Top Banner
MIKESHA YA PESHAWAR (Shab'ha-ye Peshawar) Kimeandikwa na: Sultanu 'l-Wa'idhiin Shirazi Kimetarjumiwa na: Dr. M. S. Kanju
519
Welcome message from author
This document is posted to help you gain knowledge. Please leave a comment to let me know what you think about it! Share it to your friends and learn new things together.
Transcript
Page 1: Mikesh A

MIKESHA YA PESHAWAR

(Shab'ha-ye Peshawar)

Kimeandikwa na:Sultanu 'l-Wa'idhiin Shirazi

Kimetarjumiwa na: Dr. M. S. Kanju

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 1:59 PM Page i

Sajida Rashid
Text Box
Bookmarks have been added
Page 2: Mikesh A

©Haki ya kunakili imehifadhiwa na:AL-ITRAH FOUNDATION

ISBN: 978 - 9987 - 512 - 02 -7

Kimeandikwa na:Sultanu’l-waizin Shirazi

Kimetajumiwa na: Dr. M. S. Kanju

Email: [email protected]

Kimehaririwa na: Ramadhani Kanju Shemahimbo

Kupangwa katika Kompyuta na:Ukhti Pili Rajab.

Toleo la kwanza: Augasti,2008Nakala: 2000

Kimetolewa na kuchapishwa na:

Alitrah Foundation

S.L.P. 19701 Dar es Salaam, Tanzania

Simu: +255 22 2110640Simu/Nukushi: +255 22 2127555

Barua Pepe: [email protected]: www.alitrah.org

Katika mtandao: www.alitrah.info

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 1:59 PM Page ii

Page 3: Mikesh A

YALIYOMOPeshawar {Mikesha ya peshawar}............................................................................2

Mkutano wa Kwanza.Uhusiano na Mtukufu Mtume...................................................................................4Nyongeza ya ushahidi kuthibitisha kwa kizazi cha Fatma ni dhuria wa MtukufuMtume.......................................................................................................................6Kwa nini Shia wanachanganya swala zao...............................................................8Jinsi wazazi wa Allama walivyohama kutoka Hijazi kwenda Iran.........................12Jinsi kaburi la Amirul -Mu’minin Ali (a.s) lilivyogunduliwa.................................12Bani Umayya na utiaji Najisi wa Makaburi............................................................13Matendo maovu ya ufalme huu kugunduliwa kwa kaburi tukufu laAli.......................................................................................................................... 14Khitilafu kuhusu sehemu aliyozikwa Amir ul-Muminin........................................15

Mkutano wa Pili - Ijumaa usikuMadhehebu ya Shia

Dhana potofu kuhusu asili ya madhehebu y Shia..................................................16Ni upuuzi kumhusisha Abdullah bi Saba na Mashi’a.............................................17Maana ya neno shia.................................................................................................17Sifa zaidi za Shia.....................................................................................................19Sifa za shia zathibitishwa kutoka kwenye vitabu vya Sunni................................. 21Cheo cha Salman, Abudharr, Mikdadi na Amar.....................................................22Sababu za wa-Iran kuupokea ushi’a.......................................................................23Shukurani za wa-Iran juu ya huruma za Ali..........................................................24Midahalo kati ya Allama Hilli na kadhi Mkuu kuhusu Uimamu .........................25Mfalme wa Irani aliikubali imani ya Kishia...........................................................25Uislamu unakataza kujigamba kuhusu nasaba.......................................................26Uislamu vile vile unakataza ubaguzi( wa aina zote)...............................................27Lawama kwa mashabiki washupavu (Magullat).....................................................28Mashia wako Tofauti na Gullat...............................................................................29Ufafanuzi kuhusu heshima kwa Maimamu............................................................30

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 1:59 PM Page iii

Page 4: Mikesh A

Watu wa Yasin inawahusu watu wa Muhammad..................................................31Salawat juu ya Muhammad na Aali-Muhammad ni Sunna (iliyokokotezwa), nakatika swala za Faradhi ni wajibu..........................................................................32

Mkutano wa Tatu -Jumamosi usiku 25-Rajab-1345A.H.

Mashia hawakugawanyika katika Matapo.............................................................33

Zaidiyya..................................................................................................................33

Wa-Kaysaniyya na Imani yao.................................................................................34

Qaddahiyya na Imani yao.......................................................................................35

Qullat na imani zao.................................................................................................35

Shi’a Imamiyya Ithnashariyya na Imani yao..........................................................36

Imani katika Allah na Mitume................................................................................36

Imani katika adhabu, malipo, Jahannamu, pepo, na siku ya kiyama......................36

Imani katika kanuni za Ibada..................................................................................37

Imani katika maimamu...........................................................................................37

Kanusho juu ya Hadithi ya Ma’rifa........................................................................38

Hadithi za Ajabu katika Sahihain-Bukhari na Muslim...........................................39

Rejea zinazoonyesha kuhusu kuonekana kwa Allah...............................................40

Qur’an tukufu inakataa dhana ya kuonekana kwa Allah......................................41

Hoja na Hadith kuhusu kutokuonekana kwa Allah...............................................41

Rejea zaidi ya Hadithi za ajabu ajabu katika vitabu viwili vya hadithi.................42

Hadith ya Thaqalaini (vizito viwili)....................................................................... 44

Ushirikina na aina zake...........................................................................................44

Ushirikina katika swala...........................................................................................45

Kuhusu kuomba au ahadi........................................................................................46

Nadhiri kwajina la Allah.........................................................................................47

Ushirikina ulifichika kujionyesha katika sala.........................................................48

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 1:59 PM Page iv

Page 5: Mikesh A

Kwa nini Mitume walitafuta misaada kutoka kwa watu?.......................................49

Dhuria watukufu wa Muhammad ni njia (Wasyla-visababisho) neema za Mungu.50

Hadithi Ath-Thaqalaini (Hadith ya vizito viwili)....................................................51

Bukhari na Muslim wameandika Hadithi nyingi zilizosimuliwa na wazushi........53

Je, Yazid anapaswa kulaaniwa?..............................................................................70

Kuvunjwa heshima ya makaburi.............................................................................71

Dhuria wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w) ni mashahidi katika njia ya Allah na wako

hai.......................................................................................................................... 72

Daraja ya Maimamu Ma’sumin..............................................................................73

Mkutano wa Nne jumapili usiku 26 Rajab, 1345 A.H

Mjadala kuhusu Uimamu.......................................................................................73

Kuweka mipaka kwenye madhehebu manne hakuna msingi...............................74

Ushi’a kulinganishwa na madhehebu manne.........................................................75

Maimamu wanne wa Kisunni wametangazana kuwa makafiri..............................76

Shutuma za Maulamaa wa Kisuni kwa Abu Hanifa...............................................77

Uimam kwa mujibu wa Shi’a unamaana ya uwakilishi wa Allah...........................78

Cheo cha Uimam ni juu zaidi kuliko cha utume wa kawaida.................................79

Mitume wa kawaida na wale maalumu..................................................................80

Tofauti katika Daraja za Mitume ............................................................................80

Hoja za cheo cha utume kwa ajili ya Ali kutoka kwenye Hadith Manzila............82

Usahihi wa Hadithi ya Manzila kutoka kwenye rejea za kawaida.........................83

Amadi Haamini kama msimuliaji wa Hadith ........................................................85

Kuthibitishwa Hadith ya Manzila na Umar bin Khattab........................................86

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 1:59 PM Page v

Page 6: Mikesh A

Sifa za Ali...............................................................................................................87

Umuhimu wa cheo cha Ali......................................................................................88

Wakati akiwa kwenye rukuu katika sala ali alitoa pete kumpa masikini...............92

Cheo cha Harun kama Mtume kadhalika kama Khalifa........................................92

Mkutano wa Tano; Jumanne Usiku 27 Rajab 1345, A.H

Hadithi ya Manzila imesimuliwa mara nyingi.......................................................96Harun alikuwa ni mrithi (makamu) wa Musa aliyeteuliwa....................................97Kufanana kwa hali ya mambo kati ya Ali na Harun................................................98Hadithi ya haramu ya ndugu na Mtume kumchagua Ali kama Khalifa wake.......99Uthibitisho kutoka ulamaa wa Kisunni na waandishi wa Ulaya.............................99Hadithi za wazi na dhahiri kuhusu Ukhalifa wake Ali..........................................100Tabia za Masahaba................................................................................................103Hadithi katika kumtukuza Abu Bakr.....................................................................104Tabia ya Abu Huraira na laana yake.....................................................................105Kashfa za Ibn Abd Rabbih dhidi ya Mashi’a....................................................... 107Kashfa zilizotolewa na ibn Hazm........................................................................107Kashfa zilizotolewa na Abn Taimiyya................................................................ 107Tabia za Abu Huraira na Hadith zinazotaka Alaaniwe....................................... 109Njama ya Abu Huraira na Busr bin Artat katika mauwaji ya waislamu..............110Hadithi zenye kumsifu Abu Bakr na Umar na kutostahili kwao......................... 114Hadithi ya kwamba Hasan na Husein wote ni mabwana wa Vijana wa Peponi...116Majibu kwa Hadith inayodhaniwa kwamba Abu Bakr na Aisha walipendelewazaidi na Mtume.....................................................................................................117Aya juu ya mapenzi kwa familia ya Mtume.........................................................118Kukubali kwa Shafi’i kwamba mapenzi kwa Ahlul Bait ni wajibu.....................119Dhana potofu kuhusu mapenzi ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w) kwa Aisha............119

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 1:59 PM Page vi

Page 7: Mikesh A

Mtukufu Mtume (s.a.w.w) alimpendelea Ali kuliko watu wengine wote..............120Hadith ya ndege aliyebanikwa..............................................................................121“Watu wenye kumbukumbu ni Ahli Muhammad dhuria wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w)................................................................................................................124Aya za Qur’an Tukufu kuhusu kuchaguliwa kwa Makhalifa wanne, na majibu..124Hoja kutokana na “Aya ya Pango” na majibu yake..............................................126Kuteremshwa kwa utulivu kulikuwa kwa ajili ya Mtume wa Allah.....................131

Mkutano wa Sita Jumanne Usiku 28 Rajab 1345A.H

Aya Mia tatu zenye kumtukuza Ali......................................................................133Imani ya Ali akiwa bado mtoto tu.........................................................................137Imani ya Ali ilikuwa ni sehemu ya asili yake hasa...............................................140Ali aliwapita masahaba wengine wote Umma wote katika ubora ......................141Imani ya Ali ni bora kuliko ya Abu Bakr...............................................................141Ali kama Nafsi ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w).....................................................142Aya ya Qur’an yenye kumsifu Ali kwa kulala katika kitanda cha Mtume katikausiku wa Hijra.......................................................................................................143Ushahidi kuhusu maneno ya Umar “Kama Ali asingekuwepo, Umarangeangamia.........................................................................................................146Ushindi haukuwa kwa sababu ya sifa binafsi za Umar..................................... 148Kushindwa kwa Abu Bakr na Umar katika vita vya Khaibar..............................149Ali alikuwa mwenye kupendwa na Allah na Mtukufu Mtume (s.a.w.w).............152Hadithi ya bendera katika ushindi wa Khaibar......................................................152Tabia ya Uthman na namna ya maisha kulinganishwa na ile ya Abu Bakr naUmar.....................................................................................................................154Utajiri wa Khalifa Uthman...................................................................................155Khalifa Uthuman aliwapa moyo watenda maovu miongoni mwa Bani Umayya..156Mtukufu Mtume (s.a.w.w) aliwalaani Abu Sufyan, Mu’awiya na Mtoto wakeYazid.....................................................................................................................159Uthman hakukubali ushauri wa Ali......................................................................159

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 1:59 PM Page vii

Page 8: Mikesh A

Uthman aliwapiga masahaba wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w) Bila huruma.........159Ammar alipigwa kwa amri ya Uthman.................................................................160Hadith, “Masahaba wote ni kama nyota namhusu na Abu Dharr vile vile............163Upole na Ukarimu wa Ali bin Abu Talib ..............................................................164Upole wa Ali kwa Marwan na Abdullah bin Zaubair..........................................165Upole wa Ali kwa Aisha........................................................................................166Mashaka na utata kuhusu “Aya ya walii” na ufafanuzi wake................................168

Mkutano wa saba Jumatano usiku 29 Rajab,1345A.H

Tofauti kati ya muungano wa kuwazika na muungano halisi.............................174Aya ya maapizano (Mubahila) inathibitisha umoja wa nafsi ya Ali na ya MtukufuMtume (s.a.w.w.)..................................................................................................175Kuwasili kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.w) kwa ajili ya maapizano....................176Stahili ya Ali, Fatma, Hassan, na Hussein inathibitishwa naAya ya maapizano..177Simulizi zaidi na Hadith kama ushahidi wa umoja wa msingi wa Mtukufu Mtume(s.a.w..w) na Ali ...................................................................................................179Kwa vile Mtukufu Mtume alikuwa mbora kwa Mitume wote wengine na Ali piaalikuwa mbora kwao.............................................................................................181Kioo cha mitume yote kama ilivyoonyeshwa na Hadith ya ufananisho............. 183Kukubaliwa kwa Abu Bakr na watu wote............................................................184Hoja dhidi ya uhalali wa “Ijma”..........................................................................185Ali alikosa kuarifiwa kwa makusudi kuhusu mkutano wa Saqifa........................188“Hadithi -e-Thaqalain’ na ‘Hadithi -e-Safina........................................................191Hadithi “Ali yuko pamoja na haki na haki iko pamoja na Ali”...........................194Hadithi ya Safina -Hadithi ya Saqifa....................................................................197Je, Ijma inapaswa kukubaliwa kwa sababu ya kigezo cha yaliyopita?................198Hadithi za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) zinazowahimiza waumini kumfuata Ali..198Kulazimishwa kwa Ali na Bani Hashim kula kiapo baada ya miezi sita...............199

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 1:59 PM Page viii

Page 9: Mikesh A

Ali aliburuzwa kutoka nyumbani kwake na nyumba yake ikachomwa moto.....200Hoja kumi na mbili zinazounga mkono ukweli kwamba Ali alichukuliwa kupelek-wa msikitini kwa ncha ya upanga........................................................................201Fatma aliwaambia Abu Bakr na Umar kwamba anawalaani hao wote katika kilaSalat......................................................................................................................203Riwaya kuhusu kuharibika mimba ya Fatma........................................................205Imamu Husein kamwe hakutamani nguvu ya kisiasa...........................................206Imamu Husein alikataa ushauri wa kuuacha ujumbe wake..................................208Maana halisi ya Bida’a (uzushi)...........................................................................212Faida za kuzuru makaburi ya maimam watukufu.................................................213

Mkutano wa Nane, Alhamis Usiku (Ishaban, 1345 A.H.)

Tofauti kati ya Uslamu na Imani...........................................................................214Kuhusishwa kwa Ushia na Imamu Ja’far as-Sadiq..............................................223Kuwalaumu masahaba haina maana ya ukafiri....................................................226Makhalifa wenyewa hawakuchukulia kulaniwa wao kuwa ni ukafiri.................227Khalifa Abu Bakr alimtukana Ali.........................................................................228Khalifa Umar alishikilia kwamba kumlaani Muislamu sio Ukafiri.....................229Masahaba wengi walitukanana wenyewe kwa wenyewe lakini hawakuchukulikama makafiri.......................................................................................................229Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliyajua matendo yote mabaya na mazuri ya masaha-ba........................................................................................................................ 230Sifa ya kuwa mmoja wapo kwenye Bai’a at -e-Ridhwan.................................. 230Mashia wanakubali ubora wa masahaba...............................................................231Hadithi ya “ kuwafuata masahaba” ya chunguzwa...............................................231Suala la Aqaba na mpango wa kumuua Mtukufu Mtume (s.a.w.w) ....................232Mtume kamwe hakutuamrisha tuwafuate waongo..............................................233Upinzani wa masahaba huko Saqifa ....................................................................234

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 1:59 PM Page ix

Page 10: Mikesh A

MKUTANO WA TISA, USIKU WA IJUMAA2 SHA’BAN 1345 A.H.

Mashia wanasema kuhusu Aisha kile haswa kinacho oneshwa na wanahistoria..333Hakuna ushahidi kwamba Aisha alitubia..............................................................333Aisha anazuia kuzikwa kwa Imam Hassan karibu na Mtukufu Mtume...............334Kusujudu kwa Aisha wakati wa kuuliwa kishahidi kwa Amirul-Muminin...........335Kauli za Aisha zinazokinzana kuhusu Uthman.....................................................335Allah ni mwingi wa huruma lakini damu ya waislamu wasio na hatia haiwezi kupi-ta bila kuhojiwa.....................................................................................................336Aisha hawezi kudai kupoteza kumbukumbu kwa sababu alikumbushwa na UmmuSalama................................................................................................................ 337Hadithi ya kushona viatu ndio ushahidi mkubwa wa Uimam na ukhalifa wa Ali.339Tofauti katika mtindo wa uteuzi wa makhalifa watatu wa mwanzo na ushahiditosha wakutosihi kwa Ukhalifa wao.....................................................................339Ushahidi mwingine wa ubatilifu wa Ijma.............................................................340Uteuzi wa mtukufu Mtume juu ya Ali ulipuuzwa na uteuzi wa Abu Bakr juu yaUmarukahalalishwa............................................................................................ 340Pingamizi kwa Abdu’r-Rahman bin aAuf kuw andio msuluhishi .......................341Kwa mujibu wa Mtukufu Mtume, Ali anapswa kufuatwa kuliko wengine wote..342Dhulma mbaya iliyofanwa na Umar kwenye Nafasi ya Amirul-Mu’minin.........342Ukhalifa wa Ali uliamriwa na Allah .....................................................................343Msingi hulisi wa Ukhalifa wa Ali sio Ijma bali ni matangazwa ya mtukufu Mtume........................................................................................................................... 345Ali alikuwa mbora kuliko wale Makhalifa wengine wote....................................345Hadithi ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuhusu ubora wa Ali ..............................345Kizazi safi halisi cha Ali.......................................................................................346Kuumbwa kwa Ali kutokana na nuru na uhusiano wake na Mtukufu Mtume.....347Kizazi cha kima umbile cha Ali...........................................................................348Baba yake Ibrahim alikuwa ni Azar.....................................................................349

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 1:59 PM Page x

Page 11: Mikesh A

Baba na Mama zake Mtukufu Mtume hawakuwa washirikina bali wlaikuw awoteni waumini........................................................................................................... 350Wahenga wa Ali vivyo hivyo waliepukana na ushirikina.....................................352Kutoeleweka kuhusu imani ya Abu Talib kwa fafanuliwa...................................352“Ijma ya Shia kuhusiana na Imani ya Abu Talib...................................................353Ushahidi juu ya Imani ya Abu Talib ....................................................................354Beti za Abi’l-Hadid katika kumtukuza Abu Talib.................................................355Beti za Abiu Talib huthibitisha Uislamu wake.....................................................356kukubali kwa Abu Talib imani yake juu ya Allah wakti wa kifo chake...............358Mazungumzo ya Mtukufu Mtume na Abu Talib wakati wa Tangazo la Utumewake......................................................................................................................359Tangazo la Ibrahim la utume na mazungumzo yake na Azar...............................359Au Talib amhakikishia Mtukufu Mtume msaada kamili na pia asome mashairi kati-ka kuusifu Uislamu.............................................................................................. 359Abu Talib alikuwa msaidizi na mlezi wa Mtukufu Mtume ................................ 360Sio sahihi kumwita Mu’awiya Khalu’l-Mu’minin ............................................. 361Mu’awiya alitamka Takbir wakati wa kifo cha kishahidi cha Imam Hasan....... 362Muhammad bin Abi Bakr aliuawa akiwa na kiu na kuchomwa hadi majivu kwaajili ya mapenzi ya Ahlul-’l-Bayt..........................................................................362Mu’awiya hakuwa mwandishi wa wahyi bali wa barua tu...................................363Ushahidi wa ukafiri wa Mu’awiya........................................................................363Ushahidi kutoka sura za Qur’ani tukufu na Hadith-Mu’awiya na Yazid wamelaani-wa......................................................................................................................... 363Mauaji ya waumini mashuhuri kama Imam Hasan, Ammar, Hajar bin Adi MalikAshtar, Muhammad bin Abi Bakr, n.k. kwa Amri ya Mu’awiya..........................365Mauji waumini 30,000 waliouawa na Busr bin Artat kwa amri ya Mu’awiya.....366Mu’awiya alitoa Amri kwamba Ali alaaniwe........................................................367Masahaba wa Mtume walikuwa katika viwango tofauti za uwelewa..................368Qur’an tukufu inawasifia masahaba wema lakini pia inawalaani masahabawaovu................................................................................................................... 371Abu Talib alikuwa muumini imara ..................................................................... 372Ushahidi wa nyongeza juu ya imani ya Abu Talib...............................................372

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 1:59 PM Page xi

Page 12: Mikesh A

Ja’far Tayyar amekubali Uislamu kwa amri ya Baba yake..................................372Nau’ha za Ali kwa ajili ya baba yake, Abu Talib.................................................374Abu Talib alificha imani yake ambapo Abbas na Hamza walitangaza za kwao..374Kwa nini Abu Talib ilikuwa ikijulikana kwa kawaida wakati wa uhai wa mtukufuMtume...................................................................................................................375Sunni kwa kweli ndio marafidhi na Mashi’a ndio Sunni hasa.............................376Hoja za uhalali wa Mut’a.....................................................................................377Ahli Sunna wazingatia uhalali wa Mut’a..............................................................379Amri ya inayoruhusu Mut’a haikufutwa.............................................................. 380Masahaba maarufu na Imam Malik wanasisitiza kwamba amri ya Mut’a haijafut-wa........................................................................................................................ 381Masharti yote ya ndoa yanatimizwa katika ndoa ya mut’a................................. 382Je, amri ya Qur’an juu ya mut’a ilifutwa na mtukufu Mtume?............................383Hoja zinazohusu kufutwa kwake wakati wa uhai wa Mtume..............................383Je, Khalifa Umar angeweza kuifuta mut’a...........................................................384Amri ya Allah au ya Mtukufu Mtume haiwezi kufutwa na Khalifa ...................386Manufaa sio misingi kwa ajili ya ufutaji .............................................................387Imani ya Abu Talib ilikuwa inajulikana sana wakati wa Mtukufu Mtume...........388Mahali alipozaliwa Ali ilikuwa ni ndani ya Ka’aba.............................................388Asili ya jina la Ali ilikuw ani ulimwengu usionekana.......................................... 389Baada ya majina ya Allah na Mtukufu Mtume jina la Ali limeandikwa juu yaArsh..................................................................................................................... 390Maneno yaliyotumiwa na Adam kwa ajili ya kukubaliwa kwa Toba yake yalikuwani majina ya watoharifu watano............................................................................392Wahyi na Uham vilivyotolewa kwa watu wengine mbali na mitume, hata kwawanyama...............................................................................................................392Ufunuo wa Lawh (Uba) kwa Abu Talib................................................................394Jina la Ali sio sehemu ya Adhana au Iqama.........................................................395Uchamungu wa Ali...............................................................................................395Riwaya ya Abdullah bin Rafi’i ............................................................................395Riwaya ya Suwaid bin Ghafla..............................................................................396Ali alijizui kula Halwa..........................................................................................396

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 1:59 PM Page xii

Page 13: Mikesh A

Mavazi ya Ali........................................................................................................397Mazungumzo ya Zubar na Mu’awiya kuhusu Ali.................................................398Utambuzi wa Mtume juu ya Uchamungu wa Ali.................................................398Allah na Mtukufu Mtume walimuita Ali ‘Imamu’l-Muttaqin’ (Kiongozi wawachamungu).......................................................................................................399Kama Imam’l-Muttaqin Ali hakuwa na mapenzi ya kujingiza kwenye anasa auMamlaka.............................................................................................................. 400Ukimya wa Mitume watukufu............................................................................ 403Hali ya Ali inafanana na ya Harun.......................................................................404Kunyamaza kwa Mitume......................................................................................404Maelezo ya Ali juu ya kufaa kwa kimya chake baada ya kifo cha MtukufuMtume...................................................................................................................406Barua ya Ami’rul’l-Mu’minin kwa watu wa Misr kuelezea ukimya wake wakatialiponyimwa Ukhalifa..........................................................................................407Khutba ya Amirul-Mu’minin baada ya kuuawa shahidi kwa Muhammad bin AbuBakr.......................................................................................................................408Khutba ya Shaqshiqayya vile vile na elezea ukimya wa Ali................................409Seyyid Razi...........................................................................................................409

Mkutano wa Kumi, Jumamosi Usiku 3 Sha’ban 1345 A.H

Uchambuzi wa Elimu ya Umar juu ya Sheria za Kiislamu..................................411Mwanamke Amyamazisha Umar kaitka jambo la sheria......................................413Kunyang’anya kiasi chochote cha mahari ni kimyume cha Sheria....................414Amri ya Umar ya kuwapiga mawe watu watano na kukatizwa na Ali................415Umar atoa amri mwanamke punguani apigwe mawe na ali kuingilia kati...........417Elimu na sifa za Ali .............................................................................................417Elimu yote ilikuwa iko dhahiri kabisa kwa Ali.....................................................420ali ndiye aliyefaa zaidi kwenye nafasi ya Ukhalifa..............................................423Kiapo cha utii cha Ali kwa makhalifa ni cha kulazimishwa................................424Kiapo cha utii cha Ali kwa Makhalifa ni cha kulazimishwa .............................. 425Kusiwepo na “Imani potovu) katika dini..............................................................425

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 1:59 PM Page xiii

Page 14: Mikesh A

Amri ya Mtume ya kumtii Ali...............................................................................426Ulamaa wa Kisunni hawataki Ushirikiano na sisi................................................427

Tofauti ya madhehebu manne zinapuuzwa bali Shi’a hawavumiliwi...................429Fatwa za wanachuoni wa Sunni zinakwenda kinyume na maelekezo yaQur’ani............................................................................................................... .429Kuosha miguuu katika udhu ni kinyume na sheria ya Qur’ani........................... 432Kupaka juu ya soksi ni kinyume na sheria ya wazi ya Qur’an Tukufu................433Kupaka juu ya kilemba ni kinyume na sheria ya Qur’ani....................................434Shi’a pekee wanaolaumiw akwa tofauti kama hizo..............................................434Kwa mujibu wa ulamaa wa Kisuni kusujudu juu ya kinyesi kikavu na kinyesi chamnyama ni halali.................................................................................................. 435Kwa mujibu wa ulamaa wa Kisunni kusujudu juu ya kinyesi kikavu na kinyesi chamnyama ni halali..................................................................................................435Shia hawachukulii kusujudu juu ya udongo wa karbala kuwa ni wajibu............436Kwa nini tunasujudu juu ya ule udongo wa Karbala............................................437Sifa za Hali ya udongo wa Karbala ....................................................................437Umri mkubwa sio kigezo cha Ukhalifa................................................................439Sababu ya kuteuliwa Ali.......................................................................................441Hadithi ya kufuatana na Abu Bakr .......................................................................441Mtukufu Mtume alimtuma Ali kwenda Yemen.....................................................442Njama za maadui ..................................................................................................443Ali alichukia siasa ya dhulma chafu.....................................................................443Vurugu wakati wa Ukhalifa wa Amirul-Mu’minin zilitokana na uadui dhidiyake.......................................................................................................................444Vita vya Ali vya Jamal, Siffin na Nahrwan vilikuwa kama vita vya Mtukufu Mtumedhidi ya makafiri...................................................................................................445Baada ya mtukufu Mtume Ali alikuwa ndiye bingwa zaidi ya mambo yautawala..................................................................................................................446Ali alikuwa na Elimu ya ulimwengu wa Ghaib....................................................446Je Elimu ya Ghaibu imetengwa kwa Allah tu?.................................................... 447Elimu ni ya namna mbili, ya dhati (ya asili) na Arzi( ya kutafuta).................... .450Ushahidi wa Qur’an kwamba Mitume walikuwa na elimu ya Ghaib..................451Madai yakuwa na elimu ya ghaib kupitia njia nyinginezo ni ya uongo.............. 452Waandamizi wa mitume pia walikuwa na Elimu ya ghaib................................. 453Maimamu watukufu walikuwa ndio makhalifa wa kweli na walikuwa na Elimu yaghaib................................................................................................................... 455Lango la Elimu.................................................................................................... 456Ulamaa wa Sunni ambao wamesimulia ile Hadithi ya “Jiji la Elimu”................457

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 1:59 PM Page xiv

Page 15: Mikesh A

Kusimulia sifa za Ali ni ibada..............................................................................459Ufafanuzi wa Hadith ya “Lango la Elimu”...........................................................461Ali alijua maana ya dhahiri na ya ndani ya Qur’ani tukufu.................................461Kuikabidhi Elimu ya Mtume kwa Ali...................................................................464Jafr-e-Jami’a na asili yake....................................................................................465Imam Ridhaa alitabiri kifo chake .........................................................................467Jibril alileta kitabu kilichofungwa sili (sealed) kwa ajili ya wasii wa MtukufuMtume...................................................................................................................468Tangazo la Ali la niulizeni mimi na Riwaya za Masunni...................................471Elimu ya Ali kuhusu watu wanaongoza au wanaopotosha.................................473Kuutabiri ule ushika bendera wa Habib bin Amamar.......................................... 474Kutabiri ukandamizaji wa Mu’awiya.................................................................. 475Kwa mujibu wa Mtukufu Mtume Ali aliwazidi wengine wote katika Elim....... 479Ali alizimudu Sayansi zote.................................................................................. 482Kuzaliwa kwa Imam Husain na pongezi za Malaika...........................................483Kukubali Ushi’ah kwa Nawab-Sahib ..................................................................484

Jumapili Sha;ban 4,1345A.H

Wilada ya Imam Husein.......................................................................................485Uhuru halisi..........................................................................................................485Iman yasuni kuhusu maa ya “wale waliopewa mamlaka”...................................485Njia tatu za utenzi wa ‘ul ‘l-Amr (wale waliopewa mamlaka)............................486Maneno ‘ul’l-Amr’hayaasshirii kwa kwa watawala.............................................486Mtawala anayetwaa madarka kwa nguvu hawezi kuitwa aagizwe na kuteuliwa naAllah................................................................................................................... 487

Kutotenda dhambi na makosa (Uma’sum) kwa maimam watukufu kumesimuliwa

kwa jumla sana.....................................................................................................490

Elimu ya Ahlul-Bayt.............................................................................................490Hakuna utajo wa Raka’a za swala ndani ya Qur’ani Tukufu..............................492Majina ya Maimam na idadi yao (kumi na mbili)................................................495Idadi ya Makhalifa baada ya Mtukufu Mtume ni kumi na mbili........................497

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 1:59 PM Page xv

Page 16: Mikesh A

NENO LA MCHAPISHAJIKitabu kilichoko mikononi mwako ni tarjuma ya kitabu cha Kiingereza kiitwacho,Peshawar Nights. Asili ya kitabu hiki ni cha lugha ya Kifarsi kwa jina la, Shab’ha-yePeshawar. Sisi tumekiita, Mikesha ya Peshawar.

Mikesha ya Peshawar ni nakala ya mjadala kati ya wanavyuoni mbalimbali wa Kisunni namwanachuoni mmoja wa Kishia mzaliwa wa Shiraz (Iran) aitwaye Sayyid Abdu ‘l-FaniMuhammad al-Musawi Sultanu ‘l-Wa’idhiin, ambaye wakati huo alikuwa na umri wamiaka 31 tu. Mjadala huu ulifanyika katika mji wa Peshawar ambao wakati huo ilikuwani sehemu ya Bara Hindi na hivi sasa ni sehemu ya Pakistan. Ulifanyika kuanzia tarehe 27Januari 1927 na kuundelea kwa mikesha kumi ndani ya msikiti ambako watu zaidi 200walihudhuria kila usiku. Mjadala huu ulifanywa kwa muundo mzuri wa kuheshimianapande zote bila ya kuvunjiana heshima. Mwandishi mwenyewe amejiita katika kitabu hikikama “Da’i” yaani mtu anayewaombea mema watu wengine, sisi tumelitafsiri neno hilokama “Muombezi”.

Masharti ya mjadala yalikuwa kwamba ni vianzo vile tu vinavyokubaliwa na madhehebuzote ndivyo vitakavyorejelewa. Mjadala huu uliandikwa na kuripotiwa na waandishiwanne katika magazeti ya kila siku, na baadaye ukachapishwa kama kitabu huko Tehran,Iran.

Huu ulikuwa ni mjadala uliopangwa vizuri, wa kielimu na utumiaji wa vipawa vya akiliambapo kila hoja iliyotolewa ilitumika elimu na akili kuiwasilisha mpaka pande zotezikaridhika.

Katika kuwasilisha hoja zake, mwanachuoni huyu mkubwa wa Kishia alitumia rejea zavitabu vingi maarufu vya Kisunni na ambavyo si maarufu sana lakini vyenye kuaminika.Rejea na vitabu hivyo vimeorodheshwa kwa wingi sana ndani ya kitabu hiki ili msomajiaweze kuvirejelea. Lakini kwa bahati mbaya sana, mengi ya matoleo mapya ya vitabuhivyo yamefanyiwa mabadiliko na baadhi ya sehemu kuondolewa, hususan zile zinazoun-ga mkono madai ya Shia. Ufuatao hapa chini ni mfano mdogo tu wa yanayofanywa katikavitabu hivyo:

Katika ukurasa wa 301 wa juzuu ya 3 ya Tafsir al-Kashshaaf iliyokusanywa chini yamaelekezo ya Sheikh Mustafa al-Halabi (toleo la pili, 1319 A.H. liliochapishwa na MainGovernment Printing House ya Amiriah Bulaq ya Misir), kuna beti zinazojitokeza ambazokwazo Jarullah Zamakhshari, mfasiri wa al-Kashshaaf, alitangaza wazi imani yake katikauhalali wa Ushia. Lakini katika chapisho la 1373 A.H. lililochapishwa na Printing HouseIstiqamah bi’l-Qahara, shairi lililotajwa halionekani tena.

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 1:59 PM Page xvi

Page 17: Mikesh A

Marehemu Allamah Sayyid S. Akhtar Rizvi katika kitabu chake Uimamu uk. 37, anaandi-ka kushangazwa kwake kutokana na maneno yaliyoondolewa katika kitabu cha at-Tarikhcha at-Tabari, chapa ya Leiden (ya mwaka 1879 Masihia) ambayo imeyanakili maneno yaMtukufu Mtume (s.a.w.) aliyoyatumia wakati wa karamu maarufu ya ndugu wa karibualiyoitayarisha mwenyewe. Maneno ya mwisho aliyoyasema Mtukufu Mtume (s.a.w.)katika karamu hiyo yalikuwa haya: “Enyi watu wangu! Huyu Ali ni ndugu yangu, wasiiwangu na khalifa wangu miongoni mwenu; msikilizeni na mtiini.” Lakini katika chapa yaMisri (ya mwaka 1963 Masihia) - chapa ambayo inayodaiwa kuwa imechekiwa na ile yaLeiden - maneno haya muhimu: “wasii wangu na khalifa wangu” yamebadilishwa na kuwa“kadha wa kadha” na kusomeka hivi: “Huyu Ali ni ndugu yangu na kadha wa kadha.” Huuni msiba mkubwa.

Sultanu ‘l-Wa’idhiin, mwandishi wa kitabu hiki, amedondoa rejea nyingi kutoka katikamatoleo ya zamani, hivyo, msomaji asishangae kutokuona rejea hizo katika matoleomapya. Huu ni mchezo umefanywa na unaendelea kufanywa mpaka leo. Na lengo nikuficha ukweli. Hata hivyo, ‘ukweli siku zote unaelea’; matoleo ya zamani yapo mengi nayamehifadhiwa kwenye maktaba zetu.

Ni muhimu kufikia kila aina ya maoni katika kujaribu kuamua ukweli. Uislamu kimsingiuko dhidi ya kufuata kibubusa. Mjadala huu umefanywa ili kuwaelemisha Waislamu kwaujumla juu ya madhehebu za Kiislamu ili kujenga maoni yao kuhusu mtazamo mzuri wamtu mwenyewe. Ni muhimu mtu kuelewa hoja za wale ambao hakubaliani nao.Inawezekana kusemwa kwamba wale ambao hawaelewi kabisa mtazamo wa maoni tofau-ti, hawaelewi kwa ukamilifu (mtazamo) wa kwao wenyewe.

Hili tena ni jaribio letu kubwa la kutoa kitabu kikubwa kinachohusu mjadala juu ya mad-hehebu za Kiislamu. Tumekiona kitabu hiki ni chenye manufaa sana, hususan wakati huuwa maendeleo makubwa ya elimu katika nyanja zote, ambapo uwongo, ngano za kale naupotoshaji wa historia ni mambo ambayo hayana nafasi tena katika akili za watu.

Kutokana na ukweli huo, Taasisi yetu ya Al-Itrah Foundation imeona bora kukichapishakitabu hiki kwa lugha ya Kiswahili, kwa madhumuni yake yaleyale ya kuwahudumiaWaislamu, hususan wazungumzaji wa Kiswahili.

Tunamshukuru ndugu yetu, Dr. M. S. Kanju kwa kukubali jukumu hili la kukitarjumikitabu hiki. Vilevile tunawashukuru wale wote walioshiriki kwa njia moja au nyingine hadikufanikisha kuchapishwa kwa kitabu hiki.

Mchapishaji:Al-Itrah FoundationS. L. P. 19701Dar-es-Salaam, Tanzania

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 1:59 PM Page xvii

Page 18: Mikesh A

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 1:59 PM Page xviii

Page 19: Mikesh A

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU, MWINGI WA REHEMA, MWENYE KUREHEMU

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 1

Page 20: Mikesh A

Mikesha ya Peshawar

2

PESHAWAR(MIKESHA YA PESHAWAR)

Sultanu’l-Wa’izin Shirazi, mwanachuo mkubwa wa Iran, alitembelea India mwaka wa1927 (1345 A.H.) wakati akiwa na umri wa miaka 30. Alipata makaribisho makubwapopote alipokwenda. Watu walinufaika kutokana na ujuzi wake wa hadithi, historia, natafsiri juu ya Qur’ani Tukufu. Alishauriwa kuingia katika mjadala wa kidini tarehe 23Rajab, 1345 A.H., na watu wa imani nyingine katika eneo la Peshawar, eneo ambalolilikuwa ni katika India na ambalo leo ni eneo la Pakistan. Mjadala ulifanyika kwa mudawa mikesha kumi mfulululizo. Washiriki wakubwa wawili kutoka upande mwinginewalikuwa ni wanachuoni maarufu wa Kabul, Hafidh Muhammad Rashid na SheikhAbdul’s-Salam. Waandishi wanne waliandika taarifa za mjadala huo mbele ya watu takir-ban 200 (Shia na Sunni). Magazeti ya sehemu hiyo yaliandika taarifa za mjadala huo kilasiku asubuhi iliyofuatia. Sultanu’l-Wa’idhin alikusanya maelezo ya magazeti kuhusumjadala huo katika kitabu nchini Iran, na kuchapishwa Tehran kama Shabhaye-Peshawar,au Peshawar Nights ifuatayo ni tarjuma ya kitabu hicho:

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 2

Page 21: Mikesh A

Mkutano wa kwanza

(Usiku wa Alhamisi, 23 Rajab, 1345 A.H.)

Hafidh Muhammad Rashid, Sheikh Abdu’s-Salam, Sayyid Abdu’l-Hayy, na wanachuoniwengine wa eneo hilo walihudhuria. Mjadala ulianza mbele ya mkusanyiko mkubwa.Katika majarida na magazeti, walimuita mwandishi kama “Qibla-o-Ka’ba,” lakini katikakurasa hizi nimejiita mwenyewe kama “Muombezi” na Hafidh Muhammad Rashid kama“Hafidh.”

Hafidh: Tumefurahishwa sana kupata fursa hii ili kujadili nukta za msingi ambazo kwazotunahitilafiana. Kwanza lazima tuamue jinsi tutakavyo endesha mjadala huu.

Muombezi: Niko tayari kushiriki katika mjadala huu kwa masharti kwamba tunawekakando mawazo yote tuliyokuwa nayo kabla (juu ya imani zetu), na kujadili masuala kwamantiki, kama ndugu.

Hafidh: Mimi pia niruhusiwe kutoa sharti moja: kwamba mjadala wetu uwe chini ya msin-gi wa maamrisho ya Qur’ani Tukufu.

Muombezi: Sharti hili halikubaliki kwa vile Qur’ani Tukufu ni yenye habari nyingi kati-ka maelezo machache ambayo maana zake za ndani lazima zitafsiriwe kwa kurejea kwenyematukio mengine na hadithi.

Hafidh: Sawa, hili ni wazo la maana, lakini vile vile ni muhimu kwamba rejea zote zifany-we kwenye hadithi na matukio ambayo chimbuko lake ni juu ya ushahidi usiopingika.Lazima tujizuie kutokana na kurejea kwenye vyanzo vyenye mashaka.

Muomezi: Imekubalika. Kwa mtu kama mimi, ambaye ana fahari ya kutosha kudai uhu-siano na Mtume, sio haki kwenda kinyume na mifano iliyowekwa na jadi wangu, Mtumewa Uislamu. Ametambulishwa katika Qur’ani kama ifuatavyo:

“Na hakika una tabia njema kabisa.” (Qur’ani; 68:4)

Vile vile sio vizuri kutenda dhidi ya maamrisho ya Qur’ani Tukufu ambayo inasema:

Mikesha ya Peshawar

3

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 3

Page 22: Mikesh A

“Waite watu katika njia ya Mola wako kwa hikima na mauidha mema, na ujadilianenao kwa nama iliyo bora…” (16:125)

UHUSIANO NA MTUKUFU MTUME

Hafidh: Samahani, unatoa rejea kwenye uhusiano wako na Mtukufu Mtume. Hiyo inaju-likana sana, lakini naomba kwamba unifahamishe nasaba yako ili nipate kujua vipi jadiyako kinasaba imefikia kwa Mtume.

Muombezi: Nasaba ya jadi yangu humfikia Mtume kupitia kwa Imamu Musa Kadhimkama ifuatavyo: Muhammad, mtoto wa Ali Akbar (Ashrafu’l-Waidhin), mtoto wa Mujahidal-Waidhin, mtoto wa Ibrahim, mtoto wa Salih, mtoto wa Abi Ali Muhammad, mtoto waAli (ajulikanye kama Mardan), mtoto wa Abi’l-Qasim Muhammad Taqi, mtoto wa(Maqbulu’d-Din) Husein, mtoto wa Abi Ali Hasan, mtoto wa Muhammad bin Fadhullah,mtoto wa Is’haq, mtoto wa Hashim, mtoto wa Abi Muhammad, mtoto wa Ibrahim, mtotowa Abi’l-Fiyan, mtoto wa Abdallah, mtoto wa Hasan, watoto wa Ahmad (Abu Tayyib),mtoto wa Abi Ali Hasan, mtoto wa Abu Ja’far Muhammad al-Hari (Nazil-e-Kirman), mtotowa Ibrahim Az-Zarir (ajulikanaye kama Mujab), mtoto wa Amir Muhammad al-Abid,mtoto wa Imamu Musa Kadhim, mtoto wa Imamu Muhammad Baqir, mtoto wa Imamu AliZainu’l-Abidin, mtoto wa Imamu Husein, mtoto wa Amir’l-Muminin, Ali bin Abi Talib.

Hafidh: Safu hii ya nasaba hufikia kwa Amir’l-Muminin, Ali bin Abi Talib (Munguambariki) ingawa umesema kwamba huishia kwa Mtukufu Mtume. Kwa kweli, pamoja nanasaba hii unapaswa kujiita miongoni mwa jamaa za Mtukufu Mtume na sio miongonimwa kizazi chake cha moja kwa moja. Dhuria ni yule ambaye moja kwa moja anaunganana Mtume.

Muombezi: Safu ya jadi wetu hufikia kwa Mtume kupitia kwa Bibi Fatima Zahra, mamawa Imamu Husein. Sielewi ni kwa nini unasisitiza mno juu ya nukta hii.

Hafidh: Nafikiri nimeeleweka vibaya. Ni mtazamo wangu kwamba dhuria hutambuliwakutoka upande wa kiume tu. Nanukuu ubeti wa Kiarabu: “Watoto wangu, wajukuu, namabinti wanatokana na mimi, lakini watoto wa binti wangu hawatokani na mimi.” Kamaunaweza kuthibitisha vinginevyo, tafadhali fanya hivyo.

Mikesha ya Peshawar

4

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 4

Page 23: Mikesh A

Muombezi: Kuna ushahidi imara, kutoka katika Qur’ani na kutoka katika hadithi,kuthibitisha nukta yangu.

Hafidh: Tafadhali usimulie ili tupata kuelewa.

Muombezi: Wakati ulipokuwa unaongea sasa hivi, nimekumbuka mazungumzo kati yaHarun ar-Rashid, Khalifa wa Kibani Abbas, na Imamu wetu Musa Kadhim juu ya sualahili. Imamu alitoa jibu la kuridhisha kiasi kwamba Khalifa mwenyewe alilikubali.

Hafidh: Ningependa kusikia kuhusu mazungumzo hayo.

Muombezi: Abu Ja’far Muhammad Bin Ali, mwenye lakabu ya Sheikh Saduq, katikakarne ya nne A. H., katika kitabu chake Uyun-e-Akbar ar-Ridha (vyanzo vikubwa vyaRidha), na Abu Mansur Bin Ali Tabarsi, katika kitabu chake Ihtijajj, anatoa maelezo kina-ganaga ya mazungumzo ambayo yalifanyika kati ya Harun ar-Rashid na Imamu MusaJa’far katika baraza ya Khalifa. Khalifa alimuuliza Imamu: “Unawezaje kudai kwambawewe ni dhuria wa Mtukufu Mtume? Mtume hana dhuria. Inakubaliwa kwamba dhuria nikutoka upande wa kiume na sio upande wa kike. Wewe ni kizazi cha bint yake.” Imamuakasoma Aya ya 84-85 kutoka Sura ya 6 ya Qur’ani Tukufu:

“Na tukampa (Ibrahim) Is’haqa na Yakuub, wote tukawaongoa. Na Nuh tulimuon-goa zamani, na katika kizazi chake Daudi na Suleimani na Ayub na Yunus na Musana Harun. Na hivi ndivyo tuwalipavyo wafanyao mema. Na Zakaria na Yahya na Isana Ilyasa, wote walikuwa miongoni mwa watu wema.” (6:84-85)

Imamu akamuuliza Khalifa: “Ni nani aliyekuwa baba wa Isa?” Harun akajibu kwamba Isaalikuwa hana baba. Imamu akasema: “Kulikuwa hakuna yeyote aliyekuwa baba yake, nabado Allah alimjumuisha Isa katika dhuria wa mitume kupitia Mariamu. Hivyo hivyo ame-tujumuisha sisi katika dhuria wa Mtume kupitia kwa jadi wetu Bibi Fatima.” Aidha, ImamuFakhur’d-Din Razi, katika kitabu chake Tafsir-e-Kabir, juzuu ya 4, uk. 124, anasema kuhu-siana na aya hii kwamba, inathibitisha kwamba Hasan na Husein ni watoto wa Mtume waUislamu. Kwa vile katika aya hii Mungu amemdhihirisha Isa kama kizazi cha Ibrahim, na

Mikesha ya Peshawar

5

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 5

Page 24: Mikesh A

Isa hana baba, uhusiano huu ni kutoka upande wa mama. Katika hali hiyo hiyo, Hasan naHusein ni dhuria wa kweli wa Mtume. Imamu Musa alimuuliza Harun kama anatakauthibitisho zaidi. Khalifa akamuambia Imamu aendelee. Imamu akasoma Aya ya 61 kuto-ka Sura ya 3 ya Qur’ani Tukufu: “Watakao kuhoji katika haya baada ya kukufikiailmu, waambie: Njooni tuwaite watoto wetu na watoto wenu, na wanawake wetu nawanawake wenu, na sisi na ninyi, kisha tuombe kwa unyenyekevu tutake laana yaMwenyezi Mungu iwashukie waongo,”

Aliendelea, akisema kwamba hakuna mtu hata mmoja ambaye amewahi kudai kwambakatika tukio hilo la maapizano (Mubahila) dhidi ya Wakiristo wa Najran kwamba Mtumealimchukuwa pamoja na yeye mtu yeyote isipokuwa Ali Bin Abi Talib, Fatima, Hasan naHusein. Kwa hiyo hufuatia kwamba “sisi” (anfusana) maana yake ni Ali Bin Abi Talib.“Wanawake” (nisa’ana) maana yake Fatima na “Watoto” (abna’ana) maana yake Hasanna Husein, ambao Allah amewatambulisha kama watoto wa Mtume mwenyewe. Kwakusikia hoja hii, Harun aliguta, “Hongera, Ewe Abu’l-Hasan.” Kwa uwazi mantiki hiihuthibitisha kwamba Hasan na Husein (watoto wa Bibi Fatima) ni watoto wa MtukufuMtume.

NYONGEZA YA USHAHIDI KUTHIBITISHA KWAMBAKIZAZI CHA FATIMA NI DHURIA WA MTUKUFU MTUME.

Ibn Abi’l-Hadid Mu’tazali, mmoja wa wanachuoni wenu wakubwa, katika kitabu chakeSharh’l-Nahju’l-Balagha, na Abu Bakr Razi katika tafsir yake, wameionesha aya hiyo hiyowakithibitisha kwamba Hasan na Husein wanatoka upande wa mama yao, ni watoto waMtukufu Mtume katika njia ile ile ambayo Allah katika Qur’ani Tukufu amemjumuisha Isakatika kizazi cha Ibrahim kutoka upande wa mama yake, Mariamu.

Muhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’i, katika kitabu chake Kifayatu’t-Talib; Ibn HajarMakki katika ukurasa wa 74 na 93 wa Sawa’iq Muhiriqa, kutoka kwa Tabrani na Jabir BinAbdullah Ansari, na Khatib Khawarizmi katika Manaqib kutoka kwa Ibn Abbas - wotewanasimulia kwamba Mtume alisema: “Allah ameumba dhuria wa kila Mtume kutokanana kizazi chake mwenyewe, lakini dhuria wangu waliumbwa katika kizazi cha Ali.” Vilevile Khatib-e-Khawarizmi katika Manaqib; Mir Seyyid Ali Hamadani Shafi’i katikaMawaddatu’l-Qubra; Imamu Ahmad Bin Hanbal, katika Musnad, na Sulayman HanafiBalkhi katika Yanabiu’l-Mawadda wanasimulia katika maneno hayohayo kwa zaidi aupungufu, kwamba Mtukufu Mtume amesema: “Watoto wangu hawa wawili, ni maua maw-ili ya ulimwengu huu, na wote wawili ni Maimamu, imma wawe ni Maimamu kwa waziau kimya kimya wakiwa wamekaa nyumbani.” Na Sheikh Sulayman Hanafi, katikaYanabiu’l-Mawadda, ameitoa sura ya 57 kwenye suala hili na akaonesha hadithi nyingi

Mikesha ya Peshawar

6

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 6

Page 25: Mikesh A

kutoka kwa wanachuoni wake mwenyewe, kama Tabrani, Hafidh Abdu’l-Aziz Ibn AbiShaiba, Khatib-e-Baghdadi Hakim, Baihaqi, na Tabari - wote wanasimulia katika manenoyanayohitalifiana kidogo kwamba Hasan na Husein ni watoto wa Mtume.

Kuelekea mwisho wa sura hiyo hiyo, Abu Salih anaandika: Hafidh Abdu’l-Aziz Bin Al-Akhzar, Abu Nu’aim, Tabari Ibn Hajar Makki katika ukurasa wa 112 wa Sawa’iq Muhriqa,kutoka kwa Muhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’i mwishoni mwa jalada la 1, baada ya sura100 za Kifayatu’t-Talib, na Tabari katika simulizi ya Imamu Hasan anasimulia kwambaKhalifa wa pili, Umar Bin Khattab, alisema: “Nilimsikia Mtume akisema kwamba katikaSiku ya Hukumu kila ukoo utatenganishwa isipokuwa kizazi changu. Kila kizazi cha bintini kutoka upande wa baba isipokuwa kizazi cha Fatima, ambacho kimeunganishwa namimi. Mimi ni baba yao na jadi wao.” Sheikh Abdullah Bin Muhammad Bin AmirShabrawi Shafi’i, katika kitabu chake Kitabu’l-Ittihaf bi Hubbi’l-Ashraf, alinukuu hadithihii kutoka kwa Baihaqi na Darqutni kutoka kwa Abdullah Bin Umar, na yeye kutoka kwababa yake, kwenye harusi ya Ummu Kulthum. Na Jalalu’d-Din Suyuti akinukuu kutokakwa Tabrani katika kitabu chake Ausat, amesimulia kutoka kwa Khalifa Umar na SayyidAbu Bakr Bin Shahabu’d-Din Alawi katika ukurasa wa 39-40 wa sura ya 3 ya Rishfatu’s-Sadi min bahra Fadha’il Bani Nabiu’l-Hadi (iliyopigwa chapa katika Maktabi A’lamiyya,Misr 1303 A.H.) huthibitisha kwamba dhuria wa Fatima ni kizazi cha Mtume wa Uislamu.

Kwa hiyo, ubeti ambao umeunukuu hauna nguvu mbele ya ushahidi wote huu wa kinyumechake. Muhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’i, katika kitabu chake Kifayatu’t-Talib,anathibitisha kwamba watoto wa binti wa Mtume ni watoto wa Mtukufu Mtume.Halikadhalika, kuna hadithi nyingine nyingi ambazo huthibitisha kwamba watoto wa BibiFatima ni watoto wa Mtume. Safu yetu ya jadi huenda mpaka kwa Imamu Husein; kwahiyo, sisi ni dhuria wa Mtume.

Hafidh: Hoja yako ni ya mantiki na kuridhisha.

Watu walitawanyika kwa ajili ya Swala ya Isha. Wakati wa mapumziko Nawab Abdu’l-Qayum Khan, ambaye anatokana na familia sharifu ya Kisunni, alitaka ruhusa kumuulizaMuombezi maswali fulani.

Mikesha ya Peshawar

7

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 7

Page 26: Mikesh A

KWANINI SHIA WANACHANGANYASWALA ZAO

Nawab: Kwa nini Shia wanachangana Swala ya Dhuhr na Alasir na Maghari na Isha? Hiisio sawa kulingana na matendo ya ibada ya Mtukufu Mtume.

Muombezi: Kwanza kabisa, miongoni mwa wanachuoni wenu kuna tofauti nyingi zamaoni kuhusu suala hili. Pili, unasema tunakwenda kinyume na mwenendo wa Mtume.Hapa umekosea kwani Mtukufu Mtume amezoea kuswali Swala zake katika njia zote,wakati mwingine kwa kuzitengenisha na wakati mwingine kwa kuzichanganya.

Hapo Nawab Swahib aliwageukia wanachuoni wake, aliwauliza kama ni kweli kwambaMtume aliswali katika njia zote.

Hafidh: Ndio alifanya hivyo, lakini ni wakati tu alipokuwa safarini au wakati kama kunavikwazo vingine fulani, kama mvua. Vinginevyo, wakati alipokuwa nyumbani siku zotealikuwa akiswali swala zake kwa kuzitenganisha.

Muombezi: Imeandikwa katika vitabu vyenu wenyewe vya hadithi kwamba Mtume ali-zoea kusali Swala zake kwa kuzitenganisha na halikadhalika kwa kuzichanganya akiwanyumbani na bila kikwazo chochote. Hadithi nyingi zinathibitisha ukweli huu. Muslim BinHajjaj katika Sahih yake, katika mlango wa “Jam’a Baina’s-Salatain fi’l-Hadhar,” anase-ma kwamba Ibn Abbas alisema: “Mtume alizoea kuswali Swala ya Dhuhr na Alasir kwakuziunganisha na halikadhalika hivyo hivyo kwa Swala za Magharib na Isha bila ya kuwana kikwazo cha kufanya hivyo, au wakati alipokuwa nyumbani.” Tena Ibn Abbas alisimu-lia: “Tuliswali rakaa nane za Dhuhr na Alasir na baadae rakaa saba za Magharib na Ishakwa kuziunganisha tukiwa pamoja na Mtume.” Hadithi hiyo hiyo imesimuliwa na ImamuAhmad Bin Hanbal katika Musnad yake jalada la kwanza, ukurasa wa 221. Halikadhalika,Imamu Muslim ananukuu idadi ya hadithi kuhusiana na suala hili.

Anamnukuu Abdullah Bin Shaqiq akiwa amesema kwamba siku moja Abdullah Ibn Abbasalikuwa anahutubia baada ya Swala ya Alasir mpaka jua likazama na nyota zikawazinaonekana. Watu wakapiga makelele, “Swala, Swala,” lakini Ibn Abbas hakuwajali.kisha mtu mmoja wa Bani Tamimi alipiga kelele, “Swala, Swala.” Ibn Abbas akasema:“Unanikumbusha mimi kuhusu Sunna, lakini mimi mwenyewe nimemuona Mtume akiku-sanya Swala za Dhuhr na Alasir halikadhalika Magharib na Isha.” Abdullah Bin Shaqiqalisema alikuwa hana hakika kuhusu maneno haya na alikwenda kwa Abu Huraira

Mikesha ya Peshawar

8

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 8

Page 27: Mikesh A

kumuuliza kuhusu maneno hayo. Alithibitisha kile alichokisema Ibn Abbas.

Kupitia sanad nyingine ya wasimuliaji, Abdullah Bin Shaqiq alisimulia kutoka kwa Aqilkwamba siku moja Abdullah Ibn Abbas aliwahutubia watu juu ya mimbari. Alibaki palekwa muda mrefu mpaka giza likaingia. Wakati mtu mmoja alipopiga kelele mara tatu,“Swala, Swala, Swala,” Abdullah Ibn Abbas alikasirika na akasema: “Ulaaniwe wewe.Unathubutu kunikumbusha mimi kuhusu Swala, ingawaje wakati wa Mtukufu Mtume tuli-zoea kukusanya Swala za Adhuhr na Alasir na halikadhalika Magharib pamja na Isha.”Zarqani katika Sharhe Mawatta cha Imamu Malik, jalada la 1, katika sura ya Jama’aBaina’s-Salatain, ukurasa wa 263, anaeleza, “Nisa’i alisimulia kutoka kwa Amru BinHaram kutoka kwa Abi Sha’atha kwamba Ibn Abbas aliswali Dhuhr na Alasir na halikad-halika Magharib na Isha kwa pamoja mjini Basra bila kukawia au kitendo chochote katiyao. Alisema kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliswali katika njia hii hii.”

Vile vile Muslim katika Sahih yake na Malik katika Mawatta, sura ya Jam’a Baina’s-Salatain, na Imamu Hanbal katika Musnad wanamnukuu Ibn Abbas kutoka kwa Sa’id BinJabir kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliswali Swala zake za Dhuhr na Alasir pamojamjini Madina bila kulazimishwa kufanya hivyo kwa hofu au hali mbaya ya hewa. AbuZubair akasema alimuuliza Abu Sa’id kwa nini Mtume alikusanya Swala hizo mbili. Sa’idakasema yeye vile vile alimuuliza Ibn Abbas swali kama hilo hilo. Ibn Abbas alijibukwamba alikusanya Swala hizo mbili ili kwamba wafuasi wake wasije wakawekwa katikauzito na shida zisizo na sababu. Vile vile, katika hadithi nyingine nyingi, Ibn Abbasinasimuliwa kwamba alisema Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wa Uislamu alikusanya Swala zaDhur na Alasir halikadhalika na Magharib na Isha bila kulazimishwa kufanya hivyo.Hadith hizi katika Sahihi zenu na vitabu vyingine sahihi huthibitisha kuruhusiwa uku-sanyaji wa Swala mbili, nyumbani au safarini.

Hafidh: Hakuna nukuu kama hiyo ya hadithi katika Sahih Bukhari.

Muombezi: Kwa sababu waandishi wote wa Sahih, kama vile Muslim, na Nisa’i, AhmadBin Hanbal, na wafasir wa Sahih mbili, ya Muslim, Bukhari, na wanachuoni wenginewakubwa wa ki-Sunni wamenukuu mambo haya, hii inatosha kwetu kuishindisha nuktayetu. Lakini kwa kweli Bukhari vile vile ameziandika hadithi hizi katika Sahih yake, laki-ni kwa hila ameziweka mbali na sehemu zao husika, ile sehemu inayohusika na ukusanya-ji wa Salat mbili. Kama utaipitia ile milango ya “Bab-e-Ta’akhiru’dh-Dhuhur li’l-Asr MinKitabe Mawaqtu’s-Salat” na “Bab-e-Dhikru’l-Isha wa’l-Atma” na Bab-e-Waqitu’l-Maghrib,” utaziona hadithi zote hizi humo. Hadithi hizi kuandikwa chini ya kichwa chahabari: “Ruhusa na Mamlaka ya Kisheria ya kukusanya Salat mbili” huthibitisha kwambani imani ya kawaida ya wanachuoni wa madhehebu hizi mbili. Usahihi wa hadithi hiziumekwisha kubaliwa katika vitabu vya Sahih. Kwa sababu hiyo, Allama Nuri katikaSharhe Sahih Muslim, Asqalani, Qastalani, Zakariyya-e-Razi katika sharhe ambayo ime-

Mikesha ya Peshawar

9

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 9

Page 28: Mikesh A

andikwa juu ya Sahih Bukhari, Zarqani katika Sharhe yake juu ya Muwatta - kitabu chaImamu Malik, na wengine wamesimulia hadithi hizi. Baada ya kunukuu hadithi ya IbnAbbas, walikubali usahihi wake na wakakiri kwamba hadithi hizi ni uthibitisho wakukubalika kwa kukusanya Salat mbili.

Nawab: Imewezekanaje kwamba hadithi hizi zimekuwa katika matumizi tangia wakati wauhai wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), lakini wanachuoni wamechukuwa njia nyingine?

Muombezi: Hali hii haikomei kwenye nukta hii peke yake. Utaona mifano mingi kama hiibaadae. Katika suala hili, Mafaqih wa ki-Sunni, kwa wazi bila ya kufikiria kwa makini, aukwa sababu nyingine ambazo mimi sizielewi, wametoa maelezo yasiyoleweka kukinzanana hadithi hizi. Kwa mfano, wanasema kwamba huenda hadithi hizi huzungumzia halizinazohusiana na hofu, hatari, mvua, au upepo mkali. Baadhi ya wanachuoni wenu wazamani, kama Imamu Malik, Imamu Shafi’i, na baadhi ya wanachuo wa Madina wametoamaelezo kama hayo hayo. Namna hii, pamoja na ukweli kwamba hadithi ya Ibn Abbas kwauwazi kabisa inasema kwamba ukusanyaji wa Swala mbili ulikuwa unafanywa bila kikwa-zo cha hofu au uwezekano wa kunyesha mvua.

Wengine wamesema kwamba huenda mawingu yalikuwa yametanda angani, na walewaliokuwa wakisali hawakujua ni saa ngapi. Pengine walipomaliza kusali Swala yao yaAdhuhur, mawingu yalitawanyika, na wakaona kwamba ilikuwa ni wakati wa Swala yaAlasir. Hivyo wakalazimika kusali Adhuhuri na Alasiri kwa pamoja. Sidhani maelezo zaidiyasiyo yamkinika yanaweza kupatikana. Pengine wafasiri hawa hawakujali kufikiriakwamba mtu aliyekuwa akisali Swala hizo ni Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wa Uislamu.Mawingu hayakumaanisha kwake kile ambacho kingemaanishwa kwa wengine. Anajuasababu zote na matokeo. Mbali na ukweli kwamba maelezo haya hayaridhishi, ukusanya-ji wa Swala za Mahgarib na Isha unakataa maelezo yao. Katika wakati huo mawinguhayana uhusiano na suala hili.

Kama tulivyosema, hadithi ya Ibn Abbas kwa uwazi inaeleza kwamba khutuba yake ilien-delea kwa muda mrefu mpaka wasikilizaji wakapiga kelele, “Swala, Swala.”Walimkumbusha kwamba nyota zimetokea na kwamba ilikuwa ni wakati wa Swala. Lakinialiichelewesha Swala ya Magharibi kwa makusudi ili aje kuswali zote, Magharib na Ishakwa pamoja. Abu Huraira vilevle alithibitisha kitendo hiki, akisema kwamba Mtume vilevile aliswali kwa nama hiyo hiyo. Maelezo ya uwongo kama hayo, katika mwanga wamwongozo wa dhahiri, husikitisha. Wanachouni wenu wenyewe wameyapuuza hayo.Sheikhu’l-Islam Ansari, katika kitabu chake, Tuhfatu’l-Bari fi Sharhe Sahihu’l-Bukharikatika sura ya Salatu’z-Dhuhr ma’l-Asr wa’l-Magharib ma’l- Isha ukurasa wa 292, jaladala 2, na halikadhalika Allama Qastalani, katika ukurasa wa 93 jalada la 2 la Irshadu’s-Sarifi Sharhe Sahihu’l-Bukhari, na hivyo hivyo na washereheshaji wengine wa Bukhariwanakiri kwamba aina hii ya maelezo ni kinyume na maana ya wazi ya hadithi na kwam-

Mikesha ya Peshawar

10

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 10

Page 29: Mikesh A

ba kusisitiza kwamba kila Swala iswaliwe peke yake ni mashrti yasiyo na msingi.

Nawab: Basi mgogoro huu umejitokeza vipi mpaka madhehebu mbili za Waislamu kilamoja inataka kumwaga damu ya mwenzake, na kulaumu kitendo cha mwenzake?

Muombezi: Unasema kwamba madhehebu hizi mbili ni adui kwa kila mmoja, lakinisikubaliani na wewe. Sisi Mashi’a hatumdharau mwanachuoni yeyote au mtu wa kawaidakatika ndugu zetu Masunni. Tunasikitika kwamba propoganda za Makhariji, Manasibi naBani Umayyah zimeathiri nyoyo za baadhi ya watu. Kwa bahati mbaya sana, baadhi yaMasunni wanawachukulia ndugu zao Mashi’a, ambao wako pamoja nao kwa kuhusiana naQibla (Ka’aba), Kitabu Kitukufu (Qur’ani), Mtume, utekelezaji wa matendo ya dini, nakujiepusha kutokana na madhambi, kuwa kama Marafidhi (watofautishaji), waabudumasanamu, na makafiri.

Amma kwa swali lako kuhusu vipi tofauti hizi zilivyojitokeza, labda hili tunaweza kuli-jadili katika mikutano yetu ya baadae. Kuhusu kusali Swala kwa kutenganisha au kwapamoja, wanachuoni wa sheria wa ki-Sunni wenye kutegemewa wamenukuu hadithiambazo huruhusu kusali Adhuhuri na Alasiri na Magharibi na Isha kama jambo la wepesi,wasaa au usalama. Sijui kwa nini baadhi ya watu hawaoni kwamba inaruhusika kusaliSwala mbili pamoja pasi na kuwa na udhuru wowote. Baadhi ya wanachuo, kama AbuHanifa na wafuasi wake wameikataza katika hali yoyote, iwe kuna udhuru au la, au Swalaiwe inasaliwa wakati mtu akiwa safarini au nyumbani. Shafi’i, Maliki, na Hanbali, pamo-ja na hitilafu zao zote katika kanuni za msingi na zisizo za msingi, wameruhusu ukusanya-ji wa Swala wakati wa safari ya halali. Lakini Maulamaa wa ki-Shi’a, wakiwa katika utiiwa Imamu na kizazi cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wameruhusu bila masharti yoyote uku-sanyaji wa Swala mbili kwa pamoja.

Hakika kusali Swala katika wakati ulioanishwa kwa kila Swala ni bora kuliko kuzisali kwawakati mmoja, kama ambavyo imeelezwa kwa uwazi katika vitabu vya tafsirvinavyoshughulika na matatizo ya utekelezaji wa masuala ya dini vilivyoandikwa naMaulamaa wa ki-Shi’ah. Kwa vile watu mara nyingi wanakuwa na shughuli nyingi katikamambo yao wenyewe na wasi wasi, wanaogopa huenda wakazikosa Swala zao. Kwa hiyo,kwa nafasi zao na kuepuka uzito na shida, Mashi’a wanasali Swala zao mbili katika wakatimmoja, mapema au kwa kuahirisha, katika wakati ule ule uliotengwa kwa ajili ya Swala.Sasa nafikiri kiasi hiki kinatosha kuwapa mwanga ndugu zetu Masunni ambao hutuangaliakwa hasira. Bila shaka tunaweza kurudi kwenye majadiliano yetu kuhusu misingi, ambapobaadae masuala yanayohusu ibada yatatatuliwa.

Mikesha ya Peshawar

11

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 11

Page 30: Mikesh A

JINSI WAZAZI WA ALLAMA WALIVYOHAMA KUTOKAHIJAZI KWENDA IRAN

Hafidh Sahib alimuomba Allama Sultanu’l-Wa’idhin amueleze ni vipi wazazi wakewalivyohama kutoka Hijazi kwenda Iran. Alieleza historia ya wahenga wake ambao wali-uawa huko Shirazi kwa amri ya mfalme wa ki-Banu Abbas. Makaburi yao mpaka sasabado yanawavutia mahujaji kutoka sehemu za mbali. Maarufu miongoni mwao ni SayyidAmir Muhammad Abid, Sayyid Amir Ahmad (Shah Charagh), na Sayyid Alau’d-DinHusein, wote ni watoto wa Imamu Musa Kadhim. Maelezo kuhusu familia yake yanaon-dolewa hapa.

JINSI KABURI LA AMIRU’L-MU’MININ ALI (A.S.) LILIVYOGUNDULIWA.

Vile vile ulitajwa ungunduzi wa kaburi la Amiru’l-Mu’minin ‘Ali (as).

Hafidh: Lakini kaburi la Amiru’l-Mu’minin liligunduliwa katika hali gani miaka 150baada ya kifo chake?

Muombezi: Kwa sababu uonevu wa Banu Umayya ulikuwa mkali sana wakati wa mwishowa uhai wa ‘Ali, hivyo aliagiza katika wosia wake kwamba azikwe kwa siri wakati wausiku, na kwamba isiachwe alama yoyote ya kaburi hilo. Ni jamaa zake wachache tu wakaribu na watoto wake ndio waliohudhuria mazishi yake. Asubuhi ya tarehe 21 Ramadhansiku ambayo ilikuwa ndio azikwe, misafara miwili ilitayarishwa. Mmoja ulielekezwakwenda Makka, na mwingine kwenda Madina. Hii ndio sababu iliyofanya kwa miakamingi kaburi lake lisijulikane, isipokuwa kwa jamaa zake wachache na watoto wake tu.

Hafidh: Kwanini eneo la kaburi hilo likafanywa siri?

Muombezi: Huenda ni kwa sababu ya hofu ya tabia isiyo ya dini ya Banu Umayya.Walikuwa maadui makhususi wa jamaa ya kizazi cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w).Wangeweza kulivunjia heshima kaburi lake.

Hafidh: Lakini inawezekana kwamba Mwislamu, hata kama ni adui kiasi gani, anawezakulifanyia vurugu kaburi la ndugu yake Mwislamu?

Muombezi: Umesoma historia ya Banu Umayya? Kuanzia siku ambayo utawala huumbaya uliposhika madaraka, mlango wa maonevu ulifunguliwa miongoni mwa Waislamu.Subuhana-LLAH! Maovu yalioje waliyoyafanya! Damu iliyoje waliyoimwaga, na heshi-ma zilizoje walizozivunja! Kwa aibu kubwa, wanachuoni wenu wakubwa wameandika

Mikesha ya Peshawar

12

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 12

Page 31: Mikesh A

jinai zao nyingi. Allama Maqrizi Abu’l-Abbas Ahmad bin Ali Shafi’i ameandika maovuya Banu Umayya yanayoumiza moyo kabisa katika kitabu chake Annaza’ Wa’t-takhasumfima baina Bani Hashim wa Bani Umayya.

BANI UMAYYA NA UTIAJI NAJISI WA MAKUBURI

Kwa mfano wa yale waliyokuwa na uwezo nayo, nitaonesha matukio mawili: Kuuwawashahidi kwa Zaid bin Ali bin Husein, ajulikanaye kama Zaid Shahid, na kuuwawa shahidikwa mtoto wake, Yahya. Wanahistoria wote wa Shi’a na Sunni wameandika kwambawakati Hisham bin Malik alipokuwa Khalifa, alitenda maovu mengi. Mwishowe, Zaid binAli, mtoto wa Imamu Zainu’l-Abidin na anayejulikana sana kama mwanachuo mkubwa namwanatheolojia mchamungu, alikwenda kumuona Khalifa kutafuta haki kwa ajili yamanung’uniko ya Bani Hashim. Lakini punde tu Zaid alipowasili, Khalifa badala ya kum-salimu kama mtoto wa moja kwa moja wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), alimtukana kwalugha ya kuchukiza sana ambayo siwezi kuirudia hapa. Kwa sababu ya kudhalilishwa hukualikofanyiwa, Zaid aliondoka Syria na kwenda Kufa, ambako aliunda jeshi dhidi ya BaniUmayya. Gavana wa Kufa, Yusuf bin Umar Thaqafi, alitoka na jeshi kubwa kumkabili.Zaid alisoma shairi lifuatalo: “Maisha ya udhalilifu na kifo cha heshima, vyote ni chembezenye uchungu, lakini kama moja wapo lazima ichanguliwe, chaguo langu ni kifo cha hes-hima.”

Ingawa alipigana kishujaa, Zaid aliuwawa katika mapigano hayo. Mtoto wake, Yahya,alichukua mwili wake kutoka kwenye uwanja wa vita na akamzika mbali kutoka mjinikaribu na ukingo wa mto, na kusabibisha maji kupita juu yake. Hata hivyo, kaburi hilo lili-gunduliwa, na chini ya amri ya Yusuf mwili huo ulifukuliwa, kichwa cha Zaid kilikatwa nakupelekwa Syria kwa Hisham. Katika mwezi wa Safar, 121 A.H., Hisham aliamuru mwilimtakatifu wa mtoto huyu wa Mtume (s.a.w.w) uwekwe kwenye kiunzi cha kunyongeaukiwa uchi kabisa. Kwa muda wa miaka minne ulikaa kwenye kiunzi cha kunyongea.Baadae, wakati Walid bin Yazid bin Abdu’l-Malik bin Marwan alipokuwa Khalifa katikamwaka wa 126 A.H., aliamrisha kwamba mifupa ile itolewe kutoka kwenye kiunzi chakunyongea, ichomwe, na jivu lake lisambazwe juu lichukuliwe na upepo.

Mtu huyu aliyelaaniwa alitenda uovu kama huu huu kwenye mwili wa Yahya bin Zaid waGurgan. Mtu huyu mtukufu vile vile alipinga uonevu wa Bani Umayya. Yeye pia aliuwawakatika medani ya vita. Kichwa chake kilipelekwa Syria na kama alivyofanyiwa mtukufubaba yake, mwili wake ulitundikwa kwenye kiunzi cha kunyongea kwa muda wa miakasita. Marafiki na maadui wote kwa pamoja walilia walipouona mwili wake. Waliu’d-DinAbu Muslim Khorasani, ambaye alipigana dhidi ya Bani Umayya kwa niaba ya BaniAbbas, aliuchukuwa mwili wake na kuuzika huko Gurgan, ambako ni sehemu ya kuhiji(Ziyarat).

Mikesha ya Peshawar

13

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 13

Page 32: Mikesh A

MATENDO MAOVU YA UFALME HUU

Kwa kuzingatia maovu ya ufalme huu uliolaaniwa, mwili wa Amiru’l-Muminin, ‘Ali (as)ulizikwa wakati wa usiku, na hakuna alama ya kaburi hilo iliyoachwa. Kaburi likabakiabila kuonekana mpaka wakati wa Khalifa Harun ar-Rashid. Siku moja Harun alikwendakuwinda katika eneo la Najaf, ambako paa waliishi kwa wingi. Wakati mbwa walipofukuzapaa, walichukua hifadhi juu ya kilima kidogo (kilichotutumka juu ya ardhi) cha Najaf, kil-ima ambacho mbwa hao hawakuweza kukipanda. Mara nyingi wakati mbwa waliporudinyuma, paa waliteremka chini, lakini wakati mbwa wanapowarukia tena, wale paahuchukua tena hifadhi juu ya kile kilima. Harun akatuma watu wake kwenda Najaf kuuliza.Walimleta mzee mmoja kwake na Khalifa akauliza kuhusu siri ya kwa nini mbwa hawaku-panda juu kilima.

KUGUNDULIWA KWA KABURI TUKUFU LA ALI.

Yule Mzee akajibu kwamba anaielewa Siri yake, lakini alikuwa anaogopa kuitoa. Khalifaakamhakikishia usalama wake, na yule mzee akamwambia: Siku moja nilikuja hapa pamo-ja na baba yangu, ambaye alipanda juu ya kilima na akaswali pale. Nilipomwuuliza kunanini pale, akasema kwamba waliwahi kuja pale na Imam Ja’far Sadiq kwa ajili ya Ziara.Imam alisema kwamba hili ni kaburi Tukufu la Mheshimiwa babu yake, Amur’lMu’miniina Ali, na kwamba muda mfupi litakujajulikana.” Kwa amri ya Khalifa sehemuile ilichimbuliwa, na alama za kaburi zikaonekana wazi pamoja na ubao wenye maandishiya Ki-Syria yenye maana; “Kwa jina la Allah, Mwenye rehema, Mwenye kurehemu.Kaburi hili limetayarishwa na Mtume Nuh kwa ajili ya Ali, wasii wa Muhammad miaka700 kabla ya gharika.”

Khalifa Harun alitoa heshima zake kwenye sehemu ile na akaamuru ule udongo urudish-we. Kisha akasali rakaa mbili. Alilia sana na akajilaza juu ya kaburi. Baadae, kwa amriyake, taarifa ya tukio lote ilitolewa kwa Imam Musa Kadhim huko Madina. Imamalithibitisha kwamba kaburi hilo ni la Mheshimiwa babu yake, Amiru’l-Mu’minin Ali, lipomahala hapo. Kisha Harun akaamuru jengo la mawe lijengwe juu ya kaburi tukufu laAmiru’l-Mu’minin, ambalo lilikuja kujulikana kama “Hajar Harun.” Kwa wakati huohabari zilisambaa na Waislamu wakaizuru sehemu hiyo tukufu. Ibrahim Mujab, babu yakemkubwa wa Sultani’l-Wa’idhin (Muombezi) pia alitoka Shiraz kwa ajili ya Ziara hii tuku-fu na baada ya kukamilisaha Ziara hii, yeye akafariki huko Karbala. Alizikwa karibu nakaburi tukufu la Babu yake Mkubwa, Imam Husein. Kaburi lake liko pembe ya KaskaziniMashariki ya kuba lake tukufu na linazuriwa mara kwa mara na wapenzi wake.

Mikesha ya Peshawar

14

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 14

Page 33: Mikesh A

KHITILAFU KUHUSU SEHEMU ALIYOZIKWAAMIRU’L- MU’MININ.

Hafidh: Pamoja na maneno haya ya kuthibitisha na yenye nguvu, nafikiri kwamba kaburila Ali (R.A) haliko Najaf. Wanachuoni wanatofautiana juu ya nukta hii. Baadhi wanase-ma liko kwenye Ikulu mjini Kufa; baadhi wanasema liko kwenye Kibla ndani ya MsikitiMkuu wa Kufa; baadhi wanasema liko kwenye lango linalojulikana kama Ba-e-Kinda kati-ka Msikiti wa Kufa; baadhi wanashikilia kwamba liko ndani ya Rahba huko Kufa; na badowengine wanasema liko pembeni mwa kaburi la Fatima huko Baqi. Katika Afghanistanyetu, pia kuna sehemu karibu na Kabul inajulikana kama Kuba la Ali. Kutokana na maele-zo fulani, mwili Mtukufu wa Ali uliwekwa kwenye Kasha na ukalazwa juu ya mgongo wangamia na ukapelekwa kuelekea Madina. Kikundi cha watu kikanyakua lile kasha, wakid-hania lina vitu vya thamani. Wakati wanalifungua, wakaona mwili ule Mtukufu, wakaule-ta Kabul, na ukazikwa katika sehemu hii. Ndio maana watu wanaitukuza sehemu hii.

Muombezi: Tofauti zilitokea kwa sababu ya maelezo ya wasia wake, ambao umewekasharti kwamba matayarisho ya mazishi yake yatatize sehemu yake ya kuzikwa.Inasimuliwa na Imam Ja’far Sadiq kwamba katika wakati wake wa kufa, Amiru’l-Mu’minin alimwambia mtoto wake, Imam Hasan kwamba baada ya kumzika Najaf, ata-yarishe makaburi manne kwa ajili yake katika sehemu nne tofauti. Katika Msikiti waKufa, katika Rahba, katika nyumba ya Ju’da Hira, na Ghira. Shia wanakubali kwambakaburi lake tukufu liko Najaf. Chochote walichojifunza kutoka kwa Ahli Bait ni sahihi.Watu wa nyumba wanajua vizuri zaidi kuhusu kinachohusiana na nyumba yao.

Kwa hakika nawashangaa wanachuo wenu ambao wamezitelekeza simulizi za Kizazi chaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) katika kila jambo. Hawakuuliza kuhusu mahala pa kaburi lababa kwa watoto wake wenyewe ili kuelewa ukweli. Ni hakika kabisa kwamba watotowanajua zaidi kuhusu kaburi la baba yao kuliko wengine. Kama nadharia hizi za sasazingekuwa sawsawa, Maimam Watukufu wangewajulisha wafuasi wao juu ya hilo. Lakiniwamelithibitisha mahala lilipo Najaf, wamezuru hiyo sehemu wao wenyewe, na wame-wahimiza sana wafuasi wao kuizuru sehemu hiyo. Sibt Ibn Jauz katika kitabu chake“Tadhkira” amezitaja tofauti hizi. Anasema: Maoni ya sita ni kwamba liko Najaf katikaile sehemu inayojulikana sana, ambayo kwa kawaida hufanyiwa Ziara. Kwa yote yaliyoji-tokeza, haya ndio maoni ya sawasawa.” Halikadhalika, wanachuo wenu wengine kamaKhatibu-e-Khawarizmi katika “Munaqib,” Muhammad bin Shafi’i katika “Matalibu’s-Su’ul”, Ibn Abi’l-Hadid katika “Sharhe Nahaju’l-Balagha”, Firuzabadi katika “Qamus,”yake chini ya neno Najaf, na wengine, wameshikilia kwamba kaburi la Amirul’-Mu’mininliko Najaf.

Mikesha ya Peshawar

15

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 15

Page 34: Mikesh A

MKUTANO WA PILI, IJUMAA USIKU24 RAJAB, 1345 A.H.

Hafidh: Nilivutiwa mno na mazungumzo yako yenye maelekezo kuhusu mtiririko wa jadiyako. Nakiri kwamba wewe ni kizazi (dhuria) cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), lakininashangaa ni vipi mtu mwenye elimu kama wewe unakuwa chini ya ushawishi wenyeushusha hadhi wa maadui. Ukiwa mwenye kuziacha njia za jadi wako Maarufu, umefuatanjia za makafiri wa Iran. Ninachomaanisha hapa kwa njia za maadui wapumbavu ni yalemambo mapya ya uzushi (Bid’a) yaliyoingizwa katika Uislamu kupitia kwa Mayahudi.UUislaupitia MayahudMuombezi: Tafadhali hebu elezea ni nini unachomaanisha.

DHANA POTOFU KUHUSU ASILI YAMADHEHEBU YA SHIA.

Hafidh: Historia yote ya Mayahudi imeharibiwa na hila. Abdullah bin Saba ‘San’a’i,Ka’bu’l-Ahbar, Wahhab Ibn Munabba, na wengine waliukiri Uislamu, na wakajifanyawanakubali hadith za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na hivyo kusababisha ghasia miongonimwa Waislamu.

Khalifa wa tatu Uthman bin Affan, aliwaandama na wakakimbilia Misri, ambakowalianzisha madhehebu yajulikanayo kama Shia. Walieneza taarifa za uongo kuhusuKhalifa Uthman na kuandika hadith za uongo za kumaanisha kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alimteuwa Ali kuwa Khalifa na Imamu. Kwa kuanzishwa madhehebu hayavurugu zilienea, ambazo zilipelekea kuuwawa kwa Khalifa Uthman na kuchukuliwa kwacheo cha ukhalifa na Ali. Kikundi kilichokuwa na uadui kwa Uthman kikasimama juukumpendelea Ali. Wakati wa Ukhalifa wa Bani Umayya, wakati watu wa familia ya Ali nawafuasi wake walipokuwa wanauwawa, kikundi hiki kilijificha.

Bado, baadhi ya watu, kama Salman Farsi, Abu Dharr Ghifari, na Amar Yasir, waliungamkono mwenendo wa Ali. Mashindano haya yaliendelea mpaka wakati wa Harun’ar-Rashidi, na hasa mwanae Ma’mun-ar-Rashidi Abbas, ambaye alimshinda ndugu yake kwamsaada wa wa-Irani, na kisha wakaeneza wazo la kwamba Ali alikuwa ni bora kulikomakhalifa wengine, Wa-Irani, wakiwa na uadui na Waarabu ambao waliwashinda, wakap-ata fursa ya kuwapinga Waarabu kwa kutumia jina la dini. Mashi’a wakapata nguvu kati-ka kipindi cha Wadailami na Wafalme wa Ki-Safavid na hatimaye wakatambuliwa. Basiwakajulikana rasmi kama madhehebu ya Shia. Wazoroasta wa Iran bado wanajiita Mashia. Kwa ufupi, madhehebu ya Shia yalianzishwa na Myahudi, Abdullah bin Saba. Vinginevyo

Mikesha ya Peshawar

16

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 16

Page 35: Mikesh A

kusingekuwa na neno kama Shia katika Uislamu. Babu yako, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alilichukia neno hilo. Kusema kweli madhehebu ya Shia ni sehemu ya imani ya Kiyahudi.

Nashangaa kwa nini umeacha njia za haki za jadi wako na ukafuata njia ya waliokutangulia, ambao wamefuata njia za Kiyahudi. Ilikupasa ufuate Qur’ani Tukufu na mfano wababu yako, Mtume (s.a.w.w.).

NI UPUUZI KUMHUSISHA ABDULLAH BIN SABA’ NA MASHI’A

Muombezi: Ni kitu kisicho cha kawaida kwa mtu msomi kama wewe kutegemeza hojazake katika misingi ya uongo kabisa. Hakuna maana kwako wewe kulihusisha jina laAbdullah bin Saba na Mashia. Abdullah bin Saba alikuwa Myahudi, na kutegemeana navyanzo (rejea) vya Shia, yeye ni mnafiki na analaaniwa vikali. Ikiwa kwa wakati fulanialitokea kuwa rafiki wa Ali, ni uhusiano gani aliokuwa nao na Mashia? Kama mwizi atavaaguo ya Mwanachuo, akapanda juu ya mimbari, na akasababisha madhara kwa Uislamu,utayachukia mafundisho na kuwaita Wanachuoni wezi?**

Kwa kweli Waislamu wa Madhehebu ya Shia kamwe hawajakuwa ni kikundi cha Siasa tu.Walikuwa wakati wote wanaunda madhehebu ya dini, ambayo hayakuanzishwa, kamaunavyosema, katika wakati wa Ukhalifa wa Uthman, lakini lililinganiwa kutokana namaneno na maamrisho ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) katika wakati wake mwenyewe.Wakati ambapo wewe unajadili kwa msingi wa ushahidi wa kubuni wa maadui, miminitanukuu kwa ajili yako Aya kutoka Qur’ani Tukufu na similizi za waandishi wenuwenyewe kuonyesha hali ya ukweli halisi.

MAANA YA NENO SHI’A

Muombezi: Shi’a kama ujuavyo, kilugha ina maana ya “Mfuasi.” Mmoja wa maulamaawenu mkubwa, Firuzabadi katika kitabu chake “Qamusu’l-lughat,” anasema:

Jina la Shi’a kwa kawaida lina maana ya kila mtu ambaye ni rafiki wa Ali na Ahlul-Baitwake. Jina hili ni lao peke yao.” Maana hii hii hasa inatolewa na Ibn Athir katika“Nihayatul’l-Lugha.” Kutokana na Sharh zenu wenyewe, neno Shia lina maana ya“wafuasi wa Ali ibn Abu Talib,” na lilikuwa likitumika katika njia hii katika wakati waMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Kwa kweli alikuwa ni Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyeweambaye alilitambulisha neno Shi’a kwa maana ya “Mfuasi wa Ali bin Abu Talib.” Na nenohili lilikuwa likitumiwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ambaye kuhusu yeye Allah (s.w.t.)Anasema:

Mikesha ya Peshawar

17

** Huu ulikuwa mwaka wa 1927 (1345 A.H.), katika miaka ya hivi karibuni imebainika kwambakulikuwa hakuna mtu anayeitwa Abdullah Ibn Saba, huu ulikuwa ni ubunifu wa mtu aliyekuwa aki-itwa Seif. Ukweli huu umetokana na utafiti uliofanywa na mwanachuoni mtafiti, Al-Askari. Somakitabu chake: “Abdallah bin Saba’ na ngano nyinginezo”

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 17

Page 36: Mikesh A

“Wala hasemi kwa matamanio (ya nafsi yake). Hayakuwa haya ila ni Wahyi ulio-funuliwa.” (53: 3-4)

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliwaita wafuasi wa Ali “Shia,” “waliokombolewa” na“waliookolewa.”

Hafidh: Kiko wapi kitu kama hicho? Sisi hatujakiona kamwe.

Muombezi: Sisi tumekiona na hatufikirii kuwa ni sawa kuficha ukweli. Allah (s.w.t.)Amewalaani wafichaji na hao akawaita ni watu wa motoni. Allah (s.w.t.) Anasema:“Hakika wale wanaficha hoja zilizo wazi na uongozi ambao tumeuteremsha baada yakuzibainisha kwa watu kitabuni, hao anawalaani Allah na wanawalaani wenyekulaani.” (2:159) “Hakika wale wafichao aliyoyateremsha Allah katika Kitabuwakafadhilisha thamani ndogo, hao hawali matumboni mwao isipokuwa moto, walaAllah hatawasemeza Siku ya Kiyama wala hatawatakasa, na watapata adhabu iliyokali.”

Hafidh: Kama tunaijua kweli na tukaificha nakubali kwamba tunastahili laana kama ilivy-ofunuliwa katika aya hizi tukufu.

Muombezi: Natumaini utaziweka akilini Aya hizi mbili ili kwamba usije ukashindwanguvu na tabia au kutovumilia. Hafidh Abu Nu’aim Isfahani ni moja wa watu wenu maaru-fu sana katika wasimuliaji wa hadith. Ibn Khallikan amemsifu katika kitabu chake“Wafayatu’l Aayan” kama Huffadh mkubwa (Mtu wa hikma) na mmoja kati ya wasimuli-aji wa hadith aliyeelimika sana. Vile vile anaelezea kwamba jalida kumi za kitabu chake“Hilyatu’l–Aulya” ni miongoni mwa vitabu vizuri mno vya kufundishia. Salahu’d-dinKhalil bin Aibak Safdi anaandika katika “Wafiy bi’l-Wafiyat” kuhusu yeye: “Mfalme wawasimuliaji wa hadith, Hafidh Abu Nu’aim, alikuwa wa mbele sana katika ilmu,uchamungu, na uaminifu. Alikuwa na nafasi ya hali ya juu katika usimuliaji na uelewajiwa hadhith. Kitabu chake kilicho bora sana ni “Hiliyatul’-Auliya” katika jalida kumi, ziki-wa na chimbuko kutoka Sahih mbili (Bukhari na Muslim).” Muhammad bin Abdullah al-Khatab amemsifu katika “Rijali’l-Mishkati’l-Masabin.” akisema kwamba ni miongonimwa wasimuliaji hadith wa mbele ambaye simulizi zake ni za kuaminika kabisa.

Kwa ufupi, Mwanachuo na Muhadithina huyu mwenye kuheshimika na fahari yaMaulamaa wenu, anasimulia kutoka kwa Abdullah ibn Abbas kupitia nyororo yakemwenyewe ya wasimuliaji katika Kitabu chake “Hilyatu’l-Auliya” kama ifuatavyo:“Wakati aya ifuatayo ya Qur’ani Tukufu ilipoteremshwa:

Mikesha ya Peshawar

18

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 18

Page 37: Mikesh A

‘(Na kwa) wale ambao wanaamini na kufanya mema, hakika hao ndio wabora waviumbe. Malipo yao kwa Mola wao ni bustani zipitazo mito chini yake, watakaahumo milele. Allah yuko radhi nao na wao wako radhi Naye, na hayo ni kwa yuleamchae Mola.’” (98: 7– 8)

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), akizungumza na Ali, alisema: “Ewe Ali, wabora wa viumbe(khairi’l-Bariyya) katika Aya hii tukufu inakuashiria wewe na wafuasi (Shi’a) wako.Katika siku ya ufufuo, wewe na wafuasi (Shi’a) wako mtapita daraja ambayo kwambaAllah atakuwa radhi nanyi na ninyi mtakuwa radhi Naye.”

SIFA ZAIDI ZA SHI’A

Halikadhalika, Abu’l-Muwayyid Muwafiq Bin Ahmad Khawarizmi katika sura ya 17 yaManaqib yake; Hakim Abu’l-Qasim Abdullah Bin Abdullahi’l-Haskani, katikaShawahidu’t-Tanzil; Muhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’i katika Kifayatu’t-Talib, uk. 119,Sibt Ibn Jauzi katika Tadhkira, uk. 31, Munzir Bin Muhammad Bin Munzir, na hususanHakim, wamesimulia kwamba Hakim Abu Abdullah Hafidh (mmoja wa maulamaa wenuwakubwa) alisema, akitegemea juu ya ushahidi wa wasimuliaji kurudi nyuma hadi kufikiakwa Yazid Bin Sharafi’l-Ansari, mwandishi wa Amiru’l-Mu’minin Ali Bin Abi Talibkwamba Ali alisema kwamba wakati wa kifo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Mtumealiegema kwenye kifua cha Ali na akasema: “umeisikia ile aya tukufu: ‘Wale ambaowameamini na wakafanya matendo mema, hao ndio bora wa viumbe.’ (98:7) Hawa niShi’a wako. Sehemu yangu ya kukutania na wewe itakuwa ni kwenye Chemchemu yaKauthar (katika Pepo). Wakati viumbe wote watakapokusanyika kwa ajili ya hesabu, usowako utang’ara, na utatambulishwa siku hiyo kama kiongozi wa watu wenye nyusoangavu.”

Jalalud-Din Suyuti katika Durru’l-Mansur anamnukuu Abu’l-Qasim Ali Bin Hasan(anayejulikana zaidi kama Ibn Asakir Damishqi) ambaye anamnukuu Jabir Bin AbdullahAnsari, mmoja wa masahaba wakubwa wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), akisema kwambayeye na watu wengine walikuwa wamekaa pamoja na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wakati

Mikesha ya Peshawar

19

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 19

Page 38: Mikesh A

Ali Bin Abi Talib alipoingia ndani. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Naapa kwa Yuleambaye anamiliki uhai wangu kwamba mtu huyu (Ali) na wafuasi wake watapata wokovukatika Siku ya Ufufuo.” Wakati huo huo aya hiyo hapo juu ilishushwa. Katika sharhe hiyohiyo, Ibn Adi anamnukuu Ibn Abbas akisema kwamba wakati aya hiyo hapo juu iliposhu-ka, Mtume akasema kumuambia Amiru’l-Mu’minin, Ali: “Wewe na waafuasi wako mtaku-ja Siku ya Ufufuo katika hali ambayo kwamba wote mtaridhia juu ya Allah, na Allahataridhika nanyi.”

Katika Manaqib ya Khawrizmi, ifuatayo ilisimuliwa kutoka kwa Jabir Bin AbdullahAnsari: “Nilikuwa kwenye hadhara ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wakati Ali alipoungananasi, na wakati ule Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: ‘Huyu ambaye amekujieni nindugu yangu.’ Kisha, akaelekea Ka’ba, Mtume akachukua mkono wa Ali na akasema:“Naapa kwa Yule ambaye anamiliki uhai wangu, huyu Ali na wafuasi wake watakuwawamepata wokovu katika Siku ya Hukumu.’

Kisha akasema: ‘Ali ndiye wa mbele zaidi yenu wote katika imani, mwenye kuzingatiamno kuhusu dhamana za Allah, mwadilifu kupita wote katika kuamua mambo ya watu, namwadilifu kupita wote katika kugawa masurufu miongoni mwa watu, na aliye juu zaidi yawote kwa cheo mbele ya Allah.’” Katika wakati huo aya hiyo hapo juu ilishushwa. KatikaSura ya 11 ya Kitabu chake “Sawa’iq” Ibn Hajar anamnukuu Hafidh Jamalu’d-DinMuhammad Bin Yusuf Zarandi Madani (Mwanachuo mkubwa wa madhehebu yenu) akise-ma kwamba: Wakati Aya hiyo hapo juu ilipoteremshwa, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alise-ma: “Ewe Ali, Wewe na Shi’a wako ndio wabora wa viumbe walioumbwa. Wewe naMashi’a wako mtakuja Siku ya Hukumu katika hali ambayo nyote mkiwa mmeridhia kwaAllah, na Allah atakuwa radhi nanyi. Maadui zako watakuwa wamechukizwa mno, namikono yao itakuwa imefugwa kuzunguuka shingo zao.” Kisha Ali akauliza, ni nanimaadui zangu. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akajibu, “Yule ambaye ana uadui kwako naambaye anakutukana.”

Allama Samhudi, katika Jawahiru’l-Iqdain, kwa idhini ya Hafidh Jamalu’d-Din ZarandiMadani na Nuru’d-Din Ali bin Muhammad bin Ahmad Maliki Makki, ajulikanaye kamaIbn Sabbagh, ambaye anaheshimiwa kama mmoja wa Wanachuo wenu Mashuhuri namnadharia mkubwa wa mambo ya dini, katika kitabu chake “Fusulu’l-Muhimma”anasimulia kutoka kwa Abdullah bin Abbas, kwamba wakati Aya hii iliyo kwenye mjadalailipoteremshwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema kumuambia Ali; “Ni wewe na Mashi’awako. Wewe na wao mtakuja Siku ya Hukumu mkiwa mmefurahi mno na mmeridhia,ambapo maadui zako watakuja na huzuni kubwa na mikono iliyofungwa.”Mir Seyyed Ali Hamadani Shafi’i, mmoja wa wanachuo wenu mashuhuri katika kitabu chake “Mawaddatul’l-Qurba” na mwanachuo anayejulikana vizuri sana kwa upinzani wake juu ya Shia, Ibn Hajar katika kitabu chake “Sawa’iq-e-Muhriqa”, anasimulia kutokaUmmu’l-Mu’minina Umm Salma, mke wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), kwamba Mtume

Mikesha ya Peshawar

20

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 20

Page 39: Mikesh A

alisema: “Ewe Ali, wewe na Mashia wako mtaishi Peponi; wewe na Mashia wako mtaishikatika Pepo.” Mwanachuo anayejulikana sana wa Khawarizm, Muwaffaq bin Ahmad, kati-ka kitabu chake “Manaqib” Sura ya 19, anasimulia kutoka rejea zinazoaminika kwambaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema kumuambia Ali: “Katika umma wangu wewe ni kamaMasihi Isa Mwana wa Mariamu.”

Taarifa hii inaonyesha kwamba, kama vile wafuasi wa Mtume Isa (A.S.) walivyogawanyi-ka katika makundi: Waumini wa kweli wajulikanao kama Hawari’in, Mayahudi, na wapi-ga chuku (wenye kutia maneno chumvi) ambao wanamshirikisha yeye na Allah; katika njiahiyo hiyo Waislamu watakuja kugawanyika katika makundi matatu. Mojawapo litakuwaShi’a, waumini wa kweli. Kundi lingine litakuwa la maadui wa Ali, na kundi la tatulitakuwa la wenye kukuza cheo chake.

SIFA ZA SHIA ZATHIBITISHWA KUTOKAKWENYE VITABU VYA SUNNI.

Kufikia hapa watu walitawanyika katika kuitikia mwito wa Swala ya Isha. Baada ya SwalaMulla Abdu’l-Hayy alirudi na Sherhe ya Suyuti, Mawaddatu’l-Qurba, Musnad ya ImamAhmad bin Hanbal, na Manaqib ya Khawarizmi. Alisoma kutoka kwenye vitabu hivyohadith alizokuwa amezinukuu Muombezi katika mijadala yake kwa njia ya uthibitisho.Kwa vile rejea zangu zilikuwa sawa sawa, muonekano wa nyuso za wale wote ambaowako katika kambi ya upinzani ulibadilika. Wakati huo huo walikuta hadith nyingine kati-ka Mawaddatu’l-Qurba. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema, “Ewe Ali, Siku ya Hukumuwewe na Mashi’a wako mtakuja mbele za Allah mkiwa mmefurahi mno na kuridhia,ambapo adui yako atakuja na huzuni kubwa na mikono ikiwa imefungwa.”

Muombezi: Hizi ni hoja zilizo wazi zinazoungwa mkono na Kitabu cha Allah, na hadithsahihi, na Ta’arikh. Kuungwa mkono kwa upande wangu kunakuja kutoka kwenye vitabuvya wanachuo wenu mashuhuri. Haya ni kwa nyongeza juu ya simulizi nyingi ambazozimo katika vitabu na Sherhe za Shi’a. Kwa kutumia vitabu hivivilivyoko mbele yenu sasa,ninaweza kuendelea kuwasilisha hoja ziungazo mkono nukta iliyo kwenye mjadala mpakakesho asubuhi, kwa rehema za Allah; lakini nafikiri kwamba hoja nilizowasilisha zipaswekuwa zinatosha kuondoa mashaka yenu kuhusu Mashi’a. Watukufu mliohudhuria, sisiMashia sio Mayahudi. Sisi ni wafuasi wa Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.).

Mwanzilishi wa neno Shi’a kwa maana ya “Wafuasi wa Ali” hakuwa mlaaniwa huyuAbdullah bin Saba, bali ni Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe. Kamwe hatumfuati mtubinafsi bila rejea zenye hoja za kumuunga mkono. Mmesema kwamba ilikuwa ni baada yaUthman ndio neno “Shi’a” lilipoanza kutumika kuashiria wafuasi wa Ali. Kwa kweli, hata

Mikesha ya Peshawar

21

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 21

Page 40: Mikesh A

wakati wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) Masahaba kadhaa maarufu wenye kutajika walikuwawakiitwa Mashi’a. Hafidh Abu Hatim Razi katika kitabu chake “Az-Zainat” ambachoamekiandika kwa ajili ya kufafanua maana ya maneno fulani na Semi zinazotumika mion-goni mwa Wanachuo, anasema kwamba neno la kwanza jipya ambalo lilikuja kukubaliwana wote katika Uislamu wakati wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) lilikuwa ni “Shia.” Nenohili lilitumika kwa masahaba maarufu wanne: Abu Dharr Ghifar, Salman Farsi, Mikdadibin Aswad Kindi, na Ammar Yasir. Hadith nyingi zaidi zilinukuliwa katika kuunga mkononukta hii hii.

Sasa ni juu yenu kufikiria vipi iliwezekana kwamba wakati wa Mtume (s.a.w.w.) Wannekati ya masahaba wake wakubwa waliitwa Shi’a. Kama Mtume (s.a.w.w.) alifikiria kuwaneno hilo ni la uzushi (bida’a), kwanini hakuwakataza watu kulitumia? Ukweli ni kwam-ba watu walisikia kutoka kwa Mtume (s.a.w.w) mwenyewe kwamba wafuasi (Mashi’a) waAli walikuwa ni wakazi wa Peponi. Walikuwa na fahari nalo na kwa uwazi wakajiitawenyewe Mashi’a.

CHEO CHA SALMAN, ABU DHARR, MIKDADI NA AMMAR

Umesimulia Hadith kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) isemayo: “Hakika masahabawangu ni kama nyota; yeyote katika wao mtakayemfuata, mtakuwa mmeongozwa sawa-sawa. Abu’l-Fida anaandika katika kitabu chake cha Tarikh kwamba watu hawa wanne,ambao walikuwa masahaba wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) walijitenga, pamoja na Ali kulakiapo cha utii kwa Abu Bakar, siku ile ya Saqifa. Kwa nini hamchukulii kukataa kwao kulakiapo kuwa kunafaa kuigwa? Maulamaa wenu wenyewe wameandika kwamba walipend-wa na Allah na Mtume Wake. Sisi tunawafuata kama walivyomfuata Ali.

Kwa hiyo kutokana na hadith yenu wenyewe, sisi tuko katika njia ya Mwongozo. Kwaruksa yenu, na kutilia maanani uchache wa muda, ninawasilisha kwenu simulizi chachekatika kuunga mkono hoja yangu kwamba watu hawa wanne walipendwa na Allah naMtume (s.a.w.w.). Abu Nu’aim Isfahami katika “Hilyatu’l-Auliya”, Juz. 1, uk. 172 na IbnHajar Makki katika hadith ya tano ya hadith arobaini zilizosimuliwa katika “Sawa’iqul-Muhriqa” kwa kumtukuza Ali, iliyosimuliwa kutoka kwa Tirmidhi, na Hakim kutoka kwaBuraida, kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)) alisema: “Hakika, Allah ameniamuru mimikuwapenda watu wanne na amenijulisha kwamba Yeye mwenyewe anawapenda.” Wakatiwatu walipomuuliza ni kina nani watu hao wanne, alisema: “AIi ibn Abu Talib, Abu Dharr,Mikdadi na Salman.” Tena, Ibn Hajar katika Hadithi ya 39 amesimulia kutoka kwaTirmidhi na Hakim kutoka kwa Anas bin Malik kwamba Mtume amesema: “Pepo

Mikesha ya Peshawar

22

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 22

Page 41: Mikesh A

inashauku juu ya watu watatu, Ali, Ammar, na Salman.”

Je, vitendo vya Sahaba hawa Mashuhuri wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) sio vya mfano wakuigwa na Waislamu wengine? Je, sio aibu kwamba kwa maoni yenu Sahaba wameweke-wa mpaka kwa wale tu waliocheza mchezo wa Saqifa, au ambao wameukubali mpangowake bila kupinga, ambapo wengine ambao wamepinga hila za Saqifa wanaonekana kamawasiokuwa waaminifu? Na ikiwa ni hivyo, basi hadith uliyoinukuu ingekuwa na manenohaya: “Hakika wachache kati ya Sahaba wangu ni kama nyota .”

SABABU ZA WA-IRANI KUUPOKEA USHI’A.

Umekuwa sio mwema katika kusema kwamba, “Ushia ni Dini ya kisiasa, na kwambaMazoroasta wa Iran wameukubali kwa ajili ya kujiokoa kutoka umiliki wa Waarabu, ume-sema hivyo katika upofu wa kufuata watangulizi wako. Nimekwishathibitisha kwamba nidini ya Uislamu, dini ambayo Mtume (s.a.w.w.) ameiweka amana mikononi mwa wafuasiwake. Kwa kweli, wale ambao bila kibali chochote kutoka kwa Mtume (s.a.w.w.),wakaweka msingi wa Saqifa, walikuwa ndio wenyewe wanasiasa na sio wafuasi wa famil-ia Tukufu ya Mtume (s.a.w.w.). Ni tabia ya Wa-Iran kwamba wao hutazama mambo kwakuyachunguza. Wakati watakaposadikishwa na ukweli wake, wanayakubali, kamaambavyo waliukubali Uislamu wakati Iran iliposhindwa na Waarabu. Hawakulazimishwakufanya hivyo. Waliuacha Uzoroasti na kwa uaminifu kabisa wakaushika Uislamu.

Halikadhalika, wakati waliporidhishwa na mantiq na huduma za Ali zenye thamaniisiokadirika, wakaukubali Ushi’a. Kinyume na maelezo ya waandishi wenu wengi,Wairanihawakumkubali Ali wakati wa Ukhalifa wa Harun-r-Rashid au Maamunu’r-Rashid.Walimkubali Ali wakati wa uhai wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Salman Farsi alikuwammoja wa wafuasi waaminifu kabisa wa Ali. Alifikia kiwango cha juu cha Imani.Maulamaa wa Madhehebu zote kwa makubaliano ya pamoja wameandika kwamba Mtumeamesema: “Salman anatokana na Ahlul Bait wetu (yaani ni mmoja wa watu wa Nyumbayangu).” Kwa sababu hii aliitwa “Salman Muhammad” na yeye inakubalika kabisa kuwani mfuasi thabiti mwenye kumuunga Ali, na mpinzani mkali wa Saqifa.

Kama, kutegemeana na vitabu vyenu wenyewe, sisi tukimfuata yeye, basi tuko katika njiailiyonyooka. Alizisikia aya za Qur’ani na maneno ya Mtume (s.a.w.w.) kuhusu Ali nakiwazi kabisa akaelewa kwamba utii kwa Ali ulikuwa ni utii kwa Mtume (s.a.w.w.) na kwaAllah (Swt). Alimsikia mara kwa mara Mtume akisema: “Mwenye kumtii Ali ananitiimimi; na mwenye kunitii mimi anamtii Allah (Swt); ambaye ana uadui kwa Ali ni aduikwangu; na ambaye ana uadui kwangu ni adui kwa Allah (Swt). Kila Mu-Iran, hata hivyo,ambaye alikwenda Madina na kusilimu, iwe wakati wa Mtume au baadae, alizitii amri zaMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Kwa sababu hii Khalifa wa pili akashindwa kuvumilia naakaweka vikwazo vingi juu ya Wairan. Shida hizi na taabu zilizaa uadui ndani ya nyoyo

Mikesha ya Peshawar

23

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 23

Page 42: Mikesh A

zao. Walihoji ni kwanini Khalifa awanyime haki za Uislamu kinyume na amri zilizowek-wa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

SHUKURANI ZA WA-IRAN JUU YA HURUMA ZA ALI.

Mbali na hali hizi, Wa-Irani walikuwa na shukurani sana kwa Ali kwa huruma zake kuhu-siana na matendo waliyofanyiwa mabinti wa kifalme waliotekwa na Waarabu. Wakatiwafungwa wa Mada’in (Taisfun) walipoletwa mjini Madina, Khalifa wa pili aliamurukwamba wafungwa wote wa kike wafanywe kuwa watumwa wa Waislamu. Ali alilikatazahili na akasema kwamba mabinti wote wa kifalme ni wafungwa wa kipekee na wanapaswawapewe heshima. Wawili kati ya wale wafungwa walikuwa ni mabinti wa mfalmeYazdigerd wa Iran na hawakuweza kufanywa watumwa. Khalifa akauliza ni nini kifanywe.Ali akasema kwamba kila mmoja yapasa aruhusiwe kuchagua mume miongoni mwaWaislamu. Kwa ajili hiyo, Shahzanan alimchagua Muhammad ibn Abu Bakar (ambayealilelewa na Ali), ambapo yule binti mfalme mwingine, Shahbanu alimchagua ImamHusain, mjukuu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Wote walikwenda kwenye nyumba zawatu hawa baada kufungishwa ndoa kisheria. Shahzanan alizaa mtoto wa kiume, QasimFaqih, baba wa Ummi Farwa, ambaye alikuwa mama wa Imam wetu wa Sita, Ja’afar as-Sadiq. Imam Zainu’l-Abidin, Imam wetu wa nne alizaliwa na Shahbanu.

Hivyo mwanzo wa Ushia haukuwa na uhusiano wowote na wakati wa Harun na Ma’amunau na Utawala wa Ufalme wa Safavid katika Iran, kama ulivyosema mapema. Ulitangazwawazi karne saba kabla ya Ufalme wa Safavid (yaani karne ya 4 A.H) wakati wa-Dailami(wa-Buwayyid) walipokuwa watawala. Katika mwaka wa 694 A.H. Falme ya Iran ilikuwaikitawaliwa na Ghazan Khan Mughal (ambaye jina lake la Kiislamu lilikuwa Mahmud).Tokea wakati huo, Imani juu ya Ahlul Bait wa Mtume (s.aw.w.) ilidhihirisha kama jambola kawaida, Ushia ulikua kwa uimara kabisa. Baada ya kifo cha Ghazan Khan Muqhalmnamo mwaka wa 707 A.H., ndugu yake, Muhammad Shah Khuda Bandeh akawamtawala wa Iran. Aliandaa mjadala wa kidini (Mdahalo) kati ya Alama Hilli, Mwanachuomsomi wa Kishia, na Khwaja Nidhamu’d-Din Abdul’l-Maliki Maraghe’i, Kadhi Mkuu wa(Madhehebu) Shafii na Mwanachuo mkubwa wa Kisunni wa wakati huo.

Mikesha ya Peshawar

24

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 24

Page 43: Mikesh A

MIDAHALO KATI YA ALLAMA HILLINA KADHI MKUU KUHUSU UIMAMU.

Nukta ya mdahalo huu ilikuwa ni Uimamu. Allama Hilli alitoa hoja zenye nguvu sanakuthibitisha kwamba Ali alikuwa ndiye mrithi alitemfuatia mara moja Mtume (s.a.w.w.)bila mwanya, na kwa kuridhisha kabisa akabainisha uwongo wa madai ya ule upandemwingine, kiasi kwamba wale wote waliohudhuria walitosheka kabisa na jinsi ya ukweliwa Allama. Khwaja Nidhamu’d-Din alikubali kwamba hoja za Allama haziwezi kukanush-wa. Lakini akasema kwamba, kwa vile alikuwa akifuata njia za wakubwa wake waliom-tangulia, haikuwa vizuri kuiacha. Aliona kwamba ilikuwa ni muhimu kudumisha mshika-mano miongoni mwa Waislamu.

MFALME WA IRANI ALIIKUBALI IMAN YA KISHI’A.

Mfalme alisikiliza hoja hizo kwa usikivu makini, mwenyewe akaukubali msimamo waShi’a, na akatangaza uhalali wa Ushia katika Iran. Hatimaye alitangaza kwa nagavana wamikoa kwamba Khutuba za kila juma (zinazotolewa misikitini) zinapaswa zitangaze hakiya Ali kama mrithi wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Vile vile aliamuru kwamba Kalimahiandikwe kwenye dinari (Sarafu za dhahabu) katika njia hii:“La ilaha illa llahMuhammad Rasulullah, Aliyan Waliyyullah,” maana yake, “Hakuna Mungu ila Allah;Muhammad ni Mtume wa Allah na Ali ni Walii wa Allah.” (makamu au mlezi wa watualiyeteuliwa ki-ungu). Katika njia hii mizizi ya Ushi’a ilisimama kwa umadhubuti kabisa.

Karne saba baadae, wakati wafalme wa Ki-Safavid walipoingia madarakani, utando waujinga na ushabiki usio na maana katika dini viliendelea kuondolewa, Ushi’a ukashamirikila mahali katika nchi ya Iran. Ndio, wako Mazoroasti katika Iran na wale wanaotiachimvi cheo cha Ali na kumfikiria yeye kuwa ni Mungu. Lakini haipasi kuwahusisha nawatu wa kawaida wa Iran, ambao wana imani katika Allah na Mtume Muhammad kamaMtume wa mwisho. Hawa wanamfuata Ali na watoto wake kumi na moja kama ilivyoam-rishwa na Mtume (s.a.w.w.).

Hafidh: Ni kitu cha kushangaza kwamba ingawa kiasili umetokea Hijaz (Arabia) naumeishi Iran kwa muda mfupi, bado unawaunga mkono Wairani, na kuwaita wafuasi waAli, ambaye yeye mwenyewe alikuwa mtiifu kwa Allah. Lakini Mashia wa Iran wanam-chukulia Ali kama ni Mungu.

Mikesha ya Peshawar

25

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 25

Page 44: Mikesh A

Hapa kuna baadhi ya beti kutoka kwa washairi wa Kiiran wakiashiria hoja hii, ambapo Alimwenyewe alilaani imani kama hizi. Mwisho wa beti hizi unaonyesha Ali akisema: “Nanianasaidia wakati wa matatizo! Ni mimi ambaye ni Mungu! Ni mimi.” Ubeti wa mshairimwengine unasema: “Kulingana na iman ya wale ambao wana akili na wanamtambuaMungu, Mungu ni Ali na Ali ni Mungu.”

Muombezi: Nashangaa kwanini, bila kufanya uchunguzi, uweze kuwatuhumu Wairaniwote kuwa wanamchukulia Ali kama Mungu. Wanachuo wenu wenyewe wamefanyamadai ya kishabiki kama haya. Wamesema kwamba Mashi’a wanamwabudu Ali na kwaajili hiyo wao ni Makafiri. Kwa hiyo kuwaua wao ni wajib. Matokeo yake Waislamu waUzbekistan na Turkistan kwa ukatili mkubwa wakamwaga damu za Waislamu wa Iran.

Watu wa kawaida miongoni mwa Masunni mara kwa mara wanapotoshwa na baadhi yaUlamaa wenu, na watu wenu wanawachukulia Wairani kuwa ni Makafiri. Katika wakatiuliopita, watu wenu Wa-Turkomania wameshambulia msafara wa Wairani karibu naKhorasan, wakawanyang’anya na kuwaua watu, na kusema kwamba, yeyote atakayeuamarafidh saba (yaani Shi’a) atakuwa na uhakika wa kwenda peponi. Yakupasa uweke akili-ni kwamba lawama za kuhusika na mauaji haya zinakuwa moja kwa moja juu ya viongoziwenu, ambao huwaambia Masunni wasio na elimu kwamba Mashi’a wanamuabudu Ali.

UISLAMU UNAKATAZA KUJIGAMBAKUHUSU NASABA.

Nikirejea kwenye nukta yako ya kwanza kwamba, kwa kuwa mwanzoni nilihusiana naArabia, Makka ma Madina, kwanini niwaunge mkono Wairani. Nakuambia kwamba mimisina tabia ya ushabiki wa kitaifa. Mtume wetu (s.a.w.w.) amesema: “Waarabu wasijigambekwamba wao ni bora kwa wasio Waarabu na kinyume chake; na weupe wasijigambe kwaubora kwa weusi na kinyume chake. Ubora uko tu katika elimu na uchaji. Katika Qur’aniTukufu Allah (swt) anasema:

“Enyi watu! Hakika tumekuumbeni ninyi mume na mke; na tumekufanyeni mataifana makabila ili kwamba mpate kujuana; hakika aliye mbora sana miongoni mwenumbele ya Allah ni yule amchae Allah zaidi…” (49:13).

Mikesha ya Peshawar

26

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 26

Page 45: Mikesh A

Vile vile katika Sura hiyo hiyo ndani ya Qur’ani Anasema:

“Kwa hakika Waumini wote ni ndugu, basi patanisheni baina ya ndugu zenu namcheni Allah ili mrehemiwe.” (49:10).

Kwa hiyo, watu wote, Waasia, Waafrika, Wazungu, Waamerika weupe, weusi, wekundu aumanjano, makabila yote ambayo ni Waislamu ni ndugu, na hakuna hata mmoja anayewezakudai ubora juu ya mwingine. Kiongozi mkubwa wa Waislamu, Mwisho wa Mitume, ali-tenda juu ya msingi huu. Alionyesha mapenzi yake makhususi kwa Salman Farsi wa Iran,Suhaib wa Asia ndogo, na Bilal wa Abysinia (Uhabeshi – Ethiopia ya sasa). Na kwaupande mwingine alimpuuza Abu Lahab (ambaye jina lake lina maana ya Baba wa Mialiya Moto), ami yake mwenyewe ambaye amelaaniwa katika Sura ya Qur’ani Tukufuambayo inasema:

“Imeangamia mikono miwili ya Abu Lahab! Naye amekwisha angamia…” (111:1).

UISLAMU VILE VILE UNAKATAZA UBAGUZI (WA AINA ZOTE).

Ulimwengu umeshuhudia matatizo ya taratibu mbaya mno katika nchi za Maghribiambayo yalikuwa ni matokeo ya ubaguzi wa rangi. Katika nchi hizo weusi hawaruhusiwikwenye mahoteli, migahawa, makanisa, na sehemu nyingine za mikusanyiko iliyokusudi-wa kwa weupe tu. Uislamu ulipiga marufuku taratibu hizo za kikatili miaka 1300 iliyopi-ta na kutangaza kwamba Waislamu, bila kujali kabila, rangi, au utaifa wote ni ndugu.Hivyo Waarabu wakienda kombo, nitawalaumu, na nitakuwa rafiki wa Mashi’a wa Iran.

Pili, umewahusisha Mashabiki (wakereketwa) wa Kiiran (Maghullat) na Mashi’a ambao niMadhubuti, wenye kuabudu Mungu Mmoja (yaani Allah) na kumfuata Ali kutokana naMaamrisho ya Mtume (s.a.w.w.) Tunamchukulia Ali kama mja mcha Mungu wa Allah naaliyechaguliwa na Allah kuwa mrithi wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Mikesha ya Peshawar

27

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 27

Page 46: Mikesh A

LAWAMA KWA MASHABIKI WASHUPAVU (MAGHULLAT).

Aidha, tunawapuuza wale ambao iman zao ni kinyume na sisi, kama Saba’iyya,Khitabiyya, Gharabiyya, Allawiyya, Mukhammasa, Bazighiyya, Nussairiyya, ambaowametawanyika nchini Irani kote, Mosul, na Syria. Sisi Mashi’a tuko tofauti nao natunawaona wao kuwa ni Makafir. Katika vitabu vyote vilivyoandikwa na Maulamaa waKishi’a na Wanachuo wa Shari’ah, Maghulamu wamechanganywa pamoja miongoni mwaMakafir, kwa vile imani yao ni kinyume na misingi ya Ushi’a. Kwa mfano, wanahojikwamba, kwa vile kuingia kwa roho katika umbo la mwili inawezekana (kama Jibril alivy-oweza kujitokeza mbele ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) katika umbo la Dahiyya-e-Kalbi),ilikuwa ni Mapenzi ya Allah kwamba Nafsi yake tukufu ionekane katika umbo lamwanadamu, katika mwili wa Ali.

Kwa sababu hii wanakiona cheo cha Ali kuwa ni kikubwa kuliko cha Mtume. Jambo kamahilo lilijitokeza wakati wa Ali mwenyewe. Baadhi ya watu kutoka India na Sudan waliku-ja kwake na kutamka kwamba yeye alikuwa Mungu. Mara kwa mara Ali aliwakatazakushikilia itiqadi hii, lakini hakuna athari iliyotokea (hawakuacha). Hatimaye, kamailivyoandikwa katika vitabu vingi vya Tarekh, Ali aliamrisha wauwawe ndani ya visimavya moshi. Maelezo ya habari hii yameandikwa katika Baharu’l-Anwar, Juz. 7, namwanachuoni mkubwa, Agha Muhammad Baqir Majlis. Amir’l-Mu’miniina na Maimamwengine waliwalaumu vikali sana watu kama hawa. Ali alisema: “Ee Allah ninakibezakikundi cha Ghulat, kama vile Isa alivyowabeza Wakristo. Ikiwezekana uwatelekeze haodaima.” Katika wakati mwengine alisema: “Kuna makundi mawili ambayo yatapatwa navifo vya kufedhehesha, na mimi siwajibiki nao (kwa vile ninavidharau vitendo vyao): Haoni wale wanaozidisha mipaka halali ya mapenzi kwangu, na hao ni Ghullat, na wale ambaobila sababu yoyote ile, wana uadui juu yangu. Nawachukia wale ambao wanatukuza cheochangu kupita mipaka yake halisi.”

Vilevile alisema: “Kuna makundi mawili yaliyojihusisha na mimi yatapata shida ya kifocha aibu: Moja ni lile lililo na watu ambao wanasema ni marafiki na kunitukuza kupitamipaka ya halali; jingine lina maadui ambao wanatweza hadhi yangu.”

Mashi’a wanawalaumu wale ambao wanamtukuza Ali na Ahlul Bait wake kupita mipakailiyoamriwa na Allah na Mtume (s.a.w.w.). Maulamaa wetu kwa pamoja wamewachuku-lia wote hao kwamba ni Makafir. Hairuhusiwi kuhudhuria mazishi yao au koleana nao.Vilevile wananyimwa kurithi mali ya Waislamu; sadaka na kodi za kidini haziwezi kupe-wa wao. Qur’ani Tukufu inawalaumu katika maneno haya: “Sema: Enyi watu wa Kitabumsipite kiasi katika dini yenu bila ya haki. Walamsifuate matamanio ya watu waliok-

Mikesha ya Peshawar

28

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 28

Page 47: Mikesh A

wisha potea toka zamani, na wakapoteza wengi, na wenyewe wakapotea njia iliyo-sawa.” (al-Maidah; 5:77).

Allama Majlisi katika Kitabu chake “Baharu’l-Anwar” Juz. 3 ambacho ni ensaklopidia(kitabu cha maarifa yote) ya itiqad ya Shi’a, ameandika hadith nyingi kuwalaumu Ghullat.Imam Ja’far Sadiq (a.s.) ananukuliwa akisema, “Sisi ni waja wa Allah, ambaye ametuum-ba na akatufanya sisi kuwa bora kwa viumbe wake wengine. Hakika sisi tutakufa na tutasi-mama mbele ya Allah kwa ajili ya hesabu. Yule ambaye ni rafiki ya Ghullat ni adui yetu;na yule ambaye ni adui yao huyo ni rafiki yetu. Maghullat ni makafir na Washirikina; laananaiwe juu yao.” Kiongozi mkubwa wa dini wa Mashia vilevile amemnukuu Imam huyuhuyu akisema: “Laana ya Allah iwe juu ya wale ambao wanadai Utukufu na Umungu kwaAli. Kwa jina la Allah, Ali alikuwa ni mja mtiifu wa Allah. Laana iwe juu ya wale walio-tukashifu sisi; baadhi ya watu wanasema mambo kuhusu sisi ambavyo sisi wenyewehatuyasemi. Tunasema wazi kwamba hatuna uhusiano nao.”

Sheikh Saduq (Abu Ja’far Muhammad bin Ali) Faqih mwenye kuheshimiwa sana(Mwanachuo Shari’ah) wa Mashia, anamnukuu Zarara bin A’yun, mwandishi wakuamini-ka wa Kishia, ambaye alikuwa Hafidh na Sahaba wa Imam Muhammad Baqir na ImamJa’far Sadiq, akisema: “Nilimueleza Imam Ja’far Sadiq kwamba mmoja kati ya watuanayejulikana kwake, huamini katika Tufiidh (uwakilishi wa mamlaka ya Mungu). Imamakasema: ‘Ina maanishwa nini kwa Tufwidh?,’ Nikajibu. ‘Yule mtu anasema kwamba,Allah alimuumba Muhammad na Ali na kisha akakabidhi Mamlaka yake kwao juu yamambo ya watu. Hivyo wao ndio waumbaji, watoaji wa chakula, wao wahuishaji na waondio wenye kufisha.’ Mtukufu Imam akasema: “Adui huyo wa Allah, anaongopa. Wakatiutakaporudi kwake, msomee Aya hii kutoka katika Qur’ani Tukufu “…… au wamemfanyiaAllah washirika ambao wameumba kama alivyoumba Yeye, kwa hiyo alivyoviumbavikawababaisha (akili)? Sema Allah ndiye Muumbaji wa kila kitu na ni mmoja tu, MwenyeEnzi Kuu .” (13:16).

MASHI’A WAKO TOFAUTI NA GHULLAT.

Sisi Shi’a ni tofautli na Ghullat. Waache wadai kwamba wao ni Mashi’a, MwenyeziMungu, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Ali, na kizazi chao wanawachukia. Ali alimuwekamkubwa na Ghullat jela kwa muda wa siku tatu, na akamuamuru atubie kwa uovu wake.Alipokataa Ali alimfanya achomwe mpaka akafa. Kama huwezi kutoa angalau kitabukimoja ambacho ndani yake Ghullat wametukuzwa, basi angalau uwalaumu Maulamaawasio wavumilivu ambao wanawapotosha Masunni kuhusu Mashi’a.

Mikesha ya Peshawar

29

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 29

Page 48: Mikesh A

UFAFANUZI KUHUSU HESHIMA KWA MAIMAM.

Hafidh: Ushauri wako wa Kindugu unafaa kufikiriwa. Lakini tafadhali, je unawezakufafanua nukta nyingine zaidi? Umesema muda wote kwamba hamuwatukuzi Maimamwenu kupita kiasi. Mnawaona Ghullat kama watu duni (wasiostahili heshima) na wanao-faa kwenda jahannamu, lakini unatumia maneno yasiyostahili kwa mintarafu ya Maimamwenu. Umesema “Rehema za Allah ziwe juu yao”, ingawa unajua kwamba, kwa mujibuwa Qur’ani, neno hili limetengwa kwa ajili ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) tu. Qur’aniinasema:

“Hakika Allah na Malaika wake wanamtakia Rehema Mtume. Enyi ambao mmeami-ni mtakieni rehema juu yake na Msalimuni kwa (uzuri) wa Salamu.” (33:56).

Mwendo wako huo unakiuka kiwazi kabisa hukumu ya Qur’ani. Neno lako hilo ni Uzushi(bida’a).

Muombezi: Aya hii haitukatazi kumuombea rehema mtu wengine yoyote. Tunaamrishwakumuombea Rehema Mtume. Katika Aya nyingine ya Qur’ani Tukufu, Allah anasema.“Amani na iwe juu ya watu wa Ya Sin (Ahl Ya Sin),” yenye maana ya kizazi cha MtukufuMtume (s.a.w.w.). Ama kwa Mitume wengine wa Allah, kuombea rehema hakukutolewapamoja na vizazi vyao popote katika Qur’ani. Kuombea rehema kumetolewa tu kwaMitume wa Allah.

“Amani na Salaam kwa Nuh miongoni mwa Mataifa.” (37: 79).

“Amani na Salaam kwa Ibrahim.” (37:109)

Amani na Salaam kwa Musa na Haruni.”(37:120).

Mikesha ya Peshawar

30

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 30

Page 49: Mikesh A

WATU WA YA SIN INAWAHUSU WATU WA MUHAMMAD

Wafasiri wote na Wanachuo wa madhehebu yenu wenyewe wanakiri kwamba Allahamemuita Mtume kwa jina Ya Sin. Hivyo basi Ahli (watu wa) Ya Sin maana yake ni watuwa Muhammad. Miongoni mwa wengine, Ibn Hajar Makki, Mwanachuo wa Kisunnimchungu sana kwa Shia, anasema katika “Sawa’iq Muhriqa” chini ya aya zilizonukuliwakatika kuwasifu Ahlul Bait, kwamba kikundi cha Wafasiri wamemnukuu Ibn Abbas(Mfasiri, na mkubwa wa Waumini) akisema kwamba Ahl Yasin maana yake ni AhlMuhammad. Kwa hiyo, Salaam, maamkuzi ya amani kwa Ahli Ya Sin yana maana Salaamkwa Ahli Muhammad. Imam Fakhru’d-Bin Razi anaandika: “Ahli Bait wa Mtume wakosawa naye katika mambo matano:

1) Salaam: Salaam kwa Mtume na Salaam kwa Ahli Ya Sin (Ahli Muhammad) ni kitukimoja.

2) Salawat (kutakia rehma) katika Swala kwa Mtume na Ahlul Bait wake, ambako ni laz-ima.

3) Tohara: Allah Anasema katika sura ya “Ta Ha” (20:1): “(Ewe Mtume) Msafi na tohara:”Ile aya ya tohara iliteremshwa katika kuwatukuza Ahlul-Bait (33:33).

4) Uharamu wa Sadaka: Sadaka haiwezi kupokelewa imma na Mtume au Ahlul-Bait wake.Mapenzi: 5) Mapenzi: Mapenzi kwa Mtume maana yake nimapenzi kwa Ahlul Bait wake.

Allah Anasema:

“Sema: kama mnampenda Allah, basi nifuateni mimi, Allah atakupendenininyi…”(3:31)

Na kuhusu Ahlul Bait Allah Anasema:

“…Sema: Sikuombeni malipo yoyote kwa haya bali Mapenzi kwa Ndugu wangu wakaribu…” (42:23).

Mikesha ya Peshawar

31

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 31

Page 50: Mikesh A

SALAWAT JUU YA MUHAMMAD NA AALI - MUHAMMAD NI SUNNA (ILIYOKOKOTEZWA), NA KATIKA

SWALA ZA FARADHI NI WAJIBU.

Wengi wa wasimuliaji wa Hadith hususan Bukhari katika Sahih yake Juz. 3, na Muslimkatika Sahih yake Juz. 1 Sulayman Balkhi katika Kitabu chake “Yanabiu’l-Mawadda”, nahata Ibn Hajar katika Kitabu chake “Sawa’iqi” wanamnukuu Ka’b bin Ajza akisema:“Wakati Aya: ‘Hakika, Allah na Malaika wake wanamtakia rehema (wanamswalia)Mtume” (33:56) ilipoteremshwa, tulimuuliza Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), namna ganitutaomba rehema kwa ajili yako, Ewe Mtume wa Allah,?” Mtume akajibu, “Ombeni juu yarehema (Swalawat) zenu kwa namna hii. “Ee Allah teremsha rehema kwa (Mtume)Muhammad na Aali Muhammad.’”

Imam Fakhru’d-Din Razi, katika Juzuu ya 6, ya Kitabu chake “Tafsir-e-Kabir” piaanasimulia hadithi kama hiyo. Ibn Hajar, akisherhesha juu ya hadith hiyo, anaonyeshakwamba, ni wazi kutoka katika Hadithi hii kwamba kuomba rehema kwa ajili ya Mtumeni sawa sawa na kuomba rehema kwa kizazi chake pia. Vilevile anamnukuu MtukufuMtume (s.a.w.w.) akisema: “Msiniswalie (Msiniombee) Swalawat kigutu.” Alipoulizwaanamaanisha nini kwa Swalawat kigutu; akasema: “Msiseme, ‘Allahumma swali AlaMuhammad,” (Ewe Allah Mrehemu Muhammad) bali semeni, Allahumma swali AlaMuhammad wa Ala Aali Muhammad.”

Dailami anaandikwa kwamba, Mtume alisema: “Sala zetu hubakia zimezuiliwa mpakatuombe Swalawat juu ya Mtume na Ahlul (watu) wake” Imam Shafi’i anasema: EnyiAhlul Bait (watu wa Nyumba ya Mtume) Allah Amefanya mapenzi kwenu kuwa ni wajib(lazima) kwetu sisi katika Qur’ani Tukufu. Kwa mintarafu ya ubora wenu, Cheo na Sifazenu, inatosha kujua kwamba kama mtu hakuomba Swalawat (rehema) kwa ajili yenu, Salayake haikubaliwi.” Kama Swalawat kwa ajili ya Mtume na Dhuria (kizazi) wake inaach-wa kwa makusudi, basi swala hiyo ya wajib inakataliwa. Na Mtukufu Mtume amesema:“Sala ya wajib ni nguzo ya iman; kama Sala ikikubaliwa, matendo mengine yote (ya ibada)yanakubaliwa; kama imekataliwa, matendo yote mengine yanakataliwa.”

Kuomba Swalawat kwa ajili ya Ahlul-Bait ni Sunna iliyokokotezwa na ni namna ya ibadaambayo ilikuwa ikifanywa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe. Tunaona faharikufanya kile ambacho Qur’ani Tukufu na Mtume (s.a.w.w.) wametuarimsha sisi kufanya.

Mikesha ya Peshawar

32

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 32

Page 51: Mikesh A

MKUTANO WA TATU – JUMAMOSIUSIKU 25 – RAJAB 1345 A.H.

Hafidh: Kwa msingi wa mazungumzo yako ya usiku wa jana naona kwamba Mashi’awamegawanyika katika idadi ya matapo. Tafadhali tujulishe tujue ni lipi katika hayo mat-apo unalikubali, ili mipaka ya majadiliano yetu iwe katika tapo hilo.

MASHIA HAWAKUGAWANYIKA KATIKA MATAPO

Muombezi: Mimi sikusema kwamba Mashi’a wamegawanyika katika matapo. Mashi’awamejitoa kwa Allah (s.w.t.) na ni wafuasi wa Mtume na kizazi chake. Ni kweli baadhi yamatapo yamejichukulia jina la Shi’a ili kuwapotosha watu. Wamechukua manufaa ya jinala Shi’a, wakahubiri imani potofu na kueneza mkanganyiko. Watu wasio na ujuzi wame-husisha majina yao miongoni mwa Mashi’a. Ziko faraka nne za namna hiyo, mbili katikahizo zimebakia: Zaidiyya, Kaysaniyya, Qaddahiyya na Ghullat.

ZAIDIYYA

Zaidiyya wanamfuata Zaid bin Ali bin Husein. Wanamchukulia mtoto wa Imam Zainu’l-Abidin, aitwaye Zaid kuwa ndiye Mrithi wake. Kwa wakati huu watu hawa wanapatikanakwa idadi kubwa nchini Yemen na majirani waizungukao. Wanaamini kwamba miongonimwa Dhuria wa Ali na Fatima, Yeye ndiye “Imam ambaye ni mwanachuo, mcha Mungu,na shujaa. Anachomoa upanga na kusimama dhidi ya maadui,” Katika wakati wa Khalifadhalimu wa Kibani Umayya, Hisham ibn Abdul-Malik, Hadhrat Zaid alisimama dhidi yawale waliokuwa katika mamlaka na akauwawa Shahidi na kwa ajili hiyo akakubaliwa naZaidiyya kama Imam. Ukweli ni kwamba Zaid alikuwa na cheo cha juu zaidi kuliko hichoambacho Zaidiyya wanakidai kwa ajili yake. Alikuwa ni Sayyid mashuhuri wa ukoo waBani Hashim, na alikuwa akijulikana kwa ucha Mungu wake, hekima, Sala, na ushujaa.Alipitisha mikesha mingi bila usingizi akikesha kusali na alifunga mara kwa mara.Mtume (s.a.w.w.) alitabiri Shahada yake (kifo cha kishahidi), kama ilivyosimuliwa naImam Husein:

“Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akaweka mkono wake Mtakatifu kwenye mgongo wangu na akasema: “Ewe Husein haitachukuwa muda mrefu atazaliwa mtu miongoni mwa Dhuria wako.Atakuwa anaitwa Zaid; atauwawa kama Shahid. Katika siku ya ufufuo, yeye na Masahaba

Mikesha ya Peshawar

33

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 33

Page 52: Mikesh A

zake wataingia Peponi, wakiweka miguu yao juu ya shingo za watu.” Lakini Zaidmwenyewe hakudai kamwe kuwa yeye ni Imam. Ni masingizio yasiyo na msingi kwa watukusema kwamba alidai. Kusema kweli, yeye alitambua Imam Muhammad Baqir kamaImam na alitoa utii wake kiukamilifu kwake.

Ilikuwa ni baada tu ya kufariki kwa Imam Muhammad Baqir ndipo watu wajinga wakat-waa itiqad ya kwamba: “Siye Imam yule akaaye nyumbani na kujificha machoni mwawatu; Imam ni yule ambaye ni Dhuria wa Hadharat Fatima, ambaye ni mwenye elimu, naambaye anachomoa upanga na kusimama dhidi ya adui, na kulingania (kuwaita) watuupande wake. Zaidiyya wamegawanyika katika faraka Tano: Mughairiyya; Jarudiyya;Zakariyya; Khashbiyya; na Khaliqiyya.

WA-KAYSANIYYA NA IMANI YAO.

Tapo la pili ni la Kaysaniyya. Hawa ni Masahaba wa Kaysan, Mtumwa wa Ali bin AbuTalib, ambaye alimuacha huru. Watu hawa wanaamini kwamba baada ya Imam Hassan naImam Hussain, Muhammad Hanafiyya mtoto mwingine (wa kiume) anayefuatia kwa umri,wa Amir’l-Mu’minina, Ali (A.S.) alikuwa ndiye Imam. Lakini Muhammad Hanafiyyamwenyewe kamwe hajadai hivi. Alikuwa akiitwa Muaminifu wa Watiifu. Alikuwa akiju-likana sana kwa elimu yake, Ucha Mungu, Utiifu, Ibada, na mtiifu kwenye maamrisho yaMwenyezi Mungu. Baadhi ya watu wajinga hutoa ushahidi ambao waliuita upinzani wakekwa Imam Zainul’l-Abidin. Walidai kwamba Muhammad Hanafiyya alidai kuwa ni Imam.

Ukweli ulikuwa vinginevyo. Hajadai kamwe kuwa ndiye Imam. Alitaka kuwaonyeshawafuasi wake wajinga cheo na hadhi ya Imam wa nne, Zaimul’l-Abidin. Matokeoyalikuwa kwamba, katika msikiti huohuo Mtukufu (wa Makka) wakati Hajaru’l-Aswad(jiwe jeusi) lilipothibitisha Uimamu wa Imam Zainul’l-Abidin, kama ilivyoandikwa kwampangilio katika vitabu vya Ta’rikh, Abu Khalid Kabuli, mkubwa wa wafuasi waMuhammad Hanafiyya pamoja na wafuasi wengine, walimkubali Imam Zainu’l-Abidinkama Imam. Lakini kundi la watu walaghai walipotosha watu wa kawaida na wajinga kwakusema kwamba Muhammad Hanafiyya alionyesha tu adabu, kwamba mbele za BaniUmayya ilikuwa inapendeza mno kwa Muhammad Hanafiyya kufanya kama alivyofanya.

Baada ya kufariki Muhammad Hanafiyya, watu hawa walisema hakufa, na kwamba ame-jificha katika pango la Mlima Rizwi, na kwamba atakujatokea baadae kuujaza ulimwengukwa haki na amani. Tapo hili lina matapo mengine madogodogo: Mukhtariyya; Karbiyya;Ishawiyya na Harabiyya.

Lakini leo hakuna lililopo hata moja kati ya hayo.

Mikesha ya Peshawar

34

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 34

Page 53: Mikesh A

QADDAHIYYA NA IMANI YAO:

Tapo la tatu, Gaddahiyya, Wanajiita wenyewe Shia, lakini ni kundi la Makafiri.

Kitapo hiki kilianzishwa Misri na Ma’mum Ibn Salim (au Disan) ajulikanae kama Qada naIssa Chahar Lakhtan (Yesu wa sehemu nne.)

Walijitolea kutafsir Qur’ani Tukufu na kumbukumbu za Ta’rikh kwa kulingana na matak-wa yao. Wanashikilia kwamba kuna kanuni mbili za dini: moja ya siri na nyingine ya wazi.Kanuni ya siri ilitolewa na Allah kumpa Mtume Muhammad. Mtume akaitao kwa Ali, nayeakaitoa kwa dhuria wake na kwa Mashia halisi. Wanaamini kwamba, wale wanaoijua ilekanuni ya siri wamesamehewa katika Sala na kumuamudu Allah.

Wamesimamisha dini yao katika nguzo saba. Wanaamini Mitume saba, na Maimamu saba,Imam wa saba akiwa yuko Ghaibuni. Wanangojea kujitokeza kwake. Wamegawanyikakatika vijikundi viwili.

1) Nasiriyya ambao walikuwa Masahaba wa Nasiri Khusru Alawi, ambaye kwa mashairiyake, hotuba na vitabu alivuta watu wengi kwenye ukafiri. Walienea katika Tabaristan yotekwa idadi kubwa.

2) Sabahiyya (wanaojulikana katika nchi za Magharibi kama ‘Assassins,’ yaani wauaji).Walikuwa ni Masahaba wa Hasan Sabba, mwenyeji wa Misri ambaye amekuja Iran, naambaye alisababisha matukio ya misiba na huzuni ya Alamut, ambayo ilisababishakuuwawa kwa idadi kubwa ya watu. Matapo haya yamehifadhiwa kwenye vitabu vyaTa’rikh.

GHULLAT NA IMANI ZAO:

Tapo jingine ni lile la Ghullat, ambalo ndio kundi potovu zaidi katika matapo yote.Wanajulikana kwa makosa kama ni Shi’a. Kwa kweli hawa wote ni makafiri.Wamegawanyika katika vijikundi Saba: Saba’iyya; Mansuriyya; Gharabiyya; Bazishiyya;Yaqubiyya; Isma’iliyya na Azdariyya.

Sio Shi’a Ithna Shariyya tu (wanoamini katika Maimam kumi na mbili), bali Waislamuwote ulimwenguni wanaikataa imani yao.

Mikesha ya Peshawar

35

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 35

Page 54: Mikesh A

SHI’A IMAMIYYA ITHNASHARIYYA NAIMANI YAO.

Hili ndilo kundi Sahihi la Shi’a, ambalo linaamini Maimamu kumi na mbili baada yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Matapo haya mengine hayana kinachofanana na kundi letu;wamejichukulia tu jina la Shi’a.

IMANI KATIKA ALLAH NA MITUME

Kundi la Shi’a Imamiyya wanamini kuwepo kwa Allah Mwenye Enzi zote daima Milele.Ni mmoja, kwa maana kamilifu ya upweke wa uhalisi wa kuwako kwake. Yeye ni mmoja,hana mfano wake. Yeye ni muumba wa vitu vyote vilivyopo. Hakuna chenye kulingana aukuwa sawa na Yeye katika hali yoyote. Manabii watukufu na Mitume walitumwakuwaeleza watu kuhusu Allah, namna ya kumuabudu Yeye, na jinsi ya kumjua Yeye.Mitume wote walihubiri na kuongoza watu kwa mujibu wa Mafundisho yaliyowekwambele na Mitume wakubwa watano: Nuh, Ibrahim, Musa, Issa na mwisho wa wote,Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.) ambaye dini yake itabakia mpaka Siku ya Kiyama.

IMANI KATIKA ADHABU, MALIPO, JAHANNAMU, PEPO, NA SIKU YA KIYAMA.

Mwenyezi Mungu Mtukufu ameweka malipo kwa ajili ya matendo yetu, ambayo yatatole-wa kwetu katika Pepo au Jahanamu. Siku iliyowekwa kwa malipo ya matendo yetu inait-wa “Siku ya Malipo.” Wakati maisha ya Ulimwengu huu yatakapokoma, Allah (s.w.t.)atawafufua viumbe wa ulimwengu kuanzia wa mwanzo mpaka mwisho. Atawafanyawakusanyike katika Mashar; sehemu ya kukusanyikia Roho zote. Baada ya hesabu ya haki,kila mtu atapewa malipo au adhabu kwa kulingana na matendo yake.

Mambo haya yametabiriwa katika vitabu vyote vya Mwenyezi Mungu: Taurat, Zaburi,Injili na Qur’ani Tukufu. Kwetu sisi Kitabu cha Mwongozo kilicho sahihi zaidi ni Qur’aniTukufu ambayo imefika kwetu kutoka wakati wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) bila mabadi-liko yoyote. Tunatenda juu ya amri zilizomo ndani ya Qur’ani Tukufu, na tunataraji malipokutoka kwa Allah. Tunaamini katika amri zote zile za wajib ambazo zimo katika Qur’ani,kama Sala, Saumu, Zaka, Hija na Jihad.

Mikesha ya Peshawar

36

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 36

Page 55: Mikesh A

IMANI KATIKA KANUNI ZA IBADA:

Halikadhalika, tunaamini katika Kanuni za utendaji wa ibada, ikiwa ni pamoja na ibada zawajibu na za Suna na amri nyingine zote ambazo zimetufikia kupitia kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Tumejizatiti kushikamana nazo na kuzitekeleza kwa kadri ya uwezo wetu. Natunajiepusha kutokana na madhambi yote, makubwa au madogo kama ulevi, kamari,uasherati, kulawiti, riba kuua, udhalimu ambavyo vimekatazwa katika Qur’ani Tukufu naHadith.

IMANI KATIKA MAIMAMU:

Sisi Shi’a vilevile tunaamini kwamba, kama ambavyo kuna mjumbe kutoka kwa Allahambaye anazifikisha kwetu sisi kanuni na maamrisho, na ambaye ameteuliwa na kujulish-wa kwetu na Allah (s.w.t.), vilevile kuna mrithi, Khalifa, au Mlinzi wa dini, ambaye anach-aguliwa na Allah na anatambulishwa kwetu kupitia kwa Mtume wa Allah. Kwa ajili hiyoMitume wote wa Allah waliwajulisha warithi wao kwa Umma zao. Wa mwisho wa Mitumewatukufu, ambaye alikuwa ndiye mkamilifu zaidi na aliye nyanyuliwa daraja ya juu zaidikuliko Mitume wote wa Allah, aliacha kwa ajili ya wafuasi wake viongozi kusaidia watukuepukana na matatizo.

Kwa mujibu wa hadith zilizothubutu, aliwajulisha kwa watu warithi wake kumi na mbili.Wa kwanza wao akiwa ni Ali bin Abu Talib (A.s.). Imam wa mwisho, ni Mahdi (A.f)ambaye yupo ulimwenguni, lakini yuko kwenye Ghaib (amefichwa kwenye macho yawatu), atatokeza katika muda usiojulikana baadae, wakati atakapoujaza ulimwengu uliovu-rugika kwa haki na amani.

Shi’a Imamiyya vilevile Wanaamini kwamba hawa Maimamu kumi na mbili wameteuliwana Allah na wamejulishwa kwetu kupitia kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wa mwisho. Wamwisho katika Maimam watukufu ametoweka katika macho ya watu (kwa amri yaMwenyezi Mungu), kama vile Maimam wengine walivyotoweka katika wakati wa Mitumewaliopita, kama ilivyoelezwa katika vitabu vingi vilivyoandikwa na Maulamaa wenu.Kiumbe huyu Mtakatifu amehifadhiwa na Allah (s.w.t.) ili kwamba siku moja aweze kuu-jaza ulimwengu na haki. Kwa ufupi, Shi’a wanaamini katika yale yote ambayo yamo kati-ka Qur’ani Tukufu na katika hadith Sahihi. Ni mwenye kushukuru sana kwa Allah kwam-ba nimefuata imani hizi, sio kwa upofu tu wa kufuata wazazi wangu, bali kwa ukweliwenye mantiki na kuchunguza.

Hafidh: Mheshimiwa Maulana, hakika nina wiwa na wewe kwa kuweza kueleza imani zaShi’a, lakini kuna Hadith na Dua katika vitabu vyenu ambazo zinakwenda kinyume namaelezo yako na kuonyesha upotofu wa Mashi’a.

Muombezi: Tafadhali kuwa wazi zaidi.

Mikesha ya Peshawar

37

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 37

Page 56: Mikesh A

KANUSHO JUU YA HADITH YA MA’RIFA

Hafidh: Katika “Tafsir-e-Safi”, kilichoandikwa na mmoja wa Wanachuo wenu mwenyecheo cha juu, Faiz Kashi, mna hadith isemayo kwamba: “Siku moja Imam Husain; Shahidwa Karbala, akihutubia Masahaba wake alisema: “Enyi watu, Allah (s.w.t.) hakuumba wajaWake, bali kumjua Yeye. Wakati wakimjua Yeye, wanamuabudu Yeye, wakatiwakimwabudu Yeye, wanakuwa kinyume na kuabudu kitu kingine chochote.” Mmoja waMasahaba akasema: “Maisha ya Baba yangu na Mama yangu na yawe mhanga kwa ajiliyako! Ewe Mtoto wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)! Nini hasa maana ya kumjua Allah?”Mtukufu Imam akajibu, “Kwa kila mtu kumjua Allah ina maana kumjua Imam wake waZama, ambaye lazima atiiwe.”

Muombezi: Kwanza, lazima tuchunguze nyororo ya wasimuliaji ili kuthibitisha kama niSahihi. Hata kama ni sawa kwa kutegemeana na wasimuliaji, bado Aya za Qur’ani Tukufuna Hadith halisi za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) haziwezi kueleweka vibaya kwa sababu yamadai ya mtu mmoja.

Kwa nini usizichunguze hadith na simulizi za Maimam wetu Watukufu, na mijadala yakidini kati ya viongozi wetu wa dini na makafiri, ambayo tayari imethibitisha Upweke waAllah? Kwa nini huangalii vitabu vikuu na Sharhe hasa za Shi’a kama vile Tawhid-e-Mufazzal. Tawhid-e-Saduq, Biharu’l-Anwar (Kitabu cha Tawhid) cha Allama Majlisi navitabu vingine vilivyoandikwa na Maulamaa wa Kishi’a ambavyo vimejaa hadith za mfu-lulizo (juu ya Tawhid) kutoka kwa Maimam wetu watukufu?

Kwa nini usiangalie katika An-Naktu’l-Itiqadiyya, cha Sheikh Mufid (Amefariki 413 A.H.)mmoja wa Maulamaa wa Kishi’a, na pia kitabu chake Awa’ilu’l-Maqalat fi’l-Madhahibwa’l-Mukhtarra au Ihtajaj cha Mwanachuo wetu mashuhuri, Abu Mansur Ahmad bin Alibin Abu Talib Tabrasi? Kama ungefanya hivyo, ungepata kujua jinsi gani Mtukufu Imamwetu Ridha (A.S.) alivyothibitisha Umoja wa Allah. Si haki kuchukua baadhi ya taarifazenye mashaka kwa ajili ya kutaka tu kuwazulia uongo Mashi’a. Vitabu vyenu wenyewevina mambo ya vichekesho na maoni yasioeleweka kiakili. Kwa kweli hadith za ajabuajabu zimo katika vitabu vyenu Sahihi zaidi - Sahihi Sitta (yaani vile vitabu sita vya hadithvinavyokubalika kwenu ninyi).

Hafidh: Kwa kweli, maneno yako ni ya kuchekesha sana maadam unaona makosa katikavitabu ambavyo umaarufu na usahihi wake si wa kutiliwa mashaka, hususan SahihiBukhar, na Sahih Muslim. Maulamaa wetu wanakubaliana kwamba hadith zote zilizomohumo ni za kweli. Kama mtu akivikataa vitabu hivi viwili, anaikataa Madhehebu halisi yaSunni. Baada ya Qur’ani Tukufu, Sunni wanategemea juu ya usahihi wa vitabu hivi, viwili.

Mikesha ya Peshawar

38

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 38

Page 57: Mikesh A

Pengine bila shaka umeona maelezo ya Ibn Hajar Makki mwanzoni mwa kitabu chakeSawa’iq al-Muhriqa, sura ya “Matukio” (Matukio ya ukhalifa wa Abu Bakar) kamailivyoandikwa na Bukhar na Muslim katika Sahih zao mbili, ambavyo ndio vitabu sahihizaidi na vya kutegemewa baada ya Qur’ani Tukufu kwa mujibu wa makubaliano ya pamo-ja ya wafuasi (yaani, Ummah). Anasema kwamba maadam ummah wote uko pamoja kati-ka kuzikubali hadith za vitabu hivyo, chochote ummah wanachokubaliana kwa shauri mojahakiwezi kutiliwa mashaka. Juu ya msingi wa makubaliano haya, hadith zote zilizomokatika vitabu hivi zinakubalika bila kutiliwa mashaka. Kwa hiyo, hakuna mtu anayewezakujasiri kudai kwamba vitabu hivi vina mambo ya ajabu na ya kuchekesha.

HADITH ZA AJABU KATIKASAHIHAIN – BUKHARI NA MUSLIM.

Muombezi: Kwanza, kwamba vitabu hivi vinakubaliwa na umma wote, kunapingwa kwauwazi kabisa. Madai yako kuhusiana na rejea kutoka kwa Ibn Hajar, peke yake ni ya ajabu,kwa kuwa Waislamu milioni 100 hawaikubali nukta yake. Kwa hiyo, makubaliano yapamoja ya umma katika suala hili ni kama makubaliano ya pamoja yaliyodaiwa na watuwenu katika suala al ukhalifa. Pili, ninayosema yametegemezwa kwenye sababu zenyemsingi thabiti. Kama utavichunguza vitabu hivyo bila kuwa na mawazo ya chuki,utashangaa sana. Wengi wa maulamaa wenu wakubwa, kama vile Darqutni, Ibn Hazam,Allama Abu’l-Fazl Ja’far bin Tha’labi katika Kitabu’l-Imta’ fi Akhamu’s-Sama’, SheikhAbdul’Qadir bin Muhammad Qarshi katika Jawahiru’l-Mazay’a fi Tabqatu’l-Hanafiyya,na wengineo, pamoja na maulamaa wote wa Kihanafia wamevilaumu vitabu hivi viwili(Sahihain) na wamekiri kwamba vina idadi kadhaa ya hadith dhaifu na zisizothibiti. Lengola Bukhari na Muslim lilikuwa ni kukusanya hadith; sio kuhukumu usahihi wake. Baadhiya Wanachuo wenu watafiti kama vile Kamalu’d-Din, Ja’far bin Sa’lih wamechukuwataabu kubwa katika kuonyesha kasoro na makosa ya hadithi na wameweka misingi yenyenguvu katika kuunga mkono matokeo ya utafiti wao.

Hafidh: Ningelilikaribisha suala la kama utazionyesha hoja hizo ili kwamba hadhara hiiipate kujua ukweli.

Muombezi: Nitaonyesha mifano michache tu.

Mikesha ya Peshawar

39

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 39

Page 58: Mikesh A

REJEA ZINAZOONYESHA KUHUSU KUONEKANA KWA ALLAH

Kama mnataka kusoma Hadith za kupotosha kuhusu Allah kuchukua mwili wa kibinadamu(au kuingia katika mwili wa mwanadamu), ambazo zinatetea kwamba Yeye (Allah), kamakiumbe mwenye mwili, anaweza kuonekana katika ulimwengu huu, au ataonekana katikaulimwengu jao wa Akhera, (kama inavyoaminiwa na Tapo la Suni yaani Hanbaliyya naAshariyya) mnaweza mkarejea kwenye vitabu vyenu wenyewe, hususan Sahih Bukhari,Juz. 1, uk. 100 katika Mlango wa Fadhla-s-Sujud Min Kitabu’l-Adhan, na katika SahihMuslim Juz. 4, uk. 92 Babu’s-Sira Min Kitabu‘r-Riqaq na vilevile tena kwenye hiyo SahihMuslim Juz. 1 uk. 86 Sura ya Isbatu’l-Ruyatu’l-Mu’Minin Rabbahum Fi’l-Akhira; naMusnad ya Imam Hanbal Juz. 2, uk. 275. Mtapata maelezo ya kutosha ya namna hii kati-ka vitabu hivyo.

