Page 1
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
SHULE YA FEDHA KWA WANAOAMINI
Maneno kamili toka katika kurasa za tovuti katika mfumo wa word
Lakini mimi ni nani, na watu wangu ni nani,
hata tuweze kutoa kwa hiyari hivi?
Kwani vitu vyote vyatoka kwako,
na katika vitu nyako mwenyewe tumekutolea.
(1 Mambo ya Nyakati 29:14)
Kuchapisha masomo haya tafadhali tumia ukubwa wa karatasi wa barua za Kimarekani,
si A4, na herufi za ukubwa wa 10 Arial font, au unaweza kubadili mfumo wa maandishi
kwa staili yako mwenyewe kwa kuwa faili ina kiwango cha chini wa mpangilio wa
mwonekano.
Maandiko yote yametoka katika Bibilia Takatifu,toleo jipya la kimataifa
© Hodder and Stoughton
Nyumba zote za maombi kwaajili ya mataifa maskini mwishoni mwa kila kurasa
zinalenga juu ya kushughulikia ulimwengu, ( Toleo la karne ya 21): Patrick Johnstone
na Jason Mandryk. Walichapisha mwaka 2001 mtindo wa maisha kwa Paternoster.
ISBN 1-85078-357-8. ©http://www.operationworld.org/
'Nyumba za sala kwa mataifa maskini' mwishoni mwa kila kurasa ni kuhusu
kushughulikia ulimwengu, (Toleo la karne ya 21 ): Patrick Johnstone na Jason Mandryk.
Walichapisha mwaka 2001 mtindo wa maisha ya kwa Paternoster. ISBN
1-85078-357-8. © http://www.operationworld.org/
Likielezea sababu maalumu.
Kitabu hiki kinaonyesha maoni binafsi ya mwandishi kama mkristo na kimeandikwa
kwa ndugu wakristo kuhusiana na Bibilia. Kwa hiyo hakubali majukumu au
mawajibisho yoyote, na hatoi makubaliano yeyote, kwa ajili ya moni yaliyo kwenye
kitabu. Wote wanaotarajia kuwa na misingi inayohusu fedha juu ya maoni yeyote katika
kitabu hiki hufanya hivyo kwaajili ya hasara ya maisha yao yote. Mwandishi anarudia
tena kwa msomaji katika ukurasa ulionakiliwa 'Aina mbalimbali za baraka za Mungu'
ambazo zinahusiana na mda, aina, dhana, na viwango vya kila thawabu kwaajili ya
kupewa kitu cha thamani linachoamriwa na Mungu mwenyewe.
© 2003 The DCI Trust, England
Page 2
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
http://www.worldchristians.org
Barua pepe: [email protected]
Yaliyomo
1. Mungu wa Utoshelevu katika Agano la Kale
2. Mungu wa Utoshelevu katika Maisha ya Yesu
3. Mungu wa Utoshelevu katika Agano Jipya
4. Ushawishi Kamili wa Wema wa Mungu
5. Mungu Hutoa Mahitaji, Kwa aajili ya Uhai. Siyo Tamaa.
6. Kugharimia Matendo Mema
7. Hakuna Tajiri, Hakuna Maskini
8. Shahidi Katika Dunia
9. Fedha Inaweza Kuwa Sanamu
10. Fedha Inakuja na Uwajibikaji
11. Fedha Inahitaji Hekima
12. Fedha – Mpotoshaji wa Roho zetu
13. Uwakili
14. Baraka Zina Masharti Katika Uwakili Wetu
15. Kutoa Ni Fursa ya Uwakili
16. Aina nyingi ya Baraka za Mungu
17. Zaka
18. Maswali Kutoka kwa Wasiotoa Zaka
19. Maswali kwa Wasiotoa zaka
20. Zaka Kwa Kila kitu
21. Zaka ni Mali Takatifu Ya Mungui
22. Sadaka
23. Zaka na Matoleo
24. Sadaka Hushindaniwa
25. Kazi ya Kimishenari
26. Masikini
27. Makanisa/ Wahudumu
28. Waumini Wenzetu
29. Maadaui
30. Fedha ni kigezo cha Mungu
Page 3
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
31. Wapenzi ni watoaji
32. Kutoa Fedha Kunaleta Furaha.
33. Faida za Kidunia za Utoaji
34. Faida za Mbinguni za Utoaji
35. Gharama Za Kutokutoa
36. Nia Njema ya Kutoa
37. Nia Isiyo Sahihi ya Kutoa
38. Njia za Baraka
39. Vizuizi vya Baraka
40. Ahadi ya Fedha na Neno la Mungu
41.Kupanda Mbegu za Kiroho na za kifedha
42. Sheria za Mavuno
43. Kuzuia Mfumo wa Maisha ya Tamaa
44. Tamaa Inaleta Hukumu ya Mungu
45. Kuwa na Mfumo wa Maisha Rahisi
46. Utoaji katika Akaunti za Benki za Dunia
47. Utoaji katika Akaunti ya Benki za Mbinguni
48. Wakati wa Kutoa ni Sasa
49. Utoaji kwa Mara ya Kwanza
50. Utoaji Licha ya Hali
51. Utoaji licha ya Kuchoka Kutoa
52. Shetani Hutumia Fedha
53. Udhalimu hutuanika
54. Haki Hutukinga
55. Kipawa Cha Utoaji
56. Utoaji na Vipawa vingine vya Kiroho
57. Chochea Karama yako
58. Utume Mkuu - Ahadi ya Agano la Kale
59. Utume Mkuu – Amri ya Agano jipyai
60. Utume Mkuu – Kazi Kuu ya Mungu
61. Utume Mkuu - Tambua Sehemu yako
62. Kuhudumu Kama Mtumwa
63. Kuongeza Kasi au Kupunguza kasi ya Kurudi kwa Yesu
64. Wakati Wa Mwisho Wa Kurejeshwa Kwa Mali
65. Mwaliko binafsi
Page 4
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Shukrani.
1. Mungu wa Utoshelevu Katika Agano la Kale
Katika Bibilia Yako Soma Haya Kwa Sauti: Mwanzo 12:1-3
Kumbuka Msitari Huu: Yohana 10:10 ‘Mwivi haji ila aibe, na kuchinja na kuharibu,
mimi nalikuja ili wawe na uzima kisha wawe nao tele'
Baada ya Hapo Zungumzia hili: Unafikiri Mungu anamaanisha nini anaposema katika
Malaki 3; 10-12 kwamba atafungua madirisha ya mbinguni.
Jambo la Kufanya Kabla ya Wakati Mwingine: Ukiona somo hili linakufurahisha,
kwa hiyo kabla ya wakati mwingine ujao jitahidi ulete mtu mwingine pamoja nawe
wote muendelee na somo hili.
Kazi ya kuandika ya Diploma: Andika ukrasa mmoja ukielezea baraka walizo ahidiwa
watu wa Mungu kwaajili ya utii unaopatikana katika Kumbukumbu la torati 28.
Tafakari neno baada ya neno katika aya hii: Yeremia 29: 11
Katika kurasa hizi tatu, kipanoramia, maoni ya kihistroria yatachukuliwa na kuhusishwa
na mpango wa Mungu na watu toka zamani za Adamu hadi majumuisho ya kitabu cha
ufunuo. Tukiendelea katika zama tunaweza kupata uhalisia na usahihi kama, Mungu ni
Mungu wa utoshelevu na mafanikio na hasa ni shauku yake kuona watu wake wanaingia
katika upaji na shauku yake kwao.
Kuingia kwa maneno ya Mungu kunaleta mwanga (Zaburi 119:130) Tunapo yatazama
maandiko toka Mwanzo hadi Ufunuo, nuru halisi ya neno la Mungu hutufunulia utele
wake, Upaji wake, na mapenzi yake na uwezo wake kuhakikisha watu wake wanaingia
ndani yake.
Mwanzoni tunaona kwamba dunia iliumbwa na kujazwa wanyama, mimea, ndege na
miti na katika Mwanzo 1:27-31 tunaona kwamba Adam alipewa mamlaka kutawala na
kumiliki urithi huu mkubwa na uliosheheni.
Ni muhimu kukumbuka kwamba dunia iliumbwa kwa ajili ya furaha ya Mungu na watu
wake – hakika haikuwekwa pale kwa ajili ya shetani na wafuasi wake. Kuanguka kwa
mwanadamu kumeshuhudia kuingia kwa shetani na nia yake ilikuwa kuiba, kuua na
kuharibu urithi ulikuwa wa kitajiri sasa umevamiwa na miba na magugu (Mwanzo:3:17-
18). Vita hii ambayo ilianza kitambo bado inapiganwa sasa. Yesu alitoa mfano aliposema
alikuja kutupa uhai, afya, utajiri na zaidi mambo mema, lakini shetani huja na kuiba
Page 5
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
urithi wetu (Yohana 10:10)
Mungu amejidhihirisha kwa Abraham kama Mungu wa ahadi, alimpa hadi saba – zote
zikizingatia utashi wake kumbariki Abraham, na kwa kupitia kwake kuubariki
ulimwengu wote (Mwanzo 12:1-3) – ingelionekana kwamba katika Abraham Mungu
aliona mtu wa kutimiza lengo alilokuwa nalo mwanzo. Hivyo utashi wa Mungu mkuu
kumbariki (na hatimaye Ulimwengu) kwamba alithibitisha ahadi yake kwake kwa mara
nyingine (Mwanzo 15:1:17:3-6:18:17-18:22:17) na kabla ya kifo chake ilizungumzwa
kuhusu yeye kwamba “Na Bwana alikuwa amembarikia katika vitu vyote.” (Mwanzo
24:1).
Tukihamia katika nyakati za Musa tunaona watu wa Mungu (na uzao wa Abraham)
kuingia katika mpango, na ndoto ambayo Mungu alimuonesha Abraham (Kutoka 1:7) –
hata wakati wakiwa mateka. Kama ambavyo Adam alivyopewa urithi tajiri uliosheheni –
Musa alipewa lengo hilo hilo la nchi kubwa iliyosheheni (Kutoka 3:8), kama pia
Abraham alivyopewa (Mwanzo 12:6-7). Waisraeli hawataondoka katika umateka kama
mafukara watateka nyara za wamisri (Mwanzo 3:21-22 12:36) ili ahadi ya Mungu kwa
Abraham iwe ya kweli (Mwanzo 15:14)
Katika nyakati ambazo zilitumika kujiandaa kuingia nchi ya ahadi na Waisraeri
wakalazimika kutangatanga katika jangwa sawa na muda walioishi Misri, hata katika
hali isiyo ya ukamilifu wa mapenzi ya Mungu, neema na rehema za Mungu zingalipo
kwa ajili ya watu wake. watu wa Mungu wanashuhudia miujiza inayoendela, ya kuona
chakula kikishuka toka mbinguni, nguo zao hazikuchakaa licha ya kuzunguka kote,
viatu vyao havikuchakaa pia (kumbukumbu la torati8:4 & 29:5). sawasawa na urithi
ambao ulipaswa kuwa wao uliobakizwa kuwa katika uangalizi wao ili wajiweke katika
ujazo wa upaji wa Mungu: (Kumbu kumbu la Torati 5:33:6:10:8:10 & Joshua 1:8).
Katika Kumbu kumbu la Torati 28 tunaona kauli ya wazi kwamba umasikini ni laana na
utoshelevu ni mapenzi ya Mungu kwa watu wake – somo hili halioneshi kwa uwazi
mpango wa Mungu kwa ajili ya watu wake?
Slemani anaweza kuonekana kama mtu pekee tajiri na sababu ni Mungu ndiye aliyempa
utajiri. Katika Wafalme 3:10-14 Sulemani aliomba hekima, lakini kama baadae
anavyojidhihirisha kwetu katika Mithali 3:16 (kumbuka kwamba aliandika maandiko
hayo!), yeyote anayehitaji hekima pia atapata utajiri na heshima ona mwenyewe
matokeo katika wafalme 1: 10:14-29. Unapozungumzia hekima, nini kinachoonyeshwa
katika kitabu cha hekima cha Ayubu, Zaburi, Mithali na Muhubiri? Naam, licha ya
majaribu na magumu yote, Ayubu 42:10-16 inaonesha kwamba neno la mwisho la
Mungu juu ya yote yaliyotokea kuwa Ayubu alipaswa kuufahamu utajiri kwa mara
nyingine, na hata katika kiwango kinachoongezeka. Kwa vitabu vingine vya hekima
vinajielezea vyenyewe:
Zaburi 25:13 ‘Nafsi yake itakaa katika hali ya kufanikiwa ,wazao wake watairithi inchi.
Page 6
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Zaburi 35:27 ‘Washangie na kufurahi wapendezwao na haki yangu. Naam, waseme
daima Bwana apendezwaye na mafanikio ya mtumishi wake.”
Zaburi 128:2 ‘Taabu ya mikono yako hakika utaila utakuwa heri na kwako kwema.'
Mithali 10:22 ‘Baraka ya Bwana hutajirisha wala hachanganyi huzuni nayo.’
Mithali 13:21 ‘Uovu huwaandamia wenye dhambi bali mwenye haki atalipwa mema.’
Muhubili 2:26' ' Kwa sababu Mungu humpa yeye anayemridhia hekima na maarifa na
furaha, bali mkosaji humpa taabu ili kukusanya na kututa, apate kumpa huyo ambaye
Mungu amridhia.'
Hata katika umateka wa Babiloni, Bwana aliinua nabii tena ili kutimiza mipango yake
mema na shauku yake kwao. Mara nyingi watu husoma yeremia 29:11 kuonyesha
wema wa Mungu, ambao ni kweli kabiasa lakini ni zaidi ya kweli na halisi kama
ilivyoongelewa katika utumwa, watu waasi 'Kwa maana najua mawazo niliyo nayo juu
yenu asema Bwana ni mawazo ya mema si ya mabaya kuwapa tumaini siku zenu za
mwisho'. Hatimaye baada ya umateka wa Babiloni, mwishoni mwa kurasa za kitabu cha
Agano la kale tunaona Mungu akiwashawishi watu wake kushirikiana naye ili aweze
kufungua malango ya mbinguni na kumwaga baraka nyingi kiasi kwamba watu wake wa
wafunikwe nazo (Malaki 3:10-12).
kwa hiyo kutoka kurasa zilizopita za kitabu cha Agano la kale hadi kurasa za mwisho za
kitabu cha mwisho, kutoka Adeni, Misri, jangwani, Kanaani mpaka Babiloni, tunaona
Mungu akishawishi na kukumbusha watu wake ju ya utosherevu na mafanikio.
Nyumba ya Maombi kwa ajili ya Mataifa Masikini
Omba kwa ajili ya Afghanistani
watu 22,720,000, asilimia 98 waisilam
Taliban imeweka mfumo mgumu wa uislam ulimwenguni
lakini wakati ni sasa kwa ajili ya injili © www.operationworld.org
2. Mungu wa Utosherevu katika Maisha ya Yesu
Katika Biblia Yako Somo Haya Kwa Sauti: Luka 4:14-21
Kumbuka Mstari Huu: Yohana 2:5 ‘Mamaye akawaambia watumishi, “Lolote
atakalowaambia fanyeni.“
Baadae Zungumzia Hili: Nini unafikiri ni mfumo wa maisha unaokubalika kwa mtu
anayeamini katika utamaduni wako, ambao utakufanya uwe na ziada kwa ajili ya
Page 7
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kuwapa wengine?
Jambo la Kufanya Kabla ya Wakati Mwingine: Inawezekana usiweze kulisha watu
5,000 lakini ukamudu kuipatia mlo wa kawaida familia masikini ambayo hujawahi kula
nao. Waalike nyumbani kwako, katika chumba au kanisa au wapelekee na kula pamoja
nao.
Kazi ya kuandika ya Diploma: Andika kurasa moja ukiorodhesha matukio mengi
tofauti uwezavyo, wakati gani Yesu alitoa kitu kwa ajili ya wenye mahitaji.
Tafakari neno baada ya neno katika aya hii: Luka 19:26
Tukihamia katika kitabu cha Mathayo, tunaweza kuthibitisha kauli kwamba Mungu
habadiliki – hususani katika suala la fedha, kutokana na maandiko katika Agano Jipya
ambayo yanatuongoza katika hitimisho hilo. Kimsingi, tunaweza kuona Bwana ambaye
habadiliki waziwazi ambaye anakuja ulimwenguni kama Yesu – maisha yake na huduma
yake, inaonesha ambavyo wale wote waliomtii walivyopokea kutoka kwake, na mara
nyingi upaji ulikuwa waasili ya ya ajabu.
Katika Luka 4:16, Yesu anajiandaa kuanza huduma yake na kuingia katika Sinagogi na
kuhusisha sehemu ya Agano la Kale na yeye, na nini huduma yake atweza kufanikisha,
‘Roho wa Bwana yu juu yangu, kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini
habari njema'.
Hatimaye, ingelionekana kuwa jambo la kwanza Yesu alilolizungumzia ni kuhusu utume
wake na kazi yake kama Masihi, ni kwa kutaka kugusa mahitaji ya masikini. Baada ya
hapo wafuasi wa Yohana Mbatizaji walikuja na kumuuliza Yesu kama yeye ndiye Masihi
na Yesu aliwathibitishia kwamba ndiye, hatahivyo hakuthibitisha moja kwa moja lakini
kama ushahidi kwamba ndiye Masihi alianza kwa kusema yale ambayo tayari
ameyafanikisha.. Katika Mathayo 11:5 moja ya ishara ambazo Yesu aliziorodhesha kwa
wafuasi wa Yohana Mbatizaji, kuonesha kwamba yeye ni Masihi ni, ‘Habari njema
alizozihubiri kwa masikini’.
Nje ya huduma yake, ishara ya kwanza ya kimuujiza ilikuwa ya kubadili maji kuwa
mvinyo katika harusi ya Kana (Yohana 2:11) – upaji na utoshelevu huu ulionyesha
utukufu wake na kuwafanya wanafunzi wake kumwamini – ingelionekana kwamba
wanafunzi wake walijua kwamba yeye ndiye Masihi, angekuwa na sifa ya upaji na
utajiriri. Sivyo ilivyo kwa sasa kwamba wanaume na wanawake kumwamini Yesu halisi
kwa mazuri na upaji – lakini mara nyingi akionekana kama fukara ambaye anahitaiji
wafuasi wake kuwa masikini pia? Huenda ikawa ni taswira isiyo ya kweli kwamba kuwa
mkristo inabidi uwe masikini hivyo kusababisha watu kushindwa kuja kwa Yesu na
kuishi maisha yao kumfuata yeye.
Ingelioneka kwamba nia hii ilitumiwa sana na Yesu – kwanza alionesha uzuri na utayari
Page 8
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
wake kwa watu hii huwaongoza watu kutambua utukufu wake na ukuu na matokeo
yake kutokujizuia kumfuata yeye - Luka 5:1-11 inaonesha namna hii haswa kutumiwa
tena na Yesu. Baada ya uchovu wa usiku wanafunzi wenye uchovu wanasikia sauti ya
Bwana wao na upaji wa Yesu, inaonekana katika kuchanika kwa nyavu wakati wa kuvua
samaki (Luka 5:7). Matokeo yake, Simoni Petro (na Yakobo na Yohana), wanapata
ufunuo wa ukuu na utukufu wake (Luka 5:8-10) na hatimaye ule uliokuwa ndio ufahamu
wao unageuka kwa kujitoa na kujitolea kwa Yesu. Katika yote kubadilika kwa maji
kuwa mvinyo na kuvua samaki, Yesu anawavuta watu kumwamini kwa kuonesha utayari
na uwezo wake wa kutoa kwa wingi kwa ajili yao.
Hakika, kama ambavyo Yesu alivyotumia njia hii katika utumishi wake kwa ajili ya
kuonesha undani wake kwa wanafunzi wake na kuwavuta wao kwake karibu na
utumishi wake duniani, anafanya hivyo tena kutia nguvu, kutia moyo na kuthibitisha
imani ya wanafunzi wake. Baada ya kufufuka toka katika wafu (na miaka mitatu ya
kutembea na Yesu), imani ya wanafunzi inadhoofika na kurudi katika mienendo yao ya
awali ya maisha ya uvuvi (Yohana 21:1-30). Neno la Bwana linasema na kukubaliwa na
Yohana 21:6 anaonyesha Yesu anavyodhihirisha wema wake kwa wanafunzi wake
Yohana 21:7 inaonyesha kuwa tendo hili la utoaji linamaanisha kwamba wanafunzi
ambao awali hawakutambua kwamba ni Yesu, walitambua kuwa ndiye Bwana katika
utukufu wake. Mwishowe, hatua hizi mbili zina matokeo yanayofanana kama awali –
wanafunzi sasa hawawezi kujitoa isipokuwa kumfuata yeye, kwa kuvutiwa na wema
wake kwao.
Kati ya miujiza yote, mmoja ambao umeandikwa katika injili zote nne ni muujiza wa
kulisha watu 5000. Tena kanuni inathibitisha kwamba wote waliomfuata Yesu
walihudumiwa na Yesu, na tunaona katika Mathayo 14:21 kwamba pamoja na kuwa na
wanaume 5000, pia kulikuwa na wanawake na watoto ambao jumla ya waliopata
chakula kuwa zaidi ya watu 10,000. Hali hii inahusika pia na watu 4,000 walipatiwa
chakula 4000 Mathayo 15:38 inaonyesha kuwa kulikuwa na wanaume 4000 lakini pia
kulikuwa na wanawake na watoto hivyo ni sawa na kupendekeza mara mbili ya idadi
hiyo kupatiwa chakula.
Upaji wa Yesu kwa wote waliomfuata inaonekana hata katika tukio ambalo Petro
alielekezwa kuwa atapata fedha ya kulipa kodi katika mdomo wa samaki (Mathayo
17:27) hata hali ya kushangaza na mazingira ya yasiyotarajiwa, uwezo wa Mungu kutoa
kwa ajili yake hata hivyo hauwezi kufananishwa.
Mwisho, wakati tukiangalia katika maisha ya Yesu tuonaona wazi maisha yake kwa
mtazamo wa fedha kuwa aliwakirimu wanafunzi wake, na hata alikuwa na mfuko wa
fedha na hazina, ulioitwa Yuda Iskariote. Hakika, Yohana 12:29 inaonyesha kwamba
wakati Yuda anaenda kumsaliti Yesu, baadhi ya wanafunzi walifikiri kuwa alienda
kuwasaidia masikini – ilionekana kuwa ilikuwa ni kawaida Yesu kumtuma Yuda
Page 9
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kuwasaidia masikini.
Zaidi ya hayo imekadiriwa kuwa takribani nusu ya mifano ambayo Yesu alifundisha ni
kuhusu fedha – ilionekana kuwa fedha ni eneo muhimu ambalo Mwana wa Mungu
alizungumzia kwa mapana. Hususani mfano wa Talanta (Mathayo 25:14-30) na mfano
wa wakili asiyemwaminifu (Luka 19:12-27) kutoa masomo ya kituo kama tabia ya Yesu
juu ya utajiri, utafutaji utajiri na umasikini. Katika mifano yote miwili, ni mtu ambae
alikuwa safi na mwanafunzi mwenye akili juu ya fedha na ambaye amejitahidi kutumia
fedha kwa busara ambazo alikabidhiwa na kutukuzwa na kuthibitishwa na Bwana wake.
Tofauti na hayo, mtu ambaye hakufanya jitihada kuzalisha mara dufu fedha ambazo
alikabidhiwa na kujitajirisha mwenyewe badala ya Bwana wake, katika mifano yote
alipata kukaripiwa sana. Ni wazi kwamba Yesu anatarajia kuwa tutakuwa mahiri katika
kuzalisha fedha ambazo ametukabidhi ili tupate zaidi kwa ajili ya kuwekeza katika
Ufalme wake. Hivyo mwishowe hatuwezi kustarehe katika mema ya Yesu na kusema,
kama anaweza kutoa fedha katika mdomo wa samaki kulipa kodi kwa wapangani, kiasi
gani zaidi anaweza kutoa fedha kuona kwamba tumebarikiwa katika aina ya maisha
yanayokubaliwa na kuwa na ziada kwa ajili ya kutoa kuona wanaume na wanawake
wanaokolewa toka jehanamu?
Nyumba ya maombi kwaajili ya mataifa maskini,
Tuoobee Albania
3,113,434 Ya watu, ni Wakristo wachache kati ya waislamu.
Wanaathiriwa na Ukommunism, Unthesm na wala rushwa.
Kanisa ni changa lakini linakua. © www.operationworld.org
3. Mungu wa Utoshelavu Wakati wa Agano Jipya
Katika Biblia Yako Soma Haya Kwa Sauti: 2 Wakorinto 8:9
Kumbuka Mstari Huu: 3 Yohana 2 ‘Naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na
afya yako, kama vile roho yako ifanikiwavyo.'
Baada ya Hapo Zungumza Kuhusu Hili: kwa namna gani Yesu alikuwa masikini, na
ni namna gani atatufanya kuwa matajiri
Jambo la Kufanya Kabla ya Wakati Mwingine: Andika mambo katika maisha yako
ambayo unataka kuuona Baraka za Mungu na uziombee.
Kazi ya Diploma ya Kuandika: Andika kurasa moja ya majadiliano yote toka katika
Page 10
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Agano Jipya kwamba Mungu apenda uwe masikini. (Usihofu kama hutaweza kujaza
kurasa nzima!)
Tafakari neno baada ya neno katika aya hii: Wafilipi 4:19
Tukihamia katika kitabu cha Matendo ya Mitume, tunaona jamii ya mfano wa
wanaoamini ambao Mungu angependa watu wake wote waishi hivyo – badala ya Yesu
kutatua mahitaji ya masikini mwenyewe, waamini wenyewe ndio sasa wanakuwa
mikono na miguu ya Yesu katika kutimiza mahitaji hayo. Katika maandiko mawili
yafuatayo tunaweza kuona ujasiri wa jamii ya watu waliojitoa kabisa kwa ajili ya
kumpenda Bwana Yesu – kwamba hakuna mtu masikini au mahitaji aliyekuwa miongoni
mwao.
Matendo ya Mitume 2:45”Waaminio wote walikuwa pamoja walikuwa na vitu vyote
katika shirika, wakiuza mali zao, na vitu vyao walivyokuwa navyo, na kuwagawia watu
wote kama kila mtu alivyokuwa na haja,'
Matendo ya Mitume 4:34, ' Wala hakukuwa na mtu miongoni mwao mwenye mahitaji,
kwa sababu watu wote waliokuwa na viwanja au nyumba waliviuza wakaleta thamani ya
vitu vile walivyo viuza wakaiweka miguuni mwa Mitume kila mtu akagawiwa kwa
kadri ya alivyo hitaji.'
Utiii wa sauti ya Roho Mtakatifu unaweza kuonekana tena katika Matendo ya Mitume
11:29 ambapo mara baada ya hitaji kutambuliwa, wanafunzi kwa pamoja walitoa kwa
ajili ya hitaji hilo la fedha – kila mmoja kulingana na uwezo wake (Kama makanisa
pekee ya magharibi yalivyo leo wanaposikia juu ya wakristo wengine walio katika hitaji
kubwa katika sehemu nyingine za dunia).
Rejea ya mwisho kuhusu fedha katika kitabu cha Matendo ya Mitume ni maandiko
maalum, ambayo yameweka kumbukumbu ya maneno pekee ambayo hayajaandikwa
katika injili - Matendo ya Mitume 20:35 inasema, ‘Ni heri kutoa kuliko kupokea.' maana
katika neno hili ni kwamba Yesu yule yule ambae anapenda wafuasi wake waondoke
toka kuwa wapokeaji kuwa watoaji atawapa nguvu na kuwapa neema na uwezo wa
kufanya hayo.
Kuendelea toka Matendo ya Mitume kwenda utume, mtume Paulo anatoa mtazamo
muhimu wa Kiapo kipya kuhusu fedha na mwongozo ambao wafuasi wa Yesu
wanapaswa kuutumia kuhusu fedha. Katika Warumi sura ya 12 tunaona pia kutoa
zawadi hizi kama utabiri, mafundisho na uongozi kwa kanisa, Mwokozi
alivyonyakuliwa ametoa vipawa katika kanisa ambavyo vinapaswa kufundishwa,
kuhubiriwa, kuamshwa na kutumiwa kama zawadi nyingine za kiroho ambazo
zimetolewa kwa kanisa. Katika Warumi 10:32 Paulo anaendelea kutoa hoja kwamba
kama Mungu alimtoa Yesu, hataweza kutupatia kila kitu – je haina maana kutoa wazo la
kwamba fedha ni sehemu ya “vitu vingine vyote” ambavyo Mungu atatupatia? Hakika,
kama Mungu alikuwa tayari kutoa sadaka ya hali ya juu ya Mwana wake kwa ajili yetu,
Page 11
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kwa kiwango gani atakuwa tayari kututajirisha ili tushirikiane nae katika kutekeleza
mpango wake duniani.
Tukiendelea katika kitabu cha Wakorinto 2 sura 8-9 tuonaona fedha inavyotumika
kwamba ilitolewa kila mahali katika Biblia – licha ya majaribio ya watu wengi ya
kuyarahisisha kiroho maneno kuhusu maana ya Paulo yanayosema – Ufunuo wote ni juu
ya mali na utajiri – si utajiri wa kiroho, (ingawa katika kitabu cha Waefeso Paulo
anashughulikia mambo haya). Maandiko hapo chini yanahusisha kwetu kwa uwazi
utashi mkuu wa Mungu kuleta utajiri kwa watu wake – kwamba wanaweza kushiriki na
wengine walichonacho.
2 Wakorinto:8:9 Maana, mumejua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo, jinsi alivyokuwa
maskini kwaajili yenu, ingawa alikuwa tajiri, ili kwamba ninyi mpate kuwa matajiri kwa
umaskini wake.'
2 Wakorinto:9:8 Na Mungu aweza kuwajaza kila neema kwa mingi, ili ninyi, mkiwa na
riziki za kila namna siku zote, mpate kuzidi sana katika kila tendo jema;'
2 Wakorinto:9:11 'Mkitajirishwa katika vitu vyote mpate kuwa na ukarimu wote,
umpatioao Mungu shukrani kwa kazi yenu.'
Kuna majadiliano makubwa matatu juu ya fedha katika barua za Paulo, yote kati ya
hayo yanatoa mahitimisho yanayofanana kwamba moyo wa Mungu ni juu ya
kuwatajirisha watu. Wagalatia 6:6-10 itatupeleka katika utoaji wa fedha katika maeneo
ambayo yanatujaza kiroho na ahadi ni kwamba kama tutavumilia katika utoaji wetu na
upandaji kumpendezesha Roho Mtakatifu tutapata mavuno katika wakati mwafaka.
Katika Wafilipi 4:10-20, Paulo anashauri kanisa la Ufilipino kwa ajili ya ubia wao wa
kifedha pamoja nae katika injili. Kama matokeo ya uadilifu wao katika uwekezaji fedha,
Paulo anawatia moyo kwamba, 'Mungu wangu atawapatia mahitaji yenu yote kulingana
na utakufu wa utajiri wake katika Kristo Yesu'.
Baada ya maonyo makali kwa Timotheo katika 1 Timotheo 6 juu ya hatari ya fedha,
Paulo anamtia moyo kuwaamuru watu matajiri kutokuangalia katika utajiri wao lakini
‘kuweka matumaini katika Mungu, ambaye atatupa kwa wingi vitu vingi kwa ajiri ya
furaha yetu’
Tukihamia mwisho wa Biblia tunaona maombi mazuri na yenye utimilifu yaliyoandikwa
na Yohana, Utume katika upendo katika 3 Yohana 2 kwamba tunaweza kufurahia afya
nzuri, mafanikio na utajiri katika mambo yote ya maisha yetu. Sababu Roho Mtakatifu
hupenda Biblia, atakuwa alipenda maombi haya, ambayo yako katika utashi wa Mungu
(Warumi 8:27) – hivyo tunaweza kwa ujasiri kusema kwamba utashi wa Mungu ni
kututajirisha katika mambo yote ya maishani mwetu.
Page 12
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Mwisho, mtazamo wetu katika maisha ya nyuma katika Biblia tunakuja kitabu cha
mwisho cha Biblia ambacho kinaelezea urithi ambao Mungu ameuandaa kwa ajili ya
wale watakaomfuata yeye. Ufunuo 21:15-21 inatuonesha utajiri ambao Mungu
mwenyewe anaufurahia na anaopendezwa kushirikiana na watu wake – hakika, kama
amabavyo tumeona katika Mwanzo hadi Ufunuo, hatuhitaji kusubiri paradiso kabla ya
kupata urithi wetu – Mungu anataka tufahamu uko hapa Duniani sasa hivi– hatuwezi
kuurithi sasa?
Nyumba ya maombi kwaajili ya Mataifa maskini
Omba kwaajili ya Algeria 31,471,278 ya watu , 96% ni Waislam
Wameathiriwa na sheria kali ya kiislamu iliyotangazwa Imegubika kanisa.
© www.operationworld.org
4. Ushawishi Kamili wa wema wa Mungu
Katika Biblia Yako Soma Haya Kwa Sauti: Luka 12:32
Kumbuka Mstari Huu: Zaburi 35:27 ‘Washangilie na kufurahi wapendezwao na haki
yangu. Naamu, waseme daima atukuzwe Bwana apendezwaye na mafanikio ya
mtumishi wake.'
Baada ya Hapo Zungumzia Hili: Je umashawishika kwa ukamilifu kwamba Mungu
anaweza kukubariki?
Jambo la Kufanya Kabla ya Wakati Mwingine: Andika hofu yako kuu na uiwasilishe
kwa Mungu kwa maombi
Kazi ya Diploma ya kuandika: Andika ukurasa mmoja kwanini kama tukiweza kuwa
jasiri tutauona wema wa Mungu mashani mwetu.
Tafakali Neno Baada ya Neno: Zaburi 23:6
Hivyo, baada ya kuona toka mwanzo wa Bibilia mpaka mwisho, wema na utajiri wa
Mungu, namna gani neno la Mungu limekubadili? Labda umepata ufahamu wa wema
wa Mungu na maandiko yamekupa nguvu na kukuthibitishia kwamba ufahamu huo kwa
kadri unavyoendelea kusoma vitabu vilivyobakia utaendelea kukua katika ufahamu juu
ya wema wa Mungu. Labda umepata wakati mgumu kuukubali wema wa Mungu na
umefundishwa ya kuwa katika hali ya Kimungu unapaswa kuwa masikini – Neno la
Mungu limekupa changamoto na kuangaza fikra zako. Neno la Mungu huonesha sifa
Page 13
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
yake na asili na tunaamini na kukubali neno la Mungu kuhusu utajiri wake na
unyenyekevu, tutakuza uaminifu na uhakika wa wema wake.
Kitabu cha Waebrania ni kitabu kinachoonesha tofauti kati ya kujihusisha na Mungu
katika Agano la Kale na katika Agano Jipya na uthabiti na imani tunayoweza kuwa nayo
katika maombi kukikaribia taji la neema. Chini kuna baadhi ya maandiko yanayohusiana
na kumkaribia Mungu katika maombi na mafundisho – tambua ambavyo neno UJASIRI
linatumika.
Waebrania 4:16 ‘Basi na tukaribie kiti cha rehema kwa ujasiri,ili tupewe neema,na
kupata neema ya kutusaidiawakati wa mahitaji.
Waebrania 10:19 ‘ Basi ndugu,kwakua tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu
ya yesu,kwa njia ile aliyotuanzishia iliyo mpya,iliyo hai,ipitayo katika pazia,yaani mwili
wake,na kwakua tuna kuhani mkuu juu ya nyumba ya Mungu,na tukaribie wenye moyo
wa kweli,kwa utimilifu wa imani'.
Maandiko mengine yanayohusiana na kumkaribia Mungu kwa Maombi yakiwa na neno
UJASIRI
Waefeso 3:12 ‘katika yeye tunao ujasiri wa kumkaribia katika tumaini kwa njia ya
kumwamini.
1 Yohana 3:21 ‘Wapenzi mioyo yetu isipoyuhukumu tuna ujasiri kwa Mungu,na lolote
tiliombalo tutaripokea.
1 Yohana 5:14 ‘Na huu ndio ujasiri tulionao kwake,ya kuwa,tukiomba kitu sawasawa na
mapenzi yake,atatusikia.
Unahisi unaweza kumkaribia Mungu kwa ukakamavu na ujasiri katika maeneo yako ya
fedha – kusadiki na kuamini kwamba utajiri wake utakujia katika maisha yako? Kwa
huzuni, watu humtazama Mungu kama mtu ambae ni vigumu kumkaribia na asiyetaka
kubariki, ambaye anataka watoto wake wabaki ‘masikini na wanyonge’ – hatimaye,
hawana ujasiri wa kumkaribia Mungu. Kutokana na ufahamu juu ya nini Bibilia inasema
kuhusu wema wa Mungu, watoto wake watashawishika na wema wake na kuweza
kumkaribia na kumwamini kwamba atawapatia mahitaji yao na kuwapa utajiri juu ya
hayo.
Kutumia muda katika bibilia inaweza kukuletea Baraka ambazo hazijawahi
kuzungumziwa katika maisha yetu kama ambavyo Bibilia inaonesha asili ya kweli na
sifa za Mungu na kama maoni yetu juu yake yanabadilika kuwa kama ambavyo Bibilia
inasema kuhusu yeye, tunaweza kutulia katika wema wake. Wengi wetu hatuna tatizo
Page 14
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kumkaribia Baba wa dunia tunapokuwa na hitaji au tatizo – mara ngapi zaidi hili
linawezekana pamoja na Baba yetu wa dunia. Labda, kwa kadri unavyosoma kitabu hiki
uko katika hitaji la fedha na unahitaji kuona Mungu akiingilia kati mara moja katika
fedha zako – unaamini kwamba Mungu yuko tayari na anaweza kufanya hili?
unashawishika na kuwa na hakika juu ya wema wake kwako?
Ni vigumu kuwa mkakamavu na jasiri katika kumkaribia Mungu katika mambo yako ya
fedha kama huamini kwamba utashi wake wa kutenda muujiza katika fedha zako, ni
vigumu kumwamini mtu ambaye humfahamu vizuri au kuwaamini watu kuwa
wanaweza kutaka kukusaidia. Baada ya kuona kwa ukamilifu katika Bibilia juu ya
utajiri wa Mungu, kwa nini usimkaribie sasa, kwa moyo safi na imani ambayo
imehakikishwa juu ya wema wake kwako. Ruhusu mwangaza wa neno la Mungu umlike
katika moyo wako na kushawishika kikamilifu katika wema wake.
Bibilia inasema kwamba Mungu atatimiza mahitaji yetu yote
Zaburi 23:1 ‘Bwana ni mchungaji wangu sitapungukiwa na kitu.
Zaburi 34:9 ‘Mcheni Bwana enyi watakatifu wake,yaani,wamchao hawahitaji kitu.wana-
simba hutindikiwa,huona njaa.Bali wamtafutao Bwana hawahitaji kitu chochote kilicho
chema.
Zaburi 84:11 ‘Kwakua Bwana,Mungu,ni jua na ngao,Bwana atatoa neema na
utukufu.Hatawanyima kitu chema hao waendao kwa ukamilifu.
Mungu atatoa vitu vyote muhimu kwa ajili ya maisha (ikiwa ni pamoja na fedha) kwa
watoto wake
2 Petro 1:3 ‘kwakua uwezo wake Mungu umetukilimia vitu vyotevipasavyo uzima na
utauwa,kwakumjua yeye alietuita kwa utukufu wake na wema wake mwenyewe.
Warumi 8:32 ‘Yeye asiemwachilia mwana wake mwenyewe,bali alimtoa kwa ajili yetu
sisi sote atakosaje kutukirimia na mambo yote pamoja naye?
Bibilia inasema kuwa tutazidishiwa baraka na baraka za Mungu zitatufuata nje na chini
hadi zitufikie!. Tambua kwamba Bibilia inasema ya kwamba baraka zitatutafuta –
haisemi tuzitafute Baraka, wakristo wengi wanatafuta Baraka za Mungu badala ya
kumtafuta Mungu mwenyewe! Mtafute Mungu kwa bidii na Baraka zake zitakutafuta
kwa bidii.
Deuteronomy 28:2 ‘na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya Bwana
Mungu wako.’
Zaburi 23:6 ‘Hakika wema na fadhiri za Bwana zitanifuata siku zote za maisha yangu
Page 15
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele.'
Malachi 3:10 ‘ leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu,
mkanijaribu kwa njia hiyo, asema Bwana wa majeshi mjue kama sitawafungulia
madirisha ya mbinguni na kuwamwagieni baraka hata isiwepo nafasi ya kutosha au la.'
Mwishoni, kwa wote wanaoweka juhudi, watakuwa na ziada ya fedha kuwekeza katika
kazi ya Mungu.
2 Wakoritho 8:9 Na Mungu aweza kuwajaza kila neema kwa wingi, ili ninyi, mkiwa na
riziki za kila namna siku zote, mpate kuzidi sana katika kila tendo jema.'
2Wakoritho 9:11 ‘mkitajirisha katika vitu vyote mpate kuwa na ukarimu wote umpatiao
Mungu shukrani kwa kazi yenu.'
Yesu alisema katika Luka 12:32 ‘Msiogope enyi kundi dogo kwa kuwa Baba yenu
ameona vema kuwapa ule ufalme.' Na mzaburi anasema katika zaburi 35:27
‘Washangilie na kufurahi wapendezwao na haki yangu. Naamu waseme daima atukuzwe
Bwana apendezwaye na mafanikio ya mtumishi wake.'
Nyumba ya Sala kwa Mataifa Masikini
Omba kwa ajili ya Angola
12,878,188 ya watu,wengi ni wakristo
Pesa inatumika kwa ajili ya kuchochea vita ya wenyewe kwe wenyewe,
Kanisa limewaajibika sana
kuleta amani, ila linahitaji Uponyaji. © www.operationworld.org
5. Mungu Hutoa Mahitaji kwa ajili ya Uhai Siyo-Tamaa
Katika Bibilia Yako Soma Hapa kwa Sauti: 1 Timotheo 6:3-10
Kumbuka Mstari Huu: Yakobo 4:3 ‘Hata mkiomba, wala hampati kwa sababu
mwaomba vibaya, ili mvitumie kwa tamaa zenu.'
Baada ya Hapo Zungumzia Hili: Ni rahisi kwa Mungu kuweka fedha katika mikono
ya watu wake au kuwafanya wazitafute.
Jambo la Kufanya Kabla ya Wakati Mwingine: Jaribu kutofautisha vitu vya lazima
na vya anasa katika maisha yako wakati huu.
Kazi ya Diploma ya kuandika: Kwa upande mwingine andika ni kwa nini kila mkisto
Page 16
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
apate mahitaji yake.
Tafakari neno baada ya neno katika aya hii: wakolosai 1:12
Katika Mathayo 12:25-28, Yesu anatambua falme mbili ambazo zinaonekana katika hali
ya kiroho isiyoonekana:- Ufalme wa shetani na Ufalme wa Mungu. Wote ambao si
Wakristo wako katika Ufalme wa Shetani na wanafanya kazi katika utawala wake
wakati Wakristo wako katika Ufalme wa Mungu na wako katika upendo na kinga yake.
Mtu anapokuwa Mkristo anabadilishwa kiroho kutoka katika Ufalme wa Shetani na
kuingia katika Ufalme wa Mungu na kama raia wa Ufalme mpya anastahili mambo ya
Ufalme. Kwa mfano, Wakolosai 1:12 inasema, ‘Mkimshukuru Baba aliyewastahilisha
kupokea sehemu ya urithi wa watakatifu katika nuru. Naye alituokoa katika nguvu za
giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa mwana wa pendo lake.
Matokeo ya kuingia katika Ufalme wa Mungu tunarithi stahili maalumu za kifedha.
Sehemu kubwa na muhimu ya bibilia kuhusu fedha ni 2 Wakorinto sura ya 8 & 9, na
yeyote anetaka kutumika pamoja na Mungu katika eneo la utoaji anapaswa kuzingatia
maandiko haya. Ni katika maandiko haya tunaweza kutoa kauli ya msingi – MUNGU
ANATUTAJIRISHA ILI KUTIMIZA MAHITAJI. Maandiko matatu hapo chini
yanaonesha kuwa tukiwa watu wa Mungu tuna kila haki ya kumwamini Mungu kutimiza
mahitaji yetu kama baba yoyote mwema anavyoweza kufanya, na hatupaswi kuhofia
umasikini, au kukosa uhakika.
2 Wakorinto 8:14 ‘Bali mambo yawe sawasawa, wakati huu wa sasa wingi wenu uwafae
upungufu wao, ili na wingi wao uwafae ninyi mtakapopungukiwa.'
2 Wakoritho 9:8 ‘Na Mungu aweza kuwajaza kila neema kwa wingi, ili ninyi mkiwa na
riziki za kila namna, siku zote mpate kuzidi sana katika kila tendo jema.'
2 Wakorinto 9:12 ‘ Maana utumishi wa huduma hi hauwatimizii watakatifu riziki
walizopungukiwa tu, bali huzidi sana kuwa na faida kwa shukran nyingi apewazo
Mungu.'
Zaidi ya hayo, katika eneo kuu la utoaji katika Wafilipi 4:10-19 Paulo anataja katika
mstari wa 16 jinsi ambavyo mahitaji yake yalitimizwa na Wafilipi na kuwalipa kwa
kusema kwa ujasiri, ‘na Mungu wangu atawapatia mahitaji yenu kwa kadiri ya utajiri
wake katika utukufu ndani ya Kristo Yesu.' Bahati mbaya, watu wengi wanasoma mstari
huu vibaya na kufikiri kwamba inasema Mungu atatutimizia matamanio ya mahitaji
yetu! kwa kupindisha mstari huu watu wameanza kutafuta magari ya anasa na nyumba
toka kwa Mungu. Ukiichukulia kama ambavyo ilivyo, mstari huu unazungumzia
mahitaji ya awali ya lazima na ya kumfanya mtu ajisikie murua, lakini sio ya anasa,
mtindo wa maisha hakika haukupi hundi ambayo haijajazwa kuibadilisha kuwa fedha
katika Benki ya Mbinguni.
Page 17
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Tukiendelea, kauli ya pili tunayoweza kuitoa ni, MUNGU ANATUTAJIRISHA
KUTIMIZA MAHITAJI YETU, NA SI MAHITAJI YA UCHOYO. Kwa uchungu, ni
katika hatua hii ambayo imesababisha kuharibiwa hususani kwa mwili wa Yesu,
Wakristo wa Magharibi wanauchukulia Ukristo kama mpango wa kutajirika mapema.
Paulo anamwonya Timotheo kuhusu watu wa aina hii katika 1Timotheo 6:3-5 na
kutamka kwamba watu wa aina hii wanahamasisha mahubiri ya uongo na kupotosha
ukweli kwa kufikiri na kujenga hoja kwamba uungu ni njia ya kufanikiwa kifedha.
Yakobo anajenga hoja pia kwamba maombi ya watu yafike katika taji la neema kwa
kuamini kwamba Mungu ni juu ya furaha na mambo ya anasa badala ya kutimiza
mahitaji ya dunia. Yakobo 4:3 ‘Hata mkiomba wala hampati kwa sababu mwaomba
vibaya ili mvitumie kwa tamaa zenu.' Je Mungu hana Wakristo wa kutosha wanaojaza
taji la neema kwa mahitaji ya fedha kwa ajili ya magari ya anasa na mali kinyume na
fedha kwa ajili ya kusaidia wajane, yatima na masikini wanaostahili?
Huu ni mtego ambapo wengi huanguka katika kitanzi ambacho Paulo alionya katika 1
Timotheo 6:9-10 kama wakati ambao wanapata utajiri wa Mungu, badala ya kuishi
maisha ya kawaida na kutoa ziada kwa ajili ya kazi ya Mungu wanatumia kwa ajili yao
wenyewe, kwa gharama ya waliopotea, masikini, wajane na yatima. Ni jambo moja kwa
Mungu kuweka fedha kwenye mikono ya watu wake, ni jambo lingine kwake
kuwafanya wao wazitafute! Paulo anasema katika 1 Timotheo 6:8 kwamba
hatutafurahishwa na chakula na mavazi – je hii sivyo ambavyo Wakristo wachache
wanaweza kusema kwamba wanafurahishwa na chakula na nguo na wanafurahi sana
kuwekeza zaidi katika kazi ya Mungu?
Nyumba ya Maombi Kwa Mataifa Masikini
Omba kwa ajili ya Argentina
Idadi ya Watu 37,027,297
Kanisa linakuwa kwa nguvu.
Imepandwa mbegu ya rushwa,
Inayo sababisa mavuno machungu katika uchumi wenye machafuko © www.operationworld.rg
6. Kugharimia Matendo Mema
Katika Biblia Yako Soma Aya hii Kwa Sauti: Tito 2:11-14
Kumbuka Mstari Huu: Waebrania 10:24 ‘Tuangaliane sisi kwa sisi na kuhimizana
Page 18
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
katika upendo na kazi nzuri.'
Baada ya Hapo Zungumzia Hili: Binafsi, unaamini Mungu ameandaa kazi gani njema
zaidi kwaajili yako wewe kufanya? (Efeso 2:10)
Jambo la kufanya kabla ya wakati mwingine: Katika maombi muulize Mungu ni kazi
gani njema alizoziandaa kwaajili yako.
Kazi ya Diploma ya kunadika: Andika kwa upande mwingine kwanini mwili wa
Kristo ugharimiwe kwaajili ya matendo mema.
Tafakari Nano baada ya Neno katika Aya Hii: Waefeso 2:10
Tumeona katika maeneo mengine wakati ambavyo mtu anapokuwa Mkristo, anaingia
katika Ufalme wa Mungu na kupata upendeleo ambao ni haki ya kila Mkristo. Kwa
kufafanua kwamba, Mungu anatutajirisha kwa ajili ya kutimiza mahitaji yetu (na si
tamaa zetu), ingelionaka kuwa kuna sababu ya pili kwamba Mungu anataka kututajilisha
ili tuwe na fedha za ziada kwa ajili ya kuwekeza katika mambo mema ya Ufalme wake.
Mtu anapokuwa Mkristo, Roho Mtakatifu atakuja na kuishi ndani yake na kumlinda
kama ambavyo maandiko hapo chini yanaonesha.
Yohana 14:17 ‘Kwa kuwa anakaa ndani yenu naye atakuwa ndanib yenu.'
1 Wakorinto 6:19 ‘Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho mtakatifu aliye
ndani yenu.'
Warumi 8:11 ‘Aliyemfufua Yesu katika wafu ataifufua na miili yenu iliyo katika hali ya
kufa kwa Roho wake anayekaa ndani yenu.'
Matokeo ya uwepo wa Roho Mtakatifu ndani ya mtu, wakati mtu anapokuwa Mkristo,
asili yake hubadilishwa kuwa asili ya kimungu kwa Kristo kama Roho Mtakatifu
ambavyo anamwongoza mtu kutenda katika madili ya Kristo. Kwa mfano, kuongelea
Roho Mtakatifu, Yesu mwenyewe alisema katika Yohana 16:15 ‘Atatwaa katika yaliyo
yangu, na kuwapasheni habari.' Sifa kubwa ya asili ya utakatifu ambayo Roho Mtakatifu
atawaongoza waaminio kupata ni kupitia upendo, kama ilivyo kipekee kwamba Mungu
ni upendo (1 Yohana 4:8). Ukweli huu wa asili ya upendo mtakatifu ambao tumepewa na
Roho Mtakatifu unazungumziwa katika Warumi 5:5 ‘Kwa maana pendo la Mungu
limekwisha kumiminwa katika mioyo yetu na Roho mtakatifu tuliyepewa sisi.'
Hivyo ni tofauti gani upendo wa kimungu kwa asili unafanya? ni jinsi gani Mkristo
ambaye anaweza kuishi maisha yake katika upendo wa kimungu na kutenda tofauti na
mtu asiye Mkristo, mkristo anayeishi maisha mema na mtu aliyeanguka, na upendo
haribika. Sehemu ya upendo wa kweli wa kiungu ni kwamba utaendelea kuwa
pamoja,na kuonekana kwa matendo mema ambayo yanatendwa kumtukuza Mungu na
Page 19
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kuvutia wengine kwake. Katika hali hiyo hiyo wakati mbegu bora inapopandwa katika
udongo itazaa matunda, wakati upendo wa Mungu unapandwa katika moyo wa mtu siku
zote utazaa matunda mema. Ni kweli, kadri unavyopitia maandiko kuhusu mambo
mema utagundia kwamba si upendo pekee bali imani na hekima vitamsababisha Mkristo
kufanya mambo mema.
Wahebrania 10: 24 ‘Tuangaliane sisi kwa sisi na kuhimizana katika upendo na kazi
nzuri.'
2 Thes 1:11 ‘Ili Mungu wetu awahesabu kuwa mmekubali kuitwa kwenu, akatimiza kila
njia ya wema na kila kazi ya imani kwa nguvu.'
Yakobo 3:13 ‘Ni nani aliye na hekima na ufahamu kwenu? Na aonyeshe kazi zake kwa
mwenendo wake mzuri, katika upole na hekima.'
Kuna hamu katika kila Mkristo ya kutosholeza utashi huu wa Mungu kwa kuishi na
kutenda na kufanya mambo mema na kuonesha upendo kutumtukuza Mungu na
kuwavutia wangine kwake. Si mtu pekee, bali kwa pamoja tunatoa fedha na kufanya
mambo mema kufanikisha mengi zaidi pamoja badala ya sote kila mmoja kufanya kazi
na kujiimarisha binafsi. Tutapata asili yetu ya kweli na utambulisho wa kweli aliotupa
Mungu kwa kufanya matendo binafsi na mambo mema na kuwekeza fedha zetu katika
kusaidia wengine ambazo zinaonyesha upendo wa Mungu. Tito 2:14 ni picha nzuri
ambayo yesu ametudhihirishia kutoka kwa Baba kwaajili ya jamii ya watu ambao wana
shauku ya kuwa waovu na wasiofaa lakini sasa wanashauku ya kufanya kazi njema.
‘Ambaye alijitoa nafsi yake kwaajili yetu ili atukomboe na maasi yote na kujisafishia
watu wawe milki yake mwenyewe, wale walio na juhudi katika matendo mema.'
Hivyo, ikiwa kila Mkristo amepewa asili ya kuwa na shauku na utashi wa kufanya
mambo mema na kazi, Mungu atatengeneza njia ya kutolea na namna ya kuonesha hisia
ya utashi huu. Kweli, Mungu amekuwa mbunifu zaidi katika kupanga kazi njema
kwamba kila mtoto wake aingie, kabla ya kutuumba katika tumbo la mama zetu, na
hakika kabla ya kuumba ulimwengu, alipanga na kuumba. Tangu Mungu aende umbali
kiasi hiki kuandaa kazi njema ni lazima kujua ni vitu gani, kuvitenda na kufadhili na
kuwekeza fedha katika hivyo. Maandiko ya hapo chini kutoka kitabu cha Waefeso 2:10
yanaonesha kuwa ulazima wa Mungu ambae anatufahamu na kupanga maisha yetu
kabla hatujazaliwa na wito kwa watoto wake kufanya mambo mema.
‘Maana tu kazi yake tuliumbwa katika Kristo yesu, tutende matendo mema, ambayo
tokea awali Mungu aliyatengeneza ili tuenende nayo.'
Mwisho, baada ya kujenga hoja awali kwamba Mungu huweka fedha katika mikono
yetu kutatua mahitaji yetu na si tamaa zetu, atatuwekea fedha katika mikono yetu
kufadhili kazi njema ambazo anahitaji tuzitekeleze. Maandiko ya hapo chini
yanachukuliwa kutoka kukatishwa tamaa juu ya fedha, katika bibilia yote inaonesha
Page 20
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
uhitaji wa Mungu kututajirisha ili tutoe fedha kwa ajili ya kazi hizi njema. Hatimaye
tunaweza kuhitimisha vile vile kwamba Mungu ametupa roho, hitaji la kufanya kazi
njema, amepanga kazi hizi njema kabla ya kuumbwa kwa ulimwengu, ataruhusu fedha
kwetu kwa ajili ya kufadhili kazi hizi njema.
2 Wakorinto 9:8 ‘Na Mungu aweza kuwajaza kila neema kwa wingi, ili ninyi mkiwa na
riziki za kila namna siku zote, mpate kuzidi sana katika kila tendo jema.'
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa Masikini
Omba kwa ajili ya Armenia
Idadi ya watu 3,519,569, ina historia ndefu ya Ukristo.
Ni sehemu muhimu ya kupeleka wamishionari wengi
Kama fedha zinatolewa. © www.operationworld.org
7. Hakuna Tajiri, Hakuna Masikini
Katika Bibilia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Kumbu kumbu la torati 15:4-6
Kumbuka Mstari Huu: Matendo 4:34 ‘Wala hapakuwa na mtu mmoja miongoni mwao
mwenye mahitaji.'
Baada ya Hapo Zungumzia Hili: Kanisa lione udogo uliokithiri wa utajiri kuliko
dunia.
Jambo la Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Kama inawezekana, fanya jambo la
kubariki watu masikini waliokithiri.
Kazi ya Diploma ya kuandika: Andika upande mwingine juu ya kumbukumbu ya
usawa ambao paulo alifanya katika 2 Koritho 8:13.
Tafakari Neno baada ya Neno katika Aya hii: 2 Koritho 8:13
Hao ambao wako katika Ufalme wa Mungu wanaopata sehemu muhimu ya Mungu ya
fedha si tu kwamba watapata mahitaji yao lakini watawekeza ziada ya fedha zao, mara
mahitaji yao ya lazima yanapokuwa yamelipiwa, katika mwendelezo wa Ufalme wa
Mungu. Paulo alimwambia Timotheo kutafuta furaha katika vyakula na mavazi (1
Timotheo 6:8) na kama kila Mkristo atafanya hivi atakuwa na kiasi kikubwa kwa ajili ya
kuwekeza katika mambo mema ya Ufalme wa Mungu. Matokeo yake, wale walio katika
Ufalme wa Mungu watakuwa katika jamii ya kiuchumi wa kiupendo na thabiti ambapo
Ndugu na dada katika Yesu wanautafuta, na utoaji wa fedha, huondoa umasikini katika
watu wa Mungu.
Page 21
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Ni jambo la kustaajabisha kama kuna yeyote katika Ufalme wa Mungu anahitaji halisi,
ambaye anaongozwa na kaka au dada zake ambao ni matajiri. Kupitia kwa kila mmoja
katika Ufalme ambae anashiriki kifedha na kuwekeza fedha katika mambo mema na
matendo ya upendo miongoni mwa kaka na dada, umasikini hautaweza kuendelea
kunyemelea Ufalme wa Mungu. Uondoaji wa umasikini ni jambo zuri, katika Agano la
Kale na Jipya, tunaweza kuona usahihi wa lengo hili ambalo Mungu amependa watu
wake kulitimiza.
Katika Agano la Kale kuna amri nyingi juu ya fedha na hususani amri ya kusamehe deni
katika kila miaka 7 ambalo limezungumzwa katika Kumbu Kumbu la Torati sura ya 15
na amri ya kulima katika sura 14. Ni moja ya yaliyomo katika amri hii, Mungu
anaonesha nia yake kwamba hakutakuwa na masikini miongoni mwa watu wa Mungu.
Hata hivyo, kama ambavyo nukuu zinavyoonyesha hapo chini, hili linaweza kufikiwa na
watu wote wa Mungu kushiriki na kutii amri ambazo Mungu amezitoa kuhusu fedha.
Katika sura zinazoendelea za Kumbu Kumbu sura ya 28 tuonaona kuwa ushriki na utii
unaweza kuungoza watu wa Mungu kuwa jamii tajiri mno katika dunia.
Kumbu kumbu 15:4 ‘Lakini hawatakuwako maskini kwenu; (kwa kuwa Bwana
atakubarikia kweli katika nchi akupayo Bwana, Mungu wako, uimiliki, iwe urithi wako;)
Kwamba utaisikiza tu kwa bidii sauti ya Bwana, Mungu wako, uyatunze maagizo haya
yote nikuagizayo leo, kuyafanya.'
Kumbukumbu 28:1 ‘Itakuwa utakaposikia sauti ya Bwana, Mungu wako, kwa bidii,
kutunza kuyafanya maagizo yake nikupayo leo, ndipo Bwana, Mungu wako, atakapo
kutukuza juu ya mataifa yote ya duniani; na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata
usikiapo sauti ya Bwana, Mungu wako.'
Lengo hili la jamii ya kiuchumi ambamo umasikini unaondolewa linatokea katika
kanisa takatifu la mwanzo. Kwa upendo wa Kristo ambao umemiminwa katika mioyo
yetu kupitia Roho Mtakatifu ambaye ametumwa karibuni, kanisa la mwanzo
lilishughulika sana na utoaji kwa wale wenye mahitaji halisi. Kama ambavyo maandika
mawili hapo chini yanavyoonyesha, hitaji linapotokea miongoni mwa ndugu, ndugu hao
huamka kutatua hitajihili hilo, tambua jinsi ndugu matajiri ambavyo wamechukulia kwa
umakini wajibu wao kwa ndugu zao masikini. Tofauti na Wakristo tajiri wa sasa ambao
hupenda kuwekeza fedha zao za ziada katika moyo safi wa watoto wa Mungu kinyume
na mali za kidunia.
Matendo 2:45 ‘Wakiuza malizao, na vitu vyao walivyokuwa navyo, na kuwagawia watu
wote kama kila mtu alivyokuwa na haja.'
Page 22
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Matendo 4:34 ‘Wala hapakuwa na mtu mmoja miongoni mwao mwenye mahitaji; kwa
sababu watu wote waliokuwa na viwanja au nyumba waliviuza, wakaleta thamani ya
vitu vile vilivyouzwa, wakiweka miguni pa mitume.'
Baada ya kuona wajibu wa Wakristo matajiri katika kanisa la mwanzo, tunaweza
kusema kwamba hata kusingekuwepo masikini halisi katika Ufalme wa Mungu
kusingekuwa na matajiri wa tofauti pia. Kweli, ingelikuwa ndivyo kwa Wakristo matajiri
kulazimishwa na upendo wa Mungu ambao umemiminwa katika mioyo yetu
kushirikiana utajiri na kaka na dada masikini halisi. Kwa mfano, Mtume Yohana aliuliza
namna gani mtu tajiri kudai kuwa Mkristo, huku akishindwa kushirikiana utajiri wake
pamoja na ndugu na dada masikini pale inapohitajika.
1 Yohana 3:17 ‘Lakini mtu akiwa na riziki ya dunia, kisha akamwona ndugu yake ni
mhitaji akamzuilia huruma zake, je! Upendo wa Mungu wakaje ndani yake huyo?'
Ni wazi, kila mmoja katika ufalme wa Mungu hatokuwa na kipato sawa, na Yesu
mwenyewe alifundisha kwamba Baraka zitategemea imani yetu (Mathayo 25:10-30).
Hata hivyo, wakati kuna umasikini na utajiri uliokithiri duniani, haya hayatatokea katika
Ufalme wa Mungu, na wote katika Ufalme watakuwa katika mazingira ya upendo wa
kindugu na hakika ya kifedha. Wazo hili la Ufalme wa Mungu lenaongelea hali ya kiasi
na kukimbia utajiri uliokithiri, hii inaangazwa na Paulo katika mafunuo yake kuhusu
fedha katika 2 Wakorinto sura ya 8 na 9.
Paulo anajenga hoja kwa Wakorintho kwamba, kwa kusaidia watu masikini walio
Jerusalemu siku moja watakurudisha fadhila wakati hitaji litakapotokea, tambua neno
‘sawa’ limetumika mara mbili.
2 Wakoritho 8:13 ‘Maana sisemi hayo, ili wengine wapate raha nanyi mpate dhiki; bali
mambo yawe sawasawa; wakati huu wa sasa wingi wenu uwafae upungufu wao, ili na
wingi wao uwafae ninyi mtakapopungukiwa; ili mambo yawe sawasawa.'
Watu wenye tamaa, watu wenye asili ya mioyo baridi walio na utu usiofaa wamezalisha
utajiri uliokithiri ambao ni dhihaka dhidi ya utu wa watu maskini. Licha ya mifumo
mbalimbali ya kisiasa iliyojaribu kuondoa hali hizi zilizokithiri, sababu hazijaondoa asili
ya tamaa ya kibinadamu. Ni upendo wa Mungu pekee uliopandwa katika mioyo ya
binadamu ndio utakao anza kuona usawa mkubwa wa utajiri.
Nyumba ya Maombi Kwa Mataifa Masikini
Maombi kwa ajili ya Azerbaijan
watu 7,734,015, waisilam ni asilimia 83.67
Rushwa na uhalifu vimeharibu uchumi.
Page 23
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Tafsiri ya Bibilia ina uhitaji mkubwa. © www.operationworld.org
8. Shahidi katika Dunia
Katika Bibilia Yako Soma Haya: Mathayo 5:14-16.
Kumbuka Mstari Huu: 1 Petro 2:12 ‘Muwe na mwenendo mzuri kati ya mataifa,ili,
iwapo huwasingizia kuwa watenda mabaya, wayatazamapo matendo yenu mazuri,
wamtukuze Mungu siku ya kujiliwa.'
Baada ya Hapo Zungumzia Haya: Jukumu la mambo mema katika kuimarisha
mahubiri ya injili.
Jambo la Kufanya Kabla ya Wakati Mwingine: Fanya mambo mema kueneza
Ufalme.
Kazi ya Diploma ya Kuandika: Andika upande mwingine faida ya kutekeleza matendo
mema kwa wakristo na wasio kuwa wakristo.
Tafakari Neno Baada ya Neno katika Aya Hii: 1 Petro 2:15
Miundo ya kiuchumi ambayo Mungu ameiingiza katika Ufalme itazaa jamii ya pekee
katika dunia ambayo itahamasishwa na upendo wake kutoa fedha kwa ajili ya mambo
mema katika maeneo mawili yafuatayo.
1. Mambo mema ya watu wa Mungu kwa ajili ya watu wa Mungu, na
2. Mambo mema ya watu wa Mungu kwa watu nje ya Ufalme
Aina zote mbili za mambo mema pale ambapo yamewezeshwa kifedha na kutekelezwa
vizuri na watu wa Mungu yatasababisha uimarishwaji mkubwa wa mahubiri ya injili.
Kama ambavyo mambo yote yalivyoshughulikiwa hapo chini, inakuwa wazi kwa
mahitaji makubwa ya watu wa Mungu kupatiwa fedha na kuwekeza katika mambo
mema ambayo Mungu ameliwekea wakfu kanisa lake liyatende, kutokuyafanya hivyo
kunazuia uenezaji wa injili.
Mtume Yohana emeweka kumbukumbu katika injili yake sura ya 13 mstari wa 35,
maneno ya Mungu ambayo inawezekana kuwa ni mkakati mkubwa wa uinjilisti kwa
ulimwengu, katika bibilia ni kwa dunia yote kubadilishwa na Ufalme wa Mungu wakati
watoto wa Mungu watakapopendana wao kwa wao.
Page 24
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Mwanzo tumeona kwamba upendo wa kweli utaendana na mambo mema na mtume wa
kwanza Yohana anaongezea nini maan ya kupenda kwa kuhusianisha na matendo,
yanafuatana na matendo ya upendo na upole. Hatimaye, Wakristo zaidi wanapendana
wao kwa wao, na hususani Wakristo matajiri wanavyozidi kuwapenda Wakristo maskini
na kuthibitisha upendo huu kwa kufadhili mambo mema, ndivyo ushahidi wa kanisa
utakavyoongezeka.
Yohana 13:35 ‘Hivyo watu wote watatambua ya kuwa ninyi mmekuwa wanafunzi
wangu, mkiwa na upendo ninyi kwa ninyi.'
1 Yohana 3:18 ‘Watotot wadogo, tusipende kwa neno, wala kwa ulimi,bali kwa tendo na
kweli.'
chukua mfano wa kanisa la Afrika ya Kusini ambalo bado ni changa na limekuwa
likinyanyaswa na kupingwa na idadi kubwa ya dini ya Kiisilamu katika eneo hilo. Je
halingekuwa ushahidi wa nguvu kama Wakristo matajari kutoka Ulaya na Kasikazini na
Amerika ya Kusini kutoa fedha kuwezesha Wakristo hawa kununua ardhi kwa ajili ya
kujenga makanisa na vituo vya watoto yatima, kompyuta na nyenzo za kujifunzia? Ni
ushuhuda kwani kwa Waisilamu kama wangeona meli ya rehema za Kristo ikitia nanga
kutoa vitu vizuri kwa ajili ya kusaidia wenzao Wakristo. Kama mwili wa Kristo
ulimwenguni unatoa upendo na mambo mema kati yake itaimarisha ushahidi na
kuondoa hofu ya kanisa ulimwenguni.
Eneo la mambo mema yanayoimarisha mahubiri ya injili ni mambo mema
yanayofanywa na Wakristo na wasio Wakristo: - fikiria tena kanisa la Afrika Kaskazini
likizungukwa na wingi wa dini ya Kiislamu. Je! mahubiri ya injili kwa Waislamu
yakiimarishwa mara mmoja Wakristo wakajenga hospitali na kutibu wagonjwa na
kuwaingiza Waislamu katika taasisi hizo pia?
Waislamu wasingevutiwa zaidi na ujumbe wetu kama tungejenga vituo vya watoto
yatima na kuwatunza waliotelekezwa, waliokatika mazingira magumu na watoto wenye
ulemavu na kutoa chakula na mavazi kwao pia? Kanisa lisingekuwa katika hali hii,
Wakristo wasingeenda katika vijiji vya Waislamu na magari ya mizigo ya misaada na
kuchimba visima kutoa maji safi ya kunywa?
Nukuu mbili za hapo chini ni maneno ya Yesu na Petro zikifuatana na ambazo
zinafanana kama mambo mema yana athari kubwa katika ushahidi wake kwa watu
wasioamini. Hakika, maandiko haya yote yanaonyesha mambo mema yanoyofadhiliwa
na kutendwa na Wakristo mbele ya watu wasio Wakristo yana mtukuza Mungu kweli
kweli, wasiyemjua au anaetumikiwa kwa ajili ya mambo yanayofanywa na watoto wake.
Kama maandiko yanavyoonyesha hapo chini, watu wasio Wakristo wavutwa kwa Yesu
kwa ajili ya matendo mema yanayofanywa na Wakristo pekee, wengi watabadili dini
kuwa Wakristo baada ya injili kuhubiriwa vizuri!
Page 25
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Mathayo 5:16 ‘Vivyo hivyo nuru yenu na ingaze mbele ya watu, wapate kuaona
matendo yenu mema, wamtukuze Baba yenu aliyembinguni.'
1 Petro 2:12 ‘Muwe na mwenendo mzuri kati ya mataifa, ili, iwapo huwasingizia kuwa
watenda mabaya, wayatazamapo matendo yenu mazuri, wamtukuze Mungu siku ya
kujiliwa.'
watu wasio Wakristo wanaweza kudhihaki na kupuuza imani yetu, kushutumu huduma
zisizo na msisimko na zisizohusiana za makanisa yetu na kucheka majaribio ya kufanya
uinjlisti na kuhubiri injili. Hata hivyo aya ya 1 Petro 2:15 inasema, ‘kwa sababu ndiyo
mapenzi ya Mungu, kwamba kwa kutenda mema mzibe vinywa vya ujinga vya watu
wapumbavu;.' Hivyo njia njia pekee ya kuziba vinywa nya wanotushutumu ni
kutekeleza mambo mema na matendo ya upondo.
Tuwapakulie makaa ya moto katika vichwa vya wanaotuchukia kwa kufanya matendo
mema na kuwekeza fedha katika matendo yanayoendeleza Ufalme wa Mungu. Eneo
ambalo watu ambao si Wakristo hawawezi kubeza ni wakati tunapotoa kwa upendo wa
Mungu na kufanya mambo mema kwa watu wanaotuzunguka –hasa wakati tunajiandaa
kuweka fedha zetu katika midomo ambayo inafadhili matendo ya upendo.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa Masikini
Omba kwa ajili ya Bangladesh
watu 129,155,152, wakristo 0.72%
Idadi kubwa ya watu na majanga ya asili yamesababisha umasikini,
utapiamlo na kutojua kusoma na kuandika. © www.operationworld.org
9. Fedha Inaweza Kuwa Sanamu
Katika Bibilia Yako Soma Haya kwa Sauti: Luka 16:13
Kumbuka Mstari Huu: Luka 11:41 ‘Lakini toeni sadaka vile vya ndani, (kwa maskini)
na tazama, vyote huwa safi kwenu.'
Baada ya Hapo Zungumza Kuhusu Hili: Ni nini hatari kubwa ya hukumu ya kanisa
au matendo?
Jambo la Kufanya Kabla ya Wakati Mwingine: Omba Mungu akuonyeshe mambo
katika maisha yako ambaye unaiabudu fedha
Page 26
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Kazi ya Diploma ya Kuandika: Andika ukurasa mmoja juu ya nini ni ushahidi
kwamba watu hawatumikii fedha
Tafakari Beno Baada ya Neno katika Aya Hii: Luka 16:15
Hivyo baada ya kuona utashi mkubwa wa Mungu wa kuweka utajiri katika mikono ya
watu wake, eneo hili linatafuta kuweka usawa wa ukweli juu ya nini bibilia inafundisha
kuhusu fedha. Wakati tumesoma maandiko mengi yanayohusiana na utajiri, inalazimika
kuwekwa wazi kuwa kuna maandiko mengi ambayo yanaonya kuhusu hatari za fedha –
mengi toka katika kinywa cha Yesu mwenyewe. Wakati utajiri unaotumiwa vizuri na
katika njia sahihi na kwa lengo sahihi utakuwa ni Baraka kubwa, inaweza kuwa pia
hatari kubwa kwa wale ambao hawaonyeshi uadilifu na haki katika shughuli zao za
kifedha. Kwa uchungu, kumekuwa na mafundisho mengi juu ya utajiri ambayo watu
wanapenda kuyasikia, lakini ni mafundisho machache tu yanayoelekeza juu ya namna ya
kutunza na kutafuta fedha katika mtindo ambao unaleta heshima kwa Kristo, kama
unatafuta vitu vizuri kwa kumtafuta Mungu tahadhari kuu ya Mungu, ni juu ya fedha.
Kama ambavyo Mungu ameonyesha asili yake katika Agano la Kale, moja ya matakwa
yake ni kutaka watu wake wamuabudu yeye pekee, Mungu ametimiza matakwa ya
maisha ya watu wote ambao wamemwabudu yeye pekee. Binadamu ameumbwa kwa
hitaji la kumwabudu na kumtukuza Mungu – wanaposhindwa kufanya hivyo, takwa
halipotei, ila linajitokeza katika namna nyingine, kama kuabudu timu ya mpira wa
miguu, michezo na nyota wa muziki wa rock. Matokeo yake, Yesu mwenyewe
ametambua amri kuu ambazo Mungu amezitoa kwa wanadamu – kama kumwabudu
yeye, katika Mathayo 22:37 ‘Akamwambia, mpende Bwana Mungu wako kwa myo
wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote. Hii ndiyo amri iliyo kuu tena
ni ya kwanza.'
Ufunuo zaidi wa sifa za Mungu katika Agano la Kale ni kwamba yeye ni Mungu wa
wivu wa kweli ambae anahuzunika watu wake wanapoabudu vitu na watu tofauti na
yeye – hebu angalia katika maandiko hapo chini ambapo Bwana yeye mwenyewe
anasema haya mahali pengi.
Kutoka 20:4 ‘Mimi na Bwana mungu wako Mungu mwenye wivu,
Kutoka 34:14 ‘Maana hutamwabudu Mungu mwingine, kwa kuwa Bwana, ambaye jina
lake ni mwenye wivu, ni Mungu mwenye wivu.'
Kumbu kumbu 4:24 ‘kwa kuwa Bwana, Mungu wenu, ni moto ulao, ni Mungu mwenye
wivu.'
Kwa uchungu, wana wa Israel wamechagua kuabudu Miungu ya kigeni na kama Kumbu
Kumbu 32:16 inavyoonesha, hii inaamsha hasira na wivu wa Mungu,‘Wakamtia wivu
kwa miungu migeni, Wakamkasirisha kwa machukizo. Wazo hili la wivu wa Mungu
linaendelezwa katika Agano Jipya katika Kiapo Kipya, Roho Mtakatifu anakuja na
kuishi miongoni mwa Wakristo kuwapa nguvu ya kupenda na kumtukuza Mungu na
Page 27
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kutembea kwa kumwamini yeye. Hata hivyo, wakati tunapochagua kitu au mtu badala
ya Mungu bibilia inasema katika Yakobo s 4:5 kwamba Roho Mtakatifu analipa kisasi
kwa hili ‘Huyo Roho akaaye ndani yenu hututamani kiasi cha kuona wivu?.'
Hivyo, swali linaibuka, fedha inaweza kuwa Mungu wa uongo na sanamu ambayo watu
huabudu? – mara nyingine tena Agano Jipya na Agano la Kale vyote kwa pamoja
vinakubaliana katika hili. Kama wana wa Israeli waliojiandaa kuingia katika nchi ya
ahadi na kuingia katika ukamilifu ambao Mungu amepanga kwa ajili, hata kabla ya
hawajaingiza miguu ndani walipewa onyo juu ya nini utajiri unaweza kutenda kwa mtu.
Wingi wa fedha unaweza kuwaongoza watu kuwa wanaojitegemea na kuwa mbali na
maisha ya kila siku ya uaminifu na mahusiano na Mungu. Mbaya zaidi inaweza
kuwapelekea watu kumwibia Mungu utukufu ambao ni kwa ajili yake na kudanganyika
kwa fedha inaweza kuwafanya watu wakajisifu kwa ajili ya mambo mazuri ya maisha.
Kumbukumbu 6:10-12 ‘Tena itakuwa atakapokwisha Bwana wako, Mungu wako,
kukuleta katika inchi aliyowaapia baba zako, Ibrahimu na Isaka naYakobo, ya kuwa
atawaopa miji mikubwa mizuri usiyojenga wewe ,na visima vimefukuliwa usivyo
vifukua wewe, mashamba ya mizabibu na mizeituni usiyoipanda wewe, na we utakula
na kushiba; ndipo ujitunze, usije ukamsahau Bwaba aliyekutoa katika nchi ya Misri,
nyumba ya utumwa.'
Kumbukumbu 8:10 ‘Utakula ushibe, utamshukuru Bwana, Mungu wako, kwa nchi
nzuri aliyokupa. Jihadhari, usije ukamsahau Bwana, Mungu wako......... na moyo wako
ukajivuna na kumsahau Bwana, Mungu wako.'
Kumbu kumbu 8:17 ‘Hapo usiseme moyoni mwako, Nguvu zangu, na uweza wa mkono
wangu ndiyo ulionipatia utajiri huo. Bali utamkumbuka Bwana, Mungu wako, maana
ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri.'
Tunapohamia katika Agano Jipya, Yesu mwenyewe alionyesha hili katika mazingira
haya na nakosa katika Luka 16:13 wakati alipotambua fedha kama mungu wa uongo,
‘Hakuna mtumishi awezaye kutumikia mabwana wawili; Kwa maana, ama atamchukia
huyu na kumpenda huyu, ama atashikamana na huyu na kumdharau huyu. Hamuwezi
kumtumikia Mungu na mali.'
Aliendelea kusema katika lugha yenye nguvu kwamba watu wanapopenda fedha kabla
ya kumpenda Mungu inakuwa chukizo katika macho ya Mungu, ‘kwa maana lilitukuka
kwa wanadamu huwa chukizo mbele za Mungu.' (mstari wa 15).
Mwisho, kama mistari miwili hapo chini inavyoonesha, mtu mwenye tama ambaye
anapenda fedha anatazamwa na Mungu kama mwabudu sanamu.
Waefeso 5:5 ‘Maana neno hili mnalijua hakika, ya kuwa hakuna mwasherati wala
Page 28
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
mchafu wala mwenye tamaa, ndiye mwabudu sanamu, aliye na urithi katika ufalme wa
Kristo na Mungu.'
Colossians 3:5 ‘Basi, vifisheni viungo nyenu vilivyo katika nchi: uasherati, uchafu,
tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu.'
Hivyo kwa kuitimisha tunaweza kusema kuwa tuamini na kupokea mambo mazuri ya
Mungu katika fedha ili tufurahie kila anachotupatia. Hata hivyo, tuwe makini kwamba
baraka zake zinakuja na maonyo kuwa, fedha inaweza kuwa mungu wa uongo, na
ikawa kuishia kuabudu mungu wa uongo. Kwa hiyo, labda tumalizie sehemu hii kwa
kutahadharisha kuwa bibilia inasema kuwa si juu ya fedha – sababu fedha ni uovu –
lakini ni juu ya upendo wa fedha ambao ndio onyo kuu kwa watu wa Mungu ambao
unakuja na utajiri ambao Mungu amependa kuwapa watu wake.
1 Timotheo 6:9 ‘Lakini hao watakao kuwa na mali huangukia katika majaribu na tanzi,
na tamaa nyingi zisizo na maana, zenye kudhuru, ziwatosazo wanadamu katika upotofu
na uharibifu.' Maana shina moja la mabaya ya kila namna ni kupenda fedha.'
2 Timotheo 3:1 ‘lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwepo nyakati
za hatari; maana watu watakuwa wenyekujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha.'
Waebrania 13:5 ‘Msiwe na tabia ya kupenda fedha; muwe radhi na vitu mlivyo navyo.'
Mhubiri 5:10 ‘apendaye fedha hatashiba fedha, wala apendaye wingi hatashiba
maongeo.'
Nyumba ya Maombi Kwa Mataifa Masikini
Maombi kwa ajili ya Belarus
watu 10,236,181, idadi kubwa ya watu wa hali ya chini
Madhara ya Chernobyl badi yanagusa hisia za mazingira na afya ya watu wake.
