Mwl. Mgisa Mtebe +255 713 497 654, +255 783 497 654 [email protected] www.mgisamtebe.org VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita March 29, 2022
Jan 14, 2016
Mwl. Mgisa Mtebe +255 713 497 654, +255 783 497 654
www.mgisamtebe.org
VITA VYA KIROHOMapambano na Nguvu za gizaKuteka Baraka zetu kwa Vita
April 21, 2023
VITA VYA KIROHOILI KUTEKA BARAKA ZETU KWA VITA NA KUTUWEZESHA KUISHI
KWA USHINDI DUNIANI
Mathayo 16:18-19Waefeso 6:10-13
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18-1918 Nami Nitalijenga Kanisa
langu, wala milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda. 19 Nami nitawapa funguo za Ufalme wa
mbinguni … April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18-1919 … jambo lolote
utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa
mbinguni (rohoni) … April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18-1919 … na jambo lolote
utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa
mbinguni (rohoni). April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Waefeso 6:10-13-18‘Iweni hodari katika Bwana, na katika Uweza wa Nguvu zake. Vaeni silaha zote za Mungu ili
muweze pupambana na hila za mwovu shetani.
April 21, 2023
Waefeso 6:10-13-18
‘Kwa maana kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita vya kimwili) bali vita yetu ni ya kupambana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza
na majeshi ya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.
April 21, 2023
VITA VYA ROHONI
Mathayo 16:18 “Kwahiyo, kuna mashindano
(kuna vita), kati ya milango ya kuzimu (nguvu za giza) na kanisa
la Bwana Yesu Kristo duniani.”Ufunuo 12:17
April 21, 2023
VITA VYA ROHONI
Chanzo cha vita
Vita hii ilitokea Wapi?Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17
Ezekieli 28:11-19Isaya 14:10-15
April 21, 2023
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 3 “Kisha nikaona ishara nyingine mbinguni; niliona, Joka mkubwa
mwekundu, na alikuwa na vichwa saba na pembe kumi …
April 21, 2023
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 4 “… na huyu joka, katika mkia
wake, alikuwa anakokota theluhthi ya nyota za mbinguni
(malaika wa Mungu) na kuziangusha katika nchi.
April 21, 2023
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 7 “Kulikuwa na vita mbinguni, Malaika Mkuu wa majeshi ya
Mungu, Malaika Mikaeli, akapigana na yule joka na
malaika zake …”April 21, 2023
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 8 “Nao hawakushinda, wala
mahali pao hapakuonekana tena mbinguni. 9 Yule joka aitwaye
ibilisi na shetani, akatupwa duniani, na malalika zake wakatupwa pamoja naye.April 21, 2023
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 10 “Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, sas kumekuwa wokovu na nguvu na ufalme wa Mungu
wetu na mamlaka ya Kristo wake, kwa maana ametupwa
chini mshitaki wa ndugu zetu”.April 21, 2023
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 11 “Nao wakamshinda yule joka na malaika zake, kwa damu ya mwana kondoo na kwa neno la
ushuhuda wao, ambao hawakupenda maisha yao hata
kufa”.April 21, 2023
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 12 “Kwahiyo shangilieni enyi enyi wote mkaao mbinguni; lakini ole
wa ninyi mkaao duniani! Kwa maana yule joka ibilisi, ameshuka kwenu, ana hasira nyingi akijua
ana wakati mchache!April 21, 2023
VITA VYA ROHONI
Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 17 “Joka akamkasirikia yule
mwanamke (kanisa), akaenda afanye vita juu wa wazao wake wazishikao amri za Mungu na
kuwa na ushuhuda wa Yesu …”April 21, 2023
VITA VYA ROHONI
Mathayo 16:18 “Nitalijenga kanisa langu,
litapambana na milango ya kuzimu (nguvu za giza), na
milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda kanisa langu …”
April 21, 2023
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ufunuo 12:27Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na mazingira yake, ili
kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka kwa
binadamu, duniani. April 21, 2023
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Kwanini Ibada?Zaburi 22:3
April 21, 2023
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Zab 22:3 IDABA ndio kitu cha kwanza
kabisa katika moyo wa Mungu, kwasababu
MUNGU ANAISHI KATIKA IBADA na SIFA.
April 21, 2023
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Zaburi 22:3 Wewe U Mtakatifu, nawe
“UNAKETI” juu ya sifa za Israel
“Inhabit” “Unaishi”
April 21, 2023
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Zab 22:3 IDABA ndio kitu cha kwanza
kabisa katika moyo wa Mungu, kwasababu
MUNGU ANAISHI KATIKA IBADA na SIFA.
April 21, 2023
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Kumnyima Mungu ibada Ni kama kumnyima • Samaki maji• Mimea udongo• Binadamu hewa
April 21, 2023
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
“Kwa maana, Baba anawatafuta watu wa aina hiyo ili wamwabudu.” (Yohana 4: 23)
April 21, 2023
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Ibada Nchi
Adam
Zab 22:3
Zab 150:6
Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Kusudi la Mungu la awali, ni kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, ili binadamu tuishi
maisha mazuri (ya ushindi na mafanikio) na kuwa vyombo
vizuri vya kumwabudu Mungu.April 21, 2023
SIFA NA IBADA KWA MUNGUMungu anatamani sana kukaa na sisi watoto wake hapa duniani, ndio maana anataka dunia yote
ijazwe hali ya ibada (atmosphere) kama ilivyo mbinguni (masaa 24), ili duniani pia, kuwe na mazingira ya maisha au ya makazi ya Mungu
kama ilivyo mbinguni.April 21, 2023
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu anataka watoto wake, tuwe na maisha mazuri, ili tunapopeleka ibada kwa
Mungu, ibada hiyo ifike kwa Mungu ikiwa safi (fresh), yaani
ibada isiyo na kelele za moyoni (masumbufu).
April 21, 2023
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Kutokana na umuhimu na unyeti wa ibada, Mungu
hakutaka na hataki watoto wake, tuwe na maisha ya taabu, maisha ya dhiki na
maisha ya shida; ili ibada yake isiingiliwe na vurugu zozote.
April 21, 2023
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ili Mungu apate ibada nzuri kutoka kwetu, inamlazimu
kutubariki na kututengenezea mazingira mazuri, ili tuweze kuwa na maisha mazuri ya
kumtumikia yeye kama vyombo vizuri vya ibada.
April 21, 2023
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Ndio maana Mungu alitumia muda mrefu zaidi kuumba Dunia
kuliko muda aliotumia kumuumba binadamu
mwenyewe.Dunia = siku 5Adam = siku 1
April 21, 2023
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Hii inaonyesha wazi kwamba, Mungu anajali sana mazingira ya maisha yako; kwasababu, ibada nzuri inategemea aina ya maisha
ya mtu, na aina ya maisha yanategemea aina ya mazingira
anayoishi mtu huyo.April 21, 2023
NGUVU YA SADAKA NA IBADA
Wakolosai 1:16 16 … vitu vinavyoonekana na vile visivyoonekana, vitu vyote viliumbwa na Yeye na kwa ajili
Yake. (rasilimali zote zilimewekwa na Mungu na kwa
ajili yake)April 21, 2023
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Ibada Nchi
Adam
Zab 22:3
Zab 150:6
Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24
April 21, 2023
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ibada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa
sana na mazingira mazuri.Kumbukumbu 8:6-18
April 21, 2023
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Mazingira yakitibuka, maisha yanatibuka, na maisha
yakitibuka, ibada kwa Mungu pia, inatibuka.
Kumbukumbu 8:6-18April 21, 2023
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ufunuo 12:27Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na mazingira yake, ili
kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka kwa
binadamu, duniani. April 21, 2023
VITA VYA ROHONI
Mathayo 16:18 “Nitalijenga kanisa langu,
litapambana na milango ya kuzimu (nguvu za giza), na
milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda kanisa langu …”
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Waefeso 6:10-13-18‘Iweni hodari katika Bwana, na katika Uweza wa Nguvu zake. Vaeni silaha zote za Mungu ili
muweze pupambana na hila za mwovu shetani.
April 21, 2023
Waefeso 6:10-13-18
‘Kwa maana kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita vya kimwili) bali vita yetu ni ya kupambana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza
na majeshi ya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.
April 21, 2023
‘Ingawa tunaenenda kimwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili,
silaha zetu zina nguvu katika Mungu (roho), tukiteka nyara mawazo na fikra na kila kitu
kinachojiinua kinyume na elimu ya Bwana wetu Yesu Kristo.
2Wakorintho 10:3-5
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Kusudi la Mungu la awali, ni kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, ili binadamu tuishi
maisha mazuri (ya ushindi na mafanikio) na kuwa vyombo
vizuri vya kumwabudu Mungu.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Ni mapenzi ya Mungu tuishi maisha ya ushindi na
mafanikio ili kutimiza kusudi la Mungu na kuishi maisha
mazuri kama chombo maalum cha kumsifu na kumwabudu
Mungu.April 21, 2023
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ili Mungu apate ibada nzuri kutoka kwetu, inamlazimu
kutubariki na kututengenezea mazingira mazuri, ili tuweze kuwa na maisha mazuri ya
kumtumikia yeye kama vyombo vizuri vya ibada.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Kusudi la Mungu la awali, ni kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, ili binadamu tuishi
maisha mazuri (ya ushindi na mafanikio) na kuwa vyombo
vizuri vya kumwabudu Mungu.April 21, 2023
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Ibada Nchi
Adam
Zab 22:3
Zab 150:6
Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24
April 21, 2023
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ili Mwanadamu aweze kulitimiza Kusudi la Mungu vizuri, Mungu
alimpa Mwanadamu Mamlaka ya Kiroho ili Kutawala mazingira
yake, ili awe na maisha mazuri ya kumtumikia Mungu kama vyombo vizuri vya ibada.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOEbrn 11:3, Efes 6:12
Mamlaka ya Kiroho.
April 21, 2023
MAMLAKA YA KIROHO
Mwanzo 1:26-28/Zaburi 8:4-8 Mungu aliitengeneza dunia
katika namna kwamba, ulimwengu wa mwili,
utatawaliwa kwa mamlaka ya Mungu kutoka katika Ulimwengu wa roho.
April 21, 2023
MAMLAKA YA KIROHO
Mamlaka ya KirohoMwanzo 1:26-28
April 21, 2023
MAMLAKA YA KIROHO
Mwanzo 1:26-28 26 ‘Mungu akasema, tufanye Mtu kwa Sura yetu na Mfano wetu, wakatawale samaki wa
baharini na ndege wa angani, na kila kitu kipitacho juu ya nchi’.
April 21, 2023
MAMLAKA YA KIROHO
Mwanzo 1:26-28 27 ‘Bwana Mungu akaumba Mwanamke na Mwanaume;
kwa Mfano wa Mungu aliwaumba’
April 21, 2023
MAMLAKA YA KIROHO
Mwanzo 1:26-28 28 ‘Bwana Mungu akawaweka
katika bustani, akawaambia, zaeni mkaongezeke na kuitiisha
(kuitawala) nchi.’
April 21, 2023
MAMLAKA YA KIROHO
Warumi 3:23/Warumi 5:12-19Mwanadamu alipofanya dhambi,
alipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na
kushindwa kuutawala ulimwengu wa mwili; badala yake,
ulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.April 21, 2023
MAMLAK YA KIROHO
KABLA YA DHAMBI UTARATIBU ULIKUWA HIVI
April 21, 2023
KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)
Utukufu (Msaada) Mungu Mwili Roho Dunia NafsiShetaniApril 21, 2023
MAMLAKA YA MKRISTO KABLA YA DHAMBI “Mashal”
Zab 8:4-8
ADAM
MALAIKA
DUNIA
SHETANI
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
MUNGU
April 21, 2023
MAMLAKA YA KIROHO
Zaburi 8:4-8
April 21, 2023
MAMLAKA YA KIROHOZaburi 8:4-8
Mwanadamu ni nani hata umwangalie kwa kiasi hiki? Umemfanya ‘punde kidogo’
kuliko Mungu, ukamvika taji ya ‘Utukufu’na Heshima;
ukamtawaza‘Juu ya’kazi zote za mikono yako …April 21, 2023
MAMLAKA YA KIROHO
Zaburi 8:4-8… na ukaviweka vitu vyote
ulivyoviumba wewe, ‘chini ya’ miguu yake; wanyama wote,
ndege wote, samaki na kila kitu kipitacho katika njia za maji.
