Top Banner
Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007 i YALIYOMO Maelezo Ukurasa SURA YA KWANZA ...................................................... ..1 1.0. UTANGULIZI ......................................................... 1 SURA YA PILI ............................................................... 5 2. O Muhtasari wa takwimu za uhalifu 2007. ................... 5 2.2 Uchambuzi wa matukio kwa aina ya uhalifu .............. 8 2.2.1 Makosa dhidi ya maadili ya jamii ............................. 8 2.2.2. Makosa ya kuwania mali ...................................... 12 2.2.3 Makosa dhidi ya binadamu..............................................15 2.3. Uhamiaji haramu ................................................ 20 2.4 Makosa ya Jinai yalivyoripotiwa na jinsi yalivyoshughulikiwa........................................................25 2.5. Makosa yaliyotendwa na wakimbizi Januari – Desemba 2007. .................................................. 29 SURA YA TATU............................................................ 33 3.0 Ajali za Barabarani .............................................. 33 3.1 Mchanganuo wa Makosa ya Usalama Barabarani .... 33 3.2 Mikakati iliyopo kukabiliana na Tatizo la Ajali za Barabarani: ........................................................ 38 SURA YA NNE ............................................................. 42 4.0 Matukio ya kushtua ............................................. 42 i Arusha ............................................................... 42 ii Mgomo wa Mahabusu .......................................... 42 iii kinondoni (dsm/kin/pe/01/2007) .......................... 43
70

Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007...Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007 Uk. 1 - 65 SURA YA KWANZA 1.0. Utangulizi Tanzania ni moja

Jan 27, 2021

Download

Documents

dariahiddleston
Welcome message from author
This document is posted to help you gain knowledge. Please leave a comment to let me know what you think about it! Share it to your friends and learn new things together.
Transcript
  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    i

    YALIYOMO

    Maelezo Ukurasa

    SURA YA KWANZA ...................................................... ..1

    1.0. UTANGULIZI ......................................................... 1

    SURA YA PILI ............................................................... 5

    2. O Muhtasari wa takwimu za uhalifu 2007. ................... 5

    2.2 Uchambuzi wa matukio kwa aina ya uhalifu .............. 8

    2.2.1 Makosa dhidi ya maadili ya jamii ............................. 8

    2.2.2. Makosa ya kuwania mali ...................................... 12

    2.2.3 Makosa dhidi ya binadamu..............................................15

    2.3. Uhamiaji haramu ................................................ 20

    2.4 Makosa ya Jinai yalivyoripotiwa na jinsi yalivyoshughulikiwa........................................................25

    2.5. Makosa yaliyotendwa na wakimbizi Januari –

    Desemba 2007. .................................................. 29

    SURA YA TATU ............................................................ 33

    3.0 Ajali za Barabarani .............................................. 33

    3.1 Mchanganuo wa Makosa ya Usalama Barabarani .... 33

    3.2 Mikakati iliyopo kukabiliana na Tatizo la Ajali za

    Barabarani: ........................................................ 38

    SURA YA NNE ............................................................. 42

    4.0 Matukio ya kushtua ............................................. 42

    i Arusha ............................................................... 42

    ii Mgomo wa Mahabusu .......................................... 42

    iii kinondoni (dsm/kin/pe/01/2007) .......................... 43

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    ii

    iv Uvamizi wa Benki tawi la mwanga ......................... 43

    v Kilimanjaro ......................................................... 44

    VI kuchoma jengo la shule moto ............................... 44

    SURA YA TANO ........................................................... 45

    5.0 Uchambuzi wa Makosa makubwa na madogo ya Jinai

    ikilinganishwa na Idadi ya Watu. ........................... 45

    SURA YA SITA ............................................................ 65

    6.0 MAPENDEKEZO

    6.1 HITIMISHO .......ERROR! BOOKMARK NOT DEFINED.

    Orodha ya Jedwali

    Jedwali Na. 1.2: Mchanganuo wa Makosa Makubwa na

    madogo ya Jinai na Usalama Barabarani Januari

    hadi Desemba 2006/2007 ..................................... 5

    Jedwali Na. 2.2: Makosa dhidi ya Maadili ya Jamii – 2006

    na 2007 .............................................................. 9

    Jedwali Na. 3.2: Makosa dhidi ya Mali kwa 2006 na 2007 .... 13

    Jedwali Na. 4.2: Makosa dhidi ya binadamu kwa 2006

    na 2007 ............................................................ 16

    Jedwali Na. 6.2: Namna Makosa ya Jinai yalivyoshughulikiwa

    kwa kipindi cha Januari hadi Desemba 2007

    kimkoa ............................................................. 26

    Jedwali Na. 7.2: Makosa yaliyotendwa na Wakimbizi .......... 30

    Jedwali Na. 7.2.1: Namna Makosa yaliyotendwa na

    Wakimbizi yalivyoshughulikiwa kwa kipindi cha

    Januari – Desemba 2007 .................................... 31

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    iii

    Jedwali Na. 1.3: Matukio ya Ajali Barabarani kwa kipindi

    cha Januari hadi Desemba 2007 .......................... 34

    Jedwali Na. 2.3: Mchanganuo wa Makosa ya Ajali za

    Usalama Barabarani Januari hadi Desemba ........... 35

    Jedwali Na. 3.3: Mchanganuo wa Watu Walioathirika

    kwa Ajali Barabarani .......................................... 36

    Jedwali Na. 4.3: Matukio ya usalama barabarani (ajali)

    kuanzia 2002 - 2007 .......................................... 39

    Jedwali Na. 5.3: Mabadiliko ya Matukio ya Usalama

    Barabarani kwa Asilimia kwa Mwaka 2002 – 2007 .. 40

    Jedwali Na. 3.5: Makosa ya Jinai kwa Idadi ya Watu,

    Eneo na Idadi ya Askari ...................................... 53

    Jedwali Na. 6.5: Mtiririko wa Makosa makubwa ya Jinai

    kuanzia mwaka 2002 hadi 2007 .......................... 58

    Jedwali Na. 7.5: Idadi ya watu mwaka 2002 hadi 2007 ....... 63

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 1 - 65

    SURA YA KWANZA

    1.0. Utangulizi Tanzania ni moja ya nchi zilizo katika jumuiya ya Afrika

    Mashariki na ina eneo la kilomita za mraba 887,460 (Sq

    km). Ipo kati ya nyuzi za Longitudo 29 na 41 kwa

    upande wa Mashariki na nyuzi za Latitudo 1 na 12 kwa

    upande wa Kusini. Kwa upande wa Mashariki imepakana

    na bahari ya Hindi, Kusini nchi ya Msumbiji, Kusini

    Magharibi nchi za Zambia na Malawi, Magharibi nchi za

    Rwanda, Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    (DRC), na kwa upande wa Kaskazini nchi za Uganda na

    Kenya.

    Tanzania ni moja ya nchi zinazofuata utawala wa sheria,

    hivyo serikali yake inaendeshwa kidemokrasia. Katika

    kutekeleza hili Wizara mbalimbali zimeundwa ili kuweza

    kukidhi matakwa ya wananchi wake. Moja ya Wizara hizo

    ni Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, ambayo inaundwa

    na Idara tano ambazo ni Jeshi la Polisi, Magereza,

    Uhamiaji, kikosi cha Zimamoto na Utawala.

    Jukumu la Jeshi la Polisi ni kulinda usalama wa raia na

    mali zao, kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa,

    kukamata wahalifu na kuwafikisha katika vyombo vya

    sheria ili washughulikiwe kwa mujibu wa sheria na

    taratibu zilizowekwa. Lengo kuu ni kuhakikisha kuwa hali

    ya amani na utulivu inadumishwa. Ili kutekeleza

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 2 - 65

    majukumu yake ipasavyo, Jeshi la Polisi limegawanywa

    katika Idara, vikosi na vitengo. Idara hizo ni Upelelezi wa

    Makosa ya Jinai, Utawala na Fedha, Mafunzo na

    Uendeshaji, ofisi ya kamishina wa Polisi Zanzibar na ofisi

    ya kamishina Kanda Maalumu D’Salaam. Aidha kuna

    vikosi ambavyo ni pamoja na Usalama Barabarani, Kikosi

    cha Kutuliza Ghasia, Kikosi cha Wanamaji, Polisi Anga,

    Polisi Reli, Kikosi cha Kuzuia na Kupambana na Wizi wa

    Mifugo ( STPU), Kikosi cha Tazara na vikosi vingine

    mbalimbali vilivyo chini ya Makao Makuu ya Polisi kama

    vile Kikosi cha Band, Kikosi cha Matengenezo ya Magari

    na Kikosi cha Mbwa na Farasi. Lengo kubwa la

    mgawanyo huo ni kuwa na usimamizi wa karibu katika

    utekelezaji wa majukumu ya kila siku kwa kila Idara,

    Kitengo au Kikosi husika.

    Idara ya upelelezi wa makosa ya Jinai ina utaratibu wa

    kufuatilia na kupima taarifa za uhalifu zilizoripotiwa na

    jinsi zilivyoshughulikiwa katika vituo vyote vya Polisi

    nchini. Utaratibu huo huliwezesha Jeshi la Polisi

    kutambua mwenendo wa uhalifu ulivyo katika nchi

    mzima, na hivyo kuwa na uwezo wa kutabiri matukio ya

    uhalifu na hivyo kubuni na kupanga mikakati ya

    kukabiliana na uhalifu na wahalifu katika wakati uliopo

    na ujao.

    Hii ni Taarifa ya Uhalifu nchini kwa mwaka wa 2007.

    Hivyo taarifa hii itaangalia matukio ya uhalifu

    yaliyoripotiwa katika kipindi cha Januari hadi Desemba

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 3 - 65

    2007 yakilinganishwa na Januari hadi Desemba 2006,

    vyanzo vya makosa hayo na juhudi zinazofanywa

    kukabiliana na uhalifu nchini kwetu.

    1.1 Hali ya Uhalifu kwa Mwaka 2007

    Katika kipindi cha Januari hadi Desemba 2007, Matukio

    ya uhalifu yaliyoripotiwa katika vituo vya Polisi nchini

    kote yalikuwa 740,213 ikilinganishwa na kipindi cha

    Januari hadi Desemba 2006 ambapo matukio yalikuwa

    538,497. Idadi hii ya matukio inajumuisha matukio ya

    Jinai, ajali na makosa ya usalama barabarani. Matukio

    haya yanaonyesha ongezeko la matukio 201,716 sawa

    na asilimia 37.3.

    Kuongezeka kwa matukio haya kumechangiwa na

    sababu mbalimbali, zikiwemo kukua kwa sayansi na

    teknolojia, utandawazi, ukosefu wa ajira, umasikini,

    ukuaji wa miji (Urbanisation), ongezeko la makazi holela,

    kuibuka na kuongezeka kwa imani za kishirikina na

    wimbi la ongezeko la baadhi ya wakimbizi wanaojiingiza

    katika vitendo vya uhalifu. Pia udhaifu wa baadhi ya

    sheria zetu ambazo zimepitwa na wakati na hivyo

    kuhitaji marekebisho ya msingi, udhaifu wa watendaji

    katika mfumo mzima wa udhibiti wa sheria na utoaji

    haki.

    Katika kukabiliana na changamoto zinazoletwa ongezeko

    la uhalifu kama ilivyoainishwa na takwimu hapo juu,

    Idara ya Upelelezi wa Jinai. Idara inaendelea na

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 4 - 65

    mchakato wa kubuni mikakati mbali mbali

    itakayoiwezesha Idara kudhibiti hali hiyo ambalo ndio

    jukumu la msingi la Idara. Mikakati inayobuniwa inaenda

    sambamba na mihimili mikuu mitatu ya kisera ya Jeshi la

    Polisi katika kuboresha huduma inayotolewa kwa

    wananchi na Jeshi la Polisi ambalo ni kulinda usalama wa

    raia na mali zao na kuhakikisha utengamano unakuwepo

    kwa kusimamia sheria. Mihimili ya kisera ya Polisi

    ambayo ndio dira ya idara katika kubuni mikakati yake ni

    • Weledi (Professionalism), • Usasa (Modernisation), na • Ulinzi shirikishi (Commuinity Policing).

    Idara kwa kutumia falsafa tajwa hapo juu, inaimarisha

    vitengo vyake ili vitekeleze majukumu ya kupambana na

    kudhibiti uhalifu kwa viwango ambavyo jamii ya

    watanzania wa leo wanavitarajia. Mafunzo ya kada mbali

    mbali katika fani ya upelelezi wa jinai yanaimarishwa ili

    kujenga weledi ambao ni ujuzi utakaosaidia kuharakisha

    upelelezi wa kesi kwa ufanisi, Upatikanaji wa zana za

    kisasa za upelelezi na utendaji wa kazi kuanzia kwa

    wapelelezi na wachunguzi katika maabara ya Polisi

    ambapo usasa utatumika katika kushughulikia kesi za

    jinai na ushirikishwaji wa wadau mbali mbali katika

    jitihada za kukabiliana na uhalifu. Kwa kufahamu kuwa

    matatizo mengi ya uhalifu yanatokana na jamii yenyewe,

    Idara inafanya juhudi za kushirikiana na taasisi rasmi za

    udhibiti, taasisi za kijamii na za kimataifa kuhakikisha

    mapambano dhidi ya uhalifu yanapata msukumo

    unaostahili.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 5 - 65

    SURA YA PILI

    2. O Muhtasari wa Takwimu za Uhalifu 2007. Jumla ya matukio yote ya uhalifu kwa mwaka huu ni

    740,213 kwa nchi nzima, matukio yaliyochukua nafasi

    kubwa ni yale ya jinai. Katika aina hii ya makosa,

    matukio 509,462 yaliripotiwa ambayo ni sawa na 68.8%

    ya matukio yote. Matukio ya usalama barabarani

    yalikuwa 230,751 sawa na 31.2% ya matukio yote.