© www.operationworld.org
10. Fedha Inakuja na Uwajibikaji
Katika Bibilia Yako Soma Haya kwa Sauti: 2 Wakorinto 5:9-10
Kumbuka Mstari Huu: Warumi 14:12 ‘basi ni hivyo, kila mtu miongoni mwetu atatoa
habari zake mwenyewe mbele za Mungu.'
Baada ya Hapo Zungumzia Hili: Namna gani Yesu anatuwajibisha katika shughuli
zetu za kifedha siku ya hukumu?
Jambo la Kufanya Kabla ya Wakati Mwingine: Tafuta aina ya watu ambao Yesu
anawaita ndugu zake katika Mathayo 25:31-46 (wenye njaa, wagonjwa, wafungwa) na
Page 29
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kuwapa kitu.
Kazi ya Diploma ya kuandika: Andika kurasa moja kuhusu kitu kinacho tofautisha
kondoo na mbuzi katika mathayo 25:31-46
Tafakari Neno Baada ya Neno katika Aya hii: Hebrews 9:27
Katika Wakorinto wa 2, 5:10 Paulo anazungumzia ahadi mbili za kiulimwengu ambazo
kila moja inapasa kifo na hukumu na kama waamini tunapaswa kumpa nafasi Yesu kwa
namna ambavyo tumeishi maisha yetu. Hakika Yesu alizungumza mifano kadhaa juu ya
siku hii ya hukumu na kuonyesha kwamba moja ya mambo ambayo tunapaswa kumpa
nafasi ni juu ya ambavyo tunadhibiti fedha.
Sehemu hii inakusudia kuweka wazi ukweli kwamba pamoja na utajiri kupatikana
uwajibikaji huongezeka labda kama ukweli huu ungeeleweka katika mwili wa Kristo
ndipo mafuriko ya fedha yatajitokeza kwa mtu mtafutaji na akaunti ya benki ya kanisa
na kwa ajili ya kazi ya Mungu.
Moja ya mifano mikubwa ambayo Yesu aliisema kuhusu fedha na siku ya hukumu ni
mfano wa mtumishi mwaminifu katika Mathayo 25:14-30. Hapa, watumishi wawili
ambao wamekuwa waadilifu na waaminifu katika fedha ambazo wamepewa na kusifiwa
kwa uaminifu wao laki ambaye hakuwa makini katika kuzifanyia kazi fedha hizo
ambazo amepewa analaumiwa siku ya kutoa hesabu.
Je hii inamaanisha kwamba Wakristo waliongia katika utajiri wa Mungu watapata moja
kwa moja “sifa ya kufanya vizuri na kuwa watumishi waaminifu,’ au kuna zaidi ya
hayo? Vema, kama tukisoma katika mstari unaofuatia (Mathayo 25:31) Yesu
anazungumza mfano mwingine kuhusu siku ya hukumu na kutoa maoni zaidi juu ya
wajibu wa uwajibikaji na fedha.
Wale waliothibitishwa ni wale ambao wamefanya jambo kuhusu kutumia muda wao,
fedha na uwezo wao kusaidia waliopotea, jamii ya mwisho na ya karibu na mwisho ni
ile iliyolaumiwa ambao hawakufanya kitu.
Si busara kupendekeza kwamba sehemu kubwa ya huduma kwa ajili ya watu wasio na
fursa ni kwamba watu wanatumia fedha kwa ajili ya chakula kwa wenye njaa, kunywa
kwa wenye kiu, ukarimu kwa wageni, mavazi kwa walio uchi, dawa kwa wagonjwa na
zawadi kwa wafungwa?
Hakika, Je Yesu hatapitia na kusifia wale ambao wamekuwa waaminifu kwa kuwekeza
fedha katika kazi za kuwafikia wengine kama zile ambazo zimeelezewa katika Mathayo
25:34-36 wakati wanalaumiwa wale ambao walijikweza kumfahamu yeye lakini
hawakuthibitisha kujitoa kwao kwa ajili yake kwa kuwekeza fedha katika kazi zake
Page 30
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
duniani?
Mifano hii miwili katika Mathayo sura ya 25 kuhusu siku ya hukumu na fedha kwa hiyo
inaonekana kuonyesha kuwa fedha ni jambo muhimu la uwajibikaji. Mungu anatazamia
watu wake kuwa waadilifu na waaminifu katika fedha waliyonayo na ili waongeze kile
walichopewa, na Mungu anatarajia zaidi watu wake kutumia fedha zao kuwekeza katika
maisha ya wale walio katika jamii ya chini na kuuleta Ufalme wa Mungu kwao.
Hakika, Yesu anazungumzia mfano zaidi katika Luka 19:12-27 ambao unafanana na
mfano wa mtumishi mwaminifu, maudhui yanayofanana kama ilivyo katika mfano huu
kwamba watu wamepewa kazi ya kuzalisha fedha (mstari wa 13) na wanapata hukumu
kulingana na matendo yao.
Yakobo pia anotoa makaripio yanayochoma kwa ‘Wakristo’ matajiri ambao hawafanyi
chochote na utajiri wao na kusema kwamba wanaimani iliyokufa, (katika namna
inayofanana Yesu anawaumbua wanafiki katika Mathayo 25:40-43).
Yakobo 2:15 anasema ‘Ikiwa ndugu mwanamume au ndugu mwanamke yu uchi na
kupungukiwa na riziki, na mtu wa kwenu akawaambia, enendeni zenu kwa amani,
mkaote moto na kushiba, lakini asiwape mahitaji ya mwili, yafaa nini? Vivyo hivyo na
imani, isipokuwa ina matendo, imakufa nafsini mwake.' Katika barua yake, mtume
Yohana anaungana na Yakobo katika makaripio yake kwa ‘Wakristo’ matajiri ambao
hawawekezi fedha zao kwa watu wanaoumia na wenye uhitaji na kuuliza wapi upendo
wa Mungu upo katika maisha yao waraka wa 1 Yohana 3:17 ‘Lakini mtu akiwa na riziki
ya dunia, kisha akamwona ndugu yake ni muhitaji, akamzuilia huruma zake, je! Upendo
wa Mungu wakaaje ndani yake huyo?
Mistari hii katika Yakobo2:15 na 1 Yohana 3:17 inatumika sana kwa uchungu kwa
mamilioni ya Wakristo matajiri wa leo wanaosikia taarifa katika maeneo ya matukio na
kuona katika runinga dunia ya mahitaji, hususani miongoni mwa jamaa zao wanaoamini
na kutofanya chochote juu ya hili. Siku ya hukumu inakuja na matajiri wana wajibu
mkubwa juu ya Mwana wa Mungu aliyefufuka, wale waliowekeza kwa Mfalme na
Ufalme wake wataitwa ‘Wema na watumishi wazuri’ (Mathayo 25:23). Wale ambao
hawajatangaza kuwa na imani iliyokufa na bila ya upendo wa Mungu katika mioyo yao.
Hakika itakuwa maono ya ajabu katika siku ya hukumu wakati Wakristo wengi ambao
wameonyesha mitego yote ya kidini na kuheshimiwa watakuja mbele ya Enzi ya
Mfalme Yesu. Waraka wa 1 Samweil 16:7 inasema, ‘Bwana haangalii kama binadamu
aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali Bwana huutazama moyo.'
wanachama wengi wa makanisa ambao hawakuwajali masikini, wajane na yatima
wataumbuliwa na watarajie kuamshwa kwa hasira.
Page 31
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Nini kitatokea kama utakufa jioni ya leo na ukatakiwa kutoa hesabu kwa Yesu juu ya
shughuli zako za kifedha – uko tayari kwa ajili ya hukumu ambayo wote wanaifahamu
ambayo inakuja dhidi ya fedha zetu? Angeweza kusema ‘Umefanya vizuri mtumishi
mwema na mwaminifu’ kwenu kwa namna mlivyodhibiti fedha?
Kila fedha ya mwisho ambayo tumewahi kuimiliki tutatoa hesabu zake namna ambavyo
tumepata na kuitumia. Hii itatusababishia kufikiri kwa makini ni kwa vitu gani
tunatumia fedha zetu na namna tunavyodhibiti kazi za fedha zetu. Wakristo wengi
katika siku ya hukumu watajutia kwa kutumia kiasi kikubwa cha fedha sababu ya ukweli
kwamba hawakuwa waaminifu katika kazi zao za kifedha, na kwasababu ya ukweli
kwamba hawakuwa waaminifu katika kazi zao za kifedha, vyote vitakavyoletwa itakuwa
ni kuongezeka kwa wajibu na hasara ya zawadi ya ufalme katika siku ya hukumu.
Bibilia inaonya kwamba kama tunatafuta Baraka za Mungu tunatakiwa kufanya hivyo
katika ufahamu wa kweli juu ya kifo, hukumu na zawadi ya pepo na matumizi ya fedha
tukiwa na ukweli huu akilini.
Warumi 14:10 b ‘kwa maana sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha
Mungu...Ndipo kila mmja wetu atatoa heasabu yake mbele za Mungu.
Wahebrania 9:27 ‘Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya
kufa hukumu.'
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa Masikini
Maombi kwa ajili ya Benin
Watu 11,109,357, Uislam na Ukristo
unashindana na dini za jadi
Rais ni mwamini na kanisa linakua
lakini tafsiri ya bibilia inahitajika sana. © www.operationworld.org
11. Fedha Inahitaji Hekima
Katika Bibilia Yako Soma Haya Kwa Sauti: Methali 2:1-11
Kumbuka Mstari Huu: Methali 4:7 ‘Bora hekima. Basi jipatie hekima.'
Baada ya Hapo Zungumzia Haya: Namna gani tunaweza kupata haki ya hekima
kudhibiti fedha zetu.
Page 32
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Jambo la Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Soma Yakobo 1:5 na umuulize
Mungu akupe hekima katika kazi zako za kifedha
Kazi ya Diploma ya kuandikak: Andika ukurasa mmoja juu ya njia za hekima na
zisizo za hekima ambazo mkristo aweza kutumia kudhibiti fedha zake.
Tafakari Neno Baada ya Neno Katika Aya Hii: Mithali 16:16
Mwongozo zadi wa utajiri ambao bibilia inaudhihirisha ni hitaji kuu la kupata hekima
kujua namna ya kutumia na kuwekeza na kutumia fedha ambazo Mungu anataka
kuziweka katika mikono yetu. Katika sehemu hii tutaonyesha mengi katika kitabu cha
Methali, ambacho kimeandikwa zaidi kwa sifa zisizo za kawaida kutoka katika bibilia –
kama Mfalme Sulemani. Sulemani alikuwa na sifa ya kuwa mtu mwenye hekima nyingi
duniani katika nyakati hizo na kuwa tajiri sana ambaye amewahi kuishi (ona mwenyewe
katika waraka wa 2 wa Mambo ya Nyakati sura ya 1). Matokeo yake, kunaweza kuwa
na watu wachache ambao wanaweza kuzungumziwa kuhusu hekima na kazi za fedha
ambazo zinazidi za Sulemani, na katika kitabu cha Methali anaelezea ukweli mwingi
kwa ajili yetu.
Methali 4:7 inasema ‘Bora hekima, basi jipatie hekima.'Bora hekima, basi jipatie
hekima. Naam kwa mapato yako yote jipatia ufahamu.' kwa hiyo bibilia inatuambia
kwamba kabla ya kutafuta chochote katika maisha tutafute kwanza hekima na Mtazamo
wa Mungu katika hilo. Hili ni muhimu hasa katika fedha zetu – fedha ni kama mnyama
pori ambaye anatakiwa kutegwa – tunataka hekima ya Mungu ili kujua namna ya
kudhibiti na kuzuia isiharibu mahusiano yetu na Mungu. Labda unatafuta kwa kiasi
maisha yako yaliyo mazuri sana na kuona Mungu anafingua milango ya fedha, lakini
umeshatafuta hekima zake kujua namna utakavyodhibiti na kutawala hiyo fedha?
Kitabu cha Methali kina mengi ya kusema kuhusu hekima moja ni maono
yanavyoshangaza ni kama inavyoonyeshwa, hekima inapaswa kuthaminiwa kuliko
tunavyothamini fedha. Hii ni kweli na ni kofi usoni kwa Wakristo wengi ambao
wamefanya Baraka za Mungu kuwa kama sanamu katika maisha yao na wanajali tu
kuwa matajiri haraka na kutofikiria namna ya kutumia fedha. Nini unachothamini sana –
hekima au fedha?
Mungu anapenda tuwe na vitu vyote viwili lakini mtiririko wa mambo inapaswa kuanza
na hekima na baadae fedha (na si fedha kwanza na baadae hekima wakati akaunti ya
benki imejaa!). Hebu angalia jinsi bibilia inavyopanga viwango na kuthamini hekima
zaidi kuliko fedha, dhahabu, madini ya fedha au mawe ya thamani.
Mithali 2:3 ‘Naam, ukiita busara, Na kupaza sauti yako upate ufahamu, Ukiutafuta kama
fedha, Na kuutafuta kama hazina iliyositirika, Ndipo utakapo fahamu kumcha Bwana,
Page 33
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Na kupata kumjua Mungu.'
Methari 3:13 ‘Heri mtu yule aonaye hekima, na mtu yule apataye ufahamu, maana
biashara yake ni bora kuliko biashara ya fehda, Na faida yake ni nyingi kuliko faida ya
dhahabu. Yeye ana thamani kuliko marijani, wala vyote uvitamanivyo havilingani naye.'
Mithali 16:16 ‘Si afadhari kupata hekima kuliko dhahabu? Naam, yafaa kuchagua
ufahamu kuliko fedha.'
Nini unathamini zaidi ukijua namna ya kupokea Baraka za Mungu katika maisha yako
au kujua namna ya kudhibiti na kutafuta Baraka? Ahadi ya ajabu katika kitabu cha
Methali ni kama tukitafuta hekima zaidi ya vitu vyote (ikiwa ni pamoja na fedha) hivyo
kwa kufanya hivyo tutakuwa tumebarikiwa na kutajirishwa na Mungu sababu tumeweka
vipaumbele vyetu sahihi. Hekima ni jambo binafsi kama ilivyo kwa mwanamke
mwelevu katika kitabu cha Methali ambae alizungumza na kuwaelekeza watu wa
Mungu – alitangaza tukiwa tunamtafuta na hekima zake kabla ya vitu vingine, atatujaza
utajiri na heshima.
Mithali 3:16 ‘Ana wingi wa siku katika mkono wake wa kuume,Utajiri na heshima
katika mkono wake wa kushoto.'
Mithali 8:17 ‘Nawapenda wale wanipendao, Na wale wanitafutao kwa bidii wataniona,
Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo na haki pia.'
Kanuni hii ni sawa sawa kabisa na vile Yesu alivyokuwa akisema katika Mathayo 6:33
aliposema ‘Tafuteni kwanza Ufalme wake na haki yake, na hayo mengine mtazidishiwa.'
Hatimaye, kama unataka kuingia katika mambo mema ya Mungu hivyo tafuta kwanza
Ufalme wake na hekima yake juu ya vitu vyote mtafute Mungu kabla ya Baraka za
Mungu na ukifanya hivyo utapata Baraka za Mungu. Muombe Mungu mambo mema
zaidi katika maisha yako, mtafute kwa ajili ya Baraka zake zote alizonazo kwa ajili
yako, lakini tafuta pia hekima ya Mungu kujua jinsi ya kudhibiti, kwa sababu hekima ni
ya thamani kubwa kuliko fedha.
Mfalme Sulemani ni mfano mzuri katika bibilia, mtu aliyepata kipaumbele moja kwa
moja na kutafuta hekima na matokeo yake Baraka za Mungu zikamfuata Mfalme huyu.
Katika 1 Wafalme 3:5 tunamwona Sulemani anapoanza kutawala kama Mfalme katika
Israeli na anapokutana na Mungu katika ndoto anaomba hekima ili kutawala kwa
uadilifu, hapa hakukutajwa ombi la fedha. Maombi yake yanamfurahisha Bwana, na
sababu ya ukweli ni kwamba Sulemani alimweka Mungu na hekima zake kuwa wa
kwanza, Sulemani alipewa si hekima tu bali pia na utajiri.
1 Wafalme 3:11 inasema, ‘Mungu akamwambia, kwa kuwa umeniomba neno hili wala
Page 34
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
hukujitakia maisha ya siku nyingi; wala hukutaka utajiri kwa nafsi yako; wala hukutaka
roho za adui zako; bali umejitakia alikili za kujua kuhukumu; basi, tazama nimefanya
kama ulivyosema. Tazama nimekupa moyo wa hekima na wa akili; hata kabla yako
hapatakuwa na mtu kama wewe, wala baada yako hatainuka mtu kama wewe, na mambo
yale usiyoomba nimekupa, mali na fahari, hata hapatakuwa na mtu katika wafalme kama
wewe.'
Mwisho, tunaona katika Zaburi 49:20 onyo la hatari ambalo bibilia linatoa kwa wale
wenye fedha lakini hawana hekima au kukua kiroho kuidhibiti, ‘Mwanadamu mwenye
heshima, iwapo hana akili, Amefanana na wanyama wapoteao.' Labda moja ya maombi
mazuri ambayo tunaweza kuomba kwa ajili ya maisha yetu ni kuwa na hekima katika
kila tunachofanya, na kufahamu utashi halisi wa Mungu katika mazingira yetu.
Mwangaza wa maonyo na mwangozo umetajwa katika bibilia juu ya hekima ya
kudhibiti fedha zetu, tunapaswa kumtafuta Mungu muda wote kuelekeza masuala ya
fedha zetu.
Wakati gani ilikuwa mara ya mwisho kuomba juu ya gari lipi ununue au nyumba ipi au
mapumziko? umeomba angalau kuhusu manunuzi madogo au umetumia fedha katika
kile unchohitaji wakati unapohitaji. Imetolewa hoja kwamba kama unataka kufanya
manunizi makubwa hivyo kabidhi hilo kwa Mungu kwa maombi ya wiki 1 kabla ya
kutaka kununua hicho na kumpa Mungu muda wa kukupa uthibitisho wa amani kwamba
uko katika utashi wake.
Nyumba ya Maombi kwa ajili ya Mataifa Maskini
Omba kwa ajili ya Bhutan
Watu 2,123,970 ya Wakristo wanatawaliwa na wabudha pamoja na wahindu
lakini Neno la Mungu linahubiriwa © www.operationworld.org
12. Fedha- Mpotoshaji wa Nafsi zetu
Katika Bibilia Yako Soma Haya Kwa Sauti: Yeremia 17:9
Kumbuka Mstari Huu: 1 Timotheyo 6:10 ‘Maana shina moja la mabaya ya kila namna
ni kupenda fedha.'
Baada ya Hapo Zungumzia Hili: Mifano ipi inayoonyesha fedha zinaweza
kusababisha watu kutenda kwa namna isiyo ya ki-Mungu
Jambo la Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Kama inawezekana, jaribu kutafuta
mtu aliye wahi kupotoshwa na fedha, na umshirikishe majadiliano hayo.
Page 35
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Kazi ya Diploma ya kuandika: kwa kuwa kupenda fendha ni shina la mabaya ya kila
namna, andika upande mwingine uelezee kama fedha yenyewe ni uovu.
Tafakari Neno Baada ya Neno Katika Aya Hii: Ebrania 13:5
Baada ya kuona katika sehemu iliyopita baadhi ya maonyo ya kibilia yanayohusu fedha,
sehemu hii itaangalia baadhi ya vitu hatari ambavyo fedha inasababisha watu kufanya.
Bibilia inaonesha wazi wazi kuwa asili ya binadamu ni dhaifu, iliyoshindwa na
kudanganywa, hata hivyo inaweza kuonekana kuwa wakati ambapo asili ya mwanadamu
haitaweza kubadilika kuwa mbaya, fedha inakuja na kuindoa. Pesa inaamsha yote
ambayo yameoza na mabaya na kugeuza na kupotosha mioyo yetu – kutufanya kuwa na
tamaa, walafi, wadanganyifu na yote mabaya. Kuongeza ushawishi wa fedha kwa asili
ya binadamu ni kama kuongeza mafuta katika moto – zinaweka mazingira kuwa mabaya
zaidi. Kwasababu ya pesa watu watafanya mambo usiweza kuamini kwa kutumia fedha
– fedha ni chanzo cha mambo mabaya ambayo hayajawahi kuzungumzwa na uhalifu
ambao haujawahi kuzungumzwa na shughuli haramu. Kwa sababu ya fedha, watu
watafanya mambo kinyume na sauti ya ufahamu wao, na hata sauti ya Roho Mtakatifu
na kufanya mambo ya mabaya – Baadhi ya mifano iko hapo chini.
Watu wakali na wauaji watafanya zaidi hata kuua binadamu mwingine kwa ajili ya
fedha. Wanawake watafanya umalaya na kujiuza kwa ajili ya picha za ngono kwa ajili ya
fedha. Wafanya biashara ya utumwa watauza wanadamu wenzao katika utumwa kwa
ajili ya fedha. Wazazi watauza hata watoto wao katika ukahaba kwa ajiili ya fedha.
Katika kufuatilia taaluma na fedha, Wazazi wataruhusu shule za awali kuibua na
kufundisha mambo ya thamani kwa watoto wao badala ya wao wenyewe kufanya
hivyo.Wanaojihusisha na madawa ya kulevya watauza madawa na kusababisha athari
zisizoelezeka kwa jamii ili kupata fedha. Wafanyakazi watafanya ngono na mabosi wao
ili kupata cheo na kupandishwa mshahara. Watu wanaopokea rushwa wako tayari
kufanya lolote kwa wale wanaohusika na ulinzi na kudhuru maisha ya watu kwa ajili ya
fedha . Watekaji nyara watateka binadamu wenzao na kutaka fedha ili kuwaachia
waliowateka.
Vibaka watasababisha maumivu ya mwili kwa binadamu wengine ili kupata fedha
kutoka kwao. Watu wataiba kutoka katika familia zao ili kupata fedha kidogo. Matapeli
watatumia kila njia ya hila na kulaghai watu wazima ili kupata fedha toka kwao. Watu
watatafuta jamaa matajiri wa jinsia tofauti ili kuoa/ kuolewa nao ili kupata fedha. Watu
wataua jamaa wa familia zao ili kupata urithi wa haraka. Viongozi wachache wa kanisa
wataomba kwa ajili ya Baraka za Mungu kwa ajili ya maisha yetu – kama tutawapa kiasi
kikubwa cha fedha! Watu watamkataa Yesu katika kiwango cha juu na upendo na
wokovu wake utapotea na kuabudu fedha.
Nyumba ya Maombi Kwa Mataifa Masikini
Page 36
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Omba kwa ajili ya Bolivia
watu 8,328,665, Idadi kubwa ya Wakatoliki, madawa ya kulevya yanaathiri vijana, uinjilist unakuwa – Ukatoliki unapungua.
© www.operationworld.org
13. Uwakili
Katika Bibilia Yako Soma Haya: Warumi 14:7
Kumbuka Mstari Huu: Psalm 24:1 ‘Nchi na vyote viijavyo na mali ya Bwana,Dunia
na wote wakaao ndani yake.
Baada ya Hapo Zungumzia Hili: Fedha katika mfuko wako ni mali yako au ya
Mungu?
Mambo ya kufanya kabla ya wakati mwingine: Omba kwa ajili ya mfuko wako wa
fedha, kitabu cha hundi na kadi za mkopo, ili uvitumie kwa ajili ya utukufu wa Mungu
Kazi ya Diploma ya kuandika:Andika kwa upande mwingine kuhusu kuwa wakili wa
fedha za Mungu.
Tafakali Neno Baada ya Neno katika Aya Hii: 1 Nyakati 29:14
Baada ya kuona sehemu zilizotangulia dhamira ya Mungu kutubariki na maonyo na
malengo yanayoambatana na wingi wa vitu, sehemu hii itaangalia katika majukumu
ambayo tunakuwanayo tuposhirikiana naye katika kutoa Baraka zake. Itakuwa katika
kumbukumbu zetu milele kwamba hatupati Baraka za Mungu katika maisha yetu, hivyo
kikwazo ni juu yetu. Baraka za Mungu zimekuwa zikimiminika katika maisha yetu na
neema zake na wema uliminika na utaendelea kumiminika kwetu lakini tuna uwezo wa
kuzuia mambo yake mazuri katika maisha yetu.
Sehemu hii mahususi itaangalia eneo la Uwakili na namna Mungu anavyotuita kuwa
wanafunzi katika Ufalme wake.Uwakili ni pale ambapo mtu anamwamini mwingine
kwa ajili ya kusaidiwa akiendelea kumiliki vitu ambavyo amepewa. Kwa mfano fikiria
unakwenda kwa ajili ya safari fupi ya kimishionari kwa miezi na kumuomba mtu
akutunzie nyumba yako hivyo mtu huyu atakuwa wakili wa nyumba yako. Katika
maeneo ya fedha,Uwakili una kanuni 2 zifuatazo:
1. Kila kitu katika dunia ni mali ya Mungu (ikiwa ni pamoja na fedha)
2. Pesa tuliyonayo hivyo ni ya Mungu na tunaitumia kwa niaba yake na kwa ajili ya
Page 37
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
faida yake.
Kwamba Mungu kumiliki kila kitu ni ukweli ambao umeelezwa vizuri katika maandiko
kwa mfano Zaburi inasema
Zaburi 24:1 ‘Nchi ni mali ya Bwana na vyote viijazavyo, Dunia na wote wakaao ndani
yake'.
Zaburi 89:11 ‘Mbingu ni mali yako, Nchi nayo ni mali yako, ulimwengu na vyote
viiujazavyo, Ndiwe ulieupiga msingi wake'.
Walawi 25:23 ‘Nayo nchi haitauzwa kabisa kabisa, kwani nchi ni yangu mimi; maana
ninyi ni wageni na wasafiri wangu.’
Si tu dunia ni mali ya Mungu bali maandiko yanasema kuwa kila binadamu ni mali ya
Mungu wale ambao wamekuwa Wakristo ni mali ya Mungu katika hali ya kipekee
kabisa, kuishi maisha yao kwa ajili ya Mungu na kutokujifurahisha wenyewe. Hatimaye,
sifa hii ya ubinafsi na kutokujitegemea hakika inamsikitisha Mungu ambaye ametokwa
damu na kutuokoa katika giza ili tuishi kwa ajili yake. Kabla ya Mungu kuumba
ulimwengu na kabla ya binadamu kuwa katika tumbo la mama, Mungu alitengeneza
mpango kwa ajili ya maisha yao na watatembea na kupata furaha kubwa kuingia katika
mpango wake. Hakika kila Mkristo ni lazima aachane na utashi wake, mipango, ubinafsi
na kutokujitegemea ili kupata matakwa na mpango ambao Mungu anao kwa ajili yao.
Yeremia 10:23 ‘Ee Bwana, najua ya kuwa njia ya mwanadamu haimo katika nafsi yake,
kuelekeza hatua zake si katika uwezo wa mwanadamu.'
Rumi 14:7 ‘kwa sababu hakuna mtu miongoni mwetu aishie kwa nafsi yake, wala
hakuna afaye kwaajili yake.'
1 Kor. 6:19 ‘Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho mtakatifu aliye ndani
yenu, mliyepewa na Mungu? wala si mali yenu wenyewe.'
1 Kor. 6:19 ' Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu la Roho Mtakatifu aliyendanin
yenu, mliyepewa na Mungu? Wala ninyi si mali yenu wenyewe maana mlinunuliwa
kwa thamani.'
Ukweli halisi ni kwamba dunia yote na kila kilichomo ndani yake ni mali ya
Mungu,fedha na dhahabu pamoja na mawe yote ya thamani na mali zote ndani yake ni
mali yake. Hii ina maanisha kwamba watu wa Mungu wanapaswa kuahca majivuno ya
kutumia fehda zao kama wapendavyo kwa sababu ya kudai kuwa, 'Nguvu zangu
zimenipatia fedha' Si fedha zao bali ni za Mungu.ikiwa milki yetu ya fedha ni ya Mungu
tunapaswa kuwa makini kutumia fedha ya Mugnu kwa njia anayotaka yeye sisi tuitumie.
Namna hii ya kutazama pesa zetu kiuhalisi kama za Mungu ni jambo linalotambuliwa
na Wakristo wachache,kutumia fedha katika tabia na hasara zao katika kumtafuta Mungu
juu matumizi ya fedha yake inaonyesha kwamba wana fedha kama milki zao.
Page 38
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Daudi ni mfano mzuri sana wa mtu ambaye kuelewa kwamba kila kitu katika maisha
yetu ni mali ya Mungu na sisi tunatakiwa kutumia kwa busara kwa niaba yake.Wakati
wa kutoa kwaajili ya ujenzi wa hekalu yeye anatangaza katika 1 Nyakati 29:14 Vitu
vyote vyatoka kwako,na katika vitu vyako mwenyewe tumekutolea. Kwani sisi tu
wageni mbele zako, na wasafiri, kama walivyokuwa baba zetu wote ni kama kivuli siku
zetu duniani, wala taraji la kuakaa hapana. Ee Bwana Mungu wetu, akiba hii yote
tuliyoiweka, ili tukujengee nyumba kwa ajili ya jina lako takatifu yote yatoka mkononi
mwako na yote ni yako wewe.'
Mfano zaidi ya ukweli kwamba fedha zetu ni fedha ya Mungu inapatikana katika
Matendo 4:32 ambayo inaeleza mfano wa jinsi waumini wanapaswa kushughulikia mali
na fedha. Hapa, maandiko ya kanisa la kwanza kutangaza kwamba ' Hakuna mtu yeyote
aliyedai kwamba kuwa ni mali yake binafsi , ila waligawana vyote walivyokuwa navyo .
Waumini walikuwa wamekata madai yote na haki ya pesa na mali kwamba walikuwa
tayari kushiriki hivyo kama walivyoongozwa na Mungu.
Ili tuweze kuona kibiblia kwamba dunia yote , watu wote ndani yake, mali yote ndani
yake na fedha zote ndani yake ni mali ya Mungu . Mungu kwa neema nia ya fedha yake
kwetu sisi ni kutarajia kuwa wenye hekima na bidii katika utunzaji wetu wa fedha yake
na kushirikiana pamoja naye katika kutumia fedha kuendeleza madhumuni yake duniani.
Hivyo , kama kanisa la kwanza uliofanyika madai yoyote ya umiliki juu ya fedha zao au
mali, lazima sisi tutambue kwamba wao ni wa Mungu. Mungu hutumia fedha zake
kuendeleza ukomavu, uwakili na Kristo katika tabia kama watoto wake na anatuita kwa
busara kushughulikia fedha yake.
Hivyo , unaweza kusema kwa moyo wako wote kwamba wewe unaona mali na pesa
kama si mali yako wewe lakini inamilikiwa na Mungu? Kama unaweza basi utakuwa
umetambua ni nini jukumu kubwa, kwamba ni kuangalia fedha ya Mungu kwa ajili
yake na kuwa wakili mwaminifu. Inaweza kuwa alisema kwamba Mungu anafurahi
kuwa na watoto ambao ni mawakili ambao hawaja haribiwa na fedha, na kwamba fedha
anazotaka kuweka katika maisha yetu ni kwa ajili ya kuendeleza tabia zaidi katika
anasa. Pesa inakuja kama mtihani kutoka kwa Mungu na katika kutumi inaonyesha
kiasi kikubwa juu ya uhusiano wetu na Mungu - ni kweli hutenganisha wanaume kiroho
kutoka kwa wavulana.
Hatua ya mwisho kuhusu uwakili ni kwamba lazima tutatoa hesabu kwa Mungu kuhusu
namana tulivyotumia fedha zake - hii imesemwa katika 1 Wakorintho 4:1-5. Kwanza
anasema katika aya ya 2 , 'Hapo tena inayohitajiwa katika mawakili, ndiyo mtu
aonekane kuwa mwaminifu.'
Mungu amewaka fedha zake kwetu kwa namna ya kuendeleza uwakili na uwana kwa
watoto wake na kwa hiyo lazima tuwe makini na wenye juhudi katika kutumia fedha za
Page 39
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Mungu kwaajili yake. Kadri Mungu alivyowekeza fedha zake kwetu, anatazamia
marejesho ya kuwekeza kwake na ni jukumu zuri kwamba wote tunatakiwa kuwa
mawakili wa fedha za Mungu kwaajili yake.Hatutumii fedha zetu kwa njia tunayofikiri
ni bora lakini fikra zetu zinatakiwa ziwe juu ya kutumia pesa za Mungu kwa njia ya
Mungu.
Pili inasema katika mstari wa 5, 'Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata
ajapo Bwana, ambaye atayamulikisha yaliyostrika gizani na kuyadhihiridha mashauri ya
moyo ndipo kila mtu atakapo pata sifa yake kwa Mungu.' Kama matokeo ya bidii
uwakili wetu tutapokea sifa kutoka kwa Mungu ni jambo moja kwa ajili ya mwalimu,
kwa mzazi, kwa mke au Mchungaji kukusifu lakini unaweza ukafikiri kuhusu siku ya
hukumu Mungu atakapoimba sifa za wote wliokuwa mawakili wema wa vipawa vya
Mungu, upako, na fedha. Huzuni. Kwa wote ambao hawakuwa mawakili wa bidii juu ya
fedha za Mungu, hawatapata wimbo mzuri wa sifa zao na haijarishi kama wamekuwa
wakisifiwa na wachungaji, wazee, mashemasi na mapadre, kama hawakuwa mwakili
wema watapokea siku ya dhihaka usoni pao.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Botswana
1,622,220 watu ,Idadi kubwa ya watu ni wenye tamaduni za jadi / na dini
Wanaathiriwa na ukimwi na ufugaji, kanisa linahitaji kufundisha juu ya utume
wa Yesu. © www.operationworld.org
14. Baraka Zina Masharti Katika Uwakili Wetu
Katika Biblia Yako Soma hapa kwa sauti: Mathayo 25:14-30
Kariri Aya Hii: Mathayo 25:23 'Vema, mtumwa mwema na mwaminifu !
Ulikuwa mwaminifu kwa machache, nitakuweka juu ya mengi'
Baada ya hapo Zungumzia Hili: Katika mfano wa talanta (Mathayo 25:14-30 ),
nini kinatofautisha kati ya wakili mwema na mbaya
Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine: Andika maeneo ya fedha yako
kwamba Mungu anataka kuwa wakili mwema wa kutoa, kutumia na kuweka,nk
kazi ya Diploma ya kuandika: Andika upande mmoja juu ya kiasi gani cha baraka zetu
zinategemea uwakili wetu.
Page 40
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Tafakari neno baada ya neno katika aya Hii: Kumbukumbu la Torati 30:19
Kupitia eneo la uwakili kiwango cha utimilifu wa baraka za Mungu maishani mwetu
tunachopata ni kikubwa zaidi kwetu- uwakili ni tendo aliloliwekla Mungu ambalo
pengine linafanya kazi kwaajili yetu au kinyume chetu. Biblia inatupa marejeo mengi ya
ukweli kwamba Mungu hutazama uaminifu na watu waaminifu kwa ajili ya fedha
zake,na zaidi tunavyokuwa mawakili bora ndivyo zaidi Mungu hutuamini. Baraka zetu
ni za masharti siyo juu ya Mungu kwa sababu yeye milele amekamilika na kukusudia
kutubariki, lakini zina masharti kulingana na jinsi tutakavyo zitumia na uwakili wetu juu
yake.
Katika Agano la Kale , hamu kubwa ya Mungu ilikuwa ni kuona watu wake walulia
katika nchi aliyomwahidia ibrahimu na uzao wake, na kuona wanastawi na kufanikiwa -
Kitabu cha Kumbukumbu kinaongelea hili mara nyingi. Si tu kwamba Mungu alitaka
kuingia katika urithi lakini pamoja na ushawishi huo ukatokea ujumbe kwamba kama
watingia katika furaha yake watatakiwa kuenenda katika kumtii na kukosa kutii kunge
wapelekea kuyakosa mema yake. Maandiko chini yote kutoka kitabu cha Kumbukumbu
la torati- yanaongelea mambo mawili kuhusu ukweli kwamba, Mungu amedhamiria
kutubariki lakini pia tunahitaji kutembea katika kumtii.
Kumbukumbu 7:12 "Naitakuwa kwa sababu mwazisikiliza hukumu hizi na kuzishika na
kuzitenda, basi Bwana Mungu wako atakutimilizia agano na rehema alilowaapia baba
zako naye atakupenda na kukubarikia na kukuongeaza tena ataubarikia uzao wa tumbo
lako, na uzao wa nchi yako nafaka zako na divai yako na mafuta yako maongeo ya
ng'ombe zako na wadogo wa kondoo zako katika nchi aliyo waapia baba zako kuwa
atakupa,
Kumbukumbu 15:4 'Lakini hawatakuwepo mskini kwenu, Kwa kuwa Bwana
atakubarikia kweli katika inchi akupayo Bwana, Mungu wako, uimiliki, iwe urithi wako
kwamba utaisikiza tu kwa bidii sauti ya Bwana Mungu wako uyatunze maagizo hayo
yote nikuagizayo leo kuyafanya.'
Kumbukumbu 28:1 "Itakuwa utakapasikia sauti ya Bwana, Mungu wako, kwa bidii,
kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo Bwana Mungu wako
atakapo kutukuza juu ya mataifa yope ya duniani, na baraka zote hizi zita kujilia na
kukupata usikiapo sauti ya Bwana Mungu wako.
Kumbukumbu 29:9 'Shikeni basi maneno ya agano hili myafanye, ili mfanye,ili
mfanikiwe katika yote mfanyayo.
Kumbukumbu 30:9 'Na Bwana,Mungu wako, atakufanya uwe na wingi wa uheri katika
kazi yote ya mkono wako, katika uzao wa tumbo lako, na katika uzao wa ng'ombe wako,
na katika uzao wa nchi yako;kwa kuwa Bwana atafuarahi tena juu yako kwa wema,
Page 41
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kama alivyofuarahi juu ya baba zako; Ukiwa utaifuata sauti ya Bwana,Mungu wako,
kwa kuyashika maagizo yake, na amri zake zilizo andikwa katika chuo hiki cha torati.'
Mawazo mawilim makuu yametokana na maandiko hapo juu ni shauku ya Myngu,
kubariki watu wake na ni jukumu kwamba watu wa Mungu kuachilia hizo baraka
ambazo zimetokana na utiifu.Na ijulikane tena kwamba baraka za Mungu maishani
mwetu zinatokana na mengi tuyafanyayo sisi kuliko Mungu, kama maandiko hapo chini
anavyoonyesha kwamba Mungu mwenyewe ametangaza hivi kuwa jambo na sababu ya
watu wake kuchukua baraka. Hivyo, kama unataka kujua baraka za Mungu lazima
uchague kwamba unazitaka na unatembea katika utii kwa Mungu ili kuzipata.
Kumbukumbu 11:26 'Angalieni, nawawekea mbele yenu hivi leo baraka na laana.'
Kumbukumbu 30:15 'Angalia, nimekuwekea leo mbele yako uzima na mema, na mauti
na mabaya.'
Kumbukumbu la Torati 30:19 'Nazishuhudaza mingu na nchi juu yenu hivi leo, kuwa
nimekuwekea mbele yako uzima na mauti, baraka na laana; basi chagua uzima,ili uwe
hai, wewe na uzao wako.'
Wazo hili la utii linaloleta baraka liko katika Agano jipya na limefundishwa na Yesu,
(Hasa katika maeneo ya fedha) katika mfano wa taranta (Mathayo 25:14-30) na Mfano
wa Fedha ( Luka 19:11) taranta na kabaila ni wahusika wakuu wa fedha katika wakati
wa Yesu.kuhusu uwakili unatamkwa katika Mathayo 25:14,'Maana ni mfano wa mtu
atakaye kusafiri, aliwaita watumwa wake, wakaweka kwao mali zake.'
Hapa tunaona tunamuona Yesu akisema kwamba fedha ni mali ya Mungu na
tumeaminiwa naye, kutumia kwaajili ya faida zake na utukufu. Mifano yote
inatuonyesha ukweli kuhusu watumwa waaminifu ambao wanatumia fehda kwa hekima
na hata wakipata kwa ziada, yule mabaye hakutumia fehda kwa hekima akiishia kuwa
hana chochote.
Utaratibu wa uwakili kuachilia baraka za Mungu, na ni ulinzi kwetu na kwa Mungu na
Mungu hutafuta mawakili waaminifu na wenye bidii ambao anaweza kuwaamini
kwaajili ya fehda zake na ambao watatumia kwa hekima. Methali 10:22 inasema,
'Baraka ya Bwana hutajirisha, wala hachanganyi huzuni noyo.'
Mungu hakika hatabariki wakili asiyemwaminifu ni kwamba baraka zisimletee matatizo
na kusababisha mtu kamsahau Munguau kutawanya fedha kwaajili ya tamaa zake
mwenyewe. Tukielevuka na kutumia pesa kwa hekima hakika ni furaha ya Mungu
kutubariki zaidi na zaidi, lakinini jukumu letu kujihakikisha kwamba ni waaminifu na
tunaaminiwa na Mungu kwaajili ya pesa zake.
Swali tunalotakiwa kujiuliza wenyewe, ni nini tunatakiwa kufanya ili tuwe mawakili
Page 42
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
wema wa pesa za Mungu? Chini ni orodha ya maeneo yanayotakiwa kuhusika na haya
yataelezewa katika kurasa zijazo.
Kutoa kupata
kuokoa Kuwekeza
mikopo Kukopa
Kutumia Kupokea
pengine unahutaji thamani ya umakini, ulikuwa unatumiaje pesa za Mungu wakati
uliopita? Na pengine una amani moyoni kwamba Mungu anpendezwa na uwakili wako
kwa pesa zake.mahusiano yetu ya fehda ni muhimu na njia makini inatakiwa kuhusika,
na tabia yetu kuhusu mambo ya fedha zetu wakati pesa zikiwa chini ya miliki yako
hazimilikiwi na wewe au siyo za kwako,hauna jambo la kuzitumia ili kumpendeza
Mungu na hivyo kutumia kwaajili ya utukufu wa Mungu.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Brazil
170,115,463 ya watu , idadi kubwa ya wamishonari hutuma Taifa.
Omba kwa ajili ya watoto wa mitaani ambao wameathiriwa na wimbi la uovu na
giza. © www.operationworld.org
15. Kutoa Ni Fursa Ya Uwakili
Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa Sauti: Waebrania 10:38
Kariri Aya hii: Waebrania 11:6 "lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa
maana mtu amwndeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko na kwamba huwapa
thawabu wle wampendao.'
Baadaye Zungumzia Jambo Hili: Je, kutoa ni suala la muhimu zaidi ya kuwa wakili
mwema wa fedha za Mungu?
Jambo La Kufanya Kabla ya Wakati Mwingine: Tazama maandiko yote katika
Agano Jipya juu ya imani
kazi ya Diploma ya Kuandika: Andika upande mmoja juu ya umuhimu wa imani
katika uhusiano wetu na Mungu
Tafakari neno baada ya neno katika aya hi: Warumi 14:23
Katika sehemu iliyopita tulihitimisha kwa kuorodhesha baadhi ya maeneo ambayo
Page 43
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
uwakili unahusika,kuhusiana na fedha zetu-zaidi ya maeneo yote ilikua ni kutoa na
sehemu hii itapanua wazo kua kutoa ni eneo kuu la kua wakili wa pesa za Mungu.Eneo
la kutoa pesa zetu linaonekana kuhitaji imani zaidi kuliko lolote lile tunalohusika nalo
na fedha zzetu,na kama tukiweza kuwa mawakili wema wa kutoa pesa zetu pia twaweza
kuwa mawakili wa mambo mengine ambayo Mungu anatuita kufanya kwa pesa
zetu.Vivyo hivyo,kunahitaji la kuimarisha kile kinachosemwa katika biblia kwamba ni
lazima tuambatanishe imani yetu na pesa zetu,na hasa katika eneo la utoaji.
Katika Habakuki 2:4 , Biblia inatangaza kwamba mwenye haki ataishi kwa imani andiko
ambalo baadaye linanukuliwa katika maeneno si chini ya matatu katika agano jipya
(Warumi 1:17, Wagalatia 3:11 na Waebrania 10:37-38 ) kwa hily andiko lolote ambalo
limetamkwa mara tatu katika Biblia lazima liwe la muhimu.
Ikiwa tunatakiwa kuishi kwa imani hivyo lazima tutumie pesa zetu kwa imani pia katika
ukweli kwamba Warumi 14:23 inasema kwamba pasipo kuishi kwa imani na kuhusiana
na Mungu ni dhambi.Zaidi Waebrania 11:6 inasema kwamba Pasipo na imani
haiwezekani kumpendeza Mungu-tunaweza kusema kwamba tusipotumia pesa zetu kwa
imani itakuwa ni vigumu mbele za Mungu katika maeneno yanayohusu fedha.
Kwa hiyo Biblia inasema nini kuhusu namna tunavyotakiwa kishi kwa imani kuhusiana
na fedha zetu? Kulingania na Waebrania 11:6 tunalazimika kuzitumia kwa imani
kwamba Mungu yupo na ni mpaji wa wote wanaomtafuta kuishi kwaajili yake. Katika
nuru ya andiko hili, njia ya kiblia ya kuishi kwa imani katika maeneo ya fedha ni kutoa
fungu la pesa zako katika upana wa Ufalme wa Mungu , katika imani kwamba Mungu
atatuma baraka zake mbali mbali maishani mwetu na kukurudishia thawabu.
Ulimwengu utakuambia tunza fedha zako zote na kuzitumia kwaajili yako mwenyewe,
Biblia inasema wekeza fungu la pato lako katika ufalme wa Mungu kwa imani na
kuamini kwamba utabarikiwa zaidi kuliko.
Hivi vinafungana na Waebrania 11:6 kwamba unatoa kwa kufahamu kwamba Mungu
anaishi na pesa unazotoa haziendi kupotea na kwamba Mungu atakupa thawabu kwaajili
hiyo, kwa kukubariki kama ulivyo mpa. Kama inavyoonekana hapo chini, orodha ya
maandiko ni ndefu sana na muonekano wake katikati ni kuhusu kupanda na kuvuna
mwenye shamba atatoa mbegu kwaajili ya kupanda kwa ufahamu kwamba itazaa
matunda na hayo matunda yatatoa mbegu nyingi zaidi kwaajili ya wakati ujao. Kama
vile tambavyo Mun gu ameweka sheira ya asili duniani kama vile mvutano na mazao na
mabadiliko ya majira, ameweka pia sheria ya rohoni isiyoonekana kwa namna kwamba
yeyote atakayeshiriki katika sheria hizi atabarikiwa kwazo.
Katika maeneo ya fedha, pato lako huonyesha mbegu na kazi yako kwa Ufalme wa
Mungu huonyesha udongo, Yesu anatukaribisha kupanda mbegu katika udongio kwa
Page 44
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kutoa. Katika kazi ya Ufalme wake. Zaidi, kama vile mpandaji apandavyo mbegu yake
badala ya kula kwa sababu itakuwa bora kwake baada ya muda mchache, Biblia
inatangaza kwamba tutakuwa wema zaidi kwa kipindi kirefu kama hatutatumia pesa
zetu kwaajili yetu wenyewe lakini badala ya kupanda sehemu yake katika kazi ya
Mungu.Maandiko hapo chini yanaongea juu ya sheria ya kulinda maisha yetu na hiyo ni
namna Mungu alivyo weka kwamba tuishi kwa imani tukiheshimu fedha zetu.Pengine
umegundua siri hii kwamara ya kwanza au unahangaika juu ya wazo la kutoa baadhi ya
pesa zako, kwa nini usikumbuke maandiko haya na kumwachia Bwana taratibu
azungumze nawe kwayo?
Mwanzo 8:22 'Muda nchi idumupo, majira ya kupanda, na mavuno, wakati wa baridi na
wakati wa hari, wakati wa kaskazini'
Mithali 11:24 'Kuna atawanyaye, lakini huongezewa zaidi; Kuna azuiaye isinyo haki,
lakini huelekea uhitaji. Nafsi ya mtu mkarimu itawandishwa; anyweshaye atanyweshwa
mwenyewe.
Mathayo 6:3 'amini, nawaambieni, wamekwisha kupata thawabu yao, bali wewe utoapo
sadaka hata mkono wako wa kushoto usijue ufanyalo mkono wako wa kuume; sadaka
yako iwe kwa siri; na baba yako aonaye sirini atakujazi.'
Wagalatia' 6:7 Msidanganyike : Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa chochote apandacho
mtu, ndicho atakacho vuna.'
2 Wakorintho 9:6 'Lakini nasema neno hili, apandaye haba atavuna haba; apandaye kwa
ukarimu atavuna kwa ukarimu.'
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Brunei
328,080 ya watu , 64 % ni Waislamu
Uislamu unatishia kutokomeza dini zote nyingine,
Wengi ni makundi ya watu wasiofikiwa na Injili.
© www.operationworld.org
16. Aina nyingi za Baraka ya Mungu
Katika Biblia Yako Soma hapa kwa sauti : Kumbukubu la Torati 28:1-14
Karri Aya Hii: Wagalatia 6:7 'Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa chochote
Page 45
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
apandacho mtu, ndicho atakacho vuna.'
Baadaye Zungumzia Hili: Kwa namna gani Mungu atatubariki
Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine: Orodhesha namna Mungu
amekubariki tangia uwe Mkristo.
Kazi ya Diploma ya Kuandika Kuandika: Orodhesha faida zinazoelezwa katika
Zaburi 103
Tafakari Neno baada ya Neno katika Aya Hii: Zaburi 103:2
Umekwisha ona tena kwamba Biblia inaonyesha dhahili kuhusu kupanda na kuvuna na
kuonyesha namna gani Mkristo anatakiwa kuhusika na fedha zake,hususani kurasa mbili
chini zitaonyesha kutoa na kupokea(yaani kupanda na kuvuna / mbegu wakati wa
mavuno ). Maandiko mawili chini ni mhimu sana katika Agano Jipya ambayo
yanaonyesha kuhusu kupanda na kuvuna kwa fedha za Mkristo, na yaliyomo
yaliyoandikwa, yote ni kwaajili fedha.Vivyo hivyo,unapofanya marejeo katika kitabu
hiki kwa habari ya sheria ya kupanda na kuvuna/kutoa na kupokea/wakati wa kupanda
mbegu na mavuno, inafanyika kulingana na maandiko.
Gal '6:7 Msidanganyike: Mungu hadhihakiwi chochote apandacho mtu ndicho
atakachovuna '
2 Wakorintho 9:6 ' Kumbuka hili: Apandaye haba atavuna haba, apandaye kwa ukarimu
atavuna kwaukarimu '
Ufafanuzi zaidi wa maneno mahusisho yanatolewa kwenye wazo la kupanda na kuvuna
katika yaliyo katika fedha,ambayo yanakiwa kutumiwa katika wazo la kupokea/kuvuna
mavuno yaliyopandwa muda uliopita kwa kutoa/kupandwa fedha. Kwa huzuni,watu
wanaweza kufikiri kuwa kama wakitoa paundi kidogo kama sadaka kanisani watatarajia
kiasi kikubwa cha pesa kupewa ndani ya miezi miwili au watasema kuwa
wamedanganywa! Kiuhalisi si jambo,zifuatazo chini ni ni baadhi ya sifa zinazoruhusu
kupokea/kuvuna mavuno ya fedha kuona sheria za kupanda na kuvuna kazzi kwa kibali
chetu,kama zlivyotajwa katika kitabu hiki.
1) Mungu hutuma mavuno Hatimaye ni Mungu achiliae baraka zake katika maisha ya wakrisro na akiwa anajua
mawazo na dhamila za kila mmoja,Yeye mwenyewe ataona kama kana mtu anastahili
kupokea baraka zake.
2) Mavuno si uhakika Ukiendelea mbele,kama tutakavyo husika na kurasa za baadae,inawezekana kutoa fedha
na baadaeukafunga mavuno yako na kwa namna hiyo mavuno si ya uhakika,na hapo
Page 46
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
tumetoa fedha.vitu vya namna hiyo ni uwakili mbaya,kupungukiwa imani,kutokuwa na
fedha za Haki,Dhamila mbaya na kutokua mwenye shukrani kunaweza kufunga au
kusababisha kupoteza mavuno yetu.
3) Majira ya mavuno Hakuna hakika ya muda ambao tunaweza kutarajia kupokea mavuno ya fedha wakati
tunapokuwa tunapokuwa tumetoa fedha kama biblia inavyosema,'kwa kuwa tutavuna
kwa wakati wake tusipozimia roho.' Kwa mfano, kama mtoto anatoa kutoka umri mdogo
inaweza kuwa kwamba wao kuvuna mavuno yao baadaye sana katika maisha wakati
wao nchi kazi ndoto ambayo Mungu amewapa kwa mara nyingine tena majira ya
mavuno yoyote ni katika mikono ya Mungu
4 ) Aina Za mavuno Mavuno wanaweza kuja katika aina mbalimbali na chini ya hali yoyote lazima sisi
kutarajia kuwa ni ngumu fedha katika akaunti yetu ya mkono / benki. Kwa mfano ,
inaweza kuwa katika mfumo wa kukuza katika kazi, kupanda kwa thamani ya nyumba
au kipande cha ardhi. Mungu anaweza kutuma mnunuzi kununua kitu ambacho mmoja
wa watoto wake anataka kuuza ,kupata kazi karibu na nyumbani Ikiwa na maana kuwa
haitakugharimu usafiri , biashara ya mtu kutakiwa kuuzwa kwa faida kubwana ukapewa
bidhaa ya thamani kama vile gari.
5) Dhana za mavuno Mavuno daima si kupokea kitu kizuri katika maisha yetu lakini inaweza kuwa ya kuzuia
kitu kibaya. Kwa mfano, mkulima anaweza kuvuna mavuno yake kwa njia ya baraka za
Mungu kwa kuwa na wanyama ambao hawakabiliwi na ugonjwa wowote wakati
wakulima wengine wanyama wao wanaugua magonjwa katika mazizi yao ,kama vile
ugonjwa wa miguu na midomo nchini Uingereza.
6) Kiwango cha mavuno Hatimaye, tangia Biblia haijamwekea Mungu mipaka ya aina za mavuno,hakuna uhalisia
wa viwango vya mavuno-Mungu anaweza kuachilia viwango tofauti tofauti vya mavuno
kwa ajili ya kiwango cha pesa kilichopandwa na watu tofauti,kadili tulvyo sisi wenyewe
katika viwango tofauti katika uwakili wetu.kwa mfano,kama umetoa dola mia moja
huwezi kutegemea kupokea dola mia mbili keshi miezi miwili ijayo kama ambavyo
hakuna msingi maalum wa kibiblia juu ya hili.
Hivyo kama tukiendelea kuangalia kiundani zaidi katika eneo la kupanda na kuvuna
katika sifa zilizo hapo juu inabidi tuweke akilini,rejea inapofanyika katika kitabu hiki
cha kupokea/kupanda mavuno,baraka,na kuona sheria za kupanda na kuvuna katika kazi
kwa kibali chetu.Biblia haitupi Ahadi maalum au Hisani za muda,aina na kiwango cha
mavuno ya fedha ambacho kinaweza kutarajiwa wakati akiwa ametoa pesa,wala hata
hiki kitabu.Msimamo wa msomaji unaradishwa tena katika maandiko hapo juu kutoka
Page 47
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Wagalatia 6:7 na 2 Wakorintho 9:06 na maneno ya Yesu katika Matendo 20:35 ambaye
alisema ' Ni heri kutoa kuliko kupokea. Kama mtu anaanza kuwa mtoaji Biblia kamwe
haijasema kuwa atake au kutegemea muda,Aina,dhana na kiwango cha baraka,ni kwa
kadri Mungu mwenyewe atakavyo amua ni nini kilicho bora kwa ajili ya mtuna
inawezekana pia kupoteza mavuno ya kifedha.Kwa mfano, Ayubu 42:12 inaonyesha
kwamba Ayubu alikuwa amebarikiwa na Mungu kwa ngamia , hata hivyo, kama Mungu
alitaka kubariki mtu anayeishi leo katikati ya New York, ngamia inaweza kuwa ni dhana
ya baraka yake.Wakati marejeo yanafanyika katika kitabu hiki cha kupokea/kuinua
mavuno ya kifedha,na kutumia sheria ya kupanda na kuvuna kwa kibali chetu,ikiwa
umekwisha pewa fedha kadha wa kadha,bi hiyo imefanyika kwa kupitia sifa 6 hapo juu
na ukweli kwamba baraka za Mungu zinaweza mida tofauti,Aina,dhana na viwango.
Zekaria 8:12 Mbegu, Zabibu, Mazao.
Mithali 3:9 Divai Mpya
Kumbukubu la Torati 28:1-14 Watoto
Mifugo
Nvua ya kutosha kwaajili ya kuinyedhea aridhi
Kazi zote za mikono yako
Malaki 3:11 Wadiudu kuzuiliwa kuharibu mazao.
Kutoka 23:25 Chakula, Maji,Kinga ya maradhi, Kulefushwa kwa maisha.
Mambo ya Walawi 26:4-5 Matunda, Zabibu
Yoeli 2:24 Nafaka
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa Maskini
Omba kwa ajili ya Bulgaria
8,225,045 ya watu , wengi ni waKikristo lakini 11.87 % ni Waislamu
Kanisa linasongwa na Ukomunisti, Utengano na Magomvi vinazuia ukuaji wa
kanisa . © www.operationworld.org
17. Zaka
Page 48
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa Sauti: Mathayo 23:23
Kariri Aya Hii: Mwanzo 14:20 'Abrahamu akampa fungu la kumi la vitu vyote'
Baadaye Zungumzia Hili: Je, Mungu anatarajia vingi kutoka kwetu anapotutaka tutoe
zaka?
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwangine:
Eleza, ni asilimia ngapi ya mapato yako unayotumia kwaajili ya mambo mengine kuliko
mambo ya muhimu.
Kazi ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mmoja kuhusu sababu ya Mungu
kututaka tumpe asilimia kumi ya mapato yetu.
Tafakari Neno Baada Ya Neno katika Aya Hii: Malaki 3:10
Baada ya kuona namna ya kuishi kwa imani kuhusiana na fedha zetu ni kupitia kuto
katika kazi ya Mungu na maono ya kiBilia juu ya kupanda na kuvuna na kutoa na
kupokea, sehemu zifuatazo zitatazama kwa kina juu ya umuhimu wa kutoa. Sehemu hii
itahusu swali juu ya kiasi gani Mungu anavyotarajia kila mmoja wetu kutoa, mwanzo
mzuri ni hadithi ya sadaka ya mama mjane katika Marko 12:41-44. Pointi ya kwanza
hapa ni kwamba Yesu aliangalia na kujua kiwango gani cha sadaka ambacho kila mtu
ametoa sawasawa kweli leo, Yesu anajua hakika ni nani anayetoa sawasawa ( na
asiyetoa sawasawa) katika kazi ya Mungu na anajua hakika ni kiwango gani kila mtu
alichotoa. Kwa mfano, wakati mwingine sahani ya sadaka ilipitishwa kanisani kwanini
isiwe kwamba ni Yesu anayepitisha sahani? Kwa sababu kiuhalisi anaona kiwango
anachotoa kila mmoja ndani yake!
Pointi ya pili ya kunakili ni kwamba Yesu alikwa makini sana juu ya idadi ya watu
waliopinga na jinsi walivyotoa. Kwa mfano, mwanamke mjane alitoa kidogo kuliko
wote lakini alikubaliwa na Yesu zaidi ya wote kwa sababu sadaka yake ilimwachia
kidogo cha kutegemea kuliko watu wote na ilikuwa ni dhabihu kubwa. Pinti ya mwisho
tunaweza kumalizia zaidi ni kwamba Mungu huhusika na sisi kila mmoja binafsi katika
eneo la fedha kulingana na asilimia ya uwezo wa kutoa. Wote walio na fedha nyingi
watatakiwa kutoa nyingi zaidi kuliko wale walio na vichache na kwa hiyo kwa kutenda
kulingana na aslimia hakuna aliye na faida juu ya mwingine -kama Mungu anatutaka
tutoe kiasi cha fedha ambacho kingekuwa rahisi kwa wengine kutoa kuliko
wengine.kanuni ya watu wa Mungu ni kutoa kulingana na uwezo wao na sawasawa na
mapato yao, hiyo inatokana na maaandiko yanayohusiana na fedha.
Matendo 11:29 na wale wanafunzi, kila mtu kwa kadiri ya alivyoazimia waliazimu
kupeleka msaada kwa ndugu zao waliokaa uyahudi'
jumla ya fedha zinazotunzwa na mapato yaliyo hifadhiwa mimi nitakapokuja hakuna
makusanyo yatakayo fanyika.'
Page 49
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Wagalatia 6:10 'Kwa hiyo, kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema.'
Kumbukumbu 16:10 'Nawe idi ya majuma umfanyie Bwana, Mungu wako kwa kutoa
sadaka ya hiyari ya mkono wako, utakayotoa kwa kadiri akubarikiavyo Bwana,Mungu
wako.'
Kumbukumbu la Torati 16:17 'Kila mtu na atoe kama awezavyo kwa kadiri ya baraka ya
Bwana , Mungu wako, alivyokupa. Biblia ingeonyesha tema kwamba ni asilimia kiasi
gani Mungu anatutarajia kuwekeza kwake na katika Ufalme wake ni 10 % (bora
inajulikana kama zaka). Wakati mshindi Abram aliporudi kutoka vitani na kutoa sehemu
ya kumi ya nyara na Mfalme wa Salemu-Mzee Melkizedeki ambaye baadaya anajeshwa
katika Waebrania 7:4. Katika Mwanzo 28:22 tunaona Yakobo pia akiapa kumpa Mungu
zaka ya kila atakacho wekewa mkononi na Mungu-Kumbuka kwamba Abramu na
yakobo wote walitoa zaka kabla ya sheria ya kutoa kutangazwa hata kabla haijaanza
wala haijapotea.
Hata hivyo, Sheria ilipotokea walifanya hivyo, kulingana na amri ya zaka ilivyoonekana
katika maandiko yafuatayo:
Mambo ya Walawi 27:30 'Tena zaka yote ya nchi, kama ni mbegu ya nchi, au kama ni
matunda ya nhi, ni ya Bwana;ni takatifu kwa Bwana.'
Hesabu 18:21 'Na wana wa lawi,nimewapa zaka yote katika Israeli kuwa urithi wao.'
Malaki 3:10 "Leteni zaka kamili ghalani.'
Waebrania 7:5 'Na katika wana wa Lawi nao, wale waupatao ukuhani, wana amri kutwaa
sehemu
ya kumi kwa watu wao.
Kwa sababu zaka haikuanza na sheria, basi haijapotea nayo, Hata hivyo Yesu aliagiza
kwamba wafuasi wake wawe watoaji kama vile Mathayo 6:2 anasema Mnapo (kama si)
toa, na katika Mathayo 23:23 Anawashutumu mafarisayo kwaajili ya kutoa zaka lakini si
kwa nia njema.
Yesu anatoa maneno yake makali kwa mafarisayo lakini katika eneo lao la utoaji wa
zaka, ingeonekana kuwa ni moja ya maeneo machache akiwashutumu. Ingeonekana tena
kwamba Mungu hatendei tu kazi asilimia lakini aslimia zile ambazo anatutaka sisi
kutoa ni aslimia 10.Tangia mfumo wa Mungu umelenga katika asilimia, basi hakuna
anayeweza kusema kwamba hawezi kutoa kama kutoa kwa mtu kulivyo kulingana na
mapato yake na maskini hawazuiwi kufanya zaidi ya matajiri.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Page 50
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Omba kwa ajili ya Burkina Faso
11,936,823 ya watu , 50 % ni Waislamu lakini nguvu ukuaji wa kanisa
Maskini sana lakini ni ipo kutolewa wamisionari wengi kama fedha ni huru. © www.operationworld.org
18. Maswali kutoka kwa waotoa zaka
Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa Sauti: Malaki 3:10-12
Tafakari Aya Hii: Luka 11:41 'Lakini, toeni sadaka vile vya ndani, natazama, vyote
huwa safi kwenu.'
Baadaye Zungumzia Hili: Hoja kutoka kwa wasiotoa zaka na jinsi ya kuwajibu.
Jambo La Kufanya Kabla ya Wakati Ujao: Muulize Mungu kupitia maombi ikiwa
hautakuwa mtoaji wa zaka.
Kazi ya Diploma ya Kuandika: Orodhesha hoja za wasiotoa zaka na jaribu kuzijibu.
Tafakari Neno kwa Neno Katika Aya Hii: Mithali 3:9-10
Kutoa zaka pasiposhaka inaweza kuwa changamoto kubwa kwa wote wasiotoa kwa
mara ya kwanza na kawaida watauliza maswali mengi. Kuna wengine ambao
hawatatumia udhuru wowote na kuzalisha hoja kwaajili ya kupatia uamuzi wao wa haki
juu ya kutokutoa zaka, lakini hoja hizi kidogo zitaharibu kutokutii kwao.Kuna ambao
watakuwa na uaminifu wa haki na maswali ya maana juu ya kutoa zaka haya yote
yamewekwa chini kwa uaminifu na majibu ya maana. Ulimwengu unasema kwamba
ujinga ni gharama katika maisha ya Mkristo kupungukiwa maarifa kunaweza kukuua,
(Hosea 4:6 ) Mkristo anaweza kuanguka katika ujinga wa kutoa fungu la kumi na
kubeba hoja yoyote ya kujihekimisha mwenyewe,kuliko kwenda katika kufanya
maamuzi
ya kumtii Mungu?
Kutoa zaka ni sheria ya Agano la kale nasi kama Wakristo tuko chini ya neema, siyo
sheria, pengine ne kweli kwamba Wakristo hawaamriwi kutunza sheria ya Agano la kale
na mtizamo ya kifedha yako chini ya sheria kama vile mwaka wa Jubilii 7 mwaka wa
kufuta madeni hayatufungi. Hata hivyo, Abrahamu na Yakobo walitoa fungu la kumi
kabla ya sheria ya Musa haijatangazwa na Yesu katika Mathayo 23:23 alisema
Mafarisayo walikuwa kweli wantoa zaka kwa haki ingawa dhamiri zao hazikuwa
sahihi.wakati sisi tuko chini ya neema na hakuna orodha ya mambo yakufanya
haimaniishi kwamba twaweza iishi jinsi tutakavyo wenyewe.hauhitaji kuomba ila ila
maisha yaakuwa bora zaidi kama ukifanya hivyo,hauhitaji kusoma biblia lakini utakua
Page 51
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
bora zaidi kimaisha kama utafanya hivyo,huhitaji kutoa zaka lakini maisha yako
atafnguka zaidi katika ukarimu wa asili ya Mungu kama ukifanya hivyo.
Lakini Yesu,na kadhalika Agano Jipya inatamka hilo mara moja.Kuna wakristo
wengi,makanisa na madhehebu yote ambayo yangepigana kwa hasira kwa ajili ya
ukweli kwamba Yesu alisema hilo mara moja tu-kwamba,'Lazima uzaliwe mara ya
pili'(yohana 3:7).kama tuna amini kuwa Yesu alikua Mungu kamili tena kama alisema
jambo mara moj,ingetosha kwamba chochote amesema kingesimama kama hakika ya
ukweli milele yote.Kama Yesu alitutaka tusitoe zaka basi isingekua ajabu kwamba
lilikua ni eneo pekee alilowaamuru mafarisayo kufanya.
Utoaji zaka unaweza kuwa halali kama ukitaka kufanya hivyo kila wiki.Hoja hii ni ya
kweli – lakini kawaida chochote unachofanya mara kwa mara katika maisha ya kikristo
kinakua halali.Kama ukiacha kutoa zaka kwasababu kwa kufanya hivyo inaweza kuwa
ya mhimu,basi unatakiwa kuacha kwenda kanisani jumapili asubuhi kama mara nyingi
huwa unaenda kanisani na kuacha kwenda katikati ya wiki acha pia ibada za vikundi vya
nyumbani,acha pia kwenda kanisani ikiwa huwa unaenda jumatano.Maombi ya kila
mara nyakati za asubuhi,usomaji Biblia kila wakati na utoaji wa zaka kila mara vyote
vinaweza kuwa muhim japo haimanishi kuwa shughuli zenyewe zina tatizo – ila ni
dhamila zetu wenyewe za kufanya hivyo ndio mbaya.
Utoaji wa zaka huwasababishia watu hofu na kuogopa kwamba kama wasipotoa
hawatakumbukwa. Hoja hii ni njema-yaani kwa sababu hatua hii inatuwezesha kuwa
madhabahuni,na hata kuchochea baraka zetu wenyewe ni mafundisho ya Kibilia.
Wagalatia 6:7 - 10 inaonyesha kwamba tunao uwezo kwa pamoja wa kusahau mavuno
yetu na 2 Wakorintho 9:6 inatuambia kuhusu kuvuna kulingana na kile tulichopanda.
Pengine watu hawapendi wazo la kuwa wakuu wa hatima za fedha zao wenyewe na
wazo la kusahaulika katika baraka za Mungu. Labda, hoja ileile inweza kutumika katika
maombi-yaani kwamba maombi yanachochea watu kuwa na hofu ndani yao na kuogopa
kupoteza vitu vizuri vya Mungu kama hawataviomba.
Watu hutoa zaka ili kwamba waweze kutumia baraka za Mungu kwa ubinafsi. Hakika
hii ni kweli lakini wasiotoa zaka waombao kwa siri niwangapi, wanaolia,wanouugua na
kumsihi Mungu kwaajili ya baraka zake! Utofauti uliopo kati ya wanaotoa na wasiotoa
zaka ki kwamba wote wanatafuta baraka za Mungu, mtoaji wa zaka hutenda hilo kwa
sababu aliyoiamuru Mungu kwamba kila mtu afanye hivyo tena unaweza kusema
kwamba sababu pekee watu kuomba ni kwaajili ya kupata kitu kutoka kwa Mugnu -
Je!hii inamaanisha kwamba tuwazuie watu kuomba? Sisi Kama Wakristo tunapaswa
kuongozwa na Roho mtakatifu, na kutoa tunasikia kuongozwa kufanya hivyo.
Page 52
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Hii ni hoja kwamba mtoaji wa zaka anatakiwa kutumia na isemekane kwamba Roho
mtakatifu amewaongoza katika maandiko juu ya utoaji wa zaka kama msingi wao
kufanya hivyo. Zaidi,lisiwe jambo kwamba ni pale tunaposikia tu kutoka kwa Mungu
kuhusu kutoa maana si tutahangaika kuhusu fedha zetu na kuwa na ukiziwi wa rohoni?
Unaweza kusema kwamba mara zote huwa una masikio ya kusikia nini Mungu anasema
juu ya kiwango cha kutoa kwako na kwa hakika unaweza ukasema kwamba mara zote
unatoa katika wakati unapohisi kuongozwa kufanya hivyo hivyo kama kila mtoaji wa
zaka katika mwaka uliopita amaetoa kwa uaminifu asilimia 10 basi wanaweza kutulia
katika ukweli kwamba hakika wametii nini dhamiri zao ziliwaambia kufanya.Je! wote
wanaotaka kuongozwa na Roho Mtakatifu wanaweza kuwa katika nafasi sawa ya kutoa
kwa kuwa na uhakika kwamba wamefanya hasa kile Mungu amewataka wao kufanya?
Wanawezaje kuwa na hakika kwamba wametii mpaka kiasi cha pesa ambacho mtoa zaka
anaweza?
Wachungaji hutumia zaka kujenga majengo yao wenyewe kwa ajili ya faida ya fedha
pengine hili linatokea hivyo, jambo la utii kwa wote wenye mamlaka ya Roho na
kuchunga wamekuwa wakitumiwa na wachungaji kujenga himaya zao binafsi.Je! Hili
linasababisha utoaji zaka na utii kwa wote wenye mamlaka kimakosa? Kiuwazi, ni kwa
sababu Mchungaji amekiuka kanuni za Kibilia, Biblia yenyewe haijitengenezei kanuni
isiyo sahihi lakini nitabia na thamira ya Mchungaji ndiyo mbaya.
Je! itakuwa inamaanisha kama ukitoa chini ya asilimia kumi. Je! Huwa unatazama
chenchi yako baada ya kununua kitu chochote?
Je! huwa unahakikisha kwamba umegharimiwa kiasi cha pesa sawasawa na
ilivyotangazwa?
Kama unanunua kitu mabacho kipo katika poromosheni je!huwa unahakikisha kuwa
umepata punguzo?
Je! Huwa unatazama lisiti yako kuhakikisha kwamba umelipwa kiwango sawasawa?
Kuna kitu katika asili ya mwanadamu kwamba kila wakati anapihitaji zaidi sana
kuhusiana na fedha, hukaa chini na kuhesbu gharama hadi senti ya mwisho-
Je! Tunafikiri kwamba Mungu ana utofauti wowote na hilo?
Nymba Ya Maombi kwaajili Ya Mataifa Maskini
Omba Kwaajili Ya Burundi
6,695,001 ya watu,asilimia 90 ni wakristo
Nchi imeharibiwa na Vita vya Watusi na Wahutu
Uponyaji zaidi unahitajika
Page 53
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
© www.operationworld.org
19.Maswali kwa wasiotoa zaka
Katika Bibilia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: 1Koritho 16:1-2
Kariri Aya Hii: Walawi 27:30 'Tena yote ya nchi kama ni mbegu ya nchi au kama ni
matunda ya nchi ni ya Bwana, ni takatifu kwa Bwana.'
Baadaye Zungumzia Hili: Hoja ambazo angetumia kumshawish mwamini aanze kutoa
zaka.
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Katika maombi Muombe Mungu
akuonyeshe kama unatakiwa uwe unatoa zaka.
Kazi ya Diproma ya kuandika: Orodhesha hoja kuu kwaajili ya utoaji wa zaka na
uzijaribu na kuzihakikisha.
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Mithari 3:1
Siyo Kwamba kuna hoja ambazo wasiotoa zaka watainua dhidi ya utoaji wa zaka
ambazo zimeonekana katika sehemu iliyopiata, lakini pia zipo hoja kwaajili ya utoaji wa
zaka kwaajili ya wasiotoa zaka na hizi zitahusiana na sehemu hii.kama mtu hafurahii
utoaji wa zaka basihakuna kiwango halisi cha kuwashawishi lakini inatumainiwa
kwamba wote walio na shauku hakika ya kupenda kutoa zaka watashinda si kwa kujibu
majibu kuhusu kutoa zaka katika sehemu ya mwisho, na vilevile hoja kwaajili ya kutoa
zaka katika sehemu hii.
Je! Wasiotoa zaka wanatoa zaidi ya wanaotoa. Ingeweza kufahamika kwamba kama
wasiotoa zaka walitoa zaidi ya wale waliotoa basi, pengine ilikuwa hoja nzuri kwamba
kwa nini watu wasitoe hata hivyo, ni kiasi gani wasiotoa zaka hasa wanatoa? Wanaweza
hakika kusema kuwa mwaka hadi mwaka huwa wanatoa zaidi ya asilimia 10 ya mapato
yao? Pengine wewe siyo mtoaji wa sadaka kwa nini ujiulize kuhusu asilimia ya mapato
uliyokwisha kuta miaka mitatu iliyopita-Je! Inakaribiana na asilimia 10. Kama siyo basi
namna ya utumiaji wako wa fedha haujafanikiwa kulingana na yule ambaye amekuwa
akitoa zaka kwa uaminifu mara zote.
Kwa nini wengi wa wasiotoa zaka hufikiri kuwa hawawezi kumudu kutoa. Hii ni hoja
kubwa zaidi ya wasiotoa kutokutoa zaka lakini bado siyo hoja ya nguvu kuonyesha
kwamba watakuwa wanatoa zaka. Fikiri kwamba mtu alikuwa Mkristo wa miaka kumi
na hakuwahi kutoa zaka na anafikiri hawezi kudiriki kutoa zaka. Kawaida kuna msemo
usemao kwamba miaka kumi ya kutokutoa zaka imezalisha umaskini tu na ukosefu wa
Page 54
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
fedha kwa miaka kumi ya kutokutoa imekuwa si yamafanikio katika kujaza hazina za
fedha zao ambazo wanafikiri hawawezi kudiriki kuzitoa!
Mtu ambaye amekuwa hatoi zaka kwa miaka na kusema hawezi kudiriki kutoa zaka
wanasema kuwa amekwisha kujihakikisha yeye mwenyewe kuwa masikini miaka yote
ya kutoa zaka.kama wewe sio mtoaji wa zaka ambaye unafikiri kwamba huwezi kudiriki
kutoa zaka unataka jambo litokee katika fedha zako ambalo halijakutokea hapo kabla, na
tena utafanya jambo kwaajili ya fedha zako ambalo haujawahi kulifanya hapo kabla.
Kama miaka ya kutokutoa zaka imezalisha hali ya kimaskini kifedha kiasi kwamba
unafikiri huwezi kudiriki kutoa zaka, basi lazima ubadilishe namna unavyotumia fedha
zako.Kama miaka yote ya kutokutoa zaka imekusababishia umaskini tu basi kwa nini
uendelee kutoa zaka- hakika kutokuendelea kutoa zaka kutakuletea matokeo yaleyale
mabaya.
Zaidi, ni watu kiasi gani wanosema hawawezi kudiriki kutoa zaka hakika usingependa
kuona taarifa zao za benki au kadi ya fedha zao. Ni wangapi wasiotoa zaka ambao
wamefunikwa na giza, Na kwa siri wanatumia mda mwingi zaidi ya aslimia 10 ya
mapato yao katika matumizi,Vitu vya starehe wakati mwingine, na pia kwa ujinga
hufikiri kutokuweza kutoa zaka wakti mwingine. Ni giza la jinsi gani wasiotoa wataishi
ndani yake kama wanatabia za matumizi ya siri juu ya mali za dunia na starehe ambaye
hakuna anayejua, haliafu wanafikiri kutokuwa tayari kutoa zaka na matoleo kwaajili ya
kupanua Ufalme wa Mungu.
Pengine Unafikiri kwamba ungependa kutoa zaka lakini ni kwa sababu tu huwezi
kudiriki.Je! Unaweza kiuhakika kusema kwamba asilimia 100 ya mapato yako
yametumika kwa ajili ya mabo yasiosaidia na hakuna je! pesa ambayo haijatumuka kwa
kitu ambacho si muhimu? Je unauhakika kuwa hakuna eneo katika tabia za matumizi
yako unaweza kukata ili kukusaidia kutoa,au kiuhalisi haujipangi kawaajili ya kuvitoa.
Unaposema ungependa kutoa zaka kama ungekuwa na fedha, Je! Unamaanisha kweli na
kwa uwazi au ni jambo kwamba hata kama mapato yako yakiongezeka asilimia 10 kila
siku ungeendelea kupinga kwamba huwezi kutoa zaka?
Nilijaribu kutoa zaka kwa muda lakini haikusaidia. Hiyo siyo sababu ambayo waliyo na
mioyo nusu ya kujaribu kutoa huitazama kuwa sababu ya kuonyesha kwamba kutoa
zaka hakusaidii kwa hiyo wanaweza kusema kwamba walijaribu na haikuwasaidia
chochote? Hebu turejee tena kwenye mfano uliopita katika mfano uliopita wa Mkristo
ambaye amekuwa hatoi zaka kwa muda wa miaka iliyopita. Kwa sababu imepita mika
mingi ya kutokutoa zaka na kukupeleka katika umaskini wa hali ya kifedha, Je!
Kiuhakika unaamini kwamba miezi miwili ya kutoa zaka itakuwa suluhisho la matatizo
yako yote ya kifedha! Sheria nzuri ya kufuata ni kutoa zaka miaka mingi zaidi uwezavyo
kuliko ambavyo hukuweza kutoa kabla hujawa Mkristo na kuona vipindi vyenye baraka-
hakika hii ni sahihi kabisa kutoa zaka kulinaga na miaka ulioishi duniani kadiri ya ule
Page 55
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
mda ambao haukutoa.
Nitatoa zaka mara moja kadiri nitakavyoweza. Usipoanza kutoa sasa basi kuna nafasi
kidogo utakayotumia kutoa hata kama mapato yako yameongzeka sana. Biblia sasawa
inasema kwamba tusipokuwa waaminifu katika vitu vidogo na vichache hatutaaminiwa
katika vitu vikubwa, kwa kutokuchagua kutoa zaka katika mapato yako yaliyopita
ungeweza kuzuia uwezo wa Mungu kuachilia pato kubwa. Zaidi, nikiwango kiasi gani
cha mapato kinaweza kutosha kukusababisha wewe kuanza kutoa zaka? Je! Umekwisha
wahi kumwahidi Mungu kwamba pindi pato hilo litakapotimia utaanza kutoa zaka? Au
sababu ni kuwa milionea ndipo utakapoanza kujisikia kutoa zaka?
Kama watu wa Mungu walimwabudu na aslimia 10 katika Agano la kale,kwa nini sisi
tulikuwa kataka Agano jiya tusimwabudu na ziada ukilinganisha kuwa kristo alifufuka
ili tumwabubu hata zaidi.Kama watu wa Mungu walimwabudu Mungu na 10 % ya
mapato yao kabla ya kristo,nasi hatuthubutu kumwabudu Yesu chochote cha ziada ya 10
%.Wote wanapinga kuwa tusitoe zaka wameachwa katika mahali pagumu pa kupinga
kuwa sisi tulio katika Agano jipya na kuu,tuna pendo la kiungu la asili ya Kristo lililo
juu yetu,wote walioishi katika Agano la kale.hakika wakristo wa Agano jipya kwa pendo
la Yesu kwa asili mioyoni mwao wanatakiwa kuwa wakarimu kuliko watu ambao
hawakuwa na asili hii.
