Top Banner
Uanafunzi Unaozingatia Theologia Mwongozo wa kuwafundishia wazazi na viongozi wa makanisa Mwandishi: Tammie Friberg Mfasiri: Alfred Mtawali Mchora picha: Beutyani Mimi Cheung
64

Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Jan 18, 2020

Download

Documents

dariahiddleston
Welcome message from author
This document is posted to help you gain knowledge. Please leave a comment to let me know what you think about it! Share it to your friends and learn new things together.
Transcript
Page 1: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Uanafunzi UnaozingatiaTheologia

Mwongozo wa kuwafundishia wazazi na viongozi wa makanisa

Mwandishi: Tammie FribergMfasiri: Alfred Mtawali

Mchora picha: Beutyani Mimi Cheung

Page 2: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Maandiko yote yamenukuliwa kutoka katika Biblia ya UBS Habari Njema na UBS Union Version.

Hakimiliki © 2007-2009 Tammie Friberg na Beutyani Mimi Cheung. Haki zote zimehifadhiwa. Mtu yeyote anaruhusiwakunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injilina kuwafanya watu kuwa wanafunzi wa Yesu ili kuupanua Ufalme Wa Mungu. Mtu anayenakili haruhusiwi kuuza aukujiletea faida ya kifedha kwa njia yoyote ile.

Page 3: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Yaliyomo

Jinsi ya Kutumia Mwongozo Huu

Msingi wa Mafundisho Ya Kimsingi

Masomo Ya Uanafunzi:

1 Mungu na Uumbaji Wake wa Kiroho.

2 Mungu na Uumbaji Wake wa Vitu Vionekanavyo.

3 Jinsi Mungu Anavyowasiliana na Wanadamu.

4 Sheria za Mungu kwa ajili ya kuishi: Amri Kumi.

5 Falme Mbili

6 Yesu Ndiye Jibu

7 Upatanisho wa Mungu na Wanadamu

8 Jinsi ya Kutambua Dini za Uongo

9 Ukuaji wa Kiroho wa Kibinafsi na Vita Vya Kiroho

10 Kufuata Njia ya Mungu, Kuishi Maisha ya Kiungukatika Jamii

11 Neema Ya Mungu, Uwakili Wetu

12 Ufalme Ujao

Page 4: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya
Page 5: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 1

Jinsi ya Kutumia Mwongozo Huu

Kauli Ya Lengo la Kitabu HikiKitabu cha Uanafunzi Unaozingatia Theologia kiliandikwa kwa lengo la kuwatia nguvu waamini wa kila rika,kupitia kwa mafundisho ya Biblia yanayotumia picha. Mwongozo huu ni muhtasari wa mafundisho makuu ya dinina masomo ya kiroho kama yalivyoandikwa katika Biblia.. Mwongozo huu unatoa mtazamo wa Biblia, kwa hiyounafaa katika kuweka msingi thabiti wa Kibiblia kwa ajili ya makanisa na familia. Unasaidia kung’oa mizizi yamchanganyiko wa mafundisho ya Kikristo na ya dini za kitamaduni yaani syncretism kwa kutoa msingi thibiti waKibilia ambao kwa huo imani za Kikristo zinaweza kujengwa. Mwongozo huu lengo lake si kuchukua mahali pausomaji wa kila siku wa Biblia, lakini ni kutoa msingi wa kuwezesha watu kujifunza Maandiko kwa ukamilifu.Unafaa watu wa umri wowote ule na viwango vyovyote vya ukomavu wa kiroho.

Mwongozo Wenye Picha wa Uanafunzi Unaozingatia Theologia. Mwongozo huu wa picha unapaswa kutumiwawakati unapofundisha kama picha ya kuwasaidia wanafunzi kufuata na kuelewa mafundisho vizuri. Unaweza piakuwafundisha wengine jinsi ya kuchora picha hizi kwa kutumia michoro ile iliyorahisishwa. Kwa njia hii zinawezakutolewa katika utamaduni wowote ule, na pia zinaweza kutumiwa ulimwenguni kote kufundisha mafundisho hayapasipo kutumia vitabu vyenyewe. Hata hivyo, ni muhimu kutumia Maandiko kama msingi wa kufundishia kila sura,hii ni kwa sababu Maandiko yana mamlaka ya Mungu.

Maelekezo ya KufundishaKila somo limechorewa picha, maelezeo mafupi ya jinsi hiyo picha inavyoweza kutumika kufundishia katika kilamadaau kichwa cha somo, na chati yenye maelezo ya kukusaidia kuandaa mafundisho yako ya Biblia. Mafundisho kamiliya Biblia hayajaandikwa, hii ni kwa sababu kitabu hiki lengo lake ni kuwa kifaa ambacho kutoka kwacho unawezakutengeneza masomo yako mwenyewe kulingana na mahitaji na kiwango cha ukomavu wa kiroho wa kundi lako.

Ni vizuri kukariri mtiririko wa kila somo mapema na kuwafunza mara kwa mara. Kwa kila somo, hakikishaunachora zile picha zilizo rahisi kuchora. Unapoendelea mbele na masomo mengine, fanya marudio ya yaleyaliyopita. Katika marudio hayo unaweza kuongeza habari mpya kila wakati, huku ukifundisha kwa kwa kinakabIsaya Kwa watoto wadogo, ni vyema kufundisha somo lile lile tena na tena hadi pale watakapoonyesha kwambawanaelewa zile picha. Hivi ndivyo ilivyo hata kwa viwango vya watu wazima. Nyingi ya sura hizi zinapaswakufundishwa kwa muda mrefu ili kuweza kufikia kile kina na kuelewa kunakohitajika. Kurudia yale masomoyaliyokwisha tangulia ni muhimu sana.

Unapokuwa ukiwafundisha, waombe wachore zile picha zilizo rahisi. Watie moyo kuwafundisha mambo hayamajumbani kwao, kuwafundisha watoto, na watu wengine. Jinsi Bwana anavyotusaidia kuwafanya watu kuwawanafunzi wa Yesu, kitabu hiki ni nyenzo nzuri ya kufundishia mafundisho ya Biblia kwa haraka, na kuweka msingiwa ukuaji wa kiroho. Mwongozo huu pia utasaidia kuwaepusha watu na mchanganyiko wa imani ya Kikristo na ileya kitamaduni na vile vile kuepuka mafundisho ya uwongo.

Mwongozo huu unafuata vizuri mtindo wa Masimulizi Ya Hadithi Kufuatana na Wakati, kwa maana unatumiahadithi kufundisha mafundisho ya Biblia. Picha hizi na mafundisho zinaweza kufaa katika sehemu ambazo kunawatu wengi wasiojua kusoma na kuandika. Picha zinaweza kufundishwa kisha wale waliofundishwa wanawezakuchukua picha hizi na kwenda nazo kwenye vijiji vyao na kuwafundishia wengine. Mtindo huu ni maarufu sanahasa kwa watu wa makabila yaliyozea kwakilisha imani zao kwa njia ya picha na alama fulani.

Mungu akubariki unapojifunza Neno la Mungu.

Page 6: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 2

Msingi wa Mafundisho Ya Kimsingi

Mungu

Kuna Mungu mmoja wa kweli, muumba vyote na mtunzaji wa mbingu na nchi, Mungu aliyejifunua kwetu kama Baba, Mwana,na Roho Mtakatifu, wakiwa na sifa tofauti, lakini bado ni mmoja kiasili. Mungu ni mtakatifu na tumetengwa naye, na wakatihuo huo ni mwenye upendo na anatafuta kuwa na uhusiano wa kibinafsi nasi. Mungu nu roho na anapenda kuabudiwa kiroho,yeye vile vile ni ndiye kweli, kwa hiyo anapaswa kuabudiwa kwa njia ya kweli.

Ufunuo

Mungu amajifunua kwetu kupitia kwa uumbaji wake, amenena wazi wazi kupitia kwa Maandiko matakatifu, na vile vileamejifunua kwetu kupitia kwa Yesu Kristo na kazi zake. Maandiko ndiyo kumbukumbu ya kweli ya kazi ya Mungu katikauumbaji na kazi na huduma ya Yesu, na yeye ndiye kigezo pekee ambaye kupitia kwake tunaweza kupima ufasiri wetu wamaswala ya imani na matendo yetu. (Tambua: maneno kukosa kasoro kwa Kiingereza inerrant na infallible hayakutumiwa kwasababu ya maana ya maana ya kisiasa iliyoko katika maneno hayo.

Ufalme

Mungu ndiye mfalme wa vitu vyote, na hatimaye, kila kiumbe kitakiri kwamba yeye ni Mfalme (Ufalme). Kwa sasa, Shetani, namalaika walioanguka wamemwasi Mungu na kujitangaza kuwa miungu na kumilki ufalme wa dunia hii. Watu wote ambaowamerithi asili ya dhambi ya Adamu, huzaliwa tayari wakiwa chini ya ufalme wake wa uasi. Hati hivyo malaika waaminifuwako chini ya Ufalme wa Mungu, na watu waliokombolewa vilevile huingia katika Ufalme wake ili wamheshimu na kuyatiimapenzi yake.

Kazi ya Kristo

Bwana wetu Yesu Kristo amekuwepo wakati wote kama Neno, ambaye ni Mungu na alihusika katika uumbaji pamoja na Baba.Aliingia katika historia kama mwanadamu, aliyezaliwa na bikira Mariamu. Aliishi maisha yasiyokuwa na dhambi, alitendamiujiza, na kuhubiri Injili ya Ufalme wa Mungu. Aliteswa katika mwili wake kwa ajili ya dhambi zetu na akafa badala yetu, naakafufuka katika mwili kutupa uzima. Ameketi mbinguni mkono wa kuume wa Baba na anatumika kama mpatanishi na mteteziwetu. Atarudi tena kuwahukumu walio hai na waliokufa.

Kanisa

Kanisa ni kusanyiko la waamini wa kweli. Waamini hawa wamezaliwa mara ya pili kwa kupitia kwa Roho Mtakatifu, ambayehuwatumbukiza katika uwepo wake na kukaa ndani yao. Ubatizo huu katika Roho Mtakatifu humjumuisha kila mwamini mpyakatika Mwili wa Kristo ulio hai. Roho humtia nguvu mwamini kuishi maisha ya mabadiliko, ya kutakaswa na humpa ufahamuwa kiroho wa ukweli wa Mungu. Roho pia humfanya kila mwamini kudhihirisha neema, neema hii pia huitwa karama za neemaama karama za kiroho. Lengo la karama hizi za neema ni kuujenga Mwili wa Kristo na kuwabariki wengine kupitia kwa kazi yahuduma.

Wokovu

Wokovu ni karama ya Mungu, hauwezi kupokewa kwa kutenda chochote. Wokovu unahitajika wka sababu kila mtu ametendadhambi na hatima yake ni kutengwa na Mungu milele huko jehenamu. Wokovu msingi wake ni imani katika ondoleo la dhambilinalotokana na damu ya Kristo. Wokovu una vipengele vitatu: huanza na kuhesabiwa haki –wakati ule ambao mtuanapatanishwa na Mungu na kuwekwa huru kutokana na adhabu ya dhambi; unaendelea na utakaso –kuishi maisha ya utakatifukutokana na kuwekwa huru kutokana na nguvu ya dhambi; na kisha mwisho wake ni kutukuzwa –huku ni kuwekwa huru kabisakutokana na uwepo wa dhambi huko mbinguni. Ili mtu aweze kuokoka, mtu lazima akubali kwamba ni mwenye dhambi nakuziacha dhambi kwa njia ya toba. Imani ya kweli hukiri kwamba Yesu ni Bwana pia huamini kwamba Mungu alimfufua Yesukutoka kwa wafu, na Mungu humwokoa mwamini anayekiri hivyo. Katika kiwango hiki cha kuhesabiwa haki, mtu huzaliwamara ya pili katika Ufalme wa Mungu wa nuru. Maisha haya mapya yanamaanisha kubadilishwa kwa mtindo wa maisha ya mtuna kuanza kuishi maisha yanayoonyesha kwamba Yesu ndiye Bwana kwa utakatifu na uzima tele. Hatimaye, mwamini anamatumaini ya kutukuzwa, maisha ya milele ya baadaye na kuishi katika uwepo wa Mungu.

Page 7: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 3

Sura ya 1 Kielelezo : Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Page 8: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 4

Page 9: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 5

Sura ya 1: Mungu Na Uumbaji Wake wa Kiroho

Maelezo Ya Jumla Ya Picha

Kielelezo cha 1: Ni muhtasari unaoweza kuonekana kwa macho wa mafundisho ya kimsingi yaMungu, Uumbaji wake na Utawala wake juu ya viumbe vya kiroho na kazi za viumbe hivyovya kiroho ulimwenguni. Sehemu ya juu ya picha hii inatumiwa kufundisha sifa na utawala waMungu juu ya kila kitu alichokiumba. Ile sehemu ya picha ambayo iko chini ya mstari,inatumiwa kufundisha juu ya shughuli au kazi za viumbe vya kiroho ulimwenguni.

Sehemu ya juu ya picha hii inaonyesha Kiti cha Enzi huko Mbinguni. Kwenye kiti hicho chaenzi, kuna picha ndogo ndogo ambazo zinasimamia Utatu Mtakatifu: Mungu Baba (Mkonoulionyooshwa), Mungu Mwana (Mwanakondoo), na Mungu Roho Mtakatifu (Njiwa). Kiti cha

enzi cha Mungu kinawakilisha utawala wake juu ya vyote, vilevile kinawakilisha jinsi Mungu anavyostahili kupewasifa na kuabudiwa, na utawala wake wa haki katika karne zote na milele yote.

Chini ya kiti cha enzi cha Mungu, kuna msitari unaomtenganisha Mungu na uumbaji wake. Ni muhimu kufahamukwamba Mungu haumbwi kwa mikono ya binadamu au kufikiri kwao; na wala Mungu si sehemu ya chochoteambacho ni cha ulimwengu au uumbaji wenyewe. Yeye yuko kivyake na yuko juu ya vitu vyote alivyoviumba. Hatahivyo uwepo na matendo yake vyote viko Mbinguni na duniani, kama inavyoonyeshwa na mkono ulionyooshwakutoka kwenye Kiti Cha Enzi hadi duniani.

Ulimwengu wa kiroho umechorwa chini ya Kiti cha Enzi kwa sababu Mungu ndiye mwenye uwezo na mamlakayote juu ya hivi viumbe vyote vilivyoumbwa. Hata hivyo kumbuka hili, Biblia inasema kwamba viumbe vya kirohopia vinapatikana mbinguni, ingawa havijaonyeshwa hapa kwenye mchoro.

Katikati ya picha ni ulimwengu ambao una malaika na pepo wakitembea huku na huko. Katika sehemu ya kushotoya ulimwengu huu, kuna jeshi la malaika. Upande wa kulia, kuna malaika walioanguka tunaowaita pepo. Sehemu hiiya picha inatumiwa kufundisha juu ya uumbaji, shughuli na athari au ushawishi wa viumbe vya kiroho duniani.

Malengo Ya Sura ya 1 Kufundisha sifa za Mungu na asili yake. Kufundisha jinsi ya kuzitambua sifa za Mungu kupitia kwa kazi zake wakati wote na wakati wa uumbaji. Kufundisha kwamba Mungu ni muumba wa ulimwengu wa kiroho. Kufundisha kwamba Mungu ni mwenye enzi juu ya ulimwengu wa kiroho na wa kimwili. Kutusaidia kuelewa asili ya Mungu , Utatu Mtakatifu. Kufunua njama za Shetani kuwapotosha watu kutoka kwa Mungu. Kuonyesha kazi za malaika, bila kuwatukuza.

Sehemu ZinazohusianaSura ya 2: Sura ya kwanza na ya pili zinahusu uumbaji wa Mungu.Sura ya 6: Yesu anatufanya kuwa Viumbe VipyaSura ya 12: Mbingu mpya na nchi mpya wakati mwisho; hatima ya mwisho ya wanadamu na viumbe vya kiroho

Ufafanuzi wa Picha

Somo la 1 Sifa za Mungu

Picha na Maelezo Vichwa vya masomo, Hadithi za Biblia, na MaandikoYanayoambatana na Somo

Sehemu ya 1a: Mungu ndiyeMuumba wa vyote vinavyookena

na visivyoonekana. Yeye ninafsi, habadiliki, ni wa milele, na

Roho asiyeonekana.

Vichwa vya Masomo:1. Mungu ndiye Muumba wa vyote vinavyoonekana na

visivyoonekana.2. Mungu ni Mungu mwenye nafsi.3. Yeye habadiliki.4. Ni wa milele.

Page 10: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 6

Tumia vichwa vya masomo vilivyokoupande wa kulia ili kutambulisha sifaza kimsingi za Mungu. Tambuakwamba si mambo yoteyameonyeshwa kwenye picha.

Kiti cha Enzi- Chora kiti cha enzi naueleze vichwa vya masomo kuanzia 1-8. Fafanua kwamba Mungu haonekanikwa macho na hatuwezi kuabudu kitukilicho na mfano wa Mungu. Lakinitutatumia picha za mkono, mwanakondoo,na njiwa kuwakilisha sifa za Mungu. Kiticha Enzi cha Mungu kiko Mbinguni(mbingu ya kwanza ni ile anga ya dunia;mbingu ya pili ni ile anga iliyo juu yake;mbingu ya tatu ni pale palipo na Kiti chaEnzi cha Mungu (angalia 2 Wakorintho12:2). Mungu ndiye muumba wa vituvyote. Ana mamlaka yote yote na ndiyeanayetawala uumbaji wake; Yeye ndiyeanayestahili sifa na kuabudiwa; Ndiyeanayehukumu kwa haki. Msingi wa Kitichake cha Enzi ni kweli na haki.

Mwangaza uking’aa kutoka kwenyeKiti cha Enzi – Chora msitari juu ya Kiticha Enzi. Eleza kwamba ule mwangazaunaong’aa kwenye kiti cha enzi ndioutukufu, uadhama, na utakatifu wa Mungu.Yeye pekee ndiye anayestahili kuabudiwa.

5. Yeye ni Roho asiyeonekana.6. Kiti chake cha Enzi kiko Mbinguni, lakini anatawala Mbinguni

na duniani. Ana haki na mamlaka yote ya kutawala viumbe vyote.7. Msingi wa kiti chake cha enzi ni ukweli, haki na utakatifu.8. Yeye ndiye mwenye Rehema na Fadhili.9. Anakaa katika mwangaza usiweza kufikika karibu. Utukufu wake

unazijaza mbingu na dunia.

Mungu ndiye Muumba wa vyote vionekanavyo na visivyoonekana.Hadithi*Hadithi ya uumbaji- Mwanzo 1-3. Zaburi ya uumbaji- Zaburi 104.Maandiko*Mungu Aliumba Vitu Vyote Kupitia kwa Neno - Zaburi 33:6, 9; Waebrania 11:3; Yohana 1:1-4. *Mungu Aliumba Vyote Vionekanavyo na Visivyoonekana - Mwanzo 1-3; Wakolosai 1:16.*Nani aliyekuumba tumboni: Mimi ni BWANA, nifanyaye vitu vyote; nizitandayembingu peke yangu; - Isaya 44:24. **Angalia pia Sura ya 2 kwa marejeo ya Mungualivyoumba vitu vyote.

Mungu ni wa milele na habadilikiMaandiko*Kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeuka-geuka -Yakobo 1:17. *Lengo la Munguhalibadiliki - Waebrania 6:17-18. *Mungu wa milele ni mahali pa kukaa, na chini yake nimikono ya milele - Kumbukumbu La Torati 33:27. *Mungu ana nguvu milele – Warumi 1:20.*Mungu hutoa karama ya uzima wa milele kupitia kwa Yesu - Warumi 6:23.

Kiti cha EnziMamlaka ya Mungu na haki ya kutawala na kuhakikisha haki inatendeka katikaUumbaji wake.Hadithi*BWANA ndiye Mungu katika mbingu juu na katika nchi chini; hapana mwingine …”-Kumbukumbu La Torati 4:39-40. *Maono ya Ezekieli ya kumuona Mungu.- Ezekieli 1 (kifungu26). *Maelezo ya Yohana juu ya Kiti cha Enzi cha Mungu na Mwanakondoo.- Ufunuo 4-5.*Rahabu alisikia kwamba Mungu aliyakausha maji na kuwashinda wafalme, kwa hiyoakakubali kwamba Mungu ni Mungu wa Mbinguni na wa Duniani - Yoshua 2:8-11.Maandiko*Utakatifu na Haki ndio Msingi wa Kiti chake cha Enzi - Zaburi 97:2. *BWANA ameweka Kitichake cha Enzi Mbinguni na Ufalme wake utawala vyote- Zaburi 103:19; 47:8; 11:4. *BaliBWANA atakaa milele; Ameweka kiti chake tayari kwa hukumu. Naye atauhukumu ulimwengukwa haki; Atawaamua watu kwa adili.- Zaburi 9:7-8; angalia pia Zaburi 45:6 na Waebrania 1:8;Mathayo 19:28; 25:31; Luka 1:32- Yesu pia yuko Enzini. Kwa Mungu ataleta hukumuni kilakazi, pamoja na kila neno la siri, likiwa jema au likiwa baya - Mhubiri 12:14.

Mwangaza uking’aa kutoka kwenye Kiti cha EnziUtukufu wa Mungu, uadhama, na utakatifu.Hadithi*Musa na Kichaka kilichokuwa kikiwaka Moto, Utakatifu wa Mungu - Kutoka 3 (kifungu5).*Musa aliona utukufu wa Mungu ukipita mbele zake - Kutoka 33:18-23. *Kutokea kwa utukufuwa BWANA kwa Waisraeli ulikuwa kama moto ulao juu mlimani.- Kutoka 24:17. *Mwangazauking’aa kutoka kwenye kiti cha enzi, utukufu wa Mungu- Ezekieli 1 & 10. *Hema la kukutanialilitakaswa kwa utukufu wa Mungu - Kutoka 29:42-43.Maandiko*Mungu anakaa katika mwangaza usioweza kufikiwa.- 1 Timotheo 6:16. Mungu ni rohoasiyeonekana - Wakolosai 1:15; 1 Timotheo 1:17; Yohana 4:24. *Mbingu zinatangaza utukufuwa Mungu - Zaburi 19:1. * Katika hekalu lake kila kitu kinasema, “Utukufu”- Zaburi 29:9.*Nchi yote imejaa utukufu wake - Isaya 6:3. *Habadiliki: Katika Mungu hakuna Kubadilikawala kivuli Chake Kugeuka-geuka - Yakobo 1:17.

**Maandiko yanayohusu sifa za kibinafsi za Mungu zinafuata katika sehemu inayofuata.

Sehemu 1b: Sifa Kuu zaKibinafsi za Mungu: Mungu nimwenye Nguvu Zote; Yuko kilaMahali; na Anajua Yote; Msafi;

Mtakatifu; Mwenye Haki; Mtaua;Ni Mwenye Upendo; MwenyeNeema; Mwenye Huruma; Ni

Mwaminifu; Ni Mpaji; Ni Kimbilio

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu ni Mungu mwenye Nafsi, na ana sifa za kibinafsi.2. Mungu ni Mwenye Nguvu Zote; Yuko Kila Mahali; na Anajua

Yote.3. Mungu ni Msafi na Mtakatifu; Ni Mwenye Haki na Mtaua.4. Mungu ni Mwenye Upendo, Ni Mwenye Neema; na Mwenye

Huruma.

Page 11: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 7

Letu; Ni Nguvu Zetu; Ni KiongoziWetu; na ni Mkombozi wetu wa

Kimwili na Kiroho.

Eleza kutoka katika Biblia, kwambawaandishi kutumia mkono wa Mungukutusaidia kuelewa kazi kuu za Munguulimwenguni. Sifa zote zinazofuata nisehemu ya Asili Yake Yenye Nguvu.Tumia vidole vitano, na kiganja cha mkonokilichorwa kukumbusha sifa za Mungukama zilivyoorodheshwa hapo chini.

Kiganja- Mungu ni Mwenye NguvuZote; Yuko Kila Mahali; na AnajuaKila Kitu.

5. Mungu ni Mpaji Wetu Mwaminifu.6. Mungu ni Kimbilio Letu; Ni Nguvu Zetu; na Kiongozi Wetu.7. Mungu ndiye Mkombozi wetu wa Kiroho na Kimwili.

Kiganja:Mungu ni Mwenye Nguvu ZoteHadithi*Mungu anamfundisha Ayubu Kuhusu Nguvu Zake Juu ya Viumbe Vyote - Ayubu 38-41.*Yona Anashuhudia Kwamba Mungu ni Mwenye Mamlaka Juu ya Bahari, Nchi, Mbingu, NaMwito wa Mungu Kumfanyia Kazi - Yona 1-4 (1:9). *Mungu anatekeleza Malengo YakeKupitia kwa Farao Asiyemjua Mungu - Kutoka 9:13-21 (kifungu cha16). *Ushindi waYonathani dhidi ya Wafilisti, Mungu hazuiwi kuokoa na wingi au uchache wa watu - 1 Samueli14:6.Maandiko*Hakuna Jambo Gumu kwa Mungu - Yeremia 32 (kifungu cha 17, na cha 27). *MunguHuyafanya Kazi Pamoja na Wale Wampendao Katika Kuwapatia Mema - Warumi 8:28.*Udhaifu wa Mungu ni mkuu kuliko nguvu za wanadamu - 1 Wakorintho 1:25. *Tunapokuwawadhaifu kwa sababu ya kudhihakiwa, majaribu, masumbufu ya maisha, mateso, na msongo,yeye huwa na nguvu kupitia kwetu - 2 Wakorintho 12:9-10. *Mungu ametoa taifa moja kutokakwa taifa lingine, na kutenda mambo makuu naya ajabu - Kumbukumbu La Torati 4:32 -34.*Siku moja Mungu atatufufua kutoka kwa wafu kulingana na nguvu zake kuu zinazofanya kazindani yetu - Warumi 8:11; Waefeso 1:18-20. *Mungu anaweza kufanya chochote zaidi ya viletunavyoweza kuomba au kufikiria - Waefeso 3:20-21.

Mungu Yuko Kila MahaliHadithi*Mungu “Anayeniona”- Mwanzo 16:13. *Mungu anaona kazi za manabii wa uwongo -Yeremia 23 (Kifungu 23-24). *Mungu Yuko Karibu Nasi Tunapomwomba - Kumbukumbu LaTorati 4:7.Maandiko*Hatuwezi kwenda mahali popote kumkimbia Mungu - Zaburi 139:7-12. *Wala HakunaKiumbe Kisichokuwa Wazi Mbele Zake, Lakini Vitu Vyote vi Utupu na Kufunuliwa MachoniPake Yeye Aliye na Mambo Yetu - Waebrania 4:13. *Macho ya BWANA Yako Kila Mahali;Yakimchunguza Mbaya na Mwema - Mithali 15:3. *Mungu wakati wote yuko nasi kutusaidiawakati wa mateso - Zaburi 46:1.

Mungu Anajua Kila KituHadithi*Danieli Anafasiri na Kuifunua Ndoto Ya Mfalme kwa Msaada wa Mungu - Danieli 2. *YesuAnajua Jinsi Watu wa Kutoka Kila Sehemu Watakavyoipokea Injili - Mathayo11:21. *BWANAni Mungu wa Maarifa,Na matendo hupimwa na yeye kwa mizani- 1 Samueli 2:3 (Ombi laHana).Maandiko*Mungu Anajua Kutoka Kwetu, Kuingia Kwetu na Ghadhabu Yetu Kwake - 2 Wafalme19:27; Isaya 37:28. *Mungu Huwapa thawabu Wale Wanaotoa, Wanaofunga na KumwombaSirini - Mathayo 6:1-8; 6:17-18. *Mungu Anayajua Mawazo Yetu, Anayajua Maneno YetuKabla Hatujayasema; Anajua Njia Zetu, Kuketi Kwetu - Zaburi 139:1-4. *Hakuna MtuAnayeweza Kuelewa Ufahamu Wake - Isaya 40:28; Zaburi 147:4-5. * Kuzimu na Uharibifu ViWazi Mbele za BWANA; Si zaidi basi, Mioyo ya Wanadamu - Mithali 15:11. *Aliyelitia sikiomahali pake asisikie? Aliyelifanya jicho asione?- Zaburi 94:9.

Page 12: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 8

Kidole Gumba- Mungu ni Msafi &Mtakatifu; Mwenye Haki naMtaua:

Msafi: Kuna maneno mengiyanayotafsiriwa kwa neno “safi” katikaBiblia. Mengi ya maneno hayo yanamaana ya kutenganisha, au kutoa kwenyemchanganyiko usiokuwa msafi wa uchafu,uzinzi, au kuabudu sanamu. Mungu ndiyepekee aliye msafi kabisa.

Mtakatifu: Neno “takatifu” maana yake nikuwekwa kando. Mungu amewekwa kandotangu kuumbwa kwa dunia na ni msafikimaadili. Hali hii ya Mungu ni tofautisana na sifa za miungu ya uwongo ambayowatu wameiabudu, ambayo tabia zake nizile za wanadamu watenda dhambi. Sotetunajua kwamba dhambi huchafuautakatifu. Kwa sababu Mungu ni mtakatifu,hawezi kuwaangalia wanadamu wenyedhambi. Hata hivyo, Mungu anataka tuishitukiwa na uhusiano naye, kwa hiyoametengeneza njia ya sisi kuweza kuwa nauhusiano naye kupitia kwa Yesu.

Kidole Cha Kwanza- Mungu niMwenye Upendo, Mwenye Neema,na Mwenye Huruma.Mwenye Upendo- Neno lililotumiwa katikaAgano la Kale mahali pa upendo ni: ahav-nalo hutumika kwa jumla kwa Mungu nawatu; na lingine ni hesed-Maana yake niupendo wa kiagano ulio na uaminifu,wenye msimamo, upendo usiokuwa namasharti, na rehema/huruma. Katika AganoJipya maneno yaliyotumiwa ni agape-ambalo maaana yake ni upendo usiokuwana masharti; phileo-maana yake ni upendokati ya marafiki. Neno la Kiyunani erosmaana yake ni upendo wa kihisia, lakinihaliko katika Agano Jipya NT.

Mwenye Neema- Neema ni kibaliasichostahili mtu; kumsamehe mtu aukumhurumia. Neema ni maelezo ya karamaza Mungu kwetu. Neema ya Munguiletayo msamaha hupewa wanadamu naMungu kupitia kwa Yesu: alikufa kwa ajiliya dhambi zetu, akatusamehe dhambi zetu,na kuturejesha katika uhusiano na Mungu,tunapomwamini kama Bwana na Mwokozi,tunapokea wokovu na vile viletunaandaliwa makao huko mbingunitunakapokufa. Lakini Neema ya Mungu piahutufikia kupitia kwa karama zotetulizopewa na Mungu. Mungu hutupatianeema ya kukimu mahitaji yetu –tunapatamahitaji yetu kupitia kwa mali asili, piakupitia kwa kazi na na familia zetu – hiiinajumuisha mali tulizo nazo na familiazetu. Mungu analipatia kanisa karama zaneema za kiroho ili kuwajenga watu kwaajili ya huduma. Na ametupatia karama yaUjumbe wa Injili tuweze kuwahubiriawatu wote duniani. Jinsi Mungualivyotupa neema katika mambo yote,ndivyo tunavyopaswa kumrudishiashukrani zetu kupitia kwa maisha yautumishi, usafi, wawajibikaji na kujitoakwake. Angalia Sura ya 11.

Kidole Gumba:Mungu ni Msafi na Mtakatifu; Mwenye Haki & MtauaHadithi*Ukombozi wa haki wa Mungu (Nyimbo za Musa na Mariamu)- Kutoka 15:1-21. *Utakatifuwa Mungu umetajwa pale Isaya Alipoitwa Katika huduma - Isaya 6. *Sheria Za Mungu zaUadilifu Zinaonyesha Tabia Yake Ya Utaua - Kutoka 20:1-17.Maandiko*Ndani Yake Hamna Udhalimu - Zaburi 92:15. *Bwana ni Mwenye Haki katika njia zote. -Zaburi 145:17-20. *Tunaweza Kujikabidhi Kwake Yeye Anayehukumu Kwa Haki - 1 Petro2:18-25. *Mungu atatushikilia na mkono wake wa kuume wa haki. Atawaaibisha nakuwadharau wale wanaoshindana nasi - Isaya 41:10-13. *wala hatahukumu kwa kuyafuataayaonayo kwa macho yake, wala hataonya kwa kuyafuata ayasikiayo kwa masikio yake;

\v 4 bali kwa haki atawahukumu maskini, naye atawaonya wanyenyekevu wa dunia kwa adili -Isaya 11:1-5. *Mungu humtendea haki mjane, yatima, na anawapenda wageni.- KumbukumbuLa Torati 10:17-19. *Ni Mwe Watatifu Kwa Kuwa, Mimi Bwana ni Mtakatifu; NaNimekutenga Na Watu Ili Uwe Wangu - Mambo ya Walawi 19:2; 20:22-26.

