IMANI YA USHINDI ‘ Nguvu ya Mungu Ndani Yetu Kumiliki na Kutawala Dunia. ’

Post on 17-Jan-2016

569 Views

Category:

Documents

58 Downloads

Preview:

Click to see full reader

DESCRIPTION

IMANI YA USHINDI ‘ Nguvu ya Mungu Ndani Yetu Kumiliki na Kutawala Dunia. ’. Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 www.mgisamtebe.org. KANUNI ZA KIROHO ZA MAISHA YA USHINDI. IMANI YA USHINDI 1Yohana 5:4. IMANI YA USHINDI. 1Yohana 5:1-4 - PowerPoint PPT Presentation

Transcript

Mwl. Mgisa Mtebe +255-713-497-654

www.mgisamtebe.org

IMANI YA USHINDI‘Nguvu ya Mungu Ndani Yetu Kumiliki na Kutawala Dunia.’

KANUNI ZA KIROHO ZA MAISHA YA USHINDI

IMANI YA USHINDI1Yohana 5:4

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-41 ‘Kila mtu anayeamini kwamba, Yesu Kristo ni

Mwana wa Mungu, amezaliwa na Mungu…’

(Zab 82:6, Yoh 10:34-36)

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-44 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,

huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda, kuushindako

ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”

IMANI YA USHINDI

Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano

wa Mungu, (yaani asili ya Mungu) ambayo inakupa asili

ya ushindi ndani yako, dhidi ya kila upinzani wa adui shetani

maishani mwako.

2Petro 1:3-43 Kwa kuwa Uweza wake wa uungu umetupatia (au nguvu zake za uungu zimetupatia)

mambo yote tunayohitaji kwa ajili ya maisha na utakatifu, kwa

kumjua Yeye aliyetuita kwa utukufu Wake na wema Wake

mwenyewe.

KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI

2Petro 1:3-44 Kwa sababu hiyo, Mungu

ametukirimia ahadi zake kuu na za thamani, ili kwa kupitia hizo tupate kuwa washiriki wa tabia

za uungu, tukiokolewa na uharibifu (au upotovu) ulioko duniani kwa sababu ya tamaa.

KUTEMBEA KWA IMANI

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Yohana 5:4 Ikiwa imani ndiyo siri ya

ushindi wetu duniani na ikiwa imani ndio kitu

kinachokufanya uwe rafiki wa Mungu ili kutembea naye

duniani; …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mtu wa Mungu, hataweza kuishi maisha ya ushindi

anaostahili, kama hatakuwa na ufahamu na ujuzi wa

namna imani inavyofanya kazi, kulet mabadiliko.

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:37

‘Na katika mambo yote, tunashinda na zaidi ya kushinda kupitia Kristo Yesu aliyetupenda’(katika yote, sisi ni washindi na zaidi ya washindi, kupitia Yesu

Kristo aliyetupenda)

KANUNI ZA KIROHOZaburi 1:1-3

‘Heri mtu yule asiye kwenda katika shauri la wasio haki, bali

sheria ya Bwana ndiyo inayompendeza, atakuwa kama mti kando ya mto, na kila jambo

alifanyalo, litafanikiwa.

KANUNI ZA KIROHO1Yoh 5:4, Rum 8:37

Lakini pamoja na kwamba Neno la Mungu linatuahidi Ushindi wa Yesu msalabani, kwamba ndio

uwe ushindi wetu sisi tuaminio, lakini bado waumini wengi

tunaishi maisha ya kushindwa.

KANUNI ZA KIROHO

Zipo sababu nyingi; Lakini moja ya sababu kubwa,

ni kutojua namna ya kutishi kwa Imani, kitu ambacho

kinasababisha kuzimika kwa nguvu za Mungu maishani

mwetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Tulijifunza…Kila mtu aliyempokea Yesu

Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha yake, ana (jenereta) chanzo cha

nguvu za Mungu, ndani yake, yaani Roho Mtakatifu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Huyu Roho Mtakatifu, anachohitaji kwako, ni wewe

kumtengenezea mazingira fulani fulani tu ndani yako, ili

yeye ndiye afanye kazi ya kuzalisha nguvu za Mungu

kutoka ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni za kiroho, ni mambo ambayo, tukiyaweka kwa pamoja ndani yetu, kwa kiwango kinachotakiwa, zitasababisha Roho wa

Mungu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa Mungu

maishani mwako, unategemea sana kiwango

cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

USHIRIKA WA MUNGU NA BINADAMU KATIKA KUITAWALA DUNIA

1Wakorintho 3:9

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wakorintho 3:99 Kwa maana sisi tu watenda kazi

pamoja na Mungu. (kwa ushindi na mafanikio)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:28-3028 Na kwahiyo basi, katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja

na wale wampendao, katika kuwapatia mema.

(ushindi, faida na mafanikio)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo;Ikiwa tutatengeneza au tutazalisha

Nguvu kidogo za Mungu ndani yetu, tutauzuia mkono wa Mungu

kufanya mambo mengi na makubwa anayotaka kufanya

maishani mwetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini …Ikiwa tutatengeneza au tutazalisha

Nguvu za Mungu kwa wingi (za kutosha) ndani yetu,

tutauwezesha mkono wa Mungu kufanya mambo mengi na

makubwa anayotaka kufanya.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukweli ni Kwamba …Mungu anaweza kufanya kila kitu

pasipo msaada wa binadamu, lakini alichagua tu, kufanya kazi kwa

ushirika na binadamu; kwahiyo, kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na

binadamu katika kutawala dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (1);Kifo cha Yakobo na

Ukombozi wa Petro gerezaniMatendo 12:1-19

Matendo 12:1-19

Kifo cha Yakobo na Ukombozi wa PetroYakobo alipokamatwa, Kanisa

hawakufanya maombi, motokea yake akachinjwa. Lakini Petro

alipokamatwa, kanisa likaomba kwa bidii, na Mungu akamkomboa Petro

kutoka gerezani.Unadhani Kwanini?

Matendo 12:1-19

Kifo cha Yakobo na Ukombozi wa PetroSi kwamba Mungu anampenda Petro

kuliko Yakobo. Bali hii inaonyesha wazi kwamba, Utendaji kazi wa

mkono wa Mungu maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu

za Mungu unachozalisha (kinachotenda kazi) ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (2);Ushindi wa Joshua vitani

Kwa maombi ya Musa MlimaniKutoka 17:8-15

Matendo 12:1-19

Ushindi wa Joshua, Maombi ya MusaMusa alikunyanyua mikono yake kwa

maombi, Joshua na jeshi la Israeli walikuwa wakishinda vitani, Lakini Musa alichoshusha mikono (kuacha kuomba) Joshua na jeshi la Israeli

walikuwa wakipigwa (wakishindwa).Unadhani Kwanini?

Matendo 12:1-19

Ushindi wa Joshua, Maombi ya MusaHii haikuwa bahati nzuri au mbaya; Bali

hii inaonyesha wazi kwamba, Utendaji kazi wa mkono wa Mungu maishani

mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu unachozalisha (kinachotenda kazi) ndani yako.

Unadhani Kwanini?

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (3);Maombi ya Musa katika

kumruhusu Mungu kufungua bahari ya ShamuKutoka 14:15-28

Kutoka 14:15-28

Fimbo ya Musa na Bahari ya ShamuMungu hakuifungua bahari akasubiri mpaka Musa aliponyoosha fimbo yake (maombi) baharini (tatizo lake); ndipo

Mungu akasaba- bisha upepo mkali uliochana bahari na kufanya ukuta 2 za

maji. Israeli wakapita nchi kavu. Unadhani Kwanini?

Kutoka 14:15-28

Fimbo ya Musa na Bahari ya ShamuMungu hakuifunga bahari, akasubiri mpaka Musa aliponyoosha tena fimbo yake (maombi) baharini (tatizo lake);

ndipo Mungu akasababisha upepo kukatika na maji ya bahari yakarudi na

kuwaangamiza jeshi lote la Misri. Unadhani Kwanini?

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

USHIRIKA WA MUNGU NA BINADAMU KATIKA KUITAWALA DUNIA

1Wakorintho 3:9

IMANI YA USHINDI

Nahumu 1:9Kuna wakati, katika baadhi ya

mambo, Utendaji kazi wa Nguvu za Mungu katika kuzuia

mateso ya shetani unategemea sana namna

unavyowaza (imani).

IMANI YA USHINDI

Nahumu 1:9Ukiwa na mawazo hasi (negative) yasio na Imani

unaweza kuzuia msaada wa Mungu katika maisha yako ya

kila siku, pale anapotaka kukomesha mateso ya adui.

IMANI YA USHINDI

Nahumu 1:9Ukiwa na mawazo chanya

(positive) yenye Imani unaweza kuruhusu msaada wa Mungu katika maisha yako ya

kila siku, pale anapotaka kukomesha mateso ya adui.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukweli ni Kwamba …Mungu anaweza kufanya kila kitu

pasipo msaada wa binadamu, lakini alichagua tu, kufanya kazi kwa

ushirika na binadamu; kwahiyo, kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na

binadamu katika kutawala dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26,1826 Tufanye mtu kwa sura yetu na

kwa mfano wetu wakatawale dunia na vyote tulivyoviumba juu ya uso

wa dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26-1828 Mungu akaumba Mwanaume na

Mwanamke, akawaweka katika bustani ya dunia, akawaambia,

zaeni mkaongezeke na kuitawala (kuitiisha) dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 115:16Mbingu ni mbingu za Bwana, bali

nchi amewapa wanadamu

Isaya 45:11… kwa habari ya kazi za mikono

yangu, haya niagizeni (niamuruni)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18-1919 Kwa maana nitawapa funguo za

Ufalme, na mambo mtakayoyafunga (ninyi) yatakuwa yamefungwa

(mbinguni), na mambo mtakayoyafungua (ninyi) yatakuwa

yamefunguliwa (mbinguni)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18-1918 Na milango ya kuzimu

haitaweza kulishinda kanisa langu nitakalolijenga (kwa mfumo huu).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2O20 … Mungu anaweza kutenda mambo yote, kwa kadiri (kwa kiwango au kwa kipimo) cha

Nguvu zake kinachotenda kazi ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kanuni = Imani = Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …Kuna baadhi ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya,

ikiwa hatutengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu za

kutosha, ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni Kwasababu …Kwahiyo Utendaji wa mkono wa

Mungu maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotenda

kazi ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

USHIRIKA WA MUNGU NA BINADAMU KATIKA KUITAWALA DUNIA

1Wakorintho 3:9

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Utangulizi;Yesu na Pepo SuguMathayo 17:9-20.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-20Yesu aliposhuka kutoka

mlimani, alikuta umati mkubwa wa watu ukimsubiri. Baba mmoja akamwangukia

Yesu miguuni na kumsihi akisema …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-20Bwana, ninaomba umponye

mwanangu, ana pepo la kifafa; mara nyingi

limemwangusha katika maji na katika moto, ili kumdhuru,

lakini amesalimika …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-20Nimemleta kwa wanafunzi wako, lakini wameshindwa

kumtoa. Ndipo Yesu akaamuru akisema ‘mleteni

kwangu’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-20Kijana alipoletwa, Yesu akamkemea yule pepo, na likamtoka mara moja na

kumwacha kijana akiwa huru na mzima kabisa. Watu wote wakashangaa na kumtukuza

Mungu kwa furaha.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-2019 Kisha wanafunzi wake

wakamwendea Yesu faraghani, mahali pasipokuwa na watu; wakamwuliza, “Bwana, Kwa nini sisi hatukuweza kumtoa

yule Pepo?”