Sikiliza shuhuda za wote wanaotoa zaka.kuna makundi ya Wakristo wasio na mashaka
ambao watashuhudia kwamba kutoa zaka kumebadilisha maisha yao ya Kikristo, kihisia,
kiroho na kivitendo wengi watashuhudia Furaha ya kutoa ya zaka na watatia moyo
wengine kufanya hivyo. Hata hivyo, ni wakristo wangapi unaowajua walioshuhudia
miaka hiyo yote kuhusu hiyo kanuni kuharibu maisha yao kiroho na wanajaribu kuwatoa
marafiki zao wakristo katika kutoa zaka? Imekuwa ni uzefu wa mwandish kwamba kila
anapoongea na watoaji wa zaka huwa wanachanganko la moyo,furaha,amani na shuhuda
zao kama faida ya kutoa zaka.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa Maskini
Omba kwa ajili ya Cambodia
11,167,719 ya watu , Wabuda ni Wengi sana,
Kanisa linumizwa sana na mauaji ya Khmer Rouge kimbari, lakini kanisa ni
kuongezeka kwa Nguvu. © www.operationworld.org
20. Zaka kwa kila kitu.
Katika Biblia Yako Soma hapa Kwa sauti: Mwanzo 14:17-20
Page 56
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Tafakari Aya Hii: 2 Mambo ya Nyakati 31:5 'wakatoa kwa wingi malimbuko, na zaka
za vitu vyote.
Baadaye Zungumzia Hili: Ni aina gani ya mambo tunapaswa kuyatolea zaka?
Jambo La Kufanya Kabla Ya wakati Mwingine: Orodhesha vyanzo vyote vya mapato
na kokotoa zaka ya fungu la kumi.
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mwingine vitu vyote katika Biblia
ambavyo watu walivitolea zaka.
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Mwanzo 28:22
Ikiwa Mungu anatutaka tutoe fungu la kumi la mapato yetu, swali linaloinuka ni
kwamba tutolee nini na jinsi gani itatenda kazi maishani mwetu. Jambo zuri la kufanya
kuhusiana na utoaji zaka, ni kwamba zaka kwanza zaka inatakiwa iwe ya kwanza na
bora-kama watu waliokomaa katika uwakili wetu wa fedha tutazamia sababu ya mambo
yahusuyo kutowa zakakama inavyoonekana kuhusu matoleo yetu. Ibrahimu ni mfano
wa kwanza tulionao katika Biblia kuhusianza na utoaji wa zaka na Mwanzo 14:20
inaonyesha kwamba yeye alitoa zaka kwa kila kitu. Zaidi, Mwanzo 28:22 inaonyesha
Yakobo akiapa kufanya sawasawa na kutoa zaka kwa yote atakyeyapokea kutoka kwa
Mungu, 'Na katika yote utayonipa nitakupa sehemu ya kumi.'
Wazo hili la kutoa zaka ya kila kitu linaweza kuonekana katika maandiko matatu yanayo
fuata na yote yaliyoorotheshwa chini ni baadhi ya mambo ambayo Biblia imenakili
kwamba watu wanatoa zaka kwa kutazama upana na wingi wa vitu walivyotolea zaka.
Walawi 27:30 : - Kila kinachotoka katika ardhi.
Nafaka kutoka katika udongo
Matunda kutoka juu ya miti
2 Mambo ya Nyakati 31:5 : - Mahindi
Divai mpya
Mafuta
Asali
Na yote yazaliwayo katika mashamba
Nehemia 13:12 : - mahindi, mvinyo mpya na Mafuta
Eneo la msingi la kutolea zaka yetu linatakiwa liwe na mapato ya kazi zetu -swali
ambalo linaulizwa mara nyingi ni kuhusu labda, tunatakiwa kutoa nusu ya mapato au
katika mapato yote.Tunapotumia kanuni ya kwamba utoaji wa zaka zetu unatakiwa uwe
wa kwanza na bora tena inaweza kujulikana kwamba tunatakiwa kutoa zaka zetu katika
Page 57
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
nusu ya mapato-kuna sababu madhubuti kwaajili ya hili.jambo la kwanza kuwa ni
kwamba ikwa tutatoa nusu ya ya mapato tutapokea nusu ya baraka.Sababu ya pili
inaelezea maana ya mapato ya jumla-je ni mapato baada ya kodi,au nini juu ya Bima ya
afya, Umoja wa wanachama wa wafanya biashara na mafao?wapi umechora mstali?
Acha isemekane tena kwamba-utoaji wa zaka ni lazima uwe wa kwanza tena bora na
kwa kutoa katika nusu ya mapato yetu tutakuwa kweli tunamheshimu Mungu na
kumrudishia kutoka ya mwanzo na bora. Hakika, ukielewa umuhimu wa kutoa zaka
hautakwepa na kumpunguza Mungu katika mapato yako bali utatafuta kumheshimu
Mungu kwa mapato yako yote.kwa huzuni, watu wengi wanatoa zaka ya nusu ya mapato
yao na kuanza kufikiri kwamba wamefanya yote waliyotakiwa kufanya- hata hivyo, si
jambo kwamba tutoe zaka ya mapato yetu yote na siyo pesa kutokana na kazi zetu?
Hapo chini ni baadhi ya maeneo ya muhimu ya kuyatolea zaka kama yote yatakavyo
wakilisha pesa katika maisha yetu, pengine unahitaji kuhusika na utoaji wa haya.
Fedha za kuzawadiwa
Nyongeza ya mda wa kazi
Mirathi
Fedha za Krismasi
Fedha za siku ya Kuzaliwa
Faida kutokana na mauzo ya mali
Faida kutokana na mauzo ya hisa
Faida za Serikali
Mafao
Mgawo
Zawazi za shirika la fedha
Pointi inayafuaata juu ya utoaji wetu ni kwamba Mungu yuko makini haswa katika
kiwango cha fedha anayohitaji tutoe-Mungu hataki 8% au 9% lakini amehaji 10%.
Hivyo,tunatakiwa kuwa makini sisi wenyewe kurudisha 10% ya mapato yetu pasipo
kupunguza hata senti-na kwasababu Mungu yuko makini na jambo hili na sisi pia
tunatakiwa kuwa makini vilevile.
Umekuwa bidii ili kuhakikisha kwamba umetoa Mungu 10% ya mapato yako yote au
umekuwa kutoa ' takribani ' 10 %, lakini si kweli kujua kwa uhakika kama una alikutana
mahitaji ya chini kwamba Mungu ni kutarajia ? Wakati wa kuandika kwa Wakorintho
kuhusu sadaka kwa ajili ya watakatifu maskini katika Yerusalemu, Paulo anasema katika
1 Wakorintho 16:02 ' Kila mmoja wenu atenge kiasi cha fedha katika kutunza na mapato
yake , kuokoa it up ' wazi , mzigo mara juu ya watu kwa usahihi na bidii kufanya kazi
nje ya nini kutoa .
Kwa mfano tuseme kwamba mtu anaanza kutoa na katika ulimwengu wa roho kuna
Page 58
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kuna watu wengi wanaosubiria mavunona malaika wa Bwana wanasubiri kuyaachilia
juu yao na mara tu wanapokuwa wametoa mapato yao yote.Hata hivyo,kutokana na
ukweli kwamba hawakutoa vyema zaka zao,wangetumia miaka mitatu ya maisha yao
kutoa asilimia 8 au 9 ya mapato yao yote na kutokutegemea mavuno muda wote
huo.Kwa huzuni,wangepunguza kutoa 10 % kwa pesa kidogo,lakini hiyo ingesaidia
kuvuta yale mavuno ambayo hawakuyapata japo ingekuwa kweli huzuni.Hivyo basi,kwa
ajili ya kupokea baraka nyingi za Mungu,tendea kazi mapato yako na hakikisha kwamba
unatoa zaka yako kwa Mungu na kutokukosa baraka kwa ajili ya pesa kidogo.(Ni Wazo
zuri kutoa zaka yako na kuanza na paundi ya karibu kisha tena kuiongeza hadi paundi ya
5 au 10 ili kuhakikisha kuwa umetoa zaka yako yote kwa Mungu).
Katika malaki Malaki 3:10 Bwana anaongea neno la kuwafaa kwa Israeli wakati
anaposema, ' Leteni zaka kamili ghalani ' pengine Mungu hafurhii matoleo kidogo au
watoaji wa muda.na imesemekana kuwa kama tukitoa kwa ukarimu tutavuna kwa
ukarimu kwahiyo zaka zetu yanatakiwa kuwa ya uhakika na ya mara zote.Kwa mfano
ikwa tutatoa zaka kila wiki,na kusahau kufanya hivyo nyakati za mapumziko yetu ama
nyakati za krismasi,tutakuwa hatujatoa zaka kamili kwa Mungu.Tena,ikwa tutatoa
nyakati nzuri tu na sio mbaya tutakuwa hatujatoa zaka kamili kwa Mungu. Ni muhimu
kwahiyo,tuntakiwa kufanya kwa bidii kuhakikisha ni ya uhakika na katika mapato yetu
yote ama pengine tunaweza kuishia kutokumheshimu Mungu kwa pesa zetu.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Cameroon
15,084,969 ya watu ,walio wengi wakristo
25 % ni Waislamu
Rushwa imekithiri na kanisa umejawa na matabaka na Utengano
© www.operationworld.org
21. Zaka Ni Mali Takatifu Ya Mungu
Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa Sauti: Mambo ya Walawi 27:30
Kariri Aya Hii : Malaki 3:10 Leteni zaka kamili ghalani '
Baadaye Zungumzia Hili : Nini maana ya Mambo ya Walawi 27:30 kuonyesha
kwamba zaka ni mali , na ni imetengwa kwa ajili ya mbali na Mungu.
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Anza kuweka kumbukumbu kuhusu
kutoka kwako na kuingia kwako ili kujua namna unavyoweza kutumia pesa zako.
Page 59
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mmoja kuhusu ni kwanini Mungu
anhukumu wasio toa zaka wanaomwibia.
Tafakari Neno Baada ya Neno katika Aya Hii: Mathayo 23:23
Zaka ni kutoa asilima 10% ya mapato yetu kwa Mungu na pengine angetutaka tutoe
zaida ya hapo. Hata hivyo,Biblia inatoa maono kuhusu zaka, ina maanisha nini hasa kwa
Mungu na kwa jinsi sisi tunavyotakiwa tuitazame.Kwanza tumeelewa ni nini zaka ina
wakilisha na jinsi Mungu anavyotuelekeza kuhusiana zaka,kwahiyo hatutakiwi kuwa
kusita au kuwa na shaka au kuwa na hofu juu ya kutoa zaka na inatakiwa kuwa ni furaha
kwetu jufanya hivyo. Pointi ya kwanza kuhusiana na na zaka ni kwamba sio lazima sisi
kumpa Mungu pesa zetu,-zaka ni marudisho kwa mliki halisi.Tumekwisha kuona kuwa
pesa zote duniani zinamilikiwa na Mungu,na pesa tunazo zimiliki,sisi ni mawakili
wake.Kwakutoa katika mapato yetu yote tunakuwa tunamrudishia Mungu kilichokuwa
chake mara ya kwanza.Pointi ya pili,kuhusiana na utoaji wa zaka,ni kwamba,Mungu
huitazama zaka yetu kuwa ya thamani kubwa na mhimu sana kwake kwahiyo huifurahia
tunapomrudishia zaka zetu.Zaka lazima kiwe ni kitu kilichotengwa kinchoonekana kuwa
kitakatifu,mhimu na cha pekee na tunatakiwa kuhakikisha tunchukuwa tahadhali
kwamba tunalipa zaka zetu maadam tendo la kutoa zaka ni la thamani kubwa kwa
Mungu. Mambo ya Walawi 27:30 inasema, 'Tena zaka yote ya nchi, au kama ni matunda
ya nch, ni ya Bwana; ni takatifu kwa Bwana.' kumbuka jinsi
Bwana anavyotangaza mwenyewe kwamba zaka ni mali yake na imetengwa kwa ajili
yake mwenyewe.
Wazazi wengi wanatenga pesa kwa ajili ya kulipia siku ya kuzaliwa kwa ajili ya watoto
wao na kwa ajili ya zawadi za krismasi na kuona pesa hizi zinafanya chochote
wanachotaka,kwa watu wanaowapenda sanana kuwapatia vitu vya thamani.kwa namna
hiyo tunatakiwa kuwa makini kutenga zaka zetu kwa ajili ya Bwana na kutambua kuwa
pesa hizo ni takatifu na kutakaswa na Mungu.Mungu anafurahia sana zaka zetu na siyo
kwamba anahitaji pesa zetu lakini tunapotoa zaka anafurahi utii wetu. Kupitia kutoa
Mungu ametupatia uwezo wa kutoa zawadi nzuri na muhimu kwakena tunatakiwa
kuiona zaka kuwa ni mali takatifu ya Mungu.
Kwahiyo ni nini kinachoonyesha kuwa zaka ni marudisho na inatakiwa kutengwa ikiwa
hatuhitaji kuitoa?Vizuri ukweli ni kwamba ikiwa hatutaki kutoa zaka basi tunashikiria
kitu kitu chenye thamani kubwa mbele za Mungu na kawaida ni mali ya Mungu,na
hivyo ikiwa tuna shikiria kitu ambacho si chetu tunamwibia Mungu mali yake.Ukweli
huu ni kitu kinachozungumziwa na Mungu mwenyewe katika Malaki 3:8
'Je!mwanadamu atamwibia Mugu? lakini ninyi mnaniibiamimi. Lakini ninyi
mwasema,Tumekuibia kwa namna gani?-mmeniibia zaka na dhabihu. Ninyi
mmelaaniwa kwa laana; maana mmeniibia mimi, naam, taifa hili lote.' Hakika huwezi
kumwibia mtu kitu ambacho si chake,Mungu anaposema tuna muibia zaka, inaonyesha
Page 60
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kuwa zaka ni mali yake.
Ukweli halisi ni kwamba wasiotoa zaka ni wezi wanamuibia Mungu ni ufahamu wa hali
ya juu lakini fikiria matukio yafuatayo. Pengine umekuwa Mkristo kwa miaka mingi na
kujiona kuwa unajua na kumpenda Mungu ingawa kwa mda huo wote wewe umekuwa
si mtoaji wa zaka-Ukweli ni kwamba huyo Mungu unayesema wampenda umekuwa
unamuibia wiki hadi wiki kwa miaka yote. Pengine umekuwa mwaminifu kuhudhuria
kanisani na umepata maelekezo ya neno la Mungu toka kwa Mchungaji wako kwa
miaka mingi ingawa kwa mda wote huu Mchungaji wako naye hajatoa zaka. Hii
inamaanisha kuwa umetoa muda wako kuteketeza fedha kwa kumsikiliza mtu
anayekuelekeza namana ya kupata uhusiano wa ndani zaidi na Mungu, wakati yeye
mwenyewe ni mguu ndani, mguu nje, na akimuibia Mungu.
Katika mwanga wa hapo juu jinsi gani mtazamo wa zaka zenu? Kama tukianalia kwa
makini zaka zetu tutaona kuwa ni za thamani,na ni halisi, takatifu zimetengwa kwa ajili
ya Bwana na zinarejeshwa kwake tunatunza kitu cha thamani kubwa mbele yake.
Tunapaswa kuchukua wajibu kutoa zaka kwa umakini sana na ni lazima kuwa makini
sana kuhakikisha kwamba tuna bidii na hatukosei katika utoaji wa zaka yetu pia
tunapaswa kuitenga zaka yetu kama mali takatifu ya Mungu, kama ambavyo Mungu
anavyoithamanisha kwa kiwango cha thamani ya juu. Mungu ametangaza kwa ajili yetu
katika Malaki 3:10 kwamba washirika wasio toa zaka ni wezi wanamuibia yeye kwa
kufanya hivyo unataka Mwenyezi Mungu akuite wewe mwizi katika siku ya hukumu,
unapaswa kuwa mtoaji zaka.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa Maskini
Omba kwa ajili ya Jamhuri ya Afrika
3,615,266 watu , 70% ya Kikristo
Historia ya vurugu na kuyumbishwa-Waamini wanahitaji kufanywa Kuwa
Wafuasi Wema. © www.operationworld.org
22. Sadaka Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Mark 12:41-44
Kariri Aya Hii: Waefeso 4:28 'Mwibaji asiibe tena; bali afadhari afanye juhudi,
akatende kazi iliyonzuri kwa mikono yake mwenyewe, apate kuwa na kitu cha
kumgawia mhitaji.'
Baadaye Zungumzia Hili: Ni wakati gani na kwa nini tunapaswa kutoa Sadaka.
Page 61
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Jambo La Kufanya Kabla wakati Ujao: Muombe Mungu akujulishe ni mda upi ujao
anataka wewe umtolee Sadaka.
Kazi Ya Kuandika Ya Diploma: Jadili tofauti kati ya zaka na sadaka.
Tafakari Neno Baada Ya Katika Aya Hii: Kumbukumbu 15:07
kwa hiyo hapo mwanzo tumeona kwamba zaka ni kiwango ambacho Biblia inaonyesha
sisi kama waumini tunapaswa kumlipa Mungu, Je! Tunatakiwa kutoa zaka mpaka
kiwango cha senti ya mwisho,na kukunja midomo yetu na kusema sisi tumefanya
sehemu yetu? Naam , katika Agano la Kale na Agano Jipya kuna ushahidi unaoweka
wazi juu ya uchoyo na ukarimu. Hakika Je! Si jambo la muhimu kama tutaruhusu pendo
la Mungu kutiririka katika maisha yetu si kwemba tutajisaidia wenyewe tu lakini
tutachochewa na huruma wakati hitaji linapotokea? Hivyo kadiri tunavyotolea Mungu
zaka ingeonekana kuwa kidogo na kwamba tungetakiwa kufunguka na kudhamilia kutoa
kwa ziada (ni bora kuitambua kama sadaka)kama vile tunavyoongozwa na Roho
mtakatifu.
Kwa mfano kama tulivyoona maandiko baadhi katika Agano la kale kuhusiana na utoaji
wa zaka lakini zaidi ya haya mahimizo mengine kuhusu kuto acha kutoa zaka lakini
kuwa tayari kutoa kwa ziada kadri inavyowezekana.Kwa mfano,Kumbukumbu la Torati
15:7 inasema,ikiwa kuna ndugu masikini miongoni mwenu kati ya miji yenu katika nchi
Bwana Mungu wenu awapayo,msiwe na mioyo migumu au kufungwa juu ya ndugu
masikini.bali mfungulie moyo na kumpa kadili atakavyo.'Ingeonekana kuwa kutokana
na mahitaji makubwa ya kifedha duniani hakuna kiwango maalumu tunacho weza kutoa
kama sadaka lakini pengine tunatakiwa kuwepo na kukusudia kutoa hitaji linapotokea,na
kuona kuwa ni jukumu letu kuhudumia mahitaji hayo.
Tangu Mungu alipowaita watu wake karne na karne kutoka katika mataifa yote kwa
namna na kwa namna mbalimbaliza kifedha kutoa sadaka kwa watu mbalimbali na kwa
kazi ,biblia haionyeshi sheria yoyote ngumu na ya haraka kuhusu utoaji wa sadaka juu
na zaidi ya zaka.Pengine sheria pekee ni kuwa na Roho ya ukarimu na utayari, na kuwa
tayari na kudhamilia kutumiwa na Mungu katika eneo hili.kama tukitoa zaka na
kutozidisha hata senti basi tutakuwa tumepungukiwa na mema ya Mungu kwa sababu
tumetoa mahitaji kidogo.tunapotoa sadaka kwa ukarimu juu na zaidi ya zaka tunaingia
katika utele wa mema ya Munguna kufanyika njia ya baraka zake kwa watu wengi sana .
Hitaji hili la kuwa na Roho ya ukarimu,utayari na furaha wakati wa kutoa unapofika na
hii inaonekana katika 2 Wakorinto 9:6 'Kumbuka hili:Atoaye haba atavuna haba,na
atoaye kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu.kila mtu atoe kama alivyokusudia kutoa,si
kwa huzuni au kwa lazima maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa
ukunjufu.'Ingeonekana kuwa tunapoanza kukua katika utoaji wetu tungekuwa na kutoka
katika huzuni na lazima hadi katika utoaji wa ukarimu na furaha kwa ajili ya kazi ya
Page 62
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Mungu.kuacha kutoa zaka au kutoa kwa huzuni sadaka kidogo juu yake inaonyesha
kuwa tunapungua katika eneo hili la utoaji na hatufurahii na kutegemea kutoa kama
ambavyo tungetakiwa.
Kwahiyo kwa habari ya swali,ni kiasi gani tunakiwa kutoa,biblia inatuagiza kutoa zaka
kiasi na zaidi ya hapo kutoa sadaka kwa ziada pia.biblia haitupi sheria yoyote iliyo
ngumu kuhusu sadaka zetu zinakiwa ziwe za kiasi gani lakimnni tutakapo komaa katika
eneo hili la utoaji tutakuwa na furaha na kuwa tayari na kutarajia katika matoleo yetu na
hivyo matoleo yetu yatakuwa makubwa na makubwa.Zaidi tutakavyokuwa katika eneo
la utoaji na sadaka,tutaanza kutazamia fursaza kutoa maana sasa utoaji wetu utakuwa wa
furahana shauku ya moyo.Zaidi matoleo yetu yatakavyokua makubwa na sadaka ya kila
wakati,si kwamba tutabariki watu wengi zaidi,bali zaidi tutajibariki wenyewe-Heri
Mungu afanye watu na kazi kuwa njia ya matoleo
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Chad
7,650,982 Ya watu , 55 % ni Waislamu - 22.78 %ni wakristo.
Uislamu na Ukristo inazidi ukipambana kwa ajili ya moyo na roho ya Chad. © www.operationworld.org
23.Sadaka Ya Kuteketezwa
Katika Biblia Yako Soma hapa Kwa sauti: 2 Samweli 24:18-25
Tafakari Aya Hii: Waebrania 13:16 "Lakini msisahau kutenda mema na kushirikiana;
maana sadaka kama hizi ndizo zimpendezazo Bwana.'
Baadaye Zungumzia Hili: Je, ni haki kwa kusema kwamba kama matoleo yetu si hoja
yetu wao si hoja Mungu?
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Ujao: Kutoa kitu cha thamani mbali ili kupanua
ufalme wa Mungu
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Orodhesha watu wengi kama iwezekanavyo kutoka
katika Biblia walotoa sadaka ya dhabihu
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Wafilipi 4:18
Katika sehemu kuhusiana na utoji wa zaka,ilisemekana kwamba sheria bora ya kufuata
Page 63
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kuhusiana na utoji wa zaka ,ni kwa mba tunatakiwa kutoa zaka ya kwanza na bora
Katika kile tulichokipokea.imejulikana kuwa sadaka zaidi ya zaka,hapa kuhusiana na
sadaka-kwamba sadaaka zetu zinatakiwa ziwe dhbihu.imesemekana kuwa ikiwa sadaka
zetu hazimanishi wingi tulio nao,bila shaka hazita maanisha wingi alio nao Mungu,
biblia mara kwa mara inaongelea Dhabihu na jinsi inavyo fanya kazi ,na pia inapatikana
katika utoaji wa fedha.inaonekana kuwa Mungu hazuili sadaka ya Dhabihu ya utoaji wa
fedha na zaidi tunavyothubutu kwa sadaka zetu,na zaidi tutakavyo zawadiwa.Kiwango
cha sadaka ya utoaji wa fedha ni kiwango cha kopokea kwake na biblia haitoai sheria
maalumu,lakini inaonekana nin kutoa sadaka kuwa Dhabihu kwa mtoaji na kwa
Mungu.Mfano bora wa mtu kumtolea Mungu sadaka ambao ulikuwa Dhabihu,ilikuwa ni
pale Yesu alipojitoa kwa ajili dhambi za Ulimwengu,kwa mfano Waefeso 5:1 anasema,
'Hivyo mfuateni Mungu, kama watoto wanaopendwa; mkaenende katika upendo, kama
Kristo naye alivyo wapenda ninyi; tena akajitoa kwa ajili yetu, sadaka na dhabihu kwa
Mungu, kuwa harufu ya manukato.' Yesu mwenyewe anajua nini maana ya kutoa sadaka
ya gharama na kile anchotutaka tufanye Yeye alikwisha fanya kiasi cha kutoa uhai
wake.Tuliona kipindi kilichopita kuhusu mwanamke mjane katika Marko 12:41-44
pengine alitoa sadaka ambayo ilikuwa Dhabihu kama maandiko yanavyosema kwamba
alitoa kila kitu alichobakiwa nacho katika hazina.(kama kawaida pamoja na Dhabihu
yao ya sadaka,hawakufichika na dhahili iligusa jicho la mwana wa Mungu mwenyewe
kama sadaka ya dhabihu yako itakavyomgusa.)
Mfalme Daudi ni moja wa watoaji wakubwa ambao biblia imewanakilina sheria hii
ambayo inatakiwa kuwa dhabihu,ni kitu anachoonyesha katika maisha yake
mwenyewe.Katika 2 samweli 24,baada ya mtiririko wa makosa kukaririwa katika sensa
ya jeshi,Daudi anakutana na ghadhabu ya Mungu na kama matoke anaomba rehema na
matokeo yake anaelekezwa kumjengea Bwana madhabahu juu ya uwanda wa
Arauna.Kwa hekima aliamua kumpunguza sadaka ya Arauna kwa kumpa uwanda wa
kumpumzikia bure na kwa ujasiri ametangaza katika Aya ya 24 'Lakini Mfalme
akamwambia Arauna, La, sivyo, lakini kweli nitavinunua kwako kwa thamani yake,
wala sitamtolea Bwana, Mungu wangu, sadaka isiyo ya gharama.'
Bila shaka, moja ya kanisa aliyoyapendelea Mtume Paulo ni kanisa la ufilipino na barua
zote za ufilipino zilijaa upendo ,furaha na ushirika pamoja na washirika wake.Wafilipi
sura ya 4 ni moja ya kurasa kubwa katika biblia na Paulo anasema hapa kwamba kanisa
la filipi lilikuwa ni kanisa toaji na lilikuwa ni kanisa pekee lililokuwa likimpelekea
sadaka kwa ajili ya Utume wa safari yake. Ni sawa kabisa kwamba wafilipi walikuwa
wakituma zaka zao kanisani na kila mara walipeleka sadaka kwa Paulo na utoaji wa
dhabihu na asili ya utoji huu wa sadaka unaonekana katika Aya ya 18'Ni sada yenye
manukato,na Dhabihu yenye kukubalika,na kumpendeza Mungu.'
Mfano zaidi wa mtu alietoa sadaka ya Dhabihu ni zawadi ya Maria ya manukato
aliyotumia kumpaka Yesu,na hadithi hiyo inafanana na Yohana 12:1-6.Hapa Maria
Page 64
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
anampatia mwana wa Mungu zawadi yeye mwenyewe na Aya 7 inaonyesha kwamba
zawadi hiyo Maria alikuwa ameitunza.
Zaidi,thamani ya manukato ilikuwa Dinari 300 Mathayo 20:2 inasema kwamba Dinari
moja ilikuwa ni sawa na mshahara wa kutwa kwahiyo thamani ya manukato ilikuwa
mshahara wa miaka.Dhabihu hii ya sadaka kamwe haitasahaurika na sadaka ya Maria
imenakiriwa katika maandiko kwakuwa kubwa mbele ya macho ya Mwana wa Mungu.
Kanuni inyofanana na hiyo ya utoaji wa dhbihu imeonyeshwa na mwandishi katika
waebrania anposema,na msisahau kutenda mema na kushiriki na wengine,kwa maana
kwa dhabihu ya namna hiyo Mungu hupendezwa' (Waebrania 13:16 ).
Kumbuka kwamba yaliyomo ni moja ya utoaji wa kifedha na Neno 'Dhabihu'
lililotumika, Mungu anatangaza kwamba hupendezwa wakati sadaka ya dhbihu
inapotolewa na watu wa Mungu.Pengine,mara kwa mara unahangaika (au pengine
hofu)ikiwa Mungu anafurahia maisha yako ya kiroho na kama unafanya kile Mungu
amekuambia kufanya vyema,katika eneo la fedha kama unatoa zaka na na kutoa dhabihu
ya sadaka hivyo kulingana na Waebrania 13:16, Mungu anapendezwa na kile unafanya.
Pengine mfano bora wa kibiblia kuhusu utoaji wa dhabihu ya zaka ni makanisa ya
Makedonia (rejea katika 2 wakorintho 8:1-6) yaliyochangia kwa ajili ya watakatifu
walioko Yerusalemu.matoleo yao yalikuwa ya kipekee kama Biblia inavyoonyesha aina
tatu za uhalisia kuhusu utoaji.
1)Walitoa kwa FURAHA!(Aya)
2)Walitoa zaidi ya uwezo wao wa kutoa (Aya ya 3)
3)Waliomba watoe matoleo (Aya ya 4) Bahati mbaya kuna mifano michache siku hizi ya
watu kuomba kutoa sadaka kwa ajili ya kazi ya Mungu ila Wamekedonia walikuwa
wakifanya hivyo, na shuhuda zimenakiriwa na nyakati zote katika maandiko. Kutoa
dhabihu ni mara chache kuhubiriwa au kufanyika leo hii.kwa kuogopa kukasirisha au
kuhuzunisha watu,wachungaji wengi hawazungumzii pesa na utoaji wa dhabihu na hii ni
kwa sababu ya aibu yao na kwasababu marejeo mengi ya maandiko huhusu sadaka na
kufungua mikono kwa ajili ya kutoa fedha.kutoa sadaka kubwa ya dhabihu inaweza
isiwezekane lakini waamini wa Makedonia si kwamba walifanya hivyo bali walifurahia
kufanya hivyo. Hakika waamini hawa walifika kiwango cha utoaji na ujasiri kwa Mungu
wao ambacho baadhi yetu hatutafikia -lakini ni sehemu gani inaweza kuwa ni sababu ya
kuwa na kiwango cha imani ya ajabu.
Kutoa dhabihu ni nadra alihubiri juu au mazoezi leo. Kwa hofu ya upsetting au
kuwaudhi watu Wachungaji wengi hawana kuzungumza juu ya fedha na dhabihu na hii
ni aibu yao kwa sababu ya marejeo mengi maandiko sadaka na fedha wazi- handedness .
Kutoa sadaka kubwa sadaka inaweza kuwa jambo ngumu kufanya lakini waumini
Page 65
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Kimasedonia si tu alikiri kufanya moja lakini alikuwa na furaha katika kufanya hivyo.
Hakika hawa waumini yaliyopatikana ngazi ya kutoa na imani katika Mungu wao
kwamba wachache wetu milele kuifikia - bado ni nafasi gani wa kushangaza ni lazima
kuwana imani kubwa vile ngazi.
Hatimaye katika kitabu cha Malaki sura ya 1 masuala ya Bwana kukemea sadaka ya
wanafiki ambayo walimtolea na inakaririwa katika Aya ya 14” Kwa maana mimi ni
Mfalme mkuu' Asema mwenyezi Mungu.na jina langu lazima liheshimiwe katika
mataifa yote''. Mungu anafurahia matoleo yetu kwasababu hufunua pendo letu,uchaji
upekee wake ,bahati mbaya wakristo wengi,matoleo yao huonyesha jinsi
wanavyotembea mara chache na Mungu.Hivyo,je! Matoleo yako yanampa Mungu wako
wa Mbinguni heshima? Je! Huwa unatoa matoleo ambayo ni dhabihu? Je! Matoleo
yako yanaonyesha kuwa una mahusiano mazuri na Mungu? Watu wengi wa dunia
hufurahi kulipa pesa zaidi ili kuwa na bidha njema wanazonunua -kama ubora wa pesa
ulivyo na thamani ya juu machoni pa ulimwengu,ubora na utukufu na ukuu wa Mungu
lazima uwe na thamani ya juu kifedha kwa sadaka zetu.
Kwa hiyo,kwakumalizia kwa swali kuhusu ni kiasi gani tunatakiwa tutoe, kuna mambo
kadhaa tunaweza kusema.Katika Agano la kale,pamoja na utambulisho wa sheria,watu
wa Mungu walitakiwa kuwa watoaji zaka na kimaandiko hii inaonekana katika vyanzo
vyote vya mapato na maongezeko maeneo hayo ni kama vile mifugo,matunda,mafuta
na divai mpya.Japokuwa biblia haijamalizia vyema juu ya jambo hili ingeonekana kuwa
kanuni hii ya kutoa ni adhabu ya waamini wapya, Aganojipya linaongea juu ya utoji wa
sadaka ya fedha pia(kwa namna hiyo hiyo ambayo Agano la kale linazungumzia kuhusu
sadaka zaidi na juu ya zaka)
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Kuomba kwa ajili ya Chile
5,211,294 ya watu ,wengi ni wakatoriki
Wakatoliki wanapungua lakini wainjilisti wana wanatengana, ubinafsi, na
kuingilana. © www.operationworld.org
24. Sadaka Hushindaniwa
Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa Sauti : Mwanzo 4:1-16
Kariri Mstari Huu : Mwanzo 15:11 ' Kisha ndege wa kuwinda alishuka juu ya mizoga ,
Page 66
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
lakini Abramu akawafukuza
Baadaye Zungumzia Hili : Baadhi ya uongo Shetani kutumia na kuacha watu kutoka
kutoa sadaka
Jambo La Kufanya Kabla ya Wakati Mwingine: Muulize Mungu kuonyesha wazi
nini sadaka anataka wewe kufanya
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mmoja juu ya kwa nini Mungu na
shetani ni hivyo nia katika matoleo yetu .
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii : Waebrania 11:04
Tuliona hapo awali kwamba, sadaka kubwa ina nguvu za kiroho na kwamba Mungu
hawezi kuipinga dhabihu hii na atawalipa wale wote wapandao dhabihu kweke.
Kutokana na nguvu ya kiroho ambayo ni imeambatanishwa katika dhabihu hiiyo
haitavutia to nguvu za Mungu bali pia ni upinzani mkali toka kwa shetani. Dabihu
hupingwa vikali na Shetani , lakini mara tu inapotolewa toka mikononi mwa mtu,
baraka za Mungu huachiliwa kutoka mikononi mwa Mungu.
Muda ambao Mungu anaongea na mtu kuhusu maamuzi ya kutoa dhabihu, had muda
wa mwisho ambao dhabihu inaachiliwa, kunaweza kuwa na mapambano makali
yanayompinga huyu mtu asiachlie. Shetani atahakikisha ametafuta mbinu ya kupanda
mawazo mabaya ya hofu na mashaka na tamaa ya kujaribu kuzuia dhabihu kwa mtoaji.
Chini ni mifano miine ya kibiblia inayoonyesha jinsi dhabihu ilivyokuwa inapinwa na
kushindaniwa na shetani na namna alivyotumia wanadamu mawakala waliojitoa kwake
kwaajili ya kupinga kuachiliwa kwa dhabihu.
1) Kaini Na Abeli - Mwanzo 4:1-16 Kumbukumbu ya kwanza kwa dhabihu kubwa ni ile iliyotolewa na Abeli. (Kwa kweli,
sadaka hii ilikuwa ni maarufu na muhimu kiasi kwamba Waebrania 11:4 inaonyesha
kuwa hili lilikuwa ni tendo kubwa la imani na kwamba Mungu alisema mema kuhusu
ana na sadaka yake. Hakika . Itakuwa baraka ya ajabu siku ya hukumu kwa wale
ambao Mungu atawasifu kwaajili ya sadaka za fedha walizotoa wakati walipokuwa hapa
duniani.)
Kutoa dhabihu yenye ubora namna hii, ilifanya shetani afikirie kuzuia baraka zisimfikie
Habeli na akamtumia Kaini kumuua Habeli na kuvunja nguvu ya sadaka yake . 1
Yohana 3:12 inasema wazi kuwa Kaini iliwasilishwa kwa , na pamoja na kuwa yeye
alikuwa upande wa shetani na shetani akamtumia kaini kupigana na kupinga sadaka ya
kwanza kabisa ambayo ilikuwa inatolewa kwa Mungu. Ni ya kuvutia sana kuona kuwa
sadaka ya kwanza kabisa katika Biblia iliongozwa na mauaji ya kwanza kabisa katika
Page 67
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Biblia. Kwa jinsi hiyo Mungu hawezi kuzuia kutoa dhawabu kwaajili ya dhabihu kama
hiyo , shetani hawezi kujizuia kupambana dhidi ya sadaka.
2) Abramu - Mwanzo 15:1-20
Hapa, Mungu anahitaji dhabihu dhabihu ya kuteketezwa kutoka kwa Abramu ambayo
hatimaye ilisababisha Mungu kutembea kwa njia ya sadaka na kudhihirisha ujumbe
wake kwa Abramu. Abramu aliandaa sadaka zake , hata hivyo, aya ya 11 inasema
kwamba ndege wa kuwinda walitua na kunyakua sadaka ya Abramu akashinana noa na
kuwafukuzia mbali. Mfano wa mpanzi katika Marko 4:4 , Yesu anafananisha nguvu za
giza kama ndege ambao wanakwapua neno la Mungu liliopandwa ndani ya mioyo ya
watu. Hivyo, haina maana kufikiri kuwa dhabihu ya Abram ilikwapuliwa limwili, je! si
pia ni jambo la kiroho kupitia shetani ambae alikuwa na mawazo ya kumpinga Abram
katika kutoa dhbihu? Abramu akayapinga mashambulizi na akatoa dhabihu yake –
Mungu hupendezwa kiasi kwamba utukufu wake hutembea kati ya dhabihu; Mungu
hawezi kupinga dhabihu!
3)Mariamu - Yohana 12:1-11 Kama Mariamu alivyojiandaa kutoa sadaka manukato yenye gharama kubwa kwa
Yesu,sadaka yake yake ilishindanishwa na shetani,ambae pia alitumia moyo wa
mwanadamu.Moyo huu uliotumiwa ni Yuda -ambae bila hofu alijitoa kwa shetani kama
Yohana 13:27 inavyoonyesha kwamba shetani alimwingia na kumuongoza kumsaliti
Yesu.Mariamu anapotoa sadaka yake Yuda sauti ya Yuda inataka kuchafua sadaka yake
lakini Bwana Yesu anamkemeaYuda na kumpatia Maria haki yeye na sadaka yake.Hata
hivyo,katika mstari inyofuata katika Marko 14:9,Yesu anasema kwamba sadaka hii
kubwa itahubiriwa ulimwenguni kote kama kumbukumbu ya kile alichokifanya.ukweli
ni ule ule hata leo hii kwamba kama mtu anataka kumtolea Yesu sadaka kubwa sauti ya
kudhihaki ya shetani itajaribu kumshawishi asifanye hivyo.Hata hivyo mtu anapo ipinga
sauti ya shetani na kusisitiza kutoa sadaka kama Maria basi,Yesu humpatia haki.
4) Anania na safira -Matendo 5:1-11 Sadaka ya mwisho ambayo ilizuiliwa na shetani ni ile inayohusu hadithi mbaya ya
Anania na safira.Kwa huzuni,sio kwamba Anania alileta sadaka na kuiweka miguuni pa
mitume,bali aliileta pamoja na uongo na na kuzuia sehemu ya pesa.Tena,Anania alikuwa
amejitoa kwa shetani kwahiyo hamna shaka ikiwa Pita anamkemea anaposema katika
Aya ya 3 'Imekuaje shetani ameujaza moyo wakohata ukadiliki kumdanganya Roho
Mtakatifu'.
Tangia hapo kanisa lilikuwa likiongezeka kwa idadi na kifedha.Kama kanisa shetani
alikua amechanganyikiwa ili kupinga ukuaji huu na anaenda moja kwa moja kwenye
sadaka kwasababu ya nguvu unaotokana nayo.Shetani anafanikiwa kumchafua na
Page 68
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kuharibu sadaka ya Anania na safira na wote wanapigwa na kufa na kanisa la kwanza
linalengwa na mashambulizi ya kiroho kutokana na nguvu za giza.
Kwahiyo sadaka ni dhana ya nguvu ya ajabu kiroho ambayo ina malengo kwa Mungu
na kwa shetani kwa ujumla.Tumeona kuwa wote wanaopinga upinzani wa shetani na
kuendelea kutoa sadaka zao hupokea baraka za Mungu-kama vile Ibrahimu na
Maria.Tumeona kwamba shetani anapofanikiwa katika mapigano dhidi ya sadaka huleta
mauti ya kimwili-kama yulivyoona kwa habari ya Habiri,Anania na
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Colombia
15,941,727 ya watu , 47% ni waKikristo.
Kanisa linatingwa na ibada za mizimu . na uchawi.
Kuna haja kubwa ya shule za Biblia na Mafunzo. http://www.operationworld.org
25. Kazi Ya Umisionari
Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti : Warumi 15:23-24
Kariri Aya Hii: 1 Wakorintho 16:6 'Labda nitakaa kwenu,naam, labda wakati wote wa
barid,mpate kunisafirisha kokote nitakako kwenda.
Baadaye Zungumzia Hili :Kwanini Paulo mara nyingi anayaandikia makanisa na
kuyataka yamsaidie kifedha kwa ajili ya kazi yake ya kimisionari.
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine : Kama kikundi, andaeni zawadi kwa
ajili ya mmisionari au kwa ajili ya kazi ya umisionari.
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika : Andika upande mmoja juu ya jukumu mbalimbali
makanisa yaliyochukua kwa ajili ya kusaidia Paulo katika umisionari wake.
Tafakari Neno Kwa Neno Katika Aya Hii : Warumi 10:15
Sehemu zifuatazo zitahusiana na maswali ya nayofanana kuhusiana na zaka ,ni mahali
gani tunatakiwa kutolea zaka zetu.toka mwanzo na ijulikane kuwa biblia inatoa aina tatu
za maelekezo kuhusu mahali pa kuwekeza pesa zetu Wengine asema kuwa zaka
inatakiwa kuwekwa kwenye kusanyiko kuu kama itakavyo onekana baadae, kwa habari
Page 69
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
ya wazo la kidunia pengine si sheria mbaya kufuata.Hata hivyo wazee wa kanisa
hufunisha kwa makini washirika wao kutoa zaka makanisani kwao ,wanakuwa
wanafundisha ni nini kanisa linatakiwa kufanya na pesa zao kwa vile makanisa mengi
hayafanyi hasa maagizo yaliyopewa na Mungu.
Ni matumaini kuwa kurasa hizi zitakuwa msaada kwa wakristo ambao wamekuwa mara
zote wakifundishwa kutoa yu katika makusanyiko yao tu na wamekuwa wakifanya
hivyo,lakini hawajawahi kuuliza kuhusu matunda yaliyopo kanisani kwa matoleo yao na
hasa matumizi yake.Hakuna haki ya kibiblia ya kulipa kanisa lisilotii,lisilozaa matunda
na kufanya chochote kwa ajili ya kuendeleza Ufalme wa Mungu na katika mambo
mengi kuzuia .Mamilioni ya paundi yamezuiliwa na uchoyo wa makanisa na watu
kwakutiwa giza wanaendelea kutoa zaka zao-pengine Mungu ana jambo bora na pesa
zako kuliko kuliko kuliwa na kanisa ambalo halimheshimu.
Eneo la kwanza la kutolea ni katika Utume mkuu wa Yesu uliopewa kanisa kwa kupaa
kwake katika mkono wa kuume wa uweza wake juu,ili kuipeleka injili kwa makundi ya
makabila,tamaduni na Lugha ambayo hayajaisikia.Na ina semekana hakuna atakaeisikia
injili mara mbili labda kila mtu hajawahi kuisikia na hata hivyo kanisa linachukuwa
jukumu hilo kuu kwa wote ambao bado hawajahi kuipokea.Hakuna siri kubwa kuwa
makanisa ya magharibi yanatumia kiasi kikubwa cha pesa zao kwa ajili yao
wenyewe,Ukweli ni kwamba Yesu haisubiri magharibi kupokea injili na kuwa na
makanisa na wakristo ndani yake.
Zidi ,ni kiasi hasa kinachotumika kwa ajli ya Uinjilisti kinachotumika mara nyingi kwa
ajili ya kuokoa watu katika kanisa la kijijini kama vile,kupeleka katika maeneo ambayo
tayari ya biblia,makanisa na wakristo.Kuinjilisha eneo la kijijni ni kitu cha muhimu
kukifanya lakini kipaumbele kinatakiwa kuwa kwa wale wote ambao hawana injili na ni
bora kila mchungaji wa kila kanisa kufanya hili ni kipaumbele kikuu na Mungu atabariki
kazi nyumbani.Kama kanisa litaweka utume mkuu kama kipaumbele chao,Mtume
mkuuu mwenyewe atelekeza mambo ya kufanya.Kiuhalisi,kutoa kwa ajili ya uinjilisti
wa maeneo ya watu waliobaki kufikiwa ni jambo la muhimu kufanya unapotazamia ni
wapi pa kuwekeza pesa zako.
Mtume Paulo pengine ni mtu alie amini kuwa kazi ya umisionari hupatikana katika
mwili wa kristo.Maelezo matatu yaliyonakiriwa chini yanaonyesha kwamba alipokuwa
katika kazi yake ya umisionari akiwa anasafiri hakufanya siri kwamba alitegemea
kupokea msaada wa kifedha kwa ajili ya kazi yake ya umisionari kwa hiyo aliweka wazi
maelezo yake katika mistari hii,haipingiki tabia ya Paulo ya kutegemea kwa ujasiri
waamini wenzake kumsaidia katika kazi ya umisionari wake na tabia ya zamani ya
wachungaji wengi na viongozi wa makanisa wenye tabia yakuwa wapolo na wachungaji
kuomba watu wa Mungu kutoa kwa ajili ya kazi ya Mungu,na wote wanaohitaji pesa
kwa ajili ya wito wa maono/umisionari hawatakiwi kuona haya kuomba ndugu zao wa
Page 70
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kiume na wakike kuwasaidia. Warumi 15:24 'Natumaini kuwatembelea wakati
nitakapopita na kuhitaji msaada wenu kwa ajili ya safari yangu,baada ya kupumzika kwa
muda pamoja nanyi.'
1wakorintho 16:6 'pengine nitakaa nayi kwa mud,na pegine wakati wa majira ya
baridi,ili kusudi mpate kunisaidia katika safari yangu,popote nitakakoenda'
2 wakorintho 1:16 'nilipanga kuwatembelea wakati naelekea Makedonia na kurudi tena
kwenu kutoka Makedonia, na kunisafirisha tena kwa safari yangu'
Huduma ya kutumika kama Mtumwa inahusishwa katika sehemu ifuatayo pamoja na
kipawa cha kutoa na kutakuwepo na huduma kubwa kwa ajili ya kusaidia huduma
nyingine na kazi ya umisionari.Na kwasababu si wote walioitwa kama wajumbe,basi
tunakiwa kubeba injili na kuipeleka kwa makundi ya watu wote ambao hawana nayo.Ni
fursa na furaha na mwaliko kwa kila Mkristo kutoa kwa ajili ya kazi ya umisionari na
kuona injili ikipelekwa katika pande za mwisho za dunia.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Colombia
42,321,361ya watu , kanisa linakuwa kwa nguvu
Nchi imeshikiriwa na uuzaji wa madawa ya kulevya, wanamgambo na waasi
bawa waliobakizwa. © www.operationworld.org
26. Maskini
Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Luka 16:19-31
Kariri Aya Hii: Mithali 19:17 'Amhurumiaye maskini humkopesha Bwana, naye
atamlipa kwa tendo lake jema '
Baadaye Zungumzia Hili : Kwa nini Mungu anasema katika Yeremia 22:16 kwamba
alihukumu hukumu ya maskini na mahitaji yake, huku ndiko kumjua Mungu.
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Angalia maandiko yote
yanayoonyesha mahali Yesu alisema kuwapa maskini.
Page 71
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mmoja juu ya kwa nini Yesu alitaja
kuwapa maskini mara nyingi
Tafakari Neno Kwa Neno Katika Aya Hii: 28:27 Mithali
Eneo la pili linalotakiwa kufikiriwa kuhusi sisi kuwekeza utoaji wetu ni eneo la
kuwapatia maskini, maandiko menyi yaonya ( kwa makaripio !) Kwamba sisi
tunawapuuzia wao kwa hasara yetu, maandiko hapo chini yanatoa mwaswali katika
baadhi ya makanisa ambayo wako makini kuchunga makanisa yao viti vya mbele na viti
vya heshima wakati uo huo wanapuusia jambo kubwa muhimu la mahitaji ya Binadamu
wanao wazunguka. Labda tuangalie maandiko yenye changamoto juu ya somo hili
katika Yeremia 22:16 'Alihukumu maneno ya Maskini na mhitaji; hapo ndipo
alipofanikiwa. Je! Huko siko kunijua asema Bwana? .
Wakristo wangapi na makanisa mangapi wanaojidai kuwa wamejazwa Roho Mtakatifu
na wenye injili iliyo kamili lakini hawafanyi lolote juu ya maskini na mhitaji? Ni
makanisa mangapi yaliyopo sasa yanayojitahidi kuwa na ubora katika mziki na karama
za kiroho na hata katika mwitikio wa kanisa lao, lakini hawajitahidi kuwa makini
kutunza maskini?
Mithali 14:21 `Adharauye mwenzake afanya dhambi;
Bali amhurumiaye maskini ana heri.'
Mithali 14:31 "Amwoneaye Maskini husuta Muumba wake.
Bali yeye awahurumiaye maskini humhershimu.”
Mithali 19:17 ' Amhurumiaye maskini humkopesha Bwana, naye atamlipa kwa tendo
lake jema.'
Mithali 22:9 "Mwenye jicho laukarimu atabarikiwa;
Maana huwapa maskini chaklula chake .'
Mithali 28:27 'Mwenye kuwagawia maskini hatahitaji kitu;
Bali afichaye mikono yake atakuwa na laana nyingi.'
Mithali 29:7 ' Mwenye haki huyaangalia madai ya maskini;
Bali mtu mbaya hana ufahamu hata ayajue.''
Wagalatia 2:10 'Ila neno moja tu walitutakia, tuwakumbuke maskini; nami neno lilo hilo
nalikuwa na bidii kulifanya.'
Page 72
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Itatokea kama vile rude alivyowainukia viongozi wengi wa kanisa ambao walikuwa
waangalifu kufundiasha kundi lao na walijitoa kwa ajili ya kanisa, ili kujua kwamba
Yesu kamwe hakuonyesha kutoa kwaajili ya kanisa lakini mara nyingi anataja
kuwapatia maskini. Maandiko hapo chini ni maneno yote ya Yesu - wakati wingi
anataja kutoa kwaajili ya maskini hili liko kwenye mawazo kuwa ni kwa kufanya hivyo
ndito upiokeaji wa karama zetu.
Hakika , Kanisa lolote na mKikristo yeyote atakuwa mjinga akipuuzia maneno haya ya
Yesu, kama kanisa lako halitoi kwa maskini, na je! unautajiri kutokana na juhudi ya
kazi za uchumi wa pesa zako? Maandiko , eneo kubwa ambalo Yesu amebainisha kuwa
ni njia pekee ya sisi kuwa wapokeaji wa thawabu ya Utoaji wetu kutoa kwaajili ya
maskini
na wasiojiweza
Mathayo 11:5 (b) 'Na maskini wanahubiriwa habari njema.'
Mathayo 19:21 'Ukitaka kuwa makamilifu, nenda ukauze ulivyo navyo, uwape maskini,
nawe utakuwa na hazina mbinguni '.
Marko 14:7 'Maana siku zote mnao maskini pamoja nanyi, na kila mpendapo, mwaweza
kuwatendea mema.'
Luka 4:18 "Roho wa Bwana yu juu yangu , Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri
maskini hari njema.'
Luka 11:41 ' lakini toeni sadaka vile vya ndani, na tazama, vyote huwa salama.'
Luka 12:33 'Viuzeni mlivyo navyo, mtoe sadaka, jifanyieni mifukoisiyochakaa, akiba
isiyopungua katika mbingu.'
Luka 14:13 "bali ufanyapo karamu waite maskini, vilema, viwete, vipofu, nawe utakuwa
heri.'
Hivyo ni maskini wa namna gani hasa ambao Biblia inazungumzia ? Naam, hapo chini
kuna mtiririko wa watu walitajwa ambao Biblia inazunguzia juu yao na marejeo husika
ya maandiko yanayo onyesha watu hao kimsingi au jamii haina muda wa kuyatumia,
Lakini Yesu , ana haja nao na anataka kuleta Ufalme wake kwao . Wao ni wa mwisho ,
waliopotea , na lakini wao ni milki yenye tuzo ambalo Yesu amelipatia kaniasa uridhi ni
watu ni hawa watu ingawa kanisa na jamii limewa geuzia kisogo ( halitambui kwamba
kwa njinsi hiyo wanamgeuzia kisogo Yesu). Je, ni mantiki kusema kwamba hatuna
upendo kwa Yesu tena zaidi ya watu kama hawa ?
Page 73
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Wafungwa : Mathayo 25:36 , Waebrania 13:03
Kiu: Mathayo 10:42:25:35
Yatima : Kumbukumbu la Torati 10:17 , Kutoka 22:22 , Yeremia 5:28:7:5:22:5 , Zaburi
10:17, Zaburi 68:5 , Zaburi 146:9 , Isaya 01:16 , Yakobo 1:27
Wajane: Kumb. 10:17 , Kutoka 22:22 , Isaya 01:16 , Yeremia 7:5:22:4:1 Timotheo 5:03 ,
Yakobo 1:27
Wageni / Wageni : Yeremia 7:5:22:3 Zaburi 146:9
Kudhulumiwa / taabu : Zaburi 10:17, Isaya 1:17.
Kwa hiyo kama utele huu wa maandiko unavyoonyesha ,kutoa kwa ajili ya maskini ni
jambo la muhimu kufanya ili kuwekeza pesa zetu katika kazi ya Mungu.Hata
hivyo,katika nyakati hizi ambapo kanisa linaelekezwa katika nchi tajiri ulimwenguni
na kupotea,makanisa ya mwisho na machache yanaelekezwa katika sehemu maskini za
kanisa,kutoa kwa ajili ya maskini ni muhimu zaidi.Tena,ni makanisa mangapi
yanayotumia pesa zao katika kuinua washirika wao na kuwapa burudani binafsi wakati
maskini ulimwenguni wanatupwa na kukataliwa na kanisa ? Yakobo 1:27 inaonyesha
kwamba kuwasaidia yatima na wajane ni sahihi kabisa na si kosa mbele za
Mungu,kama tungetaka kumjua Mungu tungekuwa watu wanaotenda kulingana na dini
safi na tungefanya kwa kuwapa maskini.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Kongo
2,943,464 ya watu , 91% ni wakristo,
Ukomunisti umeacha alama yake katika kanisa – baadhi ni maeneo yasiyofikiwa .
© www.operationworld.org
27. Makanisa / Wahudumu
Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti : 1 Timotheo 5:17-18
Kariri Aya Hii: 1 Wakorintho 9:14 `Bwana aliagiza kwamba wale wanaohubiri Injili
lazima wapate maisha yao kutoka katika injili '
Baadaye Zungumzia Hili : Je, tunatakiwa tutoe pesa zetu zote kataka makanisa
tunayohudhuria mara nyingi.
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Ujao: Fanya jambo kwa ajili ya kumbariki mtu
anaekuhudumia neno la Mungu mara nyingi.
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika : Andika upande mmoja kuhusu eneo ambalo kanisa
Page 74
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
linatakiwa kutumia pesa zake kwalo.
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii : Wagalatia 6:6
Eneo la tatu kuzingatia ni kwamba Biblia anawaelekeza waumini kutoa katika kanisa
ambalo wanahudhulia kila mara kwa mfano,Malaki 3:10 inawainua watu wa Agano la
kale, 'Toeni zaka kamili gharani'. Hapo ingeonekana kimaandiko sababu ya kutoa mara
katika kusanyiko.
1. Wote walioihudumi injli kwa uwaminifu na kufanya kazi ya Mungu kwa muda wote
hupokea malipo ambayo ni kanuni iliyowekwa na Mungu (hii inapatikana katika sheria
ya Agano la kale kutoa kwa ajili ya kusaidia makuhani /walawi kwa mfano
.kumbukumbu la torati 14:27: 29;1-2: 2mambo ya nyakati 31:4-20)
2. Pesa zinazotolewa zitasaidia kwa ajili ya kutunza na mabo yanayohusiana na kanisa
ambalo linakabiliana kwa uwazi na mahali ambapo hamna wakristo ili kukutana na
waumini na (ni matumaini) na injili.
Hivyo sababu ya kwanza kutoa katika kanisa ni kwa ajili ya kutoa mahitaji ya kifedha
kwa wote wanaoshiriki neno la Mungu pamoja nasi (mara nyingi ni mchungaj) kwa
mfano, wagalatia 6:6 inasema,kila anaepokea maelekezo katika neno la Mungu ni
lazima ashiriki mema yote na muelekezaji'. Makusudio ya andiko hili ni kwamba ni
lazima tuwe katika kanisa linalotoa maelekezo kila mara kwa neno la Mungu na kwa
kupitia kutoa katika kanisa pesa hizi zinapelekwa kwa mchungaji /mzee wa kanisa
ambae amefundishwa neno la Mungu.Kwa habari ya wazee wanaolihudumia neno la
Mungu kanisani,Paulo anaiweka Nuruni kanuni hii na kusema kwa uwazi kwa habari ya
wazee wanaolihudumia neno la Mungu. 1 Timotheo 5:17-18 inasema, 'Wazee
watawalao vema na wahesabiwe kustahili heshima mara dufu; hasa wao wajitaabishao
kwa kuhutubu na kufundisha. Kwa maana andiko lasema, " Usimfunge kinywa
ng'ombe apurapo nafaka,” Na tena mtenda kazi astahili ujira wake.”
1Wakorintho 9:7-14 ni fungu la maandiko Paulo anapozungumzia kanuni hii ya utoaji
mahali unapolishwa anapoongelea huduma yake kwa mfano, katika Aya ya 11
anasema,ikiwa tumewapandia vya rohoni je! ni neno kubwa tukivuna vyenu vya
mwilini'. Paulo anapokuwa na matarajio yakupata msaada wa kifedha kwa
kuwahudumia kiroho, aliamua kutokupokea ili asiizuilie injili (hata hivyo,aliiweka
kanuni hii kwa ajili ya makanisa ya ufilipino kama vile, wafilipi 4:11-19 ) .zaidi kabisa,
Paulo anaelezea kuhusu wahudumu wa muda wote wa injili kwamba wanatakiwa
wapokee msaada kutoka kwa waamini anaposema katika Aya ya 14 'Bwana ameamuru
kuwa wote wanaoihubiri injli wanatakiwa kupata maisha yao katika injli'
Page 75
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Makanisa mengi hayalishi watu, cha zaidi ambacho waumini wanaweza kutarajia ni
kipindi cha dakika ishirini katika wiki utani kuliko maandiko. kama kila mkristo
angefuata utaratibu huu basi ingesaidia kuondoa wachungaji wasiozaa matunda ambao
hawalihudumii neno la Mungu kwa uwaminifu na pia ingeondoa makanisa yasio na
matunda ambao wanadanganya watu wao kwa neno la Mungu. Pengine ni kwasababu
makanisa mengi hayalishi waumini wake kwasababu ya kuwepo na mafundisho mengi
ya huduma ambayo yamebarikiwa na Mungu?
Sababu nyingine ya kutoa ni kwa ajili ya kutunza na kupanua makanisa kulingana na
utoaji na shuhuda zinazoonekana kwa wale wasiokoka. Kumbukumbu ya andiko hili
ni kuhusu kujenga hekalu Kutoka 25:1-8 Mungu aliopomuamuru Musa kuchukua
sadaka miongoni mwa wana wa israeli na kumjengea hekalu na mfano zaidi ni ujenzi
wa hekalu la Daudi na Suleimani katika 1mambo ya nyakati 29:6-9. na mfano wa
nyakati hizi ungekua kutazama kanisa ambalo linakuwa sana kwa wale wanaokolewa
lingekua hitaji la kupanua kanisa na hapo inasemekana kuwa wale wanaohudhulia
kanisa hilo wanatakiwa kutoa kw ajili ya upanuzi wa kanisa. Kwa huzuni, kanisa lililo
beba mzigo wa umaskini linaweza kuwa kizuizi kwa wasio amini na wanaweza kuacha
shuruti kuwa wakristo hawajajiandaa kuweka pesa zao mahali mdomo ulipo.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Ivory Coast
14,785,832 ya watu , 38 % ni Waislamu
Kanisa na Uislamu umeona ukuaji na wanashindana kwa ajili ya ukubwa .
© www.operationworld.org
28. Waumini Wenza
Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: James 2:14-17
Kariri Aya Hii: Wagalatia 6:10 ' Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi a tuwatendee watu
wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.'
Baadaye Zungumzia Hili : Kwa nini Biblia inaweka msisitizo juu ya kutoa kwa
wafuasi wenzetu ndugu na dada?
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine : Katika maombi, Muombe Mungu
ili akuonyeshe ndugu / dada katika Kristo, utakaoweza kuwahudumia.
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mwingine juu ya hoja ambayo
Page 76
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
twapaswa kuipa kipaumbele kwa ndugu wenzetu na dada katika Kristo.
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: 1 Yohana 3:17
Hatimaye , eneo moja la mwisho kuangaliwa ni utoaji wa fedha kwa Wakristo wenzetu,
maandiko matatu chini ni magumu kusoma wakati mwingine, na yanapanua kanuni
hiyo yaani, kwamba moja ya alama ya Wakristo wa kweli ni wale wanaojibidisha katika
kuwabariki Wakristo wenzao ambao ni wahitaji, ( ona kwambaneno 'Ndugu ' linatumika
kwa wote) . Pia ni vizuri kukumbuka kwamba sehemu kubwa katika Biblia nzima juu ya
kutoa (2 Wakorintho 8:01 -9:15 ) inahusika na suala la kupeleka sadaka kwa watu wa
Mungu maskini katika Yerusalemu
Mathayo 25:40 'Na Mfalme atajibu, akiwaambia, Amini, nawaambia, kadiri
mlivyomtendea mmojawapo wa hao ndugu zangu walio wadogo, mlinitendea mimi.'
Yakobo 2:15 ' Ikiwa ndugu mwanamume au ndugu mwanamke yu uchi na kupungukiwa
na riziki, na mtu wa kwenu akawaambia, Enendeni zenu kwa amani, mkaote moto na
kushiba, lakini asiwape mahitaji ya mwili, yafaa nini?'
1 Yohana 3:17 ' Lakini mtu akiwa na riziki ya dunia, kisha akamwona ngugu yake ni
mhitaji, akamzuilia huruma zake, je! Upendo wa Mungu wakaaje ndani yake huyo?'
Katika Agano la Kale kuna hata amri kwamba kuwafundisha watu wa Mungu kwa
karibu kuonyesha upendeleo wa kiuchumi kuelekea Wayahudi wenzao dhidi ya wageni
katika nchi yoyote . Kwa mfano, katika maandiko ya chini, si kwamba Mungu aliagiza
Wayahudi kwa wenzake ili kuleta tofauti kwa walio wageni wageni lakini kuna ahadi
kwamba yeye atawabariki watu ambao kufanya hivyo! Kwa hiyo, sisi lazima kwenda
nje ya njia zetu na kupanua tija ya ukarimu na hasa kwa Wakristo wenzetu.
Kumbukumbu 23:20 ' Mgeni waweza kumkopesha kwa riba, ila usimkopeshe ndugu
yako kwa riba, ili Bwana, Mungu wako, apate kukubariki katika yote utiyayo, mokno
wako,'
Yesu mwenyewe anatia moyo kanuni tunayopaswa kuitafuta na kuwabariki ndugu
wafuasi wenzetu na kuna ahadi nyingi za baraka kwa wale watakaofanya hivyo Marko
9:41 anasema, 'Kwa kuwa yeyote atakaye wanywesha ninyi kikombe cha maji, kwa
kuwa ninyi ni watu wa Kristo, amini, nawaambia, hatakosa dhawabu yake.' Paulo pia
anaifuata kanuhiyo pale asemapo katika Wagalatia 6:10 'Kwa hiyo, kadiri tupatavyo
nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.'
Page 77
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Je, si wengi, ndugu na dada katika Kristo ambao wanamlingano wa hali kama wale
wote wanaoelezewa katika maandiko ya hapo juu? Na si Mungu anayetuita baadhi yetu
kuweka imani yetu katika matende na kufanya kitu juu yake ? -bila shaka tuko wengi.
Wakristo maskini wanaotarajia msaada wa Wakristo matajiri toka Magharibi kwa ujumla
wanatoka nchi ambapo kanisa linakabiliwa na ukuaji mkubwa -nini motisha buli
lazima kwetu sisi kuwa na jukumu la kupeleka kuwasaidia wao na kuona fedha zetu
zinakwenda mbalikupanua Ufalme katika mataifa hayo.
Kwa mfano, katika nchi ya Burkina Faso katika Afrika, gharama ya kulisha mtoto katika
kituo cha watoto yatima kimisionari inafikia 6pence kwa siku siku -kwa njia ya zawadi
kutoka kwa Wakristo matajiri, kazi hii ya Mungu miongoni mwa watoto yatima
tunaweza kuona elfu kutunzwa na maelfu kuletwa kwa Mkristo katika kuweka- fursa ni
kutokuwa na mwisho, na hakika Mungu atakuongoza wewe kuwekeza kwenye miradi
mizuri. Tena, makanisa mengi ya natoa kwa ndugu na dada katika Kristo -wao
wanatunza hayo yote kwaajili yao wenyewe ! - tumeitwa kutoa kwa Wakristo wenzetu
walio wahitaji, si kuwapendeza wakristo matajiri kwa kujenga makanisa ma kubwa na
yenye kiwamgo kizuri zaidi. Je, si ni kesi kwamba Wachungaji wengi na Wazee
wanaficha uwajibikaji unao wapasa wenyewe na itakuwaje katika siku ile ya huku
wakiwa wanatenda mambo kama haya?
Hivyo katika hitimisho Biblia inatoa maeneo matano ambapo sisi tunapaswa kufikiria
kuyatolea kifedha.
Agizo Kuu / Kazi ya Umisioni
Maskini
Kutoa kwa wale wanatulisha sisi ( katika muktadha wa mkutano wa ndani)
Kutoa kwa ajili ya Miradi ya ujenzi / Upanuzi wa kanisa
Kutoa kwa jamii ya waaminio
Je! Nizipi kati ya hizi zinapaswa kuchukua kipaumbele? kama ilivyoelezwa katika
mwanzo wa sura hizi Biblia inatoa mwelekeo ila kukwepesha. Inaweza alisema kutoka
Malaki 3:10 kwamba tunapaswa kuleta zaka zetu kwenye mkutano wa ndani
tunaohudhuria vjzuri, kama kanisa lako linawawezesha wamisionari, linalisha maskini
na kuwasaidia jamii ya waaminio inaweza kuonekana kuwa ni muongozo mzuri
unaopaswa kufuatwa. Katika ulimwengu halisi itakuwa ni kesi ya kwamba mkutano wa
wenyeji ungekuwa pedi uzinduzi wa mafuriko ya baraka kwa ncha ya dunia sana hivyo
kwamba waumini wenyeji inaweza wote kushiriki kikamilifu katika kazi ya Mungu.
Bahati mbaya, kama uongozi wa kanisa ni aliyepooza na roho ya zuio na ni ndani
kuangalia na tu wasiwasi kuhusu mahitaji ya kanisa , watakuwa baraka kuzuia kuwa
iliyotolewa duniani kote.
Page 78
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Hivyo, n nini kama kanisa lako haliwajibiki chochote kwa ajili ya umisioni duniani na
wala hililishi na kuwajali watu wachaech waliookoka- na kuendelea kutoa? Hii litakuwa
ni jambao lanalohitaji maombi kumtafuta Mungu kwa ajili ya uongozi wake labda
asilimia ya zaka inaweza kwenda katika mkutano na kinachobakia kikusanywe kwaajili
ya kazi ya umisioni duniani na kulisha maskini na jamii ya waaminio wanaohangaika.
Hatuitwi kutiwa upofu kubeba zaka zetu mwaka hadi mwaka kwenye makanisa yasiyo
zaa matunda na sisi tukakuwa ni waendelezaji wa shirika lisilozaa matunda. Je, wewe
unafurahia mahali utapotoa pana zaa matunda na pana stahili kwa pesa yako unaytoa?
Hili linaweza kuwa ni swali gumu kwa wengine lakini ni si kesi kwamba tunapaswa
kuwekeza fedha zetu katika matunda, si pasipokuwa na matunda, makanisa, na umisioni
na Huduma?
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Kroatia
4,472,600 watu, 94. 43 % ni Waislamu
Mateso mengi kutokana na vita lakini Ushuhuda wa wa kristo unaimarishwa kwa
jitihada za amani. © www.operationworld.org
29. Maadui
Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Kutoka 23:04
Kariri Aya Hi : Mithali 25:21 "Adui yako akiwa na njaa , mpe chakula;
Tena akiwa na kiu, mpe maji ya kunywa '
Baadaye Zungumzia Hili : Tunawezaje kuweka katika vitendo kutoa kwa maadui zetu.
Jambo La Kufanya Kabla Ya wakati Ujao : Kama inawezekana, tafuta watu ambao
wana, au ni wapinzani wako jaribu kuwabariki kwa njia fulani.
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika : Andika upande mmoja juu ya jinsi ya kutoa kwa
maadui zetu kuimarisha ya nguvu ya kuhubiri injili kwa ajili yao.
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Luka 6:35
Kuna eneo zaidi kwamba tunapaswa kufikiria kuwapa kwamba kuonekana kuwa nadra
kuliko kawaida na kwamba ni kutoa kwa maadui wetu na wale wanaotupinga , na
ujumbe wa Yesu. Kama Wakristo tunapaswa bila shaka una maadui hakuna hata hivyo
Page 79
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kutakuwa na wale ambao ni kinyume na sisi katika njia sawa kwamba kuna wale ambao
walikuwa kinyume na Yesu. Inaonekana kwamba kwa njia ya kutoa yetu na ukarimu
wetu tunaweza kugeuka maadui hawa ndani ya marafiki na kushinda yao juu ya sisi ( na
Yesu) kwa kushinda upinzani wao na upinzani pamoja na Kristo -kama upendo na
ukarimu.
Mfano wa kwanza wa kibiblia wa utoaji kwa maadui zetu, unapatikana katika Mwanzo
sura ya 26 katika hadithi ya Isaka. Isaka alikuwa mtu ambaye alitembea katika baraka ya
Mungu aya ya 12 inaonyesha kwamba siyo tu alipanda na kuvuna mara mia lakini pia
alifanya hivyo wakati nhi ilipokuwa na njaa. Katika mistari 19-21 Isaka alijionea
upinzani kutoka kwa Wachungaji wa Gerari na mara mbili wakati akijaribu kuchimba
visima na kuteka maji, waligombana naye na kumzuia. Pamoja na kuwa Abimeleki
ambaye alikuwa Mfalme juu ya eneo la Gerari alikuja na kufanya usuluhisho na Isaka
hakuna alichofaulu kwao ila alitengenea tatizo jingine liliendelea wakaiendea nji yao ya
kawaida asubuhi iliyofuata.
Inaonekana kwamba kama Isaka alikuwa anakwenda kuendelea katika mafanikio ya
Mungu wake aliyempa mafanikio aliyokuwa nayo kutoa na kupanua ukarimu kuelekea
maadui zake.
Kama tunavyosoma katika Mwanzo tunaona mtu mwingine ambaye alikwenda katika
baraka za Mungu na ambaye pia alitoa kwa wale ambao wanampinga, alikuwa ni
Yusufu hadithi ya Yusufu ni moja ya hadithi inyotoa mwanga zaidi katika Biblia. Ndugu
zake Yusufu wakamuonea wivu na wakamuuza katika utumwa Yusufu Yusufu alitoka
kwa mmjawapo aliyeona ndoto toka kwa Mungu kwa kuwa katika utumwa katika taifa
la kigeni. Yusufu alikuwa na kila sababu ya kuwa na uchungu na kutosamehe dhidi ya
ndugu zake lakini kama tutakavyoona anachagua msamaha na ukarimu kuelekea ndugu
zake kinyume na chuki.
Usidharau mtu mwema! Mtu akiwa amebarikiwa na Mwenyezi Mungu kamwe hawezi
kmshusha bali atainua hata katika matatizo yachukizayo na kwa kuingilia kati kwa
Mungu Yusufu alitolewa kwenye jela ya Misri na kuwa na kuwa mtu wa pili wenye
mamlaka katika nchi yote ya Misri.
Baadaye akakutana na ndugu zaka ambao hata hawakuweza kumtambua na bila kujua
kuwa yeye alikuwa na uwezo mkubwa wa kujilipiza kisasi lakini alidhihirisha Roho ya
Kristo, na katika Mwanzo 45:1-11 tunaona yeye anaapa kuwalinda wote na katika
Mwanzo 50:19-20 yeye - anathibitisha nadhiri yake kwa ndugu zake. Isaka na Yusufu ni
waeili katika takwimu ya Agano la kale ambao si tu walitembea katika baraka za
Mungu lakini pia walitoka kwa wale ambao waliwafanyia mabaya na kuwapinga.
Pamoja na kuanzishwa kwa sheria ya amri ya kupanua wema kuelekea maadui zako ,
Page 80
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
iliyotolea na Mungu kwa watu wake (angalia Kutoka 23:4 ) na haja ya kutoa kifedha
kwa maadui zetu inaonekana katika Mithali 25:21 "Adui yako akiwa na njaa mpe
chakula; tena akiwa ana kiu mpe maji ya kunywa; Maana utatia maka ya moto kichwani
pake; Na Bwana atakupa thawabu.'
Tazama jinsi nukuu hii inavyoonyesha kwamba Mungu atawalipa wale wanaotoa kwa
maadui zao. Kadiri tunavyokuwa watoajikatika kazi ya Mungu, Biblia inasema
tutapokea malipo kutoka kwa Mungu-vile vile hata tunapotoa kwa maadui zetu!
Hatimaye Paulo analeta nukuu hapao juu kutoka Mithali katika Warumi 12:20
kuonyesha kuwa ni sehemu yetu ya kuhubiri kwa watu wasiookoka na kwa njia ya
kutenda mema na kuwapa adui zetu tunaweza kuwavuta na kuwafanya kuwa marafiki na
kuwafanya pia kuwa marafiki wa Yesu.
Aidha katika injili ya Luka , Yesu mwenyewe inafundisha upendo na vitendo kutoa kwa
maadui zetu, katika Luka 6:27-36 tunaona kwamba wale ambao wanaachilia upendo wa
kweli wa Kristo kwa maadui zao, watawakopesha bila kutarajia kurudishiwa na
watawafanyia mema. Tukihamia katika Luka 10:30 mfano wa Msamaria mwema hapa
tena Yesu anazungumzia upendo kwamba wafuasi wake watakuwa nao kwa wale ambao
ni maadui zao – Je! Na wewe umegundua kuwa Msamaria Mwema sio tu alitoa srafu
ya fedha- kwenye nyumba ya wageni lakini pia alikuwa tayari kulipa gharama zote
ambazo zingezidi - (Mstari 35). Ni wazi kuwa kutoa kwaajili ya adui zetu inaweza kuwa
siraha muhimu katika uenezaji wetu wa injili katika makundi ya watu maadui wa injili
na injili itaenda hata mwisho wa dunia. Ilielezwa katika mwanzo wa sehemu hii kwamba
ynaonekana kuwa kutoa kwa maadui zetu inawezakutokea kuwa nadra kuliko kawaida
hivyo ni jinsi gani tunaweza kufikisha tendo hili kwa walengwa wetu?
Pointi hii inazungumzia kuwa utoaji wetu unatakiwa ulenge utume wa ulimwengu wote
ili kuokoa wanaume na wanawake katoka kuzimu kama inavyotakiwa na sin kumpa
mtu au mahali ambapo kuna zaa matunda ya kutosha kwa ajili ya Ufalme wa Mungu.
Pengine yawezekana ikawa ni kwa ajili ya mtu anaefanya kazi na watu katika nchi
ambao ni tofauti na dinihiyo ambayo ni vibaya na kinyume na injli.Unaweza ukampatia
mtu ambae ni mmissionari na huyu mmissionari akatumia hizo pesa kununulia chakula
na madawa huenda kama kuna njaa au hali ngumu mahali wanapofanya kazi.Aina hii ya
upendo inaweza kuyeyusha mioyo ya wote ambao huipinga injli Pointi imekuwa
inasemea kuwa utoaji wetu wote waliokuwa wakiipinga injli na kufungu mioyo yao
kuipokea injli ambayo inafundishwa katika nchi za Afrika kusini na Afrika magharibi ya
kati ambapo kuna upinzani mkuu wa injli, matumizi ya pesa kuleta chakula na madawa
yanaweza kuwa mlango wa injli kuhubiriwa .
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Page 81
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Omba kwa ajili ya Cuba
11,200,684 ya watu , 46% ni wakristo
Ukuaji wa kanisa umefunika ukuaji wa miaka 40 iliyopita zaidi.
© www.operationworld.org
30. Fedha Ni Kigezo Cha Mungu
Katika Biblia Yako Soma hapa kwa sauti : Luka 12:34
Kariri Aya hii : Luka 16:11 "ikiwa haujawa mwaminifu katika kutunza makli za
duniani,ni nani basi atakaekuamini klwa ajili ya utajiri wa kweli”
Baadaye Zungumzia hili: Ni kiwango gani pesa ni kigezo katika maisha yetu ya
kikristo?
Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine: Omba kuhusu kuiwango chako
chako cha utoaji kinavyoonyesha namna unavyofa kazi na Mungu.
Kazi ya diploma ya kuandika : Andika upande mwingine namna ambavyo pesa ni
kigezo katika misha ya ya mkristo
Tafakari neno baada ya neno katika Huu : yakobo 2:17
Baada ya kuona haja ya kuwa watoaji,na ni kiasi gani na ni wapi pa kutoa pesa zetu,eneo
hili litaangalia sababu nyingi na faida za kutoa pesa zetu.tunapotazama sababu na faida
za kutoa na gharama tunazokumbana nazo kwa kutokutoa kwakweli ni linaweza kuwa
jambo ambalo hatuwezi kulitatua sisi wenyewe na hivyo tutataka kuwa watoaji. Katika
maeneo fulani inaonekana kuwa Mungu hutumia pesa zetu kuimarisha maisha yetu ya
kikristo na kwakutathimini hali zetu za kifedha tunaweza kuona sisi wenyewe hali
yetuya kutembea na Mungu. Si kwamba pesa zinazotolewa kwa Mungu zinatusababisha
kuishi maisha yetu ya kila siku tu bali zinatumika kama kigezo kwa Mungu na kwetu pia
kuhukumu na kusimamia maisha yetu ya kikristo.
Eneo la kwanza ambalo pesa husimamia ni kwamba pesa huonyesha kweli kama
tunamtumikia Mungu au kama tunamtumikia mungu asiye kweli wa pesa,Mungu
ametangaza mwenyewe kuwa ni Mungu mwenye wivu na kwamba hatavumilia kutuona
tunamwabudu mwingine.Katika luka 16:13 Yesu anasema kuwa pesa ni mungu asie wa
kweli ambae watu wanamwabudu na sisi wakristo hatuwezi kusema kuwa tunamwabudu
Mungu na huku tunaabudu pesa. Mafarisayo ni kundi kubwa la watu lililopenda na
kuabudu pesa badala ya Mungu na katika luka 11: 41, Yesu akasema kuondoa pesa
Page 82
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
katika maisha yao ni kuanza kuwapa masikini na kujisafisha na vinyago.Kwahiyo si
jambo kwamba pesa zinaonyesha kuwa ni aina gani ya Mungu tunaemwabu? Wote
wanaotoa kila mara katika Ufalme wa Mungu wanamwabudu Mungu wa kweli wakati
wale wasiotoa wakiwa wanaonyesha ni aina gani ya Mungu wanaemwabudu .
Eneo la pili ambalo pesa huimaisha ni mioyo yetu, Yesu anathibisha kwamba amri
kubwa ni kumpenda Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote
na kwa akili zako zote (Mathayo 23:7). Yesu pia anatangaza katika luka 12:32-34
kwamba zilipo hazina zetu ndipo mioyo yetu itakapokuwa na chochote tunachowekeza
pesa zetu kwa pesa ndicho mioyo yetu inatamani na kuwa na shauku nacho. Ikiwa
tutawekeza pesa zetu katika kazi ya Ufalme wa Mungu basi tutakuwa tunaonyesha kuwa
tamaa na shauku na hisia za mioyo yetu ni katika Ufalme wa Mungu.Ikiwa kama
wakristo hatutoi kwa ajili ya kazi ya Ufalme wa Mungu basi tutakuwa tunaonyesha
kuwa mioyo yetu ina upendo kidogo sana ,hisia na matamanio yetu kwa Mungu na ukuu
wa Ufalme wake.Tutatumia pesa zetu kwa vitu vinavyopendeza na maalumu kwetu na
kuwekeza mambo yetu ya pesa kwako na kwa Mungu inaweza kuonyesha ni nini hisia
sahihi na tamanio la moyo wako.
Eneo lingine ambalo pesa himarisha katika maisha yetu ya kikristo ni katika ene la
Uwaaminifu.imeelezewa kale mifano miwili na Yesu kuhusiana na pesa- kama vile
mfano wa Talanta (mathayo 25:14-30) na mfano wa mjumbe mwenye hekima (luka
19:12) na ni katika mifano hii tunarudi. Yesu angeweza kuoweka maeneo mengi ambayo
tungeza kushudiwa nae kuwa uwaaminifu,kuendelea kwa kanisa,utakatifu na wema ulio
na haya yote mema ,aliona asisitize juu ya pesa kama uimara wa uwaminifu.
(Watu wamekuwa wakisema kuwa mifano hii miwili inahusu karama zetu,taranta na
uwezo na pengine ni jambo la muhimu kufanya hivyo.Pengine eneo linalo husiana nalo
ni pesa kama taranta na wakili mwaminifu ikihusiana na siku kuuzwa Yesu na katika
mathayo 25: 27 na luka 19:23 itifaki ni ileile ya kuwekeza pesa na kupata riba hakika
huwezi kufanya hivyo kwa habari ya karama ya kiroho au karama uliyopewa na Mungu
). Hii inahusiana na uwaaminifu na pesa zinaongelewa kwa kirefu na Yesu katika luka
16: 11 Anaposema , kwahiyo ikiwa hukuwa mwaminifu katika kutunza mali ya
duniani,ni nani atakaekuamini kwa habari ya utajiri wa kweli'.
