Mwl. Mgisa Mtebe +255-713-497-654 www.mgisamtebe.org IMANI YA USHINDI ‘Nguvu ya Mungu Ndani Yetu Kumiliki na Kutawala Dunia.’
Jan 17, 2016
Mwl. Mgisa Mtebe +255-713-497-654
www.mgisamtebe.org
IMANI YA USHINDI‘Nguvu ya Mungu Ndani Yetu Kumiliki na Kutawala Dunia.’
KANUNI ZA KIROHO ZA MAISHA YA USHINDI
IMANI YA USHINDI1Yohana 5:4
IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1-41 ‘Kila mtu anayeamini kwamba, Yesu Kristo ni
Mwana wa Mungu, amezaliwa na Mungu…’
(Zab 82:6, Yoh 10:34-36)
IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1-44 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,
huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda, kuushindako
ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”
IMANI YA USHINDI
Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano
wa Mungu, (yaani asili ya Mungu) ambayo inakupa asili
ya ushindi ndani yako, dhidi ya kila upinzani wa adui shetani
maishani mwako.
2Petro 1:3-43 Kwa kuwa Uweza wake wa uungu umetupatia (au nguvu zake za uungu zimetupatia)
mambo yote tunayohitaji kwa ajili ya maisha na utakatifu, kwa
kumjua Yeye aliyetuita kwa utukufu Wake na wema Wake
mwenyewe.
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
2Petro 1:3-44 Kwa sababu hiyo, Mungu
ametukirimia ahadi zake kuu na za thamani, ili kwa kupitia hizo tupate kuwa washiriki wa tabia
za uungu, tukiokolewa na uharibifu (au upotovu) ulioko duniani kwa sababu ya tamaa.
KUTEMBEA KWA IMANI
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1Yohana 5:4 Ikiwa imani ndiyo siri ya
ushindi wetu duniani na ikiwa imani ndio kitu
kinachokufanya uwe rafiki wa Mungu ili kutembea naye
duniani; …
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mtu wa Mungu, hataweza kuishi maisha ya ushindi
anaostahili, kama hatakuwa na ufahamu na ujuzi wa
namna imani inavyofanya kazi, kulet mabadiliko.
KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:37
‘Na katika mambo yote, tunashinda na zaidi ya kushinda kupitia Kristo Yesu aliyetupenda’(katika yote, sisi ni washindi na zaidi ya washindi, kupitia Yesu
Kristo aliyetupenda)
KANUNI ZA KIROHOZaburi 1:1-3
‘Heri mtu yule asiye kwenda katika shauri la wasio haki, bali
sheria ya Bwana ndiyo inayompendeza, atakuwa kama mti kando ya mto, na kila jambo
alifanyalo, litafanikiwa.
KANUNI ZA KIROHO1Yoh 5:4, Rum 8:37
Lakini pamoja na kwamba Neno la Mungu linatuahidi Ushindi wa Yesu msalabani, kwamba ndio
uwe ushindi wetu sisi tuaminio, lakini bado waumini wengi
tunaishi maisha ya kushindwa.
KANUNI ZA KIROHO
Zipo sababu nyingi; Lakini moja ya sababu kubwa,
ni kutojua namna ya kutishi kwa Imani, kitu ambacho
kinasababisha kuzimika kwa nguvu za Mungu maishani
mwetu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Tulijifunza…Kila mtu aliyempokea Yesu
Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha yake, ana (jenereta) chanzo cha
nguvu za Mungu, ndani yake, yaani Roho Mtakatifu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Huyu Roho Mtakatifu, anachohitaji kwako, ni wewe
kumtengenezea mazingira fulani fulani tu ndani yako, ili
yeye ndiye afanye kazi ya kuzalisha nguvu za Mungu
kutoka ndani yako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kanuni za kiroho, ni mambo ambayo, tukiyaweka kwa pamoja ndani yetu, kwa kiwango kinachotakiwa, zitasababisha Roho wa
Mungu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa Mungu
maishani mwako, unategemea sana kiwango
cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
USHIRIKA WA MUNGU NA BINADAMU KATIKA KUITAWALA DUNIA
1Wakorintho 3:9
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1Wakorintho 3:99 Kwa maana sisi tu watenda kazi
pamoja na Mungu. (kwa ushindi na mafanikio)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 8:28-3028 Na kwahiyo basi, katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja
na wale wampendao, katika kuwapatia mema.
(ushindi, faida na mafanikio)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo;Ikiwa tutatengeneza au tutazalisha
Nguvu kidogo za Mungu ndani yetu, tutauzuia mkono wa Mungu
kufanya mambo mengi na makubwa anayotaka kufanya
maishani mwetu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Lakini …Ikiwa tutatengeneza au tutazalisha
Nguvu za Mungu kwa wingi (za kutosha) ndani yetu,
tutauwezesha mkono wa Mungu kufanya mambo mengi na
makubwa anayotaka kufanya.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ukweli ni Kwamba …Mungu anaweza kufanya kila kitu
pasipo msaada wa binadamu, lakini alichagua tu, kufanya kazi kwa
ushirika na binadamu; kwahiyo, kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na
binadamu katika kutawala dunia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mfano (1);Kifo cha Yakobo na
Ukombozi wa Petro gerezaniMatendo 12:1-19
Matendo 12:1-19
Kifo cha Yakobo na Ukombozi wa PetroYakobo alipokamatwa, Kanisa
hawakufanya maombi, motokea yake akachinjwa. Lakini Petro
alipokamatwa, kanisa likaomba kwa bidii, na Mungu akamkomboa Petro
kutoka gerezani.Unadhani Kwanini?
Matendo 12:1-19
Kifo cha Yakobo na Ukombozi wa PetroSi kwamba Mungu anampenda Petro
kuliko Yakobo. Bali hii inaonyesha wazi kwamba, Utendaji kazi wa
mkono wa Mungu maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu
za Mungu unachozalisha (kinachotenda kazi) ndani yako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mfano (2);Ushindi wa Joshua vitani
Kwa maombi ya Musa MlimaniKutoka 17:8-15
Matendo 12:1-19
Ushindi wa Joshua, Maombi ya MusaMusa alikunyanyua mikono yake kwa
maombi, Joshua na jeshi la Israeli walikuwa wakishinda vitani, Lakini Musa alichoshusha mikono (kuacha kuomba) Joshua na jeshi la Israeli
walikuwa wakipigwa (wakishindwa).Unadhani Kwanini?
Matendo 12:1-19
Ushindi wa Joshua, Maombi ya MusaHii haikuwa bahati nzuri au mbaya; Bali
hii inaonyesha wazi kwamba, Utendaji kazi wa mkono wa Mungu maishani
mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu unachozalisha (kinachotenda kazi) ndani yako.
Unadhani Kwanini?
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mfano (3);Maombi ya Musa katika
kumruhusu Mungu kufungua bahari ya ShamuKutoka 14:15-28
Kutoka 14:15-28
Fimbo ya Musa na Bahari ya ShamuMungu hakuifungua bahari akasubiri mpaka Musa aliponyoosha fimbo yake (maombi) baharini (tatizo lake); ndipo
Mungu akasaba- bisha upepo mkali uliochana bahari na kufanya ukuta 2 za
maji. Israeli wakapita nchi kavu. Unadhani Kwanini?
Kutoka 14:15-28
Fimbo ya Musa na Bahari ya ShamuMungu hakuifunga bahari, akasubiri mpaka Musa aliponyoosha tena fimbo yake (maombi) baharini (tatizo lake);
ndipo Mungu akasababisha upepo kukatika na maji ya bahari yakarudi na
kuwaangamiza jeshi lote la Misri. Unadhani Kwanini?
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
USHIRIKA WA MUNGU NA BINADAMU KATIKA KUITAWALA DUNIA
1Wakorintho 3:9
IMANI YA USHINDI
Nahumu 1:9Kuna wakati, katika baadhi ya
mambo, Utendaji kazi wa Nguvu za Mungu katika kuzuia
mateso ya shetani unategemea sana namna
unavyowaza (imani).
IMANI YA USHINDI
Nahumu 1:9Ukiwa na mawazo hasi (negative) yasio na Imani
unaweza kuzuia msaada wa Mungu katika maisha yako ya
kila siku, pale anapotaka kukomesha mateso ya adui.
IMANI YA USHINDI
Nahumu 1:9Ukiwa na mawazo chanya
(positive) yenye Imani unaweza kuruhusu msaada wa Mungu katika maisha yako ya
kila siku, pale anapotaka kukomesha mateso ya adui.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ukweli ni Kwamba …Mungu anaweza kufanya kila kitu
pasipo msaada wa binadamu, lakini alichagua tu, kufanya kazi kwa
ushirika na binadamu; kwahiyo, kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na
binadamu katika kutawala dunia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwanzo 1:26,1826 Tufanye mtu kwa sura yetu na
kwa mfano wetu wakatawale dunia na vyote tulivyoviumba juu ya uso
wa dunia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwanzo 1:26-1828 Mungu akaumba Mwanaume na
Mwanamke, akawaweka katika bustani ya dunia, akawaambia,
zaeni mkaongezeke na kuitawala (kuitiisha) dunia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Zaburi 115:16Mbingu ni mbingu za Bwana, bali
nchi amewapa wanadamu
Isaya 45:11… kwa habari ya kazi za mikono
yangu, haya niagizeni (niamuruni)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 16:18-1919 Kwa maana nitawapa funguo za
Ufalme, na mambo mtakayoyafunga (ninyi) yatakuwa yamefungwa
(mbinguni), na mambo mtakayoyafungua (ninyi) yatakuwa
yamefunguliwa (mbinguni)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 16:18-1918 Na milango ya kuzimu
haitaweza kulishinda kanisa langu nitakalolijenga (kwa mfumo huu).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
WAEFESO 3:2O20 … Mungu anaweza kutenda mambo yote, kwa kadiri (kwa kiwango au kwa kipimo) cha
Nguvu zake kinachotenda kazi ndani yetu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …
Kanuni = Imani = Nguvu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …Kuna baadhi ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya,
ikiwa hatutengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu za
kutosha, ndani yetu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ni Kwasababu …Kwahiyo Utendaji wa mkono wa
Mungu maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotenda
kazi ndani yako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
USHIRIKA WA MUNGU NA BINADAMU KATIKA KUITAWALA DUNIA
1Wakorintho 3:9
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Utangulizi;Yesu na Pepo SuguMathayo 17:9-20.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 17:9-20Yesu aliposhuka kutoka
mlimani, alikuta umati mkubwa wa watu ukimsubiri. Baba mmoja akamwangukia
Yesu miguuni na kumsihi akisema …
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 17:9-20Bwana, ninaomba umponye
mwanangu, ana pepo la kifafa; mara nyingi
limemwangusha katika maji na katika moto, ili kumdhuru,
lakini amesalimika …
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 17:9-20Nimemleta kwa wanafunzi wako, lakini wameshindwa
kumtoa. Ndipo Yesu akaamuru akisema ‘mleteni
kwangu’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 17:9-20Kijana alipoletwa, Yesu akamkemea yule pepo, na likamtoka mara moja na
kumwacha kijana akiwa huru na mzima kabisa. Watu wote wakashangaa na kumtukuza
Mungu kwa furaha.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 17:9-2019 Kisha wanafunzi wake
wakamwendea Yesu faraghani, mahali pasipokuwa na watu; wakamwuliza, “Bwana, Kwa nini sisi hatukuweza kumtoa
yule Pepo?”
