Top Banner
Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za Msingi BODI YA ELIMU YA WILAYA YA SHULE YA GRANITE Terry H. Bawden Connie Anderson Connie C. Burgess Gayleen Gandy Sarah R. Meier Karyn Winder Todd E. Zenger Dr. Martin W. Bates Msimamizi Karibu kwa kipindi cha Mwaka wa Shule wa 2017-2018 Ni muhimu kwa wazazi na wanafunzi kujua kuhusu ada za shule, sera, na mahitaji yanayotarajiwa kwa kila mwanafunzi wa Wilaya ya Shule ya Granite. Hati hii imetarayarishwa ili kukuwezesha kuwa na taarifa muhimu unapojisajili kwa kipindi cha mwaka wa shule unaokuja. Wewe na wanafunzi mnahimizwa kusoma taarifa zilizoko kwenye hati hii na kuirejelea iwapo mtakuwa na maswali yoyote. Aidha, hati hii inajumuisha taarifa muhimu kuhusu karo ya shule. Tafadhali isome kwa makini ili kufahamu karo utakayohitajika kulipa na vile vile kubaini iwapo unastahiki kuondolewa ada za shule. Ni azma yetu kuhakikisha kuwa hakuna mwanafunzi yeyote anayekosa kupata elimu bora kwa sababu familia yake haiwezi kumudu kulipa karo ya shule. Ada za kozi, darasa, na shughuli zingine kando na mtaala ziliidhinishwa na Bodi ya Elimu ya Granite mnamo Januari 10, 2017. Una versión de este documento en Español se puede pedir en su escuela. Wilaya ya Shule ya Granite • 2500 South State Street • Jiji la Salt Lake, Utah 84115-3110 Kalenda ya Shule ya Kipindi cha 2017-2018 ................................ 2 Maudhurio ya Wanafunzi/Sera ya Kuzuia Wanafunzi Kukosa Kuhudhuria Shule ........................................... 3 Sera ya Matumizi ya Dawa za Kulevya ......................................... 3 Mwongozo wa Mzazi wa Sehemu ya 504 ...................................... 3 Haki za Faragha za Wanafunzi....................................................... 4 Notisi ya Haki za Wazazi ............................................................... 5 Chaguo za Usajili Wazi wakati wa Kipindi cha Kuchagua Shule .. 5 Notisi ya Ada za Shule (7-12) ........................................................ 6 Orodha ya Karo ya Shule ya Sekondari ya Kiwango cha Chini .... 7 Orodha ya Karo ya Shule ya Sekondari ya Kiwango cha Juu ........ 8 Maombi ya Kuondolewa kwa Karo ya Shule (7-12) ..................... 9-10 Notisi ya Ada za Shule (K-6) ......................................................... 11 Maombi ya Kuondolewa kwa Karo ya Shule (K-6) ...................... 12-13 Iwapo unahitaji usaidizi au ufafanuzi, tafadhali wasiliana na mwalimu mkuu wa shule atakaposomea mtoto(watoto) wako katika kipindi cha mwaka ujao wa shule. Unaweza pia kuwasiliana na ofisi za Wilaya ya Shule ya Granite ili kupata taarifa: Ofisi ya Usawa wa Kielimu .....................385-646-4205 Ofisi ya Huduma za Uwajibikaji wa Shule ...................................................385-646-4510, 385-646-4535, 385-646-4537 Ofisi ya Uzuiaji na Utoaji wa Nafasi za Shule kwa Wanafunzi..............385-646-4660 Yaliyomo Je, unahitaji usaidizi? Taarifa za ziada kuhusu sera za shule na za wilaya hi zimeorodheshwa kwenye kipeperushu hiki, maelezo ya kozi na mambo yanayohitajika ili kuhitimu yanapatikana katika Miongozo hii inaweza kupatikana katika tovuti ya Wilaya ya Granite: www.graniteschools.org/teachinglearning/parent-information
17

Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za …...Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za Msingi BODI YA ELIMU YA WILAYA YA SHULE YA GRANITE Terry H. Bawden Connie

Jan 09, 2020

Download

Documents

dariahiddleston
Welcome message from author
This document is posted to help you gain knowledge. Please leave a comment to let me know what you think about it! Share it to your friends and learn new things together.
Transcript
Page 1: Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za …...Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za Msingi BODI YA ELIMU YA WILAYA YA SHULE YA GRANITE Terry H. Bawden Connie

Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za Msingi

BODI YA ELIMU YA WILAYA

YA SHULE YA GRANITE

Terry H. Bawden

Connie Anderson

Connie C. Burgess

Gayleen Gandy

Sarah R. Meier

Karyn Winder

Todd E. Zenger

Dr. Martin W. Bates

Msimamizi

Karibu kwa kipindi cha Mwaka wa Shule wa 2017-2018

Ni muhimu kwa wazazi na wanafunzi kujua kuhusu ada za shule, sera, na mahitaji yanayotarajiwa kwa

kila mwanafunzi wa Wilaya ya Shule ya Granite. Hati hii imetarayarishwa ili kukuwezesha kuwa na taarifa

muhimu unapojisajili kwa kipindi cha mwaka wa shule unaokuja. Wewe na wanafunzi mnahimizwa kusoma

taarifa zilizoko kwenye hati hii na kuirejelea iwapo mtakuwa na maswali yoyote.

Aidha, hati hii inajumuisha taarifa muhimu kuhusu karo ya shule. Tafadhali isome kwa makini ili kufahamu

karo utakayohitajika kulipa na vile vile kubaini iwapo unastahiki kuondolewa ada za shule. Ni azma yetu

kuhakikisha kuwa hakuna mwanafunzi yeyote anayekosa kupata elimu bora kwa sababu familia yake haiwezi

kumudu kulipa karo ya shule. Ada za kozi, darasa, na shughuli zingine kando na mtaala ziliidhinishwa na Bodi

ya Elimu ya Granite mnamo Januari 10, 2017.

Una versión de este documento en Español

se puede pedir en su escuela.

Wilaya ya Shule ya Granite • 2500 South State Street • Jiji la Salt Lake, Utah 84115-3110

Kalenda ya Shule ya Kipindi cha 2017-2018 ................................ 2

Maudhurio ya Wanafunzi/Sera ya Kuzuia

Wanafunzi Kukosa Kuhudhuria Shule ........................................... 3

Sera ya Matumizi ya Dawa za Kulevya ......................................... 3

Mwongozo wa Mzazi wa Sehemu ya 504 ...................................... 3

Haki za Faragha za Wanafunzi ....................................................... 4

Notisi ya Haki za Wazazi ............................................................... 5

Chaguo za Usajili Wazi wakati wa Kipindi cha Kuchagua Shule .. 5

Notisi ya Ada za Shule (7-12) ........................................................ 6

Orodha ya Karo ya Shule ya Sekondari ya Kiwango cha Chini .... 7

Orodha ya Karo ya Shule ya Sekondari ya Kiwango cha Juu ........ 8

Maombi ya Kuondolewa kwa Karo ya Shule (7-12) ..................... 9-10

Notisi ya Ada za Shule (K-6) ......................................................... 11

Maombi ya Kuondolewa kwa Karo ya Shule (K-6) ...................... 12-13

Iwapo unahitaji usaidizi au ufafanuzi, tafadhali wasiliana

na mwalimu mkuu wa shule atakaposomea mtoto(watoto)

wako katika kipindi cha mwaka ujao wa shule. Unaweza

pia kuwasiliana na ofisi za Wilaya ya Shule ya Granite ili

kupata taarifa:

Ofisi ya Usawa wa Kielimu .....................385-646-4205

Ofisi ya Huduma za Uwajibikaji

wa Shule ...................................................385-646-4510,

385-646-4535,

385-646-4537

Ofisi ya Uzuiaji na Utoaji wa

Nafasi za Shule kwa Wanafunzi ..............385-646-4660

Yaliyomo Je, unahitaji usaidizi?

Taarifa za ziada kuhusu sera za shule na za wilaya hi zimeorodheshwa kwenye kipeperushu hiki,

maelezo ya kozi na mambo yanayohitajika ili kuhitimu yanapatikana katika

Miongozo hii inaweza kupatikana katika tovuti ya

Wilaya ya Granite:

www.graniteschools.org/teachinglearning/parent-information

Page 2: Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za …...Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za Msingi BODI YA ELIMU YA WILAYA YA SHULE YA GRANITE Terry H. Bawden Connie

Imeidhinishwa na Bodi ya Elimu

Tarehe 21 Machi, 2017

**Upigaji Kura wa Baraza ya Shule ya Jamii

WILAYA YA SHULE YA GRANITE

KALENDA YA KIPINDI CHA 2018-2019

Shule Inafunguliwa ........................................................................... Jumatatu, tarehe 20 Agosti 2018 Shule Inafungwa ................................................................................... Alhamisi, tarehe 23 Mei 2019 Sherehe za Mahafali za Shule ya Upili ya Ngazi ya Juu .............................. Alhamisi, tarehe 23 Mei, 2019

Mukhtasari wa Kalenda ya Shule

Idadi ya Siku za Shule Siku 179 Siku za Ziada za Kandarasi ya Walimu (tazama hapa chini) ......................................................... Siku 8 Mikutano ya Utangulizi kwa Walimu ambao ni Wapya kwenye Wilaya .............. Kutangazwa Hapo Baadaye Walimu Wote katika Shule za Eneo hili (Siku 5 za Kandarasi) . Jumatatu, tarehe 13 Agosti hadi Ijumaa, tarehe 17 Agosti, 2018 Siku za Mwisho wa Muhula za Kusahihisha Mtihani, Kupanga Mikakati, na Kujiendeleza Kitaaluma (Siku za kandarasi) ................................................................................................................................ Siku 3

Sikukuu na Siku Zingine Ambazo Shule Hufungwa ili Wanafunzi Wasihudhurie

Sikukuu ya Wafanyakazi ............................................................... Jumatatu, tarehe 3 Septemba, 2018 Siku ya Kusawazisha kwa ajili ya Siku ya Kupanga Elimu ya Wanafunzi na Mikutano ya Wazazi/Walimu (tazama ratiba iliyo hapa chini) .................................................................. Ijumaa, tarehe 28 Septemba 2018 Mapumziko kwa ajili ya Msimu wa Mapukutiko ............. Alhamisi na Ijumaa tarehe 18 na 19 Oktoba, 2018 Mwisho wa Muhula (siku ya mapumziko kwa wanafunzi) (Siku 1 ya Kandarasi ya Mwalimu) Ijumaa, tarehe 26 Oktoba, 2018 Mapumziko kwa ajili ya Sikukuu ya Kutoa Shukrani . , Jumatano, Alhamisi na Ijumaa, tarehe 21, 22, na 23 Novemba, 2018 Mapumziko kwa ajili ya Msimu wa Baridi Kali ... Jumatatu, tarehe 24 Desemba hadi tarehe 1 Januari, 2019 Mwisho wa Muhula (siku ya mapumziko kwa wanafunzi) (Siku 1 ya Kandarasi ya Mwalimu) Ijumaa, tarehe 11 Januari, 2019 Sikukuu ya Dkt. Martin Luther King, Jr. ............................................. Jumatatu, tarehe 21 Januari, 2019 Siku ya Kusawazisha kwa ajili ya Siku za Kupanga Elimu ya Mwanafunzi na Mikutano ya Wazazi/Walimu (tazama ratiba iliyo hapa chini) ................................................... Ijumaa, tarehe 15 Februari, 2019 Sikukuu ya Washington na Lincoln ................................................................. , Jumatatu, tarehe 18 Februari, 2019 Mwisho wa Muhula (siku ya mapumziko kwa wanafunzi) (Siku 1 ya Kandarasi ya Mwalimu) . Ijumaa, tarehe 22 Machi 2019 Mapumziko kwa ajili ya Msimu wa Mchipuko ........................................ , Jumatatu, tarehe 25 Machi 2019 Mapumziko ya Kutohudhuria Shule Yanayoruhusiwa na Sheria (siku ya mapumziko kwa wanafunzi) Jumanne, tarehe 26 Machi, 2019 Siku ya Kusawazisha Kufungwa kwa Shule kufuatia Dharura (siku ya mapumziko kwa wanafunzi isipokuwa ikihitajika kuwa siku ya kusawazisha) ..................................................................................... Ijumaa, tarehe 24 Mei, 2019