Kidole Cha Kwanza:Mungu ni Mwenye Upendo; Mwenye Neema; na Mwenye HurumaHadithi*Mungu anafunua Jina Lake kwa Musa, Mungu mwingi wa huruma, mwenye fadhili, simwepesi wa hasira, mwingi wa rehema na kweli; mwenye kusamehe uovu na makosa nadhambi - Kutoka 34:6. *Fumbo la Kondoo Aliyepotea; fumbo la Shilingi Iliyopotea; na laMwana Mpotevu - Luka 15. Kuja kwa Yesu katika mwili na kufa kwake msalabani kwa ajili yadhambi zetu kunaonyesha tendo kubwa la upendo wa Mungu kwetu – tumia yoyote kati ya zilehadithi zinazotoka katika kitabu cha Mathayo; Marko; Luka; or Yohana. *Mungu alichaguaIsraeli Kuwa Mali Yake Ya Thamani Si kwa Kuwa Walikuwa Wengi, au Kwa SababuWalikuwa wachache, Bali ni kwa Sababu Mungu Aliwapenda - Kumbukumbu La Torati 7:6-13.Maandiko*Upendo wa Kweli Huwazunguka Wale Wanaomtegemea Bwana - Zaburi 32:10. *Hakuna KituKatika maisha kinaweza kututenganisha na upendo wa Mungu - Warumi 8:38-39. *MunguAnatupenda - Yohana 3:16; Zaburi 103:11, 17; Waefeso 2:4-5; 1 Yohana 4:8- 11.*Bwana niMwenye Neema, Huruma, Si Mwepesi wa Hasira, Mwingi wa Upendo, Anayewapenda WoteAliowaumba - Zaburi 145:8, 17. *Alituokoa, si kwa matendo yetu bali kwa rehema zake, kwakupitia Roho Mtakatifu, na Yesu Kristo Mwokozi Wetu - Tito 3:5-6. *Mungu HuonyeshaRehema Zake Kwa Kufanya Jua na Mvua Viwafikie Waovu na Watenda Mema.- Mathayo5:43-48.

Page 13: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 9

Mwenye Huruma- hili ni dhihirisho la njela huruma ama rehema. Katika lugha yaKiyunani, moja wapi ya manenoyanayowakilisha huruma ni, “hilaskomai.”Ni neno linalotumika kuelezea kilewalichofanya wapagani kuiridhisha,kutuliza hasira, au kuifanya miungi yaokuwatendea mema. Neno hilohalikutumiwa kama sifa za miunguyenyewe. Kinyume chake, Mungu wetu nimwenye huruma yeye mwenyewe.

Kidole Cha Pili – Mungu Ndiye Mpajiwetu Mwaminifu.Mwaminifu- neno hili maana yake nikuwaminika, kutegemeeka, kweli. KatikaAgano La Kale neno ni AMINA.

Kidole Cha Tatu – Mungu niKimbilio, Nguvu zetu, na Kiongoziletu. Unaweza kukumbuka sifa hizi zaMungu kwa kukukumbuka jinsi Daudialivyomkimbilia Mungu mara nyingi .Wakati Daudi alivyomkimbilia Mungu,Mungu alimtia nguvu na kumwongoza,kumwelekeza na kumshauri.Maneno ya Agano La Kale yaliyotumiwakuelezea ulinzi wa Mungu wakati wamateso ni kama haya: kimbilio, ngao,ngome, mlima, mwamba, jabali, mnara, nanguvu. Daudi mara kwa mara alitumiamaneno haya alipokuwa akimsifu Mungukwa kumsaidia katika magumu ya kijeshiya ya kibinafsi yaliyokuwa yakimkumba.

Kidole Cha Nne – Mungu ndiyeMkombozi Wetu wa Kimwili naKiroho.Katika Agano La Kale, tunajifunzakwamba Mungu aliwaokoa watu wakekutoka utumwani huko Misri na mkonoulionyooshwa. Tunaposoma Agano Jipya,tunajfunza kwamba yake matukio yaKutoka Misri haswa ni picha ya ukomboziwa kiroho tunaopata kupitia kwa YesuKristo. Yesu anafanyika Mwanakondoowa Pasaka. Ukombozi kutoka katiakutumwa wa kimwili, ni picha ya ukomboziwa kiroho kutoka dhambini. Na kulekuingia katika Nchi ya Ahadi kunakuwa nimfano wa Kuingia mbinguni, au katika

<Kidole Cha Pili:Mungu Ndiye Mpaji Wetu Mwaminifu;Hadithi*Mungu alikutana na mahitaji ya Waisraeli huko jangwani - Kumbukumbu La Torati 2:7.*Mungu hukutana na mahitaji ya viumbe vyake - Ayubu 38-39; Zaburi 104; 65; 147. *Yesuanafundisha juu ya upaji wa Mungu - Luka 12:24-31. * Yo Kama vile alivyowapa watu wakemana walipokuwa jangwani, Mungu alimtuma Yesu kama chakula chetu cha kiroho 6:31-66.Maandiko*Yeye ni mwaminifu na hutenda haki - Kumbukumbu La Torati 32:4. * Kama sisi Hatuamini,yeye Hudumu wa Kuaminiwa - 2 Timotheo 2:13. *BWANA Hatawaacha Watu Wake - Zaburi94:14. * Neno lake BWANA lina adili Na Kazi Yake Yote Huitenda kwa Uaminifu. - Zaburi33:4. *Uaminifu Humzunguka Mungu - Zaburi 89:8. *Uaminifu Wake ni Ngao - Zaburi 91:4.*Mungu ni mwaminifu ambaye mliitwa na yeye mwingie katika ushirika wa Mwanawe - 1Wakorintho 1:9. *Mungu Hatatuacha Kujaribiwa Kupita Uwezo Wetu - 1 Wakorintho 10:13.*Na mlishike sana ungamo la tumaini letu, lisigeuke; maana yeye aliyeahidi ni mwaminifu; -Waebrania 10:23. * Basi Wao Wateswao Kwa Mapenzi ya Mungu na Wamwekee AmanaRoho Zao, Katika Kutenda Mema, Kama Kwa Muumba Mwaminifu- 1 Petro 4:19. *Yeye nimwaminifu hata kutusamehe dhambi zetu - 1 Yohana 1:9. *Vile vyote walivyotoa watu ilikulijenga hekalu vilitoka kwa Bwana - 1 Mambo Ya Nyakati 29:16. *Mwandishi wa Zaburialisema miaka yote hajawahi kumwona mwenye hali ameachwa - Zaburi 37:25. *Mamboambayo jicho halikuyaona wala sikio halikuyasikia, mambo ambayo Mungu aliwaandaliawampendao - 1 Wakorintho 2:9. *Mungu hutupatia mahitaji yetu ili tuweze kuzidi sana katikakila tendo jema - 2 Wakorintho 9:8.

Kidole Cha Tatu:Mungu Ndiye Kimbilio, Nguvu Zetu na Kiongozi Wetu.Hadithi*Zaburi za Kimbilio /Nguvu/Mwongozo- 5, 7, 11, 16, 18, 31, 46, 57, 71, 91. *Mungualiwaongoza Waisraeli jangwani kwa nguzo ya moto na kwa wingi - Nehemia 9:19; Kutoka13:21-22.Maandiko*BWANA ni jabali langu, na boma langu, na mwokozi wangu, Mungu wangu, mwambawangu ninayemkimbilia, Ngao yangu, na pembe ya wokovu wangu, na ngome yangu.- Zaburi18:2. *Usitegemee wingi wa mali au kufuata uovu, lakini mkimbilie Bwana - Zaburi52:7.*Yeye ndiye kimbilio letu wakati wa mateso - Zaburi 59:16.*Yeye ndiye ngoma yenyenguvu ya kutulinda kutokana na adui - Zaburi 61:3. *Bwana ndiye ngome kwa walewalioonewa, ndiye kimbilio wakati wa mateso - Zaburi 9:9.*Mungu anawajali walewanaomkimbilia yeye - Nahumu 1:7.*Mungu kutuongoza na kwa ajili ya jina lake; Hututoakatika wavu wa adui na yeye ni kimbilio letu - Zaburi 31:3-4.*Hutuongoza kwa ushauri wake -Zaburi 73:24. *Mungu anaporejesha upya Israel, atakuwa mwalimu wao, akisema njia ni hii,msiende kulia au kushoto - Isaya 30:19-22. *Jina lake ni Mshauri wa Ajabu - Isaya 9:6.

Kidole Cha Nne:Mungu Ndiye Mkombozi Wetu wa Kimwili na KirohoHadithiNanyi leo jueni; kwa kuwa sisemi sasa na vijana vyenu, ambao hawakujua, wala hawakuonaadhabu ya, Mungu wenu, ukuu wake, na mkono wake wa nguvu, na mkono wake ulionyoka,\v 3na ishara zake, na kazi zake alizomfanya Farao mfalme wa Misri, …na mambo aliyowafanyianinyi barani, hata mkaja mahali hapa;n.k. Kumbukumbu La Torati 11:2-6. *Kukombolewa KwaIsraeli kutoka Misri - Kutoka 1-14.*Mungu Analeta Wakombozi Israeli - Waamuzi 3:9, 15; 2Wafalme 13:5; Nehemia 9:27. *Juna Lasimama - Yoshua. 10:1-15. *Musa anamwambia Yethrojinsi Mungu alivyoikomboa Israeli kutoka katika mkono wa Waovu - Kutoka 18:8-10.*MunguAnamwokoa Daudi mkononi mwa Sauli - 2 Samueli 22, Mungu hakurusu atelezemguu.*Mungu Anamsaidia Daudi Wakati Mwanawe Absalomu Alipinuka Kinyume chake KwaAjili Ya Ufalme - 2 Samueli 15-18. *Zaburi ya Kukombolewa kwa Daudi kutoka katika mikonoya Abasalomu - Zaburi 3.*David anajifanya Mwenda Wazimu Mbele Ya Mfalme Akishi- 1Samueli 21.*Zaburi ya Ukombozi Wakati Daudi Alipoonekana Kuwa Mwenda Wazimu Mbele

Page 14: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 10

pumziko la Mungu. Kufufuka kwa Yesundilo dhihirisho kuu la nguvu za Munguziletazo wokovu katika Agano Jipya.Tunajua katika ufufuo wa Yesu, mauti nanguvu za Shetani zilishindwa. Munguanatoa wokovu/ukombozi wake kwa wotewatakaomwamini Yesu kama Bwana naMwokozi wao.

Msitari Chini ya Kiti Cha Enzi –Chora msitari chini ya Kiti cha Enzi.Eleza kwamba Mungu yuko tofauti naviumbe vyake. Lakini anafanya kazimbinguni na duniani, kama inavyooshwana mkono wake kwenye kiti cha enzi naunaondelea chini ya msitari. Maneno yakitheologia kuwakilisha haya ni kupitauwezo wa binadamu kwa Kiingereza naaliye karibu kwa Kiingereza.

za Mfalme Akishi na Abimeleki - Zaburi 34. *Ezra Anautegemea Mkono wa Bwana KumlindaKatika Safari Yake - Ezra 8:16-36. *Ombi la Kibanafsi La Ukombozi - Zaburi 35. *MunguAnamwokoa Danieli Kutoka Katika Tundu La Simba - Danieli 6. *Shadraki, Meshaki, na Abed-nego- Danieli 3. *Wimbo Wa Maryamu, Mungu ni Mwokozi - Luka 2. *Unabii wa Zakaria juuya Masihi atakayekuja, kuokoa kutoka kwa adui - Luka 1:67-80. *Ushuhuda wa YohanaMbatizaji - Luka 3:4-6. *Kazi Ya Pauloo - Matendo 13:47.Maandiko*Mungu aliwatoa Waisraeli nchini Misri na Mkono ulionyooshwa - Kumbukumbu La Torati9:29 .*Mungu hutufariji. Tusimwogope mwanadamu anayekufa. Humweka huru mkimbizi -Isaya 51:12-16. *Utakapopitia maji mengi, nitakuwa pamoja nawe. Mito haitakugharikisha.Moto hautakuteketeza. Mungu ndiye mwokozi wako. Hakuna anayeweza kututoa mikononimwake, Utakapopitia maji mengi, nitakuwa pamoja nawe; Na unapopitia kwenye mitohaitakugharikisha. Utakapopita kwenye moto, hutachomeka, wala miale hitakuchoma.- Isaya43:1-13. *Mungu ni Mungu Anayetutoa Mautini - Zaburi 68:20.*Mungu Hutuokoa kutoka kwaAdui - Zaburi 18:48 *Mungu huwaokoa wenye haki kutoka katika mateso, yuko pamoja naokatika kuvunjika moyo kwao, huwaokoa waliopondeka mioyo. Kutuokoa kutokana na adui -Zaburi 34:17-19. *Bwana ni nani Aliye Kama Wewe? Umponyaye Maskini na Mtu aliyeHodari Kumshinda yeye,Naam, maskini na mhitaji na mtu amtekaye. - Zaburi 35:10. * Kwa manyoya yake atakufunika,Chini ya mbawa zake utapata kimbilio; Uaminifu wake ni ngao na kigao. Hutaogopa hofu yausiku,Wala mshale urukao mchana, Wala tauni ipitayo gizani, Wala uele uharibuo adhuhuri, Ijapowatu elfu waanguka ubavuni pako. Naam, kumi elfu mkono wako wa kuume! Hata hivyohautakukaribia wewe. Ila kwa macho yako utatazama, Na kuyaona malipo ya wasio haki. Kwakuwa Wewe Bwanandiwe kimbilio langu; Umemfanya Aliye juu kuwa makao yako. Mabaya hayatakupata wewe,Wala tauni haitaikaribia hema yako. Kwa kuwa atakuagizia malaika zake Wakulinde katika njiazako zote…..- Zaburi 91. *Aliyetuokoa Sisi katika Mauti Kuu Namna Ile; Tena atatuokoa - 2Wakorintho 1:10. *Urithi wetu, na Wokovu Umefunuliwa Siku Za Mwisho - 1 Petro 1:3-12.*Yesu Atakuja Mara Ya Pili Pasipo Kushuhgulikia dhambi, Atakuja kwa wale Wanaongojea -Waebrania 9:28. *Wokovu ni nguvu za Mungu ziletazo wokovu - Warumi 1:16. *Kumkiri Yesukama Bwana, huleta wokovu - Warumi 10:9-10; Waebrania 5:9; Waefeso 2:8-9. *Wokovu niwa Mungu wetu - Ufunuo 19:1.

Somo La 2 Asili Ya Mungu – Utatu

Sehemu Ya 2: Utatu

Mungu Baba - Mkono, Yesu Mwana -Mwanakondoo, na Roho Mtakatifut-Njiwa Kwenye Kiti Cha Enzi – Munguni mmoja, na amejifunua kwetu kamaBaba, Mwana, na Roho Mtakatifu.Tunauita huu ufunuo wa Mungu, Utatu.Ijapokuwa kila mmoja ana majukumuyake, wakati mwingine huingiliana.

Historia Ya Wokovu: Tunaweza kuelewautendaji kazi wa Utatu kupitia kwa jinsiMungu alivyotenda kazi ulimwengunikatika nyakati tofauti. Baba ndiyealiyeonekana sana katika Agano la Kale.Katika Injili Mwana ndiye aliyeangaziwazaidi. Na Baada ya kufufuka kwa YesuRoho Mtakatifu Ndiye anayeangaziwazaidi. Wasomi wengi wameelezea hii kwakutumia picha ya historia yote ya wokovu.Si kusema kwamba Baba anageuka kuwaMwana, na baadaye kuwa Roho, lakiniwote watatu wanafanya kazi katika historiahuku mmoja akionekana zaidi katikanyakati tofauti..

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu ni Mmoja, lakini hujifunua kwa njia tatu.2. Mungu Baba.3. Mungu Mwana.4. Mungu Roho Mtakatifu.

Hadithi*Washirika wote watatu wa Utatu wanaweza kuonekana katika hadithi za Biblia zifuatazo:*Kubatizwa Kwa Yesu (Baba, Mwana, Roho Mtakatifu Wot wakiwa pamoja)- Mathayo 3. *Maneno ya Mwisho Ya Daudi - 2 Samueli 23 (v.2-3). *Sasa mwanadamu amekuwa kama sisi -Mwanzo 3:22; Mnara Wa Babeli –Natuichanganye lugha yao - Mwanzo 11:7.Maandiko*Ungamo la Israeli Ya Zamani –Sikia ewe Israeli, Yahweh ni Elohim (neno elohimu maanayake ni mungu katika hali ya wingi, kwa kitaalamu huitwa wingi wa uadhama). Yehova wetu niMmoja - Kumbukumbu La Torati 6:4.

Kumbukumbu za Maandiko:*Jinsi Agano Jipya Linavyoonyesha imani katika Mungu umoja wa Mungu: *Kuna MunguMmoja, Baba, ambaye kwa yeye vitu vyote viliumbwa. Kuna Bwana Mmoja, Yesu Kristo,tunaishi kupitia kwake - 1 Wakorintho 8:4-6. *Sasa Mpatanishi Si Wa Upande Mmoja Pekee;Huku Mungu ni Mmoja Pekee - Wagalatia 3:20. *Bwana Mmoja, Imani Moja, Ubatizo Mmoja;Mungu Mmoja na Baba wa Vyote - Waefeso 4:5-6. Angalia pia Warumi 3:30; 1 Timotheo 2:5;Yakobo 2:19; Ufunuo 11:17).

Mwingiliano Na Utofauti Wa Utatu:Huku kila mshirika wa Utatu akiwa amefunuliwa kivyake, vile vile kuna mwingiliano kati yao.Kwa mfano Isaya 9:6 inamtaja Masihi ajaye (Yesu), kama, “Baba wa Milele.” Na katika 2Wakorintho 3:17 inasema, “Bwana ni Roho.” 1 Wakorintho inarejea “Roho wa Mungu.” Nakatika milango ya kwanza ya Injili ya Yohana, tunaona kwamba ni “Neno” aliyeumbaulimwengu, ikilinganishwa na Mwanzo 1 na 2, ambapo inasema Mungu ndiye aliyeumbaulimwengu. Katika Yohana 1:14, mwandishi analitambulisha neno hili na Yesu anaposema,“Naye neno akawa mwanadamu na akakaa kwetu.” Yesu alisema, Mkioniona mimi, mmemuonaBaba, na “Mimi na Baba tu Kitu Kimoja,” na hata baada ya kusema hivyo tunaona kwambaalimwomba Baba katika Bustani Ya Gethsemane, na vile vile katika Sala Ya Bwana - Mathayo6:9.

Page 15: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 11

Tunaweza kutamatisha kwa kusemakwamba Mungu amefunua asili yake kwetukupitia kwa historia na kwa wanadamu.Hatuwezi kuelewa kabisa kabisa asili yaMungu, kwa sababu sisi ni wanadamu tu.Kwa hivyo ni lazima tuchukue kileambacho kimefunuliwa na tufahamukwamba fahamu kamili hauwezi kuelezwakibinadamu na tunaweza kutafakari ukuuwa nafsi yake.

Unaweza kutumia mifano ifuatayokufundishia Utatu: yai (ganda, sehemunyeupe, kiiniyai); maji (maji, mvuke,barafu);au majukumu ya mtu (mama,mke, mlezi).

Jina la Mungu na Utatu:*Jina la Mungu Elohim linaweza kutumika kuwafundisha watu juu ya Utatu. Jina “Elohim”limetukika katika hali ya wingi katika lugha ya Kiebrania. Wakati mwingine linatafsiriwa kama“miungu” linapoandikwa katika muktadha wa wale wanaoabudu miungu mingi. Linapotumiwakumrejea Mungu wetu, hutafsiriwa kama, “Elohimu, au Mungu.” Neno hili liko katika hali yawingi kuonyesha uadhama wa Mungu, ambap hauwezi kufasiliwa katika hali ya umoja. Baadhiya Maandiko ambayo yametumia neno hili ni kama: Mwanzo 1:26 (Tumfanye Mtu Kwa MfanoWetu); Kumbukumbu La Torati 6:4 ,”Sikilizeni Enyi Waisraeli, Yahweh wetu [jina la Mungula Agano, Huwa tunalistafsiri kama Bwana] ni Elohim [wingi wa Uadhama]. Yahweh wetu niMmoja (umoja, hali ya Umoja-tunamwabudu Kama Mmoja).” Na vilevile Katika Kutoa AmriKumi za Mungu, Kutoka 20:2-4a (“Mimi ni Yahweh, Elohim wenu, Niliwatoa Utumwani Misri.Msiabudu Miungu Mingine. Msitengeneze Sanamu”).

Kuumbwa Kwa Mume Na Mke katika uhusiano wa Ndoa:Mfano wa Mungu unapaswa kuonyesha maadili na sifa za kibinafsi za Mungu. Sura ya Munguya kimaadili na ya kibinafsi inajumuisha wema wote, utaua, haki, usafi, upendo, neema, nahuruma, ukarimu, rehema, ustawishaji, nguvu, uongozi, utunzaji na upaji. Uwezo halisi wawanadamu kuweza kuakisi mfano wa Mungu ulipungua wakati ule Adamu na Hawawalipotenda dhambi, lakini unarejeshwa upya katika maisha ya waamini wanapomtii Mungu -Warumi 8:29. Uhusiano wa ndoa unaonyesha ushirikiano na umoja wa Mungu wakati watuwaliooana wanapoishi maisha yanayompendeza Mungu na yanayoonyesha asili yake Mungu(“Tumfanye mtu kwa mfano wetu, mume na mke aliwaumba”- Mwanzo 1:26; Mwanzo 2:24-Watakuwa mwili mmoja). Uhusiano huu una uwezo mkubwa wa kutoa ushahidi kwa Munguwetu. Wakati wanandoa wanapokosa kuishi maisha ya kumpendeza Mungu, huwahawaonyeshi mfano wa Mungu duniani. Kumbuka kwamba Mungu ni roho. Kwa sababu yeyeni roho, si mke wala mume. Yeye ana sifa zote za kike na za kiume, lakini kwa kawaida huwatunamtaja kwa kutumia jinsi ya kiumbe (Angalia mfano wa maandiko yanayoakisi hulka za kike- Isaya 46:3; 49:15).

Sehemu Ya 2a: Mungu Baba

Mkono- Mungu Baba

Vichwa Vya Masomo:*Angalia Maandiko. Hadithi, na Maandiko hapo juu ya Sifa/Tabia zaMungu.

Sehemu Ya 2b: Mungu Mwana

Mwanakondoo- Yesu amaonyeshwakatika picha hii kama Mwanakondookulingana na taswira ya Biblia katikaKitabu cha Ufunuo; Isaya 53; kuna marejeoya Mwanakondoo wa Pasaka; naWanakondoo wa sadaka walitumiwa katikadhabihu za Agano la Kale. Alikuwa ndiyeMwanakondoo wa Mungu aliyechinjwakwa ajili ya dhambi za ulimwengu.

Taa ya utukufu wa Mungu niMwanakondoo- Ufunuo 21.23.

Kuna mafundisho mengine mengi juu yaYesu katika Biblia, mengi ya hayoyameonyeshwa katika Sura ya Yesu ndiyeJibu katika mfululizo safu huu.

Vichwa Vya Masomo:1. Yesu ndiye mfano wa Mungu Asiyeonekana.2. Yesu ndiye Mwanakondoo of Mungu.

(Tambua kwamba kunayo mafundisho mengi juu ya Yesu katika Biblia. Hayayatashughulikiwa katika sura ijayo na inayozungumzia habari za Yesu. Hapa chini kunamarejeo machache juu ya Yesu na Utatu, na Yesu kama Mwanakondoo wa Mungu.)

HadithiMafundisho juu ya uungu wa Yesu *Yesu, Ukiona Mimi, Umemwona Baba - Yohana 14:6-11. *Yesu na Baba ni Kitu Kimoja - Yohana 10:24-42. *Yesu Alikuwako Kabla Hajazaliwa Duniani- Yohana 8:58; 16:28.Mafundisho Juu ya Yesu kama Mwanakondoo wa Mungu- *Pasaka Ya Kwanza- Kutoka 12.*Yohana Mbatizaji anashuhudia na kusema, “’Tazama Mwanakondoo wa Mungu aondoayedhambi ya ulimwengu.”-Yohana 1:29. *Yesu kama Mwanakondoo wa Mungu- Ufunuo 5:6-14;7:9-14, 17; 12:11: 13:8; 14:1-4, 10; 17:14; 19:7; 21:23; 22:1-3. *Mungu anampa AbrahamuMwanakondoo- Mwanzo 22.Maandiko:Mafundisho juu ya uungu wa Yesu- *Juu ya Mwana alisema, “Kiti chako cha enzi, Mungu ni chaMilele na Milele”- Zaburi 45:6-7; Waebrania 1:8-9. *Hapo mwanzo kulikuwako Neno, nayeNeno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwaMungu.Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu - Yohana 1:1-14. *Nguvu za Yesu za Milele-Warumi 1:20. *Yesu ni mng'ao wa utukufu wake na chapa ya nafsi yake; Malaikanawamwabudu; Aliweka misingi ya dunia, mbingu ni kazi ya mikono yake - Waebrania1:3-13;Zaburi 110:1. *Ndiye Mungu wa kweli na Uzima wa milele- 1 Yohana 5:20. *Yeye ndiyeMfano wa Mungu Aliyeonekana, Mzaliwa wa Kwanza wa Viumbe Vyote - Wakolosao 1:15.*Kuna Mpatanishi Mmoja kati ya Mungu na Wanadamu, Mtu Kristo Yesu - 1 Timotheo 2:5-6;Warumi 8:34; Waebrania 7:25.Mafundisho Juu Ya Yesu Kama Mwanakondoo wa Mungu-*Yesu ndiye Mwanakondoo wa Pasaka- 1 Wakorintho 5:7; Isaya 53:7.*Mwanakondooalitolewa kila siku kama sadaka ya kuteketezwa ya kuondoa dhambi - Kutoka 29:38-42; Mamboya Walawi 3:7 (sadaka ya amani); sadaka ya dhambi- Mambo ya Walawi 4:32; sadaka yamakosa- Mambo ya Walawi 5:6-7; 9:3; Hesabu 7:15,21,27,33,39, n.k; 15:5; 28:6-14. Yesu

Page 16: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 12

kama sadaka ya dhambi zetu - Waebrania 9-10.Sehemu Ya 2c- Mungu RohoMtakatifu

Njiwa- Roho MtakatifuTunatumia picha ya njiwa kumwakilishaRoho Mtakatifu. Picha hii inatokana nahadithi ya ubatizo wa Yesu, wakati RohoMtakatifu alipotua juu yake kama njiwa.

Kuna mafundisho mengine juu ya RohoMtakatifu katika Biblia. Tumeyajumuishabaadhi ya masomo hayo hapa. Mafundishomengine mengi yatafuata katika suratofauti zitakazofuata.

Vichwa Vya Masomo:1. Roho Mtakatifu (Kwa Kiyunani ni-Paraklete-mtu anayekwenda

bega kwa bega pamoja nasi).2. Roho Mtakatifu ndiye Mfariji na Mshauri Wetu.3. Hutufundisha na Kutukumbusha Maandiko.4. Huuhukumu ulimwengu juu ya dhambi, haki na hukumu.5. Hutenda mambo kadhaa wakati wa kuokoka kwetu: Hutuosha

(hutuhuisha, hutusafisha); hukaa ndani yetu, hutubatiza katikaYesu, na kututia muhuri wa kuwa na uhusiano na Mungu.

6. The Roho Mtakatifu hutupatia karama za kiroho ili tuwezekumtumikia Mungu.

7. Roho Mtakatifu hutupatia ujasiri na nguvu za kuipeleka Injiliulimwenguni.

8. Hutuombea katika maombi.9. Hutuongoza kuishi maisha ya kiungu katika kumtumikia Mungu.10. Hutupa maneno ya kusema tunapoletwa mbele ya wengine kutoa

ushahidi juu ya Yesu.

Hadithi*Yesu anaongea juu ya Kuja kwa Roho Mtakatifu/Mfariji- Yohana 14:26. *Siku Ya Pentekote -Yohana 16:7-14; Matendo 2. *Kanisa Linakua Kupitia Kwa Faraja Ya Roho Mtakatifu-Matendo 9:31. *Roho Mtakatifu ndiye kiongozi wetu Katika Kung’amua Mwelekeo waHuduma Zetu - Matendo 16:6-7. *Msaada wa Roho Wakati wa Upinzani - Luka 12:11-12.Maandiko*Marejeo Ya Agano La Kale Kuhusu Roho - Mwanzo 1:2; Kumbukumbu La Torati 6:4. *Hutuonyesha Hatia Ya Dhambi, Uadilifu, Hukumu - Yohana 16:8. * Roho Hushuhudia UkweliMioyoni Mwetu - Warumi 9:1. *Roho Mtakatifu Hututakasa - 1 Wakorintho 6:11. *RohoMtakatifu Hutupatia Karama - Kutoka 31:3; 1 Wakorintho 12:7-11. * Roho Mtakatifu HututiaMhuri Kuwa Sisi Ni Mali Yake - 2 Wakorintho 1:22; Waefeso 1:13-14; Waefeso 4:30. *RohoMtakatifu Huishi Ndani Yetu - 1 Wakorintho 3:16; Warumi 8:9-11; Wagalatia 4:6; 1 Yohana3:24. * Roho Mtakatifu Hutusafisha na Kutufanya Wapya - Tito 3:5; Yohana 3:5-6. *MtapokeaNguvu Ili Mweze Kuwaambia Wengine Habari za Yesu- Matendo 1:8. *Hutujaza Nguvu KwaAjili Ya Huduma - 1 Wakorintho 2:4; Warumi 8:13; Wagalatia 5:17-18, 22-23. *Hutufundisha -Yohana 16:12-14; 1 Wakorintho 2:13. *Roho Mtakatifu Hutuombea Kwa Mungu - Warumi8:26. *Alimwambia Pauloo Kile Atakachofundisha - 1 Wakorintho 2:6-16.

Somo La 3 Mungu Aliumba Ulimwengu Wa Kiroho

Sehemu Ya 3:Mungu Aliumba Ulimwengu Wa

Kiroho

Malaika na pepo wakifanya kazi duniani– Malaika hufanya kazi kama wajumbe waMungu na walinzi. Pepo hufanya kazikuwafanya watu wasipokee Ukweli waInjili, na kuleta uharibifu kwa watu nakatika jamii kupitia dini za uwongo,mitindo ya maisha inayoleta uharibifu, nafalsafa zisizo za kiungu.

Vichwa Vya Masomo1. Mungu Aliumba Viumbe vya Kiroho.2. Mungu Atawala Viumbe Vya Kiroho.3. Viumbe Vya Kiroho Vina Uwezo Wenye Mipaka na Vina Hiari.4. Tunaweza Kuvigawa Viumbe Vya Kiroho Katika Makundi Mawili:malaika-wale wanaomtumikia Mungu; na pepo – wale waliomwasiMungu.Maandiko*Mungu Aliumba Jeshi La Malaika wa Mbinguni - Nehemia 9:6.

Page 17: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 13

Sehemu Ya 3a Viumbe VyaKiroho Vilivyo asi

Ngazi Za Nguvu Za Kiroho(Waefeso 6:12)

Falme (Waefeso 6:12)- Shetanianajulikana kwa majina mengi katikaBiblia. Majina yake yanaelezea tabia namatendo yake. Anaitwa Baba wa Uwongo,Adui, Mfalme Wa Nguvu za Anga, JokaKuu, Joka, na Yesu anamwita muuaji.Wakati mwingine hujitokeza kama malaikawa nuru (malaika mzuri). Yeye hutendakazi ndani za wale wasiotii. Nguvu zakezina mpaka na chini za mamlaka yaMungu.

Pepo wamechorwa wakiwa na pembe, hiini kutokana na yule mbuzi wa sadakaaliyebebeshwa dhambi katika Agano LaKale – wakati watu walipotumia tendo laishara la kumtwika yule mbuzi (mwenyepembe) dhambi zao, na kisha kumfukuzakwenda jangwani kufia huko. Mbuzi yulealionekana kama mfano wa dhambi.Kichwa cha yule mbuzi kilitumiwakuwakilisha Shetani katika michoro ya diniza kipagani. Lengo la picha hii ni kuonakwamba ni rahisi kumchora Shetani, na sikwamba hivi haswa ndivyo alivyo.

Mamlaka (Waefeso 6:12) – Hakunamengiyanayozungumziwa juu ya mamlakakatikaBiblia. Ni sehemu ya ngazi zaviumbe vya kipepo vinavyotenda kazi nakuushawishi ulimwengu.

Vichwa Vya Masomo:1. Yule malaika mzuri zaidi, kwa jina Shetani, alitaka kukaa katika

kiti cha enzi cha Mungu awe na mamlaka na aabudiwe.2. Mungu alimfukuza huko mbinguni.3. Shetani alichukua theluthi moja ya malaika (wanaoitwa pepo).4. Shetani na pepo wake sasa wanafanya kazi duniani wakiwafumba

macho wale wasioamini wasiujue Ukweli na kuwafanya watukuishi maisha ya yaletayo madhara makubwa kupitia mitindomibaya ya maisha, na dini za uwongo.

