-
ISSN 0856 - 3861 Na. 1171 JAMADIUL AKHER 1436, IJUMAA , APRILI 3
- 9, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=
Sauti ya Waislamufacebook: [email protected]
AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST
Mtume(saw) amesema, Mahujaj i wanalipwa kwa kila walichokitumia
katika Hija, shilingi moja kwa milioni moja. Mali ya Muislamu
huongezeka anapohiji! Unapata duniani na unafanikiwa Akhera. Wahi
sasa kuja kulipa uitakase mali yako. Muda unakwisha! Gharama zote
kwa Hijja ni Dola 4,500. Umra ya Ramadhani ni Dola 2,300. Karibuni
Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa huduma nzuri na uongozi bora. Wasiliana
nasi: Tanzania Bara: 0765462022;0782804480; 0717224437.
(5) TAJIRIKA KWA KUHIJI!
Wawakilishi nusura wazipige BarazaniWatambiana ucha Mungu, ubabe
wa kisiasa
PICHANI juu ni siasa za Zanzibar wakijeruhiana wenyewe kwa
wenyewe kwa ajili ya mambo ya kisiasa. Picha chini mitutu ya vifaru
vya Saudi Arabia vikielekezwa Yemen. Nchi zote hizo za Kiarabu.
Siasa za mabeberu Iraq na Yemen
Mashabiki wa Abu Baghdad mnasimama wapi!Kama Iraq ni tatizo la
Shia kuzuiya KhilafahYemen napo Waarabu wanachopigania nini?
Kwaheri Mahakama ya KadhiNi matokeo ya Kambi ya Maaskofu
DodomaAlisema kweli Mtwangi. Waislamu wajifunze
Soma Uk. 2
Soma Uk. 10
Lipo JinamiziTutafute ulipo mzizi wa fitnaVijana hawa wanakwenda
wapi?Haya yanafanyika bila serikali kujua?
Soma Uk.7
Zanzibar watishiana Albadiri
-
2 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 3-9,
2015AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786Cel: 0784 370 208, 0713 110 148,
0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]
zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam
Tahariri
TAMAA ya Waislamu k wa m b a s i k u m o j a wa n a we z a k u
wa n a Mahakama yao ya Kadhi nchini, chombo ambacho kingekuwa
suluhu ya hitilafu nyingi katika kutekeleza majukumu yao ya msingi
ya kiibada na kimaadili, sasa ifikie kikomo.
Pamoja na kwamba wapo watu ambao bado wa n a d h a n i k wa m b
a masuala au matatizo ya Waislamu yanaweza kutatul iwa ndani ya
mfumo wa sasa wa serikali yetu na vyombo vyake vya kimamlaka,
lakini ukweli ni kwamba historia inadhihirisha kwamba katu
haiwezekani jamii ya Waislamu kutimiziwa au kukubaliwa haja zao za
kiimani ndani ya himaya ya watu waliofura chuki, ambao wengi wao
ndio waliopo katika nafasi nyeti za maamuzi.
Mwandishi mashuhuri wa makala, Mzee wetu Bw. Shaaban Khalid
Mtwangi, siku za nyuma aliwahi kuandika makala yake kuhusu Mahakama
ya Kadhi katika gazeti hili, akisema katu haiwezekani Mahakama ya
Kadhi ikaanzishwa nchini kwa kuwa, i l i Mahakama h i y o i w e z e
k u p a t a uhalali wa kuanzishwa n a k u t a m b u l i wa n a
sheria ya nchi (katiba), ni lazima kwanza muswada wa kuanzishwa
kwake upelekwe Bungeni na kuridhiwa na wabunge walio wengi.
Kwa msingi huo, Bw. Mtwangi alisema kwa namna ambavyo sura ya
Bunge letu ilivyo, a k i m a a n i s h a k u j a a wa b u n g e w e
n g i wa imani ya Kikristo, na kwa kuzingatia ukweli kwamba kuna
chuki kubwa ya kiimani iliyojificha ndani ya mioyo yao, kamwe h a
wa w e z i k u k u b a l i kuupitisha muswada huo hata
utakapofikishwa mbele yao.
M z e e M t w a n g i alihitimisha kwa kusema, Waislamu
wanapoteza m u d a w a o k u d a i mahakama hiyo ndani ya mfuno wa
sasa wa kimamlaka na kidola
Kwaheri Mahakama ya KadhiNi matokeo ya Kambi ya Maaskofu
DodomaAlisema kweli Mtwangi. Waislamu wajifunze
na akaona Wais lamu kuendelea kupambana katika mazingira haya
kudumu katika matumaini kuwa watakubaliwa kuwa na chombo chao hicho
kikatiba, ni kupoteza muda na nguvu za kufanya mambo mengine kwa
maslahi ya Waislamu.
Yeye alishauri kwamba kwanza uwepo mkakati wa kuhakikisha kwamba
jamii ya Waislamu, nao wanakuwepo kwa namba inayor idhisha ka t ika
v y o m b o v y a k i d o l a n a k i m a m l a k a h a s a Bunge.
Hapo wanaweza kupambana uso kwa uso kusimamia heshima na maslahi
yao ya kiibada.
Tukitizama kwa kina alichokuwa akikieleza Mzee Mtwangi ndani ya
makala yake hiyo, utagundua kwamba suala la kuanzisha Mahakama ya
Kadhi nchini, ni mchezo wa kisiasa na hadaa tupu dhidi ya jamii ya
Kiislamu nch in i l ak in i ukwel i wake ni kwamba haiwezi
kukubaliwa iwepo.
Suala hili limekuwa likipigiwa kelele kwa muda mrefu, limewahi
hata kuingizwa katika Ilani ya CCM ya mwaka 2005.
Waziri Mkuu Mizengo Kayanza Pinda, ambaye ndiye hasa aliyepewa
jukumu la kusimamia mchakato wa kuanzishwa mahakama hii kwa upande
wa serikali, pamoja na k u j a r i b u k u a n z i s h a mchakato
huo kwa kuunda Kamati ya Pamoja ya Viongozi wa Jumuia za Kiislamu
na serikali, bado yalifanyika madudu kwa kuanzisha Mahakama ya
Kadhi ya Bakwata kule Dodoma.
M a k a d h i a m b a o hawafahamiki kisheria ( k i k a t i b a
) , a m b a o walipatikana bila utaratibu wa Kiislamu na kibaya
zaidi, yote hayo yalifanyika bila kuwepo mawasiliano na Kamati ya
Pamoja iliyojumuisha serikali chini ya Waziri Mkuu, ambayo kimsingi
ndicho chombo halali kichokubalika na Waislamu na ser ikal i
kushughulikia suala hilo kiutaratibu.
Tunaamini kwamba hadaa hii dhidi ya Waislamu
ilifanyika huku kwa namna moja au nyingine serikali ikihusika
chini ya mwavuli wa Makamu wa Kwanza wa Rais.
Baadae likaja zoezi la mchakato wa kuwa na Katiba mpya. Waislamu
wakaona hiyo ndiyo njia muafaka ya kuwasilisha hoja yao ya
kurejeshwa Mahakama ya Kadhi nchini kikatiba.
S o t e t u l i s h u h u d i a namna ambavyo Tume ya kukusanya
maoni ya Katiba Mpya chini ya Jaji Joseph Warioba, ilivyotupilia
kwa mbali maoni ya Waislamu juu ya kuhitaji mahakama hiyo, ambayo
yameelezewa katika rasimu ya maoni ya wananchi Uk. 203 hadi 206,
ambapo imeelezwa kwa upana namna wananchi walivyotoa maoni yao
kuhusu uanzishwaji wa Mahakama ya Kadhi.
Serikal i kwa kuona hadaa imekithiri, ikaamua kufanya mjadala
kati ya Kamati ya Viongozi wa Kiislamu na wajumbe wa Kamati ya
Bunge, kuona namna gani wanaweza k u k i d h i v i g e z o v ya
kuuwasilisha muswada wa kuingizwa kipengele cha Mahakama ya Kadhi
katika Katiba Pendekezwa.
Tuliona zoezi likifanyika kwa mvutano mkubwa huku Maaskofu na
Mapadri wakija juu kupinga hatua hiyo k ias i cha kutoa Matamko
kupitia jumuia zao. Baadhi ya Wakristo walipinga sana kukataa hatua
hiyo. Hata hivyo serikali kupitia Waziri Mkuu Pinda, iliendelea
kusisitiza kuwasilisha Bungeni mswada huo licha ya kuwepo kauli za
kuukataa kutoka kwa viongozi wa Kikristo, baadhi ya Wabunge na watu
wengi wasiokuwa Waislamu.
Baadae tukashuhudia Maaskofu kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania
wakipiga kambi kwa zaidi ya wiki mjini Dodoma, kuhakikisha muswada
huo hauingii Bungeni. Tunaambiwa zaidi ya Maaskofu 4O kutoka mikoa
yote nchini, walikutana na wabunge katika ukumbi wa Kanisa La
Kiinjili la Kilutheli (KKKT) mjini Dodoma kujadiliana suala la
muswada wa Mahakama ya Kadhi. Katika mkutano huo Maaskofu walitoa
azimio kuwa muswada huo usiwasilishwe Bungeni kwa kuwa kufanya
hivyo i n a we z a k u h a t a r i s h a amani i l iyoko nchini .
Maaskofu hao wanaounda J u k w a a l a K i k r i s t o Tanzania,
waliwasili mjini Dodoma tangu mwishoni m w a w i k i i l i y o p i
t a kuhakikisha wakiazimia kuwa wanafanya lobbing kwa wabunge
Wakristo, kuhakikisha muswada h u o u l i o k u s u d i w a
kuwasilishwa bungeni,
haufaulu.Sote tumeshuhudia,
wabunge karibu wote wa Kikristo kwa umoja wao, kila
ilipojitokeza hoja juu ya muswada huo, walipinga vikali kiasi cha
kusababisha Bunge kuvurugika licha ya Wabunge wachache Wa i s l a m
u k u j a r i b u kushinikiza kuingizwa muswada huo Bungeni
hapo.
Hatimaye wiki hii Kambi yao ilifanya kazi yake. Wamefanikiwa
kuifanya Serikali ishindwe kuingiza muswada bungeni. Suala la
Mahakama ya Kadhi, ambalo lilizua mjadala mkali kwenye Kamati za
Bunge la Bunge Maalumu la Katiba, likaundiwa Kamati Ndogo i l
iyoongozwa na aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samia
Suluhu Hasan, hoja ikaishia kuondolewa.
Waziri Mkuu kutaka m u s w a d a u i n g i z w e tena Bungeni
ili uweze kuingia katika Katiba Pendekezwa, Lobbing i m e f a n ya
k a z i ya k e , zimezuka hoja za chuki na hatimaye muswada
umekwama na haujulikani utapelekwa tena au la, na l ini .
Tunachoweza kusema ni kama umezikwa rasmi. Kambi ya Maaskofu
imefanya kazi yake na imekamilika. Hakuna tena muswada wa Mahakama
ya Kadhi.
Katibu wa Bunge Thomas Kashilila, ameshasema kuwa muswaada huo
hautakuwepo kwenye ratiba za Bunge, badala y a k e n a f a s i h i
y o itachukuliwa na miswaada m i n g i n e k u j a d i l i wa .
Serikali inasema imeamua kuuondoa kutokana na hofu ya kutokea
mpasuko nchini.
Dk. Kashilila alisema h a i j u l i k a n i n i l i n i
utawasilishwa bungeni kwa sababu Mkutano wa Bunge ujao unaotarajia
kufanyika Mei, utakuwa mahsusi kwa ajili ya bajeti.
W a z i r i M k u u alivyosema wataangalia na kushauriana
kimsingi, alitoa maneno ya busara tu au ilikuwa kauli ya mtu mzima,
lakini huu muswada hautakuwapo, alinukuliwa akisema.
Naibu Spika, Job Ndugai, yeye amenukuliwa akisema muswada huo
hauwezi kuletwa bungeni kutokana na hali ilivyo. Bila shaka hali
yenyewe ni kutokana na upinzani wa Wakristo.
Hii ni mara ya pil i tunashuhudia muswada wa Mahakama ya Kadhi
ukiondolewa Bungeni katika dakika za majeruhi kutokana na upinzani
kutoka kwa baadhi ya wabunge na Maaskofu.
Tunakumbuka kuwa
Februari mwaka huu, m u s w a d a h u o p i a uliondolewa
Bungeni kwa kile Mwanasheria Mkuu wa Serikali alichokiita, k w a m
b a n i k w e n d a kuonana na viongozi wa dini kuwaelemisha juu ya
mahakama hiyo, ili uwasilishwe tena kwenye mkutano uliomalizika
wiki hii.
Itoshe sasa kupata funzo kwamba, suala lolote la Waislamu,
ambalo kwa namna moja au nyingine litakuwa na muingiliano na ser
ika l i , ha l iwezi kukubaliwa kama litapata pingamizi la
Kanisa.
Bado tuna kumbukumbu ya uwezekano wa Tanzania kujiunga na Jumuia
ya k iuchumi ya nchi za Kiislamu (OIC), ambapo Waziri wa Mambo ya
Nje Bernad Membe alishaeleza Bungeni kwamba halina tatizo wala
athari mbaya kwa nchi.
Hata hivyo siku chache baadae aliitwa na Kardinal Polycarp Pengo
na baada ya hapo al iufyata na ikaonekana kufanya hivyo ni tatizo.
Pia tunakumbuka wakati serikali ilipotangaza B u n g e n i k w a m
b a imeondoa misamaha ya kodi kwa taasisi za kidini, kwa kuwa
misamaha hiyo imekuwa ikitumika vibaya.
Maana yake ilikuwa ni kwamba misamaha hiyo ilikuwa ikitumiwa na
wafanyabishara kukwepa kodi. Lakini pia taasisi za dini pamoja na
kwamba zinasamehewa kodi katika kuingiza bidhaa za huduma kwa
jamii, lakini huduma hiyo imeendelea kutolewa kwa malipo makubwa
sawa na huduma zinazotolewa na taasisi binafsi, mfano mzuri ukiwa
ni hospitalini, shule na vyuo.
Hapo napo Maaskofu walikuja juu na kupinga hatua hiyo ya
serikali. Kama kawaida, kwa nguvu waliyo nayo, mara moja serikali
ilirejesha msamaha huo.
Tunachoweza kusema ni kwamba, wenye kutafakari v i z u r i , s a
s a h a k u n a kilichosalia kubaini hadaa iliyodumu kwa muda
sasa.