Kwa mfano, Abu Huraira anasema: “Makelele na kishindo cha ukali wa moto vitakithiri,hautatulia mpaka Allah aweke mguu Wake humo. Kisha Jahannam itasema: “Basi, basi!hiyo inanitosha; inanitosha.” Vilevile Abu Huraira anasimulia kwamba kikundi cha watuwalimuuliza Mtukufu Mtume (s.a.w.w.); “Je, tutamuona Muumba wetu hiyo Siku yaMalipo?” Akajibu: “Bila shaka. Je, wakati wa mchana wakati anga inapokuwa hainamawingu, jua lina kuumizeni wakati mnapoliangalia?” Wakasema, “Hapana!” Yeye akase-ma tena: “Je, wakati wa usiku mnapoungalia mwezi mpevu wakati anga ni nyeupe, unaku-umizeni?” Wakasema, “Hapana!”

Aliendelea: “Hivyo wakati mtakapomuona Allah Siku ya malipo hamtadhurika, kama viletu ambavyo hamdhuriki muangaliapo hivi (jua na mwezi). Wakati Siku ya Hukumuitakapofika, itatamkwa na Allah kwamba kila umma wamfuate Mungu wao. Hivyo kilamtu ambaye alikuwa akiabudu masanamu au kitu kingine kisichokuwa Allah, AliyeMmoja, ataingizwa katika moto wa Jahannamu. Kadhalika kila mmoja wa watu wema nawabaya watalipwa katika moto isipokuwa wale waliomuabudu Allah, Mmoja Mkamilifu.Watalala katika moto wa Jahannamu. Katika muda huo Allah atatokeza katika umboMakhususi mbele za watu ili kwamba wapate kumuona. Kisha Allah atawaambia kwambaYeye ndiye Mola wao. Kisha Waumini watasema, “Tunajikinga na uungu wako. Sisi nimiongoni mwa wale ambao walikuwa hawaabudu kitu chochote isipokua Allah Mwenyemamlaka ya juu.” Allah atasema katika kuwajibu, “Mnayo dalili yoyote kati yenu na Allahambapo kwamba mnaweza kumuona Yeye na kumtambua?” Watasema, “ndio!” KishaAllah atawonyesha mguu wake uliowazi (bila kiatu). Hapo waumini watanyanyua vichwavyao kuelekea juu na watamuona katika hali ileile kama waliyomuona nayo kwa mara yakwanza. Kisha Allah atasema kwamba, Yeye ndiye Muumba wao. Wote kwa pamojawatakubali kwamba Yeye ndiye Mola wao.”

Mikesha ya Peshawar

40

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 40

Page 59: Mikesh A

Sasa ni juu yenu ninyi kuamua iwapo maelezo namna hii ni sawa na ukafiri au hapana,kwamba Allah atajitokeza kiumbo mbele za watu na atafunua mguu Wake! Na nuktakubwa sana yenye kuunga mkono hoja yangu ni kwamba Muslim bin Hajjaj anaanzakuandika sura katika Sahih yake kuhusu uhakika wa kuonekana Allah (s.w.t.), naamenukuu simulizi za kubuni kutoka kwa Abu Huraira, Zaid bin Aslam; Suwaid bin Sa’id,na wengine. Na baadhi ya maulamaa wakubwa wa madhehebu yenu wenyewe kamaDhahabi katika ‘Mizanu’l-Itidal’ na Suyuti katika kitabu chake Kitabu‘l-Lu-ualia’l-Masnu’a fi haditha’l-Muzu’a, na Sibt ibn Jauzi katika Al-Muzu’a; wamethibitisha juu yahoja za Msingi kwamba simulizi (Hadith) hizi ni za kubuni.

QUR’ANI TUKUFU INAKATAA DHANA YAKUONEKANA KWA ALLAH.

Hata kama kusingelikuwa na uthibitisho dhidi ya madai hayo hapo juu. Aya ya Qur’aniTukufu inakataa waziwazi dhana ya kuonekana kwa Mwenyezi Mungu. Allah (s.w.t.)Anasema:

“Macho hayamfikii, bali yeye anayafikia macho…” (6:103)

Tena, wakati Nabii Musa alipolazimishwa na wana Israel kwenda sehemu yake ya Sala naamuombe Allah “Ajidhihirishe kwake,” Qur’ani Tukufu inaandika tukio hili kama ifu-atavyo:

“…(Musa) akasema: “Mola wangu nionyehse (nafsi Yako) ili nikuone,” Akasema:“Huwezi (Ukathubutu) kuniona…” (7:143).

Seyyid Abdu’l-Hayy (Imam wa wa jama’at ya Ahli Sunna): Je! Hii sio kweli kwambaAli Alisema: “Siwezi kumuabudu Mungu ambaye simuoni?” Wakati Ali anasema kitu chanamna hiyo, ina maana kwamba Allah anaweza kuonekana.

HOJA NA HADITH KUHUSU KUTOKUONEKANA KWA ALLAH

Muombezi: Rafiki Mheshimiwa, umeondoa sentensi moja nje ya fuo la maneno haya.Nitakusomea matini yote. Hadith hii imeandikwa na Sheikh mashuhuri, Muhammad IbnYaqub Kulain katika kitabu chake “Usul al-Kafi,” (juzuu juu ya tawhid), na hivyo hivyo

Mikesha ya Peshawar

41

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 41

Page 60: Mikesh A

Sheik Saduq katika kitabu chake juu ya Tawhid, Sura ya Ibtal Aqida Ruyatullah. ImamJa’far as-Sadiq ananukuliwa akisema, mwanachuo mmoja wa Kiyahudi alimuuliza Amir’l-Mu’minin, Ali (A.S.) iwapo amemuona Allah katika wakati wa Sala. Imam akajibu:“Hawezi kuonekana kwa macho haya ya kiumbo. Ni moyo ndio unaomuona Yeye, kwamwanga wa uhalisi wa kuamini na kusadiki.” Kutokana na majibu ya Ali ni kwamba yeyeanachomaanisha kwa kumuona Allah, sio kumuona kwa macho, bali kwa mwanga waimani ya kweli. Kuna ushahidi mwingine mwingi uliotegemezwa juu ya hoja na mamboyaliyoandikwa ya kuthibitisha maoni yetu juu ya nukta hii. Zaidi ya hayo, mbali nawanachuo wa Kishi’a, maulana wenu wenyewe, kama Qadhi Baidhawi na JarullahZamakhshari, wamethibitisha katika Sharhe zao kwamba haiwezekani kwa Allahkuonekana. Yeyote ambaye anaamini juu ya kuonekana kwa Allah, katika ulimwengu huuau ulimwengu ujao, anaamini kwamba ni kiumbe mwenye mwili. Kuamini hivyo niukafiri.

REJEA ZAIDI YA HADITH ZA AJABU AJABUKATIKA VITABU VIWILI VYA HADITH

Mnafikiria vitabu vyenu sita vya Hadith, khususan vile vya Bukhari na Muslim, kamavitabu vya Ufunuo. Natamani kwamba mngeviangalia kwa busara na msivuke mipaka kati-ka kuvisifu kwenu. Bukhari, katika Sura ya “Kitab-e-Ghusl,” na Muslim katika Sehemu ya2 ya Sahih yake (Sura ya fadhil za Mtume Musa), na Imam Ahmad bin Hanbal katikaMusnad yake, Sehemu ya 2 uk. 315, na maulamaa wenu wengine wamemnukuu AbuHuraira akisema: “Miongoni mwa wana wa Israel ilikuwa ni desturi yao kuoga pamoja bilanguo, hivyo kwamba kila mmoja aliangalia utupu wa mwenziwe. Hawakufikiria kamakuna kizuizi katika hilo. Mtume Musa ndiye aliyekuwa akiingia kwenye maji peke yake,hivyo kwamba hakuna aliyeweza kuona sehemu zake za siri.

“Wana wa Israeli walizoea kusema kwamba Mtume Musa alikuwa na hitilafu katika sehe-mu zake za siri, hivyo alijiepusha kuoga nao. Siku moja Mtume Musa alikwenda mtonikuoga. Alivua nguo zake, akaziweka juu ya jiwe na akaingia mtoni. Lile jiwe likakimbiana nguo zake. Musa akalikimbiza lile jiwe akiwa uchi, akipiga makelele: ‘Nguo zangu!Ewe jiwe nguo zangu.’ Wana wa Israel wakamuona Musa akiwa uchi na wakasema: ‘Kwajina la Allah Musa hana hitilafu katika tupu zake.’

Kisha lile jiwe likasimama, na Musa akarudishiwa nguo zake. Kisha Musa akalipiga lilejiwe kwa nguvu sana kiasi kwamba lile jiwe likalia kwa sauti kubwa mara sita au marasaba kwa maumivu.”

Kweli mnaamini kitu kama hicho kinawezekana kwa Nabii Musa (A.S.), au kwamba jiwe,kitu kisicho na uhai, lingeweza kuchukua nguo zake? Kwa hakika itakuwa haiwezekanikwa Mtume kukimbia uchi mbele za watu.

Mikesha ya Peshawar

42

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 42

Page 61: Mikesh A

Nitasimulia Hadith nyingine iliyoandikwa katika Sahih ambayo ni ya kichekesho zaidi.Bukhari anamnukuu Abu Huraira katika Sahih yake (Juz. 1, uk. 158 na Juz. 2, uk. 153), natena katika Sura ya “Kifo cha Mtume Musa,” na Muslim vilevile anamnukuu huyo huyo(Abu Huraira) katika Sahih yake Juz. 2, uk. 309 katika Sura ya Fadhila za Musa akisema:“Malaika wa Mauti alikuja kwa Mtume Musa na akamtaka akubali mwito wa Mola wake.Aliposikia hivi, Musa alimchapa kofi kali la uso kiasi kwamba jicho lake moja liling’oka.Hivyo alirudi kwa Allah na akalalamika kwamba amemtuma kwa mtu ambaye hataki kufa,na ambaye amemng’oa jicho lake moja. Allah akaponya jicho lake na akamuamuru aruditena kwa Musa na amuambie kwamba, kama anataka maisha marefu, yapasa aweke mkonowake juu ya mgongo wa fahali wa ng’ombe. Ataishi miaka mingi kama idadi ya nywelezitakazofunikwa na mkono wake.” Imam Ahmad bin Hanbal katika Musnad yake, Juz. 2uk. 315, na Muhammad bin Jarir Tabari, katika kitabu chake chaTarikh, Juz. 1, chini yakichwa cha habari, “Kifo cha Mtume Musa,” ametoa maelezo haya haya kutoka kwa AbuHurira pamoja na nyongeza kwamba kufikia wakati wa Musa, Malaika wa mauti alikuwaakitoa roho (za watu) katika mwili kiwaziwazi. Lakini baada ya Musa kumchapa kofi lauso, alikuja bila kuonekana.”

Sasa ni juu yenu kuamua ni kichekesho gani hiki ambacho kimewekwa katika vitabu hiviviwili vya hadith, ambavyo mnaviita kuwa ni vya usahihi zaidi kuliko vitabu vyote baadaya Qur’ani Tukufu. Riwaya nilizoelezea hakika zinadhalilisha heshima za Mitume waAllah. Ama kwa Abu Huraira, sizishangai simulizi zake. Maulamaa wenu wenyewewanakiri kwamba, ili apate kujaza tumbo lake kwa vyakula vyenye ladha vilivyotolewa naMu’awiya, alibuni hadithi za uongo. Kwa sababu ya uzushi wake, Khalifa Umar alimpigaviboko. Ni jambo la kushangaza kwamba watu wenye akili wanaamini ngano kama hizi zakuchekesha.

Sasa ngoja turudi kwenye majadiliano yetu kuhusu hadith uliyonukuu. Ni dhahiri, mtumkweli akiona hadith pekee (iliyosimuliwa na mtu mmoja) atailinganisha na hadithnyingine sahihi. Imma ataisahihisha au ataikataa moja kwa moja kuliko kuitumia kamamsingi wa kuwashambulia ndugu zake wa madhehebu nyingine na kuwaita makafir. Kwavile kitabu Tafsiri-e-Safi hatunacho hapa, hatuwezi kusema chochote kuhusu usahihi wahadith hii. Hata kama ni kweli, yatupasa kutegemea juu ya kanuni kwamba, kama tunajuaathari, tunaweza kujua sababu. Yaani, kama tunamjua Imam kama Imam, kwa hakika tuna-jua utambulisho wa Allah, katika njia ileile, ambayo kama mtu anamjua Waziri Mkuu,anamjua Mfalme. Ni kwa kuhusu kanuni hii kwamba Sura ya “Tawhid” na Aya nyingineza Qur’ani Tukufu zilishuka.

Zaidi ya hayo, kuna Hadith nyingi kuhusu upweke wa Allah zilizosimuliwa na ImamHusain mwenyewe na Maimamu wengine. Kumjua Imam wetu ni namna kubwa ya Ibadaya Allah. Maana hiyo hiyo imetolewa katika “Ziarat-e-Jami’a”, ambayo imefika kwetukutoka kwa Mtukufu Imam. Tunaweza kuitafsiri pia kwa njia nyingine, kama wanachuo

Mikesha ya Peshawar

43

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 43

Page 62: Mikesh A

walivyofanya katika mambo kama haya. Mtekelezaji yoyote wa kitendo anaweza kuelewe-ka kwa asili ya kitendo chake. Kwa vile Mtume na kizazi chake walifikia daraja ya juukabisa katika uwezo wa kibinadamu, hakuna wengine wenye fadhila au ubora kama wao.Kwa kuwa hawa ndio njia dhahiri zaidi ya kumjua Allah, yeyote awajuaye hawa, anamjuaAllah. Kama walivyosema wenyewe: “Ni kwa kupitia kwetu sisi, kwamba Allah anawezakutumikiwa.” Tunaamini kwamba Ahlul Bait wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wametu-fundisha elimu kuhusu Allah na njia zinazostahili za kumuabudu Yeye. Wale ambaohawakuwafuata wamepotea njia.

HADITH YA THAQALAIN (VIZITO VIWILI).

Kusisitiza jambo hili hili, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema katika hadith inayokubali-wa na madhehebu zote. “Enyi watu (wafuasi) wangu! Mimi ninakuachieni kwa ajili yenuvitu viwili vizito (vya rejea): Kitabu cha Allah na Ahlul Bait wangu. Mtakapokuwamumeshikamana na viwili hivi, kamwe, kamwe hamuwezi kupotea baada yangu, kwanikwa hakika viwili hivi kamwe havitatengana mpaka vinifikiea kwenye chemchem yaKauthar.”

Hafidh: Hatutegemei juu ya hadith hii, ambayo unajaribu kuirudia. Kuna uzushi mwingikatika vitabu vyenu na mifano ya ushirikina, kama vile kutafuta kutekelezewa haja zetukutoka kwa Maimamu zaidi kuliko kutoka kwa Allah. Ushirikina ni nini? Ushirikina unamaana ya kumgeukia mtu mwingine yeyote au kitu zaidi kuliko kwa Allah kwa ajili yakutekelezewa haja zetu. Imeonekana kwamba Mashi’a kamwe hawamuombi Allah.Wanawaomba Maimam. Hili si chochote, bali ni ushirikina.

Muombezi: Ninasikitika kwamba unapotosha ukweli. Labda ningeruhusiwa nikuelezeniushirikina ni nini kwa mujibu wa maulamaa wakubwa wa Kiislamu na kwa mujibu wa ayaza Qur’ani Tukufu.

USHIRIKINA NA AINA ZAKE:

Ushirikina ni wa aina mbili: Ushirikina wa wazi na ushirikina uliofichika. Ushirikina wawazi una maana ya kumshirikisha mtu au kitu na Nafsi Kamili ya Allah au kumshirikishana sifa Zake. Kumfanyia Allah washirika maana yake kushirikisha kitu na Upweke Wakena kuukiri ushirikishaji huu kwa ulimi, kama Sanamiyya (waabudu sanamu) auMazorostania, ambao wanaamini katika kanuni mbili: Nuru na giza. Wakristo piawanafanya hivyo. Wanaamini katika utatu na kuugawanya uungu katika sehemu tatu -Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu. Wanaamini katika tabia tofauti za kila mmoja, na mpakawatatu hawa waungane, bila hivyo uungu wenyewe hautakuwa kamili. Qur’ani Tukufuinakataa imani hii, na Allah (s.w.t.) anaelezea upweke wake katika maneno haya:

Mikesha ya Peshawar

44

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 44

Page 63: Mikesh A

“Kwa hakika wamekufuru wale waliosema: Hakika Allah ni Mmoja katika watatu;hali hakuna mungu ila Allah Mmoja….” (al-Maida; 5: 73).

Kushirikisha vitu na sifa za Uungu, maana yake ni kuamini kwamba sifa Zake, kama elimuYake au nguvu ziko tofauti na, au ni nyongeza katika Nafsi Yake Kamilifu. Ashariyya waAbu’l-Hasani Ali bin Ismail Ashari Basari, wanaelezewa na Maulamaa wenu wakubwa,kama Ali bin Ahmad katika kitabu chake Al-Kashf na Minhaju’l-Adilla fi Aqa’idi’l-Mila,Uk. 57 kuwa wanaamini kwamba Sifa za Allah ni nyongeza katika Nafsi Yake kamilifu, nakwamba ni za milele. Hivyo yeyote mwenye kuamini kwa njia yeyote ile kwamba tabia ausifa yeyote ya Allah ni nyongeza katika Nafsi yake kamilifu, huyo ni mshirikina.

Kila sifa Yake ni yenye asili kwake. Ushirikina katika matendo ya mtu, ina maanakumshirikisha mtu mwingine katika Dhati Yake Yenye kujitosheleza Daima dumu.Mayahudi wanaamini kwamba Allah aliumba viumbe na kisha akajiweka mbali na viumbeWake. Katika kuwalaumu watu hawa, aya ifuatayuo iliteremshwa:

“Na Mayahudi wanasema: Mkono wa Allah umefungwa! Mikono yao itafungwa(kwa pingu) na watalaaniwa kwa yale wanayoyasema. Bali, mikono yake yote iwazi;Hutoa apendavyo…” (5:64).

Ghullat wanaunda kundi lingine la washirikina. Pia wao wanaitwa Mufawwiza.Wanaamini kwamba, Allah ameweka au kuaminisha Mamlaka ya mambo yote kwaMaimam watukufu. Kwa mujibu wao, Maimam ni waumbaji na pia hutupatia sisi riziki.Kwa uwazi, wale wanaomuona mtu kuwa mshirika katika Mamlaka ya Uungu ni mshirik-ina.

USHIRIKINA KATIKA SWALA:

Ushirikina katika Sala, ina maana ya mtu kugeuza mazingatio yake wakati wa swala kwamakusudi kuelekea kwa kiumbe aliyeumbwa badala ya kuelekea kwa Allah. Kama mtuakikusudia kuomba kwa kiumbe aliyeumbwa, huyo ni mshirikina. Qur’ani Tukufuinakataza haya katika maneno haya.

“…Anayetarajia kukutana na Mola Wake, naafanye vitendo vizuri, na asimshirik-ishe yeyote katika ibada ya Mola wake.” (18:110).

Mikesha ya Peshawar

45

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 45

Page 64: Mikesh A

Aya hii inaonyesha kwamba sharti la msingi wa imani ni kwamba mtu lazima afanye lolotelile ambalo ni zuri na asije kumshirikisha yeyote pamoja na Allah katika kutoa utii na ibadaKwake. Kwa maneno mengine, yule ambaye anasali au kutekeleza Hija, au kufanya kiten-do chochote kizuri kwa ajili tu ya kujionyesha kwa watu uzuri wake, ni mshirikina.Amewashirikisha wengine pamoja na Allah katika jambo la kutekeleza vitendo vyake.Kuonyesha kujikinai kwa matendo mazuri ni ushirikina mdogo, ambao hutangua vitendovyetu vizuri.

Imepata kuelezwa kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Jiepusheni na ushirikinamdogo.” Watu wakamuuliza, “Ewe, Mtume wa Allah, ni nini ushirikina mdogo? Akajibu:“Al-riya wa’s-sama” (yaani, kuonyesha watu au kuwafanya wasikie juu ya ibada yako kwaAllah). Vile vile Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Kitu kibaya mno ninachokuhofienikwenu ni ushirikina uliofichika; hivyo kuweni na hadhi ya juu yake kwa kuwa miongonimwa wafuasi wangu ushirikina ni wa siri mno kuliko kutambaa kwa mdudu chungu juu yajiwe gumu katika usiku wa giza.”

Tena alisema: “Mtu ambaye anatekeleza ibada ya Sala kwa njia ya majivuno, ni mshirik-ina. Mtu ambaye anafunga au kutoa sadaka au kutekeleza Hija au kumuachia mtumwahuru ili kuonyesha kwa watu uadilifu wake au kujipatia jina zuri, ni mshirikina.” Na kwavile mistari hii ya mwisho inaelekeza kwenye mambo ya roho, umechanganywa katikaushirikina uliojificha.

Hafidh: Tunaona katika maelezo yako mwenyewe kwamba kama mtu atafanya maombikwa kiumbe yeyote aliyeumbwa ni mshirikina. Hivyo Mashia nao ni washirikina, kwa vilewanafanya maombi kwa Maimamu watukufu na watoto wao.

KUHUSU KUOMBA AU AHADI:

Muombezi: Kama tunataka kuyakinisha imani ya jumuiya moja, hatupasi kutegemea juuya watu wasio na ujuzi wa jumuiya hiyo. Yatupasa kusoma vitabu vyao vya kuaminika.Kama unapenda kuuchunguza Ushi’a, usianze na Shi’a omba omba barabarani, wapigaomakelele ya “Ya! Ali, Ya! Imam Ridha,” na kwa hoja hiyo, ukatangaza kwamba Mashi’ani washirikina. Halikadhalika, kama mtu mjinga atafanya maombi au kiapo kwa jina laMaimamu au watoto wao, haipasi kuukashifu Ushi’a wote. Kama utasoma vitabu vyaSheria vya Shi’a, utaona kwamba hamna hata dalili moja ya ushirikina, au mambo yaupumbavu. Msisitizo juu ya Upweke wa Allah uko wazi kila mahali. Vitabu mashuhurizaidi, “Sharhe ya Lum’a, na Shara’i, vinapatikana kwa wingi na unaweza ukavichunguza.Katika Sura ya “Ahadi” (ya nadhiri) maelezo sahihi ya wanasheria wa Kishia yanatajwakatika vitabu vyote vilivyotajwa hapo juu na katika vitabu vingine vingi. Kwa kuwa nad-hir ni aina ya maombi, ni lazima kuwa na nia kwamba ni kwa ajili ya kujikurubisha kwaAllah (Kurbata ila llah). Kuna Sharti mbili kwa nadhiri sahihi: Nia ya moyo na kutam-ka au kwa maelezo ya maneno ya lugha yoyote ile itakayokuwa. Kuhusu sharti la kwanza,

Mikesha ya Peshawar

46

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 46

Page 65: Mikesh A

nia ya moyo lazima iwe kwa ajili ya Allah. Sharti la Pili hukamilisha sharti la kwanza; mtuambaye anafanya Nadhiri lazima aseme kwa maneno kwamba, ni kwa ajili ya Allah. Kwamfano, kama anaahidi kufunga au kuacha kunywa (ulevi), lazima aweke nia kwa kutumiamaelezo ya maneno ambayo yana neno ‘lillah’ (kwa ajili ya Allah) bila ya hivyo nadhiriitakuwa batili.

NADHIRI KWA JINA LA ALLAH.

Kama tunafanya nadhiri isiyo kwa jina la Allah, bali kwa mtu mwingine, ikiwa amekufaau yuhai, au tukimchanganya pamoja na jina la Allah, hata kama ni Imam au mtoto wake,nadhir hiyo si sahihi. Kama hili likifanywa kwa makusudi na kwa kujua basi huo niushirikina wa dhahiri, kama ilivyo wazi kutoka kwenye Aya, “...Na usimshirikishe yoy-ote katika ibada ya Mola Wako.” (18:110). Wanasheria (mafakihi) wa Kishi’awanakubali kwamba, kufanya nadhiri kwa jina la mtu yoyote pamoja na Mitume auMaimam ni kosa. Kama ikifanywa kwa makusudi ni ushirikina. Nadhiri yoyote lazimaifanywe katika jina la Allah, ingawa tumerehusiwa kufanya wakai wowote tunapopenda.Kwa mfano, kama mtu kwa jina la Allah atachukua mbuzi kumpeleka kwenye nyumbamakhususi au sehemu ya ibada au kwenye kaburi la Imam au mtoto wa Imam na akamtoadhabihu, hakuna madhara ndani yake.

Vilevile, kama akiahidi na kutoa fedha au nguo kwa jina la Allah kumpa Seyyid (mjukuuwa Mtume) maalum, au kutoa sadaka kumpa yatima, au muombaji, hakuna madhara ndaniyake. Kwa kweli, kama mtu anaahidi kufanya nadhiri tu kwa ajili ya Mtume au Imam, aumtoto wa Imam au kwa ajili ya watu wengine, hiyo inakatazwa. Ikifanywa kimakusudi, niushirikina. Ni wajibu wa kila Mtume au mwenye mamlaka ya kidini kuwaonya watu kamaQur’ani Tukufu inavyosema:

“Sema: Mtiini Allah na mtiini Mtume, na kama mkigueka basi juu yake kinabakiakile alichobebeshwa juu yake na juu yenu hubakia kile mlichobebeshwa juu yenu …”(24:54).

Ni wajibu wa watu kusikiliza kile anachokisema Mtume wa Allah na kukitekeleza.Walakini, kama mtu hajali kufuata mafundisho ya Kimungu na hayatekelezi, haiwezi kud-huru imani au kanuni ambazo ndani yake imani imesimamishwa.

Mikesha ya Peshawar

47

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 47

Page 66: Mikesh A

USHIRIKINA ULIOFICHIKA:

KUJIONYESHA KATIKA SALA.

Aina ya pili ya ushirikina ni ule ushirikina uliofichika, kama vile kufanya kujionyesha Salazetu au namna zingine za utiii kwa Allah. Tofauti kati ya ushirikina huu na ule ushirikinawa katika Sala, ni kwamba kuhusu suala la ushirikina katika Sala tunashirikisha kitukingine au kiumbe pamoja na Allah. Kama mtu ataelekeza nia yake kwenye kitu kinginembali na Allah, katika Ibada ya Sala, au kama kwa ushauri wa Shetani, akawa na pichabandia ya Mungu katika mawazo yake, au kama kiongozi wake ndio kiini cha nia yake,basi ni mshirikina. Hakuna isipokuwa Allah Ndiye apasaye kuwa mlengwa wa nia katikaibada zetu. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema kwamba, kama mtu atafanya kitendo kizurina akafanya mtu mwingine kuwa mshirika pamoja na Allah ndani yake, basi kitendo chakechote ni kwa ajili ya yule mshirika. Allah anachukia kitendo hicho na mtendaji wake pia.Vile vile imesimuliwa kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema kwamba, “Kama mtuakifanya ibada ya Sala, au kufunga, au kutekeleza Hija na ana mawazo kwamba kufanyakwake hivyo watu watamsifu, “basi hakika, amefanya mshirika pamoja na Allah katikakitendo chake.”

Vilevile imesimuliwa kutoka kwa Imam Ja’far Sadiq kwamba kama mtu atafanya kitendokwa kumuogopa Allah, au kwa ajili ya malipo ya Akhera na akachangaya ndani yake rid-haa ya binaadamu, basi mtendaji wa kitendo hicho ni mshirikina.

USHIRIKINA KUHUSIANA NA KISABABISHO

Aina moja ya ushirikina ni ile ambayo huhusishwa kwenye kisababisho, kwa kuwa watuwengi huweka matumaini yao na hofu juu ya kisababisho cha pili. Huu pia ni ushirikina,lakini unasameheka. U shirikina una maana yakufikiri kwamba uwezo wote kiasili una-tokana na kisababisho cha pili. Kwa mfano, jua hustawisha vitu vingi ulimwenguni, laki-ni kama mtu atafikiria uwezo huu ni wa msingi katika jua (yaani asili yake inatokana najua lenyewe), basi huu ni ushirikina. Walakini, kama tunaamini kwamba jua limepatauwezo huu kutoka kwa Allah, na kwamba jua ni kisababisho cha pili tu cha ukarimu wake,basi huu kamwe sio ushirikina. Bali hasa ni namna ya Ibada, kwa kuwa kutafakari juu yaishara za Allah ni mwanzo wa kumwabudu Allah. Utajo umefanywa katika Aya za Qur’aniTukufu kwenye ukweli huu kwamba yatupasa kutafakari juu ya ishara za Allah kwa kuwahii huongozea kwenye mazingatio juu ya Allah. Kwa njia hiyo hiyo, kutegemea juu yakisababisho cha pili (nadhari ya mfanya biashara kwenye biashara, au nadhari ya mkulimakwenye shamba lake) humfanya mtu kuwa mshirikina kama kwa sababu hii atageuzamazingatio yake kunyume kutoka kwa Allah.

Mikesha ya Peshawar

48

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 48

Page 67: Mikesh A

Kwa msingi wa maelezo ya ushirikina ya hapo juu, ni upi katika mifano iliyoelezwa hapoambao unafikiri unatumika kwa Mashi’a? Ni kwa namna gani kutokana na mtazamo waSala, imani au hadithi za Shi’a ambayo umeiona, inayoweza kuwafanya washambuliwekwa ushirikina?

Hafidh: Nakiri kwamba yote uliyosema ni sawasawa, lakini kama utachukua taabu yakufikiri kidogo, utakubali kwamba kutegemea juu ya Maimam ni ushirikina. Kwa kuwahaitupasi kutafuta njia yoyote ya kibinadamu kumfikia Allah, yatupasa kumwomba Allahmoja kwa moja kwa ajili ya kutaka msaada.

KWANINI MITUME WALITAFUTA MISAADAKUTOKA KWA WATU?

Muombezi: Inashangaza kwamba unapuuza niliyokuwa nikisema hapa wakati wote huu.Je ni ushirikina kufanya maombi kwa watu wengine kwa ajili ya kutekelezewa haja zetu?Kama hii ingekuwa kweli, umma wote wa binadamu kwa ujumla basi ni wa kishirikina.Kama kuomba msaada kwa wengine ni ushirikina, kwa nini Mitume waliomba misaadakutoka kwa watu? Yakupasa uzichunguze aya za Qur’ani Tukufu ili upate kujua kipi nikweli na sahihi. Aya zifuatazo zinafaa kuzingatiwa: “Akasema: ‘Enyi wakuu! Ni naniatakayeniletea kiti chake cha enzi kabla hawajakuja kwangu, hali ya kuwa wamek-wisha sslimu amri?’ Mjasiri mmoja miongoni mwa majini akasema: ‘Miminitakuletea kabla hujainuka mahali pako hapo na mimi bila shaka ninazo nguvu zahayo (na) ni muaminifu.’ ‘Akasema yule aliyekuwa na ilmu ya Kitabu: ‘Miminitakuletea kabla ya kupepesa jicho lako’ basi alipokiona kimewekwa mbele yakealisema: ‘Haya ni kwa fadhila za Mola wangu…..’” (28; 38-40)

Uletaji wa kiti cha Enzi cha Bilqis (Malikia wa Sheba) kwa Sulaiman ulikuwahauwezekani kwa kila kiumbe. Kwa kukiri kabisa, ilikuwa sio kawaida, na MtumeSulaiman, pamoja na kujua kwake kwamba ilihitaji uwezo wa Ki-Mungu, hakumuombaAllah kuleta kiti hicho cha enzi, bali aliomba viumbe wa kawaida tu kumsaidia. Ukwelihuu unaonyesha kwamba kuomba msaada wa wengine sio ushirikina.

Allah, kisababisho cha kwanza, ndiye Muumba wa visababisho vya ulimwengu huu.Ushirikina ni jambo la moyo. Kama mtu anaomba msaada wa mwingine na hamfikiriiyeye kuwa ni Allah au mshirika Wake, haikatazwi. Hali hii ni ya kawaida kila mahali.Watu huenda kwenye nyumba za wengine na kuomba msaada bila kuchukua jina la Allah.Kama nikienda kwa Daktari na nikamuomba aniponyeshe, je, nitakuwa mshirikina? Tenakama mtu anakufa maji, na akapiga kelele za kuomba msaada hivi atakuwa ni mshirikina? Hivyo tafadhali kuwa muadilifu na usipoteze ukweli. Jumuiya yote ya Shi’a inaaminikwamba, kama mtu atafikiria kizazi cha Mtume kuwa ni Allah au washirika katika Dhati

Mikesha ya Peshawar

49

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 49

Page 68: Mikesh A

(Nafsi) Yake, hakika yeye ni mshirikina. Utakuwa umewasikia Mashi’a wakiwa katikashida wakilia, “Ya Ali, nisaidie!” Ya Husain, nisaidie!” Lakini ukweli ni kwamba, kwakuwa ulimwengu ni nyumba ya visababisho vya pili, tunawafikiria wao kama njia yakutolewa katika shida. Tunaomba msaada wa Allah kupitia kwao.

Hafidh: Badala ya kumuomba Allah moja kwa moja, kwa nini muombe visababisho?”

Muombezi: Matarajio yetu ya kudumu kuhusu haja zetu, dhiki, na hofu yamewekwa juuya Allah, Mkamilifu. Lakini Qur’ani Tukufu inasema yatupasa kumfikia Allah, kupitiabaadhi ya njia (visababisho) za kupelekea.

“Enyi ambao mmeamini! Mcheni Allah na tafuteni njia ya kumfikia Yeye…” (5:35).

DHURIA WATUKUFU WA MUHAMMAD NI NJIA(WASYLA – VISABABISHO) YA NEEMA ZA MUNGU.

Sisi Shi’a hatuwachukulii kizazi cha Mtume kama ufumbuzi wa matatizo yetu yote.Tunawaona wao kama wacha Mungu zaidi katika waja wa Allah na kama njia za neema zaMungu. Tunajiambatanisha wenyewe kwenye ile familia bora zaidi kwa mujibu wa maam-risho ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Hafidh: Kwa nini unasema kwamba, maneno: “Njia ya kumfikia (Wasyla)” katika Ayahiyo hapo juu yanawahusu kizazi cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)?”

Muombezi: Katika hadith nyingi, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), amependekeza kwetu,kwamba katika shida zetu tuwaombe watoto wake kama njia ya kumfikia Allah. Wengi waMaulamaa wenu, kama Hafiz Abu Nu’aimi Isfahani katika kitabu chake “Nuzulu’l-Qur’anifi Ali” (Ufunuo katika Qur’ani kuhusu Ali), Hafiz Abu Bakr Shiraz katika kitabu chake“Ma Nazala mina’l-Qur’ani fi Ali” na Imam Ahmad Tha’labi katika Tafsir (Sharhe) yakeanasema kwamba Wasilat (njia ya kumfikia) katika aya hiyo hapo juu ina maana ya wato-to wa Mtume (s.a.w.w.). Maneno haya yamekuwa wazi kwenye hadith nyingi za MtukufuMtume (s.a.w.w.). Ibn Abi’l-Hadid Mutazali, mmoja wa Mualamaa wenu maarufu, anase-ma katika “Sherhe Nahjul’l-Balagha” yake, Juz. 4, Uk, 79, kwamba Bibi Fatima Zahra, ali-taja maana ya maneno ya Aya hii mbele ya Muhajirina na Ansari, wakati anatoa khutubayake yenye kuhusu kunyang’anywa shamba lake la Fadak, katika maneno haya:“Namshukuru Allah Ambaye kwamba Ukuu Wake na Nuru Yake, Wakazi wa mbinguni na

Mikesha ya Peshawar

50

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 50

Page 69: Mikesh A

ardhini hutafuta njia ya kumfika Yeye. Miongoni mwa viumbe Wake sisi ni njia (Wasilat)ya kumfikia Yeye.”

HADITH ATH-THAQALAIN (HADITH YA VIZITO VIWILI).

Miongoni mwa hoja zetu nyingi zinazokubaliwa kuhusu uhalali wa kufuata kwetu kizazicha Mtume ni “Hadith ath-Thaqalain” - vizito viwili, ambayo usahihi wake umekubaliwana Madhehebu zote. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Kama mtashikamana na viwilihivi, kamwe, hamtapotea baada yangu.”

Hafidh: Nafikiri umekosea wakati unaposema kwamba hadith hii ni sahihi na kwambainakubaliwa na wote kwa kuwa haijulikani kwa Maulamaa wetu mashuhuri. Kuthibitishahaya naweza kusema kwamba, msimuliaji mkubwa wa hadith wa madhehebu yetu,Muhammad bin Ismaili Bukhari, haisimulii katika Sahih yake, ambacho ndio kitabu sahi-hi zaidi baada ya Qur’ani.

Muombezi: Sikukosea kuhusu hadith hiyo. Usahihi wa hadith hii tukufu umekubaliwa naMaulamaa wenu wenyewe. Hata Ibn Hajar Makki, pamoja na uchungu wake na chuki,anakubali ukweli wake. Yakupasa uangalie katika “Sawai’q Muhriqah (Sehemu ya 2, Suraya 2, Uk. 89-90, chini ya aya ya 4) ambamo ndani yake, baada ya kunukuu maelezo yaTirmidhi, Imam Ahmad bin Hanbali, Tabrani, na Muslim, anasema: “Elewa kwambahadith inayohusu kujiambatanisha na Thaqalain - vizito viwili (Ahlul-Bait wa Mtume naQur’ani) imesimuliwa katika njia nyingi. Wasimuliaji wa hadith hii idadi yao ni zaidi yaishirini, wote ni Masahaba wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).”

Kisha anasema kwamba kuna baadhi ya khitilafu ya namna ambayo kwayo hadith hii imes-imuliwa. Wengine wanasema kwamba ilisimuliwa wakati Mtume yuko kwenye Hija yakeya mwisho huko Arafa; baadhi wanasema ilisimuliwa Madina, wakati Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) yuko kwenye kitanda alichofia na chumba chake kilikuwa kimejaa Masahabawake; wengine wanasema kwamba ilisimuliwa huko Ghadir-Khum; na wengine wanase-ma ilisimuliwa baada ya kurudi kwake kutoka Ta’if. Baada ya kusema yote haya, yeye(Hajar Makki) mwenyewe anafafanua kwamba hakuna khitilafu ya wazi katika hadithyenyewe. Ama kwa tofauti ya sehemu, huenda ilikuwa kwamba Mtume amerudia kusimu-lia hadith hii katika nyakati tofauti na mara kwa mara (sehemu mbalimbali) kwa ajili yakusisitiza ukubwa wa Qur’ani na kizazi chake kitukufu.

Umesema kwamba, kwa kuwa Bukhari hakuisimulia hadith hii katika Sahih yake, basiusahihi wake ni wa mashaka. Lakini hadith hii, ingawa haikuandikwa na Bukhari, imes-

Mikesha ya Peshawar

51

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 51

Page 70: Mikesh A

imuliwa kiujumla na maulamaa wakubwa wa madhehebu yenu, pamoja na Muslim binHajjaj na waandishi wengine wa vitabu sita vya hadith, ambao wameziandika katika vitabuvyao kwa ukamilifu sana, na hawategemei ukusanyaji wa Bukhari tu peke yake. Kamaunakubali uadilifu wa Maulamaa wako wote mwenyewe, ambao wote walitambuliwa naMasunni waliopita, yapasa ukubali hadithi hii kwamba ni ya kweli, ambayo kwa sababufulani haikuandikwa na Bukhari.

Hafidh: Hakuna sababu ya kuunga mkono kutokuiandika hadith hii. Bukhari alikuwamakini sana katika suala la kusimulia hadithi. Alikuwa ni mwanachuo mwangalifu sana,na kama aliona hadith, kwa mtazamo wa maudhui au chanzo chake, kuwa yenye madharaau kutokubalika na akili za kawaida, yeye hiyo hakuiandika.

Muombezi: Kama mithali inavyosema: “Kupenda sana kitu humfanya mtu kuwa kipofuna kiziwi.” Waheshimiwa Masuni wamekosea hapa, una shauku kubwa katika upendowako kwa Imam Bukhari. Unasema alikuwa mchunguzi sana wa mambo, na kwambasimulizi zilizomo katika Sahih yake ni za kuaminika na kustahiki sifa ya Wahayi (Ufunuo).Lakini ukweli ni kinyume chake. Nyororo ya riwaya zilizotajwa na Bukhari zina watuambao mara kwa mara wameshutumiwa kama waongo.

Hafidh: Madai yako sio ya kweli. Unashusha elimu na uwezo wa Bukhar, ambavyo ni tusikwa madhehebu yote ya Sunni.

Muombezi: Kama uchunguzi ulioko juu ya msingi wa elimu ni matusi, basi wengi waMaulamaa wenu maarufu ni watu ambao wamekebehi ile nafasi ya juu ya elimu na maar-ifa. Ningependa kukushauri uvichunguze mwenyewe vitabu vilivyoandikwa na waandishiwakubwa na maulamaa wa madhehebu yenu ambao wameandika Sherhe juu ya SahihBukhari, k.m. “Al-Lu’ali’l- Masnu’a fi hadith’l-Mazu’a” ya Suyuti, “Mizanu’l-ibtidal” na“Talkhisu’l-Mustadraka” ya Dhahabi; “Tandhkiratu’l-Mazu’a” ya Ibn Jauzi, “TarikhBaghdad” kilichokusanywa na Abu Bakar Ahmad bin Ali Khatib Baghadad, na vitabuvingine vya “Ilm Rijal” (vinavyoitwa, makala juu ya sifa za wasimuliaji) vilivyoandikwana maulamaa wenu wengi wakubwa. Kama utasoma vitabu hivi, hutathubutu kusemakwamba nimemkebehi Imam Bukhari.

Mikesha ya Peshawar

52

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 52

Page 71: Mikesh A

BUKHARI NA MUSLIM WAMEANDIKA

HADITH NYINGI ZILIZOSIMULIWA NA WAZUSHI.

Nilichosema ni hiki: Vitabu hivi viwili, Sahih Bukhari na Sahih Muslim, vina hadithi zili-zosimuliwa na waongo. Kama utavichunguza Sahih Muslim na Sahih Bukhari katikamwanga wa vitabu vya “Rijal” (yaani vitabu vyenye kuelezea maisha na tabia za wasimu-liaji wa hadith), utaona kwamba wameandika hadith nyingi zilizosimuliwa kutoka kwawatu ambao walikuwa waongo wakubwa, kwa mfano Abu Huraira, muongo mwenye sifambaya, Ikrima Kharji, Sulaiman bin Amri, na wengine wa namna hiyo hiyo. Bukharihakuwa makini katika kuandika Hadith kama unavyofikiri. Hakuiandika “Hadith yaThaqalain” ambayo wengine wameiandika, lakini hakusita kuandika ngano za kufedhehe-sha na matusi kuhusu Mtume Musa akimpiga kofi la uso Malaika wa Mauti, Mtume Musaakikimbia akiwa uchi mbele za watu akifukuza jiwe, na juu ya kuonekana kwa Allah(s.w.t.).

Fikiria ngano nyingine ya kudhihaki na matusi iliyoandikwa na Bukhari katika Sahih yake,Juz. 2, uk. 120, Sura ya “Al’Lahr Bi’l-Harb,” na Muslim katika Sahih yake Juz. 1, akim-nukuu Abu Huraira akisema kwamba siku ya Idd baadhi ya mabedui kutoka Sudaniwalikusanyika katika Msikiti wa Mtume. Waliwaburudisha watazamaji kwa michezo namaonyesho yao. Mtume akamuuliza Aisha (Mke wake - Mama wa Waumini) kamaangependa kuona hayo maonyesho. Aisha, akasema anapenda kuyaona. Mtume akam-fanya (Aisha) apande juu ya mgongo wake kwa hali ambayo kichwa chake kilikuwa juu yamabega yake na uso wake juu ya kichwa cha Mtume. Ili kumfurahisha Aisha, MtukufuMtume (s.a.w.w.) alikuwa akiwaomba wachezaji kuonyesha mchezo (dansa) nzuri zaidi.Mwishowe Aisha alichoka, na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akamuacha ateremke chini!Amua mwenyewe iwapo ngano kama hii haifedheheshi.

Kama Bukhari alikuwa makini kuhusu kusimulia mambo, je, ilikuwa inafaa kwa upandewake kuandika ngano za kipuuzi kama hizi katika Sahih yake? Lakini ni mpaka sasaunaviainisha vitabu hivi kuwa ndio sahihi zaidi baada ya Qur’ani Tukufu. Hakika Bukharialichukua tahadhari maalum kuliacha jambo la Uimamu na Umakamu wa Ali (a.s.) nahivyo hivyo suala la Ahlul-Bait. Huenda aliogopa maelezo kama hayo yangeweza yakatu-mika siku moja kama silaha dhidi ya wapinzani wa Ahlul-Bait.

Mikesha ya Peshawar

53

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 53

Page 72: Mikesh A

HADITH NYINGI SAHIHI ZIHUSUZO AHLUL-BAIT

ZILIEPUKWA KWA MAKINI SANA.

Hivyo wakati tukilinganisha Sahih Bukhari na Sahih nyinginezo, tunafikia kwenye uamuzijuu ya suala hili kwamba hadith yoyote yenye kuwahusu Ahli Bait, hata iwe sahihi vipi nakuungwa mkono kikamilifu na waandishi katika mwanga wa Qur’ani, Bukhari kwamakusudi alishindwa kuiandika. Kwa mfano, kuna Aya nyingi za Qur’ani Tukufu, ambazozina muelekeo wa moja kwa moja juu ya Ahadith (Hadhithu’l-Wilaya katika siku yaGhadir; Hadith Inzar Yaumu’d-Dar; Hadithu’l-Muwakhat; Hadithus-Safina; HadithBabu’l-Hitta n.k.) ambazo zinahusu, heshima juu yao, na umakamu wao dhuria waMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Hizi Bukhari ameziacha kwa uangalifu na umakini sana. Nakwa upande mwingine, zile zinazoitwa eti ni “Hadith” ambazo zinawatweza Mitume,hususan Mtume wetu na kizazi chake kilicho safi, zimeandikwa katika kitabu chake bilahata kufikiria kidogo kwamba zimesimuliwa na waongo.

VYANZO VYA HADITH YA THAQALAIN.

Ama kwa hadith ya Thaqalain (Vizito viwili), ambayo Bukhari hakuiandika katika kitabuchake, vitabu vingine sahihi vya madhehebu yenu vimeisimulia. Kusema kweli, hata yulemwanahadith mkubwa, Muslim, ambaye anafikiriwa kuwa sawa na Bukhari, yeye piaameisimulia. Wanachuo wengine ambao wameisimulia hadith hii ni hawa wafuatao:Muslim bin Hajaji katika “Sahih” yake Juz. 7, uk. 122; Abu Dawud katika “Sahih” yake;Tirmidhi katika “Sunan” yake, sehemu ya 2, uk. 307; Nisa’i katika “Khasa’is” yake uk. 30;Imam Ahmad bin Hanbal katika “Musnad” yake Juz. 3, uk. 14-17, Juz. 4, uk. 26 na 59 naJuz. 5, uk. 182 na 189; Hakim katika “Mustadrak” Juz. 3, uk. 109 na 148; Hafidh AbuNu’aim Isfahani katika Hilyatu’l-Auliya, Juz. 1, uk. 355; Sibt Ibn Jauzi katika Tadhkirayake, uk. 182; Ibn Athir Jazari katika “Usudu’l-Ghaiba”, Juz. 2, uk. 12 na Juz. 3, uk. 147;Hamidi katika “Jama’Baina-s-Sahihain” Razin katika “Jama’Baina-s-Siha-e-Sitta”;Tabran katika “Tarikh al-Kabir”; Dhahabi katika Talkh is-e-Mustadrak.

Ibn Abd Rabbih katika “Iqdu’l-Faridh” yake; Muhammad bin Talha Shafi’i katika“Matalibu’s-Su’ul”; Khatib Khawarizmi katika “Manaqib” Sulayman Balkhi Hanafi kati-ka “Yanabiu’l-Mawaddatu”, uk. 18, 25, 29, 30, 31, 32, 34, 95, 115, 126, 199 na 230, pamo-ja na tofauti ndogo katika maneno; Mir Seyyid Ali Hamadani katika “Mawadda” ya pili ya“Mawaddatu’l-Qurba;” Ibn Abi-l-Hadid katika “Sherh Nahju’l-Balaghah”; Shablanji kati-ka “Nuru’l-Absar” uk. 99; Nuru’d-Din Sabbagh Maliki katika “Fusulu’l-Muhimma” uk.25; Hamwaini katika “Fara’idu’s-Simtain”; Imam Tha’labi katika “Tafsir Kasfu’l-Bayan”;

Mikesha ya Peshawar

54

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 54

Page 73: Mikesh A

Sam’ani na Ibn Maghazili Shafi’i katika “Manaqib”; Muhammad bin Yusufu Ganji Shafi’ikatika “Kifayatu’l-Talib”, Sura ya 1, katika maelezo ya usahihi wa Khutuba ya GhadirKhum na vilevile katika Sura 62, uk. 130; Muhammad bin Sa’ad Khatib katika “Tabaqat”,Juz. 4, uk. 8; Fakhru’d-Din Razi katika “Tafsir Kabir” Juz. 3, chini ya Aya I’tisma (3:103),uk. 18; Ibn Kathir Damishqi katika “Tasfir” Juz. 4 chini ya aya ya Mawadda (42:23), uk.113, Ibn Hajar Makki katika “Sawa’iq-e-Muhriqah” uk. 75, 87, 90, 99 na 136 pamoja natofauti ya maneno.

Kuna wanachuo wengine kadhaa wa madhehebu yenu ambao majina yao siwezi kuyataja katika mkutano huu kutokana na uhaba wa muda. Wengi wa wanachuo wenu wameisimu-lia hadith hii muhimu kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa wingi sana na kwa mfu-atano usiokatika wa usimuliaji kutoka kwa mmoja hadi mwingine kiasi kwamba imepatahadhi ya hadith inayosimuliwa mara kwa mara. Kwa mujibu wa hadith hii, MtukufuMtume (s.a.w.w.) alisema yafuatayo: “Ninaacha kati yenu vitu viwili vizito; Kitabu chaMwenyezi Mungu na Ahlul-Bait wangu. Kama mtaambatana na viwili hivi, kamwe,kamwe hamtapotea. Viwili hivi havitatengana mpaka vije vinifikie kwenye Haudhi yaKauthar.”

Kwa msingi wa hadith hii Sahihi, tunaona kwamba yatupasa kutafuta mshikamano kwenyeQur’ani Tukufu na Ahlul-Bait wa Muhammad (s.a.w.w.).

Sheikh: Hadith hii ya Mtume imesimuiliwa na Salih bin Musa bin Abdullah bin Ishaq,kupitia nyororo yake ya wasimuliaji waaminifu, akisema kwamba Abu Huraira ameisimu-lia katika njia hii: “Ninakuachieni vitu viwili vizito: Kitabu cha Allah (Qur’ani Tukufu)na Sunna zangu (Mwenendo)….”

Muombezi: Unanukuu tena hadith kutoka kwa mkorofi yule yule ambaye amepuuzwa nawakosoaji wa Shi’a (Kama Dhahabi, Yahaya, Imam Nisai, Bukhari na Ibn Adi, n.k.). Je,hutosheki na rejea za kuaminika ambazo nimezifanya kutoka Maulamaa wenu wenyewewakubwa kuhusu hadith hii? Unanukuu maneno yasiyokubalika ya Hadith japokuwaMashi’a na Masunni wote kwa pamoja wamekubali kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)ametumia maneno, “Kitabu cha Allah na kizazi changu”, na sio “Sunna zangu.” Kusemakweli “Kitabu” (Qur’ani) na “Sunna” (mwenendo) vyote vinahitaji tafsir. Kwa hiyo Sunnahaiwezi kuelezea Qur’ani Tukufu. Hivyo kizazi cha Mtume ambao ndio sawa na Qur’aniTukufu ndio Wafasir halisi wa Qur’ani Tukufu na Sunna za Mtume (s.a.w.w.) vilevile.

HADITH YA SAFINA.

Sababu nyingine inayotufanya tutafute kushikamana na kizazi cha Mtume ni hadith sahih,“Hadith ya Safina”, ambayo imesimuliwa na Maulamaa wenu wote wakubwa, takribanbila kuacha hata mmoja, na mlolongo usiovunjika.

Mikesha ya Peshawar

55

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 55

Page 74: Mikesh A

Zaidi ya Wanachuo wenu mia moja wenyewe wameisimulia hadith hii: Muslim bin Hajjajkatika “Sahih” yake, Imam Ahmad bin Hanbal katika “Musnad”, Hafidh Abu Nu’aim kati-ka “Hilyatu’l-Auliya.” Ibn Abdi’l-Birr katika “Isti’ab.” Abu Bakar Khatib Baghdadi kati-ka “Ta’rikh Baghdad”; Mohammed bin Talha, Shafi’i katika “Matalibu’s-Suul;” Ibn Athirkatika “Nihaya” Sibti Ibn Jauzi katika “Tadhkira”; Ibn Sabbagh Makki katika “Fusulu’l-Muhimma”; Allama Nuru’d-Din Samhudi katika “Ta’rikhu’l-Madina” Sayyid Mu’minShablanji katika “Nuru’l-Absar;” Imam Fakhni’d-Din Razi katika “Tafsir Mafatihu’l-Ghaib”, Jalalu’d-Din Sayuti katika “Durru’l-Manthur”; Imam Tha’labi katika “TafsirKasfu’l-Bayan”, Tabrani katika “Ausat”; Hakim katika “Mustadrak” Juz. 3, uk, 151;Sulayman Balkhi Hanafi katika “Yanabiu’l-Mawadda”, Sura ya 4, Mir Seyyid AliHamadani katika “Mawaddatu’l-Kurba” Mawadda ya 2; Ibn Hajar Makki katika“Sawa’iqu’l-Muhrikah” chini ya Aya 8; Tabari katika “Tafsir” yake, na vilevile katika“Tarikh” yake; Muhammad bin Yusufu Ganji Shafi’i katika “Kifayatu’l-Talib.” Sura ya100, uk. 233.

Maulamaa wengine wengi wa madhehebu yenu wamesimulia kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alisema: “Mfano wa Ahlul-Bait wangu ni ule wa Safina ya Nuh. Ambayeataipanda ataokolewa; ambaye anaipa mgongo atazama na kuangamia.”

Imam Muhammad bin Idris Shafi’i amerejea kwenye Hadith hii Sahih katika beti zake zamashairi ambazo Allama Fazil Ajib ameziandika katika “Dhakhiratu’l-Ma’al.” ImamShafi’i, ambaye anatambuliwa kama mmoja wa wanachuo maarufu wa madhehebu yaSuni, anakiri kwamba, kushikamana kwetu na familia iliyotoharishwa ya Mtume ni njia yawokovu wetu kwa sababu, kati ya Madhehebu sabini za Uislam, ile madhehebu ambayoinafuata kizazi cha Mtume ndiyo peke yake itakayopata wokovu.

KUTAFUTA NJIA YA KUMFIKIAALLAH SIO USHIRIKINA.

Umesema kwamba kutafuta njia ya kumfikia Allah ni ushirikina. Kama hii ilikuwa kweli,kwa nini Umar bin Khatib alitafuta msaada wa Allah (swt.) kupitia kwa kizazi cha Mtume?

Hafidh: Khalifa Umar kamwe hajafanya hivyo.

Muombezi: Katika nyakati za shida Umar alitafuta msaada wa kizazi cha Mtume,Alimwomba Allah kupitia kwao, na mahitaji yake yalitekelezwa. Ninarejea kwenyematukio mawili tu. Ibn Hajar Makki anaandika katika “Sawa’iq-e-Muhriqah,” baada yaAya ya 14 (kutoka kwenye Tarikh Damascus) kwamba katika mwaka wa 17 Hijria watuwaliswali kwa ajili ya kuomba mvua lakini hawakufanikiwa. Khalifa Umar akasema

Mikesha ya Peshawar

56

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 56

Page 75: Mikesh A

kwamba angesali kwa ajili ya mvua siku ifuatayo kupitia njia ya kumfikia Allah.Asubuhui yake alikwenda kwa Abbas, ami yake Mtume na akasema: “Toka nje ili tuwezekumuomba Allah kupitia kwako kwa ajili ya mvua.”

Abbas alimuomba Umar akae kidogo ili kwamba hio njia ya kufikia kwa Allah ipatikane.Basi, Bani Hashim (Ahlul-Bait) walijulishwa. Kisha Abbas akatoka nje pamoja na Ali,Imam Hassan na Imam Husein. Bani Hashim wengine walikuwa nyuma yao. Abbasakamwambia Umar kwamba mtu yoyote mwingine asiongezwe kwenye kundi lao. Kishawalikwenda sehemu ya kuombea ambapo Abbas alinyanyua mikono yake kwa ajili yamaombi na akasema: “Ya Allah! Wewe ndio umetuumba sisi, na unajua kuhusu vitendovyetu. Ya Allah! Kama ulivyokuwa Mwema kwetu mwanzoni, hivyo kuwa Mwema kwetumwishoni.” Jabir anasema kwamba du’a yao ilikuwa bado haijakwisha wakati mawinguyalipojitokeza na ikaanza kunyesha. Kabla hawajafika nyumbani kwao, walikwishalowa.

Bukhari pia anasimulia kwamba, siku moja wakati wa ukame Umar bin Khatib alimuom-ba Allah kupitia kwa Abbas bin Abdu’l-Muttalib na akasema: “Tunatuma maombi sisiwenyewe kupitia kwa ami yake Mtume wetu; hivyo, Mwenyezi Mungu tunyeshee mvua.”Kisha ilianza kunyesha. Ibn Abi’l-Hadid Mutazili katika “Sherhe Nahju’l-Balaghah”(Chapa ya Misri), uk. 256, anaandika kwamba Khalifa Umar alikwenda pamoja na Abbas,ami yake Mtume, kumuomba Allah kwa ajili ya mvua. Katika maombi yake kwa ajili yamvua, Khalifa Umar alisema: “Ya Allah! Tunaleta maombi wenyewe kupitia kwa amiyake Mtume Wako, na kwa jadi yake na kwa watu wao maarufu waliobakia. Hivyo lindacheo cha Mtume wako kupitia kwa Ami yake. Tulikuwa tumeongozwa Kwako kupitia kwaMtume, ili kwamba tutafute msaada wao na kufanya toba.”

Kama kuwatafuta kizazi cha Mtume na kuwaendea kwa ajili ya haja zetu katika njia yaAllah ni ushirikina, basi Khalifa Umar alikuwa mshirikina wa kwanza. Kizazi chaMuhammad (s.a.w.w.), kutoka wakati wa Mtume mpaka leo hii, wamekuwa ndio njia yakupitia (Wasilat) katika du’a na maombi yetu kwa Allah. Tunawachukulia tu kama watuwacha-Mungu sana na walio karibu mno na Allah. Kwa hiyo tunawaona wao ni njia yakutufikisha kwa Allah. Na uthibitisho mzuri wa hili ni vitabu vyetu vya Dua zilizoelezwana Maimam wetu Ma’asum. Tunakubali maelekezo ya Maimam wetu.

Hapa ninavyo vitabu viwili: “Zadu’l-Ma’ad” cha Allama Majlisi na “Hidayatuz-Za’irin”cha Sheikh Abbas Qummi, ambavyo ninavitoa kwako ili uvichunguze. (Wote wawiliHafidh na Sheikh walichunguza vitabu vile). Waliisoma Du’a ya Tawassul, na walionakwamba Ahlul-Bait wa Mtume walikuwa ni sehemu ya du’a. Kila mahali walikuwawametajwa kama njia ya kufikia kwa Allah. Katika muda ule Mulla Abdu’l-Hayy alisomaDu’a yote ya Tawassul, iliyoelezwa na Maimam watoharifu na kunukuliwa na Muhammadbin Babawayh Qummi.

Mikesha ya Peshawar

57

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 57

Page 76: Mikesh A

DUA YA TAWASSUL.

Haya ni maombi kwa Allah. Kama Ali ambavyo ametajwa hapa, na Maimam wotewametajwa kwa hali hiyo hiyo. Athari ya Ahlul-Bait wa Mtume inatafutwa kutufikishakwa Allah. Wanatajwa namna hii: “Ewe Bwana wetu na kiongozi wetu! Tunatafuta msaa-da wako wa kutufikisha kwa Allah. Ewe unayeheshimika zaidi mbele ya Allah: Tuombeesisi Kwake.” Ahli Bait wote wa Mtume wametajwa katika hali hiyo hiyo.

MASHIA HAWAWASINGIZII MASUNNI.

Wakati du’a hii ilipokuwa ikisomwa, baadhi ya mabwana waungwana wa Kisuni waligutakwa mshangao na butwaa na masikitiko juu ya kutoelewana kukubwa kulikosababiwa nawatu. Muombezi akauliza: Je, kuna dalili yoyote ya ushirikina katika du’a hii? Je, jinatukufu la Allah halipatikani kila mahali? Ni watu wenu wangapi wasioelewa na wasiowavumilivu ambao wamewauwa Mashi’a wa watu masikini, wakiamini kwamba wameuamshirikina? Lawama juu ya mambo haya moja kwa moja ni juu ya maulamaa kama ninyiwenyewe. Je, umewahi kusikia hata siku moja kwamba Shi’a mmoja amemuua Sunni?Ukweli ni kwamba maulamaa wa Kishi’a hawaenezi sumu. Hawajengi chuki baina yaShi’a na Sunni, na wanaona kuua kwamba ni dhambi kubwa. Katika mambo ya tofauti yaimani kati yao, wanafafanua misimamo kwa majadiliano yaliyojengeka juu ya msingi waelimu na mantiki, na kufanya ijulikane kutokana na mazungumzo yao kwamba Sunni nindugu zao.

MAULAMAA WA KISUNI WANAWAITA MASHI’A MAKAFIRI.

Kwa upande mwingine, matendo ya maulamaa mashabiki wa Sunni wanafaa kuangaliwa.Wafuasi wa Abu Hanifa, Maliki bin Anas, Muhammad bin Idris Shafi’i na Ahmad binHanbal, ambao wanazo tofauti za wazi kabisa, wanawaita wafuasi wa Ali bin Abi Talib naImam Ja’far bin Muhammad makafiri na washirikina. Wanachuoni wengi wakubwa nawacha Mungu wa Kishi’a waliuwawa mashahidi kwa fat’wa zilizotolewa na Maulamaawa Kisuni. Kinyume chake hakuna mfano wa ukatili kama huo kwa upande wa Ulamaawa Kishi’a. Maulamaaa wenu mara kwa mara hutoa maneno ya kuwalaani Mashia, lakinihutaona popote laana juu ya Masunni katika vitabu vilivyoandikwa na Maulamaa waKishi’a.

Mikesha ya Peshawar

58

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 58

Page 77: Mikesh A

Hafidh: Hutendi haki. Unachochea chuki bure. Toa mfano mmoja tu wa mwanachuo waKishi’a aliyeuwawa kwa hukumu ya maulamaa wetu! Nani katika Mualamaa wetu aliyetoamaneno ya laana juu ya Shi’a?

Muombezi: Kama ingekuwa nielezee kirefu matendo ya Maulamaa wenu au ya watuwenu wa kawaida, mkutano mmoja usingekuwa mrefu wa kutosha. Nitarejea tu kwenyemifano michache yenye kuhusiana na matendo yao ili ujue kwamba mimi sichochei chuki,bali naonyesha ukweli. Kama utavichunguza vitabu vya Maulamaa wenu mashabiki,utaona sehemu ambazo wamelaani Mashi’a. Kwa mfano, angalia vitabu vya Tafsiri vyaImam Fakhrud-Din Razi. Wakati anapopata wasaa tu, kwa mfano kuhusiana na Aya zaWilayat, huandika kwa kurudia rudia: “Laana iwe juu ya Marafidhi, laana iwe juu yaMarafidhi,” lakini maulamaa wetu hata mara moja hawajaandika mambo kama hayo juuya ndugu zetu Masunni.

Mfano wa vitendo vya kikatili vya maulamaa wenu kuhusu maulamaa wa Kishi’a ni zilehukumu ya Makadhi wakubwa wawili wa Syria (Burhanud-Din Maliki na Ibad bin Jama’atShafi’i) dhidi ya mmoja wa Mwanasheria (Faqih) mkubwa, Abu Abdullah Muhammad binJamalu’d-bin Makki Amili. Mwanachuo yule mkubwa alikuwa akijulikana katika wakatiwake kwa ucha Mungu wake na elimu ya Sheria.

Mfano wa uwanachuo wake ni kitabu chake, “Lum’a,” ambacho alikiandika kwa muda wasiku saba bila kuwa na kitabu chochote mkononi mwake juu ya Sheria (Fiqih) isipokuwa“Mukhtasar Nafi’.” Zaidi ya hayo, wanachuo wa madhehebu haya manne (Hanafi, Maliki,Shafi’i na Hanbal) walikuwa miongoni mwa wanafunzi wake. Kwa sababu ya maonevuya Massuni, mara kwa mara alifanya Taqiyya (kujigeuza na kuficha mwelekeo wakati wahatari), na hakutangaza Ushi’a wake waziwazi. Kadhi Mkuu wa Syria, Ibad bin Jama’at,ambaye ameweka uhusuda dhidi yake, alimzungumza vibaya kwa mtawala wa Syria(Baidmar) na akamshutumu kuwa yeye ni Rafidhi na Shi’a. Mwanachuo huyu maarufuakatiwa nguvuni. Baada ya kutaabikia ufungwa na mateso ya mwaka mmoja, kwa fat’waya Makadhi hawa wawili (Ibnu’l-Jama’at na Burhanud-Din) yeye akauawa na mwili wakeukatundikwa kwenye kiunzi. Kwa vile walitangaza kwamba kuna Rafidh ni Kafiri yukojuu ya miti ya kunyongea, watu wa kawaida waliupiga mawe mwili ule. Baadae, mwiliule ulichomwa na jivu lake likasambazwa.

Miongoni mwa maulamaa na wanasheria wa Kishi’a wa kujivunia wa Syria katika karneya 10 Hijriya, alikuwa Sheikh Zainu’d-Din bin Nuru’d-bin Ali bin Ahmad Amili. Alikuwaakijulikana sana miongoni mwa marafiki na maadui kwa elimu yake na uadilifu. Akiwamtunzi wa vitabu vingi, alijiweka mbali na ulimwengu na akaandika vitabu 200 juu yamasuala mbalimbali. Ingawa aliishi maisha ya kujitenga, bado maulamaa wa Kisunni wal-ijenga chuki juu yake, na wivu juu ya umaarufu wake miongoni mwa watu. Mkubwa kati-ka wapinzani wake alikuwa Kadhi Sa’ida, ambaye aliandika kwa Mfalme Sultan Salim

Mikesha ya Peshawar

59

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 59

Page 78: Mikesh A

malalamiko yafuatayo: “Hakika kuna mtu anaishi katika jimbo la Syria ambaye ni mzushi,mtu ambaye hahusiki na mojawapo ya madhehebu manne.” Sultani Salim aliamrishakwamba mwanasharia huyo aletwe mbele ya mahakama huko Istanbul (Uturuki). Alitiwanguvuni ndani ya Msikiti Mtukufu wa Makka na alifanywa mfungwa siku arubaini mjiniMakka. Katika safari ya baharini kuelekea Istanbul, alikatwa kichwa na mwili wakeukatupwa baharini. Ni kichwa chake tu ndicho kilichopelekwa kwa mfalme

Waheshimiwa Mabwana! Nakuulizeni kwa shauku moyoni, kwa jina la Allah msemeiwapo mlipata kusikia tabia ya namna hiyo kwa upande wa Maulmaa wa Kishi’a dhidi yaSunni kwa sababu ya kutofauta madhehebu ya Shi’a. Ni hoja gani mtakayoleta kuthibitishakwamba iwapo mtu akiacha kufuata yoyote katika madhehebu manne, yeye anakuwa nikafiri na kwamba kuuawa kwake yeye ni wajib? Je, ni mantiki kufuata madhehebuambayo yamekuja kuweko karne kadhaa baada ya Mtume, ambapo wale wanaofuatakanuni iliyokuwepo tangu wakati wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wanaamriwa wauawe?

MASHIA NA MADHEHEBU MANNE YA SUNNI.

Tafadhali hebu semeni kwa jina la Allah, iwapo hawa Maimam wanne Abu Hanafi, Malik,Shafi’i na Hanbal, walikuwa hai wakati wa uhai wa Mtume. Je, waliipata misingi ya dinikutoka kwa Mtume moja kwa moja?

Hafidh: Hakuna hata mmoja aliyedai hayo kuwa hivyo.

Muombezi: Je, Amir’l-Mu’minin Ali hakuwa mwenzi wa wakati wote wa Mtume, na je,hakutangaza kuwa Yeye ni lango la Jiji la Elimu?

Hafidh: Yeye kwa hakika alikuwa mmoja kati ya masahaba maarufu sana wa MtukufuMtume (s.a.w.w.), na katika hali zingine yeye alikuwa ni mbora kuliko wao wote.

Muombezi: Je, hivi hatuna haki, kwa hiyo, ya kushikilia kwamba kumfuata Ali ni wajibu?Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe alisema kwamba kumtii Ali ni sawa na kumtii yeyena kwamba yeye Ali alikuwa ni Lango la Elimu? Vile vile Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alise-ma kwamba yoyote yule anayetaka kupata elimu yapasa aende kwenye mlango wa Ali.Vilevile, kwa mujibu wa “Hadith ath-Thaqalain” na “Hadith as-Safina,” ambazo zinatam-buliwa na wote Sunni na Shi’a kugeuka kutoka kwenye njia iliyoonyeshwa na Ahlul-Baitwa Mtume itatuongozea kwenye maangamizi. Utovu wa utii, au uadui dhidi ya Ahlul-Baitwa Mtume ni sawa sawa na utovu wa utii kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe.

Licha ya yote haya, Maulamaa wa Kishi’a hawajaonyesha ukosa subira wa namna hiyokwa angalau hata Sunni wa kawaida, achilia mbali kwa maulamaa wao. Tulikuwa sikuzote tukiwasihi Mashi’a kwamba Masunni ni ndugu zetu katika Uislamu na yatupasa

Mikesha ya Peshawar

60

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 60

Page 79: Mikesh A

kubakia tumeungana (yaani kulinda umoja wetu). Kwa upande mwingine mara kwa maramaulamaa wa Kisunni wamekuwa wakiwachochea watu wao, wakisema kwamba Mashi’ani wazushi, Marafidhi,Ghullat, au Mayahudi. Wanasema kwamba, kwa kuwa hawa Shi’ahawafuati mmoja katika Maimam wanne wa Kisunni (Abu Hanifa, Malikki, Shafi’i naHanbali), basi ni makafiri. Ukweli ni kwamba wale wanaowafuata Ahlul-Bait wa Mtume(s.a.w.w.) wameongozwa sawasawa.

MAUAJI YA MASHI’A HUKO IRANI NAAFGHANISTAN.

Waturuki, Bani Khawarizim, Wa-Uzbeg na wa-Afghan waliwateka nyara na kuwauwaMashi’a wasio na hatia. Muhammad Amin Khan Uzbeg, ajulikanaye kwa jina la KhanKhawa, na Abdullah Khan Uzbeg waliwaua kikatili na kuwapora Mashi’a na wakakirikuwa wamelifanya hilo. Maulamaa wa Kisunni walitangaza kwamba Mashi’a ni makafirina kwamba wanaweza kuuawa kwa mjibu wa Sharia ya dini. Ma-Amiri (viongozi) waAfghanistani waliwatendea Mashi’a kwa namna hiyo hiyo. Katika mwaka wa 1267Hijiriyya siku ya Ashura (Mwezi 10 Muharam), Masunni walishambulia ukumbi katikaQandahar, ambako Mashi’a walikuwa wanaomboleza mauaji ya mjukuu wa MtukufuMtume (s.a.w.w.). Waliwaua Mashi’a wengi kwa ukatili mkubwa, wakiwemo watoto, nawakapora mali zao. Kwa miaka mingi Mashi’a waliishi maisha ya dhiki na walikatazwakuendesha ibada zao za kidini. Katika siku ya Ashura wachache wao walikwenda kwenyekumbi za siri na waliombeleza mauaji ya Imam Husein (A.S) kisirisiri kabisa, na walewengine walikuwa wakichinjwa kwenye nyanda za Karbala. Ilikuwa ni MfalmeAmanullah Khan aliyeondoa kikwazo hicho juu ya Shi’a na akawatendea upole.

KUUWAWA SHAHIDI KWA SHAHID THALIS.

Katika makaburi ya Akbarabad (Agra) India, pale amelala Mwanachuo Mchamungu mnowa Kishi’a, Qadhi Seyyid Nurullah Shustari. Aliuawa kishenzi sana akiwa na umri wamiaka 70 katika mwaka wa 1019 Hijiriya na Mfalme Jahangir, kufuatia fat’wa kutoka kwawanachuo wa Kisunni kwamba Yeye alikuwa Rafidh.

Hafidh: Unatushambulia (kwa maneno) bila sababu yoyote. Mimi mwenyewe nimesh-tushwa mno kusikia vitendo vya kuchukiza mno vya watu wajinga, lakini matendo yaMashi’a pia yalikuwa yanahusika na matukio haya.

Muombezi: Unaweza kunieleza ni matendo gani ya Mashi’a ambayo yalifanya kuwahalali kwao kuuwawa?

Mikesha ya Peshawar

61

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 61

Page 80: Mikesh A

Hafidh: Kila siku maelfu ya watu wanasimama mbele za makaburi ya waliokufa nakuwaomba msaada. Je, kitendo hiki sio mfano wa kuabudu wafu? Kwa nini Maulamaawasikataze wakati mamilioni ya watu hao wakiweka mapaji yao ya nyuso zao kwenyeardhi wakisujudu katika kuwaabudu wafu? Nashangaa ni kwa vipi bado unayaita mambohaya kuwa sio shirki.

Wakati majadiliano na Mawalana Hafidh yakiendelea, faqihi wa Kihanafi, Agha SheikhAbdus-Salam alikuwa anakichunguza Hidayatuz-Za’irin. Akasema kwa msisitizo mzito,“Tazama hapa! (akikionyesha kile kitabu). Ulamaa wako anasema kwamba wakati mahu-jaji wanapomaliza Ziarat katika Makuba ya Maimam, wanapaswa kuswali rakaa mbili zaSala ya Ziarat. Huenda hawaikusudii Sala hii kwa jina la Allah; vinginevyo, nini maanaya Sala ya Ziarat? Huu sio ushirikina kufanya ibada ya Sala kwa ajili ya Imam? Mahujajiwanaosimama na kuelekeza nyuso zao kwenye makaburi na kusali ni ushahidi mzuri waushirikina. Hiki ni kitabu chenu Sahihi. Unaweza ukatetea hali yenu hii?”

Muombezi: Mbona unajiingiza katika mazungumzo ya kitoto! Hivi umewahi kuwakokwenye Ziarat hizo na kuwaona Mahujaji hao ana kwa ana?

Sheikh: Hapana.

Muombezi: Sasa ni vipi ukaweza kusema kwamba mahujaji hao wanaswali wakiwawameelekeza nyuso zao kwenye kaburi, na kusema kwamba swala hii ya Ziarat ni dalili yaushirikina?

Sheikh: Kitabu hiki kinasema kwamba waswali Swala ya Ziarat kwa ajili ya Imam.

Muombezi: Hebu lete hicho kitabu nikiangalie. Ngoja nisome maelekezo kuhusu Ziarat,mpaka tufikie kipengele cha Sala ambacho ndio hoja ya kukataa kwako. Wakati wowoteukiona dalili ya ushirikina, tafadhali ionyeshe. Na iwapo utaona alama za kuamini nakuabudu Mungu Mmoja kuanzia juu mpaka chini usije ukajisikia vibaya kwa hilo, balisema kwamba ulikuwa umeelewa vibaya. Kitabu kiko hapa mbele yenu.

MAELEKEZO KUHUSU ZIARAT:

Maekelezo ni kama yafutayo: “Wakati mwenye kufanya Ziarat afikapo handaki la Kufa,anasimama pale na kusoma kisomo kifuatacho” Allah ni Mkubwa mno, Allah ni mkubwamno Mwenye ukubwa, Utukufu, Sifa njema, na rehema. Allah ni Mkubwa Mno juu zaidiya kile ambacho nakiogopa. Allah ni Mkubwa mno. Yeye ni msaada wangu; Kwake Yeyenategemea na Kwake Yeye yako matumaini yangu na Kwake Yeye naelekea.’

Wakati mwenye kufanya Ziarat akifika lango la Najaf, yampasa kusoma: ‘Sifa zote njemani za Allah, ambaye ametuongoza katika hili, tusingekuwa ni wenye kuongoka kama Allah

Mikesha ya Peshawar

62

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 62

Page 81: Mikesh A

asingetuongoza.’

Wakati akifika lango la Uwanja wa Mtukufu yampasa asome, baada ya kumtukuza Allah:‘Nashuhudia kwamba hakuna Mungu isipokuwa Allah, aliye Mmoja. Yeye hana mshirika.Na pia ninashuhudia kwamba, Muhammad ni mja na Mtume Wake. Ametuletea kwelikutoka kwa Allah. Na pia nashuhudia kwamba Ali ni mja wa Allah na ndugu yake Mtumewa Allah. Allah ni mkubwa mno, Allah ni mkubwa mno, Allah ni Mkubwa mno. HakunaMungu isipokuwa Allah, na Allah ni Mkubwa mno. Shukrani zote ni Zake kwa mwongo-zo na msaada Wake kuitikia kile alichofunua juu ya njia kuelekea Kwake.’

Wakati Mwenye kufanya Ziarat akifika kwenye lango la Quba, yampasa asome:‘Ninashuhudia kwamba hakuna Mungu isipokuwa Allah, aliye Mmoja. Yeye hanaMshirika pamoja Naye…’ mpaka mwisho.

Wakati, baada ya kwisha kuomba ruhusa ya Allah, ya Mtume, na ya Maimam, mwenyekufanya Ziarat hufika ndani ya Quba, husoma Ziarat mbalimbali ambazo zina maamkuzikwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na kwa Amir’l-Mu’minin. Baada ya Ziarat, husali rakaasita (za Sunna), rakaa mbili kwa ajili ya Amir’l-Mu’minin na rakaa mbili kwa ajili ya NabiiAdam na mbili kwa ajili ya Nabii Nuh ambao wamezikwa katika eneo hilo hilo.”

SALAT-ZIARAT NA DUA BAADA YA SALA.

Je, utekelezaji wa ibada ya Sala kama sadaka kwa ajili ya roho za wazazi na wauminiwengine, haikuamrishwa juu yetu? Je, maamrisho haya ni ushirikina? Vilevile ni kwa ajiliya ubinaadamu kwamba wakati mtu anapokwenda kumuona rafiki humpatia zawadi fulani.Kuna Sura katika vitabu vya Madhehebu zote ambamo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) anatu-amrisha kutoa zawadi kuwapa waumini. Hivyo mwenye kufanya Ziara anapofika kwenyekaburi la mpendwa bwana wake na anajua kwamba kitu alichokuwa amekipenda zaidiilikuwa ni Sala, anasali rakaa mbili katika njia yake ya kufikia kwa Allah na anaitoa Salaile kama zawadi kwa ajili ya roho ya bwana wake huyo. Je, huo ni ushirikina? Baada yakusoma kanuni za msingi wa Sala hii, pia soma du’a iliyoko baada ya Sala, ili kwambamashaka yako yote yaondoke.

DU’A BAADA YA SALA:

Ibada ya Dua ni kwamba baada ya kumaliza Sala katika kichwa cha kaburi la Imamaliyezikwa pale, na nyuso zetu kuelekea Kibla (sio kuelekea kwenye kaburi), tunasomadu’a ifuatayo, “Ewe Allah! Sala hii nimeifanya zawadi kwa bwana na kiongozi wangu,Mtume Wako na ndugu yake Mtume Wako, Amir’l-Mu’minin Ali bin Abu Talib. EweAllah, teremsha rehema na amani Yako juu ya Muhammad na kizazi chake. Zikubali rakaa

Mikesha ya Peshawar

63

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 63

Page 82: Mikesh A

mbili hizi za Sala kutoka kwangu na unijazi, kama ambavyo ungewajazi watendaji wamatendo mema. Ewe Allah! Nimeitoa Sala hii (kama Sadaka) kwa ajili Yako, nanimerukuu na kusujudu mbele yako Wewe kwa kunyenyekea Kwako. Wewe ni Mmojaambaye huna mshirika. Hairuhusiwi kusali, kurukuu au kusujudia chochote isipokuwaWewe. Wewe ni Allah, uliye Mkuu na hakuna mungu isipokuwa Wewe.”

Mabwana waheshimiwa! Kwa jina la Allah, kuweni waadilifu. Kuanzia muda ule mwenyekuzuru anapoweka mguu wake juu ardhi ya Najaf, mpaka baada ya kusali sala yake yaZiarat, yeye anajishugulisha katika kumkumbuka Allah swt.

Sheikh: Inashangaza kwamba huoni yalioandikwa hapa: “Busu kizingiti cha mlango nakisha ingia ndani ya haram ya Kuba.” Tumesikia kwamba wakati wenye kufanya Ziaratwakifika kwenye mlango wa kuba la Maimam wao, wanakwenda Sijida kwa heshima. Jekusujudu huku sio kwa ajili ya Ali? Je, sio ushirikina wakati tunasujudia mwingineasiyekuwa Allah?

Muombezi: Kama mimi ndio ningekuwa ni wewe, nisingelisema neno. Ningenyamazakimya mpaka mkutano wa mwisho wa mjadala huu na kusikiliza mantiki ya majibu yangu.Lakini nitakuambia kwa ufupi mara nyingine tena kwamba, kubusu kizingiti au sakafu yamakuba ya Maimam sio ushirikina. Umelitafsiri vibaya neno “kubusu” na kuliona kuwani sawa na kusujudu. Wakati unasoma kitabu hicho mbele yetu unadiriki kufanya mabadi-liko ya ugeuzaji maana ya maneno kama huu, sijui ni jinsi gani utatusingizia wakatiutakapokuwa peke yako ukiwahutubia watu wasio na elimu.

Maelekezo yaliyomo katika kitabu hiki na vitabu vinavyohusu Du’a na sehemu za Ziaratni kwamba mwenye kufanya Ziarat, kama namna ya kuonyesha heshima, inampasa kubusukizingiti sio kusujudu. Vipi unafikiria kubusu na kusujudu kuwa ni kitu kimoja? Na, niwapi umeona ima katika Qur’ani tukufu au katika hadith yoyote kwamba kubusu kizingi-ti cha Kuba la Mtume au Imam kumekatazwa? Hivyo kama huna jibu la maana kwa swalihili, usipoteze wakati wetu. Na, kama unavyosema “umesikia” kwamba wafanyao Ziarathusujudu kwa heshima. Kwa uhakika hukuwaona kwa macho yako wakifanya hivi.Qur’ani tukufu inasema, “Enyi ambao kwamba mmeamini! Akikujieni fasiki nahabari, ichunguzeni, msije mkadhuru watu kwa ujinga, kisha mkawa ni wenyekusikitika kwa yale muliyoyafanya.” (49:6).

Kwa mujibu wa amri hii ya Qur’ani Tukufu, hatupasi kutegemea maelezo ya watu waovu.Yatupasa kufanya juhudi kubwa kujua ukweli, hata ikiwezekana kufanya safari ili kupatahabari ya kweli moja kwa moja. Wakati nilipokuwa Baghdadi, nilikwenda kwenye mak-aburi ya Abu Hanifa na Sheikh Abdul’Kadir Jilani na nikaona watu walivyofanya. Ilikuwavibaya zaidi kuliko ulivyoelezea kuhusu Mashi’a wanavyofanya, lakini kamwe sijal-izungumza hili. Nilipofika kwenye kaburi la Abu Hanifa hapo Mu’azza’m, niliona kundi

Mikesha ya Peshawar

64

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 64

Page 83: Mikesh A

la Masunni wakirudia rudia kubusu Sakafu, badala ya kizingiti, na kujigaragaza kwenyesakafu. Lakini kwa kuwa hawakuonekana kwa mahabithi, na kwa sababu sikuwa nasababu za kuwalaumu, kwamwe sikuitaja habari hii kwa mtu yoyote. Nilielewa kwambawalikuwa wakifanya hivyo kwa ajili ya mahaba sio kama ibada.

Ewe bwana mheshimiwa! Hakika hakuna Shi’a mcha-Mungu ambaye amediriki kusujudukwa yeyote isipokuwa Allah. Kama, kwa vyovyote vile iwavyo, kama tunaanguka chiniya ardhi katika hali kama ya kusujudu na kusugua mabapa ya nyuso zetu juu yake (bilakuwa na nia ya kuabudu), hiki ni kitu kidogo sana. Kuinama mbele ya mtu mtukufu bilakumfikiria kuwa yeye ni Allah, au kuanguka chini juu ya ardhi na mtu kusugua uso wakejuu yake, sio ushirikina. Ni matokeo ya mahaba makubwa.

Sheikh: Inakuwaje kwamba tunaposhuka chini juu ya ardhi na kuweka paji letu la uso juuyake, kwamba kitendo hiki kisiweze kuwa sawa na kusujudu?

Muombezi: Kusujudu kunategemea juu ya nia, na nia ni jambo la moyo. Ni Allah pekeyake ndiye anayejua nia zetu za moyoni. Kwa mfano tunaweza kuona watu wamelala chinijuu ya ardhi kwa hali kama ya kusujudu. Ni kweli kwamba kusujudia yeyote asiyekuwaAllah sio sawasawa, hata ikiwa bila nia yoyote. Walakini, kwa kuwa hatujui nia za mioyoyao, hatuwezi kuiita hiyo kuwa ni Sijida ya Ibada.

KUSUJUDU KWA NDUGU ZAKE YUSUFU MBELE YAKE.

Kwa hiyo, kusujudu katika hali iliyo sawa na Sijida ya ibada (lakini bila nia yake), kuonye-sha heshima kwa mtu sio ushirikina. Kwa mfano nduguze Nabii Yusufu walisujudu mbeleyake. Wakati huo Mitume wawili walikuwepo, Ya’qub na Yusufu, lakini hawakuwakatazakufanya hivyo. Allah (s.w.t.) Anasema katika Suratul-Yusufu ya Qur’ani Tukufu.

“Na aliwainua wazazi wake na kuwaweka katika kiti cha Ufalme, na wote waka-poromoka kumsujudia, na akasema; “Ewe Baba yangu, hii ndiyo hakika ya ndotoyangu ya zamani; bila shaka Mola wangu ameithibitisha …..” (12:100).

Aidha, Qur’ani Tukufu inasema katika sehemu nyingi kwamba Malaika walifanya Sajidambele ya Mtume Adam. Hivyo kama kusujudu namna hiyo ni ushirikina, basi nduguzeMtume Yusufu na Malaika wa Allah walikuwa washirikina. Ni Iblis aliyelaaniwa pekeyake ndiye ambaye hakuwa mshirikina!

Mikesha ya Peshawar

65

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 65

Page 84: Mikesh A

KUWAOMBA MAIMAMU SIO KUWAABUDU WAFU.

Sasa napenda kumjibu Mheshimiwa Hafidh, ambaye amesema kwamba maombi mbele yamakaburi ya Maimam ni sawa sawa na kuwaabudu wafu. Unauliza kwa nini Mashi’awanaomba msaada kwenye makaburi ya Maimam. Pengine unaamini kwamba hakunamaisha baada ya kifo na unasema: “Kilicho kufa kimeangamia moja kwa moja.” Allah(s.w.t.) anaelezea katika Qur’ani Tukufu mawazo potovu haya, Anasema:

“Hakuna ila maisha yetu haya ya dunia, tunakufa na kuishi, basi, wala sisi si wenyekufufuliwa.” (23:37).

Kama mjuavyo nyote, wale wanaoamini katika Allah wanajua kwamba kuna maisha baadaya kifo. Wakati mwanadamu akifa, mwili wake unakuwa hauna uhai, lakini, tofauti nawanyama, roho na hisia ya kusema hubakia katika viwiliwili vilivyo sawa na hivi, lakinihalisi zaidi na watarehemiwa au kuadhibiwa katika hali ya mpito (barzakh) au mahali pamateso.

Mashahidi na wale waliouawa katika njia ya Allah watafurahia neema maalum. Hii imes-imuliwa katika Qur’ani Tukufu: “Na usiwadhanie wale waliouawa katika njia ya Allahkuwa ni wafu; bali wahai na wanaruzukiwa kwa Mola wao, wanafurahia aliyowapaAllah kwa fadhila zake, na wanafurahia kwa hilo hilo wale ambao wameachwanyuma yao, bado hajajiunga nao; ya kwamba haitakuwa hofu juu yao walahawatahuzunika.” (3: 169-170). Ninatafakari juu ya maneno haya: “Wahai (na)wanaruzukiwa kwa Mola wao……” (3: 169) Wao wanatujibu, lakini kwa vile kusikiakwetu kumefunga kwa mapazia ya ulimwengu wa kimaada hatusikii sauti zao. Kwa ajilihiyo katika salaam (ziarat) kwa Imam Husein, tunasema; “Ninashuhudia kwamba unasikianinayosema na kwamba unajibu.” Je, umesoma Khutuba na 85 katika Nahju’l-Balagha?Kizazi cha Mtume wametambulishwa kama ifuatavyo: “Enyi watu huu ni usemi waMtume: Yeyote anayekufa miongoni mwetu sio mfu, na yeyote ambaye anaoza (baada yakufa) kutoka miongoni mwetu kwa hakika haozi.’” (Nahjul-Balaghah Tarjuma yaKiingereza, Juz. 1, uk. 130 iliyochapishwa na Peer Muhammad Ebrahim Trust, Karachi.)Hivyo ni kwamba, katika uwanja wa mwanga na mambo ya Kiroho, Ahlul-Bait wanaishina wanabakia wenye kudumu milele.

Kwa ajili hiyo, Ibn Abi’l-Hadid Mutazali na Sheikh Muhammad Abdul, Mufti mashuhuriwa Misri, wakisherehesha hadith hiyo hapo juu, wanasema kwamba, dhuria wa Mtume

Mikesha ya Peshawar

66

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 66

Page 85: Mikesh A

(s.a.w.w.) hawakufa kwa namna walivyokufa wengine. Hivyo tunaposimama mbele yamakaburi ya Maimam, hatusimami mbele za wafu, na hatuzugumzi wafu. Tunasimamambele za walio hai na kuzungumza na wanaoishi. Kwa ajili hiyo sisi sio waabuduo wafu.Tunamuabudu Allah. Je huamini kwamba Imam Ali, Imam Husain, na mashahidi wa Badr,Hunain, Uhud na Karbala walitoa muhanga maisha yao katika njia ya Allah kwa ajili yahaki? Je, hawakuwakabili madhalimu wa Kiquraishi, Bani Umayya, Yazid na wafuasiwake, ambao lengo lao lilikuwa ni kuifulitia mbali Dini. Kama vile ule uimara wa masa-haba wa Mtume na mihanga ya mashahidi wa Badri, Hunain, na Uhud ulivyopelekeakushindwa kwa ukafiri, kwa njia hiyo hiyo uamuzi imara wa Imam Husain kutoa mhangamaisha yake, uliimarisha Uislamu. Kama Imam asingesimama imara dhidi ya nguvu zauovu, mwana kulaaniwa Yazid angeuharibu Uislamu na angeweza kupenyeza ukafiri wakekatika Umma wa Kiislamu.

Sheikh: Inashangaza kwamba, unamwita Khalifa wa Waislamu Yazid bin Mu’awiya kuwani kafir. Yakupasa uelewe kwamba Mu’awiya bin Abu Sufyan alimchagua yeye kuwaKhalifa. Khalifa wa Pili Umar bin Khattab na Khalifa wa tatu Uthman aliyedhulimiwa,walimchagua Mu’awiya kuwa Amir (Gavana) wa Syria. Kwa sababu ya uwezo na vipajivyao, watu waliwakubali kuwa Makhalifa kwa uaminifu kabisa. Hivyo uhusishaji wakowa makhalifa wa Uislamu kuwa ni makafiri una maana kwamba hukuwatukana tuWaislamu wote ambao wamewakubali kama makhalifa, bali vile vile umewatukanaMakhalifa waliopita ambao wamewaidhinisha wao kuwa makhalifa au magavana. Kwakweli walifanya makosa, ambayo yalitokea wakati wa ukhalifa wao. Mjukuu wa Mtume,Imam Husain, aliuwawa, lakini hili lilisamehewa. Kwa vile walitubia, Allah Mwingi warehema, aliwasamehe. Imam Ghazali na Damiri wameshughulika na nukta hii kwa uan-galifu kabisa katika vitabu vyao na wamethibitisha usafi wa khalifa Yazid.

Muombezi: Kamwe sikutaraji kwamba ushabiki wako utakwenda mbali kiasi hichompaka kutetea kusudi la mlaaniwa Yazid. Unasema kwamba kwa vile wakubwa waowaliowatangulia waliona inafaa kuwafanya ma-Amir au watawala, basi Waislam wote ili-wapasa wawakubali. Kauli hii haileti maana yoyote. Tunasema kwamba Khalifa yapasaawe safi (aliyeepukana kabisa na madhambi yote) na kuteuliwa ki-Ungu ili kwamba tusijetukadumu katika ukandamizwaji. Unasema kwamba Ghazali na Damiri wametetea nafasiya Yazid. Lakini walikuwa mashabiki kama ulivyo wewe. Hakuna mtu mwenye akilitimamu ambaye atathubutu kamwe kujaribu kutetea matendo ya mlaaniwa Yazid.Unasema kwamba Yazid alifanya “kosa” katika kumuua Imam Husain. Lakini kumuuwamtoto kipenzi mno wa Mtume, kuchanganya pamoja na watu 72, wakiwemo watoto wado-go na wazee, na kuwachukua mateka mabinti wacha-Mungu wa Mtume vichwa wazi nanyuso wazi, haikuwa “kosa” la hivi hivi tu. Ulikuwa ni ukatili usiosemeka. Aidha, jinaizake hazikuishia kwenye chinja chinja hii ya kutisha peke yake. Kuna mifano mingimingine ya ukafiri wake.

Mikesha ya Peshawar

67

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 67

Page 86: Mikesh A

UKAFIRI WA YAZID.

Miongoni mwa mambo yanayothibitisha ukafir wa Yazid ni beti zake mwenyewe zakishairi. Kwa mfano anaandika hivi:

“Kama kunywa (pombe) kunakatazwa katika dini ya Muhammad, basi na iwe hivyo; mimi nitaukubali Ukristo.”

“Ni ulimwengu huu tu, kwa ajili yetu. Hakuna ulimwengu mwingine. Haipasi sisi kuzuiliwa starehe za ulimwengu huu.”

Beti hizi zinajitokeza katika mkusanyiko wa kazi zake za kishairi, na Abu’l-Faraj bin Jauziameyaandika katika kitabu chake “Radd Ala’l-Muta’asibu’l-Anid.” Anasema tena:

“Mwenye kututishia na hekaya za siku ya mwisho, muache afanye hivyo. Haya ni mambo ya uongo, yanayotunyima sisi starehe zote za sauti na muziki.”

Sibt Ibn Jauzi anaandika katika kitabu chake “Tadhkira,” uk. 748 kwamba, wakati dhuriawa Mtume walipoletwa Syria kama mateka, Yazidi alikuwa amekaa katika ghorofa ya piliya kasri yake. Yeye alisoma beti mbili zifuatazo:

“Wakati machela za ngamia zilizobeba wafungwa zilipotokea, kunguru alilia (ndege mbaya katika Uarabu). Nilisema: “Ewe Kunguru, kama ulie au usilie, nimelipa kisasi juu ya Mtume.”

“Kisasi” huelekeza kwenye ukweli kwamba, wazee wake na jamaa zake wa karibu wali-uawa katika vita vya Badr, Uhud, na Hunain. Aliwachukulia kisasi cha vifo vyao kwakuwaua watoto wa Mtume.

Ushahidi mwingine wa Ukafir wake ni kwamba alipofanya hafla ya kusherehekea Shahadaya Husain, alisoma beti za Kikafir za Abdullah bin Uzza Ba’ri. Sibt Ibn Jauzi, Abu Raihan,na wengine wameandika kwamba Yazid alitamani wazee wake wangekuwepo, ambao wotewalikuwa makafir, na waliuawa katika vita vya Badr kwa amri ya Mtume. Yazid alisema:“Natamani watu wa ukoo wangu ambao waliuawa huko Badr, na wale ambao wame-waona watu wa ukoo wa Khazraj wakilia ( katika vita ya Uhud) kwa ajili ya majeraha yamichomo mikali (ya panga, mikuki na mishale), wangekuwa hapa. Wangelinishangilia kwasauti na kusema: ‘Ewe Yazid mikono yako kamwe isipooze,’ kwa sababu nimewauwawakuu wa ukoo wake( yaani ukoo wa Mtume). Nimefanya hivyo kama kisasi cha Badr,ambacho sasa kimekamilika. Bani Hashim walicheza mchezo tu na serikali. Hakukujaujumbe kutoka kwa Allah, wala ufunuo wowote. Nisingekuwa wa familia ya Khandaq

Mikesha ya Peshawar

68

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 68

Page 87: Mikesh A

kama nisingechukua kisasi juu ya dhuria wa Mtume. Tumeyalipa kisasi mauaji yaliyofany-wa na Ali kwa kumuuwa mtoto wake, mpanda farasi na simba mwerevu.

RUHUSA YA KUMLAANI YAZID ILIYOTOLEWANA MAULAMAA WA KISUNNI.

Wengi wa Maulamaa wenu wanamuona Yazid kama kafiri. Hata Imam Ahmad bin Hanbalna Maulamaa wengine wengi wakubwa wa madhehebu yenu wameshauri kwamba laanajuu yake zinapaswa kuelezwa. Abdur-Rahman Abul-Faraj bin Jauzi ameandika kitabu juuya somo hili, Kitabul-Radd Ala’l-Muta’asibu’l-Anidul-Mani’an La’n-e-Yazid La’natullah.Ni Maulamaa mashabiki wachache tu wa madhehebu yenu, kama Ghazali, wameonyeshaupendeleo kwa Yazid, na wamebuni makinzano yasiyo na maana kwa ajili ya kumtetea.Hata hivyo, wengi wa Maulmaa wenu, wameiona tabia yake isiyo ya kidini na ya kidhal-imu. Muslim anasema kwamba, kama Khalifa; Yazid alidiriki kuiangamiza dini, Mas’udikatika kitabu chake “Muruju’z-Dhahab, “Juz. 2, anasema kwamba tabia ya Yazid ilikuwasawa na ile ya Firauni, lakini ni kwamba Firauni alikuwa muadilifu zaidi kwa watu wakekuliko alivyokuwa Yazid.

Utawala wa Yazid ulileta fedheha juu ya jina zuri la Uislam. Uovu wake ulikuwa ni pamo-ja na kunywa pombe, kumuua mtoto wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), kumlaani mshikaMakamu wa Mtume Ali, kubomoa nyumba ya Allah (Masjidu’l-Haram) na mauaji yahalaiki. Amefanya uhalifu usiohisabu dhidi ya Sheri ‘ah ya dini, na dhambi ambazohazisameheki.

Nawab: Yazid alihusika vipi na mauwaji ya halaiki?

Muombezi: Wanahistoria wengi wamelisimulia jambo hili. Sibt Ibn Jauzi katika kitabuchake “Tadhkira” uk. 63, anasema kwamba baadhi ya watu wa Madina walikwenda Syriakatika Mwaka wa 62 A.H. Walipoyagundua matendo maouvu ya Yazid walirudi Madina nakuvunja kiapo cha utiifu kwake, wakamlaani, wakamfukuza, gavana wake, Uthman binAbi Sufyani. Abdullah bin Hanzala ( Ghusilu’l-Mala’ikat) alisema: “Enyi watu, hatukuasidhidi ya Yazidi mpaka tulipothibitisha kwamba si mtu mwenye kufuata dini. Aliua watotowa Mtume, alnajihusisha kinyume na sheria na mama zake, binti zake, na dada zake,anakunywa pombe, na hajishughulishi na ibada ya Sala.”

Habari hizi zilipomfikia Yazid, alituma jeshi kubwa la watu wa Syria chini ya Mulsim binUqba dhidi ya watu wa Madina. Mauaji ya Waislamu yaliendelea kwa muda wa siku tatu.Jeshi la Yazidi liliua watu 700 waungwana wa Kikuraish, Muhajirina, na Ansar, na watu10,000 wa kawaida. Naona aibu kusema jinsi Waislamu walivyonyanyaswa. Nitanukuu

Mikesha ya Peshawar

69

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 69

Page 88: Mikesh A

kifungu kimoja tu katika ‘Tadhkira,’ ya Sibti Ibn Jauzi uk. 163, kilichosimuliwa na Abu’l-Hasan Mada’an: “ Baada ya mauwaji ya halaiki ya watu wa Madina, wanawake 1000wasiolewa walizaa watoto.”

JE, YAZID ANAPASWA KULAANIWA?

Sheikh: Madai haya yanaonyesha madhambi yake. Madhambi yanasameheka na yanawezakufidiwa, na Yazid alionyesha hali ya kutubia. Allah ambaye ndiye Mwenye kusamehemadhambi amemsamehe. Basi kwa nini wakati wote unamlaani na kumuita muovu?

Muombezi: Baadhi ya mawakili hubishana juu ya kesi ya wateja wao mpaka dakika yamwisho kwa sababu wamepokea malipo kutoka kwao, ingawaje wanaelewa vizuri ustahiliwa kesi yenyewe. Lakini nashindwa kuelewa kwa nini unapendelea mno kumtetea Yazid,mbele ya mauaji yake ya watoto wa Mtume wa Allah na kuwaua kwake watu wa Madina.Aidha, maelezo yako kwamba alionyesha kutubia hayathibitiki. Je kukataa kwake misingimuhimu ya Uislamu siku ya ufufuo, Wahyi na Utume hakustahili laana yetu kwake? Je,Allah hakuwalaani madhalimu? Kama hoja hizi hazitoshi kwa mawakili wa Yazid binMu’awiya, kwa ruhusa yako nitanukuu hadith kutoka kwa Maulamaa wenu maarufu.

Bukhari na Muslim katika “Sahih” zao, Allama Samhudi katika “Ta’rikhu’l-Madina,”Abu’l-Faraj bin Jauzi katika Kitabu‘r-Radd Ala’l-Muta’asibul-Anid,” Sibt Ibn Jauzi katikaTadhkira-e-Khawasul-Umma, Imam Ahmad bin Hanbali katika “Musnad” na wenginewanamnukuu Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akisema: “Kama mtu yeyote atawatishia nakuwaonea watu wa Madina, Allah atamtishia (yaani Siku ya Malipo). Atalaaniwa na Allah,Malaika, na wanadamu wote. Na katika Siku ya Malipo, Allah hatayakubali matedno yakeyoyote.

Vilevile Mtume amesema: “Laana iwe juu ya yule mwenye kuutishia mji wangu (watuwa Madina).” Je, mauaji haya ya halaiki hayakuwatishia wale watu wa Madina? Kamayalifanya basi kubali pamoja na Mtume, Malaika na watu wote kwamba yule mfanyamauovu mbaya alilaaniwa na atakuwa akiendelea kulaaniwa mpaka Siku ya Kiyama.

Wengi wa ulamaa wenu wamemlaani Yazid. Abdullah bin Muhammad bin Amir ShabrawiShafi’i katika “Kitabu’l-Ittihaf bi Hubbi’l Ashraf Raji’ba La’n-e-Yazid” uk. 20, anaandikakwamba wakati jina la Yazid lilipotajwa mbele ya Mulla Sa’d Taftazan, yeye alisema:“Laana iwe juu yake na wafuasi na wasaidizi wake.” Allama Samhudi katika kitabu chake“Jawahirul-Iqdain” ananukuliwa akisema; “maulamaa kwa ujumla wamekubaliana kwam-ba, inaruhusiwa kumlaani aliyemuua Imam Husein, au aliyetoa amri ya yeye kuuliwa, auyule aliyeridhia mauaji yake, au yule aliyekubali kuuliwa kwake.”

Mikesha ya Peshawar

70

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 70

Page 89: Mikesh A

Ibn Jauzi, Abu Ya’la na Salih bin Ahmad, wakihoji kutoka kwenye Aya za Qur’aniwanaandika kwamba: “Imethibitika kwamba imeruhusiwa kumlaani Yazid. Ni wajibu waWaislamu wote kwamba yawapasa kujua haki alizonazo Imam Husein juu yao. Na ni vipi,kwa nguvu ya kupatwa kwake na mateso ya udhalimu na uonevu, yeye alivyounywesheamti wa Uislamu kwa damu yake mwenyewe na damu ya familia yake. Vinginevyo, mti uleuliobarikiwa ungekufa kwa sababu ya udhalimu wa Bani Umayyah. Alikuwa ni Husainambaye aliupatia Uislamu uhai mpya.

Nasikitika kwamba badala ya kuitambua huduma hii ambayo watu hawa watukufuwameitoa kwa Uislamu, mnazua makinzano kuhusu wafanya ziara ambao wanazuru mak-aburi yao na kuwaita wenye kuabudu wafu. Mara nyingi tunasoma kwamba katika sehemumuhimu za nchi, kama Paris, London, Berlin, na Washington kuna makaburi yakumheshimu “Askari asiyejulikana.” Inasemekana kwamba, kuteseka kwa uonevu waadui na kwa kuihami nchi yake, alijitoa muhanga maisha yake. Lakini hakukuwa na alamajuu ya mwili wake au nguo kuonyesha utambulisho wa familia yake au mji anakotoka.Kwa sababu alitoa maisha yake kwa ajili ya kuitetea nchi yake, ingawaje alikuwa haju-likani, alistahiki heshima. Wakati mfalme au mtu yeyote mashuhuri anapotembelea mijihii, huzuru hilo kaburi la “Askari asiyejulikana” na kuweka mashada ya maua juu yake.

“Askari asiyejulikana” anapata heshima zaidi, lakini nasikitika kwamba, badala ya kuwa-heshimu wafanya Ziara wanaozuru makaburi ya wanachuoni Waislamu wacha-Mungu sisitunawashutumu. Baadhi yao waliijua Qur’ani yote kwa moyo. Walitoa mhanga maisha yaokuutetea Uislamu. Watu hawa ni pamoja na mawakala (wadhamini) wa Allah, MtukufuMtume (s.a.w.w.) na dhuria wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) .

KUVUNJWA HESHIMA YA MAKABURI:

Baadhi ya Waislamu wameyabomoa kabisa makaburi kama hayo na wakapika chai juu yamasanduku yaliyopangwa juu ya makaburi hayo. Tukio kama hilo lilitokea mwaka wa1216 A.H. katika Siku ya Iddi’l-Ghadir, wakati wengi wa wakazi wa Karbala huendaNajaf kwa ajili ya ziara.

Ma-Wahhabi wa Najaf waliishambulia Karbala na wakawauwa Mashi’a. Wakayabomoamakaburi ya wale waliotoa mhanga maisha yao kwa ajili ya Uislamu. Karibu wakazi 5,000wa Karbala, ikiwa ni pamoja na Maulamaa, wazee, wanawake, watoto, waliuawa. Hazinaya Imam Husain iliporwa na vito vya thamani, taa za dhahabu, na mazulia ya thamaniyalichukuliwa. Sanduku la thamani lililokuwa juu ya kaburi hilo lilichomwa moto na chaiikapikwa juu yake. Watu wengi walichukuliwa kama wafungwa. Ole kwa Waislamu kamahao!

Mikesha ya Peshawar

71

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 71

Page 90: Mikesh A

Masikitiko yalioje kwamba katika nchi zote zilizostarabika, makaburi ya wafalme,wanachuo, na hata askari wasiojulikana yanaheshimiwa, lakini Waislamu ambaowanategemewa kuonyesha hisia nzuri za umuhimu wa kuhifadhi makaburi, ya wale ambaoni fahari yao, huyapora na kuyabomoa kama washenzi.

Katika mji wa Makka na Madina, Wahhabi walibomoa makaburi ya mashahidi wa Uhud,pamoja na la Hamza, na jadi zake Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), kama Abdu’l-Muttalib,Abdullah, na wengineo. Vile vile walibomoa makaburi ya familia ya Mtume, watoto wake,kama Imam Hasani, Imam Zainu’l- Abidin, Imam Muhammad Baqir, Imam Ja’far Sadiq,Bibi Fatima binti ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), na wengi wengine wa ukoo wa BaniHashim na Maulamaa watukufu. Bado wanajiita wao ni waislamu. Hakika wao wanajengama-Quba makubwa kwa ajili ya watu wao mashuhuri na wafalme. Ukweli ni kwamba,Maulmaa wa madhehebu zote wamenukuu hadithi nyingi zikitutaka tuzuru makaburi yawaumini ili kwamba yasalimike kutokana na kuharibika. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)mwenyewe alizuru makaburi ya waumini na akamuomba Allah kwa ajili ya wokovu wao.

DHURIA WA MTUKUFU MTUME (s.a.w.w.) NI MASHAHIDI

KATIKA NJIA YA ALLAH NA WAKO HAI

Je, Unafikiri familia ya Mtume iliyotukuka ambao walitoa maisha yao katika njia ya dinini mashahidi? Kama utasema sio mashahidi, ni nini hoja yako? Kama ni mashahidi, vipiutawaita kuwa wao, ni “Wafu?” Qur’ani Tukufu inaeleza kwamba;

“Wako hai ( na) wanaruzukiwa na Mola wao.” (3:169).

Hivyo kwa mujibu wa Qur’ani na hadith, watu wale watukufu wako hai, Hivyo, sisi siowaabudu wafu. Hatuwasalimii wafu, tunawatukuza walio hai. Na hakuna Shia yoyote,msomi au asiye msomi, ambaye anawafanya wao kama waondoaji wa matatizo moja kwamoja. Huwachukulia kama waja wacha Mungu na njia ya kufikisha kwa Allah. Tunawekamahitaji yetu mbele za Maimam wanyofu ili kwamba wamuombe Allah atuhurumie wajawake. Wakati tukisema, “Ewe Ali, nisaidie, “Ewe Husain, nisaidie” ni kama tu, mtuambaye anataka kumfikia Mfalme. Anaweza kwenda kwa waziri Mkuu na kuomba amsai-die. Hakika hamfanyi waziri mkuu huyo wa kama kimbilio la mwisho kwa kuondoa mata-tizo yake. Kusudio lake pekee ni kumfikia mfalme kupitia kwake, kwa vile kwa kutokanana cheo chake, anaweza kuonana na mfalme kwa urahisi sana. Shi’a hawawachukulidhuria wa Mtume kama washirika katika vitendo vitukufu; wanawachukulia wao kamawaja Wake wacha-Mungu.

Mikesha ya Peshawar

72

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 72

Page 91: Mikesh A

DARAJA YA MAIMAMU MA’SUMIN

Kwa vile ni wawakilishi wa Mwenyezi Mungu wanawakilisha mahitaji ya shida zaoKwake. Kama ombi linastahili, Yeye hulikubali. Vinginevyo, jazaa yake itatolewa keshoakhera. Nukta moja haipasi kuachwa bila maelezo: Mashi’a wanachukulia cheo chaMaimam Ma’sum kama cha juu kuliko mashahidi wengine wa Uislamu.

Hafidh: Taarifa hii inahitaji maelezo. Ni tofauti gani kati ya Maimam wenu na Maimamwengine wote isipokuwa tu kwamba wao wana uhusiano na Mtume?

Muombezi: Kama utaitazama nafasi ya Uimam, utoana tofauti iliyowazi kati ya dhana yaUimam inavyochukuliwa na Mashi’a na ile ya Masunni.

MKUTANO WA NNE JUMAPILI USIKU26 RAJAB; 1345 A.H

Mjadala kuhusu Uimamu:

Muombezi: Ninyi watu wema mnayo habari kwamba neno “Imam” lina maana nyingi.Kilugha lina maana ya “Kiongozi.” Imam al-Jama’at maana yake ni “yule mwenye kuon-goza Sala za Jamaa.” Anaweza pia kuwa kiongozi wa watu katika mambo ya siasa au yakiroho. Imam al-Jum’a maana yake ni yule mtu mwenye kuongoza sala ya Ijumaa. Kwahiyo, Sunni wafuasi wa madhehebu nne na sheria, wanawaita viongozi wao “Maimam”kama vile Imam Abu Harifa, Imam Maliki, Imam Shafi’i, na Imam Hanbal. Wana-itiqadina mafaqihi hawa ni viongozi wao katika mambo ya dini na wameweka Sheria za dini kwamujibu wa utafiti wao au kwa mujibu wa kukisia kwao kuhusu uhalali wa matendo. Kwahiyo wakati tunapovichunguza vitabu vya Fiqih vya Maimamu hawa wanne, tunakutatofauti nyingi miongoni mwao zinazohusu misingi ya imani na Kanuni za utekelezaji waimani.

Halikadhalika Madhehebu yote yana viongozi kama hao, na miongoni mwa Mashi’a,maulamaa na mafuqahaa wanashikilia nafasi kama hizo hizo. Kwa kutoweka kwa Imamwetu wa zama aliye hai, wao wanatoa matamko ya kisheria kwa kutegemea elimu yao yaQur’ani Tukufu, Hadithi sahihi za Mtume, na Maimamu wa kitume. Lakini hatuwaitiMaimamu kwa sababu Uimam ni wa washika makamu (wa Mtume) kumi na wawili pekeyao - dhuria wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Kuna tofauti nyingine, Sunni baadae walifun-ga mlango wa ijtihad (juhudi ya kutafsiri sheria). Kuanzia karne ya tano A.H wakatiambapo, kwa amri ya Mfalme, maoni yaliyoelezewa na Maulamaa na Mafuqhaa yaliku-sanywa, huu uitwao uimamu uliishilizwa kwa maimamu wanne. Na madhehebu manne

Mikesha ya Peshawar

73

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 73

Page 92: Mikesh A

(Hanafi, Maliki, Shafi’i, na Hanbali) yakaanzishwa. Watu walilazimishwa kufuata kati yamoja ya hiyo, kama ilivyo desturi kwa wakati huu wa sasa.

Haijulikani ni kwa misingi ipi kumfuata Imam mmoja kunapendekezwa. Sifa gani Imamwa Mahanafi alizonazo ambazo Imam wa Maliki hanazo? Ni sifa gani alizonazo Imam waShafi’i alizonazo ambazo Imam wa Hanbal hana.Na kama ulimwengu wa Kiislamu utalaz-imishwa wenyewe kufungwa kwenye kufuata moja ya Madhehebu manne, basi maendeleoya Jumuiya ya Kiislamu yatakuwa yamefungwa kabisa, ingawaje kwamba Uislamu hutu-fundisha kwamba yatupasa kusonga mbele pamoja na nyakati.

Iufanya hivi, tunahitaji uongozi wa Maulamaa. Kuna mambo mengi ambayo haitupasikufuata hukumu ya Mujtahidi aliyekufa. (Kuanzia Jihad, kujitahidi, humaanisha katika halihii, mtu anayejitahidi kutafsiri na kuunda taratibu na Sheria, kwa vile Ijtihad inahusikakwenye njia ya kujitahidi), bali inapasa kumgeukia mujtahid aliye hai kwa ajili ya kupatamwongozo. Mujitahidi wengi wamezaliwa baadae miongoni mwenu, ambao walikuwa nacheo cha juu katika elimu kuliko wale “Maimam wanne.” Sijui kwa nini upendeleo una-tolewa kwa wale waliopita ili kwamba si wengine ila wao tu waweze kufuatwa na haki zawengine kupuuzwa. Katika fiqih ya Shi’a, Mujtahid katika kila zama, mpaka wakati wakujitokeza kwa Mtukufu Imam wa zama zetu, wao wanayo haki ya kufanya jitihada.Katika kuhusu matatizo mapya, hatuwezi kufuata hukumu ya Mujtahid aliyekufa.

KUWEKA MIPAKA KWENYE MADHEHEBUMANNE HAKUNA MSINGI.

Ni ajabu kwamba mnawaita Mashi’a wazushi na waabudu wafu. Wao wanafuata amri zaMaimamu kumi na wawili, dhuria wa Mtume (s.a.w.w.). Aidha haijulikani ni kwa misingiipi mnajaribu kuwalazimisha Waislamu wawafuate Ashariyya au Mu’tazala kuhusiana namsingi (Usul) ya imani na mmoja kati ya Maimamu wanne katika sheria za matawi (Furu’)ya imani. Wale ambao hawawafuati wanaitwa marafidhi. Kwa vile Abu’l-Hasan Ash’ari,Abu Hanifa, Malik bin Anas, Muhammad bin Idris Shafi’i, na Ahmad bin Hanbaliwalikuwa sawa na Maulamaa na mafaqihi wa Kiislamu wengine wengi, na kwa vile haku-na amri kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ya kuwafuata wao, mipaka ya kuwafuatawao tu yenyewe ni uzushi (bida’a). kama ningelileta madai haya, ungelisema nini katikakujibu?

Hafidh: Kwa vile Maimamu hawa walikuwa wana daraja ya juu ya utii kwa Allah, ucha-ji, ukweli, na uadilifu, pamoja na elimu kubwa mno ya Fiqih imekuwa lazima kwetu sisikuwafuata.

Mikesha ya Peshawar

74

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 74

Page 93: Mikesh A

Muombezi: Hatulazimiki na mantiki kujifunga sisi wenyewe kuwafuata wao peke yao.Wengi wa Maulamaa wenu wengine walikuwanazo sifa sawa kama hizi. Mpaka wa kuwa-fuata wao peke yao ni kebehi kwa Maulamaa wengine wenye sifa sawa na zao. Hatuwezikulazimishwa kufuata mtu mmoja yeyote au watu wengine bila maelekezo ya kimamlakakutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Hakuna ruhusa kama hiyo kutoka kwa Mtumekuhusu Maimamu wenu wanne. Basi vipi muiwekee dini mpaka (kizuizi) kwenye madhe-hebu haya manne tu?

USHI’A KULINGANISHWA NAMADHEHEBU MANNE.

Katika mikesha michache tu iliyopita uliyaita madhehebu ya Shi’a kuwa ni ya “kisiasa” naukasema kwamba kwa vile hayakuwepo wakati wa Mtume - kwamba yalikujakuwepowakati wa Ukhalifa wa Uthman - ilikuwa ni haramu kuyafuata. Usiku wa kabla ya janatulithibitisha kwamba Ushi’a uliasisiwa wakati wa Mtume (s.a.w.w) kwa maelekezo yakemwenyewe. Kiongozi wa Mashi’a, Amirul-Mu’minin Ali alilelewa na kufundishwa naMtume tangu utotoni na kupata elimu yake ya dini kutoka kwake. Kwa mujibu wa riwayazilizomo kwenye vitabu sahihi vyenu wenyewe, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amemwitayeye “Lango la Elimu.” Kwa dhahiri kabisa alisema: “Utii kwa Ali ni utii kwangu, nakutomtii Ali ni kutomtii mimi.” Katika mkusanyiko wa watu 70,000 alimteua kuwa Amirna Khalifa, na akawaamrisha Waislamu wote, wakiwemo Umar na Abu Bakr, kula kiapocha utii kwake.

Lakini haifahamiki ni vipi madhehebu yenu Manne yalivyokuja kuanzishwa, wala ni yupikati ya Maimamu wanne aliyemuona Mtume au kama kuna ruhusa yoyote iliyosimuliwakutoka kwa Mtume kuhusu wao ili angalau kuweza kueleza ni kwa nini Waislamu wawezekulazimika kuwafuata wao. Bila sababu za kukufungeni mnawafuata wakubwa zenu nahamusemi chochote cha kupasisha Uimamu wao isipokuwa tu kwamba walikuwa mujtahidwakubwa, watu wenye elimu na uchamungu. Lakini, ikiwa sifa hizi zipo kwa kiwango chajuu sana katika kizazi cha Mtume, hivyo basi sio wajibu kwetu sisi kuwafuata wao? Hivihizi madhehebu zisizo na kiungo na Mtume ndio za uzushi au Madhehebu iliyoasisiwa naMtume na kuongozwa na dhuria wake ndiyo ya uzushi?

Katika njia hiyo hiyo, kuna Maimamu wengine kumi na mmoja, ambao kuhusu wao kunaHadithi mbali mbali zinazoonyesha kwamba wao ndio wanaolingana na Qur’ani Tukufu.Katika Hadith al-Thaqalain imeelezwa wazi kwamba: “Yeyote ambaye atashikamana naviwili hivi ataokolewa na yule ambaye atakaa mbali navyo amepotea. Katika “Hadithus-Safina.” Mtume (s.a.w.w.) alisema: “ Yule ambaye hukaa mbali navyo ataangamia nakupotea.” Ibn Hajar katika “Sawa’iq” (Bab-e-Wasiyyatu’n –Nabi, uk. 135) ananukuu

Mikesha ya Peshawar

75

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 75

Page 94: Mikesh A

hadithi kutoka kwa Mtume isemayo kwamba: “Qur’ani na dhuria wangu ni dhamanazangu; kama mtashikamana wenyewe kwenye viwili hivi, kamwe hamtapotea.”

Kwa kuliunga mkono hili, Ibn Hajar ananukuu hadithi nyingine kutoka kwa Mtumekuhusu Qur’ani Tukufu na dhuria wake watoharifu: “Msivuke mipaka ya Qur’ani nadhuria wangu; wala msiwapuuze. Vinginevyo mtaangamizwa. Na msiwafundishe dhuriawangu kwa vile wao wanajua zaidi kuliko mlivyo ninyi.”

Baada ya hivi, Ibn Hajar akatoa maelezo kwamba, hadithi hizo hapa juu huthibitishakwamba dhuria wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ni bora kuliko wengine wote katika elimuna katika kutekeleza wajibati za kidini.”

MAIMAMU WANNE WA KISUNNI WAMETANGAZANA KUWA MAKAFIRI.

Walakini hata hivyo, inashangaza kwamba, pamoja na kujua kwamba dhuria wa MtukufuMtume (s.a.w.w.) ni wabora kuliko wengine wote, Masunni wanamfuata Abu’l HasanAsh’ari katika misingi ya dini na Maimamu wanne katika kanuni za utekelezaji wa Imani.Kufuata mwenendo huo ni kwa sababu ya ushabiki na kiburi. Na hata kama tukijaalia kuwausemayo ni kweli, kwamba Maimamu wenu wanne wana haki ya ninyi kuwakubali kwasababu walikuwa wanachuo na wachamungu, basi kwanini kila mmoja wao akamlaumumwengine kwa ukafiri?

Hafidh: Wewe umkali sana. Unasema kila kinachokuja kwenye akili. UnawasingiziaMaimamu wetu. Maelezo haya ni ya uwongo. Kama kuna kilichosemwa dhidi yao, nikutoka kwa Maulamaa wa Kishi’a. Kutoka upande wetu hakuna chochote kilichosemwadhidi yao. Tumeonyesha heshima kwao.

Muombezi: Ni dhahiri wewe hukusoma vitabu vya Maulamaa wako. Maulamaa wenumaarufu wenyewe wameandika vitabu vinavyohusu kukataa kwao. Hata hawa maimamuwanne wameshutumiana wenyewe kwa wenyewe kwa kukiuka sheria za dini.

Hafidh: Maulamaa hao ni akina nani? Nini maelezo yao?

Muombezi: Masahaba wa Abu Hanifa, Ibn Hajar (Ali bin Ahmad Andalusi aliyekufa 456A.H.), na wengine wamekuwa kila mara wakiwasuta Imamu Maliki na Muhammad binIdris Shafi’i. Kadhalika wafuasi wa Imam Shafi’i, kama Imamu’l-Haramain, ImamGhazali na wengine wamemshutumu Abu Hanifa na Malik. Hebu ngoja nikuulize kitu:

Mikesha ya Peshawar

76

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 76

Page 95: Mikesh A

Hawa walikuwa watu aina gani – Imam Shafi’i, Abu Hamid bin Muhammad Ghazali, naJarullah Zamakhshari?

Hafidh: Walikuwa Mafuqaha wakubwa, wanachuo wasomi, watu wachamungu, naMaimamu wetu.

SHUTUMA ZA MAULAMAA WA KISUNNI KWA ABU HANIFA:

Muombezi: Imam Shafi’i amesema: “Hajapata kuzaliwa mtu wa kuchukiza katikaUislamu kama Abu Hanifa.” Vilevile amesema: “Nimeangalia katika vitabu vya wafuasiwa Abu Hanifa, na nikaona mna kurasa 130 zenye mambo yenye kukinzana na Qur’aniTukufu na Sunna.”

Abu Hamid Ghazali katika kitabu chake “Manqul-fi Ilmi’l-Usul” anasema: “Kwa hakikaAbu Hanifa amepotoa kanuni ya dini, kaifanya njia yake kuwa ya mashaka, amebadilishampangilio wake, na amechanganya sheria katika hali ambayo kanuni iliyoelezwa naMtukufu Mtume (s.a.w.w.) imeharibika kabisa. Mtu mwenye kufanya hivyo makusudi nakuiona hiyo kuwa ni halali; ni kafiri. Mtu mwenye kuifanya na hali akijua, ni fasiq. Kwamujibu wa Mwanachuo huyu mkubwa, Abu Hanifa alikuwa ama yeye ni kafir au fasiq.Vitabu vingi vingine vinamshutumu Abu Hanifa. Jarullah Zamakshari, mwandishi wa“Tafsirul’al-Kash’shaf” na mmoja wa Maulamaa wenu wachamungu, anaandika katika“Rabiu’l-Abrar” kwamba Yusufu bin Asbat alisema: “Abu Hanifa alizikataa karibu Hadith400 za Mtume wa Uislamu.” Yusufu akaeleza kwamba: “Abu Hanifa alisema: Lau Mtumewa Uislamu angenifahamu, mengi ya maneno yangu angeyakubali.”

Maulamaa wenu wenyewe wametoa shutuma za namna hiyo kwa Abu Hanifa na kwa haoMaimamu wengine watatu. Zinaweza kupatikana katika “Mutahawwal” cha Ghazali,‘Nuqtu’sh-Sharifa” cha Shafi’i, “Rabiu’l-Abrar” cha Zamakhshari, na “Muntazim” cha IbnJauz. Imam Ghazil anasema katika “Mutahawwal” yake: “Kuna makosa mengi katikavitabu vya Abu Hanifa. Hakuwa na elimu ya balagha, nahau, au hadith.” Vilevile anaandi-ka: “Kwa vile hakuwa na elimu ya hadith, alitegemea juu ya kukisia mwenyewe. Kiumbewa kwanza aliyetenda kwa kukisia alikuwa ni Shetani.”

Ibn Jauzi anaandika katika “Muntazim” yake: “Ulamaa wote wameungana katikakumshutumu Abu Hanifa. Kuna Makundi matatu ya wakosoaji kama hao: kundi mojalinashikilia kwamba imani yake katika misingi ya Uislamu ilikuwa haina uhakika; kundilingine linasema kwamba, hakuwa na kumbukumbu imara na hakuweza kukumbukahadith; kundi la tatu linaamini kwamba alitenda kwa kukisia na kwamba maoni yake

Mikesha ya Peshawar

77

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 77

Page 96: Mikesh A

yalikuwa siku zote tofauti na hadith za kweli.”

Maulamaa wenu wenyewe wemewalaumu Maimamu wenu. Maulamaa wa Kishi’ahawakuwahusisha na chochote, isipokuwa kile Maulamaa wenu wenyewe walichosemakuhusu wao. Kwa upande mwingine, hakuna tofauti ya maoni miongoni mwa Ulamaa waKishi’a kuhusiana na nafasi za hao Maimamu kumi na mbili. Tunawaona Maimamuwatukufu kama wanafunzi wa fundisho moja. Maimamu hawa - wote walitenda kwamujibu wa sheria za Ki-Mungu ambazo yule mwisho wa Mitume aliwapa. Kamwehawakutenda kwa kukisia au kuafiki uzushi. Walichosema au kufanya kilikubaliana namaneno ya Mtume. Hivyo, hakukuwa na tofauti miongoni mwao.

UIMAM KWA MUJIBU WA SHI’A UNAMAANA YA UWAKILISHI WA ALLAH.

Kwa mujibu wa ufafanuzi uliotolewa na Maulamaa, Uimamu au Uwakilishi wa Allah, nimoja ya misingi ya Uislamu. Tunaamini kwamba Uimamu ni uwakilishi wa Allah kwaviumbe wote na Khilafat-e-Rasul (Makamu/warithi wa Mtume) kwa ulimwengu huu naujao. Kwa hiyo, ni wajibu kwa wanadamu wote kufuata wapangaji wake katika mamboyote, ya kidunia na hali kadhalika ya kiroho.

Sheikh: Ingelikuwa vizuri kama usingelitamka kidhahiri kwamba Uimamu umeingizwakatika misingi ya imani, kwa vile Maulamaa wakubwa wa Uislamu wanakataa kuwekwakwake humo. Umewekwa katika shuruti za matendo ya imani. Maulamaa wenu wameu-fanya sehemu ya misingi.

Muombezi: Maelezo yangu haya, hayakomei kwenye Imam wa Mashi’a tu. HataMaulamaa wenu wakubwa wanayo imani kama hiyo. Mmoja wao ni mfasiri wenumashuhuri Qadhi Baidhawi, ambaye anasema katika kitabu chake “Minhaju’l-Usul” kuhu-siana na mjadala juu ya masimulizi ya Hadithi: “Uimamu ni moja ya kanuni za msingi zaimani, ambazo kuzikataa na ukinzano juu yake hupelekea kwenye ukafir na uzushi.”

Mulla Ali Qushachi anasema katika kitabu chake “Sharh-e-Tajrid.” Uimamu kwa jumla niUwakala wa Allah kwa mambo yote ya ulimwengu huu na dini, kama Ukhalifa waMtume.” Na Qadhi Ruzbahan, mmoja wa washupavu mno (Shabiki) wa Maulamaa wenuanaashiria kwenye maana hiyohiyo. Anasema: “Uimamu kwa mujibu wa wafuasi waAbu’l-Hasan Ash’ari ni uwakilishi wa Mtume wa Uislamu kwa ajili ya kuimarisha imanina kulinda salama maslahi ya Jumuiya ya Kiislamu. Wafuasi wote wanafungwa katikawajibu wa kufuata maamrisho yake.” Ungekuwa Uimamu sio sehemu ya shuruti za maten-do ya imani, Mtume asingesema kwamba: “Yeyote yule anayekufa bila kujua Imamu wakewa zama, anakufa kifo cha kijahilia.”

Mikesha ya Peshawar

78

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 78

Page 97: Mikesh A

Hii imenukuliwa na Maulamaa wenu maarufu, kama Hamidi katika “Jam’i-Bainu’s-Sahihain” na Mulla Sa’d Taftazani katika “Sharhe Aqa’id-e-Nasafi.” Kutoelewa shartihata moja la utekelezaji wa imani hakuwezi kuwa sawa na ujinga ulioelezwa na Baidhawikuhusu kutokujua misingi, yaani kwamba ujinga wake ni sababu ya ukafir. Kwa hiyoUimamu ni moja ya misingi ya imani na ni hatua ikamilishayo Utume. Kwa ajili ya hiyo,kuna tofauti kubwa kati ya dhana ya Uimamu wetu na ile inayotafsiriwa na ninyi.Mnawaita Maulamaa wenu Maimamu, kama vile Imam Adhma, na Imam Maliki. Lakinihii ni maana ya mdomo. Sisi pia tunatumia neno Imam-e-Juma’a, Imam-e-Ja-ma’at.

Hivyo wanaweza wakawepo mamia ya Maimamu kwa wakati mmoja, lakini katika maanaya kitaalamu (kiistilahi) ambayo kwayo tunatumia neno “Imam,” ina maana muwakilishiwa Allah. Katika maana hii kuna Imam mmoja tu kwa wakati mmoja. Sifa bora za elimu,Maadili, ushujaa, upenzi kwa Allah, na uchamungu zimekamilishwa ndani yake.Anawashinda binadamu wote katika tabia zote na hushikilia hali ya kutofanya makosa.Dunia haitakuwa bila Imam wa aina hiyo mpaka siku ya malipo. Imam wa ubora kama huoanakuwa katika kiwango cha juu kabisa cha mafanikio ya kiroho. Imam kama huyo anaid-hinishwa na Allah na anateuliwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Hushinda viumbe wotepamoja na Mitume waliopita.

Hafidh: Kwa upande mmoja unawashutumu Maghulat, na kwa upande mwingine wewemwenyewe kiububusa unawasifu Maimamu na kuiona nafasi yao ya juu zaidi kuliko ile yaMitume. Akili ya kawaida inalikataa hili, na Qur’ani Tukufu vilevile imeeleza kwambaMitume wamewekwa katika nafasi ya juu zaidi. Nafasi yao iko baina ya uhuru wa ki-unguna lile lenye kuwezekana. Kwa vile maelezo yako hayaungwi mkono na akili, hayawezikukubaliwa.

CHEO CHA UIMAM NI JUU ZAIDIKULIKO CHA UTUME WA KAWAIDA.

Muombezi: Bado hujaniuliza ni kwa misingi ipi nimeyatoa maelezo haya, na kwa hiyounasema ni ya bila hekima. Ushahidi mzuri kwa maelezo yangu ni Qur’ani Tukufu,ambayo ikizungumzia maisha ya Mtume Ibrahim, inasema kwamba, baada ya kumpa miti-hani mitatu (ya maisha, mali, na watoto), Allah alikusudia kufanya cheo chake cha juuzaidi. Kwa vile Utume na Cheo cha Khalil (Rafiki) havikuruhusu dhahiri cheo cha juu,nafasi ya Uimamu ndiyo iliyokuwa nafasi pekee ya Cheo cha juu ambayo hata Mtume waAllah anaweza kuaminishwa. Qur’ani Tukufu inasema: “Na wakati Mola Wake alipom-jaribu Ibrahim na maneno fulani, aliyatekeleza. Alisema:

Mikesha ya Peshawar

79

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 79

Page 98: Mikesh A

“Hakika nitakufanya Imam wa watu. Ibrahimu akasema: Na dhuria wangu?Akasema ahadi yangu haiwafikii madhalimu.” (2:124).

Aya hii ambayo inaonyesha nafasi ya Uimamu, pia inathibitisha kwamba cheo chaUimamu ni cha juu kuliko cha Utume. Kwa vile nafasi ya Mtume Ibrahimu ilinyanyuliwakutoka Utume kwenda Uimamu.

Hafidh: Hii ina maana, kwa mujibu wa maelezo yako, ni kwamba nafasi ya Ali ilikuwaya juu kuliko ile ya Mtume wa Mwisho. Hivi ndivyo Maghulat walivyoamini, kama wewemwenyewe ulivyokiri.

MITUME WA KAWAIDA NA WALE MAALUMU:

Muombezi: Sina maana ya hivyo ulivyohitimisha wewe. Kama ujuavyo kuna tofautikubwa kati ya Utume wa kawaida na Utume maalumu. Cheo cha Uimamu ni cha juu zaidikuliko cheo cha Utume wa kawaida, lakini kiko chini kuliko cha Utume Maalumu. Mtumewa mwisho ndiye kiwango cha hali ya juu cha utume maalum.

Nawab: Nisamehe kwa kuingilia kwangu. Je; Mitume wote hawakutumwa na Allah?Hapana shaka wote wana cheo kile kile. Qur’ani Tukufu inasema: “Hatutofautishi bainaya yeyote kati ya Mitume.” (2:285). Basi kwanini umetofautisha baina yao na ukagawaUtume katika makundi mawili; kawaida na maalumu?

Muombezi: Hakika, Aya hii ni kweli iko sawa sawa katika fuo lake. Yaani, kwa kiasikufanikisha lengo la Utume kuhusikavyo (ambako kuna maana ya kufundisha watu kuhusukuwepo kwa Allah. Siku ya Malipo na kuzifunza akili zao), Mitume wote kutoka Adamumpaka mwisho wa Mitume, wako sawa. Lakini wanatofautiana katika sifa, mafanikio nacheo.

TOFAUTI KATIKA DARAJA ZA MITUME.

Je, Mtume ambaye ametumwa kuongoza watu 1,000 ni sawa na yule aliyepelekwa kuon-goza watu 30,000, au kwa yule aliyetumwa kuongoza wanadamu wote? Hebu tuchukuemfano. Hivi, Mwalimu wa wanafunzi wa darasa la kwanza ni sawa na Mwalimu wa darasala nne? Je, Walimu wa madarasa ya juu ni sawa na Maprofesa au Walimu wa ChuoKikuu? Wote wako katika Utawala mmoja na kufanya kazi chini ya mpango mmoja wajumla, lengo lao likiwa kuelimisha wanafunzi. Bado, kwa kuzingatia elimu ya Walimu hao,

Mikesha ya Peshawar

80

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 80

Page 99: Mikesh A

hawako sawa. Kila mmoja yuko tofauti na mwingine kwa mujibu wa kisomo, uwezo, namafanikio yake. Kwa mtazamo wa lengo la Utume, Mitume wote wa Allah wako sawasawa. Walakini, kwa sababu ya tofauti katika daraja na elimu, wako tofauti. Qur’aniTukufu inasema:

“Tumewafanya baadhi ya Mitume kuwazidi wengine; Miongoni mwao wako ambaoAllah amesema nao, na baadhi yao Amewatukuza kwa (vyeo vingi) daraja.” (2: 253).

Mwanachuo wenu wenyewe Jarullah Zamakshari anasema katika kitabu chake, “Tafsir-e-kush-Shaf” kwamba, Aya hiyo hapo juu ina maana Mtume wetu alikuwa bora katika dara-ja kwa wengine wote kwa sababu ya sifa zake maalumu, muhimu zaidi ni ambayo kwam-ba alikuwa wa mwisho wa Mitume.

Nawab: Nimefurahi umelitatua tatizo hili, lakini nina swali lingine, ingawa kwa namnanyingine halihusiki hapa. Tafadhali tueleze kwa ufupi sifa makhususi za Utume maalumu.

Muombezi: Kuna sifa nyingi za pekee kwa Utume Maalumu, na kuna sababu nyingi mnozinazothibitisha vipi Mtume mmoja kati yao wote ndiye Mtume maalum wa Allah. Kwahakika hatua hiyo huishiliza duru la Utume. Lakini mikutano hii haikupangwa kuthibitishaUtume wa Allah kwa Waislamu. Kama ingekuwa tuijadili nukta hii kikamilifu, tungetokanje ya nukta yetu ya Uimamu. Walakini kwa ufupi hata hivyo, nitajadili nukta hii.

SIFA ZA UTUME MAALUM:

Ukamilifu wa ubinadamu umo katika ukamilifu wa nafsi. Ukamilifu wa kimaadili na kiro-ho hauwezi kufikiwa bila kutakasa nafsi. Ukamilifu huu hauwezekani mpaka mtu aon-gozwe kwa uwezo wa hekima. Hapo ndipo mtu ataweza kupanda juu na juu zaidi pamo-ja na nguvu ya elimu na utendaji sahihi mpaka anafikia kilele cha ubinadamu, kama ilivy-oelezwa na Ali. Yeye alisema: “Mtu aliumbwa na uwezo wa kuongea ambayo ni asili yaubinadamu. Kama mazungumzo yamepambwa na elimu na vitendo, hufanana na kuwepoufalme wa ki-mbinguni ambao ndiyo asili ya kuumbwa kwa mwanadamu. Wakatimazungumzo yake yanapofikia pahala pa kujizuia na yanaondokana na mata yote yamaumbile, inakuwa moja pamoja na ufalme wa ki-mbinguni. Kisha huachana na ulimwen-gu wa kihayawani na kufikia hatua ya juu sana ya ubinaadamu.”

Uwezo wa mtu wa kuzungumza humfanya bora kwa viumbe vyote. Lakini kuna shartimoja lililoambatanishwa kwalo, kwamba uisafishe nafsi yake na uchafu wote kwa elimuna matendo sahihi. Sehemu hizi mbili ndani ya mtu ni kama mbawa mbili za ndege,

Mikesha ya Peshawar

81

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 81

Page 100: Mikesh A

ambaye huruka juu angani kutokana na nguvu za mbawa zake.

Hivyo hivyo kiwango cha mtu cha mafanikio ya ubinadamu hupanda kutokana na elimuyake na matendo sahihi. Kuvuka mipaka ya hali ya kinyama na kufikia nyanja ya maten-do ya kibinadamu hutegemea juu ya ukamilifu wa nafsi. Mtu ambaye hukusanya ndaniyake stadi za elimu na matendo sahihi na akafikia thuluthi ya tabaka tatu za watu (watu wakawaida, watu bora na watu bora zaidi), hufikia daraja la chini kabisa la Utume. Wakatimtu kama huyo anapokuwa shabaha ya hisani maalumu za Allah, anakuwa Mtume.

Naam, kwa kweli Utume vilevile una daraja tofauti. Mtume anaweza kufikia daraja ya juuzaidi katika tabaka hizi tatu. Cheo hiki ni cha juu sana katika nyanja ya uwezekano,ambayo wenye busara (wataalamu) huiita Hekima ya Kwanza, na ambayo ni Athari yaKwanza au Matokeo ya Mwanzo. Hakuna cheo cha juu kama hiki katika miliki ya viumbe.Nafasi hii imeshikwa na wa mwisho wa Mitume, ambaye ni wa kwanza, hakuna kama yeyeisipokuwa kile Chanzo cha Awali. Wakati Mtume alipopandishwa kwenye daraja hii ya juuzaidi, Utume ulikomelezwa. Uimamu ni daraja la chini kuliko daraja ya juu zaidi ya utume,lakini ni hatua ya juu kuliko daraja zote nyingine za Utume. Kwa vile Ali alipandishwakwenye hatua ya juu kuliko ya Utume na alikuwa mmoja katika nafsi pamoja na MtukufuMtume (s.a.w.w.), aliaminishwa kazi ya Uimamu na hivyo kuwa mbora kwa Mitume wotewaliopita.

Hafidh: Sehemu ya mwisho ya maneno yako inachanganya. Kwanza, unasema Alialikuwa katika ngazi ya Utume, pili, kwamba alikuwa nafsi moja na Mtume Muhammad,tatu, kwamba alikuwa bora kwa Mitume mingine. Nini hoja zako kuthibitisha ukweli wamaneno yako?

HOJA ZA CHEO CHA UTUME KWA AJILI YA ALI KUTOKA KWENYE HADITH MANZILA.

Muombezi: Kwamba Ali amepata cheo cha Utume yaweza kuthibitishwa kwa kurejeakwenye hadith ya Manzila (Hadith inayohusu vyeo), ambayo imesimuliwa kwa kauli mojakwa kadri ya maneno yanayofanana. Wa mwisho wa Mitume watukufu amerudia maranyingi na katika mikusanyiko tofauti. “Je, huridhiki kwamba kwangu wewe ni kamaHarun alivyokuwa kwa Musa, isipokuwa tu kwamba hakutakuwa na Mtume baadayangu?” Na wakati mwingine aliwaambia wafuasi wake. “Ali kwangu mimi ni kamaalivyokuwa Hauna kwa Musa.”

Hafidh: Usahihi wa hadith hii haukuthibitishwa. Hata kama ingethibitishwa kuwa nikweli itakuwa ni simulizi pekee na kwa hiyo haikubaliki.

Mikesha ya Peshawar

82

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 82

Page 101: Mikesh A

USAHIHI WA HADITH YA MANZILA KUTOKAKWENYE REJEA ZA KAWAIDA.

Muombezi: Katika kutoa taarifa kuhusu usahihi wa hadith hii, nitarejea kwenye vitabuvyenu. Hii sio simulizi ya pekee. Imethibitishwa na maulamaa wenu mashuhuri, kamaSuyuti, Hakim Nishapuri, na wengine, ambao wamethibitisha kutegemeka kwake kwavyanzo vinavyokubaliwa kwa pamoja. Baadhi yake ni hivi vifuatavyo:

(1) Abu Abdullah Bukhari katika Sahih yake Juz. 111, Kitab Ghazawa, gahazawa Tabuk;uk. 54, na ndani ya kitabu chake “Bida’u’l-Khalq”, uk. 180; (2) Muslim bin Hajjaj katikaSahih yake iliyochapishwa Misri, 1290 A.H. Juz. 11, chini ya kichwa cha habari, “Uborawa Ali;” uk. 236-7; (3) Imam Ahmad bin Hanbal katika Musnad Juz. 1 “Sababu za kutoajina la Husain”, Uk. 98, 118, 119 na maelezo chini ya kurasa ya kitabu hicho hicho,Sehemu ya 5 uk. 31; (4) Abu Abdu’r-Rahman Nisa’i katika “Khasa’isi’l-Alawiyya” uk. 19;(5) Muhammad bin Sura Tirmidhi katika Jami’ yake; (6) Hafidh Ibn Hajar Asqalani kati-ka “Isaba.” Juz. 11, uk. 507; (7) Ibn Hajar Makki katika “Sawa’iq Muhriqa” Sura ya 9,Uk. 30& 34; (8) Hakim Abu Abdullah Muhammad bin Abdullah Nishapuri katika“Mustadarak”, Juz. 11, Uk. 109; (9) Jalalu’d-Din Suyuti katika “Tarikhu’l-Khulafa” uk.65; (10) Ibn Abd Rabbih katika “Iqdu’l-Farid” Juz. 11, uk. 194;

(11) Ibn Abdu’l-Birr katika “Isti’ab”, Juz. 11, uk. 473; (12) Muhammad bin Sa’d KatibWaqidi katika “Tabaqatu’l-Kubra;” (13) Imam Fakhru’d-Din Radhi katika “TafsirMafatihu’l-Ghaib”; (14) Muhammad bin Jarir Tabari katika “Tafsir” yake, na pia katika“Tarikh” yake; (15) Seyyed Mu’min Shablanji katika “Nuru’l-Absar”, uk. 68; (16)Kamalu’d-Din Abu Salim Muhammad bin Talha Shafi’i katika “Matalibu’s-Su’ul”, uk. 17;(17) Mir Seyyed Ali bin Shahabu’d-Din Hamadani katika “Mawaddatu’l-Qubra”,kuelekea mwisho wa Mawadda 7; (18) Nuru’d-Din Ali bin Muhamma Maliki Makki, aju-likanaye kwa jina la Ibn Sabbagh Maliki katika “Fusulu’l Muhimma” uk. 23 na 125; (19)Ali bin Burhanu’d-Bin Shafi’i katika “Siratu’l-Halabiyya” Juz. 11, uk, 49; (20) SheikhSualyman Balkh Hanafi katika “Yanabiu’l-Mawadda”,

(21) Mulla Ali Muttaqi katika “Kanzu’l-Ummal”, Juz. VI, uk. 152 –153; (22) Ahmad binAli Khatib katika “Ta’rikh Baghdad”; (23) Ibn Maghazili Shafi’i katika “Manaqib”; (24)Muwaffaq bin Ahmad Khawarizmi katika “Manaqib”; (25) Ibn Jazari Ali bin Muhammadkatika “Usudu’l-Ghaiba”; (26) Ibn Kathir Damishqi katika “Tarikh” yake; (27) Ala’u’d-Daula Ahmad bin Muhammad katika “Urwatu’l-Wuthqa”; (28) Ibn Athir Mubarak binMuhammad Shaibani katika “Jami’ul’-Usul”; (29) Ibn Hajar Asqalani katika “Tahdhibu’t-Tahdhib”; (30) Abu’l-Qasim Husain bin Muhammad Raghib Isfahani katika“Muhadhiratu’l-Udaba”; Juz. 11, uk. 212.

Mikesha ya Peshawar

83

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 83

Page 102: Mikesh A

Maulamaa wenu wengi wengine wakubwa wameisimuliwa hadith hii muhimu pamoja natofauti kidogo ya maneno kutoka kwa Masahaba wengi wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)kama vile: (1) Umar bin Khattab, (2) Sa’d bin Ali Waqqas (3) Abdullah bin Abbas; (4)Abdulllah bin Mas’ud; (5) Jabir bin Abdullah Ansari, (6) Abu Huraira; (7) Abu Sa’idKhurdri; (8) Jabir bin Sumra; (9) Maliki bin Huwairi’s, (10) Bara’a bin Azib; (11) Zaid binArqam; (12) Abu Rafi; (13) Abdullah bin Ubai; (14) Abu Suraiha, (15) Hudhaifa binAssad, (16) Anas bin Malik, (17) Abu Huraira Aslami, (18) Abu Ayyub Ansari, (19) Sa’idbin Musayyab (20) Habib bin Abi Thabit, (21) Sharhbil bin Sa’d; (22) Ummi Salma (Mkewa Mtume); (23) Asma bint Umais, (Mke wa Abu Bakar); (24) Aqil bin Abi Talib (25)Muawiyya bin Abu Sufyan, na wengi wa Sahaba wengine. Kwa ufupi wote hawawameisimuliwa pamoja na tofauti kidogo ya maneno kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)amesema: “Ewe Ali, wewe uko kwangu mimi kama Harun alivyokuwa kwa Musa,isipokuwa kwamba hakutakuwa na Mtume baada yangu.”

Je, Maulamaa wote hawa wakubwa – na kuna wengi sikuwataja – hawatoshi kuthibitishakwamba hadithi hii imekubaliwa kwa pamoja kuwa ya kweli? Je, utathibitisha sasa kwam-ba ulikuwa katika kutokuelewa? Kwa vile unachukua mwelekeo wa wasiwasi kuhusuukweli wa hadith hii, yakupasa uangalie katika Kitabu “Kifayatu’t-Talib fi Manaqib-e-AliBin Abu Talib,” Sura ya 7, kilichoandikwa na Muhammad bin Yusuf Ganji Shafi’i, ambayeni mmoja wa Maulamaa wenu Maarufu mno wa madhehebu yenu. Baada ya kunukuuhadith sita zenye kumtukuza Ali, mwandishi huyu akaisherehesha (uk. 149) hadith hiikama ifuatavyo:

“Hii ni hadithi ambayo usahihi wake umekubaliwa na wote. Imesimuliwa na Maimamuwenye elimu zaidi na Huffadh (wajuao Qur’ani Tukufu kwa moyo), kama vile AbuAbdullah Bukhari katika Sahih yake, Muslim bin Hajjaj katika Sahih yake, Abu Dawudkatika Sunan yake, Abu Isa Tirmidhi katika Jami’ yake, Abu Abdu’r-Rahman katika Sunanyake, Ibn Maja Qazwini katika Sunan yake. Wote hawa kwa pamoja wamekubali usahihiwake. Hakim Nishapuri amesema kwamba hadith hii imeingia katika hatua yaMutawatir.”

Nina hakika kwamba sihitaji kutoa ushahidi zaidi kuonyesha kwamba hadith hii ni Sahihi.

Hafidh: Mimi sikukosa maadili ya kidini, hivyo siwezi kukataa mantiki yako ya kiakili,lakini hebu vuta mazingatio kwenye kauli ya mwanachuo na mwana itikadi mkubwa,Abu’l-Hasan Amadi, ambaye ameikataa hadith hii.

Muombezi: Nashangaa kwa nini mtu mwenye elimu kama wewe, baada ya kusikia maoniya Maulamaa wako mashuhuri, utaamini taarifa ya mtu muovu ambaye alikuwa hatakuswali haswali.

Mikesha ya Peshawar

84

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 84

Page 103: Mikesh A

Sheikh: Mtu yuko huru kuelezea imani yake. Kama mtu akielezea maoni yake, haitupasisisi kumkashifu. Haipendezi kwa wewe kumzulia uongo badala ya kutoa majibu yenyemantiki kwenye maelezo yake.

Muombezi: Umenielewa vibaya. Simlaumu mtu yeyote kinyume cha haki. Si kuwaninaishi katika wakati wa uhai wa Amadi. Maulamaa wenu wenyewe wameelezea kwam-ba alikuwa ni mtu aliyekuwa hana dini.

Sheikh: Ni wapi ambapo Ulamaa wetu wamesema kwamba alikuwa ni mtu asiyekuwa nadini?

AMADI HAAMINIKI KAMA MSIMULIAJI WA HADITHI.

Muombezi: Ibn Hajar Asqalani ameandika katika Lisanu’l-Mizan: “Saif AmadiMutakallim Ali bin Abi Ali, mwandishi, alifukuzwa kutoka Damascus kwa sababu yamaoni yake yasiyokuwa ya kidini, na ni kweli kwamba alikuwa hasali.” Na Dhahabi,ambaye pia ni mmoja wa Maulamaa wenu Maarufu, ameandika hivyohivyo katika“Mizanu’l-Itidal.” Amesema kwamba Amadi alikuwa mzushi. Kama Amadi asingekuwamuovu na mzushi asiyekuwa na dini, asingeweza kutoa maneno ya kashfa kuhusu Sahabawote wa Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.), ikiwa ni pamoja na Khalifa wenuwenyewe, Umar bin Khatab (mmoja wa wasimuliaji wa hadithi hii). Sio haki kabisakwamba mnawaona Mashi’a kuwa na taksiri kwa sababu ya kutokubali hadith zilizoandik-wa katika “Sihah.” Kama hadithi imetolewa kutoka vyanzo sahihi, inakubaliwa hata kamaiko kwenye “Sihah.” Lakini hadithi iliyothibiti, ambayo imeandikwa na Bukhari, Muslim,na waandishi wengine wa “Sihah” inakataliwa na Amadi, hamuoni taksiri kwayo.

Kama unataka kujua kwa ukamilifu hoja zinazohusu usahihi na vyanzo vya hadith hii kuto-ka kwenye maandishi ya Maulamaa wenu, na kama uko tayari kuwalaumu watu kamaAmadi, unaweza ukaangalia jalada za “Abaqatu’l-Anwar”, zilizoandikwa na mwanachuomkubwa na mfasiri, Allama Mir Seyyed Hamid Husain Dihlawi. Yakupasa uangalie husu-san hadith ya Manzila ili uweze kujua kwamba vipi mwanachuo huyu mkubwa wa Kishi’aalivyokusanya vyanzo kutoka kwa wanachuo wenu wa Shariah na wakathibitisha kutege-meka kwa hadhi hii.

Hafidh: Umesema kwamba mmoja wa wasimuliaji wa Hadithi hii alikuwa Umar binKhattab. Ningetaka kujua zaidi kuhusu habari hii.

Mikesha ya Peshawar

85

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 85

Page 104: Mikesh A

KUTHIBITISHWA HADITH YA MANZILA NAUMAR BIN KHATTAB.

Muombezi: Abu Bakar Muhammad bin Ja’afaru’l-Mutiri na Abu’l-Laith bin MuhammadSamarqandi Hanafi, katika vitabu vyao, Majalis, Muhammad bin Abdu’r-Rahman Dhahabikatika “Riadhu’n-Nadhara”, Mulla Ali Muttaqi katika “Kanzu’l-Ummal” na wengine,wamesimulia kutoka kwa Ibn Abbas akisema kwamba siku moja Umar bin Khattab alise-ma: “Liache jina la Ali (yaani usimzungumze Ali sana kwa ubaya) kwa sababu nimesikiaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) akisema kwamba Ali alikuwa na sifa tatu. Kama ningekuwana moja kati ya sifa hizi, ningeihifadhi zaidi kuliko kitu chochote kifikiwacho na mwangawa jua juu yake. Siku moja mimi; Abu Bakar, Abu Ubaida Jarra na baadhi ya Sahabawengine tulikuwepo, na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa amepumzika kwa kumuege-mea Ali bin Abu Talib. Alipiga bega la Ali na kusema: “Ali! Kiasi imani inavyohusika,wewe ni wa kwanza wa Waumini wote, na kiasi Uislam unavyohusika, wewe umechukuanafasi ya kuongoza!’ Kisha akasema: ‘Ali! Uko kwangu mimi kama alivyokuwa Harunkwa Musa. Na ni muongo ambaye anafikiri ni rafiki yangu kama yeye ni adui yako.”

Je, inaruhusiwa katika imani yenu kukataa maneno ya Khalifa Umar? Kama hairuhusiwi,kwa nini unaamini taarifa za ajabu za mtu kama Amadi?

NAFASI YA SIMULIZI PEKEE KATIKAMADHEHEBU YA SUNNI.

Ningali bado sijajibu moja ya madai yako. Umesema kwamba hadith hii ni simulizi pekee,na kwa ajili hiyo haikubaliki. Kama tukisema kitu hicho kwa mujibu wa mtindo wa watuambao tunao katika maoni, tutakuwa wenye haki. Lakini inanishangaza kusikia kitu hikikutoka kwako, kwa sababu katika madhehebu yenu hata simulizi pekee inatoshakuthibitisha ukweli wa jambo. Kama mtu akikataa kukubali usahihi wa simulizi pekee,kwa mujibu wa maulamaa wenu atakuwa si muumini. Maliku’l-Ulama Shahabu’d-DinDaulatabadi amesema katika “Hidayatu’S-Sa’da”: “Kama mtu anakataa kukubali riwayapekee au rai na akasema kwamba haikubaliki, huyo ni kafir. Kama akisema simulizi pekeehii sio sahihi, na rai hii haikuthibiti, atakuwa mtenda kosa, sio kafir.

Hafidh: Tumetoka kwenye mada yetu ya msingi. Tafadhali hebu tueleweshe ni vipiutaweza kuthibitisha kwa Hadith hii ya Manzila kwamba Ali alishika cheo cha Utume.