April 21, 2023
MAMLAKA YA MKRISTO KABLA YA DHAMBI “Mashal”
Zab 8:4-8
ADAM
MALAIKA
DUNIA
SHETANI
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
MUNGU
April 21, 2023
KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)
Utukufu (Msaada) Mungu Mwili Roho Dunia NafsiShetaniApril 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
BAADA YA DHAMBI MAMBO YAKAWA HIVI
April 21, 2023
BAADA YA DHAMBI Msaada Ukakatika Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani April 21, 2023
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
SHETANI ALITAPELI NAFASI YA ADAM
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
MUNGU
April 21, 2023
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
Shetani akakaa katika nafasi ya Adam na
akavaa vyeo vyote vya Adam
Yohana 16:11
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
Waefeso 2:1-2
1Yohana 5:19
Luka 4:5-8
2Korintho 4:3-4
MUNGU
April 21, 2023
Mamlaka ya shetani ulimwenguni
Efe 2:1-2 – Mfalme wa anga2Kor 4:4 – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19 – Mtawala (Controler) Yoh 12:31 – Mkuu wa UlimwenguYoh 14:30 – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11 – Mkuu wa Ulimwengu
April 21, 2023
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
Warumi 5:12, 14 Waebrania 2:14, 15
Yohana 16:11
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
Waefeso 2:1-2
1Yohana 5:19
Luka 4:5-8
2Korintho 4:3-4
MUNGU
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
BAADA YA WOKOVU MAMBO YAKAWA HIVI
April 21, 2023
BAADA YA WOKOVU (KALVARI)
(Utukufu) Uhusiano Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani April 21, 2023
MAMLAKA YA MKRISTO
BAADA YA WOKOVU
Waefeso 2:1-6 Waefeso 1:18-23
MALAIKA
SHETANI
DUNIA
ADAM - 1
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
MUNGU + ADAM - 2
April 21, 2023
BAADA YA WOKOVU (KALVARI)
(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11) April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:26-28/Zaburi 8:4-8 Mungu aliitengeneza dunia
katika namna kwamba, ulimwengu wa mwili,
utatawaliwa kwa mamlaka ya Mungu kutoka katika Ulimwengu wa roho.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Warumi 3:23/Warumi 5:12-19Mwanadamu alipofanya dhambi,
alipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na
kushindwa kuutawala ulimwengu wa mwili; badala yake,
ulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Waefeso 2:1-6/Ufunuo 5:8-10Lakini Mtu anapotubu dhambi zake
na kuupokea Wokovu wa Bwana Yesu Krsito, anaunganishwa tena na Mungu na kupewa mamlaka
makuu zaidi, kuliko yale aliyoyapoteza Adam na Eva
katika bustani ya Eden.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18-1918 Nami Nitalijenga Kanisa
langu, wala milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda. 19 Nami nitawapa funguo za Ufalme wa
mbinguni … April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18-1919 … jambo lolote
utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa
mbinguni (rohoni) … April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18-1919 … na jambo lolote
utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa
mbinguni (rohoni). April 21, 2023
MAMLAKA YA MKRISTO
Ufunuo 5:9-109 Wewe unastahili kukitwaa kitabu na kuzivunja lakiri zake, kwa sababu ulichinjwa na kwa
damu yako ukamnunulia Mungu watu kutoka katika kila kabila, kila lugha, kila jamaa na
kila taifa (kanisa). April 21, 2023
MAMLAKA YA MKRISTO
Ufunuo 5:9-1010 Nawe umewafanya hawa
wawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao
wanamiliki dunia.’’
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWaefeso 1:18-23/2:1-6Mungu wetu, hataweza kukurithisha mamlaka ya
Ulimwengu wa roho ili uweze kuleta mabadiliko katika
ulimwengu wa mwili, kama hajazaliwa mara ya pili, kwa njia
ya Wokovu wa Yesu Kristo.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Baada ya Wokovu, mtu wa Mungu huyo, anajazwa Roho Mtakatifu na Nguvu zake, ili
kumrudishia mamlaka na uweza tuliyopoteza katika bustani ya
Eden, kwa njia ya dhambi.April 21, 2023
BAADA YA WOKOVU (KALVARI)
(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11) April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Bwana Yesu aliomba hivi:
Yohana 17:22 ‘Baba, Utukufu ule ulionipa,
nami nimewapa wao (Kanisa)’; ‘yaani watu walioniamini, walinipokea
maishani mwao na wanaishi kwa kanuni zangu za kiroho’
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Yohana 17:22‘Utukufu’ huo, ni Roho Mtakatifu
yule yule aliyepewa Adam wa kwanza, ili aweze kuutawala ulimwengu wa dunia hii kwa
Nguvu za Mungu.Zaburi 8:4-8April 21, 2023
2Petro 1:3-4 Tunapambana na adui mwenye
nguvu sana. Pasipo Nguvu za Mungu, mtu wa Mungu
hataweza kuleta mabadiliko mazuri katika maisha yake na
kumwezesha kuishi maisha mazuri na ya ushindi, ili kuwa
chombo kizuri cha ibada.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Kusudi la Mungu la awali, ni kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, ili binadamu tuishi
maisha mazuri (ya ushindi na mafanikio) na kuwa vyombo
vizuri vya kumwabudu Mungu.April 21, 2023
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Ili Mwanadamu aweze kulitimiza Kusudi la Mungu vizuri, Mungu
alimpa Mwanadamu Mamlaka ya Kiroho ili Kutawala mazingira
yake, ili awe na maisha mazuri ya kumtumikia Mungu kama vyombo vizuri vya ibada.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
KwaniniUlimwengu wa roho.
Zab 8:4-8, Waefeso 6:12
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Ni kwasababu;Mungu aliitengeneza dunia katika
namna kwamba, ulimwengu wa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka
ya Mungu kutoka katika Ulimwengu wa roho.
(Zab 4:4-8, Ebr 11:3)April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Ni muhimu uje kwamba, Dunia yetu inatawaliwa kwa
Kanuni kuu Mbili (2) 2. Kanuni za Kimwili1. Kanuni za Kiroho
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Nguvu Nguvu Za za Kimwili Vs Kiroho (Natural (Spiritual Principles) Principles)
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Kwa Mfano;
Uumbaji wa vitu vya Dunia Waebrania 11:3
April 21, 2023
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
Nasi twajua ya kwamba, ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, hata vitu
vinavyoonekana, havikufanywa kwa vitu vilivyo
dhahiri.April 21, 2023
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
“… vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa
vitu visivyo dhahiri ”.
April 21, 2023
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
“… vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa
vitu visivyo waziwazi ”.
April 21, 2023
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
“… vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa
vitu visivyo onekana (vya kiroho).”
April 21, 2023
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
Ulimwengu wa roho ndio ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilika, ndipo Mungu
akauzaa Ulimwengu wa mwili kutokea katika
Ulimwengu wa Roho.April 21, 2023
ULIMWENGU WA ROHO
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3
Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba katika ulimwengu wa
kiroho kwanza, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai-
photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.April 21, 2023
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18
Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 7 1000 33 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo
30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme Injili Kalvari Kanisa
Milele
April 21, 2023
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18
Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 7 1000 33 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo
30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme Injili 600 Kalvari Kanisa 700 2000
(4) Daniel 7:13 – 14, 27 (3) Isaya 9: 6 33 AD (5) Ufunuo 20:11 – 15
Bahari Miti Upepo
Milele
Ulimwengu wa MwiliApril 21, 2023
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
“… vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa
vitu visivyo onekana (vya kiroho).
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri
limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo
hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa
zilizopita (wakati uliopita).April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya
maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka
kabisa yakupate. April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Hivyo;Hakuna kitu kinafanyika katika
Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika
Ulimwengu wa Kiroho.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18
Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vitu
visiyoonekana (vya kiroho) kwani hivyo ndivyo vya milele
(vya kudumu).April 21, 2023
ULIMWENGU WA ROHOWaebrania 11:3
Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba kwanza katika
ulimwengu wa kiroho, na alipoikalimisha, ndipo akaizaa (akai-photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.
April 21, 2023
ULIMWENGU WA ROHO
Waebrania 11:3Kwahiyo, kila kitu duniani kina
original copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft-copy na hard-copy
yake (yaani kina upande wa rohoni na wa upande wa mwilini).
April 21, 2023
ULIMWENGU WA ROHO
Kwahiyo
Kila cha Kimwili, kina cha kiroho chake
1 Wakorintho 15:44
April 21, 2023
ULIMWENGU WA ROHO
1 Wakorintho 15:44“Ikiwa kuna mwili wa asili,
Basi na mwili wa roho pia, upo”
April 21, 2023
ULIMWENGU WA ROHO
Ayubu 8:9“Kwakuwa sisi ni wa jana tu,
wala hatujui neno, maisha yetu ni kama kivuli”- Photocopy -
April 21, 2023
ULIMWENGU WA ROHO
Zaburi 39:6a“Binadamu huko na huko
kama kivuli”- Photocopy -
April 21, 2023
ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu w
Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);• Vitu visivyoonekana • Vitu vinavyoonekana
Na vyote viko kwa pamoja
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Ni Kwasababu, Ulimwengu wa Mwili
ulizaliwa kupitia Ulimwengu wa Kiroho.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Ni Kwasababu,
Mambo ya Ulimwengu wa mwili yanatawaliwa kwa mambo ya
ulimwengu wa roho; April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Ni muhimu uje kwamba, Kanuni za Kimwili zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Hivyo, kwa utaratibu huu;Hakuna kitu kinafanyika katika
Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika
Ulimwengu wa Kiroho.April 21, 2023
MAANA YA KUOMBA
Tafsiri Mpya ya Maombi
April 21, 2023
MAANA YA KUOMBAKuomba, ni namna ya mtu,
kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu
wa roho, katika namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika
ulimwengu huu wa mwili.April 21, 2023
KANUNI ZAKIROHO
Ulimwengu wa roho
Kwa Mfano Maombi ya Nabii Eliya
Yakobo 5:17-18; 1Wafalme 17-18;
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya
Yakobo 5:17-18; Eliya alikuwa binadamu tu kama sisi, lakini aliomba kwa bidii, ili kuifunga
mvua, na Mungu alimsikia, na mbingu zikafungika na mvua (ya ki-
mwilini) haikunyesha juu ya nchi, kwa muda wa miaka 3 na nusu.April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya
Yakobo 5:17-18; Japo kulikuwa na kanuni zote za
kisayansi za mvua kunyesha, lakini Eliya, kwa njia ya maombi,
alikwenda rohoni, akaathiri (tibua) kanuni zinazotawala mvua mwili, na
ndio maana mvua haikunyesha.April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya
Yakobo 5:17-18; Baada ya miaka mitatu na nusu, nchi
yote ilikuwa kavu kabisa na misitu yote imepukutika; kwahiyo
hakukuwa na kanuni za kutosha kuruhusu mvua kunyesha.
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya
Yakobo 5:17-18; Eliya akaomba tena kwa bidii, ili kuifungua mvua kutoka katika uliwengu wa roho, na Mungu
alimsikia, na mbingu zikafunguka na mvua (ya ki-mwilini) ikanyesha na
nchi ikazaa matunda yake.April 21, 2023
MAANA YA KUOMBAKuomba, ni namna ya mtu,
kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu
wa roho, katika namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika
ulimwengu huu wa mwili.April 21, 2023
Mabadiliko gani hayo?Kwa Mfano;
Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,
Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma
nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu
wazuri, nk. nk. nk.April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30-45;
Eliya akawakusanya Waisraeli wote, akaijenga madhabahu ya Bwana
upya, akaweka sadaka ya ng’ombe juu ya madhabahu, na akawataka wamwage maji pipa 12 juu yake,
kama yalivyo mawe 12 ya madhabahu na kabila 12 za Israeli.
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30-45;
Baada ya kufanya Kanuni hizi za Kiroho, ndipo Eliya akafanya
Maombi ya Vita, ili kuvunja ngvu ya upinzani, iliyokuwa inazuia baraka za Mungu, kuwafikia
watoto wake duniani.April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Yakobo 5:18;
MATOKEO = USHINDI Mvua ikanyesha katika
ulimwengu wa mwili, na Nchi ikazaa matunda yake, na watu
wakafaidi mema ya nchi.April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-44; Baada ya ile Sadaka na Maombi,
Nabii Eliya akawaambia watu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya mvua
tele’ (mstari 41), watu walipoondoka, Eliya alikwenda mlimani ili kufanya MAOMBI; April 21, 2023
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baada ya Toba na Sadaka (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uyahudi Uyahudi
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-45; Na watu walipoondoka, Eliya
alikwenda mlimani kuomba; na baada ya maombi mazito mara
saba (7), ndipo mvua kubwa sana ikanyesha juu ya nchi
(mstari 44-45).April 21, 2023
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / /
/ / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-45; Kumbe, mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili,
mpaka kwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kiroho
kwanza.April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:41-45;
Kwahiyo, kumbuka kwamba, Kanuni za kiroho, ndizo
zilizotangulia kusababisha athari katika ulimwengu wa rohoni
kwanza, ili mvua inyeshe katika ulimwengu wa mwili.