5. Pauloo anafundisha juu ngazi za pepo katika Waefeso 6:12 (Ngazihizo zimeorodheshwa hapa chini).

Ngazi Za Nguvu Za Kiroho (Waefeso 6:12):

FalmeHadithi*Shetani anawajaribu Adamu na Hawa wamwasi Mungu- Mwanzo 3. *Shetani alijiinua,akatupwa kutoka Mbinguni - Ezekieli 28:11-19; Isaya 14:12-15; Luka 10:18. *Shetanialichukua theluthi ya malaika pamoja naye - Ufunuo 12:4. *Shetani anawapinga wenye haki -Ayubu 1-3. Kujaribiwa kwaf Yesu- Mathayo 4:1-11. Shetani amamzuia Paulo kulitembeleakanisa la Thesalonike - 1 Wathesalonike 2:18. Shetani anamjaribu Daudi kuhusu kuhesabiwakwa watu na watu wengi wanakufa - 1 Mambo Ya Nyakati 21:1-30. Shetani amamshtakiYoshua, kuhani mkuu mbele ya Mungu - Zekaria 3:1-10. Shetani anaushawishi moyo wa Petrokuangalia mambo kwa mtazamo wa mwanadamu badala ya mtazamo wa Mungu- Mathayo16:23; Shetani anamwingia Yuda Iskariote na kumshawishi amsaliti Yesu kwa pesa - Luka22:3-6. Shetani anaujza moyo wa Anania na kumshawishi kuwa na tamaa mbaya nakudanganya - Matendo 5. Mpinga Kristo atatenda kazi bega kwa bega na Shetani- 2Wathesalonike 2:9. Kuna wale ambao wamejua mambo ya kina ya Shetani - Ufunuo 2:24.Maandiko*Shetani ni Mtawala ama Mfalme - Waefeso 2:2; Yohana 12:31. *Shetani ni Mungu wa Duniahii (Shetani) Huyafumba macho ya Watu wasioamini - 2 Wakorintho 4:4. *Marejeo ya kiti chaenzi cha Shetani.- Ufunuo 2:13. *Shetani ni muuaji na Baba wa Uwongo - Yohana 8:44.*Shetani ni adui Yetu - 1 Petro 5:8. *Shetani Ni Mjaribu - Mathayo 4:3; 1 Wathesalonike 3:5.*Shetani Hujifanya Kuwa Malaika wa Nuru - 2 Wakorintho 11:13-14. *Hutenda kazi ndani yawale Wasiotii - Waefeso 2:2. * Shetani Ana Nguvu Zilizo na Mpaka - 2 Wathesalonike 2:9-12.*Shetani siku Moja Atatupwa Katika Ziwa La Moto - Mathayo 25:41; Yohana 12:31; Yohana16:11; Wakolosai 2:15; Ufunuo 20:10. *Mungu wa amani atamponda Shetani chini ya miguuyenu - Warumi 16:20.

MamlakaMaandiko*Biblia haisemi mengi juu ya kundi hili. Hapa kuna marejeo ya Biblia juu ya Mamlaka -

Page 18: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 14

Wakuu wa Giza (Waefeso 6:12)- Viumbevya kipepo vinavyotawala sehemu zadunia, vikishawishi serikalikuwakandamiza watu, dini za uwongo, nakuishi maisha yanayoleta uharibifu.Mfano- Mkuu wa Ufalme Uajemi katikaDanieli 10:13.

Majeshi Ya Pepo Wabaya (Waefeso6:12).- Huenda hizi ni nguvu za wachawi,waganga, walozi, wapiga ramli ambaohutumia nguvu hizi kwa kufanyia memaama mabaya. Wakati mwingine huitwauchawi ama uganga. Ni nguvu za pepowabaya, ambao hufanya kazi kwa karibusana na wanadamu. Hawa ndio wanawezakujitokeza kwa mtu kwa njia ya ndoto,kama mtu aliyekufa -mababu.

Waefeso 6:12; 1 Wakorintho 15:24; Col. 2:15; 1 Petro 3:22.

Wakuu wa GizaMaandiko*Nguvu za Giza za Dunia hii - Danieli 10:12-13, 20; Warumi 8:38; 1 Wakorintho 15:24;Wakolosai 2:15; 1 Petro 3:22

Majeshi Ya Pepo WabayaMaandiko*Vita vyetu ni dhidi ya nguvu za giza za kiroho - Waefeso 6:12-13. *Hufundisha Mafundishoya Uwongo - 1 Timotheo 4:1-3. *Malaika Waliacha Sehemu Yao - Yuda 1:6-7. *Huzitanguaishara ya waongo - Isaya 44:25.

Sehemu Ya 3b Malaika waMungu

Malaika Wawili - Mikaeli, ndiye malaikamkuu; na mwingine ni Gabrieli, ambaye nimjumbe maalum wa Mungu. Malaikahawa wawili wanaonekana kutajwa sanakatika Maandiko.

Malaika wanaonekana hapa wakiwa namabawa, lakini kwa kweli hatujui ikiwamalaika wote wana mabawa. Makerubikwenye Sanduku la Agano walikuwa namabawa. Lengo la picha ni kuhakikishakwamba mawasiliano yanafanyika kwaurahisi, wala sio kwamba hivyowalivyochorwa ndivyo walivyo. Hizi piani picha ambazo zimetumiwa mahalikwingi duniani kuwakilisha malaika.

Vichwa Vya Masomo:1. Malaika ni viumbe vilivyoumbwa na vyenye nguvu zenye mpaka.2. Idadi ya malaika ni mara mbili ya ile ya pepo.3. Malaika ni wajumbe wa Mungu.4. Huwahudumia waamini.5. Watoto wana malaika wa kuwalinda mbele za Mungu.6. Malaika huwalinda waamini.7. Hatupaswi kuwaabudu malaika.8. Siku ya mwisho tutawahukumu malaika.9. Wakati wa kuja kwa Yesu malaika watawakusanya waamini.10. Wameumbwa ni si mababu waliokufa zamani.

Malaika wa MunguMalaika Wawili Wanaoongoza - Mikaeli na GabrieliHadithiMikaeli *Mikaeli anapambana na Mkuu wa ufalme wa Uajemi - Danieli 10:13, 21. *Mikaelianasimama kuwalinda watu - Danieli 12:1. *Mikaeli anapambana na ibilisi, lakini anamwombaBwana kumkemea - Yuda 1:9. *Mikaeli anapigana vita dhidi ya ibilisi huko mbinguni - Ufunuo12:7. Gabrieli *Gabrieli anatamtafsiria Danieli maono - Danieli 8:16. *Gabrieli anaongea naDanieli juu ya maono - Danieli 9:21-27. *Gabrieli anamtokea Zakaria- Luka 1:19. *Gabrielianamtokea Mariamu- Luka 1:26-38.

Jeshi La MalaikaHadithi

Page 19: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 15

Jeshi La Malaika – Hawa ni wale malaikawanaomtumikia Mungu kama wajumbe,walinzi, na waanzilishi wa kazi ya Munguduniani.

*Malaika Wanalinda Israeli Vitani na Waaramu-2 Wafalme 6:8-23. *Malaika AnamwonyaYusufu Kukimbilia Misri-Mathayo 2:3-15. *Malaika Huwalinda Watoto kwa njia Maalum-Mathayo 18:10.*Malaika Wanawasaidia Waamini Kuepuka Hatari-Matendo 12:6-11. * Malaika HutekelezaHukumu, Sodoma na Gomora-Mwanzo 19:1-29 *Malaika Anawapatia Mariamu na YusufuUjumbe- Luka 1-2; Mathayo 2:19-20. * Malaika Wanatangaza Kuzaliwa Kwa Yesu- Luka 2:8-15. * Malaika Wanamtia Yesu Nguvu Kabla Ya Kukamatwa Kwake- Luka 22:39-43.*Malaika Wanatangaza Kufufuka Kwa Yesu Kutoka Mautini-Mathayo. 28:1-7; Marko 16:2-7;Luka 24:1-7; Yohana 20:10-11; Matendo 1:10-11. *Malaika wanamhudumia Yesu baada yakujaribiwa na Shetani nyikani - Mathayo 4:11.

Maandiko*Je! Hao wote si roho watumikao, wakitumwa kuwahudumu wale watakaourithi wokovu?Waebrania 1:14. *Malaika Hawapaswi Kuabudiwa - Col. 2:18. *Hekima ya MunguImefunuliwa kwa Malaika Kupitia kwa Kanisa - Waefeso 3:8-12. *Malaika wanatekeleza Nenola Mungu na Kumtii yeye. Wanamtumikia Mungu katika Sehemu Zote za Utawala Wake -Zaburi 103:20-22. *Huagiza malaika watulinde nao hutulinda kwa njia zote - Zaburi 91:11.*Malaika hutoa Ulinzi Maalum Kwa Watoto - Mathayo 18:10. *Malaika wasiohesabikawatakizunguka kiti cha enzi huko Mbinguni, wakimtukuza Mungu na Mwanakondoo (Yesu)-Ufunuo 5:11-14. *Malaika Watawakusanya Waamini Siku Ya Mwisho - Mathayo 24:31.*Tutawahukumu Malaika - 1 Wakorintho 6:3.

Page 20: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 16

Sura ya 2 Kielelezo : Mungu na Uumbaji Wake Wa Vitu Vionekanavyo

Page 21: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 17

Page 22: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 18

Sura ya 2: Mungu na Uumbaji Wake wa Vitu Vionekanavyo

Ufafanuzi wa Jumla

Kielelezo cha 1: Ni picha ya Uumbaji wa Mungu wa vitu ambavyo vinaweza kuonekana,malengo yaMungu katika uumbaji na katika familia. Sehemu ya juu ya picha hii ni Kiti Cha Enzi chaMbinguni kama kilivyoonyeshwa katika Sura ya 1. Mungu Baba, Mwana na Roho Mtakatifuwameonyeshwa pia wakiwa katika Kiti Cha Enzi juu ya uumbaji. Kuna mstari ambaoumemtenganisha Mungu na Uumbaji wake. Mstari huu lengo lake si kuwakilisha Munguambayeyuko mbali, bali tu unawakilisha tofauti iliyopo kati ya Muumbaji na viumbe.

Katika upande wa kulia wa mviringo au dunia kuna zile siku sita za uumbaji, siku ya saba ya mapumzikohaijaonyeshwa. Upande wa kushoto mviringo, ni mfano wa sehemu za duniani wanakoishi watu. Bibliainasema kwamba Mungu alipanga mahali ambapo wanadamu wangeishi, ili kutoka hapo waweze kumtafuta.

Katikati ya picha, ni mume na mkewe wakiwa na watoto wao. Vilevile kuna Biblia iliyoizunguka familia.Mwanamume na mwanamke wako katikati ya picha kwa sababu hao ndio kilele cha uumbaji wa Mungu. Mviringounaoizunguka familia unaonyesha kuwa kila familia (mume, mke na watoto) ni kitu kimoja. Familia nyingi kwapamoja huunda jamii.

Mume na mke ndio mashahidi wa Mungu kwa sababu wameumbwa kwa mfano wake na wanapaswa kuonyeshatabia ya yake Mungu. Mume na mke wanapaswa kuishi kulingana na njia za Mungu na kuwafunza watoto wao njiahizo za Mungu kila wakati.

Malengo Ya Sura ya 2 Kuthibitisha kwamba Mungu aliumba ulimwengu unaoonekana, kwa ufahamu, mpangilio na lengo. Kufundisha kwamba Mungu aliwaweka wanadamu duniani kama alivyopenda yeye mwenyewe ili

wamtafute yeye. Kufundisha kwamba mume na mke wameumbwa kwa mfano wa Mungu, na maana ya kuakisi mfano wa

Mungu. Kufafanua maana ya familia kuwa inaundwa na mume mmoja, mke mmoja, na uzao wao (pamoja na watoto

wa kupanga). Kuonyesha kwamba jukumu kubwa la jamii ni kulea watoto katika kicho cha Bwana. Kufafanua majukumu ya mume, mke na watoto.

Sura ZinazohusianaSura ya 1: Sura ya kwanza na ya pili zinahusiana kwa sababu zote zinahusu uumbaji wa Mungu na lengo lake.Sura ya 10: Maisha ya kifamilia ya mwamini sharti msingi wake uwe Neno la Mungu.Sura ya 11: Lazima tuhakikishe kwamba tunakuwa mawakili wazuri wa zile baraka ambazo Mungu anapatia familia zetu

Ufafanuzi wa Picha

Somo La 1: Siku za Uumbaji wa Vitu Vionekanavyo

Sehemu ya 1: MarudioSura ya 1

Kiti cha Enzi- Mungu niMuumba Mwenye enzi.

Vichwa vya Marudio:1. Mungu ndiye Muumbaji na Mtunzaji wa Viumbe Vyake.2. Yeye ana Mamlaka Juu Ya Viumbe Vyote.

Page 23: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 19

Siku ya 2: Aliumbaulimwengu na mawinguangani- Mungu aliumba mbingu.

Siku ya 3: Ulimwengu uliona ardhi na miti - Mungualiumba ardhi na mimea.

Siku ya : Ulimwengu ulio nausiku/mwezi na nyota namchana/jua - Mungu aliumbajua na mwezi, mchana na usiku.

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu aliumba kila kitu kwa Maneno Ya Kinywa Chake.2. Siku ya 1-Mungu Aliumba Nuru na Giza.3. Siku ya 2-Mungu aliumba ulimwengu na mawingu angani.4. Siku ya 3-Mungu aliumba ardhi na mimea.5. Siku ya 4-Mungu aliumba jua, mwezi, siku, na usiku, kuonyesha majira,

siku za sherehe, na miaka.6. Siku ya 5-Mungu aliumba viumbe vya baharini na ndege.7. Siku ya 6-Mungu aliumba wanyama, na mwanamke na mwanamume.8. Siku ya 7-Mungu alipumzika katika kazi zake, akaumba mapumziko ya

sabato.9. Mungu aliona viumbe vyake kuwa vizuri.10. Mungu hutunza na kushikanisha pamoja viumbe.

Siku Saba za UumbajiHadithi*Habari za Uumbaji - Mwanzo 1-2.Maandiko*Mungu Aliumba Vitu Vyote Kwa Neno - Zaburi 33:6, 9; Waebrania 11:3; Yohana 1:1-4. *Mungu AliumbaVyote Vionekanavyo Na Visivyoonekana - Mwanzo 1-3. *Anavifanya vitu vyote kushikamana pamoja -Wakolosai 1:16-17. *Mungu Aliumba Mchana na Usiku, Majira ya joto na Baridi, Na Mipaka ya Dunia -Zaburi 74:16-17. *Mungu aliweka misingi ya dunia, na kanuni za kiasili. Na hatawaangamiza watu Wake -Yeremia 31:35-40. *Mungu Aliumba vilindi vya Dunia na Juu Ya Milima - Zaburi 95:4-5. *Muda NchiIdumupo, Majira ya Kupanda, na Mavuno, Wakati wa Baridi na Wakati wa Hari, Wakati wa Kaskazi nawakati wa Kusi, Mchana na Usiku, Havitakoma - Mwanzo 8:22. *BWANA, mkombozi wako, yeyealiyekuumba tumboni, asema hivi; Mimi ni \nd Bwana\nd*, nifanyaye vitu vyote; nizitandaye mbingu pekeyangu; niienezaye nchi - Isaya 44:24.

Siku ya 5: Ulimwengu uliona samaki na ndege - Mungualiumba ndege wa angani nasamaki baharini.

Siku ya 6: Ulimwengu ulio na wanyama, wadudu, na wanadamu -

Mungu aliumba mifugo, wadudu watambaao chini, na watu.

Siku ya 7: Haikuchorewa picha. Mungu alipumzika katika siku ya saba.

Page 24: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 20

Sehemu ya 3: Mungualiumba ulimwengu kwalengo kubwa na ufahamumkubwa.

*Mungu aliumba ulimwengu kwahekima na ufahamu mwingi.Kuna mambo ya kina katikauumbaji wa Mungu kamainavyodhirishwa nakweli zifuatazo: Watuwameumbwa kwa mfano waMungu wakiwa na uungu nauadilifu ndani yao. Mungualianzisha uhusiano wa mume namke na lengo zima la familia.Vilevile alianzisha sikukuu zakusherehekea kazi ya Mungu namajaliwa yake. Mungu hakuumbatu ndege wa angani, lakini piaaliwafunza jinsi ya kutengenezaviota vyao. Aliwapa watu ujuzi navipawa kama alivyopenda yeyemwenyewe na pia amewawezeshawatu kuendeleza ujuzi waokufikia viwango vya juu katikahistoria ya dunia. Munguhakuuweka tu ulimwengu na maliasilia mahali pake, bali piahuchangamana na uumbaji wakekwa niaba ya watu wake.

Kijiji: Picha zifuatazo katikaupande wa kushoto wa kurasazinahusiana na mafunzo yaliyokatika Matendo ya Mitume 17.Mungu anasema kuwa alituwekaduniani na mahali maalum kwakuishi ili tuweze kumtafuta yeye.

Picha ya upande wa kushoto:Watu wengine wamepangiwakuishi.

Jangwa: Mungu aliwapangiawatu wengine kuishi jangwani.

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu hakuumba vitu bila mpangilio, aliumba ulimwengu kwa ufahamu

na lengo kubwa.2. Mungu aliwaweka wanadamu duniani kwa kusudi Fulani kama

alivyopenda (kulingana na Matendo 17:26-27).3. Mungu ana mpango na maisha yetu (Zaburi 139:13-16).4. Mungu aliweka habari zinazomhusu yeye katika uumbaji wake.

Hadithi* Mungu Aliwaweka Watu Duniani Kama Alivyokusudia, ili wamfuate-Matendo 17:26-27. **Mungualitufanya, Alituona Wakati Wa Uumbaji, Ana kusudi na Maisha Yetu-Zaburi 139:13-16. - Zaburi 139:13-16. * Yesu Anatufundisha Kuhusu Rehema Za Mungu Zinazodhihirishwa Kupitia Uumbaji-Mathayo 5:45;Mungu Anamfundisha Ayubu Juu ya Uumbaji Wake-Ayubu 38-41.Maandiko* Mungu aliumba watu, Akaona mwili uliokuwa haujaumbika katika kilindi cha Dunia wakati wa uumbaji-Zaburi 139:14-15. * Mungu anajifunua katika uumbaji -Warumi 1:20 - Warumi 1:20-21.* Mungu anajifunuaKatika Mioyo Ya Wanadamu-2 Wakorintho 4:6. **Vitu Vyote Viliumbwa Kwa Mapenzi Ya Mungu-Ufunuo 4:11. * Mungu Aliuanzisha Ulimwengu kwa Hekima na Ufahamu Wake-Yeremia 51:16. * MunguAlianzisha Nguvu Za Upepo, Akaanzisha Maji, Akatengeneza Njia Ya Mvua ya Radi, Na Kukadiria HekimaKatika Uumbaji-Ayubu 28:24-27. * Kwa Hekima ya Mungu aliweka Misingi ya Dunia, Kwa UfahamuAliweka Mbingu pahali pake, Na Kwa Ufahamu Vilindi Vilipasuka Na Mawingu Yakadondosha Umande-Mithali 3:19-20. * Uumbaji Unatangaza Utukufu wa Mungu-Zaburi 19:1-4. * Mungu Anafanya Kazi DaimaKatika Uumbaji Wake-Zaburi 145; Yohana 5:17; Waebrania 1:2-3.*Zaburi za Uumbaji Ziliandikwa kamaUshahidi Kwa Mataifa Mengine Kwamba Mungu Ni Mungu Mmoja wa Kweli - Zaburi 104. * Mungualiwaumba Matajiri na Maskini Wote Sawasawa-Mithali 22:2. * Mungu Ni Mfinyanzi, Sisi ni Udongo tu,Na Anaweza kugeuza Mipango Yetu Sawa na Tunavoendelea Kumtii Au Kumuasi-Isaya 64:8; Yeremia18:1-11. *Mungu anafanya kazi katika uumbaji - Maskini na fukara wakitafuta maji wasipate, wakiwawamekauka koo kwa kiu, mimi Mwenyezi-Mungu nitawajibu; mimi Mungu wa Israeli, sitawaacha.Nitabubujisha mito kwenye milima mikavu, na chemchemi katika mabonde. Nitaigeuza nyika kuwa bwawala maji, na nchi kame kuwa chemchemi za maji. Nitapanda miti huko nyikani: mierezi, mikakaya, mijohoro,na mizeituni; nitaweka huko jangwani: miberoshi, mivinje na misunobari. Watu wataona jambo hilo, naowatatambua na kuelewa kwamba mimi Mwenyezi-Mungu nimetenda hayo, mimi Mtakatifu wa Israelinimefanya jambo hilo.” * Matendo ya Mungu ya Uumbaji ujao: Ataumba Mbingu Mpya na Nchi Mpya-Isaya 65:17-25. *Mbingu Mpya na nchi mpya, ambamo haki inadumu - 2Petro 3:13; 2 Petro 3:7.

Ushahidi wa Mungu unaopatikana katika uumbaji: Jinsi Wayahudi walivyotumia wimbo wa kipaganikutoa ushuhuda unaoonyesha kwamba Mungu ni mkuu kuliko miungu ya uwongo.

Soma Zaburi 104 (Zaburi Ya Uumbaji) kwa Kuilinganisha Na Nyimbo Za Kipagani Za Ugarit Za WakatiHuo. Mwandishi wa Zaburi anatumia virai kutoka kwa Sifa Za Baali kwa Kiingereza Baal Epic, kuonyeshakwamba Mungu wa Israeli ndiye Mungu mkuu na wa kweli. Ukiangalia utaona kwamba mwandishi waZaburi ameondoa jina la Baali na mahali pake kuweka jina la Mungu kwa Kiebrania, El (Mungu). Pia kaulizake kumhusu Mungu zina uzito mkubwa kushinda zile kauli zinazomhusu Baali.

Zaburi 104:3- Mungu ndiye anayefanya mawingu gari lake.

Ugaritic- Baali ndiye mwendeshaji wa mawingu.

Zaburi 104:4- moto na miale ni tashihisi (personifications) za wahudumu au malaika wa Bwana.

Ugaritic- moto na miale hutumiwa kutayarishia fedha na dhaabu za hekalu la Baali.

Zaburi 104:7- radi ni sauti ya Bwana.

Ugaritic- radi ni sauti ya Baali.

Zaburi 104:16- Mungu aliotesha mierezi ya Lebanoni.

Wimbo Wa Ugaric-Miti kutoka Lebanoni ilitumiwa kujengea hekalu la Baali.

Ugaritic-Miti kutoka Lebanoni ilitumiwa kujengea hekalu la Baali.

Page 25: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 21

Msitu wa mvua: Mungualiwapangia watu wengine kuishikwenye misitu ya mvua.

Sehemu zenye milima namaziwa: Mungu aliwapangiawatu wengine kuishi kwenyesehemu zenye milima na maziwa.

Zaburi 104:13-Mungu huinyeshea mvua milima kutoka juu.

Wimbo wa Ugarit-Kufunguluwa kwa dirisha la Baali kunyeshea Dunia.

Zaburi 104-Kwa kuongezea, Mungu Ndiye Anayevipatia Viumbe Maji Na Chakula. Hufanya Majira.Hutunza Kila Kitu Kinachoihusu Dunia.

Somo La 2: Familia ni Mpango/Azimio La Mungu

Sehemu ya 2a: Mungu aliumbamwanamke na mwanamume

waonyeshe mfano wake.

Familia iliyochorwa kwenyeBiblia- Mwanamume na mwanamkewaliumbwa kwa mfano wa Mungu.Lakini ajabu ni kuwa, ni umoja waona uhusiano wa ndoa, kudhiirisha sifa zaMungu kwa watu wengine, na sifatofauti Mungu alizowapa waume nawake ambazo kwa pamoja zinatoa sifatukufu ya mfano wa Mungu. Kwahivyo, ndoa za jinsia moja, yaaniwanaume wawili au wanawake wawiliau kuwa na wake au waume wengi,mapenzi ya nje ya ndoa, dhuluma zakimwili, roho auhisia au namna yoyote ile ya dhambihaitoi mfano mzuri au kuwakilishamaadili ya Mungu. Mungu ni mtukufuna hujidhihirisha kama Baba, Mwana naRoho Mtakatifu. Watu wawili wakiishipamoja na kuwa na uhusiano mzuribaina yao, wataonyesha Umoja waMungu na utukufu wake.

Vichwa Vya Masomo:1. Wanadamu waliumbwa wakati wa kilele cha uumbaji wa Mungu kwa

ajili ya utukufu wa Mungu.2. Mungu aliumba mwanamke na mwanamume kwa mfano wake. Hii

inajumuisha watu wote.3. Mungu anapenda tuonyeshe Umoja wa Mfano wake katika uhusiano

wa ndoa.4. Mungu anapenda tuonyeshe mfano wake katika haki na utakatifu wa

Kweli.5. Hatustahili kuwalaani watu au kuwaua kwa sababu waliumbwa kwa

mfano wa Mungu.

Mungu aliumba Mwanamke na Mwanamume kwa Mfano WakeHadithi*Hadithi ya Uumbaji: Wanadamu Waliumbwa Kwa Mfano wa Mungu - Mwanzo 1:26-28; 5:1-2.*Usiue, Mtu aliumbwa kwa mfano wa Mungu; Usiue, Mtu aliumbwa kwa mfano waMungu; - Mwanzo 9:6; Kutoka 20:13. *Wanadamu wako Juu Kuliko Wanyama - Mwanzo 1:28;2:19-20.

Maandiko*Tuliumbwa awe kama Mungu Katika Hakina Utakatifu - Waefeso 4:22-32. *Tunafanywa UpyaKatika Maarifa Kulingana na Mfano wa Mungu- Wakolosai 3:9-11. *Hatupaswi Kuwalaani WatuKwa Sababu Waliumbwa kwa Mfano wa Mungu - Yakobo 3:8-18. *Tunaakisi Utukufu na Mfano waMungu - 2 Wakorintho 3:18. *Wanawake Wako Sawa na Wanaume Machoni pa Mungu - Wagalatia3:28. *Uhusiano wa Ndoa ni Uhusiano wa Kuwa Mwili Mmoja - Mwanzo 2:21-25; Mathayo 19:5-6;Marko 10:8-9; 1 Wakorintho 6:15-20; Waefeso 5:21-33.

Sehemu ya 2b: Mungualiwaamuru mume na mke

kutawala viumbe na wazaanena kuongezeka.

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu alianzisha umoja wa mwanamume na mwanamke katika ndoa

kama mfano bora wa familia.2. Muungano wowote au maisha ya uzinifu ni kwenda kinyume na

Page 26: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 22

Picha Ile ile

(Tambua: Hii si kusema kwambawazazi walio peke yao pamoja nawatoto wao si jamii machoni mwaMungu. Tunachosema hapa nikwamba kusiwe na mageuzi katikakuunganishwa kwa wawili katikandoa.

mpango wa Mungu na njia zake (Yaani mume na mume kuoana; mke namke; mume kuwa na wake wengi; Mke kuwa na waume wengi;kujamiiana kwamaharimu, au kulala na wanyama; ngono nje ya ndoa; na ponografia).

Maandiko*Mungu ni shahidi iwapo utamdanganya mke, anapenda tuwe na uzao wa kiungu - Malaki 2:14-16;see also 1 Wakorintho 7:14. *Mungu alisema, “Mkazaane, muongezeke, muijaze dunia - Mwanzo 9:1.Mpango wa Mungu ni kwamba wote wawili wabaki kuwa mwili mmoja - angalia Mwanzo 1:27; 5:2;Marko 10: 2-9. *Yesu anafundisha kwamba anayemuoa ama kuolewa na mtu mwingine baada yakutalakiana na mwenzake anazini, hii ni kwa wote wawili mume na mke - Marko 10:10-12.(Kuhusiana na Ndoa); Mathayo 19:3-9; Marko 10:1-12 (Yesu anajibu Swali juu ya Talaka); 1Wakorintho 6:12-20 (Paulo Anazungumzia Swala la Ukahaba).

Sehemu ya 2c: Lengo laMungu Kwa Familia ni kuona

kwamba wazaziwanawafundisha watoto wao

njia za Mungu.

Picha Ile ile

Biblia katika picha- Mume na mkehuwafundisha watoto njia zaMungu. Maana ya manenoyanayotumiwa kwa maana yakufundisha katika Biblia yanajumuisha,kufundisha yale yaliyompendezaMungu, kile kilicholeta ukomavu waufahamu, na kile kilichonoa hekima.Kwa maana wazazi ndiyo walio karibukabisa na watoto wao, watoto wanawezakufundishwa imani halisi kwa sababuwatoto huona jinsi wazazi waowanavyokabiliana na hali nzuri nambaya. Watoto huona jinsi wazazi waowanavyoishi katika imani katikamazingira ya kila aina usiku na mchana(Kumbukumbu La Torati 6 inatuagizakufundisha njia za Mungu tunapolala,tunapoketi, tunaposimama na,tunapotembea –hii ina maana ya wakatiwote). Kanisa pia lina jukumu kubwa lakuwafundisha watoto, lakini halinaathari kubwa kwa wototo kama wazazi.Wazazi wanapaswa kusoma Bibliapamoja na watoto wao, kufandisha, nakuomba pamoja nao kila siku.

Mungu anapenda tuwe na uzao waKiungu. Kwa hiyo tunapaswakuwafundisha watoto wetu juu ya njiaza Mungu wakati wote.

Vichwa Vya Masomo:1. Waume na wake wanapaswa kuwafundisha watoto wao njia za

Mungu.2. Mungu anapenda tuwe na uzao wa Kiungu.

Hadithi*Familia zinampokea Yesu kama Bwana na Mwokozi wao-Familia ya Kornelio-Matendo 11:4;Familia ya Ludia-Matendo 16:31-34. *Kila familia ilikuwa ni ichinje mwanakondoo na kupaka damukwenye vizingiti vya mlango ili kuepuka malaika wa mauti kabla ya kutoka Misri -Kutoka 12:3-15.*Rahabu na familia yake waliokolewa kwa sababu waliwasaidia wapelelezi-Yoshua 6:23.*Wanaoamini kupitia kwa Yesu Kristo, huwa sehemu ya familia ya Ibrahimu - Wagalatia 3:7-8. *Yoshua Anasema Kusudi la Familia Yake Ni Kumtumikia Bwana, na Si miungu ya nchini mwao -Yoshua 24:15. * Ibrahimu Aliifundisha nyumba yake katika njia za Mungu-Mwanzo 18:19.

Maandiko*Sharti Tuwafundishe Watoto Wetu Tunapolala, Tunapoamka, Tunapokaa, Tunaposimama,Tunapotembea, na kuandika Sheria Kwenye Miimo ya Milango Nyumbani - Kumbukumbu La Torati6:6-9. * Mungu ni shahidi iwapo utamdanganya mke, anapenda tuwe na uzao wa kiungu - Malaki2:14-16; see also 1 Wakorintho 7:14. *Mungu aliweka sheria Israeli kwamba baba sharti awafundishewatoto wake kumtegemea Mungu, na si kufuata uasi - Zaburi 78:5-8. *Watoto ni zawadi na BarakaKutoka Kwa Mungu- Zaburi 127:3-5. *Watoto Hujifunza Tangu Utotoni Juu ya Bwana- 2 Timotheo3:14-15. *Hatupaswi Kuwapenda Watu wa Familia Zetu Kuliko Mungu - Mathayo 10:37. *Mama naBaba Wana Wajibu wa Kuwalea Watoto Katika Njia za Mungu - Kumbukumbu La Torati 31:12-13;Mithali 1:8; 6:20-23. *Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.-Mithali 22:6. *Imani ya Kweli Iliyopitishwa Kutoka Kwa Bibi/Nyanya hadi Kwa Watoto - 1Timotheo 1:5.

Sehemu Ya 2d: Jukumu laMume.

Picha Ile ile

Vichwa Vya Masomo:1. Yesu ndiye Bwana wa nyumba.2. Wanaume sharti wawe na uhusiano mzuri na Bwana Yesu, uhusiano

uliostawishwa kwa maombi, Kujifunza Biblia, kuabudu, nakumtumikia Mungu.

3. Waume wanastahili kuishi chini ya Uongozi wa Kristo, wakidhihirishauungu nyumbani na katika jamii.

4. Waume sharti wawapende wake zao kama wanavyojipenda wenyewe,wakionyesha jukumu la Kristo la kuwa Bwana/Mwokozi.

Page 27: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 23

5. Waume ni vichwa (vyanzo) vya nyumba, wakitoa mwelekeo wakiungu, jina la kiungu, na nguvu za kimwili, kimaadili na kihisia kwafamilia zao.

6. Waume na Wake sharti wanyenyekeane (Waefeso 5:21).7. Waume sharti wakutane na mahitaji ya jamii zao.8. Waume sharti waishi katika uhusiano wa mwili mmoja na wake zao.9. Waume sharti waishi na wake zao kwa njia ya kuwaelewa.10. Waume hawapaswi kuwachokoza watoto wao.11. Waume sharti washirikiane na wake zao katika kuwafundisha watoto

katika njia za Bwana.12. Waume sharti wamtumikie Mungu kwa karama zao na kuziendeleza

karama hizo, lakini si kwa kuzipuuza familia zao.13. Maamuzi ya nyumbani sharti yafanywe kwa kutegemea utakatifu,

hekima, na makubaliano ya jumla na kwa maombi.14. Waume watatawala na Kristo na kuwa warithi pamoja naye siku yamwisho.

Mafundisho Ya Maandiko Juu Ya Jukumu la MumeHadithi*Adamu anasema kwamba mwanamke ni nyama ya nyama yake na mifupa ya mifupa yake - Mwanzo 2:23. *Ayubu ni Baba Mzuri - Ayubu 1:1-5. *Mababa Wasio Waaminifu - Yeremia 7:17-20. *Eli Hakuwarekebisha Watoto Wake - 1 Samueli 2:12-4:11. *Nadhiri ya Kijinga ya Baba -Waamuzi 11:30-40. *Fumbo la Baba Mzuri - Luka 15:11-32. *Baba Hutoa Vipawa Vyema - Mathayo 7:9-11. *Abrahamu Anamuombea Ishmaeli- Mwanzo 17:18-20.Maandiko*Waume, wapendeni wake zenu kama mnavyojependa, huku mkiwaza vile Kristo alivyomwokoa - Waefeso 5:25-31. *Mume ni kichwa chanyumba- Waefeso 5:23. *Mume huakisi jukumu la mume/mkombozi kama vile Mungu alivyo mume wa kiroho/mkombozi wa Israeli - (Waumewapendeni wake zenu kama Kristo alivyolipenda kanisa na akajitoa kwa ajili yake …-Waefeso 5:25-33; Isaya 54:4-8; Hosea; Yeremia 31:32-34.*Ishini Katika Uhusiano wa Mwili Mmoja- Waefeso 5:31; Mwanzo 2:21-25. *Waume Msiwe Wakali Kwa Wake Zenu - Col. 3:19. *Ishini NaWake Zenu katika hali ya kuelewa, na kuwatazama kama warithi sawa na ninyi huko Mbinguni, au maombi yenu yatazuiwa - 1 Petro 2:7. *(sifaza msimamizi, bali onyesha kuwa mume mwenye maisha mazuri ya kifamilia) anapaswa awe na mke mmoja tu, awe mwenye kiasi, nidhamu nautaratibu; ni lazima awe mkarimu na anayeweza kufundisha; asiwe mlevi au mtu wa matata, bali awe mpole, apendaye amani; asiwe mtu wakupenda fedha; anapaswa awe mtu awezaye kuongoza vema nyumba yake, na kuwafanya watoto wake wawe watii kwa heshima yote (maanakama mtu hawezi kuongoza vema nyumba yake, atawezaje kulitunza kanisa la Mungu?) 1 Timotheo 3:2-5.Sehemu 2e: Jukumu La Mke

Picha Ile ile

Mafundisho ya Maandiko: Kuishina waume wasioamini--1 Petro2:13-3:7

*Waumini ni ukuhani wa kifalme, taifalililoteuliwa kuwa mashahidi wa Injili.Yesu alitoa uhai wake kama mfano wetuwa sadaka wa jinsi tutakavyoenendakatika mahali tunapoishi na kuhudumia.1 Petro 2:9-10; 21-25.