Mikesha ya Peshawar

86

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 86

Page 105: Mikesh A

SIFA ZA ALI.

Muombezi: Hadith hii inathibitisha kwamba Ali anazo sifa tatu: (1) Cheo cha Utume.(2) Cheo cha Mrithi wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.); na (3) Nafasi yake ya juu miongonimwa Sahaba wote wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Kama alivyo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),wafuasi wa Ali walimfananisha na Harun, ambaye alikuwa Mtume, aliwekwa kuwaKhalifa wa Musa, na alikuwa mbora juu ya Bani Israel wote.

Nawab: Harun alikuwa Mtume?

Muombezi: Ndiyo.

Nawab: Unaweza kuonyesha Aya kutoka kwenye Qur’ani yenye kuunga mkono nukta hii?

Muombezi: Allah ameutaja Utume wake katika Aya nyingi. Anasema: “Hakikatumekuletea wahyi kama tulivyompelekea wahyi Nuh na manabii baada yake. Natulimpelekea Ibrahim na Ismail na Is’haq na Yakub na makabila; na Isa na Ayub naYunus na Harun na Suleiman na Daud tukampa Zaburi.” (4:163)

Na halafu tena Anasema: “Na mtaje Musa katika Kitabu, hakika yeye alikuwa mwenyekusafishwa, na alikuwa Mtume, Nabii. Na tukamwita upande wa kulia wa mlima, natukamsongeza kuzungumza naye kwa siri. Nasi tukampa katika rehema zetunduguye Harun, Nabii.” (19:51-53)

Hafidh: Hivyo kwa mujibu wa hoja yako, Muhammad na Ali wote walikuwa Mitume.

Muombezi: Mimi sikuelezea katika njia unayoelezea wewe. Kwa kweli wewemwenyewe unajua kwamba kuna tofauti kubwa ya maoni kuhusu ni Mitume wangapiwalikuwepo. Baadhi wanadai kwamba walikuwepo 120,000 - au hata zaidi. Lakini wotehao katika nyakati zao husika walikuwa wamegawanyika katika makundi na walikuwa(daraja ya) chini kwa Mtume mkuu ambaye kwake kilifunuliwa kitabu kitukufu kikiwa nasheria mpya za dini. Watano miongoni mwao walikuwa ni Mitume wakuu: Nuh, Ibrahim,Musa, Isa, na mwisho wa Mitume wote, Muhammad, ambaye cheo chake kilikuwa ndiocha juu zaidi.

Harun alikuwa mmoja wa wale Mitume ambao hawakuwa wa kudumu au wa kujitegemea.Alikuwa chini ya Sharia (mfumo wa kidini) ya ndugu yake Musa. Ali alifikia cheo chaUtume lakini hakupandishwa kwenye cheo hicho cha Mtume kwa asili yake yenyewe kwavile alikuwa chini ya Shari’a ya Muhammad. Katika hadith hii ya Manzila, madhumuni yaMtume yalikuwa ni kuwaambia watu kwamba, kama vile ambavyo Harun amefikia Cheocha Utume lakini alikuwa chini ya Musa, Ali alifikia cheo cha Utume. Uimamu ulipasish-wa kwake, lakini alikuwa chini ya Muhammad (s.a.w.w.).

Mikesha ya Peshawar

87

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 87

Page 106: Mikesh A

UMUHIMU WA CHEO CHA ALI.

Katika Sharhe yake juu ya Nahju’l-Balagha, Ibn Abi’l-Hadid anasema kuhusiana na hadithhii kwamba kwa kutaja cheo cha Harun katika kumlinganisha na Musa, Mtume alionyeshakwamba Ali bin Abu Talib alishika cheo hicho. Vivyo hivyo, Muhammad bin TalhaShafi’i, katika “Matalibu’s-Su’ul”, uk. 19, baada ya kuelezea cheo na nafasi ya Harun,anasema: “Maana hasa ya jambo hili ni kwamba, nafasi ya Harun katika kuhusiana naMusa ilikuwa kwamba Harun alikuwa ndugu yake, muwakilishi wake, mshirikakatikaUtume, na wasii wake au Mshika Makamu wakati Musa alipokuwa safarini.Mtukufu Mtume wa Allah (s.a.w.w.) alikuwa vilevile katika hadith hii alionyesha kwam-ba, Ali alikuwa nayo nafasi ile ile kama aliyokuwa nayo Harun, isipokuwa Utume, ambaoumeondolewa kwa kusema kwake: “Hakutakuwa na Mtume baada yangu.”

Kwahiyo, imethibitishwa kwamba Ali alikuwa ndugu yake Mtume, waziri (msaidizi)muwakilishi, na mrithi au Makamu wake, kama ilivyoelezewa na Mtume katika safari yakeya Tabuk. Hadith hii kwa umoja inakubaliwa kuwa ni ya kweli. Maoni kama hayayameelezewa na Ibn Sabbagh Maliki katika “Fusulu’l-Muhimma” uk. 29, na wenginewengi wa Maulamaa wenu mashuhuri.

Hafidh: Nafikiri madai yako kwamba kama Mtume wetu asingekuwa Muhuri (mwisho)wa Mitume, Ali angeishika nafasi hiyo, ni (madai) ya kipekee kwako wewe mwenyewe.Hakuna mtu mwingine aliyesema hivyo.

Muombezi: Madai haya hayakuishia kwangu na kwa Maulamaa wa Kishi’a tu.Maulamaa wenu wenyewe wamekuwa na maoni kama haya. Mmoja wa Maulamaa wenuwakubwa ni Mulla Ali bin Sultan Muhammad Harawi Qari. Katika kitabu chake “Mirqat-e-Sharh bar Mishkat”, yeye anasema, akitoa maoni juu ya hadith ya Manzila; “Kuna dalilikatika Hadith hii kwamba, kama kungekuwa na Mtume wa Allah baada ya mwisho waMitume, basi angelikuwa ni Ali.” Mwingine katika ulamaa wenu mashuhuri ambayeameitafsiri Hadith hii kwa njia hii hii ni yule mwanachuoni ajulikanaye sana, Jalalu’d-DinSuyuti. Anaandika kuelekea mwisho wa kitabu chake “Baghiatu’l’-Wu’az fi Tabaqatu’l-Huffadh”, akitoa Sanad (nyororo) ya wapokezi mpaka kufikia kwa Jabir Abdallah Ansari,kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimwambia Amiru’l-Muuminiina Ali.“Angelikuwepo Mtume yoyote baada yangu, basi angelikuwa ni Wewe!”

Kwa nyongeza, Mir Seyyed Ali Hamadani Faqih Shafi’i anasema katika Mawaddad ya Piliya Mawadda Sita katika kitabu chake “Mawaddatu’l-Qurba,” akinukuu riwaya kutoka kwaAnas bin Malik, kwamba Mtume alisema: “Hakika, Allah amenifanya mimi Mkuu kwa

Mikesha ya Peshawar

88

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 88

Page 107: Mikesh A

Mitume wote, akanichagua mimi kwa ubora, na akanifanyia mimi wasii, binamu yanguAli. Kupitia kwake yeye akaimarisha mabega yangu, kama vile mabega ya Musa yalivy-oimarishwa na Harun. Yeye (Ali) ni makamu wangu na msaidizi wangu. Kama kunge-likuwepo na Mtume yoyote baada yangu, angelikuwa ni Ali, lakini hakutakuwa na Mtumebaada yangu.”

Hivyo unaona kwamba siko peke yangu katika kudai cheo cha Utume kwa Ali. Mtume naMaulamaa wenu wamelikubali hilo. Kwa vile alikuwa na cheo cha Harun na kwa vilemuda wa Utume ulikuwa umefikia kikomo Ali alikuwa mwenye kufaa zaidi kwa Ukhalifa.Moja ya dalili za utukufu wa cheo cha Ali ilikuwa kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)aliruhusu mlango wa nyumba ya Ali kubakia kufunguka kuelekea Msikitini.

Maneno haya yalisababisha mshangao na bumbuazi miongoni mwa Masunni. Muombeziakauliza kwa nini inakuwa hivyo.

Nawab: Ijumaa iliyopita tulikwenda Msikitini kusali. Hafidh Sahib akatueleza kuhusuubora wa khalifa Abu Bakar. Alisema kwamba yeye aliruhusiwa kuweka mlango wanyumba yake kuelekea Msikitini. Tunashangaa kusikia wewe ukisema kwamba ruhusa hiiilikuwa kwa Ali pekee. Tafadhali hebu ifafanue nukta hii.

Muombezi: (Akimgeukia kwa Hafidh Sahib) Ulitoa kauli hii?

Hafidh: Ndio Imesimuliwa kwenye hadith Sahih zetu, kama iliyoelezwa na Sahabamchamungu na mwadilifu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Abu Huraira. Mtume aliagizakwamba: “Milango yote ifunguliwayo kuelekea Msikitini ifungwe isipokuwa mlango wanyumba ya Abu Bakr, kwani Abu Bakr anatokana na mimi na mimi ninatokana na AbuBakr.”

Muombezi: Hakika unajua kwamba kwa sababu ya ubora wa Amiru’l-Mu’minina, Ali,Bani Ummaya walifanya juhudi endelevu kwa kupitia njia za siri na hususani kupitia kwawatu wenye kujipendekeza na kumsifu sifu mno Mu’awiya, kama Abu Huraira na Mughiraili kubuni hadith kama hizo. Aidha, wafuasi wa Abu Bakr, kwa sababu ya kumuungamkono kwao yeye, waliziimarisha hadith hizi za kughushi. Ibn Abi’l-Hadid, katika Sherheyake ya Nahju’l-Balagha Jz. 1, na tena katika Jz. 3, uk. 17, anaeleza kwa urefu kwambamiongoni mwa hadith nyingi za kughushi ni hii ielezeayo kuhusu kufungwa kwa milangoya nyumba zote inayoelekea Msikitini isipokuwa ule wa Abu Bakr. Kinyume na hadith hiiya kughushi, ziko hadith nyingi sahihi, ambazo zimesimuliwa sio tu katika vitabu Sahihvya Shi’a, lakini vilevile katika vitabu vya kutegemewa vya Mualamaa wenu wenyewe,kama “Sahih.”

Nawab: Kwa vile ni suala la ubishani, huku Hafidh Sahib akisema ni pekee kwa AbuBakr, na wewe ukisema ni pekee kwa Ali, tungefurahia kama ungenukuu kutoka vitabuvyetu ili kwamba tuweze kulinganisha rejea zako na zile za Hafidh Sahib.

Mikesha ya Peshawar

89

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 89

Page 108: Mikesh A

HADITH AMBAYO KWA AMRI YA MTUME MILANGO YANYUMBA INAYOELEKEA MSIKITINI ILIFUNGWA

ISIPOKUWA MLANGO WA NYUMBA YA ALI.

Muombezi: Vyanzo vifuatavyo vimesimulia kwamba, Mtume aliamrisha kwamba ilemilango ya nyumba zote inayofunguka kuelekea Msikitini ifungwe isipokuwa mlango wanyumba ya Ali: Ahmad bin Hanbal katika Musnad. Jz. 1 uk. 175, Jz. 2 uk. 26 na Jz. 4, uk.369; Imam Abu Abdu’r-Rahman Nisa’i katika “Sunan” na katika “Khasa’isi’l-Alawi” uk.13 – 14; Hakim Nishapuri katika “Mustadrak”, Jz. 3, uk. 117- 125 na Sibt Ibn Jauzi kati-ka “Tadhkira” uk. 24 – 25 wameshuhudia usahihi wa Hadithi hii juu ya msingi wa Sanadza wasimuliaji wa Tirmidhi na Ahmad.

Halafu, Ibn Athri Jazri katika “Athna’l-Matalib”, uk, 12, Ibn Hajar Makki, katika “Sawa’iqMuhriqa”, uk. 76; Ibn Hajar Asqalani katika “Fathu’l-Bari” Jz. 7, uk. 12, Tibrani katika“Ausat”, Khatib Baghdadi katika kitabu chake cha “Tarikh” Jz. 7, uk. 205, Ibn Kathir kati-ka “Tarikh” Jz. 7, uk. 342, Muttaqi Hindi katika “Kanzu’l-Ummal”, Jz. 6, uk. 408;Haithami katika “Majima’uz-Zawa’id”, Jz. 9, uk. 65; Muhibu’d-Din Tabari katika“Riyadh” Jz. 2, uk, 451; Hafidh Abu Nu’aim katika “Fadha’ilu’s-Sahaba” na katika“Hilyatu’l-Auliya” Jz. 4, uk. 183; Jalalu’d-Din Suyuti katika “Ta’rikhu’l-Khulafaa”, uk.116, katika “Jamu’l-Jawami”, katika “Khasa’isul-Kubra” na katika “La’aliu’l-Masunu’a”Jz. 1, uk, 181; Khatib Khawarizmi katika “Manaqib”, Hamwaini katika “Fara’id”, IbnMaghazili katika “Manaqib”, Munawi Misri katika “Kunuzu’d-Daqa’iq”, Sulayman BalkhHanafi katika “Yanabiu’l-Mawadda”, uk. 87, alitumia sura yote nzima ya 17 kwa suala hilihasa peke yake, Shahabu’d-Din Qastalani katika “Irshad Bari”, Jz. 6, uk. 81, Halabi kati-ka “Siratu’l-Halabiyya” Jz. 3, uk. 374 na Muhammad bin Talha Shafi’i katika “Matalibu’s-Su’ul” na wengine wengi, hususan kutoka miongoni mwa masahaba mashuhuri waMtukufu Mtume (s.a.w.w.) wamesimulia kitu hicho hicho. Kwa mfano Khalifa Umar binKhattab, Abdulla Ibn Abbas, Abdullah bin Umar, Zaid bin Arqam, na Jabir bin AbdullahAnsari wamethibitisha usahihi wa hadith hii.

Baadhi ya maulamaa wenu mashuhuri, kwa ajili ya kuepusha watu kutokana na kupotezwana Bani Umayya wamesisitiza ukweli wa hadith hii. Muhammad bin Yusufu Ganji Shafi’i,katika kitabu chake “Kifayatu’t-Talib” Sura ya 50, ameshughulika na hadith hii chini yakichwa cha habari maalum. Akinukuu kutoka vyanzo sahihi anasema kwamba, kwa vileidadi ya milango ya masahaba wa Mtume ilifunguka kuelekea Msikitini, na kwa vileMtume amepiga marufuku watu wote kuingia Msikitini na hali ya janaba au haidh, aliag-iza kwamba milango yote ya nyumba ifungwe isipokuwa mlango wa nyumba ya HadhratAli. Yeye alisema: “Fungeni milango yote bali acheni mlango wa nyumba ya Ali ubakie

Mikesha ya Peshawar

90

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 90

Page 109: Mikesh A

wazi.” Muhammad bin Yusuph Shafi’i anasema kwamba ni Ali pekee yake ambaye kwam-ba aliruhusiwa kuingia na kukaa ndani ya Msikiti katika hali ya janaba. Aliendelea kuse-ma: “Kwa ufupi, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa kuufanya upendeleo huu wa kipekee juuya Ali ilikuwa ni heshima kubwa mno. Inaonyesha kwamba Mtume alijua kwamba Ali,Fatima, na dhuria wao walikuwa huru kabisa kutokana na uchafu kama inavyoonyeshwawazi na ‘aya ya tohara’ katika Qur’ani Tukufu.”

Maneno haya ya mwanachuo wa Ki-Shafi’i yanaweza kulinganishwa na hadith iliyotajwana Hafidh Sahib. Tukiachilia mbali vyanzo vyote Sahihi tulivyonukuu, kama mnaouthibitisho wowote wa utohara wa Abu Bakr, tafadhali utoeni. Ukweli ni kwamba hataBukhari na Muslim katika ukusanyaji wao wa hadithi wameonyesha ukweli huu kwambamtu aliyanajisika hawezi kukaa ndani ya Msikiti. Mtume alisema: “Hairuhusiwi kwa mtuyeyote ambaye sitohara kukaa ndani ya Msikiti isipokuwa kwa mimi na Ali.” Labdaningeruhusiwa hapa kunukuu hadith kutoka kwa Khalifa wa pili Umar bin Khattab,ambayo imeandikwa na Hakim katika “Mustadrak”, uk. 125, na Sulaiman Balkhi katika.Yanabin’l-Mawadda Sura ya 56, uk. 210, na wengineo, kama Imam Ahmad bin Hanbal,Khatib Khawarizmi, Ibn Hajar, Suyuti, na Ibn Athir Jazri. Yeye alisema: “Hakika Ali binAbi Talib alikuwa nazo sifa tatu za pekee, kama ningekuwa na mojawapo kati ya hizo,ingelikuwa ni bora zaidi kwangu mimi kuliko ngamia wa manyoya mekundu:- (1) Mtumealimuozesha binti yake kwake, (2) Mtume aliagiza kwamba milango ya nyumba zote inay-ofunguka kuelekea msikitini ifungwe, isipokuwa mlango wa nyumba ya Ali; (3) Mtumealimpa bendera (ya Uislamu) siku ya vita ya Khaibar.”

Kutokana na maelezo haya, ni wazi sasa kwamba Ali alikuwa sawa kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) katika sifa zote, kama vile tu Harun alivyokuwa kwa Musa. Hivyo wakati Musaalipomuona anafaa kwa kazi hii, alimuomba Allah kumfanya mshirika katika ujumbewake, ili kwamba aweze kuwa Waziri wake. Vivyo hivyo, wakati Mtume alipoona kwam-ba hakuna yoyote miongoni mwa wafuasi wake wote mwenye kustahiki kama Ali,alimuomba Allah amfanye Ali kuwa Waziri na mshirika wake.

Nawab: Kuna hadith zaidi zinazohusu suala hili?

Muombezi: Ndio, nyingi zinapatikana kuhusiana na suala hili katika vitabu vyenuwenyewe.

Nawab: Niko tayari kuzisikiliza mradi ninyi pia (akionyesha upande wa Maulamaa waupande mwingine) mtataka kusikiliza.

Hafidh: Hakuna ubaya. Kusikiliza Hadith ni tendo la ibada kama simulizi yenyewe hiyo.

Mikesha ya Peshawar

91

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 91

Page 110: Mikesh A

WAKATI AKIWA KWENYE RUKUU KATIKA SALAALI ALITOA PETE KUMPA MASIKINI.

Muombezi: Ibn Maghazili faqih Shafi’i katika “Manaqib” yake, Jalalu’d-Din Suyuti kati-ka Durrul-Manthur mwana theolojia mashuhuri, Ahmad Tha’labi katika “Kashfu’l-Bayan,” Sibt Ibn Jauzi katika “Tadhkiratu’l-Khawasu’l-Umma”, kuhusiana na Aya yaWilayat wananukuu kutoka kwa Abu Dharr Ghifari na Asma bint Umais (mke wa AbuBakr) kwamba, wamesema kwamba siku moja walikuwa wanasali Sala ya Adhuhuri msik-itini wakati Mtume alikuwepo. Akaja masikini akaomba sadaka. Hakuna aliyempa cho-chote. Ali alikuwa anarukuu (katika Sala). Wakati alipoonyesha kidole chake, masikinialitoa ile pete kutoka kwenye kidole chake.

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliyaona yaliyotokea, akanyanyua kichwa chake kuelekeambinguni akasema: “Ya! Allah, Ndugu yangu Musa alikuomba: ‘Ya! Allah, nifunguliekifua changu na nifanyie wepesi kazi yangu. Chagua kwa ajili yangu msaidizi kutokakwenye familia yangu, Harun ndugu yangu.’” Ilifunuliwa Aya kumuambia Musa kwambadu’a yake imekubaliwa. Allah akachagua kwa ajili yake msaidizi na akaimarisha mikonoyake na akawapa uwezo na mamlaka kiasi kwamba hakuna hata mmoja aliyewezakuwashinda nguvu. “…..na Musa akasema kumwambia ndugu yake Harun: ‘Chukuamahala pangu miongoni mwa watu, na utendee wema wala usifuate njia ya waharibivu’”(7: 142)

CHEO CHA HARUN KAMA MTUME KADHALIKA KAMA KHALIFA.

Hafidh: Umesema kwamba Harun alikuwa ni mshirika wa Musa katika Utume. Ilikuajetena akafanywa kuwa Khalifa wake? Mshirika katika Utume hushikilia nafasi ya juu kulikoile ya ukhalifa au umakamu. Kama mshirika ni Mtume, na akafanywa kuwa Khalifa, hukuni kushusha cheo chake.

Muombezi: Kanuni ya Utume inahusika kwa Musa, na Utume wa Harun ulikuwa chini yaule wa Musa. Lakini kuhusu kuhubiri alikuwa mshirika wake, kama ilivyo dhahirikutokana na ombi la Musa, lililoandikwa katika Qur’ani: “Musa akasema: Ewe MolaWangu! Nikunjulie kifua changu, na unifanyie kazi yangu kuwa nyepesi, na ulifunguefundo lililo katika ulimi wangu, wapate kufahamu maneno yangu. Na unipe waziri katikawatu wangu, Harun, ndugu yangu. Kwake niongeze nguvu zangu, na umshirikishe katikakazi yangu.” (at-Taha; 20: 25-32)

Mikesha ya Peshawar

92

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 92

Page 111: Mikesh A

Vivyo hivyo, Ali alikuwa mmoja ambaye mbali na kuwa daraja ya Utume alikuwa nimshirika wa Mtume katika hatua zote na sifa maalum.

Hafidh: Nimeshangazwa kukusikia unavyoitia chumvi nafasi ya Ali. Wote tumeshitush-wa. Umesema hivi punde tu kwamba Ali alikuwanazo sifa zote za Mtume.

Muombezi: Maelezo haya sio ya kutia chumvi. Ni ya ukweli. Makamu wa Mtume,kutokana na akili ya kuwaida, yapasa awe mfano wa Mtume. Hata Maulamaa wenuwakubwa wameelezea itiqad kama hii hii. Imam Tha’labi, katika Sherhe yake, ali-ithibitisha nukta hii. Na yule mwanachuo mkubwa wa Kisunni, Alim Fadhili SeyyedAhmad Shahabu’d-Din, katika Kitabu chake “Tauzihu’d-Dala’il” amerejea kwenye nuktahii kama ifuatavyo: “Sio siri kwamba Amiru’l-Mu’minin alifanana na Mtume wa Allah,katika nyingi ya sifa nzuri, matendo yasiyo ya kibinafsi, tabia, maombi kwa Allah, na njiazote tukufu za maisha. Hii imethibitishwa na riwaya sahihi na vianzo vya kutegemea, nahaihitaji uthibitisho wowote au hoja. Baadhi ya Maulamaa wamezihisabu kuwa ni sawasifa zile ambazo Ali na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) walikuwa nazo.”

Miongoni mwa sifa walizoshirikiana wote ni nasaba yao safi. Na tukihoji kutokana na ayaya tohara, tunaona kwamba Ali ni sawa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) katika utohara (Ayahii iliteremshwa kwa ajili ya watu watano: Muhammad, Ali, Fatima Hasan na Husain).Ali, kama Mtume alikuwa Mwakilishi wa Allah. Kwa mujibu wa madhehebu zote, aya ifu-atayo iliteremshwa kwa ajili ya Ali. “Hakika rafiki yenu mlinzi ni Mwenyezi Mungu na Mtume Wake na walioamini;ambao hushika Swala na hutoa Zaka nao wakiwa wamerukuu.”

Ali alikuwa sawa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) katika utendaji kazi za Utume na kuhubiri,kama suala la Suratul-Bara’at linavyoonyesha. Mtume alimpa Abu Bakr baadhi ya ayaza Sura hii na akamwagiza akazisome kwa watu wakati wa Hija. Mara Malaika Jibril ali-tokea mbele ya Mtume na akamwambia kwamba ni mapenzi ya Allah kwamba jambo laQur’ani tukufu linapaswa kupelekwa ama na Mtume mwenyewe, au mtu ambaye ana-tokana naye. Ali alikuwa anafanana na Mtume katika wajibu wake kama Muakala waAllah. Mtume Mwenyewe alisema: “Nimeamrishwa na Allah nitangaze hivi kwenu.”Kisha akakamata mkono wa Ali na kusema: “Jueni nyote, yule ambaye ni mimi ni Maulakwake (yaani, ambaye mimi ni mwenye kutawalia mambo yake). Ali vilevile ni Maula(Bwana) wake.” Aidha, nafsi ya Ali imetangazwa kuwa ni nafsi ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Aya ya kuapizana (Mubahila) inasema:

“Watakaokuhoji katika haya baada yakukufikia ilmu hii waambie: Njooni tuwaite

Mikesha ya Peshawar

93

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 93

Page 112: Mikesh A

watoto wetu na watoto wenu, na wanawake zenu na wanawake zetu, na nafsi zetu nanafsi zenu, kisha tuombe kwa unyenyekevu tutake laana ya Mwenyezi Munguiwashukie waongo. (Al-Imran; 3: 61)

Tukirudi kwenye wakati ule ndani ya Msikiti, wakati Ali alipompa masikini pete yake naMtume akamuomba Allah, akimuomba Yeye amfanye Ali kuwa mshirika wake katikaUtume wake. Kisha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akaomba: “Ya Allah! Mimi ni Muhammad,mchaguliwa Wako na Mtume Wako. Kifungulie kifua changu. Na nifanyie wepesi kaziyangu na unichagulie msaidizi kutoka kwenye familia yangu, Ali. Imarisha mgongowangu kupitia kwake.”

Abu Dharr amesimulia: “Kwa jina la Allah! Du’a ya Mtume ilikuwa haijafikia mwisho,Malaika Jibril akatokea na kumfunulia Aya hii: “Hakika rafiki yenu mlinzi ni MwenyeziMungu na Mtume Wake na walioamini, ambao wanadumisha Swala na kutoa Zakahuku wakiwa wamerukuu. (5: 55)

Du’a ya Mtume ilikubaliwa, na Ali aliteuliwa kama waziri wake. Muhammed bin TalhaShafi’i, katika “Matalibus-Su’ul”, uk. 19, amelishughulikia suala hili kwa urefu. Juu yahayo, Hafidh Abu Nu’aim Isfahan katika “Manaqatu’l-Mutaharin”, Sheik Ali Ja’far kati-ka “Kanzu’l-Barahin”, Imam Ahmad Bin Hanbal katika “Musnad”, Seyyed Shahabu’d-Din katika “Tauzihu’d-Dala’il”, Jalalu’d-Din Suyuti katika “Durrul-Mansur”, nawanachuo wenu wengine mashuhuri wa madhehebu yenu wameisimulia hii katika vitabuvyao. Baadhi yao wamesimulia kutoka kwa Asma bint Umais (Mke wa Abu Bakr), nabaadhi kutoka kwa masahaba wengine.

Ifuatayo imesimuliwa na Abdullah Ibn Abbas. “Mtume alitushika mikono mimi na Ali.Alisali rakaa nne, na akiwa amenyoosha mikono yake Mbinguni, akasema: “Ya Allah!Musa mtoto wa Imran, alikuomba umteulie msaidizi na kuifanya nyepesi kazi yake. Mimini Muhammad. Nakuomba ufungulie kifua changu na uifanye nyepesi kazi yangu. Ufanyeulimi wangu kuwa fasaha ili watu wapate kuelewa maneno yangu. Niteulilie msaidizikutoka kwa familia yangu, Ali. Niimarishe mgongo wangu kupitia kwake, na mshirikishepamoja nami katika kazi yangu! Nilisikia sauti ikisema: ‘Ewe Muhammad! Nimelikubaliombi lako.’ Kisha Mtume akamshika Ali mkono na akasema: “Nyanyua mikono yakokuelekea juu mbinguni na umuombe Allah ili kwamba ajaalie kitu juu yako.’ Ndipo Aliakanyanyua mikono yake juu na kusema: ‘Ya Allah! Niahidi mimi kwa upande wakokwamba utanichukuwa mimi katika upendo Wako.” Mara Malaika Jibril akatokea na kule-ta Aya ifuatayo katika Suratul-Mariam:“Hakika wale waliomini na wakatenda mema,Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehma atawajaalia mapenzi Yake juu yao.” 19: 96

Wakati masahaba wa Mtume waliposhangazwa na hili, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akase-ma: “Kwa nini mnashangaa? Qur’ani Tukufu ina vigawanyo vinne: Robo moja inatuhusu

Mikesha ya Peshawar

94

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 94

Page 113: Mikesh A

sisi Ahlul-Baiti, robo moja inahusiana na mambo ya halali; robo moja ni kwa ajili yamambo ya haramu; na robo moja inahusu maagizo na Sheria. Naapa kwa jina la Allahkwamba, kuna Aya nyingi katika Qur’ani ambazo zimeshushwa kwa kumsifu Ali.”

Sheikh: Hata kama hadith hii itachukuliwa kama ni Sahih, haiashirii cheo maalum kwaAli. Hadith hiyo hiyo imesimuliwa kuwahusu Khalifa Abu Bakr na Khalifa Umar. Qaz’abin Suwaid amesimulia kutoka Ibn Malika ambaye anamnukuu Ibn Abbas akisema kwam-ba, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema; “Abu Bakr na Umar wako kwangu mimi kamaalivyokuwa Harun kwa Musa.”

Muombezi: Yakupasa uangalie tabia za baadhi ya wasimuliaji wenu (wa hadith). Wakatimwingine unahoji kutokana na similizi za Amadi na wakati mwingine kutoka kwenye zileza yule mwongo mwenye sifa mbaya na mzushaji; Qaz’a bin Suwaid, pamoja na kwambamualamaa wenu mashuhuhuri wamempuuza. Allama Dhahabi, katika “Mizanul-l’tidal”,katika maelezo ya habari za Qaz’a bin Suwaid na Ammar bin Harun, wanaipuuza hadithhii na kusema kimkato tu: “Huu ni uwongo.” Wakati Maulamaa wenu wanampuuza Qaz’a,hadith anazosimulia inapasa zipuuzwe. Linganisha Hadith hii ya Qaz’a bin Suwaid naSanad ya Hadith ambayo nimenukuu kutoka kwa maulamaa wenu mashuhuri mno wamadhehebu yenu na uamue mwenyewe ni hadith ipi unaikubali.

MKUTANO WA TANO; JUMANNEUSIKU 27 RAJAB 1345, A.H.

Hafidh: Kutoka kwenye mazungumzo yako fasaha ya usiku uliopita ninahitimishakwamba ulitaka kuthibitisha kwamba Ali alikuwa ndiye mrithi anayefuatia mara moja waMtume, ingawa ukweli ni kwamba hadith hii ina maana makhususi tu. Ilisimuliwa wakatiwa safari ya Tabuk. Hakuna uthibitisho kwamba ina maana ya jumla.

Muombezi: Katika Hadith hii neno “Manzila” (Cheo) linatumika katika maana ya jumla.Neno hili kwa kuonyesha upekee, huthibitsha kwa uwazi kwamba maelekezo ni ya maanaya jumla. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimtaja Ali sambamba na neno “Mtume” naakaelezea Manzila yake (Yaani cheo chake) akitumia usemi, “isipokuwa kwamba haku-takuwa na Mtume baada yangu.” Maulamaa wengi wakubwa na waandishi wamenukuuhadith hii hii kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), ambaye inasemekana alimuambiaAli: “Je, huridhiki kwamba kwangu wewe ni kama Harun alivyokuwa kwa Musaisipokuwa kwamba hakutakuwa na Mtume baada yangu?”

Muda wa kutokuepo kwake kwa siku arobaini, Musa hakuacha mambo katika uamuzi wawafuasi wake. Alimchagua Harun, mtu bora miongoni mwa Bani-Israil kukaimu kama

Mikesha ya Peshawar

95

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 95

Page 114: Mikesh A

Khalifa wake na mrithi. Vivyo hivyo, Mtume wa mwisho, ambaye dini yake ni kamilizaidi, alikuwa na sababu kubwa zaidi za kuwalinda watu wake kutokana na machafuko yadhamira zao huru. Alihifadhi Sheria ya dini ili kwamba isije ikapitia katika mikono yawatu wasio na ujuzi, wale ambao wangeweza kuigeuza kwa mujibu wa matamanio yao.Watu wasio na ujuzi wangetegemea juu ya kukisia kwao na kusababisha migawanyikokatika mambo ya Sheria. Hivyo, katika hadith hii tukufu Mtume anasema “Ali yuko kwan-gu mimi kama alivyokuwa Harun kwa Musa,” akithibitisha kwamba Ali alishikilia viwan-go vile vile vya daraja na mamlaka, sawa kama Harun alivyokuwa. Ali alikuwa bora kwaUmma wote na kwa ajili hiyo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akamchagua kuwa msaidizi wakena mrithi wake.

Hafidh: Uliyosema kuhusu Hadith hii hayana ubishani. Lakini kama utaangalia jambohili kwa uangalifu, utakubali kwamba hadith hii haina maana ya jumla. Maana yakeimekomea kwenye Vita vya Tabuk wakati Mtume alipomteua Ali kuwa Khalifa wake kwamuda maalum.

HADITH YA MANZILA IMESIMULIWAMARA NYINGI:

Muombezi: Ungeweza kuwa ni mwenye haki katika maneno yako kama hadith hii inges-imuliwa wakati wa vita vya Tabuk tu. Lakini Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliirudia hadithhii katika sehemu tofauti. Ilisimuliwa wakati undugu miongoni mwa watu tofauti katikaMuhajirina (wahamiaji) ulipoanzishwa katika mji wa Makka. Ilisimuliwa vilevile katikamji wa Madina wakati undugu ulipoanzishwa kati ya Muhajirina na Ansar. Katika nyakatizote Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimchagua Ali kama ndugu yake, akisema, “Wewe kwan-gu mimi ni kama alivyokuwa Harun kwa Musa isipokuwa kwamba hakutakuwa na Mtumebaada yangu.”

Hafidh: Kadiri nilivyochunguza mimi, hadith ya Manzila ilisimulwa wakati wa vita vyaTabuk tu. Mtume alimuacha Ali katika nafasi yake hali iliyofanya Ali kuhuzunika. Mtumeakamliwaza kwa maneno haya. Nafikiri umepotoshwa.

Muombezi: Hapana, mimi sijakosea. Vitabu vyenu wenyewe vya Sahih vimeisimuliaHadith hii. Miongoni mwao ni Mas’ud (Mwandishi wa kutegemewa kwa mujibu wa mad-hehebu zote) ambaye ameandika katika “Muruju’dh-Dhahab”, Jz. 2, uk. 49; Halabi kati-ka “Siratu’l-Halabiyya”, Jz. 2, uk. 26 na 120, Imam Abdu’r-Rahman Nisa’i katika“Khasa’isu’l-Alawiyya”, uk. 19, Sibt Ibn Jauzi katika “Tadhkira”, uk. 13-14, SulaimanBalkhi Hanafi katika “Yanabiu’l-Mawadda, Sura ya 9 na 17, na vingine vingi vimesimuliahadith hii. Wote wanasema kwamba, “Mbali na sehemu mbili za kuanzisha undugu

Mikesha ya Peshawar

96

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 96

Page 115: Mikesh A

(Makka na Madina kati ya Masahaba) imesimuliwa pia katika sehemu nyingine nyingi.Kwa hiyo, hadith hii sio ya kutafsiriwa katika maana ya kukomea yenye mipaka au kwatukio moja makhususi tu. Maana yake ya jumla ni jambo lililothubutu. Ni kupitia Hadithihii ambapo Mtukufu Mtume alitangaza katika matukio yanayostahili umakamu wa Alibaada yake. Moja ya matukio hayo lilikuwa lile la vita ya Tabuk.

Hafidh: Inawezekana vipi Masahaba wa Mtume waliisikia Hadith hii katika maana yakeya jumla, wakijua kwamba ilikuwa na maana ya kwamba umakamu wa Ali uliridhiwa naMtume na bado baada ya kifo cha Mtume, wakawa maadui na wakamkubali mtu mwinginekuwa Khalifa?

Muombezi: Nina marejeo mengi ya kuunga mkono jibu langu kwa swali lako, lakinimajibu mazuri zaidi kwa wakati huu ni kuiangalia mitihani ya Harun katika hali inayq-fanana kama hii hii. Qur’ani inaeleza kwamba, wakati Musa alipomteua Harun kuwamakamu wake, aliwakusanya mbele yake Bani-Israil (kwa mujibu wa baadhi ya taarifawatu 70,000 walikusanyika). Musa alisisitiza kwamba, wakati wa kutokuwepo kwakeyawapasa kumtii Harun, Khalifa na makamu wake. Kisha Musa alikwenda juu mlimanikuwa peke yake na Allah. Kabla ya mwezi kupita, Samiri alichochea fitna miongoni mwaBani Isra’il. Alitengeneza ndama (wa ng’ombe) wa dhahabu na Bani Israil wakiwawamemuacha Harun, walikusanyika mbele ya msaliti Samiri katika idadi kubwa. Ilikuwani muda mfupi tu umepita kabla ya tukio hili, Bani Israil, hawa hawa walimsikia Musaakisema kwamba wakati wa kutokuwepo kwake Harun atakuwa Khalifa wake na kwambayawapasa kumtii.” Hata hivyo watu 70,000 walimfuata Samiri. Nabii Harun kwa nguvusana alipinga kitendo hiki na kuwakataza wasijiingize katika matendo hayo ya dhambi,lakini hakuna hata mmoja aliyemsikiliza. Aya ya Sura ya A’raf inaeleza kwamba, wakatiMusa aliporudi, Harun alimwambia: “Ewe mtoto wa mama yangu! Hakika watu hawawameniona mimi mnyonge na walikuwa karibu waniuwe….” (7: 150)

HARUN ALIKUWA NI MRITHI (MAKAMU) WA MUSA ALIYETEULIWA.

Bani Isra’il wenyewe waliyasikia maelekezo ya wazi kutoka kwa Musa, lakini Musaalipokwenda juu mlimani, Samiri akaitwaa fursa hiyo. Alitengeneza ndama wa dhahabuna kuwapoteza Bani Isra’il.

Mikesha ya Peshawar

97

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 97

Page 116: Mikesh A

KUFANANA KWA HALI YA MAMBO KATI YA ALI NA HARUN.

Hali kadhalika, baada ya kifo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), baadhi ya watu ambaowalikuwa wamemsikia akisema kwamba Ali alikuwa ndiye mrithi wake, waligeuka dhidiya Ali. Imam Ghazali ameelezea jambo hili katika mwanzo wa Makala yake ya nne kati-ka “Sirru’l-Alamin.” Anaeleza kwamba baadhi ya watu walirejea kwenye hali yao yamwanzo ya ujinga.

Kwa hali hii, kuna kufanana kukubwa kati ya hali ya Harun na ile ya Ali. Kama wengi wawanahistoria wenu wenyewe, Abu Muhammad Abdullah bin Muslim bin Qutayba BahiliDinawari, Kadhi maarufu sana wa Dinawar, katika “Al-Imama wa Siyasa” Jz. 1, uk. 14anasimulia kwa urefu matukio ya Saqifa. Anasema kwamba, walitishia kuchoma nyumbaya Ali na wakamchukua mpaka Msikitini kwa mabavu na kutishia kumuua isipokuwaachukue kiapo cha utii kwao. Ali alikwenda kwenye kaburi tukufu la Mtume na akarudiamaneno yale yale ya Qur’ani ambayo Harun alimwambia Musa:

“Yeye (Harun) akasema: Ewe Mtoto wa Mama yangu! Hakika watu hawa walinionamimi mnyonge na walikuwa karibu waniuwe…” (7: 150).

Nawab: Wakati Umakamu wa Ali ulikuwa umethibitishwa, kwanini Mtume atumiemaneno ambayo yalidokezea hiyo maana tu? Kwa nini hakutangaza wazi kwamba Alialikuwa ndiye makamu wake, ili kwamba kusiweze kuja kutokea pingamizi lolote baadayake?

Muombezi: Nilikuambieni kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alielezea ukweli katikanjia zote. Hili liko dhahiri kutoka vitabu vyenu, ambavyo vimeandika hadith nyingi mnokuhusiana na suala hili. Watu wasomi wanaelewa kwamba kidokezo ni chenye nguvu sanakuliko maelezo ya vivi hivi tu, hususan pale kidokezo hicho kikiwa chenye mzizi wa kinamno kiasi kwamba kina maana nyingi sana ndani yake”

Nawab: Umesema kwamba kuna Hadith nyingi za wazi zilizoandikwa na Maulamaa wenuzinazohusu umakamu wa Ali. Tafadhali, je unaweza kutuelezea zaidi kuhusu hili?Tunaambiwa kwamba hakuna hadith ambayo inathibitisha Umakamu wa Ali.

Muombezi: Ziko hadith nyingi zinazohusu Ukhalifa katika vitabu vyenu wenyewe vyauhakika.

Mikesha ya Peshawar

98

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 98

Page 117: Mikesh A

HADITH YA KARAMU YA NDUGU NA MTUMEKUMCHAGUA ALI KAMA KHALIFA WAKE.

Kati ya hadith zote zinazohusu umakamu wa Ali, hadith ya Karamu ndiyo ya muhimuzaidi. Katika siku ambayo Mtume alitangaza Utume wake, alitangaza pia kwamba Alialikuwa Mrithi wake. Maulamaa wa Madhehebu yenu, wakiwemo Imam Ahmad binHanbal, Muwaffaq bin Ahmad Khawarizmi, Abu Ja’far Muhammad bin Jarir Tabari, IbnAbi’l-Hadid Mutazali na kundi la wengine wamesimulia kwamba wakati Aya ya 214 yaSura ya Shu’ara: “Na waonye jamaa zako wa karibu”, (26:214) ilipoteremshwa, Mtumealikaribisha Makuraish arubaini (miongoni mwa ndugu zake), nyumbani kwa Abu Talib.Aliweka mbele yao mguu wa mbuzi, mkate na kikombe cha maziwa. Walicheka na kuse-ma: “Ewe Muhammad! Hukuandaa chakula chakutosha hata kwa mtu mmoja.” MtukufuMtume (s.a.w.w.) akasema: “Anzeni kula kwa jina la Allah.” Wakati walipokula nawakawa wameshiba vya kutosha, waliambizana: “Muhammad amewarogeni na chakulahiki.” Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasimama katikati yao na kusema; “Enyi kizazi chaAbdu’l-Muttalib! Allah Mwenye uwezo wote amenituma mimi kama Mjumbe kwa viumbewote kwa jumla na hususan kwenu ninyi. Nakutakeni ninyi mutamke kauli mbili ambazoni nyepesi na rahisi kwa ulimi, lakini katika mizani ya matendo ni nzito. Kama mtatamkakauli hizo mbili, mutakuwa mabwana wa nchi za Waarabu na wasio kuwa Waarabu.Kupitia kauli hizo mtakwenda Peponi na mtapata kinga kutokana na Moto wa Jahannam.Maelezo hayo mawili ni:

Kwanza, kutoa shahada kwa Upweke wa Allah, na Pili kutoa Shahada kwa Utume wangu.Wa kwanza ambaye ataukubali wito wangu na kunisaidia katika kazi yangu atakuwa nduguyangu, msaidizi wangu, mrithi wangu, na Makamu wangu baada yangu.

Mtume alirudia maneno haya ya mwisho mara tatu, na mara zote tatu hakuna aliyejibuisipokuwa Ali, akisema, “Mimi nitakusaidia, Ewe Mtume wa Allah.” Hivyo Mtumeakatangaza: “Huyu Ali ni ndugu yangu, na yeye ndiye mrithi wangu, na Khalifa miongonimwenu.

UTHIBITISHO KUTOKA ULAMAA WA KISUNNI NA WAANDISHI WA ULAYA.

Mbali na Maulamaa wa Kiislamu wa Kishia na Kisunni, Wanahistoria wengi waliowaadilifu wa mataifa mengine wameelezea kwa kirefu Karamu hii. Walikuwa hawanaupendeleo wa kidini, wakiwa wao sio Shia wala Sunni. Mmoja wa Waandishi hawa nimwana-Historia na Mwanafilosophia wa Kiingereza wa Karne ya kumi na tisa, Thomas

Mikesha ya Peshawar

99

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 99

Page 118: Mikesh A

Carlyle katika kitabu chake “Heroes and Hero-worship” ametoa maelezo ya kina juu yakaramu iliyofanyika nyumbani kwa Abu Talib. Baada ya maelezo ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), Ali alisimama na akabainisha imani yake kwa Mtume. Kwa ajili hiyo Ukhalifauliwekwa juu yake. Waandishi wengine wa Ulaya wamethibitisha jambo hili, wakiwa nipamoja na George Sale wa Uingereza na Hashim, Mkristo wa Syria katika kitabu chake“Maqalatu’l-Islam”, na Bw. John Davenport katika kitabu chake “Muhammad and theQur’an.” Wote wanakubali kwamba mara tu baada ya tangazo la Utume wake, alimuita AliNdugu yake, Msaidizi, Makamu na Khalifa wake. Aidha, Hadith nyingi zinathibitishakwamba Mtume alisisitiza jambo hili katika matukio mengine mengi.

HADITH ZA WAZI NA DHAHIRI KUHUSU UKHALIFA WA ALI.

(1) Imam Ahmad Ibn Hanbal katika “Musnad” yake na Mir Seyyed Ali Hamadani Shafi’ikatika “Mawaddati’l-Qurba” kuelekea mwisho wa Mawadda ya nne, wameandikakwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema; “Ewe Ali! Utatekeleza majukumu kwaniaba yangu, na wewe ni makamu wangu juu ya wafuasi wangu.”

(2) Imam Ahmad Ibn Hanbal katika “Musnad”, Ibn Maghazili Faqih Shafi’i katika“Manaqib” na Tha’labi katika “Tafsir” yake wamesimulia kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alisema kumwambia Ali: “Ewe Ali! Wewe ni ndugu yangu, Makamu, Mrithina Mlipa madeni wangu.”

(3) Abu Qasim Husain bin Muhammad (Raghib Ispahani) katika “Mahadhiratu’l Udabawa Muhawaratu’Sh-Shu’ara wa’l-Balagha” (kilichochapishwa Amira-e-Shazafiyya,Seyyed Husain Afandi, 1326 A.H.), sehemu ya 2, uk. 213, ananukuu kutokea kwa IbnMalik kwamba Mtume amesema: “Hakika rafiki yangu, msaidizi, makamu na mborawa watu ambaye ninamuacha nyuma yangu, ambaye atalipa deni langu na kutimizaahadi yangu ni Ali bin Abu Talib.”

(4) Mir Seyyed Ali Hamadani katika “Mawaddatu’l-Qurba.” Katika mwanzo waMawadda ya sita, anasimulia kutoka kwa Khalifa wa Pili, Umar bin Khattab, kwambawakati Mtume alipoanzisha uhusiano wa Kindugu miongoni mwa Masahaba, alisema:“Huyu Ali ni ndugu yangu katika dunia hii na kesho Akhera; yeye ni mrithi wangukutoka miongoni mwa jamaa zangu na makamu wangu miongoni mwa umma wangu;yeye ndiye mrithi wa elimu yangu na mlipaji wa deni langu, chochote anachoniwiamimi, nami nawiwa naye, faida yake ni faida yangu na hasara yake ni hasara yangu;yoyote aliye rafiki yake ni rafiki yangu,mtu ambaye ni adui yake ni adui yangu.”

Mikesha ya Peshawar

100

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 100

Page 119: Mikesh A

(5) Katika Mawadda hiyo hiyo, ananukuu hadith kutoka kwa Anas bin Malik, ambayonimeitaja mapema. Kuelekea mwisho wake anasema kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) amesema; “Yeye (Ali) ni Makamu wangu na Msaidizi.”

(6) Muhammad bin Ganji Shafi’i ananukuu Hadith kutoka kwa Abu Dharr Ghifari katikaKitabu chake, “Kifayatu’t-Talib” kwamba Mtume amesema: “Bendera ya Ali,Kiongozi wa Waumini, Kiongozi wa watu wenye nyuso zenye kung’ara, na Makamuwangu, itakuja kwangu katika chemchem ya Kauthari.”

(7) Baihaqi, Khatib Khawarizmi, na Ibn Maghazili Shafi’i wanaandika katika “Manaqib”zao kwamba alisema kumuambia Ali: “Sio sawasawa kwamba mimi niondokekuwaacha watu bila ya wewe kuwa Makamu wangu kwa vile wewe ndiye bora zaidiwa Waumini baada yangu.”

(8) Imam Abu Abdur-Rahman Nisa’i mmoja wa Maimam wa vitabu sita (Siha) vya hadith,anasimulia kwa urefu kutoka kwa Ibn Abbas fadhila za Ali kuhusiana na hadith Na. 23katika “Khasa’isu’l-Alawi.” Baada ya kuelezea cheo cha Mtume Harun, MtukufuMtume (s.a.w.w.) akasema kumwambia Ali: “Wewe ni Makamu wangu baada yangukwa kila Muumini.” Hadith hii na nyingine ambazo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ame-tumia maneno “baada yangu” zinathibitisha wazi kwamba Ali alikuwa ndiye mrithi wamara tu.

(9) Kuna “Hadith ya Uumbwaji,” ambayo imesimuliwa katika njia mbalimbali. ImamAhmad Ibn Hanbal katika “Musnad” yake, Mir Seyyed Ali Hamadani katika“Mawadda-tul-Qurba”, Ibn Maghazili Shafi’i katika “Manaqib”, na Dailami katika“Firdaus” wamemnukuu Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akisema: “Mimi na Ali tumeumb-wa kwa Nuru Takatifu moja miaka 14,000 kabla Nabii Adam hajaumbwa. Kutokakwenye mgongo wa Adam na kupitia kizazi chake kitukufu, Nuru hiyo ilirithiwa naAbdu’l-Muttalib, na kutoka kwake iligawanywa na kurithiwa na Abdullah (baba yakeMtume) na Abu Talib (baba yake Ali). Mimi nilipewa Utume, na Ali alipewaUkhalifa.”

(10) Hafiz Abu Ja’far Muhammad bin Jarir Tabari (amekufa 310 A.H.) anaandika katikakitabu chake “Kitabu’l-Wilaya” kwamba Mtume amesema mwanzoni mwa khutubayake maarufu pale Ghadir Khum; “Malaika Jibril amenifikishia amri ya Allah kunita-ka kwamba nisimame sehemu hii na kuwajulisha watu kwamba Ali bin Abu Talib nindugu yangu, wasii wangu, na Khalifa wangu baada yangu. Enyi watu! Allah amem-fanya Ali kuwa Walii (mlezi) wenu, na Imam (kiongozi). Utii kwake ni wajibu juu yakila mmoja wenu; amri yake ni yenye mamlaka ya juu; maneno yake ni kweli tupu;laana iwe juu yake yule ambaye anampinga, rehma ya Allah iwe juu ya yule ambayeamemfanya rafiki.”

Mikesha ya Peshawar

101

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 101

Page 120: Mikesh A

(11) Sheikh Suleyman Balkhi katika “Yanabiu’l-Mawadda” anaelezea kutoka katika kitabucha “Manaqib” cha Ahmad, na yeye kutoka kwa Ibn Abbas, hadith inayoelezea fadhi-la nyingi za Ali. Ninainukuu yote hapa. Ibn Abbas anasimulia kwamba MtukufuMtume (s.a.w.w.) amesema: “Ewe Ali! Wewe ni Mchukuzi wa Elimu yangu, Walii narafiki yangu, Wasii wangu, Mrithi wa elimu yangu na khalifa wangu. Wewe ndiyemdhamini wa urithi wa Mitume wote waliotangulia. Wewe ni msiri wa Allah katikaardhi hii na hoja ya Allah kwa viumbe wote. Wewe ni nguzo ya Iman na mlezi waUislam. Wewe ni taa katika giza; nuru ya muongozo, na kwa ajili ya watu waulimwengu wewe ni bendera iliyonyanyuliwa juu kabisa. Ewe Ali! Yeyote akufuataewewe atakuwa ameokolewa; yule ambaye hakutii wewe ataangamia; wewe ni njiaing’aayo, na iliyonyooka; wewe ni Kiongozi wa watu wasafi, na Kiongozi waWaumini; kwa yeyote yule ambaye mimi ni mwenye kutawaliwa mambo (Maula)wake wewe pia ni maula (bwana) kwake; na mimi ndiye Maula (Bwana) wa kilamuumini; (Mwanaume na Mwanamke). Ni rafiki yako tu yule aliyezaliwa katikandoa halali. Allah hakunipeleka mbinguni kuzungumza Naye bila kuniambia, ‘EweMuhammad! fikisha salamu zangu kwa Ali na muambie kwamba ni Imam wa rafikizangu na nuru ya waabuduo!’ Hongera Ewe Ali, juu ya ubora huu wa ajabu.”

(12). Abu Mu’ayyid Muwafiqu’d-Din, msemaji mzuri wa Khawarizm, katika kitabu chake“Fadha’il’l-Amirul-Mu’minin,” kilichochapishwa mwaka 1313 A.H., Sura ya 19 uk.240, ananukuu nyanzo ambavyo vimesimulia kwamba Mtume amesema: “Wakatinilipofika Sidratu’l-Muntaha (Kituo cha juu sana wakati wa Mir’raji) nilisemeshwahivi: ‘Ewe Muhammad! Wakati ulipowajaribu watu, ni yupi uliyemuona mtiifuzaidi.’ Nikasema ‘Ali!’ Kisha Allah akasema: ‘Umesema kweli Muhammad!’ Tenaakaendelea kusema: “Umechagua Makamu ambaye atafikisha elimu yako kwa watu,na kuwafundisha waja wangu kutoka Kitabu Changu yale mambo ambayo hawaya-jui?’ Nikasema, ‘Ewe Allah! Yoyote utakayemchagua Wewe, nami nitamchagua.’Yeye akasema: nimekuchagulia Ali juu yako. Ninamfanya yeye Makamu na Wasiiwako.’ Na akampamba Ali na elimu Yake na uvumilivu. Yeye ni Kiongozi waWaumini ambaye hakuna hata mmoja anayeweza kuwa sawa naye katika cheo mion-goni mwa watangulizi wake au warithi wake.’” Kuna hadith nyingi kama hizi katikavitabu vyenu Sahih.

Baadhi ya Maulamaa wenu waadilifu, kama Nizzam Basri, wameukubali ukweli huu.Salahu’d-Din Safdi katika kitabu chake “Wafa-Bi’l-Wafiyya”, kuhusiana na maelezo yaIbrahim bin Sayyar bin Hani Basri, ajulikanae kama Nizzam Mu’tazali, anasema: MtukufuMtume wa Allah (s.a.w.w.) alithibitisha Uimama wa Ali na akamchagua kuwa Imam.Masahaba wa Mtume walikuwa na habari kamili juu ya hili, lakini Umar kwa ajili ya AbuBakr, aliufunika Uimamu wa Ali kwa pazia.”

Mikesha ya Peshawar

102

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 102

Page 121: Mikesh A

Ni wazi kutoka katika vitabu vyenu, hadith na tafsiri za Qur’ani kwamba Ali alishika nafasiya juu sana ya ubora. Khatib Khawarizmi anasimulia kutoka kwa Ibn Abbas katika“Manaqib”, Muhammad bin Yusufu Ganji Shafi’i katika kitabu chake “Kifayatu’t-Talib”,Sibt Ibn Jauzi katika “Tadhkira” yake, Ibn Sabbagh Maliki katika “Fusulu’l-Mawadda”,Suleiman Balkhi Hanafi katika ‘Yanabiul-Mawadda’ na Mir Seyyed Ali Hamadani katika“Mawaddatu’l-Qurba”, Mawadda ya 5, nakala kutoka kwa Khalifa wa Pili, Umar binKhattab – wote wakithibitisha pamoja na tofauti kidogo tu ya maneno kwamba Mtumealisema: “Kama miti yote ingelikuwa ni kalamu, kama bahari ingelikuwa ni wino, kamamajini wote na watu wangekuwa waandishi - hata hivyo sifa za Ali bin Abu Talibzisingeweza kuorodheshwa zote.”

TABIA ZA MASAHABA.

Sheikh Abdu’s-Salam: (Akimgeukia Hafidh Muhammad Rashid Sahib). Niruhusu nisemekitu kwa ufupi. (Akigeuka kumwangalia Muombezi). Kamwe hatuzikatai sifa za hali yajuu za Ali, lakini kuweka mipaka ya utukufu kwake peke yake sio sawa, kwa vileMasahaba wakubwa wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) walikuwa kila mmoja, ni watu wauadilifu. Unajiingiza katika mazungumzo ya upande mmoja, ambayo yanawapoteza watu.Niruhusu kunukuu hadith moja juu ya sifa zao ili ukweli juu ya jambo hili uweze kudhi-hirishwa.

Muombezi: Mimi sijishughulishi na mambo na watu, Aya za Qur’ani tukufu na hadithsahihi zinatuelekeza katika muelekeo mmoja. Ninaapa kwa Jina la Allah kwamba mimisimpendi au kumchukia yeyote kimbumbumbu. Ninawaomba wasikilizaji kunisimamishakama wakati wowote nitakimbilia njia yoyote ambayo ni kinyume na hoja au busara.Hadithi zinazokubaliwa na madhehebu zote ziwe ndio za kutegemewa. Sizikatai sifa nzuriza masahaba waadilifu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), lakini yatupasa kutafuta miongonimwao mmoja ambaye ni bora juu ya umma wote. Mjadala wetu sio wa kuhusu watu wemakwa kuwa wema ni wengi. Yatupasa kutafuta ni yupi aliyekuwa na sifa bora zaidi baadaya Mtume ili kwamba tuweze kumfuata yeye.

Sheikh: Unaleta vikwazo visivyo muhimu. Katika vitabu vyenu hakuna hata hadith mojayenye kuwasifu makhalifa. Tutahojiana vipi juu ya msingi huo?

Muombezi: Katika usiku wa kwanza wa majadiliano yetu, utakumbuka kwamba HafidhSahib mwenyewe aliukubali mjadala juu ya masharti kwamba hoja zetu zitegemee juu yaAya za Qur’ani na juu ya Hadith zinazokubaliwa na Madhehebu zote. Kwa vile ninavyovitabu vyenu Sahih, mimi nilikubali sharti hili. Kama ambavyo nyote mtathibitisha, sija-toka katika msimamo huo. Katika kuunga mkono hoja zangu nimesoma Aya za Qur’anitu na Hadith zilizoandikwa katika vitabu Sahih vya Maulamaa wenu mashuhuri. Wakati

Mikesha ya Peshawar

103

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 103

Page 122: Mikesh A

mlipoweka sharti hili, hamkujua kwamba mtakuja kunaswa baadae. Hata hivyo, bado sita-ki sharti hili lichukuliwe kikamilifu moja kwa moja. Niko tayari kusikiliza hadith zenu zaupande mmoja kama ni Sahih. Kisha tutaweza kuyaamua mambo kwa haki. Mimi sinakusita katika kuukubali ukweli kwenye kulinganisha fadhail za Ali.

Sheikh: Umetaja hadith inayohusu umakamu wa Ali lakini ukasahau ukweli kwamba kunahadith nyingi kuhusu Abu Bakr.

Muombezi: Kwa kuzingatia akilini kwamba Maulamaa wenu wakubwa, kama vileDhahabi, Suyuti na Ibn Abi’l-Hadid wameelezea kwamba Amawi - wafuasi wa Mu’awiyyana wa Abu Bakr wamebuni hadith nyingi katika kumtukuza Abu Bakr, unaweza kutajahadithi moja kutoka miongoni mwa nyingi ya hizo ili kwamba mtu muadilifu aweze kua-mua juu ya usahihi wake.

HADITH KATIKA KUMTUKUZA ABU BAKR.

Sheikh: Kuna Hadith Sahihi iliyosimuliwa na Umar bin Ibrahim bin Khalid, ambayeanasimulia kutoka kwa Isa bin Ali bin Abdullah bin Abbas, na yeye kutoka kwa baba yake,na yeye kutoka kwa babu yake, Abbas, kwamba Mtume wa Uislamu alimwambia bwanahuyo, “Ewe Ami yangu! Allah amemfanya Abu Bakr kuwa khalifa wa dini yake. Hivyomsikilize na umtii ili kwamba uweze kupata wokovu.”

Muombezi: Hii ni Hadith iliyokataliwa.

Sheikh: Ni Hadith iliyokataliwa kwa vipi?

Muombezi: Maulamaa wenu mashuhuri wenyewe wameikataa. Kwa sababu wasimuliajiwa hadith hii walikuwa ni waongo wenye sifa mbaya na waghushaji, Maulamaa wenuhawaioni kama inastahili kukubalika. Dhahabi katika “Mizanul-I’tidal”, akiandika kuhusuIbrahim bin Khalid, na Khatib Baghdadi akiandika kuhusu Umar bin Ibrahim anasema:“Yeye ni muongo mkubwa.” Na Hadith iliyosimuliwa na muongo haikubaliki.

Sheikh: Imesimuliwa kutoka vyanzo vya kuaminika kwamba mmoja wa masahabawachamungu wa Mtume, Abu Huraira, alisimulia kwamba, Jibril alijitokeza mbele yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) na akasema: “Allah anakutolea salaam, Anasema,‘Nimemridhia Abu Bakr; muulize kama na yeye pia ameniridhia Mimi au laa.’”

Muombezi: Yatupasa kuwa waangalifu sana kuhusu kutaja Hadith. Nataka usikilizeHadith ambayo Maulamaa wenu wenyewe, kama Ibn Hajar (ndani ya Isaba) na IbnAbdu’l-Bar (katika Isti’ab) wananukuu kutoka kwa Abu Huraira kwamba Mtume amese-ma: “Kuna wengi ambao huninukuu vibaya, na mwenye kunitafsiri vibaya makazi yake ni

Mikesha ya Peshawar

104

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 104

Page 123: Mikesh A

motoni. Wakati hadithi inaposimuliwa kwenu kwa niaba yangu ni lazima muipime naQur’ani.”

Hadith nyingine inayokubaliwa na Madhehebu zote, imesimuliwa na Imam Fakhru’d-DinRadhi katika “Tafsir Kabir” Jz. 2, uk. 271 anasimulia kwamba Mtume amesema: “Wakatihadith kutoka kwangu inapoelezewa kwenu, iwekeni mbele ya Kitabu cha Allah kamaikikubaliwa na Qur’ani Tukufu, ikubalini. Vinginevyo, ikataeni.” Vitabu vya maulamaawenu wenyewe mashuhuri vinaeleza kwamba mmoja wa wale ambao walighushi hadithkwa jina la Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), alikuwa huyu mtu aliyekataliwa, Abu Huraira,ambaye umemuita mchamungu.

Sheikh: Sikutarajia mtu wa kiwango chako kusema maneno ya kuzua kuhusu masahabawa Mtume.

Muombezi: Unataka mimi nitishwe na neno “Sahaba”, lakini umekosea kama unafikirineno “Sahaba” lazima libebe heshima. Kweli usahaba na Mtume unaongezea fadhila zamtu, lakini hili hutegemea juu ya sharti kwamba Sahaba huyo ni mtiifu kwa Mtume. Kamaanakwenda kinyume na maelekezo ya Mtume, basi kwa hakika atakataliwa. Je, Munafiqina(wanafiki) hawakuwa miongoni mwa Masahaba wa Mtume? Ndiyo, walikuwemo, na wotewalilaaniwa.

Sheikh: Haikuthibishwa kwamba walikataliwa. Kama walikataliwa ni uthibitisho ganikwamba watakwenda motoni? Je, kila mtu aliyekataliwa au kulaaniwa atakwenda motoni?Mtu aliyelaaniwa ni yule ambaye kwa mujibu wa Sheria ya wazi ya Qur’ani Tukufu, auHadith ya Mtume ametangazwa hivyo (kuwa atakwenda motoni).

TABIA YA ABU HURAIRA NA LAANA YAKE:

Muombezi: Kuna sababu za wazi kuonyesha kwamba Abu Huraira alikuwa sio mtu wakuaminika. Maulamaa wenu wenyewe wamethibitisha ukweli huu. Moja ya sababu yakulaaniwa kwake ni kwamba, kwa mujibu wa maneno ya Mtume, alikuwa rafiki wamwana kulaaniwa wa mlaaniwa Abu Sufyan. Abu Huraira alikuwa mmoja wa wanafiki.Katika baadhi ya nyakati huko Siffin alisali Sala iliyoongozwa na Amiru’l-Mu’minin Ali.Wakati mwingine alikaa katika meza ya chakula ya Mu’awiya kula chakula chake chaghali. Kama ilivyoelezwa na Zamakhashari katika “Rabiu’l-Abrar” na Ibn Abi’l-Hadidkatika Sherhe ya “Nahju’l-Balagha, wakati Abu Huraira alipoulizwa sababu za sera yakehii ya udanganyifu, yeye alisema; “Chakula cha Mu’awiyya ni kitamu sana na chenyeladha, na Sala nyuma ya Ali ni bora zaidi.” Maulamaa wenu wenyewe, kama vileSheikhu’l-Islam Hamwaini katika “Fara’id” Sura ya 37, Khawarizmi katika “Manaqib”Tibrani katika “Ausar”, Ganji Shafi’i katika “Kifayatu’t-Talib” (na kundi la wengine),wananukuu kutoka kwa huyu huyu Abu Huraira na wengine kwamba Mtume amesema:“Ali yu pamoja na Haki na Haki iko pamoja na Ali.” Wakati alipomuacha Ali na kwenda

Mikesha ya Peshawar

105

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 105

Page 124: Mikesh A

kubembeleza hisani za Mu’awiya, hakuwa wa kulaaniwa. Kama mtu si tu hanyamazi aon-apo matendo maovu ya Mu’awiya, bali hushirikiana naye hasa na humsaidia ili kuendelezanafasi yake mwenyewe ya kilimwengu na kujaza tumbo lake, hivi huyo sio mtu wakulaaniwa?

Abu Huraira huyo huyo mwenyewe anasimulia (kama ilivyoandikwa na Maulamaa wenumashuhuri, kama Hakim Nishapuri katika Mustadrak, Jz. 2, uk. 124, Imam Ahmad binHanbali, Tibrani, na wengine), kwamba Mtume amesema: “Ali yu pamoja na Qur’ani naQur’ani iko pamoja na Ali. Viwili hivi havitatengana mpaka vinifikie katika Chemchemya Kauthar. Ali anatokana na mimi na mimi ninatokana na Ali. Yule ambaye anamtwezaAli, hunitweza mimi. Yule ambaye hunitweza mimi, anamtweza Allah.” Mu’awiya katikahutuba zake za Sala ya Ijumaa alimlaani Ali, Hasan, na Husein. Aliagiza kwamba katikamikusanyiko yote, watu hawa watukufu sharti walaaniwe. Hivyo kama mtu kiukamilifuamejishirikisha na watu walaanifu kama hawa na yu aridhia matendo yao, huyu si wakulaaniwa? Na wakati anashirikiana na watu hawa, kama huwasaidia kwa kughushi hadithna kulazimisha watu watoe laana dhidi ya watu watukufu, huyu si wa kulaaniwa?

Sheikh: Je, ni busara kwetu sisi kukubali masingizio haya, kwamba masahaba waamini-fu wa Mtume, wanaghushi hadith na waweze kuwalazimisha watu wamlaani Ali?

Muombezi: Kwa kweli ni vigumu kuamini kwamba sahaba mwaminifu angeweza kufanyakitu kama hicho. Kama yeyote katika Masahaba amefanya kitu kama hicho, ina maanakwamba hakuwa muaminifu. Kuna Hadithi nyingi zilizosimuliwa na Maulamaa wenuwenyewe kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Yule ambaye anamtweza Ali,hunitweza mimi na Allah.”

Sheikh: Kwa kuwa mkweli, wakati unawasingizia masahaba wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), kusema kwamba, walighushi hadith, vipi tunaweza kutumaini kwamba hutahu-sisha maarubu mabovu kwa Maulamaa wa vyeo vya juu wa Kisunni? Ninyi Mashi’a mnatabia inayofahamika ya kuwakashifu watu maarufu.

Muombezi: Huna haki katika kuhusisha vitu kama hivyo kwetu. Historia ya Uislamu yamiaka 1400 iliyopita inathibitisha kinyume chake. Kuanzia mwanzo wa karne ya kwanzaya Uislamu, Bani Umayya wamewatukana Maimam Maasum, dhuria wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), na wafuasi wao Mashi’a. Hata leo, maulamaa wenu mashuhuri wanasimuliahadith za kashfa dhidi ya Mashi’a katika vitabu vyao ili kuwapoteza watu.

Sheikh: Ni ulamaa gani wa Sunni aliyewakashifu Mashi’a?

Mikesha ya Peshawar

106

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 106

Page 125: Mikesh A

KASHFA ZA IBN ABD RABBIH DHIDI YA MASHI’A.

Muombezi: Mmoja wa Maulamaa waandishi wenu wakubwa, Shahabu’d-Bin Abu UmarAhmad bin Muhammad bin Abd Rabbih Qartabi Andalusi Maliki (aliyefariki 48 A.H.),katika Indu’l-Farid yake Jz. 1, uk. 269, amewaita Mashi’a Mayahudi wa Umma huu.”Anasema kwamba, kama vile Mayahudi walivyokuwa maadui wa Wakristo, Mashi’a nimaadui wa Uislamu. Anadai kwamba, Mashi’a kama walivyo Mayahudi, hawaukubaliukweli kwamba mke aweza kutalikiwa mara tatu kutoka kwa mtu huyo huyo, walahawaikubali sheria ya Edda. Wote hapa, Mashi’a na Masunni ambao wana uzoefu na rafi-ki zao Shi’a watayacheka madai haya. Utaona katika vitabu vyote vya fiqih ya Kishi’amashariti kuhusu talaka tatu na Edda baada ya talaka.

Vilevile anatuhumu kwamba Mashi’a, kama walivyo Mayahudi, ni maadui wa Jibril, kwasababu Jibril amewasilisha maagizo ya Allah (Wahyi) kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),badala ya Ali (kicheko miongoni mwa wasikilizaji Mashi’a). Sisi Mashi’a tunamwaminiMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Tunaamini kwamba maagizo ya Allah yaliteremshwa kwakekupitia kwa Malaika Jibril, ambaye cheo chake ni cha juu zaidi kuliko kile kilichohusish-wa kwake na mwandishi huyu asiye maana.

KASHFA ZILIZOTOLEWA NA IBN HAZM.

Mwingine kati ya Maulamaa wenu wakubwa ni Abu Muhammad Ali bin Ahmad bin SaidIbn Hazm Andalusi (amekufa 456 A.H.), ambaye ameandika kimakhususi dhana potofukuhusu Mashi’a katika kitabu chake mashuhuri “Kitabu’l-Fasil fi’l-Milal Wa’n-Nihal.”Kwa mfano anasema Shi’a sio Waislamu, ni waasi, wafuasi wa Mayahudi na Wakristo.Katika Juzuu ya 4, uk. 182, anaandika kwamba: “Kwa mujibu wa Mashi’a, ni halali kuoawanawake tisa.” Riwaya hii inaweza kukanushwa kwa urahisi sana kwa kuangalia vitabuvya Shi’a ambavyo kwa uwazi vimeeleza kwamba ni haramu kuwa na zaidi ya wanawakewanne katika ndoa ya kudumu, kwa wakati mmoja. Kuna tuhuma nyingi zinazofanana nahizi, zisizo na msingi wa mambo machafu yaliyohusishwa na Mashi’a katika kitabu chakehiki, ambayo ungeona aibu kuyasikia.

KASHFA ZILIZOTOLEWA NA IBN TAIMIYYA

Mmoja wa Ulamaa wenu mtovu wa dini zaidi ni Ahmad bin Abdu’l-Halim Hanbali, aju-likanaye kama Ibn Taimiyyah (amekufa 728 A.H.). Alikuwa na dhamira mbaya kupita kiasijuu ya Mashi’a, Amru’l-Mu’minin Ali, na kizazi cha Mtume. Kitabu chake “Minhaju’s-Sunna” kimejaa uadui mkali dhidi ya Ali na kizazi cha Mtume. Yeyote yule ambaye anaufahamu wa ukweli japo kidogo angeshangazwa kusikia uongo wake. Kwa mfano anaandi-ka kwamba: “Hakuna kundi kubwa la waongo kama madhehebu ya Shi’a, na ni kwa

Mikesha ya Peshawar

107

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 107

Page 126: Mikesh A

sababu hii kwamba waandishi wa vitabu vya Sahih (Sihah Sita) hawakuingiza katikavitabu vyao Hadith zilizosimuliwa na wao.”

Katika Juz. ya 10, uk. 23 anasema kwamba, Mashi’a wanaamini katika misingi minne yadini - Tauhidi, Adili, Nubuwat na Uimam. Kwa kweli katika vitabu vya itiqad vya Shia,vinavyopatikana kila mahali, imeandikwa kwamba itiqad ya Shia ina misingi mitatu:Tauhid, Nubuwat, na Ma’ad (Siku ya malipo); Adil ni sehemu ya Tauhid na Uimam nisehemu ya Nubuwat.

Katika juzuu ya 1, Uk. 131, anaeleza kwamba Mashi’a hawakusanyiki misikitini.Hawasali Sala ya Ijumaa au Sala za jamaa. Kama wakisali wanasali kila mtu peke yake.(kicheko miongoni mwa Mashi’a). Lakini kwa hakika tunaweka mkazo mkubwa katikaSala za jamaa. Katika miji mingi ya Iraq na Iran, ambayo ni vituo vya Mashi’a, misikitiyetu inajaa watu wanaoabudu wakisali sala za Jamaa. Katika ukurasa huohuo, anaandikakwamba Mashi’a hawafanyi Hijja kwenye Al-Kaaba. “Hija yao ni ya kuzuru makaburi tu,ambayo wanaiona ni bora kuliko kwenda kuhiji Makka. Wanawalaani wale ambaohawafanyi Ziara kwenye makaburi.” (kicheko). Vitabu vya du’a vya Shi’a vina Suramaalum kwa ajili ya dua za hijja unaoitwa Kitabu’l-Hajj.

Wanatheolojia wa Kishi’a, wameandika vitabu vingi wakielezea kanuni kwa ajili ya Hijja,ambamo maelekezo maalum yametolewa kutekeleza taratibu za Hijja. Hadithi nyingikutoka kwa Maimamu wetu zinasisitiza kwamba, kama Muislamu (Shi’a au Sunni) anaouwezo na bado akashindwa kutekeleza Hija anatengwa katika Uislamu. Wakati akifaanaambiwa: “Kufa kifo chochote unachoweza, kiwe kifo cha kiyahudi, Kikristo, au chamuabudu moto.”

Unaweza kuamini kwamba mbele ya maelekezo kama hayo Mashi’a wangejiepusha nakutekeleza Hija? Kwa nyongeza juu ya tafsiri hizi potovu, mtu huyu muovu amesemakwamba mwanachuo mkubwa wa Kishia, Muhammad bin Muhammad bin Nu’man(Sheikh Mufid) ameandika “Manasikhu’l-Hajj li’l-Mashahid.” Jina sahihi la kitabu hichoni “Mansikhu’z-Ziarat”, ambacho kinapatikana kila mahali na ambacho kina maelekezokuhusu kuzuru sehemu za Ziarat, pamoja na Ma-Kuba matukufu ya wastahiki Maimamu.Kama utaviangalia vitabu hivi vya Ziarat, utaona kwamba kutembelea kwenye makaburiya Mtukufu Mtume na Maimamu kunapendekezwa, sio wajibu.

Uthibitisho mzuri dhidi ya tuhuma za mtu huyu mtovu wa dini ni mwendo unaofuatwa naMashi’a, ambao huenda kuhiji kwa maelfu kila mwaka. Shutuma nyingine bandia yamuongo huyu, yaweza kupatikana katika juzuu ya 1, uk. 11, ambako anasema kwambaMashi’a wanaita mbwa wao kwa majina ya Abu Bakr na Umar na kila siku wanawalaani(hao Abu Bakr na Umar). (Kicheko miongoni mwa Mashi’a). Hiki ni kichekesho. Kwamujibu wa itiqad ya Shia, mbwa ni najisi kabisa. Nyumba ya Muislam yenye mbwahukosa baraka za Allah. Kwa hiyo, Waislamu Mashi’a wanakatazwa kabisa kufuga mbwa

Mikesha ya Peshawar

108

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 108

Page 127: Mikesh A

isipokuwa kwa masharti makhususi (kuwinda, kuilinda nyumba, au kuchunga mbuzi).Moja ya sababu nyingi za kutopatana kati ya Yazid na mjukuu wa Mtume, Imam Husain,ilikuwa kwamba Yazid alikuwa mpenzi wa mbwa na akiwafuga bila kuwa na sababu nzuri.

Ibn Taimiyya vilevile anaandika kwamba, kwa vile Mashi’a wanangojea kutokeza kwayule wa mwisho wa Maimam wao, katika sehemu nyingi, hususan katika Sardab (Sakafuchini ya nyumba) ya Samara (ambako Mtukufu Imam alitoweka), ameandaliwa farasi kwaajili yake. Wanamuita Imam wao ajitokeze, wakisema kwamba wamejiandaa kikamilifukumtumikia Yeye. Vilevile anaandika kwamba Mashi’a hugeuka kuelekea upande wamashariki wakati wa siku za mwisho wa Ramadhani na kumwita Imamu ajitokeze. Baadhiyao huacha hata Sala zao za faradhi; wakifikiri kwamba kama watajishughulisha na kusaliSala zao na Imam akajitokeza wangeweza kukosa kumtumikia kwao. (Kicheko kwa Sunnina Mashi’a).

Hatushangazwi sana na Hadith za kuchekesha za mtu huyu muovu. Bali tunashangazwa natabia za maulamaa wa sasa wa Misri na Damaskas ambao, bila kuwauliza Mashi’a ambaowanaishi nao, wanafuata upumbavu wa mtu kama Ibn Taimiyya. Itakuwa inachosha sanakutoa orodha ndefu ya riwaya zisizo sahihi za Ibn Hajar Makki, Hafidh, na KadhiRuzbahan. Vitabu yao vinajulikana, ingawa katika mtazamo wa usahihi, hivyo havinathamani.

Kwa mfano “Milal Wa’n-Nihal” cha Muhamma Ibn Abdu’l-Karim Shahrastani (amekufa548 A.H.), katika macho ya wanachuoni, hakina thamani hata kidogo. Mtu hatawezakuona chochote ndani yake isipokuwa itiqad bandia kabisa zilizohusishwa kwa Mashi’a,kama kumuabudu Ali na imani ya kuhama kwa roho (baada ya kufa kuingia katika mwilimwingine). Ni wazi hakuwa mtu mwenye elimu. Akiandika kuhusu Shi’a Ithnashariyya,yeye anasema kwamba, kaburi la Ali Ibn Hadi Muhamma Naqi, ambaye amekuja baada yaImam Muhammad Taqi, liko Qum. Lakini hata watoto wadogo wanajua kwamba KubaTukufu la Imam Ali Naqi liko ubavuni mwa kuba la Mtoto wake, Imam Hasan Askari hukoSamarra. Sidhani kwamba rejea nyingine zaidi za namna hii ni muhimu kuthibitishakwamba ulamaa wa Kisunni wamebuni riwaya za uongo kuhusu Mashi’a. Na siko pekeyangu katika kulenga shutuma dhidi ya uaminifu wa Abu Huraira. Maulamaa wa Kisunniwamefichua tabia zake mbaya katika vitabu vyao wenyewe.

TABIA ZA ABU HURAIRA NA HADITH ZINAZOTAKA ALAANIWE.

Ibn Abi’l-Hadid Mu’tazali katika Sherhe yake ya “Nahaju’l-Balagha,” Jz. 1, uk. 358, nakatika Jz. 4, anasimulia kutoka kwa Sheikh na mwalimu wake, Imam Abu Ja’far Asqalani,kwamba Mu’awiyya bin Abu Sufyani aliandaa kikundi cha masahaba wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) na watoto wa masahaba hao kwa lengo la kughushi hadith. Miongoni mwa wale

Mikesha ya Peshawar

109

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 109

Page 128: Mikesh A

waliobuni hadith chafu dhidi ya Ali walikuwa Abu Huraira, Amr bin Aas, na Mughira IbnSha’ba. Akitoa maelezo juu ya ngano hizi, Ibn Abil-Hadid anasimulia kwamba, wakatimmoja Abu Huraira aliingia Msikiti wa Kufa na kuona kundi kubwa la watu ambaowalikuja kumpokea Mu’awiya. Alipaza sauti yake kwenye lile kundi la watu: “Enyi watuwa Iraq. Mnafikiri kwamba nitasema uongo katika kumpinga Allah na Mtume Wake nakujinunulia moto wa Jahanam? Sikieni kutoka kwangu nilivyosikia kutoka kwa Mtume.‘Kila Mtume ana Haram (Sehemu takatifu ya kuishi) na Haram yangu ni Madina. Mtuambaye anahusika na uzushi katika mji wa Madina analaaniwa na Allah, na Malaika Wake,na pamoja na wanadamu wote!’ Naapa kwa jina la Allah, kwamba Ali alihusika nauzushi.” (Yaani, Ali alichochea mfarakano miongoni mwa watu, hivyo, kwa mujibu waMtume, anapaswa kulaaniwa). Wakati Mu’awiya alipolifahamu hili (kwamba Abu Hurairaamefanya kitu kama hicho kwa ajili yake na amekifanya katika makao makuu ya Ali,Kufa), alimuita, akampa zawadi, na akamfanya Gavana wa Madina. Je, matendo yakemabaya hayatoshi kuthibitisha kwamba anastahili laana? Je, ni sahihi kwamba mtuambaye amemfanyia ubaya mbora zaidi wa Makhalifa achukuliwe kama mchamungu kwasababu tu amewahi kuwa sahaba wa Mtume?

Sheikh: Ni katika sababu zipi ambazo Mashi’a wanamuona kuwa kalaaniwa?

Muombezi: Kuna hoja nyingi katika kuunga mkono maoni yetu. Mojawapo ya hizo nikwamba, mwenye kumtukana Mtume, kwa mujibu wa madhehebu zote amelaaniwa. Kwamujibu wa Hadith ambayo nimeitaja mapema, Mtukufu Mtume amesema: “Mwenye kum-tukana Ali, hunitukana mimi, Mwenye kunitukana mimi humtukana Allah.” Ni dhahirikwamba Abu Huraira alikuwa mmoja wa wale ambao, sio tu amemtukana Ali bin AbuTalib, bali ambaye alighushi hadith kuwachochea wengine kumtukana yeye.

NJAMA YA ABU HURAIRA NA BUSR BIN ARTATKATIKA MAUWAJI YA WAISLAMU.

Vilevile tunamlaani Abu Huraira kwa kula njama kwake na Busri Ibn Artat katika mauajiya maelfu ya Waislamu. Imesimuliwa na wanahistoria wenu wenyewe, akiwemo Tabari,Ibn Athir, Ibn Abi’l-Hadid, Allama Samhudi, Ibn Khaldum, Ibn Khallikan, na wenginekwamba Mu’awiyya alimtuma yule katili Busri Ibn Artat pamoja na wanajeshi wa Syria4,000 kwenda Yemen kupitia Madina kuwasaga watu wa Yemen na Mashi’a wa Ali.Washambuliaji hawa waliwaua maelfu ya Waislamu katika mji wa Madina, Makka, Ta’if,Jabala (Mji wa Tihama), Najran, Safa, na vitongoji vyake. Hawakuwaacha vijana auwazee wa Bani Hashim au Shi’a wa Ali. Waliwaua hata watoto wadogo wawili wa binamuyake Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) Ubaidullah bin Abbas Gavana wa Yemen, ambaye alikuwaameteuliwa na Ali. Inasemekana kwamba zaidi ya Waislamu 30,000 waliuwawa kwa amri

Mikesha ya Peshawar

110

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 110

Page 129: Mikesh A

ya dhalimu huyu.

Bani Umayya na wafuasi wao walitenda ukatili huu wa kiwendawazimu. Mpendwa wenuAbu Huraira alishuhudia unyama huu na hakuwa kimya tu, bali pia aliuunga mkonokikamilifu. Watu wasio na hatia kama Jabir bin Abdulla Ansari, na Abu Ayyub Ansari wal-itafuta pa kukimbilia. Hata nyumba ya Abu Ayyub Ansari ambaye alikuwa mmoja wamasahaba wakubwa wa Mtume, ilichomwa moto. Wakati Jeshi hili lilipoelekea Makka,Abu Huraira alibakia Madina. Sasa naomba mtueleze, kwa jina la Allah, iwapo mtu huyumlaghai ambaye alikuwa katika usahibu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa miaka mitatu,na ambaye amesimulia zaidi ya Hadith 5,000 kutoka kwa Mtume, hakusikia hadithi zilemashuhuri zinazohusu mji wa Madina?

Maulamaa wa madhehebu zote (kama Allama Samhudi katika “Ta’rikhu’l-Madina,”Ahmad bin Hanbal katika “Musnad” Sibt Ibn Jauzi katika “Tadhkira” uk. 163)wamenukuu kutoka Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ambaye amesema mara kwa mara: “Yuleambaye atawatishia watu wa Madina na mateso, atatishwa na Allah na atalaaniwa na Allah,Malaika Wake, na wanadamu wote. Allah hatakubali kitu chochote kutoka kwake. Naalaaniwe yule mwenye kuwatisha watu wa Madina. Kama mtu yeyote atawadhuru watuwa Madina, Allah atamyeyusha kama risasi katika moto.” Sasa ni kwa nini Abu Hurairaalijiunga na jeshi lile ambalo liliiangamiza Madina? Kwa nini alibuni hadith zenye upin-zani kwa makamu sahihi wa Mtume? Na kwa nini aliwachochea watu kumtukana yule mtuambaye kuhusu yeye Mtume amesema: “Kumtukana yeye ni kunitukana mimi?” Weweamua iwapo kama mtu ambaye amebuni hadith kwa jina la Mtume hakuwa mwenyekulaaniwa?

Sheikh: Umekosa huruma, sio vyema kwako kumwita Sahaba muaminifu mno waMtukufu Mtume (s.a.w.w.) mtovu wa dini na mzushi.

LAANA YA ABU HURAIRA NA KUPIGWAKWAKE NA UMAR.

Muombezi: Siko peke yangu ambaye “sina huruma” kwa Abu Huraira. Mtu wa kwanzaambaye hakuwa na huruma naye alikuwa Khalifa wa Pili, Umar bin Khattab. Ibn Athir naIbn Abi’l-Hadid katika Sherhe yake ya Nahjul’l-Balagha, Jz. 3, uk. 104 (iliyochapishwaMisri) na wengine wengi wameeleza kwamba Khalifa Umar alimchagua Abu Hurairakuwa gavana wa Bahrain katika mwaka wa 21 A.H., watu wakamjulisha Khalifa kwambaAbu Huraira amejikusanyia mali nyingi na amenunua farasi wengi. Kwa ajili hiyo Umarakamuondoa madarakani katika mwaka wa 23 A.H. Mara tu Abu Huraira alipoingiakwenye baraza, Khalifa akasema: “Ewe adui wa Allah na adui wa Kitabu Chake! Umeibamali ya Allah? Alijibu: “Sikuiba, bali watu wamenipa zawadi.” Ibn Sa’ad katika

Mikesha ya Peshawar

111

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 111

Page 130: Mikesh A

“Tabaqat” Jz. 4, uk. 90, Ibn Hajar Asqalani katika “Isaba”, na Ibn Abdi-e-Rabbih katika“Iqdu’l-Farid” Jz. 1, wanaandika kwamba Khalifa alisema: “Wakati nilipokufanya Gavanawa Bahrain, ulikuwa huna hata kiatu katika miguu yako, lakini sasa nimesikia kwambaumenunua farasi kwa dinari 1,600. umeipataje mali hii.’ Alijibu, ‘Hizi ni zawadi za watuambazo faida yake imekuwa marudufu zaidi.’ Uso wa Khalifa uligeuka kuwa mwekundukwa hasira, na alimpiga viboko kwa nguvu sana kiasi kwamba mgongo wake ulivuja damu.Kisha akaamuru zile dinari 10,000 ambazo Abu Huraira alizikusanya huko Bahrainzichukuliwa kutoka kwake na ziwekwe kwenye mfuko wa Baitu’l-Mal.”

Hii haikuwa mara ya kwanza kwa Umar kumchapa Abu Huraira. Muslim anaandika kati-ka Sahih yake Jz. 1, uk. 34, kwamba wakati wa uhai wa Mtume, Umar bin Khattab alimpi-ga Abu Huraira kwa nguvu sana mpaka akaanguka chini. Ibn Abi’l-Hadid anaandika kati-ka Sherhe yake ya “Nahjul’l-Balagha” Jz. 1, uk. 360: “Abu Ja’far Asqalani amesema:Kwa mujibu wa watu wetu mashuhuri (Yaani Wanachuoni), Abu Huraira alikuwa mtumuovu. Hadith zilizosimuliwa na yeye hazikukubaliwa. Umar alimchapa na kiboko naakamwambia kwamba alikuwa amebadilisha hadith na alihusisha maneno ya uongo kwaMtukufu Mtume (s.a.w.w.).’” Ibn Asakir katika kitabu chake “Ta’rikh Kabir”, na Muttaqikatika “Kanzu’l-Umma” wanasimulia kwamba Khalifa Umar alimchapa viboko, alimke-mea na akamkataza kusimulia hadith kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Umar alise-ma: “Kwa sababu unasimulia hadithi nyingi kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) unauwezo tu wa kuhusisha uongo kwake. - Yaani mtu anatazamia mtu muovu kama wewekutoa uongo tu kuhusu Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Hivyo ni lazima uache kusimulia Hadith kutoka kwa Mtume; vinginevyo nitakupelekakatika nchi ya Dus.” (Kabila katika Yemen ambalo kwamba Abu Huraira anatokana nalo).Ibn Abi’l-Hadid, katika Sherhe yake ya “Nahju’l-Balagha”, Jz. 1, uk. 360 (iliyochapishwaMisri) anasimulia kutoka kwa mwalimu wake, Imam Abu Ja’far Asqalini, kwamba Alialisema: Jihadharini na muongo mkubwa miongoni mwa watu, Abu Huraira Dusi.” IbnQutayba, katika “Ta’wil-e-Mukhtalifu’l-Hadith,” na Hakim katika Mustadrak Jz. 3, naDhahabi katika “Talkhisu’l-Mustadrak” na Muslim katika Sahih yake, Jz. 2, wakielezeakuhusu tabia za Abu Huraira, wote wanasema kwamba Aisha alikuwa alipingana nayemara kwa mara na kusema: “Abu Huraira ni muongo mkubwa ambaye hughushi hadith nakuzihusisha na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

“Kwa ufupi sio sisi peke yetu ambao tumemkataa Abu Huraira. Kwa mujibu wa KhalifaUmar, Amirul’l-Muuminiina Ali, Ummu’l-Muuminina Aisha, na Masahaba wengine nawafuasi wa Mtume, wamesema kwamba alikuwa sio muaminifu kabisa. Kwa ajili hiyo,Masheikh wa madhehebu ya Mutazila na Maimam wao, na ulamaa wa Kihanafia kwakawaida wanakataa hadith zilizosimuliwa na Abu Huraira.

Aidha, katika Sherhe yake ya Sahih Muslim, Jz. 4, Nadwi anasisitiza nukta hii: “Imam Abu

Mikesha ya Peshawar

112

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 112

Page 131: Mikesh A

Hanifa amesema: ‘Masahaba wa Mtukufu Mtume kwa ujumla walikuwa ni wacha-Munguna wanyofu. Ninaikubali kila hadith yenye ushahidi iliyosimuliwa na wao, lakini sizikubalihadith ambazo chanzo chake ni Abu Huraira, Anas Ibn Malik, au Samara bin Jundab.”

Tunamkataa Abu Huraira yule yule, ambaye Khalifa Umar alimchapa viboko na kumuitamwizi na muongo. Alikataliwa na Ummu’l-Mu’minina Aisha, Imam Abu Hanifa, na masa-haba wengi na wafuasi wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Tunamkataa Abu Huraira huyohuyo ambaye alikataliwa na kuitwa muongo na Bwana wetu, kiongozi wa wenye kuabuduMungu mmoja, Ali, na akakataliwa na Maimamu watukufu na dhuria wa Mtume.Tunamkataa Abu Huraira ambaye alikuwa muabudu tumbo, ambaye pamoja na kujuaubora wa Ali, alimpuuza. Alimpendelea mfadhili wake, mlaaniwa Mu’awiya, alikaakwenye meza yake ya chakula na kula vyakula vitamu naye, na akatunga hadithi zakumpinga Ali. Kwa mtazamo wa mjadala wetu mpaka sasa, ninyi na mimi tunawajibikakuangalia kwamba wakati hadithi kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ikiwa kwenyemjadala, yatupasa kwanza kuirejesha kwenye Qur’ani Tukufu. Kama hadith inakubalianana Qur’ani, yatupasa kuikubali, vinginevyo la.

MAJIBU KWA HADITH IDHANIWAYO KWAMBAALLAH ALISEMA, “NIMERIDHISHWA NA

ABU BAKR - JE NA YEYE AMERIDHIKA NA MIMI?”

Hadithi ambayo umeisimulia mapema (ingawa ni ya upande mmoja) yaweza kurejeshwakwenye Qur’ani Tukufu. Kama hakuna pingamizi, hapana shaka tutaikubalia. Hata hivyo,aya moja ya Qur’ani inasema: “Na hakika tumemuumba mwanadamu, nasi tunajuayanayopita katika nafsi yake; nasi tukaribu naye zaidi kuliko mshipa wake wa shin-go.” (50:16) Mnatambua kwamba Hablu’l-Warid (mshipa wa shingo) ni usemi wa kawai-da utumiwao kuelezea ukaribu uliozidi mno. Maana ya Aya hii ni kwamba, Allah ni Mjuziwa yote. Hakuna kinachofichika kwake, hata kiwe ndani kiasi gani katika moyo wa mtu.Allah anajua siri za nyoyo zetu.

Na katika Sura ya “Yunus” Anasema: “Na hushughuliki katika kazi yoyote, wala haso-mi humo (kitu chochote) katika Qur’ani, wala hamfanyi kitendo chochote, isipokuwasisi tunakuwa mashahidi juu yenu mnaposhughulika nayo. Hakifichikani kwa Molawako kitu chochote (hata) kilicho sawa na uzito wa mdudu chungu, la katika ardhiwala katika mbingu. Wala (hapana) kidogo kuliko hicho wala kikubwa, isipokuwakimo katika kitabu (cha Allah) kielezacho (kila kitu).” (10:61). Kwa mujibu wa Ayahizi, na kwa mujibu wa akili ya kuzaliwa, hakuna kinachofichikana kwa Allah. Anajuamtu anachofanya au kufikiri. Sasa linganisha hadithi hii na Aya hizi mbili na uone kamazinaweza kupatanishwa. Itawezekana vipi kwamba Allah Mwenye Nguvu zote asijue fura-ha ya Abu Bakr, kiasi kwamba Yeye mwenyewe awajibike kumuuliza kama ameridhishwa

Mikesha ya Peshawar

113

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 113

Page 132: Mikesh A

Naye au la? Akili ya kuzaliwa na Qur’ani Tukufu vinaonyesha kwamba “Hadith” hii ni yauwongo.

HADITH ZENYE KUMSIFU ABU BAKR NA UMAR NA KUTOSTAHILI KWAO.

Sheikh: Hakuna shaka kwamba Mtume alisema: “Allah atajionyesha kwa watu wote kwaujumla na makhususi kwa Abu Bakr.” Vilevile alisema: “Allah hakuweka kitu chochotekwenye kifua changu ambacho hakukiweka kwenye kifua cha Abu Bakr.” Vilevle alise-ma: “Mimi na Abu Bakr ni kama farasi wawili ambao wanalingana sawa katika mbio.”Alisema tena: “Katika anga kuna malaika 80,000 ambao huomba rehma kwa ajili ya yuleambaye ni rafiki wa Abu Bakr na Umar. Na katika usawa wa upande mwingine wa angakuna Malaika 80,000 ambao humlaani yule ambaye ni adui wa Abu Bakr na Umar.”Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) vilevile alisema: “Abu Bakr na Umar ni wabora wa wanadamuwote kuanzia mwanzo mpaka mwisho.” Cheo cha Abu Bakr na Umar kinaweza kupimwakutokana na Hadithi ambayo kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Allah ameni-umba mimi kutokana na nuru Yake, Abu Bakr kutokana na nuru yangu, na Umar kutokanana nuru ya Abu Bakr. Umar ni taa ya watu wa Peponi.” Kuna hadithi nyingi kama hizoambazo zimeandikwa katika vitabu vyetu Sahihi. Nimesimulia Hadithi chache tu ili kwam-ba ujue Cheo halisi cha makhalifa.

Muombezi: Maana ya hadhithi hizi huongozea kwenye uasi na ukafiri wa kidini, ambavyoinadhihirisha wazi kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) asingeweza kusema vitu kamahivyo. Hadithi ya kwanza inaonyesha kwamba Allah ana mwili na ni ukafiri kuaminikwamba Allah ana mwili. Hadithi ya pili inaonyesha kwamba Abu Bakr alishiriki katikayale yaliyoteremshwa kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Hadithi ya tatu inamaanishakwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa hali yoyote hakuwa mbora zaidi kwa Abu Bakr.Hadithi nyingine inapingana na hadithi nyingi, ambazo zinakubaliwa na madhehebu zote,kwamba watu wabora zaidi wa ulimwengu huu ni Mtume Muhammad na kizazi chake.

Mbali na ukweli huu wa wazi, Maulamaa wenu mashuhuri kama Muqaddas katika kitabuchake “Tadhkiratu’l-Muzu’a”, Firuzabadi Shafi’i katika kitabu chake “Safaru’s-Sa’adat”,Hasan bin Athir Dhahabi katika kitabu chake “Mizanul-l’tidal”, Abu Bakr Ahmad bin AliKhatib Baghdad katika kitabu chake cha “Ta’rikh”, Abu’l-Faraj Ibn Jauzi katika “Kitabu’l-Muzu’a”, na Jalalu’d-Din Suyuti katika “Al’Lu’ali’l-Masnu’a fi’l-Abadusi’l-Muzu’a” -wote wamehitimisha kwamba Hadithi hizi ni zakutungwa. Zinapingana na Qur’ani Tukufuna akili ya kuzaliwa.

Sheikh: Lakini hebu angalia hadithi nyingine, ambayo hakika ni sahihi, Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alisema: “Abu Bakr na Umar ni Mabwana wa wazee wa Peponi.”

Mikesha ya Peshawar

114

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 114

Page 133: Mikesh A

Muombezi: Kama utaichunguza kwa karibu zaidi Hadith hii inayotarajiwa, unawezaukaona kwamba, mbali na ukweli kwamba ulamaa wenu wenyewe wameikataa, hadithi hiihaiwezekani kuwa inatoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Kila mtu anajua kwamba pepohaitaingiwa na wazee. Hakuna mabadiliko ya kidogo kidogo huko. Kuna riwaya nyingizinazokubaliwa na madhehebu zote zinazohusiana na jambo hili. Moja ya hizo ni suala laAshja’iyya, mwanamke mzee ambaye alikuja kwa Mtume. Katika maongezi yake, Mtumealisema: “Wanawake wazee hawataingia Peponi.” Yule mwanamke alihuzunika sana naakasema, huku akilia: “Ewe Mtume wa Allah, hii ina maana mimi sitaingia Peponi.”Alipokwisha kusema hivi, akaondoka. Mtume akasema: “Muambieni kwamba siku hiyoatakuwa kijana na ataingia Peponi.” Kisha akasoma Aya ifuatayo kutoka kwenye Qur’aniTukufu:

“Hakika tumewafanya wakuwe katika umbo (jipya), na tumewafanya vijana kamakwamba ndiyo kwanza wanaolewa, wanapendana na waume zao (walio) hirimu mojana wao, kwa ajili ya watu wa kheri. (56: 35 – 38).

Katika Hadithi nyingine inayokubaliwa na wote ninyi na sisi, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alisema: “Wakati wakazi wa Peponi watakapoingia Mbinguni, watakuwa vijana na nyusosafi halisi, nywele za kipilipili, macho ya haiba, umri wa miaka 33.”

Sheikh: Maelezo yako ni kweli kama yalivyo, lakini hii ni hadithi Makhususi (yaanimaalumu kwa ajili ya Abu Bakr na Umar).

Muombezi: Sielewi. Una maana gani kwa kusema “Hadith Makhususi.” Una maanakwamba Allah atapeleka kikundi cha wazee Peponi ili kwamba Abu Bakr na Umar wawezekuwa mabwana zao? Isitoshe, ulamaa wenu mashuhuri wanaiona Hadith hii kuwa ni yakutungwa. Mtume ametupa utaratibu kwa ajili ya kuthibitisha Hadithi. Nilisema mapemakwamba Hadithi yoyote ambayo haipatani na Qur’ani ni ya kupuuzwa. Wanachuoni wetusisi wanakataa Hadithi nyingi zinazodaiwa kutokana na Mtume na Maimamu Watukufukatika misingi ya kanuni iliyotamkwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.): “Wakati wowoteitakapoelezwa Hadith kwamba inatoka kwangu, irejesheni kwenye Qur’ani Tukufu; kamainakubaliana nayo, ikubalini, vinginevyo, ikataeni”. Kwa ajili hiyo, wanachuoni wetuhawakubali hadith ambazo hazikubaliani na Qur’ani Tukufu. Nilieleza mapema kwambaMaulamaa wenu wameandika vitabu juu ya kukataa Hadithi za kutungwa.

Kwa mfano Sheikh Majdu’d-Din Muhammad bin Yaqub Firuzabadi katika “Safaru’s-Sa’ada” (uk. 142), Jalalu’d-Din Suyuti katika “Kitabu’l-Lu’ali”, Ibn Jauzi katika“Muzu’a”, Muqaddasi katika “Tadhkiratu’l-Muzu’a”, na Sheikh Muhammad bin Darwish(Mashuhuli kwa jina la Hul-e-Beiruti) katika “Asna’l-Talib” - wote wamesema kwambanyororo ya wasimuliaji wa hadith isemayo kwamba Abu Bakr na Umar ni mabwana wa

Mikesha ya Peshawar

115

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 115

Page 134: Mikesh A

wazee wa peponi humchanganya Yahya bin ‘Anbasa. Dhahabi anasema kwamba, “huyuYahya ni msimuliaji asiyeaminika, na Ibn Jan anashikilia kwamba Yahya alikuwa akitun-ga hadithi.”

Hivyo, mbali na hoja zangu zilizopita, hata Maulamaa wenu wanaiona kuwa ni hadithi yauwongo. Kwa kweli, inawezekana kwamba ilitungwa na wafuasi wa Abu Bakr, familia yaUmayya. Ili kuwadhalilisha Bani Hashim na kizazi cha Mtume, walikuwa wakitungaHadith sambamba na zile sahihi zilizosimuliwa kwa kuitukuza familia ya Mtume. Mtukama Abu Huraira, ili kupata mwanya wa kuingia kwenye kundi maalum la kiutawala laBani Umayya, mara kwa mara alighushi hadithi. Kwa sababu ya uadui wao kwa kizazi chaMtume, walitunga hadithi sambamba na zile zinazokubaliwa na Maulamaa wote wa Shi’ana Sunni.

Nawab: Ni Hadithi ipi inayokubaliwa katika suala hili?

HADITH YA KWAMBA HASAN NA HUSEIN WOTE NI MABWANA WA VIJANA WA PEPONI.

Muombezi: Hadith iliyo Sahihi ni kwamba Mtume alisema: “Hasan na Husein ni mab-wana wa vijana wa peponi, na baba yao ni mbora zaidi yao.” Maulamaa wengi wamesimu-lia Hadith hii. Kwa mfano Khatib Khawarizmi katika “Manaqib”, Mir Seyyid Ali AbuAbdu’r-Rahman Nisai katika “Khasa’is-il-Alawi” (hadithi tatu), Ibn Sabbagh Maliki kati-ka “Fusulu’l-Muhimma”, uk. 159, Sulaiman Balki Hanafi katika “Yanabiu’l-Mawadda”,Sura ya 54, Sibt Ibn Jauzi katika “Tadhkira”, akinukuu kutoka kwa Tirmidhi, Ibn Maja naImam Ahmad Hanbal, Sibt Ibn Jauzi katika uk. 133 wa “Tadhkiratul-Mawadda,” ImamAhmad bin Hanbal katika Musnad, Tirmidhi katika “Sunan” na Muhammad bin YusufuGanji Shafi’i katika “Kifayatu’l-Talib” Sura ya 97, wameandika hadithi hii na huyu wamwisho akaongeza kwamba, msimuliaji mkubwa wa hadith, Imam Abdu’l-Qasim Tibrani,vilevile ameiandika Hadith hii katika “Mu’ajamu’l-Kabir” na akaorodhesha wasimuliajiwake mbalimbali wote, kama vile Amir’l-Mu’minina Ali, Umar bin Khattab (Khalifa waPili), Hudhaifa Yamani, Abu Sa’id Khudri, Jabir bin Abduullah Ansari, Abu Huraira,Usama bin Zaid, na Abdullah bin Umar.

Baada ya hapo. Muhammad bin Yusufu amesema kwamba ni hadith sahihi isiyo na ubis-hani. Kutovunjika muala wa nyororo ya wasimuliaji wa hadith hii ni uthibitisho wa kuwakwake Sahihi. Aidha, Hafidh Abu Nu’aim Isfahani katika “Hilyatu’l-Auliya” Ibn Asakirkatika “Tarikh Kabir” Jz. 4, uk. 206, Hikam katika “Mustadrak”, Ibn Hajar Makki katika“Sawa’iq-Muhriqa” - kwa ufupi, Maulamaa wenu mashuhuri wote wamethibitisha usahi-hi wa hadith hii.

Mikesha ya Peshawar

116

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 116

Page 135: Mikesh A

Sheikh: Lakini hebu angalia hadith hii, ambayo usahihi wake hakuna atakayeukataa.Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Katika taifa lolote atakaloishi Abu Bakr, sio sahi-hi kwa mtu yoyote kufadhilishwa kuliko yeye.” Hadithi hii inathibitisha kwamba AbuBakr ni bora kwa Umma wote.

Muombezi: Nasikitika kwamba unakubali hadith bila udadisi hata kidogo. Hadith hii inge-likuwa imesimuliwa na Mtume, yeye mwenyewe angetenda kwa mujibu wake. Lakini ali-toa kipaumbele kwa Ali mbele ya macho ya Abu Bakr. Je, Abu Bakr hakuwepo wakati waMubahila pale ambapo Ali alichaguliwa kama nafsi ya Mtume? Katika vita vya Tabuk,wakati Abu Bakr mtu mzima na mzoefu zaidi alikuwepo, kwa nini Mtume akamfanyaHadhrat Ali naibu na Khalifa wake? Kwa nini Abu Bakr aliondolewa kwa amri ya Munguna kupendelewa Ali, wakati mtu mzima huyu alipotumwa kwenda Makka kulinganiaUislamu na kuzisoma Aya kutoka Sura ya tisa ya Qur’ani “Baraat (Tawba)?” Wakati AbuBakr alikuwepo kwa nini Mtume alimchukua Ali kwenda pamoja naye Makka kuvunjaMasanamu, akamfanya apande juu ya mabega yake, akimuamrisha avunje sanamu laHubal? Kwa nini wakati Abu Bakr alikuwepo Mtume akamtuma Ali kwenda kuhubirimiongoni mwa watu wa Yemen? Mwisho, kwa nini Mtume akamfanya Ali kuwa Mrithi naMakamu wake badala ya Abu Bakr?

Sheikh: Kuna hadithi yenye nguvu sana kutoka kwa Mtume ambayo haiwezi kupingwa.Imesimuliwa na Amr bin Aas ambaye amesema: “Siku moja nilimuuliza Mtume. ‘EweMtume wa Allah! Ni nani unayempenda sana miongoni mwa wanawake?’ Akajibu:‘Aisha.’ Nikasema: ‘Nani unayempenda sana miongoni mwa wanaume?’ Akajibu, ‘Babayake Aisha, Abu Bakr.’” Kwa vile Mtume amempendelea Abu Bakr juu ya watu wote, basialikuwa mbora kwa umma wote. Ukweli huu wenyewe, peke yake ni uthibitisho wenyekuvutia zaidi wa kuonyesha uhalali wa ukhalifa wa Abu Bakr.

MAJIBU KWA HADITH INAYODHANIWA KWAMBAABU BAKR NA AISHA WALIPENDELEWA

ZAIDI NA MTUME.

Muombezi: Mbali na ukweli kwamba hadithi hii imetungwa na wafuasi wa Abu Bakr,haipatani na Hadith Sahihi ambazo zinakubaliwa na Madhehebu zote. Hadith hii inapasakuangaliwa kwa mitazamo miwilii. Kutoka upande wa Ummu’l-Mu’minina Aisha nakutoka upande wa Abu Bakr. Mtume asingeweza kusema kwamba kati ya wanawake wotealimpenda Aisha zaidi. Nimekwisha sema tangu mwanzo kwamba hii inakinzana naHadithi nyingi Sahihi zilizomo kwenye vitabu vyote vya Sunni na Shia.

Sheikh: Ni hadithi zipi zinazopingana na riwaya hii?

Mikesha ya Peshawar

117

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 117

Page 136: Mikesh A

Muombezi: Kuna hadithi nyingi kuhusu Mama wa Maimamu; Fatima Zahra, zilizosimuli-wa na Maulamaa wenu wenyewe, ambazo zinapingana na maelezo yako. Hafidh Abu BakrBaihaqi katika Kitabu chake cha “Ta’rikh”, Hafidh Ibn Abdu’l-Bar katika “Isti’ab”, MirSeyyid Ali Hamadani katika “Mawaddatu’l-Qurba”, na wengine miongoni mwaMaulamaa wenu, wamesimulia kwamba Mtume mara kwa mara amesema: “Fatima nimbora wa wanawake wote na wa umma wangu.”.

Imam Ahmad bin Hanbal katika “Musnad”, na Hafidh Abu Bakr Shirazi katika “Nuzulu’l-Qur’ani Fi Ali” anasimulia kutoka kwa Muhammad bin Hanafiyya, na yeye kutoka kwaAmirul-Mu’minina Ali, Ibn Abdu’l-Bar katika “Isti’ab”, katika maelezo juu ya Fatima,yaliyosimuliwa katoka kwa Ummu’l-Mu’minina Khadija, kutoka kwa Abdu’l-Warith BinSufyani na kutoka kwa Abu Dawud na Anas Bin Malik, Sheikh Sulaimani Balkhi Hanafikatika Sura ya 55 ya “Yanabiu’l-Mawadda”, Mir Seyyid Ali Hamadani katika“Mawaddatu’l-Qurba”, Mawadda ya 13 - hawa na wasimuliaji wengine wa Hadithwameelezea kutoka kwa Anas Bin Malik kwamba, Mtume alisema: “Kuna wanawakewanne walioshinda wote wa ulimwengu: Mariam, bint wa Imran; Asiya, bint wa Mazahim;Khadija, bint wa Khalid; na Fatima, binti wa Muhammad”.

Khatib katika “Ta’rikh Baghdad;” anasimulia kwamba Mtume aliwatangaza wanawakehawa wanne kuwa ni wabora wa wanawake wote wa ulimwengu. Kisha akamtangazaFatuma kuwa ni mbora wao wote ulimwenguni na Akhera. Muhammad bin IsmailiBukhari katika “Sahihi” yake, na Imam Ahmad bin Hanbal katika “Musnad” yakewanasimulia kutoka kwa Aisha bint Abu Bakr kwamba Mtume alisema kumwambiaFatima: “Ewe Fatima, ninakupa habari njema kwamba Allah amekufanya mbora wawanawake wote duniani na amekufanya wewe kuwa ndiye mtakatifu zaidi wanawake wotewa Uislamu.”.

Vilevile Bukhari katika “Sahihi” yake, sehemu ya 4, uk. 64 Muslim katika Sahih yake Jz.2, katika Mlango wa “Fadhail za Fatima,” Hamidi katika “Jam’a Bainus-Sahihain” yake,Abdi katika “Jam’a Bainu’s-Sihahu-s-Sitta” hawa na wengine wengi wamesimulia kutokakwa Ummu’l-Mu’miniina Aisha kwamba Mtume alisema: “Ewe Fatima! hufurahi kwam-ba wewe ni Bibi wa wanawake wote wa ulimwengu?” Ibn Hajar Asqalani amenukuumaneno hayo hayo katika kitabu chake “Isaba” kuhusiana na maisha ya Fatima pamoja namaelezo: “Wewe ni mbora wa wanawake wote wa ulimwengu.” Vilevile, Bukhari,Muslim, Imam Ahmad Bin Hanbal, Tibrani na Sulaiman Balkhi Hanafi - wote wameiandi-ka hadith hii.

AYA JUU YA MAPENZI KWA FAMILIA YA MTUME.

Kwa nyongeza, Bukhari na Muslim; kila mmoja katika Sahih yake, Imam Tha’labi katikaTafsir yake, Imam Ahmad bin Hanbal katika “Musnad”, Tibrani katika Mu’jamu’l-Kabir,

Mikesha ya Peshawar

118

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 118

Page 137: Mikesh A

Sulaimani Balkh Hanafi katika “Yanabiu’l-Mawadda”, Sura ya 32 kutoka kwenye “Tafsir”ya Ibn Abi Hatim, “Manaqib” ya Hakim, Wasit na Wahidi, “Hilyatu’l-Auliya” cha HafidhAbu Nu’aim Isfahani na Fara’id ya Hamwaini, Ibn Hajar Makki katika “Sawa’iq,Muhriqa” chini ya Aya ya 14 kwa idhini ya Ahmad, Muhammad bin Talha Shafi’i katika“Mutalibu’s-Su’ul” uk. 8, Tabari katika Tafsir, Wahidi katika Asbabun-Nuzul, Ibn Maghazilkatika “Manaqib”, Muhibu’d-Din Tabari katika “Riyazu’n-Nuzra”, Mu’min Shablanji kati-ka “Nuru’l-Absar,” Zamakhshari katika “Tafsir”, Imam Fakhru’d-Din Razi katika “TafsirKabir”, Sayyid Abu Bakr Shahabu’d-Din Alawi katika “Rishfatu’s-Sadi min Bahr-e-Faza’il-e-Baniu’l-Nabi’i’l-Hadi” Sura ya 1 uk. 22 –23 kutoka “Tafsir” ya Baghawi,“Tafsir” ya Tha’labi, “Manaqib” ya Ahmad, “Tafsir Kabir” na “Ausat” vya Tibrani naSadi, Sheikh Abdullah bin Muhammad bin Amir Shabrawi Shafi’i katika “Al-Ittihaf” uk.5kutoka kwa Hakim, Tibrani na Ahmad, Jalalu’d-Din Suyuti katika “Ihya’u’-l-Mayyit”kutoka Tafsir za Ibn Mudhir, Ibn Abi Hatim, Ibn Mardawaih, na “Mu’jamu’l-Kabir” chaTibrani; na Ibn Abi Hatim na Hakim - kwa ufupi, wengi wa maulamaa wenu mashuhuri(ukiondoa wafusi wachache wa Bani Umayya na maadui wa Ahlul Bait), wamesimuliakutoka kwa Abdullah bin Abbas na wengine, kwamba wakati Aya ifuatayo ya Qur’aniTukufu ilipoteremshwa: “Sema: Siombi malipo yoyote kwa haya bali mapenzi kwajamaa zangu; na anayefanya wema tutamzidishia wema…” (42:23).

Kikundi cha Masahaba wakauliza, “Ewe Mtume wa Allah! ni nani hao jamaa zako ambaomapenzi kwao yamefanywa wajibu juu yetu na Allah?” Mtume Akajibu, “Ni Ali, Fatima,Hasan na Husein.” Baadhi ya Hadith zina maneno, “na watoto wao” yaani watoto waHasan na Husein.

KUKUBALI KWA SHAFI’I KWAMBA MAPENZI KWA AHLU BAIT NI WAJIBU.

Hata Ibn Hajar (mtu shupavu sana asiye mvumilivu) katika kitabu chake “Sawa’iq-Muhriqa” uk. 88, Hafidh Jamalu’d-Din Zarandi katika “Mi’raju’l-Rasul”, SheikhAbdullah Shabrawi katika “Kitabu’l-Ittihaf”, uk. 29, Muhammad Bin Ali Sabban wa Misirkatika “As’afu’r-Raghibin”, uk. 119, na wengine wamesimulia kutoka kwa ImamMuhammad Bin Idris Shafi’i, ambaye ni mmoja wa Maimamu wenu wanne na kiongoziwa kidini wa madhehebu ya Shafi’i, kwamba alikuwa akisema: “Enyi Ahli Bait wa Mtumewa Allah! Mapenzi kwenu yamefanywa wajibu kwetu na Allah kama ilivyokuja katikaQur’ani Tukufu (akirejea aya iliyotajwa hapo juu). Inatosha kwa hadhi yenu kwamba,kama mtu hatatoleeni salamu katika Sala, Sala yake haitakubaliwa.” Sasa ninakuuliza,inawezekana hadithi ya upande mmoja iliyoelezwa na wewe ikasimama dhidi ya Hadithzote hizi Sahihi ambazo zimekubaliwa na madhehebu yote ya Sunni na Shia?

Mikesha ya Peshawar

119

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 119

Page 138: Mikesh A

DHANA POTOFU KUHUSU MAPENZI YAMTUKUFU MTUME (S.A.W.W.) KWA AISHA.

Kuhusu mapenzi ya Mtume kwa Aisha, unafikiri kwamba kwa sababu ya matamanio yakeya kimwili alimpenda Aisha zaidi kuliko Fatima? Ni kweli kwamba Aisha alikuwa mkewake na kwa hiyo ni Ummu’l-Mu’minina (Mama wa Waumini) kama wake wengine waMtume. Lakini je, inakubalika kwamba alimpenda Aisha zaidi kuliko alivyompendaFatima, ambaye mapenzi kwake yamefanywa wajibu katika Qur’ani Tukufu, ambaye kwaajili yake iliteremshwa aya ya utakaso na ambaye alijumuishwa kwenye Mubahila? Hakikaunajua kwamba Mtume na warithi wake hawakushawishiwa na matamanio ya kimwili, nakwamba walimgeukia Allah peke yake. Kujifunga huku kulikuwa kwa makhususi kabisani halisi hasa kwa yeye mwisho wa Mitume. Aliwapenda wale ambao Allah aliwapenda.Je, yapasa sisi kuzikataa hadithi hizi sahihi ambazo zimekubaliwa na Maulamaa wa mad-hehebu zote, na ambazo zinakubaliana na Aya za Qur’ani Tukufu, au tuichukulie Hadithambayo umesimulia hivi punde tu kuwa ni ya kutungwa? Unadai kwamba Mtume ame-sema alimpenda Abu Bakr zaidi kuliko mtu mwingine yoyote. Lakini dai hili vilevile likombali na hadithi Sahihi nyingine nyingi ambazo zimesimuliwa na Maulamaa wenuwenyewe, ambao wamesisitiza kwamba, kwa mujibu wa Mtume, mtu aliyependwa sanaalikuwa ni Ali.

MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.) ALIMPENDELEA ALI KULIKO WATU WENGINE WOTE.

Sheikh Suleiman Balkhi katika “Yanabiu’l-Mawadda”, Sura ya 55, anasimulia kutoka kwaTirmidhi hadith ya Buraida kwamba, kwa mujibu wa Mtume, mwanamke aliyependwazaidi alikuwa ni Fatima na mwanaume aliyependwa zaidi sana alikuwa ni Ali. Muhammadbin Yusuf Ganji Shafi’i katika “Kifayatu’t-Talib” Sura ya 91, anaandika kutoka kwaUmmu’l-Mu’minina Aisha kwamba alisema: “Allah hakuumba mtu yeyote ambayeMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimpenda zaidi kuliko Ali.”

Anaongeza kusema kwamba, hii ndio hadith ambayo Ibn Jarir katika Manaqib yake na IbnAsakir Damishqi katika tarjuma yake wameisimulia kutoka kwa Ali. Muhyi’d-Din naImamu’l-Haramain Ahmad Bin Abdullah Shafi’i wanasimulia kutoka kwa Tirmidhi katika“Dhakha’iru’l-Uqba” kwamba watu walimuuliza Aisha ni mwanamke yupi aliyekuwaanapendwa zaidi na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), na yeye akajibu, “Fatima.” Kisha aliulizwakuhusu mwanaume aliyependwa zaidi na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na akajibu, “Ni mumewake, Ali bin Abu Talib.” Tena alisimulia kutoka “Mukhalis” cha Dhahabi, na HafidhAbu’l-Qasim Damishqi na yeye kutoka kwa Aisha kwamba alisema yeye Aisha: “Sijaonamwanaume aliyependwa zaidi na Mtume kuliko Ali, wala mwanamke aliyependwa zaidikama Fatima.” Kwa nyongeza, Sheikh huyu anasimulia kutoka kwa Hafidh Khajandi na

Mikesha ya Peshawar

120

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 120

Page 139: Mikesh A

yeye kutoka kwa Ma’azatu’l-Ghifariyya kwamba alisema: “Nilikwenda kuonana naMtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwenye nyumba ya Aisha ambapo Ali alikuwa nje ya nyumbahiyo. Mtume akamuambia Aisha, “Huyu (Ali) ndiye kipenzi mno kwangu na mwenyekuheshimika zaidi miongoni mwa wanaume wote, Tambua haki yake na mpe heshima kwacheo chake.”

Sheikh Abdullah bin Muhammad bin Amir Shabrawi Shafi’i ambaye ni mmoja waMaulamaa wenu mashuhuri, ameandika katika “Kitabu’l-Ittihaf bi Hubbi’l-Ashraf,” uk. 9,Sulaiman Balkhi katika “Yanabiu’l-Mawadda” na Muhammad bin Talha Shafi’i katikaMatalibu’s-Su’ul, uk. 6, kutoka kwa Tirmidhi, na yeye kutoka kwa Jami bin Umar - wotewamesimulia ifuatavyo: “Nilikwenda kwa Ummu’l-Mu’minina Aisha pamoja na shangaziyangu (dada yake baba), na tulimuuliza, ni nani ambaye alikuwa akipendwa zaidi naMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Yeye alijibu, ‘Miongoni mwa wanawake alikuwa ni Fatima namiongoni mwa wanaume, ni mumewe Ali bin Abi Talib.’” Hadithi hii hii imesimuliwa naMir Sayyid Ali Hamadani Shafi’i katika “Mawaddatu’l-Kurba” Mawadda ya 2, pamoja natofauti kidogo kwamba Jami bin Umar alisema kwamba alipokea jibu hili kutoka kwashangazi yake.

Halikadhalika, Khatib Khawarizmi amesimulia hadithi hii kutoka kwa Jami bin Umar, nayeye kutoka kwa Aisha mwishoni mwa sura ya 4 ya Manaqib yake, Ibn Hajar Makki, kati-ka “Sawa’iq Muhriqa”, kuelekea mwishoni mwa sura ya 2, baada ya kuandika hadithi 40juu ya fadhila za Ali, anasimulia hadith ifuatayo kutoka kwa Aisha: “Miongoni mwawanawake, Fatima alikuwa ndiye mwanamke aliyependwa zaidi na Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), na miongoni mwa wanaume ni mume wake.” Muhammad bin Talha Shafi’i,katika “Matalib-us-Su’ul”, uk. 7, baada ya ya kuandika Hadith mahususi mbali mbali juuya suala hili, anaelezea hitimisho lake mwenyewe katika maneno yafuatayo: “Hadith hizisahihi na zisizokifani huthibitisha kwamba Fatima alikuwa mwenye kupendwa zaidi naMtume kuliko wanawake wote. Ni mwenye cheo cha juu zaidi ya wanawake wote waPeponi na pia wa mbele zaidi juu ya wanawake wa Madina.” Hadithi hizi za kuaminika,kwa uwazi zinathibitisha kwamba katika viumbe wote, Ali na Fatima walikuwa ndiowenye kupendwa zaidi na Mtume. Uthibitisho mwingine wa Mtume kumpendekeza zaidiAli kuliko wanaume wengine ni ile “Hadith ya Ndege” (Hadith-e-Ta’ir). Hadithi hii ina-julikana sana na kukubaliwa sana kiasi kwamba hatuhitaji kutaja vyanzo vyake vyote.Nitataja tu baadhi ya hivyo.

HADITHI YA NDEGE ALIYEBANIKWA:Wengi wa ulamaa wenu, kama Bukhari, Muslim, Tirmidhi, Nisa’i, na Sijistani katika“Sahih” zao, Imam Ahmad bin Hanbali katika “Musnad” yake, Ibn Abi’l-Hadid katikaSherhe yake ya “Nahju’l-Balagha”, Ibn Sabbagh Maliki katika “Fusulu’l-Muhimma,” naSulaiman Balkhi Hanafi katika “Yanabiu’l-Mawadda,” Sura ya 8, na kundi la waandishiwengine waaminifu wameiandika “Hadith-e-Ta’ir” katika vitabu vyao. Wanathibitisha

Mikesha ya Peshawar

121

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 121

Page 140: Mikesh A

kwamba hadithi hii ilielezewa na wasimuliaji wa Hadith 24, kutoka kwa Anas bin Maliki.Ibn Sabbagh Maliki katika “Fusulu’l-Muhimma” anaandika kuhusu hadith hii katikamaneno haya: “Katika vitabu vya Hadith Sahihi na riwaya za kuaminika, Hadith-e-Ta’ir,kutoka kwa Anas bin Malik ni haipingiki.” Sibt Ibn Jauzi, katika uk. wa 23 wa kitabuchake “Tadhkira” na “Sunan” ya Tirmidhi na Mas’udi katika uk. wa 49 juzuu ya 2 ya“Muruju’dh-Dhahab”, wameangalia hususan katika sehemu ya mwisho ya hadithi hiiambayo ina dua ya Mtume na kukubaliwa kwake na Allah. Imam Abdu’r-Rahman Nisa’ikatika hadith ya tisa katika kitabu chake “Khasa’isu’l-Alawi” na Hafidh Bin Iqda naMuhammad bin Jarir Tabari, wote wamerejea kwenye nyororo isiyokatika ya wasimuliajina kwenye vyanzo sahihi vya hadith hii, wakisema kwamba ilisimuliwa na masahaba 35wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kutoka kwa Anas bin Malik.

Kwa ufupi, Maulamaa wenu wote mashuhuri wamethibitisha usahihi wa hadith hii nawameijumuisha kwenye vitabu vyao. Allama Sayyid Hamid Husain ameweka juzuu nzimaya kitabu chake “Abaqatu’l-Anwar” kwa ajili ya Hadithi hii tu. Alikusanya vyanzo vyotevya kuaminika kutoka kwa Maulamaa wenu mashuhuri na kwa wazi kabisa akathibitishausahihi wa hadith hii.

Kwa mujibu wa Hadith hii, siku moja mwanamke mmoja alileta zawadi ya ndege aliye-banikwa kwa Mtume. Kabla ya kumla, Mtume akiwa amenyoosha mikono yake juu, aka-muomba Allah hivi: “Ee Allah! Kati ya viumbe wako wote, mlete mtu ambaye ni mpen-zi zaidi kwako na kwangu, ili kwamba ale pamoja nami ndege huyu wa kubanikwa.”Ndipo Ali akaingia ndani akala ndege yule wa kubanikwa pamoja na Mtukufu Mtume(s.a.w.w.).

Baadhi ya vitabu vyenu, kama vile “Fusulu’l-Muhimma” cha Malik, “Ta’rikh” cha HafidhNishapuri, “Kifayatu’t-Talib” cha Ganji Shafi’i na “Musnad” ya Ahmad Bin Hanbal, n.k.ambamo Hadith hii imesimuliwa kutoka kwa Anas bin Malik, vimeandikwa kwamba Anasbin Malik alisema “Mtume alikuwa bado hajamaliza dua yake wakati Ali alipoingia nyum-bani pale, lakini nikamficha jambo lile. Wakati Ali alipoingiza mguu wake mara ya tatu,Mtume akiniamrisha nimuache aingie ndani. Wakati Ali alipoingia Mtume akasema:“Baraka za Allah ziwe juu yako; ni kitu gani kimekuleta kuja kwangu? Ali akamuelezakwamba alikuja kwake mara tatu lakini aliruhusiwa kuingia safari hii tu. Mtume akani-uliza ni kitu gani kimenifanya niwe hivyo, na nikajibu: “Ukweli ni kwamba, niliposikiadua yako, nilitamani kwamba heshima hii ingekwenda kwa mmoja wa kabila langu.” Sasanakuulizeni enyi waungwana iwapo dua ya Mtukufu Mtume ilikubaliwa au kukataliwa naAllah.

Sheikh: Ni wazi Allah aliikubali kwa vile aliahidi katika Qur’ani tukufu kwambaangekubali dua ya Mtume. Aidha, Allah alijua kwamba Mtume asingeweza kuomba duaisiyofaa. Hivyo Allah aliyakubali maombi yake kila wakati. Muombezi: Allah alimpeleka Ali, mtu anayestahiki zaidi katika viumbe Wake, kwa

Mikesha ya Peshawar

122

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 122

Page 141: Mikesh A

Mtume. Wanachuoni wenu wenyewe wamethibitisha tukio hili. Muhammad bin TalhaShafi’i katika Kitabu chake “ Matalib-Us-Su’lu”, Sura ya 1, sehemu ya 5, uk. wa 15, ame-thibitisha cheo cha juu cha Ali kama mwenye kupendwa zaidi na Allah na Mtume juu yamsingi wa “Hadith ya Bendera (Riyat)” na “Hadith ya Ndege.” Katika kuhusiana na hiloanasema: “Nia ya Mtume ilikuwa kwamba watu waelewe cheocha kipekee na cha hali yajuu cha Ali, ambaye alifikia upeo wa juu zaidi wa kuweza kufikiwa na wacha Mungu.”Vilevile Hafidh na Muhammad bin Yusufu Ganji Shafi’i (aliyekufa 658 A.H.) anaandikakatika kitabu chake, Kifayatu’t-Talib Sura ya 33, akizungumzia fadhila za Ali ibn Abi Talib,kwamba hadith hii kwa uwazi kabisa inathibitisha kwamba Ali alikuwa kipenzi sana kati-ka viumbe kwa Allah. Baadae anasema kwamba Hakim Abu Abdullah Hafidh Nishapuriameisimulia hii “Hadith-e-Ta’ir” ya Anas kutoka wasimuliaji 86 na vile vile akaandika namajina ya wasimuliaji wote 86 (Tazama Kifayatu’t-Talib, Sura ya 32). Ile hadith ambayoumenukuu wewe, ukiilinganisha na Hadith zilizosimuliwa na Maulamaa wenu wa darajaza juu (isipokuwa washupavu wakorofi wachache), haiwezi kutegemewa na ingekataliwana watu wenye elimu.

Sheikh: Nina wasiwasi kwamba umeamua kwa akili yako kutokubali tunayo yasema.

Muombezi: Unawezaje kuhusisha chuki kama hizo kwangu? Unaweza ukatoa mfanommoja tu ambapo umetoa hoja yenye nguvu na mimi bila sababu nikaikataa? Ninaapakwamba katika mijadala ya kidini na Mayahudi, Wakristo, Wahindu na Wabrahmin naMabahai wasio na elimu wa Iran, Makadian wa India na wayakinifu (wenye kuamini vituvyenye kuonekana, kugusika na kuhisiwa tu) – katika hali zote hizi mimi sijawahi kufanyaukaidi katika hoja zangu. Kamwe sijawahi kuwa mbishi kwa makafir hawa – vipi nitawezakufanya hivyo kwenu ninyi, ndugu zangu katika Uislamu?

Sheikh: Tumesoma maelezo ya mjadala wako na Wahindu na Wabrahmin wa Lahore kati-ka magazeti. Tulivutiwa mno na maelezo hayo. Ingawa tulikuwa hatujakutana na wewe,tulijisikia tumeungana na wewe kimaadili. Natumaini kwamba Allah atakuongoza wewena sisi kwenye njia iliyonyooka. Tunaamini kwamba kama kuna wasiwasi wowote kuhusuHadith fulani, inatupasa, kwa mujibu wa ushauri wako, kuirejesha kwenye Qur’aniTukufu. Hata hivyo, kama unahoji ubora wa khalifa Abu Bakr na muundo wa ukhalifa wamakhalifa wakubwa, na kama utaziona hadith kuwa ni zenye mashaka, je, utasita vilevilekuamini hoja ambayo imetegemea juu ya Qur’ani Tukufu?

Muombezi: Allah asitujaalie siku tutakayotilia shaka ukweli uliotegemea juu ya Qur’aniTukufu au Hadith Sahihi. Walakini, wakati tutakapokuwa tumeingia kwenye mjadala wakidini na Taifa lolote au Jumuiyya, wao vilevile wanahoji kutoka kwenye Aya za Qur’aniTukufu kuthibitisha mtazamo wao. Kwa vile Aya za Qur’ani zina daraja mbalimbali zamaana, Mtume wa mwisho, ili kuwalinda watu dhidi ya kutoelewana, hakuiacha Qur’anikama chanzo pekee tu cha mwongozo. Kama inavyokubaliwa na madhehebu zote (Shia na

Mikesha ya Peshawar

123

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 123

Page 142: Mikesh A

Sunni), yeye mwenyewe (Mtume) alisema: “Nawaachieni vitu viwili vizito: “Kitabu chaAllah (Qur’ani) na kizazi changu. Kama mtashikamana na viwili hivi, kamwe, hamtapoteabaada yangu. Hakika viwili hivi kamwe havitatengana mpaka vinifikie kwenye chemchemya Kauthar.”

Kwa sababu hii, maana ya ufunuo wa Qur’ani Tukufu yapasa itafutwe ama kutoka kwaMtume, fasir mkuu wa Qur’ani Tukufu, au baada yake, kutoka kwa wale walio sawa naQur’ani Tukufu, dhuria watukufu wa Mtume. Qur’ani Tukufu inasema: “Basi waulizeniwenye kumbukumbu ikiwa ninyi hamjui.” (21:7).

“WATU WENYE KUMBUKUMBU” NI AHLI MUHAMMAD DHURIA WA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.).

Ahlu’dh-Dhikr maana yake watu wenye kumbukumbu, ambao ni Ali na Maimamuwatukufu, kizazi chake, ambao wako sawa na Qur’ani. Sheikh Sulaiman Balkhi Hanafikatika kitabu chake “Yanabiu’l-Mawada”, Sura ya 39, akinukuu kutoka “Tafsir-e-Kasfu’l-Bayan” ya Imam Tha’labi, anasimulia kutoka kwa Jabir Ibn Abdullah Ansari, ambaye ame-sema: “Ali amesema: ‘Sisi dhuria wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ni watu wa kumbukum-bu.’” Kwa vile “Dhikr, Kumbukumbu”, ni moja ya majina ya Qur’ani Tukufu, familia hiiinajumuisha na watu wa Qur’ani.

Kama ilivyoelezwa na Maulamaa wa kwenu na wa kwetu, Ali amesema: “Niulizeni kituchochote mnachotaka kabla sijakuacheni. Niulizeni kuhusu Kitabu kitukufu (Qur’ani) kwavile ninajua kuhusu kila Aya ndani yake – iwe imeteremshwa wakati wa usiku au wakatiwa mchana, katika tambarare au katika milima. Kwa jina la Allah, hakuna Aya ya Qur’aniTukufu iliyoteremshwa bali najua iliteremshwa kuhusu nini. Allah (S.w.t.) amenijaaliamimi kuwa na ulimi fasaha na akili yenye busara.” Kwa hiyo, kutegemeza hoja juu ya Ayaza Qur’ani tukufu, yapasa iwe kwa mujibu na maana yake sahihi na tafsir iliyotolewa nawale wenye uwezo wa kutoa tafsir ya kuaminika. Vinginevyo, kila mtu atatoa tafsir yakeya Aya za Qur’ani, kwa mujibu wa upeo wa elimu yake na imani, na hii itaishia tu kwenyehitilafu za maoni na mgongano wa mawazo. Pamoja na hoja hii katika akili, naombausome hizo Aya zako.

AYA ZA QUR’ANI TUKUFU KUHUSU KUCHAGULIWAKWA MAKHALIFA WANNE, NA MAJIBU.

Sheikh: Allah anasema kwa uwazi katika Qur’ani Tukufu:

Mikesha ya Peshawar

124

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 124

Page 143: Mikesh A

“Muhammad ni Mtume wa Allah, na walio pamoja naye ni wenye nyoyo thabitimbele ya makafiri, na wenye kuhurumiana wao kwa wao, utawaona wakiinama kwakurukuu na kusujudu (katika Sala), wakitafuta fadhila za Allah na radhi (yake).Alama zao ni katika nyuso zao kwa taathira (athari) ya kusujudu…” (48:29).

Kwanza Aya hii huthibitisha ubora wa Abu Bakr. Pili huonyesha nafasi za makhailfa wanne kinyume na inavyodaiwa na madhehebu yaShi’a kwamba Ali alikuwa Khalifa wa kwanza. Aya hii bila ubishani inaelezea kwambaAli alikuwa Khalifa wa nne.

Muombezi: Hakika Aya hii haitoi dalili yoyote ya wazi kuhusu namna ya kuchaguliwamakhalifa au kuhusu ubora wa Abu Bakr. Kwa hiyo, lazima uonyeshe ni sehemu ipi kati-ka Aya hii ambapo maana hiyo imefichwa.

Sheikh: Mwanzoni mwa Aya hii, usemi (usemao) “na walio pamoja naye” huashiria kwayule mtu maarufu ambaye alikuwa na Mtume ‘usiku wa pango.’

Utaratibu wa kupokezana nafasi ya ukhalifa pia iko wazi katika aya hii. “Walio pamojanaye” ina maana ya Abu Bakr, ambaye alifuatana na Mtume kwenye Pango la Thawr kati-ka usiku wa Hijra. Usemi, “wenye nyoyo thabiti mbele ya makafir” maana yake ni UmarBin Khattab, ambaye alikuwa mkali sana kwa makafir. Usemi, “wenye kuhurumiana waokwa wao” huashiria kwa Uthman bin Affan, ambaye alikuwa mpole sana.” Usemi, “alamazao ni katika nyuso zao kwa athari ya kusujudu” huashiria kwa Ali. Ni wazi kwamba Alini Khalifa wa nne, sio wa kwanza, kwa vile Allah amemtaja katika sehemu ya nne.

Muombezi: Nashangaa vipi nitaweza kujibu ili kwamba nisije nikalaumiwa kwa kujipen-delea mwenyewe. Hakuna tafsir za Qur’ani, ukichukua pamoja na zile za maulamaa wenuwakubwa, ambazo zimetafsiri maneno haya kama ulivyofasili wewe. Aya hii ingekuwainahusu utaratibu wa Ukhalifa, siku ya kwanza baada ya kifo cha Mtume, wakati Ali, BaniHashim, na masahaba mashuhuri wa Mtume walipoweka vipingamizi na wakakataa kulakiapo cha utii kwa Khalifa, basi hoja zisizo za msingi zisingetolewa pale. Wangewezakutoa jibu la kunyamazisha kwa kusoma aya hii tukufu pale pale. Kwa hiyo, ni wazikwamba tafsiri yako ni mawazo yaliyokuja baadaye. Hakuna yeyote katika wafasiriwakubwa wa madhehebu yenu, kama Tabari, Imam Tha’labi, Fadhil Nishapuri, Jalalu’d-Din Suyuti, Qadhi Baihawi, Jarullah Zamakhshari, Imam Fakhru’d-Din Radhi, au wengineambao wameitafsir hivyo. Nashindwa kuelewa jinsi unavyoipata maana hii. Wapi nakutoka kwa nani maana hii ilitolewa? Aya hii, kielimu na mtazamo wa kifundi, vilevilevinakwenda kinyuma na unavyosema.

Sheikh: Sikutarajia kwamba utakuwa mpinzani hivyo kwenye aya iliyo na maana ya wazikiasi hicho. Hakika kama una lolote la kusema dhidi ya hivi unaweza ukatueleza tujue ili

Mikesha ya Peshawar

125

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 125

Page 144: Mikesh A

kwamba ukweli halisi uweze kuthibitishwa.

Muombezi: Ukichukulia ujenzi wa kinahau wa aya hii, kama tutaitafsiri maana yake kamaulivyofanya wewe, itakuwa na maana kwamba ama Muhammad ni Abu Bakr, Umar,Uthman na Ali au kwamba Abu Bakr, Umar, Uthman na Ali ni Muhammad! Hata wana-funzi wanaoanza wanajua kwamba aina hii ya tafsir ya kinahau sio sahihi. Mbali na hayo,kama aya hii inaashiria kwa Makhalifa wanne, kungekuwa na kiungo “na” kupatanishamaneno ili kupata hiyo maana yako, lakini haiko hivyo. Wafasiri wote wa madhehebuyenu wenyewe wanasema kwamba aya hii inaashiria kwa waumini wote. Aidha, sifa zili-zotajwa katika aya hii kwa wazi kabisa zinaashiria kwa mtu mmoja tu, ambaye alikaa naMtume kuazia mwanzo kabisa na sio watu wanne. Na kama tukisema mtu huyu mmojaalikuwa Amir’l-Mu’minina Ali, itakuwa sawasawa zaidi kulingana na akili za kuzaliwa nahadith kuliko kutaja wengine wowote.

HOJA KUTOKANA NA “AYA YA PANGO” NA MAJIBU YAKE.

Sheikh: Ina shangaza kwamba unadai ati hujiingizi katika hoja zenye kupotosha, ingawamaoni yako ni ya kupotosha hasa. Allah anasema katika Qur’ani tukufu: “Kama hamtam-nusuru, basi Allah alimnusuru walipomtoa wale waliokufuru, yeye akiwa wa piliwake walipokuwa wote katika pango alipomwambia Sahibu y ake. ‘Usihuzunike kwahakika Allah yu pamoja nasi, Allah akamteremshia utulivu wake na akamnusurukwa majeshi msiyoyaona…’” (9: 40).

Kwanza, Aya hii inaunga mkono aya iliyopita na huthibitisha kwamba usemi “na waliopamoja naye”, huashiria kwa Abu Bakr ambaye alikuwa na Mtume katika Pango katikausiku wa Hijra, Pili, ukweli kwamba alikuwa na Mtukufu Mtume, yenyewe ni uthibitishomkubwa wa fadhila na ubora wa Abu Bakr kwa umma wote. Mtume aliweza kutabirikwamba Abu Bakr alikuwa Mrithi wake, na kwamba kuwepo kwa Khalifa baada yake nimuhimu. Kwa hiyo, alitambua kwamba ilimpasa kumhifadhi Abu Bakr kama ambavyoangejihifadhi yeye mwenyewe. Hivyo, alimchukua kuwa naye ili kwamba Abu Bakr asijeakakamatwa na maadui. Huduma kama hii haijafanywa kwa Mwislamu mwingine yeyote.Hii inathibitisha wazi haki yake ya ukhalifa kuliko wengine.

Muombezi: Kama ungeangalia Aya hii kwa busara zaidi, ungeona kwamba uamuzi wakoni wa makosa.

Sheikh: Unaweza kutoa sababu dhidi ya hitimisho ambalo tumelitoa?

Mikesha ya Peshawar

126

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 126

Page 145: Mikesh A

Mombezi: Ningekuomba uliache suala hili kwa muda huu kwa sababu maneno huzaamaneno. Baadhi ya watu wenye chuki wanaweza wakafasiri maoni yetu kwa nia mbaya.Sitaki kuchochea chuki. Mtu anaweza akasema tunataka kuwavunjia heshima makhalifa,ingawa cheo cha kila mmoja kimewekwa, na sio muhimu kufanya tafsir zisizo na maana.

Sheikh: Unakuwa mkwepaji. Elewa kwamba hoja yenye maana haizai chuki; huondoakutokuelewana.

Muombezi: Kwa vile umetumia neno “Mkwepaji,” ninalazimika kujibu, ili uweze kujuakwamba silikwepi suala hili. Nilitaka kudumisha utaratibu wa mjadala wetu. Natumainikwamba hutaona makosa kwa upande wangu. Umetoa utetezi wa kizembe sana kwambaMtume alijua kwamba Abu Bakr atakuwa Khalifa wake baada yake. Kwahiyo, ilikuwamuhimu kwake kuokoa maisha yake, na hivyo akamchukuwa ili awe pamoja naye.

UKWELI KUHUSU ABU BAKR KUFUATANA

NA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.).

Majibu kwa maelezo yako ni rahisi. Kama Abu Bakr angekuwa Khalifa pekee baada yaMtume, maoni kama hayo yangewezekana, lakini mnaamini katika makhalifa wanne.Kama hoja yako hii ni sahihi, na kama ilikuwa muhimu kwa Mtume kulinda usalama waKhalifa, basi Mtume angeondoka nao wote wanne kutoka mjini Makka. Kwa nini aliwezakuwaacha wale watatu, mmoja wao katika hali ya hatari ya kulala katika kitanda chaMtume, ambavyo ilikuwa ni hatari katika usiku ule wakati maadui zake walikuwawamekusanyika ili kumuua? Kwa mujibu wa Tabari (Sehemu ya tatu ya “Tarikh”) AbuBakr hakuwa na habari za harakati za Mtume za kuondoka Makka. Wakati alipokwendakwa Ali na kumuuliza kuhusu Mtume, alimueleza kwamba Mtume amekwenda kule pan-goni. Ali akamwambia kwamba kama alikuwa na shughuli yoyote naye, alipaswa amkim-bilie. Abu Bakr alikimbia na akamkuta Mtume njiani. Na hivyo akafuatana naye. Mtiririkohuu wa matukio unaonyesha kwamba Mtume hakukusudia kumchuka Abu Bakr kuwanaye. Aliungana naye katikati ya njia bila ruhusa ya Mtume.

Kwa mujibu wa taarifa nyingine, Abu Bakr alichukuliwa katika safari hiyo kwa kuhofiaasije akasababisha matatizo na kutoa habari kwa maadui. Maulamaa wenu wenyewewameukiri ukweli huu. Kwa mfano, Sheikh Abu’l-Qasim bin Sabbagh, ambaye ni mmojakatika maulamaa wenu anayejulikana sana wa madhehebu yenu, ankiandika katika kitabuchake Al-Nur-Wa’l-Burhan kuhusu maisha ya Mtume, anasimulia kutoka kwa Muhammadbin Ishaq, na yeye kutoka kwa Hasan bin Thabit Ansari, kwamba alikwenda Makkakufanya Umra kabla ya kuhama kwa Mtume. Aliona kwamba Maquraishi makafiriwalikuwa wamewaandama masahaba wa Mtume. Mtume akamuamrisha Ali kulala katika

Mikesha ya Peshawar

127

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 127

Page 146: Mikesh A

kitanda chake, na kwa kuogopa kwamba Abu Bakr angetoa siri hii kwa makafiri, Mtumeakamchukua awe pamoja naye.

Mwisho, ingelikuwa vizuri kama ungeonyesha ni ushahidi gani uliopo katika Aya hii,unaoonyesha ubora wa Abu Bakr au iwapo kufuatana na Mtume katika safari ni uthibitishokwamba mtu anayo sifa ya Ukhalifa.

Sheikh: Ushahidi upo. Kwanza, usuhuba wa Mtume na kwamba, Allah amemuita saha-ba wa Mtume, yenyewe ni sifa tosha. Pili, Mtume mwenyewe amesema: “Hakika Allahyu pamoja nasi.” Tatu, uteremshwaji wa utulivu juu yake kutoka kwa Allah, kama ilivy-otajwa katika Aya hii, ni uthibitisho wa kuvutia zaidi wa ubora wa Abu Bakr. Kwa hiyo,nukta zote hizi zikiwekwa pamoja huonyesha ubora wake kwa wengine kuhusiana naukhalifa.

Muombezi: Hakuna anayesita kuikubali nafasi ya Abu Bakr, Mwislam mtu mzima, mmojawa masahaba mashuhuri na baba wa mke wa Mtume. Hata hivyo, sababu hizi hazithibitishiubora wake katika ukhalifa. Kama utajaribu kuthibitisha nukta yako hii kwa maelezo hayambele ya watu waadilifu wasio na upendeleo, utakuwa unavutia lawama nzito. Watasemakwamba usuhuba na watu wema sio uthibitisho wa sifa au ubora. Kwa mfano, mara kwamara tunaona kwamba watu wabaya hufuatana na watu wema, na kundi la makafiri hufu-atana na Waislamu katika safari. Pengine umesahau Qur’ani Tukufu inavyosema kuhusuMtume Yusufu ambaye amesema:

“Enyi wafungwa sahibu wenzangu wawili! Je! waungu wengi wanaofarikiana ndiobora au Mwenyezi Mungu, Mmoja Mwenye nguvu?” (12:39).

Kuhusu Aya hii, wafasiri wamesema kwamba wakati Yusufu alipopelekwa jela, siku hiyohiyo mpishi wa Mfalme na mtunza mvinyo ambao wote walikuwa makafiri, vilevile wali-tiwa jela pamoja naye. Kwa muda wa miaka mitano watu hawa watatu (waumini namakafiri kwa pamoja ) waliishi pamoja kama maswahiba. Wakati akiwahubiria, Yusufu ali-waita sahiba zangu. Je, usuhuba huu wa Mtume Yusufu ulifanya hata mara moja hali yakuwaona makafiri hawa wawili kama watu bora au wenye heshima? Je, usuhuba wao naMtume Yusufu ulileta mabadiliko katika Iman zao? Maandishi ya Wafasiri na wanahisto-ria yanatuambia kwamba, baada ya miaka mitano ya usahaba, waliachana kila mmoja kati-ka hali ile ile.Aya nyingine ya Qur’ani Tukufu inasema:

“Sahiba wake akamuambia na hali ya kuwa anajibishana naye: Je! Unamkufuru,Yule aliyekuumba kwa udongo, kisha kwa tone la manii, kisha akakufanya mtu

Mikesha ya Peshawar

128

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 128

Page 147: Mikesh A

kamili?” (18:37)

Wafasiri wanakubaliana kwamba aya hii inazungumzia ndugu wawili, mmoja alikuwamuumini, ambaye jina lake lilikuwa Yahuda. Mwingine alikuwa kafir jina lake lilikuwaBara’tus. Jambo hili limeelezewa vilevile katika “Tafsir-e-Kabir” na Imam Fakhru’d-DinRazi, ambaye ni mmoja katika Maulamaa wenu. Ndugu hawa wawili walizungumzapamoja, maelezo ambayo hayataweza kutolewa hapa. Hata hivyo Allah amewaita wotewawili (Muumin na Kafiri). “Masahibu.” Je, yule kafiri alipata faida kutokana na usuhu-ba wake na Muumini? Kwa hakika hapana. Hivyo usuhuba peke yake sio msingi wa mtukudaiwa kuwa ni bora. Kuna mifano mingi yenye kuunga mkono maoni haya.

MANENO YA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.) “ALLAH YUKOPAMOJA NASI” SIO UTHIBITISHO WA UBORA

WA ABU BAKR.Umesema pia kwamba kwa vile Mtume alimuambia Abu Bakr, “Allah yuko pamoja nasi.”kwamba huo ni uthibitisho wa ubora wa Abu Bakr na haki yake ya Ukhalifa! Wawezaukayafikiria tena maoni yako. Watu wanaweza wakakuuliza, kwa mfano, “Je, Allahanakuwa na waumini na mawalii tu, na sio na makafir?” Unajua sehemu yoyote ambayoAllah hayupo? Je, hivi Allah hayupo na kila mtu? Chukulia kwamba muumini na kafiriwako pamoja katika mkusanyiko. Qur’ani inasema:

“Je! Huoni kwamba Allah anajua vilivyomo mbinguni na vilivyomo ardhini?Haupatikani mnong’ono wa watu watatu ila yeye huwa ni wanne wao, wala watanoila yeye huwa ni wa Sita wao, wala wachache kuliko hao wala zaidi ila Yeye huwapamoja nao, popote walipo…”(58:7).

Kwa mujibu aya hii na wa akili ya kawaida, Allah yupo na kila mtu.

Sheikh: Maelezo “Allah yupo pamoja nasi” Yana maana kwamba walikuwa wapenzimno wa Allah kwa sababu wamesafiri katika njia ya Allah kwa madhumuni ya kuhifadhidini yake. Baraka za Allah zilikuwa pamoja nao.

Muombezi: Lakini hakika maelezo haya hayathibitishi kwamba mtu anazo baraka za

Mikesha ya Peshawar

129

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 129

Page 148: Mikesh A

milele. Allah Mwenye nguvu hutizama matendo ya watu. Imetokea mara kwa mara kwam-ba wakati fulani, watu walifanya matendo mema na wakawa ni wenye kupokea rehemakutoka kwa Allah. Baadae wakamuasi Allah na ikawapata adhabu ya Mungu. Ibilis kamaunavyojua, alimuabudu Allah kwa maelfu ya miaka na akapata upole kutoka Kwake. Hatahivyo mara tu alipoasi amri yake, akalaaniwa. Qur’ani Tukufu inasema:

“Akasema: Basi toka humo, na hali ya kuwa wewe ni mwenye kufukuzwa… Na kwayakini itakuwa laana juu yako mpaka Siku ya Malipo.” (15:34-35).

Kumradhi, hakuna madhara katika kutoa mifano, madhumuni yangu ni kufafanua hiinukta. Historia imejaa mifano mingi ya wale ambao walikuwa karibu na Allah, lakiniambao baada ya kujaribiwa, walilaaniwa. Bal’am Bin Ba’ur, kwa mfano, wa hirimu mojana Musa, alitokea kuwa karibu sana na Allah kiasi kwamba Allah alimfunulia lile Ism-e-A’dhim (jina tukufu la Allah, ambalo kupitia hilo chochote kinachoombwa kinakubaliwaupesi sana na Allah). Alimuomba Allah kwa njia ya Ism-e-A’dhim na akasababisha shidaikampata Musa katika Bonde la Tia! Lakini wakati wa majaribio, Bal’am alizidiwa nguvuna mahaba ya vitu vya ulimwengu. Alimfuata Ibilis na akalaaniwa. Wafasiri wametoamaelezo kamili ya tukio hili. Imam Fakhru’d-Din Razi katika Tafsir yake sehemu ya 4, uk.463, ameelezea habari hii kutoka kwa Ibn Abbas, Ibn Mas’ud, na Mujahid. Allah katikaQur’ani Tukufu anatueleza hivi: “Na wasomee habari za yule tuliyempa Aya zetu kishaakajivuna nazo. Na shetani akamuandama na akawa miongoni mwa waliopotea.”

BARSISA ABID.

Au angalia la Barsisa Abid, ambaye mwanzoni alimwabudu Allah kiasi kwamba akakuwaMustajabu’d-da’wa (mtu ambaye maombi yake hukubaliwa). Hata hivyo, wakati muda wamajaribio ulipofika, alishindwa.

Akipotezwa na Shetani, akafanya zinaa na msichana, akanyongwa, na akafa kafiri, Qur’aniinamzungumzia katika maneno haya:

“Ni kama shetani, anapomwambia mtu: kufuru; na anapokufuru akamwambia:Mimi si pamoja na wewe, hakika namuogopa Allah, Mola wa walimwengu. Basimwisho wa wote wawili hao ikawa waingie motoni wakae humo, na hiyo ndiyo jazaya madhalimu.” (59:16-17).

Mikesha ya Peshawar

130

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 130

Page 149: Mikesh A

Hivyo kama mtu aliwahi kufanya matendo mema wakati fulani, haina maana kwambamwisho wake utakuwa mzuri. Ni kwa sababu hii kwamba tunaelekezwa kusema katikamaombi yetu: “Matendo yetu na yawe na mwisho mwema.”

Sheikh: Kwa hakika sikutarajia mtu mwenye heshima kama wewe kutoa mfano washetani, Bal’am Ba’ur na Barsisa.

Muombezi: Samahani, nimekwishaeleza kwamba hakuna madhara katika kutoka mifano.Kwa kweli ni lazima tuitoe katika mijadala ya kielimu ili kuthibitisha ukweli. Allah aweshahidi yangu: Kamwe sikukusudia kumtweza yeyote kwa kutoa mifano hii. Madhumuniyangu ni kuthibitisha hoja yangu tu.

Sheikh: Aya hii kwa wazi kabisa huthibitisha ubora wa Abu Bakr kwa sababu inasema:“Hivyo Allah akamteremshia utulivu juu yake….” (9:40). Kijina hapa humuashiriaAbu Bakr, ambacho huthibitisha ubora wake.

Muombezi: Umeielewa vibaya, kijina kilichotumiwa baada ya “Sakina” (utulivu)huashiria kwa Mtume. Utulivu uliteremshwa kwake na sio kwa Abu Bakr, kama ilivyodhahiri katika sentensi inayofuatilia ambapo Allah anasema: “…na akamnusuru kwamajeshi msiyoyaona…” (9:40) ukweli ni kwamba majeshi ya Malaika wasioonekanayalikuwa kwa ajili ya kumsaidia Mtume, sio Abu Bakr.

Sheikh: Nakubali kwamba msaada wa Mungu ulikuwa kwa ajili ya Mtume, lakini AbuBakr akiwa pamoja na Mtume, hakuwa bila rehma.

KUTEREMSHWA KWA UTULIVU KULIKUWAKWA AJILI YA MTUME WA ALLAH.

Muombezi: Kama upewaji wa rehma za Mungu umeashiria kwa watu wawili, nahau yaKiarabu ingehitaji kwamba vijina vilivyotumika vingehusisha watu wawili katika misemoyote ya Aya hii. Lakini vijina hivi vinaashiria kwa mtu mmoja, Mtume, na rehma za Allahzilikuwa kwa ajili yake. Kama kupitia kwake yeye, upewaji wa rehma ungekusudiwavilevile kwa ajili ya wengine, majina yao yangetajwa. Hivyo, uteremshaji wa utulivu kati-ka aya hii ni kwa ajili ya Mtume peke yake.

