Top Banner
JUZUU 26 Ina Aya 19 SURATUL FAT -H (Imeceremka Madina) Kwa jina Ia · Mwenyezi Mungu, kuneemesha neema kubwa kubwa na kuneemesha neema ndogo ndogo. Mwenye Mwenye 1 . Bila shaka tumekwishakupa kushinda kuliko dhahiri 1. I1i Mwenyezi Mungu akusamehe makosa yako yaliyotangulia na yanayokuja, na kukutimizia neema zake na kukuongoa katika njia iliyonyoka Na akunusuru Mwenyezi Mungu nusura yenye nguvu kabisa. 4. Yeye ndiye aliyeteremsha utulivu katika nyoyo za Waislamu ili waongezeke imani juu ya imani yao. Na majeshi ya mbingu na ardhi ni ya Mwenyczi Mungu; na Mwenyezi Mungu ni Mwenye ujuzi (wa kila jambo) na Mwenyc hikima HAA MYM /nu Mukuru 4 1. Mtume katika mwaka wa 6 alitoka na baadhi ya Masahaba zake kwenda Makka kwa ajili ya Hija ndogo, (AI Umra). lakini alipokaribia Makka kwa meli kidogo tu hivi, Maqure:;hi walivinjari barabara wakamkatalia katakata kuingia Makka kufanya hiyo lbada aliyoikusudia. Baada ya mashauriano mengi - na hata kukaribia kupigana - walifanyiana suluhu kuwa: (a) Wasipigane sasa hivi; (b) Mwakani mwezi kama huo waje kufanya Ibada hiyo, wala Maqurcshi hawatawazuilia; (c) Wasipigane tcna muda wa miaka kumi- wawe wanacndeana watakavyo. Makafui wa Makka wende Madina wakitaka, bila ya kudhuriwa. Na Waislamu wende Makka wakitaka - bila ya kutaabishwa. (d) Na Waarabu wengil_le wakawa na haki ya kuingia katika mkataba huu - wasipigane na Mtume, na Mtume asipigane nao. Basi ndiyo Mwenyezi Mungu anamwambia Mtume kuwa Mwenyezi Mungu amempa kushind.l kukubwa kwa kupatikana mkataba huu . Navyo ndivyo ilivyokuwa. Haikupita myaka m1wili hivi ila Makka ilisilimu, na. Bara Arabu yote nzima takriba. Basi Sura hii ni katika Sura zilizompa Mtume moyo mkubwa kabisa zilipotercmka. Hata baada ya myaka miwili hi·1i - Mtume alipokuwa anaingia Makka kisha kuitcka - aliingia na huku anaisoma hii Surarul Fat-h kwa matao yaliyotimia, na Sauti ya kupcndeza kabisa. Mtume kama alivyokuwa na maneno mazuri MNO KABISA, na vitendo vizuri MNO KABISA, na sura nzuri MNO KABISA, basi vile vile alikuwa na sauti nzuri MNO KABISA. Kila chakc kilikuwa kizuri mno kabisa. Na kila Mtume katika zama zake alikuwa namna hivi juu ya watu wote wa zam• hizo. Basi wakahimizwa wa kila uma wawe kama wao : katika kuwa na vitcndo vizuri kabisa na maneno mazuri mno kabisa, ila sura na sauti ndiyo hatuwezi kuzigcuza. Ama hayo ya vitendo na maneno tunao uweza. fsasi haya natufanye kwa dhati haya tunayoyaweza, na tuiitahidi japo kidogo kuigiza hata hayo tusiyoyaweza. Anayechokoachokoa - hata pasipochokoleka - hakosi kupata kitu. Waislamu walitaka kula mori waukatac mkataba ule- kwani ulikuwa na shuruti nyingine ambazo dhahiri yake si nzuri juu ya Waislamu. lakini Mwenyezi Mungu aliwapoza wakaukubali; i.kapati.kana hiyo (ursa kubwa kabisa iliyopatikana. Hwenda ukakiona kitu kibaya, tahamaki kizuri kimekuwa, na chenye heba na muruwa.
6

SURATUL FAT -H · Ya Muinu Awnaka Iwe Kun Faya~unu Hali zetu ni dhalili Ndiwe wa kutujamili K wako twaomba fadhili Amina Rabi ApUna Twakuombawe Rabana \V ala mwqine hatuna Enzi yako

Oct 22, 2020

Download

Documents

dariahiddleston
Welcome message from author
This document is posted to help you gain knowledge. Please leave a comment to let me know what you think about it! Share it to your friends and learn new things together.
Transcript
  • JUZUU 26

    Ina Aya 19 SURATUL FAT -H (Imeceremka Madina)

    Kwa jina Ia· Mwenyezi Mungu, kuneemesha neema kubwa kubwa na kuneemesha neema ndogo ndogo.