    Taarifa ya matukio ya jinai na usalama barabarani

    imefafanuliwa katika jedwali Na. 1.2

    Jedwali Na. 1.2:

    2..1 Mchanganuo wa Makosa Makubwa na madogo ya Jinai na Usalama Barabarani Januari hadi Desemba 2006/2007

    Januari– Desemba

    2006

    Januari – Desemba

    2007

    Tofauti

    2007-2006

    Asilimia

    2007-2006

    JINAI

    MADOGO 359,848 420,935 61,087 17.0

    MAKUBWA 68,781 88,527 19,746 28.7

    JUMLA 428,629 509,462 80,833 18.9

    USALAMA BARABARANI

    MADOGO 91,681 205,600 113,919 124.2

    MAKUBWA 18,187 25,151 6,964 38.2

    JUMLA 109,868 230,751 120,883 110.0

    JUMLA KUU 538,497 740,213 201,716 37.3

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 6 - 65

    Uchambuzi wa Matukio ya Uhalifu Nchini

    Uhalifu wa makosa ya jinai umegawanyika katika

    makundi makuu matatu:

    • Makosa dhidi ya mali • Makosa dhidi ya binadamu • Makosa dhidi ya maadili ya jamii.

    Jumla ya makosa makubwa ya jinai yaliyoripotiwa katika

    vituo mbalimbali vya Polisi katika kipindi cha Januari

    hadi Desemba 2007 ni 88,527 ikilinganishwa na makosa

    68,781 yaliyoripotiwa kwa kipindi kama hicho cha

    Januari hadi Desemba 2006 ambalo ni ongezeko la

    makosa 19,746 sawa na 28.7%.

    Kwa ujumla uhalifu wa makosa ya jinai kwa kipindi cha

    Januari hadi Desemba 2007 umepanda ikilinganishwa na

    Januari hadi Desemba 2006, kama takwimu za hapo juu

    zinavyoonesha. Kuongezeka kwa takwimu za idadi ya

    makosa ya jinai kumesababishwa na sababu kadhaa za

    kiuchumi na kijamii kama inavyofahamika uhalifu ni

    tatizo ya kijamii, pamoja na ukweli kwamba utendaji wa

    makosa pia uliongezeka, Hata hivyo,pia ongezeko la

    kitakwimu linaloonekana sasa limetokana pia na

    mikakati ya Jeshi la Polisi kuwashirikisha wananchi kwa

    kutumia falsafa ya Polisi Jamii na Ulinzi Shirikishi.Hii

    imechangia kwa kiasi kikubwa kukuza uhusiano na

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 7 - 65

    wananchi na hivyo kuwa huru kutoa taarifa za uhalifu

    kwa Jeshi la Polisi bila woga.Taarifa za wananchi

    zimesaidia Jeshi la Polisi kuchukua hatua zilizopelekea

    ongezeko la mashauri yaliyoripotiwa kwenye vituo vya

    Polisi.

    Tatizo la upungufu wa askari (Staff strengths) ndani ya

    Jeshi la Polisi unachangia kuongezeka kwa matukio

    mengi ya uhalifu, kwani yapo maeneo katika nchi yetu

    ambayo kwa kipindi kirefu yamekosa huduma ya Polisi

    kutokana na uhaba wa askari ikilinganishwa na idadi

    halisi ya wananchi (Population) katika maeneo husika,

    hivyo uwiano kati ya idadi ya askari na wananchi

    wanaowahudumia na ukubwa wa maeneo kwa mraba,

    kutoshabihiana. Mathalani, uwiano wa kimataifa ni askari

    Polisi 1 kwa watu 400 hadi 700. Na wastani kwa nchi

    zilizoendelea ni askari Polisi 1 kwa watu 250 hadi 350;

    lakini katika nchi yetu wastani wa uwiano ni kwa askari

    Polisi 1 kwa watu 1300. Uwiano huu ni mkubwa mno

    kuwawezesha askari wetu kutoa huduma itakayoridhisha

    wananchi wote. Aidha, Kukosekana kwa uwepo wa askari

    katika baadhi ya maeneo ya nchi yetu, ni kichocheo kwa

    wahalifu kutimiza azma yao bila kuhofia hatua za

    kisheria dhidi yao.

    Ni imani ya Jeshi la Polisi, kwamba serikali kwa kadri ya

    uwezo wa kiuchumi utakavyoruhusu itapunguza tatizo

    hili kwa kuongeza idadi ya askari wanaoajiriwa.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 8 - 65

    Graph 1.2.1

    2.2 Uchambuzi wa Matukio kwa aina ya Uhalifu

    2.2.1 Makosa dhidi ya Maadili ya Jamii Haya ni makosa yanayokiuka maadili mema ya jamii,

    kama vile matumizi na usafirishaji wa madawa ya

    kulevya, rushwa n.k. Makosa haya kuongezeka au

    kupungua kwake hutegemea sana juhudi za Polisi katika

    kukusanya taarifa na kuendesha misako ya mara kwa

    mara. Juhudi hizo zikiimarishwa ukamataji wa makosa

    hayo huongezeka pia.

    Katika kipindi cha Januari hadi Desemba 2007 jumla ya

    makosa 14,036 dhidi ya maadili ya jamii yaliripotiwa

    ambayo ni ongezeko la makosa 4,004 sawa na aslimia

    39 ikilinganishwa na taarifa ya mwaka 2006 kama

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 9 - 65

    inavyoonekana katika Jedwali nambari 2.2

    Jedwali Na. 2.2: Makosa dhidi ya Maadili ya Jamii - 2006 na 2007

    Makosa Januari– Desemba

    2006 Januari – Desemba

    2007 Tofauti

    Asilimia(%)

    Madawa ya kulevya 377 318 - 59 -15.65 Bhangi 5,020 5,521 501 9.98 Mirungi 296 471 175 59.12 Nyara za serikali 720 791 71 9.86 Magendo 60 39 - 21 -35.00 Rushwa 37 34 - 3 -8.11 Pombe ya moshi 2,690 5,937 3,247 120.71 Mitambo ya pombe ya moshi - 133 133 0 Kupatikana na risasi - 189 189 0 Kupatikana na silaha 832 585 247 29 Kupatikana na bomu - 18 18 0 JUMLA 10,032 14,036 4,004 39

    Graph 2.2.1

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 10 - 65

    Mikakati iliyopo kukabiliana na Makosa ya Maadili

    ya Jamii

    Kama ilivyoelezwa hapo juu, ongezeko la makosa ya

    maadili ya jamii kwa mwaka 2007 kulinganisha na

    mwaka 2006 linatokana na sababu kuu mbili: Kwanza,

    haya ni makosa ambayo yanatokana na juhudi za polisi

    katika kufanya misako na operesheni mbali mbali, hivyo

    ongezeko la takwimu linaweza kusababishwa na

    ongezeko la ufanisi wa Polisi katika utekelezaji wa

    majukumu yao, pili ongezeko linaweza kusababishwa na

    ongezeko halisi la shughuli za uhalifu katika makosa

    haya; Hali ambayo inatokana na matatizo ya utendaji wa

    Polisi kutokana na athari za upungufu wa vitendea kazi

    ambapo Jeshi la Polisi hufanya kazi katika mazingira

    magumu na hivyo kuathiri kwa kiwango kikubwa cha

    ufanisi.

    Makosa ya kupatikana na Bangi na Pombe ya Gongo ni

    makosa yaliyokithiri kutokana na sababu za kiuchumi.

    Kilimo cha mashamba makubwa ya bangi kinaendelea

    kushamiri nchini kwa kuwepo kwa soko la ndani na nje.

    Jeshi la Polisi limeendelea kuharibu mashamba ya bangi

    katika Mikoa ya Mara, Arusha, Morogoro, Shinyanga,

    Iringa na Mbeya. Aidha, Madawa ya kulevya toka nje ya

    Tanzania kama vile Heroine kutoka Asia na Cocaine

    kutoka Amerika ya Kusini yameendelea kuonekana

    nchini kwetu na kuwa kero. Vijana wa Kitanzania

    wanaendelea kujihusisha na biashara hii nje ya nchi yetu

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 11 - 65

    na kutia doa jina la nchi yetu na kuleta athari kubwa

    nchini.

    Kwa kuzingatia hali ya ongezeko la makosa ya maadili

    ya jamii, Jeshi la Polisi litaendelea na kukabiliana na

    changamoto hiyo kwa kuishirikisha Jamii katika

    mapambano haya,

    Kwani makosa yanayoongoza kwa mbali ki -takwimu ya

    kupatikana na Pombe ya Moshi na Bangi ni makosa

    yaliyoenea kwenye jamii zetu na yanatokana na hali

    halisi ya kiuchumi wa jamii husika. Utatuzi wake

    utafanikiwa si kwa juhudi za Polisi pekee, bali wanajamii

    wote hususan wale waliopewa jukumu la kuongoza

    serikali kuanzia za mitaa hadi taifa kwa kubuni mikakati

    mbadala ya kiuchumi, Jeshi la Polisi litaendelea na

    misako ya mara kwa mara katika juhudi za kudhibiti

    tatizo hili. Aidha, viongozi wa kijamii wanajukumu kubwa

    katika kuiandaa jamii kufuata maadili mema ya jamii

    yenyewe.

    Jeshi la Polisi kwa upande wake litaendelea kuimarisha

    ukusanyaji wa taarifa za kiintelijensia kuhusu wahalifu

    wanaojihusisha na makosa haya,na hususan yale yenye

    kuvuta hisia za jamii kama madawa ya kulevya toka nje

    ya nchi na rushwa. Kwa kutumia wananchi na wadau

    mbali mbali, Jeshi litaweza kuendesha operesheni sahihi

    za kudhibiti makosa haya. Hata hivyo ni mategemeo ya

    Jeshi la Polisi kwamba, ufanisi katika udhibiti wa makosa

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 12 - 65

    haya utapatikana iwapo Jeshi litajengewa uwezo wa ki –

    zana za kutendea kazi.

    2.2.2. Makosa ya kuwania Mali

    Makosa ya kuwania mali ni makosa ambayo hufanywa na

    mtu kwa utashi wake ambapo mhalifu huwa na nia ya

    kupata mali kwa kumdhulumu mtu mwingine. Mara

    nyingine aina hii ya makosa hutendwa kwa kutumika

    nguvu kupita kiasi na kuleta madhara makubwa yasiyo

    tarajiwa kwa mtu au mali. Baadhi ya makosa haya ni

    Unyang’anyi wa kutumia silaha, Unyang’anyi wa kutumia

    nguvu, Wizi wa magari, Wizi wa pikipiki, Wizi katika

    Taasisi za fadha hasa (Mabenki, Maduka ya kuuza na

    kununua fedha), Wizi wa Silaha, Kuchoma nyumba

    moto, Kuharibu mali n.k.

    Katika kipindi cha Januari hadi Desemba 2007 jumla ya

    makosa 60,913 yaliripotiwa, na kipindi cha Januari hadi

    Desemba 2006 jumla ya makosa 51,034 yaliripotiwa.

    Kuna ongezeko la makosa 9,879 sawa na asilimia 19.4%

    aidha takwimu zinaonyesha kuwa wizi katika benki

    umeongezeka kwa makosa 17 mwaka 2007

    ikilinganishwa na makosa 6 kwa mwaka 2006 sawa na

    asilimia 283.3%. Wizi wa magari umepungua kwa

    makosa 33 kwa mwaka 2007 ikilinganishwa na makosa

    287 ya mwaka 2006 sawa na asilimia 11.5 kama

    inavyoonyeshwa kwenye Jedwali Na. 3.2.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 13 - 65

    Jedwali Na. 3.2: Makosa dhidi ya Mali kwa 2006 na 2007

    Makosa Januari– Desemba Januari – Desemba

    Tofauti

    2006 2007 Asilimia(%)

    Wizi wa silaha 72 104 32 44.4 Unyang"anyi wa k/silaha 1,028 1,108 80 7.8 Unyang"anyi wa k/nguvu 4,620 7,198 2,578 55.8 Uvunjaji 20,413 20,904 491 2.4 Wizi 18,107 21,708 3,601 19.9 Wizi wa pikipiki 118 222 104 88.1 Wizi wa magari 287 254 -33 -11.5 Noti bandia 389 487 98 25.2 Wizi wa mifugo 3,904 5,153 1,249 32 Wizi k/ mabenki 6 23 17 283.3 Wizi k/ mashirika ya umma 0 383 383 0 Wizi k/ vyama vya ushirika 0 18 18 0 Wizi k/ serikali za mitaa 0 27 27 0 Wizi k/ serikali kuu 0 129 129 0 Kuchoma nyumba moto 2090 2943 853 40.8 Ajali ya moto 0 252 252 0 Jumla 51,034 60,913 9,879 19.4

    Graph 3.2.1

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 14 - 65

    Uchambuzi wa Makosa ya kuwania Mali na Mikakati

    ya kukabiliana na Makosa hayo

    Kuna ongezeko la jumla la makosa ya kuwania mali

    mwaka 2007 ukilinganisha na mwaka 2006 kwa asilimia

    20%. Ukiacha upungufu katika wizi wa magari, takriban

    makosa yote katika sehemu hii yanaonekana

    kuongezeka. Makosa ya Uvunjaji na wizi yanaendelea

    kuongoza kwa mbali katika tawimu za uhalifu nchini

    kwetu. Hali hii ina uhusiano wa moja kwa moja na hali

    halisi ya kiuchumi ya wananchi wetu na nchi kiujumla.

