Top Banner
Mwl. Mgisa Mtebe +255 713 497 654, +255 783 497 654 [email protected] www.mgisamtebe.org VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita March 29, 2022
512

VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Jan 14, 2016

Download

Documents

fawzia

VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita. Mwl . Mgisa Mtebe +255 713 497 654, +255 783 497 654 [email protected] www.mgisamtebe.org. VITA VYA KIROHO. ILI KUTEKA BARAKA ZETU KWA VITA NA KUTUWEZESHA KUISHI KWA USHINDI DUNIANI Mathayo 16:18-19 Waefeso 6:10-13. - PowerPoint PPT Presentation
Welcome message from author
This document is posted to help you gain knowledge. Please leave a comment to let me know what you think about it! Share it to your friends and learn new things together.
Transcript
Page 1: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Mwl. Mgisa Mtebe +255 713 497 654, +255 783 497 654

[email protected]

www.mgisamtebe.org

VITA VYA KIROHOMapambano na Nguvu za gizaKuteka Baraka zetu kwa Vita

April 21, 2023

Page 2: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

VITA VYA KIROHOILI KUTEKA BARAKA ZETU KWA VITA NA KUTUWEZESHA KUISHI

KWA USHINDI DUNIANI

Mathayo 16:18-19Waefeso 6:10-13

April 21, 2023

Page 3: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18-1918 Nami Nitalijenga Kanisa

langu, wala milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda. 19 Nami nitawapa funguo za Ufalme wa

mbinguni … April 21, 2023

Page 4: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18-1919 … jambo lolote

utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa

mbinguni (rohoni) … April 21, 2023

Page 5: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18-1919 … na jambo lolote

utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa

mbinguni (rohoni). April 21, 2023

Page 6: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Waefeso 6:10-13-18‘Iweni hodari katika Bwana, na katika Uweza wa Nguvu zake. Vaeni silaha zote za Mungu ili

muweze pupambana na hila za mwovu shetani.

April 21, 2023

Page 7: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Waefeso 6:10-13-18

‘Kwa maana kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita vya kimwili) bali vita yetu ni ya kupambana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza

na majeshi ya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.

April 21, 2023

Page 8: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18 “Kwahiyo, kuna mashindano

(kuna vita), kati ya milango ya kuzimu (nguvu za giza) na kanisa

la Bwana Yesu Kristo duniani.”Ufunuo 12:17

April 21, 2023

Page 9: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

VITA VYA ROHONI

Chanzo cha vita

Vita hii ilitokea Wapi?Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17

Ezekieli 28:11-19Isaya 14:10-15

April 21, 2023

Page 10: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 3 “Kisha nikaona ishara nyingine mbinguni; niliona, Joka mkubwa

mwekundu, na alikuwa na vichwa saba na pembe kumi …

April 21, 2023

Page 11: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 4 “… na huyu joka, katika mkia

wake, alikuwa anakokota theluhthi ya nyota za mbinguni

(malaika wa Mungu) na kuziangusha katika nchi.

April 21, 2023

Page 12: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 7 “Kulikuwa na vita mbinguni, Malaika Mkuu wa majeshi ya

Mungu, Malaika Mikaeli, akapigana na yule joka na

malaika zake …”April 21, 2023

Page 13: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 8 “Nao hawakushinda, wala

mahali pao hapakuonekana tena mbinguni. 9 Yule joka aitwaye

ibilisi na shetani, akatupwa duniani, na malalika zake wakatupwa pamoja naye.April 21, 2023

Page 14: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 10 “Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, sas kumekuwa wokovu na nguvu na ufalme wa Mungu

wetu na mamlaka ya Kristo wake, kwa maana ametupwa

chini mshitaki wa ndugu zetu”.April 21, 2023

Page 15: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 11 “Nao wakamshinda yule joka na malaika zake, kwa damu ya mwana kondoo na kwa neno la

ushuhuda wao, ambao hawakupenda maisha yao hata

kufa”.April 21, 2023

Page 16: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 12 “Kwahiyo shangilieni enyi enyi wote mkaao mbinguni; lakini ole

wa ninyi mkaao duniani! Kwa maana yule joka ibilisi, ameshuka kwenu, ana hasira nyingi akijua

ana wakati mchache!April 21, 2023

Page 17: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17 17 “Joka akamkasirikia yule

mwanamke (kanisa), akaenda afanye vita juu wa wazao wake wazishikao amri za Mungu na

kuwa na ushuhuda wa Yesu …”April 21, 2023

Page 18: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18 “Nitalijenga kanisa langu,

litapambana na milango ya kuzimu (nguvu za giza), na

milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda kanisa langu …”

April 21, 2023

Page 19: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Ufunuo 12:27Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na mazingira yake, ili

kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka kwa

binadamu, duniani. April 21, 2023

Page 20: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Kwanini Ibada?Zaburi 22:3

April 21, 2023

Page 21: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zab 22:3 IDABA ndio kitu cha kwanza

kabisa katika moyo wa Mungu, kwasababu

MUNGU ANAISHI KATIKA IBADA na SIFA.

April 21, 2023

Page 22: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zaburi 22:3 Wewe U Mtakatifu, nawe

“UNAKETI” juu ya sifa za Israel

“Inhabit” “Unaishi”

April 21, 2023

Page 23: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Zab 22:3 IDABA ndio kitu cha kwanza

kabisa katika moyo wa Mungu, kwasababu

MUNGU ANAISHI KATIKA IBADA na SIFA.

April 21, 2023

Page 24: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Kumnyima Mungu ibada Ni kama kumnyima • Samaki maji• Mimea udongo• Binadamu hewa

April 21, 2023

Page 25: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

“Kwa maana, Baba anawatafuta watu wa aina hiyo ili wamwabudu.” (Yohana 4: 23)

April 21, 2023

Page 26: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu Ibada Nchi

Adam

Zab 22:3

Zab 150:6

Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24

April 21, 2023

Page 27: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Kusudi la Mungu la awali, ni kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, ili binadamu tuishi

maisha mazuri (ya ushindi na mafanikio) na kuwa vyombo

vizuri vya kumwabudu Mungu.April 21, 2023

Page 28: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

SIFA NA IBADA KWA MUNGUMungu anatamani sana kukaa na sisi watoto wake hapa duniani, ndio maana anataka dunia yote

ijazwe hali ya ibada (atmosphere) kama ilivyo mbinguni (masaa 24), ili duniani pia, kuwe na mazingira ya maisha au ya makazi ya Mungu

kama ilivyo mbinguni.April 21, 2023

Page 29: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu anataka watoto wake, tuwe na maisha mazuri, ili tunapopeleka ibada kwa

Mungu, ibada hiyo ifike kwa Mungu ikiwa safi (fresh), yaani

ibada isiyo na kelele za moyoni (masumbufu).

April 21, 2023

Page 30: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Kutokana na umuhimu na unyeti wa ibada, Mungu

hakutaka na hataki watoto wake, tuwe na maisha ya taabu, maisha ya dhiki na

maisha ya shida; ili ibada yake isiingiliwe na vurugu zozote.

April 21, 2023

Page 31: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Ili Mungu apate ibada nzuri kutoka kwetu, inamlazimu

kutubariki na kututengenezea mazingira mazuri, ili tuweze kuwa na maisha mazuri ya

kumtumikia yeye kama vyombo vizuri vya ibada.

April 21, 2023

Page 32: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Ndio maana Mungu alitumia muda mrefu zaidi kuumba Dunia

kuliko muda aliotumia kumuumba binadamu

mwenyewe.Dunia = siku 5Adam = siku 1

April 21, 2023

Page 33: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Hii inaonyesha wazi kwamba, Mungu anajali sana mazingira ya maisha yako; kwasababu, ibada nzuri inategemea aina ya maisha

ya mtu, na aina ya maisha yanategemea aina ya mazingira

anayoishi mtu huyo.April 21, 2023

Page 34: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA SADAKA NA IBADA

Wakolosai 1:16 16 … vitu vinavyoonekana na vile visivyoonekana, vitu vyote viliumbwa na Yeye na kwa ajili

Yake. (rasilimali zote zilimewekwa na Mungu na kwa

ajili yake)April 21, 2023

Page 35: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu Ibada Nchi

Adam

Zab 22:3

Zab 150:6

Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24

April 21, 2023

Page 36: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Ibada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa

sana na mazingira mazuri.Kumbukumbu 8:6-18

April 21, 2023

Page 37: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Mazingira yakitibuka, maisha yanatibuka, na maisha

yakitibuka, ibada kwa Mungu pia, inatibuka.

Kumbukumbu 8:6-18April 21, 2023

Page 38: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Ufunuo 12:27Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na mazingira yake, ili

kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka kwa

binadamu, duniani. April 21, 2023

Page 39: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18 “Nitalijenga kanisa langu,

litapambana na milango ya kuzimu (nguvu za giza), na

milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda kanisa langu …”

April 21, 2023

Page 40: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Waefeso 6:10-13-18‘Iweni hodari katika Bwana, na katika Uweza wa Nguvu zake. Vaeni silaha zote za Mungu ili

muweze pupambana na hila za mwovu shetani.

April 21, 2023

Page 41: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Waefeso 6:10-13-18

‘Kwa maana kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita vya kimwili) bali vita yetu ni ya kupambana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza

na majeshi ya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.

April 21, 2023

Page 42: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

‘Ingawa tunaenenda kimwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili,

silaha zetu zina nguvu katika Mungu (roho), tukiteka nyara mawazo na fikra na kila kitu

kinachojiinua kinyume na elimu ya Bwana wetu Yesu Kristo.

2Wakorintho 10:3-5

April 21, 2023

Page 43: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Kusudi la Mungu la awali, ni kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, ili binadamu tuishi

maisha mazuri (ya ushindi na mafanikio) na kuwa vyombo

vizuri vya kumwabudu Mungu.April 21, 2023

Page 44: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Ni mapenzi ya Mungu tuishi maisha ya ushindi na

mafanikio ili kutimiza kusudi la Mungu na kuishi maisha

mazuri kama chombo maalum cha kumsifu na kumwabudu

Mungu.April 21, 2023

Page 45: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Ili Mungu apate ibada nzuri kutoka kwetu, inamlazimu

kutubariki na kututengenezea mazingira mazuri, ili tuweze kuwa na maisha mazuri ya

kumtumikia yeye kama vyombo vizuri vya ibada.

April 21, 2023

Page 46: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Kusudi la Mungu la awali, ni kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, ili binadamu tuishi

maisha mazuri (ya ushindi na mafanikio) na kuwa vyombo

vizuri vya kumwabudu Mungu.April 21, 2023

Page 47: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

Mungu Ibada Nchi

Adam

Zab 22:3

Zab 150:6

Kumb 8:6-18Yoh 4:23-24

April 21, 2023

Page 48: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Ili Mwanadamu aweze kulitimiza Kusudi la Mungu vizuri, Mungu

alimpa Mwanadamu Mamlaka ya Kiroho ili Kutawala mazingira

yake, ili awe na maisha mazuri ya kumtumikia Mungu kama vyombo vizuri vya ibada.

April 21, 2023

Page 49: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOEbrn 11:3, Efes 6:12

Mamlaka ya Kiroho.

April 21, 2023

Page 50: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA KIROHO

Mwanzo 1:26-28/Zaburi 8:4-8 Mungu aliitengeneza dunia

katika namna kwamba, ulimwengu wa mwili,

utatawaliwa kwa mamlaka ya Mungu kutoka katika Ulimwengu wa roho.

April 21, 2023

Page 51: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA KIROHO

Mamlaka ya KirohoMwanzo 1:26-28

April 21, 2023

Page 52: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA KIROHO

Mwanzo 1:26-28 26 ‘Mungu akasema, tufanye Mtu kwa Sura yetu na Mfano wetu, wakatawale samaki wa

baharini na ndege wa angani, na kila kitu kipitacho juu ya nchi’.

April 21, 2023

Page 53: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA KIROHO

Mwanzo 1:26-28 27 ‘Bwana Mungu akaumba Mwanamke na Mwanaume;

kwa Mfano wa Mungu aliwaumba’

April 21, 2023

Page 54: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA KIROHO

Mwanzo 1:26-28 28 ‘Bwana Mungu akawaweka

katika bustani, akawaambia, zaeni mkaongezeke na kuitiisha

(kuitawala) nchi.’

April 21, 2023

Page 55: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA KIROHO

Warumi 3:23/Warumi 5:12-19Mwanadamu alipofanya dhambi,

alipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na

kushindwa kuutawala ulimwengu wa mwili; badala yake,

ulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.April 21, 2023

Page 56: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAK YA KIROHO

KABLA YA DHAMBI UTARATIBU ULIKUWA HIVI

April 21, 2023

Page 57: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)

Utukufu (Msaada) Mungu Mwili Roho Dunia NafsiShetaniApril 21, 2023

Page 58: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA MKRISTO KABLA YA DHAMBI “Mashal”

Zab 8:4-8

ADAM

MALAIKA

DUNIA

SHETANI

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

MUNGU

April 21, 2023

Page 59: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA KIROHO

Zaburi 8:4-8

April 21, 2023

Page 60: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA KIROHOZaburi 8:4-8

Mwanadamu ni nani hata umwangalie kwa kiasi hiki? Umemfanya ‘punde kidogo’

kuliko Mungu, ukamvika taji ya ‘Utukufu’na Heshima;

ukamtawaza‘Juu ya’kazi zote za mikono yako …April 21, 2023

Page 61: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA KIROHO

Zaburi 8:4-8… na ukaviweka vitu vyote

ulivyoviumba wewe, ‘chini ya’ miguu yake; wanyama wote,

ndege wote, samaki na kila kitu kipitacho katika njia za maji.