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-45; Kwahiyo,
Ile mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili, mpaka
kwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kiroho kwanza.April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya
maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka
kabisa yakupate. April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri
limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo
hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa
zilizopita (wakati uliopita).April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
1Wafalme 18:41-45; Kwahiyo, ile mvua haikunyesha
katika ulimwengu wa mwili, mpaka kwanza ilipotengenezwa
katika ulimwengu wa kiroho kwanza.
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30
‘Mungu ameshatubariki kwa baraka zote za rohoni, katika
ulimwengu wa roho; kama alivyotuchagua katika yeye, kabla
ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, tuwe watakatifu’.
April 21, 2023
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baada ya Toba na Sadaka (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uyahudi Uyahudi
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:41-45, Yakobo 5:17-18
Wana wa Israeli, walikuwa wanateseka kwa maisha
magumu, katika ulimwengu wa mwili, wakati wao ni
wabarikiwa wenye baraka nyingi sana katika ulimwengu
wa roho.April 21, 2023
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / /
/ / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Kama Eliya asingeomba kwa bidii, ile baraka ya mvua (rohoni) ingekomea huko huko rohoni, na
huku duniani, watu wa Mungu wangeishi maisha ya shida na taabu; na kumbe wana baraka
nyingi sana katika U’rohoni.April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30
Na sisi pia tusipoomba, baraka hizi zote tulizopewa katika ulimwengu
wa roho, zitabaki huko huko rohoni, wakati huku duniani, tunateseka kwa maisha magumu, yaliyojaa
shida na taabu nyingi.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Mungu wetu ni Mungu wa Imani, anayefanya mambo
yasiyoonekana kwanza, kabla ya kuyasababisha yatokee katika
ulimwengu wa mwili (ulimwengu wa yanayoonekana)
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Utendaji kazi wa Mungu duniani, huanzia katika ulimwengu wa roho
kwanza. Mambo yakikamilika rohoni, ndipo huyazaa mambo hayo
katika ulimwengu wa mwili.
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI NA SADAKA
Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta
mabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu
vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko
katika ulimwengu wa mwili.April 21, 2023
ULIMWENGU WA ROHO
Kwanini tunaishi maisha ya kushindwa?
April 21, 2023
ULIMWENGU WA ROHOHebu jiulize mwenye…
Kwanini tunaishi maisha magumu na ya mateso huku mwili, yaliyojaa
shida na taabu nyingi, na kumbe kule rohoni tumebarikiwa na
Mungu kwa baraka zote, tena nyingi sana, za kutusaidia katika
maisha yetu ya kila siku?April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Ni kwasababu; watu wa Mungu,
(1) Hatujajua siri ya ulimwengu wa roho inavyoingiliana na ulimwengu wa mwili, hata kuleta mabadiliko
tunayotaka kuyaona huku duniani. ~ kutokujua ~April 21, 2023
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18
Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 7 1000 33 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo
30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme Injili Kalvari Kanisa
Milele
April 21, 2023
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18
Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 7 1000 33 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo
30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme Injili 600 Kalvari Kanisa 700 2000
(4) Daniel 7:13 – 14, 27 (3) Isaya 9: 6 33 AD (5) Ufunuo 20:11 – 15
Bahari Miti Upepo
Milele
Ulimwengu wa MwiliApril 21, 2023
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baada ya Toba na Sadaka (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uyahudi Uyahudi
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
April 21, 2023
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /
/ / / (mstari wa 41) / / / /
/ / Mvua ya rohoni / / / /
/ / / / / / / / / /
Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / /
/ / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
April 21, 2023
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Fitina 2Nyak 20
Math 12:25
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
MkuuMkuu Mkuu
April 21, 2023
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Fitina 2Nyak 20
Math 12:25
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
MkuuMkuu Mkuu
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Ni kwasababu; watu wa Mungu,
(2) Hatuna nidhamu na bidii ya kwenda rohoni kwa njia ya maombi, hata kuchukua na
kutelemsha baraka zetu duniani. ~ Uzembe ~April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Ni kwasababu; watu wa Mungu,
(3)Hatuna maarifa na bidii ya kutumia kanuni za kiroho, kwa
namna sahihi, katika madhabahu ya Bwana
(ulimwengu wa kiroho).April 21, 2023
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU Na huu ndio utaratibu na
kanuni ambazo Mungu aliziweka duniani, ili
kutuwezesha kutawala ulimwengu wa mwili, kwa
kanuni za kiroho zinazoathiri kwanza ulimwengu wa kiroho.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Watu wa Mungu wakielewa, nafasi ya Ulimwengu wa kiroho katika maisha yao, wataweka
bidii na nidhamu ya kuishi katika maisha yanayotimiza
kanuni za kiroho …
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
… ili waweze kuathiri vizuri Ulimwengu wa roho, hata kuleta mabadiliko katika
ulimwengu wa mwili yatakayowawezesha kutawala
maisha yao, kwa ushindi na mafanikio makubwa.
April 21, 2023
ULIMWENGU WA ROHO
Kanuni za kiroho zikiathiri Ulimwengu wa roho
inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni
za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, kama
ilivyotazamiwa.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4
Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili
utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala
ulimwengu wa roho kwanza.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3 Hii ni kwasababu;
Hakuna kitu kinafanyika katika Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika
Ulimwengu wa Kiroho.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Kwa Mfano;
Ushindi wa Yesu wa Pasaka1Petro 3:18-20
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20
Hata hatua zote za ukombozi wa mwanadamu, alioufanya Bwana Yesu pale msalabani, ulikuwa ni ukombozi katika ulimwengu wa kiroho kwanza kabla ya kutokea
katika mwili.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20
Siku ile Bwana Yesu alipoangikwa msalabani, watu waliuona mwili
wake ukining’inia msalabani, lakini hawakuoiona roho yake
ikiondoka kwenda katika ulimwengu wa wafu (kuzimuni).April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20
18 “Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa
Mungu; mwili wake ukauwawa, bali roho yake ikahuishwa”.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20
19 “Kwa hiyo (roho yake) aliwaendea roho waliokuwa
kifungoni, akawahubiri (injili ni uweza wa Mungu uletao wokovu) yaani akawakomboa wale wote
waliofungwa au waliozuiliwa)April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOMathayo 27:45
45 “Basi tangu saa 6 mpaka saa 9, palikuwa na giza juu ya nchi yote
46 na ilipofika saa 9, Yesu akapaza sauti yake … 50 (akasema
imekwisha) aliposema hivyo, akaitoa roho yake.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOMathayo 27:45
51 “na tazama pazia la hekalu likapasuka kutoka juu hata chini;
nchi ikatetemeka, miamba ikapasuka, 52 na makaburi
yakafunguka na ikainuka miili mingi ya watakatifu waliolala.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Waefeso 4:88 “alipopaa juu, aliteka mateka,
akawapa wanadamu vipawa”
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWakolosai 2:13-15
‘… (Bwana Yesu) akiisha kutusamehe makosa yetu (pale msalabani) … aliifuta ile hati ya
mashtaka juu yetu, iliyokuwa na uadui na Mungu, akaigongelea
pale msalabani …’ April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWakolosai 2:13-15
‘… (kisha Bwana Yesu) kwa ujasiri wote, akazivua enzi na mamlaka, akazifanya kuwa mkogo (yaani, fedhaha, aibu na dharau) kisha
akazishangilia katika msalaba …’(Mafafanuzi yameongezewa)
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO1Pet 3:18-20, Kol 2:14-15
Kumbe hatua zote za ukombozi wa mwanadamu, alioufanya Bwana Yesu pale msalabani, ulikuwa ni ukombozi katika
ulimwengu wa kiroho kwanza kabla ya kutokea katika mwili.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO1Pet 3:18-20, Kol 2:14-15
Kumbe mambo ya aina mbili yalikuwa yakiendelea kwa
wakati mmoja (ktk dunia moja); Mengine katika ulimwengu wa
mwili na mengine katika ulimwengu wa roho.April 21, 2023
1Petro 3:18-20 Mathayo 27:32-54 Wakolosai 2:14-15
Mathayo alitumiwa Paulo alitumiwa na
Mungu kuelezea Mungu kuelezea
Mambo yaliyotokea mambo yaliyotokea
Katika ulimwengu katika ulimwengu
wa kimwili wa kirohoApril 21, 2023
1Petro 3:18-20 Mathayo 27:32-54 Wakolosai 2:14-15
Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho
1. 1.
Alikuwa Alikuwa Analia. Anashangilia. “Eloi Eloi “akizishangilia ktk
lama sabaktan” msalaba”April 21, 2023
1Petro 3:18-20 Mathayo 27:32-54 Wakolosai 2:14-15
Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho
2. 2.
Alikuwa Alikuwa Anateseka Anazitesa. “Naona Kiu” “falme na mamlaka
Wakamnywesha siki. za giza (shetani)”April 21, 2023
1Petro 3:18-20 Mathayo 27:32-54 Wakolosai 2:14-15
Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho
3. 3.
Alivuliwa Nguo Alizivua mamlaka
kwa aibu (uchi), za giza (mashetani)
akaondolewa enzi yao na
heshima yake heshima zao.
April 21, 2023
1Petro 3:18-20 Mathayo 27:32-54 Wakolosai 2:14-15
Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho
4. 4.
Aliaibishwa Aliziaibisha ‘Akafa kifo cha laana ‘akaziharibu na
mateso na aibu sana’ kuzifedhehesha
juu ya msalaba’April 21, 2023
1Petro 3:18-20 Mathayo 27:32-54 Wakolosai 2:14-15
Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho
5. 5.
Anashindwa. Anashinda.Akafa kifo cha mateso ‘akaenda kuzimuni
na aibu sana’ kukomboa
watakatifu’.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20
Hii ina maana kwamba;Yesu alishinda kwa kushindwa.Kile kilichokuwa kinaonekana ni
“kushindwa” ndio ilikuwa “kushinda” kwa Bwana Yesu.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18
Ndio maana tunaambiwa kwamba;
‘Tusiviangalie vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda tu;
bali tuviangalie visivyoonekana, (vya kiroho) ndivyo vya kudumu.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20
Kwahiyo, mambo ya aina mbili yalikuwa yakiendelea kwa
wakati mmoja (ktk dunia moja); Mengine katika ulimwengu wa
mwili na mengine katika ulimwengu wa roho.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20
Kwahiyo, hatua zote za ukombozi wa mwanadamu, alioufanya Bwana Yesu pale
msalabani, ulikuwa ni ukombozi katika roho kwanza kabla ya
kutokea katika mwili.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Hivyo basi;Hakuna kitu kinafanyika katika
Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika
Ulimwengu wa Kiroho.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Huu ndio Utaratibu wa Mungu katika kuitawala dunia;
kwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kimwili, sharti yafanyike kwanza
katika ulimwengu wa kiroho.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Hivyo;Hakuna kitu kinafanyika katika
Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika
Ulimwengu wa Kiroho.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4
Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili
utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala
ulimwengu wa roho kwanza.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Kwahiyo, Kanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual
Principles).April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Nguvu Nguvu Za za Kimwili Vs Kiroho (Natural (Spiritual Principles) Principles)
April 21, 2023
Somo;
Kanuni za kiroho, ni mambo ambayo, tukiyatumia sawasawa maishani mwetu, yatasababisha athari fulani katika ulimwengu
wa roho, na kufanya mabadiliko fulani kutokea, katika
ulimwengu wetu wa mwili.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Mungu wetu ni Mungu anayefanya mambo katika
ulimwengu wa yasiyoonekana kwanza, kabla ya kuyasababisha
yatokee katika ulimwengu wa mwili wa yanayoonekana.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWarumi 4:17
Mungu wetu ni Mungu anayevitaja, visivyokuwepo, kana kwamba vimekuwepo;
(yaani anataja visivyoonekana kana kwamba vinaonekana).
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOKumbuka kwamba;
Waebrania 11:1, 3
Vitu vinavyoonekana, viliumbwa kwa vitu visivyo dhahiri (au vitu
visivyo wazi wazi au vitu vinavyoonekana)
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18
Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vitu
visiyoonekana (vya kiroho) kwani hivyo ndivyo vya milele
(vya kudumu).April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Warumi 8:37, 1Yohana 5:4Basi mtu wa Mungu akitaka
kutembea duniani na Mungu wa Imani, kwa ushindi, ni lazima
ajue kutembea kwa imani; kwani Imani yetu ndiyo siri ya
ushindi wa maisha yetu duniani.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
1Yohana 5:4‘Kila kitu kilichozaliwa na
Mungu, huushinda ulimwengu; Na huku ndiko kushinda
kuushindako ulimwengu, yaani hiyo IMANI yetu’
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Waebrania 11:1‘Imani ni kuwa na uhakika (wa sasa), wa (mambo ya
rohoni) mambo yasiyoonekana;
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
1Yohana 5:4‘Kwakuwa Imani ndiyo siri ya
ushindi wetu, na Imani ni uhakika wa mambo
yasiyoonekana (mambo ya ulimwengu wa roho)’
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO‘Hivyo Basi mtu wa Mungu
akitaka kutembea kwa ushindi na Mungu wa Imani, katika maisha yake duniani, lazima awe na ufahamu wa mambo yasiyoonekana (mambo ya
rohoni) yaani Imani.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Mungu wetu ni Mungu wa Imani, anayefanya mambo
yasiyoonekana kwanza, kabla ya kuyasababisha yatokee katika
ulimwengu wa mwili (ulimwengu wa yanayoonekana)
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4
Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili
utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala
ulimwengu wa roho kwanza.April 21, 2023
2Wakorintho 10:3-5‘Ingawa tunaenenda kimwili,
hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili, silaha zetu zina nguvu katika
Mungu (roho)’
VITA VYA KIROHO
April 21, 2023
Waefeso 6:10-13-18
‘Kwa maana kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita vya kimwili) bali vita yetu ni ya kupambana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza
na majeshi ya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.
