
mwengine, k w a i r a b u n a katu hatutokuja k u w a s a m e h e ,
wacha watumie m a d a r a k a y a o vibaya lakini wajue tu kuwa
madaraka ni kitu cha kupita, h a w a t o k u w a viongozi
maisha.
Inadaiwa kuwa huenda Katiba ya sasa ya Zanzibar, i n a y o t a m
b u a uwepo wa Zanzibar kama nchi yenye m i p a k a y a k e , i
tapanguliwa il i ilingane na Katiba Mpya ya Muungano w a S e r i k
a l i mbili kama ndio utakaopita Dodoma ambao kwa hali yoyote,
utaondoa
hadhi ya Zanzibar na kuirejesha kuwa sehemu ya nchi Tanzania,
ambayo ndiyo hiyo hiyo Tanganyika.
Yako mambo tayari yanapikwa jikoni na tutakuja k u j u t a m b e
l e n i Wazanzibar ikiwa v i o n g o z i w e t u w a Z a n z i b a
r w a t a s h i n d w a kuitetea Zanzibar.
Imehitimisha na k ut ah adhar i sha moja ya taar i fa
iliyotolewa katika mtandao wa kijamii n a k u o n g e z a
ikisema:
Ikiwa Wananchi w a Z a n z i b a r tutacheka cheka t u n a v i o
n g o z i w a k o r o f i w a Zanzibar wenye kujali maslahi yao
binafsi bila kujali nch i ye tu , bas i tujuwe wananchi wa Zanzibar
itakua tumepoteza nchi.
N a k a t i b a Mpya inakuja na marekebicho ya Ardhi kwa
Zanzibar kuwa Mtanzania yoyote anaweza kuishi popote bila
kubughudhiwa na... tumemsikia Waziri k a t i k a m a s u a l a ya
Muungano Bi Samia Suluhu kuwa kero moja katika kero zinazokuja
kufanyiwa kazi ni Wa - Ta n g a n y i k a wajiitao Watanzania kuja
kumiliki ardhi Zanzibar.. na katiba ya Muungano ndio itakua kinga
yao.
Mtoa maoni huyo anasema hayo kwa kuzingatia maneno ya Mheshimiwa
J a j i W a r i o b a kuwa Katiba ya Muungano ndiyo itakayokuwa juu
zaidi kuliko katiba zote, ya Zanzibar (na ya Tanganyika).
mwenzake halafu mwenzake akaingia kizani na baada ya kuitwa
arudi akaja mtu mwengine?
W a m e h o j i baadhi ya watu w a k i m a a n i s h a k u w a a
s i l i y a M u u n g a n o n i Ta n g a n y i k a n a Zanzibar,
lakini wakati Zanzibar ipo, Tanganyika i n a k u j a k a m a
Tanzania, ikiwa kama mzazi na mwana aliyezaliwa na Tanganyika na
Zanzibar.
H i v i k w e l i s i s i t u l i u n g a n a na Tanzania au
Tanganyika? Na
BALOZI Ali Karume.
-
7 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 21-27,
2014Makala/Tangazo
TANGAZO
NAFASI ZA MASOMO SUDAN 2014/2015.
Ofisi ya Munazzamat Al-Daawa Al- Islamiya ( MDI) iliyopo Mbezi
Beach-Tangi Bovu jijini Dar es Salaam, inapenda kuwatangazia nafasi
za masomo kwa wale wote wanaotaka kujiunga na Chuo Kikuu cha
INTERNATIONAL UNIVERSITY OF AFRICA, Khartoum Sudan. Kozi
zinazotolewa ni;
1. Shahada ya kwanza katika Medicine, Pharmacy, Dentist,
Nursing, Laboratory Sciences, Natural resources, Petroleum and
Minerals, Engineering, Electronics & electrical Engineering,
Computer Science, Pure Science, Applied chemistry, Microbiology,
Geology, Physics na Computer with Mathemtics.
2. Shahadaya kwanza katika Law & Sharia, Islamic studies,
Economics, Administration, Political Science, Education
Administration and technology, Curriculum & Methods of
Teaching, Arts (Mass communication, Arabic, Geography, History, and
General Psychology).
3. Ualimu ngazi ya Diploma Fomu za maombi zinapatikana kwa Tsh
10,000/= tu, kuanzia tarehe 29 March mpaka tarehe 10 April 2014 DAR
ES SALAAM: katika ofisi ya Munazzamat iliopo Tangibovu- Mbezi
Beach. MWANZA: Msikiti wa Rufiji uliopo Mtaa wa Rufiji na ZANZIBAR:
katika ofisi ya Munazzamat (Kituo cha kusaidia mayatima) kilichopo
eneo la Mpendae kwa mchina mwisho, mkabala na skuli ya Kijangwani,
saa 3:00 asubuhi mpaka saa 7:00 mchana. Kutakuwa na Mtihani (Oral
Interview) tarehe na mahali utapewa pale utakapochukulia fomu. Sifa
za mwombaji:- Awe amemaliza kidato cha Nne na sita au Thanawiya kwa
kupata daraja la kwanza, la pili au la tatu.Pia mwombaji lazima
alete Vyeti halisi (Original academic certificates) Result sleep
haikubaliwi. Kwa maelezo zaidi piga simu:- Makao makuu, Dar es
Salaam: 0786 806662 au 0652 806662 au 0715249015 au 0787 121283
Kituo cha Zanzibar simu no: 0777415835 au 0715 415835. Kituo cha
Mwanza simu no: 0688 216644 au 0782 382434 au 0762 498913
Mr. Khamisi M. Liyenike K.n.y. Mkurugenzi, MDI, TZ
Na Rafaat Salah al-Din, Mchambuzi wa masuala ya Afrika
(Jumamosi, February 22, 2014)
Chini ya mkataba wa Libreville wa mwezi Januari mwaka jana, m o
j a y a m a m b o muhimu yaliyotajwa ni kuwa Uislamu uwe na nafasi
muhimu miongoni mwa dini z i n a z o t a m b u l i w a rasmi, hivyo
siku kuu mbili kwa Waislamu, Idd el Hajj (au Idd el Adha) na Idd el
Fitr
Nini kilisababisha mkasa Jamhuri ya Afrika ya Kati?
(2)zitambulike rasmi kuwa ni za kusherehekewa, na s iku hizo ziwe s
i k u k u u k i t a i f a . Waislamu wasitishiwe au kupata
misukosuko ya kisheria hasa pale wanapohitaji kupata hati za
vitambulisho, kwani kutoa hati ya kusafiria kwa Muislamu ilikuwa
haiwezekani, ila kwa taabu.
Mtu aliyesimamia mapendekezo hayo alikuwa mjumbe wa kundi la
Seleka. Bw. H a s s a n O t h m a n , ambaye ni mmoja wa viongozi
wa Waislamu
n a m w a n a z u o n i mwenye shahada ya pili ya uchumi kutoka
C h u o K i k u u c h a Bangui, lakini akapotea baada mazungumzo k
u m a l i z i k a k a t i k a hali ya kutatanisha n a k i l i c h o
m p a t a hakijafahamika hadi sasa.
I s i t o s h e , s e r i k a l i haikuchukul ia kwa umakini
madai haya na haikuyatekeleza kama ilivyokubaliwa katika
makubaliano ya Libreville, na hii ikaipeleka nchi katika uhasama wa
wazi.
Hivyo, vikundi viwili v i k a u n g a n a k a t i k a mfungamano
uitwao Seleka - au mkataba' katika lugha ya Sengo ya eneo hilo -
kupitia kuungana na kula kiapo kuiondoa madarakani serikali ya
Bangui. Kwa msingi wa hatua hiyo, mfungamano mpya wa Seleka ukapata
kuungwa mkono kwa nguvu na wassi wa Sudani Kusini na Chad, kwa
masharti kuwa mfungamano huo utawaunga mkono wapinzani hao dhidi ya
serikali hizo wakichukua madaraka.
Cheche ya kwanza: Azimio la Umoja wa M a t a i f a l i l i t o l
e wa asubuhi ya mauaji (ya
Wais lamu) kuunda serikali mpya l icha ya kuwa askari wa
Ufaransa wal ikuwa wameshafika Jamhuri ya Afrika ya Kati kabla ya
kuruhusiwa na Baraza la Usalama.
Cheche ya kwanza ya mapigano ilianza Machi 2013, na wapiganaji w
a S e l e k a w e n g i wa k i wa Wa i s l a m u walifaulu
kumwondoa m a d a r a k a n i R a i s Mkristo Francois Bozize,
ambaye sasa anaungwa mkono na wapiganaji wa Pinga Balaka wa
Kikristo ambao wanaungwa mkono na Ufaransa.
Kwa makisio kadhaa, wapiganaji wa Seleka wako kiasi cha askari
25,000 wakiongozwa na rais wa kwanza Muislamu wa Jamhuri ya Afrika
ya Kati, Michel D j o t o d i a , a m b a y e alisimikwa kama rais
wa mpito Agosti 18, 2013 baada ya majeshi yake ya Seleka kuukamata
mji mkuu na Ikulu, kulazimisha kuondoka kwa Rais Francois
Bozize.