April 21, 2023

Page 62: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA MKRISTO KABLA YA DHAMBI “Mashal”

Zab 8:4-8

ADAM

MALAIKA

DUNIA

SHETANI

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

MUNGU

April 21, 2023

Page 63: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)

Utukufu (Msaada) Mungu Mwili Roho Dunia NafsiShetaniApril 21, 2023

Page 64: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

BAADA YA DHAMBI MAMBO YAKAWA HIVI

April 21, 2023

Page 65: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

BAADA YA DHAMBI Msaada Ukakatika Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani April 21, 2023

Page 66: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

SHETANI ALITAPELI NAFASI YA ADAM

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

MUNGU

April 21, 2023

Page 67: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Shetani akakaa katika nafasi ya Adam na

akavaa vyeo vyote vya Adam

Yohana 16:11

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

Waefeso 2:1-2

1Yohana 5:19

Luka 4:5-8

2Korintho 4:3-4

MUNGU

April 21, 2023

Page 68: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Mamlaka ya shetani ulimwenguni

Efe 2:1-2 – Mfalme wa anga2Kor 4:4 – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19 – Mtawala (Controler) Yoh 12:31 – Mkuu wa UlimwenguYoh 14:30 – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11 – Mkuu wa Ulimwengu

April 21, 2023

Page 69: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Warumi 5:12, 14 Waebrania 2:14, 15

Yohana 16:11

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

Waefeso 2:1-2

1Yohana 5:19

Luka 4:5-8

2Korintho 4:3-4

MUNGU

April 21, 2023

Page 70: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

BAADA YA WOKOVU MAMBO YAKAWA HIVI

April 21, 2023

Page 71: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)

(Utukufu) Uhusiano Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani April 21, 2023

Page 72: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA MKRISTO

BAADA YA WOKOVU

Waefeso 2:1-6 Waefeso 1:18-23

MALAIKA

SHETANI

DUNIA

ADAM - 1

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

MUNGU + ADAM - 2

April 21, 2023

Page 73: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)

(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11) April 21, 2023

Page 74: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:26-28/Zaburi 8:4-8 Mungu aliitengeneza dunia

katika namna kwamba, ulimwengu wa mwili,

utatawaliwa kwa mamlaka ya Mungu kutoka katika Ulimwengu wa roho.

April 21, 2023

Page 75: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 3:23/Warumi 5:12-19Mwanadamu alipofanya dhambi,

alipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na

kushindwa kuutawala ulimwengu wa mwili; badala yake,

ulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.April 21, 2023

Page 76: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Waefeso 2:1-6/Ufunuo 5:8-10Lakini Mtu anapotubu dhambi zake

na kuupokea Wokovu wa Bwana Yesu Krsito, anaunganishwa tena na Mungu na kupewa mamlaka

makuu zaidi, kuliko yale aliyoyapoteza Adam na Eva

katika bustani ya Eden.April 21, 2023

Page 77: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18-1918 Nami Nitalijenga Kanisa

langu, wala milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda. 19 Nami nitawapa funguo za Ufalme wa

mbinguni … April 21, 2023

Page 78: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18-1919 … jambo lolote

utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa

mbinguni (rohoni) … April 21, 2023

Page 79: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18-1919 … na jambo lolote

utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa

mbinguni (rohoni). April 21, 2023

Page 80: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA MKRISTO

Ufunuo 5:9-109 Wewe unastahili kukitwaa kitabu na kuzivunja lakiri zake, kwa sababu ulichinjwa na kwa

damu yako ukamnunulia Mungu watu kutoka katika kila kabila, kila lugha, kila jamaa na

kila taifa (kanisa). April 21, 2023

Page 81: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA MKRISTO

Ufunuo 5:9-1010 Nawe umewafanya hawa

wawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao

wanamiliki dunia.’’

April 21, 2023

Page 82: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWaefeso 1:18-23/2:1-6Mungu wetu, hataweza kukurithisha mamlaka ya

Ulimwengu wa roho ili uweze kuleta mabadiliko katika

ulimwengu wa mwili, kama hajazaliwa mara ya pili, kwa njia

ya Wokovu wa Yesu Kristo.April 21, 2023

Page 83: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Baada ya Wokovu, mtu wa Mungu huyo, anajazwa Roho Mtakatifu na Nguvu zake, ili

kumrudishia mamlaka na uweza tuliyopoteza katika bustani ya

Eden, kwa njia ya dhambi.April 21, 2023

Page 84: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)

(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11) April 21, 2023

Page 85: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Bwana Yesu aliomba hivi:

Yohana 17:22 ‘Baba, Utukufu ule ulionipa,

nami nimewapa wao (Kanisa)’; ‘yaani watu walioniamini, walinipokea

maishani mwao na wanaishi kwa kanuni zangu za kiroho’

April 21, 2023

Page 86: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 17:22‘Utukufu’ huo, ni Roho Mtakatifu

yule yule aliyepewa Adam wa kwanza, ili aweze kuutawala ulimwengu wa dunia hii kwa

Nguvu za Mungu.Zaburi 8:4-8April 21, 2023

Page 87: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

2Petro 1:3-4 Tunapambana na adui mwenye

nguvu sana. Pasipo Nguvu za Mungu, mtu wa Mungu

hataweza kuleta mabadiliko mazuri katika maisha yake na

kumwezesha kuishi maisha mazuri na ya ushindi, ili kuwa

chombo kizuri cha ibada.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

April 21, 2023

Page 88: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Kusudi la Mungu la awali, ni kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, ili binadamu tuishi

maisha mazuri (ya ushindi na mafanikio) na kuwa vyombo

vizuri vya kumwabudu Mungu.April 21, 2023

Page 89: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Ili Mwanadamu aweze kulitimiza Kusudi la Mungu vizuri, Mungu

alimpa Mwanadamu Mamlaka ya Kiroho ili Kutawala mazingira

yake, ili awe na maisha mazuri ya kumtumikia Mungu kama vyombo vizuri vya ibada.

April 21, 2023

Page 90: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

KwaniniUlimwengu wa roho.

Zab 8:4-8, Waefeso 6:12

April 21, 2023

Page 91: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Ni kwasababu;Mungu aliitengeneza dunia katika

namna kwamba, ulimwengu wa mwili, utatawaliwa kwa mamlaka

ya Mungu kutoka katika Ulimwengu wa roho.

(Zab 4:4-8, Ebr 11:3)April 21, 2023

Page 92: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Ni muhimu uje kwamba, Dunia yetu inatawaliwa kwa

Kanuni kuu Mbili (2) 2. Kanuni za Kimwili1. Kanuni za Kiroho

April 21, 2023

Page 93: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Nguvu Nguvu Za za Kimwili Vs Kiroho (Natural (Spiritual Principles) Principles)

April 21, 2023

Page 94: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Kwa Mfano;

Uumbaji wa vitu vya Dunia Waebrania 11:3

April 21, 2023

Page 95: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

Nasi twajua ya kwamba, ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, hata vitu

vinavyoonekana, havikufanywa kwa vitu vilivyo

dhahiri.April 21, 2023

Page 96: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

“… vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa

vitu visivyo dhahiri ”.

April 21, 2023

Page 97: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

“… vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa

vitu visivyo waziwazi ”.

April 21, 2023

Page 98: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

“… vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa

vitu visivyo onekana (vya kiroho).”

April 21, 2023

Page 99: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

Ulimwengu wa roho ndio ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilika, ndipo Mungu

akauzaa Ulimwengu wa mwili kutokea katika

Ulimwengu wa Roho.April 21, 2023

Page 100: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

ULIMWENGU WA ROHO

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba katika ulimwengu wa

kiroho kwanza, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai-

photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.April 21, 2023

Page 101: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18

Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 7 1000 33 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo

30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme Injili Kalvari Kanisa

Milele

April 21, 2023

Page 102: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18

Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 7 1000 33 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo

30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme Injili 600 Kalvari Kanisa 700 2000

(4) Daniel 7:13 – 14, 27 (3) Isaya 9: 6 33 AD (5) Ufunuo 20:11 – 15

Bahari Miti Upepo

Milele

Ulimwengu wa MwiliApril 21, 2023

Page 103: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

“… vitu vinavyoonekana (vya kimwili) vilifanywa kwa

vitu visivyo onekana (vya kiroho).

April 21, 2023

Page 104: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri

limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo

hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa

zilizopita (wakati uliopita).April 21, 2023

Page 105: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya

maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka

kabisa yakupate. April 21, 2023

Page 106: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Hivyo;Hakuna kitu kinafanyika katika

Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika

Ulimwengu wa Kiroho.April 21, 2023

Page 107: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18

Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vitu

visiyoonekana (vya kiroho) kwani hivyo ndivyo vya milele

(vya kudumu).April 21, 2023

Page 108: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

ULIMWENGU WA ROHOWaebrania 11:3

Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba kwanza katika

ulimwengu wa kiroho, na alipoikalimisha, ndipo akaizaa (akai-photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.

April 21, 2023

Page 109: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

ULIMWENGU WA ROHO

Waebrania 11:3Kwahiyo, kila kitu duniani kina

original copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft-copy na hard-copy

yake (yaani kina upande wa rohoni na wa upande wa mwilini).

April 21, 2023

Page 110: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

ULIMWENGU WA ROHO

Kwahiyo

Kila cha Kimwili, kina cha kiroho chake

1 Wakorintho 15:44

April 21, 2023

Page 111: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

ULIMWENGU WA ROHO

1 Wakorintho 15:44“Ikiwa kuna mwili wa asili,

Basi na mwili wa roho pia, upo”

April 21, 2023

Page 112: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

ULIMWENGU WA ROHO

Ayubu 8:9“Kwakuwa sisi ni wa jana tu,

wala hatujui neno, maisha yetu ni kama kivuli”- Photocopy -

April 21, 2023

Page 113: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

ULIMWENGU WA ROHO

Zaburi 39:6a“Binadamu huko na huko

kama kivuli”- Photocopy -

April 21, 2023

Page 114: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu w

Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);• Vitu visivyoonekana • Vitu vinavyoonekana

Na vyote viko kwa pamoja

April 21, 2023

Page 115: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Ni Kwasababu, Ulimwengu wa Mwili

ulizaliwa kupitia Ulimwengu wa Kiroho.

April 21, 2023

Page 116: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Ni Kwasababu,

Mambo ya Ulimwengu wa mwili yanatawaliwa kwa mambo ya

ulimwengu wa roho; April 21, 2023

Page 117: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Ni muhimu uje kwamba, Kanuni za Kimwili zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho

April 21, 2023

Page 118: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Hivyo, kwa utaratibu huu;Hakuna kitu kinafanyika katika

Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika

Ulimwengu wa Kiroho.April 21, 2023

Page 119: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAANA YA KUOMBA

Tafsiri Mpya ya Maombi

April 21, 2023

Page 120: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAANA YA KUOMBAKuomba, ni namna ya mtu,

kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu

wa roho, katika namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika

ulimwengu huu wa mwili.April 21, 2023

Page 121: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZAKIROHO

Ulimwengu wa roho

Kwa Mfano Maombi ya Nabii Eliya

Yakobo 5:17-18; 1Wafalme 17-18;

April 21, 2023

Page 122: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17-18; Eliya alikuwa binadamu tu kama sisi, lakini aliomba kwa bidii, ili kuifunga

mvua, na Mungu alimsikia, na mbingu zikafungika na mvua (ya ki-

mwilini) haikunyesha juu ya nchi, kwa muda wa miaka 3 na nusu.April 21, 2023

Page 123: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17-18; Japo kulikuwa na kanuni zote za

kisayansi za mvua kunyesha, lakini Eliya, kwa njia ya maombi,

alikwenda rohoni, akaathiri (tibua) kanuni zinazotawala mvua mwili, na

ndio maana mvua haikunyesha.April 21, 2023

Page 124: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17-18; Baada ya miaka mitatu na nusu, nchi

yote ilikuwa kavu kabisa na misitu yote imepukutika; kwahiyo

hakukuwa na kanuni za kutosha kuruhusu mvua kunyesha.

April 21, 2023

Page 125: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17-18; Eliya akaomba tena kwa bidii, ili kuifungua mvua kutoka katika uliwengu wa roho, na Mungu

alimsikia, na mbingu zikafunguka na mvua (ya ki-mwilini) ikanyesha na

nchi ikazaa matunda yake.April 21, 2023

Page 126: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAANA YA KUOMBAKuomba, ni namna ya mtu,

kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu

wa roho, katika namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika

ulimwengu huu wa mwili.April 21, 2023

Page 127: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Mabadiliko gani hayo?Kwa Mfano;

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.April 21, 2023

Page 128: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30-45;

Eliya akawakusanya Waisraeli wote, akaijenga madhabahu ya Bwana

upya, akaweka sadaka ya ng’ombe juu ya madhabahu, na akawataka wamwage maji pipa 12 juu yake,

kama yalivyo mawe 12 ya madhabahu na kabila 12 za Israeli.

April 21, 2023

Page 129: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:30-45;

Baada ya kufanya Kanuni hizi za Kiroho, ndipo Eliya akafanya

Maombi ya Vita, ili kuvunja ngvu ya upinzani, iliyokuwa inazuia baraka za Mungu, kuwafikia

watoto wake duniani.April 21, 2023

Page 130: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Yakobo 5:18;

MATOKEO = USHINDI Mvua ikanyesha katika

ulimwengu wa mwili, na Nchi ikazaa matunda yake, na watu

wakafaidi mema ya nchi.April 21, 2023

Page 131: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-44; Baada ya ile Sadaka na Maombi,

Nabii Eliya akawaambia watu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya mvua

tele’ (mstari 41), watu walipoondoka, Eliya alikwenda mlimani ili kufanya MAOMBI; April 21, 2023

Page 132: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba na Sadaka (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uyahudi Uyahudi

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

April 21, 2023

Page 133: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-45; Na watu walipoondoka, Eliya

alikwenda mlimani kuomba; na baada ya maombi mazito mara

saba (7), ndipo mvua kubwa sana ikanyesha juu ya nchi

(mstari 44-45).April 21, 2023

Page 134: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / /

/ / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

April 21, 2023

Page 135: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-45; Kumbe, mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili,

mpaka kwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kiroho

kwanza.April 21, 2023

Page 136: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:41-45;

Kwahiyo, kumbuka kwamba, Kanuni za kiroho, ndizo

zilizotangulia kusababisha athari katika ulimwengu wa rohoni

kwanza, ili mvua inyeshe katika ulimwengu wa mwili.

April 21, 2023

Page 137: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-45; Kwahiyo,

Ile mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili, mpaka

kwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kiroho kwanza.April 21, 2023

Page 138: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya

maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka

kabisa yakupate. April 21, 2023

Page 139: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri

limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo

hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa

zilizopita (wakati uliopita).April 21, 2023

Page 140: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41-45; Kwahiyo, ile mvua haikunyesha

katika ulimwengu wa mwili, mpaka kwanza ilipotengenezwa

katika ulimwengu wa kiroho kwanza.