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-2020 Yesu akawajibu kuwaambia,

‘‘Ni kwasababu ya upungufu wa Imani yenu (ni kwasababu ya imani yenu kuwa ndogo)…

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-2020 “… Ninawaambia kweli, mkiwa

na imani kama punje ndogo ya haradali, mtaweza kuiambia

milima, ‘ondoka hapa uende pale’ nao utaondoka. Na wala hakutakuwa na jambo

lisilowezekana kwenu.’’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Imani = Nguvu

KANUNI ZA KIROHO

Kuna kiwango maalum cha Nguvu za Mungu,

kinachomwezesha mtu wa Mungu, aishi maisha ya

ushindi na mafanikio, katika kulitimiza kusudi la Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2O20 Atukuzwe Mungu, yeye

awezaye kutenda mambo ya ajabu mno (yasiyopimika)

kuliko yote tunayo-yawaza au tunayoyaomba …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2O20 … Mungu anaweza kutenda mambo yote, kwa kadiri (kwa kiwango au kwa kipimo) cha

Nguvu zake kinachotenda kazi ndani yetu.

KANUNI ZA KIROHO

Kuna vitu maalum vinavyosababisha kuzalishwa

kwa Nguvu za Mungu zinazohitajika ili kutuwezesha

kuishi maisha ya ushindi na mafanikio duniani.

Waefeso 3:20

KANUNI ZA KIROHOKanuni za kiroho, ni mambo

ambayo, tukiyatumia maishani, yatasababisha Roho Mtakatifu

aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu ndani yetu,

zitakazotusaidia kuishi maisha ya ushindi na mafanikio.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Maombi = Imani = Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-20 Ndio maana Bwana Yesu

aliwaonyesha wanafunzi wake akisema kwamba; ‘Imani zenu zimekuwa pungufu kwasababu ya kutokuwa na maisha ya

maombi na kufunga’.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-20 21 lakini ya namna hii, (pepo la namna hii) halitoki isipokuwa kwa kuomba na

kufunga.’’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUMathayo 17:9-20

20 “… Ninawaambia kweli, mkiwa na imani kama punje ndogo ya

haradali, mtaweza kuiambia milima, ‘ondoka hapa uende

pale’ nao utaondoka. Na wala hakutakuwa na jambo

lisilowezekana kwenu.’’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUMathayo 17:9-20

Bwana Yesu alimaanisha kwamba; wanafunzi wake

hawakuishi Maisha ya kiroho, Ndio maana hazikuzalishwa Nguvu za Mungu za kutosha,

kuondoa lile tatizo.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2O20 … Mungu anaweza kutenda mambo yote, kwa kadiri (kwa kiwango au kwa kipimo) cha

Nguvu zake kinachotenda kazi ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kanuni = Imani = Nguvu

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-4 Ni mapenzi ya Mungu,

kwamba watoto wake, tuishi maisha mzuri, ya ushindi na

mafanikio, ili tuweze kulitimiza kusudi la Mungu la kutufanya vyombo vya ibada.

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-44 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,

huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,

kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Yohana 5:1-4Imani ndio siri ya ushindi wa mtu wa Mungu duniani. Mtu

wa Mungu asipojua siri ya kutembea kwa Imani,

hataweza kuishi maisha ya ushindi duniani.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-21Imani ndicho kuingo au

daraja linalosimama kati ya Mungu na hitaji au tatizo

alilonalo mtoto wa Mungu katika maisha yake.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Nguvu za Mungu

Imani

Mungu Tatizo

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Nguvu kidogo

Imani Kidogo

Mungu Tatizo

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Nguvu kubwa

Imani Kubwa

Mungu Tatizo

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:6‘Pasipo Imani haiwezekani

kumpendeza Mungu.’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 10:38‘Mwenye haki wangu, ataishi

kwa Imani, naye akisitasita, Roho yangu haitamfurahia.’

MAANA YA IMANI

Imani ni nini?Waebrania 11:1

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ikiwa imani ndiyo siri ya ushindi wetu duniani na ikiwa

imani ndio kitu kinachokufanya uwe rafiki wa

Mungu ili kutembea naye duniani; …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mtu wa Mungu, hataweza kuishi maisha ya ushindi

anaostahili, kama hatakuwa na ufahamu na ujuzi wa

namna imani inavyofanya kazi, kulet mabadiliko.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Imani ni Nini?

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:1Imani ni kuwa na uhakika wa

mambo yatarajiwayo, ni bayana (uthibitisho) wa mambo yasiyoonekana.

KANUNI ZA KIROHO

Mambo Mambo ya ya Kimwili Vs Kiroho (Vitu vinavyo- (Vitu Visivyo- Onekana) Onekana)

KANUNI ZA KIROHO

Kanuni Kanuni za za Kimwili Vs Kiroho (Natural (Spiritual Principles) Principles)

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18

Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vitu

visiyoonekana (vya kiroho) kwani hivyo ndivyo vya milele

(vya kudumu).

KANUNI ZA KIROHO

Kwa Mfano;

Uumbaji wa vitu vya Dunia Waebrania 11:3

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

Nasi twajua ya kwamba, ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, hata vitu

vinavyoonekana, havikufanywa kwa vitu vilivyo

dhahiri.

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

“… vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa

vitu visivyo dhahiri ”.

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

“… vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa

vitu visivyo waziwazi ”.

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

“… vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa

vitu visivyo onekana (vya kiroho).”

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

Ulimwengu wa roho ndio ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilika, ndipo Mungu

akauzaa Ulimwengu wa mwili kutokea katika

Ulimwengu wa Roho.

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba katika ulimwengu wa

kiroho kwanza, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai-

photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18

Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia

Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho

Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21

7 1000

33 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo

30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme

Injili

Kalvari Kanisa

Milele

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18

Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia

Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho

Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21

7 1000

33 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo

30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme

Injili

600 Kalvari Kanisa

700 2000

(4) Daniel 7:13 – 14, 27

(3) Isaya 9: 6 33 AD (5) Ufunuo 20:11 – 15

Bahari Miti Upepo

Milele

ULIMWENGU WA MWILI

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

“… vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa

vitu visivyo onekana (vya kiroho).

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri

limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo

hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa

zilizopita (wakati uliopita).

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya

maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka

kabisa yakupate.

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Hivyo;Hakuna kitu kinafanyika katika

Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika

Ulimwengu wa Kiroho.

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18

Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vitu

visiyoonekana (vya kiroho) kwani hivyo ndivyo vya milele

(vya kudumu).

ULIMWENGU WA ROHOWaebrania 11:3

Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba kwanza katika

ulimwengu wa kiroho, na alipoikalimisha, ndipo akaizaa (akai-photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.

ULIMWENGU WA ROHO

Waebrania 11:3Kwahiyo, kila kitu duniani kina

original copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft-copy na hard-copy

yake (yaani kina upande wa rohoni na wa upande wa mwilini).

ULIMWENGU WA ROHO

Kwahiyo

Kila cha Kimwili, kina cha kiroho chake

1 Wakorintho 15:44

ULIMWENGU WA ROHO

1 Wakorintho 15:44“Ikiwa kuna mwili wa asili,

Basi na mwili wa roho pia, upo”

ULIMWENGU WA ROHO

Ayubu 8:9“Kwakuwa sisi ni wa jana tu,

wala hatujui neno, maisha yetu ni kama kivuli”- Photocopy -

ULIMWENGU WA ROHO

Zaburi 39:6a“Binadamu huko na huko

kama kivuli”- Photocopy -

ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu w

Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);• Vitu visivyoonekana • Vitu vinavyoonekana

Na vyote viko kwa pamoja

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Ni Kwasababu, Ulimwengu wa Mwili

ulizaliwa kupitia Ulimwengu wa Kiroho.

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Ni Kwasababu,

Mambo ya Ulimwengu wa mwili yanatawaliwa kwa mambo ya

ulimwengu wa roho;

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Ni muhimu uje kwamba, Kanuni za Kimwili zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Hivyo, kwa utaratibu huu;Hakuna kitu kinafanyika katika

Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika

Ulimwengu wa Kiroho.

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Huu ndio Utaratibu wa Mungu katika kuitawala dunia;

kwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kimwili, sharti yafanyike kwanza

katika ulimwengu wa kiroho.

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Hivyo;Hakuna kitu kinafanyika katika

Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika

Ulimwengu wa Kiroho.

KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4

Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili

utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala

ulimwengu wa roho kwanza.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Maombi ya Nabii Eliya

Yakobo 5:16-18

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-44; Baada ya ile Sadaka na Maombi,

Nabii Eliya akawaambia watu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya mvua tele’ (mstari 41), kabla hata ya

kuona dalili zozote za mvua katika ulimwengu wa mwili.

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba na Sadaka (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uyahudi Uyahudi

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-44; Baada ya ile Sadaka na Maombi, kabla hata ya kuona dalili zozote

za mvua katika ulimwengu wa mwili, Nabii Eliya akawaambia

watu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya mvua tele’ (mstari 41),

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-45; Na watu walipoondoka, Eliya

alikwenda mlimani kuomba; na baada ya maombi mazito mara

saba (7), ndipo mvua kubwa sana ikanyesha juu ya nchi

(mstari 44-45).

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / /

/ / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-45; Kumbe, mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili,

mpaka kwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kiroho

kwanza.

KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4

Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili

utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala

ulimwengu wa roho kwanza.

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Kwahiyo, Kanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual

Principles).

KANUNI ZA KIROHO

Mambo Mambo ya ya Kimwili Vs Kiroho (Vitu vinavyo- (Vitu Visivyo- Onekana) Onekana)

KANUNI ZA KIROHO

Kanuni Kanuni za za Kimwili Vs Kiroho (Natural (Spiritual Principles) Principles)

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18

Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia

Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho

Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21

7 1000

33 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo

30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme

Injili

Kalvari Kanisa

Milele

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18

Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia

Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho

Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21

7 1000

33 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo

30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme

Injili

600 Kalvari Kanisa

700 2000

(4) Daniel 7:13 – 14, 27

(3) Isaya 9: 6 33 AD (5) Ufunuo 20:11 – 15

Bahari Miti Upepo

Milele

ULIMWENGU WA MWILI

KUPENYA KUINGIA ROHONI

Yohana 14:23, 21

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

ASILI YA MUNGU NDANI YAKO

Mwanadamu (Mimi na Wewe) Ni sehemu Tatu;

1.Mwili2.Nafsi na 3.Roho

ASILI YA MUNGU NDANI YAKO

Mwa 2:7 Mungu RohoDunia Nafsi(Udongo) Mwili

Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

ASILI YA MUNGU NDANI YAKO

Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna uwezo na nguvu za

ki-Mungu. Huko rohoni (Ndani yako) kuna asili ya ki-Mungu; kuna sura na

mfano wa Mungu.