Sasa Waislamu nchini w a s h u g h u l i s h w e n a mambo yao
mengine katika Uislamu, lakini ni hakika kwamba wale wanaoendelea
kusubiri kuona Mahakama ya K a d h i h a p a n c h i n i , n i
ndoto za mchana. Vinginevyo, labda tusubiri hadi hapo Masheikh wetu
nao watakapokuwa na nguvu na thamani mbele ya dola kama walivyo
Maaskofu, kiasi kwamba wataweza nao kusimamia hoja zao mbele ya
serikali na wakasikilizwa.
-
3 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 3-9, 2015Habari
HALI inazidi kuwa tete Zanzibar ambapo sasa watu wanatishiana
kusomeana Albadiri.
Hayo yalijiri katika k ikao cha Baraza la Wawakil ishi ambapo
ilipelekwa hoja binafsi juu ya baadhi ya Wazanzibari kunyimwa
vitambulisho vya Ukaazi.
A l i k u w a M j u m b e mmoja baada ya kuona w e n z a k e w a
C C M wanakuja juu kupinga hoja madai ya baadhi ya wanachama wa CUF
kunyimwa vitambulisho a l i p o s e m a k u w a anakusudia kuita
watoto wa madrasa kusoma Albadiri kuwashitaki CCM kwa Mungu.
Hiyo ilikuwa baada ya kutokea mvutano m k a l i n d a n i y a
Baraza la Wawakilishi kuhusiana na hoja binafsi i l i y o w a s i l
i s h w a n a Mwakilishi wa Ole (CUF) Hamad Masoud Hamad ya kuitaka
serikali ichukue hatua za kuhakikisha Wa z a n z i b a r i a m b a
o hawana vitambulisho vya Mzanzibari na wana sifa, wapewe
vitambulisho kabla ya uchaguzi mkuu.
Mvutano huo ulianza baada ya Mwakilishi wa Jimbo la Kwahani
Hamza Hassan Juma (CCM) kuuchana waraka wa hoja hiyo
iliyowasilishwa na wapinzani ambapo baadhi ya Wawakilishi w a l i k
a s i r i s h w a n a kitendo hicho na kuanza kusimama na kutaka
kupigana kutokana na kitendo cha Mwakilishi huyo.
K u f u a t i a t a h a r u k i hiyo, Spika wa Baraza hilo Pandu
Ameir Kificho, ali lazimika kusit isha shughuli za Baraza kwa muda
wa zaidi ya saa moja na baada kurudi tena, hakukuwa na maafikiano
ambapo ki la upande ukivutia upande wake wapinzani wakisema w a n a
d h u l u m i w a huku upande wa CCM wakisema sheria zipo wa z i we
n ye k u t a k a vitambulisho wafuate sheria.
Kabla ya kuahirishwa kwa kikao hicho, mjumbe wa Baraza hilo
kutoka CCM , Issa Haji Gavu ambae pia ni Naibu Wizara wa
Miundombinu
Wawakilishi Zanzibarwatishiana Albadiri
Na Salma Alghaythiyah
n a M a w a s i l i a n o n a Mjumbe wa Baraza hilo k u t o k a
C U F H a s s a n Hamad kutaka kupigana katika kikao hicho na
kurushiana maneno ya jazba na kudharauliana.
Wakati Gavu akitaka kushikana shati na Hassan huku Hamza
aliyechana waraka huo alishikana kwa maneno makali na Mnadhimu na
Baraza hilo kwa upande wa upinzani Abdallah Juma Abdallah.
Baada ya nusu saa, suluhu iliweza kupatikana na wajumbe wote wa
Baraza hilo kurejea na Spika kuendeleza kikao huku Spika ak isema
kuwa hajafurahishwa hata kidogo kutokana na kitendo kilichotokea
katika Baraza hilo.
Kitendo hiki kwa kweli hakikuwa cha kupendeza n a k i m e l e t
a t a s w i r a mbaya kwa wananchi wanaotuangalia, alisema
Kificho.
Aidha Kificho aliwataka wajumbe wa baraza hilo k u wa n a u v u
m i l i v u w a k i s i a s a , k u a c h a kutukanana na kutoleana
maneno ya kashfa, kwani wana dhamana kubwa kwa wananchi.
Chanzo cha ugomvi na malumbano hayo ni pale wajumbe wa Baraza
hilo wakati wakichangia hoja hiyo kwa jazba na baadhi yao kuchangia
michango hiyo kutoka nje ya mada ambapo baadhi yao walionekana
kukerwa na dhulma inayoendelea kwa kunyimwa watu v i t a m b u l i
s h o h u k u baadhi yao wakiwapeleka viongozi kuwashitaki mbele ya
Allah.
Bi Ashura Sharif Ali kutoka nafasi za wanawake (CUF)aliwataka
viongozi k u z i h e s h i m u n a f a s i zao na kujua kwamba wana
dhamana kubwa waliopewa na Allah na ipo siku watarudi kwa Mwenye
enzi Mungu na wanayoyatenda yote wataulizwa.
N a p e n d a kuwakumbusha kwamba hapa duniani tumekuja kuishi
kama wapita njia tu, bado kuna maisha mengine ya milele, sasa v i o
n g o z i m n a o p e wa hizi dhamana mjue haya mnayoyatenda
mtakuja kuulizwa na kuhukumiwa mbele ya Allah, alisema kwa uchungu
Bi Ashura.
Akichangia hoja hiyo Bi Kadija Khamis Kona wa (CUF) alisema kwa
kuwa hatua zote wameshapitia za kuomba vitambulisho hivyo lakini
mamlaka zinazohusika zinafanya kusudi kuwakatalia, basi anasubiri
kumaliza vikao vya Baraza arudi nyumbani kwake na kuitisha kisomo
cha watoto wa chuoni kumshitakia Mwenyeenzi Mungu juu ya dhulma
hiyo.
N i t a w a k u s a n y a watoto wa chuoni tusome halalbadri kwa
sababu anayepaswa kuombwa na kutegemewa ni yeye Mwenyeenzi Mungu
tu, alisema Mwakilishi huyo.
Wa k i c h a n g i a h o j a hiyo, baadhi ya wajumbe walisema
Mwenyeenzi Mungu ni wa watu wote na baadhi yao walionesha kubeza
visomo hivyo kuwa hata wao wanaweza kusoma kwa kuwa ni miongoni mwa
wacha Mungu.
Mwakil ishi wa Viti Maalum (CCM), Wanu Hafidh Ameri alisema hao
wenye kumuelekea Mwenye enzi Mungu, pia nao wana mabaya yao na
hawezi kuiunga mkono hoja hiyo kwa sababu Baraza la Wawakilishi
halina uwezo wa kuangalia utaratibu wa kisheria ila Baraza kufuata
utaratibu wa kisheria na sio kutoa maamuzi na masharti ya kupata
vitambulisho kwani suala la kupata vitambulisho hivyo lipo
kisheria.
A l i s e m a , s u a l a l a kupata kitambulisho cha Mzanzibari
Mkaazi, ni haki ya kikatiba na masharti
ya kupata kitambulisho hicho yameeleza vizuri katika ibara ya
sita ya katiba ya Zanzibar na i b a r a h i y o i n a e l e z a
kama mtu hajaridhika katika upatikanaji wa v i t a m b u l i s h o
h i v y o kwenda Mahakama Kuu na sio katika Baraza la
Wawakilishi.
Aliyewasilisha hoja hii kama anahisi wanaotoa vitambulisho hivi
kuwa hawawajibiki na haki haitendeki, basi aende mahakamani na
hakuna haja ya kuishurutisha serikali, alisema Wanu.
Alimtaka mjumbe huyo aliewasilisha hoja hiyo ni vyema
kuwashajihisha w a n a n c h i k u f u a t a utaratibu wa
upatikanaji wa vitambulisho hivyo ili kuweza kupatia haki hiyo.
Mohammed Aboud Mohammed ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa
Pili wa Rais, aliwaomba Wawakilishi wasifikishane kwa Mungu kwa
kuwa mambo ya kupatikana vitambulisho yana taratibu zake na
kuwataka wajumbe wafuate taratibu, kauli ambayo ilidharauliwa na
wapinzani kwa kuwa suala hilo serikali imeshindwa kulisimamia huku
ofisi yake ikishutumiwa kutoa muongozo kwa masheha wasitoe
vitambulisho.
Mwakilishi wa Jimbo Micheweni (CUF) Subeti Khamis Faki Abdallah
Hamad ameunga mkono hoja hiyo na kuitaka serikali kuwachukulia h a
t u a z a k i s h e r i a wahusika wa utoaji wa vitambulisho hivyo
ambao wanawanyima haki yao hiyo baadhi ya wananchi kwa sababu
zisizo na msingi.
A l i s e m a , s u a l a l a kuwanyima wananchi v i t a m b u l
i s h o h i v y o ni mtaji wa chama cha mapinduzi na suala hilo
limeingizwa kisiasa zaidi.
A l i s e m a s u a l a h i lo la kuwakosesha vitambulisho
wananchi ni njama ya CCM kuweza
kungangania kukaa madarakani na kuweza kupata ushindi katika
uchaguzi mkuu kwa kuwa asie na kitambulisho hicho hatoweza kupiga
kura.
Aidha, Wawakilishi wa CUF waliwatupia lawama masheha wa shehia
(viongozi wa mitaa) kutokana na kuwanyima b a a dh i ya wa n a n c
h i vitambulisho hivyo kwa makusudi kutokana na itikadi za
kisiasa.
M w a k i l i s h i w a v i t i m a a l u m S a l m a Mohammed
Ali alisema masheha wamepewa agizo maalum la kuwakosesha wananchi
vitambulisho hasa wale wenye msimamo tofauti na Chama Cha M a p i n
d u z i a m b a p o alisema hana imani na Masheha kwa kuwa wao ndio
chanzo cha wananchi kunyimwa haki zao.
Awali akizungumzia suala hilo Waziri wa Sheria na Kat iba,
Abubakar Khamis Bakari alisema sio kwamba wananchi h a w a w e z i
k w e n d a mahakamani, lakini tatizo liliopo wananchi hawawezi k u
f i k a m a h a k a m a n i kutokana na vikwazo vingi wanavyowekewa
na suala la kuambiwa sheria inasema hivi ni mambo ya kuhangaishwa
tu wananchi.
Waziri wa Nchi ofisi ya Rais, Idara Maalum, Tawala za Mikoa na
Vikosi vya SMZ, Haji Omar Kheir amekanusha k a u l i z a b a a d h
i ya wajumbe wa Baraza la Wawakl ishi wal iodai k u wa v i t a m b
u l l i s h o vya Mzanzibari Mkaazi vinatolewa kwa sababu ya
siasa.
Huku akijisifu kuwa yeye pia ni mcha Mungu na amekuwa akitoa
sadaka na zaka k i la mwaka pamoja na kwenda Hijja ambapo alisema
mwaka huu anatarajia kwenda tena kuhiji na umra kwake yeye ni jambo
la kawaida.
K h e r i a l i s e m a v i t a m b u l i s h o h i v y o
vinatolewa kwa mujibu wa sheria na kama wajumbe hao wanaona kuwa
sheria hiyo ina mapungufu, basi waifanyie marekebisho.
Waziri huyo alisema k a m a k u n a m t u ananyimwa haki hiyo ya
kupata vitambulisho, afuate taratibu za kisheria ili kuweza kupata
haki yake hiyo.
-
4 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 3-9, 2015MakalaNa
Khalid Gwiji
KUNA methali isemayo "mwanzo wa moto ni cheche" ikimaanisha kuwa
ubaya mkubwa huanza kwa ubaya mdogo na kwamba fujo aghlabu huanza
kwa uchokozi. Bila ya shaka shabaha ya methali hii ni
kututahadharisha tusidharau matatizo m a d o g o k w a n i y a k i
j i l i m b i k i z a yatakuwa rundo la m a t a t i z o n a n d i o
huweza kusababisha balaa, maafa au janga la jamii.
Watu wenye akili na hisia za utu watalaani k w a n g u v u z o t
e uharamia uliofanyika kwenye maeneo ya Fuoni Jitimai na Sheli
Maili Tano Zanzibar wa kuvamiwa wafuasi wa Chama cha Wananchi - CUF
na kuwajeruhi vibaya. Kitendo hiki kwa mazingira yake na kutokea
kwake, kinaashiria nia mbaya waliokuwa nayo watu wa s i o i t a k i
a m e m a Zanzibar. Bila ya shaka yo yote watendaji wa kitendo hiki
kiovu ni watu wasiokuwa na uchungu na Zanzibar wala kufuata silka
na maadili yake.
Matukio haya na mfano wake yanalenga kuturudisha enzi zile za
siasa za chuki, fujo, uhasama na mifarakano ambazo tu l i shaapa k
u a c h a n a n a z o kupitia Maridhiano na Serikali ya Umoja wa
Kitaifa (SUK) ambazo zilijengeka juu ya misingi ya kuaminiana na
nia njema miongononi mwa viongozi na Wananchi.
Tu n a e l e wa k u wa p a m o j a n a s a b a b u kadhaa za
kuzuka kwa matukio haya, sababu kubwa moja wapo ni kuwepo kwa
wanasiasa U C H WA R A a m b a o HAWAUZIKI tena katika siasa za
hoja na badala yake wanajidanganya kwa kuwekeza kwenye vurugu za
kuwahujumu wanachama wa Chama cha Wananchi - CUF, kuchoma moto
ofisi za Chama, kupachua bendera nk ambapo k w a o w a o h a y o
ndio mtaji. Hawa ni wanasiasa waliozoea k u p a t a u m a a r u f u
kwa njia za vurugu, uhasama na mifarakano. Wamekuwa ni sawa na
baadhi ya 'WAGANGA WA KIENYEJI' ambao
Mnaotaka nuru ya maridhiano ififie hamuitakii mema Zanzibar yetu
!
wa Zanzibar na wa Wa z a n z i b a r i k w a kutumika kwa n j ia
yo yote inayoweza kuhujumu mshikamano, u m o j a , m a p e n z i ,
udugu na uvumilivu baina yetu, uliojengeka tokea kuasisiwa kwa
wanaamini kuwa bila ya migogoro - hawana biashara.
N i b u s a r a t u k a k u m b u k a n a kuzingat ia eneo la
mafanikio la Serikali ya Umoja wa Kitaifa na kwa pamoja
tukaiendeleza kutokana na ukweli kwamba imekuwa na maslahi mapana
kwa wote na ni vile vile ni muakilishi na mtetezi wa makundi
yote.