    Mwenye Mwenye

    1 . Bila shaka tumekwishakupa kushinda kuliko dhahiri

    1. I1i Mwenyezi Mungu akusamehe makosa yako yaliyotangulia na yanayokuja, na kukutimizia neema zake na kukuongoa katika njia iliyonyoka

    3· Na akunusuru Mwenyezi Mungu nusura yenye nguvu kabisa.

    4. Yeye ndiye aliyeteremsha utulivu katika nyoyo za Waislamu ili waongezeke imani juu ya imani yao. Na majeshi ya mbingu na ardhi ni ya Mwenyczi Mungu; na Mwenyezi Mungu ni Mwenye ujuzi (wa kila jambo) na Mwenyc hikima

    HAA MYM

    /nu Mukuru 4

    1. Mtume katika mwaka wa 6 alitoka na baadhi ya Masahaba zake kwenda Makka kwa ajili ya Hija ndogo, (AI Umra). lakini alipokaribia Makka kwa meli kidogo tu hivi, Maqure:;hi walivinjari barabara wakamkatalia katakata kuingia Makka kufanya hiyo lbada aliyoikusudia. Baada ya mashauriano mengi - na hata kukaribia kupigana -walifanyiana suluhu kuwa:

    (a) Wasipigane sasa hivi; (b) Mwakani mwezi kama huo waje kufanya Ibada hiyo, wala Maqurcshi hawatawazuilia; (c) Wasipigane tcna muda wa miaka kumi- wawe wanacndeana watakavyo. Makafui wa Makka wende

    Madina wakitaka, bila ya kudhuriwa. Na Waislamu wende Makka wakitaka - bila ya kutaabishwa. (d) Na Waarabu wengil_le wakawa na haki ya kuingia katika mkataba huu - wasipigane na Mtume, na

    Mtume asipigane nao. Basi ndiyo Mwenyezi Mungu anamwambia Mtume kuwa Mwenyezi Mungu amempa kushind.l kukubwa kwa

    kupatikana mkataba huu . Navyo ndivyo ilivyokuwa. Haikupita myaka m1wili hivi ila Makka ilisilimu, na. Bara Arabu yote nzima takriba.

    Basi Sura hii ni katika Sura zilizompa Mtume moyo mkubwa kabisa zilipotercmka. Hata baada ya myaka miwili hi·1i - Mtume alipokuwa anaingia Makka kisha kuitcka - aliingia na huku

    anaisoma hii Surarul Fat-h kwa matao yaliyotimia, na Sauti ya kupcndeza kabisa. Mtume kama alivyokuwa na maneno mazuri MNO KABISA, na vitendo vizuri MNO KABISA, na sura nzuri MNO KABISA, basi vile vile alikuwa na sauti nzuri MNO KABISA. Kila chakc kilikuwa kizuri mno kabisa. Na kila Mtume katika zama zake alikuwa namna hivi juu ya watu wote wa zam• hizo. Basi wakahimizwa wa kila uma wawe kama wao: katika kuwa na vitcndo vizuri kabisa na maneno mazuri mno kabisa, ila sura na sauti ndiyo hatuwezi kuzigcuza. Ama hayo ya vitendo na maneno tunao uweza. fsasi haya natufanye kwa dhati haya tunayoyaweza, na tuiitahidi japo kidogo kuigiza hata hayo tusiyoyaweza. Anayechokoachokoa - hata pasipochokoleka - hakosi kupata kitu.

    4· Waislamu walitaka kula mori waukatac mkataba ule- kwani ulikuwa na shuruti nyingine ambazo dhahiri yake si nzuri juu ya Waislamu. lakini Mwenyezi Mungu aliwapoza wakaukubali; i.kapati.kana hiyo (ursa kubwa kabisa iliyopatikana. Hwenda ukakiona kitu kibaya, tahamaki kizuri kimekuwa, na chenye heba na muruwa.