Sheikh: Mtume wa Allah alikuwa hana haja ya kupewa utulivu wa Mungu. Alikuwa hauhi-taji kwa sababu alikuwa amehakikishiwa rahma za Mungu. Hivyo upewaji wa utulivuulikuwa kwa ajili ya Abu Bakr.

Mikesha ya Peshawar

131

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 131

Page 150: Mikesh A

Muombezi: Kwa misingi gani wewe unasema kwamba Mtume alikuwa hategemei upewa-ji wa rehma za Mungu? Hakuna mtu - awe Mtume Imam au Walii ambaye anajitegemeakwa (upewaji wa) rehma za Mungu. Pengine umesahau Qur’ani Tukufu inasema ninikuhusu tukio la Hunain. “Kisha Allah akateremsha utulivu wake juu ya Mtume wakena juu ya waliomini…” (9:26). Kitu hicho hicho kimesemwa katika Sura ya 48 (Fat’h)aya ya 26, ya Qur’ani Tukufu. Waumini wamejumuishwa baada ya Mtume katika aya hii,kama vile katika “aya ya Pango.” Kama Abu Bakr angekuwa mwenye kustahiki kupewautulivu, ima kijina kwa ajili ya watu wawili kingetumika, au jina lake lingetajwa mbalim-bali.

Jambo hili liko wazi kabisa kiasi kwamba Maulamaa wenu wenyewe wanakiri kwambakijina kilichofungamanishwa na utulivu hakiashirii kwa Abu Bakr. Unaweza kuitazama“Naqzu’l-Uthmaniyya” kilichoandikwa na Sheikh Abu Ja’far Muhammad bin AbdullahIskafi, ambaye ni mmoja wa Maulamaa mashuhuri na masheikh wa Mu’tazil. Mwanachuohuyu anaukana moja kwa moja uongo wa Abu Uthman Jahiz. Ibn Abi’l-Hadid vilevileameandika baadhi ya majibu hayo katika Sharh yake ya Nahju’l-Balagha Jz. 3, uk. 253-281. Kwa nyongeza, kuna usemi katika Aya hii, ambao maana yake halisi ni kinyume nahoja yako. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimuambia Abu Bakr: “Usihuzunike.” Usemi huuunaonyesha Abu Bakr alikuwa muoga. Je, woga huu ulikuwa unafaa kusifiwa au hapana?Kama ingelikuwa hivyo, Mtume asingemzuia yeyote kufanya tendo jema. Mwakilishi waAllah ana sifa makhususi. Muhimu zaidi ya hizo, kama ilivyotajwa katika Qur’ani Tukufu,ni kwamba haogopi kubadilika kwa maisha. Anafanya uvumilivu na ushujaa. Qur’aniTukufu inasema: “Sikilizeni (eleweni)! Hakika vipenzi vya Allah hawatakuwa nakhofu wala hawatahuzunika.” (10:62).

MKUTANO WA SITA JUMANNE USIKU 28 RAJAB 1345 A.H.

Bwana Ghulam Imamain, mfanyabiashara wa Kisunni mwenye kuheshimika, alikuja kati-ka sehemu ya mkutano kabla ya jua kuzama. Alitaja sababu yake ya kuja. Alisema kwam-ba yeye na watu wengine walivutiwa sana na maelezo ya Muombezi. Akasema kwambaamesikia ukweli ambao hajapata kuusikia kabla yake. Yeye na baadhi ya Sunni wenginewalikuwa na majadiliano yasiyopendeza na Maulamaa wao, ambao hawakuwezakukanusha hoja za Muombezi lakini ambao kwa ukaidi wameng’angania msimamo wao.Wakati wa Sala ya Magharibi ulipowadia, Bw.Ghulam Imamain alisali Sala zote Magharibina Isha nyuma ya Muombezi. Wakati wengine walipowasili, mjadala ulianza na ushauri waNawab Sahib.

Nawab: Tafadhali endelea na mazungumzo ya usiku wa jana. Tafsir ya ile aya ilikuwa

Mikesha ya Peshawar

132

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 132

Page 151: Mikesh A

haikukamilika.

Muombezi: (Akiangalia upande wa Maulamaa wa Kisunni). Mradi na nyie mliruhusu hilo.

Hafidh: (Kwa hasira kidogo). Hakuna madhara. Kama kuna kitu kimebakia kusemwa,tuko tayari kukisikiliza.

Muombezi: Usiku uliopita nilithibitisha kwa mtazamo wa kinahau kwamba maelezo yabaadhi ya wafasiri wanaosema kwamba aya hii huonyesha namna ya kuamua ukhalifayalikuwa hayakubaliki. Sasa nitaelezea kutokana na mtazamo mwingine.

Sheikh Abdu’s-Salam Sahib alisema usiku uliopita kwamba kuna sifa nne zilizotajwa kati-ka aya hii. Sifa hizi, alisema, zinaonyesha kwamba aya hii iliteremshwa kwa habari yaMakhalifa wanne wa kwanza na kwamba aya hii inaonyesha mpango wa ukhalifa. Majibuyangu kwa hoja hii ni: kwanza, wafasir wenye kuaminika hawajawahi kutoa maelezo kamahayo kuhusu maana halisi ya aya hii. Pili, nyote mnajua kwamba wakati sifa inapohusish-wa na mtu inaenda sawasawa na tabia yake, hapo ndipo (sifa hiyo) itakuwa na maana.Kama tutayaangalia mambo kwa busara zaidi, tunaona kwamba ni Ali tu ambaye alikuwana sifa hizo zilizoelezewa katika aya hii. Sifa hizi kwa njia yoyote haziafikiani na hizo zili-zotajwa na Sheikh Sahib.

Hafidh: Aya zote hizo ulizokwishasimulia kuhusu Ali hazikutosha? Unataka sasa kwaujanja wako wa ufasaha wa kusema kuthibitisha kwamba aya hii tukufu vilevile iliteremsh-wa kwa kumtukuza Ali? Kama ni hivyo, hebu tujulishe ni vipi haikubaliani na ukhalifa wamakhalfa wanne wa kwanza.

AYA MIA TATU ZENYE KUMTUKUZA ALI.

Muombezi: Sijahusisha Aya ya Qur’ani Tukufu kwa kumtukuza Ali kwa uongo.Umechanganya mambo. Unaweza ukapuuza ukweli kwamba tafsiri zenye kujulikanavizuri na vitabu vyenye kuaminika vilivyoandikwa na Maulamaa wenu wenyewe vimeta-ja aya nyingi za Qur’ani Tukufu zikiwa ni za kumtukuza Ali? Unawezaje kuona kuwa nikitu cha pekee kwangu? Je, Hafidh Abu Nua’im Isfahani, muandishi wa “Ma-Nazalanina’l-Qur’ani Fi Ali”, na Hafidh Abu Bakr Shirazi, muandishi wa “Nuzulu’l-Qur’ani FiAli”, walikuwa Mashi’a? Je, wafasiri wakubwa, kama Imam Tha’labi, Jalalu’d-DinSuyuti, Tabari, Imam Fakhru’d-Din Radhi, na Maulamaa wengine wenye sifa kubwa, kamaIbn Kathir, Muslim, Hakim, Tirmidhi, Nisa’i, Ibn Maja, Abu Dawdi, Ahmad Bin Hanbal,na hata Ibn Hajar asiye mvumilivu, ambaye amekusanya katika kitabu chake “Sawa’iq”Aya za Qur’ani zilizoteremshwa kumsifia Ali pia walikuwa Shi’a? Baadhi ya ulamaakama,Tabari, na Muhammad bin Yusufu Ganji Shafi’i mwanzoni mwa kitabu chake sehe-

Mikesha ya Peshawar

133

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 133

Page 152: Mikesh A

mu ya 62, anasimulia kutoka kwa Ibn Abbas, na Muhadith wa Syria katika kitabu chake“Tarikh-e-Kabir”, na wengine wameandika Aya nyingi kiasi kama mia tatu za Qur’aniTukufu zenye kumtukuza Ali. Je, watu hawa walikuwa Mashi’a au wanatokana na maula-maa wenu wakubwa?

Hatuhitaji kuhusisha kwa uongo aya ya Qur’ani tukufu kwa ajili ya kuthibitisha cheo chaAmir’l-Mu’minina Ali. Maadui zake (Bani Umayya, Nawasib na Khawarij) wamezuia fad-hila zake zisitajwe na marafiki zake wakasita kusimulia ubora wake kwa kuogopa matokeoyake. Bado, vitabu vimejaa fadhila zake na vinatoa mwanga juu ya mambo yote yakufanikiwa kwake. Kwa vyovyote inavyohusika aya hii, sikujitia katika “ujanja wa ufanisiwa kusema.” Nimefichua ukweli, nikitoa hoja kutoka katika vitabu vyenu. Mmeona mpakahapo kwamba sikutoa hoja kutoka kwenye riwaya za waandishi wa Kishi’a. Hata kamavitabu vya Shi’a viwekwe kando, bado nitathibitisha ubora wa kipekee wa Ali. Niliyosemakuhusu Aya hii yanakubaliana na maoni ya Maulamaa wenu wenyewe.

Muhammad bin Yusufu Ganji Shafi’i amenukuu “Hadith ya kufanana” katika kitabu chake“Kifayatu’t-Talib” Sura ya 23, kutoka kwa Mtume yenye maana kwamba Ali alikuwaanafanana na Mitume. Anasema kwamba sababu ya Ali kuitwa kwamba anafanana naMtume Nuh katika hekima ni kwamba Ali alikuwa mkali dhidi ya makafiri na mpole kwawaumini. Allah amezitaja sifa hizi katika Qur’ani Tukufu. Ali ambaye siku zote alikuwapamoja na Mtume, alikuwa “mkali dhidi ya makafiri na mwenye huruma kwa waumini.”Na ukichukulia, kama Sheikh Sahib anavyosema: kwamba usemi “Na wale ambao wakopamoja naye” unamuashiria Abu Bakr kwa sababu kwa muda wa siku chache alikuwa naMtume ndani ya Pango, Hivi mtu kama huyo anaweza kuwa sawa na yule aliyekuwa naMtume tangu utotoni na kupata maelekezo kutoka kwake?

ALI NI WA KWANZA KUTANGAZA IMANI JUU YA MTUME WA ALLAH.

Aidha, katika tukio muhimu la kutangaza Utume wake, hakuna aliyemuunga mkonoMuhammad isipokuwa Ali. Maulamaa wenu mashuhuli, kama Bukhari na Muslim, kati-ka “Sahih” zao, Imam Ahmad bin Hanbal katika “Musnad” yake, na wengine wengi, kamavile Ibn Abdi’l-Birr katika “Isti’abi”, Jz. 3, uk. 32, Imam Abu Abdu’r-Rahman Nisa’i kati-ka “Khasa’isu’l-Alawi”, Sibt Ibn Jauzifi katika Tadhkira, uk. 63, Sheikh Suleimam BalkhiHanafi ndani ya “Yanabiu’l-Mawadda”, Sura ya 12, kwa kunukuu kutoka kwa Tirmidhina Muslim, Muhammad bin Talha Shafi’i katika “Matalibu’s-Su’ul” Sura ndogo - 1, IbnAbi’l-Hadid katika “Sharh Nahju’l-Balagha”, Jz. 3, uk. 258, Tirmidhi katika “Jam’e-Tirmidhi”, Jz. 2, uk. 314, Hamwaini katika “Fara’id”, Mir Seyyed Ali Hamadani katika“Mawaddatu’l-Qurba”, na hata yulu shabiki Ibn Hajar katika “Sawa’iq-e-Muhriqa”, nawanachuoni wengine mashuhuri, wameandika pamoja na tofauti kidogo ya maneno, kuto-

Mikesha ya Peshawar

134

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 134

Page 153: Mikesh A

ka kwa Anas bin Malik na wengine kwamba: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipewa Utumewa Allah siku ya Jumatatu, na Ali akatangaza imani yake kwake siku ya Jumanne.”Vilevile imesimuliwa tena kwamba: “Utume wa Allah ulitangazwa siku ya Jumatatu naAli akasali na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) siku ya Jumanne.” Na halafu tena, “Ali alikuwamtu wa kwanza kutangaza imani yake kwa Mtume.” Vilevile Tabari, Ibn Abi-Hadid,Tirmidhi, na wengine wanasimulia kutoka kwa Ibn Abbas kwamba “Ali alikuwa wa kwan-za kusali.”

KUFUNDISHWA KWA ALI TANGU UTOTONI NA MTUME.

Ninakuombeni muangalie wanachuoni wenu, Nuru’d-Din Bin Sabbagh Malik, katika“Fusulu’l-Muhimma.” Sura ya “Tarbiatu’n-Nabi”, uk, 16, na Muhammad Bin TalhaShafi’i, katika “Matalibu’s-Su’ul”, Sura ya 1, uk. 11, na wengine walichosimulia. Katikawakati mmoja wa ukame hapo Makka, Mtume alimwambia ami yake, Abbas, kwamba,kaka yake, Abu Talib, ana watoto wengi na kwamba uwezo wake wa kujikimu kimaishaulikuwa ni mdogo. Mtume Muhammad alipendekeza kwamba kila mmoja wao amuombeAbu Talib ampe mtoto mmoja ili kusaidia kupunguza mzigo mzito alionao. Abbasalikubali. Walikwenda kwa Abu Talib na pendekezo lao, na akakubali. Abbas akam-chukuwa Ja’far-e-Tayyar kuwa chini ya malezi yake na Mtume akamchukuwa Ali. Malikakaendelea, “Ali alibakia moja kwa moja na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mpakaalipotangazwa kuwa Mtume wa Allah.” Ali alitangaza Imani yake kwake, na akamfuatakama Mtume wa Allah, wakati huo Ali akiwa na umri wa miaka kumi na tatu tu. Alikuwamwanaume wa kwanza kuukubali Uislamu. Mke wa Mtume Khadija alikuwa mtu wapekee aliyemkubali Mtume kabla ya Ali. Katika Sura hiyo hiyo, Malik anaelezea kwam-ba Ibn Abbas, Jabir Ibn Abdullah Ansari, Zaid ibn Arqam, Muhammad ibn Munkadar, naRabi’atu’l-Marai wamesema kwamba mtu wa kwanza kumuamini Mtume baada yaKhadija alikuwa ni Ali. Anasema Ali aliutaja ukweli huu, ambao umesimuliwa naMaulamaa wenu. Alisema: Muhammad, Mtume wa Allah ni ndugu yangu na mtoto waAmi yangu; Hamza Bwana wa mashahidi, ni Ami yangu; Fatima binti ya Mtume ni mkewangu; na watoto wawili (wanaume) wa binti yake ni watoto wangu kwa Fatima. Nanikati yenu amechangia sifa kama hizi nilivyo mimi? Nilikuwa wa kwanza kabisa katikakuukubali Uislamu wakati nilikuwa bado mtoto tu. Mtume alitangaza katika siku yaGhadir-e-Khum kwamba ilikuwa ni wajibu kunikubali mimi kama kiongozi wenu. (Kishaakasema mara tatu) “Ole kwa yule ambaye atamkabili Allah kesho (Siku ya Kiyama),kama akiwa amenifanyia mimi ukatili wowote ule.”

Muhammad Bin Talha Shafi’i katika “Matalibu’s-Su’ul”, sehemu ya 1, Sura ya 1, uk. 11,na wengine wengi katika Maulamaa wenu, wamesimulia kwamba maelezo haya yalikuwa

Mikesha ya Peshawar

135

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 135

Page 154: Mikesh A

ni majibu ya barua ya Mu’awiya aliyomuandikia Ali ambayo kwayo alijigamba kwambababa yake alikuwa kiongozi wa kabila lake wakati wa “zama za ujinga” na kwamba kati-ka Uislamu Yeye (Mu’amiya) alikuwa ni Mfalme. Mu’awiya vilevile alisema kwambayeye alikuwa “mjomba wa waumini” mwandishi wa wahayi (ufunuo), na mtu sifa njema.”Baada ya kusoma barua hii, Ali akasema: “Mtu wa tabia hii – mtoto wa mwanamkeambaye alitafuna maini - anajigamba mbele yangu! (kuhusu mama yake Mu’awiyya -Hindi ambaye baada ya Vita vya Uhud akiwa na hasira kali alichana maiti ya Hamza,akakata ini lake, na akalitafuna). Hata hivyo, Mu’awiyya ingawa alikuwa mpinzani mkaliwa Ali, hakuweza kuzikataa sifa hizi.

Aidha, Hakim Abu’l-Qasim Haskani, mmoja wa Maulamaa wenu, anasimulia kutoka kwaAbdu’r-Rahman Bin Auf, kuhusu aya hiyo hapo juu ya Makuraishi kumi waliokubaliUislamu, kwamba Ali alikuwa wa mbele zaidi miongoni mwao. Ahmad Bin Hanbal,Khatib Khawarizmi, na Sulayman Balkhi Hanafi, wanasimulia kutoka Anas bin Malikkwamba Mtume alisema: “Malaika walinitakia rehma mimi na Ali kwa muda wa miakasaba, kwani kwa muda huo hakuna sauti iliyotamka Upweke wa Allah isipokuwa yangu naya Ali.” Ibn Abi’l-Hadid Mu’tazali katika “Sherh-e-Nahjul-Balagha”, Jz. 1, uk. 373-5,ameandika Hadith nyingi mbalimbali zilizosimuliwa kupitia wanachuoni wenu zenyemaana kwamba Ali alikuwa wa mbele zaidi katika jambo la Uislamu. Baada ya kuandikavifungu mbalimbali vya maneno na simulizi anahitimisha kwa kusema: “Hivyo mukhtasariwa yote tuliyoeleza ni kwamba Ali ni wa kwanza miongoni mwa watu kuhusu Uislamu.Maoni kinyume na haya ni mara chache kuyasikia, na hayana maana kwetu kuyazingatia.”

Imam Abdu’r-Rahman Nisa’i, mwandishi wa moja ya vitabu sita Sahih vya hadith, ame-andika katika “Khasa’isu’l-Alawi” hadith sita za mwanzo juu ya suala hili na amethibitishakwamba mtu wa mbele zaidi katika Uislamu na wa kwanza kusali na Mtume alikuwa Ali.Kwa nyongeza, Sheikh Sulayman Balkh Hanafi katika “Yanabiu’l-Mawadda.” Sura 12,ameandika hadith 31 kutoka kwa Tirmidhi, Hamwaini, Ibn Maja, Ahmad Bin Hanbal,Hafidh Abu Nu’ami, Imam Tha’labi, Ibn Maghazili, Abu’l-Muwayyid Khawarizmi, naDailami, ambayo hitimisho lake ni kwamba Ali alikuwa wa kwanza katika umma wote waKiislamu kukubali Uislamu.

Hata shupavu mchungu Ibn Hajar Makki ameandika katika “Sawa’iq-Muhirika”, Sura ya2 Hadith juu ya Suala hili hili, ambazo baadhi ya hizo zimekubaliwa na Sulayman BalkhiHanaf katika kitabu chake “Yanabiu’l-Mawadda” kuelekea mwisho wa kufunga Sura ya 2,amesimuluia hadith juu ya suala hilo hilo, baadhi yake ambazo zimekubaliwa na SuleimanBalkhi Hanafi ndani ya Yanabiul’Mawadda yake.

Zaidi ya hayo, ndani ya Yanabiul’Mawadda, kuelekea mwisho wa Sura ya 12, amesimuliakutoka Ibn Zubair, Makki na yeye kutoka kwa Jabir Ibn Abdullah Ansari, Hadith kuhusu

Mikesha ya Peshawar

136

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 136

Page 155: Mikesh A

sifa za Ali, ambayo ningependa kuitoa hapa kwa ruhusa yenu ili kuhitimisha hoja yangu.Mtume alisema: “Mwenyezi Mungu alinichagua mimi kuwa Mtume na akanifunuliamaandiko matakatifu. Mimi nikamwambia, ‘Ee Allah, Mola Wangu, ulimtuma Musa kwaFirauni, Musa akakuomba umfanye ndugu yake, Harun, Waziri wake ambaye angewezakuimarisha mkono wake, ili maneno yake yapate kushuhudiwa. Sasa nakuomba, Ee Allah,uchague kwa ajili yangu kutoka miongoni mwa familia yangu Waziri ambaye ataimarishamkono wangu. Mfanye Ali kuwa Waziri wangu na ndugu yangu, ingiza ushujaa kwenyemoyo wake, na mpe nguvu juu ya maadui. Ali alikuwa mtu wa kwanza kuniamini nakushuhudia Utume wangu na mtu wa kwanza kutamka Upweke wa Allah sambambapamoja na mimi.’ Baadae niliendelea kumuomba Allah. Kwa hiyo Ali ni kiongozi wawarithi (wangu). Kumfuata yeye ni rehma; kufa ukiwa na utii kwake ni Shahada. Jina lakehuonekana katika Taurat pamoja na jina langu; mke wake, mwaminifu zaidi, ni bintiyangu; watoto wake wawili wa kiume, ambao ni mabwana wa vijana wa Peponi, ni wato-to wangu. Baada yao, Maimam wote ni wawakilishi wa Allah juu ya viumbe baada yaMitume; na ni milango ya elimu miongoni mwa watu wangu. Yeyote ambaye atawafuataameokolewa kutokana na moto wa Jahanam; yeyote ambaye atawafuata ameongozwa kati-ka njia iliyonyooka; yeyote ambaye amejaaliwa na Allah kuwa na mapenzi kwao hakikaatapelekwa Peponi. Hivyo, watu wenye akili, chukueni tahadhari.’”

Ningeweza kunukuu hadith za namna hiyo usiku wote, ambazo zote zimeandikwa naMaulamaa wenu. Lakini nafikiri hii inatosha. Ni Ali peke yake aliyefuatana na Mtumetangu utotoni, na kwa hiyo ni sawa kwamba tunamuona ni mtu aliyeashiriwa katikamaneno, “Wale ambao wako pamoja naye”, na sio mtu ambaye alifuatana na Mtume kwasafari ya siku chache tu.

IMANI YA ALI AKIWA BADO MTOTO TU.

Hafidh: Umethibitisha Nukta yako, na kamwe hakuna hata mtu mmoja ambaye amekataakwamba Ali alikuwa mbele zaidi katika kuukubali Uislamu. Lakini ukweli huu haumfad-hilishi yeye kuwa mwenye sifa zaidi kwa kumlinganisha na Masahaba wengine. Kweli,Makhalifa wakubwa walikubali imani katika Uislamu miaka kadhaa baada ya Ali, lakiniimani yao ilikuwa tofauti na bora zaidi kuliko yake. Sababu yenyewe ni kwamba Alialikuwa mtoto tu, na hawa walikuwa watu wazima. Ni dhahiri kwamba, imani ya watuwazima, wenye busara ilikuwa bora zaidi kuliko ile ya mtoto. Kwa nyongeza, imani ya Aliilikuwa ya ufuataji wa kibubusa na imani ya watu hawa ilijengwa juu ya akili. Imani inay-opatikana kwa akili ni bora kuliko imani ya upofu. Kwa vile mtoto ambaye hayuko chiniya wajibu wa kidini wa kutekeleza ibada, haikiri imani isipokuwa kwa kufuata kwa upofu,hivyo Ali, ambaye alikuwa mtoto tu wa miaka kumi na tatu, alikiri imani yake kwa upofutu wa kufuata.

Mikesha ya Peshawar

137

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 137

Page 156: Mikesh A

Muombezi: Mazungumzo kama hayo kutoka kwa mtu msomi kama wewe kwa hakikayanashangaza. Nashangaa jinsi gani nitaivunja hoja kama hiyo. Kama ningekuwa nisemekwamba umechukuwa msimamo kama huo kwa ukorofi tu, ingekuwa dhidi ya tabia yangukuhusisha sababu kama hiyo kwa mtu msomi. Ngoja nikuulize Swali: je, kuukubaliUislamu kwa Ali kulitegemea juu ya kupenda kwake mwenyewe binafsi au kwa kulingani-wa ya Mtume?

Hafidhi: Kwa nini unachukuwa mtizamo mkali kama huu juu ya namna tunavyoongea,kwani tunapokuwa na mashaka ni lazima tuyajadili. Kwa kujibu swali lako, nakiri kwam-ba Ali aliukubali Uislamu kwa ulinganio wa Mtume.

Muombezi: Wakati Mtume alipomlingania Ali akubali Uislamu, yeye hakujua kwambamtoto hafungwi na majukumu ya kidini? Kama ukisema kwamba alikuwa hajui utakuwaunahusisha na ujinga na kama alijua na akamhubiria Ali hata hivyo, basi kitendo chakekilikuwa cha upuuzi. Ni dhahiri kwamba, kuhusiha upuuzi kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)ni ukafir kwa vile Mtume ni Ma’sum (hakosei wala hatendi dhambi). Allah anasemakuhusu yeye katika Qur’ani Tukufu: “Wala hasemi kwa matamanio (ya nafsi yake).Hayakuwa haya ila ni Wahyi uliofunuliwa (kwake)” (53:3-4). Mtume alimuona Ali nimtu wa kufaa kulinganiwa kuukubali Uislamu. Mbali na hili, ujana si lazima kutanguliwana hekima. Utu uzima huchukuliwa maanani kuhusiana na utekelezaji wa wajbat za kidi-ni, lakini sio mambo yanayohusiana na hekima. Imani inahusiana na mambo yanayoendana na hekima na sio sheria za kidini. Hivyo Imani ya Ali wakati wa utoto ni sifa kwaajili yake kama vile Allah anavyotuambia katika Qur’ani Tukufu kuhusu Isa katika manenohaya: “Hakika mimi ni Mtumishi wa Allah: Allah amenipa kitabu na amenifanyaNabii.” (19:30). Vilevile katika Sura hiyo anasema kuhusu Mtume Yahaya: “Na tulimpahekima angali mtoto.” (19:12).

Seyyed Ali Humairi Yamani, (alikufa 179 A.H.) anaonyesha ukweli huu katika mashairiyake. Ansema: “Kama vile Yahaya alivyofikia cheo cha Utume katika utoto wake, Aliambaye alikuwa mrithi wa Mtume na baba wa watoto wake, vilevile alifanywa mwakilishiwa Allah na mlezi wa watu akingali mtoto.”

Sifa na heshima inayotolewa na Allah haitegemei juu ya umri. Hekima na akili hutegemeajuu ya hali ya kuzaliwa. Nashangazwa na maelezo yako kwa vile hoja kama hizo zilitole-wa na Manasibi na Makhariji kwa kuchochewa na Bani Umayya. Waliishusha imani yaAli kwamba ilikuwa ya utii wa kibubusa kwa yale aliyofundishwa. Hata wanachuo wenuwameikubali sifa ya Ali kwa namna hii. Muhammad bin Talha Shafi’i, Ibn Sabbagh Maliki,Ibn Abi’l-Hadid na wengine wamenukuu mashairi ya Ali. Katika moja ya mashari yakeanasema: “Nilikuwa wa kwanza na wa mbele zaidi miongoni mwenu katika kuukubaliUislamu wakati nilipokuwa mtoto mdogo tu.” Kama imani ya Ali katika umri mdogokama huo haikua bora, Mtume asingeielezea namna hiyo. Sulayman Balkhi Hanafi katika“Yanabiu’l-Mawadda”, Sura ya 55, uk. 202, anasimulia kutoka kwa Ahman Bin Abdullah

Mikesha ya Peshawar

138

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 138

Page 157: Mikesh A

Shafi’i akinukuu kutoka kwa Khalifa wa pili, Umar Bin Khattab, ambaye alisema: “ AbuBakr, Abu Ubaida Jarra na Kundi la watu waliokuwepo pamoja na Mtume wa Allah ali-poshika bega la Ali na kusema: “Ewe Ali! Wewe ni wa kwanza na wa mbele zaidi mion-goni mwa waumini wote na Waislamu katika kuukubali Uislamu, Wewe kwangu mimi nikama alivyokuwa Harun kwa Musa.”

Vilevile Imam Ahmad Bin Hanbal anasimulia kutoka kwa Ibn Abbas, ambaye amesemayeye, Abu Bakr, Abu Ubaida Bin Jarra, na wengine walikuwa pamoja na Mtume wakatialipoweka mkono wake katika bega la Ali na akasema: “Wewe uko mbele zaidi katikaimani ya Uislamu miongoni mwa Waislamu wote, na uko kwangu Mimi kama Harunalivyokuwa kwa Musa, Ewe Ali! Anayefikiria kwamba mimi ni rafiki yake ambapo ni aduiyako, huyo ni muongo.”

Ibn Sabbagh Maliki ameandika hadith kama hiyo katika “Fusulu’l-Muhimma”, uk. 125,kutoka “Khasa-isu’l-Alawi” kama simulizi ya Abdullah bin Abbas, na Imam Abu Abdu’r-Rahman Nisa’i anaeleza katika “Khasa’isu’l-Alawi” kwamba alisema: “Nimemsikia Umarbin Khattab akisema, ‘Litajeni jina la Ali kwa heshima kwa sababu nimemsikia Mtumeakisema kwamba Ali anazo sifa tatu. Mimi (Umar) natamani kwamba ningelikuwa namoja tu kati ya hizo kwa sababu kila moja ya sifa hizo ni yenye thamani kubwa sana kwan-gu kuliko kitu chochote katika ulimwengu huu.”

Ibn Sabbagh amesimulia kama ifuatavyo kwa nyongeza ya walivyoandika wengine.Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema kuhusu Ali, “Yeye ambaye anakupenda wewe hunipen-da mimi, na ambaye ananipenda mimi, Allah Humpenda, na yeyote apendwaye na Allah,humuingiza Peponi. Lakini yule ambaye ni adui kwako ni adui kwangu, na ambaye ni aduikwangu, Allah ni adui kwake na humhukumu kwenda Motoni.”

Kujitangaza kwa Ali kuwa Mwislamu hata ambapo alikuwa bado mdogo huthibitishaubora wa hekima na sifa yake, ambayo hakuna Mwislamu mwingine anayeweza kuipata.Tabari katika kitabu chake cha Ta’rikh ananukuu kutoka Muhammad Bin Sa’ad Bin AbiWaqqas, ambaye alisema: Nilimuuliza Baba yangu iwapo Abu Bakr alikuwa wa kwanzawa Waislamu. Yeye akasema, ‘Hapana, zaidi ya watu hamsini waliingia Uislam kabla yaAbu Bakr; bali alikuwa mbora kwetu kama Mwislam.’” Vilevile anaandika kwamba UmarBin Khattab aliingia Uislamu baada ya wanaume arobaini na tano na wanawake ishirini namoja. “Ama kwa aliyekuwa mbele zaidi katika Uislamu na Imani, alikuwa ni Ali Bin AbiTalib.”

Mikesha ya Peshawar

139

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 139

Page 158: Mikesh A

IMANI YA ALI ILIKUWA NI SEHEMU YA ASILI YAKE HASA:

Mbali na ukweli kwamba, Ali alikuwa wa mbele katika kuingia Uislamu, alikuwa na sifanyingine, ya kipekee kwake, na ya muhimu zaidi kuliko sifa zake nyingine. Uislamu waAli ulitokana na asili yake, ambapo ule wa wengine umetokea tu baada ya kuwa makafirhuko nyuma. Tofauti na Waislamu wengine na masahaba wa Mtume, Ali hajawahi kamwekuwa Kafir. Hafidh Abu Nu’aim Ispahani katika “Ma-Nazalu’l-Qur’ani fi Ali”, na MirSeyyed Ali Hamadani katika “Mawaddatu’l-Qurba” wanasimulia kwamba Ibn Abbas ame-sema: “Naapa kwa jina la Allah kwamba hakuna mtu hata mmoja ambaye alikuwahakuabudu masanamu kabla ya kuingia Uislamu isipokuwa Ali. Ali, alikubali Uislamuakiwa kamwe hajapata kuabudu masanamu.”

Muhammad Bin Yusuph Ganji Shafi’i katika “Kifayatu’t-Talib”, Sura ya 24 anamnukuuMtume akisema: “Wale ambao walitangulia kuikubali imani katika upweke wa Allahmiongoni mwa wafuasi wa Mitume walikuwa ni watu watatu ambao hawajawahi kamwekuwa washirikina: Ali bin Abi Talib, mtu aliyetajwa katika Suratu Yaa-Sin, na Muuminikatika watu wa Firauni. Wale wakweli (ma-Sidiq) ni Habib-e-Najjar, miongoni mwakizazi cha Yaa Sin, Hizqil (Sawaiq al-Muhriqah, hadith ya 30 kati ya zile 40 kuhusu sifaza Ali, Yanabiu’l-Mawadda, Jz. 42, Nahjul-Balaghah, Jz. 2, uk. 451) miongoni mwa kizazicha Firauni, na Ali bin Abi Talib, ambaye amewapita wote.” Mir Seyyed Ali Hamadanikatika “Mawadda-tu’l-Qubra”, Mawadda ya 7, Khatib Khawarizmi katika “Manaqib” naImam Tha’labi katika “Tafsir” yake anasimulia kutoka kwa Khalifa wa pili, Umar BinKhattab: “Nashuhudia kwamba nimemsikia Mtume akisema, ‘Kama Mbingu Sabazingewekwa pamoja katika mizani moja na imani ya Ali katika nyingine, hakika imani yaAli ingezidi uzito ile nyingine.’”

Nukta hiyo hiyo iliwekwa katika mashairi yaliyotungwa na Sufyani bin Mus’ab bin Kufikama ifuatavyo: “Kwa jina la Allah, nashuhudia kwamba Mtume alituambia: ‘Haipasikubakia bila kutojulikana na kwa mtu yeyote kwamba kama imani za wale wote wanaishijuu ya ardhi ingewekwa katika kipimio kimoja cha mizani na ile ya Ali katika kingine,imani ya Ali ingezidi uzito ile ya wengine.”

Mikesha ya Peshawar

140

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 140

Page 159: Mikesh A

ALI ALIWAPITA MASAHABA WENGINE WOTE NAUMMA WOTE KATIKA UBORA.

Mir Seyyed Ali Hamadani Shafi’i amendika hadith nyingi katika Mawaddatu’l-Qurbayake, ambazo zinaunga mkoni ubora wa Ali. Katika Mawadda ya Saba ananukuu kutokakwa Ibn Abbas kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Mbora wa watu waulimwengu wote katika kipindi changu ni Ali.”

Wengi wa Maulamaa waadilifu wameukubali ubora wa Ali. Ibn Abi’l-Hadid katika Sharhyake ya “Nahju’l-Balagha” Jz. 3, uk. 40, anasema kwamba Abu Ja’far Iskafi, kiongozi wamadhehebu ya Mu’tazil, alitangaza kwamba Bashir bin Mu’amar, Abu Musa, Ja’far BinMubashir, na maulamaa wengine wa Baghdad wanaamini kwamba, “Mtu bora zaidi mion-goni mwa Waislamu wote alikuwa Ali bin Abu Talib, na baada yake mtoto wake Hasan,kisha mtoto wake Husain, baada yake ni Hamza na baada yake ni Jafar Bin Abi Talib.”Anaendelea kusema kwamba kiongozi wake Abu Abdullah Basri, Sheikh Abu’l-QasimBalkhi, na Sheikh Abu’l-Hasan Khayya wanayo imani hiyo hiyo kama Abu Ja’far Iskafikuhusiana na ubora wa Ali. Anaelezea imani ya madhehebu ya Mu’tazil ikisema. “Mtubora baada ya Mtume wa Allah ni mrithi (makamu) wa Mtume, mume wa Fatima, Ali;baada yake, ni watoto wake wawili Hassan na Husain; baada yao, Hamza, na baada yakeJa’far (Tayyar).”

Sheikh: Kama ungejua maelezo ya maulamaa yenye kuunga mkono ubora wa Abu Bakr,usingesema maneno haya.

IMANI YA ALI NI BORA KULIKO YA ABU BAKR.

Muombezi: Maulamaa wote wa kutegemewa, wa Kisuni wameukubali ubora wa Ali. Kwamfano, unaweza ukarejea “Sharh Nahju’l-Balagha” ya Ibn Abi’l-Hadid, Jz. 3, uk. 264,ambamo maelezo hayohayo yamenukuliwa kutoka kwa Jahiz kwamba imani ya Abu Bakrilikuwa bora kuliko ile ya Ali. Walakini, Abu Ja’far Askafi, mmoja wa maulamaa wakub-wa wa madhehebu ya Mu’tazil alikataa madai haya, akisema kwamba imani ya Ali ilikuwabora kwa ile ya Abu Bakr na masahaba wengine wote. Abu Ja’far amesema: “Hatukataiubora wa masahaba, lakini kwa hakika hatumchukulii yeyote kati yao kuwa mbora kulikoAli.” Ali alikuwa wa cheo cha juu sana kiasi kwamba kutaja jina lake sambamba na masa-haba wengine haifai. Kwa kweli sifa za masahaba haziwezi kulinganishwa na sifa tukufumno za Ali. Mir Seyyed Ali Hamadani anasimulia katika “Mawadda” yake ya 7 kutokakwa Ahmad Bin Muhammadu’l-Karzi Baghdadi, ambaye amesema kwamba alisikia kuto-ka kwa Abdullah bin Ahmad Hanbal, ambaye alimuuliza baba yake Ahmadi Bin Hanbalkuhusu cheo cha Masahaba wa Mtume. Yeye akamtaja Abu Bakr, Umar na Uthman naakasimama. Kisha Abdallah akamuuliza baba yake. “Liko wapi jina la Ali bin Abu Talib?”

Mikesha ya Peshawar

141

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 141

Page 160: Mikesh A

Baba yake akajibu, “Yeye ni katika dhuria watukufu wa Mtume. Hatuwezi kutaja jina lake(kwa jinsi alivyo maarufu) sambamba pamoja na watu wale.”

Tunaona katika Qur’ani Tukufu kwamba katika aya ya Mubahila, Ali anatajwa kama nafsiya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Kuna hadithi yenye kuunga mkono habari hii, ambayo ime-andikwa katika “Mawadda” ya 7 hiyohiyo, iliyosimuliwa kutoka kwa Abdullah Bin UmarBin Khattab. Alisema kwamba siku moja walipokuwa wakihesabu majina ya masahaba,yeye alimtaja Abu Bakr, Umar, na Uthman. Mtu mmoja akasema, “Ee Abdu’r-Abdur-Rahman! Kwa nini umeliacha jina la Ali? Yeye alijibu “Ali ni mmoja wa dhuria wa Mtume.Hawezi kuchanganywa na mtu yoyote yule. Yuko katika kundi namna moja na Mtume waAllah.”

Ngoja nisimulie hadith nyingine kutoka katika “Mawadda” hiyo hiyo. Imesimuliwa kuto-ka kwa Jabir Bin Abdullah Ansari kwamba siku moja wakiwepo mbele ya Muhajirina naAnsari, Mtume alimwambia Ali: “Ewe Ali! Kama mtu atatekeleza Sala zake kamili kwaAllah, na kisha akatia shaka kwamba wewe na familia yako ni bora kwa viumbe wenginewote, makazi yake yatakuwa Jahanam.” (Baada ya kusikia hadith hii, wale wotewaliokuwepo pale, hususan Bw. Hafidhi, walionyesha kutubu, isije wakawa miongonimwa wenye kutia mashaka).

Nimerejea hadith chache tu. Chaguo lenu linaelekea kuwa ni kuzikataa hadith zote hizisahihi, ambazo zimeandikwa kwenye vitabu vyenu, au kukubali kwamba imani ya Aliilikuwa bora kuliko ile ya masahaba wote, pamoja na ya Abu Bakr na Umar. Vilevilenaomba muiangalie hadith hii (inayokubaliwa na madhehebu zote) ambamo Mtume alise-ma wakati wa Ghazawa-e-Ahzab (hujulikana vilevile kama vita vya Handaq), wakati Alialipomuua Amru Ibn Abdu-e-Wudd kwa pigo moja la upanga wake: “Pigo moja la Alikatika vita vya Khandaq limempatia fadhila zaidi kuliko malipo ya matendo mema yaumma wote (majini na watu) mpaka Siku ya Hukumu.” Kama pigo moja la upanga wakelilikuwa bora katika fadhila kuliko Sala za majini na watu zikichanganywa zote pamojahakika ubora wake hauwezi kuhojiwa na yeyote isipokuwa na mashupavu waovu.

ALI KAMA NAFSI YA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.).

Ingekuwa hakuna uthibitisho mwingine wa ubora wa Ali kwa Masahaba wote naWanadamu wote kwa ujumla, Aya ya Mubahila inatosha kuthibitisha ubora wake. InamtajaAli kama “nafsi” ya Mtume. Mtukufu Mtume alikuwa kwa kukubalika kabisa ni mborazaidi kwa wanadamu wote kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Kwa hiyo, neno “anfusana”(nafsi zetu) katika aya hiyo linaloashiria kwa Ali huthibitisha kwamba pia alikuwa borakwa wanadamu wote kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Huenda sasa mtakubali kwambaule usemi, “Na wale ambao wapo pamoja naye”, utajo wake ni kwa Ali. Yeye alikuwapamoja na Mtume kabla ya mtu yeyote yule kuanzia mwanzo wa Uislamu.

Mikesha ya Peshawar

142

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 142

Page 161: Mikesh A

Ama kwa nini Ali hakufuatana na Mtume katika usiku wa kuhama kutoka Makka, ni wazikwamba Mtume alimkabidhi Ali majukumu muhimu zaidi. Hakuna aliyekuwa muamini-fu kama Ali. Aliachwa nyuma kurudisha kwa wenyewe mali zilizowekwa amana kwaMtume. (Jukumu la pili la Ali lilikuwa ni kuipeleka familia ya Mtume na Waislamuwengine Madina. Na hata ingawa Ali hakuwa pamoja na Mtume katika pango usiku ule,alitekeleza jukumu muhimu zaidi kwa vile alilala katika kitanda cha Mtume).

AYA YA QUR’ANI YENYE KUMSIFU ALI KWAKULALA KWAKE KATIKA KITANDA CHA

MTUME KATIKA USIKU WA HIJRA.

Wanachuoni wenu wenyewe wametaja sifa za Ali katika tafsir zao (za Qur’ani). Kwamfano, Ibn Sab’i Maghribi katika Shifa’u’s-Sudur, Tibrani katika “Ausat” na “Kabir”, IbnAthir katika “Usudu’l-Ghaiba”, Jz. 4, uk. 25, Nuru’d-Din Sabbagh Maliki katika “Fusuli’l-Muhimma Fi Ma’rifati’l-’aimma”, uk. 33, Abu Ishaq Tha’labi, Fazil Nishapuri, Fakhru’d-Din Radhi na Jalalu’d-Dini Suyuti, kila mmoja katika Tafsir yake, Hafidh Abu Nu’aimIsphahani, muhadithina maarufu wa Ki-Shafi’i katika “Ma-Nazala’l-Qur’an fi Ali”, KhatibKhawarizmi katika “Manaqib” Sheikhul-Islam Ibrahim bin Muhammad Hamwaini katika“Fara’id”, Muhammad bin Yusuf Ganji Shafi’i katika “Kifayatu’t-Talib”, Sura ya 62,Imam Ahmad bin Hanbal katika “Musnad”, Muhammad bin Jarir kupitia vyanzo mbalim-bali, Ibn Hisham katika “Siratu’n-Nabi”, Hafidh Muhadith wa Damascus katika “Arba’inTiwal”, Imam Ghazali, katika “Ihya’u’l-Ulum”, Jz. 3, uk. 223, Abu’s-Sa’adat katika“Fadha’ilu’l-Irati’t-Tahira”, Ibn Abi’l-Hadid katika Sharhe “Nahju’l-Balagha”, Sibt IbnJauzi katika “Tadhikira” na wengine katika maulamaa wenu mashuhuri, wanasimuliakwamba wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipokusudia, kwa amri ya Allah, kuondokaMakka na kwenda Madina, alimtaka Ali ajifunike shuka lake la kijani na alale katika kitan-da chake.

Kwa hiyo, Ali akalala pahali pa Mtume kisha Mwenyezi Mungu akawaambia MalaikaJibril na Mikael kwamba amewafanya wao kuwa ndugu, na kwamba mmoja wao ataishimuda mrefu kuliko mwingine. Aliwauliza ni nani alikuwa tayari kumpa ndugu yakemaisha yake ya ziada, ambayo kadiri yake hakuna mmoja wao aliyejua. Walimuuliza(Allah) iwapo chaguo hilo ni wajibu. Walielezwa kwamba sio wajibu. Hakuna hatammoja wao aliyechagua kuachana na maisha yake ya ziada. Kisha yakafuata maneno hayamatukufu: “Mimi nimeumba undugu kati ya mwakilishi wangu Ali na Mtume wanguMuhammad. Ali amejitolea kutoa mhanga maisha yake kwa ajili ya maisha ya Mtume.Kwa kulala katika kitanda cha Mtume, anayalinda maisha ya Mtume. Sasa ninyi wotemnaagizwa kwenda duniani kumuokoa kutokana na mbinu za uovu wa maadui.”

Mikesha ya Peshawar

143

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 143

Page 162: Mikesh A

Kwa hiyo, wote wakaja duniani. Jibril akakaa kichwani kwa Ali na Mikaeli miguunikwake. Jibril akasema, “Hongera, Ewe mwana wa Abu Talib! ambaye kwako MwenyeziMungu anajivunia mbele ya Malaika Zake.” Baada ya haya, Aya ifuatayo ikateremshwakwa Mtume. “Na kuna aina ya watu ambao hutoa maisha yao kuzitafuta radhi yaAllah; na Allah ni mwingi wa upole kwa waja (wake).” (2:207).

Sasa nakusihini waheshimiwa, kuingalia aya hii kwa uangalifu wakati mtakaporudi nyum-bani usiku na kutoa uamuzi wenu wenyewe. Je, ubora kwa haki ni wa yule ambayealibakia pamoja na Mtume katika safari ya siku chache, akionyesha woga na huzuni, aukwa yule ambaye alihatarisha maisha yake usiku ule kishujaa na kwa furaha, kwa ajili yausalama wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Imam Ja’far Askafi, mmoja wa maulamaa wakub-wa na viongozi wa Mu’tazil, anathibitisha, (kama ilivyosimuliwa katika Sharhe ya“Nahaju’l-Balagha” na Abi’l-Hadid Jz. 3, uk. 269-281), kwamba kulala kwa Ali katikakitanda cha Mtume kulikuwa bora zaidi kuliko muda mfupi wa Abu Bakr aliokaa pamojana Mtume. Anasema: “Maulamaa wa Kiislamu kwa pamoja wanashikilia kwamba, kwaukweli halisi, ubora wa Ali katika usiku ule ulitukuka mno kiasi kwamba hakuna mtuangeweza kuufikia isipokuwa Ishaka na Ibrahimu wakati walipokuwa tayari kutoa maishayao mhanga katika kutii mapenzi ya Allah.” (Wafasiri wengi, maulamaa na wanahistoriawanaamini kwamba alikuwa ni Ismail ambaye alijitoa mhanga na sio Ishaka).

Katika ukurasa wa 271 wa Sharhe ya Nahaju’l-Balagha, maelezo ya Abu Ja’far Askafikatika kumjibu Abu Athman Jahiz Nasib yameandikwa. Anasema: “Nilikwishakuthibitisha mapema kwamba kulala kwa Ali katika kitanda cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)katika usiku wa kuhama kulikuwa bora zaidi kuliko kule kwa Abu Bakr kubakia pamojana Mtume katika Pango. Ili kusisitiza hoja yangu, nitaithibitisha katika mitazamo minginemiwili: Kwanza, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wa Allah akiwa na mkuruba wa karibu na wasiku nyingi na Ali, alimpenda mno. Kwa hiyo alihisi kupotea kwa upendo wakatiwalipotengana. Kwa upande mwingine, Abu Bakr alipata fursa ya kwenda pamoja naMtume. Kwa vili Ali alikuwa na uchungu wa kutengana kwao, malipo yake yaliongezekakwa sababu jinsi maumivu yanavyokuwa makali zaidi katika utumushi, ndivyo yanavyopa-ta malipo makubwa zaidi. Pili, kwa vile Ali alikusudia kuondoka Makka na hata aliwahimara moja kuondoka peke yake, hali yake kama raia kule iliongezeka kuwa ngumu. Hivyowakati akiondoka Makka pamoja na Mtume, hamu yake ya kuondoka ilitimia. Kwa ajilihiyo hakuna ubora wa kimaadili kama huo kwa ajili yake kama ulivyo kwa Ali, ambayealivumilia machungu makali katika kuhatarisha maisha yake mbele ya panga zilizo-chomolewa za maadui.

Ibn Sab’a Maghrib anasema katika kitabu chake “Shifa’u’s-Sudur” kuhusu ushujaa wa Ali:“Kuna umoja kamili (wa makubaliano) miongoni mwa maulamaa wa Kiarabu kwambakatika usiku wa Hijra, kulala kwa Ali katika kitanda cha Mtume kulikuwa bora zaidi yakutoka pamoja naye. Ali alijifanya mwenyewe mwakilishi wa Mtume na akahatarisha

Mikesha ya Peshawar

144

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 144

Page 163: Mikesh A

maisha yake kwa ajili ya Mtume. Hoja hii ni wazi mno kiasi kwamba kamwe hakuna hatamtu mmoja aliyeikataa isipokuwa wale waliopatwa na uwenda wazimu au ushabiki.”Nitakomeshea hapa na kurudi kwenye nukta yangu muhimu. Umesema kwamba, manenoya Qur’ani “Wakali dhidi ya makafir” (48:29) yanamuashiria Khalifa wa pili, Umar BinKhattab. Lakini dai hili haliwezi kukubaliwa kwa sababu tu kwamba umesema hivyo. Nilazima tuamue iwapo sifa hii ni katika tabia yake au laa. Kama ndivyo, niko radhikuikubali. Kwa hakika ukali unaweza kuonyeshwa katika njia mbili: Katika majadilianoya kidini ambayo kwayo kwa nguvu ya hoja, maulamaa wa upande mwingine wananya-mazishwa. Pili, unaweza kuonyeshwa katika uwanja wa vita. Kwa kadiri mijadala ya kiel-mu ihusikanavyo, hakuna mfano hata mmoja katika historia ambapo Umar ameonyeshaukali wowote. Katika kiwango chochote, sijaona taarifa yoyote ya kihistoria yenyekuonyesha kwamba Umar alionyesha ukali katika majadiliano ya kielimu.Nitawashukuruni kama mtanionyesha mfano wowote.

Kwa kweli, maulamaa wenu, wamekubali kwamba alikuwa ni Ali ambaye aliyatatua yalematatizo ngumu ya kisheria na kufutu mas’ala ya kidini wakati wa kipindi cha Makhalifawatatu. Ingawaje Bani Umayya na wafuasi mbumbumbu wa Abu Bakr walibuni hadithizisizo na idadi kwa niaba yao, hawakuweza kuficha ukweli kwamba wakati watu wa imaninyingine walipokuja kwa Abu Bakar, Umar, au Uthman, kutatua matatizo magumu,makhalifa hawa waliyapeleka matatizo hayo kwa Ali. Ali aliwapa majibu ya kuvutia kiasikwamba watu wengi wasiokuwa Waislamu waliingia Uislamu. Ukweli kwamba Abu Bakr,Umar na Uthman walikubali ubora wa Ali unatosha kuthibitisha hoja yangu. Wanachuoniwenu wameandika kwamba Khalifa Abu Bakr alisema: “Niondoeni, niondoeni, kwa vilemimi sio bora kuliko ninyi alimuradi Ali yuko kati yenu.”

Kwa uchache kabisa, takriban mara sabini, khalifa Umar alikiri: “Kama Ali asingekuepoUmar angeangamia.” Mazingira mengi yenye hatari yametajwa kwenye vitabu, lakinimimi sitaki kueleza sana juu ya nukta hii. Kunaweza kuwa na mambo mengi muhimu yakujadili.

Nawab: Ni habari gani zaweza kuwa za muhimu zaidi kuliko hii? Je, mambo hayayametajwa katika vitabu vyetu? Kama yametajwa tafadhali tueleze tupate kujua.

Muombezi: Maulamaa waadilifu wa madhehebu yenu wanakubali kwamba, mara kwamara Umar alikiri kwamba Ali alikuja kumuokoa.

Mikesha ya Peshawar

145

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 145

Page 164: Mikesh A

USHAHIDI KUHUSU MANENO YA UMAR: “KAMA ALI ASINGEKUWEPO, UMAR ANGEANGAMIA.”

Qadhi Fadhlullah Bin Ruzbahan, yule shabiki shupavu, katika kitabu chake “Ibtalu’l-Batil;” Ibn Majar Asqalani katika “Tihdhibu’l-Tahdid”, kilichochapishwa HyderabadDaccan, uk. 337; Ibn Hajar katika Isaba, Jz. 2, iliyochapishwa Misir uk. 509; Ibn QutaybaDinawari katika “Ta’wil-e-Mukhtalafu’l-Hadith” uk. 201-202, Ibn Hajar Makki katikaSawa’iq-e-Muhriqa uk. 78; Hajj Ahmad Afindi katika “Hidayatu’l-Murtab” uk. 146 na152, Ibn Athir Jazari katika “Usudu’l-Ghaiba”, Jz. 4, uk. 22; Jalalu’d-Din Suyuti katika“Ta’rikhu’l-Khulafa”, uk. 66; Ibn Abdu’l-Birr Qartabi katika “Isti’ab” Jz. 2, uk. 474;Seyyed Mu’min Shablanji katika “Nuru’l-Absar” uk.73; Shahabu’d-Din Ahmad binAbdu’l-Qadir A’jili katika “Dhakhiratu’l-Ma’al”; Muhammad bin Ali As-Subban katikaIs’afu’r-Raghibin, uk.152; Nuru’d-Din bin Sabbagh Maliki katika “Fusulu’l-Muhimma”,uk. 18; Nuru’d-Din Ali bin Abdullah Samhudi katika “Jawahiru’l-Iqdani”; Ibn Abi’l-Hadid Mu’tazil katika “Sharhe Nahaju’l-Balagha”, Jz. 1, uk. 6. Allama Qushachi katikaSharhe-e-Tarid, uk. 407, Khatib Khawarizmi katika “Manaqib”, uk. 46 & 60 Muhammadbin Talha Shafi’i katika “Matalibu’s-Su’ul” Sura ndogo ya 6, uk. 29, Imam Ahmad binHanbal katika “Fadha’il” halikadhalia na “Musnad”; Sibt Ibn Jauzi katika “Fadhkira” uk.85 na 87 Imam Tha’labi katika “Tafsir Kafshu’l-Bayan”, Allama Ibn Qayyim Jauzi katika“Turuqi’l-Hakim”, akiandika hukumu za Ali kuanzia uk. 41 mpaka uk. 53; Muhammd binYusufu Ganji Shafi’i katika “Kifayatu’t-Talib”, Sura ya 57; Ibn Maja Qazwini katika“Sunan” yake; Ibn Maghazili Shafi’i katika “Manaqib”; Ibrahim bin MuhammadHamwaini katika “Fara’id”; Muhammad bin Ali bin Hasani’l-Hakim katika “Sharh-e-Fat’hil-Mubin”; Dailami katika “Firdaus” Sheikh Sulayman Balkhi Hanafi katika“Yanabiu’l-Mawadda”, Sura ya 14, Hafidh Abu Nu’aim Ispahani katika “Hilyatu’l-Auliya”, halikadhalika katika “Ma-Naza-la’l-Qur’an fi Ali”, na kundi la maulamaa wakub-wa wa madhehebu yenu, pamoja na tofauti ndogo katika maneno, wamesimulia usemi waUmar, “Kama Ali asingekuwepo, Umar angeangamia.”

Mwanachuoni mkubwa, Ganji Shafi’i, katika sura ya 57, ya “Kifayatu’t-Talib Fi ManaqibAli Bin Abu Talib”, baada ya kusimulia baadhi ya hadith sahihi anaelezea kutoka kwaHudhaifa bin Yaman kwamba, “Siku moja yeye Hudhaifa alikutana na Umar, akamwuliza(yeye Hudhaifa): Ulijisikiaje hali yako wakati ulivyoamka asubuhi?” Hudhaifa akasema,“Niliamka asubuhi nikiichukia haki, nikipenda fitina, kushuhudia kitu kisichoonekana;kujifunza kwa moyo kitu kisichoumbwa, kusali bila kuwa na wudhuu, na kujua kwamba,kilichokuwa changu hapa duniani, sio kwa ajili ya Allah katika Mbingu.’ Umar alikasirish-wa sana na maneno haya na alikusudia kumuadhibu Hudhaifa wakati Ali alipoingia ndani.Aliona dalili za hasira kwenye uso wa Umar na akauliza kwa nini alikuwa amekasirika

Mikesha ya Peshawar

146

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 146

Page 165: Mikesh A

hivyo. Umar akamueleza (maneno ya Hudhaifa) na Ali akasema: “Hakuna ubaya wowotekuhusu maneno haya. Alichosema Hudhaifa ni sawa sawa: Haki maana yake kifo, amba-cho anakichukia; fitna maana yake mali na watoto ambavyo anavitaka; na anaposemakwamba anashuhudia ambavyo hakuviona, hii ina maana kwamba anashuhudia upweke waAllah, kifo, siku ya malipo, Pepo, Moto, daraja juu yake inayoitwa Sirat, ambavyo hakunahata kimoja kati ya hivyo alichokiona. Anaposema anajifundisha kwa moyo ambachohakikuumbwa, hii huashiria kwenye Qur’ani. Anaposema kwamba anasali bila wuudhu,hii huashiria katika kumswalia Mtume wa Allah (kumtakia rehema na amani) ambako kunaruhusiwa bila wuudhu; wakati akisema anacho kitu duniani ambacho si kwa ajili ya AllahMbinguni, hii huashiria kwa mke wake, kwa vile Allah hana mke au watoto. Kisha Umarakasema: “Umar angepotea kama Ali asingetokea.’”

Ganji Shafi’i anasema kwamba maelezo ya Umar yanathibitika kwa mujibu wa riwaya zawasimuliaji wengi wa hadith. Mwandishi wa “Manaqib” anasema kwamba Khalifa Umar,mara kwa mara alisema: “Ewe Abu’l-Hasan! (Ali). Sitakuwa sehemu ya jamii bila wewe.”Vilevile alisema: “Wanawake hawana uwezo wa kuzaa mtoto kama Ali.”

Muhammad bin Talha Shafi’i katika “Matalibu’s-Su’-ul” na Sheikh Sulayman BalkhHanafi katika “Yanabiu’l-Mawadda”, Sura ya 14, akisimulia kutoka kwa Tirmidhi, ame-andika riwaya yenye kinaganaga kutoka kwa Ibn Abbas ambapo mwisho wa riwaya hiyoanasema: “Masahaba wa Mtume walikuwa wakitafuta hukumu za kidini kutoka kwa Ali,na walikubali maamuzi yake. Hivyo, Umar Bin Khattab alisema katika nyakati mbalim-bali, “Kama isingekuwa ni Ali, Umar angeangamia.”

Katika mambo ya kidini na mijadala ya kielimu Umar hakuonyesha ukali wowote.Kinyume chake, alikiri udhaifu wake mwenyewe na kumkubali Ali kama kimbilio lake.Hata Ibn Hajar Makki katika sura ya 3 ya “Sawa’iq-Muhriqa”, akielezea kutoka kwa IbnSa’d anamnukuu Umar akisema: “Naomba msaada wa Allah katika kuamua yale matati-zo magumu ambayo kwamba Abu’l-Hasan (Ali) hayupo.”

USHUJAA WA KHALIFA UMAR HAUJAONEKANAKAMWE KATIKA UWANJA WOWOTE WA VITA.

Amma kuhusu ukali wa Umar katika uwanja wa vita, historia haikuandika mfano wowotejuu ya hilo. Kinyume chake, wanahistoria wa madhehebu zote wanasimulia kwambawakati wowote Umar alipokabiliana na adui mwenye nguvu, yeye alikimbia. Matokeoyake, Waislamu wengine pia walikimbia na mara kwa mara jeshi la Kiislamu lilishindwa.

Hafidh: Umezidisha pole pole ukosefu wa uungwana. Umemtukana Khalifa Umarambaye alikuwa ni fahari ya Waislamu na ambaye katika zama zake Waislamu walipata

Mikesha ya Peshawar

147

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 147

Page 166: Mikesh A

ushindi mkubwa. Kwa sababu ya Umar, jeshi la Waislamu lilishinda vita vyao. Unamuitamuoga na kusema kwamba alikimbia kutoka uwanja wa vita na kwamba kushindwa kwajeshi la Kiislamu kulikuwa ni kwa sababu yake! Je, ni sahihi mtu wa hadhi kama yakokumsingizia Khalifa Umar?

Muombezi: Nina wasiwasi kwamba umekosea. Ingawa umekuwa na mimi kwa mikeshamingi, hujanielewa bado. Pengine unafikiria ni kwa sababu ya chuki kwamba ndio ninalau-mu au kusifu watu. Sio hivyo. Kuna kuwiwa kukubwa katika mijadala ya kidini, ambakokumekuwa ni chanzo cha upinzani miongoni mwa Waislamu kwa karne nyingi. Mijadalakama hiyo mara kwa mara uchochea hali ya uovu, ambayo haipatani na maamrisho yaQur’ani. Qur’ani kwa uwazi inasema: “Enyi ambao mmeamini! Jiepusheni sana na dhana(kama iwezekanavyo) kwani baadhi ya dhana katika hali nyingine ni dhambi.” (49:12).Unafikiria kwamba maelezo yangu yamechochewa na uovu. Ukweli ni kinyume chake.Sijatamka neno kinyume cha ambavyo maulamaa wenu wameandika. Umesema hivipunde tu kwamba nimemtukana Khalifa Umar. Lakini kulikuwa hakuna hata chembe yadalili ya matusi. Niliyosema yanaoana na kumbukumbu za Historia. Sasa nalazimikakutoa mtazamo ulio wazi ili kunyamazisha upinzani huu.

USHINDI HAUKUWA KWA SABABU YASIFA BINAFSI ZA UMAR.

Umesema Khalifa Umar alikuwa anahusika na ushindi wa Waislamu. Hakuna mtuanayekataa kwamba Waislamu walipata ushindi mkubwa wakati wa Ukhalifa wa Umar.Lakini kumbuka kwamba kwa mujibu wa maulamaa wenu mashuhuri, kama Qadhi AbuBakr Khatib, katika kitabu chake, Ta’rikh Baghdad, Imam Ahmad Bin Hanbal katika“Musnad”, Ibn Abi’l-Hadid katika “Sharhe Nahju’l-Balagha” na waandishi wenginewengi, Khalifa Umar alitafuta mwongozo kutoka kwa Ali katika mambo yote ya kiutawalana kijeshi. Na alikuwa akitenda kwa kufuata ushauri wa Ali. Kwa nyongeza, kulikuwa natofauti katika ushindi wa Kiislamu kwa vipindi tofauti. Namna ya kwanza inarejea kwenyeushindi wakati wa kipindi cha Mtume mwenyewe, ambao ulikuwa kimsingi kwa sababu yaUshujaa wa Ali. Kila mtu anakubali kwamba Ali alikuwa shujaa zaidi wa mashujaa. Kamahakupigana katika vita, ushindi haukupatikana.

Kwa mfano katika vita vya Khaibar, alipata maradhi ya macho, na ilikuwa haiwezikanikwa yeye kwenda kwenye mapigano. Waislamu walirudia rudia kushindwa kila walipok-wenda kwenye uwanja wa mapambano, mpaka alipotibiwa na Mtume, Ali aliwaendeamaadui mpaka akaziteka ngome za Khabar. Katika vita vya Uhud, wakati Waislamuwakivunja safu na kukimbia, alikuwa ni Ali aliyesimama imara. Bila woga, alimkingaMtume kutokana na maadui mpaka sauti iliyojificha ikatangaza, “Hakuna upanga kamaDhu’l-fiqah, na hakuna kijana shujaa kuliko Ali.”

Mikesha ya Peshawar

148

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 148

Page 167: Mikesh A

Namna ya pili ya ushindi inahusiana na vile vita ambavyo vilipiganwa baada ya kifo chaMtume. Ushindi huu ulikuwa ni kutokana na ushujaa wa maaskari mashuhuri wa Kiislamuna ubingwa wao wa kupanga. Lakini hapa hatuhusiki na ushindi wa Kiislamu wa wakatiwa Ukhalifa wa Umar. Maudhui yetu ni kuhusu ujasiri wa Umar mwenyewe.Hauthibitishwi na ushahidi wowote wa kihistoria.

Hafidh: Ni matusi kudai kwamba Umar alikimbia kutoka uwanja wa mapambano, nakwamba hii ilipelekea kushindwa kwa Waislamu.

Muombezi: Kama kuonyesha ukweli wa kihistoria kuhusu mtu ni matusi, basi matusihaya yameandikwa na maulamaa wenu.

Hafidh: Ni wapi maulamaa wetu walipoandika kwamba Khalifa Umar alikimbia kutokaUwanja wa mapambano? Ni wakati gani alisababisha kushindwa kwa Waislamu?

KUSHINDWA KWA ABU BAKR NA UMAR KATIKA VITA VYA KHAIBAR.

Muombezi: Kwa vile Ali alikuwa akiumwa macho katika siku ya kwanza ya vita vyaKhaibar, Mtume alimpa Abu Bakr bendera ya Waislamu, ambaye aliongoza jeshi laWaislamu dhidi ya Mayahudi. Alirudi akiwa ameshindwa baada ya muda mfupi wamapambano. Siku iliyofuata bendera ya Waislamu ilitolewa kwa Umar, lakini kabla hajafi-ka sehemu ya mapambano, alikimbia kwa woga.

Hafidh: Maelezo haya ni uzushi wa Shi’a.

Muombezi: Vita vya Khaibar vilikuwa ni tukio muhimu la maisha ya Mtukufu Mtume,lililosimuliwa kwa kinaganaga na wanahistoria wa madhehebu zote. Hafidh Abu Nu’aimIspahani katika “Hilyatu’l-Auliya” Jz. 1, uk. 62, Muhammad Bin Talha Shafi’i katika“Matalibu’s-Su’ul”, uk. 40, kutoka katika “Sira” cha Ibn Hisham, Muhammad bin YusufGanji Shafi’i katika “Kifayatu’t-Talib”, Sura ya 14, na maulamaa wenu wengi wenginewameandika tukio hili. Lakini simulizi iliyo sahihi zaidi ni ile ya wanachuoni wawiliwakubwa. Muhammad bin Ismail Bukhari, ambaye ameandika katika Sahih yake Jz. 2 iliy-ochapishwa Misir 1320 A.H., uk. 100, na Muslim Bin Hujjaj, ambaye anaandika katikaSahih yake, Jz. 2, iliyochapishwa Misir 1320 A.H., uk. 324, kwamba, “Khalifa Umaralikimbia kutoka Uwanja wa mapambano katika safari mbili.”

Miongoni mwa thibitisho nyingi zilizo wazi juu ya nukta hii ni beti zilizo za wazi za IbnAbi’l-Hadid wa madhehebu ya Mu’tazila zijulikanazo kama “Alawiyyat-e-Sab’a” katika

Mikesha ya Peshawar

149

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 149

Page 168: Mikesh A

kumsifu Ali. Kuhusu “lango la Khaibar”, anasema: “Je, umesikia hadithi ya ushindi waKhaibar? Miujiza mingi imefunganishwa pamoja ambayo huchanganya hata akili zenyesbusara! Hawa wawili (Abu Bakr na Umar) walikuwa hawana mapenzi kwayo, au maarifa,ya kubeba bendera (kuongoza jeshi). Hawakujua siri za kutunza heshima ya bendera, wali-ifunika na twezo na wakakimbia ingawa walijua kwamba kukimbia kutoka kwenye uwan-ja wa mapambano ni sawa sawa na ukafiri. Walifanya hivyo kwa sababu ya mmoja wawanajeshi shujaa wa Kiyahudi, kijana mrefu na upanga wa wazi mkononi, akiwa amepan-da juu ya farasi mwenye umbo refu, akiwashambulia kama mbuni dume aliyesisimuliwa,ambaye amepata nguvu kutokana na hewa ya msimu wa kuchipua na uoto wake wa mimea.Alikuwa kama ndege mkubwa ambaye amejipamba kwa rangi za kupendeza na aliyekuwaakienda kuelekea kwa mpenzi wake. Mng’aro wa moto wa kifo kutoka kwenye upangawake na mkuki uliangaza na kuwatishia watu wawili hawa.”

Ibn Abi’l-Hadid akizungumza nao (Abu Bakr na Umar) anaendelea kusema:“Nakuombeeni msamaha juu yenu, kwa kule kushindwa na kukimbia kwenu, kwa vile kilamtu anachukia kifo na kupenda uhai. Kama wengine wote, ninyi pia hamkukipenda kifoingawa hakuna kinga kutokana na kifo. Lakini hamkuweza kujihatarisha na kifo.” Lengolangu sio kumkashifu mtu yeyote, ninasimulia ukweli wa kihistoria kuonyesha kwambaKhalifa hakuwa na ushujaa kama huo ambao angestahiki sifa ya “Mkali dhidi ya Makafir.”Ukweli ni kwamba yeye alikimbia kutoka uwanja wa mapambano.

Sifa hii katika mjadala inamhusu Ali peke yake, ambaye katika kila vita alikuwa mkalidhidi ya makafiri. Ukweli huu umethibitishwa na Allah kwenye Qur’ani Tukufu. YeyeAnasema: “Enyi mlioamini! atakayeiacha dini yake miongoni mwenu, basi hivi kari-buni Mwenyezi Mungu ataleta watu wengine ambao atawapenda, nao watampenda,wanyenyekevu kwa waumini, na wenye nguvu kwa makafiri. Watapiganaia dini yaMwenyezi Mungu, wala hawataogopa lawama ya wenye kulaumu. Hiyo ndiyo fadhi-la ya Mwenyezi Mungu, humpa amtakaye, na Mwenyezi Mungu ni Mweny wasaa,Mwenye kujua.” (5:54-56).

Hafidh: Inashangaza kwamba unajaribu kuhusisha aya hii na Ali. Hii inazungumzia wau-mini ambao wanazo sifa hizi na vipenzi wa Allah.

Muombezi: Ingekuwa vizuri kama ungeniuliza ni hoja gani ningeweza kutoa kuungamkono maneno yangu. Jibu langu ni kwamba kama aya hii ingeteremshwa katika kuwasi-fu waumini, wasingekimbia kamwe kutoka uwanja wa mapambano.

Hafidh: Je, ni haki kuwalaumu waumini na masahaba wa Mtume (lawama) ya kukimbiakutoka kwenye hatari? Watu hawa walipigana kishujaa katika vita.

Muombezi: Sio mimi niliyewaita “Wakimbiaji.” Historia inawaonyesha kama hivyo.Pengine umesahau kwamba katika vita vya Uhud na Hunain waumini wote na masahabakwa ujumla, pamoja na masahaba wakubwa wa Mtume, walitafuta usalama kwa kukimbia.

Mikesha ya Peshawar

150

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 150

Page 169: Mikesh A

Kama ilivyosimuliwa na Tabrini na wengine, wao walimuacha Mtume peke yake kati yamakafiri. Je, inawezekana kwamba wale waliogeuka na kuwapa maadui migongowakimuacha Mtume peke yake kuwakabili maadui walikuwa wapenzi wa Allah na MtumeWake? Siko peke yangu katika kudai kwamba Aya hii iko katika kumsifu Ali. Abu IshaqImam Ahmad Tha’labi, ambaye mnamchukulia kama mkubwa wa wasimuliaji wenu waHadith, anaandika katika kitabu chake “Kashfu’l-Bayan” kwamba aya hii imeteremshwakatika kumsifu Ali kwa sababu hakuna mtu mwingine aliyekuwa na sifa zilizotajwa ndaniyake.

Hakuna mwanahistoria - wa kwetu au wa nje - ambaye ameandika kwamba katika vita 36vilivyopiganwa na Mtume, Ali hakuserereka kamwe hata katika moja. Katika vita vyaUhud, wakati masahaba wengine wote walipokimbia, na jeshi la adui lenye askari 5000likawashambulia Waislamu, mtu pekee aliyebakia kwenye sehemu yake mpaka ushindiulipopatikana alikuwa ni Ali. Ingawa alijeruhiwa sehemu mbalimbali na kuvuja damukwa wingi, aliwakusanya wale ambao walikuwa wamekimbia na kuendelea kupiganampaka ushindi ulipopatikana.

Hafidh: Huna aibu kuhusisha “kukimbia” kwa masahaba wakubwa? Masahaba wote kwaujumla na hasa Abu Bakr na Umar kwa ushujaa walimzunguuka Mtume na kumlinda.

Muombezi: Hukujifunza historia kwa uangalifu. Kwa ujumla, wanahistoria wameandikakwamba, katika vita vya Uhud Hunain na Khaibar masahaba wote walikimbia.Nimekueleza kuhusu Khaibar. Amma kuhusu Hunain, Hamid katika “Jam-e-Banu’s-Sahihain” na Halabi katika “Siratu’l-Halabiyya”, Jz. 3, uk. 123, anasema kwamba masa-haba wote walikimbia isipokuwa wanne: Ali na Abbas walikuwa mbele ya Mtume, AbuSufyan Bin Harith alishika hatamu za farasi wa Mtume, na Abdullah Bin Mas’ud alisima-ma upande wake wa kushoto. Kukimbia kwa Waislamu huko Uhud hakukukataliwa namtu yeyote. Muhammad bin Yusuf Ganji Shafi’i katika “Kifayatu’t-Talib” Sura ya 27, kwavyanzo vyake mwenyewe, anamnukuu Abdullah Bin Mas’ud akisema kwamba Mtumeamesema: “Wakati wowote Ali anapopelekwa peke yake katika pambano, nilimuona Jibrilupande wake wa kulia, Mikael upande wake wa kushoto, na wingu likimfunika kutoka juumpaka Allah Alipomfanya mshindi.”

Imam Abu Abdu’r-Rahman Nisa’i anasimulia hadith 202 katika kitabu chake “Khasa’is-e-Alawi” kwamba Imam Hasan, akiwa amevaa kilemba cheusi alikuja kwa watu na akasimu-lia sifa za baba yake, akisema kwamba katika vita vya Khaibar, wakati Ali alipokwendakuelekea ile ngome, “Jibril alikuwa akipigana upande wake wa kulia na Mikael upandewake wa kushoto. Alimkabili adui kwa ushujaa mkubwa mpaka alipopata ushindi naakawa anastahiki mapenzi ya Allah.”

Mikesha ya Peshawar

151

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 151

Page 170: Mikesh A

ALI ALIKUWA MWENYE KUPENDWA NA ALLAHNA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.).

Katika Aya hii Allah anasema kwamba Yeye anawapenda wale ambao wana sifa hizi nakwamba wao pia wanampenda Yeye. Sifa hii ya kupendwa na Allah ni ya kipekee kwa Ali.Kuna ushahidi mwingi sana wenye kuunga mkono mtazamo huu. Miongoni mwa hadithinyingi zinazohusiana na jambo hili ni ile inayosimuliwa na Muhammad Bin Yusuf GanjiShafi’i katika “Kifayatu’t-Talib”, Sura ya 7. Anasimulia kupitia vyanzo vyake mwenyewe,kutoka kwa Abdullah ibn Abbas, ambaye amesema kwamba, siku moja alikuwa amekaa nababa yake, Abbas mbele ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wakati Ali alipoingia hapo na kum-salimia. Mtume akasimama, akamchukua mikononi mwake, akambusu katikati ya machoyake na akamfanya akae upande wake wa kulia. Kisha Abbas akamuuliza Mtume kamaanampenda Ali. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akajibu, “Ewe ami yangu mheshimika!Wallahi, Allah anampenda zaidi kuliko ninavyompenda mimi.”

HADITH YA BENDERA KATIKA USHINDI WA KHAIBAR.

Uthibitisho wenye nguvu wa Ali kupendwa na Allah, na wa ushujaa wake katika uwanjawa vita, ni “Hadith-e-Rayat” (Hadith ya Bendera) ambayo ni sehemu ya mkusanyiko wenuwa Hadith. Hakuna hata mmoja wa Maulamaa wenu mashuhuri aliyeikataa.

Nawab: Ni nini Hadith-e-Rayat? Tafadhali kama ikiwezekana inukuu pamoja na vyanzovyake.

Muombezi: Maulamaa na wanahistoria mashuhuri wa madhehebu hizi mbili (Shia naSunni) wamesimulia “Hadith-e-Rayat.” Kwa mfano, Muhammad Bin Isma’il Bukharikatika Sahih yake Jz. 2 ‘Kitabu’l-Jihad Wa’s-Siyar,’ Sura Du’au’n-Nabi, vilevile katika Jz.3 ‘Kitabu’l-Maghazi’, Sura ya Ghazawa-e-Khaibar. Muslim Bin Hajjaj katika Sahih yake,Jz. 2, uk. 324; Imam Abdu’r-Rahman Nisa’i katika “Khasa’isu’l-Alawi” Tirmidh katika“Sunan” yake; Ibn Hajar Asqalani katika “Isaba”, Jz. 2, uk. 508; Muhaddith-e-Sham kati-ka “Ta’rikh”; Ahmad bin Hanbal katika “Musnad”; Ibn Maja Qazwini katika “Sunan”yake; Sheikh Sulayman Balkh Hanafi katika “Yanabiu’l-Mawadda” Sura ya 6; Sibt IbnJauzi katika “Tadhkira”; Muhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’i katika “Matalibu’s-Su’ul”;Hafidh Abu Nu’aim Isfani katika “Hilyatu’l-Auliya”; Abu Qasim Tibran katika “Ausat” naAbu Qasim Husain bin Muhammad (Raghib Isfahani) katika “Muhadhiratu’l-Uda-ba” Jz.2, uk. 212. Kwa ufupi, kwa hakika karibu wanahistoria wenu wote na Muhadathina wame-

Mikesha ya Peshawar

152

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 152

Page 171: Mikesh A

andika hadith hii, hivyo kwamba Hakim anasema: “Hadith hii imefikia hatua yamakubaliano ya pamoja.” Tabrini anasema: “Ushindi wa Ali katika Khaibar unathibitish-wa na umoja wake.”

Wakati jeshi la Waislamu lilipoizingira ngome ya Khaibar, lilishindwa mara tatu chini yauongozi wa Abu Bakr na Umar, na wakakimbia. Masahaba walivunjika moyo sana. Ilikuwatia moyo masahaba Mtume alitamka kwamba Khaibar itatekwa. Alisema: “Kwa jinala Allah, kesho nitampa bendera mtu ambaye atarudi na ushindi. Ni mtu ambaye husham-bulia kwa kurudia rudia na kamwe haondoki kwenye uwanja wa mapambano na kamweharudi nyuma mpaka apate ushindi. Yeye anampenda Allah na Mtume Wake, na Allah naMtume Wake, wanampenda yeye.” Usiku ule masahaba hawakuweza kulala, wakifikiriani nani angepewa upendeleo huu maalum. Asubuhi, kila mmoja alivaa nguo za kijeshi nawakajitokeza mbele ya Mtume. Mtume akauliza: “Yuko wapi ndugu yangu na mtoto waami yangu, Ali Bin Abu Talib?” Walimwambia: “Ewe Mtume wa Allah, yeye anaumwa namacho sana kiasi kwamba hawezi hata kusogea.” Mtume akamtuma Salman amuite Ali.Salman akamshika Ali mkono akampeleka kwa Mtume. Alimsalimia Mtume na baada yakumrudishia salaam, Mtume akamuuliza, “una hali gani Ewe Abu’l-Hasan?” Akajibu,“Yote ni kheri kwa baraka za Allah. Naumwa kichwa na maumivu makali katika machokiasi kwamba siwezi kuona chochote.” Mtume alimuomba aje karibu. Wakati Ali aliposo-gea karibu, Mtume aliweka mate ya kinywa chake mwenyewe kwenye macho ya Ali naakamuombea. Punde tu macho yake yakawa meupe na maumivu yake yakatoweka kabisa.Akampa Ali bendera ya ushindi. Ali alielekea kwenye ngome za Khaibar, akapigana dhidiya Mayahudi, akauwa wanajeshi wao mashujaa kama vile Marhab, Harith, Hisham naAlqama, na akazishinda ngome za Khaibar zilizokuwa hazishindiki.

Ibn Sabbagh Malik katika “Fusulu’l-Muhimma” uk. 21, amenukuu taarifa hii kutoka vitabusita vya hadith, ambapo Muhammad bin Yusufu Ganji Shafi’i katika “Kifayatu’l-Talib”Sura ya 14, baada ya kuisimulia hadithi hii anasema kwamba mtunga mashairi mkuu waMtume, Hassan bin Thabit, alikuwepo wakati wa tukio hili. Alitunga mashairi kumsifuAli:

“Ali alikuwa akiumwa macho. Kwa sababu kulikuwa hakuna tabibu, Mtume alimtibia kwa mate yake mwenyewe. Hivyo wote muuguzi na mgonjwa walibarikiwa. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: ‘Leo nitampa Bendera mpanda farasi aliye hodari mno, shujaa na muungwana, mwenzi wangu katika mapambano. Anampenda Allah na Allah anampenda; hivyo kupitia kwake Yeye Allah atatufanya tuzishinde ngome.’ Baada ya hili, akiwaacha wote pembeni, alimchagua Ali na akamfanya mrithi wake.”

Ibn Sabbagh Maliki anasimulia kutoka “Sahih Muslim” kwamba Umar bin Khattab ame-sema: “Kamwe sijatamani kuishika bendera lakini siku ile nilikuwa na hamu kubwa nayo.

Mikesha ya Peshawar

153

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 153

Page 172: Mikesh A

Nilirudia rudia kujifanya nionekane mbele ya Mtume, nikitamani kwamba huenda pengineakaniita na kwamba nikaweza kubarikiwa heshima hii. Lakini alikuwa ni Ali ambaye ali-itwa na Mtume na utukufu ukaenda kwake.” Sibt Ibn Jauzi ameandika riwaya hii katikakitabu chake “Tadhkira”, uk. 15, na Imam Abdur-Rahman Ahmad Bin Ali Nisa’i katika“Khasa’isu’l-Alawi”, baada ya kusimulia hadithi kumi na mbili juu ya habari ya Ali kushi-ka bendera kule Khaibar, ananukuu riwaya hiyo katika hadith ya kumi na nane kuhusumatumaini ya Umar kuipata bendera.

Vilevile Jalalu’d-Din Suyuti katika kitabu chake “Ta’rikhu’l-Khulafa”, Ibn Hajar Makki,katika “Sawa’iq” na Ibn Shirwaini katika kitabu chake “Firdausu’l-Akbar” anasimuliakwamba Umar Bin Khattab amesema: “Ali amejaaliwa mambo matatu na kama ninge-likuwa na moja tu ningelipendelea kuliko ngamia wote walioko katika miliki yangu:-Ndoa ya Ali na Fatima; kukaa kwake msikitini katika hali yoyote na hii haikuruhusiwakwa yeyote isipokuwa Ali, na kushika kwake bendera katika vita vya Khaibar.”

Hoja yangu, kutegemea juu ya riwaya za Muhadithina wenu, inathibitisha kwambamaneno katika Aya - “Yeye (Allah) anawapenda na wao vilevile wanampenda Yeye” -yanahumhusu Ali. Muhammad Bin Yusufu Ganji Shafi’i katika “Kifayatu’t-Talib”, Sura ya13, anasimulia kwamba Mtume amesema: “Kama mtu anataka kumtazama Adam, Nuh naIbrahim, na amtazame Ali.” Anasema kwamba, Ali ndiye yule anayesemwa na Allah kati-ka Qur’ani Tukufu: “Na wale ambao wako pamoja naye ni wakali dhidi ya makafiri,(na) wenye kuhurumiana wenyewe kwa wenyewe.” (48:29). Ama kwa kauli yakokwamba kifungu cha maneno katika aya hii “kuhurumiana wenyewe kwa wenyewe”kinamhusu Uthman na huonyesha nafasi yake kama Khalifa wa tatu, hii haiungwi mkonona ushahidi wa kihistoria. Kwa kweli, tabia yake ilikuwa ni kinyume chake kabisa. Kunahoja nyingi zenye kuthibitisha jambo hili, lakini nitasimama hapa. Mambo ambayo yange-semwa yanaweza kuchochea uhasama.

Hafidh: Kama utaishia kwenye rejea sahihi tu, hakuna sababu kwa nini tuchukizwe.

Muombezi: Nitataja tu baadhi ya hizo.

TABIA YA UTHMAN NA NAMNA YA MAISHA IKILINGAN-ISHWA NA ILE YA ABU BAKR NA UMAR.

Ibn Khaldun, Ibn Khallikan, Ibn A’sam Kufi (imeandikwa vilevile katika Siha-e-Sitta),Mas’ud katika “Muruju’dh-Dhahab” Jz. 1, uk. 435, Ibn Hadid katika “Sharhe Nahju’l-Balagha Jz. 1, na wengine katika Maulamaa wenu wanathibitisha kwamba wakati UthmanBin Affan alipokuwa Khalifa, alikkwenda kinyume na mifano iliyowekwa na Mtukufu

Mikesha ya Peshawar

154

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 154

Page 173: Mikesh A

Mtume (s.a.w.w.) na vilevile dhidi ya mwendo wa Abu Bakr na Umar. Madhehebu zotezinakubaliana kwamba katika Kamati ya Ushauri (Shura) ambayo kwayo alichaguliwakuwa Khalifa, Abdur-Rahman Bin Auf alimlisha kiapo cha kutegemea juu ya kitabu chaAllah, Suna ya Mtume, na mwendo wa Abu Bakr na Umar. Moja ya masharti ya kiapochake ilikuwa kwamba Uthman hatawaacha Bani Umayya kuingilia (mambo ya uongozi)wala hangewapa mamlaka yoyote. Lakini nafasi yake (ya uongozi) ilipoimarika aliyavun-ja masharti haya. Kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu na hadith za kuaminika, kuvunjamakubaliano (Mkataba) ni dhambi kubwa.

Maulamaa wenu wenyewe wanasema kwamba Khalifa Uthman alivunja ahadi yake.Katika Ukhalifa wake wote alitenda kinyume na mwendo wa Abu Bakr na Umar. AliwapaBani Ummaya Mamlaka kamili juu ya maisha ya watu na mali zao.

UTAJIRI WA KHALIFA UTHMAN.

Hafidh: Ni katika njia gani alitenda dhidi ya mafunzo na matendo ya Mtume na mwendowa Abu Bakr na Umar?

Muombezi: Muhadith mashuhuri, Mas’ud katika kitabu chake “Muruju’dh-Dhahab” Jz.1, uk. 433, na wanahistoria wengine wameandika kwamba Uthman alijenga nyumba yakipekee ya mawe yenye milango iliyotengenezwa kwa mti wa msandali. Alijikusanyia uta-jiri mkubwa, ambao aliutoa kiufujaji kwa Bani Umayya na wengine. Kwa mfano kodi yakidini (Khums) kutoka Armania, ambayo ilitekwa katika kipindi chake ilitolewa kwamlaaniwa Marwan bila idhini yoyote ya kidini. Vile vile alimpa dirham 100,000 kutokaBaitul-mal (hazina ya Umma). Alimpa Abdullah Bin Khalid dirham 400,000, dirham100,000 kwa Hakam Bin Abi’l-Aas, ambaye alilaaniwa na kuhamishwa na Mtume, nadirham 200,000 kwa Abu Sufyani (kama ilivyoandikwa na Ibn Abi’l-Hadid katika “SherheNahju’l-Balagha.”, Jz. 1, uk. 68).

Katika siku aliyouawa, mali yake binafsi ilifikia dinari 150,000 na dirham milioni 20taslimu. Alimiliki mali huko Wadiu’l-Qura na Hunain yenye thamani ya dinari 100,000 nakundi kubwa la ng’ombe, kondoo na ngamia. Kama matokeo ya matendo yake, BaniUmayya walio mbele walilimbikiza utajiri mkubwa utokanao na juhudi za watu.

Kwa Khalifa wa Uislam kujikusanyia utajiri kama huo wakati watu wengi wanateseka kwanjaa kwa hakika ilikuwa ni kosa. Aidha tabia hii ilikuwa inapingana kabisa na mwenendowa masahaba wenzake, Abu Bakr na Umar. Uthman aliahidi katika Kamati ya Ushauri(Shura) kwamba angefuata nyayo zao. Mas’ud katika kitabu chake “Muruju’dh-Dhahab”anasema kuhusu Khalifa Uthman kwamba, wakati Khalifa Umar alipokwenda na mwanaeAbdullah kuhiji, matumizi yao katika safari yao ya kwenda na kurudi yalikuwa dinari 16.

Mikesha ya Peshawar

155

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 155

Page 174: Mikesh A

Alimwambia mwanae kwamba wamekuwa wafujaji. Kama utalinganisha mwendo waulaji mdogo wa Umar na matumizi ya kifujaji ya Uthman, utakubali kwamba mwendo wamaisha ya Uthman ulikuwa kinyume na kiapo chake katika ile Kamati ya Ushauri.

KHALIFA UTHUMAN ALIWAPA MOYO WATENDAMAOVU MIONGONI MWA BANI UMAYYA.

Uthmani vilevile aliwapa Bani Umayya mamlaka juu ya maisha na heshima za watu.Hatimaye, machafuko yalijitokeza katika ardhi za Waislamu. Aliwachagua watu wakeanao wapendelea katika nafasi za juu kinyume na matakwa ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),Abu Bakr na Umar. Kwa mfano alimpa nafasi za juu ami yake, Hakam Bin Aas, mtotowake, Marwan ambao wote walihamishwa na kulaaniwa na Mtume.

Hafidh: Unaweza ukathibitisha kwamba walilaaniwa?

Muombezi: Kuna njia mbili za kuthibitisha kwamba walilaaniwa. Allah aliwaita BaniUmayya “Mti uliolaaniwa” katika Qur’ani Tukufu (17:60). Imam Fakhuru’d-Din Razi,Tabari, Qartabi, Nishapuri, Suyuti, Shawkani, Alusi, Ibn Abi Hatim, Khatib Baghdad, IbnMardawaih, Hakim, Maqrizi, Baihaqi na wengine katika maulamaa wenu wanasimuliakutoka Ibn Abbas kwamba “Mti uliolaaniwa” katika Qu’an unahusu kabila la Umayya.Katika ndoto, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliona nyani wakipanda na kushuka katika mim-bari yake (na kufukuza watu kutoka Msikitini). Alipoamka, Malaika Jibril akateremshaAya hii na kumueleza Mtume kwamba nyani wale walikuwa Bani Umayya, ambaowatanyang’anya Ukhalifa wake baada yake. Sehemu yake ya kusalia na mimbari vitabakiakatika mamlaka yao kwa miezi elfu. Imam Fakhni’d-Din Razi anasimulia kutoka IbnAbbas kwamba Mtume alitaja jina la Hakam Bin Aas. Kwa hiyo amelaaniwa kwa vile ana-tokana na “Mti uliolaaniwa.”

Kuna Hadith nyingi kutoka vyanzo vya Sunni kuhusu kulaaniwa kwao. Hakim Nishapuri,katika “Mustadrak” Jz. 4, Uk. 437 na Ibn Hajar Makki katika “Sawa’iq-e-Muhriqa”,ananukuu kutoka kwa Hakim hadith ifuatayo kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).“Hakika muda mfupi tu familiya yangu itatawanyishwa na kuuawa na Umma wangu. BaniUmayya, Bani Mughira, na Bani Makhzum ni makatili zaidi katika maadui zetu.” MtumeAkasema kuhusu Marwan, akiwa mtoto wakati huo, “Huyu ni mjusi, mtoto wa mjusi,mwenye kulaaniwa, mtoto wa aliyelaaniwa.”

Ibn Hajar anaelezea kutoka kwa Umar bin Murratu’l-Jihni, Halabi katika “Siratu’l-Halabiyya”, Jz. 1, uk. 337; Baladhuri katika “Ansab”, Jz. 5, uk. 126; Sulayman Balkhikatika “Yanabiu’l-Mawadda”; Hakim katika “Mustadrak”, Jz. 4, uk. 481; Damiri katika“Hayatu’l-Haiwan”, J. 2, uk. 291; Ibn Asakir katika kitabu chake cha “Ta’rikh”; Imamu’l-

Mikesha ya Peshawar

156

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 156

Page 175: Mikesh A

Haram Muhyi’d-Din Tabari katika “Dhakha’iru’l-Uqba” na wengine wamesimulia kutokakwa Umar bin Murratul-Jihni kwamba Hakam Bin Aas alitaka mazungumzo na Mtume.Mtume alipoitambua sauti yake, akasema: “Muacheni aingie ndani. Laana iwe juu yake najuu ya kizazi chake, isipokuwa wale ambao wanaamini, na watakuwa wachache.”

Imam Fakhri’d-Din Razi, katika kitabu chake “Tafsir-e-Kabir”, Jz. 5, akiandika kuhusuAya ya “Mti uliolaaniwa.......” na namna yake, anarejea kwenye kauli ya Aisha ambayealisema kumuambia Marwan: “Allah alimlaani baba yako wakati upo kwenye mbegu zakeza uzazi; hivyo na wewe vilevile ni sehemu yake yule ambaye amelaaniwa na Allah.”Allama Mas’ud, anasema katika kitabu chake “Muruju’dh-Dhahab”, Jz. 1, uk. 435, kwam-ba Marwan bin Hakam alilaaniwa na kuhamishwa na Mtume. Alihamishwa kutokaMadina. Hakuruhusiwa kuingia Madina wakati wa Ukhalifa wa Abu Bakr na Umar, laki-ni Uthman alipokuwa Khalifa, alitenda kinyume cha mafundisho ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), Abu Bakr, na Umar na akamruhusu kuingia Madina. Alimuweka karibu sananaye mwenyewe pamoja na Bani Umayya wote na akawafanyia upendeleo.

Nawab: Hakam Bin Abil-Aas alikuwa ni nani, na kwanini alihamishwa na MtukufuMtume (s.a.w.w.)?

Muombezi: Hakam Bin Aas alikuwa ni ami yake Khalifa Uthman. Kwa mujibu waTabari, Ibn Athir, na Baladhuri, ambaye anaandika katika “Ansab”, Jz. 5, uk. 17, yeyealikuwa ni jirani yake Mtume Zama za Jahiliyya. Alimtukana Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),hususan baada ya tangazo lake la Utume. Alitembea nyuma ya Mtume na kumdhihaki kwakumuigiza miondoko ya utembeaji wake. Hata wakati wa Sala, alikuwa akimyoosheakidole kwa dharau. Baada ya kulaaniwa na Mtume, alibakia katika hali ya kupooza wakatiwote na hatimaye akapoteza hali ya utimamu akili. Baada ya kutekwa Makka, alikujaMadina na inavyoonekana aliingia Uislamu, lakini mara kwa mara alimtukana Mtume.

Wakati alipokwenda nyumbani kwa Mtume, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mara moja alitokanje ya nyumba yake na akasema “Mtu yeyote asiombe msamaha kwa niaba yake. Sasayeye na watoto wake, Marwan na wengine wanapaswa waondoke Madina.” Kwa hiyo,mara moja Waislamu wakamtoa na kumfukuzia Ta’if. Wakati wa kipindi cha Abu Bakr naUmar, Uthman alimsaidia, akisema kwamba alikuwa ni ami yake na kwamba inapaswaaruhusiwe kurudi Madina. Lakini hawa wengine hawakulikubali shauri hili, wakisemakwamba kwa vile alilaaniwa na kuhamishwa na Mtume hawatamruhusu kurudi.

Wakati Uthman alipokuwa Khalifa, aliwarudisha wote. Ingawa watu wengi walilipingashauri hili; Uthman alionyesha upendeleo maalum kwa jamaa zake na wengineanaowapenda. Alimfanya Marwan kuwa msaidizi wake na Afisa Mkuu wa Baraza lake.Alijikusanyia karibu yake waovu wengi wa kabila la Umayya na akawateua kushika nafasiza juu (katika serikali). Matokea yake ni kwamba, kwa mujibu wa utabiri wa Umar, wao

Mikesha ya Peshawar

157

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 157

Page 176: Mikesh A

ndio walihusika na janga lililompata Uthman. Miongoni mwa watu walioteuliwa naUthman alikuwa Walid bin Aqaba bin Abi Mu’ith ambaye alipelekwa Kufa kuwa Gavana.Kwa mujibu wa riwaya ya Mas’ud katika “Muruju’dh-Dhahab”, Jz. 1, Mtume alisemakuhusu Walid:

“Hakika yeye ni mmoja wa wale watakaokwenda motoni.” Alijitumbukiza waziwazikabisa katika matendo maovu. Kwa mujibu wa maelezo ya Mas’ud katika “Muruju’dh-Dhahab”, Abdu’l-Fida katika “Ta’rikh” yake, Suyuti katika “Ta’rikhu’l-Khulafa”, uk. 104,Abu’l-Faraj katika “Aghani” Jz. 4, uk. 128, Imam Ahmad bin Hanbal katika “Musnad”, Jz.1, uk. 42 Yaqubi katika “Ta’rikh” yake Jz. 2, uk. 142; Ibn Athir vilevile katika Usudul-Uqba, Jz. 5, uk. 91 na wengine walisema kwamba, wakati wa ugavana wake huko Kufa,Walid alipitisha usiku mzima akifanya ufuska. Alikuja msikitini kwa ajili ya Sala yaAlfajiri akiwa amelewa na akasalisha rakaa nne za Sala ya asubuhi (badala ya mbili) kishaakawageukia watu na kusema “Uzuri ulioje wa asubuhi hii! Ningetaka kuendeleza Sala hiikama mutaridhia”. Baadhi wanasema kwamba alitapika kwenye kibla ya msikiti kitendoambacho kilileta maudhi makubwa kwa watu ambao walilalamika kwa Khalifa Uthman.Mmoja wa watu hawa wanaojulikana sana ni Mu’awiya, ambaye alifanywa kuwa Gavanawa Syria. Walid aliondolewa na badala yake akateuliwa Sa’id Bin Aas kama Gavana waKufa.

Wakati watu walizipogundua sera za Uthman, sera zilizo kinyume na mafunzo ya MtukufuMtume (s.a.w.w.), walighadhibika. Walichukuwa hatua ambazo hatimae zilisabishamatokeo yake mabaya kama hayo. Uthman alihusika na kifo chake mwenyewe kwa sababuhakufikiria athari za matendo yake. Alipuuza ushauri wa Ali na akawa amepotezwa nawadanganyifu wenye kujipendekeza. Ibn Abi’l-Hadid ananukuu mazungumzo kati yaUmar na Ibn Abbas katika Sherhe ya “Nah’ju’l-Balagha”, Jz. 3, uk. 106. Khalifa Umaralisema kitu kuhusu kila mmoja wa wajumbe sita wa Kamati ya Ushauri na akaonyeshaudhaifu wao. Wakati jina la Uthmani lilipotajwa, baada ya kushusha pumzi mara tatu,Umar akasema kwamba, “Kama Ukhalifa utamfikia Uthman atawaweka watoto wa AbiMu’it (Bani Umayya) juu ya watu. Kisha Waarabu watasimama na kuasi dhidi yake nakumuua.’

Ibn Abi’l-Hadid anakubaliana na uchambuzi wa Umar. Wakati Uthman alipokuwa Khalifaaliwakusanya karibu yake Bani Umayya. Aliwateuwa kuwa magavana na wakati walipoy-achezea vibaya mamlaka yao, alifumba macho. Khalifa Uthman hakutaka hata kujinasuamwenyewe kutokana na Marwan. Watu wakichemka kwa kutoridhika, waliasi dhidi yakena mwishowe wakamuua.

Mikesha ya Peshawar

158

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 158

Page 177: Mikesh A

MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.) ALIWALAANI ABU SUFYAN, MU’AWIYA NA MTOTO WAKE YAZID.

Itasaidia sana kama utasoma kitabu maarufu cha Historia cha Jarir Tabari, mmoja wamaulamaa wenu wakubwa, ambaye ameandika: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimuonaAbu Sufyani akiwa amepanda punda. Mu’awiya alikuwa anaivuta kwa mbele, na mtotowake Yazid, alikuwa anaisukuma kwa nyuma. Mtume akasema: “Laana iwe juu ya mpan-daji, mvutaji na msukumaji.” Maulamaa wenu mashuhuri, kama Tabari na Ibn A’sam Kufiwamemuona Khalifa Uthman kuwa ni mwenye makosa kwa kutomuua Abu Sufyan wakatialipoukana Uislamu, Wahyi (ufunuo), na kuwepo kwa Jibril. Baada ya kumkemea AbuSufyan kidogo, Uthman akalitupa kando suala hili. Nitawaomba vilevile muangalieKhutba ya 163 ya “Nahju’l-Balagha” na simulizi ambayo Ibn Abi’l-Hadid katika Sherheyake ya “Nahju’l-Balagha” Jz. 2, (iliyochapishwa Misr) uk. 582, ananukuu kutoka“Tar’rikh-e-Kabir”, ya Tabari kwamba baadhi ya masahaba katika majimbo mbalimbaliwaliandika barua wakishawishi watu kutangaza vita vya Jihad, ili kujilinda kutokana nauonevu wa kikatili wa Uthman. Katika mwaka 34 A.H. watu wenye malalamiko dhidi yamaofisa walioteuliwa na Uthman walikuja Madina kwa Ali na wakamuomba aingilie kati.

UTHMAN HAKUKUBALI USHAURI WA ALI.

Ali alikwenda kwa Uthman na akamuonya kuhusu matokeo ya kutisha ya kuendelea nasera zake hizo. Ali alisema, “Nakuambia kwa ajili ya Allah, usije ukajifanya wewemwenyewe kuwa ni kiongozi wa umma huu aliyeuawa. Imesemekana kwamba kiongozimmoja wa umma huu atauwawa, ambapo baada yake milango ya umwagaji damu namauaji itabakia wazi mpaka Siku ya Kufufuliwa.” Lakini Marwan na masahaba wa ki-Bani Umayya walipuuza ushauri wa Ali. Baada ya Ali kuondoka, Uthman aliamuru watukukusanyika Msikitini. Alikwenda kwenye mimbari na badala ya kuwatuliza watu, aliwa-chokoza zaidi. Matokeo yakawa kama Khalifa Umar alivyotabiri. Uthman akauawa nawaasi. Tofauti na Abu Bakr na Umar ambao walifuata ushauri wa Ali, Uthman alipuuzaonyo lake na matokeo yake yakampata yaliyompata.

UTHMAN ALIWAPIGA MASAHABAWA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.) BILA HURUMA

Aidha, Uthman aliwapiga Masahaba ambao walipinga uonevu wake. Miongoni mwaoalikuwa ni Abdulla Bin Mas’ud, ambaye alikuwa Hafidhi, Qari (msomaji Qur’ani) MtunzaHazina ya Umma, Mwaandishi ambaye aliandika Aya zilizoteremshwa, na mmoja wamasahaba wakubwa wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Aliheshimiwa sana na Abu Bakr naUmar, ambao wote walichukuwa ushauri kutoka kwake. Ibn Khaldun katika Ta’rikh yake

Mikesha ya Peshawar

159

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 159

Page 178: Mikesh A

ameeleza kwamba, Khalifa Umar alisisitiza kwamba Abdullah abakie naye kwa sababualikuwa na elimu kamili ya Qur’ani Tukufu na kwa sababu Mtume alimsifia sana. IbnAbi’l-Hadid na wengine wameandika jambo hilo hilo. Maulamaa wenu wanakubali kwam-ba wakati Uthman alipokusudia kukusanya Qur’ani Tukufu, alichukuwa nakala zote kuto-ka kwa waandishi. Alidai vilevile nakala ya Qur’ani Tukufu kutoka kwa Abdullah binMas’ud. Abdullah hakumpa nakala yake hiyo. Uthman alikwenda mwenyewe nyumbanikwake na akaichukuwa hiyo nakala ya Qur’ani Tukufu kutoka kwake kwa nguvu.

Baadae wakati Abdullah alipogudua kwamba, kama ilivyofanywa kwa nakala nyingine zaQur’ani Tukufu, na nakala yake pia imechomwa moto, alihuzunika mno. Katika miku-sanyiko ya kijamii na kidini alisimulia hadith za shutuma ambazo alizijua kuhusu Uthman.Wakati habari hizi zilipomfikia Uthman, aliamrisha watumwa wake, wakampiga sana kiasikwamba meno yake yalivunjika na alibakia kitandani. Baada ya siku tatu alikufa kwamajeraha yake. Ibn Abi’l-Hadid anaandika kwa kina kuhusu ukweli huu kutoka Jz. 1, uk.67 na 226 wa Sharh “Nahju’l-Balagha” (iliyochapishwa Misir) chini ya “Ta’n VI” naakaendelea kusema kwamba Uthman alikwenda kumuangalia Abdullah aliyekuwaanaumwa. Walizungumza pamoja kwa muda. Uthman akasema, “Ewe Abdu’r-Rahman!Niombee msamaha kwa Allah.” Abdullah akasema, “Namuomba Allah achukue hakiyangu kutoka kwako.” (yaani haki ifanyike). Wakati Abu Dharr, sahaba wa karibu waMtukufu Mtume (s.a.w.w.), alipohamishiwa Rabza, Abdullah alikwenda kumuaga. Kwasababu hii, Abdullah alipigwa viboko arubaini. Hivyo Abdullah akamsisitizia Ammar Yasirkwamba Uthman asikubaliwe kumsalia Abdulla Sala ya jeneza. Ammar Yasir alikubali, nabaada ya kifo cha Abdullah, alisali Sala ya jeneza pamoja na kikundi cha masahaba.Uthman alipogundua mpango huu wa mazishi, alikuja kwenye kaburi la Abdullah na aka-muuliza Ammar kwanini alisali Sala ya jeneza. Akajibu kwamba alilazimika kufanyahivyo kwa sababu Abdullah aliusia hivyo.

AMMAR ALIPIGWA KWA AMRI YA UTHMAN.

Mfano mwingine wa ukatili wa Uthman ulikuwa ni kumpiga kwake Ammar Yasir.Maulamaa wa madhehebu zote wanasimulia kwamba wakati uonevu wa Bani Umayyaulipozidi, baadhi ya masahaba wa Mtume walimuandikia Uthman, wakimtaka awe nahuruma. Walisema kwamba, kama ataendelea kuwasaidia magavana wake hao makatili waki-Bani Umayya hatakuwa anaudhuru Uislamu tu, bali yeye mwenyewe pia atajitia katikamatokeo mabaya sana. Walimtaka Ammar Yasir kufikisha kwa Uthman ile barua yamalalamiko kwa vile Uthman mwenyewe alikubali uadilifu wa Ammar. Walikuwawamemsikia Uthman mara kwa mara akisema kwamba, Mtume amesema kwamba imaniilikuwa imechanganyika na nyama na damu ya Ammar. Hivyo Ammar aliichukua baruaile na kuipeleka kwa Uthman. Wakati alipowasili, Uthman alimuuliza, “Je, una shughulina mimi?” Akajibu , “Sina shughuli ya namna ya kibinafsi. Bali kikundi cha masahabawa Mtume wameandika katika barua hii mapendekezo fulani na ushauri kwa ajili ya ustawi

Mikesha ya Peshawar

160

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 160

Page 179: Mikesh A

wako. Wameyatuma kwako kupitia kwangu.” Baada ya kusoma misitari michache,Uthman akaitupa ile barua chini. Ammar akasema: “Ilikuwa sio vizuri kwako wewekufanya hivyo. Barua kutoka kwa masahaba wa Mtukufu Mtume wa Allah (s.a.w.w.) inas-tahiki heshima. Kwa nini umeitupa chini? Ingelikuwa vizuri kwako wewe kuisoma nakuijibu.”

“Unaongopa” Uthman alisema kwa sauti kali. Kisha akaamuru watumwa wake kumpiga,na Uthman mwenyewe akampiga teke la tumbo. Alianguka chini, akazimia; jamaa zakewakaja wakamchukua, wakampeleka kwenye nyumba ya Ummu’l-Mu’Minin Umm Salma(mmoja wa wake za Mtume). Kuanzia adhuhuri mpaka usiku wa manane alikuwa badoamezimia. Makabila ya Hudhail na Bani Makhzun waligeuka dhidi ya Uthman kwasababu ya ukatili wake kwa Abdullah Bin Mas’ud na Ammar Yasir.

Uthman alikuwa katili vilevile kwa Jandab Bin Junada, anayejulikana kama Abu DharGhifari, mmoja wa masahaba karibu mno wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na mtu mwenyeelimu. Muhadithina wakubwa na wanahistoria wa madhehebu zote wamesimulia kwambamzee huyu wa miaka tisini alihamishwa isivyo halali kutoka sehemu hii kwenda sehemunyingine kwa fedheha kubwa - kutoka Madina kwenda Syria, kutoka Syria kwenda Madinatena, kisha kutoka Madina kwenda kwenye Jangwa la Rabza. Alipanda ngamia asiye namatandiko akifuatana na binti yake tu. Alikufa katika (jangwa) la Rabza katika hali yaumasikini na ya kutelekezwa.

sMaulamaa na wanahistoria wenu wakubwa, pamoja na Ibn Sa’d katika “Tabaqat”, Jz. 4,uk. 168, Bukhari katika “Sahih” yake, mlango wa “Kitab-e-Zaka”; Ibn Abi’l-Hadid kati-ka Sherhe yake ya “Nahju’l-Balagha”, Jz. 1, uk. 240 na Jz. 2, uk. 375 – 87, Yaqubi katikakitabu chake cha Ta’rikh Jz. 2, uk. 148; Abu’l-Hasan Ali Bin Husain Mas’ud, muhadithi-na na mwanahistoria mashuhuri wa Karne ya Nne katika kitabu chake “Muruju’dh-Dhahab”, 1, uk. 438; na wengine wengi wamesimulia ukatili wa Uthman. Imeelezwa kwamapana jinsi gani alivyomfanyia ubaya Abu Dharr mtu mwenye moyo safi, mtu aliyepend-wa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), na vilevile jinsi gani Abdullah Bin Mas’ud, Hafidh namwandishi wa Wahyi, alivyopigwa viboko arobaini kwa sababu alikwenda kumuaga AbuDharr Ghifari. Hali ya ufidhuli wa aina hiyo hiyo ulionyeshwa kwa Ali kwa sababu hizohizo.

Hafidh: Kama Abu Dharr alipatishwa mateso, ni kwa sababu ya maofisa wakorofi.Khalifa Uthman, ambaye alikuwa mpole sana na mwenye moyo laini, alikuwa hana habarina matukio haya.

Muombezi: Utetezi wako kwa Khalifa Uthman ni kinyume na ukweli. Mateso aliyopataAbu Dharr ilikuwa ni kwa ajili ya amri za wazi za Uthman mwenyewe. Kuthibitishaukweli huu, anachohitaji mtu ni kurejea kwa Maulamaa wenu tu. Kwa mfano unaweza

Mikesha ya Peshawar

161

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 161

Page 180: Mikesh A

ukaangalia “Nihaya” kitabu cha Ibn Athir, Jz.1, na kitabu chake, “Ta’rikh-e-Yaqubi” nahususan uk. 241 wa Jz. 1, ya “Sharhe Nahju’l-Balagha” cha Ibn Abi’l-Hadid. Wanachuonihawa wameinakili barua ya Uthman iendayo kwa Mu’awiyya. Wakati Mu’awiyyaalipopeleka taarida yenye uovu dhidi ya Abu Dharr kutoka Syria, Uthman alimuandikiahivi: “Mlete Jundab (Abu Dharr) kwangu juu ya ngamia asiye na matandiko, peke yake,na mtu katili atakayemswaga ngamia huyo mchana na usiku.” Wakati alipofika Madina,miguu yake Abu Dharr ilikuwa imechubuka na kutoa damu. Na bado Maulamaa wenuwamesimulia hadith isemayo kwamba Abu Dharr alitajwa makhususi kabisa na Mtumekama mtu ambaye kila mwanadamu lazima ampende.

Hafidh Abu Nu’aim Isfahani katika “Hilyatu’l-Auliya”, Jz. 1, uk. 172; Ibn Maja Qazwinikatika “Sunan” yake Jz. 1, uk. 66; Sheikh Sulayman Balkhi Shafi’i katika “Yanabiu’l-Mawadda”, Sura ya 59, akisimulia hadithi ya tano kati ya hadith arobaini zilizoandikwakatika “Sawa’iq-Muhriqa” na Ibn Hajar Makki kama sahihi, zikiwa zimechukuliwa kuto-ka kwa Tirmidhi na Hakim, kama ilivyosimuliwa na Buraida, na yeye kutoka kwa babayake; Ibn Hajar Asqalani katika “Isaba”, Jz. 3, uk. 455; Tirmidh katika “Sahihi” yake, Jz.2, uk. 213; Ibn Abdi’l-Birr katika “Isti’ab”, Jz. 2, uk. 557; Hakim katika “Mustadrak”, Jz.3 uk. 130; na Suyuti, katika “Jam’u’s-Saghir” wamesimulia kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) amesema: “Allah ameniamrisha mimi kuwapenda watu wanne; na amenijulishakwamba Yeye pia anawapenda.” Watu wakasema “Ewe Mtume wa Allah tueleze majinayao.” Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema “Ni Ali, Abu Dharr, Miqdad, na Salman.” Je,haki itaruhusu kwamba watu kama hao wapendwao na Allah kutendewa ukatili hivyo nakuyaita matendo hayo kuwa ni huruma?

Hafidh: Historia imesimulia kwamba Abu Dharr alikuwa mtu mvurugaji. Aliendeshapropaganda kali huko Syria yenye kumpendelea Ali, akawatanabahisha watu wa Syria juuya cheo cha Ali, na akasema kwamba alikuwa amemsikia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akise-ma kwamba Ali alikuwa ndiye mrithi wake. Kwa sababu aliwaita wengine wanyang’anyina akasema kwamba Ali alikuwa Khalifa wa haki aliyeteuliwa na Allah, Khalifa Uthman,ili kulinda umoja na kuepusha matatizo, alilazimika kumuita kutoka Syria (arudi Madina).Kama mtu anajaribu kusababisha fitna miongoni mwa watu, ni jukumu la Khalifa kumuon-doa kutoka sehemu hiyo.

Muombezi: Kama mtu anasema kweli, ni haki kumhamisha na kumtesa kwa sababuanafanya hivyo? Je, Uislamu unaturuhusu kumlazimisha mtu mzee kupanda ngamiaaliyekonda, asiye na matandiko, ikiswagwa kwa nguvu na mtumwa mwenye harara, bilakusimama kwa ajili ya kupumzika, hivyo kwamba anawasili mashukio yake akiwaamechubuka na kuvuja damu? Je, hii inaonyesha upole na moyo wa wema? Mbali na hilokama Uthman alitaka kudumisha umoja na kuepusha matatizo kwa nini asiwaondoe BaniUmayya wahalifu, kama Marwan, ambaye alilaaniwa na kuhamishwa na Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) na Walid mpotovu na fuska wa dhahiri (afanyaye maovu bila kuficha) ambayealisalisha akiwa amelewa na ambaye alitapika kwenye kibla ya msikiti? Kwa nini asi-

Mikesha ya Peshawar

162

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 162

Page 181: Mikesh A

waondoe wanasiasa madhalimu kutoka kwenye serikali yake, watu ambao wamewaoneawatu, ambao mwishowe wakaasi na kumuuwa Uthman.

Hafidh: Unawezaje kusema kwamba Abu Dharr alisema kweli? Unajuaje kwambaaliyosema yako katika misingi ya elimu iliyo sawa na kwamba hakubuni hadithi kwa jinala Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)?

Muombezi: Tunasema hivyo kwa sababu Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewealithibitisha ukweli wa Abu Dharr. Maulamaa wenu wenyewe wameandika kwambaMtume alisema: “Abu Dharr miongoni mwa watu wangu ni kama Isa miongoni mwa BaniIsra’il katika ukweli, utii na Ucha Mungu.” Muhammad Bin Sa’d mmoja wa Maulamaawa cheo cha juu na muhadithina wa madhehebu yenu, ndani ya “Tabaqat”, Jz. 4, uk. 167-168; Ibn Abdu’l-Birr katika “Isti’ab”, Jz. 1, Sura ya Jundab, uk. 84; Tirmidh katika “Sahih”yake Jz. 2, uk. 221; Hakim katika “Mustadrak”, Jz. 3, uk. 342; Ibn Hajar katika “Isaba” Jz.3, uk. 662; Muttaqi Hindi katika “Kanzu’l-Ummal”, Jz. 6, uk. 169; Imam Ahmad BinHanbal katika “Musnad” Jz. 2 uk.163 na 175; Ibn Abil’-Hadid katika “Sherhe Nahju’l-Balagha” Jz. 1, uk. 241; kutoka kwa Mahidi; Hafidh Abu Nu’aim Isfahani katika“Hilyatu’l-Auliya” na mwandishi wa “Lisanu’l-Arab”, juu ya vyanzo mbali mbali vyakutegemewa wamesimulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Ardhi haikuzaawala mbingu haikufunika mtu muaminifu zaidi kuliko Abu Dharr.”

Kama Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) anathibitisha uaminifu wa mtu, tunaweza kuwa na uhaki-ka kwamba mtu yule alisema kweli. Wala Allah hamuiti mtu mpenzi wake, yule ambayeni muongo. Kama kungalikuwa na mfano mdogo tu wa Abu Dharr kusema uwongo,Maulamaa wa mwanzo wa madhehebu yenu wangeuandika kama walivyoandika kuhusuAbu Huraira na wengine. Mtume alithibitisha uaminifu wake na vilevile akatabiri matesoyake. Hafidh Abu Nu’aim Isfahani katika “Hilyatu’l Auliya”, Jz. 1 uk. 162, anasimuliakutoka vyanzo vyake mwenyewe kwamba Abu Dharr alisema kwamba alikuwa amesima-ma mbele ya Mtume wakati alipomuambia: “Wewe ni mcha-Mungu, mara tu baada yanguutapatwa na shida.” Nikauliza: “Katika njia ya Allah? Akasema: “Ndio, katika njia yaAllah! Nikasema: “naikaribisha (naikubali) amri ya Allah!” Hakika shida aliyopata saha-ba mtukufu Abu Dharr katika jangwa kwa amri ya Mu’awiyya, Uthman na jamaa zao BaniUmayya ilikuwa ni shida ile ile aliyotabiri Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

HADITH: “MASAHABA WOTE NI KAMA NYOTA” INAMHUSU NA ABU DHARR VILEVILE.

Kwa kweli nashangaa kauli zako zenye kupingana zenyewe. Kwa upande mmojaunasimulia hadith kutoka kwa Mtume kwamba, “Masahaba wangu wote ni kama nyota,kama mkimfuata yeyote miongoni mwao mtaokolewa.” Kwa upande mwingine, wakatimmoja wa Masahaba watukufu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) anateswa na kufa katika

Mikesha ya Peshawar

163

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 163

Page 182: Mikesh A

huzuni, wewe unamtetea mkosaji! Yakupasa ama upuuze maelezo ya maulamaa wenu, auukubali sifa zilizotajwa katika aya iliyo katika mjadala kwamba hazihusiani na walewaliowatesa masahaba watukufu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Hafidh: Abu Dharr alichagua kwenda Rebza kwa hiari yake mwenyewe.

Muombezi: Maelezo kama hayo yanaakisi majaribio ya maulamaa wenu mashabikikuficha matendo mabaya ya viongozi wao. Kuhamishwa Abu Dharr kwa nguvu kwendaRabza kunajulikana wazi sana. Kama mfano, nitaishia kunukuu riwaya moja, ambayoimesimuliwa na Imam Ahmad Bin Hanbal katika “Musnad” Jz. 5, uk. 156, Ibn Abi’l-Hadidkatika “Sharhe Nahju’l-Balagha” Jz. 1, uk. 241, na Waqid katika kitabu chake cha Ta’rikhkutoka kwa Abu’l-Aswad Du’ili.

Abu Dharr aliulizwa kuhusu Safari yake ya Rabza. Abu Dharr akasema kwamba, “ali-hamishwa kwa nguvu na kupelekwa kuishi porini”. Akaendelea: “Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alinijulisha kuhusu hili. Siku moja nililala Msikitini. Mtume akaja na akaniulizakwa nini nimelala msikitini. Nikasema kwamba usinginzi umenipitia tu. Akaniulizanitafanya nini kama nitahamishwa kutoka Madina. Nikasema ningekwenda kwenye nchitakatifu ya Syria. Akaniuliza nitafanya nini kama nitahamishwa huko pia. Nikasemanitarudi msikitini. Aliniuliza tena ningefanya nini kama ningefukuzwa kutoka hapa pia.Nikasema: Nitachomoa upanga na kupigana. Aliniuliza kama ningependa aniambie kituambacho kingekuwa kwa manufaa kwangu. Niliposema ‘Ndio’ yeye akaniambia: ‘Nendasehemu yoyote watakayokupeleka!’ Hivyo nikasikiliza alivyoniambia na nikamtii. Baadaya hivi Abu Dharr akasema, kwa Jina la Allah, wakati Uthman atakapokwenda mbele yaAllah atasimama akiwa ni mwenye dhambi kuhusiana na suala langu.’”

UPOLE NA UKARIMU WA ALI BIN ABU TALIB:

Kama utayachunguza mambo kwa akili huru iliyo wazi, utakubali kwamba Ali alikuwana-zo sifa za huruma na upole kwa kiwango cha hali ya juu sana. Wanahistoria wote, pamo-ja na Ibn Abi’l-Hadid, wameeleza kwamba wakati Ali alipochukua Ukhalifa, aliondoamambo mabaya na mazushi ambayo yaliingizwa ndani (ya Uislamu). Aliwaondoa maofisawasiomjua Mungu wa Ki-Bani Umayya, ambao waliyakandamiza majimbo wakati wakipindi cha Ukhalifa wa Uthman. Wanasiasa wachoyo walimshauri aahirishe uamuzi wakehuo wa kuwondoa maofisa hao mpaka Ali atakapojiimarisha zaidi katika mamlaka.Mtukufu Imam akasema: “Naapa kwa Jina la Allah kwamba sitaruhusu hila za kijanjakama hizo. Mnasisitiza kwamba nitumie njia za upatanisho, lakini hamjui kwamba jinsiwanavyoendelea kubakia katika mamlaka wakiniwakilisha mimi, wataendelea kutendamabaya yale yale ya kidhalimu na ukatili ambao nitawajibika kwenye Mahakama ya hakiya Mungu. Siwezi kuruhusu udhalimu huu.”

Mikesha ya Peshawar

164

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 164

Page 183: Mikesh A

Uondoaji wa maofisa uliofanywa na Ali ulipelekea uhasama kwa watu wenye uchu wamadaraka, kama Mu’awiyya, na wakaitayarisha njia ya vita vya Jamal na Siffin. KamaTalha na Zubair wangechaguliwa kama magavana, wasingelichochea ghasia kule Basra nakuacha vita vya Jamal kutokea. Upole na ukarimu wake ulienea sawasawa kwa marafikina maadui. Uthman alikuwa katili sana kwake (zaidi kuliko alivyokuwa Abu Bakr naUmar), lakini waasi walipolazimisha kizuizi kwenye Ikulu ya Uthman, wakizuia maji nachakula, aliomba msaada kwa Ali. Ali aliwatuma watoto wake, Hasan na Husein, wakiwana mikate na maji. Ibn Abi’l-Hadid anaelezea tukio hili kwa kina katika Sharhe “Nahju’l-Balagha.” Khalifa Uthman alikuwa na sifa ya kutoa Sadaka na kusaidia wengine, lakiniilikuwa kwa jamaa zake tu, kama Abu Sufyani, Hakam Bin Abi’l-As na Murwan BinHakam. Aliwamwagia pesa na zawadi kutoka hazina ya Umma bila kibali cha kidini.

Lakini Amirul-Mu’minina Ali kamwe hakutoa zaidi ya kilichostahiki, hata kwa jamaa zakewa karibu. Kaka yake mkubwa, Aqil, alikuja kwake na kutaka pesa zaidi kuliko kawaidaya alivyokuwa akipewa. Ali hakusikiliza ombi lake. Aqil alisisitiza na akasema kwambakwa vile Ali alikuwa Khalifa na alikuwa na mamlaka kamiki juu ya mambo inapasa hajazake zitekelezwe. Kama onyo kwa kaka yake, Ali akapasha moto kipande cha chuma kwasiri na akakiweka karibu na mwili wa Aqil. Alipiga kelele kama mtu aliye katika maumivumakali, akiogopa kuwa ataungua. Ali akasema: “Wacha waombolezaji waomboleze kifochako, ewe Aqil! Ulinywea wakati chuma kilichopashwa moto na mwanadamu kili-posogazwa karibu yako, na bado unanisogeza mimi kunielekeza kwenye moto ambaoAllah ameumba kwa ghadhabu yake. Je, ni sawa wewe utafute hifadhi kutokana na mau-mivu haya ya kawaida, na kwamba mimi nisijihifadhi mwenyewe na Moto wa Jehanamu?”

UPOLE WA ALI KWA MARWAN NA ABDULLAH BIN ZUBAIR:

Hata baada ya kuwashinda maadui zake, Ali bado alikuwa mpole kwao. MlaaniwaMarwan, mtoto wa mlaaniwa Hakum alikuwa ni adui muovu wa Ali. Lakini Alialipomshinda Marwan katika vita ya Jamal, alimsamehe. Abdullah Bin Zubair alikuwa niadui mwingine muovu. Alimtukana Ali wazi wazi, na Abdullah aliposoma Khutuba yakekule Basra mbele za watu, alisema: “Hakika Ali Bin Abu Talib ni fisadi, duni, na bahili.”(Allah atuepushie mbali). Lakini Mtukufu Imam aliposhinda vita vya Jamal na mtu huyumuovu alipoletwa kama mateka mbele yake, Ali hakusema hata neno kali dhidi yake. Alialimgeuzia kando uso wake na akamsamehe.

Mikesha ya Peshawar

165

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 165

Page 184: Mikesh A

UPOLE WA ALI KWA AISHA

Mfano mzuri wa huruma ya Ali ulikuwa ni mwenendo wake kwa Aisha. Jinsi alivyokujauso kwa uso kupigana naye na kumshutumu kungemkasirisha mtu duni. Lakini Alialipomshinda, alimshughulikia kwa heshima. Alimpa Muhammad bin Abu Bakr, kaka yakeAisha, jukumu la kuangalia ustawi wake. Kwa maagizo yake, wanawake ishirini wenyenguvu waliovaa kama wanaume walimsindikiza Aisha mpaka Madina. Alipofika Madina,alielezea shukurani zake kwa wanawake hao na wake za Mtume. Alisema kwamba sikuzote atabakia mwenye shukurani kwake. Alikiri kwamba, ingawa alikuwa katili kwake naalikuwa amehusika na ghasia kiasi hicho, hakusema neno lolote baya dhidi yake. Alisemaalikuwa na lalamiko moja tu dhidi yake. Alishangaa kwa nini alimsafirisha kwenda Madinahuku akisindikizwa na wanaume. Wanawake wale vijakazi mara moja walivua mavazi yaoya kiume. Ikajulikana wazi kwamba mpango huu ulifanywa kwa madhumuni ya kulindamali zao kutokana na majambazi.

Mfano mwingine wa huruma za Ali ni jinsi alivyomshughulikia Mu’awiyah katika vita vyaSiffin. Jeshi la askari 12,000 la Mu’awiyah liliufunga mto wa Euphrate. Wakati jeshi la Alililipoona kwamba njia waliyokuwa wanaitegemea ya kupatia maji ilikuwa imeshikwa, Alialituma ujumbe kwa Mu’awiyah akisema kwamba Mu’awiyah hapaswi kufunga njia yakufikia maji. Mu’awiyah alijibu kwamba atawanyima kutumia maji. Ali akamtuma MalikAshtar na kikosi cha askari. Alisukuma nyuma jeshi la Mu’awiyah na kuifungua njia yakuufikia mto Euphrate. Masahaba wakasema: “Ewe Ali! Na sisi tulipize na tuwanyimemaji, ili kwamba maadui wafe kwa kiu na vita vitakuwa vimekwisha.” Ali akasema:“Hapana! Kwa jina la Allah, sitalipiza kwa kufuata mfano wao. Waacheni askari wao wap-ate njia ya kufikia mto Euphrate.”

Maulamaa wenu wenyewe, kama Tabari katika kitabu chake “Ta’rikh”, Ibn Abi‘l-Hadidkatika “Sharhe Nahju‘l-Blagha”, Suleimani Balkhi katika “Yanabiu‘l-Mawadda”, Sura ya15, Mas‘udi katika “Murju‘dh-Dhahab”, na wanahistoria wengine wameandika kwa urefukuhusu uugwana wa Ali. Unaweza ukachunguza maelezo haya na kisha ukaamua ni nanianayeelekea kulengwa na aya hii: “Na wakahurumiana wenyewe kwa wenyewe…”Katika aya iliyoko kwenye mjadala, Muhammad, Mtume wa Allah, ndiye mlengwa nakinacho fuatilia ni arifu yake. Sifa zote zile ni kwa ajili ya mtu huyo huyo. Kuwa pamojana Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), kuwa mkali dhidi ya makafiri katika medani ya vita na kati-ka mijadala ya kielimu, kuwa na huruma kwa marafiki na maadui – sifa zote hizi hurejeakwa mtu ambaye kamwe hajamuacha Mtume au hata kufikiria kumuacha. Mtu huyo ni AliBin Abi Talib. Nilikwisha sema mapema kwamba, mwanachuo mkubwa, Muhammad binYusuf Ganji Shafi‘i ameandika katika kitabu chake “Kifayatu‘t-Talib” kwamba katika ayahii Allah anamsifia ‘Ali.

Mikesha ya Peshawar

166

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 166

Page 185: Mikesh A

Sheikh: Kuna majibu mengi kwa maelezo yako, lakini umetafsri tu visivyo aya hii. Usemi“na wale ambao wako pamoja naye” ni wa wingi na hauwezi kuonyesha mtu mmoja tu.Kama sifa zilizotajwa katika aya zinamuonyesha mtu mmoja tu, kwanini vijina vikawakwa wingi?

Muombezi: Kwanza, unasema kwamba kuna majibu mengi kwa maelezo yangu. Kamahiyo ilikuwa kweli, basi kwa nini usiyataje? Kunyamaza kwako ni uthibitisho kwambahakuna “mjibu mengi” kwa maelezo yangu. Pili, ulichosema hivi punde tu ni hoja potofu.Unajua kwamba katika luhga zote ikiwemo Kiarabu utumiaji wa wingi kwa ajili ya mmojani kitu cha kawaida kama dalili ya heshima. Kuna mifano mingi ya utumiaji huu katikaQur’ani Tukufu kama aya hii: “Hakika walii wenu ni Allah na Mtume wake na walio aminiambao husimamisha Salat na hutoa zaka na huku wamerukuu.” (5:55) Inakubaliwa na wotekwamba aya hii imeshuka kwa ajili ya Ali. Wafasiri na muhadithina, kam vile ImamuFakhru‘d-Din Razi katika “Tafsir Kabir”, juzuu ya 3, uk. 431; Imamu Abu Ishaq Tha‘labikatika kitabu chake “Kashfu ‘l-Bayan”; Jarullah Zamakhshari katika “Tafsir Kashshaf”,juzuu ya 1, uk. 422; Tabari katika “Tafsir” yake, juzuu 6, uk. 186; Abu‘l-Hasan Rammanikatika “Tafsir” yake; Ibn Hawazin Nishapuri katika “Tafsir” yake; Ibn Sa‘dun Qartabi kati-ka “Tafsir” yake, juzuu ya 6, uk. 221; Nasafi Hafiz katika “Tafsir” yake, uk.496 (kwa njiaya ufafanuzi kwenye Tafsir ya Khazin Bahgdadi); Fazil Nishapuri katika “Gharibu‘l-Qur’ani”, juzuu ya 1, uk.461; Abu‘l-Hasan Wahidi katika “Asbabu’n-Nuzul”, uk. 148;Hafiz Jassas katika “Tafsir Ahkamu’l-Qur’ani,” uk. 542; Hafiz Abu Bakr Shirazi katika“Fima Nazala Mina’l-Qur’ani Fi Amiru’l-mu’minin”; Abu Yusuf Abdu’s-Salam Qazwinikatika “Tafsir Kabir”; Kadhi Baidhawi katika “Anwar’t-Tanzil”, juzuu ya 1, uk. 345;Jalalu’d-Din Suyiti katika “Durr’l-Mansur”, juzuu ya 2, uk. 239; Kadhi Shukani San’a’ikatika “Tafsir Fathu’l-Qadir”; Sayyid Muhammad Alusi katika “Tafsir” yake, juzuu ya 2,uk. 329; Hafiz Ibn Abi Shaiba Kufi katika “Tafsir” yake; Abu’l-Baraka katika “Tafsir”yake, juzuu ya 1, uk. 496; Hafiz Baghawi katika katika “Ma’alimu’t-Tanzil”; Imamu AbuAbdu’r-Rahman Nisa’i katika “Sahih” yake.

Muhammad bin Talha Shafi’i katika “Matalibu’s-Su’ul”, uk. 31; Ibn Abi’l-Hadid katika“Sharhe Nahju’l-Balagha”, juzuu ya 3, uk. 375; Khazin Ala’u’d-Din Baghdadi katika“Tafsir” yake, juzuu ya 1, uk. 496; Suleimani Hanafi katika “Yanabiu’l-Mawadda”, uk.212; Hafiz Abu Bakr Baihaqi katika “Kitab Musnnaf”; Razin Abdari katika “Jam’Bainu’s-Siha Sitta”; Ibn Asakir Damishiq katika “Ta’rikh Sham”; Sibt Ibn Jauzi katika “Tadhkira”,uk. 9; Kadhi Azuda’ili katika “Mawaqif”; uk.276; Sayyid Sharif Jurjani katika “SharheMawaqif”; Ibn Sabbagh Malik katika “Fusu’l-Muhimma”, uk. 123; Hafiz Abu Sa’dSam’ani katika “Fadha’il’s-Sahaba”; Abu Ja’far Askafi katika “Nagzi’l-Uthmaniyya”;Tibrani katika “Ausat”; Ibn Maghazili Faqih Shafi’i katika “Manaqib”; Muhammad binYusuf Ganji Shafi’i katika “Kifayatu’t-Talib”; Mulla Ali Qushachi katika “Sharhe Tajrid”;Sayyid Muhammad Mu’min Shablanji katika “Nuru’l-Absar”, uk. 77; Muhibu’d-DinTabari katika “Riyazu’n-Nuzra”, juzuu ya 2, uk. 247, halikadhalika na wengine wengi

Mikesha ya Peshawar

167

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 167

Page 186: Mikesh A

miongoni mwa wanachuoni wenu maarufu, wote wamesimesimulia kutoka kwa Said,Mujahid Hasan Basri, A’mash, Atba Bin Hakim, Ghalib Ibn Abdullah, Qais Bin Rabi’a,Abaya Bin Rab’i , Abdullah Ibn Abbas, Abu Dharr Ghifari, Jabir Ibn Abdullah Ansari,Ammar, Abu Rafi, na Abdullah Bin Salam, na wengine wanakiri kwamba aya hiiiliteremshwa katika kumsifia Ali. Aya hii inaashiria kwenye wakati ambao Ali alitoa peteyake kumpa muombaji wakati akiwa kwenye rukuu. Hapa vile vile maneno yapo katikawingi kwa staha na heshima juu ya cheo cha Wilaya (walii), na kuthibitisha kwamba Alialikuwa Imamu na mrithi wa Mtume (s.a.a.w.).

Msisitizo wa neno “In’nama”, hutoa maana ya – uamuzi wa Allah – wa mwisho nauliopangwa, yaani, uamuzi wa Allah kwamba Walii wa waumini lazima awe ni Allah,Mtume Wake (Muhammad), na waumini ambao hutoa sadaka huku wakiwa wanasali,huyu wa mwisho akiashiriwa bayana kuwa ni Ali.

Sheihk: Hakika utakubali kwamba tafsiri yako haikuthubutu kwa vile kuna maoni tofautikuhusu hilo. Baadhi wanasema huashiria kwa Ansar, baadhi wanasema ni katika kumsifiaIbadat Bin Samit, na baadhi wanasema kwamba inaashiria kwa Abdullah Bin Salam.

Muombezi: Kwa hakika inashangaza kwamba mwanachuo kama wewe unaweza kupin-gana na ulamaa wako mwenyewe. Unachukua maoni ya wajinga wachache nawasioaminika ambao riwaya zao zinakataliwa. Wanachuoni wenu wakubwa kwa pamojawametamka kwa dhati kuthibitisha juu ya nukta hii, watu kama Fazil Taftazani na MullaAli Qushachi, ambaye anasema katika kitabu chake, Sharhe Tajrid: “Kwa mujibu wamaoni ya pamoja ya wafasiri, aya hii iliteremshwa katika kumsifia Ali, ambaye wakatiakiwa kwenye rukuu katika Sala, alitoa pete yake kumpa muombaji.”

MASHAKA NA UTATA KUHUSU “AYA YA WALII”NA UFAFANUZI WAKE

Sheikh: Katika mlolongo wa mazungumzo yako kuhusiana na aya hii, umejaribukuthibisha kwamba Ali alikuwa ndiye mrithi wa mara moja wa Mtume (s.a.w.w.), ingawaneno “Wali” katika aya hii lina maana ya “rafiki” au “mwenye kupendwa sana”, na sio“Imamu” au “Mrithi.” Kama maoni yako ni yenye kukubalika kwamba “Wali” maana yakeni “mrithi” na “Imamu”, basi kwa mujibu wa kanuni iliyokubaliwa, haikomei kwa mtummoja, bali wengine wanakuwemo pia, Ali akiwa mmoja mionmgoni mwao. Vile vilekatika aya, “Hakika walii wenu ni Allah, na Mtume Wake, na wale ambao wameamini…”utumiaji wa (sarufi) wingi huonyesha watu kwa ujumla. Kusema kwamba muundo wawengi ni kuonyesha heshima, haina maana bila hoja yenye nguvu, mfano wa ki-Qur’ani,au chanzo kingine.

Mikesha ya Peshawar

168

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 168

Page 187: Mikesh A

Muombezi: Umeulewa vibaya msemo “…Walii wenu…” “Wali” ni (sarufi ya) umoja,“kum” (wenu) ni wingi ambao huashiria kwa watu na haioneshi umoja. Naam hakika,“Wali” ni kwa ajili ya mtu ambaye ni mlezi kwa jamii nzima katika zama zote. Pili, kati-ka aya ambayo iko kwenye mjadala, pale ambapo wingi umetumika, baadhi ya mashabikiwamesema kwamba haiwezi kutafsiriwa kama umoja kama katika aya “…wale ambaowanasimamisha Sala…” pingamizi hili nililijibu mapema. Nilisema kwamba, waandishiwakubwa mara nyingi wametumia umoja kumaanisha wingi. Vile vile umedai kwambamuundo wa (sarufi ya) umoja katika aya hii huashiria watu kwa ujumla. Tunasema kwam-ba, kwa mujibu wa msisitizo wa neno “hakika”, anayeashiriwa ni Ali, lakini hatukusemakwamba kuhusika huko ni kwa aina ya pekee tu kwake. Wengine kutoka nyumba yaMtume wanakuwemo pia. Kwa mujibu wa hadithi zilizo sahihi, Maimamu wote wa kizazicha Mtume wamejumuishwa katika aya hii. Jarullah Zamakhshari anaandika katika“Kashshaf” kwamba aya hii iliteremshwa makhususi katika kumsifia Ali, lakini ule wingiuliotumika ndani yake, unamaanisha kwamba wengine lazima wamfuate.

Sheikh: Katika aya hii neno “Wali” haswa lina maana ya “msaidizi.” Kama lingekuwa namaana ya “mlezi” ambayo hujumuisha na cheo cha mrithi, basi angeliteuliwa wakati wauhai wa Mtume (s.a.w.w.).

Muombezi: Cheo cha Ali ni cha kudumu. Ujengaji wa sentensi kisarufi na neno “Wali”uliotumika kama sifa, huthibitisha cheo cha kudumu cha Ali. Ukweli huu unaungwamkono zaidi na Mtume kwa kumtangaza Ali kama makamu wake wakati wa safari yaTabuk na kamwe hakulifuta tangazo hilo. Mtazamo wetu unaimarishwa zaidi na Hadith-e-Manzila (Hadithi ya cheo) ambayo Mtukufu Mtume amerudia mara nyingi kuisimulia:“Ali kwangu mimi ni kama Harun alivyokuwa kwa Musa,” ambayo nimeilezea katikamikesha iliyopita. Hii yenyewe ni uthibitisho mwingine kwa Ali wa kuwa kwake Walii auMakamu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wakati wa uhai wa Mtume na baada ya kufakwake.

Sheikh: Kama ingekuwa tulipe suala hili mazingatio yanayostahili, tungelikiri kwambaaya hii haimzungumzii Ali. Cheo chake ni kikubwa kuliko kile tunavyotaka kukithibitshakutoka kwenye aya hii. Haithibitishi ubora wowote juu yake, bali hukiangusha chini cheochake.

Muombezi: Sio wewe wala mimi – si yeyote katika Umma – pamoja na wale masahabawakubwa wa Mtume, ambaye ana haki yoyote ya kuingilia tafsiri halisi za aya hizi. Aya zaQur’ani hazikuteremshwa kwa mujibu wa matakwa yetu. Kama baadhi ya watu wakitafsirimaana zao kwa kuegemeza juu ya maoni yao au wakataja tukio au habari ambayo ime-teremshiwa, basi kwa hakika hao sio watu wa dini. Kwa mfano, wafuasi wa Abu Bakrwanasema kwamba kwa mujibu wa hadithi iliyosimuliwa na mghushaji mkorofi Akrama,aya hii iliteremshwa kwa ajili ya Abu Bakr. Unaweza ukatueleza ni jinsi gani aya hiiinavyoangusha cheo cha Ali?

Mikesha ya Peshawar

169

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 169

Page 188: Mikesh A

Sheikh: Moja ya tabia za murwa wa cheo cha Ali ni kwamba, wakati anaposali kamwehageuzi hadhari yake kwenye kitu kingine. Wakati fulani Ali alijeruhiwa katika vita.Kiwembe cha mshale kilibakia mwilini, na ilikuwa haiwezikani kukiondoa bila kus-ababisha maumivu makali. Lakini aliposimama kwa ajili sala, kiwembe cha mshale kilion-dolewa, na kwa sababu ya kuzama katika ibada yake kwa Allah, hakusikia maumivu.Kama wakati wa kusali alitoa pete yake kumpa muombaji, kulikuwa na dosari kubwa kati-ka Sala yake. Itaezakana vipi mtu ambaye amezama katika rehema ya Allah na wakati huohuo andoe hadhari yake kutoka kwa Allah kwa ajili ya kuitikia sauti ya omba omba? Aidha,katika kutenda kila jambo jema na kutoa sadaka kuweka nia ni kitu cha lazima. Wakati wakusali hadhari ya mtu lazima iwe imeelekea kwa Allah peke Yake. Inawezekana vipikwamba nia yake imegeuka kutoka kwenye Sala na kugeuka kumuelekea kiumbe? Kwavile tunakiona cheo cha Ali kuwa ni cha juu sana, hatukubali tafsiri yako. Na kama alitoachochote kwa omba omba, basi kwa hakika haikuwa wakati wa Sala, kwa vile rukuumaana yake ni kunyenyekea mbele ya Allah.

Muombezi: Umejifunza vizuri jinsi ya kusoma, lakini umeikosa njia ya kuendea kwenyemaombi. Pingamizi hili ni dhaifu kuliko hata utando wa buibui. Kwanza, kitendo cha Alikwa njia yoyote hakiangushi chini cheo chake. Kwa hakika kumsikiliza omba omba ilikumpa sadaka, ni chanzo cha ubora. Katika hali hii, alikusanya sala yake ya kimwili na yakiroho pamoja na sala ya kiyakinifu. Sala zote zilikuwa katika njia ya Allah. Ndugu wapen-zi! Uharibifu ambao unanyongesha Sala ni ule ambao unatokana na fikra binafsi.Kuzingatia sala nyingine, wakati ambapo unasali Sala mahususi, ni dalili ya ubora. Kwamfano, kama wakati wa ibada ya Sala, mtu akalia kwa mapenzi makubwa ya jamaa zake,Sala yake itakuwa batili. Lakini kama akilia kwa mapenzi makubwa ya Allah, au kwakumuogopa Yeye, basi hiyo ni dalili ya ubora.

Umesema kurukuu maana yake ni kunyenyekea kwa unyofu kwa Allah. Maana hii inawezaikatumika kwa matukio mengine. Lakini kama ukisema kwamba kurukuu katika Sala,ambako ni hakika na lazima, kunabeba maana hiyo hiyo ya kilugha, watu wasomiwatakudharau. Vile vile umejaribu kuondoa au kupuuza maana ya wazi ya aya. Umeitoleamaana ya kistiari, ingawa unajua kwamba neno hilo huelezea kitendo kinachohitajika chaibada ya Sala, ambacho ni kuinama mpaka viganja kufikia magoti. Na ukweli huuumekubaliwa na maulamaa wenu wakubwa, kama nilivyoelezea mapema. FadhilQushachi, katika Sharhe Tjrid, anaelezea maoni ya wafasiri kwa ujumla kwamba Ali,wakati anarukuu katika Sala, alitoa pete yake kumpa omba omba. Tukiweka kila kitu pem-beni, tafadhali tueleze iwapo aya hii ilitaremshwa kwa kusifu au kwa kulaumu?

Sheikh: Ni wazi ilikuwa kwa kusifia.

Muombezi: Hivyo wakati maulamaa wa madhehebu zote wamesema kwamba aya hiiiliteremshwa kwa kumsifia Ali, na kwamba ina ridhaa ya Allah (swt), kwa nini ulete ukin-

Mikesha ya Peshawar

170

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 170

Page 189: Mikesh A

zani usio na maana, ukubaliane na Makhawariji washabiki, ambao maoni yao yameduk-izwa kwenye akili yako safi tangu utotoni? Kwa nini hukubali ukweli huu?

Sheikh: Samahani! Kwa vile wewe ni mzungumzaji fasaha, mara nyingi unatumia vidoke-zo na rejea ambazo zinaweza kujenga mawazo ambayo yanaweza kuleta matokeo yasiy-ofurahisha katika akili za watu ambao hawana elimu ya kutosha juu ya masuala haya.Ingekuwa vyema kama ungejizuia kutokana na lugha kama hizo.

Muombezi: Katika mazungumzo yangu hakuna chochote ila ukweli. Allah awe shahidiwangu, kamwe sijakusudia kutumia madokezo au rejea zisizo za moja kwa moja. Hakunahaja ya kufanya hilo. Chochote ninachotaka kusema, nakisema kwa wazi. Tafadhali nielezeni vidokezo gani unavyomaanisha.

Sheikh: Muda mfupi uliopita wakati wa mazungumzo yako kuhusiana na aya iliyokokwenye mjadala, ulisema kwamba sifa zilizotajwa ndani yake ni za kipekee kwa Ali BinAbu Talib ambaye kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa uhai wake, kamwe hajawa na shakakatika imani yake. Kwa namna hii unaonesha kwamba wengine walikuwa na hatia yaukana mungu. Je, wale makhalifa wakubwa au masahaba kuna yeyote aliyekuwa na shakakatika imani zao? Bila shaka hao masahaba, kama alivyokuwa Ali, kamwe hawajautiliashaka ukweli wa Uislamu. Hata mara moja hawajakengeuka katika mafindisho ya MtukufuMtume (s.a.w.w.).

Muombezi: Kwanza, kamwe sijatumia maneno ambayo wewe umeyatumia sasa hivi. Pili,unaelewa kwamba kuthibitisha kitu kwa mtu fulani haina maana ya kutothibitisha kituhicho kwa watu wengine. Tatu, ingawa unajaribu kunikosoa, nafikiri wengine hawana kitukama hicho katika akili zao. Allah awe shahidi wangu, sikufanya rejea yoyote isiyo yamoja kwa moja kwa kitu chochote, wala sijafikiria kufanya hivyo. Na kama kitu chochotekilitokea kwenye akili yako, ungeweza kuniuliza kuhusu kitu hicho kwa faragha.

Sheikh: Namna ya uzungumzaji wako huonyesha kwamba kuna nukta fulani ambazounazinyamazia. Nakuomba utufahamishe kilichoko akilini mwako na kutupa rejea sahihikwa unachosema.

Muombezi: Ni wewe uliyejenga kitu hicho akilini mwetu; unasisitiza kwamba suala hililijadiliwe. Nakuomba tena, liache suala hili na uache kusisitiza juu yake.

Sheikh: Kama kulikuwa na kitu chochote cha usafihi, imekwisha. Sasa huna jinsi ilakujibu. Kama hutatoa jibu la wazi, ima la kukubali au kukataa, basi nitawajibika kuamuakwamba uliyoyasema yalikuwa hayana msingi wowote.

Muombezi: Hakuna chochote cha usafihi katika maelezo yangu, lakini kwa vile unasisiti-

Mikesha ya Peshawar

171

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 171

Page 190: Mikesh A

za, sina jinsi isipokuwa kuufichua ukweli. Ulamaa wenu wakubwa wanakubali kwambamasahaba wa Mtume ambao imani yao ilikuwa bado haijakamilika, mara kwa marawalionyesha kuwa na mashaka. Baadhi yao walilea shaka hiyo na uasi wa kidini. Baadhiya aya ziliteremshwa kwa ajili ya kuwalaumu. Kwa mfano, walikuwepo munafiqin(wanafiki) ambao katika kulaumiwa kwao Sura nzima ya Qur’ani Tukufu iliteremshwa.Lakini masuala kama hayo hayapaswi kujadiliwa waziwazi. Nakuomba tena ujizuiye kuin-dama nukta hii.

Sheikh: Una maana kwamba wale makhalifa wakubwa walikuwa ni miongoni mwa walewaliokuwa na mashaka.

Muombezi: Kama majibu yangu yatasababisha hisia mbaya miogoni mwa watu wasio naelimu, wewe ndiye utakayebeba lawama. Umesema sasa hivi, “Useme hivi au umesemakwamba.” Lakini tena, ni maulamaa wenu wenyewe ndio ambao wamesimulia mambohaya.

Sheikh: Wameandika kuhusu suala gani, na ni katika tukio gani makhalifa wameoneshashaka yao, na ni watu gani ambao walitia shaka? Tafadhali tujulishe.

Muombezi: Watu wengi walikuwa na shaka kubwa sana, lakini wakarudi kwenye imaniyao ya asili. Baadhi yao wakang’ang’ania katika shaka zao. Ibn Maghazili Shafi’i, katikakitabu chake “Manaqib,” na Hafidh Abu Abdullah Muhammad Bin Abi Nasir Hamidi kati-ka “Jam’Bainu’s-Sahihain-e-Bukhari”, na Muslim wanaandika: “Umar Bin Khattab alise-ma, ‘Sijapata kuutilia mashaka utume wa Muhammad kama nilivyofanya siku yaHudaibiyya.’” Maelezo haya yanaonyesha kwamba aliutilia shaka utume wa Muhammadzaidi ya mara moja.

Nawab: Samahani. Ni tukio gani katika Hudaibiyya ambalo lilimfanya awe na shakakuhusu Mtume?

Muombezi: Mtume aliona usiku mmoja kwenye ndoto kwamba alikwenda Makka pamo-ja na mashaba zake kufanya Umra. Asubuhi yake, aliposimulia ndoto hii kwa masahabazake, walimuomba aitafsiri ndoto hiyo. Mtume akasema, “Mwenyezi Mungu akipendatutakwenda Makka kuitekeleza ibada hii Insha’allah.” Lakini hakuainisha ni wakati ganiitafanyika. Akiwa na nia ya kuizuru Nyumba ya Allah, Mtume aliondoka na masahaba zakekuelekea Makka katika mwaka ule ule. Wakati walipofika Hudaibiyya (kisima kilichokaribu na Makka), Maquraishi walikuja pale na kuwazuia wasiendelee mbele. Kwa vileMtume hakuenda kule akiwa amejiandaa kupigana, alijitolea kufanya amani nao. Mkatabaulisainiwa na Mtume akarudi Madina. Katika tukio hili, Umar alikuwa na mashaka.Alikwedna kwa Mtume na akasema: “Je, wewe sio Mtume wa Allah na mtu mkweli? Je,wewe hukutuambia kwamba utakwenda Makka na kufanya Umra kisha unyoe kichwa

Mikesha ya Peshawar

172

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 172

Page 191: Mikesh A

chako na upunguza ndevu zako? Kwa nini sasa umeshindwa kufanya hivi?”

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimuuliza iwapo yeye aliweka muda kwa ajili ya hilo au kamaaliwaambia kwamba atakwenda kule katika mwaka ule ule. Umar akakiri kwamba Mtumehakuainisha wakati. Mtume akasema kwamba alichowaambia ni sahihi, na Mungu akipen-da watakwenda Makka siku zijazo na ndoto yake itatimizwa. Hakika wakati kwa ajili yautekelezaji wa tafsiri ya ndoto, uwe mapema au baadae utetagemea juu ya utashi wa Allah(swt). Kisha kwa uthibitisho wa maelezo ya Mtume, Jibril alijitokeza na kuteremsha ayaifuatayo ya Qur’n Tukufu: “Hakika Allah amemtimizia Mtume Wake ndoto kwa haki.Bila shaka ninyi mtauingia Msikiti Mtukufu, insha-Allah kwa amani, na halimmenyoa vichwa vyenu na (baadhi) mmepunguza nywele. Hamtakuwa na hofu. Yeyeanajua msiyoyajua. Basi atakupeni kabla ya haya ushindi karibuni.” 48:27. Ushindihapa una maana ya ushindi wa Khaibar. Hii ilikuwa kwa ufupi tukio la Hudaibiyya amba-lo kwa kweli lilikuwa ni mtihani kwa waumini na kwa watu wanaoyumba.

Kufikia hapa ulifuatia mjadala wa iwapo tuendelee na mjadala au la, kwa ajili ya ratiba yawageni wa ki-Sunni kutoka Afghanistan na halikadhalika na Muombezi, matokeo yakeambayo ilikuwa ni uamuzi wa kuendelea.

MKUTANO WA SABA JUMATANO USIKU29 RAJAB, 1345 A.H.

Sayyid Abdu’l-Hayy (Imam wa Msikiti wa jamaa wa Sunni): Mikesha fulani iliyopitaulitoa maelezo fulani ambayo kwamba Hafidh Sahib alitaka uthibitisho, lakini kwa ujanjaulikwepa kujibu au ulifanya watu miogoni mwetu wachanganyikiwe, na suala lote likawani lenye kukera.

Muombezi: Tafadhali nifahamishe ni lipi kati ya maswali yenu ambalo limeachwa bilakujibiwa, kwani sikumbuki ni suala gani unalolirejelea.

Sayyid: Wewe hukusema katika baadhi ya mikesha iliyopita kwamba Ali alikuwa naumoja wa ‘nafsi’ pamoja na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na hivyo alikuwa mbora wa cheokwa mitume wote?

Muombezi: Ni kweli. Hayo yalikuwa ni maelezo yangu, na ni katika imani yangu.

Sayyid: Basi kwa nini hukujibu swali letu?

Muombezi: Umekosea sana. Inashangaza kwamba umekuwa ukisikiliza kwa ukaribumajadiliano yetu, lakini bado sasa unanilaumu kwa kuchukuwa njia ya ujanja au

Mikesha ya Peshawar

173

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 173

Page 192: Mikesh A

kuchanganya akili zenu. Kama utaangalia kwa makini utaelewa kwamba sijasema kituchochote cha kupotosha, lakini ma-Mulla hawa wasomi waliuliza maswali ambayo nililaz-imika kuyajibu. Sasa kama una swali lolote la kuuliza, unaweza kufanya hivyo, na kwamsaada wa Allah, nitalijibu.

Sayyid: Tunataka kujua vipi inawezekanaje kwamba watu wawili wanaweza kuunganakiasi kwamba muungano wao unawafanya kuwa mtu mmoja na yule yule.

TOFAUTI KATI YA MUUNGANO WA KUWAZIKA NAMUUNGANO HALISI

Muombezi: Kwa hakika, haiwezikani kwa watu wawili kuunda muungano halisi. Wakatiniliposema kwamba Amiru’l-Muminina Ali ana muungano wa “nafsi” pamja na Mtume,hupaswi kuuchukualia kama muungano halisi, kwa sababu kamwe hakuna mtu aliyedaihivyo, na kama mtu yeyote akiuamini atakuwa amekosea kabisa. Muungano nilioutaja niwa kuwazika tu, sio halisi, na unakusudia kuonesha kwamba wote wawili wana ubora uleule wa nafsi na muruwa, sio mwili huo mmoja.

Hafidh: Basi kwa mujibu wa kauli hii wote lazima watakuwa ni mitume, na kutokana nausemavyo, wahayi lazima utakuwa umekuja kwa wote.

Muombezi: Hiyo ni dhana potofu ya dhahiri. Hakuna Shi’a hata mmoja mwenye imanikama hiyo. Nisingetegemea wewe kujiingiza katika mazungumzo kama haya na kupotezawakati wetu. Nimekuelezeeni tu kwamba wanahusiana katika masuala yote ya sifa naubora, isipokuwa sifa zile ambazo kuziondoa kwake kuna amri au misingi makhususi.Jambo hilo la pekee ni utume na sifa zake zote zilizoambatanishwa nao - mojawapo ikiwani upokeaji wa wahayi, na kwa kupitia huo ni mawasilisho ya Maamrisho ya Mungu.Pengine umesahau maelezo yangu katika mikesha iliyopita, ambamo nilithibitisha kupitiaHadithi ya Cheo (Manzila) kwamba Ali alikuwa na cheo cha utume, lakini kwamba alifu-ata na alipasika kwenye dini na mafundisho yaliyofundishwa na Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Cheo chake katika utume hakikuwa zaidi ya kile cha Harun wakati wa Musa.