Serikali ya Umoja wa Kitaifa kimsingi ni nyenzo muhimu sana ka t
ika u jenz i wa Zanzibar mpya. Imekuja kuzika siasa za chuki,
uhasama, vurugu zi l izolenga k u f u k u a m a k a b u r i na
visasi na badala yake kuleta mfumo mpya wa mahusiano mema miongoni
mwa Wananchi, viongozi na Serikali yao kwa k u y a w e k e a m a u
a makaburi. Serikali hii ya pamoja ina eneo kubwa la Mafanikio
ambayo ni pamoja na: Kwanza, imeleta mshikamano m i o n g o n i m w
a wananchi kwa kuzizika s i a s a z a c h u k i n a uhasama. Pili,
ilianzisha ustaarabu mpya na w e n y e u k o m a v u wa k i s i a s
a k a t i k a uendeshaji wa siasa za vyama. Matumizi ya
lugha, kauli mbiu, sanaa (nyimbo na ngoma) hazikuwa za vijembe
kama ilivyokuwa huko nyuma. Tatu, imerudisha imani ya wananchi kwa
serikali yao baada ya wananchi kujiona na kuamini kuwa serikali h i
i i m e t o k a n a n a wao kufuatia kura ya maoni (referendum)
waliyoipiga kuunga mkono mfumo huu wa serikali ya pamoja - jambo
ambalo limeipa uhalali serikali hii . Nne, imesaidia katika
upatikanaji wa huduma (afya na e l imu) na ustawi wa jamii (haki za
wataafu na wazee) katika misingi ya usawa. Kwa kiwango kizuri, haki
imekuwa ikipatikana kwa kustahiki na sio kwa kutizamwa we ni
nani.
Ta n o , i m e s a i d i a Zanzibar na Wazanzibari kufikiria nje
ya chaguzi (beyond elect ions) . K wa m u d a m r e f u , chaguzi
zimekuwa ni chombo cha kuwagawa Wa z a n z i b a r i . S U K
imesaidia kuonesha kuwa chaguzi si lengo, bali ni nyenzo kuelekea
lengo kuu ambalo ni maisha mema, ustawi na maslahi mapana na ya
pamoja miongoni mwa wananchi.
Sita, SUK imesaidia
k u e n d e l e z a n a kusimamia amani na utulivu. Saba, SUK
imesaidia kuengeza wigo wa uvumilivu wa k i s i a s a . N a n e ,
GNU ilisaidia serikali kutotumia nguvu ya dola dhidi ya wananchi
kama ambavyo pia ilisaidia wananchi kutotumia nguvu ya umma dhidi
ya serikali. Ilijaribu kuja katika mrengo wa kati na kati wa
mazungumzo. Muhimu zaidi, Serikali ya Umoja wa Kitaifa inahitaji
kuendelezwa kwa vile hatujawa na d e m o k r a s i a t u l i v u (s
table democracy) yenye kuamini juu ya mmoja atoke na mwengine a
ingie - demokrasia tulivu ya kupokezana madaraka na mamlaka kwa
njia za amani na ustaarabu.
W i t o w e t u k w a Wazanzibari, ni muhimu sana kuimarisha
Umoja w e t u w a P a m o j a , kudumisha amani na utulivu ndani ya
nchi yetu na kwamba harakati zote za kuwatafuta na kuwabaini walio
nyuma ya uovu huu ziendelee na kuendelezwa na Wazanzibari wote kwa
ajili ya kuthamini haki na utu wa wenzetu hawa.
Aidha, tusikubal i kutumiliwa na maadui
Maridhiano na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) na kuipa nchi
yetu sifa njema na umaarufu duniani.
Tusitumikie ajenda potofu za baadhi ya wanasiasa na watendaji wa
l i o m o n d a n i ya SUK ambao kwa wao siasa ni biashara - na
ambao wanaamini kuwa maslahi ya chama ni makubwa zaidi kuliko
maslahi ya nchi na taifa na wako tayari kuyabeza maslahi ya nchi
pale yanapopingana na yake ya vyama vyao.
Wengi wa wanasiasa wa aina hii ni wakongwe walioshindwa kufahamu
maana na umuhimu wa SUK. Wao wamezoea siasa za kimapinduzi na/au
ile za mfumo wa chama kimoja. Mwisho, tunatoa mkono wa pole kwa
wananchi wenzetu wazalendo waliojeruhiwa, kwa familia, wafuasi na w
a p e n z i w a o n a tunawaombea wapone haraka, insha'Allah.
M u n g u i b a r i k i Zanzibar.
M u n g u wa b a r i k i Wazanzibari.
M u n g u wa b a r i k i Watanzania
KATIBU Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad (kushoto) akimjulia
hali mmoja wa majeruhi aliyeshambulia katika mkutano wa Chama hicho
Unguja hivi karibuni.
-
5 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 3-9, 2015Habari za
Kimataifa
JESHI la Anga la Marekani l i m e t a n g a z a k u w a
limefanya majaribio ya kombora kubwa (balistiki) l i n a l o w e z
a k u v u k a mabara na kwamba, majaribio hayo ni ujumbe kwa
walimwengu kuhusu uwezo wa s i laha za nyuklia wa nchi hiyo.
Kwa mujibu wa taarifa i l i y o t o l e wa n a J e s h i la Anga
la Marekani, kombora la Minuteman-III, lilifanyiwa majaribio mapema
Jumatatu katika kituo cha Jeshi la Anga cha Vandenberg huko
California.
Taarifa ya Jeshi la Anga la Marekani imesema kuwa Majaribio hayo
ya kombola la balestiki la nyuklia, yanaonesha picha ya wazi kwa
walimwengu kuhusu uwezo wa kombora ya Minuteman-III ambalo linaweza
kulenga mahala popote.
Kwa kutilia maanani kwamba Jeshi la Anga la Marekani haliwezi
kutumia makombora ya Peace Keeper kwa mujibu wa makubaliano ya
silaha ya START II (Strategic Arms
Marekani yaonyesha jeuri ya NyukliaYafanyia jaribio kombora la
Minuteman-III
RAIS Barack Obama wa Marekani.
RAIS Hassan Raohani wa Iran.
Reduction Treaty), kombora la Minuteman-III litakuwa kombora
pekee la balestiki linaloweza kuvuka mabara la jeshi la
Marekani.
K o m b o r a h i l o
linavishwa kichwa cha silaha ya nyuklia aina ya W87, ambacho
kina u w e z o m k u b w a w a uharibifu. Majaribio hayo
yamefanyika sambamba
na mazoezi ya kijeshi yanayoendelea kufanywa na majeshi ya
shirika la NATO huko Ulaya Mashariki.
Inaonekana kuwa kwa majaribio ya kombora hilo la nyuklia, jeshi
la Anga la Marekani linafuatilia malengo kadhaa.
Wachambuzi wanaeleza kuwa Marekani inataka kuonesha misuli na
uwezo wake wa silaha za nyuklia kwa wapinzani wake wakubwa hususan
Urusi.
Katika kipindi cha miaka kama miwili iliyopita jeshi la Urusi
lilifanya majaribio ya makombora ya n a y o we z a k u v u k a
mabara (Intercontinental Ballistic Missile au IBM) na hata kurusha
makombora kama hayo kwa kutumia nyambizi. Kwa msingi huo Marekani
ilikuwa ikinyemelea fursa ya kukabiliana na majaribio hayo ya
silaha za nyuklia ya Urusi.
I m e f a h a m i s h w a kwamba kichocheo cha pili cha
majaribia hayo ni kukithiri mivutano baina ya Urusi na NATO huko
Ulaya Mashariki, ambako kumezifanya pande hizo mbili kujizatiti
kwenye medani ya s i laha na majeshi katika eneo hilo na katika
Bahari Nyeusi.
H i v y o i n a o n e k a n a kuwa Marekani inataka kumuonesha
adui yake mkubwa kijeshi, yaani Urusi, kwamba iwapo mgogoro huo
utaendelea inaweza kutumia silaha zake za nyuklia.
Marekani ni miongoni mwa wamiliki wakubwa zaidi wa silaha za
nyuklia duniani na ndiyo nchi pekee ambayo hadi sasa imetumia
silaha hizo kuua watu wa taifa jingine.
Nchi hiyo kinyume na ahadi zake za kupunguza maghala yake ya
silaha za nyuklia, bado inaonekana kustawisha na kupanua za idi s i
laha h izo na kuzifanyia majaribio.
P i a i n a d a i w a k u z i b o r e s h a z a i d i silaha
zake za zamani z a n y u k l i a l i c h a ya harakati za kimataifa
za kupunguza silaha hizo, husuan mkataba wa NPT unaosisitiza
kupunguzwa na hatimaye kuangamizwa kabisa silaha hizo.
Washington imetenga bajeti ya dola bil ioni 355 ambazo
zitatumika kuboresha mitambo yake ya silaha na kuinua juu kiwango
cha majaribio ya silaha za nyuklia.
A i d h a M a r e k a n i imechukua hatua za kuboresha s i laha
na maghala yake ya zana za nyuklia barani Ulaya, yakiwemo mabomu ya
nyuklia ya B-61.
Kwa utarat ibu huo Washington, kinyume na mikataba ya kimataifa
ya kuzuia uzal i sha j i wa silaha za nyuklia, inaendelea kuzalisha
na kufanyia majaribio silaha za aina hiyo, suala ambalo linakiuka
mkataba wa NPT na wakati huo huo kutolalamikiwa na yeyote.
Wa k a t i M a r e k a n i ikionyesha uwezo wake wa silaha za
nyuklia, Tauifa hilo l imekuwa kinara wa kushinikiza mataifa
mengine, hasa ya Mashariki ya Kati k u a c h a n a k a b i s a n a
mpango huo.
W i k i i l i y o p i t a mazungumzo ya Iran na kundi la 5+1
kuhusu miradi ya nyuklia yenye malengo ya amani ya Iran, yalisimama
mjini L a u s a n n e , U s w i s i kufuatia tofauti na hitilafu
zilizopo kati ya pande za mazungumzo hayo.
Mazungumzo hayo yamesimama baada ya wawakilishi wa kundi la 5+1
kushindwa kuchukua maamuzi magumu juu ya kuondolewa vikwazo dhidi
ya Tehran. Licha ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutekeleza masharti
ya makubaliano yaliyofikiwa mjini Geneva miaka miwili iliyopita,
bado upande wa pi l i umeshindwa kutekeleza ahadi zake, suala
ambalo limeendelea kuleta mvutano katika mazungumzo hayo.
Kwa mufa mrefu Iran, nchi ambayo imeonekana kupiga hatua za
haraka za maendeleo ya teknolojia na k i j esh i , imekuwa i k i w
e k e wa v i k wa z o vya kiuchumi kufuatia mpango wake kuzalisha
nishati ya nyklia na ajili ya matumizi salama na maendeleo ya
Iran.
MSEMAJI wa Rais Vl a d m i r P u t i n wa Urusi, Dmitry Peskov,
amesema kuwa hakuna kizuizi chochote cha kisheria kitakachoizuia s
e r i k a l i y a U r u s i kupeleka silaha na zana za kijeshi
nchini Syria.
Bw. Peskov, amesisitiza kuwa hakuna kizuizi chochote
kitakachoweza kuzuia kuwepo pia mashirikiano ya kijeshi na kiufundi
kati ya serikali za Moscow na
U T A F I T I m p y a umegundua kuwa Ebola, imesababisha a thar
i mbaya zaidi kwa watoto wadogo kuliko watu wazima.
Asilimia 90 ya watoto chini ya mwaka mmoja ambao waliambukizwa
walikufa.
Utafiti huo ulifanywa k wa u s h i r i k i a n o wa Shirika la
Afya Duniani (WHO) na chuo kimoja cha London cha Imperial
Ebola imeuwa asilimia 90 ya watoto-UtafitiCollege London.
U t a f i t i u m e o n e s h a k w a m b a j a p o k u w a k
iwango cha wato to w a l i o a m b u k i z wa n i k i d o g o k u l
i k o wa t u wazima, watoto na watoto wachanga ambao walipata
ugonjwa huo walikuwa na nafasi ndogo sana ya kupona.
V i r u s i h i v y o vinavyosababisha homa kali na kutokwa damu
ndani na nje ya mwili,
vinaua asilimia 90 ya watoto wachanga katika mlipuko wa
sasa.
Utafiti umebainisha zaidi kuwa karibu asilimia 80 ya watoto wa
umri kati ya mwaka mmoja na miaka mine, hufa kama walivyogundua
wanasayansi.
Zaidi ya watu 23,000 waliambukizwa virusi vya ebola na zaidi ya
10,000 walifariki dunia.(VOA).
Urusi wasema hakuna wa kuwazuia kupeleka silaha
SyriaDamascus.
Hayo yanaelezwa katika hali ambapo nchi za Marekani na utawala
wa Kizayuni wa Israel, zimeingiwa na hofu kutokana na kuwepo
uwezekano mkubwa wa serikali ya Urusi kupeleka nchini Syria mfumo
wa kuzuia makombora S-300.
Msemaji huyo wa Rais wa Urusi alisisitiza kuwa, Moscow hai
jakiuka sheria za kimataifa kwa
kuipelekea serikali ya Syria silaha za kujihami na
kujilinda.
Hivi karibuni Rais Bashar Assad wa Syria, alivieleza vyombo vya
habari kwamba kuna makubaliano mapya ya silaha na zana za kijeshi
yaliyofikiwa kati ya serikali yake na Urusi na kusisitiza kwamba, m
a k u b a l i a n o h a y o yako katika hatua ya utekelezaji.
(irib).
-
6 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 3-9, 2015Makala
JIONI ya tarehe 29 Machi 2015, msafara wa wafuasi wa Chama cha
Wananchi ( C U F ) w a l i o k u w a wakitoka Makunduchi, kusini
Unguja, kuelekea M j i n i M a g h a r i b i , ulishambuliwa njiani
na watu wasiojulikana. H i l o n e n o w a t u wasiojuilikana
tuliwache hivyo hivyo kwenye alama za mashaka, maana ni mtazamo
wangu kwamba ni kinyume chake, yaani ni watu wanaojuilikana na wale
wanaopaswa na wenye wajibu wa kujuwa mambo kama haya.
Kwa mujibu wa mmoja wa watu waliokuwamo kwenye msafara huo gari
ya majanjawidi ikiwa katika mwendo wa kasi iliupita msafara wao na
kisha kuwarushia watu waliokuwemo katika gari hiyo visu na nondo.
Muda mchache uliopita, Katibu Mkuu wa CUF na Makamu wa Kwanza wa
Rais , Maalim Seif Sharif Hamad, alikuwa amewaomba watu wote
walioshiriki mkutano huo huko Makunduchi, waondoke kwenye msafara
mmoja kurudi mj ini . Inaonekana alishakuwa na wasiwasi juu ya kile
ambacho kingelitokea na ushauri wake ulilenga, y u m k i n i , k u
k i z u w i a kisitokee.