April 21, 2023
Waebrania 11:3, 2Korintho 10:3Ulimwengu wa roho ndio
unaotawala Ulimwengu wa mwili; hivyo basi, Hakuna kitu kinafanyika katika Ulimwengu
wa Mwili, mpaka kwanza kimefanyika katika
Ulimwengu wa Kiroho.April 21, 2023
Somo;
Kanuni za kiroho, ni mambo ambayo, tukiyatumia sawasawa maishani mwetu, yatasababisha athari fulani katika ulimwengu
wa roho, na kufanya mabadiliko fulani kutokea, katika
ulimwengu wetu wa mwili.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Kwa Mfano;
Uumbaji wa vitu vya Dunia Mwanzo 1:1-5, 14-19
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19
1 Hapo mwanzo, Mungu aliumba mbingu na nchi; 2 na Dunia
ilikuwa haina umbo tena ilikuwa tupu, giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji, naye Roho wa Mungu alitanda juu ya maji.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19
3 Mungu akasema, “Iwepo nuru’’ nayo nuru ikawepo. 4 Mungu
akaona ya kuwa nuru ni njema, ndipo Mungu akatenganisha nuru
na giza. April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19
5 Mungu akaiita nuru “mchana’’ na giza akaliita “usiku.’’ Ikawa
jioni ikawa asubuhi, siku ya kwanza.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19
14 Mungu akasema, “Iwepo mianga kwenye nafasi ya anga ili
itenganishe mchana na usiku, nayo iwe alama ya kutambulisha
majira mbali mbali, siku na miaka, April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19
15 nayo iwe ndiyo mianga kwenye nafasi ya anga itoe nuru juu ya dunia.’’ Ikawa hivyo. 16 Mungu akafanya mianga miwili
mikubwa … April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19
16 … Mwanga mkubwa utawale mchana (Jua) na mwanga mdogo
utawale usiku (Mwezi). Pia Mungu akafanya na nyota za
mbinguni.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19
17 Mungu akaiweka hiyo mianga mikubwa miwili (yaani Jua na Mwezi) katika anga ili iangaze
dunia. 18 … Mungu akaona kuwa hili nalo ni jema. 19 Ikawa jioni,
ikawa asubuhi, siku ya nne.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19
Kumbe Nuru ya Ulimwenguni, haitoki kwenye jua na mwezi,
kwasababu Nuru ilikuwepo tangu siku ya kwanza wakati jua na
mwezi viliumbwa baadaye kabisa katika siku ya nne!
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19
Kumbe jua si chanzo cha Mwanga au Nuru inayoangaza
ulimwenguni, bali jua ni “kibebeo” tu cha kuleta mwanga duniani,
lakini jua si chanzo cha Nuru inayoangaza duniani.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1-5, 14-19
Nuru Jua Mwanga(Yesu/Neno) Yoh 1:7-9
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19
Kwa lugha rahisi;Mwanga au Nuru inayoangaza
duniani, ina vyanzo viwili; kimoja ni kipo katika ulimwengu wa mwili na kingine kipo katika
ulimwengu wa roho.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19
Chanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha
Nuru cha mwilini kuwepo.Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha
kimwili kinatawaliwa na chanzo cha Nuru cha kiroho.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19
Hii ina maana kwamba;Kanuni za Kiroho zilikuwepo kabla
ya Kanuni za Kimwilini kuwepo.Kwahiyo, Kanuni za Kiroho ndizo
zinazotawala Kanuni za Kimwili za Ulimwengu huu.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19
Hii ina maana kwamba;Hakuna kitu kinachofanyika katika Ulimwengu wa mwili, mpaka kimefanyika kwanza katika Ulimwengu wa roho.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19
Chanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha
Nuru cha mwilini kuwepo.Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha
kimwili kinatawaliwa na chanzo cha Nuru cha kiroho.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Mwanzo 1:1-5, 14-19
Nuru Jua Mwanga(Yesu/Neno) Yoh 1:7-9
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Luka 4:1-4“Mtu hataishi kwa mkate tu, bali kwa kila Neno litokalo katika kinywa cha Bwana”.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Luka 4:4
Neno Mkate Afya
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO Luka 4:1-4
Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika
mkate tunaokula tu, bali kwa katika Neno litokalo katika kinywa cha Bwana Mungu.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO Luka 4:1-4
Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika Dawa anazotumia tu, bali kwa katika
Neno litokalo katika kinywa cha Bwana Mungu.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Luka 4:4
Neno Dawa Afya
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Luka 4:4
Neno Nyumba Ulinzi
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Luka 4:4
Neno Kitanda Usingizi
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Luka 4:4
Neno Kitabu Akili
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Luka 4:4
Neno Pete Upendo
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Luka 4:4
Neno Cheti Kazi
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Luka 4:4
Neno Ajira Mafanikio
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1-18, Luka 4:1-4
Mistari hii inatuonyesha kwamba, kumbe kuna kanuni zingine za kiroho, zilizo juu sana kuliko
kanuni hizi za kimwili, na ndizo zinazotawala ulimwengu huu wa
kimwili na kanuni zake.April 21, 2023
Waebrania 11:3, 2Korintho 10:3Ulimwengu wa roho ndio
unaotawala Ulimwengu wa mwili; hivyo basi, Hakuna kitu kinafanyika katika Ulimwengu
wa Mwili, mpaka kwanza kimefanyika katika
Ulimwengu wa Kiroho.April 21, 2023
Somo;
Kanuni za kiroho, ni mambo ambayo, tukiyatumia sawasawa maishani mwetu, yatasababisha athari fulani katika ulimwengu
wa roho, na kufanya mabadiliko fulani kutokea, katika
ulimwengu wetu wa mwili.April 21, 2023
2Petro 1:3-4Tunaishi kwenye ulimwengu
ulioharibika sana kwasababu ya dhambi na uovu. Mtu wa Mungu akitaka kuishi kwa
ushindi na mafanikio katikati ya uharibifu huu, bila kuingia katika uovu (kujichafua), ni lazima iwe ni kwa nguvu za
Mungu tu.
KUTEMBEA KWA IMANI
April 21, 2023
2Petro 1:3-4 Tunapambana na adui mwenye
nguvu sana. Pasipo Nguvu za Mungu, mtu wa Mungu
hataweza kuleta mabadiliko mazuri katika maisha yake na
kumwezesha kuishi maisha mazuri na ya ushindi, ili kuwa
chombo kizuri cha ibada.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
April 21, 2023
Somo;Kanuni za kiroho, ni mambo
ambayo, tukiyatumia maishani, mwetu, yatasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu,
zinazohitajika kutupa maisha ya ushindi na mafanikio, katika
ulimwengu wa mwili.April 21, 2023
ULIMWENGU WA ROHO
Watu wa Mungu wakielewa, nafasi ya kanuni za kiroho
katika maisha yao, wataweka bidii na nidhamu ya kuishi
katika maisha yanayotimiza kanuni za kiroho.
April 21, 2023
Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3
Ulimwengu wa roho ndio ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilika, ndipo Mungu
akauzaa Ulimwengu wa mwili kutokea katika Ulimwengu wa Roho.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Warumi 8:37, 1Yohana 5:4Basi mtu wa Mungu akitaka
kutembea duniani na Mungu wa Imani, kwa ushindi, ni lazima
ajue kutembea kwa imani; kwani Imani yetu ndiyo siri ya
ushindi wa maisha yetu duniani.April 21, 2023
MAANA YA KUOMBAKuomba, ni namna ya mtu,
kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu
wa roho, katika namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika
ulimwengu huu wa mwili.April 21, 2023
ULIMWENGU WA ROHOWaebrania 11:3
Kwahiyo, kwa njia ya maombi, mtu wa Mungu anaweza
kwenda rohoni, akaitawala kesho (future) yake, kabla kesho
haijafika (au kuzaliwa katika ulimwengu wa mwili.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
SummaryMambo yanayosisitizwa zaidi
Mathayo 16:18-19
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18-1918 Nami Nitalijenga Kanisa
langu, wala milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda. 19 Nami nitawapa funguo za Ufalme wa
mbinguni … April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18-1919 … jambo lolote
utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa
mbinguni (rohoni) … April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18-1919 … na jambo lolote
utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa
mbinguni (rohoni). April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18-19Mambo muhimu katika mistari hii, yatakayotusaidia kuelewa, Kusudi la Mungu juu ya Kanisa
(mimi na wewe);
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18-191.Kanisa ni la Yesu Mwenyewe2.Kusudi la Kanisa ni Kupiga Vita3.Adui yetu mkuu ni shetani4.Kuzimu ni wazuiaji (mageti)
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18-19
5. Kanisa ni washambuliaji6. Ushindi tayari kabla ya Vita7. Kanisa lina mamlaka ya dunia
April 21, 2023
VITA VYA ROHONI
Mathayo 16:18 “Kwahiyo, kuna mashindano
(kuna vita), kati ya milango ya kuzimu (nguvu za giza) na kanisa
la Bwana Yesu Kristo.”Ufunuo 12:17
April 21, 2023
VITA VYA ROHONI
Mathayo 16:18 “Nitalijenga kanisa langu,
litapambana na milango ya kuzimu (nguvu za giza), na
milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda kanisa langu …”
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Warumi 3:23/Warumi 5:12-19Mwanadamu alipofanya dhambi,
alipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na
kushindwa kuutawala ulimwengu wa mwili; badala yake,
ulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Waefeso 2:1-6/Ufunuo 5:8-10Lakini Mtu anapotubu dhambi zake
na kuupokea Wokovu wa Bwana Yesu Krsito, anaunganishwa tena na Mungu na kupewa mamlaka
makuu zaidi, kuliko yale aliyoyapoteza Adam na Eva
katika bustani ya Eden.April 21, 2023
BAADA YA WOKOVU (KALVARI)
(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11) April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWaefeso 1:18-23/2:1-6Mungu wetu, hataweza kukurithisha mamlaka ya
Ulimwengu wa roho ili uweze kuleta mabadiliko katika
ulimwengu wa mwili, kama hajazaliwa mara ya pili, kwa njia
ya Wokovu wa Yesu Kristo.April 21, 2023
MAMLAKA YA MKRISTO
BAADA YA WOKOVU
Waefeso 2:1-6 Waefeso 1:18-23
MALAIKA
SHETANI
DUNIA
ADAM - 1
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
MUNGU + ADAM - 2
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Ni Baada ya Wokovu, ndipo mtu wa Mungu, anaunganishwa tena
na Mungu na kuajazwa Roho Mtakatifu na Nguvu zake, ili
kumrudishia mamlaka na uweza tuliyopoteza katika bustani ya
Eden, kwa njia ya dhambi.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Bwana Yesu aliomba hivi:
Yohana 17:22 ‘Baba, Utukufu ule ulionipa,
nami nimewapa wao (Kanisa)’; ‘yaani watu walioniamini, walinipokea
maishani mwao na wanaishi kwa kanuni zangu za kiroho’
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
‘Utukufu’ huo, ni Roho Mtakatifu yule yule aliyepewa Adam wa kwanza, ili aweze kuutawala ulimwengu wa dunia hii kwa
Nguvu za Mungu.Zaburi 8:4-8
April 21, 2023
Mwl. Mgisa Mtebe +255 713 497 654, +255 783 497 654
www.mgisamtebe.org
VITA VYA KIROHOMapambano na Nguvu za gizaKuteka Baraka zetu kwa Vita
April 21, 2023
VITA VYA ROHONI
Chanzo cha vita
Vita hii ilitokea Wapi?Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17
Ezekieli 28:11-19Isaya 14:10-15
April 21, 2023
VITA VYA KIROHOILI KUTEKA BARAKA ZETU KWA VITA NA KUTUWEZESHA KUISHI
KWA USHINDI DUNIANI
Mathayo 16:18-19Waefeso 6:10-13
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18-1918 Nami Nitalijenga Kanisa
langu, wala milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda. 19 Nami nitawapa funguo za Ufalme wa
mbinguni … April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18-1919 … jambo lolote
utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa
mbinguni (rohoni) … April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Mathayo 16:18-1919 … na jambo lolote
utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa
mbinguni (rohoni). April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Waefeso 6:10-13-18‘Iweni hodari katika Bwana, na katika Uweza wa Nguvu zake. Vaeni silaha zote za Mungu ili
muweze pupambana na hila za mwovu shetani.