Hafidh: Lakini kama unaamini katika usawa wa Ali pamoja Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)katika mambo yote ya sifa na ubora, inafuatia kwamba lazima uamini usawa wake katikamasuala ya utume na sifa zilizoambatanishwa nao.

Muombezi: Inaweza kuelekea hivyo, lakini kama unafikiria kwa makini utaona kwambasio hivyo. Kama nilivyothibibitisha mapema kutoka kwenye aya za Qur’ani, utume ni wavyeo tofauti, na Manabii na Mitume wa Allah wanazidiana kati ya mmoja na mwinginekatika ubora wa vyeo. Kama Qur’ani Tukufu inavyoeleza kwa uwazi: “Mitume hao

Mikesha ya Peshawar

174

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 174

Page 193: Mikesh A

Tumewatukuza baadhi yao juu ya wengine…” (2:253). Na kikamilifu zaidi katika cheokwa Mitume wote ni cheo maalumu cha Muhammad, kama Allah alivyosema:“Muhammad sio baba wa yeyote katika wanaume wenu, bali ni Mtume wa Allah namwisho wa Manabii, na Allah ni mjuzi wa kila kitu” (33:40). Ni kwa ukamilifu huowa utume ambao umepelekea kwenye ukomo wa utume. Hivyo katika sifa hii ya ukamili-fu, hakuna mtu yeyote anayeweza kujumuishwa humo. Katika mambo mengine yote yaubora, kuna ushirikiano na usawa, ambao kwamba kuna uthibitisho mwingi.

Sayyid: Unaweza ukaleta hoja yoyote kutoka kwenye Qu’an kuthibitisha madai haya?

AYA YA MAAPIZANO (MUBAHILA) INATHIBITISHAUMOJA WA NAFSI YA ALI NA YA MTUKUFU MTUME

(S.A.W.W.)

Muombezi: Hakika, hoja yetu ya kwanza ni kutoka Qur’ani Tukufu, ambayo ni ushahidiwa ki-Mungu wenye nguvu sana, yaani aya ya maapizano (Ayatul-Mubahila) ambayokwayo Allah anasema:

“Watakao kuhoji katika haya baada ya kukufikia elimu hii waambie: Njooni tuwaitewatoto wetu na watoto wenu, na wanawake zetu na wanawake zenu, na nafsi zetu nanafsi zenu, kisha tuombe kwa unyenyekevu tutake laana ya Allah iwashukie waon-go.” (3:61)

Maulamaa wenu wakubwa, kama vile Imamu Fakhuru’d-Din Razi, Imamu Abu IshaqTha’labi, Jalalu’d-Din Suyuti, Qadhi Baidhawi, Jarullah Zamakhshari, Muslim bin Hujjaj,na wengine wengi, wameandika kwamba aya hii tukufu iliteremshwa siku ya maapizano,ambayo ilikuwa mwezi 24 au 25 Dhu’l-Hijja katika mwaka wa 9 A.H.

Wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipowalingania Uislamu Wakristo wa Najran, waowaliwateua watu wao wenye elimu sana kama vile Seyyed, Aqib, Jasiq, Alqama na kadha-lika, idadi yao ikiwa ni zaidi ya watu sabini na wakawatuma kwenda Madina pamoja nawatu 300 kati ya wafuasi wao, ili kukutana na Mtukufu Mume na kujifunza Uislamuulikuwa ni nini. Waliingia katika mjadala wa kielimu na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na wal-ishangazwa na hoja zake nzito. Alithibitisha ukweli wa ujumbe wake kutoka kwenye vyan-zo vyao vyenye kuaminika na akasema kwamba, Isa mwenyewe alitabiri kuwasili kwake(Muhammad) kwa ishara mbali mbali, na Wakristo walikuwa wanangojea kutimia kwa

Mikesha ya Peshawar

175

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 175

Page 194: Mikesh A

utabiri wa Isa ambao kwa mujibu wake, mtu huyo atatokea akiwa amepanda ngamiakutokea milima ya Faran (katika Makka) na atahamia kwenye sehemu iliyopo kati ya ‘Ayrna Uhud (ambayo ilikuwa ni Madina). Hoja hzi ziliwavutia sana Wakristo, lakini mapenziyao ya heshima za kidunia yaliwazuia kuukubali ukweli. Basi Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)aliwaeleza amri ya Allah, ambayo walikubaliana nayo kama njia ya kumaliza mjadala nakwa ajili ya kubainisha kati ya wakweli na waongo.

KUWASILI KWA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.)

KWA AJILI YA MAAPIZANO

Kwa mujibu wa makubaliano yao ya pamoja, siku iliyofuatia kundi lote la Wakristo, pamo-ja na wanachuoni wao zaidi ya sabini, walimngojea Mtume nje ya milango ya Madina.Walitegemea kwamba yeye angekuja kwa fahari na idadi kubwa ya wafuasi wake ili kuwa-hofisha. Lakini milango ilipofunguliwa, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alijitokeza akiwa nakijana wa kiume kuliani kwake, mwanamke mwenye heshima kushotoni kwake, na wato-to wawili mbele yake. Walibakia chini ya mti, wakiwakabili Wakristo. Asqaf, mtu mwenyeelimu zaidi mwiongoni mwa Wakristo, aliuliza hao ni watu gani ambao Muhammad ame-toka nao. Alijulisha kwamba kijana wa kiume ni mkwe wake na binamu yake, Ali Bin AbiTalib, yule mwanamke ni binti yake, Fatima, na watoto wawili ni watoto wa binti yake,Hasan na Husein.

Wakati akiwahutubia Wakristo, kiongozi wao, Asqaf, alisema: “Tazameni, jinsiMuhammad anavyojiamini! Amekuja pamoja na jamaa zake wa karibu, watoto, na wapen-zi wake, kwenye shindano hili la kiroho la kuapizana. Kwa jina Mungu, kama angelikuwana shaka au hofu kuhusu msimamo wake, kamwe asingewachagua hawa. Sasa siwashaurikuingia kwenye mashindano dhidi yake. Lau si kuwa na hofu na Mfalme wa Rumi,tungeikubali imani ya Uislamu. Ingelifaa zaidi kukubaliana nao juu ya masharti yao nakurudi nyumbani.” Wote walikabaliana naye. Kwa hiyo, Asqaf alituma ujumbe kwaMtukufu Mtume (s.a.w.w.), akisema: “Hatutaki kushindana na wewe, bali tunatakakufanya amani na wewe.” Mtume alikubali mapendekezo yao.

Mkataba uliandikwa na Amiru’l-Muminin, Ali Ibn Abi Talib. Wakristo walikubali kulipakodi ya mwaka katika muundo wa daraya 2,000, kila moja ikiwa na thamani ya takribandirham 40 (dirham moja ilikuwa sawa na ½ wakia ya dhahabu), na mithqal 1000 za dha-habu (mithqal ilikuwa sawa na 1/6 wakia ya dhahabu). Nusu ya hii ilkubaliwa ilipwemwezi wa Muharram na nusu nyingine katika mwezi wa Rajab. Baada ya mkataba kusaini-wa na pande zote, Wakristo walirudi nyumbani kwao. Wakati wakiwa njiani, mmoja wawanachuo wao aitwaye Aqib alisema kuwaambia masahaba zake: “Kwa jina la Mungu,

Mikesha ya Peshawar

176

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 176

Page 195: Mikesh A

ninyi na mimi tunajua kwamba huyu Muhammad ni Mtume yule yule wa Mungu ambayealikuwa akitazamiwa, na chochote anachosema kinatoka kwa Mungu. Naapa kwa jina laMungu kwamba yeyote aliyeshindana na Mtume wa Mungu aliangamia, na hakuna katikavijana wao na wazee wao aliyebakia hai. Kwa hakika kama tungeshindana nao, wote sisitungeliuawa na asingebakia hai Mkristo yeyote ulimwenguni. Kwa jina la Mungu, wakatinilipowaangalia niliziona nyuso ambazo kama zingemuomba Mungu, wangeweza kuso-geza milima.

Hafidh: Ulichosema ni kweli kabisa na kinakubaliwa na Waislamu wote, lakini hakinauhusiano na suala tunalojadili, yaani, kwamba Ali alikuwa ameungana kiroho na MtukufuMtume (s.a.w.w.).

STAHILI YA ALI, FATIMA, HASAN NA HUSEIN INATHIBITISHWA NA AYA YA MAAPIZANO

Muombezi: Ninahoji kutokana na neno “nafsi zetu” katika aya hii tukufu, kwani kutokanana aya hii masuala mengi yanatatuliwa. Kwanza, njia ya haki iliyolinganiwa na MtukufuMtume (s.a.w.w.) imethibitishwa. Yaani, kama asingekuwa katika upande wa haki,asingethubutu kutoka kuja kwenye shindano wala wale Wakristo maarufu wasingelikimbiakutoka kwenye uwanja wa Mubahila. Pili, vile vile aya hii huthibitisha kwamba Hasan naHusein walikuwa ni watoto wa Mtume wa Allah (s.a.w.w.) kama nilivyokwishataja katikamazungumzo yangu katika usiku wa kwanza. Tatu, huthibitisha kwamba Amiru’l-Mu’minin, Ali, Fatima, Hasan na Husein walikuwa kiroho ndio watu watukufu zaidi mion-goni mwa viumbe wote, na wapenzi mno wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), kwani hatawanachuoni washabiki na wapinzani wakubwa wa madhehebu yenu, kama Zamakhshari,Baidhawi, na Fakhru’d-Din Razi, na wengine wameandika katika vitabu vyao. HususaniJarullah Zamkhshari, akiandika kuhusu aya hii tukufu, anatoa maelezo yanayojitoshelezakuhusu kukusanyika kwa “viumbe watano” hawa na kusema kwamba, aya hii niuthibitisho mkubwa wa ubora wa Ashab-i-Ayba, watu watano ambao walikusanyika chiniya blanketi pamoja na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Nne, inaonesha kwamba Amiru’l-Muminin, Ali aliwapita masahaba wengine wote kwaubora na cheo, kwa sababu Allah amemuita katika aya hii tukufu kama nafsi ya Mtume. Nidhahiri kwamba, maneno “nafsi zetu” hayamaanishi nafsi ya Mtume mwenyewe, kwasababu kuita maana yake kumwita mtu mwingine; mtu kamwe haambiwi ajiite mwenyewe.Kwa hiyo, neno hili huelekeza kwa mtu mwingine ambaye ni kama nafsi ya Mtumemwenyewe. Na kwa vile, kwa mujibu wa maoni ya pamoja ya wafasiri wa kuaminika namuhadithina wa madhehebu zote, hakuna mwingine yeyote isipokuwa Ali, Fatima, Hasani

Mikesha ya Peshawar

177

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 177

Page 196: Mikesh A

na Husein ndio walikuwepo pamoja na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) katika maapizano,usemi katika aya hii tukufu, “watoto wetu na watoto wenu, wanawake wetu nawanawake wenu” huashiria Hasan na Husein na Fatima kwa mpangilio huo, na mtumwingine angeweza kutambuliwa kama “nafsi zetu” katika kundi hili tukufu alikuwa niAmiru’l-Muminin, Ali. Kwa hiyo, maneno haya “nafsi zetu” huthibitisha muungano wanafsi kati ya Mtume Muhammad na Ali. Kwa vile mungano halisi wa nafsi mbilihauwezikani, Allah kumuita Ali ‘nafsi’ ya Mtume Muhammad maana yake ni muunganowa kutwaliwa wa nafsi mbili.

Unajua vizuri sana kwamba kimsingi ni bora kulitambua neno kwa dhana ya karibu kulikona ile ya mbali, na dhana ya karibu sana maana yake kuhusiana katika fadhila zoteisipokuwa zile ambazo zimeondolewa kwa sababu fulani. Na tayari tumekuambieni kwam-ba ni utume maalumu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na upewaji wa Wahyi juu yake,ambavyo ni vitu vya kipekee kwake tu. Kwa hiyo, hatumchukulii Ali kama mshirika wakekuhusiana na sifa hizi mbili. Lakini kwa mujibu wa aya hii tukufu, Ali anashirikiana pamo-ja na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) katika fadhila nyingine zote, na kwa uhakika Allah (swt)amemjaalia Ali kupitia kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa baraka Zake zote. Hii pekeyake inathibitisha muungano wa nafsi zao, ambao tulitaka kuuthibitisha.

Hafidh: Kwa nini unasisitiza kwamba aya hii haimaanishi kuita ‘nafsi’ yake mwenyewe?Kwa nini dhana hii isiwe bora kuliko dhana nyingine?

Muombezi: Ni matumaini yangu kwanba hutapoteza muda katika mazungumzo yasiyo namantiki na kutoka nje ya njia ya uadilifu. Kwa kweli uadilifu huhitaji kwamba kamatumekubaliana juu ya nukta fulani, lazima tuendelee mbele. Sikutegemea mtu wa cheochako na elimu yako kujiingiza katika mjadala bandia. Kama ujuavyo wewe mwenyewena kwa mujibu wa wanachuoni wote, nafsi moja inafananishwa na nafsi nyingine kwa njiaya dhana. Miogoni mwa watu wasomi ni kawaida kudai muungano wa dhana, kama nilivy-oeleza mwanzo. Mara kwa mara inaonekana kwamba mtu mmoja anamuambia mwingine:“Wewe ni maisha yangu na nafsi yangu mwenyewe.” Hususan katika lugha ya hadith nasimulizi, uhusiano huu mara kwa mara umekuwa ukielezewa kuhusu Amiru’l-Muminin,Ali, na kila simulizi kama hiyo ikuchukuliwa kwa peke yake ni uthibitisho wa kuoneshaukweli wa msimamo wangu.

Mikesha ya Peshawar

178

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 178

Page 197: Mikesh A

SIMULIZI ZAIDI NA HADITH KAMA USHAHIDI WA UMOJA WA MSINGI WA

MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.) NA ALI

Imamu Ahmad bin Hanbal, katika Musnad yake, Ibn Maghazili, mwanachuoni wa ki-Shafi’i katika Manaqib yake, na Muwafiq Ibn Ahmad Khawarizmi katika Manaqib yake,wanasimulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Ali anatokana na mimi namimi natokana na Ali; yeyote anayempenda yeye, amenipenda mimi; na ambaye ananipen-da mimi, amempenda Allah.” Vile vile Ibn Maja katika Sunan yake, sehemu ya 1, uk. 92;Tirmidhi katika Sahih yake; Ibn Hajar katika kitabu cha Hadithi cha 5 cha “HadithiArobaini” zinazohusu fadhaila za Amiru’l-Muminin zilizosimuliwa katika Sawa’iq kutokakwa Imamu Ahmad Bin Hanbal, Tirmidhi, Imamu Abu Abdu’r-Rahman Nisa’i, na IbnMaja; Imamu Ahmad Bin Hanbal katika Musnad, juzuu ya 4, uk. 164; Muhamad Ibn YusufGanji Shafi’i katika sura ya 67 ya Kifayatu’t-Talib kutoka Musnad ya Ibn Samak, juzuu ya4, na Mu’jim Kabir cha Tibrani; na Imamu Abudu’r-Rahman Nisa’i katika Khasa’is, naSulaiman Balkhi Hanafi katika Yanabiu’l-Mawadda kutoka kwenye Mishkat – wotewamesimulia kutoka kwa Jash Bin Junada as-Saluni kwamba wakati wa hijja ya muago,Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema kule Arafa: “ Ali anatokana na mimi, na mimi natokanana Ali. Hakuna mtu anayenifidia mimi (yaani, hakuna awezaye kufanya kazi ya ujumbewangu) isipokuwa mimi na Ali.”

Sulaimani Balkhi Hanafi katika Yanabiu’l-Mawaddat, sura ya 7, anasimulia kutokaZawa’id-e-Musnad cha Abdullah Bin Ahmad Bin Hanbal kutoka kwa Ibn Abbas kwambaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema kumuambia Ummu’l-Mu’minin Salma: “Ali anatokanana mimi na mimi natokana na Ali. Nyama yake na damu yake inatokana na nyama yanguna damu yangu. Yuko kwangu mimi kama alivyokuwa Harun kwa Musa. Ewe UmmSalma! Sikiliza, na uwe shahidi kwamba huyu Ali ni bwana na mkuu wa Waislamu.”

Hamidi katika kitabu chake Jam’Bainu’s-Sahihain na Ibn Abi’l-Hadid katika Sharhe-Nahju’l-Balagha wanasimulia kwamba, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Ali ana-tokana na mimi na mimi natokana na Ali. Ali kwangu mimi ni kama kichwa kilivyo kwamwili; mtu anayemtii yeye, ananitii mimi; na mtu anayenitii mimi, anamtii Allah.”

Muhammad Bin Jarir Tabari katika Tafsir yake na Mir Sayyid Ali Hamdani, mwanachuoniwa ki-Shafi’i, katika Muwadda ya 8 cha Muwaddatu’l-Qurba, wanasimulia kutoka kwaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) ambaye alisema: “Hakika Allah (swt) aliisaidia imani hii ya ki-Islamu kupitia Ali, kwa vile yeye anatokana na mimi, na mimi natokana na yeye, na ayahii tukufu imeteremshwa kwa ajili yake. ‘Basi je, yeye ni kama mtu ambaye ana dalili

Mikesha ya Peshawar

179

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 179

Page 198: Mikesh A

za wazi kutoka kwa Mola wake na kufuata ushahidi kutoka Kwake?’” (11:17)

Sheikh Sulaimani Balkhi Hanafi ameainisha katika sura ya 17 ya kitabu chake Yanbiu’l-Mawdda kuhusu suala hili hili chini ya maelezo mafupi: “Kuhusu Ali kuwa kama nafsi yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) na hadithi kwamba Ali anatokana na mimi, na mimi natokanana Ali.’” Katika sura hii amesimulia hadithi 24 katika njia tofauti na kwa maneno tofautikutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), ambaye alisema Ali alikuwa kama nafsi yakemwenyewe. Kuelekea mwishoni mwa sura hii, alisimulia hadithi kutoka kwenye Manaqibkama ilivyosimuliwa na Jabir, ambaye alisema kwamba, alimsikia Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) akisema kwamba, Hadhrat Ali anazo sifa ambazo kwamba kama mtu anakuwana moja kati ya hizo, ingelitosha kuthibitisha murwa wa mtu huyo na ubora wake. Na kwasifa hizo ilimaanishwa hadithi za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuhusiana na yeye kama vile:“Yeyote yule ambaye mimi ni mwenye kumtawalia mambo yake basi huyu Ali ni mwenyekutawalia mambo yake”, au “ Ali yuko kwangu mimi kama alivyokuwa Harun kwa Musa”,au “Ali anatokana na mimi na mimi natokana na Ali” au “ Ali yuko kwangu mimi kamanafsi yangu ilivyokuwa kwangu, utii kwake ni utii kwangu”, au “Kupigana dhidi ya Ali nikupigana dhidi ya Allah, na kufanya amani na Ali ni kufanya amani Allah”, au “Rafiki waAli ni rafiki wa Allah, na adui wa Ali ni adui wa Allah”, au Ali ni Hujjat (udhihirisho) waAllah juu ya viumbe Wake”, au “ Mapenzi kwa Ali ni imani, na uadui dhidi yake niukafiri”, au “Kundi la Ali ni kundi la Allah, nakundi la maadui wa Ali ni kundi la Shetani;”au “Ali yuko pamoja na haki, na haki pamoja naye, (na hivyo) havitengani”, au “ Ali ndiyemgawaji wa Pepo na Moto”, au “Mtu anayejitenga na Ali, amejitenga na mimi, naanayejitenga na mimi, anajitenga na Allah”, au “Wafuasi wa Ali wataokolewa Siku yaHukumu.”

Mwishowe, alinukuu hadithi nyingine yenye maelezo marefu kutoka kwenye Manaqibambayo mwishoni mwake Mtume anasema: “Naapa kwa jina la Allah ambaye amewekautume juu yangu, na kunifanya mimi mbora wa viumbe Wake: Ewe Ali! Hakika wewe niHujjat (udhihirisho) wa Allah kwa ajili ya watu, mdhamini Wake, mjuzi wa siri Zake, naKhalifa juu ya waja Wake.”

Kuna hadithi nyingi kama hizo kwenye vitabu vyenu. Maneno “nafsi zetu” kwa uwazihuonesha ushirikiano wa karibu kati ya Mtume na Ali katika masuala yote ya ubora.Nafikiri kwamba aya hii ni ushahidi tosha wa msimamo wangu. Aidha, swali lako la pililinajibiwa na aya hiyo hiyo. Tumethibisha kwamba, ukiondoa utume na Wahyi, ambavyovinamhusu Mtume tu peke yake, Ali alishirikishwa pamoja naye katika masuala yote yaubora. Vile vile ina maana kwamba katika sifa za hali ya juu za ubora Ali alikuwa mborazaidi ya Masahaba na kwa mtu yeyote katika umma huu. Kwa hakika aya hii inathibitishakwamba anawapita Mitume wote wengine waliopita, kama vile ambavyo Mtume anawapi-ta Mitume wote wengine.

Mikesha ya Peshawar

180

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 180

Page 199: Mikesh A

KWA VILE MTUKUFU MTUME ALIKUWA MBORAKWA MITUME WOTE WENGINE NA ALI PIA

ALIKUWA MBORA KWAO

Katika Ihya’u’l-Ulum ya Imam Ghazali, Sharhe Nahjul-Balaghah ya Ibn Abil-HadidMu’tazil, Tafsir ya Imam Fakhrud-Din Razi, na Tafsir za Jarullah Zamakhshari, Baidhawi,Nishapuri na kadhalika, utaikuta hadith hii ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.): “Wanachuoni waumma wangu ni kama mitume wa Bani-Israili.” Katika hadith nyingine amesema: “Ulamaawa umma wa Mtukufu Mtume walikuwa sawa au bora kuliko mitume wa Bani-Israil kwasababu tu kwamba chanzo chao cha elimu kilikuwa ndio kiini hasa cha elimu, MtukufuMtume Muhammad (s.a.w.w.). Kwa hiyo, Ali ibn Abi Talib bila shaka alikuwa mbora kwamitume, kwa vile Mtukufu Mtume amesema: “Mimi ni Jiji la elimu na Ali ni lango lake.”Vile vile amesema: “Mimi ni nyumba ya hekima na Ali ni lango lake.” Wakati Alimwenyewe alipoulizwa kuhusu jambo hili, yeye alieleza baadhi ya vipengele vya uborawake kwa mitume wa Bani-Israil.

Mnamo mwezi 20 ya Ramadhan, wakati Ali alipokuwa katika kitanda chake cha umautikufuatia lile shambulizi la Abdul-Rahman Ibn Muljim Muradi, alimtuma Imam Hasankuwaita wale Mashi’a waliokuwa wamejikusanya kwenye mlango wa nyumba yake.Walipoingia ndani, walikuzunguka kitanda chake huku wakilia kimya kimya. Ali akasema:Mnaweza kuuliza swali lolote mnalolitaka kabla sijakuacheni, lakini maswali yenu yawemafupi.” Mmoja wa wale waliokuwepo pale alikuwa ni Sa’sa’a bin Suwhan. Wanachuoniwenu maarufu kabisa kama Ibn Abdul-Birr na Ibn Sa’ad, wameandika kuhusu maisha natabia yake, wamemtegemea yeye Sa’sa’a, wakithibitisha kwamba yeye alikuwa ni mtumwenye elimu kubwa.

Sa’sa’a alimwambia Ali: “Naomba unifahamishe ni nani mbora, ni wewe au Adam.” ImamMtukufu akasema: “Haifai kwa mtu kujisifia mwenyewe, lakini kulingana na kauli adili-fu: ‘Na neema za Mola Wako alizokujaalia zisimulie,’ ninakwambia kwamba mimi ni borakuliko Adam.” Alipoulizwa ni kwa nini imekuwa hivyo, Ali alieleza kwamba Adamalikuwa na kila namna ya huruma, starehe na neema kwa ajili yake ndani ya Pepo.Alitakiwa tu kujizuia kutokana na chakula kile kilichokatazwa. Lakini hakuweza kujizuiana akala kutoka kwenye mti ule. Matokeo yake yeye alifukuzwa kutoka peponi. MwenyeziMungu hakumkataza yeye Ali kutokana na kula ngano (ambayo, kwa mujibu wa imani yaKiislam ndio ‘mti’ uliokatazwa). Lakini kwa kuwa yeye hakuwa na mwelekeo kwenyedunia ya mpito, yeye alijizuia kwa hiari yake mwenyewe kula ngano. (Hoja ya kauli hii yaAli ilikuwa kwamba ubora wa mtu mbele ya Mwenyezi Mungu ulitegemea kwenyeuchamungu na utii, na kwamba kilele cha uchamungu kinaegemea katika kujizuia hata kwakile ambacho kinaruhusiwa kihalali).

Mikesha ya Peshawar

181

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 181

Page 200: Mikesh A

Sa’sa’a akauliza: “Ni nani mbora, wewe ama Nuh?” Ali akajibu: “Mimi ndiye mbora. Nuhaliwalingania watu wake kumuabudu Mwenyezi Mungu lakini hawakutii. Kitendo chaocha aibu kilikuwa ni kumtesa yeye. Yeye aliwalaani na akamuomba Mwenyezi Mungu:‘Ewe Mola Wangu! usiabakishe hata mtu mmoja juu ya ardhi miongoni mwa madhalimuhawa.’ Baada ya kifo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), ingawaje watu walinisababishiamatatizo makubwa, mimi sikuwalaani kamwe. niliyabeba mateso yao kwa subira kubwa.”Sa’sa’a akauliza: “Ni nani aliye mbora, wewe ama Ibrahim?” Ali alijibu: “Mimi na mbora,kwani Ibrahim alisema: ‘Mola Wangu! nionyeshe jinsi unavyofufua wafu. (Mungu)Akasema: Kwani huamini? Akasema: Hasha! bali ili moyo wangu utue ..... (2:260)Imani yangu ilikuwa kiasi kwamba nilisema: ‘Hata kama pazia la yale yaliyo ghaibu linge-funuliwa, imani yangu isingeongezeka.’”

Sa’sa’a akauliza: “Ni nani mbora, wewe au Musa?” Imam Mtukufu akajibu: “Mimi ndiyembora, kwani wakati Mwenyezi Mungu Mtukufu alipomtuma Musa kwenda Misri kum-lingania Firauni kwenye haki, Musa alisema: ‘Mola Wangu! Kwa hakika niliuwa mmojawao, kwa hiyo naogopa wataniuwa. Na ndugu yangu Harun ni fasihi zaidi ulimi wakekuliko mimi. Basi mtume aende pamoja nami kunisaidia, ili anisadikishe. Hakikamimi na hofu watanikadhibisha.’ (28: 33-34) Mtukufu Mtume aliniagiza mimi, kwa amriya Allah kwenda Makka kuzisoma aya za Sura ya Al-Bara’a kutoka juu ya Ka’aba kwamakafiri wa Quraishia. Mimi sikuwa na hofu, ingawaje kulikuwa na watu wachache ambaowalikuwa hawajapoteza ndugu yao wa karibu kwa upanga wangu. Kwa kuitii amri yake,niliitekeleza kazi hiyo peke yangu. Nilizisoma aya za al-Bara’at na nikarejea.”

Sa’sa’a akauliza tena: “Ni nani mbora, wewe au Isa (ibn Mariam)?” Ali akasema: “Mimini mbora, kwani wakati Mariam alipokuwa mjamzito kwa Rehma za Mwenyezi Mungu,na wakati wake wa kujifungua ukakaribia, ulishushwa wahyi kwake: ‘Ondoka katikaNyumba hii tukufu, kwani Nyumba hii ni nyumba ya ibada, sio mahali pa kuzalia watoto.’Matokeo yake aliondoka kwenye Nyumba tukufu hiyo na akaenda kwenya kichakaambako alijifungua mtoto Isa. Lakini wakati mama yangu mimi, Fatima binti al-Asad,alipojisikia uchungu wa uzazi ndani ya eneo la Ka’aba tukufu, aling’ang’ania kwenyeukuta na akamuomba Mwenyezi Mungu kwa jina la Nyumba ile na mjenzi wa Nyumba ile,ili apunguziwe maumivu yake. Mara ufa ukajitokeza katika ukuta huo, na mama yanguakasikia sauti ya kimuujiza ikimwambia, “Ewe Fatima! Ingia kwenye Nyumba yaKa’aba.” Yeye akaingia ndani na mimi nikazaliwa ndani ya Ka’aba tukufu.’”

Mikesha ya Peshawar

182

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 182

Page 201: Mikesh A

KIOO CHA MITUME YOTE KAMA ILIVYOONYESHWANA HADITH YA UFANANISHO

Imesimuliwa vilevile katika vitabu vya ulamaa wenu kwamba Ali alikuwa ni kioo cha sifaza hali ya juu za mitume wote waliotangulia. Ibn Abil-Hadid Mu’tazili ndani ya SharheNahjul-Balaghah yake, Jz. 11, uk. 449, Hafidh Abu Bakr Faqih Shafi’i, Ahmad bin HuseinBaihaqi katika Manaqib, Imam Ahmad bin Hanbal ndani ya Musnad, Imam Fakhrud-DinRazi katika Tafsir al-Kabir kuhusiana na aya ya Mubahila, Muhui’d-Din Ibn Arabi ndaniya Yawaqit al-Jawhir, suala la 32, uk. 172; Sheikh Suleyman Balkhi Hanafi katikaYanabiul-Mawadda, mwanzoni mwa Sura ya 40 kwa idhini ya Musnad ya Ahmad binHanbal, Sahih ya Baihaqi, na Sharhil-Mawaqif wa’t-Tariqatil-Muhammadiyya, Nuru’d-Din Maliki katika Fusulul-Muhimma, uk. 120; kutoka kwa Baihaqi; Muhammad bin TalhaShafi’i ndani ya Matalibus-Su’ul uk. 22; na Muhammad bin Yusuf Ganji Shafi’i katikaKifayatut-Talib, Sura ya 23, wamesimulia kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) pamojana tofauti kidogo ya maneno, hapa na pale, akisema kwamba: “Yeyote anayetaka kuionaelimu ya Adam, uchamungu wa Nuh, unyenyekevu wa Ibrahim, utukufu wa Musa, au uleutiifu wa Isa (Yesu), anaweza kumuangalia Ali ibn Abi Talib.”

Mir Seyyed Ali Hamadani amesimulia hadith hiyohiyo pamoja na nyongeza kidogo katikaMawaddatul-Qurba yake, Mawadda 8. Anasimulia kutoka kwa Jabir kwamba Mtume(s.a.w.w.) amesema. “Kwa hakika Mwenyezi Mungu amekusanya sifa tisini za mitumekwa Ali, ambazo hakumpa mtu mwingine yeyote.” Yule Hafidh mkubwa Muhammad binYusuf Ganji Shafi’i, baada ya kunukuu hadith hii, anatoa maelezo haya: “Ali alikuwa sawana Adam katika elimu kwa vile Mwenyezi Mungu amemfundisha Adam kila kitu, kamaanavyosema ndani ya Qur’ani Tukufu, ‘Na akamfundisha Adam majina .....’(2:31). Halikadhalika, Ali alikuwa na elimu ya mambo yote. Kwa sababu ya elimu iliyoshuka mojakwa moja kutoka kwa Allah swt., Adam alipewa ukhalifa wa Allah, kama Qur’ani tukufuinavyosema: “..... Nitajaalia khalifa juu ya ardhi..... (2:30). Kwa kuwa elimu ya Adamiliongozea kwenye ubora wake, hivyo kwamba hata Malaika walisujudu kwa heshima juuyake, Ali pia alikuwa mtukufu sana wa viumbe wote na khalifa baada ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Elimu ya Ali ni sawa na ya Nuh kwa vile Ali alikuwa mkali dhidi ya makafirina mpole kwa waumini. Allah amemsifia ndani ya Qur’ani: “Na wale walio pamoja nayewana nyoyo imara dhidi ya makafiri, na wapole miongoni mwao wenyewe.” (48: 29). Huu ni ushahidi mwingine kwamba aya hii ilishuka kwa kumsifia Ali, kama nilivyosemamapema. Nuh alikuwa mkali sana kwa makafiri, kama Qur’ani tukufu anavyosema: “NaNuh akasema: ‘Mola Wangu! usibakishe hata mkazi mmoja juu ya ardhi miongoni mwamakafiri.’” (71:26). Ali alikuwa sawa na Ibrahim katika utulivu wa moyo. Qur’ani tukufuinasema: “Kwa hakika, Ibrahim alikuwa mpole sana wa moyo.” (9:114).

Mikesha ya Peshawar

183

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 183

Page 202: Mikesh A

Ali alikuwa na sifa zote ambazo Mitume wengine walikuwa nazo mmoja mmoja. Hadithihii inayokubaliwa na wote huthibitisha kwamba Ali alikuwa na fadhail za hali ya juu sana,ambazo kila moja ya hizo ilikuwa sawa na sifa za juu sana za Mitume. Ni wazi kwamba,mtu ambaye alikuwa na fadhaila za juu sana za mitume wote, basi aliwapita wote kwacheo. Sheikh Sulayman Balkhi Hanafi katika Yanabiu’l-Mawadda, Sura ya 40, ananukuukutoka kwenye Manaqib ya Khawarizmi kutoka kwa Muhammad Bin Mansur, ambayealisema kwamba alimsikia Ahmad Ibn Hanbal akisema: “Kulikuwa hakuna sifa kama hizokwa Sahaba yeyote wa Mtume, kama zilivyokuwa kwa Ali Bin Abu Talib.”

Muhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’i vile vile anasimulia maneno yenye maana hiyo hiyo.Ibn Abi’l-Hadid Mu’tazali katika Sharhe-Nahju’l-Balagha, juzuu ya 1, uk. 46, anasema:“Ali alikuwa ndiye mtu mwenye kufaa sana katika nafasi ya Wilaya (Ulinzi) kwa fadhailiza ubora wake. Ukimuondoa tu Mtume wa Allah, alikuwa ni mtu mwenye kustahiki sanakwa cheo cha Khalifa.”

Ali kwa hakika alikuwa mwenye kustahiki zaidi kwa Ukhalifa, lakini aliwekwa kando kwambinu za kisiasa za watu duni. Angalau wangelimjulisha Ali kwamba walikuwa wakifanyamkutano huko Saqifa Bani Sa’da kuangalia juu ya suala muhimu la kumchangua Khalifa.Hawakufanya hivyo ili kumnyima haki yake ya urithi.

KUKUBALIWA KWA ABU BAKR NA WATU WOTE

Hafidh: Je, sisi ni madhalimu au ni wewe? Unasema kwamba masahaba waliwachaguawale ambao wamepora Ukhalifa. Kwa hakika unafikiri kwamba sisi ni wajinga ambaokibubusa tunawafuata wazee wetu. Lakini kuna uthibitisho gani wenye nguvu kama “Ijma”– makubaliano ya wote kwa ujumla? Masahaba wote na Umma, pamoja na Ali, walimch-agua Abu Bakr na wakala kiapo cha utii kwake. Kwa hakika makubaliano ya pamoja yawatu ni ya mwisho na kukubaliana nayo ni lazima. Mtume alisema: “Watu wanguhawakubaliani katika (jambo lenye) kosa; watu wangu hawakubaliani katika upotofu wakutoka kwenye njia iliyonyooka.” Hivyo hatukuafuata wazee wetu kibubusa. Ukweli nikwamba katika siku ya kwanza baada ya kifo cha Mtume, Umma kwa pamoja uliamuakatika mkutano kumsimamisha Abu Bakr kama Khalifa. Kwa sababu ilikuwa ni ukweliuliokubaliwa, lazima na sisi tuukubali.

Mumbezi: Tafadhali tujulishe Ukhalifa umeegemezwa katika misingi ipi?

Hafidh: Iko wazi. Uthibitisho mzuri wa kuwepo ukhalifa baada ya Mtume ni “Ijma”(makubaliano ya wote kwa ujmla) ya Umma ambayo kwayo ukhalifa umekuja kupatikana.Mbali na haya, sifa bora sana kwa Abu Bakr na Umar kwa ajili ya ukhalifa ilikuwa ni kuko-maa kwao kiumri. Ali, pamoja na fadhaili zote na ukaribu kwa Mtume, ilikuwa arukwekwa sababu ya ujana wake. Na, ili kuwa waadilifu na wenye haki, haikuwa sawa kwa

Mikesha ya Peshawar

184

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 184

Page 203: Mikesh A

kijana kuyaweka pembeni madai ya masahaba watu wazima. Na hatuchukilii kuachwahuku kwa Ali kama ni kushindwa kwake, kwani ubora wake kwa upande mwinginehukubaliwa na wote. Vile vile kuna hadithi iliyosimuliwa na Khalifa Umar kutoka kwaMtume, ambaye alisema: “Utume na uongozi haviwekwi pamoja katika familia moja.”Kwa hiyo, Ali alinyimwa ukhalifa kwa sababu anatokana na familia ya Mtume. Alikuwahafai kwa ajili ya cheo hicho.

HOJA DHIDI YA UHALALI WA “IJMAI”

Muombezi: Nimeshangaa kwamba unaweza kuleta hoja za kijinga kama hizi. Kwanza,unasema kwamba Ijmai, makubaliano ya Umma, ndio hoja yenye nguvu zaidi, na kwakuunga mkono nukta yako umesimulia hadithi. Neno ‘ummai’ maana yake ‘umma wangu,’hivyo hadithi hiyo (tujaalie kuwa ni ya kweli) inamaniisha kwamba wakati umma woteunapokubaliana kwenye jambo fulani, uamuzi wao hauwezi kuwa na makosa. Siwezikukubaliana na hili. Allah aliutofautisha ummah huu kwa sababu ya ukweli kwamba mion-goni mwao kutakuwepo na kundi lililoongoka. Mwakilishi wa Allah atakuwa miongonimwao. Wakati umma unapokusanyika pamoja, kundi lile lililoongoka litakuwa miongonimwao. Lakini hadithi hii (hata kama ni ya kweli) haioneshi ushahidi wowote kwambaMtume aliitoa haki yake mwenyewe na kuruhusu ummah kuchagua Khalifa. Na hata kamaMtume alikuwa ameuchia ummah kuchagua Khalifa, haki hii itakuwa inaachiwa ummahwote. Kwa vile Waislamu wote hunufaika kutokana na Ukhalifa, lazima wangelikuwa nahaki ya kuelezea maoni yao katika kumchagua Khalifa. Kwa hiyo, kukusanyika kwaummah wote baada ya Mtume kufariki kungelikuwa muhimu ili kwamba kwa idhini yaoya pamoja, mtu mkamilifu angeweza kuchaguliwa kuwa Khalifa. Je, kulikuwapo na mku-sanyika kama huo wa Waislamu? Je, hii ndiyo njia ambayo Abu Bakr aliyofikia kuwaukhalifa?

Hafidh: Abu Bakr alibakia kwenye ukhalifa kwa zaidi kidogo ya miaka miwili. Wakati wakipindi hiki Waislamu kwa jumla walikula kiapo cha utii kwake. Hii yenyewe ina maanaya maoni ya pamoja miongoni mwao, ambayo ni uthibitisho wa uhalali wa Ukhalifa wake.

Muombezi: Unajaribu kuliepuka suala lenyewe. Swali langu halikuwa kuhusu kipindichote cha Abu Bakr. Nilikuwa nauliza kuhusu uamuzi uliochukuliwa katika Saqifa ya BaniSa’da. Je, mkusanyiko ule pale ulikusanya ummah wote, au kulikuwa na watu wachachetu ambao walikula kiapo cha utii?

Hafidh: Ni dhahiri kwamba kulikuwa na masahaba wachache mashuhuri wa Mtume, laki-ni baadae Ijmai ilipita.

Mikesha ya Peshawar

185

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 185

Page 204: Mikesh A

Muombezi: Je, Mtume, mtu anayefaa zaidi kuongoza ummah, aliitoa haki yake kwaupande wa ummah wake? Je, alitoa haki yake ili kwamba watu wa ukoo wa Aus, ambaowalikuwa maadui kwa ukoo wa Khazraj, wale kiapo cha utii kwa ajili ya hofu ya maaduiwao kushika madaraka? Je, aliacha haki yake ili kwamba watu wake waunde serikali kwamisingi ya hofu na ulafi? Je, unaweza kuita kikundi hiki kidogo cha watu kuwa ndioummah? Je, Waislamu wa Makka, Yemen, Jeddah na miji mingine hawakuwa sehemu yaummah? Je, hawakuwa na haki ya kutoa maoni yao kuhusiana na ukhalifa? Kamakulikuwa hakuna hila, kwa nini wasingojee na kupata msimamo wa Waislamu wote katikasuala muhimu kama hili la Ukhalifa? Katika njia hii, Ijmai kwa maana yake halisi ingewzakupatikana. Hata leo, ili kusimamisha serikali ya kidemokrasi au kuchagua kiongozi wataifa, hufanyika uchaguzi mkuu. Wananchi wanapiga kura zao, na kiongozi anachaguliwakwa wingi wa kura. Viongozi wa nchi zilizostaarabika na watu wote wastaarabu watauche-ka utaratibu wenu huu wa “Ijmai” usio na mpangilio mzuri.

Hafidh: Kwa nini unajiigiza katika mazungumzo yasiyopendeza? Ijmai ina maana kwam-ba kulikuwa na mkusanyiko wa watu wenye akili na masahaba wakubwa ambao waliku-tana ndani ya Saqifa.

Muombezi: Unasema kwamba Ijmai ilimaanisha kwamba kulikuwa na mkusanyiko wawatu wenye akili na masahaba wakubwa wa Mtume, lakini huna msingi wowote kwamaelezo haya isipokuwa hadithi uliyoitaja. Ni wapi hadithi imetaja watu wenye akili aumasahaba wakubwa? Narudia kwamba neno “umma” maana yake ni umma wote, sio idadindogo ya Masahaba, hata kama wakiwa wana elimu. Hata kama unayosema yakiwa nikweli, kwamba “Ijmai” maana yake “mkusanyiko wa watu wenye akili na masahabawakubwa,” je, watu wenye akili na masahaba wakubwa wa Mtume walikomea kuwa ni haowatu wachache tu ambao walikusanyika chini ya paa dogo la Saqifa siku hiyo? Je,kulikuwa hakuna watu wengine wenye akili na masahaba wakubwa katika ulimwengu waki-Islamu? Na je, wote kwa pamoja walipiga kura kwa ajili ya Khalifa?

Hafidh: Kwa vile suala la Khalifa lilikuwa ni jambo nyeti, watu walikuwa wanahofiakwamba huenda kukatokea machafuko. Ilikuwa haiwezekani kuwaarifu Waislamu katikasehumu nyingine. Wakati Abu Bakr na Umar waliposikia kwamba baadhi ya Ansarwamekusanyika kule, na wao vile vile walikwenda kule kuzungumza. Kwa sababu Umaralikuwa mwanasiasa mweledi, aliona kwamba inafaa kwa ummah kula kiapo cha utii kwaAbu Bakr. Wengine walimfuata na kula kiapo cha utii kwa Abu Bakr, lakini kikundi chaAnsar na watu wa ukoo wa Khazraj wanaomuunga mkono Sa’d Bin Ubaida, hawakulakiapo cha utii na wakaondoka Saqifa. Hiyo ndio ilikuwa sababuya kwa nini walifanyaharaka.

Muombezi: Hivyo na wewe unakubali, kama wanahistoria na maulamaa wenuwalivyokubali, kwamba katika siku ya Saqifa, wakati mashauri ya msingi yalipokuwa

Mikesha ya Peshawar

186

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 186

Page 205: Mikesh A

yanafanyika kulikuwa hakuna “Ijmai”. Kwa ajili ya maslahi ya kisiasa, Abu Bakr alimpen-dekeza Umar na Abu Ubaida Bin Jarra, na wao pia, kwa kulirudisha pendekezo hilo, wal-itaja jina la Abu Bakr, wakimuambia kwamba yeye anastahiki zaidi kwa nafasi hiyo. Waomara moja tu wakala kiapo cha utii kwake. Baadhi ya watu wa ukoo wa Aus waliokuwapale vile vile walikula kiapo cha utii kwa Abu Bakr kwa msimamo wao wa uadui dhidi yaukoo wa Khazraj, na vile vile walihofia kwamba Sa’d bin Ubaida angeweza vinginevyokuwa Amir. Kwa njia hii uungaji mkono ulipanuka na kuwa mkubwa. Hata hivyo, kamaIjmai ingekuwa ni hoja yenye nguvu kuweza kutegemewa, wangelisubiri mpaka ummawote – au, kama ulivyosema: watu wenye akili – wakusanyike pale kupata idhini ya ummawote.

Hafidh: Nimekuambia kwamba hofu ya machafuko ililazimisha kundi hili kutenda kamawalivyofanya. Watu wa ukoo wa Aus na Khazraj wamekusanyika katika Saqifa nawalikuwa wakigombana wenyewe kwa wenyewe. Kila mmoja wao anataka kuamua uhuruwa dola ya ki-Islamu kwa ajili yao wenyewe.

Muombezi: Nakubaliana na unayoyasema. Muhammad Bin Jarir Tabari (tazama Ta’rikhyake, Jz. 2, uk. 457) na wengine wameandika kwamba, Waislamu hawakukusanyika chiniya Saqifa kumchagua Khalifa wao. Koo za Aus na Khazraj zilitaka kujichagulia Amir waowenyewe. Abu Bakr na Umar wakanufaika kutokana na tofauti zao. Kama kweli waliku-sanyika kujadili Ukhalifa, kwa kweli wangeliwaita Waislamu wote kutoa maoni yao juu yasuala hilo. Kama ulivyosema: Hawakuwa katika hali ya kuweza kuwajulisha Waislamuwote, na muda ulikuwa unakimbia. Ilikuwa kweli kwamba walikuwa hawana mawasilianoya mara moja na Makka, Yemen, Ta’if, au miji mingine ya mbali ya Waislamu. Lakini je,walikuwa hawana hata njia ya kuwasiliana hata na Jeshi la Usama Bin Zaid, ambalolilikuwa limepiga kambi nje kidogo ya Madina? Hivi wasingeweza kuwaarifu masahabawakubwa wa Mtume ambao walikuwa kule? Mmoja wao alikuwa mtu maarufu, Kamandawa jeshi la Waislamu, aliyechguliwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe. Abu Bakrna Umar walikuwa chini yake. Wakati Usama aliposikia kwamba, kwa hila watu watatuwamemchagua Khalifa bila kuwashauri watu wengine, au hata kuwajulisha, na kwambawalikuwa wamekula kiapo cha utii kwa mtu moja, alipanda farasi wake mpaka kwenyemlango wa Msikiti na akesema kwa sauti kubwa: “Vurugu yote hii ni ya nini? Kwa amriya nani mmemchagua Khalifa? Kulikuwa na umuhimu gani, wa watu wachache ambaobila kuwashauri masahaba, wamemchagua Khalifa?”

Umar akajitokeza mbele kumtuliza na kusema: “Usama! Kazi hiyo imekwisha. Kiapo chautii kimekwishatolewa. Usisababishe vurugu sasa miongoni mwa watu. Na wewemwenyewe pia ule kiapo cha utii.” Usama akakasirika, na kusema: “Mtume amenifanyamimi Amir wenu,” akasema. “Inawezekana vipi Amir aliyeteuliwa na Mtume atoe heshi-ma ya utii kwa watu wa chini ambao waliwekwa chini ya amri yake?” Ingawa mengi zaidiyalitokea, kiasi hiki kidogo kinatosha kuthibitisha hoja yangu.

Mikesha ya Peshawar

187

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 187

Page 206: Mikesh A

ALI ALIKOSA KUARIFIWA KWA MAKUSUDI KUHUSU MKUTANO WA SAQIFA

Kama unasema kwamba Jeshi la Usama vile vile lilikuwa mbali na mji wa Madina nakwamba muda ulikuwa unakimbia, je, utadai kwamba umbali kutoka Saqifa na Msikitinina kwenye makazi ya Mtume vile vile ulikuwa mkubwa? Kwa nini hawakumuarifu Ali, auAbbas ami yake Mtume mwenye kuheshimiwa? Kwa nini hawakuwashauri Bani Hashim,kizazi cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)?

Hafidh: Katika namna zote hali wakati ule ilikuwa ngumu kiasi kwamba hawakuthubutukuwa wazembe na kuondoka Saqifa.

Muombezi: Samahani, walikuwa nao muda wa kutosha. Waliacha makusudi kumuarifuAli, Bani Hashim, na masahaba wakubwa.

Hafidh: Unasemaje kwamba walifanya makusudi kuacha kuwaarifu?

Muombezi: Dalili moja ya wazi ni kwamba Umar alifika kwenye mlango wa nyumba yaMtume lakini hakuingia ndani.

Hafidhi: Kwa hakika kisa hiki kimebuniwa na Marafidhi.

Muombezi: Angalia ukurasa wa 456 Ta’rikh, ya Muhammad Bin Jarir Tabari, Jz. 2, mmojawa Maulamaa wenu wakubwa. Anaandika kwamba Umar alifika mlangoni kwa nyumba yaMtume lakini hakuingia ndani. Alituma ujumbe kwa Abu Bakr: “Njoo haraka; ninashughuli muhimu na wewe.” Abu Bakr akamtumia jibu kwamba hakuwa na muda. Umarakutuma ujumbe mwingine: “Tunakabiliwa na mgogoro. Kuwepo kwako ni muhimu.” AbuBakr akatoka nje na Umar akamueleza kwa siri kuhusu kukusanyika kwa Ansar ndani yaSaqifa na akasema kwamba walipaswa kwenda huko mara moja. Wote wakaondoka, nanjiani wakakutana na Abu Ubaida wakamchukuwa na kuongozana naye. Kwa ajili ya Allahhebu jaribu kuwa muadilifu. Kama walikuwa hawakupanga njama, kwa nini Umar aendempaka kwenye mlango wa nyumba ya Mtume na kisha asiingie ndani? Wangeliwezakuomba msaada. Je, katika Umma wote alikuwepo Abu Bakr tu, ambaye alikuwa na haki-ma zote, na kwamba masahaba wengine na kizazi cha Mtume walikuwa ni wageni ambaohawakustahiki kujulishwa kuhusu suala hili?

Mikesha ya Peshawar

188

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 188

Page 207: Mikesh A

Je, Ijma yenu hii kwa haki inaundwa na watu watatu? Ni wapi katika sehemu yoyote yaulimwengu ambako utaratibu kama huu unakubalika? Tuchukulie kwamba watu watatu aukikundi chochote cha watu, wakakusanyika katika mji na wakaunda Ijma na kisha wakam-chagua kiongozi wa nchi. Je, ni wajibu juu ya Maulamaa na wasomi wa miji mingine yotekuwatii? Au hata kama baadhi ya watu wenye ujuzi na wasomi ambao hawakuchaguliwana wengine kutoa mawazo, je, ni lazima kwamba wasomi na maulamaa wote waliobakiawawafuate wao? Je, ni sahihi kukandamiza hisia za umma wote kwa tabia ya vitisho vyakundi moja la watu? Kama kwa upande mwingine, katika mijadala ya kielimu, kundi lawatu wakafichua kwamba Ukhalifa haukithibitshwa na sheri za dini au za asili, ni hakikuwaita Rafidhi?

Unasema kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliliacha suala la Ukhalifa juu ya umma aukwa “wasomi” wa Umma, kama unavyoita. Je, wasomi wa Umma wanaundwa na AbuBakr, Umar na Abu Ubaida Jarra? Kila mmoja akipendekeza jina la mwingine, na kishawawili kati yao wakamkubali wa tatu. Na hiyo ikawa mwisho. Je, ni wajibu kwa Waislamuwote kuwafuata wao? “Wachache,” “wengi,” na “Ijma” humaanisha vitu tofauti kabisa.Kama mkutano wa kushauriana unafanywa kwa ajili ya kuangalia tatizo fulani, na idadindogo ya watu ikatoa wazo moja, ambapo ile idadi kubwa ya watu ikatoa wazo jingine,kisha inasemwa kwamba, moja ni maoni ya wachache. Maoni ya idadi kubwa ya watuyanaitwa maoni ya wengi, na kama wote (bila tofauti yoyote) wakatoa kauli moja, inaitwa“Ijmai”.

Je Ijmai ilifikiwa ndani ya Saqifa au baadae Msikitini, au baada ya hapo katika mji waMadina? Kama, hata hivyo, kwa kustahi matakwa yako, tukiondolea mbali haki za ummawote na kusema kwamba maoni ya wasomi na masahaba wa Mtume yalikuwa yanatoshakwa ajili ya Ijmai, nauliza je! Kulikuwa na Ijmai amabayo kwamba wasomi wote na masa-haba mashuhuri wa Mtume walishiriki? Je, kikundi kidogo kile kule Saqifa kilikubalianawote katika maoni yao? Jawabu lake lazima litakuwa ni hapana. Mwandishi wa “Mawaqif”mwenyewe amekiri kwamba kulikuwa hakuna Ijmai wakati wa Ukhalifa wa Abu Bakr, nakwa yakini vile vile kulikuwa hakuna maoni ya wote miongoni mwa wanachuoni waMadina. Sa’d Bin Ubaida Ansari, kizazi chake, masahaba mashuhuri wa Mtume, BaniHashim wote, rafiki zao, na Ali Bin Abu Talib, - wote walimpinga Abu Bakr kwa muda wamiezi sita. Watu hawa katu hawakula kiapo cha utii kwake. Mjini Madina, makazi yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.), hakuna Ijmai iliyofikiwa ambayo kwayo wasomi na masahabawalimuunga mkono Abu Bakr kama Khalifa. Wanahistoria wenu mashuhuri wenyewe,kama Imamu Fakhru’d-Din Razi, Jalalu’d-Din Suyuti, Ibn Abi’l-Hadid Mu’tazali. Tabari,Bukhari na Muslim, wameandika kwamba Ijma kamwe haikutokea hapo Madina.

Bani Hashim, Bani Umayya, na masahaba kwa ujumla – isipokuwa hao watu watatu walio-taja hapo juu – hawakuwepo Saqifa ili kupiga kura zao. Aidha, wengi waliupinga uamuzihuo kwa nguvu sana. Kusema kweli, baadhi ya masahaba wakubwa ambao walikataa kulakiapo cha utii kule Saqifa, walikwenda msikitini na kulalamika kwa Abu Bakr. Miongoni

Mikesha ya Peshawar

189

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 189

Page 208: Mikesh A

mwa muhajirina walikuwa ni; Salman Farsi, Abu Dharr Ghifari, Mikidadi bin AswadKindi, Ammar-e-Yasir, Buraida Aslami, na Khalid Bin Sa’id Bin Aas Amawi. Miongonimwa Ansari walikuwa; Abu’l-Hathama bin Tihan, Khuzaima Bin Thabit Dhu’sh-Shahadatain, Abu Ayyub Ansari, Ubai bin Ka’b, Sahl Bin Hunaif, Uthman Bin Hunaif,ambao walipingana na Abu Bakr ndani ya Msikiti. Nimetoa tu kwa mukhtasari mfupi juuya matukio haya. Hakuna Ijmai ya aina yoyote iliyofikiwa. Ijma inayosemwa ya wasomina masahaba mashuhuri wa Madina ni uwongo mtupu.

Kwa kutegemea juu ya vyanzo vyenu wenyewe, nitakupa ordha ya majina ya wale ambaowalipinga Ukhalifa. Ibn Hajar Asqalani na Baladhuri, kila mmoja katika Ta’rikh yake,Muhammad Bin Khawind Shah katika kitabu Rauzatu’s-Safa, Ibn Abdu’l-Birr katikaIsti’ab na wengine wanasema kwamba , Sa’d Bin Ubaida na sehemu ya Makhawarij nakikundi cha Makuraishi hawakula kiapo cha utii kwa Abu Bakr. Aidha, watu kumi na naneambao walikuwa Masahaba wakubwa na mashuhuri wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)hawakula kiapo cha utii kwa Abu Bakr. Walikuwa ni Mashi’a wa Ali Bin Abu Talib. Majinaya watu hao kumi na nane ni haya yafuatayo:1. Salman Farsi2. Abu Dharr Ghifari3. Mikidadi Bin Aswad-e-Kindi4. Ammar Yasir5. Khalid Bin Sa’idbin al-Aas6. Buraida Aslami7. Ubaid Bin Ka’b8. Khuzaima Bin Thabit Dhu’sh-Shahadatain9. Abu’l-Hathama Bin Tihan 10. Sahl Bin Hunaif11. Uthmani Bin Hunaif Dhu’sh-Shahadatain12. Abu Ayyub Ansari13. Jabir Ibn Abdullah Ansari14. Hudhaifa bin Yaman15. Sa’d Bin Ubaida16. Qais Bin Sa’d17. Abdullah Bin Abbas18. Zaid Bin Arkam

Na Yakubi anaandika katika Ta’rikh yake: “ Kikundi cha Muhajirina na Ansari kilijitengabila kula kiapo cha utii kwa Abu Bakr, na walikuwa ni wafuasi wa Hadhrat Ali. Miongonimwao walikuwa ni Abbas Bin Abu’l-Muttalib, Fazl Bin Abbas, Zubair Ibnu’l-‘Awwam BinAs, Khalid Bin Sa’id, Miqdadi Bin Umar, Salman Farsi, Abu Dharr Ghifari, Ammar Yasir,Bara’a Bin Azib, na Ubai Bin Ka’b.

Mikesha ya Peshawar

190

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 190

Page 209: Mikesh A

Je, watu hawa hawakuwa wasomi wa Umma? Ali, Abbas, ami yake Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) na watu wengine mashuhuri wa ukoo wa Bani Hashim – je, watu hawahawakuwa ni wenye busara na waaminifu? Ilikuwa Ijma ya aina gani hiyo, ambayo ili-fanyika bila ushauri wa watu hawa? Wakati Abu Bakr anachaguliwa kwa siri siri, naMasahaba wengine mashuhuri hawakujulishwa, je, hii inakuwa ni Ijma? Au ni njama zakisiasa?

‘HADITH THAQALAIN’ NA‘HADITH SAFINA’

Aidha, Bani Hashim, familia ya Mtume, hawakuwepo pale Saqifa. Uamuzi wao wathamani hauwezi kukataliwa kwa mtazamo wa hadithi iliyosimuliwa katika mikesha iliy-opita, na inayokubaliwa na madhehebu zote. Mtukufu Mtume alisema: “Ninakuachienikati yenu vitu viwili vizito: Kitabu cha Allah (Qur’ani Tukufu) na Ahlul Bayt wangu (watuwafamilia tukufu: Ali, Fatimah, na kizazi chao). Kama mkishikama na viwili hivi, kamwe,kamwe hamtapotea baada yangu.” Watu hawa hawakuunga mkono Ukhalifa wa Abu Bakr.Kwa nyongeza, kuna hadithi nyingine mashuhuri ijulikanayo kama Hadith-e-Safina,ambayo niliitaja katika mikesha iliyopita. Mtume alisema: “Ahlul Bayt wangu ni kamasafina ya Nuh. Yeyote anayeipanda ameokolewa, na anayeipa mgongo ameangamia.”Hadithi hii inaonesha kwamba, kama ambavyo watu wa Nuh waliokolewa kutokana namafuriko makubwa kwa Safina yake, watu wa Mtume wetu wataokolewa kutokana namabalaa kwa kushikamana na watu wa familia ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Ibn Hajarkatika kitabu chake “Sawa’iq-e-Muhriqa”, Sura ya 50, akifafanua juu ya aya ya 4, (kati yaaya tano anazofafanua), ananukuu hadithi mbili kutoka kwa Ibn Sa’d kuhusu wajibu wakuwafuata Ahlul Bayt watukufu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Katika moja ya hadithihizo Mtume alisema: “Mimi na Ahlul Bayt wangu ni mti wa Peponi ambao matawi yakeyako katika ardhi; hivyo mwenye kutafuta njia ya kuelekea kwa Allah lazima ajiambatan-ishe nao.”

Katika hadithi ya pili Mtume alisema: “Miongoni mwa Umma wangu katika kila zamakuna watu waadilifu kutoka kwenye Ahlul Bayt wangu ambao huondoa uchafu unaoletwakwenye dini na watenda maovu na ambao hufutilia mbali madai ya uwongo ya wenyekuchupa mipaka na tafsir za watu wasio elimika. Naifahamike kwenu kwamba Maimamuwenu kwa hakika ndio wale ambao wataokuelekezeni kwa Allah. Hiyvo lazima muwewaangalifu kuhusu wale mnaowachukuwa kuwa viongozi wenu.” Kiini cha hadithi za ainahii ni kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa anauambia Umma wake: “Mpakamuwafuate Ahlul Bayt wangu, vinginevyo maadui watakupotezeni.” Watu ambaowangeweza kushawishi Ijmai, kiapo cha utii, na uteuzi wa Khalifa, walipinga utaratibuulioulezea.

Mikesha ya Peshawar

191

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 191

Page 210: Mikesh A

Sasa hiyo ilikuwa ni Ijmai ya aina ngani? Masahaba wakubwa, wasomi, na kizazi chaMtume walikuwepo hapo Madina wakati wa Saqifa. Hivyo hakuna shaka kwamba sualahili halikuamuliwa kwa wingi wa kura, wachilia mbali Ijma. Ibn Abdu’l-Birr Qartabi,mwanacuoni mkubwa wa madhehebu yenu, katika kitabu chake “Isti’ab”, Ibn Hajar kati-ka “Isaba”, na Maulamaa wengine wanaandika kwamba, Sa’d Bin Ubaida, ambayealikuwa ni mgombea wa Ukhalifa, kwa msimamo mkali kabisa alikataa kula kiapo cha utiikwa Abu Bakr na Umar. Hakutaka kusababisha vurugu, hivyo aliondoka na kwenda Syria.Kwa mujibu wa riwaya katika “Rauzatu’s-Safa”, kwa uchochezi wa mtu maarufu, yeye ali-uawa. Kwa mujibu wa wanahistoria, mtu ambaye alitenda jinai hiyo ni Khalid Bin Walid.Baada ya kumuua Malik Bin Buwaira na kumuoa mke wake, wakati wa mwanzo waUkhalifa wa Abu Bakr, Umar akawa ni mwenye kumchukia sana, wakati Umar alipokuwakhalifa, Khalid akamuua Sa’d Bin Ubaida kwa ajili ya kutaka kupata upendeleo wa Umar.

Hafidh: Kwa vile kulikuwa na hatari ya vurugu, na hawakuweza kupata mawasiliano kwaumma wote, walilazimika kutegemea juu ya hao watu wachache waliokuwepo Saqifaambako kiapo cha utii kilichukuliwa. Baadaye Umma waliuridhia (Ukhalifa huo).

Muombezi: Kama kulikuwa hakuna njia za kuwasiliana na Masahaba mashuhuri waMtume (saw), na wasomi wa Umma ambao walikuwa nje ya Madina, tafadhali tuambiekwa ikhlasi: Kama kulikuwa hakuna njama katika suala hili, kwa nini wasiwaite walewalio kuwepo mjini Madina kwenye mkutano wa Saqifa? Je, haikuwa ni muhimu kwaokupata ushauri wa Abbas, Ali ibn Abu Talib, na Bani Hashim? Je, maoni ya Umar na AbuUbaida Bin Jarra yalitosha kwa ulimwengu wote wa ki-Islam? Hoja yako iliyotegemea juuya Ijma, iwe ya jumla au makhususi, haikubaliki. Wasomi na Masahaba wakubwahawakushiriki kwayo, badala yake waliipinga. Kama nilivyosema: ‘Ijmai’ maana yake nikwamba asiwepo hata na mtu mmoja ambaye hakubaliani na wengine. Katika ‘Ijma’ hiiumekiri kwamba wasomi kwa ujumla hawakushiriki. Imamu Fakhru’d-Din Razi katika“Nihayatu’l-Usul” anasema kwamba, kulikuwa hakuna Ijmai ya makubaliano katikaUkhalifa wa Abu Bakr na Umar, mpaka baada ya kuuawa kwa Sa’d Bin Ubaida.

Nashindwa kuelewa vipi unaiita Ijmai hii ya kuwazika kuwa ni uthibitisho kwa ajili yauhalali wa Ukhalifa. Dai lako la pili, kwamba Abu Bakr alikuwa mtu mzima kuliko Ali nakwa hiyo alikuwa anafaa zaidi kwa ajili ya Ukhalifa ni dhaifu kuliko hoja ya kwanza.Kama umri ulikuwa sharti juu ya Ukhalifa, basi walikuwepo watu wazima wengi kulikoAbu Bakr na Umar. Kwa hakika Abu Qahafa, baba yake Abu Bakr alikuwa mkubwa kulikomtoto wake, na alikuwa yu hai wakati ule. Kwa nini asichaguliwe kuwa Khalifa?

Hafidh: Umri wa Abu Bakr ukiungana na uwezo wake, ulimfanya kuwa chaguo la sawasawa. Wakati kulikuwa kuna mzee, mwenye ujuzi, mtu anayependwa na Mtume katikaUmma, kijana mdogo asiye na uzoefu hawezi kupewa amana ya uongozi.

Mikesha ya Peshawar

192

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 192

Page 211: Mikesh A

Muombezi: Kama hiyo ingekuwa ni kweli, basi shabaha ya upinzani wako ni Mtumemwenyewe. Wakati alipoondoka kwenda kwenye vita vya Tabuk,wanafiki kwa siri wali-panga kufanya maasi mjini Madina wakati akiwa hayupo. Kwa hiyo aliteua mtu mzoefukushika nafasi yake ili aweze kudhibiti hali mjini Madina na kuivunja ile mipango yawanafiki. Nakuomba utueleze, Mtume alimuacha nani katika nafasi yake mjini Madinakama mrithi na Khalifa wake?

Hafidh: Inajulikana sana kwamba alimfanya Ali khalifa na mrithi wake.

Muombezi: Je, Abu Bakr, Umar na masahaba wengine wazee zaidi hawakuwepo Madinawakati huo? Ndio. Na bado Mtume akamfanya kijana mdogo, Ali, kuwa Khalifa na mrithiwake. Kwa ajili ya kusoma baadhi ya aya za Sura ya Al-Bara’a, ya Qur’ani Tukufu kwawatu Makka, mtu pengine angefikiri kwamba, mtu mzoefu lazima angekuwa anafaa kwakazi hiyo. Lakini Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimurudisha mzee Abu Bakr kutoka kwenyenusu ya safari yake, na akamuamuru yule kijana mdogo, Ali kutekeleza jukumu hilimuhimu. Mtukufu Mtume akasema kwamba Allah amemwambia kwamba mtu wakuwasilisha hiyo Qur’ani tukufu lazima awe ni yeye mwenyewe Mtume au mtu ambayeanatokana naye. Halikadhalika, kwa ajili ya kuwaongoza watu wa Yemen, kwa niniMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimtuma Kiongozi wa Waumini Ali badala ya mzoefu zaidiAbu Bakr, Umar, au wengine waliokuwepo pale? Na katika matukio mengi kama haya,wakati wakiwepo Abu Bakr, Umar na wengine, alimteua Ali kutekeleza majukumu makub-wa. Hivyo ina maana kwamba ukhalifa unaousisitiza ni ustahili. Imenijia hivi punde tukwamba uthibitisho wa nguvu wa kukataliwa kwa ukhalifa wa watu hawa ni upinzani waile inayoitwa ijmai kwa Ali, ambaye kwa mujibu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), alikuwani mwenye kubainisha kati ya haki na batili.

Maulamaa wenu mashuhuri wamesimulia hadithi nyingi kuhusiana na suala hili. SheikhSuleimani Balhki Hanafi katika kitabu chake “Yanabiul-Mawadda”, Sura ya 16 akinukuukutoka “Kitabu’s-Sabi’in-Fi-Fadha’il-e-Amiru’l-Mu’minin,” Imamu’l-Haram Abu Ja’farAhmad bin Abdullah Shafi’i, katika hadithi ya 12 iliyosimuliwa kutoka Firdaus ya Dailamiya hadithi ya sabini, Mir Sayyid Ali Hamadani Shafi’i katika Mawaddatu’l-Qurba,Mawadda ya 6, Hafidh katika kitabu chake “Amali”, Muhammad bin Yusuf Ganji Shafi’ikatika kitabu chake “Kifayatu’t-Talib,” Sura 44 anasimulia pamoja na hitilafu ndogo kati-ka maneno, kutoka kwa Ibn Abbas, Abi Laila Ghifari, na Abu Dharr Ghifari kwamba,Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema (kifungu cha mwisho kikiwa sawa katika kila hadithi):“Punde tu baada ya kuondoka kwangu kwenye ulimwengu huu, yatatokea machafuko.Wakati yakitokea, lazima mumfuate Ali Bin Abi Talib kwa vile atakuwa mtu wa kwanzakukutana na mimi na kupeana mikono na mimi katika Siku ya Hukumu. Yeye ametukukakwa daraja na ni mwenye kubainisha kati ya haki na batili.”

Wakati Mtume alipofariki, machafuko makubwa yalitokea. Muhajirina na Ansar walitaka

Mikesha ya Peshawar

193

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 193

Page 212: Mikesh A

kupata Khalifa kutoka upande wao. Kwa mujibu wa maelekezo ya Mtume, Umma uli-paswa kumleta Ali ili kwamba aweze kubainisha kati ya haki na batili.

Hafidh: Hadith hii ina simulizi pekee (Hadith Ahad) na kwa hiyo si ya kutegemewa.

Muombezi: Nilikwisha jibu pingamizi lako kuhusu hadithi pekee. Maulamaa wa ki-Sunnihuchukulia hadithi kama hiyo kama hoja ya msingi, hivyo huwezi kuikataa katika misingihiyo. Mbali na hilo, sio hadithi hiyo pekee katika jambo hili. Kuna riwaya nyingi kamahizo zilizosimuliwa na Maulamaa wenu wenyewe ambazo zinaelekeza kwenye maana hiyohiyo, ambzo baadhi yake nimezitaja katika mikesha iliyopita. Kwa kuzingatia kikwazo chamuda wetu kuwa mfupi, nitakomea katika kutaja tu hapa baadhi ya majina ya waandishi.Moja ya riwaya hizi inasimuliwa na Muhammad Bin Talha Shafi’i katika kitabu chake“Matalibu’s-Su’ul”, Tabari katika “Tafsir Kabir,” Baihaqi katika “Sunan” yake, Nur’d-DinMaliki katika kitabu chake “Fusul’l-Muhima”, Hakim katika kitabu chake “Mustadrak,”Hafidh Abu Na’im katika kitabu chake “Hilya”, Ibn Asakir katika kitabu chake “Ta’rikhIbn Asakir”, Ibn Abi’l-Hadid katika Sharhe yake ya “Nahju’l-Balagha”, Tabrani katikakitabu chake “Ausat”, Muhibu’d-Din katika kitabu chake “Riyaz” Hamwaini katika kitabuchake “Fara’id”, Suyuti katika kitabu chake “Durr-e-Mansur”, kutoka kwa Ibn Abbas,Salman, Abu Dharr na Hudhifa – wote wanasimulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),akinyoosha mkono wake kuelekea kwa Ali Bin Abi Talib, alisema: “Hakika huyu Ali ndiyemtu wa kwanza ambaye alitangaza imani yake kwangu na wa kwanza ambayeatakayepeana mikono na mimi katika Siku ya Hukumu. Yeye ni Siddiq-e-Akbar (mkwelimkubwa) na Faruq wa Umma huu (mtambuzi wa Umma huu). Atabainisha kati ya haki nabatili.”

HADITH “ALI YUKO PAMOJA NA HAKI NAHAKI IKO PAMOJA NA ALI”

Muhammad Bin Yusuf Ganji katika Sura ya 44 ya kitabu chake “Kifayatu’t-Talib”anasimulia hadithi hiyo hiyo pamoja na nyongeza ya maneno: “Na ni mtawala juu ya wau-mini na ni mlango wangu kwa ajili ya kupitia waumini; na ni Khalifa (mrithi) wangu baadayangu.” Ganji Shafi’i anasema kwamba Muhadith-e-Sham (mwanahadithi wa Syria) anazohadithi mia tatu zenye kumsifia Ali. Vile vile imeandikwa na Muhammad Bin Talha Shafi’ikatika kitabu chake “Matalibu’s-Su’ul”, Khatib Khawazimi katika “Manaqib,” Sam’anikatika “Fadha’ilu’s-Sahaba”, Ibn Sabbagh Malik katika “Fusulu’l-Muhimma”, KhatibBaghdadi katika “Ta’rikh-e-Baghdad”, Jz. 14, uk. 21, Hafidh Mardawaih katika“Manaqib”, Dailami katika “Firdaus”, Ibn Qutayba katika “Imama wa’s-Siyasa”, Jz. 1,uk.111, Ganji Shafi’i katika “Kifayatu’t-Talib”, Imamu Ahmad Hanbal katika “Musnad”,na maulamaa wenu wengi wamesimulia kwamba, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Aliyuko pamoja na haki na haki iko pamoja na Ali popote ageukiapo.” Katika vitabu hivyo

Mikesha ya Peshawar

194

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 194

Page 213: Mikesh A

hivyo vile vile kuna hadith nyingine iliyosimuliwa na Sheikh Sulemani Qunduzi Hanafi,katika Sura ya 20 ya “Yanabiu’l-Mawadda”, kutoka kwa Hamwaini kwamba MtukufuMtume (s.a.w.w.) alisema: “Ali yuko pamoja na haki na haki iko pamoja na Ali.”

Hafidh Abi Nai’im Ahmad ibn Abdullah Ispahani katika kitabu chake “Hiyatu’l-Auliya” Jz.1, uk. 63, anasimulia kwamba, Mtume alisema: “Enyi kundi la Ansar! Je, nikuelekezenikwa mtu ambaye kama mkishikamana naye kamwe hamtapotea?” Wote wakasema: “Ndio,Ewe Mtume wa Allah”. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Mtu huyo ni Ali. Mpendenikama mnavyonipenda mimi, na mheshimuni kama mnavyoniheshimu mimi, yaleniliyokuambieni yalikuwa ni amri ya Allah iliyosimuliwa kwangu na Jibril.”

Lengo la ujumla la hadithi hizi ni kuonyesha dalili za upendeleo wa Mtume kuhusiana namrithi wake. Mtume aliamrisha Umma wake kugeukia kwa Ali baada yake na kumfuatayeye. Kwa mwanga wa hadithi kama hizi, tueleze upinzani wa Ali kwa Abu Bakr unamaanisha nini kwako. Kwa hakika inasikitisha sana na kushangaza kwamba haraka kubwamno ilifanywa katika siku ya Saqifa. Kila mtu mwenye akili ambaye anajua yaliyotokeakatika siku hiyo amefadhaika mno. Kama kulikuwa hakuna njama, kwa nini wasingoje(angalau kwa saa chache) ili kwamba Ali Bin Abi Talib, Bani Hashim, na Abbas wawezekuelezea maoni yao juu ya Ukhalifa?

Hafidh: Kulikuwa hakuna njama. Kwa vile walihofia vurugu, walifanya haraka kuamuasuala la Ukhalifa kwa ajili ya usalama wa Uislamu.

Muombezi: Una maana kwamba Abu Ubaida Jarra, mchimba kaburi wa zamani waMakka, na wengine walikuwa na wasiwasi zaidi na usalama wa Uislamu kuliko Abbas, amiyake Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) anayeheshimiwa, na Ali Bin Abi Talib? Una maana kwam-ba kama wangelingojea kwa muda kidogo, au kama Abu Bakr na Umar, wakiwashughul-isha watu, wangemtuma Abu Ubaida kumjulisha Abbas na Ali juu ya hali hii mbaya, hilolingefanya Uislamu uangamie? Tafadhali jaribu kuwa mkweli. Kama wangewakaribishawatu wanaostahili huko Saqifa, nafasi yao ingelikuwa salama zaidi. Kusingelikuwa na hiti-lafu katika Uislamu kama ilivyo leo. Baada ya miaka 1335, sisi ndugu wa ki-Islamutusingezozana wenyewe kwa wenyewe kama tulivyo usiku huu, bali tungekuwa tumeun-gana katika kumpinga adui yetu wa pamoja. Sehemu kubwa ya msingi wa jengo hili lenyekasoro la Uislamu uliwekwa siku hiyo. Ilikuwa ni kwa ajili ya haraka za watu wale watatuza kutaka kukamilisha mipango yao ya siri.

Nawab: Bwana mheshimiwa, tafadhali tueleze kwa nini walifanya haraka. Kwa nini wasi-wajulishe hata watu waliokuwa Msikitini au katika nyumba ya Mtume?

Muombezi: Sababu sio za kutafuta mbali. Walifanya haraka kwa sababu walijua kwambakama wakingojea Waislamu wote waje, au angalau hata watu mashuhuri wa jeshi la UsamaBin Zaid, masahaba mashuhuri wa Mtume waliokuwepo mjini Madina, au Bani Hashim,jina la Ali, miongoni mwa mwa mengine, lingependekezwa. Uwezekano wa kisiasa wa

Mikesha ya Peshawar

195

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 195

Page 214: Mikesh A

Abu Bakr na Umar ungelipunguzwa sana. Hivyo basi waliharakisha mipango yao ilikwamba, wakati ambapo Bani Hashim na masahaba mashuhuri wakiwa wanajishughulishana taratibu za mazishi ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), wao walifanikiwa katika kumteuaAbu Bakr kuwa Khalifa juu ya msingi wa kura za watu wawili! Waliucheza mchezo huo,na usiku huu hapa ninyi watu wazuri mnaupa jina la “ijmai!” Hata ulamaa wenu wakub-wa, kama Tabari, Ibn Abil-Hadid na wengine wameandika kwamba Umar alisema:“Ukhalifa wa Abu Bakr ulisimamishwa kwa haraka sana. Allah atusaidie!”

Amma kwa madai yenu mengine, ambayo mnayatoa kutoka kwa khalifa Umar, kwambautume na utawala haviwezi kuchanganywa kwenye familia moja, vile vile yanakataliwakwa mujibu wa Qur’ani Tukufu:

“Au wanawahusudu watu kwa yale aliyowapa Allah kutokana fadhila Zake? Basituliwapa ukoo wa Ibrahim Kitabu na hikma na tukawapa mamlaka makubwa.”(4:54)

Hadithi hii ambayo inahusishwa na Khalifa Umar, ni ya kubuniwa. Mtume kamwe hajase-ma neno lenye kukinzana na amri ya Qur’ani Tukufu. Aidha, ukhalifa hauwezi kutengan-ishwa na utume kwa sababu Khalifa wa kweli ni mfano wa sheria ya Mungu inayofanyakazi ulimwenguni. Kuuchukulia ukhalifa kama kazi ya kisiasa tu iliyotenganishwa nautume ndio kosa lenyewe hasa lililofanywa na Abu Bakr na Umar.

Kama Harun, ndugu yake Mtume Musa, angeweza kuondolewa kwenye ukhalifa wa Musa,Ali vile vile angeweza kunyimwa ukhalifa wa Mtume. Na kwa vile utume na ukhalifa, kwamujibu wa Qur’ani, vilichanganywa juu ya Musa na Harun, hapana shaka ulichanganywajuu ya Muhmmad na Ali. Hadithi yenu hii ilibuniwa na Bani Umayya. Kama utume naukhalifa usingeweza kuchanganywa katika familia moja, basi kwa nini katika Majilis-e-Shura (Kamati ya ushauri) Khalifa Umar alimpendekeza Ali kwenye ukhalifa? Hata hivyo,ninyi vile vile mnamkubali kuwa ni Khalifa wenu wa nne! Ni ukinzano wenye kushangazakwamba kwa kumetegemea juu ya hadithi ya Umar, mnakataa kuchanganywa utume naukhalifa, lakini wakati Umar mwenyewe alipoidhinisha hali hii miaka michache baadae,mkaiunga mkono! Je, mnaweza kupinga na kuunga mkono pendekezo lile lile moja?Mnasema kwamba utume na utawala havichanganywi katika familia moja, ingawaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) amefanya kuwa ni wajibu kwa Umma wake kufuata kizazichake. Alisema kwamba kuwa na uadui nao ni kupotea njia. Amesema katika mara nyingi,“Ninakuachieni vitu viwili vizito: Kitabu cha Allah (Qur’ani Tukufu) na Ahulul-Baytwangu. Kama mkifungamana na viwili hivi, kamwe hatapotea baada yangu.” Hadithi hiisahihi imekubaliwa na madhehebu zote. Nimeitaja katika mikesha iliyopita pamoja navyanzo vyake.

Mikesha ya Peshawar

196

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 196

Page 215: Mikesh A

HADITHI YA SAFINA – HADITHI YA SAQIFA

Wakati wa mafuriko makubwa yeyote yule ambaye alichukuwa hifadhi katika safina yaHuh aliokolewa. Yeyote yule ambaye aliipa mgongo akaacha kuipanda aligharikishwa,ikiwa ni pamoja na mtoto wa Nuh. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) vile vile aliwatambulishakizazi chake kama Safina ya Nuh, akimaanisha kwamba watu wa umma wake katikawakati wa mitihani lazima wajiambatanishe na kizazi chake. Kwa hiyo, kwa mujibu wamaamrisho haya ya wazi, umma katika hitilafu zao zote, wanapaswa kutafuta manufaa yaAhlul-Bayt wa Mtume. Ali Bin Abu Talib, kwa mujibu wa Mtume alikuwa ndiye msomizaidi na mtu bora zaidi miongoni mwao. Kwa nini hawakumjulisha wakapata kushauriananaye? Lakini wapi! Hawakufanya hivyo. Wanasiasa walinyakuwa mamlaka na wakamny-ima Ali haki yake ya kudumu.

Sheikh: Ni kwa misingi ipi unasema kwamba wangelimfuata Ali na kwamba maoni naijmai ya masahaba ingelipaswa kuachwa?

Muombezi: Sijasema kwamba maoni ya Masahaba na ijma yao haipaswi kuheshimiwa.Tofauti moja kati yenu na mimi ni kwamba mara tu mnaposikia jina la sahaba, hata kamaakiwa ni mnafiki, kama Abu Huraira, ambaye Khalifa Umar alimpiga na kumuita mwon-go, mnamuinamia kwa heshima. Nawaheshimu mashaba wale tu ambao wanachukuana namasharti ya uswahiba wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Aidha nimeonesha kwambakulikuwa hakuna ijma ndani Saqifa. Kama mnaweza kupinga hoja yangu, sasa ni wakatiwa kufanya hivyo. Nitakubaliana na muafaka wa hadhara hii. Kama mnaweza kuonyoshakutoka kwenye vitabu nyenu kwamba ndani ya Saqifa, umma wote au watu wasomi wenyeakili wa umma walikusanyika pamoja na kukubaliana kwamba Abu Bakr awe Khalifa,tutakuwa tayari kulibali hilo. Na kama ukiondoa watu wawili (Umar na Abu Ubaida) nawatu wachache wa kabila la Aus, hakuna mtu mwingine aliyekula kiapo cha utii, lazimamkubali kwamba sisi Mashi’a tumeongozwa sawasawa. Tunaliacha kwenye maoni yakisomi kuamua iwapo masahaba watatu walikuwa na haki ya kushikilia hatamu za ummawote. Wawili walikula kiapo kwa wa tatu, na baadae wakawatishia wengine kwa panga,moto, na fadheha, kuwalazimisha kukubali utashi wao.

Mikesha ya Peshawar

197

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 197

Page 216: Mikesh A

JE, IJMAI INAPASWA KUKUBALIWA KWA SABABU YAKIGEZO CHA YALIYOPITA?

Sheikh: Hatujui kama kulikuwa na uzembe kwa upande wao kwa sababu hatukuwepo kulesiku hiyo. Katika muda huu mrefu hatuwezi kutambua walikuwa katika shinikizo la ainagani. Leo pamoja na hali hiyo kuwa ni ukweli uliothibiti, sio neno iwapo kama ijmailikamilishwa katika hatua za pole pole. Hatupaswi kupinga. Lazima tukubaliane na watuwale na tufuate njia waliyotuonyesha.

Muombezi: Uzuri ulioje wa hoja hiyo! Unatutaka sisi tufikirie kwamba Uislamu haunamisingi? Kama watu wawili au watatu wakiunda mpango na wakaungwa mkono na watuwengine, je, ni jukumu la Waislamu kuwafuata wao? Je, hiyo ndio maana ya dini yaMtume wa Uislamu? Qur’ani Tukufu inasema: “…Basi wabashirie waja wangu, waleambao husikiliza maneno, wakafuata lililo bora lao…” (39:17-18)

Uislamu umesimama juu ya misingi ya kweli na hoja, sio juu ya kufuata kibubusa, naamkwa hakika si kwa kumfuata Abu Ubaida, mchimba kaburi. Mtume alituonesha njia.Alisema kwamba wakati umma ukiwa umegawanyika, lazima tumfuate mtu ambaye ame-ongozwa. Unatuuliza ni kwa nini ni wajibu juu yetu kumfuata Ali. Tunajibu kwambawajubu huo umetegemea juu ya aya za Qur’ani na hadithi zilizoandikwa katika vitabuvyenu wenyewe.

HADITHI ZA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.) ZINAZOWAHIMIZA WAUMINI KUMFUATA ALI

Kuna hadithi nyingi ambazo hufanya wajibu juu ya umma kumfuata Ali. Mojawapo yahizo imesimuliwa na Ammar-e-Yasr, ambayo imeandikwa na maulamaa wenu wafuataokatika vitabu vyao: Hafidh Abi Nu’aim Ispahani katika “Hilya”; Muhammad Bin TalhaShafi’i katika “Matalibu’s-Su’ul”; Baladhuri katika “Ta’rikh”; Sheikh Sulaiman BalkhiHanafi katika “Yanabiu’l-Mawadda”, Sura ya 43, kutoka kwa Hamwaini; Mir Sayyid AliHamadani Shafi’i katika “Mawaddatu’l-Qubra”, Mawadda ya 5; Dalami katika “Firdaus”.Wanasimulia hadithi ndefu yenye maelezo kinaganaga ambayo haiwezi kusimuliwa hapakwa ukamilifu. Inaweza kuelezewa kwa ufupi tu kwamba, wakati walipomuuliza AbuAyyub kwa nini alikwenda kwa Ali na hakuchukua kiapo cha utii kwa Abu Bakr, yeye ali-jibu kwamba siku moja alikuwa amekaa na Mtume wakati Ammar-e-Yasir alipokuja nakumuuliza Mtume swali. Katika kuendelea na mazungumzi yao, Mtume akasema: “EweAmmar! Kama watu wote watakwenda njia mmoja, na Ali peke yake akaenda njia

Mikesha ya Peshawar

198

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 198

Page 217: Mikesh A

nyingine, itakupasa kumfuata Ali. Ewe Ammar! Ali hatakuruhusu wewe kupotea kutokakwenye njia ya mwongozo na hatakuongoza kwenye upotovu; Ewe Ammar! Utii kwa Alini utii kwangu, na utii kwangu ni utii kwa Allah.” Katika mwanga wa Maamrisho haya, nakatika mwanga wa upinzani wa Ali kwa Abu Bakr, je, watu siwangemfuata Ali? Hata kamaBani Hashim, Bani Umayya, Masahaba mashuhuri, watu wajuzi wenye elimu wa umma,Muhajirina, na Ansari wasingekuwepo pamoja naye (na walikuwa pamoja naye) watu wan-gelimfuata Ali.

Hafidh: Wakati wa mjadala wetu, umesema vitu viwili vya ajabu. Kwanza, umerudia rudiakumuita Abu Ubaida “mchimba kaburi.” Unaweza kuthibitisha kwamba hii ilikuwataaluma ya bwana mkubwa huyu? Pili, umesema kwamba Ali, Bani Hashim, na masahabahawakula kiapo cha utii kwa Abu Bakr, walimpinga. Lakini wanahistoria na wanahadithi-wote wameandika kwamba Ali, Bani Hashim na masahaba wa Mtume walikula kiapo chautii kwa Abu Bakr.

Muombezi: Sio sisi peke yetu tunaodai kwamba Abu Ubaida alikuwa mchimba kaburi.Imo katika vitabu vyenu wenyewe. Unawza kurejea kwenye Al-Bidayya wa’n-Nihaya, Jz.5, uk. 266-267 (kitabu) kilichokusanywa na Ibn Kathir Shami, ambaye anasema kwamba,kwa vile Abu Ubaida amezoea kuchimba kaburi za watu Makka, Abbas alimtuma mtukumtafuta Abu Talha, mchimba kaburi wa Madina, na mtu mwingine kumtafuta AbuUbaida, ili kwamba wote wawili waweze kuchimba kaburi la Mtume.

KULAZIMISHWA KWA ALI NA BANI HASHIM KULAKIAPO BAADA YA MIEZI SITA

Unasema kwamba Ali, Bani Hashim, na masahaba wa Mtume walikula kiapo cha utii kwaAbu Bakr. Umesoma maneno “walikula kiapo cha utii,” lakini hukuelewa ni kwa nani navipi walivyokula kiapo. Wanachuoni wenu wote wa hadithi na wanahistoria wakubwawameandika kwamba Ali na Bani Hashim walikula kiapo cha utii (kwa nje), lakini hilolimefanywa baada ya miezi sita, na hata hivyo chini ya vitisho vikubwa.

Hafidh: Sio vyema kwa mtu mtukufu kama wewe kutumia maneno ambayo hutumiwa naMashi’a wa kawaida kwamba, Ali aliburuzwa kutoka kwenye nyumba yake na alitishiwakuuawa kama asingekula kiapo cha utii. Ukweli ni kwamba katika siku chache za mwan-zo za ukhalifa kwa utashi na kwa furaha alikubali ukhalifa wa Abu Bakr.

Muombezi: Ali na Bani Hashim hawakula kiapo cha utii kwa mara moja. Wanahistoriawenu wameandika kwamba Ali alikula kiapo cha utiibaada ya kifo cha Hadhrat Fatima.Bukhari katika katika Sahih yake, Jz. 3, Sura ya Ghazawa Khaibar, uk. 37, na Muslim BinHujjaj, katika Sahih yake, Jz. 5, uk. 154, wameandika kwamba Ali alikula kiapo cha utii

Mikesha ya Peshawar

199

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 199

Page 218: Mikesh A

baada ya kifo cha Fatima. Baadhi ya maulamaa wenu wanaamini kwamba Fatima alikufasiku 75 baada ya kifo cha Mtume. Ibn Qutayba vile vile anashikilia maoni hayo hayo, laki-ni wanahistoria wenu wengi wanadai kwamba alikufa miezi sita baada ya kufariki kwaMtume. Kwa hiyo ina maana kwamba kiapo cha Ali kilikuja wakati fulani baada ya miezi3 au 6 baada ya kufariki kwa Mtume. Mas’udi katika kitabu chake “Muruju’s-Sahab”, Jz.1, uk. 414, anasema: “Hakuna mtu kutoka Bani Hashim aliyekula kiapo cha utii kwa AbuBakr mpaka baada ya kifo cha Bibi Fatima. Ibrahim Bin Saqafi anasimulia kutoka kwaZuhri kwamba Ali hakula kiapo cha utii kwa Abu Bakr mpaka miezi sita baada ya alipo-fariki Mtume, na watu hawakuwa na ujasiri wa kumshawishi isipokuwa baada ya kifo chaBibi Fatima. Ibn Abi’l-Hadid katika Sharhe Nahju’l-Balagha anasimulia jambo hilo hilo.

Kwa hali yoyote, maulamaa wenu wenyewe wanasisitiza kwamba kiapo cha Ali hakikuwacha haraka bali kilikuja tu baada ya muda fulani kupita na hata hivyo ni wakati mazingirayalipomlazimisha kufanya hivyo. Ibn Abi’l-Hadid, katika Sharhe Nahju’l-Balagha, Jz. 2,uk. 18, anasimulia kutoka kwa Zuhri, kutoka kwa Aisha, ambaye amesema: “Ali hakulakiapo cha utii kwa Abu Bakr kwa muda wa miezi sita, na hakuna mtu kutoka Bani Hashimaliyekula kiapo mpaka Ali alipofanya hivyo.” Ahmad Bin A’sam-e-Kufi Shafi’i katika“Futuh” na Abu Nasr Hamidi, katika “Jam’a Bainu’s-Sahihain” anasimulia kutoka kwaNafiy, akinukuu kutoka Zuhri, ambaye alisema: “Ali hakula kiapo cha utii mpaka baada yamiezi ya kufariki kwa Mtume (s.a.w.w.).”

ALI ALIBURUZWA KUTOKA NYUMBANI KWAKENA NYUMBA YAKE IKACHOMWA MOTO

Hafidh: Ni wapi maulamaa wetu waliposema kwamba Ali aliburuzwa kutoka kwenyenyumba yake na nyumba ikachomwa moto, kama kwa kawaida inavyoaminiwa naMashi’a? wanalisimlia hili kwa mhemuko mkubwa katika majlis zao za kidini. Vile vilehuchochea hisia za watu kwa kusema kwamba Fatima aliteswa na hatimaye akaharibumimba yake.

Muombezi: Waheshimiwa mliohudhuria mnawashutumu Mashi’a, mkijaribu kufichamakosa ya viongozi wenu waliotangulia. Mnasema kwamba hadithi hizi zimebuniwa naMashi’a. Ukweli ni kwamba kwa amri ya Abu Bakr, Umar na wenzake walikwenda nyum-bani kwa Ali, wakamtisha kwa upanga, wakamburuza mpaka Msikitini na wakamlaz-imisha kula kiapo cha utii kwa Abu Bakr. Ukweli huu umeandikwa na maulamaa wenuwenyewe. Kama mnataka, nitakusimulieni. Hatusemi kitu chochote kutoka kwenye vitabuvyetu. Tunasema kile mnachosema ninyi.

Hafidh: Ndio, tafadhali endelea. Tuko tayari kusikiliza.

Mikesha ya Peshawar

200

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 200

Page 219: Mikesh A

HOJA KUMI NA MBILI ZINAZOUNGA MKONO UKWELI KWAMBA ALI ALICHUKULIWA KUPELEKWA

MSIKITINI KWA NCHA YA UPANGA

Muombezi: (1) Abu Ja’far Baladhuri Ahmad Bin Yahya Bin Jabir Baghdadi, mmoja wawanahadithi na wanahistoria wenu wa kutengemewa, anaandika katikakitabu chake cha Ta’rikh - Historia kwamba, wakati Abu Bakr alipomuitaAli ili kula kiapo cha utii, Ali alikataa. Abu Bakr alimtuma Umar akiwana kijinga kwenda kuchoma moto nyumba ya Ali. Fatima akaja mlangonina kusema: “Ewe mtoto wa Khattab! Umekuja kuichoma nyumbayangu?” Akasaema: “Ndio, hili lina athari zaidi kuliko kitu chochote ali-chokifanya baba yako.”

(2) Izzu’d-Din Ibn Abi’l-Hadid Mu’tazili, na Muhammad Bin Jarir Tabari, wanasimuliakwamba Umar alikwenda kwenye mlango wa nyumba ya Ali pamoja na Usay BinKhuza’i, Salama Bin Aslam na kikundi cha watu. Kisha Umar akaita, “Tokeni nje!Vinginevyo nitaichoma nyumba yenu!”

(3) Ibn Khaziba anataarifu katika kitabu chake “Kitab-e-Gharrar” kutoka kwa Zaid BinAslam, ambaye alisema: “Nilikuwa mmoja wa wale waliokwenda pamoja na Umartukiwa na vijinga vya moto mpaka kwenye mlango wa nyumba ya Fatima. Wakati Alina watu wake alipokataa kula kiapo cha utii, Umar alimuambia Fatima: ‘Yeyote yulealiyeko ndani ya nyumba atoke nje. Vinginevyo nitaichoma nyumba na yeyote aliye-mo ndani.’Ali, Hasani, Husein, Fatima, na kikundi cha Masahaba wa Mtume, na BaniHashim walikuwemo ndani. Fatima akasema: ‘Utaichoma nyumba yangu moto pamo-ja na mimi mwenyewe na watoto wangu?’ Akasema: ‘Ndio, Wallahi, kama hawatokinje na kula kiapo cha utii kwa Khalifa wa Mtume.’”

(4) Ibn Abd Rabbih, mmoja wa maulamaa wenu mashuhuri, anaandika katika kitabuchake “Iqdu’l-Farid,” Jz. 3, uk. 63, kwamba Ali na Abbas walikuwa wamekaa nyum-bani kwa Fatima. Abu Bakr akamuambia Umar: “Nenda ukawalete watu hawa. Kamawakikataa kuja, pigana nao.” Hivyo Umar akaenda nyumbani kwa Fatima na vijingavya moto. Fatuma akaja mlangoni na akasema: “Umekuja kuchoma nyumba yetu?”Akasema: “Ndio…” na kadhalika.

(5) Ibn Abi’l-Hadid Mu’tazili katika sharhe yake ya Nahju’l-Balagha, Jz. 1, uk. 134,akinukuu kutoka kitabu cha Jauhari, “Kitab-e-Saqifa” ameandika kwa kinaganaga

Mikesha ya Peshawar

201

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 201

Page 220: Mikesh A

kuhusu suala la Saqifa-e-Bani Sa’ad: “Bani hashim na Ali walikuwa wamekusanyikanyumbani kwa Ali. Zubair pia alikuwemo kwa vile naye alijiona kama ni mmoja waBani Hashim. Ali alizoea kusema, ‘Zubair alikuwa siku zote pamoja nasi mpaka wato-to wake walipokuwa wakubwa. Wao wakamgeuza dhidi yetu’. Umar akaenda nyum-bani kwa Fatima na kikundi cha watu. Usayd na Salma vile vile walikuwa pamojanaye. Umar akawataka watoke nje wachukue kiapo cha utii. Wao wakakataa. Zubairakachomoa upanga wake na akatoka nje. Umar akasema: ‘Mkamateni mbwa huyu.’Salma Bin Aslam akamnyang’anya upanga huo na akautupa kiambazani. Kishawakambururuza Ali kumpeleka kwa Abu Bakr. Bani Hashim wengine wakamfuata nawalikuwa wanangojea kuona Ali atafanya nini.

Ali alikuwa akisema kwamba yeye ni mtumishi wa Allah na ndugu yake Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Hakuna aliyemsikiliza. Walimpeleka kwa Abu Bakr, ambaye alimtaka kulakiapo cha utii kwake. Ali akasema: ‘Mimi ndiye ninayestashiki zaidi katika nafasi hii, nasitakula kiapo cha utii kwako. Ni wajibu juu yako kula kiapo cha utii kwangu.Umeichukuwa haki hii kutoka kwa Ansar kwa kutegemea uhusiano wako na Mtume(s.a.w.w.). Na mimi vile vile, kwa msingi huo huo, nalalamika dhidi yako. Hivyo kuwamuadilifu. Kama unamuogopa Allah, kubali haki yangu, kama Ansar walivyofanya kwayako. Vinginevyo, itakupasa ukubali kwamba unanidhulumu kwa makusudi.’

Umar akasema: ‘Hatutakuacha mpaka ule kiapo cha utii.’ Ali akasema: ‘Mmekula njamawote vizuri sana. Leo unamuunga mkono, ili kwamba kesho aweze kuurudsha ukhalifakwako. Naapa Wallahi kwamba sitakubaliana na maombi yenu na sitakula kiapo cha utii(kwa Abu Bakr). Yeye anapaswa atoe kiapo cha utii kwangu.’ Kisha aliwageukia watu naakasema: ‘Enyi Muhajirina! Muogopeni Allah. Msipore haki ya mamlaka ya familia yaMuhammad. Haki hiyo imeamriwa na Allah. Msimuondoe mtu anayestahiki kutoka katikanafasi yake. Kwa jina la Allah sisi Ahlul-Bayt tuna mamlaka makubwa katika suala hilikuliko mlivyo ninyi. Kuna mtu miongoni mwenu ambaye ana ujuzi juu ya Kitabu chaAllah (Qur’ani), Sunna ya Mtume, na sheria za dini yenu. Ninaapa Wallahi sisi tunavyovitu vyote hivi. Hivyo msifuate nafsi zenu mkaja mkapotea kutoka kwenye ukweli.’” Alialirudi nyumbani bila kula kiapo cha utii na akajitawisha mwenyewe nyumbani kwakempaka Fatima alipofariki. Hapo tena, alilazimishwa kula kiapo cha utii.

(6) Abu Muhammad Abudullah Bin Muslim bin Qutayba Bin Umar Al-Bahili Dinawari,ambaye alikuwa mmoja wa maulamaa na Kadhi rasmi wa mji wa Dinawari, anaandi-ka katika kitabu chake mashuhuri “Ta’rikhu’l-Khulafati Raghibin wa Daulati BaniUmayya”, kijulikanacho kama “Al-Imama wa’s-Siyasa”, Jz. 1, uk. 13: “Wakati AbuBakr alipofahamu kwamba kundi la watu walio na uadui kwake wamekusanyika kati-ka nyumba ya Ali, alimtuma Umar kwao. Wakati Umar alipompigia kelele Ali atokenje na kula kiapo cha utii kwa Abu Bakr, wote walikataa kutoka nje. Umar alikusanyakuni na kusema ‘Naapa kwa jina la Allah, ambaye ana uhai wangu katika miliki Yake,

Mikesha ya Peshawar

202

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 202

Page 221: Mikesh A

amma mtatoka nje, au nitaichoma nyumba pamoja na wote waliomo ndani.’ Watuwakasema: “Ewe Abu Hafsa! Fatima vile vile yumo ndani.’Akasema: ‘Hata akiwemo,nyumba nitaichoma moto tu.’

Hivyo wote wakatoka nje na kula kiapo cha utii, isipokuwa Ali, ambaye alisema:‘Nimeweka nadhiri kwamba, mpaka nitakapomaliza kuikusanya Qur’ani, sitatoka nje yanyumba wala kuvaa nguo kiukamilifu.’ Umar hakulikubali hili, lakini malalamiko ya huzu-ni ya Fatima na kubezwa na wengine, kulimlazimisha kurudi kwa Abu Bakr. Umaralimhimiza kumlazimisha Ali atoe kiapo cha utii. Abu Bakr alimtuma Qanfaz mara kadhaakumuita Ali, lakini safari zote alikatishwa tamaa. Mwishowe Umar, na kundi la watuwalikwenda kwenye mlango wa nyumba ya Fatima. Wakati Fatima aliposikia sauti zao,alipiga kelele: ‘Ewe baba yangu, Mtume wa Allah! Ni mateso gani haya tunayopata kuto-ka kwa mtoto wa Khattab na mtoto wa Abi Quhafa!’ Wakati watu hao walipoyasikiamalalamiko ya Fatima, baadhi yao walirudi nyuma mioyo yao ikiwa imevunjika, lakiniUmar alibaki pale na baadhi ya watu wengine mpaka mwishowe wakamburuza Ali kutokanje ya nyumba.

Walimchukuwa Ali na kumpeleka kwa Abu Bakr, na akamuambia achukue kiapo cha utiikwake. Ali alisema: ‘Kama sikula kiapo cha utii kwako utanifanya nini?’ Wakasema: ‘Tunaapa kwa jina la Allah kwamba tutaivunja shingo yako.’Ali akasema: ‘Mtamuuwa mtumishiwa Allah na ndugu wa Mtume?’ Umar akasema: ‘Wewe sio ndugu wa Mtume wa Allah.’

Wakati haya yakijiri, Abu Bakr alinyamaza kimya. Kisha Umar akamuuliza Abu Bakriwapo yeye (Umar) alikuwa hafuati amri yake katika suala hili. Abu Bakr akasema kwam-ba muda Fatima yuko hai hatamlazimisha Ali kula kiapo cha utii kwake. Kisha Ali aliwezakufikia kaburi la Mtume, ambako akiomboleza na kulia, alimueleza Mtume kile ambachoHarun alimueleza ndugu yake (Mtume Musa), kama ilivyoandikwa katika Qur’ani Tukufu:

‘..Ewe mtoto wa mama yangu! Hakika watu hawa wamenidharau, na wakakaribiakuniuwa…’( 7:150)

FATIMA ALIWAAMBIA ABU BAKR NAUMAR KWAMBA ANAWALAANI HAO WOTE KATIKA

KILA SALABaada ya kuelezea Suala hili kwa urefu, Abu Muhammad Abdullah Bin Qutayba anasemakwamba Ali hakula kiapo cha utii na akarudi nyumbani. Baadae Abu Bakr na Umar walik-wenda nyumbani kwa Fatima kumbembeleza na kuomba msamaha wake. Fatima akasema:‘Allah awe ni shahidi wangu kwamba ninyi wawili mmenikosea. Ninawalaani katika kilaSalat, na nitaendelea kuwalaani mpaka nitakapomuona baba yangu na kumlalamikia dhidiyenu.”

Mikesha ya Peshawar

203

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 203

Page 222: Mikesh A

(7) Ahmad Bin Abdu’l-Aziz ni mmoja wa maulamaa wenu. Ibn Abi’l-Hadid anaandikakuhusu yeye katika maneno yafuatayo: “Alikuwa mtu msomi, mwanahadithi na mwan-dishi mkubwa.” Yeye anaandika katika kitabu chake, Kitab-e-Saqifa, na Ibn Abi’l-Hadid Mu’tazili vile vile anamnukuu katika Sharhe Nahju’l-Balagha, Jz. 1, uk. 9, kuto-ka kwa Abi’l-Aswad, ambaye amesema: “Kundi la Masahaba na Muhajirina mashuhuriwalielezea kuhusu kuudhiwa kwao na ukhalifa wa Abu Bakr na wakauliza ni kwa niniwao hawakushauriwa. Vile vile Ali na Zubair walionyesha hasira zao, wakakataa kulakiapo cha utii na wakarudi nyumbani kwa Fatima. Fatima alilia kwa nguvu na akawasi-hi kwa taadhima sana, lakini bila mafanikio yoyote. Walichukuwa upanga wa Ali na waZubair wakazirusha kwenye ukuta na kuzivunjilia mbali. Kisha wakawaburuza mpakaMsikitini na kuwalazimisha kula kiapo cha utii.”

(8) Jauhari anasimulia kutoka kwa Salma bin Abdu’r-Rahman kwamba wakati Abu Bakraliposikia kwamba Ali, Zubair, na kundi la Bani Hashim walikuwa wamekusanyikanyumbani kwa Fatima, alimtuma Umar kwao. Umar alikwenda mpaka mlangoni mwanyumba ya Fatima na akaita kwa sauti kubwa: “Tokeni nje, vinginevyo, naapa nitai-choma nyumba yenu!”

(9) Jauhari, kwa mujibu wa Ibn Abi’l-Hadid katika sharhe ya Nahaju’l-Balagha, Jz. 2, uk.19, anasimulia kutoka kwa Sha’bi: “Wakati Abu Bakr aliposikia kuhusu mkusanyikowa Bani Hashim katika nyumba ya Ali, alimuambia Umar: ‘Wewe na Khalid nendenimkamlete Ali na Zubair waje wale kiapo cha utii.’ Hivyo Umar aliingia nyumbani kwaFatima na Khalid akabakia nje. Umar akamuambia Zubair ‘Upanga huu ni wa nini?’Akajibu, ‘Nimeupata kwa ajili ya kula kiapo kwa Ali.’

Umar akaunyakua upanga ule na kuutupa kwenye jiwe ndani ya nyumba na kuuvunja.Kisha akamtoa nje kwa Khalid. Alirudi tena ndani ya nyumba ambako kulikuwa na watuwengi, akiwemo Miqdadi, na Bani Hashim wote. Akimsemesha Ali, alisema: ‘Nyanyuka!Ninakupeleka kwa Abu Bakr. Lazima ule kiapo cha utii kwake.’Ali akakataa. Umar akam-buruza mpaka kwa Khalid. Khalid na Umar wakamlazimisha katika barabara ambayoilikuwa imejaa watu ambao walishuhudia kitendo hiki. Wakati Fatima alipoona tabia hii yaUmar, yeye pamoja na wanawake wengi wa Bani Hashim (ambao walikuja kumliwaza),walitoka nje. Walikuwa wakiomboleza na kulia kwa vilio vya sauti ya juu. Fatima alikwen-da msikitini ambako alimuambia Abu Bakr: ‘Mapema ilioje umewafukuza Ahlul Bayt waMtume wa Allah. Naapa kwa jina la Allah, sitazungumza na Umar mpaka nitakapomuonaAllah (yaani Siku ya Hukumu).’ Fatima alionesha kuchukizwa kwake mno na Abu Bakr nahakuzungumza naye kwa muda wote uliokuwa umebakia wa maisha yake.” (TazamaSahih Bukhari, sehemu ya 5 na 7).(10) Abu Walid Muhibu’d-Din Muhammad bin Muhammad Bin Ash-Shahna Al-Hanafi

(amekufa 815 A.H.), mmoja wa maulamaa wenu wakubwa anaandika katika katikakitabu chake, “Raudhatu’l-Manazir Fi Khabaru’l-Awa’il wa’l-Awakhir” kuhusiana na

Mikesha ya Peshawar

204

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 204

Page 223: Mikesh A

suala la Saqifa: Umar alikwenda nyumbani kwa Ali akiwa amejiandaa kuichomanyumba moto pamoja na wote waliokuwemo ndani yake. Umar alisema: Ingienikwenye kile ambacho umma umeingia.”

Tabari, katika kitabu chake Ta’rikh Jz. 2, uk. 443, anasimulia kutoka kwa Ziyad Bin Kalbikwamba, “Talha, Zubair, na baadhi ya Muhajirin walikuwa nyumbani kwa Ali. Umar binKhattab alikwenda huko na kuwataka watoke nje. Kama hawakutoka, alisema, angeichomanyumba moto.”

(12) Ibn Shahna, katika “Hashiyya-e-Kamil” ya Ibn Kathir, Jz. 11, uk. 112, anaandikakuhusiana na suala la Saqifa kwamba: “Baadhi ya Masahaba wa Mtume, na Bani Hashim,Zubair, Atba Bin Abi Lahab, Khalid Bin Sa’id Bin As, Mikidadi Bin Aswad Kindi, SalmanFarsi, Abu Dharr Ghifari, Ammar Bin Yasir, Bara’a Bin Azib, na Ubai Bin Ka’b walikataakula kiapo cha utii kwa Abu Bakr. Walijikusanya katika nyumba ya Ali. Umar Bin Khattabalikwenda kule kwa nia ya kuichoma nyumba. Fatima akamlalamika. Umar akasema:“Ingia kule ambako wengine wameingia.”

Hizi ni sampuli tu za ukweli mwingi wa kihistoria ulioandikwa na wanahistoria wenu.Suala hili lilikuwa linajulikana sana kiasi kwamba washairi wa zamani wamelitaja. Mmojawa washairi wenu, Hafidh Ibrahim wa Misr, anasema katika shairi la kumsifu Umar:“Hakuna mtu mwingine bali Abu Hafsa (Umar) ambaye angelikuwa na ujasiri wakumuambia mkuu wa ukoo wa Adnan (Ali) na jamaa zake, akisema: ‘Kama mkishindwakula kiapo cha utii, nitaichoma nyumba yenu, hata Fatima mwenyewe.’”

Hafidhi: Hadithi hizi zinaonyesha tu kwamba walichukuwa vijinga vya moto kuwatishana kuwatawanyisha wapinzani wa ukhalifa. Kusema kwamba nyumba ya Ali ilichomwamoto na matokeo yake Fatima kuharibu mimba yake, ni maneno yaliyobuniwa na Mashi’a.

RIWAYA KUHUSU KUHARIBIKAMIMBA YA FATIMA

Muombezi: Ungesoma Kitab-e-Isbatu’l-Wasiyya, kilichokusanywa na Abi’l-Hasan AliBin Husain Mas’udi, mwaandishi wa Muruju’dh-Dhahab. Aliandika kwa urefu sanakuhusu tukio la siku hiyo: “Walimzingira Ali na kuchoma mlango wa nyumba yake.Walimburuza kumtoa nje ya nyumba na wakambana mbora wa wanawake, Fatima, kati yamlango na ukuta kwa nguvu sana kiasi kwamba Muhsin, mtoto wake ambaye alikuwahajazaliwa, akafa kwa mimba yake kuharibika.” Mashi’a hawakuyabuni mambo haya.Kilichotokea kimehifadhiwa katika kurasa za historia. Kuharibika kwa mimba ni habari zakweli.

Vile vile unaweza kurejea kwenye Sharhe Nahju’l-Balagha, Jz, 3, uk. 351. Ibn Abi’l-Hadidanaandika kwamba alimuambia mwalimu wake, Abu Ja’far Naqib, kwamba wakati Mtume

Mikesha ya Peshawar

205

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 205

Page 224: Mikesh A

alipoelezwa kwamba Hubbar Bin Aswad amevipiga vitoto vya binti yake (vikiwa tumbonibado) kwa mkuki, ambapo kwa sababu hiyo Zainab akaharibu mimba yake, Mtumealiruhusu yeye auwawe. Abu Ja’far akasema: ‘Lau Mtume wa Allah angelikuwa hai bado,kwa hakika angeamuru adhabu ya kifo vile vile kwa yule ambaye amemtisha Fatima kiasikwamba mtoto wake Muhsin, alikufa kwa mimba yake kuharibika.’”

Hafidhi: Sielewi inasaidia lengo gani la manufaa kwa kusimulia visa hivi. Mambo ya ainahii husababisha kutokuelewana kwa pande hizi mbili.

Muombezi: Unakataa kusimulia kwangu mambo haya. Lakini ninafanya hivi kukanashutuma za waandishi waovu wanaowapoteza ndungu zetu ambao hawana ujuzi, na kuwai-ta Mashi’a makafir na kusema kwamba mambo haya yalikuwa ni ubunifu wa Mashi’a.Hatusemi kitu chochote kuhusu Ali mbali na kile ambacho Mtume amesema kuhusu yeye.Tuliwaeleza katika mikesha iliyopita kwamba tunamchukulia Ali kama mja mtiifu waAllah, makamu na mrithi wa Mtume aliyeteuliwa kwa utaratibu wa Mungu. Unadai kwam-ba hakuna maana ya kusimulia mambo haya. Kama msingezileta nukta hizi, tusingezijadili.Kama msingesema usiku huu kwamba hizi ni imani za Shia bila hoja ya msingi kwazo,nisingelazimika kuiambia hadhara hii kwamba hizi ni imani za maulamaa wa ki-Sunniwasio na upendeleo.

Nawab: Mheshimiwa, tunaamini kwamba Husein, ash-Shahid, alikuwa ameongoka sawa-sawa na kwamba aliuawa kwa dhulma na maofisa wa Bani Umayya. Lakini kuna baadhiya watu, hususan miongoni mwa vijana wetu, ambao wanasema kwamba vita vya Karbalavilikuwa ni vya kijeshi (kisiasa), na sio kadhia ya kidini. Inasemekana kwamba Husein BinAli alielekea Kufa kutafuta mamlaka, na ni jukumu la kila serikali kuzima hatari kamahizo. Kwa hiyo, Yazid alizuia tishio hili. Walimtaka Mtukufu Imamu kula kiapo cha utiibila masharti kwa Khalifa Yazid, ambaye kwamba utii kwake ilikuwa ni wajibu. Walimtakaaende Syria akaishi kule na Khalifa kwa heshima au arudi mjini kwake (Madina). Lakinihakufuata ushauri wao, na hatimaye aliuawa. Wanahitimisha kwamba maombolezo yoyotekwa ajili ya mtu wa kidunia kama huyu, ambaye aliuawa kwa ajili ya mapenzi yake yamamlaka, sio tu hayana maana, bali pia ni bid’a. Je, una jibu kwenye nukta hii?Unakanusha vipi wazo la kwamba vita vya Karbala havikuwa kilele cha harakati za kisi-asa?

IMAMU HUSEIN KAMWE HAKUTAMANI NGUVU ZA KISIASA

Muombezi: Kila tendo zuri au baya linategemea elimu yetu juu ya Allah. Wapinzani lazi-ma kwanza wamtambue Allah, na kisha lazima wakubali Kitabu cha Mungu, Qur’ani.Kutokana na kukubali huko, ina maana kwamba tunatambua kwamba chochote kile kili-choko ndani ya Kitabu ni sahihi. Mtu yeyote anayeamini kwamba Husein Bin Ali alishaw-ishiwa na malengo ya kidunia anakataa ukweli wa Qur’ani Tukufu. Allah (swt) ametoa

Mikesha ya Peshawar

206

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 206

Page 225: Mikesh A

ushahidi wa usafi wa Husein katika Qur’ani Tukufu. Anasema: “…Allah anapendakuwaondoleeni uchafu, Enyi watu wa nyumba (Ahlu’l-Bayt)! Na kuwatakaseni kwautakaso ulio safi kabisa…” (Qur’ani; 33:33).

Maulamaa wenu wengi, kama Muslim, Tirmidhi, Tha’labi, Sijistani, Abu Nu’aim Isfahani,Abu Bakr Shirazi, Suyuti, Hamwani, Ahmad Bin Hanbal, Zamakhshari, Baidhawi, IbnAthir, na wengine wameshikilia kwamba aya hii iliteremshwa kwa kuwatukuza walewatukufu watano, Ahlu’l-Bayt (watu wa Nyumba): Muhammad, Ali, Fatima, Hasan naHusein. Aya hii ndio uthibitisho mkubwa wa kutokukosea (Ma’sum) na usafi wa watuhawa watukufu. Uchafu mkubwa sana ni mapenzi ya mamlaka ya kidunia. Kuna hadithinyingi kutoka kwa Mtume na Maimamu zinazolaumu hamu ya mamalaka ya kidunia nautekelezaji wa matamanio yetu maovu. Mtume alisema: “Mapenzi na urafiki na dunia nimzizi wa maovu yote.” Abu Abdillah Husein hakuwa na mapenzi na mamlaka ya kidunia.Kwa kweli hakuhatarisha maisha yake na maisha ya familia yake kwa ajili ya kupatautawala wa mpito katika dunia hii.

Kama kusimama kwa Husein dhidi ya Yazid kulikuwa kwa ajili ya mamlaka ya kilimwen-gu tu, Mtume asingeamuru watu kumsaidia. Maulamaa wenu wenyewe wanathibitishanukta hii. Sheikh Suleimani Balkhi Hanafi katika “Yanabiu’l-Mawadda” kutoka katikavitabu vya historia vya Bukhari, Baghawi, na Ibnu’s-Sikkin kutoka Dhakha’iru’l-Uqba yaImamu’l-Haram Shafi’i, na Sirat-e-Mulla wanasimulia kutoka kwa Anas Bin Harith BinBayya, ambaye amesema kwamba alimsikia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akisema: “Hakika,mtoto wangu Husein atauawa katika ardhi ya Karbala. Kila mtu kati yenu ambayeatakuwepo wakati huo lazima amsaidie.”

Taarifa inaendelea: “Anas Bin Harith alifika Karbala na kwa kutii amri ya Mtume, aliuawashahidi pamoja na Imamu Husein.” Kwa hiyo ina maana kwamba kule Karbala ImamuHusein alisimama kwa ajili ya haki na sio kwa mapenzi ya dunia hii. Kuandaa safari kwaImamu Husein akiwa na kundi dogo, wakiwemo wanawake na watoto wadogo, ni isharanyingine kuonesha kwamba alitoka nyumbani kwake sio kwa madhumuni ya kupata mam-laka. Kama hiyo ingekuwa ndio nia yake, angelikwenda Yemen, ambako anaungwa mkonona wengi. Yemen ingelikuwa ni kituo cha kimantiki cha kuanzishia shughuli za kijeshi.Kwa hakika rafiki zake mara nyingi wamemshawishi kwenda Yemen, lakini walikuwahawatambui madhumuni yake. Lakini Imamu Husein alijua kwamba hakuna njia ya kupa-ta mafanikio ya dhahiri. Safari yake ilianza na watu 84, wakiwemo wanawake na watoto,akilenga kwenye msingi mzuri. Ule mti mtukufu – la ilaha ill’allah (hakuna munguisipokuwa Allah) – ulipandwa na babu yake, ukarutubishwa na damu yake na damu yamashahidi wa Badir, Uhud, na Hunain. Mti huo uliaminishwa kwa mtunza bustani mzuri,Ali Bin Abu Talib, ambaye alizuiwa kwa vitisho vya mauaji na uchomaji moto mali wamakusudi. Matokeo yake ilikuwa kwamba ile chemchem ya Tawhid (upweke wa Mungu)na utume ukakumbwa na mbadiliko ya kipupwe. Taratibu utawala wa bustani ukaangukia

Mikesha ya Peshawar

207

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 207

Page 226: Mikesh A

mikononi mwa Bani Umayya waovu.

Kuanzia ukhalifa wa Uthman Bin Affan, Bani Umayya wakahodhi utawala wa dola. AbuSufyan, mzee na kipofu, lakini daima hamu yake ya mamlaka ilikuwa kali, alipiga kelelekwenye baraza ya Bani Umayya: “Enyi Bani Umayya! Uzuieni ukhalifa kwenye familiayenu wenyewe. Pepo na moto ni ngano za watu wa kale. Enyi Bani Umayya! Ukamateniukhalifa kama mpira. Naapa kwa kile ambacho nakiapia, kwamba kila siku nimetamaniutawala huu kwa ajili yenu. Uchungeni ili kwamba uwe ni urithi wa vizazi vyenu.”

Makafiri hawa waliwaondoa watunza bustani sahihi kutoka kwenye bustani. Maji ya uhaiyalisimamishwa na mti mtukufu ulisinyaa mpaka wakati wa utawala wa Yazid, wakatiulipoonekana kuelekea kufa. Imamu Huseini akasafiri kwenda Karbala kuinyweshea ilebustani ya utume na kuimarisha ule mti mtukufu wa la ilha ill’Allah. Baadhi ya watuwanahoji kwa nini Imamu Husein asipandishe bendera ya upinzani mjini Madina. Hawajuikwamba angebakia Madina malengo yake yangelibakia bila kueleweka. Imamu Huseinalikwenda Makka katika mwezi wa Rajabu alihutubia maelfu ya watu, akiwambia kwam-ba Yazid alikuwa anaung’oa mti wa Tawhid. Alisema kwamba Yazid ambaye alidai kuwaKhalifa wa Waslamu, alikuwa anauharibu msngi wa Uislamu. Akiwa ametawaliwa na uleviwa pombe na kamari, Yazid alijiburudisha kwa kucheza na mbwa na manyani. ImamuHusein aliona kutoa mhanga maisha yake ni muhimu kwa ajili ya kuuhifadhi Uislamu.

IMAMU HUSEIN ALIKATAA USHAURI WA KUUACHAUJUMBE WAKE

Marafiki wa Imamu Husein na jamaa zake wamshawishi asiende Kufa, wakisema kwam-ba watu wa Kufa waliomtaka aende kule wana sifa mbaya wasioaminika. Watu wengiwalikusanyika kwa Bani Umayya na kupokea pesa na upendeleo wa kisiasa kwa malipo yakuwaunga mkono kwao. Kwa hiyo, kwa mujibu wa wengi wa wafuasi wake, ImamuHusein hakuwa na nafasi ya kuweza kuwashinda. Walimuomba aache safari yake hiyo.Walimhimiza aende Yemen ambako alikuwa na wafuasi wengi, na ambako angewezakuishi kwa amani. Lakini Huseini hakuweza kuelezea ukweli wa hali yake. Hata hivyo,alimtosheleza kila mmoja kwa jibu fupi. Aliwaambia marafiki wa karibu na jamaa zake,kama ndugu yake, Muhammad Bin Hanafiyya: Unasema jambo sahihi. Mimi vile vilenajua kwamba sitapata umiliki wa dhahiri, lakini siendi kwa ajili ya ushindi wa kidunia.Ninakwenda ili nikauawe. Natamani kwamba kwa kupitia nguvu yangu ya kuteseka kwauonevu, ningeweza kuung’oa msingi wa udhalimu na ukatili. Nimemuona babu yangu,Mtume, katika ndoto akiniambia: ‘Fanya safari ya kwenda Iraq. Allah (swt) anatakakukuona wewe ukiuliwa.’”

Muhammad Bin Hanafiyya na Ibn Abbas wakasema: “Kama hivyo ndivyo, kwa niniunakwenda na wanawake?” Akajibu: “Babu yangu amesema kwamba Allah anataka

Mikesha ya Peshawar

208

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 208

Page 227: Mikesh A

kuwaona wao wakiwa mateka. Hivyo, kutokana na amri ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),ninawachukuwa na kwenda nao.” Kutekwa kwa wanawake kutakuwa ndio sehemu yamaamuzi ya kuuliwa kwake shahidi. Watauonesha ulimwengu ukatili wa Bani Umayyakwa kizazi cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Bibi Zainabu binti wa Ali na Fatima, alitoahotuba fasaha ya malalamiko katika baraza ya Yazid iliyojaa watu, ambapo mamia yawatu, wakiwemo watu maarufu, watu wakubwa kutoka Bani Umayya, na mabalozi wa nje,walisheherekea ushindi wao.

Imamu wa nne, Zainu’l-Abidin Ali Ibn Husein, naye vile vile alitoa hotuba ya madai fasa-ha juu ya haki na uadilifu katika mimbari ya Msikiti wa Bani Umayya, mbele ya Yazid.Baada ya kumtukuza Allah (swt) Zainu’l-Abidin alisema: “Enye watu! Sisi kizazi chaMtume Muhammad, tumejaaliwa na Allah sifa sita na tumefanywa wabora kwa viumbewote kwa kupewa fadhila saba. Tumepewa elimu, uvumilivu, ujasiri, haiba yenye kupen-deza, ufasaha, ushujaa, na tunapendwa na waumini. Sisi ni bora juu ya kila mtu kwa sababuMtume Muhammad anatokana na sisi; Siddiq Ali Bin Abu Talib anatoka kwetu; Ja’far-e-Tayyar anatoka kwetu; Hamza anatoka kwetu, wajukuu wawili wa Mtume, Hasan naHusein, wanatoka kwetu; na Mahdi wa uma huu (Imam-e-Hujjat Bin Hasan) anatokana nasisi. Mtu ambaye hanijui mimi anapaswa ajue kuhusu familia yangu na hadhi yake; mimini mtoto wa Mtume wa Allah aliyetukuka mno na mbora, Muhammad Mustafa!”

Kisha kutoka kwenye mimbari ileile ambayo Mu’awiya na Yazid waliitumia kumtukanaAli, Imamu alimtukuza babu yake mashuhuri wa kupigiwa mfano, Ali Bin Abu Talib,mbele ya Yazid na wakuu wa Bani Umayya. Watu wengi wa Syria hawajawahi kusikia sifaza Ali na fadhila zake. Imamu akasema: “Mimi ni mtoto wa mtu yule ambaye alipiganambele ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.); ambaye awalipiga makafiri kule Badir na Hunain;ambaye katu hakupoteza imani yake kwa Allah japo kwa sekunde. Mimi ni mtoto wa mtumchamungu mno zaidi wa waumini wote, mrithi wa mitume, muuaji wa makafir, mtawalawa Waislamu, rehema ya waabuduo, mfalme wa wale ambao wanalia kwa hofu juu yaAllah, mvumilivu mno wa wavumilivu, mbora wa wanaotekeleza Salat. Mimi ni mtoto wamtu ambaye alisaidiwa na Jibril na Mikail. Mimi ni mtoto wa mtu yule ambaye alikuwamlinzi wa heshima ya Waislamu na mkataji vichwa vya makafir. Ni mtoto wa mtu yuleambaye alipigana vita takatifu dhidi ya maadui, ayelikuwa fahari ya Makuraishi, mtan-gulizi wa wale walioukubali ujumbe wa Allah na Mtume Wake, wa kwanza kati ya walewalioukubali Uislamu, ulimi wa hekima ya Allah, msaidizi wa dini ya Allah, mlinzi waamri za Allah, bustani ya hekima ya Allah, hazina ya elimu Yake.

Mimi ni mtoto wa mkuu wa wenye subira, mvunjaji wa vizuizi, ambaye moyo wakeulikuwa imara zaidi, ambaye maamuzi yake yalikuwa imara zaidi, ambaye tabia yakeilikuwa imara sana kuliko mtu yeyote. Alikuwa simba mkali kwenye uwanja wa vita,ambaye aliwakata maadui na kuwaangusha chini kwa upanga wake na kuwatawanya kamaupepo mkali unavyotawanya majani makavu. Alikuwa ndiye shujaa zaidi miongoni mwawatu wa Hijaz, jasiri zaidi miongoni mwa watu wa Iraq, Mwislamu safi zaidi, yeye ambaye

Mikesha ya Peshawar

209

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 209

Page 228: Mikesh A

alikula kiapo cha utii kule Aqaba, shujaa wa Badir na Hunain, mtu jasiri zaidi wakati wakiapo cha utii chini ya mti, mtoa kafara wa aina yake, ya kipekee wakati wa kuhama kwaMtukufu Mtume (s.a.w.w.), mkuu wa ulimwengu wa ki-Arabu, mlinzi wa Ka’ba Tukufu,baba wa wajukuu wawili wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Hizi ni sifa za babu yangu, AliBin Abu Talib.

Mimi vile vile ni mtoto wa Khadijatul-Kubra; mimi ni mtoto wa Fatima Zahra; mimi nimtoto wa yule ambaye ameuawa kwa dharuba nyuma ya shingo; mimi ni mtoto wa yuleambaye aliutoka ulimwengu huu akiwa na kiu; mimi ni mtoto wa yule ambaye alinyimwamaji wakati ambapo maji yaliruhusiwa kwa viumbe waliobakia. Mimi ni mtoto wa yuleambaye mwili wake haukuoshwa wala kuvishwa sanda; mimi ni mtoto wa yule ambayekichwa chake kitukufu kilinyanyuliwa katika ncha ya upanga; mimi ni mtoto wa yuleambaye wanawake wake walikashifiwa na kunyanyaswa waziwazi katika ardhi ya Karbalana kuchukuliwa mateka. Mimi ni mtoto wa yule ambaye wanawake wake waliletwa Syriakama mateka.”

Kisha Imamu alilia kwa sauti kubwa, na kuendelea: “Mimi ni…Mimi ni…” yaani, alien-delea kueleza fadhila za wahenga zake waliomtangulia na mateso ya mtukufu baba yakena Ahlu’l-Bayt. Kama matokeo ya hotuba yake hii, watu walilia sana. Baada ya kuliwashahidi kwa Imamu Husein, majlis ya kwanza (kikao cha maombolezo) kwa ajili ya mate-so ya kikatili aliyoyapata Imamu Husein ilifanyika katika Msikiti huu mkuu wa BaniUmayya. Imamu Zainu’l-Abidin, baada ya kusimulia sifa za Ali mbele ya maadui, alitoamaelezo yenye kugusa nyoyo juu ya mateso aliyopata mtukufu baba yake ambayo yalis-ababisha kilio kikubwa cha kuumiza kutoka kwa watu wa Syria mbele ya Yazid. Alitishikasana na kuondoka Msikitini pale.

Ilikuwa ni kutoka Msikitini hapa, kutokana na hotuba ya Imamu, ndipo watu wakasimamadhidi ya Yazid. Kwa sababu ya kelele za upinzani mkubwa wa watu, Yazid alilazimikakumlaani Ubaidullah Bin Marjana kwa kitendo chake kiovu. Hatimaye, ngome ya dhulmaya Bani Umayya iliteketezwa. Leo hatuoni katika Syria yote kaburi hata moja la BaniUmayya.

Tukirudi kwenye swali lako, Imamu Husein mara kwa mara alitabiri kuuawa kwake shahi-di. Wakati mmoja aliwahi kusimulia mjini Makka, mnamo siku ya Tarwia (siku ya 8 yaDhu’l-Hijja 60 A.H.), akisema: “Kifo kimeambatanishwa kwa kila mmoja wa kizazi chaAdamu kama mkufu ulivyoambatanishwa kwenye shingo ya msichana. Nina shauku yakukutana na wahenga wangu kama vile Yaqub alivyokuwa kwa ajili ya kukutana na Yusuf.Sehemu ambayo nitafia imekwishateuliwa kwa ajili yangu, na lazima niende kwenye sehe-mu hiyo. Ninawaona chui mwitu wakiniuwa, wakichana vipande vipande mwili wangukati ya Nawawi’s na Karbala.”

Imamu Husein alijua kwamba hatafika Kufa, makao makuu ya Iraqi (zama hizo). Alijua

Mikesha ya Peshawar

210

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 210

Page 229: Mikesh A

kwamba atauawa na watu ambao walikuwa kama wanyama wakali, wakikata mwili wakevipande vipande. Alifanya safari hiyo kwa madhumuni ya kufa shahidi na sio kwa sababuza kisiasa. Njiani humo aliwambia watu juu ya kifo chake kinachomngojea. Aliwaelezamarafiki zake na jamaa zake kwamba mfano mmoja ulikuwa unatosha kuthibitihsa jinsiulimwengu huu usivyokuwa na thamani. Alisema kwamba baada ya Nabii Yahya kukatwakichwa chake, kichwa hicho kiliwasishwa kwa mzinifu. Alisema kwamba kichwa chakeyeye hivi punde kitachukuliwa kupelekwa kwa mlevi, Yazid.

Fikiria suala hili kwa muda. Hur Bin Riyahi pamoja na kikosi cha farasi cha askari 1000waliizuia njia ya Husein. Kufa ilikuwa umbali wa maili thalathini tu. Hurr alikuwa ame-teuliwa na Ubaidullah Ibn Ziyad kumzuia Imamu Husein. Hurr alikuwa asimuachieandelee kwenda Kufa wala kuachana naye bila kupata maelekezo zaidi. Kwa nini Imamualijisalimisha kwa Hurr? Kama Husein alikuwa akitafuta mamlaka ya kisiasa, kwa hakikaasingeweza kuzuiwa na Hurr, ambaye alikuwa hana zaidi ya askari 1000. Imamu alikuwana askari 1300. Hali ya kuwa angewashinda, Imamu angelifika Kufa, ambako ana watuwengi wanaomuunga mkono. Kutoka huko hali ya kuwa jeshi limeongezeka nguvu,angeweza kukabiliana na adui na kupata umiliki. Lakini alikubali amri ya Hurr, alisimamapale katika jangwa akizunguukwa na adui. Baada ya siku nne majeshi ya nyongeza ya aduiyaliwasili pale, na mtoto wa Mtume akalazimika kustahamili mateso ya ukatili.

Ushahidi mzuri katika kuunga mkono maoni yangu ni hotuba ya Imamu katika usiku wakuamkia Siku ya Ashura. Mpaka usiku ule askari 1300 walikuwa wako tayari kupiganakwa ajili yake. Husein aliwakusanya watu hao pamoja na akawaambia: “Wale ambaowamekuja kwa ajili ya kupata faida ya kidunia, basi wajue kwamba yeyote atakayebakiahapa kesho katika ardhi hii atauawa. Adui ana haja na mimi peke yangu; naondoa nguvuya kifungo cha utii kutoka katika shingo zenu. Huu sasa ni usiku, na mnaweza kuondokakatika giza hili la usiku.” Wengi walikubali pendekezo lake na wakaondoka. Watu 42 tuwalibakia, 18 Bani Hashim na 24 Masahaba. Baada ya usiku wa manane, askari 30 wa aduiwalielekea kwenye kambi ya Imamu kwa ajili ya mashambulizi ya usiku, lakini walipom-sikia Husein akisoma Qur’ani Tukufu, walijawa na jazba na wakaungana na Imamu. Hawandio wale watu 72 waliojitolea mhanga maisha yao Siku ya Ashura. Wengi wao walikuwawachamungu, na wengi walikuwa ni wasomaji wa Qur’ani Tukufu.

Leo mhanga mtukufu wa Husein unakubaliwa na marafiki na maadui kwa pamoja. Hatawale ambao ni wageni katika dini yetu wamevutia na ushujaa wake. Katika Da’iratu’l-Ma’rif ya Kifaransa, kuna makala ndefu yenye anwani ya “Mashahidi watatu” iliyoandik-wa na mwanachuo mwanamke wa Kiingereza. Dhamira yake ni kwamba katika historiayote kumekuwa na mashahidi watatu, ambao kwa kujitolea kwao mhanga maisha yao,wamekuwa kivutio kikubwa katika kuendeleza njia ya haki. Wa kwanza alikuwa niSocrates, na wa pili alikuwa ni Yesu - Isa Masihi (mwandishi alikuwa ni Mkristo). SisiWaislamu, kwa hakika tunaamini kwamba Isa hakusulubiwa. Qur’ani Tukufu kwa uwaziinasema:

Mikesha ya Peshawar

211

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 211

Page 230: Mikesh A

“Na hawakumuuwa wala hawakumsulubisha, bali walifananishwa kwao (mtumwingine, kama Isa), na kwa hakika wale ambao wanatofautiana kwalo wana shakajuu ya hilo. Hawana elimu kuhusiana nalo, bali hufuata dhana tu. Kwa yakinihawakumuuawa. Hasha! Allah alimchukuwa juu Kwake.” (Qur’ani 4:157-158)

Shahidi wa tatu, anaandika mwanamke huyu, alikuwa ni Husein, mjukuu wa Muhammad.Anaandika: “Wakati tunapokusanya matukio ya kihistoria na kuyaangalia yale mazingiraambamo watu hawa watatu walitoa maisha yao, tunakubali kwamba mhanga wa Huseinuliipita ile mingine miwili. Ukweli ulikuwa kwamba, Socrates na Yesu walitoa tu maishayao wenyewe kwa kafara katika njia ya Mungu, lakini Husein alitoka nyumbani kwakekwenda nchi ya mbali ya jangwa kwenda kuzunguukwa na adui. Yeye na familia yake yotewaliuawa mashahidi kwa ajili ya kutetea njia ya haki. Aliwapeleka rafiki na jamaa zakekumkabili adui na kutoa mhanga maisha yao kwa ajili ya dini ya Allah. Hii kwa hakikailikuwa ni ngumu mno kuliko kutoa maisha yake mwenyewe.”

Mfano wa dhahiri zaidi wa mateso ya udhalimu aliyopata Husein ulikuwa ni yale mauajiya kikatili ya mtoto wake mdogo wa miezi sita. Alimbeba mtoto mikononi mwake akiom-ba maji kwa ajili yake (ambayo yalikuwa mengi), lakini maadui wakatili wale, badala yakumpa maji, walimuuwa mtoto yule kwa mshale. Ushenzi huu wa maadui unathibitishakwamba Imamu Husein alikuwa ni muathiriwa wa udhalimu. Uvumilivu wake wakushangaza ulivunjilia mbali kabisa nguvu za Bani Umayya na uliwashutumumbele yaulimwengu. Ilikuwa ni kwa ajili ya mihanga yake na Ahlu’l-Bayt wake watukufu ambapodini ya Muhammad ilipata uhai mpya.

Nawab: Kwa hakika tunawiwa mno na wewe. Tumevutiwa sana na maelezo yako yamambo yanayomhusu Imamu Husein. Mpaka sasa tulikuwa tunafuata watu wengine natulikuwa tunazikosa fadhila za ziarat (kuzuru kaburi tukufu la Imamu). Tumeambiwakwamba kuzuru kaburi la Imamu Husein ni bida’a “uzushi.” Ama kwa hakika ni bida’anzuri iliyoje hiyo, kwa vile humfanya mtu awe na ari na kumsaidia aelewe ukweli kuhusukizazi cha Mtume.

MAANA HALISI YA BIDA’A (UZUSHI)

Muombezi: Neno “bidat,” lina asili yake katika madhehebu ya maulamaa wa ki-Sunni naya Nasib na Khawarij, ambao walikuwa ni maadui waliothibitika wa Ali. Wameiita ziarat“bida’a” bila kufikiria ukweli kwamba bida’a inahusian na jambo linalohusu Mtume au

Mikesha ya Peshawar

212

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 212

Page 231: Mikesh A

Ahlul’Bayt wake, ambalo halikuamriwa na Allah. Hata hivyo, kuhusu suala la kuzurukaburi la Husein, kuna hadithi nyingi katika vitabu vya maulamaa wenu wenyewe.Nitakomea kwenye hadithi moja mashuhuri iliyoandikwa katika vitabu vyote vya maqatilna hadith mukhtar.

“Siku moja Mtume alikuwa nyumbani kwa Aisha wakati Husein alipoingia ndani. Mtumealimchukuwa mikononi mwake, akambusu na kumnusa. Aisha akasema: ‘Maisha ya babayangu na mama yangu yawe mhanga kwa ajili yako! Kiasi gani unampenda Husein!’Mtume akasema: ‘Hujui kwamba mtoto huyu ni sehemu ya ini langu na ua langu?’ Baadaya hapo Mtume akaanza kulia. Aisha akauliza sababu ya kulia kwake. Mtume akajibukwamba alibusu mahali ambako Bani Umayya watakuja kumjeruhi Husein. Aisha akaulizakama watamuuwa. Akasema, ‘Ndio atauawa. Hawatapata usaidizi wangu (kesho akhera).Aliyebarikiwa ni yule anayekwenda kuzuru kaburi lake baada ya shahada yake.’Aisha aka-muuliza Mtume, ni malipo gani yatakuwa kwa ajili ya ziarat hiyo. Mtume akasema:‘Itakuwa ni sawa na hijja yangu moja.’ Aisha akasema, ‘Hijja moja ya kwako!’ Akasema,‘Hapana, mbili,’ Aisha alipoonesha mshangao tena, akasema, ‘Hapana, Hijja nne.’ Jinsialivyozidi kuonesha mshangao ndivyo malipo yalivyozidi kuongezeka, mpaka mwishoweakasema, ‘Aisha! Kama mtu atakwenda kuzuru kabutri la Husein, Allah atampa maliposawa na Hijja 90 na Umra 90 zilizofanywa na mimi.’ Kisha Aisha akanyamaza.’”Sasa nakuulizeni, Ziarat kama hiyo ni uzushi (bida’a)?

FAIDA ZA KUZURU MAKABURI YA MAIMAMU WATUKUFU

Kuna faida nyingine ambazo hupatikana kwa kuzuru makuburi ya Maimamu. Sehemu zandani kabisa za eneo la kaburi, zinazoitwa haram, hubakia wazi kwa ajili ya wangeni usikuna mchana. Haram hizo na misikiti karibu yake kwa kawaida huwa zinakutwa zimejaamahujaji na wafanyao ibada. Wale ambao wamezoea kusali si zaidi ya Salat za wajibumara nyingi hufanya jitihada maalumu za kiibada wakati wa kuzuru makaburi matukufu.Wanamuomba Allah kwa unyofu na kusoma Qur’ani. Je, ibada kama hiyo ni bida’a?

Nawab: Kwa hakika hatuna wa kumlaumu isipokuwa sisi wenyewe kama hatukuyaangaliamambo haya kwa ukaribu zaidi. Miaka michache iliyopita nilikwenda Baghdad kuzurukaburi la Imam A’Dham Abu Hanifa na Abdu’l-Qadir Jilani. Siku moja nilikwenda kutem-bea karibu ya Kadhmain (sehemu aliyozikwa Imamu wa saba, Musa Ibn Ja’far Al-Kadhimna Imamu wa tisa, Muhammad Ibn Ali at-Taqi). Wakati niliporudi, wenzangu walinilaumuvikali sana. Nashangaa kwamba kuzuru makuburi ya Imam A’dham huko Mu’dham,Sheikh Abdu’l-Qadir huko Baghdad, la Khwaja Nidhamu’d-Din huko India, la SheikhAkbar Muhyi-d-Din Ibn Arabi huko Misr kunaweza kuchukuliwa kwamba kunastahili

Mikesha ya Peshawar

213

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 213

Page 232: Mikesh A

malipo ya thawabu. Kila mwaka watu wengi miongoni mwa madhehebu ya Sunni huzurusehemu hizi ingawa Mtume kamwe hajalipendekeza hilo. Inawezekana vipi kwamba ziaratkwenye kaburi la Shahidi mkuu, mjukuu wa Mtume, ambayo Mtume ameipendekeza,iambiwe kuwa ni bida’a? Naamua kwa dhati kabisa kwamba, Allah akipenda, mwaka huunitakwenda kuzuru kaburi la mjukuu kipenzi cha Mtume, Husein. Nitamuomba Allahanisamehe makosa yangu yaliyopita.

MKUTANO WA NANE; ALKHAMISI USIKU( 1 SHABAN, 1345 A.H.)

Sayyid Abdu’l-Hayy: Mheshimiwa, usiku uliopita ulichangia katika kutokuelewanamiongoni mwa Waislamu.

Muombezi: Nieleze jinsi nilivyofanya hivyo.

Sayyid: Wakati unaelezea “sisi wenyewe”, uliwagawanya Waislamu kwenye makundimawili: Waislamu na waumini. Lakini waislamu wote ni kitu kimoja na wako sawa. Walewanaosema maneno “Hakuna mungu isipokuwa Allah na Muhammad ni Mjumbe Wake,”hao ni ndugu. Hawapasi kutenganishwa katika makundi mawili kwa sababu hili lina mad-hara kwa Uislamu. Mashi’a wanajiita wenyewe waumini, na wanatuita sisi Waislamu.Lazima utakuwa umeona kwamba kule India Mashi’a wanaitwa waumini na Masunniwanaitwa Waislamu. Ukweli ni kwamba ‘Uislamu na ‘Iman’ ni maneno yanayofanana kwasababu Uislamu maana yake kukubali amri za dini. Utambuzi huu ndio ukweli wa ‘Iman.’Umma wote umekubali kwamba Uislamu ni Iman halisi. Umekwenda kinyume na maoniya wengi.

TOFAUTI KATI YA UISLAMU NA IMANI

Muombezi: Kwanza, rejea yako juu ya watu wa kawaida haina maana ya watu wa ummawote kwa ujumla. Inarudi kwa watu wa kawaida wa kundi la Masunni. Pili, maelezo yakokuhusu Uislamu na Imani sio sahihi. Sio Mashia tu wanaohitalifiana na Masunni bali hatama-Ash’ari, Mu’tazali, Mahanafi, na Mashafii vile vile wana maoni tofauti kuhusu hilo.Tatu, mimi kwa kweli sielewi ni kwa nini mwanachuoni kama wewe unakimbiliapingamizi zisizo na maana. Mgawanyo huu katika makundi mawili umefanywa na Allahkatika Qur’ani Tukufu. Pengine umesahau lile suala linalohusiana na Masahaba wa kulianina Masahaba wa kushotoni waliotaja katika Qur’ani Tukufu ambayo inasema:

“Wakaaji wa jangwani wanasema: ‘tumeamini.’ Sema: ‘Hamjaamini bali semeni,

Mikesha ya Peshawar

214

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 214

Page 233: Mikesh A

tumenyenyekea (tumesilimu); lakini imani bado haijaingia nyoyoni mwenu.’”(Qur’ani; 49:14)

Kwa hakika lazima uelewe kwamba aya hii iliteremshwa katika kuwalaumu lile kabila lajangwani la Bani Asad, ambao walikuwa Waislamu kwa majina tu. Wakati wa mwaka waukame, walijazana mjini Madina, na ili kupata msaada walidai kwamba wao ni waumini.Lakin nyoyoni mwao walikuwa si waumini kwa Allah na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Ayahii inathibitisha kwamba kuna makundi mawili ya Waislamu. Waislamu waaminifu, ambaowamekubali uhalisi wa Imani, na wale ambao wanatamka imani maneno kwa mdomo tu.Katika nyanja yetu ya kijamii kundi la mwisho wanapasika na usalama na manufaa ya she-ria zilizokusudiwa kwa Waislamu wote. Lakini, kwa mujibu wa amri za Qur’ani Tukufu,hawapasiki na malipo yoyote katika akhera. Kutamka kwao kwamba hakuna munguispokuwa Allah na Muhammad ni Mjumbe Wake, na kujionyesha kwao katika jambo lakwamba wao ni Waislamu, hakuna maana ya kweli.

Sayyid: Umesema sawa, lakini Uislamu bila Imani hauna maana, kama vile ambavyoImani bila Uislamu haina ubora. Allah anasema katika Qur’ani Tukufu: “Na msimwambieanayekutoleeni salamu: ‘Wewe sio muumini......’” (Qur’ani; 4:94).

Aya hii inathibitisha kwamba lazima tumtendee mtu kwa mujibu wa mtu anavyoonekanakwa nje. Kama mtu yeyote atasema, “Hakuna mungu isipokuwa Allah na Muhammad niMjumbe wa Allah,” lazima tukubali imani yake. Hii yenyewe ni ushahidi mzuri kwambaUislamu na Imani ni maneno yanayofanana.

Muombezi: Aya hii iliteremshwa kuhusiana na mtu mahususi, imma Usama Bin Zaid auMuhallam Bin Jasama-e-Laisi, ambaye inasemekana aliuwa mtu katika vita, mtu ambayeametamka, “Hakuna mungu isipokuwa Allah.” Aliuawa kwa dhana kwamba alitamkamaneno haya kwa woga. Lakini kwa vile unafikiri kwamba iko katika hali ya ujumla, sisivile vile tunawaona Waislamu wote kuwa ni safi. Labda kwa kweli pale tunapowaonawakikiuka ile misingi ya dini. Lakini kuna tofauti kati ya Uislamu na Imani kwa sababukuna daraja mbali mbali za Imani. Imam Ja’far Bin Muhammad As-Sadiq anasema katikahadithi ya Umar na Zubair: “Amma kuhusu Imani kuna masharti, daraja, na hatua. Baadhiya hizo ni dhaifu na udhaifu wao uko wazi; baadhi ni nzuri zenye uzito; baadhi zimetimiana zimefikia ukamilifu.”

Imani dhaifu ni hatua ya kwanza kabisa ambayo kwamba mtu hupita kuingia katikaUislamu kutoka kwenye ukafiri. Daraja za juu za Imani zinawezekana. Rejea zake zimeta-jwa katika baadhi ya hadithi. Miongoni mwao ni hadithi katika Usul Kafi na Nahju’l-Balagha kutoka kwa Amir wa Waumini (Ali) na Ja’far Bin Muhammad As-Sadiq ambayeamesema: “Allah ameigawanya Imani katika daraja saba ambazo ni wema, ukweli,kusadikisha kwa moyo, kujisalimisha kwenye utashi wa Allah, utii, elimu, na uvumilivu.

Mikesha ya Peshawar

215

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 215

Page 234: Mikesh A

Sifa hizi saba zimegawanywa bila ulingano miongoni mwa wanadamu. Mtu ambaye anazosifa zote hizi ni muumini kamili. Kwa hiyo, Uislamu uko katika kundi la kwanza la Imani,ambamo kuna tamko la mdomo la imani katika utume wa Muhammad na Upweke waAllah. Imani haijaingia katika moyo wa mtu kama huyo. Mtume wa Allah alikiambiakikundi cha watu: ‘Enyi watu! Ninyi ni miongoni mwa wale ambao mmekubali Uislamukwa ndimi zenu, lakini bado kwa nyoyo zenu.’”

Ni dhahiri kwamba Uislamu na Imani viko tofauti. Lakini hatutakiwi kupekuwa nyoyo zawatu wengine. Nilisema usiku uliopita kwamba dalili ya muumini ni vitendo vyake. Lakinihatuna haki ya kuchunguza kuhusu vitendo vya Waislamu. Hata hivyo tunalazimikakuonyesha tabia za Imani, ili kwamba wale ambao wamezama katika usingizi wawezekutiwa moyo wa kutekeleza wajibu wao. Hivyo wataelewa ukweli wa Imani na watajuakwamba wokovu katika akhera utakuja tu kwa kufanya matendo mema, kama hadithiinavyosema: “Imani maana yake kukiri kwa ulimi, kusadikisha katika moyo, na kutendakwa viungo vyetu.” Kukiri kwa ulimi na kusadikisha moyoni ni vitangulizi vya vitendo.

Naam tunajua kwamba ulimwengu huu mbaya ni utangulizi tu wa ulimwengu ujao. Njiaya wokovu kwa ajili ya mtu huyo imefungwa katika akhera mpaka awe ni mtu mwenyekufanya matendo mema hapa duniani. Allah (swt) anasema katika Qur’ani Tukufu:

“Naapa kwa Zama! Hakika mwanadamu yumo katika hasara, isipokuwa walewalioamini na wakatenda matendo mema…” (103:1-3)

Kwa ufupi, kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu, uchamungu ndio msingi wa Imani. Na kamamtu hana matendo mema katika sifa yake, kukubali kwake kwa mdomo au kusadikishakwenye moyo bado kutamuacha mbali na Imani. Kama ni kweli kwamba inatupasa kum-chukulia kila mtu kuwa ni Mwislamu, yule ambaye anasema , “Hakuna mungu isipokuwaAllah na Muhammad ni Mjumbe wa Allah,” kwa nini mnawachukilia Mashi’a kamamakafiri? Hakika Mashi’a wanaamini katika upweke wa Allah, utume wa Muhammad,Kibla moja, Kitabu kimoja. Wanatekeleza matendo yote ya wajibu, wanatekeleza saumukama ilivyoelekezwa, wanakwenda kuhiji, wanatoa khums na zakat (kodi za kidini),wanaamini kufufuliwa katika mwili, na Siku ya Hukumu.

Je, ninyi sio ndio mnaosababisha utengano miongoni mwa Waislamu? Mnawatengamamilioni ya Waislamu na kuwaita makafiri ingawa hamna hata chembe ya ushahidi kuun-ga mkono madai yenu. Hamtambui kwamba hizi ni mbinu za maadui ambao wanataka kus-ababisha migogoro miongoni mwa Waislamu kwa njia za uwongo kama huu. Ukweli ni

Mikesha ya Peshawar

216

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 216

Page 235: Mikesh A

kwamba hatuna tofauti katika misingi ya imani isipokuwa katika Uimamu na ukhalifa. Navipi ingekuwa kama kungekuwa na tofauti katika matendo ya imani? Hitilafu kama hizozipo miongoni mwa madhehebu zenu nne, nazo ni mbaya zaidi kuliko zile zilizoko katiyetu na ninyi. (haitakuwa sahihi sasa kuonyesha tofauti kati ya madhehebu za Hanafia naMaliki au kati ya Shafi’i na Hanbal.).

Kwa maoni yangu mimi, ninyi hamna hata chembe ya ushahidi kuthibitisha ushirikina auukafiri wa Mashi’a. Kosa pekee la Mashi’a lisilosameheka, kwa mujibu wa kile wali-choeneza Khawariji na Manasibi, kwa njia ya Bani Umayyah ni kwamba Shi’a hawapoto-shi katika kutafsir hadithi. Hawawapi nafasi watu kama Abu Huraira, Anas, na Samurakuwa kati ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na sisi. Hata maulamaa wenu wenyewe namakhalifa wenu wakubwa waliwashutumu kama waongo.

Kosa kubwa wanalohusihswa nalo Mashia ni kwamba wanafuata kizazi cha Mtume, Ali naMaimamu kumi na mbili, na sio hao Maimamu wanne. Lakini ninyi hamna ushahidi kuto-ka kwa Mtume unaoonyesha kwamba ni lazima Waislamu wawafuate Ash’ari, auMu’tazali katika misingi ya imani na Maliki, Hanafi, Hanbal nau Shafi’i katika matendoya ibada. Kwa upande mwingine kuna maelekezo mengi kutoka kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) yanayotuambia kwamba kizazi na Ahlul’l-Bayt wa Mtume wanalingana naQur’ani Tukufu, na kwamba umma lazima ushikamane nao. Miongoni mwa hadithi hizoni ‘Hadith Thaqalain’, ‘Hadth-e-Safina’, ‘Hadith-e-Bab-e-Hitta’. Je, unaweza kunukuuhadthi moja tu ambayo kwayo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema kwmba baada yakeyeye watu wake lazima wamfuate Abu’l-Hasan Ash’ari na Wasil Bin Ata, na kadhalika,katika misingi ya imani na mmojawapo wa Maimamu wanne – Malik Bin Anas, AhmadBin Hanbal, Abu Hanifa, au Muhammad Bin Idris Shafi’i katika matendo ya ibada?

Sheikh Suleiman Balkhi Hanafi katika kitabu chake Yanabiu’l-Mawadda, Sura ya 4,anasimulia kutoka kwa Fara’id Hamwaini akinukuu kutoka kwa Ibn Abbas kwambaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimuambia Amirul-Mu’minin (Ali): “Ewe Ali! Mimi ni Jiji laelimu na wewe ni Lango lake. Hakuna mtu awezaye kuingia katika jiji bila kwanza kuin-gia katika lango. Ni mwongo yule anayedai kunipenda mimi ambapo akiwa ni adui yako,kwa sababu wewe watokana na mimi na mimi natokana na wewe. Nyama yako ni nyamayangu, damu yako ni damu yangu, nafsi yako ni nafsi yangu, haiba yako ndio haiba yangumimi. Amebarikiwa yule mtu ambaye anakutii wewe, ole wake yule ambaye anakuasiwewe. Rafiki yako ni mwenye kunufaika, na adui yako yuko kwenye hasara. Mtu ambayeyuko pamoja na wewe amefuzu, na mtu ambaye yuko mbali na wewe amepotea. Baadayangu mimi, wewe na Maimamu wote katika kizazi chako ni kama Safina ya Nuh: ambayeatapanda humo ataokolewa, na yeyote yule ambaye atakataa kupanda humo ataangamia.Mfano wao (Maimamu) ni kama nyota: wakati nyota moja inapozama, nyingine hutokeza.Mpangilio huu utaendelea mpaka Siku ya Kiyama.”