Kwahiyo ikwa tunasema sisi ni waaminifu kwa Mungu na Ufalme wake na bado
hatuwekezi na kutoa pesa zetu kwa ajili ya kazi ya Mungu hapo tunajidanganya
wenyewe.
Eneo la upendo ni jambo la muhimu katika maisha yetu ya kikristo ambalo pesa
himarisha. 1Wakorintho 13:13 inasema kwamba nguvu kubwa duniani ni upendo na
ikiwa tunahitaji kumfuata Yesu,zaidi ya yote,lazima tuachilie pendo la Mungu katika
maisha yetu maandiko yanayofua yote yanaonyesha ukuu wa pendo.
Page 83
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Yohana 13:34 'Amri nawapeni:mpendane.kama nilivyowapenda ninyi,basi nanyi
pendaneni.ili watu wote wafahamu yakwamba ninyi ni wanafunzi wangu,endapo
mtapendana'
1 yohana 4:7 'Natupendane, kwa maana pendo latoka kwa Mungu'
1petro 4 :8 'zaidi ya yote pendaneni,kwa sababu upendo husitiri wingi wa dhambi '
1yohana 3:14 'tunajua kwamba tutoka katika mauti kwenda uzimani,kwakuwapenda
ndugu zetu.
Tunapokuwa wakristo,Warumi 5:5 huwa inaonyesha kuwa Mungu amelimimina pendo
lake mioyoni mwetu na ukristo wetu unaanza kufanana na ukuu wa asili ya
upendo.tena tunakuwa ni njia ya Mungu kupitia kuachilia pendo hili kuwinda
ulimwengu kadri tunavyomruhusu kristo- kuachilia upendo na kulionyesha katika
maisha yetu . Eneo hili kuu la upendo ni muhimu kwamba tunatakiwa makini sana
(kama sio tayari) kwamba tunaachilia pendo la Mungu na Biblia inasema kwamba kutoa
kwetu ni udhihirisho wa kuachilia pendo la kristo.Kwa mfano: 1yohana 3:17
inasema,ikwa mtu navyo na ndugu yake muhitaji wala asimsaidie ,ni namna gani pendo
la Mungu linaweza kuwa ndani yake?
Kumbuka, warumi 5:5 inaonyesha kwamba kama wakristo hatuna uoendo wa
kibinadamu,lakini kil;e kinachotutenganisha na wale wasio wakristo ni upendo wenye
asili ya Mungu mioyoni mwetu ambao unajifunua kwa vitendo kwa muonekano wa
kristo.
Hata hivyo,Aya ya hapo juu inauliza swali kwa yule mtu anaesema kuwa ni mkristo
lakini hatoi kwa maskini 'Ni namna gani pendo la kristo linawez kuwa ndani yake ?
Katika eneo la upendo tunaweza kusema kuwa kiwango cha upendo wa Mungu
kinachoachiliwa mioyoni mwetu ni sawa na kiwango cha pesa kinachoachiliwa
mikononi mwetu. Kadri tunavyotoa pesa ndivyo kadri kiwango cha upendo wa Mungu
kinavyopanda mioyoni mwetu na katika maisha yetu.
Eneo linalofuata ambalo pesa inaimarisha ni lile la imani yetu kama tulivyoona hapo
kale kama Biblia inavyosema maneno yaliyokaririwa kuhusu kuachilia imani na hivyo
na hivyo ni lazima tuhahikikishe imani yetu inakuwa kwa viwango vya juu -maandiko
hapo chini yanaonyesha hitaji la imani.
Unahitaji imani ili uwe mkristo:- Efeso 2: 8
Unahitaji kuishi maisha ya kikristo kwa imani:- 1:17
Kama hutumii imani unatenda dhambi:- warumi 14:23
Pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu:- waebrani 11: 6
Page 84
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Imani yetu ni ya muhimu sana tunapomuomba Mungu:-marko 11:23
Pesa ni zaidi ni njia nzuri ya kuupima ubora wa ukristo. Kitabu cha yohana, ukurasa wa
pili, kinaonyesha ukubwa wa hitaji la imani katika maisha yetu ya kikristo na kinyume
chake ni aina mbili za imani iliyokufa inayoonekana kuaminika lakini bado haina
matendo na imani ya kweli na iliyo hai ambayo siku zote itakuwa na kazi njema na
matendo kuthibitisha upekee wake.Yohana anatoa mifano ya matendo
yatakayoambatana na imani ya kweli na kati ya nifano miwili anaonyesha maeneo ya
kutoa kama uhakika wa imani.
Mfano wa kwanza ni kuwapa maskini (Aya ya 14) – na wa pili na wa Ibrahimu kumtoa
mwanae kama dhabihu (Aya ya 21) – Hata hivyo, imani inayo ishi siku zote itatoa !
Kwahiyo,si jambo kusema kuwa wale wote walio katika viwango vikubwa vya imani
ndio wale wenye viwango vikubwa vya utoaji,na wale wenye viwango viwango vidogo
vya imani ndio walio na viwango vidogo vya utoaji au hakuna wanachotoa kumrudishia
Mungu?
Yaliyo changanuliwa hapo chini ni maeneo ya maisha yetu ya kikristo ambayo pesa
huimarisha .kutoa kwako kunasema nini kuhusu maeneo hapo chini?
*Kumpenda Mungu au pesa
*Kumpenda Mungu kwa moyo wako wote
*Uwaaminifu
*Upendo
*Imani
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Djibouti
637,634 ya watu , Uislamu na nguvu na unakuwa
Makanisa mengi maskini yanahitaji kutumia uhuru ili kuihubiri injli.
© www.operationworld.org
31. Wapenzi Ni Watoaji
Katika Biblia yako soma hapa kwa sauti: Mathayo 22:37-40
Kariri Aya hii : 1 Petro 4: 8 ' Zaidi ya yote pendanan sana'
Page 85
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Baadaye Zungumzia Hili : Je inamaanisha nini hasa kuhusu kupendana kama Yesu
alivyoagiza.
Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine : Tafuta mtu wa kumpatia Upendo wa
Mungu.
Kazi ya diploma ya kuandika :Andika upande mmoja kuhusiana na kupenda na kutoa.
Tafakari neno baada ya neno katika Aya hii: 1 Wakorintho
13:13
Ikiwa imeeleweka kwamba pesa ni kigezo cha Mungu nasi pia tunachoweza kutumia ili
kupima maisha yetu ya kikristo; eneo hili litatazamia sehemu ya muhimu ambayo pesa
hupima, na hilo ni pendo. Biblia inasema jambo hilo la kutikisa kuhusu hitaji la wakristo
kudhihirisha upendo ambalo hakika kwa ukuu litaonyesha kuwa hili ndilo jambo
linalohusu maisha yetu–kama maandiko hapo chini yanavyoonyesha. Lingeonekana
kuwa pamoja na upendo na utoji na Biblia inatokezea wazo kuwa wapenzi ni watoji na
zaidi tunavyopenda ndivyo zaidi tunavyotoa.
Upendo ni nguvu kubwa duniani (1wakorintho 13:13)
' Na sasa haya matatu yanadumu: imani, tumaini na upendo. Lakini lililo kuu kupita yote
ni upendo '.
Asili ya Mungu ni upendo ( 1 Yohana 4:8)
'Mungu ni upendo'.
Ulimwengu utawajua wanafunzi wa Kristo na upendo wao (Yohana 13:35)
' Watu wote watafahamu ya kwamba ninyi ni wanafunzi wangu kama mkipendana'
zaidi ya yote, pendaneni, kwasababu upendo husitiri maovu wingi wa dhambi (1 Petro
4:8
)
Yesu alisema amri kuu ni kumpenda Mungu (Mathayo 22:37)
Yesu akamjibu , Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako
yote na kwa akili yako yote '. Hii ndiyo amri kuu ya kwanza '.
... Na amri ya pili inafanana na hii ni kuwapenda jirani zetu (Mathayo 22:39)
'Na ya pili yafanana nayo: Mpende jirani yako kama nafsi yako .
Hii ikiwa inahusiana na kupenda na kutoa inaweza vinaweza kuimarisha vyote kwa
Mungu, ambae ni mwanzo wa asili ya upendo.Maandiko hapo chini yanathiitisha hili na
yote yanaongelea upendo wa kwanza wa Mungu.
Page 86
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Biblia inasema kuwa Mungu anawapenda wanadamu,lakini zaidi ya hili,Mungu
amwkwisha hakikisha na kuonyesha pendo lake kwetu kwakutoa zawadi hii kwetu,
hakika zawadi ya mwanae. Warumi 5: 8 inasema kwamba Mungu ameonyesha uhalisia
wa pendo lake kwetu kwakumtuma Yesu:- Upendo wa asili ya Mungu hauna maneno
matupu bali kwa matendo halisi.
Yohana 3:16 ' kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanae
wa pekee'
Wagalatia 2:20 ' mimi naishi kwa imani ndani ya mwana wa Mungu,alie nipenda na
kujitoa kwa ajili yangu'.
Waefeso 5:25 ' kama vile Kristo alivyolipenda kanisa , akajitoa kwa ajili yake '.
Wakati tunapokuwa wakristo, warumi 5:5 inaonyesha kuwa Mungu amelimimina pendo
lake mioyoni mwetu na asili ya kristo ni asili ya upendo wa Mungu. Na tunapokuwa
njia ambayo Mungu anaweza kupitishia pendo lake katika ulimwengu ulioumizwa
tunapokuwa tumeruhusu asili ya pendo la kristo kuonekakana katika maisha yetu.
Eneo kuu la upendo ni la aina hiyo muhimu kwamba tunatakiwa makini sana (kama sio
chonjo) kwamba tunaachilia pendo la Mungu na biblia inaonyesha kwamba kutoa
kwetu ndio kuachilia pendo la Mungu.
Kwa mfano: 1 yohana 3 :17 inasema, kuwa iwapo mtu ana mali na kumuona ndugu yake
mhitaji na kutomhurumia, je1 pendo la Mungu linaweza kuwa ndani yake?
Kumbuka, warumi 5:5 inaonyesha kuwa kama wakristo hatupaswi kuwa na upendo wa
kibinadamu bali ule unaotutofautisha na wasio wakristo ni asili ya upendo wa Mungu
mioyoni mwetu ambalo linadhihirika kwa matendo ya kristo.
Hatahivyo, Aya ya juu inauliza swali kwa mtu anaesema kuwa mkristo lakini hawapi
maskini ' namna pendo la Mungu laweza kuwa ndani yake? Katika eneo la upendo
tunaweza kusema kuwa kiwango cha upendo wa Mungu kinacho achiliwa mioyoni
mwetu ni sawa na kiwango cha pesa kinachotoka mikononi mwetu. Zaidi tunavyotoa,
zaidi kiwango cha pendo la Mungu linavyoachiliwa mioyoni mwetu na katika maisha
yetu.
Pointi zaidi kuhusu pendo la Mungu moja ya sifa zake ni usafi wake;
warumi 12 :9 ' pendo na liwe safi'
2 wakorintho 6:6 'katika Roho mtakatifu na katika usafi wa pendo'
Page 87
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Katika 2 wakorintho ukurasa wa 8, Paulo anawambia wakorintho watoe sadaka kwa
ajili ya ndugu walio jerusalemu na anasisitiza jambo hili la usafi wa upendo. Na
anawaambia kuwa ikiwa pendo safi la kiungu limeachiliwa mioyoni mwao litaonekana
katika kutoa kwao. Paulo analinganisha usafi wa pendo lao na utoaji wa pesa zao na
kusema kwamba ni kujaribiwa kwa upendo wao. Jambo hilohilo ni ukweli mtupu kwetu
leo hii – iwapo pendo la Mungu mioyoni mwetu litatumika basi inabidi liwe safi kwa
asili yake na kiwango cha usafi wake na lazima kiwe ni kiwango cha utoji wa fedha.
2 wakorintho 7 :8 ' si kwamba ninawaamuru,bali ninataka kujaribu usafi wa pendo lenu
kuhusiana na utoaji wenu kwa wengine'.
Pointi ya mwisho kuhusiana na upendo ni kwamba biblia inatoa onyo kali kuhusu:-
kama vile tukirudi katika kurudi kwa Yesu itakwisha katika maisha ya watu wengi.
Kwa mfano ,tukiongelea hakika ya muda wa kurudi katika dunia, Yesu mwenyewe
anasema katika mathayo 24: 12 'kwasababu ya kuongezeka kwa maasi,upendo wa
wengi utapungua “. Paulo anarithibitisha neno la Yesu katika maelezo yake kuhusu
matukio ya ajabu yatakayo tokea siku za mwisho katika 2 timotheo 3: 1-5;
anaorodhesha baadhi ya vitu watu watakavyopenda:-
- Wenyewe
- Pesa
- Anasa (kuliko Mungu )
Zaidi,anasema katika mstari wa 3 kwamba katika siku za mwisho, watu hawtakuwa na
upendo.
Kwakupitia kuchagu kuachilia pendo, na kulionyesha katika kutoa kwake, mkristo
anaweza kujizuia mwenyewe kuhesabiwa katika wote ambao Yesu na Paulo
wanawaonya kwakutokuwa na upendo.
Nyumba ya maombi kwa mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Makedonia
2,023,580 ya watu,asilimia 63 ni wakristo
wengi wa waislamu wanahitaji kufikiwa
wakristo wanahitaji kubwa la kufundishwa
© http://www.operationworld.org
32. Kuachilia Pesa Huachilia Furaha
Katika bibilia Yako Soma Hapa Kwa sauti: Luka 9:23
Kariri Ayaya Hii: Yohana 27:13 'Na sasa naja kwako namaneno haya nayasema
Page 88
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
ulimwenguni ili wawe na furaha yangu imetimizwa ndani yao.'
Baadaye Zungumzia Hili: Vitu vianavyoweza kutuzuia kujua furaha ambayoYesu
aliijua
Jambao La Kufanya kabla Ya Wakati Mwingie: Soma kuhusu furaha ya Yesu katika
Zaburi ya 45
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika Upande mmoja kuhusisna na kuachilia Pesa
na kuachilia furaha .
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Wafilipi 2:21
Katika Yohana 17:13 Yesu anaonyesha kwamba wote wanaomfuata wanatakiwa kujua
ubora wa furaha ambayo wasio waKristo hawataifahamu -kama vile Furaha ya Kingu
ambayo Yesu mwenyewe alikuwa nayo, Wafuasi wake wanatakiwa kuwa nayo, wakati
wapagani wanayo kidogo, furaha isiyokoma, mKristo anatakiwa awe nayo kwa kiwango
kikubwa, kukaa, kiwango cha furaha ya Mungu. Kwahuzuni,wakristo wengi hawatapata
furaha hii katika maisha yao na hii ni kutokana na hali tofauti, pengine kushikiria pesa
na kuamua kutokutoa kunaweza kuzuia furaha ya Yesu katika maisha yetu.
Sehemu hii itazungumzia hilo kwa kiwango kikubwa, kiasi cha pesa ambacho
tunamtolea Mungu kitadhihirisha kiwango cha furaha ya Mungu kitakachoachiliwa
ndani yetu. Maandiko yanayofuata ni maneno ya Yesu ambayo yatakuwa ni msingi wa
habari katika sehemu hii; hapa, hapa, Yesu anaonyesha jinsi tunavyoweza kuanza
kuachilia uzima na furaha katika maisha yetu. Ni upekee katika Biblia kwamba sehemu
mbalimbali ndani yake imetajwa katika injili zote nne, kwa hiyo Roho mtakatifu
amaweka msisitizo juu yake.
Luka 9:23 'Akawambia wote mtu akitaka kunifuata na ajikane mwenyewe ajitwike
msalaba wake kila situ anifuate, kwa kuwa mtu atakae kuiponya nafsi yake ataingasmiza
na mtu atakaye ingamiza nafsi yake kwaajili yangu ataisalimisha.'
Yesu anaongelea moja ya kichocheo kikubwa kinachomfanya mwanadamu kkuwa
mtumwa na huo ni uchoyo -watu ambao wamejirithisha wenyewe na maisha yao
pasipo wazo kwaajili ya wengine. Yesu angetokea na kusema kwamba zaidi
tunavyokuwa wabinafsi, ndivyo tunavyokosa furaha. Kinyume chake, kadiri
tunavyojitoa na kuwa watoaji, ndivyo kadiri tunavyokuwa na furaha kama tukianza
kugundua kuhusu ukarimu, upendo wa asili ya Yesu utaachiliwa ndani yetu. Si kweli
kwamba watu wabinafsi ndio wanaohangaika kwa urahisi, kuwa na hasira kidodgo,
hisia, kuudhiwa na zaidi ya yote kuwa wasio na furaha?
Page 89
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Ni kanuni ya Ufalme tene kwamba wote wanaotumiwa na faida za ubinafsi wao na
kutawaliwa na anasa zao hawataona au kupata kile wanachokitafuta. Kwa huzuni mtindo
huu wa maisha ya ubinafsi umeonyeshwa katika maisha ya watu wengi ambao wako
bize sana kwa yeyote au chochote licha ya anasa zao wenyewe. Hata hivyo hili siyo
jipya; katika maandiko hapo chini kutoka Wafilipi 2:21 Paulo anakazia mchocheo huu
wa ubinafsi na katika 2Timotheo 3:1-2, Paulo anaoanya kwamba ishara moja wapo ya
siku za mwisho ni kwamba watu watajipenda wenyewe.
Wafilipi 2:21 'Maana wote wnaotafuta vyao wenyewe, sivyo vya Kristo Yesu '
2Timotheo 3:1 ' Lakini fahamu neno hili ya kuwa siku zamwisho kutakuwako na nyakati
maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe wenyekupenda fedha,'
(Ni vizuri kunakili kwamba katika 2Timotheo 3:1-3 ; Paulo anaweka mkazo kuhusu
nyakati za mwisho, kutakuwa mambo ya hatari yakiendelea katika dunia. Nakili
kwamba hatari kubwa ya kwanza mabayo anaiorothesha ni kwama watu watajipenda
wenyewe na ya pili anaorodhesha kuwa watu watapenda fedha. Ingeonekana kwamba
iwapo mtu ni mbinafsi iwe ni uhalisi katika mahusiano yao ya kifedha kama walivyo
wapenda pesa.)
Tunapotumia kanuni hi ya kiroho kwa ajili ya pesa binafsi tunaweza tukaona jinji watu
wanvyotafuta kutuza kila senti wanayopata ili kupata furaha. Bila shaka, tabaka lililopo
kati ya ubinafsi kwa watu na pesa zao ni kubwa- kwa mfano, ni watu wamgapi
wangehuzunika iwapo watapoteza Paundi 10! Nakili mfano zaidi ni jinsi watu
watakavyozungumzia, kukasilika, kupigas kelele, kugomba, na kupigana kwaajili kiasi
kidogo sana cha pesa, siyo mshangao jinsi ambavyo kiasi kidogo sana cha fedha
kinaweza kusababisha mwamko mkubwa.
Ubinafsi utaonekana katika maisha yetu binafsi ya kifedha tutakapo tumia pesa zetu
zote kwaajili yetu wenyewe -tabaka la ubinafsi liweza likavunjika tutakachagua kuwa
watoaji; Kumbuka jinsi yesu alivyosema kwamba tunapomfuata lazima tujikane
wenyewe (Luka 9:23). Mtu anayependa fehda na kutumia kila senti kwaajili yake
hatajua kiwango cha furaha na ukidhi atakaopata mtu mtoaji. Tunapotoa pesa zetu
tunaachilia furaha katika maisha ya wengine inaonekana kwamba Mungu huachilia
furaha katika maisha yetu na hapohapo kiwango cha furaha kinakuwa kikubwa
kwasababu ya kiwango cha utoaji wetu.
Mahusianao haya ya kutoa na furaha yanaweza kuonekana katika mifano ya maandiko
hapo chini ;
1)
1 Nyakati 29:9 'Ndipo hao watu wakafurahi kwasababu wametoa kwa hiyari yao
wenyewe kwa sababu ya ukamilifu wa mioyo kwa hiyari yao wenyewe wamemtolea
Bwana.'
Page 90
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
1 Nyakati 29:20 ' Basi kusanyiko lote wakamuabudu Bwaba, Mungu wa baba zao
wakainama vichwa vyao wakamsujudia Bwana na Mfalme naye.'
1Nyakati 29:22 ' Wakala na kunywa mbele za Bwana siku ile.'
Kinachoonekana hapa ni kutoa kwa wana wa Israel katika hekalu la Daudi. Watu
walipotoa sadaka kubwa namna hii iliachilia furaha kubwa miongoni mwa watu wa
Mungu. Lazima ingekuwa na muonekano mzuri katika kundi, mzuri, wenyefuraha,
furaha, sadaka ya ushirika kwa kutii ; furaha ya kutoa hakika ilikuwa katika yao.
2)
Zaburi 126:5-6 ' Wapandao kwa machozi watavuna kwa kelele za furaha. Ingawa mtu
anakwenda zake akilia azichukuapo mbegu za kupanda hakika atarudi kwa kelele za
furasha.' zaburi injulikana kwa uwazi wakena hapa mzaburi anaelezea jinsi miongni
mwetu tulivyo katika matoleo yetu. Inawezekana ikawa ni vigumu kupand kifedha- hata
katika pointi ya kupanda kwa machozi machoni petu .Hata hivyo, kutoa kunapelekea
kupokea na unapovuna mazao yako inakupatia furaha.
3)
2Wakorintho 8:2 'Maana walipokuwa wakijaribiwa kwa dhiki nyingi, wingi wa furaha
yao na umaskini wao uliokuwa mwingi uliwaongeza utajiri wa ukarimu wao.' Kutoa
kunawezakuwa kugumu wakati wa nyakati nzuri -ni vipi zaidi nyakati ngumu. Wakristo
wa Makedonia walithubutu kutoa zaidi ya umaskini na kuingia katika mpenyo wa
mtiririko wa furaha .
Nyumba Ya maombi Kwa ajili ya mataifa Maskini
Omba Kwa ajili Ya Malawi
10,925,238 Ya watu , 80% Ni Wakristo.
Ukimwi umekithiri nchini.
Uislam unakua na unaweza kusitisha vurugu. © http://www.operationworld.org/
Jambo hilohilo la uwazi wa pesa na ukarimulinapatikana pia katika maeneo mbalimbali
katika Agano jipya kuhusu wapi mahali pa kutoa,hakuna sheria ngumu na haraka bali
kutusaidia kufunguka na kukusudia kutoa mahali linaonekana kuwepo na hitaji.
Efeso 4:28 'Mwizi asiendelee kuiba tena,bali afanye kazi,na kazi yenye manufaa kwa
mikono yake mwenyewe,ili kuwa na kitu cha kumpa mwingine mwenye mahitaji.'
1Timotheo 6:18 'waamuru kutenda mema,wajawe na matendo mema,kwa ukarimu wawe
tayari kushirikiana' Warumi 12:13 'shiriki na watu wa Mungu ambao ni wahitaji.kuweni
wakarimu' Waebrania 13:12 'Na msisahau kutenda mema mema na kushirikiana na
wengine,kwa maana Mungu hufurahishwa na dhabihu kama hiyo.'
Tangu Mungu alipowaita watu wake karne na karne kutoka katika mataifa yote kwa
namna na kwa namna mbalimbaliza kifedha kutoa sadaka kwa watu mbalimbali na kwa
Page 91
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kazi ,biblia haionyeshi sheria yoyote ngumu na ya haraka kuhusu utoaji wa sadaka juu
na zaidi ya zaka.Pengine sheria pekee ni kuwa na Roho ya ukarimu na utayari, na kuwa
tayari na kudhamilia kutumiwa na Mungu katika eneo hili.kama tukitoa zaka na
kutozidisha hata senti basi tutakuwa tumepungukiwa na mema ya Mungu kwa sababu
tumetoa mahitaji kidogo.tunapotoa sadaka kwa ukarimu juu na zaidi ya zaka tunaingia
katika utele wa mema ya Munguna kufanyika njia ya baraka zake kwa watu wengi sana .
Hitaji hili la kuwa na Roho ya ukarimu,utayari na furaha wakati wa kutoa unapofika na
hii inaonekana katika 2 Wakorinto 9:6 'Kumbuka hili:Atoaye haba atavuna haba,na
atoaye kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu.kila mtu atoe kama alivyokusudia kutoa,si
kwa huzuni au kwa lazima maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa
ukunjufu.'Ingeonekana kuwa tunapoanza kukua katika utoaji wetu tungekuwa na kutoka
katika huzuni na lazima hadi katika utoaji wa ukarimu na furaha kwa ajili ya kazi ya
Mungu.kuacha kutoa zaka au kutoa kwa huzuni sadaka kidogo juu yake inaonyesha
kuwa tunapungua katika eneo hili la utoaji na hatufurahii na kutegemea kutoa kama
ambavyo tungetakiwa.
Kwahiyo kwa habari ya swali,ni kiasi gani tunakiwa kutoa,biblia inatuagiza kutoa zaka
kiasi na zaidi ya hapo kutoa sadaka kwa ziada pia.biblia haitupi sheria yoyote iliyo
ngumu kuhusu sadaka zetu zinakiwa ziwe za kiasi gani lakimnni tutakapo komaa katika
eneo hili la utoaji tutakuwa na furaha na kuwa tayari na kutarajia katika matoleo yetu na
hivyo matoleo yetu yatakuwa makubwa na makubwa.Zaidi tutakavyokuwa katika eneo
la utoaji na sadaka,tutaanza kutazamia fursaza kutoa maana sasa utoaji wetu utakuwa wa
furahana shauku ya moyo.Zaidi matoleo yetu yatakavyokua makubwa na sadaka ya kila
wakati,si kwamba tutabariki watu wengi zaidi,bali zaidi tutajibariki wenyewe-Heri
Mungu afanye watu na kazi kuwa njia ya matoleo
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Chad
7,650,982 Ya watu , 55 % ni Waislamu - 22.78 %ni wakristo.
Uislamu na Ukristo inazidi ukipambana kwa ajili ya moyo na roho ya Chad. © www.operationworld.org
23. Sadaka Ya Kuteketezwa
Katika Biblia Yako Soma hapa Kwa sauti: 2 Samweli 24:18-25
Tafakari Aya Hii: Waebrania 13:16 "Lakini msisahau kutenda mema na kushirikiana;
maana sadaka kama hizi ndizo zimpendezazo Bwana.'
Baadaye Zungumzia Hili: Je, ni haki kwa kusema kwamba kama matoleo yetu si hoja
Page 92
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
yetu wao si hoja Mungu?
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Ujao: Kutoa kitu cha thamani mbali ili kupanua
ufalme wa Mungu
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Orodhesha watu wengi kama iwezekanavyo kutoka
katika Biblia walotoa sadaka ya dhabihu
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Wafilipi 4:18
Katika sehemu kuhusiana na utoji wa zaka,ilisemekana kwamba sheria bora ya kufuata
kuhusiana na utoji wa zaka ,ni kwa mba tunatakiwa kutoa zaka ya kwanza na bora
Katika kile tulichokipokea.imejulikana kuwa sadaka zaidi ya zaka,hapa kuhusiana na
sadaka-kwamba sadaaka zetu zinatakiwa ziwe dhbihu.imesemekana kuwa ikiwa sadaka
zetu hazimanishi wingi tulio nao,bila shaka hazita maanisha wingi alio nao
Mungu,biblia mara kwa mara inaongelea Dhabihu na jinsi inavyo fanya kazi ,na pia
inapatikana katika utoaji wa fedha.inaonekana kuwa Mungu hazuili sadaka ya Dhabihu
ya utoaji wa fedha na zaidi tunavyothubutu kwa sadaka zetu,na zaidi tutakavyo
zawadiwa.Kiwango cha sadaka ya utoaji wa fedha ni kiwango cha kopokea kwake na
biblia haitoai sheria maalumu,lakini inaonekana nin kutoa sadaka kuwa Dhabihu kwa
mtoaji na kwa Mungu.Mfano bora wa mtu kumtolea Mungu sadaka ambao ulikuwa
Dhabihu,ilikuwa ni pale Yesu alipojitoa kwa ajili dhambi za Ulimwengu,kwa mfano
Waefeso 5:1 anasema, 'Hivyo mfuateni Mungu, kama watoto wanaopendwa; mkaenende
katika upendo, kama Kristo naye alivyo wapenda ninyi; tena akajitoa kwa ajili yetu,
sadaka na dhabihu kwa Mungu, kuwa harufu ya manukato.' Yesu mwenyewe anajua nini
maana ya kutoa sadaka ya gharama na kile anchotutaka tufanye Yeye alikwisha fanya
kiasi cha kutoa uhai wake.Tuliona kipindi kilichopita kuhusu mwanamke mjane katika
Marko 12:41-44 pengine alitoa sadaka ambayo ilikuwa Dhabihu kama maandiko
yanavyosema kwamba alitoa kila kitu alichobakiwa nacho katika hazina.(kama kawaida
pamoja na Dhabihu yao ya sadaka,hawakufichika na dhahili iligusa jicho la mwana wa
Mungu mwenyewe kama sadaka ya dhabihu yako itakavyomgusa.)
Mfalme Daudi ni moja wa watoaji wakubwa ambao biblia imewanakilina sheria hii
ambayo inatakiwa kuwa dhabihu,ni kitu anachoonyesha katika maisha yake
mwenyewe.Katika 2 samweli 24,baada ya mtiririko wa makosa kukaririwa katika sensa
ya jeshi,Daudi anakutana na ghadhabu ya Mungu na kama matoke anaomba rehema na
matokeo yake anaelekezwa kumjengea Bwana madhabahu juu ya uwanda wa
Arauna.Kwa hekima aliamua kumpunguza sadaka ya Arauna kwa kumpa uwanda wa
kumpumzikia bure na kwa ujasiri ametangaza katika Aya ya 24 'Lakini Mfalme
akamwambia Arauna, La, sivyo, lakini kweli nitavinunua kwako kwa thamani yake,
wala sitamtolea Bwana, Mungu wangu, sadaka isiyo ya gharama.'
Page 93
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Bila shaka,moja ya kanisa aliyoyapendelea Mtume Paulo ni kanisa la ufilipino na barua
zote za ufilipino zilijaa upendo ,furaha na ushirika pamoja na washirika wake.Wafilipi
sura ya 4 ni moja ya kurasa kubwa katika biblia na Paulo anasema hapa kwamba kanisa
la filipi lilikuwa ni kanisa toaji na lilikuwa ni kanisa pekee lililokuwa likimpelekea
sadaka kwa ajili ya Utume wa safari yake. Ni sawa kabisa kwamba wafilipi walikuwa
wakituma zaka zao kanisani na kila mara walipeleka sadaka kwa Paulo na utoaji wa
dhabihu na asili ya utoji huu wa sadaka unaonekana katika Aya ya 18'Ni sada yenye
manukato,na Dhabihu yenye kukubalika,na kumpendeza Mungu.'
Mfano zaidi wa mtu aliyetoa sadaka ya Dhabihu ni zawadi ya Maria ya manukato
aliyotumia kumpaka Yesu,na hadithi hiyo inafanana na Yohana 12:1-6.Hapa Maria
anampatia mwana wa Mungu zawadi yeye mwenyewe na Aya 7 inaonyesha kwamba
zawadi hiyo Maria alikuwa ameitunza.
Zaidi,thamani ya manukato ilikuwa Dinari 300 Mathayo 20:2 inasema kwamba Dinari
moja ilikuwa ni sawa na mshahara wa kutwa kwahiyo thamani ya manukato ilikuwa
mshahara wa miaka.Dhabihu hii ya sadaka kamwe haitasahaurika na sadaka ya Maria
imenakiriwa katika maandiko kwakuwa kubwa mbele ya macho ya Mwana wa Mungu.
Kanuni inyofanana na hiyo ya utoaji wa dhbihu imeonyeshwa na mwandishi katika
waebrania anposema,na msisahau kutenda mema na kushiriki na wengine,kwa maana
kwa dhabihu ya namna hiyo Mungu hupendezwa' (Waebrania 13:16 ).
Kumbuka kwamba yaliyomo ni moja ya utoaji wa kifedha na
Neno'Dhabihu'lililotumika,Mungu anatangaza kwamba hupendezwa wakati sadaka ya
dhbihu inapotolewa na watu wa Mungu.Pengine,mara kwa mara unahangaika (au
pengine hofu)ikiwa Mungu anafurahia maisha yako ya kiroho na kama unafanya kile
Mungu amekuambia kufanya vyema,katika eneo la fedha kama unatoa zaka na na kutoa
dhabihu ya sadaka hivyo kulingana na Waebrania 13:16, Mungu anapendezwa na kile
unafanya.
Pengine mfano bora wa kibiblia kuhusu utoaji wa dhabihu ya zaka ni makanisa ya
Makedonia (rejea katika 2 wakorintho 8:1-6) yaliyochangia kwa ajili ya watakatifu
walioko Yerusalemu.matoleo yao yalikuwa ya kipekee kama Biblia inavyoonyesha aina
tatu za uhalisia kuhusu utoaji.
1)Walitoa kwa FURAHA!(Aya)
2)Walitoa zaidi ya uwezo wao wa kutoa (Aya ya 3)
3)Waliomba watoe matoleo (Aya ya 4)
Bahati mbaya kuna mifano michache siku hizi ya watu kuomba kutoa sadaka kwa ajili
ya kazi ya Mungu ila Wamekedonia walikuwa wakifanya hivyo,na shuhuda
zimenakiriwa na nyakati zote katika maandiko.kutoa dhabihu ni mara chache
kuhubiriwa au kufanyika leo hii.kwa kuogopa kukasirisha au kuhuzunisha
Page 94
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
watu,wachungaji wengi hawazungumzii pesa na utoaji wa dhabihu na hii ni kwa sababu
ya aibu yao na kwasababu marejeo mengi ya maandiko huhusu sadaka na kufungua
mikono kwa ajili ya kutoa fedha.kutoa sadaka kubwa ya dhabihu inaweza isiwezekane
lakini waamini wa Makedonia si kwamba walifanya hivyo bali walifurahia kufanya
hivyo.Hakika waamini hawa walifika kiwango cha utoaji na ujasiri kwa Mungu wao
ambacho baadhi yetu hatutafikia -lakini ni sehemu gani inaweza kuwa ni sababu ya
kuwa na kiwango cha imani ya ajabu.
Kutoa dhabihu ni nadra alihubiri juu au mazoezi leo. Kwa hofu ya upsetting au
kuwaudhi watu Wachungaji wengi hawana kuzungumza juu ya fedha na dhabihu na hii
ni aibu yao kwa sababu ya marejeo mengi maandiko sadaka na fedha wazi- handedness .
Kutoa sadaka kubwa sadaka inaweza kuwa jambo ngumu kufanya lakini waumini
Kimasedonia si tu alikiri kufanya moja lakini alikuwa na furaha katika kufanya hivyo.
Hakika hawa waumini yaliyopatikana ngazi ya kutoa na imani katika Mungu wao
kwamba wachache wetu milele kuifikia - bado ni nafasi gani wa kushangaza ni lazima
kuwa na imani kubwa vile ngazi.
Hatimaye katika kitabu cha Malaki sura ya 1 masuala ya Bwana kukemea sadaka ya
wanafiki ambayo walimtolea na inakaririwa katika Aya ya 14” Kwa maana mimi ni
Mfalme mkuu' Asema mwenyezi Mungu.na jina langu lazima liheshimiwe katika
mataifa yote''. Mungu anafurahia matoleo yetu kwasababu hufunua pendo letu,uchaji
upekee wake ,bahati mbaya wakristo wengi,matoleo yao huonyesha jinsi
wanavyotembea mara chache na Mungu.Hivyo,je! Matoleo yako yanampa Mungu wako
wa Mbinguni heshima? Je! Huwa unatoa matoleo ambayo ni dhabihu? Je! Matoleo
yako yanaonyesha kuwa una mahusiano mazuri na Mungu? Watu wengi wa dunia
hufurahi kulipa pesa zaidi ili kuwa na bidha njema wanazonunua -kama ubora wa pesa
ulivyo na thamani ya juu machoni pa ulimwengu,ubora na utukufu na ukuu wa Mungu
lazima uwe na thamani ya juu kifedha kwa sadaka zetu.
Kwa hiyo,kwakumalizia kwa swali kuhusu ni kiasi gani tunatakiwa tutoe, kuna mambo
kadhaa tunaweza kusema.Katika Agano la kale,pamoja na utambulisho wa sheria,watu
wa Mungu walitakiwa kuwa watoaji zaka na kimaandiko hii inaonekana katika vyanzo
vyote vya mapato na maongezekomaeneo hayo ni kama vile mifugo,matunda,mafuta na
divai mpya.Japokuwa biblia haijamalizia vyema juu ya jambo hili ingeonekana kuwa
kanuni hii ya kutoa ni adhabu ya waamini wapya,Aganojipya linaongea juu ya utoji wa
sadaka ya fedha pia(kwa namna hiyo hiyo ambayo Agano la kale linazungumzia kuhusu
sadaka zaidi na juu ya zaka)
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Kuomba kwa ajili ya Chile
5,211,294 ya watu ,wengi ni wakatoriki
Wakatoliki wanapungua lakini wainjilisti wana wanatengana, ubinafsi, na
Page 95
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kuingilana. © www.operationworld.org
24. Sadaka Hushindaniwa
Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa Sauti : Mwanzo 4:1-16
Kariri Mstari Huu : Mwanzo 15:11 ' Kisha ndege wa kuwinda alishuka juu ya mizoga ,
lakini Abramu akawafukuza
Baadaye Zungumzia Hili : Baadhi ya uongo Shetani kutumia na kuacha watu kutoka
kutoa sadaka
Jambo La Kufanya Kabla ya Wakati Mwingine: Muulize Mungu kuonyesha wazi
nini sadaka anataka wewe kufanya
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mmoja juu ya kwa nini Mungu na
shetani ni hivyo nia katika matoleo yetu .
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii : Waebrania 11:04
Tuliona hapo awali kwamba, sadaka kubwa ina nguvu za kiroho na kwamba Mungu
hawezi kuipinga dhabihu hii na atawalipa wale wote wapandao dhabihu kweke.
Kutokana na nguvu ya kiroho ambayo ni imeambatanishwa katika dhabihu hiiyo
haitavutia to nguvu za Mungu bali pia ni upinzani mkali toka kwa shetani. Dabihu
hupingwa vikali na Shetani , lakini mara tu inapotolewa toka mikononi mwa mtu,
baraka za Mungu huachiliwa kutoka mikononi mwa Mungu.
Muda ambao Mungu anaongea na mtu kuhusu maamuzi ya kutoa dhabihu, had muda
wa mwisho ambao dhabihu inaachiliwa, kunaweza kuwa na mapambano makali
yanayompinga huyu mtu asiachlie. Shetani atahakikisha ametafuta mbinu ya kupanda
mawazo mabaya ya hofu na mashaka na tamaa ya kujaribu kuzuia dhabihu kwa mtoaji.
Chini ni mifano miine ya kibiblia inayoonyesha jinsi dhabihu ilivyokuwa inapinwa na
kushindaniwa na shetani na namna alivyotumia wanadamu mawakala waliojitoa kwake
kwaajili ya kupinga kuachiliwa kwa dhabihu.
1) Kaini Na Abeli - Mwanzo 4:1-16 Kumbukumbu ya kwanza kwa dhabihu kubwa ni ile iliyotolewa na Abeli. (Kwa kweli,
sadaka hii ilikuwa ni maarufu na muhimu kiasi kwamba Waebrania 11:4 inaonyesha
Page 96
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kuwa hili lilikuwa ni tendo kubwa la imani na kwamba Mungu alisema mema kuhusu
ana na sadaka yake. Hakika . Itakuwa baraka ya ajabu siku ya hukumu kwa wale
ambao Mungu atawasifu kwaajili ya sadaka za fedha walizotoa wakati walipokuwa hapa
duniani.)
Kutoa dhabihu yenye ubora namna hii, ilifanya shetani afikirie kuzuia baraka zisimfikie
Habeli na akamtumia Kaini kumuua Habeli na kuvunja nguvu ya sadaka yake . 1 Yohana
3:12 inasema wazi kuwa Kaini iliwasilishwa kwa , na pamoja na kuwa yeye alikuwa
upande wa shetani na shetani akamtumia kaini kupigana na kupinga sadaka ya kwanza
kabisa ambayo ilikuwa inatolewa kwa Mungu. Ni ya kuvutia sana kuona kuwa sadaka
ya kwanza kabisa katika Biblia iliongozwa na mauaji ya kwanza kabisa katika Biblia.
Kwa jinsi hiyo Mungu hawezi kuzuia kutoa dhawabu kwaajili ya dhabihu kama hiyo ,
shetani hawezi kujizuia kupambana dhidi ya sadaka.
2) Abramu - Mwanzo 15:1-20
Hapa, Mungu anahitaji dhabihu dhabihu ya kuteketezwa kutoka kwa Abramu ambayo
hatimaye ilisababisha Mungu kutembea kwa njia ya sadaka na kudhihirisha ujumbe
wake kwa Abramu. Abramu aliandaa sadaka zake , hata hivyo, aya ya 11 inasema
kwamba ndege wa kuwinda walitua na kunyakua sadaka ya Abramu akashinana noa na
kuwafukuzia mbali. Mfano wa mpanzi katika Marko 4:4 , Yesu anafananisha nguvu za
giza kama ndege ambao wanakwapua neno la Mungu liliopandwa ndani ya mioyo ya
watu. Hivyo, haina maana kufikiri kuwa dhabihu ya Abram ilikwapuliwa limwili, je! si
pia ni jambo la kiroho kupitia shetani ambae alikuwa na mawazo ya kumpinga Abram
katika kutoa dhbihu? Abramu akayapinga mashambulizi na akatoa dhabihu yake –
Mungu hupendezwa kiasi kwamba utukufu wake hutembea kati ya dhabihu; Mungu
hawezi kupinga dhabihu!
3)Mariamu - Yohana 12:1-11
Kama Mariamu alivyojiandaa kutoa sadaka manukato yenye gharama kubwa kwa
Yesu,sadaka yake yake ilishindanishwa na shetani,ambae pia alitumia moyo wa
mwanadamu.Moyo huu uliotumiwa ni Yuda -ambae bila hofu alijitoa kwa shetani kama
Yohana 13:27 inavyoonyesha kwamba shetani alimwingia na kumuongoza kumsaliti
Yesu.Mariamu anapotoa sadaka yake Yuda sauti ya Yuda inataka kuchafua sadaka yake
lakini Bwana Yesu anamkemeaYuda na kumpatia Maria haki yeye na sadaka yake.Hata
hivyo,katika mstari inyofuata katika Marko 14:9,Yesu anasema kwamba sadaka hii
kubwa itahubiriwa ulimwenguni kote kama kumbukumbu ya kile alichokifanya.ukweli
ni ule ule hata leo hii kwamba kama mtu anataka kumtolea Yesu sadaka kubwa sauti ya
kudhihaki ya shetani itajaribu kumshawishi asifanye hivyo.Hata hivyo mtu anapo ipinga
Page 97
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
sauti ya shetani na kusisitiza kutoa sadaka kama Maria basi,Yesu humpatia haki.
4) Anania na safira -Matendo 5:1-11 Sadaka ya mwisho ambayo ilizuiliwa na shetani ni ile inayohusu hadithi mbaya ya
Anania na safira.Kwa huzuni,sio kwamba Anania alileta sadaka na kuiweka miguuni pa
mitume,bali aliileta pamoja na uongo na na kuzuia sehemu ya pesa.Tena,Anania
alikuwa amejitoa kwa shetani kwahiyo hamna shaka ikiwa Pita anamkemea anaposema
katika Aya ya 3 ' imekuaje shetani ameujaza moyo wakohata ukadiliki kumdanganya
Roho Mtakatifu'.
Tangia hapo kanisa lilikuwa likiongezeka kwa idadi na kifedha.Kama kanisa shetani
alikua amechanganyikiwa ili kupinga ukuaji huu na anaenda moja kwa moja kwenye
sadaka kwasababu ya nguvu unaotokana nayo.Shetani anafanikiwa kumchafua na
kuharibu sadaka ya Anania na safira na wote wanapigwa na kufa na kanisa la kwanza
linalengwa na mashambulizi ya kiroho kutokana na nguvu za giza.
Kwahiyo sadaka ni dhana ya nguvu ya ajabu kiroho ambayo ina malengo kwa Mungu
na kwa shetani kwa ujumla.Tumeona kuwa wote wanaopinga upinzani wa shetani na
kuendelea kutoa sadaka zao hupokea baraka za Mungu-kama vile Ibrahimu na
Maria.Tumeona kwamba shetani anapofanikiwa katika mapigano dhidi ya sadaka huleta
mauti ya kimwili-kama yulivyoona kwa habari ya Habiri,Anania na
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Colombia
15,941,727 ya watu , 47% ni waKikristo.
Kanisa linatingwa na ibada za mizimu . na uchawi.
Kuna haja kubwa ya shule za Biblia na Mafunzo. http://www.operationworld.org
25. Kazi Ya Umisionari
Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti : Warumi 15:23-24
Kariri Aya Hii: 1 Wakorintho 16:6 'Labda nitakaa kwenu,naam, labda wakati wote wa
barid,mpate kunisafirisha kokote nitakako kwenda.
Baadaye Zungumzia Hili :Kwanini Paulo mara nyingi anayaandikia makanisa na
kuyataka yamsaidie kifedha kwa ajili ya kazi yake ya kimisionari.
Page 98
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine : Kama kikundi, andaeni zawadi kwa
ajili ya mmisionari au kwa ajili ya kazi ya umisionari.
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika : Andika upande mmoja juu ya jukumu mbalimbali
makanisa yaliyochukua kwa ajili ya kusaidia Paulo katika umisionari wake.
Tafakari Neno Kwa Neno Katika Aya Hii : Warumi 10:15
Sehemu zifuatazo zitahusiana na maswali ya nayofanana kuhusiana na zaka ,ni mahali
gani tunatakiwa kutolea zaka zetu.toka mwanzo na ijulikane kuwa biblia inatoa aina tatu
za maelekezo kuhusu mahali pa kuwekeza pesa zetu Wengine asema kuwa zaka
inatakiwa kuwekwa kwenye kusanyiko kuu kama itakavyo onekana baadae, kwa habari
ya wazo la kidunia pengine si sheria mbaya kufuata.Hata hivyo wazee wa kanisa
hufunisha kwa makini washirika wao kutoa zaka makanisani kwao ,wanakuwa
wanafundisha ni nini kanisa linatakiwa kufanya na pesa zao kwa vile makanisa mengi
hayafanyi hasa maagizo yaliyopewa na Mungu.
Ni matumaini kuwa kurasa hizi zitakuwa msaada kwa wakristo ambao wamekuwa mara
zote wakifundishwa kutoa yu katika makusanyiko yao tu na wamekuwa wakifanya
hivyo,lakini hawajawahi kuuliza kuhusu matunda yaliyopo kanisani kwa matoleo yao na
hasa matumizi yake.Hakuna haki ya kibiblia ya kulipa kanisa lisilotii,lisilozaa matunda
na kufanya chochote kwa ajili ya kuendeleza Ufalme wa Mungu na katika mambo
mengi kuzuia .Mamilioni ya paundi yamezuiliwa na uchoyo wa makanisa na watu
kwakutiwa giza wanaendelea kutoa zaka zao-pengine Mungu ana jambo bora na pesa
zako kuliko kuliko kuliwa na kanisa ambalo halimheshimu.
Eneo la kwanza la kutolea ni katika Utume mkuu wa Yesu uliopewa kanisa kwa kupaa
kwake katika mkono wa kuume wa uweza wake juu,ili kuipeleka injili kwa makundi ya
makabila,tamaduni na Lugha ambayo hayajaisikia.Na ina semekana hakuna atakaeisikia
injili mara mbili labda kila mtu hajawahi kuisikia na hata hivyo kanisa linachukuwa
jukumu hilo kuu kwa wote ambao bado hawajahi kuipokea.Hakuna siri kubwa kuwa
makanisa ya magharibi yanatumia kiasi kikubwa cha pesa zao kwa ajili yao
wenyewe,Ukweli ni kwamba Yesu haisubiri magharibi kupokea injili na kuwa na
makanisa na wakristo ndani yake.
Zidi ,ni kiasi hasa kinachotumika kwa ajli ya Uinjilisti kinachotumika mara nyingi kwa
ajili ya kuokoa watu katika kanisa la kijijini kama vile,kupeleka katika maeneo ambayo
tayari ya biblia,makanisa na wakristo.Kuinjilisha eneo la kijijni ni kitu cha muhimu
kukifanya lakini kipaumbele kinatakiwa kuwa kwa wale wote ambao hawana injili na ni
bora kila mchungaji wa kila kanisa kufanya hili ni kipaumbele kikuu na Mungu atabariki
kazi nyumbani.Kama kanisa litaweka utume mkuu kama kipaumbele chao,Mtume
mkuuu mwenyewe atelekeza mambo ya kufanya.Kiuhalisi,kutoa kwa ajili ya uinjilisti
Page 99
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
wa maeneo ya watu waliobaki kufikiwa ni jambo la muhimu kufanya unapotazamia ni
wapi pa kuwekeza pesa zako.
Mtume Paulo pengine ni mtu alie amini kuwa kazi ya umisionari hupatikana katika
mwili wa kristo.Maelezo matatu yaliyonakiriwa chini yanaonyesha kwamba alipokuwa
katika kazi yake ya umisionari akiwa anasafiri hakufanya siri kwamba alitegemea
kupokea msaada wa kifedha kwa ajili ya kazi yake ya umisionari kwa hiyo aliweka wazi
maelezo yake katika mistari hii,haipingiki tabia ya Paulo ya kutegemea kwa ujasiri
waamini wenzake kumsaidia katika kazi ya umisionari wake na tabia ya zamani ya
wachungaji wengi na viongozi wa makanisa wenye tabia yakuwa wapolo na wachungaji
kuomba watu wa Mungu kutoa kwa ajili ya kazi ya Mungu,na wote wanaohitaji pesa
kwa ajili ya wito wa maono/umisionari hawatakiwi kuona haya kuomba ndugu zao wa
kiume na wakike kuwasaidia. Warumi 15:24 'Natumaini kuwatembelea wakati
nitakapopita na kuhitaji msaada wenu kwa ajili ya safari yangu,baada ya kupumzika kwa
muda pamoja nanyi'
1wakorintho 16:6 'pengine nitakaa nayi kwa mud,na pegine wakati wa majira ya
baridi,ili kusudi mpate kunisaidia katika safari yangu,popote nitakakoenda'
2 wakorintho 1:16 'nilipanga kuwatembelea wakati naelekea Makedonia na kurudi tena
kwenu kutoka Makedonia,na kunisafirisha tena kwa safari yangu'
Huduma ya kutumika kama Mtumwa inahusishwa katika sehemu ifuatayo pamoja na
kipawa cha kutoa na kutakuwepo na huduma kubwa kwa ajili ya kusaidia huduma
nyingine na kazi ya umisionari.Na kwasababu si wote walioitwa kama wajumbe,basi
tunakiwa kubeba injili na kuipeleka kwa makundi ya watu wote ambao hawana nayo.Ni
fursa na furaha na mwaliko kwa kila Mkristo kutoa kwa ajili ya kazi ya umisionari na
kuona injili ikipelekwa katika pande za mwisho za dunia.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Colombia
42,321,361ya watu , kanisa linakuwa kwa nguvu
Nchi imeshikiriwa na uuzaji wa madawa ya kulevya, wanamgambo na waasi
bawa waliobakizwa. © www.operationworld.org
26. Maskini
Page 100
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Luka 16:19-31
Kariri Aya Hii: Mithali 19:17 'Amhurumiaye maskini humkopesha Bwana, naye
atamlipa kwa tendo lake jema '
Baadaye Zungumzia Hili : Kwa nini Mungu anasema katika Yeremia 22:16 kwamba
alihukumu hukumu ya maskini na mahitaji yake, huku ndiko kumjua Mungu.
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Angalia maandiko yote
yanayoonyesha mahali Yesu alisema kuwapa maskini.
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mmoja juu ya kwa nini Yesu alitaja
kuwapa maskini mara nyingi
Tafakari Neno Kwa Neno Katika Aya Hii: 28:27 Mithali
Eneo la pili linalotakiwa kufikiriwa kuhusi sisi kuwekeza utoaji wetu ni eneo la
kuwapatia maskini, maandiko menyi yaonya ( kwa makaripio !) Kwamba sisi
tunawapuuzia wao kwa hasara yetu, maandiko hapo chini yanatoa mwaswali katika
baadhi ya makanisa ambayo wako makini kuchunga makanisa yao viti vya mbele na viti
vya heshima wakati uo huo wanapuusia jambo kubwa muhimu la mahitaji ya Binadamu
wanao wazunguka. Labda tuangalie maandiko yenye changamoto juu ya somo hili
katika Yeremia 22:16 'Alihukumu maneno ya Maskini na mhitaji; hapo ndipo
alipofanikiwa. Je! Huko siko kunijua asema Bwana? .
Wakristo wangapi na makanisa mangapi wanaojidai kuwa wamejazwa Roho Mtakatifu
na wenye injili iliyo kamili lakini hawafanyi lolote juu ya maskini na mhitaji? Ni
makanisa mangapi yaliyopo sasa yanayojitahidi kuwa na ubora katika mziki na karama
za kiroho na hata katika mwitikio wa kanisa lao, lakini hawajitahidi kuwa makini
kutunza maskini?
Mithali 14:21 `Adharauye mwenzake afanya dhambi;
Bali amhurumiaye maskini ana heri.'
Mithali 14:31 "Amwoneaye Maskini husuta Muumba wake.
Bali yeye awahurumiaye maskini humhershimu.”
Mithali 19:17 ' Amhurumiaye maskini humkopesha Bwana, naye atamlipa kwa tendo
lake jema.'
Mithali 22:9 "Mwenye jicho laukarimu atabarikiwa;
Maana huwapa maskini chaklula chake .'
Page 101
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Mithali 28:27 'Mwenye kuwagawia maskini hatahitaji kitu;
Bali afichaye mikono yake atakuwa na laana nyingi.'
Mithali 29:7 ' Mwenye haki huyaangalia madai ya maskini;
Bali mtu mbaya hana ufahamu hata ayajue.''
Wagalatia 2:10 'Ila neno moja tu walitutakia, tuwakumbuke maskini; nami neno lilo hilo
nalikuwa na bidii kulifanya.'
Itatokea kama vile rude alivyowainukia viongozi wengi wa kanisa ambao walikuwa
waangalifu kufundiasha kundi lao na walijitoa kwa ajili ya kanisa, ili kujua kwamba
Yesu kamwe hakuonyesha kutoa kwaajili ya kanisa lakini mara nyingi anataja
kuwapatia maskini. Maandiko hapo chini ni maneno yote ya Yesu - wakati wingi
anataja kutoa kwaajili ya maskini hili liko kwenye mawazo kuwa ni kwa kufanya hivyo
ndito upiokeaji wa karama zetu.
Hakika , Kanisa lolote na mKikristo yeyote atakuwa mjinga akipuuzia maneno haya ya
Yesu, kama kanisa lako halitoi kwa maskini, na je! unautajiri kutokana na juhudi ya
kazi za uchumi wa pesa zako? Maandiko , eneo kubwa ambalo Yesu amebainisha kuwa
ni njia pekee ya sisi kuwa wapokeaji wa thawabu ya Utoaji wetu kutoa kwaajili ya
maskini
na wasiojiweza
Mathayo 11:5 (b) 'Na maskini wanahubiriwa habari njema.'
Mathayo 19:21 'Ukitaka kuwa makamilifu, nenda ukauze ulivyo navyo, uwape maskini,
nawe utakuwa na hazina mbinguni '.
Marko 14:7 'Maana siku zote mnao maskini pamoja nanyi, na kila mpendapo, mwaweza
kuwatendea mema.'
Luka 4:18 "Roho wa Bwana yu juu yangu , Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri
maskini hari njema.'
Luka 11:41 ' lakini toeni sadaka vile vya ndani, na tazama, vyote huwa salama.'
Luka 12:33 'Viuzeni mlivyo navyo, mtoe sadaka, jifanyieni mifukoisiyochakaa, akiba
isiyopungua katika mbingu.'
Luka 14:13 "bali ufanyapo karamu waite maskini, vilema, viwete, vipofu, nawe utakuwa
heri.'
Hivyo ni maskini wa namna gani hasa ambao Biblia inazungumzia ? Naam, hapo chini
Page 102
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kuna mtiririko wa watu walitajwa ambao Biblia inazunguzia juu yao na marejeo husika
ya maandiko yanayo onyesha watu hao kimsingi au jamii haina muda wa kuyatumia,
Lakini Yesu , ana haja nao na anataka kuleta Ufalme wake kwao. Wao ni wa mwisho ,
waliopotea , na lakini wao ni milki yenye tuzo ambalo Yesu amelipatia kaniasa uridhi ni
watu ni hawa watu ingawa kanisa na jamii limewa geuzia kisogo ( halitambui kwamba
kwa njinsi hiyo wanamgeuzia kisogo Yesu). Je, ni mantiki kusema kwamba hatuna
upendo kwa Yesu tena zaidi ya watu kama hawa ?
Wafungwa : Mathayo 25:36 , Waebrania 13:03
Kiu: Mathayo 10:42:25:35
Yatima : Kumbukumbu la Torati 10:17 , Kutoka 22:22 , Yeremia 5:28:7:5:22:5 , Zaburi
10:17, Zaburi 68:5 , Zaburi 146:9 , Isaya 01:16 , Yakobo 1:27
Wajane: Kumb. 10:17 , Kutoka 22:22 , Isaya 01:16 , Yeremia 7:5:22:4:1 Timotheo 5:03 ,
Yakobo 1:27
Wageni / Wageni : Yeremia 7:5:22:3 Zaburi 146:9
Kudhulumiwa / taabu : Zaburi 10:17, Isaya 1:17.
Kwa hiyo kama utele huu wa maandiko unavyoonyesha ,kutoa kwa ajili ya maskini ni
jambo la muhimu kufanya ili kuwekeza pesa zetu katika kazi ya Mungu.Hata
hivyo,katika nyakati hizi ambapo kanisa linaelekezwa katika nchi tajiri ulimwenguni
na kupotea,makanisa ya mwisho na machache yanaelekezwa katika sehemu maskini za
kanisa,kutoa kwa ajili ya maskini ni muhimu zaidi.Tena,ni makanisa mangapi
yanayotumia pesa zao katika kuinua washirika wao na kuwapa burudani binafsi wakati
maskini ulimwenguni wanatupwa na kukataliwa na kanisa ? Yakobo 1:27 inaonyesha
kwamba kuwasaidia yatima na wajane ni sahihi kabisa na si kosa mbele za
Mungu,kama tungetaka kumjua Mungu tungekuwa watu wanaotenda kulingana na dini
safi na tungefanya kwa kuwapa maskini.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Kongo
2,943,464 ya watu , 91% ni wakristo,
Ukomunisti umeacha alama yake katika kanisa – baadhi ni maeneo yasiyofikiwa .
© www.operationworld.org
27. Makanisa / Wahudumu
Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti : 1 Timotheo 5:17-18
Kariri Aya Hii: 1 Wakorintho 9:14 `Bwana aliagiza kwamba wale wanaohubiri Injili
Page 103
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
lazima wapate maisha yao kutoka katika injili '
Baadaye Zungumzia Hili : Je, tunatakiwa tutoe pesa zetu zote kataka makanisa
tunayohudhuria mara nyingi.
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Ujao: Fanya jambo kwa ajili ya kumbariki mtu
anaekuhudumia neno la Mungu mara nyingi.
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika : Andika upande mmoja kuhusu eneo ambalo kanisa
linatakiwa kutumia pesa zake kwalo.
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Wagalatia 6:6
Eneo la tatu kuzingatia ni kwamba Biblia anawaelekeza waumini kutoa katika kanisa
ambalo wanahudhulia kila mara kwa mfano,Malaki 3:10 inawainua watu wa Agano la
kale, 'Toeni zaka kamili gharani'. Hapo ingeonekana kimaandiko sababu ya kutoa mara
katika kusanyiko.
1. Wote walioihudumi injli kwa uwaminifu na kufanya kazi ya Mungu kwa muda wote
hupokea malipo ambayo ni kanuni iliyowekwa na Mungu (hii inapatikana katika sheria
ya Agano la kale kutoa kwa ajili ya kusaidia makuhani /walawi kwa mfano
.kumbukumbu la torati 14:27: 29;1-2: 2mambo ya nyakati 31:4-20)
2. Pesa zinazotolewa zitasaidia kwa ajili ya kutunza na mabo yanayohusiana na kanisa
ambalo linakabiliana kwa uwazi na mahali ambapo hamna wakristo ili kukutana na
waumini na (ni matumaini) na injili.
Hivyo sababu ya kwanza kutoa katika kanisa ni kwa ajili ya kutoa mahitaji ya kifedha
kwa wote wanaoshiriki neno la Mungu pamoja nasi (mara nyingi ni mchungaj) kwa
mfano, wagalatia 6:6 inasema,kila anaepokea maelekezo katika neno la Mungu ni
lazima ashiriki mema yote na muelekezaji'. Makusudio ya andiko hili ni kwamba ni
lazima tuwe katika kanisa linalotoa maelekezo kila mara kwa neno la Mungu na kwa
kupitia kutoa katika kanisa pesa hizi zinapelekwa kwa mchungaji /mzee wa kanisa
ambae amefundishwa neno la Mungu.Kwa habari ya wazee wanaolihudumia neno la
Mungu kanisani,Paulo anaiweka Nuruni kanuni hii na kusema kwa uwazi kwa habari ya
wazee wanaolihudumia neno la Mungu. 1 Timotheo 5:17-18 inasema, 'Wazee watawalao
vema na wahesabiwe kustahili heshima mara dufu; hasa wao wajitaabishao kwa
kuhutubu na kufundisha. Kwa maana andiko lasema, " Usimfunge kinywa ng'ombe
apurapo nafaka,”
Na tena mtenda kazi astahili ujira wake.”
1Wakorintho 9:7-14 ni fungu la maandiko Paulo anapozungumzia kanuni hii ya utoaji
mahali unapolishwa anapoongelea huduma yake kwa mfano, katika Aya ya 11
Page 104
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
anasema,ikiwa tumewapandia vya rohoni je! ni neno kubwa tukivuna vyenu vya
mwilini'. Paulo anapokuwa na matarajio yakupata msaada wa kifedha kwa
kuwahudumia kiroho, aliamua kutokupokea ili asiizuilie injili (hata hivyo,aliiweka
kanuni hii kwa ajili ya makanisa ya ufilipino kama vile, wafilipi 4:11-19 ) .zaidi kabisa,
Paulo anaelezea kuhusu wahudumu wa muda wote wa injili kwamba wanatakiwa
wapokee msaada kutoka kwa waamini anaposema katika Aya ya 14 'Bwana ameamuru
kuwa wote wanaoihubiri injli wanatakiwa kupata maisha yao katika injli'
Makanisa mengi hayalishi watu, cha zaidi ambacho waumini wanaweza kutarajia ni
kipindi cha dakika ishirini katika wiki utani kuliko maandiko. kama kila mkristo
angefuata utaratibu huu basi ingesaidia kuondoa wachungaji wasiozaa matunda ambao
hawalihudumii neno la Mungu kwa uwaminifu na pia ingeondoa makanisa yasio na
matunda ambao wanadanganya watu wao kwa neno la Mungu. Pengine ni kwasababu
makanisa mengi hayalishi waumini wake kwasababu ya kuwepo na mafundisho mengi
ya huduma ambayo yamebarikiwa na Mungu?
Sababu nyingine ya kutoa ni kwa ajili ya kutunza na kupanua makanisa kulingana na
utoaji na shuhuda zinazoonekana kwa wale wasiokoka. Kumbukumbu ya andiko hili
ni kuhusu kujenga hekalu Kutoka 25:1-8 Mungu aliopomuamuru Musa kuchukua
sadaka miongoni mwa wana wa israeli na kumjengea hekalu na mfano zaidi ni ujenzi
wa hekalu la Daudi na Suleimani katika 1mambo ya nyakati 29:6-9. na mfano wa
nyakati hizi ungekua kutazama kanisa ambalo linakuwa sana kwa wale wanaokolewa
lingekua hitaji la kupanua kanisa na hapo inasemekana kuwa wale wanaohudhulia
kanisa hilo wanatakiwa kutoa kw ajili ya upanuzi wa kanisa. Kwa huzuni, kanisa lililo
beba mzigo wa umaskini linaweza kuwa kizuizi kwa wasio amini na wanaweza kuacha
shuruti kuwa
wakristo hawajajiandaa kuweka pesa zao mahali mdomo ulipo.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Ivory Coast
14,785,832 ya watu , 38 % ni Waislamu
Kanisa na Uislamu umeona ukuaji na wanashindana kwa ajili ya ukubwa .
© www.operationworld.org
28. Waumini Wenza
Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: James 2:14-17
Page 105
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Kariri Aya Hii: Wagalatia 6:10 ' Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi a tuwatendee watu
wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.'
Baadaye Zungumzia Hili : Kwa nini Biblia inaweka msisitizo juu ya kutoa kwa
wafuasi wenzetu ndugu na dada?
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine : Katika maombi, Muombe Mungu
ili akuonyeshe ndugu / dada katika Kristo, utakaoweza kuwahudumia.
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mwingine juu ya hoja ambayo
twapaswa kuipa kipaumbele kwa ndugu wenzetu na dada katika Kristo.
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: 1 Yohana 3:17
Hatimaye , eneo moja la mwisho kuangaliwa ni utoaji wa fedha kwa Wakristo wenzetu,
maandiko matatu chini ni magumu kusoma wakati mwingine, na yanapanua kanuni
hiyo yaani, kwamba moja ya alama ya Wakristo wa kweli ni wale wanaojibidisha katika
kuwabariki Wakristo wenzao ambao ni wahitaji, ( ona kwambaneno 'Ndugu ' linatumika
kwa wote) . Pia ni vizuri kukumbuka kwamba sehemu kubwa katika Biblia nzima juu ya
kutoa (2 Wakorintho 8:01 -9:15 ) inahusika na suala la kupeleka sadaka kwa watu wa
Mungu maskini katika Yerusalemu
Mathayo 25:40 'Na Mfalme atajibu, akiwaambia, Amini, nawaambia, kadiri
mlivyomtendea mmojawapo wa hao ndugu zangu walio wadogo, mlinitendea mimi.'
Yakobo 2:15 ' Ikiwa ndugu mwanamume au ndugu mwanamke yu uchi na kupungukiwa
na riziki, na mtu wa kwenu akawaambia, Enendeni zenu kwa amani, mkaote moto na
kushiba, lakini asiwape mahitaji ya mwili, yafaa nini?'
1 Yohana 3:17 ' Lakini mtu akiwa na riziki ya dunia, kisha akamwona ngugu yake ni
mhitaji, akamzuilia huruma zake, je! Upendo wa Mungu wakaaje ndani yake huyo?'
Katika Agano la Kale kuna hata amri kwamba kuwafundisha watu wa Mungu kwa
karibu kuonyesha upendeleo wa kiuchumi kuelekea Wayahudi wenzao dhidi ya wageni
katika nchi yoyote . Kwa mfano, katika maandiko ya chini, si kwamba Mungu aliagiza
Wayahudi kwa wenzake ili kuleta tofauti kwa walio wageni wageni lakini kuna ahadi
kwamba yeye atawabariki watu ambao kufanya hivyo! Kwa hiyo, sisi lazima kwenda
nje ya njia zetu na kupanua tija ya ukarimu na hasa kwa Wakristo wenzetu.
Kumbukumbu 23:20 ' Mgeni waweza kumkopesha kwa riba, ila usimkopeshe ndugu
yako kwa riba, ili Bwana, Mungu wako, apate kukubariki katika yote utiyayo, mokno
wako,'
Page 106
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Yesu mwenyewe anatia moyo kanuni tunayopaswa kuitafuta na kuwabariki ndugu
wafuasi wenzetu na kuna ahadi nyingi za baraka kwa wale watakaofanya hivyo Marko
9:41 anasema, ' Kwa kuwa yeyote atakaye wanywesha ninyi kikombe cha maji, kwa
kuwa ninyi ni watu wa Kristo, amini, nawaambia, hatakosa dhawabu yake.' Paulo pia
anaifuata kanuhiyo pale asemapo katika Wagalatia 6:10 ' Kwa hiyo, kadiri tupatavyo
nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.'
Je, si wengi, ndugu na dada katika Kristo ambao wanamlingano wa hali kama wale
wote wanaoelezewa katika maandiko ya hapo juu? Na si Mungu anayetuita baadhi yetu
kuweka imani yetu katika matende na kufanya kitu juu yake ? -bila shaka tuko wengi.
Wakristo maskini wanaotarajia msaada wa Wakristo matajiri toka Magharibi kwa ujumla
wanatoka nchi ambapo kanisa linakabiliwa na ukuaji mkubwa -nini motisha buli
lazima kwetu sisi kuwa na jukumu la kupeleka kuwasaidia wao na kuona fedha zetu
zinakwenda mbali kupanua Ufalme katika mataifa hayo.
Kwa mfano, katika nchi ya Burkina Faso katika Afrika, gharama ya kulisha mtoto katika
kituo cha watoto yatima kimisionari inafikia 6pence kwa siku siku -kwa njia ya zawadi
kutoka kwa Wakristo matajiri, kazi hii ya Mungu miongoni mwa watoto yatima
tunaweza kuona elfu kutunzwa na maelfu kuletwa kwa Mkristo katika kuweka- fursa ni
kutokuwa na mwisho, na hakika Mungu atakuongoza wewe kuwekeza kwenye miradi
mizuri. Tena, makanisa mengi ya natoa kwa ndugu na dada katika Kristo-wao
wanatunza hayo yote kwaajili yao wenyewe ! - tumeitwa kutoa kwa Wakristo wenzetu
walio wahitaji, si kuwapendeza wakristo matajiri kwa kujenga makanisa ma kubwa na
yenye kiwamgo kizuri zaidi. Je, si ni kesi kwamba Wachungaji wengi na Wazee
wanaficha uwajibikaji unao wapasa wenyewe na itakuwaje katika siku ile ya huku
wakiwa wanatenda mambo kama haya?
Hivyo katika hitimisho Biblia inatoa maeneo matano ambapo sisi tunapaswa kufikiria
kuyatolea kifedha.
Agizo Kuu / Kazi ya Umisioni
Maskini
Kutoa kwa wale wanatulisha sisi ( katika muktadha wa mkutano wa ndani)
Kutoa kwa ajili ya Miradi ya ujenzi / Upanuzi wa kanisa
Kutoa kwa jamii ya waaminio
Je! Nizipi kati ya hizi zinapaswa kuchukua kipaumbele? kama ilivyoelezwa katika
mwanzo wa sura hizi Biblia inatoa mwelekeo ila kukwepesha. Inaweza alisema kutoka
Malaki 3:10 kwamba tunapaswa kuleta zaka zetu kwenye mkutano wa ndani
tunaohudhuria vjzuri, kama kanisa lako linawawezesha wamisionari, linalisha maskini
na kuwasaidia jamii ya waaminio inaweza kuonekana kuwa ni muongozo mzuri
Page 107
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
unaopaswa kufuatwa katika halisi itakuwa ni kesi ya kwamba mkutano wa wenyeji
ungekuwa ni uzinduzi wa mafuriko ya baraka duniani kote waumini wenyeji wanaweza
wote kushiriki kikamilifu kayika kazi ya Mungu. Bahati mbaya, kama uongozi wa
kanisa uwe na roho zilizopooza na zilizofungwa kwa kuhofia kuhusu mahitaji ya kanisa,
hao watakuwa wanazuia baraka zilizoachiliwa duniani kote.
Hivyo, n nini kama kanisa lako haliwajibiki chochote kwa ajili ya umisioni duniani na
wala hililishi na kuwajali watu wachaech waliookoka- na kuendelea kutoa? Hii litakuwa
ni jambao lanalohitaji maombi kumtafuta Mungu kwa ajili ya uongozi wake labda
asilimia ya zaka inaweza kwenda katika mkutano na kinachobakia kikusanywe kwaajili
ya kazi ya umisioni duniani na kulisha maskini na jamii ya waaminio wanaohangaika.
Hatuitwi kutiwa upofu kubeba zaka zetu mwaka hadi mwaka kwenye makanisa yasiyo
zaa matunda na sisi tukakuwa ni waendelezaji wa shirika lisilozaa matunda. Je, wewe
unafurahia mahali utapotoa pana zaa matunda na pana stahili kwa pesa yako unaytoa?
Hili linaweza kuwa ni swali gumu kwa wengine lakini ni si kesi kwamba tunapaswa
kuwekeza fedha zetu katika matunda, si pasipokuwa na matunda, makanisa, na umisioni
na Huduma?
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Kroatia
4,472,600 watu, 94. 43 % ni Waislamu
Mateso mengi kutokana na vita lakini Ushuhuda wa wa kristo unaimarishwa kwa
jitihada za amani. © www.operationworld.org
29. Maadui
Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Kutoka 23:04
Kariri Aya Hi : Mithali 25:21 "Adui yako akiwa na njaa , mpe chakula;
Tena akiwa na kiu, mpe maji ya kunywa '
Baadaye Zungumzia Hili : Tunawezaje kuweka katika vitendo kutoa kwa maadui zetu.
Jambo La Kufanya Kabla Ya wakati Ujao : Kama inawezekana, tafuta watu ambao
wana, au ni wapinzani wako jaribu kuwabariki kwa njia fulani.
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika : Andika upande mmoja juu ya jinsi ya kutoa kwa
Page 108
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
maadui zetu kuimarisha ya nguvu ya kuhubiri injili kwa ajili yao.
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Luka 6:35
Kuna eneo zaidi kwamba tunapaswa kufikiria kuwapa kwamba kuonekana kuwa nadra
kuliko kawaida na kwamba ni kutoa kwa maadui wetu na wale wanaotupinga, na
ujumbe wa Yesu. Kama Wakristo tunapaswa bila shaka una maadui hakuna hata hivyo
kutakuwa na wale ambao ni kinyume na sisi katika njia sawa kwamba kuna wale ambao
walikuwa kinyume na Yesu. Inaonekana kwamba kwa njia ya kutoa yetu na ukarimu
wetu tunaweza kugeuka maadui hawa ndani ya marafiki na kushinda yao juu ya sisi ( na
Yesu) kwa kushinda upinzani wao na upinzani pamoja na Kristo -kama upendo na
ukarimu.
Mfano wa kwanza wa kibiblia wa utoaji kwa maadui zetu, unapatikana katika Mwanzo
sura ya 26 katika hadithi ya Isaka. Isaka alikuwa mtu ambaye alitembea katika baraka ya
Mungu aya ya 12 inaonyesha kwamba siyo tu alipanda na kuvuna mara mia lakini pia
alifanya hivyo wakati nhi ilipokuwa na njaa. Katika mistari 19-21 Isaka alijionea
upinzani kutoka kwa Wachungaji wa Gerari na mara mbili wakati akijaribu kuchimba
visima na kuteka maji, waligombana naye na kumzuia. Pamoja na kuwa Abimeleki
ambaye alikuwa Mfalme juu ya eneo la Gerari alikuja na kufanya usuluhisho na Isaka
hakuna alichofaulu kwao ila alitengenea tatizo jingine liliendelea wakaiendea nji yao ya
kawaida asubuhi iliyofuata.
Inaonekana kwamba kama Isaka alikuwa anakwenda kuendelea katika mafanikio ya
Mungu wake aliyempa mafanikio aliyokuwa nayo kutoa na kupanua ukarimu kuelekea
maadui zake. Kama tunavyosoma katika Mwanzo tunaona mtu mwingine ambaye
alikwenda katika baraka za Mungu na ambaye pia alitoa kwa wale ambao wanampinga,
alikuwa ni Yusufu hadithi ya Yusufu ni moja ya hadithi inyotoa mwanga zaidi katika
Biblia. Ndugu zake Yusufu wakamuonea wivu na wakamuuza katika utumwa Yusufu
Yusufu alitoka kwa mmjawapo aliyeona ndoto toka kwa Mungu kwa kuwa katika
utumwa katika taifa la kigeni. Yusufu alikuwa na kila sababu ya kuwa na uchungu na
kutosamehe dhidi ya ndugu zake lakini kama tutakavyoona anachagua msamaha na
ukarimu kuelekea ndugu zake kinyume na chuki. Usidharau mtu mwema! Mtu akiwa
amebarikiwa na Mwenyezi Mungu kamwe hawezi kmshusha bali atainua hata katika
matatizo yachukizayo na kwa kuingilia kati kwa Mungu Yusufu alitolewa kwenye jela
ya Misri na kuwa na kuwa mtu wa pili wenye mamlaka katika nchi yote ya Misri.
Baadaye akakutana na ndugu zaka ambao hata hawakuweza kumtambua na bila kujua
kuwa yeye alikuwa na uwezo mkubwa wa kujilipiza kisasi lakini alidhihirisha Roho ya
Kristo, na katika Mwanzo 45:1-11 tunaona yeye anaapa kuwalinda wote na katika
Mwanzo 50:19-20 yeye - anathibitisha nadhiri yake kwa ndugu zake. Isaka na Yusufu ni
waeili katika takwimu ya Agano la kale ambao si tu walitembea katika baraka za
Mungu lakini pia walitoa kwa wale ambao waliwafanyia mabaya na kuwapinga.
Page 109
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Pamoja na kuanzishwa kwa sheria ya amri ya kupanua wema kuelekea maadui zako ,
iliyotolea na Mungu kwa watu wake (angalia Kutoka 23:4 ) na haja ya kutoa kifedha
kwa maadui zetu inaonekana katika Mithali 25:21 "Adui yako akiwa na njaa mpe
chakula; tena akiwa ana kiu mpe maji ya kunywa; Maana utatia maka ya moto kichwani
pake; Na Bwana atakupa thawabu.'
Tazama jinsi nukuu hii inavyoonyesha kwamba Mungu atawalipa wale wanaotoa kwa
maadui zao. Kadiri tunavyokuwa watoaji katika kazi ya Mungu, Biblia inasema
tutapokea malipo kutoka kwa Mungu-vile vile hata tunapotoa kwa maadui zetu!
Hatimaye Paulo analeta nukuu hapao juu kutoka Mithali katika Warumi 12:20
kuonyesha kuwa ni sehemu yetu ya kuhubiri kwa watu wasiookoka na kwa njia ya
kutenda mema na kuwapa adui zetu tunaweza kuwavuta na kuwafanya kuwa marafiki na
kuwafanya pia kuwa marafiki wa Yesu. Aidha katika injili ya Luka , Yesu mwenyewe
inafundisha upendo na vitendo kutoa kwa maadui zetu, katika Luka 6:27-36 tunaona
kwamba wale ambao wanaachilia upendo wa kweli wa Kristo kwa maadui zao,
watawakopesha bila kutarajia kurudishiwa na watawafanyia mema. Tukihamia katika
Luka 10:30 mfano wa Msamaria mwema hapa tena Yesu anazungumzia upendo kwamba
wafuasi wake watakuwa nao kwa wale ambao ni maadui zao – Je! Na wewe
umegundua kuwa Msamaria Mwema sio tu alitoa srafu ya fedha- kwenye nyumba ya
wageni lakini pia alikuwa tayari kulipa gharama zote ambazo zingezidi - (Mstari 35). Ni
wazi kuwa kutoa kwaajili ya adui zetu inaweza kuwa siraha muhimu katika uenezaji
wetu wa injili katika makundi ya watu maadui wa injili na injili itaenda hata mwisho wa
dunia. Ilielezwa katika mwanzo wa sehemu hii kwamba ynaonekana kuwa kutoa kwa
maadui zetu inawezakutokea kuwa nadra kuliko kawaida hivyo ni jinsi gani tunaweza
kufikisha
tendo hili kwa walengwa wetu?
Pointi hii inazungumzia kuwa utoaji wetu unatakiwa ulenge utume wa ulimwengu wote
ili kuokoa wanaume na wanawake katoka kuzimu kama inavyotakiwa na sin kumpa
mtu au mahali ambapo kuna zaa matunda ya kutosha kwa ajili ya Ufalme wa Mungu.
Pengine yawezekana ikawa ni kwa ajili ya mtu anaefanya kazi na watu katika nchi
ambao ni tofauti na dinihiyo ambayo ni vibaya na kinyume na injli.Unaweza ukampatia
mtu ambae ni mmissionari na huyu mmissionari akatumia hizo pesa kununulia chakula
na madawa huenda kama kuna njaa au hali ngumu mahali wanapofanya kazi.Aina hii ya
upendo inaweza kuyeyusha mioyo ya wote ambao huipinga injli Pointi imekuwa
inasemea kuwa utoaji wetu wote waliokuwa wakiipinga injli na kufungu mioyo yao
kuipokea injli ambayo inafundishwa katika nchi za Afrika kusini na Afrika magharibi ya
kati ambapo kuna upinzani mkuu wa injli, matumizi ya pesa kuleta chakula na madawa
yanaweza kuwa mlango wa injli kuhubiriwa .
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Cuba
Page 110
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
11,200,684 ya watu , 46% ni wakristo
Ukuaji wa kanisa umefunika ukuaji wa miaka 40 iliyopita zaidi.
© www.operationworld.org
30. Fedha Ni kigezo Cha Mungu
Katika Biblia Yako Soma hapa kwa sauti : Luka 12:34
Kariri Aya hii : Luka 16:11 "ikiwa haujawa mwaminifu katika kutunza makli za
duniani,ni nani basi atakaekuamini klwa ajili ya utajiri wa kweli”
Baadaye Zungumzia hili: Ni kiwango gani pesa ni kigezo katika maisha yetu ya
kikristo?
Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine: Omba kuhusu kuiwango chako
chako cha utoaji kinavyoonyesha namna unavyofa kazi na Mungu.