April 21, 2023
Waefeso 6:10-13-18
‘Kwa maana kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita vya kimwili) bali vita yetu ni ya kupambana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza
na majeshi ya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.
April 21, 2023
VITA VYA ROHONI
Mathayo 16:18 “Kwahiyo, kuna mashindano
(kuna vita), kati ya milango ya kuzimu (nguvu za giza) na kanisa
la Bwana Yesu Kristo duniani.”Ufunuo 12:17
April 21, 2023
Kumjua Adui Yako.Daniel 10:11-13, 20
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
April 21, 2023
Luka 11:21-22 Japo shetani alinyang’anywa
nguvu zote alizopewa na Mungu, lakini hapa duniani, aliweza kupiku Nguvu Kuu za Adam, ambazo zilikuwa ndizo Nguvu Kuu zitawalazo dunia, Nguvu kubwa sana kuliko za Malaika wote. (Zaburi 8:4-8)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
April 21, 2023
MAMLAKA YA MKRISTO KABLA YA DHAMBI “Mashal”
Zab 8:4-8
ADAM
MALAIKA
DUNIA
SHETANI
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
MUNGU
April 21, 2023
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
2Wakorintho 6:14-18 Warumi 3:23
SHETANI ALITAPELI NAFASI YA ADAM
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
MUNGU
April 21, 2023
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
Shetani anatusumbua duniani kwa kutumia
nguvu zetu wenyewe!
Yohana 16:11
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
Waefeso 2:1-2
1Yohana 5:19
Luka 4:5-8
2Korintho 4:3-4
MUNGU
April 21, 2023
Mamlaka ya shetani ulimwenguni
Efe 2:1-2 – Mfalme wa anga2Kor 4:4 – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19 – Mtawala (Controler) Yoh 12:31 – Mkuu wa UlimwenguYoh 14:30 – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11 – Mkuu wa Ulimwengu
April 21, 2023
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
Warumi 5:12, 14 Zekaria 3:2
Yohana 16:11
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
Waefeso 2:1-2
1Yohana 5:19
Luka 4:5-8
2Korintho 4:3-4
MUNGU
April 21, 2023
Luka 11:21-22 ‘Mtu “mwenye nguvu”,
alindapo nyumba yake, vitu vyake viko salama. Lakini,
atakapokuja Mtu “Mwenye Nguvu kuliko” yeye, ataweza
kumnyang’anya silaha zake, na kuyagawanya mateka yake.’
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
April 21, 2023
Neno Lililotumika Tafsiri Yake
“mwenye nguvu” shetani
“nyumba yake” Jamii au eneo
“vitu vyake” Watu na mali
Luka 11:21-22
April 21, 2023
Neno Lililotumika Tafsiri Yake
“Mwenye nguvu Kanisa Kuliko” “Mateka Yake” Watu na mali
Luka 11:21-22
April 21, 2023
Luka 11:21-22 shetani si kiumbe dhaifu; japo shetani alinyang’anywa nguvu
zote alizopewa na Mungu, lakini hapa duniani, aliweza kupiku Nguvu Kuu za Adam, ambazo
zilikuwa Nguvu Kuu zitawalazo dunia, Nguvu kubwa sana kuliko
za Malaika wote.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
April 21, 2023
2Petro 1:3-4 Tunapambana na adui mwenye
nguvu sana. Pasipo Nguvu za Mungu, mtu wa Mungu
hataweza kuleta mabadiliko mazuri katika maisha yake na
kumwezesha kuishi maisha mazuri na ya ushindi, ili kuwa
chombo kizuri cha ibada.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni4. Namna ya Kupiga Vita rohoni
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBA
4. VITA VYA ROHONI
Rejea habari ya
Maombi ya DanielDaniel 10:1-14, 20
April 21, 2023
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Vita ya Siku 3
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
mfalmemfalme mfalme
April 21, 2023
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Fitina 2Nyak 20
Math 12:25
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
MkuuMkuu Mkuu
April 21, 2023
Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho
Fitina 2Nyak 20
Math 12:25
Uyahudi Uajemi Uyunani
Ulimwengu wa Mwili
Uyahudi Uajemi Uyunani
Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu
MkuuMkuu Mkuu
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Waefeso 6:10-13-18‘Iweni hodari katika Bwana, na katika Uweza wa Nguvu zake. Vaeni silaha zote za Mungu ili
muweze pupambana na hila za mwovu shetani.
April 21, 2023
Waefeso 6:10-13-18
‘Kwa maana kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita vya kimwili) bali vita yetu ni ya kupambana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza
na majeshi ya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.
April 21, 2023
IDARA ZA SERIKALI YA SHETANI
Waefeso 6:121. Falme za Giza.
Ni mapepo maalum yaliyowekwa na shetani, kusimamia kazi zake
juu ya ‘Maeneo Maalum’. (Taifa, Mikoa, Wilaya, Kata,
Ubalozi/Mtaa, Nyumba/Kaya, n.k)April 21, 2023
IDARA ZA SERIKALI YA SHETANI
Waefeso 6:122. Mamlaka za Giza.
Ni mapepo maalum yaliyowekwa na shetani, kusimamia kazi zake
juu ya ‘Makundi ya Watu’. (Viongozi, Wanafunzi, Wizara,
Wafanyabiashara, Makabila, n.k)April 21, 2023
IDARA ZA SERIKALI YA SHETANI
Waefeso 6:123. Wakuu wa Giza.
Ni mapepo maalum yaliyowekwa na shetani, kusimamia kazi zake
juu ya ‘uovu na ubaya’. (Ulevi, Wizi, Ajali, Zinaa, Kiburi,
Uchawi, Mgonjwa, n.k)April 21, 2023
IDARA ZA SERIKALI YA SHETANI
4. Majeshi ya Pepo Wabaya.Ni vikosi maalum vilivyowekwa na shetani, kutekeleza kazi zake za ‘Uovu au Ubaya fulani’ katika
‘Maeneo fulani na Makundi fulani (Ulevi, Wizi, Ajali, Zinaa, Kiburi, Uchawi, Mgonjwa, n.k)
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Waefeso 6:12Falme – Pepo juu ya EneoMamlaka – Pepo juu ya KundiW/Giza – Pepo juu ya UbayaMajeshi – Mapepo watekelezaji
April 21, 2023
VITA VYA KIROHO
Idara za Serikali ya ShetaniWaefeso 6:10-13
Moja ya mbinu muhimu sana ya kijeshi au ya mashindano yoyote, ni kumjua adui yako; kujua adui ni nani, yuko wapi, ana uwezo
gani na ana mbinu gani juu yako.April 21, 2023
VITA VYA KIROHO
Idara za Serikali ya ShetaniWaefeso 6:10-13
Mtu wa Mungu, anapofanya vita vya kiroho, ni lazima ajue
anapigana na adui (pepo) wa aina gani, wa kabila lipi, wa tabia
gani na wa ngazi ipi.April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Daniel 10:10-13Ukombozi wa Israeli, ulifanyika kwanza katika ulimwengu wa
roho, kwa kumshinda Mfalme wa Anga la Uajemi, ndipo ukombozi
wao, ukaweza kutokea katika Ulimwengu wa mwili.
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Efes 6:10-18, 2Kor 10:3-5Ukombozi wa maisha yako,
unatakiwa kufanyika kwanza katika ulimwengu wa roho, kwa kumshinda Mfalme wa Anga la
eneo lako, ndipo ukombozi huo, utaweza kutokea katika U’mwili.April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili; kwahiyo, hakuna kitu
kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, mpaka
kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri
limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo
hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa
zilizopita (wakati uliopita).April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu
wa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini),
bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu
duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya
kwa visivyoonekana.’(Waebrania 11:3)
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya
maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka
kabisa yakupate. April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Waefeso 6:12Kushindana kwetu sisi si juu ya
damu na nyama (mwili) bali ni juu ya falme na mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya
mapepo wabaya, katika ulimwengu wa roho. April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili; kwahiyo, hakuna kitu
kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, mpaka
kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Waefeso 1:20-21, Waefeso 2:6Ndio maana na sisi pia, Mungu
ametuketisha mahali alipomketisha Yesu, katika ulimwengu wa roho, juu sana kuliko falme na mamlaka
za giza; ili tuweze kuvunja na kuharibu kazi za shetani duniani.
April 21, 2023
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18
Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 7 1000 33 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo
30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme Injili 600 Kalvari Kanisa 700 2000
(4) Daniel 7:13 – 14, 27 (3) Isaya 9: 6 33 AD (5) Ufunuo 20:11 – 15
Bahari Miti Upepo
Milele
Ulimwengu wa MwiliApril 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Waefeso 1:20-21, Waefeso 2:6Mungu ametuketisha mahali alipomketisha Yesu, katika
ulimwengu wa roho, juu sana kuliko falme na mamlaka za giza; ili
tuweze kutawala mambo yetu kwa katika ulimwengu wa mwili, kwa
ushindi na mafanikio.April 21, 2023
MAMLAKA YA MKRISTO
BAADA YA WOKOVU
Waefeso 2:1-6 Waefeso 1:18-23
MALAIKA
SHETANI
DUNIA
ADAM - 1
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
MUNGU + ADAM - 2
April 21, 2023
VITA VYA KIROHO
Matendo 19:18-20Inatufundisha kwamba, Usijaribu kupigana vita vya kiroho, kama
huna mamlaka ya juu zaidi katika ulimwengu wa kiroho.
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Umuhimu na Ulazima wa
Nguvu za Mungu
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Nguvu za Kiroho ni maalumu kutuwezesha kupambana na
ibilisi shetani katika ulimwengu wa roho, ili kuleta
mabadiliko tunayohitaji, katika ulimwengu wa mwili.April 21, 2023
2Petro 1:3-4 Tunapambana na adui mwenye
nguvu sana. Pasipo Nguvu za Mungu, mtu wa Mungu
hataweza kuleta mabadiliko mazuri katika maisha yake na
kumwezesha kuishi maisha mazuri na ya ushindi, ili kuwa
chombo kizuri cha ibada.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Na ndio maana, Bwana Yesu Kristo mwenyewe, hakuthubutu kuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu duniani na kuuvunja
ufalme wa shetani, pasipo kwanza “kujazwa na Nguvu za
Roho Mtakatifu”.April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Luka 4:1, 141 Yesu alipokwisha kubatizwa,
aliongozwa na Roho Mtakatifu kwenda nyikani katika maombi ya siku 40.
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Luka 4:1, 1414 Yesu alipomaliza maombi na
majaribu yote, alirudi Galilaya katika nguvu za Roho
Mtakatifu.
April 21, 2023
TOFAUTI YA ROHO NA NGUVU
Luka 4:1 Luka 4:14
Alitembea kwa Alitembea kwa Ujazo wa Roho Nguvu za Roho Mtakatifu. Mtakatifu. “Aliongozwa” “Alifanikiwa”
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 10:3838 Mungu alimpaka Yesu Kristo
mafuta, kwa Roho Mtakatifu na Nguvu; naye akazunguka kote kote akitenda mema na kuwaponya wote walioteswa
na ibilisi shetani.April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 10:38
Roho + Nguvu = Ushindi
‘Ndipo akaanza kuzunguka, akiwaponya wote walioteswa na kuonewa na ibilisi shetani’.
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Bwana Yesu Kristo mwenyewe, hakuthubutu kuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu
duniani na kuuvunja ufalme wa shetani, mpaka kwanza
“alipojazwa na Roho Mtakatifu na “Nguvu za” huyo Roho.
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ikiwa Bwana Yesu mwenyewe, alihitaji Nguvu za Mungu na
alizitafuta, kwa maombi mazito na makali sana
maishani mwake, si zaidi sana sisi binadamu wa kawaida?
April 21, 2023
KWANINI ROHO MTAKATIFUNdio maana, na Bwana Yesu, aliwakataza wanafunzi wake
kuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu duniani na kuuvunja
ufalme wa shetani, pasipo kwanza “kujazwa na Nguvu za
Roho Mtakatifu”.April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Yohana 20:20-21Akawaambia, kama Baba alivyonituma mimi, nami
nawapeleka ninyi; akiisha kusema hayo, akawavuvia (akawapulizia)
akawaambia, pokeeni Roho Mtakatifu;
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Luka 24:49(Pamoja na kwamba
ameshawapa Roho Mtakatifu) “… Lakini, msiondoke humu mjini,
mpaka mtakapovikwa uweza utokao juu (Nguvu za Mungu).