*1 Petro 2:11-12: ishini kwa heshimakatikati ya mataifa.

*1 Petro 2:13-17: jiwekeni chini yamamlaka yote ya kibinadamu, kwa ajiliya Bwana: Haya yanajumuisha: utii kwawafalme maliwali, polisi, heshimu kilamtu.

*1 Petro 2:18: Maagizo kwa watumwawajinyenyekeze kwa mabwana zao.

*1 Petro 3:1: NANYI wake, jiwekenichini ya mamlaka ya waume zenu, ilimwavute. Hili linaweza kutumika piakatika tamaduni zisizoamini ambapounahudumia.

*Muhtasari: Katika tamaduni nyinginekutumia uhuru wenu wote katika Kristokama wanawake hadharani kunawezauharibu ushuhuda wenu. Ni lazima

Vichwa Vya Masomo:1. Yesu ndiye Bwana wa nyumba.2. Wanawake wanapaswa wawe na uhusiano ukuao na Bwana Yesu

unaoleewa kupitia kwa maombi, mafundisho ya Biblia, kuabudu nakumtumikia Mungu.

3. Wake wanapaswa kuishi chini ya ukuu wa Kristo wakidhihirisha uungukatika nyumba na katika jamii.

4. Wake nawawatii waume wao kwa ajili ya kumheshimu Kristo.5. Waume na wake nawajitoe mmoja kwa mwingine (Efe. 5:21 Ilani: kitenzi

kutii katika fungu la 22 nikiletwe kutoka fungu la 21, kwa kuwa kitenzehicho tii kwa kweli hakiko katika fungu la 22 la matini ya Kiyunani.Muundo huu wa kisarufi unaunganisha sehemu hizi mbili za Maandikokidhamira).

6. Wake wanapaswa kuwaheshimu waume wao.7. Wake wanapaswa kufanyia mema familia zao (Mit 31).8. Wake waishi katika uhusiano wa kingono na waume wao pekee.9. Wake wahusike katika kuwafunza watoto njia za Mungu pamoja na

waume wao.10. Wanawake wazee wanapaswa kuwafundisha wanawake wachanga jinsi ya

kuwapenda waume wao.11. Wanawake wanapaswa wasiwe wadaku.12. Wanawake wanapaswa wasimamie nyumba zao vizuri.13. Wanawake ni wawe wanajali kuishi uhuru wao katika Kristo kwa njia

ifaayo katika utamaduni wao maalumu kwa ajili ya Injili (Tazamakujinyenyekeza kwa mamlaka ya kibinadamu na maagizo kuhusu kuishina mume asiyeamini katika 1 Pet.).

14. Wanawake wanapaswa kumtumikia Mungu kwa vipawa vyaoanavyowapa na waviendeleze bila kutoijali familia.

15. Maamuzi katika nyumba nayawe na msingi wa utakatifu, hekima, na

Page 28: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 24

tuwe waangalifu na tamaduni lakini pia,tutake kufundisha njia za Mungu kwawaumini.

makubaliano ya maombi yawafaao wote.16. Wanawake watatawala na Kristo, na wawe warithi pamoja naye mwisho

wa wakati.

Hadithi*Tabia za mwanamke mwenye uungu- Mithali 31. *Safira anamtii mumewe badala ya Bwana naanakufa- Matendo 5:1-11. *Mama wa Yakobo na anataka vyeo vya heshima kwa ajili ya wanawe-Mathayo 20:21-22. *Hana Anaomba Apate Mtoto- 1 Samweli 1. *Mama ya Samweli AnamshoneaKoti Kila Mwaka- 1 Samweli 2:18-19. *Hajir Anamtunza Mwanawe Jangwani- Mwanzo 21:15-21.*Mamake Musa Anamtia kwenye Kikapu Katika Mto ili Ayaokoe Maisha Yake- Kutoka 2:3-10.*Raheli Anahusika Katika kumdanganya mumewe - Mwanzo 27:1-29. *Mwanamke mwenye HekimaKule Abeli Anaokoa Mji- 2 Samueli 20:15-22. *Abigaili anachukua hatua ya Hekima- 1 Samweli 25.*Mamake Yesu Alikuwa Msalabani Wakati Yesu Alipokufa-Yohana 19:26-27.Maandiko*Jinyenyekezeni mmoja kwa mwingine kwa kumwogopa Kristo- Waefeso 5:21. *Wake tiini kamamnaomtii Bwana- Waefeso 5:22-24. *Wanawake wazee Wafundisheni Wanawake Wachanga jinsi yakuwapenda waume Na Watoto wao, na Sio Kukashifu- Tito 2:3-5. *Maagizo Maalumu kwa Walewalio na Waume Wasioamini- 1 Petro 3:1-6. *Wafundisheni Watoto Katika njia Ziwapasazo kufuata-Mithali 22:6. *Rekebisheni Watoto Wenu- Mithali 29:15, 17.

Sehemu 2f: Jukumu la Watoto

Picha Ile ile

Vichwa Vya Masomo:1. Yesu is Bwana katika nyumba.2. Watoto wanapaswa wawe na uhusiano ukuao na Bwana Yesu

unaleewa kwa maombi, mafundisho ya Biblia, kuabudu, nakumtumikia Mungu.

3. Watoto wanapaswa kuishi chini ya ukuu wa Kristo, na waonyesheuungu katika nyumba na katika jamii.

4. Watoto wanapaswa kuheshimu na kuwatii wazazi wao.5. Watoto wanapaswa kuheshimu wazee.6. Tambua kuwa Mungu amekuumba na ana mpango na maisha yako.7. Vijana nawawe kielelezo katika usemi, mwenendo, upendo, imani, na

usafi.8. Vijana wasidharauliwe.9. Watoto wanapaswa kutumia na kukuza vipawa vyao walivyopewa na

Mungu kumtumikia Mungu na jamii.10. Watoto wanapaswa wawalipe wazazi wao baadaye katika maisha hili

linamheshimu Bwana.Maandiko kwa ajili ya Jukumu la WatotoHadithi*Yesu anawakaribisha watoto, ufalme wa Mungu ni wa watoto- Luka 18:15-16. Mfano mbaya: *Wafalme Waliotembea katika Dhambi za Babazao - 1 Wafalme 15:25-32. *Viongozi wa Wayahudi walienenda Katika Dhambi za Baba zao- Mathayo 23:30-38. *Hofni na FinehasiHawakumheshimu Bwana, Walitoa Sadaka Ngeni Kwa Bwana; Hawakusikiliza Baba Yao- 1 Samueli 2:12-4:11.Maandiko*Msikilize Babako, Usimdharau Mamako- Mithali 1:8; 3:1-2; 4:1-4, 10, 20-22; 5:1; 6:20-23; 13:1; 23:22. *Watoto hujulikana kwa Vitendo VyaoKama Ni Wasafi na Wanyofu- Mithali 20:11. *Watoto Watiini Wazazi Wenu, Akina Baba Msiwachokoze Watoto Wakakasirika- Kutoka 20:12;Waefeso 6:1-4; Col. 3:20-21; Luka 18:20. *Watoto wamkataao Mungu, pia Si Watiifu Kwa Wazazi Wao- Warumi 1:28-32; 2 Timotheo 3:2-5.*Vijana ni wawe mfano kwa Waumini Wazee Katika Usemi, Mwenendo, Upendo, Imani, Na Usafi- 1 Timotheo 4:12. *Vijana Wasidharauliwe- 1Timotheo 4:12. *Ikiwa Baba au Mama Atatuacha, Bwana atatuchukua- Zaburi 27:10. *Mtoto Mwenye Hekima Huleta Furaha; Mjinga huletaHuzuni- Mithali 10:1; 27:11. * Mtoto mwenye hekima husikia maagizo ya baba yake, lakini mwenye dharau hasikilizi maonyo. - Mithali 13:1.*Waheshimu Babu na Nyanya- Mambo ya Walawi 19:32. *Watoto nawawalipe Wazazi Wao, Hili linampendeza- 1 Timotheo 5:4, 8. *MunguAlituumba katika Tumbo la Mama Yetu- Zaburi 139:13-14. *Utukufu Wa Watoto ni Wa Baba Yao- Mithali 17:6. *Mungu Hupatiliza WatotoKwa Dhambi za Baba Zao, Bali Huonyesha Upendo Kwa Wale Wajitoao Kwake- Kutoka 20:5-6.

Page 29: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 25

Sura ya 3 Kielelezo: Jinsi Mungu Awasilianavyo na Wanadamu

Page 30: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 26

Page 31: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 27

Sura ya 3 Jinsi Mungu Awasilianavyo na Wanadamu

Ufafanuzi wa Jumla

Kielelezo cha 3 ni picha ionekanayo ya jinsi Mungu awasilianavyo na wanadamu. Munguhuwasiliana na watu katika madaraja matatu tofauti, kama picha inavyoonyesha katika madarajamatatu ya jengo. Daraja la juu ni lile tunaloweza kuliita “Ufunuo Spesheli/Halisi.” UfunuoSpesheli ni ufunuo wa Ukweli na Mapenzi ya Mungu kupitia kwa Biblia, Roho Mtakatifu, nakupitia kwa Yesu. Daraja la pili ni daraja la Mawasiliano Binafsi ya Mungu. Biblia inatoamifano ya mawasiliano binafsi ya Mungu na watu katika maeneo yafuatayo: maombi, ndoto namaono, ishara na maajabu, na waumini wengine. Hadithi iliyo hapo chini inawakilisha ufunuawa Mungu wa jumla kupitia maumbile. Kupitia maumbile tunaweza kujifunza kitu juu ya sifaza Mungu.

Daraja la juu ndilo muhimu zaidi, kwa kuwa madaraja mengine yote lazima yajaribiwe na hili. Ufunuo spesheli ndionjia ya kutegemeeka zaidi ya kupokea mawasiliano kutoka kwa Mungu. Tunahitaji kutia moyo familia zetu, jamii,na shirika watafute kujenga daraja hili kama daraja muhimu kuliko yote. Tukisisitiza daraja la pili la MawasilianoBinafsi kuwa muhimu zaidi, tutakuwa tunaelekea kuweka msisitizo usio sahihi juu ya watu au viongozi, na tutakuwatunaelekea kuwasilisha mafunzo ya Mungu kimakosa. Licha ya hayo, kila muumini anahitaji kujifunza jinsi yakutafuta Ukweli kutoka kwa Biblia na kumsikiliza Roho Mtakatifu yeye mwenyewe. Tunaposoma Biblia, Munguhunena nasi moja kwa moja na kufanya kazi mioyoni mwetu. Ni lazima tujaribu kila kitu kingine chote naMaandiko.

Malengo Ya Sura ya 3 Kuwasaidia watu wajue na kutambua njia mbalimbali anazotumia Mungu kuwasiliana nao. Kuimarisha Neno la Mungu Yesu, na Roho Mtakatifu kama kiwango na chanzo halisi cha Ukweli, ambacho

kwa hicho maeneo mengine yote ya mawasiliano na mafundisho yanapaswa kujaribiwa. Kutia nguvu wakati wa mtu binafsi na uhusiano na Mungu . Kutoa mifano ya Kibiblia ya njia ambazo Mungu hawasiliana nasi kibinafsi ili tuweze kujua mahali

pafaapo au matumizi ya mambo haya.

Sura ZihusianazoSura ya 1 na 2: Mungu ni muumba wa vitu vyote na mkuu juu ya uumbaji Wake. Mungu ni Mungu afananaye na mtuanayewasiliana nasi. Mungu amefunua sifa zake kupitia kwa maumbile.Sura ya 4: Mungu amewasilisha Sheria Zake kwa watu. Sheria hizi ziko ndani ya Biblia, Ufunuo wa Mungu spesheli.Sura ya 6: Mungu amewasiliana nasi kupitia kwa maisha na mafundisho ya Yesu. Maombi na wakati katika Neno la Mungu nibaadhi ya njia za jinsi ya kukaa ndani ya Yesu.Sura ya 9: Maombi, Neno la Mungu, na kumfuata Roho zote ni sehemu muhimu za kukua kiroho na vita vya kiroho.Sura ya 10. Vitu vyote lazima vijaribiwe na Neno la Mungu, Roho Mtakatifu, na Yesu.

Ufafanuzi wa Picha

Somo La 1 Mungu Huwasiliana kupitia Ufunuo Spesheli/halisi

Sehemu yai 1: Njia muhimuzaidi atumiayo Mungu

kuwasiliana nasi ni kupitiaUfunuo Spesheli.

Hadithi iyo hapo juu kuhusujengo na Biblia, Yesu, na RohoMtakatifu- Inawakilisha njiaambayo kupitia kwa hiyo tunapokeaUfunuo Spesheli kutoka kwa

Vichwa Vya Masomo:1. Njia muhimu zaidi atumiayo Mungu kuwasiliana nasi ni kupitia

Ufunuo Spesheli (Neno Lake, Yesu, na Roho Mtakatifu).2. Yote yaliyomo kutoka daraja lingine lolote ni lazima yajaribiwe na

daraja hili.

Page 32: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 28

Mungu. Mambo haya matatu yakojuu kwa sababu ndilo daraja ambalokwa hilo tunaweza kuona vituvingine vyote waziwazi zaidi. Kiladaraja la mawasiliano lililo chini ya hililazima lijaribiwe dhidi ya hili ili usafiwa Imani na usafi wa mafundisho katikakanisha uweze kuhifadhiwa.Sehemu yai 1a: Neno la Mungundio kiwango/kigezo chetu nachanzo cha/shina la Ukweli.

Biblia- The Biblia Neno la Mungulililoandikwa kupitia kwa msukumowake. Ndio chanzo/shina pekee laUkweli tunalopimia maisha yetu, desturizetu, utamaduni wetu, na mafundishoyetu.

Vichwa Vya Masomo:1. Maandiko yote yaliandikwa kwa msukumo wa Mungu.2. Neno la Mungu lina maana kwa ajili ya kufundishia, kukemea,

kurekebisha na kufunza katika unyofu/uadilifu.3. Neno la Mungu ndio kigezo/kiwango cha Ukweli na kwa ajili ya

kuishi kiungu.4. Neno la Mungu li hai na linatenda kazi maishani mwetu, linaweza

kuhukumu mawazo yetu na malengo yetu ya ndani zaidi.5. Neno la Mungu halimrudii bila kukamilisha makusudio Yake.6. Hekima na ukamilifu wote wa wanadamu una mwisho. Lakini Neno

la Mungu halina mwisho.7. Mungu ametupatia kile tunachohitaji kujua katika Maandiko.8. Ni lazima tusiongeze chochote katika Maandiko.

Hadithi*Neno la Mungu na mioyo ya watu: Fumbo la Mpanzi- Mathayo 13:1-43; Luka 8:4-15. *Yesuanatumia Maandiko kupinga majaribu ya Shetani kule jangwani- Mathayo 4:1-11. *Manabiiwalitiwa msukumo na Mungu- 2 Petro 1:19-21.

Maandiko*Neno la Mungu halitapita- Isaya 40:8; Mathayo 24:35. *Maandiko yote yana pumzi ya Mungu nayanafaa kwa kufundishia, kwa kukemea, kwa kurekebisha, kwa kufunza katika unyofu/uadilifu, ilimtu wa Mungu aweze kukamilika na kutayarishwa kwa kila kazi nzuri. - 2 Timotheo 3:16-17.*Neno la Mungu halimrudii kitupu, Bali hutimiza makusudi yake - Isaya 55:10-11. *Neno laMungu li hai, lina nguvu, lina makali Kuliko Upanga wenye Makali kuwili, hudunga mioyo yetuna Roho Zetu- Waebrania 4:12. *Fanyeni bidii mtumie Neno la Mungu na kulifasiri sawasawa- 2Timotheo 2:15. *Tumezaliwa mara ya pili kupitia kwa Neno la Mungu- 1 Petro 1:23.*Tuhakikishe kuwa Neno la Mungu linakaa ndani yetu- 1 Yohana 2:14. *Ingawa tunawezakufungwa jela, Neno la Mungu halifungwi- 2 Timotheo 2::8-10. *Neno la Mungu linafanya kazimaishani mwetu- 1 Wathesalonike 2:13-16. *Neno la Mungu nalikae Ndani Yenu kwa wingi naZaburi, nyimbo na Tenzi za Rohoni- Kol. 3:16. *Neno ni sehemu ya silaha za Kiroho (soma SomoLa 10)- 2 Wakorintho 6:7; Waefeso 6:17. *Neno ni Ujinga Kwa Ulimwengu, Lakini Ndilo NguvuZa Mungu- 1 Wakorintho 1:18-31. *Neno la Mungu Halimrudii Kitupu, Bali Hutimiza MakusudiYake- Isaya 55:10-11. *Tunazaliwa Mara Ya Pili kupitia kwa Neno la Mungu- 1 Petro 1:23.*Sheria za Bwana Humtia mjinga Hekima- Zaburi 19: 7-8. *Tunaonywa na Neno 19:11. *Nilazima tusiongeze chochote juu ya Maandiko- Mithali 30:6. *Mungu ametufundisha Kikamilifukile tunachohitaji ndani yao- 2 Petro 1:2-8. *Zaburi juu ya sifa za Neno la Mungu- Zaburi 119.*Kuna kikomo/mpaka katika ukamilifu wote wa mwanadamu- Zaburi 119:96. *Maandiko ndiomwongozo Wetu wa kuingia Wokovuni- 1 Timotheo 3:15. *Neno la Mungu ni Taa la Miguu yetu-Zaburi 119:105. *Ni sharti tutiii Maandiko- Luka 11:28; Yohana 14:23. *Baada ya kusikia Neno,ba kumwamini, tunapigwa muhuri na Roho Mtakatifu- Waefeso 1:13. *Kila Neno la Mungu nisafi- Mithali 30:5.

Sehemu 1b: Hapo zamaniMungu aliwasiliana na watukwa njia mbalimbali kupitiakwa manabii, lakini katika

siku hizi amewasiliana na watukupitia kwa Yesu.

Yesu- Biblia inasema kuwa Munguwakati fulani alinena kupitia kwamanabii, lakini katika siku hizi zamwisho, amenena nasi kupitia kwaMwanawe, Yesu. Yesu alikuja dunianina akatufunza mambo mengi juu ya

Vichwa Vya Masomo:1. Wakati fulani Mungu alinena nasi kwa njia mbalimbali kupitia kwa

manabii, lakini sasa amenena nasi kupitia kwa Yesu.2. Yesu alitufunza mambo mengi juu ya Mungu na Utawala Wake

wakati alipokuwa hapa duniani.3. Hakuna aliyemwona Mungu, lakini Yesu amemweleza.4. Yesu alikuja ili alete Agano Jipya.

Hadithi*Hakuna aliyemwona Mungu, Lakini Yesu Amemweleza; Neno La Mungu Likawa Mwili nalikakaa katikati yetu- Yohana 1:14-18; 15:1-16. *Mlima wa kugeuka Sura, msikizeni Yesu-Mathayo 17:1-13 (v.5); Marko 9:1-8. *Fumbo la wakulima wa mizabibu- Marko 12:1-12 (v. 6).*Yesu alikuja aikomaze Sheria- Mathayo 5:17. *Yesu alikuja akihubiri Injili ya Ufalme waMungu- Mathayo 4:23; 8:1, 12; 28:31; Marko 10:7. *Mamlaka Yote Yamepewa Yesu yaMbinguni na ya Duniani- Mathayo 28: 18-20; pia soma Waefeso 1:20-23.

Page 33: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 29

Mungu na kuishi kiungu. Yesu aliletaAgano Jipya kwa mafundisho yake nasadaka. Tunaweza kusoma mamboaliyotufundisha kwa kusoma Biblia.Sasa, Yesu anaishi ndani yetu, naanafanya kazi maishani mwetu..

Maandiko*Siku za Mwisho Mungu amenena kupitia kwa Yesu - Waebrania 1:1-2. *Waumini WanatekaFikira na kuzifanya zimtii Kristo- 2 Wakorintho 10:5.

Sehemu 1c: MunguAnawasiliana nasi kupitia kwa

Roho Mtakatifu.

Roho Mtakatifu- Roho Mtakatifuhuuhakikishia ulimwengu juu yadhambi, uadilifu, na hukumu. RohoMtakatifu pia hutuongoza katika kutoaushahidi, na kuleta mafundisho yaMaandiko akilini mwetu tunapoyahitaji.Roho Mtakatifu hukaa ndani yetu, nimwalimu wetu, na hutupa ushauri nahekima. Tunahitaji kujaribu kila kitutunachosikia na kuamini kwa Rohoaishiye ndani yetu.

Vichwa Vya Masomo:1. Roho hutuelekeza/hutuongoza katika Kweli yote.2. Roho hufunua mambo ya ndani ya Mungu.3. Roho anajulikana kama Roho wa Hekima, kuelewa, nguvu, elimu,

na hofu ya Bwana.4. Roho huhakishia Ulimwengu juu ya dhambi, uadilifu, na hukumu.5. Roho hupewa kila muumini.6. Roho humtambua Yesu kama Masihi/Mwokozi.

Hadithi*Kazi ya Roho ni Kutuelekeza/kutuongoza katika Kweli yote- Yohana 16:5-15. *Katika siku zaAgano la Kale, Roho wa Mungu aliwajia manabii, makuhani, na wafalme peke yao (soma mfano 1Samueli 11:16; 16:14-23; Yoshua. 1; Kumbukumbu La Torati 34:9-12; *Danieli Ana Roho waUjuzi wa Ajabu sana; Utambuzi; na Uwezo wa Kufasiri Ndoto- Danieli 5 (v.12). *Siku YaPentekote; Roho aliwajia waumini wote- Matendo 1:4-7; 2:1-47; Yoeli 2:28. *Yesu Anafundishakuwa Roho hufundisha mambo Yote- Yohana 14:26; 16:13; 1 Yohana 2:20, 27.

Maandiko*Roho hutoa ufunuo, Kumjua Yeye, Hufungua macho, Tumaini la Mwito, Utajiri wa Utukufu-Waefeso 1:17-19. *Jukumu la Roho ni kufunua mambo ya ndani ya Mungu - 1 Wakorintho 2:1-16;1 Wakorintho 12:8. *Yesu Alijazwa na Roho wa Hekima; Kuelewa; Ushauri; Nguvu; Elimu; naHofu ya Bwana- Isaya 11:2-5. *Roho huhakikishia ulimwengu juu ya dhambi, uadilifu, nahukumu.- Yohana 16:7-12.

Somo La 2 Mungu Huwasiliana nasi Binafsi

Sehemu 2: MunguHuwasiliana nasi Binafsi

Hadithi ya Pili ya Jengo- Darajahili la mawasiliano ni la upili kwaUfunua Spesheli na siku zote lazimalijaribiwe na daraja la juu la jengo(Biblia, Yesu, Roho Mtakatifu).

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu huwasiliana nasi kwa njia nyingi za kibinafsi.2. Ujumbe wote tunaojifunza kutokana na masiliano yetu ya kibinafsi

na Mungu, lazima ujaribiwe kupitia kwa ufunuo wake spesheli, kwaajili ya Ukweli na Usahihi.

Sehemu 2a: MunguHuwasiliana nasi kibinafsi

kupitia maombi.

Watu wanaomba- Mungu Munguhuwasiliana nasi tunapoomba.

Biblia hutupatia maagizo ya jinsitunavyoweza kuomba.

Ni lazima tuombee mahitaji yote yakimwili na hata kiroho.

Tuwe waangalifu kusikiza katikamaombi, na sio tu kupeleka haja zako.

Kile tuombacho lazima kiwe kiko

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu huwasiliana nasi tuombapo.2. Maombi huakisi/huonyesha uhusiano wetu na Mungu.3. Maombi ni kumsifu Mungu, kumshukuru Mungu, kumwuliza

Mungu mambo na kumsikiliza Mungu.4. Tunahitaji kuomba katika jina la Yesu- yaani kulingana na hulka

yake na mapenzi yake.5. Tunapaswa tuombeane kwa ajili ya ukuaji wetu wa kiroho na

mahitaji yetu ya kimwili.6. Ni lazima tujitoe kwa maombi.7. Tunapoomba, tunahitaji kuamini Mungu atatupatia jibu, ambalo

lawezakuwa ndio, la, baadaye, au katika njia tofauti na iletuliyodhania.

8. Kuombeana ni njia ya kuonyesha kuwa tunawajali wengine.9. Hata zetu tuulizazo na majibu ambayo huhisi tumepokea lazima

yajaribiwe na Neno la Mungu. Kumbuka kuwa Mungualisababisha utabiri wa manabii wa uongo utimie ili ujaribuuaminifu wa waumini kwa njia za Mungu.

10. Soma Maandiko pia katika Sura ya 9 juu ya Maombi.

Page 34: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 30

sambamba na hulka ya Mungu.

[Ilani: Kuomba katika jina la Yesumaanake ni kuuliza kulingana na uhalisina hulka ya Yesu. Haimaanishi kuwakwa kusema, “Katika jina la Yesu,”mwisho wa maombi kwamba Munguatahakikisha majibu. Kuna tofauti katiya tabano za kichawi ambazo hutumiamajina ya Mungu/mapepo ili kutawalamapepo kiwerefu ili yamjibu mtu, nakuuliza mambo ambayo yamejaribiwadhidi ya uhalisi na sifa za Mungu. Lakwanza ni desturi ya watu wasiomjuaMungu na hili lingine ni desturi yaKikristo.]

Licha ya hayo, Biblia haipaswikutumiwa kama kitabu cha kichawi, namtazamo kwamba ni lazima Munguafanye vile isemavyo. Jina la Mungu ni“NILIYEKO.” Hufanya atakavyo. Natunaweza tusielewe majibu yake. Lakinikatika mambo haya tunajifunzakumtumaini hata iweje. Maombi nikumtegemea Mungu. TunamtumikiaMungu, hatutumikii sisi..

Ilani: Katika itikadi za watu wengiwasiomjua Mungu, tambiko na tabinohutumiwa pamoja kutawala mapepokiwerevu ili wafanye mambo kwa niabaya watu. Kwa mlinganisho Hanaaliomba mtoto na Bwana akampa ombilake. Hakuenda kwa waganga walahakutumia tambiko na tabino.

Hadithi*Maombi ya Hana kwa ajili ya kupata Mtoto- 1 Samueli 1. *Yesu wakati mwingine aliomba pekeyake- Mathayo 14:23; Marko 6:46; Luka 5:16. *Yesu anafunza juu ya kuomba bila kuvunjikamoyo- Luka 18:1-8. *Fumbo la jinsi alivyoomba Farisayo na Mwenye dhambi- Luka 18:10-14.*Eliya na Manabii wa Baali- 1 Wafalme 18. *Mungu Ananena na Eliya katika upepo mwanana.- 1Wafalme 19. *Daudi Anaomba kwamba Mungu amthibitishie Neno Lake- 1 Wafalme 8. *Munguataficha macho yake kutoka kwa wale ambao mikono yao imejaa damu- Isaya 1:15-17. *MunguHusikia Maombi ya wale walioonewa- Zaburi 102. *Maombezi ya wengine yanaweza kuzuiliwakwa sababu ya wao kujihusisha na dini za uongo- Yeremia 7:16-20. *Ezra anarudi kutokauhamishoni- Ezra 7-8. *Yesu Anaomba usiku mzima juu ya Ni akina Nani atakaochagua kamaWanafunzi wake- Luka 6:12-16. *Yesu' Kujitoa katika Maombi, Ombeni ili msiingie katikamajaribu- Luka 22:39-46. *Waumini wanamwombea Petro atoke jela- Matendo 12. *MunguAnajibu maombi ya Kornelio- Matendo 10. *Kanisa la Kwanza linaombea uongozi- Matendo 6.*Kanisa la Kwanza lilijitoa katika kuumega mkate Na Kuomba, Wengi wakaokoka- Matendo2:42-47. *Mwandishi wa Zaburi anauliza wakati Unaokubalika kwa Mungu kujibu- Zaburi 69:13.*Mungu Anasikia maombi ya Danieli- Danieli 9. *Epafra anafanya bidii kuombea waumini- Kol.4:12. *Sala ya Bwana- Mathayo 6:9-15. *Yesu anaomba katika bustani ya Gethesemane- Mathayo26:36-46.

MaandikoMaagizo kuhusu maombi*Tunaweza kumwendea Mungu na haja zetu moja kwa moja- Waebrania 4:15-16. *Ungamenidhambi na Muombeane ili mpone kutoka na matokeo ya dhambi- Yakobo 5:15-20. *Iweni na akilimkeshe katika sala- 1 Petro 4:7. *Jitoeni katika Maombi- Col. 4:2 Warumi 12:12; 1 Wathesalonike5:17. *Ombeeni kila kitu, Amani ya Mungu itawale Mioyo yenu.- Wafilipi. 4:6. *Tunapoombakwa nia mbaya hatupokei jibu- Yakobo 4:3. *Ombeni kulingana na Mapenzi ya Mungu (Yaleyampendezayo Mungu)- 1 Yohana 5:14. *Msiombe kama watu wasiomjua Mungu wanavyotumiamaneno mengi- Mathayo 6:7-8. *Usijionyeshe jinsi ulivyo kiroho kwa kujionyesha hadharaniuwezo wako wa kuomba- Mathayo 6:5-6. *Msiwe na wasiwasi, ombeeni kila kitu. Amani yaMungu itawakinga mioyo na akili yenu Wafilipi. 4:6-7. *Paulo anawahimiza Wakristowaombeane- Waefeso 6:18. *Ombeni pamoja bila mfarakano/ugomvi katikati yenu- 1 Timotheo2:8. *Ombeni katika jina lake, naye atawapa- Yohana 14:13-14. *Masikio ya Mungu yako wazikwa mambi ya watakatifu- 1 Petro 3:12. *Maombi ya mume yanaweza kuzuiwa ikiwahawatawachukulia wake wao kama warithi wa ufalme wa Mungu kama wao- 1 Petro 3:7.

Kuombeana Kiroho: *Ombeeni wale wanaowaudhi au wanawonea- Mathayo 5:44; Luka 6:28.*Ombeeni Mapenzi ya Mungu yajulikane- Waefeso 1:18-23; Col. 1:9. *Ombeni kwamba Nenolisambae kwa haraka- 2 Wathesalonike 3:1-2. *Paulo anawaombea upendo wa waumini uwe kwawingi zaidi katika ujuzi halisi na uchanganuzi, ili tuweze kuyapambanua mambo ya Mungu natuwe bela lawama; tuenende katika mwendo upasao Injili- Wafilipi. 1:9-11; Kol. 1:9-10. *Pauloanawaombea upendo wao kati yao na juu ya watu wengine wote ukue- 1 Wathesalonike 3:12.*Paulo aliwaombea kwamba macho yao yafunguke ili wajue tumaini la mwito wake, utajiri wautukufu wake, na ukuu wa nguvu zake juu ya wale wamwaminio- Waefeso 1:18-19. *Pauloaliwaombea waumini wakamilishwe, hata kupitia unyonge wa mtume- 2 Wakorintho 13:9. *Pauloanaombea ujasiri katika kuihubiri Injili- Waefeso 6:19. *Paulo aliomba kuwa Mungu awahesabuwaumini kuwa wanastahili wito wao ili Yesu apate kupewa utukufu katika wao- 2 Wathesalonike1:11-12. *Ombi kwamba waumini watafanya kazi kwa bidii katika kuwambia watu wengine juu yaimani yao- Philemon 1:6. *Yohana prays for their good health- 3 Yohana 1:2.

Sehemu 2b: MunguHuwasiliana nasi Binafsikupitia Ndoto na Maono

Mtu anaota- Mungu huwasiliana nasikupitia ndoto na maono. Ni lazima tuwewaangalifu kwa sababu Shetani piaanaweza kuleta ndoto. Ama ndotozinaweza kutoka tu kwa matukio ya mtumwenyewe na sio kutoka kwa Munguwala Shetani. Mawasiliano yapokewayokupitia ndoto lazima yasigongane namafundisho ya Biblia.

Lazima mtu awe mwangalifu juu yakutilia ndoto mkazo kupita kiasi.Waalimu wa uongo wakati mwingine

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu huwasiliana nasi binafsi kupitia ndoto na maono.2. Ndoto zinawezakuwa tu kwa sababu ua matukio au masumbufu ya

kila siku ya mtu mwenyewe.3. Ndoto zinaweza kutoka kwa Shetani, ambaye anataka kufunua

mafundisho mageni, tambiko, au desturi ambazo haziko sambambana Neno la Mungu.