    Ukosefu wa ajira za uhakika ndio msukumo unaopelekea

    wananchi kujitosa katika uvunjaji ili kuweza kukidhi

    mahitaji ya msingi.

    Ufumbuzi wa kudumu wa tatizo hili si rahisi kupatikana

    kwa kuzingatia ufumbuzi wa matatizo ya kiuchumi kitaifa

    na kimataifa si rahisi pia. Tatizo la makosa ya uvunjaji

    na wizi hustawi pale ambapo mazingira yanashawishi

    wahalifu kutekeleza azma yao. Maeneo yenye giza,

    miundo mbinu mibovu kama vile ujenzi holela hufanya

    kazi ya udhibiti wa uhalifu wa aina hii kuwa ngumu.Hata

    hivyo Idara atazidi kupanga mikakati ya kuimarisha

    hatua za kuzuia kwa kusisitiza doria katika maeneo

    yaliyokithiri kwa matatizo kwa uvunjaji na wizi.

    Udhibiti wa silaha haramu mipakani, Kuimarisha

    mafunzo ya stadi za teknolojia za kisasa zinazotumiwa

    na wahalifu wa kisasa kuiba, Kushirikiana na wadau

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 15 - 65

    rasmi na wananchi, ni miongoni mwa mikakati ya Idara

    katika kukabiliana na makosa haya. Katika ngazi ya

    Taifa, kuna mafanikio yaliyoonekana kwa kuwatumia

    wadau katika mapambano ya uhalifu wa kuwania mali

    hasa ujambazi wa kutumia silaha. Juhudi zinaelekezwa

    kwenye ngazi ya mikoa na wilaya, ili mtandao wa

    ushirikiano wa wadau rasmi uweze kupanuka nchini

    kote, na hivyo kuleta matokeo chanya katika udhibiti wa

    makosa haya.

    Mkakati mwingine ni kuimarisha mfumo wa kuyatambua

    magenge ya uhalifu na kuweza kuzuia kabla ya

    utekelezaji wa azma yao, hii itawezekana kwa

    kuimarisha mfumo wa utafutaji wa habari za uhalifu na

    wahalifu kuanzia ngazi ya mtaa hadi taifa na hii

    itawezekana kwa kuimarisha vitengo vya Intelijensia.

    Hata hivyo, baadhi ya mikakati ya idara inahitaji uwezo

    wa kiuchumi wa kitaifa kugharimia na hivyo kuleta

    ufanisi unaotarajiwa ni matumaini yetu serikali kwa

    upande wake utaona umuhimu wa kulinda mali za

    wananchi wake na athari zake ki usalama na hivyo kutoa

    kipaumbele katika kugharamia hatua hizo.

    2.2.3. Makosa dhidi ya Binadamu:

    Makosa dhidi ya binadamu ni makosa ambayo huathiri

    utu wa binadamu na maisha yake. Makosa hayo ni

    Mauaji, Kulawiti, kubaka, wizi wa watoto, kutupa watoto,

    usafirishaji haramu wa binadamu, na uhamiaji haramu.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 16 - 65

    Hivi karibuni kumejitokeza hujuma dhidi ya walemavu

    hususan albino, na baadhi ya wananchi kuchunwa ngozi

    kwa sababu za imani potofu za kishirikina, ili wahusika

    wafanikiwe katika harakati za kujasiria mali.

    Katika kipindi cha Januari hadi Desemba 2007 jumla ya

    makosa 13,578 yaliripotiwa wakati Januari hadi

    Desemba 2006 makosa 7,715 yaliyoripotiwa sawa na

    ongezeko la makosa 5,863 ambayo ni asilimia 75.9

    Aidha, mwaka 2007 yameongezeka makosa 917 ya

    mauaji ambayo ni sawa na asilimia 37.2 ongezeko hili

    linajumuisha mauaji yaliyoambatana na imani za

    ushirikina. Jedwali 4.2 linaonyesha takwimu

    Jedwali Na. 4.2: Makosa dhidi ya binadamu kwa 2006 na 2007

    Makosa

    Januari – Desemba Januari – Desemba

    Tofauti

    2006 2007 Asilimia(%)

    Mauaji 2,612 3,583 971 37.2

    Kubaka 4,278 8,894 4,616 107.9

    Kulawiti 512 567 55 10.7

    Wizi wa watoto 38 71 33 86.8

    Kutupa watoto 86 157 71 82.6

    Wahamiaji haramu 189 306 117 61.9

    Jumla 7,715 13,578 5,863 75.9

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 17 - 65

    Graph Na. 4.2.1

    Uchambuzi wa vyanzo vya Makosa na Mikakati ya

    Udhibiti

    Kulingana na takwimu kuna ongezeko la makosa dhidi ya

    binadamu mwaka 2007 ikilinganishwa na mwaka 2006.

    Makosa ya mauaji yaliongezeka kwa asilimia 37.2

    Makosa ya kubaka kwa asilimia 107. Makosa ya kulawiti

    kwa asilimia 10.8, na asilimia 86. 2 kwa kosa la kutupa

    watoto, asilimia 82.6 kwa makosa ya wizi wa watoto, na

    asilimia 61.9 kwa kosa la Uhamiaji Haramu.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 18 - 65

    Uchambuzi wa vyanzo vya makosa ni kama ifuatavyo:

    Mauaji:

    Sababu kubwa za mauaji ni kuwania mali kama vile

    katika matukio ya ujambazi, uporaji na wizi wa mifugo

    na imani za ushirikina. Mikoa ya Mwanza, Kagera,

    Shinyanga, Tabora na Dar es salaam zimeongoza kwa

    mauaji na sababu inayoongoza ni kuwania mali

    ikifuatiwa na ushirikina. Sababu hii ya ushirikina

    inatokana na ufinyu wa elimu ya wananchi wetu na

    ufukara na tamaa ya utajiri wa haraka. Kutokana na

    ufinyu wa elimu bado wananchi wanahadaiwa na

    waganga wa jadi wanaoshawishi kutenda mauaji aidha

    kwa kisasi au tamaa ya utajiri wa haraka.

    Mauaji mengine yanatokana na wivu wa mapenzi,

    kuwania mali, ugomvi wa kawaida, ulevi ama kuficha

    uhalifu. Ongezeko la takwimu za mauaji linaashiria kuwa

    bado kuna kazi kubwa ya serikali kutilia mkazo katika

    sekta ya elimu. Ni elimu pekee itakayoweza kupanua

    ufahamu wa watu na hivyo kuchukua hatua sahihi katika

    mwenendo wa maisha yao na kuachana na imani potofu.

    Aidha,Kwa kushirikiana na wadau wengine kama vile

    waganga wa jadi viongozi wa dini mbalimbali ambao kwa

    namna moja ama nyingine wana mchango mkubwa

    kufanikisha kudhibiti uhalifu huo.

    Kubaka:

    Sababu kubwa inayosababisha kosa hili ni kujiridhisha

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 19 - 65

    kimapenzi, Imani za kishirikina, ulevi uliokithiri wa

    pombe au madawa ya kulevya, na uduni wa kipato. Hata

    hivyo ongezeko la takwimu za kosa hili pia

    limesababishwa na mabadiliko ya kisheria ambapo

    makosa ambayo awali hayakuwa na hadhi ya kosa la

    kubaka sasa yameingizwa katika kifungu hiki mfano kosa

    la kufanya mapenzi na mtoto wa shule sasa ni kubaka

    hata kama kulikuwa hakuna matumizi ya nguvu. Athari

    zake ni ongezeko la kitakwimu la makosa haya. Pia

    ongezeko hili linaonesha bado jamii yetu inahitaji

    kiwango cha juu cha maadili ili kupata suluhu la udhibiti

    wa tatizo hili.

    Kulawiti:

    Sababu hazitofautiani sana na kosa la kubaka na

    ongezeko linaonesha kiwango cha mmong’onyoko wa

    maadili katika jamii yetu.

    Wizi watoto:

    Sababu ni kutaka watoto kwa wasioweza kuzaa,

    kukomoana na visasi na imani za kishirikina.

    Kutupa watoto:

    Sababu za kijamii, kuogopa kukaripiwa na ndugu kwa

    wasichana wadogo, mimba zisizotarajiwa na kupangwa,

    kutelekezwa na wanaume waliowapa mimba. Zipo pia

    sababu za kiuchumi kwa wanaojiuza kutotaka kulea

    mtoto; sababu za kiafya kwa wanaopata kichaa cha

    mimba nk.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 20 - 65

    2.3 Uhamiaji Haramu

    Katika kipindi cha Januari hadi Desemba 2007 jumla ya

    wahamiaji haramu 2,644 wa mataifa mbalimbali

    walikamatwa, ikilinganishwa na wahamiaji haramu 189

    waliokamatwa katika kipindi kama hicho mwaka 2006.

    Takiwimu hizo zinaonyesha kuna ongezeko la wahamiaji

    haramu 117 ambao ni sawa na asilimia 61.90%.

    Idadi kubwa ya wahamiaji haramu waliokamatwa nchini

    wanatoka katika mataifa ya Somalia na Ethiopia. Aidha

    wapo wahamiaji haramu waliotoka katika mataifa ya

    Congo, Rwanda, India, Iran, Burundi, Malawi na

    Pakistan.

    Uchunguzi umebaini kwamba wahamiaji wengi haramu

    wanaokamatwa huingia nchini kupitia mikoa ya Mbeya,

    Kilimanjaro, Mtwara, Tanga, Arusha na Mara wakiwa

    safarini kuelekea Afrika Kusini, Ulaya na Marekani kama

    inavyoonyeshwa kwenye jedwali 5.2 hapa chini.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 21 - 65

    Jedwali Na. 5.2

    Mkoa Walioka-matwa

    Idadi

    ya Kesi

    UTAIFA

    Somalia Pakistan

    Ethiopia

    Kenya

    Burundi India Congo Mozambiq Zimbabwe

    Jumla ya Waliokamatwa

    M F M F M F M F M F M F M F M K M F M F

    Arusha 28 98 24 40 - 27 - - - - 165 25

    D’salaam 14 - 14 - - - - - 145

    Iringa 14 248 94 2 1 - - - - 344 1

    Kagera 1 - - 11 - - - - 11 -

    K’njaro 5 111 22 - - - - 133 -

    Mbeya 19 200 162 - - - - 362 -

    Pwani 36 159 235 2 - - - - 396 -

    Tanga 32 212 49 - 4 - - - - 267 2

    Lindi 1 32 1 13 - - - - - 46 -

    Mtwara 6 169 4 47 2 1 1 3 16 - - - 243 -

    Mara 35 2 2 56 - - - - 60 -

    Singida 1 1 - - - - - 1 -

    Kigoma 77 - - 400 17 - - - - 400 17

    Ruvuma 24 - 26 - - - 26 -

    Rukwa 2 - 10 - - - - 10 -

    Tabora 1 13 - - - - - 13 -

    Dodoma 1 - - 541 14 - - - - - -

    Morogoro 1 5 - - - - - - -

    Mwanza 4 - - 10 - - - - 10 -

    Reli 4 - 12 - - - - 12 -

    Jumla 306 1250 25 58 - 661 64 34 1 946 32 42 - - - 2644 44

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 22 - 65

    Graph Na. 5.2.1

    Uchambuzi wa Takwimu za Idadi ya kesi za

    Wahamiaji Haramu

    Kesi za wahamiaji haramu huhusisha wageni wanaotoka

    nchi zao na kuingia nchini mwetu bila kufuata utaratibu

    wa kisheria. Tawimu zilizopo zinaonesha kuwa mikoa ya

    mipakani ya Kigoma, Arusha, Pwani, Mbeya, Mara,

    Ruvuma, Tanga, Mtwara inaongoza kwa kukamatwa

    wahamiaji haramu wengi. Hali hii inasababishwa na

    mikoa hiyo kuwa njia ya kuingilia na kutokea nchini

    mwetu. Aidha, matatizo ya kisiasa eneo la maziwa

    makuu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Burundi

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 23 - 65

    imepelekea Mkoa wa Kigoma kuongoza. Upande

    mwingine matatizo ya kiusalama na kiuchumi eneo la

    Pembe ya Afrika imepelekea Mikoa ya Arusha, Pwani,

    Mara na Tanga kuongoza kwa idadi ya kesi.

    Uchambuzi wa Tatizo la Wahamiaji Haramu

    Kosa hili ni moja ya uhalifu unaokuja kwa kasi katika

    miaka ya karibuni. Wahamiaji wengi wanaokamatwa

    nchini ni wale wanaotoka katika nchi za pembe ya Afrika

    ambako kuna migogoro ya kisiasa na matatizo

    makubwa ya kiuchumi. Nchi za Somalia na Ethiopia

    zinaongoza kwa kutoa wahamiaji haramu nchini kwetu.

    Wengi wa wahamiaji hawa wanaitumia nchi yetu kama

    mapito ya safari yao kwenda Afrika Kusini ambako kuna

    imani kwamba kuna kazi nyingi kufuatia nchi hiyo kuwa

    mwenyeji wa mashindano ya Kombe la Dunia mwaka

    2010.