Kazi ya diploma ya kuandika : Andika upande mwingine namna ambavyo pesa ni
kigezo katika misha ya ya mkristo
Tafakari neno baada ya neno katika Aya Hii: Yakobo 2:17
Baada ya kuona haja ya kuwa watoaji,na ni kiasi gani na ni wapi pa kutoa pesa zetu,eneo
hili litaangalia sababu nyingi na faida za kutoa pesa zetu.tunapotazama sababu na faida
za kutoa na gharama tunazokumbana nazo kwa kutokutoa kwakweli ni linaweza kuwa
jambo ambalo hatuwezi kulitatua sisi wenyewe na hivyo tutataka kuwa watoaji. Katika
maeneo fulani inaonekana kuwa Mungu hutumia pesa zetu kuimarisha maisha yetu ya
kikristo na kwakutathimini hali zetu za kifedha tunaweza kuona sisi wenyewe hali
yetuya kutembea na Mungu. Si kwamba pesa zinazotolewa kwa Mungu zinatusababisha
kuishi maisha yetu ya kila siku tu bali zinatumika kama kigezo kwa Mungu na kwetu pia
kuhukumu na kusimamia maisha yetu ya kikristo.
Eneo la kwanza ambalo pesa husimamia ni kwamba pesa huonyesha kweli kama
tunamtumikia Mungu au kama tunamtumikia mungu asiye kweli wa pesa,Mungu
ametangaza mwenyewe kuwa ni Mungu mwenye wivu na kwamba hatavumilia kutuona
tunamwabudu mwingine.Katika luka 16:13 Yesu anasema kuwa pesa ni mungu asie wa
kweli ambae watu wanamwabudu na sisi wakristo hatuwezi kusema kuwa tunamwabudu
Mungu na huku tunaabudu pesa. Mafarisayo ni kundi kubwa la watu lililopenda na
kuabudu pesa badala ya Mungu na katika luka 11: 41, Yesu akasema kuondoa pesa
katika maisha yao ni kuanza kuwapa masikini na kujisafisha na vinyago.Kwahiyo si
jambo kwamba pesa zinaonyesha kuwa ni aina gani ya Mungu tunaemwabu? Wote
Page 111
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
wanaotoa kila mara katika Ufalme wa Mungu wanamwabudu Mungu wa kweli wakati
wale wasiotoa wakiwa wanaonyesha ni aina gani ya Mungu wanaemwabudu .
Eneo la pili ambalo pesa huimaisha ni mioyo yetu, Yesu anathibisha kwamba amri
kubwa ni kumpenda Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote
na kwa akili zako zote (Mathayo 23:7). Yesu pia anatangaza katika luka 12:32-34
kwamba zilipo hazina zetu ndipo mioyo yetu itakapokuwa na chochote tunachowekeza
pesa zetu kwa pesa ndicho mioyo yetu inatamani na kuwa na shauku nacho.Ikiwa
tutawekeza pesa zetu katika kazi ya Ufalme wa Mungu basi tutakuwa tunaonyesha kuwa
tamaa na shauku na hisia za mioyo yetu ni katika Ufalme wa Mungu.Ikiwa kama
wakristo hatutoi kwa ajili ya kazi ya Ufalme wa Mungu basi tutakuwa tunaonyesha
kuwa mioyo yetu ina upendo kidogo sana ,hisia na matamanio yetu kwa Mungu na ukuu
wa Ufalme wake.Tutatumia pesa zetu kwa vitu vinavyopendeza na maalumu kwetu na
kuwekeza mambo yetu ya pesa kwako na kwa Mungu inaweza kuonyesha ni nini hisia
sahihi na tamanio la moyo wako.
Eneo lingine ambalo pesa himarisha katika maisha yetu ya kikristo ni katika ene la
Uwaaminifu.imeelezewa kale mifano miwili na Yesu kuhusiana na pesa- kama vile
mfano wa Talanta (mathayo 25:14-30) na mfano wa mjumbe mwenye hekima (luka
19:12) na ni katika mifano hii tunarudi. Yesu angeweza kuoweka maeneo mengi ambayo
tungeza kushudiwa nae kuwa uwaaminifu,kuendelea kwa kanisa,utakatifu na wema ulio
na haya yote mema ,aliona asisitize juu ya pesa kama uimara wa uwaminifu.
(Watu wamekuwa wakisema kuwa mifano hii miwili inahusu karama zetu,taranta na
uwezo na pengine ni jambo la muhimu kufanya hivyo.Pengine eneo linalo husiana nalo
ni pesa kama taranta na wakili mwaminifu ikihusiana na siku kuuzwa Yesu na katika
mathayo 25: 27 na luka 19:23 itifaki ni ileile ya kuwekeza pesa na kupata riba hakika
huwezi kufanya hivyo kwa habari ya karama ya kiroho au karama uliyopewa na Mungu
). Hii inahusiana na uwaaminifu na pesa zinaongelewa kwa kirefu na Yesu katika luka
16: 11 Anaposema , kwahiyo ikiwa hukuwa mwaminifu katika kutunza mali ya
duniani,ni nani atakaekuamini kwa habari ya utajiri wa kweli'. Kwahiyo ikwa tunasema
sisi ni waaminifu kwa Mungu na Ufalme wake na bado hatuwekezi na kutoa pesa zetu
kwa ajili ya kazi ya Mungu hapo tunajidanganya wenyewe.
Eneo la upendo ni jambo la muhimu katika maisha yetu ya kikristo ambalo pesa
himarisha. 1Wakorintho 13:13 inasema kwamba nguvu kubwa duniani ni upendo na
ikiwa tunahitaji kumfuata Yesu,zaidi ya yote,lazima tuachilie pendo la Mungu katika
maisha yetu maandiko yanayofua yote yanaonyesha ukuu wa pendo.
Yohana 13:34 'Amri nawapeni:mpendane.kama nilivyowapenda ninyi,basi nanyi
pendaneni.ili watu wote wafahamu yakwamba ninyi ni wanafunzi wangu,endapo
mtapendana'
Page 112
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
1 yohana 4:7 'Natupendane, kwa maana pendo latoka kwa Mungu'
1petro 4 :8 'zaidi ya yote pendaneni,kwa sababu upendo husitiri wingi wa dhambi '
1yohana 3:14 'tunajua kwamba tutoka katika mauti kwenda uzimani,kwakuwapenda
ndugu zetu.
Tunapokuwa wakristo,Warumi 5:5 huwa inaonyesha kuwa Mungu amelimimina pendo
lake mioyoni mwetu na ukristo wetu unaanza kufanana na ukuu wa asili ya
upendo.tena tunakuwa ni njia ya Mungu kupitia kuachilia pendo hili kuwinda
ulimwengu kadri tunavyomruhusu kristo- kuachilia upendo na kulionyesha katika
maisha yetu . Eneo hili kuu la upendo ni muhimu kwamba tunatakiwa makini sana
(kama sio tayari) kwamba tunaachilia pendo la Mungu na Biblia inasema kwamba kutoa
kwetu ni udhihirisho wa kuachilia pendo la kristo.Kwa mfano: 1yohana 3:17
inasema,ikwa mtu navyo na ndugu yake muhitaji wala asimsaidie ,ni namna gani pendo
la Mungu linaweza kuwa ndani yake?
Kumbuka, warumi 5:5 inaonyesha kwamba kama wakristo hatuna uoendo wa
kibinadamu,lakini kil;e kinachotutenganisha na wale wasio wakristo ni upendo wenye
asili ya Mungu mioyoni mwetu ambao unajifunua kwa vitendo kwa muonekano wa
kristo. Hata hivyo,Aya ya hapo juu inauliza swali kwa yule mtu anaesema kuwa ni
mkristo lakini hatoi kwa maskini 'Ni namna gani pendo la kristo linawez kuwa ndani
yake ? Katika eneo la upendo tunaweza kusema kuwa kiwango cha upendo wa Mungu
kinachoachiliwa mioyoni mwetu ni sawa na kiwango cha pesa kinachoachiliwa
mikononi mwetu. Kadri tunavyotoa pesa ndivyo kadri kiwango cha upendo wa Mungu
kinavyopanda mioyoni mwetu na katika maisha yetu.
Eneo linalofuata ambalo pesa inaimarisha ni lile la imani yetu kama tulivyoona hapo
kale kama Biblia inavyosema maneno yaliyokaririwa kuhusu kuachilia imani na hivyo
na hivyo ni lazima tuhahikikishe imani yetu inakuwa kwa viwango vya juu -maandiko
hapo chini yanaonyesha hitaji la imani.
Unahitaji imani ili uwe mkristo:- Efeso 2: 8
Unahitaji kuishi maisha ya kikristo kwa imani:- 1:17
Kama hutumii imani unatenda dhambi:- warumi 14:23
Pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu:- waebrani 11: 6
Imani yetu ni ya muhimu sana tunapomuomba Mungu:-marko 11:23
Pesa ni zaidi ni njia nzuri ya kuupima ubora wa ukristo. Kitabu cha yohana, ukurasa wa
pili, kinaonyesha ukubwa wa hitaji la imani katika maisha yetu ya kikristo na kinyume
chake ni aina mbili za imani iliyokufa inayoonekana kuaminika lakini bado haina
matendo na imani ya kweli na iliyo hai ambayo siku zote itakuwa na kazi njema na
matendo kuthibitisha upekee wake.Yohana anatoa mifano ya matendo yatakayo
ambatana na imani ya kweli na kati ya nifano miwili anaonyesha maeneo ya kutoa kama
Page 113
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
uhakika wa imani.
Mfano wa kwanza ni kuwapa maskini (Aya ya 14) – na wa pili na wa Ibrahimu kumtoa
mwanae kama dhabihu (Aya ya 21) – Hata hivyo, imani inayo ishi siku zote itatoa !
Kwahiyo,si jambo kusema kuwa wale wote walio katika viwango vikubwa vya imani
ndio wale wenye viwango vikubwa vya utoaji,na wale wenye viwango viwango vidogo
vya imani ndio walio na viwango vidogo vya utoaji au hakuna wanachotoa kumrudishia
Mungu?
Yaliyo changanuliwa hapo chini ni maeneo ya maisha yetu ya kikristo ambayo pesa
huimarisha .kutoa kwako kunasema nini kuhusu maeneo hapo chini?
*Kumpenda Mungu au pesa
*Kumpenda Mungu kwa moyo wako wote
*Uwaaminifu
*Upendo
*Imani
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Djibouti
637,634 ya watu , Uislamu na nguvu na unakuwa
Makanisa mengi maskini yanahitaji kutumia uhuru ili kuihubiri injli.
© www.operationworld.org
31. Wapenzi ni watoaji
Katika Biblia yako soma hapa kwa sauti: Mathayo 22:37-40
Kariri Aya hii : 1 Petro 4: 8 ' Zaidi ya yote pendanan sana'
Baadaye Zungumzia Hili : Je inamaanisha nini hasa kuhusu kupendana kama Yesu
alivyoagiza.
Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine : Tafuta mtu wa kumpatia Upendo wa
Mungu.
Kazi ya diploma ya kuandika :Andika upande mmoja kuhusiana na kupenda na kutoa.
Tafakari neno baada ya neno katika Aya hii: 1 Wakorintho 13:13
Ikiwa imeeleweka kwamba pesa ni kigezo cha Mungu nasi pia tunachoweza kutumia ili
kupima maisha yetu ya kikristo; eneo hili litatazamia sehemu ya muhimu ambayo pesa
Page 114
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
hupima, na hilo ni pendo. Biblia inasema jambo hilo la kutikisa kuhusu hitaji la
wakristo kudhihirisha upendo ambalo hakika kwa ukuu litaonyesha kuwa hili ndilo
jambo linalohusu maisha yetu – kama maandiko hapo chini yanavyoonyesha.
Lingeonekana kuwa pamoja na upendo na utoji na Biblia inatokezea wazo kuwa
wapenzi ni watoji na zaidi tunavyopenda ndivyo zaidi tunavyotoa.
Upendo ni nguvu kubwa duniani (1wakorintho 13:13)
' Na sasa haya matatu yanadumu: imani, tumaini na upendo. Lakini lililo kuu kupita yote
ni upendo '.
Asili ya Mungu ni upendo ( 1 Yohana 4:8)
'Mungu ni upendo'.
Ulimwengu utawajua wanafunzi wa Kristo na upendo wao (Yohana 13:35)
' Watu wote watafahamu ya kwamba ninyi ni wanafunzi wangu kama mkipendana'
zaidi ya yote, pendaneni, kwasababu upendo husitiri maovu wingi wa dhambi (1 Petro
4:8 )
Yesu alisema amri kuu ni kumpenda Mungu (Mathayo 22:37)
Yesu akamjibu , Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako
yote na kwa akili yako yote '.Hii ndiyo amri kuu ya kwanza '.
... Na amri ya pili inafanana na hii ni kuwapenda jirani zetu (Mathayo 22:39)
'Na ya pili yafanana nayo: Mpende jirani yako kama nafsi yako .
Hii ikiwa inahusiana na kupenda na kutoa inaweza vinaweza kuimarisha vyote kwa
Mungu, ambae ni mwanzo wa asili ya upendo.Maandiko hapo chini yanathiitisha hili na
yote yanaongelea upendo wa kwanza wa Mungu. Biblia inasema kuwa Mungu
anawapenda wanadamu,lakini zaidi ya hili,Mungu amwkwisha hakikisha na kuonyesha
pendo lake kwetu kwakutoa zawadi hii kwetu, hakika zawadi ya mwanae. Warumi 5: 8
inasema kwamba Mungu ameonyesha uhalisia wa pendo lake kwetu kwakumtuma
Yesu:- Upendo wa asili ya Mungu hauna maneno matupu bali kwa matendo halisi.
Yohana 3:16 ' kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanae
wa pekee'
Wagalatia 2:20 'Mimi naishi kwa imani ndani ya mwana wa Mungu,alie nipenda na
kujitoa kwa ajili yangu'.
Waefeso 5:25 'kama vile Kristo alivyolipenda kanisa, akajitoa kwa ajili yake '.
Wakati tunapokuwa wakristo, warumi 5:5 inaonyesha kuwa Mungu amelimimina pendo
Page 115
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
lake mioyoni mwetu na asili ya kristo ni asili ya upendo wa Mungu. Na tunapokuwa
njia ambayo Mungu anaweza kupitishia pendo lake katika ulimwengu ulioumizwa
tunapokuwa tumeruhusu asili ya pendo la kristo kuonekakana katika maisha yetu.
Eneo kuu la upendo ni la aina hiyo muhimu kwamba tunatakiwa makini sana (kama sio
chonjo) kwamba tunaachilia pendo la Mungu na biblia inaonyesha kwamba kutoa
kwetu ndio kuachilia pendo la Mungu.
Kwa mfano: 1 yohana 3 :17 inasema, kuwa iwapo mtu ana mali na kumuona ndugu yake
mhitaji na kutomhurumia, je1 pendo la Mungu linaweza kuwa ndani yake?
Kumbuka, warumi 5:5 inaonyesha kuwa kama wakristo hatupaswi kuwa na upendo wa
kibinadamu bali ule unaotutofautisha na wasio wakristo ni asili ya upendo wa Mungu
mioyoni mwetu ambalo linadhihirika kwa matendo ya kristo. Hatahivyo, Aya ya juu
inauliza swali kwa mtu anaesema kuwa mkristo lakini hawapi maskini ' namna pendo la
Mungu laweza kuwa ndani yake? Katika eneo la upendo tunaweza kusema kuwa
kiwango cha upendo wa Mungu kinacho achiliwa mioyoni mwetu ni sawa na kiwango
cha pesa kinachotoka mikononi mwetu. Zaidi tunavyotoa, zaidi kiwango cha pendo la
Mungu linavyoachiliwa mioyoni mwetu na katika maisha yetu.
Pointi zaidi kuhusu pendo la Mungu moja ya sifa zake ni usafi wake;
warumi 12 :9 'pendo na liwe safi'
2 wakorintho 6:6 'katika Roho mtakatifu na katika usafi wa pendo'
Katika 2 wakorintho ukurasa wa 8, Paulo anawambia wakorintho watoe sadaka kwa
ajili ya ndugu walio jerusalemu na anasisitiza jambo hili la usafi wa upendo. Na
anawaambia kuwa ikiwa pendo safi la kiungu limeachiliwa mioyoni mwao litaonekana
katika kutoa kwao. Paulo analinganisha usafi wa pendo lao na utoaji wa pesa zao na
kusema kwamba ni kujaribiwa kwa upendo wao. Jambo hilohilo ni ukweli mtupu kwetu
leo hii – iwapo pendo la Mungu mioyoni mwetu litatumika basi inabidi liwe safi kwa
asili yake na kiwango cha usafi wake na lazima kiwe ni kiwango cha utoji wa fedha. 2
wakorintho 7 :8 'Si kwamba ninawaamuru, bali ninataka kujaribu usafi wa pendo lenu
kuhusiana na utoaji wenu kwa wengine'.
Pointi ya mwisho kuhusiana na upendo ni kwamba biblia inatoa onyo kali kuhusu:-
kama vile tukirudi katika kurudi kwa Yesu itakwisha katika maisha ya watu wengi. Kwa
mfano ,tukiongelea hakika ya muda wa kurudi katika dunia, Yesu mwenyewe anasema
katika Mathayo 24: 12 'kwasababu ya kuongezeka kwa maasi,upendo wa wengi
utapungua “. Paulo anarithibitisha neno la Yesu katika maelezo yake kuhusu matukio ya
ajabu yatakayo tokea siku za mwisho katika 2 timotheo 3: 1-5; anaorodhesha baadhi ya
vitu watu watakavyopenda:-
- Wenyewe
Page 116
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
- Pesa
- Anasa (kuliko Mungu )
Zaidi,anasema katika mstari wa 3 kwamba katika siku za mwisho, watu hawtakuwa na
upendo. Kwakupitia kuchagu kuachilia pendo, na kulionyesha katika kutoa kwake,
mkristo anaweza kujizuia mwenyewe kuhesabiwa katika wote ambao Yesu na Paulo
wanawaonya kwakutokuwa na upendo.
Nyumba ya maombi kwa mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Makedonia
2,023,580 ya watu,asilimia 63 ni wakristo
wengi wa waislamu wanahitaji kufikiwa
wakristo wanahitaji kubwa la kufundishwa
© http://www.operationworld.org
32. Kuachilia Pesa Huachilia Furaha
Katika bibilia Yako Soma Hapa Kwa sauti: Luka 9:23
Kariri Ayaya Hii: Yohana 27:13 'Na sasa naja kwako namaneno haya nayasema
ulimwenguni ili wawe na furaha yangu imetimizwa ndani yao.'
Baadaye Zungumzia Hili: Vitu vianavyoweza kutuzuia kujua furaha ambayo Yesu
aliijua
Jambao La Kufanya kabla Ya Wakati Mwingie: Soma kuhusu furaha ya Yesu katika
Zaburi ya 45
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika Upande mmoja kuhusisna na kuachilia Pesa
na kuachilia furaha .
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Wafilipi 2:21
Katika Yohana 17:13 Yesu anaonyesha kwamba wote wanaomfuata wanatakiwa kujua
ubora wa furaha ambayo wasio waKristo hawataifahamu -kama vile Furaha ya Kingu
ambayo Yesu mwenyewe alikuwa nayo, Wafuasi wake wanatakiwa kuwa nayo, wakati
wapagani wanayo kidogo, furaha isiyokoma, mKristo anatakiwa awe nayo kwa kiwango
kikubwa, kukaa, kiwango cha furaha ya Mungu. Kwahuzuni,wakristo wengi hawatapata
furaha hii katika maisha yao na hii ni kutokana na hali tofauti, pengine kushikiria pesa
na kuamua kutokutoa kunaweza kuzuia furaha ya Yesu katika maisha yetu.
Page 117
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Sehemu hii itazungumzia hilo kwa kiwango kikubwa, kiasi cha pesa ambacho
tunamtolea Mungu kitadhihirisha kiwango cha furaha ya Mungu kitakachoachiliwa
ndani yetu. Maandiko yanayofuata ni maneno ya Yesu ambayo yatakuwa ni msingi wa
habari katika sehemu hii; hapa, hapa, Yesu anaonyesha jinsi tunavyoweza kuanza
kuachilia uzima na furaha katika maisha yetu. Ni upekee katika Biblia kwamba sehemu
mbalimbali ndani yake imetajwa katika injili zote nne, kwa hiyo Roho mtakatifu
amaweka msisitizo juu yake.
Luka 9:23 'Akawambia wote mtu akitaka kunifuata na ajikane mwenyewe ajitwike
msalaba wake kila situ anifuate, kwa kuwa mtu atakae kuiponya nafsi yake ataingasmiza
na mtu atakaye ingamiza nafsi yake kwaajili yangu ataisalimisha.'
Yesu anaongelea moja ya kichocheo kikubwa kinachomfanya mwanadamu kkuwa
mtumwa na huo ni uchoyo -watu ambao wamejirithisha wenyewe na maisha yao
pasipo wazo kwaajili ya wengine. Yesu angetokea na kusema kwamba zaidi
tunavyokuwa wabinafsi, ndivyo tunavyokosa furaha. Kinyume chake, kadiri
tunavyojitoa na kuwa watoaji, ndivyo kadiri tunavyokuwa na furaha kama tukianza
kugundua kuhusu ukarimu, upendo wa asili ya Yesu utaachiliwa ndani yetu. Si kweli
kwamba watu wabinafsi ndio wanaohangaika kwa urahisi, kuwa na hasira kidodgo,
hisia, kuudhiwa na zaidi ya yote kuwa wasio na furaha?
Ni kanuni ya Ufalme tene kwamba wote wanaotumiwa na faida za ubinafsi wao na
kutawaliwa na anasa zao hawataona au kupata kile wanachokitafuta. Kwa huzuni mtindo
huu wa maisha ya ubinafsi umeonyeshwa katika maisha ya watu wengi ambao wako
bize sana kwa yeyote au chochote licha ya anasa zao wenyewe. Hata hivyo hili siyo
jipya; katika maandiko hapo chini kutoka Wafilipi 2:21 Paulo anakazia mchocheo huu
wa ubinafsi na katika 2Timotheo 3:1-2, Paulo anaoanya kwamba ishara moja wapo ya
siku za mwisho ni kwamba watu watajipenda wenyewe.
Wafilipi 2:21 'Maana wote wnaotafuta vyao wenyewe, sivyo vya Kristo Yesu '
2Timotheo 3:1 'Lakini fahamu neno hili ya kuwa siku zamwisho kutakuwako na nyakati
maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe wenyekupenda fedha,'
(Ni vizuri kunakili kwamba katika 2Timotheo 3:1-3 ; Paulo anaweka mkazo kuhusu
nyakati za mwisho, kutakuwa mambo ya hatari yakiendelea katika dunia. Nakili
kwamba hatari kubwa ya kwanza mabayo anaiorothesha ni kwama watu watajipenda
wenyewe na ya pili anaorodhesha kuwa watu watapenda fedha. Ingeonekana kwamba
iwapo mtu ni mbinafsi iwe ni uhalisi katika mahusiano yao ya kifedha kama walivyo
wapenda pesa.)
Tunapotumia kanuni hi ya kiroho kwa ajili ya pesa binafsi tunaweza tukaona jinji watu
wanvyotafuta kutuza kila senti wanayopata ili kupata furaha. Bila shaka, tabaka lililopo
Page 118
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kati ya ubinafsi kwa watu na pesa zao ni kubwa- kwa mfano, ni watu wamgapi
wangehuzunika iwapo watapoteza Paundi 10! Nakili mfano zaidi ni jinsi watu
watakavyozungumzia, kukasilika, kupigas kelele, kugomba, na kupigana kwaajili kiasi
kidogo sana cha pesa, siyo mshangao jinsi ambavyo kiasi kidogo sana cha fedha
kinaweza kusababisha mwamko mkubwa.
Ubinafsi utaonekana katika maisha yetu binafsi ya kifedha tutakapo tumia pesa zetu
zote kwaajili yetu wenyewe -tabaka la ubinafsi liweza likavunjika tutakachagua kuwa
watoaji; Kumbuka jinsi yesu alivyosema kwamba tunapomfuata lazima tujikane
wenyewe (Luka 9:23). Mtu anayependa fehda na kutumia kila senti kwaajili yake
hatajua kiwango cha furaha na ukidhi atakaopata mtu mtoaji. Tunapotoa pesa zetu
tunaachilia furaha katika maisha ya wengine inaonekana kwamba Mungu huachilia
furaha katika maisha yetu na hapohapo kiwango cha furaha kinakuwa kikubwa
kwasababu ya kiwango cha utoaji wetu.
Mahusianao haya ya kutoa na furaha yanaweza kuonekana katika mifano ya maandiko
hapo chini ;
1)
1 Nyakati 29:9 'Ndipo hao watu wakafurahi kwasababu wametoa kwa hiyari yao
wenyewe kwa sababu ya ukamilifu wa mioyo kwa hiyari yao wenyewe wamemtolea
Bwana.'
1 Nyakati 29:20 'Basi kusanyiko lote wakamuabudu Bwaba, Mungu wa baba zao
wakainama vichwa vyao wakamsujudia Bwana na Mfalme naye.'
1Nyakati 29:22 ' Wakala na kunywa mbele za Bwana siku ile.'
Kinachoonekana hapa ni kutoa kwa wana wa Israel katika hekalu la Daudi. Watu
walipotoa sadaka kubwa namna hii iliachilia furaha kubwa miongoni mwa watu wa
Mungu. Lazima ingekuwa na muonekano mzuri katika kundi, mzuri, wenyefuraha,
furaha, sadaka ya ushirika kwa kutii ; furaha ya kutoa hakika ilikuwa katika yao.
2)
Zaburi 126:5-6 'Wapandao kwa machozi watavuna kwa kelele za furaha. Ingawa mtu
anakwenda zake akilia azichukuapo mbegu za kupanda hakika atarudi kwa kelele za
furasha.' zaburi injulikana kwa uwazi wakena hapa mzaburi anaelezea jinsi miongni
mwetu tulivyo katika matoleo yetu. Inawezekana ikawa ni vigumu kupand kifedha- hata
katika pointi ya kupanda kwa machozi machoni petu .Hata hivyo, kutoa kunapelekea
kupokea na unapovuna mazao yako inakupatia furaha.
3)
2Wakorintho 8:2 'Maana walipokuwa wakijaribiwa kwa dhiki nyingi, wingi wa furaha
yao na umaskini wao uliokuwa mwingi uliwaongeza utajiri wa ukarimu wao.' Kutoa
kunawezakuwa kugumu wakati wa nyakati nzuri -ni vipi zaidi nyakati ngumu. Wakristo
wa Makedonia walithubutu kutoa zaidi ya umaskini na kuingia katika mpenyo wa
Page 119
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
mtiririko wa furaha .
Nyumba Ya maombi Kwa ajili ya mataifa Maskini
Omba Kwa ajili Ya Malawi
10,925,238 Ya watu , 80% Ni Wakristo.
Ukimwi umekithiri nchini.
Uislam unakua na unaweza kusitisha vurugu. © http://www.operationworld.org/
33. Faida za Utoaji za Kidunia
Katika Bibilia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Mithali 19:17
Kariri Aya Hii: Mathayo 25:40 ' Kadilri mlimtendea mmojawapo wa hao ndugu zangu
walio wadogo mlinitendea mimi.'
Baaye Zungumzia Hili: Ninini matokeo ya Mungu kumpa mmoja ya watoto wake
zawadi kama zawadi yake binafsi
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Katika Maombi muombe Mungu
akuonyeshe faida zaidi za kutoa.
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mmoja kuhusu faida za utoaji za
kidunia.
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Mathayo 10:42
Sehemu iliyopita kuhusiana na pesa kuwa kigezo cha Mungu ambayo Mungu anatumia
kuhukumu maisha ya wakristo lazima yenyewe itoe sababu za kutosha ili zitumike
katika utoaji wa pesa zao katika kazi ya Mungu. Hata hivyo, itorodhesha hata sababu
zaidi na faida ya kutoa hata kama sio tayari mtoaji moyo wako utashinda kutaka kutoa
kwa Mungu na katika kupanua Ufalme wake.Kwa habari ya eneo la utoaji pengine
wewe ni mtoaji mwaminifu katika mapato yako yote muda wote au Biblia haina cha
kusema kwa watoaji wa muda. Hata hivyo,ukisoma sababu na faida za kuwa mtoaji
ruhusu Mungu azungumze na moyo wako na kuona iwapo wewe ni mtii katika matoleo
yako,au kama unahitaji kuwa mtoaji wa wakati wote.
Faida kubwa ya kutoa ni kwamba tunatoa, ndipo tunapoanza kurusu sheria zitakazo
achilia aina nyingi za baraka za Mungu ,kiasi kwamba tutakuwa katika mahali pazuri pa
Page 120
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kutoa hapo baadae.Kwa mfano,unaweza kuchukua mbegu moja ya epo na kuipanda na
kuzaa mti wenye maepo 8 juu yake- kila epo likawa na mbegu 5 za epo kwahiyo kutoka
kupanda mbegu moja unazalisha mbegu 40 ambazo zinaweza tena kupandwa nazo pia
zikazaa miti na maepo 5 yenye mbegu 4 ndani yake na kusababisha jumla ya mbegu
800 zaidi. Mbegu hizi 800 zinaweza pia kupandwa na kuzaa miti yenye maepo 5 yenye
mbegu 4 ndani yake na kutoa jumla ya mbegu 16,000 zaidi za kupanda.
Sheria za milele za kupanda na kuvuna ziko kwa ajili ya faida zetu wenyewe na
kuachiliwa kwa aina nyingi za baraka za Mungu katika maisha yetu kwa kutoa
tunajifungua wenyewe kwa ajili ya kuruhusu sheria ya kupanda na kuvuna kazini kwa
ajili ya faida yetu wenyewe. Kuoitia kutoa tunapanda mbegu zitakazo turudia wenyewe
kwa wimbi la aina nyingi za baraka za Mungu,kutoa kwetu ni kuwekeza kwetu kw ajili
ya fedha zetu za baadae na iwapo tutakua na bidii na kuendelea na uwaminifu,tunakila
haki ya kuwa na ujasiri kutazamia baraka za Mungu maishani mwetu.Iwapo mkulima
hatapanda basi hatapata mavuno katika ulimwengu wa kawaida wala hakuna mavuno ya
gafla katika ulimwengu wa Roho nasi pia hatuwezi kupata mavuno pasipo kupanda
mbegu za kifedha katika kazi ya Mungu.
Sababu nyingine ya kuwa mtoaji ni kwamba kutoa fedha zetu ni njia ambayo Mungu
anaweza kuona ni nani aliyekua na anauwezo wa vile alivyoelekezwa na kuwekwa
wakfu na kuwa na vipawa katika uongozi ambao utathihirishwa ukuaji na uongozi
katika maisha ya Wakristo. Katika Luka 16:1-13 Yesu anasimulia juu ya fedha na
mwisho wa mfano katika mstari wa 11 anasema, 'basi kama ninyi hamkuwa waaminifu
katika mali ya udhalimu, ni nani atakayewapa amana mali ya kweli?' Bila ya sisi
kuonyesha uongozi, uwakili na bidii katika fedha zetu tunajikosesha wenyewe kuingia
katika uwezo wetu kamili , Upako wetu wa kweli na hatima yetu ya mwisho katika
Ufalme wa Mungu.
Hii ni kweli halisi kabisa kwamba kama ingalitumika kwa Wachungaji wengi, Wazee,
Wainjilisti na Viongozi Ibada ingewadhirisha kuwa ni watu wasiokamili kroho
ikilinganishwa na nafasi walizo nazo katika Kanisa. Kwa bahati nzuri, makanisa mengi
hayawaruhusu watu kuingia katika jumuiya ( na kuachilia uongozi) isipokuwa wao
kujitoa kwa kuwa watoa zaka na hii ni njia nzuri sana kwa utawala Mchungaji yeyote
yule kutekeleza katika kanisa. Pengine Mungu amewapa ninyi kuwa na ndoto ya kujua
uwezo wako wa kweli katika Mungu na kutimiza hatima yake kwa ajili yenu ili kufanya
hivyo ni lazima kuingia kwa kupitia lango la hatima yako na hili ni lango la ushirikiano
wako wa kifedha. Kama fedha yako na Utoaji wako si wa haki mbele za Mungu hauwezi
kuruhusu kufikia katika hatima yako ya mwisho ya kuwa mtoaji na kuwa na maendeleo
ya ukomavu, upako na uongozi katika Ufalme wa Mungu.
Page 121
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Sabau moja kubwa ya kutoa ni kwamba Biblia inaonyesha kuwa kama sisi tutatoa kwa
ajili ya kazi ya ufalme na kwa watu wa Mungu, inaonekana kwamba Mungu anachukua
kama neema binafsi kwa chochote tufanyacho kwa ajili ya watoto wake, na pia
tunafanya hivyo kwa Bwana. Kwa mfano kama una watoto na mtu flani akaenda katika
mahitaji yao na kuwasaidia, ungeheshimu na kuwashukuru kwa hilo- na unadhani Baba
yetu wa mbinguni ni tofauti! Angalia maandiko haya hapa chini wakati sisi tunapotoa,
Mungu anaona kuwa ni kitendo cha upendo na wema si tu kwa mtu ambaye anapata ,
lakini pia hata kwake. Hatuwezi kutoa fedha zetu kwa Mungu moja kwa moja, lakini
tunapotoa pesa zetu kwa jina lake kwa wale wanaotuzunguka ili kuwaingiza ndani ya
ufalme wa Mungu, ingeonekana kuwa ni vizuri kutoa kwa Mungu mwenyewe.
Mithali 19:17 ' Amhurumiaye maskini humkopesha Bwana, naye atamlipa kwa tendo
lake jema.'
Mathayo 25:40 'kadiri mlivyowatendea mmojawapo wa hao ndugu zangu walio
wadodgo, mlinitendea mimi'
Mathayo 10:40 'Awapokeaye ninyi, anipokea mimi, naye anipokeaye mimi, ampokea
yeye aliyenituma.'
Waebrania 6:10 'Maan Mungu si dhalimu hata aisahau kazi yenu, na pendo lile
mlilothihirisha kwa jina lake, kwa kuwa mmewahudumia watakatifu, na hata hivi sas
mngali mkiwahudumia.'
Waebrania 13:16 'Lakini msisahau kutenda mema na kushirikiana; maana sadaka kama
hizi ndizo zimpendezazo Mungu.'
Moja ya sababu ya kusisimua juu ya kutoa ni kwamba tunaweza kuwa na uzoefu katika
njia ya kweli sana na wakati mwingine Mungu ataingilia kati ndani ya maisha yetu.
Biblia inasema katika Kumbukumbu la Torati 6:16 kwamba hatupaswi kumtia
Mungukatika majaribu, hata hivyo, mmoja katika hili hupatikana katika Malaki 3:10
ambapo Bwana mwenyewe anatamani watu wake wamjaribu waone uaminifu wake
kwa njia ya kuwa watoaji wa zaka waone kama yeye hatawafungulia milango ya
baraka. Labda hujawahifikia kiwango cha imani na kupokea majibu ya ajabu ya
maombi? Kwa nini usimjaribu Mungu wa utosherevu katika kumjaribu na ujiandae
kushangaa! Wakati utakapoona Mungu akiingilia kati katika maisha yako na baraka
kuanza kutiririka kukuelekea wewe , inafanya Mungu kuwa mkubwa sana, na wa
uhakika na itakutia nguvu katika imani yako na unaweza kupumzika na kuwa na amani
katika maarifa ya wema wake.
Aidha, katika 2 Petro 1:3 inaonyesha kuwa Mungu anakusudia sis kushiriki katika asili
yake ya kimungu na kuzidi kudhihirisha asili ya Kristo katika maisha yetu ingekuwa
yoyote kati yetu angethubutu kusema kwamba Mungu ni mbinafsi na mwenye ubaguzi -
Hakika sivyo! Kwa maana Mungu aliupenda ulimwengu, hata ALIMTOA ! Yesu,
Page 122
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
hivyoalitupenda na alijitoa mwenyewe kwa ajili yetu, asili ya Mungu ni utoaji, asili ya
kutokuwa na ubinafsi - kwa njia ya ukarimu utoaji tunajithibitisha wenyewe kuendana
na asili ya Yesu. Pengine inafaa tuhitimishe kwa maneno ya Yesu kwa yale aliyosema
tunapaswa kuamini na kuweka katika vitendo, kwa ufahamu wa kweli anajua ni nini
kilicho bora kwa ajili yetu. Matendo 20:35 inasema, 'Ni heri kutoa kuliko kupokea '
kama hakuna sababu nyingine , tunapaswa kuwa watoaji kwa sababu Yesu alisema
kwamba inatupasa na tutabarikiwa kama tukifanya hivyo. Kwa hiyo tunaweza kuona
kwamba Yesu unathibitisha kwamba maisha yataongezeka, ni bora zaidi kwa ajili ya
mKikristo mtoaji, badala ya mashirika yasiyo ya Kikristo kutoa.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Kuomba kwa ajili ya Ecuador
12,646,068 watu , kupungua waKatoliki ni wengi.
Kuna kasi Kubwa ya ukuaji wa kanisa lakini lipo katika Mapambano na
Wakatoliki na Waprotestanti . © www.operationworld.org
34. Faida Za Mbinguni Za Utoaji
Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Luka 16:1-9
Kariri Aya Hii: 2 Wakorintho 4:18 'Tusiviangalie vinayoonekana, bali visivyoonekana.
Kwa maana vinavyoonekana ni vya muda tu; bali visivyoonekana ni vya milele.'
Baadaye Zungumzia Hili: Unafikiri nini Yesu anapozunguza pale asemapo ya kuwa
unakaribishwa katika makao ya milele .
Jambo La Kufanya Kabla Wakati Mwingine: Andika orodha ya watu wote una
kusukumwa kwa ajili ya injili yako ya utoaji.
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mmoja juu ya jinsi gani tunaweza
kuhakikisha ukubwa wa ukaribisho Mbinguni kama iwezekanavyo
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Daniel 12:03
Tumeona hapo awali kwamba kuna faida nyingi amabzo tunaweza kijionea katika muda
tunapokuwepo duniani tunapokuwa watoaji, hii ni orodha ya faida za kidunia haitoi
picha kamili ya faida ya kutoa , pia kuna faida za kimbingu . Biblia mara kwa mara
inatuhimiza kama Wakristo na si tu kufikiria wakati wetu duniani lakini pia hatima yetu
Page 123
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
ya mwisho ya mbinguni. Kwa mfano , Sulemani anasema katika Mhubiri 3:11 'Kila kitu
amekifanya kizuri kwa wakati wake; tena ameiweka hiyo milele ndani ya mioyo yao.'
Paulo anasema katika 2 Wakorintho 4:18, 'Tusiviangalie vinavyoonekana, bali
visivyoonekana.', na Wafilipi 3:20 anasema, 'Kwa maana sisi, wenyeji wetu uko
mbinguni.' Kwa kuwa tutakuwa na mda mrefu mbinguni kuliko duniani tutafanya vizuri
sana kwa na kwa makini juu ya mbinguni , kama vile ilivyo faida ya kidunia ya kutoa.
Labda ukeosefu mkubwa wa kutoelewa kuhusu mbinguni ni kwamba kila mtu atakuwa
katika kiwango linganifu na kufurahia kiwango kilekile cha baraka, lakini Biblia
inaonyesha hali ya utofauti mkubwa. Sababu ya kwanza kuhusu siku ya hukumu ni
kwamba itakuwa ni Bwana Yesu pekee ndiye atafanya hukumu, katika Yohana 5:22
anasema, 'Tena, Baba hamhukumu mtu yeyote, bali amempa Mwana hukumu yote ,ili
watu wote wamheshibu mwana kama vile wanvyomheshimu Baba. 'jambo la pili ni
kwamba Yesu anatangaza kuwa atamlipa kila mtu kulingana na njia waliyoiendea katika
maisha yao ya hapa duniani. Kwa mfano, katika 22:12 Ufunuo anasema, ' Tazama naja
upesi na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo.'Tena,
anathibitisha hili katika Mathayo 16:27 wakati anaposema, 'Kwa sababu Mwana wa
adamu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake; ndipo
atakapomlipa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.'
Mtume Paulo pia anathibitisha mafundisho ya Yesu kuhusu tuzo la mbinguni kama
maandiko awili hapa chini yanavyoonyesha. Fikiria jinsi anavyoongea ukweli
kwamba kiti cha hukumu ni cha Kristo , na jinsi maandiko yote mawili
yanavyozungumzia kuhusu tuzo la mbinguni. 1Wakorintho 3:12 'Lakini kama mtu
akijenga juu ya msingi huo, dhahabu au fehda au mawe ya thamani, au miti au majani,
au manyasi, kazi ya kila mtu itakuwa dhahiri, maana siku ile itaidhihirisha, kwa kuwa
yafunuliwa katika moto; na ule moto wenyewe utaijaribu kazi ya kila mtu, ni ya namna
gani. Kazi ya mtu aliyejenga juu yake ikikaa atapata thawabu.'
2 Wakorintho 5:10 ' Kwa maana imetupasa sisi sote kudhihirishwa mbele ya kiti cha
hukumu cha Kristo, ili kila mtu apokee ijara ya mambo aliyoyatenda kwa mwili, kadiri
alivyotenda kwamba ni mema au mabaya. 'Katika mfano wa Fedha katika Luka 19:11-
27 Yesu ameweka wazi wazo hili la thawabu mbinguni na hufanya tamko kwamba moja
ya msingi wa tuzo ya mbinguni itakuwa Utoaji wetu wa fedha. Kwa mfano, watumishi
wawili waaminifu walitumia talanta zao za fedha za bwana wao kwa busara, walilipwa
na kuambiwa wakusanye malipo ya miji. Hii ni kumbukumbu ya utawala wa baadaye
kwenye Ufalme wa Mungu ambapo wale ambao walitumika kwa uaminifu duniani
watapata maeneo ya uongozi na kuwa watangulizi. ( Wazo hili la thawabu ya mbinguni
lina msingi kwa sehemu juu ya ushirikiano wetu wa kifedha, pia lina upana katika
mfano wa talanta katika Mathayo 25:14-30 ambapo mawakili waaminifu wa fedha
wanaambiwa,'Nitakuweka juuya mambo mengi' (mstariwa 23).
Page 124
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Eneo la pili kwamba tuzo ya mbinguni ni msingi ni eneo la kushinda roho ya thamani
katika Ufalme wa Mungu - zaidi kwamba tuna kutumika wakati sala zetu , na fedha
kuona watu kuokolewa kutoka kuzimu mkubwa malipo yetu itakuwa. Old msingi Agano
kwa hii yanaweza kupatikana katika Danieli 00:03 , ' Na walio na hekima watang'aa
kama mwangaza wa mbinguni, na wale ambao kuongoza wengi kutenda haki , kama
nyota milele na milele '. Kwa hiyo sisi kutoa zaidi katika Ufalme wa Mungu na hekima
sisi ni kuhusu ambapo sisi kutoa fedha zetu, mkuu wetu thawabu mbinguni itakuwa
kama kutoa wetu wamekuwa kiungo katika mlolongo wa kuona mtu kuokolewa.
Kwa mfano tuseme wewe mara kwa mara kutoa kuona kazi za kimisionari mikutano na
katika nchi ambako injili haijapenya na kama matokeo ya kazi zao, wafanyakazi wa
kimisionari unaowafadhili wanaona mavuno ya roho za watu. Kutokana na ukweli
kwamba wafanyakazi wa kimisionari wasingeweza kuwa katika nchi ile bila msaada
wako wa kifedha, fedha yako imesaidia kuona mavuno ya roho za wasiookoka, wewe
nawe utashiriki katika tuzo la kuvuna. Hata kama utatoa katika kanisa ambalo
wamisionary hawafadhiliwi na kuna idadi ndogo sana ya watu wanaookolewa wiki hadi
wiki, wewe nawe utapata tuzo dogo mbinguni katika siku ya hukumu kwa sababu
umewekeza fedha zako katika shirika lisilozaa matunda.
Hivyo ni muhimu kujua ili kuwekeza fedha yako kwa busara sana vile kwamba fedha
yako iko ndani ya nafsi na hautoi mahali popote nawe utauna matunda machache
kulingana na ulivyo wekeza. Yesu alizungumzia haja ya kutumia fedha zetu kwa busara
kuona watu wanokolewa katika Luka 16:9 anasema, 'Nawaambia, jifanyieni rafiki kwa
mali ya udhalimu, ili itakapokosekana wawakaribishe katika makao ya milele.'
utakapoingia mibinguni watu wale wote uliowasaidia wakapata wokovu kupitia utoaji
wako wa fedha watakusalimu na watakushukuru kwaajili ya uaminifu wako kwa injili
iliyowafikia. Ni siku ya furaha ya ajabu ikiwa utatumia maisha yako kuwekeza fedha
yako katika wamisionari wakigeni-utapata watu weupe, weusi, maji ya kunde, wanjano
toka katika miisho ya dunia wakikusalimu na kukubariki kwaajili ya msaada wako wa
kifedha uliowasaidia wamisionari kupeleka neno la Mungu kwao.
Wazo hili la salimiwa mbinguni lipo katika 2 Petro 1:11 ambapo Petro anasema, '
Maana hivi mtaruzukiwa kwa ukarimu kingia katika Ufalme wa milele wa Bwana wetu,
Mwokozi wetu Yesu Kristo.' Nini kingetokea kama ungalikufa usiku wa leo ,
ukaribishwaji wako ungekuwaje huko mbinguni? Kungekuwa na watu wengi toka
mabara ya dunia wakikusalimia na kukushukuru kaajili msaada wako wa kifedha kwa
umisioni wa kigeni au kungekuwa na watu wachache wanokukaribisha kwao? Kuna
muda mfupi tu kwetu sisi wote katika dunia hii kwaajili ya kutumia muda wetu na fedha
kwa ajili ya kufanya marafiki kwaajili yetu kwaajili ya maisha yetu ya milele. Unaweza
kuwekeza katika ujumbe wa kigeni na kuwa na marafiki wengi kwa ajili ya yako ambao
pengine hutakutana nao katika maisha haya lakini siku ya hukumu wewe utakutana na
Page 125
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
ndugu na dada wengi.
Hatimaye, utakuwa muda mzuri zaidi katika mbingu kuliko hapa duniani kwa kuwazi
zaidi juu ya hili tunapaswa kutafuta ili kufikia kiwango cha juu tunachoweza kupata
mbinguni - hata kama hii itamaanisha kuwa kuna raha katika dunia hii. Cha kusikitisha ,
Wakristo ni wanatumia fedha zao ili kuongeza hadhi yao na furaha katika maisha haya
bila kuwa na wazo kwa ajili ya maisha yajayo – Watafurahia kwa muda mfupi tu!
Wakristo wenye busara watajaribu kutumia fedha zao ili kuongeza kiwango chao
mbinguni na kulipwa na kujipatia hazina tele mbinguni hazina iwezekanavyo - ni bora
kuwekeza ukiwa katika ulimwengu. Andiko chini linazungumzia hii na linaonyesha
kwamba kwa kadiri tutoavyo, tunajitengenezea msingi imara mbinguni. 1 Timotheo
6:18 'Watende mema,wawe matajiri kwa kutenda mema, wawe tayari kwa kutoa mali
zao, washirikiane na wengine kwa moyo; huku wajiwekea akiba iwe msingi mzuri kwa
wakati ujao, ili wapate uzima ulio kweli kweli.'
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Misri
68,469,695 watu , 86 % ni Waislamu - 13% ya Kikristo. Sauti ya extremist Uislamu
ni kelele na kutishia katika kanisa. © www.operationworld.org
35. Gharama Za Kutokutoa
Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Malaki 3:8-12
Kariri Aya Hii: Malaki 1:6 'Mwana huheshimu babayake, na mtumishi humcha bwana
wake; basi kama mimi na baba yenu, heshima yangu iko wapi? Na kama mimi na
Bwana wenu kicho changu ki wapi?
Baadaye Zungumzia Jambo Hili: Kwa kiasi gani ukosefu wa fedha unazuia kazi ya
Mungu.
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Katika maombi,muulize Mungu
kama Matoleo yako yanasaidia au yanazuia kuenea kwa injili.
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mwingine watu watatu ambao
wanaiba tunapochagua kuwa si watoaji.n
Tafafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Mithali 11:24
Page 126
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Sehemu ya awali tumeangalia kila sababu na faida tunaweza kunufaika kwa kadiri
tutoavyo na kwa hakika kuna mengi mema na sababu ya kuwa na wanaotoa . Kama
zilivyo faida kwa utoaji, pia kuna gharama za kuchagua kutokuwa mtoaji. Eneo kubwa
sehemu hii tutaangalia ukweli kwamba wakati tunapochagu kuwa si watoaji tunakuwa
wezi sisi wote aina tofauti 3 za watu wa Mungu sisi wenyewe, na ndugu na dada katika
mwili wa Kristo.Imekwisha tajwa katika Malaki sura ya 3 ambapo Bwana mwenyewe
anatangaza kwamba wasiotoa zaka wanamwibia. Kwa kuwa fedha zote katika dunia ni
za Mungu, sisi tunapochagua kutorudisha kwake zaka, tunabakia na mali isiyoyetu na
tumekuwa tumeficha fedha toka za Mungu zilizotoka kwake. Wakristo wengi hawan
hata wazo la kuiba kitu toka kwa marafiki zao au kwa washika wenzao bali
wamechagua kuiba kwa Mungu wiki nyingine ndani wiki nyingine inje hawatoi zaka.
Wale ambao wamechagua kutokutoa wamevunja uhusiano na Baba yao wa mbinguni na
kuwa vigumu kuwa karibu nao, ni vigumu sana kuwa na ukaribu na mtu ambaye
ambaye unamuibia. Mkristo ambaye amechagua kutokutoa, hana haki mara kwa mara
kwenda kanisani na kuabudu na kumsifu Mungu na kisha ananyosha njia moja kwa
moja baada ya kumwibia Mungu kwa kuto kutoa kitu chochote kwenye chombo cha
sadaka. Wasiotoa wataimba juu ya jinsi ukubwa na ajabu na Utukufu ambao Mungu
aliotenda na hawakuamini kuwa Mungu ni tajiri wa utoaji aslimia 10% katika mapato
yako. Inaweza kuwa kweli na sahihi kwamba 'mkristo' asietoa kwa ajili ya kazi ya
Mungu hujitatanisha katika mambo mengi.
Pengine si mtoaji bado na na je! hiyo haimaniishi kuwa kwa upande wako hakuna utata?
Ikiwa Mungu ni mkubwa na mwenye utukufu kama unavyoimba kuwa yeye ni mwema
na kwama ni wa ajabu basi unatakiwa umwabie kila mtu kuwa pia anaaminika kwa
habari ya pesa zako pia.Hata hivyo unatakiwa kuweka pesa zako mahali mdomo wako
ulipo ikiwa Mungu unaemtaja kuwa na mahusiano nawe ni kweli na alie hai, na si
Mungu alie mfu, na sasa ni muda wa kumwamini Mungu kwa habari ya pesa zako.
Kama hutaweza kumwamini Mungu na pesa zako kwa habari ya eneo ambalo ni
muhimu katika maisha yako (kwakutoa kwanza na uone akikubariki kwa kile
ulichopanda kwake) na kwahiyo ni aina gani ya Mungu asie mwaminifu na asie aminika
unaemtumikia?
Mtu wa pili tuna mwibia Mungu wakati tunapoamu kuto kutoa na hiyo ni kujiibia
wenyewe baraka za Mungu. Na ieleweke kwamba, kwanza ya yote pendo la Mungu si
la masharti kwa namna tunavyoishi maisha yetu sisi wenyewe kwa kuhusiana na Mungu
kwa njia ya neema na sio kwa mateno mema kwakumaanisha kuwa Mungu hatupendi tu
wakati tunapokuwa wema na kutotupenda tunapokuwa wabaya. Hata hivyo,kwasababu
pendo la Mungu halina masharti ,baraka za Mungu zina masharti kwetu kwa ajili ya
kufanya mabo yaliyo katika biblia yanayotakiwa ili kukutana na baraka . Mambo
ambayo Mungu ameyyaweka kuhusiana na baraka za kifedha si kwa kuziomba au
Page 127
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kuzisihi bali kwakumtolea kwanza nae kuachilia baraka nyingi tofauti kwetu.
Kwa kutokutoa hatujionyeshi wenyewe kuwa watu wa sheria ya rohoni na masharti
yanayo simamia fedha na kwakutokutoa sheria huturudia kinyume chetu. Kwakuto
kutoa tunashindwa kuona utele wa baraka za Mungu kwasababu tunajiweka wenyewe
mahali ambapo funga mikono ya Mungu na hakuna kiasi cha maombi,mambo ya rohoni
na kumzuia ibilisi hakutasababisha baraka za Mungu kuja. Mungu amekusudia na
kudhamilia kutubariki lakini ili kurusu baraka hizi inabidi tukae katika sheria za wakati
wa mbegu na mavuno na kutoa na kupokea na kutokutoa tunaiba baraka zetu kutoka
kwetu. Kwa huzuni,watu wanataka mambo ya haraka na njia fupi ili kupata mafanikio
ya kifedha na wakati Mungu anaweza kufanya hili, Pengine tungefahamu kuhusu baraka
za muda mrefu zinazo kaa na hivyo tunahitaji kipindi kirefu, kupanda fedha kwa moja
kwa moja katika ufalme wa Mungu. Kutoa kunakiwa kuwa ni jukumu la muda wote
nasio jambo la kujaribu tunapopata pesa za ziada na kwenda katika mapumziko.
Mtu wa tatu tunaye muibia kwa kutokutoa ni ndugu na dada zetu katika Kristo- mtu
ambae Mungu anataka ambariki kupitia wewe na mimi kwa jia ya kuwapati fedha zetu.
Tutakapingia katika Ufalme wa Mungu moja kwa mja tutakuwa tumeungamanishwa
katika kizazi kipya cha wanadamu walio na baba mmoja wa mbinguni na tutakuwa watu
wa Rohoni wote ndugu na Dada. Kupitia ushirika wa Ufaleme kwa utoaji, Mungu
ametoa muongozo kuhusu kile kitakacho fanya umaskini usiwe na sehemu kati ya
watoto wake na kazi ya kuhubiri injili popote kamwe haitakuwa ngumu itainuliwa kwa
kiwango cha juu. Kwa kutokutoa tunachelewesha mpango halisi wa Mungu na inaweza
kumzuia baraka za mmojawapo ambazo Mungu anapenda kututumia sisi kuhudumia
mahitaji ya mahangaiko ya ndugu na dada zetu.
Kwa mfano, tuseme mtu kutoka kanisa lako kwa uaminifu anaitikia mwito kuwa
umisionari kwa nchi injili sugu katika Afrika ya Kaskazini hii zimetolewa kwa kanisa na
mwito imethibitishwa na uongozi. Kama uamuzi huu kutuma nje kimisionari
zimetolewa kwa kanisa inaweza kuwa kwamba Mungu anaongea na watu 5 maalum
ambao ni mafanikio kwa kufanya ahadi ya msaada wa fedha kwa hii kimisionari.
Kimisionari inaweza kisha kuwasilisha maono yao kwa kanisa na wao kwa busara
kuwaambia watu kwamba wao si kwenda shamba ujumbe mpaka wao kupokea ahadi za
kutosha kifedha. Kama 2 tu kati ya watu 5 kufanya ahadi za kifedha basi fedha haitoshi
atakuja na mmisionari hawezi kwenda shamba ujumbe na injili haiwezi kuchukuliwa
ambapo haijawahi njema. Kama wewe si mtoaji , wewe ni kuzuia kuenea kwa injili na
kazi ya Mungu ni kuchelewa na una kuiba baraka kutoka kaka zenu na dada zenu.
Gharama zaidi kwa kutokutoa kwetu ni kwamba tunasaliti hisia ya kweli ya Mungu na
Page 128
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
mpango wake wa kupeleka injili kwa makundi ya watu wasiofikiwa. Kwa kutokutoa, ni
tendo la kufunga kila kanisa, na kumchelewesha kila mchungaji na wakristo watenda
kazi, na kila nyumba yenye wito wa kimisionari toka katika shamba la umisionari na
kwa kila shule ya Kikristo iliyokaribu, Hosipitali na vituo vya yatima.Kwa kutokutoa
tunafikiri kwamba Mungu haistahiri pesa zetu tunaweza kusema kwamba tunaamini
katika mahubiri ya injili na kuona watu wakiokoka lakini kukatataa kwetu kutoa katika
kazi ya Mungu kunakuwa kunachanganya kile tunachofikiri tunakiamini .Endapo mtu
anachagua kutokutoa katika kazi ya Mungu basi Ufalme wa Mungu utalemaa ,Na iwapo
kila mtu atakuwa mkarimu katika utoaji Ufalme utakuwa na kuongezeka sana ,lipi kati
ya hya mawili unachagua kutenda?
Hatimae,gharama ya mwisho ya kutokutoa ni ukweli kwamba asiemtoaji humdhihaki
Mungu kwakutokutoa,kwa mfano,Galatia 6:7, 'Msidanganyike Mungu hadhihakiwi. Kila
mtu atavuna alichokipanda'. Mungu amesema katika neno lake kwamba ameweka sheria
ya rohoni ya wakati wa kuanda mbegu na mavuno na wakati wa kupanda na wa kuvuna
na kwakutokutoa tunamdhihaki Mungu kwa kukataa kile amesema katika neno
lake.Kwakutokutoa tunakuwa tunamwambia Mungu kuwa hatumhitaji katika fedha zetu
na hivyo sasa tunaweza kukataa kile anachosema kuhusu kutoa na kupokea ambacho
Galatia 6:7 inasema kwamba asietoa anajidanganya na kumdhihaki Mungu. Unaweza
usiote ukimdhihaki Mungu kwa sifa zako na ibada na maombi lakini maandiko
yanasema kwamba kwakutokutoa unamdhihaki Mungu.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya El Salvador
6,276,023 ya watu , 97% ni wakristo Pamoja na vita vya wenyewe kwa wenyewe ,
kanisa limekuwa vyema.
© www.operationworld.org
36. Dhamila Njema ya Kutoa
Katika Biblia Yako Soma hapa kwa sauti : Mathayo 6:1-4
kariri Aya hii: 1Wakorintho 13:03 "Kama nikitoa mali zangu zote kuwapa maskini na
kujitoa mwili wangu uungue ,lakini pasipo upendo haifaidii kitu'
Page 129
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Baadaye Zungumzia Hili : Tunawezaje kuwa na hakika kuwa tunatoa kwa dhamila
sahihi.
Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine : Tafuta kupitia maombi iwapo unatoa
kwa dhamila sahihi.
Kazi ya Dploma ya kuandika: Andika upande mmoja kuhusu kutoa kwa Dhamila
sahihi.
Tafakari neno baada ya neno katika Aya hii:Kutafakari neno kwa neno kwenye Hii
Mstari: 2 Wakorintho 9:05
Haja ya kutoa kifedha katika kazi ya Mungu lazima sasa kuwa wazi sana na wazi na
sababu nyingi na faida ya kufanya hivyo lazima kuimarisha hoja kwamba swala la
kutokua kwa Mkristo ni suala la utata. Hata hivyo Biblia inaonyesha kwamba
tunapokuwa watoaji huenda pengine tunakuwa hatujafikia mapenzi ya Mungu katika
pesa zetu kama dhamila ya kutoa kwetu ilivyo ya muhimu. Kuna vitu maishani mwa
mkristo tunavyoweza kuvifanya na bado tuna weza kuvifanya kwa dhamila mbaya na
hiyo inahusiana na matoleo yetu ya fedha. Ukurasa huu unatafuta kuonyesha dhamila
sahihi na mbaya za kutoa na zitakuwa ni Nuru ili kuhakikisha kwamba matoleo yetu
yanaambatana na Dhamila safi.
Kwa huzuni, ni kwamba asili ya mwanadamu ni ile kufanya matendo mema kwa
dhamila mbaya na Biblia yenyewe inasema kwamba hii inahusiana na matoleo yetu ya
kifedha.
Kwa mfano :1 wakorintho 13:3 inasema,'nikitoa mali zangu zote na kuwapa masikini na
kujitoa mwili wangu uungue moto,lakini sina upendo,haifaidii kitu. Zaidi sana, Mathayo
6:2 Yesu anakemea wote wanaotoa na kupiga panda ili wapate sifa kwa watu.
Inaonekana kwamba dhamili zetu za kutoa ni muhimu kama kitendo cha kutoa
chenyewe na hakika tutafanya vyema kuzisimamia dhamili zetu za kutoa.
Bila shaka sababu muhimu ya kutoa ni kwamba tunatoa pesa zetu kwa Mungu kama
ishara ya upendo na ibada na kutambua kuwa ni Bwana na Mungu wa kweli na alie .
Tunaposhindwa kutoa pesa zetu kwa Mungu binafsi,na tunapotoa pesa zetu katika
Ufalme wake kwa ajili ya kuukuza,Mungu huitazama kana kwamba tumempa . Tunatoa
kwa ajili ya kazi tena,tunamtolea Mungu kwanza,tunatoa kanisani tena,tunamtolea
Mungu kwanza,tunatoa kwenye mikutano ya injili pia,tunamtolea Mungu kwanza.
Wakati unapokuwa sahihi kumwabudu Mungu kuoitia maombi,nyimbo na mitindo yetu
mizuri, tunahitaji pia kumwabudu Mungu kwa pesa zetu ni rahisi kwenda kanisani na
kumwabudu Mungu na wakati wa kipindi cha sifa na bado hiyo ni muhimu (blakini ni
ngumu) kwenda kanisa na na kumwabudu Mungu kwa matoleo yetu.
Page 130
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
2 wakorintho sura ya 8 na 9 ni hoja kubwa katika Biblia yote katika kutoa, Paulo
anayaamuru makanisa ya Makedonia kwa ajili ya kutoa na anaelezea ukweli kuhusu
kumtolea Mungu. Kwa mfano,katika ukurasa wa 8 mstari wa 5 Paulo anasema ,'
walijitoa wenyewe kwa Bwana na kwetu kul;ingana na mapenzi ya Mungu'.Pengine
Mungu hana hana hitaji la pesa zetu, bali kwa kutoa anatambua kuwa tumetoa kitu
ambacho ni chema kwetu na kumbariki Bwana. Wengi wtu tunafanya kazi sana kuhusu
pesa zetu – na si kwamba Mungu hatumbui hili na tunapompa sehemu ya pesa zetu za
ugumu hakika itmpatiam furaha kubwa.
Kama mimi na wewe tunaenda kuelezea upendo wetu kwaajili ya Mungu haitoshi
kuimba na kupata hisia nzuri katika mikutano yetu ya kanisa lakini pia tunapaswa kuwa
na haja ya kujitoa kifedha kwa Mungu. Nasisitiza kuwa sababu kubwa ya kutoa ni tendo
la ibada na kuabudu , ambayo inatangaza upendo wetu kwa Bwana. Kuna njia nyingi
zinazotuwezesha kumheshimu Mungu - kwa njia ya ibada , maombi, matendo na utii,
lakini kwa hakika utoaji wa fedha zetu ni moja ya njia kubwa ambayo inatuwezesha
kumheshima yeye. Kitabu cha Malaki ni kitabu cha mwisho cha Agano la Kale ambacho
kina mengi ya kusema kuhusu fedha , na ndani yake tunaona kwamba Mungu anataka
watu wake wamheshimu kwa dhabihu zao na utoaji wao. Tukirudi nyuma hapa tunaona
kwamba makuhani walikuwa wakitoa dhabihu walio kilema na walikuwa wnakataa
kumtolea Mungu dhabihu iliyobora katika sura ya 3 tunaona kwamba watu walikuwa
hawatoi zaka na hivyo walikuwa wakimwibia Mungu. Hivyo, katika mstari wa 6,
Mungu anaulizaswalilakuwasihi,
'Mwana humheshimu baba yake , na mtumishi humcha bwana wake. Basi, kama mimi ni
baba yenu, heshima yangu iko wapi? N akama mimi ni bwana wenu, kicho changu ki
wapi?' Kwa hiyo, je! Si mbaya tunapo acha kumuheshimu Mungu zaidi kuliko, matoleo
yetu kumuheshimu yeye na wakrito wanokataa kutoa hawamuheshimu Mungu? Kama
anavyoonyesha Malaki , Mungu anataka heshima yetu, heshima na kicho na ameteua
kuwa moja ya njia kuu ya sisi kuelezea kwake ni fedha zetu. Kama Mungu ni muhimu
kwako na unataka kumuheshimu, mfuko wako wa kuwekiea fedha utakuwa na muundo
mzuri katika kutenda hayo. Ujuzi huu umeelezwa pia katika kitabu cha Mithali na
maandiko yote hapo chini yanaongelea ju ya kumuheshimu Mungu katika muundo wa
kutumia pesa zetu. 'Mheshimu Bwana kwa mali yako, na kwa malimbuko yako
yote.'Mithali 3:9. Mithali 14:31 "Bali yeye amuhurumiaye mhitaji humuheshimu.'
makusudi zaidi ya haki katika kutoa ni kutaka kuona Ufalme wa Mungu umesimama
duniani na unawagusa wale wote walio karibu nasi, kwa njia ya Injili na kwa kutoa
tunaipigania neema ya Ufalme wa Mungu. Tuna paswa kuwa watoaji ili tuone ukiroho
unakuwa katika katika frdha setu tulizopanda, na kuona kuwa fedha hisi zimebadilishwa
na kuwa ndani ya wokovu katika nafsi zilizo za thamani. Kumbuka kwamba Yesu
alisema katika Luka 16:9 , 'Nami nawaambia, jifanyieni rafiki kwa mali ya udharimu, ili
itakapo kosekana wawakaribishe katika makao ya milele.' hivyo utoaji wetu lazima
Page 131
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
ziwe ni fedha zenye kiwezesha kuwafikia watu waliopotea wanaume kwa wanawake
kwa njia ya injili na hatimaye kuona wao wanokolewa. Kwa nini kujisumbua kuwekeza
fedha yako katika hazina za ki duniani, katika mitindo za mahusiano ya kidunia?
Wekeza fedha yako katika nafsi zenye thamani za wanaume na wanawake, basi utoaji
wako uwe na kivutio kuona Injili inaenea duniani kote na kugusa watu wengi kwaajili
ya Mungu.
Kivutio cha tatu kwa ajili ya utoaji wetu ni kwamba tunapaswa kutoa ili kutimiza sheri
ya kupanda na kuvuna na kwa njia hiyo tutapokea aina nyingi za baraka, huu ndiyo
muundo wa baraka za Mungu, natutakuwa bora na kuwa na viwango vya kutoa ndani ya
Ufalme wa Mungu. Kama itakavyo fafanuliwa katika sura ifuatayo, ni makosa kutoa nila
kuona hata mavuno kidogo kurudi tunania ya kutumia ziada yetu kwaajili yetu
wenyewe , hakika huu utakuwa ni ubinafsi na matumizi mabaya ya sheria ya kupanda na
kuvuna. Hata hivyo, ni sahihi kabisa kwamba tunatazamia kupokea baraka kubwa zaidi
kutoka kwa Mungu ili tuzidi kuwa watoaji wakubwa katika kazi ya Mungu. Pia utakuwa
ni ubinafsi ka wewe hupandi mbegu katika kazi ya Mungu ili kuna baraka nyngi tofauti
za Mungu zikiachiliwa kwako zaidi kuliko ulivyofanya, kamwe hauwezi kuwa bariki
wele wote wewe uwabariki. Hivyo muhtasari hapa chini unaongelea nia tunayopaswa
kuwa nayo katika utoaji wetu na pia imeorodheshwa ili kuonyesha jambo la muhimu
kwa Mungu la kwanza, ni kufikishia Ufalme wa Mungu kwa wengine, la pili na
lamwisho, ni sisi wenyewe kubarikiwa na kuwa baraka kwa wengine. Kama tutatoa kwa
nia kama ilivyo hapao chini itatuhakikishia kuweka uwiano wa kuhakikisha kwamba
tunataka kubarikiwa sisi wenyewe na hata baraka kubwa kwaajili ya Ufalme wa Mungu,
kinyume na kubarikiwa kwa manufaa yetu wenyewe. Nia yako kwa ajili ya kutoa ni
muhimu kama kutoa kwaajili yako yenyewe na labda kama utasoma sehemuzote mbili
juu ya nia mbaya ya kutoa, itakuwa busara kuuliza nia yako ya kutoa.
NIA YA KUTOA
1) YA KUMBARIKI MUNGU: -1 Wakorintho 10:31 inasema, ' Mtendapo neno lolote,
fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu.' hivyo tunapotoa tunatoa ili kumbariki Mung na
kurudisha utukufu kwa Mungu.
2) KUWABARIKI WANAOTUZUNGUKA:- Kutumia fedha zetu kujipatia marafiki
wetu binafsi (Luka 16:90 na hii ni sababu muhimu zaidi kuliko kutafuta kutoa ili
kubarikiwa wenyewe (angalia chini) kwa sababu Yesu alisema katika Matendo 20:32 '
Ni heri kutoa kuliko kupokea.
3) KUBARIKIWA SISI WENYEWE :- Si kwa sababu za ubinafsi bali kufikia kiwango
cha juu hata kuwa watoaji ndani ya kazi ya Mungu. Katika 2 Wakorintho 9:11, Paulo
Page 132
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
anawahimiza ndugu wakarimu katika Makedonia kwamba, 'Mkitajirishwa katika vitu
vyote mpate kuwa na ukarimu wote.'
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Kuomba kwa ajili ya Guinea ya Ikweta
452,661 ya watu , waKatoliki ni wengi
Serikali ni mbaya, wa serikali , rushwa na kukosa maelewano katika kanisa
kunaumiza taifa. © www.operationworld.org
37. Nia Isiyo Sahihi Katika Kutoa
Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: 1 Timotheo 6:3-5
Kariri Aya Hii: 2 Wakorintho 2:17 ' Kwa maana sisi si kama walio wengi, walighoshio
neno la Mungu kaajili ya faida.'
Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Nikipi kilicho cha muhimu- Utoaji au Nia kwaajili
ya kufanya hivyo?
Jambo La Kufanya Kabla wakati Mwingine: Fikiria kama mahali / . Mtu unayetoa
kwake kamwe hana shinikizo la kutumia.
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Kwa kumbukumbu ya maandiko na uzoefu binafsi ,
andika upande mmoja juu ya nini tunapaswa kulinda dhidi ya matokeo ya kushinikizwa
.
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katik Aya Hii: 2 Petro 2:1-3
Labda kosa kubwa la motisha kwa ajili ya kutoa linatibu sheria ya kutoa, na kupokea ni
kama ' kupata utajiri wa haraka ' kusudi ambalo linafanya sisi kutafuta baraka za Mungu
kwa ajili ya tamaa zetu za kichoyo. Watu wanasikia juu ya baraka za Mungu na
mafanikio yake lakini cha ajabu hawasikii kuhusu madhumuni ya baraka zake, na
wanatafuta baraka za Mungu kama ndiyo mwisho wake. Hakika toa kadiri uwezavyo,
amini kadiri uwezavyo na uopokee kadiri uwezavyo lakini tafadhari uzuie baraka kwa
kadiri uwezavyo. Mungu anataka kukubariki ili uweze kuwa na baraka kama sababu tu
ya wewe kutoa na kupokea kutumia kaajili yako mwenyewe wewe ni mwenye ubinafsi
sana kwa kila njia unayotumia kutafuta baraka za Mungu - lakini pia uanataka kupitia
juu yake.
Page 133
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Nia Mbaya nyingine ya Utoaji ni wazo kwamba kama usipotoa, Mungu hatakufurahia
wewe na atatuma umaskini juu yako, kwa hiyo kwa kutoa kwako unanunua msamaha
wa Mungu. (Mfano wa hii ni pale Mchungaji anapowaambia mkutano wake kwamba
kama hawana zaka, Mungu atatuma magonjwa juu yao, na atachukua fungu la kumi
10% kutoka kwao kwa njia ya gharama za malipo ya kwa Daktari !) Upendo wa Mungu
kwetu hautegemei matendo yetu ( wala is kwa sbabu ya kwetu ) wala upendo wa
Mungu hauongezeki wakati sisi tunapomtolea. Inasemekana kuwa kabla ya wakati
baraka za Mungu zipo katika masharti ya utoajia wetu , upendo wake hauna mashariti
yoyote ya vitendo kwa upande wetu. Ni kesi kwamba maisha yatakuwa bora kwa mtoaji
na mkarimu kinyume na asiye toa, bali kwa kutokutoa tunajiondoa wenyewe kwenye
opareshini ya sheria ya Mungu ya kutoa na kupokea. Njia tunayopaswa kuitumia na
kutoa zaka zetu ni dalili zinazoonyesha i kwamba sisi tunaweza kutoa kwa nia mbaya.
Tumeshauriwa awali kuwa tunapaswa kuchukua tahadhari kubwa ya kuhakikisha
kwamba tunatoa zaka katika toka katika mapato yetu yote na kuhakikisha kuwa tunatoa
sehemu ya kumi %. Hata hivyo kama sisi tunatumia hata senti ya mwisho na bila kutoa
hata senti moja haionyeshi kuwa tunajaribu hata kutoa hata kiwango cha kinachotakiwa
cha sehemu ya kumi 10%. Kwanini usitoe sehemu ya kumi ya senti yako ya mwisho na
ndipo mzunguko mzima wa kiwango cha paundi 10 kwa kuonyesha roho ya ukarimu na
roho ya utayari na ili kufanya uhakika kuwa umekwisha fanya kuliko kiwango
kilichotarajiwa.Tumekwisha kuona katika baadhi ya nia mbaya kwa ajili ya utoaji wetu
kuna eneo lifuatalo ambalo ni muhimu linafafanua na kuna zaidi ya kuelezea juu ya hili.
Tangu kanisa lilipoletwa kwemye umakini huu, kumekuwa na wale walio katika uongozi
wa kikristo ambao wametumia nafasi zao kwa ajili ya kupata fedha – muonekano wa
uongozi kama kazi ya kawaida kinyume na nafasi ya wito na imekuwa ni njia kwa ajili
ya kupata fedha. Cha kusikitisha , kuna viongozi wengi wa kanisa ambao wanatumia
nafasi zao za mamlaka kufanya fedha na ustawi wa kiroho ni kwa ajili makutano na
kupanua Ufalme ina kwaajili ya secondari. Viongozi wa jinsi hii watazuia ueneaji wa
Ufalme na hawatajitajirisha kwa kulipwa na itokayo kwa watu wa Mungu.
Kwa mfano, katika 1 Timotheo 6:5 , Paulo anamuonya Timotheo juu ya waalimu wa
mafundisho ya uongo ambao, 'huku wakidhani ya kuwa utauwa ni njia ya kupata faida.'
Aidha katika 2 Wakorintho 2:17 Paulo analinganisha huduma yake na wele ambao
walikuwa wanahubiri kwa faida binafsi ya kifedha, kama asmavyo tena, ' Tofauti na
wengi hivyo , hatuwezi kuligwa neno la Mungu kwa ajili ya faida '. Aidha : 2 Petro 2:3
inazungumzia manabii wa uongo. anasema , 'Na Katika kutamani watajipatia faida
kwenu kwa maneno yaliyotungwa; 'Kuna mabo mengi ya kufanya ukweli kwamba
viongozi wa kikristo watatumia vibaya nafasi zao kuwaibia watu wa Mungu fedha,
Kwakulazimisha ,uongo, hatia na kubadilisha uongo kuwa ukweli,watu wanaweza
kulazimishwa katika kutoa fedha wakati sio kusudi la Mungu wao kufanya hivyo.
Pengine watu wanatakiwa kuelewa fursa za utoaji na mahitaji yaliyopo lakini kwa
Page 134
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
huzuni habari hii inaweza kutumika kupiga watu vichwani mwao ili kuwafanya wao
watoe. Biblia inaonya katika 2 wakorintho 9:7 kwamba tunatakiwa kutoa kwa furaha,
na si kwakushurutishwa,kila mtu atoe kama alivyokusudia moyoni mwake, si kwa
huzuni, wala si kwa lazima, maana Mungu humpenda yeye atoae kwa moyo wa
ukunjufu.
Ntuangalie mifano ya uongo iliyo kwa watu wa Mungu na viongozi wa kikristo. Fikiria
Mchungaji hazaa matunda na kanisani lake limedumaa na hivyo kuna pesa za kanisa
kwa ajili ya kuongeza nguvu sehemu yake na hapo analiambia kusanyiko kuwa kama
hawatatoa zaka zao kanisani Mungu hatawabariki. Mfano zaidi ni kiongozi wa kanisa
mwenye kupend kuwa na neno la kinabii ' kwa ajili ya kusanyiko ili kusababisha pesa
nyingi kwahiyo wanafanya mchango kwa ajili ya kanisa au kwa ajili ya kiongozi
mwenyewe. Kama mtu akikuambia ' Mungu ameniambi ni kuambie kwamba unatakiwa
utoe pesa ', kuwa makini na kutaka kujua kwamba wanakukudanganya.
Kwa huzuni, hata watu wenye huduma za televisoan wanaweza kutumia mbinu hizo
hizo za unyonyaji kutaka watu watoe. Kwa mfano wiki iliyopita walikuwa hewani na
kusema kuwa ikiwa wote wanaotazama hawatachangia katika huduma yao kuliko isivyo
kawaida watasitisha vipindi vyao. Mfano zaidi, ni kwamba ikiwa utatoa paundi 50
katika huduma makao makuu wataomba kwa ajili ya baraka za Mungu katika familia
yako. Zaidi,wanaweza kusema kuwa upako tofauti' katika huduma yao na hivyo
utapokea baraka tofauti'. Hatimae, wanaweza kuandaa sherehe kwa ajili ya wachangiaji
na kuthibitisha kwamba Mungu amewaonyesha kwamba kuna watu 5 katika chumba
wanaotakiwa kutoa paundi 1000 kila mmoja, kupitia uongo, na hatia, kwa mmoja
mmoja watapata faida.
Pengine huzuni kubwa na sehemu isiyo ya kawaida ya uongo wa viongozi wa kanisa
kwa ajili ya kutoa ni kwamba hufanikiwa sana, na kwa baraka za Mungu, hitaji la
kushiriki fursa ya kutoa, na mahitaji halisi ya watu wa Mungu. Wakati wachungaji na
wainjilisti wanapofanikiwa kwa uongo na wamisionari wenye hatia wanaorudi kutoka
katika kazi yao na kushirikiana hadithi za mahitaji makubwa na kujikuta wenyewe
nyuma ya mstari wakati watu wa Mungu wanafanikiwa. Badala ya wajane yatima,
wagonjwa , waliopotea na makundi ambayo hajafikiwa na kumwagiwa baraka
zimeibiwa kutika kwao kwa tamaa , viongozi wakristo waongo.
Hakuna shaka kwamba tunakiwa kuwa watoaji , lazima tuwe wepesi, wakarimu na
wenye mikono iliyofunguka kwa ajili ya kutoa wenye nia ya kutoa .Hata hivyo
tunatakiwa na kujua kwamba kweli tunampa mtu, kanisa au kwa sababu ni mapenzi ya
Mungu kwamba tufanye hivyo na si kwamba tunafanya hivyo kwasababu ya presha
inayokuwa imewekwa juu yetu. Wakolosai 3:15 inasema ,' amani ya kristo iamue
mioyoni mwenu' hili ni andiko zuri la kutumia kwa ajili ya utoaji, tunatakiwa turuhusu
amani, sio presha kutawala kutawala mioyo yenu wakati mnapo toa. Kama kila mkristo
Page 135
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
atatumia kanuni hii kwa ajili ya matoleo yao basi washindi watakuwa ni maskini
,wagonjwa na wahitaji na waliopoteza watakuwa ni wakristo wenye tamaa na wapotezaji
watakuwa viongozi wakristo wenye tamaa wanaoaibisha nafasi zao.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini Omba kwa ajili ya Eritrea
3,850,388 ya watu , Wakristo & Waislamu wote ni 47%
wameachana na vita na Ethiopia,ni makundi kadhaa ambayo hayajafikiwa. © www.operationworld.org
38. Njia za Baraka
Kika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Zaburi 75:6
Kariri Aya Hii: Wakolosai 3:23 'Lolote, mfanyalo lifnyeni kwa moyo, kama kwa
Bwana si kwa wanadamu.'
Baadaye Zungumzia Hili: Je, Wakristo ni watu walofanikiwa kataka ajira ulimwengu?
Jambo La Kufanya Kabla Ya wakati Mwingine : Wakati ujao wewe nenda kafanye
kazi ukufikiria kwamba Yesu ndiye Bosi wako
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Kwa mujibu wa Zaburi 1 inasema na kila tufnyacho
chochote kitafanikiwa, andika upande mmoja juu ya nini tunapaswa kufanya ili kufaulu
kwa ajili ya ahadi hii.
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Mhubiri 02:26
Katika sehemu ilioko katika sura hii kuhusu kuachiliwa kwa baraka za Mungu,
tukizingatia utapewa njia ambazo Mungu ataweza kutuwezesha kupitia njia hizo, na
mambo ambayo yanaweza kuzuia njia hizo. Hivyo baada ya kuanza mtindo wa maisha
ya kutoa tunaweza kutarajia vyanzo vya fedha kuonekana katika mifuko yetu au kuja
katika post? au tuna sehemu ya kucheza kwa ubatili wetu wenyewe katika neema ya
Mungu? Kamwe Biblia haijaahidi sisi kupata kpata utajiri wa harakaharaka, na wakati
kwa Mungu mambo yote yanawezekana, inaonekana kwamba zaidi sana tunasehemu ya
kucheza katika imani na kuona kuwa Mungu anainilia kati. Kumbukumbu 8:18
anasema, 'bali utamkumbuka Bwana Mungu wako, maana ndite akupaye nguvu za
kupata utajiri, ili alifanye imara agano lake alilo waaia baba zako kama hivi leo.
Page 136
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Mzaburi katika 37 anaoroddhesha urithi mwenye haki anaweza kutarajia kufurahia, si tu
watakapofika mbinguni bali wakiwa hapa na wakati huu.