April 21, 2023

Page 141: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30

‘Mungu ameshatubariki kwa baraka zote za rohoni, katika

ulimwengu wa roho; kama alivyotuchagua katika yeye, kabla

ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, tuwe watakatifu’.

April 21, 2023

Page 142: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba na Sadaka (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uyahudi Uyahudi

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

April 21, 2023

Page 143: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:41-45, Yakobo 5:17-18

Wana wa Israeli, walikuwa wanateseka kwa maisha

magumu, katika ulimwengu wa mwili, wakati wao ni

wabarikiwa wenye baraka nyingi sana katika ulimwengu

wa roho.April 21, 2023

Page 144: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / /

/ / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

April 21, 2023

Page 145: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Kama Eliya asingeomba kwa bidii, ile baraka ya mvua (rohoni) ingekomea huko huko rohoni, na

huku duniani, watu wa Mungu wangeishi maisha ya shida na taabu; na kumbe wana baraka

nyingi sana katika U’rohoni.April 21, 2023

Page 146: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30

Na sisi pia tusipoomba, baraka hizi zote tulizopewa katika ulimwengu

wa roho, zitabaki huko huko rohoni, wakati huku duniani, tunateseka kwa maisha magumu, yaliyojaa

shida na taabu nyingi.April 21, 2023

Page 147: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Mungu wetu ni Mungu wa Imani, anayefanya mambo

yasiyoonekana kwanza, kabla ya kuyasababisha yatokee katika

ulimwengu wa mwili (ulimwengu wa yanayoonekana)

April 21, 2023

Page 148: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Utendaji kazi wa Mungu duniani, huanzia katika ulimwengu wa roho

kwanza. Mambo yakikamilika rohoni, ndipo huyazaa mambo hayo

katika ulimwengu wa mwili.

April 21, 2023

Page 149: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI NA SADAKA

Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta

mabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu

vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko

katika ulimwengu wa mwili.April 21, 2023

Page 150: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

ULIMWENGU WA ROHO

Kwanini tunaishi maisha ya kushindwa?

April 21, 2023

Page 151: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

ULIMWENGU WA ROHOHebu jiulize mwenye…

Kwanini tunaishi maisha magumu na ya mateso huku mwili, yaliyojaa

shida na taabu nyingi, na kumbe kule rohoni tumebarikiwa na

Mungu kwa baraka zote, tena nyingi sana, za kutusaidia katika

maisha yetu ya kila siku?April 21, 2023

Page 152: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(1) Hatujajua siri ya ulimwengu wa roho inavyoingiliana na ulimwengu wa mwili, hata kuleta mabadiliko

tunayotaka kuyaona huku duniani. ~ kutokujua ~April 21, 2023

Page 153: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18

Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 7 1000 33 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo

30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme Injili Kalvari Kanisa

Milele

April 21, 2023

Page 154: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18

Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 7 1000 33 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo

30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme Injili 600 Kalvari Kanisa 700 2000

(4) Daniel 7:13 – 14, 27 (3) Isaya 9: 6 33 AD (5) Ufunuo 20:11 – 15

Bahari Miti Upepo

Milele

Ulimwengu wa MwiliApril 21, 2023

Page 155: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba na Sadaka (Kumb 28:1-14) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uyahudi Uyahudi

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

April 21, 2023

Page 156: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / / / / / / / / / / /

/ / / Mvua ya Mwilini / / / / / (Mstari 44-45) / / / / / / / / / / / / / / / / / / / / /

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

April 21, 2023

Page 157: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Fitina 2Nyak 20

Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

April 21, 2023

Page 158: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Fitina 2Nyak 20

Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

April 21, 2023

Page 159: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(2) Hatuna nidhamu na bidii ya kwenda rohoni kwa njia ya maombi, hata kuchukua na

kutelemsha baraka zetu duniani. ~ Uzembe ~April 21, 2023

Page 160: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(3)Hatuna maarifa na bidii ya kutumia kanuni za kiroho, kwa

namna sahihi, katika madhabahu ya Bwana

(ulimwengu wa kiroho).April 21, 2023

Page 161: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU Na huu ndio utaratibu na

kanuni ambazo Mungu aliziweka duniani, ili

kutuwezesha kutawala ulimwengu wa mwili, kwa

kanuni za kiroho zinazoathiri kwanza ulimwengu wa kiroho.

April 21, 2023

Page 162: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Watu wa Mungu wakielewa, nafasi ya Ulimwengu wa kiroho katika maisha yao, wataweka

bidii na nidhamu ya kuishi katika maisha yanayotimiza

kanuni za kiroho …

April 21, 2023

Page 163: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

… ili waweze kuathiri vizuri Ulimwengu wa roho, hata kuleta mabadiliko katika

ulimwengu wa mwili yatakayowawezesha kutawala

maisha yao, kwa ushindi na mafanikio makubwa.

April 21, 2023

Page 164: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

ULIMWENGU WA ROHO

Kanuni za kiroho zikiathiri Ulimwengu wa roho

inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni

za kimwili, ili jambo fulani lifanyika na kukamilika, kama

ilivyotazamiwa.April 21, 2023

Page 165: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4

Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili

utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala

ulimwengu wa roho kwanza.April 21, 2023

Page 166: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3 Hii ni kwasababu;

Hakuna kitu kinafanyika katika Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika

Ulimwengu wa Kiroho.April 21, 2023

Page 167: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Kwa Mfano;

Ushindi wa Yesu wa Pasaka1Petro 3:18-20

April 21, 2023

Page 168: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20

Hata hatua zote za ukombozi wa mwanadamu, alioufanya Bwana Yesu pale msalabani, ulikuwa ni ukombozi katika ulimwengu wa kiroho kwanza kabla ya kutokea

katika mwili.April 21, 2023

Page 169: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20

Siku ile Bwana Yesu alipoangikwa msalabani, watu waliuona mwili

wake ukining’inia msalabani, lakini hawakuoiona roho yake

ikiondoka kwenda katika ulimwengu wa wafu (kuzimuni).April 21, 2023

Page 170: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20

18 “Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa

Mungu; mwili wake ukauwawa, bali roho yake ikahuishwa”.

April 21, 2023

Page 171: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20

19 “Kwa hiyo (roho yake) aliwaendea roho waliokuwa

kifungoni, akawahubiri (injili ni uweza wa Mungu uletao wokovu) yaani akawakomboa wale wote

waliofungwa au waliozuiliwa)April 21, 2023

Page 172: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOMathayo 27:45

45 “Basi tangu saa 6 mpaka saa 9, palikuwa na giza juu ya nchi yote

46 na ilipofika saa 9, Yesu akapaza sauti yake … 50 (akasema

imekwisha) aliposema hivyo, akaitoa roho yake.

April 21, 2023

Page 173: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOMathayo 27:45

51 “na tazama pazia la hekalu likapasuka kutoka juu hata chini;

nchi ikatetemeka, miamba ikapasuka, 52 na makaburi

yakafunguka na ikainuka miili mingi ya watakatifu waliolala.

April 21, 2023

Page 174: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Waefeso 4:88 “alipopaa juu, aliteka mateka,

akawapa wanadamu vipawa”

April 21, 2023

Page 175: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWakolosai 2:13-15

‘… (Bwana Yesu) akiisha kutusamehe makosa yetu (pale msalabani) … aliifuta ile hati ya

mashtaka juu yetu, iliyokuwa na uadui na Mungu, akaigongelea

pale msalabani …’ April 21, 2023

Page 176: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWakolosai 2:13-15

‘… (kisha Bwana Yesu) kwa ujasiri wote, akazivua enzi na mamlaka, akazifanya kuwa mkogo (yaani, fedhaha, aibu na dharau) kisha

akazishangilia katika msalaba …’(Mafafanuzi yameongezewa)

April 21, 2023

Page 177: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO1Pet 3:18-20, Kol 2:14-15

Kumbe hatua zote za ukombozi wa mwanadamu, alioufanya Bwana Yesu pale msalabani, ulikuwa ni ukombozi katika

ulimwengu wa kiroho kwanza kabla ya kutokea katika mwili.April 21, 2023

Page 178: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO1Pet 3:18-20, Kol 2:14-15

Kumbe mambo ya aina mbili yalikuwa yakiendelea kwa

wakati mmoja (ktk dunia moja); Mengine katika ulimwengu wa

mwili na mengine katika ulimwengu wa roho.April 21, 2023

Page 179: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

1Petro 3:18-20 Mathayo 27:32-54 Wakolosai 2:14-15

Mathayo alitumiwa Paulo alitumiwa na

Mungu kuelezea Mungu kuelezea

Mambo yaliyotokea mambo yaliyotokea

Katika ulimwengu katika ulimwengu

wa kimwili wa kirohoApril 21, 2023

Page 180: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

1Petro 3:18-20 Mathayo 27:32-54 Wakolosai 2:14-15

Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho

1. 1.

Alikuwa Alikuwa Analia. Anashangilia. “Eloi Eloi “akizishangilia ktk

lama sabaktan” msalaba”April 21, 2023

Page 181: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

1Petro 3:18-20 Mathayo 27:32-54 Wakolosai 2:14-15

Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho

2. 2.

Alikuwa Alikuwa Anateseka Anazitesa. “Naona Kiu” “falme na mamlaka

Wakamnywesha siki. za giza (shetani)”April 21, 2023

Page 182: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

1Petro 3:18-20 Mathayo 27:32-54 Wakolosai 2:14-15

Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho

3. 3.

Alivuliwa Nguo Alizivua mamlaka

kwa aibu (uchi), za giza (mashetani)

akaondolewa enzi yao na

heshima yake heshima zao.

April 21, 2023

Page 183: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

1Petro 3:18-20 Mathayo 27:32-54 Wakolosai 2:14-15

Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho

4. 4.

Aliaibishwa Aliziaibisha ‘Akafa kifo cha laana ‘akaziharibu na

mateso na aibu sana’ kuzifedhehesha

juu ya msalaba’April 21, 2023

Page 184: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

1Petro 3:18-20 Mathayo 27:32-54 Wakolosai 2:14-15

Ulimwengu wa Mwili Ulimwengu wa Roho

5. 5.

Anashindwa. Anashinda.Akafa kifo cha mateso ‘akaenda kuzimuni

na aibu sana’ kukomboa

watakatifu’.April 21, 2023

Page 185: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20

Hii ina maana kwamba;Yesu alishinda kwa kushindwa.Kile kilichokuwa kinaonekana ni

“kushindwa” ndio ilikuwa “kushinda” kwa Bwana Yesu.

April 21, 2023

Page 186: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18

Ndio maana tunaambiwa kwamba;

‘Tusiviangalie vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda tu;

bali tuviangalie visivyoonekana, (vya kiroho) ndivyo vya kudumu.

April 21, 2023

Page 187: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20

Kwahiyo, mambo ya aina mbili yalikuwa yakiendelea kwa

wakati mmoja (ktk dunia moja); Mengine katika ulimwengu wa

mwili na mengine katika ulimwengu wa roho.April 21, 2023

Page 188: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO1Petro 3:18-20

Kwahiyo, hatua zote za ukombozi wa mwanadamu, alioufanya Bwana Yesu pale

msalabani, ulikuwa ni ukombozi katika roho kwanza kabla ya

kutokea katika mwili.April 21, 2023

Page 189: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Hivyo basi;Hakuna kitu kinafanyika katika

Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika

Ulimwengu wa Kiroho.April 21, 2023

Page 190: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Huu ndio Utaratibu wa Mungu katika kuitawala dunia;

kwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kimwili, sharti yafanyike kwanza

katika ulimwengu wa kiroho.April 21, 2023

Page 191: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Hivyo;Hakuna kitu kinafanyika katika

Ulimwengu wa Mwili mpaka kwanza kimefanyika katika

Ulimwengu wa Kiroho.April 21, 2023

Page 192: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4

Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili

utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala

ulimwengu wa roho kwanza.April 21, 2023

Page 193: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Kwahiyo, Kanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual

Principles).April 21, 2023

Page 194: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Nguvu Nguvu Za za Kimwili Vs Kiroho (Natural (Spiritual Principles) Principles)

April 21, 2023

Page 195: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Somo;

Kanuni za kiroho, ni mambo ambayo, tukiyatumia sawasawa maishani mwetu, yatasababisha athari fulani katika ulimwengu

wa roho, na kufanya mabadiliko fulani kutokea, katika

ulimwengu wetu wa mwili.April 21, 2023

Page 196: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Mungu wetu ni Mungu anayefanya mambo katika

ulimwengu wa yasiyoonekana kwanza, kabla ya kuyasababisha

yatokee katika ulimwengu wa mwili wa yanayoonekana.

April 21, 2023

Page 197: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWarumi 4:17

Mungu wetu ni Mungu anayevitaja, visivyokuwepo, kana kwamba vimekuwepo;

(yaani anataja visivyoonekana kana kwamba vinaonekana).

April 21, 2023

Page 198: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOKumbuka kwamba;

Waebrania 11:1, 3

Vitu vinavyoonekana, viliumbwa kwa vitu visivyo dhahiri (au vitu

visivyo wazi wazi au vitu vinavyoonekana)

April 21, 2023

Page 199: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18

Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vitu

visiyoonekana (vya kiroho) kwani hivyo ndivyo vya milele

(vya kudumu).April 21, 2023

Page 200: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 8:37, 1Yohana 5:4Basi mtu wa Mungu akitaka

kutembea duniani na Mungu wa Imani, kwa ushindi, ni lazima

ajue kutembea kwa imani; kwani Imani yetu ndiyo siri ya

ushindi wa maisha yetu duniani.April 21, 2023

Page 201: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4‘Kila kitu kilichozaliwa na

Mungu, huushinda ulimwengu; Na huku ndiko kushinda

kuushindako ulimwengu, yaani hiyo IMANI yetu’

April 21, 2023

Page 202: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11:1‘Imani ni kuwa na uhakika (wa sasa), wa (mambo ya

rohoni) mambo yasiyoonekana;

April 21, 2023

Page 203: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

1Yohana 5:4‘Kwakuwa Imani ndiyo siri ya

ushindi wetu, na Imani ni uhakika wa mambo

yasiyoonekana (mambo ya ulimwengu wa roho)’

April 21, 2023

Page 204: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO‘Hivyo Basi mtu wa Mungu

akitaka kutembea kwa ushindi na Mungu wa Imani, katika maisha yake duniani, lazima awe na ufahamu wa mambo yasiyoonekana (mambo ya

rohoni) yaani Imani.April 21, 2023

Page 205: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Mungu wetu ni Mungu wa Imani, anayefanya mambo

yasiyoonekana kwanza, kabla ya kuyasababisha yatokee katika

ulimwengu wa mwili (ulimwengu wa yanayoonekana)

April 21, 2023

Page 206: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4

Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili

utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala

ulimwengu wa roho kwanza.April 21, 2023

Page 207: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

2Wakorintho 10:3-5‘Ingawa tunaenenda kimwili,

hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili, silaha zetu zina nguvu katika

Mungu (roho)’

VITA VYA KIROHO

April 21, 2023

Page 208: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Waefeso 6:10-13-18

‘Kwa maana kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita vya kimwili) bali vita yetu ni ya kupambana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza

na majeshi ya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.