4. Ndoto zinaweza kutoka kwa Mungu kwa ajili ya kutupa hekima namwelekeo katika maisha na huduma.

5. Ndoto lazima zijaribiwe na Neno la Mungu, Roho, na Yesu.

Hadithi*Yusufu na Ndoto zake- Mwanzo 37:1-10; 41-46. *Yusufu anafasiri Ndoto Mwanzo 41. *MunguAnatimiza Ndoto Mwanzo 41:37-46:34. *Mungu Anamtokea Yakobo katika maono- Mwanzo46:2-7. *Watu waasi Wanataka kusikia Maneno matamu- Isaya 30:9-17; Omb. 2:14. *Munguanawahukumu manabii walevi, na ambao husimulia Maono ya Udaganyifu- Isaya 30:7-8. *MunguHamjibu Mfalme Sauli- 1 Samueli 28. *Wanawake, Maono, kanda/tepe za uchawi, Uaguzi- Ez.13:17-23; Wanaume- Ez. 13:9-16; Zeka. 10:2. *Maono ya Utukufu wa Mungu- Eze. 1. *Maono yaEzekieli juu ya Hekalu la Yesusalemu- Eze. 8-9. *Maono juu ya Viongozi Wafisadi- Eze. 11.*Bonde la Mifupa Mikavu- Eze. 37:1-14. *Maono juu ya Hekalu Jipya- Eze. 40-44. *Danieli

Page 35: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 31

husema juu ya ndoto zao kama njia yakujikweza kwa manufaa ya kibinafsi auili wapate wafuasi. Kumbukeni ndoto niza upili kwa njia muhimu zaidi zamawasiliano ya Mungu.

Mungu anatumia ndoto ulimwengunikote kuwaambia watu juu ya wokovukupitia kwa Yesu.

anamsaidia Mfalme Nebukadneza kufasiri Ndoto- Danieli 2; 4. *Malaika anamjia Yusufu katikandoto- Mathayo 1:20-25; 2:13-15; Hosea 11:1. *Mungu ananena na Petro Na Kornelio- Matendo10. *Maono ya Petro- Matendo 10:9:16; 28-29. *Maono ya Paulo juu ya Makedonia- Matendo 16.*Maono ya Paulo- 2 Wakorintho 12:1-10. *The Kitabu cha Ufunuo- Ufunuo 1-22.

Maandiko*Kupimwa Kwa Ndoto- Kumbukumbu La Torati 13:1-5. * Ndoto zikizidi, kuna maangamizi na maneno huwamengi. Jambo la maana ni kumcha Mungu. - Mhu. 5:7.

Sehemu 2c: MunguHuwasiliana nasi binafsi

kupitia ishara na maajabu.

Mtoto katika Hori- Mungu wakatimwingine huwasiliana nasi kupitiaishara na maajabu, kama alivyofanyawakati alipowaambia wachungajikwamba hori lingekuwa ishara kwaokwamba wamempata Masihi/Mwokozi.Mara nyingi ishara ziliambatana namatendo makuu ya ukombozi auwokovu wa Mungu, na yalianzishwa naMungu mwenyewe. Kutafuta ishara sisiwenyewe, ni dhihirisho kuwa sisi tunaimani haba kwa Mungu. Mungu anatakatumtumaini na tuonyeshe imani iliyo juuya uwezo wa kuona mambo. KumbukaYesu alimwambia Tomaso, “Heri walewaaminio kabla hawajaona.”

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu huwasiliana nasi kupitia ishara na maajabu.2. Ishara na maajabu katika Biblia yaliambatana au kutangaza

matendo ya Mungu ya wokofu. Wakati mwingine yalitangazwa namalaika.

3. Kutafuta ishara sisi wenyewe kunaweza kuwa dhihirisho la kukosaimani. Kumbuka Waisraeli waliendelea kumwacha Mungu nakufuata miungu ya uongo hata baada ya ishara kubwa zote zaukombozi kutoka Misri.

4. Yesu alisema, “Heri wale ambao hawajaona na hawajaamini.”5. Yesu alisema waovu wanataka ishara.6. Paulo alisema Wayahudi wanataka ishara, bali yeye anamhubiri

Yesu.7. Yesu alisema ishara pekee atakayowaonyesha Mafarisayo ni ile ya

kifo kufufuka kwake- ishara ya Yona.8. Mpinga Kristo atakuja na ishara nyingi na maajabu ili

awadanganye hata waumini.9. Ishara lazima zipimwe na Neno la Mungu, Yesu na Roho Mtakatifu.

Hadithi*Gideoni na Ishara ya ngozi ya kondoo-Waamuzi 6.33-44.*Musa anafanya ishara-Kutoka 4-10. *Mungu amekasirika kwa sababu ya Waisraeli kutomwamini baada yaishara na maajabu yake yote kufanywa, hawataingia nchi ya ahadi- Hesabu 14:11-29;Nehemia 9; Zaburi 78. *Yesu alijaribiwa na Shetani aonyeshe ishara- Mathayo 4:1-11. *Watu wawakati wa Yesu walikuwa hawaamini ishara-Yohana 12:37-41.*Mungu alitumia isharana miujiza kuonyesha ulimwengu kuwa yeye Ndiye Mungu wa Kweli-Kumbukumbu LaTorati-3:34; Zaburi 135.*Mungu alitumia ishara na maajabu kuwapeleka watu katika nchi ya Ahadi-Kumbukumbu La Torati 11:3; 26:8. *Samweli anamwambia Sauli ishara ya kuwaatakuwa mfalme-1 Samweli 10. *Zakaria anapata ishara kuhusu jina la mwanawe-Luka1. *Ishara ya wachungaji, mtoto horini-Luka 2:8-20.*Yesu anamtokea Tomaso baada yakufufuka-Yohana 20:24-31.*Hotuba ya Petro-Matendo 2. *Ndimi zilikuwa ishara kwamba Mataifa wameingia katikaimani- Matendo 8-10; 15. *Mitume walifanya ishara na maajabu kwa uwezo wa Yesu-Matendo 5:12; 6:8; 8:6; 15:12. *Ishara ya nyakati za mwisho, kurudi kwa Yesu- Luka 17:20-37.*Yohana anaonyesha ishara 7 kwamba Yesu ndiye Kristo- 1. Yohana 2:1-11 (maji yaligeuka kuwadivai); 2. Yohana 4:46-54 (Mtoto wa kiume wa afisaa anaponywa); 3. Yohana 5:1 -14(Mwanamume mgonjwa anaponywa, katika birika la Bethsatha); 4. Yohana 6:1-15 (Kulishwa kwawatu 5,000); 5. Yohana 6:16-21 (kutembea juu ya maji); 6. Yohana 9:1-12 (kuponywa kwa mtualiyezaliwa kipofu); 7. Yohana 11:1-44; 12:17-18 (kufufuliwa kwa Lazaro). *Paulo na Barnabawanamponya mwanamume, lakini kundi linapowafuata kama miungu, wanamwonyesha Mungukama muumba, mpaji wa vitu vizuri vyote, badala ya kuangalia ishara za nguvu/uwezo- Matendo14:8-18. *Kwa Wayahudi ndimi zilikuwa ishara kwamba Mataifa walikuwa wameingia katikaufalme- Matendo 3:8-10. *Ishara ya kuja kwa Yesu mara ya kwanza- Ufunuo 12. *Ishara yaghadhabu ya Mungu kuja duniani- Ufunuo 15.12

Maandiko*Yesu anasema waovu wanataka ishara; ishara pekee watakayoonyeshwa ni ishara ya Yona (Kifocha Yesu, kuzikwa, na kufufuka kwake!)- Mathayo 12:38-42; 16:1-4; pia soma Yohana 2:13-25kwa mlinganisho wa kuvutia. *Manabii wa uongo waonyesha ishara na maajabu- Mathayo 24:24;Marko 13:22. *Yesu alisema Ufalme wa Mungu hauji na ishara,Yesu kuwa pale Ufalme ulikuwakatikati yao- Lk. 17:20-24. *Ishara za hukum- Luka 21. *Nyakati za Mwisho zitakuwa kama sikuza Nuhu- Luka 17:20-37. *Wayahudi wanataka ishara, Paulo anamhubiri Yesu aliyesulibiwa- 1Wakorintho 1:22-31. *Mpinga Kristo atakuja na ishara za uongo- 2 Wathesalonike 2:9-12; Ufunuo13:13-18; 19:20. *Mapepo kutoa ishara kwa wafalme wa ulimwengu- Ufunuo 16:14. *Mungualithibitisha ujumbe ulionenwa kupitia kwa Yesu, kupitia kwa wale waliosikia, na kupitia ishara namaajabu yao- Waebrania 2:1-11. *Kutahiriwa kwa Ibrahimu kulikuwa ishara ya uadilifualiomtunukia Mungu kupitia kwa imani yake- Warumi 4:9-12.

Page 36: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 32

Sehemu 2d: MunguHuwasiliana nasi binafsikupitia waamini wenzetu.

Watu wawili wanazungumza- Munguwakati mwingine huwasiliana nasikupitia waamini wengine.Kuna maneno mengi ya kutia moyokatika Agano Jipya. Inapendeza kujuakuwa moja wapo ya maneno inaliangaliakwa nyuma. Yaani, mara nyingihutafsiriwa, “fariji” kwa sababu kawaidahuwa tunafarijiana kwa sababu ya jamboambalo limetendeka tayari. Nenolingine la kutia moyo ni neno lenyemaana ya “kusukuma mbele.” Neno hililitumikapo, kawaida huwa katikamuktadha wa kuhimiza waaminiwaendelee mbele hata katika ugumu auhofu. Linaweza pia kutumika kwamaana ya kumshawishi mtu au kumpachangamoto afuate njia za Mungu.Pengine neno moja wapo zuri zaidi lakutia moyo ni lile litumiwalo kwa ajiliya Roho Mtakatifu (parakliti-mtuaandamanaye nawe). Waaminiwanapaswa “kuandamana” ili wakati wamatatizo wasaidiane. Kwa hiyotukiangalia maneno yote aina tofautiyatumiwayo kwa kutiana moyo katikaBiblia, tunaweza kujifunza kuwatiamoyo wengine kwa kutupa jicho lafaraja kutoka nyuma wakati mwingine;changamoto ya kuhimiza mtu asongembele; na kutembea pamoja bega kwabega wakati mzuri na wakati mgumu.

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu Huwasiliana nasi binafsi kupitia waamini wenzetu.2. Waamini wengine wanaweza kututia moyo, kutufariji, kutembea

nasi katika wakati mgumu, au kutuhimiza tuendelee kuenendakatika njia ya Mungu na kutazama mbele.

3. Ikiwa waamini wengine hutuchochea tufanye desturi mbaya autambiko ambazo haziko katika Biblia, ili tusitii amri za Mungu, aukufuata miungu ya uongo, tusiwasikilize.

4. Mambo yote wanayotwambia wengine lazima yapimwe na Neno laMungu, Yesu na Roho Mtakatifu.

Hadithi*Nabii mzee anamjaribu Mtu wa Mungu kutoka Yuda- 1 Wafalme 13:11-34. *Mungu anatumaRoho Danganyifu zimpatie Ahabu mawaidha mabaya, lakini Mikaia anasema Ukweli kuto kwaMungu- 1 Wafalme 22. *Paulo anamkaripia Kefa- Wagalatia 2:11-21.*Baraza la Yerusalemu- Matendo 15. *Barnaba alitoa Nasaha Njema- Matendo 11:22-24.*Waamini wa Efeso walitoa nasaha njema- Matendo 18:24-27. *Yuda na Sila walitoa nasahanjema- Matendo 15:32. *Paulo Alitoa nasaha njema- Matendo 16:40, 20:1-2; 2 Wakorintho 13:2-12; Col. 1:28; 1 Wathesalonike 2:11-12; 4:3-6. *Timotheo alitoa wasia mwema- 1 Wathesalonike3:2-3. *Tukiko alitoa wasia mwema- Waefeso 6:21-22; Col. 4:7-9. *Onesforo Anafariji Wengine-2 Timotheo 1:16-18. *Yohana anamkaripia Diotrefe- 3 Yohana. *Rehoboamu anaacha wasia wawazee na kuwataka ushauri vijana rika lake- 1 Wafalme 12:8-13.

Maandiko*Waamini wengine wanapofanya dhambi- Mathayo 18:15-17; Luka 17:3-4; Wagalatia 6:1-2;Yakobo 5:16. *Kipimo cha Kutiana nguvu- Warumi 14:19. *Viongozi Na Waumini Hutiana moyokwa upendo- Warumi 1:11-12. *Onya watu wavivu, watie moyo watu wadogo, Wasaidiewanyonge, kuweni wavumilivu- 1 Wathesalonike 5:14. *Hubiri Neno, Kosoa, Kemea, Himiza kwauangalifu kwa maagizo makuu- 2 Timotheo 4:2. *Endeleza mtindo ule ule wa mafundisho,endeleza mafundisho ya sawa- 2 Timotheo 1:13; Tito 2:1. *Mungu yuko kinyume na walewatangazao “Bwana anasema,” Wakati ambapo kwa kweli hakusema- Yeremia 23:25-32. *Nivyema kuwageuza wenye dhambi kutoka kwa njia zao - Yakobo 5:19-20. *Waigizeni ViongoziWahubirio Neno la Mungu, Biblia, Kwa watu- Waebrania 13:7. *Jitahidi kuuweka safi ujumbe waNeno la Mungu- 1 Wathesalonike 1:8-10. *Usilighushi Neno la Mungu, Bali dhihirisha Ukweli- 2Wakorintho 4:2. *Usitumie Neno la Mungu kwa manufaa yako binafsi- 2 Wakorintho 2:17.*Himizaneni ili udanganyifu wa dhambi usitufanye kuwa sugu – Waebrania 3:13.

Somo La 3 Mungu Huwasiliana kupitia Ufunuo wa jumla

Sehemu 3: MunguHuwasiliana kupitia Ufunuo

wa jumla.

Picha ya Maumbile na watu-Biblia inasema kwamba Munguamefunua sifa zake kupitia uumbajiWake. Ufunuo huu tunauita “Ufunuowa Jumla” kwa sababu ni kwa watuwote. Pia tunauita “Jumla” kwa sababuhaufunui mambo maalumu juu yawokovu wa Mungu kupitia kwa imanindani ya Yesu kama Bwana namwokozi. Mifano ya aina hii ya ufunuoinajumuisha: Milima- Mungu nikimbilia na nguvu, Mvua- Rehema zakejuu ya wema na wabaya, na jua-

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu Huwasiliana kupitia Ufunuo wa Jumla.2. Biblia inasema Mungu hufunua hulka yake kupitia uumbaji Wake

ili tunapoabudu sanamu badala Yake, tuwe hatuna udhuru.3. Kwa sababu Mungu hujifunua mwenyewe kwa jumla kupitia

ufunua aina hii pekee, mafundisho yoyote tunayoweza kusikia aukujifunza juu ya daraja hili lazima yathibitishwe na Neno la Mungu,Yesu, na Roho Mtakatifu.

Hadithi*Mungu Hujifunua kupitia Matendo Yake Mazuri, Kutoa mvua na mavuno, na kupitia Furahakatika moyo wa Mwanadamu- Matendo 14: 15-17. *Mshairi asiyemjua Mungu alipokea Elimu yaKiroho, Lakini sio kwa Wokovu- Matendo 17:22-31.

Maandiko*Mbingu zinatangaza Utukufu wa Mungu - Zaburi 19:1-6. *Mungu Amejifunua Kupitia Uumbaji-Warumi 1:18-22. *Uadilifu wa Mungu ni kama Milima; Haki Yake ni kama Kilindi Kirefu- Zaburi36:6. *Mungu Hufunu Utunzaji na Utoaji Wake kwa ajili ya Maumbile kupitia kwa Majira, kupitiaMvua, Maji, Chemchemi, Kulisha wanyama, Jua na Mwezi, Usiku na Mchana, Mzunguko waMaumbile, Hufunua Hekima na Muundo wa Mungu- Zaburi 104. *Kama milima ilivyoizungukaYerusalemu, ndivyo Bwana anavyowazunguka watu Wake- Zaburi 125:2.

Page 37: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 33

Uaminifu Wake.

Page 38: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 34

Sura ya 4 Kielelezo: Sheria za Mungu kwa Ajili ya Kuishi: Amri Kumi

Page 39: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 35

Page 40: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 36

Sura ya 4 Sheria za Mungu kwa ajili ya Kuishi: Amri Kumi

Ufafanuzi wa Jumla

Kielelezo cha 4 ni picha ionekanayo ya Amri za Mungu kwa watu wake. Tangu mwanzo wawakati, Mungu ameanzisha shera aina mbali mbali. Alianza na sheria za maumbile katika suraya kwanza ya Mwanzo. Sheria hizi zinatawala nyakati, majira, hatua anuai za maisha kamili yaviumbe, na maumbile yanavyofanya kazi kwa jumla ulimwenguni. Ni Yesu anayeshikiliapamoja kazi za maumbile (Yohana 1). Mungu alijiweka Mwenyewe kama mtawala wa pekee namamlaka juu ya uumbaji Wake. Na kwa hiyo, aliwapatia Adamu na Hawa amri ya kwanza,kwamba wasile matunda ya mti we ujuzi wa Mema na Mabaya. Pia aliwaambia wazaane nawawe wengi. Aliwaweka Mume na mke wawe watawala wa uumbaji Wake.

Lakini siku zilipokuwa zikipita, pia Alitoa sheria maalumu kuhusu uhusiano. Ni sheria hiziambazo Mungu aliwapa watu wake baada ya kuwatoa utumwani kule Misri. Ni muhimu kujua kuwa watuwalitolewa utumwani kwanza, na halafu Mungu akawapa amri za jinsi watakavyoishi katika njia za kumpendezayeye. Hivyo hivyo, Yesu alitutoa katika utumwa wa dhambi kwanza, na kwa kufanya hivyo tunamfanya awe Bwanawa maisha yetu. Hatuokoi kulingana na matendo yetu mazuri, bali neema yake imetoa njia kwa watu wote wajekwake kupitia imani. Halafu tunapaswa kumfuata katika utiifu. Unaona, sheria haikutolewa kama njia ya wokovuau ukombozi. Badala yake sheria ilitolewa iwaonyeshe watu jinsi walivyopaswa kuishi kuhusiana na Mungu nawatu, na ikamfunulia kila mtu kwamba ni mwenye dhambi. Sheria ilikuwa makubaliano au agano alilofanya Munguna watu wake waliokombolewa.

Kama inavyoonekana ndani ya boksi hapo juu ya ukurasa, kuna sheria aina tatu, Sheria za Maadili, Sheria za Kiraia,na Sheria za Kutoa Sadaka au Sheria za Kidini. Sheria za Maadili zinapatikana katika Amri Kumi, zilizochorwahapo juu kama kibao chenye picha ndogo ndani yake. Sheria hizi za Maadili zinaweza kugawanywa katika sehemumbili: sheria zinazoanguka uhusiano wetu na Mungu; na sheria zinazoanguka katika uhusiano wetu na watuwengine. Kwa vile kuna maeneo mawili ya sheria za Maadili, sheria yote ya maadili inaweza kushikanishwa nakuwa Amri mbili, mpende Mungu na umpende mwenzio. Kwa kuwa sheria hizi zilitolewa kama kigezo chakusichokoma cha jinsi ya kumpendeza Mungu, sheria za Maadili bado zapaswa kufuatwa na watu wa Mungu.

Sheria za kiraia zilitumiwa kama kigezo cha haki kwa watu waliokuwa wamevunja sheria za Maadili. Huku tukiwatunaweza kujifunza usawa na haki kutoka kwa sheria hizi, hazikukusudiwa kuwa kigezo cha sheria kwa watu kilamahali. Serikali za wilaya na koti ndizo zitengenezazo sheria za kiraia na kufasili jinsi ya kutoa haki.

Sheria za kidini zilitolewa na Mungu kama njia ya kuwarudisha watu katika ushirika na Mungu na kati yao wakatisheria za Mungu za Maadili zilipovunjwa. Sheria za kidini zaweza kugawanywa sehemu tatu, sheria za KuwekaWakfu, Sheria za Kijamii,na sheria za Kuondoa au kufidia dhambi. Sadaka za kuweka wakifu (sadaka ya kuteketeza;nafaka/Sadaka ya chakula au kinywaji) zilikuwa sadaka za hiari zilizokusudiwa kuwatenga watu wajitolee kabisa nakujiachilia kwa Mungu. Sadaka za jamii (Sadaka za muungano, sadaka za amani, sadaka za shukrani, sadaka zanadhiri, sadaka za hiari) pia zilikuwa za hiari. Zilileta watu pamoja kwa umoja kati yao na katika uhusiano mbele zaMungu. Sadaka za kuondolea/kufidia dhambi (Sadaka ya kuondoa dhambi, na sadaka hatia/kufidia makosa)zilikuwa sadaka za lazima za kuleta msamaha, kulipiza, na kurudishwa upya kwa watu kwa dhambi zotezilizofanywa dhidi ya Mungu na watu. Katika Agano Jipya, tunapata hizi sadaka za kimwili zikionyeshwa kiroho.Sadaka za kuweka wakfu na sadaka za jamii hutimizwa katika utumishi wetu kwa Mungu na mmoja kwa mwinginekanisani. Sadaka za kufidia makosa zinatimizwa katika Yesu.

Mungu alimpa Israeli ushauri mzuri sana wakati walipokuwa wakijitayarisha kuingia katika nchi ya ahadi.Aliwaambia wasifanye yale yaliyokuwa yakifanywa Misri mahali walipokuwa, na wasifanye yale yafanywayoKanaani mahali walipokuwa wanaenda (Law 18:3). Tunaweza kujifunza kanuni nzuri kutokana na amri hii. Kunamambo katika utamaduni tunaoishi, na katika utamaduni kila utamaduni mwingine duniani ambazo hazimpendeziMungu. Kwa hiyo kila mahali tulipokuwa, na kila mahali tuendapo, ni lazima, tushike sheria za Mungu na tuzitii.Sheria za Mungu ni zile zile kwetu sisi kila tuendako. Hazibadiliki. Sheria hizi ndizo kigezo cha tabia zetu. Kwakutii sheria hizi tunashuhudia juu ya uaminifu wetu kwa Mungu.

Malengo Ya Sura ya 4 Kutufundisha mengi zaidi juu ya uadilifu na haki ya Mungu. Kufundisha jinsi Yesu alivyokuja kutimiza sheria kwa kifo chake, na kwa mafundisho yake.

Page 41: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 37

Kutoa mafundisho ya msingi kwa ajili ya familia ili ziweze kuwafundisha watoto wao kuhusu sheria zaMungu za kimsingi za maadili.

Kutusaidia sisi kufahamu kuwa lengo la Sheria lilikuwa si kutufanya waadilifu, bali kutufunulia kuwa sisi niwatenda dhambi wanaohitaji ondoleo la dhambi na wokovu wa Yesu.

Kufundisha jinsi ya kuishi katika uhusiano mwema na Mungu na watu. Kufundisha muhtasari wa kimsingi wa Sheria ambao ni: kumpenda Mungu kwa moyo wako wote, roho yako

yote na akili zako zote, na kuwapenda jirani zetu jinsi tujipendavyo wenyewe; na ikiwa tumevunja sheriamoja ya Mungu, tutakuwa tumezivunja zote.

Kufundisha kwamba, ikiwa tunampenda Mungu, tutamtii yeye. Kutufundisha utumishi wetu kwa Mungu ni sadaka yetu ya kiroho kwake.

Sura ZinazohusianaSura 6: Sheria inafanya kazi kama mwalimu wetu itusaidie kutambua kuwa sisi ni wenye dhambi na tunamhitaji Yesu.Sura ya 7: Tunakuwa kiroho tunapokuwa tukifuata amri mbili za Mungu kuu kuliko zote, kumpenda Mungu na kumpenda jiraniyetu.Sura ya 9: Kufuata sheria za Mungu za Maadili kunaweza kutusaidia kuepuka kuenenda katika njia za uharibifu.Sura ya 10: Kufuata sheria za Mungu za Maadili kunaweza kutusaidia kuepukana na kuenenda katika njia za uharibifu.Sura ya 12: Tunapaswa tuendelee katika njia za Mungu mpaka Yesu arudi.

Ufafanuzi wa Picha

Somo La 1 Sheria Aina Tatu ambazo Mungu Aliwapa Waisraeli

Picha na Maelezo Vichwa Vya Masomo, Biblia Hadithi, and Maandiko

Sehemu 1: Mungu aliwapa Waisraeliwa zamani sheria aina tatu.

Ndani ya boksi/kisanduku: Aina tatu za sheriaza Agano la Kale

1. Vibao vya Amri Kumi-Sheria ya Maadili.

2. Fanya uamuzi huku watu wakisimamawakikuzunguka- Sheria za Kiraia.3. Madhabahu-Sheria za Kutoa sadaka/Sheria za Kidini

(Aina 3 )

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu aliwapa Waisraeli aina tatu za sheria, Sheria za

Maadili, Sheria za Kiraia, na Sheria za Kidini.2. Sheria za Maadili zinaendelea hata katika mafundisho ya

Yesu isipokuwa Sheria ya Siku ya Sabato.3. Sheria za Kiraia zilikuwa kwa ajili ya kutuagiza sisi.

Ilitengenezewa viongozi wajue jinsi ya kukabiliana na walewaliovunja Sheria za Mungu za Maadili. Leo, viongozi wakila nchi hutengeneza sheria za kuwatawala watu.

4. Sheria za Kidini zilitimizwa kupitia sadaka ya Yesu nanyingine zinatimizwa katika huduma na utumishi kwaMungu.

5. Kuna aina nyingi za sheria za kidini. Zimefupishwa katikaupande wa kushoto.

6. Mwanzo wa uumbaji Mungu aliweka sheria fulani zamaumbile katika mwendo (Sheria za Maumbile); na akawapasheria Adamu na Hawa (Wasile matunda ya Mti wa Ujuzi waMema na Mabaya; na waitawale dunia na wazaane nawaongezeke). Sheria za kwanza hazijaletwa katika pichahapa.

1. Sheria ya MaadiliKwa ajili ya Maandiko na Hadithi, tazama hapo chini.

2. Sheria ya KiraiaHadithi*Kuorodhesha sheria za kiraia- Mambo ya Walawi 20-22; Kumbukumbu La Torati 19-25.

Maandiko*Tunapaswa kutii sheria za utawala za nchi yetu- Warumi 13:1-7; 1 Petro 2:13-14.3. Sheria za Sadaka/Sheria za Kidini (Aina tatu)

Consecratory Offerings:*Burnt offering- Given most frequently of all the sacrifices. Centered around festivals,some purification rituals, and daily life. This offering signified the complete giving of

Page 42: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 38

*Sadaka za kuweka Wakfu (sadaka zakuteketeza, nafaka/unga na sadaka ya kinywaji).To set apart to Mungu. These offerings arevoluntary.

*Sadaka za Muungano/Sadaka ya jamii;Sadaka ya Amani (hujumuisha sadaka yashukrani, sadaka ya nadhiri, sadaka ya hiari,sadaka ya sherehe) Zihusianazo na jamii naMungu. Sadaka hizi ni za hiari.

*Sadaka ya Kufidia Makosa (sadaka yakuondolea dhambi, sadaka ya utakaso, nasadada ya makosa au hatia). Zinahusiana nadhambi, msamaha, utakazo, fidia. Sadaka hizi niza lazima.

oneself to Mungu. Mambo ya Walawi 1:3-17; 6:8-13. *Cereal offering- This offeringaccompanied the animal sacrifices. Mambo ya Walawi 2; 6:14-23. *Drink offering,libation- Accompanied burnt and peace offerings. Considered an extra gift to Mungu.Hesabu 15:1-10.

Sadaka ya Ushirikiano/Muungano/Sadaka ya Jamii:*Sadaka ya Amani- sadaka ya hiari. Kila sadaka ya amani ilijumuisha ya mlo wa kijamiimwishoni mwa sadaka ambapo chakula kilichokuwa kinatolewa sadaka kiligawanywakwa familia, na Walawi katika jamii. Sadaka hii ilitajwa tu katika sherehe za wiki, kiapocha Nazarite, uwekaji wakfu wa makuhani-Walawi 3; 7:11-36.*Sadaka Za Kupeperusha-sadaka ya hiari. Sehemu ya sadaka ya amani. Ilikuwa nisehemu iliyopewa kuhani. Lakini ilipeperushwa mbele za Mungu kwa sababu kwa hakikailikuwa yake- Isaya 10:15; Kutoka 35:22; 38:29; Walawi 14:12, 21, 24; 23:15; Hesabu8:11, 13, 15, 21.*Sadaka ya shukrani-sadaka ya hiari. Walawi 7:12, 13, 15; 22:29; Zaburi 56:12, 13;107:22: 116:17; Yeremia 33:11.*Sadaka ya Nadhiri-sadaka ya hiari. Sadaka hii ilitolewa kwa kuondoa nadhiri, lakinikimsingi inaweza kuwa sehemu ya sadaka yoyote au toleo kwa Mwenyezi-Mungu.Walawi 7:16-17; 22:17-20; Hesabu 6:17-20.*Sadaka ya hiari-sadaka ya hiari. Hii ilikuwa ndiyo sadaka ndogo ambayo ilikuwainaweza kutolewa kwa sherehe yoyote au matambiko ya kujitoa kwa Bwana-Kutoka23:16; 34:20;Kumbukumbu La Torati 16:10, 16, 17. 2 Wakorintho 35:8; Ezra 3:5; Walawi 7:16; 22:18,21, 23; 23:28; Ezekieli 4:12.*Sadaka ya Kuweka Wakfu- sadaka ya hiari. Inahusiana na kumweka mtu wakfu kwahuduma ya Bwana. Mtu alitakiwa kuweka mikono yake juu ya yule mnyama ambayealikuwa anatolewa kama sadaka. Kisha kuhani aliweza kuweka damu katika sikio la kuliala yule mtu; kidole gumba cha mkono wa kulia, na katika kidole kikubwa cha mguu wakulia. Kutoka 25:7; 28:41; 29:19-34; 35:9, 27; Walawi 8:22-32; 1 Wakorintho 29:2.

Sadaka za Kuweka Wakfu na Sadaka za Jamii katika Agano Jipya katikautumishi wetu kwa Mungu.*Paulo aliuona utumishi wake kwa Wafilipi kama sadaka ya kinywaji kinachomwagwa-Wafilipi. 2:17. *Paulo aliona karama alizopewa kama sadaka za manukato kwa Mungu-Wafilipi. 4:18. *Tunapaswa kutoa mili yetu kama sadaka iliyo hai kiroho- Warumi 12:1.*Usiache kutenda mema na kushirikiana/kugawana, kwa kuwa Mungu hupendezwa nasadaka aina hiyo- Waebrania 13:16. *Kutii ni bora kuliko dhabihu- 1 Samueli 15:22.*Utumishi wetu kwa Mungu kanisani ni sadaka ya kiroho inayokubalika mbele za Mungukupitia kwa Yesu Kristo- 1 Petro 2:5.

Sadaka za Kufidia makosa:*Sadaka kwa ajili ya dhambi- Watu walikuwa ni waweke mikono yao juu ya mnyama,ishara ya kuhamisha dhambi zao kwa mnyama huyo-Walawi 4:1-35; 6:24-30; Hesabu15:24-27; Hesabu 28:15-30; Waebrania 9:27.*Sadaka ya Hatia- Ilitolewa wakati mtu alipokuwa amefanya hila au wamepuuza wajibuwao. Mtu mwenye hatia ni lazima akiri, atoe dhabihu, na alipe fidia pamoja na asilimiafulani ya nyongeza. Walawi 5:14-6:7; Walawi 7:2-5; Hesabu 6:12; Hesabu 5:5-10.*Kuleta matokeo yanayotakiwa- Sadaka ya dhambi na hatia ilitolewa kwa ajili ya mtualiyekiuka sheria ya maadili, hasa amri ya 8 na 9. Walawi 4:2, 13, 22, 27, 5:14; Walawi5:17; 14:23, 28; Walawi 20:2-10; Kumbukumbu La Torati 13:6; 17:2-7; Walawi 20:3;Kutoka 22:18; Kutoka 21:15; Walawi 12:6, 27; Kumbukumbu La Torati 13:5; 18:20; 1Samweli 28:9; Walawi 23:29-30; Kutoka 20:8-11; Kumbukumbu La Torati 5:12-15.

Yesu alivyotimiza sadaka za kufidia makosa: *Yesu alizungumzia kifochake kama sadaka- Marko 10:45; Mathayo 20:28 Luka 22:20; Marko 14:24; Mathayo26:28; Yohana 12:20-35. Yesu alikufa msalabani kwa ajili ya dhambi zetu, na akafufukakutoka kwa wafu ili atupatie maisha mapya- Mathayo 26-28; Marko 15-16; Luka 22-24;Yohana 19-21. *Yesu ndiye Mwanakondoo of Mungu- Yohana 1:29, 36; Ufunuo 5; 7;13:8. *Yesu ndiye mtumishi wa simazi/wa kuteswa wa Isaya- Isaya 53; Matendo 8:32.*Yesu na Pasaka, Chakula cha Mwisho cha Jioni- Marko 14. *Yesu anamfufua Lazarokutoka kwa wafu- Yohana 11. *Fumbo la Mwenye Shamba la Mizabibu- Luka 20. *Pauloanafundisha kwamba kifo cha Yesu kilikuwa kama sadaka ya kufidia makosa-Warumi 3:25; 5:9; 1 Wakorintho 10:16; Waefeso 1:7; 2:13; Waefeso 5:2;Wakolosai 1:20. *Yesu ndiye Pasaka- 1 Wakorintho 5:7. *Kifo cha Yesu kililetaukombozi- 1 Petro 1:18, 19; 1:2; 3:18. *Kifo cha Yesu kilikuwa cha kuondoa dhambina kututakasa kutoka katika dhambi- 1 Yohana 1:7; 2:2; 5:6, 8; Ufunuo 1:5.*Sadaka za Agano la Kale zilikuwa picha au kivuli cha ukweli wa kiroho uliokamilishwakwa kifo cha Yesu-angalia hasa Waebrania 8-10.