Mikesha ya Peshawar

217

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 217

Page 236: Mikesh A

Imeelezewa wazi kabisa katika Hadith-e-Thaqalain (inayokubaliwa na madhehebu zote)kwamba “Kama mtashikamana na Ahlul’-Bayt, kamwe hamtapotea.” Hata shupavu IbnHajar Makki anaandika katika matokeo ya utafiti wake katika Sawa’iq Muhriqa, Sura ya 2sura ndogo,1, uk. 92, kuhusiana na aya ya Qur’ani Tukufu:

“Na wasimamisheni hakika hao wataulizwa. (37:24)

Na Sheikh Suleiman Balkhi Hanafi vie vile amenukuu kutoka kwenye Sawa’iq katikakitabu chake Yanabiu’l-Mawadda, Sura ya 95, uk. 296, (kilichochapishwa Istanbul) akise-ma kwamba hadithi hii imesimuliwa katika njia tofauti. Ibn Hajar anasema: “Hakika,hadithi ya kushikamana na ‘Vitu Viwili Vizito’ (Thaqalain) imesimuliwa katika njia tofau-ti, imesimuliwa na Masahaba zaidi ya 25 wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).”

Ibn Hajar anasema kuhusiana na aya hiyo hapo juu ya Qur’ani kwamba Siku ya Hukumu,watu watauliza kuhusu Wilayat ya Ali na kizazi cha Mtume.

Anaandika kwamba kwa mujibu wa baadhi ya vyanzo, hadithi hii ilisimuliwa katika sikuya Arafa, na baadhi wanasema ilisimuliwa wakati Mtume yuko katika kitanda cha mautina nyumba yake ikiwa imejaa Masahaba wake. Wengine wanasema ilikuwemo ndani yahotuba yake ya mwisho baada ya Hija ya muago. Ibn Hajar anatoa maoni yake kuhusianana sehemu mbalimbali ilikosimuliwa hadithi hii: “Hakuna kutokulingana katikauwezekano kwamba Mtume katika kupenda kwake kuonesha Utukufu wa Qur’ani nakizazi chake kitukufu, alirudia rudia hadithi hii katika sehemu hizi na nyingine tofauti.Imesimuliwa kwa usahihi kabisa kwamba Mtume alisema: ‘Ninakuachieni miongonimwenu vitu viwili vizito: kama mkivifuata, kamwe hamtapotea. Na viwili hivyo ni Kitabucha Allah (Qur’ani) na Ahlul-Bayt wangu.’

Tabrani ameisimulia hadithi hii na nyongeza hii: “Angalieni jinsi mtakavyojihusisha naviwili hivi: Qur’ani na Ahlul’l-Bayt, hivyo msijaribu kuwatangulia, vinginevyomtaangamia. Msiwapuuze, vinginevyo mtaharibikiwa. Msijaribu kuwafundisha, kwaniwao wanajua zaidi kuliko ninyi.”

Hata Ibn Hajar mshupavu, baada ya kunukuu kutoka kwa Tabrani na wengine, anaandika:“Mtume aliita Qur’ani na kizazi chake, ‘Vizito Viwili ’ kwa sababu viwili hivi ni vizitomno na vitukufu katika kila kipengele.” Mtume vile vile alisema: “Namshukuru Allahambaye ameijaza mioyo ya Ahlul’l-Bayt wangu kwa hekima.” Na Mtume vile vile alisemakatika hadithi iliyotajwa huko mwanzoni: “.....Na kamwe msijaribu kuwafundisha (kizazichangu) kitu chochote kwa vile ni wenye elimu zaidi ya ninyi wote. Muwaone ni bora kwamaulamaa wenu wote kwa sababu Allah amewaumba safi (watoharifu) na amewatambul-

Mikesha ya Peshawar

218

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:00 PM Page 218

Page 237: Mikesh A

isha kwenye umma kuwa na uwezo za kimiujiza na sifa nyingi nyingine zisizo na idadi.”Kuna nukta moja katika hadithi hii ambayo inasisitiza kushikamana kwa Ahlul’l-Bayt:yaani, kwamba mfuatano wa vizazi vya Ahlul’l-Bayt, hautakatika mpaka Siku ya Hukumu.Inashangaza kwamba baadhi ya watu wanakiri kwamba watu wa Ahlul’l-Bayt wana elimukubwa lakini wanakiuka amri za Mtume na kuwafanya kama viongozi wao; wale watuwengine ambao hawana haki ya kutangulizwa. Je, mnaweza ninyi au sisi kubadishaQur’ani Tukufu? Je, tunaweza kuchangua kitabu kingine chochote?

Sayyid: Hapana, haiwezekani kamwe. Hii ni amana ya Mtukufu Mtume, ujumbe mtuku-fu, na chanzo kikuu kabisa cha mwongozo.

Muombezi: Mwenyezi Mungu akubariki! Umezungumza kweli kabisa. Wakati tukiwahatuwezi kuibadili Qur’ani tukufu na kuiwekea kitabu kingine badala yake, kanuni hiyohiyo ni lazima ifuatwe kuhusiana na wale ambao wanalingana na hiyo Qur’ani tukufu.Hivyo, ni kwa mujibu wa kanuni gani ambayo kwamba wale ambao hawatokani na kizazicha Mtume walikubaliwa kuwapita wale wa kizazi chake? Nataka jibu rahisi kwa swali hiliili tuweze kujua iwapo kwamba wale makhalifa watatu - Abu Bakr, Umar, na Uthman -walitokana na Ahlul-Bayt wa Mtume (s.a.w.w.), na kwamba walijumuishwa katika hadithzile tulizozitaja (ya Thaqalain, Safina na Bab-e-Hitta). Kama wameingizwa, basi lazimatuwafuate, kwa mujibu wa maagizo ya Mtume.

Seyyed: Hakuna anayeamini kwamba yeyote kati ya makhalifa hao, mbali na Ali,walikuwa wameingizwa kwenye Ahlul-Bayt wa Mtume. Kama ilivyo, makhalifa haowatatu waliotajwa walikuwa ni masahaba wazuri wa Mtume (s.a.w.w.)

Muombezi: Je, Mtume alituambia tufuate mtu maalum au kikundi cha watu? Ikiwa kundimoja linasema kwamba ni jambo lenye manufaa kufuata watu wengine, hivi tumtii Mtumeama tufuate uangalifu kama ulivyoamuliwa na umma?

Seyyed: Ni dhahiri kwamba utiifu kwa Mtume ni wajibu wa lazima.

Muombezi: Baada ya kwamba Mtume ametuelekeza tufuate Qur’ani tukufu na kizazichake, kwa nini wamependelewa kufuatwa wengineo? Je, Abul-Hasan Ali bin Isma’ilAsh’ari, Wasil bin Ata, Malik bin Anas, Abu Hanifa, Muhammad Idris Shafi’i na AhmadHanbal walitokana na kizazi cha Mtume au Amirul-Mu’minin Ali na wale kumi na mojatoka kwenye kizazi chake?

Seyyed: Ni wazi kabisa, hakuna ambaye amewahi kamwe kusema kwamba watu hawawanatokana na kizazi cha Mtume, lakini walikuwa mafaqihi maarufu na watuwachamungu wa umma.

Mikesha ya Peshawar

219

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 219

Page 238: Mikesh A

Muombezi: Lakini kwa mujibu wa makubaliano ya pamoja ya umma, maimamu hawakumi na mbili ni kizazi cha moja kwa moja cha Mtukufu Mtume. Ulamaa wenu wenyewewanakubali kwamba wao wanalingana na Qur’ani tukufu, na kwamba utii kwao unaon-goza kwenye uongofu. Zaidi ya hayo, Mtukufu Mtume alisema kwamba wao ndio wenyeelimu zaidi kati ya watu.

Kwa kuzingatia kanuni hizi mbili zenye nguvu, ni majibu gani watakayotoa wakati Mtumeatakapowauliza ni kwa nini walikiuka miongozo yake yeye, na wakawaachia watuwengine kukitangulia kizazi chake? Kuna maagizo yoyote kutoka kwa Mtume kwambahawa Ashari na Mu’tazila wawafuate viongozi wao au kwamba Maliki, Hanbali, Hanafi naShafi’i wawafuate viongozi wao katika matendo ya ibada? Hakuna yoyote kiasi kwambaaliyataja majina yao kwa miaka 300 baada ya kifo cha Mtume.

Ni baada ya hapo tu, kwa sababu za kisiasa au nyinginezo ambazo mimi sizitambui, waondipo wakatokea uwanjani. Lakini hawa Maimam na kizazi cha Mtukufu Mtumewalikuwa wakijulikana vema wakati wa uhai wa Mtume mwenyewe. Ali, Hasan, Huseinna Fatima walikuwa wakijulikana kama Ahlul-Kisa’a, yaani “watu wa chini ya shuka.”Walikuwa ni wao ambao kwa sifa zao ile “Aya ya Utakaso” - Ayat-Tathiira - ilishuka kwaajili yao. Hivi inafaa kweli, kuwaita wale wanaowafuata Ali, Hasan, Husein na waleMaimam wengine kuwa ni makafiri? Mmewafadhilisha wale ambao hawatokani na kizazicha Mtume juu ya wale ambao walikuwa mafaqihi wakamilifu, wa kupigiwa mfano. Nimajibu gani mtakayotoa kwenye mahakama tukufu ya haki mtakapoulizwa ni kwa ninimliwapotosha watu, kwa nini mliwaita wafuasi wa Ahlul-Bayt makafiri na wazushi?

Mnatutia makosani kwa sababu sisi sio wafuasi wa kanuni za kiimani za wa-Hanafi,Maliki, Hanbali au Shafi’i. Na bado hamumfuati Ali, licha ya maagizo ya wazi na yadhahiri kabisa kutoka kwa Allah na Mtume wake kwamba mnapaswa kufanya hivyo. Bilaya sababu nzuri za maana, mnafuata moja ya madhehebu nne hizi na mmeifunga milangoelimu ya sharia - fiqh.

Sayyed: Tunategemea juu ya Maimam hawa wanne kwa namna ileile kama ninyi mnavy-otegemea kwa Maimam kumi na mbili.

Muombezi: Vizuri sana! ni jambo zuri kiasi gani hilo ulilosema! Idadi ya Maimam kumina mbili haikuainishwa na Mashi’a au ulamaa wao karne nyingi baada ya kifo cha Mtume.Hadithi nyingi zilizosimuliwa na kutoka kwenye vyanzo vya wote, Shi’a na Sunni,zinathibitisha kwamba Mtume mwenyewe aliiainisha idadi hiyo ya Maimam kuwa ni kumina mbili.Miongoni mwa ulamaa wenu ambao wamesimulia jambo hili ni Sheikh Sulayman QanduziHanafi, ambaye anaandika katika Yanabiul-Mawadda yake, Sura ya 77, kuhusiana natamko hili: “Watakuwepo makhalifa kumi na mbili baada yangu.”

Mikesha ya Peshawar

220

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 220

Page 239: Mikesh A

Yahya bin Hasan katika Kitabul-Umma amesimulia kwa njia ishirini kwamba MtukufuMtume amesema kwamba warithi wake watakuwa ni kumi na mbili kwa idadi, na wotewatatokana na Quraishi. Imesimuliwa kwa njia tatu ndani ya Sahih Bukhari, katika njia tisandani ya Sahih Muslim, kwa njia tatu ndani ya Sunnan Abu Dawuud, kwa nji moja ndaniya Sunnan-Tirmidhi, na kwa njia tatu ndani ya Jam’-e-Bainas-Sahihain ya Hamidi.

Wako ulamaa wenu wengi, kama vile Hamwaini katika Fara’id, Khawarizmi na ibnMaghazili kila mmoja katika Manaqib yake, Imam Tha’labi katika Tafsiir yake na ibnAbil-Hadid ndani ya Sharh Nahajul-Balaghah, na Sayyid Ali Hamadani Shafi’i katikaMawaddatul-Qubra, Mawadda 10. Wote wamesimulia hadithi kumi na mbili zilizosimuli-wa na Abdullah ibn Abbas, Ubaya bin Rabi’i, Za’id bin Haritha, Abu Huraira na Amirul-Mu’minin Ali. Wote hawa wanasimulia kwa njia tofauti, lakini maneno yale yale kwambaMtume amesema kwamba idadi ya warithi wake na Maimam watakuwa w12 na kwambawote watatokana na Maquraishi.

Baadhi ya hadith zinasema kwamba wao watatokana na Bani Hashim. Katika baadhi yariwaya yale majina mahususi ya warithi kumi na mbili hao pia yametajwa. Wengine waowanatoa idadi tu. Nimetoa kati ya hadith nyingi za ulamaa wenu. Sasa je, mnaweza kuta-ja hadith moja tu ambayo inaashiria kwamba idadi ya warithi wake watakuwa wanne tu?Hata kama ingekuwepo hadith moja tu kama hiyo, sisi tutaikubali kuliko ile ya kwetuwenyewe. Bila kuzingatia ukweli kwamba hamuwezi kunukuu hadith hata moja kuhusumaimam wenu wanne, kuna tofauti kubwa sana kati ya Maimam wa Shi’a na hao Maimamwenu. Maimam wetu kumi na mbili ni warithi walioteuliwa ki-mbinguni.

Kuhusu maimam wenu, ni kiasi hiki tu kinachoweza kukubalika: walikuwa na elimu yafiqhi (sharia za kiislam) na waliweza kutafsiri Qur’ani tukufu na hadith. Baadhi yao, kamaAbu Hanifa, kulingana na kukiri kwa ulamaa wenu wenyewe, walikuwa hawakujuishwamiongoni mwa wasimuliaji wa hadith, mafaqih, au mujtahidi, bali walikuwa ni watuwaliotegemea juu ya rai zao wenyewe. Hii peke yake ni ushahidi wa kukosa kwao kuwana elimu. Kwa upande mwingine, Maimam wa Shi’a ni waongozaji walioteuliwa ki-mbin-guni, warithi walioagizwa, wa Mtukufu Mtume. Kwa kweli katika kila zama wanakuwepobaadhi ya mafaqihi wenye elimu ya hali ya juu na wanachuoni miongoni mwa Mashi’aambao wanazitafsiri amri za Allah, wakizingatia Qur’ani tukufu, hadith na makubaliano yamaoni. Tunafuata fat’wa za ulamaa kama hao. Ingawa mafaqihi wenu walikuwa wanafun-zi wa, na walipata nyingi ya elimu yao, kutoka kwa Maimam wa Shi’a, ninyi mnawafuatawahenga wenu ki-kichwakicha tu, wale kati ya wanafunzi wao, ambao walikengeuka kuto-ka kwenye misingi ya elimu na wakategemea kukisia kwao.

Sayyed: Unawezaji kudai kwamba Maimam wetu walipata manufaa ya elimu yao kutokakwa Maimam wenu?

Muombezi: Ni ukweli wa kihistoria kwamba Imam Ja’far as-Sadiq aliwazidi wengine

Mikesha ya Peshawar

221

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 221

Page 240: Mikesh A

wote katika elimu. Yule Aalim mashuhuri, Nuru’d-Din bin Sabbagh Maliki anakiri ndaniya kitabu chake, Fusulul-Muhimma kwamba Mtukufu Imam alikuwa akijulikana nakuonekana wazi kwa elimu yake. Yeye anaandika: “Watu walipata elimu ya nyanja mbalimbali kutoka kwake. Watu walikuja kutoka nchi za mbali kupata maelekezo. Akajulikanasana katika nchi zote na ulamaa walisimulia hadith nyingi kutoka kwake kuliko kwa mtumwingine wa Ahlul-Bayt .....” Kundi kubwa la watu mashuhuri wa umma, kama Yahya binSa’id ibn Jarih, Malik bin Anas, Sufyan Thawri, Abu Ainiyya, Abu Ayyub Sijistani, AbuHanifa, na Saba - wote wamesimulia hadith zake.

Kamalu’d-Din Abi Talha pia anaandika katika Manaqib yake kwamba maulamaa maarufuna viongozi wa kidini wamenukuu hadith kutoka kwa mtukufu Imam na wamepata elimukutoka kwake. Miongoni mwao anataja majina ya wale waliotajwa kwenye Fusulul-Muhimma. Hata maadui walikiri fadhaili za mtukufu Imam. Kwa mfano, Maliki katikaFusulul-Muhimma na hususan Sheikh Abu Abdu’r-Rahman Salmi katika Tabaqatul-Masha’ikh yake anaandika:

“Hakika, Imam Ja’far as-Sadiq aliwapita wenzie wote wa wakati wake. Alikuwa na elimuya kisilika na ujuzi katika dini, uchamungu kamilifu katika ulimwengu, kujizuia kutokanana matamanio yote ya kidunia, na hekima ya kina kikubwa.”

Na Muhammad bin Talha Shafi’i ameziandika sifa hizi zote za mtukufu Imam katikaMatalibus-Su’ul yake, Sura ya 6, uk. 81: “Mtu huyu mwenye elimu kubwa alitokana naviongozi mashuhuri wa Ahlul-Bayt. Alijaaliwa na elimu nzito na alikuwa wakati wote kati-ka hali ya kumkumbuka Allah. Alisoma Qur’ani tukufu mara kwa mara na alitoa tafsiriyake. Wafuasi wake walijikusanyia lulu kutoka kwenye bahari ya elimu yake. Aligawanyamuda wake wakati wa mchana na usiku katika miundo mbalimbali ya ibada. Kumtembeleayeye kulikuwa kama ukumbusho wa akhera. Kuisikiliza hotuba yake kulimuongoza mtukupata uchamungu, na kufuata maelekezo kulimuongozea mtu kwenye kupata pepo. Usowake mng’aavu ulijulisha kwamba alitokana na familia ya Mtukufu Mtume. Usafi wavitendo vyake pia ulionyesha kwamba anatokana na Ahlul-Bayt wa Mtume. Wengi wa ula-maa wamepokea hadith na kupata elimu kutoka kwake. Miongoni mwao walikuwa niYahya bin Sa’id Ansari, ibn Jarih, Malik bin Anas, Sufyan Thawri, Ibn Ainiyya, Sha’ba naAyyub Sijistani. Wote walishukuru kwa bahati njema na fursa ya kusoma kutoka kwake.”

Mikesha ya Peshawar

222

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 222

Page 241: Mikesh A

KUHUSISHWA KWA USHI’A NA IMAM JA’FAR AS-SADIQ

Nawab: Mashi’a wanaamini katika Maimamu kumi na mbili. Kwa nini Ushi’a unahusish-wa na jina la Imam Ja’far Sadiq na kuitwa madhehebu ya Ja’far?

Muombezi: Kila Mtume, kwa mujibu wa amri ya Mungu, huteua mrithi wake.Muhammad alimtangaza Ali kuwa mrithi wake na akaamuru umma kumtii yeye. Lakinibaada ya kifo cha Mtume, Ukhalifa ulichukuliwa na Abu Bakr, Umar na Uthman. Wakatiwa ukhalifa wao, isipokuwa wakati wa siku za mwanzo, Abu Bakr na Umar walimtakaushauri Ali juu ya masuala yote mazito na kutenda kwa kufuata ushauri wake. Aidha,maulamaa wakubwa na wanachuoni maarufu wa dini nyingine ambao walikuja Madinakwa ajili ya kutafuta elimu ya dini walikinaishwa kabisa na majadiliano yao na Ali. Katikamaisha yake yote, Ali aliendelea kuuhudumia Uislamu katika njia nyingi. Baada ya kuuli-wa kwake shahidi, wakati Bani Umayya walipokuwa watawala, uimamu kwa ukatilimkubwa ukakandamizwa. Imam Hasan Mujtaba, Imam Husein, Imam Zainu’l-Abidin, naImam Muhammad Baqir walikuwa waathirika wa ukatili mkubwa wa Bani Umayya. Njiazote za kuwafikia wao zilifungwa isipokuwa kwa wafuasi wao wachache, wenginehawakuweza kunufaika kutokana na elimu yao. Kila mmoja wao aliuawa.

Hata hivyo, wakati wa mwanzo wa karne ya pili baada ya Hijra, chini ya shinikizo kubwala ukatili wa Bani Umayya, watu waliasi dhidi ya yao. Mapigano makali ya umwagajidamu yalifuatilia kati ya Bani Abbas na Bani Ummaya. Wakati ambapo Bani Umayyawalikuwa wamejishughulisha katika kuulinda utawala wao, hawakuweza kuendelezaunovu wao kwa Ahlul’l-Bayt. Kwa hiyo, Imam Ja’far akajitokeza kutoka kwenye kulekutengwa alikokuwa amefanyiwa na Bani Umayya. Aliwaelekeza watu kuhusiana na she-ria za dini. Wapenda elimu 4000 walijikusanya kuizunguka mimbar yake na kuzima kiuyao kutoka kwenye bahari ya elimu isiyo na kikomo ya mtukufu Imam. Baadhi ya masa-haba zake wameandika kanuni mia nne ambazo zinajulikana kama ‘Usul-e-Arba Mia –yaani hukumu mia nne. Yafi’iy Yamani anaandika kwamba Imam Ja’far aliwapita wotekatika elimu yake. Jabir Ibn Hayyan Sufi, aliandika mkusanyo wa kurasa elfu moja,akiorodhesha takriban vijitabu 500 juu ya mafundisho ya Imamu Ja’far.

Baadhi ya mafaqihi wakubwa wa ki-Sunni vile vile walikuwa ni wanafunzi wake. AbuHanifa, Malik Bin Anas, Yahya Bin Sa’id Ansari, Ibn Jarih, Muhammad Bin Ishaq, YahyaBin Satid Qattan, Sufyan Bin Uyayna, Sufyan Thawri – wote hawa walinufaika kutokakwenye elimu yake kubwa mno. Ukubwa huu wa uchanuaji wa elimu ulitokea wakati huukwa sababu Bani Umayya walizuiya mwenendo wa wazazi wake, na kwa bahati mbayaBani Abbas wangeliwazuiya kizazi chake kuzungumza kwa uhuru. Ukweli wa wa Ushi’a

Mikesha ya Peshawar

223

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 223

Page 242: Mikesh A

uliwekwa wazi na sifa za Ahlul’l-Bayt wa Muhammad zilitangazwa na Imamu Ja’farSadiq. Kwa hiyo, madhehebu hii ikaja kujulikana kama “Ja’faria,” lakini hakuna tofautikati ya Imamu Ja’far na yeyote katika Maimamu wanne miongoni mwa wahenga zakewaliomtangulia au Maimamu sita waliokuja baada yake. Wote walikuwa viongozi wa kiro-ho waliowekwa na Mungu.

Ingawa marafiki na maadui wote kwa pamoja walitambua ubora wake katika elimu naukamilifu wake katika sifa zote, viongozi wenu waliopita walikataa kumfanya kamamwanachuoni mkubwa wa dini na mtu mkamilifu wa zama zake. Walikataa kutambuamadhehebu yake sambamba na madhehebu nyingine nne ingawa yeye alishikilia daraja lajuu zaidi katika elimu uchaji kama ilivyokubaliwa na maulamaa wenu wenyewe. Kwa vilealitokana na Ahlul’l-Bayt wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), alikuwa na haki ya kupatakipaumbele juu ya wengine. Pamoja na mambo yote haya, maulamaa wenu washupavuwameonesha dharau sugu kama hii kwa kizazi cha Mtume wao kiasi kwamba wanachuoniwenu wa daraja za juu kama Bukhari na Muslim, hawakuweza kuandika hata hadithi mojakutoka kwa faqih huyu au Ahlul-Bayt.

Aidha, hawakunukuu hadithi yoyote kutoka kwa Imam yoyote au Sa’dat (mabibi) wakizazi kitukufu: Alawi, Husaini, Abidi, Musawi, Ridhawi, au kutoka kwa maulamaa kamahawa na mafuqahaa kama, Zaid Bin Ali Bin Husein, yule Shahid, Yahaya Bin Zaid,Muhammad Bin Abdullah, Husein Bin Ali, Yahya Bin Abdullah bin Hasan na kaka yakeIdris, Muhammad Bin Ja’far Sadiq, Muhmmad Bin Ibrahim, Muhammad Bin Zaid,Abdullah Bin Hasan, Ali Bin Ja’far (Arizi) na wengine, wote hao ambao walikuwa maula-maa na mafaqih wakubwa na ambao walitokana na familia ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Kwa upande mwingine, wamenukuu hadithi kutoka kwa watu kama Abu Huraira, ambayetabia yake mnaijua ninyi wote, na kutoka kwa yule mwongo mkubwa na mzushi, Akrama,yule Khawariji. Maulamaa wenu wenyewe wamethibitisha kwamba watu hawa walikuwawaongo na bado wanakubali hadithi zao kwa mioyo yao yote. Ibn Bayyit anaandika kwam-ba Bukhari amenukuu hadithi nyingi kufikia kiasi cha hadithi 12,000 kutoka kwaKhawariji na Nasibiyya, kama Imamu bin Hattan, mwenye kuvutiwa na Ibn Muljim,muuwaji wa Amir wa Waumini.

Wafuasi wa Imam-e-Adhma (Abu Hanifa), Imamu Malik, Imamu Shafi’i na ImamuHanbal huwaona hawa kama Waislamu safi ingawa hakuna hata mmoja aliyetokana naAhlul-Bayt wa Mtume, na kila mmoja wa madhehebu zile iko huru kuchukuwa njia zakemwenyewe ingawa kuna tofauti kubwa katika misingi na halikadhalika katika matendo yaibada miongoni mwao. Ni masikitiko makubwa kiasi gani kwamba wanawaita wafuasi waJa’far Bin Muhammad As-Sadiq makafiri! Na katika sehemum zote zinazotawaliwa naMasunni, ikiwemo Makka, ambayo kwa kuihusu Allah anasema: “Yeyote anaingia humoyuko huru,” hawako huru kuelezea imani yao au kutekeleza Sala zao. Hivyo ninyi watu

Mikesha ya Peshawar

224

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 224

Page 243: Mikesh A

wema mnapaswa muelewe kwamba sisi Shi’a sio chanzo cha hitilafu zilizoko katikaUislamu; hatukuleta mtengano miongoni mwa Waislamu. Kusema kweli, migogano mingihutokea upande wenu. Ni niyni mnaowaita Waislamu milioni 100 makafiri, ingawa ni wau-mini waaminifu sambamba na ninyi.

Hafidh: Ni kweli, kama ulivyosema, kwamba mimi sio mtu dhalimu. Nakubali kwambakumekuwepo na vitendo viovu kwa sababu ya ushupavu. Ningependa kusema bila kujidaiau kumpendeza yeyote kwamba nimenufaika sana kutokana na mazungumzo yako nanimejifundisha vya kutosha. Lakini kwa idhini yako, niruhusu niseme kitu kimoja, amba-cho ni malalamiko, na halikadhalika ni utetezi wa madhehebu stahiki ya Sunni. Unawezakuniambia ni kwa nini wahubiri na maulamaa wa ki-Shi’a kama wewe hamchungi watuwenu wa kawaida kutokana na kutoa maneno ambayo hupelekea kwenye ukafiri? Matokeoyake ni kwamba wengine hupata nafasi ya kutumia neno kafiri dhidi yao. Mtu anawezakuwa shabaha ya mashambulizi kwa sababu ametoa maelezo yasiyo sahihi. Hivyo ninyiwatu vile vile msiwafanye Masunni kuwa shabaha ya mashambulizi yenu. Mashi’a huse-ma mambo ambayo huathiri nyoyo za Masunni, ambao kwa kulipiza huhusisha ukafiri kwaMashi’a.

Muombezi: Naomba unieleze ni maelezo gani au vitendo gani hupelekea kwenye ukafirivinavyofanywa na Mashi’a?

Hafidh: Mashi’a kuwakosoa Masahaba wakubwa na baadhi ya wake safi wa Mtume, nidhahiri hicho ni kitendo cha ukafiri. Kwa vile Masahaba wamepigana kwa miaka mingipamoja na Mtume dhidi ya makafiri, ni wazi kwamba huduma yao ilikuwa safi kabisakutokana na maadili yasiyokamilika. Kwa hakika wanastahiki Pepo, hususan wale ambaowalipata baraka za Mungu. Kwa muijibu wa Qur’ani Tukufu : “Hakika Allah aliridhish-wa sana na waumini wakati walipokula kiapo cha utii kwako chini ya mti” (Qur’ani48;18) Hakuna shaka kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliwaheshimu. Mtu ambayeanakataa ubora wao hakika amepotea. Qur’ani inasema: “Wala hazungumzi kwa mata-manio yake. Hayakuwa haya ila ni ufunuo uliofunuliwa.” (Qur’ani; 53:3-4) Mtu kamahuyo anamkataa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na Qur’ani Tukufu, na mtu ambaye anamkataaMtume na Qur’ani Tukufu hapana shaka yoyote ni kafiri.

Muombezi: Nilitegemea kwamba nukta kama hizo zisingeletwa katika mkutano huu wahadhara. Majibu yangu yanaweza kuwafikia watu wasio na elimu na wanaweza wakaenezapropaganda potovu. Ingekuwa vizuri kama tungejadili masuala haya kwa faragha. Nitakujakwako siku moja na tutalitatua tatizo hili kwa faragha.

Hafidh: Nasikitika, lakini watu wetu wengi katika mikesha kadhaa iliyopita wamesisitizakwamba nukta hii ijadiliwe. Majadiliano yako siku zote ni yenye busara. Kama utatoamajibu mazuri yenye mvuto, hakutakuwa na matokeo mabaya. Vinginevyo ukubalikushindwa na hoja yetu.

Mikesha ya Peshawar

225

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 225

Page 244: Mikesh A

Nawab: Ni sawa sawa. Wote tunataka suala hili litatuliwe hapa hapa na sasa hivi.

Muombezi: Nakubaliana tu matakwa yenu. Si kutarajia mtu mwenye uwezo kama wewe,baada ya maelezo kamili ambayo nimeyatoa katika usiku wa masiku yaliyopita juu yasuala la ukafiri ungeihusisha madhehebu ya Shi’a na ukafiri. Tayari nimewasilisha kwaukamilifu uthibitisho kwamba Shi’a Ithna Ashari ni wafuasi wa Muhammad na kizazichake kitukufu. Umeleta masuala mbalimbali. Nitajibu kila moja ya hayo kwa kuyatengan-isha.

KUWALAUMU MASAHABA HAINA MAANAYA UKAFIRI

Kwanza umesema kwamba ukosoaji wa Mashi’a juu ya Masahaba na baadhi ya wake waMtume hupelekea kwenye ukafiri. Sielewi msingi wa maelezo haya. Kama ukosoajiunaungwa mkono na ushahidi, unaweza kukubaliwa. Na hata kama mtu akitoa madai yauwongo, hii haimfanyi kuwa kafiri. Ataitwa mwenye dhambi, kama mtu anayekunywapombe au anayefanya zinaa. Na hakika kila kosa dhidi ya sheria ya Mungu linasameheka.

Ibn Hazm Zahiri Andalusi (amezaliwa 456 A.H.) anasema katika kitabu chake Al-Fasl fi’l-milal wa’n-Nihal sehemu ya 3, uk. 227: “Kama mtu anamtukana Sahaba wa Mtume kwaujinga, si wa kulaumiwa. Kama akifanya hivyo hali ya kuwa ana elimu juu ya hilo, nimwenye dhambi kama wenye dhambi wengine ambao hufanya zinaa, wizi, nk. Naam kamaakiwalaani kwa makusudi, kwa vile walikuwa Masahaba wa Mtume, atakuwa kafiri kwasababu tabia kama hiyo ni sawa na uadui dhidi ya Allah na Mtume Wake. Vinginevyo,kuwatukana tu Masahaba hakuwezi kuwa sawa na ukafiri.”

Kwa hiyo, Khalifa Umar alimuomba Mtume amruhusu kumkata kichwa Hatib, aliyekuwamnafiki, ingawa alikuwa ni mmoja wa Masahaba wakubwa, muhajir, na mbaye alishirikikatika vita ya Badir. Kwa kule kumtukana na kumhusisha na unafiki, Umar hakuitwakafiri. Basi vipi inawezekana kwamba Mashi’a waitwe makafiri kwa kuwatukana baadhiya Masahaba, tukichukulia kwa muda huu kwamba unayosema ni sahihi. Aidha, maulamaawakubwa wa madhehebu yenu wameikataa nukta yenu hii. Miongoni mwao ni KadhiAbdu’r-Rahman Shafi’i, ambaye katika kitabu chake Muwafiq amekataa hoja ya maulamaawenu washupavu kuhusu ukafiri wa Mashi’a. na Muhammad Ghazali anaandika kwambakwalaani na kuwatukana Masahaba kamwe sio ukafiri; hata kuwalaani Masheikh wawili(Bukhari na Muslim) hakuwezi kuwa sawa na ukafiri.

Mikesha ya Peshawar

226

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 226

Page 245: Mikesh A

Mulla Sa’d Taftazani anaandika katika Sharhe Aqa’id-e-Nas’i kwamba, “ baadhi ya watuwasio na uvumilivu wanasema kwamba wale ambao wanawatukana Masahaba ni makafiri.Ni vigumu kukubali mtazamo huo. Ukafiri wao hauthibitishwi kwa sababu baadhi yamaulamaa wamewapendelea, wakapuuza matendo yao maovu, na kutoa utetezi wa kipum-bavu katika kuwaunga mkono. Wamesema kwamba Masahaba wa Mtume walikuwahawana dhambi yoyote, ingawa maelezo haya yalikuwa kinyume na ukweli wa mambo.Wakati mwingine walipigana wenyewe kwa wenyewe. Husda na kupenda madaraka marakwa mara kuliwasababishia kufanya matendo maovu. Hata baadhi ya Masahaba wakubwahawakuwa huru kutokana na vitedno viovu. Hivyo, kama kwa msingi wa ushahidi fulanimtu akawakosoa, hapaswi kulaumiwa kwa hilo. Baadhi ya watu, kwa sababu waliwapen-delea Masahaba walificha maovu yao, lakini baadhi wameandika matendo yao maovu nakuwalaumu.”

Mbali na hili, Ibn Athir Jazari, mwandishi wa Jam’ul-Usul, amewajumuisha Mashi’a kati-ka madhehebu ya ki-Islamu, basi mnawezaje kuwaita makafiri? Wakati wa kipindi chaMakhalifa wa kwanza, baadhi ya watu waliwalaani Masahaba kwa ajili ya matendo yaomaovu. Hata hivyo, Makhalifa hawakuamuru wauawe kwa ukafiri wao. Kwa hiyo, HakimNishapuri katika kitabu chake “Mustadrak”, sehemu ya 4, uk. 335, 354, Imamu AhmadHanbal katika “Musnad”, sehemu ya 1, uk. 9, Dhahabi katika “Talkhise Mustadrak”, KadhiAyaz katika “Kitab-e-Shifa”, sehemu ya 4, sura ya 1, na Imamu Ghazali katika “Ihya’u’l-Ulum”, Jz. 2, anataarifu kwamba wakati wa Ukhalifa wa Abu Bakr, mtu mmoja alikujakwake na akatoa lugha chafu na laana dhidi yake kiasi kwamba wale waliokuwepo palewalishikwa na hasira. Abu Barza Salmi alimuomba Khalifa kama angemruhusu ili amuuweyule mtu kwa sababu amekuwa kafiri. Abu Bakr alisema kwamba haiwezekani kufanyahivyo kwa vile hakuna mtu yeyote isipokuwa Mtume anayeweza kupitisha hukumu kamahiyo.

MAKHALIFA WENYEWE HAWAKUCHUKULIAKULANIWA WAO KUWA NI UKAFIRI

Kwa kweli, mabwana wakubwa wa ki-Sunni huwakiuka hata wale ambao wanawaungamkono. Makhalifa wenyewe walisikia matusi lakini hawakuwalaumu watu kwa ukafiri aukuamuru wauawe. Aidha, kama kumlaani Sahaba ni sababu ya ukafiri, kwa nini msimuiteMu’awiya na wafuasi wake makafiri? Walimlaani na kumtukana mkamilifu zaidi waMasahaba, Ali Bin Abu Talib. Kuwa na uchaguzi wa upendeleo katika suala hili huoneshatu kwamba lengo lako ni kitu kingine. Unataka kupigana dhidi ya Ahlul-Bayt na wafuasiwao! Kama kuwalaani Masahaba ni ukafiri, kwa nini msimlaumu Ummu’l-Mu’mininAisha kwa ukafiri? Wanahistoria wenu wote wamesema kwamba alikuwa mara kwa mara

Mikesha ya Peshawar

227

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 227

Page 246: Mikesh A

akimtukana Khalifa Uthman na kwa uwazi akatangaza: “Muuwenu mzee huyu mpumbavu,kwani hakika amekuwa kafiri.” Hata hivyo, kama Shi’a atasema kwamba ilikuwa vemakwamba Uthman aliuawa kwa sababu alikuwa kafiri, mara moja mtasimama dhidi yake.Lakini wakati Aisha alipomuambia Uthman mbele yake kwamba yeye ni Na’thal na kafiri,Khalifa hakumkataza kufanya hivyo wala Masahaba hawakumkemea. Wala ninyi hamuonikwamba alifanya kosa.

Nawab: Mheshimiwa, unamaanisha nini kwa neno Na’thal?

Muombezi: Firuzabadi, ambaye ni mmoja wa maulamaa wenu mwenye daraja ya juu, ana-toa maana yake katika Qamusu’l-Lughat kama ‘mzee mjinga’. Vile vile kulikuwa Myahudialiyekuwa na ndevu ndefu mjini Madina aliyekuwa akiitwa kwa jina hilo, ambaye ali-fananishwa na Uthman. Mfafanuzi juu ya Qamus, Allama Qazwini, vile vile anatoa maanahiyo hiyo, anasema kwamba Ibn Hajar katika kitabu chake Tabsiratu’l-Muntaha, anaandi-ka, “Nathal Myahudi mwenye ndevu ndefu aliyeishi Madina; alifanana sana na Uthman.”

KHALIFA ABU BAKR ALIMTUKANA ALI

Mwisho, kama mtu anayemtukana Sahaba ni kafiri, kwa nini Khalifa Abu Bakr, mbele yaMasahaba na mkusanyiko wa Waislamu, alimtukana Sahaba bora zaidi, Ali Bin Abi Talib?Mnatukuza sifa za Abu Bakr ingawa mlipaswa kumlaumu.

Hafidh: Kwa nini unamsingizia lawama hii ya uwongo? Ni lini Khalifa Abu Bakr alim-tukana Khalifa Ali?

Muombezi: Samahani! Sisi hatusemi kitu chochote mpaka tuwe tumefanya utafiti wakutosha. Pengine ungetazama Sharhe Nahjul-Balagha, Jz. 4, uk. 80, ambapo imeandikwakwamba Abu Bakr, akimdhihaki Ali kutoka kwenye mimbari ya Msikiti, alisema: “Yeye(Ali) ni mbwa mwitu, ushahidi wake ambao ni mkia wake. Anasababisha matatizo, anapu-uza umuhimu wa matatizo makubwa, na kuchochea watu kufanya vurugu. Anaomba msaa-da kutoka kwa wanyonge na kukubali usaidizi kutoka kwa wanawake. Yeye ni kamaUmmi’t-Tahal (kahaba mmoja wa siku za ujahilia, kama alivyoelezwa na Ibn Abil-Hadid)ambaye kwamba wanaume wa familia yake walikuwa wanapenda kufanya naye zinaa.”

Sasa mnaweza kulinganisha matusi ya Abu Bakr kwa Ali na ukosoaji unaofanywa naMashi’a dhidi ya Masahaba. Kama kumtukana Sahaba yeyote ni sawa na ukafiri, basi AbuBakr, binti yake Aisha, Mu’awiya na wafuasi wake wanapaswa kuitwa makafiri. Kamahakumfanyi mtu kuwa kafiri, basi huwezi kuwaita Mashi’a makafiri kwa jambo hilo.

Mikesha ya Peshawar

228

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 228

Page 247: Mikesh A

KHALIFA UMAR ALISHIKILIA KWAMBAKUMLAANI MWISLAMU SIO UKAFIRI

Aidha, kwa mujibu wa hukumu za wanachuoni wenu wakubwa na Makhalifa, wale ambaowanawatukana Makhalifa sio makafiri. Imam Ahmad Hanbal katika Musnad yake, Jz. 3,Ibn Sa’d Katib katika Kitab-e-Tabaqat, Kadhi Ayaz katika kitabu chake Shifa, sehemu ya4 ya sura ya 1, wanasimulia kwamba, gavana wa Khalifa Umar, Ibn Abdul-Aziz, aliandi-ka kutoka Kufa kwamba mtu mmoja amemtweza na kumtukana Umar Ibn Khattab, Khalifawa pili. Gavana huyo alitaka ruhusa ya kumuuwa huyo mtu. Umar Ibn Khattab akajibukwamba hairuhusiwi kumuua Mwislamu kwa kutukana au kumlaani Mwislamu yeyoteisipokuwa mtu ambaye anamtukana Mtume.

KWA MUJIBU WA ABUL-HASAN ASH’ARI HATAKUMUITA ALLAH AU MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.)

KWA MAJINA MABAYA SIO UKAFIRI

Baadhi ya maulamaa wenu wakubwa, kama, Abu’l-Hasan Ash’ari na wafuasi wake,wanaamini kwamba kama mtu ana imani katika moyo wake na bado akaonyesha ukafiri(km. Kwa kuabudu kiyahudi au kikristo, kwa mfano) au akasimama na kupigana dhidi yaMtume, au akamuita Allah au Mtume kwa majina mabaya, hata hivyo sio kafiri. Imanimaana yake kuamini ndani ya moyo na kwa vile hakuna mtu anayeweza kuujua moyo wamtu mwingine, haiwezi kusemwa iwapo ule ukafiri wa dhahiri unatoka moyoni au la.Maulamaa wa ki-Ash’ari vile vile wamejadili masuala haya katika vitabu vyao. Ibn HazmAndalusi ameandika kwa urefu kuhusu nukta hizi katika kitabu chake Kitabu’l-Fazl (sehe-mu ya 4, uk. 204, 206). Kwa kuzingatia ukweli huu, ninyi mna haki gani ya kuwashutumuMashi’a kwa ukafiri?

MASAHABA WENGI WALITUKANANA WENYEWE KWAWENYEWE LAKINI HAWAKUCHUKULIWA KAMA

MAKAFIRI

Katika vitabu vyenu sahihi, kama Musnad cha Imamu Ahmad Bin Hanbal, Jz. 2, uk. 236;Siratul-Halabiyya, Jz. 2, uk. 107, Sahih Bukhari, Jz. 2, uk. 74, Sahih Muslim, Kitab-e-Jihadwa Asbabu’n-Nuzul Wahid, uk. 118, kuna hadithi nyingi zinzoonesha kwamba Masahabawengi walitukanana wenyewe kwa wenyewe mbele ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). LakiniMtume hakuwaita watu hawa makafiri. Aliwaonya. (hadithi za kuhusu mizozo hii na uadui

Mikesha ya Peshawar

229

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 229

Page 248: Mikesh A

wa wao kwa wao zimeandikwa katika vitabu vya Sunni tu, sio katika vitabu vya Shi’a).kwa mtazamo wa maneno haya, natumaini kwamba mmetosheka kwamba kulaani au kum-tukana Sahaba yeyote hakumfanyi mtu kuwa kafiri. Kama tunamlaani mtu fulani bilasababu, tutakuwa ni watenda dhambi, sio makafiri. Na kila dhambi inaweza kusamehewa.

MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.) ALIYAJUA MATENDO YOTE MABAYA NA MAZURI YA MASAHABA

Pili, umesema kwamba Mtume aliwaheshimu na kuwastahi Masahaba wake. Hii ni sahihi.Kwa nyongeza, Waislamu wote na wasomi wanakubali kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alijua matendo mema na mabaya ya watu. Aliyaridhia matendo yao mema. Kwahiyo, aliheshimu uadilifu wa Nushirwan na ukarimu wa Hatim Ta’i. Kama alimheshemumtu fulani, ilikuwa ni kwa sababu ya matendo yake mazuri. Lakini kule kuridhiwaanakooneshwa mtu kwa kufanya tendo jema, hakuthibitishi kwamba mwisho wakeutakuwa wa mafanikio. Pengine atafanya matendo mabaya siku za baadae. Kama akifanya,kumkemea kabla ya kufanya, sio uadilifu, hata kama ingejulikana kwamba atafanya uovukatika siku zijazo. Ali alijua uovu na mwisho wa ushenzi wa mlaaniwa Abdu’r-Rahman IbnMuljim Muradi na kwa kurudia rudia alimuambia kwamba yeye ndiye muuaji wake.Wakati mmoja kwa uwazi alisema: “Napenda aishi, lakini amedhamiria kuniua mimi, narafiki huyu muovu anatokana na ukoo wa Murad.” Maelezo haya yameandikwa na IbnHajar Makki kuelekea mwisho wa sehemu ya 1 ya Saw’iq, uk. 72. Bado Ali hakukusudiakumuadhibu. Hivyo, hadithi ambayo inaonesha kwamba stahili ya kitendo makhususi aumaelezo sio lazima iwe yenye athari wakati wote unaokuja.

SIFA YA KUWA MMOJAWAPO KWENYE BAI’AT-E-RIDHWAN

Tatu, umesema kwamba kwa vile Masahaba walikuwa katika Bai’at-e-Ridhwan nawakachukua kiapo chao cha utii kwa Mtume, hawakustahili lawama, bali walistahiki kusi-fiwa kwa sababu wao ndio wanaorejewa kwenye aya tukufu uliyoisoma (48:18).Wanachuoni watafiti na maulamaa wametoa maoni kwa mapana sana juu ya suala hili,wakisema kwamba ridhaa ya Mungu ya aya hii inahusika tu kwenye kitendo kilemakhususi, Bai’at (kiapo cha utii), na kwamba haiendelei bila kikomo.

Ninyi wenyewe mnaelewa kwamba wakati wa tukio la Bai’at kule Hudabiyya, walikuwe-po watu 1500, ambao kati yao baadae idadi ya watu walijumuishwa katika ‘aya za unafi-ki.’ Allah aliwaahidi moto wa milele. Je, inawezekana kwambwa Allah na Mtumewameweza kuridhia baadhi ya watu na kwamba baadhi yao (ya watu hao hao) waje

Mikesha ya Peshawar

230

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 230

Page 249: Mikesh A

wabakia motoni milele? Kwa hiyo ina maana kwamba ile ridhaa ya Mungu hakuwa kwaajili ya Bai’at-e-Shajara (kiapo cha utii chini ya mti) peke yake, bali ilitegemea juu yaimani nyofu na matendo mema. Wale ambao wameamini katika upweke wa Mungu(Tawhid) na Utumme (Nubwat) na wakala kiapo cha utii walistahiki radhi za Mungu.Walitangazwa kuwa watu wa Peponi. Lakini wale waliokula kiapo cha utii bila imani, auambao hawakula kiapo, wanastahili ghadhabu Yake. Hakika, Masahaba walifanya maten-do mazuri, na kwa ajili ya matendo yao mazuri (kama kula kiapo chini ya mti) lazima wasi-fiwe. Na hata kama muumini, awe yeye ni Sahaba au la, akifanya kosa, anaweza kukosole-wa.

MASHI’A WANAKUBALI UBORAWA MASAHABA

Madhehebu ya Shi’a siku zote imeelezea matendo mema ya Masahaba. Aidha, hukubalimatendo mema hata ya wale ambao wamekuwa ni shabaha ya ukosoaji mkali. Kwa mfano,inatambua kile kiapo chao cha utii cha chini ya mti, kuhama kwao pamoja na MtukufuMtume (s.a.w.w.), kushiriki kwao katika vita, lakini vile vile hulaumu na kushutumumatendo yao mabaya.

Hafidh: Ninashangazwa kukusikia wewe ukisema kwamba, Masahaba wa Mtume wali-fanya matendo maovu. Mtume alitangaza kila mmoja wao ni mlezi na kiongozi wajumuiya. Alisema katika hadithi mashuhuri kwamba: “Hakika masahaba wangu ni kamanyota; kama mnafuta yeyote kati yao, mtakuwa mmeongoka.” Imani yenu kwa dhahri sioya kawaida, na hatukubali imani isiyo ya kawaida.

HADITHI YA “KUWAFUATA MASAHABA” YACHUNGUZWA

Muombezi: Ninalazimika kujadili baadhi ya vipengele vya hadithi hii kabla sijaendeleakujibu. Kwa kweli, hakika hatuwezi kuzungumza kuhusu chanzo, usahihi, au udhaifu wahadthi kwa njia ya kukosoa, kwani tutatoka kwenye mada kuu. Majadiliano yetu yataan-galia kwenye maana yake. Wale amabao wamebarikiwa heshima ya kumuona MtukufuMtume (s.a.w.w.), au ambao wamesimulia hadithi kutoka kwake, wanaitwa Sahaba, iwewalikuwa ni wahamiaji (Muhajir) kutoka Makka au wale waliowasaidia (Ansar) kuleMadina au wengine. Kutokuelewana kukubwa mwiongoni mwenu ni kwamba, kwa sababuya nia zenu nzuri juu ya Masahaba, mnawachukuliya wote kuwa wameepukana na makosayote ingawa ukweli ni kinyume chake. Miongoni mwa Masahaba wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), walikuwepo wema na wabaya, ambao Allah na Mtume Wake walikuwa

Mikesha ya Peshawar

231

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 231

Page 250: Mikesh A

wanawafahamu vizuri sana. Hili linaweza kuthibitishwa vizuri na ile Sura ya Munafiqun(wanafiki) na aya za sura nyingine, kama Tawba ambayo vile vile inajulikana kama Al-Bara’a (Kinga) na Ahzab (koo), ambazo ziliteremshwa kwa ajili ya kuwalaumu Masahabaambao walikuwa wanafiki na waovu.

Maulamaa wenu mashuhuri wenyewe wameandika katika baadhi ya makosa na matendomabaya ya Masahaba katika vitabu vyao sahihi. Hisham Bin Muhammad Sa’yib Kalbi,mmoja wa ulamaa mashuhuri wa madhehebu yenu ameandika kitabu juu ya makosa nakasoro za Masahaba. Wanafiki ambao wamelaumiwa na Allah (swt) na Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) walikuwa ndumila kuwili, ambao walikuwa Waislamu kwa nje tu. Nyoyo zaozilikuwa imechafuliwa na dhulma na upotofu; na wote hao walijumuishwa katikakundi laMasahaba. Hivyo tutawezaje kuwa na nia njema kwa Masahaba wote? Na vipi tutakuwana hakika kwamba kumfuata yeyote kati yao kutahakikisha uwongofu? Je, sio ukwelikwamba katika suala la Aqaba kulikuwa na Masahaba ambao walionekana kuwa waamini-fu lakini walikusudia kumuua Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)?

SUALA LA AQABA NA MPANGO WA KUMUUA

MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.)

Hafidh: Baadhi ya maulamaa wanalichukilia suala la Aqaba kuwa ni ubunifu wa Mashi’a.

Muombezi: Ni vibaya sana kwako wewe kutegemea juu ya imani za baadhi ya watuambao wana mawazo ya ki-Khawariji na Manasibi. Suala hili kwa uwazi kabisa linaju-likana kwa wote kiasi kwamba maulamaa wenu wenyewe wamelikubali. Tafadhali heburejea kwenye Dala’ilu’n-Nubuwat kilichoandikwa na Hafidh Abu Bakr Ahmad Bin HusainBaihaqi Shafi’i, ambaye ni mmoja wa wanachuoni na mafaqihi wenu maarufu. Ameandikakisa cha Batn-e-Aqaba kwa nyororo (sanad) sahihi ya wasimuliaji; na vile vile ImamuAhmad Bin Hanbal, kuelekea mwisho wa Jz. 5 ya Musnad yake, anataarifu kutoka kwaAbu Tufail, na Ibn Abi’l-Hadid anaandika katika Sharhe yake ya Nahju’l-Balagha, na ina-julikana kwa maulama wote kwamba, Mtukufu katika usiku huo alilaani kikundi chaMasahaba.Nawab: Lilikuwa ni jambo gani, na ni nani hao ambao walitaka kumuua Mtukufu Mtume(s.a.w.w.)?

Muombezi: Maulamaa wakubwa wa madhehebu zote wameandika kwamba njiani wakatiMuhammad anarudi kutoka vita ya Tabuk, wanafiki kumi na wanne walikula njama yakumuua. Mpango ulikuwa ni kumsukuma kutoka kwenye ngamia wake angukie kwenyemporomoko wakati akipita Aqaba wakati wa usiku, uchochoro mwembamba ambao mtummoja tu anaweza kupita. Wakati walipojaribu kutekeleza mpango wao Malaika Jibrilalimjulisha Mtume juu ya mpango huo. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akamtuma HudhaifaNakha’I kujificha nyuma ya mlima. Wakati wale wahaini walipowasili na kuzungumza

Mikesha ya Peshawar

232

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 232

Page 251: Mikesh A

wenyewe pamoja, aliwatambua wote. Saba miongoni mwao wanatokana na Bani Umayya.Hudhaifa alirudi kwa Mtume na kuwataja wote. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akamuamurukuiweka siri njama hiyo, na akasema Allah ndiye mlizi wao. Katika sehemu ya kwanza yausiku Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alianza safari, akifuatiwa na jeshi lake. Ammar-e-Yasralimwongoza ngamia kwa mbele na Hudhaifa alikuwa akimswaga kwa nyuma. Wakatiwalipofikia kile kichochoro chembamba, wale wanafiki walimtupia ngamia mifuko yao yangozi iliyojaa mchanga (au makopo ya mafuta), ikatoa sauti kubwa, wakidhania kwambamnyama yule aliyetishika atamtupa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) chini ya ule mporomokomkali. Lakini Allah (swt) alimkinga na wahaini wakakimbia na kutokomea katika kundi.Je, watu hawa hawakuwemo mwiongoni mwa Masahaba? Je, ni kweli kwamba kuwafuatawao maana yake ni njia ya wokovu? Wakati tunapozungumza kuhusu Masahaba waMtukufu Mtume (s.a.w.w.) wa Allah kwa nini tufumbie macho makosa yao?

MTUME KAMWE HAKUTUAMRISHATUWAFUATE WAONGO

Mikesha iliyopita nilitaja tabia ya Abu Huraira, nikiwaeleza kwamba Khalifa Umar alim-tandika viboko kwa sababu alizoea kusimulia hadithi za uwongo kutoka kwa Mtume. Je,hakuwa miongoni mwa Masahaba? Je, hakusimulia idadi kubwa ya hadithi kwa uongo?Halikadhalika, hawakuwa Masahaba wengine kama Sumra Bin Junda wamejumuishwamiongoni mwao? Je, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wa Allah anaweza kuamuru jumuiya kufu-ata waongo na waghushaji? Kama hadithi hii ni sahihi, yaani, kwamba kama tukimfuatayeyote katika masahaba, tutaongoka, basi tafadhali tujulishe ni yupi tumfuate, kama masa-haba wawili wanakwenda njia mbili tofauti. Au kama kuna makundi mawili kila mojalinapigana dhidi ya jingine, au kila moja kinyume na jingine, ni yupi ambaye itatupasa sisikumuunga mkono?

Hafidh: Kwanza, masahaba watukufu wa Mtume wa Allah hakuwa maadui wenyewe kwawenyewe. Na hata kama mmoja alimpinga mwingine, lazima tuupime ukweli huo vizuri.Yule ambaye ni safi na ambaye maelezo yake yana mantiki zaidi anapaswa kufuatwa.

Muombezi: Kama, kwa mujibu wa maelezo yako, tunafanya uchunguzi makini na kuonakwamba mmoja wao ni ni safi na yuko katika upande wa haki, basi kundi la upandemwingine la masahaba lazima liwe chafu na kwenye upande wa makosa. Basi hadithi hiikimsingi inapoteza sifa kwa sababu haiwezikani kwamba masahaba wasiokubalianawanaweza wote kuwa vyanzo vya uongofu.

Mikesha ya Peshawar

233

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 233

Page 252: Mikesh A

UPINZANI WA MASAHABA HUKO SAQIFA

Kama hadithi hii ni sahihi kwa nini mnaleta upinzani dhidi ya Mashi’a, kwa sababu waowamefuata kundi la Masahaba kama Salman, Abu Dharr, Mikidadi, Ammar-e-Yasir, AbuAyyub Ansar, Hudhaifa Nakha’i na Khuzaima Dhu’sh-Shahadatain, nk., ambao nimewata-ja katika mikesha iliyopita? Kwa hakika watu hawa hawakula kiapo cha utii kwa Abu Bakr.Kwa hiyo, kati ya Masahaba waliopingana wenyewe kwa wenyewe, ni nani waliokuwaupande wa haki? Kwa vyovyote vile kundi moja lilikuwa upande wa makosa ingawahadithi uliyonukuu hutuambia kwamba tunaweza kufuata yeyote kati ya Masahaba nakuongoka.

UPINZANI WA SA’D BIN UBAIDA KWA ABU BAKAR NA UMAR

Je, Sa’d Bin Ubaid hakuwa mmoja wa Masahaba ambao hawakula kiapo kwa Abu Bakr naUmar? Wanahistoria wote wa Shi’a na Sunni kwa pamoja wanashikilia kwamba yeye alik-wenda Syria na akaishi kule mpaka katikati ya kipindi cha Ukhalifa wa Umar, ndipo ali-uawa. Kwa hiyo kumfuata yeye na kumpinga Abu Bakr na Umar, kwa mujibu wa hadithihii, ni njia ya wokovu.

TALHA NA ZUBAIR WALIMKABILI ALI HUKO BASRA

Je, Talha na Zubair sio miongoni mwa Masahaba waliokula kiapo cha utii chini ya mti? Je,hawakumpinga mrithi wa haki Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Khalifa wa nne anayekubaliwakwa mujibu wa imani yenu? Je, hawakuwa Masahaba hawa ni wenye kuhusika na umwa-gaji wa damu ya Waislamu wasio idadi? Sasa, tafadhali tujulishe ni lipi katika makundihaya mawili ya Masahaba ambao walipigana wenyewe kwa wenyewe ambalo kweli lime-ongoka. Kama utasema kwamba, kwa vile makundi yote yalikuwa na utii yalikuwa katikaupande wa haki, utakuwa umekosea. Haiwezikani kudai kwamba makundi yanayopinganayote yawe yameongoka.

Kwa hiyo ina maana kwamba Masahaba ambao walikuwa upande wa Ali walikuwa kwahakika wao ndio walioongoka. Kundi lililokuwa ule upande mwingine lilichukuwa njia yamakosa; na huu ni uthibitisho mwingine wa kukataa maelezo yako kwamba Masahba walewote ambao walikuwepo katika Bai’at-e-Ridhwan, chini ya mti, walikuwa wameongoka.Miongoni mwa wale ambao walikula kiapo cha utii walikuwa hawa wawili, Talha na

Mikesha ya Peshawar

234

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 234

Page 253: Mikesh A

Zubair, ambao vile vile walipigana dhidi ya khalifa wa haki. Kwa hakika wamepiganadhidi ya mtu ambaye kuhusu yeye Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Ewe Ali, kupiganadhidi yako ni kupigana dhidi yangu.” Je, hii si sawa na kupingana dhidi ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.)? Basi vipi unasema kwamba neno Ashab au kuwepo chini ya mti wa kiapo niuthibitisho wa wokovu?

MU’AWIYA NA ‘AMR IBN AL-AS WALIZOEA KUMLAANI NA KUMTUKANA ALI

Muawiya na Amr al-As walikuwa Masahaba lakini bado walipigana dhidi ya mrithi waMtukufu Mtume (s.a.w.w.) na kumlaani na kumtukana Ali katika mikutano ya hadhara nahata katika hutuba zinazotolewa baada ya Sala ya Ijumaa. Walifanya hivyo licha ya ukweli,kama ilivyoandikwa na maulamaa wakubwa wa madhehebu yenu katika vitabu vyao sahi-hi, kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alirudia rudia kusema: “Yule ambaye anamtukanaau kumlaani Ali, ananitukana mimi. Yule ambaye ananitukana mimi anamtukana Allah.”Mwanachuoni Taftazani kwa kinaganaga alishughulikia suala hili katika Sharhe Maqasid.Yeye anaandika kwamba kwa vile Masahaba walikuwa maadui wenyewe kwa wenyewe,baadhi yao walikuwa wamepotea kutoka kwenye njia ya haki. Baadhi yao kwa ajili yahusda na matamanio ya kidunia, walifanya aina zote za makosa ya kiukatili. Ni wazikwamba Masahaba wengi, ambao hawakuwa ma’sum (wasiokosea) walifanya matendomaovu. Lakini baadhi ya maulamaa kwa sababu wanawapendelea, walijaribu kufichamakosa yao. Kuna hoja nyingi za kukataa hadithi hii iliyoko kwenye mjadala. Hakunashaka kwamba hadithi hii ni ya kughushi. Maulamaa wenu wengi wameonyesha wasiwasiwao kuhusu usahihi wa vyanzo vyake.

VYANZO VYA HADITHI “MASAHABA WANGU NI KAMA NYOTA” NI DHAIFU

Baada ya kunukuu hadithi hii katika kitabu chake Sharhu’sh-Shifa, Jz. 2. uk. 91, KadhiAyaz anasema kwamba Darqutni katika kitabu chake Faza’il na Ibn Abdu’l-Birr wasemakwamba hadithi hii sio sahihi.

Vile vile imesimuliwa kutoka kwa Abd Bin Hamid katika Musnad yake ambaye ananukuukutoka kwa Abdullah Ibn Umar kwamba Bazar alikataa kukubali usahihi wa hadithi hii.Vile vile alisema kwamba Ibn Adi ananukuu katika kitabu chake Kamil pamoja na rejeazake mwenyewe kutoka kwa Nafi, na yeye kutoka Abdullah Ibn Umar, kwamba vyanzovya hadithi hii ni dhaifu sana. Baihaqi vile vile ameelezwa kwamba aliandika kuwa habariya hadithi hii inajulikana sana lakini vyanzo vyake ni dhaifu.

Mikesha ya Peshawar

235

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 235

Page 254: Mikesh A

Miongoni mwa vyanzo vya hadithi hii ni Harith Bin Ghazin, ambaye tabia yake inaju-likana, na Hamza Ibn Abi Hamza Nussairi, ambaye alishutumiwa kwa kuongopa. Udhaifuwa hadithi hii uko wazi. Ibn Hazm vile vile anasema kwamba hadthi hii ni ya kubuni na niyenye kukataliwa. Hivyo katika majadiliano yetu hatuwezi kutengemea juu ya hadithikama hii yenye nyororo (asnad) dhaifu ya vyanzo. Hata tukichukulia kwamba hadithi hiiilikuwa sahihi, isingeweza kutumika katika maana ya ujumla; ingeashiria tu kwa waleMasahaba watiifu na wachamungu ambao kwa mujibu wa amri ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) wamefuata Kitabu cha Allah na kizazi kitukufu cha Mtume.

MASAHABA HAWAKUWA MA’SUM (WASIO KOSEA)

Nikiwa nimeyasema haya, kama nitawakosoa baadhi ya Masahaba, msinichukulie mimikama si mwadilifu. Hata hivyo wao walikuwa ni wanadamu, na iliwezekana wao kukosea.

Hafidh: Sisi pia tunaamini kwamba Masahaba hawakuwa ma’sum, lakini wakati huo huoni ukweli unaokubalika kwamba wote kwa pamoja walikuwa ni watu wema. Hawakufanyamakosa yoyote.

Muombezi: Madai yako ni mno, kama ukisisitiza kwamba wote walikuwa waadilifu nawalioepukana na makosa, kwa vile katika vitabu sahihi vilivyoandikwa na maulamaa wenuwanahoji dhidi ya hilo. Wanatuambia kwamba hata baadhi ya Masahaba wakubwa wakatimwingine walifanya makosa.

Hafidh: Hatuzitambui taarifa kama hizo. Tafadhali tueleze kuhusu taarifa hizo kamaunaweza.

Muombezi: Tukiyaacha yale waliyoyafanya wakati wa zama za ujinga (yaani, kabla yakuja kwa Uislamu), wamefanya maovu mengi baada ya kusilimu. Inatosha kutaja tukiomoja tu kwa njia ya mfano. Maulamaa wenu wakubwa wanaandika katika vitabu vyaosahihi kwamba katika ule mwaka wa kuiteka Makka (8 A.H.) baadhi ya wale Masahabawakubwa walijiingiza katika burudani ya sherehe na shamra shamra na kwa siri wakany-wa pombe.

Hafidh: Hiki kwa hakika ni kisa cha kubuni. Wakati pombe ilikuwa imetangazwa kuwa niharamu, Masahaba wa kuheshimika hawakuhudhuria japo hafla kama hizo, sembuse kuta-ja unywaji wa tembo.

Muombezi: Haikubuniwa kamwe na wapinzani. Kama itakuwa imebuniwa kwa hali yoy-ote ile, basi ilifanywa hivyo na ulamaa wenu wenyewe.

Mikesha ya Peshawar

236

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 236

Page 255: Mikesh A

Nawab: Kama kulikuwa na hafla kama hiyo, majina ya huyo mwenyeji na wageni vilevileyatakuwa yametajwa. Unaweza kuelezea nukta hiyo?

Muombezi: Ndio, maulamaa wenu wenyewe wameielezea hiyo.

KUNYWA POMBE KWA MASAHABA KUMI KATIKA MKUTANO WA SIRI

Ibn Hajar katika kitabu chake Fathu’l-Bari, Jz. 10, uk. 30, anaandika kwamba Abu TalhaZaid Bin Sahl alitayarisha hafla ya pombe katika nyumba yake na akakaribisha watu kumi.Wote walikunywa pombe na Abu Bakr alisoma baadhi ya mashairi kuwasifia baadhi yamakafiri ambao waliuliwa katika vita ya Badr.

Nawab: Je, majina ya wageni yametajwa vile vile? Kama ndivyo, tafadhali tujulishe.

Muombezi: (1) Abu Bakr Bin Abi Kuhafa, (2) Umar Ibn Khattab, (3) Abu Ubaida Garra,(4) Ubai Bin Ka’b, (5) Sahl Bin Baiza, (6) Abu Ayyub Ansari, (7) Abu Talha (mwandaaji),(8) Abu Dajjana Samak Bin Kharsa, (9) Abu Bakr Bin Shaghuls, (10) Anas Bin Malik,ambaye alikuwa na umri wa miaka 18 wakati ule na ambaye alikuwa ndiye mgawaji wapombe hiyo. Baihaqi katika Sunan yake, Jz. 8, uk. 29 vile vile amesimulia kutoka kwaAnas mwenyewe kwamba yeye alikuwa ndiye mdogo kuliko wote wakati huo na alikuwaakiwapimia pombe. (Kufikia hapa kukawa na vurumai kubwa ndani ya mkutano huo.)

Sheikh: Naapa kwa jina la Allah kwamba kisa hiki kimebuniwa na maadui!

Muombezi: Umehamaki sana na umetoa kiapo cha kufuru! Lakini hauko katika makosaya moja kwa moja kabisa. Masomo yako yana kikomo. Kama ungesoma kwa mapanazaidi, ungejua kwamba maulamaa wako mwenyewe wameandika yote haya. Sasa yakubi-di uombe msamaha wa Allah.

Sasa ninalazimika kuelezea mambo kwa mujibu wa maelezo ya maulamaa wenu wenyewe.Muhammad Bin Isma’il Bukhari katika Sahih yake (akifafanua juu ya Ayat-e-Khamr, ‘ayainayohusu pombe’, katika sura ya Ma’ida ya Qur’ani Tukufu); Muslim Ibn Hajar katikaSahih yake (Kitab-e-Ashraba Bab-e-Tahrimu’l-Khamr); Imamu Ahmad Bi Hanbal katikaMusnad yake, Jz. 30, uk. 181 na 227; Ibn Kathir katika Tafsir yake, Jz. 11, uk. 93; Jalalu’d-Din Suyut katika Durr’l-Mansur, Jz. 2, uk. 321; Tabari katika Tafsir yake, J. 7, uk. 24; IbnHajar Asqalani katika Isaba, Jz. 4, uk. 22 na Fathu’l-Bari, Jz. 10, uk. 30; Badru’-d-DinHanafi katika Umdatu’l-Qari, Jz. 10, uk. 84; Baihaqi katika Sunan yake, uk. 286 na 290;na wengine wameandika ukweli huu pamoja na maelezo marefu.

Mikesha ya Peshawar

237

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 237

Page 256: Mikesh A

Sheikh: Pengine mambo haya yalitokea kabla pombe haijafanywa haramu.

Muombezi: Tunayoyapata kutoka kwenye vitabu vya Tafsir na historia yanaonesha kwam-ba hata baada ya aya za kuharamisha pombe baadhi ya Waislamu na Masahaba waliende-lea kunywa pombe iliyokatazwa.

Muhammad Bin Jarir Tabari anasimulia katika Tafsir-e-Kabir, Jz. 2, uk. 203, kutoka kwaAbil Qamus Zaid Bin Ali, ambaye alisema Allah ameteremsha mara tatu aya zinazokatazapombe. Katika aya ya kwanza anasema:

“Wanakuuliza kuhusu ulevi na kamari. Sema: katika hivyo mna dhambi kubwa namanufaa kwa watu, lakini dhambi zake ni kubwa kuliko manufaa yake…” (2:219)

Lakini Waislamu hawakuacha pombe mara moja. Wakati mmoja watu wawili, wakiwawamelewa, walisali Swala zao na kuzungumza mambo yasio kuwa na maana, aya nyingineiliteremshwa, isemayo:

“Enyi ambao mmeamini! msikaribie Sala hali mmelewa, mpaka myajue mnayo yase-ma…” (4:43)

Hata baada ya aya hii, unywaji wa pombe uliendelea, lakini watu hawakusali wakiwawamelewa. Siku moja mtu mmoja alikunywa pombe (kwa mujibu wa taarifa ya Bazar, IbnHajar na Ibn Mardawiyya mtu huyo alikuwa ni Abu Bakr) na akatunga shairi kwa ajili yamakafiri ambao waliuawa katika vita ya Badir. Wakati Mtume aliposikia hili alikasirikasana. Alikwenda kule inakofanyika hafla hiyo na akataka kumpiga. Yule mtu akasema,“Naomba kinga ya Allah kutokana na ghadhabu ya Allah na Mtume Wake. Allah aweshahidi yangu, sitakunywa pombe tena.” Kisha aya ifuatayo ikateremshwa:

“Enyi ambao mmeamini! Bila shaka ulevi, na kamari na kuabudu masanamu nakupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya shetani. Basi jiepusheni navyo, ili mpatekufanikiwa.” (5:90).

Mikesha ya Peshawar

238

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 238

Page 257: Mikesh A

Miongoni mwa Masahaba wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) walikuwepo wazuri na wabayakama ambavyo wapo miongoni mwa Waumini na Waislamu wengine. Wale miongonimwao ambao walijaribu kumtii Allah na Mtume Wake walifikia daraja ya juu. Wale ambaowalifuata tamaa za kidunia walikuwa wakidharauliwa na wengine. Hivyo wale ambaowanakosoa Masahaba wa kidunia, wanafanya hivyo kwa sababu fulani. Yale matendomaovu ya baadhi ya masahaba, ambayo yameandikwa katika vitabu sahihi vya maulamaawenu wenyewe, vile vile yanafaa kulaumiwa kwa mujibu wa ushahidi wa Qur’ani Tukufu.Mashi’a wanawalaumu katika misingi hiyo. Kama kuna majibu ya mantiki kwenye hojahii, tuko tayari kuikubali.

UVUNJAJI KIAPO WA MASAHABA

Inashangaza kwamba hata baada ya kusikia sifa zao za kulaumika (nimetaja chache tu katiya nyingi) bado mnaendelea kuniuliza kuhusu maovu yao! Sasa ningependa kuwasilishamfano mwingine wa matendo yao ya kuchikiza, ambayo yameandikwa katika vitabu vyotevya madhehebu zote: “Uvunjaji wa kiapo”. Allah amelifanya ni wajibu suala la mtukutekeleza ahadi. Anasema: “Na timizeni ahadi ya Allah mnapo ahidi, wala msivunje viapo baada yakuvithibitisha…” (16:91)

Na tena Allah amewaita wale ambao wanaovunja kiapo walaaniwa. Anasema: “Na wale ambao wanavunja ahadi ya Allah baada ya kuzifunga, na wanayakata yaleambayo Allah ameamrisha yaungwe, na wanafanya ufisadi katika nchi; hao ndiowatakaopata laana, na watapata nyumba mbaya.” (13:25)

Hivyo ni wazi kutoka kwenye aya za Qur’ani Tukufu na kutoka katika idadi kubwa yahadithi kwamba kuvunja kiapo ni dhambi kubwa, hususan kiapo kilichofanywa kwa Allahna Mtume wake. Uzito wa kosa hili ulikuwa mkubwa sana kwa Masahaba wa MtukufuMtume (s.a.w.w.).

Hafidh: Ni kiapo gani cha utii ambacho Masahaba walifanya na Mtume na wakakivunja?Itawezaje kuwa chini ya mashambulizi ya aya za Qur’ani? Nadhani kwamba kama utalian-galia suala hili kwa makini utakubali kwamba mambo yote haya ni ubunifi mtupu waMashi’a. Masahaba wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) walikuwa wameepukana na makosayote haya.

Mikesha ya Peshawar

239

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 239

Page 258: Mikesh A

KATIKA QUR’ANI TUKUFU “WAKWELI” HUMAANISHAMUHAMMAD NA ALI

Muombezi: Nimekuambieni mara kwa mara kwamba Mashi’a wamejifunga kuwafuataviongozi wao. Vinginevyo hawawezi kuwa Mashi’a. Qur’ani Tukufu imetoa ushahidi waukweli wa viongozi wao. Maulamaa wenu mashuhuri kwa mfano, Imamu Tha’labi naJalalu’d-Din Suyut katika vitabu vyao vya Tafsir, Hafiz Abu Nu’aim Ispahani katika kitabuchake Ma Nazal mina’l-Qur’ani fi Ali, Khatib Khawarizmi katika Manaqib, SheikhSulayman Balkhi Hanafi katika Yanabiu’l-Mawadda, sura ya 39, akisimulia kutoka kwaKhawarizmi, Hafiz Abu Nu’aim na Hamwaini na Muhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’i kati-ka Kifayatu’t-Talib, sura ya 62, wote wamenukuu kutoka kwenye kitabu cha historia chamwanachuoni mkubwa Muhaddith-e-Sham kwamba katika aya Tukufu,

“Enyi mlioamini! Mcheni Allah na kuweni pamoja na wakweli”. (9:119)

Wakweli maana yake Muhammad na Ali. Hivyo wafuasi wa familia hii tukufu hawawezikuwa waongo au waghushaji kwa sababu ni yule mtu tu ambaye hana sababu za kweli nana zenye nguvu ndiye anaweza kusema uwongo au kughushi visa vya uwongo na kupatakitu cha kutegemea juu ya njia hii. Wanachosema Mashi’a kimeandikwa na maulamaawenu wenyewe. Kwanza mnapaswa kuwakataa maulamaa wenu, ambao wameandikamambo haya. Lau maulamaa wenu wasingeandika kuhusu uvunjaji wa kiapo wa Masahabakatika vitabu vyao sahihi, nisingelitaja hilo katika mkutano huu.

Hafidh: Ni nani katika maulamaa wa ki-Sunni ambaye ameandika kwamba Masahabawalivunja kiapo cha utii. Maneno matupu hayawezi kusaidia.

Muombezi: Mimi sio ninazungumza tu. Hoja yangu ni yenye mantiki kamili. Masahabawalivunja kiapo chao cha utii mara nyingi. Walivunja kiapo cha utii ambacho kwachoMtume wa Allah aliwaamuru wao, cha muhimu zaidi ni kiapo cha utii kule Ghadir-e-Khum.

Mikesha ya Peshawar

240

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 240

Page 259: Mikesh A

HADITHI YA GHADIR NA ASILI YAKE

Maulamaa wote, wa Shi’a na Sunni wanakubali kwamba, katika mwaka wa 10 wa Hijra,Mtume wa Allah akiwa anarudi kutoka kwenye hija yake ya mwisho, aliwakusanya pamo-ja Masahaba wote pale Ghadir-e-Khum siku ya 18 Dhi’l-Hijja. Baadhi ya wale ambaowalikuwa wametangulia waliitwa warudi kwa amri ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na waleambao walikuwa nyuma walingojewa. Maulamaa wenu wengi wanahistoria na vyanzo vyaShi’a wanaioa idadi ya watu 70000, na baadhi ya maulamaa wenu wengine, kwa mfano,Tha’labi katika kitabu chake cha Tafsir, Sibt Ibn Jauzi katika Tadhkirat’u-Khasa’isi’l-Umma fi Ma’rifati’l-Aimma na wengine wameandika kwamba walikuwepo watu 120,000waliokusanyika pale. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliamuru itengenezwe mimbari. Alipandakatika mimbari na akatoa hotuba ndefu, ambayo sehemu yake kubwa ikiwa imejaa sifa natabia za Amir’l-Muminin. Alisoma takribani aya zote zilizoshuka kwa ajili ya kumsifu Alina akawakumbusha watu cheo kitukufu cha umakamu wa Amirul-Mu’minin. KishaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Enyi watu! Je, mimi sina mamlaka zaidi juu ya nafsizenu kuliko ninyi wenyewe?” Rejea hii ni kwenye aya tukufu, “ Mtume ni bora zaidi kwawaumini kuliko nafsi zao…” (33:6)

Mkusanyiko ule ukajibu kwa sauti moja “Hakika, Ewe Mjumbe wa Allah!” Kisha MtukufuMtume (s.a.w.w.) akatangaza: “Yule ambaye mimi ni (maula kwake) mwenye kumtawaliamambo yake, huyu Ali ni (maula kwake) mwenye kumtawalia mambo yake.” Baadayakusema hivi alinyoosha mikono yake na akaomba kwa Allah. “Ewe Allah, kuwa rafikikwa yule ambaye ni rafiki kwake (yaani Ali) na kuwa adui kwa yule ambaye ni adui kwake(yaani Ali) msaidie yule ambaye anamsaidia yeye na mtelekeze yule ambaye anamtelekezayeye.”

Kisha hema lilikitwa kwa amri ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ambaye alimuamuruKiongozi wa waumini Ali kukaa ndani ya hema. Umma wote uliamriwa kutoa kiapo chautii kwa Ali. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema kwamba ametoa maelekezo haya kulin-gana na amri ya Allah. Mtu wa kwanza kutoa kiapo ni siku hiyo alikuwa ni Umar. KishaAbu Bakr, Uthmani, Talha, na Zubair walifuatia, na watu wote hawa waliendelea kutoakiapo cha utii kwa muda wa siku tatu (yaani wakati ambapo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alibakia pale).

Hafidh: Unaweza kuamini kwamba tukio la umuhimu kama wa namna hiyo limetokeakama inavyodaiwa na wewe na kwamba hakuna hata mmoja katika maulamaa maarufualiyelisimulia hilo?

Muombezi: Sikutazamia maelezo kama haya kutoka kwako. Habari ya Ghadir Khum ikowazi kama mwanga wa mchana na hakuna yeyote ila shupavu na mtu mkaidi ndiye aweza-ye kuleta fedheha kwa kukataa tukio kama hili. Suala hili muhimu limeandikwa kwenye

Mikesha ya Peshawar

241

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 241

Page 260: Mikesh A

kumbukumbu na maulamaa wenu wote wachamungu katika vitabu vyao sahihi.Ningependa kutaja hapa baadhi ya majina ya waandishi na vitabu vyao ili uelewe kwam-ba maulamaa wenu wote maarufu walitegemea hadithi hii.

1. Imam Fakhru’d-Din Razi – Tafsir-e-Kabir Mafatihu’l-Ghaib.2. Imam Ahmad Tha’alabi – Tafsir-e-Kashfu’l-Bayan.3. Jalalu’d-Din Suyuti – Tafsir-e-Durru’l-Manthur.4. Abu’l-Hasan Ali Bin Ahmad Wahidi Nishapuri – Asbabu’n-Nuzul.5. Muhammad Bin Jarir Tabari – Tafsiru’l-Kabir.6. Hafidh Abu Nu’aim Ispahani – Ma Nazal Mina’l-Qur’ani fi Ali na Hilyatu’l-Auliya.7. Muhammad Bin Isma’il Bukhari – Ta’rikh, Jz. 1, uk. 375.8. Muslim Bin Hajjaj Nishapuri – Sahih, Jz. 2, uk. 325.9. Abu Dawud Sijistani – Sunan.10. Hafidh Ibnu’l-Iqda – Kitabu’l-Wilaya.11. Ibn Kathir Shafi’i Damishqi – Ta’rikh.12. Imam Ahmad Ibn Hanbal – Musnad Jz. 4, uk. 281&371.13. Abu Hamid Muhammad Bin Muhammad Al-Ghazali – Sirru’l-Alamin.14. Ibn Abdu’l-Birr – Isti’ab.15. Muhammad Bin Talha Shafi’i – Matalibu’s-Su’ul, uk. 16.16. Ibn Maghazili Faqih Shafi’i – Manaqib.17. Nuru’d-Din Bin Sabbagh Maliki – Fusulu’l-Muhimma.18. Husain Bin Mas’ud Baghawi – Masabihu’s-Sunna.19. Abu’l-Mu’ayyid Muwafiq Bin Ahmad Khatib Khawarizmi – Manaqib.20. Majdu’d-Din Bin Athir Muhammad Bin Muhammad Shaibani – Am’u’l-Usul.21. Hafidh Abu Abdu’r-Rahman Ahmad Bin Ali Nisa’i – Khasa’isu’l-Alawi na Sunan.22. Sulaiman Balkhi Hanafi – Yanabiu’l-Mawadda, Sura ya 4.23. Shahabu’d-Din Ahmad Bin Hajar Makki – Sawa’iq Muhriqa na Kitabu’l-Manhu’l-

Malakiyya, hususan Sawa’iq, sehemu ya 1, uk. 25. pamoja na ushupavu wake mkub-wa, anasema: “Hii ni hadithi ya kweli; ukweli wake hauwezi kutiliwa shaka. Hakikaimesimuliwa na Tirmidhi, Nisa’i na Ahmad, na kama ikichunguzwa, vyanzo vyake nivizuri vya kutosha.”

24. Muhammad Bin Yazid Hafiz Ibn Maja Qazwini – Sunan.25. Hafidh Abu Abdullah Muhammad Bin Abdullah Hakim Nishapuri – Mustadrak.26. Hafidh Sulaiman Ibn Ahmad Tabrani – Aust.27. Ibn Athir Jazari – Usudu’l-Ghaiba.28. Yusuf Sibt Ibn Jauzi – Tadhkiratu’l-Khasa’isu’l-Umma, uk. 17.29. Abu Umar Ahmad Bin Abi Abd Rabbih – Iqdu’l-Farid.30Allama Samhudi – Jawahiru’l-Iqdain.31. Ibn Taimiyya Ahmad Bin Abdu’l-Halim– Minhaju’s-Sunna.32. Ibn Hajar Asqalani – Fathu’l-Bari na Tahdhibu’t-Tahdhib.33. Abdu’l-Qasim Muhammad Bin Umar Jarrullah Zamakhshari – Rabiu’l-Abrar.

Mikesha ya Peshawar

242

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 242

Page 261: Mikesh A

34. Abu Sa’id Sijistani – Kitabu’d-Darayab Fi Hadithi’l-Wilaya. 35. Ubaidullah Bin Abdullah Haskani – Du’atu’l-Huda ila Ada Haqqi’l-Muwala.36. Razin Bin Mu’awiya Al-Abdari – Jam Bainu’s-Sahihi’s-Sitta.37. Imam Fakhru’d-Din Razi anasema katika Ktabu’l-Arba’in kwamba jumuiya yote kwapamoja wanathibitisha hadithi hii.38. Muqibili – hadithu’l-Mutawatira.39. Suyut – Ta’rikhu’l-Khulafa.40. Mir Sayyid Ali Hamadani – Mawaddatu’l-Qurba.41. Abu Fath Nazari – Khasa’is’u’l-Alawi42. Khwaja Parsa Bukhari – Faslu’l-Khitab.43. Jamaluddin Shirazi – Kitabu’l-Arba’in.44. Abdul Ra’ufu’l-Manawi – Faizu’l-Qadir fi Sharh-i-Jamiu’s-Saghir.45. Muhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’i – Kifayatu’t-Talib, sehemu ya 1.46. Yahya Bin Sharf-Nauwi – Tahzibu’l-Asma wa’l-Lughat.47. Ibrahim Bin Muhammad Hamwaini – Fara’idu’s-Simtain.48. Kadhi Fadhlullah Bin Ruzhahan – Ibtalu’l-Batil.49. Shamsuddin Muhammad Bin Ahmad Sharbini – Siraju’l-Munir.50. Abul Fath Shahristani Shafi’i – Milal wa’n-Nihal.51. Hafidh Abu Bakr Khatib Baghdadi – Ta’rikh.52. Hafidh Ibn Asakir Abul-Qasim Damishqi – Ta’rikh-i-Kabir.53. Ibn Abi’l-Hadid Mutazali – Sharhe Nahju’l-Balagha56. Ala’uddin Samnani – Urwatu’l-Wuthqah.57. Ibn Khaldun – Muqaddima.58. Mawlana Ali Muttaqi Hindi – Kanzu’l-Ummal.59. Shamsuddin Abul Khair Damishiqi – Asanu Matalib.60. Sayyid Sharif Hanafi Jurjani – Sharh-i-Mawaqit61. Nizamuddin Nishapuri – Tafsir-I-Ghara’ibu’l-Qur’ani.

HADITHI YA GHADIR IMESIMULIWA NA TABARI,IBN IQDA NA HADDAD

Nimesimulia vyanzo nilivyoweza kukumbuka. Lakini zaidi ya Maulamaa wenu wakubwamia tatu wameisimulia hadithi ya Ghadir, aya za baligh (kuhubiri), kamalu’d-Din (ukamil-ifu wa dini), na mazungumzo katika eneo la Msikiti, kutoka kwa Masahaba wa MtukufuMtume (s.a.w.w.) zaidi ya mia moja. Kama tungetakiwa kueleza majina ya wasimuliajiwote hawa, yangetengeneza kitabu kamili. Hata hivyo, kiasi hiki, kinatosha kuthibitishakwamba hadithi hii inakubaliwa na wote kama hadithi ya kweli.

Mikesha ya Peshawar

243

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 243

Page 262: Mikesh A

Baadhi ya Maulamaa wenu wakubwa wameandika vitabu juu ya suala hili. Kwa mfano,mufasir mashuhuri na mwanahistoria wa karne ya nne hijiriya, Abu Ja’far Muhammad BinJarir Tabari (amekufa 310 A.H.), anatoa maelezo kamili ya hadithi ya Ghadir katika kitabuchake “Kitabu’l-Wilaya” na ameisimulia kupitia sanad sabini na tano za wapokezi.

Hafidh Abu’l-Abbas Ahmad Bin Sa’id Abdu’r-Rahman Al-Kufi, mashuhuri kwa jina la IbnIqda (amekufa 333 A.H.), amesimulia hadithi hii sharif katika kitabu chake “Kitabu’l-Wilaya” kupitia sanad 125 za wapokezi kutoka kwa Masahaba 125 wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.).

Ibn Haddad Hafidh Abu ‘l-Qasim Haskani (amekufa 492 A.H.), katika kitabu chake“Kitabu’l-Wilaya”, amesimulia kwa urefu hadithi ya Ghadir sambamba na kushuka kwaaya za Qur’ani. Kwa ufupi, wanachuoni wenu wote wateule na maulamaa wa daraja za juu(isipokuwa idadi ndogo ya wapinzani washupavu - wakaidi), wamenukuu asili ya hadithihii kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),ambaye alimtangaza Ali kama makamu wakesiku ya mwezi 18 Dhu’l-Hijja katika mwaka wa hija yake ya mwisho. Vile vili ni ukwelikwamba Khalifa Umar alikuwa wa kwanza miongoni mwa Masahaba kuonesha furahayake juu ya tukio hili. Huku akiwa ameushika mkono wa Ali, alisema: “Hongera ewe Ali!Asubuhi hii imeleta neema kubwa kwako. Umekuwa maula wangu na maula wa wauminiwote wanaume na waumini wanawake.”

USHAURI WA JIBRIL KWA UMAR

Mwanafiqh wa ki-Shafi’i, Mir Sayyid Ali Hamadani wa karne ya nane hijiriyya, mmoja wawanachuoni wa kutengemewa wa madhehebu yenu, anaandika katika kitabu chake“Mawaddatu’l-Qurba,” Mawadda ya 5, kwamba idadi kubwa ya Masahaba wamemnukuuKhalifa Umar katika sehemu tofauti akisema: “Mtume wa Allah alimfanya Ali Maula,mkuu na kiongozi wa taifa (la ki-Islamu). Alitangaza katika mkutano wa hadhara kwambayeye (Ali) ni maula wetu. Baada ya kuomba kwa ajili ya rafiki zake na kuwalaani aduizake, alisema: ‘Ewe Allah! Wewe ni shahidi wangu.’ (yaani, ‘Nimekamilisha jukumu langula utume.’).

Katika tukio hili kijana wa kupendeza mwenye kunukia uzuri alikuwa amekaa kandoyangu. Aliniambia, ‘Hakika Mtume wa Allah amefungamana na agano ambalo hakunayeyote wa kulivunja isipokuwa mnafiki. Hivyo Umar! Jiepushe kutokana na kulivunja.’

Nilimueleza Mtume wa Allah kwamba wakati anaongea na mkusanyiko ule wa watu,kijana wa kupendeza, mwenye kunukia uzuri alikuwa amekaa kando yangu na kwambaaliniambia kitu kama hicho. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema, ‘hakuwa wa kizazi chaAdam, bali alikuwa Jibril, (ambaye alitokea katika umbo hilo). Alitaka kusisitiza kuhusunukta ambayo nimeitangaza kuhusu Ali.’”

Mikesha ya Peshawar

244

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 244

Page 263: Mikesh A

Sasa nataka kutafuta haki kutoka kwenu, je, ilikuwa sahihi kwa wao kuvunja angano imarana Mtume wa Allah ndani ya miezi miwili, kuenda kinyume na kiapo chao kitakatifu chautii kwa Ali, kuchoma moto nyumba yake, kuchomoa panga dhidi yake, kumfedhehesha,kumburuza mpaka msikitini kumlazimisha kula kiapo cha utii?

Hafidhi: Sikutengemea kwamba mwanachuoni wa kuheshimiwa na Sayyid mstaarabukama wewe ungelihusisha mambo ya kidunia kwa Masahaba wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliwatangaza wao kwamba ni chanzo cha uongofukwa ajili ya umma wakati aliposema: “Masahaba wangu ni kama nyota; kama mkimfuatayeyote kati yao, mtaongoka.”

HADITHI YA “KUWAFUATA MASAHABA”SIO SAHIHI

Muombezi: Kwanza ningekuomba usirudie kitu kile kile kila mara. Punde tu ulihoji kuto-ka kwenye hadithi hii hii na nimekupa majibu yake. Masahaba kama watu wenginewalikuwa ni wenye kufanya makosa. Hivyo wakati wanathibishwa kwamba wao sio ma-sum (wasiokosea), kwa nini mtu ashangae, kama pamoja na ushahidi sahihi, mambo yakidunia yanahusishwa kwao? Pili ili kuisafisha akili yako, nitakupa majibu tena, ili kwam-ba usije ukategemea juu ya hadithi hiyo baadae. Kwa mujibu wa utafiti wa maulamaa wenuwakubwa, hadithi hii si ya kutegemewa, kama nilivyoelezea mapema. Kadhi Ayaz Malikiananukuu kutoka kwa maulamaa wenu wakubwa kwamba kwa vile wasimuliaji wa hadithihii hujumuisha majina ya watu wajinga na wasio na elimu, Harith Bin Qazwin na HamzaBin Abi Hamza Nasibi, ambao wameonekana kuwa ni waongo, hadithi hii haifai kusimuli-wa. Vile vile, Kadhi Ayaz, katika Sharh-e-Shifa na Baihaki katika kitabu chake “Kitab”,wametamka kwamba hadithi hii ni ya kughushi na wamekichukulia chanzo chake kamakisichoaminika.

BAADHI YA MASAHABA WALIKUWA NI WATUMWA WATAMAA ZAO NA WALIGEUKA DHIDI YA HAKI

Tatu, kamwe sijasema kitu chochote cha ukorofi, ninasema tu kile ambacho maulamaawenu wamekiandika. Nakushauri usome Sharh-e-Maqasid ya Fazil Taftazani, ambamondani yake anaelezea kwa uwazi kwamba kuna mifano mingi ya uadui miongoni mwaMasahaba, ambayo huoneshsa kwamba baadhi yao walikuwa wamegeuka kuwa watendadhambi na madhalimu. Hivyo tunaona kwamba watu si wakuheshimiwa tu kwa sababu etiwalikuwa Masahaba wa Mtume. Heshima ya kweli iko kwenye matendo yao na tabia zao.Kama hawatokani na wanafiki, bali walikuwa watii na waaminifu kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) hakika lazima watukuzwe na waheshimiwe. Tutaweka mavumbi ya miguu yao

Mikesha ya Peshawar

245

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 245

Page 264: Mikesh A

kwenye macho yetu.

Hivyo, enyi wapenda haki, je, mnathibitisha kwamba hadithi nyingi kwenye vitabu vyenusahihi zinazohusu kupigana dhidi ya Amiru’l-Mu’minin Ali, kama vile asemavyo MtukufuMtume (s.a.w.w.): “Kupigana dhidi ya Ali ni kupigana dhidi yangu,” zote hizi ni za uwon-go? Au mnakiri kwamba hadithi hizi ni za kweli kikamilifu hasa? Je, hazikuandikwa pamo-ja na vyanzo vya kuaminika katika vitabu vyenu vya maulamaa wenu wenyewe wamashuhuri? Hatuhitaji kutaja kwamba hadithi hizi zimeandikwa na maulamaa wa ki-Shi’apamoja na maoni kamili ya wote pamoja katika vitabu vyao vyote. Kama mnakubalihadithi hizi, lazima mkubali kwamba Masahaba wengi walikuwa wachupa mipaka nawenye dhambi kama Mu’awiya. Umar Ibn As, Abu Huraira, Samra Bin Jundab, Talha,Zubair wote hawa ambao waliasi na wakipigana dhidi ya Ali, kwa kweli waliasi dhidi yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe.

Na kwa vile wamepigana dhidi ya Mtume, kwa hakika walipotea kutoka kwenye njia iliyonyooka. Hivyo, kama tunasema kwamba baadhi ya Masahaba walikuwa watumwa watamaa zao, hatukuwa tumekosea, kwa sababu tulichokisema kilikuwa ni kweli. Mbali nahili, hatuko wenyewe tu katika kushikilia kwamba baadhi ya Masahaba walikuwa wenyedhambi, madhalimu na wachupa mipaka. Tunategemeza msimsmo wetu juu ya vitabu vyamaulamaa wenu wenyewe wakubwa.

MAONI YA IMAMU GHAZALI KUHUSU MASAHABAKUVUNJA KIAPO KILICHOCHUKULIWA SIKU YA

GHADIR-E-KHUM.

Kama utachunguza kitabu cha “Sirru’l-Alamin” kilichokusanywa na Abu Hamid BinMuhammad Ghazali Tusi, kamwe hutapinga kile ambacho ninasema. Hata hivyo, ninalaz-imika kunukuu sehemu ya tansifu yake ya nne kwa kuunga mkono maelezo yangu.Anasema: “Ushahidi na mantiki vikawa na mwanga, na kuna makubaliano ya wote pamo-ja miongoni mwa Waislamu kuhusiana na matini (maandiko) ya hotuba ya katika siku yaGhadir-e-Khum kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: ‘Yule ambaye ni maulakwake (ambaye namtawalia mambo yake), Ali ni maula wake (mwenye kumtawaliamambo yake).’

Kisha Umar mara moja akasema, ‘Hongera, hongera, Ewe Abu’l-Hasani! Wewe ni maulawangu na vile vile maula wa waumini wote wanaume na wanawake.’”

Aina hii ya pongezi kwa uwazi inaonesha kukubaliwa kwa amri ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), na kukubaliwa kwa uongozi na ukhalifa wa Ali. Lakini baadae walizidiwa natamaa zao za kidunia. Kupenda utawala na mamlaka kuliwanyima huruma. Walijichukulia

Mikesha ya Peshawar

246

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 246

Page 265: Mikesh A

wenyewe kumchagua Khalifa kule Saqifq-e-Bani Sa’dat. Walitaka kupandisha bendera yakizazi chao wenyewe na kuteka nchi ili kwamba majina yao yaweze kuhifadhiwa katikahistoria. Walilewa tamaa ya madaraka. Walipuuza maamrisho ya Qur’ani, na maagizo yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Waliuza dini yao kwa ajili ya dunia hii. Biashara mbaya iliyo-je waliyofanya na Allah!

Wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipokuwa katika kitanda chake alichofia aliombaapewe kalamu na wino ili kwamba aweze kufafanua suala mrithi. (Allah anisamehe kwakulisema hili), Lakini Umar alisema: “Muacheni mtu huyu. Anaweweseka.” Hivyo wakatiambapo Qur’ani Tukufu na hadithi hazikuweza kuwasaidia, walitegemea juu ya Ijma(makubaliano ya wote pamoja). Lakini hii vile vile ni batili kwa sababu Abbas, kizazichake, Ali, mke wake na watoto wao hawakujihusisha na wale ambao wamekula kiapo chautii kwa Abu Bakr. Halikadhalika, watu wa Saqifa vile vile walikataa kula kiapo kwaKhazraji, na Ansar vile vile waliwakataa wao.

Enyi watu mnaoheshimiwa! Tafadhali kumbukeni, Mashi’a hawadai chochote isipokuwakile ambacho maulamaa wenu wa haki wanacho kidai. Lakini kwa vile mnatuchukia sisi,mnaona makosa katika yale tunayo yasema, hata yawe ya mantiki kiasi gani. Lakinikamwe hamuwalaumu maulamaa wenu ni kwa nini wameandika mambo kama hayaingawa kwa kweli wameufichua ukweli na wakachapisha ukweli huu kwenye kurasa zahistoria.

Sheikh: Sirru’l-Alamin haikuandikwa na Imamu Ghazali. Cheo chake kilikuwa cha juusana kwa yeye kuweza kuandika kitabu kama hicho, na maulamaa wakubwa hawaaminikwamba kitabu hiki kiliandikwa na yeye.

SIRRU’L-ALAMIN NI KITABU CHAIMAMU GHAZALI

Muombezi: Maulamaa wenu wengi wamekiri kwamba kitabu hiki kiliandikwa na ImamuGhazali. Yusufu Sibt Ibn Jauzi alikuwa muangalifu sana katika rejea zake kwa wanachuoniwengine (na vile vile alikuwa mshabiki wa dini yake). Katika kitabu chake “TadhkiraKhawasu’l-Umma”, uk. 36, anajadili kutoka kwenye maelezo hayo hayo ya ImamuGhazali katika kitabu chake “Sirru’l-Alamin” na ananukuu dondoo hiyohiyo ambayonimeinukuu. Kwa vile hakuna maoni yaliyofanywa kuhusu maelezo hayo, inaoneshakwanza, kwamba anakubali kitabu hiki kimeandikwa na Imamu Ghazali. Pili, vile vileanakubaliana na maoni yake, ambayo kwa ufupi nimeyaelezea, ingawa yeye mwenyeweameyaelezea kwa urefu. Kama asingekubaliana nayo angeyatolea ufafanuzi. Lakini hakikamaulamaa wenu mashabiki wanapokutana na maelezo kama haya ya manachuoni wakub-wa na wakashindwa kuyakataa kimantiki, amma husema kwamba kitabu hicho

Mikesha ya Peshawar

247

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 247

Page 266: Mikesh A

hakikuandikwa na mwandishi huyo, au kwamba ni ubunifu wa Mashi’a. Au hata wakatimwingine wanakwenda mbali zaidi kufikia kusema kwamba watu hawa waadilifu wotewalikuwa wenye dhambi na makafiri.

REJEA KWENYE CHEO CHA IBN IQDA

Kuna ushahidi kwamba maulamaa wenu wengi waliteswa kwa sababu tu walisema ukweli.Maulamaa mashabiki na watu wasio wasomi wa madhehebu yenu huchukulia kuwa niharamu kusoma vitabu visivyofuata desturi na kanuni. Wandishi wa vitabu kama hivyowaliweza hata kuuawa kama ilivyokuwa kwa Hafidh Ibn Iqda Abu’l-Abbas Ahmad binMuhammad Bin Sa’id Hamadani ambaye alikufa 303 A.H. Alikuwa mmoja wa maulamaawenu wakubwa. Wanachuoni mashuhuri wa madhehebu yenu, kama Dhahabi na Yafi’i,wamemkubali na wakasema kwmba amejifunza hadithi 300,000 pamoja na vyanzo vyao,na kwamba alikuwa mchamungu mkubwa.

Katika mkusanyiko wa hadhara katika mji wa Kufa na Baghdad katika karne ya tatu A.H.,alisimulia kwa uwazi makosa ya Masheikh wawili (Abu Bakr na Umar). Kwa sababu hiyowatu wakamuita Rafizi na wakajizuia kunukuu hadithi kutoka kwake. Ibn Kathir Dhahabina Yafi’i wanaandika kuhusu yeye: “Sheikh Ibn Iqda alikaa katika Msikiti wa Basra(Msikiti maarufu ulioko kati ya Baghdad na Kadhmain) na akasimulia kasoro na makosaya Masheikh wawili (Abu Bakr na Umar) kwa watu. Kwa ajili hii hadithi zilizosimuliwana yeye zimekataliwa. Vinginevyo hakuna shaka ya yeye kwamba ni mtu mkweli namchamungu.” Al-Khatib Baghdad vile vile alimsifia katika “Ta’rikh” yake lakini mwis-honi akasema: “Kwa vile alielezea kasoro na makosa ya Masheikh wawili (Abu Bakr naUmar) yeye alikuwa ni Rafizi.” Hivyo watu nyie msiwe katika mawazo kwamba niMashi’a tu ambao wanafichua ukweli wa masuala haya. Maulamaa wenu wakubwa kamaImamu Ghazali na Ibn Iqda walizoea kuonyesha kasoro katika Masahaba wakubwa.

REJEA KUHUSU KIFO CHA TABARI

Katika kila zama ya historia kumekuwa na mifano ya maulamaa ambao wameteswa aukusumbuliwa kwa sababu ya kuongea au kuandika kwao ukweli. Kwa mfano yule mfasirina mwanahistoria maarufu, Muhammad Ibn Jarir Tabari, ambaye alikuwa ni fahari yamaulamaa wenu, alikufa katika mwaka wa 310 A.H. mjini Baghdad. Lakini kwa sababuutawala uliogopa machafuko ya raia, walikataa jeneza lake kutolewa mchana. Alizikwakwa lazima wakati wa usiku ndani ya nyumba yake mwenyewe.

Mikesha ya Peshawar

248

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 248

Page 267: Mikesh A

KUUWAWA KWA NASA’I

Mfano mwingine wa mateso ulikuwa ni kuuawa kwa Imamu Abdu’r-Rahman Ahmad IbnAli Nasa’i. Alikwa ni mtu wa heshima na anachukuliwa kama mmoja wa Maimamu waSahih Sitta (vitabu sahihi sita). Anatokana na maulamaa wenye vyeo vikubwa wa madhe-hebu yenu katika karne ya tatu A.H. Wakati alipofika Damascus katika mwaka wa 303A.H., aliona kwamba, kwa sababu ya Bani Umayya, wakazi wa sehemu ile walikuwa wak-ilikashifu jina la Amiru’l-Mu’minin Ali Bin Talib kwa uwazi kabisa baada ya kila salat yafaradhi, hususan katika hotuba za salat za jamaa. Alisikitishwa sana kwa kuiona hali hii naaliamua kukusanya hadithi zote za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) zenye kumsifia Amirru’l-Mu’minin pamoja na nyororo za vyanzo vyao, zote zile ambazo alizikumbuka. Kutokananazo hizo, aliandika kitabu, “Khasa’isu’l-Alawi,” katika kutetea cheo kitukufu na sifa boraza Ali. Alikuwa kila mara akiwasomea watu kutoka juu ya mimbari, hadith kutoka kwenyekitabu chake, zenye sifa za Mtukufu Imam Ali.

Siku moja wakati alipokuwa anasimulia sifa za hali ya juu za Ali, kundi la wafanya vurugulilimburuza kutoka kwenye mimbari na kumpiga sana. Walimpiga mateke kwenye koro-dani zake na kukamata kwa nguvu uume wake, wakamburuza nje ya Msikiti na wakamtu-pa mtaani kwenye barabara. Kwa matokeo ya majereha haya alikufa baada ya siku chache.Mwili wake ulichukuliwa ukapelekwa Makka ambako alizikwa. Matukio haya ni matokeoya uadui na ujinga. Sasa naomba msamaha kwamba nimesukumwa nje mbali kidogo kuto-ka kwenye nukta yangu. Nilichomaanisha ni kwamba nafasi ya Wilayat (Umakamu) waAmiru’l-Mu’minin haikuandikwa na maulamaa wa ki-Shi’a peke yao tu. Maulamaa wenumashuhuri vile vile wamesimulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mbele ya watu70,000 au 120,000, alinyanyua mkono wa Ali na akamtambulisha kama Imamu (Kiongozina mlezi) wa watu.

MASHAKA YA SUNNI KUHUSU MAANAYA MAULA

Hafidh: Hakika hukuna shaka kuhusu tukio hili na matini ya hadithi hii, lakini wakati huohuo haina umuhimu ambao ufasaha wako wa hisia unaonesha. Mbali na hili, kuna baadhiya mashaka kuhusiana na matini ya hadithi hii. Kwa mfano neno maula, umetuambiakwamba lina maana: “Mtu ambaye ana mamlaka makubwa juu ya wengine”, ingawa ina-julikana kwamba katika hadithi hii maula maana yake “mpenzi, msaidizi na rafiki.” Mtumealijua kwamba Ali alikuwa na maadui wengi na hivyo alitaka kuwashauri watu kwambayeyeyote yule ambaye alimpenda au alikuwa rafiki au msaidizi wake, Ali vile vile alimpen-da na alikuwa rafiki yake na msaidizi wake. Sababu iliyomfanya atake kiapo cha utii kwawatu ilikuwa kwamba hakutaka wao wamsabibishie Ali matatizo.

Mikesha ya Peshawar

249

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 249

Page 268: Mikesh A

Muombezi: Nafikiri wakati mwingine bila sababu unachukuwa tabia ya viongozi wakowaliokutangulia. Kama utaufikiria ukweli huu kwa makini, ukweli wa suala hili utakuwawazi.

Hafidhi: Ni mambo gani yanayothibitisha maoni yako? Tafadhali tujulishe.

MAANA YA MAULA KAMA “KIONGOZI” “BWANA” KUTOKANA NA AYA YA - YA AYYUHA’R-RASUL BALIGH.

Muombezi: Ushahidi wa kwanza ni Qur’ani Tukufu na uteremshwaji wa aya: “Ewe Mtume! Fikisha uliyoteremshiwa kutoka kwa Mola wako. Na ikiwa hukufanyahayo basi hukufikisha ujumbe wake. Na Allah atakulinda na watu…” (5:67)

Hafidh: Utadai vipi kwamba aya hii iliteremshwa siku hiyo na kwa madhumuni haya?

Muombezi: Maulamaa wenu wote wanaoheshimika wameikubali: Jalalu’d-Din Suyuti:“Durru’l-Mansur;” Jz. 2, uk. 298; Hafidh Ibn Abi Hatim Razi: “Tafsir-e-Ghadir”; HafidhAbu Ja’far Tabari: “Kitabu’l-Wilaya”; Hafidh Abu Abu Abdullah Mahamili: “Amali”;Hafidh Abu Bakr Shirazi: “Ma Nazala mina’l-Qur’an Fi Amiri’l-Mu’minin”; Hafidh AbuSa’id Sijistani: “Kitabu’l-Wilaya”; Hafidh Ibn Mardawiyya: “Tafsir-e-Ayah”; Hafidh Abul-Qasim Haskani: “Shawahidu’t-Tanzil”; Abu’l-Fatha Nazari: “Khasa’isu’l-Alawi”;Mu’inu’d-Din Meibudi: “Sharh-e-Diwan”; Kadhi Shekani: “Fathu’l-Ghadir”; Jz. 3, uk.57; Sayyid Jamalu’d-Din Shirazi: “Arba’in”; Badru’d-Din Hanafi: “Umdatu’l-Qari FiSharh-e-Sahih Bukhari”, Jz. 8, uk. 584; Ahmad Tha’labi: “Tafsir Kashfu’l-Bayan”; ImamuFakhru’d-Din Razi: “Tafsir-e-Kabir”, Jz. 3, uk. 636; Hafidh Abu Nu’aim Ispahani: “Manazala mina’l-Qur’ani Fi Ali; Ibrahim bin Muhammad Hamwaini: “Fara’idu’s-Simtain”;Nizamu’d-Din Nishapuri, Tafsir, Jz. 6, uk. 170; Sayyid Shahabud-Din Alusi Baghdadi:“Ruhu’l-Ma’ani, Jz. 2, uk. 348; Nuru’d-Din Bin Sabbagh Maliki: “Fusulu’l-Muhimma”,uk. 27; Ali Bin Ahmad Wahidi: “Asbabu’n-Nuzul”, uk. 150; Muhammad Bin Talha Shafi’i:“Matalibu’s-Su’ul”, uk. 16; Mir Sayyid Ali Hamadani Shafi’i: Mawadda ya 5 kutoka“Mawaddatu’l-Qurba”; Sheikh Sulaiman Balkhi Hanafi: “Yanabiu’l-Mawadda”, sura ya39.

Kwa ufupi, kwa kadiri ninavyojua mimi, maulamaa wenu mashuhuri thalathini wameandi-ka katika vitabu vyao sahihi na katika sharhe zao kwamba aya hii tukufu iliteremshwa sikuya Ghadir-e-Khum kumhusu Amiru’l-Mu’minin Ali.

Hata Kadhi Fazl Bin Ruzbahan, pamoja na uadui wake na ushabiki, anaandika: “Hakikaimethibitishwa katika vitabu vyetu sahihi kwamba wakati aya hii ilipoteremshwa, Mtumewa Allah akiwa ameushika mkono wa Ali alisema: ‘Kwa yeyote yule ambaye mimi ni

Mikesha ya Peshawar

250

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 250

Page 269: Mikesh A

maula (bwana) wake, huyu Ali vile vile ni maula wake.’”

Hata hivyo, inashangaza kwamba Kadhi huyu huyu mpotofu katika “Kashf Ghumma” ana-toa taarifa ya ajabu kutoka kwa Razi Bin Abdullah: “Wakati wa uhai wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) tulizoea kusoma aya hii hivi: ‘Ewe Mtume wetu (Muhammad) fikisha yale uliy-oteremshiwa kutoka kwa Mola wako, yaani kwamba Ali ni bwana wa waumini. Kamahutafanya, basi utakuwa hukufikisha ujumbe wake.’”

Vile vile Suyuti katika Durru’l-Mansur kutoka kwa Ibn Mardawiyya, Ibn Asakir na IbnAbi Hatim kutoka kwa Abu Sa’id Khudiri, Abdullah Ibn Mas’ud (mmoja wa waandishi waWahyi) na Kadhi Shukani katika Tafsir-e-Fathu’l-Ghadir wanasimulia kwamba wakati wauhai wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wao vile vile walisoma aya hiyo katika njia hiyo hiyo.

Kwa ufupi hili onyo lililomo katika aya hii linasema: “Kama hukufanya basi utakuwahukufikisha ujumbe (kabisa)…” huonesha kwamba ujumbe ambao Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) aliamriwa kuutoa ulikuwa wa umuhimu mkubwa sana. Kwa hakika ulikuwa nimuhimu kwa ukamilifu wa utume wenyewe. Kwa hiyo, kwa hakika suala katika mjadalalilikuwa habari ya uimamu, utunukiaji wa mamlaka juu ya mtu ambaye angewaongozawatu kwa mujibu wa mafundisho ya Uislamu baada ya kifo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

KUSHUKA KWA AYA “SIKU YA LEO NIMEKUKAMIL-ISHIENI DINI YENU” PALE GHADIR-E- KHUM

Mazingira ya pili ambayo yanathibitisha nukta yangu ni kule kushuka kwa aya:

“Siku ya leo nimekukamilishieni dini yenu na kukutimizieni neema yangu kwenu nakuwachagulieni Uislamu kuwa ndio dini yenu.” (5:3)

Hafidh: Lakini ni jambo linalokubalika kwamba aya hii iliteremshwa siku ya Arafa, nahakuna hata mmoja katika maulamaa aliyedai kwamba aya hii iliteremshwa siku yaGhadir.

Muombezi: Nakuomba usifanye haraka isiyo na maana katika kuukataa ukweli huu.Kama mambo yalivyo, nakubali kwamba baadhi ya maulamaa wenu wamesema kwambaaya hii iliteremshwa siku ya Arafa, lakini idadi kubwa ya ulamaa wenu waheshimika vilevile wamesema kwamba iliteremshwa siku ya Ghadir. Vile vile baadhi ya ulamaa wenuwana maoni ya kwamba pengine aya hii iliteremshwa mara mbili, mara ya kwanza pale

Mikesha ya Peshawar

251

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 251

Page 270: Mikesh A

mwishoni mwa siku ya Arafa na tena siku ya Ghadir.

Kwa hiyo, Sibt Ibn Jauzi anasema katika Khawasu’l-Umma, uk. 18: “Inawezekana kwam-ba aya hii iliteremshwa mara mbili, mara ya kwanza katika siku ya Arafa na mara nyinginekatika siku ya Ghadir-e-Khum, kama vile aya ya: ‘Kwa jina la Allah Mwingi wa rehemaMwenye kurehemu, ilivyoteremshwa mara mbili, mara ya kwanza mjini Makka na maranyingine tena mjini Madina.”

Wanachuoni wenu wakuaminika, kama Jalalu’d-Din Suyuti katika “Durru’l-Mansur,” Jz.2, uk. 256 na Itqan, Jz. 1, uk. 31; Imamu ‘l-Mufassirin Tha’labi katika “Kashfu’l-Bayan”;Hafidh Abu Nu’aim Ispahani katika “Ma Nuzala Mina’l-Qur’ani Fi Ali”; Abu’l-FathaNazari katika “Khasa’isu’l-Alawi”; Ibn Kathir Shami katika “Tafsir” Jz. 2, uk. 41 akimfu-ata Hafidh Ibn Mardawiyya: Muhammad Bin Jarir Tabari, Mwanachuo, mfasiri namwanahistoria wa karne ya tatu A.H. katika “Tafsir-e-Kitabu’l-Wilaya”; Hafidh Abul’l-Qasim Haskani katika Shawahid-ut-Tanzil; Sibt Ibn Jauzi katika “Tadhkira-e-Khawasu’l-Umma uk. 18; Abu Ishaq Hamwaini katika “Fara’idus-Simtain” sura ya 12; Abu Sa’idSijistani katika “Kitabu’l-Wilaya”; Al-Khatib-e-Baghdadi katika “Ta’rikh-e-Baghdad, Jz.8, uk. 290; Ibn Maghazili Faqih Shafi’i katika “Manaqib”, sura ya 14 na Maqtalu’l-Husain,sura ya 4, wote wameandika kwamba katika siku ya Ghadir-e-Khum Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alimteuwa Ali kwa amri ya Mungu kwenye cheo cha Wilaya (Makamu).

Aliwaeleza watu kila kile ambacho aliamriwa kukisema kuhusu Ali na akainua mikonoyake juu kiasi kwamba weupe wa makwapa yake ulionekana. Aliwahutubia watu hivi:“Mpongezeni Ali kwa sababu ni Amir wa waumini. Jumuiya yote ilitekeleza amri hii.Walikuwa hawajaachana kila mmoja kuchukua njia yake wakati aya iliyotajwa hapo juuiliposhuka.

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alifurahishwa mno kwa kuteremshwa aya hii. Hivyo, wakatiakiwahutubia watu alisema: “Allah ni Mkubwa, Ambaye ameikamilisha dini kwa ajili yaona amekamilisha neema Zake kwao na ameridhishwa na Utume wangu na umakamu waAli baada yangu.”

Imamu Haskani na Imamu Ahmad Bin Hanbal wametoa maelezo kamili ya tukio hili.Kama ninyi, waheshimiwa, mngeacha mawazo yenu yaliyojipandikiza juu ya suala hili,mtaweza kuzielewa aya tukufu na hadith, ambazo huonesha kwamba neno “Maula” maanayake walii (bwana) yaani, mtu aliye na mamlaka juu ya wengine wote.

Kama maula au wali haikumaanisha mtu ambaye ana mamlaka makubwa juu ya wengine,neno liliofuatia “baada yangu” lingekuwa halina maana. Na maneno haya ambayoMtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliyarudia rudia kuyasema kutoka kwenye ulimi wake mtuku-fu, yanathibitisha kwamba maula na wali humaanisha “mtu ambaye ana mamlaka makub-

Mikesha ya Peshawar

252

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 252

Page 271: Mikesh A

wa juu ya wengine wote”, kwa sababu alisema kwamba cheo kile haswa kilitolewa kwa Alibaada yake.

Tatu, unaweza kuyaangalia yale mazingira. Katika jangwa lile lenye joto, ambakokulikuwa hakuna hifadhi kwa ajili ya wasafiri, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akakusanyaumma wote. Watu walikaa kwenye vivuli vya ngamia, miguu yao ikiwa imefunikwa, kati-ka joto kali linalochoma la jua. Katika hali hii Mtume alitoa hotuba ndefu, ambayoKhawarizmi na Ibn Mardawiyya katika “Manaqib” zao na Tabari katika “Kitabu’l-Wilaya”na wengine wameisimulia. Je, inaleta maana kufikiria kwamba Mtume angetaka maelfu yawafuasi wake kukaa siku tatu katika jangwa linalochoma kwa ajili ya kula kiapo kwa Alikuonesha tu kwamba Ali alikuwa rafiki yao? Kwa hakika hakukuwa na mtu hata mmojakatika jumuiya yote ambaye alikuwa bado haujui ule uhusiano wa karibu kati ya Mtumena Ali au hajasikia kuhusu habari zake (kama nilivyokwishaeleza mapema). Kuteremshwakwa aya ya Qur’ani iliyoko kwenye mjadala kwa mara ya pili, hususan katika mazingaratofauti pamoja na maelekezo hayo makali kwamba watu wangeweza kuwekwa kwenyetakilifu kubwa na mashaka, isingeweza kuwa na maana tu kwamba lazima wao wawemarafiki wa Ali. Itakuwa utekelezaji huu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ama ulikusudiwakuonesha umuhimu mkubwa sana, au ulikuwa ni upuuzi. Na hakika Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) yuko mbali na matendo yote ya kipuuzi.

Kwa hiyo ni jambo la busara kuhitimisha kwamba, matayarisho haya hayakufanywa hivihivi kwa ajili ya kuelekeza tu kwamba watu lazima wafanye urafiki na Ali. Kwa hakikatukio hili linaashiria kukamilika kwa ujumbe wa Mtume: kuthibitishwa kwa Uimamu,chanzo cha mwongozo wa umma baada ya kifo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

MAONI YA SIBT IBN JAUZI KUHUSU MAANA YA NENO MAULA

Baadhi ya ulamaa wenu mashuhuri wasifika wamikiri kwamba maana ya msingi ya nenoMaula ni “bwana.” Miongoni mwao ni Sibt ibn Jauzi, ambaye baada ya kutoa maana kumiza neno hilo katika kitabu chake Tadhkiratul-Khawas, Sura ya 2, uk. 20, anasema kwam-ba kati ya zote hizo, ile maana ya kumi ndio inayoendana na kile alichokimaanishaMtukufu Mtume kukisema. Yeye anasema: “Hadithi hii inamaanisha haswa utii; hivyo hiimaana ya kumi ndio iliyo sahihi, na yenyewe ina maana ya ‘bwana mwenye mamlaka juuya wengine.’ Kwa hiyo hadithi hii ina maana ya yeyote yule ambaye mimi ni bwana(maula) kwake, Ali pia ni bwana (maula) kwake.’”

Katika kitabu cha Marajul-Bahrein Hafidh Abul-Faraj Yahya bin Sa’id Saqafi anaitafsirikwa maana kama hiyo hiyo. Yeye anasimulia hadithi hii kwa vyanzo vyake kutoka kwaviongozi wake, ambao wamesema kwamba, Mtukufu Mtume, akiwa amemshika Ali

Mikesha ya Peshawar

253

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 253

Page 272: Mikesh A

mkononi alisema: “Yeyote yule ambaye mimi ni bwana (Maula) juu ya nafsi yake, Ali nayepia ni bwana (Maula) juu ya nafsi yake.” Sibt ibn Jauzi anasema, “Hadith ya MtukufuMtume inayosema kwamba Ali anayo mamlaka au ni bwana juu ya nafsi za wauminiwengine inathibitisha wazi Uimam au Umakamu wa Ali na kwamba utiifu kwake yeye niwajibu.”

MAONI YA IBN TALHA SHAFI’I KUHUSU MAANA YA NENO MAULA

Muhammad Bin Talha Shafi’i katika “Matalibus-Su’ul” katikati ya sehemu ya 5, sura ya 1,uk. 16, anasema kwamba neno maula lina maana nyingi, kwa mfano: “bwana”, “msaidizi”,“mrithi”, “muaminifu”, na kiongozi”. Kisha anasema kwamba hadithi hii tukufu inaitoleatafsri ya ndani aya ya Mubahila, (3:61). Ndani yake Allah (swt) amemuita Ali ‘nafsi’ yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Kulikuwa hakuna utenganisho kati ya nafsi ya MtukufuMtume (s.a.w.w.) na nafsi ya Ali kwa vile amezichanganya mbili hizi kwa kijina kiashiri-acho kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Muhammad Bin Talha anaongeza: “Katika hadithi hii Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) anaone-sha kwamba wajibu wowote walionao waumini kumhusu yeye, wanao wajibu huo vile vilekumhusu Ali. Kwa vile Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ni hakika alikuwa bwana wa wauminikatika mambo yao yote, msaidizi wao, kiongozi, na mtawala – yote haya yakiwa vidoke-zo vya neno maula – basi ina maana kwamba alimaanisha kitu hicho hicho kwa Ali (as).Na hii kwa hakika ni nafasi ya juu sana, cheo kitukufu mno, ambacho kilitolewa maalumukwa Ali. Ni kwa sababu hii kwamba Siku ya Ghadir Khum ilikuwa ni siku ya idd (sikukuu) shangwe kwa ajili ya wapenzi na marafiki wa Ali.”

Hafidh: Kwa mujibu wa maelezo yako, kwa vile neno maula lina maana nyingi, itakuwani makosa kuamua kwamba lilitumika katika suala hili kuonesha maana moja “bwana”, nakuziweka kando hizo maana nyingine.

Muombezi: Unatambua vema kanuni za msingi za wanachuoni kwamba wakati ambaponeno linaweza kuwa na maana nyingi tofauti, linakuwa na maana moja tu ya msingi nakwamba maana nyingine zinakuwa ni vinyambulika. Kwa mfano, walii wa nikah (ndoa)maana yake mtu anayesimama kama wakili, au mdhamini. Walii wa mwanamke ni mumewake, walii wa mtoto ni baba yake ambaye ana mamlaka kamili juu yake. Wali ahd (mrithimstahiki) wa mfalme maana yake “mtu ambaye haki yake ya kutawala haiwezi kukataliwakama ataishi baada ya baba yake.”

Mbali na hili pingamizi lako linakurudia wewe, juu ya ni kwa nini umeweka mpakakwenye maana yake “rafiki” na “msaidizi” wakati lina maana nyingine nyingi. Hivyo hili

Mikesha ya Peshawar

254

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 254

Page 273: Mikesh A

uainishaji huu bila ya lengo maalumu ni batili. Pingamizi ulilofanya linakurudia wewemwenyewe na sio kwetu kwa sababu maana ambazo tumezibainisha hazikukosa kuwa nalengo maalum lililoainishwa.

Aya za Qur’ani Tukufu, hadith, na maoni ya wanachuoni, vyote vinathibitisha maana hiyohiyo tuliyoitoa. Miongoni mwa hizi ni zile sababu ambazo maulamaa wenu wakubwa,kama Sibt Ibn Jauzi, Muhammad Ibn Abi Talha Shafi’i wamezitoa kuhusiana na maanayake. Aidha, imesimuliwa kwa idadi kubwa ya hadithi kutoka kwenye vyanzo vyenu navyangu kwamba aya hii tukufu ilikuwa inasomwa hivi kimaana: “Ewe Mtume wa Allah!Fikisha kile ambacho kimeteremshwa kwako kutoka kwa Mola wako kuhusu wilayaya Ali (umakamu) na kuwa kwake bwana wa waumini.”

Jalalu’d-Din Suyuti, ambaye ni mmoja wa maulamaa wenu mashuhuri amekusanya hadithihizi kwenye kitabu chake, “Durru’l-Mansur”.

HOJA ALIYOITOA ALI NDANI YA MSIKITI WA KUFAILIYOKO JUU YA MSINGI WA HADITH YA GHADIR

Kama hadith hii na neno maula havikuwa uthibitisho wa Ali kama Imamu na Khalifa,Amirul-Mu’minin asingerudia mara kwa mara kuhoji kutokana nayo. Kwa hakika katikamikutano ya kamati za washauri alizirejea kama ushahidi wa Uimamu wake, kamawalivyoandika: Khatib Khawarizmi katika “Manaqib” yake uk. 217; Ibrahim IbnMuhammad Hamwaini katika “Fara’id” sura ya 58; Hafidh Ibn Iqda katika “Kitabu’l-Wilaya”; Ibn Hatim Damishqi katika “Durru’n-Nazim”, na Ibn Abi’l-Hadid katika“Sharhe-e-Nahju’l-Balagha, Jz. 2, uk. 61. Cha umuhimu haswa ni ule ushahidi uliotolewana masahaba thelathini kule Rahba. Maulamaa wenu mashuhuri wamesimulia majadilianoaliyoyafanya Ali pamoja na Waislamu kule Rahba-e-Kufa (yaani, katika uwanja wa msik-iti wa Kufa). Ifuatayo ni sehemu ya orodha ya wale ambao wameandika tukio hili:

Imam Ahmad Hanbal katika “Musnad” yake sehmu ya 1, uk. 129; Ibn Athir Jazari katika“Asadu’l-Ghiba,” Jz. 3, na Jz. 5, uk. 206 na 276; Ibn Qutayba katika “Ma’arif” uk. 194;Muhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’i katika “Kifayatu’l-Talib”; Ibn Abi’l-Hadid katika“Sharh-e-Nahju’l-Balagha”, Jz. 1, uk. 362; Hafidh Abu Nu’aim Isfahani katika “Hilyatu’l-Auliya, Jz. 5, uk. 26; Ibn Hajar Asqalani katika “Isaba,” Jz. 2, uk. 408; Muhbu’d-DinTabari katika “Dhakh’ir-e-Uqba”, uk. 67; Imamu Abdur-Rahman Nisa’i katika“Khasa’isu’l-Alawi”, uk. 26; Allama Samhudi Katika “Jawahiru’l-Iqdain”; Shamsu’d-DinJazari katika “Asnu’l-Matalib”, uk, 3; Sulaimani Balkhi Hanafi katika “Yanabiu’l-Mawadda, sura 4; Hafidh Ibn Iqda katika “Kitabu’l-Wilaya. Ali alisimama mbele ya watuna akawataka kutoa ushahidi kuhusu kile walichosikia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akisemakuhusu yeye pale Ghadir-e-Khum. Mashaba thelathini, pamoja na watu wa Badir kumi na

Mikesha ya Peshawar

255

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 255

Page 274: Mikesh A

mbili (wale ambao wamepigana katika vita ya Badr), walisimama na wakasema kwambawaliona katika Siku ya Ghadir-e-Khum Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akiushika mkono waAli akiwaambia watu: “Je, mnajua kwamba ninayo mamlaka makubwa juu ya wauminikuliko waliyonayo katika nasi zao wenyewe?” wote wakasema: “Ndio.” Kisha MtukufuMtume (s.a.w.w.) akasema: “Kwa yeyote yule ambaye mimi ni maula wake (mwenyekumtawalia mambo yake), basi huyu Ali ni maula wake (mwenye kumtawalia mamboyake).”

HALI YA HUZUNI KWA WALE AMBAO HAWAKUTHIBITISHA HADITH YA GHADIR

Watu watatu kutoka katika mkusanyiko huu hawakutoa ushahidi wa tukio hili. Mmoja waoalikuwa Anas Bin Malik, ambaye alisema kwamba amedhoofika kwa uzee amesahaumambo yote kuhusu tukio hilo. Ali aliwalaani watu wale watatu. Alisema: “Kama mnase-ma uwongo, Allah akupeni ukoma, ambao hata vilemba vyenu havitaweza kuuficha.”Haukupita muda Anas aliposimama kutoka sehemu aliyokuwa amekaa ukoma ukatokeamwilini mwake. (kwa mujibu wa baadhi ya taarifa alipatwa na upofu na ukoma pamoja).

HOJA YA NNE: “JE, MIMI SINA MAMLKA MAKUBWAJUU YENU KULIKO MLIYO NAYO KWENU WENYEWE?”

Muombezi: Nne, njia ambayo hadithi hii imesimuliwa yenyewe inaonesha kwamba nenomaula maana yake ni “bwana”. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) katika hotuba yake kule Ghadir,aliwauliza watu: Je mimi sina mamlaka makubwa juu yenu kuliko mliyonayo kwenuwenyewe?” Hii inarejea kwenye yale maneno ya Qur’ani Tukufu: “Mtume ana mamlakamakubwa juu ya waumini kuliko waliyo nayo juu yao wenyewe.” (33:6)

Aidha, kuna hadithi ya kutengemewa katika vitabu vya madhehebu zote ambayo inansmu-lia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Hakuna muumini ambaye kwamba sinamamlaka makubwa juu yake katika ulimwengu huu na katika Akhera, kuliko aliyonayomwenyewe.” Wote wakajibu kwa sauti moja kwamba ana mamlaka makubwa juu yaokuliko waliyonayo wao wenyewe. Baada ya hapo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema:“Yule ambaye mimi ni mawla (namtawalia mambo yake) huyu Ali ni mawla wake(mwenye kumtawalia mambo yake). Hivyo kutokana na muktadha wa hadithi hii hufuatiakwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimaanisha “mamlaka” au “ubwana juu ya wengine”wakati alipotumia neno maula.

Hafidh: Katika vitabu vingi hakuna kumbukumbu kama hiyo ya Mtume kuwa amewahikusema maneno haya: Je, mimi sina mamlaka juu yenu kuliko mliyonayo juu yenuwenyewe?”

Mikesha ya Peshawar

256

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 256

Page 275: Mikesh A

Muombezi: Katika kusimulia hadithi ya Ghadir, wasimuliaji wametumia maneno tofautikidogo, lakini kadiri ya hadithi za Shi’a zinavyohusika, maulamaa wote wa ki-Shi’awanasema kwamba matini na muktadha wa hadithi ya Ghadir ni kama ilivyosimuliwa hapojuu.

Na katika vitabu sahihi vingi vya Sunni, vilivyoandikwa na maulamaa wenu wakubwa,kama Sibt Ibn Jauzi katika “Tadhkira-e-Khawasu’l-Umma” uk. 18; Imamu Ahmad binHanbal katika “Musnad” yake; Nuru’d-Din Sabagh Maliki katika “Fusulu’l-Muhimma”;na kundi la wengi wengine ambao wamesimulia hadithi ya Ghadir, maneno “Je, mimi sinamamlaka makubwa juu yenu kuliko mliyonayo wenyewe” hupatikana humo.

Sasa kwa ajili ya baraka nawasilisha hapa Tarjuma ya hadihti hii ambayo imesimuliwa naImamu Ahmad Bin Hanbal katika Musnad yake, Jz. 4, uk. 281, kutoka kwa Bara’a BinAzib. Yeye alisema: Nilikuwa nasafiri na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Tulifika Ghadir.Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akatangaza: ‘Kusanyikeni kwa ajili ya Sala.’ Ilikuwa ni kawai-da kama kulikuwa na kitu muhimu ambacho kilikuwa kitokee punde, Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) aliwaamuru watu kukusanyika kwa ajili ya Sala.

Wakati watu wakiwa wamekwishakutanika na Sala imekwisha kutekelezwa, Mtume ali-zoea kutoa hotuba. Sehemu maalumu ilitayarishwa kwa ajili ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)kati kati ya miti miwili. Baada ya kumalizika kwa Sala Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akiwaamenyanyua mkono wa Ali juu kupita kichwa chake, alizungumza na watu waliokusanyi-ka pale: ‘Je, mnajua kwamba mimi ni bwana wa waumini na nina haki zaidi juu ya kulikowaliyo nayo wao wenyewe juu ya nafsi zao.’ Wote wakasema, ‘Ndio, tunajua hivyo.’Alisema tena, ‘Je, mnajua kwamba nina haki zaidi juu ya klia muumini kuliko aliyo kuwanayo yeye mwenyewe?’ Wote wakajibu, ‘Ndio tunalijua hilo.’ Baada ya hapo MtukufuMtume (s.a.w.w.) akasema, ‘Yeyote yule ambaye mimi ni maula wake (mwenyekumtawalia mambo yake) huyu Ali ni maula wake (mwenye kumtawalia mambo yake).’Kisha akamuomba Allah: ‘Ewe Allah! Kuwa rafiki kwa yule ambaye ni rafiki kwake(yaani, Ali) na kuwa adui kwa yule ambaye ni adui kwake.’ Mara tu kufuatia hili, UmarBin Khattab alikutana na Ali na akasema, ‘Hongera, Ewe mwana wa Abu Talib! Sasaumekuwa maula wa waumini wote wanaume na wanawake.’”

Vile vile Mir Sayyid Ali Hamadani Shafi’i katika “Mawaddatu’l-Qurba” Mawadda ya 5;Sulaimani Balkhi katika “Yanabiu’l-Mawadda” na Hafidhi Abu Nu’aim katika kitabuchake “Hilya” wameandika hadithi hii pamoja na tofauti kidogo katika maneno.

Hafidhi Abu’l-Fatha, ambaye kutoka kwake Ibn Sabbagh vile vile amenukuu katika kitabuchake Fusulu’l-Muhimma, amesimulia hadithi hii katika maneno haya: “Enyi watu! AllahSwt ni Maula wangu, nami ninayo mamlaka makubwa juu yenu kuliko mliyonayo juu yenuwenyewe. Inakupaseni mfahamu kwamba yeyote yule ambaye mimi ni maula kwake nahuyu Ali vile vile ni maula wake.” Ibn Maja Qazwini kaika “Sunan” yake na Imamu Abu

Mikesha ya Peshawar

257

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 257

Page 276: Mikesh A

Abdu’r-Rahman Nisa’i katika kitabu chake “Ahadith” (uk. 81, 83, 93, 24) wameisimuliahadithi hii kwa namna hiyo hiyo. Na Zaid Ibn Arqam anaandika katika hadithi yake Na.84 kwamba Mtume wa Allah alisema katika hotuba yake: “Je, mnajua kwamba ninayomamlaka makubwa juu ya waumini wote, wanaume na wanawake, kuliko waliyonayo waowenyewe?” Wote wakasema: “Tunashuhudia kwamba unayo mamlaka makuu juu ya kilamuumini kuliko aliyonayo yeye mwenyewe.” Katika wakati huo Mtume akasema: “ Kwayeyote yule ambaye mimi ni maula (bwana) kwake huyu Ali vile vile ni maula (bwana)wake.” Kisha akaunyoosha mkono wa Ali. Kwa nyongeza Abu Bakr Ahmad Bin Al-KhatibBaghdadi (amekufa 462 A.H.), katika kitabu chake “Ta’rikh-e-Baghdad, Jz,. 8, uk. 289,290, amesimulia hadithi ndefu kutoka kwa Abu Huraira kwamba kama mtu yeyote atafun-ga siku ya mwezi 8 Dhu’l-Hijja (Siku ya Ghadir), atalipwa malipo ya funga ya miezi sita.Kisha hapo akaindika hadithi hiyo hapo juu katika njia hiyo hiyo.

MASHAIRI YA HASAN MBELEYA MTUKUFU MTUME

Mazingira ya tano kuthibitisha wilaya (umakamu) ya Ali ni usomaji wa mashairi ambayoHasan Bin Thabit aliyasoma kwa ruhusa ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), katika mkusanyikowa watu ambapo cheo cha Ali cha umakamu kilitajwa. Sibt Ibn Jauzi na wengine wame-andika kwamba wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliposikia beti hizo, alisema: “EweHasan! Kadiri unavyoendelea kutusaidia au kutusifia sisi kwa ulimi wako, basi ruhul-qudsyule roho tukufu naye vile vile atakuwa anakusaidia wewe.”

Mfasiri mashuhuri na msimuliaji wa hadithi wa karne ya nne A.H., Hafidh IbnMardawiyya (amekufa 352 A.H.), katika “manaqib” yake; mkuu wa Mimamu, MuwaffaqBin Ahmad Khawarizmi katika “Manaqib” yake na “Maqtalu’l-Husain,” sehemu ya 4;Jalalu’d-Din Suyuti katika “Risalatu’l-Azhar fi ma Aqdahu’sh-Shu’ara” na wengi katikawanachuoni wenu, wasimuliaji wa hadithi, na wanahistoria wanasimulia kutoka kwa AbuSa’id Khudri kwamba katika Siku ya Ghadir-e-Khum, baada ya hotuba ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) na uteuzi wa Ali kama mrithi wake, Hasan Bin Thabit alisema: “Je, unaniruhusunisome mashairi juu ya tukio hili?” Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Ndio, somapamoja na baraka za Allah.” Hivyo alisimama sehemu iliyonyanyuka kidogo na akasomakwa mfululizo beti zilizotungwa.maana ya beti hizo ni kama ifuatavyo:

“Katika Siku ya Ghadir-e-Khum Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliwakusanya watu pamoja, naniliisikia sauti yake ikiwaita. Mtume akawambia, ‘Ni nani maula wenu na walii?’ Watuwakasema kwa uwazi, ‘Allah ni Maula wetu na wewe ni walii (mlinzi) wetu na hakunaanayekataa ukweli huu.’ Hivyo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akamuambia Ali: “Simama!Ninaridhika na wewe kuwa imamu (makamu) na hadi (mlezi) baada yangu. Hivyo yeyoteyule ambaye mimi ni maula wake huyu Ali vile vile ni maula wake. Kwa hiyo, ninyi watu

Mikesha ya Peshawar

258

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 258

Page 277: Mikesh A

wote lazima muwe watiifu na waminifu katika kumsaidia yeye.’ Kisha Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) akaomba kwa Allah: ‘Ewe Allah! Kuwa rafiki kwa yule ambaye ni rafiki kwake(Ali) na kuwa adui kwa yule ambaye ni adui kwake.’”

Mashairi haya ni ushahidi wa wazi kwamba siku ile masahaba wa Mtume hawakulitafsirineno maula katika njia nyingine yoyote isipokuwa ya Imamu na kwamba Ali atakuwaKhalifa baada ya Mtume kufariki. Kama neno maula halikuwa na maana ya Imamu aubwana juu ya wengine, basi Mtume mara moja angelimkatiza Hasan wakati anasoma ubeti,“Ninaridhika na wewe kuwa Imamu na mlezi baada yangu”, na angemuambia kwambaamekosea na kwamba hakuwa na maana kwamba Ali atakuwa Imamu na mrithi baadayangu, na kwamba kwa neno maula alimaanisha “rafiki” au “msadizi”. Lakini kwa kweliMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimuunga mkona kwa kusema, “Ruhu’l-Qudus naye vile vileatakusaidia.” Mbali na hili, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa uwazi alielezea nafasi ya uima-mu au wilaya (umakamu) wa Ali katika hotuba yake. Inakubidi uichunguze hotuba yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliyoitoa kaita Siku ya Ghadir-e-Khum na ambayo imeandikwakwa ukamilifu na Abu Ja’far Muhammad Ibn Jarir Tabari (amekufa 310 A.H.) katika kitabuchake “Kitabu’l-Wilaya”. Anaandika kwamba Mtume alisema: “Sikilizeni na mtii. Hakika,Allah swt ni Maula wenu na Ali ni imamu wenu. Mpaka Siku ya Hukumu uimamuutabakia kwenye familia yangu, kizazi cha Ali.”

MASAHABA WAVUNJA AHADI YAO WALIYOWEKASIKU YA GHADIR

Maana yoyote mtakayoitoa kwa neno maula, ni ukweli unaokubalika kwamba Masahabawaliweka ahadi kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) katika siku ile. Kuna kupatana kabisa katiya madhehebu hizi mbili juu ya nukta hii. Basi kwa nini walivunja ahadi hiyo? Hatatukichukulia tu kwa muda huu kwamba kwa kusema maula Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ali-maanisha “rafiki” au “msaidizi” tu, kwa kumuogopa Allah hebu tuambieni kama mnafikirikwamba urafiki ule ulimaanisha kwamba waje wachome moto nyumba ya Ali, kuitishiafamilia yake, na na kumtishia yeye kwa panga zilizochomolewa!

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alitoa maelekezo ya wazi kwamba Masahaba lazima wale kiapocha utii kwa Ali. Unafikiria kwamba alikusudia kwamba wao kwa hiyo waje wamtesemkwe wake mwenyewe? Baada ya kifo cha Mtume, hawakuvunja kiapo chao? Je, walewaliovunja kiapo, kwa maoni yenu ninyi, hivi walitimiza masharti ya urafiki? Je, waliiso-ma aya 25 sura ya 13, Al-Ra’d (Radi) ya Qur’ani Tukufu? “Na wale wanaovunja ahadiza Allah baada ya kuzifunga, na wanakata yale ambayo kwamba Allah ameamrihsayaungwe, na wanafanya ufisadi katika nchi; hao ndio watakaopata laana, na watap-ata makazi mabaya.” (13:25)

Mikesha ya Peshawar

259

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 259

Page 278: Mikesh A

MASAHABA WAVUNJA AHADI KULE UHUD, HUNAIN, NA HUDAIBIYYA

Katika vita ya Uhud na Hunain, wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipowafanya Masahabawote waahidi kwamba siku hiyo hawatakimbia, je, sio hakika kwamba walikimbia?Walikimbia kutoka kwenye uwanja wa vita na wakamuacha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)kukabiliana na adui. Hili limeandikwa na wanahistoria wenu wenyewe, kama Tabari, IbnAbi’l-Hadid, na Ibn A’same Kufi. Je, huku sio kuvunja kiapo chenye uzito mkubwa?

Naapa kwa Allah kwamba mnawatoa makosa bure Mashi’a wakati tunaposema yale tuambayo wanahistoria wenu mashuhuri wameyasema.

MASHI’A WANAWALAUMU MASAHABA WALE TU AMBAO VITENDO VYAO HAVIKUWA VYA HAKI

Sielewi ni kwa nini ninyi watu mmekuwa mkitushambulia kwa karne nyingi.Mnachoandika chochote ninyi kinakubaliwa, lakini kama tukiandika yale ambayo maula-maa wakubwa wa Sunni waliyo andika, tunaitwa makafiri kwa sababu tu tunakosoa dhul-ma za baadhi ya Masahaba. Hata hivyo, kama ukosoaji wa Masahaba humaanishaUrafidha, basi kwa dhahiri Msahaba wote walikuwa Marafidhi, kwa sababu wote kilammoja alikosoa vitendo vibaya vya mwenziye. Hata Abu Bakr na Umar walifanya hivyo.

Baadhi ya Masahaba wa Mtume walikuwa waumini wachamungu na walikuwa waki-heshimiwa sana. Wengine waliendekeza matamanio yao machafu na walilaumiwa. Kamaunataka ushahidi wa kihistoria wa ukweli huu, nashauri kwamba usome Sharh-e-Nahju’l-Balagha ya Abi’l-Hadid, Jz. 4, uk. 454, 462, na usome majibu ya marefu ya Zaid kwa ukin-zani wa Abu’l-Ma’ali Juwaini, ambayo Abu Ja’far Naqib ameyaandika. Hapo ndipoutakapojua ni kiasi cha migogoro ilyokuwepo miongoni mwa Masahaba, ambao kwa haki-ka walilaaniana wenyewe kwa wenyewe kama waovu na makafiri.

KUKIMBIA KWA MASAHABA KULE HUDAIBIYYA

Katika maelezo yake ya suala la Hudaibiyya, Ibn Abi’l-Hadid, katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha, na wengine miongoni mwa wanahistoria wenu vile vile wameandika kwamba,baada ya kukamilika kwa mkataba ule wa amani, Masahaba wengi akiwemo Umar Bin

Mikesha ya Peshawar

260

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 260

Page 279: Mikesh A

Khattab, walionesha kuchukia kwao kuhusiana na masharti ya mkataba. WalimuelezaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwamba walikuwa hawakuridhika na mkataba wa amani nawalitaka kupigana. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akawaambia kama walitaka kupiganawalikuwa wako huru kufanya hivyo. Hivyo walishambulia. Lakini Masahaba wakashind-wa vibaya na wakakimbia milimani na hawa hata hawakurudi kumlinda Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Ndipo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimuambia Ali achomoe upanga na kuwa-fukuza Makuraishi. Walipomuona Ali mbele yao, Makuraishi walirudi nyuma. BaadaeMasahaba waliokimbia walirudi na kuomba msamaha kwa Mtume. Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) akawaambia: “Kwani mimi sikujueni ninyi! Nyie sio watu wale wale ambaowalitetemeka kwa hofu katika vita vya Badir mpaka Allah swt akatuma malaika kwa ajiliya kutusaidia! Ninyi sio Masahaba wangu wale wale ambao katika Siku ya Uhud mlikim-bia milimani na mkaniacha bila ulinzi? Ingawa niliendelea kuwaita, lakini ninyi hamkuru-di.”

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akawahesabia udhaifu wao wote, na waliendelea kuelezeamasikitiko yao kwa ajili ya vitendo vyao. Ibn Abi’l-Hadid anasema mwishoni mwa kaziyake ya kuandika kwamba karipio hili lilielekezwa haswa dhidi ya Umar, ambayehakuamini ahadi zozote zilizowekwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Kisha anaandikakwamba, kwa mwanga wa maelezo ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Khalifa Umar lazimaalikimbia kutoka kwenye vita ya Uhud kwa sababu katika mazungumzo yake MtukufuMtume (s.a.w.w.) alilitaja hilo pia.

Sasa mnaweza mkaona wenyewe kwamba kama tukielezea ukweli huu, ambao umeandik-wa na maulamaa wenu wakubwa kama Abi’l-Hadid na wengine, mara moja tunalengwakushambuliwa (eti) kwa sababu tumemtukana Khalifa, lakini hakuna kikwazo kwa Abi’l-Hadid. Kwa kweli hatuna nia ya kumtukana mtu yeyote. Sisi tunasimulia mambo ya kihis-toria tu, na mnatuangalia kwa macho ya dharau. Mnayapuuza mambo hayo.

MASHI’A WATATAFUTA FIDIA YA HALI YA MAMBO SIKU YA HUKUMU

Mashi’a watakuwa na malalamiko mengi Siku ya Hukumu dhidi ya Ulamaa wenu.Ulimwengu utatoweka, lakini lazima msimame mbele ya Mahakama Adilifu ya Allah kwaajili ya kujibu uonevu wenu.

Hafidh: Tafadhali niambie ni kwa uonevu upi ambao mtatafuta haki Siku ya Hukumu?

Muombezi: Kuna mifano ambayo naweza kuionesha. Wakati Siku ya Hukumu Tukufuitakapowadia, kwa hakika nitaitafuta haki.

Hafidh: Nakuomba usichochee mihemuko ya (watu) wengine. Tuambie ni uonevu ganiuliokupata.

Mikesha ya Peshawar

261

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 261

Page 280: Mikesh A

Muombezi: Uonevu na dhulma sio jambo geni leo kwetu sisi. Lakini msingi wake ulijeng-wa mara tu baada ya kufariki kwa babu yetu, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Haki ya bibi yetumdhulumiwa, Fatima Zahra ambayo aliachiwa na baba yake, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),kwa ajili ya kuwalea watoto wake, iliporwa. Hakuna kujali kokote kulikofanywa kwa ajiliya malalamiko na upingaji wake wa dhati. Hatimaye alifariki katika ujana wake akiwaamevunjika moyo.

Hafidh: Tafadhali, unawachochea watu bila sababu yoyote. Tuambie ni haki gani yaFatima iliyoporwa? Tafadhali kumbuka kwamba kama utashindwa kuthibitisha dai lako,kwa kiasi fulani utashindwa katika Mahakama Tukufu ya Haki. Jione uko katikaMahakama ya Mungu ya Uadilifu na utetee kesi yako.

Muombezi: Siku moja tutakuwa mbele ya Mahakama Tukufu. Tunategemea kupata haki.Kama wewe pia unayo hisia ya uadilifu, basi yakupasa kama hakimu muadilifu kusikilizahoja yangu bila chuki. Naamini utakubali uhalali wa dai letu.

Hafidh: Naapa kwamba sina chuki au ukaidi. Hakika umeona katika mikesha hii kwambasihoji kipumbavu. Wakati niliposikia hoja zenye mantiki nilizikubali. Kunyamaza kwangukwenyewe kulikuwa kunaonesha kwamba nimekubaliana na mwenendo huu wa haki. Kwaasili mimi sio mtu wa kupenda mizozo. Nakiri kwamba kabla sijakutana na wewe hapa,nilitaka nikushinde. Lakini nimevutiwa mno na usafi wako, upole wako, tabia nzuri, wepe-si na hisia ya kweli, kiasi kwamba nimeweka nadhiri mbele ya Allah kwamba nasalimuamri kukubali ukweli wote wenye mantiki ingawa msimamo huu utavunja mioyo juu yamatarajio ya wengine. Niamini mimi, sioyule mtu wa ule usiku wa kwanza. Nakueleza kwaukweli na uwazi kabisa kwamba hajo zako zimeacha athari ya ndani mno katika moyowangu. Kwa dhati kabisa natumaini kwamba nitaweza kufa pamoja na mapenzi na upen-do kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na kizazi chake, ili kwamba niweze kusimama kwafuraha na kuridhia mbele ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Muombezi: Naam, hakika msimamo kama huo ulikuwa unategemewa kwa mwanachuonikama wewe. Hakika mimi pia nimevutiwa sana na maelezo yako, na imejengeka kwanguhisia ya urafiki kwa upande wako. Sasa ningependa kuleta ombi kwako. Natumaini uta-likubali.

Hafidh: Ndio, tafadhali.

Muombezi: Usiku huu ningetaka niwe hakimu na wengine wawe mashahidi, ili kwambauweze kuamua bila chuki yoyote iwapo dai langu ni haki. Baadhi ya waumini wasio naujuzi wanasema kwamba hakuna maana kujadili suala ambalo limetokea miaka 1,300 iliy-opita. Hawajui kwamba masula yanayohusiana na elimu yanajadiliwa katika kila zama.Majadiliano ya haki hufichua ukweli na madai ya urithi yanaweza kufanywa kisheria na

Mikesha ya Peshawar

262

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 262

Page 281: Mikesh A

mwenye kurithi, kwa wakati wowote ule. Kwa vile mimi ni mmoja wa warithi, natakakukuuliza swali. Tafadhali nakuomba unipe jibu la haki.

Hafidh: Ndio, nitapendezewa sana kusikia maelezo yako.

Muombezi: Kama kwa amri ya Mungu baba anampa mtoto wake mali, na, baada ya kifocha baba, kama mali ile inachukuliwa kutoka kwa mtoto ambaye anamiliki mali ile, je,itakuwa ni aina gani ya madai?

Hafidh: Kitendo cha mnyang’anyi kitakuwa sio cha haki kabisa. Lakini unamkusudia naniwakati unaposema muonevu na muonewa?

FADAK NA UPORWAJI WAKE

Wakati ngome ya Khaibar iliposhindwa na kutekwa, malodi, makabaila na watu mashuhuriwa Fadak walikuja kwa Mtume. Fadak ilikuwa ni eneo katika bonde la milima ya Madina.Lilikuwa na vijiji saba ambavyo vimeenea mpaka kwenye mwambao wa bahari. Vingivilikuwa na rutuba sana na kulikuwepo na chemchem nyingi zenye miti (oasisi).Kulikuwepo na mkataba wa amani na watu unaosema kwamba nusu yote ya Fadak itakuwachini ya miliki yao na nusu nyingine itakuwa mali ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Ukwelihuu umesimuliwa na Yaqut Hamawi, mwaandishi wa “Majimu’l-Buldan”, katika kitabuchake “Futuhu’l-Buldan, Jz. 6, uk. 343; Ahmad Bin Yahya Baladhuri Baghdadi (alikufa279 A.H.) katika kitabu chake “Ta’rikh”; Ibn Abi’l-Hadid Mu’tazali katika Sharhe yake ya“Sharh-e-Nhju’l-Balagha”, (iliyochapishwa Misir), Jz. 4, uk. 78, akinukuu kutoka kwaAbu Bakr Ahmad Bin Abdu’l-Aziz Jauhari; Muhammad Bin Jarir Tabari katika kitabuchake “Ta’rikh-e-Kabir” na wengine wengi katika muhadithina na wanahistoria wenu.

KUTEREMSHWA KWA AYA YA“MPE HAKI YAKE JAMAA WA KARIBU”

Wakati Mtume aliporudi Madina, Jibril aliteremsha aya ifuatayo: “Na mpe jamaa yako wakaribu haki yake, na masikini, na msafiri; wala usitumie ovyo kwa fujo.” (7: 26)

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alitafakari juu ya umuhimu wa wahayi huu. Jibril alitokea tenana akamjulisha kwamba Allah ameamuru kwamba: “Fadak itolewe kwa Fatimah.”Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akamuita Fatima na akasema: “Allah emeniamuru kuitoa Fadakkama zawadi kwako.” Hivyo mara moja alimpa Fatima umiliki wa Fadak.

Mikesha ya Peshawar

263

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 263

Page 282: Mikesh A

Hafidh: Tafadhali fafanua unachosema kuhusu tukio ambalo aya hii tukufu imeteremsh-wa. Je, imeandikwa kwenye vitabu vya historia na tafsir vya Shi’a, au vile vile umeiona(habari hii) katika vitabu vyetu vya kutegemewa?

Muombezi: Mkuu wa wafasir, Ahmad Tha’labi katika kitabu chake “Kashfu’l-Bayan”;Jalalu’d-Din Suyuti katika “Tafsir” yake, Jz. 4, akisimulia kutoka kwa Hafidh IbnMardawiyya; yule mufasir mashuhuri Ahmad Bin Musa (aliyekufa 352 A.H.) Akisimuliakutoka kwa Abu Sa’id Khadiri na Hakim Abu ‘l-Qasim Haskani; Ibn Kathir; Imadu’d-DinIsma’il; Ibn Umar Damishqi; Faqih-e-Shafi’i katika kitabu chake cha “Ta’rikh”, na SheikhSulaimani Balkhi Hanafi katika “Yanabiu’l-Mawadda”, sura ya 39, akisimulia kutoka“Tafsir-e-Tha’labi”, “Jam’u’l-Fawaid” na “Uynu’l-Akhbar” wote wanasimulia kwambawakati aya, “Na mpe jamaa yako wa karibu haki yake…”, ilipoteremshwa MtukufuMtume (s.a.w.w.) wa Allah alimuita Fatima na akampa Fatima Fadak kubwa kama zawadikwake. Kwa hiyo, kadiri Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alivyoishi, Fadak ilibakia katika mili-ki ya Fatima. Bibi yule mtukufu aliikodisha ardhi ile; mapato yake yalikusanywa katikaawamu tatu. Kutoka katika hesabu hii alichukuwa pesa ya kutosha kwa ajili ya chakulachake na cha watoto wake na akagawanya alubaki kwa watu masikini wa Bani Hashim.Baada ya kifo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), maofisa wa Khalifa anayetawala walinyakuamali hii kutoka kwa Fatima.Nakuulizeni enyi waheshimiwa, mnieleze katika jina la uadilifu mtakiitaje kitendo hiki?

Hafidh: Hii ndio mara ya kwanza nimesikia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimpaFatima Fadak kwa amri (ya Allah).

Muombezi: Inawezekana kwamba hukuweza kusikia kuhusu (suala) hili. Lakini kamaambavyo nimekuambia, wengi wa maulamaa wenu wakubwa wameandika kuhusu sualahili katika vitabu vyao vya kutegemewa. Ili kuthibitisha nukta hii kwa uwazi nakurejesheakwa Hafidh Ibn Mardawiyya, Waqid na Hakim (Angalia Tafsir na Ta’rikh zao); Jalalu’d-Din Suyut “Durru’l-Mansur, Jz. 4, uk. 177; “Kanzu’l-Umma” ya Mullah Ali Muttaqi namaelezo mafupi ambayo ameandika juu ya ‘Kitabu’l-Akhlak’ ya “Musnad” ya Ahmad BinHanbal kuhusu tatizo la Sila-e-rahm; na “Sharh-e-Nahju’l-Balagha” ya Ibn Hadid, Jz. 4.Maulamaa wote hawa wamesimulia katika njia tofauti, isipokuwa maelezo kutoka kwaAbu Said Khudr, kwamba aya hiyo hapo juu ilipoteremshwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)aliitoa Fadaka na kumpa Fatima Zahra.

HOJA KUTOKA HADITH YA‘LA NURITH’ – HATUACHI URIHTI

Hafidh: Ni ukweli unaokubalika kwamba Mahalifa waliinyang’anya Fadak juu ya msin-gi wa hadithi inayojulikana sana iliyosimuliwa na Abu Bakr, ambaye alitamka kwambayeye mwenyewe amemsikia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akisema: “Sisi Mitume hatuachi

Mikesha ya Peshawar

264

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 264

Page 283: Mikesh A

urithi wowote nyuma yetu; chochote tunachoacha kama urithi ni sadaka” (yaani, ni mali yaumma).