ASILI YA MUNGU NDANI YAKO

Mungu ndiye asili yetu(sisi) ambao no roho.

Mwa 1:26-27‘Tufanya mtu kwa sura yetu na kwa mfano wetu, wakatawale

dunia na vyote’

ASILI YA MUNGU NDANI YAKO

Mwanzo 1:26-28Kwahiyo, roho yako (wewe)

unabeba asili ya Mungu kabisa; kwasababu roho yako (wewe)

umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu mwenyewe.

ASILI YA MUNGU NDANI YAKO

Mwanzo 1:26-28Ndani yako (rohoni) kuna asili

ya ki-Mungu. Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna

uwezo wa ki-Mungu; (Nguvu za Mungu)

ASILI YA MUNGU NDANI YAKO

Mwa 2:7 Mungu RohoDunia Nafsi(Udongo) Mwili

ASILI YA MUNGU NDANI YAKO

Kwahiyo, Wewe ni mungu mdogo duniani!

Zaburi 82:6

ASILI YA MUNGU NDANI YAKO

Zaburi 82:66 Nilisema, Ninyi ni

“miungu’’, ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.

ASILI YA MUNGU NDANI YAKO

Yohana 10:33-3633 Wayahudi wakamjibu,

“Hutukupigi mawe kwa sababu ya mambo mema

uliyotenda, bali ni kwa kuwa umekufuru. Wewe ingawa ni

mwanadamu unajifanya kuwa Mungu.’’

ASILI YA MUNGU NDANI YAKO

Yohana 10:33-3634 Yesu akajibu akawaambia,

‘‘Je, haikuandikwa katika Torati yenu kwamba, ‘Ninyi ni miungu?’

ASILI YA MUNGU NDANI YAKO

Yohana 10:33-36

35 Kama aliwaita (ninyi) ‘miungu’, ninyi ambao neno

la Mungu limewajia …

ASILI YA MUNGU NDANI YAKO

Yohana 10:33-3636 Si zaidi sana mimi, ambaye

Baba ameniweka wakfu na kunituma ulimwenguni; kujiita

Mungu? Sasa, mnawezaje kusema kwamba, ninakufuru

eti kwasababu nimesema ‘Mimi ni Mwana wa Mungu?’

UWEZO WA ROHO YAKO

Kwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani!

Zaburi 82:6 Yoh 10:33-36

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana

na ulimwengu wa roho.

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Roho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili

kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-Mungu katika kujua mambo bila

kuelezwa au kuona.

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Yohana 14:23, 21

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, njia ya kuingilia katika

ulimwengu wa roho, haiko mbali nasi, iko ndani yetu.

(rohoni)

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)

(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Kazi ya roho ni kuwasiliana na ulimwengu wa roho (hata kujua

yajayo). Na kazi ya mwili ni kuwasiliana na ulimwengu wa

mwili, kutekeleza msukomo wa mtu wa ndani (roho na nafsi)

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Nafsi ni kiungo kinachotafsiri mambo ya ulimwengu roho

na mambo ya ulimwengu wa mwili katika Ufahamu wako

(akili zako ili uelewe).

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Mwili, Nafsi, Roho

Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Kwahiyo, mtu ukiweze kupenya na kuingia ndani yake

(rohoni mwake), atakuwa amekutana na Ulimwengu wa roho, unaotawala ulimwengu

wa mwili na hata kujua mambo yajayo.

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Wewe una asili ya Mungu

Kuona - Kuelewa - Kujua

UTUKUFU

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Hii ni kwasababu;Kuwa katika mwili kuna

kuzuilika (limitation) lakini unapotoka nje ya mwili, unakuwa katika ukanda (unlimitedness) ambao

hauna mipaka ya ufahamu.

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Wewe una asili ya Mungu

Mwenendo Fikra Hisia

UTUKUFU

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Mwili Nafsi Roho

Kuona Kuelewa Kujua (See) (Understand) (Know)

ASILI YA MUNGU NDANI YAKO

Mwanzo 1:26-28Ndani yako (rohoni) kuna asili

ya ki-Mungu. Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna

uwezo wa ki-Mungu; (Nguvu za Mungu)

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana

na ulimwengu wa roho.

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Roho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili

kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-Mungu katika kujua mambo bila

kuelezwa au kuona.

Uwezo wa roho ya Mtu

Mfano 1:Yesu, Musa na Eliya;

Petro, Yakobo na Yohana; Mathayo 17:1-9

Uwezo wa roho ya Mtu

Mathayo 17:1-9Katika maombi ya Bwana Yesu

kule mlimani, Utukufu wa Mungu unafunuka, na Manabii

Musa na Eliya wanatokea pamoja na Yesu, na Petro

anakiri hivyo kwa Bwana Yesu.

Uwezo wa roho ya Mtu

Mathayo 17:1-9Swali:

Ikiwa enzi zile hakukua na picha wala video, Petro aliwezaje kujua kwamba, yule pale ni Petro na yule pale ni Musa?

Uwezo wa roho ya Mtu

Mathayo 17:1-9Jibu:

Wanafunzi wa Yesu, walikuwa ndani ya Utukufu wa Mungu,

kwahiyo nafsi zao zilikuwa rohoni zaidi kuliko mwilini, ndio maana walijua bila kuambiwa.

Uwezo wa roho ya Mtu

Jibu:UTUKUFU wa Mungu, uli-

dhoofisha (ulinyamazisha) miili yao, roho zao zikahuishwa na

ule uwezo wa roho (unga’amuzi – Kujua bila kuambiwa) ukaweza

kufanya kazi yake - KUJUA.

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Mwili, Nafsi, Roho

Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Wewe una asili ya Mungu

Kuona Kuelewa Kujua

UTUKUFU

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kuweka nafsi (fikra,

hisia na maamuzi) zetu rohoni zaidi, basi tutaweza kutembea

katika kiwango cha ki-Mungu cha kujua na kuamua mambo kwa

usahihi kabisa, bila kubahatisha.

Uwezo wa roho ya Mtu

Mfano 2:Tajiri na LazaroLuka 16:19-31

Uwezo wa roho ya Mtu

Luka 16:19-31Swali:

Tajiri na Lazaro wamekufa, hivyo, wako nje ya miili yao. Kule kuzimu, tajiri alamwona Lazaro upande wa pili akiwa kifuani kwa Baba Ibrahimu.

Uwezo wa roho ya Mtu

Luka 16:19-31Swali:

Ikiwa enzi zile hakukua na picha wala video, Tajiri alijuaje

kwamba, yule pale aliyempakata Lazaro ndiye Baba Ibrahimu aliyeishi zamani sana?

Uwezo wa roho ya Mtu

Luka 16:19-31Jibu:

Tajiri alikuwa nje ya mwili wake, hivyo roho yake nje ya mwili,

ilikuwa na uwezo wa Kujua bila kuambiwa.

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Roho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili

kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-

Mungu katika kujua bila kuelezwa au kuona.

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kuweka nafsi (fikra,

hisia na maamuzi) zetu rohoni zaidi, basi tutaweza kutembea

katika kiwango cha ki-Mungu cha kujua na kuamua mambo kwa

usahihi kabisa, bila kubahatisha.

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Kwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani!

Zaburi 82:6 Yoh 10:33-36

Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Kumbuka;Kazi ya roho ni kuwasiliana na ulimwengu wa roho (hata kujua

yajayo). Na kazi ya mwili ni kuwasiliana na ulimwengu wa

mwili, kutekeleza msukomo wa mtu wa ndani (roho na nafsi)

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Nafsi ni kiungo kinachotafsiri mambo ya ulimwengu roho

na mambo ya ulimwengu wa mwili katika Ufahamu wako

(akili zako ili uelewe).

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Mwili, Nafsi, Roho

Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana

na ulimwengu wa roho.

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Kwahiyo, kumbe dirisha (tundu) la kuingilia na

kugusana na ulimwengu wa roho, haliko mbali nasi, liko

ndani yetu (rohoni).

NAMNA YA KWENDA ROHONI

Namna ya kwenda rohoni;

1. Kwa njia ya Maombi2. Kwa njia ya Ibada3. Kwa njia ya Ndoto4. Kwa njia ya Maono5. Kwa njia ya Mawazo

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

1. Kwa njia ya Maombi

“Kila mtu amwendeaye Mungu, inampasa kuamini kwamba

Mungu yupo, na huwapa thawabu, wale wote wamtafutao”

(Waebrania 11:6)

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

1. Kwa njia ya Maombi Mtu wa Mungu anapoingia katika, maombi, huwa anahamisha fikra zake

na hisia zake, kutoka katika mwili (ambako ndiko ameishi zaidi ktk siku nzima) na kuziweka katika roho yake,

mahali Mungu alipo (anaishi) ili kuwasiliana naye.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

1. Kwa njia ya MaombiKwa njia ya maombi, mtu huwa

anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao

hauonekani kwa macho yetu ya kimwili, lakini upo.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

2. Kwa njia ya Ibada

“Ingieni malangoni mwake kwa Kushukuru, ingieni nyuani

mwake kwa kusifu” (Zaburi 100:1-5)

MUNGU ANAKAA WAPI?

Mungu anaishi ndani yetu!

Au hamjui ya kuwa miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu, na kwamba Mungu anaishi ndani yenu? (1Wakorintho 3: 9, 16)

Wewe ni HEKALU la Mungu

Patakatifu pa

Patakatifu Patakatifu

Uwanda Uwanda

wa Nje

Wewe ni HEKALU la Mungu

Mwili Nafsi Roho

Nje Ptf PPP

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la Mungu

Nje Fikra Hisia

UTUKUFU

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la MunguUkitaka kukutana na Mungu

(Utukufu) lazima ujue namna ya kuuhamisha moyo/nafsi wako

kutoka katika mwili na kwa njia ya maombi, na kuielekeza

rohoni mwako.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la Mungu

Mwenendo Fikra Hisia

UTUKUFU

NAMNA YA KUINGIA ROHONINi muhimu tujue kwamba;

“Kusifu na kuabudu pia, kuna namna yake ya ajabu sana, ya

kukuingiza katika ulimwengu wa roho unapotaka kuomba, na

kukukutanisha utukufu wa Mungu kule ndani katika roho yako,”

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, mtu ukiweze kupenya na

kuingia ndani yako (rohoni mwako), kwa njia ya maombi,

utakuwa umekutana na Ulimwengu wa roho, unaotawala

ulimwengu wa mwili

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la Mungu

Mwenendo Fikra Hisia

UTUKUFU

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

2. Kwa njia ya IbadaKwa njia ya ibada, mtu huwa

anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao

hauonekani kwa macho yetu ya kimwili, ila upo.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

Kwa njia ya MaombiKwa njia ya Ibada3. Kwa njia ya Ndoto

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya NdotoKwa kuwa ndoto si kitu mtu

anaweza kupanga, basi hawezi kuki-control. Ndoto ni kitu

ambacho utasubiri kikutokee.(Mungu akupe mwenyewe)

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya NdotoMtu analala usingizini, mwili wake

huwa unapumzika, hivyo, nafsi yake (fikra na mawazo) vinakosa kazi, hivyo huamua kumgeukia roho, ambayo iko-connected na

ulimwengu wa roho.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya NdotoKwahiyo, japo mtu amelala usingizi

(mwilini), lakini roho, ambayo iko-connected na ulimwengu wa roho, inaendelea kutembea na

kufanya mambo mengi sana katika ulimwengu wa roho.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya NdotoKwahiyo, kwa njia ya ndoto, mtu

anakuwa ameunganishwa (connected) na ulimwengu wa

roho, na anaendelea kutembelea na kufanya mambo mengi sana

katika ulimwengu wa roho.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya Ndoto Mathayo 1:20-25

20 Yusufu alitokewa na malaika wa Bwana katika ndoto na kusema,

“usiogope kumchukua Maria awe mke wako, kwa maana mimba aliyo nayo ni

kwa uweza wa Roho Mtakatifu”.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya Ndoto21 “Naye atamzaa mwana , nawe

utamwita jina lake Yesu, kwa maana yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao.”