Ratiba ya Mkutano wa Wazazi/Walimu wa Shule ya Upili ya Kiwango cha Juu

Mkutano wa Msimu wa Mapukutiko ** ............... Jumanne na Jumatano, tarehe 25 na 26 Septemba, 2018 Mkutano wa Msimu wa Mchipuko Jumatano na Alhamisi, tarehe 13 na 14 Fe ......................... bruari, 2019

Ratiba ya Mkutano wa Wazazi/Walimu wa Shule ya Upili ya Kiwango cha Chini Mkutano wa Msimu wa Majira ya Mapukutiko ** .. Jumatano na Alhamisi, tarehe 26 na 27 Septemba, 2018 Mkutano wa Msimu wa Majira ya Mchipuko ............ Jumatatu na Jumanne, tarehe 11 na 12 Februari, 2019

Ratiba ya Mkutano wa Kupanga Elimu ya Mwanafunzi kwa Shule ya Msingi

Mkutano wa Msimu wa Majira ya Mapukutiko ** .. Jumatatu na Jumanne, tarehe 24 na 25 Septemba, 2018 Mkutano wa Msimu wa Majira ya Mchipuko ........... Jumanne na Jumatano, tarehe 12 na 13 Februari, 2019

Page 3: Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za …...Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za Msingi BODI YA ELIMU YA WILAYA YA SHULE YA GRANITE Terry H. Bawden Connie

Mwanzo na Mwisho wa Mihula

Muhula wa Kwanza .................... : Jumatatu, tarehe 20 Agosti, 2018, hadi Alhamisi, tarehe 25 Oktoba, 2018 Siku 46 Muhula wa Pili: Jumatatu, tarehe 29 Oktoba, 2018 hadi Alhamisi, tarehe 10 Januari, 2019 Siku 44 ..................................................... Muhula wa Tatu ....................... : Jumatatu, tarehe 14 Januari, 2019, hadi Alhamisi, tarehe 21 Machi, 2019 Siku 49 Muhula wa Nne .............................. : Jumatano, tarehe 27 Machi, 2019 hadi Alhamisi, tarehe 23 Mei, 2019 Siku 42

Page 4: Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za …...Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za Msingi BODI YA ELIMU YA WILAYA YA SHULE YA GRANITE Terry H. Bawden Connie

Je, Sehemu ya 504 ni nini? Sehemu ya 504 ni kipengele cha Sheria ya Marekebisho ya mwaka wa 1973 (Rehabilitation Act of 1973) ambayo inatumika kwa watu wenye ulemavu. Sehemu ya 504 ni sheria ya haki za raia inayolinda haki za kiraia na kikatiba za watu wenye ulemavu.

Sehemu ya 504 inasema kuwa: "Hakuna mtu mwenye ulemavu na ambaye ametimiza matakwa... atakosa kuhudhuria, kunyimwa huduma, au kubaguliwa, katika programu yoyote au shughuli inayopokea usaidizi wa kifedha kutoka Serikali kuu, kwa sababu ya ulemavu wake pekee,"

Wilaya ya Shule ya Granite hupokea msaada wa kifedha kutoka kwa Serikali kuu na hivyo basi watu wenye ulemavu hawawezi kunyimwa kushiriki katika programu za Wilaya au kukataza faida za programu za Wilaya. Iwapo mwanafunzi ana ulemavu kulingana na Sehemu ya 504, ni lazima Wilaya ifanye mikakati inayofaa ili kuhakikisha kwamba mwanafunzi huyo anapokea elimu sawa, hii ina maana kuwa, mwanafunzi huyo ni lazima ahudumiwe kwa njia tosha kama wanafunzi wengine ambao hawana ulemavu. Ila mwanafunzi huyo awe ametimiza matakwa ya kupokea elimu maalum, mikakati ya kumwezesha kupata elimu sawa inaweza kutojumuisha huduma za elimu maalum.

Wilaya ya Shule ya Granote haibagui kwa misingi ya ulemavu. Maswali yoyote kuhusu Sehemu ya 504 yanapaswa kuelekezwa kwa mwalimu mkuu au mkurugenzi wa Huduma za Uwajibikaji wa Shule wa shule husika. Contact School Accountability Services directors at 385-646-4510 (Elementary), 385-646-4537 (Junior High), 385-646-4535 (Senior High), or by mail at 2500 South State Street, Salt Lake City, Utah 84115.

Bodi ya Elimu ya Wilaya ya Shule ya Granite inatambua kuwa kumiliki, kutumia, au kusambaza dawa za mihadarati, vinywaji au dawa zingine ambazo zimepigwa marufuku ni hatari kwa wanafunzi na huvuruga mchakato wa elimu. Umiliki, matumizi, au usambazaji wa mihadarati iliyoorodheshwa katika miongozo ya Hati ya Usimamizi 95 umepigwa marufuku wakati mwanafunzi yuko katika Shule yoyote ya Wilaya ya Granite, wakati wa masaa ya shule, kwenye uwanja wa shule, akiwa njiani kuelekea au kutoka shule, wakati wanafunzi wanasafirishwa kwa gari za shule au za binafsi au katika shughuli zilizoidhinishwa na shule. Uuzaji wa mihadarati wa wanafunzi wa Wilaya ya Shule ya Granite katika maeneo ambayo ni mbali na shule na ambayo yanaathiri au yana madhara kwa watu wanaohusiana na shule yatapelekea mwanafunzi anayehusika (wanafunzi wanaohusika) kuchukuliwa hatua za kinidhamu bila kuzingatia tukio hilo lilitokea wapi au wakati gani. Htai ya Usimamizi 95 imetekelezwa ili kutoa miongozo ya utaratibu wa kufuata kuhusiana na wanafunzi wanaomiliki, kuuza, kutumia, na kusambaza pombe na mihadarati nyingine iliyoorodheshwa katika sehemu ya ufasili wa sera.

- 3 -

Kwa sababu ya kujitolea kwa shule ili kutoa elimu bora, tuna wasiwasi sana wakati mwanafunzi anapokosa kuja shule kwa sababu yoyote ile. Azimio la Wilaya ya Shule ya Granite ni kumtayarisha kila mwanafunzi awe na ufahamu na stadi zinazohitajika ili afanikiwe maishani katika ulimwengu unaobadilika. Wanafunzi ambao hawahudhuria shule mara nyingi hawawezi wakatimiza malengo yao ya elimu.

Kulingana na Sheria za Jimbo la Utah za Mahudhurio ya Lazima (Sheria ya Jimbo la Utah 53A-11-101 na yanaofuata.), wazazi na wanafunzi wana jukumu ya kuhudhuria shule kila mara. Mara nyingine mwanafunzi anaweza kukosa kuenda shuleni kwa sababu ambazo zinakubalika na shule, kama vile ugonjwa, mikutano na daktari, dharura za kifamilia, au kifo cha jamaa au rafiki wa karibu. Tafadhali arifu shule iwapo mwanafunzi hatakuja shuleni ukieleza sababu ya mtoto wako kutohudhuria shule siku hiyo.

Taratibu za Mahudhurio za Wilaya ni kama ifuatavyo:

1. Mwanafunzi anaweza kuomba kutohudhuria mikutano ya shule kwa siku saba (7) katika kipindi cha mwaka mmoja wa shule. Kukosa kuhudhuria kwa zaidi ya siku 7 kunachukuliwa kama kiwango ambacho kimezidi na hivyo mzazi anaweza kuhitajika kuonyesha idhini ya daktari.

2. Baada ya siku tano (5) au zaidi zinazozidi muda unaoruhusiwa wa kutohudhuria shule katika kipindi cha mwaka wa shule, shule inaweza kumtumia barua ya Kukosa Kuhudhuria mwanafunzi/wazazi ikiomba msaada wa wazazi katika kusuluhisha tatizo la mwanafunzi la kukosa kuhudhuria shule huku ikitoa tahadhari ya matokeo ya kuzidi kukosa kuhudhuria shule.

3. Baada ya siku kumi (10) zinazozidi muda unaokubalika wa kukosa kuhudhuria katika kipindi cha mwaka wa shule, shule itatuma barua ya Notisi ya Mazoea ya Kukosa Kuhudhuria Shule kwa mwanafunzi na mzazi. Notisi ya Mazoea ya Kukosa Kuhudhuria Shule inamhitaji mwanafunzi na wazazi kujtokeza kortini kwa kipindi cha kusikiza kwa awali kwa kesi (wanafunzi walio chini ya umri wa miaka 14) au katika mkutano wa upatanishi wa kukosa kuhudhuria shule (wanafunzi wenye umri wa miaka 15 na zaidi).

4. Wanafunzi walio katika darasa za 9-12 wako chini ya Sera ya Uraia ya Wilaya ya Shile ya Granite ambayo inasema kuwa wanafunzi ambao wanakosa kuhudhuria shule mara mbili (2) au zaidi ya muda uliidhinishwa hawawezi wakapata zaidi ya alama "0" katika uraia. Sera ya Wilaya ya Granite inawahitaji wanafunzi wote kudumia CPA ya 2.0 (Alama ya Wastani ya Uraia) ili kuwawezesha kuhitimu kutoka shule ya sekondari. Kukosa kuhudhuria shule kwa zaidi ya muda ulioidhinishwa kunaweza kuathiri uwezo wa mwanafunzi wa kuhitimu kutoka kwa shule ya sekondari na/au kushiriki katika programu maalum kama vile elimu ya riadha au udereva.

5. Aidha, Wilaya ya Granite inaweza kutoa rufaa kwa Kitengo cha Huduma za Mtoto na Familia (DCFS) kwa misingi ya kutelekezwa kwa mtoto katika kupata elimu iwapo mwanafunzi hajahudhuria shule, bila sababu tosha, kwa zaidi ya siku kumi (10) mfululizo za kipindi cha shule au zaidi ya 1/16 ya kipindi cha shule kulingana na Sheria ya Jimbo la Utah 78A-6-319.

Tafadhali hakikisha kutoka kwa mtaalamu wa maudhurio wa shule au karani wa maudhurio kuhusu idadi ya maudhurio ambayo mwanafunzi wako alikosa ambayo yanakubalika na yale yasiyokubalikai. Ushirikiano wako unahitajika ili kutoa elimu bora kwa mwanafunzi wako. Iwapo una maswali kuhusu taratibu hizi, tafadhali wasiliana na Ofisi ya Uzuiaji na Utoaji Nafasi za Shule kwa Wanafunzi.