April 21, 2023

Page 209: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Waebrania 11:3, 2Korintho 10:3Ulimwengu wa roho ndio

unaotawala Ulimwengu wa mwili; hivyo basi, Hakuna kitu kinafanyika katika Ulimwengu

wa Mwili, mpaka kwanza kimefanyika katika

Ulimwengu wa Kiroho.April 21, 2023

Page 210: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Somo;

Kanuni za kiroho, ni mambo ambayo, tukiyatumia sawasawa maishani mwetu, yatasababisha athari fulani katika ulimwengu

wa roho, na kufanya mabadiliko fulani kutokea, katika

ulimwengu wetu wa mwili.April 21, 2023

Page 211: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Kwa Mfano;

Uumbaji wa vitu vya Dunia Mwanzo 1:1-5, 14-19

April 21, 2023

Page 212: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19

1 Hapo mwanzo, Mungu aliumba mbingu na nchi; 2 na Dunia

ilikuwa haina umbo tena ilikuwa tupu, giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji, naye Roho wa Mungu alitanda juu ya maji.

April 21, 2023

Page 213: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19

3 Mungu akasema, “Iwepo nuru’’ nayo nuru ikawepo. 4 Mungu

akaona ya kuwa nuru ni njema, ndipo Mungu akatenganisha nuru

na giza. April 21, 2023

Page 214: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19

5 Mungu akaiita nuru “mchana’’ na giza akaliita “usiku.’’ Ikawa

jioni ikawa asubuhi, siku ya kwanza.

April 21, 2023

Page 215: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19

14 Mungu akasema, “Iwepo mianga kwenye nafasi ya anga ili

itenganishe mchana na usiku, nayo iwe alama ya kutambulisha

majira mbali mbali, siku na miaka, April 21, 2023

Page 216: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19

15 nayo iwe ndiyo mianga kwenye nafasi ya anga itoe nuru juu ya dunia.’’ Ikawa hivyo. 16 Mungu akafanya mianga miwili

mikubwa … April 21, 2023

Page 217: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19

16 … Mwanga mkubwa utawale mchana (Jua) na mwanga mdogo

utawale usiku (Mwezi). Pia Mungu akafanya na nyota za

mbinguni.April 21, 2023

Page 218: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19

17 Mungu akaiweka hiyo mianga mikubwa miwili (yaani Jua na Mwezi) katika anga ili iangaze

dunia. 18 … Mungu akaona kuwa hili nalo ni jema. 19 Ikawa jioni,

ikawa asubuhi, siku ya nne.April 21, 2023

Page 219: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19

Kumbe Nuru ya Ulimwenguni, haitoki kwenye jua na mwezi,

kwasababu Nuru ilikuwepo tangu siku ya kwanza wakati jua na

mwezi viliumbwa baadaye kabisa katika siku ya nne!

April 21, 2023

Page 220: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19

Kumbe jua si chanzo cha Mwanga au Nuru inayoangaza

ulimwenguni, bali jua ni “kibebeo” tu cha kuleta mwanga duniani,

lakini jua si chanzo cha Nuru inayoangaza duniani.

April 21, 2023

Page 221: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1-5, 14-19

Nuru Jua Mwanga(Yesu/Neno) Yoh 1:7-9

April 21, 2023

Page 222: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19

Kwa lugha rahisi;Mwanga au Nuru inayoangaza

duniani, ina vyanzo viwili; kimoja ni kipo katika ulimwengu wa mwili na kingine kipo katika

ulimwengu wa roho.April 21, 2023

Page 223: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19

Chanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha

Nuru cha mwilini kuwepo.Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha

kimwili kinatawaliwa na chanzo cha Nuru cha kiroho.

April 21, 2023

Page 224: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19

Hii ina maana kwamba;Kanuni za Kiroho zilikuwepo kabla

ya Kanuni za Kimwilini kuwepo.Kwahiyo, Kanuni za Kiroho ndizo

zinazotawala Kanuni za Kimwili za Ulimwengu huu.

April 21, 2023

Page 225: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19

Hii ina maana kwamba;Hakuna kitu kinachofanyika katika Ulimwengu wa mwili, mpaka kimefanyika kwanza katika Ulimwengu wa roho.

April 21, 2023

Page 226: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19

Chanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha

Nuru cha mwilini kuwepo.Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha

kimwili kinatawaliwa na chanzo cha Nuru cha kiroho.

April 21, 2023

Page 227: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1-5, 14-19

Nuru Jua Mwanga(Yesu/Neno) Yoh 1:7-9

April 21, 2023

Page 228: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:1-4“Mtu hataishi kwa mkate tu, bali kwa kila Neno litokalo katika kinywa cha Bwana”.

April 21, 2023

Page 229: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Mkate Afya

April 21, 2023

Page 230: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO Luka 4:1-4

Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika

mkate tunaokula tu, bali kwa katika Neno litokalo katika kinywa cha Bwana Mungu.

April 21, 2023

Page 231: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO Luka 4:1-4

Hii pia ina maana kwamba, Afya ya mtu haitoki katika Dawa anazotumia tu, bali kwa katika

Neno litokalo katika kinywa cha Bwana Mungu.

April 21, 2023

Page 232: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Dawa Afya

April 21, 2023

Page 233: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Nyumba Ulinzi

April 21, 2023

Page 234: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Kitanda Usingizi

April 21, 2023

Page 235: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Kitabu Akili

April 21, 2023

Page 236: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Pete Upendo

April 21, 2023

Page 237: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Cheti Kazi

April 21, 2023

Page 238: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Ajira Mafanikio

April 21, 2023

Page 239: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOKumb 8:1-18, Luka 4:1-4

Mistari hii inatuonyesha kwamba, kumbe kuna kanuni zingine za kiroho, zilizo juu sana kuliko

kanuni hizi za kimwili, na ndizo zinazotawala ulimwengu huu wa

kimwili na kanuni zake.April 21, 2023

Page 240: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Waebrania 11:3, 2Korintho 10:3Ulimwengu wa roho ndio

unaotawala Ulimwengu wa mwili; hivyo basi, Hakuna kitu kinafanyika katika Ulimwengu

wa Mwili, mpaka kwanza kimefanyika katika

Ulimwengu wa Kiroho.April 21, 2023

Page 241: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Somo;

Kanuni za kiroho, ni mambo ambayo, tukiyatumia sawasawa maishani mwetu, yatasababisha athari fulani katika ulimwengu

wa roho, na kufanya mabadiliko fulani kutokea, katika

ulimwengu wetu wa mwili.April 21, 2023

Page 242: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

2Petro 1:3-4Tunaishi kwenye ulimwengu

ulioharibika sana kwasababu ya dhambi na uovu. Mtu wa Mungu akitaka kuishi kwa

ushindi na mafanikio katikati ya uharibifu huu, bila kuingia katika uovu (kujichafua), ni lazima iwe ni kwa nguvu za

Mungu tu.

KUTEMBEA KWA IMANI

April 21, 2023

Page 243: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

2Petro 1:3-4 Tunapambana na adui mwenye

nguvu sana. Pasipo Nguvu za Mungu, mtu wa Mungu

hataweza kuleta mabadiliko mazuri katika maisha yake na

kumwezesha kuishi maisha mazuri na ya ushindi, ili kuwa

chombo kizuri cha ibada.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

April 21, 2023

Page 244: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Somo;Kanuni za kiroho, ni mambo

ambayo, tukiyatumia maishani, mwetu, yatasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu,

zinazohitajika kutupa maisha ya ushindi na mafanikio, katika

ulimwengu wa mwili.April 21, 2023

Page 245: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

ULIMWENGU WA ROHO

Watu wa Mungu wakielewa, nafasi ya kanuni za kiroho

katika maisha yao, wataweka bidii na nidhamu ya kuishi

katika maisha yanayotimiza kanuni za kiroho.

April 21, 2023

Page 246: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Kanuni za kiroho za UshindiWaebrania 11:3

Ulimwengu wa roho ndio ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilika, ndipo Mungu

akauzaa Ulimwengu wa mwili kutokea katika Ulimwengu wa Roho.

April 21, 2023

Page 247: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 8:37, 1Yohana 5:4Basi mtu wa Mungu akitaka

kutembea duniani na Mungu wa Imani, kwa ushindi, ni lazima

ajue kutembea kwa imani; kwani Imani yetu ndiyo siri ya

ushindi wa maisha yetu duniani.April 21, 2023

Page 248: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAANA YA KUOMBAKuomba, ni namna ya mtu,

kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu

wa roho, katika namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika

ulimwengu huu wa mwili.April 21, 2023

Page 249: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

ULIMWENGU WA ROHOWaebrania 11:3

Kwahiyo, kwa njia ya maombi, mtu wa Mungu anaweza

kwenda rohoni, akaitawala kesho (future) yake, kabla kesho

haijafika (au kuzaliwa katika ulimwengu wa mwili.

April 21, 2023

Page 250: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

SummaryMambo yanayosisitizwa zaidi

Mathayo 16:18-19

April 21, 2023

Page 251: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18-1918 Nami Nitalijenga Kanisa

langu, wala milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda. 19 Nami nitawapa funguo za Ufalme wa

mbinguni … April 21, 2023

Page 252: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18-1919 … jambo lolote

utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa

mbinguni (rohoni) … April 21, 2023

Page 253: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18-1919 … na jambo lolote

utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa

mbinguni (rohoni). April 21, 2023

Page 254: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18-19Mambo muhimu katika mistari hii, yatakayotusaidia kuelewa, Kusudi la Mungu juu ya Kanisa

(mimi na wewe);

April 21, 2023

Page 255: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18-191.Kanisa ni la Yesu Mwenyewe2.Kusudi la Kanisa ni Kupiga Vita3.Adui yetu mkuu ni shetani4.Kuzimu ni wazuiaji (mageti)

April 21, 2023

Page 256: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18-19

5. Kanisa ni washambuliaji6. Ushindi tayari kabla ya Vita7. Kanisa lina mamlaka ya dunia

April 21, 2023

Page 257: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18 “Kwahiyo, kuna mashindano

(kuna vita), kati ya milango ya kuzimu (nguvu za giza) na kanisa

la Bwana Yesu Kristo.”Ufunuo 12:17

April 21, 2023

Page 258: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18 “Nitalijenga kanisa langu,

litapambana na milango ya kuzimu (nguvu za giza), na

milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda kanisa langu …”

April 21, 2023

Page 259: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Warumi 3:23/Warumi 5:12-19Mwanadamu alipofanya dhambi,

alipoteza mamlaka ya Mungu katika ulimwengu wa roho na

kushindwa kuutawala ulimwengu wa mwili; badala yake,

ulimwengu wa mwili ukamtawala mwanandamu.April 21, 2023

Page 260: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Waefeso 2:1-6/Ufunuo 5:8-10Lakini Mtu anapotubu dhambi zake

na kuupokea Wokovu wa Bwana Yesu Krsito, anaunganishwa tena na Mungu na kupewa mamlaka

makuu zaidi, kuliko yale aliyoyapoteza Adam na Eva

katika bustani ya Eden.April 21, 2023

Page 261: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)

(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11) April 21, 2023

Page 262: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWaefeso 1:18-23/2:1-6Mungu wetu, hataweza kukurithisha mamlaka ya

Ulimwengu wa roho ili uweze kuleta mabadiliko katika

ulimwengu wa mwili, kama hajazaliwa mara ya pili, kwa njia

ya Wokovu wa Yesu Kristo.April 21, 2023

Page 263: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA MKRISTO

BAADA YA WOKOVU

Waefeso 2:1-6 Waefeso 1:18-23

MALAIKA

SHETANI

DUNIA

ADAM - 1

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

MUNGU + ADAM - 2

April 21, 2023

Page 264: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Ni Baada ya Wokovu, ndipo mtu wa Mungu, anaunganishwa tena

na Mungu na kuajazwa Roho Mtakatifu na Nguvu zake, ili

kumrudishia mamlaka na uweza tuliyopoteza katika bustani ya

Eden, kwa njia ya dhambi.April 21, 2023

Page 265: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Bwana Yesu aliomba hivi:

Yohana 17:22 ‘Baba, Utukufu ule ulionipa,

nami nimewapa wao (Kanisa)’; ‘yaani watu walioniamini, walinipokea

maishani mwao na wanaishi kwa kanuni zangu za kiroho’

April 21, 2023

Page 266: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

‘Utukufu’ huo, ni Roho Mtakatifu yule yule aliyepewa Adam wa kwanza, ili aweze kuutawala ulimwengu wa dunia hii kwa

Nguvu za Mungu.Zaburi 8:4-8

April 21, 2023

Page 267: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Mwl. Mgisa Mtebe +255 713 497 654, +255 783 497 654

[email protected]

www.mgisamtebe.org

VITA VYA KIROHOMapambano na Nguvu za gizaKuteka Baraka zetu kwa Vita

April 21, 2023

Page 268: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

VITA VYA ROHONI

Chanzo cha vita

Vita hii ilitokea Wapi?Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17

Ezekieli 28:11-19Isaya 14:10-15

April 21, 2023

Page 269: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

VITA VYA KIROHOILI KUTEKA BARAKA ZETU KWA VITA NA KUTUWEZESHA KUISHI

KWA USHINDI DUNIANI

Mathayo 16:18-19Waefeso 6:10-13

April 21, 2023

Page 270: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18-1918 Nami Nitalijenga Kanisa

langu, wala milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda. 19 Nami nitawapa funguo za Ufalme wa

mbinguni … April 21, 2023

Page 271: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18-1919 … jambo lolote

utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa

mbinguni (rohoni) … April 21, 2023

Page 272: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Mathayo 16:18-1919 … na jambo lolote

utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa

mbinguni (rohoni). April 21, 2023

Page 273: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Waefeso 6:10-13-18‘Iweni hodari katika Bwana, na katika Uweza wa Nguvu zake. Vaeni silaha zote za Mungu ili

muweze pupambana na hila za mwovu shetani.