    Takwimu zinaonesha kwamba wageni wengi huingia

    kupitia mikoa ya kaskazini ya Arusha, Tanga,

    Kilimanjaro, Mara na ukanda wa Pwani ukiongozwa na

    mkoa wa Pwani. Aidha, takwimu zinaonesha kwamba

    Watu hao huelekea Mikoa ya Kusini ya nchi yetu ya

    Mtwara, Mbeya na Rukwa. Aidha, takwimu zinaonesha

    ukamataji umefanywa katika mikoa ya barabara kuu

    ziendazo kusini ya Lindi na Iringa.Hii inaonesha wazi

    wageni kutoka Ethiopia na Somalia wanatumia nchi yetu

    kama mapito.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 24 - 65

    Mikakati ya Kupambana na Makosa dhidi ya

    Binadamu

    Makosa dhidi ya binadamu ni makosa yanayoleta

    mshtuko na athari kubwa kwa jamii kwa muda mrefu.

    Ongezeko la takwimu kiujumla linatokana na sababu za

    kimaadili na kiuchumi kutokana na hali halisi ya jamii

    yetu. . Makosa haya hayawezi kudhibitiwa na Polisi

    pekee yanahitaji jamii nzima kushughulikia. Jeshi

    linaendelea kubuni na kupanga mikakati ya kuhakikisha

    uhalifu dhidi ya binadamu unadhibitiwa. Msisitizo sasa

    uko kwenye kujenga ushirikiano na wadau na wananchi.

    Kwa kuwashirikisha viongozi wa kijamii kama vile wa

    madhehebu ya dini na vyama vya kijamii (NGO).

    Pamoja na hayo, Jeshi limeanzisha mkakati wa

    kuutambua mtandao wa waganga wa kienyeji ( wapiga

    ramli) ambao huwapotosha wananchi kutenda makosa

    haya kwa imani kuwa wameathiriwa na wahanga wa

    matendo hayo au watapata utajiri kwa kutenda makosa

    hayo.

    Tunaamini tunaweza kupunguza kwa kiasi kikubwa

    makosa haya baada ya kutolewa elimu kama

    ilivyoainishwa hapo juu. Kwa makosa yanayohusisha

    kuwania mali, Jeshi linaendelea na mikakati yake ya

    kupunguza matukio hayo kwa kuimarisha doria na ulinzi

    wa maeneo muhimu.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 25 - 65

    Aidha, kwa kosa la Uhamiaji Haramu Jeshi limeunda

    Task Force inayowashirikisha watendaji kutoka vyombo

    vingine vya udhibiti kama vile idara ya Uhamiaji, TRA,

    TISS ili kushughulikia tatizo hili. Mafanikio

    yaliyopatikana ni pamoja na kuanza kuyabaini magenge

    ya wahalifu wanaofanya biashara ya kusafirisha watu

    katika nchi za Kenya, Ethiopia,Tanzania na Afrika kusini.

    Tatizo hili linahusisha nchi zaidi ya moja na mikakati

    yetu inalenga kushirikisha nchi majirani ili tuwe na

    ufumbuzi wa pamoja.

    2.4 Makosa ya Jinai yaliyoripotiwa na jinsi

    yalivyoshughulikiwa kwa kipindi cha Januari hadi

    Desemba 2007.

    Katika kipindi cha Januari hadi Desemba 2007, jumla ya

    kesi 88,527 ziliripotiwa nchi nzima. Kati ya hizo, kesi

    30,946 zilipelekwa mahakamani; kesi 6,390 zilifanikiwa

    mahakamani; kesi 2,287 zilishindwa mahakamani; kesi

    9,790 zilifungwa na kesi 37,376 ziko chini ya upelelezi.

    Aidha kesi zilizokataliwa Polisi kwa sababu mbalimbali ni

    1,738. Mchanganuo wa namna kesi hizo

    zilivyoshughulikiwa kwa kila mkoa ni kama

    inavyoonekena katika jedwali nambari 6.2.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 26 - 65

    Jedwali Na. 6.2: Namna Makosa ya Jinai yalivyoshughulikiwa kwa kipindi cha Januari hadi Desemba 2007 kimkoa

    Mkoa

    Kesi Kesi Kesi zilizo Kesi Kesi zilizoko Kesi Kesi

    Zilizoripotiwa Zilizokataliwa Chini ya upelelezi Zilizofungwa Mahakamani Zilizofanikiwa Zilizoshindwa

    Arusha 4,167 289 1,550 523 1,414 331 60

    Dar es Salaam 6,584 355 2,073 1,299 2,431 399 27

    Dodoma 2,709 23 1,010 719 660 270 27

    Iringa 5,153 9 2,275 645 1,903 291 30

    Kagera 4,782 43 1,631 482 2,212 338 76

    Kigoma 3,415 15 1,612 621 1,061 71 35

    Kilimanjaro 5,076 91 2,303 934 1,510 112 126

    Lindi 3,841 30 1,130 383 1,922 98 278

    Manyara 2,705 - 1,196 84 1,200 125 100

    Mara 3,991 - 1,842 184 1,630 229 106

    Mbeya 2,638 170 710 340 558 650 210

    Morogoro 6,764 361 3,764 107 2,032 407 93

    Mtwara 1,971 31 799 200 562 347 32

    Mwanza 5,729 - 2,169 155 2,654 582 169

    Pwani 4,001 79 1,572 320 1,665 258 107

    Rukwa 2,920 52 1,164 513 857 299 35

    Ruvuma 4,884 30 2,846 264 1,623 56 65

    Shinyanga 4,339 29 1,442 712 962 616 578

    Singida 1,888 27 762 233 652 178 36

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 27 - 65

    Mkoa

    Kesi Kesi Kesi zilizo Kesi Kesi zilizoko Kesi Kesi

    Zilizoripotiwa Zilizokataliwa Chini ya upelelezi Zilizofungwa Mahakamani Zilizofanikiwa Zilizoshindwa

    Tabora 5,454 93 3,099 546 1,505 164 47

    Tanga 3,468 - 1,583 244 1,304 291 46

    JUMLA - BARA 86,479 1,727 36,532 9,508 30,317 6,112 2,283

    - - - - -

    Kaskazini Unguja - - - - - -

    Kusini Unguja - - - - - -

    Mjini Magharibi - - - - - -

    Kaskazini Pemba - - - - - -

    Kusini Pemba - - - - - -

    JUMLA - VISIWANI 1,564 11 618 242 479 214 -

    VIKOSI VINGINE 484 - 226 40 150 64 4

    JUMLA - TANZANIA 88,527 1,738 37,376 9,790 30,946 6,390 2,287

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 28 - 65

    Uchambuzi wa jinsi makosa yalivyoshughulikiwa

    Takwimu hizi, zinaonesha wazi kuna changamoto za

    msingi kuhakikisha kuwa ufanisi katika upelelezi wa kesi

    unaimarishwa. Kwani ni asilimia 7 tu ambayo kesi zake

    zimefanikiwa kwa watuhumiwa kupatikana na hatia,

    asilimia 42 kesi hizo bado upelelezi kukamilika, asilimia

    34 kesi bado zipo mahakamani. Wakati asilimia 11.5 kesi

    hizo zimefungwa kwa sababu mbalimbali kama vile

    kukosekana ushahidi n.k. Ingawa ni asilimia 3 ya kesi

    hizo watuhumiwa waliachiwa huru na mahakama.

    Hali tajwa hapo juu inatokana na sababu kadhaa; uhaba

    wa askari wapelelezi, uhaba wa vitendea kazi, ujuzi

    mdogo wa baadhi ya wapelelezi wetu na zingine zilizo

    nje ya Idara kama vile ucheleweshaji wa taarifa za

    kitaalamu, kukosekana kwa mashahidi muhimu, uhaba

    wa watumishi na majengo ya mahakama.

    Mikakati ya kukabiliana na hali hiyo inabuniwa kila mara,

    kuwepo kwa kamati za kusukuma kesi mahakamani

    katika ngazi ya mikoa na wilaya ni moja ya mikakati

    hiyo.(Case Flow Management Committees) ambapo

    tathmini ya vyanzo vya ucheleweshaji wa kesi hufanywa

    na hatua kuchukuliwa kuharakisha upelelezi na usikilizaji

    wa kesi .

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 29 - 65

    Kwa upande wake Jeshi linaendelea na mipango wa

    kuongeza idadi ya wapelelezi na mafunzo ya wapelelezi

    hao ili kukuza ufanisi wa upelelezi wa kesi.

    2.5 Makosa yaliyotendwa na wakimbizi Januari –

    Desemba 2007. Katika jitihada za kukabiliana na uhalifu, Jeshi la Polisi

    pia limetupia macho makambi ya wakimbizi yaliyoko

    mikoa ya Tabora, Kigoma, Rukwa, na Kagera. Lengo ni

    kuhakikisha sheria na taratibu za nchi zinafuatwa na

    wageni hao.

    Katika kipindi cha Januari hadi Desemba 2007 jumla ya

    makosa 713 yaliripotiwa na kushughulikiwa kama jedwali

    Na. 7.2 na Na. 7.2.1

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 30 - 65

    Jedwali Na. 7.2: Makosa yaliyotendwa na Wakimbizi

    MAKOSA TABORA RUKWA KIGOMA KAGERA JUMLA

    MAKOSA DHIDI YA BINADAMU Mauaji 0 0 26 0 26 Kubaka 5 4 42 0 51 Kulawiti 0 1 1 0 2 Kujeruhi 6 7 16 0 29 Kutoa mimba 0 0 1 0 1 Kutorosha watoto 0 Kumtaja mtu mchawi 1 1 0 0 2 Kipingo 0 0 1 0 1 Kujaribu kujiua 0 0 1 0 1 Shambulio la kudhuru mwili 0 1 0 0 1 JUMLA 12 14 88 0 114 MAKOSA DHIDI YA MALI Unyang'anyi wa kutumia silaha 0 1 32 0 33 Unyang'anyi wa kutumia nguvu 5 1 30 0 36 Uvunjaji 5 0 16 0 21 Wizi wa mifugo 0 0 22 0 22 Kuchoma nyumba moto 3 6 1 0 10 Kuharibu mali 1 0 0 0 1 Wizi 11 1 22 0 34 Kupatikana na dawa za binadamu 0 0 1 0 1 Kupatikana na mali ya wizi 2 0 1 0 3 Wizi wa kuaminiwa 1 1 0 0 2 Kupatikana na noti bandia 0 0 3 0 3 K/ na mashine ya kutengenezea noti 0 0 1 0 1 Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu 3 0 0 0 3 K/ na madini bandia 0 0 1 0 1 JUMLA 31 10 130 0 171 MAKOSA DHIDI YA MAADILI YA JAMII Kupatikana na bhangi 6 2 3 0 11 Pombe ya moshi 2 0 14 0 16 Kupatikana na silaha 0 5 3 0 8 Kupatikana na risasi 0 0 3 0 3 Kupatikana na nyara za serikali 0 16 1 0 17 Kutishia kuua 8 1 0 0 9 Kuingia kambini bila kibali 0 1 0 0 1 Kuingia kwa jinai 0 2 0 0 2 Kutumia lugha ya matusi 0 0 6 0 6 Shambulio 16 1 40 0 57 Uzembe na uzururaji 2 0 0 0 2 Kufanya fujo 4 0 0 0 4 Kutoroka kambini 1 58 196 0 255 Kuingia kwenye hifadhi za Taifa 0 14 18 0 32 Kumzuia mwanafunzi asiende shule 2 0 1 0 3 Kutorosha wakimbizi 0 0 1 0 1 Kupigana hadharani 1 0 0 0 1 JUMLA 42 100 286 0 428 JUMLA KUU 85 124 504 0 713

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 31 - 65

    Jedwali Na. 7.2.1: Namna Makosa yaliyotendwa na Wakimbizi yalivyoshughulikiwa kwa kipindi cha Januari – Desemba 2007

    Mkoa Idadi ya kesi

    Yaliyopata mafanikio Zilizoshindwa Zinazoendelea Zilizo chini Yaliyofungwa na polisi Yaliyopelekwa

    Mahakamani Mahakamani Mahakamani Mahakamani ya upelelezi NFA U Refused

    Tabora 85 44 12 4 28 31 - 10 - Rukwa 124 114 42 8 64 4 1 4 1 Kigoma 504 417 262 24 131 50 11 26 - Kagera - - - - - - - - - Jumla 713 575 316 36 223 85 12 40 1

    Uchambuzi wa Makosa yaliyotendwa na Wakimbizi

    Makosa yanayotendwa na wakimbizi yamebakia katika mikoa mitatu nchini Tabora,

    Rukwa na Kigoma. Takwimu za mkoa wa Kagera zinaonesha kutokuwa na makosa yeyote hii inatokana na uamuzi wa serikali kuyafunga makambi katika mkoa huo na wakimbizi kurejea nyumbani Rwanda baada ya hakikisho la amani. Tunatarajia hali

    kama hiyo kujitokeza Kigoma na baada ya wakimbizi kurejea nchini kwao baada ya Kikundi cha mwisho cha waasi wa Burundi kurejea baada ya mkataba wa amani, na nia

    ya serikali kuyafunga makambi hayo.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 32 - 65

    Kosa linaloongoza kitakwimu ni kutoroka kambini.

    Wakimbizi wengi hupenda kutoroka na kujichanganya na

    jamii ya watanzania katika harakati za kujitafutia riziki

    badala ya kuendelea kubanwa na masharti ya kambini.

    Aidha, kukosekana kwa vitambulisho vya uraia nchini

    Tanzania ni moja ya vitu vinavyowahamasisha wakimbizi

    kujaribu kujichanganya na raia. Sababu nyingine ni

    hatua ya Tanzania kutangaza kuyafunga makambi ya

    wakimbizi mkoani Kigoma, hatua ambayo haijaridhiwa

    na baadhi ya wakimbizi na hivyo kujaribu kutoroka

    kutoka makambini kwa kuhofia kurudishwa nchini kwao

    bila hiari yao.

