Somo la 2 kwa ajili ya Januari 12, 2019
Somo la 2 kwa ajili ya Januari 12, 2019
Ufunuo wa Yesu Kristo kwa Yohana (Ufu. 1:9-18)
Wapi:Patmo (1:9)
Lini: Katika siku ya Bwana (1:10)
Vipi: Kama Kuhani mkuu (1:12-18)
Barua kwa makanisa Saba (Ufu. 1:11, 19-20; 2:1-7)
Jinsi ya kutafsiri (1:11, 19-20)
Ujumbe kwa waefeso (2:1-7)
Ufunuo huanza kwa barua ya wazi kwenda kwamakanisa saba Asia ndogo (Uturuki). Mpangiliowa makanisa ni sawa na ule ambao msambazabarua angeliutumia kusambaza barua.
Yesu Kristo anatoa barua kwa Yohana. Kila kitukwenye hii barua kina maana maalum, ikijumuisha muundo na ujumbe wake kwa kilakanisa. Bado una maana maalumu kwetu leo, takribani miaka 2000 tangu zitolewe.
Patmo Efeso
Smirna
Pergamo
Thiatira
SardiFiladelfia
Laodikia
BAHARI YA
AEGEA
Nini kilikuwepo Patmo?
• Patmo ni kisiwa kilichofungwa(10x6 mi—16x10 km). Warumi walianzishasehemu ya adhabu hapo.
Kwa nini Yohana alikuwa hapo?
• Alituhumiwa kwa uzushi wa kuhubiri habari za Yesu Kristo alipokuwa mzee. Mfalme wa Rumi Domitian akamfunga pale kati ya 81 na 96 Baada ya Kristo)
Yesu alifanya nini kwa ajili ya Yohana?
• Yesu alimletea maneno ya matumaini na yakutia moyo, kama alivyofanya kwa wale vijanawadogo kwenye tanuru la moto na kwaStefano alipokuwa akiuwawa.
Tunaweza kuwa na uhakika kuwa Yesu atakuwa nasi daima tunapopitiamateso ili tuwe mashahidi waamini.
“Nalikuwa katika Roho, siku ya Bwana; nikasikia sauti kuunyuma yangu, kama sauti ya baragumu.” (Ufunuo 1:10)
Je; Tutafsiri vipi“Siku ya Bwana”?
Jumapili
• “Siku ya Bwana” ilitumika kuashiriaJumapili mara yakwanza katikakarne ya pili. Haimaanishi“Jumapili” katikawakati wa Yohana.
Kuja kwa Yesumara ya pili
• Hii ingemaanishakuwa Yohana alikuwa tayariakipokea maonoya kuja kwa Yesumara ya pili wakatianapokea ufunuohuu mpya (Is. 13:6; 2P. 3:10). Dhana hiihaiungwi mkonona aya za Ufunuo.
Sabato
• Katika agano la Kale, Mungu(Bwana) aliitasabato“yake”, Hivyo ni siku yake(|Kut. 31:13; Is. 58:13). Yesu pia anjiita“Bwana waSabato” (Mt. 12:8; Mr. 2:28 HivyoYohana alipokeaUfunuo katika sikuya Sabato, Siku yaBwana.
Mwonekano wa nje wa Yesu ulikuwaje katika Ufunuo 1?
Ufunuo 1:13-16
Vazi refumshipi wadhahabuNywele nyeupe
Macho ya moto
Nyayo za shaba
Sauti ya maelfu
Upanga kinywani
Uso kama jua
Danieli 10:5-6
nguo za kitanimshipi wadhahabu---
Macho ya moto
Nyayo za shaba
Sauti ya maelfu
---
Uso kama umeme
Mtu aliyevaa kwa namna aliyoiona Yohana na Danieli niYesu aliyevalia kama Kuhani mkuu.
Yohana alimuona Yesu akitembeakatikati ya vinara saba vya taa ambavyoni ishara ya makanisa saba (1:20)
Ujumbe kwa kila kanisa unaanza na“Nayajua matendo yako.” (2:2, 9, 13, 19; 3:1, 8, 15). Yesu daima yu katikati yawatu wake. Anawajua watu wake naanamjua kila mmoja wetu.
Ni mkuu na mwingi wa utukufu, lakinihatupaswi kuuogopa uwepo wake.
“Nami nilipomwona, nalianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kuume juu yangu, akisema, Usiogope,
Mimi ni wa kwanza na wa mwisho.’” (Ufunuo 1:17)
Ndiye aliyekufa na kufufuka. Anao ufunguo wamauti. Ana nguvu dhidi ya mauti na awajaliwalio hai.
WAKATI HUSIKA
(KIHISTORIA)
Ujumbe wa Yesu kwa kilakanisa linalo kutana katika mijisaba katika Asia ndogo wakatiwa Yohana.
WAKATI UJAO
(KIUNABII)
Ujumbe kwa wakati wakihistoria wa kanisa tanguwakati wa Yohana hadi wakati.
YA JUMLAUjumbe kwa kila kanisa namuumini katika kila wakatihistoria.
“ikisema, Haya uyaonayo uyaandike katika chuo, ukayapeleke kwa hayo makanisa saba: Efeso, naSmirna, na Pergamo, na Thiatira, na Sardi, naFiladelfia, na Laodikia.” (Ufunuo 1:11)
Ujumbe kwa makanisa saba huko Asia unaweza kutafsiriwa katika ngazi tatutofauti zinazokamilishana (1:19):
“Kwa malaika wa kanisa lililoko Efeso andika; Haya ndiyo anenayoyeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kuume, yeyeaendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu:’” (Ufunuo 2:1)
Efeso ulikuwa mji muhimu sana katika Asia. Yohana alikuwa mchungaji katika mji huouliojaa ukosefu wa maadili na uchawi(Matendo 19:19)
Kanisa lilisimama imara katika hali hiyoyenye changamoto. Hata hivyo, walisahauupendo wao wa kwanza kama walivyofanyaIsraeli wa zamani(Yeremia 2:2)
Kanisa hili huwakilisha kanisa la kikristo la karne ya kwanza (inakisiwa. kuanzia 31 hadi100 baada ya Kristo)
Hebu tuufuate ushauri wa kimbingu ili tutunze wema wao na kuepuka makosa yao : (1) Kumbuka upendo wako wa kwanza; (2)Tubu; (3) na utende matendo mema.
“Yeye [Yesu] hutembea katikati ya makanisa yake
katika urefu na upana wa dunia. Anawatazama kwa
matarajio makubwa kuona kama wako katika hali
ya kiroho ambayo wanaweza kuueneza ufalme
wake. Kristo yuko katika kila kusanyiko la kanisa.
Anamjua kila aliyeunganishwa na huduma yake.
Anawajua wale ambao mioyo yao inaweza kujazwa
na mafuta ya Roho mtakatifu, ili waweze
kuwaambukiza wengine. Wale ambao kwa uaminifu
hubeba kazi ya Kristo kwa ulimwengu,
wakiiwakilisha tabia ya Mungu katika maneno na
matendo, wakikamilisha kusudi la Bwana kwa ajili
yao, machoni pake ni wa thamani sana. Kristo
anawafurahia kama vile mtu afurahiavyo bustani
iliyotunzwa vyema na harufu nzuri ya maua
aliyoyapanda.” E.G.W. (Testimonies for the Church, vol. 6, cp. 53, p. 418)