Mwongozo wa Mzazi wa Sehemu ya 504 ya Sheria ya Marekebisho

(Rehabilitation Act)

Matumizi ya Dawa za Kulevya

Maudhurio ya Wanafunzi/Sera ya Kuzuia Wanafunzi Kukosa Kuhudhuria Shule

Page 5: Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za …...Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za Msingi BODI YA ELIMU YA WILAYA YA SHULE YA GRANITE Terry H. Bawden Connie

- 4 -

TAARIFA ZA MWANAFUNZI Sheria ya Faragha ya Rekodi za Masomo za Familia (FERPA), inawapa wazazi na wanafunzi haki fulani kuhusiana na rekodi za masomo za mwanafunzi. Haki za msingi zinazotolewa na FERPA ni pamoja na zifuatazo:

haki ya kukagua na kupitia rekodi za masomo za mwanafunzi wako; haki ya kuomba kurekebishwa kwa rekodi za masomo unazoamini kuwa si sahihi; haki ya kutoa idhini iliyoandikwa kwa shule ili kufichua taarifa zinazomtambulisha mtu kutoka kwa rekodi za masomo za mwanafunzi kwa mhusika

wa tatu, ila tu kwa wakati ambapo idhini hiyo haihitajiki; na haki ya kuwasilisha malalamiko na Idara ya Elimu ya Marekani iwapo unaamini shule haijazingatia matakwa ya FERPA.

Matukio na hali ambapo FERPA haitumiki na ambapo shule zinaweza kufichua rekodi za elimu za mwanafunzi bila idhini ni pamoja na, lakini sio tu zifuatazo:

kwa maafisa wengine wa shule, wakiwemo waalimu, wenye maslahi halali ya kielimu; kwa maafisa wa shule zingine ambapo mwanafunzi anatafuta au kuazimia kujiunga; kwa mamlaka za serika kuu au za jimbo kwa ajili ya ukaguzi, programu za elimu zinazofadhiliwa na jimbo, au uzingatiaji unaohusiana na programu

za elimu za serikali kuu na za jimbo; kuhusiana na msaada wa kifedha; kwa mamlaka za jimbo na mitaa kwa mujibu wa sheria ya jimbo inayohusiana na mfumo wa mahakama za watoto au wakala wa maslahi ya watoto; kwa mashirika yanayofanya uchunguzi au utafiti wa au kwa niaba ya shule au wilaya; kwa mashirika yanayotoa kibali; ili kuzingatia amri ya korti au hati ya mwito wa mahakamu iliyotolewa kulingana na sheria; na ili kutoa taarifa ambayo shule imetaja kama "taarifa ya kuorodheswa" (ambayo inaweza kujumuisha jina la mwanafunzi, anwani, nambari ya simu,

kushiriki katika michezo na shughuli zinazotambuliwa, uzito na urefu kulingana na timu za riadha, tarehe za maudhurio, tunzo na taadhima, picha za darasa na picha nyinginezo); na

kwa maafisa wanaofaa kuhusiana na dharura ya kiafya au kiusalama. Malalamiko ya madai ya kutozingatia kwa wilaya kwa matakwa ya FERPA yanaweza kuelekezwa kwa mwalimu mkuu na/au Idara ya Mawasiliano ya Wilaya ya Shule ya Granite. Malalamiko yanaweza kuwasilishwa pia moja kwa moja kwa mamlaka ifuatayo ya serikali kuu:

Ofisi ya Uzingatiaji wa Sera ya Familia U.S. Idara ya Elimu 400 Maryland Avenue SW Washington, DC 20202-4605 Simu: (202) 260-3887

PICHA, VIDEO, NA FILAMU NYINGINEZO Shule huchukua picha, video na filamu nyinginezo za wanafunzi binafsi katika kipindi cha mwaka wa shule kwa ajili ya vitabu vya kumbukumbu ya mwaka, programu za kielimu, na kwa ajili ya madhumuni mengine yanayohusiana na shule. Aidha, shule huchukua picha, video na filamu nyinginezo za wanafunzi na wafanyakazi wa shule bila kubagua wakati wa shughuli na matukio ya shule, ambayo huwa wazi kwa umma (k.m. matukio ya michezo, tamasha, michezo ya kuigiza) Shule zina haki ya kuchukua, kuhifadhi, na kutumia picha, video, na filamu nyinginezo za aina hiyo kwa matumizi ya shule, ikiwemo kuhifadhi kumbukumbu za kihistoria. Katika hali zingine, shule zinaweza kutoa idhini kwa vyombo vya habari vilivyo karibu kutumia video na picha zinazohusiana na habari fulani (hii haijumuishi mahojiano na vyombo vya habari ambapo ruhusa ya mzazi/mlezi inahitajika na itaombwa). KUTOTOA IDHINI Wazazi wanaweza "kukataa kutoa idhini" ya kuwezesha shule kutumia picha, video au filamu nyinginezo za wazazi wao na kushiriki taarifa za mwanafunzi ambazo zinachukuliwa kuwa "taarifa zilizoorodheshwa" kwa kuwasilisha ombi lililoandikwa kwa mwalimu mkuu wa shule. Ombi hili la kutotoa idhini ni lazima lijazwe kila mwaka kwa kuandika (barua pepe inakubalika). Kuondosha idhini kunaweza kukosa kuzingatiwa katika hali ambapo sura ya mtoto imepigwa picha wakati wa tukio au shughuli ambayo ni wazi kwa umma kwa ujumla. Iwapo utaamua kuondosha idhini, mtoto wako anaweza kukosa katika hati au chapisho zifuatazo za shule:

Rekodi za Wanafunzi (iwapo shule yako huchapisha rekodi za wanafunzi) Kitabu cha kumbukumbu ya mwaka, picha za darasa ua za mwanafunzi binafsi (iwapo hutatoa idhini, haturuhusiwi kuchukua picha ya mtoto wako

kwa madhumuni yoyote) Orodha ya taadhima na orodha zingine za kuwatambua wanafunzi Programu za muziki, uigizaji, kwaya na gwaride Mitandao ya Kijamii Orodha za Spoti Video na picha ambazo zinaweza kutumiwa katika tovuti za shule au wilaya au katika mitandao ya kijamii Video na picha zilizochukuliwa na vyombo vya habari vilivyo karibu wakati wa matukio maalum ya shule (hii haijumuishi matukio ambayo ni wazi

kwa umma) WASAJILI WA JESHI NA VYUO - Wanafunzi wa Shule za Sekondari PEKEE Kuna sheria mbili za serikali kuu ambazo zinaihitaji Wilaya ya Shule ya Granite kutoa taarifa fulani za mwanafunzi wa kiwango cha chini na cha juu cha shule za sekondari kwa wasajili wa jeshi iwapo waziitisha. Wasajili wa vyuo na vyuo vikuu mara nyingi huitisha taarifa sawa za mwanafunzi. Sera ya jumla ya Wilaya ya Shule ya Granite ni kutoa majina ya wanafunzi, nambari za simu, na anwani kwa wasajili wa jeshi na wale wa kutoka taasisi za elimu ya juu. Mzazi au walezi wanaweza "kuondosha idhini hii" ili kuzuia kutolewa ka mojawapo ya au taarifa hizi zote kwa kuwasilisha ombi lililoandikwa moja kwa moja kwa mwalimu mkuu. Uondoshaji huu wa idhini ni lazima ukamilishwe kando na ombi la uondoshaji wa taarifa za rekodi za mwanafunzi na ni lazima ukamilishwe kila mwaka kwa maandishi (barua pepe inaruhusiwa). Iwapo una maswali yoyote kuhusiana na sera hii, tafadhali wasiliana na mwalimu mkuu wa shule yako au Idara ya Mawasiliano ya Wilaya ya Shule ya Granite kwa nambari 385-646- 4529 au [email protected].

Haki za Faragha za Mwanafunzi

Page 6: Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za …...Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za Msingi BODI YA ELIMU YA WILAYA YA SHULE YA GRANITE Terry H. Bawden Connie

Wilaya ya Shule ya Granite inatambua kwamba wazazi/walezi wana jukumu la kuwaelimisha watoto wao na wazazi/walezi wana haki ya

kupata mikakati ya kuwezesha elimu ya mtoto. Taratibu za kumwezesha mwanafunzi zitazingatiwa kwa misingi ya mtu binafsi na hakuna mwanafunzi atakayeshughulikiwa zaidi ya mwingine au kwa njia isiyolingaliana na ya mwanafunzi mwingine.

Taratibu zinazowezekana za kuwezesha* zina maana kuwa Wilaya ya Shule ya Granite itafanya juhudi zinazowezekana ili kumwezesha mzazi/mlezi kuendeleza haki za mzazi:

(a) bila athari kubwa kwa wafanyakazi na rasilimali za shule, ikiwemo hali za mahali pa kazi za waajiriwa, usalama na uangalizi katika majengo ya shule na kwa shughuli za shule, na ugavi bora wa matumizi; na

(b) katika kusawazisha: (i) haki za wazazi au walezi; (ii) mahitaji ya kielimu ya wanafunzi wengine; (iii) athari za kimasomo na kitabia kwa darasa; (iv) kazi ya mwalimu; na (v) hakikisho ya uendeshaji salama na bora wa shule.

Wilaya ya Shule ya Granite inajitolea kutoa utaratibu unaowezekana wa kuwezesha:

Ombi lilioandikwa la mzazi au mlezi ili kudumisha mwanafunzi katika darasa fulani kwa mujibu wa uwezo wa mwanafunzi wa masomo, au ukomavu wake wa kimahusiano, kihisia, au kimwili.

Chaguo la awali la mzazi la mwalimu au ombi la kubadili mwalimu.

Ombi la mzazi wa mwanafunzi kutembelea na kuangalia darasa analaohudhuria mwanafunzi.

Ombi lililoandikwa la mzazi au mlezi wa mwanafunzi kumruhusu mwanafunzi kutohudhuria shule kwa sababu ya tukio la kifamilia au ziara kwa mhudumu wa afya, bila kupokea ruhusa kutoka kwa mhudumu. Ruhusa ya kutohudhuria shule haishushi matarajio ya matokeo bora katika masomo ya mwanafunzi huyo.

Ombi lililoandikwa la mzazi au mlezi la kuruhusu mwanafunzi kujumuishwa katika darasa maalum au kozi ya kiwango cha juu. Wilaya itazingatia data kutoka vyanzo tofauti ili kuamua iwapo ombi la mzazi litaidhinishwa.

Wilaya itaidhinisha mwanafunzi kupata alama za kozi ielekeapo wakati wa kuhitimu kutoka shule ya sekodnari kwa kukamilisha kozi shuleni kwa : (i) kutahiniwa nje ya ya kozi; au (b) kuonyesha ustadi katika viwango vya kozi.

Ombi la mzazi au mlezi la kukutana na mwalimu katika muda watakaokubaliana iwapo mzazi au mlezi hataweza kuhudhuria mkutano wa wazazi na waalimu uliopangwa katika muda wa kawaida.

Kufuatia ombi lililoandikwa ka mzazi/mlezi wa mwanafunzi, wilaya itamruhusu mwanafunzi asifanye mtihani ambao ni jimbo zima au Tathmini ya Kitaifa ya Maendelo ya Kielimu (National Assessment of Educational Progres).

(a) Shule itatoa nakala ya nidhamu na mienendo kwa kila mwanafunzi na itamwarifu mzazi au mlezi iwapo mwanafunzi atakiuka sera hisyo, na kumpa nafasi mzazi/mlezi kujibu notisi hiyo.

*Wanafunzi walio na Mipango ya Kibinafsi ya Elimu (IEPs), kulingana na Sheria ya Uboreshaji wa Elimu ya Watu wenye Ulemavu ya 2004 (IDEA) au mipango ya taratibu za uwezeshaji za Sehemu ya 504, kwa mujibu wa Sehemu ya 504 ya Sheria ya Marekebisho ya 1973, ambao wazazi wao wameomba taratibu za uwezeshaji, kulingana na mipangilio ya wanafunzi, watapokea mikakati inayofaa ya uwezeshaji. Aidha, mabadiliko ya huduma na nafasi ya shule ni lazima ifanywe kwa mujibu wa mchakato wa IEP kwa wanafunzi wenye ulemavu chini ya sheria ya IDEA.