    Katika kushughulikia kesi za wakimbizi, Idara imepata

    mafanikio makubwa katika kushughulikia Makosa

    yaliyotendwa na wakimbizi kwa kadri ya takwimu

    zilizopo kati ya kesi 575 zilizofikishwa mahakamani kesi

    316 zilipata mafanikio kwa watuhumiwa kupatikana na

    hatia. Hii ni zaidi ya asilimia 50 ambao ni juu ya wastani

    wa Taifa Hali inatokana na ukweli kwamba watuhumiwa

    wanaishi katika makambi na ni rahisi kupatikana kwa

    ushahidi na mashahidi kwa kuwa makambi wanayoishi

    yanadhibitiwa na Jeshi la Polisi.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 33 - 65

    SURA YA TATU

    3.0 Ajali za Barabarani

    3.1 Mchanganuo wa Makosa ya Usalama

    Barabarani

    Ajali za barabarani bado ni tatizo kubwa katika nchi yetu.

    Watu wengi wasio na hatia wameendelea kupoteza

    maisha na kupata athari za kudumu kwa maisha yao na

    mali kutokana na ajali za barabarani.

    Takwimu zinaonesha kwamba kuna ongezeko mara dufu

    ya makosa ya usalama barabarani katika kipindi cha

    januari hadi disemba 2007 ikilinganishwa na kipindi

    kama hiki 2006. Jumla ya matukio 230,751 yaliripotiwa

    katika kipindi cha Januari hadi Desemba 2007 wakati

    jumla ya matukio 109,868 yaliyoripotiwa katika kipindi

    kama hicho cha Januari hadi Desemba 2006. Hilo ni

    ongezeko la matukio 120,883 sawa na 110%.

    Hivyo katika kipindi cha Januari hadi Desemba 2007

    watu waliokufa kutokana na ajali hizo ni watu 3,071

    ikilinganishwa na watu 2,657 waliokufa kwa kipindi kama

    hicho cha Januari hadi Desemba 2006, sawa na

    ongezeko la watu 414 sawa na 15.6%. Aidha katika ajali

    hizo jumla ya watu 16,119 walijeruhiwa katika kipindi

    cha Januari hadi Desemba 2007 ikilinganishwa na watu

    16,456 waliojeruhiwa kwa kipindi kama hicho cha

    Januari hadi Desemba 2006, ikiwa ni pungufu ya

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 34 - 65

    majeruhi 337 sawa na 2.05%. Katika kipindi cha Januari

    hadi Desemba 2007 ajali zilizosababisha vifo ni 3065

    ikilinganishwa na ajali 3,028 za Januari hadi Desemba

    2006 ikiwa ni pungufu la matukio 37 sawa na 1.22%

    kama jedwali Na. 1.3 linavyoonesha hapa chini.

    Jedwali Na. 1.3: Matukio ya Ajali Barabarani kwa kipindi cha Januari hadi Desemba 2007

    Matukio

    Januari – Desemba Januari – Desemba

    Tofauti

    Asilimia 2006 2007

    Ajali za barabarani 18,187 25,151 7024 38.6

    Ajali za vifo 3,028 3,065 37 1.22

    Waliokufa 2,657 3,071 414 15.6

    Waliojeruhiwa 16,456 16,119 337 2.05

    Pamoja na mchanganuo wa takwimu za makosa ya ajali

    za barabarani, ufuatao ni ufafanuzi wa matukio ya ajali,

    ajali za vifo, watu waliokufa na majeruhi kutokana na

    ajali hizo kwa mikoa kwa kipindi cha Januari hadi

    Desemba 2007 ikilinganishwa na kipindi kama hicho cha

    Januari hadi Desemba 2006 kama inavyoonesha katika

    jedwali Na. 2.3 na 3.3 hapa chini kama ilivyotokea

    katika mikoa yote.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 35 - 65

    Jedwali Na. 2.3: Mchanganuo wa Makosa ya Ajali za Usalama Barabarani Januari hadi Desemba

    Mkoa

    AJALI ZA BARABARANI AJALI ZA VIFO

    Jan– Des Jan– Des Jan– Des Jan– Des

    2006 2007 Tofauti Asilimia 2006 2007 Tofauti Asilimia

    Arusha 487 1458 971 199.4 82 129 47 57.3

    D'salaam 7377 6557 -820 -11.1 365 290 -75 -20.5

    Dodoma 97 403 306 315.5 73 73 0 0

    Iringa 371 324 -47 -12.7 168 123 -45 -26.8

    Kagera 442 452 10 2.3 92 96 4 4.3

    Kigoma 396 317 -79 -19.9 47 47 0 0

    K'njaro 785 961 176 22.4 140 91 -49 -35

    Lindi 79 119 40 50.6 31 29 -2 -6.5

    Manyara 198 18 -180 -90.9 35 29 -6 17.1

    Mara 412 362 -50 -12.1 68 85 17 25

    Mbeya 848 1058 210 24.8 153 228 75 49

    Morogoro 952 1144 192 20.2 140 137 -3 -2.1

    Mtwara 459 330 -129 -28.1 32 38 6 18.8

    Mwanza 857 6741 5884 686.6 172 167 -5 -2.9

    Pwani 849 1053 204 24 167 197 30 18

    Rukwa 172 311 139 80.8 32 35 3 9.4

    Ruvuma 836 367 -469 -56.1 36 87 51 141.7

    Shinyanga 474 663 189 39.9 69 77 8 11.6

    Singida 315 249 -66 -21 36 70 34 94.4

    Tabora 407 374 -33 -8.1 54 44 -10 -18.5

    Tanga 450 305 -145 -32.2 145 120 -25 -17.2

    Reli 0 758 0 0 0 60 0 0

    Tazara 0 0 0 0 0 0 0 0

    V/ndege 0 0 0 0 0 0 0 0

    Zanzibar 924 827 -97 10.4 891 824 -67 7.5

    Jumla 18,187 25,151 7,024 38.6 3028 3065 37 1.2

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 36 - 65

    Jedwali Na. 3.3: Mchanganuo wa Watu Walioathirika kwa Ajali Barabarani

    Waliokufa Waliojeruhiwa

    Mkoa 2006 2007 Tofauti Asilimia 2006 2007 Tofauti Asilimia

    Arusha 112 148 36 32 345 511 166 48

    D'salaam 410 272 -138 -34 4897 4429 -468 -10

    Dodoma 84 95 11 13 76 440 364 479

    Iringa 168 148 -20 -12 552 504 -48 -9

    Kagera 101 107 6 6 620 339 -281 -45

    Kigoma 48 149 101 210 498 438 -60 -12

    Kilimanjaro 175 162 -13 -7 1020 266 -754 -74

    Lindi 31 38 7 23 55 72 17 31

    Manyara 48 39 -9 18.7 445 330 -115 -25.8

    Mara 78 85 7 9 542 438 -104 -19

    Mbeya 194 476 282 145 911 841 -70 -8

    Morogoro 186 184 -2 -1 821 1204 383 47

    Mtwara 32 38 6 19 378 411 33 9

    Mwanza 196 188 -8 -4 948 562 -386 -41

    Pwani 282 244 -38 -13 1392 1688 296 21

    Rukwa 28 38 10 36 283 96 -187 -66

    Ruvuma 65 94 29 45 342 308 -34 -10

    Shinyanga 79 96 17 22 54 434 380 704

    Singida 36 79 43 119 226 231 5 2

    Tabora 67 44 -23 -34 412 371 -41 -10

    Tanga 168 132 -36 -21 741 483 -258 -35

    Reli 0 67 0 0 0 769 0 0

    Tazara 0 0 0 0 0 0 0 0

    V/ndege 0 0 0 0 0 0 0 0

    Zanzibar 69 824 -755 -86 897 954 +57 6.3

    Jumla 2,657 3,071 414 15.5 16,456 16,119 -337 -2

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 37 - 65

    Kutokana na Takwimu zinavyoonyesha hapo juu mikoa

    inayoongoza kwa matukio ya ajali ni Mwanza, D’ salaam,

    Arusha, Morogoro, Mbeya, Pwani na Kilimanjaro. Aidha

    uzito wa kazi unajionyesha zaidi katika mikoa ya Iringa,

    Rukwa, Shinyanga, Kigoma, Tabora, Dodoma, Mwanza,

    Singida, Kagera, Mtwara na Ruvuma kutokana na

    ukubwa wa maeneo na uhaba wa askari wa Usalama

    barabarani.

    Graph 3.3.1: Matukio ya Ajali kwa kipindi cha Januari

    hadi Desemba 2006/2007 Kimkoa

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 38 - 65

    Pamoja na sababu mbalimbali zinazochangia ajali za

    barabarani, takwimu zetu zinaonesha kuwa vyanzo

    vikubwa vya ajali hapa nchini ni:

    i Uzembe wa madereva, ukiwemo uendeshaji wa kasi usiozingatia sheria na alama za barabarani.

    ii. Ubovu wa magari au yaliyo chini ya viwango

    vinavotakiwa kubeba abiria au mizigo iii. Ubovu na ufinyu wa barabara zilizopo nchini iv Usimamizi usioridhisha wa usalama barabarani,

    zikiwemo sheria, mfumo mzima wa uendeshaji wa shughuli za usafirishaji hapa nchini.

    3.2 Mikakati iliyopo kukabiliana na Tatizo la Ajali

    za Barabarani:

    Katika kudhibiti matatizo ya usalama barabarani, Jeshi

    linaendelea na mkakati wa kushirikiana na wadau

    wengine kama SUMATRA, TANROADS, Shule za udereva

    nk, ili kusaidiana kuhakikisha wananchi wanafuata

    taratibu na wanaelemishwa kuhusu taratibu hizo.

    Mikakati iliopo ni kama ifuatavyo:

    • Kutunza kumbukumbu za makosa ya barabarani ili kubaini wahalifu sugu na kuwafutia leseni zao.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 39 - 65

    • Kutoa elimu kwa watumia barabara kama waenda kwa miguu, madereva na wamiliki wa

    magari.

    • Mradi wa ‘Safiri Salama’ unaowahamasisha wananchi kutoa taarifa za ukiukwaji wa sheria

    kwa Polisi kwa njia ya simu.

    • Kuhimiza doria za barabarani.

    • Kudhibiti mwendo kasi wa magari kwa kutumia ratiba za mabasi.

    Ni imani ya Jeshi la Polisi, wananchi wakijenga

    utamaduni na nidhamu ya kuheshimu taratibu na sheria

    zilizopo, na endapo wadau watatekeleza wajibu wao

    vyema udhibiti wa ajali za barabarani utawezekana.

    Baada ya kuangalia matukio ya Usalama Barabarani kwa

    mwaka 2007, hatuna budi kuangalia matukio hayo kwa

    mwaka 2002 hadi 2007 ili kupata mwelekeo wa wakati

    ujao na namna ya kuyadhibiti. Jedwali Na. 4.3

    linaonyesha.

    Jedwali Na. 4.3: Matukio ya usalama barabarani (ajali) kuanzia 2002 - 2007

    Matukio 2002 2003 2004 2005 2006 2007

    Ajali za Barabarani 16,412 17,614 18,031 17,220 18,187 25,151

    Ajali/ Vifo 1,714 1,841 1,994 2,149 3,028 3,065

    Waliokufa 2059 2,240 2,442 2,509 2,657 3,071

    Waliojeruhiwa 16,197 17,912 22,825 17,434 16,456 16,119

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 40 - 65

    Graph Na. 4.3.1

    MCHORO 3: MATUKIO YA AJALI BARABARANI TANZANA 2002-2007

    0

    5,000

    10,000

    15,000

    20,000

    25,000

    30,000

    2002 2003 2004 2005 2006 2007

    Miaka

    Idad

    i ya

    Aja

    li

    AJALI AJALI ZA VIFO

    Jedwali Na. 5.3: Mabadiliko ya Matukio ya Usalama Barabarani kwa Asilimia kwa Mwaka 2002 – 2007

    Matukio

    Tofauti ya matukio ( Asilimia)

    2002 2003 2004 2005 2006 2002 _ 2007

    Ajali za Barabarani 7.3 2.4 -4.5 5.6 33.6

    53.2

    Ajali/ Vifo 7.4 8.3 7.8 43.2 -27.8 78.8

    Waliokufa 8.8 9.0 2.7 5.9 8.5 49.1

    Majeruhi 10.6 27.4 -23.6 -5.6 -9.9 -0.5

    Kama jedwali Na. 7.5 sura ya tano linalohusu idadi ya

    watu kuanzia mwaka 2002 hadi 2007. Mwaka 2002 hadi

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 41 - 65

    2007 kumekuwa na ongezeko la idadi ya watu kwa

    asilimia 14.5. Katika kipindi cha Jan – Des 2002 idadi ya

    watu waliokufa kutokana na ajali barabarani 2,059, Jan –

    Des 2007 idadi ya watu waliokufa kutokana na ajali

    barabarani ni 3,071 hiyo ni sawa na ongezeko la 49.1.

    Kwa mantiki hiyo inaonekena kuwa kumekuwa na

    ongezeko kubwa zaidi la idadi ya vifo vinavyotokana na

    ajali barabarani ikilinganishwa na ongezeko la watu

    ambalo ni dogo. Angalia Jerdwali Na. 4.3, na. 5.3.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 42 - 65

    SURA YA NNE

    4.0 Matukio ya Kushtua

    i Arusha

    Kukamatwa Mashine ya kutengenezea Master Card.

    Tarehe 13/09/2007, Polisi mkoani Arusha walikamata

    raia wawili wa Kenya na Mtanzania mmoja wakiwa na

    mashine ya kutengenezea master card za malipo ya

    Backlays na kadi maalumu za kuchukulia fedha benki za

    Backlays ya Uingereza, Marekani na Afrika kusini.