FADAKA ILIKUWA ZAWADI – SIO URITHI

Muombezi: Kwanza, sio mali ya urithi bali ni zawadi. Pili, hiyo hadithi inayodaiwa kuwani ya Mtume haikubaliki.

Hafidh: Utatoa hoja gani ya kuikataa hadithi hii?

Muombezi: Kuna sababu nyingi za kuikataa hadithi hii.

HADITHI ‘LA NURITH’ NI YA KUBUNIWA

Kwanza kabisa, yeyote yule aliyeiandaa hadithi hii, aliitamka bila kufikiria kuhusu yalemaneno aliyotumia. Kama angekuwa muangalifu kuhusu hadithi hii, kamwe asingelisema:“Sisi Mitume hatuachi urithi wowowte”, kwa sababu angelijua kwamba uwongo wakeungefichuliwa na maneno haya haya ya hadithi hii ya kubuni. Kama angetumia maneno“Sikuacha urithi wowote nyuma,” hadithi yake ya majaribio ingekuwa yenye kuelekeakuwa ya kweli zaidi.

Lakini wakati ametumia wingi “Sisi Mitume…” tunawajibika kuchunguza ukweli wahadithi hii. Sasa kwa msingi wa maelezo yako mwenyewe tunarejea kwenye Qur’aniTukufu kwa ajili ya mwongozo. Tunaona kwamba kuna idadi ya aya ambazo zinatuelezakwamba kwa kweli mitume waliacha urithi. Hii inathibisha kwamba hadithi hii ni yakutupwa moja kwa moja.

FATIMA ALITETEA MADAI YAKE

Katika kitabu chake “Kitab-e-Saqifa” mwanachuoni mkubwa na muhadithina, Abu BakrAhmad Bin Abdu’l-Aziz Jauhari, ambaye kuhusu yeye Abi’l-Hadid anasema katika kitabuchake “Sharh-e-Nahju’l-Balaghah” kwamba alikuwa ni mmoja wa maulamaa wakubwa namuhadithina wa Masunni; Ibn Al-Athir katika kitabu chake “Nihaya”; Mas’ud katika“Akhbaru’z-Zaman” na katika “Ausat”; Ibn Abil-Hadid katika “Sharh-e-Nahju’l-Balaghah” Jz. 4, uk. 78, akinukuu kutoka kitabu cha Abu Bakr Ahmad Jauhari “Saqifa” naFadak katika njia tofauti na kutoka kwenye idadi ya vyanzo, baadhi ambavyo hurejea kwaImamu wa tano Muhammad Baqir kupitia kwa Siddiq Sughra Zainab-e-Kubra na baadhiambavyo hurejea kwa Abdullah Ibn Hasan kutoka kwa Siddiq Kubra Fatima Zahra nakutoka kwa Ummu’l-Mu’minin Aisha na vile vile kutoka kwa Muhammad Bin Imran

Mikesha ya Peshawar

265

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 265

Page 284: Mikesh A

Marzabani, yeye kutoka kwa Zaid bin Ali bin Husein; yeye kutoka kwa baba yake, na yeyekutoka kwa baba yake, Imam Husein; na yeye kutoka kwa mama yake maarufu, FatimaZahra; na maulamaa wengine wengi wa madhehebu yenu wamesimulia hotuba ya Fatimambele ya mkusanyiko mkubwa wa Waislamu. Wapinzani walifadhaishwa wakati wali-posikia hoja zake na hawakuweza kujibu. Kwa vile walikuwa hawana majibu ya kutoawalianzisha ghasia.

HOJA YA FATIMA YA KUKATAA HADITH ‘LA NURITH’

Moja ya hoja za Fatima za kukataa hadithi hii ilikuwa kwamba, kama hadithi hii ingekuwani ya kweli, basi kwa nini kulikuwa na aya nyingi mno kuhusu urathi wa mitume.

Alisema: “Katika sehemu moja Qur’ani inasema: “Na Suleimani alikuwa mrithi waDaudi.’” (27:16)

Kuhusu Mtume Zakariya Qur’ani Tukufu inasema:

“…Basi nipe mrithi kutoka kwako, ambaye atarithi kutoka kwangu na mrithi (vilevile) wa nyumba ya Yaaqub…” (19:5-6)

Kuhusu maombi ya Zakariya Qur’ani Tukufu inasema:

“Na Zakariya alipomuomba Mola Wake: ‘Mola Wangu, usiniache peke yangu (bilamtoto), na Wewe ndiye Mbora wa wanaorithi.’ Basi tukamkubalia na tukampaYahya…” (21:89-90)

Baada ya haya akasema: “Ewe mtoto wa Abu Qahafa! Je, imo ndani ya Kitabu cha Allahkwamba wewe ni mrithi wa baba yako na mimi ninanyimwa urithi wa baba yangu?Umefanya kashfa kubwa mno. Enyi watu! Je, mmekiacha kwa mkusudi Kitabu cha Allah(Qur’ani Tukufu) na kukipuuza moja kwa moja? Je, mimi sio mtoto wa Mtukufu Mtume?Kwa nini unaninyima mimi haki yangu? Kwa nini aya zote hizi za urithi, ambazozimekusudiwa kwa watu wote kwa ujumla na hususan kwa Mitume zimejumuishwa kati-ka Qur’ani Tukufu? Je, si kweli kwamba aya za Qur’ani zitabakia bila kubadilishwa mpaka

Mikesha ya Peshawar

266

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 266

Page 285: Mikesh A

Siku ya Hukumu? Je, Qur’ani haisemi: “.....na ndugu wa nasaba wana haki zaidi waokwa wao katika Kitabu cha Mwenyezi Mungu.....” (8:75) na: “Allah anakuusieni juuya watoto wenu! Mtoto mwanaume atapata vigawanyo viwili vya mwanamke…”(4:11) na: Mmelazimishwa, mmoja wenu anapofikiwa na umauti, kama ameachamali, kuwausia wazazi wake wawili na jamaa wa karibu kwa uadilifu. (Huu) niwajibu kwa wamchao Mwenyezi Mungu” (2:180). Basi kwa nini mimi hasa hasa niwenimenyimwa urithi wa baba yangu? Je Allah ameteremsha aya maalumu kwako, ambazozinamuondoa baba yangu (kutoka kwenye haki yake hii). Je, wewe unajua maana ya nje naya ndani ya Qur’ani Tukufu kuliko baba yangu Muhammad na binamu yake Ali?”

UTETEZI WA FATIMAH HAUNA MAFANIKIO

Wakati waliponyamazishwa na hoja hizi na ukweli wa mambo, wakawa hawana majibu.Walikimbilia kwenye hila na lugha ya matusi.

Alilia huku akisema: “Leo mumeuvunja moyo wangu. Siku ya Hukumu nitafunguamashitaka dhidi yenu katika Mahakama Tukufu ya Haki na Allah Mwenye nguvu zoteataamua kesi hiyo kwa uadilifu. Allah ndiye Hakimu bora zaidi. Muhammad ndiye mkuuna bwana; muda wa ahadi, wetu na wenu ni Siku ya Ufufuo. Siku hiyo muonevu atakuwamwenye hasara, na toba yenu haitawasaidia kitu. Kwani kwa kila kitu kuna muda maalu-mu uliopangwa na mtajua muda mfupi tu ujao nani atapatwa na adhabu ya dharau.”

KHALIFA ALITUMIA LUGHA CHAFU

Hafidh: Nani atathubutu kukashifu kipande cha mwili wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),Fatima Zahra? Hili siliamini. Hila na udanganyifu inawezekana, lakini kutumia lugha yamatusi haiwezikani. Tafadhali usiseme vitu kama hivyo.

Muombezi: Hakuna mtu aliyekuwa na ujasiri wa kusema vitu kama hivyo isipokuwaKhalifa wako, Abu Bakr. Akiwa ameshindwa kujibu hoja nzito za Bibi huyo muonewa,mara moja alipanda kwenye mimbari na kumtukana Fatimah na mume wake na binamuyake Mtume, kipenzi cha Allah na cha Mtume Wake, Amiru’l-Mu’minin Ali.

Hafidh: Nadhani riwaya hizi za kizushi zimeenezwa na mashabiki wa kidini.

Muombezi: umekosea. Riwaya hizi hazikuenezwa na mashabiki wa ki-Shi’a. Maulamaawakubwa wa Sunni ndio waliozisambaza. Kwa kiasi chochote cha kukosa uvumilivuwanachoweza kuwa nacho watu wetu wa kawaida, kamwe huwa hawabuni hadithi. Kamautachunguza vitabu vyenu vya sahihi, utakiri kwamba maulamaa wenu wakubwa

Mikesha ya Peshawar

267

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 267

Page 286: Mikesh A

wameyakubali mambo haya. Ibn Abi’l-Hadid Mu’tazali katika “Sharh-e-Nahju’l-Balagha”Jz. 4, uk. 80, iliyochapishwa Misri, akisimulia kutoka kwa Abu Bakr Ahmad Bin Abdu’l-Aziz Jauhari, ameandika kwa urefu kuhusu Abu Bakr kupanda juu ya mimbari baada yamalalamiko ya upinzani wa Ali na Fatimah.

KUPINGANA KWA ALI NA ABU BAKR

Wanachuoni wengi wamesimulia kwamba, wakati Fatimah alipomaliza kutetea hoja yake,Ali akaanza upingaji wake katika mkusanyiko wa hadhara wa Waislamu katika Msikiti waMadina, akielekea upande alikokuwa Abu Bakr, alisema: “Kwa nini unamnyima Fatimahurithi wa baba yake, ingawa alikuwa ndiye mmliki wake na alikuwa anaimiliki mali hiyowakati wa kipindi cha uhai wa baba yake?” Abu Bakr akajibu: “Fadak ni ngawira yaWaislamu. Kama Fatimah atatoa ushahidi kamili kwamba ni mali yake, kwa hakika nita-mpa; vinginevyo, nitamnyima mali hiyo.”

Mtukufu Imamu akasema: “Je, sio ukweli kwamba wakati unatamka hukumu kuhusuWaislamu, kwa ujumla, unapitisha hukumu inayokinzana mno kuhusiana na sisi.?”

“Je, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hakusema kwamba dhima ya kuthibitisha inakuwa juu yamdai na ile ya utetezi juu ya mdaiwa? Umepuuza hukumu ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)na kinyume na sheria ya dini, unataka mashahidi kutoka kwa Fatimah ambaye alikuwakatika umiliki wa mali hiyo tangu wakati wa uhai wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Aidha,je, maneno ya Fatimah, ambaye ni mmoja wa Ashab-e-Kisa (Watu wa Shuka) na ambayeamejumuishwa katika aya ya utakaso, sio ya kweli?”

Kama watu wawili wangetoa ushahidi kwamba Fatimah amefanya makosa fulani, hebuniambie ungemshughilikia vipi?” Abu Bakr akasema: “Ningetoa adhabu juu yake kamaambavyo ningefanya kwa mwanamke yeyote.”

Mtukufu Imamu akasema: “Kama ungefanya hivyo, ungekuwa kafiri mbele ya Allah, kwasababu ungekuwa umekataa ushahidi wa Allah kuhusu usafi wa Fatimah. Allah anasema:‘Hakika, hakika, Allah anataka kukuondoleeni kila aina ya uchafu, Enyi Watu wa Nyumbana kuwatakaseni kwa utakaso halisi.’ Je, aya hii haikuteremshwa katika kutukuza sisi?”

Abu Bakr akasema: “Kwanini isiwe hivyo?” Imamu akasema: “Je, inawezekana kwambaFatimah, ambaye usafi wake umethibitishwa na Allah, angeweza kutoa madai ya uwongokwenye mali ndogo kama hii? Unakataa ushahidi wa mtu aliyetakaswa na unakubaliushahidi wa Bedui ambaye anakojoa juu ya kisigino cha mguu wake mwenyewe!”

Baada ya kusema haya, Imam akarudi nyumbani kwake akiwa amekasirika. Malalamikoyake yaliamsha hisia za watu. Kila mtu alisema: “Ukweli uko pamoja na Ali na Fatimah.

Mikesha ya Peshawar

268

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 268

Page 287: Mikesh A

Wallahi Ali anasema kweli. Kwa nini binti ya Mtume afanyiwe fedheha kiasi hicho?”

UFIDHULI WA ABU BAKR

Ibn Abi’l-Hadid anasimulia kwamba watu walivutiwa sana upingaji wa Ali na Fatimah nawakaanza kuleta fujo. Abu Bakr ambaye aliona kwamba wale watu wawili watukufu tayariwameondoka pale Msikitini alipanda mimbari na akasema:“Enyi watu! Kwa nini mnachanganyikiwa hivi. Kwa nini mumsikilize kila mtu? Kwa viletu nimekataa ushahidi wao, wanazungumza upumbavu. Ukweli ni kwamba yeye ni mbwe-ha ambaye amesalitiwa na mkia wake mwenyewe. Anasababisha kila aina ya vurugu.Anapuuzia uzito wa vvurugu na kuchochea watu kufanya fujo na ghasia. Anatafuta msaa-da kutoka kwa wanyonge. Anatafuta msaada kutoka kwa wanawake. Yeye ni sawa naUmmu’t-Tihal ambaye watu wa nyumbani kwake mwenyewe walipendelea kuzini naye.”

Je, maneno haya si matusi ya kufedhehesha? Je, yanakubaliana na sifa, heshima, mapenzina huruma ambavyo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema vinawastahikia familia yake?Mpaka lini mtabakia na imani hii potofu na ushabiki? Mpaka lini mtawapinga Mashi’a nakuwaita Marafidhi na makafiri kwa sababu tu wanakosoa maneno na vitendo vya watuambavyo vimeandikwa katika vitabu vyenu?

HISTORIA INAHUKUMU MTU

Lifikirieni suala hili kwa uadilifu. Je, ufedhuli ule wa sahaba mzee wa Mtume ulikuwa niwa haki? Lugha mbovu na ya matusi ya Mu’awiya, Marwan na Khalid hazikuwa zakuhuzunisha hivyo kama ile ambayo inakuja kutoka kwenye mdomo wa mtu ambayeanaitwa “sahaba wa kwenye pango.” Watukufu Waislamu! Hatukuwepo katika wakati ule.Tunasikia majina ya Ali, Abu Bakr, Umar, Uthman, Talha, Zubair, Mu’awiya, Marwan,Khalid, Abu Huraira, nk. Hatuna urafiki wala uadui na yeyote kati yao. Tunaona mambomawili: kwanza, wale ambao walipendwa na Allah na Mtume Wake na ambao kwao hes-hima na utii vimeamriwa juu yao. Pili, tunapima matendo na kauli zao. Kisha tunaamuabila upendeleo. Tunajizuia kuruhusu upendeleo wetu kwa mtu fulani kupotosha uamuziwetu.

MSHANGAO WA HADID JUU YA ABU BAKR KUWAKASHIFU ALI NA FATIMAH

Sio sisi peke yetu ambao tumeshitushwa na tabia kama hii. Hata maulama wenu waadilifuwanashangazwa kuyaona haya. Ibn Abi’l-Hadid anaandika katika “Sharh-e-Nahju’l-Balagha” yake, Jz. 4, uk. 80, kwamba maneno ya Khalifa yalimjaza na mshangao.Alimuuliza mwalimu wake Abu Yahya Naqib Ja’far Bin Yahya Bin Abi Zaidu’l-Basari,maneno haya ya Khalifa yalikuwa yanamhusu nani. Yeye alisema kwamba kauli hizo

Mikesha ya Peshawar

269

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 269

Page 288: Mikesh A

hazikuwa za kupitia. Uhusikaji wake ulikuwa wa wazi. Ibn Hadid akasema: “Kamaungekuwa wa wazi, nisingeuliza.” Hapo alicheka na akasema: “Mambo haya yalisemwadhidi ya Ali.” Ibn Hadid akayarudia maneno haya kwa mshangao: “Maneno yote hayayalisemwa dhidi ya Ali?” Mwalimu wake akasema: “Ndio, Ewe mwanangu! Hivi ndivyoutawala unavyomaanisha.”

KUMUUDHI ALI NI KUMUUDHIMTUKUFU MTUME

Kuhusu wote wawili Ali na Fatimah, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema kwamba shidazao ni shida zake yeye pia. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Yule ambaye anatawa-sumbua hawa wawili ananisumbua mimi, na mtu anayenisumbua mimi anamsumbuaAllah.” Vile vile imeandikwa katika vitabu vyenu sahihi kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alisema: “Yeyote yule ambaye anamtukana Ali ananitukana mimi, ambayeananitukana mimi anamtukana Allah.”

Muhammad bin Yusuf Ganji Shafi’i, katika kitabu chake “Kifayatu’t-Talib” Sura ya 10,anasimulia hadithi ndefu kutoka kwa Ibn Abbas, ambaye alikiambia kikundi cha Wasiriaambao walikuwa wakimlaani Ali kwamba yeye alimsikia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akise-ma kumhusu Ali: “Yeyote yule anayekutuka wewe amenitukana mimi, na yeyote anayenitukana mimi amemtukana Allah, na ambaye anamtukana Allah atatupwa moja kwa mojaMotoni.” Baada ya hadithi hii alinukuu hadithi nyingine nyingi kutoka kwenye vyanzosahihi ambazo zote zinathibitisha kwamba wale ambao wanamtukana Ali ni makafiri. Suraya 10 ya kitabu hiki inaitwa: “Kuhusu ukafiri wa mtu ambaye anamtukana Ali.”

Vile vile Hakim katika kitabu chake, “Mustadrak”, Jz. 3, uk. 121, ameinukuu hadithi hiihii. Hivyo kwa mujibu wa hadithi zote hizi, wale ambao wanamlaani Ali, wanamlaaniAllah na Mtume Wake. Wote hao (kama Mu’awiya, Bani Umayyah, Manasibi, Khawariji)wenyewe wamelaaniwa. Basi, sasa kiasi hiki kinatosha. Hakika Siku ya Hukumu kwahakika itafika. Kwa vile wahenga wetu walioonewa walichukuwa njia ya ukimya nakuacha uamuzi juu ya Siku hiyo, sisi vile vile tutabakia kimya.

Kuna nukta ya pili ambayo inakataa ‘hadithi hii ya kudhaniwa’ “Sisi hatuachi urithi…”Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Mimi ni jiji la elimu na Ali ni lango lake; na mimini nyumba ya hekima na Ali ni mlango wake.” Madhehebu zote zimelikubali hili. Hakikamtu ambaye alikuwa ni lango la elimu ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alielewa hadithi zotena maelekezo ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), hususan zile zinahusiana na matatizo yamirathi. Kwani ustawi wa taifa zima hutengemea juu ya hadithi hizi. Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) vile vile alisema: “Mtu ambaye anataka kupata elimu lazima aje kwenye mlan-go wa Ali.” Kama elimu yake ingelikuwa sio kamili, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) asingese-

Mikesha ya Peshawar

270

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 270

Page 289: Mikesh A

ma kwamba Ali alikuwa hakimu bora katika Umma mzima. Alisema: “Ali ni mbora mion-goni mwenu wote katika kuzitafsiri sheria.” Hadithi hii imeandikwa katika vitabu vyenuvyote vya sahihi.

Hivi Mtukufu Mtume angeweza kutangaza ubora wa ubingwa wa mtu wa sheria kama mtuhuyo alikuwa hayaelewi matatizo ya mirathi na haki za watu? Sehemu ya lengo la MtukufuMtume lilikuwa ni kuleta mageuzi ya kijamii kwa ajili ya watu katika dunia hii na amanina starehe kwa ajili yao katika akhera. Angeweza vipi basi kumfanya yeye Ali kuwaAmirul-Mu’minin na kisha bado asimfikishie desturi kama hii ambayo inaathiri utaratibuwote wa kijamii?

Sheikh: Hakuna kati ya vitu hivi viwili kilichothibitishwa kwa mujibu wetu. Hadithi yaJiji la elimu haikubaliwi na maulamaa wetu mashuhuri na mas’ala ya umakamu na urithi(wa nafasi ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)) pia vile vile yamekataliwa na wale maulamaawakubwa. Bukhari na Muslim katika kukusanya kwao hadithi na wengine miongoni mwamaulamaa wakubwa, wanasimulia kutoka kwa Ummu’l-Mu’minin Aisha kwamba, kichwacha Mtume wakati wa kifo chake kilikuwa kimelala kifuani mwake mpaka alipokata roho.Alieleza kwamba hakutengeneza wosia. Lau angelitengeneza wosia Ummu’l-Mu’mininangesimulia na suala la wosia lingeliweza kutatuliwa.

HADITHI “MIMI NI JIJI LA ELIMU NAALI NI LANGO LAKE”

Muombezi: Kuhusu hadithi hii umekuwa sio mkweli hata kidogo. Nilikwishakuambiatayari kwamba madhehebu zote kwa pamoja zinakubaliana kwamba hii imesimuliwatakiriban kwa mwendelezo kamili. Maulamaa wenu wafuatao wamethibitisha usahihi wahadithi hii: Imam Tha’labi, Firuzabadi, Hakim Nishapuri, Muhammad Jazari, MuhammadBin Jarir Tabari, Suyuti, Sakhawi, Muttaqi Hindi, Muhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’i,Muhammad Bin Talha Shafi’i, Kadhi Fadhl Bin Ruzbahan, Munawi, Ibn Hajar Makki,Khatib Khawarizmi, Sulaiman Qanduzi Hanafi, Ibn Maghazil Faqih Shafi’i, Dailami, IbnTalha Shafi’i, Mir Sayyid Ali Hamadani, Hafidh Abu Nu’aim Ispahani, Sheikhu’l-IslamHamwaini, Ibn Abi’l-Hadid Mu’tazali, Tibrani, Sibt Ibn Jauzi na Imam Abdu’r-RahmanNisa’i.

UMAKAMU ULITUNUKIWA JUU YA ALI

Kuhusu mas’ala ya umakamu, kuna kauli nyingi za kuaminika zinayothibitisha kwambaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alitengeneza wosia wake. Hakuna mtu mwenye ujuzianayekataa jambo hili.

Mikesha ya Peshawar

271

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 271

Page 290: Mikesh A

Nawab: Khalifa wa Mtume pia ni makamu wake, mtu ambaye aliendesha mambo yake yandani. Kwa mfano, walilipa posho kwa wake za Mtume. Kwa nini unasema kwamba Alialiteuliwa kuwa makamu?

Muombezi: Unasema kweli. Ni wazi kwamba Khalifa wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alikuwa pia ni makamu wake. Wakati wa mikesha iliyopita nimewasilisha hoja zangu nakauli za kuaminika kuhusiana na ukhalifa. Kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimteuaAli kuwa Khalifa wake na makamu wake ilikuwa ni sahihi kabisa. Ambapo wenginewalikuwa wanajishughisha na mambo yao na njama za kisiasa, huyo makamu wa MtukufuMtume (s.a.w.w.) alishughulika na taratibu za mazishi ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).Baadaye alijishughulisha katika kurudisha fedha za amana na vitu vingine vya thamani nakuangalia masuala mengine ambayo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa ameyakabidhikwake. Hili liko wazi mno kiasi kwamba hakuhitajiki uthibitisho wowote. Maulamaa wetuwote wanakubalina kuhusiana na jambo hili.

HADITHI KUHUSU USHIKA UMAKAMU

Ili kuthibitisha hoja yangu ngoja nirejee kwenye baadhi ya hadithi:(1) Kuunda udugu – Imam Tha’labi katika kitabu chake “Manaqib” na “Tafsir”, Ibn

Maghazili Faqih Shafi’i katika “Manaqib” yake na Mir Sayyid Ali Hamadani katikakitabu chake “Mawaddatu’l-Qurba” (Mawadda ya 6) anasimulia kutoka kwa khalifawa pili, Umar bin Khattab, ambaye anasema kwamba wakati Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alipokuwa anaanzisha undugu kati ya masahaba, alisema: “Huyu Ali nindugu yangu katika ulimwengu huu na kesho akhera. Miongoni mwa kizazi changuyeye ni khalifa wangu; ni mrithi wangu (makamu) katika Umma wangu. Yeye ndiyemrithi wa elimu yangu; ndiye mlipaji wa deni langu. Kilicho chake ni changu pia; kili-cho changu ni chake pia; manufaa yake ni manufaa yangu na hasara yake ni hasarayangu. Yule ambaye ni rafiki yake kwa hakika ni rafiki kwangu na ambaye ni aduikwake kwa hakika ni adui kwangu.”

(2) Kuuliza kwa Salman: – Sheikh Suleiman Balkhi Hanafi katika sura ya 15 ya“Yanabiu’l-Mawadda” amesimulia hadithi ishirini katika kuunga mkono umakamu waAli kutoka kwa Imam Tha’labi, Hamwaini, Hafidh Abu Nu’am, Ahmad Bin Hanbal,Ibn Maghazili, Khawarizmi na Dailami. Nawasilisha baadhi ya hizo kwa ajili yamwongozo wenu. Anasimulia kutoka kwenye Musnad ya Ahmad Bin Hanbal (na SibtIbn Jauz katika Tadhkirat-e-Khawasu’l-Umma, uk. 26, na Ibn Maghazili Shafi’i kati-ka Manaqib yake vile vile wamesimulia hadithi hizi) kwamba Anas Ibn Malik amese-ma: “Nilimuomba Salman amuulize Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ni nani mrithi wake(wasii). Salman akamuuliza Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), “Ewe Mtume wa Allah! Ninani makamu wako?” Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema, “Ewe Salman! Ni nani

Mikesha ya Peshawar

272

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 272

Page 291: Mikesh A

mrithi wa Salman?” Akasema, “Yusha Bin Nun.” Kisha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)akasema, “Makamu wangu na mrithi wangu, ambaye atalipa madeni yangu naatakayekamilisha ahadi zangu, ni Ali Bin Abi Talib.

(3) Kila Mtume alikuwa na Mrithi wake, Ali ni Mrithi wangu.Imesimuliwa kutoka kwa Muwaffaq Bin Ahmad, ambaye ananukuu kutoka kwa Buraidakwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Kila Mtume alikuwa na makamu namrithi, na kwa hakika, makamu na mrithi wangu ni Ali.” Muhammad Bin Yusuf GanjiShai’i katika kitabu chake “Kifayatu’t-Talib”, sura ya 62, uk. 131 ananukuu hadithi hiyohiyo ambayo vile vile imesimuliwa na Muhadith wa Syria katika kitabu chake “Ta’rikh”.

(4) Ali ni mwisho wa Mawasii. Sheikhu’l-Islam Hamwaini anasimulia kutoka kwa AbuDharr Ghifari, ambaye amesema, “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema, ‘mimi ni mwishowa Mitume na wewe, Ewe Ali, ni mwisho wa mawasii mpaka Siku ya Hukumu”.

(5) Ali ni makamu wangu kutoka kwenye kizazi changu: Imesimuliwa kutoka kwaKhatib Khawarizmi, ambaye anasimulia kutoka kwa Ummu’l-Mu’minin UmmiSalama, ambaye amesema; “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: ‘Allah amechaguamrithi kwa ajili ya kila Mtume na baada yangu mimi makamu wangu kutoka kwenyekizazi changu na Umma wangu ni Ali.’”

(6) Ali alitetea cheo chake katika hotuba. Imesimuliwa kutoka Maghazili Faqih Shafi’i,ambaye anasimulia kutoka kwa Asbagh Bin Nabuta, mmoja wa Masahaba wakubwawa Amiru’l-Muminin, na Muslim na Bukhari vile vile wamenukuu kutoka kwakekwamba bwana wake Amiru’l-Mu’minin amesema katika moja ya hotuba zake: “Enyiwatu! Mimi ni Imam (kiongozi) wa viumbe wote. Ni mrithi wa (makamu) wa mboramno wa viumbe; mimi ndio baba wa kizazi kilicho takasika kabisa na chenye kuon-goza; mimi ni ndugu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.); mrithi wake, rafiki yakemuaminifu na mwenza wake wa karibu. Mimi ni bwana wa waumini; ni kiongozi wawale ambao wana nyuso angavu, mikono angavu na miguu angavu; mimi ni mkuu waMawasii wote. Kupigana dhidi yangu ni kupigana dhidi ya Allah. Kufanya amani namimi ni kufanya amani na Allah. Utii kwangu ni utii kwa Allah; urafiki na mimi niurafiki na Allah; wafuasi wangu ni marafiki wa Allah; na wasaidizi wangu ni wasidiziwa Allah.”

(7) Allah alinifanya mimi Mtume na Ali makamu wangu. Vile vile Ibn Maghazili Shafi’ikatika “Manaqib” yake anamnukuu Abdullah Bin Mas’ud kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alisema: “Ujumbe wa utume uliishilizwa kwangu mimi na Ali; katu hakunakati yetu sisi aliyewahi kusujudu mbele ya sanamu; hivyo Allah alinifanya mimiMtume na Ali kuwa makamu.”

Mikesha ya Peshawar

273

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 273

Page 292: Mikesh A

(8) Umakamu wa Ali ni sehemu ya kanuni ya kiapo cha utii kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Mir Sayyid Ali Hamadani Shafi’i anaandika katika kitabu chake“Mawaddatu’l-Qurba” Mawadda ya 4, kutoka kwa Atba Bin Amir Jahni, ambayeamesema: “Tunatoa kiapo cha utii kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), tukukiri ukwelikwamba hakuna mungu isipokuwa Allah. Ni Mmoja na mshirika na hakikaMuhammad ni Mtume Wake na Ali ni makamu Wake. Hivyo kama tunaacha chochotekati ya mambo haya matatu tutakuwa makafiri.”

(9) Ninawaita watu kwenye haki na Ali anaitia nuru. Katika Mawaddatu’l-Qurba hiyohiyo, vile vile imeandikwa kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “HakikaAllah ameteua makamu kwa kwa ajili ya kila Mtume: Seth, makamu wa Adamu;Joshua, makamu wa Musa; Simon Petro makamu wa Yesu; na Ali ni makamu wangu;na makamu wangu ni mbora wa makamu wote. Nawaita watu kwenye haki na Alianaitia nuru.”

ALLAH ALIMTEUA ALI KUTOKA MIONGONI MWAWATU WOTE KUWA MAKAMU WANGU

Mwandishi wa Yanabi ananukuu kutoka kwenye Manaqib ya Muwaffaq Bin AhmadKhawarizmi, ambaye alisimulia kutoka kwa Abu Ayyub Ansari, ambaye amesema kwam-ba wakati Mtume wa Allah alipokuwa yu mgonjwa kitandani, Fatimah alikuja na kuanzakulia. Kisha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Ewe Fatimah, wewe umebarikiwamakhususi na Allah ambaye amekupa mume ambaye Uislamu wake ni wa mbele zaidi,ambaye elimu yake ni bora kuliko ya mtu yeyote yule, na ambaye uvumilivu wake unapi-ta uvumilivu watu mengine wote. Kwa hakika Allah swt. Amewapa upendeleo maalumuwatu wa ulimwengu huu. Kutoka miongoni mwao Alichagua na kuniteua mimi kamaMtume na Mjumbe Wake. Kisha akawapa baraka nyingine maalumu na kutoka miongonimwa watu akamchagua mume wako. Na amenifunulia kwamba nikuoze wewe kwake nanimfanye makamu wangu.”

AHLUL-BAYT WAMEJAALIWA SIFA SABA ZISIZO NA USHINDANI

Baada ya kuandika hadithi hii katika Manaqib yake, Ibn Maghazili Faqih Shfi’i anaandikamaneno haya ya nyongeza, ya Mtukufu Mtume: “Ewe Fatimah! Sisi Ahlul-Bayt tumejaali-wa sifa saba, ambazo hakuna katika vizazi vya wanadamu kilichokuwa nazo, na hakunamiongoni mwa vizazi vyao kitakachokuwa nazo. Mtume mtukufu mno miongoni mwaMitume anatokana na sisi, na ni baba yako. Makamu wangu ni mbora mno kwa makamu

Mikesha ya Peshawar

274

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 274

Page 293: Mikesh A

wengine wote, na ni mume wako. Shahidi (aliyejitolea mhanga) anayewapita mashahidiwengine wote, na ni ami yako, Hamza. Kutoka miongoni mwetu sisi (Ahlu’l-Bayt) kunamtu ambaye ana mbawa mbili ambazo kwazo anaruka kwenda popote anapopenda, hukoPeponi, na ni binamu yako, Ja’far. Kutokana na sisi kuna wajukuu wawili ambao ni mab-wana wa vijana wa Peponi, na ni watoto wako. Na ninakuambia, kwa jina la Allah ambayeanamiliki uhai wangu, kwamba Mahdi wa Umma huu, ambaye kwamba Isa Bin Mariamuatasali Salat nyuma yake, atakuwa ni katika kizazi chako.”

MAHDI ATAIJAZA ARDHI NA UADILIFU

Ibrahim Bin Muhammad Hamwaini, baada ya kusimulia hadithi hii alinukuu maneno hayaya nyongeza: Baada ya kumtaja Mahdi Mtume alisema: “Ataujaza ulimwengu huu na uadilifu wakatiutakapokuwa umejaa ukatili na dhulma. Ewe Fatima! Usihuzunike na usilie. Kwa sababuya mapenzi na heshima yangu kwako, Allah swt., ni mpole zaidi kwako kuliko mimi.Amekupa wewe mume mwenye mafanikio ya hali ya juu mno ya kiroho, na aliye tukukamno katika hadhi ya kifamilia, mwenye huruma sana kwa watu, muadilifu mno katikakushughulikia mambo ya watu, na msahihi mno katika maamuzi yake.” Nafikiri kiasi hikikinatosha kuridhisha udadisi wa Nawab Sahib na kuondoa kuelewa vibaya kwa SheikhSahib.

WAKATI WA KIFO CHAKE, KICHWA CHA MTUKUFUMTUME (S.A.W.W.) KILIKUWA JUU YA KIFUA CHA AMIR-

UL-MU’MININ (A.S.)

Amma kwa madai ya kwamba wakati wa kifo cha Mtume, kichwa chake kilikuwa juu yakifua cha Ummu’l-Mu’minin Aisha, sio kweli. Maulamaa wenu wenyewe wameoneshakwamba wakati wa kifo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kichwa chake kilikuwakimeegamia juu ya kifua cha Amirul-Muminin.

Sheikh: Ni katika kitabu kipi ambacho maulamaa wetu wameandika habari hii?

Muombezi: Soma “Kanzu’l-Ummal”, Jz. 4, uk. 55 na Jz. 6, uk. 392 na 400; na “Tabaqa”cha Muhammad Bin Sa’d Katib, sehemu ya 2, uk. 51; “Mustadrak” cha Hakim Nishapuri,Jz. 3, uk. 139; Talkhis-e-Dhahab; Sunan ya Ibn Shabih; “Kabir” cha Tabari; Musnad yaImam Ahmad Hanbal, Jz.3; “Hilyatu’l-Auliya” cha Hafidh Abu Nu’aim. Pamoja na tofau-ti ndogo ya maneno, maandishi yote haya yanasimulia kutoka kwa Ummu’l-Mu’mininUmm Salma na Jabir Ibn Abdullah Ansari kwamba wakati wa kifo chake, Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alimuita Ali na kuweka kichwa chake juu ya kifua cha Ali mpaka alipofariki.Kwa nyongeza ya maneno haya, kuna maelezo ya Amiru’l-Mu’minin mwenyewe ambayo

Mikesha ya Peshawar

275

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 275

Page 294: Mikesh A

yameandikwa katika kitabu chake cha Nahju’l-Balagha. Ibn Abi’l-Hadid katika “SharheNahju’l-Balagha” yake, Jz. 2, uk. 561 anaeleza kwamba Mtukufu Imam kwa uwazi kabisaalisema: “Hakika roho ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) iliondoka ulimwenguni hapa wakatiambapo kichwa chake kilikuwa juu ya kifua changu; alivuta pumzi yake ya mwisho akiwamikononi mwangu. Hivyo nilifuta mikono yangu kwenye uso wangu.” Ibn Abi’l-Hadidkatika Jz. 2, uk. 562, ya kitabu chake anafafanua juu ya maelezo haya ya Imamu Ali,kwamba wakati kichwa cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kilipokuwa juu ya kifua cha Ali,matone kadhaa ya damu ya Mtume yalidondoka chini, ambayo Ali aliyafuta kwenye usowake.

Na katika ukurasa wa 590 wa kitabu hicho hicho, katika kuandika kwake kuhusu mazishiya Fatimah, anasema kwamba Ali alizungumza na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema:“Hakika nilikulaza kwenye kaburi; roho yako ilikutoka kati ya shingo na kifua changu.”Maelezo yote haya sahihi na hoja nzito zinazothibitisha wazi kwamba maelezo ya Aishahayawezi kukubaliwa. Ni ukweli unaojulikana kwamba Aisha alimpinga Amiru’l-Mu’minin kuanzia mwanzo kabisa. Insha-Allah nitaelezea kuhusu hili vile vile kama haliitahitaji hivyo.

KUDADISI KUHUSU URITHI AU UMAKAMU UNAOFUATIA MARA MOJA

Hadithi hizi kwa uwazi zinaonesha kwamba Allah aliteuwa mitume na makamu. Vile vilealimteua Ali kama makamu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Aidha, mrithi hapa ina maanaya ukhalifa, sio urithi wa hivi tu wa kifamilia. Kwa hiyo makamu alipewa mamlaka kamilijuu ya watu binafsi na jamii katika mambo yao yote, mamlaka kama yale yale aliyokuwanayo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Maulamaa wenu wote mashuhuri wameukiri uongozi huu wa Umma, ambao ulitolewa kwaAli. Hakuna aliyeukataa isipokuwa mashabiki wachache na maadui, ambao wamekataakukubali sifa za hali ya juu za Mtukufu Imam. Ibn Abi’l-Hadid anasema katika Sharheyake ya “Nahju’l-Balagha”, Jz. 1, (iliyochapishwa Misri): “Kwa mujibu wetu sisi hakunashaka kwamba Ali alikuwa wasii (makamu) wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), na kwa maoniyetu, mtu anayepinga ukweli huu ni yule tu ambaye ana chuki au uadui dhidi yake.”

MASHAIRI YA BAADHI YA MASAHABAKUHUSU UMAKAMU

Ibn Abi’l-Hadid ananukuu idadi ya mashairi ambayo huthibitisha umakamu wa Amiru’l-Mu’minin. Miongoni mwa hayo ni mashairi mawili ya Abdullah Bin Abbas, ambaye yeyeamesema: “Mbali na kuwa kwako wewe ni Ahlu’l-Bayt, vile vile wewe ni wasii (makamu)

Mikesha ya Peshawar

276

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 276

Page 295: Mikesh A

wake, na pale mtu anakukabili wewe katika uwanja wa vita, wewe ndiye mpiganaji bora.”Ananukuu mashairi ya Khazima Bin Thabit: “Mbali na ukweli kwamba umejumuishwakatika Ahlu’l-Bayt wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), vile vile wewe ni mrithi (makamu)wake wa kufuatia mara moja, na ushahidi wa yote yale yaliyokuja kwake.” Vile vileananukuu shairi la Sahaba, Abu’l-Hakim Tihan, ambaye alisema: “Hakika, ni yule mrithi(makamu) wa mara moja wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ambaye ndiye Imam na bwanawetu. Pazia zimeondolewa na siri zimefichuliwa.”

Pengine hii inatosha. Kama unataka kuona mashairi zaidi juu ya nukta hii unaweza kuso-ma kitabu hicho hicho. Kama anavyosema Ibn Abi’l-Hadid kama asingekuwa anaogopakukikuza mno kitabu hiki, angejaza kurasa zaidi kwa mashairi haya yanayothibitishaumakamu wa Ali. Hivyo ina maana kwamba, umakamu na utume hutegemeana. Hii nihatua baada ya cheo cha utume na hii ndio maana ya Mamlaka ya Mungu.

WOSIA WA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.) KUHUSU UMAKAMU WA ALI KATIKA VITABU VYOTE SAHIHI

Sheikh: Kama riwaya hizi ni sahihi, kwa nini hatuoni rekodi kama hiyo ya wosia nauthibitisho wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), kama tulivyo na zile ambazo zimeachwa na AbuBakr na Umar wakati wa vifo vyao?

Muombezi: Unaweza kujionea kwa urahisi kuhusu masuala haya kutoka kwenye vitabusahihi vya Shi’a, ambavyo vimeandika masuala haya kwa umoja wa maoni kutoka kwaAhlu’l-Bayt, lakini kwa vile tumekubaliana katika usiku wa kwanza kwamba tusichukuenjia ya hadithi za upande mmoja, inanipasa kurejea kwenye baadhi ya hadithi ambazo zina-patikana katika vitabu sahih vyenu wenyewe kama vile “Tabaqa” cha Ibn Sa’d, Jz. 2, uk.61; “Kanzu’l-Ummal” cha Ali Muttaqi, Jz. 4, uk. 54, na Jz. 6, uk. 155, 393, 403; Musnadya Imam Ahmad Hanbal, Jz. 4, uk. 164; na “Mustadrak” cha Hakim, Jz. 3 uk. 59, 111.

Mbali na hivi, wanachoni wenu mashuhuri kama Baihaqi katika Sunan na Dala’il yake, IbnAbdu’l-Barr katika Isti’ab, Tabrani katika Kabir na Ibn Mardawiyya katika kitabu chakecha Ta’rikh kadhalika na wengine wamesimulia kwa maneno tofauti, yale maelekezo namaagizo ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), ambaye alisema: “Ewe Ali! Wewe ni ndugu yanguna waziri wangu; utalipa madeni yangu. Utatimiza ahadi zangu na utatekeleza majukumuyangu. Utaikosha maiti yangu, utalipa madeni yangu na kunihifadhi kaburini.” Mbali nariwaya hizi za wazi, kuna idadi nyingine kubwa za maagizo au amri, ambazo zilitamkwana Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuhusiana na suala hili.

Mikesha ya Peshawar

277

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 277

Page 296: Mikesh A

MTUKUFU MTUME ALIZUIWA KUANDIKA WOSIAWAKE WAKATI WA KIFO CHAKE

Sheikh: Qur’ani Tukufu inasema: “Mmeandikiwa mmoja wenu anapofikiwa na mauti, kama akiacha mali afanye wosiakwa wazai wake jamaa zake kwa namna nzuri inayopendeza. Ni wajibu haya kwawachamungu.” (2:180) Kwa hiyo ilikuwa muhimu kwa Mtume kufanya wosia na kuteuamrithi wake wa mara moja. Wakati alipoona kifo chake kinakaribia kwa nini asifanyewosia wake kama walivyofanya Abu Bakr na Umar?

Muombezi: Kwanza, kwa maneno, “Wakati mmojawenu anapokaribiwa na kifo” je,una maana ya dakika za mwisho za uhai? Katika wakati huo ni aghalabu mtu yeyote kuwana akili timamu na akawa na uwezo wa kutekeleza majukumu yake kwa makini. Hakikamaelezo haya yanaashiria kwenye wakati wa dalili na ishara za uzee, udhaifu na ugonjwavinapojitokeza.

Pili, kauli yako hii tena imenitonesha hisia zangu na kunikumbusha msiba ambao hauwezikusahaulika, Mtukufu babu yangu, Mtume wa Allah, alisisitiza umuhimu wa Waislamukufanya wosia. Alisema: “Yule ambaye atakufa bila kufanya wosia, anakufa kifo cha kijin-ga, iwapo kutatokea kutokuelewana miongoni mwa warithi.” Wakati wa kipindi chake chamiaka 23 ya maisha ya kijamii alirudia rudia kumtangaza ‘wasi’ wake, yule mtu ambayeAllah alikuwa amemteua kama mwandamizi. Wakati yeye mwenyewe alipokuwa katikakitanda chake alichofia alitaka kurudia kile ambacho amekitangaza mara nyingi sana ilikwamba Umma usije ukapotoshwa na kuangukia kwenye makundi yenye kugombana.Inasikitisha kwamba wanamizengwe wa kisiasa walimpinga na kumzuia kutekeleza wajibuwake wa kidini. Matekeo yake ni kwamba, hata wewe pia unapata fursa ya kuuliza kwanini Mtume hakufanya wosia.

KUTOTIIWA KWA AMRI YA MTUME HAKUAMINIKI

Sheikh: Nafikiri maelezo yako haya hayana msingi wa kweli. Kwa hakika hakunaanayeweza kumzuia Mtume kutekeleza wajimu wake. Qur’ani Tukufu kwa uwazi kabisainasema!: “Chochote anachokupeni Mtume kipokeeni, na chochote kile ambachoanakukatazeni, jiepusheni nacho.” (59:7) Vile vile katika aya nyingine nyingi utii kwaMtume umefanywa kuwa ni suala la wajibu. Kwa mfano, Allah anasema: “Mtiini Allahna mtiini Mtume.” Ni dhadhiri kabisa, kukataa kumtii Mtume wa Allah ni ukafiri. Hivyo,

Mikesha ya Peshawar

278

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 278

Page 297: Mikesh A

Mashaba na wafuasi wa Mtume wasingeweza kumzuia kutangaza wosia wake.Inawezekana hadithi hii ni ya kughushi, ambayo imesambazwa na makafiri kuthibitishauzembe wa Umma.

RIWAYA SAHIHI KUHUSU MTUME KUZUIWAKUANDIKA WOSIA WAKE

Muombezi: Tafadhali usijifanye kuwa mjinga. Hii sio riwaya ya kughushi. Ni hadithiinayojulikana, ambayo madhehebu zote za ki-Islamu wanaikubali. Hata Bukhari naMuslim, ambao walikuwa waangalifu sana kuhusu hadithi yoyote kama hiyo, ambayoingeweza kutishia maoni yao wenyewe, wamesimulia tukio hili katika vitabu vyao vyahadithi. Wanaandika kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), wakati akiwa katika kitandachake alichofia, aliomba karatasi na wino ili kwamba aweze kutoa maelekezo fulaniyaandikwe kwa ajili yao ambayo yangewahifadhi wao wasipotee baada ya kifo chake.Baadhi ya wale waliokuwepo, wakishawishiwa na mwanasiasa, walisababisha vurugukiasi kwamba Mtume akakasirika sana na akawaamuru waondeke.

Sheikh: Siwezi hata kwa dakika moja kuliamini hili. Nani atathubutu kiasi hicho kuwezakumpinga Mtume wa Allah? Hata kama mtu wa kawaida akitaka kuandika wosia wake,hakuna mtu anayeweza kumzuia. Vipi mtu ataweza kumzuiya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)kufanya wosia wake? Kutomtii yeye ni ukafiri. Kwa vile wosia wa watu wakubwa wajumuiya ni chanzo cha mwongozo, hakuna mtu ambaye angeweza kuuzuia usitekelezwe.Khalifa Abu Bakr na Umar walifanya wosia wao, na hakuna mtu aliyewazuiya kufanyahivyo. Narudia tena, siiamini riwaya hii.

Muombezi: Unaweza ukaiamini au usiiamini. Kusema kweli kila Mwislamu anashangaakuisikia. Kila mtu, wa taifa lolote au jumuiya awezayo kuwa, anapigwa na mshangaokusikia tukio kama hili.

IBN ABBAS ANALIA KWA SABABU MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.) ALIZUIWA KUANDIKA WOSIA WAKE

Hili sio suala la huzuni kwako wewe na sisi tu peke yetu. Masahaba wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) vile vile walisikitikia tukio hili la msiba. Bukhari, Muslim, na maulamaawengine wakubwa wa madhehebu yenu wamesimulia kwamba Abdullah Bin Abbas marakwa mara alitokwa na machozi na alisema: “Oh! Alhamisi ile! Oh! Alhamisi ile! Jinsi ganiilivyokuwa katika Alhamisi ile!” Kisha alilia sana kiasi kwamba ardhi ilitota kwa machoziyake. Watu walimuuliza ilitokea nini siku ya Alhamisi kinachomfanya alie. Yeye alijibukwamba, wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akiwa amelala katika kitanda chake alichofia,

Mikesha ya Peshawar

279

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 279

Page 298: Mikesh A

aliomba karatasi na wino ili kwamba aweze kuandika wosia, ambao ungewazuia kupoteabaada yake, baadhi ya wliokuwepo walimzuia kufanya hivyo na hata walithubutu kusemakwamba Mtume alikuwa anaweweseka (Allah anisamehe!). Alhamisi ile haiwezi kusa-hauliwa. Hawakumruhusu Mtume kuandika wosia wake na walimuudhi kwa kauli zao.

UMAR ALIMZUIA MTUKFU MTUME KUANDIKA WOSIA WAKE

Sheikh: Ni nani aliyemzuia Mtume wa Allah kufanya wosia wake?

Muombezi: Alikuwa ni Khalifa wa pili, Umar Bin Khattab, ndiye ambaye alimzuiaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) kufanya wosia wake.

Sheikh: Nashukuru sana kwamba umenituliza. Maelezo haya yananisumbua sana.nilikuwa na mwelekeo wa kusema kwamba riwaya hizi zimeghushiwa na Mashi’a, lakininilinyamaza kwa sababu ya kukuheshimu. Sasa nakuambia kile kilichoko moyoni mwan-gu. Nakushauri usieneze visa hivi vya kubuni.

Muombezi: Nakushauri usikubali au kukataa mambo bila kuangalia sawa sawa. umefanyaharaka isiyo na sababu katika suala hili na umewashutumu Mashi’a wasio na hatia kwaughushaji. Vitabu vyenu wenyewe vimejaa riwaya tele ambazo zinaunga mkono hayamaoni yetu.

VYANZO VYA HADITHI YA“KUZUIWA KWA WOSIA”

Kama utaviangalia vitabu vyenu wenyewe, utaona kwa maulamaa wenu wenyewe wa kusi-fika, wamesimulia tukio hili. Kwa mfano, Bukhari, katika Sahih yake, Jz. 2, uk. 118;Muslim, katika Sahih yake (mwishoni mwa Kitab-e-Wasiyya); Hamidi katika Jam’iBainu’s-Sahihain; Imam Ahmad Bin Hanbal, katika Musnad, Jz. 1, uk. 222; Ibn Abi’l-Hadid, katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha, Jz. 2, uk. 563; Kirmani, katika Sharh-e-SahihBukhari; Nuwi katika Sharh-e-Muslim; Ibn Hajar, katika Sawa’iq; Kadhi Abu Ali; KadhiRuzbahan; Kadhi Ayaz; Imam Ghazali, Qutbu’d-Din Shafi’i; Muhammad Ibn Abu’l-KarimShahrastani; Ibn Athir; Hafidh Abu Nu’aim Ispahani; Sibt Ibn Jauzi; na wengine katikamaulamaa wenu kwa ujumla wamethibitisha habari hii ya msiba. Wameandika kwambawakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) anarudi kutoka kwenye hija yake ya mwisho, alishikwana maradhi. Wakati kikundi cha Masahaba kilipokuja kumuona, alisema: “Nileteeni wino,na karatasi, ili nikuandikieni wosia ambao hautawafanya ninyi mpotee baada yangu.”

Mikesha ya Peshawar

280

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 280

Page 299: Mikesh A

UMAR ALISEMA: “MTU HUYU ANAWEWESEKA, INATUTOSHA SISI QUR’ANI”

Imamu Ghazali ameandika katika kitabu chake Sirru’l-Alamin, Maqala ya 4, ambapokwayo Sibt Ibn Jauzi vile vile anainukuu katika kitabu chake Tadhkirat, uk. 36, na wenginewengi wa maulamaa wenu wakubwa wamesimulia kwamba, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)aliwataka watu kumletea wino na karatasi, na kwa mujibu wa baadhi ya hadithi alisema:“Nileteeni wino na karatasi ili nikuondoleeni kutoka katika mawazo yenu mashaka yote yaukhalifa baada yangu; yaani nitakuambieni ambaye anayestahiki ukhalifa baada yangu.”Kufikia hapa, wao wanaandika, Umar akasema, ‘Muacheni mtu huyu, kwani kwa hakikaanaweweseka (Allah anisamehe!); Kitabu cha Allah kinatutosha sisi.’”

MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.) ANAWAAMURU MASAHABAWANAOZOZANA WAMUONDOKEE

Baadhi ya Masahaba walikubaliana na Umar, na baadhi wakakubaliana na Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Kulikuwa na ghasia kubwa na rabsha kiasi kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alisema: “Niondokeeni; haifai kwenu kuonyesha hasira mbele yangu.”

Hii ilikuwa ndio vurugu ya kwanza miongoni mwa Waislamu mbele ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) katika kipindi chake chote cha miaka 23 ya huduma yake ngumu sana. Chanzocha tatizo hili kilikuwa ni Khalifa Umar, ambaye alipanda mbegu ya kutokuelewana mion-goni mwa Waislamu. Leo wewe na mimi, ndugu wawili katika Uislamu, matoleo yaketunakabiliana wenyewe kwa wenyewe katika upinzani.

KUMUITA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.) “MTU HUYU” ILIKUWA NI DHARAU KUBWA

Sheikh: Haikutegemewa kwa mtu kama wewe kuwa jasiri kiasi hicho cha kuweza kusemamaneno ya uzushi kuhusu mtu mkubwa kama Khalifa Umar.

Muombezi: Tuambie iwapo nilionesha ufidhuli wowote katika kusimulia mambo ya kihis-toria kutoka kwenye vitabu vyenu wenyewe. Je, unafikiri kwamba Khalifa Umar alikuwafidhuli wakati alipomzuia Mtume kuandika wosia wake? Je, alikuwa fidhuli wakatialipomkashifu Mtume mbele yake?

Mikesha ya Peshawar

281

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 281

Page 300: Mikesh A

Mshairi mmoja amesema kwa usahihi kabisa: “Unaona kibanzi katika macho yangu, laki-ni huoni boriti kwenye macho yako mwenyewe.” Je, Allah swt. Hasemi kwamba:“Muhammad si baba wa yeyote katika watu wenu, bali ni Mtume wa Allah namwisho wa Mitume?” Jina la Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) lazima siku zote litajwe kwaheshima ipasayo na kwa staha. Lazima aitwe “Mtume wa Allah” au “Mwisho wa Mitume.”Lakini Umar hakuonesha heshima juu ya amri hii ya Mungu, badala yake akamuitaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) kama “mtu huyu.” Sasa hebu sema kwa jina la Allah iwapo hiyodharau ilitendwa na mimi au na Khalifa?

NENO ‘HAJAR’ LILILOTUMIWA NA UMAR LINA MAANA YA KUWEWESEKA

Sheikh: Kwa nini unasema kwamba Hajar maana yake ni kuweweseka?

Muombezi: Wafasiri wote na maulamaa wenu wakubwa wanatoa maana ya Hajar kama nikuweweseka. Kwa mfano, Ibn Athir katika kitabu chake Jam’u’l-Usul, Ibn Hajar katikaSharh-i-Sahih Bukhari, na waandishi wengine wa ukusanyaji wa hadithi wanatoa maanahiyo hiyo. Mabwana waheshimiwa! kama mtu anasema “mtu huyu anaweweseka” kuhusuMtukufu Mtume (s.a.w.w.) wa Allah, je, hakuvunja adabu na amri ya Qur’ani?

DHARAU DHIDI YA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.) NI UKAFIRI

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa hakupoteza utume wake wala uma’sum wake. Kamamtu atatafsir maneno yake kama “kuweweseka,” je hiyo haimaanishi kwamba mtu kamahuyo hamuamini Allah na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)?

Sheikh: Je, ni sahihi kwa kutambua cheo chake kama Khalifa kumuona ni mwenyemakosa kwa kusema kwamba hakumuamini Allah na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)?

Muombezi: Wakati unaposikia kwamba Mtume anashutumiwa kwa kuweweseka hunakipingamizi. Lakini mtu aliyekalia ofisi ya ukhalifa akitajwa na maulamaa wenu wengikwamba alimkashifu Mtume, kwa mara moja unawatia Mashi’a kwenye makosa, badala yakuyaweka makosa ambako kwa haki yanastahili.

Maulamaa wenu wenyewe kama Kadhi Ayaz Shafi’i katika Kitab-e-Shifa; Kirmani katikaSharh-e-Sahih Bukhari, na Nuwi katika Sharh-e-Sahih Muslim wameandika kwamba mtuambaye ametumia maneno haya kwa uwazi hana imani kwa Mtume wa Allah. Hivyo kamamtu yeyote akimpinga Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), hususan kwa maneno ya matusi au

Mikesha ya Peshawar

282

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 282

Page 301: Mikesh A

akisema kwamba alikuwa akiweweseka, tunaona dhahiri kabisa kwamba alikuwa hanaimani kwa Mjumbe wa Allah.

FITINA YA KWANZA KATIKA UISLAMU MBELE YA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.)

Unaniuliza ni kwa nini ninamlaumu kwa kusababisha kutokuelewana miongoni mwa watu.Maulamaa wenu wenyewe wamelikubali jambo hili. Mwanachuoni mkubwa HuseinMeibudi anasema katika Sharh-e-Diwan kwamba ghasia za katika Uislamu kutokea kwamara ya kwanza mbele ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe, wakati alipokuwa kati-ka kitanda chake alichofia. Matatizo yalianza wakati Umar alipomzuia Mtume kuandikawosia wake

Shahrasan anasema katika kitabu chake Milal wa Nihal, Muqaddama ya 4 kwamba upin-zani kati ya makundi mawili ya Waislamu ulianza wakati Umar alipokataa kuruhusu winona karatasi kuletwa kwa Mtume kitandani kwake alipofia. Ibn Abi’l-Hadid alithibitishaukweli huu katika kitabu chake Sharh-e-Nahju’l-Balagha Jz. 2, uk. 563.

JE, MTUME ANGEWEZAKUZUNGUMZA UPUUZI?

Sheikh: Kama Khalifa Umar amesema maneno haya, sioni kwamba ni kukosa heshima.Wakati mtu anaumwa sana anaweza kuweweseka. Kama akizungumza manenoyasioeleweka, tunaweza kuyaita mazungumzo yake kama ni ya kuweweseka. Katika halihii hakuna tofauti kati ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na watu wengine.

Muombezi: Unatambua sana kwamba Mitume wote ni ma’sum na kwamba tabia hiihubakia mpaka kufa. Mtume Muhammad kwa hakika alikuwa ma’sum katika tukio hiliwakati aliposema alitaka kuwakinga watu wake kutokana na kupotea baada ya kifo chake.

Kama utaziangalia aya tukufu za Qur’ani ambazo zinasema: “Na hasemi kwa matamanio(yake); hayo (maneno) bali ni wahyi ulioshushwa (kwake).” “Na lazima mfanye yalealiyoyaamrisha Mtume juu yenu…” “Na mtiini Allah na mtiini Mtume…”, wewemwenyewe kwa uwazi utaelewa kwamba kuzuia wino na karatasi kuletewa MtukufuMtume (s.a.w.w.), kwa hakika ilikuwa ni upinzani kwa Allah. Huo ni ukweli unaokubali-ka kwamba neno kuweweseka lilikuwa ni tusi la wazi, na Khalifa kumuita kama “mtuhuyu” bado lenyewe ni tusi zaidi.

Mikesha ya Peshawar

283

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 283

Page 302: Mikesh A

MANENO “MTU HUYU ANAWEWESEKA”YALIKUWA NI MATUSI ZAIDI

Sasa ningependa uniambie ungejisikia vipi kama mtu katika mkutano huu, atakuashiriawewe aseme “mtu huyu anaweweseka.” Wewe na mimi hatuko huru kutokana na makosana tunaweza kuweweseka. Je, utaiita hiyo ni tabia nzuri au ni kutukana? Kama mazungum-zo ya namna hii ni ya matusi katika hali hii, itakubidi ukubali kwamba ufidhuli wowotekama huo dhidi ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ulikuwa ni matusi ya hali ya juu. Na haku-na mtu anayeweza kukataa ukweli kwamba ni wajibu wa kidini wa kila Mwislamu kuwambali na mtu ambaye tabia yake kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ilikuwa ya kuchukiza nakifidhuli kiasi hicho, wakati Allah amemuita katika Qur’ani Mtume Wake na Mwisho waMitume. Kama utaachilia mbali chuki zako, je, akili zako za kawaida zitasema nini kuhusumtu ambaye badala ya kumuangalia Mtume kama Mtume wa Mungu na Mwisho waMitume, anasema “mtu huyu anaweweseka?

KHALIFA HAWEZI KUTOLEWA LAWAMANI KWAKUMKOSEA ADABU MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.)

Sheikh: Tuchukulie tunakubali kwamba alikuwa katika makosa. Lakini kwa vile alikuwaKhalifa wa Mtume na alitekeleza busara zake kwa ajili ya usalama wa dini, alikuwa yukohuru kutokana na lawama zote.

Muombezi: Kwanza, kauli yako kwamba kwa vile alikuwa Khalifa na alitekeleza busarazake hayapasiki kabisa, kwa sababu katika siku ambayo alisema maneno hayo, yeyehakuwa Khalifa. Huenda pengine alikuwa hata hajauota.

Pili, kauli yako kwamba alitekeleza busara zake vile vile inashangaza. Je, hukufikiriakwamba mbele ya amri ya wazi, busara haina nafasi? Kwa kweli ni kosa ambalo kwambamtu hawezi kusamehewa.

Tatu, umesema kwamba amefanya hivyo kwa ajili ya usalama wa dini. Kwa hakikainashangaza sana ulamaa kama wewe kuweza kupoteza hisia zote za uadilifu.

NI MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.) ALIYEKUWA AKIHUSIKANA USALAMA WA DINI NA SIO UMAR.

Bwana mheshimiwa! Nani aliyekuwa na wajibu wa kuihifadhi dini – ni Mtme wa Allah auUmar Bin Khattab? Je, akili yako ya kawaida inakubali hoja ya kwamba Mtukufu Mtume

Mikesha ya Peshawar

284

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 284

Page 303: Mikesh A

(s.a.w.w.) (baada ya kuelezea masharti ya “Hamtapotea baada ya kuandika wosia huu”)hakuweza kuelewa kwamba kuandika wosia kulikuwa ni kinyume cha dini, au kwambaUmar alikuwa akiilewa vizuri zaidi na akamzuia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuandikawosia huu? Kushangaza kulikoje!

Unajua vizuri kabisa kwamba utokaji nje wowote kwenye misingi ya dini ni dhambikubwa, na haiwezi kusahemeka.

Sheikh: Hapana shaka kwamba Khalifa Umar alizitathmini hali na mazingira ambayoyalikuwepo katika dini na akafikia uamuzi kwamba kama Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)ataandika kitu chochote, ingesababisha hitilafu kubwa na machafuko. Hivyo ilikuwa kwaajili ya msaada na faida ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe kwamba alizuiaasipelekewe wino na karatasi.

Muombezi: Madhumuni ya hoja yako yanaelekea kuwa kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), ambaye alikuwa ma’sum, wakati alipokuwa anaulekeza Umma huu, alikuwahana habari ya kutosha ya uwezekano wa mgogoro baada ya kifo chake, na kwamba Umaralimuongoza katika sula hili. Lakini Qur’ani inatuambia: “Haiwi kwa muumini mwana-mume wala muumini mwanamke kuwa na hiari katika jambo, Allah na Mtume Wakewanapokata shauri katika jambo lao. Na mwenye kumuasi Allah na Mtume Wake,basi hakika amepotea upotofu ulio wazi.” (33:36) Khalifa Umar aliasi amri ya MtukufuMtume (s.a.w.w.), kwa kumzuia kuandika wosia wake. Aidha alikuwa fidhuli kwa kusemakwamba Mtume alikuwa anaweweseka. Ufidhuli huu uliumiza hisia za Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) kiasi kwamba aliwaambia watu waondeke mbele yake.

QUR’ANI TUKUFU PEKE YAKE HAITOSHI KWAAJILI YA MWONGOZO WETU

Sheikh: Lakini nia nzuri ya Khalifa iko dhahiri katika maneno yake ya mwisho, “Kitabucha Allah kinatutosha sisi (yaani, hatukuwa na haja ya maandishi ya Mtume wa Allah).”

Muombezi: Kwa hakika, maneno haya ndiyo uthibitisho mzuri wa ukosefu wake wa imanina kutokuijua kwake Qur’ani Tukufu. Lau angelijuwa ukweli wa Qur’ani Tukufu angeli-jua kwamba Qur’ani peke yake haitoshi kwa mambo yote. Imeweka kanuni za msingi,lakini maelezo kwa urefu yameachwa kwa watarjuma na wafasiri wake. Qur’ani ina amriambazo ni zenye kuendelea – (nasikh), na zilizofutwa - (mansukh), za jumla (‘am),haswa - mahususi (khass), zenye mipaka (muqayyad), zenye utata (mutashabih), halisi(mutlaq), mukhtasari (mujmal), au wazi (Mu’awwil).

Itawezekana vipi kwa mtu wa kawaida kupata maana kamili kutoka kwenye hii Qur’anibila msaada wa baraka za kimungu na tafsiri iliyotolewa na wafasiri wake? Kama Qur’ani

Mikesha ya Peshawar

285

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 285

Page 304: Mikesh A

peke yake ilikuwa inatosha kwa ajili ya Umma, kwa nini aya hii iliteremshwa: “Lazimamfanye yale aliyowaamrisha Mtume kufanya; na lazima mjiepushe na yale ambayoamekukatazeni.” Allah vile vile anasema katika Qur’ani Tukufu: “…na kama wan-gelilipeleka kwa Mtume na kwa wenye mamlaka kati yao, bila shaka walewanaochunguza miongoni mwao wangeliweza kulijua…” (4:83)

Kwa hiyo ina maana kwamba Qur’ani peke yake isingeweza kukidhi madhumuni yake bilaufafanuzi wa wafasiri wake, yaani, Muhammad na kizazi chake kitoharifu. Hapa tenaninaweza kurejea tena kwenye hadithi inayokubaliwa na wote (ambayo niliinukuu pamo-ja na baadhi ya vyanzo vyake katika mikesha iliyopita) ambayo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)ameirudia hata katika wakati wake wa kufariki akisema: “Ninaacha nyuma yangu VituViwili Vizito: Kitabu cha Allah na Ahlu’l-Bayt wangu. Kama mtashikamana katika viwilihivi kamwe, kamwe hamtapotea baada yangu; kwani hakika Viwili hivi, kamwe havi-taachana vyenyewe kwa vyenyewe mpaka vinifikie katika chemchemu ya Kauthar.”

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ambaye alikuwa akipewa msukumo na Allah, hakuiona Qur’anikwa kujitenga pekee kuwa ni yenye kutosha kwa ukombozi wetu. Alisema kwamba ni laz-ima tushikamane na Qur’ani na Ahlul’l-Bayt kwa vile (viwili hivyo) visingetengana mpakaSiku ya Hukumu, na kwamba hivi vilikuwa ni vyanzo vya mwongozo kwa ajili ya watu.Lakini Umar akasema kwamba Qur’ani peke yake inatutosha sisi. Hii inaonyesha kwam-ba hakukitupa tu kizazi kitoharifu bali pia aliikataa amri ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

QUR’ANI TUKUFU VILE VILE HUTUAMBIA TUWATAKE USHAURI AHL DHIKR, YAANI AHLUL-BAYT

Tunapaswa kumtii nani katika suala hili? Hakuna mtu mwenye akili ambaye atasemakwamba tuiache kando amri ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na kumfuata Umar. Basi kwanini mmekubali maoni ya Umar, mkapuuza amri ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)? KamaKitabu cha Allah kilikuwa kinatosha, kwanini tumeamriwa kuwauliza watu wa dhikir,kama Qur’ani Tukufu inavyosema: “…Basi waulizeni wenye kufahamu ikiwa ninyihamjui.” (16:43)

Ni wazi kwamba ‘dhikr’ maana yake ni Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) au Qur’ani Tukufu na‘watu wa dhikr’ maana yake Ahlu’l-Bayt wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).Nilikwishafafanua katika mikesha iliyopita pamoja hoja halali na vyanzo sahihi kwambamaulamaa wenu wakubwa kama, Suyuti na wengine, wamesimulia kwamba “watu wadhikr” maana yake Ahlul’l-Bayt.

Mikesha ya Peshawar

286

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 286

Page 305: Mikesh A

KUKATALIWA MANENO YA UMARNA QUTBUD-DIN SHIRAZI

Qutbu’d-din Shirazi ambaye ni mmoja wa wanachuoni wenu wakubwa, anasema katikakitabu chake “Kashfu’l-Ghuyub”: “Ni ukweli unaokubalika kwamba hatuwezi kufanyamaendeleo katika njia bila ya mwongozo. Tunashangaa madai ya Khalifa Umar kwamba,kwa vile tunayo Qur’ani kati yetu, hatuhitaji mwongozo wowote. Ni kama vile mtu akise-ma kwamba, kwa vile tunavyo vitabu vya madawa, basi hatuhitaji mganga. Ni dhahirikabisa utetezi huu ni wa uongo, kwa sababu mtu ambaye hawezi kutatutua tatizo lake kwakusoma vitabu vya madawa, lazima amuone mganga kwa ushauri. Hali inakuwa hiyo hiyokatika suala la Qur’ani Tukufu. Kila mtu hawezi kupata faida kutoka kwenye Qur’aniTukufu kwa uwezo wake mwenyewe. Lazima awaendee wale wenye elimu ya Qur’aniTukufu.”

Qur’ani Tukufu inasema: “…Na lau kuwa wangelipeleka kwa Mtume na kwa wenyemamlaka kati yao, wale wanaochunguza wangelijua…” (4:83)

Kusema kweli kitabu halisi ni moyo wa mtu ambaye ana elimu, kama Qur’ani Tukufuinavyosema: “Bali hii (Qur’ani) ni Aya zilizo wazi katika vifua vya wale waliopewaelimu…” (29:49)

Kwa sababu hiyo Ali alisema: “Mimi ni Kitabu cha Allah kinachozungumza, na hii Qur’anini Kitabu kilicho kimya.” Hivyo kwa mujibu wa watu wenye elimu Umar alikosea. Ilikuwani dhulma kubwa kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wa Allah kwamba alizuiwa kuandikawosia wake.

ABU BAKR HAKUZUIWA KUANDIKAWOSIA WAKE

Amma kuhusu madai yako ya kurudia rudia kwamba Abu Bakr na Umar hawakuzuiwakuandika wosia wao, nakiri kwamba ni kweli. Inashangaza, kwa vile wanahistoria nawanahadith wote wameandika katika vitabu vyao sahihi, kwamba Khalifa Abu Bakr,wakati wa kufariki kwake, alimuambia Uthman bin Affan aandike kile anachosema.Ilikuwa ni wosia wake. Aliandika kila alichoambiwa na Abu Bakr. Umar na wengine vilevile walikuwepo katika tukio hilo. Hakuna aliyepinga. Umar hakusema: “Kitabu cha Allahkinatutosha sisi; hatuhitaji wosia wa Abu Bakr.” Lakini hakumruhusu Mtukufu Mtume waAllah (s.a.w.w.) kuandika wosia wake.

Hii inaonesha kwamba tabia hii chafu na kumzuia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuandikawosia wake haikuwa chochote bali ni njama za kisiasa.

Mikesha ya Peshawar

287

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 287

Page 306: Mikesh A

Ibn Abbas alikuwa na haki kabisa ya kulia. Ulimwengu wote wa ki-Islamu unapaswa kutoamachozi ya damu. Kama Mtume angelipewa nafasi ya kuandika wosia wake, suala laukhalifa lingetatuliwa kwa uwazi kabisa. Matangazo ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)aliyokuwa akiyatoa huko nyuma yangelithibitishwa. Lakini wanasiasa waliasi dhidi yakena kumzuia.

Sheikh: Kwanini unadai kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alitaka kusema kitu kuhusuukhalifa?

Muombezi: Kabla ya kufariki kwa Mtume, sheria zote za dini zilikuwa zimewekwa wazi.Aya ya “Ukamilisho wa Dini” imelifanya hili kuwa wazi. Naam, kwa hakika suala laukhalifa lilikuwa katika hali ambayo kwamba alitaka kuhakikisha kwamba kusingekuwana utatanishi kuhusiana nalo. Nilikwisha kuambieni kwamba Imamu Ghazali katika kitabuchake “Sirru’l-Alamin (Maqala ya 4) ameandika kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ame-sema: “Nileteeni wino na karatasi ili niweze kuwaondolea mashaka yoyote mawazonimwenu kuhusu ukhalifa na kwamba niweze kurudia kuwaambieni ni nani anastahiki cheohicho.” Maneno yake “Ili kwamba msije mkapotea baada yangu” yanathibitisha kwambalengo la wosia wake lilikuwa ni mwongozo wa Umma. Katika suala la mwongozo, haku-na msisitizo uliohitajika isipokuwa katika kuhusiana na ukhalifa na uimamu.

Mbali na hili hatusisitizi nukta ya kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alitaka kusema kitukuhusu huo ukhalifa au uimamu. Kwa hakika alitaka kuandika kitu kuhusiana na mwon-gozo wa watu ili kwamba wasije wakapotea baada yake. Basi kwa nini hakuruhusiwakuandika wosia wake? Hata kama tukichukulia kwamba kumzuia kufanya hivyo ilikuwasahihi, je ilikuwa ni lazima vile vile kumfedhehesha na kumtukana?

HIVYO NI WAZI KWAMBA ALI ALIKUWA MRITHI WAMARA MOJA WA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.)

Mambo haya yanafanya kuwa wazi kabisa kwamba Ali alikuwa mrithi wa mara moja waMtukufu Mtume wa Allah (s.a.w.w.). Ingawa Mtume alitangaza mara kwa mara jambo hilihuko nyuma, alitaka katika hatua hii ya mwisho kuiandika katika wosia wake ili kwambamajukumu ya umma yaweze kuwa salama. Lakini wanasiasa walijua alichotaka kufanyakwa hiyo wakamzuia kufanya hivyo na wakamfedhehesha.

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) Mtume alisisitiza katika hadithi nyingi kwamba Allah (swt) ali-teua waandamizi wa mitume: Adamu, Nuh, Musa, Isa na wengine, na kwamba alimteua Alikama mwandamizi kwa jili yake. Vilevile alisema Ali ni mrithi na mwandamizi wangu wamara moja baada yangu katika Ahlu’l-bayt na umma wangu.”

Sheikh: Kama riwaya hizi zitachukuliwa kuwa kweli, basi hazikusimuliwa kwa mwen-delezo kamili. Vipi utaweza kupata chanzo kutoka kwenye riwaya hizo?

Mikesha ya Peshawar

288

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 288

Page 307: Mikesh A

Muombezi: Makubaliano ya maoni kuhusu wosia wa Mtume kwa mujibu wetuyanathibitishwa na maelezo ya kizazi kitukufu cha Mtume. Aidha, utakumbuka kwambanilikuelezeni katika mikesha iliyopita kwamba maulamaa wenu huichukulia riwaya yapekee kama sahihi. Mbali na hilo katika riwaya hizi, kama hakuna mapatano haswa yamaneno, basi kwa hakika kuna kupatana kwa maana ya jumla.

HADITHI YA ‘LA NURITH,’ YAKATALIWA.

Mbali na hayo, unaambatanisha umuhimu usio na sababu kwenye mwendelezo wa riwaya(Mutawatir). Wakati unaponyamazishwa na hoja zetu, unakimbilia nyuma ya haja yamutawatir. je unaweza kuthibitisha umutawatir wa hadithi ya “la nurith?” (hatuachiwarithi)?

Wewe mwenyewe unakiri kwamba msimuliaji wa hadithi hii alikuwa ni Abu Bakr au AusBin Hadasan. Lakini mamilioni ya wana-tawhiid na Waislamu wanyofu katika kila zamawameikataa hii inayoitwa ati ni hadithi. Uthibitisho mzuri wa uwongo wa hadhithi hii, nikwamba alikataliwa na lango la elimu ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Ali na kizazi chotecha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Watu hawa walidhibitisha kwamba hadithi hii ilikuwa niya kubuni. Kama nilivyokwisha sema awali, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Kwakila Mtume kuna mwandamizi na mrithi, hakika Ali ni mwandamizi na mrithi wangu”

UKHALIFA NI MALI YAMRITHI WA ELIMU

Kama unasema kuwa urithi wao hakuwa na maana ya urithi wa mali bali ule wa elimu(ingawa imethibitishwa kwamba walimaanisha urithi wa mali) hoja yangu inakuwa dhahirizaidi. Mrithi wa elimu wa Mtume alistahili cheo cha ukhalifa zaidi kuliko mtu yeyote katiya wale ambao hawakuwa na elimu ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Pili, Imethibitisha kuwa Mtume alimfanya Ali kuwa mwandamizi na mrithi wake wa maramoja, kwa mujibu wa hadithi ilivyosimuliwa na maulanaa wenu wenyewe. Allah alimteuakwenye cheo hiki. Je,ingewezekana kweli Mtume kupuuza kumtaja mwandamizi na mrithiwake? Aidha inashangaza kwamba katika kutatua masuala yanayohusiana na sheria zadini, Abu Bakr na Umar walikubali uamuzi wa Ali. Maulana wenu wenyewe na wana his-toria wameziandika hukumu zilizotolewa na Ali wakati wa uhalifa wa Abu Bakri, Umar naUthman.

Hafidh: Inashangaza sana kwamba unadai kuwa makhalifa hakujua sheria za dini nakwamba Ali alikuwa akiwakumbusha mara kwa mara.

Mikesha ya Peshawar

289

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 289

Page 308: Mikesh A

Mwombezi: Hakuna cha kushangaza kuhusu hilo. Kuzijua zote zote ni vigumu sana.Isingewezekana kwa mtu kuwa na elimu kamilifu kama hiyo isipokua kama angekuwa niMtume wa Allah au lango la elimu ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Maulamaa wenuwenyewe wakubwa wamesimulia mambo haya kwenye vitabu vyao sahihi. Ninatoa mfanoili kwamba watu wasiojua wasije wakadhani tunasema mambo hayo ili kuwaudhi wao.

HUKUMU YA ALI KUHUSU MWANAMKE AMBAYE ALIZAAMTOTO BAADA YA UJAUZITO WA MIEZI SITA

Imamu Ahmad Hanbal katika Musnad yake; Imamul-Haram Ahmad bin Abdullah Shafi’ikatika kitabu chake Dhakha’ir-e-Uqba; Ibn Abil-Hadid katika Sharh-e-Nahaju’l-Balagha;na Sheikh Suleiman Hanafi katika kitabu chake Yanabiu’l-Mawadda, sura 56, akinukuukutoka kwa Ahmad Bin Abdullah; Ahmad bin Hanbal; Qala’i na Ibn Saman wanasimuliatukio lifuatalo:

Umar alitaka kumpiga mwanamke mawe kwa sababu alizaa mtoto baada ya ujauzito wamiezi sita. Ali akasema, “Allah anasema ndani ya Qur’ani tukufu kwamba ule muda,kuanzia kushika mimba, mpaka muda ulioagizwa wa kunyonyesha unachukua kipindi chamiezi thelathini. Kwa vile kipindi cha kunyonyesha ni miaka miwili, muda wa ujauzito nimiezi sita.” Hivyo Umar akamwachia huru yule mwanamke na akasema, ‘Kama Aliasingekuwepo hapa Umar angeangamia.’”

Katika sura hiyo hiyo ananukuu kutoka kwenye Manaqib ya Ahmad Bin Hanbali: “WakatiUmar anapokabiliwa na tatizo gumu na akawa hawezi kulielewa, alitegemea juu ya ujuziwa Ali” Idadi ya matukio kama haya yalitokea wakati wa ukhalifa Abu Bakr na Uthman.

Wakati watakapotatazika katika matatizo fulani, walimwita Ali kama mwamuzi wa halali.Wao wenyewe walitenda kwa mujibu wa uamuzi wake. Sasa unaweza kushangaa kwa ninihawakuukubali ushahidiwa Ali katika suala la Fadak. Sasa katika suala lile walichaguakufuata matamanio yao na wakaipora haki ya Fatima.

HADITHI YA ‘LA NURATH,’ HAIKUTUMIKAKWENYE MALI NYINGINE

Hoja ya tatu kudhibitisha uwongo wa hadithi hii ni maelezo na kitendo cha Abu Bakrmwenyewe. Kama hadithi hii ingelikuwa sahihi vitu vyote ambavyo Mtume ameviachavingekuwa vimetwaliwa. Na warithi wasingekuwa na haki katika vitu vyote alivyoviacha,lakini Abu Bakr alitoa nyumba ya Fatima na kumpa yeye (Fatima) na vilevile akatoanyumba za wake za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na kuwapa Aisha, Hafsa na wengine kamaurithi wao

Mikesha ya Peshawar

290

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 290

Page 309: Mikesh A

KURUDISHA ABU BAKR FADAK KWA FATIMA NAKUINGILIA KATI KWA UMAR.

Mbali na haya, kama hadithi hii ilikuwa sahihi na kama Abu Bakr aliamini kuwa ni amriya Mtukufu, basi kwa nini, baada ya kuitwaa Fadak (ambayo aliichukulia kwamba ni sada-ka inayo wahusu Waislamu) aliandika hati kwamba mali hiyo irudishwe kwa fatima?Baadae Khalifa Umar aliingilia kati na kuichanachana hati ile.

Hafidhi: Haya n maelezo ya pekee. Sijawahi kusikia kwamba Khalifa aliirudisha Fadak.Ni kipi chanzo cha taarifa hii?

Muombezi: Mpaka sasa utakuwa unaelewa kwamba kamwe sifanyi madai yoyote ambayosiwezi kulitetea kwa ukamilifu. Ibn Abi’l Hadid katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha na AliBin Burhanud-Din Shafi’i katika kitabu chake Ta’rikh Siratu-l-Halabiyya Jz. 3, uk. 391anaandika kwamba Abu Bakr alitokwa na machozi kwa ajili ya hotuba ya Fatima yenyekutia hamasa. Alilia kwa sababu ya masaibu ya Fatima na hatimaye aliandika hati akielezakwamba mali hiyo inarudishwa kwake Fatima. Lakini Umar akaichana hati hati ile. Hatahivyo inashangaza zaidi kwamba Umar huyo huyo, ambaye wakati wa ukhalifa wa AbuBakri alipinga kurudisha kwa Fadak, yeye aliirudisha kwa warithi wake wakati wa ukhal-ifa wake. Kadhalika makhalifa wa Amawi na Bani Abbas vilevile waliirudisha kwa warithiwa Fatimah.

Hafidhi: Unachosema kwa kweli kinashangaza. Inawezekana vipi kwamba Khalifa Umar,ambaye kwa mujibu wa maelezo yako, yeye alipinga vikali sana kurudishwa kwa Fadakkwa Fatima, leo aliirudisha kwa warithi wa Fatima?

Muombozi: Kwa hakika inashangaza mno. Nawasilisha kwa ruhusa yako, riwaya za ula-maa wenu wenye sifa kutoka kwa makhalifa ambao waliirudisha na kuichukua tena Fadak.

KURUDISHA FADAK KWA KHALIFAKWA KIZAZI CHA FATIMAH

Mwanahadithi na mwanahistoria ajulikanaye sana wa Madina, Allama Samhudi (alikufa911A.H.) katika kitabu chake “Ta’rikhu’l-Madina” na Jaqut Bin Abdullah Rumi katikakitabu chake Mu’ajamul-Buldan, wanaeleza kuwa wakati wa ukhalifa wake, Abu Bakrialichukua umiliki wa Fadak. Umari wakati wa utawala wake akairuidisha kwa Ali naAbbas. Kama Abu Bakr aliihodhi kwa amri ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na akachukulia

Mikesha ya Peshawar

291

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 291

Page 310: Mikesh A

kama ni mali ya Waislam, ni kwa kanuni ipi ambayo Umari aliaminisha mali ya Waislamuwote kwa mtu mmoja binafsi?

Sheikh: Pengine nia yake katika kuitoa mali hiyo kwa mtu binafsi, ilikuwa kwambaitabakia katika hifadhi ya Waislamu.

Muombezi: Wakati mwingine shahidi anakuwa mwereru zaidi kuliko mdaiwa ambayeanamtolea ushahidi. Khalifa hukuwa na mawazo kama hayo. Kama mali hiyo ilirudishwakwa ajili ya matumizi Waislamu, ingeandikwa hivyo katika historia. Lakini wanahistoriawenu wakubwa wanaandika kuwa ilitoewa kwa manufaa ya Ali na Abbas. Ali alipokeaFadak kama mrithi wake wa haki, sio kama Mwislamu binafsi. Mwislamu mmoja hawezikumiliki mali ya Waislamu wote.

KURUDISHWA FADAK NA UMAR IBN ABDUL-AZIZ

Sheikh: Pengine rejea hiyo ni kwa Umar Ibn Abdul-Aziz.

Muombezi: Ali na Abbas hawakuwa hai wakati wa Umar Ibn Abdu’l-Aziz. Hiyo ni hadithinyingine tofauti. Allama Samhudi katika kitabu chake Ta’rikhul-Madina na Ibn Abil-Hadidkatika kitabu chake Sharh-e-Nahju’l-Balagha, Jz. 4, uk. 81, anasimulia kutoka kwa AbuBakr Jauhari kwamba wakati Umar Bin Abdu’l-Aziz alipochukuwa nafasi ya ukhalifaalimwandikia Gavana wake wa Madina kurudisha Fadak kwa kizazi cha Fatima. Kwa hiyoalimwita Hasan bin Hasanu’l-Mujtaba (na kulinga na riwaya nyingine alimuita Imam AliIbnu’l-Husein) na akairudisha fadak kwake. Ibn Abi’l-Hadid anaandika kuhusu hili katikakitabu chake Sharh-e-Nahju’l-Balagha, Jz. 4, uk. 81 katika maneno yafuatayo: “Hiiilikuwa mali ya kwanza ambayo iliporwa kinyume cha sheria na kisha ilitolewa na kupe-wa kizazi cha Fatima na Umar Bin Abdu’l-Aziz.” Ilibakia katika miliki yao kwa mudamrefu mpaka Khalifa Yazid Ibn Abdu’l-Malik alipoipora tena. Kisha Bani Umayyawakaikalia. Wakati ukhalifa ulipokwenda kwa Bani Abbas, Khalifa wa kwanza wa BaniAbbas, Abdullah Saffa, alitoa Fadak kwa watoto wa Imam Hasan ambao waligawanyamapato yake kwa mujibu wa haki za urithi, kwa kizazi cha Fatima.

KURUDISHWA FADAK KWA KIZAZI CHA FATIMANA ABDULLAH MAHDI NA MAMUN — BANI ABBAS

Wakati Mansur alipowatesa watoto wa Imam Hasan, aliipora Fadak kutoka kwao tena.Wakati mwanae Mahdi alipokuwa Khalifa, aliirudisha tena kwao. Wakati Musa bin Hadialipokuwa Khalifa aliipora tena Fadak. Mamunu’r-Rashidi wa Bani Abbas alipokichukuakiti cha ukhalifa aliagiza Fadak kutoewa kwa kizazi cha Ali. Yaqut Hamawi ananukuu

Mikesha ya Peshawar

292

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 292

Page 311: Mikesh A

maagizo ya Mamun katika kitabu chake Mamun katika kitabu chake Mu’ajamu’l Buldan.”Mamun aliandika kwa Gavana wake wa Madina: “Hakika, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) waAllah aliitoa Fadak kwa binti yake Fatima. Ukweli huu umethibitishwa na kujulikana wazikwa kizazi cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).”

Mshairi ajulikanae sana, Di’bal Khuza’i, alikuwepo pia wakati huo. Alisoma baadhi yamashairi, la kwanza ambalo likiwa na maana: “Leo wote tunayo furaha na shangwe.Mamum amerudisha fadak kwa Bani Hashim.”

UTHIBITISHO KWAMBA FADAK ILITOLEWA KWA FATIMA

Imimethibitishwa na hoja zisizokanushika kwamba Fadak ilitolewa na Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) kumpa Fatima. Iliporwa bila haki yoyote. Lakini makhalifa wa baadae, katikamisingi ya uadilifu au mitazamo ya kisiasa waliirudisha kwa kizazi cha Bibi yulealiyeonewa.

Hafidh: Kama Fadak ilitolewa kwake kama zawadi, kwa nini aliidai kama urithi naasiseme chohote kuhusu zawadi?

Muombezi: Kwanza aliidai kama zawadi. Lakini mashahidi walipohitajika kutoka kwammiliki wa mali, kinyume na mafundisho ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wa Uislamu, ali-toa mashahidi. Ushahidi wao ulikataliwa. Hivyo alilazimika kutafuta kinga chini ya sheriaya mirathi.

Hafidhi: Nina wasiwasi umekosea. Hatujaona kumbukukmbu yoyote ya madai ya Fatimahkwamba Fadak ilikuwa zawadi.

Muombezi: La, sijakosea. Jambo hili halikusimuliwa kwenye vitabu vya Shi’a tu, bali piakatika vile vilivyoandikwa na maulama wenu wakubwa. Imeandikwa katika Siratu’l-Halabiyya, uk. 39, kilichokusanywa na Ali Bin Burhanud-Din Halabi Shafi’i (amekufa1044 A.H) kwamba kwanza Fatima alipingana na Abu Bakr kwamba yeye (Fatima) alim-iliki Fadak na kwamba yeye alipewa na Mtukufu Mtume wa Allah (s.a.w.w.). Kwa vileushahidi ulikataliwa alilazimika kudai haki yake kwa mujibu wa sheria za mirathi. vilevileFakhru’d-din Razi katika “Tafsiri-e-Kabir” kuhusu madai ya Fatimah; Yaqut Hamwanikatika kitabu chake Mu’ajamu’l-Buldan; Ibn Abi’l-Hadid Mu’tazali katika Sharh-e-Nahjul-Balagha, Jz. 4, uk. 80, kutoka kwa Abu Bakr Jauhari na yule shupavu Ibn Hajarkatika Sawa’iq-e-Muhriqa, uk. 21, chini ya kichwa cha maneno Shuhubhati-e-Rafza,Shubha ya 7, anasimulia kwamba dai la kwanza la Fatimah lilikuwa kwamba Fadakilikuwa zawadi. Wakati mashahidi wake walipokataliwa aliudhika sana na akasema kwa

Mikesha ya Peshawar

293

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 293

Page 312: Mikesh A

hasira kwamba hatazungumza tena na Abu Bakr na Umar.

Na hivyo ndivyo ilivyokuwa - hakuwaona tena na wala hakusema nao. Wakati wa kifochake ulipokaribia alielezea bayana katika wosia wake kwamba asihudhurie hata mmojawao katika sala yake ya jeneza. Ami yake Abbas, aliendesha ibada ya mazishi, na akazik-wa usiku. Kwa mujibu wa vyanzo vya Shi’a na kwa mujibu wa maelezo ya Maimamwatukufu, Ali ndiye aliendesha ibada ya mazishi.

HOJA KWAMBA ABU BAKR ALITENDA KWA MUJIBU WA“AYA YA USHAHIDI” NA MAJIBU YAKE.

Hafidhi: Naam kwa kweli hapana shaka kwamba Fatimah alikasirika sana, lakini AbuBakr Siddiq si wakulaumiwa sana. Aliwajibika kutenda kwa mujibu wa sheria za kidinizilizowazi. Kwa vile “aya ya ushahidi” ni ya umuhimu wa jumla, na mdai lazima aletewanaume wawili au mwanaume mmoja na wanawake wawili au wanawake wanne kamamashahidi, na kwa vile katika suala hili idadi ya mashadi ilikuwa haitoshi, Khalifaasingeweza kutoa hukumu inayompendelea Fatima.

Muombezi: Hafidhi Sahib amesema kwamba Khalifa aliwajibika kutenda kwa mujibu washeria za dini, na kwa vile ushaidi kamili haukupatikana hakuweza kutoa hukumu. Nitajibunukta hii, na naomba ninyi muwe waadilifu katika kupima kauli yangu.

KUDAI MASHAHIDI KUTOKA KWA WAMILIKIILIKUWA NI KINYUME CHA SHERIA

Kwanza ulisema Abu Bakr ‘alilazimika chini ya sheria za kidini.’ Unaweza tafadhali uka-niambia ni amri ipi ya dini inayohitaji mashahidi kutoka kwa mtu ambaye amiliki mali?Imethibitishwa kwamba Fatimah alikuwa katika umiliki wa Fadak. Kama ilivyoelezwa namaulamaa wenu wote, kuhitaji mashahidi kwa Abu Bakr kutoka kwa Fatima ilikuwakinyume cha sheria za dini. Je, sheria zetu za dini hazisemi kwamba ushahidi lazimautolewe na mlalamikaji na sio yule mwenye kushikilia mali?

Pili, hakuna anayekataa ile maana ya jumla ya aya ya ushahidi, lakini pia ina maanamakhususi.

Hafidh: Una maanisha nini kwa maana yake makhususi?

Mikesha ya Peshawar

294

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 294

Page 313: Mikesh A

Muombezi: Ushahidi wa hili ni riwaya iliyoandikwa katika vitabu vyenu sahihi vyahadithi, kuhusiana na Khazima Ibn Thabit. Alitoa ushahidi katika kumuunga mkonoMtukufu Mtume (s.a.w.w.) katika kesi inayohusiana na uuzaji wa farasi. Mwarabu mmojaalitoa madai dhidi ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na ushahidi wake (Khazima) wa pekeeulichukuliwa kama wa kutosha. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akampa jina (lakabu) laDhu’sh-Shahadatain kwa sababu alichukuliwa kama aliye sawa na mashahidi wawiliwaadilifu. Mfano huu unaonesha kwamba ‘Aya ya Ushahidi’ inaruhusu hali ya kipekeekatika mazingira fulani. Wakati Khazima, muumini mmoja binafsi na sahaba kutoka mion-goni mwa umma, alifanywa wa kipekee kwenye Aya hiyo, Ali na Fatima ambao walikuwaMa’asum kwa mujibu wa ‘Aya ya utakaso’ walikuwa katika nafasi nzuri zaidi kufaidiupendeleo huu wa kipekee. Kwa hakika wao walikuwa mbali kutokana na uwongo wa ainayoyote. Kukataa ushahidi wao ilikuwa ni kukataa ushahidi wa Allah swt.

KUKATAA MASHAHIDI WA FATIMA ILIKUWANI KINYUME NA SHERIA YA KIDINI

Hadhrat Fatima alidai kwamba Fadak ilitolewa kwake kama zawadi na baba yake nakwamba ilikuwa katika miliki na usimamizi wake wakati wa uhai wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Alitakiwa kutoa mashahidi. Alimtoa Amirul-Mu’uminin Ali Bin Abi Talib naHasan na Husein kama mashahidi wake. Lakini ushahidi wao ulikataliwa. Je, kitendo hikihakikuwa cha kidhalimu? Haieleweki ni kwa vipi mtu yeyote aweze kukataa ushahidi waAli. Allah katika Qur’ani Tukufu anasema lazima tuwe na Ali, yaani, lazima tumfuateyeye. Zaid-e-Adl alikuwa mfano halisi wa ukweli kwa sababu ya ukweli wake uliozidimno. Halikadhalika, Ali aliitwa ‘mkweli’ kwani Allah anavyosema: “Enyi mlioamini!Mcheni Allah na kuwenu pamoja na wakweli.” (9:119) Neno ‘Wakweli’ hurejea kwaMtume Muhammad, Ali na Ahlu’l-Bayt watukufu.

‘WAKWELI’ INAASHIRIA KWA MTUME MUHAMMAD NA ALI

Hafidh: Ayah hii inathibitisha vipi maoni yako, ambayo yangemaanisha kwamba kumfu-ata Ali ni wajibu kwetu?

Muombezi: (1) Wanachuoni wenu maarufu wameandika katika vitabu na tafsiri zaokwamba Aya hii iliteremshwa kwa kumsifia Muhammad na Ali. ‘Wakweli’ hurejea kwawatu hawa wawili watukufu, na kwa mujibu wa riwaya nyingine linamaanisha Ali; riwayanyingine zinasema kwamba hurejea kwa kizazi cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Imam Tha’labi katika tafsir yake Kashfu’l-Bayan, Jalalu’d-Din Suyuti akisimulia kutoka

Mikesha ya Peshawar

295

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 295

Page 314: Mikesh A

kwa Ibn Abbas katika kitabu chake Durru’l-Manthur, Hafidh Abu Sa’id Abdu’l-Malik BinMuhammad Khargushi akisimulia kutoka kwa Asma’is katika Sharafu’l-Mustafa, naHafidh Abu Nu’aim Ispahani katika kitabu chake Hilyatu’l-Auliya anasimulia kwambaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Hawa wakweli ni Muhammad na Ali.”

Sheikh Sulayman Hanafi katika Yanabiu’l-Mawadda, sura ya 39, uk. 1191, akisimuliakutoka kwa Muwaffaq Bin Ahmad Khawarizmi, Hafidh Abu Nu’aim Ispahani, naHamwaini wakisimulia kutoka kwa ibn Abbas, ambaye alisema: “Katika Aya hii ‘wakweli’ni Muhammad na kizazi chake.”

Na Sheikhu’l-Islam Ibrahim Bin Muhammad Bin Hamwaini, mmoja wa wanachuoni wenumashuhuri, katika kitabu chake Fara’idu’s-Simtain, Muhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’ikatika Kifayatu’t-Talib, sura ya 62, na Muhadith Sham katika Ta’rikh yake, akisimuliakutoka kwenye vyanzo vyake anaandika: “Pamoja na wa kweli, yaani, ni pamoja na AliBin Abi Talib.”

(2) Allah anasema:

“Na yule ambaye aliyeleta ukweli, na yule aliyeusadikisha kama, hao ndio wamchao(Mwenyezi Mungu).” (39:33)

Jalalu’d-din Suyuti katika Durru’l-Manthur, Hafidh Ibn Mardawiyya katika Manaqib,Hafidh Abu Nu’aim katika Hilyatu’l-Auliya, Muhammad ibn Yusuf Ganji Shafi’i katikaKifayatu’t-Talib, sura ya 62, na Ibn Asakir katika Ta’rikh yake, akisimulia kutoka kwenyevitabu mbali mbali vya wafasiri, anasimulia yafuatayo kutoka kwa Ibn Abbas na Mujahid:“Yule anayeleta ukweli ni Muhammad, na yule ambaye anauthibitisha ni Ali Bin AbiTalib.”

(3) Allah anasema katika Sura ya al-Hadid (chuma) ya Qur’ani Tukufu:“Na (kwa) wale waliomuamini Allah na Mtume Wake, hao ndio Masidiki naMashahidi mbele ya Mola wao; watapata malipo yao na nuru yao…” (57:19)

Imam Ahmad Hanbal katika “Musnad”na Hafidhi Abu Nu’aim Ispahan katika “ManazilMina’l-Qur’ani fi Ali” anasimulia kutoka kwa Ibn Abbas kwamba Aya hii tukufuiliteremshwa katika kumsifia Ali ikimtaja kama aliye ni miongoni mwa wakweli.

(4) katika Suratun-Nisa (wanawake) Allah anasema: “Na wenye kumtii Allah na Mtume Wake, basi hao watakuwa pamoja na wale aliowa-neemesha Allah miongoni mwa manabii na masidiki na mashahidi na watu wema, nahao ndio marafiki wema.” (4:69) Katika aya hii vilevile wakweli inaashiria kwa Ali.

Mikesha ya Peshawar

296

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 296

Page 315: Mikesh A

Kuna hadithi nyingi zilizosimuliwa na maulamaa wetu na wenu, zikionesha kwamba Alialikuwa ndiye mkweli wa umma na kwa kweli ndiye aliyetukuka mno miongoni mwawakweli.

ALI AMETUKUKA ZAIDI MIONGONI MWA

WAKWELI (MASIDIQ)

Wengi wa maulamaa wenu wakubwa wameandika katika vitabu vyao kwamba MtukufuMtume (s.a.w.w.) amesema: “Kuna masidiki wakubwa watatu - Hiziqil, yule Mu’mini wawatu wa Firauni, Habibu Najjar wa Suratal-Yasin, na Ali Bin Abi Talib ambaye ni mborawa wote.” Wameandika hadithi hii hawa wafuatao wote: Imamu Fakhru’d-Din Razi katikaTafsiri Kabir: Imam Tha’labi katika Kashfu’l-Bayani; Jalalud-Din Suyuti ndani yaDurru’l-Manthur; Imam Ahmad bin Hanbal katika Musnad; Ibn Shirwaih katika Firdaus;Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha, Jz. 2, uk. 451; Ibn Maghazil Shafi’i kati-ka Manaqib; na Ibn Hajar Makki katika Sawaiq-e-Muhriqa (hadithi 30 kati ya hadithi 40ambazo amefafanua juu ya ubora wa Ali) akinukuu kutoka Bukhari ambaye anasimuliakutoka kwa Ibn Abbasi, isipokuwa kifungu cha mwisho.

Vilevile Sheikh Suleiman Balkhi katika “Yanabiu’l-Mawadda” sura ya 42, akinukuu kuto-ka Musnad ya Imam Hanbal; Abu Nu’aim Ibn Maghazili Shafii; yule msemaji mkubwaKhwarizmi, akinukuu kutoka kwa Abu Laila na Abu Ayyub Ansari, katika Manaqib yake,Ibn Hajar katika Sawai’q (na kundi la wengine) anasilia kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) amesema: “Kuna Masidiki watatu - Habib Najjar, yule Mu’umin wa Sura yaYasini ambaye alisema: ‘Enyi watu! Wafuateni Mitume;’ Hizqil, Muumini wa watu waFirauni ambaye alisema “Je, mnamuua mtu ambaye anamuabudu Allah? na Ali Ibn AbiTalib ambaye ndiye mbora zaidi wa wote hao.”

Watu wanashangaa kuona jinsi uwelewa wako unavyokandamizwa na ukaidi wako. Ninyiwenyewe mnathibitisha kwa hadithi mbali mbali zenye kuafikiana na Qur’ani Tukufukwamba, Ali alishikilia cheo cha juu miongoni mwa watu wakweli (Siddiq) na badomnawaita watu wengine Siddiq ingawa hakuna hata aya moja ambayo imesimuliwakuhusu kuwa kwao wakweli (masidiq).

Enyi waungwana! tafadhalini kuweni waadilifu. Hivi ilikuwa ni sahihi kuukataa ushahidiwa mtu ambaye Allah anamwita ‘Sidiq’ ndani ya Qur’ani, ambaye sisi tumeamriwa kum-fuata?

Mikesha ya Peshawar

297

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 297

Page 316: Mikesh A

ALI YUKO PAMOJA NA HAKI NA QURAN.

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Ali yuko siku zote pamoja na haki na haki inamzun-guka Ali.” Khatibu Baghdad katika kitabu chake “Ta’rikh,” Jz. 4, uk. 321, Hafidhi IbnMardawiyya katika ‘Manaqib,’ Imam Ahmad Bin Hanbal katika Musnad, Fakhru’d-DinRazi katika Tafsiri-e-Kabir, Jz. 1, uk. 111, Ibn Hajar Makki katika Jam’u’s-Saghir, Jz. uk.74, 75, 140 na Sawa’iq-e-Muhriqa sura ya 9, Fasli ya 2, Hadith ya ishirini na mojaakisimulia kutoka Ummi Salama na Ibn Abbas vilevile katika Yanabiu’l-Mawadda, Suraya 65 uk. 185, akichukua kutoka “Jam’u’s-Saghir” ya Jalalu’d-Din Suyuti, kwa nyongezakatika “Tarikhu’l-Khulafa” uk. 116, Faidhu’l-Qadir, Jz. 4, uk. 358 akisimulia kutoka kwaIbn Abbas, “Manaqibu’s-Sab’in,” uk. 237, hadithi ya 44 akinukuu kutoka kwa mwandishiwa Firdaus; Sawa’iq-e-Muhriqa, sura 59, sehemu ya 2, uk. 238, akisimulia kutoka kwaUmmi Salama na Muhammad Bin Yusufu Ganji Shafi’i katika Kifayatu’t-Talib, baadhi yaowakisimulia kutoka kwa Umm Salama, wengine kutoka Aisha, na wengine kutoka kwaMuhammad Bin Abu Bakr wote wanasimulia kwamba wamemsikia Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) akisema: “Ali yuko pamoja na Qur’ani na Qur’ani ipo pmoja na Ali; kamwehakutakuwa na tofauti kati ya viwili hivyo, na viwili hivyo havitatengana vyenyewe mpakavinifikie kwenye hodhi ya Kauthar.”

Baadhi ya wapokezi wamesimulia maneno haya: “Haki wakati wote iko pamoja na Ali nayeye Ali wakati wote yupo pamoja na haki. Hakutakuwa na tofauti kati ya viwili hivyo,navyo viwili hivi havitatengana.”

Ibn Hajar anaandika katika Sawa’iq-e-Muhriqa, Sura ya 9 sehemu ya 2, uk. 77, kwambaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) juu ya kitanda chake alichofia, alisema: “Ninakuachieni baadayangu vitu viwili. Kitabu cha Alla pamoja na kizazi changu, Ahlu’l-Bayt wangu.” Kishawakati huku akiwa ameushika mkono Ali, aliunyanyua juu na akasema: “Huyu Ali yukopamoja na Qur’ani an Qur’ani iko pamoja na Ali. Viwili hivi havitatengana mpakavinifikie kwenye hodhi ya Kauthar. Kisha nitakiuliza kila kimoja chao kuhusu suala la uan-damizi (Urithi),”

Vile vile imesimuliwa kiujumla kwamba Mtume alisema: “Ali yuko pamoja na haki nahaki siku zote iko na Ali. Huzungukana wenyewe kwa wenyewe.” Sibt Ibn Jauzi, katikaTadhkrat-e-Khawasu’l-Umma, uk. 20, anasimulia kuhusiana na ‘Hadith-e-Ghadir’ kwam-ba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Haki imfuate Ali, katika upande wowoteatakaokwenda.” Sibt ibn Jauz akitoa maoni kuhusiana na hili anasema: “Hadithi inathibit-sha kwamba kama kuna tofauti yeyote kati ya Ali na Sahaba yeyote mwingine, basi hakiitakuwa pamoja na Ali.”

Mikesha ya Peshawar

298

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 298

Page 317: Mikesh A

UTII KWA ALI NI UTII KWA ALLAH NA

MTUME WAKE MTUKUFU

Imeandikwa katika vitabu ambavyo vimetajwa na katika vitabu vyenu vingine sahihikwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mara kwa mara alisema: “Yeyote ambaye anamtii Alihakika ananitii mimi. Na yeyote anayenitii mimi, hakika anamtii Allah. Yule ambae hamtiiAli hakika hanitii mimi, na yule ambaye hanitii mimi hakika hamtii Allah.”

Abu’l-Fat’h Muhammad Bin Abdu’l-Karim Shahrastani anaandika katia kitabu chake“Milal-wa-Nihal” kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Ukweli ni kwamba Alisiku zote yuko juu ya haki, na wale wanaomfuata yeye wako juu ya haki.”

Pamoja na riwaya zote hizi za wazi, ambazo zimeandikwa katika vitabu vyenu wenyewesahihi, je, si kweli kwamba kukataa kukubaliana na Ali kulikuwa ni sawa na kukataakukubaliana na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)?”

KHALIFA ABU BAKR HAKUFUATA SHERIA YA

USHAHIDI KATIKA KESI NYINGINE.

Hoja ya pili ambayo umeileta ni kwamba Khalifa alilazimika kutenda kwa mujibu wamtazamo wa nje wa kanuni ya dini kwa vile “aya ya ushahidi” katika maana yake yakijumla ilitumika katika suala hili. Kwa hiyo, kwa kutokuwepo kwa mashahidi,asingeweza kutoa “mali ya Waislamu” kumpa Fatima, kwa msingi wa madai yake pekeyake. Bali alikuwa na tahadhari sana kwamba alidai, kinyume cha sheria ya kidini,mashahidi kutoka kwa mmiliki haswa wa mali hiyo.

Kwanza nilikwisha kuwelezeni kwamba Fadak haikuwa Mali ya Waislamu. AlipewaFatima na baba yake kama zawadi na kushikiliwa kiumiliki na yeye.

Pili, kama kweli khalifa alitaka kufuata sheria ya dini, basi angeifuata hasa katika masulayote. Kwa nini alifuata sera ya undumilakuwili? Alizoea kutoa mali ya Waislamu kwawengine kwa kukubali tu madai ya mdomo bila kuchukua ushahidi wa shahidi yeyote.Lakini katika suala la mali ya Fatima alichukua tahadhari isiyokuwa ya kawaida.

Ibn abi’l -Hadid ameandika katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha, Jz. 4, uk. 25, kwambaalimuuliza Ali ibnul-Fariqi, mwalimu katika Madrasa ya Gharbi huko Baghdad, iwapoFatima alikuwa katika haki na alizungimza ukweli kuhusu madai yake. Alisema: ‘Ndio?’Nikasema: ‘Kama alikuwa na haki na alisema kweli, kwa nini Khalifa hakurudisha Fadakkwake? Yeye (Fariqi) alitabasamu (ingawa kamwe hajafanya utani) na akasema kwambakama angeirudisha Fadak kwa Fatima siku ile, kesho yake angelikuja kudai ukhalifa kwa

Mikesha ya Peshawar

299

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 299

Page 318: Mikesh A

ajili ya mumewe. Halafu Khalifa angelazimika kurudisha haki ile vile vile, kwa vileangekuwa amekwishakubali ukweli wake katika suala liliopita.

Kwa mujibu wa wanachuoni wenu wakubwa, hali ilikuwa wazi kabisa. Walikuwawamekubali ukweli kwamba kuanzia siku ya kwanza haki ilikuwa pamoja na muonewaFatimah, lakini manufaa yao ya kisiasa yalihitaji kwamba lazima wamnyime bibi huyuasiye na hatia haki yake.

ABU BAKR ATOA MALI KWA JABIR BILAYA KUITA MASHAHIDI

Hafidhi: Ni lini ambapo Khalifa alitoa mali ya Waislamu bila shahidi yeyote?

Muombezi: Wakati Jabir alipodai kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa amemuahi-di kwamba atalipwa kutokana na ngawira aliyochukuliwa kutoka Bahrain, alipewa dinar1500 kutoka Baitul-Mal (Hazina ya Umma) bila ya kuleta kikwazo au kutaka shahidi yey-ote kutoka kwake.

Hafidhi: Kwanza sijaona riwaya kama hiyo. Pengine ipo kwenye vitabu vyenu. Piautawezaje kudai kwamba mashahidi hawakuhitajiwa?

Muombezi: Ni ajabu kwamba hakuiona riwaya hii. Riwaya hii ya Jabir bin AbdullahAnsari ni moja ya hoja za maulamaa katika kuunga mkono maoni yao kwamba riwaya yapekee ya sahaba muadilifu inakubalika.

Kwa sababu hiyo, Sheikhu’l-Islam Hafiz Abdu’l-Fazl Ahmad Bin Ali bin Hajar Asqalanianasema katika kitabu chake Fathu’l-Bari Fi Sharh-e-Sahihu’l-Bukhari: Riwaya hiiinathibitisha kwamba simulizi ya sahaba mwadilifu inakubaliwa hata ingawa inamnufaishayeye mwenyewe binafsi, kwa sababu Abu Bakr hakutaka shahidi kutoka kwa Jabir katikakuunga mkono madai yake. Bukhari anaandika taarifa hiyo katika maelezo marefu mnokatika Sahih yake. Katika mlango wa ‘Man Yakfal un mayyit dainan’ na na Kitabu’l-Khuma fi Bab-e-ma Qata an-Nabi mina’l Bahrain,’ anaandika kwamba wakati ngawira yaBahrain ilipoletwa Madina, Abu Bakr alitangaza kwamba yeyote yule ambaye aliahidiwapesa na Mtume wa Allah au yeyote ambaye ana madai ambayo hayajatoshezwa aje apokeehaki yake. Jabir alikuja na akasema: Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliniahidi kwamba wakatiBahrain itakaposhindwa na kuwa chini ya usimamizi wa Waislamu, nitapewa zawadi kuto-ka kwenye ngawira hiyo. Hivyo mara moja Abu Bakri alimpa dinnar 1,500 bila ya kuitishaushahidi wewote, juu ya msingi tu wa madai yake. Jalalud-Din Suyuti vile vile ameandikatukio hili katika kitabu chake “Ta’rikhu’l-Khulafa” katika sehemu juu ya ukahlifa wa AbuBakr.

Mikesha ya Peshawar

300

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 300

Page 319: Mikesh A

Enyi watu waadilifu: Tafadhali nakuombeni mnifahamishe kwa jina la Allah kama huuhaukuwa utovu wa uadilifu. Isipokuwa kama kulikuwepo na chuki fulani ikifanya kazi,vipi ilikuwa halali kwa Abu Bakr kuihalifu “aya ya ushahidi” na kumpa Jabir pesa juu yamsingi wa madai yake peke yake? Mbali na hili, Bukhari katika Sahih yake na wenginewengi kati ya maulamaa na wanachuoni wenu wa sheria, wanakubali ushahidi mmoja wasahaba muadilifu hata kama unatoa manufaa binafsi kwake mwenyewe. Lakini wanayaonamadai ya Ali kwamba hayakubaliki kwa misingi kwamba alitaka kitu kwa manufaa yakemwenyewe. Je, Ali hakuwa mtu mkamilifu miongoni mwa masahaba? Kama mtaliangaliasuala hili kwa uadilifu mtakubali kwamba haikuwa tu unyimaji wa haki, bali yote yalikuwani mabavu na hila iliyowazi.

Hafidhi: Na fikiri Abu Bakr hakuhitaji mashahidi kutoka kwa Jabir kwa sababu alikuwammoja wa wale Masahaba waliofundishwa kwa karibu na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Kwahakika amemsikia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akisema: “Kama mtu yeyote akitoa maelezoya uwongo kuhusu mimi makazi yake yatakuwa motoni.” Akifahamu onyo hili kali, niwazi kabisa kwamba Sahaba aliyefundishwa kwa karibu na muumini, asingewezakuchukua hatua ya kimakosa kama hilo na asingeweza kuhusisha maelezo ya uwongo kwaMtume wa Allah.

Muombezi: Je, Jabir alikuwa karibu na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) au Ali na Fatima,ambao walifundishwa maalum na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)?

ALI NA FATIMA WALIKUWA WAHUSIKAWA AYA YA UTAKASO

Hafidhi: Ni wazi kwamba Ali na Fatima walikuwa karibu zaidi na Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) wa Allhah, kwa sababu walikuwa chini ya mafundisho yake kuanzia kuzaliwakwao hasa.

Muombezi: Hivyo itakubidi kukubali kwamba Ali na Fatima lazima walikuwa wafuasimakini wa onyo hili na wasingeweza kwa msingi wa hadith ya Mtume, kufanya madaiyoyote ya uwongo. Na ni wajibu juu ya Abu Bakr kukubali madai ya Fatima kwa vile cheocha watu wote hawa wawili kilikuwa juu zaidi sana kuliko cha Jabir (kama ambavyomwenyewe unakiri). Kwa kweli cheo chao kilikuwa cha juu zaidi kwa Masahaba wotewengine. Walikuwa wastahiki wa “Aya ya Utakaso” na walikuwa watu ma’sum. Aya hiiinadhihirisha utohara wa watu watano hawa watukufu: Muhammad, Ali, Fatimah, Hasanina Huseini. Kwa kweli maulamaa wenu wakubwa vile vile wameshuhudia ukweli wa watuhawa watukufu.

Mikesha ya Peshawar

301

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 301

Page 320: Mikesh A

Ama kuhusu Amiru’l-Muminin, nimekwisha kukuambieni kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alimuita ‘Mtu Mkweli wa Umma wote,’ na Allah vile vile amemuita ‘mkweli’katika Qur’ani Tukufu. Kuhusu ukweli wa Fatimah Zahra, vile vile kuna hadithi nyingi zanamna hiyo. Miongoni mwao ni iliyosimuliwa na Hafiz Abu Nu’aim Ispahani katika kitabuchake “Hilyatu’l-Auliya,” Jz. 2, uk. 42, kutoka kwa Aisha ambaye alisema: “Sijamuonamtu yeyote mkweli zaidi kuliko Fatimah isipokuwa baba yake.”

Hafidhi: Madai yako kwamba aya hii imeshuka kwa kuwasifia watu wale watanohayawezi kukubalika. Katika midahalo hii umeonesha ujuzi mkubwa kuhusu vitabu vyetu.Unapaswa kukubali kwamba katika suala hili umekosea, kwa vile wafasiri kama KadhiBaidhawi na Zamakhshari wanaamini kwamba aya hii tukufu iliteremshwa kwa kuwasifiawake za Mtume. Na kama kuna riwaya yoyote isemayo kwamba iliteremshwa kwa kuwasi-fia watu wale watano, basi itakuwa ni dhaifu. Sababu ni kwamba aya yenyewe kama ilivyoinajithibitisha kinyume na maana hiyo. Muktadha wa “Aya ya Utakaso” umeunganishwana wake (wa Mtume) na sehemu ya kati haiwezi kuondolewa kwenye muktadha huo.

KUTHIBITISHA KWAMBA AYA YA UTAKASO HAIKUWA KWA KUWASIFIA WAKE ZA MTUME.

Muombezi: Dai lililoletwa na wewe linakanushika katika mitazamo mingi. Umesemakwamba sehemu ambazo zimetangulia na zinazofuatia zimehusishwa na wake za Mtume,na hivyo Ahlul’l-Bayt wameondolewa katika aya hii tukufu. Najibu hivi kwamba, kamainavyotokea mara kwa mara katika mazungumzo yetu, tunahamisha nadhari yetu kutokakwa mtu mmoja kwenda kwa mtu mwingine na kisha kurudi kwa mtu yule wa kwanza.

Kuna mifano mingi kuhusu suala hili katika mashairi ya waandishi wakubwa na washairiwa Kiarabu. Katika Qur’ani Tukufu yenyewe kuna mifano mingi ya aina hii. Kwa kweli,kama utachunguza sura iliyoko kwenye mjadala, al-Ahzab baada ya kuhutubia wake zaMtume, nadhari inahamishwa kwa waumini. Kisha mwishowe, wake za Mtumewanahutubiwa. Muda hauniruhusu kuwasilisha ushahidi uliofafanuliwa zaidi kuelezeanukta hii zaidi.

Pili, kama aya hii ilikuwa inahusu wake za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), vijina vilivyotumi-wa ndani yake vyingelikuwa vya kike. Lakini kwa vile vijina vyilivyotumika ni vya kiume,tunajua kwamba kuashiria huko sio kwa ajili ya wake za Mtume, bali kwa kizazi chaMtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Nawab: Kama Fatimah vile vile amejumuishwa katika kundi hili kwa nini dhamiri ya kikehaikutumika?

Mikesha ya Peshawar

302

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 302

Page 321: Mikesh A

Muombezi: (Akiwageukia maulamaa) Mabwana: mnajua kwamba aya hii, ingawaFatimah ni mmoja wa wanaotajwa, dhamiri ya kiume inatumika kwa sababu ya wingi wawanaume. Yaani katika kundi la wanaume na wanawake, uzito zaidi unawekwa kwawanaume. Katika aya hii utumiaji wa dhamiri ya kiume wenyewe ni uthibitisho kwambamaelezo haya sio dhaifu, bali yana nguvu kamili. Mbali na hili, kwa kuangalia wingi wajamaa wa kiume, kijina lazima kiwe katika dhamiri ya kiume kwa sababu katika WatukufuWatano kuna mwanamke mmoja na wanaume wanne.

Naam hakika lau kama aya hii ingekuwa kuhusu wake za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), utu-miaji wa dhamiri ya kiume kwa ajili ya wanawake ungelikuwa ni kosa kabisa. Mbali nahili, uamuzi uliotolewa kutoka kwenye hadithi sahihi katika vitabu vyenu wenyewe nikwamba aya hii tukufu iliteremshwa kwa sifa ya kizazi sio kuhusu wake zake.

Ingawa alikuwa mshabiki sana, Ibn Hajar Makki anasema katika kitabu chake, “Sawa’iq-e-Muhriqa” kwamba wafasiri wengi wanaamini kwamba aya hii iliteremshwa kwa sifa yaAli, Fatimah, Hasan na Husein.

WAKE ZA MTUME HAWAKUJUMUISHWAKATIKA AHLUL-BAYT

Tukiziweka pembeni hoja hizi, wake za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hawakujumuishwakatika Ahlul-Bayt.

Imesimuliwa katika Sahih Muslim na Jam’u’l-Usul kwamba Hasan Ibn Samra alimuulizaZaid Ibn Arqam iwapo wake za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) walijumuishwa katika Ahlul-Bayt wake. Zaid akasema: “Kwa jina la Allah, hapana. Mke anabakia na mumewe kwakipindi fulani, lakini wakati akimuacha, anakwenda kwenye nyumba ya baba yake, huun-gana na familia ya mama yake, na anakuwa ametoka kabisa kwa mumewe. Ahlul-Bayt niwale jamaa wa familia ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ambao kwamba sadaka kwao ni hara-mu. Hawatatengana na Ahlul-Bayt popote watakapokwenda.”

Mbali na maafikiani ya maoni ya wote pamoja miongoni mwa Ithna’shari Shia kuhusukizazi hicho kitukufu, kuna hadithi nyingi zilizoandikwa katika vitabu vyenu wenyewe,ambazo zinalikataa wazo la kwamba wake za Mtume wamejumuishwa katika Ahlul-Bayt.

Mikesha ya Peshawar

303

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 303

Page 322: Mikesh A

HADITHI NYINGI ZINAZOHUSU “AYA YA UTAKASO”IKIWA KATIKA KUWASIFIA WATUKUFU WATANO

Imamu Tha’labi katika “Tafsir-e-Kashfu’l-Bayan”; Imamu Fakhru’d-Din Razi katika“Tafsir-e-Kabir”, Jz. 6, uk. 783; Jalalu’d-Din Suyuti katika “Durru’l-Mansur”, Jz. 5, uk.199 na “Khasa’isu’l-Kubra”, Jz. 2, uk. 264; Nishapuri katika “Tafsiir”, Jz. 3; ImamuAbdu’r-Razzaq ar-Ra’sani katika “Tafsir Rumuzu’l-Kunuz; Ibn Hajar Asqalani katika“Isaba”, Jz. 4, uk. 208; Ibn Asakir katika “Ta’rikh” Jz. 4, uk. 204 na 206; Muhibu’d-DinTabari katika “Riyazu’n-Nuzra,” Jz. 2, uk. 188; Muslim Bin Hajjaj katika “Sahih”, Jz. 2,uk. 133 na Jz. 7, uk. 140; Nabhani katika “Sharaful-Mu’ayyid”, chapa ya Beiruti, uk. 10;Muhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’i katika “Kifayatu’t-Talib”, sura ya 100, pamoja nahadithi sahihi sita na Sheikh Suleimani Balkhi Hanafi katika “Yanabiu’l-Mawadda”, suraya 33, kutoka kwenye Sahih Muslim akitegemea juu ya hadith ya Ummu’l-Muminin Aisha;hadithi kumi kutoka Tirmidhi, Hakim Ala’u’d-Dowlat Semnani, Baihaki, Tibrani,Muhammad Bin Jarir, Ahmad Bin Hanbal, Ibn Abi Shaiba, Ibn Munzir, Ibn Sa’d, HafidhZarandi, na Hafidh Ibn Mardawiyya kama hadithi za Ummu’l-Muminin Ummi Salma,Umar Bin Abi Salma (ambaye alilelewa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Anas Bin Malik,Sa’d Bin Abi Waqqas, Wathila Ibn Asqa, na Abu Sa’id Khudri wamesema kwamba “Ayaya Utakaso” imeteremka kwa sifa ya watukufu watano.

Hata Ibn Hajar Makki, pamoja na kuwa mpinzani wa Shia katika hali nyingi amekubalimaana yake halisi katika njia saba. Anasema katika “Sawa’iq-e-Muhriqa” kwamba aya hiiiliteremshwa kwa sifa ya Muhammad, Ali, Fatimah, Hasani na Huseini, na kwamba watuhawa tu, watukufu watano ndio waliokusudiwa katika aya hii.

Sayyid Abu Bakr Bin Shahbu’d-Din Alawi katika kitabu chake “Kitab-e-Rashqatu’s-Sa’adi min Bahr-e-Fadha’il Bani Nabiu’l-Hadi” (imechapisha na A’lamiyya Press, Misr,1303 A.H.) sura ya 1, uk. 14-19, anasimulia kutoka kwa Tirmidhi, Ibn Jarir, Ibn Munzir,Hakim, Ibn Mardawiyya, Baihaqi, Ibn Hatim, Tibrani, Ahmad Bin Hanbal, Ibn Kathir,Muslim Bin Hajjaj, Ibn Abi Shaiba, na Samhudi katika misingi ya uchunguzi wa vitabu vyamaulamaa wenu, kwamba aya hii iliteremshwa kwa sifa ya watu watano watukufu hawa.

Katika Jam’i-Bainu’s-Sihahu’s-Sitta, Muata cha Imamu Malik Bin Anas, Sahih Bukhari naMuslim, Sunan ya Abu Dawud na Sijistani, na Tirmidhi, Jam’ul-Usul na vitabu vingine,maulamaa na wanahistoria wenu kwa ujumla wanakiri kwamba aya hii iliteremshwa kwasifa ya hawa watukufu watano. Na kwa mujibu wa madhehebu yenu, hadithi hii imesimuli-wa bila kukatishwa.

Mikesha ya Peshawar

304

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 304

Page 323: Mikesh A

HADITHI YA UMMI SALAMA KUHUSU ‘HARRIRA’(CHAKULA KITAMU CHA KIMIMINIKA) CHA FATIMAH

NA KUSHUKA KWA “AYA YA UTAKASO”

Wasimuliaji wengi wa hadithi wamesimulia tukio linalohusiana na harrira. Miongonimwao ni Imam Tha’labi katika “Tafsir” yake, Imam Ahmad Bin Hanbal katika “Musnad”,na Ibn Athir katika “Jam’u’l-Usul,” akinukuu kutoka “Sahih Tirmidhi na Sahih Muslim”:wote wanasimulia kutoka kwa mke wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Ummul-Mu’mininUmmi Salama, ambaye alisema: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa nyumbani kwanguwakati Fatimah alipomletea kikombe cha harrira. Wakati huo alikuwa amekaa kwenyebaraza ambayo amezoea kulala. Alikuwa na joho la Khaibari chini ya miguu yake.Nilikuwa ninaswali chumbani mwangu. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimuambia Fatimahamuite mumewe na watoto wake. Mara tu Ali, Hasan na Husein waliingia ndani na wotewakashirikiana ilie harrira. Jibril akajitokeza na kuteremsha aya hii tukufu kwa Mtume:

“…Allah anapenda kuwaondoleeni uchafu enyi watu wa nyumba! Na kuwatakasakwa utakaso kabisa…” (33:33)

“Kisha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akawafunika wote kwa joho lake, akanyanyua mikonojuu mbinguni, na akasema: ‘Ewe Allah, hawa ndio wanaokifanya kizazi changu.Waondolee kila aina ya uchafu na uwatakase kwa utakaso ulio kamili.’”

Ummi Salama anasema kwamba alisogea mbele na akatamani kuingia katika lile johoakisema: “Ewe Mtume wa Allah, na mimi vile vile naweza kujiunga katika kundi hili?”Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akajibu akasema: “Hapana, bakia kwenye sehemu yako, weweuko kwenye wema.” Hii ilikuwa na maana kwamba hakuweza kujumuishwa miongonimwa Ahlul’l-Bayt na kupata cheo chao, lakini mwisho wake ulikuwa uwe mzuri. ImamuFakhru’d-din Razi katika Tafsiir yake anaongeza kwamba Mtume alisema: “Dhambi zotezimezuiwa kwako” na “Umepewa majoho ya baraka.” Kwa hakika inashangaza sana kwamaulamaa wenu wasio waadilifu, ambao wanaandika katika vitabu vyao sahihi kwambaAli na Fatimah walijumuishwa katika “Aya ya Utakaso” (na uchafu mkubwa mno ni kuse-ma uwongo). Bado wanakataa Uimamu wa Ali (uandamizi/urithi) na kukataa ushahidiwake katika kumuunga mkono Fatimah kuhusu madai yake ya Fadak. Haijulikani ni kwakigezo gani wadai haki wanaunda hukumu.

Mikesha ya Peshawar

305

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 305

Page 324: Mikesh A

FADAK ILIPORWA KWA SABABU ZA KISIASA

Sasa ngoja turudi kwenye nukta yetu ya mwanzo. Je, ilikuwa sahihi kukataa maelezo yaAli na Fatimah na kuwanyima haki yao, lakini kukubali madai ya Jabir bila kusita kokoteingawa yeye alikuwa Mwislamu wa kawaida tu?

Hafidh: Kamwe haiwezi kukubalika kwamba Khalifa wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),ambaye alikuwa karibu mno na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), angeshawishika kuiporaFadak. Hakika Fadak haikuwa na maana kwa Khalifa, ambaye alikuwa na Baitu’l-Mal(Hazina ya Umma) ya Waislamu chini ya usimamizi wake.

Muombezi: Ni wazi kabisa kwamba hakuihitaji. Lakini kundi la kisiasa la wakati ule lili-iona kwawmba ni muhimu kuiharibu familia tukufu ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).Waliwafanyia watu hawa watoharifu kila aina hofu, mateso na umasikini, ili kwamba wasi-weze kuufikiria ukhalifa. Watu wapenda dunia hufanya chochote kilicho lazima kuwafanyawastawi katika ulimwengu huu.

Wanasiasa hawa walitambua kwamba kama familia hii kubwa ingekuwa inamiliki utajiriwa kidunia, watu kwa hakika wangeelekea upande wao. Mitazamo ya kisiasa iliwasukumakuipora Fadak na kufunga njia zao zote za mapato ya kifedha.

KHUMS YAPIGWA MARUFUKU

Miongoni mwa vitu vilivyopigwa marufuku kwa ajili yao ilikuwa ni khums, ambayokwayo msisitizo mkubwa umewekwa ndani ya Qur’ani. Kwa vile Allah amekataza sadakakwa ajili ya Mtume na kizazi chake, mlango wa khums ulifunguliwa kwa ajili yao.Anasema katika Qur’ani, Sura ya 8, Anfal (Ngawira za kivita).

“Na jueni kwamba kitu chochote kile mnacho kipata, moja ya tano yake ni kwa ajiliya Allah na Mjumbe Wake na jamaa wa karibu na yatima na mwana njia.” (8:41)

Matumizi haya yaliwekwa ili kwamba kizazi cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kiweze kuishikwa amani na kisije kikahitaji msaada wa jumuiya yao. Lakini mara tu baada ya kufarikikwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), walinyimwa fursa hii pia. Khalifa Abu Bakr alizuia hakihii Ahlul’l-Bayt na kusema kwamba khums lazima itumike kwa ajili ya vifaa vya vita.Hivyo familia ya Mtume ilifanywa ikose msaada kutoka sehemu zote.

Mikesha ya Peshawar

306

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 306

Page 325: Mikesh A

Imamu Shafi’i Muhammad Bin Idris anazungumzia kuhusu hili katika kitabu chake,“Kitabu’l-Umm” uk. 69: “Kizazi cha Mtume ambao kwamba Allah aliwapa fungu lakhums badala ya sadaka, hawawezi kupewa mgao wowote, mkubwa au mdogo, kutokakwenye sadaka za wajibu. Imekatazwa kwao kuzikubali. Wale ambao kwa makusudihuwapa sadaka hawatasamehewa kutokana na majukumu yao. Kwa kuwanyima haki yakhums, sadaka ambayo imekatazwa kwao, haitakuwa halali. Hata katika wakati wa KhalifaUmar Bin Khattab, kizazi cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) walinyimwa madai yao ya hakikwa msingi kwamba kiasi cha khums kilikuwa ni kikubwa sana na kwamba kisingewezakutolewa kwa jamaa wa karibu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Iliamuliwa kwamba pesahizo lazima zitumike katika matumizi ya jeshi. Wananyimwa haki hii hadi leo.

Hafidh: Imamu Shafi’i anasema khums lazima igawanywe katika mafungu matano: fungumoja linakwenda kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), ambalo hutumika kwa matumizi namahitaji ya Waislamu, fungu la pili ni kwa ajili ya jamaa zake wa karibu na mafungumatatu yaliyobakia ni kwa ajili ya mayatima, mafukara, na wasafiri.

Muombezi: Wafasiri kwa ujumla wanakubali kwamba wakati wa uhai wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) aya hii iliteremshwa kwa ajili ya msaada wa kizazi na jamaa wa karibu waMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Khums ilitumika kwa matumizi yao. Kwa mujibu wa kanuniya Shia, katika utiifu kwenye desturi iliyofutwa na familia ya Mtume na Maimamuwatukufu, na vile vile kwa kuafikiana na maana ya aya tukufu iliyotajawa hapo juu, khumsinagawanywa katika mafugu sita. Mafugu matatu yaliyokusudiwa kwa ajili ya Allah,Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na jamaa zake wa karibu yanaenda kwa Imam na, katika ghai-ba yake (huenda) kwa mwakilishi wake, mujtahid. Ni faqihi muadilifu na mzoefu, ambayehutumia pesa kwa ajili ya faida ya Waislamu, kwa mujibu wa busara zake mwenyewe.Mafungu matatu yaliyobakia yanagawanywa kwa mayatima, mafukara na wafuasi safi waMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Lakini baada ya kufariki Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), haki hiiwalinyimwa kizazi chake. Maulama wenu wenyewe wakubwa kama, Jalalu’d-din Suyuti,katika “Durru’l-Mansur, Jz. 3; Tabari, Imam Tha’labi katika “Tafsir-e-Kashful’l-Bayan”,Jarullah Zamakhshari katika “Kashshaf”, Qushachi katika “Sharh-e-Tajrid”, Nisa’i katika“ Kitab-e-Alfiy,” na wengine kwa pamoja wanakubali ukweli kwamba mabadiliko hayayaliingizwa kwa ujanja wa wanasiasa baada ya kifo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Hafidh: Unaona kwamba mujtahid ana haki ya kutumia busara zake, je, Khalifa Abu Bakrna Umar hawakutumia maamuzi zao na kujaribu kuwasaidia Waislamu?

Mikesha ya Peshawar

307

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 307

Page 326: Mikesh A

KHALIFA HAWEZI KUPITISHA AMRI YENYE KUVUNJAAMRI YA WAZI YA ALLAH NA MWENDO WA MTUME

Muombezi: Naam hakika mujtahid anayo haki ya kutengeneza hukumu, lakini haweziakageuza sheria ya wazi. Je, unapendelea maoni ya Khalifa Abu Bakr na Umar kuliko yaleyaliyomo kwenye aya ya Qur’ani iliyoko kwenye mjadala na mwenendo wa MtukufuMtume (s.a.w.w.)? Tafadhali kuwa muadilifu na tuambie iwapo walikuwa na matilabafulani makhususi nyuma ya yote haya. Mtu mwenye akili za kawaida atashawishikakuamini kwamba haya hayakuwa mambo ya kawaida, bali yalilienga katika kuifanyafamilia ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kukaa bila msaada.

ALLAH AMEMFANYA ALI SHAHIDI WAMTUKUFU MTUME (S.A.W.W.)

Mbali na yote haya, Allah amemtangaza Ali kuwa shahidi wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).Anasema katika Qur’ani: “Basi je, mtu ambaye ana dalili ya wazi itokayo kwa Molawake, inayo fuatwa na shahidi anayetoka Kwake…ulinzi na rehma?” (11:17)

Hafidh: Kadiri ambavyo elimu yangu inakwenda, “ambaye ana dalili wazi kutoka kwaMola Wake” maana yake Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na “shahidi” maana yake Qur’aniTukufu. Kwa nini unadai kwamba hapa “shahidi” maana yake Ali?

Muombezi: Sielezei maoni yangu binafsi kuhusu aya za Qur’ani. Tulichokijua kutokakizazi cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ni kwamba “shahidi” hapa maan yake Ali. Maulamaana wafasiri wana maoni hayo hayo. Maulamaa wenu mashuhuri wameandika takribanhadithi thelathini katika kuliunga mkono hili. Kwa mfano, Imam Abu Ishaq Tha’labianaandika hadithi tatu katika kitabu chake cha “Tafsir”; Jalalu’d-din Suyuti anaandika kati-ka kitabu chake “Durru’l-Mansur” kutoka kwa Mardawiyya, Ibn Abi Hatim, na AbuNu’am; Ibrahim Bin Muhammad Hamwaini anaandika katika kitabu chake “Fara’idu’s-Simtain” kutoka kwenye vyanzo vitatu; Sulaimani Balkhi Hanafi anaandika katika kitabuchake “Yanabiu’l-Mawadda” kutoka kwa Tha’labi, Hamwaini, Khawarizmi, Abu Nu’aim,Waqidi na Ibn Abdullah Ansari na wengineo; Hafidh Abu Nu’aim Ispahani anasimuliakutoka vyanzo vitatu tofauti; Ibn Maghazili Faqih Shafi’i, Ibn Abi’l-Hadid Mu’tazali, IbnMuhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’i (tazama kitabu chake “Kifayatu’t-Talib” sura ya 62)na wengine katika maulamaa wenu wanasimulia pamoja na tofauti kidogo ya manenokwamba “shahidi” katika aya hii maana yake Ali Bin Talib.

Mikesha ya Peshawar

308

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 308

Page 327: Mikesh A

Khatib Khawarizmi anaandika katika kitabu chake “Manaqib” kwamba watu walimuulizaIbn Abbas ni nini kilichomaanishwa na “shahidi”. Yeye alisema: “Hii inarejea kwa Ali,ambaye alitoa ushuhuda kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).” Hivyo, kwa mujibu wa shuhu-da za vitabu vyenu wenyewe vya kutegemewa, ilikuwa ni wajibu kwa jumuiya kukubaliushahidi wa Ali. Allah Mwenyewe amemuita shahidi wa Mtume. Kama vile MtukufuMtume (s.a.w.w.) alivyokubali ubora uliowazi wa Khazima Bin Thabit na akaulinganishaushahidi wake sawa na Waislamu wawili na akampa cheo cha Dhu’sh-Shahadatain, Allahswt. vile vile ameelezea katika aya hii cheo kitukufu cha Ali na akamtambulisha kama“shahidi” kwa ajili ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Mtu hushangaa ni katika misingi ipi yadini watu hawa waliamua kukataa ushahidi wa Ali.

Je, unaweza kukubali hukumu yao kwamba Ali Bi Abi Talib, ambaye alikuwa akikirihish-wa mno na mali za dunia hii na ambaye adabu na tabia yake ilikubaliwa na marafiki namaadui halikadhalika, alikuwa mtu wa kidunia? Hata maneno yasiopendeza yalitumiwadhidi yake, ambayo siwezi kuyasema. Yote yameandikwa katika vitabu vyenu.

Hivyo kutumia maneno “masilahi yake binafsi yalihusika katika kesi hiyo,” walikuwawanajaribu kushawishi watu kwamba inawezekana kwa Ali kutoa ushahidi wa uwongokwa ajili ya faida ya mkewe na watoto wake. (Allah ayasamehe maneno yangu!) Ajabuiliyoje kwamba ingawa Allah amemtambulisha kwama shahidi wa kuaminika, watu hawawajanja walikataa ushahidi wake.

MAUMIVU MAKALI YA KIAKILI YA ALI

Ingawaje Qur’ani inatambulisha uaminifu wa Ali, aliteseka kwa sababu ya shutuma zawanasiasa. Alisema katika khotuba yake ya Shiqshiqayya: “Nilivumilia maumivu makali.Ilikuwa kama ninachomwa katika jicho na kukabwa roho.” Maneno haya yanathibitishavya kutosha na zaidi mateso makali ya Mtukufu Imam. Alisema: “Naapa kwa jina la Allahkwamba mtoto wa Abu Talib ni mwenye kupenda mno kifo kuliko alivyo mtoto anyonyayeziwa la mama yake.” Wakati maaluni Abdu’r-Rahman Ibn Muljim Muradi alipompigadharuba la kichwa kwa upanga wenye sumu, yey Imam alisema: “Kwa Mola wa Kaaba,mimi ni mshindi.”

Mabwana, kile kilichotokea kilipaswa kisitokee. Lakini leo sio sahihi kwa ulamaa wenyebusara kama ninyi kusababisha matatizo zaidi kwa mtu mpendwa mno wa Allah na MtumeWake na kusababisha kutokuelewana miongoni mwa watu wasio na ujuzi. Mnajua kabisakwamba kumbughudhi Ali Bin Abi Talib kwa hakika ni kumbughudhi Mtukufu Mtume waAllah (s.a.w.w.).

Mikesha ya Peshawar

309

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 309

Page 328: Mikesh A

HADITHI INAYOWALAUMU WENYE KUMBUGHUDHI ALI

Imamu Ahmad Bin Hanbal katika Musnad yake, Imamu Tha’labi katika Tafsir yake naSheikhu’l-Islam Hamwaini katika kitabu chake Fara’id wamesimulia kwamba MtukufuMtume (s.a.w.w.) alisema: “Yule ambaye anamuonea Ali, ananionea mimi. Enyi watu, yey-ote yule anayemuonea Ali atafufuliwa Siku ya Hukumu kama Myahudi au Mkiristo.”

Ibn Hajar Makki katika uk. 78 wa sehemu ya 2, sura ya 9, Hadithi ya 16 kutoka kwa Sa’dIbn Abi Waqqas na Muhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’i katika Kifayatu’t-Talib, sura ya 68,anasema kwa kutegemea juu ya maandishi sahihi kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alisema: “Yule ambaye anambughudhi Ali, kwa hakika ananibughudhi mimi.”

Nakumbuka hadithi nyingine. Niruhusuni niisimulie. Kusimulia hadithi ya MtukufuMtume (s.a.w.w.) na kuisikia ni ibada. Hadithi hii imeandikwa na Bukhari katika Sahihyake; Imamu Ahmad Bin Hanbal katika Musnad yake; Mir Seyyid Ali Hamadani Shafi’ikatika Mawaddatu’l-Qurba; Hafidh Abu Nu’aim Ispahsni katika Maa Nazala Mina’l-Qur’ani fi Ali; Khatib Khawarizmi katika Manaqib na Ibn Maghazili Shafi’i katikaManaqib yake wameisimulia hiyo. Hakim Abu’l-Qasim Haskani vile vile anaisimuliakutoka kwa Hakam Abu Abdullah Hafidh, yeye kutoka kwa Ahmad Bin Muhammad BinAbi Dawud Hafidh, yeye kutoka kwa Ali Bin Ahmad Ajali, yeye kutoka kwa ‘Ibad BinYaqub, yeye kutoka kwa Artat Bin Habib, yeye kutoka kwa Abu Khalid Wasti, yeye kuto-ka kwa Zaid Bin Ali, yeye kutoka kwa baba yake, Ali Bin Husein, yeye kutoka kwa babayake, Husein Ibn Ali, yeye kutoka kwa baba yake, Ali Ibn Abi Talib; kila mmoja wawasimuliaji hawa alisema kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: huku akiwaameshika unywele wa ndevu zake: “Ewe Ali, yeyote ambaye ataumiza unywele wakommoja, hakika ananiumiza mimi; yule ambaye ananiumiza mimi hakika anamuumizaAllah, na yule ambaye anamuumiza Allah analaaniwa Naye Allah swt.”

Sayyid Abu Bakr Bin Shahabu’d-din Alawi katika kitabu chake Rashfatu’s-Sa’adi minBahr-e-Faza’il Bani Nabiu’l-Hadi, (kimepigwa chapa na A’lamiyya Press, Misri, 1303A.H.) sura ya 4, uk. 60, anasimulia kutoka Kabir cha Tabrani, Sahih ya Bin Habban, naHakim kutoka kwa Amiru’l-Mu’minin, kwamba Mtukufu Mtume wa Allah (s.a.w.w.) alise-ma: “Laana ya Allah iwe juu yake yule ambaye ananihuzunisha mimi kuhusiana na kizazichangu.”

ALI ALIBUGHUDHIWA NA KUTUKANWA

Mabwana, fikirieni yaliyo tokea. Ushahidi wa Ali ulikataliwa hadharani. Mali ya Fatimahilipokonywa. Pigo hili la uonevu liliumiza sana hisia za Fatimah kiasi kwamba aliutokaulimwengu huu katika umri wake mdogo wa ujana, akiwa amejawa na masononeko.

Mikesha ya Peshawar

310

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 310

Page 329: Mikesh A

Hafidh: Ni wazi kwamba mwanzoni Fatimah alikuwa amesononeka mno, lakinimwishowe wakati alipoona kwamba hukumu ya Khalifa ilikuwa sahihi, hakuwa na hasiratena. Hatimaye aliutoka ulimwengu huu akiwa ameridhika kikamilifu na kutosheka.

FATIMAH ALIBAKIA NA HASIRA JUU YAABU BAKR NA UMAR MPAKA KIFO CHAKE

Muombezi: Kama unayosema ni sahihi, kwa nini maulamaa wenu wakubwa wameandikakinyume chake? Kwa mfano, wanachuoni wawili wa kutegemewa, Bukhari na Muslim,wanaandika katika Sahih zao kwamba Fatimah alimkataa Abu Bakr kwa sababu alikuwaamekasirika. Kwa sababu ya kutoridhika kwake hakuzungumza naye kwa muda wa uhaiwake wote uliobakia. Wakati alipofariki, mume wake, Ali, alimzika usiku. HakuruhusuAbu Bakr kujumuika kwenye mazishi yake na kumsalia. Muhammad Bin Yusuf GanjiShafi’i amesimulia kisa hicho hicho katika kitabu chake “Kifaya,” sura 99. Vile vile AbuMuhammad Abdullah Bin Muslim Bin Qutayba Dinawari katika kitabu chake “Imamawa’s-Siyasa”, uk. 14, anaandika kwamba, wakati Fatimah alipokuwa mgonjwa kitandani,alisema kumuambia Abu Bakr na Umar: “Allah na Malaika wawe mashahidi wangukwamba ninyi wote (wawili) mmenisononesha. Wakati nitakapokutana na Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) kwa hakika nitamlalamikia dhidi yenu.” Vile vile vitabu hivi vinaandika:“Fatimah alimkasirikia Abu Bakr na alikataa kuonana naye muda wote wa uhai wakeuliobakia.”

Mbali na haya, kuna riwaya nyingi nyingine na hadithi zilizoandikwa katika vitabu vyenusahihi.

HUZUNI YA FATIMAH NI HUZUNI YA ALLAH NA MTUME

Kuna hadith inayojulikana sana iliyosimuliwa na maulamaa wenu wengi, kama ImamAhmad Bin Hanbal katika Musnad; Sulaiman Qanduzi katika Yanabiu’l-Mawadda; MirSayyid Ali Hamadani katika Mawaddatu’l-Qurba; Ibn Hajar katika Sawa’iq, akisimuliakutoka kwa Tirmidhi, Hakim na wengine, pamoja na tofauti ndogo ya maneno, kwambaMtukufu Mtume wa Allah (s.a.w.w.) Amesikika mara kwa mara akisema: “Fatimah nisehemu ya mwili wangu, ni nuru ya macho yangu, yeye ni tunda la moyo wangu, ni moyowangu katikati ya mbavu zangu mbili. Yule ambaye anamhuzunisha Fatimah ananihuzun-isha mimi; yule ambaye ananihuzunisha mimi, anamhuzunisha Allah; yule ambayeanamkasirisha yeye ananikasirisha mimi; kinachomuumiza Fatimah huniumiza mimi.”

Ibn Hajar Asqalani, katika kitabu chake “al-Isaba fi tamyiz as-Sahaba”, ananukuu kutokakwenye Sahih za Bukhari na Muslim kwamba Mtukufu Mtume wa Allah (s.a.w.w.) alise-

Mikesha ya Peshawar

311

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 311

Page 330: Mikesh A

ma: “Fatimah ni sehemu ya mwili wangu; kinachomuumiza yeye, huniumiza mimi; kileambacho huendeleza ufanisi wake wa kiroho, huendeleza ufanisi wangu wa kiroho.”

Muhammad Bin Talha Shafi’i katika kitabu chake “Matalibu’s-Su’ul”; Hafidh Abu Nu’aimIspahani katika Hilyatu’l-Auliya, Jz. 2, uk. 40, na Imamu Abdu’r-Rahman Nisa’i katikakitabu chake “Khasa’isu’l-Alawi,” wanasimulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alise-ma: “Hakika Fatimah, bint yangu ni sehemu ya mwili wangu; kinachomfurahisha yeye,hunifurahisha mimi; kinachomchukiza yeye hunichukiza mimi.”

Abu’l-Qasim Husain Bin Muhammad (Raghib Ispahani) anasimulia katika kitabu chake“Mahadhirratu’l-Ubada,” Jz. 2, uk. 204, kwamba Mtukufu Mtume wa Allah (s.a.w.w.)alisema: Fatimah ni sehemu ya mwili wangu; kwa hiyo anayemkasirisha yeyeananikasirisha mimi.”

Hafidh Abu Musa Bin Muthanna Basri (alikufa 252 A.H.) katika kitabu chake “Mu’ajam”;Ibn Hajar Asqalani katika “Isaba”, Jz. 4, uk. 35; Abu Ya’ala Musili katika Sunan yake;Tibrani katika “Mu’ajam”; Hakim Nishapuri katika “Mustadrak”, Jz. 7, uk. 154; HafidhAbu Nu’aim Ispahani katika “Fadha’ilu’s-Sahaba”; Hafidh Ibn Asakir katika “Ta’rikh-e-Shami”; Sibt Ibn Jauzi katika “Tadhkira”, uk. 175; Muhibu’d-din Tabari katika“Dhakha’ir”, uk. 39, Ibn Hajar Makki katika “Sawa’iq”, uk. 105 na Abu Irfanu’s-Subbankatika “As’afu’r-Raghibin”, uk. 171, wamesimulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alisema kumwambia binti yake, “Ewe Fatimah, hakika, kama ukikasirika Allah Naye vilevile anakasirika; kama ukifurahi, Allah vile vile anafurahi.”

Muhammad Bin Ismail Bukhari katika Sahih yake, katika sura ya Manaqib Qarabat-e-Rasulullah, uk. 71, ananukuu kutoka kwa Miswar Bin Makhrama ambaye alisema kwam-ba, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Fatima ni sehemu ya mwili wangu, hivyo yeyoteyule anayemkasirisha Fatima, hakika, ananikasirisha mimi.”

Kuna hadithi nyingi kama hizo zilizoandikwa kwenye vitabu vyenu sahihi, kama SahihBukhari; Sahih Muslim; Sunan ya Abu Dawud; Tirmidhi; Musnad ya Imamu AhmadHanbal; Sawa’iq-e-Ibn Hajar; na Yanabiu’l-Mawadda cha Sheikh Sulaiman Balkh.Utaoanisha vipi hadithi hizi na riwaya ambazo zinasema kwamba Fatima hakuutokaulimwengu akiwa amewakasirikia watu hawa?

TUHUMA KUHUSU ALI KUKUSUDIA KUMUOABINT YA ABU JAHL

Sheikh: Hadithi hizi ni sahihi, lakini vile vile imesimuliwa kuhusu Ali kwamba wakatialipokusudia kumuoa binti ya Abu Jahl, Mtume wa Allah akamkasirikia na akasema:“Yeyote yule anayemhuzunisha Fatimah ananihuzunisha mimi, na yeyote anayenihuzun-

Mikesha ya Peshawar

312

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 312

Page 331: Mikesh A

isha mimi ni mtu aliyelaaniwa na Allah.”

Muombezi: Lazima tukubali au tukatae mambo kwa kutumia akili ya kuzaliwa na busara.Allah anasema katika Qur’ani: “Kwa hiyo wape habari njema waja wangu wale ambaowanaosikiliza maneno, kisha wakafuata yale yaliyo mazuri; hao ndio wale ambaoAllah amewaongoza, na hao ndio watu ambao wanafahamu.”

Riwaya ilisimuliwa na wahenga wenu. Leo mnaunga mkono maneno yao bila kupimaubora wao. Ninawajibika kukupa jibu fupi. Kwanza, maulamaa wenu wenyewewamekubali ukweli kwamba Ali alijumuishwa katika “aya ya utakaso” na alikuwa ameto-harika kikamilifu. Pili, katika “aya ya Mubahila”, Allah amemuita “nafsi” ya MtukufuMtume (s.a.w.w.) kama tulivyokwisha kulijadili katika mikesha iliyopita. Tumeoneshakwamba alikuwa vile vile “mlango wa elimu ya Mtukufu Mtume wa Allah (s.a.w.w.)” naalikuwa anaelewa kwa ukamilifu amri na sheria za Qur’ani. Alijua kwamba Allah alisemakatika Sura ya Ahzab ya Qur’ani Tukufu: “Na haiwapasi ninyi kwamba mumpe mata-tizo Mjumbe wa Allah.”

Kwa vile hii ni kweli, Ali angewezaje kufanya au kusema kitu chochote ambacho kinge-muudhi Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)? Na mtu atafikiriaje kwamba mfano halisi wa ubora,yaani Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) atachukizwa na shaksiya ya mtu huyo aliyetukukaambaye alipendwa na Allah? Na je, atachukizwa na kitendo ambacho kimeruhusiwa naAllah, kama Anavyosema katika Qur’ani Tukufu: “…basi oeni wanawake wale ambaowanaonekana wazuri kwenu, wawili, au watatu au wanne”?

Amri hii ya nikah (ndoa) ni ya umuhimu wa jumla na imekusudiwa kwa ajili ya ummawote halikadhalika na kwa ajili ya mitume na waandamizi. Na kama tukichukulia kwam-ba Amiru’l-Mu’minin alikuwa na kusudio lolote kama hilo, ilikuwa ni ruhusa kwake.Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) asingeweza kuzuia tendo lolote linaloruhusiwa, wala hakutu-mia maneno kama hayo. Mtu yeyote mwenye akili, baada ya kuzingatia kwa makini,ataweza kujua kwamba riwaya hii ni moja ya riwaya za kughushi za Bani Umayya.Wanachuoni wenu wakubwa wanaukubali ukweli huu.

UZUAJI WA HADITHI WAKATI WA KIPINDI CHA MU’AWIYAH

Ibn Abi’l-Hadid Mu’tazali ananukuu riwaya kutoka kwa kiongozi na mwalimu wake, AbuJa’far Iskafi Baghdadi, katika kitabu chake “Sharh-e-Nahju’l-Balaghah”, Jz. 1, uk. 358,kwamba Mu’awiya Bin Abu Sufyani aliunda kikundi cha Masahaba na tabi’in (kizazi chapili ambacho kilifuata mara tu baada ya Mtume) kwa madhumuni ya kughushi hadithizenye kumlaani Ali. Madhumuni yao yalikuwa ni kumfanya mlengwa wa shutuma ilikwamba watu wajitenge mbali naye. Miongoni mwao walikuwamo Abu Huraira, Amr Bin

Mikesha ya Peshawar

313

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 313

Page 332: Mikesh A

Aas, Mughira Bin Shaiba, Urwa Bin Zubair, mmoja wa tabi’in vile vile alikuwa pamojanao. Abu Ja’far Iskaf vile vile amerejea kwenye baadhi ya hadithi zao za kughushi.Akizungumzia kuhusu Abu Huraira, anasema kwamba alikuwa ni mtu ambaye alisimuliahadithi yenye maana ya kuonesha kwamba Ali alitaka kumuoa binti wa Abu Jahl wakatiwa uhai wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Hili likamasirisha Mtume, na akasema juu ya mim-bar, “Rafiki wa Allah na adui wa Allah hawawezi kuwa pamoja. Fatimah ni sehemu yamwili wangu. Yule ambaye anamhuzunisha yeye ananihuzunisha mimi. Yule ambayeanataka kumuoa bint ya Abu Jahl lazima atafute kutengana na binti yangu.”

Baada ya hili, Abu Ja’far anasema kwamba hadithi hii inajulikana kama hadithi ya Karabis,kwa vile kila hadithi isiyo na msingi inaitwa karabis (kilugha, muuzaji wa nguo). Ibn Abi’l-Hadid anasema kwamba hadithi hii imesimuliwa katika Sahih mbili ya Bukhari na Muslimkutoka kwa Miswar Bin Makhrama za-Zahr. Na Sayyid Murtaza Alamu’l-Huda, ambayealikuwa mmoja wa maulamaa wakubwa wa Mashi’a, anasema katika kitabu chake“Tanzia’u’l-Anbia wa’l-A’imma” kwamba riwaya hii ilisimuliwa na Husein Karabisi,ambaye anajulikana kwa upinzani wake mkali kwa Ahlul’l-Bayt watukufu. Alitokana naNawasib na alikuwa mmoja wa maadui wakubwa wa familia hii tukufu. Riwaya yakehaikubaliki. Kwa mujibu wa hadithi zilizosimuliwa katika vitabu vyenu sahihi, adui wa Alini mnafiki (munaafiq). Munafiq kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu, ni kiumbe muovu kabisa.Kwa hiyo hadithi yake haina ubora wowote.

Mbali na hili, hadithi zinazowalaani watu wanasababisha maudhi kwa Fatimah hazikomeikwenye maelezo ya Karabisi au ile riwaya ya kughushi ya Abu Huraira kuhusu binti yaAbu Jahl. Kuna hadithi nyingi nyingine juu ya suala hili. Miongoni mwazo ni ileiliyosimuliwa na Parsa wa Bukhara katika kitabu chake, “Faslu’l-Khitab”; moja iliy-isimuliwa na Imamu Ahmad Bin Hanbal katika Musnad yake na Mir Sayyid Ali HamadaniShafi’i katika Mawadda 13 ya Mawddatu’l-Qurba, kutoka kwa Salman Muhammadi,kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Mapenzi ya Fatimah yana manufaa kwetusisi katika sehemu mia moja, nyepesi mno ya hizo ikiwa ni Kifo, Kaburi, Mizani, Sirat(daraja) na Kusailiwa. Hivyo, kama binti yangu Fatimah, yuko radhi na mtu fulani, mimivile vile niko radhi naye huyo. Kama nikiwa radhi na mtu fulani, Allah vile vile atakuwaradhi naye. Kama binti yangu Fatimah hayuko radhi na mtu fulani, mimi vile vile sitakuwaradhi naye. Kama siko radhi naye, Allah vile vile hatakuwa radhi naye. Ole wake yuleanayemuonea Fatimah na mume wake. Ole wake yule anayemuonea Ali na Fatimah naMashi’a wao.”