Serikal i ya mpito iliundwa kutokana na mawaziri 29, ikiwa ni
pamoja na mawaziri wa nchi, na kwa mara ya kwanza katika
historia
Inaendelea Uk. 9
-
8 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 21-27, 2014Makala
Abiria 239 wapo wapi?NI wiki ya pili leo, siku 14 kamili, toka
ndege ya Malaysia, Boeing 777-200 ER ipotee.
Ikiwa na abiria 239, ndege hiyo Flight no. MH 370 ilipotea Machi
8, ikiwa njiani kuelekea Beijing, China ikitokea Kuala Lumpur.
Juhudi za kuitafuta
Na Mwandishi Wetu
njia ambayo haikuwa ndiyo ya kawaida kupita kuelekea
Beijing.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Waziri Mkuu wa Malaysia,
Najib Razak, Jumamosi, iliyopita, mawasiliano
mwa Bahari ya Hindi na pengine ikaishiwa mafuta na kuanguka
baharini.
K a m a n i h i v y o wanasema, i takuwa vigumu sana kuipata
kutokana na kina cha
been no trace of the plane, nor any sign of wreckage.
Wanasema wataalamu wakimaanisha kuwa, kawaida ndege ikishapaa na
kufika angani na kuchukua uelekeo wa inakokwenda, si kawaida
safari yake Novemba 7, 1872 kikitoka New York kuelekea Genoa,
Italy kikiwa na abiria 10.
Wiki nne baadae, c h o m b o h i c h o kilionekana kikielea Rasi
ya Gibralta (Strait of Gibraltar), bila ya abiria wake.
Mizigo yote ilikuwepo, kasoro watu na boti ya uokozi wakati wa
dharura (lifeboat). Mpaka hivi leo haijajulikana nini kiliwasibu
abiria wale.
What's the deal with the Bermuda Triangle? Hili ni swali
linalosimulia kisa kingine ambapo ndege za k iv i ta za Marekani
zikiwa na watu 14 zilipotea Desemba 1945 pwani ya kusini mwa
Florida.
Askari wengine 13 waliotumwa kwenda kuwatafuta waliopotea, n a o
w a l i t o w e k a b i l a k u j u l i k a n a walipotokomea hadi
hii leo.
Eneo hi lo ambalo l i n a f a n y a p e m b e t a t u ( t r i a
n g l e ) i n a y o u n g a n i s h a Bermuda, Florida na Puerto
Rico, hutajwa kama lenye miujiza.
Ni katika eneo hilo ambapo ndege mbili za abiria za Uingereza na
Amerika ya Kusini (British South American Airways), zilitoweka
mwaka 1948 na 1949.
Hakuna mabaki ya ndege hizo na abiria wake yaliyoonekana hadi
hii leo.
Inasemekana zipo pia meli za mafuta zilipata kutoweka katika
eneo hilo.
Kutokana na rekodi h i y o , v i t a b u v i n g i vimeandikwa
kuelezea eneo hilo kuwa ni la maajabu.
Miongoni mwa vitabu hivyo ni "The Devil's Triangle," "Limbo of
the Lost," na "The Riddle of the Bermuda Triangle."
Maelezo yanayotolewa k a t i k a m a a n d i k o mbalimbali ni
kuwa hilo ni eneo la miujiza au lenye viumbe wa ajabu ambao inakuwa
ndio sababu ya kutoweka kila meli/ndege na watu wanaopita hapo.
ndege hiyo zikihusisha wataalamu na vyombo m a a l u m , k u t o
k a Marekani na China, hadi sasa hazijaonyesha dalili yoyote ya
kutambua ilikopotelea ndege hiyo.
S i b a h a r i n i wa l a nch i kavu ambapo rada na vifaa
maalum v i m e t a m b u a , j a p o uwepo wa dalil i za mabaki ya
ndege hiyo kama i l ianguka au vinginevyo.
I n a e l e z w a k u w a masaa kadhaa baada ya ndege hiyo
kuruka, ilipoteza mawasiliano na waongoza ndege na ikawa haionekani
kabisa katika rada.
Baadae ikafahamika kuwa ndege ilibadili mwelekeo na kuchukua
yaliyonaswa kupitia satellite yanaonyesha kuwa ndege ilibadili m
w e l e k e o , l a k i n i bila kuonyesha hasa ilikoelekea.
Inaaminika kuwa mitambo ya mawasiliano na waongoza ndege i l iz
imwa makusudi ndani ya ndege hiyo, na hivyo kuibua wasiwasi kuwa
huenda ndege hiyo ilitekwa.
Lakini hata kama ilitekwa, bado swali linakuwa imekwenda
wapi?
Ta a r i f a z a a wa l i z a w a c h u n g u z i wa K i m a r e
k a n i n a Uingereza zinasema kuwa huenda ndege hiyo iligeuza
mwelekeo na kuelekea kusini
bahari hiyo.Bahari ya Hindi ina
kina cha urefu wa futi 12,000 sawa na maili 2 (kilometa
3.5).
Kina hicho ni kirefu kuliko kile cha bahari ya Atlantic ambapo i
l i c h u k u a m i a k a miwili (2) kugundua yalipokuwa mabaki ya
ndege ya Ufaransa (Air France) il iyotoweka mwaka 2009.
It is extremely rare for a modern passenger aircraft to
disappear once it has reached cruising altitude, as MH370 had. When
that does happen, the debris from a crash is usually found
relatively quickly, close to its last known position.
In this case, there has
kabisa kupotea katika rada, na hata ikipata ajali ikianguka,
basi inakuwa wepesi kuona mabaki yake.
N i k u t o k a n a n a hali hiyo, kitendawili kinachozunguka
iliko ndege hiyo na abiria w a k e , k i m e f a n y a watu kurejea
matukio ya nyuma na kuibua matukio mengine kama hayo katika
historia a m b a p o , z i l i w a h i kupotea ndege na meli mpaka
sasa hazijulikani zilipo na watu wake.
Moja ya matukio yanayotajwa ni l i le l i l i l o p e w a j i n
a l a The ghost ship Mary Celeste.
Hiki ni chombo cha baharini kilichoanza
NDEGE ya Shirika la Ndege la Malaysia Air Line inayosadikiwa
kupotea.
-
9 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 21-27, 2014Makala
Nini kilisababisha mkasa Jamhuri ya Afrika ya Kati? (2)Inatoka
Uk. 7
ya nchi hiyo wizara 14 zilitolewa kwa mawaziri Waislamu. Na
zaidi, wizara moja muhimu ilikabidhiwa kiongozi wa Waislamu
Nouraddin Adam. Rais Djotodia, ambaye alikuwa na timu ya washauri
ambao wengi ni Waislamu, al ikutana na kundi la wafanyabiashara,
wabunge na wanazuoni Waislamu na kutokana nao baraza la mawaziri
liliundwa.
Mnamo Septemba 13, 2013 Rais Djotodia alivunja rasmi kundi la
wapiganaji wa Seleka na kutangaza kuingizwa kwa baadhi yao katika
jeshi la taifa.
Viongozi wa nchi za magharibi walichukiwa n a n g u v u a m b a
y o Wais lamu wal ipata c h i n i ya D j o t o d i a kwani ras l
imal i za fedha hazikuwa tena c h i n i ya m a wa z i r i wa
Kikristo, ambao walikuwa wanatumia raslimali hizo na nafasi zao
kujenga makanisa n a s e m i n a r i . H i i inathibitisha kuwa
kuna msukumo wa kidini katika uingiliaji kijeshi wa Ufaransa katika
koloni lake la zamani la JAK.
Uingiliaj i kati wa kimataifa ulifanyika kuzuia hatua zilizokuwa
z i n a c h u k u l i w a n a Wais lamu kuingiza madai yao ya uhuru
na haki za msingi kuhusiana na makubal iano ya Libreville. Njama
hizo ziliongozwa na Ufaransa ambayo ilipata kibali cha Baraza la
Usalama la Umoja wa Mataifa kuingilia kati nchini humo, ikaingiza
kiasi cha askari 1,600 hapo Desemba 5, 2013, Rais Hollande
akatembelea
kwa muda mfupi Bangui hapo Desemba 10.
Vikosi vya Ufaransa vilijiunga na askari 6,000 wa kulinda amani
wa Kiafrika walisambazwa kote nchini. Kulikuwa na hisia kuwa
majeshi ya Ufaransa yangeingia ili kumwondoa Rais Djotodia al
iyekuwa a n a u n g w a m k o n o n a S e l e k a b i l a k u m w a
g a d a m u , lakini hawakufanya hivyo. Badala yake, askari wa
Ufaransa wa l i wa n ya n g ' a n ya silaha wapiganaji wa Seleka,
bila majadiliano yoyote ya kisiasa na mfungamano wa Seleka au
kuweka mipaka kwa vitendo vya mgambo wa makundi mengine ambayo
hayana tofauti kat ika vi tendo vya kinyama ukilinganisha n a S e l
e k a ; h a l a f u , serikali ya Djotodia ilidhaifishwa kijeshi na
hapakuwa na uungwaji mkono wa kisiasa kwa chama chochote.