Siku tano kabla ya h a p o , o f i s i z a C U F jimbo la
Dimani, mkoa wa Mj in i Maghar ib i , zikateketezwa kwa moto na
watu wasiojuilikana na kusababisha hasara kubwa. Mashuhuda wa tukio
hilo, ambalo lilitokea mtaa wa Kisauni saa 8: 00 usiku, wanasema
watu hao walifika na gari aina ya Pick-up na kuvunja mlango wa
ofisi hizo na kuliripua jengo hilo kwa petroli. Kwa mujibu wa
Diwani wa wadi ya Tomondo, Hassan Hussen Yussuf, jengo hilo
lilikuwa na vifaa mbalimbali vya thamani na fedha taslimu za malipo
ya uchukuaji wa fomu za wagombea walizolipia.
Kuchomwa kwa ofisi za CUF Dimani kulikuja siku tatu tu baada ya
chama hicho kufanya mkutano kwenye eneo la jirani na hapo kwa kile
kilichosema ni kumgotoa Mansoor Yussuf Himid, ambaye
Kauli ya kutolipiza kisasi yahitaji kushereheshwaNa Mohammed
Ghassany
MIONGONI mwa majeruhi wa mkasa wa kushambuliwa na watu
wasiojuilikana wakati wakirudi mkutano wa CUF, Makunduchi, tarehe
29 Machi 2015.
a n a r u d i k u g o m b e a uwakilishi kwa tiketi ya CUF
katika jimbo la Kiembesamaki. Mansoor alikuwa mwakilishi wa jimbo
hilo hapo kabla kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kabla ya
kufukuzwa kutokana na msimamo wake kuelekea Muungano wa Tanzania na
nafasi ya Zanzibar kwenye Muungano huo. Kwenye mkutano huo
kulizungumziwa kuwepo kwa njama za kuiingiza Zanzibar katika
machafuko kabla ya kura ya maoni ya Aprili 30 mwaka huu na kuelekea
uchaguzi mkuu wa Oktoba 25. Wito wa wazungumzaji wa CUF kwenye
mkutano huo ilikuwa kutochokozeka n a k u t o o n d o s h w a
kwenye mstari.
M k u t a n o h u o n a o ulitanguliwa na mkutano wa wazee wa
CUF kwenye ukumbi wa Salama, Hoteli ya Bwawani Zanzibar, ambako
pamoja na mengine mengi, Maalim Seif naye alizungumzia mipango hiyo
ya fujo zinazopangwa na zilizokwishafanywa huko nyuma. Na yeye
akasogea mbele zaidi kwa kurejelea tamko la kutofukua makaburi lau
chama chake kitachukuwa madaraka kamili baada ya uchaguzi wa
Oktoba. Kwa hakika, aliwakemea wote waliomo kwenye chama chake,
ambao
wanadhani kwamba ikiwa CUF itaingia madarakani, itakuwa zamu yao
ya kutesa.
M s t a r i wa m a k a l a h i i u n a p i g w a h a p a ambapo
nadhani pana haja ya kushereheshwa na sio kutafsiriwa tu.
Kusherehesha kwa wasioufahamu vyema msamiati huu na asili yake kuna
maana ya kuchambua tafsiri, wakati kutafsiri ni kuhamisha maana
kutoka chanzo kimoja kupeleka chengine. Asili ya neno kusherehesha
ni kwenye madarasa ya dini, ambako masheikh wa n a o t a f s i r i
Q u r a n huchambuwa maana ya kile walichokitafsiri kwa upana na
marefu.
Kwa maoni yangu, kauli za kutochokozeka, kutoondoka kwenye
mstari, kutokufufua makaburi na kutolipiza kisasi ni za muhimu sana
katika kujenga siasa za Maridhiano visiwani Zanzibar na kulivuta
kundi ambalo hadi sasa linayapinga Maridhiano hayo kwa kuwa tu lina
wasiwasi juu ya hatima yake, endapo CUF itaingia madarakani. Lakini
kwa umuhimu huo huo pia, panahitajika kuchorwa mstari na kuwekwa
vituo ili kundi lililokwishaamua kuiangamiza Zanzibar, liujuwe pia
ulipo mpaka ka t i ya k i l e wenzao wanachokichukulia kuwa ni
uvumilivu lakini wao wakakiona ni ubwege.
Kwa namna yoyote
ile, sidhani ikiwa CUF inakusudia kulipa kundi hilo la watu
wasiojulikana h u n d i s a f i m k o n o n i mwao ili liijaze
litakavyo, kisha liondoke zake bila kuguswa. Sidhani hivyo, maana
huko ni kwenda kinyume na hata misingi mikuu ya kuundwa kwa CUF
yenyewe, ambayo ni haki za binaadamu na utawala wa sheria. CUF
haivuni chochote k w a k u w a p u n g u z i a khofu watu hawa
zaidi ya kuwahakikishia kile kinachoitwa impunity, yaani uwezo wa
kukwepa sheria. Wanachofahamu wao pale wakiambiwa k w a m b a m a k
a b u r i h a y a t a f u k u l i w a n i kuwa wamepewa ruhusa ya
kuendelea kupiga, kujeruhi na hata kuua, wakijuwa kuwa hatimaye
hakuna mahakama wala jela inayowasubiri. Huo ndio uzoefu wao, maana
hawajaanza leo wala jana kuyafanya haya.
Akili ile ile ya kutia moto mabanda ya skuli n a v i n y e s i k
w e n y e visima, ndiyo akili ile ile iliyounda Melody, kisha ikaja
na Janjawidi na Mbwa Wakali na Ubaya Ubaya. Madhara yale yale ya
miaka ya 90, ndiyo yaliyokuwa ya 2000, 2005 na sasa 2015. Kundi
hili, lenye akili hizi, halihitaji kuambiwa kuwa makaburi yake
hayatafukuliwa, ikiwa bado linaendelea kuyatenda yale yale .
Makaburi yao yanapaswa kufukuliwa na maovu
yao kuanikwa hadharani na, zaidi kuliko yote, k u f i k i s h w
a k w e n y e vyombo vya sheria.
Zanzibar ijayo baada ya Oktoba 2015 inapaswa kuwa ya kuvumuliana
na kushirikiana kuijenga kiuchumi, ki jamii na k i s i a s a , l a
k i n i h i l o halipaswi kuwapa watu n a f a s i m w a n y a w a
kuichafua salama ya Wazanzibari hivi sasa, k i s h a w a k a t e g
e m e a msamaha na kuvumiliwa baadaye.
Kwa hivyo, ingawa ni sahihi kabisa kujenga moyo wa Maridhiano na
kuondosheana wasiwasi kwa wale waliotenda uovu katika zama za
ujahili , si sahihi hata kidogo kuwajengea imani waovu wa zama za
leo ambazo ni zama za nuru. Hawa ni akina Abu Jahl. Hakuna chochote
kitakachowabadilisha na kuwafanya waikumbatie salama ya Wazanzibari
w o t e . H a wa l a z i m a waelezwe kinagaubaga kuwa kuna
mahakama, kuna jela, na kuna adhabu.
Wakati tunaji tahidi kuwazuwia vijana wetu wasipande jazba na
kuingia kwenye machafuko, kwani nako pia kutakuwa kwa faida ya
kundi hilo la watu wasiojuilikana, tunapaswa kuchora mstari na
kuweka alama zetu.
(Makala kwa hisani ya Mohammed Ghassani kwenye
zanzibardaima.wordpress.com.)
-
7 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 3-9, 2015MakalaThe
Boogeyman ni filamu ya kutisha ya Kimarekani (American supernatural
s l a s h e r h o r r o r f i l m ) iliyotolewa mwaka 1980.
Ikiongozwa na Ulli Lommel. Wachezaji wakuu (stars) walikuwa Suzanna
Love, John Carradine na Ron James.
Filamu iliwahusu watoto wawili , Willy na Lacey ambao wakishi r
ik iana , walimuuwa rafiki wa kiume wa mama yao. Willy alinyata na
kuingia chumbani kwa mama yake ambapo alikuwa akifanya mapenzi na
rafikiye haramu (kwa maana sio mume wake wala baba wa watoto wake).
Kwa kutumia kisu akamuuwa rafiki huyo wa mama yake. Wakati hayo
yakifanyika, Lacey alikuwa akitizama kupitia kiyoo.
Miaka 20 baadae, mpenzi huyo wa mama yao anakuja kulipiza kisasi
katika namna ya jinamizi, lililowahangaisha sana watoto hao Lacey
na Willy, wakati huo wakiwa watu wazima. I l ikuwa kila siku Lacey
na Willy, wanaweweseka kwa kujiwa na mtu kama yule mpenzi w a m a m
a y a o a k i w a na kisu mkononi akitaka kuwashambulia. Majinamizi
kama haya (Bogeyman au monsters), inakuwa tabu sana kupambana nayo
na kuyashinda kwa sababu moja tu muhimu: Sio viumbe halisi.
Inayodaiwa kuwa vita dhidi ya ugaidi, imejaa ma-bogey men, wengi
iwe kwa jina la Boko Haram, Al-Shabaab, IS, Alqaidah, Abubakar
Shekau, Abu Baghdad n.k. na kwa maana hiyo, si vita inayotarajiwa
kumalizika kwa kutumia p o l i s i , m a k a c h e r o a u jeshi.
Itamalizika tu kwa wanaounda majinamizi haya kuacha mchezo wao.
Watu hao kila kukicha, wanabuni mbinu mpya ama za kubuni majinamizi
mapya au kuyapa u h a i n a k u ya d u m i s h a yaliyopo.
Oktoba 2008 ilichapishwa habari moja katika vyombo vya habari
iliyopewa kichwa cha habari : Beware the Bogey Man: A new low, even
for McCain and his ignorant supporters!
Chini ya kichwa hicho likaelezwa tukio moja katika mkutano wa
hadhara wa kampeni kule Minneapolis, a m b a p o J o h n M c C a i
n alikuwa katika kampeni za kuwania Urais wa Marekani. Ilikuwa ni
katika mkutano huo mwanamke mmoja alieleza wasiwasi wake juu ya
Barack Obama akisema kuwa hamwamini kwa sababu amewahi kusoma
mahali kuwa Obama ni Mwarabu.
"I don't trust Obama. I have read about him. He's an Arab."
Alisema mwanamke huyo katika jitihada za kuonyesha kuwa huenda
John McCain akawa Rais bora kuliko Obama.
Katika kujibu swali la mama huyo, John McCain a l ip ig i l i a
msumar i wa ubaguzi na kit isho cha Muarabu na Muislamu.
Alisema:
No, maam. Hes a decent, family man, [a] citizen that I just
happen to have disagreements with on fundamental issues and
Lipo JinamiziNa Omar Msangi
that's what this campaign is all about."
Katika namna nyingine ni sawa na kusema: Dont worry, maam,
Barack Obama is NOT an Arab. Unlike Arabs, hes a decent, family
man.
Ukitizama namna zote mbili, hapa John McCain anachofanya ni
kushindilia tu msumari wa ubaguzi na k i t i sho cha Uarabu n a U i
s l a m u . A n a m t o a hofu muuliza swali kwa kusema kuwa Obama
ni mtu mstaarabu, sio kama Waarabu/Waislamu.
Kinachoelezwa na swali la mama muuliza swali ni kuwa jamii ya
Kimarekani imejengwa kuogopa kitisho cha Waarabu na Waislamu, na
pengine John McCain angeweza kusema lolote kusahih isha kuwa iwe
Muarabu, Mzungu, wote ni raia wa Marekani bila kujali asili zao. Au
katika muktadha wa dunia, kuwa wote ni binadamu, watu wasipimwe
kutokana na asili yao. Lakini hakufanya hivyo. Akamwacha mama h u y
o n a w a s i l i k i z a j i wengine katika mkutano huo wakibaki
na ujinga wao wa kuogopa kitisho bandia cha Uislamu/Waislamu na
hivyo kuendeleza agenda ya ubaguzi na vita dhidi ya ugaidi.
Taarifa kuu na muhimu kabisa wiki hii katika eneo letu hili la
Afrika Mashariki kwa wiki hii, pengine zitakuwa ni zile za
kukamatwa wasichana watatu, wakidaiwa kutaka kuvuka mpaka kwenda
Somalia kujiunga na Al-Shabaab. Vyombo vya habari vikasherehesha
vikidai kuwa wasichana hao Khadi ja Abubakar Abdulkadir , Maryam
Said Aboud na Ummul Khayr Sadir Abdulla waliokamatwa katika mji wa
El Wak ilikuwa wakaolewe na Mujahidina wa Al-Shabaab na IS. Kati ya
wasichana hao, mmoja ni kutoka Zanzibar akitajwa kwa jina la Ummul
Khair Sadri Abdallah.
Taarifa zaidi zikafahamisha k u w a w a s i c h a n a h a o
walijikuta katika mtego wa kwenda Somalia-Al Shabaab na kisha IS,
kupitia mawasiliano waliyokuwa
wakifanya na mwanamke mmoja wa Syria, aliye katika IS.
Katika jambo hili, upo uwezekano wa namna mbili. Moja ni kuwa
inawezekana k w e l i w a s i c h a n a h a o walishawishiwa
wakafikia k iwango cha kukubal i kwenda kujiunga na Al-Shabaab.
Nasema hivyo kwa sababu ipo mifano mingi ya watoto wa Kiislamu
kuacha shule na hata walio Vyuo Vikuu baada ya kughilibiwa kuwa
kusoma ni kupoteza muda, bali kinachotakiwa ni kwenda Jihad. Lakini
hata kama itakuwa hivyo, bado waliofanya kazi hiyo watabaki kuwa
mawakala wa mabeberu walioandaliwa na mabeberu kuwafanyia kazi.
Uwezekano wa pili ni kuwa wasichana hao wapo katika mtego
alionasa Sami Osmakac. Wakati mwingine mawakala wanaofanya kazi
hii, ikionekana kasi yao ndogo, makachero huingia moja kwa moja na
kuwatia walengwa katika uhalifu k i s h a k u wa k a m a t a n a
kuwasukumizia tuhuma za ugaidi. Ndiyo yaliyomkuta Sami Osmakac
ambaye hivi sasa anatumikia kifungo cha miaka 40 kule Marekani.
Hivi sasa kuna mikakati ya kuhakikisha kuwa haya mazimwi (bogey
men) yanahuishwa na namna ya kuhuishwa ni kama hivi k u p a t i k a
n a k wa wa t u k a m a h a o w a k i d a i w a kwenda kujiunga na
Al-Shabaab au IS . Namna nyingine ni kupatikana kwa mashambulizi ya
kupanga au kutolewa mara kwa mara kwa tahadhari za vitisho kama
zile za wiki mbili zilizopita kwamba magaidi wa IS watapiga Mwanza,
Dar es Salaam, Nairobi na Kampala.