    Watuhumiwa wote wamefikishwa mahakamani.

    ii Mgomo wa Mahabusu

    Kati ya tarehe 2 na 6 mwezi wa Agost mwaka 2007,

    mahabusu wa gereza la Ukonga, Segerea na Keko kwa

    pamoja walifanya mgomo wa kutoingia mahakamani

    baada ya kufikishwa mahakamani hapo na gari la Polisi.

    Mahabusu hao walikuwa wakilalamika kuwa kesi zao

    zinacheleweshwa kwa makusudi. Kiini cha mgomo huo

    kilitokana na kuona kuwa kesi ya aliyekuwa Mkuu wa

    Mkoa wa Tabora MH. DITOPILE MZUZURI ambaye

    alituhumiwa kwa shitaka la mauaji ya dereva wa

    daladala aitwaye Hassan Mbonde kesi yake imekamilika

    katika muda mfupi ambapo shauri lake lilipelekwa

    Mahakama kuu linaendelea huko na mshitakiwa yupo nje

    kwa dhamana na lilichukua muda wa miezi sita tu

    kukamilisha upelelezi. Matokeo ya mgomo huo

    ulisababisha pia mahabusu wa mikoa ya Arusha,

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 43 - 65

    Mwanza, Butimba Luanda – Mbeya kugoma katika kipindi

    hichohicho.

    iii Kinondoni (dsm/kin/pe/01/2007)

    Jalada la uchunguzi

    Mnamo tarehe 02/01/07 saa 11.00 katika kiwanda cha

    kutengeneza nondo kiitwacho Iron and steel Ltd

    kilichopo eneo la Mikocheni zilipatikana taarifa kwamba

    katika eneo la kukusanya vyuma chakavu kiwandani

    hapo kuna vyuma vinavyofanana na mabomu. Vyuma

    hivyo vilikaguliwa na timu ya wataalamu wa mabomu

    kutoka Jeshi la Polisi na Jeshi la wananchi wa Tanzania

    na katika ukaguzi huo mabomu 20 ya aina mbalimbali

    yaligundulika ikiwa ni pamoja na mabomu aina ya

    PROPELLER 11, ROCKET PROPELLER 6, WAR HEAD OF

    ROCKET RONGER 1 na MOTOR BOMB 2. Mabomu hayo

    hayakuleta madhara na Upelelezi unaendelea.

    iv Uvamizi wa Benki Tawi la Mwanga

    Mnamo tarehe 11/07/2007, saa 19.40 Wilayani Mwanga

    Mkoani Kilimanjaro majambazi waliokuwa na silaha

    walivamia Banki ya NMB na kupora kiasi cha Shs

    234,200,000 baada ya kumuua askari namba E. 6825 PC

    Michael na kumjeruhi askari namba F.6973 PC Naftan.

    Katika tukio hilo jambazi mmoja raia wa Kenya

    aliyefahamika kwa jina la Kamau Peter Ndung’u aliuawa.

    Aidha watuhumiwa 20 walikamatwa wakiwemo

    wanawake (5), Watuhumiwa wote wamefikishwa

    mahakamani tarehe 02/10/2007.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 44 - 65

    v Kilimanjaro

    Kuuawa kwa Majambazi ya Kenya

    Tarehe 06/09/2007, Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro

    liliwauwa kwa kuwapiga risasi raia 14 wa Kenya akiwamo

    mwanamke mmoja waliosadikiwa kuwa ni majambazi

    waliokuwa na silaha. Majambazi hao wanadaiwa kupanga

    njama za kupora fedha katika benki ya EXIM Mjini Moshi.

    Tukio hilo lilitokea majira ya usiku katika eneo la maili

    sita. Majambazi 11 kati ya waliouawa walitambuliwa kwa

    majina yafuatayo: Saimon s/o Maina 43 yrs, Moses s/o

    Kamau 47yrs, David s/o Mbuna 53yrs, Peter s/o Wawom,

    Willium s/o Kamau 36yrs, Philipo s/o Wanjiku 38yrs,

    Ludovick s/o Kavuki 27yrs, John s/o Bukuku 47yrs,

    Zacharia s/o Kamathiro, Jeremiah s/o Machania, Hannah

    d/o Kungwava na wengine watatu hawakuweza

    kutambuliwa. Katika mapambano hayo hakuna askari

    aliyejeruhiwa ila kulikuwa na uharibifu wa gari la Polisi.

    vi Kuchoma Jengo la Shule moto

    Mnamo tarehe 07/05/2007 saa 1.30 shule ya Sekondari

    Msangano iliyoko kata ya Msangano, wilaya ya Mbozi,

    Mkoa wa Mbeya, ilichomwa moto wanafunzi wa shule

    hiyo mbali ya uhalibifu huo walimshambulia mwalimu

    MATAMANGA. Chanzo cha vurugu hiyo ni tuhuma dhidi

    ya kiranja mkuu wa shule hiyo ERNEST S/O SIMKOKO

    kumpa mimba mwanafunzi mwenzie aitwaye ELIMA D/O

    SIMBEYE. Thamani ya mali iliyoharibiwa inakadiriwa

    kufikia Tshs 20,000,000/=.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 45 - 65

    SURA YA TANO

    5.0 Uchambuzi wa Makosa Makubwa na Madogo

    ya Jinai.

    Uchambuzi wa Makosa Makubwa na Madogo

    ya Jinai ikilinganishwa na Idadi ya Watu.

    Katika kufanya uchambuzi ili kujua ni kwa kiwango gani

    makosa yameongezeka na pengine kujua ni sababu gani

    zinazochangia ongezeko hilo, hatuna budi kufanya

    uchambuzi wa kina juu ya ongezeko la watu katika nchi

    kulinganisha idadi ya watu na askari Polisi. Aidha, ni

    vema pia uwiano huo wa askari ukalinganishwa kwa kila

    Mkoa na idadi ya watu, ukubwa wa Mkoa na kiwango cha

    makosa katika mkoa. Sambamba na hilo, uchambuzi huu

    umekwenda mbali zaidi katika kuangalia hali ya kiuchumi

    ya watu kwa kuangalia vipato vya watu, ongezeko la

    umaskini, na ukuwaji wa uchumi kulinganisha na

    makosa. Bila kusahau ulinganisho huo na makosa ya

    Usalama Barabarani.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 46 - 65

    Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya watu kwa mwaka 2007 ilikadiriwa kuwa ni 39,446,061 wakati idadi

    ya askari Polisi nchi nzima ni 29,463. Kwa maana hiyo Takwimu zinaonyesha kuwa askari mmoja anahudumia

    kiasi cha watu 1,339 ambapo kwa kawaida askari mmoja anatakiwa ahudumie watu 250. Ongezeko hili linachangia kwa sehemu kubwa kuongezeka kwa uhalifu Kutokana

    na tatizo la askari polisi kuhudumia jamii kwa kiwango cha chini, tatizo hili haliishii katika ngazi za Taifa

    linaendelea hadi ngazi za Mikoa, Wilaya na hata vijijini. Ukiangalia taarifa ya uhalifu utagundua kuwa mkoa wa D’salaam unaongoza kwa idadi ya makosa yaliyoripotiwa

    ukifuatiwa na mkoa wa Mwanza, Morogoro, Kilimanjaro, Arusha, Tanga, Kagera, Tabora na Iringa. Aidha pamoja

    na kuwa Dar es salaam kuwa na kiwango cha juu cha makosa, kuna mikoa inayoelemewa zaidi na kazi ambayo ni Shinyanga, Tabora, Manyara, Kagera, Mbeya,

    Mwanza, Rukwa, Ruvuma, Mtwara, Tanga, Kigoma, Iringa na Singida. Hali hii inatokana na tofauti ya

    ukubwa wa maeneo kwa kila mkoa ambapo takwimu zinaonyesha kuwa mtawanyiko wa askari katika mikoa hiyo ni mdogo sana ikilinganishwa na mkoa wa D’

    salaam na mikoa ya Zanzibar.kama jedwali Na. 1.5

    linavyoonyesha hapo chini.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 47 - 65

    Jedwali Na. 1.5

    Mkoa Makosa Yote

    Jinai 2007 Mkoa Watu /

    Mkoa Askari /

    Mkoa Makosa Yote Jinai / Askari Askari Km2 100

    Dar es Salaam 124,331 Shinyanga 4,190 Dar es Salaam 451.4 Mwanza 238.7 Mwanza 47,738 Tabora 3,359 Jumla - visiwani 192.8 Kilimanjaro 194.1 Morogoro 28,243 Manyara 2,766 Kilimanjaro 9.8 Jumla - visiwani 151.2 Manyara 28,093 Kagera 2,727 Mwanza 6.8 Tanga 77.6 Mbeya 26,846 Mbeya 2,428 Mara 4.3 Mtwara 74 Kilimanjaro 25,232 Mwanza 2,394 Mtwara 3.3 Kagera 71.9 Arusha 24,847 Rukwa 2,347 Tanga 3.1 Arusha 69 Tanga 20,965 Ruvuma 2,222 Arusha 3.1 Manyara 61.1 Kagera 20,852 Mtwara 2,221 Kagera 2.9 Mara 58.4 Tabora 17,328 Tanga 2,170 Dodoma 2.8 Mbeya 44.7 Iringa 16,447 Kigoma 2,082 Pwani 2.3 Morogoro 39.8 Ruvuma 15,001 Iringa 2,056 Kigoma 2.1 Kigoma 35 Dodoma 13,915 Singida 2,004 Mbeya 1.7 Dodoma 33.9 Kigoma 12,956 Lindi 1,815 Morogoro 1.6 Pwani 29.4 Mara 12,850 Mara 1,717 Shinyanga 1.6 Iringa 28.9 Mtwara 12,580 Dodoma 1,704 Iringa 1.4 Dar es Salaam 27.5 Shinyanga 12,426 Morogoro 1,700 Singida 1.3 Shinyanga 24.4 Rukwa 12,266 Arusha 1,353 Manyara 1 Ruvuma 23.4 Singida 10,669 Pwani 1,315 Ruvuma 0.9 Tabora 22.8 Lindi 10,508 Kilimanjaro 1,201 Rukwa 0.8 Singida 21.8 Pwani 9,687 Dar es Salaam 638 Tabora 0.8 Rukwa 17.8 Jumla - visiwani 3,720 Jumla - Visiwani 244 Lindi 0.7 Lindi 15.9 Tanzania Bara 503,780 Tanzania Bara 1,802 Tanzania bara 2.4 Tanzania Bara 23.7 Jumla - Tanzania 509,462 jumla - Tanzania 1,339 Jumla - tanzania 3.3 Jumla - Tanzania 17.3

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 48 - 65

    Uchambuzi wa Makosa Makubwa ya Jinai kwa Idadi ya Watu, Eneo na Idadi ya Askari.

    Katika kuangalia makosa makubwa ya jinai kwa nchi nzima takwimu zinaonyesha kwamba mikoa inayoongoza

    kwa makosa yaliyoripotiwa kwa kipindi cha Januari hadi Desemba 2007 ni Morogoro, D’salaam, Mwanza, Tabora, Iringa, Kilimanjaro, Ruvuma, Kagera, Shinyanga, Arusha

    na Pwani. Pamoja na mikoa hiyo kuongoza kuna mikoa inayoelemewa na kazi kama vile Shinyanga, Tabora,

    Manyara, Kagera, Mbeya, Mwanza, Rukwa, Ruvuma, Mtwara, Tanga, Kigoma, Iringa, Singida. Kuelemewa kunatokana na sababu za ukubwa wa maeneo katika

    mikoa hiyo na uhaba wa askari kama jedwali Na. 2.5 na

    3.5 yanavyoonyesha hapo chini.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 49 - 65

    Jedwali Na. 2.5

    Mkoa

    Makosa Makubwa Jinai

    2007 Mkoa Watu / Askari Mkoa Askari / Km2

    100 Mkoa

    Makosa makubwa ya

    Jinai / Askari

    Morogoro 6,764 Shinyanga 4,190 Dar es Salaam 451.4 Tabora 8.8

    Dar es Salaam 6,584 Tabora 3,359 Jumla - Visiwani 192.8 Ruvuma 8.6

    Mwanza 5,729 Manyara 2,766 Kilimanjaro 9.8 Lindi 8.0

    Tabora 5,454 Kagera 2,727 Mwanza 6.8 Iringa 6.4

    Iringa 5,153 Mbeya 2,428 Mara 4.3 Manyara 6.0

    Kilimanjaro 5,076 Mwanza 2,394 Mtwara 3.3 Morogoro 5.8

    Ruvuma 4,884 Rukwa 2,347 Tanga 3.1 Kagera 5.7

    Kagera 4,782 Ruvuma 2,222 Arusha 3.1 Shinyanga 5.3

    Shinyanga 4,339 Mtwara 2,221 Kagera 2.9 Pwani 5.3

    Arusha 4,167 Tanga 2,170 Dodoma 2.8 Rukwa 5.1

    Pwani 4,001 Kigoma 2,082 Pwani 2.3 Kigoma 4.4

    Mara 3,991 Iringa 2,056 Kigoma 2.1 Mara 4.2

    Lindi 3,841 Singida 2,004 Mbeya 1.7 Mwanza 4.2

    Tanga 3,468 Lindi 1,815 Morogoro 1.6 Tanga 4.1

    Kigoma 3,415 Mara 1,717 Shinyanga 1.6 Kilimanjaro 4.0

    Rukwa 2,920 Dodoma 1,704 Iringa 1.4 Arusha 3.7

    Dodoma 2,709 Morogoro 1,700 Singida 1.3 Mtwara 3.5

    Manyara 2,705 Arusha 1,353 Manyara 1.0 Singida 3.0

    Mbeya 2,638 Pwani 1,315 Ruvuma 0.9 Mbeya 2.6

    Mtwara 1,971 Kilimanjaro 1,201 Rukwa 0.8 Dodoma 2.4

    Singida 1,888 Dar es Salaam 638 Tabora 0.8 Dar es Salaam 1.5

    Jumla - Visiwani 1,564 Jumla - Visiwani 244 Lindi 0.7 Jumla - Visiwani 0.3

    Tanzania Bara 86,479 Tanzania Bara 1,802 Tanzania Bara 2.4 Tanzania Bara 4.1

    Jumla - Tanzania 88,527 Jumla - Tanzania 1,339 Jumla - Tanzania 3.3 Jumla - Tanzania 3.0

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 50 - 65

    5.2 Uchambuzi wa Mahusiano (correlation

    analysis)

    Uchambuzi wa mahusiano kati ya veriebo mbali mbali

    ulifanyika ili kuangalia kiwango cha ushabihiano

    (association) kati yao.