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 17:9-2020 Yesu akawajibu kuwaambia,
‘‘Ni kwasababu ya upungufu wa Imani yenu (ni kwasababu ya imani yenu kuwa ndogo)…
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 17:9-2020 “… Ninawaambia kweli, mkiwa
na imani kama punje ndogo ya haradali, mtaweza kuiambia
milima, ‘ondoka hapa uende pale’ nao utaondoka. Na wala hakutakuwa na jambo
lisilowezekana kwenu.’’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …
Imani = Nguvu
KANUNI ZA KIROHO
Kuna kiwango maalum cha Nguvu za Mungu,
kinachomwezesha mtu wa Mungu, aishi maisha ya
ushindi na mafanikio, katika kulitimiza kusudi la Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
WAEFESO 3:2O20 Atukuzwe Mungu, yeye
awezaye kutenda mambo ya ajabu mno (yasiyopimika)
kuliko yote tunayo-yawaza au tunayoyaomba …
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
WAEFESO 3:2O20 … Mungu anaweza kutenda mambo yote, kwa kadiri (kwa kiwango au kwa kipimo) cha
Nguvu zake kinachotenda kazi ndani yetu.
KANUNI ZA KIROHO
Kuna vitu maalum vinavyosababisha kuzalishwa
kwa Nguvu za Mungu zinazohitajika ili kutuwezesha
kuishi maisha ya ushindi na mafanikio duniani.
Waefeso 3:20
KANUNI ZA KIROHOKanuni za kiroho, ni mambo
ambayo, tukiyatumia maishani, yatasababisha Roho Mtakatifu
aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu ndani yetu,
zitakazotusaidia kuishi maisha ya ushindi na mafanikio.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …
Maombi = Imani = Nguvu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 17:9-20 Ndio maana Bwana Yesu
aliwaonyesha wanafunzi wake akisema kwamba; ‘Imani zenu zimekuwa pungufu kwasababu ya kutokuwa na maisha ya
maombi na kufunga’.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 17:9-20 21 lakini ya namna hii, (pepo la namna hii) halitoki isipokuwa kwa kuomba na
kufunga.’’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUMathayo 17:9-20
20 “… Ninawaambia kweli, mkiwa na imani kama punje ndogo ya
haradali, mtaweza kuiambia milima, ‘ondoka hapa uende
pale’ nao utaondoka. Na wala hakutakuwa na jambo
lisilowezekana kwenu.’’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUMathayo 17:9-20
Bwana Yesu alimaanisha kwamba; wanafunzi wake
hawakuishi Maisha ya kiroho, Ndio maana hazikuzalishwa Nguvu za Mungu za kutosha,
kuondoa lile tatizo.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
WAEFESO 3:2O20 … Mungu anaweza kutenda mambo yote, kwa kadiri (kwa kiwango au kwa kipimo) cha
Nguvu zake kinachotenda kazi ndani yetu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …
Kanuni = Imani = Nguvu
IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1-4 Ni mapenzi ya Mungu,
kwamba watoto wake, tuishi maisha mzuri, ya ushindi na
mafanikio, ili tuweze kulitimiza kusudi la Mungu la kutufanya vyombo vya ibada.
IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1-44 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,
huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,
kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1Yohana 5:1-4Imani ndio siri ya ushindi wa mtu wa Mungu duniani. Mtu
wa Mungu asipojua siri ya kutembea kwa Imani,
hataweza kuishi maisha ya ushindi duniani.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 17:9-21Imani ndicho kuingo au
daraja linalosimama kati ya Mungu na hitaji au tatizo
alilonalo mtoto wa Mungu katika maisha yake.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Nguvu za Mungu
Imani
Mungu Tatizo
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Nguvu kidogo
Imani Kidogo
Mungu Tatizo
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Nguvu kubwa
Imani Kubwa
Mungu Tatizo
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waebrania 11:6‘Pasipo Imani haiwezekani
kumpendeza Mungu.’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waebrania 10:38‘Mwenye haki wangu, ataishi
kwa Imani, naye akisitasita, Roho yangu haitamfurahia.’
MAANA YA IMANI
Imani ni nini?Waebrania 11:1
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ikiwa imani ndiyo siri ya ushindi wetu duniani na ikiwa
imani ndio kitu kinachokufanya uwe rafiki wa
Mungu ili kutembea naye duniani; …
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mtu wa Mungu, hataweza kuishi maisha ya ushindi
anaostahili, kama hatakuwa na ufahamu na ujuzi wa
namna imani inavyofanya kazi, kulet mabadiliko.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Imani ni Nini?
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waebrania 11:1Imani ni kuwa na uhakika wa
mambo yatarajiwayo, ni bayana (uthibitisho) wa mambo yasiyoonekana.
KANUNI ZA KIROHO
Mambo Mambo ya ya Kimwili Vs Kiroho (Vitu vinavyo- (Vitu Visivyo- Onekana) Onekana)
KANUNI ZA KIROHO
Kanuni Kanuni za za Kimwili Vs Kiroho (Natural (Spiritual Principles) Principles)
KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18
Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vitu
visiyoonekana (vya kiroho) kwani hivyo ndivyo vya milele
(vya kudumu).
KANUNI ZA KIROHO
Kwa Mfano;
Uumbaji wa vitu vya Dunia Waebrania 11:3
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
Nasi twajua ya kwamba, ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, hata vitu
vinavyoonekana, havikufanywa kwa vitu vilivyo
dhahiri.
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
“… vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa
vitu visivyo dhahiri ”.
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
“… vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa
vitu visivyo waziwazi ”.
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
“… vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa
vitu visivyo onekana (vya kiroho).”
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
Ulimwengu wa roho ndio ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilika, ndipo Mungu
akauzaa Ulimwengu wa mwili kutokea katika
Ulimwengu wa Roho.
ULIMWENGU WA ROHO
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3
Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba katika ulimwengu wa
kiroho kwanza, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai-
photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18
Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia
Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho
Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
7 1000
33 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo
30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme
Injili
Kalvari Kanisa
Milele
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18
Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia
Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho
Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
7 1000
33 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo
30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme
Injili
600 Kalvari Kanisa
700 2000
(4) Daniel 7:13 – 14, 27
(3) Isaya 9: 6 33 AD (5) Ufunuo 20:11 – 15
Bahari Miti Upepo
Milele
ULIMWENGU WA MWILI
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
“… vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa
vitu visivyo onekana (vya kiroho).
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri
limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo
hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa
zilizopita (wakati uliopita).
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya
maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka
kabisa yakupate.
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Hivyo;Hakuna kitu kinafanyika katika
Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika
Ulimwengu wa Kiroho.
KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18
Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vitu
visiyoonekana (vya kiroho) kwani hivyo ndivyo vya milele
(vya kudumu).
ULIMWENGU WA ROHOWaebrania 11:3
Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba kwanza katika
ulimwengu wa kiroho, na alipoikalimisha, ndipo akaizaa (akai-photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.
ULIMWENGU WA ROHO
Waebrania 11:3Kwahiyo, kila kitu duniani kina
original copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft-copy na hard-copy
yake (yaani kina upande wa rohoni na wa upande wa mwilini).
ULIMWENGU WA ROHO
Kwahiyo
Kila cha Kimwili, kina cha kiroho chake
1 Wakorintho 15:44
ULIMWENGU WA ROHO
1 Wakorintho 15:44“Ikiwa kuna mwili wa asili,
Basi na mwili wa roho pia, upo”
ULIMWENGU WA ROHO
Ayubu 8:9“Kwakuwa sisi ni wa jana tu,
wala hatujui neno, maisha yetu ni kama kivuli”- Photocopy -
ULIMWENGU WA ROHO
Zaburi 39:6a“Binadamu huko na huko
kama kivuli”- Photocopy -
ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu w
Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);• Vitu visivyoonekana • Vitu vinavyoonekana
Na vyote viko kwa pamoja
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Ni Kwasababu, Ulimwengu wa Mwili
ulizaliwa kupitia Ulimwengu wa Kiroho.
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Ni Kwasababu,
Mambo ya Ulimwengu wa mwili yanatawaliwa kwa mambo ya
ulimwengu wa roho;
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Ni muhimu uje kwamba, Kanuni za Kimwili zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Hivyo, kwa utaratibu huu;Hakuna kitu kinafanyika katika
Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika
Ulimwengu wa Kiroho.
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Huu ndio Utaratibu wa Mungu katika kuitawala dunia;
kwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kimwili, sharti yafanyike kwanza
katika ulimwengu wa kiroho.
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Hivyo;Hakuna kitu kinafanyika katika
Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika
Ulimwengu wa Kiroho.
KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4
Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili
utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala
ulimwengu wa roho kwanza.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;Maombi ya Nabii Eliya
Yakobo 5:16-18
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-44; Baada ya ile Sadaka na Maombi,
Nabii Eliya akawaambia watu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya mvua tele’ (mstari 41), kabla hata ya
kuona dalili zozote za mvua katika ulimwengu wa mwili.
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baada ya Toba na Sadaka (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uyahudi Uyahudi
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-44; Baada ya ile Sadaka na Maombi, kabla hata ya kuona dalili zozote
za mvua katika ulimwengu wa mwili, Nabii Eliya akawaambia
watu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya mvua tele’ (mstari 41),
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-45; Na watu walipoondoka, Eliya
alikwenda mlimani kuomba; na baada ya maombi mazito mara
saba (7), ndipo mvua kubwa sana ikanyesha juu ya nchi
(mstari 44-45).
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / /
/ / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-45; Kumbe, mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili,
mpaka kwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kiroho
kwanza.
KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4
Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili
utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala
ulimwengu wa roho kwanza.
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Kwahiyo, Kanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual
Principles).
KANUNI ZA KIROHO
Mambo Mambo ya ya Kimwili Vs Kiroho (Vitu vinavyo- (Vitu Visivyo- Onekana) Onekana)
KANUNI ZA KIROHO
Kanuni Kanuni za za Kimwili Vs Kiroho (Natural (Spiritual Principles) Principles)
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18
Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia
Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho
Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
7 1000
33 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo
30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme
Injili
Kalvari Kanisa
Milele
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18
Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia
Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho
Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
7 1000
33 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo
30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme
Injili
600 Kalvari Kanisa
700 2000
(4) Daniel 7:13 – 14, 27
(3) Isaya 9: 6 33 AD (5) Ufunuo 20:11 – 15
Bahari Miti Upepo
Milele
ULIMWENGU WA MWILI
KUPENYA KUINGIA ROHONI
Yohana 14:23, 21
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
ASILI YA MUNGU NDANI YAKO
Mwanadamu (Mimi na Wewe) Ni sehemu Tatu;
1.Mwili2.Nafsi na 3.Roho
ASILI YA MUNGU NDANI YAKO
Mwa 2:7 Mungu RohoDunia Nafsi(Udongo) Mwili
Mungu Ndiye Asili Yetu.
Mwa 2:7 Mungu
Dunia Mwili Nafsi Roho
ASILI YA MUNGU NDANI YAKO
Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna uwezo na nguvu za
ki-Mungu. Huko rohoni (Ndani yako) kuna asili ya ki-Mungu; kuna sura na
mfano wa Mungu.
ASILI YA MUNGU NDANI YAKO
Mungu ndiye asili yetu(sisi) ambao no roho.