Kat ika mato leo yetu ya hivi karibuni, tuliwahi kueleza
kukamatwa watu kule Uturuki ambao hufanya kazi ya kunasa watu na
kuwapelekwa kwa IS na kwamba mawakala hao hufanya kazi kwa kutumwa
na chini ya uangalizi wa vyombo vya kikachero vya Magharibi na
hupewa fedha nyingi kwa kila mtu
wanayemnasa. Lengo ni kuzidi kukoleza kitisho cha bogey man
IS.
Katika kadhia ya Sami Osmakac, makachero wa FBI waliunda mtego
ambapo walimnasisha kijana huyo asiye na hatia, na kisha
kumtangazia ugaidi ambao lau wasingekuwa wao FBI, kijana huyo
asingefanya yote hayo aliyokuja kusingiziwa kufanya.
Inawezekana pia kwa hawa wasichana wakapatikana makachero
mawakala wa mabeberu wakawachezea akili zao na kuwanasisha kama a l
ivyonasa Sami Osmakac kisha wakaibuka na taarifa kuwa wanakwenda
Somalia kuolewa na Al-Shabaab.
J o s e p h K i b w e t e r e w a U g a n d a , a l i w e z a
kuwaaminisha watu wake kuwa wakijitia katika tanuri la moto Kwa
jina la Yesu, wanaibukia upande wa pili wakiwa Mbinguni (Peponi).
Mamia ya watu wakajitosa w a k a f a . S a s a y a w e z a vi jana
wakat iwa imani hizi za Joseph Kibwetere wakawaona wazazi wao Wa i
s l a m u n i m a k a f i r i wakahiyari wakaolewe na Al-Shabaab,
bila ya Walii maana walii (mzazi) ashakuwa kafiri!
K w a v y o v y o t e itakavyokuwa, kama nchi, tunatakiwa
tulitizame jambo hili kwamba kwa asili yake, sio la Waislamu wala
Al-Shabaab. Ni mitengo na mikakati ya mabeberu katika
kujihakikishia utawala na udhibiti wa kidunia- US World Hegemony.
Kupitia v i t a d h i d i ya u g a i d i , kinapatikana kisingizio
cha kuingia popote kwa hoja ya kuwafuata magaidi au kusaidia nchi
inayolengwa kupambana na magaidi. Tukilitizama kwa makengeza kwamba
ni tatizo la Ummul K h a i r , t u n a j i z a m i s h a wenyewe
katika tope mithili ya Boko Haram, ambalo hatutaweza kutoka hata
tukitamani.
Imani yangu ni kuwa tuna akili pevu za kuyatizama mambo ya dunia
hii kwa mtizamo sahihi. Na niseme hapa kuwa katika hili, akina
James Mbatia na sisi sote, tuziweke pembeni z i le chuki zetu za
kidini kama zilivyojitokeza katika ile semina kwa wabunge juu ya
Mahakama ya Kadhi. Haya ya Mahakama ya Kadhi ni yetu, tutajua namna
ya kuelewena huko mbele ya safari. Lakini hili la ugaidi s i l e t
u n a t u k i r u h u s u kuundiwa haya majinamizi, wala
tusijidanganye kuwa tutakuwa na uwezo wa kupambana nayo. Tutaumia
sote. Nchi i tavurugwa, tutapigwa wala hatutamjua anayetupiga, kama
ambavyo hatukuweza kumkamata aliyetupiga kule Westgate n a M a n d
e r a , K e n y a . Tumebaki tunaimba Al-Shabaab, Samantha Louise
Lewthwaite (White Widow) na danganya toto nyingine kama hizo,
utadhani hatuna akili timamu.
Tukilitizama suala hili kwa sura yake halisi, tutaacha ushabiki
wa kulifanya kuwa ni tatizo la ugaidi wa baadhi ya Waislamu, bali
ni tatizo la ubeberu na mbinu zake ambapo tusipokuwa makini, sote
tutaumia.
Hivi sasa uta f i t i wa haraka haraka unaonyesha kuwa kuna
vijana wengi kule Mwanza hawajulikani w a l i p o . K w a l u g h a
mashuhuri miongoni mwa vijana wa Mwanza ni kuwa wa m e k we n d a s
h a m b a . Wapo wazazi wanal ia , hawajui watoto wao walipo. Wapo
wanawake, hawajui walipo waume zao, mpaka imebidi warejee makwao.
Mis ik i t i wanapoibukia n a k w e n d a s h a m b a ,
inajulikana. Viongozi wao wanaowaghilibu mpaka kutoweka kwenda
shamba, wanajulikana.
Hapa kuna uwezekano wa namna mbili: Moja ni kuwa huenda Shamba
ni Somalia/Syria, kwamba wamepenya wamekwenda huko au wapo hapa
hapa nchini wakijiandaa kuja kuibuka kama bogey man la mfano wa
Boko Haram.
Kwa mtu binafsi kama a m b a v y o t u m e j i t a h i d i
kufanya, inakuwa vigumu sana kujua kwa uhakika, huko shamba
wanakokwenda vijana hawa ni wapi. Lakini tunaamini kuwa serikali
inaweza kujua na kama nchi tukaweza kujinusuru na balaa linaloweza
kujitokeza kama tutachelewa tukaibukiwa na bogey man letu.
Kinachotutatiza ni kuona sehemu zinazozalisha vijana wanaokwenda
shamba zinajulikana na zinazidi kunawiri, lakini kimyaa! Si
Masheikh, viongozi wa Kiislamu wala wa serikali wanaoonyesha
kujali.
Inafikia mahali tunakuwa na wasiwasi kuwa isi je ikawa
tumefikishwa mbali. Tumekuwa akina Pervez Musharraf wa kuwasaidia
mabeberu kuunda vikosi vya bogey men wao katika nchi yetu. Lakini
huo ni wasiwasi tu.
Khadija Abubakar Abdulkadir, Maryam Said Aboud na Ummul Khayr
Sadir Abdulla.
-
8 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 3-9, 2015Makala
Na Ally Nzomkunda
NABII Swaalih alikuwa ni Mtume katika kabila maarufu ambalo jina
lake linatokana na jina la babu yao Thamuud ambaye ni katika ukoo
wa Nabii Nuuh. Kwa hivyo jina lake ni Swaalih ibn 'Ubayd ibn Maasih
ibn 'Ubayd ibn Haajir ibn Thamuud, ibn 'Aabir ibn Iram, ibn Saam,
ibn Nuuh.
Naye Swaalih na watu wake wa Thamuud ni Wa a r a b u wa l i o k
u wa wakiishi Hijr ambayo iko baina ya Hijaaz na Tabuuk (Kaskazini
Magharibi ya Madinah) ambako siku moja Mtume alipita wakati wa n a
e l e k e a k w e n y e vita vya Tabuuk kama tutakavyoelezea mwisho
wa kisa hiki. Hiki ndio kisa chake Nabii Swaalih na watu wake kama
tulivyoelezewa katika aya mbalimbali za Qur'an.
Watu wa Thamuud walikuwa ni watu baada ya Nabii Huud (as) ambao
walikuwa wakiabudu masanamu na baada ya kuletewa Nabii Huud (as) na
kumkanusha, Allaah (sw) aliwaangamiza.
Baada ya miaka, watu wa Thamuud wakaibuka na kuwa na nguvu na
ufahari. Nao pia waliabudu masanamu, kwa hivyo A l l a a h A k a wa
t u m i a mjumbe miongoni mwao naye ni Nabii Swaalih a m b a y e n
a y e k a m a kawaida ya Mitume, alikuja na wito uleule wa kuwaita
watu katika Tawhiiyd ya Allaah yaani kumuabudu Yeye pekee bila ya
kumshirikisha na kitu, na kuwanasihi waache ibada ya masanamu na
pia kuwataka watubu kwa Mola wao kwa kufuru wanayoifanya.
N a k i n a T h a m u d tuliwapelekea ndugu yao Swaalih.
Akasema: Enyi watu wangu! Muabuduni Mwenyezi Mungu. Nyinyi hamna
Mungu ila Yeye. Yeye ndiye aliyekuumbeni k a t i k a a r d h i , n
a akakuwekeni humo. Basi mwombeni msamaha, k i sha mtubu kwake .
Hakika Mola wangu Mlezi yupo karibu, anaitikia maombi. (Huud:
61)
Kwa maana kwamba: Amekujaa l ien i kuwa makhalifa baada ya watu
wengine (kina 'Aad na
Kisa cha Nabii Swaaalih sehemu ya Mitumewa nyuma yao) ili
mfikiri na mtambue ubaya wao waliotenda, na nyinyi msiwe kama wao,
na Akakujaalieni katika hii ardhi na kukuneemesheni neema mbali
mbali kama za mashamba na matunda na majumba ya fahari mkastarehe,
basi Yeye Pekee ndiye anayestahiki k u a b u d i w a b i l a y a
kumshirikisha, vile vile mkabilini Mola wenu kwa kumshukuru na
kufanya amali njema wala msjije kumkhalifu amri Zake na kutoka nje
ya mipaka kwa kutokumtii, basi rudini kwake kwa kutubia na Yeye
Allaah yuko tayari kupokea tawbah zenu.
Aya ifuatayo inaeleza z a i d i n e e m a h i z o wal izojaal
iwa na pia kuonesha ukumbusho wa Swaalih kwa hao watu wa Thamuud
kwa kuwaita kwao kwenye dini ya haki.
Na kwa Thamuud tulimpeleka ndugu yao, Swaalih. Akasema: Enyi
watu wangu! Muabuduni M w e n y e z i M u n g u . Nyinyi hamna
Mungu ila Yeye. Hakika imekwisha kukufikieni Ishara iliyo wazi
kutoka kwa Mola wenu Mlezi. Huyu ni ngamia jike wa Mwenyezi Mungu
aliye ni Ishara kwenu. Basi mwachieni ale kwenye ardhi ya Mwenyezi
Mungu, wala msimdhuru, isije kukushukieni adhabu chungu.
(Al-A'araaf: 73)
N a k u m b u k e n i a l i v y o k u f a n y e n i wa kushika
pahala pa 'Aadi na akakuwekeni vizuri katika nchi, mnajenga majumba
ya fakhari katika nyanda zake , na mnachonga majumba katika milima.
Basi zikumbukeni neema za Mwenyezi Mungu wala msitende uovu katika
nchi kwa ufisadi. (Al-A'araaf: 74)
Kama zilivyo umma zilizopita zilipojiwa na M i t u m e , wa k a
a m i n i wachache miongoni mwao na wengi wakamkanusha.
Na kwa kina Thamuud tulimtuma ndugu yao Swaal ih kuwaambia :
Muabuduni Mwenyezi Mungu. Basi wakawa m a k u n d i m a w i l i
yanayogombana. (An-Naml :45)
W a l i o m k a n u s h a wal imshutumu kuwa anawaletea shari ,
na k wa m b a l a b d a a k i l i yake haiko sawa kwani
hawakumtegemea yeye
SHEIKH Ally Bassaleh (kushoto), Sheikh Rajab Katimba (katikati)
na Sheikh Mohamed Issa (kulia).
Swaalih ambaye kwao alikuwa ni mtu mwema kabisa, aje kuwakataza
k u a c h a w a l i y o k u j a nayo mababu zao na kutaka wamfuate
hayo anayotaka yeye Swaalih Wakamwambia;
Wa k a s e m a : E w e Swaalih! Hakika kabla y a h a y a u l i k
u w a u n a t a r a j i w a k h e r i kwetu. Je, unatukataza
tusiwaabudu waliyokuwa wakiwaabudu baba zetu? Na hakika sisi tuna
shaka na wasiwasi kwa hayo unayotuitia. (Huud: 62)
Walikuwa na shaka kubwa juu ya yale Swaalih aliyowalingania nayo
na kuyaona ni mapya! Swaalih akawajibu:
Akasema: Enyi watu wangu! Mwaonaje ikiwa ninazo dalili zilizo
wazi kutokana na Mola wangu Mlezi, naye akawa kanipa rehema kutoka
kwake - je, ni nani atakaye ninusuru kwa Mwenyezi Mungu nikimuasi?
Basi nyinyi h a m t a n i z i d i s h i a i l a khasara tu.
(Huud:63)
Akasema: Enyi watu wangu! Mwaonaje ikiwa ninazo dalili zilizo
wazi kutokana na Mola wangu Mlezi.
Dalili za dhahiri zenye uhakika kabisa kwa yale anayowaitia
kumuabudu k wa m b a Ye ye n d i ye Mola wa Viumbe wote na Mola wa
mbingu na Ardhi na mwenye kupasa kuabudiwa kwa haki.
Naye akawa kanipa
rehema kutoka kwake.Rehma kutoka kwa
Allaah kumchagua yeye na kumpa uongofu na kumfanya Mjumbe Wake
Allaah. Aliyemtuma kwao kuwatoa katika upotofu.
Je, ni nani atakaye ninusuru kwa Mwenyezi Mungu nikimuasi?
Nikiacha kukuiteni k a t i k a h a k k i y a kumuabudu Allaah
Pekee, basi nyinyi hamtoweza kunifaa wala kuninusuru na adhabu yake
Allaah atakaponiadhibu, bali itakuwa ni hasara tu na kuangamia
kwangu. Vile vile wakamwambia:
Wakasema: Hakika wewe ni miongoni mwa waliorogwa. (Ashura:
153)
M u j a a h i d k a s e m a ; Wamemaanisha kuwa kaathirika na
uchawi. Wafasiri wengi wamefasiri k wa m b a i n a m a a n a ; Huju
i unachokisema kutuita katika ibada ya mungu mmoja na kuacha miungu
mingine! Hiyo ndio ilikuwa kawaida ya watu wa umma za nyuma,
walipojiwa na Mitume yakawa majibu yao ni kuwaambia hao Mitume kuwa
ni wachawi! kama alivyoambiwa vile vile Mtume na makafiri wa
ki-Quraysh. Vile vile ni kawaida yao nyingine kuwadharau hao
Wajumbe wa Allaah kwa vile wao ni binaadamu tu kama wao. Na
wakisema:
Wewe si chochote ila ni
mtu kama sisi. (Ashura: 154)
T h a m u d i w a l i w a k a n u s h a Waonyaji. Wakasema: Ati
tumfuate binaadamu mmoja katika sisi? Basi hivyo sisi tutakuwa k a
t i k a u p o t o f u n a k ichaa! . Ni yeye tu a l iyeteremshiwa
huo ukumbusho kati yetu sote? Bali huyu ni mwongo mwenye kiburi!