Waislamu waachwa b i l a u l i n z i : H a t u a z i l izochukul
iwa na askari wa Ufaransa ziliwaacha Waislamu bila ulinzi mbele ya
mgambo wa Kupinga
Balaka. Mfungamano wa Seleka haikubaki madarakani kwa muda
mrefu, hadi makundi mengine kuanza kuunda mgambo kuanzia ngazi ya v
i j i j i k u j i l i n d a , ambayo ni pamoja na kundi la wakulima
wa Kikristo lililoitwa anti-Balaka, wapinzani wa mapanga.
M a k u n d i k a m a hayo yaliinuka kutoka m i o n g o n i m w
a wafuasi wa Rais Bozize k u a n z i a S e p t e m b a 2013 katika
eneo la kaskazini magharibi y a J A K k u f u a t i a vitendo vya
kiharamia v i l i v y o f a n y w a n a w a p i g a n a j i w a
mfungamano wa Seleka na kwa nia ya kuhamisha madaraka kwa rais
Mkristo. Halafu ikafuata alfajiri ya Desemba 5, 2013 ambako
serikali iliangushwa kitaaluma kwa ushirika wa askari wa Ufaransa,
Cameroon na Sudan Kusini, na kuungwa mkono na makasisi.
Waislamu waliuawa k a t i k a m a e n e o ya Boeing kulifanya
jeshi la JAK lielekeze macho kwingine, na kuondoka k a t i k a m a
e n e o
lili lokuwa linalinda kuzunguza Ikulu, hali ambayo i l iwezesha
makundi ya mgambo pinzani na askari wa kukodiwa kuvamia Ikulu na
majumba ya redio na televisheni, na kutangaza kuangushwa kwa
seriakali kwa njia za kijeshi.
Askari wa Ufaransa walikuja kukamilisha lilichokuwa kinahitajiwa
kuliwezesha tukio hilo lisipingike kokote. Na k u w e k a m a p a m
b o ya mwisho, azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa
likatolewa asubuhi ya mauaji hayo kuunda serikali mpya, ingawa
vikosi vya Ufaransa vilishafika JAK kabla ya kupitishwa kwa azimio
la Baraza la Usalama.
Askari wa Ufaransa waliingia miji ya Bouar na Berberati ambayo
ina utajiri wa dhahabu na almasi, na Ufaransa i l i p o g u n d u a
k u wa maangusho ya kijeshi i l i y o u n g a m k o n o yalikuwa
yameshindwa, ilianza kutangaza kuwa kuna vita ya wenyewe kwa
wenyewe kati ya Waislamu na Wakristo nchini humo, na kuwa
askari wa Ufaransa waliingia tu ili kuzuia m a c h a f u k o h a
y o kuendelea, na kuwa jumuia ya kimataifa iunge mkono juhudi
hizo.
H a l a f u , h a p o D e s e m b a 9 , 2 0 1 3 askari wa
Ufaransa, wa k i s h i r i k i a n a n a wa nchi za Afr ika,
waliwapokonya silaha zaidi ya wapiganaji elfu saba wa Seleka na
kuweka silaha zao katika makambi tofauti ya jeshi jijini Bangui.
Hatua hizo ziliwachukiza Waislamu k w a n i w a p i g a n a j i wa
Seleka walikuwa wanawapa ulinzi kiasi fulani dhidi ya mgambo wa
Kikristo. Hivyo, Waislamu waliandaa upinzani wa hapa na pale katika
mitaa ya jiji hilo kulaani upendeleo w a U f a r a n s a k w a
upande wa Wakristo, na kuweka v izuiz i vya mawe na matairi kupinga
kusambazwa kwa askari wa Ufaransa. Walisema pia kuwa hatua hizo
zinawaacha Wa i s l a m u wa k i wa hawana ulinzi mbele ya mgambo
wa Kupinga Balaka.
Hapo Januari 10, 2014, Jumuia ya Uchumi ya Nchi za Afrika ya
Kati (ECCAS) i l i tangaza kujiuzulu kwa Rais Michel Djotodia na
akaenda uhamishoni alikotaka mwenyewe, nchini Benin. Halafu, Waziri
Mkuu Nicolas T i a n g a y e a m b a y e hakuwa anaelewana na
Djotodia, akajiuzulu. H a l a f u B u n g e likamtangaza Catherine
Samba-Panza hapo Januari 20 2014 kutoka orodha ya wagombea w a n a
n e k u w a mwanamke wa kwanza kuwa rais wa mpito.
UKATILI wa Anti-Balaka dhidi ya Waislamu Afrika ya Kati.
-
10 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 21-27, 2014Makala
KILA sifa njema na shukrani zote anastahiki M w e n y e z i M u
n g u , M o l a w a v i u m b e wote, kwa neema zake a l i z o t u
n e e m e s h a , z i n a z o o n e k a n a n a zisizoonekana.
K a t i k a m a k a l a h i i nitajaribu kubainisha misingi ya
tabia katika mtazamo wa dini na namna ya utekelezaji wake katika
maisha ya kila siku. Katika kufanya hivyo, nitanukuu aya za Qur'ani
pamoja na Hadithi, na baadhi ya fikra na mitazamo ya wanafikra na
wasomi katika masuala ya dini na tabia.
Mwanadamu ni kiumbe mwenye hali mbili za roho na kiwiliwili.
Mbali ya kuwa na sifa sawa na walizonazo viumbe wa jamii ya
wanyama, lakini pia ana sifa teule na muhimu zinazompambanua na
kumtofautisha na viumbe hao.
Miongoni mwa sifa hizo ni akili, hiyari na utashi wa kimaumbile.
Mwanadamu ana karama maalumu yenye nguvu kubwa ya utambuzi wa mambo
iitwacho akili, ambayo ina uwezo wa kugundua kanuni kuu za
ulimwengu. Kutokana na kugundua kanuni hizo na kuweza kuutumikisha
ulimwengu wa maumbile kwa ajili ya maslahi na manufaa yake,
mwanadamu amejaaliwa katika kuumbwa kwake kuwa na nyenzo zote
zinazohitajika kwa ajili ya ukamilifu wa kiroho na kimaumbile.
M w e n y e z i M u n g u amempa mwanadamu i lhamu ya kutambua
kheri na shari; kwa maana kwamba amemuonyesha ni ipi njia ya
uongofu na ipi ya upotofu.
Kwa kutumia akili na maumbile yake pamoja na muongozo wa Mitume.
M w e n y e z i M u n g u Mtukufu ameiashir ia hali hii ya
mwanadamu katika Surat Shams Aya ya 7-10, pale aliposema: Na kwa
nafsi na kwa aliyeitengeneza. Kisha akaifahamisha uovu wake na wema
wake. Hakika amefanikiwa aliyeitakasa ( n a f s i ) . N a h a k i k
a amekhasiri aliyeiviza
Kwa maneno hayo mwanadamu ana uwezo
Dini kiunganishi kati ya Mwenyezi Mungu na mwanadamuNa Hemed S.
Marhoon
wa kuzipambanua njia mbili hizo, kwa maana u k a m i l i f u h a
s a w a mwanadamu hupatikana kwa njia ya hiyari na uelewa.
Mwanadamu ni kiumbe mwenye uwezo wa kuchagua na kwa sababu ya kuwa
na nguvu hii, huweza kuchagua mahala pake pa kuishi, aina ya maisha
anayotaka, dini, kazi yake n.k.
Kwa kuzingatia kuwa mwanadamu amejaaliwa kuwa na akili ya
kuamua, anao uwezo wa kudhibiti matashi na mielekeo yake yote na
kuiweka chini ya amri na muongozo wa akili na dini, na kwa njia
hiyo kuimarisha shakhsia yake ya kiutu na sifa za ukamilifu wake wa
kiroho. Kwa maneno mengine ni kwamba, mwanadamu anaweza kuwa
mmiliki wa nafsi yake na kujivua na matashi na matamanio ya mambo
yanayomzuia kufikia kwenye ukamilifu wa kiroho, ambayo ndiyo aina
bora na yenye thamani zaidi ya uhuru.
Watu wengi wenye kupendelea mabadiliko ya duniani wameikana dini
kwa sababu wanaamini kuwa dini na maisha ya sasa haviendi pamoja.
Wanafikiri kuwa kudumaa, kutuama na kutobadilika ni sifa za lazima
za mtu mshika dini. Kwa maneno mengine, wanafikiri kuwa hali kama
hizo katika dini zinatokana na kutokuwepo
k wa m a b a d i l i k o n a kwamba, kudumisha hali ya kizamani
ndio tabia za dini.
Kuijenga nafsi ya mtu na kuirekebisha fikra na tabia yake kwa
kiasi kikubwa inategemea msaada wa mtu binafsi na jamii, ni jambo
muhimu sana na lenye uzito mkubwa kwa jamii yoyote ile.
Umuhimu wa jambo hili ni mkubwa kiasi kwamba ikiwa mtu
atajifunza na kuhitimu elimu zote na kuwa na udhibit i wa nyenzo
zote za ulimwengu wa maumbile, lakini kama atashindwa kuidhibiti
nafs i yake hatoweza kufikia ukamilifu halisi wa kiutu.