Toleo la Novemba 5, 2014

Sheria ya jimbo na sera za Wilaya ya Shule ya Granite zinatoa miongozo kwa wanafunzi kutuma maombi ya kujiunga na shule nyingine kando na shule iliyo karibu na kwao. (Wanafunzi na wazazi wanaoomba kuhudhuria shule nyingine kando na ile iliyo karibu na nyumbani wanahitaji kujaza fomu ya ombi na kupokea miongozo inayohitajika. Wanafunzi wanaoazimia kujiunga na shule katika darasa la 7 au 10 na ambayo sio ya karibu na wanapoishi wanalazimika kuwasilisha ombi hilo kwa shule wanayoazimia kujiunga nayo kwa sababu hakuna mfumo wa "kujiunga na shule tofauti" wa moja kwa moja.) Maombi yote hukaguliwa na kuamuliwa kwa misingi ya mtu binafsi kwa mujibu wa nafasi inayopatikana ya jengo, daraja, darasa au programu katika shule anayotaka kujiunga nayo. Maombi yanayoweza kubatilishwa ua kukataliwa kwa wanafunzi ambao wana ukiukaji mkubwa wa sheria au kanuni za shule, au wamepatikana na hatia ya utovu wa nidhamu wa mara kwa mara ambao unaweza kuhatarisha maisha ya watu au mali iwapo utaendelea na kusababisha kuvurugwa kwa shughuli za shule, au kutwika shule mzigo usiofaa. Usafiri kuelekea na kutoka shule iliyoombwa ni jukumu la wazazi na wa wanafunzi. Katika kuwasilisha maombi ya kubadilisha shule, tilia maanani vipindi vifuatavyo:

1. Kuanzia Disemba 1 hadi Ijumaa ya tatu ya Februari, kipindi cha usajili wa mapema kinapatikana kwa yeyote anayetaka kutuma maombi ya kuhudhuria shule nyingine katika mwaka unaofuata wa shule. Barua za maombi na miongozo inapatikana katika shule ambapo mwanafunzi anataka kuhamia ambapo ombi linapaswa kuanzishwa na kuwasilishwa ili kuidhinishwa.

2. Kipindi cha kawaida cha usajili wazi ni wakati wowote katika mwaka wa shule unaoendelea na baada ya Ijumaa ya tatu ya Februari katika mwaka wa shule unaofuata. Barua za maombi na miongozo inapatikana katika shule iliyo karibu na nyumbani, ambapo ombi la kuhama linapaswa kuwasilishwa. Wasiliana na shule yako au ofisi ya Uzuiaji na Utoaji Nafasi za Shule kwa Wanafunzi kwa nambari 385-646-4387 ili kupata taarifa zaidi na fomu zinazohitajika.

- 5 -

Notisi ya Haki za Wazazi

Chaguo za Usajili Wazi wakati wa Kipindi cha Kuchagua Shule

Page 7: Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za …...Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za Msingi BODI YA ELIMU YA WILAYA YA SHULE YA GRANITE Terry H. Bawden Connie

Ujumbe kwa Mzazi kuhusu Ponografia Wanafunzi wa Wilaya ya Shule ya Granite hawapaswi kutuma, kupokea, au kumiliki picha au vifaa vya kiponografia, ambavyo vinaweza kujumuisha lakini sio tu; picha zisizofaa za mtu mtu mwenyewe au mtu mwingine ambazo zinaonyesha sehemu za siri ambazo kwa kawaida hufichwa na mavazi ya kuogelea. Tabia hii inakiuka Sera ya Wilaya na inaweza kukiuka masharti ya Kanuni ya Zinai ya Utah. Ukiukaji wowote wa sera hii utaripotiwa mara moja kwa msimamizi wa shule.

Matokeo ya ukiukaji yanaweza kujumuisha lakini sio tu:

Kuarifiwa kwa mzazi Uchunguzi wa polisi Mwanafunzi na Mzazi kutia sahihi makubaliano ya tabia shuleni Kesi za jinai Kufukuzwa shuleni Kuhudhuria kwa mwanafunzi na mzazi katika Kozi ya Wilaya ya Tabia

Sera za Shule Salama na Tabia Kwa usalama wa wanafunzi, wafanyakazi na wageni wanaotembelea shule zetu, Bodi ya Elimu ya Wilaya ya Granite ina sera kali za usalama wa shule na tabia. Sera hizi hutoa miongozo ya kushughulikia wanafunzi wanaoleta vurugu, ghasia, silaha, unyanyasaji, dhuluma, udhalilishaji na utumaji wa jumbe zenye maudhui ya kingono. Sera hizi zimeundwa ili kutoa mazingira salama yanayofaa ambapo mafunza hupewa kipaumbele. Usalama ni wajibu wa kila mmoja. Sera za Usalama Shuleni na Tabia:

KATAA:

Vitisho au kitendo chochote cha ghasia. Umiliki wa silaha halisi, kitu kinacholipuka, kinachoweza kudhuru au kusababisha moto. Matumizi halisi au vitisho vya kutumia vitu vinavyofanana na silaha. Aina yoyote ya shughuli za genge. Tabia ya uhalifu. Uharibifu au uumbuaji wa mali ya shule. Unyanyasaji, unyanyasaji unaotokea mtandaoni, udhalimu, unyanyasaji wa kingono, kuona ngono, kutuma ujumbe wenye maudhui ya kingono au udhalilishaji. Tabia katika sehemu zilizo mbali na shule ambazo zinatishia au kudhuru shule au watu wanaohusiana na shule.

Kwa wanafunzi wanaoamua kushiriki katika aina hizi za tabia, matokeo yanaweza kujumuisha lakini sio tu:

Mkutano wa Lazima wa Mzazi/Mlezi shuleni na/au ofisi za wilaya. Kufukuzwa shuleni. Kupeanwa kwa maafisa wa kutekeleza sheria. Kusajiliwa katika mipango mbadala ya elimu. Kozi ya Usalama na/au Kozi ya Tabia. Adhabu kali zinaweza kutolewa kwa tukio lolote linalohusisha silaha. Adhabu zingine na hatua za kuchukuliwa zinazofaa kwa hali husika.

Mfumo wa Kuwatambua Wageni Wakiingia Kwa usalama na ulinzi wa wanafunzi wetu, wageni wote watahitajika kupitia kwenye ofisi ya makaribisho ili kuingia shuleni mwetu wakati wa saa za shule. Mchakato ufuatao sasa unatumika: • Kitambulisho chenye picha kilichopeanwa na jimbo (leseni ya dereva au kadi ya utambulisho) kitatambazwa kwenye mfumo.

Kitambulisho kingine chenye picha kitaingizwa na mtumiaji. Leta tu kitambulisho chako kwenye ofisi ya makaribisho. • Uchunguzi wa kielektroniki kumhusu mgeni utafanywa na mfumo kulingana na sheria za jimbo na sera za wilaya. • Ikiwa uchunguzi hautaonyesha jambo lolote la kutilia shaka, utapokea beji ya mgeni na unaweza kuingia shuleni. • Ikiwa uchunguzi utaonyesha kuna jambo linalotiliwa shaka, utakutana na mwalimu mkuu mapema iwezekanavyo kwa

majadiliano mafupi. Taarifa zote mtakazojadili zitawekwa kwa usiri mkubwa. • Mfumo huu haujaunganishwa kwa vyovyote na hifadhidata ya uhamiaji. Shule yetu haitakuuliza kuhusu hali ya uhamiaji ya familia yako. • Shule yetu inaweza kukuuliza kutoa hati ya korti ikiwa kuna wasiwasi kuhusu ulezi wa mtoto. • Ikiwa rekodi zetu si sahihi, utahitaji kuwasiliana na Shirika la Uchunguzi wa Jinai (BCI) kwa nambari (801) 965-4445 au

https:// bci.utah.gov • Ili kupata Kadi ya Utambulisho ya Utah, tafadhali tembelea: https://dld.utah.gov/licensingid-cards/identification-card Ikiwa una maswali yoyote, tafadhali jihisi huru kuwasiliana na mwalimu mkuu ambaye atafurahia kuyajadiliana nawe. Tunakushukuru kwa usaidizi wako katika

Page 8: Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za …...Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za Msingi BODI YA ELIMU YA WILAYA YA SHULE YA GRANITE Terry H. Bawden Connie

kusaidia kudumisha usalama na ulinzi wa wanafunzi wetu. - 6 -

Page 9: Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za …...Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za Msingi BODI YA ELIMU YA WILAYA YA SHULE YA GRANITE Terry H. Bawden Connie

Katiba ya jimbo la Utah inapiga marufuku kutozwa kwa karo kwa shule za msingi. Hii ina maana kuwa iwapo mtoto wako yuko

katika kiwango cha chekechea hadi darasa la sita (ila pale ambapo mtoto wako yuko katika darasa la sita na anahudhuria shule

inayojumuisha darasa moja au zaidi ya 7-12), huwezi kutozwa ada za vitabu za kusoma, vifaa na vitu vya kutumiwa darasani,

ala za muziki, ziara za masomo, mikutano, vitafunio (vingine kando na chakula kinachotolewa kupitia Mpango wa Shule wa

Chakula cha Mchana), au kwa kitu chochote kinachofanyika au kutumika wakati wa siku ya kawaida ya shule.

Iwapo unataka kununua picha za shule, kumbukumbu za kila mwaka, au vifaa sawa kutoka kwa shule, gharama ya vitu hivyo

sio karo na hivyo haitaondolewa. Aidha, iwapo mwanafunzi wako atapoteza au kuharibu mali ya shule, malipo ya kugharamia

ununuzi wa nyingine au kutengenezesha sio ada na hivyo hazihitaji kuondolewa.

Sheria ya serikali kuu inaziruhusu shule zitoze ada ya chakula au maziwa yanayotolewa kama sehemu ya Mpango wa Shule

wa Chakula cha Chini. Iwapo huwezi kulipia huduma hizo, unaweza kustahiki chakula au maziwa ya bure au kwa bei

iliyopunguzwa. Shule yako itakupa taarifa kuhusu jinsi ya kutuma ombi la chakula na maziwa ya bure au kwa bei iliyopunguzwa.

Taarifa zote unazotoa katika ombi lako itawekwa kwa njia ya siri.

Sheria ya jimbo na kanuni za Bodi ya Elimu ya Jimbo haziziruhusu shule kutoza ada kwa shughuli yoyote inayofanyika wakati

wa kpindi cha siku ya kawaida ya shule ila mtoto wako awe wa darasa la sita na awe katika shule iliyo na darasa moja au zaidi za

7-12. Ada zinaweza kutozwa tu kwa programu zinazotolewa kabla ya, baada ya, na wakati wa likizo za shule. Iwapo mwanafunzi

wako anastahiki kwa mujibu wa udhibitishaji wa mapato au hupokea malipo ya SSI (mwanafunzi anayetimiza matakwa mwenye

ulemavu), au iwapo unapokea Msaada wa Muda kwa Familia Zenye Mahitaji (TANF) (unastahiki sasa kupata usaidizi wa kifedha

au usaidizi wa kununua chakula) au mwanafunzi aliwekwa nyumbani kwako na serikali ili kumtunza, ni lazima shule iondoshe

ada (in maana kuwa hautahitajika kulipa ada za shule). Iwapo una dharura ya kifedha inayosababishwa na kupoteza kazi, ugonjwa

hatari, au kupoteza mapato yako kwa sababu usizoweza kudhibiti, mtoto wako anaweza kustahiki kuondolewa karo hata kama

hajatimiza matakwa ya taratibu zingine. Ombi la Kuondolewa Karo ya Shule (Darasa la Chekechea-6) limejumuisha. Shule yako

itakupa taarifa zaidi kuhusu kuondolewa kwa ada shule iwapo utauliza.