Kesho watajua ni nani huyo mwongo mwenye kiburi. (Al-Qamar :
23-26)
Kama kweli yeye ni Mtume, basi wametaka miujiza ndio waweze
kumuamini.
Wewe si chochote ila ni mtu kama sisi. Basi lete Ishara ukiwa
wewe n i miongoni mwa wasemao kweli. (Ashu'araa: 154)
N a b i i S w a l i h akajitenga nao kwani alikwishakata tamaa
nao:
B a s i S w a a l i h akawaacha na akasema: E n y i wa t u wa n
g u ! Nilikufikishieni Ujumbe wa Mola wangu Mlezi, na
nikakunasihini, lakini nyinyi hamwapendi wenye kunasihi.
(Al-A'araaf: 79)
Ishara au Miujiza waliyotaka kutoka kwa Nabii Swaalih ni ngamia
kama tutakavyoona: (Kisa kinaendelea ...)
-
9 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 3-9, 2015Makala
Inaendelea Uk. 12
MACHI 24, 2015 Mtandao wa Kupashana Habari - Marekani na Ulaya
wanaona vita kama nyenzo ya kuweka mamlaka na kudhibiti rasilimali
ghali za nchi za Kiarabu na Kiislamu. Marekani yenye hulka ya
kujiona na washirika wao wa Ulaya wanakosa hisia ya hatia kwa
wahanga wa uharibifu na uteketezaji wa miaka kumi ya kuzikalia na
kuziharibu Irak na A f g h a n i s t a n . K u i n u a mahitaji ya
dhamira ya binadamu, wananchi katika nchi za Kiarabu wanaziona nchi
hizi ni za kishenzi zaidi kuliko watangulizi wao wa Vita vya
Msalaba vya karne ya 12.
Kutojiweza kukiungana na ubinafsi kichaa, hufanya wa t a wa l a
wa n c h i z a K i a r a b u z i n a z o z a l i s h a mafuta
kuridhika na kufuata maagizo ya nchi za Magharibi licha ya
changamoto za ndani na fitina katika tawala zao. Tamaa na ulazima
wa kufanya maovu na kushindwa kwa uongozi wa kimaadili na kifikra,
umeweka hatarini hali ya sasa na ya baadaye ya dunia yote ya
Kiarabu na Kiislamu. Ukiangalia kwa karibu kinachopita akilini,
ghadhabu na mauaji ya kidhehebu kila siku na kugeuza jamii ziwe za
kijeshi vimeinua taswira potofu.
Kwa kutojali kimaadili na kifikra viongozi wa nchi za Kiarabu na
Kiislamu wamechoka na wanangoja na kungoja nini kitatokea baada ya
hapa, bila ubunifu na fikra mpya kwa ulimwengu wa udadisi na
uhalisia. Utumiaji vita wa kupanga na ukatili unaotokana na hali
hiyo, imekuwa ndiyo sura ya kawaida ya dunia ya Kiarabu na
Kiislamu. Wanasubiri muujiza utokee hivi hivi tu. Kupenda anasa na
kulea hali ya kivita kumevuruga utamaduni asilia wa nchi za Kiarabu
na mfumo wake wa hisia. Labda utajiri mpito wa fedha za mauzo ya
mafuta umeleta mafanikio na imeondoa hisia ya hofu na aibu kwa
kuwapa uwezo wa kudiriki kufanya uhalifu wowote dhidi ya heshima ya
binadamu na wananchi. Mapambano ni kati ya ubabe wa tawala
zinazoungwa mkono na nchi za Magharibi na harakati ya kutaka
mabadiliko ya kisiasa miongoni mwa raia wa nchi za Kiarabu. Kila
mahali watu wanapigana. Kwa karne yote, Waarabu wameshindwa katika
vita hivyo. Viongozi wanaonekana kujikita katika jahiliya mpya
isiyofahamika katika historia ya binadamu. K a m a m t u a k i u l
i z a , wanapigana kwa ajili gani?
Ni nani hasa washenzi - Nchi za Magharibi au Waislamu?Na Mahboob
A. Khawaja
WAPIGANAJI nchini Yemen wakiwa na silaha zao.Hakuna uhusiano wa
mantiki katika vita inayosimamiwa na Marekani dhidi ya ISIL au Iran
kuendesha Shiite kundi Al-Badr na wengine kufanya uhalifu dhidi ya
waumini wa ki-Sunni au wa ki-Shia walio wachache. Hakuna maadili
katika vita ya mawakala. Matendo yote ya kushambulia yanaamrishwa
kwa makusudi kutokana na nia za wanaowatuma.
Dunia ya Kiarabu na Kiislamu imeangukia katika ukatili wa
kisiasa na tope la kudidimia. Mtu kuua mtu mwingine, na hakuna
kujiuliza kwanini. Viongozi na watu wanaonekana kuwa katika ukurasa
huo huo wa umwagaji wa damu, kuzorota kwa usalama na kupumulia
mashine katika eneo la zama za kutatanisha linaloangukia
kusikojulikana. Hawaamini katika chochote kile kana kwamba dunia
imezubaa, kana kwamba hakuna Mungu na maisha hayana tena lengo
tukufu la amani, uelewano na kuishi pamoja. Wapanga mikakati ya
vita wa nchi za Magharibi ni sababu muhimu katika kuwafikisha
kwenye hali hii potofu kimaadili na mlingano wa kibinadamu. Katika
karne ya 21 yenye maendeleo ya juu kimaarifa, hekima na ufahamu,
watu wanaka katika ujinga na kiburi cha kutokufahamu ubaya wa fikra
zake. Utawala wa kidhalilmu wa nchi za Kiarabu na Kiislamu
ukisukumwa na taswira yake yenyewe kufanya vita iliyopangwa na
uchokozi d h i d i ya h a r a k a t i ya kimapinduzi ya wananchi wa
Syria, Irak, Yemen, Misri, Libya na Bahrain. Baada ya miaka mitano,
jumuiya ya kimataifa ni mtazamaji tu akiangalia uhalifu wa kutisha
wa wachache dhidi ya wengi.
Hakuna mamlaka ya dunia iliyopo tayari kuwalinda waathirika wa
umwagaji
damu unaoendelea. Hakuna sheria ya kimataifa kukataza machafuko.
Viongozi wengi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu wanakosa uwezo wa
kufikiria hali ya baadaye ya kisiasa yenye tija na kuelewa kusudi
la maisha ya binadamu na vipaumbele vyake ndani ya wigo wa dunia
hai na ulimwengu hai ambako kuna uwajibikaji makini wa mtu
kuhusiana na wakati na mahali. Ni kwa njia gani ukatili huu wa
kutengenezwa na hali ya machafuko kutasimamishwa na binadamu
aokolewa kutoka janga la umwagaji d a m u k i m a d h e h e b u
uliokolezwa kisiasa uliofikia pabaya sana na ni vigumu hata
kufikiria matokeo yake?
Ingekuwa wanamwamini Mungu, ubinadamu na madhumuni ya maisha
ndani ya uwajibikaji unaoeleweka, Dunia ingeweza kuwa mahali pema
zaidi kwa wote kuishi kwa amani. Mgawanyiko ya kuchukiza ya
kidhehebu na mauaji ya wa-Sunni, wa-Shia, Wakristo na jamii
nyingine za walio wachache katika nchi za Kiarabu imefikia kiwango
cha kutisha na janga lisilopimika. Hivi jumuiya ya kimataifa
inayojua nini kinatokea inataka kuona nchi za Kiarabu
kujitengenezea yenyewe mwisho wake kikat i l i? Kumwua kwa makusudi
binadamu mmoja ni kama kuua binadamu wote. Mabwana vita wa dunia
wanawakilisha ukatili kimawazo usioweza kuona upande wa kibinadamu
wa dhamira iliyo hai. William T. Hathaway ("Marekani
inashambuliwa!") ambaye pia ni mwandishi wa Dunia ya Maumivu na
profesa mshiriki wa elimu kuhusu nchi za bara la Amerika, Chuo
Kikuu cha Oldenburg, Ujerumani, amejaribu kufafanua jinsi Marekani
na Uingereza wameifikisha dunia katika
kilele cha mauaji katika nchi za Kiarabu za Mashariki ya
Kati:
"Marekani na Uingereza zimefanya maovu kama hayo katika Irak,
Syria, Lebanon, Libya, Indonesia na Afghanistan. Tulipindua ser
ikal i zao, tukaweka madikteta, tukadhoofisha uchumi wao - yote i l
i kuimarisha maslahi yetu ya kibiashara. Katika kila nchi ambako
sasa kuna ugaidi, tulianza kwa kuwanyanyasa. Marekani inashambuliwa
kwa sababu tu ilitangulia kushambulia. Haishangazi kuwa
wanatuchukia. Fikiria tungejisikiaje kama nchi ya kigeni ingekuwa
inatufanyia hivi. Tungejibu mapigo kwa njia yoyote ile tunayoweza
...... Kama watu wangefahamu hili - wangejua jinsi ilivyo rahisi
kusimamisha ugaidi - wasingetaka kupigana vita hivi. Ndiyo maana
vyombo vya habari vinapuuza madai ya al- Qaeda. Viongozi wa nchi za
Magharibi hawataki watu waone kuwa nia halisi ya vita si kusitisha
ugaidi ila kudhibiti raslimali za eneo hlo. Kusema kweli wanautaka
ugaidi kwa sababu unawapa kisingizio wanachohitaji - tishio la adui
mwovu."
Ni nani hasa washenzi, n c h i z a M a g h a r i b i a u
Waislamu?
"Ilikuwa chini ya ushawishi wa Waarabu na Machotara walioinua
utamaduni na siyo katika karne ya kumi na tano, ambako zama mpya za
ustaarabu zilianza. Hispania si Italia, i l ikuwa ndiyo Ulaya
ilipovamiwa upya ... Inawezekana kabisa kuwa kama siyo kwa mchango
wa Waarabu, utamaduni w a k i s a s a w a U l a y a usingeanza
kabisa; ni jambo la uhakika kabisa kwamba isingekuwa wao,
isingekuwa n a m w e l e k e o a m b a o umetuwezesha kuvuka hatua
zote za mabadiliko
hadi hapa. Kwani licha ya kwamba hakuna eneo hata moja la kukua
kwa Ulaya ambako mchango muhimu wa utamaduni wa Kiislamu
hauonekani, hakuna ambako hilo liko wazi na muhimu kama katika
kuzaliwa kwa mamlaka ambayo ni kielelezo mahsusi cha dunia ya
kisasa na mwanzo mkuu wa ushindi wake." (Robert Briffault, profesa
wa Chuo Kikuu cha) Cambridge, 'Uasisi wa Binadamu,' London.
1919
Waarabu waliwahi kuwa waanika njia ya ustaarabu endelevu
uliojikita katika elimu uliodumu kwa miaka 800 - kipindi kirefu
zaidi cha kuongoza kwa ustaarabu katika historia ya binadamu. Hivi
sasa, wasomi wa nchi za kikoloni za zamani na wakaliaj i kwa mabavu
wanawaita Waarabu na Waislamu kama watu wa 'siasa kali' na
'washenzi.' Katika muda wote wa karne ya 20 na hadi kuingia karne
ya 21, utajiri mafuta ulishindwa kukabiliana na matatizo ya
kijamii, kimaadili, kifikra na kisiasa. Badala yake, kuingizwa
mkondo wa kijeshi wa ukanda huo, kuongezeka kwa mauaji kunaonyesha
mkanganyiko mpana wa kisiasa.
Uislamu uliwatajirisha Waarabu wakawa viongozi wa utamadunmi
wenye kasi ya maendeleo. lakini kukua kwa haraka kutokana na mafuta
kumewabadilisha kuwa 'waendesha mbio za ngamia' na walengwa wa
vicheko vya kina katika meza za chakula cha jioni katika utamaduni
wa Magharibi. Wakati Waarabu wakiwa na bidii ya kimisionari ya
"kukataza maovu, na kukar ib i sha b inadamu wote kuyaelekea mema,"
walifanikiwa sana katika mabadiliko ya kibinadamu, uongozi wa
kimaadi l i , m a e n d e l e o ya v i t u n a ustaarabu. Fedha
haiwezi kununua hekima, heshima na uadilifu wa kibinadamu. Marehemu
Mfalme Abdullah wa Saudia na Sheikh Sabah al-Sabah wa Kuwait wote
wawili walikuwa nyororo katika kutoa msaada wa hali na mali kwa
George Bush mwaka 2003 wakati wa uvamizi wa Irak na mauaji ya watu
takriban mamilioni tatu nchini Irak wakati wa ukaliaji nchi hiyo
kwa muda mrefu. Uwongo wa 'vita dhidi ya ugaidi' usingetokea iwapo
viongozi wa nchi za Kiarabu - wanaotumiwa m s t a r i w a m b e l e
w a Marekani - wangekuwa na mwelekeo chanya wa akili, uwezo wa
kufikiri na uadilifu kukinzana na hatua isiyo na mantiki kabisa na
ya kikatili katika historia ya binadamu.
-
10 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 3-9,
2015Makala
Inaendelea Uk. 11
WA K AT I M a r e k a n i i l i p o t a n g a z a k u w a
inawashambulia ISIS, baadhi ya wasomaji wetu walituandama kwa
maneno makali wakidai kuwa kile tulichokuwa tukisema juu ya
uhusiano wa Abu Baghdad (ISIS) na Marekani, ilikuwa uwongo mtupu.
Msingi wa shutuma zao ni kuwa wakati sisi tukijenga h o j a k u wa
I S I S n i mawakala wa mabeberu wakitumika katika proxy war ya
kuisambaratisha Syria, Iraq na Mashariki ya Kati kwa ujumla, wapo
Waislamu walikuwa wakiamini kuwa ISIS walikuwa katika Jihad ya
kusimamisha Dola ya Kiislamu/Khilafah (Islamic State) . Sasa i l
ipokuwa Marekani inawashambulia ISIS, wakaja na hoja kuwa kama IS
wangekuwa mawakala, mamluki na vibaraka wa Marekani, basi
isingekuwa tena Marekani iwashambulie IS. Baadhi ya wasomaji hao
wakaenda mbali kwa kuja na kashfa na matusi wakisema kuwa sisi ni
Mashia na kwamba kwa vile jeshi la Iraq na serikali ya Iraq
inadhibitiwa na Mashia, basi Marekani i n a s h i r i k i a n a n a
inawasaidia Mashia kuzuia Dola ya Kiislamu kusimama Syria na
Iraq.