(Mathayo 1:20-25)

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya Ndoto24 Yosefu alipoamka kutoka usingizini,

akamchukua Maria kuwa mke wake. 25 Lakini hawakukutana kimwili mpaka

Maria alipojifungua mwanaye wa kwanza na akamwita jina lake Yesu.

(Mathayo 1:20-25)

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya NdotoMara nyingi unapokwenda kulala na ukaota ndoto, roho yako huwa inakwenda katika ulimwengu wa

roho na kukutana na mambo mengi sana na kufanya mambo

mengi, huko rohoni.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya NdotoKuamka usingizini na kuzinduka kutoka katika ndoto, kwa uhalisi

kabisa, huwa ina maana kwamba, umerudi tu mwilini kutoka katika ulimwengu wa kiroho ulikokuwa umekwenda kwa njia ya ndoto.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya NdotoKwa njia ya ndoto, mtu huwa

anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao

hauonekani kwa macho yetu ya kimwili.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

Kwa njia ya MaombiKwa njia ya IbadaKwa njia ya Ndoto4. Kwa njia ya Maono

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya MaonoKama ndoto, maono pia si kitu

mtu anaweza kupanga, basi hawezi pia kuki-control.

Kama ndoto, maono ni kitu ambacho mtu atasubiri

kimtokee. (Yaani ni mpaka Mungu akupe mwenyewe)

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya MaonoMaono ni kama ndoto, ni

taswira au maono ambayo mtu anayapata akiwa hajasinzia (hajalala).

Mfano; mtu anaweza akawa anomba, anatembea,

amekaa, anafanya shughuli zake, n.k.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya Maono(Ufunuo 1:9-10)

9 Mimi Yohana, ninayeshiriki pamoja nanyi mateso kwa

ajili ya Yesu, nilikuwa katika kisiwa kiitwacho Patmo kwa

ajili ya neno la Mungu na ushuhuda wa Bwana Yesu.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya Maono10 Nilikuwa katika roho siku ya

Bwana (jumapili), nami nikasikia sauti kubwa ikisema, “Andika

kwenye kitabu haya yote unayoyaona, kisha uyapeleke kwa makanisa saba nitakayokuambia.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya MaonoUfunuo 20:11-15

‘Kisha nikaona, kiti cha enzi; mauti na kuzimu zikawatoa

wafu wake; wote, wakasimamishwa mbele za

kiti cha enzi; vitabu vikafunguliwa’

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya MaonoUfunuo 20:11-15

‘nikaona majina yakisomwa, na iwapo mtu akuonekana

ameandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika

lile ziwa la moto, ndio Jehanamu ya milele’

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya MaonoKwa njia ya maono, mtu huwa

anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao

hauonekani kwa macho yetu ya kimwili, lakini upo.

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Namna ya kwenda rohoni;

Kwa njia ya Maombi Kwa njia ya Ibada Kwa njia ya NdotoKwa njia ya Maono5. Kwa njia ya Mawazo

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

5. Kwa njia ya MawazoKwa njia ya mawazo, mtu huwa

anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao

hauonekani kwa macho yetu ya kimwili, japokuwa upo.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la Mungu

Nje Fikra Hisia

UTUKUFU

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Mwili, Nafsi, Roho

Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho

NAMNA YA KUINGIA ROHON

5. Kwa njia ya MawazoNina imani kabisa kwamba,

umewahi kujiliwa na mtu fulani katika mawazo yako, na baada

ya dakika chache, mtu huyo huyo mkakutana naye.

UNAIELEZEAJE HALI HIYO?

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

5. Kwa njia ya MawazoAu, Naamini kabisa, umewahi

kumkumbuka mtu fulani mawazoni mwako na baada ya dakika chache, mtu huyo huyo akakupigia simu, mkaongea.

UNAIELEZEAJE HALI HII?

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

5. Kwa njia ya MawazoKwasababu mawazo yako kati ya mwili na roho, Mawazo yako yana uwezo wa kutembelea upande wa

mwilini na pia yana uwezo wa kuingia upande wa rohoni na kuchungulia habari za huko.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

5. Kwa njia ya MawazoKwa njia ya mawazo, mtu huwa

anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao

hauonekani kwa macho yetu ya kimwili, japokuwa upo.

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Mwili, Nafsi, Roho

Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la Mungu

Mwenendo Fikra Hisia

UTUKUFU

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, mtu ukiweze kupenya na

kuingia ndani yako (rohoni mwako), kwa njia ya maombi,

utakuwa umekutana na Ulimwengu wa roho, unaotawala

ulimwengu wa mwili

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18

Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia

Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho

Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21

7 1000

33 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo

30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme

Injili

600 Kalvari Kanisa

700 2000

(4) Daniel 7:13 – 14, 27

(3) Isaya 9: 6 33 AD (5) Ufunuo 20:11 – 15

Bahari Miti Upepo

Milele

ULIMWENGU WA MWILI

KUTEMBEA KWA IMANI

Hatua za Imani Timilifu

Waebrania 11:1

Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho

(Tumaini) (Imani)

Maombi ya Maombi ya Kuumba Sifa + Kufungulia

Kupata mnayapokea yatakuwa

Neno (sasa) (baadaye)

Ulimwengu wa mwili

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniSiri ya kutembea katika imani ipo

katika kukiri, yale uyatakayo, mara baada ya kupata uhakika

wa Roho Mtakatifu ukiwa katika hali ya maombi juu ya

swala hilo.

KUTEMBEA KWA IMANI

Hatua za Imani Timilifu

Warumi 4:16-24

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hatua Muhimu ya Kwanza;

1.Kupata na Kutumia Neno la Mungu.

Waebrania 4:12 2Timotheo 3:16-17

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(Warumi 10:17)

‘Imani yenye Nguvu ya kuhamisha milima,

huzaliwa kwa Neno la Mungu lililovuviwa.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 4:12‘Neno la Mungu li hai,

tena lina Nguvu’ (ya kutenda hata kuleta

mabadiliko)

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11:3,‘Nasi twajua ya kuwa,

Ulimwengu uliumbwa kwa Neno, hata vitu

vinavyoonekana viliumbwa kwa vitu visivyoonekana.’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Timotheo 3:16-17‘Kila andiko/tamko lenye pumzi/uvuvio wa Mungu,

lafaa kwa kuleta mabadiliko ya tabia/mwenendo.’

(mafafanuzi)

NGUVU YA NENO

2 Timotheo 3:16-17

Andiko + Pumzi = Neno (Hai)

Herufi + Roho = Nguvu

KANUNI ZA KIROHO

Angalizo;

Tofauti ya Andiko Vs Neno

KANUNI ZA KIROHO Andiko lililochaguliwa na

Mungu ili litumike, ndilo tu ambalo Roho Mtakatifu wa Mungu, atakuja kulivuvia, ili kulifanya kuwa Neno lenye Uhai na Nguvu ya kutenda.

(2Tim 3:16-17, Ebr 4:12)

KANUNI ZA KIROHO

Uwe mwangalifu kutumia maandiko katika Biblia katika

maombi na kukiri ushindi, Kwasababu kuna tofauti ya

Andiko na Neno. (2Timotheo 3:16-17)

KANUNI ZA KIROHO

Hivyo uwe makini sana;Kwasababu,

Si kila Andiko ni Neno.

KANUNI ZA KIROHO

Uwe makini sana;Kwasababu,

Kuna tofauti kubwa sana kati ya Andiko na Neno(2Kor 3:6, Yoh 6:63)

Andiko Vs Neno

Tofauti 1 kati ya Andiko Neno

Andiko ni Kitu Neno ni Uhai

(Herufi) (Mtu)

(Yoh 1:1-4)

Andiko Vs Neno

Tofauti 2 kati ya Andiko Neno

Andiko pekee Neno ni Uhai

Halijui Linajua/Anajua

(Ebr 4:12-13)

Andiko Vs Neno

Tofauti 3 kati ya Andiko Neno

Andiko pekee Neno ni Uhai

Halitumwi Lina/Anatumwa

(Zab 107:20)

Andiko Vs Neno

Tofauti 4 kati ya Andiko Neno

Andiko pekee Neno ni Uhai

Halitendi Lina/Anatenda

(Isaya 55:10-11)

Andiko Vs Neno

Tofauti 5 kati ya Andiko Neno

Andiko pekee Neno ni Uhai

Linaua Lina/Anahuisha

(2Kor 3:6) (Mwa 2:7)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENOWaebrania 4:12

“Neno la Mungu li hai tena lina Nguvu”

NGUVU YA NENO

2Kor 3:6, Yoh 6:63‘Andiko linauwa, lakini Roho

anahuisha; kwahiyo, Neno langu ni Roho, tena ni

Uzima; kwasababu’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO

Yohana 6:63‘Roho ndio itiayo uzima (uhai),

kwani mwili (pasipo roho) haufai kitu’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO

Yohana 6:63‘Maneno yangu ni Roho

nayo ndio Uzima’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Nguvu ya neno inatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao

unatokana na uwepo wa Roho/roho aliyevuvia hilo Neno

Waebrania 4:122Timotheo 3:16-17

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Yesu na Mti wa Tini

Marko 11:12-14, 20-24.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-2412 Kesho yake walipokuwa

wakitoka Bethania, Yesu alikuwa na njaa. 13

Alipouona mtini kwa mbali, akaenda ili aone kama ulikuwa na matunda.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24

13 ... Alipoufikia, akakuta una majani tu, kwa kuwa

hayakuwa majira ya tini.