Hali halisi ilivyo katika jamii nyingi za watu inaonyesha kuwa,
suala la malezi ya kitabia ya watu limetupwa na kusahaulika. Licha
ya marembo na mapambo yote ya nje ya kuwapumbaza watu yanayoonekana
katika ustaarabu wa Magharibi, mmongonyoko wa tabia umekuwa sababu
ya kuzuka hali mbaya ya masaibu na kuzifanya jamii za nchi hizo
zikabiliwe na majanga ya kila namna ya kimaadili.
S a b a b u k u b wa ya kupewa mgongo thamani za asili za kiutu,
kushamiri ufuska, maingiliano holela ya kijinsia na uhuru usio na
mipaka katika jamii za Magharibi, kumeifanya
misingi ya asili ya maisha ya mwanadamu isahaulike kabisa.
Ta t izo l a k up uuza suala la malezi ya kitabia, linagusa
takribani jamii zote zisizojali maadili ya dini na linashuhudiwa
pia ndani ya baadhi ya jamii za kidini zikiwemo nchi za Kiislamu.
Na chimbuko hasa la tatizo hili linatokana na ufahamu usio sahihi
wa kuuelewa n a k u u j a l i u p a n d e mmoja tu wa hakika ya
mwanadamu.
Katika hali hii na wakati huu, njia ya kumuokoa mwanadamu ni
kurejea kwenye mafundisho ya dini. Na ni kwa sababu hiyo ndio maana
Mtume wa mwisho wa Mwenyezi Mungu, Nabii Muhammad (SAW) amelieleza
lengo la kutumwa kwake kuwa ni kukamilisha fadhila za tabia njema
na akafanya juhudi kubwa ya kueneza mafundisho ya tabia kwa maneno
na matendo.
Mwanadamu ni kiumbe a m b a ye u u m b a j i wa ulimwengu
umefanywa kwa a j i l i yake yeye , licha ya taarifa chungu nzima
zilizokusanywa kuzungumzia sifa na hali ulizonazo mwili wa
mwanadamu.
M w e n y e z i M u n g u (S.W) amelielezea jambo hili katika
Kitabu chake kitukufu, Surat Baqara Aya 164, pale aliposema: Hakika
katika kuumbwa
kwa mbingu na ardhi, na kuhitilafiana usiku na mchana, na
merikebu zipitazo baharini pamoja na viwafaavyo watu, na maji al
iyoyateremsha Mwenyezi Mungu kutoka mawinguni, na kwa hayo
akaihuisha ardhi baada ya kufa kwake, na akaeneza h u m o k i l a a
i n a y a wanyama, na mabadiliko ya pepo, na mawingu yanayoamrishwa
kupita baina ya mbingu na ardhi, bila shaka zimo ishara kwa watu
wenye kuzingatia
Licha ya Magharibi k u p a t a m a e n d e l e o makubwa na ya
kila aina, lakini imeghafilika na hakika moja muhimu, nayo ni
kwamba maendeleo yote haya ya teknolojia, s a ya n s i n a v i wa n
d a pamoja na mashine zote na umuhimu na maajabu yake, vyote hivyo
vinapasa vichukuliwe kuwa ni nyenzo tu. Na nyenzo hizi zitumike kwa
ajili ya mwanadamu na kwa ajili ya kumuinua yeye ili kumfikisha
kwenye ukamilifu na utukukaji wa kitabia.
Eric Froum, Mtaalamu wa Elimu Nafsia na Sayansi Jamii wa Ki
jerumani anasema kuhusiana na suala hili kuwa: "Sisi katika
Ulimwengu wa Magharibi n a h a s a M a r e k a n i tumefikwa na
janga la kupoteza utambulisho. Sababu ni kuwa katika jamii za
viwanda, hakika za watu zimebadilishwa kuwa sawa na kitu; na kitu
nacho hakina utambulisho wowote. Ustaarabu wa M a g h a r i b i u m
e f i k i a mahala ambapo mapenzi ya vitu vya kimaada, yaani vile
visivyo na roho yameenea, na matokeo yake ni kujitokeza namna
fulani ya hisia za kutojali na kupoteza hamu na mapenzi juu ya
maisha ya mwanadamu na athari zake.
Katika nadharia hii mwanadamu anafanywa k u wa n d i o m h i m i
l i mkuu wa ulimwenguni, fikra yoyote inayohusu masuala ya
Metafizikia kama wahyi na dini za mbinguni inapingwa na kutupiliwa
mbali. Mfumo huo unaitakidi kuwa uokovu wa mwanadamu u n a p a t i
k a n a k u p i t i a f ikra ya mwanadamu mwenyewe tu, na moja kati
ya dhana ya mfumo huo ni kwamba ulimwengu wa maumbile ni kitu
kilichozuka chenyewe, n a m w a n a d a m u n i s e h e m u m o j a
w a p o ya ulimwengu huu wa maumbile ambao kutokea kwake kumetokana
na mwenendo wa mabadiliko unaoendelea.
Itaendelea toleo lijalo
-
11 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 21-27, 2014Makala
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba,
amelieleza Bunge la Katiba kwamba pamoja na mambo mengine, suala la
muundo wa Serikali tatu ndilo lililochukua sehemu kubwa ya maoni ya
wananchi.
Hayo yamebainishwa J u m a n n e w i k i h i i katika Bunge
maalum l i n a l o e n d e l e a m j i n i D o d o m a , w a k a t
i M w e n y e k i t i h u y o akiwasilisha rasimu ya Katiba Mpya
bungeni humo.
A l i s e m a s u a l a l a muundo wa Muungano na serikali tatu
limechukua nafas i kubwa kat ika mjadala tangu Tume ilipozindua
rasimu ya kwanza, likitanguliwa na suala la haki za binadamu.
Katika suala hili la Muungano, Tume ilipokea
WANANCHI wa Kuwait kupitia taasisi ya Africa Muslims Agency/
Direct Aid, wametoa msaada wa vi tu mbalimbali unakadiriwa kuwa na
thamani ya shi l ingi milioni sitini (60,000,000) z a K i t a n z a
n i a , k wa waathirika wa mafuriko yaliyotokea katika vijiji vya
Magole na Mateteni, wilaya ya Kilosa mkoa wa Morogoro hivi
karibuni.
Akikabidhi msaada huo kwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Bw. Joel
Bendera , Mwaki l i shi Mkazi wa Shirika hilo hapa nchini Dk. Adam
Osman, alisema wananchi wa Kuwait wametoa msaada huo ikiwa ni
sehemu ya kuwafariji waathirika wa mafuriko hayo baada ya kuguswa
na hali ngumu ya kimaisha inayowakabili katika makazi yao.
M s a a d a h u o umejumuisha tani nne za unga wa mahindi, tani
nne za mchele, tani mbili za maharage, tani moja
Kuwait watoa msaada kwa waathirika wa mafuriko KilosaNa
Mwandishi Wetu. ya sukari, lita elfu moja
za mafuta ya kupikia, jozi mia nne za nguo aina ya Khanga,
blanket mia moja, magodoro mia moja (100), mabegi mia moja ya shule
yenye vifaa mbalimbali vya shule ndani yake, aina mbalimbali za
dawa za binadamu na mikeka mia mbili.
A i d h a D k . A d a m , aliahidi kuwa taasisi yake itachimba
visima sita vya maji safi na salama ili kutatua tatizo la maji
linalowakabili waathirika wanaoishi katika makazi ya muda.
A k i p o k e a m s a a d a huo, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Bw.
Joel N. Bendera, kwa niaba ya waathirika aliwashukuru wananchi wa
Kuwait kupitia taasisi ya Africa Muslims Agency/ Direct Aid, kwa
msaada huu ambao kwa kiasi kikubwa utawasaidia waathirika hao.
A i d h a a l i m u o m b a mwakilishi mkazi wa Shirika hilo
hapa nchini Dk. Adam Osman kufikisha
shukurani za serikali ya Tanzania kwa niaba ya waathirika, kwa
wananchi wa Kuwait walioguswa na hali ya ndugu zao wa
Tanzania waliokumbwa na maafa hayo ya mafuriko.
Bw. Bendera alitumia fursa hiyo kuziomba taasisi nyingine na
watu
binafsi, kuiga mfano wa Africa Muslims Agency/ Direct Aid kutoa
misaada kwa wenye kuhitaji kwani bado inahitajika.
Serikali tatu lachukua sehemu kubwa ya maoni ya wananchiNa
Bakari Mwakangwale mawazo ya kila aina, Tume ilianza kazi kwa
madhumuni ya kupata maoni ya wananchi ili kuboresha Muungano, wa
n a n c h i wa l i j i k i t a kwenye muundo kama njia ya kuondoa
kero. Alisema Jaji Warioba.
Jaji Warioba aliyewahi kuwa Wazir i Mkuu n a M a k a m u wa P i
l i wa Rais wa Jamhuri ya Muungano, alisema baada ya kukusanya
maoni waliangalia takwimu na kuzichanganua.
Akianisha mchanganuo w a m a o n i h a y o y a wananchi kwa
asilimia, a l i s e m a a s i l i m i a 6 1 , walipendekeza muundo
wa serikali tatu, asilimia 24 walipendekeza muundo wa serikali
mbili ambapo wale waliopendekeza muundo wa Serikali moja walikuwa
asilimia 13.