April 21, 2023

Page 274: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Waefeso 6:10-13-18

‘Kwa maana kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita vya kimwili) bali vita yetu ni ya kupambana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza

na majeshi ya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.

April 21, 2023

Page 275: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18 “Kwahiyo, kuna mashindano

(kuna vita), kati ya milango ya kuzimu (nguvu za giza) na kanisa

la Bwana Yesu Kristo duniani.”Ufunuo 12:17

April 21, 2023

Page 276: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Kumjua Adui Yako.Daniel 10:11-13, 20

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

April 21, 2023

Page 277: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Luka 11:21-22 Japo shetani alinyang’anywa

nguvu zote alizopewa na Mungu, lakini hapa duniani, aliweza kupiku Nguvu Kuu za Adam, ambazo zilikuwa ndizo Nguvu Kuu zitawalazo dunia, Nguvu kubwa sana kuliko za Malaika wote. (Zaburi 8:4-8)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

April 21, 2023

Page 278: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA MKRISTO KABLA YA DHAMBI “Mashal”

Zab 8:4-8

ADAM

MALAIKA

DUNIA

SHETANI

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

MUNGU

April 21, 2023

Page 279: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

2Wakorintho 6:14-18 Warumi 3:23

SHETANI ALITAPELI NAFASI YA ADAM

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

MUNGU

April 21, 2023

Page 280: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Shetani anatusumbua duniani kwa kutumia

nguvu zetu wenyewe!

Yohana 16:11

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

Waefeso 2:1-2

1Yohana 5:19

Luka 4:5-8

2Korintho 4:3-4

MUNGU

April 21, 2023

Page 281: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Mamlaka ya shetani ulimwenguni

Efe 2:1-2 – Mfalme wa anga2Kor 4:4 – Mungu wa dunia hii1Yoh 5:19 – Mtawala (Controler) Yoh 12:31 – Mkuu wa UlimwenguYoh 14:30 – Mkuu wa UlimwenguYoh 16:11 – Mkuu wa Ulimwengu

April 21, 2023

Page 282: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Warumi 5:12, 14 Zekaria 3:2

Yohana 16:11

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

Waefeso 2:1-2

1Yohana 5:19

Luka 4:5-8

2Korintho 4:3-4

MUNGU

April 21, 2023

Page 283: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Luka 11:21-22 ‘Mtu “mwenye nguvu”,

alindapo nyumba yake, vitu vyake viko salama. Lakini,

atakapokuja Mtu “Mwenye Nguvu kuliko” yeye, ataweza

kumnyang’anya silaha zake, na kuyagawanya mateka yake.’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

April 21, 2023

Page 284: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Neno Lililotumika Tafsiri Yake

“mwenye nguvu” shetani

“nyumba yake” Jamii au eneo

“vitu vyake” Watu na mali

Luka 11:21-22

April 21, 2023

Page 285: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Neno Lililotumika Tafsiri Yake

“Mwenye nguvu Kanisa Kuliko” “Mateka Yake” Watu na mali

Luka 11:21-22

April 21, 2023

Page 286: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Luka 11:21-22 shetani si kiumbe dhaifu; japo shetani alinyang’anywa nguvu

zote alizopewa na Mungu, lakini hapa duniani, aliweza kupiku Nguvu Kuu za Adam, ambazo

zilikuwa Nguvu Kuu zitawalazo dunia, Nguvu kubwa sana kuliko

za Malaika wote.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

April 21, 2023

Page 287: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

2Petro 1:3-4 Tunapambana na adui mwenye

nguvu sana. Pasipo Nguvu za Mungu, mtu wa Mungu

hataweza kuleta mabadiliko mazuri katika maisha yake na

kumwezesha kuishi maisha mazuri na ya ushindi, ili kuwa

chombo kizuri cha ibada.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

April 21, 2023

Page 288: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI Kuujua Ulimwengu wa roho Namna ya kwenda rohoni Nafasi/Mamlaka yako rohoni4. Namna ya Kupiga Vita rohoni

April 21, 2023

Page 289: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBA

4. VITA VYA ROHONI

Rejea habari ya

Maombi ya DanielDaniel 10:1-14, 20

April 21, 2023

Page 290: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Vita ya Siku 3

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

mfalmemfalme mfalme

April 21, 2023

Page 291: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Fitina 2Nyak 20

Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

April 21, 2023

Page 292: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa Roho

Fitina 2Nyak 20

Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

MkuuMkuu Mkuu

April 21, 2023

Page 293: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Waefeso 6:10-13-18‘Iweni hodari katika Bwana, na katika Uweza wa Nguvu zake. Vaeni silaha zote za Mungu ili

muweze pupambana na hila za mwovu shetani.

April 21, 2023

Page 294: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Waefeso 6:10-13-18

‘Kwa maana kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita vya kimwili) bali vita yetu ni ya kupambana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza

na majeshi ya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.

April 21, 2023

Page 295: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

IDARA ZA SERIKALI YA SHETANI

Waefeso 6:121. Falme za Giza.

Ni mapepo maalum yaliyowekwa na shetani, kusimamia kazi zake

juu ya ‘Maeneo Maalum’. (Taifa, Mikoa, Wilaya, Kata,

Ubalozi/Mtaa, Nyumba/Kaya, n.k)April 21, 2023

Page 296: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

IDARA ZA SERIKALI YA SHETANI

Waefeso 6:122. Mamlaka za Giza.

Ni mapepo maalum yaliyowekwa na shetani, kusimamia kazi zake

juu ya ‘Makundi ya Watu’. (Viongozi, Wanafunzi, Wizara,

Wafanyabiashara, Makabila, n.k)April 21, 2023

Page 297: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

IDARA ZA SERIKALI YA SHETANI

Waefeso 6:123. Wakuu wa Giza.

Ni mapepo maalum yaliyowekwa na shetani, kusimamia kazi zake

juu ya ‘uovu na ubaya’. (Ulevi, Wizi, Ajali, Zinaa, Kiburi,

Uchawi, Mgonjwa, n.k)April 21, 2023

Page 298: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

IDARA ZA SERIKALI YA SHETANI

4. Majeshi ya Pepo Wabaya.Ni vikosi maalum vilivyowekwa na shetani, kutekeleza kazi zake za ‘Uovu au Ubaya fulani’ katika

‘Maeneo fulani na Makundi fulani (Ulevi, Wizi, Ajali, Zinaa, Kiburi, Uchawi, Mgonjwa, n.k)

April 21, 2023

Page 299: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Waefeso 6:12Falme – Pepo juu ya EneoMamlaka – Pepo juu ya KundiW/Giza – Pepo juu ya UbayaMajeshi – Mapepo watekelezaji

April 21, 2023

Page 300: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

VITA VYA KIROHO

Idara za Serikali ya ShetaniWaefeso 6:10-13

Moja ya mbinu muhimu sana ya kijeshi au ya mashindano yoyote, ni kumjua adui yako; kujua adui ni nani, yuko wapi, ana uwezo

gani na ana mbinu gani juu yako.April 21, 2023

Page 301: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

VITA VYA KIROHO

Idara za Serikali ya ShetaniWaefeso 6:10-13

Mtu wa Mungu, anapofanya vita vya kiroho, ni lazima ajue

anapigana na adui (pepo) wa aina gani, wa kabila lipi, wa tabia

gani na wa ngazi ipi.April 21, 2023

Page 302: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Daniel 10:10-13Ukombozi wa Israeli, ulifanyika kwanza katika ulimwengu wa

roho, kwa kumshinda Mfalme wa Anga la Uajemi, ndipo ukombozi

wao, ukaweza kutokea katika Ulimwengu wa mwili.

April 21, 2023

Page 303: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Efes 6:10-18, 2Kor 10:3-5Ukombozi wa maisha yako,

unatakiwa kufanyika kwanza katika ulimwengu wa roho, kwa kumshinda Mfalme wa Anga la

eneo lako, ndipo ukombozi huo, utaweza kutokea katika U’mwili.April 21, 2023

Page 304: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili; kwahiyo, hakuna kitu

kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, mpaka

kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

April 21, 2023

Page 305: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri

limeanza leo, hapana;Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo

hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa

zilizopita (wakati uliopita).April 21, 2023

Page 306: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu

wa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini),

bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.

April 21, 2023

Page 307: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu

duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya

kwa visivyoonekana.’(Waebrania 11:3)

April 21, 2023

Page 308: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya

maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka

kabisa yakupate. April 21, 2023

Page 309: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 6:12Kushindana kwetu sisi si juu ya

damu na nyama (mwili) bali ni juu ya falme na mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya

mapepo wabaya, katika ulimwengu wa roho. April 21, 2023

Page 310: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili; kwahiyo, hakuna kitu

kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, mpaka

kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

April 21, 2023

Page 311: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Waefeso 1:20-21, Waefeso 2:6Ndio maana na sisi pia, Mungu

ametuketisha mahali alipomketisha Yesu, katika ulimwengu wa roho, juu sana kuliko falme na mamlaka

za giza; ili tuweze kuvunja na kuharibu kazi za shetani duniani.

April 21, 2023

Page 312: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18

Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 7 1000 33 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo

30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme Injili 600 Kalvari Kanisa 700 2000

(4) Daniel 7:13 – 14, 27 (3) Isaya 9: 6 33 AD (5) Ufunuo 20:11 – 15

Bahari Miti Upepo

Milele

Ulimwengu wa MwiliApril 21, 2023

Page 313: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Waefeso 1:20-21, Waefeso 2:6Mungu ametuketisha mahali alipomketisha Yesu, katika

ulimwengu wa roho, juu sana kuliko falme na mamlaka za giza; ili

tuweze kutawala mambo yetu kwa katika ulimwengu wa mwili, kwa

ushindi na mafanikio.April 21, 2023

Page 314: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA MKRISTO

BAADA YA WOKOVU

Waefeso 2:1-6 Waefeso 1:18-23

MALAIKA

SHETANI

DUNIA

ADAM - 1

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

MUNGU + ADAM - 2

April 21, 2023

Page 315: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

VITA VYA KIROHO

Matendo 19:18-20Inatufundisha kwamba, Usijaribu kupigana vita vya kiroho, kama

huna mamlaka ya juu zaidi katika ulimwengu wa kiroho.

April 21, 2023

Page 316: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Umuhimu na Ulazima wa

Nguvu za Mungu

April 21, 2023

Page 317: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Nguvu za Kiroho ni maalumu kutuwezesha kupambana na

ibilisi shetani katika ulimwengu wa roho, ili kuleta

mabadiliko tunayohitaji, katika ulimwengu wa mwili.April 21, 2023

Page 318: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

2Petro 1:3-4 Tunapambana na adui mwenye

nguvu sana. Pasipo Nguvu za Mungu, mtu wa Mungu

hataweza kuleta mabadiliko mazuri katika maisha yake na

kumwezesha kuishi maisha mazuri na ya ushindi, ili kuwa

chombo kizuri cha ibada.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

April 21, 2023

Page 319: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na ndio maana, Bwana Yesu Kristo mwenyewe, hakuthubutu kuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu duniani na kuuvunja

ufalme wa shetani, pasipo kwanza “kujazwa na Nguvu za

Roho Mtakatifu”.April 21, 2023

Page 320: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:1, 141 Yesu alipokwisha kubatizwa,

aliongozwa na Roho Mtakatifu kwenda nyikani katika maombi ya siku 40.

April 21, 2023

Page 321: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 4:1, 1414 Yesu alipomaliza maombi na

majaribu yote, alirudi Galilaya katika nguvu za Roho

Mtakatifu.

April 21, 2023

Page 322: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

TOFAUTI YA ROHO NA NGUVU

Luka 4:1 Luka 4:14

Alitembea kwa Alitembea kwa Ujazo wa Roho Nguvu za Roho Mtakatifu. Mtakatifu. “Aliongozwa” “Alifanikiwa”

April 21, 2023

Page 323: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 10:3838 Mungu alimpaka Yesu Kristo

mafuta, kwa Roho Mtakatifu na Nguvu; naye akazunguka kote kote akitenda mema na kuwaponya wote walioteswa

na ibilisi shetani.April 21, 2023

Page 324: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 10:38

Roho + Nguvu = Ushindi

‘Ndipo akaanza kuzunguka, akiwaponya wote walioteswa na kuonewa na ibilisi shetani’.

April 21, 2023

Page 325: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Bwana Yesu Kristo mwenyewe, hakuthubutu kuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu

duniani na kuuvunja ufalme wa shetani, mpaka kwanza

“alipojazwa na Roho Mtakatifu na “Nguvu za” huyo Roho.

April 21, 2023

Page 326: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ikiwa Bwana Yesu mwenyewe, alihitaji Nguvu za Mungu na

alizitafuta, kwa maombi mazito na makali sana

maishani mwake, si zaidi sana sisi binadamu wa kawaida?

April 21, 2023

Page 327: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KWANINI ROHO MTAKATIFUNdio maana, na Bwana Yesu, aliwakataza wanafunzi wake

kuanza kazi ya kuujenga Ufalme wa Mungu duniani na kuuvunja

ufalme wa shetani, pasipo kwanza “kujazwa na Nguvu za

Roho Mtakatifu”.April 21, 2023

Page 328: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 20:20-21Akawaambia, kama Baba alivyonituma mimi, nami

nawapeleka ninyi; akiisha kusema hayo, akawavuvia (akawapulizia)

akawaambia, pokeeni Roho Mtakatifu;

April 21, 2023

Page 329: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Luka 24:49(Pamoja na kwamba

ameshawapa Roho Mtakatifu) “… Lakini, msiondoke humu mjini,

mpaka mtakapovikwa uweza utokao juu (Nguvu za Mungu).