Mwa 1:26-27‘Tufanya mtu kwa sura yetu na kwa mfano wetu, wakatawale
dunia na vyote’
ASILI YA MUNGU NDANI YAKO
Mwanzo 1:26-28Kwahiyo, roho yako (wewe)
unabeba asili ya Mungu kabisa; kwasababu roho yako (wewe)
umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu mwenyewe.
ASILI YA MUNGU NDANI YAKO
Mwanzo 1:26-28Ndani yako (rohoni) kuna asili
ya ki-Mungu. Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna
uwezo wa ki-Mungu; (Nguvu za Mungu)
ASILI YA MUNGU NDANI YAKO
Mwa 2:7 Mungu RohoDunia Nafsi(Udongo) Mwili
ASILI YA MUNGU NDANI YAKO
Kwahiyo, Wewe ni mungu mdogo duniani!
Zaburi 82:6
ASILI YA MUNGU NDANI YAKO
Zaburi 82:66 Nilisema, Ninyi ni
“miungu’’, ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.
ASILI YA MUNGU NDANI YAKO
Yohana 10:33-3633 Wayahudi wakamjibu,
“Hutukupigi mawe kwa sababu ya mambo mema
uliyotenda, bali ni kwa kuwa umekufuru. Wewe ingawa ni
mwanadamu unajifanya kuwa Mungu.’’
ASILI YA MUNGU NDANI YAKO
Yohana 10:33-3634 Yesu akajibu akawaambia,
‘‘Je, haikuandikwa katika Torati yenu kwamba, ‘Ninyi ni miungu?’
ASILI YA MUNGU NDANI YAKO
Yohana 10:33-36
35 Kama aliwaita (ninyi) ‘miungu’, ninyi ambao neno
la Mungu limewajia …
ASILI YA MUNGU NDANI YAKO
Yohana 10:33-3636 Si zaidi sana mimi, ambaye
Baba ameniweka wakfu na kunituma ulimwenguni; kujiita
Mungu? Sasa, mnawezaje kusema kwamba, ninakufuru
eti kwasababu nimesema ‘Mimi ni Mwana wa Mungu?’
UWEZO WA ROHO YAKO
Kwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani!
Zaburi 82:6 Yoh 10:33-36
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana
na ulimwengu wa roho.
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Roho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili
kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-Mungu katika kujua mambo bila
kuelezwa au kuona.
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Yohana 14:23, 21
MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, njia ya kuingilia katika
ulimwengu wa roho, haiko mbali nasi, iko ndani yetu.
(rohoni)
BAADA YA WOKOVU (KALVARI)
(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Kazi ya roho ni kuwasiliana na ulimwengu wa roho (hata kujua
yajayo). Na kazi ya mwili ni kuwasiliana na ulimwengu wa
mwili, kutekeleza msukomo wa mtu wa ndani (roho na nafsi)
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Nafsi ni kiungo kinachotafsiri mambo ya ulimwengu roho
na mambo ya ulimwengu wa mwili katika Ufahamu wako
(akili zako ili uelewe).
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Mwili, Nafsi, Roho
Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Kwahiyo, mtu ukiweze kupenya na kuingia ndani yake
(rohoni mwake), atakuwa amekutana na Ulimwengu wa roho, unaotawala ulimwengu
wa mwili na hata kujua mambo yajayo.
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Wewe una asili ya Mungu
Kuona - Kuelewa - Kujua
UTUKUFU
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Hii ni kwasababu;Kuwa katika mwili kuna
kuzuilika (limitation) lakini unapotoka nje ya mwili, unakuwa katika ukanda (unlimitedness) ambao
hauna mipaka ya ufahamu.
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Wewe una asili ya Mungu
Mwenendo Fikra Hisia
UTUKUFU
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Mwili Nafsi Roho
Kuona Kuelewa Kujua (See) (Understand) (Know)
ASILI YA MUNGU NDANI YAKO
Mwanzo 1:26-28Ndani yako (rohoni) kuna asili
ya ki-Mungu. Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna
uwezo wa ki-Mungu; (Nguvu za Mungu)
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana
na ulimwengu wa roho.
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Roho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili
kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-Mungu katika kujua mambo bila
kuelezwa au kuona.
Uwezo wa roho ya Mtu
Mfano 1:Yesu, Musa na Eliya;
Petro, Yakobo na Yohana; Mathayo 17:1-9
Uwezo wa roho ya Mtu
Mathayo 17:1-9Katika maombi ya Bwana Yesu
kule mlimani, Utukufu wa Mungu unafunuka, na Manabii
Musa na Eliya wanatokea pamoja na Yesu, na Petro
anakiri hivyo kwa Bwana Yesu.
Uwezo wa roho ya Mtu
Mathayo 17:1-9Swali:
Ikiwa enzi zile hakukua na picha wala video, Petro aliwezaje kujua kwamba, yule pale ni Petro na yule pale ni Musa?
Uwezo wa roho ya Mtu
Mathayo 17:1-9Jibu:
Wanafunzi wa Yesu, walikuwa ndani ya Utukufu wa Mungu,
kwahiyo nafsi zao zilikuwa rohoni zaidi kuliko mwilini, ndio maana walijua bila kuambiwa.
Uwezo wa roho ya Mtu
Jibu:UTUKUFU wa Mungu, uli-
dhoofisha (ulinyamazisha) miili yao, roho zao zikahuishwa na
ule uwezo wa roho (unga’amuzi – Kujua bila kuambiwa) ukaweza
kufanya kazi yake - KUJUA.
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Mwili, Nafsi, Roho
Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Wewe una asili ya Mungu
Kuona Kuelewa Kujua
UTUKUFU
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kuweka nafsi (fikra,
hisia na maamuzi) zetu rohoni zaidi, basi tutaweza kutembea
katika kiwango cha ki-Mungu cha kujua na kuamua mambo kwa
usahihi kabisa, bila kubahatisha.
Uwezo wa roho ya Mtu
Mfano 2:Tajiri na LazaroLuka 16:19-31
Uwezo wa roho ya Mtu
Luka 16:19-31Swali:
Tajiri na Lazaro wamekufa, hivyo, wako nje ya miili yao. Kule kuzimu, tajiri alamwona Lazaro upande wa pili akiwa kifuani kwa Baba Ibrahimu.
Uwezo wa roho ya Mtu
Luka 16:19-31Swali:
Ikiwa enzi zile hakukua na picha wala video, Tajiri alijuaje
kwamba, yule pale aliyempakata Lazaro ndiye Baba Ibrahimu aliyeishi zamani sana?
Uwezo wa roho ya Mtu
Luka 16:19-31Jibu:
Tajiri alikuwa nje ya mwili wake, hivyo roho yake nje ya mwili,
ilikuwa na uwezo wa Kujua bila kuambiwa.
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Roho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili
kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-
Mungu katika kujua bila kuelezwa au kuona.
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kuweka nafsi (fikra,
hisia na maamuzi) zetu rohoni zaidi, basi tutaweza kutembea
katika kiwango cha ki-Mungu cha kujua na kuamua mambo kwa
usahihi kabisa, bila kubahatisha.
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Kwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani!
Zaburi 82:6 Yoh 10:33-36
Mungu Ndiye Asili Yetu.
Mwa 2:7 Mungu
Dunia Mwili Nafsi Roho
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Kumbuka;Kazi ya roho ni kuwasiliana na ulimwengu wa roho (hata kujua
yajayo). Na kazi ya mwili ni kuwasiliana na ulimwengu wa
mwili, kutekeleza msukomo wa mtu wa ndani (roho na nafsi)
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Nafsi ni kiungo kinachotafsiri mambo ya ulimwengu roho
na mambo ya ulimwengu wa mwili katika Ufahamu wako
(akili zako ili uelewe).
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Mwili, Nafsi, Roho
Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana
na ulimwengu wa roho.
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Kwahiyo, kumbe dirisha (tundu) la kuingilia na
kugusana na ulimwengu wa roho, haliko mbali nasi, liko
ndani yetu (rohoni).
NAMNA YA KWENDA ROHONI
Namna ya kwenda rohoni;
1. Kwa njia ya Maombi2. Kwa njia ya Ibada3. Kwa njia ya Ndoto4. Kwa njia ya Maono5. Kwa njia ya Mawazo
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
1. Kwa njia ya Maombi
“Kila mtu amwendeaye Mungu, inampasa kuamini kwamba
Mungu yupo, na huwapa thawabu, wale wote wamtafutao”
(Waebrania 11:6)
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
1. Kwa njia ya Maombi Mtu wa Mungu anapoingia katika, maombi, huwa anahamisha fikra zake
na hisia zake, kutoka katika mwili (ambako ndiko ameishi zaidi ktk siku nzima) na kuziweka katika roho yake,
mahali Mungu alipo (anaishi) ili kuwasiliana naye.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
1. Kwa njia ya MaombiKwa njia ya maombi, mtu huwa
anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao
hauonekani kwa macho yetu ya kimwili, lakini upo.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
2. Kwa njia ya Ibada
“Ingieni malangoni mwake kwa Kushukuru, ingieni nyuani
mwake kwa kusifu” (Zaburi 100:1-5)
MUNGU ANAKAA WAPI?
Mungu anaishi ndani yetu!
Au hamjui ya kuwa miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu, na kwamba Mungu anaishi ndani yenu? (1Wakorintho 3: 9, 16)
Wewe ni HEKALU la Mungu
Patakatifu pa
Patakatifu Patakatifu
Uwanda Uwanda
wa Nje
Wewe ni HEKALU la Mungu
Mwili Nafsi Roho
Nje Ptf PPP
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Wewe ni HEKALU la Mungu
Nje Fikra Hisia
UTUKUFU
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Wewe ni HEKALU la MunguUkitaka kukutana na Mungu
(Utukufu) lazima ujue namna ya kuuhamisha moyo/nafsi wako
kutoka katika mwili na kwa njia ya maombi, na kuielekeza
rohoni mwako.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Wewe ni HEKALU la Mungu
Mwenendo Fikra Hisia
UTUKUFU
NAMNA YA KUINGIA ROHONINi muhimu tujue kwamba;
“Kusifu na kuabudu pia, kuna namna yake ya ajabu sana, ya
kukuingiza katika ulimwengu wa roho unapotaka kuomba, na
kukukutanisha utukufu wa Mungu kule ndani katika roho yako,”
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, mtu ukiweze kupenya na
kuingia ndani yako (rohoni mwako), kwa njia ya maombi,
utakuwa umekutana na Ulimwengu wa roho, unaotawala
ulimwengu wa mwili
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Wewe ni HEKALU la Mungu
Mwenendo Fikra Hisia
UTUKUFU
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
2. Kwa njia ya IbadaKwa njia ya ibada, mtu huwa
anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao
hauonekani kwa macho yetu ya kimwili, ila upo.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
Kwa njia ya MaombiKwa njia ya Ibada3. Kwa njia ya Ndoto
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya NdotoKwa kuwa ndoto si kitu mtu
anaweza kupanga, basi hawezi kuki-control. Ndoto ni kitu
ambacho utasubiri kikutokee.(Mungu akupe mwenyewe)
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya NdotoMtu analala usingizini, mwili wake
huwa unapumzika, hivyo, nafsi yake (fikra na mawazo) vinakosa kazi, hivyo huamua kumgeukia roho, ambayo iko-connected na
ulimwengu wa roho.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya NdotoKwahiyo, japo mtu amelala usingizi
(mwilini), lakini roho, ambayo iko-connected na ulimwengu wa roho, inaendelea kutembea na
kufanya mambo mengi sana katika ulimwengu wa roho.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya NdotoKwahiyo, kwa njia ya ndoto, mtu
anakuwa ameunganishwa (connected) na ulimwengu wa
roho, na anaendelea kutembelea na kufanya mambo mengi sana
katika ulimwengu wa roho.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya Ndoto Mathayo 1:20-25
20 Yusufu alitokewa na malaika wa Bwana katika ndoto na kusema,
“usiogope kumchukua Maria awe mke wako, kwa maana mimba aliyo nayo ni
kwa uweza wa Roho Mtakatifu”.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya Ndoto21 “Naye atamzaa mwana , nawe
utamwita jina lake Yesu, kwa maana yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao.”