14 Yesu akauambia ule mti,

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24

14 ... ‘‘Tangu leo mtu ye yote na asile matunda kutoka kwako tena.’’ Wanafunzi

Wake walimsikia akiuambia ule mti maneno hayo.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24

20 Asubuhi yake, walipokuwa wakipita, wakauona ule mtini umenyauka kutoka juu hadi

kwenye mizizi yake.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24

21 Petro akakumbuka na kumwambia Yesu,

“Mwalimu, tazama! Ule mtini ulioulaani umenyauka!’’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24

22 Yesu akawajibu akawaambia, “Mwaminini

Mungu. 23 Amin, amin nawaambia, mtu ye yote

atakayeuambia mlima huu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24

23 ...'Ng’oka ukatupwe baharini,’ wala asione shaka moyoni mwake, bali aamini

kwamba hayo asemayo yametukia, yatakuwa yake.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24

24 Kwa sababu hiyo nawaambia, yo yote

myaombayo mkisali, aminini ya kwamba mmeyapokea

nayo yatakuwa yenu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Maneno ya Nabii Eliya

Yakobo 5:16-181Wafalme 17:1

1Wafalme 18:41

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 5:17-18, 1617 Eliya alikuwa mwanadamu

mwenye tabia moja na sisi, lakini aliomba kwa bidii, mvua isinyeshe, na mvua

haikunyesha kwa muda wa miaka 3 na miezi 6.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 5:17-18, 1618 Baada ya miaka miaka 3

na nusu, (nchi yote ikiwa kame kabisa na misitu

imekauka) Eliya aliomba tena kwa bidii, na mvua ikanyesha na nchi ikazaa matunda yake.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 5:17-18, 16

16 ... Kuomba kwake mwenye haki, kwafaa

sana akiomba kwa bidii.

HATUA ZA IMANI YA USHINDI

2. Nidhamu ya Kuomba Kwa Bidii

Mpaka Kusababisha Uumbaji Kutokea Rohoni.

Yakobo 5:17-18, 161Wafalme 18:29-45

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Maombi ya Nabii Eliya

Yakobo 5:16-18

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 5:16-18

17 Eliya likuwa mwanadamu kama sisi, lakini aliomba kwa

bidii, mvua isinyeshe juu ya nchi, na mvua haikunyesha juu ya nchi kwa muda wa miaka mitatu (3)

na miezi sita (6).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 5:16-18

18 (baada ya miaka mitatu na nusu) Eliya akaomba tena kwa bidii, ili mvua inyeshe, na mvua

ikanyesha, na nchi ikazaa matunda yake.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 5:16-18

16 Kwahiyo basi, vivyo hivyo na ninyi, ombeaneni ili mpate kuponywa; kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana,

akiomba kwa bidii.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Utangulizi;Yesu na Pepo SuguMathayo 17:9-21.

KANUNI ZA KIROHOWaefeso 3:20

Kuna kiwango maalum cha Nguvu za Mungu,

kinachomwezesha mtu wa Mungu, aishi maisha ya

ushindi na mafanikio, katika kulitimiza kusudi la Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Maombi = Imani = Nguvu

KANUNI ZA KIROHO

Moja ya sababu kubwa, kwanini tunaishi maisha ya kushindwa, ni kutokana na kutojua namna ya kuishi na

kutembea kwa Imani, ambako kunazima Nguvu za Mungu

maishani mwetu.

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 17:9-21Bwana Yesu anahusisha

Kiwango cha Imani ya mtu na Nidhamu yake ya Maisha ya

Maombi au Kiwango cha Maombi maishani mwake.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Maombi = Imani = Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUMathayo 17:9-20

Bwana Yesu alimaanisha kwamba; wanafunzi wake

hawakuishi Maisha ya Maombi, Ndio maana

hazikuzalishwa Nguvu za Mungu za kutosha, kuondoa

lile tatizo.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU1Wafalme 18:41-44

Nidhamu ya Maombi ya muda mrefu, inahitajika sana katika

kusababisha uumbaji ya mambo katika ulimwengu wa

roho, tunayoyahitaji sana katika ulimwengu wa mwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU1Wafalme 18:41-44

Kwa Mfano wa;

Nidhamu ya Kuku anayelalia (anayeatamia) mayai ili kutotoa vifaranga

Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho

(Tumaini) (Imani)

Maombi ya Maombi ya Kuumba Sifa + Kufungulia

Kupata mnayapokea yatakuwa

Neno (sasa) (baadaye)

Ulimwengu wa mwili

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,

atakushuhudia kwamba, tayari jambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha aina ya maombi, ili kuanza kufungulia majibu yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,

atakushuhudia kwamba, tayari jambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, na baada

ya muda litatokeza katika ulimwengu wa mwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24(23) amini kwamba hayo

uyasemayo (tayari) yametukia (hata kama huyaoni), hapo

ndipo yatakuwa yake (yatadhihirika) katika

kuonekana na kushikika.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-2424 Kwa sababu hiyo nawaambia,

yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba;

mnayapokea (sasa) nayo yatakuwa yenu (baadaye).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24

Swali24 Ikiwa tayari nimeshapokea “sasa”, kwanini hilo jambo liwe

langu “baadaye” na sio sasa?

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24

Swali24 Hiyo “baadaye” ni ya nini

ikiwa tayari nimeshapokea hili jambo “sasa”?

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24

Swali24 kwanini lisiwe langu “sasa”,

badala yake litakuwa langu “baadaye” na sio sasa? Wakati tayari nimeshapokea “sasa”?

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-2424 Kwa sababu hiyo nawaambia,

yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba;

mnayapokea (sasa) nayo yatakuwa yenu (baadaye).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:23-24 mnayapokea yatakuwa yenu

(sasa) (baadaye)

Ulimwengu wa Ulimwengu wa kiroho kimwili

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24Mtu wa Mungu, hataweza kuelewa kitu Yesu aliongea

hapa, kama hajui namna Mungu anavyofanya mambo, kwa

kanuni zake duniani. ~ Njia (Style) za Mungu ~

KANUNI ZA KIROHO

Kwa Mfano;

Uumbaji wa DuniaWaebrania 11:3

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

“Nasi twajua ya kuwa, Ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu,

hata vitu vinavyoonekana, havikufanywa kwa vitu vilivyo

dhahiri (au vitu vilivyo wazi wazi au vitu vinavyoonekana)”

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18

Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia

Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho

Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21

7 1000

33 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo

30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme

Injili

600 Kalvari Kanisa

700 2000

(4) Daniel 7:13 – 14, 27

(3) Isaya 9: 6 33 AD (5) Ufunuo 20:11 – 15

Bahari Miti Upepo

Milele

ULIMWENGU WA MWILI

KWANINI ROHO MTAKATIFUKwa jinsi Mungu

alivyoutengeneza ulimwengu huu, binadamu hataweza

kusababisha mabadiliko ya ushindi maishani mwake, pasipo

kupitia katika ulimwengu wa yasiyoonekana kwanza.

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18

Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vitu

visiyoonekana (vya kiroho) kwani hivyo ndivyo vya milele

(vya kudumu).

ULIMWENGU WA ROHO

Kabla jambo halijatokea duniani katika ulimwengu wa

mwili, ni lazima lifanywe kutokea katika ulimwengu wa roho kwanza. Ndivyo ambavyo

Mungu aliutengeneza ulimwengu huu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:23-24 mnayapokea yatakuwa yenu

(sasa) (baadaye)

Ulimwengu wa Ulimwengu wa kiroho kimwili

Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho

(Tumaini) (Imani)

Maombi ya Maombi ya Kuumba Sifa + Kufungulia

Kupata mnayapokea yatakuwa

Neno (sasa) (baadaye)

Ulimwengu wa mwili

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,

atakushuhudia kwamba, tayari jambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha aina ya maombi, ili kuanza kufungulia majibu yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,

atakushuhudia kwamba, tayari jambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, na baada

ya muda litatokeza katika ulimwengu wa mwili.

Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho

Tumaini Imani “Nita …” “Nime ….”

Kuanza mnayapokea yatakuwa

maombi (sasa) (baadaye)

Ulimwengu wa mwili

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Maombi ya Nabii Eliya

Yakobo 5:16-18

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-44; Baada ya ile Sadaka na Maombi,

Nabii Eliya akawaambia watu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya mvua tele’ (mstari 41), kabla hata ya

kuona dalili zozote za mvua katika ulimwengu wa mwili.

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba na Sadaka (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uyahudi Uyahudi

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-44; Baada ya ile Sadaka na Maombi, kabla hata ya kuona dalili zozote

za mvua katika ulimwengu wa mwili, Nabii Eliya akawaambia

watu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya mvua tele’ (mstari 41),

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-45; Na watu walipoondoka, Eliya

alikwenda mlimani kuomba; na baada ya maombi mazito mara

saba (7), ndipo mvua kubwa sana ikanyesha juu ya nchi

(mstari 44-45).

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / /

/ / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-45; Kumbe, mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili,

mpaka kwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kiroho

kwanza.

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:41-45;

Kwahiyo, kumbuka kwamba, Kanuni za kiroho, ndizo

zilizotangulia kusababisha athari katika ulimwengu wa rohoni

kwanza, ili mvua inyeshe katika ulimwengu wa mwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hatua Muhimu ya Tatu;

3. Usikivu kwa Uongozi wa Roho Mtakatifu

Warumi 8:16, 26-272Tim 3:16-17

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniSiri ya kutembea katika imani ipo

katika kukiri, yale uyatakayo, mara baada ya kupata uhakika

wa Roho Mtakatifu ukiwa katika hali ya maombi juu ya

swala hilo.

SIRI YA KANISA LA LEO

Warumi 8:16‘Wale wanoongozwa na Roho wa Mungu, hao ndio wana wa

Mungu.’

SIRI YA KANISA LA LEO

Kiwango cha nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea

kiwango cha utii unaompa Roho Mtakatifu, ambaye ni

Msaidizi wako.

SIRI YA KANISA LA LEO

Kiwango cha Utii unaompa Roho Mtakatifu, kinategemea kiwango cha usikivu wako ktk • kuitambua sauti yake (signal)• kuisikia sauti yake (kuelewa) • kuitii sauti yake (kutenda)

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

Lakini kikubwa zaidi;Roho Mtakatifu

anataka kuongoza! Ndio moja ya kazi yake

iliyomleta dunianiYohana 16:13

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

NAMNA YA KUSIKIA SAUTI YA MUNGU NA

UONGOZI WA ROHO MTAKATIFU

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUA. Namna za KAWAIDA

1. Kwa Ushuhuda wa moyoni (Sauti ya Ndani – ‘Rhema’) Isaya 55:8-11, Yer 29: 11

(1Kor 2:16, Rum 8:16) (2Nyak 6:7, 2Nyak 7:11)

A. Namna za KAWAIDA

2. Kwa Neno lake (Neno liliandikwa - Logos);

(Zab 119:105, 2Tim 3;16-17)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUA. Namna za KAWAIDA

3. Kwa Amani ya rohoni (Furaha/Uhuru)

(Isa 55:12, Kol 3:15)(Fil 4:6-7, Efe 4:1-3)

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

Kwahiyo;Roho Mtakatifu

anataka kuongoza! Ndio moja ya kazi yake

iliyomleta dunianiYohana 16:13

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,

atakushuhudia kwamba, tayari jambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha aina ya maombi, ili kuanza kufungulia majibu yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hatua Muhimu ya Nne;

4. Kusifu, Kuabudu na Kushukuru

2Nyakati 20:1-30Matendo 16:13-25-36

Imani ya Ushindi

2Nyak 20, Mdo 16Kumsifu, Kumshukuru na

Kumwabudu Mungu, (hata kabla ya kuona majibu ya

maombi yako) kunafungulia nguvu za Mungu, kwa namna

ya ajabu …

Imani ya Ushindi

2Nyak 20, Mdo 16… ili kuvunja upinzani wote katika ulimwengu wa roho.

unaozuia baraka zako kushuka katika ulimwengu

wa mwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

5.Kubadilisha Mtazamo

Kuvaa Neno MachoniWaefeso 1:15-19

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 1:15-22‘Ninawaombea kwa Mungu, kwamba Macho ya mioyo yenu

yatiwe nuru, mpate kujua;i) Tumaini tulilonaloii) Utajiri tulionaoiii)Nguvu tulizonazo

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Nabii Elisha na Mtumishi

wake 2Wafalme 6:10-17

KUTEMBEA KWA IMANI

Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea sana na Namna unavyowaza (mind set) baada ya maombi.