  • JUZUU 26 Al-FAT·H (48t

    s. (Ameyafanya haya) ili awaingize Waislamu wanaume na Waislamu wanawake katika Mabustani yapitayo mito mbele yake, wakadumu huko milele, na awafutie makosa yao. Na huku ndiko kufaulu kukubwa mbele ya Mwenyezi Mungu

    6. Na awaadhibu wanafiki wanaume na wanafiki wanawake na washirikina wanaume na washirikina wanawake, wanaomdhania Mwenyezi Mungu dhana mbaya. Utawafikia mgeuko mbaya. Na Mwenyezi Mungu awakasirikie na kuwalani na kuwaandalia Jahanamu; nayo ni marejeo mabaya kabisa.

    7. Na ma,eshi ya mbingu na ardhi ni ya Mwenyezi Mungu; na Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima.

    8. Hakika tumekuleta uwe Shahidi na Mtoaji wa habari njema na Muonyaji

    9. Ili Mumuamini Mw~nyczi Mungu na Mtume wake, na mumtukuze· na mumuhishimu, na kumuadhimisha (M wenyezi Mungu) asubuhi na jioni.

    1 o. Bila shaka wale wanaofungamana nawe, kwa hakika wanafungamana na Mwenyezi Mungu. Mkono wa Mwenyezi Mungu uko juu ya mikono yao. Basi avunjaye ahadi (hizi) anavunja kwa kuidhuru nafsi yake; na atekelezaye aliyomuahidi Mwenyczi Mungu, (Mwenyezi Mungu) atamlipa ujira mkubwa.

    11. Watakwambia wale Mabedui waliokaa nyuma ( wasende vitani wala haw ana udhuru wowote; watajidai kutoa udhuru waseme): "Mali zetu na watu wetu walitushughulisha, basi tuombee msamaha." Wanasema kwa ndimi zao (maneno) yasiyokuwamo nyoyoni mwao. Serna: "Ni nani awezaye kukusaidieni chochote kwa M wenyezi Mungu ikiwa anataka kukudhuruni au anataka kukunufaisheni?" Bali Mwenyezi Mungu anazo habari za mnayoyatenda vote.

    HAA MYM

    10. Mtume - kama tunavyojua - ru Mjumbe .va Mweuycz1 Mungu. Basi Mwenye kumpa ahadi Mtume ndiyo kama amempa ahadi Mwenyezi Mungu. Na A/hamd11 L1lahi; walitekeleza ahadi yao waliyompa Mwenyczi Mungu; na Mwenyezi Mungu akafurahi nao, kama ilivyo katika Aya ya 18 ya Sura hii hii. Ahadi yenyewe ilikuwa kuwa: lkibidi kupigana na Maqureshi watapigana tu - KUFA au KUPONA - hapana kukimbia.

    11 • Hawa ru wale wanafiki wan:.otoa ahadi za uwongo kila siku iii wasende vitani: Kama lslamu Ncnderu vitani Mponde mpondwe Kwenye maidani Si boja jamaa Za Misikitini.

    639

  • JUZUU 26 AL·FAT·H (48)

    I 2. Lakini mlidhani ya kwamba Mtume na Waislamu hawatarudi kabisa kwa watu wao, (watauawa vitani), na mkapambiwa hayo .katika nyoyo zenu; na mlidhani dhana mbaya, na mumekuwa watu wanaoangamia.

    I3. Na wasiomuamini Mwenyezi Mungu na Mtume wake, basi kwa hakika tumewaandalia makafll'i hao Moto ~kali.

    14. Na u.falme wa mbingu na ardhi ni wa Mwenyezi Munr,u, Humsamehe amtakaye (kwa kuwa amerejea kwake) na Humuadhibu amtakaye (kwa kuwa hakurejea kwake), na Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kusamehe (na) Mwingi wa kurehemu.

    1 s. Wale wakaao nyuma - mtakapokwenda kuchukua ngawira (nyara) - watasema: "Tuacheni tufuatane nanyi." Wanataka kuyabadili maneno ya Mwenyezi Mungu. Serna: "Hamtatufuata kabisa, M wenyezi Mungu amekwishasema hivi zamani!" Hapo watasema: "Bali nyinyi mnatuhusudu (mnatuonea maya)." Siyo, bali walikuwa hawafahamu ila kidogo!

    16. Waambie wale walioachwa nyuma katika watu wa majangwani: "Karibuni hivi mtaitwa kwenda kupigana na watu wenye mapigano makali, mtapigana nao au watasilimu; basi kama ~kitii, (Mwenyezi Mungu) Atakupeni ujira mzuri; na mkigeuka kama mlivyogeuka kwanza, atakuadhibuni adhabu iumizayo."