A m a k wa u p a n d e wa Zanzibar, alisema asilimia 60,
walipendekeza Muungano wa Mkataba na asilimia 34 ya wananchi
walipendekeza serikali mbili huku asilimia 0.1 wakipendekeza
serikali moja.
Aidha Jaji Warioba, a l i s e m a T u m e p i a ilipata maoni ya
Taasisi mbalimbali pamoja na vyama vya siasa, asasi za kiraia na
Jumuiya za kidini, ambazo kwa pamoja nazo zilipendekeza muundo wa
serikali tatu.
M w e n y e k i t i h u y o al iongeza kuwa hata baadhi ya
Taasis i za Serikali, ama moja kwa moja au kwa tafsiri ya
mapendekezo yao pia zilipendekeza au kukubali muundo wa Serikali
tatu.
Kwa mfano alisema, Baraza la Wawakilishi Zanzibar, limependekeza
kuwepo kwa mamlaka H u r u y a Z a n z i b a r , M a m l a k a H u
r u y a Tanganyika na Mamlaka ya Muungano na iwekwe wazi kat ika
maeneo, uwezo, nguvu utendaji na mipaka ya kila mamlaka.
A l i s e m a B a r a z a l a
Makamu Ofisi ya Rais l i l ipendekeza kuhusu muundo wa serikali,
huku akinukuu mapendekezo hayo kwamba Kuwe na Rais mmoja wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania na Wakuu wa Serikali washirika wa Muungano
wapewe vyeo vingine kulingana na hadhi na mamalaka zao.
K w a u p a n d e w a Baraza la Ofisi ya Waziri Mkuu, alisema
yenyewe i l ipendekeza kuhusu uongozi wa Taifa, kwamba kuwe na Rais
wa Jamhuri wa Muungano, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano Waziri
Mkuu wa Serikali ya Tanganyika, pamoja na Waziri Mkuu wa Serikali
ya Zanzibar.
Hata hivyo Jaji Warioba alisema, baada ya kuona t a k w i m u n
a s a b a b u zilizotolewa na wananchi na taasisi, Tume iliamua
kufanya utafiti wa kina k u h u s u m u u n d o wa Muungano na
matatizo yake tangu Muungano ulipoundwa mwaka 1964.
Alisema wakati huo lugha ya Tanganyika
kuvaa koti la Muungano ilianza kusikika, ambapo mwaka 1984,
kulitokea kile kilichoitwa kuchafuka kwa hali ya hewa Viwani
Zanzibar.
Alifafanua kwamba msingi wa machafuko hayo ilikuwa ni mpango ya
baadhi ya viongozi wa Zanzibar, kutaka Serikali tatu ingawa jaribio
hilo halikufanikiwa, ambapo Zanzibar ilitunga katiba mpya mwaka
huo.
Katiba hiyo iliweka m a s h a r t i k w a m b a , sher ia za
Muungano zipelekwe kwenye Baraza la Wawakilishi kabla ya kutumika
Zanzibar na mwaka 1991 Tume ya Nyalali , i l ipendekeza muundo wa
serikali tatu.
A l i s e m a i n g a w a p e n d e k e z o h i l i
halikukubalika, Zanzibar iliamua kuwa na bendera pamoja na nembo
yake na baadaye sharti likawekwa kwamba, meli zinazoingia k w e n y
e b a n d a r i y a Zanzibar ni lazima zitumie bendera ya Taifa
zenye nembo ya Zanzibar.
SEHEMU ya msaada uliotolewa na wananchi wa Kuwait kupitia
taasisi ya Africa Muslims Agency/ Direct Aid, kwa waathirika wa
mafuriko yaliyotokea katika vijiji vya Magole na Mateteni, wilaya
ya Kilosa mkoa wa Morogoro hivi karibuni.
-
12 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 21-27,
2014Mashairi/Makala
Inatoka Uk. 16
Kundecha ninakuunga, mkono kwa ulonena, Jumanne ulolonga,
Bungeni i nzito sana, si kauli ya varanga, ina adhimu maana, Kweli
lisanulhali, afswahu kwamaqali ! Bilhaki hukukenga, utendi
watakikana, Kwa kanuni mlotunga, kwa utendi zitafana, Kwa kufika
mkolenga, kwalo mkishikamana, Kweli lisanulhali, afswahu kwa maqali
! Thakili mbele kusonga, kwa uneni kuzozana,Sahali mbele kusonga,
kwa utendi kushindana, Utendi mkiujenga, Bunge lenu litafana, Kweli
lisanulhali, afswahu kwa maqali ! Utendi kwa kuuchunga, atawajazi
Rabbana, Na kwao mkijitenga, chukizo kwa Subhana, Ikabu itawazonga,
kiama ya Maulana, Kweli lisanulhali, afswahu kwa maqali ! Khamsa
beti nafunga, lengo si tumbi kunena, Bali mkono kuunga, kauli
chanya mwanana, Kundecha aloilonga, filosofiye i pana, Swadakta kwa
ulonena, Kundecha haukukenga !
ABUU NYAMKOMOGI
BUNGE LA KATIBA (SWADAKTA, SHEIKH KUNDECHA !)
Upo ukumbusho kutoka Flight MH370h a w a k u j i t o k e z a n a
kusema wanataka nini, na wala hapakuwa na ushahidi kama Wairan hao
wana uhusiano na kundi lolote lile.
Pia wapo waliosema k u w a i n a w e z e k a n a imetekwa na
viumbe vya ajabu, pengine wakiwemo m a s h e t a n i , h i y o n i
mitizamo yao hata, wewe unaweza kuwa na wa kwako juu ya suala
hili.
Wapo pia wanaosema kuwa imepotea tu na huenda ikaonekana hata
kama watu wamekufa au wako hai ila itaonekana.
Tu s i w a s a h a u p i a wale wanaoamini kuwa Allah (sw)
ameamua kuwaonesha waja wake kuwa yeye yupo na lile alitakalo ndilo
alifanyalo, kama anavyotuambia k a t i k a Q u r a n ; N a ( M w e
n y e z i M u n g u ) anapotaka kufanya jambo lolote, basi
huliambia tu kuwa basi mara moja likawa (Quran 36:82).
Wanaamini hivyo kuwa Allah (sw) kasema liwe na ndio hivyo
linakuwa, ili kutukumbusha uwepo wake kwani binadamu tumejisahau,
dhambi, ubabe, dhulma na mambo mengine maovu ndio tumeyaweka
mbele.
Inaelezwa kuwa hata waganga wa kienyeji wametumika kugundua
ndege hii iko wapi, lakini matokeo yakawa hasi, hii ni kuonesha
kukata tamaa na teknolojia zao.
Hayo ndiyo mawazo machache na yenye nguvu katika kesi hii
inayogonga vichwa vya magazeti, redio, runinga na hata vijiwe kama
si vibaraza vya kunywea kahwa, hiyo ndio hadithi ya mjini.
Mimi sipingi wazo lolote kati ya hayo kwani yo te yanawezekana .
Nimeamua kuleta fikra na mawazo ya watu tofauti kuanzia wasomi na
hata tu watu wa barabarani, ambao nikikutana nao nawauliza mawili
matatu juu ya hili.
K a t i y a m e n g i niliyokutana nayo wakati naandaa makala
hii, ni maneno ya watu katika mitandao ya ki jamii , wapo waliohoji
kuwa sasa zile sentensi za kusema kuwa dunia ni kama kijiji zina
maana gani?
Wanahoji hayo kwani tayari walichokiona ni kuwa kwa teknologia
ya sasa, ilikuwa isitimie hata saa 12 tayari ndege
ingekuwa imeshaonekana kutokana na maendeleo makubwa ya
kisayansi na teknolojia.
M a t a i f a y e n y e teknolo j ia za k isasa yanatafuta ndege
hiyo ambayo mpaka namalizia kuandika makala hii, bado hakuna
taarifa za kuonekana, wanasema hawajapata dalili zozote kama ipo
wapi.
Kwa tukio hilo tu, wanasema inawezekana kwa kiasi fulani dunia
inaweza is iwe ki j i j i . K u t o k a n a n a k i l e kinachoitwa
kuwepo t e k n o l o j i a ya k we l i duniani, basi kulitakiwa t u
w a s e m e , n d e g e imeanguka au imetekwa ama imetuwa mtaa
fulani, hizo ni fafanuzi za watu ambazo nimezikuta katika mitandao
ya kijamii.
Nirudi katika ile aya ya mwanzo inayosema kuwa Pengine hili
litakuwa ni somo kwa wanadaum kuwa akili na ubunifu wao sio
chochote wala lolote mbele ya Mwenyezi M u n g u a n a p o a m u a
kuwaonyesha uwezo wake.
Kama wapo wanaoamini kuwa viumbe wa ajabu ndio wameichukua hiyo
ndege, basi na hata wao wapo chini ya uwezo wa Mungu.
Hivyo Mungu hufanya lolote atakalo kwa njia yoyote aitakayo,
halafu kwako wewe ikawa ni mt ihani ufaulu ama ushindwe.
Mungu ameamua kutoa somo kama nilivyosema anatukumbusha kuwa
yeye yupo.