(Mathayo 1:20-25)
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya Ndoto24 Yosefu alipoamka kutoka usingizini,
akamchukua Maria kuwa mke wake. 25 Lakini hawakukutana kimwili mpaka
Maria alipojifungua mwanaye wa kwanza na akamwita jina lake Yesu.
(Mathayo 1:20-25)
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya NdotoMara nyingi unapokwenda kulala na ukaota ndoto, roho yako huwa inakwenda katika ulimwengu wa
roho na kukutana na mambo mengi sana na kufanya mambo
mengi, huko rohoni.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya NdotoKuamka usingizini na kuzinduka kutoka katika ndoto, kwa uhalisi
kabisa, huwa ina maana kwamba, umerudi tu mwilini kutoka katika ulimwengu wa kiroho ulikokuwa umekwenda kwa njia ya ndoto.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
3. Kwa njia ya NdotoKwa njia ya ndoto, mtu huwa
anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao
hauonekani kwa macho yetu ya kimwili.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Namna ya kwenda rohoni;
Kwa njia ya MaombiKwa njia ya IbadaKwa njia ya Ndoto4. Kwa njia ya Maono
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
4. Kwa njia ya MaonoKama ndoto, maono pia si kitu
mtu anaweza kupanga, basi hawezi pia kuki-control.
Kama ndoto, maono ni kitu ambacho mtu atasubiri
kimtokee. (Yaani ni mpaka Mungu akupe mwenyewe)
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
4. Kwa njia ya MaonoMaono ni kama ndoto, ni
taswira au maono ambayo mtu anayapata akiwa hajasinzia (hajalala).
Mfano; mtu anaweza akawa anomba, anatembea,
amekaa, anafanya shughuli zake, n.k.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
4. Kwa njia ya Maono(Ufunuo 1:9-10)
9 Mimi Yohana, ninayeshiriki pamoja nanyi mateso kwa
ajili ya Yesu, nilikuwa katika kisiwa kiitwacho Patmo kwa
ajili ya neno la Mungu na ushuhuda wa Bwana Yesu.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
4. Kwa njia ya Maono10 Nilikuwa katika roho siku ya
Bwana (jumapili), nami nikasikia sauti kubwa ikisema, “Andika
kwenye kitabu haya yote unayoyaona, kisha uyapeleke kwa makanisa saba nitakayokuambia.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
4. Kwa njia ya MaonoUfunuo 20:11-15
‘Kisha nikaona, kiti cha enzi; mauti na kuzimu zikawatoa
wafu wake; wote, wakasimamishwa mbele za
kiti cha enzi; vitabu vikafunguliwa’
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
4. Kwa njia ya MaonoUfunuo 20:11-15
‘nikaona majina yakisomwa, na iwapo mtu akuonekana
ameandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika
lile ziwa la moto, ndio Jehanamu ya milele’
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
4. Kwa njia ya MaonoKwa njia ya maono, mtu huwa
anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao
hauonekani kwa macho yetu ya kimwili, lakini upo.
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Namna ya kwenda rohoni;
Kwa njia ya Maombi Kwa njia ya Ibada Kwa njia ya NdotoKwa njia ya Maono5. Kwa njia ya Mawazo
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
5. Kwa njia ya MawazoKwa njia ya mawazo, mtu huwa
anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao
hauonekani kwa macho yetu ya kimwili, japokuwa upo.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Wewe ni HEKALU la Mungu
Nje Fikra Hisia
UTUKUFU
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Mwili, Nafsi, Roho
Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho
NAMNA YA KUINGIA ROHON
5. Kwa njia ya MawazoNina imani kabisa kwamba,
umewahi kujiliwa na mtu fulani katika mawazo yako, na baada
ya dakika chache, mtu huyo huyo mkakutana naye.
UNAIELEZEAJE HALI HIYO?
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
5. Kwa njia ya MawazoAu, Naamini kabisa, umewahi
kumkumbuka mtu fulani mawazoni mwako na baada ya dakika chache, mtu huyo huyo akakupigia simu, mkaongea.
UNAIELEZEAJE HALI HII?
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
5. Kwa njia ya MawazoKwasababu mawazo yako kati ya mwili na roho, Mawazo yako yana uwezo wa kutembelea upande wa
mwilini na pia yana uwezo wa kuingia upande wa rohoni na kuchungulia habari za huko.
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
5. Kwa njia ya MawazoKwa njia ya mawazo, mtu huwa
anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao
hauonekani kwa macho yetu ya kimwili, japokuwa upo.
NAMNA YA KUINGIA ROHONI
Mwili, Nafsi, Roho
Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
Wewe ni HEKALU la Mungu
Mwenendo Fikra Hisia
UTUKUFU
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
MUNGU ANAKAA NDANI YETU!Kwahiyo, mtu ukiweze kupenya na
kuingia ndani yako (rohoni mwako), kwa njia ya maombi,
utakuwa umekutana na Ulimwengu wa roho, unaotawala
ulimwengu wa mwili
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18
Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia
Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho
Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
7 1000
33 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo
30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme
Injili
600 Kalvari Kanisa
700 2000
(4) Daniel 7:13 – 14, 27
(3) Isaya 9: 6 33 AD (5) Ufunuo 20:11 – 15
Bahari Miti Upepo
Milele
ULIMWENGU WA MWILI
KUTEMBEA KWA IMANI
Hatua za Imani Timilifu
Waebrania 11:1
Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho
(Tumaini) (Imani)
Maombi ya Maombi ya Kuumba Sifa + Kufungulia
Kupata mnayapokea yatakuwa
Neno (sasa) (baadaye)
Ulimwengu wa mwili
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutembea kwa ImaniSiri ya kutembea katika imani ipo
katika kukiri, yale uyatakayo, mara baada ya kupata uhakika
wa Roho Mtakatifu ukiwa katika hali ya maombi juu ya
swala hilo.
KUTEMBEA KWA IMANI
Hatua za Imani Timilifu
Warumi 4:16-24
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hatua Muhimu ya Kwanza;
1.Kupata na Kutumia Neno la Mungu.
Waebrania 4:12 2Timotheo 3:16-17
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
(Warumi 10:17)
‘Imani yenye Nguvu ya kuhamisha milima,
huzaliwa kwa Neno la Mungu lililovuviwa.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waebrania 4:12‘Neno la Mungu li hai,
tena lina Nguvu’ (ya kutenda hata kuleta
mabadiliko)
KANUNI ZA KIROHO
Waebrania 11:3,‘Nasi twajua ya kuwa,
Ulimwengu uliumbwa kwa Neno, hata vitu
vinavyoonekana viliumbwa kwa vitu visivyoonekana.’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
2Timotheo 3:16-17‘Kila andiko/tamko lenye pumzi/uvuvio wa Mungu,
lafaa kwa kuleta mabadiliko ya tabia/mwenendo.’
(mafafanuzi)
NGUVU YA NENO
2 Timotheo 3:16-17
Andiko + Pumzi = Neno (Hai)
Herufi + Roho = Nguvu
KANUNI ZA KIROHO
Angalizo;
Tofauti ya Andiko Vs Neno
KANUNI ZA KIROHO Andiko lililochaguliwa na
Mungu ili litumike, ndilo tu ambalo Roho Mtakatifu wa Mungu, atakuja kulivuvia, ili kulifanya kuwa Neno lenye Uhai na Nguvu ya kutenda.
(2Tim 3:16-17, Ebr 4:12)
KANUNI ZA KIROHO
Uwe mwangalifu kutumia maandiko katika Biblia katika
maombi na kukiri ushindi, Kwasababu kuna tofauti ya
Andiko na Neno. (2Timotheo 3:16-17)
KANUNI ZA KIROHO
Hivyo uwe makini sana;Kwasababu,
Si kila Andiko ni Neno.
KANUNI ZA KIROHO
Uwe makini sana;Kwasababu,
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Andiko na Neno(2Kor 3:6, Yoh 6:63)
Andiko Vs Neno
Tofauti 1 kati ya Andiko Neno
Andiko ni Kitu Neno ni Uhai
(Herufi) (Mtu)
(Yoh 1:1-4)
Andiko Vs Neno
Tofauti 2 kati ya Andiko Neno
Andiko pekee Neno ni Uhai
Halijui Linajua/Anajua
(Ebr 4:12-13)
Andiko Vs Neno
Tofauti 3 kati ya Andiko Neno
Andiko pekee Neno ni Uhai
Halitumwi Lina/Anatumwa
(Zab 107:20)
Andiko Vs Neno
Tofauti 4 kati ya Andiko Neno
Andiko pekee Neno ni Uhai
Halitendi Lina/Anatenda
(Isaya 55:10-11)
Andiko Vs Neno
Tofauti 5 kati ya Andiko Neno
Andiko pekee Neno ni Uhai
Linaua Lina/Anahuisha
(2Kor 3:6) (Mwa 2:7)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENOWaebrania 4:12
“Neno la Mungu li hai tena lina Nguvu”
NGUVU YA NENO
2Kor 3:6, Yoh 6:63‘Andiko linauwa, lakini Roho
anahuisha; kwahiyo, Neno langu ni Roho, tena ni
Uzima; kwasababu’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
Yohana 6:63‘Roho ndio itiayo uzima (uhai),
kwani mwili (pasipo roho) haufai kitu’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
Yohana 6:63‘Maneno yangu ni Roho
nayo ndio Uzima’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Nguvu ya neno inatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao
unatokana na uwepo wa Roho/roho aliyevuvia hilo Neno
Waebrania 4:122Timotheo 3:16-17
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;Yesu na Mti wa Tini
Marko 11:12-14, 20-24.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-2412 Kesho yake walipokuwa
wakitoka Bethania, Yesu alikuwa na njaa. 13
Alipouona mtini kwa mbali, akaenda ili aone kama ulikuwa na matunda.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24
13 ... Alipoufikia, akakuta una majani tu, kwa kuwa
hayakuwa majira ya tini.