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 1:8“… Nanyi mtapokea Nguvu,
akiisha kuwajilia juu yenu, Roho Mtakatifu; ndipo mtakuwa
mashahidi wangu katika Yerusalem, Samaria na hata
mwisho wa nchi (Duniani kote).April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Matendo 1:1-4“Hata ilipotimia siku ya
Pentecoste, wote walikuwapo mahali pamoja, upepo wa nguvu ukavamia chumba chao … wote wakajazwa Roho Mtakatifu, na
kuanza kunena kwa lugha mpya”April 21, 2023
TOFAUTI YA ROHO NA NGUVU
Yohana 20:21-22 Luka 24:49
Walipokea Walipokea Roho wa Mungu Nguvu za Roho
Walijaa Roho Walivikwa Roho
(Kwa ndani) (Kwa Nje)April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hii ni namna tu ya Bwana Yesu kutuonyesha na kutuangaliza kwamba, Nguvu za Mungu ni za lazima sana katika maisha
ya mwanadamu, duniani. (‘It’s a necessity’)
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Nguvu za Kiroho ni maalumu kutuwezesha kupambana na
ibilisi shetani katika ulimwengu wa roho, ili kuleta
mabadiliko tunayohitaji, katika ulimwengu wa mwili.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO Shetani alipomwangusha
Adam katika nafasi yake (kiroho), yeye ndiye akashika
mamlaka na nguvu za kiroho juu ya dunia yote.
Warumi 5:12-14 April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO Nafasi hiyo ya kiroho juu ya dunia, ilimwezesha kutawala ulimwengu wa kiroho, hata kuwa na uwezo wa kuleta
mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.
Yoh 12:31/14:30/16:11
April 21, 2023
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
2Wakorintho 6:14-18 Warumi 3:23
SHETANI ALITAPELI NAFASI YA ADAM
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
MUNGU
April 21, 2023
MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI
Warumi 5:12, 14 Zekaria 3:2
Yohana 16:11
SHETANI
MALAIKA
DUNIA
ADAM
Mkuu
Mfalme
Mtawala
Mwakilishi
mungu
Waefeso 2:1-2
1Yohana 5:19
Luka 4:5-8
2Korintho 4:3-4
MUNGU
April 21, 2023
Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18
Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 7 1000 33 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo
30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme Injili 600 Kalvari Kanisa 700 2000
(4) Daniel 7:13 – 14, 27 (3) Isaya 9: 6 33 AD (5) Ufunuo 20:11 – 15
Bahari Miti Upepo
Milele
Ulimwengu wa MwiliApril 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO Ndio maana;
• Wachawi,• Waganga wa Kienyeji na • Wazee wa Mila (ukoo)
Wana uwezo wa kishetani (kiroho) wa kusababisha mabadiliko katika
ulimwengu wa mwili.April 21, 2023
KWANINI ROHO MTAKATIFU
Hivyo basi, binadamu wa kawaida, hataweza kusababisha mabadiliko ya ushindi maishani mwake, pasipo kufanya hivyo
kwa msaada wa ‘nguvu fulani za kiroho’.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHONi Ukweli wa kanuni ya Mungu
kwamba, ‘huwezi kutawala vizuri ulimwengu wa mwili,
kama huna mamlaka na nguvu za kiroho (ulimwengu wa roho).
Zab 8:4-8, Mwa 1:26-28 April 21, 2023
KWANINI ROHO MTAKATIFUNa ndio maana, hata kwa sisi Kanisa, Mungu ametupa Roho
wake Mtakatifu, ili tuweze kusababisha mabadiliko ya
ushindi maishani mwetu, kwa msaada wa Nguvu za kiroho
(Nguvu za ajabu).April 21, 2023
2Petro 1:3-4 Tunapambana na adui mwenye
nguvu sana. Pasipo Nguvu za Mungu, mtu wa Mungu
hataweza kuleta mabadiliko mazuri katika maisha yake na
kumwezesha kuishi maisha mazuri na ya ushindi, ili kuwa
chombo kizuri cha ibada.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mathayo 22:2929 Yesu alisema, ‘Mwapotoka
na kupotea kwa sababu hamjui maandiko, wala uweza wa Mungu (Nguvu za Mungu).
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
• Biashara Zaburi 8:4-8• Shamba• Mifugo • Masomo • Familia • Kazi • Afya• Mipango
Haiwezekani kuitawala Dunia
pasipo nguvu (utukufu) wa
MunguApril 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ni Kwamba …Nguvu za Mungu zinaweza kukuvusha na kukufanikisha
pale ambapo kanuni za kawaida za kimwili (za kiasili)
zinapogoma kufanya kazi.April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUNi kwa Nguvu za Mungu,
Mashujaa wa imani waliweza kufanya mambo makubwa na
miujiza ya ajabu sana, hata wakaweza kuyatawala
mazingira yao, bila kuzuiliwa na chochote. (Mwa 1:26-28)
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Umuhimu na Ulazima wa Nguvu za Kiroho Katika Maisha ya duniani.
April 21, 2023
2Petro 1:3-4Tunaishi kwenye ulimwengu
ulioharibika sana kwasababu ya dhambi na uovu. Mtu wa Mungu akitaka kuishi kwa
ushindi na mafanikio katikati ya uharibifu huu, bila kuingia katika uovu (kujichafua), ni lazima iwe ni kwa nguvu za
Mungu tu.
KUTEMBEA KWA IMANI
April 21, 2023
2Petro 1:3-43 Kwa kuwa Uweza wake wa uungu umetupatia (au nguvu zake za uungu zimetupatia)
mambo yote tunayohitaji kwa ajili ya uzima na uchaji wa Mungu, kwa kumjua Yeye
aliyetuita kwa utukufu Wake na wema Wake mwenyewe.
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
April 21, 2023
2Petro 1:3-44 Kwa sababu hiyo, Mungu
ametukirimia ahadi zake kuu na za thamani, ili kwa kupitia hizo tupate kuwa washiriki wa tabia
za uungu, tukiokolewa na uharibifu (au upotovu) ulioko duniani kwa sababu ya tamaa.
KUTEMBEA KWA IMANI
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Nguvu za Kiroho zikihusika au zikipambanishwa duniani,
(katika ulimwengu wa mwili) zinaweza kuleta mabadiliko
yafuatayo;April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
1. Zinaweza kuzisababisha kanuni za kimwili, zilizokataa kufanya kazi, ziweze kufanya kazi kama ilivyotegemewa.
(kama kawaida yake)April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
2.Zinaweza kuzisababisha kanuni za kimwili, zisizoweza
kufanya kazi, zipindishwe hata ziweze kufanya kazi katika hali
isivyotegemewa.(si kawaida yake)
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
3. Zinaweza kuzisababisha kanuni za kimwili, zisizoweza kufanya kazi, zirukwe, hata jambo lifanyike bila kupitia
katika njia yake ya asili. (si kawaida yake)April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Mathayo 16:19, 18Maombi yana nguvu ya ajabu sana ya kuuagiza Mkono wa Mungu na kuuingiza kazini
Mkono wa MunguIsaya 45:11
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Isaya 45:11 Kwa habari ya Kazi za Mikono yangu, haya niagizeni, haya niamuruni
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBIMathayo 16:18-19
Mambo mtakayoyafunga ninyi duniani, ndipo yatakuwa
yamefungwa mbinguni; na mambo mtakayoyafungua
ninyi duniani, ndipo yatafunguliwa mbinguni
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBA
Daniel 4:17Vijana 4 waliojua namna ya
kuuathiri ulimwengu wa roho, walisabababisha Mfalme wa nchi
kuwa kichaa kwa muda.April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBADaniel 4:17
Hukumu hii (juu yako Mfalme, kukufanya kichaa kwa muda) imekuja kwa agizo la Walinzi
(Waombaji) Isaya 62:7-11
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBAYakobo 5:17-18
Nabii Eliya alipoathiri kanuni za kiroho kwa njia ya maombi,
mvua haikunyesha juu ya nchi, japo kulikuwa na kanuni zote
za kisayansi za mvua kunyesha.
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBAYakobo 5:17-18
Baada ya miaka 3 na nusu ya ukame mkali, Nabii Eliya aliziathiri tena kanuni za
kiroho kwa njia ya maombi, na mvua ikanyesha juu ya nchi, na
nchi ikazaa matunda yake.April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBAKutoka 14:1-43
Baada ya Musa kuziathiri kanuni za kiroho kwa njia ya maombi, maji ya bahari yaligawanyika
na kusimama kama ukuta, kushoto na kulia, na Israeli wakapita juu ya nchi kavu.
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBAKutoka 14:1-43
Baada ya Yesu kuziathiri kanuni za kiroho sawa sawa, kwa njia ya maombi, maji ya kawaida
yalibadilika na kuwa divai safi bila kutumia maabara.
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBAMatendo 8:26-40
Baada ya kanuni za kiroho kuathiriwa ipasavyo, Filipo alinyakuliwa na Roho wa
Mungu na kutoweka mbele ya watu, na akatokea nchi
nyingine bila kutumia usafiri.April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri
ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani
lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
April 21, 2023
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Yesu aliweza kutembea juu ya maji, kitu
ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Mathayo 14:22-33Kanuni za kimwili hazikumzuia
kufanya alicholazimika kufanya.April 21, 2023
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Yesu aliweza kugeuza maji kuwa divai (bila maabara), kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Yohana 2:1-11Kanuni za kimwili hazikumzuia
kufanya alicholazimika kufanya.April 21, 2023
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Yesu aliweza kumponya aliyekuwa na upofu, bila kumfanyia operation ya macho, kitu
ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Marko 8:23-25Kanuni za kimwili hazikumzuia
kufanya alicholazimika kufanya.April 21, 2023
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Yesu aliweza kumfufua mtu aliyekufa na kuoza, kitu
ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Yohana 11:17-53Kanuni za kimwili hazikumzuia
kufanya alicholazimika kufanya.April 21, 2023
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Yesu aliweza kuingia ndani ya nyumba iliyofungwa bila
kupita mlangoni wala dirishani, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Yohana 20:19-25/Luka 24:36-43Kanuni za kimwili hazikumzuia
kufanya alicholazimika kufanya.April 21, 2023
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Yesu aliweza kuinuliwa na kupaa juu kwenda mbinguni,
(bila baloon) kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za
kawaida za kimwili.Matendo 1:6-11
Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri
ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani
lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Na huu ndio utaratibu ambao Mungu alikusudia tuweze
kuutawala ulimwengu, pale kanuni za kimwili zinapotuzuia au
zinapokataa kufanya kazi kama tulivyotarajia (zinapotugomea).
April 21, 2023
Ulimwengu wa Roho
‘Amini Amini nawaambia, kila mtu aniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo, (miujiza) na yeye atazifanya, naam,
hata kubwa kuliko hizi atafanya; kwasababu nakwenda kwa baba
kuwaletea, Roho yule yule aliyeniwezesha mimi kufanya haya.
Yohana 14:12/16:7-8April 21, 2023
Ulimwengu wa Roho
Kwahiyo, si Yesu peke yake, hata binadamu wengine wa kawaida,
waliweza kufaya mambo ya ajabu duniani, kinyume na taratibu za kawaida za kimwili, na wakaishi maisha ya ushindi na mafanikio
duniani, bila kuzuilika.Yohana 14:12/16:7-8
April 21, 2023
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Musa aliweza kufungua bahari ya Shamu na watu millioni 2
wakapita katika nchi kavu, katikati ya ghorofa mbili za maji kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida
za kimwili.Kutoka 14:1-31
Kanuni za kimwili hazikumzuia.April 21, 2023
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Musa aliweza kutoa maji kutoka kwenye mwamba na watu millioni 2 na wanyama wao, wote
wakanywa na kutosheka kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Kutoka 17:1-7Kanuni za kimwili hazikumzuia.
April 21, 2023
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Joshua aliweza kusimamisha mzunguko wa dunia
hata jua likasimama mpaka walipomaliza shughuli yao kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Joshua 10:12-15Kanuni za kimwili hazikumzuia.
April 21, 2023
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Eliya aliweza kuzuia mvua kwa miaka mitatu japo
kulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya kuruhusu mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.
April 21, 2023
Ulimwengu wa Roho
Na ndio maana pia aliweza kurudisha mvua juu ya nchi, japo hakukuwa na
kanuni za kimwili za kuruhusu (kusababisha) mvua kunyesha, kitu
ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.
April 21, 2023
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Petro aliweza kumponya kilema katika mlango wa hekalu, bila operation ya miguu (kama Yesu), kitu
ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.
Matendo 3:1-16Kanuni za kimwili hazikumzuia.