    Uchambuzi wa takwimu umeonyesha kuwa idadi ya

    makosa katika eneo ina uhusiano mkubwa na idadi ya

    watu katika eneo husika (correlation coefficient of

    0.486 at 95% confidence level). Kadiri idadi ya watu

    inavyoongezeka, ndivyo idadi ya makosa

    inavyoongezeka. Idadi ya makosa vile vile

    imeonekana kuwa na uhusiano mkubwa na idadi ya

    uwandikishaji wa watoto wa shule za sekondari

    (correlation coenfficient of 0.488).

    Kama inavyojulikana, idadi ya watu inajidhihirisha

    wazi kuwa inahusiana kwa kiwango kikubwa na idadi

    ya maskini (correlation coefficient of 0.739) na

    uwandikishwaji wa vijana katika shule za sekondari

    (correlation: 0.488).

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 51 - 65

    Kwa upande mwingine, kiwango cha uhamiaji mijini

    nacho kina uhusiano mkubwa na idadi ya askari

    mijini, pato la mtu na uwandikishwaji wa vijana

    katika shule za sekondari. Kwa mfano, mahusiano

    kati ya kiwango cha uhamiaji mijini na pato la mtu ni

    wa kiwango kikubwa (correlation: 0.774) kama ulivyo

    uhusiano kati ya uhamiaji mijini na uwandikishwaji

    wa vijana katika shule za sekondari (correlation:

    0.513)

    Tukiangalia idadi ya askari katika eneo, inaonekana

    kuwa inahusiana kwa kiasi kikubwa na uhamiaji

    mijini, umaskini, pato la mtu na uwandishwaji wa

    vijana katika shule za sekondari. Uchambuzi

    unaonyesha kuwa mahusiano ya idadi ya askari na

    uhamiaji mijini ni chanya (positive) labda kwa sababu

    askari wengi wako mijini ukilinganisha na idadi yao

    vijijini. Lakini ukiangalia uhusiano wa idadi ya askari

    na umaskini, inaonekana kwamba mahusiano yao ni

    hasi (correlation: -0.472). Hii inaweza kuwa na

    maana kuwa idadi ya askari inapoongezeka katika

    sehemu, shughuli za kiuchumi katika eneo hilo

    zimepanda kwa maana ya kwamba umaskini

    unapungua. Jedwali hapa chini linatueleza mahusiano

    ya kitu kimoja na kitu kingine.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 52 - 65

    Id

    adi y

    a m

    ako

    sa

    Idad

    i ya

    wat

    u

    Kiw

    ang

    o

    miji

    ni

    Uku

    waj

    i miji

    Idad

    i ya

    aska

    ri

    Um

    aski

    ni

    Idad

    i ya

    mas

    kin

    i

    Pat

    o la

    mtu

    Sec

    on

    dar

    y

    enro

    llmen

    t

    Idadi ya makosa 1 0.486* 0.044 0.08 0.084 -0.355 0.194 0.332 0.488*

    Idadi ya watu 0.486* 1 0.222 -

    0.189 0.709 -0.347 0.739** 0.06 0.571**

    Kiwango mjini 0.044 0.222 1 0.001 0.794** -0.383 -0.114 0.774** 0.513*

    Ukuwaji miji 0.08 -0.189 0.001 1 -0.071 0.143 -0.045 0.089 0.187

    Idadi ya askari 0.084 0.709 0.794** -

    0.071 1 -

    0.472* 0.038 0.719** 0.747**

    Umaskini -0.356 -0.347 -0.383 0.143 -0.472* 1 0.339 -0.504* -0.482*

    Idadi ya maskini 0.194 0.739** -0.114

    -0.045 0.038 0.339 1 -0.366 0.115

    Pato la mtu 0.332 0.06 0.774** 0.089 0.719** -0.504 -0.366 1 0.621**

    Secondary enrollment 0.488* 0.571** 0.513* 0.187 0.747** -0.482 0.115 0.621** 1

    • Vile vile idadi ya askari katika eneo imeonekana kuwa na mahusiano chanya na uwandikishwaji wa vijana

    shule za sekondari (correlation: 0.747). Labda uwepo

    wa askari katika eneo unahamasisha uwandikishwaji

    wa vijana katika shule za sokondari. Uhusiano kama

    huu haukujionyesha dhahiri kwa shule za misingi.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 53 - 65

    Jedwali hapa chini linaonyesha majumuisho ya uchambuzi wa makosa ya jinai kwa idadi

    ya watu na idadi ya askari kwa kila mkoa, Tanzania bara na visiwani.

    Jedwali Na. 3.5: Makosa ya Jinai kwa Idadi ya Watu, Eneo na Idadi ya Askari

    Mkoa Makosa 2007 2007 Eneo Idadi ya watu Idadi ya Idadi ya Makosa/ Makosa/ Makosa/

    Ya Idadi ya Idadi ya (km2) Kwa askari Watu Askari Eneo Askari Watu Jinai Watu Askari Mmoja Km2100 Km2100 Km2100 Kumi 100,000

    Arusha 4,167 1,522,974 1126 36,000 1,353 4,230 3 12 37 274 Dar es Salaam 6,584 2,881,548 4514 1,000 638 288,155 451 658 15 228 Dodoma 2,709 1,951,071 1145 41,000 1,704 4,759 3 7 24 139 Iringa 5,153 1,649,199 802 57,000 2,056 2,893 1 9 64 312 Kagera 4,782 2,293,093 841 29,000 2,727 7,907 3 16 57 209 Kigoma 3,415 1,601,020 769 37,000 2,082 4,327 2 9 44 213 Kilimanjaro 5,076 1,535,976 1279 13,000 1,201 11,815 10 39 40 330 Lindi 3,841 869,521 479 66,000 1,815 1,317 1 6 80 442 Manyara 2,705 1,241,994 449 46,000 2,766 2,700 1 6 60 218 Mara 3,991 1,631,031 950 22,000 1,717 7,414 4 18 42 245 Mbeya 2,638 2,423,636 998 60,000 2,428 4,039 2 4 26 109 Morogoro 6,764 1,975,160 1162 71,000 1,700 2,782 2 10 58 342 Mtwara 1,971 1,246,089 561 17,000 2,221 7,330 3 12 35 158 Mwanza 5,729 3,265,729 1364 20,000 2,394 16,329 7 29 42 175 Pwani 4,001 991,586 754 33,000 1,315 3,005 2 12 53 403 Rukwa 2,920 1,349,579 575 69,000 2,347 1,956 1 4 51 216 Ruvuma 4,884 1,268,738 571 64,000 2,222 1,982 1 8 86 385 Shinyanga 4,339 3,411,022 814 51,000 4,190 6,688 2 9 53 127 Singida 1,888 1,258,545 628 49,000 2,004 2,568 1 4 30 150 Tabora 5,454 2,086,048 621 76,000 3,359 2,745 1 7 88 261 Tanga 3,468 1,837,660 847 27,000 2,170 6,806 3 13 41 189

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 54 - 65

    Mkoa Makosa 2007 2007 Eneo Idadi ya watu Idadi ya Idadi ya Makosa/ Makosa/ Makosa/

    Ya Idadi ya Idadi ya (km2) Kwa askari Watu Askari Eneo Askari Watu Jinai Watu Askari Mmoja Km2100 Km2100 Km2100 Kumi 100,000

    Jumla - Bara 86,479 38,291,219 21,249 885,000 1,802 4,327 2 10 41 226 Kaskazini Unguja 160,240 470 34,094 34,094 - - Kusini Unguja 105,456 854 12,348 12,348 - - Mjini Magharibi 447,716 230 194,659 194,659 - - Kaskazini Pemba 224,951 574 39,190 39,190 - - Kusini Pemba 216,479 332 65,205 65,205 - - Jumla - Visiwani 1,564 1,154,842 4742 2,460 244 46,945 193 64 3 135 Vikosi Vingine 484 3472 - 1 Jumla - Tanzania 88,527 39,446,061 29463 887,460 1,339 4,445 3 10 30 1,992

    5.3 Uchambuzi wa Matukio makubwa ya Usalama Barabarani

    Kuhusiana na takwimu za Usalama barabarani, takwimu zinaonyesha kuwa kuna

    mikoa ambayo inaelemewa na kazi kutokana na uhaba wa askari pamoja na

    ukubwa wa maeneo katika kudhibiti matukio ya Usalama barabarani. Mikoa hiyo

    ni Iringa, Mwanza, Arusha, Tanga, Mara, Kagera, Morogoro, Mbeya, Rukwa,

    Ruvuma, Pwani, Shinyanga, Mtwara, Dodoma na Lindi. Jedwali Na. 4.5 na 5.5

    yanaonyesha hapo chini.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 55 - 65

    Jedwali Na. 4.5

    Mkoa Matukio Usalama Barabarani 2007

    Mkoa Watu / Askari Mkoa Askari / Km2 100 Mkoa Matukio Barabarani /

    Askari

    Mwanza 28,338 Iringa 56,869 Dar es Salaam 30.0 Iringa 442.8 Arusha 23,832 Rukwa 49,984 Jumla - Visiwani 13.2 Mwanza 298.3 Morogoro 19,971 Shinyanga 48,729 Kilimanjaro 0.9 Arusha 273.9 Mbeya 16,181 Kigoma 44,473 Mwanza 0.5 Tanga 165.8 Pwani 15,319 Tabora 41,721 Pwani 0.4 Mara 154.2 Iringa 12,842 Dodoma 40,647 Mara 0.3 Kagera 150.9 Dar es Salaam 12,621 Mwanza 34,376 Tanga 0.3 Morogoro 138.7 Jumla - Visiwani 11,988 Singida 34,015 Mtwara 0.3 Mbeya 136.0 Tanga 11,608 Kagera 32,297 Kagera 0.2 Rukwa 133.3 Mara 10,951 Mtwara 28,979 Arusha 0.2 Ruvuma 130.5 Kagera 10,715 Ruvuma 28,835 Morogoro 0.2 Pwani 119.7 Shinyanga 7,928 Lindi 26,349 Mbeya 0.2 Shinyanga 113.3 Kilimanjaro 7,434 Tanga 26,252 Shinyanga 0.1 Mtwara 108.1 Ruvuma 5,744 Mara 22,972 Manyara 0.1 Dodoma 105.4 Dodoma 5,057 Manyara 2,178 Dodoma 0.1 Lindi 100.1 Mtwara 4,649 Mbeya 20,367 Kigoma 0.1 Singida 90.5 Rukwa 3,598 Arusha 17,505 Singida 0.1 Kigoma 88.9 Singida 3,347 Morogoro 13,716 Ruvuma 0.1 Tabora 66.1 Lindi 3,304 Kilimanjaro 13,017 Tabora 0.1 Kilimanjaro 63.0 Tabora 3,303 Dar es Salaam 9,605 Iringa 0.1 Dar es Salaam 42.1 Kigoma 3,202 Pwani 7,747 Lindi 0.1 Jumla - Visiwani 36.9 Manyara 192 Jumla - Visiwani 3,553 Rukwa 0.0 Manyara 3.4 Vikosi Vingine 8,627 Tanzania Bara 210,136 Tanzania Bara 22,458 Tanzania Bara 0.2 Tanzania Bara 123.2 Jumla - Tanzania 230,751 Jumla - Tanzania 19,432 Jumla - Tanzania 0.2 Jumla - Tanzania 113.7

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 56 - 65

    Jedwali Na. 5.5

    Mkoa Matukio Ajali

    Barabarani 2007 Mkoa Watu / Askari Mkoa

    Askari / Km2 100 Mkoa

    Ajali Barabarani /

    Askari

    Mwanza 6,741 Iringa 56,869 Dar es Salaam 30 Mwanza 71 Dar es Salaam 6,557 Rukwa 49,984 Jumla - Visiwani 13.2 Dar es Salaam 21.9 Arusha 1,458 Shinyanga 48,729 Kilimanjaro 0.9 Arusha 16.8 Morogoro 1,144 Kigoma 44,473 Mwanza 0.5 Rukwa 11.5 Mbeya 1,058 Tabora 41,721 Pwani 0.4 Iringa 11.2 Pwani 1,053 Dodoma 40,647 Mara 0.3 Shinyanga 9.5 Kilimanjaro 961 Mwanza 34,376 Tanga 0.3 Mbeya 8.9 Jumla - Visiwani 827 Singida 34,015 Mtwara 0.3 Kigoma 8.8 Shinyanga 663 Kagera 32,297 Kagera 0.2 Dodoma 8.4 Kagera 452 Mtwara 28,979 Arusha 0.2 Ruvuma 8.3 Dodoma 403 Ruvuma 28,835 Morogoro 0.2 Pwani 8.2 Tabora 374 Lindi 26,349 Mbeya 0.2 Kilimanjaro 8.1 Ruvuma 367 Tanga 26,252 Shinyanga 0.1 Morogoro 7.9 Mara 362 Mara 22,972 Manyara 0.1 Mtwara 7.7 Mtwara 330 Manyara 22,178 Dodoma 0.1 Tabora 7.5 Iringa 324 Mbeya 20,367 Kigoma 0.1 Singida 6.7 Kigoma 317 Arusha 17,505 Singida 0.1 Kagera 6.4 Rukwa 311 Morogoro 13,716 Ruvuma 0.1 Mara 5.1 Tanga 305 Kilimanjaro 13,017 Tabora 0.1 Tanga 4.4 Singida 249 Dar es Salaam 9,605 Iringa 0.1 Lindi 3.6 Lindi 119 Pwani 7,747 Lindi 0.1 Jumla - Visiwani 2.5 Manyara 18 Jumla - Visiwani 3,553 Rukwa 0 Manyara 0.3 Vikosi Vingine 758 Tanzania Bara 23,566 Tanzania Bara 22,458 Tanzania Bara 0.2 Tanzania Bara 13.8 Jumla - Tanzania 25,151 Jumla - Tanzania 19,432 Jumla - Tanzania 0.2 Jumla - Tanzania 12.4

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 57 - 65

    5.4 Mtiririko wa Makosa Makubwa ya Jinai 2002

    hadi 2007.