Fedha za shule huwa chache, na hivyo basi shule yako inaweza kuhitaji msaada kando na ada za shule zinazotolewa. Kwa hivyo,

shule inaweza kukuuliza kutoa michango ya bidhaa za shule inayoondolewa ushuru, vifaa, au pesa, lakini shule haiwezi kuitisiha

michango au kumwambia yeyote majina ya wale ambao wamechanga au hawajachanga (ila tu shule inaweza kutoa taadhima kwa

wale waliotoa michango mikubwa). Hakuna mwanafunzi anayeweza kuadhibiwa kwa sababu ya kukosa kutoa mchango. Kwa

mfano, iwapo michango inatumiwa kulipia ziara ya masomo, kila mtoto ni lazima aruhusiwe kuenda ziara hiyo hata kama

wengine hawakuchanga.

Sheria ya jimbo inazihitaji shule au wilaya za shule ziitishe rekodi za kustahiki kwa uondolewaji wa karo. Wasimamizi wa wilaya

ya shule/shule wataomba rekodi za ustahiki wa uondolewaji wa karo kwa wale wanatuma maombi ya kuondolewa ada za shule

iwapo ada au malipo yanahitajika kwa shughuli za siku isiyo ya kawaida ya shule, kama vile programu za burudani ya muziki ya

baada ya shule au za lugha ya kigeni au programu za Ijumaa za kucheza kwenye theluji. Uwekaji Rekodi za Ustahiki wa

Kuondolewa Karo HAUHITAJIKI kila mwaka. Aidha, rekodi hizo HAZITAWEKWA kwa sababu za usiri. Shule zinaweza

kuhamisha taarifa za kustahiki kwa kuondolewa karo kwa shule zingine ambapo wanafunzi wataendelezea masomo au watahamia.

KUMBUKA: Iwapo shule/wilaya yako haiwahitaji wazazi wa eneo la wilaya nzima au wazazi na wanafunzi wa shule mahususi

au sehemu za wilaya "kutuma maombi ya kuondolewa karo," wasimamizi wa wilaya HAWAHITAJI kudhibitisha ustahiki kwa

mujibu wa sehemu hii.

Iwapo una maswali, kwanza zungumza na mwakilishi wa shule au wa wilaya ya shule aliyeorodheshwa hapa chini. Iwapo bado

unahitaji usaidizi, wasiliana na mojawapo ya mashirika yaliyoorodheswa:

Wilaya ya Shule ya Granite

Ofisi ya Huduma za Uwajibikaji wa Shule

385-646-4510, 385-646-4535 au 385-646-4537

Utah Legal Services, Inc.

254 West 400 South, 2nd Floor

Salt Lake City, Utah 84101

328-8891 (ene la Salt Lake)

au 1-800-662-4245 (maeneo mengine)

Utah Issues Information Program, Inc.

330 West 500 South

Jiji la Salt Lake, Utah 84101

521-2035 (eneo la Salt Lake)

au 1-800-331-5627 (maeneo mengine)

Ofisi ya Elimu ya Jimbo la Utah

250 East 500 South

S.L.P 144200

Jiji la Salt Lake, Utah 84111-4200

(801) 538-7830

- 11 -

NOTISI YA ADA ZA SHULE

kwa Familia za Watoto wa Chekechea hadi Darasa la Sita

Page 10: Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za …...Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za Msingi BODI YA ELIMU YA WILAYA YA SHULE YA GRANITE Terry H. Bawden Connie

Kikundi cha Sanaa $45.00Timu za Riadha (yaani Gofu, Tenisi, Riadha, Voliboli) $50.00Bendi/Okestra $140.00Kukodi Vifaa na Ala bei ya kifaaKikundi kinachocheza Sataranji $25.00Kwaya/Kikundi cha Waimbaji $45.00Kikundi cha Wacheza Densi $45.00Kikundi cha Waigizaji $45.00Kikundi cha Lugha Geni $140.00Vikundi vya STEM (yaani Ligi ya LEGO) $100.00

Vikundi Vingine vya Shughuli za Kando ya Mtaala $15.00

Ada ZingineAda ya Kushughulikia Kibali cha Usajili Wazi $5.00

Ada zote zilizoorodheshwa ni kiwango cha juu zaidi kinachokubaliwa kutozwa kila mwanafunzi kwa kila shughuli.

Gharama halisi huamuliwa na shule husika na zinaweza kutofautiana.

Wilaya ya Shule ya Granite

Ratiba ya Karo ya Shule za Msingi kwa Mwaka wa 2018-2019

Shule za Msingi zinaweza tu kutoza ada, zilizoidhinishwa na Bodi ya Elimu, kwa shughuli zinazohusiana na shughuli Kando na ada zilizoorodheshwa kwenye ratiba hii ya karo, Bodi inaidhinisha faini za uharibifu unaofanyiwa mali ya wilaya na za ukiukaji wa kanuni za tabia. Kwa sababu adhabu zinazotolewa na usimamizi haziathiri kushiriki katika shughuli zinazofadhiliwa na shule, faini haziwezi kuondolewa na hazijaonyeshwa kwenye ratiba hii.

Shughuli zilizo Kando na Mtaala Zinazofanyika Kabla na Baada ya Saa za Shule

Gharama halisi huamuliwa na shule husika na inaweza kutofautiana.Ada zote zilizoorodheshwa hapa ni kiasi cha juu zaidi kinachoruhusiwa kutozwa kila mwanafunzi kwa kila

Fees were approved by the Granite Board of Education on June 12, 2018.

Checks Welcome

A fee will be added to all returned checks equal to the maximum allowed by law. The returned check and the associated service charge may be presented to your bank either electronically or in the form of a paper draft.

Page 11: Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za …...Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za Msingi BODI YA ELIMU YA WILAYA YA SHULE YA GRANITE Terry H. Bawden Connie

Granite School District • 2500 South State Street • Salt Lake City, Utah 84115-3110

Fee Waiver Application (Grades K-6)Parents: Please read the School Fees Notice before completing this Application!

All information on this application will be kept confidential.

No elementary school child may be charged for anything that takes place or is used during the regular school day. That includes textbooks, classroom equipment and supplies, musical instruments, field trips, assemblies, and snacks which are not part of the school lunch program. Fees can only be charged for programs which take place be-fore or after school or during school vacations (or for things used in those programs). But all of those fees must be waived for eligible children.

SECTION A. STUDENT INFORMATION AND BASIS FOR FEE WAIVER.

Name of student: _________________________________________Student Number: ________________________Address: _____________________________________________________________________________________School: _____________________________________________ Grade level: _______

Name of parent or guardian: ________________________________ Phone Number: ________________________

Please check if applicable: ❑ Student is eligible based on income verification. (see Section D on following page) ❑ Student receives (SSI)* Supplemental Security Income (qualified child with disabilities) ❑ Family receives TANF (currently qualified for financial assistance or food stamps)

❑ Student is in Foster Care (under Utah or local governmental supervision)❑ Student is in State Custody

* Students who receive survivor benefits do not qualify for the SSI category listed above

Parent's or Guardian's SignatureDate

Parent(s)/guardian(s) shall provide income eligibility documentation in the form of income tax returns or current pay stubs demonstrating compliance with requirements consistent with state law and school district policies and/or guidelines for all of the above qualifiers.

If none of the above apply, but you wish to apply for fee waivers or other help with school fees because of serious financial problems, please state the reason(s) for the request: (if you need additional space, please continue on the back of this page).

Please check the school fee schedule and list all fees that you wish to have waived. If your student is eligible for fee waivers, all of those fees will be waived. Costs for lost or damaged school property or for school pictures, yearbooks, and similar things are not fees and will not be waived. If you wish to have all applicable fees waived, please write “all” in the “Fee Description” column.

Fee Description Amount Fee Description Amount

(attach supporting documentation for each category that applies)

Please give this application to the Principal when you have finished filling it out. All fee payments will be suspended until the school has decided if your student is eligible for fee waivers. You will then be given notice of the decision. The school shall require you to prove eligibility. State law requires schools or school districts to require documentation of fee waiver eligibility if parent must “apply for fee waivers.” Local boards will have policies and/or guidelines for determining required documentation for eligibility for fee waivers. If your student is eligible for a waiver, the school cannot require you to agree to an installment payment plan or sign an IOU in place of a waiver.

I HEREBY CERTIFY THAT THE INFORMATION AND DOCUMENTATION I HAVE PROVIDED IS TRUE AND CORRECT TO THE BEST OF MY KNOWLEDGE AND BELIEF. I ALSO GIVE SCHOOL OFFICIALS PERMISSION TO USE THIS FORM AS A RELEASE TO OBTAIN INFORMATION NECESSARY FOR VERIFICATION OF ELIGIBILITY.

Page 12: Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za …...Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za Msingi BODI YA ELIMU YA WILAYA YA SHULE YA GRANITE Terry H. Bawden Connie

Section B: INCOME VERIFICATION FOR ALL HOUSEHOLD MEMBERS (Required for students who do not qualify based on a special category.) LIST ALL INCOME BEFORE DEDUCTIONS IN THE APPROPRIATE COLUMN(S) ON SAME LINE AS RECEIVER.Convert to monthly income: (weekly) multiply by 4.33; (every two weeks) multiply by 26 divide by 12; (twice a month) multiply by 2; and (annually) divide by 12The last income tax return or the last three pay stubs, or both, if available, of each household member are required to be attached to this form.

NAME Earnings from work Job 1 Pension/Retirement Welfare, alimony Other income Total by AdultLast First (before deductions) Social Security child support 2nd job, etc. MonthlyM.I.

Monthly Monthly Monthly Monthly Income

1 $ $ $ $ $2 $ $ $ $ $3 $ $ $ $ $4 $ $ $ $ $5 $ $ $ $ $6 $ $ $ $ $7 $ $ $ $ $8 $ $ $ $ $

Total number of ALL PEOPLE living in household _________________

Section C. EXAMPLES OF INCOME Earnings from Work Pension/Retirement

Social SecurityWelfare, Alimony

Child SupportOther

IncomeWages, salaries and tips, strike benefi ts, unemployment comp., workers’ comp, net income from self-owned business or farm

Pensions, supplement, security income, retirement payments, Social Security Income (including SSI a child receives)

TANF payments, welfare payments, alimony, and child support payments

Disability benefi ts; cash withdrawn from savings; interest & dividends; income from estates, trusts, and investments, regular contributions from persons not living in the household; net royalties and annuities; net rental income; any other income

Section D. INCOME ELIGIBILITY GUIDELINES July 1, 2017 to June 30, 2018Household Size Yearly Monthly Twice Per Month Every Two Weeks Weekly

1 15,678 1,307 654 603 3022 21,112 1,760 880 812 4063 26,546 2,213 1,107 1,021 5114 31,980 2,6865 1,333 1,230 6155 37,414 3,118 1,559 1,439 7206 42,848 3,571 1,786 1,648 8247 48,282 4,024 2,012 1,857 9298 53,716 4,477 2,239 2,066 1,033

For each additional family member, add: 5,434 453 227 209 105

In lieu of income verifi cation, attach supporting documents to this form for each category that applies. For TANF (fi nancial assistance or food stamps) attach a letter of decision covering the current period from Workforce Services.For SSI (QUALIFIED CHILD WITH DISABILITIES), attach the benefi t verification letter from Social Security.For State custody or foster care, provide the “youth in custody required intake form” and/or “school enrollment letter” provided by the case worker from DCFS or Juvenile Justice Department.