N i j a m b o l a kushangaza kuwa dunia i l iyojaa ki la a ina
ya teknoloj ia ,wanaadam wanaotoka nje ya dunia na kurudi
wanashindwa kuiyona ndege iliyopotea duniani. Kweli hapa yapo
mazingatio kwa wenye akaili.
Nimetumia neno wenye akili, kwasababu ndio wanaokumbuka kama
Allah (sw) alivyosema kat ika maneno yake matukufu yaani Quran; Na
hawakumbuki i la wenye akili. (Quran 2:269).
Sasa huenda wenye akili wakakumbuka na wasio na akili
hawatokumbuka k a m a A l l a h ( s w ) alivyokwisha sema.
Na hata Flight MH370 e n d a p o i t a o n e k a n a lakini
ukumbusho tayari
utakuwa umeshawafikia binadam, mambo mengi duniani yanatoa
ishara ya uwepo wake, hata janga hili nalo ni hivyo hivyo.
Kinachonipa zaidi mdomo wa kusema hivyo ni kutokana na teknolojia
tulizonazo, hapa Allah anatuonesha kuwa yeye yupo juu zaidi ya hizo
teknolojia tulizonazo.
N a amet u k uk uk a y u l e a m b a ye k a t i k a mkono wake
kuna uweza (Ufalme) juu ya kila kitu. Na kwake Mola wenu n y o t e
m t a r e j e s h w a (Quran 36:83)
Huu ndio ufalme au uwezo wa Mungu juu ya teknolojia tulizonazo
nchi zisizopungua 26 zinaitafuta ndege moja kwa kutumia vifaa vya
kisasa tena ndani ya dunia hii, ama kweli huu ndio uwezo wake Allah
(sw).
Sema Oh Mnakanusha yule (Mwenyezi Mungu) aliyeumba ardhi na
katika siku mbili na mnamfanyia washirika? Huyu ndiye Mola wa
ulimwengu wote (Quran 41:9)
Huyo ndiye Mola wa ulimwengu wote anazijua chochoro sisi tusizo
zijua anajua wapi pa kuificha n a s i t u k a t u mi a k i l a
tulichonacho kutafuta mwisho tukashindwa, Mola wa ul imwengu
kwahiyo kila sehemu kipembe, tambarare , majangwa, mapango n.k yeye
ndiye anajua zaidi.
Kwa hili nimuombe Al lah ( sw) a tu jaa l ie tufunguke macho na
t u e l e w e u m u h i m u wake na uwezo wake juu ya dunia hii,
wenye kudhulumu wengine w a a c h e , w a s i o m j u a Mungu
wamtambue kwa hili lililotokea.
Pia tumuombe Allah (sw) atuondoshee viburi juu ya viumbe wenzetu
na wale wenye matatizo Allah awaondoshee, hali kadhalika wale walio
kwenye dimbwi la vita na umwagaji damu Allah (sw) awajaalie
mapatano.
Nimalizie kwa aya hii ya Quran;
K a t i k a k u u m b wa mbingu na ardhi na kutofautiana kwa
usiku na mchana ,ziko (dalili) hoja (za kuonesha kuwepo kwa
Mwenyezi Mungu mmoja) kwa watu wenye akili (Quran 3:190)
E m a i l : rashidalmendhry@yahoo.
Jumatatu tumeona, cheche za nari Bungeni Nilopata kuunena, huko
nyuma nudhumuniSi jambo la kunong'ona, natamka hadharani Msipouziba
ufa, mtajajenga ukuta !
Ni wajumbe walosana, zalo Bungelo kanuni Na kuzipasisha sana,
kwa nderemo 'mjengoni' Na kisha kupongezana, wiki jana si
zamaniMsipouziba ufa, mtajajenga ukuta !
Thuma tena kuzikana, hao hao kulikoniKwa kuzidi kuvutana,
najiuliza kwanini Kanuni walozisana, maanaye hasa nini Msipouziba
ufa,mtajajenga ukuta !
Migombo na kusigana, na lufufu tafraniYote tusingeyaona, kwa
utii wa kanuniKwa kanuni kuzikana, wajitia matatani Msipouziba ufa,
mtajajenga ukuta !
Wajumbe mlozisana, kanuni haja sioni Kukithiri kulumbana, kwa
lembelembe uneni Mwapaswa kushikamana na utendi wa kanuniMsipouziba
ufa, mtajajenga ukuta !
Kumbukeni wiki jana, aloinena Bungeni Kundecha ya kiungwana,
kauliye ishikeni Utendi hukidhi sana, haja kuliko uneni Msipouziba
ufa, mtajajenga ukuta !
Lengo si mzo kunena, bali kukuhimizeni Pamwe na kukumbushana,
mzopitisha kanuni Kwa vifijo wiki jana, ebu zizingatieniMsisubiri
kujenga, ukuta zibeni ufa!
ABUU NYAMKOMOGI SAFARINI MOROGORO.
BUNGE LA KATIBA (CHUPUCHUPU)
-
13 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 21-27,
2014Makala/Tangazo
KWA mujibu wa Shirika la Afya duniani, tohara (kutahiri)
inatakiwa kuwa ni sehemu muhimu katika vita ya kujikinga dhidi ya
maambukizi ya virusi vya ukimwi. Watafiti wa masuala ya afya
wanadai k u w a k i t e n d o c h a kutahiri kinampunguzia mwanamme
uwezekano wa kuambukizwa virusi vya ukimwi anapokutana kingono na
mwanamke aliyeathirika kwa kiasi cha asilimi sitini (60%)!
Katika kitabu chake, al Khitaan, Dk. Muhammad Ali al Baar,
ambaye ni mwanachama wa Chuo cha Kifalme cha Madaktari Bingwa wa
Upasuaji cha Uingereza, na mshauri kwenye idara ya Tiba za Kiislamu
katika Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Mfalme Fahdi katika Chuo
Kikuu cha Mfalme Abdul Aziz, kule Jeddah Saudi Arabia, ametaja
faida za ziada za tohara inayofanywa kwa watoto wakiwa wangali
wadogo kama ifuatavy
1. Ni kinga dhidi ya maambukizi ya kwenye uume sehemu ya
nje;
2. Ni kinga dhidi ya maambukizi ya kwenye uume sehemu ya ndani
(kwenye njia ya mkojo). Ta f i t i z i m e o n y e s h a kuwa
asilimia tisini na tano (95%) ya watoto wanaopata maambukizi katika
njia ya mkojo ni wale ambao hawakutahiriwa.
3 . N i k i n g a d h i d i ya saratani ya kwenye uume. Tafiti
mbalimbali z i m e b a i n i s h a k u w a saratani ya kwenye uume
ni kama haipo kabisa miongoni mwa wanaume ambao wametahiriwa. K a t
i k a n c h i m b a z o viwango vya kutahiriwa viko chini kama
China, Uganda, na Puerto Rico, saratani za kwenye uume ni kati ya
12-22% ya saratani zote zinazowakumba w a n a u m e !
4. Ni kinga dhidi ya magon jwa mengi ya zinaa. Watafiti
wamebaini kwamba magonjwa ya
ToharaNa Juma Kilaghai zinaa kama vile gonoria, kaswende,
muasho, na
kadhalika, husambaa kwa kiwango kikubwa zaidi kwa wanaume wasio
tahiriwa ikilinganishwa na wale waliotahiriwa.
5. Ni kinga dhidi ya saratani ya kizazi kwa w a n a w a k e . T
a f i t i zimebaini kuwa wake wa wanaume waliotahiriwa wako katika
hatari ndogo zaidi ya kupata saratani ya kizazi, ikilinganishwa na
wake wa wanaume ambao hawajatahiriwa.
K w a k u w a h u y o aliyetuumba yote haya anayajua, bila ya
shaka ndio maana akafanya k u t a h i r i wa k u wa n i miongoni
mwa ibada kubwa kabisa. Mwenyezi Mungu muumba katika Quran 16:123
anatuambia: Kisha tukakufunulia kuwa ufuate mila ya Ibrahim
(aliyekuwa) mtii kamili, wala hakuwa miongoni m w a w a s h i r i k
i n a .
I n a j u l i k a n a k u w a s e h e m u m u h i m u ya mila ya
Ibrahim ilikuwa ni kutahiriwa. Mtume M u h a m m a d ( S AW )
kuhusu tohara amesema:
K u n a m a m b o matano ambayo ni ya asili kwa mwanaadamu: K u
t a h i r i wa , k u n y o a nywele za k inenani , kukata kucha,
kuonyoa nywele za makwapani, na kunyoa sharubu.