Sisi tulisema kuwa mashambulizi ya Marekani hayalengi kuwamaliza
I S , w a l a M a r e k a n i haiwashambulii IS, bali inachofanya
Marekani ni kutumia kisingizio cha kuwashambulia IS kupiga na
kuharibu miundo mbinu na viwanda vya Syria , kama mkakati wa
kumdhoofisha na h a t i m a ye k u m n g o a Bashar Assad. Lakini
pia IS kuingia Iraq, ni namna ya kukuza mgogoro wa Shia na Sunni
(Waislamu) na kuacha wauwane wenyewe kwa wenyewe. IS kuwepo Iraq na
tangazo n a M a r e k a n i k u w a inapeleka jeshi kuwapiga, n i k
i s ing iz io tu cha kurejesha na kubakisha jeshi la Marekani
katika nchi hiyo ikizingatiwa k u wa i l i s h a t a n g a z a
kuondoka. Na hadi sasa wakati Marekani ikidai kuwa inawapiga IS,
bado
Siasa za mabeberu Iraq na YemenMashabiki wa Abu Baghdad
mnasimama wapi!Kama Iraq ni tatizo la Shia kuzuiya KhilafahYemen
napo Waarabu wanachopigania nini?
Na Omar Msangi
Marekani inawapelekea silaha IS na usaidizi wa kila namna kama
ambavyo imekuwa ikifichuliwa
na hata na jeshi la Iraq linalodaiwa kusaidiwa na Marekani
kuwapiga IS.
Pa m o j a n a u k we l i
huo, bado waliokuwa wakitukashifu kuwa ni Mashia na tunaungana
na Mashia (Jeshi la Iraq)
likisaidiwa na Marekani kuzuiya Dola ya Kiislamu, Iraq na Syria,
walibaki na msimamo wao wakisubiri D o l a y a K i i s l a m u
kusimama Iraq na Syria chini ya ISIS.
Katika Yemen, kundi linalojulikana kwa jina la Ansar Allah (anr
allh - "Supporters of God"), maarufu kwa j ina la Houthis
(al-thiyyn), l ik i tokana na j ina la kiongozi wao wa awali
Hussein Badreddin al-H o u t h i , a m b a o n i Mashia wa dhehebu
la Zaidi Shia, wamemtimua madarakani Rais wa nchi hiyo Abdrabbuh
Mansour Hadi.
L a b d a t u u l i z e , kwa wale waliokuwa wakisema kuwa
Marekani i n a wa s a i d i a M a s h i a kuzuiya kusimama Dola ya
Kiislamu ya Abu Baghdad, katika mgogoro huu wa Yemen wapo upande
gani. Je, wapo upande wa Saudia Arabia na Israel wanaowapiga Houthi
au wapo upande wa Houthi. Na je, wanachotafuta Israel, Marekani na
Saudia Arabia, ni kuzuia Ushia kusimama Yemen? Kama utasema ni
kuzuiya Ushia k u c h u k u a m a d a r a k a Yemen, mbona katika
Iraq ni Mashia na Marekani wanaowapiga IS . Na je, mbona katika
Syria ni Masuni walioungana na Marekani na Israel kuwapiga
Mashia?
Hivi sasa Saudi Arabia ik isaidiana na Israel (Israeli Fighter
Jets Join Saudi Arabia in War on Yemen), inawashambulia wapiganaji
wa Houthi. L a k i n i k wa u p a n d e mwingine pia Marekani japo
haijapeleka jeshi, lakini imetangaza kuwa inaisaidia Saudia Arabia
na muungano unaoundwa na nchi za Kiarabu kuwapiga Mashia wa Houthi.
Jingine ni kuwa wakati Marekani inaendelea kuwapiga Masuni
wanaodaiwa k u wa n i A l - Q a i d a h , haiwapigi Houthi. Lakini
la ziada ambalo limejitokeza ni kuwa wakati Marekani inasaidiana na
Israel, Saudi Arabia na muungano wa nchi za Kiarabu kuwapiga Houthi
, kwa mlango wa nyuma ina ta fu ta kuwasiliana na Houthi
waliomtimua Rais wa Yemen na kuwahakikishia
Picha Juu na chini ni wapiganaji wa Yemen waliomuondoa Rais
madarakani
MAKOMBORA ya Saudi Arabia yaliyopo mpakani yakielekezwa
Yemen.
-
11 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 3-9, 201511
AN-NUURMakala
Siasa za mabeberu Iraq na YemenInatoka Uk. 10
kuwa watakuwa pamoja nao.
L a s t we e k , O b a m a administration officials were
scrambling to contact Houthi leaders and assure them that the
United States doesn't consider them an enemy.
Ndivyo linavyoripoti gazeti la Los Angeles Times.
We're talking with everybody everybody who will talk with
us.
Los Angeles Times, lilimnukuu Afisa mmoja wa White House
akisema.
(Tazama: Why the U.S. is courting the Houthis taking control in
Yemen-By Doyle McManus, LOS ANGELES TIMES)
Hii tafsiri yake ni kuwa Marekani inataka Houthi wabakie kuwa na
nguvu kama walivyo IS kule Syria na Iraq ili Waislamu (Shia na
Sunni), waendelee kuuwana katika Yemen.
Katika Syria, vyovyote u t a k a y o t i z a m a , wanaouwana ni
Waarabu wa Syria na Waislamu wa Syria. Katika Iraq, wanaouwana ni
Waarabu wananchi wa Iraq, ni Waislamu kwa Waislamu w a n a o u w a
n a k a m a ambavyo katika Somalia wanaouwana ni Wasomali kwa
Wasomali, Waislamu kwa Waislamu.
Katika Yemen hivi sasa kuna hatari inayotaka kujitokeza, kwa
kuingia Saudia Arabia kijeshi Yemen kuwapiga Houthi ambao
inaaminika kuwa wanasaidiwa na Iran, ipo hatar i Hizbul lah kuingia
katika mgogoro huo kuwatetea Houthi (Mashia). Lakini ipo hatari pia
kwa Iran kuingia. Na hiyo itakuwa ni vita ya Waislamu kwa Waislamu.
We ukisema wale Mashia au wale Masuni, haibadili kuwa wanaopigana
ni Waislamu na kama ni miji na nchi kuharibika, inayoharibika ni
miji na nchi za Waislamu.
Taarifa kutoka Iraq z inafahamisha kuwa wapiganaji wa Kishia-
Iraq Iraqi Militiamen, wanajikusanya kwenda k u p i g a n a Y e m e
n k u w a s a i d i a H o u t h i dhidi ya Saudia Arabia na
muungano wake wa Waarabu wanaosaidiwa na Marekani na Israel.
(Tazama: Iraqi Militiamen Plan To Travel To Yemen To Battle
U.S.-Backed Coalition)
T u m e w a p i g a n a
kuwashinda ISIS Syria, hivi sasa tunawapiga na kuwaangamiza ISIS
ndani ya Iraq, tutawapiga pia Yemen, amesema Abu Kumael, ambaye ni
mmoja wa wapiganaji wa
kundi la Kishia la Iraq likijulikana kwa jina la Peace
Brigades.
Sisi sio wapiga porojo, sio watu wa kusema ovyo, tuko imara na
tutawapiga na kuwashinda Wasaudia
n a wa s h i r i k a wa o , a l i o n g e z a m p i g a n a j i
huyo. Kundi jingine la Kishia ambalo linajiandaa kuingia Yemen ni
lile la Badr Organization.
Katika Iraq, wapiganaji
wa Kishia, wapo pamoja na Marekani wakipigana dhidi ya Islamic
State. Sasa katika Yemen, Marekani ipo pamoja na Masuni wa Saudia
Arabia na Misri kupigana dhidi ya Mashia, Houthi.
Kwa upande mwingine litizame hivi: Katika Syria, Marekani
inampiga Bashar Assad wakati Iran ikimuunga mkono. Katika Iraq
namna yake ni kama Iran ipo pamoja na Saudi Arabia na Marekani
kuwapiga IS. Inapokuja katika Yemen, mahesabu yanabadilika.
Marekani ipo na Saudia Arabia kuwapiga Houthi na hivyo kuipiga
Iran.
Ni kama alivyojisema aliyekuwa kachero wa CIA katika kikosi cha
kupambana na Osama Bin Laden, Michael Scheuer, pale aliposema:
The thing was ideal when IS was advancing on Baghdad because
Sunnis were killing Shias. That's exactly what we need. - Our best
hope right now is to get the Sunnis and Shias fighting each other
and let them bleed each other white."
(Tazama: Channel 4 Regrets Letting Ex-CIA Agent Claim Baghdad
Massacre Would Have Been 'Ideal')
Katika vita ya Syria na Iraq, ambapo imekuwa i k i t a n g a z w
a k u w a I S wamekuwa wakiuwa Mashia na kuharibu misikiti na
taasisi zao, kiongozi wa Hizbullah, Nasrallah alijitahisi sana
kuwazuiya wapiganaji wake kujiingiza kwa vita hiyo kwa sababu
itakuwa ni kunasa katika mtego wa maadui wa Uislamu na mabeberu
wanaotaka kuisambaratisha Mashariki ya Kati. Iran, kama serikali,
nayo ilifanya hivyo.
Inavyoelekea hili la Yemen a m b a p o m j u m u i k o wa Saudi
Arabia, Misri, Qatar, Jordan, Bahrein, wakisaidiwa na I srae l na
Marekani wanawapiga Houthi, ni katika juhudi mpya za Mabeberu za
kuwaingiza Waislamu kwa maana ya Mashia na Sunni, katika vita ya
wenyewe kwa weyewe. Kama alivyosema kachero wa CIA Michael Scheuer,
wamwage damu zao mpaka wakauke-Our best hope right now is to get
the Sunnis and Shias fighting each other and let them bleed each
other white."
Sasa sisi badala ya kukaa kitako na kuangalia namna ya
kujinusuru na njama hizi za makafiri, tukae tu na tamaa za fisi
kuwa Abu Baghdad anatupigania kusimamisha Khilafah na akitoka huko
analeta Khilafah hiyo kwetu!
Hassan-Nasrallah, kiongozi wa Hezbollah
PICHA juu na chini ni wapiganaji wa Kishia
-
12 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 3-9, 201512
MAKALA
ILALA ISLAMIC SECONDARY USAJILI S.2401KIDATO CHA TANO NA KURUDIA
MITIHANI
KWA WASICHANA TUIPO: ILALA-AMANA-MTAA WA ARUSHA: MASJID
SHAFII
SHULE YA BWENI NA KUTWA
MASOMOMath, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce,
B/keeping Islamic, Arabic na Tahfidhul QuranCOMBINATION
PCM,PCB,CDG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEAUFAULU 2014
KIWILAYA 3/76, KIMKOA 10/191, KITAIFA 118/2322Kwa shule za
kiislam KIWILAYA (1) KIMKOA (2) KITAIFA (5)
Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV,
VMAWASILIANO
Simu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822, 0714 381964
KWA WAVULANA TUIpo Ilala-Bungoni: Masjid Taqwa
DAR ES SALAAM ISLAMIC SEC.
MASOMOMath, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce,
B/
keeping Islamic, Arabic na Tahfidhul Quran
COMBINATIONPCM,PCB,CDG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEA
UFAULU 2014Kama Ilala Islamic, imetenganishwa toka Ilala
Islamic
Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV,
VMAWASILIANO
Simu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822, 0714 381964Ada ni
nafuu na inalipwa kwa awamu nne
MLETE MWANAO APATE ELIMU NA MALEZI BORA
USAJILI S.4384
Adayo hupendeleya, wa dinenu wapinzani,Mazuri kuyazuiya, yenu
pasi hata soni,Kukuswibuni mabaya, wao ndilo hutamani,UKWELI wa
QUR-ANI, si kombo u dhahiriya.
Daima huwatakiya, yale yanokudhuruni,Ya shururi huridhiya, ninyi
yanokufikeni,Ya khairati udhiya, yenu kwao ng'amueni,UKWELI wa
QUR-ANI, si kombo u dhahiriya.
Gaidhi i dhahiriya, kutoka mwao vinywani,Vyanda wanawaumiya, kwa
indazo mitimani,Waloficha batiniya, kungaye i kwa MANANI,UKWELI wa
QUR-ANI, si kombo u dhahiriya.
Si kwamba nawazuliya, ishanena QUR-ANI,SURA ya TATU rejeya, si
nyingine IMRANI,AYA nawakashifiya, hayo zenye kubaini,UKWELI wa
QUR-ANI, si kombo u dhahahiriya.
MIATU wa THAMANIYA, ASHARA kwa tamakuni,Soma thuma endeleya,
hadi MIA ISHIRINI,Humo utajioneya, yote kwa wake ndani,UKWELI wa
QUR-ANI, si kombo u dhahiriya.
ALLAH alotuambiya, si dhahania yakini,Wenyewe mwashuhudiya,
yawahusu wao nini!MAHKAMA kugomeya, ya KADHI mahakamani?UKWELI wa
QUR-ANI, si kombo u dhahiriya.
Na hofu wamewatiya, viongozi wa nchini,Si kwa hoja usuliya, kwa
pogo yao mizani,Lengo walokusudiya, lipate kuyumkini,UKWELI wa
QUR-ANI, si kombo u dhahiriya.
Nudhumu namaliziya, kwa nyote kukuombeni,Kujifunza kuteteya, kwa
pamoja yenu dini,'Wenzenu' huwa pamoya, kwa yao hamuwaoni?UKWELI wa
QUR-ANI, si kombo u dhahiriya.
ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.
NONGWA YA MAHKAMA YA KADHI
Mimi nina sikitiko, limenijaa moyoni,Nimepata fadhaiko, wa
kufariji nani,Juhudi zangu ni mwiko, wana hawazithamini,Baba nae ni
mzazi sifa anastahiki.
Kila nikijitahidi, sifa sipewi kwa nini,Mbona hamna miadi,nyinyi
ni watoto gani,Au mwafanya kusudi, mnitoe duniani,Baba nae ni
mzazi, sifa anastahiki.
Zote mwelekeza sifa kwa mama mzazi,Baba mi mmenibeza, hamjali
yangu kazi,Leo nawabembeleza, au niachie ngazi,Baba nae ni mzazi,
sifa anastahiki.
Mimi kwenu kama baba, nawajibika kwa mengi,Jukumu langu ni
kubwa, na tena ni la msingi,Si tu kuleta ubwabwa, mkafaidi
mitungi,Baba nae ni mzazi, sifa anastahiki.
Mtume katuhimiza, kuwashukuru wazazi,Hakuna alo m-beza, na
kuweka pingamizi,Japo mama ni wa kwanza, ila baba ni farazi,Baba
nae ni mzazi, sifa anastahiki.