All supporting documents will be destroyed after the approval process is complete.

Page 13: Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za …...Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za Msingi BODI YA ELIMU YA WILAYA YA SHULE YA GRANITE Terry H. Bawden Connie

Fee Waiver Application (Grades 7-12)Parents: Please read the offi cial School Fees Notice on page 7 before completing the application!

All information on this application will be kept confi dential.

Name of student: _________________________________________Student Number: ________________________

Address: _____________________________________________________________________________________

School: _____________________________________________ Grade level: _______

Name of parent or guardian: ________________________________ Phone Number: ________________________

Please check if applicable: ❑ Student is eligible based on income verifi cation. (see section D on the following page) ❑ Student receives (SSI)* Supplemental Security Income (qualifi ed child with disabilities) ❑ Family receives TANF (currently qualifi ed for fi nancial assistance or food stamps)

❑ Student is in Foster Care (under Utah or local governmental supervision)❑ Student is in State Custody

* Students who receive survivor benefi ts do not qualify for the SSI category listed above

Parent's or Guardian's SignatureDate

Parents/guardians shall provide income eligibility documentation in the form of income tax returns or current pay stubs demonstrating compliance with requirements consistent with state law and school district policies and guidelines for all qualifiers. If none of the above apply, but you wish to apply for fee waivers or other help with school fees because of serious financial problems, please state the reason for the request: (if you need additional space, please attach a separate sheet)

Please send the completed application to the Principal or Assistant Principal at your student's school. All fee payments will be suspended until the school has determined if your student is eligible for fee waivers. You will then be given a written notice of that decision. The school shall require you to prove eligibility. State law requires schools or school districts to require documentation of fee waiver eligibility if parent must “apply for fee waivers.” State law also requires that school districts provide alternatives in lieu of fee waivers, “to the fullest extent reasonably possible according to individual circumstances of both fee waiver applicant and school,” consistent with local board policies and/or guidelines which may include tutorial assistance to other students, assistance before or after school to teachers and other school personnel on school related matters, and general community or home service. If your student is eligible for a waiver, the school cannot require you to agree to an installment payment plan or sign an IOU in place of a waiver.

I HEREBY CERTIFY THAT THE INFORMATION AND DOCUMENTATION I HAVE PROVIDED IS TRUE AND CORRECT TO THE BEST OF MY KNOWLEDGE AND BELIEF. I ALSO GIVE SCHOOL OFFICIALS PERMISSION TO USE THIS FORM AS A RELEASE TO OBTAIN INFORMATION NECESSARY FOR VERIFICATION OF ELIGIBILITY.

Please check the school fee schedule and list all fees that you wish to have waived. If your student is eligible for fee waivers, all of those fees will be waived. [Please note that costs for yearbooks, class rings, letter jackets, school pictures, and similar items are not fees and will not be waived. Students may be required to pay fees for concurrent enrollment or advanced placement courses. The portion of the fees related specifi cally to college or post-secondary grades or credit is not subject to fee waiver.] If you wish to have all applicable fees waived, please write "ALL" in the "Fee Description" column.

Fee Description Amount Fee Description Amount

If you wish to work or perform community service in lieu of a fee waiver, please check this box.(Contact your school if you request community service as an alternative to fee waivers.)

Please mail or deliver to your school.

Window for Application of Fee Waivera. A parent/guardian must apply for a fee waiver within thirty (30) school days after the fi rst day of school.

b. A student who enters the school any time during the school year also has thirty (30) school days in which toapply for a fee waiver.

c. A student whose family has a fi nancial emergency caused by job loss, major illness or other substantial loss of income, hasthirty (30) school days from the qualifying event in which to apply for a fee waiver. In this case only those fees assessed afterapplication has been made will be waived. Fees paid previously will not be reimbursed.

(attach supporting documentationfor each category that applies)

Granite School District Student Information 2017-2018

Page 14: Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za …...Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za Msingi BODI YA ELIMU YA WILAYA YA SHULE YA GRANITE Terry H. Bawden Connie

Section B: INCOME VERIFICATION FOR ALL HOUSEHOLD MEMBERS (Required for students who do not qualify based on a special category.) LIST ALL INCOME BEFORE DEDUCTIONS IN THE APPROPRIATE COLUMN(S) ON SAME LINE AS RECEIVER.Convert to monthly income: (weekly) multiply by 4.33; (every two weeks) multiply by 26 divide by 12; (twice a month) multiply by 2; and (annually) divide by 12The last income tax return or the last three pay stubs, or both, if available, of each household member are required to be attached to this form.

NAME Earnings from work Job 1 Pension/Retirement Welfare, alimony Other income Total by AdultLast First (before deductions) Social Security child support 2nd job, etc. MonthlyM.I.

Monthly Monthly Monthly Monthly Income

1 $ $ $ $ $2 $ $ $ $ $3 $ $ $ $ $4 $ $ $ $ $5 $ $ $ $ $6 $ $ $ $ $7 $ $ $ $ $8 $ $ $ $ $

Total number of ALL PEOPLE living in household _________________

Section C. EXAMPLES OF INCOME Earnings from Work Pension/Retirement

Social SecurityWelfare, Alimony

Child SupportOther

IncomeWages, salaries and tips, strike benefi ts, unemployment comp., workers’ comp, net income from self-owned business or farm

Pensions, supplement, security income, retirement payments, Social Security Income (including SSI a child receives)

TANF payments, welfare payments, alimony, and child support payments

Disability benefi ts; cash withdrawn from savings; interest & dividends; income from estates, trusts, and investments, regular contributions from persons not living in the household; net royalties and annuities; net rental income; any other income

Section D. INCOME ELIGIBILITY GUIDELINES July 1, 2017 to June 30, 2018Household Size Yearly Monthly Twice Per Month Every Two Weeks Weekly

1 15,678 1,307 654 603 3022 21,112 1,760 880 812 4063 26,546 2,213 1,107 1,021 5114 31,980 2,665 1,333 1,230 6155 37,414 3,118 1,559 1,439 7206 42,848 3,571 1,786 1,648 8247 48,282 4,024 2,012 1,857 9298 53,716 4,477 2,239 2,066 1,033

For each additional family member, add: 5,434 453 227 209 105

In lieu of income verifi cation, attach supporting documents to this form for each special category that applies. For TANF (fi nancial assistance or food stamps) attach a letter of decision covering the current period from Workforce Services.For SSI (QUALIFIED CHILD WITH DISABILITIES), attach the benefi t verifiation letter from Social Security.For State custody or foster care, provide the “youth in custody required intake form” and/or “school enrollment letter” provided by the case worker from DCFS or Juvenile Justice Department.

All supporting documents will be destroyed after the approval process is complete.

Page 15: Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za …...Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za Msingi BODI YA ELIMU YA WILAYA YA SHULE YA GRANITE Terry H. Bawden Connie

Sheria ya jimbo la Utah inaruhusu kutozwa kwa ada za shule kwa darasa la saba hadi la kumi na mbili. Hii ina maana kuwa mwanafunzi wako anaweza kutozwa ada za vifaa, bidhaa, shughuli na programu na shule. Ila kwa vifaa vya kawaida vya nyumbani na mavazi ya jumla, mwalimu au mtu yeyote mwingine hawezi kuhitaji mwanafunzi wako alipe ada au kutoa vifaa vyovyote, pesa, au kitu kingine chochote chenye dhamana ila hitaji hilo liidhinishwe na Bodi ya Elimu ya shule huiska na ijumuishwe kwenye orodha ya karo ya shule au ya wilaya. Aidha, hakuna mwalimu, mkufunzi, au mtu mwingine ambaye ana jukumu la kuiwakilisha shule anaweza kumwalika au kumwitaji mwanafunzi kushiriki katika kambi yoyote ya likizo ndefu au shughuli nyingine ila gharama hizo ziwe zimeidhinishwa na Bodi ya Elimu ya shule husika na kujumuishwa kwenye orodha ya karo.

Iwapo mwanafunzi wako anastahiki kwa mujibu wa udhibitishaji wa mapato au hupokea malipo ya SSI (mwanafunzi anayetimiza matakwa mwenye ulemavu), au iwapo unapokea Msaada wa Muda kwa Familia Zenye Mahitaji (TANF) (unastahiki sasa kupata usaidizi wa kifedha au usaidizi wa kununua chakula) au mwanafunzi aliwekwa nyumbani kwako na serikali kama Iwapo una dharura ya kifedha inayosababishwa na kupoteza kazi, ugonjwa hatari, au kupoteza mapato yako kwa sababu usizoweza kudhibiti, mtoto wako anaweza kustahiki kuondolewa karo hata kama hajatimiza matakwa ya taratibu zingine.

Unaweza kutuma maombi ya kuondoshewa karo kwa kuwasilisha Barua ya Kuondoelewa Karo (Darasa za 7-12). Nakala ya barua ya maombi imejumuishwa katika notisi hii. Nakala zaidi zinaweza kupatikana katika ofisi ya shule. Punde tu utakapotuma fomu ulizojaza, hitaji la kulipa karo litasitishwa hadi pale ambapo uamuzi wa mwisho utafikiwa kuhusu iwapo mwanafunzi wako anastahiki kuondolewa karo. Iwapo ombi lako litakataliwa, shule itakutumia Fomu ya Uamuzi na ya Kukata Rufaa. Fomu hii itakueleza ni kwa nini ombi lako lilikataliwa, na ikuelezee jinsi ya kukata rufaa uamuzi huo. Fomu ya kuanzisha kukata rufaa inapatikana katika ukurasa sawai na fomu ya uamuzi. Kumbuka saa zote kuweka nakala yako. Iwapo utakata rufaa kufuatia kukataliwa kwa ombi la kuondolewa kwa karo, hutahitajika kulipa karo hadi pale ambapo rufaa hiyo itaamuliwa.

Iwapo mwanafunzi wako anastahiki kuondolewa karo, ada zote zinapaswa kuondoshowa, ikiwemo--lakini sio tu--zifuatazo: Ada za usajili, vitabu vya kusoma, ada za dhamana za vitabu vya kusoma na zana, bidhaa za shule, kadi za shughuli za shule, shughuli nyingine kando na mtaala, na meza za shule; ada za maabara na duka;

Hakuna ada inayosemakana kuwa "isiyoweza kuondolewa" au "isiyo ya lazima", lakini mikakati mbadala ya uondoshaji wa karo inawezwa kutekelezwa katika hali zingine, lakini sio kwa ada za vitabu vya kusoma. Mipangilio mbadala ya uondoshaji ada haikubaliwi kwa ada za vitabu vya kusoma. Mipangilio mbadala ya kuondosha ada za shule inaweza kujumuisha mambo kama vile hitaji la huduma kwa jamii au jukumu la kusaidia wakati wa mchango, lakini haiwezi kujumuisha malipo ya pole pole, hati za kuashiria deni, au mipango nyingine ya malipo ya kuchelewesha malipo. Mahitaji ya huduma kwa jamii na michango ni lazima yawe yanafaa kwa umri, hali ya kimwili, na ukomavu wa mwanafunzi, na ni lazima ifanyike kwa njia ambapo wanafunzi hawaaibishwi, kudharauliwa, au kudhalilishwa. Aidha, mahitaji ya huduma kwa jamii na michango ni lazima yaepushe kutwika wanafunzi na familia mizigo mikubwa na itilie maanani mahitaji ya kielimu na usafiri ya mwanafunzi na majukumu mengine. Shule yako itakufahamisha iwapo itahitaji huduma kwa jamii kama mpangilio mbadala wa kuondoshwa kwa ada za shule.