Aya ya 9 'Kwa waovu watakatiriwa mbali, bali wamtumainio Bwana watairithi nchi'
Aya ya 11 ' wapole watairithi nchi na kufurahia neema kubwa'
Aya ya 22 'Wale Bwana awabarikio watairithi nchi'
Aya ya 29 ' wenye haki watairithi nchi
aya ya 34 'Atawatukuza muirithi nchi'
Hata hivyo, Yesu mwenyewe anatangaza ukweli uleule kwa kina anaposema katika
mathayo 5: 5 'Heri wenye upole maana watairithi nchi'. Kadharika, watu wa Mungu
wasimwamini Mungu kwa ajili ya kazi nzuri, zenye mishahara mizuri na viwango – sio
kwasababu za kibinafsi lakini kuwa na ziada ya kutoa katika kazi ya Mungu. Je! Hayapo
makampuni mengi yanayoendeshwa na watu wasio wa Mungu na kuyaendesha kwa njia
zinazosababisha pesa na kwa tamaa kwa yote yanayofanywa na hakuna wazo kumhusu
Mungu? Kwanini watu wasio wa Mungu walipwe vizuri katika kazi na nafasi zenye
nguvu – Je! Watu wasiinuke kwa imanina kumwamini ili awakuze na kuirithi vitu vizuri
vya nchi. Mzaburi baadae anasema katika zaburi 75: 6 'maana siko mashariki wala
magharibi wala nyikani itokako heshima. Bali Mungu ndiye ahukumuye: Humdhiri
huyu na kumwinua huyu.'
Zaidi,Paulo anaandika katika wakolosai 3: 23 'Lolote mfanyalo lifanyeni kwa
moyo,kama kwa wanadamu,mkijua kwamba mtapokea ujira wa urithi kwa Bwana.
Mnamtumikia kristo Bwana'. Linaweza likawa jambo kwamba wakati wasioamini katika
kazi zao wanaptafuta kupata vingi kadri iwezekanavyo, wakristo wanatakiwa kuwa
watahiwa wakuu kazini ili kupata kibali maofisini. Kama vile mzaburi anavyo sema,
Paulo anatumia neno urithi acha kanisa liachilie imani kwa ajili ya urithi huu na nafasi
nzuri na
utajiri wa ulimwengu huu utatiririka katika Ufalme.
Sulemani katika kitabu cha Mhubiri analeta ufahamu zaidi kwanza, anakubaliana na
wakolosai 3:23 inayosema katika 9:10 'Lolote mfanyalo lifanyeni kwa moyo,'. Jambo la
pili anasema 2:26 anasema, 'mtu ampendezae Mungu humpatia hekima, ufahamu na
furaha, lakini kwa waovu huwapa kazi ya kukusanya na kutwita mikononi mwa
mwenye haki'. Hebu tumwamini Bwana kwa ajili ya hekima,ufahamu na furaha katika
kazi yetu ya kuwinda na maamuzi yetu kielimu ili kwamba tupate kazi bora na waovu
kulipwa kidogo katika kazi (na hata hivyo watatwita katika mwili wa kristo )
Kwa nini wapagani wawapige watu wa Mungu katika kazi nzuri na katika kuweka
Page 137
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
msimamo – hebu tuwawinde wapagani na kuwateka nyara mali zao kwa ajili ya kristo
na kuupeleka Ufalme kwa maskini na waliopoteza matumaini.Njia zaidi ya mafanikio
iko katika eneo la kuanza biashara mpya. Je1 watu wa Mungu wasitafute kuchukua
masoko yenye hisa za makampuni mengi yanayoendeshwa kwa tamaa na faida nasio
kwa ajili ya Ufalme wa Mungu?
Tunapoongelea wote wanatafakari juu ya ahadi za Mungu, mzaburi anasema katika
zaburi ya kwanza 'ni kama mti uliopandwa katika vijito vya maji ya uzima, uzaao
matunda kwa majira wala jani lake halinyauki. Kila alitendalo hufanikiwa'. Yakobo
anafunu baraka zilezile kwa wote wanaotafakari kuhusu ahadi za Mungu anaposema
katika Yakobo 1;25, 'Atabarikiwa kwa kila alitendalo'
Hakika ni wakati kwa ajili ya biashara ya Kikristo kuinuka ulimwenguni kwa ufahamu
kwamba chochote wafanyacho kitafanikiwa na kubarikiwa na Mungu. Pesa zitahama
kutoka kwa wasio na Mungu na makampuni yasio aminika kwa makampuni
yanayoendeshwa kwa maono ya kuuimarisha Ufalme wa Mungu duniani. Matakwa ya
Mungu ni kwa kila aaminie ahadi hizi nzuri na kubwa . Umekwisha ona katika mfano
wa kabaila katika luka 19: 13 kwamba watumwa wa bwana waliambiwa 'kuweka pesa
hizi katika kazi'? Roho Mtakatifu ametumwa kwa ajili ya kuwaongoza waamini katika
kweli yote na kuwafundisha kuhusu yajayo (Yohana 16:13). mwamini yeyote
anaemfanya Roho Mtakatifu rafiki yake mkuu katika kampuni yake kutakuwa na
udhihirisho wa mafanikio
Eneo lingine zaidi la mafanikio ambalo Mungu analitumia ni kufanya maamuzi chini ya
ouongozi wa Roho Mtakatifu. Kwa mfano,wakati mwingine utakapotaka kufanya
maamuzi makubwa kwa ajili ya kununua kitu kama nyumba, gari,baiskeli, au mashine
ya kufuria -kwanini usiombe kuhusu hilo na kumuomba Mungu akuongoze kwa nguvu
za Roho Mtakatifu katika bei nzuri.Hebu na tumwamini Mungu kwamba tutanunua
nyumba sahihi ambayo itaongezeka thamani haraka kuliko zote zilizo kuwepo, na kwa
ajili ya gari na mashie ya kufuria itakayodumu kuliko zote zilizokuwepo, na kwamba
atatuweka mahali sahihi kwa wakati sahihi kupata thamani ya pesa kwa kile
tunachotaka kutumia.
Kumbuka kwamba wana wa Israel walitangatanga kwa muda mrefu nyikani lakini nguo
zao na viatu vyao havikuchakaa, tunaweza tusimwamini Mungu kwamba vitu
tunavyonunua havitadumu kwa muda mrefu na ni bora tusifikiri kuhusu uongozi wake
katika kufanya maamuzi? Kwa mfano,ndugu mmoja alipanda mbegu kisha
zikaoza,akenda katika neno la Mungu kuhusu ahadi ya kila alitendalo atafanikiwa na
kupanda tena mbegu na kuimuru izae matunda na baadae ilitoa mazao. Pengine baadhi
yetu tunatakiwa kuombea magari yetu,biashara,kuombea mifugo yao, kuombea ardhi
yetu na mazao yetu na kuyaamuru kubarikiwa na kufanikiwa kwa jina la Yesu. Tamka
maneno ya Roho na uzima kwao na hiyatakuwa na mjadara bali mema ya Mungu.
Page 138
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Njia nyingine ya mafanikio ambayo makanisa mengi ya magharibi hayataki kusikia ni
kumruhusu Mungu kubadilisha matakwa yetu ili kwamba tuwee kuishi maisha halisi
zaidi na na yenye mitindo ya gharama. Ni watu wangapi wanaoenda kanisani na
kumwimbia Yesu nyimbo kwakuwa kila kitu wanachohitaji na bado kwa siri
hawajihusishi na Yesu bali wanatka maisha yenye mitindo ya maisha vilevile!
Kwakumruhusu Mungu kubadilisha matakwa yako na kumwacha aorodheshe maeneo ya
tamaa katika maisha yako kunaweza kuachilia pesa nyingi, ambazo badala ya kuzitumia
katika mambo ya dunia hii zinaweza kutumiwa katika kazi ya Mungu.
Eneo moja la mwisho ambalo kila mmoja katika Ufalme wa Mungu akilitendea kazi
aweza kuwa na faida zisizoaminika ni eneo la kutunza pesa baina ya ndugu waamini.
Kwa mfano, kuna kadri ya wakristo bilioni duniani wenye pesa nyingi – je!kwahiyo
tusitafute kadri kazi iwezekanavyo na kufanya biashara baina yetu na kuwaachia kodogo
iwezekanavyo wasio na Mungu? Kama utahitaji gari jipya kuna mkristo anae husika na
magari unaweza kumwendea? Kama unahitaji kompiuta basi kuna kampuni ya
kompiuta ya mkristo unaweza kumwendea? Kwanini usipende kufanya biashara na
kampuni la mkristo mara nyingi uwezavyo na kuweka pesa nyingi iwezekavyo kwa ajili
ya Ufalme. Sehemu hizi mbili natumaini zimekuchochea ili kumtazamia Mungu
kukupeleka katika baadhi ya maeneo. Kuna mashaka mengi zaidi, kwahiyo endelea
kutazama na kumtarajia Mungu kufanya kazi kwa namna ya ajabu kukubariki na
kukufanikisha.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Ethiopia
62,564,875 ya watu , 65%ni wakristo
Kanisa linakuwa kwa nguvu lakini waislamu wanaipeleka nchi katika uislamu
© www.operationworld.org
39. Vizuizi Vya Baraka
Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti : Mithali 11:24
Kariri mstari huu: Waebrania 6:12 ' Iga wale ambao kwa imani na uvumilivu walirithi
kutokana na ahadi '
Baadaye Zungumzia Hili : Yesu anapozungumza kuhusu kuwa mwaminifu kwa vitu
vidogo, hilo linaonekanaje maishani mwako.
Page 139
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine :Ikiwa Mungu amekuonyesha kitu
kinachozuia baraka katika maisha yako, hakikisha unakiondoa.
Kazi ya kuandika ya Diploma: Andika upande mmoja kuhusu namna tunavyoweza
kupoteza mavuno ya kifedha.
Tafakari Neno baada ya Neno katika Aya hii: Wagalatia 6:9
Baada ya kuonA katika sehemu ya awali baadhi tu ya njia na njia ambazo Mungu
anaweza kutumia kutufanikisha, sehemu hii tutaangalia baadhi ya mambo ambayo
yanaweza kuzuia na kuchelewesha mambo mema ya Mungu kuja kwetu. Kama katika
sehemu iliyopita hakukuwa na vizuizi katika njia zote ambazo Mungu anaweza kutumia
kutufanikisha, sehemu hii pia haizuii kila eneo linalofungwa. Eneno hili ni muhimu kwa
kila wanaosoma hapa Roho mtakatifu awafafanulie. Imekwisha elezwa toka mwamnzo
kuwa Milele Mungu amekusudia kubariki na kutuinua na kama hatutaona hili lina tokea
ndipo tatizo kwetu, si Mungu. Kama hujawahi kuona utosherevu wa mema ya Mungu
katika maisha yako, basi badala ya kuomba kwa Mungu akubariki (jambo ambalo yeye
tayari alisema atafanya ), kwa nini usiombe na kumusihi Mungu akuonyeshe ni kitu gani
kinachozuia hizo baraka.
Sababu nyingine kubwa inayofanya watu wanazuiliwa utosherevu wa Mungu katika
maisha yao ni kwamba wao si waaminifu katika utoaji wao. Wanataka mavuno lakini
hawajawahi kupanda mbegu, wansubiri meli yao ije lakini wala hawajawahi kuituma
iende inje katika nafasi ya kwanza, wanasubiri mkate wao uje juu ya maji wakati
hwajawahi kuwatupia katika nafasi ya kwanza! Limetimia neno lisemwalo Mkristo
asyetoa hana biashara ananun'gunika kwa Mungu kuhusu ukosefu wa fedha. Mithali
11:24 inasema ' Kuna atawanyaye, lakini huongezewa zaidi.' kuna azuiaye pasipo haki
lakini huelekea uhitaji.' Muamini yeyote ambaye haiawahi kutoa, amezuia zuio la fedha
za Mungu amabazo zingemrudia yeye, kweli hawana sababu ya kulalamika kama
maishani mwao wamechagua umaskini. Eneo zaidi la kufikiria kuhusu nia kwa ajili ya
utoaji ni eneo la upendo, ni sisi kuwapa watu kwa upendo wa kweli kwaajili ya Mungu
na upendo kwa watu tunao watumikia ? au mara nyingine tena ni kama tu nje ya wajibu.
Kwa mfano, katika Luka 11:42 Yesu inaonyesha hii kuhusu Mafarisayo anaposema, 'Ole
wenu mafarisayo, kwa kuwa mwatoa zaka za mnanaa na mchicha na kila mboga, na
huku mwayaacha mambo ya adili, na upendo wa Mungu.' kwa kweli katika
1Wakorintho 13:3 , Paulo anafanya tamko lenye nguvu juu ya haja ya kutoa kwa
upendo wa Mungu ndani ya mioyo yetu anasema, 'Tena nikitoa mali zangu zote
kuwalisha maskini, tena nikajitoa mwili wangu niungue moto, kama sina upendo ,
hainifaidii kitu ' Utoaji wetu ni muundo wa kila mara na ufanyika kila Jumapili , au ni
ishara halisi ya upendo wetu kwa Mungu na kwa wale wanaotuzunguka ambao
watafaidika kutokana na utoaji wetu.
Page 140
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Sababu nyingine inayoweza kumfanya mtu asiweza kuwa kufikia ukamilifu wa
mafanikio ya Mungu ni kushindwa kuchunguza sheria ya muda wa upandaji mbegu na
muda wa mavuno. Kwa mfano, Mwanzo 8:22 inasema kwamba sheria ya muda wa
mavuno haitaachwa, lakini labda watu wa Mungu wamekuwa wapuuziaji. Kwa mfano,
haitakuwa ajabu kama mkulima alipanda mbegu zake na kisha asubuhi ifuatayo
anakwenda kutafuta matunda? Wazi ni kwamba kuna wakati wa kupanda na wakati wa
kuvuna. Labda wewe umepanda mbegu kwa Mungu na bado hujapokea mafuno yako,
uendelee kuamini kwa sababu si tu ni sheria kwamba mavuno atakuja, lakini yanaweza
kuwa yapo karimu sana! Aidha Wagalatia 6:9 anasema 'Tena tusichoke katika kutenda
mema, maana tutavuna kwa wakati wake tusipozimi roho.' mambo matatu zaidi
yanaweza kufikiwa kutokana na andiko hili kuthibitisha kike kilichosemwa awali.
Kwanza, haisemi tunaweza au wanaweza kuvuna mavuno , maandiko yatambua
mavuno kwa sababu kama umetoa utapkea, sheria inayoendesha utaratibu huu ni ya
kweli kama ilivyo sheria ya nia. Pili, inataja uhalisi wa muda - tena kumbukumbu ya
misimu ya nyakati na mavuno, kupanda na kuvuna na haja ya kuheshimu kipengele cha
wakati husika. ( Waebrania 6:12 inaonyesha kwamba tunarithi ahadi za Mungu kwa
imani na uvumilivu na Warumi 8:25 inazungumzia vile vile). Mwisho, anamtamka
tusikate tamaa na hivyo haja ya kuendelea na kudumu katika imani na kuwa na
matumaini ya mavuno toka kwake imewekwa mbele yetu. Nasema tena, kama umetoa
na bado hujapokea mavuno yako uendelee kuamini na kuendelea kutoa, mavuno hakika
yatatokea.
Zekaria 4:10 hutoa ufahamu zaidi katika kile kinachoweza kuzuia utimilifu wa
mafanikio ya Mungu katika maisha yetu na kwamba hili ni eneo la kudharau siku ya
mwanzo mdogo. Kwa mfano , unaweza kuwa umetoa na yakaonekana mavuno kidogo
sana na hayatoshi, na wewe unliamini katika Mungu kuona mavuno mengi zaidi. Hata
hivyo, jinsi gani wewe uliitikia katika hili? kwa kushukuru na shukrani au ulikuwa
aliyeidharau siku ya mwanzo mdogo na kulalamika? Kama hutashukuru mavuno
kidogo pengine hutashukuru na mavuno makubwa. Kutokuwa na shukrani kwa Mungu
hakutaruhusu ukamilifu wake, katika: 1 Wathesalonike 5:18 anasema Shukuruni kwa
kila jambo. Sababu nyingine kwa nini baadhi ya watu tu kuonekana sehemu ya mavuno
na hakuna zaidi ni njia ya wao kuwa na kubebwa nini fedha wameona kuja nao . Kwa
mfano, badala ya kutumia busara kutoa hata zaidi katika kazi ya Mungu na kutumia
busara ili kukidhi mahitaji yao wenyewe , imekuwa ni kutumia katika ubinafsi katika
mapenzi ya mungu wa dunia. Yesu anaonya katika Luka 16:10 "Aliye mwaminifu katika
liliodogo sana, huwa mwaminifu katika lililokubwa pia; na aliyedhalimu katikika lililo
dogo huwa dhalimu katika lililokubwa pia. 'Labda watu wa Mungu wanatakiwa
kuangalia tabia ya matumizi yao na kuona kama wao ni waaminifu katika kidogo
wapacho, ambayo kwa kurudisha atawaongoza wapewe vingi. Kama tutakuwa na
ubinafsi na fedha zetu na hatuangalii utaratibu wa kuwekeza katika kazi ya ufalme wa
Mungu basi labda baraka za Mungu zitakwenda kwa mtu mwingine ambaye itatumia
Page 141
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
busara kwa kuwafikia watu kwa injili. Mwisho sababu kubwa inayofanya kwamba
baadhi ya watu wa Mungu hawana kiwango cha juu cha mafanikio ni kwamba inaweza
kuwa ni uharibifu wa tabia za kiroho katika neema yake na rehema, Mungu anajaribu
kuwaokoa kutoka hii. Methali 10:22 inasema 'Baraka za Bwana hutajirisha na anaongeza
wala hachanganyi huzuni nayo.' Kwa baadhi ya Wakristo, ustawi wa Mungu unazuiwa
kutokana na nia mbaya au ukosefu wa tabia za uadilifu au kutokana na ukweli kuwamba
tabia hizo zinawaongoza mbali na Mungu. Yakobo pia anaongea juu ya eneo hili
katika Yakobo 4:3 "Walai mwaomba, lakini hampati kwa sababu mwaomba vibaya, ili
mvitumie kwa tamaa zenu', katika mwanga katika hili tunatakiwa kuwa makini
kuchunguza tamaa zetu na nia ya kumwamini Mungu kwa ajili ya mafanikio.
Tumeona hapo awali kwamba wakati wana wa Israeli walipokuwa karibu kuingia katika
nchi ya ahadi , walikuwa wanonywa mara kadhaa na Mungu kwamba mambo mema na
mafanikio yao wanayoweza kufurahia yanaweza kuwa chanzo cha kusababisha wao
wamsahau. Je! Labda wewe unatafuta baraka za Mungu zaidi kuliko kumtafuta Mungu
mwenyewe? wakati Mungu wakati wote huwa anataka kutu bariki sisi, hatumtafuti yeye
kujua yeye ni nani na kwa jinsi gani anaweza kutupatia. Ukweli ni kwamba, wakati
tunapokuwa tumekomaa, waaminifu na imara katika uhusiano wetu na Mungu tutaona
utimilifu wa baraka zake lakini ni katika maana ya wakati, katika huruma na upendo
wake anasubiri kutupatia ili isiwe uharibifu kwetu.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Fiji
816,905 watu , Wakristo ni wengi lakini asilimia 33%. ni wa Hindu.
Ukuaji wa kanisa umesababisha ukuaji wa makundi ya pembezoni. © www.operationworld.org
40. Ahadi ya Fedha na Neno la Mungu
Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: 2 Wakorintho 9:6-10
Kariri Aya Hii: Luka 6:38 ' Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa, kipimo cha kujaa na
kushindiliwa na kusukwa sukwa hata kumwagika ndicho watu watachowapa vifuani
mwenu.'
Baadaye Zungumzia Hili : Kwa nini Biblia inasema zaidi kuhusu kutoa kuliko
kupokea?
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Kariri maandiko maatatu 3 hapo
chini.
Page 142
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika baraka zote ambazo zimeorodheshwa katika
Zaburi 112 na kile asemacho unatakiwa kufanya ili kuzianzisha.
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Zaburi 112:5
Maandiko yanazungumzia mpango kamili juu ya fedha na daima maandiko yanatoa
mtirirko linganifu kati ya Utoaji wa fedha na kupanda mbegu. Tunapotoa fedha kwaajili
ya kazi ya Mungu inalinganishwa na kupanda mbegu katika ardhi, na tunapopokea fedha
toka kwa Mungu inalinganishwa na kuvuna mavuno. Hapa chini ni baadhi ya maandiko
ambayo ni ya msingi juu ya fedha na mandhari inayopelekea kujua muda na yote
yaonyesha utoaji wa fedha- na yanaonyesha upokeaji wa fedha na baraka nyingi kwa
muda mwingi. Utoaji wa fedha ni jukumu letu, kutupatia baraka za fedha ni jukumu la
Mungu, na maandiko hapo chini yanapozunguzia zaidi juu ya kupokea kuliko kutoa
inaonyesha kuwa Mungu anachukua jukumu lake kutubariki kwa umakini sana.
LUKA 6:38 :- TOA
* Nawe utapewa
* Kipimo cha kujaa
* Na kumwagika
* Na kushindiliwa
* Na kusukwasukwa
* Ndicho watu watakacho wapa vifuani mwenu.
2 Wakorintho 9:6-8 : -
APANDAYE KWA UKARIMU ATAVUNA KWA UKARIMU
* Mungu anawezo kufanya utimilifu wa neema yote kwako
* Hivyo kwamba katika mambo yote
* Wakati wote
* Kupata yote yale unayoyahitaji
* Nawe utafanikiwa katika kila kazi njema
2 Wakorintho 9:9 : - AMETAPANYA, AMEWAPA MASKINI
*Na yeye ampaye mbegu mwenye kupanda na mkate uwe chakula
* Atawapa mbegu za kupanda na kuzizalisha.
* Naye atayaongeza mazao ya haki yenu.
* Mkitajirishwa katika vitu vyote
* Mpate kuwa na ukarimu wote.
Malaki 3:10 :- Leteni zaka kamili GHALANI ili kiwemo chakula katika nyumba yangu
* Mkanijaribu kwa njia hiyo, mjue kama sita wafungulia madirisha ya mbinguni
* Na kuwamwagieni baraka hata pasiwepo nafasi ya kutosha, au la.
* Nami kwaajili yenu,nitamkemea yeye alaye wala hataharibu mazao ya ardhi yenu.
Page 143
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
* Wala mzabibu wenu hautapukutisha matunda yake.
ZABURI 112:5 : -
HERI ATENDAYE FADHILI NA KUKOPESHA
* Kwa maana hataondoshwa kamwe.
* Mwenye haki atakumbukwa milele
* Hataogopa habari mbaya
* Moyo wake u imara , ukimtumaini Bwana.
* Moyo wake umethibitika hataogopa
*Hata awaone watesi wake wameshindwa.
* Amekarimu na kuwapa maskini
* Haki yake yakaa milele
* Pembe yake itatukuzwa kwa utukufu.
Katika maandiko yote ya hapo juu , kwa kila wakati kutoa kunatajwa, kuna uthibitisho
mwingi juu ya kupokea kwa wingi kama ulivyo mfano wa kibiblia juu ya kupanda na
kuvuna kama inavyotumika katika fedha zetu. Kwa kuwa kuna uthibitisho mwingi zaidi
juu ya kupokea kuliko kutoa katika maandiko ya hapo juu, Je! ha ionyeshi jinsi moyo
wa Mungu unavyotuheshimu sisi kuliko sisi tunavyomuheshimu yeye? Kwa nini
tusianaglie tena katika maandiko ya hapo juu kuona uthibitisho kutoa na uthibitisho
zaidi juu ya kupokea, Mbona si kuangalia tena katika maandiko hapo juu kuangalia
marejeo ya kutoa na marejeo mengi zaidi ya kupokea, Je! Haita endeleza uhakika katika
wema wa Mungu?
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Gabon
1,226,127 watu asilimia , 77% ni waKikristo - Uislamu unaongezeka kwa kasi zaidi.
Rais kawa muumini wa Kiislamu , Kanisa lina nguvu kwa idadi lakini ni dhaifu
kwa kina. © www.operationworld.org
41. Kupanda Mbegu Za Kiroho na Za Kifedha
Katika Biblia Yako Soma Hpa Kwa sauti: Zaburi 1
Page 144
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Kariri Aya Hii: Methali 3:1 ' Usisahau mafundisho yangu ,bali tunza amri zangu
moyoni mwako,maana zitakuongezea wingi wa siku,na miaka ya uzima na mafanikio'
Baadaye Zungumzia Hili : Taja njiaza kupanda mbegu za kiroho na za kifedha.
Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine : panda mbegu za kifedha na za
kiroho.
Kazi ya Diploma ya kuandika: Andika upande mmoja kuhusu sababu zilizotolewa
katika mfano wa mpanzi (Marko 4:1-20 ) zinazosababisha watu kupoteza mavuno yao.
Tafakari neno baada ya neno katika aya Hii: Isaya 55:10
Kama waumini , tunatakiwa tutafute mtindo unaolingana na kile Biblia inachofundisha
na hasa , kile ambacho Biblia inafundisha kuhusiana na fedha zetu. Ssehemu ilyopita
ilionyesha kuwa Biblia inaongelea sana kuhusu baraka kuliko kutoa kama vile mkulima
anavyovuna zaidi ya vile alivyopanda, kwa hiyo inakuwa hivyo hivyo kwa kila andiko
kwahabari ya matoleo ya kifedha kwamba ni lazima kuwepo na kupokea zaidi kifedha.
Biblia inaongelea kuhusu aina mbili ya mbegu ambazo tunaweza kupanda kama
waamini ya kwanza ni neno la Mungu na ya pili ni fedha na sehemu hii itatazamia
namna ya kupanda aina mbili ya mbegu na kwa utaratibu gani.
Moja kati ya vitu vya pekee katika Biblia ni kwamba inafanya muonekano wa tofauti
binafsi na kuahidi kuwa wote wanaoishi kwakufanya kile inasema wataona maisha bora
zaidi. Pia maandiko hapo chini yanaongelea sababu na matokeo yatakayotokea kwa
mkristo yeyote kama vile, kwamba ikiwa watafurahi, na kutamani kuishi kwa neno la
Mungu, watasbarikiwa na Mungu . Nakiri matokeo hayo yayo katika maandiko hapo
chini ikiwa kwanza utalitumia neno la Mungu katika maisha yako, basi utajua baraka za
Mungu (hebu angalia namna maneno kama Mafanikio ,ustawi na baraka yalivyotumika).
Zaburi 1 'Lakini furaha hii i katika sheria ya Bwana na sheria yake huitafakari mchana
na usiku. Yeye ni kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji , unaozaa matunda yake
kwa majira na ambao majani hayanyauki . Chochote afanyacho hufanikiwa'
Mithali 3:1 ' mwanangu , usisahau mafundisho yangu , Bali moyo wako uzishike amri
zangu.maana zitakuongezea wingi wa siku,na miaka ya uzima na mafanikio.
Yoshua 1:8 "Kitabu hiki cha torati kisiondoke kinywani mwako bali kitafakari mchana
na usiku,ili uweze kufanya kulingana na yote yaliyoandikwa humo. Maana ndipo
utakapo ifanikisha njia yako kisha ndipo utakapo stawi sana'
Yakobo 1:22 'Lakini iweni watendaji wa neno wala si wasikilizaji tu,hali mkijidanganya
Page 145
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
nafsi zenu. Kwasababu mtu akiwa msikilizaji wa neno tu, wala si mtendaji,mtu huyo ni
kama mtu anaejiangali uso wake katika kioo maana hujiangalia,kisha huenda zake,mara
akasau jinsi alivyo.
Kadharika kwa ajili ya Nuru ya maandiko hapo juu, ikiwa tunahitaji mafanikio, ustawi
na baraka katika fedha zetu basi ni lazima tutende kulingana na Biblia inavyosema
tutende. Cha kusikitisha, wakristo wengi wanahitaji baraka zinazotamkwa katika biblia
lakini hawataki kufanya Mungu anavyotaka na hata hivyo hukataa kutoa kwa ajili ya
kazi ya Mungu. Hakika hakuna njia ya mkato kwa ajili ya baraka ambazo biblia
inazungumzia – na kama tunahitaji kujua baraka za Mungu intubidi tufuate za Mungu
kama zilivyowekwa katika maandiko. Baina ya mambo mengine mengi, Biblia ni kitabu
chetu cha mkononi kilicho na dhana zilizowekwa wakfu na Mungu kwa ajili ya mambo
yote ya kifedha.
Kuna wajibu mkubwa kwa kila mkristo binafsi tena kufuatiliwa vyema na kuhusishwa
na Biblia na ikiwa tunahitaji baraka za kifedha kwa ujumla, tunahitaji kujua ni nini
Biblia inasema kuhusu fedha.Watu wanasema kuwa ujinga ni kaburi katika Ufalme wa
Mungu,ujinga utakuua (Hosea 4:6 inasema 'Watu wangu wanaangamia kwakukosa
maarifa' kwahiyo ni muhimu kujisahihisha na kutafuta kufahamu mtindo hasa wa
Mungu na sheria zake. Swali zuri la kujiuliza ikiwa imani yako ni dhaifu kwa ajili ya
fedha ni kujiuliza kuhusu idadi ya maandiko ya kifedha uliokariri. Biblia katika maeneo
kadhaa yanahusiana na maneno yaliyo ndani yake kama mbegu na tunpoendelea
kufahamu zaidi Biblia kupitia kusoma, kutafakari,kusikiliza na kukumbuka,- Biblia
inahusiana na huku kupanda mbegu.
Kwa mfano kati ya mifano mikubwa ya Yesu ulikuwa ni mfano wa mpanzi yeye
mwenyewe alitangaza katika Marko 4:13 kwamba ikiwa hamlewi maana ya mfano huu,
hamtaelewa namna Ufalme wa Mungu ulivyo,' Ikiwa hamuelewi mfano huu
mtayaelewaje na yale mengine?. Hata hivyo,mfano wa mpanzi ni wa mhimu sana na
moja ya maudhui ya mfano huo ni kwamba Neno la Mungu ni kama mbegu ipandwayo
mioyoni mwa watu . Maana zaidi ya neno la Mungu kuwa kama mbegu watu wanaweza
kupanda mioyoni mwao ni Isaya 55:10 'Kama vile mvua ishukavyo na thaluji
ishukavyo kutoka mbinguni,wala hairudi huko;bila kuinyeshea ardhi na kuizalisha na
kuichipuza,ikampa mtu apande mbegu na mtu alae mkatendivyo litakavyokuwa neno
langu litokalo katika kinywa changu'
Kwahiyo aina ya kwanza ya mbegu tunayopanda ni neno la Mungu – kupitia ufahamu
wa maandiko yanavyosema kuhusu fedha tutajiweka katika marisho mazuri, kwa ajili ya
kupanda aina ya pili ya mbegu ambayo ni mbegu ya kifedha. Kwakupitia neno la Mungu
mioyoni mwetu tutapata marifa kuhusu kupanda na kuvuna,kutoa na kupokea. Hili
litatuweka mahali pindi tutakapoanza kutoa kifedha hivyo twaweza kushinda hofu
Page 146
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
yoyote na mashaka, na tunaweza kutarajia kwa ujasiri aina nyingi za baraka za Mungu
anapotuheshimu kwa kumheshimu
Si kwamba tu tunahitaji kupanda kwa utaratibu sahihi (mbegu za kiroho na pia mbegu za
kifedha),lakini pia tunahitaji kupanda aina zote mbili za mbegu – huwezi kupanda aina
moja na kuacha nyingine ili kujua utimilifu wa za Mungu. Kwa mfano, unaweza kujua
yote biblia inasema kuhusu kutoa na kupokea na kupanda na kuvuna bali ikiwa huta
piga hatua kwa imani na kuanza kutoa basi ahadi zote za biblia hazitan tenda kwako.
Kwa upande mwingine, ikiwautapanda mbagu ya kifedha na kutoa kila wakati na
kutokuelewa shauku ya Mungu kuhusu kuvuna kile umempandia, hutakuwa na imani au
tarajio la kuona mpenyo wa kifedha kwasababu pasipo imani (itakayoinuka kwakutoa
mbegu za kiroho) hutapokea kutoka kwa Mungu (waebrania 11:6).
Yaliyoorodheshwa chini ni aina mbili za mbegu tulizozitamia
DHANA YA KUPANDA MBEGU
Matoleo ya kifedha (pesa)
Kumbukumbu za kiroho na Ahadi za kibiblia
Nyumba ya Maombi kwa ajili ya mataifa masikini
Omba kwa ajili ya Gambia
1,305,363 ya watu,88% ni waislamu
Uislamu umeng'ang'ania na kanisa linakuwa kwa shida licha ya uhuru wa
kuhubiri Neno.©
© www.operationworld.org
42. Sheria Za Mavuno Katika Biblia yako soma Hapa kwa sauti: Galatia 6:7-10
Kariri Aya hii: 2 Wakorintho 9:6
Kumbuka Neno hili :Apandae haba atavuna haba ,apandae kwa ukarimu atavuna kwa
ukarimu'
Baadae zungumzia Hili: husishaneni shuhuda ulipokuwa umetoa na kupokea.
Page 147
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Jambo la kufanya wakati mwingine: Nunua paketi ya mbegu na uzipande na
uzichukulie kama ni fedha zilizo pandwa.
Kazi ya Diploma ya kuandika: Andika kwa upande mmoja juu ya namna sheria
zinavyotumika katika fedha kama katika mazao.
Tafakari Neno kwa Neno katika Aya Hii: Mithari 11:24
Unapotoa fedha,Biblia inalinganisha na kupanda mbegu na kama vile maandiko chini
yanavyoonyesha. Kama vile sheria zinavyotumika katika mazao na mavuno ndivyo
ambavyo sheria zinavyotumika katika mbegu za kifedha na mavuno ya kifedha. Sehemu
hii itahusisha kati ya sheria za asili na sheria za kiroho za kupanda na kuvuna na kusudi
si kutupeleka kisasa zaidi – kuna mahusiano yanayoweza kuwekwa.
Galatia 6:7 'Msidanganyike. Mungu hadhihakiwi. Kwakuwa apandacho mtu ndicho
atakachovuna'
2 wakoritho 9:6 'Apandae kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu'
Sheria zinazoendesha hali ya hewa tunazijua au hatuzijui
Mwanzo 8:22 inaonyesha kuwa sheria za asili za wakati wa kupanda na kuvuna daima
zitabaki katika ulimwengu wa asili.
Kadhalika,kupanda na kuvuna na kutoa na kupokea ni sheria za kifedha ambazo daima
zitatawala ulimengu wa roho. Kutokuzielewa sheria hizi itakuwa ni kwa ajili ya hasara
yetu Hosea 4:6 inasema , 'watu wangu wanaangamia kwakusa maarifa' Sheria huongoza
kila mtu na hutumika kwa wote. Ikiwa mkulima tajiri na mkulima masikini watapanda
kiwango kilekile cha mbegu katika udongo uleule watapata kiwango sawa cha
mavuno.ikiwa mtu mme mkulima na mtu mke mkulima watapanda kiwango sawa cha
mbegu watapokea kiwango sawa cha mavuno. Ikiwa mkulima mweusi na mkulima
mweupe watapanda kiwango sawa cha mavuno watapokea kiwango sawa cha mavuno.
Sheria za kupanda na kuvuna hazitendi kazi kwa rangi au jinsia hutenda kazi kwa kila
anaezitumia.
Kaa katika sheria nanyi mtabarikiwa.Kiwango kidogo cha ufahamu wa sheria
hakitasaidia kusababisha mavuno kuja kwako ,sheria za kupanda na kuvuna ziko kwa
ajili yetu kukaa kwazo na kubarikiwa kwazo.Sheria za kupanda na kuvuna hazipo kwa
ajili ya kutuzuia bali zipo kwa ajili ya faida yetu,inabidi tuzitumie ili zitende kwa ajili
Page 148
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kibali chetu.
Usipopanda chochote hutavuna chochoteSauti hii ni ya kawaida ila haistahili kutamkwa!
Bado kuna makundi ya wakristo ambao hampi Mungu hata hela na bado wanasal,
wanatabiri,ombaomba,wanahitaji,na kumzuia ibilisi. Ili kupata mavuno! Hakuna
mavuno ya ghafla katika ulimwengu wa roho,ikiwa hujapanda mbegu yoyote na hakuna
mavuno ya ghafla katika roho pia hakuna ikiwa hujapanda mbegu za kifedha.
Kuvuna kwako ni sawasawa na kupanda kwako
2 wakoritho 9:6 inasema 'Apandae haba atavuna haba ,Apandae kwa ukarimu atavuna
kwa ukarimu'.
Ikiwa ulishawahi kuona mfereji wa mavuno ya kifedha na uko tayari kwa ajili ya
chemichem kubwa ya mavuno ya kifedha basi unatakiwa kupanda chemichemi kubwa
ya mbegu ya kifedha.
Unapanda mbegu kwa matarajio ya kuzalisha mavuno.
Hakuna mkulima apandae mbegu na kuenda na kulisahau shamba – bali hulitazamia
kuzaa mavuno. Ikiwa umepanda mbegu za kifedha usizisahau – pesa zaweza kuondoka
mikononi mwako lakini si maishani mwako ,pesa hutoka kwako wakati uliopo hadi
wakati ujao – tarajia mavuno!
Upandaji wa kichoyo huleta mavuno ya kichoyo.
Ikiwa mkulima atapanda mbegu nusu ya shamba lake na kuacha nusu nyingine atapokea
mavuno machache. Vilevile,ikiwa unatoa mara chache hiyo in maanisha kuwa
unajiweka mwenyewe katika mahali pa kupokea mfereji imara wa baraka.
Chagua udongo mzuri kwa ajili ya kupanda
Hakuna mkulima anaeweza kupanda mbegu yake mchafu mgumu au katika njia ya zege
wakati ana kipande cha ardhi yenye rutuba wa kupanda- bila shaka atapanda mahali
ambapo patampatia faida kubwa.
Vilevile,unatakiwa makini sana kutoa katika kanisa, taasisi,umishonari n.k ,unaefikiri
atakupatia faida bora kutokana na pesa ulioipata – kwanini uipoteze katika makanisa na
huduma zisizo na matunda?
Mbegu nzuri huzaa mazao mazuri
mtolee Mungu kilicho bora na panda mbegu bora – mpatie Mungu zaka ya kila kitu na
sadaka za ukarimu zaidi ya yote mpatie Mungu kilicho bora na mwamini kwa ajili ya
aina mbalimbali za baraka zake kukupata. Nenda zaidi ya kiwango chako na hakikisha
unampa Mungu kilicho bora nae ataenda zaidi ya kiwango na kukupa kilicho bora.
Page 149
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Mbegu mbaya huzaa mavuno mabaya
Ikiwa unapanda isiyo haki katika fedha zako itaongezeka na kukurudia tena kwa namna
ya ukame wa kifedha badala ya mavuno. Kwa makini,tathimini kama kuna eneo la
kifedha lisilo la haki ambalo linakusababisha upande mbegu mbaya na kuvuna mavuno
ya machungu. Mkristo anaejizidishia pesa zisizo za haki ni sawa na mkulima anae panda
mbegu za miba katikati ya mazao yake,tafadhali heshimu muda wa kupanda na kuvuna.
Uliona mkulima mara ya mwisho lini akipanda mbegu Jumapili na kwenda kuona
mavuno Jumatatu jioni! Kwa bahati mbaya,wakristo hutoa sadaka zao jumapili jioni na
kuona bahasha ikiwa imejaa pesa jumatatu asubuhi. Galatia 6:7-10 inaonyesha kuwa
kuna mavuno yanayokuja kwa wakati sahihi Mungu anapoona vyema kuachilia kwako -
kwa subira subilia mavuno yako!
Mavuno ni ya taratibu
Yesu aliongelea mavuno kuwa ya taratibu katika Marko 4:28 Anaposema, 'Nchi huzaa
yenyewe;kwanza jani tena suke'. Badala ya kutarajia miujiza mikubwa ya kifedha
ungetarajia kuona mfereji wa baraka katika maisha yako kama mavuno kadri
yanavyokomaa.
Kila mbegu hujizaa yenyewe
Ikiwa mkulima anataka mti ya mchungwa hawezi kupanda mbegu za maepo kwa maana
kila mbegu hujizaa yenyewe. Hivyo,ikiwa unahitaji baraka – panda baraka na ikiwa
unataka urafiki panda urafiki katika maisha ya watu wengine,ikiwa pia unahitaji watu
kuwa wema kwa ajili yako,kuwa mwema kwa ajili watu wengine.
Kila mbegu huzaa tunda lenye mbegu zaidi ambazo zitaonekana
Yesu akasema katika Yohana 12:24 'ngano isipoanguka katika nchi ,ikafa ,hukaa hali
hiyo hiyo peke yake;bali ikifa hutoa mazao mengi.' sheria ya kupanda na kuvuna ni
kama vile ungepanda moja na kama utapanda mbegu zote ambazo zimezaliwa zinaweza
kujaza shamba lote –kutokana na kwakupanda mbegu moja.
Usile mavuno yako yote
2wakorintho 9:10 inasema 'na yeye ampae mbegu mwenye kupanda,na mkate uwe
chakula,atwapa mbegu za kupanda na kuzizidisha,nae atayaongeza mazao ya haki yenu.'
Hivyo Munu huweka pesa mikononi mwetu kwa sababu
1.Mkate kwa ajili ya chakula kama vile mahitaji y muhimu
Page 150
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
2.Mbegu kwa ajili ya kupanda kama vile ziada ya pesa kuwekeza kwa ajili ya Ufalme
wake.
Usisubiri hadi una njaa kabla hujapanda mbegu yako
Kama ungetaka tunda la epo jumapili jioni usingepanda mbegu ya epo jumapili asubuhi.
Hata hivyo,wakristo wengi husubiri majanga ya kifedha yamekuwa juu yao kabla
hawajaanza kupanda mbegu zao za kifedha kwa ajili ya tumaini la kuondokana na janga
walilo nalo. Usisubiri nyakati mbaya ndipo uanze kupanda mbegu bali panda nyakati
nzuri na nyakati mbaya,kwa hakika, panda kila wakati ili kusudi uwe na mavuno yasiyo
koma.
Ng'oa kila gugu linaloweza kuharibu mavuno.
Yesu alionya katika Marko 4:19 kuhusu pesa isiyo ya haki huwa kama magugu, 'Bali
shughuri za dunia,na udanganyifu wa mali,na tamaa za mambo mengine zikiingia
,hulisonga lile neno,likawa halizai. Pesa isiyo ya haki itasonga na kuua mavuno yetu
,kwahiyo tunahitaji kuyaondolea mbali ya maisha yetu.
Nyumba ya Maombi kwa ajili ya Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Ghana
20,212,495 ya watu,63% ni wakristo – 21% ni waislam
Hofu ipo kati ya Waislam na Wakristo – kutokana na kuwepo kiwango cha watoto waliokataliwa.
© www.operationworld.org
43.Kuzuia Mtindo wa Maisha ya Tamaa
Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Waefeso 5:5
Kariri Aya Hii: Wakolosai 3:5 'Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi;
uasherati , uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu '
Baadaye Zungumziia Hili : Jadili mifano ya tamaa katika kanisa la leo.
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Ujao: Fikiria ni kwa nini watu wenye tamaa
wanaitwa waabudu sanamu katika Biblia.
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Orodhesha kila aina za watu wanaotajwa kuwa ni
Page 151
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
moja ya wenye tamaa katika Waefeso 5:5 , Wakolosai 3:05 & 1 Wakorintho 6:9 .
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: 1 Wakorintho 6:9
Sura hii itazingatia mazingira ya tamaa na baadhi ya maonyo makali ambayo Biblia
inatoa dhidi ya tamaa na baadhi ya mifano ya kibiblia juu ya tamaa inavyo sababisha
hukumu ya Mungu. Katika siku za hivi karibuni baadhi ya dhambi zimeonyesha
matokeo yake ya hatia na aibu miongoni mwa watu wa Mungu ( kama vile uasherati na
wizi) wakati dhambi fulani zimepta kibali sana – tamaa imekuwa ni mfano na imepata
nafasi kubwa katika jamii yetu. Kuna baadhi ya dhambi ambazo ni ziko wazi sana
kwetu ( kama vile wakati tunaposema uongo au kuiba ) lakini, tamaa si rahisi kuigundua
na inaweza kututeka nyara. Sehehmu hii muhimu itatutazamisha mtazamo wa kiBilia
dhidi ya tamaa, Misingi mitatu 3 ya maandiko ambayo yote yanaeleza juu ya neno
tamaa yatatupatia kumbukumbu.
Waefeso 5:5 "Maana neno hili mnalijua hakika, ya kwamba hakuna mwasherati wala
mchafu wala mwenye tamaa – ndiye mwabudu sanamu, aliye na uridhi katika Ufalume
wa Kristo na Mungu.
Wakolosai 3:5 ' Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi; uasherati , uchafu,
tamaa mbaya, mawazo mabaya na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu kwaajili ya mabo
hayo, huja ghadhabu ya Mungu.'
1 Wakorintho 6:9 'Msidanganyike, washerati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala
waabudu sanamu wala wazinzi wala wafiraji wala walawiti wala wezi wala watamanio,
wala walevi wala watukanajiwala wanyang'anyi hawataurithi ufalme wa Mungu'
Hatua ya kwanza ya kuzingatia ni kwamba maandiko yote katia Waefeso 5:5 na
Wakolosai 3:5 yanaonyesha kwamba mtu mwenye tamaa hakika ni mwabudu sanamu
kwa hivyo fedha ni sanamu na ni Mungu wa uongo ambayo watu huiabudu, hii ni
pointi aliyofaywa katika kurasa za kitabu hiki. Kwa mfano, tuseme wakati ujao wewe
utaenda kanisani hapohapo mtu mwingine karibu na wewe analeta sanamu na kuanza
kupiga magoti chini yake wakati wa kuabudu – je! si tatizo linaloleta ghasia kanisani?
Hata hivyo, kila Jumapili katika maelfu ya makanisa duniani kote, Wakristo hawajui
magendo ya sanamu katika huduma za makanisa haya, sanamu ipo katika mifuko yao
ya fedha na kadi zao za kuchukulia fedha benki. Sababu ni kwamba wakati wewe
unapotoa mwenyewe kwa uchoyo na tamaa na kupenda pesa na kuruhusu pesa kuwa
Mungu walo badala ya Yesu, hapo unakuwa mwabudu sanamu.
Hatua ya pili ya kuzingatia ni kwamba Waefeso 5:5 na 1 Wakorintho 6:9 zote mbili
zinaonyesha kwamba mtu mwenye tamaa hatakuwa na urithi katika ufalme wa Mungu –
kunaonekana kuwa kuna njia mbili hapa katika kuangalia maelezo haya. Kwanza ni
Page 152
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kwamba Paulo anaonya kuwa tamaa ni tabia ya wale ambao hawajaokoka , na hivyo
wakristo wanapokuwa ni wenye tamaa wanafana na kuwa na vitendo kama mtu
asiyeookoka. Ya pili ni kwamba kwa aajili ya tamaa, Mkristo hujiondoa mwenyewe
katika urithi wake wa Ufalme wa Mungu na kupata hasara ya baraka ambazo
zingekuwa za kwake. Aidha, kwa njia ya tamaa hatutapata kuwa wanufaikaji katika
rasilimali kamili ya Ufalme wa Mungu na kubadilishana urithi wetu mtukufu (Waefeso
1:8 ) kwa ajili ya hazina chache zenye huzuni za kidunia.
Aidha, ni hakika imekuja kama mshtuko kuona aina ya watu kwamba Biblia inaweka
katika darasa moja kama tamaa watu hapa chini ni watu waliotajwa katika Waefeso 5:05
na 1 Wakorintho 6:19 ni haki katika miongoni mwao, wenye tamaa watu waliotajwa. Ni
lazima hakika kuwa rude kuamka kwa Mkristo yeyote tamaa ya kutambua kwamba wao
ni classified katika Biblia pamoja na mashoga na makahaba kiume!
Washerati
Wachafu
Waabudu sanamu
wazinzi
Walawiti
Wafiraji
Wezi
Wenye tamaa
Walevi
Wasingiziaji
Wanyang'anyi
Aidha, Wakolosai 3:5 inasema kwamba ghadhabu ya Mungu inakuja dhidi ya dhambi
hizi zote zilizoorodheshwa na mmoja wao ni wazi na tamaa - ni huzuni lakini ni kweli
kwamba kundi kubwa la watu ambao watakwenda Jehanamu na kujionea ghadhabu ya
Mungu watakuwa ni wenye tamaa.
Huenda bila kusema kwamba ni kwa kumkataa Yesu tu peke yake ndiko kutawapeleka
watu Jehanamu, lakini ni wazi kwamba watu watakataa kumfuata Yesu kwa sababu
nyingi –sababu kubwa ni kwamba watu wanafuata fedha na kuitumikia. Kumbuka
kwamba Yesu alisema katika Luka 16:13, 'Huwezi kumtumikia Mungu na fedha' Katika
tamaa yao,wengi wantumikia fedha badala ya Mungu na kwa sababu ya hii, kama
inavyoelezwa katika Wakolosai 3:5 anasema, ghadhabu ya Mungu huja.
Hatua ya mwisho ya kuzingatia ni kwamba watu wenye tamaa kwa kamwe hawaridhiki
na kwa tamaa na uchoyo na kwa kutafuta vya ziada, watu wengi hawatapata udhuru.
Page 153
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Huu ni ukweli unaoleta huzuni, kwahiyo watu wengi na furaha wanayoitafuta
itawatoweka kama hawtakuwa watoaji na kuachilia pesa zao kwa Mungu, kwakufanya
hivyo utavunja tamaa kifungo cha tamaa katika maisha yako.Tamaa na uchoyo ni kama
madawa ya kulevya kama vile kokeini–daima vitaunda shauku kwa ziada na
furahavinavyosababisha inatoweka na inakaa kwa muda. Yanayofuata yaliyonakiriwa
katika Muhubiri 5:10 yanatokea kwa watu wengi – natumaini umekwishajua siri hii
tayari, Apendae fedha hatashiba fedha wala apendae mali hataridhika kwa mapato yake'.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Guatemala
11,385,295 ya watu ,wakotoliki wengi wanapungua
Nguvu ya utamaduni wa kikatoriki imedhoofishwa lakini kanisa linakuwa kwa
nguvu.
© www.operationworld.org
44. Tamaa huleta hukumu ya Mungu
Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Matendo 5:1-11
Kariri Aya Hi: 1 Samweli 15:26
Baadaye Zungumzia Hili : Kitu gani kingetokea kama Mungu atawahukumu watu
wenye tamaa katika kanisa la leo kama alivyofanya kwa Anania na Safira.
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Katika maombi, Muombe Mungu
akuonyeshe maeneo ya uchoyo katika maisha yako
Kazi Ya Kuandika Ya Diploma: Andika upande mmoja juu ya kwa nini baadhi ya
hukumu ya Mungu ni juu ya wenye tamaa.
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Yoshua 7:15
Baada ya kuonekana katika sehemu iliyopita maonyo kuhusu tamaa sehemu hii
itatazamia mifano ya kibiblia kuhusu watu waliokuwa na tamaa na matokeo yaliyofuata.
Kumbuka wakolosai 3:5 inatangaza kwamba ghadhabu inakuja dhidi ya tamaa na biblia
inatoa mifano kadha wa kadha kwamba ghadhabu ya Mungu itatokea kwa ajili ya lipi
kwa kila mtu. Kama vile ukarimu unavyovuta baraka za Mungu ndivyo tamaa
inavyovuta hukumu ya Mungu na watu wafuatao wanatoa uhakika juu ya hili.
Page 154
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Mtu wa kwanza ambae tutamtazamia ni Mfalme Sauli katika 1samueli ukurasa wa 15
tunaona namna sauli alivyopokea maelekezo kutoka kwa Mungu kupitia Nabii samweli
kushambulia waamaleki na kuwaangamiza pamoja na mifugo yao yote. Sauli
alifanikiwa kushinda vita lakini tamaa ikamshinda badala ya kuangamiza mifugo yote
anahifadhi wengine bora kwa ajili yake mwenyewe. Mungu akaona tamaa ya Sauli na
Nabii akatumwa na Mungu kwenda kumdhihaki kuhusu tamaa yake na kutokutii ,
kutokutii kwa Sauli kunaonekana kuwa kubaya kwasababu alianza kudanganya kuwa
ametekeleza maagizo ya Mungu (aya ya 13) na kutokutii kwake kunaonekana kuwa
kubaya zaidi anapotumia hila ya kiroho kuwa atamtolea Bwana dhabihu.
Ukweli wa mambo ulikuwa kwamba ingawa sauli anasema kuwa ilikuwa ni kwa ajili ya
kusudi la kiroho ndio maana akahifadhi mifugo bora bado alikuwa na tamaa katika hili
kama inavyoonekana katika aya ya 24. Kama matokeo ya uasi wake na tamaa hukumu
inakuwa juu yake na kukataliwa milele kama Mfalme wa Israel 1Samweli 15:35
inasema 'Na Mungu akaghairi kuwa amemtawaza sauli awe Mfalme juu ya Israeli'.
Haishangazi kwa wasiookoka kuwa wenye tamaa – ni kama vile kuwategemea lakini ni
vibaya wakristo wanapokuwa wenye tamaa ,lakini ni hatari zaidi wanapotoa kile
kinachoitwa uongo wa 'kiroho' kutetea tamaa na uchoyo wao. Wachungaji hutetea
viwango vya matumizi yao kwa ajili ya matengenezo na madilisha ya vioo wakitarajia
kuwa kanisa litaona utukufu wa Mungu – kwa uhalisi, kuwa na madilisha ya vioo ni
muhimu sana kwa baadhi ya watu kuliko kuwapa yatima chakula?.
Makanisa hutumia maelfu ya paundi kupeleka viongozi wake mikutano mikubwa , au
kuzindua michezo' ili wapate muda wa mapumziko ya kiroho. Kwa kweli, matumizi ya
pesa yanaweza kuwasababisha wachungaji ving'ang'anizi wakati wamechelewa katika
ukombozi ' lakini ni bora kufuja pesa na kuona yatima wakijifurahisha na maji safi,
chakula kizuri na mabadiliko ya mavazi . Si ajabu kwamba kiwango cha maneno ya
kiroho yanaweza kusaidia tabia za ufujaji wa pesa kwa baadhi ya wakristo na makanisa?
Sauli alijaribu akashindwa,kwahiyo tutaweza siku ya hukumu wakati Yesu atapokuwa
anatoa adhabu kutokana na ladhi zetu nae atasema, 'kadri msivyowatendea mmoja wapo
wa hao wali wadogo,hamkunitendea mimi' (mathayo 25:45)
Mtu wa pili mwenye tamaa aliepata hukumu ya Mungu ni Akani hadithi inafanana
katika Yoshua ukurasa wa 7. Wana wa israeli walifanikiwa kuuteka nyara Yeriko lakini
walionywa kuwa vitu vya almasi na dhahabu vitengwe na vyombo vitakatifu kwa ajili
ya Mungu na vilitakiwa kuwekwa katika hazina ya Mungu. Akani hakutii na kwa siri
akatunza baadhi ya vyombo vya fedha na dhahabu kwa ajili yake lakini tazama
matokeon yake, Tamaa ya Sauli ilifunuliwa kwa nguvu ya Mungu kwa samweli na kwa
njia hiyo hiyo, Tamaa ya Akani ikafunuliwa kwa nguvu ya Mungu kwa Yoshua – tamaa
kawaida itaibuka kwa watu wa Mungu. Kkutokutii kwa Akani kukamsababishia
kupigwa mawe na kuchomwa moto na familia yake na kila kitu alichokuwa nacho.
Page 155
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Matokeo yatokea kuhusu hatua ya dhambi ya Akani kwa ajili ya tamaa kwa sababu
dhambi yake haikutubiwa ilisababisha Waisraeli wakaangamizwa na maadui zao, na
Bwana alithihirisha kwa Yoshua kwamba mpaka tamaa itolewe nje na isipate mafanikio.
Cha kusikitisha, katika makanisa leo kuna ma Akani wengi kati yetu, wanaozuia kazi
ya Mungu na kutoa kibali kwa adui kwa njia ya tamaa zao na ubinafsi. Je, wewe ni
Akani wa kisasa au wewe ni mtoaji? Je! Kanisa lako linabarikiwa au limezuiwa na
matendo yenu ya kifedha? Kanisa lilijaa Ma Akani litavamiwa maadui ya ibilisi, lakini
kanisa lililojaza akina Yoshua litakuwa linaendelea mbele na kuirithi nchi kaajili ya
Mungu.
2 Wafalme 5:19-27 inatukumbusha mtu afuataye mwenye tamaa ambaye ni Gehazi.
Baada ya kuponywa kwa mwenye ukoma , Naamani aliambiwa na Elisha njiani, lakini
Gehazi kwa tamaa akamfuta Naamani na akatumia uongo na hila ya kutafuta fedha na
nguo kutoka kwake kwa njia ya udanganyifu. Tena tamaa yake ilifunuliwa na mtu
mwenye haki (Elisha ) kama vile Elisha livyosema kwamba roho yake ilikuwa na
Gehazi, wakati yeye alikuwa anadanganya na kusema uongo (mstari 26). Mara nyingine
tamaa inatuongoza kwenye hukumu ya Mungu na Gehazi alipigwa na ukoma kama
hukumu hii ingalitumika leo katika tamaa zilizopo kati ya watu wa Mungu, makanisa
mengi yangegeuka kuwa makoloni ya ukoma.
Agano la Kale linatoa mifano zaidi juu ya tamaa inayosababisha hukumu ya Mungu
katika 1 Samweli 25 tunasoma habari za Daudi na mume na mkewe Nabali, na Abigaili.
Aya ya 3 inasema kwamba Nabali , 'alikuwa muovu katika kazi zake zote ' , na wakati
wa tu wa Daudi walipomsihi kwa ajili ya chakula alikataa na matokeo ya tamaa yake
na ubinafsi Daudi aliandaa watu wake ili kumshambulia. Hata hivyo mkewe alitambua
uchoyo wa mume wake aliandaa mahitaji kwa ajili ya Daudi na akazuia umwagaji
damu na kupoteza maisha, ukweli ni kwamba Daudi alikuwa mtu wa Mungu alikuwa
anastahili kupewa sehemu ya chakula cha Nabali na nyama. Baadaye Abigaili alikutana
na Nabali na kumwelezea kile kilichotokea – habari hii imstusha moyo wake na
akawa kama jiwe (mstari wa 38) tena tamaa yake ilimuhuku na Mungu akampiga huyo
Nabali hata akafa. ( mstari 38)
Mfano mwingine unaopatikana katika Agano Jipya ni habari ya kutisha ya Anania na
Safira ambayo hupatikana katika Matendo 5:1-10 . kwaajili ya matendo yao mbaya ,na
wakati huo kanisa la kwanza lilikuwa linatembea katika utukufu na nguvu , Matendo
2:45 na Matendo 4:34 inaonyesha kwamba Roho Mtakatifu alikuwa na mikono yake
imara juu ya masharti ya mfuko wa fedha wa kanisa. Hata hivyo Shetani alitaka
kuvamia mtindo huu wa fedha ya jamii kwa njia ya tamaa na roho ya vizuizi, Matendo
5:3 inaonyesha kwamba moyo wa Anania 'haukuwa mkamilifu katika pendo la Mungu,
hivyo shetani alimjaza moyo wa tamaa. Anania na Safira wakasema uongo si tu kwa
Page 156
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
watu bali pia walimdanganya Roho Mtakatifu (mstari wa 3 ), na wote wakateswa na
hukumu ya kutisha ya Mungu na kufa. Ujue ya kuwa ile kanuni ambayo Mungu
aliitumia kuondoa tamaa ilidhihirishwa na mtu wa Mungu (aitwaye Petro ) na mtu wa
Mungu msimamizi aliagiza hukumu ya Mungu ishuke juu ya watu hawa wawili Anania
na Safira
.
Hadithi ya Biblia inaonekana katika sura hii kufidia baadhi ya hukumu za Mungu
kubwa na za kutisha zaidi, zinapatikana katika maandiko yote- - ni onyo kubwa kwa
wote wanaosoma na wanapaswa kutupilia mabali tamaa katika maisha yao. Hakika ,
katika Nuru ya maandiko hapo juu kuhusu hukumu ya ghadhabu ya Mungu ni kuwa
tunapaswa kuwa makini sana ili kwamba tamaa isitunyemelee. Uchambuzi hapo chini
ni hukumu ya Mungu ambayo tumekwisha ona aina mbali mbali za watu wenye tamaa
hawa wanatakiwa kuwa mfano kwa mtu yeyote anayedai anamfuata Yesu.
Andiko, Mtu wa Mungu, mwanaume kwa mwanamke mwenye tamaa ya uchoyo
alibainika katika mateso ya hukumu.
1 Samweli sura ya 15 Samweli Sauli
alikataliwa asiwe Mfalme
Yoshua 7 Yoshua; Akani
alipigwa kwa mawe na kuchomwa moto
2 Wafalme 5:19 Naamani Gehazi
aligwa kwa ukoma
1 Samweli 25 Abigaili Nabali
akampiga chini na akafa
Matendo 5:1-10 Petro Anania na Safira wakaanguka chini wakafa
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Guinea
7,430,346 ya watu 4% ni wakristo
Uislamu umeenea lakini kanisa linaongezeka na limekuwa ushuhuda kwa
waislamu
© www.operationworld.or
45. Kuwa Na Mfumo Rahisi Wa Maisha
Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti: Wafilipi 4:12
Page 157
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Kariri aya hii : 1 Timotheo 6:8
Baadaye Zungumzia Hili : Tunawezaje kujua kuwa tunaishi maisha rahisi.
Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine : Mwombe Mungu akufunulie kama
kuna kitu chochote katika maisha yako ambacho kingeweza kuuzwa na pesa zikawekwa
kwenye kazi ya Mungu.
Kazi ya Diploma ya kuandika: Jadilini pengine Biblia inashauri wakristo kutokuwa na
maisha ya anasa.
Tafakari Katika Aya hii: 1 Timotheo 6:6 .
Hata hivyo Biblia inatoa baadhi ya maonyo kuhusu tamaa na tumeona mifano kadha wa
kadha kusiana na watu waliokumbatia tamaa na matokeo yake wakavuta hukumu ya
Mungu. Kama wakristo tumeitwa kuishi maisha yanayopinga tamaa na kukumbatia
unyenyekevu kwasababu mali za anasa sio chanzo cha furaha yetu bali kuridhika na
mahitaji ya muhimu ya maisha na mabaki yanayowekwa katika kazi ya Mungu ndio
chanzo cha furaha yetu. Lazima tuhitaji kupata vingi, maana ni furaha zaidi kutumia
pesa zetu kwa ajili ya kuona waliopotea wanaokolewa kutoka jehanamu na umisionari
ulimwenguni kuwa na pesa, licha ya kutumia pesa zote kwa ajili yetu wenyewe.
Yaliyopo chini ni maeneo matatu ambayo maandiko yanaonyesha kwamba tunatakiwa
kuiga namna tunatakiwa kuishi maisha yetu.
1. Ishi maisha yako na vitu vichache vya anasa na mali iwezekanavyo.
2. Kama mali nyingi kuwa wazi na dhamilia kutoa kwa ajili ya Ufalme, ikiwa unahisi ni
kusudi la Mungu katika maisha yako.
3. Kama matokeo ya pointi mbili hapo juu, unapaswa kuwa na wingi kwa ajili ya kutoa
kwa ajili ya kazi ya Mungu.
Kwanza kama wewe ungefungiwa anasa zote katika maisha yako ni nini kingetokea
katika furaha yako ? Je umepata furaha na mahitaji muhimu ya maisha yako ? umepata
ridhaa kwa Mungu peke yake au kufanya haja ya kura ya anasa kutoa kwa furaha.
Yaliyopo ni ni maandiko 4 ya muhimu ambayo yote yana neno ' ridhaa ' na kila moja
ya mwisho wa maandiko yanaongelea mazingira ya fedha. Kwa makini soma maandiko
haya kama ni mapenzi ya Mungu kwa maisha yako - Mungu anatuita kupata ridhaa
katika yeye na kwa misingi ya maisha
Wafilipi 4:12 'Najua kudhiriwa tena najua kufanikiwa; katika hali yeyote na katika
mambo yeyote.'
1 Timotheo 6:6 "Lakini utauwa pamoja na kuridhika ni faida kubwa '
Page 158
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
1 Timotheo 6:8 Ila tukiwa na chakula na nguo tutaridhika na vitu hivyo.'
Waebrania 13:5 'Msiwe na tabia ya kupend fedha; mwe radhi na vitu mlivyo navyo.'
Umhimu wa pili wa kuishi maisha rahisi ni kwamba tunatakiwa kuwa wazi na
kudhamilia kutoa mali zetu ikiwa tunahisi kuwa ni kusudi la Mungu na ziada yoyote
tulionayo zaidi ya mahitaji ya muhimu ya maisha tunatakiwa tutoe kwa ajili ya kupanua
Ufalme wa Mungu. Wakristo wengi wa magharibi pesa ni kwa ajili ya maghari ya
kifahari,vyombo vya kifahari na mavazi licha ya kufungwa katika injili kama vile Yesu
alivyoonya katika Luka 12:15 " Angalieni jilindeni na choyo, maana uzima wa mtu
haupo katika wingi wa vitu alivyo navyo.' Je, unaweza kufikiri nini kingetokea kama
kila mkristo angeweza kuamua kuishi kwa mahitaji ya muhimu ya maisha na kuuza mali
iliyozidi na kuitoa katika Ufalme wa Mungu? - mabilioni ya watu wangeachiliwa na
kuokolewa katika kuzimu.
Jamo limetamkwa hapo zamani kuwa sisi ni mawakili wa pesa na mali tulizo nazo kwa
kuwa zinamilikiwa na Mungu. Kwahiyo, kwakuwa hatuna chochote juu ya mali zetu
hatutakiwi kusita sita au hoja kuhusu kuziachilia kwa ajili ya Ufalme kama unahisi
hivyo basi ni Mungu anaezungumza nasi. Mfano mzuri, wa mtu kutumia ni hadithi ya
Zakayo katika Luka 19:1-5 tajiri huyu ambae hajaokoka anapo badilishwa kabisa na
kushawishika kuvunja nguvu ya utajiri katika maisha yake. Kama uhakika kwa Yesu
kwamba ameamua kumfuata, Zakayo anasema katika Aya ya 8, 'Tazama Bwana! Wakati
huu na sasa ninawapa maskini nusu ya mali yangu , na kama nimemdanganya mtu
yeyote kwa chochote,nitamrudishia mara nne'
Yesu mwenyewe alizungumzia mengi kuhusu kusalimisha mali zetu – kwa wote
waliokuwa wanafinzi wake na wale ambao hawakuwa wanafunzi wake.
Kwa wale waliokuwa wanamfuata alisema
'Uzeni mali zenu na kuwapa maskini. (luka 12:33)
Kwa wale waliokuwa wakimpinga alisema
'Toeni sadaka vile vilivyo ndani na vyote vitakuwa safi kwenu' (Luka 11:41)
Na kwa mtawala tajiri anaetaka kumfuata anasema
'Uzeni kila mlicho nacho mkawape maskini'(luka 18:22)
Aidha Kitabu cha Matendo wazi kanisa la kwanza lilivyomilikiwa na Roho Mtakatifu
na eneo haswa lilokuwa limemilikiwa na Roho Mtakatifu ni mali za waumini.
kinaonyesha kanisa la kwanza kuwa inamilikiwa na Roho Mtakatifu na moja ya eneo
fulani kwamba ilikuwa inamilikiwa ya Roho Mtakatifu alikuwa muumini mali.Kadri ya
waumini katika kusanyiko walivyosema juu ya umiliki walikuwa wanamiliki, kuna
Page 159
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
mifano baadhi ya mali zilizouzwa na pesa kuwekwa kwa ajili ya kazi ya Mungu.
Matendo 2:45 , ' wakiuza mali zao na bidhaa, na kumpa kila mmja kadri ya alivyohitaji'
Matendo 4:32, ' Hakuna mtu alidai kuwa na mali yake mwenyewe'
Matendo 4:34, 'Hakukuwa na mhitaji baina yao. Kwa maana kila wakati wote
waliokuwa na viwanja na nyumbani waliziuza, na kuleta thamani ya vitu walivyoviza
miguuni pa mitume,kila mtu akagawiwa kwa kadri alivyohitaji. Na Yusuphu aliitwa
mlawi kutoka kipro alikuwa na shamba akaliuza akaileta fedha,akaiweka miguuni pa
mitume.'
Eneo la tatu na la mwisho ni kwamba kama matokeo ya pointi mbili zilizopita tutakua
na pesa za ziada na hizi hazitakiwi kuwekezwa katika vitu au katika fasheni za
ulimwengu huubali katika kazi ya milele ya Ufalme wa Mungu. 1 Yohana 2: 15-17
anaongea kuhusu tamaa ya mwenye dhambi na matamanio yake ya zaidi zaidi aya ya 17
inaonyesha mkanganyiko inaposema,'Dinia inapita pamoja na tamaa zake,bali yeye
afanyae mapenzi ya Mungu adumu hata milele',
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Guyana
861,334 ya watu , 33% ya ni wahindu,
Licha ya uchinjaji wa wanadini kabla 1985, kanisa bado linaongezeka.
© www.operationworld.org
46. Kutoa katika Akaunti ya Benki ya Kidunia
Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti : 2 Wakorintho 12:14
Kariri Aya hii: Mithali 13:11 'fedha ilyopatikana kwa haraka itapungua,Bali yeye
achumae kidogo kidogo atazidishiwa.
Baadaye Zungumzia Hili : Je,tuwekeze kwa ajili ya siku ya mvua,au tuweke kwa ajili
ya kuwekeza katika Ufalme wa Mungu.
Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine : Kama Mungu amekwambia, fungua
akaunti kwa ajili ya kuwekeza pesa ambazo zinazoweza kuwekezwa katika Ufalme wa
Page 160
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Mungu.
Kazi ya Diploma ya Kuandika:1 Wakorintho 16:1- 4
Tafakari neno baada ya neno: Marko 14:6
Marko 14:1-9 inazungumzia hadithi ya mwanamke aliekuja kumpaka Yesu mafuta na
chupa ya manukato ya gharama ambayo ilikuwa ni gharama ya mshahara wa mwaka
mzima –Yesu mwenyewe akasema kwamba popote injili itakapofundishwa
ulimwenguni jambo hili litaongelewa kwa ajili ya kumbukumbu yake na katika hadithi
hii tutaanza kutazamia wajibu wa kuhifadhi fedha kwa ajili ya kazi ya Mungu.
Ukweli haipingiki kwamba mwanamke huyu alikuwa mtoaji ndio maana alitoa zawadi
kubwa iliyokuwa ya thamani kwake, lakini pointi zaidi ni kwamba Yohana 12:7
inaonyesha kuwa alikuwa amewekeza pesa kwa ajili yake kwa ajili ya makusudi ya
haraka ya kumhudumia Bwana. Unaweza kunimbia watu hujitolea kwa ajili ya yale
wanayo wekeza, kwa maana wengine huwekeza kwa ajili ya ya mapumziko, au kwa ajili
ya gari,baada ya kustafu – yote yaliyomo ni sahihi. Hatahivyo, ikiwa tunahitaji kuwa
watoaji wa nyakat zote katika kazi ya umisionari wa ulimwengu na kulisha maskini na
kusema kwamba tumejitoa kwa ajili yake je! tusiitumikie pia ?
Kama tulivyoona hapo awali ,kwasababu Biblia haijatia mkazo katika pointi
hii,ingeonekana kuwa chini na juu ya zaka, sisi kama watoaji tungetakiwa kujiachilia
kwa ajili ya uongozi wa Roho Mtakatifu katika kutoa sadaka kwa watu na miradi kadri
tunapojisikia kufanya hivyo . Kwa mfano,baada ya kutoa zaka zetu kwa wiki au kwa
mwezi pengine pesa za ziada zingekuwa zinatengwa kila mwezi kwa ajili ya miradi
katika nchi za nje au kusaidia umisionari. Pengine ungeweka mwenyewe lengo
kufanyika katika kioindi furani hna kuungana na wengine katika kuweka katika akaunti
ya pamoja ambayo ianaweza kutumwa na kumbariki mtu au mradi katika nchi tofauti.
Dhana hii pengine itahitaji adabu fulani na kutoa kutahitaji kufanyika kila mara, bali
matokeo ya kutoa zawadi ya pesa nyingi mwishoni hustahili.
Kutokana na jamii tunaishi katika wewe si kweli kuwa kuwafundisha watu jinsi ya
kutumia fedha zao kwa kweli, matumizi ya fedha ni eneo moja watu wengi sana
maendelea. Hata kwa namna nyingine kutunza fedha ni jambo lilikuwa kwa wachache
sana na watu wengi wanapata matatizo kwa swala hili na inakuwa rahisi kwao na
kufurahisha zaidi katika kutumia pesa zetu kuliko kuweka akiba. Kupitia kuokoa fedha
kwa njia ya kuweka akiba tunaweza kupata zawadi kubwa hata kufikia kuwa mtu tajiri
au mradi na kupata riba kwa kiwango kinachowekezwa. Pengine kuna mtu au mradi
ambao Mungu ameweka katika moyo wako ila hadi kuzalisha pesa yako, kwa hiyo
kwanini usianze leo kuwekeza pesa zako ndani ya nafsi za watu waliopotea badala ya
kuwekeza katika anasa za kidunia.
Page 161
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Pengine moja ya mifano ya kusikitisha zaidi ambayo Yesu kamweasingeisema ni ule
mfano tajiri mpumbavu katika Luka 12:13-21 . Huyu hakuwekeza fedha zake katika
kazi ya Ufalme wa Mungu lakini alihifadhi fedha yake kwa ajili ya madhumuni yake
mwenyewe ya ubinafsi - hata kujenga ghala kubwa kuweka akiba yote aliyokuwa nayo .
Je, unaweza kufikiria jinsi mtu huyu ingeweza kuangukia katika hukumu siku ambayo
Mungu Mwenyezi alimuita mpumbavu (mstari wa 20?) Ni jambo rahisi kwa mtu yeyote
kukuita wewe mjinga, awe mwajiri wako au mzazi lakini ni jambo la kutisha Mungu
akuite wewe mpumbavu. Labda unatumia maisha yako yote na kutumia fedha zako kwa
ajili ya ko mwenyewe? Kutunza ni jambo kubwa kulifanya lakini kama kazi hiyo yote ni
kwa ajili yako mwenyewe na hata hakuna senti inayobakizwa kwa lengo ya kupanua
Ufalme wa Mungu, basi wewe uko katika hatari ya kuitwa mpumbavu katika siku ya
hukumu.
1 Wakorintho 16:1 Inatoa mfano mzuri wa Kibiblia wa kutunza au kuokoa ,Paulo
anawasihi makanisa yale ya Kikorintho kutenga fedha kwa ajili ya Watakatifu maskini
wa Yerusalemu mpaka atakapokuja katika kanisa la Korintho. 'Siku ya kwanza ya juma
kila mtu kwenu aweke akiba kwake kwa kadri ya kufanikiwa kwake; ili kwamba
michango isifanyike hapo nitakapokuja '. Kumbuka kwamba nia ya Paulo ilikuwa ni
kumwokoa kila wiki kana kwamba yeye inatarajiwa watu kuwa mara kwa mara na
utaratibu katika kuwka fedha zao. Kwa kweli kanuni hii ya mara kwa mara kuweka
fedha kwa ajili ya matumizi ya kazi ya Mungu ni zaidi ya kusema katika Mithali 13:11,
'mali ilyopatikana kwa haraka itapotea upesi, bali yeye achumae kidogo kidogo
atazishiwa '.
Katika kitabu chake cha pili kwa Wakorintho, Paulo zaidi kuangazisha hili wazo la
kuweka fedha katika sura ya 8 & 9 ambayo ni Nakala kubwa juu ya kutoa katika Biblia
nzima. Kutokana na maandiko hapo chini tunaweza kupata mambo 3 ya kweli kuhusu
yale yanayosiana na ' Hifadhi ya mbegu' -yaani mahali ambapo fedha zetu ni
zinhifadhiwa ili iweze kusambazwa wakati inahitajika.
1) Mungu anataka tuwe na akiba ya mbegu
2) Mungu atatupatia hifadhi mbegu
3) Mungu itaongeza ghala yetu ya mbegu
2 Wakorintho 9:10 ' Sasa yeye ampaye mbegu mpandaji na mkate uwe ,atawapa mbegu
za kupanda na kuzizidisha,nae atayaongeza mazao ya haki yenu'.
Hatimaye, kwa mara nyingine tena katika barua yake ya pili kwa makanisa yale ya
Kikorintho , Paulo analeta sababu zaidi kwa ajili ya waumini kuhifadhi fedha na hiyo
ni kuzipata wenyewe, watoto wa kiroho na kutoa kwa ajili ya ukuaji wao wa kiroho .
Kwa mfano: 2 Wakorintho 12:14 inasema, ' Baada ya yote , watoto wanapaswa kuwa na
akiba kwa wazazi wao, bali si wazazi kwa watoto . Hivyo mimi nitakuwa na furaha
Page 162
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kutumia kila kitu na mimi mwenyewe pia kwa ajili yenu '. Paulo kulinganisha ukweli
kwamba kama wazazi kiasili huweka akiba kwa ajili ya watoto wao hivyo hivyowazazi
wa kiroho lazima kuwekeza fedha kwa watoto wao wa kiroho.
Kwa mfano , hebu tuseme kwamba unapenda kuona watoto yatima na waliotelekezwa
wanatunzwa lakini wewe hujaitwa katika shamba la utume huu na matokeo ya
kuamua kuwekeza pesa mara kwa mara kutuma zawadi kusaidia kuanzisha kituo cha
watoto yatima . Kama matokeo ya kuwasaidia kuwa wapenzi na wamisionari ambao
wanaendesha nyumba za yatima na watoto ambao wanapata kuokolewa si kwamba
wanakuwa watoto wa wamisionari kiroho watoto tu, lakini pia kuwa watoto wako wa
kiroho pamoja na fedha yako iliyosaidia katika mchakato kuokolewa kwao. Ukiwaona
wameokoka unaweza unaweza kuwa unatoa mara kwa mara kwa miaka na daima kutoa
kifedha ili wapate viwekezo vya kiroho na mafundisho.
Labda huna watoto wako mwenyewe ? kwanini kuanza kuwekeza sasa na kujipatia
mwenewe watoto wengi wa kiroho duniani kote. Yesu alisema kwamba wale ambao
wanapata kuokolewa kwa matokeo ya Utoaji wetu wa fedha watatukaribisha katika
makao ya milele (Luka 16:9 ) ikiwa unapata maono haya basi watoto wengi wa
kiroho siku moja watakushukuru kwa kuwekeza fedha yako ajili yao. Kwanini usiunde
ushirika wa pamoja wa kimeshenari au kazi ya mradi na kwa kutoa kwako na kazi yao
mnayosaidiana itakusanya watoto wa kiroho chini ya uangalizi wako ambao unaweza
ukatumia miaka mingi kuwekezea.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Haiti
8,222,025 ya watu , 95% wengi ni wakristo - wa majina.
Nchi amefungwa na Voodoo na uchawi wa kiafrika, kanisa limeanza kupambana
na nguvu hizi.
© www.operationworld.org
47. Kuweka katika Akaunti ya Benki ya Mbinguni
Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti: Mathayo 6:20
Kariri Aya Hii: Wafilipi 4:17 ' Si kwamba nakitamani kile kipawa ,bali nayatamani
mazao yanayozidi kuwa mengi'
Page 163
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Unafikiri ni mfuko wa fedha usiochakaa ambao
Yesu anarejea katika Luka 12:33
Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine: Katika maombi, nenda kwa kwa
Baba yako wa mbinguni na fungua benki yako ya mbinguni.
Kazi ya Diploma ya kuandika : Wakati Yesu anazungumza juu ya kuhifadhi hazina
mbinguni (Mathayo 6:20) , kuandika upande mmoja juu ya jinsi gani sisi kwenda juu
yake.
Tafakari neno baada ya neno katika Aya hii: Matendo 10:4
Katika mfano wa tajiri mpumbavu ya Luka 12:16-21 , Yesu anazungumza juu ya fedha
na ulafi na haja ya kuwa tajiri mbele ya Mungu , lakini ni nini hili neno ' Tajiri mbele ya
Mungu ' kusema ya ? Aidha, anaendelea kusema katika aya ya 33 ya kutoa kwa ajili ya
mikoba wenyewe kwamba si kuvaa nje hivyo nini hakuweza kuwa akimaanisha katika
mawazo haya ? Naam, tu kama tunaweza kulipa katika akaunti ya benki ya dunia na
tumeona awali kuwa tunapaswa kufanya hivyo, Biblia katika nafasi kadhaa anaongea ya
akaunti ya benki ya mbinguni ambayo pia tunaweza kulipa ndani . Kama kweli hii
inakuwa ukweli kwetu inaweza kufanya kutoa kitu kusisimua na furaha ya kufanya
kama sisi kukamata maono ya hii hatutakuwa tena kuweka zaka yetu ya ndani ya sahani
sadaka kwa namna ile ile ya zamani mitambo lakini sisi kuona ni kama uwekezaji katika
akaunti yetu ambapo sisi kuwa matajiri kwa Mungu. Kama kweli hii hueneza kwetu
inaweza sisi kutenda kwa matumizi ya maisha yetu ya kuwekeza katika akaunti hii ya
mbinguni.
Labda bora ya kumbukumbu ya kibiblia kwenye akaunti hii ya mbinguni ni kupatikana
katika Wafilipi 4:16 ' Kwa maana hata nilipokuwa Thesalonike, wewe ulinituma misaada
tena na tena wakati mimi nilikuwa katika haja. Si kwamba mimi ni kuangalia kwa
zawadi, lakini Mimi ni kuangalia kwa nini inaweza kuwa sifa kwa akaunti yako. ' Hapa,
Paulo alikuwa anagiza kanisa la Wafilipi kwa kifedha kusaidia huduma yake na yeye
inaonyesha kwamba si tu kwamba zawadi ugavi mahitaji yake, lakini wao walikuwa
kumbukumbu na kuonekana kwa Mungu na sifa kwa akaunti yao wa mbinguni.