April 21, 2023

Page 330: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 1:8“… Nanyi mtapokea Nguvu,

akiisha kuwajilia juu yenu, Roho Mtakatifu; ndipo mtakuwa

mashahidi wangu katika Yerusalem, Samaria na hata

mwisho wa nchi (Duniani kote).April 21, 2023

Page 331: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 1:1-4“Hata ilipotimia siku ya

Pentecoste, wote walikuwapo mahali pamoja, upepo wa nguvu ukavamia chumba chao … wote wakajazwa Roho Mtakatifu, na

kuanza kunena kwa lugha mpya”April 21, 2023

Page 332: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

TOFAUTI YA ROHO NA NGUVU

Yohana 20:21-22 Luka 24:49

Walipokea Walipokea Roho wa Mungu Nguvu za Roho

Walijaa Roho Walivikwa Roho

(Kwa ndani) (Kwa Nje)April 21, 2023

Page 333: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ni namna tu ya Bwana Yesu kutuonyesha na kutuangaliza kwamba, Nguvu za Mungu ni za lazima sana katika maisha

ya mwanadamu, duniani. (‘It’s a necessity’)

April 21, 2023

Page 334: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Nguvu za Kiroho ni maalumu kutuwezesha kupambana na

ibilisi shetani katika ulimwengu wa roho, ili kuleta

mabadiliko tunayohitaji, katika ulimwengu wa mwili.April 21, 2023

Page 335: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO Shetani alipomwangusha

Adam katika nafasi yake (kiroho), yeye ndiye akashika

mamlaka na nguvu za kiroho juu ya dunia yote.

Warumi 5:12-14 April 21, 2023

Page 336: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO Nafasi hiyo ya kiroho juu ya dunia, ilimwezesha kutawala ulimwengu wa kiroho, hata kuwa na uwezo wa kuleta

mabadiliko katika ulimwengu wa mwili.

Yoh 12:31/14:30/16:11

April 21, 2023

Page 337: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

2Wakorintho 6:14-18 Warumi 3:23

SHETANI ALITAPELI NAFASI YA ADAM

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

MUNGU

April 21, 2023

Page 338: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

MAMLAKA YA MKRISTOBAADA YA DHAMBI

Warumi 5:12, 14 Zekaria 3:2

Yohana 16:11

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

Waefeso 2:1-2

1Yohana 5:19

Luka 4:5-8

2Korintho 4:3-4

MUNGU

April 21, 2023

Page 339: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3, 2Wakorintho 4:18

Ukamilifu Dhamira Torati Mpito Neema Dhiki Milenia Uumbaji Anguko Wafalme Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho Mwa 1 Mwa 3 Manabii Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21 7 1000 33 (1) Ufu 13 :8 3 ½ 3 ½ Kristo

30 3 ½ (2) Efe 1:3-4 Mfalme Injili 600 Kalvari Kanisa 700 2000

(4) Daniel 7:13 – 14, 27 (3) Isaya 9: 6 33 AD (5) Ufunuo 20:11 – 15

Bahari Miti Upepo

Milele

Ulimwengu wa MwiliApril 21, 2023

Page 340: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO Ndio maana;

• Wachawi,• Waganga wa Kienyeji na • Wazee wa Mila (ukoo)

Wana uwezo wa kishetani (kiroho) wa kusababisha mabadiliko katika

ulimwengu wa mwili.April 21, 2023

Page 341: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KWANINI ROHO MTAKATIFU

Hivyo basi, binadamu wa kawaida, hataweza kusababisha mabadiliko ya ushindi maishani mwake, pasipo kufanya hivyo

kwa msaada wa ‘nguvu fulani za kiroho’.

April 21, 2023

Page 342: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHONi Ukweli wa kanuni ya Mungu

kwamba, ‘huwezi kutawala vizuri ulimwengu wa mwili,

kama huna mamlaka na nguvu za kiroho (ulimwengu wa roho).

Zab 8:4-8, Mwa 1:26-28 April 21, 2023

Page 343: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KWANINI ROHO MTAKATIFUNa ndio maana, hata kwa sisi Kanisa, Mungu ametupa Roho

wake Mtakatifu, ili tuweze kusababisha mabadiliko ya

ushindi maishani mwetu, kwa msaada wa Nguvu za kiroho

(Nguvu za ajabu).April 21, 2023

Page 344: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

2Petro 1:3-4 Tunapambana na adui mwenye

nguvu sana. Pasipo Nguvu za Mungu, mtu wa Mungu

hataweza kuleta mabadiliko mazuri katika maisha yake na

kumwezesha kuishi maisha mazuri na ya ushindi, ili kuwa

chombo kizuri cha ibada.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

April 21, 2023

Page 345: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 22:2929 Yesu alisema, ‘Mwapotoka

na kupotea kwa sababu hamjui maandiko, wala uweza wa Mungu (Nguvu za Mungu).

April 21, 2023

Page 346: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

• Biashara Zaburi 8:4-8• Shamba• Mifugo • Masomo • Familia • Kazi • Afya• Mipango

Haiwezekani kuitawala Dunia

pasipo nguvu (utukufu) wa

MunguApril 21, 2023

Page 347: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni Kwamba …Nguvu za Mungu zinaweza kukuvusha na kukufanikisha

pale ambapo kanuni za kawaida za kimwili (za kiasili)

zinapogoma kufanya kazi.April 21, 2023

Page 348: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUNi kwa Nguvu za Mungu,

Mashujaa wa imani waliweza kufanya mambo makubwa na

miujiza ya ajabu sana, hata wakaweza kuyatawala

mazingira yao, bila kuzuiliwa na chochote. (Mwa 1:26-28)

April 21, 2023

Page 349: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Umuhimu na Ulazima wa Nguvu za Kiroho Katika Maisha ya duniani.

April 21, 2023

Page 350: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

2Petro 1:3-4Tunaishi kwenye ulimwengu

ulioharibika sana kwasababu ya dhambi na uovu. Mtu wa Mungu akitaka kuishi kwa

ushindi na mafanikio katikati ya uharibifu huu, bila kuingia katika uovu (kujichafua), ni lazima iwe ni kwa nguvu za

Mungu tu.

KUTEMBEA KWA IMANI

April 21, 2023

Page 351: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

2Petro 1:3-43 Kwa kuwa Uweza wake wa uungu umetupatia (au nguvu zake za uungu zimetupatia)

mambo yote tunayohitaji kwa ajili ya uzima na uchaji wa Mungu, kwa kumjua Yeye

aliyetuita kwa utukufu Wake na wema Wake mwenyewe.

KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI

April 21, 2023

Page 352: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

2Petro 1:3-44 Kwa sababu hiyo, Mungu

ametukirimia ahadi zake kuu na za thamani, ili kwa kupitia hizo tupate kuwa washiriki wa tabia

za uungu, tukiokolewa na uharibifu (au upotovu) ulioko duniani kwa sababu ya tamaa.

KUTEMBEA KWA IMANI

April 21, 2023

Page 353: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Nguvu za Kiroho zikihusika au zikipambanishwa duniani,

(katika ulimwengu wa mwili) zinaweza kuleta mabadiliko

yafuatayo;April 21, 2023

Page 354: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

1. Zinaweza kuzisababisha kanuni za kimwili, zilizokataa kufanya kazi, ziweze kufanya kazi kama ilivyotegemewa.

(kama kawaida yake)April 21, 2023

Page 355: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

2.Zinaweza kuzisababisha kanuni za kimwili, zisizoweza

kufanya kazi, zipindishwe hata ziweze kufanya kazi katika hali

isivyotegemewa.(si kawaida yake)

April 21, 2023

Page 356: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

3. Zinaweza kuzisababisha kanuni za kimwili, zisizoweza kufanya kazi, zirukwe, hata jambo lifanyike bila kupitia

katika njia yake ya asili. (si kawaida yake)April 21, 2023

Page 357: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Mathayo 16:19, 18Maombi yana nguvu ya ajabu sana ya kuuagiza Mkono wa Mungu na kuuingiza kazini

Mkono wa MunguIsaya 45:11

April 21, 2023

Page 358: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Isaya 45:11 Kwa habari ya Kazi za Mikono yangu, haya niagizeni, haya niamuruni

April 21, 2023

Page 359: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBIMathayo 16:18-19

Mambo mtakayoyafunga ninyi duniani, ndipo yatakuwa

yamefungwa mbinguni; na mambo mtakayoyafungua

ninyi duniani, ndipo yatafunguliwa mbinguni

April 21, 2023

Page 360: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBA

Daniel 4:17Vijana 4 waliojua namna ya

kuuathiri ulimwengu wa roho, walisabababisha Mfalme wa nchi

kuwa kichaa kwa muda.April 21, 2023

Page 361: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBADaniel 4:17

Hukumu hii (juu yako Mfalme, kukufanya kichaa kwa muda) imekuja kwa agizo la Walinzi

(Waombaji) Isaya 62:7-11

April 21, 2023

Page 362: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBAYakobo 5:17-18

Nabii Eliya alipoathiri kanuni za kiroho kwa njia ya maombi,

mvua haikunyesha juu ya nchi, japo kulikuwa na kanuni zote

za kisayansi za mvua kunyesha.

April 21, 2023

Page 363: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBAYakobo 5:17-18

Baada ya miaka 3 na nusu ya ukame mkali, Nabii Eliya aliziathiri tena kanuni za

kiroho kwa njia ya maombi, na mvua ikanyesha juu ya nchi, na

nchi ikazaa matunda yake.April 21, 2023

Page 364: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBAKutoka 14:1-43

Baada ya Musa kuziathiri kanuni za kiroho kwa njia ya maombi, maji ya bahari yaligawanyika

na kusimama kama ukuta, kushoto na kulia, na Israeli wakapita juu ya nchi kavu.

April 21, 2023

Page 365: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBAKutoka 14:1-43

Baada ya Yesu kuziathiri kanuni za kiroho sawa sawa, kwa njia ya maombi, maji ya kawaida

yalibadilika na kuwa divai safi bila kutumia maabara.

April 21, 2023

Page 366: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBAMatendo 8:26-40

Baada ya kanuni za kiroho kuathiriwa ipasavyo, Filipo alinyakuliwa na Roho wa

Mungu na kutoweka mbele ya watu, na akatokea nchi

nyingine bila kutumia usafiri.April 21, 2023

Page 367: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani

lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.

April 21, 2023

Page 368: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kutembea juu ya maji, kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Mathayo 14:22-33Kanuni za kimwili hazikumzuia

kufanya alicholazimika kufanya.April 21, 2023

Page 369: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kugeuza maji kuwa divai (bila maabara), kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yohana 2:1-11Kanuni za kimwili hazikumzuia

kufanya alicholazimika kufanya.April 21, 2023

Page 370: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kumponya aliyekuwa na upofu, bila kumfanyia operation ya macho, kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Marko 8:23-25Kanuni za kimwili hazikumzuia

kufanya alicholazimika kufanya.April 21, 2023

Page 371: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kumfufua mtu aliyekufa na kuoza, kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yohana 11:17-53Kanuni za kimwili hazikumzuia

kufanya alicholazimika kufanya.April 21, 2023

Page 372: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kuingia ndani ya nyumba iliyofungwa bila

kupita mlangoni wala dirishani, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yohana 20:19-25/Luka 24:36-43Kanuni za kimwili hazikumzuia

kufanya alicholazimika kufanya.April 21, 2023

Page 373: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kuinuliwa na kupaa juu kwenda mbinguni,

(bila baloon) kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za

kawaida za kimwili.Matendo 1:6-11

Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.April 21, 2023

Page 374: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani

lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.

April 21, 2023

Page 375: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Na huu ndio utaratibu ambao Mungu alikusudia tuweze

kuutawala ulimwengu, pale kanuni za kimwili zinapotuzuia au

zinapokataa kufanya kazi kama tulivyotarajia (zinapotugomea).

April 21, 2023

Page 376: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa Roho

‘Amini Amini nawaambia, kila mtu aniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo, (miujiza) na yeye atazifanya, naam,

hata kubwa kuliko hizi atafanya; kwasababu nakwenda kwa baba

kuwaletea, Roho yule yule aliyeniwezesha mimi kufanya haya.

Yohana 14:12/16:7-8April 21, 2023

Page 377: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa Roho

Kwahiyo, si Yesu peke yake, hata binadamu wengine wa kawaida,

waliweza kufaya mambo ya ajabu duniani, kinyume na taratibu za kawaida za kimwili, na wakaishi maisha ya ushindi na mafanikio

duniani, bila kuzuilika.Yohana 14:12/16:7-8

April 21, 2023

Page 378: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Musa aliweza kufungua bahari ya Shamu na watu millioni 2

wakapita katika nchi kavu, katikati ya ghorofa mbili za maji kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida

za kimwili.Kutoka 14:1-31

Kanuni za kimwili hazikumzuia.April 21, 2023

Page 379: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Musa aliweza kutoa maji kutoka kwenye mwamba na watu millioni 2 na wanyama wao, wote

wakanywa na kutosheka kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Kutoka 17:1-7Kanuni za kimwili hazikumzuia.

April 21, 2023

Page 380: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Joshua aliweza kusimamisha mzunguko wa dunia

hata jua likasimama mpaka walipomaliza shughuli yao kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Joshua 10:12-15Kanuni za kimwili hazikumzuia.

April 21, 2023

Page 381: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Eliya aliweza kuzuia mvua kwa miaka mitatu japo

kulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya kuruhusu mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.

April 21, 2023

Page 382: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa Roho

Na ndio maana pia aliweza kurudisha mvua juu ya nchi, japo hakukuwa na

kanuni za kimwili za kuruhusu (kusababisha) mvua kunyesha, kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.

April 21, 2023

Page 383: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Petro aliweza kumponya kilema katika mlango wa hekalu, bila operation ya miguu (kama Yesu), kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Matendo 3:1-16Kanuni za kimwili hazikumzuia.

April 21, 2023

Page 384: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Filipo aliweza kusafiri kwa kupaa na kunyakuliwa

(kutoweka) kama Yesu, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za

kawaida za kimwili.Matendo 8:26-40

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

April 21, 2023

Page 385: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani

lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.