Wanafunzi wote ambao wanahusika katika programu ambayo inachangisha pesa ni lazima waalikwe kuhudhuria mchango, na sio tu wale ambao wanastahiki kuondolewa karo ya shule. Washiriki wote katika mchango wanapaswa kushiriki katika faida zinazotokana na mchango huo. Kushiriki katika mchango kunaweza kuhitajika kwa wale ambao wameomba kuondolewa kwa karo ya shule. Iwapo mwanafunzi anayestahiki kuondolewa karo tayari ametimiza hitaji la kuhudumia jamii linajumuisha ada zote husika, basi hakutakuwa na haja ya mwanafunzi huyo kushiriki katika mchango zaidi ila tu wanafunzi wote wawe wanahitajika kufanya hivyo. Kwa sababu watu walio katika maeneo ya mapato madogo huwa na kiasi kidogo yanayosalia baada ya kulipa ushuru na kulipia mahitaji mengine na hivyo huwa wana uwezo mdogo wa kuchanga or kutumia katika michango wakilinganishwa na wale wa maeneno ya mapata makubwa, utaratibu wa migao ya mchango haupaswi kutumiwa. Swali linapaswa kuwa iwapo mwanafunzi alifanya juhudi zuri, na wala sio iwapo mwanafunzi alifikisha kiwango cha mchango alichotakiwa kufikisha. Iwapo mwanafunzi atafanya juhudi iliyoombwa, lakini pesa inayotosha isichangishwe ili kugharamia malipo ya shughuli ya shule na shughuli iendelee bali na hilo, basi tofauti kati ya mchango wa mgao wa mwanafunzi anayestahiki kuondolewa karo na kiasi cha karo yote ni lazima kiondoshwe.

Fedha za shule huwa chache, na hivyo basi shule yako inaweza kuhitaji msaada kando na ada za shule zinazotolewa. Kwa hivyo, shule inaweza kukuuliza kutoa michango ya bidhaa za shule inayoondolewa ushuru, vifaa, au pesa, lakini shule haiwezi kuitisiha michango. Hakuna mwanafunzi anayeweza kuadhibiwa kwa sababu ya kukosa kutoa mchango. Kwa mfano, iwapo michango inatumika kulipia ziara ya masomo, kila mwanafunzi ni lazima aruhusiwe kwenda ziara hata kama wengine hawakuchanga.

Bila kuzingatia iwapo umelipa ada za shule, michango Hata hivyo, shule inaweza, ikiwa na idhini ya anayetoa mchango, kutoa utambulisho unaofaa kwa mtu yeyote au shirika lolote linalotoa mchango au linalochangia pakubwa kwa shule.

Malipo ya vikuku vya darasa, kumbukumbu za kila mwaka, picha za shule, koti zinazotambua mafanikio ya wanafunzi, na vifaa vya aina hiyo sio ada na hivyo malipo yake hayahitaji kuondolewa. Aidha, iwapo mwanafunzi wako atapoteza au kuharibu mali ya shule, malipo ya kugharamia ununuzi wa nyingine au kutengenezesha sio ada na hivyo hazihitaji kuondolewa. Wanafunzi wanaweza kuhitajika kulipa ada za usajili wa mtawalia au nafasi za kozi za ngazi ya juu. Sehemu ya ada za shule inayohusiana na alama au alama ya jumla ya chuo au masomo ha baada ya shule ya upili hayaondolewi karo. Aidha, ni wanafunzi wale tu ambao wamelipa dhamana ya vitabu vya kusoma au ya vifaa ambao wanastahiki kupokea malipo ya dhamana waliyotoa mwishoni mwa mwaka.

Shule na wafanyakazi wa shule hawawezi kukataa kutoa, kupunguza, au kubadilisha alama au alama ya jumla, ripoti za matokeo ya mwanafunzi, karatasi za mtihani, au diploma ili kutekeleza ulipaji wa ada za shule. Shule inaweza kukosa kutoa rekodi rasmi za mwanafunzi ambaye amepoteza au kuharibu mali ya shule kulingana na Sehemu ya 53A-11-806, lakini haiwezi kukataa kutoa rekodi za mwanafunzi iwapo kufanya hivyo kutamzuia mwanafunzi huyo kuhudhuria shule au kupata nafasi nzuri katika shule.

Sheria ya jimbo inazihitaji shule au wilaya za shule ziitishe rekodi za kustahiki kwa uondolewaji wa karo iwapo ni lazima mzazi atume maombi ya kuondolewa kwa ada za shule. Boda za shule husika zina sera na/au miongozo ya kuamua rekodi zinazohitajika ili kubaini iwapo mwanafunzi anastahiki kuondolewa karo. Sheria ya jimbo inahitaji wilaya kutoa mbinu mbadala za kuondolewa kwa ada za shule, "kwa kiwango kinachowezekana kwa mujibu wa hali za anayetuma ombi la kuondolewa kwa karo na shule," kwa kuambatana na sera na/au miongozo ya bodi ya shule husika. Uwekaji wa rekodi za kustahiki kwa kuondolewa karo HAUHITAJIKI kila mwaka lakini unaweza kuhitajika wakati wowote na shule au mzazi anapohitaji kupitia kwa ajili ya azimio nzuri. Aidha, rekodi hizo HAZITAWEKWA kwa sababu za usiri. Shule zinaweza kuhamisha taarifa za kustahiki kwa kuondolewa karo kwa shule zingine ambapo wanafunzi wataendelezea masomo au watahamia. KUMBUKA: Iwapo shule yako haihitaji wazazi wa eneo la wilaya nzima au wazazi na wanafunzi wa shule mahususi au sehemu za wilaya "kutuma maombi ya kuondolewa karo," wasimamizi wa wilaya HAWAHITAJI kudhibitisha ustahiki kwa mujibu wa sehemu hii.

Iwapo una maswali, zungumza kwana na mwakilishi wa shule yako au wa wilaya ya shule. Iwapo bado unahitaji usaidizi, wasiliana na mojawapo ya mashirika mengine yaliyoorodheswa kwenye ukurasa wa 11.

- 6 -

NOTISI YA ADA ZA SHULE

kwa Familia za Wanafunzi walio Katika Darasa za Saba hadi Kumi na Mbili

Page 16: Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za …...Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za Msingi BODI YA ELIMU YA WILAYA YA SHULE YA GRANITE Terry H. Bawden Connie

1. Karo ya Msingi $49.00

2. Ada za Kozi - Ada zifuatazo ni za kila muhula isipokuwa ikiwa imetajwa vinginevyo

Sanaa $40.00 Leseni ya Jukwaa la Maagizo ya Uandishi (kila mwaka) $8.00Elimu ya Kazi na Ufundi (kila darasa) $40.00 Elimu ya Mazoezi ya Mwili $10.00Utangulizi wa Elimu ya Kazi na Kiufundi (wanafunzi wa gredi ya 7) $15.00 kwa mwaka Vifaa vya Maabara ya Sayansi $15.00Maabara za Kompyuta $5.00 Uzungumzaji/Uigizaji* $10.00Densi $10.00 Vitabu vya Mazoezi/Ada ya Leseni $20.00Muziki (kiasi cha juu zaidi kwa kila mtu/mwaka: $30.00) $15.00

3. Ada za Kushiriki katika Shughuli zilizo kando na Mtaala - Ada zifuatazo zinatozwa kwa kila spoti (kiasi cha juu zaidi kwa kila mtu: $40.00)

Ikiwemo, na sio tu michezo ifuatayo Mpira wa Vikapu*, Kukimbia nje ya shule*, Soka*, Riadha*, Voliboli*, Kupigana Mieleka* (kila mmoja) $20.00 Upimaji wa Kiwango cha Maji cha Wachezaji wa Timu $5.00Timu ya Mabingwa Wote $10.00 (hutumika tu kwa uteuzi wa timu ya upiganaji mieleka)Kambi ya Wachezaji ya Likizo ya Msimu wa Jua Kali $50.00

4. Vikundi vya Maonyesho, Sera na Ada za KambiAda za Kambi kwa Vikundi Vya Maonyesho $250.00 Vikundi Vinavyoimba* $75.00Wachocheaji* $300.00 Sera za Muziki* (waoimba jukwaani pekee) $40.00Kikundi cha Wachezaji Densi* $150.00 Vikundi Vingine vya Maonyesho* $50.00Simfoni ya Vijani wa Shule ya Upili ya Ngazi ya Chini ya Granite - Masomo* $60.00 Viongozi wa Wanafunzi/Viongozi wa Vikundi $225.00

5. Usafiri wa Wanafunzi

*$100.00 za kujigharimia, $150.00 kutoka kwa michango ya wahisani, hafla za kuchangisha fedha, na michango.

6. UsajiliDensi $5.00 Michezo ya Kuigiza $5.00

7. Ada za VikundiVikundi vya Shule $10.00

8. NyingineKubadilisha Darasa (ambako si muhimu) $5.00 Kukodi Ala za Muziki (kwa ala ya kwanza) $75.00Ziara za Uwanjani Ala za Ziada (kwa kila ala baada ya ya ya kwanza) $10.00(k.m. Wangwa, Mikahawa, Ski Utah, Ukumbi wa Maonyesho, n.k.)gharama ya tukio hadi $25.00 Ada ya Kushughulikia Idhini ya Usajili Wazi $5.00Urudishaji wa Deni kwa Gredi ya 9 Masomo ya ziada (kwa kila darasa la gredi ya 7 na 8) $10.00

(Malipo kwa alama .25 za kozi) $45.00 Kadi za Duka (miradi isiyo ya lazima inayokuwa mali ya mwanafunzi) bei ya kifaaKitabu cha Kumbukumbu (ikiwemo ushuru wa mauzo) $20.00 Alama Halisi ya Masomo ya Mtandaoni ya Likizo ya Msimu wa Jua Kali (malipo kwa kila alama .25 za kozi)$25.00

Wilaya ya Shule ya Granite

*Kuambatana na Kanuni ya Utah ya 53A-11-102.6 na Kanuni ya Usimamizi ya Utah R277-494-3, wanafunzi wanaohudhuria shule maalum, binafsi au ya nyumbani na hushiriki katika shughuli zilizo kando na mtaala ni lazima walipe ada ya $49.00 kando na ada zote za kushiriki zinazohusiana. Wanafunzi hawapaswi kulipwa Karo ya Msingi.

Ada ya usafiri haiwezi kuzidi $250.00* kwa kila mwanafunzi kwa kila safari. Maombi yote kwa ajili ya usafiri wa usiku kucha ni lazima yaidhinishwe na mwalimu mkuu na Msimamizi Msaidizi.

Ratiba ya Karo ya Shule ya Upili ya Ngazi ya Chini ya mwaka wa 2018-2019

Kununua Vitabu na Vifaa Vipya vya Kufunzia, Shughuli Ada za shughuli za wanafunzi hutumiwa kugharimia mipango kama vile: gazeti la shule, jarida la uandishi, michezo ya kuigiza, uigizaji wa muziki, maonyesho, tuzo, densi na matukio yanayodhaminiwa na UHSAA.