Page 43: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 39

Somo la 2 Sheria za Maadili: Amri Zinazohusiana na Uhusiano Wetu na Mungu

Sehemu 2: Amri Zinazohusiana naUhusiano Wetu na Mungu

Upande wa kushoto wa kibao- Mkonouliojuu unawakilisha amri zinazohusiana na nauhusiano wetu na Mungu.

**Tazama Masomo ya Amri moja moja hapo Chini.

Sehemu 2a: Kuna Mungu mmoja,Mwabuduni Yeye.

Mkono- Kuna Mungu mmoja mwabuduniYeye.

Vichwa Vya Masomo:1. Kuna Mungu mmoja, Mwabuduni Yeye.

Hadithi*Amri: Mungu anasema Kuna Mungu Mmoja Mwabuduni Yeye- Kutoka 20:3;Kumbukumbu La Torati 5:7. *Usiabudu mungu mwingine, kwa kuwa BWANA, ambayejina lake ni Wivu ni Mungu mwenye Wivu- Kutoka 34:14. *Yoshua, Chagueni Hivi LeoMtakayemtumikia- Yoshua. 24. *Sikia, Ee Israeli: BWANA Mungu Wetu, BWANA nimmoja- Kumbukumbu La Torati 6:4, 3-14. *Kuchukuliwa mateka kwa Israelikunatabiriwa kwa kuhusika katika Kuabudu Sanamu- Yeremia 25:6-12. *Manabiiwanatumwa kuonya Israeli juu ya kupelekwa uhamishoni kwa sababu ya kuabudu miungumingine- Yeremia 35:15.Maandiko*Mimi ni BWANA, Utukufu Wangu Sitampa Mwingine, Wala Sifa Zangu Sanamu zamiungu - Isaya 42:8; 46:9. * Hakuna sanamu za miungu zilizoumbwa Kabla Yake auBaada Yake, Hakuna Mwokozi mwingine - Isaya 42:10-13. *Wakati Mungu Alijitokezakwa Musa, Musa Hakuona Mfano, Kwa Hivyo Uwe Mwangalifu Usiunde Mifano YaMungu-- Kumbukumbu La Torati 4:15-20. *Yesu akamwambia, "Ondoka Shetani! Maanaimeandikwa: ‘Msujudie Bwana Mungu Wako, na Kumtumikia Yeye tu- Mathayo 4:10.*Maandiko ya Paulo juu ya mada, Nyama zilizotolewa sadaka Sanamu- 1 Wakorintho 8:4-6; 10:14-22.

Sehemu 2b: Usiabudu au KutumikiaMiungu Mingine

Sanamu zenye msitari katikati- Usiabuduau Kutumikia Miungu Mingine

Vichwa Vya Masomo:1. Usiabudu au Kutumikia Miungu Mingine .

Hadithi*Amri: Usiabudu au Kutumikia Mungu Mwingine- Kutoka 20:4-6; Kumbukumbu LaTorati 5:8-10. *Usijifanyie miungu mingine ila mimi; Usijifanyie miungu ya fedha audhahabu- Kutoka 20:23. *Usijifanyizie miungu ya kuyeyusha- Kutoka 34:17. * Msifuatemiungu wengine, Msifuate Mmoja kati ya miungu wa watu wanaowazunguka -Kumbukumbu La Torati 6:14. * Msifanye miungu wengine kwa Mfano Wangu, Ya watu,Ya Wanyama, Ndege, Wadudu, Samaki, Mbinguni, Jua Na Mwezi - Kutoka 34:15-17;Mambo ya Walawi 19:4; 26:1; Kumbukumbu La Torati 4:15-20. * Watu WanapaswaKuchoma sanamu za Nchi. Msitamani fedha au dhahabu iliyo juu yao, msije zikawaingizakwenye mtego, ni chukizo kwa BWANA Mungu wenu. Msilete kitu ambacho ni chukizonyumbani au ninyi nanyi mtatengwa na kuangamizwa kama hicho. Kikatae na kukichukiakabisa, kwa kuwa kimetengewa kuangamizwa- Kumbukumbu La Torati 7:25-26. *Ibadaya Sanamu inafananishwa na kuabudu mapepo- Kumbukumbu La Torati 31:15-21. *Watuwanatengeneza Sanamu ya Ndama wa Dhahabu- Kutoka 32. *Stefano anasimulia Historiaya Israeli- Matendo 7. *Jeroboamu anasimamisha Ndama Mbili za Waabudu- 1 Wafalme12-13. * Mfalme Ahazia Anatafuta ushauri kwa Baal-zebbu, mungu wa Enkroni, naAnafariki - 2 Wafalme 1. *Watu waishio Yerusalemu wakati wa uhamisho wanaasi amriya Mungu na kumwabudu Yeye na miungu wengine- 2 Wafalme 17:22-41. *Manaseanaweka Sanamu Ndani ya Hekalu- 2 Mambo Ya Nyakati 33. *Mfalme Josia AnaondoSanamu- 2 Mambo Ya Nyakati 34-35. *Watu Waishio Israeli wakati wa Uhamisho waIsraeli wanatumikia miungu wengine pamoja na Mungu wa Kweli- 2 Wafalme 17:29-35.*Makundi Wanamkasirikia Paulo kwa kusema kuwa Miungu ya Kutengenezwa naMikono sio Miungu Kamwe- Matendo 19:22-41.Maandiko* Hata ijapokuwa Mungu aliwatoa wana wa Israeli kutoka Misri, bado hawakuziondoasanamu zao. Mungu angegadhabika na kuwaangamiza. Lakini badala yake, aliwaokoa iliwajue kwamba Mungu ndiye anayewatakasa. Na jina lake halitachafuliwa katika mataifa-Ezekieli 20:6-14. *Watu walikosa kuona au kujua Udanganyifu wa Sanamu- Isaya 44:9;Isaya 45:16. * Hakuna Mmoja Wa Wanaoabudu miungu Wengine Ambaye AtarithiUfalme wa Mungu - Waefeso 5:5-12. *Kupenda kula kunaweza kuwa kuabudu Sanamu-Wafilipi. 3:19. * Jichunge Na Sanamu - 1 Yohana 5:21. * Watu Ambao WanatakaKutumikia Anasa Zao Hugeukia Sanamu - Warumi 1:18-32. * Mapigo Hutumwa Kwa

Page 44: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 40

Wanaomwabudu Shetani - Ufunuo 9:20-21. *Paulo anaelezea sanamu kamazilizotengenezwa na muundo na ufundi wa mwanadamu, anawaita watu wote watubu-Matendo 17. *Paulo anajadiliana na waamini juu ya kuhusika katika sherehe na tambikoza sanamu- 1 Wakorintho 8-10. *Usilete sanamu nyumbani kwenu, zimetengwa kwa ajiliya kuharibiwa. Mtatengwa pia na kuharibiwa kama hizo. Kumbukumbu La Torati 7:26.*Mungu Huchukia Sanamu- Kumbukumbu La Torati 16:21-22. *Sanamu ni Uumbaji waMwanadamu- Zaburi 115; Isaya 44:12-20. *Taratibu ya Kihakimu kwa ajili ya kuabudusanamu- Kumbukumbu La Torati 17:2-7.

Sehemu 2c: Usilitumie Bure Jina LaMungu

Mtu anaongea maneno mabaya- Usitumiejina la Mungu kwa njia mbaya au isiyo namaana. Mambo tukoseayo pia yanawezakunajisi Jina la Mungu.

Vichwa Vya Masomo:1. Usilitumie Bure Jina La Mungu.2. Jina la Mungu linaweza kunajisiwa kwa maneno na vitendo.

Hadithi*Amri: Usitumie jina La Bwana Mungu wako bure - Kutoka 20:7; Kutoka 5:11. *Kijana Anapigwa Mawe Kwa Kulikufuru Jina la Mungu - Mambo ya Walawi 24:11-23. *Yesu anafundisha juu ya kuapa- Mathayo 5:34-37; pia tazama Yakobo 5:12. *Yesuanawahukumu wale waapao kwa manufaa yao wenyewe- Mathayo 23:16-22.Maandiko*Usilinajisi Jina la Mungu; Msiape kwa Uongo - Mambo ya Walawi 19:12. * MunguHataacha Kuwaadhibu wanaotumia jina lake Bure - Kumbukumbu La Torati5:11.*Ombi la Kutokuwa Tajiri wala Maskini na kwa hiyo ulinajisi jina La Bwana-Mithali 30:7-9. *Usimkufuru Mungu au kumlaani mtawala wa watu wako - Kutoka 22:28.*Kutoa sadaka kwa sanamu hunajisi Jina la Mungu- Mambo ya Walawi 18:21. *Msiapekwa Uongo hivi hunajisi Jina La Mungu - Mambo ya Walawi 19:12. *Chukulienisadaka kwa Mungu kwa heshima, msije mkalinajisi Jina la Mungu- Mambo ya Walawi22:2. *Wale waliokufuru Jina la Mungu walipaswa kuuawa- Mambo ya Walawi 24:16.*Kwa kuwa nitarudisha usemi msafi (lugha) kwa watu ili wote waweze kuliitia jina laBWANA na kumtumikia na lengo moja (kijuujuu bega moja)- Waefeso 3:9. *Ninyimjivunao juu ya sheria, Je, mnavunjia heshima Mungu kwa kuvunja sheria? Kamailivyoandikwa: "Mataifa wanalikufuru Jina la Mungu kati yao kwa sababu yenu- Warumi2:2-24. * Usiape kabisa; hata kwa mbingu, kwa maana ndicho kiti cha enzi cha Mungu;Ndio yenu iwe ndio, na sio iwe sio, 5:33-37; Yakobo 5:12.

Sehemu ya 2d: Ikumbuke Sabato.

Watu wanaabudu- ikumbuke Sabatouitakase. Amri ya nne ni picha ya watuwanaomwabudu Mungu. Sheria inasemakuwa tunapaswa kuitakasa siku ya Sabato.Neno “uitakase” linamaanisha ‘tenga’ au“Kuweka mbele.” Amri hii hairudiwi katikaAgano Jipya, isipokuwa tu tusiache kukutanapamoja kama waamini. Ingawa siku za Agano laKale, watu wa Mungu waliabudu Jumamosi,lakini wakati wa Agano Jipya waaminiwaliigeuza siku ya ibada ikawa Jumapili iliwakumbuke kufufuka kwa Yesu. Kuna ushahidifulani kwamba Paulo pia aliabudu siku yaJumapili kwa sababu michango ilichukuliwakatika makanisa wakati huo (1 Wakorintho16:2). Pia tunaona kwamba Yesu ni Bwana waSabato, na anasema kwamba siku zote Munguhufanya kazi, hata siku ya Sabato (Yohana 5:16-17).” Paulo anaikomaza “Amri ya Sabato” kwakutuhimiza tufanye kazi zetu zote kila siku kamatunaomfanyia Bwana na sio wanadamu.

Vichwa Vya Masomo:1. Ikumbuke Siku ya Sabato, Uitakase.2. Amri hii hairudiwi katika Agano Jipya. Lakini hatupaswi

kuacha kukutana pamoja na waamini kanisani.

Hadithi*Amri: Ikumbuke siku ya Sabato uitakase- Kutoka 20:7; Kumbukumbu La Torati 5:12-15.*Mungu Aitangaza Siku ya Sabato kuwa Siku ya Kupumzika Kulingana na Siku zaUumbaji- Mwanzo 2:1-3; Mambo ya Walawi 19:3; 23:3. *Israeli Inapewa Mwongozo waJinsi Watakavyokula Mana Siku ya Sabato- Kutoka 16:23-30. *Sheria kuhusu kufanyakazi siku ya Sabato- Yeremia 17:21-27. *Wanafunzi wa Yesu kukata masuke na kula sikuya Sabato- Mathayo 12:1-13; Marko 2:23-28; Luka 6:1-11. *Yesu aliponya siku yaSabato- Marko 3:1-6. *Yesu anaponya katika birika la Bethsatha- Yohana 5:1-18. *Yesuanawatokea wanafunzi siku ya kwanza ya juma- Yohana 20:19-22. *Paulo alichukuachangizo/sadaka siku ya kwanza ya juma- 1 Wakorintho 16:2.Maandiko*Sabato ni Ishara kati Yangu na Ninyi Katika Vizazi Vyenu Vyote, Ili Mpate KujuaKuwa Mimi Ndimi BWANA Niwatakasaye- Kutoka 31:13-17. *Maagizo Kwa ajili yaWageni na Sabato- Isaya 56:2, 4-7.*Msiache kukusanyika pamoja na waamini-Waebrania 10:25. *Pumziko la kiroho la Sabato- Waebrania 4:1-11. * Lo lote mfanyalo,lifanyeni kwa moyo, kama kwa Bwana, wala si kwa wanadamu - Kol. 3:23-24. *Kufanyakazi kupita kiasi- Zaburi 127:1 -2. *Ivaeni nira Yake na mjifunze Kwake- Mathayo11:28-30. *Yesu akawaambia, " Sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, simwanadamu kwa ajili ya sabato. Basi Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato pia"-Marko 2:27-28. Mungu anafanya kazi siku zote * Kwa sababu hiyo Wayahudiwakamwudhi Yesu, kwa kuwa alitenda hayo siku ya sabato. Lakini akawajibu, “Babayangu anatenda kazi hata sasa, nami ninatenda kazi.."- Yohana 5:16-17. * Mungu kwetusisi ni kimbilio na nguvu, Msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso. " Acheni, mjueya kuwa Mimi ni Mungu, Nitakuzwa katika mataifa, nitakuzwa katika nchi.- Zaburi 46:1, 10. * Hata nitakapokuja, ufanye bidii katika kusoma na kuonya nakufundisha. - 1 Timotheo 4:13.

Somo La 3 Amri zihusianazo na Uhusiano wetu na Watu

Sehemu 3: Haki Vichwa Vya Masomo:1. Amri zihusianazo na Uhusiano wetu na Watu

Page 45: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 41

Upande wa kulia wa kibao- inawakilishaamri zihusianazo na uhusiano wetu na watuwengine.

** Tazama Masomo ya Amri moja moja hapo Chini.

Sehemu 3a: Watoto WaheshimuniWazazi Wenu.

Wazazi na mtoto- watoto waheshimuniwazazi wenu ili mpate kuishi siku nyingiduniani.

Vichwa Vya Masomo:1. Watoto wanapaswa Kuwaheshimu na Kuwatii Wazazi Wao.

Hadithi*Amri: Waheshimu babako na mamako- Kutoka 20:12; Kumbukumbu La Torati 5:16;Waefeso 6:1-4. *Yesu Anasimulia Kuapa kwa Uongo ili kuepuka Jukumu la kuwatunzaWazazi waliozeeka- Mathayo 15:4-6. * Mtawala Mdogo Tajiri - Mathayo 19:19; Luka18:18-27. * Fumbo la Wana Wawili - Mathayo 21:28-32. *Yesu anatufundishatuwaheshimu wazazi wetu- Marko 7:9-13. *Yesu alikuwa mtiifu kwa wazazi wake- Luka2:51Maandiko* Sheria Zinazohusu Kuwaheshimu Wazazi - Kutoka 21:15-17; Mambo ya Walawi 19:3,32. * Usiache Mafundisho Ya Baba na Mama yako - Mithali 1:8. * Mjinga HukataaAdhabu ya Baba Yake - Mithali 15:5. * Ni dhambi Kuibia Baba na Mama Yako - Mithali28:24. * Mwanangu, shika maagizo ya baba yako, Wala usiiache sheria ya mama yako. -Mithali 6:20. * Ni Makosa Kumtukana Baba au Mama Yako - Mithali 20:20; 30:17. *Watoto Watiini Wazazi wenu Katika Kila Jambo - Kol. 3:20.

Sehemu 3b: Usiue.

Maiti, upanga, na msitari uliopitiakatikati ya mviringo- Usiue watu.

*Yesu anaongezea mitazamo ya kiuaji juu yaghadhabu iwakayo ndani ya mioyo yetu dhidi yawatu wengine.

Vichwa Vya Masomo:1. Usiue.2. Yesu alikomaza amri hii kujumuisha mitazamo ya hasira za

kiuaji ambazo tunaweza kuhisi dhidi ya watu.

Hadithi*Amri: Usiue- Kutoka 20:13; Kumbukumbu La Torati 5:17. *Kaini anamuua Abeli-Mwanzo 4; Waebrania 11:4; Jude (v.11); 1 Yohana 3:10-15. *Sheria ya Agano la Kaleilikuwa jicho kwa jicho na jino kwa jino- Mambo ya Walawi 24:17-22. *Sauli AnatakaKumuua Daudi- 1 Samueli 18-31. * Daudi Anayahurumia Maisha ya Sauli - 1 Samueli 24;26. * Daudi Anamuua Uria, na Kumchukua Mke Wa Uria Kama wake - 2 Samueli 11-12.* Yezebeli na Mfalme Ahabu Wamuua Nabothi Ili Walichukue Shamba Lake LaMizabibu- 1 Wafalme 21. *Yeremia Anatabiri katika Ua wa Bwana- Yeremia 26 (v.12-15). *Paulo Anawaua Wakristo- Matendo 7:54-8:3.Maandiko*Mwuaji hawezi kukimbilia madhabahu ya Mungu - Kutoka 21:14. * Mungu Hudai damuya uhai tunapoua; Binadamu Aliumbwa Kwa Mfano Wa Mungu na Kwa Hivyo Ni WaKipekee - Mwanzo 9:5-6; Kumbukumbu La Torati 5:17. *Umwagikaji wa damu hunajisinchi- Hesabu 35:16-34 (v.33-34). * Maana mtu wa kwenu asiteswe kama mwuaji, aumwivi, au mtenda mabaya, au kama mtu ajishughulishaye na mambo ya watu wengine.Lakini ikiwa kwa sababu ni Mkristo asione haya, bali amtukuze Mungu katika jina hilo - 1Petro 4:15-16. * Sheria Kuhusu wanaovizia watu na Kuwaua - Kumbukumbu La Torati19:11-13; Zaburi 10:8-11; Mithali 1:11-12. * Usiue, Usimkasirikie Ndugu Yako, Pataneni- Mathayo 5:21-26. * Sheria Zote Zimejumuishwa katika hii: Mpende jirani yako JinsiUnavyojipenda Wewe Mwenyewe - Warumi 13:9-10. * Sheria Zilitengenezewa Wauaji,wazinzi na kadhalika.- 1 Timotheo 1:9-11. * Yeyote Amchukiaye Ndugu Yake Ni Muuaji- 1 Yohana 3:12-15.

Sehemu ya 3c: Usizini. Vichwa Vya Masomo:1. Usizini.2. Yesu aliikomaza sheria hii kwa kuwajumuisha wanaume na

wake wengine, na uzinzi ufanywao katika tamaa za mioyoyetu.

Hadithi*Amri: Usizini- Kutoka 20:14; Kumbukumbu La Torati 5:18. *Usilale na mke wa jiraniyako- Mambo ya Walawi 18:20; 20:10. *Maagizo kuhusu kukosa uaminifu kwa mke-Hesabu 5:12-31. *Daudi na Bathsheba- 2 Samueli 11-12. * Shutuma za Uongo za Uzinzi,Yusufu na Mke Wa Potifa - Mwanzo 39:1-23. *Kutafuta Hekima, Kutembea Njia YaWenye Hekima, Kuepuka Njia Ya Wazinzi- Proverbs 2; 5:3-23; 6:20-35; 7. * YesuAnasamehe Dhambi Za Kahaba - Yohana 8:1-11. * Maagizo Kuhusu Wajane- 1Wakorintho 7:8-9 .

Page 46: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 42

Mume mwenye wake wengi;mwanamume ndani ya baa na wanawakewengine, msitari upitao katikati yamviringo- usizini.

Maandiko*Tatizo La Uzinzi Wakati wa Manabii- Yeremia 5:6-9; 29:22-23. * Yesu AnasemaKwamba Yeyote Anayetamani Mwanamke Moyoni Mwake Amezini Naye [Fahamu kuwaYesu anaikomaza sheria ya Agano la Kale kwa sasa kwa kuwajumuisha wanaume kamawatu ambao wanaweza kuzini hata kwa mawazo yao nje ya uhusiano wao na wake zao] -Mathayo 5:27-32. * Yesu Anasema Ya kwamba, Yeyote Anayemtaliki Mke wake NaKuoa Mke Mwingine Anafanya uzinzi Dhidi Yake; Na Kama Yeye Mwenyewe AtamtalikiBwana Wake Na Kuolewa na Mwanamume Mwingine, Anafanya Uzinzi - Marko 10:11-12. *Mungu Anachukia Talaka- Mal. 2:16; Talaka Inapatianwa Kwa Sababu Ya Ugumuwa Moyo Peke yake - Mathayo 19:3-9. * Ndoa inapaswa kuheshimiwa na watu wote,kitanda cha ndoa kisinajisiwe; kwa kuzini kabla ya ndoa na kuzini katika ndoa Munguatahukumu - Waebrania 13:4. * Maagizo Kwa Wale Ambao Wameoa au Kuolewa WatuAmbao si waamini - 1 Wakorintho 7:12-15; 1 Petro 3:1-6. *Maagizo ya WaleWaliotengana- 1 Wakorintho 7:10-11. * Kama Bwana Amefariki Na Mke WakeAnaungana Na Mume Mwingine, Hazini, lakini akiwa mume bado yuko hai na mkeaungane na mwanamume mwingine, anazini - Warumi 7:2-3. * waasherati hawataurithiufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, - 1Wakorintho 6:9-10. * Uasherati Au Uchafu Wowote Au Uchoyo Usitajwe MiongoniMwenu - Waefeso 5:3. *Jua Namna Ya Kumiliki Chombo Chake Katika Utakaso NaHeshima, Si Kwa Tamaa Mbaya Kama Watu Wa Mataifa Wasiomjua Mungu; Basi, mtuyeyote Asimkosee Na Kumpunja Ndugu Yake Kwa Jambo Hili Kwa Sababu MunguAtawaadhibu- 1 Wathesalonike 4:1-8.

Sehemu ya 3d: Usiibe

Mwanamume anakimbia na mfuko,msitari upitao katikati ya mviringo-usiibe.

Vichwa Vya Masomo:1. Usiibe.2. Tunapaswa kufanya kazi ili tuwe na kitu cha kuwapatia wale

walio na mahitaji.

Hadithi*Amri: Kutoka 20:15; Kumbukumbu La Torati 5:19. *Yesu Anafukuza Wezi KutokaHekaluni- Mathayo 21:12-13. *Yuda Alikuwa Mwizi- Yohana 12:1-8. *MsamariaAnamsaidia Mwathiriwa na Majambazi: Msamaria Mwema- Luka 10:25-42.*Fumbo laMlango, Mwizi Haji Ila Kwa Kuiba na Kuua na Kuharibu; Mimi Nilikuja Ili Wawe NaUzima, Na Wawe Nao Teletele - Yohana 10:1-18. *Wezi Wawili Wanasulubiwa Pamojana Yesu- Mathayo 27:28-44; Luka 23:32-43. *Yesu anashutumu Waandishi kwa kuharibunyumba za wajane- Marko 12:40.Maandiko*Sheria ya Ulipaji fidia Kwa Wezi - Mambo ya Walawi 6:1-7; 19:11, 13. *Sheria KuhusuKuteka Nyara- Kumbukumbu La Torati 24:7. *Kutumia Vipimo Visivyo, KudanganyaWatu - Kumbukumbu La Torati 25:13-16; Mithali 11:1; Mika 6:10-16. *KukandamizaMaskini, Kuchukua Nyumba Zao Na Vitu Vyao - Ayubu 20:15-22; Amosi 8:4-7; Ez.22:29. *Kuiba Hutoka Moyoni- Mathayo 15:19; Hos. 4:1-2. *Anayeiba Asiibe Tena; BaliNa Aanze Kufanya Kazi Njema Kwa Mikono Yake, Apate Kuwa Na Kitu Cha KumsaidiaAliye Mhitaji - Waefeso 4:28. * Watu Wanamwibia Mungu Zaka Na Dhabihu - Mal. 3:8-10. * Hakikisha Kuwa Hakuna Mtu Yeyote Miongoni Mwenu Anayeteseka Kwa SababuNi Mwuaji, Au Mwizi…Lakini Kama Mtu Atateseka Kwa Sababu Ni Mkristo, AsioneAibu, Bali Amtukuze Mungu Kwa Jina Hili- 1 Petro 4:15-16. *Je, Ninyi mnahubiri watuwasiibe, wenyewe mnaiba?- Warumi 2:20-24. *Sheria Zote Zimejumuishwa katika amrimoja Mpende Jirani Yako kama Ujipendavyo- Warumi 13:8.

Sehemu ya 3e: Usimshuhudie JiraniYako Uongo.

Watu wanawashuhudia wengine uongo,msitari upitao katikati ya mviringo-Usimshuhudie jirani yako uongo. Kumshuhudiajirani yako uongo kunawezakuwa makusudi, aukunawezakuwa matokeo ya kufanya uamuzi waharaka, au kuwahukumu watu na kishakutangaza uamuzi huo kama ukweli kwawengine. Lazima tuwe waangalifu makinitusiutie ukweli chumvi au kufanya hitimishokwa misingi ya asira zetu na uchungu wetu.Mungu anataka tuwe tuambiane ukweli nakwamba tuhukumiane kwa njia ya haki.

Vichwa Vya Masomo:1. Usimshuhudie Jirani Yako Uongo.2. Katika Agano la Kale, wale walioshuhudia majirani zao

uongo walipaswa kupata hatima ile ile waliyotaka iwapatejirani zao.

3. Ni lazima tuwe waangalifu, tusishuhudie jirani zetu uongokwa kukimbilia kufanya hitimisho la uongo; au kwakuwashutumu wengine na makosa/dhambi bila kuwasikiza.

Hadithi*Amri: Usimsuhudie jirani yako uongo- Kutoka 20:16; Kumbukumbu La Torati 5:20.*Usisambaze habari za uongo. Usiwe shahidi wa uongo. Usipotoshe ukweli kwa kuungamkono kundi, na usionyeshe upendeleo- Kutoka 23:1-3. *'Usiibe. "'Usidanganye."'Msidanganyane. Msiape uongo kwa jina langu na kwa hiyo ulitie unajisi jina la Munguwako. Mimi ni BWANA- Mambo ya Walawi 19:11-12. *Watu Wanamshutumu Mungubure - Kumbukumbu La Torati 1:27-28. *Watu wanawashutumu Musa na Haruni bure-Kutoka 16:3. *Ahabu na Yezebeli Wanakodi Mashahidi Wa Uongo - 1 King 21.*Ushuhuda Wa Uongo Dhidi Ya Wale Waliokuwa Wakijenga Kuta Za Yerusalemu - Ezra4. *Udanganyifu wa Sanbalati, Tobia- Nehemia 6. *Yesu anafundisha: Heri ninyi watuwanapomtukana, kuwatesa, na kusema kila aina ya uovu dhidi yenu kwa ajili Yake -Mathayo 5:11-12.*Ushahidi wa uongo katika kesi ya Yesu- Mathayo 26:57-75; Mathayo

Page 47: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 43

27:41-42.*Ushahidi wa uongo dhidi ya Stefano- Matendo 6:8-15.* Yesu AnashutumiwaKwamba Anafukuza Pepo Kwa Nguvu Za Shetani - Mathayo 12:22-32.* PauloAlisingiziwa - Matendo 24. *Diotrefe Anatumia Maneno ya Kijicho - 3 Yohana. *Uongowa Anania na- Matendo 5:1-9.

Maandiko*Usipotoshe Haki Kwa Sababu Ya Ndugu Yako Maskini Katika Mabishano - Kutoka23:6-8. * Usiende Ukiwachongea Watu Wa Jamaa Yako, Mimi Ndimi BWANA- Mamboya Walawi 19:16. * Haki Kamili Katika Kesi Ya Kushuhudia Uongo - Kumbukumbu LaTorati 19:15-21. * Mchongeaji Wa Siri Anaadhibiwa - Zaburi 101:5-7; Zaka 8:16-17. *Mafundisho Dhidi Ya Uchongeaji - Mithali 10:18; 11:13; Waefeso 4:31.*Kudumu Mtumishi Wa Mungu Katikati Ya Shutuma - 2 Wakorintho 6. *DumisheniMazungumzo Ya Uaminifu Ili Kwa Vitu Unavyochongewa, Vilete Utukufu Kwa MunguAtakaporudi - 1 Petro 2:19-20. *Ni nani atakayekaa katika kilima kitakatifu cha Mungu?-Zaburi 15:2-3. *Manabii wazungumzia suala la udanganyifu katikati ya watu- Yeremia8:3-8. *Acheni uongo na mwambiane ukweli, sisi ni wanachama wamoja - Waefeso 4:25;31-32. *Msidanganyane kwa kuwa mtu wenu wa zamani mmemvua- Kol. 3:9-10.

Sehemu ya 3f: Usitamani Vitu vyamwenzio.

Mtu anayetamani kuwa na kile ambachojirani yake anacho- usitamani. Juu ya vitutulivyo navyo, kutamani kunaweza kujumuishakarama za kiroho, kazi, vipawa, hadhi yakijamii; uhusiano, umbo, hali katika maisha,n.k..

Vichwa Vya Masomo:1. Usitamani Vitu vya Mwenzio.2. Kutamani kunaingia hata kwa uhusiano wa kazi, elimu,

watoto, na vitu.

Hadithi*Amri: Usitamani Vitu vya Mwenzio- Kutoka 20:17; Kumbukumbu La Torati 5:21.*Hawa anatamani Tunda- Mwanzo 3. *Kuanguka kwa Yeriko, Usitmani vituvilivyowekwa wakfu- Yoshua. 6 (v.18-19). *Kutamani Katika Siku Za Manabii, HutamaniMashamba na Kuyatwaa, Na Nyumba, Wananyakua. Huwadhulumu Wenye Nyumba NaJamaa Zao, Huwanyang’anya Watu Mali yao-- Mic. 2:1-2. *Dhambi za Akani- Yoshua. 7.*Paulo Anatoa kwa ajili ya Huduma Yake Mwenyewe Mfano Mzuri Wa Paulo Wa LengoZuri La Huduma - Matendo 20:17-38 (v. 33-35). *Fumbo la Tajiri Mjinga- Luka 12:15-21.*Mungu Atatupatia Mahitaji Yetu- Luka 12:22-40.Maandiko*Kupenda Pesa Ni Chanzo Cha Uovu Wote, Na Wengine Kwa Tamaa Ya PesaWametangatanga Mbali Na Imani Yao Na Wameichoma Mioyo Yao Kwa Huzuni Nyingi- 1 Timotheo 6:10-12. *Tosheka na Kile Mlicho Nacho- Waebrania 13:5. *MtozamoMwema wa Maisha na Pesa- 1 Timotheo 6:3-21; 1 Petro 5:2. *Mithali juu ya Kutamani naFaida- Mithali 21:26; 22:16; 23:4-5; 30:8-9; Mhu. 4:8. Manabii wanapinga Kutamani-Isaya 56:11; 57:17; Mika. 2:2. *"Kwa maana, tangu aliye mdogo hata aliye mkubwamiongoni mwao, kila mmoja ni mtamanifu; na, tangu nabii hata kuhani, kila mmojahutenda mambo ya udanganyifu - Yeremia 6:13; 8:10. *Kupata Kwa Njia Isio Halali, KwaMauaji - Ez. 22:12-13. * Je, Mtu Atafaidi Nini Akiupata Utajiri Wote Wa Ulimwengu NaHali Amepoteza Maisha Yake - Mathayo 16:26. *Kutamani Visivyo Vyako Hutoka NdaniYa Moyo Wa Mtu - Marko 7:21-22. * Usijihusishe na Ndugu Ambaye Hutamani Vitu VyaWengine - 1 Wakorintho 5:9-13; 6:10. *Muwe na hamu ya mambo ya huko juu, na siyomambo ya hapa duniani - Col. 3:2. *Mnatamani Vitu Na Hamvipati; Kwa Hivyo MkoTayari Kuua. Mwaona kijicho na Hampati; Kwa Hivyo Mnapigana Na Kugombana -Yakobo 4:1-2. *Sifa Za Manabii Wa uongo - 2 Petro 2:1-3. *Msiwe na tabia ya kupendafedha; mwe radhi na vitu mlivyo navyo; kwa kuwa yeye mwenyewe amesema,Sitakupungukia kabisa, wala sitakuacha kabisa. - Waebrania 13.5. *Huwezi KutumikiaMiungu Wawili- Mathayo 619-14. *Usiwe na Wasiwasi Mungu anajua Tunachohitaji-Mathayo 6:25-34.