April 21, 2023
Ulimwengu wa Roho
Ndio maana Filipo aliweza kusafiri kwa kupaa na kunyakuliwa
(kutoweka) kama Yesu, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za
kawaida za kimwili.Matendo 8:26-40
Kanuni za kimwili hazikumzuia.
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho
Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri
ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani
lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Maombi yalimwezesha Bwana Yesu, kuwa na uwezo katika maneno yake, uwezo ulimwezesha kuumiliki na kuutawala ulimwengu wa
mwili kwa nguvu za kiroho, kama alivyotaka yeye!April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Na Bwana Yesu akatuambia, tusimshangae yeye kwa
alichofanya, kwasababu hata na sisi, tuna uwezo huo huo wa kiroho, ndani yetu, wa
kutawala na kubadilisha mambo yanayotuzunguka.April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa kutumia Nguvu za kiroho, yaani ile Sura na
Mfano wa Mungu zilizowekezwa ndani yetu,
tuna uwezo mkubwa sana wa kumiliki na kutawala
mazingira na mambo yetu.April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Maombi ni namna mojawapo ya kufungulia
Nguvu za Mungu zilizo ndani yetu, ili kuzipambanisha na
mambo ya mwili, yaliyogoma kufanya kazi vile
ilivyotakiwa.April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Maombi yalimwezesha Bwana Yesu, kuwa na uwezo katika maneno yake, uwezo ulimwezesha kuumiliki na kuutawala ulimwengu wa
mwili kwa nguvu za kiroho, kama alivyotaka yeye!April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Mathayo 16:19, 18Maombi yana nguvu ya ajabu sana ya kuuagiza Mkono wa Mungu na kuuingiza kazini
Mkono wa MunguIsaya 45:11
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Isaya 45:11 Kwa habari ya Kazi za Mikono yangu, haya niagizeni, haya niamuruni
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Na ndio maana Mungu anatuambia katika Neno lake kwamba,
‘tusijisumbue kwa jambo lolote maishani, bali katika kila jambo,
tusali na kuomba na kushukuru...’ (Wafilipi 4:6-7)
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUNi kwa Nguvu za Mungu,
Mashujaa wa imani waliweza kufanya mambo makubwa na
miujiza ya ajabu sana, hata wakaweza kuyatawala
mazingira yao, bila kuzuiliwa na chochote. (Mwa 1:26-28)
April 21, 2023
Yohana 14:12
‘Amini Amini nawaambeni, kila mtu aniaminiaye mimi, kazi (za ushindi) ninazozifanya, na yeye atazifanya, naam hata kubwa
kuliko hizo, atafanya, kwasababu mimi nakwenda
kwa Baba’.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Yohana 14:12‘… Kila aniaminiaye mimi,
ataushinda ulimwengu kama mimi nilivyoshinda, kwasababu
mimi nakwenda kwa Baba, kuwaletea Roho Mtakatifu,
aliyeniwezesa mimi kushinda’.April 21, 2023
Kanuni za Maisha ya UshindiYohana 16:33, Yohana 14:12‘Ulimwenguni mnayo dhiki, lakini jipeni moyo, kwakuwa
Mimi nimeushinda ulimwengu.’‘Kwahiyo kila aniaminiye Mimi,
naye ataushinda ulimwengu kama Mimi nilivyoushinda’.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4
Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili
utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala
ulimwengu wa roho kwanza.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Huu ndio Utaratibu wa Mungu katika kuitawala dunia;
kwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kimwili, sharti yafanyike kwanza
katika ulimwengu wa kiroho.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18
Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vitu
visiyoonekana (vya kiroho) kwani hivyo ndivyo vya milele
(vya kudumu).April 21, 2023
Kanuni za kiroho za UshindiUlimwengu wa roho ndio unaotawala Ulimwengu wa mwili. Kwahiyo, hakuna kitu
kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwili, mpaka kwanza kimefanyika katika
Ulimwengu wa Roho.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3 Kwasababu hiyo,
Kanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual
Principles).April 21, 2023
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Mtu yeyote, hataweza kufanikiwa duniani kwa asilimia 100%, bila ya kufuata kanuni hii
kuu ya uumbaji wa Mungu duniani.
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBA
Silaha za Vita Vyetu
Waefeso 6:10-182Wakorintho 10:3-5
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Waefeso 6:10-13-18‘Iweni hodari katika Bwana, na katika Uweza wa Nguvu zake. Vaeni silaha zote za Mungu ili
muweze pupambana na hila za mwovu shetani.
April 21, 2023
Waefeso 6:10-13-18
‘Kwa maana kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita vya kimwili) bali vita yetu ni ya kupambana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza
na majeshi ya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.
April 21, 2023
‘Ingawa tunaenenda kimwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili,
silaha zetu zina nguvu katika Mungu (roho), tukiteka nyara mawazo na fikra na kila kitu
kinachojiinua kinyume na elimu ya Bwana wetu Yesu Kristo.
2Wakorintho 10:3-5
April 21, 2023
Waefeso 6:10-13-18
‘Simameni hali mmevaa, Chapeo ya Wokovu, Dirii ya Haki,
Mkanda wa Kweli, Viatu vya Utayari wa kupeleka Injili ya
Yesu Kristo; Simameni mkiwa na Ngao ya Imani na Upanga wa
Roho ambao ni Neno la Mungu.April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBA
Silaha za Vita Vyetu
Waefeso 6:10-182Wakorintho 10:3-5
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu
Kwahiyo;Mtu wa mungu anapokwenda
rohoni, ni lazima ajue kwamba, atakutana na adui shetani
anayetawala eneo lake (eneo linaloombewa)
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu
Hivyo basi, inampasa mtu wa Mungu anayetaka kuleta mabadiliko, ajue namna ya kupigana na adui shetani
juu ya maeneo anayoyaombea.Waefeso 6:12, 10-11,13
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu
Aina kuu 2 za silaha
1. Silaha za Ulinzi (mst.11)2. Silaha za Kupiga (mst.13)
Waefeso 6:12, 10-11,13
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBA
1. Silaha za Ulinzi(Kujilinda) (Waefeso 6:13)
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)a) Kofia ya Chuma kichwani
(WOKOVU)Kwenda rohoni / vitani wakati
hujaokoka, ni kama kwenda vitani bila kofia ya chuma
(Warumi 10:9-10, Mdo 19:8-20) April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)
b) Gamba la chuma kifuani (UTAKATIFU)
Kwenda rohoni / vitani wakati hauishi maisha matakatifu, ni
kama kwenda vitani ulinzi kifuani. (1Pet 1:15-16, Kumb 23:14)
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)c) Mkanda wa Kweli kiunoni
(NENO LA KUIMARISHA)Kwenda rohoni / vitani wakati huna
maneno ya kukuimarisha, ni kama kuvaa gwanda bila mkanda. (Yohana 17:17, Kolosai 3:16)
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)
d) Mabuti ya Utayari Miguuni (UTAYARI + UJASIRI)
Kwenda rohoni / vitani wakati huna ujasiri, ni kama kwenda vitani bila
mabuti ya jeshi/kazi. (2Timotheo 4:2, 2Timotheo 1:7) April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)e) Ngao ya Imani mkononi
(UHAKIKA)Kwenda rohoni / vitani wakati huna
uhakika (imani), ni kama kwenda vitani bila ngao mkononi.
(Ebrania 11:1, 6, Mark 11:20-24) April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBA
2. Silaha za Kupiga(Kushambulia)
(Waefeso 6:13)
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)
a) JINA LA YESU Wafilipi 2:9-10, Marko 16:16-20Jina la Yesu lina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, ndilo
Jina kuu zaidi, jina la Baba.Yoh 17:6,11
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)
b) NENO LA YESU Waebrania 4:12, Waefeso 6:17Neno la Yesu lina nguvu zote na
mamlaka yote kwasababu, Neno ni Bwana Yesu mwenyewe.
Yoh 1:1-4April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)
c) DAMU YA YESU Ufunuo 12:11, Waefeso 1:7
Damu ya Yesu ina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Damu
ya Yesu ina Roho wa Yesu.Walawi 17:14
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)
d) ROHO WA YESU 2Wathesalonike 2:8, Yeremia 51:1Roho wa Yesu ana nguvu zote na
mamlaka yote kwasababu, Roho wa Yesu ni Uhai wa Mungu1 Wakorintho 2:11-12
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)
e) JESHI LA MALAIKA WA YESU Ufunuo 19:10, Mathayo 26:52-53Malaika wa Yesu wana nguvu na
mamlkaka juu ya mashetani, ikiwa tu watapewa maagizo
Ufunuo 12:7-10, Zab 34:7, Zab 91April 21, 2023
Mamlaka ya mtu wa Mungu
Mathayo 16:18-19 ‘Milango ya kuzimu haitaweza
kulishinda kanisa nililojenga; na mambo yoyote mtakayoyafunga au mtakayofungua duniani, yatakuwa
yamefungwa na kufunguliwa mbinguni (ulimwengu wa roho).
April 21, 2023
Mamlaka ya mtu wa Mungu
Luka 10:19 Tazama, nimewapa mamlaka yote
ya kukanyaga nge (nguvu ya maumivu) na nyoka (nguvu ya uasi)
na nguvu zote za yule adui (waganga, wachawi, nk); na wala hakuna kitu kitakachowadhuru.
April 21, 2023
Mamlaka ya mtu wa Mungu
Yeremia 1:9-10 Tazama, nimekuweka leo juu ya
falme na juu ya mamlaka, ili kuvunja, kubomoa, kuharibu, na
kung’oa, kisha nimekuweka ili kujenga na kupanda.
April 21, 2023
Mamlaka ya mtu wa Mungu
Yeremia 51:20 Wewe ni rungu langu la vita; kwa kukutumia wewe, nitavunja-vunja
falme na nitavunja-vunja mamlaka.(kwakuwa nimekuweka juu ya
falme na juu ya mataifa)(Yeremia 1:9-10)April 21, 2023
Mamlaka ya mtu wa Mungu
Ufunuo 5:8-10 Watu walionunuliwa kwa damu ya
Mwana-kondoo Yesu Kristo, wamefanyika Wafalme na Makuhani; nao wamepewa
kumiliki na kutawala juu ya nchi (katika ulimwengu wa mwili).
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Kwahiyo; Wewe usipokuwa na nidhamu ya
kwenda rohoni kwa njia ya maombi, kumbuka kwamba, adui
yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka
kabisa yakupate. April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBA
5. NGUVU YA MAOMBINamna unavyoweza
Kuuathiri Ulimwengu wa Roho hata kubadilisha Ulimwengu wa mwili.
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Kwa Mfano wa
Maombi ya Eliya, Kufunga na Kufungulia Mvua
Yakobo 5:16-18
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Kwa Mfano wa
Maombi ya Daniel, Kufungulia Ukombozi wa Taifa
Daniel 10:11-14, 20
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Kwa Mfano wa
Yesu na Mti MtiniMarko 11:12-14, 20-24
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Marko 11:12-14, 20-24
12 Kesho yake walipokuwa wakitoka Bethania, Yesu alikuwa na
njaa.
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Marko 11:12-14, 20-2413 Alipouona mtini kwa mbali,
akaenda ili aone kama ulikuwa na matunda. Alipoufikia, akakuta una
majani tu, kwa kuwa hayakuwa majira ya tini.
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Marko 11:12-14, 20-2414 Yesu akauambia ule mti, ‘‘Tangu leo mtu ye yote na asile matunda kutoka kwako tena.’’ Wanafunzi Wake walimsikia akisema hayo.
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Marko 11:12-14, 20-2420 Asubuhi yake, walipokuwa wakipita, wakauona ule mtini
umenyauka kutoka juu hadi kwenye mizizi yake.
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Marko 11:12-14, 20-2421 Petro akakumbuka na
kumwambia Yesu, “Mwalimu, tazama! Ule mtini ulioulaani
umenyauka!
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Marko 11:12-14, 20-2422 Yesu akawajibu akawaambia,
“Mwaminini Mungu. 23 Amin, amin nawaambia, mtu ye yote
atakayeuambia mlima huu ‘Ng’oka ukatupwe baharini,’…
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBIMarko 11:12-14, 20-24
23 …wala asione shaka moyoni mwake, bali aamini kwamba hayo
asemayo yametukia, yatakuwa yake. 24 Kwa sababu hiyo
nawaambia, yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba
mnayapokea nayo yatakuwa yenu. April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBIMarko 11:20-24
23 … asione shaka moyoni mwake, bali aamini kwamba hayo asemayo
yametukia, yatakuwa yake.
Sasa Baadaye
April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBIMarko 11:20-24
24 yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba
mnayapokea nayo yatakuwa yenu.