14 Yesu akauambia ule mti,
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24
14 ... ‘‘Tangu leo mtu ye yote na asile matunda kutoka kwako tena.’’ Wanafunzi
Wake walimsikia akiuambia ule mti maneno hayo.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24
20 Asubuhi yake, walipokuwa wakipita, wakauona ule mtini umenyauka kutoka juu hadi
kwenye mizizi yake.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24
21 Petro akakumbuka na kumwambia Yesu,
“Mwalimu, tazama! Ule mtini ulioulaani umenyauka!’’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24
22 Yesu akawajibu akawaambia, “Mwaminini
Mungu. 23 Amin, amin nawaambia, mtu ye yote
atakayeuambia mlima huu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24
23 ...'Ng’oka ukatupwe baharini,’ wala asione shaka moyoni mwake, bali aamini
kwamba hayo asemayo yametukia, yatakuwa yake.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24
24 Kwa sababu hiyo nawaambia, yo yote
myaombayo mkisali, aminini ya kwamba mmeyapokea
nayo yatakuwa yenu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;Maneno ya Nabii Eliya
Yakobo 5:16-181Wafalme 17:1
1Wafalme 18:41
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yakobo 5:17-18, 1617 Eliya alikuwa mwanadamu
mwenye tabia moja na sisi, lakini aliomba kwa bidii, mvua isinyeshe, na mvua
haikunyesha kwa muda wa miaka 3 na miezi 6.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yakobo 5:17-18, 1618 Baada ya miaka miaka 3
na nusu, (nchi yote ikiwa kame kabisa na misitu
imekauka) Eliya aliomba tena kwa bidii, na mvua ikanyesha na nchi ikazaa matunda yake.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yakobo 5:17-18, 16
16 ... Kuomba kwake mwenye haki, kwafaa
sana akiomba kwa bidii.
HATUA ZA IMANI YA USHINDI
2. Nidhamu ya Kuomba Kwa Bidii
Mpaka Kusababisha Uumbaji Kutokea Rohoni.
Yakobo 5:17-18, 161Wafalme 18:29-45
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;Maombi ya Nabii Eliya
Yakobo 5:16-18
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yakobo 5:16-18
17 Eliya likuwa mwanadamu kama sisi, lakini aliomba kwa
bidii, mvua isinyeshe juu ya nchi, na mvua haikunyesha juu ya nchi kwa muda wa miaka mitatu (3)
na miezi sita (6).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yakobo 5:16-18
18 (baada ya miaka mitatu na nusu) Eliya akaomba tena kwa bidii, ili mvua inyeshe, na mvua
ikanyesha, na nchi ikazaa matunda yake.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yakobo 5:16-18
16 Kwahiyo basi, vivyo hivyo na ninyi, ombeaneni ili mpate kuponywa; kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana,
akiomba kwa bidii.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Utangulizi;Yesu na Pepo SuguMathayo 17:9-21.
KANUNI ZA KIROHOWaefeso 3:20
Kuna kiwango maalum cha Nguvu za Mungu,
kinachomwezesha mtu wa Mungu, aishi maisha ya
ushindi na mafanikio, katika kulitimiza kusudi la Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …
Maombi = Imani = Nguvu
KANUNI ZA KIROHO
Moja ya sababu kubwa, kwanini tunaishi maisha ya kushindwa, ni kutokana na kutojua namna ya kuishi na
kutembea kwa Imani, ambako kunazima Nguvu za Mungu
maishani mwetu.
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 17:9-21Bwana Yesu anahusisha
Kiwango cha Imani ya mtu na Nidhamu yake ya Maisha ya
Maombi au Kiwango cha Maombi maishani mwake.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo …
Maombi = Imani = Nguvu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUMathayo 17:9-20
Bwana Yesu alimaanisha kwamba; wanafunzi wake
hawakuishi Maisha ya Maombi, Ndio maana
hazikuzalishwa Nguvu za Mungu za kutosha, kuondoa
lile tatizo.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU1Wafalme 18:41-44
Nidhamu ya Maombi ya muda mrefu, inahitajika sana katika
kusababisha uumbaji ya mambo katika ulimwengu wa
roho, tunayoyahitaji sana katika ulimwengu wa mwili.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU1Wafalme 18:41-44
Kwa Mfano wa;
Nidhamu ya Kuku anayelalia (anayeatamia) mayai ili kutotoa vifaranga
Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho
(Tumaini) (Imani)
Maombi ya Maombi ya Kuumba Sifa + Kufungulia
Kupata mnayapokea yatakuwa
Neno (sasa) (baadaye)
Ulimwengu wa mwili
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,
atakushuhudia kwamba, tayari jambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha aina ya maombi, ili kuanza kufungulia majibu yako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,
atakushuhudia kwamba, tayari jambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, na baada
ya muda litatokeza katika ulimwengu wa mwili.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24(23) amini kwamba hayo
uyasemayo (tayari) yametukia (hata kama huyaoni), hapo
ndipo yatakuwa yake (yatadhihirika) katika
kuonekana na kushikika.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-2424 Kwa sababu hiyo nawaambia,
yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba;
mnayapokea (sasa) nayo yatakuwa yenu (baadaye).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24
Swali24 Ikiwa tayari nimeshapokea “sasa”, kwanini hilo jambo liwe
langu “baadaye” na sio sasa?
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24
Swali24 Hiyo “baadaye” ni ya nini
ikiwa tayari nimeshapokea hili jambo “sasa”?
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24
Swali24 kwanini lisiwe langu “sasa”,
badala yake litakuwa langu “baadaye” na sio sasa? Wakati tayari nimeshapokea “sasa”?
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-2424 Kwa sababu hiyo nawaambia,
yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba;
mnayapokea (sasa) nayo yatakuwa yenu (baadaye).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:23-24 mnayapokea yatakuwa yenu
(sasa) (baadaye)
Ulimwengu wa Ulimwengu wa kiroho kimwili
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24Mtu wa Mungu, hataweza kuelewa kitu Yesu aliongea
hapa, kama hajui namna Mungu anavyofanya mambo, kwa
kanuni zake duniani. ~ Njia (Style) za Mungu ~
KANUNI ZA KIROHO
Kwa Mfano;
Uumbaji wa DuniaWaebrania 11:3
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
“Nasi twajua ya kuwa, Ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu,
hata vitu vinavyoonekana, havikufanywa kwa vitu vilivyo
dhahiri (au vitu vilivyo wazi wazi au vitu vinavyoonekana)”
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18
Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia
Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho
Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21
7 1000
33 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo
30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme
Injili
600 Kalvari Kanisa
700 2000
(4) Daniel 7:13 – 14, 27
(3) Isaya 9: 6 33 AD (5) Ufunuo 20:11 – 15
Bahari Miti Upepo
Milele
ULIMWENGU WA MWILI
KWANINI ROHO MTAKATIFUKwa jinsi Mungu
alivyoutengeneza ulimwengu huu, binadamu hataweza
kusababisha mabadiliko ya ushindi maishani mwake, pasipo
kupitia katika ulimwengu wa yasiyoonekana kwanza.
KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18
Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vitu
visiyoonekana (vya kiroho) kwani hivyo ndivyo vya milele
(vya kudumu).
ULIMWENGU WA ROHO
Kabla jambo halijatokea duniani katika ulimwengu wa
mwili, ni lazima lifanywe kutokea katika ulimwengu wa roho kwanza. Ndivyo ambavyo
Mungu aliutengeneza ulimwengu huu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:23-24 mnayapokea yatakuwa yenu
(sasa) (baadaye)
Ulimwengu wa Ulimwengu wa kiroho kimwili
Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho
(Tumaini) (Imani)
Maombi ya Maombi ya Kuumba Sifa + Kufungulia
Kupata mnayapokea yatakuwa
Neno (sasa) (baadaye)
Ulimwengu wa mwili
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,
atakushuhudia kwamba, tayari jambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha aina ya maombi, ili kuanza kufungulia majibu yako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,
atakushuhudia kwamba, tayari jambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, na baada
ya muda litatokeza katika ulimwengu wa mwili.
Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho
Tumaini Imani “Nita …” “Nime ….”
Kuanza mnayapokea yatakuwa
maombi (sasa) (baadaye)
Ulimwengu wa mwili
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;Maombi ya Nabii Eliya
Yakobo 5:16-18
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-44; Baada ya ile Sadaka na Maombi,
Nabii Eliya akawaambia watu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya mvua tele’ (mstari 41), kabla hata ya
kuona dalili zozote za mvua katika ulimwengu wa mwili.
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baada ya Toba na Sadaka (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uyahudi Uyahudi
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-44; Baada ya ile Sadaka na Maombi, kabla hata ya kuona dalili zozote
za mvua katika ulimwengu wa mwili, Nabii Eliya akawaambia
watu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya mvua tele’ (mstari 41),
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-45; Na watu walipoondoka, Eliya
alikwenda mlimani kuomba; na baada ya maombi mazito mara
saba (7), ndipo mvua kubwa sana ikanyesha juu ya nchi
(mstari 44-45).
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / /
/ / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-45; Kumbe, mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili,
mpaka kwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kiroho
kwanza.
NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:41-45;
Kwahiyo, kumbuka kwamba, Kanuni za kiroho, ndizo
zilizotangulia kusababisha athari katika ulimwengu wa rohoni
kwanza, ili mvua inyeshe katika ulimwengu wa mwili.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hatua Muhimu ya Tatu;
3. Usikivu kwa Uongozi wa Roho Mtakatifu
Warumi 8:16, 26-272Tim 3:16-17
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutembea kwa ImaniSiri ya kutembea katika imani ipo
katika kukiri, yale uyatakayo, mara baada ya kupata uhakika
wa Roho Mtakatifu ukiwa katika hali ya maombi juu ya
swala hilo.
SIRI YA KANISA LA LEO
Warumi 8:16‘Wale wanoongozwa na Roho wa Mungu, hao ndio wana wa
Mungu.’
SIRI YA KANISA LA LEO
Kiwango cha nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea
kiwango cha utii unaompa Roho Mtakatifu, ambaye ni
Msaidizi wako.
SIRI YA KANISA LA LEO
Kiwango cha Utii unaompa Roho Mtakatifu, kinategemea kiwango cha usikivu wako ktk • kuitambua sauti yake (signal)• kuisikia sauti yake (kuelewa) • kuitii sauti yake (kutenda)
USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU
Lakini kikubwa zaidi;Roho Mtakatifu
anataka kuongoza! Ndio moja ya kazi yake
iliyomleta dunianiYohana 16:13
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
NAMNA YA KUSIKIA SAUTI YA MUNGU NA
UONGOZI WA ROHO MTAKATIFU
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUA. Namna za KAWAIDA
1. Kwa Ushuhuda wa moyoni (Sauti ya Ndani – ‘Rhema’) Isaya 55:8-11, Yer 29: 11
(1Kor 2:16, Rum 8:16) (2Nyak 6:7, 2Nyak 7:11)
A. Namna za KAWAIDA
2. Kwa Neno lake (Neno liliandikwa - Logos);
(Zab 119:105, 2Tim 3;16-17)
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU
KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUA. Namna za KAWAIDA
3. Kwa Amani ya rohoni (Furaha/Uhuru)
(Isa 55:12, Kol 3:15)(Fil 4:6-7, Efe 4:1-3)
USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU
Kwahiyo;Roho Mtakatifu
anataka kuongoza! Ndio moja ya kazi yake
iliyomleta dunianiYohana 16:13
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Baada ya maombi ya muda fulani, Roho Mtakatifu,
atakushuhudia kwamba, tayari jambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, ili uweze kubadilisha aina ya maombi, ili kuanza kufungulia majibu yako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hatua Muhimu ya Nne;
4. Kusifu, Kuabudu na Kushukuru
2Nyakati 20:1-30Matendo 16:13-25-36
Imani ya Ushindi
2Nyak 20, Mdo 16Kumsifu, Kumshukuru na
Kumwabudu Mungu, (hata kabla ya kuona majibu ya
maombi yako) kunafungulia nguvu za Mungu, kwa namna
ya ajabu …
Imani ya Ushindi
2Nyak 20, Mdo 16… ili kuvunja upinzani wote katika ulimwengu wa roho.
unaozuia baraka zako kushuka katika ulimwengu
wa mwili.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
5.Kubadilisha Mtazamo
Kuvaa Neno MachoniWaefeso 1:15-19
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 1:15-22‘Ninawaombea kwa Mungu, kwamba Macho ya mioyo yenu
yatiwe nuru, mpate kujua;i) Tumaini tulilonaloii) Utajiri tulionaoiii)Nguvu tulizonazo
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;Nabii Elisha na Mtumishi
wake 2Wafalme 6:10-17
KUTEMBEA KWA IMANI
Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea sana na Namna unavyowaza (mind set) baada ya maombi.