Na uwezo wa kuwaza sawasawan unategemea

namna unavyoona.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Imani ya Baba Ibrahimu

Warumi 4:16-20.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16-24.20 Lakini Abrahamu hakusitasita

kwa kutokuamini, bali akiiona/akiitazama ahadi ya Mungu, alitiwa nguvu katika imani yake na kumpa Mungu

utukufu,

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16-24.17 … Ibrahimu baba yetu

alimwamini, Mungu awapaye ahadi waliokufa na akaanza kuvitaja vile vitu ambavyo

haviko kana kwamba vimekwisha kuwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16-24.20 Lakini Abrahamu hakusitasita

kwa kutokuamini ahadi ya Mungu, bali alitiwa nguvu

katika imani yake na kumpa Mungu utukufu,

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16-24.

21 akiwa na hakika kabisa kwamba Mungu alikuwa na

uwezo wa kutimiza lile aliloahidi.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16-24.18 Akitarajia yasiyoweza

kutarajiwa, Abrahamu akaamini atakuwa, ‘‘Baba wa

mataifa mengi,’’ (Hata kabla ya kuona mabadiliko

katika tumbo la Sara)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Uwezo wa Kuona Fursa mbalimbali za Kiuchumi1Wakorintho 2:9-10, 16

KUTEMBEA KWA IMANI1Wakorintho 2:9-10

‘Mambo ambayo macho hayapata kuyaona, wala masikio

hayajawahi kusikia, wala hayajawahi kuingia katika moyo

wa mtu; mambo hayo Mungu amewahifadhia wale

wampendao’

KUTEMBEA KWA IMANI

1Wakorintho 2:9-10Uwezo wa mtu kuona fursa

mbalimbali za kiuchumi unategemea sana na Namna

macho yako ya ndani (mind set) yalivyo.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Hajiri na Kijito cha Maji

Mwanzo 21:14-20

KUTEMBEA KWA IMANI

Uwezo wa ibrahimu kuwaza ushindi na kufikiri vizuri, juu

ya hali ya mke Sara na matarajio yao ya kupata

mtoto, ulitegemea sana na Namna alivyomwona Sara.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa Imani Mawazo Mtazamo Maneno

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16-20Ukikosea kuona, utakosea

kuwaza. Na ukikosea kuwaza, utakosea kuongea. Kwahiyo,

Ili kuongea vizuri, lazima uwaze vizuri, na ili uwaze vizuri, lazima uone vizuri.

KUTEMBEA KWA IMANI

Warumi 4:16-20Kila mtu alimwona Sara bibi

kizee, lakini Ibrahimu alimwona Sara Mama

watoto. Na ndicho kilichomwezesha kumuwazia

vizuri na kumtaja vizuri.

KUTEMBEA KWA IMANI

Warumi 4:16-20

“Siri ya Ibrahimu”Baba wa Imani

KUTEMBEA KWA IMANI

Warumi 4:16-20“Siri ya Baba Ibrahimu”

Alimwangalia Sara kupitia katika Neno la Mungu.(Alivaa Mawani ya Neno)

KUTEMBEA KWA IMANI

Warumi 4:16-20Kila mtu alimwona Sara bibi

kizee, lakini Ibrahimu alimwona Sara Mama

watoto. Na ndicho kilichomwezesha kumuwazia

vizuri na kumtaja vizuri.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni Hesabu 13:26-33, 4:1-9

Wengine waliona majitu, wakati wengine waliwaona hao majitu ni ‘chakula’ kwao.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni Waefeso 1:15-19

Mtume Paul alituombea, macho ya mioyo yetu, yatiwe nuru, ili

tupate kujua mambo yafuatayo; (1) tumaini (2) utajiri na

(3)nguvu zilizo ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni

Mambo yanayoathiri mtazamo (Sight)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

1. Umbali (Yakobo 4:8)Ukiwa mbali na Mungu, matatizo

unayokutana nayo yataonekana makubwa, na utawaza vibaya.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

2. Mwanga (Yohana 8:12)Ukitumia Mwanga wa Yesu kuangazia maisha yako (Neno), utaona tofauti na wengine, na

matatizo makubwa, kwako yataonekana madogo na

utawaza na kuongea vizuri.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

3. Lense (Warumi 4:19-20)Ukitumia Lense za Yesu kuangazia

maisha yako (Neno), utaona tofauti na wengine, na matatizo makubwa, kwako yataonekana

madogo na utawaza na kuongea vizuri.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

4. Lishe (1Petro 2:2)Ukiwa na nidhamu ya kula lishe ya

Neno la Mungu vizuri, utakuwa na uwezo wa kuona tofauti na wengine, na utawaza na vizuri.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

5. Kimo (Waefeso 4:11-14)Ukitumia Neno la Mungu vizuri,

kama chakula katika maisha yako, litakupa uwezo wa kukua

kimo chako kiroho na utaona tofauti na wengine, na pia utawaza na kuongea vizuri.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Musa na Wazee 70 wa Israeli.

Kutoka 24:1-18

7. Ngazi (Level) ya Wito

Kutoka 24:1-18 ^ 1st Class

^^^ 2nd Class

^^^^^^^^^^ 3rd Class

KIWANGO CHA NDANI YA MUNGU

NGAZI YA IMANI

Waefeso 4:11-15Usiridhike kuwa mtu wa

Mungu, bali tafuta kuongezeka katika ngazi yako ndani ya

Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kukua katika Kimo cha Kiimani (Waefeso 4:11-14)

Kwa huduma ya Mitume, Manabii, Wainjilisti, Wachungaji na

Waalimu, waumini tufundishwe na kukua, mpaka kufika katika cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo .

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Wanafunzi wa Yesu.

Luka 6:13-16

1 (Yoh 21:19-24)

3 (Math 17:1-9) 12 (Luka 6:12-15)

2 70 (Luka 10:1,17)

– 120 (Mdo 1:15)

500 (1Kor 15:3-8)

NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU

KIWANGO CHA NDANI YA MUNGU

NGAZI YA IMANIUsiridhike kuwa mwanafunzi wa

Yesu, bali tafuta kuongezeka katika ngazi yako ndani ya

Mungu; kwasababu Kimo chako cha kiimani, kitasababisha uwezo wako wa kuona sawasawa, uwe

mzuri au mbaya.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KUKUA KATIKA KIWANGO CHA IMANI

Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi

katika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazi

katika viwango vyake maalum.Ezekiel 28:30

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

6. Dawa (Ufunuo 3:15-18)Ukitumia Neno la Mungu vizuri,

kama dawa katika maisha yako, itakupa uwezo wa kuona tofauti na wengine, na pia utawaza na

kuongea vizuri.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

7. Upande (1Korintho 3:1-3)Ukitumia Neno la Mungu vizuri,

litakusimamisha upande wa kiroho (sio wa kimwili), hiyo

itakupa uwezo wa kuona tofauti na wengine, na pia utawaza na

kuongea vizuri.

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

Kuenenda kiroho(Katika Roho)

Wagal 5:16-25, Warum 8:5-121Wakor 1:1-9

KIROHO NA KIMWILI

Rohoni Mwilini

Tabia za rohoni Tabia za mwilini Upendo, Furaha, Amani Chuki, Hasira, Uadui Wema, Upole, Fadhili Ubaya, Ukali, Uchoyo Uvumilivu, Uaminifu Kutokuvumilia, Uongo, Utii, Unyenyekevu, Kiasi, Wizi, Kiburi, Kujiona, Maombi, Neno, Ibada Uzinzi, Uasherati, Ulevi Utoaji, Kuhudumia, n.k. Uchawi, Mila mbaya, n.k.

(a) Macho ya Rohoni

Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)1. Umbali (Yakobo 4:8)2. Mwanga (Yohana 8:12)3. Lense (Warumi 13:14)• Lishe (1Petro 2:2)• Kimo (Waefeso 4:11-14)• Dawa (Ufunuo 3:15-18)• Upande (1Korintho 3:1-3)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

10. Kutembea kwa Imani Mtazamo

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa Imani Mawazo Mtazamo Maneno

KUTEMBEA KWA IMANI

Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea sana na Namna unavyowaza (mind set) baada ya maombi.

Na uwezo wa kuwaza sawasawan unategemea

namna unavyoona.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukikosea kuona, utakosea kuwaza. Na ukikosea kuwaza, utakosea kuongea. Kwahiyo,

Ili kuongea vizuri, lazima uwaze vizuri, na ili uwaze vizuri, lazima uone vizuri.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mambo yatakayokusaidia Kutembea kwa Ushindi.

a) Macho ya rohonib)Mawazo ya ushindic) Maneno ya Ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

5 (b) Kubadilisha Mtazamo kutakuwezesha

‘Kuwaza sawasawa na iliyo Kweli’Mithali 23:7

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

5(b) Mawazo ya UshindiMithali 23:7

‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake)

ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’

Kutembea na nguvu za Mungu

Mawazo Mtazamo

KUTEMBEA KWA IMANI

Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea sana na Namna unavyowaza (mind set) baada ya maombi.

Na uwezo wa kuwaza sawasawan unategemea

namna unavyoona.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26-28Kwahiyo, roho (wewe) inabeba

asili ya Mungu; kwasabau imeumbwa/umeumbwa kwa

sura na mfano wa Mungu mwenyewe.

Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33-36 Zab 82:634 Yesu akajibu akawaambia, ‘‘Je, haikuandikwa katika Torati

yenu kwamba, ‘Ninyi ni miungu?’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Yohana 5:1-41 Kila mtu aaminiye kwamba Yesu ni Kristo, amezaliwa na Mungu (kwahiyo, ni Mungu

mdogo duniani).(Zaburi 82:6)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

5(b) Mawazo ya UshindiMithali 23:7

‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake)

ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano; Gideon na Mawazo Dhaifu

Waamuzi 6:1-16

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideon amezaliwa na kukulia katika utumwa, na ndivyo

alivyokuwa anajiona na kujiwazia; na hali hiyo ndiyo iliyozima uwezo na nguvu za

Mungu ndani yake.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Malaika wa Mungu alimwona Gideon, tofauti na yeye

alivyojiona; na ndio maana alimwita Gideon jina la SHUJAA japo Gideon alikuwa anajiona

MTUMWA.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideoni aliposikia na kuamini tu maneno ya Malaika, na

akabadilisha alivyokuwa anajiona na kujiwazia, ndipo nguvu za Mungu, zilizokuwa

ndani yake ziliingia kazini (ON).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao

(wamidian) kwa nguvu za Mungu, ambazo zilikuwepo siku zote ndani yao, lakini zilikuwa zimalala (zima) kwa jinsi walivyokuwa wanajiona

na kujiwazia (kitumwa).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao

(wamidian) kwa nguvu za Mungu, na si kwa sababu nyingine yoyote

ya kibinadamu.Wamidian 30,000 : 300 Waisrael

Wamidian 100 : 1 Waisrael

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

5(b) Mawazo ya UshindiMithali 23:7

‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake)

ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” kwasababu, mawazo yako

yananafasi kubwa ya kuwasha au kuzima nguvu za Mungu na

kutawala mazingira ya kimwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mawazo yana nguvu ya kuathiri maisha yako na mazingira yako.

Ukiwaza vibaya, utoongea vibaya. Na maneno yana nguvu

ya kuumba!Mithali 18:20-21

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hivyo basi, KumbeChanzo kingine cha nguvu za

Mungu za kutusaidia kuishi maisha ya ushindi na mafanikio, ni

kutokea ndani yetu; Kwasababu Roho Mtakatifu wa Mungu anaishi

katika utu wetu wa ndani. (katika roho zetu).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kwamba roho yako ndiyo inayotumiwa na

Mungu kuachilia nguvu zake, kutakufanya uwe mtu mwoga na

dhaifu maisha;

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katika

kukabiliana na maisha ya kila siku, yaliyojaa kila aina ya upinzani na

vita dhidi ya mtu wa Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kuzima utendaji kazi wa nguvu za Mungu maishani mwako; nawe

utaishi chini ya kiwango cha mtoto wa Mungu (yaani maisha ya

kushindwa na kuzuilika)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutakufanya uwe mtu wa kuhangaika huku na

huku kutafuta msaada wa mbali, juu ya mambo ambayo wangeweza

kuyatawala, kama wangekuwa na ufahamu wa msaada walionao

karibu zaidi (yaani, ulio ndani yao).

IMANI YA USHINDI

Nahumu 1:9Kuna wakati, katika baadhi ya

mambo, Utendaji kazi wa Nguvu za Mungu katika kuzuia

mateso ya shetani unategemea sana namna

unavyowaza (imani).

IMANI YA USHINDI

Nahumu 1:9Ukiwa na mawazo hasi (negative) yasio na Imani

unaweza kuzuia msaada wa Mungu katika maisha yako ya

kila siku, pale anapotaka kukomesha mateso ya adui.

IMANI YA USHINDI

Nahumu 1:9Ukiwa na mawazo chanya

(positive) yenye Imani unaweza kuruhusu msaada wa Mungu katika maisha yako ya

kila siku, pale anapotaka kukomesha mateso ya adui.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukweli ni Kwamba …Mungu anaweza kufanya kila kitu

pasipo msaada wa binadamu, lakini alichagua tu, kufanya kazi kwa

ushirika na binadamu; kwahiyo, kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na

binadamu katika kutawala dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hosea 4:6Watu wangu wanaangamia kwa

kukosa maarifa. Kwasababu nimekupa maarifa, nawe

umeyakataa, basi na mimi nimekukataa wewe.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

5(b) Mawazo ya Ushindi

Warumi 12:2, ‘Mgeuzwe fikra zenu na nia zenu,

mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu kwenu, yaliyo mema…’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mawazo ya Ushindi

Waefeso 4:21-23, 24 ‘… mvae utu mpya, ulioumbwa

kwa namna/mfano wa Mungu … 23 kisha mfanywe wapya katika

roho ya nia zenu (nafsi zenu)’

ROHO MTAKATIFU

Yohana 14:12, Roho Mtakatifu tuliyenaye, ndiye aliyekuwa ndani ya Kristo Yesu, na

ndiye aliye chanzo cha nguvu za Mungu, tunazohitaji kufanya

mambo makubwa zaidi, kama yale yale na kuliko yale aliyoyafanya

Bwana Yesu!

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 14:12/16:7-8‘Amini Amini nawaambia, kila mtu aniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo, (miujiza) na yeye atazifanya, naam,

hata kubwa kuliko hizi atafanya; kwasababu nakwenda kwa baba

kuwaletea, Roho yule yule aliyeniwezesha mimi kufanya haya.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na si Yesu peke yake, hata binadamu wengine wa kawaida,

waliweza kufaya mambo ya ajabu duniani, kinyume na taratibu za kawaida za kimwili, na wakaishi maisha ya ushindi na mafanikio

duniani, bila kuzuilika.Yohana 14:12/16:7-8

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Musa aliweza kufungua bahari ya Shamu na watu millioni 2

wakapita katika nchi kavu, katikati ya ghorofa mbili za maji kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida

za kimwili (archmedis priciple).Kutoka 14:1-31

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Joshua aliweza kusimamisha mzunguko wa dunia

hata jua likasimama mpaka walipomaliza shughuli yao kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Joshua 10:12-15Kanuni za kimwili hazikumzuia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Eliya aliweza kuzuia mvua kwa miaka mitatu japo

kulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya kuruhusu mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na ndio maana pia aliweza kurudisha mvua juu ya nchi, japo hakukuwa na

kanuni za kimwili za kuruhusu (kusababisha) mvua kunyesha, kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Petro aliweza kumponya kilema katika mlango wa hekalu, bila operation ya miguu (kama Yesu), kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Matendo 3:1-16Kanuni za kimwili hazikumzuia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Filipo aliweza kusafiri kwa kupaa na kunyakuliwa

(kutoweka) kama Yesu, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za

kawaida za kimwili.Matendo 8:26-40

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Uwezo wa roho ya Mtu

Ndio maana Mitume waliweza kufanya mikubwa (kama Yesu), kitu ambacho si cha kawaida.

Matendo 5:12/19:11Na Mungu akafanya kwa

mikono ya mitume, miujiza ya kupita kawaida …

Uwezo wa roho ya Mtu

Matendo 5:12/19:11… mikono yao, vivuli vyao na

hata leso zao, zilikuwa na nguvu za Mungu zilizowaponya watu

walioonewa na ibilisi.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mawazo yana nguvu ya kuathiri maisha yako na mazingira yako.

Ukiwaza vibaya, utoongea vibaya. Na maneno yana nguvu

ya kuumba!Mithali 18:20-21

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

5(b) Mawazo ya Ushindi Mithali 23:7

‘Ajionavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo’

(Rum 12:2, Efe 4:20-24)

Kutembea na nguvu za Mungu

Mawazo Mtazamo

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa Imani Mawazo Mtazamo Maneno

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hatua Muhimu ya Sita;

6 (a). Ujasiri wa Kukiri na Kushuhudia kwa Ushindi

Warumi 4:16-20Mithali 18:20-21

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Maneno yana nguvu ya kuumba!

Waebrania 11:3Yohana 1:1-4

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENOMithali 18:20-21

Unapoachilia Neno la Mungu kutoka ndani yako kwa imani,

Roho wa Mungu huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa

hilo neno maishani mwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENOMithali 18:20-21

Unapoachilia neno baya kutoka ndani yako kwa imani, basi roho

mbaya huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa hilo neno hilo maishani mwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENOWaefeso 4:29

Neno lolote lililo ovu, lisitoke kinywani mwenu, bali lile lililo

jema, la kumfaa msikiaji.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa Imani Mambo tuyasemayo huwa

yanaumbika katika ulimwengu wa kiroho kwanza (yametukia). Baada

ya kuyasema au kuyakiri, ndipo nguvu za Mungu huingia kazini

kuyaumba katika ulimwengu wa mwili (yatakuwa yake).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniSiri ya kutembea katika imani ipo

katika kukiri, yale uyatakayo, mara baada ya kupata uhakika

wa Roho Mtakatifu ukiwa katika hali ya maombi juu ya swala hilo.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Imani ya Baba Ibrahimu

Warumi 4:16-20.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16-24.17 Kama ilivyoandikwa:

‘‘Nimekufanya wewe kuwa baba wa mataifa mengi.’’ Yeye ni baba yetu mbele za Mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16-24.17 … Ibrahimu baba yetu

alimwamini, Mungu awapaye ahadi waliokufa na akaanza kuvitaja vile vitu ambavyo

haviko kana kwamba vimekwisha kuwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16-24.19 Abrahamu hakuwa dhaifu katika

imani hata alipofikiri juu ya mwili wake na alipofikiiri juu ya ufu wa tumbo la Sara, ambalo lilikuwa

kama limekufa, kwani umri wake ulikuwa unakaribia miaka mia

moja na Sara miaka 90.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16-24.20 Lakini Abrahamu hakusitasita

kwa kutokuamini, bali akiiona/akiitazama ahadi ya Mungu, alitiwa nguvu katika imani yake na kumpa Mungu

utukufu,

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16-24.

21 akiwa na hakika kabisa kwamba Mungu alikuwa na

uwezo wa kutimiza lile aliloahidi.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16-24.18 Akitarajia yasiyoweza

kutarajiwa, Abrahamu akaamini atakuwa, ‘‘Baba wa

mataifa mengi,’’ (Hata kabla ya kuona mabadiliko

katika tumbo la Sara)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16-24.23 Maneno haya, “Ilihesabiwa

kwake kuwa haki,” hayakuandikwa kwa ajili yake

peke yake,

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16-24.24 bali kwa ajili yetu sisi pia, ambao Mungu atatupa haki, kwa ajili yetu tunaomwamini Yeye aliyemfufua Yesu Bwana

wetu kutoka kwa wafu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniSiri ya kutembea katika imani ipo

katika kukiri, yale uyatakayo, mara baada ya kupata uhakika

wa Roho Mtakatifu ukiwa katika hali ya maombi juu ya

swala hilo.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Yohana 5:1-4Imani ndio siri ya ushindi wa mtu wa Mungu duniani. Mtu

wa Mungu asipojua siri ya kutembea kwa Imani,

hataweza kuishi maisha ya ushindi duniani.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12-14, 20-24(23) amini kwamba hayo

uyasemayo (tayari) yametukia (hata kama huyaoni), hapo

ndipo yatakuwa yake (yatadhihirika) katika

kuonekana na kushikika.

Kutembea na nguvu za Mungu

(3) Maneno ya Baraka/Ushindi Yohana 6:63, Ebr 4:12-13 Mith 18:20-21, Mith 6:1-2

Kutembea na nguvu za Mungu

Mawazo Mtazamo Maneno

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO2 Timotheo 3:16-17

Andiko + Pumzi = Neno (Hai)

Herufi + Roho = Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENOWaebrania 4:12

“Neno la Mungu li hai tena lina Nguvu”

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 1:1-4,‘Neno alikuwa kwa Mungu, Neno

alikuwa Mungu, kila kitu kilifanyika kwa Neno; wala pasipo yeye, hakuna kitu kilichofanyika.’