    I 7. Kipofu hana lawama, wala kiguru hana lawama, wala mgonjwa hana lawama (wasipokwenda vitani). Na anayemtii Mungu na Mtume wake atamwingiza mabustani yapitayo mito mbele yake. Na atakayegeuka upande, atamuadhibu adhabu iumizayo.

    IS. Kwa hakika Mwenyezi Mungu amewapa radhi Waislamu walipofungamana nawe chini ya mti; na alijua yaliyomo nyoyoni mwao. Basi akateremsha utulivu juu yao, na akawapa kushinda kwa zama za karibu

    HAA MYM

    IS. Hapa wanalipwa hao wanafw. Anaambiwa Mtume kuv.:a vita vya sasa hivi vyepesi, asiwachukue maadamu walikuwa wakivikimbia vile vigumu. Wawachwe waliokula uchunau wale utamu sua; sio wale waliokuwa hawataki - pale zunani - kwendll vitani. Hawatataabika watu weqine wutarehe weqiDe. Aliyechuma juani ndiye ale kivulini; ila waliokuwa na udhuru - wakati huo - ndio wanaotolewa katika hukumu kali hii, kama ilivyo katika Aya ya 17 hapa chini.

    18-11. jaza ya hao Waislamu waliotoa ahadi kweli kwcli.

  • JUZUU 26 AL-FAT-H 148)

    19. Na ngawira (nyara) nyingi watakazozichukua, na Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu (na) Mwenye hikima.

    20. Mwenyezi Mungu anakuahidini ngawira (nyara) nyingi mtakazozichukua; kisha amekuleteeni haya kwanza (kahla ya hayo); na akaizuia mikono ya watu isikufikieni, na i1i iwe dalili (ya kheri) kwa Waislamu na kukuongozeni njia iliyonyoka.

    21. Na (atakupeni ngawira) nyingine, hamjaweza kuzipata hado, (amhazo) Mwenyezi Mungu amekwishazizingia, na Mwcnyezi Mungu ni Muweza wa kila kitu.

    21. Na tau kama makafiri wangalipigana nanyi, hila shaka wangcgeuza migongo ( wakakimhia); kisha wasingalipata mlin~i wala · msaidizi.

    2 3· Hiyo ndiyo kawaida ya Mwenyezi Mungu 'iliyotangulia zamani; wala hutapata mahadiliko katika kawaida ya Mwenyezi Mungu.

    24. Na Ycye ndiye aliyeizuia mikono yao kwenu, na mikono yenu kwao, katika honde la Makka haada ya kukupeni (Mwenyczi Mungu) ushindi juu yao. Na Mwenyezi Mungu anaona (yote) mnayoyatenda.

    2 s. Hao ndio waliokufuru na wakakuzuilieni kwenda katika Msikiti Mtukufu (wa Makaa haada ya kukarihia hapo kwa kiasi cha meli 48), na wakawazuilia wale wanyama (mliowachukua kwa ajili ya kuchinjwa) wasiflkc mahala pake. Na lau kama si wanaume Waislamu na wanawake Waislamu (walioko Makka wanaficha Uislamu wao), msiowafahamu, msije mkawasaga hila kujua, na kwa hiyo mkapm masikitiko kwa ajili yao; (ingalikuwa si haya Mungu asiAgcknnaieAi- knpigana nao. Amefanya haya) ill Mwenyezi Mungu amuingizc amtakaye katika rehema yake. Kama (Waislamu na makafui) wangalitengana, hila shak~ tungaliwaadhihu wale waliokufuru miongoru mwao adhabu iumizayo .

    HAA MYM

    .u. Anawapa nsuvu Mwenyezi Mungu hao \Vaislamu wa kweli. Na sisi tukiwa Waislamu wa kweli tutalipwa kama bivi:

    Jaza Mota utujazi Utupe kheri haraka U tuonye pcnye enzi Utwepushie mashaka Nyoyo zitwishe simanzi Utupc tunayotaka Ya Muinu Awnaka Iwe Kun Faya~unu

    Hali zetu ni dhalili Ndiwe wa kutujamili K wako twaomba fadhili Amina Rabi ApUna

    Twakuombawe Rabana \V ala mwqine hatuna Enzi yako Maulana Iwe Kun Fayabnu

  • JUZUU 26 Al·FAT-H t4tl)

    26. Pale wale. waliokufuru · walipotia nyoyoni mwao mori, mori wa ujinga; basi hapo Mwenyezi Mungu aliteremsha utulivu wake juu ya Mtume wake na juu ya Waislamu; na akawalazimisha neno Ia kucha Mungu; nao walikuwa ndio wenye haki zaidi nalo na waliostahili. Na M wenyezi Mungu ni Mjuzi wa kila kitu.