Sasa Baadaye
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Maombi ni namna mojawapo ya kufungulia
Nguvu za Mungu zilizo ndani yetu, ili kuzipambanisha na
mambo ya mwili, yaliyogoma kufanya kazi vile
ilivyotakiwa.April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Maombi yalimwezesha Bwana Yesu, kuwa na uwezo katika maneno yake, uwezo ulimwezesha kuumiliki na kuutawala ulimwengu wa
mwili kwa nguvu za kiroho, kama alivyotaka yeye!April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Na Bwana Yesu akatuambia, tusimshangae yeye kwa
alichofanya, kwasababu hata na sisi, tuna uwezo huo huo wa kiroho, ndani yetu, wa
kutawala na kubadilisha mambo yanayotuzunguka.April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa kutumia Nguvu za kiroho, yaani ile Sura na
Mfano wa Mungu zilizowekezwa ndani yetu,
tuna uwezo mkubwa sana wa kumiliki na kutawala
mazingira na mambo yetu.April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Umuhimu na Ulazima wa Nguvu za Kiroho Katika Maisha ya duniani.
April 21, 2023
2Petro 1:3-4 Tunapambana na adui mwenye
nguvu sana. Pasipo Nguvu za Mungu, mtu wa Mungu
hataweza kuleta mabadiliko mazuri katika maisha yake na
kumwezesha kuishi maisha mazuri na ya ushindi, ili kuwa
chombo kizuri cha ibada.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHONi Ukweli wa kanuni ya Mungu
kwamba, ‘huwezi kutawala vizuri ulimwengu wa mwili,
kama huna mamlaka na nguvu za kiroho (ulimwengu wa roho).
Zab 8:4-8, Mwa 1:26-28 April 21, 2023
KWANINI ROHO MTAKATIFUNa ndio maana, hata kwa sisi Kanisa, Mungu ametupa Roho
wake Mtakatifu, ili tuweze kusababisha mabadiliko ya
ushindi maishani mwetu, kwa msaada wa Nguvu za kiroho
(Nguvu za ajabu).April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
NGUVU YA MAOMBI Namna ya Kuuathiri
Ulimwengu wa roho kwa njia ya maombi.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHONguvu za Kiroho zikihusika au
zikipambanishwa duniani, (katika ulimwengu wa mwili) zinaweza kuleta mabadiliko
makubwa, hata kama hilo jambo haliwezekani kanuni za ulimwengu wa kimwili.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Nguvu Nguvu Za za Kimwili Vs Kiroho (Natural (Spiritual Principles) Principles)
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
1.Kufunga Mambo unayotaka yafungike
Mathayo 16:18-19Yakobo 5:16-18
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
2. Kufungua Mambo unayotaka yafunguke
Mathayo 16:18-19Yakobo 5:16-18
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
3. Kuua Kufisha Mambo unayotaka yafe kabisa
Marko 11:12-14‘tangu leo mtu asile matunda kwako’
(Kuanzia leo Ufe kabisa)
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
4. Kuhuisha / Kufufua Mambo unayotaka yafufuke
Yohana 11:11-15‘Lazaro, rudi katika uhai wako tena’
Ezekieli 37:1-14
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
5. Kuhamisha Nyakati/MatukioMarko 13:14-19
‘Ombeni kukimbia kusiwe wakati wa baridi (kuwe wakati wa joto)’Yohana 2:1-11, Isaya 38:1-5
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1-5/13:8)
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1-5/13:8)b)Ya Sasa (Dan 1:17-20/17-24)
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1-5/13:8)b)Ya Sasa (Dan 1:17-20/17-24)c)Yajayo (Isa 9:6/Dan 7:13-14,17)
April 21, 2023
NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI
7. Kuwa sehemu 2 wakati mmoja
1Wakorintho 5:3-4Ingawa sipo nanyi kimwili, lakini mjue kwamba nipo nanyi kiroho
Wafalme 5:14-27 April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI Tukijua siri hii ya maombi, jinsi
yanavyoweza kubadilisha ulimwengu wa roho,
tutajibidiisha kuomba, ili kuleta mabadiliko tunayotamani
kuyaona katika maisha yetu, duniani.
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo;Kila mtu amwaminiye Yesu Kristo,
kama Bwana na Mwokozi wake, ana Roho Mtakatifu wa Mungu ndani
yake; kwahiyo, ana chanzo cha Nguvu za Mungu ndani yake.
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kwamba roho yako ndiyo inayotumiwa na
Mungu kuachilia nguvu zake, kutakufanya uwe mtu mwoga na
dhaifu maisha;
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katika kukabiliana na maisha ya kila
siku, yaliyojaa kila aina ya upinzani na vita dhidi ya mtu wa
Mungu.April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kuzima utendaji kazi wa ngvu za Mungu maishani mwako; nawe
utaishi chini ya kiwango cha mtoto wa Mungu (yaani maisha ya
kushindwa na kuzuilika)April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Kutokujua (Kutokuwa na ufahamu huu) watu wa Mungu
wengi wamezuia utendaji kazi wa nguvu za Mungu kutoka ndani yao, na Nguvu kubwa sana za
Mungu zimebaki ndani yao zimelala (hazijatumika).
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Na matokeo yake ni kwamba, watu wa Mungu wengi wanaishi
maisha ua kuhangaika na wanatumia muda mwingi na gharama kubwa, kukimbia-
kimbia kushoto na kulia kutafuta msaada wa mbali …
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
wakati ndani yao wameacha msaada ulio karibu; kwani Nguvu
nyingi sana au Nguvu kubwa sana za Mungu zimebaki ndani
yao, zimelala bila kutumika.(Hosea 4:6, Warumi 10:2)
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Mungu anasema ‘watu wangu wanaangamia kwa
kukosa maarifa’.(Hosea 4:6)
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana Biblia inasema; ‘watu wa Mungu, wana bidii sana katika Bwana, lakini si
katika maarifa’.(Warumi 10:2)
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ndio maana, inasema kwamba, tunatakiwa
kufundishwa na kufundishika, ili tupate maarifa na tukue kiroho mpaka kufika katika cheo cha
Bwana wetu Kristo Yesu. (Waefeso 4:11-15)
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11-15Kwa huduma mbalimbali ambazo
Bwana Yesu ameziweka katika kanisa, sisi waumini, tunatakiwa kufundishwa na kufundishika …
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11-15… ili tukue kiroho mpaka kufika katika cheo cha Bwana Yesu na kutembea na Nguvu za Mungu duniani, bila kuzuiliwa na kitu
chochote.April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11-14
11 Yeye ndiye aliyeweka wengine kuwa mitume, na wengine kuwa
manabii, wengine kuwa wainjilisti, na wengine kuwa
wachungaji na wengine kuwa waalimu,
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11-14
12 kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu kwa ajili ya kazi za huduma, ili kwamba mwili wa
Kristo upate kujengwa na kuimarika.
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11-1414 Ili tusiwe tena watoto
wachanga, tukitupwatupwa huku na huku na kuchukuliwa na kila upepo wa mafundisho kwa hila
za watu, kwa ujanja, kwa kufuata njia zao za udanganyifu.
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11-14
13 … bali tufundishike na kukua kiroho, mpaka sisi sote
tutakapoufikia kipimo cha ukamilifu wa Kristo.
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11-14Kwahiyo, Nguvu za Mungu
zilizowekwa ndani yako, zinatosha kabisa kukuwezesha kuishi duniani,
katika kiwango cha ushindi na mafanikio, kama kile kile cha Bwana
Yesu, bila kuzuiliwa na kitu chochote. April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kanuni hizi tunazojifunza, zikiwekwa kwa pamoja ndani yetu (rohoni), katika kiwango kinachotakiwa,
zitasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za
Mungu unazozihitaji kwa ajili ya maisha ya ushindi duniani.
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
WAEFESO 3:2O20 Atukuzwe Mungu, yeye
awezaye kutenda mambo ya ajabu mno (yasiyopimika)
kuliko yote tunayo-yawaza au tunayoyaomba …
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
WAEFESO 3:2O20 … Mungu anaweza kutenda mambo yote, kwa kadiri (kwa kiwango au kwa kipimo) cha
Nguvu zake kinachotenda kazi ndani yetu.
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu, Bidii, Stamina na Nidhamu ya kimaombi
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu ya Maombi, Bidii ya Maombi, Stamina ya Maombi Nidhamu ya kimaombi April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu
Kwa Mfano wa MusaKut 24:1-18
Kut 34:29-35April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu
Kwa Mfano wa JoshuaKut 24:1-18/32:9-19
Kut 33:7-11 April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika
uwepo wa MunguKutoka 24:1-18/32:9-19
Wazee walishindwa kumsubiri Musa katika maombi, lakini
Joshua aliweza kukaa siku zote 40.
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika uwepo
wa MunguKutoka 33:7-11
Mzee Musa alichoka kuomba, akaondoka katika hema, lakini Joshua alikaa katika uwepo wa
Mungu hata kwa muda wa ziada . April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika
uwepo wa Mungu
Bidii na Nidhamu katika mambo ya Mungu, inalipa.
(Inakupa kibali mbele za Mungu) April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Joshua 3:77 Ndipo BWANA akamwambia
Yoshua, “Leo nitaanza kukutukuza machoni pa Israeli
yote, ili wapate kujua kuwa niko pamoja nawe kama nilivyokuwa
pamoja na Mose. (Nitafungua maji ya mto Jordan mbele yako)
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu
Kwa Mfano wa Mfalme DaudiZab 63:1-3Zab 27:4
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Bwana Yesu alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa
katika uwepo wa MunguNa ndio maana, bidii yake na
nidhamu katika mambo ya Mungu, ilikuwa inamlipa.
(Inampa kibali mbele za Mungu) April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu
Kwa Mfano wa Bwana YesuMath 14:22-23Luka 6:12,17-19
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
2Nyakati 16:99 Macho ya Bwana yanakimbia-kimbia duniani mwote, yakitafuta mtu aliyekamilika moyo, ili Mungu
ajionyeshe kwamba yeye ni mwenye nguvu, kupitia mtu huyo.
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu Wengi wana Kiu, lakini hawana;Nguvu za kuomba muda mrefu.
Hebu tumwombe Mungu atupe nguvu mpya, ili tuweze kuomba
kwa muda mrefu. Luka 22:40-46
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu Bwana Yesu alipochoka kuomba, Mungu alimtia nguvu mpya ili azidi
kuomba mpaka kuvuka jaribu alilokuwa nalo. Hebu nasisi
tumwombe Mungu atupe nguvu mpya, ili tuweze kuomba kwa muda
mrefu, ili tuvuke na kushinda. Luka 22:40-46
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Hii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa Mungu
maishani mwako, unategemea sana kiwango
cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yako.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHONguvu za Kiroho zikihusika au
zikipambanishwa duniani, (katika ulimwengu wa mwili) zinaweza kuleta mabadiliko
makubwa, hata kama hilo jambo haliwezekani kanuni za ulimwengu wa kimwili.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Nguvu Nguvu Za za Kimwili Vs Kiroho (Natural (Spiritual Principles) Principles)
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Waefeso 4:11-14Kwahiyo, Nguvu za Mungu
zilizowekwa ndani yako, zinatosha kabisa kukuwezesha kuishi duniani,
katika kiwango cha ushindi na mafanikio, kama kile kile cha Bwana
Yesu, bila kuzuiliwa na kitu chochote. April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUBasi …
Tengeneza au ZalishaKIWANGO
cha kutosha cha Nguvu za Mungu
Ndani yakoApril 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
5. Kumwagika
Kiwango, Kipimo, Ujazo April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)
Joto Hewa (Heat) (Oxygen)
MOTO
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwasababu …Utendaji kazi wa mkono wa
Mungu maishani mwako, unategemea sana kiwango
cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yako.
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kanuni hizi tunazojifunza, zikiwekwa kwa pamoja ndani yetu (rohoni), katika kiwango kinachotakiwa,
zitasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za
Mungu unazozihitaji kwa ajili ya maisha ya ushindi duniani.
April 21, 2023
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
KANUNI ZA KIROHO Ni mambo ambayo, tukiyaweka
kwa pamoja ndani yetu (rohoni), yatasababisha Roho
Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHO
Watu wa Mungu wakielewa, nafasi ya kanuni za kiroho
katika maisha yao, wataweka bidii na nidhamu ya kuishi
katika maisha yanayotimiza kanuni za kiroho.
April 21, 2023
KANUNI ZA KIROHOKanuni hizi tulizojifunza, zilete
mabadiliko katika mfumo wa maisha yako na kukuwezesha
kuzalisha Nguvu za Mungu zinazohitajika kukupa maisha ya Ushindi na kukuwezesha
kuwa chombo kizuri cha kumsifu na kumwabudu yeye.April 21, 2023
NGUVU YA MAOMBI
Asanteni!
April 21, 2023
Kwa mawasiliano zaidi,Mwl. Mgisa Mtebe
(Christ Rabbon Ministry)
Dar es Salaam, Tanzania.+255 713 497 654+255 783 497 654
April 21, 2023