Page 48: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 44

Sura ya 5 Kielelezo : Falme Mbili

Page 49: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 45

Page 50: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 46

Sura ya 5 Falme Mbili

Ufafanuzi wa Jumla

Kielelezo cha 5 ni picha ionekanayo ya Falme mbili zilizoko na zinazofanya kazi duniani,Ufalme wa Giza na Ufalme wa Nuru. Ufalme wa Giza unawakilishwa na watu wenye mioyoya giza, macho yaliyopofushwa, ambao wanaishi katika utumwa wa mwili na Shetani, ambaowamenaswa katika upendeleo, ukabila, na uroho, na ambao hatima yao baada ya kufa ni Ziwala Moto (picha iliyo chini ya ukurasa). Kila mtu duniani anazaliwa kimwili katika ufalme huu.Shetani ndiye Mungu katika ufalme huu (Katika picha Shetani yuko juu ya ulimwengu).Ufalme wa Nuru unawakilishwa na wale ambao wana macho yaliyo wazi kuona, na mioyomisafi. Hawaongozwi na upendeleo tena, bali wamekuwa uzao wa Ibrahimu wa kiroho,wakihusiana kiroho na waamini wengine wote ulimwenguni bila kujali kabila au taifa

(wakionyeshwa katika picha ya mbinguni na ulimwenguni). Mungu amejipatanisha nao na akawawekea nafasi yakupatana wao kwa wao. Hatima yao ya mwisho baada ya kufa ni Mbinguni, mahali anapokaa Mungu. Njia pekeeya kuingia katika Ufalme huu ni kwa kuzaliwa tena kiroho. Kuzaliwa tena kiroho hakufanyiki baada ya kufa, balihufanyika tunapoiweka imani yetu kwa Yesu kama Bwana na Mwokozi wa maisha yetu.

Malengo Ya Sura ya 5 Kuwasaidia watu wachanganue kati ya Ufalme wa Giza na Ufalme wa Nuru. Kufundisha kuwa Ufalme wa Nuru una nguvu kuliko Ufalme wa Giza, na hauko sawa nao. Kuwahimiza waamini waenende katika njia za Bwana.

Sura ZinazohusianaSura ya 1: Shetani alitupwa kutoka mbinguni kwa kutaka aabudiwe kama Mungu. Sasa anafanya kazi pamoja na malaikawalioanguka kuwapofusha watu wasione ukweli wa Injili, na kuwaelekeza kwenye uharibifu.Sura ya 6: Wale waliomkubali Yesu kama Bwana na Mwokozi wao wameingia katika Ufalme wa Nuru. Na sasa pia nisehemu ya familia ya Ibrahimu ya kiroho, hivyo basi kuwaunganisha watu bila kujali kabila, taifa, uchumi, kundi, jinsia nakiwakati.Sura ya 7: Wale walioingia Ufalme wa Nuru kupitia kwa Yesu wamepatanishwa na Mungu na wao kwa wao.Sura ya 8: Shetani huwaongoza watu kwenye dini za uongo.Sura ya 9: Yesu ameinuliwa juu ya nguvu zote, mamlaka yote, na falme zote. Kwa wale wamwaminio, Yeye huwainuawakakaa naye juu ya nguvu hizi zote. Kupitia kwa Yesu tuna ushindi katika vita vya kiroho.Sura ya 10: Kuteremka katika njia za uharibifu ni tabia za wale ambao bado wanaishi katika Ufalme wa Giza.Sura ya 12: Mwisho wa wakati, watu hao wote wenye uhusiano na Ufalme wa Giza, na pia mapepo wachafu na Shetani,watatupwa katika Ziwa la Moto.

Ufafanuzi wa Picha

Somo La 1 Ufalme wa Giza

Picha na Maelezo Vichwa Vya Masomo, Biblia Hadithi, and Maandiko

Sehemu ya 1: Hakiki Utawala waMungu Wenye Mamlaka juu ya

uumbaji.

Vichwa Vya Masomo:1. Hakiki Mamlaka ya Mungu juu ya vitu vyote vionekanavyo na

visivyoonekana (Sura ya 1).2. Juza dhana ya ulimwengu wote kuwa na Falme mbili, Ufalme wa

Giza na Ufalme wa Nuru.3. Anza na Ufalme wa Giza kwa sababu ndio ufalme ambao sisi sote

kimwili tumezaliwa humo.

Page 51: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 47

Kiti cha Enzi- Mungu ni Mwenyemamlaka/enzi juu ya uumbaji Wake. Vitu vyotevimewekwa chini ya uwezo wa Yesu. Yeye yujuu ya nguvu na falme zote hapa duniani nambinguni.Sehemu ya 1b: Shetani ndiye Mungu

wa ulimwengu huu.

Shetani- Shetani ni Mungu wa ulimwengu huu.Anatawala juu ya Ufalme wa Giza. Lakini nguvuzake zina mipaka, kwa kuwa yeye ni kiumbe chakiroho. Mungu anamruhusu awe na athari fulanikatika ulimwengu. Lakini mwisho wa wakati,atatupwa katika Ziwa la Moto pamoja na wafuasiwake wote.

Vichwa Vya Masomo:1. Hakiki Sura ya 1- Shetani na ulimwengu wa roho/mapepo.1. Shetani ni Mungu wa ulimwengu huu, lakini nguvu zake zina

mpaka na bado yuko chini ya uwezo wa mwisho wa Mungu. Yeyeni mtawala wa Ufalme wa Giza.

Hadithi*Shetani anamwonyesha Yesu falme zote za ulimwengu na kumjaribu kwa kusema atampatia-Mathayo 4:1-11.Maandiko*Shetani Ndiye Mungu wa Ulimwengu Huu- 2 Wakorintho 4:4. *Mfalme Wa Ulimwengu HuuAtatupwa Nje- Yohana 12:31. *Mfalme wa Ulimwengu Huu Hana Uhusiano Wowote na Yesu-Yohana 14:30. *Mfalme wa Ulimwengu huu Amehukumiwa- Yohana 16:11. *Mfalme waUwezo wa Anga, roho yule atendaye kazi sasa katika wana wa kuasi- Waefeso 2:2.*Dunia yote pia hukaa katika yule mwovu- 1 Yohana 5:19.**Soma Maandiko kutoka Sura ya 1 kuhusu Shetani.

Sehemu 1c: Watu katika Ufalme huuwa giza hutembea Gizani.

Watu wenye mioyo ya giza,waliopofushwa, pepo pamoja nao-inawakilisha wale ambao bado wanaishi katikaUfalme wa Giza. Kila mtu anapozaliwa kimwilihuzaliwa katika ufalme huu. Shetaniamewapofushwa macho yao wasiuone Ukweli waInjili; Bado wanaishi katika dhambi zao;kunawezakuwa na ukabila, fujo, uzinzi, ulafi,n.k.. Hizi ndizo tabia za maisha yao. Hawananguvu yoyote halisi juu ya roho/mapepowanaowakandamiza. Watu ambao bado wamokatika Ufalme wa Giza na mapepo wotewamewekewa Ziwa la Moto nyakati wa mwisho.

Vichwa Vya Masomo:1. Kimwili kila mtu amezaliwa katika Ufalme wa Giza.2. Macho yao yamepofushwa hata hawauoni Ukweli wa Injili.3. Shetani anafanya kazi katika maisha ya waasi.4. Maisha yao wanaishi katika tamaa za mwili, kiburi cha uzima, na

vitu vipendezavyo macho.5. Hawana nguvu halisi juu ya mapepo wanaowajaribu na

kuwakandamiza.6. Wanafuata dini za uongo.7. Wakati mwingi wanagombana na watu wengine, na huonyesha

ubaguzi na upendeleo, lakini pia wanaweza kujaribu kuishi“maisha mazuri” wakidhani baada ya kufa itawasaidia.

8. Hatima yao ya mwisho ni Ziwa la Moto, pamoja na Shetani namapepo.

Watu wanazaliwa kimwili katika Ufalme huuHadithi*Nikodemo anajifunza Jinsi ya Kuzaliwa Mara ya Pili- Yohana 3.

Maandiko*watu wakapenda giza kuliko nuru; kwa maana matendo yao yalikuwa maovu. Maana kila mtuatendaye mabaya huichukia nuru, wala haji kwenye nuru, matendo yake yasije yakakemewa.-Yohana 3:19-20. *Maana hapo mwanzo mlikuwa Giza-- Waefeso 5:1-21 (v.8-9).

Page 52: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 48

Sehemu ya 1d: Watu katika Ufalmehuu hatima yao ya milele ni Ziwa la

Moto.

Moto- Ziwa la moto ndio hatima ya walewanaomkataa Yesu kama Bwana naMwokozi. Hapa watakuwa mbali na uwepowa Mungu milele.

Mioyo na Akili za Watu zimetiwa giza na dhambiMaandiko*Nanyi mlikuwa wafu kwa sababu ya makosa na dhambi zenu; ambazo mliziendea zamani kwakuifuata kawaida ya ulimwengu huu, na kwa kumfuata mfalme wa uwezo wa anga, roho yuleatendaye kazi sasa katika wana wa kuasi; ambao zamani, sisi sote nasi tulienenda kati yao,katika tamaa za miili yetu, tulipoyatimiza mapenzi ya mwili na ya nia, tukawa kwa tabia yetuwatoto wa hasira… -Waefeso 2:1-3. *…Mataifa wametiwa giza katika kuelewa kwao, kwasababu ya ujinga uliomo ndani yao, na ugumu wa mioyo yao. ambao wakiisha kufa ganziwanajitia katika mambo ya ufisadi wapate kufanyiza kila namna ya uchafu kwa kutamani.-Waefeso 4:17-32. *Atendaye dhambi ni wa Ibilisi- 1 Yohana 3:8. . *Tabia za Ufalme wa Giza niChuki, Uovu, Husuda, na Uasi - Tito 3:3. *Mtu amchukiaye ndugu yake yumo gizani, hamnanuru ndani yake. Giza limempofusha - 1 Yohana 2:8-11. *Uhasama dhidi ya Mungu- Mambo yaWalawi 26 (v.21); Warumi 8:7; Col. 1:21. *Watu wengine Ni Washari na Wanazuia InjiliIsisambazwe- 1 Wathesalonike 2:13-16.

Watu wamepofushwa Wasiuone Ukweli wa InjiliMaandiko*Mungu wa ulimwengu huu amewapofusha watu wasioamini hata hawawezi kumwona Yesu- 2Wakorintho 4:4.

Hatima ya Watu Itakuwa Ziwa la MotoHadithi*Fumbo la Tajiri na Lazaro- Luka 16:19-31. *Yesu Anamponya Mtumishi Wa kamanda waJeshi- Mathayo 8:5-13. *Fumbo la Ngano na Magugu- Mathayo 13:24-51. *Fumbo la Mfalmealiyealika watu Harusini- Mathayo 22:1-14. *Fumbo la Mtini- Mathayo 24:32-51. *Fumbo laWanawali Kumi- Mathayo 25:1-13. *Fumbo la Talanta- Mathayo 25:14-30. *Tofauti ya Kondoona Mbuzi- Mathayo 25:31-46. *Yesu Anawapinga Mafarisayo- Luka 13:17-35. *Hatima yaShetani ni Ziwa la Moto- Ufunuo 20:10.*Wale Ambao Hawamo Katika Kitabu Cha UzimaWatatupwa Katika Ziwa la Moto- Ufunuo 20:10-15.Maandiko*basi, Bwana ajua kuwaokoa watauwa na majaribu, na kuwaweka wasio haki katika hali yaadhabu hata siku ya hukumu;…2 Petro 2:9-10. * Watu wamewekewa kufa mara moja-, na baadaya kufa- hukumu- Waebrania 9:27.

Somo La 2 Ufalme wa Nuru

Sehemu ya 2: Mungu reigns over all,and in the hearts of those who live in

the Kingdom of Light.

Kiti cha Enzi- Mungu ni Mwenyemamlaka/enzi juu ya uumbaji Wake. Vitu vyotevimewekwa chini ya uwezo wa Yesu. Yeye yujuu ya nguvu na falme zote hapa duniani nambinguni.

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu anatawala juu ya kila kitu, na katika mioyo ya wale

wanaoishi katika Ufalme wa Nuru.2. Watu wanazaliwa kiroho katika Ufalme huu pale wamukubalipo

Yesu kama Bwana na Mwokozi wao. Uamuzi huu hufanyikawakati wakiwa wako hai hapa duniani.

Page 53: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 49

Sehemu ya 2a: Watu katika UfalmeNuru, huvua utu wao wa kale.

Watu wenye mioyo safi, hawana kiwimachoni mwao- inawakilisha walewaliozaliwa mara ya pili kiroho kwa kumwaminiYesu kama Bwana na Mwokozi wao. Macho yaoyamefunguliwa kwa Ukweli wa Injili; mioyo yaimetakaswa dhambi kupitia kifo cha Yesu nakuhuishwa na Roho Mtakatifu. Wamekuwa wanawa familia ya kiroho ya Ibrahimu, na hawapaswitena kuishi katika mitindo ya maisha ya uharibifu.Wamepatanishwa na Mungu na wanadamu. Yesuana nguvu juu ya mapepo ambao wanawezakuwakandamiza. Wakristo wanapokufa hatimayao ni mbinguni.

Sehemu ya 2b: Watu katika Ufalmewa Nuru hatima yao ya milele ni

Mbinguni.

Kundi la watu kule Mbinguni kutokakabila zote, wote wamevaa kanzu nyeupe-Mbinguni ndio mwisho wa wale wamwaminioYesu kama Bwana na Mwokozi. Watu hukombinguni ndio wingu kubwa la mashahidilililosemwa katika Waebrania 12:1-3 (Wakristoambao wamekufa tayari). Wao ni wana wakiroho wa Ibrahimu—yaan, wale ambaowamemkubali Yesu kama Bwana na Mwokoziwao. Sote tunapomwamini Yesu tunakuwa watuwa familia ya Ibrahimu.

Vichwa Vya Masomo:1. Mtu anapomwamini Yesu kama Bwana na Mwokozi, huhamishwa

katika Ufalme wa Giza na kupelekwa katika Ufalme wa Nuru.2. Roho Mtakatifu humhuisha/humtakasa dhambi zake.3. Shetani hayapofushi macho yao tena kwa ukweli wa Injili.4. Wanaacha njia za zamani, na kuishi katika upya wa maisha

anaowapatia Mungu.5. Hatima yao ya mbeleni baada ya kufa ni kuishi na Yesu huko

Mbinguni.6. Wao huwa sehemu ya famili ya Ibrahimu, na wameunganishwa

katika familia hii kiroho na waumini wengine ulimwenguni kote.7. Hili ni muhimu kwa wale waishio katika jamii ambamo kuwa

Mkristo kunaweza kuwafanya watupwe nje ya jamii au kuteswa.8. Ni muhimu pia mahali ambapo kumekuwa na fujo za kikabila,

kirangi, kiukoo, au aina nyingine ya fujo. Hili ni himizo lakuwaunganisha Wakristo kuvuka mipaka ya kimbari au kikabila.

Tunahamishwa kutoka Ufalme wa Giza hadi Ufalme wa Nuru—tumezaliwa maraya pili kiroho.Hadithi*Nikodemo anajifunza Jinsi ya Kuzalewa Mara ya Pili - Yohana 3. *Yohana Mbatizaji AnatoaUshahidi Kwa Yesu Kama Nuru- Yohana 1. *Ushuhuda wa Paulo kwa Mfalme Agripa- Matendo26. *Misheni ya Yesu ya Kuwatoa vipofu kutoka kwa Giza hadi kwenye Nuru- Yohana 12:36-50.*Mahubiri ya Petro Na watu 3,000 Waliomkubali Yesu kama Bwana na Mwokozi- Matendo 2.*Asikari Jela Anamjua Yesu- Matendo 16. *Misheni ya Paulo kama alivyomsimulia MfalmeAgripa: Kuwafungua Macho Yao ili Waweze Kuacha Giza na waingie Katika Nuru na Kutokakwa Utawala Wa Shetani hadi Utawala Wa Mungu, Ili wapate Kupokea Msamaha Wa Dhambina Urithi kati ya Wale Ambao Wametakaswa kwa Imani Ndani Yangu- Matendo 26 (v.18).*Ushuhuda wa Paulo- Wagalatia 1:13-24.Maandiko*Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wapendo lake, ambaye katika yeye tuna ukombozi, yaani, msamaha wa dhambi.- Col. 1:13-14. *Balininyi ni mzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpatekuzitangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu. ninyimliokuwa kwanza si taifa, bali sasa ni taifa la Mungu…- 1 Petro 2:9-10. *Kwa kuwa GizaLinapita na Ile Nuru ya Kweli Imekwisha Kung'aa.- 1 Yohana 2:8 (kiroho); Mwanzo 1:2-3(Kimwili); Kwa kuwa Mungu, aliyesema, Nuru itang'aa toka gizani, ndiye aliyeng'aa mioyonimwetu, atupe nuru ya elimu ya utukufu wa Mungu katika uso wa Yesu Kristo- 2 Wakorintho 4:6.*Watu wale waliokaa katika giza Wameona mwanga mkuu,Nao waliokaa katika nchi na uvuli wamauti Mwanga umewazukia. Tokea wakati huo Yesu alianza kuhubiri, na kusema, Tubuni; kwamaana ufalme wa mbinguni umekaribia.- Mathayo 4:14-17. *Yesu ni nuru ya ulimwengu, yeyeanifuataye hatakwenda gizani kamwe- Yohana 8:12. *Maadamu mnayo nuru, iaminini nuru hiyo,ili mpate kuwa wana wa nuru- Yohana 12:36.

Maandiko Yanaendelea:Vueni namna ya maisha yenu ya awali, ishini ili mwe kama Yesu.Maandiko*Tubuni na mmwelekee Mungu, mkiyatenda matendo yanayopatana na kutubu kwenu- Matendo 26:20. *Mlivua kwa habari ya mwenendo wa kwanzautu wa zamani, unaoharibika kwa kuzifuata tamaa zenye kudanganya; na mfanywe wapya katika roho ya nia zenu; mkavae utu mpya, ulioumbwa kwanamna ya Mungu katika haki na utakatifu wa kweli….vueni uongo; Mwe na hasira, ila msitende dhambi; msiibe, Neno lo lote lililo ovu lisitokevinywani mwenu, msimhuzunishe Roho Mtakatifu…Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na matukano yaondoke kwenu, pamoja na kilanamna ya ubaya. tena iweni wafadhili ninyi kwa ninyi, wenye huruma, mkasameheane, mwigizeni Mungu; enendeni katika upendo; tunda la haki niwema, uadilifu, na ukweli, mkichanganua yale yampendezayo Bwana…Msihusike na na matendo ya Giza yasiyo faida, bali yafunueni….-Waefeso4:17-5:14. *Tukitembea kwenye nuru, tunashirikiana- 1 Yohana 1:7. *Ampendaye ndugu yake anatembea katika nuru- 1 Yohana 2:5-11. *Tunda laRoho maishani mwetu ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, fadhili, utu wema, uaminifu, upole, na kiasi- Wagalatia 5:22-26.Watu Sasa ni Uzao Wa IbrahimuMaandiko*Paulo Anatufundisha kuwa Kwa Imani Sisi ni Wana/Uzao wa Ibrahimu Imani- Wagalatia 3:1-18; Warumi 4. *Ahadi ya Mungu Kwa Ibrahimu-Mwanzo 12:1-3; 15:4-6. *Mungu Anawasaidia Wana wa Ibrahimu- Waebrania 2:16. *Sisi ni Raia pamoja na Watu wa Mungu, Tuliojengwa Juu yaMsingi Mmoja, Tulijengwa Tuwe Makao Matakatifu Ya Mungu- Waefeso 2:18-22. *Imani Moja, Bwana Mmoja, Ubatizo Mmoja, Mungu Mmoja NaBaba Wa Wote- Waefeso 4:4-5. *Wingu La Mashahidi (watu wa imani waliokufa) limewazunguka waadilifu; Lakini tumtazame Yesu sio wao-Waebrania 12:1-3.Watu Sasa Wananguvu Juu Ya Mapepo Kupitia Kwa YesuMaandiko*Vita Vya Kiroho- Waefeso 6:10-18. *Yesu Alikuja Kuharibu Kazi Za Shetani- 1 Yohana 3:8. *Yesu Ameinuliwa Juu Ya Nguvu Zote- Waefeso 1:20-23. *Yesu Anatuinua Pamoja Naye- Waefeso 2:1-7. **Tazama Sura ya 9 juu ya kukua kiroho na vita vya kiroho.Hatima ya Watu Itakuwa Ni Kuishi Na Yesu MbinguniMaandiko*Yesu Anatuandalia Mahali Tukaishi Naye- Yohana 14:1-4. *Hema Letu la Hapa Duniani Likivunjwa, Tuna Jengo Kutoka Kwa Mungu Mbinguni- 2

Page 54: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 50

Wakorintho 5:1-9. *Sisi ni raia wa Mbinguni- Philip. 3:18-21. *Msilie kama Ulimwengu uliavyo, Tutaishi Na Yesu Milele- 1 Wathesalonike 4:13-18.*Fumbo la Lazaro Na Tajiri- Luka 16:19-31. *Imani Ya Waamini Katika Makao Ya Mbeleni, Mji, Mbinguni- Waebrania 11:8-10; 14-16. *PauloAnashuhudia Hamu Yake Ya Kuondoka na Kuwa na Yesu- Wafilipi. 1:19-30. *Mji Mtakatifu Wa Yerusalemu- Ufunuo 21-22.

Page 55: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 51

Sura ya 6 Kielelezo: Yesu ndiye Jibu

Page 56: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 52

Page 57: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 53

Sura ya 6 Yesu ndiye Jibu

Ufafanuzi wa Jumla

Kielelezo cha 6 ni picha ya Yesu ionekanayo na jinsi tunavyoweza kumjua na kumtumikia kibinafsi. Kila picha inaangalau sehemu moja ya vitu vifuatavyo: Hadithi ya Biblia, unabii wa Biblia, kutimia kwa unabii, mafundisho yaBiblia, na matumizi maishani mwetu. Katika mchoro huu kuna safu tatu. Mpangilio wa picha unaanza kushotoupande wa juu wa ukurasa, kwenda chini moja kwa moja, halafu kuanzia juu ya safu ya katikati, kwenda chini mojakwa moja, na kisha juu ya safu ya mwisho juu kulia, na kwenda hadi picha ya mwisho, chini kulia. Mafundishoyanajumuisha mashaka ya watu ya kimaadili na ya kiroho; Yesu kama jibu wa mashaka yetu; Jinsi ya kukaa ndaniya Yesu; na mafundisho juu ya kurudi kwa Yesu.

Malengo Ya Sura ya 6 Kutusaidia kuelewa kwa nini kuna mateso, uovu, na kifo ulimwenguni na jibu la Mungu kwa masuala haya. Kutusaidia kuelewa jukumu na kusudi la Sheria na jinsi Sheria inavyotuongoza kwenye uhusiano na Kristo. Kutusaidia kuelewa ukamilifu wa sadaka ya Yesu ya kulipia dhambi zetu na kazi yake kama Kuhani Mkuu ya

kutuleta katika uhusiano na Mungu. Kumtambua Yesu kama sura ya Mungu asiyeonekana, na uwakilishi sahihi wa Hulka Yake katika maumbile ya

mtu. Kuelewa Yesu ndiye njia pekee ya Mbinguni, na kwamba huwahifadhi walio wake. Kuelewa jinsi Yesu atimizavyo unabii wa AL juu ya Masihi/Mwokozi ajaye ambaye angeponya mioyo

iliyovunjika na kuwaweka huru mateka. Kutusaidia kuelewa Yesu alikuja kuharibu kazi za Shetani. Kutufundisha uhusiano wa Yesu na waamini ni kuwa awe Bwana na Mwokozi. Kutufundisha sisi ni viumbe vipya, hatuishi tena katika njia za ulimwengu. Kutufundisha kuwa sote ni sehemu ya familia moja katika Yesu, kwa hivyo tusihusike tena na ukabila, ubaguzi,

kugawanyana kikabila kwa ulimwengu huu. Kutufundisha kuwa wainjilisti na wanafunzi wa Mwito Mkuu, na kutazamia kurudi kwa Bwana.

Sura ZinazohusianaSura ya 1: Yesu Mwana, ni sehemu ya Utatu.Sura ya 3: Mungu anawasiliana nasi kupitia kwa Mwanawe.Sura ya 8: Dini za Uongo hupotosha mafundisho kuhusu uungu wa Yesu.Sura ya 5: Kupitia kwa Yesu tunaingia katika Ufalme wa Nuru.Sura ya 7: Yesu ni mfano wetu wa upendo na sadaka kuwaleta watu katika uhusiano na Mungu na watu wengine, uhusianouliorejeshwa.Sura ya 9: Yesu ndiye atupatiaye ushindi katika vita vya kiroho. Ameinuliwa juu ya nguvu zote, falme, na mamlaka. Yeye nimchungaji wetu, na yeye ndiye aturudiye. Wakati mwingine tunateseka kwa sababu ya dhambi za watu wengine, kama vileYesu alivyoteseka tu kwa ajili ya dhambi zetu.Sura ya 12: Yesu siku moja atarudi duniani kuwalipa wale waliobaki katika Ufalme wa Giza, na wokovu kwa wale wamfuataokama Bwana na Mwokozi.

Ufafanuzi wa Picha

Somo La 1 Dhambi, Kifo, Shetani, na Kutenganishwa na Mungu

Picha na Maelezo Vichwa Vya Masomo, Biblia Hadithi, and Maandiko

Sehemu ya 1a: Adamu waKwanza alileta kifo na Adamu

wa Pili alileta uzima

Moyo Mweusi na Moyo Mweupe- MoyoMweusi- moyo uliojaa dhambi. Adamu

Vichwa Vya Masomo:1. Dhambi ni kumwasi Mungu.2. Dhambi hututenganisha na Mungu.3. Dhambi huleta mauti.4. Dhambi iliingia ulimwenguni Adamu na Hawa walipochagua

kumwasi Mungu katika bustani ya Edeni.5. Yesu alikuja kama Adamu wa pili, aletaye msamaha na uzima.

Hadithi*Kisa cha Adamu na Hawa- Mwanzo 3. * tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi chauzima —1 Yohana 2:15-17. *” Maana ninachotaka kwenu ni upendo na si dhabihu, kumjuaMungu na si kutoa sadaka . Lakini mlilivunja agano langu kama alivyofanya Adamu;

Page 58: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 54

alileta kifo cha mwili na kututenganishana Mungu alipoasi amri ya Mungu. Sotetumemwasi Mungu, na tuna mioyoiliyojaa dhambi. Moyo mweupe- nimoyo uliotakaswa au kuhuishwa. Yesuanajulikana kama Adamu wa pili. Adamuwa kwanza alileta dhambi na mauti,Adamu wa pili alileta msamaha na uzima.*Shetani ndiye aliyemjaribu Adamu naHawa katika bustani ya Edeni. Wakatihuo, Mungu alimwambia kuwa siku mojakutakuja Mtu atakayevunja kichwa chake.

walinivunjia uaminifu - Hosea 6:6-7. * Ayubu anasema, “Je nimeyafunika makosa yangu kamaAdamu, kwa kuzificha dhambi zangu moyoni mwangu?”- Ayubu 31:33-34.Maandiko*Moyo wa Mwanadamu ni Mwovu Tangu ujana wake- Mwanzo 8:21. * Wote wametendadhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu - Warumi 3:23. * Mshahara wa dhambi ni mauti- Warumi 6:23. * Adamu wa kwanza alileta dhambi na mauti - 1 Wakorintho 15:21-22,45-49;Warumi 5:14-21. *Dhambi ni nini?- Wagalatia 5:19-21; Kutoka 20:1-17. *DhambiHututenganisha na Mungu- Isaya 59:1-8. * Tumezaliwa katika Dhambi - Zaburi 51:5. * TamaaHuzaa Dhambi Ndani Yetu - Yakobo 1:15.

Sehemu ya 1b: Sheria Ililetaujuzi wa dhambi, na

ikatuongoza kutambua kuwatunahitaji Mwokozi.

Vibao vyenye Amri kumi/jela namsalaba- Mungu alitupatia sheria zakimaadili (tazama Sura ya 4) ili tujue jinsiya kuishi katika utangamano na Yeye nawatu wengine. Sheria hizi hazikutuokoaau kututakasa, bali zilituonyesha yaleyampendezayo Mungu, na kwamba sisi niwenye dhambi. Jela- Dhambihututenganisha na Mungu mtakatifuna kutufunga sote katika hukumu yakifo. Msalaba-Lakini, Mungu ametoanjia ya ukombozi au wokovu kwakumwamini Yesu.

Vichwa Vya Masomo:1. Sheria ni Takatifu. Inaonyesha hulka ya Mungu ya kimaadili.2. Mungu alitupatia Sheria, sio atufanye waadilifu, bali atuonyeshe

kinachompendeza Yeye.3. Katika Agano Jipya inajulikana kama Sheria ya Dhambi na Kifo

kwa sababu inatufunulia kwamba tumefanya dhambi, na dhambihutuletea kifo.

4. Kama tutakavyosoma baadaye, Yesu alikufa msalabani kwa ajiliya dhambi zetu ili tupate uzima wa milele na Mungu

5. Sheria ni mwalimu wetu itusaidie kutambua tunamhitaji Yesukama Bwana na Mwokozi wetu.

6. Yesu hakuja kuondoa Sheria, bali alikuja kuikomaza.**Hakiki Sura ya 4 juu ya Amri za Mungu zinapohitajika.

Hadithi*Yesu alikuja kuikomaza au kuitimiza Sheria- Mathayo 5:17-18.Maandiko*Uhusiano wetu na Yesu haupatikani kupitia Sheria; Sote tumefungwa na Sheria chini yadhambi; Sheria ni mwalimu wetu wa kutuleta kwa Yesu - Wagalatia 3. *Hakuna atakayefanywamwenye haki kupitia Sheria; Sheria inamfanya kila mtu amwajibikie Mungu - Warumi 3:19-21;Wagalatia 2:16; Wagalatia 5:4. *Tunaokolewa kwa imani, Sheria huleta ghadhabu- Warumi4:14-16. *Hatuko chini ya Sheria, bali chini ya neema…lakini hatuwezi kuendelea kufanyadhambi- Warumi 6:14-23. *Sheria ni takatifu, lakini ndani ya watu huwajaribu wafanye dhambi-Warumi 7. *Nguvu ya dhambi ni Sheria- 1 Wakorintho 15:56. *Mtu avunjaye amri moja, huwaamezivunja zote- Yakobo 2:10. *Sheria imeandikwa mioyoni mwetu- Warumi 2. *Yesuametuweka huru kutoka kwa Sheria ya Dhambi na mauti- Warumi 8:2.

Somo La 2 Suluhisho La Mungu

Sehemu ya 2a: Mungu’sSolution to Sin- Yesu AlikuwaDhabihu Kamilifu Na KuhaniMkuu Asiye Kasoro. Alitulipiadhambi zetu.

Sadaka na Kuhani Mkuu- Yesu alikuwasadaka kamilifu na Kuhani Mkuu Asiyena Kasoro aliyeingia Mbinguni na kutoadamu yake mwenyewe kama malipo yadhambi zetu.

Vichwa Vya Masomo:1. Katika Sura ya 4 tulijifunza juu ya sadaka za kidini zilizotolewa

kwa Mungu kwa ajili ya kusamehewa dhambi.2. Sadaka hizi zilitowa kila mwaka, na zilikuwa na mpaka kwa

sababu hazingeweza kuendelea kuondoa dhambi za watu3. Pia tulijifunza kuwa Yesu alitimiza sadaka za kidini alipokufa

mara moja tu pale msalabani kwa ajili ya dhambi zetu4. Yesu alikuwa sadaka kamilifu kwa sababu alikuwa hana dhambi,

na sadaka yake ilikuwa ya wakati wote5. Siku za Agano la Kale, kuhani mkuu alitoa sadaka kwa ajili ya

dhambi za watu.6. Makuhani hawa wakuu walipaswa kutoa sadaka kwa ajili ya

dhambi zao kwanza, ili wawe wasafi na watoe sadaka kwa niaba yawatu

7. Yesu hakuwa na dhambi, kwa hivyo yeye ni Kuhani Mkuu Asiyena Kasoro.

8. Yesu alipofufuliwa kutoka kwa wafu, alipaa Mbinguni kwendakutoa damu yake mwenyewe kama kitoshelezo cha dhambi zetu

Hadithi*Chakula cha jioni cha mwisho kwa Yesu- Mathayo 26:17-30. *Kufa na kufufuka kwa Yesu-Yohana 19-20; Luka 22; Mathayo 28. *Mtumishi wa Kuteseka- Isaya 53. *Gabrieli anampaDaniel Ufahamu kwa kumwambia juu ya upatanisho wa Masihi- Daniel 9 (v. 24-27: Tambuakwamba Kihistoria Wakati Huu Ndio Unaoonyesha Mwaka Ule Aliosulubishwa Yesu).Maandiko

Page 59: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 55

*Yesu Kama Kuhani Wetu Mkuu Na Dhabihu - Waebrania 7:23-28; Waebrania 9-10. *KwaMaana Kristo Mwenyewe Alikufa Kwa Ajili Ya Dhambi Zenu; Alikufa Mara Moja Tu NaIkatosha, Mtu Mwema Kwa Ajili Ya Waovu, Ili Awapeleke Nyinyi Kwa Mungu - 1 Petro 3:18-20. *Yesu alitufia ili tuweze kumwishia Mungu - Warumi 6:10-13. *Damu ya Yesu hutakasadhamiri zetu kutoka kwa kazi mbovu ili tumtumikie Mungu Aliye hai - Waebrania 9:13-14;Hesabu 19.

Sehemu ya 2b: Yesu aliwezajekuwa bila dhambi? Yeye

alikuwa Mungu tena alikuwamwanadamu.

Mungu na mwanadamu- Mtu pekeeambaye angeweza kuja kusaidiawanadamu katika mashaka yao yadhambi, alikuwa ni Mungu aje dunianikama mwanadamu. Waandishi wa Aganola Kale walivitabiri; Kazi za Yesu,maneno, na wanafunzi walimshuhudiaYeye ni nani; na waamini miaka hii yotewamemshuhudia.

Jua: Waislamu wanasema kwamba kunasehemu tatu za Mungu: Mungu, RohoWake; na Neno Lake….na Bibliainasema, Neno lilikuwa mwili!