    27. Kwa yakini Mwenyezi Mungu amemhakik.ishia Mtume wake ndoto yake ya haki: Bila shaka nyinyi mtaingia katika Msikiti Mtukufu Insba-Allah kwa salama; mkinyoa vichwa vyenu na mkipunguza nywele (kama ilivyo wajibu kufanya hivyo wakati wa Hija). Hamtakuwa na hofu ( wakati huo). Na (Mwenyezi Mungu) anajua msiyoyajua. Basi kabla ya baya atakupeni kushinda (kwanza) kuliko karibu (kuwashinda Mayahudi).

    28. Y eye ndiye aliyemtuma, (aliyemleta) Mtume wake kwa uwongofu na dini iliyo ya haki, iii aishindishe juu ya dini zote. Na Mwenyezi Mungu anatosha kuwa Shahidi.

    29. Muhammad ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na walio pamoja naye ni wenye nyoyo thabiti mbele ya makafui na wenye kuhurumiana wao kwa wao. Utawaona wakiinama kwa kurukuu na kusujudu (pamoja), wakitafuta fadhila za Mwenyezi Mungu na radhi (yake). Alama zao zi katika nyu~o zao, kwa taathira, (athari) ya kusujudu. Huu ndio mfano wao katik.a Taurati. Na mfano wao katika lnjili (umetajwa hivi): Kuwa (wao) ni kama mmea uliotoa matawi yake; kisha (matawi hayo) yakautia nguvu; ukawa mnene ukasimama sawasawa juu ya kigogo chake, ukawafurahisha walioupanda; iii awakasirishe makafiri kwa ajili yao. Mwenyezi Mungu amewaahidi walioamini na kutenda merna katika wao msamaha na ujira mkubwa.

    HAA MYM

    'Z7. Makadiyani mwisho wa maelczo ya Aya hii waliyoifanya ya 18 wamctia ukafiri huu:- "M;~nabii ni wanaadamu tu, na pcnginc wanawcza kukosca kuf~amu muradi hasa katika bi5hara za Mwcnyczi Mungu, kama vile Mtumc s.a.w. alivyokosca kuf~amu muradi khasa katika ndoto yakc." Ukafiri mkubwa kabisa huu: kuwa Mitume hufanya mambo, na bali ya kuwa sivyo walivyotakiwa kufanya, sivyo walivyoambiwa! Mtumc hatamki kinyumc na aliloambiwa, atafanya kinyumc cha aWoambiwa? Mwcnyczi Mungu an~ma katika Aya ya 3 na ya 4 ya Surat Wannajim: "Wala hascmi kwa matamanio (ya nafsi yakc) Hayakuwa haya (anayoscma) ila ni Wahyi (ufunuo) uliofunuliwa kwakc.u Wao wanascma anafanya Mtumc kinyumc cha alivyoambiwa! Sababu ya kuaia haya ni kumpicania huyo mtu wao. Yeyc alijipa Utumc na kuiibandikiza kuletewa Wahyi, katika maneno yakc na vilcndo vyake. Na natija ya chungu ya vitcndo vyakc hivyo na mancno hayo ilikuwa mbaya kabisa kwakc. Ndiyo maana wanamtafutia vipcngce hapa kwa kusema kuwa Mitume wakati mwingine huf:ahamu vibaya Wahyi wa Mwenyczi Mungu, wakafanya ya kuwadhuru. Hastahiki kuwa Mtume wa Mwcnyczi Mungu anayefahamu kinyume cha anavyoambiwa. Bali hafai hata kuwa mtumishi wa kufagia choo, anayefahamu kinyumc cha anavyoambiwa; atastahiki kuwa Mtumc wa Mwenyczi Mungu! Basi wameibanisha hapa daraja ya miumbc wao .

    Aliota Mtume katika mwaka wa 6 wa AI H1)'ra kuwa anahiii ycye na watu wake. Ndipo alipo10ka akcnda buko

  • JUZUU 26 AL-FAT·H