Ingekuwa kuonekana basi, kwamba kila wakati sisi kutoa kifedha kila senti ya mwisho
sisi kutoa ni alibainisha kwa Mungu na rekodi ni agizo katika akili ya Mungu ya nini
kila mmoja wetu amewapa
.
Hatua zaidi kwa kutambua kuhusu akaunti hii ni kwamba kama akaunti ya benki ya
dunia , tuna fedha zilizoingia ndani inaweza kuondolewa na itakuwa na riba juu yake
pia. Badala ya sisi kufanya uondoaji inaonekana kwamba Mungu kutolewa fedha na sisi
katika wakati wake mwenyewe na njia yake mwenyewe. Kwa mfano , baada ya kusema
Page 164
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kuhusu akaunti zao na waamini wao kutoa, Paulo anamalizia katika mstari wa 19 kwa
kusema, ' Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa kadiri ya utajiri wake
katika utukufu ndani ya Kristo Yesu. Ukweli huu wa akaunti ya mbinguni lazima faraja
kubwa na faraja kwetu sisi wote ambao wamekuwa mara kwa mara wanaotoa kila senti
imekuwa kumbukumbu na Bwana wa mbingu na ardhi ni mdhamini wa akaunti yetu na
tunaweza imani naye kushughulikia akaunti yetu kwa wetu faida.
Biblia inazungumzia juu ya kuwekewa hazina mbinguni kama show zifuatazo mistari
ambayo huleta nje mawazo sawa kuhusu akaunti ya mbinguni na mstari kutoka 1
Timotheo 6:19 huleta hela mawazo zaidi. Wakati sisi kutoa katika kazi ya Mungu si tu
kufanya sisi kupata faida katika maisha haya ya kuwa ni sifa kwa akaunti yetu ya dunia
lakini pia kuna faida ambayo sisi uzoefu katika maisha yajayo. Wakati sisi kusimama
mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo (2 Wakorintho 5:10) bila ya shaka tutakuwa
kuhukumiwa katika njia ya sisi kuwa na kubebwa fedha zetu na itakuwa na kesi kwamba
michango ya akaunti ya benki yetu wa mbinguni watahukumiwa kama vile? Biblia
inazungumzia tuzo ya mbinguni na 1 Timotheo 6:19 ingekuwa yatangaza kuwa moja ya
misingi ya kusambaza tuzo hizo ni rekodi yetu na akaunti ya kutoa yetu, kama wewe
alifariki usiku wa leo gani Mungu kusema juu ya akaunti yako ya mbinguni?
Mathayo 6:20 "Bali jiwekeeni hazina mbinguni,kusiko haribika kitu kwa nondo wala
kutu,wala wevi hawavunjiwala hawaibi.kwakuwa hazina yako ilipo,ndipo
utakapokuwapo na moyo wako.
Luka 12:33 'Jifanyieni mifukoa isiyochakaa, akiba isiyopungua katika mbingu'.
1 Timotheo 6:19 '....waagize watende mema,wawe matajiri wa kutenda mema,wawe
tayari kutoa mali zao,washirikiane na wengine kwa moyo,huku wakijiwekea akiba iwe
msingi mzurikwa wakati ujao,ili wapate uzima ulio kweli kweli'.
Andiko yataonyesha kwamba hata wasio Wakristo kuwa na akaunti na Mungu na kila
senti ya mwisho ya shughuli zao za kifedha ni kufuatiliwa na Mungu kuzingatia hadithi
ya Kornelio katika Matendo 10:1-8 . Mst 2 inaonyesha kwamba Kornelio alitoa mara
kwa mara kwa maskini kabla ya uongofu wake (kumbuka kwamba mpaka alipokutana
Petro alikuwa mtu ambaye hajaokoka ) na aya inaonyesha 4 kwamba wakati malaika
ziara Kornelio, kutaja ni wa maandishi Kornelio akaunti mbinguni `, Sala zako na
zawadi kwa maskini wamekuja kama sadaka ya ukumbusho mbele za Mungu ' . Ni
lazima kuwa ya faraja kubwa kwa wale wa kwetu ambao wamekuwa utaratibu kutoa
kwa miaka mingi kwamba kama Mungu kuona juu ya akaunti ya mbinguni ya watu hata
wasiookoka kama vile Kornelio jinsi zaidi haina yeye kuangalia juu ya akaunti ya
mbinguni ya watoto wake.
Hatimaye, yaliyowekwa chini ni mbili sawa maandiko ambayo wote kusema ya hifadhi
hadi mikopo katika akaunti yetu wa mbinguni bado kuteka Tofauti kati ya mtoaji na
mashirika yasiyo ya mtoaji. Maandiko ya kwanza ni kusema dhidi ya watu waliokuwa
Page 165
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
wakitumia fedha zao zote kwa wenyewe na walikuwa wakitoa chochote kwa kazi ya
Mungu inakuja kutoka katika kitabu cha Hagai ambapo Bwana masuala kukemea kwa
watu wake kwa kusahau kuwekeza fedha zao katika ujenzi wa hekalu. Andiko la pili ni
maneno ya Yesu akawaambia wanafunzi wake - hapa tunaona neno la kuwafaa kuwa
wanaotoa na uhakika kwamba kama sisi kuwapa maskini sisi hutoa wenyewe na mfuko
wa fedha wa mbinguni ambayo si kuvaa nje. Ambayo ya mikoba mbili amesema ya
chini mnataka nini? kama wewe ni kusahau kumpa kazi ya Mungu utakuwa na mfuko
wa fedha duniani ambayo kuvaa nje , kama wewe ni mpaji utakuwa na mfuko wa fedha
wa mbinguni ambayo si kuvaa nje.
Hagai 1:6 Yeye apatae mshahara apata mshahara ili kuutia katika uliotoboka toboka '
Luka 12:33 ' viuzeni mlivyo,mtoe sadaka .jifanyieni mifuko isiyo chakaa,akiba
isiyopungua katika mbingu,mahari pasipokaribia mwivi,wala nondo haharibu.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Honduras
6,485,445 ya watu ,wengi ni wakatoliki
Walikumbwa na upepo wa Mitch mwaka 1998, kanisa linahitaji kuongoza
mchakato wa uponyaji.
© www.operationworld.org
48. Wakati Wa Wutoa Ni Sasa.
Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti: Mhubiri 11:1-2
Kariri Aya Hii: Yohana 9:4 ' Imetupasa kuzifanya kazi zake yeye alienituma maadamu
ni mchana'.
Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Unawezaje kuhakikisha kwamba kupata faida ya
juu nje ya kutoa yako katika wakati una kushoto juu ya nchi.
Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine: Kama Mungu amesema na wewe
kubadili nyanja ya kutoa kwako basi kufanya hivyo kabla ya kukutana ijayo .
Page 166
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Kazi ya Diploma ya kuandika : Andika upande mmoja juu ya madhara ya mtu
kuchelewesha uamuzi wa kuwa mtoaji .
Tafakari neno baada ya neno: Waefeso 5:15
Baada ya kuona misingi ya kutoa katika wote wa mbinguni na wa kiroho akaunti ya
benki na kuonekana hapo awali wazo la thawabu mbinguni siku ya hukumu kuna kanuni
zaidi kwamba ni husika kwa tuzo ya mbinguni, hesabu mbinguni benki na akaunti ya
benki ya dunia . Kanuni hii ni kwamba wakati wa kutoa kwa akaunti ya mbinguni /
kidunia benki na wakati wa kuanza kupata hazina mbinguni ni sasa na wakati wa kuanza
kutoa katika kazi ya Mungu ni SASA. Kama wewe ni bado mtoaji kuwe na uharaka na
karibu kukata tamaa na kuanza kutoa kama kuchelewesha uamuzi huu utakuwa na
gharama ya milele ambayo itakuwa mateso juu ya siku ya hukumu.
Pengine Mungu amesema na moyo wako juu ya kufungua akaunti ya benki ya dunia
kuokoa kwa madhumuni maalum kama vile watoto yatima, hospitali , kipande cha vifaa
vya matibabu, mmishenari au mradi maalum ya kupanua ufalme wa Mungu na
itachukua 4 au miaka 5 kwa ajili ya kuokoa . Kwa mfano, kama kusubiri miaka 2 kabla
ya kuanza kuokoa kwa sababu wewe kutumia fedha yako juu ya anasa kama kinyume na
kuuhifadhi , basi wewe ni kuchelewesha baraka kwamba Yesu anataka kupanua kwa
wale wanaohitaji . Kama Mungu amesema na wewe kuanza kuokoa kisha katika utii
kwa hii ni muhimu kwamba wewe kuonyesha nidhamu katika tabia yako ya matumizi na
kuokoa yako na hata ni muhimu zaidi kwamba kuanza kuokoa sasa.
Pengine Mungu amesema na wewe juu ya akaunti ya benki yenu wa mbinguni na haja
ya kuanza kutoa na kuangalia utoaji wako kama malipo katika akaunti ya benki ya
mbinguni ambayo angeweza kusimamia kwa ajili yenu wakati wa kutoa na kufanya
amana katika akaunti yako ni sasa. Kwa mfano, tuseme kwa muda ya miaka 2 uchumi
ulipga nchi yako au vita au njaa kama umekuwa kutoa uaminifu basi utakuwa na kubwa
mbinguni akaunti ya benki kwamba Mungu anaweza ataongoza . Kama wewe
umechagua kutokutoa basi hutakuwa na baraka hakuna kumwita na msiba huo wa fedha
kwamba anakuja juu ya wasio Wakristo inaweza kuja juu yenu, kama wewe si tajiri
mbele ya Mungu. Wakati wa giza la ugumu linaweza kuja juu ya nchi zetu au miji katika
siku zijazo lakini wale ambao kujengwa kubwa mbinguni akaunti ya benki itakuwa na
hifadhi kubwa ya baraka kwa waomba na kuwa na uwezo wa kucheka hofu ya kifedha
kwamba wasio Wakristo mapenzi uzoefu!
'Naam wala Nakumbuka siku ya huzuni. Mamia ya watu alikuja ofisini kanisa kwa ajili
ya msaada. Mara kadhaa niliwauliza mswali. Hakuna hata mmoja wao aliekuwa na
uwezo wa kusema kwamba alikuwa pamoja na Mungu wakati wa siku ya mafanikio.
Mungu huangalia wale ambao humkumbuka 'Oswald J Smith' mateso ya nafsi '
Page 167
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Kweli hii ni mengi sana kupanua katika Mhubiri 11:1 ambayo anasema, 'Tupa mkate
wako juu ya maji , kwa maana baada ya siku utaupata tena. Kutoa sehemu ya saba,
ndiyo, hadi nane, kwa ajili yenu hawajui nini maafa inaweza kuja juu ya ' nchi. Jinsi ya
kweli aya hii ni kutokana na vita ugaidi, , njaa , magonjwa na mambo mengine mengi
sisi tu hawajui nini maafa atakuja juu ya ardhi yetu, miji yetu na sisi wenyewe - ! Sisi
bila shaka kuishi katika nyakati ya kutokuwa na uhakika mkubwa. Hata hivyo wale
ambao kupanda kwa Mungu katika nyakati nzuri wakati mambo yanaenda vizuri shaka
kuwa na uwezo wa kuvuna nyuma kutoka kwa Mungu katika nyakati mbaya, na Utoaji
yao ya awali itakuwa ya sanduku la ulinzi dhidi ya msiba wowote wa kifedha kwamba
anakuja juu ya nchi . Mbona si kuanza sasa kuwekeza kwa ajili ya baadaye yako ya
kifedha kwa kuwa mtoaji ukarimu na kujenga safina nguvu ya ulinzi wa kifedha duniani
maisha yako
Wazo hili la shielding mwenyewe kutoka msiba wa fedha ni kusema ya katika Zaburi
37:18 . Bwana anazijua siku za wakamilifu,na urithi wao utakua wa milele.Hawataabika
wakati wa ubaya,na siku ya njaa watashiba.'
Pengine Mungu amesema na wewe kwamba una kidogo mbinguni hazina na kupitia si
kutoa utaratibu mmewagusa watu wachache kwa milele. Kama wewe kuchelewesha
uamuzi kuwa mtoaji utaratibu na kuwekeza fedha yako katika uongofu wa roho
waliopotea kwa Ufalme wa Mungu basi utakuwa kupunguza muda una kushoto juu ya
nchi ili kupata hazina ya mbinguni. Kumbuka kwamba Yesu mwenyewe alisema
kwamba sisi watakaribishwa mbinguni na wale ambao maisha tuna wanashikiliwa na
kutoa yetu. Je kuingia mbinguni miongoni mwa furaha na sherehe au wewe kuingia
katika upweke na kimya kama wewe si wanashikiliwa maisha ya watu kwa njia ya kutoa
yako? muda wa kuanza kufanya marafiki kwa milele ni sasa, wakati wa kutoa ni sasa.
Labda wewe ni kijana na unaposoma kitabu hiki imani yako inakuwa hai kuamini
Mungu kuona maelfu mamilioni na wakiwekeza katika kazi ya Mungu. Ili kuanza
kuamsha sheria ya kupanda na kuvuna katika maisha yako kuanza kutoa sasa, na
utakuwa na uzoefu wa maisha ya kutoa katika kazi ya Mungu rafiki mdogo - wakati wa
kuanza kutoa ni sasa. Inaweza kuwa kwamba Mungu amekusudia kwamba wewe
kutumia 50 ijayo , 60 au miaka 70 kama kuwa mtu ambaye inatoa kiasi isiyohesabika ya
fedha katika ujumbe wa dunia na ili kuanza wimbi hili la baraka unahitaji kuanza kutoa
na kupanda mbegu za fedha.
Labda wewe ni mzee na siku yako katika dunia hii zinahesabika , kwa nini kufanya
wengi wa wakati huo ni wa kushoto kweli kuhesabu kwa uzito kuwekeza fedha yako
katika kazi ya Mungu. Kumbuka kwamba Yesu alisema katika Yohana 9:4 ' Kama mrefu
kama ni siku , ni lazima kufanya kazi za yule aliyenituma. Usiku unakuja ambapo
hakuna mtu anaweza kufanya kazi ' wakubwa rafiki, wakati unakuja ambapo wewe
kamwe kuwa na nafasi ya kutoa kwa kazi ya Mungu, wakati wa kutoa ni sasa kabla ya
siku ya kuwa upatikanaji wa samaki up na wafishwe wewe. Andiko chini inaonyesha
Page 168
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kwamba hata wazee wanaweza kuzaa matunda ya kudumu kwa ajili ya Mungu - kwa
sababu ya wakati una basi katika dunia hii, kwa nini matumizi ya fedha yako kuteka
watu kwa Yesu.
Zaburi 92:12 'Mwenye haki atastawi kama mtende,atakua kama mwelezi wa
Lebanoni.watazaa matunda hadi wakati wa uzee.'
Kama Mungu amesema na wewe juu ya mahali ambapo wewe kutoa pesa yako na kuwa
na matunda ya haja ya kuwekeza mahali pengine basi muda wa kufanya mabadiliko ni
sasa. Kwa nini kujisumbua matumizi ya zaidi ya fedha yako juu ya shirika hilo ni si
kuzaa matunda na ambapo wewe ni kuona anarudi chache kwa ajili ya pesa yako chuma
ngumu ? Kama wewe unaendelea katika kutoa kwa shirika yasiyofaa wewe tu kutumika
kuendeleza kitu ambacho si kutimiza ni Mungu aliyopewa mamlaka, na wewe ni hayo
nafasi ya kuwekeza katika mahali fulani kwamba ni kufanya kazi ya Mungu. Wakati wa
kufanya mabadiliko yoyote ya lazima katika nafasi ya kutoa fedha yako ni sasa - hata
kama una aliyopewa kanisa maisha yako yote , ukizaa matunda kidogo unapaswa
kutafuta nje shirika linlostahili pesa yako unyopata kwa ugumu.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Hungary
10,035,568 ya watu , 92% ni wakristo
Kanisa limekuwa baada ya ukomunisti lakini viongozi waliokomaa ni wachache
kwa ajili ya kutuimika .
© www.operationworld.org
49. Kutoa Kwa Mara Ya Kwanza
Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti : Zaburi 23
Kariri Aya hii: Zaburi 27:13 ' Ninaamini kuwa nitauona wema wa Bwana ,katika nchi
ya walio hai.
Baadaye Zungumzia Jambo Hili : shiriki uzoefu wa wakati alitoa kwa mara ya
kwanza .
Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine: Soma hadithi ya Ibrahimu wakati
akimtoa Isaka sadaka katika Mwanzo 22.
Kazi ya Diploma ya kuandika : Andika upande mmoja juu ya vikwazo vinavyozuia
Page 169
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
watu wasitoe.
Tafakari neno baada ya neno katika aya hii: Mwanzo 22:17
Sura hii haki ya ' Kutoa katika nyakati ngumu' kufikiria baadhi ya wasiwasi kweli sana
na maswali kwamba watu wanaweza kuwa juu ya kutoa wakati hali zao kifedha ni
uhakika sana . Sehemu katika sura hii tutaangalia kutoa kwa mara ya kwanza , kutoa
wakati unaweza kuona hakuna kurudi na hatimaye kutoa fedha wakati ni mfupi hivyo
kuwa hakutakuwa na watu wengi ambao kusoma sehemu hizi kwamba si kuwa na
kufikiria sehemu hizi katika baadhi ya katika maisha yao. Wakati mengi ya nini
imekuwa alisema awali itakuwa changamoto nguvu ni mengi sana nia ya kuwa hizi
sehemu kuwa na huruma sana na hali halisi na mgumu sana fedha ambazo zinaweza
kuonekana katika maisha ya watu. Hivyo sehemu ya kwanza kufikiria kutoa kwa mara
ya kwanza labda kama una kusoma hadi sasa , umekuwa na hatia ya haja yako ya kuwa
mtoaji ukarimu - basi sehemu hii moyo kuchukua hii ya kwanza ya hatua kubwa .
Pengine njia bora ya kuwashawishi mwenyewe kwamba unapaswa kuwa mtoaji ni
kuuliza ubinafsi wako swali - Je uaminifu kuamini kwamba Mungu hataki wewe kutoa
pesa yako kuona watu kuokolewa kutoka laana ya milele katika ziwa la moto katika
kuzimu , au ina ukweli Mungu amesema na wewe juu ya haja ya kuwa mtoaji . Wakristo
wengi kukubali kwamba Mungu inahitaji wao kuwa wakarimu katika kutoa zao lakini
Wakristo wengi kuchagua kupuuza yale Mungu amesema na yao. Hatimaye kutoa si
hisia kwamba anakuja juu yenu na inafanya wewe kutoa lakini ni uchaguzi rahisi kati ya
kumtii Mungu au kuchagua kuasi Mungu . Kama wewe kumtii Mungu katika fedha yako
utakuwa kutolewa Mungu katika fedha yako kuwa fedha yako binafsi mshauri unapaswa
kuchagua kutotii kile Mungu amesema kuhusu kutoa zaka wewe kufunga mikono yake
na kufunga mdomo wake na kumzuia elekezi yako masuala ya fedha .
Sababu ya pili ni kwamba kwa kutoa wewe unaamsha sheria ya kupanda na kuvuna
katika neema yako na kama matokeo zawadi ndogo unaweza cheche mtiririko ya baraka
katika maisha yako. Mungu ana wimbi la baraka kwa watoto wake wote , ambayo yeye
anataka kuwafungulia hata hivyo, yeye hawezi kufanya hivyo mpaka kucheza sehemu
yao katika kuipokea. Haraka kama wewe kuamua kuwa mtoaji utakuwa kuanza
msimamo mwenyewe kupokea mazuri ya Mungu wimbi kurejea na badala ya baraka
inapita karibu na wewe wao kati yake ndani yenu. Kuona baraka za Mungu katika
maisha yako ni zaidi ya kuamua na wewe kuliko Mungu, yeye ni kuamua kubariki
watoto wake wote - lakini mtiririko wa Mungu wa baraka zinaweza dammed juu kupitia
sisi si kutoa (na kwa sababu nyingine pia). Kama wewe kuchagua kuwa mtoaji na
kutolewa fedha yako kwa Mungu yeye kwa upande kutolewa mtiririko yake ya baraka
na wewe.
Page 170
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Aidha kuwa mtoaji ni hatua kubwa katika maisha ya Kikristo ambayo Mungu
amekusudia kwamba watoto wake wote wanapaswa kutembea kwa njia ya ili maendeleo
na kukomaa katika imani ya Kikristo. Kuna baadhi ya milstenarna kwamba sisi sote na
kupita njia ambayo tunaweza kuangalia nyuma juu ya kuwa ni muhimu uzoefu katika
uhusiano wetu na Mungu - baadhi ya mifano ni hapa chini. Inaonekana kwamba kama
sisi uzoefu ukamilifu wa Roho Mtakatifu kubadilisha maisha yetu sisi kuongozwa katika
furaha ya kutoa.
.wokovu
Ubatizo wa Maji
Ubatizo katika Roho Mtakatifu
Akizungumza katika lugha
Uendeshaji katika Karama za Kiroho
zaka
Wakati mapya kwa kuwa mtoaji watu bila shaka hofu kwa ajili ya hali yao ya kifedha na
ya baadaye na badala ya uhuru kurudi fedha Mungu nyuma yake kwa kutoa , wanakuwa
amepooza kwa hofu na mtazamo zuio. Hakika Mungu si mwenye kughafilika na
ubinadamu wetu, hofu zetu na wasiwasi wetu Zaburi 139:2 anajua mawazo yetu toka
mbali. Kuwa mtoaji ukarimu ni hatua kubwa ya imani na kwa ajili ya mtu kwa basi
kwenda ya fedha zao kwa Mungu wakati maisha yao yote wamejizoesha kuweka
kushikilia sana kila senti itakuwa uamuzi mkubwa. Sauti nyingi watakuja kwako wakati
kuamua kumtii Mungu kwa kuwa mtoaji sauti ya mwili wako mwenyewe , sauti ya
shetani na sauti ya ulimwengu wote kukuambia kwa basi kwenda ya senti moja. Hata
hivyo , kati ya hizi giza sauti , ugly sauti kumtuliza ya Roho Mtakatifu itaendelea
kuhimiza wewe kuwa mtoaji
.
Hatupaswi kupumzika katika upendo wa Mungu kwamba ni kuweka juu ya maisha yetu
, na wema wa Mungu. na kumwamini kuangalia juu ya maisha yetu ili mipango yake
nzuri kwa ajili ya maisha yetu itatokea ? Kama una hofu kuwa mtoaji , basi si hakika ya
upendo wa Mungu na una imani zaidi kwamba Mungu basi wewe chini kuliko
akubariki. Kama wewe heshima Mungu kifedha yeye heshima wewe kifedha Mungu ni
mdaiwa hakuna mtu ! kama wewe kutafakari kuwa mtoaji , kwa nini imani naye ? Sheria
ya kutoa na kupokea na kupanda na kuvuna ni pale kwa faida yetu - wema na baraka za
Mungu zimegawanywa na sheria hizi. Kama wewe kujua baraka kwamba wakisubiri
wewe, basi wewe unataka kutoa ili kwamba unaweza kutolewa hii kati yake Mungu ya
baraka katika maisha yako. Amini , kupumzika na uaminifu katika wema wa Mungu na
kujiunga na imani ya Daudi katika Zaburi 27: 13 kwamba , 'Mimi kuona wema wa
Bwana katika nchi ya walio hai '.
Page 171
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya India
1013661777 ya watu , 2. 4% ni wakristo
Mungu anatikisa mfumo mgumu uliopo, kanisa linatakiwa kujiandaa kwa ajili ya
mavuno.
© www.operationworld.org
50.Utoaji Licha Ya Hali
Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti : Mwanzo 26:1-15
Kariri aya hii : Zaburi 126:5
Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Kwa nini wale waliotoa katika biblia katika hali
mbaya ndio waliopata thawabu kubwa.
Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine : Soma tena kuhusu wajane maskini
waliotoa katika 1 Wafalme 17 na Luka 21:1-4
Kazi ya Diploma ya kuandika : Andika upande mmoja juu ya watu katika Biblia
waliotoa katika hali za kutatanisha na kuvuna mavuno.
Tafakari neno baada ya neno katika aya hii: Mwanzo 26:12
Sehemu hii itahusika na utaji wakati pesa ni chache na majaribu yametokea kwa ajili
ya kuzuia utoaji - hakika watu wengi watakumbana na haya wakati fulani katika maisha
yao. Sehemu hii inakuhimiza wewe kuendelea kutoa licha ya hali na baada ya kuona
mifano ya kibiblia ya watu waliotoa katika nyakati ngumu , wewe kuja na hitimisho
kwamba wakati mmoja unahitaji kutoa ni wakati mwingine ni mbaya. Biblia inatoa
mifano mingi ya watu ambao wanakabiliwa na hali ngumu na alikuwa na kufanya
uamuzi kuhusu kama ngumu kutoa au si (uchaguzi huo kwamba wengi wetu itakuwa na
Page 172
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kufanya wakati fulani katika maisha yetu ). Popote ambapo watu waliamua kutoa utii
wao walipata thawabu na inaonyesha Biblia katika maeneo kadhaa watu alitoa katika
nyakati ngumu na akapata baraka.
Mfano wa kwanza ni ile ya Ibrahimu ambaye alikuwa wanakabiliwa na uamuzi mgumu
sana ya kutoa kitu hata thamani zaidi kuliko fedha na kwamba alikuwa mwana wake
Isaka . Hapo awali, Mungu aliahidi Abrahamu kuwa angekuwa Baba wa mataifa mengi
(Mwanzo 17:3 ), na baada ya kuwa na mwana kupitia kwa Hajiri kijakazi wake , mke
wake Sarah kimiujiza anamzaa Mwana aitwaye Isaka. Kati ya wawili wana wake (
Ishmaeli na Isaka ), Mungu akamwambia Ibrahimu katika Mwanzo 21:12 kuwa itakuwa
ni kupitia Isaka kwamba uzao wake wangekuwa ungeonekana, hata hivyo katika
Mwanzo 22:0, Mungu anamjaribu Ibrahimu na kumtaka Isaka atolewe kuwa dhabihu .
Ibrahimu anakutana na hali iliyomfanya amtoe Isaka wanaonekana kufanya uwamuzi
wa kijinga lakini yeye alimtii Mungu na kuamua kutoa na matokeo yake Mungu
anaitakabali zawadi yake na kumrudisha Isaka kwake - Ibrahimu kuwa mtoaji wa
sadaka kubwa katika hali ngumu.
Jambo la kushangaza ni kwamba kilichotokea kwa Ibrahimu alikuwa kuwa uamuzi
wake wa kuwa mtoaji kupita chini kwa Mwana wake Isaka na yeye ni mtu wa pili
ambao waliamua kutoa katika hali ngumu - hadithi ni kuhusiana katika Mwanzo sura ya
26. Aya ya 1 inaonyesha kwamba kulikuwa na njaa katika nchi lakini Bwana anaongea
na Isaka na anamwambia abaki katika ardhi na atakuwa heri - Isaka kuyapinga majaribu
ya kwenda Misri na anakaa huko aliko. Katika mstari wa 12 Isaka anakabiliwa na
uchaguzi katika muda wa njaa lazima yeye anakusanya nafaka yake au lazima yeye
kupanda ni katika matumaini ya mbali ya mavuno ya baadaye :- dhahiri uchaguzi
itakuwa kusanya mbegu zake. Isaka akachagua kuthibitisha kwamba Mungu wake,
alikuwa hai na kupanda mbegu yake katika wakati wa njaa na huvuna mara mia mavuno
na aya ya 13 inaonyesha kwamba ilikuwa hakuna mavuno - utajiri wa Isaka uliendelea
kuongeza mpaka wivu wa Wafilisti ulipoinuka. Labda wewe ni unapitia njaa katika
fedha zako , kama Isaka utakuwa na mbegu kwamba unaweza ama kupanda au kusanya
Isaka akachagua kupanda mbegu zake naye akashinda hali yake.
Mfano wa tatu wa mtu kutoa katika hali hasa ngumu ni mjane wa Sarepta
aliyemhudumia Eliya, mtu wa Mungu – hadithi inapatikana katika 1 Wafalme sura ya
17 . Mstari wa 12 inaonyesha kwamba yeye na mtoto wake hali ya njaa na wanatarajia
kufa - na kile walichonacho ni konzi ya unga na mafuta kidogo . Eliya anafanya kile
kinachoonekana kuwa ombi ajabu kwa mwanamke huyu kufa na njaa kutumia kile
kidogo ili amtengenezee chakula - mjane kuchagua ili kutoa katika hali ya namna hii.
Eliya alitangaza neno la Bwana kwa mjane kwamba kama atatii na kumpa Eliya
chakula basi hifadhi yake ndogo ya unga na mafuta kupungua bila kujali jinsi gani yeye
anatumia. Kwakutii neno la Bwana na kuamua kutoa angpokea baraka tele na hifadhi
Page 173
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
yake ya chakula kamwe isingepungua ingawa yeye anakabiliwa na hali ngumu,
alichagua kuwa mtoaji na kupokea muujiza
.
Kwakumtazama mjane katika Agano la Kale ambaye aliyetoa katika hali ngumu sana
tunaweza pia kurejea kwa Agano Jipya na kuona mwingine mjane ambaye alitoa katika
hali ngumu inasimuliwa katika Luka 21:1-4. Kama zawadi ya fedha walikuwa
wanaweka katika hazina ya Hekalu , mjane maskini katika umaskini wake aliweka
yote aliyokuwa nayo katika hazina - jambo lililo gusa jicho la Mwana wa Mungu.
Inaweza kuwa kwamba hakuwa anajua mtu angejua ni kiasi gani yeye aliweka -
Yesu alimwona akiweka sadaka yake. zaidi ya hayo, yeye hakika alikuwa hawajui
kwamba sadaka yake ilikuwa kwa kuwa kumbukumbu katika maandiko kwa milele
yote. Kama Yesu alijua kuhusu hali ya mjane mgumu na kupongezwa yake kwa ajili ya
kumpa , yeye pia anajua kuhusu hali yako ya kifedha na ninawaweka ninyi kwa uamuzi
wako wa kutoa na Utoaji wako kupata jicho la bwana.
Wakristo wengi mno hutoa udhuru pathetic kwamba hawawezi kumudu zaka na ni wazi
kufikiri kwamba maneno haya maskini itakuwa udhuru wa kutosha juu ya Siku ya
Hukumu wakati Yesu inaonekana katika njia ya wao kuwa na kubebwa fedha zao wao ni
kwa ajili ya rude kuamka . Mjane wa Sarepta njaa alitoa mbali chakula yake na mama
mmoja mjane maskini kuweka yote yeye alikuwa na kuishi katika hazina - wewe hakika
si kukamata ama ya wajane hawa wakidai kuwa hawawezi kumudu kutoa . Kama mtu
yeyote angeweza kujificha nyuma ya hoja kuhusu kutokuwa na uwezo wa kumudu kutoa
itakuwa hawa wanawake wawili walijua utoaji bora kuliko ya kutoa hoja na wao
walipata kutoa na kupokea thawabu. Je, hilo si jambo litakalohusika siku ya hukumu ,
kutoa kwa wajane hawa wawili kunadhihirisha heshima nyingi 'kujazwa Roho ' na
waumini 'wa injili kamili' waliojiachilia maisha yao yote kuwa hawatatoa zaka.
Mfano wa mwisho wa kutoa katika nyakati ngumu ni waumini wa makanisa ya
Makedonia ambao walitoa sadaka kwa ajili ya watakatifu huko Yerusalemu maskini -
kama ilivyoandikwa katika 2 Wakorintho 8:1-15 . Mst 2 inaonyesha kwamba waumini
hawa si tu walitoa zawadi kubwa bali katika ' umaskini uliokithiri' lakini pia alikuwa
wingi furaha katika kufanya hivyo - mara ngapi wewe kusikia kwamba siku hizi ! Aidha
, katikati ya mstari wa zao uliokithiri Umaskini ' 3 unaonyesha kwamba alitoa hata zaidi
ya uwezo wao wa kutoa kifedha wazi hawakujua chochote cha 'Siwezi kumudu kutoa
zaka 'hiyo ndio tabia ya Wakristo wengi.
Hivyo, mifano ya Ibrahimu, Isaka , mjane wa Sarepta, mjane maskini na waumini wote
wa Makedonia kuonyesha kwamba wakati wao kuchagua kutii na kutoa kwa Mungu
katika hali ngumu umesababisha muujiza katika hali yao. Zaburi 126:5 anasema, ' Wale
ambao hupanda kwa machozi watavuna kwa nyimbo za furaha. Yeye ambaye huenda
zake akilia , amebeba mbegu ya kupanda , atarudi na nyimbo za furaha , amebeba
Page 174
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
miganda pamoja naye '. Biblia kamwe haisemi kwamba kuwa na hali ngumu ya ya
kifedha inamaanisha kutokutoa lakini kama watu katika Biblia aliyepanda mbegu wakati
hali iilipokua ngumu na akili yao kuwa wasitoe,walipata mavuno ushindi na ambayo
yaliwasababisha wamcheke Ibilisi.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Indonesia
212,991,926 ya watu , 80 % ni Waislamu
Ni Taifa lenye wakazi wengi ambao ni Waislamu lakini Uislamu umezidiwa na
ukuaji wa kanisa.
© www.operationworld.org
51. Kutoa Licha Ya kuchoka Kufanya Hivyo
Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti : Waebrania 6:12
Kaririri Aya Hii : Zaburi 103:2
Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Imani na uvumilivu zilizonenwa katika Waebrania
6:12 tunahitaji kurithi ahadi za kifedha.
Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine : Tengeneza orodha ya nyakati
Mungu alizokubariki kifedha.
Kazi ya Diploma ya kuandika:Andika upande mmoja juu ya kwa nini mavuno ya
kifedha yanaweza kuchelewa.
Tafakari neno baada ya neno katika aya hii: Zaburi 25:13
Sehemu hii kuhusu kutoa nyakati ngumu itazingatia haja ya kuendelea kutoa licha ya
kuchoka. Idadi kubwa ya Wakristo ambao mara kwa mara hutoa itakabiliwa na nyakati
ambapo unaona hakuna mavuno dhahiri kwa ajili ya mbegu za kifedha zilizo pandwa .
Ni wakati wa nyakati hizi aliye na mashaka kuja dhidi ya imani , kuvunjika moyo na seti
katika majaribu lililojitokeza kuacha kutoa kabisa. Kama ni kwenda wakati ambapo
wewe ni kujaribiwa kuacha kutoa kama una mbegu nyingi lakini si kuonekana mavuno,
kisha sura hii ni kwa wewe kuteka kutia moyo kutoka kwa maandiko ambayo tutayaona
.
Page 175
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Hasa katika hali ambapo mtu ana uaminifu imekuwa kutoa lakini bado kuona mavuno ,
ni lazima alisisitiza kuwa wana haki ya kutarajia mavuno. Haijalishi kama mtu mweusi
au mzungu , mwanamume au mwanamke , Marekani au Afrika imepanda mbegu fedha -
Mungu hana ubaguzi wa rangi au jinsia au utaifa apandacho mtu yeyote ndicho atavuna
. Sheria ya kupanda na kuvuna si kama sheria ya kamari ambapo wewe au anaweza
kuona kurudi - mtu yeyote ambaye alitii na aliamini Mungu na utoaji wao kupokea
kutoka kwa Mungu. Hivyo si suala la mtu kusubiri miaka wanashangaa kama Mungu
ameona utoaji wao na wanashangaa kama yeye kuamua kupeleka mavuno ya kifedha
njia yao. Si kesi ya mavuno kama anakuja lakini linapokuja - kama umekuwa kuheshimu
Mungu kifedha unaweza ujasiri na ujasiri kutarajia mavuno.
Aidha si tu ni kesi ya wakati, kama sio, mavuno yatakuja lakini sababu nyingine kubwa
ya kuchukuliwa ni kwamba mavuno atakuja katika majira ya Mungu na chochote na
hakuna mtu anaweza kuharakisha mavuno yao. Mkulima hakuna ingekuwa kupanda
mbegu ya Jumapili na kuangalia kwa mavuno siku ya Jumatatu asubuhi bado Wakristo
wengi kutoa sadaka katika sahani Jumapili jioni na wanatarajia hundi katika post
asubuhi Jumatatu. Wagalatia 6:9 anasema, 'kwa wakati wake tutavuna mavunotusipo
kata tamaa' na hakuna kiwango cha vita vya kiroho , kwa kuomba na kutabiri
tutaharakisha mavuno. Pumzika katika maarifa ya hekima ya Mungu na upendo ili
aweze kuachilia mavuno kwa wakati sahisahi - hakika yeye hatakuangusha.
Imekuwa ikisemekana awali kwamba muda , aina , dhana na kiwango cha mavuno
yoyote viko katika maamuzi ya Mungu na sisi tu hawezi kumwambia Mungu wakati,
wapi na jinsi ya kutubariki kwakufanya hivyo ingeweza pia kutusababisha sisi kukosa
baraka za Mungu. Mungu wake usio maarifa watajaribu kutubariki kwa njia nzuri
iwezekanavyo lakini hii wakati mwingine haina fit katika nini tunafikiri anapaswa kuwa
baraka kwetu! Kumbuka kwamba Biblia inazungumzia Mungu kuikopesha bahari katika
kiganja cha mkono wake - Mungu ni mkubwa, kutisha na Bwana wa wote na hii Mungu
huo si mwenye kughafilika na wale ambao wamekuwa kuheshimu yake na fedha zao na
wale ambao hawana.
Andiko uliopita kutoka Wagalatia 6:9 inaongoza kwenye hatua kubwa sana juu ya
kuwapa wakati wewe bado hawajaona mavuno yaani, kwamba tuna uwezo wa huru
mavuno yetu andiko anasema ' Sisi kuvuna mavuno kama hatuwezi kutoa up '. Hivyo ,
swali linalopaswa - kile ni ushahidi kwamba mtu aliyeacha katika imani zao na
kimesimama kumwamini Mungu kwa ajili ya mavuno ya kifedha? Hakika moja ya
ushahidi ni kwamba wao kuacha kutoa kifedha kwa sababu kama wewe hakuna tena
kuamini kwamba Mungu anaenda akubariki kifedha, basi utakuwa na hakuna haja au
motisha kutoa kifedha. Kwa hiyo ni muhimu mno kwamba kuendelea kutoa licha ya
kuwa na uchovu wa kufanya hivyo na si kuona licha ya mavuno kuweka imani wako hai
kwa kuchagua kuendelea kutoa. Kuendelea kuomba na kusema na kuamini kwamba
Page 176
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
mavuno ni kuja kuendelea kutoa na wala kuwa na uchovu wa kufanya hivyo. Shetani ni
nje ya kula mavuno yako - kama ukichagua kutoa hasa katika nyakati ngumu utakuwa
unaweka ngao katiaka mavuno yako na kufunga mdomo wake na mashaka yake
kukatisha tamaa kwake .
Cha kusikitisha si tu kwamba kuna haja kubwa ya kuendelea kutoa wakati mgumu lakini
yote mara nyingi Wakristo kutoa up na kuacha kutoa na kuacha kuamini juu ya dakika 5
kabla ya mavuno yao ni kutokana - Mfano mzuri wa hili ni hadithi ya miujiza kukamata
samaki katika Luka 5:1-11. Baada ya kfanya kazi usiku wote wafuasi umechoka na
kuzimia bado sauti ya bwana ikawahimiza kutwika nyavu zao mara moja zaidi wakati
mgumu hata nao uchovu wao kutii sauti ya bwana na wao kupokea wavu kuvunja
kupata samaki . Labda wewe pia wamekuwa toiling katika eneo la fedha yako na wewe
umekuwa kutoa mpaka umekuwa uchovu wa kufanya hivyo - hana sauti sauti ya bwana
pia kuja kwenu , na kuwahamasisha wewe kuendelea kutoa? Inaweza kuwa kwamba
mavuno yako ni wiki tu , siku au hata masaa mbali - labda wewe tu na kutoa michache
mara zaidi na kwamba trigger mafuriko ya Mungu ya baraka katika maisha yako -
WALA USIKATE TAMAA! - ENDELEA KUTOA .
Hatimaye, zoezi nzuri sana ya kufanya wakati wewe wamekuwa kutoa kwa muda mrefu
bila kuona mavuno ni kuweka mwenyewe katika kumbukumbu ya mavuno yako ya
zamani na kutafakari juu ya wema wa Mungu kwamba tayari kuonekana katika maisha
yako. Zaburi 103:2 anasema ,Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana wala usizisahau fadhili
zake zote. ' kwa bahati mbaya , hivyo mara nyingi sisi kuzingatia ukweli sisi wamekuwa
wakisubiri kwa muda kwa ajili ya mavuno kwamba sisi kusahau kabisa uliopita kila
mara Mungu ana heri. Kama Mungu amekubariki awali yeye kubariki nitakubariki
katika siku zijazo hivyo basi baraka yako uliopita moyo kuvumilia na kuendelea kutoa
ili kwamba unaweza uzoefu hata zaidi. Wakristo wote wanaotoa kwenda kwa vipindi
ambapo kuona hakuna matokeo dhahiri lakini wakati wote wamekuwa wakitoa inaweza
kuwa malaika wa Mungu wamekuwa kazi katika ulimwengu wa roho ghaibu kuandaa
mavuno kwa ajili yao ambayo itakuwa iliyotolewa katika kamili wa Mungu majira.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Iran
67,702,199 ya watu , 99 % ni Waislamu
Mapinduzi ya Kiislamu yameokoa kidogo , Kanisa lililoteswa linahitaji ujasiri &
kutiwa moyoi.
© www.operationworld.org
Page 177
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
52. Shetani Anatumia Fedha
Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Mathayo 26:14-16 .
Kariri Aya Hii: Matendo 5:03
Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Tunawezaje kijikinga wenyewe na mtego ya shetani
katika fedha.
Jambo La Kufanya Kabla Wakati Ujao: Omba ili kwamba Mungu akuepushe mbali
na majaribu ya shetani katika fedha.
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mmoja juu ya njia ambazo shetani
anatumia fedha kuwanasa watu wa Mungu.
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Marko 4:19
Sura hii itazingatia mazingira ya fedha katika mazingira ya vita vya kiroho kama vile
itakavyo dhihirisha wazi jinsi kupigana vita vizuri katika fedha zetu na kumshinda
shetani. Fedha ni bila shaka ni uwanja wa vita kuu kati ya Ufalme wa Mungu na Ufalme
wa Giza katika ngazi zote binafsi na ngazi ya ushirika kwa sababu mkristo, na hata
kanisa , bila ya fedha watakuwa wanakwamishwa katika uwezo wao wa kufanya
Utume Mkuu. Aidha, Shetani anaweza kutumia fedha kama kishawishi kwa kuwaweka
mbele watu wa Mungu na kuweka kama mtego wa kukamata watu wa Mungu. Sehemu
hii hasa itachukua utafiti wa kibiblia juu ya namna shetani anavyotumia fedha kama
silaha kubwa dhidi ya watu wa Mungu, fedha ni kama upanga ukatao-kuwili kwamba
tunaweza ama kutumia au kutumika kinyume chetu - kama tutatembea katika haki katika
fedha zetu tunaweza kufuta upanga na kumchinja adui yetu kwa huo.
Katika Marko 4:1-20 , Yesu anazungumzia mfano wa mpanzi ambapo yeye alikuwa
anatangaza umuhimu wa mifano yake yote kama anavyosema katika aya ya 13,
'Akawaambia, hamjui mfano huu?basi mifano yote mtaitambuaje?' Yesu anatangaza
kwamba shetani atalishambulia neno la Mungu ambalo limepandwa katika mioyo yetu
na hapo chini ni msululu wa vifaa ambavyo Yesu alisema Shetani huvitumia. Angalia
aina mbili ya silaha za shetani, nazo ni, Udanganyifu wa mali na tamaa na tamaa za
mambo mengine (tazama, neno tamaa katika wingi, linatumika )
Dhiki
Mateso
Page 178
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Masumbufu ya Maisha haya
Udanganyifu wa mali
Tamaa kwa mambo mengine.
Biblia pia inatoa mifano zaidi ya watu maalum ambao si tu walishambuliwa na Shetani
lakini silaha maalum iliyotumiwa na shetani dhidi yao ilikuwa ni fedha. Mfano wa
kwanza ni ule wa Yuda Iskariote - kwamba yeye alishambuliwa na Shetani, bila shaka
kama maandiko yasemavyo katika Yohana 13:2 'Hata wakati wa chakula cha jioni;
naye ibilisi amekwisha kumtia Yuda, mwana wa Simoni Iskariote moyo wa kumsaliti
Yesu.' Aidha mbinu aliyotumia shetani akasababisha Yuda kumsaliti Yesu ilikuwa ni
fedha, maandiko hapo chini ni Mathayo 26:14 na inaonyesha jinsi Yuda alivyokuwa
tayari kumsaliti Mwana wa Mungu kwa ajili ya fedha. Licha ya kutembea na Yesu kwa
miaka 3 na kumwona akifanya uponyaji miujiza, na ukombozi , shetani alimulipa Yuda
fedha ndipo yuda akageuka nyuma kwa hasira akaghadhabikia Yesu na hatimaye
alimsaliti.
Wakati huo mmoja wa wale dhenashara jina lake Yuda Iskariote – aliwaendea makuhani
wakuu akasema, ni nini mtakachonipa, nami nitamsaliti kwenu? Wakampimia vipande
therasini vya fedha. Tokea wakati huo akawa anatafuta nafasi ya kumsaliti.'
Mfano ufuatao wa Kibiblia wa watu walioshambuliwa na shetani katika eneo la fedha ni
hadithi ya Anania na Safira katika Matendo 5:1 . Kanisa jipya la Bwana Yesu kristo
lililojaa utukufu usio wa kawaida wa Roho Mtakatifu ambaye alikuwa imara katika
udhibiti wa uendeshaji wa kampuni ya waumini. Hivyo, shetani alikuwa nahitaji
kuvamia uwezo huu kwa uovu na ukosefu wa haki, na silaha ya kwanza aliyotumia
kushambulia ni fedha- ilikuwa ni nji rahisi sana ya kuwajaribu na kuwanasa Anania na
Safira na shetani angekuwa na uwezo wa kupata nafasi. Shetani alipowajaribu Anania
na Safira Petro akawauliza bila hofu, 'Anania, kwa nini shetani amakujaza moyo kwako
kumwambia uongo Roho Mtakatifu?' Uongo kuhusu kiwango gani cha fedha ambazo
wamepokea kutokana na mauzo ya ardhi yao na matokeo yake ni kutokuwa na kweli
katika fedha, dhambi na hatimaye kifo cha wote Anania na Safira – ni wazi kwamba
shetani alitumia fedha na alama ya mashambulizi yanayolenga utukufu wa kanisa jipya.
Kama tunavyosoma katika kitabu cha Matendo tukirejea katika mfano wa pili ya shetani
kutumia fedha kwa kuwadanganya watu wa Mungu ifuatayo ni hadithi ya Simon
mchawi kama ilivyoandikwa katika Matendo 8:9 -25 . Simon hakika alikuwa chini ya
ushawishi wa Shetani si tu kwamba yeye alivyokuwa mcahwi lakini yeye pia alipata
ibada kutoka kwa watu na ilikuwa inajulikana kama 'MwenyeNguvu Kubwa '. Alipoona
Petro ikitoa nguvu ya Roho Mtakatifu katika maisha ya watu alivutiwa kwa uovu
kumshawishi Petro kwamba atoa pesa kununu karama ya Mungu kutoka kwa Petro .
Nashukuru Petro alikataa ushawisi huu, lakini kama Shetani angepata upenyo wa
kumweza Petro kupitia fedha za Simon basi kungetokea athari kubwa juu ya kanisa
Page 179
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kama athari kuubwa iliyowatokea Anania na Safira walioangukia jaribu la shetani la
awali.
Hatimaye, barua ya kwanza ya Paulo kwa Timotheo inatoa mfano zaidi juu ya uwanja
wa vita ambao upo katika fedha kati ya shetani na watu wa Mungu - hasa tunaweza
kuona hili katika 1 Timotheo 5:6-9 . hapo chini msululu wa mabo yaliyotokea wakati
mtu anapojaribiwa na wanatanguliza tamaa zao kwa kupenda fedha kabla ya kutembea
kwao na Mungu -Je! Biblia haina orodha ya kutosha juu ya onyo kutoka kifungu hiki
kifupi sana juu ya haja ya kutawala fedha zetu ? Hasa andiko linalinganisha fedha na
mtego ambao unawanasa watu wa Mungu – ni wazi shetani ameweka mitego mingi ya
kifedha na tumeona jinsi alivyomnasa Yuda, Anania, Safira na Simon mchawi. Na wewe
usipotawala fedha zako kwa ungalifu zaidi, unaweza kunaswa na shetani.
'Kuanguka katika majaribu
'Na mtego '
'Kwa udanganyifu mwingi na tamaa '
' Wapige wanadamu katika upotevu na uharibifu '
' Wakatangatanga mbali na imani '
' Wakachomwa wenyewe kwa maumivu mengi.'
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Iraq
Watu 23,114,884 asilimia , 96 % ni Waislamu
Vita na kutengwa kisiasa vinafungua Iraq kuitambua habari njema ya Yesu.
© www.operationworld.org
53. Udhalimu Hutuanika
Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: : 10:9 Mithali
Kariri Aya Hi: 1 Timotheo 5:24
Baadaye Zungumzia Jambo Hili: Ni nini hatari ya matendo yasiyo ya haki katika
fedha zetu.
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Omba kwamba Mungu akufunulie
maeneo yote ya uovu wa kifedha.
Page 180
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Kazi ya Diploma Ya Kuandika: Orodhesha mifano mingi ya udhalimu wa kifedha
kama inawezekana.
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: 11:18 Mithali
Hivyo baada ya kuona kwamba Shetani hutumia fedha kama mtego kujaribu dhidi ya
watu wa Mungu, sehemu hii itakuwa makini juu ya eneo ambalo shetani anataka sisi :-
tuitwe waovu. Zaidi sana sisi tuwe mavuno kwa tabia ya dhambi na waovu (hasa katika
eneo la fedha zetu) ,Na zaidi ili sisi tufunge mlango juu ya uwezo wa Mungu ambao
unafanya kazi katika katika fedha zetu na ili sisi tuzidi kufungua mlango wa shetani
kwa kuiba mambo mazuri ya Mungu. Cha kusikitisha , Wakristo wanadhani kwamba
wanaweza kuchukua fedha kwa haraka na kujiingiza katika udhalimu kidogo katika
imani za ujinga kwamba wao watapata kutawala fedha nyingi, sawa – Kama tu walijua
ukweli! Sehemu itatazamisha mambo mawili ya kibibilia na kivitendo katika eneo la
udhalimu vile kwamba sisi tunaweza kuhitimisha kwamba njia pekee ya utulivu wa
muda mrefu wa kifedha ni kwa njia ya utakatifu wa muda mrefu na haki katika fedha
zetu.
Moja ya mambo ya kutisha kuhusu kutembea katika udhalimu ni ukweli kwamba
hatimaye utajikuta uko nje na hakika utajionea mambo ya aibu na fedheha ya jambo hii
ama katika maisha haya au siku ya hukumu. Maandiko hapo chini ya nazungumzia
udhalimu unavyokuwinda na kukusababisha wewe unapokuwa katika dunia kama ilivyo
nukuu katika Mithali, au katika siku ya hukumu kama ilivyo nukuu katika 1 Timotheo.
Mungu anajua yote haijalishi namna gani unajaribu kufunika uovu wako, dhambi zako
utakuwinda na kukuangusha, utajikuta uko nje namambo ya aibu yatakuandama. Tazama
jinsi aya ya 1 Timotheo inavyosema juu ya dhambi kufikia hatua ya hukumu kabla ya
mtu husika hajatenda. Utakuwa ni wakati wa kutisha katika siku ya hukumu, Watu
watakaposimama mbele ya Yesu ambaye atakuwa nakala za malipo ya dhambi
zao,karatasi zilizo jazwa na kodi inayorudishwa kimakosa mikononi mwake, inayohitaji
maelezo.
Mithali 10:9 'Aendaye kwa unyofu huenda salama; Bali apotoshaye njia zake zake
atajulikana.'
Mithali 28:18 'Aendaye kwa unyofu ataokolewa; Bali mkaidi wa njia yake ataanguka
mara.'
1 Timotheo 5:24 ' Dhambi za watu wengine zi, dhahiri zatangulia kwenda hukumuni.'
Aidha kutumia njia ya mkato za fedha na utendaji usio wa haki utaleta faida ya muda
mfupi tu ya kidunia wala haitaleta mkondo wa baraka za kudumu- kama maandiko
Page 181
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
yanavyoonyesha hapo chini. Tazama katika Mithali 11:18 inasema kwamba mtu mbaya
hupata mshahara wa udanganyifu - kitu chochote utakacholipwa kupitia uovu ni
udanganyifu kama ni ya kidunia, ni kwa muda mfupi tu, bora ya Mungu. Watu
wanafikiri kwamba wanaweza kujiingiza katika udhalimu kidogo na ' halafu baadaye
watajiepusha mbali na hayo ' cha kusikitisha , kila wanachokifanya ni kubadilisha
baraka za Mungu zilizo bora kwa ajili ya maisha yao na kwa ajili ya kujipatia malipo
yasiyo haki. Mithali 10: 22 anasema, 'Baraka ya Bwana hutajirisha, wala hachanganyi
huzuni nayo.', bila ya shaka ni bora zaidi kuridhika na mapato ya haki ya baraka za
Mungu katika maisha yako kuliko kujaribu kujipatia fedha za ziada zisizo halali zenye
masumbufu, hatia na kuleta mambo mabaya.
Mithali 15:16 'Kuwa na mali chache pamoja na kumcha Bwana; Ni boro kuliko kuwa na
mali nyingi pamoja na taabu'.
Mithali 11:18 "Mtu mwovu hupata mshahara wa udanganyifu '
Mithali 13:11 'Kilichotarajiwa kikikawia kuja moyo huugua.'
Mithali 21:6 'Kupata akiba ya mali kwa ulimi wa uongo ni moshi upeperushwao; ni
kutafuta mauti.'
Aidha si tu mapato ya fedha katika matendo yasiyo haki ndiyo yaletayo faida ya muda
mfupi, bali cha kusikitisha mkristo anaweza kuwa na hali mbaya kuliko alivyokuwa
hapo mwanzo alipokuwa nanajaribu kujipatia fedha kwa njia ya uovu. Sheria ya
kupanda na kuvuna ni pingamizi na hakuna Mkristo ambaye hajatekwa na hali hiyo,
haifanyi tu kinyume chetu bali si tu kufanya nao kazi katika neema yetu lakini pia kazi
dhidi yetu. Kwa hiyo, kama utapanda udhalimu na udanganyifu katika shughuli yako ya
kifedha utakuwa ukipanda kwa shetani ( katika hali iyo hiyo utapanda haki katika fedha
zako ulizopanda kwa Mungu ) na shetani naye pia atazidisha uovu ulioupanda kwake.
Kama Wakristo wangeelewa ukweli huu basi hao wangeondokana na matumizi mabaya
ya fedha. kama hatimaye, katika muda mrefu , watakuwa na hali mbaya kama
inavyoonyesha katika maandiko ya hapo chini yanavyodhibitisha.
Mithali 10:2 'Hazina ya uovu haifadii kitu'
Mithali 10:16 'Kazi yake mwenye haki huelekea uzima.'
Mithali 15:6 'Bali mapato ya muovu huwa tabu tu.'
'
Mithali 22:8 '
apandaye uovu atavuna msiba.'
Ayubu 4:8 'wapandao madhara huvuna yayo hayo.'
Wagalatia 6:8 'Maana yeye apandaye kwa mwili katika mwili wake atavuna uharibifu.'
Hapa chini ni baadhi ya mifano ya udhalimu wa kifedha uliokithiri leo - orodha si
kamilifu lakini inatoa wazo zuri la aina ya mambo ambayo sisi kama Wakristo
Page 182
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
tunapaswa kuwa makini sana na tusijiingize kwayo - jisikie huru kuchagua ni fungu gani
ambalo wewe ungependa kujiunga nalo! Vinginevyo kama unataka shetani awe
msimamizi wa fedha zako uwe na uhakika kuwa kakuna yeyote chini au muundo
wowote ule wa uovu upo katika fedha yako.
Uongo kukamilika wakati shuka
Uongo kukamilika nyongeza aina
Kutumia kadi ya mikopo wa kampuni kwa ajili ya manunuzi ya binafsi
Kuchukua nyumba ya vifaa vya kiofice
Kufanya kazi za msimu kwa malipo yasiyoweza kukuwezesha kulipa kodi.
Kufungua kwa siri akaunti ya benki ambayo mwenzi wako haijui
Kutumia huduma ya kampuni ya posta
Kujaza uongo kwenge fomu ya codi
Kuto kumjulisha mmojawapo wanapokuwa wamekupa mabadiliko makubwa
Kutokuwa na leseni ya luninga
Kupigia simu kazini kwako ukijifanya kuwa unaumwa na wakati si hivyo.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Kuomba kwa ajili ya Jamaica
Watu 2,582,577asilimia, 10% ni waRastafarian
walionaswa na mtego wenye nguvu wa madawa ya kulevya-kanisa linahitaji ujasiri
mkuu.
© www.operationworld.org
54. Haki Hutukinga
Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Zaburi 112
Tafakari Aya Hii: Luka 8:15
Baadaye Zungumzia Jambo Hili: Ni jinsi gani sisi tunaweza kutenda haki katika fedha
zetu
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Kama Mungu amebaini eneo la
fedha zako kuwa linahitaji kushikiliwa na utakatifu, basi, fanya mabadiliko ya lazima.
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika ukurasa mmoja juu ya faida ya utendaji wa
haki katika fedha zetu.
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Mithali 10:9
Page 183
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Baada ya kuona hapo awali kwamba tunapo jiingiza katika udhalimu kwenye shughuli
zetu za fedha zinatuanika kwa Shetani, sehemu hii itahusisha upande mwingine wa
hadithi na jinsi haki inavyoaachilia utendaji wa Mungu katika fedha zetu. Twende
pamoja, maeneo haya juu ya uovu na matendo ya haki katika mambo yetu ya fedha
inapaswa kuhakikishwa kwamba wangalizi mkubwa unafanyika katika shughuli zetu
zote katika hali ya usahihi. Kuna faida zisizo elezeka katika matendo ya haki kwenye
fedha zetu na sehemu hii tutaangalia jinsi utendaji wa haki katika fedha utakavyo
tulinda, utatupatia amani ya akili na hatimaye kutuinua zaidi kifedha.
Utendaji wa haki kwanza utalinda fedha zetu kutoka kwa shetani ambaye yeye hutaka
kuiba na kuziondo fedha katika mwili wa Kristo. Shetani hushinikiza udanganyifu,
uongo na uovu wa upatikanaji wa fedha kwa njia zisizo halali, tukikataa kutenda
matendo yasiyo haki tumzuia na atakuwa mbali na fedha zetu na haki itakuwa itakuwa
ulinzi unaozunguka fedha zetu na ita kuwa ngumu kwa shetani kushinda. Mtunga
mashairi wa kitabu cha Mithali ana mengi ya kusema kuhusu haki uadilifu, na kutenda
katika njia ya haki kama maandiko hapo chini yanavyoonyesha:- tazama jinsi haki
inavyowalinda watu wa Mungu.
Mithali 10:9 'Aendaye kwa unyofu huenda salama.'
Mithali 11:3 'Ukamilifu wao wenye haki utawaongoza'
Mithali 11:5 'Haki yao wenye haki itawaokoa''
Mithali 11:6 'Haki yake mtu mkamilifu itamwongoza'
Mithali 11:8 "Mwenye haki huokolewa katika dhiki'
Mithali 13:6 'Haki humulinda yeye aliye mvyofu katika njia yake'
Mithali 28:18 'Aendaye kwa unyofu ataokolewa'
Zaburi 25:21 'Ukamilifu na unyofu zinihifadhi'
Manufaa zaidi katika matendo ya haki ni kwamba tunafunguliwa ufahamu na kujua
ulimwengu mpya wa furaha katika kutembea kwetu na Mungu. Ni upendeleo wa hali ya
juu na ni wazo zuri kujua kwamba majukumu yako yote ya kifedha yako katika mjia
inayo mletea Mungu heshima na kuwa na dhamiri njema mbele ya Mungu. Kama
matokeo ya kutenda haki katika fedha yako unaweza kutarajia utajiri wa baraka za
Mungu uthibitisho wa Mungu kuendeleza uendeshaji endelevu wa fedha yako. Watu
ambao walitenda haki kwa fedha zao wanaweza kutarajia mambo mema tu katika siku
zijazo na wanaweza kuwa na hofu ya habari mbaya na haki yao huwaweka juu ya zaidi
ya makundi ya shetani. Haki itakuwa italinda akili yako na kulinda fedha yako kama
maandiko hapo chini yanavyoonyesha, mtu mwenye haki anaweza kujua ukuu wa uhuru
katika akili, amani na furaha.
Zaburi 112:5 ' Heri atendaye fadhili na kukopesha; atengenezaye mambo yake kwa haki
kwa maana hataondoshwa kamwe; Mwenye haki atakumbukwa milele Hataogopa habari
Page 184
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
mbaya; Moyo wake u imara ukimtumaini Bwana. Moyo wake umethibitika hataogopa.'
Mithali 3:25 'Jusiogope hofu ya ghafla, wala uhalibifu wa waovu utakapokujia
Kwakuwa Bwana atakuwa tumaini lako, naye Naye atakulinda mguu wako usinaswe.'
Zaburi 37:18 'Bwana anazijua siku za wakamilifu na urithi wao utakuwa wamilele
Hawataaibika wakati wa ubaya na siku za njaa watashiba.'
Hatimaye , kama vile haki hutuwezesha na kutulinda na kutupatia amani ya akili,
nyanja ya mwisho ya kutenda haki katika fedha zetu itatuinua na kutuongoza kwenye
mavuno ya kifedha. Unajifunza katika utaona kuwa neno 'Mavuno ' na ' Haki ' mara
nyingi kuonekana pamoja na kuna sababu na athari kwamba haki itasababisha mavuno.
Maandiko hapo chini yanathibitisha hili uhusiano kati ya haki huongoza kwenye
mavuno / matunda / baraka. Haki inafanana na mbegu ya kupanda ambayo baadaye
inakuja kukubariki.
2 Wakorintho 9:10 'Naye ataongeza mazao ya haki yenu.
Yakobo 3:18 ' Na tunda la haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.'
Waebrania 12:12 ' Baadaye, hata hivyo , inazalisha mavuno ya haki na amani kwa wale
ambao wamepata mafunzo kwa hilo '
Wafilipi 1:11 'Hata mmejazwa matunda ya haki.'
Isaya 32:17 'na kazi ya haki itakuwa amani.'
Hosea 10:12 'Jipandieni katika haki, vuneni kwa fadhili.'
Mithali 11:18 'Apandaye haki, anadhawabu ya hakika.'
Mithali 10:16 'Kazi yake mwenye haki huelekea uzima.'
Uhusiano huu kati ya haki inayopelekea mavuno inatoa mwanga zaidi kupitia mfano wa
Yesu juu ya mpanzi. Katika mfano huu , anaorodhesha aina 4 za watu , ambapo ni mmja
tu aliyetoa mavuno na anaelezea kwa nini mtu huyu ilifanikiwa ambapo watu wengine
watatu walishindwa. Katika Luka 8:15 anaorodhesha sifa ambazo atapata mtu yule
ambaye alizalisha mavuno kwa ajili ya Mungu, na jinsi huyo mmojawao atakapopata
tuzo zuri la kwaajili ya moyo mwema.'. Aidha, maandiko ya hapo chini ni maneno ya
Yesu na yote yanaoongelea inayomshukia mwenye njaa na kiu na kumtafuta mwenye
haki ( na kutafuta haki kabla ya baraka ) kama tukitafuta kwa bidii uadililifu ndipo na
kwa hakika baraka za Mungu zitatutafuta sisi kwa bidii.
Mathayo 5:6 Heri wenye njaa na kiu ya haki, maana hao watashibishwa.
Mathayo 6:33 ' Bali utafuteni kwanza ufalme wake na haki yake, na hayo yote
mtazidishiwa.'
Kama tulichunguza sehemu hii kwa karibu tumeona kwamba fedha ni uwanja wa vita
kuu ya kwamba ufalme wa giza hujipanga kwa vita dhidi ya Kikristo. Hatimaye,
Page 185
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kiwango ambacho shetani anaweza kugusa fedha zetu hakiadiliwi nayeye lakini tu
kinakadiliwa ni kwa kiwango gani sisi wenyewe tunajiachilia kwake. Kama Mkristo
atatembea katika haki kamili katika fedha yake ndipo fedha yake haitaguswa, na
shetani hawezi kuweka mikono yake juu ya fedha hiyo. Hivyo baada ya kusoma sura hii
utafanya vizuri sana na kutathmini kwa makini na kuomba juu ya matendo utendaji
wako wa kifedha ili kuhakikisha hakuna sehemu hata kidogo ya uovu , ambayo inaweza
kukuweka kwenye mikono ya shetani amabye hutafuta fedha yako.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Kuomba kwa ajili ya Jordan
Watu 6,669,341 asilimia, 2.75 % ni waKikristo
Uhuru wa dini kati ya kuongeza extremist Uislamu lazima utumike.
© www.operationworld.org
55. Kipawa Cha Utoaji
Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti:Matendo 4:34-37
Tafakari Aya Hii: Warumi 12:8 'mwanye kukirimu kwa moyo mweupe.'
Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Kwa nini ni Kipawa cha utoaji ni kama
kimesahauliwa katika mwili wa Kristo.
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Waulize watu katika kundi lako kile
wanachoamini katika vipawa vyako vya kiroho
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Toa mifano kutokana na uzoefu binafsi wa Biblia na
oparasioni ya kipawa cha utoaji.
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: 1 Mambo ya Nyakati 29:17
Uzoefu wa maisha ya sadaka binafsi na utoaji ambao unapitia katika njia za maisha ya
kidunia ukikamilishwa na kipawa na neema ya Mungu ambayo itabadilisha matakwa
Page 186
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
yetu na mwenendo wetu juu ya fedha. Sehemu hii inazingatia utoaji kama ni moja ya
kipawa toka kwa Mungu. Mengi yameandikwa juu ya vipawa vya kiroho na watu
wanasema kwamba kuna karama 9 za kiroho 1 Wakorintho 12:8-11 ni uthibitisho wa
kibibilia hatua kama rejea ya msingi ya kibiblia, hata hivyo: 1 Wakorintho 12:27-30:1
Petro 4:9-10 na Warumi 12 :6 -8 wote wanasema zaidi juu ya vipawa vya kiroho na
Warumi 12:8 inazungumzia kipawa cha utoaji. Hivyo kutoa ni kipawa cha kiroho
kilichotolewa kwaajili ya kanisa ili kuujenga mwili kama vipawa vingine ulivyo
gawiwa na Roha Mtakatifu vinahitaji kuchochewa, vitumike kwa faida ya ndugu na
dada na wewe utatoa hesabu kwaajili ya uwakili wako, lakini ni ni nini kipawa cha
utoaji?
Naam, kama mtu ana karama ya uponyaji, anakuwa ni mtu wa haki mahali husika, na
wakati husika kuachilia baraka ( uponyaji) , kwa kunufaisha mtu mwenye haki. Ndivyo
ilivyo kwa mtu mwenye kipawa cha utoaji atakuwa mtu wa haki katika mahali sahihi
katika wakati sahihi na kuachilia fedha nanyenzo za baraka kwa mtu wenye haki na
itakuwa furaha kwao, na wajibu wa fursa ya kufanya hivyo. Labda mfano mzuri wa
maandiko kuhusu kipawa cha utoaji ni Matendo 4:34 -36 ambapo Barnaba na Mitume
wengine waliuza mashamba, ardhi na nyumba ili kukidhi mahitaji ya kanisa la kwanza.
Aidha, mfano wa Kale wa mtu aliyepata furaha, na mwenye kipawa cha kutoani Daudi
ambaye alichangisha kwaajili ya ujenzi wa hekalu. Hebu angalia katika maandiko hapo
chini baadhi ya vitu alivyosema.
1 Mambo ya Nyakati 28:2 'Mimi nilikuwa na nia ya kujenga nyumba ya kustarehe
kwaajili ya sanduku ya Agano la Bwana.'
1 Mambo ya Nyakati 29:17 'Nami katika unyofu wa moyo wangu nimeyatoa yote haya.'
Kama una kipawa cha kutoa ndani yako basi maneno ya Daudi pia yanakuhusu wewe -
yaani yakuwa katika moyo wako utatoa na kwa hiyari na hata kuwa na furaha katika
kutoa kifedha kwa kazi ya Mungu. Labda hujawahi kusikia juu ya kipawa cha utoaji
lakini siku zote umejisikia mzigo ndani na kuwa na hamu kupata fedha nyingi ili
uwekeze katikaInjili - labda sehemu hii itakusaidia kujiachilia katika wakfu wa Mungu
na upako katika kipawa cha utoaji. Kama Mungu ameweka moyoni mwako nia na
karama ya utoaji kwako ba karamanyingine ya kiroho haichukua nafasi hiyo nawe utajua
amani ya kweli na furaha wakati utakapoanza kuitumia karama hiyo. Barnaba ni mfano
bora wa mtu anayesukumwa na karama ya utowaji, lakini hapa chini kuna mifano ya
watu wengine wenye karama za utoaji.
Andiko Kupokea Mtoaji
Kipawa
Page 187
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
2 Wakorintho 11:9 Paulo
Ndugu wamakedonia Ndugu mahitaji ya muhimu
Wafilipi 4:16 Paulo
Ndugu wafilipi mahitaji ya muhimu
2 Timotheo 1:16 Paulo
Onesiforo mahitaji ya muhimu
Luka 8:3 Yesu
Wafuasi wa kike Mahitaji ya muhimu
Luka 22:10 Yesu & Wafuasi
Mmiliki nyumba Chumba cha juu
Warumi 16:1 Foibe
Kanisa la Rumi Chochote alichohitaji
Warumi 15:26 Yerusalemu waumini
Makedonia & Akaya Mahitaji ya muhimu
1 Wakorintho 16:1 Yerusalemu
waamini Wakorintho
mahitaji ya muhimu
2 Wakorintho 8:1 Yerusalemu
Waumini Wa Makedonia
mahitaji ya muhimu.
Kipawa cha kutoa kinaonekana kuwa ni karama iliyochini sana kutumika katika mwili
wa Kristo kuna sababu kadhaa kwa hili. Kwanza, mafundisho mengi na vitabu na vituo
vya kaseti juu ya Karama za Kiroho katika 1 Wakorintho 12:8-11 na migawanyo ya
karama mbalimbali za kiroho. Kwa mfano, ni wakati gani ulikuwa ni mwisho kwako
kusikia mahubiri juu ya karama inayoonyesha huruma ( warumi 2 : 8) , au karama ya
utu wema ( 1 Wakorintho 12:28) au karama ya ukarimu (1 Petro 4:9 ). Pili, ni karama
ambapo wewe ufahamu kdogo kutoka waamini wenzako. Kwa mfano, kama mtu anatoa
unabii kwa neno la usahii mbele ya kanisa kubwa basi watatambua kuwa yeye ana
kipawa cha unabii. Hata hivyo, kama kipawa chako ni kipawa cha kutoa fedha kwa
shirika au mtu basi hakuna mtu atakeye tambua kuwa hii nayo ni karama ya utoaji
imefichika sana na ni ya kipekee sana karama hii.
Tatu, kama tutahitaji kudhihirisha karama ya utoaji itatugharimu kifedha, kwa mfano ,
Page 188
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kutoa neno la maarifa , au la unabii au uponyaji wagonjwa haitakughrimu chochote
itakuwa kama wewe uttaka kutumia kipawa cha kutoa na kama vile si karama maarufu
sana katika jamii yetu binafsi, materialistic. Kama wewe utajisikia kwamba karama hii
ya kutoa ni yako na nia ya kiroho na unataka kutumia sehemu ya maisha yako kwa
kuitumia kwa faida ya mwili wa Kristo, kuna baadhi ya njia hapa utakazotumia
kuchochea kipawa hiki.
Ushirika na wengine walio na kipawa. Warumi 1:11 inaonyesha kwamba vipawa vya
kiroho vinaweza kushirikishwa kutoka kwa waumini ambao tayari wanavyo hadi kwa
wale amba hawana. Kwa nini usitafute wale waliokuwa navyo hivyo vipawa nawe
uvipate, wataweka mikono yao juu yako na utajazwa vile walivyo navyo. 2 Timotheo
1:6 pia anaongea juu ya vipawa vya kiroho kuwa wengine walivipokea kwa kuwekewa
mikono.
Muombe Mungu akuonyeshe watu na miradi ambayo yeye anataka kubariki. Fedha
zinatolewa kwa mtu husika kwa wakati unaofaa unaweza kuwa Ufalme wa dthamani
ya milele usioelezeka na baraka kwa watoaji na washiriki -basi wale ambao wana
vipawa vya utoaji waombe kwamba watumie sehemu ya maisha yao kuwa katika
mapenzi kamilifu ya Mungu na daima kutoa na hasa kwa watu na katika maeneo
ambayo Mungu anataka wawe .
Kutoa, na kutoa kwa ukarimu . Ushauri wa Warumi 12:8 ni kwamba njia ya
kuendeleza kipawa cha kutoa kwa kifupi ni kuwa mtoaji kwa ukarimu, kadiri unavyotoa
kwa kadiri iyo hiyo utapokea na utakuwa una wabariki watu zaidi.
Hivyo maisha ya utoaji wa fedha yatawezeshwa tu kwa njia ya neema ya Mungu wakati
anapotuvuvia karama ya utoaji tunakuwa na hamu na furaha yetu inakuwa ni kuishi kwa
kutoa maneno ya Yesu katika hali halisi Matendo 20:35 kuwa kwa sisi ' ni heri kutoa
kuliko kupokea. Ni lazima alisisitiza kuwa kipawa cha utoaji si kwa kila mtu lakini
kama kwa njia vile ulivyosoma unaamini kwamba hii inaweza kuwa ni karama yako,
basi anza hatua katika imani na hekima na kutoa kwa moyo - utii utasababisha
changamko na furaha si tu kwa wale wapokeaji lakini kwa wewe pia! Kama Biblia
inavyosema katika Warumi 12:8 kama hiki ni Kipawa chako basi, toa ukarimu.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Kuomba kwa ajili ya Kazakhstan
Watu 16,222,563 asilimia , 60 % ni Waislamu - asilimia 24 % ni WaKikristo.
Ujinga na ukosefu wa usambazaji Biblia vinazuia ukuaji wa kanisa lililaanzishwa.
© www.operationworld.org
Page 189
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
56. Kutoa Na Vipawa Vingine Vya Kiroho
Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti : Luka 8:3
Kariri aya hii: 2 Wakorintho 8:4 ' Wakituomba sana pamoja na kutusihi kwa habari ya
neema hii, na shirika hili la kuwahudumia watakatifu.
Baadaye Zungumzia jambo hili : Njia nyingi tofauti na aina ya kuwa mtoaji .
Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine : Tangu Biblia inatutia moyo wa kuwa
wakarimu (Warumi 12:13), alika mtu kwa ajili ya mlo.
Kazi ya Diloma ya kuandika : Andika jinsi zawadi ya kutoa inaweza kutumika kwa
kushirikiana na zawadi nyingine ya kiroho.
Tafakari neno baada ya neno: kwa neno kwenye Mstari Huu : Warumi 12:13
Baada ya kuanzisha kutoa wakati kutoa ni wajibu wa waamini wote , kuna maalum
kiroho zawadi ya kutoa - sehemu hii kufikiria jinsi ya kutoa zawadi kivitendo kazi na
baadhi ya zawadi nyingine ya kiroho inaweza kutumika kwa kushirikiana na . Mara
nyingi , zawadi ya kiroho yanaweza kutumika pamoja kwa mfano , Mchungaji anaweza
kuwa na neno la maarifa kuhusu mtu mwingine wanaohitaji kuponywa magonjwa na
kisha ikitoa zawadi ya uponyaji katika maisha yao. Kama yako ya kiroho zawadi ya
msingi ni zawadi ya kutoa unaweza vizuri matumizi yake kwa kushirikiana na zawadi
nyingine ya kiroho na unaweza pia kuitumia katika njia mbalimbali ya ubunifu – hebu
tutazame baadhi yao.
Kipawa cha kutoa kimetajwa katika Warumi 12:8 na katika mstari huo huo zaidi zawadi
ya kiroho tajwa - yaani zawadi ya kuonyesha huruma , ambayo inaweza mara nyingi
wanaohusishwa na zawadi ya kutoa. Kwa mfano, unaweza kusikia ya hali ya kukata
tamaa kutoka shamba ujumbe - kama vile haja ya kujenga kituo cha watoto yatima na
kuwatunza watoto kutelekezwa. Kama matokeo zawadi ya kuonyesha huruma inaweza
vizuri hadi ndani wewe na utakuwa na hamu kubwa ya kusaidia yatima hawa. Katika
hatua hii ya kutoa zawadi pia inaweza iliyotolewa na itakuwa ni furaha yako nzuri na
hamu ya moyo wa kutuma mchango kubwa ya kusaidia kujenga kituo cha watoto yatima
Page 190
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
- hivyo vipawa wa kuonyesha huruma na kutoa yanaweza iliyotolewa wakati huo huo na
pongezi kila mmoja. Kwa kiasi leo ukali , uchungu na ubinafsi katika dunia , ikitoa
zawadi wa kuonyesha huruma na kutoa ni kama ikitoa wimbi baada ya wimbi la upendo
wa Mungu juu ya majeraha kuumiza ya wanaume na wanawake.
Zawadi zaidi ambazo zinaweza kutumika kwa kushirikiana na kipawa cha kutoa ni
zawadi ya ukarimu - inaweza pia kuwa na mshangao kwa baadhi ya watu kwamba
ukarimu ni zawadi ya kiroho na mshangao hata kubwa kwa kugundua kwamba ni kweli
moja ya zawadi ambayo Mungu amewapa wao! Warumi sura ya 12 orodha ya karama za
kiroho na katika mstari wa 13 inasema kuwa ' Kushiriki na watu wa Mungu walio katika
uhitaji. Mazoezi ya ukarimu '. Aidha : 1 Petro 4:9-11 pia anaongea juu ya vipawa vya
kiroho na mstari wa 9 anasema, ' Kutoa ukarimu kwa kila mmoja bila wakilalamika ' na
Waebrania 13:2 inasema, ' Usisahau kuwakaribisha wageni , maana kwa kufanya baadhi
ya watu walipata kuwakaribisha malaika bila kujua '.
Hivyo, unaweza kuwa na furaha ya kufungua nyumba yako na kulisha watu wengi
wapweke kanisani ambao hawana familia yao wenyewe au ambao ni wanafunzi na kuwa
na fedha kidogo au wageni ambao ni mpya na nchi yako. Imekuwa ni furaha ya
mwandishi na kuwakaribisha watu kutoka mbali mbali kama Ethiopia, Japan, Korea,
Urusi na Liberia - kwa kutoa kifedha wa kununua chakula kwa ajili yao imekuwa
inawezekana kupanua upendo wa Mungu kwao. Labda kuna baadhi ya watu katika
mkutano wako ambao upendo mlo mzuri na ushirika na wewe? Kwanini usizitafute n
kuchanganya na zawadi ya ukarimu.
Hatua zaidi kuhusu zawadi ya kutoa ni kwamba si tu utoaji wa fedha lakini inaweza
kutumika katika njia nyingi tofauti na Roho Mtakatifu bila shaka kuwaita ninyi kuwa
wabunifu na kutoa katika njia tofauti na katika njia tofauti. Inaonekana kwamba hii
inajulikana katika maandiko kama ' Kuhudumu kwa watu wa Mungu ' au ' Kuosha
miguu watu wa Mungu 'au' kuwahudumia watu wa Mungu - kama maandiko chini
zinaonyesha. Hivyo, zawadi ya kutoa inaweza kuwa walionyesha si tu kifedha lakini
wengi katika vitendo tofauti ya ukarimu na matendo mema na matendo ya wema na
zawadi ya kimwili. Kama wewe kutafuta zoezi zawadi hii basi hakika hakutakuwa na
uhaba wa fursa ya kutoa kwa watu wa Mungu - Hakika inategemea kama una macho ya
kuona kwao.
2 Wakorintho 8:4 ' Wakituomba sana pamoja na kutusihi kwa habari ya neema hii,na
shirika hili la kuwahudumia watakatifu.
2 Wakorintho 9:1 "sina haja ya kuwaandikia kwa habari ya kuwahudumia watakatifu.'
1 Timotheo 5:10 ' Nae amashuhudiwa kwa matendo mema;ikiwa amelea watoto,ikiwa
Page 191
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
amekaribisha wageni,ikiwa amewaosha watakatifu miguu'
Moja ya mambo ya kipekee kuhusu zawadi hii ya kutoa katika mazingira ya huduma /
kuwahudumia watu wa Mungu inaweza kuonekana katika huduma ya Yesu. Yesu bila
shaka kuendeshwa katika zawadi ya kiroho na alitumia unabii , maneno ya uponyaji
hekima na maarifa , na miujiza ya pembejeo katika maisha ya watu hata hivyo, kuna
karibu hakuna mifano ya Yesu mwenyewe ndiye mpokeaji wa zawadi ya mtu mwingine
wa kiroho. Ukiondoa hii ni ukweli kwamba Yesu mara kwa msaada mkono Suzanna
Yohana na wanawake wengine ambao iliyotolewa zawadi ya kutoa katika maisha yake
kwa mfano, Luka 8:3 inasema, 'Hawa wanawake walikuwa kusaidia kwa msaada wao
nje ya njia yao' . Kwa hiyo , kama Mwana wa Mungu zinahitajika kuwa mpokeaji wa
kipawa cha kutoa wakati alipokuwa duniani , ni kiasi gani zaidi kufanya maskini, mjane
na yatima wanahitaji kuwa wapokeaji wa zawadi yetu ya kutoa?