Vichwa Vya Masomo:1. Yesu ni Mfano wa Mungu asiyeonekana.2. Yesu ni muali wa Utukufu Wake, na uwakilishi sahihi wa Hulka

Yake.3. Yesu alikuwa Neno la Mungu lililokuwa mwili.4. Yesu alisema Yeye na Baba ni kitu kimoja. Alijitambulisha na

Jina, “Niliyeko.” Hili ndilo jina ambalo Mungu alimwambia Musa.

Hadithi*Malaika Anatangaza kwa Mariamu Kwamba Atamzaa Mwokozi - Luka 1. * Yesu Alijiita kama“Mimi Niko”- Yohana 8:58; Kutoka 3:14. * Yesu Anasema Yeye ni Sawa Na Mungu - Yohana5:18-27. *Ungamo la Petro- Mathayo 16:15-17. *Mungu anamwita Mwanawe- Mathayo 17:5.*Yesu Mahakamani Mbele ya Kuhani Mkuu- Mathayo 26:57-65. *Ungamo la Tomaso- Yohana20:28. *Mwito Mkuu- Mathayo 28:19-20.Maandiko*Maana Mtoto Amezaliwa Kwa Ajili Yetu, Tumepewa Mtoto Wa Kiume; Naye AtapewaMamlaka Ya Kutawala; Ataitwa Mshauri Wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu, Baba Wa Milele,Mfalme Wa Amani - Isaya 9:6. *Bwana Ndiye Haki Yetu - Yeremia 23:5-6. *Immanuel, MunguPamoja Nasi - Isaya 7:14; Mathayo 1:23. *Yesu Ni Mungu, Alifanyika Mwili; Muumba -Yohana 1:1-14. *Yesu anasema Kazi Zake Zinamshuhudia Yeye ni Nani; na Anasema, “Mimi naBaba Tukitu Kimoja”- Yohana 10:24-42. *Yesu alisema, “Kama umeniona mimi, umemuonaBaba”- Yohana 14:6-13. *Yeye yu katikati yetu tuombapo katika Jina Lake - Mathayo 18:19-20.*Anakaa ndani ya waamini- Kol. 1:27. *Yesu Ndiye Mfano Wa Mungu Asiyeonekana; NaAliumba Vitu Vyote Kwa Ajili Yake (Enzi Zote, Mamlaka, n.k)- Kol. 1:15-20. * Yeye NiMng’ao Wa Utukufu Wa Mungu Na Mfano Kamili Wa Hali Ya Mungu Mwenyewe - Waebrania1:1-14. *Mungu Anamwita Mungu- Ufunuo 1:17; 22:13. *Tutaliitia Jina La Bwana- Zaburi116:4; 1 Wakorintho 1:2. *Ndani Yake Kuna Uungu Kamili- Kol. 2:8-10. *Yesu AnaitwaMungu Na Mwokozi- Tito 2:13.

Sehemu ya 2c: Yesu ndiye njiapekee ya kumjua Mungu.

Mchungaji-Katika Yohana 10, Yesuanatumia mfano wa Mchungajikufundisha juu ya uhusiano wake na watuWake (kondoo). Kuna vipengele viwilivya uhusiano Wake ambavyo anatoakatika mfano huu. Kimoja ni uhusiano wakipekee tunaopaswa kuwa nao na Yeye.Kuna njia moja tu ya kumwendea Mungu,na zizi moja tu. Yeye ndiye njia yakumfikia Mungu. Njia nyingine ambayoYesu alitumia mfano huu ni kulinganishajinsi anavyowalinda na kuwajali watuwake kama mchungaji mwemaafanyiavyo kondoo wake.

Vichwa Vya Masomo:1. Yesu ndiye Njia, Kweli, na Uzima. Mtu haji kwa Baba ila kwa

kupitia Kwake.2. Hakuna jina lingine tulilopewa chini ya Mbingu ambalo kwalo

tunaweza kuokolewa.3. Yesu ndiye Mchungaji Mwema na Kondoo Wake humfuata Yeye

peke yake.4. Yesu ndiye mlango wa kondoo.5. Yesu anawatunza kondoo Wake. Hakuna mtu awezaye

kuwanyakua kutoka kwa mkono wa Mungu

Hadithi*Yesu ndiye Mchungaji Mwema- Yohana 10. *Ezekieli anaelezea wachungaji wazuri na wabayawa Israeli- Ez. 34.*Kujitetea kwa Petro Kwa Kuhubiri Injili: Yesu Ndiye Njia Pekee ya Kwenda Mbinguni-Matendo 4:1-12 (V. 12).Maandiko*Hakuna jina lingine walilopewa wanadamu ambalo kwalo wanaweza kuokolewa - Matendo4:12. *Mtu yeyote akihubiri Injili nyingine, ni alaaniwe - Wagalatia 1:1-12. *Kuna hitaji lakumwamini Yesu kibinafsi ili upate kuokolewa- Yohana 1:10-13; 3:36. *Yesu ndiye njia, kweli,na uzima; mtu haji kwa Baba, ila apitie Kwake- Yohana 14:6.

Sehemu ya 2d: Yesu anawezakuponya mioyo iliyovunjika nakuwaweka huru mateka (Yesu).

Vichwa Vya Masomo:1. Yesu huponya waliovunjika mioyo. Alituumba.2. Yesu huwaweka huru mateka (waliokandamizwa); na huwaweka

huru wale waliolemewa na mzigo wa dhambi na hatia.

Hadithi*Unabii kumhusu Yesu, atawaletea habari njema watu wanaoteswa, kufunika vidonda vya

Page 60: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 56

Moyo uliovunjika/Mateka- moyouliofungwa bandeji- Dhambi huletauhasama kati ya watu na kati ya watu naMungu. Tunaumizwa na dhambi zetuwenyewe, na tunaumizwa na dhambi zawengine. Juu ya maumivu haya, mwishokabisa dhambi huleta kifo na uharibifukwa maisha yetu. Lakini Yesu anawezakuponya mioyo iliyovunjika kwa sababuYeye ndiye aliyeumba mioyo yawanadamu. Mikono iliyofungwaminyororo- mateka, au wafungwa. Waleambao ni mateka au wamo jela wanawezakuwekwa huru kutoka kwa dhambi zao namatokeo ya dhambi kupitia kwa Yesu.Yesu anaweza kuwasamehe wenyedhambi wabaya zaidi. AlimsamehePaulo, aliyekuwa anaua waamini. AlimpaPaulo huduma na shabaha mpya katikamaisha.

waliovunjika moyo, kutangaza uhuru kwa mateka na wafungwa - Isaya 61:1 -3; Mathayo 11:1-5;Luka 4:14-27; 8:1. *Unabii kuhusu Yesu, Mwanzi uliopondeka hatauvunja - Isaya 42:3.Ushuhuda wa Paulo- Matendo 9; Wagalatia 1:11-2:10; Matendo 26:12-23.Maandiko*Huihuisha nafsi yangu- Zaburi 23. *Uponyaji Kamili uko Mbinguni, hakuna maumivu tena,kulia, huzuni- Isaya 25:8; Ufunuo 21:4.

Somo La 3 Kumwamini Yesu Huleta Maisha Mapya

Sehemu ya 3a: Yesu kuvunjanguvu za Shetani na za kifo.

Nyoka aliyekatwa na msitari katikatiyake-*Mungu aliwafunulia Adamu na Hawakwamba siku moja uzao wake (Yesu)utamponda kichwa.*Yesu alipokufa msalabani na kufufukakutoka kwa wafu, alimshinda Shetani,dhambi na kifo.*Yesu sasa amekaa juu sana ya watawalana mamlaka yote. Ni kupitia kwa Yesundipo tunaweza kuwa washindi katikaukandamizaji wa kiroho kutoka kwa adui.*One day, He will raise us from the deadto live with Him.

Vichwa Vya Masomo:1. Yesu alikuja kuharibu kazi za Shetani, na lutuokoa kutoka kwa

nguvu za kifo.2. Yesu alikuja kutimiza unabii uliopewa Hawa, kwamba kungekuja

mmoja kuvunja kichwa cha Shetani3. Kifo cha Yesu msalabani kiliwapokonya mapepo nguvu.4. Mungu alimfufua Yesu kutoka kwa wafu, na kumweka juu ya

nguvu zote, falme, na mamlaka mbinguni na duniani.5. Kama vile Yesu alivyofufuliwa kutoka kwa wafu, siku moja sisi pia

tutafufuliwa tuingie Uzima wa milele.Hadithi* Unabii wa Kwanza Juu Ya Yesu, mmoja ajaye ambaye angemponda kichwa Shetani -Mwanzo 3:14-15. * Hatima ya Shetani Ni Ziwa La Moto - Ufunuo 20:10. * Yesu AnaUwezo Juu Ya Pepo - Mathayo 8:16; 9:32-38; 17:14-21; Marko 7:26-30; Luka 4:33-41. *Yesu Anamponya Mtu Aliyekuwa na Pepo Wengi - Marko 5:1-20.

Maandiko* Nguvu za Mungu ni kuu kwa wale wanaomwamini - Waefeso 1:19; 2:6. * Yesu Alikujakuziharibu kazi za Shetani - 1 Yohana 3:8. * Kifo Chake Kiliwapokonya Nguvu Pepo -Kol. 2:15; Waebrania 2:14-15. * Yesu Ameinuliwa Juu Ya Nguvu Zote Duniani NaMbinguni - Waefeso 1:20-23; 2:6-7. * Ambaye alikwenda mbinguni na sasa amekaaupande wa kulia wa Mungu, anatawala juu ya malaika, wakuu na wenye enzi - 1Petro 3:22. *Nguvu za Yesu Juu Ya Kifo- Warumi 5:12-21. *Yesu Ameshikilia Funguo za Kifona Kuzimu- Ufunuo 1:18. *Yesu Alikuja ili Ashinde Kifo- 1 Yohana 3:5; 1 Wakorintho 15:24-28. *Umuhimu wa Kufufuka kwa Yesu- 1 Wakorintho 15. *Mungu wa amani atamponda Shetanichini ya nyayo zako bila kukawia- Warumi 16:20.

Sehemu ya 3b: Mtu anawezajekuingia katika uhusiano na

Mungu? Kwa kumwamini Yesukama Bwana na Mwokozi

wako.

Vichwa Vya Masomo:

Mtu anawezaje Kumjua Yesu kama Bwana Na Mwokozi?1. Mwamini Yesu kama Mwokozi wangu binafsi.2. Ungama dhambi zako kwa Mungu na uziache.3. Mkiri Yesu kama Bwana wa maisha yako.

Page 61: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 57

Bwana/Mwokozi- Bwana na Mwokozini majina ya heshima ya kibinafsi, nayanaelekeza kwa uhusiano wa kibinafsialio nao na wale ambao wameweka imanizao Kwake. Kujua kuwa Yesu alikufakwa ajili ya dhambi zetu lazima kutuletemahali pa toba tunapoanza kuishi maishayetu chini za Ukuu wake.

Mtu anawezaje kumjua Yesukibinafsi kama Bwana na

Mwokozi?

1. Ni lazima tumwaminiYesu. Yesu pekee ndiye njia yapekee ya kumjua Mungu nakuishi katika ushirika na Yeye.Yesu alikuja kutufia kwa ajili yadhambi zetu.

Muungamie Mungu dhambi zakonaye atakusamehe.

2. Ni lazima tuelewe kwambaYesu alikufa kwa ajili yadhambi zetu, ili tupatekupatanishwa na Mungu.Kama itikio letu ni lazimatutubu dhambi zetu kweli, natumwulize Yesu atusamehe.

3. Mkiri Yesu kama Bwana.Sasa ni lazima tumfuatekama Bwana wa maishayetu. Huu ni utaratibuunaoendelea mpaka tufe.

.

1. Mwamini YesuMaandiko*Ukikiri na kuamini- Warumi 10:9-10. *Yule amwaminiye Mwana wa Mungu ana ushuhudandani yake. Yule asiyemwamini Mungu amemfanya kuwa mwongo, kwa kuwa hakuaminiushuhuda ambao Mungu ametoa juu ya Mwanawe. Na huu ndio ushuhuda: Mungu ametupatiaUzima wa milele, na uzima huu umo ndani ya Mwanawe. Yule aliye na Mwana ana uzima. Yuleasiyekuwa na Mwana wa Mungu hana uzima-1 Yohana 5:10-12.

Yesu alituonyesha Yeye ni nani kupitia kwa mambo Aliyofanya.Yesu Ana Nguvu Juu Ya Maumbile:Hadithi*Kazi ya Yesu katika Uumbaji- Yohana 1:1-18. *Yesu anatuliza Upepo- Mathayo 8:23-27.*Yesu Analisha watu 5,000- Mathayo 14:13-21; Marko 6:30-44; Luka 9:10-17; Yohana 6:1-15.*Yesu Anatembea Juu ya Maji- Mathayo 14:22-33; Marko 6:45-52; Yohana 6:16-21. *SamakiMwenye Pesa Za Kulipia Kodi- Mathayo 17:24-27. *Kugeuza Maji Kuwa Divai- Yohana 2:1-12. *Miujiza ya Yesu ya Kuvua- Luka 5:1-11; Yohana 21:1-14.

Yesu Ana Nguvu Juu ya Mapepo:Hadithi*Kumkomboa mtu mwenye pepo katika Sinagogi- Marko 1:23-28; Luka 4:31-36. *Kumponyamtu mwenye pepo kipofu na bubu- Mathayo 12:22; Luka 11:14; tazama pia Mathayo 9:32-33.*Kumponya mtu wa Gadara aliyekuwa amepagawa na pepo- Mathayo 8:28-34; Marko 5:1-20;Luka 8:26-39. *Kumkomboa mvulana aliyepagawa na pepo- Mathayo 17:14-18; Marko 9:14-29;Luka 9:38-42. *Mungu amemweka juu ya watawala wote, nguvu, na mamlaka juu mbinguni naduniani - Waefeso 1:18-23.

Yesu Ana Nguvu Juu Ya Magonjwa:Hadithi* Yesu Anaponya Mtu Mwenye Ukoma; Mtumishi wa kamanda wa Jeshi; Mkwe wa Petro;Wagonjwa- Mathayo 8:1-17; Marko 1:21-34; 40-45; Luka 5:12-16; 7:1; 4:38-40. *YesuAnamponya mtu aliyepooza- Mathayo 9:1-8; Marko 2:1-12; Luka 5:17-26. *Yesu AnamponyaMwanamke alitokwa na damu- Mathayo 9:20-22; Marko 5:24-34; Luka 8:40-48. *YesuAnamponya mtu mmoja kiziwi na asemaye kwa taabu- Marko 7:31-37. *Yesu AnaponyaKipofu- Yohana 9:1-41. *Isaya anatabiri juu ya Mwokozi ajaye atakayeleta ukamilifu kwa watu,huu ulikuwa ni ushuhuda wa Yeye ni nani alipokuwa duniani - Isaya 53:4-5.

Yesu Ana Nguvu Juu ya kifo:Hadithi*Yesu Anamfufua msichana wa Mtawala- Mathayo 9:18-26; Marko 5:21-43; Luka 8:49-56.*Yesu Anamfufua Mwana wa Mjane- Luka 7:11-17. *Yesu Anamfufua Lazaro kutoka kwawafu- Yohana 11:1-12:11. *Yesu Anamhutubia Petro baada ya kufufuka kwake- Yohana 21:14-25. *Yesu Anawahutubia viongozi wa dini juu ya Ufufuo- Mathayo 22:23-33. *Yesu AlijifufuaMwenyewe kutoka kwa wafu- Yohana 2:19-21. *Ufufuo ulikuwa wa kimwili, Hakufufuka kamaRoho - Yohana 20:24-29. *Yesu Anawatokea wale kumi na wawili: Luka 24. *Yesu ndiye mkatewa mbinguni, anayetoa Uzima wa milele - Yohana 14-17.

2. Muungamie Mungu Dhambi Zako Naye AtakusameheHadithi*Yesu Ana nguvu na mamlaka ya kusamehe dhambi- Mathayo 9:1-8; Luka 5:17-26; Marko 2:1-12. *Sala Ya Bwana- Mathayo 6:1-15; Marko 11:25-26. *Zaburi ya Daudi ya maungamo- Zaburi51. * Zaburi juu ya Msamaha wa Mungu - Zaburi 32:5-6.Maandiko*Tukiziungama dhambi zetu, Atatusamehe- 1 Yohana 1:9. *Ametusamehe dhambi zetu zote-Kol. 2:13-15. *Usifiche dhambi bali ziungame na kuziacha- Mithali 28:13. *Wokovu ni kupitianeema ya Mungu, Sio Matendo- Waefeso 2:8-9. *Wema wetu Ni kama Matambara Machafu kwaMungu- Isaya 64:6.

3. Mkiri Yesu kama BwanaHadithi*Kubadilishwa kwa Paulo- Matendo 9; na 26; 1 Timotheo 1. *Kubadilishwa ni kama mtoto-Mathayo 18:1-14. *Mahubiri ya Petro siku ya Pentekote- Matendo 2. *Watawala wengiwanamkiri Yesu- Yohana 12:42-50. *Ungamo la Tomaso- Yohana 20:26-29. *Pauloanawaambia watu watubu na kumgeukia Mungu na kufanya matendo yasitahiliyo toba- Matendo26:20.Maandiko*Tukikiri kwa kinywa chetu kuwa Yesu ni Bwana na kumwamini, tutaokoka - Warumi 10:9-10.*Ushuhuda kutoka Thesalonike: Waliacha Sanamu Wakamgeukia Mungu ili wamtumikie MunguAishiye na wa Kweli - 1 Wathesalonike 1:8-10. *Kila Goti litapigwa na Likiri - Isaya 45:16-25;Warumi 14:11-12; Wafilipi. 2:8-11. *Tukimkiri Yesu, Naye Hutukiri mbele ya Mungu;

Page 62: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 58

Tukimkana Yesu, Yeye pia atatukana mbele ya Mungu- Mathayo 10:32-33. *Iweni watakatifukama Alivyo Mtakatifu- 1 Petro 1:18-23.

Sehemu ya 3c: Sisi ni viumbevipya.

Muumba/Kiumbe kipya- MtumeYohana anamtambua Yesu kama ambayekupitia kwake vitu vyote viliumbwa.Yesu pia ndiye ambaye kupitia kwaketunafanywa kuwa viumbe vipya vyakiroho. Uumbaji huu mpya unaonyeshwakatika ubatizo. Ubatizo ni picha ya kufakwa ajili yetu na kufufuliwa ili tutembeekatika upya wa maisha. Ni muhimu kwawaamini wakumbuke kuweka kando njiazao za awali za dhambi, na kutembeakama viumbe vipya katika Kristo. Ikiwamtu haishi maisha mapya, kuna maswaliikiwa kwa kweli wamemwamini Yesu aula.

Vichwa Vya Masomo:1. Tunapokuwa waamini, Mungu hutufanya viumbe vipya. Ya kale

yamepita, mambo mapya yameingia.2. Viumbe hivi vipya huwa tunapewa na Mungu katika utakaso wa

mioyo yetu, na ni jukumu letu tunapotafuta kuishi chini yaUbwana wake.

3. Ubatizo ni picha ya kufa kwa mtu wa kale, na kufufukia maishamapya.

Tunakuwa viumbe wapyaHadithi*Hadithi ya Nikodemo- Yohana 3.Maandiko*Mtu yeyote akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama!Yamekuwa mapya.- 2 Wakorintho 5:17; pia tazama Wagalatia 6:15; Ufunuo 21:5. *Maana tukazi yake, tuliumbwa katika Kristo Yesu, tutende matendo mema- Waefeso 2:10; Daudi-niumbiendani moyo safi- Zaburi 51:10; Utabiri kuhusu moyo mpya na roho mpya vyote kama kipawa nawajibu- Eze. 11:19; 18:31; 36:26. *Tulizikwa naye katika ubatizo, na kufufuliwa ili tutembeekatika upya wa maisha- Warumi 6:4-14. *Tubuni mmgeukie Mungu, na mfanye matendoyasitahiliyo toba- Matendo 26:20.Ubatizo unaleta picha ya maisha yetu mapya katika Yesu, hautuokoi:Hadithi*Mwito Mkuu - Mathayo 28:16-20. *Yesu Anabatizwa - Mathayo 3; Marko 1:1-11; Luka 3:1-16.* Filipo Anambatiza Toashi Wa Ethiopia - Matendo 8: 26-40. *Petro Anambatiza Kornelio -Matendo 10. *Lydia Anabatizwa- Matendo 16:9-15. * Askari Jela Aokoka (Kuamini NiKuokoka, Sio Ubatizo)- Matendo 16:16-40. *Apolo Anafahamu Sana Maandiko, Lakini HakuwaAmebatizwa Hadi Baadaye (Tayari Alikuwa Ameokoka)- Matendo 18:24-28. *Mwizi MsalabaniHakubatizwa, Lakini Alienda Kuwa Na Yesu Paradiso - Luka 23:43.Maandiko*Mafundisho ya Paulo Juu Ya Ubatizo - Warumi 6.

Sehemu ya 3d: Tumekuwasehemu ya familia moja katika

Kristo. Sisi ni wana waIbrahimu. Ni lazima tuishikatika umoja na waamini

wengine.

Mwezi na Nyota- Tumkubalipo Yesukama Bwana na Mwokozi, tunakuwasehemu ya familia ya kiroho ya Ibrahimu.Huu uhisiano wa kifamilia hupanuka nakuvuka mipaka ya kikabila, kitaifa,kimbari, kijinsia, na kiumri, na kuundafamilia iliyopatanishwa na yenye upendokatika Yesu ulimwenguni kote.. Nimuhimu kwamba tuunganike na waaminiwengine, sio kuendelea kuishi katikaukabila au aina nyingine za ubaguzi.Ndani ya Yesu hakuna tofauti kati yaMyahudi na mtu ambaye si Myahudi,mtumwa na aliye huru, mke na mume.Kila mtu yuko sawasawa na mwingine.Tunapaswa kuishi sisi kwa sisi. Natunatakiwa kupendana na kusamehanakama vile Yesu alivyotupenda nakutusamehe.

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu alimwahidi Ibrahimu kwamba angekuwa na uzao mkubwa

kuliko idadi ya nyota, na kuvuka mipaka ya taifa.2. Tunapokuwa waamini, tunakuwa sehemu ya familia ya Mungu—

na sehemu ya ukoo wa imani wa Ibrahimu (Wana wa Ibrahimu).3. Hii ni muhimu kwetu kwa njia mbili: inaunganisha waamini wote

bila kujali koo, kabila, rangi, taifa, hali ya kijamii na kiuchumi, natofauti ya jinsia – tukitumaini kuwa italeta amani na uthabiti. Nainatusaidia kuungana na familia ya kiroho kwa kuwa uamuzi wakumfuata Yesu katika tamaduni nyingi huleta mateso, ubaguzi, nakutupwa nje.

4. Kuwa sehemu ya familia ya Mungu maanake ni kwamba ni lazimatutafute kuishi kwa amani wenyewe kwa wenyewe, tusameheane,na tupendane kama vile Yesu alivyotusamehe na kutupenda.

5. Ni lazima tuishi katika uhusiano huu wa amani na kusudi moja,moyo mmoja, na akili moja bora tu iwe inatutegemea sisi.

Hadithi*Kizazi Cha Ibrahimu Kitakuwa Kama Nyota Za Angani, Hakitaweza Kuhesabika - Mwanzo15:5-6. *Yesu anamhubiri Mwanamke Msamaria Injili- Yohana 4:1-30. *Ombi la Yesu laKikuhani Mkuu, natuwe Kitu Kimoja kama vile Yeye na Baba walivyo Kitu Kimoja, na kwambaupendo wa Mungu utakuwa ndani yao - Yohana 17 (see vs. 21, 23, 26).Maandiko*Paulo Anatufundisha Kwamba Sisi Ni Kizazi Cha Ibrahimu Kupitia Kwa Imani - Wagalatia3:6-9; 27-29 Warumi 4. * Mungu Anatoa Msaada Kwa Kizazi Cha Ibrahimu - Waebrania 2:16.*Kifo cha Yesu Kilivunja kila ukuta wa Utengano kati ya Watu wote; tunapokuwa tukishikanapamoja, Yeye anajenga makao Matakatifu- Waefeso 2:11-22. *Yesu anatuamuru tupendane,watu wote watajua kwamba sisi ni wanafunzi Wake tukiwa tunapendana - Yohana 13:34-35.*Kwa pendo la udugu, mpendane ninyi kwa ninyi; kwa heshima mkiwatanguliza wenzenu,msijivune- Warumi 12:10, 16; Wagalatia 5:13; *Mwonyeshe kuvumiliana katika upendo-Waefeso 4:2. Maagizo ya kumpenda Mungu na kupendana wenyewe- 1 Yohana 3-4. *Maagizoya kurekebisha uhusiano- Mathayo 18; Luka 15:1-11. *Kaeni katika amani kwa upande wenu-Warumi 12:18.

Page 63: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 59

Somo La 4 Kaeni ndani ya Yesu na Kutimiza Mwito Mkuu

Sehemu ya 4a: Ni lazimatuendelee kuunganika na Yesuna tukue katika uhusiano wetu

na Yeye.

Mzabibu na Matawi/jamii yakanisa- Mzabibu na matawi-Muungano wetu wa binafsi naYesu. Yesu alisema yeye ni mzabibu,sisi ni matawi. Ni lazima tukae ndani yaYesu ili tumpendeze na tukue katikauhusiano na Yeye. Tunakaa ndani Yakekupitia wakati wetu binafsi katika NenoLake na maombi.

Watu wanafanya kuta za kanisa-Muungano wa ushirika wetu naYesu. Yesu ni kichwa cha kanisa. Watundio mwili Wake. Tunakaa ndani Yakekwa kumwabudu hadharani na kujifunzaBiblia, kumtumikia na vipawa vyetu –kuufanya mwili ukue, na kuwatangaziaInjili watu wengine.

*Tunakaa ndani ya Yesu kwa kuwana wakati wa binafsi katika NenoLake.

* Tunakaa ndani ya Yesu kupitiamaombi.

*Tunakaa ndani ya Yesu kupitiakujifunza Biblia na kuabudupamoja.

*Tunakaa ndani ya Yesu kwakutumia vipawa vyetu vya kiroho.

*Tunakaa ndani ya Yesu kupitiakuwashuhudia wengine imani yetuna kuwafanya wanafunzi.

Vichwa Vya Masomo:1. Ni lazima tuendelee kuunganika na Yesu na tukue katika uhusiano

wetu na Yeye.2. Tunaendelea kuunganika na Yesu kwa kutumia wakati wetu

binafsi katika kusoma, kujifunza, na kutafakari Neno la Mungu.(Wakati/wetu binafsi).

3. Tunaendelea kuunganika na Yesu kupitia maombi ya kila siku.(Wakati/wetu binafsi).

4. Tunaendelea kuunganika na Yesu kupitia ushirika wa kujifunzaBiblia na kuabudu na waamini wenzetu. (Wakati wa Ushirika).

5. Tunaendelea kuunganika na Yesu kwa kutumia vipawa vyetu vyakiroho. (Wakati wa ushirika).

6. Tunaendelea kuunganika na Yesu kwa kuwashuhudia wengineimani yetu na kuwafundisha wawe wafuasi wa Yesu. (Wakati waushirika).

**Kwa ajili ya mafunzo ya kibinafsi kuhusu nidhamu za Mkristo, tazama Sura ya 3kwa ajili ya maombi, Sura ya 9 na ya 10 juu ya kukaa katika Njia ya Mungu; Sura ya11 juu ya Utumishi ndani ya kanisa; na Sura ya 12 mfupisho juu ya yale tutakiwayo

kufanya hadi Yesu arudi.

Hadithi and MaandikoKwa wakati wetu Binafsi katika Neno la Mungu*Kukaa ndani ya Yesu kupitia Neno Lake- Yohana 15:1-16. *Mwanadamu hataishi kwa mkatetu- Kumbukumbu La Torati 8:1-6. *Yesu ni Mkate wa Uzima- Yohana 6:22-58. *Jifunze iliujionyeshe kuwa umekubalika na Mungu, ukigawanya Neno la Ukweli sawasawa- 2 Timotheo2:15. *Jijengeni- Jude 1:20.

Kwa Wakati wetu Binafsi katika maombi*Jitoeni kwa maombi- Warumi 12:12; Col. 4:2. *Ombeni wakati wote- Waefeso 6:18. *Maagizoya Yesu juu ya maombi ya mtu peke yake; Sala ya Bwana- Mathayo 6:5-15. **Tazama somo la 3na la 9 juu ya maombi.

Kwa Wakati wa Ushirika katika kuabudu na kujifunza Biblia*Msiache kukutana pamoja- Waebrania 10:25. Waamini wa kwanza walikutana kwa ajili yakujifunza na kuomba walipokuwa wanaanzisha makanisa ya kwanza- Matendo 1:12-26; 2:42.

Kwa kutumia vipawa vyako kanisani*Mungu hutupatia vipawa vya kiroho- 1 Wakorintho 12; *Tumieni vipawa vya kirohokutayarisha mwili kwa ajili ya huduma na kuukuza mwili hadi ukomae- Waefeso 4:11-13.*Jitahidini mkomae katika mafundisho na uadilifu- Waebrania 5:12-6:1. **Tazama Sura ya 11juu ya kutumia vipawa vya kiroho.

Kwa kuwashuhudia wengine imani yako na kuwafanya wanafunzi*Mwito Mkuu- Mathayo 28:18-22. *Tazama kitabu cha Matendo kwa mifano ya kushuhudiaInjili na kuwafanya wanafunzi. **Tazama Sura ya 7, 9, na ya 11 juu ya kushuhudia Injili nakufanya wanafunzi.

Sehemu ya 4b: Tunapaswakutimiza Mwito Mkuu na kuishi

Vichwa Vya Masomo:1. Yesu ni alfa na omega, ndiye mwanzo na mwisho.

Page 64: Uanafunzi Unaozingatia Theologia - Equip Disciples · kunakili na kutumia matini hii au michoro yake bila malipo yoyote. Matumizi ya matini hii sharti yawe ni kueneza Injili na kuwafanya

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 60

maisha ya kiungu mpaka Yesuarudi.

Yesu juu ya farasi akielekeaduniani - Yesu ni alifa na omega. Sikumoja atarudi kuwashinda wale waliokatika Ufalme wa Giza, Shetani, na jeshilake la mapepo. Na analeta wokovu wakamili kwa wale waliomkubali kamaBwana na Mwokozi. Mpaka wakati huo,tunapaswa kuhusika kiutendaji katikakuwaleta wengine katika Ufalme wa Nurukupitia kuwashuhudia Injili nakuwafundisha. Ni lazima tuwe tunafanyakazi ya Ufalme kwa kuutekeleza MwitoMkuu.

2. Yesu atarudi tena siku moja, mawinguni. (Ni muhimu hasa mahaliambapo watu hapa duniani husema wao ni Yesu, kama vile Afrika)

3. Tunatakiwa kuwashirikisha wengine imani yetu, na kufanyawanafunzi ulimwenguni kote mpaka atakaporudi.

4. **Tazama Sura ya 12 juu ya Yale tupaswayo kufanya hadi Yesuatakaporudi.

HadithiYesu atarudi*Yesu alisema naenda kuwatengenezea mahali na nitarudi tena- Yohana 14:1-3; 17:24. *Kamaumeme unavyopiga kutoka mashariki na magharibi, ndivyo atakavyorudi Yesu- Mathayo 24:24-31; Luka 17:20-37. *Yesu anarudi duniani- Ufunuo 19; & 22.Hubiri Injili na Kufanya Wanafunzi hadi arudi*Mwoto Mkuu- Mathayo 28:19-22. *Kuja kwa Roho Mtakatifu kwa ajili ya ujasiri katikakushuhudia Injili- Matendo 1:8.Mifano ya Wakristo wa Kwanza:*Injili inahubiriwa Judea na Samaria- Matendo 8-9:31. *Injili Inaenda Ulimwengu wa Mataifakupitia Kwa Petro- Matendo 9:32-11:18. *Roho Mtakatifu anasema Paulo na Barnaba watengwekwa kazi ya umisionari- Matendo 13. *Safari ya Kwanza ya Paulo Ya Umisionari kwa Mataifa-Matendo 11:19-15:35. *Safari ya Pili ya Paulo ya Umisionari (Asia Ndogo, Ugriki, Rumi)-Matendo 15:36-18:22. *Safari ya Paulo ya Tatu ya Umisionari- Matendo 18:23-23:22.

Maandiko*…Na Kumngojea Mwanawe Kutoka Mbinguni, Ambaye hutuokoa na Ghadhabu inayokuja- 1Thess 1:8-10. *Yesu atarudi tu kama alivyoenda, katika mawingu- Matendo 1:9-11. * Kwasababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, Kisha sisi tulio hai,tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani, Basi, farijianenikwa maneno hayo. - 1 Wathesalonike 4:16-18. *Yesu hatarudi mpaka Mtu wa Kuasi afunuliwe-2 Wathesalonike 2. *Kadhalika Kristo naye, akiisha kutolewa sadaka mara moja azichukuedhambi za watu wengi; atatokea mara ya pili, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwawokovu - Waebrania 9:28. * Wapenzi, sasa tu wana wa Mungu, wala haijadhihirika badotutakavyokuwa; lakini twajua ya kuwa atakapodhihirishwa, tutafanana naye; kwa maanatutamwona kama alivyo. Na kila mwenye matumaini ha ya katika yeye hujitakasa, kama yeyealivyo mtakatifu - `1 Yohana 3:2-3.Hubiri Injili na Kufanya Wanafunzi hadi arudi* lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa - 2 Timotheo 4:2.