Ada zote zilizoorodheshwa ni kiasi cha juu zaidi kinachotozwa kila mwanafunzi kwa kushiriki katika kila shughuli, darasa, au mchezo. Gharama halisi huamuliwa na shule husika na zinaweza kutofautiana. Fedha zote zinazotumika kwa kila kikundi au shughuli, ikiwemo michango ya wanafunzi, hafla za kuchangisha pesa na michango ya wahisani, ni lazima zihesabiwe kama sehemu ya gharama kwa kila mwanafunzi kwa kila kikundi au shughuli. Ada hizi, isipokuwa kambi, hazijumuishi gharama za ziada kwa ajili ya usafiri wa usiku kucha. Kwa shughuli na michezo ya shule za upili za ngazi ya chini zinazohitaji ada, majarabio ni lazima yakamilishwe na washiriki kuchaguliwa kabla ya ada kutathminiwa. Baadhi ya ada zilizoordheshwa zinajumuisha ushuru wa mauzo wa jimbo la Utah. Kando na ada zilizoorodheshwa kwenye ratiba hii ya karo, Bodi huidhinisha faini za uharibifu unaofanyiwa mali ya wilaya na kwa ajili ya ukiukaji wa kanuni za tabia. Kwa sababu adhabu zinazotolewa na usimamizi haziathiri kushiriki katika shughuli zinazofadhiliwa na shule, faini haziwezi kuondolewa na hazijaonyeshwa kwenye ratiba hii.

Course, class and extracurricular fees were approved by the Granite Board of Education on December 5, 2017.

Checks Welcome

A fee will be added to all returned checks equal to the maximum allowed by law. The returned check and the associated service charge may be presented to your bank either electronically or in the form of a paper draft.

Page 17: Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za …...Taarifa kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari na za Msingi BODI YA ELIMU YA WILAYA YA SHULE YA GRANITE Terry H. Bawden Connie

1. Karo ya Msingi $65.00

2. Ada za Kozi - Ada zifuatazo hulipwa kila muhula isipokuwa ikiwa imetajwa vinginevyo

Sanaa $40.00 Mazoezi ya Mwili kwa ajili ya Afya Njema Maishani (Fitness for Life) $10.00Elimu ya Kazi na Ufundi (kwa kila darasa) $40.00 Vifaa vya Maabara $15.00Maabara za Kompyuta $5.00 Muziki (kiasi cha juu zaidi kinacholipwa na kila mtu max/mwaka: $50.00) $25.00Densi $15.00 Leseni ya Jukwaa la Maagizo ya Uandishi (kila mwaka) $8.00Uandishi* $15.00 Elimu ya Mazoezi ya Mwili (kiasi cha juu zaidi kinacholipwa na kila mtu: $20.00) $10.00Elimu ya Udereva $140.00 Ada ya Vitabu vya Mazoezi/Leseni $20.00

3. Ada za Kushiriki katika Shughuli zilizo kando na Mtaala - Ada zifuatazo zinalipwa kwa kila mchezo (kiasi cha juu zaidi cha ada ya kushiriki: $150.00)

Mpira wa Vikapu*, Kandanda*, Gofu* (kila mmoja) $70.00 $60.00

Uchocheaji*, Ukimbiaji nje ya shule*, Timu ya Mazoezi ya Majaribio, Kikundi cha Pep Club*, Tennis* (each)

$55.00

Ada za Ziada za Shughuli zilizo kando na Mtaala

Usalama na Tathmini ya Helmeti ya kucheza Kandanda $35.00 Upimaji wa Kiwango cha Maji cha Wachezaji wa Timu $5.00Nguo za mtu binafsi (kwa kila mchezo) $160.00 (hutumika tu kwa uteuzi wa timu ya upiganaji mieleka)Kambi ya Wachezaji ya Likizo ya Msimu wa Jua Kali $75.00 Usafiri kwa kila shughuli (kiwango cha juu zaidi kinacholipwa na kila mtu/mwaka: $20.00)$10.00

4. Vikundi vya Maonyesho, Ada za Sare na KambiAda za Kambi kwa Vikundi vya Maonyesho $250.00 Bendi za Kutembea kama Askari* $50.00Wachocheaji* $300.00 Sare za Waimbaji* (wanaoimba jukwaani pekee) $40.00Kikundi cha Wachezai Densi* $150.00 Okestra, Bendi, $225.00Mdahalo* (kwa mwaka) $90.00 Okestra, Bendi, Vikundi vya Waimbaji, Maonyesho, na Kwaya* (Wasichana) $175.00Kikundi cha Mazoezi ya Majaribio* $600.00 Kikundi cha Kudumisha Ari na Desturi za Shule* $50.00Simfoni ya Vijana wa Granite - Elimu* $60.00 Kikundi cha Kudumisha Ari na Desturi za Shule/Kikundi cha Kupandisha/Kushusha Bendera*$200.00Simfoni ya Vijana wa Granite - Sare isizidi $175.00 Viongozi wa Nyimbo* $300.00Simfoni ya Vijana wa Granite - Usafiri kulingana na idhini ya Bodi Viongozi wa Wanafunzi/Viongozi wa Vikundi vya Wanafunzi $225.00Bendi ya Jazi $75.00

5. Usafiri wa Wanafunzi

6. UsajiliKaramu za Maakuli $20.00 Michezo ya Kuigiza, Uimbaji, Maonyesho $10.00Densi na Densi Rasmi ya Shule (kwa kila wanafunzi wawili) $20.00 Muziki wenye Midundo Mizito $5.00

Usajili wa UHSAA

7. Malipo ya VikundiVikundi Vikuu/vya Ushirikiano $15.00 Vikundi vya Ufundi $15.00Vikundi vya Shule $10.00

8. VingineKofia na Gauni (inajumuisha ushuru wa mauzo) $22.50 Ada ya Kushughulikia Idhini ya Usajili Wazi $5.00Kubadilisha Darasa (ambako si muhimu) $5.00 Mafunzo ya ziada/Darasa la Kusawazisha/la Kupitia Mtihani (zisizo na alama) $30.00Kurudisha Alama (malipo kwa alama .25 za kozi) $45.00 Kadi za Dukani (miradi isiyo ya lazima haiondolewi ada) bei ya kifaaKukodi Vifaa (kwa mwaka/kwa darasa) $35.00 Alama Halisi za Masomo ya Shule ya Likizo ya Msimu wa Jua Kali (malipo kwa alama .25 za kozi)$25.00Kukodi Ala za Muziki (kwa ala ya kwanza) $75.00

Ala za Ziada (kwa kila ala baada ya ya kwanza) $15.00

Malipo hayahitajiki ili kushiriki katika "shughuli au tukio linalodhaminiwa na au kupitia shule." (Kanuni ya Usimamizi ya Utah R277-407)Usajili/Uanachama/Ada ya Kushiriki Kibali cha Kuegesha Chuoni $10.00(hukusanywa na shule kwa ajili ya mashirika mengine) bei ya kifaa (ikijumuisha ushuru wa mauzo)Hati yenye matokeo ya mtihani (ya kwanza hailipishwi, zile zingine zote zinagharimu malipo haya)$1.00Mtihani wa AP (hukusanywa na shule kwa ajili ya mashirika mengine) bei ya kifaa Kumbukumbu za Mwaka (inajumuisha ushuru wa mauzo)Usajili wa Chuo Unaofanyika kwa Wakati Mmoja (hukusanywa na shule kwa niaba ya mashirika mengine) bei ya kifaa(hulipwa kabla ya mwisho wa muhula wa kwanza) $50.00Bidhaa za Kumbukumbu ya Mahafali (kando na Kofia na Gauni) bei ya kifaa (hulipwa baada ya mwisho wa muhula wa kwanza) $55.00

*Kulingana na Kanuni ya Utah 53A-AA-102.6 na Kanuni ya Usimamizi ya Utah R277-494-3, wanafunzi wanaohudhuria shule maalum, shule ya binafsi, au shule ya nyumbani na hushiriki katika shughuli zilizo kando na mtaala ni lazima walipe ada ya $65.00 zaidi ya ada zote za kushiriki zinazohusiana. Wanafunzi hawana haja ya kulipa Karo ya Msingi.

Wilaya ya Shule ya Granite

Shughuli zinazofadhiliwa na Shirikisho la Shughuli za Shule za Upili za Utah (UHSAA) haziwezi kuzidi viwango vya juu zaidi vilivyowekwa na Shirikisho.

ikiwa na kadi ya kushiriki kwa shughuli au $7.00 bila kadi ya kushiriki kwa shughuliikiwa na kadi ya kushiriki kwa shughuli au $25.00 bila kadi ya kushiriki kwa shughuli

Ratiba ya Karo ya Shule ya Upili ya Ngazi ya Juu ya mwaka wa 2018-2019

Kununua Vitabu na Vifaa Vipya vya Kufunzia, Shughuli Ada za shughuli za wanafunzi hutumiwa kugharimia mipango kama vile: gazeti la shule, jarida la uandishi, michezo ya kuigiza, uigizaji wa muziki, maonyesho, tuzo, densi, matukio yanayodhaminiwa na UHSAA na mahafeli.

Ada zote zilizoorodheshwa hapa ni kiasi cha juu zaidi kinachoruhusiwa kutozwa kila mwanafunzi ili kushiriki kwa kila shughuli, darasa au mchezo. Gharama halisi huamuliwa na shule husika na inaweza kutofautiana. Fedha zote zinazotumika kwa kila kikundi au shughuli, ikiwemo michango ya wanafunzi, hafla za kuchangisha pesa na michango ya wahisani, ni lazima zihesabiwe kama sehemu ya gharama kwa kila mwanafunzi kwa kila kikundi au shughuli. Ada hizi, isipokuwa kambi, hazijumuishi gharama za ziada za usafiri wowote wa usiku kucha. Kwa shughuli na michezo ya shule ya upili ya ngazi ya juu inayohitaji ada, majarabio ni lazima yakamilishwe kabla ya ada kutathminiwa. Baadhi ya ada zilizoorodheshwa zinajumuisha ushuru wa mauzo wa jimbo la Utah. Kando na ada zilizoorodheshwa kwenye ratiba hii ya karo, Bodi huidhinisha faini za uharibifu unaofanyiwa mali ya wilaya na kwa ajili ya ukiukaji wa kanuni za tabia. Kwa sababu adhabu zinazotolewa na usimamizi haziathiri kushiriki katika shughuli zinazofadhiliwa na shule, faini

Maombi yote ya usafiri wa usiku kucha ni lazima yaidhinishwe na mwalimu mkuu au Msimamizi Msaidizi. $400.00 ndicho kiasi cha juu zaidi ambachowanafunzi wanaweza kujigharimia. Gharama za ziada za usafiri (kando na ada ya $400.00 ambayo wanajigharimia) zinaweza kugharimiwa na michango ya wahisani, hafla za kuchangisha fedha zilizoidhinishwa, shule au wilaya au kutoka kwa vyanzovinavyofaa. Jumla ya gharama za safari moja kwa kila mwanafunzi, hata hivyo, hazitazidi $999.00, zikijumuisha gharama ya chakula na malazi (kwa kuzingatia matumizi mwafaka ya angalau $25.00 kwa kila siku), isipokuwa ikiwa ada zote zinazozidi kiwango hiki cha juu zinagharimiwa na michango inayofaa kutoka kwa wahusika huru wa tatu.isipokuwa ikiwa ada zote zinazozidi kiwango hiki cha juu zinagharimiwa na michango inayofaa kutoka kwa wahusika huru wa tatu.

Besiboli*, Mdahalo/ElimuForensics*, Soccer*, Softball*, Swimming*, Track*, Volleyball*, Wrestling* (each)

Course, class, and extracurricular fees were presented to the Granite Board of Education on December 5, 2017.