    Uchambuzi wa makosa makubwa ya jinai ni kuanzia

    mwaka 2002 hadi 2007 unaonyesha ongezeko la jumla

    ya 7% kama jedwali 2.6 linavyoonyesha hapo chini.

    Taarifa zinaonyesha kuwa makosa dhidi ya binadamu

    yanaongoza kwa ongezeko la 89.1 kuanzia 2002 hadi

    2007.

    Hata hivyo, kumekuwa na pungufu ya 5.8% kwa makosa

    dhidi ya mali hali inayoonyesha jitihada kubwa ya Jeshi

    la Polisi kudhibiti aina hiyo ya uhalifu. Punguzo kubwa la

    makosa ya jinai lipo katika kosa la magendo ambalo

    limepungua kwa 96.7% hali inayoashiria kutoweka

    kabisa kwa makosa hayo kutokana na sera za soko huria

    na utandawazi. Hata hivyo inabidi vyombo vinavyohusika

    na ushuru wa Forodha kuwa macho na makini zaidi

    katika kudhibiti uingizaji bidhaa nchini. Mabadiliko ya

    ongezeko/ pungufu ya viwango vya aina mbalimbali za

    makosa makubwa ya jinai kuanzia 2002 hadi 2007

    yanaonekana katika mchoro uliopo baada ya jedwali 6.5

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 58 - 65

    Jedwali Na. 6.5: Mtiririko wa Makosa makubwa ya Jinai kuanzia mwaka 2002 hadi 2007

    Kosa 2002 2003 2004 2005 2006 2007

    Asilimia

    2002 2003 2004 2005 2006 2002 _ 2007

    Makosa dhidi ya binadamu Mauaji 2,612 2,778 2,926 2,775 2,612 3,583 6.4 5.3 -5.2 -5.9 37.2 37.2 Kubaka 3,721 3,089 4,621 3,997 4,278 8,894 -17 49.6 -13.5 7 107.9 139 Kulawiti 490 488 541 420 512 567 -0.4 10.9 -22.4 21.9 10.7 15.7 Wizi wa watoto 47 94 48 40 38 71 100 -48.9 -16.7 -5 86.8 51.1 Kutupa watoto 144 314 134 84 86 157 118.1 -57.3 -37.3 2.4 82.6 9 Jumla 7,014 6763 8,270 7,316 7,526 13,272 -3.6 22.3 -11.5 2.9 76.3 89.2

    Makosa dhidi ya mali Wizi wa silaha 68 84 70 55 72 104 23.5 -16.7 -21.4 30.9 44.4 52.9 Unyang"anyi wa k/silaha 1,237 1,111 1,175 1,080 1,028 977 -10.2 5.8 -8.1 -4.8 -5 -21 Unyang"anyi wa k/nguvu 6,640 4,600 7,460 6,783 4,620 7,329 -30.7 62.2 -9.1 -31.9 58.6 10.4 Uvunjaji 29,707 26,748 22,928 20,812 20,413 20,904 -10 -14.3 -9.2 -1.9 2.4 -29.6 Wizi 15,318 16,161 17,080 18,000 18,107 21,708 5.5 5.7 5.4 0.6 19.9 41.7 Wizi wa pikipiki 166 180 174 129 118 222 8.4 -3.3 -25.9 -8.5 88.1 33.7 Wizi wa magari 235 186 361 309 287 254 -20.9 94.1 -14.4 -7.1 -11.5 8.1 Noti bandia 707 722 742 653 389 487 2.1 2.8 -12 -40.4 25.2 -31.1 Wizi wa mifugo 7,430 7,102 5,080 3,528 3,904 5,153 -4.4 -28.5 -30.6 10.7 32 -30.6 Wizi k/ mabenki - 7 11 3 6 23 57.1 -72.7 100 283.3 Wizi mashirika umma 281 409 - - - 383 45.6 -100 36.3 Wizi v/ushirika - 15 - - - 18 -100 Wizi s/mitaa 85 30 - - - 27 -100 Wizi s/kuu 87 104 - - - 129 19.5 -100 48.3 48.3 Kuchoma nyumba moto 2,669 2,556 4,033 1,916 2,090 2,943 -4.2 57.8 9.1 10.3 10.3 Ajali ya moto - - - - - 252 Jumla 64,630 60,015 59,114 53,268 51,034 60,913 -7.1 -1.5 -9.9 -4.2 19.4 -5.8

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 59 - 65

    Kosa 2002 2003 2004 2005 2006 2007

    Asilimia

    2002 2003 2004 2005 2006 2002 _ 2007

    Makosa dhidi ya Maadili ya Jamii Kupatikana na silaha 623 678 731 635 832 585 8.8 7.8 -13.1 31 -29.7 -6.1 Madawa ya kulevya 277 280 355 207 377 318 1.1 26.8 -41.7 82.1 -15.6 14.8 Bhang 3,661 4,034 4,088 2,552 5,020 5,521 10.2 1.3 -37.6 96.7 10 50.8 Mirungi 233 254 210 311 296 471 9 -17.3 48.1 -4.8 59.1 102.1 Nyara za serikali 764 1,168 755 672 720 791 52.9 -35.4 -11 7.1 9.9 3.5 Magendo 1,183 342 99 89 60 39 -71.1 -71.1 -10.1 -32.6 -35 -96.7 Rushwa 29 22 24 18 37 34 -24.1 9.1 -25 105.6 -8.1 17.2 Pombe ya moshi 4,288 4,586 4,292 4,005 2,690 5,937 6.9 -6.4 -6.7 -32.8 120.7 38.5 Mitambo ya gongo - - - - - 133 Ku[patikana na risasi - - - - - 189 Kupatikana na bomu - - - - - 18 Uhamiaji haramu - - - - 189 306 Jumla 11,058 11,364 10,554 8,489 10,221 14,342 2.8 -7.1 -19.6 20.4 40.3 29.7 Jumla kuu Jinai 82,702 78,142 77,938 69,073 68,781 88,527 -5.5 -0.3 -11.4 -0.4 28.7 7

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 60 - 65

    Makosa ya jinai kwa ujumla wake kwa kipindi cha

    Januari hadi Desemba 2003 yamepungua kwa 5.5%,

    Januari hadi Desemba 2004 yamepungua kwa 0.3%,

    Jan – Des 2005 yamepungua kwa asilimia 11.4, Jan –

    Des 2006 yamepungua kwa 0.4%, Jan - Des 2007

    makosa yameongezeka kwa 28.7%. Kwa wastani

    kuanzia mwaka 2002 hadi 2007 uhalifu umeongezeka

    kwa 7% Kama inavyoonekena katika mchoro hapa

    chini.

    Graph Na. 4.5.1

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 61 - 65

    Graph Na. 4.5.2

    Katika kipindi cha Januari hadi Desemba 2002 hadi

    Januari - Des 2007 kumekuwepo na kupanda na

    kupungua kwa uhalifu kama graph zinavyoonyesha hapo

    juu.

    Kwa ujumla uhalifu wa makosa ya jinai kwa kipindi cha

    Januari hadi Desemba 2007 umepanda ukilinganisha na

    kipindi cha Januari hadi 2006. Aidha pamoja na sababu

    za jumla za kuongezeka kwa matukio pia kupanda huko

    kumetokana na juhudi za Jeshi la Polisi katika kufanya

    misako mbalimbali katika kupambana na uhalifu huo.

    Kuna mikakati mbalimbali imefanywa ya kuutokomeza

    uhalifu, misako ya ndani ya Wilaya- kati ya wilaya na

    wilaya - ndani ya mkoa na mkoa ili kuweza kudhibiti

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 62 - 65

    uhalifu kuhamia maeneo mengine baada ya kufanya

    uhalifu eneo fulani. Vilevile vikosi vya doria

    vimeimarishwa hivyo makosa mbalimbali yamekuwa

    yakikamatwa, utumiaji wa pikipiki sehemu zisizofikiwa

    kirahisi, pia matumizi ya Helikopta yamesaidia

    kukamatwa kwa makosa ambayo hapo awali

    yasingeweza kukamatwa.

    Pia Taasisi zingine zimekuwa na ushirikiano wa karibu na

    Polisi katika utendaji wa kila siku wa shughuli za

    kukabiliana na uhalifu na wahalifu, mfano; Taasisi ya

    TRA, Usalama wa Taifa, Mamlaka ya Bandari Tanzania,

    Mali asili na Utalii, n.k Ushirikiano umeimarika hivyo

    kumekuwapo na vyanzo vingi vya kupata taarifa za

    uhalifu na wahalifu.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 63 - 65

    Jedwali Na. 7.5: Idadi ya watu mwaka 2002 hadi 2007

    Mkoa 2002 2003 2004 2005 2006 2007 Eneo Km2

    Dodoma 1,692,000 1,739,456 1,790,306 1,843,169 1,896,786 1,951,071 41,000 Arusha 1,288,000 1,334,076 1,380,830 1,428,034 1,475,489 1,522,974 36,000 Kilimanjaro 1,377,000 1,406,470 1,437,755 1,470,168 1,503,014 1,535,976 13,000 Tanga 1,636,000 1,672,581 1,711,722 1,753,284 1,795,284 1,837,660 27,000 Morogoro 1,753,000 1,794,815 1,838,386 1,883,437 1,929,087 1,975,160 71,000 Pwani 885,000 903,816 924,289 946,158 968,637 991,586 33,000 Dar es Salaam 2,487,000 2,564,394 2,642,708 2,721,926 2,801,675 2,881,548 1,000 Lindi 787,000 801,189 816,769 834,171 851,764 869,521 66,000 Mtwara 1,124,000 1,145,655 1,169,215 1,194,588 1,220,248 1,246,089 17,000 Ruvuma 1,114,000 1,141,066 1,170,676 1,202,430 1,235,161 1,268,738 64,000 Iringa 1,491,000 1,520,891 1,552,796 1,585,501 1,617,696 1,649,199 57,000 Mbeya 2,063,000 2,127,641 2,197,141 2,270,711 2,346,388 2,423,636 60,000 Singida 1,087,000 1,118,874 1,152,422 1,187,409 1,222,810 1,258,545 49,000 Tabora 1,710,000 1,777,420 1,849,101 1,925,106 2,004,115 2,086,048 76,000 Rukwa 1,136,000 1,173,159 1,213,309 1,256,828 1,302,278 1,349,579 69,000 Kigoma 1,674,000 1,356,497 1,413,199 1,473,100 1,535,700 1,601,020 37,000 Shinyanga 2,797,000 2,907,776 3,025,241 3,149,179 3,277,784 3,411,022 51,000 Kagera 2,028,000 1,982,612 2,054,392 2,130,668 2,210,217 2,293,093 29,000 Mwanza 2,930,000 2,891,952 2,980,930 3,073,881 3,168,904 3,265,729 20,000 Mara 1,363,000 1,410,328 1,460,984 1,515,358 1,572,068 1,631,031 22,000 Manyara 1,038,000 1,075,022 1,114,591 1,156,334 1,198,051 1,241,994 46,000 Jumla - Bara 33,460,000 33,845,690 34,896,762 36,001,440 37,133,156 38,291,219 885,000 Kaskazini Unguja 137,000 140,911 145,403 150,143 155,066 160,240 470 Kusini Unguja 94,000 96,480 98,727 100,934 103,191 105,456 854 Mjini Magharibi 390,000 401,337 412,761 424,366 435,992 447,716 230 Kaskazini Pemba 185,000 192,446 199,914 207,773 216,174 224,951 574 Kusini Pemba 175,000 182,718 190,448 198,690 207,348 216,479 332 Jumla - Visiwani 981,000 1,013,892 1,047,253 1,081,906 1,117,771 1,154,842 2,460 Jumla - Tanzania 34,441,000 34,859,582 35,944,015 37,083,346 38,250,927 39,446,061 887,460

    Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania, 2007 Tanzania in figures.

  • Taarifa ya Hali ya Uhalifu Nchini Januari hadi Desemba 2007

    Uk. 64 - 65

    Kutokana na takwi