‘Neno ni uhai.’

NGUVU YA NENO

2Kor 3:6, Yoh 6:63‘Andiko linauwa, lakini Roho

anahuisha; kwahiyo, Neno langu ni Roho, tena ni

Uzima; kwasababu’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Nguvu ya neno inatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao

unatokana na uwepo wa Roho/roho aliyevuvia hilo Neno

Waebrania 4:122Timotheo 3:16-17

NGUVU YA NENO

Mithali 18:20-21‘Mauti na uzima huwa katika

uwezo wa ulimi, na wao wautumiao, watakula

matunda yake.’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO

Yohana 6:63‘Roho ndio itiayo uzima (uhai),

kwani mwili (pasipo roho) haufai kitu’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO

Yohana 6:63‘Maneno yangu ni Roho

nayo ndio Uzima’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoeli 3:10Yeye aliye dhaifu, na aseme

mimi ni hodari. (aliye dhaifu, asikiri udhaifu wake, bali akiri ushindi, kama njia ya kubadili au kuondoa

udhaifu wake).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENOWakolosai 3:16

Neno la Kristo likae kwa wingi ndani yako katika hekima yote.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENOWaefeso 4:29

Neno lolote lililo ovu, lisitoke kinywani mwenu, bali lile lililo

jema, la kumfaa msikiaji.

NGUVU YA NENO NA MAOMBI

NGUVU YA NENO Kuuathiri

Ulimwengu wa roho kwa Neno na maombi.

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA NENO

1.Kufunga Mambo unayotaka yafungike

Mathayo 16:18-19Yakobo 5:16-18

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA NENO

2. Kufungua Mambo unayotaka yafunguke

Mathayo 16:18-19Yakobo 5:16-18

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA NENO

3. Kuua Kufisha Mambo unayotaka yafe kabisa

Marko 11:12-14‘tangu leo mtu asile matunda kwako’

(Kuanzia leo Ufe kabisa)

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA NENO

4. Kuhuisha / Kufufua Mambo unayotaka yafufuke

Yohana 11:11-15‘Lazaro, rudi katika uhai wako tena’

Ezekieli 37:1-14

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA NENO

5. Kuponya na kurejesha katika hali yake ya mwanzo

Zaburi 107:20 ‘Hulituma Neno lake, na

kuwaponya mataifa’

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA NENO

6. Kuhamisha Nyakati/MatukioMarko 13:14-19

‘Ombeni kukimbia kusiwe wakati wa baridi (kuwe wakati wa joto)’Yohana 2:1-11, Isaya 38:1-5

NGUVU YA NENO

7. Kujua Mambo yaliyojificha

Waebrania 4:1212 Neno la Mungu li hai

tena lina Nguvu 13 “Laweza kuyapambanua mawazo ya moyo;

wala hakuna awezaye kujificha mbele zake

NGUVU YA NENO

7. Kujua Mambo yaliyojificha

Neno la Mungu laweza kutumwa kama mjumbe kuleta taarifa,

habari au siri zilizojificha.Isa 55:10-11, Yer 1:11,

Ezek 3:16, Ezek 35:1

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

7. Kujua Mambo yaliyojifichaa) Yaliyopita (Ufu 5:1-5/13:8)b) Ya Sasa (Dan 1:17-20/17-24)c) Yajayo (Isa 9:6/Dan 7:13-14,17)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hatua Muhimu ya Sita;

6 (b). Kufungulia kwa Kuamuru na Kutabiri

1Wafalme 18:41-45Ezekieli 37:1-14

Imani ya Ushindi

Kama vile Roho Mtakatifu alivyohitaji utumie Neno la

Mungu kwa ajili ya uumbaji wa hitaji lako katika ulimwengu wa roho, vile vile atahitaji utumie

Neno kwa ajili ya uumbaji katika ulimwengu wa mwili.

MAMLAKA YA MKRISTO

Ufunuo 5:9-1010 Nawe umewafanya hawa

wawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao

wanamiliki dunia.’’

MAMLAKA YA MKRISTO

Mathayo 16:19,1819 Mambo mtakayoyafunga

duniani, yatafungwa mbinguni, na mambo mtakayoyafungua

duniani, ytafunguliwa mbinguni.

MAMLAKA YA MKRISTO

Mfano;Utabiri (Uamuru) wa

Nabii EzekieliEzekieli 37:1-14

MAMLAKA YA MKRISTO

Ezekieli 37:1-14Mungu alihitaji “mwanadamu”

ili aweze kutimiza kusudi lake la kuifufua mifupa (jeshi) ya Israeli, kutoka katika bonde

lililozika wafu wa kivita.

MAMLAKA YA MKRISTO

Ezekieli 37:1-14Kuna wakati, ili nguvu za

Mungu ziingie kazini, kuvunja upinzani, ni lazima mtu wa Mungu ajifunze kutabiri au

kuamuru (kuagiza) jambo hilo kufanyika.

MAMLAKA YA MKRISTO

Mathayo 16:19/18:18

Mambo mtakayoyafunga (ninyi) duniani (mwilini)

yatafungwa pia mbinguni (rohoni) …

MAMLAKA YA MKRISTO

Mathayo 16:19/18:18

Mambo mtakayoyafungua (ninyi) duniani (mwilini),

yatakuwa yamefungwa pia mbinguni (rohoni).

MAMLAKA YA MKRISTO

1Kor 3:9 Rum 8:28Sisi ni watenda kazi pamoja na

Mungu duniani; na katika mambo yote, Mungu hufanya

kazi pamoja na wale (watu) wampendao, katika kuwapatia

mema (baraka/ushindi).

MAMLAKA YA MKRISTO

1Kor 3:9 Rum 8:28Mungu anaweza kufanya kila

kitu pasipo msaada wa binadamu, na alishafanya mengi; lakini alichagua tu

kufanya kazi pamoja na sisi.

MAMLAKA YA MKRISTO

Mwanzo 1:26-28 Tufanye mtu kwa sura yetu na kwa mfano wetu, ili (wao

binadamu) ndio waende wakatawale dunia na vyote

viijazavyo.

MAMLAKA YA MKRISTO

Isaya 45:11Haya ndiyo asemayo Bwana

Mwenyezi; niulizeni habari za mambo yajayo, na Kwa habari

ya kazi za mikono yangu, ‘haya niamuruni’.

MAMLAKA YA MKRISTO

Ezekieli 37:1-14Mungu alihitaji “mwanadamu”

ili aweze kutimiza kusudi lake la kuifufua mifupa (jeshi) ya Israeli, kutoka katika bonde

lililozika wafu wa kivita.

Yohana 11:1-39-45Mungu anatuonyesha

kwamba, sisi kama watoto wa Mungu ‘tuna wajibu’ katika utendaji kazi wa

nguvu za Mungu maishani mwetu.

KUAMURU MATOKEO

Wajibu Wetu Pamoja na Mungu;• Shusha Nyavu (Luka 5:4)• Jaza Maji Mabalasi (Yoh 2:7)• Nenda Kanawe (Yoh 9:7)• Liondoeni Jiwe (Yoh 11:29)• Mfungueni Sanda (Yoh

11:44)

KUAMURU MATOKEO

Imani ya Ushindi

Kama vile Roho Mtakatifu alivyohitaji utumie Neno la

Mungu kwa ajili ya uumbaji wa hitaji lako katika ulimwengu wa roho, vile vile atahitaji utumie

Neno kwa ajili ya uumbaji katika ulimwengu wa mwili.

MAMLAKA YA MKRISTO

Ezekieli 37:1-14Kuna wakati, ili nguvu za

Mungu ziingie kazini, kuvunja upinzani, ni lazima mtu wa Mungu ajifunze kutabiri au

kuamuru (kuagiza) jambo hilo kufanyika.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hatua Muhimu ya Saba;

7. Kufanya Tendo la Imani

Yakobo 2:17-18

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 2:17, 26Kwa maana, kama mwili

pasipo roho imekufa, vivyo hivyo, imani pasipo matendo,

pia imekufa.

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mfano wa Ibrahimu;

Kubadili Majina yao,Abramu – Ibrahim

Sarai – Sara Mwanzo 17:1-22

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mfano wa Nabii Eliya;

Kutawanya Mkutano kabla ya ishara yoyote ya

mvua kuonekana1Wafalme 18:41-43

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mfano wa Yesu;

Kuamuru Wagonjwa Kutoa Sadaka ya

shukurani kabla ya kuona uponyaji.

Luka 17:11-14-19

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mfano wa Mitume;

Kuamuru Kilema Kutembea kabla ya

kuona uponyaji.Matendo 3:1-10-16

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mifano Mingine mbalimbali;Kununua nepi na beseni kabla ya

kuona dalili za mimbaKununua suti ya harusi kabla ya

kumpata Bwana ArusiKujenga gereji ya gari kabla ya

kupata gari

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hatua za Imani Timilifu(1)Kulipata Neno (Warumi 10:17)(2)Kulifanya litokee (Mrk 11:23)(3)Kuthibitisha Uhakika (Rum 4:21)(4)Kukiri kwa Uhakika (Rum 4:17)(5)Kutenda kwa ujasiri (Mwa 17:1-9)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mamba yanayosaidia

Kutembea na Imani ya Ushindi

Warumi 4:16-24

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1.Kubadilisha Mtazamo

Kuvaa Neno MachoniWaefeso 1:15-19

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2.‘Kuwaza sawasawa na

iliyo Kweli’Mithali 23:7

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

3.Kukiri Ushindi

Kutamka maneno ya BarakaYoh 6:63, Mith 18:20-21

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

Tukijua siri hii ya maombi, jinsi yanavyoweza kubadilisha

ulimwengu wa roho, kwa kutumia Nguvu ya Neno, tutaleta

mabadiliko tunayotamani kuyaona katika maisha yetu

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-41 ‘Kila mtu anayeamini kwamba, Yesu Kristo ni

Mwana wa Mungu, amezaliwa na Mungu…’

(Zab 82:6, Yoh 10:34-36)

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-44 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,

huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda, kuushindako

ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”

IMANI YA USHINDI

Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano

wa Mungu, (yaani asili ya Mungu) ambayo inakupa asili

ya ushindi ndani yako, dhidi ya kila upinzani wa adui shetani

maishani mwako.

NGUVU LA NENO LA MUNGU

Kanuni hizi tulizojifunza, zikusaidie kuzalisha nguvu za Mungu ndani yako, kwasababu, utendani kazi wa mkono wa Mungu maishani

mwako unategemea sana kiwango cha nguvu zake, kinachotenda kazi

ndani yako.

Mafundisho Mengine

Vitabu vingine, CD na DVD za Mafundisho vya Mwalimu Mgisa

Mtebe, yanapatikana katika duka la Vitabu vya Kikristo la

Azania Front Cathedral Luther House, Sokoine Drive

Dar es Salaam.

Kwa mawasiliano zaidi,Mwl. Mgisa Mtebe

(Christ Rabbon Ministry)

P. O. Box 837,Dar es Salaam, Tanzania.

+255 713 497 654+255 783 497 654

www.mgisamtebe.org

top related