Na uwezo wa kuwaza sawasawan unategemea
namna unavyoona.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;Imani ya Baba Ibrahimu
Warumi 4:16-20.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16-24.20 Lakini Abrahamu hakusitasita
kwa kutokuamini, bali akiiona/akiitazama ahadi ya Mungu, alitiwa nguvu katika imani yake na kumpa Mungu
utukufu,
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16-24.17 … Ibrahimu baba yetu
alimwamini, Mungu awapaye ahadi waliokufa na akaanza kuvitaja vile vitu ambavyo
haviko kana kwamba vimekwisha kuwako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16-24.20 Lakini Abrahamu hakusitasita
kwa kutokuamini ahadi ya Mungu, bali alitiwa nguvu
katika imani yake na kumpa Mungu utukufu,
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16-24.
21 akiwa na hakika kabisa kwamba Mungu alikuwa na
uwezo wa kutimiza lile aliloahidi.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16-24.18 Akitarajia yasiyoweza
kutarajiwa, Abrahamu akaamini atakuwa, ‘‘Baba wa
mataifa mengi,’’ (Hata kabla ya kuona mabadiliko
katika tumbo la Sara)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;Uwezo wa Kuona Fursa mbalimbali za Kiuchumi1Wakorintho 2:9-10, 16
KUTEMBEA KWA IMANI1Wakorintho 2:9-10
‘Mambo ambayo macho hayapata kuyaona, wala masikio
hayajawahi kusikia, wala hayajawahi kuingia katika moyo
wa mtu; mambo hayo Mungu amewahifadhia wale
wampendao’
KUTEMBEA KWA IMANI
1Wakorintho 2:9-10Uwezo wa mtu kuona fursa
mbalimbali za kiuchumi unategemea sana na Namna
macho yako ya ndani (mind set) yalivyo.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;Hajiri na Kijito cha Maji
Mwanzo 21:14-20
KUTEMBEA KWA IMANI
Uwezo wa ibrahimu kuwaza ushindi na kufikiri vizuri, juu
ya hali ya mke Sara na matarajio yao ya kupata
mtoto, ulitegemea sana na Namna alivyomwona Sara.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutembea kwa Imani Mawazo Mtazamo Maneno
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16-20Ukikosea kuona, utakosea
kuwaza. Na ukikosea kuwaza, utakosea kuongea. Kwahiyo,
Ili kuongea vizuri, lazima uwaze vizuri, na ili uwaze vizuri, lazima uone vizuri.
KUTEMBEA KWA IMANI
Warumi 4:16-20Kila mtu alimwona Sara bibi
kizee, lakini Ibrahimu alimwona Sara Mama
watoto. Na ndicho kilichomwezesha kumuwazia
vizuri na kumtaja vizuri.
KUTEMBEA KWA IMANI
Warumi 4:16-20
“Siri ya Ibrahimu”Baba wa Imani
KUTEMBEA KWA IMANI
Warumi 4:16-20“Siri ya Baba Ibrahimu”
Alimwangalia Sara kupitia katika Neno la Mungu.(Alivaa Mawani ya Neno)
KUTEMBEA KWA IMANI
Warumi 4:16-20Kila mtu alimwona Sara bibi
kizee, lakini Ibrahimu alimwona Sara Mama
watoto. Na ndicho kilichomwezesha kumuwazia
vizuri na kumtaja vizuri.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
(a) Macho ya Rohoni Hesabu 13:26-33, 4:1-9
Wengine waliona majitu, wakati wengine waliwaona hao majitu ni ‘chakula’ kwao.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
(a) Macho ya Rohoni Waefeso 1:15-19
Mtume Paul alituombea, macho ya mioyo yetu, yatiwe nuru, ili
tupate kujua mambo yafuatayo; (1) tumaini (2) utajiri na
(3)nguvu zilizo ndani yetu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
(a) Macho ya Rohoni
Mambo yanayoathiri mtazamo (Sight)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
(a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)
1. Umbali (Yakobo 4:8)Ukiwa mbali na Mungu, matatizo
unayokutana nayo yataonekana makubwa, na utawaza vibaya.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
(a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)
2. Mwanga (Yohana 8:12)Ukitumia Mwanga wa Yesu kuangazia maisha yako (Neno), utaona tofauti na wengine, na
matatizo makubwa, kwako yataonekana madogo na
utawaza na kuongea vizuri.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
(a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)
3. Lense (Warumi 4:19-20)Ukitumia Lense za Yesu kuangazia
maisha yako (Neno), utaona tofauti na wengine, na matatizo makubwa, kwako yataonekana
madogo na utawaza na kuongea vizuri.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
(a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)
4. Lishe (1Petro 2:2)Ukiwa na nidhamu ya kula lishe ya
Neno la Mungu vizuri, utakuwa na uwezo wa kuona tofauti na wengine, na utawaza na vizuri.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
(a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)
5. Kimo (Waefeso 4:11-14)Ukitumia Neno la Mungu vizuri,
kama chakula katika maisha yako, litakupa uwezo wa kukua
kimo chako kiroho na utaona tofauti na wengine, na pia utawaza na kuongea vizuri.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;Musa na Wazee 70 wa Israeli.
Kutoka 24:1-18
7. Ngazi (Level) ya Wito
Kutoka 24:1-18 ^ 1st Class
^^^ 2nd Class
^^^^^^^^^^ 3rd Class
KIWANGO CHA NDANI YA MUNGU
NGAZI YA IMANI
Waefeso 4:11-15Usiridhike kuwa mtu wa
Mungu, bali tafuta kuongezeka katika ngazi yako ndani ya
Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kukua katika Kimo cha Kiimani (Waefeso 4:11-14)
Kwa huduma ya Mitume, Manabii, Wainjilisti, Wachungaji na
Waalimu, waumini tufundishwe na kukua, mpaka kufika katika cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo .
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;Wanafunzi wa Yesu.
Luka 6:13-16
1 (Yoh 21:19-24)
3 (Math 17:1-9) 12 (Luka 6:12-15)
2 70 (Luka 10:1,17)
– 120 (Mdo 1:15)
500 (1Kor 15:3-8)
NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU
KIWANGO CHA NDANI YA MUNGU
NGAZI YA IMANIUsiridhike kuwa mwanafunzi wa
Yesu, bali tafuta kuongezeka katika ngazi yako ndani ya
Mungu; kwasababu Kimo chako cha kiimani, kitasababisha uwezo wako wa kuona sawasawa, uwe
mzuri au mbaya.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KUKUA KATIKA KIWANGO CHA IMANI
Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi
katika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazi
katika viwango vyake maalum.Ezekiel 28:30
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
(a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)
6. Dawa (Ufunuo 3:15-18)Ukitumia Neno la Mungu vizuri,
kama dawa katika maisha yako, itakupa uwezo wa kuona tofauti na wengine, na pia utawaza na
kuongea vizuri.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
(a) Macho ya Rohoni Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)
7. Upande (1Korintho 3:1-3)Ukitumia Neno la Mungu vizuri,
litakusimamisha upande wa kiroho (sio wa kimwili), hiyo
itakupa uwezo wa kuona tofauti na wengine, na pia utawaza na
kuongea vizuri.
KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;
Kuenenda kiroho(Katika Roho)
Wagal 5:16-25, Warum 8:5-121Wakor 1:1-9
KIROHO NA KIMWILI
Rohoni Mwilini
Tabia za rohoni Tabia za mwilini Upendo, Furaha, Amani Chuki, Hasira, Uadui Wema, Upole, Fadhili Ubaya, Ukali, Uchoyo Uvumilivu, Uaminifu Kutokuvumilia, Uongo, Utii, Unyenyekevu, Kiasi, Wizi, Kiburi, Kujiona, Maombi, Neno, Ibada Uzinzi, Uasherati, Ulevi Utoaji, Kuhudumia, n.k. Uchawi, Mila mbaya, n.k.
(a) Macho ya Rohoni
Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)1. Umbali (Yakobo 4:8)2. Mwanga (Yohana 8:12)3. Lense (Warumi 13:14)• Lishe (1Petro 2:2)• Kimo (Waefeso 4:11-14)• Dawa (Ufunuo 3:15-18)• Upande (1Korintho 3:1-3)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
10. Kutembea kwa Imani Mtazamo
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutembea kwa Imani Mawazo Mtazamo Maneno
KUTEMBEA KWA IMANI
Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea sana na Namna unavyowaza (mind set) baada ya maombi.
Na uwezo wa kuwaza sawasawan unategemea
namna unavyoona.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ukikosea kuona, utakosea kuwaza. Na ukikosea kuwaza, utakosea kuongea. Kwahiyo,
Ili kuongea vizuri, lazima uwaze vizuri, na ili uwaze vizuri, lazima uone vizuri.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mambo yatakayokusaidia Kutembea kwa Ushindi.
a) Macho ya rohonib)Mawazo ya ushindic) Maneno ya Ushindi
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
5 (b) Kubadilisha Mtazamo kutakuwezesha
‘Kuwaza sawasawa na iliyo Kweli’Mithali 23:7
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
5(b) Mawazo ya UshindiMithali 23:7
‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake)
ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’
Kutembea na nguvu za Mungu
Mawazo Mtazamo
KUTEMBEA KWA IMANI
Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea sana na Namna unavyowaza (mind set) baada ya maombi.
Na uwezo wa kuwaza sawasawan unategemea
namna unavyoona.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mwanzo 1:26-28Kwahiyo, roho (wewe) inabeba
asili ya Mungu; kwasabau imeumbwa/umeumbwa kwa
sura na mfano wa Mungu mwenyewe.
Mungu Ndiye Asili Yetu.