U k w e l i w a k a u l i hii ya Mtume (s.a.w) u n a d h i r i s
h w a n a uchunguzi wa tabia za baadhi ya makabila ya asili ya bara
la Afrika, kwa mfano Wamaasai na Wakurya. Kitendo cha kuingia jando
(kutahiri) kwa makabila hayo ni mila yenye nguvu mno ambayo
chimbuko lake halijulikani. K i n a c h o j u l i k a n a n i
kwamba mila hii ilikuwepo kwa makabila haya kabla kabisa ya
kufikiwa na Uislamu; hivyo makabila haya hayawezi kuambiwa kuwa
yamejifunza mila hii kutoka kwenye Uislamu. Kwa hisani ya Ukurasa
wa Herbal Impact katika Facebook
UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION ZANZIBAR INTERNATIONAL
UNIVERSITY OF AFRICA KHARTOUM
STUDENTS ADMISSION 2014/2015
The University College of Education invites qualified applicants
to apply for the following programs:
Certificate Programs 1. Information Technology 2. Early
Childhood Education 3. Arabic Language 4. Teaching English 5. NTA
Level 4 (Science) 6. NTA Level 5(Science)
Duration and Admission Requirements:1. One year duration for the
Certificate program.2. Candidate should have a minimum of four
passes in Tanzania Certificate of Secondary School Education OR NVA
level 3 as established by VETA or equivalent.3. For NTA Level
4(Science), Candidates should have a minimum of four passes in
Secondary School Education Certificate with at least two passes in
any science subject.4. For NTA Level 5, candidates should have NTA
Level 4 certificate.5. Be a full time student.6. Provide a medical
fitness certificate from UCEZ dispensary or any other dispensary
approved by UCEZ dispensary.
Diploma Programs with Education1. English Language 2. NTA level
6(Ordinary Diploma in Science) 3. Computer Science 4. Information
TechnologyDuration and Admission Requirements:1 Two years
duration.2. Candidate should have at least one principle pass and
two subsidiary passes in Advanced Certificate of Secondary School
Education. ORFull Technician Certificate with a minimum average of
grade D in addition to four passes at O Level. OR NTA level 4
certificate besides four passes at Secondary School Education.3.
For Computer Science, a subsidiary pass in mathematics shall be an
added advantage.4. Be a full time student.5. Provide a medical
fitness certificate from UCEZ dispensary or approved by UCEZ
dispensary.
Mode of Study:Courses shall be conducted in semester system for
both certificate and diploma programs.All classes start from 2.00pm
to 8.00pm from Monday to Friday. Weekend Session (Saturdays and
Sundays) from 08.00 am to 3.00pm
Commencement date: 21st April, 2014
Fees Structure:Diploma Programs Tsh. 600,000/=Additional Fees
for Computer Courses Tsh 100,000/=NTA Level 4 Certificate
Courses:Tuition Fees (Science) Tsh. 500,000/=Additional fees Tsh.
200,000/=Certificate Course:Tuition Fees Tshs. 500.000/=Additional
fees for Science students. Tshs. 200,000/=
Additional Fees:Application form Tshs. 15,000/=Accommodation
(optional) Tshs. 180,000/= per annumRegistration Tshs.
30,000/=Student Union Tshs. 25,000/=Computer Services Tshs.
40,000/=Examination fees Tshs. 30,000/=Graduation Tshs.
30,000/=Medical Checkup Tshs. 10,000/=
Fees is payable in installments.The College reserves the rights
to change these fees at any time.Application forms are obtained
from:Academic Office, University College of Education Zanzibar at
Chukwani P.O. Box 1933 Zanzibar Mobile: 0773774838 OR 0772912181
Email: [email protected] forms are also available from
the following offices;- - Africa Muslims Agency, MabaoniChake Chake
Pemba: Tel: 024-2452337- Africa Muslims Agency, Tabata - Dar es
Salaam: Tel: 022-2807843- Africa Muslims Agency, Kaloleni -Moshi-
Africa Muslims Agency, Pongwe- Tanga.From our website:
www.ucez.ac.tz
Application fee should be paid through the following account
numbers:- (i) The peoples Bank of Zanzibar (Islamic Banking
division) Account No. 51120100002450- Mwanakwerekwe, Zanzibar(ii)
Barclays Bank Account No. 003 4000387
All completed forms together with payment receipts should be
returned to the Academic Office, University College of Education
Zanzibar.
The deadline for receiving applications is 4th April, 2014. For
further information contact:
Registrar,University College of EducationP.O BOX 1933,
Zanzibar
MOBILE: 0778698127E.mail:[email protected]
Visit our main campus at Chukwani, West District, Unguja, two
kilometers from the new Parliament Building.
-
14 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 21-27,
2014TANGAZO
Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Tano kwa
shule zifuatazo:
KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL SAME KILIMANJARO NYASAKA
ISLAMIC SECONDARY SCHOOL MWANZA UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO L DAR ES
SALAAM
Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi
taaluma ya hali ya juu na malezi bora ya Kiislamu.Shule hizi ni za
bweni za mchanganyiko wa wavulana na wasichana .Zipo Combinations
za SAYANSI,ARTS na BIASHARA. Pia wanafunziwote wanafundishwa
Islamic Knowledge,Introduction to Arabic na Compyuta..Muombaji awe
na Crediti tatu na Pass mbili au zaidi katika mtihani wa kidato cha
nne..Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/=
katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.
Arusha - Ofisi ya Islamic Education Panel -Jambo Plastic Ghorofa
ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni - 0763 282 371/ 0784 406
610.Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha 0654 723 418 - Same:
Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075Tanga -
Uongofu Bookshop: - 0784 982525/ - Lushoto: Mandia Shop -
0782257533Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School 0717
417685/0786 417685 - Mtaa wa Rufiji: Ofisi ya Islamic Education
Panel mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770.Mara - Musoma: Ofisi
ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa Karume,Nyumba Na. 0782
868611/0716810002.Kagera - Bukoba: Alhuda Caf Kwa mzee Kinobe
karibu na ofisi za TRA. - 0688 479 667 Shinyanga - Msikiti wa
Majengo 0718 866869 - Kahama ofisi ya AN NUUR Karibu na msikiti wa
Ibadhi: 0753 993930 Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School 0712
974428/0684306650 - Manzese :Ofisi ya Annur 0655 677683Morogoro -
Wasiliana na Ramadhani Chale :0715704380Dodoma - Hijra Islamic
Primary School : 0716 544757/0712 325086Singida - Ofisi ya Islamic
Ed. Panel karibu na Nuru snack Hotel 0714285465 Manyara -
Babati:Ofisi ya Islamic Ed. Paneli Masjid Rahma 0784 491196Kigoma -
Msikiti wa Mwanga Kigoma: 0753 355224. - Kibondo Islamic Nursery
School: 0784 442860. - Kasulu: Murubona Isl.SS. 0714710802.Lindi -
Wapemba Store: 0784 974041/0786 959663.Mtwara - Amana Islamic S.S
0715 465158.Songea - Msikiti wa NURU 0715 681701/0716791113 - Mkuzo
Islamic High School. 0716 791113Mbeya - UYOLE: Duka la vifaa vya
Kiislamu nje ya Msikiti wa Uyole 0713 200209 - Rexona Video mkabala
na Mbeya RETICO: 0713 200209Rukwa - Sumbawanga: Masjid TAQWA
0717082 073Tabora - Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566Iringa -
Madrastun Najah: 0714 522 122Pemba - Wete: Wete Islamic Education
Center: 0777 432331Unguja - Madrasatul Fallah: 0777125074- Mafia -
Ofisi ya ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu 0653705627
6. Pia fomu zinapatikana kwenye Tovuti: wwwipctz.org. ikumbukwe
kuwa watakao pata fomu kupitia tovuti (download) watatakiwa
kuzilipia wakati wa kuzirejesha
USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!
MKURUGENZI
WABILLAH TAWFIIQ
ISLAMIC PROPAGATION CENTREP.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784
267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website
:www.ipctz.org
NAFASI ZA KIDATO CHA TANO 2014/2015
-
15 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 21-27,
2014Habari/Tangazo
NAFASI ZA DIPLOMA YA UALIMU WA KIARABU JULAI,2014 Waislamu kote
nchini mnatangaziwa nafasi za Diploma ya Ualimu wa Lugha ya Kiarabu
katika chuo cha Ualimu Kirinjiko kilichopo Same mkoani
KilimanjaroLengo la kozi hii ni kuwandaa walimu mahiri wa
kufundisha somo la lugha ya Kiarabu katika shule za sekondari na
shule za msingi.Muda wa kozi hii ya aina yake ni miaka miwili na
itaanza Julai ,2014.Muombaji anatakiwa awe na sifa zifuatazo:
(a) Awe amehitimu katika chuo cha mafunzo ya Dini na Kiarabu kwa
angalau kiwango cha IIdad au zaidi (b) Awe amemaliza kidato cha nne
na kupata crediti katika somo la Lugha ya Kiarabu au(c) Awe
anayeweza kusoma ,kuandika ,kusikiliza na kuzungumza lugha ya
Kiarabu kwa ufasaha hata kama hana sifa (a) na (b).
Waombaji wote watafanyiwa usaili tarehe 10-11,Mei 2014 katika
chuo cha Ualimu Ubungo Islamic-Dar Es Salaam .
Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi ELFU TANO
katika vituo vilivyoorodheshwa katika Tangazo la kujiunga na Kidato
cha Tano lililopo katika ukurasa wa 14 wa gazeti hili.
Pia Fomu zinapatikana kwenye Tovuti: www.ipctz.org. Ikumbukwe
kuwa watakaopata fomu kupitia tovuti (download) watatakiwa
kuzilipia wakati wa kuzirejesha.
USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!