April 21, 2023

Page 386: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Maombi yalimwezesha Bwana Yesu, kuwa na uwezo katika maneno yake, uwezo ulimwezesha kuumiliki na kuutawala ulimwengu wa

mwili kwa nguvu za kiroho, kama alivyotaka yeye!April 21, 2023

Page 387: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na Bwana Yesu akatuambia, tusimshangae yeye kwa

alichofanya, kwasababu hata na sisi, tuna uwezo huo huo wa kiroho, ndani yetu, wa

kutawala na kubadilisha mambo yanayotuzunguka.April 21, 2023

Page 388: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa kutumia Nguvu za kiroho, yaani ile Sura na

Mfano wa Mungu zilizowekezwa ndani yetu,

tuna uwezo mkubwa sana wa kumiliki na kutawala

mazingira na mambo yetu.April 21, 2023

Page 389: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Maombi ni namna mojawapo ya kufungulia

Nguvu za Mungu zilizo ndani yetu, ili kuzipambanisha na

mambo ya mwili, yaliyogoma kufanya kazi vile

ilivyotakiwa.April 21, 2023

Page 390: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Maombi yalimwezesha Bwana Yesu, kuwa na uwezo katika maneno yake, uwezo ulimwezesha kuumiliki na kuutawala ulimwengu wa

mwili kwa nguvu za kiroho, kama alivyotaka yeye!April 21, 2023

Page 391: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Mathayo 16:19, 18Maombi yana nguvu ya ajabu sana ya kuuagiza Mkono wa Mungu na kuuingiza kazini

Mkono wa MunguIsaya 45:11

April 21, 2023

Page 392: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Isaya 45:11 Kwa habari ya Kazi za Mikono yangu, haya niagizeni, haya niamuruni

April 21, 2023

Page 393: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Na ndio maana Mungu anatuambia katika Neno lake kwamba,

‘tusijisumbue kwa jambo lolote maishani, bali katika kila jambo,

tusali na kuomba na kushukuru...’ (Wafilipi 4:6-7)

April 21, 2023

Page 394: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUNi kwa Nguvu za Mungu,

Mashujaa wa imani waliweza kufanya mambo makubwa na

miujiza ya ajabu sana, hata wakaweza kuyatawala

mazingira yao, bila kuzuiliwa na chochote. (Mwa 1:26-28)

April 21, 2023

Page 395: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Yohana 14:12

‘Amini Amini nawaambeni, kila mtu aniaminiaye mimi, kazi (za ushindi) ninazozifanya, na yeye atazifanya, naam hata kubwa

kuliko hizo, atafanya, kwasababu mimi nakwenda

kwa Baba’.April 21, 2023

Page 396: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 14:12‘… Kila aniaminiaye mimi,

ataushinda ulimwengu kama mimi nilivyoshinda, kwasababu

mimi nakwenda kwa Baba, kuwaletea Roho Mtakatifu,

aliyeniwezesa mimi kushinda’.April 21, 2023

Page 397: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Kanuni za Maisha ya UshindiYohana 16:33, Yohana 14:12‘Ulimwenguni mnayo dhiki, lakini jipeni moyo, kwakuwa

Mimi nimeushinda ulimwengu.’‘Kwahiyo kila aniaminiye Mimi,

naye ataushinda ulimwengu kama Mimi nilivyoushinda’.April 21, 2023

Page 398: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4

Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili

utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala

ulimwengu wa roho kwanza.April 21, 2023

Page 399: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3

Huu ndio Utaratibu wa Mungu katika kuitawala dunia;

kwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kimwili, sharti yafanyike kwanza

katika ulimwengu wa kiroho.April 21, 2023

Page 400: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18

Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vitu

visiyoonekana (vya kiroho) kwani hivyo ndivyo vya milele

(vya kudumu).April 21, 2023

Page 401: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Kanuni za kiroho za UshindiUlimwengu wa roho ndio unaotawala Ulimwengu wa mwili. Kwahiyo, hakuna kitu

kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwili, mpaka kwanza kimefanyika katika

Ulimwengu wa Roho.April 21, 2023

Page 402: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3 Kwasababu hiyo,

Kanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual

Principles).April 21, 2023

Page 403: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

SADAKA NA IBADA KWA MUNGU

Mtu yeyote, hataweza kufanikiwa duniani kwa asilimia 100%, bila ya kufuata kanuni hii

kuu ya uumbaji wa Mungu duniani.

April 21, 2023

Page 404: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBA

Silaha za Vita Vyetu

Waefeso 6:10-182Wakorintho 10:3-5

April 21, 2023

Page 405: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Waefeso 6:10-13-18‘Iweni hodari katika Bwana, na katika Uweza wa Nguvu zake. Vaeni silaha zote za Mungu ili

muweze pupambana na hila za mwovu shetani.

April 21, 2023

Page 406: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Waefeso 6:10-13-18

‘Kwa maana kushindana kwetu sisi, si juu ya damu na nyama (si vita vya kimwili) bali vita yetu ni ya kupambana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza

na majeshi ya pepo wabaya, katika ulimwengu wa roho.

April 21, 2023

Page 407: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

‘Ingawa tunaenenda kimwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili,

silaha zetu zina nguvu katika Mungu (roho), tukiteka nyara mawazo na fikra na kila kitu

kinachojiinua kinyume na elimu ya Bwana wetu Yesu Kristo.

2Wakorintho 10:3-5

April 21, 2023

Page 408: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Waefeso 6:10-13-18

‘Simameni hali mmevaa, Chapeo ya Wokovu, Dirii ya Haki,

Mkanda wa Kweli, Viatu vya Utayari wa kupeleka Injili ya

Yesu Kristo; Simameni mkiwa na Ngao ya Imani na Upanga wa

Roho ambao ni Neno la Mungu.April 21, 2023

Page 409: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBA

Silaha za Vita Vyetu

Waefeso 6:10-182Wakorintho 10:3-5

April 21, 2023

Page 410: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Kwahiyo;Mtu wa mungu anapokwenda

rohoni, ni lazima ajue kwamba, atakutana na adui shetani

anayetawala eneo lake (eneo linaloombewa)

April 21, 2023

Page 411: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Hivyo basi, inampasa mtu wa Mungu anayetaka kuleta mabadiliko, ajue namna ya kupigana na adui shetani

juu ya maeneo anayoyaombea.Waefeso 6:12, 10-11,13

April 21, 2023

Page 412: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBASilaha za Vita Vyetu

Aina kuu 2 za silaha

1. Silaha za Ulinzi (mst.11)2. Silaha za Kupiga (mst.13)

Waefeso 6:12, 10-11,13

April 21, 2023

Page 413: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBA

1. Silaha za Ulinzi(Kujilinda) (Waefeso 6:13)

April 21, 2023

Page 414: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)a) Kofia ya Chuma kichwani

(WOKOVU)Kwenda rohoni / vitani wakati

hujaokoka, ni kama kwenda vitani bila kofia ya chuma

(Warumi 10:9-10, Mdo 19:8-20) April 21, 2023

Page 415: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)

b) Gamba la chuma kifuani (UTAKATIFU)

Kwenda rohoni / vitani wakati hauishi maisha matakatifu, ni

kama kwenda vitani ulinzi kifuani. (1Pet 1:15-16, Kumb 23:14)

April 21, 2023

Page 416: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)c) Mkanda wa Kweli kiunoni

(NENO LA KUIMARISHA)Kwenda rohoni / vitani wakati huna

maneno ya kukuimarisha, ni kama kuvaa gwanda bila mkanda. (Yohana 17:17, Kolosai 3:16)

April 21, 2023

Page 417: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)

d) Mabuti ya Utayari Miguuni (UTAYARI + UJASIRI)

Kwenda rohoni / vitani wakati huna ujasiri, ni kama kwenda vitani bila

mabuti ya jeshi/kazi. (2Timotheo 4:2, 2Timotheo 1:7) April 21, 2023

Page 418: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBA1. Silaha za kujilinda (mst.11)e) Ngao ya Imani mkononi

(UHAKIKA)Kwenda rohoni / vitani wakati huna

uhakika (imani), ni kama kwenda vitani bila ngao mkononi.

(Ebrania 11:1, 6, Mark 11:20-24) April 21, 2023

Page 419: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBA

2. Silaha za Kupiga(Kushambulia)

(Waefeso 6:13)

April 21, 2023

Page 420: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

a) JINA LA YESU Wafilipi 2:9-10, Marko 16:16-20Jina la Yesu lina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, ndilo

Jina kuu zaidi, jina la Baba.Yoh 17:6,11

April 21, 2023

Page 421: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

b) NENO LA YESU Waebrania 4:12, Waefeso 6:17Neno la Yesu lina nguvu zote na

mamlaka yote kwasababu, Neno ni Bwana Yesu mwenyewe.

Yoh 1:1-4April 21, 2023

Page 422: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

c) DAMU YA YESU Ufunuo 12:11, Waefeso 1:7

Damu ya Yesu ina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Damu

ya Yesu ina Roho wa Yesu.Walawi 17:14

April 21, 2023

Page 423: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

d) ROHO WA YESU 2Wathesalonike 2:8, Yeremia 51:1Roho wa Yesu ana nguvu zote na

mamlaka yote kwasababu, Roho wa Yesu ni Uhai wa Mungu1 Wakorintho 2:11-12

April 21, 2023

Page 424: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBA2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

e) JESHI LA MALAIKA WA YESU Ufunuo 19:10, Mathayo 26:52-53Malaika wa Yesu wana nguvu na

mamlkaka juu ya mashetani, ikiwa tu watapewa maagizo

Ufunuo 12:7-10, Zab 34:7, Zab 91April 21, 2023

Page 425: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Mathayo 16:18-19 ‘Milango ya kuzimu haitaweza

kulishinda kanisa nililojenga; na mambo yoyote mtakayoyafunga au mtakayofungua duniani, yatakuwa

yamefungwa na kufunguliwa mbinguni (ulimwengu wa roho).

April 21, 2023

Page 426: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Luka 10:19 Tazama, nimewapa mamlaka yote

ya kukanyaga nge (nguvu ya maumivu) na nyoka (nguvu ya uasi)

na nguvu zote za yule adui (waganga, wachawi, nk); na wala hakuna kitu kitakachowadhuru.

April 21, 2023

Page 427: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Yeremia 1:9-10 Tazama, nimekuweka leo juu ya

falme na juu ya mamlaka, ili kuvunja, kubomoa, kuharibu, na

kung’oa, kisha nimekuweka ili kujenga na kupanda.

April 21, 2023

Page 428: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Yeremia 51:20 Wewe ni rungu langu la vita; kwa kukutumia wewe, nitavunja-vunja

falme na nitavunja-vunja mamlaka.(kwakuwa nimekuweka juu ya

falme na juu ya mataifa)(Yeremia 1:9-10)April 21, 2023

Page 429: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Ufunuo 5:8-10 Watu walionunuliwa kwa damu ya

Mwana-kondoo Yesu Kristo, wamefanyika Wafalme na Makuhani; nao wamepewa

kumiliki na kutawala juu ya nchi (katika ulimwengu wa mwili).

April 21, 2023

Page 430: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Kwahiyo; Wewe usipokuwa na nidhamu ya

kwenda rohoni kwa njia ya maombi, kumbuka kwamba, adui

yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetaka

kabisa yakupate. April 21, 2023

Page 431: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBA

5. NGUVU YA MAOMBINamna unavyoweza

Kuuathiri Ulimwengu wa Roho hata kubadilisha Ulimwengu wa mwili.

April 21, 2023

Page 432: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Kwa Mfano wa

Maombi ya Eliya, Kufunga na Kufungulia Mvua

Yakobo 5:16-18

April 21, 2023

Page 433: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Kwa Mfano wa

Maombi ya Daniel, Kufungulia Ukombozi wa Taifa

Daniel 10:11-14, 20

April 21, 2023

Page 434: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Kwa Mfano wa

Yesu na Mti MtiniMarko 11:12-14, 20-24

April 21, 2023

Page 435: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Marko 11:12-14, 20-24

12 Kesho yake walipokuwa wakitoka Bethania, Yesu alikuwa na

njaa.

April 21, 2023

Page 436: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Marko 11:12-14, 20-2413 Alipouona mtini kwa mbali,

akaenda ili aone kama ulikuwa na matunda. Alipoufikia, akakuta una

majani tu, kwa kuwa hayakuwa majira ya tini.

April 21, 2023

Page 437: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Marko 11:12-14, 20-2414 Yesu akauambia ule mti, ‘‘Tangu leo mtu ye yote na asile matunda kutoka kwako tena.’’ Wanafunzi Wake walimsikia akisema hayo.

April 21, 2023

Page 438: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Marko 11:12-14, 20-2420 Asubuhi yake, walipokuwa wakipita, wakauona ule mtini

umenyauka kutoka juu hadi kwenye mizizi yake.

April 21, 2023

Page 439: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Marko 11:12-14, 20-2421 Petro akakumbuka na

kumwambia Yesu, “Mwalimu, tazama! Ule mtini ulioulaani

umenyauka!

April 21, 2023

Page 440: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Marko 11:12-14, 20-2422 Yesu akawajibu akawaambia,

“Mwaminini Mungu. 23 Amin, amin nawaambia, mtu ye yote

atakayeuambia mlima huu ‘Ng’oka ukatupwe baharini,’…

April 21, 2023

Page 441: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBIMarko 11:12-14, 20-24

23 …wala asione shaka moyoni mwake, bali aamini kwamba hayo

asemayo yametukia, yatakuwa yake. 24 Kwa sababu hiyo

nawaambia, yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba

mnayapokea nayo yatakuwa yenu. April 21, 2023

Page 442: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBIMarko 11:20-24

23 … asione shaka moyoni mwake, bali aamini kwamba hayo asemayo

yametukia, yatakuwa yake.

Sasa Baadaye

April 21, 2023

Page 443: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBIMarko 11:20-24

24 yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba

mnayapokea nayo yatakuwa yenu.

Sasa Baadaye

April 21, 2023

Page 444: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Maombi ni namna mojawapo ya kufungulia

Nguvu za Mungu zilizo ndani yetu, ili kuzipambanisha na

mambo ya mwili, yaliyogoma kufanya kazi vile

ilivyotakiwa.April 21, 2023

Page 445: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Maombi yalimwezesha Bwana Yesu, kuwa na uwezo katika maneno yake, uwezo ulimwezesha kuumiliki na kuutawala ulimwengu wa

mwili kwa nguvu za kiroho, kama alivyotaka yeye!April 21, 2023

Page 446: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na Bwana Yesu akatuambia, tusimshangae yeye kwa

alichofanya, kwasababu hata na sisi, tuna uwezo huo huo wa kiroho, ndani yetu, wa

kutawala na kubadilisha mambo yanayotuzunguka.April 21, 2023

Page 447: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa kutumia Nguvu za kiroho, yaani ile Sura na

Mfano wa Mungu zilizowekezwa ndani yetu,

tuna uwezo mkubwa sana wa kumiliki na kutawala

mazingira na mambo yetu.April 21, 2023

Page 448: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Umuhimu na Ulazima wa Nguvu za Kiroho Katika Maisha ya duniani.