Mwa 2:7 Mungu
Dunia Mwili Nafsi Roho
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yoh 10:33-36 Zab 82:634 Yesu akajibu akawaambia, ‘‘Je, haikuandikwa katika Torati
yenu kwamba, ‘Ninyi ni miungu?’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1Yohana 5:1-41 Kila mtu aaminiye kwamba Yesu ni Kristo, amezaliwa na Mungu (kwahiyo, ni Mungu
mdogo duniani).(Zaburi 82:6)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
5(b) Mawazo ya UshindiMithali 23:7
‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake)
ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano; Gideon na Mawazo Dhaifu
Waamuzi 6:1-16
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Gideon amezaliwa na kukulia katika utumwa, na ndivyo
alivyokuwa anajiona na kujiwazia; na hali hiyo ndiyo iliyozima uwezo na nguvu za
Mungu ndani yake.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Malaika wa Mungu alimwona Gideon, tofauti na yeye
alivyojiona; na ndio maana alimwita Gideon jina la SHUJAA japo Gideon alikuwa anajiona
MTUMWA.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Gideoni aliposikia na kuamini tu maneno ya Malaika, na
akabadilisha alivyokuwa anajiona na kujiwazia, ndipo nguvu za Mungu, zilizokuwa
ndani yake ziliingia kazini (ON).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Gideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao
(wamidian) kwa nguvu za Mungu, ambazo zilikuwepo siku zote ndani yao, lakini zilikuwa zimalala (zima) kwa jinsi walivyokuwa wanajiona
na kujiwazia (kitumwa).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Gideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao
(wamidian) kwa nguvu za Mungu, na si kwa sababu nyingine yoyote
ya kibinadamu.Wamidian 30,000 : 300 Waisrael
Wamidian 100 : 1 Waisrael
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
5(b) Mawazo ya UshindiMithali 23:7
‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake)
ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’
NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU
*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” kwasababu, mawazo yako
yananafasi kubwa ya kuwasha au kuzima nguvu za Mungu na
kutawala mazingira ya kimwili.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mawazo yana nguvu ya kuathiri maisha yako na mazingira yako.
Ukiwaza vibaya, utoongea vibaya. Na maneno yana nguvu
ya kuumba!Mithali 18:20-21
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hivyo basi, KumbeChanzo kingine cha nguvu za
Mungu za kutusaidia kuishi maisha ya ushindi na mafanikio, ni
kutokea ndani yetu; Kwasababu Roho Mtakatifu wa Mungu anaishi
katika utu wetu wa ndani. (katika roho zetu).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kwamba roho yako ndiyo inayotumiwa na
Mungu kuachilia nguvu zake, kutakufanya uwe mtu mwoga na
dhaifu maisha;
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katika
kukabiliana na maisha ya kila siku, yaliyojaa kila aina ya upinzani na
vita dhidi ya mtu wa Mungu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kuzima utendaji kazi wa nguvu za Mungu maishani mwako; nawe
utaishi chini ya kiwango cha mtoto wa Mungu (yaani maisha ya
kushindwa na kuzuilika)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kutakufanya uwe mtu wa kuhangaika huku na
huku kutafuta msaada wa mbali, juu ya mambo ambayo wangeweza
kuyatawala, kama wangekuwa na ufahamu wa msaada walionao
karibu zaidi (yaani, ulio ndani yao).
IMANI YA USHINDI
Nahumu 1:9Kuna wakati, katika baadhi ya
mambo, Utendaji kazi wa Nguvu za Mungu katika kuzuia
mateso ya shetani unategemea sana namna
unavyowaza (imani).
IMANI YA USHINDI
Nahumu 1:9Ukiwa na mawazo hasi (negative) yasio na Imani
unaweza kuzuia msaada wa Mungu katika maisha yako ya
kila siku, pale anapotaka kukomesha mateso ya adui.
IMANI YA USHINDI
Nahumu 1:9Ukiwa na mawazo chanya
(positive) yenye Imani unaweza kuruhusu msaada wa Mungu katika maisha yako ya
kila siku, pale anapotaka kukomesha mateso ya adui.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ukweli ni Kwamba …Mungu anaweza kufanya kila kitu
pasipo msaada wa binadamu, lakini alichagua tu, kufanya kazi kwa
ushirika na binadamu; kwahiyo, kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na
binadamu katika kutawala dunia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hosea 4:6Watu wangu wanaangamia kwa
kukosa maarifa. Kwasababu nimekupa maarifa, nawe
umeyakataa, basi na mimi nimekukataa wewe.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
5(b) Mawazo ya Ushindi
Warumi 12:2, ‘Mgeuzwe fikra zenu na nia zenu,
mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu kwenu, yaliyo mema…’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mawazo ya Ushindi
Waefeso 4:21-23, 24 ‘… mvae utu mpya, ulioumbwa
kwa namna/mfano wa Mungu … 23 kisha mfanywe wapya katika
roho ya nia zenu (nafsi zenu)’
ROHO MTAKATIFU
Yohana 14:12, Roho Mtakatifu tuliyenaye, ndiye aliyekuwa ndani ya Kristo Yesu, na
ndiye aliye chanzo cha nguvu za Mungu, tunazohitaji kufanya
mambo makubwa zaidi, kama yale yale na kuliko yale aliyoyafanya
Bwana Yesu!
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yohana 14:12/16:7-8‘Amini Amini nawaambia, kila mtu aniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo, (miujiza) na yeye atazifanya, naam,
hata kubwa kuliko hizi atafanya; kwasababu nakwenda kwa baba
kuwaletea, Roho yule yule aliyeniwezesha mimi kufanya haya.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Na si Yesu peke yake, hata binadamu wengine wa kawaida,
waliweza kufaya mambo ya ajabu duniani, kinyume na taratibu za kawaida za kimwili, na wakaishi maisha ya ushindi na mafanikio
duniani, bila kuzuilika.Yohana 14:12/16:7-8
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Musa aliweza kufungua bahari ya Shamu na watu millioni 2
wakapita katika nchi kavu, katikati ya ghorofa mbili za maji kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida
za kimwili (archmedis priciple).Kutoka 14:1-31
Kanuni za kimwili hazikumzuia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Joshua aliweza kusimamisha mzunguko wa dunia
hata jua likasimama mpaka walipomaliza shughuli yao kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Joshua 10:12-15Kanuni za kimwili hazikumzuia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Eliya aliweza kuzuia mvua kwa miaka mitatu japo
kulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya kuruhusu mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Na ndio maana pia aliweza kurudisha mvua juu ya nchi, japo hakukuwa na
kanuni za kimwili za kuruhusu (kusababisha) mvua kunyesha, kitu
ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Petro aliweza kumponya kilema katika mlango wa hekalu, bila operation ya miguu (kama Yesu), kitu
ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Matendo 3:1-16Kanuni za kimwili hazikumzuia.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Filipo aliweza kusafiri kwa kupaa na kunyakuliwa
(kutoweka) kama Yesu, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za
kawaida za kimwili.Matendo 8:26-40
Kanuni za kimwili hazikumzuia.
Uwezo wa roho ya Mtu
Ndio maana Mitume waliweza kufanya mikubwa (kama Yesu), kitu ambacho si cha kawaida.
Matendo 5:12/19:11Na Mungu akafanya kwa
mikono ya mitume, miujiza ya kupita kawaida …
Uwezo wa roho ya Mtu
Matendo 5:12/19:11… mikono yao, vivuli vyao na
hata leso zao, zilikuwa na nguvu za Mungu zilizowaponya watu
walioonewa na ibilisi.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mawazo yana nguvu ya kuathiri maisha yako na mazingira yako.
Ukiwaza vibaya, utoongea vibaya. Na maneno yana nguvu
ya kuumba!Mithali 18:20-21
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
5(b) Mawazo ya Ushindi Mithali 23:7
‘Ajionavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo’
(Rum 12:2, Efe 4:20-24)
Kutembea na nguvu za Mungu
Mawazo Mtazamo
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutembea kwa Imani Mawazo Mtazamo Maneno
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hatua Muhimu ya Sita;
6 (a). Ujasiri wa Kukiri na Kushuhudia kwa Ushindi
Warumi 4:16-20Mithali 18:20-21
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Maneno yana nguvu ya kuumba!
Waebrania 11:3Yohana 1:1-4
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENOMithali 18:20-21
Unapoachilia Neno la Mungu kutoka ndani yako kwa imani,
Roho wa Mungu huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa
hilo neno maishani mwako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENOMithali 18:20-21
Unapoachilia neno baya kutoka ndani yako kwa imani, basi roho
mbaya huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa hilo neno hilo maishani mwako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENOWaefeso 4:29
Neno lolote lililo ovu, lisitoke kinywani mwenu, bali lile lililo
jema, la kumfaa msikiaji.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutembea kwa Imani Mambo tuyasemayo huwa
yanaumbika katika ulimwengu wa kiroho kwanza (yametukia). Baada
ya kuyasema au kuyakiri, ndipo nguvu za Mungu huingia kazini
kuyaumba katika ulimwengu wa mwili (yatakuwa yake).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutembea kwa ImaniSiri ya kutembea katika imani ipo
katika kukiri, yale uyatakayo, mara baada ya kupata uhakika
wa Roho Mtakatifu ukiwa katika hali ya maombi juu ya swala hilo.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano;Imani ya Baba Ibrahimu
Warumi 4:16-20.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16-24.17 Kama ilivyoandikwa:
‘‘Nimekufanya wewe kuwa baba wa mataifa mengi.’’ Yeye ni baba yetu mbele za Mungu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16-24.17 … Ibrahimu baba yetu
alimwamini, Mungu awapaye ahadi waliokufa na akaanza kuvitaja vile vitu ambavyo
haviko kana kwamba vimekwisha kuwako.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16-24.19 Abrahamu hakuwa dhaifu katika
imani hata alipofikiri juu ya mwili wake na alipofikiiri juu ya ufu wa tumbo la Sara, ambalo lilikuwa
kama limekufa, kwani umri wake ulikuwa unakaribia miaka mia
moja na Sara miaka 90.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16-24.20 Lakini Abrahamu hakusitasita
kwa kutokuamini, bali akiiona/akiitazama ahadi ya Mungu, alitiwa nguvu katika imani yake na kumpa Mungu
utukufu,
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16-24.
21 akiwa na hakika kabisa kwamba Mungu alikuwa na
uwezo wa kutimiza lile aliloahidi.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16-24.18 Akitarajia yasiyoweza
kutarajiwa, Abrahamu akaamini atakuwa, ‘‘Baba wa
mataifa mengi,’’ (Hata kabla ya kuona mabadiliko
katika tumbo la Sara)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16-24.23 Maneno haya, “Ilihesabiwa
kwake kuwa haki,” hayakuandikwa kwa ajili yake
peke yake,
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Warumi 4:16-24.24 bali kwa ajili yetu sisi pia, ambao Mungu atatupa haki, kwa ajili yetu tunaomwamini Yeye aliyemfufua Yesu Bwana
wetu kutoka kwa wafu.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutembea kwa ImaniSiri ya kutembea katika imani ipo
katika kukiri, yale uyatakayo, mara baada ya kupata uhakika
wa Roho Mtakatifu ukiwa katika hali ya maombi juu ya
swala hilo.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1Yohana 5:1-4Imani ndio siri ya ushindi wa mtu wa Mungu duniani. Mtu
wa Mungu asipojua siri ya kutembea kwa Imani,
hataweza kuishi maisha ya ushindi duniani.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:12-14, 20-24(23) amini kwamba hayo
uyasemayo (tayari) yametukia (hata kama huyaoni), hapo
ndipo yatakuwa yake (yatadhihirika) katika
kuonekana na kushikika.
Kutembea na nguvu za Mungu
(3) Maneno ya Baraka/Ushindi Yohana 6:63, Ebr 4:12-13 Mith 18:20-21, Mith 6:1-2
Kutembea na nguvu za Mungu
Mawazo Mtazamo Maneno
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO2 Timotheo 3:16-17
Andiko + Pumzi = Neno (Hai)
Herufi + Roho = Nguvu
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENOWaebrania 4:12
“Neno la Mungu li hai tena lina Nguvu”
KANUNI ZA KIROHO
Yohana 1:1-4,‘Neno alikuwa kwa Mungu, Neno
alikuwa Mungu, kila kitu kilifanyika kwa Neno; wala pasipo yeye, hakuna kitu kilichofanyika.’