Wabillah Tawfiiq
MKURUGENZI
ISLAMIC PROPAGATION CENTREP.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784
267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website
:www.ipctz.org
Wenye asili ya Kisomali wana wakati mgumu KenyaInatoka Uk.
16
kaunti za Garissa, Wajir na hata Mandera, mara kwa mara huripot
i juu ya kunyanyaswa k we n ye v i t u o v ya ukaguzi
barabarani.
A l i s e m a k u w a haikubaliki kuwatenga wa t u wa j a m i i
ya Kisomali kwa sababu tu wanahisiwa kuwa wanaweza kuchochea hali
ya kutoridhika na kutotii.
Al i sema jami i ya K i s o m a l i i m e k u wa ikiteswa na
makundi ya kigaidi, kama vile ambavyo wananchi wengine
wanavyoteswa, na kulaumiwa kwa kutofanya chochote kuzuia ghasia
hizo.
Alisema watu wa J a m i i ya K i s o m a l i hawajawahi
kusifiwa, l a k i n i w a m e k u w a wakiwasaidia maafisa wa
usalama wa Kenya k u t e g u a h u j u m a zinazotishia usalama wa
watu.
"Baadhi ya Wasomali wanaweza kujitolea kutoa taarifa, badala ya
maafisa wa usalama kuzifanyia kazi, yule mtu aliyetoa taarifa ndiye
anayeshikiliwa na kuhojiwa kinyume cha sheria." Alinukuliwa akisema
mbunge huyo.
M b u n g e w a Kamukunji, ambaye n a y e n i m w e n y e asili
ya kisomali Bw. Yusuf Hassan Abdi, ambaye ali jeruhiwa katika
mashambulizi ya guruneti mwaka jana karibu na msikiti mmoja kwenye
kiunga cha Eastleigh, alisema wamekuwa wakitumia vi tuo vya redio
na televisheni kutangaza ujumbe wa amani kwa l u g h a ya K i s o m
a l i kuufikia umma.
M b u n g e A b d i , a n a w a s h a j i i s h a r a i a k u l
a k i a n a n a kuzishirikisha jamii n y i n g i n e k w e n y e
shughuli mbalimbali.
Alisema kwa nj ia hiyo, jamii ya Kisomali
katika eneo la Eastleigh, ambalo analiwakilisha, mara kwa mara
hufanya shughuli zinazohusisha jamii nyingine kama vile usafi wa
mazingira na mikutano ya dini tofauti.
Sheikh Mukhtar Abdi,
Imamu wa Msikiti Nur katika mji wa Mandera, alisema viongozi wa
dini pia wamekuwa wakitekeleza sehemu yao ya kuchukua jukumu kwa
mchango wao muhimu wa uongozi.
"Sisi kuhubiri amani na Qur'an kama ilivyo. "Qur'an haitetei
vurugu na sisi tunawaambia watu katika mkutano yetu kujiepusha na
ghasia." Alisema .
SAMANTHA Lewithwaite anayehusishwa na tukio la Westgate.
-
16 AN-NUURJAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 21-27, 201416
MAKALA
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105
na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es
Salaam.
AN-NUUR16 JAMADUL AWWAL 1435, IJUMAA MACHI 21-27, 2014
Soma AN-NUUR
kila Ijumaa
PENGINE hili litakuwa ni somo kwa wanaadamu kuwa akili na
ubunifu wao sio chochote wala lolote mbele ya Mwenyezi M u n g u a
n a p o a m u a kuwaonyesha uwezo wake.
Ni aya kutoka katika gazeti moja maarufu hapa nchini, wakiwa na
maana kuwa, kupotea kwa ndege ya abiria nchini Malaysia tangu
Ijumaa iliyopita, i n a w e z e k a n a k u w a Mungu anaonesha
uwezo wake mbele ya ubunifu wa hali ya juu walionao binadamu
sasa.
Ndege ya Malaysia Airlines Flight aina ya Flight MH370, iliruka
kwenye uwanja wa ndege
TAKRIBANI miezi sita baada ya shambulizi katika jengo la maduka
la Westgate na kundi la al Shabaab la Somalia, Wakenya wenye asili
ya Kisomali nchini K e n ya wa m e k u wa wakionekana kama w a k o
s a j i k w a kuhusishwa na al-Shabaab, huku mara kwa mara
wakikabiliwa na ubaguzi katika maisha ya kila siku.
W a k e n y a h a o wamekuwa wakijitahidi k u k a b i l i a n a
n a mashaka yalipo juu yao, wanasambaza ujumbe wa kujizuia na fujo,
akina mama, wabunge, wa l i m u , v i o n g o z i wa kidini na
vijana wamekuwa wakijaribu kuondoa taswira hiyo katika jamii ya
watu wa Kenya.
Suleiman Hassan Abdi, mwenye umri w a m i a k a 2 3 n a mwafunzi
wa sheria katika Chuo Kikuu cha Nairobi, alisema jamii ya Kisomali
imekuwa ikionewa sana kwa kukabiliwa na dhana potofu, ingawa jamii
nyingine pia zinahusika na mambo ya kigaidi.
" J a m i i n z i m a inabebeshwa lawama kwa sababu ya makosa ya
watu wachache. Lakini hatujakaa kitako na kupakata mikono,"
alinukuliwa akisema Abdi, mkazi wa Kaunti ya Wajir.
Kijana huyo anasema kuwa Maulamaa wenye asili ya Kisomali na
hata katika hotuba za Makhatibu misikitini,
Wenye asili ya Kisomali wana wakati mgumu KenyaWajitahidi
kuondoa taswira ya ugaidi Na Bosire Boniface, Garissa wamekuwa
wakijitahidi kuelimisha umma na kupeleka ujumbe wao
wa jamii ya Kiislamu hususan wale wenye a s i l i y a k i s o m
a l i kutojihusisha na vurugu misikitini na sehemu nyengine katika
jamii.
" K a t i k a h o t u b a misikitini, viongozi wa kidini
wanasema k w a m b a m a t e n d o y o t e y a k i g a i d i
yanayowalenga raia ni haramu kwenye Uislamu na kwamba i n a k a t a
z w a k w a Muislamu kushirikiana n a m t u a u k u n d i
linalohusika na kitendo chochote cha ugaidi au ghasia,"
alisema.
Vijana kwa upande w a o w a m e k u w a wakituma ujumbe huo huo
katika mitandao ya kijamii na kujiingiza k w e n y e m i d a h a l
o yenye maana, zote hizo zikiwa ni jitihada za kuuelewesha umma juu
ya taswira waliyo nayo dhidi ya watu wa jamii ya Kisomali nchini
Kenya.
Mbunge wa jimbo la Garissa, Aden Duale, a n a s e m a a n a u n
g a mkono na anashajiisha juhudi hizo za kijamii.
Anasema Wasomali wengi nchini Kenya ni raia wanaofuata sheria,
wanaopingana na matendo ya ghasia na siasa kali," alisema.
Hata hivyo, matokeo y a j i t i h a d a z a o yanaathiriwa
vibaya na mtazamo unaongaliwa jamii hiyo ya Kisomali nchini
humo.
M b u n g e h u y o alisema kuwa Wasomali wanaosafiri kutoka
Upo ukumbusho kutoka Flight MH370Inawezekana dunia sio kama
kijiji
Na Rashid Abdallah, MUM
jijini Kuala Lampur saa 6 :41 us iku kuelekea Beijing, China
ikiwa na abiria 227 na wafanyakazi 12, jumla ni watu 239.
Muda mfupi tu baada ya kuruka, ikapoteza mawasiliano na vituo
vya kuongozea ndege na kuonekana mara moja katika rada za nchi ya
Vietnam.
Rada kubwa za kijeshi t a y a r i z i m e e n d e l e a k u t u
m i k a b i l a y a mafanikio, ndege za kivita na meli za kivita
huku si chini ya mataifa 26 yakiwa na vifaa vya kisasa, yanaisaka
ndege hiyo.
Ilitarajiwa itue Ijumaa saa 12:30 asubuhi Beijing, lakini hali
haikuwa hivyo pale ndugu na jamaa waliposubiri kwa muda
mrefu ndugu zao hao ili wawapokee, lakini baada ya mawasiliano
kufanyika kutoka Beijing kwenda M a l a y s i a wa k a p e wa
taarifa ya kupotea kwa ndege hiyo.
Imeshatafutwa tayari katika eneo lote la nchi ya Malaysia,
kusini mwa bahari ya China, pwani ya nchi za jirani ghuba ya
Thailand n.k, lakini matokeo yamekuwa hasi.
Awali wapo waliosema kuwa ndege hiyo ilitekwa kwani
kuligunduliwa Wairan wawili waliosafiria hati za wizi, zilizoibwa m
wa k a 2 0 1 2 n c h i n i Thailand.
Lakin i taar i fa h iz i z i l i k a n u s h w a n a Interpool
kwani watekaji
Inaendelea Uk. 12 Inaendelea Uk. 15
Sheikh Ali Bahero, ambaye alikuwa msaidizi wa marehemu Sheikh
Aboud Rogo Mohammed, amekutwa akiwa ameloa damu baada ya
kushambuliwa mjini Mombasa.