April 21, 2023

Page 449: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

2Petro 1:3-4 Tunapambana na adui mwenye

nguvu sana. Pasipo Nguvu za Mungu, mtu wa Mungu

hataweza kuleta mabadiliko mazuri katika maisha yake na

kumwezesha kuishi maisha mazuri na ya ushindi, ili kuwa

chombo kizuri cha ibada.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

April 21, 2023

Page 450: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHONi Ukweli wa kanuni ya Mungu

kwamba, ‘huwezi kutawala vizuri ulimwengu wa mwili,

kama huna mamlaka na nguvu za kiroho (ulimwengu wa roho).

Zab 8:4-8, Mwa 1:26-28 April 21, 2023

Page 451: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KWANINI ROHO MTAKATIFUNa ndio maana, hata kwa sisi Kanisa, Mungu ametupa Roho

wake Mtakatifu, ili tuweze kusababisha mabadiliko ya

ushindi maishani mwetu, kwa msaada wa Nguvu za kiroho

(Nguvu za ajabu).April 21, 2023

Page 452: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

NGUVU YA MAOMBI Namna ya Kuuathiri

Ulimwengu wa roho kwa njia ya maombi.

April 21, 2023

Page 453: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHONguvu za Kiroho zikihusika au

zikipambanishwa duniani, (katika ulimwengu wa mwili) zinaweza kuleta mabadiliko

makubwa, hata kama hilo jambo haliwezekani kanuni za ulimwengu wa kimwili.

April 21, 2023

Page 454: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Nguvu Nguvu Za za Kimwili Vs Kiroho (Natural (Spiritual Principles) Principles)

April 21, 2023

Page 455: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

1.Kufunga Mambo unayotaka yafungike

Mathayo 16:18-19Yakobo 5:16-18

April 21, 2023

Page 456: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

2. Kufungua Mambo unayotaka yafunguke

Mathayo 16:18-19Yakobo 5:16-18

April 21, 2023

Page 457: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

3. Kuua Kufisha Mambo unayotaka yafe kabisa

Marko 11:12-14‘tangu leo mtu asile matunda kwako’

(Kuanzia leo Ufe kabisa)

April 21, 2023

Page 458: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

4. Kuhuisha / Kufufua Mambo unayotaka yafufuke

Yohana 11:11-15‘Lazaro, rudi katika uhai wako tena’

Ezekieli 37:1-14

April 21, 2023

Page 459: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

5. Kuhamisha Nyakati/MatukioMarko 13:14-19

‘Ombeni kukimbia kusiwe wakati wa baridi (kuwe wakati wa joto)’Yohana 2:1-11, Isaya 38:1-5

April 21, 2023

Page 460: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1-5/13:8)

April 21, 2023

Page 461: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1-5/13:8)b)Ya Sasa (Dan 1:17-20/17-24)

April 21, 2023

Page 462: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

6. Kujua Mambo yaliyojifichaa)Yaliyopita (Ufu 5:1-5/13:8)b)Ya Sasa (Dan 1:17-20/17-24)c)Yajayo (Isa 9:6/Dan 7:13-14,17)

April 21, 2023

Page 463: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI

7. Kuwa sehemu 2 wakati mmoja

1Wakorintho 5:3-4Ingawa sipo nanyi kimwili, lakini mjue kwamba nipo nanyi kiroho

Wafalme 5:14-27 April 21, 2023

Page 464: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI Tukijua siri hii ya maombi, jinsi

yanavyoweza kubadilisha ulimwengu wa roho,

tutajibidiisha kuomba, ili kuleta mabadiliko tunayotamani

kuyaona katika maisha yetu, duniani.

April 21, 2023

Page 465: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo;Kila mtu amwaminiye Yesu Kristo,

kama Bwana na Mwokozi wake, ana Roho Mtakatifu wa Mungu ndani

yake; kwahiyo, ana chanzo cha Nguvu za Mungu ndani yake.

April 21, 2023

Page 466: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kwamba roho yako ndiyo inayotumiwa na

Mungu kuachilia nguvu zake, kutakufanya uwe mtu mwoga na

dhaifu maisha;

April 21, 2023

Page 467: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katika kukabiliana na maisha ya kila

siku, yaliyojaa kila aina ya upinzani na vita dhidi ya mtu wa

Mungu.April 21, 2023

Page 468: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kuzima utendaji kazi wa ngvu za Mungu maishani mwako; nawe

utaishi chini ya kiwango cha mtoto wa Mungu (yaani maisha ya

kushindwa na kuzuilika)April 21, 2023

Page 469: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Kutokujua (Kutokuwa na ufahamu huu) watu wa Mungu

wengi wamezuia utendaji kazi wa nguvu za Mungu kutoka ndani yao, na Nguvu kubwa sana za

Mungu zimebaki ndani yao zimelala (hazijatumika).

April 21, 2023

Page 470: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na matokeo yake ni kwamba, watu wa Mungu wengi wanaishi

maisha ua kuhangaika na wanatumia muda mwingi na gharama kubwa, kukimbia-

kimbia kushoto na kulia kutafuta msaada wa mbali …

April 21, 2023

Page 471: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

wakati ndani yao wameacha msaada ulio karibu; kwani Nguvu

nyingi sana au Nguvu kubwa sana za Mungu zimebaki ndani

yao, zimelala bila kutumika.(Hosea 4:6, Warumi 10:2)

April 21, 2023

Page 472: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Mungu anasema ‘watu wangu wanaangamia kwa

kukosa maarifa’.(Hosea 4:6)

April 21, 2023

Page 473: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Biblia inasema; ‘watu wa Mungu, wana bidii sana katika Bwana, lakini si

katika maarifa’.(Warumi 10:2)

April 21, 2023

Page 474: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana, inasema kwamba, tunatakiwa

kufundishwa na kufundishika, ili tupate maarifa na tukue kiroho mpaka kufika katika cheo cha

Bwana wetu Kristo Yesu. (Waefeso 4:11-15)

April 21, 2023

Page 475: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11-15Kwa huduma mbalimbali ambazo

Bwana Yesu ameziweka katika kanisa, sisi waumini, tunatakiwa kufundishwa na kufundishika …

April 21, 2023

Page 476: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11-15… ili tukue kiroho mpaka kufika katika cheo cha Bwana Yesu na kutembea na Nguvu za Mungu duniani, bila kuzuiliwa na kitu

chochote.April 21, 2023

Page 477: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11-14

11 Yeye ndiye aliyeweka wengine kuwa mitume, na wengine kuwa

manabii, wengine kuwa wainjilisti, na wengine kuwa

wachungaji na wengine kuwa waalimu,

April 21, 2023

Page 478: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11-14

12 kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu kwa ajili ya kazi za huduma, ili kwamba mwili wa

Kristo upate kujengwa na kuimarika.

April 21, 2023

Page 479: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11-1414 Ili tusiwe tena watoto

wachanga, tukitupwatupwa huku na huku na kuchukuliwa na kila upepo wa mafundisho kwa hila

za watu, kwa ujanja, kwa kufuata njia zao za udanganyifu.

April 21, 2023

Page 480: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11-14

13 … bali tufundishike na kukua kiroho, mpaka sisi sote

tutakapoufikia kipimo cha ukamilifu wa Kristo.

April 21, 2023

Page 481: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11-14Kwahiyo, Nguvu za Mungu

zilizowekwa ndani yako, zinatosha kabisa kukuwezesha kuishi duniani,

katika kiwango cha ushindi na mafanikio, kama kile kile cha Bwana

Yesu, bila kuzuiliwa na kitu chochote. April 21, 2023

Page 482: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni hizi tunazojifunza, zikiwekwa kwa pamoja ndani yetu (rohoni), katika kiwango kinachotakiwa,

zitasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za

Mungu unazozihitaji kwa ajili ya maisha ya ushindi duniani.

April 21, 2023

Page 483: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2O20 Atukuzwe Mungu, yeye

awezaye kutenda mambo ya ajabu mno (yasiyopimika)

kuliko yote tunayo-yawaza au tunayoyaomba …

April 21, 2023

Page 484: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2O20 … Mungu anaweza kutenda mambo yote, kwa kadiri (kwa kiwango au kwa kipimo) cha

Nguvu zake kinachotenda kazi ndani yetu.

April 21, 2023

Page 485: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu, Bidii, Stamina na Nidhamu ya kimaombi

April 21, 2023

Page 486: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu ya Maombi, Bidii ya Maombi, Stamina ya Maombi Nidhamu ya kimaombi April 21, 2023

Page 487: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu

Kwa Mfano wa MusaKut 24:1-18

Kut 34:29-35April 21, 2023

Page 488: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu

Kwa Mfano wa JoshuaKut 24:1-18/32:9-19

Kut 33:7-11 April 21, 2023

Page 489: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika

uwepo wa MunguKutoka 24:1-18/32:9-19

Wazee walishindwa kumsubiri Musa katika maombi, lakini

Joshua aliweza kukaa siku zote 40.

April 21, 2023

Page 490: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika uwepo

wa MunguKutoka 33:7-11

Mzee Musa alichoka kuomba, akaondoka katika hema, lakini Joshua alikaa katika uwepo wa

Mungu hata kwa muda wa ziada . April 21, 2023

Page 491: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika

uwepo wa Mungu

Bidii na Nidhamu katika mambo ya Mungu, inalipa.

(Inakupa kibali mbele za Mungu) April 21, 2023

Page 492: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua 3:77 Ndipo BWANA akamwambia

Yoshua, “Leo nitaanza kukutukuza machoni pa Israeli

yote, ili wapate kujua kuwa niko pamoja nawe kama nilivyokuwa

pamoja na Mose. (Nitafungua maji ya mto Jordan mbele yako)

April 21, 2023

Page 493: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu

Kwa Mfano wa Mfalme DaudiZab 63:1-3Zab 27:4

April 21, 2023

Page 494: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Bwana Yesu alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa

katika uwepo wa MunguNa ndio maana, bidii yake na

nidhamu katika mambo ya Mungu, ilikuwa inamlipa.

(Inampa kibali mbele za Mungu) April 21, 2023

Page 495: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu ya Kukaa na Mungu

Kwa Mfano wa Bwana YesuMath 14:22-23Luka 6:12,17-19

April 21, 2023

Page 496: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Nyakati 16:99 Macho ya Bwana yanakimbia-kimbia duniani mwote, yakitafuta mtu aliyekamilika moyo, ili Mungu

ajionyeshe kwamba yeye ni mwenye nguvu, kupitia mtu huyo.

April 21, 2023

Page 497: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu Wengi wana Kiu, lakini hawana;Nguvu za kuomba muda mrefu.

Hebu tumwombe Mungu atupe nguvu mpya, ili tuweze kuomba

kwa muda mrefu. Luka 22:40-46

April 21, 2023

Page 498: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu Bwana Yesu alipochoka kuomba, Mungu alimtia nguvu mpya ili azidi

kuomba mpaka kuvuka jaribu alilokuwa nalo. Hebu nasisi

tumwombe Mungu atupe nguvu mpya, ili tuweze kuomba kwa muda

mrefu, ili tuvuke na kushinda. Luka 22:40-46

April 21, 2023

Page 499: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa Mungu

maishani mwako, unategemea sana kiwango

cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yako.

April 21, 2023

Page 500: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHONguvu za Kiroho zikihusika au

zikipambanishwa duniani, (katika ulimwengu wa mwili) zinaweza kuleta mabadiliko

makubwa, hata kama hilo jambo haliwezekani kanuni za ulimwengu wa kimwili.

April 21, 2023

Page 501: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Nguvu Nguvu Za za Kimwili Vs Kiroho (Natural (Spiritual Principles) Principles)

April 21, 2023

Page 502: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11-14Kwahiyo, Nguvu za Mungu

zilizowekwa ndani yako, zinatosha kabisa kukuwezesha kuishi duniani,

katika kiwango cha ushindi na mafanikio, kama kile kile cha Bwana

Yesu, bila kuzuiliwa na kitu chochote. April 21, 2023

Page 503: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUBasi …

Tengeneza au ZalishaKIWANGO

cha kutosha cha Nguvu za Mungu

Ndani yakoApril 21, 2023

Page 504: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

5. Kumwagika

Kiwango, Kipimo, Ujazo April 21, 2023

Page 505: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)

Joto Hewa (Heat) (Oxygen)

MOTO

April 21, 2023

Page 506: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwasababu …Utendaji kazi wa mkono wa

Mungu maishani mwako, unategemea sana kiwango

cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yako.

April 21, 2023

Page 507: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni hizi tunazojifunza, zikiwekwa kwa pamoja ndani yetu (rohoni), katika kiwango kinachotakiwa,

zitasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za

Mungu unazozihitaji kwa ajili ya maisha ya ushindi duniani.

April 21, 2023

Page 508: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KANUNI ZA KIROHO Ni mambo ambayo, tukiyaweka

kwa pamoja ndani yetu (rohoni), yatasababisha Roho

Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.

April 21, 2023

Page 509: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHO

Watu wa Mungu wakielewa, nafasi ya kanuni za kiroho

katika maisha yao, wataweka bidii na nidhamu ya kuishi

katika maisha yanayotimiza kanuni za kiroho.

April 21, 2023

Page 510: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

KANUNI ZA KIROHOKanuni hizi tulizojifunza, zilete

mabadiliko katika mfumo wa maisha yako na kukuwezesha

kuzalisha Nguvu za Mungu zinazohitajika kukupa maisha ya Ushindi na kukuwezesha

kuwa chombo kizuri cha kumsifu na kumwabudu yeye.April 21, 2023

Page 511: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

NGUVU YA MAOMBI

Asanteni!

April 21, 2023

Page 512: VITA VYA KIROHO Mapambano na Nguvu za giza Kuteka Baraka zetu kwa Vita

Kwa mawasiliano zaidi,Mwl. Mgisa Mtebe

(Christ Rabbon Ministry)

Dar es Salaam, Tanzania.+255 713 497 654+255 783 497 654

[email protected]

April 21, 2023