Hivyo tumeona kuwa zawadi ya kutoa inaweza kutumika kwa kushirikiana na zawadi
nyingine sawa kiroho kama vile ukarimu na kuonyesha huruma zaidi ya hayo , inaweza
kuchukua aina nyingi tofauti kama vile. Kwa mfano , unaweza kutoa fedha, au unaweza
kutoa chakula , unaweza kutoa nguo, unaweza kutoa zawadi au kweli aina yoyote ya
utoaji - zawadi ni hakika si tu mdogo kwa kutoa fedha .Wakristo wengi huwa na sababu
ya kotokutoa pesa zao na mali zao kwa ajili ya kazi ya injili – na ikiwa una karama ya
utoaji basi hakika tabia hii itahangaishwa kwako! Jaribu kutafuta sababu na ridha ya
kutokutoa ,tazamia buni njia njema ya kutoa toa si pesa pekee bali toa hata kwa namna
nyingine pia. Tafuta watu na fursa za kutoa ili kuifanya biashara yako ya kutoa kuwa
kubwa na kufanyika kuwa baraka kwa watu wanao kuzunguka kadri uwezavyo
Nyumba Ya Maombi Kwaajili Ya Mataifa Maskini
Omba kwa ajili ya kenya
30,080,372 ya watu, 78% ni waislamu
Ngome ya kanisa la Afrika – jeshi la wamissionari wakujitolea wanasubiria
kuruhusiwa.
© www.operationworld.org
57. Chochoa kipawa chako
Page 192
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti : 1 Wakorintho 14:12
Kariri Aya Hii: 2 Timotheo 1:6 ' Nakukumbusha uchochee karama ya Mungu,iliyo
ndani yako kwa kuwekewa mikono yangu.
.
Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Tunawezaje kutoa kwa ubora vipawa vyetu vya
kiroho - hasa katika karama ya kutoa.
Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine : Ombeni Mungu katika sala kama
njia bora ya wanachochea yako vipawa vya kiroho.
Kazi ya Diploma ya kuandika: Je, ni faida kwa muumini anayopata wakati
anapokuwa ametumia kwa ukamilifu vipawa vyake.
Tafakari neno baada ya neno: 1 Timotheo 4:14
Inasemekana hapo awali kwamba zawadi ya kutoa ni zaidi ya kutoa zawadi ya kiroho
kama vile kutabiri au kuponya, kiuwazi ni kwamba si ni kila mtu awezae kuitwa
kutumika katika karama hii. Hata hivyo, iwapo unahisi kuwa karama hii ya utoji ni
msingi wa karama yako ya kiroho basi sehemu hii itakutia moyo kuendeleza karama ya
utoaji. Katika barua zote mbili kwa Timotheo , Mtume Paulo alimhimizass Mchungaji
kijana Timotheo kuchochea karama yake ya kiroho , kama maandiko chini
yanaonyesha . Hivyo , chochote vipawa vyako vya kiroho ni (pamoja kipawa cha kutoa
), basi hakika maandiko chini kuomba kwenu - hivyo hebu tufikirie faida ya
kuchochea kipawa cha kutoa .
1 Timotheo 4:14 ' Je, si kupuuzwa zawadi yako , ambacho ulipewa kwa neno la unabii
wakati wazee wa kanisa waliweka mikono yao juu yenu '
2 Timotheo 1:6 ' Kwa sababu hii nakukumbusha kuichochea moto zawadi ya Mungu ,
ambayo ni katika wewe kwa kuwekewa mikono yangu '
Moja ya siri ya kushangaza zaidi kwamba Biblia inafunua kuhusu maisha yetu ni
kwamba kabla ya Mungu alituumba , na umba dunia , yeye tayari alijua sisi na tayari
alikuwa amepanga maisha yetu, Wizara yetu na vipawa vyetu - kama maandiko chini
yanaonyesha. Hivyo kama umekuwa amefanya na zawadi ya kutoa basi kabla ya
uumbaji wa dunia , na kabla walikuwa katika Mungu mama yako tumboni amekusudia
kwamba unapaswa kazi katika zawadi ya kutoa. Aidha, Mungu ataweka ndani ya tabia
yako na asili yako hamu ya kuwa mtoaji vile kwamba utapata kiwango cha juu cha
furaha na amani na ukamilifu. Kwa kuchagua koroga hadi zawadi ya kutoa wewe
kuingia katika karama wito, na maisha ya kwamba Mungu aliagiza unapaswa kutembea
Page 193
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
katika kabla ya uumbaji wa ulimwengu na kuna utapata ngazi ya juu ya ridhaa.
Isaya 49:1 'Kabla sijazaliwa Bwana aliniita '
Yeremia 01:5 "Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua, na kabla hujazaliwa
nalikutakasa '
Waefeso 2:10 ' Kwa maana sisi ni kazi ya Mungu , tuliumbwa katika Kristo Yesu tutende
matendo mema, ambayo toka awali Mungu aliyatengeneza ili tuenende nayo '.
Manufaa zaidi kwa kuchochea kipawa cha kutoa ni ukweli kwamba zawadi ya kiroho
pewa kanisa ili kwamba sisi kama watu binafsi kuwa na uwezo wa kupita baraka ya
Mungu kwenye ndugu na dada zetu . Kwa kuchagua si zoezi zawadi ya kutoa wewe ni
kuiba mbali baraka kutoka kwa ndugu na dada katika Kristo kwamba Mungu aliagiza
unapaswa kutoa fedha kwa . Kwa kuchagua si kukupa kuchelewesha na kuzuia
makusudi ya Mungu katika ardhi, na kwa njia ya ubinafsi wako wewe kuwaibia baraka
mbali na kaka zenu na dada zenu. Hatimaye katika 1 Wakorintho 14:12 , Paulo anasema
kwa waamini wa Korintho kutumia vipawa vyao kubariki ndugu zao na dada
' Tangu wewe ni hamu ya kuwa na karama za kiroho , jaribu kuutumia katika vipawa
kujenga kanisa '.
Zaidi, moja ya sheria ya Ufalme wa Mungu ni kwamba mwaminifu zaidi sisi ni pamoja
na vipawa vyetu vya kiroho - basi Mungu kutolewa zawadi hata zaidi ya kiroho katika
maisha yetu. Katika Luka sura ya 16 Yesu anazungumza wote kuhusu fedha na yeye
anasema katika aya ya 10 , `Mtu anaweza kuaminiwa na kidogo sana inaweza pia
kuaminiwa na kiasi '. Kama wewe kuchagua kuwa wakili mwema wa zawadi yako ya
kutoa na wewe mwenyewe kuthibitisha kuaminika basi Mungu nitakupa zawadi zaidi
kama yeye hataki kutolewa zawadi kwa wale ambao watakuwa kupuuza yao. Cha
kusikitisha , Wakristo wengi ni kutafuta ' upako safi ' na ' giftings mpya' lakini kamwe
kupata yao mpaka wao ni waaminifu na zawadi zao zilizopo kiroho.
Sheria ya kupanda na kuvuna pia kufaidika wewe kwa njia mbili tofauti kama wewe
wanachochea zawadi ya kutoa - katika maeneo ya fedha na zawadi ya kiroho. Kwanza,
kama wewe wanachochea zawadi yako ya kutoa na kupanda fedha utakuwa kutolewa
aina nyingi za baraka za Mungu na ambayo kwa zaidi kutumia kipawa cha kutoa . Pili,
kama wewe kutumia zawadi yako ya kiroho ( ya kutoa ) kubariki maisha ya watu
pamoja, utakuwa kuvuna zawadi ya kiroho kwamba watu kupanda katika maisha yako.
Kwa mfano, tuseme wewe kumtii Mungu wakati yeye unaweka katika njia ya mtu
ambaye anahitaji kuwa mpokeaji wa zawadi yako ya kutoa na wewe utiifu kutoa zawadi
kubwa ya fedha kwao. Wakati ni zamu yako kuwa mpokeaji wa zawadi ya mtu wa
uponyaji au unabii au utambuzi , Mungu itahakikisha kwamba wale ambao kazi katika
Page 194
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
giftings haya na ustadi itakuwa kuweka katika njia yako. Wakristo wengi ni upset
kwamba hakuna milele mawaziri kwao na hakuna kuwapa unabii au neno kutoka kwa
Bwana - labda unahitaji kuanza kupanda zawadi yako katika maisha ya watu wengine na
kama wewe kufanya , utakuwa na vipawa vya kiroho akapata nyuma yenu.
Nia ya mwisho kwa kutaja kama haja kuchochea kipawa cha kutoa ni ukweli wa siku
ya hukumu , na uwajibikaji wetu kwa Mungu kwa ajili ya zawadi na vipaji kwamba
yeye ameitoa kwa kila mmoja wetu . Kutokana na ukweli kwamba Mungu aliyepanda na
imewekeza vipawa vyake katika maisha yako yeye ni kuangalia kwa ajili ya kurudi
katika uwekezaji wake na wakati wewe kusimama mbele ya Mungu wewe kutoa hesabu
kwake kwa njia una ( au kuwa si ) kutumia vipawa vyako . Kama baada ya kusoma
kurasa hizi amesema na wewe juu ya zawadi ya kutoa kisha hatua nje na kutoa, na kutoa
kwa ukarimu isipokuwa unataka kuangalia wajinga siku ya hukumu.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Korea ya Kaskazini
24,039,193 ya watu.
Ukandamizaji uliokithiri na mateso - hali ya kanisa kiasi kikubwa haijulikani .
© www.operationworld.org
58. UTume Mkuu –Ahadi ya Agano la kale
Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti : Zaburi ya 2
Kariri Aya Hii: Zaburi 46:10 ' Acheni na kujua kuwa mimi ni Mungu,nitatukuzwa
katika mataifs ,nitatukuzwa katika nchi.'
Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Unaelewa nini kama rejeo kuwa Ibrahimu
angebariki mataifa yote katika Mwanzo 12:3 .
Jambo La Kufanya Kabla ya wakati mwingine : Omba kwa ajili ya watu, fedha ,
wanaume na vitendea kazi vya Utume mkuu.
Kazi ya Diploma ya kuandika: Orodhesha marejeo mengi kadri iwezekanavyo katika
Tume ya Mkuu katika Agano la kale.
Page 195
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Tafakari neno baada ya neno katika aya hii: Habakuki 2:14
Utume Mkuu unaweza kufafanuliwa kwa urahisi kama ahadi ya Yesu Kristo hatimaye
injili ihubiriwe kwa makabila yote ya watu duniani ili kwamba kila moja ya makundi
haya litakuwa la kiasili, kushuhudia kanisa na Biblia kuchapishwa. Hivyo, siku hatimaye
kuja wakati kila kikundi la watu katika uso wa dunia kutoka makabila ya Amazon kwa
Waeskimo , kutoka Mbilikimo wa Aborigines, itakuwa na Wakristo makanisa na Biblia .
Agano la Kale lilitoa marejeo kadha wa kadha kwa kuitazamia siku ambayo maarifa ya
Mungu yangeufikia ulimwengu mzima. Vivyo hivyo,maandiko haya ya Agano la kale
si marejeo kwa Mungu wa Agano la kale bali ni kwa ajili ya kutafuta maana timilifu ya
mtu Yesu Kristo na injili yake kuuenda ulimwengu mzima.Sehemu hii pia itatazamia
Utume Mkuu katika yale yaliyo mo katika ahadi ya Agano la kale ambayo
yamefahamika ndani ya Kristo na kanisa laje – maandadikon muhimu yameonekana
chini. marejeo Sehemu hii kwa hiyo kuangalia Utume Mkuu katika mazingira ya kuwa
ni Agano la Kale ahadi kwamba ni kikamilifu katika Kristo na kanisa lake - maandiko
maalum ni kuweka chini.
1. Mwanzo 12:3 'Watu wote duniani watabarikiwa kupitia wewe'
Hii ni moja ya ahadi ya Mungu kwa Abramu ambaye baadaye alimwita Ibrahimu na ni
ahadi wazi kwamba kwamba kila kundi la watu duniani watabarikiwa kupitia Ibrahimu.
Kwa hakika Ibrahimu hakuitimiliza hii kwa muda wa wakati wake na hata hivyo
asingeza kulitimiliza yeye peke yake kwahiyo ni namna gani watu duniani wanaweza
kubarikiwa na mwanadamu aliye kufa zaidi ya miaka 4000 iliyopita? Wagalatia 3:8 ni
Ufunguo wa andiko la Agano la kale ambao unanakiri Mwanzo 12:3 hapa ,inasemekana
kuwa wote walioiweka imani yao kwa Kristo (kwa namna hiyo hiyo Ibrahimu aliweka
imani yake kwa Mungu), shiriki imani ya Ibrahimu kama watoto wake wa kiroho. Hata
hivyo,Wakristo ambao ni watoto wa Ibrahimu kiroho watabariki watu wote duniani kwa
kuichukua imani ya Kristo na kuishiriki pamoja nao.
2. Zaburi 2:8 ' Uniombe, nami nitakupa mataifakuwa urithi wako,na miisho ya dunia
kuwa milki yako.
Zaburi ya pili ingeonekana kuonyesha mazungumzo kati ya Mungu Baba na Mungu
Mwana na Baba katika mstari wa 8 anatangaza kwamba Mwana wake hatimaye kurithi
miisho ya dunia kuwa milki yake.
Agano Jipya daima linatumia Zaburi hii ku husisha na Yesu (angaslia Aya
zilizoorodheshwa hapa chini ), na kunaweza kusiwe na shaka kwamba Aya ya 8 ni kivuli
Page 196
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
cha Utume Mkuu
Mistali 1-2 > Matendo 4:25-27
Mstari wa 7 > Matendo 13:33 Waebrania 1:5 Waebrania 5:05
Aya ya 9 > Ufunuo 02:26 12:05 19:15 .
3. Zaburi 22:27 ' Miisho yote ya dunia itakumbuka na watu watamrea Bwana, jamaa
zote za mataifa watamsudia Bwana '.
Ingawa imeandikwa na Daudi, Zaburi 22 bila shaka ni kielelezo cha kusulubishwa na
ufufuo wa Yesu, ( Yesu mwenyewe ananukuu kutoka juu ya msalaba ) mara nyingine
tena, hapa chini ni mistari kutoka Zaburi kwamba ni kutumika kwa Yesu katika Agano
Jipya. Mstari wa 27 anatumia usemi huo kama Zaburi 2:8 inaposema , 'Mwisho wa
dunia ' - kuonyesha mara nyingine tena kwamba injili ya Yesu itafikia kila kundila watu
.
Mst 1 > Mathayo 27:46
Mstari wa 18 > Yohana 19:24
Mstari wa 22 > Waebrania 2:12
4. Isaya 49:6 Nitakutoa uwe Nuru ya Mataifa,upate kuwa wokovu wangu hata miisho ya
dunia.
Hii sehemu ya maandiko ni kumbukumbu ya Yesu sio tu kuwa mtumishi na Masihi
Wayahudi bali pia kwa dunia nzima - yaani watu wa mataifa. Paulo na Barnaba rejea ni
katika Matendo 13:47 kuondoka Wayahudi waliokataa Injili na kwenda katika dunia
pana na kuhubiri kwa watu wa mataifa
5. Isaya 52:15 ' Ndivyo ata kavyo wasitusha mataifa mengi;Wafalme watamfumbia
vinywa vyao,maana mambo wasipambiwa watayaona,na mambo wasioyasikia
watayafahamu.
Fungu zima la maandiko kutoka Isaya 52:13 -53:12 tena ni kielelezo cha maisha, kifo na
ufufuo wa Yesu na sehemu ya mara hii ni alinukuliwa kutoka humo kadhaa katika
Agano Jipya. Isaya 52:15 inazungumzia Yesu utakaso mataifa mengi ya dhambi zao na
Paulo ananukuu andiko hili katika Warumi 15:21 kuhalalisha tamaa yake na tamaa ya
kwenda ulimwenguni kote na kuhubiri injili ambapo Kristo haikujulikana
Hivyo tumeona jinsi Tume Kuu ina ahadi kadhaa Agano la Kale kwamba ni
Page 197
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
yamejumuishwa katika Agano Jipya kama akiwa na mtu, na Injili, ya Yesu Kristo. Aidha
pia kuna mengine mengi ya Agano la Kale maandiko ambayo pia kuangalia mbele na
kuenea duniani kote ya elimu na utawala wa Mungu (hatimaye njia ya Injili ya Kristo)
Zaburi 46:10 'Acheni mjue yakuwa mimi ni Mungu,nitatukuzwa katika
mataiofa,nitatukuzwa katika nchi.
Zaburi 57:5 'Eeh! Mungu utukuzwe juu ya mbingu,Na juu ya nchi uwe utukufu wako'.
Zaburi 67:2 ' Njia yake ijulikane duniani,Wokovu wake katikati ya mataifa yote.
Zaburi 86:9 ' Mataifa yote uliyoyafanya yatakuja ,watakususudia wewe Bwana
,Watalitukuza jina lako.
Isaya 52:10 ' Bwana amewka wazi mkono wake mtakatifu,Machini pa ,mataifa yote;Na
ncha zote za dunia
Zitauona wokovu wa Mungu wetu.'
Habakuki 2:14 ' Kwa maana dunia itajazwa maarifa ya utukufu wa Bwana,kama maji
yaifunikavyo bahari'.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Korea ya Kusini
46,843,989 ya watu , 31% ni wakristo
Nguvu ya umisionari ni kubwa - hakika bora bado halijatokea.
© www.operationworld.org
59. UTume Mkuu -Amri ya Agano Jipya
Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti : Mathayo 28:19
Kriri Aya Hii: Marko 16:15 ' Nendeni ulimwenguni kote na mkaihubiri habari njema
kwa kila kiumbe'.
Baadaye Zungumzia Jambo Hili : marejeo Yesu aliyoyafanya kwa habari ya Utume
Mkuu na matokeo yake kwa kanisa.
Jambo La Kufanya Kabla ya wakati ya mwingine: Omba kwa ajili ya kikundi cha
watu ambao hawajawahi kusikia Injili.
Page 198
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Kazi ya Diploma ya kuandika: Orodhesha maandiko yote ambapo Yesu alilenga
Agizo Kuu.
Tafakari neno baada ya neno katika Aya Hii: Matendo 1:8
Baada ya kuanzisha Kale msingi kwa ajili ya Utume Mkuu na maandiko husika ambayo
inaonekana mbele kwenye utimilifu wa Agano Jipya, sehemu hii tutaangalia utambuzi
huu Agano Jipya wa ahadi ya Agano la Kale . Kimsingi, Tume Kuu ulianza katika mtu
Yesu alipohubiri kwanza ya yote katika Israeli hata hivyo, mahubiri ya injili kamwe
maana tu kwa ajili ya Israeli na Wayahudi lakini kwa dunia nzima. Hatimaye, ni Yesu
ambaye ataamuru Utume Mkuu kwa wanafunzi wake , na si tu kwao, lakini kwa wote
ambao wanamfuata , Tume ya Mkuu ni mpango mkuu wa Mungu kwamba kanisa lake
lazima kufanya kazi kuelekea.
Katika Mathayo 24:1-35 Yesu anajibu swali kuhusu mwisho wa nyakati na inaelezea
baadhi ya matukio ya kuumiza kwamba kitatokea kabla hajarudi tena. Hata hivyo ,
katikati ya maelezo yake ya nyakati za mwisho, katika aya ya 14 yeye inasema kwamba
kitu maalum sana lazima yatokee kabla anaweza kurudi - yaani , dunia nzima kusikia '
injili hii Habari Njema ya Ufalme itahubiriwa katika yote dunia kama ushuhuda kwa
mataifa yote , na ndipo mwisho utakapokuja '. Kwa hiyo, Yesu mwenyewe amefungwa
kwa neno lake na yeye hawezi na si kurudi duniani hata kanisa lake wamechukua injili
yake kwa makabila yote ya watu duniani. Wakristo mara nyingi husema kwamba, ' Yesu
angeweza kurudi usiku wa leo ' hii tu si kweli kama kuna makundi mengi ya watu katika
dunia ya leo ambao hawajawahi kusikia jina la Yesu na hawana Biblia. Mpaka wao ni
kufikiwa na Injili , Yesu si kuwa na uwezo wa kurudi duniani.
Kati ya ufufuo wake na kupaa kwake kwenda mbinguni , Yesu ataamuru amri yake ya
mwisho kwa wanafunzi wake maneno haya yameelezwa katika injili ya 3 ya 4 na hawa
wamekuja kujulikana kama Tume ya Mkuu. Hakika, Yesu itahakikisha kwamba maneno
ya mwisho aliongea wakati juu ya nchi, kwa wanafunzi kwamba alikuwa na kuacha
nyuma , itakuwa juu ya somo karibu na moyo wake. Yeye ataamuru mifano, utume wa
milele kwa wanafunzi wake, (na wote yake ya baadae wanafunzi), kuchukua injili kwa
wale ambao hawajawahi kusikia jina lake - kama inaweza kuonekana kwa njia ya
maandiko ya chini. Kama wanafunzi wake walitaka Yesu kupaa kwenda mbinguni,
ingekuwa ni haya maneno ya mwisho ambayo itakuwa ya kwanza kabisa katika mawazo
ya wanafunzi.
Mathayo 28:19 'Basi enendeni Mkawafanye mataifa kuwa wanafunzi,'
Page 199
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Marko 16:15 ' Nendeni ulimwenguni kote na kuhubiri habari njema kwa kila kiumbe '
Luka 24:47 ' Toba na msamaha wa dhambi itahubiriwa katika jina lake,kwa mataifa yote
'.
Tugeukapo kutoka kwenye injili katika Kitabu cha Matendo tunaona jinsi kanisa la
kwanza umakini alichukua amri wa kuchukua injili katika dunia nzima. Katika Matendo
1:8 tunaona jinsi kanisa la kwanza walisubiri kwa Roho Mtakatifu aliyeahidiwa ili
kuanza Utume Mkuu, na andiko hili kwa kweli ananukuu maneno ya Yesu anaposema, '
Mtapokea nguvu wakati Roho Mtakatifu atakapowashukieni ninyi na mtakuwa
mashahidi wangu katika Yerusalemu, na Yudea yote na Samaria, na hata miisho ya dunia
'.
Mara nyingine tena , tunaweza kuona katika maneno ya Yesu msisitizo mkubwa yeye
ameweka juu ya wanafunzi wake kupeleka injili kwa miisho ya dunia . Roho Mtakatifu
hivyo tumwa ili kuwawezesha wafuasi wa Yesu kukamilisha Agizo Kuu wale ambao
wanatembea katika hatua na Roho Mtakatifu (Wagalatia 5:25) ni wale ambao ni shauku
ya Utume Mkuu.
Unaposoma kitabu cha Matendo unakuta kwamba awali wafuasi walihubiri katika wote
wa Yerusalemu katika Matendo 5:28 Mitume wanatuhumiwa na kuhani mkuu , 'Wewe
mmeijaza Yerusalemu mafundisho yenu '. Hata hivyo, kama kusoma kwa njia ya
Matendo wafuasi si kukaa katika Yerusalemu lakini kwenda kuhubiri katika Dunia. Kwa
mfano, wakati wanafunzi hatimaye kwenda mbali kama Thesalonike , Wayahudi ambao
wanapinga yao wanasema katika Matendo 17:6 'Watu hawa ambao wamesababisha
matatizo yote juu ya dunia na sasa wako hapa '.
Aidha, Matendo 19:10 hufanya kauli ya ajabu kwamba wote wa Mkoa wa Asia
wamesikia injili! Hii inawakilisha juhudi za kiuinjilisti ajabu kwamba alikuwa kueneza
milele zaidi katika ni kuwafikia. Kitabu cha Matendo ya kuanza kwa waumini huko
Yerusalemu lakini kuishia na Paulo akihubiri Injili mbali mbali kama Roma injili
zinazochukuliwa milele kuendelea kuelekea mwisho wa dunia.
Baada yakujulikana kuwa Paulo amefika Roma na Injili , nini tunaweza kusema kuhusu
maoni yake juu ya Utume Mkuu? barua ambayo Paulo aliandika yanaonyesha jinsi
Tume Kuu ilikuwa kiu yake na nia yake kubwa. Kitabu cha Warumi Paulo ni kitheolojia
Kito na ilivyonukuliwa hapa chini ni moja ya mistari makubwa zaidi katika Biblia nzima
kwamba inaonyesha Paulo motisha na kufikiri kuelekea kuhubiri Injili. Kubwa ya Paulo
kwa tamaa ya maisha na huduma yake ilikuwa kwamba aweze kuchukua injili kwa wale
ambao hawajawahi kusikia jina la Yesu. ( Angalia jinsi yeye kiteolojia inahalalisha kauli
hii kwa kunukuu Isaya 52:15 ambayo ni moja ya maandiko tuliyoyaangalia awali
kuhusu Agano la Kale ahadi ya Tume Kuu ). Hakika kila Mkristo anahitaji ndoto ,
mpango, tamaa ya kuungua kwa maisha yao ya kikristo Paulo , mtu huyu wa ajabu wa
Mungu alifanya hivyo tamaa yake ya kupeleka injili kwa wale ambao hawajawahi
kusikia hivyo.
Page 200
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Warumi 15:20 'Ni daima imekuwa nia yangu kuhubiri injili ambapo Kristo haikujulikana
, ili mimi bila kuwa na kujenga juu ya msingi wa mtu mwingine. Badala yake, kama
ilivyoandikwa, 'Wale ambao hawakuwa aliiambia kuhusu yeye kuona , na wale ambao
hawajapata kusikia , wataelewa . "
(Dalili zaidi ya tamaa ya Paulo kwa kuchukua injili na kuendelea milele kwa wale
ambao hawajawahi kusikia ni inaweza kupatikana katika 2 Wakorintho 10:16 '... Ili
tuweze kuhubiri Injili katika mikoa ya zaidi '). Aidha, kuenea duniani kote na matumizi
ya injili ni kusema ya Paulo katika Wakolosai 1:6 wakati yeye anasema, ' wote juu ya
dunia injili hii ni kuzalisha matunda na kukua '. Aidha , kama sisi kusoma kitabu kipaji
cha Warumi tunaweza kuona mengi zaidi kubwa ya Paulo tamaa na wasiwasi kwa Tume
ya Mkuu kama yeye wawili kufungua na kufunga kitabu cha Warumi na marejeo kwa
Tume ya Mkuu. Maandiko chini ya kuonyesha imani ya Paulo na kujiamini katika
kuenea baadaye duniani kote na ushindi wa injili.
Warumi 1:5 ' Ambae katika Yeye tulipokea Neema ya Utumeili mataifa wapate kujitiisha
chini ya imani.'
Warumi 16:26 '... ikadhihirishwa wakati huu kwa maandiko ya manabii,ikajulikana kwa
mataifa kama alivyo amuru Munguwa milele ili waitii imani.'
Hatimaye, katika kitabu cha Ufunuo tunaweza kuona jinsi hatimaye Tume Kuu itakuwa
imekamilika na siku moja kutakuwa na watu wengi mbinguni kutoka kila watu kikabila
kambi kama injili kufikia mwisho wa dunia . Yesu kweli kuwa mwokozi wa dunia kama
maarifa na injili ya upendo wake na wokovu itahubiriwa kwa dunia nzima na
hakutakuwa na kundi la watu ambayo si kuzaa matunda kwa ajili ya injili. Lazima kuwe
hakuna hoja hiyo kwamba kikundi chochote cha watu ni vigumu kufikia na pia sugu
kwa injili injili kushinda wanajiunga na miisho ya dunia .
Ufunuo 5:9 "Wastahili wewe kukitwa hicho kitabu na kufungua mihuri yake;kwakua
ulichinjwa,ukamnunulia Mungu kwa damu yako watu wa kila kabila na jamaa na Taifa.'
Ufunuo 7:9 `Baada ya hayo nikaona na tazama,mkutano mkubwa sanaambao hapana
mtu awezae kuuhesabu,watu wa kila Taifa,kila kabila,na jamaa na lugha,wamesimama
mbele ya kile kiti cha enzi,na mwana kondoo.'
Hili lingetushawishikatika matoleo yetu kwamba tunawekeza pesa zetu katika mpango
mkuu wa Mungu na shauku ya moyo wake kuifikia dunia kwa injili – ni kweli kwamba
hakuna njia Hii inapaswa kutuhimiza sisi katika utoaji wetu kwamba sisi tunatakiwa
kuwekeza fedha zetu katika mpango mkuu wa Mungu na haja ya moyo ya kufikia
ulimwengu kwa injili -ni kweli kwamba hakuna mahali bora pa kuwekeza pesa
zako.Hatuwekekezi pesa zetu kanisani litakalo kuwa dhaifu na makazi yenye uchungu
Page 201
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
ambalo litatakiwa kuokolewa na Yesu atakapo rudi kutoka katika vifungo vya mpinga –
Kristo.
Pesa zetu zinawekezwa ulimwenguni kote katika Ufalme wa milele wa Mungu ambao
siku moja utaitawala ulimwengu huu,na ndio maana pesa zetu zinatakiwa kufikia kundi
la mwisho ambalo halijawahi kuisikia injili ni muhimu.Kupitia kutoa kwetu tunaweza
kuwafikia watu wa kila Lugha, kila kabila, na kila usemi ambao siku moja wataweza
kusimama mbele ya kiti cha enzi cha Mfalme Yesu.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Kuwait
1,971,634 ya watu , 87 % ni Waislamu
Idadi kubwa ya wafanya kazi wa kigeni wanaweza kuipeleka injili kwa watu.
© www.operationworld.org
60. Utume ya Mkuu – Kazi Kuu Ya Mungu
Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Luka 24:45
Tafakari Aya Hii: Mathayo 24:14 "Tena habari Habari Njema ya Ufalme itahubiriwa
katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote, hapo ndipo ule mwisho
utakapokuja '
Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Kwa nini ilikua ni makusudi ya Paulo kuhubiri injili
mahali ambapo haijawahi kufika (warumi 15:20)
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Omba kwa ajili ya kazi ya
wamishenari duniani kote
Kazi ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mmoja, kwanini Utume ni kipaumbele
cha Mungu
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Warumi 15:20
Baada ya kuanzisha Utume mkuu wa kibiblia katika Agano la kale na Agano jipya
inaweza kueleweka kwamba Utume Mkuu ni kipambele cha juu cha Mungu duniani
hasa kwa wakati huu na pia ni vita kali na ufalme wa shetani. Katika sehemu tatu,
maelezo tofauti lazima yaeleweke ambayo yanayotakiwa yawe ni hitimisho kwamba
Page 202
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Utume Mkuu unatakiwa kuwa ni kipaumbele binafsi cha juu kwa kila ndugu mkristo.
Mengi zaidi ya kutumika yataonekana katika kurasa zinazofuata katika kitabu
kinachoitwa ''Tamaa ya Nafsi' kilichoandikwa na pengine na mmissionari mkubwa wa
kanisa ambae hajawahi kutokea -Oswold J Smith.
Huo ndi muonekano wa ukuu wa kiroho kama ilivyoandikwa kwa habari ya utambulisho
wa kitabu na Mwinjilisti Mkubwa wa Ulimwengu -DR Billy Graham,aliyesema, 'kama
mmissinari wa ulaya utofauti wa kijinsia.Duniani kote jina la Oswold J Smith
linatambulisha Uinjilisti Ulimwenguni kote'.
1) Swali Lisilojibika
' Kwa nini mtu yeyote asikie Injili mara mbili,
Kabla mwingine hajawahi hata kusikia hata mara moja'?
Swali la hapo juu hakika ni swali lisilojibika kwa mkristo yeyote muamini wa Biblia
ambayo inaonyesha kipaumbele cha Utume Mkuu katika mpango wa Mungu katika
dunia kwa wakati huu. Kumbuka, Yesu aliwaambia wanafunzi wake wakung'ute
mavumbi ya miguu yao ikiwa kijiji walichohubiri ndani yake hawakutaka kusikia na
kuondoka kijiji kinachofuata.
Kumbuka kwamba pia mtume Paul alikua na shauku kubwa maishani mwake kuhubiri
injili mahali ambapo kristo hakua amesikika (warumi 15:20). Je! Unaweza kujibu swali
hili na kibiblia haisemi kuwa unatakiwa kuweka Utume kama kipaumbele chako namba
moja.
Kwa hili, na kwa hili pekee,ni lazima tuhukumu watu wote wa rohoni,wenye ufahamu
wote wa kibiblia,wote walio na mafunzo nawenye mijadala ya kitheologia.
Ikiwa kweli sisi ni watu wa rohoni, ikiwa kweli sisi ni wanafunzi wa kibiblia, ikiwa
mafunzo yetu ni ya kimaandiko, tutaweka uinjlisti wa ulimwengu kwanza tutatoa ,na
kutoa zaidi,kwa ajili ya huduma .Wenye Ufahamu wote wa biblia,watu wetu wote wa
rohoni,wenye viwango vya mafunzo si chochote bali kuamini,tusipoweka vitu kwanza
vitu vitu havitakuwa vya kwanza,nahivyo tutakuwa tukijidanganya wenyewe.'
2) Kipaumbele kichoharibika
' Kipaumbele kikubwa cha kanisa ni kubeba injili
katika makundi yote ambayo hayajawahi kuisikia'
Ikiwa umeshindwa kujibu swali lisiloweza kujibika basi kinachofuatia ni kipaumbele
Page 203
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
namba moja ambacho ni kuipeleka injili katika makundi ya kidini ambayo hayajawahi
kuisikia .Ikiwa nchi yako na mji wako hauna Biblia,kanisa au wakristo basi eneo lako ni
la pili kwa umhimu kwa maeneo yote hayo ambayo wakazi wake hawana biblia ,wala
makanisa au wakristo. Je! Utatumia muda wako ,pesa na maisha yako yote mahali
ambapo tayari pana injili au utafanya ni jukumu lako kuu la kuipeleka injili kwa
makundi ambayo hayajawahi kuisikia ?
'Fikiria ,kama wewe utaeneza injili kwa mashirika tofauti tofauti kwa mamia kwa
mamia.
Pia fikiria machache ya nje.Hakika haiwi sawa .tumelenga kwa habari ya kazi ya
nyumbani na kusahau kwa wote ambao injili imeandaliwa kwa ajili yao.......kwa nini
sasa tilenge tu kwa wote walio nyumbani,ambao kwa kiasi kikubwa hawahitaji,na hivyo
wanakuwa wanahitaji wachache kama wangekuwa na na nafasi'
Oswold J Smith -Tamaa Ya Nafsi
3) Nani anasubiri kwa ajili ya nani?
Cha kusikitisha ,kuna mafundisho mengi,nyimbo nyingi ziimbwazo na maombi mengi
yanaombwa ili kusudi Yesu arudi duniani kama alivyo ahidi kuwa angerudi - msukumo
uliopo ni kwamba limekusudia na kumtazamia Yesu angani kurudi na inaonekana kuwa
kanisa linauvumilivu! Nai mara ngapi tunasikia wakristo wakidanganya kuwa 'Yesu
atarudi usiku huu'?
Ukweli ni kwamba Yesu hawezi, na hawezi kurudi duniani iwapo injili haijafika katika
makundi yote ya kienyeji (Mathayo 24:14)
Matokeo yake,si jambo kuwa kanisa linamsubiri Yesu kurudi wakati wowote bali ni
jambo la Yesu kulizubiri kanisa kutimiliza Utume Mkuu ili kumruhusu yeye kurudi.Je!
Unamini kuwa Yesu alikuwa akisema ukweli aliposema angerudi tena? Je! Unashauku
ya kumuona akirudi ili kuimarisha Utawala na Ufalme wake? Ikiwa ni hivyo,usisubiri
na kustajaabu hili litatokea lini bali enenda katika tumaini hili kwa kulifanya kipaumbele
chako cha juu kwa kuipeleka injili kwa wote ambao hawaja wahi kuisikia na kwamba
ishara za kurudi kwake lazima zitimie.
'Kristo anataka kurudi. Anatamani kutawala. Ni haki yake. Na kwa hivyo anasubiri nini?
Anatusubiri mimi na wewe kumaliza kazi. Anatususubiri sisi kufanya kile ametuamuru
kufanya.Mara nyingi iwezekanavyo ni lazima aliseme hivyo akaapo huko, 'kwa kipindi
gani,nina shangaa, Je! Wataendelea kunifanya nisubiri? Wataniruhusu kurudi lini? Je!
nitarudi lini duniani na kukaa katika kiti changu cha enzi na kutawala”'Tunayo kazi bali
kazi moja kubwa na neno la Mungu, “Damu yake nitaihitaji mikononi
mwake,”itatumika kwetu ikwa tutaishikiria injili. Ikiwa basi Mfalme anakiwa
kutawala, basi ni lazima tuimalize kazi. Ni lazima tuweke vyote pembeni na
Page 204
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
kushughulika na kazi hii moja, mwisho wa Uinjilishaji wa ulimwengu katika kizazi
chetu wenyewe.' Oswold J Smith – Tamaa Ya Nafsi
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Kyrgyzstan
4,699,337 ya watu , 13% ni wapagani
Umaskini , Uislamu na Spiritism wote wanawinda kuchomoza kwa kanisa
© www.operationworld.org
61. Utume Mkuu - Ijue Sehemu Yako
Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Mathayo 24:14
Kariri Aya Hii: Yohana 4:36 ' Naye avunaye hupokea mshahara, na kukusanya matunda
kawa uzima wa milele, ili yeye apandaye na yeye avunaye wapate kufurahi pamoja.'
Baadaye Zungumzieni Jambo Hili : Kwa nini mtu yeyote kusikia Injili mara mbili, kabla
ya kila mtu amesikia ni mara moja.
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Katika maombi, muombe Mungu
akuonyeshe sehemu yako katika Utume Mkuu.
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mmoja juu ya makundi makuu matatu
ya huduma kuhusiana na Agizo Kuu.
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Warumi 10:14-15
Biblia inatoa mifano kadhaa ya shughuli ambazo wasifu kwa wakristo ambao
wanamtumikia Mungu kikamilifu - baadhi zimetajawa mara 2,3,4 au mara nyingi zaidi
nje ya Biblia . Tuliona hapo awali kwamba Mungu ameweka kipaumbele zaidi Utume
Mkuu katika dunia kwa wakati huu kama inavyoonyesha kurudi mara ya pili kwa
Mfalme Yesu kuanzisha utawala wa ufalme wake duniani. Hivyo, Biblia inatoa marejeo
mengi kwamba Wakristo wanapaswa kuangalia mbele , na kufanya kazi kuelekea
kwenye kukamilisha Utume Mkuu na kurudi kwa Yesu.Hakika maeneo 9 ya Biblia
yanaonyesha kwamba Wakristo wanapaswa kuwa na subira na kuangalia mbele na
kuwezesha kurudi kwa Yesu.
Page 205
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
1Wakorintho 1:7 'Hata hamkupungukiwa na karama yeyote, mkikutazamia sana
kufunuliwa kwake Bwana wetu Yesu Kriasto.'
Wafilipi 3:20'Kwa maana, sisi wenyeji wetu uko mbinguni, kutoka huko tena
tunamtazamia mwokozi.'
1 Wathesalonike 1:10 'Na kumungojea mwanae kutoka mbinguni, ambaye alimfufua
katika wafu.'
2 Timotheo 4:8 'Baada ya hayo nemewekewa taji ya haki,ambayo Bwana muhukumu
mwenye haki, atanipa siku ile-wala si mimi tu, bali na watu wote pia waliopenda
kufunuliwa kwake.'
Tito 2:13 ' Tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu
Mungu Mkuu na Mwokozi wetu.'
Waebrania 9:28 'Kadhalika Krsto naye, atatokea mara ya pili, pasipo dhambi kwa hao
wamtazamiao kwa wokovu.'
Waebrania 10:25 "wala tusiache kusaidiana pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine bali
tuonyane na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri muonavyo siku ile kuwa inakaribia.'
2 Petro 3:12 'Kitazamia hata ije siku ile ya Munguna kuhimiza.' ambayo katika siku hiyo
mbingu zitafunuliwa.'
Yuda 21 'Jilindeni katika upendo wa Mungu huku mkingojea rehema ya Bwana wetuhta
mpate uzima wa milele.'
Baada ya kusoma aina 9 za ushuhuda wa neno la Mungu, unaweza kusema kwamba
maandiko hayo hapo juu yanaelezea uzoefu wako wa Kikristo? Ie!usonaga mbele, na
kufanya kazi kwaajili ya siku ya kurudi kwa Yesu duniani? Je! Umekuwa miliki wa
maono haya ya kupeleka injili kwa wale ambao hawajawahi kusikia? Je! kazi ya
maisha yako kwamba wewe kutumia muda wako, nguvu na pesa zako? Labda wewe ni
mwaminifu katika kazi kujitolea katika kanisa lako lakini hujawekeza katika kazi
kubwa katika dunia kwa wakati huu wa kuchukua injili kwa wale ambao hawajawahi
kusikia.
'Wengi ni wamojawapo, mimi ninahofu, ni kwenda kukosa mwelekeo. Unaweza
kuponya roho za watu wengi katika mji wako. Unaweza kuwa ni mmoja kati ya walio
waaminifu katika kanisa lako, lakini Umefanya nini kwa wale mataifa waliogizani? Je!
uliwahi kufikiria kuwaendea? Je! Umewahi kutoa fedha yako kwaajili ya mtu mwingine
ili awaendee? Je! Umewaombea? Ni eneo gani ambalo wewe umehusika katika
kuinjilisha ulimwenguni? Je, uliitii amri? ' Takwa la Oswold J Smith - ? kwaajili roho za
watu?
Page 206
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Kwa hiyo, ni muhimu sana kwamba kila Mkristo atoke inje na kufanya kwa sehemu
yake katika Utume Mkuu kama inavyoonyeshwa hapo juu na Oswold J Smith anavyo
bainisha maeneo matatu kwa upana ambayo kwamba watu wanaweza kuchangia.
1) Wale ambao wanaweza kwenda na kuhubiri.
2) Wale ambao wanaweza kuomba kwa ajili ya wale wanaokwenda na kuhubiri
3) Wale ambao wanuwezo kifedha kuchangia wale wanaokwenda na kuhubiri.
Bila shaka aina hizi zote za huduma ni za muhimu na zinachangia umisioni duniani ni
vema kama ungeonekana upo kati ya mojawapo. Haja kubwa ni kwa kila mmoja wetu
kupata nafasi kuelekeza mioyo yetu ili kutimiliza kazi hi kubwa kwa wakati
unaokubalika.
Yeyote anayetuma fedha ni muhimu. Kuna wale ambao watakuwa wakishikilia kamba
nyumbani. Na kama wewe , rafiki yangu , hauwezi kwenda , basi labda Mungu anataka
wewe kuwa mtumaji na kuona kwamba mwingine huenda kwa niaba yako. Nafasi yako
wewe ni kuzalisha fedha na kumfanyia mwingine uwezekano wa kwenda. Na
ukumbuke mwamba, utashiriki sawasawa katika ujira .
Pia kuna maombi. Inaweza kuwa wewe huwezi kupata fedha na kwamba unayo to ya
kukutosha wewe kwa ajili ya mahitaji yako mwenyewe. Huwezi kuwa na uwezekano wa
kutuma mwingine lakini unaweza kuwa tu katika kuomba. Unaweza kutumia muda
kidogo kuomba kwaajili ya Afrika, na India , na China, kila siku. Unaweza kupata
orodha ya wamisionari na kuwaombea. Hiyo unaweza kuwa ni wajibu wako, na kama
ndivyo ilivyo, utadaiwa kama utajitoa katika wajibu huo. Wewe, pia, unaweza kushinda
tuzo kwa uaminifu kuomba kwa ajili ya wale ambao wamekwenda wale ambao
umeshiriki katika kazi zao.
Basi, bila shaka , kuna kwenda- , na kama wewe una afya na nguvu, au kama unaweza
kupata mafunzo muhimu, na kama umejiandaa, unaweza kwenda. Maombi yatakushukia
kama mabavyo huwa unaomba kwaajili ya kazi za maisha yako na wewe utakuja kujua
kama ni wito waMungu. Mimi nakuhamasisha kwaajili ya kazi kubwa sana katika
dunia. Nakusihi uende kama unaweza. Hakuna jambo zuri kama hilo.Kwanini
Wamisionari ni watumwa wa Mungu.ni watumwa wa kanisa . Utajihusisha na watu
wazuri duniani'
sOswold J Smith
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Laos
5,433,036ya watu , 61% ni Wabuddha
Kanisa linakua licha ya mateso makali ya serikali ya kikomunisti kwa waumini. © www.operationworld.org
Page 207
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
62. Kuhudumu Kama Mtumwa
Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Warumi 10:14-15 .
Tafakari Aya Hi: 3 Yohana 6 'Utafanya vizuri ukiwasafirisha kama ipasavyo kwa
Mungu.'
Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Jinsi mtu anaweza kukamilisha zaidi umisioni
katika shamba kwa njia ya kutuma fedha zao badala ya kwenda wenyewe.
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: waulize wazee kwa upole waulize
wazee wako wa kanisa ni jukumu gani linalofanywa na kanisa lako juu ya Utume Mkuu.
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Pamoja na kumbukumbu kwa Warumi 10:14-16 ,
jadili jinsi ya mchakato wa kumfanya mtu aokolewe anza na mtu wa kwanza ambaye
amewahi kumwa.
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Wafilipi 4:16
Kama ulivyoona hapo awali juu ya umuhimu wa Utume Mkuu, sehemu hii itatazamisha
utoaji na Utume Mkuu na hasa jukumu la kuwahudumu kama mtumwa na kutoa ili
kwamba mtu mwingine mwenye karama ya kimisionari / mtume anaweza kwenda
kuinjilisha kwenye makundi ya watu ambao hawajafikiwa.
Rejea kumbukumbu hii maarufu andiko la kimisionari la Warumi 10:13 'kwa kuwa,
kila takaye liitia jina la Bwana ataokoka. Basi wamwitaje yeye wasiye mwamini? Tena
wamwaminije yeye wasiye msikia? Tena wamsikiaje pasipo mhubiri? Tena wahubirije,
wasipopelekwa?'
Hapa chini ni maneno muhimu kutoka Warumi 10:13 kifungu ambayo kinaonyesha
mchakato wa mtu kupata kuokolewa, mchakato mzima huanza na mtu kumtuma mhubiri
/kimisionari. Mtumaji anahitaji mumisionari kwenda shambani na mumisionari anahitaji
mtumaji kumtuma na kumsaidia, wakati ushirikiano huu unapowekwa katika vitendo
ndipo injili inaweza kuenea duniani kote, lakini chanzo cha haya yote ni lazima kuna
wale ambao wanawatuma wamisionari.
Kuokolewa > Wito>Kuamini > Kusikia > Kuhubiri > Kutuma>
Page 208
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Labda mfano mzuri wa kibiblia juu ya kuhudumu kama mtumwa ni Gayo ambaye
Waraka wa 3 wa Yohana imeandikwa. Muonekano wa barua hii ni kwamba wahubiri
waliotumwa na Yohana walikataliwa nakuto kuelewana na Deotrefe (Aya ya 9) lakini
Gayo aliwatendea kwa ukarimu na Yohana anamtukuza kwakufanya hili na zaidi katika
Aya ya 6 anaposema, ' utafanya vyema ukiwawasafirisha tena kama ipasavyo katika
Mungu.Ilikuwa ni kwa ajili ya jina walilopelekwa kwalo,ndio maana hawakupokea
msaada wowote kutoka kwa wapagani'.Pengine hili lingehushishwa katika
ukarimu,pendo kutiwa moyo na maombi na pengine njia kubwa ambayo Gayo
angewasafirisha kwayo kwa habari ya umishonari wao ilikuwani kwa kupitia zawadi
ya pesa . Mfano zaidi,ni Tito ambaye anatukluzwa na Paulo katika Tito 3:13 kwakutoa
kwa ajili ya ndugu waamini , ' fanya kila uwezalo kumsaidia Zena na Apolo katika safari
yao ili wasipungukiwe na chochote'
Pamoja na watu kutumika kama watumwa,kibiblia tunaweza kuona makanisa
yaliyotenda hivyo – ni vyema sana watu wanaposaidia wamisionari na utme mkuu wa
mathayo 28:18-20, lakini kwa hakika ni mapenzi ya Mungu kuona kanisa linatoa fedha
kwa ajili ya kusaidia kazi ya umisinari ulimwengu kote.Kwa mfano, Paulo na Barnaba
walipoliacha kanisa la Antiokia katika safari ya umisinari wao wa kwanza kanisa
lilichanga ili kuwasafirisha kwa mfgano,Matendo 13:3 inasema,' kwahiyo \,baada ya
kufunga na kuomba, waliweka mikono juu yao na kuwasafirisha'. Tunaposoma katika
kitabu cha matendo tunapata mifano zaidi ya Barnaba na Paulo kusaidiwa na kanisa
Matendo 15:3 inasema,kanisa liliwasafirisha'. Zaidi katika barua yake kwa wafilipi,
Paulo analiagiza kanisa la filipi kwa ajili ya msaada wao wa ki\fedha kwa huduma
Wafilipi 4:16 "Hatas nilipokuwa Thesalinia, mlinitumia msaada tena na tena nilipokuwa
mhitaji.
Kiuhalisi kuna mifano mitatu zaidi ya kibiblia Paulo anapohusisha ushirika huu wa
utume/kutoa na umisionari na hasa kwa ajili ya makanisa kusafirisha wamisionari.
Paulo analitazama hilo kama mtu alietumwa kwa ajili ya safari ya umisinari na
kuandika juu ya shauku na matarajio yake kuona makanisa yakimsaidia kifedha. Kwetu
sote tunaohitaji kuishi maiosha yetu yote katika kutoa basi hili eneo la kutuma na
kusaidia wamisionari ni eneo muhimu la kusaidiwa kupitia utoaji wetu. Kwa huzuni,
Wamisionari wengi hawajawahi katika kazi ya umisionari na pengine wanaondoka
kutokanana upungufu wa pesa Je!sisi wenye karama ya utoaji tumekwisha kubadili
mwenendo huu.
Warumi 15:24 ' Natamani kuwatembelea wakati nitakapopita na kuniosaidia katika
safari yangu'
1 Wakorintho 16:6 'Pengine nanyi kidogo,au kukaa nanyi wakati wa baridi, ili kusudi
Page 209
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
mpate kunisaida katika safari yangu popote nitapoenda'
2 Wakorintho 1:16 ' Nilitarajia kuwatembelea wakati wa kurudi kutoka Makedonia na
kurudi tena wakati wa kurudi kutoka Makedonia ,na kunisafirisha kwend Yudea'
Ilisemekana habari ya Mkristo mmoja aliekuwa akitoa mara kwa mara katika kwa ajili
ya kazi ya umisionari ambayo ilipata matokeo makubwa kutoka na michango yake ya
kifedha na kuona utume mkuu ukiimalika kuliko kama angeenda au kuwa yeye
mwenyewe kuwa mmisionari. Si kila mtu meitwa na kuwa mmisinari lakini kuna
walioitwa m,aishani mwao kutoa pesa zao kwa wamisionari na kuwasaidia ili waweze
kwenda katika kazi ya umisionari.Ikiwa umeitwa umeitwa kama mtumwa, nawe
unampa mtu alieitwa kama mmisionari /mafuta ya Utume kwenda na kufanya kazi ya
Utume,unaweza kugusa bara lolote na nchi yoyote ulimwenguni hata kama hujaenda
pale wewe mwenyewe.
Katika wakati ulipo wa kuandika mwandishi amekwisha kutoa kwa ajili ya kazi ya
Mungu kwa zaidi ya nchi 20 na pia ana ndoto za kutoa kwa ajili ya kazi ya Mungu kwa
kila nchi ulimwenguni!
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Kuomba kwa ajili ya Latvia
2,356,508 ya watu , 40%ni nchi zisizo za kidini licha ya uhuru,kanisa bado
limesimama katika wito wake.
© www.operationworld.org
63. kuongeza au kupunguza Kasi ya Kurudi kwa Yesu
Katika Biblia Yako Soma Hapa kwa sauti : 1 Wathesalonike 1:9-10
Kariri Aya Hii: 2 Petro 3:12 ' Iwmewapasa kuishi maisha matakatifu na utauwa
mkitazamia hata ilesiku ya Mungu, na kuihimiza ;
Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Je, sisi kusubiri kwa Yesu au ni yeye kusubiri kwa
ajili yetu .
Jambo La Kufanya Kabla ya wakaiti mwingine : Omba kwa ajili ya uongozi wa
kanisa lako ili kwamba kanisa lako liwajibike katika kuharakisha kurudi kwa Yesu.
Kazi ya Diploma Ya kuandika: Andika upande mmoja juu ya nini tunapaswa kufanya
Page 210
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
ili kuchochea kurudi kwa Yesu.
Tafakari neno kwa neno katika Aya hii : 2 Timotheo 4:8
Katika maeneo ya si chini ya 9 tofauti Biblia inaonyesha kweli kwamba Mkristo
anapaswa kuangalia mbele , na kufanya kazi kuelekea, kurudi kwa mara y pili kwa
Yesu duniani Maandiko yameorodheshwa katika sehemu ilyopita. Hasa, katika
utoshelevu huu wa maandiko, kati yake yanatoa maandiko ya muhimu kahusu kurudi
kwa Yesu.
2 Petro 3:12 ' Imewapasa kuishi maisha matakatifu na utauwa mkiitazamia siku ile ya
Mungu na kuiharakisha'
Ingeonekana kuwa mwili wa kristo, na hasa kila mkristo anweza kuathiri kurudi kwa
Yesu duniani . Wakati maandiko hapo juu yanavyoonesha kuwa tunaweza kuharakisha
na kuhimiza kurudi kwa Yesu duniani, basi kinyume chake ni kweli – tunaweza kuzuia
na kuichelewesha . Mpango wa Mungu umefungwa pamoja na kanisa na shughuli zake
duniani na wakati kiasi kwamba kanisa linaamua kushiriki na na mpango huu.
Wakati biblia inaonesha ukweli huu kwamba mwili wa kristo unaweza kusaidia au
kuzuia kurudi kwa Yesu, Tunaweza kuonyesha vipi ikiwa sisi ni wakristo kuwa
tunafanya sehemu yetu?Na kwasababu imesemekana kuwa Utume mkuu lazima
utimiekabla Yesu hajarudi, na sisi kila mmoja tuna sehemu ya kufanya katika kuitimiliza
Utume mkuu, na inweza kupelekea tu ukweli wa mwisho. Wale wote wanaofanya
sehemu zao kwa uwaminifu wanakidhi na kusaidia kurudi kwa Yesu duniani Wale
wasitenda wanazuia na kumkinga Bwana wao asirudi.
Kama mfano maalumu hebu tuwatazamie wale walioitwa kama watumwa na kuwekeza
pesa zao kwa ajili ya kuwasaidia wamisionari kuhubiri neno la Mungu
Kupitia kutokutoa na kuzuia pesa ambazo Mungu amezitenga na kuziachilia kwa ajili
kusaidia wamisionari, Milango yao ya kazi inachelewa. Zaidi,kuchelewa katika kutoka
kwa wamisionari katika kazi ya umision kutachelewesha kufikiwa kwa makundi
yasiofikiwa kupokea injili, ambako kutachelewesha kuchelewa kwa kurudi kwa Yesu
duniani. Ikiwa unajua kuwa umeitwa kutumika kama mtumwa ,jaribu kuzuia pesa na
kuzuia kurudi kwa Yesu.
Je! Mungu anahitaji vingi anapokuwa anahitaji pesa zako, anapokutaka ushiriki nae vile
alivo kupa, ili kwamba wale waliofichwa na giza waweze kuisikiqa injili? Je! Karama ya
pesa ilinganishwe na karama ya uhai? Ikiwa wamatiya walitoa vyote je hatuwezi kutoa
hata kidogo, na kwa kufanya hivyo tushiriki nafasi zetu kuinjilisha ulimwengu? Oswold
J Smith – Tamaa ya Nafsi.
Page 211
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Inaweza kusemekana zaidi kuwa kuna njia nyingine kwamba wale walioitwa wanaweza
kuzuia kurudi kwa Yesu kuliko wale wanaokataa kutoa pesa zao. Pengine njia kubwa
hili kutokea ni pale pesa zinapotakiwa kutolewa katika umisionari wa nje badala yake
zikatolewa katika huduma ya ndani.
Wito wa Yesu ni ni kuipeleka injili kwa wale ambao hawajawahi kuisikia,kwa nini basi
unawekeza pesa zako ili kuipeleka injili nyumbani kwako ambak tayari ipo, wakati
kuna mamilioni ya watu ambao hawaja wahi kuisikia na wanahitaji wamisionari
kupelekwa kwao?
' Kama injili ya ulimwengu ingekuwa ya kwanza,basi tungeshughulika katika kutoa kwa
ajili ya umisionari na kuwaacha wale ambao hawana maono kuchangia vitu vingine.
Daima kutakuwa na vingi zaidi kwa ajili ya kazi ya nyumbani, kwakuwa kunqa wale
wanaoitanguliza kazi ya nyumbani kwanza. Kazi nyingi za nyumbani hapa zitajaliwa
sana, wakati watu wachache watashughulika na kazi kubwa ya kanisa............acha wale
wasio na maono, wale wasiojua mipango ya Mungu, acha watoe katika kazi nyingi
zinazostahili hapa nyumbani Bali sisi tulioisikia wito wa Mungu, acha tuendelee katika
kazi iliyo njema zaidi ya mipaka.Hebu tuweke pesa katika jambo moja na jambo moja
pekee, hilo la kufikia makabila elfu yasiyo injilishwa na injili ya Kristo.
Kuna wale wasio na maono,walem wanaoendeshwa na mashitaka na kuamua kutoa
kidogo hapa kidogo pale, na wanavyo lakini hutoa kidogo, badala wangeweka matoleo
yao katika kazi kubwa ya wakati na kuona nchi mpya nzima ikiinjilishwa . Kuna watu
ambao walio na furaha isiyoelezeka ya kusaidia wamisionari hamsini au mia katika
himaya kubwa,
Wanaotoa leo kwa mamia na hakuna mwenye shirika' Oswold J Smith – Tamaa ya Nafsi
Pengine umekuwa ukitoa kwa uwaminifu katika kazi ya nyumbani kwa miaka na bila
shaka umetumia pesa zako ili kuona Nafsi zinaokolewa katika eneo lako- lakini
umefanya nini kwa maeno ya nje kwa wale ambao hawajawahi kuisikia injili? Kwa
muda mfupi ulio baki kwa nini muwazi na kuelekeza sehemu ya matoleo kwa wale
ambao wako tayari katika injili, na kuwekeza katika kazi kubwa kwa muda uliopo wa
kufikia wasiofikia.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Lebanon
3,281,787 ya watu , 31% ni wakristo
Msingi wa kanisa ni kuifikia Mashariki ya Kanisa limedhoofishwa na uhamiaji.
© www.operationworld.org
Page 212
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
64.Wakati Wa Mwisho Wa Kurejeshwa Kwa Mali Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: Mhubiri 02:26
Kariri Aya Hii: Isaya 60:11 ' Malango yako nayo yatakuwa wazi daima; Hyatafunga
mchana wala usiku, ili watu wapate kukuletea utajiri wa mataifa.'
Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Kwanini hatuoni kiwango cha utoajikilichofanyika
wakati wa ujenzi wa hekalu katika Kutoka 36 ambapo watu wa Mungu waliambiwa
kuacha kutoa.
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Ombeni dhidi ya kuhodhi vizuizi vya
utajiri katika ulimwengu wa uovu vitakavyo ruhusiwa kuathiri mwili wa Kristo.
Kazi Ya Diploma Ya Kuandika: Andika upande mmoja juu ya misingi ya kibiblia kwa
ajili ya uhamisho wa mali wakati wa mwisho.
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Isaya 66:12
Biblia ameweka mpango wa Mungu kwamba kama tulivyofikia karibu na kurudi kwa
Yesu mara ya pili, Ufalme wake utakua duniani kote na ufalme wake atakuja katika
mali ya watu wasiomcha Mungu na kuitumia kubariki na kuleta Ufalme kwa maskini na
waliopotea katika siku za mwisho. Mpango huu hakika lazima utachochea kila mshirika
wa mwili wa Kristo kutoka nje na kufanya kwa sehemu katika mpango huu na
kuwanyang `anya waovu mali zao na kuzitumia kwa upanuzi wa Ufalme.
Sababu ya kwanza kwa ajili ya uhamisho huu wa mali siku za mwisho ni kwamba kabla
ya kurudi kwa Yesu mara ya pili, Ufalme wa Mungu utaenea katika kambi ya kila
mwisho wa kikabila katika dunia na hakika utaenea katika mabilioni ya watu. Kwa
mfano , Yesu mwenyewe anatangaza kwamba kabla ya kurudi kwake duniani , injili
itaenea kote kote-hata mwisho wa inchi Mathayo 24:14 "Na hii Habari Njema ya
Ufalme itahubiriwa katika dunia yote kuwa shuhuda kwa mataifa yote , na hapo ndipo
mwisho utakapokuja .' Tunaishi katika siku ambazo maandiko haya yanatambulikana
katika ulimwengu wa Umaksi na Ukomunisti wametekwa na injli, uislam ni wa pili
Page 213
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
katika kukua na Ukristo unakuwa kwa kiasi kikubwa zaidi ya 100,000 kwa siku na
utaendelea kukua na kuenea kila mahali duniani kote.
Sababu ya pili kwa ajili ya uhamisho wa mali wakati wa mwisho ni kwamba mwili wa
Kristo utapata urithi wake na kukataa umaskini kutakaribishwa tena kufurahia mafanikio
ambayo ni ya haki yake. Kwa mfano, Waefeso 5:25 anasema, 'Enyi waume, wapendeni
wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda kanisa, akajitoa kwa ajili yake ili makusudi
alitakase na kulisafisha kwa maji katika neno; apate kujiletea kanisa takatifu, lisilo na ila
wala kunyanzi wala lolote kama hayo bali liwa takatifu lisilo na mawaa.' Je, umaskini si
doa, kasoro na dosari itakayoondolewa katika mwili wa Kristo kabla hajarudi kuwa
pamoja na bibi Arusi wake? -Je! hakutakuwa na kanisa lenye mafanikio, ushindi na
kufaulu likisubiri kusalimiana na Bwana wake wakati atakapokuja katika utukufu?
Kma ilivyo katika maeneno yote mawili ya maandiko, Mathayo 24:14 na Waefeso 5:25
pamoja tunaweza kusema kwamba kama tunavyokaribia kuelekea nyakati za mwisho na
kurudi kwa pili kwa Kristo kutakuwa na kanisa laenye mafanikio na Wakristo wenye
mafanikio duniani kote kwa kila kikabila wakieneza - ufalme wa Mungu utakaopata
utajiri mkubwa wa milele. Fedha zitakazo kuja katika Ufalme wa Mungu zitakuwa ni
gharama ya wasiomcha Mungu na waovu kwamba wapate kuokolewa wenyewe, au
waachilie fedha zao ili zipendeze watu wa Mungu. Maandiko hapo chini yanaongelea
mada hii pia .
Mithali 13:22 ' Mali ya mkosaji huwa ni akiba kwa mwenye haki!'
Mithali 28:8 'Yeye azidishae mali yake kwa riba na faida, Humkusanyia mtu
awasaidiaye maskini.'
Mhubiri 2:26 'Kwa sababu Mungu humpa yeye aliye mrithia hekima na maarifa na
furaha; bali mkosaji humpa taabu ili kukusanya na kututa, apate kumpa huyo ambaye
Mungu amrithia.'
Kama ilivyosemwa hapo awali kwamba Biblia inaonyesha kwamba Mungu ni mmiliki
wa mwisho wa kila kitu katika ulimwengu - ikiwa ni pamoja na watu wote na ikiwemo
fedha ndani yake. Kwa njia ya urejesho wa mali wakati wa mwisho, fedha zitarudi na
kuwa mmiliki ya halali kwake, ingawa hazitaenda kwa Mungu moja kwa moja, badala
yake zitakwenda kwa watoto wake ambao wanashughulikia hilo kwa niaba yake. Nabii
Isaya anatazama mbele zaidi kuhusu siku hizi na si chini ya maandiko manne 4
anazungumzia kanisa la wakati wa mwisho kukusanya utajiri wa mataifa.
Isaya 60:5 ' Kwa kuwa wingi wa bahari utageuzwa kukujia, Utajiri wa mataifa
Page 214
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
utakuwasilia.'
Isaya 60:11 'Malango yako nayo yatakuwa wazi daima; hayatafungwa mchana wala
usiku; ili watu wapate kukuletea utajiri wa mataifa.'
Isaya 61:6 'Mtakula utajiri wa mataifa na kujisifia utukufu wao.'
Isaya 66:12 'Tazama nitamwelekezea amani kama mto, na utukufu wa mataifa kama
kijito kifurikacho.'
Katika Kutoka 36: 1-7 , Mungu alitaka kuanzishwa sehemu ya Ufalme wake juu ya nchi
kwa njia ya ujenzi wa maskani ambayo aliona watu wengi wanatoa hivyo aliwaambiwa
waache fedha nyingi mno zilikuwa zimetolewa. Sasa kwa kuwa sisi tunaishi chini ya
agano jipya (lililo bora zaid), na kama tunavyoweza kuona kuanzishwa kikamilifu
Ufalme wa Mungu duniani, hakika siku zitakuja ambapo mengi mno yatatolewa kwaajili
ya kazi ya Mungu na watu wataambiwa waache kutoa. Hakika siku zitakuja ambapo
hakutakuwa na shwali namna ya kupata fedha kwa ajili ya kazi ya Mungu, lakini kama
watu wa Mungu wamekuwa na tabia ya uadilifu na kushughulikia mlima wa fedha,
yatakuja mafuriko, katika : 2 Wakorintho 8:3 inaeleza Wakristo wa Makedonia ambao,
'nawashudia kwamaba kwa uwezo wao na zaidi ya uwezo wao, kwa hiyari yao wenyewe
walitoa vitu vyao nakutuombea sana na kutusihi kwa habari ya neema hii na shirika hili
la kuwahudumia watakatifu.'Je! aina hii ya utoaji haitakuwa ni suala la kawaida
kinyume na ubaguzi katika mwili wa Kristo katika siku zijazo?
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Liberia
3,154,661ya watu , 48% Jadi / ukabila udini
Vita, umaskini na vuguvugu, kanisa limeacha watoto wengi waliopotea na
kuumizwa.
© www.operationworld.org
65. Mwaliko Binafsi
Page 215
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Katika Biblia Yako Soma Hapa Kwa Sauti: 1 Mambo ya Nyakati sura ya 29
Kariri Aya Hii: 1 Mambo ya Nyakati 29:17 ' nami sasa nimeona kwa furaha watu wako
walioko hapa wakikutolea kwa hiyari yao.'
Baadaye Zungumzia Jambo Hili : Kwa nini kozi hili imekuwa ya maana sana kwako.
Jambo La Kufanya Kabla Ya Wakati Mwingine: Wahimize wengine kufanya kozi
hii.
Kazi ya Diploma Ya Kuandika: Elezea kwa kifupi muhtasari wa baadhi ya viongozi
ambao Mungu amewatumia kukusanya sadaka kutoka kwenye kampuni kubwa ya watu
wa Mungu.
Tafakari Neno Baada Ya Neno Katika Aya Hii: Matendo 20:35
Biblia inatoa mifano kadhaa ya watu wakuu wa Mungu ambaow alisimama imara kama
viongozi wa kweli na ubora, ni kwamba baadhi ya viongozi wa Kikristo walioonyeshwa
katika Biblia ni kwamba walitia moyo na kuongoza watu wa Mungu katika wingi wa
ukarimu katika kutoa kutoa. Kaama kuna viongozi wa kuabudu ambao huwaongoza
watu wa Mungu katika ibada, na viongozi wa maombi ambao huongoza watu wa
Mungu katika maombi pia kuna wale walioitwa kuonyesha uongozi katika kutoa na
kuongoza watu wa Mungu katika wimbi la ukarimu wa kutoa.Kama ilivyo wakati
karama zote za Mungu zinapochochewa na kutumiwa na wale wote wanaotumia karama
na wanufaikaji wa hizo karama hubarikiwa- iwakati wanapo puuzwa, baraka zinakuwa
zimeibiwa kutoka katika Mwili wa Kristo.
Mfano wa kwanza wa mtu anaeonyesha uongozi na kuongoza watu wa Mungu katika
matoleo yao ni Musa aliyeongoza watu katika ujenzi wa madhabahu. Kwanza katika
Kutoka 25:1,Musa lipokea maono moja kwa moja kutoka kwa Mungu kuhusiana na
ujenzi wa hekalu na kuelekezwa na Mungu kuwaongoza wana wa Israel katika kutoa
kwao kwa fedha, mali na muda.
Musa tena anaelezea maono kwa watu katika kutoka 35:5 na matokeo yake
yanaonekana katika kutoka 36:5 fundi mashuhuri anaposema, ' Watu wanaleta vitu zaidi
ya vilivyohitajika kwa ajili ya uttmishi wa kazi hiyo'.Je! Umekwishaona sadaka kubwa
kuliko ile ambayo watu waliamuriwa kutoa ? - kiuhalisi, Musa alionyesha uongozi
mzuri katika kuwashawishi watu kutoa kwa ajili ya kazi ya Mungu.
Mfano wa pili wa uongozi kwa habari ya kutoa ni Mfalme Daudi aliewaongoza watu
wa Mungu kutoa kwa ajili ya ujenzi wa hekalu kama inavyoelezewa katika 1Nyakati
28 – 29,kama vile Musa alivyipokea mpango kutoka kwa Mungu kujenga madhabahu,
Page 216
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
na katika 1Nyakati 28:2 anasema,' Nilikuwa na nia ya kujenga nyumba ya kustarehe
kwa ajili ya sanduku la Agano'. Katika 1 Nyakati 29 Daudi analiambia kusanyiko la
watu wa Mungu na kuandaa mpango kwa ajili ya hekalu na kile binafsi alichopewa
kusanyiko linataarifiwa.
Anawashawishi watu kutoa katika Aya ya 5 anapotoa matazamio na maswali ya uelewa,
'ni nani basi ajitoae kwa moyo ili ajiweke kwa Bwana?
Tunapoelekea kwa manabii katika Agano la kale, tunawakuta manabii watatu
walioinuliwa na kutumiwa na Mungu kuwaita watu wa Mungu katika ukarimu wa utoji:
Hagai, Nehemia na Malaki. Baada ya Wayahudi kuruhusiwa na Cairasi kwenda
Yerusalemu na kujenga hekalu, walitumia muda zaidi na pesa zao kwa ajili ya nyumba
zao na kwa ajili ya faraja yao. Mungu aliongea na watu kupitia Nabii Hagai na
kuwaagiza kuweka kipaumbele katika hekalu lake na kujitoa wenyewe (na pesa zao
)kwa ajili ya kulijenga.
Watu walipokea maelekezo kupitia Nabii Hagai kuweka kipaumbele na kuwa makini
katika utoaji wao na Hagai 1:14 inaonyesha kwamba watu walijitoa wenyewe katika
ujenzi wa hekalu.
Sauti ya kinabii ya Hagai aliwageuza watu w Mungu kutoka katika uchoyo na kuwa
watoaji washiriki.
Bahati mbaya, kadri muda ulivyoendelea, watu wakarejea katika tabia yao mbaya na
uchoyo ukawaandama watu wa Mungu na matokeo yake Mungu akainua sauti ya Nabii
mwingine kwa Namna ya Nehamia aliye ruhusiwa na Mfalme wa Uwajemi Artexerxes
pia kurudi Yerusalemu ili kuimarisha jamii ya watu wa Mungu.Uongozi wake na
matokeo ya unabii hatimae yalisababisha Wayahudi kuwajibika katika kutoa na watu
wanachaguliwa ili kuwa wasimamizi wa nyumba ya hazina kwa ajili ya makusanyo,
malimbuko na sadaka (Nehemia 12:44).
Nehemia anarudi mara kwa Mfalme Artaxerxes na katika kurudi kwake anakuta watu
tena wamekataa kutoa zaka – mara nyingine tena Nehemia anapaza sauti ya Kinabii na
Nehemia 13:12 inasema , 'watu wote wa Yud walitoa zaka ya nafaka, mvinyo mpya na
mafuta katika nyumba ya hazina'.
Muonekano huu wa mzunguko wa Mungu kutuma Nabii kwa ajili ya kutaka watu
kurudi katika mtindo wa kutoa, watu wanarudi nyuma na tena Nabii mwingine
anatumwa na bado haijaishia mwish mwa Manabii wa Agano la kale – kama vile
Malaki, ambae ametokea pengine wakati ule ule, au baada ya Nehemia. Malaki alikuwa
ni Nabii jasiri aliye mcha Mungu nasi sura za watu na kupitia Malaki, Mungu alikua
tayari kutoa maonyo makali kwa watu wa Mungu. Hasa, Malaki alifanya jambo ambalo
hakika hakuna anaejiandaa kulifanya hata sasa, kama vile,alitoa mkaripio kali kwa
Page 217
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
viongozi wa dini kwakukosa ukarimu, zawadi zao mbaya na sadaka na kushindwa
kuwafundisha neno la Mungu.
Inaonekana kuwa tunahitaji maelfu wakina Malaki leo hii mahubiri yanayoanguka na
utunzaji hafifu wa fedha uliopo miongoni mwa viongozi wa kanisa. Malaki anaendelea
kutoa makaripio makali kuhusu pesa kila mahali katika Biblia katika ukurasa wa 3:6-12
anapowaambia watu wa Mungu hasa kwa habari ya kumwibia Mungu kwakukataa
kwao kutoa zaka.Kwakumalizia Muntgu alikuwa anahusika sana na kiwango cha utoaji
wa watu wake baada ya uhamisho wa wababiloni kwa kuwapaka mafuta Manabii
watatu tofauti kuongoza watu kwa habari ya kutoa sadaka zao na zaka zao.
Mfano wa uongozi katika kutoa ni Paulo anapowaandika barua yake ya pili kwa
wakorinto na kulisifu kanisa la korintho kwa ajili ya makusanyo ya michango ya
watakatifu katika ukurasa wa 8-9. Katika kurasa mbili nzito katika biblia kwa habari ya
pesa na kutoa Paulo anaelezea kwa kina kuhusu hitaji la kutoa kwa sadaka hii muhimu
na kuonyesha uongozi bora na ushawishi kwa wakorintho kuhusu kutoa. Wakati
zikiwapo Aya nyingi katika kurasa hizi mbili ambazo tungeweza kuzinakiri ili
kuonyesha uongozi wa Paulo katika jambo hili,kwa urahisi anasema hili katika kurasa
wa 8 mstari wa 7, ' Vivyo hivyo mpate wingi w neema hii ya kutoa '.
Kama vile Musa, Daudi, Hagai, Nehemia,Malaki na Paulo walivyo karibisha na
kukaribisha watu wa Mungu kuwa wakarimu katika utoaji, Ninahitaji binafsi
kuwakaribisha kuwa watoaji katika kazi ya Ufalme wa Mungu ili kuona injili
inapelekwa kwa wote ambao hawajahi kuisikia.Ninakukaribisha kugeuka na kutoka
katika uchoyo na matamanio ya ulimwengu huu, na ninakukaribisha katika kutoa
dhabihu, uza mali zako na fanya kadri itavyohitaji kuwa mtoaji mtoaji mkarimu katika
kazi ya Ufalme wa Mungu
Ninakukaribisha katika nafsi za thamani za wanaume na wanawake zilizopotea na
kuziona zikiokolewa kutoka kuzimu, wekeza pesa zako kwa yatima na wajane na
masikini na kuleta kwao Ufalme. Ninakukaribisha kutoa ili kumuondoa mungu pesa wa
uongo katika maisha yako, toa ili kuonyesha kuwa una imani ya kweli na iliyo hai na
kwamba pendo la Mungu liko ndani ya maisha yako, toa ili kuonyesha kuwa unaamini
kuwa yuko hai na kwamba anaweza kushulikia hali yako ya kifedha.
Ninakualika kutoa iwapo si kwa sababu yoyote licha ya ukweli kwamba Yesu amesema
katika Matendo 20:35 'Ni heri kutoa kuliko kupokea'. Yakobo 1:2-25 inasema kwamba
ikiwa utasikia neno la Bwana na kutokufanya asemayo unajidanganya
mwenyewe,katika kitabu hiki umesoma maandiko miamoja na maneno elfu kuhusu pesa
na kutoa na iwapo utatupilia mbali na kutokuwa mtoaji basi utakuwa unajidanganya
mwenyewe.
Page 218
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Zaidi, Wagalatia 6:7 inasema, ' Msidanganyike:Mungu hadhihakiwi. Apandacho mtu
ndicho atakachovuna'. Hii inapelekea Yakobo 1:22 inayosema kwamba ikiwa tutadharau
yale Mungu anayosema kwa ajili ya mambo fulani (kama vile pesa) tutaanguka katika
udanganyifu.
Kw jina la Yesu, nikiwa katika kuongelea uzoefu binafsi, ninakukaribisha, ninakuomba ,
ninakusihi kuwa mtoaji.
Nyumba ya Maombi kwa Mataifa maskini
Omba kwa ajili ya Lithuania
3,670,269 ya watu , 76% ni wakristo
Wengi wa kanisa Katoliki wanahitaji mabadiliko kwa ajili ya mahitaji ya watu.
©www.operationworld.org
Yaliyomo
'George Muller'- Whitaker House- ISBN 0-88368-159-5
'Juu ya nembo ya wimbi' -Peter Wagner- Regal -Books ISBN 0-8307-0895-2
'Tamaa ya Nafsi '- Oswald J Smith ( kati ya yale yaliyo chapishwa)
'Nguvu kutoka juu '- Charles Finney (kati ya yale yaliyochapishwa)
'Afya bora na miujiza ilyo hai '- Oral Roberts ( hakuna namba ya ISBN )
'Mwongozo wa kila siku wa miujiza '- Oral Roberts ( hakuna namba ya ISBN )
'Ulimi nguvu ubunifu' Charles Capps Harrison House ISBN 0-89274-0612
'Wakati wa mbegu na mavuno ' - Charles Capps - Harrison House ISBN 0-89274-397-2
'Kubadilisha muonekano na kutengeneza wasioonekana ' - Charles Capps - Harrison
House -ISBN 0-89274-220-8
'Kiini cha mambo ' - Charles Capps - Harrison House - 0-89274-599-1
'Mafaniki yatokanayo na neno ' - Charles Capps - Harrison House
ISBN 0-89274-183 -X
' kushusha katika kilindi cha maji '- Miguel Diez , Remar Hispania (No Idadi ISBN )
' Mungu upendoni ' - Miguel Diez , Remar Hispania (No Idadi ISBN )
' CT Studd '- Norman Grubb - Lutterworth Press
Page 219
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
'Kuhudumu kama Mtumwa '- Neal Pirolo , STL Vitabu
' Mungu anaweza kufanya hivyo hapa ' - Eileen Vincent - Marshalla - ISBN 0551 01118
' Zawadi ya Roho ' - Cecil binamu - Kingsway Publications ISBN 0-86065-477 -X
'Njia ya baraka kibiblia ' - Benny Hinn - Thomas Nelson Publishers -
ISBN 0-7852-7053-1
'Nguvu ya kupenda ' - Martin Luther King - Fontana Kidini
'Nje ya ukanda wa faraja' - George Verwer - OM Publishing ISBN 1-85078-353-5
'Meza katikati ya jangwa ' - Watchman Nee - Ushindi Press
'Toa matarajio yako kidogo' - Michael Griffiths - Inter Press Varsity
'Ushindi binafsi' - Colin Urquart - Hodder na Stoughton ISBN 0-340-48501-9
' Nimezaliwa kushinda ' - Daudi Shearman - Enzi Kuu ya Dunia - ISBN 1-85240-260-1
' Waraka kwa Wafilipi - Mchungaji FB Meyer (Kati ya magazeti)
' Ufunuo mpya wa kifedha ' - Clive Pick - New Wine Press -
ISBN 1-874367-80-9
'Katika Roho ' - Larry Christenson - Kingsway Publications - ISBN 0 86065 055 3
' Namna ya kufunga kanisa lako katika muongo ' - David Cohen na Steven Gaukroger -
maandiko Umoja - ISBN 0 86201 568 5
'kuharibika kwa chungu ' Gerald Coates ( Ed) Kingsway - ISBN 0 86,065 699 3
' Ufuasi ' - Daudi Watson - Hodder na Stoughton - ISBN 0 340 33213 1
'Chochote utakacho '- Colin Urquart - Hodder na Stoughton - ISBN 0340 23348 6
' Tazama nje ! Wapentekoste wanakuja '- Peter Wagner - Coverdale House - ISBN 0
902088 599
' Roho kuwajaza waamini ' - Derek Prince - Neno Publishing - ISBN 0 85009 668 5
'Zawadi ya kutoa ' - RT Kendall - Hodder na Staunton - ISBN -0-340-72156-1
'Operesheni ya ulimwengu ' - Patrick Johnstone na Jason Mandryk - Paternoster Maisha
- ISBN 1-85078-357-8
Shukrani
Page 220
© 2013 The DCI Pages, UK, Translated by Yona Mwanza. www.dci.org.uk
Masomo yafuatayo yametokana na ushirikiano mzuri wa wasemaji au waandishi
waliopo chini. Kazi yao ya asili inathaminiwa sana na kila mahali ambapo vitabu vyao
vimekuwa vikiorodheshwa.
Hoja kutoka kwa wasiotoa - R.T. Kendall (zawadi ya kutoa - Hodder na Staunton -
ISBN - 0-340-72156-1 -)
Hoja ya wasiotoa - RT Kendall (zawadi ya kutoa - Hodder na Staunton - ISBN - 0-340-
72156-1 -)
Zaka kwakila kila kitu - Clive Pick
Zaka ni mali takatifu ya Mungu- Clive Pick
Kusimamia kama mtumwa - Neal Pirolo - ' -Ku - Kuhudumu kama mtumwa'- STL
Vitabu.
www.dci.org.uk
[email protected]