Shime tuwapeni sifa, mababa zetu jamani,Wamelijenga taifa,
malipo yao kwa nani,Tusisubiri wakafa, wakaenda kuzimuni,Baba nae
ni mzazi, sifa anastahiki.
Hayo tukiyatimiza, tutapunguza majonzi,Nyoyo tutazisuuza, na
kuondosha simanzi,Mababa watatutunza, na kuboresha malezi,Baba nae
ni mzazi, sifa anastahiki.
Sasa ninahitimisha, wasia wangu jamani,Yatosha nilokumbusha,
wanangu tekelezeni,Dharau kutozidisha, wazee tutaabani,Baba nae ni
mzazi, sifa anastahiki.
Zainab Mtima, Mbweni- Zanzibar. 0717 165 602
SHAIRI LA BABA
Ni nani hasa washenzi - Nchi za Magharibi au Waislamu?Inatoka
Uk. 9W a a r a b u w a l i u n d a utamaduni wenye undani wa elimu
na kuonyesha njia ya kuvumiliana, unaojumuisha watu wa mataifa
mbalimbali, imani na lugha -hivyo kutoa msukumo wa maendeleo ya
kila kitu kutoka hisabati na unajimu, sayansi ya tiba, ushairi na
mawazo ya hali ya baadaye ya ustaarabu duniani, elimu, sheria na
haki , ubunifu majengo u n a o s t a h i m i l i n g u v u ya
uvutano, hadi kufikia maktaba ya kisayansi na mengi zaidi.
Dunia ya Kiarabu na Kiislamu ilishindwa kutoa kiongozi yeyote
mwenye upeo na uadilifu kifikra i l i k u e n d a n a n a h a l i
inayobadi l ika duniani na masuala magumu ya kimataifa karne ya
21.
Wakati Waarabu wakiwa wanaongoza katika Imani ('Emaan') na
maadili ya k i b i n a d a m u , wa l i i n u a utamaduni wa aina
yake unaokubal i to faut i za kiimani na tamaduni tofauti za
kijamii na kujenga kupitia msingi wa umoja wa imani ya Kiislamu
kustawisha kuishi kwa amani na maendeleo ya binadamu. Ukiorodhesha
uvumbuzi na michango ya wasomi wa Kiislamu, hayahesabiki. Je,
unajua wanasayansi wengine au wanazuoni ambao michango yao
ilitumika katika vitabu v ya k u f u n d i s h i a k wa karne sita
katika vyuo vya tiba barani Ulaya? Fikiria Muhammad Hussein bin Ali
Sina na Kanuni za Msingi za Tiba. Wazungu walibadili jina lake kuwa
Avicenna hivyo hakuna mtu angejua kwamba alikuwa mwanazuoni wa
Kiislamu. Inasemekana Ibn Sina pekee aligundua na kuwezesha
kuthibitishwa dawa za aina 36 zinazoendelea kutumika hadi sasa.
(Angalia tungo ya Marai Rosa Menocal - Enzi Kuu ya Kuvumiliana:
Pambo la Dunia: Jinsi Waislamu, Wayahudi na Wakristo Walivyounda
Utamaduni wa Kuvumiliana katika Hispania ya Kimwinyi, i l i y o c h
a p i s h wa 2 0 0 3 ) . Anaeleza kuwa "mafunzo ya historia, kama
mafunzo ya dini, mara nyingi hupuuza mifano ya kuvumiliana.
Miaka elfu moja iliyopita katika Peninsula ya Iberia (Ulaya
Kusini), mwelekeo wenye hisia za kimaendeleo wa U i s l a m u u l i
k u wa umejenga utamaduni wa hali ya juu zaidi barani Ulaya ....
Huko Cordoba, maktaba yake ilikuwa na vitabu 400,000 wakati ambapo
maktaba kubwa katika eneo la Ukristo wa Kilatini barani Ulaya
haikuwa na zaidi ya vitabu 400. "
Kushusha mapipa ya mabomu kila siku nchini Syria, ulipuaji wa
mabomu ya kutegwa kwa gari jijini Baghdad, uasi wa ki-Shia wa
Houthi unaofadhiliwa na Iran nchini Yemen, mapambano ya n a y o s a
b a b i s h a v i f o vingi katika mitaa ya Cairo na Tripoli -
mamilioni wanaondolewa na kufutika kila sekunde kana kwamba s i b
inadamu. Yote h i i inaonyesha utamaduni ulioparaganyika wa nchi za
Kiarabu wenye mwenendo wa k u t i s h a u s i o w e z a kurudishwa
nyuma. Hali ya baadaye inatiwa giza na nguvu za uovu. Utumiaji
silaha na chuki vinazamisha kwa haraka upana wa jamii za Kiarabu
na Kiislamu katika mawimbi ya vifo na kuvunjiliwa mbali kwa jamii.
Takwimu za mauaji ya kila siku hujenga kiwewe k a t i k a v y o m b
o v ya habari kinachoendana na alichosema Samuel H u n t i n g t o
n ( m a d a y a " M t a f a r u k u w a Ustaarabu," katika jarida
la Mambo ya Nje nchini Marekani mwaka 1993), akidai kuwa "Uislamu
una mipaka ya damu."
(Dk. Mahboub A. K h a wa j a n i m t a f i t i wa u s a l a m a
, a m a n i na kutatua migogoro duniani na ulinganishi wa tamaduni
za Magharibi na Kiislamu, na ntunzi wa machapisho kadhaa ikiwa ni
pamoja na kitabu cha hivi karibuni, "Amani ya Dunia na Usuluhishi
wa Migogoro: Binadamu na Watu Wanapotafuta Fikra Mpya,"
kilichotolewa na Lambert Academic P u b l i s h i n g n c h i n i
Ujerumani, Mei 2012.)
-
13 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 3-9,
2015HABARI
KATIBU Mkuu wa CUF, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amehudhuria
mazishi ya Hemed Salum Hemed (38) aliyefariki katika ajali ya
barabarani i l i y o t o k e a wa k a t i akirudi katika mkutano wa
hadhara wa chama h i c h o u l i o f a n y i k a Makunduchi Wilaya
ya Kusini Unguja.
Marehemu ambaye ni mkaazi wa Kinuni, Wilaya ya Magharibi U n g u
j a a l i s wa l i wa katika Msikiti Ngamia, Kilimahewa na kuzikwa
Kianga, mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
Aidha, Maalim Seif a l i w a t e m b e l e a n a kuwawafariji
baadhi ya wafuasi wa chama hicho waliojeruhiwa na watu
wasiojulikana wakati walipokuwa wakirudi katika mkutano huo
walipofika eneo la Fuoni.
Tukio la kujeruhiwa wafuasi 24 wa chama cha CUF waliokuwa w a k
i t o k e a k a t i k a mkutano wa hadhara huko Makunduchi , a m b
a o we n g i wa o walikuwa ni vijana, lilitokea hivi karibuni k u f
u a t i a v i j a n a waliokuwa katika gari eneo la Fuoni Taveta
wakiwa na mapanga, n o n d o n a m a w e kuwarushia mawe
Kwa mujibu wa Naibu Mkurugenzi wa Haki za Binadamu wa CUF Bi.
Pavu Juma, alisema baadhi ya majeruhi hao walipata majeraha makubwa
na wamelazwa kat ika hospi ta l i ya Mnazimmoja na wengine
wamesafirishwa hadi Dar es Salaam kwa matibabu zaidi.
M a p e m a akiwatembelea baadhi ya m a j e r u h i h u k o M w
e m b e m a k u m b i , Kat ibu Mkuu huyo w a C U F , M h e . Maal
im Se i f Shar i f Hamad, alisema watu waliowajeruhi wafuasi wa CUF
wamefanya hivyo baada ya chama chao kukosa sera za kuwaeleza
Wananchi na sasa wameamua k u f a n y a h u j u m a a m b a z o a m
e s e m a hazitowasaidia.
Maalim Seif ahudhuria mazishiAwapa pole walioshambuliwaAwasihi
CUF kuwa watulivu
Na Khamis Haji (OMKR)
KATIBU Mkuu wa CUF, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad (wa tatu
kutoka kulia), akihudhuria mazishi ya Hemed Salum Hemed (38)
aliyefariki katika ajali ya barabarani iliyotokea wakati akirudi
katika mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika Makunduchi
Wilaya ya Kusini Unguja hivi karibuni.
Alirejea wito wake wa kuwataka wanachama na wafuasi wa CUF wawe
watulivu na kwamba, chama hicho kinafuatilia kwa karibu hujuma zote
zinazofanywa dhidi yao.
A w a l i M a a l i m Seif Sharif Hamad, aliwanasihi wanachama w
a c h a m a h i c h o kushikilia msimamo wao wa kuendesha siasa za
kistaarabu na kuacha k u f i k i r i a k u l i p i z a kisasi
kufuatia hujuma zinazofanywa dhidi ya chama hicho.
A l i s e m a l e n g o kubwa la hujuma hizo, zikiwemo kuchomwa
moto kwa ofisi za chama hicho ni kutaka kukitoa chama katika
malengo yake ya kupigania haki za wananchi na kwamba, njama hizo
hazitoweza kufanikiwa.
Nakunasihini sana wanachama wa CUF msichokozeke, hawa wanaofanya
hujuma hizi wana lengo la kututoa katika malengo yetu ya kupigania
haki, lakini nakuombeni musiuingie mtego huo, alisisitiza Maalim
Seif.
Maalim Seif alitoa nasaha hizo wakati akihutubia mkutano wa
hadhara wa chama hicho uliofanyika viwanja vya Jamhuri, jimbo la
Makunduchi.
Alitumia nafasi hiyo kuwashukuru wananchi w a M a k u n d u c h
i k wa m wa m k o wa o waliouonyesha katika kukiunga mkono chama
hicho, ambapo jumla ya wanachama wapya 5 8 4 wa l i j i u n g a n a
CUF katika mkutano huo, miongoni mwao wakiwemo makada wa Chama Cha
Mapinduzi.
A l i s e m a h a t u a h i y o i n a dh i h i r i s h a jinsi
wanachama wa CUF katika maeneo m b a l i m b a l i n c h i n i w a
n a v y o w e z a kuungana kwa aj i l i ya kutetea haki zao bila ya
kujali maeneo wanayotoka.
A k i z u n g u m z i a mipango ya chama hicho, Maalim Seif,
alisema chama kinakusudia kuleta mabadiliko kwa kujenga uchumi
imara ambapo kila mwananchi ataweza kunufaika na
rasilimali zilizopo. Z a n z i b a r i n a z o
ras i l imal i na fursa nyingi za kiuchumi lakini bado
hazijatumika ipasavyo kuwanufaisha wananchi wa kipato cha chini,
endapo CUF kitashika hatamu za dola, kitaziibua fursa hizo na
kuwafanya vijana wengi kuweza kupata ajira katika sekta mbalimbali
zikiwemo kilimo, uvuvi, biashara, utalii na viwanda vidogo vidogo.
Alifafanua Katibu Mkuu huyo.
K u h u s u k a t i b a i n a y o p e n d e k e z wa , Maalim
Seif ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar alisema
Serikali bado haijawahi kukaa na kutoa msimamo juu ya kat iba h iyo
, na kufafanua kuwa hakuna msimamo wa serikali juu ya jambo
hilo.
A l i s e m a m a wa z o y a n a y o e n d e l e a kutolewa
kuhusiana na katiba hiyo, yanabakia kuwa misimamo ya vyama na siyo
msimamo w a s e r i k a l i k a m a inavyodaiwa na baadhi
ya viongozi wa kisiasa. M i m i n i k i w a
Makamu wa Kwanza wa Rais, kama Serikali h a t u j a w a h i k u
k a a k w e n y e B a r a z a l a Mapinduzi wala kikao chochote cha
kiserikali k u j a d i l i a u k u t o a msimamo kuhusu katiba
inayopendekezwa, sasa inakuwaje wengine wanasema msimamo wa
serikali ni huu, alihoji Maalim Seif.
Kwa upande wake Naibu Katibu Mkuu wa C U F Z a n z i b a r ,
Nassor Ahmed Mazrui, alisema mwaka 2015 ni mwaka wa wana CUF
kufanya maamuzi ya kukiweka chama hicho madarakani kwa kukiwezesha
kupata ushindi mkubwa katika uchaguzi mkuu ujao.
K a t i k a m k u t a n o h u o , w a z e e w a C U F M a k u n
d u c h i walimkabidhi Maalim Seif, ufunguo maalum kwa ajili ya
kuifungua Z a n z i b a r a m b a y o w a m e d a i k u w a
imekwama kwa zaidi ya nusu karne sasa.
Kabla ya kuhutubia mkutano huo, Katibu Mkuu huyo alifanya ziara
ya kutembelea barza na matawi ya CUF na kupata fursa ya kuzindua na
kuweka mawe ya msingi katika matawi na barza hizo, z ik iwemo mbi l
i za akinamama.
Katika ziara hiyo, Maalim Seif ambaye aliambana na Naibu Katibu
Mkuu wa CUF Zanzibar, aliwahimiza wanachama wa barza hizo kuanzisha
matawi kamili kutoka na idadi kubwa ya wanachama waliyonayo.
M i o n g o n i m w a b a r z a n a m a t a w i yal iyozinduliwa
na kuwekewa mawe ya msingi ni pamoja na Barza ya Kizimkazi Dimbani
, Barza ya Ukawa ya Nganani, Barza ya Ismail Jussa ya Kitundani,
Fatma Ferej Madete Barza na Tawi la CUF Shakani.
Wanachama wapya waliojiunga na CUF kutoka CCM ni pamoja na
aliyekuwa mjumbe wa Baraza la Wazazi Wilaya ya Kusini Bw. Yahya
Mkongoa Ali na aliyekuwa mhamasishaji wa CCM katika eneo hilo Bi.
Kihamba Ali Ronge.
-
14 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 3-9,
2015Makala
Na Ben Rijal
Na Ben Rijal
MAKALA hii itamuangalia Mwanasayansi, mjuzi wa elimu ya nyota na
hesabati Al-Sabi Thabit ibn Qurra al-Harrani alioishi kutika mwaka
wa 826 hadi 901. Thabit ibn Qurra alikuwa a k i f a h a m u l u g h
a y a Kiyunani vilivyo na ufahamu wake huo ulimuwezesha kuzitafsiri
kazi mbalimbali zilizoandikwa na Wayunani.
Thabit ibn Qurra alikuwa ni mjuzi wa hesabati na elimu ya nyota.
Aidha akiheshimika na uele