‘Neno ni uhai.’
NGUVU YA NENO
2Kor 3:6, Yoh 6:63‘Andiko linauwa, lakini Roho
anahuisha; kwahiyo, Neno langu ni Roho, tena ni
Uzima; kwasababu’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Nguvu ya neno inatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao
unatokana na uwepo wa Roho/roho aliyevuvia hilo Neno
Waebrania 4:122Timotheo 3:16-17
NGUVU YA NENO
Mithali 18:20-21‘Mauti na uzima huwa katika
uwezo wa ulimi, na wao wautumiao, watakula
matunda yake.’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
Yohana 6:63‘Roho ndio itiayo uzima (uhai),
kwani mwili (pasipo roho) haufai kitu’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENO
Yohana 6:63‘Maneno yangu ni Roho
nayo ndio Uzima’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yoeli 3:10Yeye aliye dhaifu, na aseme
mimi ni hodari. (aliye dhaifu, asikiri udhaifu wake, bali akiri ushindi, kama njia ya kubadili au kuondoa
udhaifu wake).
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENOWakolosai 3:16
Neno la Kristo likae kwa wingi ndani yako katika hekima yote.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
NGUVU YA NENOWaefeso 4:29
Neno lolote lililo ovu, lisitoke kinywani mwenu, bali lile lililo
jema, la kumfaa msikiaji.
NGUVU YA NENO NA MAOMBI
NGUVU YA NENO Kuuathiri
Ulimwengu wa roho kwa Neno na maombi.
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA NENO
1.Kufunga Mambo unayotaka yafungike
Mathayo 16:18-19Yakobo 5:16-18
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA NENO
2. Kufungua Mambo unayotaka yafunguke
Mathayo 16:18-19Yakobo 5:16-18
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA NENO
3. Kuua Kufisha Mambo unayotaka yafe kabisa
Marko 11:12-14‘tangu leo mtu asile matunda kwako’
(Kuanzia leo Ufe kabisa)
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA NENO
4. Kuhuisha / Kufufua Mambo unayotaka yafufuke
Yohana 11:11-15‘Lazaro, rudi katika uhai wako tena’
Ezekieli 37:1-14
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA NENO
5. Kuponya na kurejesha katika hali yake ya mwanzo
Zaburi 107:20 ‘Hulituma Neno lake, na
kuwaponya mataifa’
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA NENO
6. Kuhamisha Nyakati/MatukioMarko 13:14-19
‘Ombeni kukimbia kusiwe wakati wa baridi (kuwe wakati wa joto)’Yohana 2:1-11, Isaya 38:1-5
NGUVU YA NENO
7. Kujua Mambo yaliyojificha
Waebrania 4:1212 Neno la Mungu li hai
tena lina Nguvu 13 “Laweza kuyapambanua mawazo ya moyo;
wala hakuna awezaye kujificha mbele zake
NGUVU YA NENO
7. Kujua Mambo yaliyojificha
Neno la Mungu laweza kutumwa kama mjumbe kuleta taarifa,
habari au siri zilizojificha.Isa 55:10-11, Yer 1:11,
Ezek 3:16, Ezek 35:1
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
7. Kujua Mambo yaliyojifichaa) Yaliyopita (Ufu 5:1-5/13:8)b) Ya Sasa (Dan 1:17-20/17-24)c) Yajayo (Isa 9:6/Dan 7:13-14,17)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hatua Muhimu ya Sita;
6 (b). Kufungulia kwa Kuamuru na Kutabiri
1Wafalme 18:41-45Ezekieli 37:1-14
Imani ya Ushindi
Kama vile Roho Mtakatifu alivyohitaji utumie Neno la
Mungu kwa ajili ya uumbaji wa hitaji lako katika ulimwengu wa roho, vile vile atahitaji utumie
Neno kwa ajili ya uumbaji katika ulimwengu wa mwili.
MAMLAKA YA MKRISTO
Ufunuo 5:9-1010 Nawe umewafanya hawa
wawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao
wanamiliki dunia.’’
MAMLAKA YA MKRISTO
Mathayo 16:19,1819 Mambo mtakayoyafunga
duniani, yatafungwa mbinguni, na mambo mtakayoyafungua
duniani, ytafunguliwa mbinguni.
MAMLAKA YA MKRISTO
Mfano;Utabiri (Uamuru) wa
Nabii EzekieliEzekieli 37:1-14
MAMLAKA YA MKRISTO
Ezekieli 37:1-14Mungu alihitaji “mwanadamu”
ili aweze kutimiza kusudi lake la kuifufua mifupa (jeshi) ya Israeli, kutoka katika bonde
lililozika wafu wa kivita.
MAMLAKA YA MKRISTO
Ezekieli 37:1-14Kuna wakati, ili nguvu za
Mungu ziingie kazini, kuvunja upinzani, ni lazima mtu wa Mungu ajifunze kutabiri au
kuamuru (kuagiza) jambo hilo kufanyika.
MAMLAKA YA MKRISTO
Mathayo 16:19/18:18
Mambo mtakayoyafunga (ninyi) duniani (mwilini)
yatafungwa pia mbinguni (rohoni) …
MAMLAKA YA MKRISTO
Mathayo 16:19/18:18
Mambo mtakayoyafungua (ninyi) duniani (mwilini),
yatakuwa yamefungwa pia mbinguni (rohoni).
MAMLAKA YA MKRISTO
1Kor 3:9 Rum 8:28Sisi ni watenda kazi pamoja na
Mungu duniani; na katika mambo yote, Mungu hufanya
kazi pamoja na wale (watu) wampendao, katika kuwapatia
mema (baraka/ushindi).
MAMLAKA YA MKRISTO
1Kor 3:9 Rum 8:28Mungu anaweza kufanya kila
kitu pasipo msaada wa binadamu, na alishafanya mengi; lakini alichagua tu
kufanya kazi pamoja na sisi.
MAMLAKA YA MKRISTO
Mwanzo 1:26-28 Tufanye mtu kwa sura yetu na kwa mfano wetu, ili (wao
binadamu) ndio waende wakatawale dunia na vyote
viijazavyo.
MAMLAKA YA MKRISTO
Isaya 45:11Haya ndiyo asemayo Bwana
Mwenyezi; niulizeni habari za mambo yajayo, na Kwa habari
ya kazi za mikono yangu, ‘haya niamuruni’.
MAMLAKA YA MKRISTO
Ezekieli 37:1-14Mungu alihitaji “mwanadamu”
ili aweze kutimiza kusudi lake la kuifufua mifupa (jeshi) ya Israeli, kutoka katika bonde
lililozika wafu wa kivita.
Yohana 11:1-39-45Mungu anatuonyesha
kwamba, sisi kama watoto wa Mungu ‘tuna wajibu’ katika utendaji kazi wa
nguvu za Mungu maishani mwetu.
KUAMURU MATOKEO
Wajibu Wetu Pamoja na Mungu;• Shusha Nyavu (Luka 5:4)• Jaza Maji Mabalasi (Yoh 2:7)• Nenda Kanawe (Yoh 9:7)• Liondoeni Jiwe (Yoh 11:29)• Mfungueni Sanda (Yoh
11:44)
KUAMURU MATOKEO
Imani ya Ushindi
Kama vile Roho Mtakatifu alivyohitaji utumie Neno la
Mungu kwa ajili ya uumbaji wa hitaji lako katika ulimwengu wa roho, vile vile atahitaji utumie
Neno kwa ajili ya uumbaji katika ulimwengu wa mwili.
MAMLAKA YA MKRISTO
Ezekieli 37:1-14Kuna wakati, ili nguvu za
Mungu ziingie kazini, kuvunja upinzani, ni lazima mtu wa Mungu ajifunze kutabiri au
kuamuru (kuagiza) jambo hilo kufanyika.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hatua Muhimu ya Saba;
7. Kufanya Tendo la Imani
Yakobo 2:17-18
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yakobo 2:17, 26Kwa maana, kama mwili
pasipo roho imekufa, vivyo hivyo, imani pasipo matendo,
pia imekufa.
KUTEMBEA KWA IMANI
Kwa Mfano wa Ibrahimu;
Kubadili Majina yao,Abramu – Ibrahim
Sarai – Sara Mwanzo 17:1-22
KUTEMBEA KWA IMANI
Kwa Mfano wa Nabii Eliya;
Kutawanya Mkutano kabla ya ishara yoyote ya
mvua kuonekana1Wafalme 18:41-43
KUTEMBEA KWA IMANI
Kwa Mfano wa Yesu;
Kuamuru Wagonjwa Kutoa Sadaka ya
shukurani kabla ya kuona uponyaji.
Luka 17:11-14-19
KUTEMBEA KWA IMANI
Kwa Mfano wa Mitume;
Kuamuru Kilema Kutembea kabla ya
kuona uponyaji.Matendo 3:1-10-16
KUTEMBEA KWA IMANI
Kwa Mifano Mingine mbalimbali;Kununua nepi na beseni kabla ya
kuona dalili za mimbaKununua suti ya harusi kabla ya
kumpata Bwana ArusiKujenga gereji ya gari kabla ya
kupata gari
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hatua za Imani Timilifu(1)Kulipata Neno (Warumi 10:17)(2)Kulifanya litokee (Mrk 11:23)(3)Kuthibitisha Uhakika (Rum 4:21)(4)Kukiri kwa Uhakika (Rum 4:17)(5)Kutenda kwa ujasiri (Mwa 17:1-9)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mamba yanayosaidia
Kutembea na Imani ya Ushindi
Warumi 4:16-24
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
1.Kubadilisha Mtazamo
Kuvaa Neno MachoniWaefeso 1:15-19
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
2.‘Kuwaza sawasawa na
iliyo Kweli’Mithali 23:7
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
3.Kukiri Ushindi
Kutamka maneno ya BarakaYoh 6:63, Mith 18:20-21
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
Tukijua siri hii ya maombi, jinsi yanavyoweza kubadilisha
ulimwengu wa roho, kwa kutumia Nguvu ya Neno, tutaleta
mabadiliko tunayotamani kuyaona katika maisha yetu
IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1-41 ‘Kila mtu anayeamini kwamba, Yesu Kristo ni
Mwana wa Mungu, amezaliwa na Mungu…’
(Zab 82:6, Yoh 10:34-36)
IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1-44 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,
huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda, kuushindako
ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”
IMANI YA USHINDI
Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano
wa Mungu, (yaani asili ya Mungu) ambayo inakupa asili
ya ushindi ndani yako, dhidi ya kila upinzani wa adui shetani
maishani mwako.
NGUVU LA NENO LA MUNGU
Kanuni hizi tulizojifunza, zikusaidie kuzalisha nguvu za Mungu ndani yako, kwasababu, utendani kazi wa mkono wa Mungu maishani
mwako unategemea sana kiwango cha nguvu zake, kinachotenda kazi
ndani yako.
Mafundisho Mengine
Vitabu vingine, CD na DVD za Mafundisho vya Mwalimu Mgisa
Mtebe, yanapatikana katika duka la Vitabu vya Kikristo la
Azania Front Cathedral Luther House, Sokoine Drive
Dar es Salaam.
Kwa mawasiliano zaidi,Mwl. Mgisa Mtebe
(Christ Rabbon Ministry)
P. O. Box 837,Dar es Salaam, Tanzania.
+255 713 497 654+255 783 497 654
www.mgisamtebe.org