Nawaulizeni ni uamuzi gani mtakaochukua katika mwanga wa hadithi hizi sahihi nahadithi zilizoandikwa na Bukhari na Muslim kwamba Fatimah alibakia amewakasirikiaAbu Bakr na Umar mpaka kufa kwake.

Mikesha ya Peshawar

314

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 314

Page 333: Mikesh A

KUELEWA VIBAYA KUHUSU HASIRAZA FATIMA KWAMBA SIO ZA KIDINI

Hafidh: Naam kwa hakika hadithi hizo ni sahihi na zimeandikwa kwa urefu katika vitabuvyetu sahihi. Kwa hakika hata mimi vile vile niliitilia shaka riwaya ya Karabisi kwambaAli alitaka kumuoa binti ya Abu Jahl. Mimi sikuiamini, na sasa kwa hakika ninashukurusana kwamba umenitatulia tatizo hili.

Pili, katika hadithi hizi “hasira” maana yake ni hasira za kidini na sio hasira za mambo yakawaida ya kidunia. Hasira yake kuhusiana na Abu Bakr na Umar, ambayo imeandikwakatika vitabu vyetu vyote sahihi, haikuwa ya kidini. Yaani, Fatimah hakuwa na hasira naAbu Bakr na Umar kwa sababu walivunja amri yoyote ya kidini. Kwa hakika, kama mtuyeyote aliamsha hasira zake za kidini, angepasika na laana ya Mtume wake. Lakini kwakweli hasira ya Fatimah ilitokana na mabadiliko katika hali yake, ambayo kila mtumwenye hisia huhisi wakati akishindwa kufikia lengo lake. Kwa vile Fatimah alitoamaombi kwa ajili ya Fadak na Khalifa hakukubali madai yake, kwa kawaida aliathirikakwalo na akajisikia hasira kwa wakati ule. Lakini baadae chuki hii ndogo ilitoweka katikamawazo yake, na aliridhika na uamuzi wa Khalifa. Uthibitisho wa kuridhika kwake niukimya wake. Na wakati Ali alipochukua hatamu za ukhalifa, pamoja na mamlaka yotemakubwa aliyokuwa nayo, hakuirudisha Fadaka chini ya miliki yake. Huu pia niuthibitisho kwamba aliridhika na uamuzi wa makhalifa waliopita.

FATIMAH ALIKUWA HURU KUTOKANA NAKUJIAMBATANISHA NA MAMBO YA KIDUNIA

Uombezi: Kwanza, umesema kwamba hasira ya Fatimah haikuwa ya kidini bali ilikuwaya kidunia. Umeelezea mtazamo huu bila uchunguzi makini. Kwa mujibu wa kanuni za ayaza Qur’ani na hadithi za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), hakuna muumini mkamilifu angeth-ubutu kuonesha chuki kama hiyo, achilia mbali kumtaja Fatima, ambaye utukufu wake ukowazi kutoka kwenye “Aya ya Utakaso” “Aya ya Mubahila” na Surat Hal Ata ya Qur’aniTukufu (76: 1).

Kuna hadithi nyingi katika vitabu sahihi vya kwenu na vya kwetu, kwamba Fatimahalikuwa na cheo cha juu sana cha imani, na kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa uwazialisema kuhusu yeye: “Hakika, Allah amemjaza kwa imani bint yangu, Fatimah, kuanziakichwani mpaka miguuni.”

Mikesha ya Peshawar

315

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 315

Page 334: Mikesh A

HASIRA YA FATIMAH IMECHOCHEWA NA DINI

Muumini yeyote, mwamume au mwanamke, ambaye alama yake maalumu ni kuukubaliukweli, kamwe hataonesha hasira wakati hakimu akitoa amri ya haki. Wala muumini kamahuyo hatashikilia kwenye hasira hizo na ghadhabu mpaka kifo chake akisisitiza katikawosia wake kwamba wale wote ambao kwa njia yotote walihusika na amri hizowasiruhusiwe kujuinga katika sala yake ya mazishi.

Aidha, Fatimah ambaye kuhusu usafi wake Allah Mwenyewe anautolea ushahidi,asingeweza kamwe kufanya madai ya uwongo, hivyo kwamba hakimu aweze kulikataa dailake.

Pili, kama hasira ya Bibi Fatimah ilikuwa tu ni “hasira ya kidunia” kama unavyoiita, aukuchukizwa kwake kwa kukataliwa dai lake, hasira yake ingelishuka mara moja, hususanbaada ya kujuta kulikooneshwa na wale ambao walihusika na hasira yake hiyo.Kusingelikuwa na huzuni katika moyo wake. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Mojaya alama za muumini ni kwamba kwa kawaida huwa haweki mfundo wa moyo uliojenge-ka juu tamaa za kimwili, dhidi ya mtu yeyote.” Vile vile Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alise-ma: “Kama muumini akitokea kufanya kosa, muumini aliyechukizwa nalo hatakuwa nachuki kwake kwa zaidi ya siku tatu.” Hivyo Fatimah Zahra aliye mkweli na safi, ambayekwa mujibu wa ushuhuda wa Allah swt., amejazwa imani kutoka kichwani mpaka miguu-ni, kamwe asingeweza kuwa na kinyongo dhidi ya mtu yeyote. Na inakubaliwa na madhe-hebu zote kwamba Fatimah aliutoka ulimwengu huu akiwa amemkasirikia Abu Bakr naUmar. Hivyo inamaanisha kutokana na hili kwamba hasira ya Fatimah ilikuwa ya kidinikabisa. Wakati alipoona kwamba hukumu inapitishwa dhidi yake kwa kuvunja amri yaAllah na ya Mtukufu baba yake, alijihisi kukasirika mno kwa maudhi ya kidini na hii ndioile hasira inayoleta ghadhabu ya Allah na Mtume Wake.

UKIMYA WA FATIMAH HAUKUASHIRIAKURIDHIKA KWAKE

Tatu, umesema kwamba kwa vile ukimya wa Fatima ulimaanisha aliridhiana na uamuzihuo. Hapa tena umekosea. Ukimya sio lazima uwe na maana ya kukubaliana. Wakatimwingine ukatili wa mkandamizaji hulazimisha kukubali.

Fatima si kwamba alihuzunishwa tu, bali aliutoka ulimwengu huu akiwa amekasirika.Wote wawili, Bukhari na Muslim wameandika: “Fatimah alimkasirikia Abu Bakr.Alijitenga naye na hakuzungumza naye kwa maisha yake yote yaliobakia.”

Mikesha ya Peshawar

316

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 316

Page 335: Mikesh A

ALI HAKUWA HURU KUTENDA WAKATI WAKIPINDI CHA UKHALIFA WAKE

Nne, umesema kwamba kwa sababu Ali, wakati wa ukhalifa wake, hakuchukuwa umilikiwa Fadak na kuirudisha kwa kizazi cha Fatimah, hii inaashiria kukubaliana kwake nauamuzi wa Makhalifa waliopita. Hata hapa pia umekosea. Mtukufu Imam alikuwa hayukohuru kutenda wakati wa kipindi chake cha ukhalifa ili aweze kuzuia bidaa yoyote au kurud-isha haki yoyote. Wakati wowote alipotaka kuchukua hatua kama hiyo, kulikuwa na upin-zani wa mara moja.

Kama angeirudisha Fadak kwa kizazi cha Fatimah, wapinzani wake, hususani Mu’awiyana wafuasi wake, wangelidai kwamba Ali anafanya kinyume na mwenendo waliofuata AbuBakr na Umar. Mbali na hili, ili kupitisha hukumu kama hizo, mamlaka na uhuru vilikuwani muhimu sana. Lakini watu hawakumruhusu kuwa na uwezo kama huo. Asingewezakuanzisha kitu chochote ambacho kingevunja kanuni na mwenendo wa Makhalifawaliotangulia. kutokuwa kwake na uwezo Ali, kuko wazi katika mifano miwili ifuatayo.

Kwa vile Makhalifa waliotangulia waliiondoa mimbari kutoka mahali pake ambapoMtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliiweka, Mtukufu Imam alikusudia kuirudisha kwenye sehe-mu yake ya asili. Lakini watu walimpinga na hawakuweza kuvumilia kitu chochote kilichokinyume na mwenendo wa Abu Bakr na Umar, hata kama kingekuwa hakiafikiani na mwe-nendo wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Halikadhalika, wakati Mtukufu Imam alipowakataza watu kusali swala ya tarawehe kwajamaa, walimpinga na wakadai kwamba Ali alitaka kubadilisha mwenendo wa KhalifaUmar.

Nawab: Mheshimiwa! Tarawehe ilikuwa ni kitu gani ambacho Ali alikataza isiswaliwekwa jamaa?

Muombezi: Kilugha tarawehe ni wingi wa tarawia, ambayo maana yake “kikao”.Baadaye ikajakuwa na maana ya “kukaa kwa ajili ya kupumzika” baada ya rakaa nne zasala za usiku wakati wa mwezi wa Ramadhan. Kisha ikaja kumaanisha rakaa nne za salaya sunna (iliyopendekezwa). Ni kanuni ya wazi katika sheria ya ki-Islamu kwamba ni salaza wajib tu ndizo ambazo huswaliwa kwa jamaa, ambapo zile za sunna kuzisali kwa jamaaimekatazwa. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe alisema: “Hakika kusali nafila (sunna)katika jamaa wakati wa usiku katika mwezi wa Ramadhani ni uzushi (bid’a). Namaz-e-Chasht (wakati mwingine hujulikana kama Dhuha na husaliwa kabla ya adhuhuri, au jualinapochomoza na kupanda kidogo) ni dhambi. Enyi watu! Msisali sala za nafila (sunna)katika mwezi wa Ramadhan kwa jamaa na msisali Namaz-e-Chasht (Dhuha). Kwa kuwa

Mikesha ya Peshawar

317

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 317

Page 336: Mikesh A

na uhakika, kufanya kitendo kidogo cha ibada kwa mujibu wa sunnah ni bora kulikokufanya kitendo kikubwa ambacho ni uzushi (bid’a). Naifahamike kwenu wote kwambakila bid’a ni upotovu na kila upotovu unaongozea kwenye moto.”

Usiku mmoja wakati wa ukhalifa wake katika mwaka wa 14 A.H. Umar aliingia msikitini.Aliona kwamba watu walikuwa wamekusanyika pale. Akawauliza ni kwa nini wameku-sanyika. Wale watu wakasema wamekusanyika ili kuswali sunna. Umar akasema:“Kitendo hiki ni bid’a, lakini ni bid’a nzuri.”

Bukhari ananukuu katika Sahih yake kutoka kwa Abdu’r-Rahman Bin Abdu’l-Qari kwam-ba wakati Khalifa alipowaona watu wanasali kila mmoja peke yake, aliwaambia kusalikwa jamaa kunafaa zaidi. Alimuamuru Ubayy Bin Ka’b kuongoza sala hiyo kwa jamaa.Wakati alipokuja msikitini usiku uliofuatia, aliwaona watu wanasali jamaa kwa kutii amriyake. Akasema: “Uzuri ulioje wa bid’a hii.”

Ikawa ni jambo la kawaida mpaka wakati wa Amiru’l-Mu’minin. Yeye aliikataza, akisemakwamba kwa vile haikuwepo wakati wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), kwa hivyo ilikatazwa,kwa hakika isiruhusiwe kuendelea.

Wakati alipokuja Kufa, watu wa Kufa walimuomba Mtukufu Imam kuwateulia mtu kwaajili ya kuongoza sala za nafila wakati wa usiku wa mwezi wa Ramadhani. Imamu ali-wakataza kusali sala hiyo kwa jamaa. Pamoja na amri hiyo, kwa vile watu walikuwawamezoea hivyo, hawakufuata amri ya Imamu. Mara tu Imamu alipoondoka kwenye sehe-mu ile, walijikusanya pamoja na wakamteuwa mmoja wao kuongoza sala katika jamaa.Punde tu habari zilimfikia Imamu, ambaye alimuita Hasan mtoto wake mkubwa na alim-taka achukue jambia na akawakataze watu wale kusali sunna kwa jamaa. Wakati watuwalipoona hivyo, walipiga makelele wakisema: “Ewe Ali! Hasan amekuja, na haturuhususisi kuswali.”

Ingawa walijua kwamba jambo hili la kusali sala za sunna katika jamaa halikuwepo wakatiwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), hawakufuata amri ya Ali ambayo iliafikiana na amri zaMtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Sasa vipi Ali angeweza kuirejesha Fadak kwa kizazi cha Fatimah? Kama angelifanyahivyo, na aseme ilichukuliwa isivyo halali, watu wangepiga kelele kwamba Ali Bin AbiTalib amevutwa na mapenzi ya dunia na anapora haki ya Waislamu kwa ajili ya watotowao. Hivyo aliona ni bora kuwa na subira. Kwa vile mdai halisi alikuwa ametowekaulimwenguni hapa, madai yake aliyaahirisha, ili kwamba wakati Imamu wa mwishomwenye kuongozwa kimungu atakapokuja kurudisha haki kwa wahusika wake wa halali,na yeye atapata haki yake. Katika hali ya mambo kama hayo, ukimya wa Mtukufu Imamuhaukuwa na maana kwamba aliridhika na uamuzi huo. Kama angekichukulia kitendo cha

Mikesha ya Peshawar

318

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 318

Page 337: Mikesh A

Makhalifa waliotangulia kuwa ni cha haki, asinglihoji suala lake mbele yao. Vile vile,asingeelezea machungu yake na kuudhika kwake, na asigemuomba Allah kuwa muamuziwake.

Imeandikwa katika Nahju’l-Balagha kwamba katika barua aliyompelekea Gavana waBasra Uthman Bin Hunaif Ansari, Ali aliandika: “Miongoni mwa vitu ambavyo kwambambingu hutupa kivuli chake juu yake ni Fadak, ambayo ilikuwa kwenye milki yetu. Lakinikundi moja likaonesha uchoyo, na upande mwingine, Fatimah na watoto wake waliachakuendelea na madai yao. Na Allah Ndiye Hakimu aliye bora.”

Umesema kwamba Fatimah aliridhika na uamuzi huo katika siku zake za mwisho za uhaiwake na akawasamehe wale ambao walihusika na suala hili. Nina wasiwasi hapaumekosea. Kwani kama ambavyo imethibitishwa mapema bila mashaka yoyote kwahadithi zenye kutegemewa kwamba Bibi madhulum alibakia ni mwenye kukasirika mpakaalipofariki.

ABU BAKR NA UMAR WALIJARIBU KUMTEMBELEAFATIMANA KUELEZEA MAONI YAO LAKINI

HAWAKUFANIKIWA

Kuthibitisha maoni yangu ningependa kuwasilisha riwaya ifuatayo: Abu MuhammadAbdullah Bin Muslim Bin Qutayba Dinawari (alikufa mwaka 276 A.H.) katika kitabuchake “Ta’rikh-e-Khilafa’i’r-Rashidin” kijulikanacho kama ‘Al-Imama was-Siyasa’, Jz. 1,uk. 14 na wengine miongoni mwa maulamaa wenu, kama Ibn Abi’l-Hadid, wanaandikakatika vitabu vyaovya sahih: “Umar alimuomba Abu Bakr waende pamoja naye kumtem-belea Fatimah. Kwa hakika walikuwa wamemkasirisha sana. (baadhi ya riwaya zinasemaalikuwa ni Abu Bakr aliyemuomba Umar kwenda naye kumtembelea Fatimah. Hiiinaonekana ni yenye kukubalika zaidi).

Kwa ufupi wote kwa pamoja walikwenda kwenye mlango wa Fatumah lakini yeyehakuwaruhusu wamuone. Wakati walipomuomba Ali angilie kati yeye alinyamaza kimya,lakini aliwaruhusu kuingia ndani. Wakati walipoingia ndani na kumsalimu, aligeuzia usowake ukutani. Abu Bakr akasema: “Ewe pande la ini la Mtume! kwa jina la Allah, nau-thamini uhusiano wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na wewe zaidi kuliko uhusiano wangumimi na binti yangu Aisha. Lau ingelikuwa nife mapema baada ya Mtukufu Mtume waAllah (s.a.w.w.). Najua cheo na daraja yako zaidi kuliko mtu mwingine yeyote. Kamanimekunyima haki yako ya kurithi, ni kwa sababu ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), ambayemimi mwenyewe nimemsikia akisema: ‘Sisi Mitume hatuachi urithi wowote. Tunachoachani sadaka (kwa ajili ya Waislamu).’

Mikesha ya Peshawar

319

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 319

Page 338: Mikesh A

Fatima akamuambia Amiru’l-Muminin kwamba atawakumbusha hadithi ya MtukufuMtume (s.a.w.w.) na kuwataka waseme kwa jina la Allah kama hawakumsikia MtukufuMtume (s.a.w.w.) akiisema: “Furaha ya Fatuma ni furaha yangu, hasira ya Fatima ni hasirayangu. Hivyo mwenye kumpenda binti yangu Fatima ananipenda mimi; mwenye kumfu-rahisha Faima ananifurahisha mimi. Mwenye kumchukiza Fatima, ananichukiza mimi.”

Wote wakasema: ‘Ndio tumesikia maneno hayo kutoka kwa Mtukufu Mtume wa Allah(s.a.w.w.).’ Kisha Fatimah akasema: ‘Namuomba Allah na malaika Wake kushuhudiakwamba ninyi wote mumenichukiza na hamkunitendea haki. Wakati nitakapokutana naMtukufu Mtume (s.a.w.w.), hakika nitamlalamikia juu yenu ninyi wote.’

ABU BAKR ALITAMBUA UZITO WA HASIRAYA FATIMAH

Abu Bakr akiwa ameguswa na maneno haya, alianza kulia na akasema: ‘Najikinga kwaAllah kutokana na hasira ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).’ Fatimah alianza kulia na alisema:‘Naapa kwa jina la Allah kwamba nitaomba laana ya Allah iwe juu yenu katika sala zanguzote.’

Baada ya kusikia haya, Abu Bakr alitoka nje huku akilia, watu wakamzunguuka na kumli-waza. Yeye akawaambia: ‘Ole wenu. Ninyi wote mna raha, mmekaa na wake zenu kwaraha, lakini mimi niko katika hali hii ya unyonge. Sihitaji kiapo chenu. Kiondoeni kutokakwangu. Kwa jina la Allah, baada ya kile nilichokiona na kusikia kutoka kwa Fatimah,sitaki Mwislamu yeyote apate shida ya mzingo wa kiapo cha utii kwangu.’”

Riwaya hizi zilizosimuliwa na maulamaa wenu wenyewe wa kuheshimika, huoneshakwamba madhulumat Fatimah alikuwa amewakasirikia Abu Bakr na Umar mpaka saa yamwisho ya uhai wake.

FATIMA ALIZIKWA USIKU, IKIWA NI USHAHIDI WAHASIRA YAKE YA KUDUMU KWA ABU BAKR NA UMAR

Ushahadi wa wazi kabisa wa hasira ya Fatimah kuhusiana na jambo hili, ni kwambaalimuusia mumewe Amiru’l-Mu’minin Ali kama ifuatavyo: “Asiruhusiwe hata mtu mmojakatika wale watu ambao walinidhulimu na kupora haki yangu, kushiriki katika mazishiyangu. Hakika ni maadui wangu na maadui wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Usimruhusuyeyote kati yao au washirika wao kusalia jeneza langu. Nizike usiku wakati watu wakiwawamelala.”

Mikesha ya Peshawar

320

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 320

Page 339: Mikesh A

Bukhari anaandika katika Sahih yake kwamba Ali alitekeleza wosia wa Bibi Fatimah naakamzika usiku kimya kimya. Watu walijaribu kwa bidii zao zote kutaka kujua alipozikwaFatimah, lakini walishindwa kujua. Inakubaliwa na wote kwamba Fatimah alizikwa usikukwa mujibu wa wosia wake. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliacha binti mmoja ili awe kamakumbukumbu yake. Maulamaa wenu wanakubali kwamba alisema: “Fatimah ni sehemu yamwili wangu. Yeye ni urithi na amana yangu. Mheshimuni yeye kama mnavyoniheshimumimi. Kamwe msifanye kitu chochote kitakachoamsha hasira zake dhidi yenu. Kamaanawakasirikia ninyi, mimi vile vile nitawakasirikia.”

Mir Sayyid Ali Hamadani Faqih Shafi’i anaandika katika kitabu chake, “Mawaddatu’l-Qurba” kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Wale ambao wanamkasirishaFatimah nitawashughulikia kwa ukali sana Siku ya Hukumu. Furaha ya Fatimah ni furahayangu, na hasira ya Fatimah ni hasira yangu. Ole wake yule ambaye anakasirikiwa naFatimah.” Huzuni ilioje kwamba matamko yote haya, umma si kwamba umempuuza tu,bali vilevile wamempokonya haki yake na kumsabibishia mateso makubwa. Hata wakatiambapo alikuwa msichana mdogo, alitamka: “Nilipatishwa na matatizo mengi mno kiasikwamba kama siku zingepatwa na matatizo kama hayo, basi zingegeuka kuwa usiku.”

MKUTANO WA TISA, USIKU WA IJUMAA2 SHA’BAN 1345 A.H.

Sheikh: Siku zote unakosoa matendo ya Masunni, lakini hujali mwenendo wa Mashi’a.Unawatetea pasi na haki ingawa matendo yao yamepotoka.

Muombezi: Nimezoea kutetea haki. Imamu wetu Amiru’l-Mu’minin, aliwanasihi watotowake, hususan Hasan na Husein kwa maneno haya: “Siku zote semeni kweli na fanyenimatendo yenu kwa kuzingatia kesho akhera. Kuweni wakali kwa madhalimu na wasaidi-eni wanaodhulumiwa.”

Kama nimewakosoa wapinzani au kuwatetea Mashi’a, nimefanya hivyo kwa kuungamkono ukweli. Kile nilicholalamikia kilikuwa katika misingi ya hoja ya kimantiki.Nitasikiliza madai yako kuhusiana na matendo mabaya ya Mashi’a.

Mikesha ya Peshawar

321

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 321

Page 340: Mikesh A

MASHI’A KUMSHUTUMU AISHA KWA UZINIFU NA MAJIBU YAKE

Sheikh: Kitu kiovu kabisa ambacho Mashi’a wana hatia nacho ni kwamba wanamshutu-mu Ummu’l-Mu’minin Aisha na uzinifu. Ni ukweli unaokubalika kwamba alipata heshi-ma ya unyumba na Mtukufu Mtume wa Allah (s.a.w.w.), na kwamba alikuwa mkewekipenzi. Hawatambui shutuma hizi za masingizio zinaelekeza kwenye kitu gani.Hawakusoma Sura ya an-Nur ya Qur’ani Tukufu? Allah anasema: “Wanawake wabayani kwa wanaume wabaya, na wanaume wabaya ni kwa wanawake wabaya, nawanawake wema ni kwa wanaume wema, na wanaume wema ni kwa wanawakewema.” (24:26)

Muombezi: Kwanza madai ya kwamba Mashi’a wanamshutumu Ummu’l-Mu’mininAisha kwa matendo ya kifisadi na uzinifu ni ya uwongo kabisa. Kamwe kitu kama hichohakijasemwa na Mashi’a. Madai haya ni uzushi wa dhahiri uliosambazwa na Nawasib naKhawarij karne nyingi zilizopita ili kuchochea ghasia. Waliyahusisha kwa Mashi’a yaleambayo wameyasema wao wenyewe. Matokeo yake wengine bila kufanya utafiti,wakawashambulia Mashi’a kama unavyofanya wewe sasa. Kama ungelisoma vitabu vyaMashi’a, usingeona mahali popote ambapo Ummu’l-Mu’minin Aisha ameshutumiwa kwauzinzi.

KUMTOA AISHA KWENYE SHUTUMAYA UZINIFU

Kama utosoma vitabu vya historia na vya tafsir vya Shi’a, utaona jinsi gani walivyomteteaUmmu’l-Mu’minin Aisha kutokana na shutuma za uzinzi. Ukweli ni kwamba riwaya kamahizi zilifanywa na kikundi cha wanafiki wakati wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Baadhi yawaliohusika ni Mista Bin Uthatha, Hasan Bin Thabit na Abdullah Bin Ubayy. KuhusuAisha kutolewa katika shutuma za uwongo za wanafiki, aya saba ziliteremshwa katikaQur’ani Tukufu. Mashi’a wanaamini kwamba kutoa shutuma za uwongo za uzinzi au tendola kifisadi dhidi ya Mwislamu ni haramu, sikuambii kumtaja mke wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), awe yeye ni Aisha au Hafsa.

Mikesha ya Peshawar

322

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 322

Page 341: Mikesh A

MUME NA MKE SIO LAZIMA WASHIRIKI KIWANGO KIMOJA CHA MAFANIKIO

Pili, Aya Tukufu ambayo umeisoma haina maana ya kile ulichokisema. Sio lazima hivyokwamba kama mume ni muumini mwema na anayestahiki Pepo kwamba na mkewe nayeatakuwa ni hivyo hivyo. Kuna mifano mingi ambayo inathibitisha kwamba wenzawanaweza kuwa viwango tofauti vya ubora.

Allah anasema katika Surat-Tahrim: “Allah anapiga mfano wa waliokufuru, kwa mkewa Nuhu na mke wa Luti, hawa wawili walikuwa chini ya waja wetu wema wawili,basi (wanawake hao) wakawafanyia khiyana, (lakini waume zao) hawakuwasidiachochote mbele ya Allah na ikasemwa: Ingieni motoni pamoja na waingiao. Na Allahanapiga mfano wa walioamini kwa mke wa Firauni aliposema: ‘Ee Mola Wangu!Nijengee nyumba peponi karibu Yako na uniokoe na Firauni na matendo yake, nauniokoe kutoka kwa watu madhalimu.” (66:10-11)

Sheikh: Inashangaza kwamba kwa kipindi kifupi hiki kunajitokeza mabadiliko katikamaelezo yako.

Muombezi: Tafadhali nieleze hicho unachoona kama mabadiliko.

Sheikh: Katika sehemu moja unasema kwamba kumshtumu mtu yeyote kwa uzinzi niharamu, lakini katika sehemu nyingine unasema kwamba mke wa Nuhu na mke wa Lutihawakuwa waaminifu kwa waume zao. Je, kauli hizi mbili sio mbali mbali kwa kila moja?Je, si makosa kwako wewe kuwashutumu wake za mitume kwa uzinzi na kutokuwawaaminifu?

Muombezi: Nina hakika unajua kwamba unatumia njia ya hila. Unajua vizuri sana“kutoaminika” inamaanisha nini katika aya tukufu ya Qur’ani tuliyoirejea mwanzo.

MAANA YA KUTOAMINIKA KWA MKE WA NUHU NAMKE WA LUTI

Ni ajabu juu yako kwamba unalikosea neno kutokuaminika kuwa lina maana ya uzinziingawa kuna tofauti kubwa kati ya maneno mawili haya. Wake wa Mitume walikuwawameepukana kabisa na uzinzi. Hapa mjadala ni kuhusu kutokuaminika kwao. Kwanza,mke wa Mtume akitenda kinyume na maelekezo ya mumewe, basi hakika sio muaminifu.Pili, sio mimi ninayesema kwamba wameonesha kutoaminika. Qur’ani yenyewe

Mikesha ya Peshawar

323

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 323

Page 342: Mikesh A

inalielezea hilo: “Walikuwa sio waaminifu kwa waume zao,” na kutoaminika hakukuwauzinzi. Kama nilivyosema mwanzo, wake za mitume wameepushwa kabisa na aina hii yaudanganyifu. Hivyo maana ya kutoaminika kwao kulikuwa ni utovu wa utii (uasi). Mke wanabii Nuhu alikuwa akipingana na mume wake na alikuwa akimfedhehi hadharani.Alisema: “Mume wangu ni mwenda wazimu. Kwa vile niko naye mchana kutwa na usiku,naijua hali yake halisi. Asikudanganyeni.” Mke wa Luti alikuwa akiwajulisha watu juu yakila mgeni aliyekuja nyumbani kwake. Alikuwa akisababisha matatizo kwa kufichua siriza nyumbani kwa maadui zake.

KUTOKUAMINIKA KWA WAKE HAKUMAANISHI KUWA WACHAFU

Kwa mujibu wa mufasirina wa Qur’ani na vile vile kwa mujibu wa maelezo ya Ma’sumin,maana ya ya aya ya an-Nur, ambayo kwayo unatoa maoni yako, ni kwamba wanamkewachafu wanastahili wanaume wachafu na wanaume wachafu wanavutiwa nawo.Wanamke safi wanastahiki wanaume safi, na wanaume safi wanavutiwa nawo. Katika surahiyo hiyo katika aya iliyotangulia Allah anasema: “Mwanaume fasiki hataoa ilamwanamke fasiki au mwanamke mshirikina, na mwanamke fuska haolewi ila namwanaume fuska au mshirikina .....” (24:3)

Kwa ufupi, aya tukufu “wanawake wachafu kwa wanaume wachafu…” kwa njia yoyotehaithibitishi hoja yako.

KUHUSIANA NA TABIA YA AISHA

Kukosolewa kwa Aisha sio kwa sababu ya chuki. Ni kwa sababu ya tabia yake mbaya.Aisha amefanya maovu ambayo hakuna mke mwingine wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),pamoja na Hafsa bint wa Umar aliyeyafanya. Aidha, ukosoaji wa Mashi’a uko hasa hasandani ya mipaka ya maelezo yaliyotolewa na maulamaa wenu wenyewe, ambaowanasimulia kwamba mwanamke huyu mwenye dukuduku alifanya maovu mabaya mno.

Sheikh: Je, ni sahihi kwa mtu mtukufu kama wewe kutoa shutuma kama hizo dhidi yaUmmu’l-Mu’minin?

Muombezi: Wake wote wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wako sawa kwa daraja isipokuwaUmmu’l-Mu’muminin Khadija (yeye daraja yake ni kubwa). Ummu Salama, Suda, Aisha,Hafsa, Maimuna, na wengine kwa mtazamo wetu sisi, wote ni Ummu’l-Mu’minin. Lakinitabia ya Aisha na maneno yake kwa hakika yalikuwa tofauti na yale ya wanawakewengine. Tena, haya sio maneno yangu tu, lakini maulamaa wenu wameandika kwamba

Mikesha ya Peshawar

324

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 324

Page 343: Mikesh A

maisha yake yalikuwa na dosari. Matendo mazuri na mabaya ya watu hayawezi kufichikadaima. Hatimaye ukweli hujitokeza wenyewe.

Sheikh: Bila shaka, kwa sababu alimpinga Ali, unamkosoa kuhusiana na mambo yasiyona maana.

Muombezi: Hatumkosoi kuhusiana na mambo yasiyo na maana. Upinzani wa Aisha kwaAmiru’l-Mu’minin, Imam Hasan, Imam Husein, na Ahlu’l-Bayt ni suala tofauti. Lakinimsingi wa historia mbaya wa maisha yake uliwekwa wakati wa kipindi cha MtukufuMtume (s.a.w.w.) mwenyewe. Alikuwa akimuudhi na kumsumbua sana.

Sheikh: Inashangaza kwamba unamuona Ummu’l-Mu’minin Aisha, mke kipenzi waMtukufu Mtume (s.a.w.w.), kuwa asiye na thamani kimaadili kiasi hicho na unathubutukusema kwamba alimuudhi Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Tutaamini vipi madai yako wakatiUmmu’l-Mu’minin kwa hakika alisoma Qur’ani Tukufu na aya ifuatayo: “Kwa hakika wale ambao wanamuudhi Allah na Mtume Wake, Allah amewalaaniduniani na akhera, na amewaandalia adhabu ya kufedhehesha. (33:57). Hivyoinawezekana kwa yeye kumuudhi Mtukufu Mtume ili aweze kulaaniwa na Allah? Hii kwahakika ni moja ya kashfa za Mashi’a.

Muombezi: La hasha, huu sio uongo! Kuhusiana na aya hizi tukufu, ninakiri kwambaUmmul-Mu’minin Aisha atakuwa lazima amezisoma, bali baba yake na masahaba wenginemashuhuri watakuwa lazima wamezisoma. Kwa kuzingatia zile riwaya na hadith ambazonimezitaja katika mikesha iliyopita, ukweli mwingi utafichuka kwetu alimuradi tu kwam-ba tunakuwa waadilifu.

AISHA ALIMHUZUNISHA MTUKUFU MTUME

Ukweli kwamba Aisha alimhuzunisha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) haukusimuliwa naUlamaa wa ki-Shi’a tu, bali na ulamaa wenu mashuhuri pia. Imam Ghazali katika kitabuchake, Ihya’ul-Ulum, Jz. 2, mlango wa 3, Kitab-e-Adabun-Nika, uk. 135, amesimuliahadithi nyingi kuhusiana na tabia ya Aisha. Miongoni mwa hizo ni kugombana kwake naMtukufu Mtume na Abu Bakr kuingilia kati. Tukio hili pia limesimuliwa na Mulla AliMuttaqi ndani ya Kanzul-Ummal, Jz. 7, uk. 116; Abu Yala katika Musnad yake na Abu’sh-Sheikh katika Kitab-e-Amthal. Wanaandika kwamba Abu Bakr alikwenda kumuona bintiyake, akakuta kwamba palikuwa na manung’unika kati ya Aisha na Mtukufu Mtume.Uamuzi ya hilo uliachwa mikononi mwa Abu Bakr. Aisha akatumia lugha na kauli zamatusi. Katika kuongea kwake, alimtaka Mtume kufanya haki katika tabia yake. Kauli hiiya kifidhuli ilimfanya Abu Bakr akasirike kiasi kwamba akampiga kofi kwa nguvu sanausoni mwake mpaka damu ikachirizika hadi kwenye nguo zake.

Mikesha ya Peshawar

325

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 325

Page 344: Mikesh A

Vile vile Imam Ghazali katika huohuo Mlango wa Ndoa na wengineo, pia wamesimuliakwamba safari moja, wakati Abu Bakr alipofika nyumbani kwa binti yake, alimkutaMtume akiwa amemkasirikia Aisha. Yeye akawaomba wamueleze kuhusu kile kilichos-ababisha huzuni yao ili aweze kuleta suluhu baina yao. Mtukufu Mtume alimuomba Aishakama ataanza yeye kuelezea mkasa huo. Yeye akajibu, “Unaweza kuanza wewe lakiniuseme kweli.” Katika kauli yake iliyofuata akaongeza, “Wewe ni mtu anayejifikiria yeyemwenyewe kwamba ni Mtume!” Maneno haya yanaonyesha kwamba Aisha hakuwa aki-amini kwamba Mtukufu Mtume alikuwa ni Mtume aliyeteuliwa na Mungu. Kauli za dha-rau kama hizo zimesimuliwa katika vitabu vyenu kwa idadi kubwa. Zilikuwa ni chanzo chamaumivu makali sana kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)

HAKUNA RIWAYA KAMA HIZO KUHUSU WAKE WENGINE WA MTUKUFU MTUME

Utaona kwamba ulamaa na wanahistoria wa madhehebu zote hawakusimulia mambo kamahayo kuhusu wake wengine wa Mtukufu Mtume. Hawakuhusisha mambo kama hayo hatakwa Hafsa binti ya Umar. Ilikuwa ni tabia tu ya Aisha iliyomsababishia aibu. Tumesimuliakiasi kile tu ulamaa wenu mashuhuri walichokisema kumhusu yeye. Je, hukuvisoma vitabuvya Imam Ghazali, historia za Tabari, Mas’ud na ibn Atham Kufi na kadhalika, ambazozinasimulia kwamba ulamaa wenu wakubwa wote wamemuelezea yeye kama asiyekuwamtiifu kwa Mtukufu Mtume. Bado unalalamika kwa sababu nimeishutumu tabia yaUmmul-Mu’minin. Kunaweza kuwa na doa la dhahiri katika tabia ya mtu kuliko kupitukadhidi ya amri ya Allah na Mtume Wake na kuasi dhidi ya khalifa wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.)?

Katika Surat al-Ahzab, Allah swt. ameongea na wake za Mtukufu Mtume: “Na kaenimajumbani mwenu wala msijishauwe kwa majishauwo ya kijahilia ya zamani .....”(Al-Ahzab; 33: 33). Kwa kweli wake wengine wa Mtukufu Mtume walikubaliana na amrihii na kamwe hawakuziacha nyumba zao bila ya sababu ya dharura muhimu. Hata A’mashamelisimulia jambo hili.

UMMUL-MU’MININ SUDA HAKUTOKAJAPO KWENDA HIJJA AU UMRA

Imesimuliwa katika Sahih na vitabu vingine vya wanahistoria na wanahadithi wenu kwam-ba watu walimuuliza Suda, mke wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), kwa nini hakwenda Hijjawala Umra. Yeye alijibu akasema: “Ni wajibu juu yangu mimi kufanya Hijja moja na Umrana wala sio zaidi. Na Yeye anasema: “Na bakieni majumbani mwenu.” Hivyo kwa kuitiiamri hii, mimi sitatoka nje ya nyumba yangu; bali nia yangu ni kwamba sitatoka, kwa kiasiinavyowezekana, nje ya chumba ambamo Mtukufu Mtume wa Allah ameniweka mpaka

Mikesha ya Peshawar

326

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 326

Page 345: Mikesh A

nitakapofariki.” Kwa kweli alifanya hivyo na ilikuwa ni mwili wake mfu ndio uliotolewakutoka kwenye chumba hicho.

Suda, Aisha na Ummu Salma wote walikuwa ni wake za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) nawalikuwa ni Mama wa Waumini. Kwa hakika wanatofautiana kila mmoja wao kutokana natabia zao.

Kwa mujibu wa umma, Aisha na Hafsa walikuwa wanastahiki heshima, sio kwa sababuwalikuwa mabinti wa Abu Bakr na Umar, ingawa mnawaheshimu kwa matokeo ya hojahiyo, bali ni kwa sababu walikuwa ni wake za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Lakini wake zaMtume wanastahiki heshima kama wakiwa watiifu, kama ilivyoelezwa wazi ndani yaQur’ani tukufu: “Enyi wake za Mtume! Ninyi sio sawasawa na wanawake wenginewowote.” (33: 32)

AISHA ATOKA KWENDA KUPIGANA DHIDI YA ALI

Hivyo Suda alikuwa mchamungu, mke mtiifu wa Mtume wa Allah. Aisha alikuwa mkemkaidi ambaye alikula njama na Talha na Zubair dhidi ya Ali na akaenda Basra. KuleUthman Bin Hunaif, sahaba mkubwa wa Mtume na gavana wa Basra aliyeteuliwa na Ali,alikamatwa. Nywele zake na ndevu vilivutwa; aliteswa na akafukuzwa nje ya mji. Zaidi yawatu 100 wasio na hatia na wasiojiweza waliuawa. Ibn Athir, Mas’udi, Muhammad BinJarir Tabari, Ibn Abi’l-Hadid, na wengine wameandika kwa urefu kuhusu kadhia hii.

Baada ya kitendo hiki cha jeuri na ufisadi, alipanda ngamia aitwaye Askar, akiwa amevaavazi lililotengenezwa kwa ngozi ya simba, akiwa amekingwa na jeshi aliingia kwenyeuwanja wa mapambano kama mwana jeshi. Kwa sababu ya uasi wake, maelfu ya Waislamuwalipoteza maisha yao. Je, uamuzi huu kwa upande wake haukuwa wa kuvuka mipakadhidi ya amri ya Allah na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)?

MAADILI YA ALI YAMEVUKAKIWANGO KWA IDADI

Na kinachoshsngaza zaidi ni kwamba alichukuwa msimamo wa aibu dhidi ya Ali Bin AbiTalib, ambaye maadili yake na wema wake vimeandikwa kwa wingi sana na maulamaawenu wenyewe mashuhuri kiasi kwamba sio rahisi kuyasimulia yote.

Imamu Ahmad Bin Hanbal katika “Musnad” yake, Ibn Abi’l-Hadid katika kitabu chake“Sharh-e-Nahju’l-Balagha”, Imam Fakhrud-Din Razi katika kitabu chake “Tafsir-e-Kabir”, Khatib Khawarizmi katika kitabu chake “Manaqib”, Sheikh Suleimani Balkhi

Mikesha ya Peshawar

327

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 327

Page 346: Mikesh A

Hanafi katika kitabu chake “Yanabiu’l-Mawadda”, Muhammad Yusuf Ganji Shafi’i katika“Kifayatu’t-Talib” Sura ya 62, na Mir Seyyid Ali Hamadani Shafi’i katika kitabu chake“Mawaddatu’l-Qurba”, Mawadda ya 5, anasimulia kutoka kwa Khalifa wa pili, Umar BinKhattab na Abdullah Ibn Abbas kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimuambia Ali:“Kama bahari zote zingekuwa ni wino, miti yote ingelikuwa kalamu, na wanadamu wotewangelikuwa ni waandishi na majini wote wakatunza kumbukumbu, hata hivyo, EweAbu’l-Hasan! Maadili yako yasingeweza kuhesabiwa.”

Wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) anasema kwamba ‘binadamu na majini wote kwa pamo-ja hawawezi kuhesabu maadili yake, je, sisi tutaweza vipi, na akili zetu zenye ukomo kutoahesabu kamili ya sifa zake? Mbali na ulamaa wa ki-Shia, maulamaa wenu wenyewe pamo-ja na ushupavu wao mkubwa wote, wamejaza vitabu vyao na sehemu tu ya maadili yakemengi.

HADITHI KATIKA KUSIFIA MAADILI YA ALI

Inakupaseni kuchunguza vitabu vyenu vya “Siha-e-Sitta” (vile vitabu sita maarufu vyahadithi). Mbali na hivi imeelezwa katika “Mawaddatu’l-Qurba” cha Mir Sayyid AliHamadani; “Mu’ajam Kabir” cha Tabrani “Matalibu’s-Su’ul” cha Muhammad Bin TalhaShafi’i; “Musnad” na “Fadha’il” vya Imam Ahmad Bin Hanbal; “Bainu’s-Sahihain” chaHamid; “Manaqib” ya Khawarizmi; “Sharh-e-Nahju’l-Balagha” Jz. 2, uk. 449, cha IbnAbi’l-Hadid; “Fusulu’l-Muhimma”, cha Ibn Sabbagh Maliki, hususan uk. 124, kutoka kwaHafiz Abdu’l-Aziz Bin Al-Akhzaru’l-Janabiz, ambaye anaandika katika kitabu chake“Ma’alimu’l-Atratu’n-Nabawiyya” kwamba Fatima Zahra alisema kwamba katika usikuwa Arafa baba yake, Mtukufu Mtume wa Allah (s.a.w.w.), alikuja kwake na akasema,“Allah (swt) huwa na fahari kwenu watu ninyi mbele za malaika na amekusameheni ninyiwote na hususan Ali. Mimi, Mtume wa Allah ninasema bila kuzingatia upendo kwa ndugukwamba hakika mtu mwenye bahati sana na mwenye kufuzu ni yule ambaye ni rafiki waAli wakati wa uhai wake na baada ya kifo chake. Mtu aliyelaaniwa zaidi miongoni mwawaliolaaniwa, ni yule ambaye ni adui wa Ali wakati wa uhai wake au baada ya kifo chake.”

Vile vile katika vitabu hivyo hapo juu kuna hadithi ndefu ambayo nafikiri niliitaja katikamikesha ya mwanzo, kutoka kwa Khalifa Umar Bin Khattab, ambaye alisema kwambaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimuambia Ali: “Mtu mwongo ni yule ambaye anafikiri kwam-ba ananipenda mimi ambapo ni adui wako. Ewe Ali! Yule ambaye ni rafiki yako ni rafikiyangu. Kama mtu yeyote ni rafiki yangu, Allah ni rafiki yake pia. Kama Allah ni rafiki kwamtu yeyote, basi humuingiza Peponi. Yule ambaye ni adui yako, ni adui yangu. Kama mtuyoyote ni adui yangu, Allah vile vile ni adui yake na humtupa Motoni.”

Mikesha ya Peshawar

328

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 328

Page 347: Mikesh A

URAFIKI NA ALI NI IMANI NA UPINZANI KWAKE NI UKAFIRI NA UNAFIKI

Vile vile imesimuliwa katika “Kitabu’l-Al” cha Ibn Khalawayh, akisimulia kutoka kwaAbu Sa’id Khadiri, kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimuambia Ali: “Ewe Ali! Urafikina wewe ni imani na upinzani kwako ni unafiki. Mtu wa kwanza kuingia Peponi atakuwani rafiki yako, na mtu wa kwanza kutupwa motoni atakuwa ni adui yako.”

Mir Sayyid Hamadani Shafi’i katika kitabu chake “Mawaddatu’l-Qurba”, Mawadda ya 3,na Hamwaini katika kitabu chake “Fara’id” wanaandika kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alisema wakati akiwa miongoni mwa Sahaba wake: “Hakuna anayempenda Aliisipokuwa mtu muumini, na hakuna aliye na uadui kwake isipokuwa yule ambaye nikafiri.” Na katika tukio lingine anasema: “Ewe Ali! Akupendaye wewe ni yule tu ambayeni muumin, na mnafiki ni yule tu ambaye hukuchukia wewe.”

ALI NI “MBORA WA VIUMBE” AMESEMA MTUKUFU MTUME – IMESIMULIWA NA AISHA

Muhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’i katika Kifayatu’t-Talib, ukurasa wa 119, Sura ya 62,ananukuu kutoka kwenye Ta’rikh-e-Damishiq, Muhadith-e-Sham na Muhadth-e-Iraq,wakisimulia kutoka kwa Hudhaifa na Jabir kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema:“Ali ni mbora wa viumbe; mtu ambaye anakataa kulikubali hili, huyo ni kafiri.”

Vile vile imesimuliwa kutoka kwa Ata kwamba watu walimuuliza Aisha kuhusu Ali naakasema: “Ni mbora wa viumbe. Hakuna yeyote mwenye shaka ya aina yoyote ileisipokuwa kafir.”

Anasema kwamba Hafidh Ibn Asakir katika kitabu chake cha Ta’rikh, kitabu chenye juzuu100, juzuu tatu kati hizo zimeandikwa kwa kumsifia Ali, ameisimulia hadith hii kutokakwa Aisha.

Muhammad Bin Talha Shafi’i katika Matalibu’s-Su’ul, ukurasa wa 17, Ibn Sabbagh Makkikatika kitabu chake Fusulu’l-Muhimma, wanasimulia kutoka kwa Tirmidhi na Nisa’ikwamba Abu Sa’id Khudri alisema: “Wakati wa uhai wa Mtume tulizoea kuwatambuawanafiki kwa uadui wao kwa Ali.”

Inasimuliwa katia Fusulu’l-Muhimma kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisemakumuambia Amiru’l-Mu’minin Ali: “Ewe Ali! Kupigana dhidi yako wewe ni kupiganadhidi yangu; damu yako ni damu yangu. Napigana dhidi ya yule ambaye anapigana dhidi

Mikesha ya Peshawar

329

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 329

Page 348: Mikesh A

yako wewe; ni yule tu aliyezaliwa ndani ya ndoa ndiye mwenye kukupenda wewe, na nialiyezaliwa nje ya ndoa tu ndiye mwenye uadui na wewe. Ni mu’uminin tu ndiye ambayeanakupenda wewe, na ni mnafiki tu ndiye ambaye ana uadui na wewe.”

Sheikh: Hadith kama hizo sio za kipekee kwa Ali tu; zimesimuliwa vile vile kuhusumakhalifa wengine.

Muombezi: Tafadhali taja hadthi hizo kwa njia ya mfano.

Sheikh: Abdu’r-Rahman Ibn Malik Maghul anasimulia kutoka kwenye vyanzo vyakekwamba Jabir alisema kwamba Mtukufu Mtume wa Allah (s.a.w.w.) alisema: “Mu’uminhana uadui kwa Abu Bakr na Umar, na mnafiki hana upendo kwao.”

Muombezi: Nimeshangazwa tena kusikia kitu kama hicho kutoka kwako. Umesahaumakubaliano yetu ya pamoja tuliyoyafanya usiku wa kwanza kwamba hatutategemea juuya hadithi zenye mashaka. Hupaswi kunukuu hadithi za kubuni, ambazo wasimuliaji wakeni waongo na waghushaji. Nukuu hadith sahihi.

Sheikh: Majibu yako yanaonesha kwamba kama ukisikia hadithi yoyote kutoka kwetuutaikataa.

Muombezi: Kamwe sifanyi hivyo, sio mimi peke yangu niliyeikataa hadithi hiyo. Hatamaulamaa wako mwenyewe wameikataa. Rejea kwenye Mizanu’l-I’tidal cha Dhahabi naTa’rikh ya Khatib-e-Baghdadi, juzuu ya 10, uk. 236. Utaona kwamba wengi wa wafasirwakubwa wameandika kuhusu tabia ya Abdu’r-Rahman Bin Malik wakisema: “Hakika,huyu alikuwa ni muongo, mwenye kufuru na mghushaji wa hadithi kiasi kwamba hakunayeyote mwenye shaka kuhusu hilo. Tafadhali tueleze kama hadithi hiyo ya upande mmojailiyosimuliwa na muongo na mghushaji, inaweza kulinganishwa na hadithi zile ambazomaulamaa wako mashuhuri wamezisimulia, na ambazo baadhi yake nimezitaja.

Ningekushauri kuitazama Jami’u’l-Kabir, cha Suyuti, juzuu ya 6, uk. 390, Riyazu’n-Nazara, juzuu ya 9, uk. 215, cha Muhibu’d-Din; Jami’i Tirmidhi, juzuu 2, uk. 299; Isti’ab,juzuu ya 3, uk. 46, cha Ibn Abdu’l-Birr; Hilyatu’l-Auliya, juzuu 6, uk. 295, cha Hafidh AbuNu’aim, Matalibu’s-Su’ul, uk. 17, cha Muhammad Bin Talha Shafi’i; Fusulu’l-Muhimma,uk. 126, cha Ibn Sabbagh Malik. Utaona kila mmoja wao amesimulia kwa hitilafu kidogoya maneno kutoka Abu Dharr Ghifari ambaye alisema: “Wakati wa uhai wa MtukufuMtume (s.a.w.w.) tulizoea kuwatambua wanafiki kwa alama tatu: kumkataa Allah naMtukufu Mtume (s.a.w.w.), kushindwa kuswali, na uadui kwa Ali Bin Abi Talib.”Imesimuliwa kutoka kwa Abi Sa’id Khudri kwamba Abu Dharr Ghifari alisema:“Tumezoea kuwatambua wanafiki kwa uadui wao dhidi ya Ali na wakati wa uhai waMtukufu Mtume (s.a.w.w.) tulikuwa hatuna alama nyingine ya kuwatambua wanafikiisipokuwa kwamba walikuwa maadui kwa Ali.”

Mikesha ya Peshawar

330

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 330

Page 349: Mikesh A

WAANDISHI WANAOSIMULIA HADITHI YA MTUKUFUMTUME KUHUSU CHUKI ZA WANAFIKI JUU YA ALI

Kwa nyongeza, waandishi wafuatao wanasimulia hadithi kuhusu chuki za wanafiki juu yaAli: Imam Ahmad Hanbal katika Musnad, juz. 1, uk. uk. 95, 138; Ibn Abdul’l-Birr katikaIsti’ab, juz. 3, uk. 37; Ahmad Khatib Baghdadi katika Ta’rikh-e-Baghdad, juz. 14, uk. 426;Ibn Abi’l-Hadid, katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha, juz. 4, uk. 264; Imam Nisa’i katikaSunan yake, juz. 8, uk. 117 na Khasa’isu’l-Alawi, uk 27; Hamwaini katika Fara’id, Suraya 22; Ibn Hajar katika Isaba, juz. 2, uk. 509; Hafidh Abu Nu’aim katika Hilyatu’l-Auliya,juz. 4, uk. 185; Sibt Ibn Jauzi katika Tadhkira, uk. 15; Suyuti katika Jami’u’l-Kabir, uk.152 na 408; Muhammad Ibn Talha Shafi’i katika Matalibu’s-Su’ul, uk. 17; Tirmidhi kati-ka Jami’i, juz. 2, uk. 13, wote hawa wameandika katika vitabu vyao kwa tofauti kidogo yamaneno kutoka kwa Ummu Salma au Ibn Abbas kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ame-sema: “Ewe Ali! Mnafiki sio rafiki yako na mu’umini sio adui yako. Ni mu’min tu yuleambaye anakupenda wewe, na ni mnafiki tu ndiye ambaye hukuchukia wewe. Mnafikihampendi Ali na mu’umin hamchukii Ali.”

Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha, juz. 1, uk. 367, anasimulia kutoka kwaSheikh Abu’l-Qasim Balkhi, mkuu wa madhhebu ya Mu’tazili, kwamba amesema,“Hadithi zote kwa pamoja zinasimulia zile hadithi sahihi na hakuna shaka juu ya usahihiwa zile ambazo zinasema kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema kumuambia Ali,“Hakuna mtu yeyote ambaye ni adui kwako isipokuwa yule ambaye ni mnafiki. Hakunamtu yeyote ambaye ni rafiki yako isipokuwa ni mtu ambaye ni mu’umin.” Vile vile, kati-ka juzuu ya 4 ya kitabu chake (Ibn Abi’l-Hadid), ukurasa wa 264, ananukuu hotuba yaAmirru’l-Mu’minin, ambayo kwayo Mtukufu Imam anasema: “Kama ninampiga dharubamu’umin na upanga huu katika uso wake ili kwamba awe na uadui juu yangu mimi, kamwehawezi kuwa na uadui na mimi; lakini kama ninautoa ulimwengu mzima kumpa mnafikiili anipende, kamwe hatanipenda. Na hili ni kulingana na kauli ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) ambaye alisema: ‘Ni waumin tu wanaokupenda wewe, na ni wanafiki tu ndiowenye uadui na wewe.

Kuna hadith nyingi za aina hii katika vitabu vyenu vya kuaminika. Nimevitaja tu baadhiya hivyo. Je, uasi wa Aisha dhidi ya mamlaka ya Ali haukuwa ni uasi dhidi ya MtukufuMtume (s.a.w.w.) mwenyewe? Je, kupigana au kushawishi kwake watu kupigana dhidi yaAli kulikuwa ni kwa sababu ya urafiki wake au ilikuwa ni kwa sababu ya uadui wake? Nidhahiri, ilikuwa ni kwa sababu ya uadui. Katika hadithi zote ambazo nimezisimulia hivipunde tu, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema kwamba moja ya alama za unafiki ni kupi-gana dhidi ya Ali. Utaupatanisha vipi msimamo uliochukuliwa na Ummu’l-Mu’mininAisha katika kupigana na Ali pamoja na hadithi hizi?

Mikesha ya Peshawar

331

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 331

Page 350: Mikesh A

Imekuja kwenye akili yangu hivi punde kwamba Mir Sayyid Ali Hamadani Shafi’i katikaMawaddatu’l-Qurba, mawdda ya 3, amesimulia kutoka kwa Aisha mwenyewe kwambaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Allah ameahidi neno Lake kwangu kwamba yeyoteyule ambaye anaasi dhidi ya Ali ni kafiri na makazi yake ni Motoni.” Inashangaza kwam-ba wakati watu walipomuuliza kwa nini aliasi dhidi ya Ali hali ya kuwa amesikia hadithikama hiyo kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), alijibu tu: “Niliisahau hadithi hii sikuya Vita vya Jamal (vita vya Ngamia). Sikuikumbuka mpaka nilipofika Basra.”

Sheikh: Lakini vipi unamuona Ummu’l-M’uminin kuwa na makosa wakati ni dhahirikwamba kusahau ni ubinadamu.

Muombezi: Hata kama nitakiri kwamba alisahau hadithi ile siku ya Vita vya Jamal, je,hakuikumbuka wakati anarudi kutoka Makka na marafiki zake wote pamoja na wakewachamungu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) walipomuonya kwamba asifanye kitendokama hicho, kwa vile upinzani kwa Ali ulikuwa ni upinzani kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.)?

Wanahistoria wenu wenyewe ambao wameandika kuhusu Vita vya Jamal wamevuta nad-hari kwenye ukweli kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Ewe Aisha! Ogopa ilenjia ambayo mbwa wa Haw’ab watakubwakia.” Hata hivyo wakati akiwa njiani kuelekeaBasra, alifikia kijito kidogo cha Bani Kilab, mbwa wakamzunguka na kuanza kubweka.Aliwauliza watu hiyo ilikuwa ni sehemu gani. Aliambiwa kwamba hapo ni Haw’ab. Kishaalikumbuka kile alichoambiwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Kwanini basi aliingiakwenye mtego wa Talha na Zubair? Kwa nini aliendelea mpaka akafika Basra ambako alis-ababisha fujo na ghasia kama ile? Je, utasema kwamba alikuwa amesahau na hili pia, aualipita njia ile kwa makusudi? Aliivunja amri ya Allah na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwamakusudi, na huku akiwa amekula njama na Talha na Zubair, alikwenda kupigana dhidi yaKhalifa na mwandamizi wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), ingawa yeye mwenyewe amesimu-lia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Mtu anayepigana dhidi ya Ali ni kafiri.”

Je, hiyo haikuwa sababu ya kuhuzunisha kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwamba mara tubaada ya Amiru’l-Mu’uminin kuchuka hatamu za ukhalifa, vurugu zilianzshwa na wahai-ni walitayarisha vita dhidi yake. Niliwaambieni mapema kwa vyanzo sahihi kwambaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Ambaye anamhuzunisha Ali, hakika ananihuzunishamimi. Yule ambaye ananihuzunisha mimi, hakika anamhuzunisha Allah, Enyi watu! Yuleambaye atamhuzunisha Ali atafufuliwa kama Myahudi au Mkiristo hiyo Siku ya Hesabu.”

Mikesha ya Peshawar

332

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 332

Page 351: Mikesh A

MAUAJI YA MASAHABA NA WAUMINI WASIO NA HATIAHUKO BASRA KWA AMRI YA AISHA

Riwaya hizi zinaweza kupatikana katika vitabu vyenu sahihi. Kwa nini basi muwaoneMashi’a kuwa na makosa? Uwajibikaji kwa ajili ya damu ya waumini wasio na hatia,mateso na kufukuzwa kwa Uthman Bin Hunaif, na mauaji ya zaidi ya watu 100 pamoja nawalinzi wa Hazina wasio na silaha ambao hawakuwa na habari na vita hivyo - 40 miongo-ni mwao ambao waliuawa msikitini - umeangukia sawasawa juu ya wachochezi wa vitahivyo. Allama Mas’udi katika kitabu chake Muruju’z-Dhahib, juz. 2, uk. 7, ameandikakuhusu hili katika maneno haya: “Mbali na wale waliojeruhiwa, walinzi sabini wasio nasilaha wa Hazina ya Umma waliuawa. Kati ya hawa sabini, hamsini walikatwa vichwavyao ndani ya jela. Watu hawa walikuwa wa kwanza miongoni mwa Waislamu waliokuwawameteswa mpaka kufa.” Miongoni mwa maulamaa wenu na wanahistoria, Ibn Jarir naIbn Athir wametoa maelezo ya kinaganaga kuhusu matukio haya.

MASHI’A WANASEMA KUHUSU AISHA KILE HASWAKINACHOONESHWA NA WANAHISTORIA

Pengine itakulazimu kufuta riwaya hizi kutoka kwenye vitabu vyenu vya sahihi. Kwakweli, katika machapisho ya marudio ya vitabu hivi, baadhi ya maulamaa wenu wame-badilisha baadhi ya maelezo haya wasiokubaliana nayo na katika hali nyingine wameyaon-doa kabisa. Itakupasa imma kukataa kile walichokiandika maulamaa na wanahistoria wenumashuhuri, au itakupaseni kuacha kuwalaumu Mashi’a. Wanasema tu yale ambayo yame-andikwa kwenye vitabu vyenu wenyewe vya kuaminika.

HAKUNA USHAHIDI KWAMBA AISHA ALITUBIA

Sheikh: Unachosema kwa hakika ni kweli, lakini Ummu’l-Mu’uminin Aisha alikuwa nimwadamu tu; hakuwa ma’asum (asiyekosea). Akiwa katika hali ya kupotoshwa alifanyakosa. Ilikuwa kwa sababu ya wepesi wake wa kudanganyika kwamba alinasa kwenyemtego wa masahaba wawili mashuhuri, lakini baadae alitubia kwa ajili ya uasi wake. Allahalimsamehe kwa hilo.

Muombezi: Kwanza, umekiri kwamba baadhi ya masahaba mashuhuri walikuwa waovu,ingawa walikuwa miongoni mwa wale ambao walikuwa “chini ya mti” na katika Bai’atu’l-Ridhwan. Usiku mmoja uliopita ulitoa hoja kwamba masahaba walikuwa kama nyota, natutakapomfuata yeyote miongoni mwao, tutaongozwa kwa haki. Sasa unakiri kwamba hii

Mikesha ya Peshawar

333

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 333

Page 352: Mikesh A

sio kweli. Pili, umesema kwamba Ummu’l-Mu’minin Aisha alitubia kitendo chake hicho.Ni dai lililo tupu tu. Wakati ambapo uasi, vita na mauaji ya Waislamu yanakubaliwa nawote kwa pamoja, hakuna ushahidi wa kutubia kwake.

AISHA ANAZUIA KUZIKWA KWA IMAM HASAN KARIBU NA MTUKUFU MTUME

Kama mambo yalivyo, ni ukweli kwamba Ummu’l-Mu’minin Aisha hakutulizana.Alitenda makosa mengi ya kipumbavu. Lakini unadai kwamba alitubia kosa lake na kwakusikia aibu, alijifungia nyumbani kwake. Lakini kama hii lingekuwa kweli kwa niniaufanyie vitendo vya aibu mwili wa mjukuu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)?

Tumejadili jinsi alivyomhuzunisha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na hatimaye jinsi alivyok-enda kwenye vita akiwa amepanda ngamia kwenda kupigana dhidi ya mwandamizi waMtume. Lakini baadae, safari hii akiwa amepanda juu ya nyumbu, alizuia mwili wamjukuu mkubwa wa Mtukufu Mtume usizikwe karibu na (kaburi la) Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Maulamaa wenu mashuhuri na wanahistoria, pamoja na Yusuf Sibt ibn Jauzikatika kitabu chake Tadhkira Khawasu’l-Umma, uk. 122; Allama Mas’ud, mwandishi waMuruju’z-Dhahab, katika Isbatu’l-Wasiyya, uk. 136; Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha, juz. 4, uk. 18, akisimulia kutoka kwa Abu’l-Faraj na Yahya Bin Hasan,mwandishi wa Kitabu’n-Nasab; Muhammad Khwawind Shah katika kitabu chakeRaudhatu’s-Safa, na wengine wengi wameandika kwamba wakati mwili wa Imam Hasanulipokuwa unapekwa Madina, Aisha, alipanda nyumbu na akifuatwa na kundi la BaniUmayyah na watumwa wao, walilisimamisha kundi lililokuwa na mwili wa Imam Hasan.Walisema kwamba hawataruhusu mwili wa Imam Hasan kuzikwa kando ya (kaburi la)Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). kwa mujibu wa riwaya ya Mas’udi, Ibn Abbas alisema: “Niajabu juu yako ewe Aisha! Je, haikukutosha ile siku ya Jamal, yaani siku ile ambayo uliin-gia kwenye uwanja wa mapambano ukiwa umepanda juu ya ngamia? Je, sasa vile vile watuwaweke kwenye kumbukumbu Siku ya Baghi (nyumbu)? Ukiwa umepanda nyumbuumelizuia jeneza la mtoto wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Siku moja umepanda ngamia, siku nyingine umepanda nyumbu, umeivunja staha yaMtukufu Mtume wa Allah (s.a.w.w.). Je, umedhamiria kuingamiza nuru ya Allah? Lakinikwa hakika Allah anaikamilisha Nuru Yake lau washirikina wachukie; hakika, sisi ni waAllah na Kwake Yeye tutarejea.” Baadhi ya watu wameandika kwamba Ibn Abbasalimuambia: “Wakati mmoja ulipanda ngamia na wakati mwingine nyumbu. Kama utaishizaidi, utapanda tembo vile vile (yaani utapigana dhidi ya Mungu)! Ingawa katika moja yanane una mgao wa moja ya tisa, bado umechukuwa miliki ya kitu kizima.”

Bani Hashim walichomoa panga zao na wakadhamiria kuwafukuzilia mbali. Lakini Imam

Mikesha ya Peshawar

334

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 334

Page 353: Mikesh A

Husein akaingilia kati na akasema kwamba kaka yake alimuambia kwamba hakutaka hatatone la damu limwagwe kwa sababu ya mazishi yake. Kwa hiyo, jeneza lilirudishwa kuto-ka pale na mwili wake ukazikwa Baqi (eneo la makuburi mjini Madina ambalo badolinatembelewa na mahujaji mpaka leo).

KUSUJUDU KWA AISHA WAKATI WAKUULIWA KISHAHIDI KWA AMIRUL-MU’MININ

Kama Aisha alitubia kwa uasi wake dhidi ya Amirul-Mu’minin, kwa nini alifanya sijda yashukurani wakati aliposikia habari za kuuliwa kishahidi kwa mtukufu Imam? Abu’l-FarajIspahani, mwaandishi wa Aghani, akiandika kuhusu mtukufu Imam katika kitabu chakeMaqatilut-Talibin, anasema: “Wakati Aisha aliposikia habari za shahada ya Amirul-Mu’minin Ali, alifanya sijda (ya shukurani).” Baadae, hata hivyo, alimuuliza mtoa habarijuu ya ni nani aliyemuua Ali. Aliambiwa kwamba alikuwa ni Abdur-Rahman Ibn Muljimwa ukoo wa Bani Murad. Mara moja alisoma ubeti wa shairi, ambao maana yake ni:“Kama Ali yuko mbali na mimi, habari za kifo chake zililetwa na mtumwa, ambayeanaweza kuwa hana vumbi katika mdomo wake.”

Zainab, bint ya Ummu Salma alikuwepo wakati ule. Alimuuliza Aisha kama ilikuwa nisahihi kwake yeye kuonyesha furaha yake na kutoa maneno kama hayo kuhusu Ali.Kilikuwa ni kitu kibaya sana. Aisha akajibu kwamba alirukwa na akili na kwamba alitoamaneno yale kwa kusahau. “Kama kitu kama hicho kikitokea tena kwangu na nikarudiamaneno hayo, unaweza ukanikumbusha, ili nijizuie kufanya kitu kama hicho tena.”Mambo haya yanaonesha kwamba Aisha hakutubia baadae katika maisha yake kamaunavyodai.

KAULI ZA AISHA ZINAZOKINZANAKUHUSU UTHMAN

Wakati huo huo nakumbuka akilini mwangu kitu kingine. Watu wenu wanawapingaMashi’a kwa sababu wanamkosoa Khalifa Uthman kwa ajili ya makosa yake, makosaambayo maulamaa wenu wenyewe wameyaandika katika vitabu vyao.

Kwa hiyo, pia hampaswi kumuangalia kwa upendeleo Ummu’l-Mu’minin Aisha vilevile,kwa sababu ulamaa na wanahistoria, kama vile Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha, juz. 2, uk. 77; Mas’ud katika Kitab-e-Akhiru’z-Zaman na Ausat; Sibt Ibn Jauzikatka Tadhkira Khawasu’l-Umma, uk. 36; Ibn Jarir, Ibn Asakir, na wengine wameandikakwamba Ummul-Mu’minin Aisha siku zote alikuwa akimsema vibaya Uthman, kiasikwamba alikemea: “Muuweni Na’thal (mzee mpumbavu) Allah naamuuwe huyo, kwani

Mikesha ya Peshawar

335

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 335

Page 354: Mikesh A

amekuwa kafir.” Lakini punde tu Uthman alipouawa, yeye kwa sababu ya upinzani wakekwa Ali, alianza kusema: “Uthman ameuawa kama mtu aliyeonewa. Kwa jina la Allahnitalipiza kifo chake. Hivyo simameni na munisaidie.”

Ibn Abi’l-Hadid anaandika: “Hakika Aisha alikuwa adui mkubwa wa Uthman. Kiasikwamba alitundika nguo ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) katika nyumba yake na alizoeakuwaambia watu ambao walikuja pale: ‘Hii ni nguo ya Mtukufu Mtume wa Allah(s.a.w.w.). Bado haijachakaa, lakini Uthman ameizeesha na kuichakaza sunna ya MtukufuMtume (s.a.w.w.).’”

Ibn Abi’l-Hadid anaandika kwamba, wakati Aisha yuko Makka aliposikia habari za kuuli-wa kwa Uthman, alisema: “Allah amkatae kwenye rehema Yake. Alitenda matendomabaya. Na Allah hawaonei viumbe wake, yaani, kama akimuadhibu yeyote, ni kwasababu ya dhambi zake mwenyewe.

Mnazisikia kauli hizi kutoka kwa Aisha kuhusu Uthman bila ushahidi wowote na badohamzitilii maanani. Lakini kama maneno kama hayohayo yanapotumiwa na Mashi’a, hara-ka sana mnawaita makafir. Lazima tuchukue msimamo wa uadilifu wa mambo. Ni ukweliuliothibitika kwamba Ummul-Mu’minin Aisha alimpinga Imam Amirul-Mu’minin vikalisana. Wakati aliposikia kwamba Waislamu wamekula kiapo cha utii kwa mtukufu Imamalisema: “Kuanguka kwa mbingu juu ya ardhi ni bora kuliko kusimamishwa kwa ukhalifawa Ali. Uthman ameuawa kama mtu aliyeonewa.” Kwa hakika kauli hizi zisizopatanazinaashiria akili isiyotulia.

ALLAH NI MWINGI WA HURUMA LAKINI DAMU YAWAISLAMU WASIO NA HATIA HAIWEZI KUPITA BILA

KUHOJIWA

Sheikh: Kutokupatana huku kwa kauli hizi za Ummul-Mu’minin kwa hakika kwa ujumlakumesimuliwa sana, lakini mambo mawili yanakubalika na kuthibitika. Kwanza, kwambaalidanganywa na kwa muda mfupi alikuwa hakuzingatia uandamizi wa Ali. Yeyemwenyewe alisema kwamba aliusahau na aliukumbuka tu wakati alipokuwa Basra. Pili,alitubia kwa ajili ya kitendo chake. Hakika Allah, akiwa amekwishamsamehe, atampanafasi ya juu katika Pepo.

Muombezi: Sitarudia niliyokwisha sema kuhusu suala la kutubia. Damu ya Waislamuwale ambao waliuawa bila kosa lolote, fedheha na aibu waliyofanyiwa, na kuporwa kwamali zao hakuwezi kupita bila kupingwa. Ni kweli kwamba katika mahali pa msamaha,Allah ni Mwenye huruma mno, lakini katika mahali pa adhabu, Allah ni mkali sana. Mbalina hili, yeye mwenyewe alikiri mpaka wakati wa kifo chake kwamba alihusika na matukio

Mikesha ya Peshawar

336

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 336

Page 355: Mikesh A

yote yale ya kuchukiza. Kama maulamaa wenu wenyewe walivyosimulia, aliigiza katikawosia wake kwamba hawezi akazikwa kando ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Alijua kwam-ba alisaidia katika vurugu nyingi baada yake. Hakim katika kitabu chake, Mustadrak; IbnQutayba katika kitabu chake, Ma’arif; Muhammad Bin Yusuf Zarandi katika kitabu chake,Kitab-e-A’lam bi siratu’n-Nabi na Ibnu’l-Bayya Nishapuri na wengine wamesimuliakwamba Aisha alimsihi Abdullah bin Zubair katika maneno haya: “Nizike kando ya dadazangu katika makaburi ya Baqi. Nilizua mengi na mapya baada ya Mtukufu Mtume waAllah (s.a.w.w.).”

AISHA HAWEZI KUDAI KUPOTEZA KUMBUKUMBU KWA SABABU ALIKUMBUSHWA NA UMMU SALAMAH

Unasema kwamba alikumbuka nemsi za Ali wakati akiwa Basra na alisahau kile ambachoMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimkataza kufanya. Hii sio kweli. Inapaswa uangalie vitabusahihi vya maulamaa wenu mashuhuri. Kwa mfano, rejea kwenye Sharhe-e-Nahju’l-Balagha, juz. 2, uk. 77 ya Ibn Abi’l-Hadid.

Ibn Abi’l-Hadid anaandika kutoka kwenye Ta’rikh ya Abi Makhnaf Lut Bin Yahya Azadikwamba Ummu Salma naye vile vile alikuwa Makka, wakati aliposikia kwamba Aishaanakusudia kulipa kisasi kwa ajili ya mauaji ya Uthman na alikuwa anakwenda Basra. Hilililimshitua sana na akaanza kutangaza ubora wa Ali katika mikutano yote. Aisha alikwen-da kwa Ummu Salamah ili kumshawishi juu ya msimamo wake huo kabla ya kuondokakwenda Basra. Ummu Salamah akamuambia Aisha: “Mpaka jana ulikuwa unamtukanaUthman na kumuita mzee mjinga, na sasa umemgeukia Ali kutaka kulipa kisasi chakuuawa kwa Uthman. Je, wewe hujui maadilifu ya Ali? Kama umesahau basi miminitakukumbusha.”

“Kumbuka siku ile, wakati nilipokuja chumbani kwako pamoja na Mtukufu Mtume waAllah (s.a.w.w.)? Kisha Ali akaingia ndani na akaanza kuongea faragha na Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Wakati mazungumzo ya faragha yalipoendelea kwa muda kiasi, uliamka nakumkaripia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Nilikusihi usifanye kitu kama hicho, lakini huku-jali ushauri wangu. Ukamuambia Ali huku ukiwa umekasirika: ‘Katika siku tisa, moja nikwa ajili yangu, na bado katika siku hiyo unakuja ndani kwangu na kumshughulisha namazungumzo.’ Kwa sababu ya kitendo chako hicho Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikasirikasana kiasi kwamba uso wake uligeuka kuwa mwekundu na akasema: ‘Rudi! Naapa kwajina na Allah kwamba yeyote yule ambaye ana uadui wa aina yoyote ule na Ali, awe ana-tokana na nyumba yangu au vinginevyo, anaondolewa katika imani.’ Kisha ukiwa umeabi-ka, ulirudi nyuma.” Aisha akasema: “Ndio nakumbuka.”

Mikesha ya Peshawar

337

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 337

Page 356: Mikesh A

Ummu Salamah akaendelea kusema: “Utakumbuka kwamba siku moja ulikuwa unaoshakichwa cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), nami nilikuwa natayarisha ‘hais’ (aina ya chaku-la). Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alinyanyua kichwa chake na akasema: ‘Ni nani miongonimwenu ambaye ni yule muovu ambaye atapanda Ngamia, na ambaye atabwakiwa nambwa wa Haw’ab, na ambaye ataanguka kichwa chini kutoka kwenye Daraja ya Sirat.’Kisha niliicha ile ‘hais’ na nikasema: Ewe Mtukufu Mtume wa Allah (s.a.w.w.)! Najikingakwa Allah na Mtume Wake kutokana na kitendo kama hicho.’ Baada ya hili, MtukufuMtume (s.a.w.w.) akikupiga mgongoni kwako alisema: ‘Liepuke hili; ni weweutakayefanya kitendo hiki.’” Aisha akasema: “Ndio nakumbuka.”

Ummu Salamah akaendelea: “Nakukumbusha kwamba katika moja ya safari wewe namimi tulikuwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Siku moja Ali alikuwa anashona viatu vyaMtukufu Mtume (s.a.w.w.), na sisi wawili tulikuwa tumekaa kwenye kivuli cha mti.Ilitokea kwamba baba yako, Abu Bakr na Umar walikuja na kutaka ruhusa. Wewe na mimitukaenda nyuma ya pazia. Walikaa chini na baada ya kuzungumza kwa muda, walisema‘Ewe Mtukufu Mtume wa Allah (s.a.w.w.)! Hatujui ubora wa usuhuba wako. Hivyotunakuomba utujulishe ni nani atayekuwa mwandamizii na Khalifa wako ili baada yakoapate kuwa ndio kiongozi wetu.’”

Mtukufu Mtume akawaambia: “Ninaijua nafasi yake, cheo chake na hadhi yake, lakinikama nitamtambulisha moja kwa moja ninyi mtamkataa kama Bani Israil walivyomkataaHaruni.’ Wote walinyamaza kimya na mara wakaondoka. Baada ya kuwa wamekwishakuondoka sisi tukatoka nje. Mimi nikamuuliza Mtukufu Mtume, ‘Ni nani atakayekuwakhalifa wako kwa ajili yao?’ Mtume akajibu, ‘Anatengeneza viatu vyangu.’ Tukaonakwamba hakuna mwingine isipokuwa Ali. Kisha nikasema, ‘Ewe Mtume wa MwenyeziMungu! sikumuona yeyote isipokuwa Ali.’Yeye akasema, ‘Ali huyohuyo ndiye khalifawangu.’”

Aisha akasema: “‘Nakumbuka.’ Kisha Ummu Salamah akasema: ‘Ikiwa unajua hadithizote hizi, sasa unakwenda wapi?” Akajibu: “Nakwenda kufanya amani miongoni mwawatu.”

Kwa hiyo, ni wazi kwamba Ummul-Mu’minin Aisha alikuwa hakudanganywa na wenginetu. Yeye mwenyewe alisababisha matatizo makubwa, na akiwa anajua mambo yote haya,kwa makusudi alisimama katika uasi ingawa Ummu Salamah alimkumbusha hadithi zaMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Hata baada ya kukiri cheo na nafasi ya Amirul-Mu’minin,aliondoka na kuelekea Basra na kusababisha vurugu kubwa, ambayo yaliishia katikakuuawa kwa Waislamu wengi.

Mikesha ya Peshawar

338

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 338

Page 357: Mikesh A

HADITHI YA KUSHONA VIATU NDIO USHAHIDI MKUBWA WA UIMAM NA UKHALIFA WA ALI

Hadithi ya kushona viatu ndio ushahidi mkubwa wa Uimam na ukhalifa wa Ali. Mashi’awanafanya udadisi wa kitafiti kwenye mambo ya miaka 1400 iliyopita. Pamoja na ujuzi waaya za Qur’ani Tukufu na vitabu sahihi vya maulamaa wa madhehebu zote, wanafikiamahitimisho ya haki. Kwa hiyo, tunaamini kwamba, igawa kihistoria, Ali alipewa nafasiya nne, nafasi hii ya chini kidhahiri kabisa, haiathiri ubora wake wala kudogesha umuhimuwa hadithi ambayo inathibitisha nafasi yake sahihi kama mrithi wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.).

Vile vile tunakubali kwamba ni ukweli uliohifadhiwa katika vitabu vya historia kwambaAbu Bakr (kwa hila za kisiasa) aliteuliwa kuwa Khalifa katika ukumbi wa Saqifa bila yakuwepo Ali, Bani Hashim na masahaba wengine mashuhuri, pamoja na kuwepo upinzaniwa ukoo wa Khazraj wa Ansari wa Madina. Baada ya hapo ikawa ni kwa udikiteta wa mtumwenyewe binafsi, ambapo Umar na Uthmani walikalia kiti cha ukhalifa. Lakini kunatofauti. Watu hawa walikuwa makhalifa wa jumuiya; washirika wao ndio waliowafanyamakhalifa. Kwa upande mwingine Amirul-Mu’minin Ali alikuwa ndiye Khalifa waMtukufu Mtume (s.a.w.w.) na aliteuliwa na Allah na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuwamwandamizi wa Mtukufu Mtume.

Sheikh: Huku ni kutokuwa kwako na huruma. Kulikuwa hakuna tofauti kati yao. Watuwale wale ambao wote kwa pamoja waliamua kuukabidhi ukhalifa huo kwa makhalifawatatu, Abu Bakr, Umar na Uthman vile vile waliukabidhi kwa Ali.

TOFAUTI KATIKA MTINDO WA UTEUZI WA MAKHALIFAWATATU WA MWANZO NI USHAHIDI TOSHA WA KUTOSI-

HI KWA UKHALIFA WAO

Muombezi: Kulikuwepo na tofauti nyingi za wazi katika namna ya uteuzi wa makhalifa.Kwanza, umetaja Ijma (uamuzi wa makubaliano ya pamoja). Hakuna ulazima wa kurudiahoja yangu. Nimethibitisha kutokuwepo kwa msingi wowote katika suala la Ijma katikamikesha iliyopita. Kwa hakika kulikuwa hakuna uamuzi wa pamoja kuhusu ukhalifa wayeyote kati yao.

Mikesha ya Peshawar

339

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 339

Page 358: Mikesh A

USHAHIDI MWINGINE WAUBATILIFU WA IJMAI

Pili, kama unategemea Ijmai (makubaliano ya wote pamoja) kama msingi wa ukhalifa nakuchukulia kwamba unakubalika kwa upande wa Allah na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), basiwakati wowote anapokufa Khalifa, umma wote ungelikusanyika pamoja kuteua Khalifa.Yeyote ambaye angechaguliwa angekuwa Khalifa wa watu [kwa kweli sio wa MtukufuMtume wa Allah (s.a.w.w.)]. Na utaratibu huu ungelifuatwa katika zama zote.

Hata hivyo, lazima ukiri kwamba Ijmai kama hiyo au makubaliano ya wote kama hayohayajawahi kufanyika kamwe. Hata Ijmai ile ambayo haikukamilika ambayo kwayo BaniHashim na Answar (watu wa Madina) hawakuwepo pia haikufanyika kwa yeyoteisipokuwa kwa Abu Bakr Bin Qahafa. Ukhalifa wa Umar, kwa mujibu wa maoni yawanahistoria wote na wanahadthi wa Uislamu, ulitegemea juu ya uamuzi wa pekee wa AbuBakr Bin Qahafa. Kama Ijma ilikuwa ni kihitajio kwa ajili kuteuliwa kwa Khalifa, kwa niniisifanyike kwa ajili ya kuukabidhisha ukhalifa kwa Umar na kwa nini maoni ya wotepamoja yasitafutwe juu ya hilo?

Sheikh: Ni dhahiri kwamba wakati ambapo Abu Bakr alifanywa kuwa Khalifa kwamakubaliano ya wote pamoja (Ijmai), uamuzi wa Khalifa wa kumteuwa mrithi wake ulik-wa halali kabisa. Kulikuwa hakuna haja ya kufanyika Ijma nyingine. Bali, uamuzi wa kilaKhalifa wa uteuzi wa Khalifa baada yake kimsingi ulikuwa sahihi na wa kutosha. Haki hiiimewekwa kwa Khalifa ili kwamba aweze kumteua Khalifa baada yake ili kwamba watuwasije wakaachwa kwenye mchafuko na mkanganyiko. Kwa hiyo, wakati Khalifaaliyekubaliwa, Abu Bakr, aliyeteuliwa kwa makubaliano ya jumla, alimteuwa Umar kamaKhalifa, na hivyo yeye (Umar) akawa ni Khalifa wa haki wa MtukufuMtume (s.a.w.w.).

UTEUZI WA MTUKUFU MTUME JUU YA ALI ULIPUUZWA, NA UTEUZI WA ABU BAKR JUU

YA UMAR UKAHALALISHWA

Muombezi: Unaamini kwamba Khalifa aliyekubaliwa ana haki ya kuteuwa mrithi. Nijukumu lake kwamba asiuache umma kwenye mchafuko na bila kuongozwa, na uamuziwake unatosha kwa ajili ya uteuzi wa Khalifa. Lakini kama unaamini hivyo, kwa ninimnanyima Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) haki hii? Na kwa nini mnazipuuza dalili zote zile zawazi ambazo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa dhahiri kwa kurudia rudia alizozitoa katikanyakati tofauti na sehemu tofauti, akimtaja Ali kama mrithi wake, na dalili ambazo zimo

Mikesha ya Peshawar

340

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 340

Page 359: Mikesh A

zote katika vitabu vyenu sahihi. Unalikwepa kirahisi tu suala hili na kutetea tafsiri zisizosahihi kama Ibn Abi’l-Hadid alivyoipuuza hadithi ya Umma Salma katika misingi ya ajabuisiyo na maana yoyote.

Aidha ni kwa msingi gani unaweza kudai kwamba Khalifa wa kwanza, ambaye aliteuliwakwa njia ya Ijmai, alikuwa na haki ya kuteua mrithi wake. Je, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alitoa maelekezo kama hayo? Hapana. Vile vile unadai kwamba wakati Khalifa wa kwan-za aliupata wadhifa wake kwa Ijma, kulikuwa hakuna haja ya uteuzi wa makhalifa wenginekwa njia ya Ijmai. Makhalifa hao hao walikuwa na mamlaka kutoka kwenye umma kuteuaKhalifa kwa ajili yao.

PINGAMIZI JUU YA MAJLIS-E-SHURA(KAMATI YA USHAURI)

Kama hali ilikuwa hivyo, kwa nini kanuni hiyo ilitwaliwa kwa ajili ya ukhalifa wa Umarpeke yake? Kwa ukhalifa wa Uthman kanuni hii haikufuatwa. Badala ya kuteuwa Khalifabaada yake, Umar aliliacha suala hili kuamuliwa na kamati ya ushauri ya watu sita. Sijuini nini unachofikiria kama ndio kanuni ambamo kwamba uteuzi wa Khalifa umetegemea.Unajua kwamba kama kuna tofauti za msingi katika mabishano ya hoja, hilo suala halisihuwa batili.

Kama msimamo wako ni kwamba msingi wa ukhalifa ni Ijmai na umma wote kwa pamo-ja lazima ufanye uamuzi (bila kutaja ukweli kwamba Ijma kama hiyo haikufanyika kwaajili ya ukhalifa wa Abu Bakr), basi kwa nini Ijmai kama hiyo isifanyike kwa ajili ya ukhal-ifa wa Umar? Kama unachukulia kwamba Ijmai hiyo ilikuwa lazima tu kwa ukhalifa wakwanza, na kwa ajili ya uteuzi wa makhalifa wa baadae uamuzi wa Khalifa aliyechaguli-wa ulikuwa unatosha, basi kwa nini kanuni hii isifuatwe katika suala la ukhalifa waUthman? Kwa nini Khalifa Umar aliiacha kanuni iliyotangazwa wazi na Abu Bakr? Kwanini aliacha uteuzi wa Khalifa kwenye Majlis-e-Shura (kamati ya ushauri)? Khalifa Umaraliiteua kidikteta kamati hiyo ingawa ingepaswa kuwa kamati ya uwakilishi wa umma(kusudi kuweze kuwa na uwakilishi fulani kidogo wa maoni ya wengi).

PINGAMIZI KWA ABDU’R-RAHMAN BIN AUFKUWA NDIO MSULUHISHI

Kitu cha kushangaza zaidi ni kwamba haki za wajumbe wote wa kamati zilifanywazinyenyekee kwa Abdu’r-Rahman bin Auf. Hatuelewi uteuzi wa Abdu’r-Rahman Auf ume-fanywa kwa misingi ipi. Je, ilikuwa dini, heshima, elimu au utendaji? Tunaweza tu kuonakwamba alikuwa jamaa wa karibu wa Uthman na hatamsaidia yeyote yule isikokuwa yeye.Iliamuliwa kwamba atakachosema Abdu’r-Rahman kitakuwa sahihi, na wakati akila kiapo

Mikesha ya Peshawar

341

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 341

Page 360: Mikesh A

cha utii kwa yeyote (katika wale watu watano - ukimuondoa yeye mwenyewe), wenginewote lazima wamfuate.

KWA MUJIBU WA MTUKUFU MTUME, ALI ANAPASWAKUFUATWA KULIKO WENGINE WOTE

Wakati tunapoliangalia suala hili kwa makini zaidi tunaona kwamba ilikuwa ni maagizo yakidikiteta yaliyotolewa chini ya kisingizio cha Shura (kamati ya ushauri). Hata leo hiitunaona kwamba kanuni za demokrasia ziko kinyume kabisa na demokrasia yenyewe.Lakini Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa kurudia rudia alisema: “Ali anaiznguka haki na hakiinamzunguka Ali.” Vile vile alisema: “Ali ni ‘Faruq’ (Mbainishaji - wa haki na batili) waumma huu na anavuta upambanuzi kati ya haki na batili.” Hakim katika kitabu chakeMustadrak, Hafidh Abu Nu’aim katika Hilya; Tabrani katika Ausat; Ibn Asakir katikaTa’rikh; Muhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’i katika Kifayatu’t-Talib; Muhibu’d-Din Tabarikatika Riyazu’n-Nuzra; Hamwaini katika Fara’id; Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha na Suyuti katika Durru’l-Mansur wanasimulia kutoka kwa Ibn Abbas,Salman, Abu Dharr na Hudhaifa kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Mara tubaada yangu mimi vurugu zitaanza. Katika wakati huo itakuwa lazima kwenu ninyi kuji-ambatanisha wenyewe na Ali Bin Abi Talib kwa vile ni mtu wa kwanza ambaye atapeanamikono pamoja na mimi katika Siku ya Hukumu. Yeye ndiye mtu muaminifu mno zaidi nandiye Faruq wa umma huu; yeye anaonesha kipambanuzii kati ya haki na batili, na ndiyekiongozi wa waumini.”

Kwa mujibu wa hadithi kutoka kwa Ammar Yasir (ambayo kwayo nimeitaja mapemapamoja na maelezo kamili ya vyanzo vyake), Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Kamawatu wote wanakwenda njia moja na Ali anakwenda njia nyingine, lazima umfuate Ali nakuwaacha wengine wote. Ewe Ammar! Ali hatakupotosha na hatakuelekeza kwenyemaangamizi. Ewe Ammar! Utii kwa Ali ni utii kwangu mimi, na utii kwangu ni utii kwaAllah swt.”

DHULMA MBAYA ILIYOFANYWA NA UMAR KWENYE NAFASI YA AMIRUL-MU’MININ

Pamoja na hayo, Khalifa Umar, akiyadharau maelekezo ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),anamfanya Ali kuwa ni mdogo kwa Abdu’r-Rahman katika Shura. Je, mamlaka hayo nihalali, ambayo yanawakana masahaba mashuhuri? Waheshimiwa mabwana! Kuweniwenye haki! Chunguzeni maelezo ya kihistoria ya wakati huo, kama vile Isti’ab, Isaba naHilyatu’l-Auliya. Kisha mlinganisheni Ali na Abdu’r-Rahman, na muone iwapo kama yeyealistahiki kupata haki ya kura ya turufu (veto) au Amirul-Mu’minin. Mtaona kwamba nikutokana tu na hila za kisiasa kwamba haki ya Ali iliporwa.

Mikesha ya Peshawar

342

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 342

Page 361: Mikesh A

Aidha, kama njia ya uteuzi iliyofuatwa na Umar Bin Khattab ilikuwa inafaa kufuatwa,yaani kama Majlis -e- Shura ilikuwa lazima kwa ajili ya uteuzi wa Khalifa, kwa nini basiisifanywe wakati Amirul-Mu’minin alipofanywa Khalifa?

Inashangaza kwamba katika ukhalifa wa makhalifa wanne (Abu Bakr, Umar, Uthman naAli) njia nne tofauti zilifuatwa. Sasa ni ipi katika njia hizo kimsingi ilikuwa haki na ipiambayo ilikuwa batili? Kama unasema kwamba njia zote nne zilikuwa za halali, basi laz-ima ukubali kwamba ninyi hamna kanuni ya msingi kwa ajili usimikaji wa Khalifa.

Sheikh: Huenda maelezo yako ni sahihi. Umesema lazima tutafakari sana suala hili.Tunaona kwamba ukhalifa wa Ali vile vile ni wa hali ya kuleta wasiwasi, kwani aina yaIjmai ambayo ilimteuwa Abu Bakr, Umar na Uthman vile vile imemteuwa Ali kamaKhalifa.

Muombezi: Unachosema kingeweza kuwa chenye kuweza kutetewa lau isingekuwa kwakauli ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Kwa hakika ukhalifa wa Ali haukutegemea juu yaIjmai ya umma. Uliamriwa na Allah.

UKHALIFA WA ALI ULIAMRIWA NA ALLAH

Mtukufu Imam alitwaa ukhalifa kwa njia ya kuirudisha haki yake kwake. Kama haki yamtu imeporwa, anaweza kuichukua wakati wowote anapopata fursa ya kufanya hivyo.Kwa hiyo, wakati ilipokuwa hakuna vikwazo na hali ya hewa ilihitaji hivyo, mtukufuImam alijipatia haki yake.

Kama umesahau hoja tulizosema huko nyuma, unaweza kuangalia magazeti, ambayoyameandika taarifa tulizowasilisha kuhusiana na suala hili. Tumethibitisha kwamba Alikukalia kiti cha ukhalifa msingi wake ulikuwa juu ya aya za Qur’ani Tukufu na juu yahadithi za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Huwezi kutaja hadithi hata moja inayokubaliwa na madhehebu zote ambayo kwayoMtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema kwamba Abu Bakr, Umar, au Uthman walikuwawarithi wake. Kwa hakika kama mambo yalivyo, mbali na hadithi katika vitabu vya Shi’a,kuna idadi kubwa ya hadithi kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) zilizoandikwa kwenyevitabu sahihi vyenu wenyewe, ambazo zinaonesha kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)kwa dhahiri alimteuwa Ali kama mrithi wake.

Sheikh: Vile vile kuna hadithi ambazo zinaonesha kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alisema kwamba Abu Bakr alikwa ni Khalifa wake.

Muombezi: Kwa dhahiri umesahau hoja yangu ya mikesha iliyopita ambayo inakanusha

Mikesha ya Peshawar

343

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 343

Page 362: Mikesh A

kukubalika kwa hadithi hizo. Hata hivyo, nitajibu tena usiku huu. Sheikh Mujaddidu’dinFiruzabadi, mtunzi wa Qamusu’l-Lughat anasema katika Kitab-e-Safaru’s-Sa’adat:“Chochote ambacho kimesemwa katika kumtukuza Abu Bakr kimetegemea juu ya visa vyakubuni kiasi kwamba akili ya kawaida haivikubali kuwa ni vya kweli.”

Kama utachunguza vizuri zaidi tatizo la ukhalifa, utaona kwamba kwa hakika kulikuwahakuna Ijma kwa yeyote kati ya makhalifa wakubwa wanne (Abu Bakr, Umar, Uthman naAli) au kwa yeyote kati ya makhalifa wa Banu Umayya na Banu Abbas. Umma wotekamwe haukukusanywa wala wawakilishi wa umma kukusanya pamoja kupiga kura zao.Lakini, tukizungumza kwa ulinganishi, tunaona kwamba ukhalifa wa Ali uliungwa mkonona kile ambacho kilikuwa karibu sana na Ijmai. Wanahistoria na maulamaa wenu wenyewewanaandika kwamba kwa ukhalifa wa Abu Bakr kwanza kabisa walikuwa ni Umar na AbuUbaida Jarra, yule mchimba makaburi, ndio waliokuwepo tu. Baadae baadhi ya ukoo waAus ulikula kiapo cha utii kwake kwa sababu walikuwa wanapingana na ukoo wa Khazrajambao walikuwa wamemteuwa Sa’d Bin Ubaida kama mgombea. Baadae zaidi wenginekwa kupitia vitisho, (kama nilivyoelezea mapema kwa urefu) na kundi jingine liki-chochewa na fikra za kisiasa walikula kiapo cha utii kwa Abu Bakr. Ma-Answari (watu waMadina) ambao walimfuata Sa’d Bin Ubaida, hawakuukubali ukhalifa mpaka dakika yamwisho. Kisha ukhalifa wa Umar uliasisiwa tu kwa pendekezo la Abu Bakr, ambalohalikuhusika na chochote na Ijmai. Hatimaye Uthman alikuwa Khalifa kwa uamuzi waMajlis-e-Shura (kamati ya ushauri) ambayo iliundwa kidikteta na Khalifa Umar.

Wakati wa ukhalifa wa Ali wawakilishi wengi wa nchi nyingi za Kiislamu, ambao kwabahati walikuja Madina kutafuta marekibisho ya manun’guniko yao, walisisitiza juu ya Alikuwa Khalifa.

Nawab: Je, wawakilishi hao wa nchi za Kiislamu walikusanyika Madina kwa ajili ya kum-chagua Khalifa wao?

Muombezi: Hapana. Khalifa Uthman alikuwa bado ni Khalifa. Wawakilishi wa mengi yamakabila na koo kubwa za Kiislamu walikusanyika mjini Madina kulalamika juu ya ukatiliwa magavana wa Banu Umayya, maofisa wao na watu wengine mashuhuri wa baraza lao,kama Marwan. Matokeo ya Ijma hii ilkuwa kwamba Uthman, ambaye aling’ang’ania kati-ka sera zake za ukandamizaji, aliuawa.

Ilikuwa ni baada ya kadhia hii kwamba watu wa Madina walimfuata Ali na kwa msisitizowa maombi na kumsihi kwingi walimleta msikitini, ambako watu wote walikula kiapo chautii kwake. Makubaliano ya pamoja, ya hadharani kama hayo, hayajawahi kufanyikakwenye ukhalifa wowote katika makhalifa watatu wa kwanza. Watu wa Madina na vion-gozi wa nchi mbalimbali walikula kiapo cha utii kwa mtu makhususi na wakamkubalikama Khalifa wao.

Mikesha ya Peshawar

344

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 344

Page 363: Mikesh A

MSINGI HALISI WA UKHALIFA WA ALI SIO IJMAI BALI NI MATANGAZO YA MTUKUFU MTUME

Lakini licha ya Ijmai hii iliyofanywa kwa ajili Amirul-Mu’minin, hatuifikirii kama msingiwa Ukhalifa wake. Kuhalalisha ukhalifa wake tunategemea tu juu ya Qur’ani Tukufu namaamrisho ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Ilikuwa ni kawaida ya mitume kwamba waowenyewe, kulingana na amri ya Allah, waliwateua warithi na makhalifa.

Umesema kwamba hakuna tofauti kati ya Amirul-Mu’minin na makhalifa wengine. Nabado kuna dalili nyingi kwamba kulikuwa na tofauti kubwa kati ya Ali na makhalifawengine.

ALI ALIKUWA MBORA KULIKO WALE MAKHALIFA WENGINE WOTE

Sifa ya kwanza ya Amirul-Mu’minin ambayo imemfanya dhahiri kuwa yeye ni mbora zaidikuliko makhalifa wengine wote ilikuwa kwamba yeye aliteuliwa na Allah na Mtume Wakekuwa mrithi wa Mtume. wengine wote wamechaguliwa na vikundi vidogo vya watu. Nidhahiri kwamba Khalifa aliyeteuliwa na Allah na Mtume Wake lazima awe bora kulikowale ambao wamechaguliwa na watu. Kama mambo yalivyo, sifa mashuhuri zaidi yaAmirul-Mu’minin ilikuwa ni ubora wake wa elmu, maadili, na uchamumgu. Maulamaawote wa umma (isipokuwa wafuasi wachache tu wa Abu Bakr wa ki-Khawarij na Nasibi)wanakubaliana wote kwa pamoja katika maoni yao kwamba, baada ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), Ali anawapita wengine wote katika ilmu, uadilifu, haki, utukufu, na uchamungu.

Katika kuunga mkono jambo hili huko nyuma nilinukuu idadi ya hadithi na aya kutokakwenye Qur’ani Tukufu. Sasa nimekumbuka tena hadithi nyingine tena bado, kuhusiana nanukta hii.

HADITHI YA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.)KUHUSU UBORA WA ALI

Imam Ahmad Bin Hanbal katika Musnad, Abu’l-Mu’ayyid Muwaffaq Ibn AhmadKhawarizmi katika sura ya nne ya Manaqib, Mir Seyyid Ali Hamadani Shafi’i katikaMawaddatu’l-Qurba, Hafidh Abu Bakr Baihaqi Shafi’i katika Sunan, na wengine wengiwamesimulia kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa tofauti kidogo ya maneno natafsiri kwamba alisema: “Ali miongoni mwenu ndiye mwanachuoni msomi zaidi, muadil-ifu zaidi, na hakimu bora zaidi. Yule ambaye anakataa kauli zake, kitendo chake au maoni

Mikesha ya Peshawar

345

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 345

Page 364: Mikesh A

yake, kwa kweli ananikataa mimi. Yule ambaye atanikataa mimi, anamkataa Allah, nayuko ndani ya mipaka ya ushirikina.” Aidha, Ibn Abi’l-Hadid Mu’tazali, ambaye ni mmojawa maulamaa wenu mashuhuri, ameandika kwenye sehemu nyingi katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha kwamba ubora wa Amirul-Mu’minin Ali ilikuwa ni imani ya masahabawengi na wafuasi. Masheikh (Machifu) wa Baghdad vile vile walilikubali hilo.

Muombezi: Je, unaweza kunifahamisha tafadhali, unachochukulia kuwa ni nemsi katikamtu ambazo humfanya kuwa bora kuliko wote?

Sheikh: Kwa kweli kuna nemsi na tabia nzuri nyingi ambazo zaweza kustahili uborakuloko nyingine, lakini katika maoni yangu sifa zenye kustahiki zaidi baada ya kuaminikatika Allah na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ni hizi: (1) Ukoo safi (2) Ilmu, na (3)Uchamungu.

Muombezi: Allah akubariki! Nitafungia mjadala wangu kwenye nukta hizi tatu.

Bila shaka kila sahaba, iwe alikuwa ni Khalifa au la, alikuwa na sifa fulani bainifu. Lakiniwale ambao walikuwa na nemsi hizi walikuwa ndio haswa wabora kuliko wengine. Kamanitathibitisha kwamba katika sifa hizi tatu ni Amirul-Mu’minin Ali ambaye anawazidiwengine wote, basi lazima ukubali kwamba mtu huyu mtakatifu alikuwa ni mdai mstahikiwa ukhalifa. Na kama alikoseshwa ukhalifa ni kwa sababu ya hila za kisiasa.

KIZAZI SAFI HALISI CHA ALI

Katika suala la kizazi ukimuondoa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), hakuna mtu anayewezakulinganishwa na Ali. Hata baadhi ya maulamaa washupavu wa madhehebu yenu, kamaAla’u’d-Din Mulla Ali Bin Muhammad Ushji, Abu Uthman Amr Bin Bahr Jahiz Nasibi, naSa’idu’d-din Mas’ud Bin Umar Taftazani wamesema: “Tunayastahi sana maneno ya Aliambaye amsema: ‘Sisi ni Ahlul’l-Bayt wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). hakuna anayewezakulingana na sisi.’”

Vile vile, katika khutba ya pili ya Nahju’l-Balagha, mtukufu Imam baada ya kukubaliukhalifa alisema: “Hakuna mtu katika umma huu anayeweza kulingana na familia yaMuhammad. Inawezekanaje wale ambao wamepokea rehema, ilmu, na upole kutoka kwaowalingane nao? Wao ni msingi wa dini na nguzo za imani. Wale ambao wanapotoka kuto-ka kwenye njia ya haki hugeukia kwao, na wale ambao wanakawia nyuma, hupiga hatuambele kujiambatanisha kwao. Wao peke yao wana haki ya pekee ya uandamizi na Uimam.Ilikuwa ni kwa ajili yao peke yao kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alifanya wosia wake.Walikuwa ni warithi wake wa haki. Sasa haki imerudi kwa mdai wake halali na tena ime-fikia sehemu ambayo kwamba ilikuwa imeondolewa.”

Mikesha ya Peshawar

346

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 346

Page 365: Mikesh A

Maelezo haya ya Amirul-Mu’minin kuhusu madai yake la ukhalifa ni uthibitisho mzuri juuya haki yake kwenye ukhalifa.

Lakini maneno haya hayakutamkwa na Amirul-Mu’minin peke yake. Hata wapinzani wakewamekiri kitu hicho hicho. Nilionesha katika usiku uliopita kwamba Mir Seyyid AliHamadani anasimulia katika Mawaddatu’l-Qurba, Mawadda ya 7, kutoka kwa Abi Wa’il,ambaye anasimulia kwamba Abdullah Bin Umar alisema: “Katika kuwaonesha masahabawa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), tulitaja majina ya Abu Bakr, Umar na Uthman. Mtu mmojaakauliza liko wapi jina la Ali? Sisi tukasema, ‘Ali anatoka na Ahlu’l-Bayt ya Mtume, nahakuna mtu yeyote anayeweza kulinganishwa na yeye. Yuko pamoja na Mtukufu Mtumewa Allah (s.a.w.w.) katika daraja mmoja (isipokuwa utume).’”

Vile vile yeye anasimulia kutoka kwa Ahmad Bin Muhammad Kurgi Baghdadi, ambayealisema kwamba Abdullah Bin Ahmad Hanbal (mtoto wa Imam wa madhehebu yaHanbali) alimuuliza baba yake kuhusu ubora wa masahaba wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),ailimtaja Abu Bakr, Umar na Uthman. Kisha akamuuliza ni nini anachofikiria kuhusu AliBin Abi Talib. Ahmad Bin Hanbal akasema, “Anatokana na Ahlu’l-Bayt. Watu wenginehawawezi kulinganishwa naye.”

Amma kwa ukoo wa Ali, una vipengele viwili: kimoja cha nuru na kimoja cha mwili.Hivyo kulingana na hili Ali alikuwa na daraja ya pekee baada ya Mtukufu Mtume wa Allah(s.a.w.w.).

KUUMBWA KWA ALI KUTOKANA NA NURU, NAUHUSIANO WAKE NA MTUKUFU MTUME

Kutokana na mtazamo wa nuru, Amirul-Mu’minin alichukua nafasi ya juu kabisa, kamaambavyo maulamaa wenu wengi mashuhuri wanavyoonesha. Imam Ahmad Bin Hanbalkatika Musnad yake, Mir Seyyid Ali Hamdani Faqih Shafi’i katika Mawaddatu’l-Qurba;Ibn Maghazili Shafi’i katika Manaqib yake na Muhammad Bin Talha Shafi’i katikaMatalibu’s-Su’ul fi Manaqib-e-alu’r-Rasul wanasimulia kutoka kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) kwamba alisema: “Mimi na Ali Bin Abi Talib wote tulikuwa nuru moja mbeleya Allah miaka 14,000 kabla ya kuumbwa Adam. Wakati alipomuumba Adam, aliiwekanuru ile kwenye kiuno cha Adam. Tulibakia pamoja kama nuru mmoja mpaka paletulipotengana katika kiuno cha Abu’l-Muttalib. Kisha nilipewa Utume na Ali akapewaUkhalifa.”

Mir Seyyid Ahmad Ali Hamdani Faqih Shafi’i katika Mawaddatu’l-Qurba, Mawadda ya7, anaitaja nukta hii: “Ali na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wanatokana na nuru moja. Ali ali-jaaliwa na sifa kama vile ambavyo hakupewa mtu yeyote mwingine katika ulimwenguwote.”

Mikesha ya Peshawar

347

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 347

Page 366: Mikesh A

Miongoni mwa hadithi ambazo zimeandikwa katika Mawadda hii kuna riwaya kutoka kwaKhalifa wa tatu, Uthman Bin Affan, ambaye alisema kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alisema: “Mimi na Ali tuliumbwa kutokana na nuru mmoja miaka 14,000 kabla ya kuumb-wa kwa Adam. Wakati Allah alipomuumbwa Adam, aliiweka nuru ile katika kiuno chaAdam. Tulibakia kama nuru mmoja mpaka tulipotenganishwa katika kiuno cha Abdu’l-Muttalib. Kisha nilipewa Utume na Ali akapewa uandamizi.”

Katika hadithi nyingine anaandika kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), wakati akimzun-guzisha Ali, alisema: “Hivyo Utume na Unabii ukaja kwangu. Uandamizi (ushikamakamu)na Uimam ukaja kwako wewe Ali.”

Hadithi hiyo hiyo ilisimuliwa na Ibn Abi’l-Hadid Mu’tazali katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha, Jz. 2, uk. 450 (chapa ya Misir) kutoka kwa mwandshi wa Kita-e-Firdaus. Vilevile Sheikh Sulayma Balkhi katika Yanabiu’l-Mawadda, sehemu ya 1, anasimulia kutokaJam’u’l-Fawa’id, Manaqib ya Ibn Maghazili Shafi’i, Firdaus ya Dailami, Fara’idu’s-Simtain ya Hamwaini na Manaqib ya Khawarizmi, pamoja na tofauti kidogo katikamaneno lakini sio katika madhumuni, kwamba Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.) naAli waliumbwa kutokana na nuru maelfu ya miaka kabla ya kuumbwa kwa ulimwengu nakwamba wote kwa pamoja walikuwa nuru moja mpaka walipotengenishwa katiki kiunocha Abdu’l-Muttalib. Sehemu moja iliwekwa katika kiuno cha Abdullah na kutokana nayoalizaliwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Sehemu nyingine iliwekwa kwenye kiuno cha AbuTalib na kutokana nayo alizaliwa Ali. Muhammad aliteuliwa kuwa Mtume na Ali kuwamwandamizi, kama ilivyoelezwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe.

Abu’l-Mu’ayyid Mu’affaq Bin Ahmad Khawarizmi na wengine wengi wamesimulia kuto-ka vyanzo vya kuaminika kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Mimi na Alitumezaliwa kutokana na nuru moja. Tulibakia pamoja mpaka tukafikia kwenye kiuno chaAbdu’l-Muttalib ambamo tulitenganishwa.”

KIZAZI CHA KIMAUMBILE CHA ALI

Kwa kadiri ambavyo uumbaji wa kimwili wa Ali unavyohusika, ni dhahiri ulikuwa ni wadaraja ya juu kwa pande zote, kikeni na kiumeni. Wahenga wake wote waliotanguliampaka kufikia kwa Adam mwenyewe walikuwa ni wenye kumuabudu Allah. Kamwe nuruhii haijatua katika kiuno au tumbo chafu la uzazi. Hakuna yeyote miongoni mwa masaha-ba anayeweza kutoa madai kama haya. Nasaba ya Ali ni kama ifuatavyo:

(1) Ali Bin (2) Abu Talib Bin (3) Abdu’l-Muttalib (4) Hashim (5) Abd-e-Manaf (6) Qusai(7) Kilab (8) Murra (9) Ka’b (10) Luwai (11) Ghalib (12) Fihr (13) Malik (14) Nazir (15)

Mikesha ya Peshawar

348

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 348

Page 367: Mikesh A

Kinana (16) Khazima (17) Mudrika (18) Ilyas (19) Muzar (20) Nizar (21) Ma’d (22) Adnan(23) Awwad (24) Al-Yasa (25) Al-Hamis (26) Bunt (27) Sulayman (28) Haml (29) Qidar(30) Isma’il (31) Ibrahim Khalil-Ullah (32) Ta’rikh (33) Tahur (34) Sharu (35) Abraghu(36) Taligh (37) Abir (38) Shale’ (39) Arfakhad (40) Sam (41) Nuh (42) Lumuk (43) MutuShalkh (44) Akhnukh (45) Yarad (46) Mahla’il (47) Qinan (48) Anush (49) Seth (50) AdamAbu’l-Bashir.

Isipokuwa kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) tu, hakuna mwingine yeyote aliyekuwa na ukoosafi kama huu.

BABA YAKE IBRAHIM ALIKUWA NI AZAR!!

Sheikh: Umesema kwamba wahenga wote wa Ali walikuwa wanaamini Mungu Mmoja.Nadhani umekosea. Baadhi ya wahenga wake walikuwa ni waabudu masanamu. Kwamfano baba yake Ibrahim Khalilullah, Azar, aliabudu masanamu. Qur’ani Tukufu kwauwazi inasema: “Na wakati Ibrahim alioposema kumuambia baba yake, Azar: je,mnayafanya masanamu kama miungu? Hakika nakuona wewe na watu wako katikaupotofu ulio dhahiri.”

Muombezi: Unarudia yale waliyoyasema wakubwa zako, ingawa unajua kwambawanachuoni wa nasaba kwa pamoja wote wanakubaliana kwamba baba yake Ibrahimalikuwa ni Ta’rukh, na sio Azar.

Sheikh: Lakini hii ni Ijtihad (hoja inayotegemea juu ya uamuzi wako mweyewe) mbele yaamri ya kimungu. Unaweka mbele mitazamo ya wanachuo wa nasaba katika kupingana naQur’ani Tukufu, ambayo kwa uwazi inasema baba yake Ibrahim ni Azar, ambaye alikuwamuabudu sanamu.

Muombezi: Kamwe sibishani kwa kupingana na sheria ya ki-Mungu. Nia yangu ni kuta-ka kujua tafsiri halisi ya Qur’ani. Ili kufanikisha hili natafuta mwongozo kutoka kwa waleambao wako sawa na Qur’ani Tukufu kama vyanzo vya mwongozo, nao ni Ahlu’l-Bayt waMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Neno hili katika aya hii tukufu limetumika katika maana yajumla, kwa sababu katika maana ya jumla hata ami na mume wa mama vile vile huitwa‘baba.’

Kuna mitazamo miwili katika suala la Azar. Moja ni kwamba alikuwa ni ami yake Ibrahimna wa pili ni kwamba zaidi ya kuwa ami yake, baada ya kufa baba yake Ibrahim (Tarukh),Azar alimuoa mama yake Ibrahim. Kwa hiyo Ibrahim alikuwa akimwita yeye ni baba yakekwa vile alikuwa ni ami yake na halikadhalika ni mume wa mama yake.

Sheikh: Hatuwezi kupuuza maana ya wazi ya Qur’ani Tukufu, mpaka tuone maana yakenyingine katika Qur’ani yenyewe, ikionesha kwa uwazi kwamba ami au mume wa mama

Mikesha ya Peshawar

349

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 349

Page 368: Mikesh A

vile vile huitwa ‘baba’. Kama ukishindwa kuonesha ushahadi kama huo (na kwa hakikautashindwa), hoja yako haitakubaliwa.

Muombezi: Kuna mifano katika Qur’ani ambako maneno yametumika katika maana yaoya jumla. Kwa mfano, Aya ya 133 Sura ya 2, Al-Baqarah, Qur’ani Tukufu inaunga mkononukta yangu. Inaandika maswali na majibu ya Mtume Ya’akub na wanawe wakati wa kifochake. Inasema:

“Aliposema kuwaambia watoto wake: mtaabudu nini baada yangu? Wakasema:tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Isma’il na Is’haq,Mungu Mmoja tu, na kwake tunajisalimisha.” (2:133)

Katika Aya hii uthibitisho wa dai langu ni neno Isma’il. Kwa mujibu wa Qur’ani, babayake Ya’kub alikuwa ni Is’haq na Isma’il alikuwa ni ami yake, lakini, kwa mujibu wamatumizi ya kawaida, alizoea kumuita baba yake. Kwa vile watoto wa Ya’kub vile vilekwa mujibu wa matumizi ya kawaida, walimuita ami yao baba yao, walitumia neno hilohilo katika kumjibu baba yao. Mungu alijulisha swali na jibu lao kama ilivyokuwa.Halikadhalika, Ibrahim vile vile alizoea kumuita ami yake na mume wa mama yake ‘baba’,ingawa kwa mujibu wa ushahidi wenye nguvu wa kihistoria na maelezo ya kinasaba, nijambo linalokubalika kwamba baba yake Ibrahim hakuwa ni Azar, bali ni Tar’ukh.

BABA NA MAMA ZAKE MTUKUFU MTUME HAWAKUWAWASHIRIKINA BALI WALIKUWA WOTE NI WAUMINI

Ushahidi wa pili wa ukweli kwamba wahenga wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hawakuwawashirikina na makafiri ni Aya ya 219 Sura ya 26; Surat Shu’ara:“Na mageuko yako (yakuinama na kuinuka na kusimama katika Sala) katika wale wanaosujudu.” (26:219)

Kuhusu maana ya Aya hii tukufu Sheikh Sulayman Balkhi Hanafi katika Yanabiu’l-Mawadda, Jz. 2, na wengine wengi katika maulamaa wenu wamesimulia kutoka IbnAbbas, ambaye alisema: “Allah alihamisha chembe chembe za uhai wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) kutoka kwenye kiuno cha Adam kwenda kwa mitume waliofuatia mmoja baadaya mwingine, ambao wote walikuwa wanaamini Mungu Mmoja, mpaka alipomfanyaatokeze kutoka kwenye kiuno cha baba yake kupitia kwenye ndoa na sio kupitia njia yaharamu.”

Mikesha ya Peshawar

350

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 350

Page 369: Mikesh A

Vile vile kuna hadithi mashuhuri sana ambayo maulamaa wenu wote wameisimulia. HataImam Tha’labi, ambaye anaitwa Imam wa hadithi, anaandika katika kitabu chake chatafsiri na Sulaman Balkhi Hanafi katika kitabu chake Yanabiu’l-Mawadda, Jz. 2, anasimu-lia kutoka kwa Ibn Abbas, kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Allah alinipele-ka duniani katika kiuno cha Adam na akanihamishia kwenye kiuno cha Ibrahim.Aliendelea kunihamisha kutoka kwenye viuno mashuhuri na vitukufu kwenda matumbo(ya kina mama) safi mpaka aliponiumba kutoka kwa baba yangu na mama yangu, ambaokamwe hajakutana kiharamu.” Katika hadithi nyingine inasimuliwa kwamba alisema:“Kamwe Allah hakunichanganya mimi na elementi yoyote ya ujinga.”

Katika sura hiyo hiyo, Sulayman Balkhi anasimulia kutoka Ibkaru’l-Afkar kitabu chaSheikh Salahu’d-din Bin Zainu’d-din Bin Ahmad ajulikanaye kama Ibnus-Sala Halbi nakutoka kwenye Sharh-e-Kibrit-e-Ahmar ya Sheikh Abdu’l-Qadir akisimulia kutoka kwaAla’u’d-Dowlat Semnani hadithi yenye maelezo ya kinaganaga kutoka kwa Jabir IbnAbdullah kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliulizwa kuhusu Allah alichoumba kwanza.Alijibu swali hilo kwa maelezo marefu ambayo siwezi kuyasimulia kwa wakati huu.Kuelekea mwishoni mwa hadithi hiyo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Halikadhalika,Allah aliendelea kuhamisha nuru yangu kutoka upande safi kwenda upande safi, mpakaaliponiweka kwa baba yangu, Abdullah Bin Abdu’l-Muttalib. Kutoka hapo Alinipelekakwenye tumbo la mama yangu, Amina. Kisha alinifanya nitokeze katika ulimwengu huu,na akanipa cheo cha Sayidu’l-Mursalin (bwana wa Mitume) na Khatamu’n-Nabiyyin(Muhuri au Mwisho wa Mitume).”

Maelezo ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwamba aliendelea kuhamishwa kutoka mtu safikwenda mtu safi yanathibitisha kwamba hakuna yeyote katika wahenga wake aliyekuwakafiri. Kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu: “…Hakika washirikina ni najisi…” (9:28) kilakafiri na mshirikina ni najisi. Alisema kwamba alihamishwa kutoka matumbo safi kwendamatumbo safi - ya uzazi. Kwa vile waabudu masanamu ni najisi, hivyo hii ina maanakwamba hakuna yeyote katika wahenga wake aliyekuwa muabudu sanamu.

Katika sura hiyo hiyo ya Yanabiu’l-Mawadda moja hadithi kutoka Ibn Abbas inasimuliwakupitia Kabir kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Sikuzaliwa kupitia ndoa yaharamu ya siku za ujahiliya. Nilizaliwa kupitia njia za Kiislamu za Nikah (ndoa).”

Je, hukusoma khutba ya 105 katika Nahju’l-Balagha? Amirul-Mu’minin anasema kuhusuwahenga wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). “Allah aliwapa (yaani mitume) sehemu bora(viuno vya wahenga wao) na matumbo safi ya uzazi ya mama zao. Aliwahamisha kutokakwenye viuno maarufu na vyenye kuheshimiwa kwenda kwenye matumbo safi ya uzazi.Wakati baba wa yeyote kati yao alipofariki, mtoto wake alimrithi yeye pamoja na dini yaAllah, mpaka Allah Mwenye nguvu zote alipomfanya Muhammad kuwa Mtume naMjumbe Wake, hivyo alifanya chanzo cha uumbwaji wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuwa

Mikesha ya Peshawar

351

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 351

Page 370: Mikesh A

kilichotukuka mno zaidi. Nasaba ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ilijumuisha Mitume Wakeswt. ambao walikuwa wa daraja za juu kabisa.”

Kwa ufupi, wahenga wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kurudi nyuma mpaka kwa NabiiAdamu walikuwa waumini na wenye kuabudu Mungu Mmoja. Hivyo, ni dhahiri kabisakwamba watu wa Ahlu’l-Bayt ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) walijua zaidi kuhusu hadhi yawahenga wao kuliko wengine.

WAHENGA WA ALI VIVYO HIVYO WALIEPUKANA NA USHIRIKINA

Wakati imethibitika kwamba wahenga wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) walikuwa wauminina waabubu Mungu mmoja, bila shaka kabisa ina maana kwamba wahenga wa Ali vile vilewalikuwa ni wenye kumuabudu Allah. Nimekwisha thibitisha kupitia kwenye vitabu vyenuwenyewe kwamba Muhammad na Ali wanatokana na nuru moja na wakati wote walibakiapamoja kwenye viuno na matumbo safi ya uzazi mpaka walipotenganishwa katika kiunocha Abdu’l-Muttalib. Kila mtu mwenye busara atakiri kwamba mtu mashuhuri kama huyoalikuwa ni mdai wa haki wa ukhalifa.

KUTOELEWEKA KUHUSU IMANI YAABU TALIB KWAFAFANULIWA

Sheikh: Naukubali ukweli kwamba Tarukh alikuwa baba yake Ibrahim, na umethibitishautohara wa wahenga wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). lakini haiwezekani kupata ushahidikama huo katika suala la Ali. Hata kama tukikubali kwamba wahenga wake wote kuanziajuu mpaka kwa Abdu’l-Muttalib walikuwa ni waabudu Mungu Mmoja, baba yake, AbuTalib, kwa hakika aliutoka ulimwengu huu akiwa ni kafiri.

Muombezi: Nakubali kwamba kuna tofauti ya maoni miongoni mwa umma kuhusu imaniya Abu Talib. Lakini tunapaswa kusema: Ewe Allah! Mlaani dhalimu wa kwanza ambayealionesha udhalimu kwa Muhammad na ulaani na kizazi chake. Laana ya Allah iwe juu yayule ambaye alibuni hadithi ambazo matokeo yake ni kwamba Nasib na Khawariji walian-za kudai kwamba Abu Talib alifariki dunia akiwa kafiri. Maulamaa wa Shi’a kwa ujumlana watu wote wa familia ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wanaamini katika imani ya AbuTalib. Ve vile, wengi wa wanachuo wenu na maulamaa wasiopendelea upande wowote,kama vile Abi’l-Hadid, Jalalu’d-Din Sututi, Abu’l-Qasim Balkhi, Abu Ja’far Askafi, wal-imu wao kutoka madhehebu ya Mu’tazali, na Mir Seyyid Ali Hamadani Faqih Shafi’i -wote wanakubaliana kwamba Abu Talib alikuwa ni Mwislamu.

Mikesha ya Peshawar

352

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 352

Page 371: Mikesh A

IJMAI YA SHIA KUHUSIANANA IMANI YA ABU TALIB

Shia wanaamini kwamba, kuanzia mwanzo kabisa Abu Talib alimwamini Mtukufu Mtume.Shia wanaowafuata Ahlu’l-Bayti wanakiri kwa kauli moja “Abu Talib kamwe hajaabudumasanamu; alikuwa ni mmoja kati ya warithi wa Ibrahim.” Mtazamo huo huo umeonesh-wa pia katika vitabu sahihi vya maulamaa wenu wenyewe. Kwa mfano, Ibn Athir anasemakatika kitabu chake Jam’u’l-usul: “Kwa mujibu wa Ahlu’l-Bayti tukufu, miongoni mwaami zake wote Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), ni Hamza, Abbas, na Abu Talib tu walioukubaliUislamu.

Makubaliano ya pamoja ya watukufu Ahlu’l-Bayti kuhusiana na nukta yoyote, lazimaichukuliwe kama yenye maamuzi. Hadithi ya Thaqalain na hadithi nyingine ambazonimezitaja kakita mikesha iliyopita zinathibitisha wazi kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alitoa maelezo ya wazi kuhusiana na uma’asum wa familia yake. Walikuwa sambamba naQur’ani Tukufu na moja ya Thaqalain (vizito viwili) ambavyo Mtume aliviacha kamavyanzo vya mwongozo usio na dosari kwa ajili ya watu wake. Ni muhimu kwambaWaislamu wote wavifuate ili kwamba wasipotoshwe.

Pili, kwa mujibu wa msemo “Watu wa nyumba wanajua vizuri kuhusu masuala ya famil-ia”, familia hii iliyotukuka walijua zaidi kuhusu imani ya wahenga wao kuliko MughiraBin Sha’ba, Banu Umayya, Khawarij na Nasib au watu wengine wasio na ujuzi.

Kwa hakika inashangaza kwamba maulamaa wenu hawakubali maelezo ya Ahlu’l-Baytiwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), pamoja na Amir wa waumini, ambaye kwamba unyofu nauaminifu wake umethibitishwa na Allah na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Wote wanasemakwamba Abu Talib alikufa akiwa muumini. Hamuamini hilo, lakini mnakubali maneno yaMughira, muongo na muovu aliyethibitishwa, na baadhi ya Amawi, Khawarij na Nasib.

Ibn Abi’l-Hadid Mu’tazali, ambaye ni mmoja wa maulamaa wenu mwenye sifa, anasemakatika Sharh-e-Nahju’l-Balagha, Jz. 3, uk. 310: “Kuna tofauti ya maoni kuhusu Uislamuwa Abu Talib. Madhehebu ya Imamiyya (Shi’a) na wengi katika Zaidiyya wanasemakwamba aliutoka ulimwengu huu akiwa Mwislamu. Mbali na maulamaa wote wa Shia,baadhi ya maulamaa wetu wakubwa kama Abu’l-Qasim Balkhi na Abu Ja’far Askafimtazamo wao ni kwamba Abu Talib aliukubali Uislamu, lakini hakuonesha imani yake ilikwamba aweze kumpa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) msaada kamili, na kwa sababu yaushawishi wake (Abu Talib), wapinzani wasiweze kuzuia njia ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.).

Mikesha ya Peshawar

353

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 353

Page 372: Mikesh A

KUELEWA VIBAYA KUHUSU HADITHI YA KUBUNI YAZUHZAH KWAFAFANULIWA

Sheikh: Kwa dhahiri wewe huijui ile “hadithi ya Zuhzah” ambayo inasema: “Abu Talibyuko kwenye moto wa Jahannam.”

Muombezi: Hii ni hadithi ya kughushi iliyozushwa wakati wa kipindi cha Mu’awiyya BinAbu Sufian na baadhi ya maadui wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Baadae Bani Umayya nawafuasi wao waliendeleza juhudi zao za kughushi hadithi dhidi ya Ali Bin Abi Talib nakuzisambaza miongoni mwa watu. Hawakuruhusu imani ya Abu Talib kujulikana kama ileya Hamza na Abbas. Mghushaji wa hadithi ya Zuhzah alikuwa ni Mughira, ambayealikuwa muovu na adui wa Amir wa waumini, Ali Bin Abi Talib. Ibn Abi’l-Hadid katikaSharhe-e-Nahju’l-Balagha, Jz. 3, uk. 159-163; Mas’ud katika Muruju’z-Dhahab na maula-maa wengine wanaadika kwamba Mughira alifanya uzinifu huko Basra. Wakati mashahi-di wake walipoletwa mbele ya Khalifa Umar, watatu walitoa ushahidi dhidi yake, lakini wanne alifundishwa kusema vitu ambavyo vilifanya ushahidi wake usikubalike. Kwa hiyo,mashahidi wale watatu walipewa adhabu, na Mughira aliachiwa huru.

Mtunzi wa hadithi hii hata hivyo, alikuwa mzinifu na mlevi ambaye adhabu iliyowekwa nadini ilikuwa karibu itekelezwe juu yake. Alibuni hadithi kwa sababu ya upinzani wake kwaAmir wa waumini, Ali Bin Abi Talib na kumfurahisha Mu’awiya. Mu’awiya na wafuasiwake na Bani Umayya wengine waliimarisha hadithi hii ya uwongo na wakaanza kushuhu-dia kwamba “Abu Talib yuko katika moto wa Jahannam.” Aidha, wale ambao wameungan-ishwa na hadithi hii kama Adu’l-Malik Bin Umar, Abdu’l-Aziz Rawandi na SufyanThawri, ni wasimuliaji dhaifu na wasio kubalika. Ukweli huu ulifafanuliwa na mfasir namwanachuoni wenu mashuhuri Zahri, ambaye amelezea mtazamo huu katika kitabu chakeMizanu’l-Itidali, Jz. 2. Hivyo basi, ni vipi mtu atategemea juu ya hadithi kama hii, ambayoalisimuliwa na watu waongo na wasimuliaji wenye sifa mbaya kama hawa?

USHAHIDI JUU YA IMANI YA ABU TALIB

Kuna ushahidi mwingi wa kuthibitisha imani ya Abu Talib. (1) Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)anasema katika hadithi moja: (akiunganisha vidole vyake viwili) “Mimi na mwenye kum-saidia yatima wako pamoja katika Pepo kama vidole hivi viwili.” Ibn Abi’l-Hadid vile vileameisimulia hadithi hii katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha yake, Jz. 4, uk. 312, anaandikakwamba, ni wazi kwamba katika kauli hii ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) haimaanishiwenye kuwasidia mayatima wote, kwa vile wengi wa wanao wasaidia mayatima ni wenyedhambi. Hivyo, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa hadithi hii alimaanisha Abu Talib na babu

Mikesha ya Peshawar

354

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 354

Page 373: Mikesh A

yake maarufu, Abdu’l-Muttalib, ambao walimlea Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). MtukufuMtume (s.a.w.w.) huko Makka alikuwa akijulikana kama yatima wa Abu Talib kwa sababubaada ya kufariki kwa Abdu’l-Muttalib, Mtume, kuanzia umri wa miaka nane alikuwakatika uangalizi wa Abu Talib.

(2) Kuna hadithi mashuhuri sana ambayo Shia na Sunni wameisimulia katika njia tofauti.Baadhi yao wanasema kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Jibrail alikuja kwan-gu na akanipa habari njema katika maneno haya: ‘Allah ameviepusha na moto viunoambavyo kwavyo umetokea, tumbo lililokubeba, matiti yaliyokunyonyesha, na mapajayaliyokusaidia wewe.’”

Mir Seyyid Ali Hamadani katika Mawaddatu’l-Qurba yake, Sheikh Sulaiman BalkhiHanafi katika Yanabiu’l-Mawadda, na Qadhi Shukani katika Hadith Quds yake wames-imulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Jibrail alikuja kwangu na akasema:‘Allah anakutolea salamu na anasema, hakika Ameviepusha na moto viuno ambavyovimekupa wewe hifadhi, tumbo ambalo lilihimili uzito wako, na mapaja ambayo yamku-saidia wewe.’”

Riwaya na hadithi hizi kwa uwazi zinathibitisha imani za watu ambao waliomsaidiaMtukufu Mtume (s.a.w.w.), yaani, Abdu’l-Muttalib, Abu Talib na mkewe Fatima BintAsad, na vile vile baba yake baba yake Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Abdallah, na mamayake Amina Bint Wahhab, na mama yake aliyemnyonyesha, Halima.

BETI ZA ABIL-HADID KATIKA KUMTUKUZAABU TALIB

(3) Mwanachuoni wenu mkubwa, Izzu’d-din Abdu’l-Hamid Ibn Abi’l-Hadid Mu’tazali,alitunga beti zifuatazo katika kumsifia Abu Talib. Zimeandikwa katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha, Jz. 3, uk. 318:

“Bila ya Abu Talib na mwanawe (Ali Bin Abu Talib) Uislamu usingelikuwa na heshima aunguvu. Abu Talib alimlinda Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) huko Makka na akamsaidia na Alihuko Madina.

“Abd’al-Manaf (Abu Talib) kwa amri ya baba yake Abdu’l-Muttalib, aliendelea kumleaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) na Ali, na akakamilisha juhudi hizo. Wakati Abu Talib alipok-ufa kwa utashi wa Allah, haikuleta hasara yoyote kwa sababu aliacha manukato yake (Ali)kama kumbukumbu yake. Abu Talib alianzisha huduma muhimu sana katika njia ya Allahna Ali akazikamilisha kwa ajili ya Allah.

Mikesha ya Peshawar

355

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 355

Page 374: Mikesh A

“Utukufu wa Abu Talib hauwezi kudhuriwa na kauli za kipumbavu za watu, au kwa ukan-damizaji wa makusudi wa nemsi zake (unaofanywa na maadui zake), ni kama vile mtuanapouita mwanga wa mchana kuwa ni giza la usiku, mwanga huo hautadhurika cho-chote.”

BETI ZA ABU TALIB HUTHIBITISHAUISLAMU WAKE

(4) Halikadhalika, beti za mashairi alizozilitunga Abu Talib mwenyewe katika kumsifiaMtukufu Mtume (s.a.w.w.), ni uthibitisho wa wazi wa imani yake. Baadhi ya beti hizizimeandikwa na Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha yake, Jz. 3, uk. 316. Aidha,maulamaa wenu mashuhuri kama Abu’l-Qasim Balkhi na Abu Ja’far Askafi, wamezitoabeti hizi kama ushahidi juu ya imani ya Abu Talib.

Abu Talib aliandika: “Naomba hifadhi kwa Allah kutokana na wale ambao hutushutumusisi au kutuhusisha sisi na mwendo mbaya, kutokana na muovu anayetusema vibaya, nakutokana na mtu ambao hushirikisha vitu katika dini ambavyo tuko mbali navyo.

“Naapa kwa Nyumba ya Allah (Ka’aba), kwamba anadanganya yule anayesema kwamba tutamuacha Muhammad,ingawa bado hatujapigana dhidi ya maadui zake kwa panga na mikuki.“Kwa hakika sisi tutamsaidia yeye, mpaka tutakapo msaga adui yake. Tutajitoa mhanga kiasi kwamba, sisi tutasahau wake zetu na watoto wetu.

“Nuru yake ni ya namna ya kiasi kwamba, kupitia mwanga wa uso wake, sisi tunaomba rehema za Allah kutushukia.

“Yeye anakuja kwenye kuwasaidia mayatima; na yeye ni kimbilio la wajane.

Watu wa Bani Hashim wasiojiweza, hukimbilia kwake kwa ajili ya kutaka msaada, na wanabarikiwa kwa aina zote za neema.

“Naapa kwa uhai wangu kwamba, mimi nina mapenzi makali kwa Ahmad. Ninampenda yeye kwa mapenzi ya rafiki mkweli halisi.

“Niliiona nafsi yangu inafaa kujitoa mhanga kwa ajili yake,

Mikesha ya Peshawar

356

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 356

Page 375: Mikesh A

hivyo nilimsaidia kwa vile ni pambo kwa watu wa dunia hii, na ni laana kwa maadui na rehema kwa jamii.

“Namuomba Muumba wa ulimwengu amuimarishe kwa msaada Wake, na aidhihirishe dini Yake, ambayo ni njia ya kuelekea kwa Allah, na ambayo kwayo ndani yake hamna hata chembe ya kosa.”

Kuna baadhi ya beti maalumu za mashairi ya Abu Talib ambayo Ibn Abi’l-Hadid katikaSharh-e-Nahju’l-Balagha, Jz. 3, uk. 312, na wengine wameyanukuu mashairi hayo kwaushahidi wa imani yake. Katika maandishi ya wasifu wake, anasema:

“Watu hawa wanatutegemea sisi tupigane dhidi ya Uislamu kwa panga na mikuki;wanafikiri tutamuuwa Muhammad. Lakini nyuso zetu bado hazijapakwa damu kati-ka kumsaidia yeye. Naapa kwa Nyumba ya Allah (Ka’aba) kwamba mumeniambiauwongo; mnaweza kuangukia kwenye janga. Hatim na Zamzam vyaweza kujaampaka kwenye midomo yao kwa vichwa vilivyokatwa. Dhulma inafanywa kwaMtume, ambaye ametumwa na Allah kuwaongoza watu. Amepewa Kitabu, ambachokiliteremshwa na Mola wa Mbingu.”

Mbali na ushahidi huu wa wazi, ambao unathibitisha imani ya Abu Talib, Ibn Abi’l-Hadidkatika Sharh-e-Nahju’l-Balagha yake, Jz. 3, uk. 315, ananukuu beti zifuatazo:“Mnashuhudia kuwepo kwa Allah! Shuhudieni kwamba hakika nafuata dini ya Mtume wa Allah, yaani, Ahmad. Wengine wanaweza kupotoshwa katika dini yao, lakini mimi ni mmoja wa wale ambao wameongoka.”

Mabwana! Kuwenu waadilifu na mtuambie kama muandishi wa mashairi kama hayaanaweza kuitwa kafiri.

Sheikh: Mashairi haya hayakubaliki kwa sababu mbili. Kwanza, hakuna mwendelezo wahadithi kuhusu mashairi haya. Pili, hakuna popote palipoonesha kwamba Abu Talibaliukubali Uislamu. Kusimulia baadhi ya mashairi yake hakuthibitishi kwa uhakika kwam-ba alikuwa Mwislamu.

Muombezi: Pingamizi lako kuhusu kukosekana kwa mwendelezo wa hadithi ni la ajabu.Wakati unapotaka, unakubali riwaya ya pekee na wakati ukiwa hutaki, unatumia silaha yaukosefu wa mwendelezo. Kama utatafakari kwa muda kwamba kama mashairi hayahayakusimuliwa kwa mwendelezo na watu, hata hivyo, yakichukiliwa kwa ujumla,yanathibitisha kwamba Abu Talib aliamini utume wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Kuna vituvingi kama hivyo ambavyo mwendelezo wake wa hadithi huamuliwa kwa njia hii hii. Kwamfano, vita alivyopigana Amir wa Waumini (Ali) na mifano ya ushujaa wake vile vile

Mikesha ya Peshawar

357

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 357

Page 376: Mikesh A

hutegemea juu ya riwaya za pekee. Lakini zikichukuliwa kwa ujumla taarifa hizi hujengamaana ya mwendelezo, ambao hutupa sisi elimu muhimu ya ushujaa wake. Ukarimu waHatim na uadilifu wa Nushirwan hujulikana kwa njia hiyo hiyo. Kwa vile wewe ni mpen-zi sana wa mwendelezo, tafadhali tufahamishe ni vipi utathibitisha kwamba Hadithi yaZuhza imewasilishwa kwa mfuatano.

KUKUBALI KWA ABU TALIB IMANI YAKE JUU YA ALLAH WAKATI WA KIFO CHAKE

Ama kwa pingamizi lako la pili, jibu langu ni rahisi sana. Ni muhimu kuonyesha kukubalikwa mtu upweke wa Allah, utume, Siku ya Ufufuo, nk., katika nathari (lugha ya moja kwamoja isiyo ya kishairi). Lakini kama mtu akitunga mashairi ambayo kwayo anaelezeaimani yake, huwa inatosha kabisa. Wakati Abu Talib aliposema: “Enyi ambao mnamumi-ni Allah! Shahudieni kwamba hakika mimi ninafuata dini ya Mtume wa Allah, Ahmad,”ilikuwa na athari ile ile kana kwamba ameisema katika nathari.

Mbali na hili, halikadhalika alikiri imani yake wakati wa kifo chake katika nathari vilevile.Seyyid Muhammad Rasuli Bazranji, Hafidh Abu Nu’aim, na Baihaqi wamesimulia kwam-ba kikundi cha wakuu wa Makureishi, pamoja na Abu Jahl na Abdullah Ibn Abi Umayya,walikuja kwa Abu Talib wakati alipokuwa anafariki. Wakati huo Mtume alisema kumuam-bia ami yake Abu Talib: “Sema kwamba ‘hakuna mungu ila Allah,’ ili niwze kulishuhudiahilo mbele ya Allah.” Mara moja Abu Jahl na Abi Umayya walisema: “Abu Talib! Utaipamgongo imani ya Abdu’l-Muttalib?” Walirudia maneno haya tena na tena mpaka alipose-ma, “lazima muelewe kwamba Abu Talib anafuata imani ya Abdu’l-Muttalib.” Matokeoyake watu wale waliondoka pale wakiwa wamefurahi. Wakati alama za kifo zilipojitokezajuu ya Abu Talib, ndugu yake Abbas, ambaye alikuwa amekaa kwenye ukingo wa kitandachake, aliona kwamba midomo yake ilikuwa inatikisika. Wakati aliposikiliza alichokuwaanasema, alimsikia akisema: “Hakuna mungu ila Allah.” Abbas akamuambia MtukufuMtume (s.a.w.w.): “Ewe mpwa wangu! Naapa kwa jina la Allah kwamba ndugu yangu(Abu Talib) amesema kile ulichomuamuru kusema.” Kwa vile Abbas alikuwa bado hajain-gia Uislamu wakati ule, hakuyatamka maneno hayo.

Tulithibitisha mapema kwamba wahenga wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wote walikuwawanaamini katika upweke wa Allah (tawhid). Lazima uelewe kwamba ilikuwa ni kauliyenye kufaa kwa Abu Talib kusema kwamba anafuata imani ya Abdu’l-Muttalib. aliwarid-hisha watu wale, na katika ukweli alikiri imani yake katika upweke wa Allah kwa sababuAbdu’l-Muttalib alifuata imani ya Mtume Ibrahim. Aidha, aliyatamka haya maneno“Hakuna mungu ila Allah.” Kama unachunguza taarifa za kihistoria kuhusu Abu Talib, kwahakika utakiri kwamba alikuwa muumini.

Mikesha ya Peshawar

358

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 358

Page 377: Mikesh A

MAZUNGUMZO YA MTUKUFU MTUME NA ABU TALIBWAKATI WA TANGAZO LA UTUME WAKE

Katika siku ya bi’that (kutangazwa kwa utume) Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), pamoja na amiyake Abbas, walikwenda kwa Abu Talib na akamuambia: “Hakika Allah ameniamuru mimikutangaza amri Yake; hakika, amenifanya mimi Mtume Wake; basi wewe utanitendeavipi?”

Abu Talib alikuwa ni mkuu wa Makureishi, Kiongozi wa Bani Hashim na mtu mnyofuzaidi katika macho ya watu wa Makka. Alimlea Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Lau angekuwakafiri mara moja angelimpinga. Na ikiwa hilo halikuthibitisha vya kutosha, kwa vileMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuja kwake kutaka msaada wa kutangaza utume wake, AbuTalib kwa kuona kwamba hiyo ilikuwa ni kinyume na dini yake, angemzuia MtukufuMtume (s.a.w.w.) au angalau angemfukuza kutoka kwenye eneo lake. Kukataa kwa namnahiyo kungemkwaza Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kutokana na azima yake kubwa. Domo yaAbu Talib (tukichukulia kwamba ilikuwa ni ushirikina) ingeweza kuokolewa, na angewezakupokea shukurani kutoka kwa washirika wake. Abu Talib angemkemea Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) kama Azar alivyofanya kwa mpwa wake Mtume Ibrahim.

TANGAZO LA IBRAHIM LA UTUME NAMAZUNGUMZO YAKE NA AZAR

Katika Qur’ani Tukufu, Allah swt. anazungumzia kunyanyuliwa kwa Ibrahim Khalilu’r-Rahman kama Mtume wa Allah. Anasema kumuambia ami yake Azar: “Ewe baba yangu!Kwa yakini imenijia ilmu isiyokujia. Basi nifuate nikuongoze njia iliyo sawa.…Akasema: je! Unaichukia miungu yangu, ewe Ibrahim? Kama huachi lazimanitakupiga mawe. Na niondokee mbali, kwa muda mchache (huu)” (Qur’ani 19: 46)

ABU TALIB AMHAKIKISHIA MTUKUFU MTUME MSAADA KAMILI NA PIA ASOMA MASHAIRI

KATIKA KUUSIFU UISLAMU

Lakini kinyume chake, wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipotaka msaada wake, AbuTalib alisema: “Ewe mpwa wangu endelea na kazi ujumbe. Hakika, wewe uko juu kwacheo, mwenye nguvu katika ukoo wako na uliye tukuka zaidi katika nasaba ya familia.Naapa kwa jina la Allah kwamba ulimi utakaozungumza vibaya juu yako utajibiwa na

Mikesha ya Peshawar

359

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 359

Page 378: Mikesh A

mimi kwa upanga mkali. Kwa jina la Allah, dunia yote ya Arabia itapiga magoti mbeleyako, kama mnyama anayenyenyekea mbele ya bwana wake.”

Aidha, alitunga beti zifuatazo, akitaja ujumbe wa Mtume. beti hizi zimeandikwa na IbnAbi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha yake, juz. 3, uk. 306, na Sibt Jauz katikaTadhkira yake, uk. 5:

“Wallahi naapa kwamba watu wale pamoja na wafuasi wao, kamwe hawatakufikia wewe, mpaka niwapeleke kwenye makaburi yao.

“Hivyo unaweza kuendelea kufanya kazi yako. Mimi nakupa habari njema za mafanikio yako. Yafanye macho yako yatulie kwayo.

“Umenilingania mimi kwenye dini yako. Naamini umeniongoza kwenye njia iliyonyooka; hakika wewe ndiye mkwelina wakati wote umekuwa mwaminifu.

“Umetuletea dini ambayo najua ni bora juu ya dini zote.Kama nisingekuwa na hofu ya dhihaka na lawama, ungeniona mimi nikikusaidia wewe kwa dhahiri kabisa.”

Mashairi haya yanaonesha kwamba Abu Talib alitambua Muhammad kwamba ni mjumbewa Allah. Hata hivyo kuna mashairi mengine mengi kama haya ambayo Ibn Abi’l-Hadidkatika Sharh-e-Nahju’l-Balagha yake na maulamaa wengi wameyaandika kwenye vitabuvyao. Je, mtu anayesoma mashairi kama haya ni kafiri au ni muumini wa kweli?

ABU TALIB ALIKUWA MSAIDIZI NAMLEZI WA MTUKUFU MTUME

Wengi wa maulamaa wenu maarufu wamealisimulia jambo hili. Unaweza kuangalia kitabuYanabiu’l-Mawadda cha Sheikh Sulaiman Balkhi Hanafi Sura ya 52, ambamo ndani yakeimesimuliwa kutoka kwa Abu Uthman Amr Bin Bahr Jahiz kwamba, akiandika kuhusuAbu Talib alisema: “Abu Talib alikuwa ni muunga mkono wa utume na unabii wa MtukufuMtume (s.a.w.w.). Aliandika mashairi mengi katika kumtukuza Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).Alikuwa ndiye kiongozi wa Makureishi.”

Ushahidi huu wa wazi unathibitisha unyofu wa imani ya Abu Talib. Kwa jinsi ilivyo, BaniUmayya waliwashawishi watu kumlaani kiongozi wa waaminio Mungu mmoja, Amir wawaumini, na baba wa wajukuu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Hasan na Husein. Vile vilewalibuni hadith kulaani mtukufu Imam na wakaghushi riwaya kwamba baba yake (AbuTalib), alikufa akiwa kafiri. Msimuliaji wa riwaya hiyo alikuwa mlaaniwa Mughira Bin

Mikesha ya Peshawar

360

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 360

Page 379: Mikesh A

Sha’ba, adui wa Ali na rafiki wa Mu’awiya. Makhawarij na Manasib walieneza maoni yakwamba Abi Talib alikuwa kafiri. Watu wa kawaida walipotoshwa wakafanywa waaminikwamba huo ulikuwa ni mtazamo sahihi. Inashangaza kwamba walimuona Abu Sufyan,Mu’awiya na Yazid (Laana ya Allah iwe juu yao) kuwa ni waumini na Waislamu, ingawa-je kuna dalili zisizo na idadi za kinyume chake. Na bado wanahusisha ukafiri kwa AbuTalib pamoja na uthibitisho wa wazi ambao unaonesha kwamba alikuwa muumini thabiti.

SIO SAHIHI KUMWITA MU’AWIYA‘KHALU’L-MU’MININ’

Sheikh: Je, ni sahihi kweli kwako wewe kumuita Khalu’l-Mu’minin (mjomba wa waumi-ni), Mu’awiya Bin Abu Sufyan “kafiri” na kumlaani wakati wote? Je, utatufahamisha sisitujue ni ushahidi gani ulionao kwamba Mu’awiya Bin Abu Sufyan na Yazid walikuwamakifiri na kustahili kulaaniwa? Watu hawa wawili maarufu walikuwa miongoni mwamakhalifa. Kusema kweli Mu’awiya alikuwa Khalu’l-Mu’minin na vile vile Khatib-e-Wahyi (mwandishi wa Wahyi).

Muombezi: Tafadhali, unaweza kunieleza ni vipi Mu’awiya amestahiki cheo cha Khalu’l-Mu’minin (mjomba wa waumini)?

Sheikh: Kwa vile dada yake Mu’wiya Ummu Habiba, alikuwa mke wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) na Ummul-Mu’minin (mama wa waumini), hivyo kaka yake Mu’awiya alikuwaKhalu’l-Mu’minin.

Muombezi: Kwa maoni yako wewe, je! cheo cha Ummul-Mu’minin Aisha kilikuwa ndiokikubwa au kile cha Ummu Habiba, dada yake Mu’awiya?

Sheikh: Ingawa wote ni Ummul-Mu’minin, Aisha kwa hakika alikuwa juu kuliko UmmuHabiba.

Muombezi: Kwa mujibu wa kigezo chako, makaka wote wa wake za Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) ni Khalu’l-Mu’minin. Basi kwa nini humwiti Muhammad Bin Abi Bakr Khalu’l-Mu’minin? Kulingana na ninyi, baba yake alikuwa mbora zaidi kwa cheo kuliko Muawiya,na dada yake vile vile alikuwa ni mbora zaidi kwa dada yake Mu’awiya. Hapana, kuwakwake Mu’awiya Khalu’l-Mu’minin hakuna ukweli.

Mikesha ya Peshawar

361

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 361

Page 380: Mikesh A

MU’AWIYA ALITAMKA TAKBIR WAKATI WA KIFO CHAKISHAHIDI CHA IMAM HASAN

Abu’l-Faraj Ispahani katika Maqatilu’t-Talib, Ibn Abdu’l-Birr katika Isti’ab. Mas’ud kati-ka Isbatu’l-Wasiyya, na maulamaa wengine wengi wamesimulia kwamba Asma Ju’da, kwaamri na ahadi ya Mu’awiya, alimpa sumu Abu Muhammad Hasan Ibn Ali Bin Abi Talib.Ibn Abdu’l-Birr na Muhammad Bin Jarir Tabari vilevile wamesimulia kwamba wakatiMu’awiya alipojulishwa kifo cha mtukufu Imam, alipiga kelele ya takbira. Bila shaka, mtumwenye laana kama huyo anaweza kuitwa Khalu’l-Mu’minin kwa maoni yako!

MUHAMMAD BIN ABI BAKR ALIUAWA AKIWA NA KIU NA KUCHOMWA HADI MAJIVU KWA AJILI YA MAPENZI

YA AHLU’L-BAYTI

Lakini hebu mtazame Muhammad Ibn Abu Bakr, ambaye alilelewa na Amir wa wauminiAli Ibn Abi Talib, na alikuwa moja katika wale marafiki waaminifu wa watukufu Ahlu’l-Bayti!

Akiizungumza na familia hii maarufu anasema: “Enyi kizazi cha Fatima! Ninyi ni sehemuyangu ya usalama na ni walezi wangu. Ni kwa kupitia kwenu ninyi kwamba katika Sikuya Hukumu, umuhimu wa matendo yangu mazuri utakuwa mkubwa. Kwa vile mapenziyangu kwenu ni ya kweli, sitajali kama mtu atabweka karibu yangu.”Ingawa alikuwa mtoto wa Khalifa wa kwanza, Abu Bakr na kaka wa Ummul-Mu’minin,Aisha, hajaitwa Khalu’l-Mu’minin. Alitendewa vibaya na kunyimwa urithi wa baba yake!

Wakati Amr Bin Aas na Mu’awiya Bin Khadij walipoishinda Misri, walimkatia mgao wamaji Muhammad Bin Abu Bakr. Wakati alipokuwa yuko karibu kufa kwa kiu, aliuawa.Kisha alifungashwa kwenye ngozi ya punda na kutupwa kwenye moto. Wakati Mu’awiyaalipofahamishwa hili alifurahi sana.

Ukisikia habari hizi, huhoji ni kwa nini watu hawa waliolaaniwa walimtendea ukatili wanamna hii mtoto wa Abu Bakr, Khalu’l-Mu’minin Muhammad Bin Abu Bakr. Lakiniwakati Mu’awiya anapolaaniwa haraka sana unakasirika. Hivyo unaona upinzani kwakizazi cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na unaendelea mpaka leo!! Kwa vile MuhammadBin Abu Bakr alikuwa mmoja wa marafiki wa kizazi cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), wewehukumuita Khalu’l-Mu’minin wala kusikitia mauaji yake. Kwa vile Mu’awiya alikuwaadui mbaya kabisa wa Ahlu’l-Bayt wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) unamuita Khalu’l-Mu’minin. Allah atuokoe na upotofu huu wa kishabiki!!!

Mikesha ya Peshawar

362

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 362

Page 381: Mikesh A

MU’AWIYA HAKUWA MWANDISHI WA WAHYI BALI WA BARUA TU

Pili, Mu’awiya hakuwa mwandishi wa Wahyi. Aliingia Uislamu katika mwaka wa kumiHijiriyya wakati wahyi ulikuwa umekamilika. Kwa kweli yeye alikuwa mwandishiambaye aliandika barua. Alisababisha matatizo makubwa kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).katika mwaka wa nane Hijiriyya wakati Makka iliposhindwa na Abu Sufyan akaingiaUislamu, Mu’awiya aliandika barua nyingi kwa baba yake akimlaumu kwa sababualikuwa ameukubali Uislamu. Hata hivyo, wakati rasi yote ya Arabia na nje ya mipakayake ilipokuja chini ya athari za Uislamu, Mu’awiya mwenyewe alilazimika kuingiaUislamu. Kwa kufanya hivyo alipoteza hadhi yake yote. Kisha Abbas akamuombaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) ampe Mu’awiya cheo chochote ili kwamba asiweze kujisikiaamadhalilika. Kwa kuzingatia pendekezo la ami yake, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alim-teuwa kama mwandishi kwa ajili ya kuandika barua.

USHAHIDI WA UKAFIRI WA MU’AWIYA

Tatu, kuna sura nyingi za Qur’ani na hadithi ambazo zinathibitisha kwamba alikuwa kafirianayestahili kulaaniwa.

Sheikh: Ningependa sana kusikia Sura na hadithi hizo.

Muombezi: Chache tu ya hizo zitaoneshwa. Kama nitasimulia zote, zitafanya kitabukamili. Muslim katika Sahih yake anasimulia: Mu’awiya alikuwa mwandishi wa MtukufuMtume. Mada’ini anasema: “Sa’id Bin Thabit alikuwa ndiye mwandishi wa Wahyi naMu’awiya alikuwa akiandika barua za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa makabila mengineya Kiarabu.”

USHAHIDI KUTOKA SURA ZA QUR’ANI TUKUFU NAHADITHI KUWA MU’AWIYA NA YAZID WAMELAANIWA

(1) Tafadhali rejea aya ya 60 ya Sura ya 17 (Bani Israil). Wafasiri kutoka kwa maulmaawenu wenyewe, kama Tha’labi, Imam Fakhru’d-din Razi, na wengine wanasema kwambaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliona katika ndoto kwamba Bani Umayya, kama manyaniwalipanda na kushuka mimbari yake. Baada ya hapo Jibrail alileta aya hii: “Natulipokuambia: Hakika Mola wako amewazunguka watu. Na hatukuifanya ndoto iletuliyo kuonesha ila kuwajaribu watu na katikaQur’ani mti uliolaaniwa. Na tunawa-hadharisha lakini haiwzidishii ila uasi mkubwa tu.” (7:60)

Mikesha ya Peshawar

363

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 363

Page 382: Mikesh A

Allah swt., Amewaita Banu Umayya, ambao viongozi wao walikuwa ni Abu Sufyan naMu’awiya, “Mti uliolaaniwa” ndani ya Qur’ani tukufu. Mu’awiya ambaye alikuwa tawiimara la mti huu, alikuwa kwa hakika amelaaniwa.

(2) Tena Allah swt., Anasema:

“Na kama ninyi mkipata utawala ni karibu mtaiharibu nchi na mtaukata ujamaawenu. Na hao ndio ambao Allah amewalaani na amewatia uziwi na amewapofushamacho yao.” (47:22-23)

Katika aya hii wale ambao wanafanya uharibifu katika nchi na kuvunja mfungamano waundugu wanalaaniwa na Allah. Ni nani aliyekuwa mharibifu mkubwa kuliko Mu’awiya,ambaye ukhalifa wake ulikuwa wenye sifa mbaya kwa matendo yake ya kiovu. Mbali nahili alivunja mfungamano wa undugu.

(3) Vile vile Allah Ansema katika Qur’ani Tukufu:

“Kwa hakika wale wanaomuudhi Allah na Mtume Wake, Allah amewalaani katikadunia na akhera, na amewaandalia adhabu yenye kufedhehesha.” (33:57)

Kwa hakika kumtesa Amir wa waumini na wajukuu wawili wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)Hasan na Husein halikadhalika na Ammar Yasir na masahaba wengine maarufu waMtukufu Mtume (s.a.w.w.) ilikuwa ni sawa sawa na kumtesa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)mwenyewe. Kwa vile Mu’awiya aliwatesa watu hawa wachamungu, kwa mujibu wamaneno ya wazi ya aya hii alikuwa kwa hakika aliye laaniwa katika dunia hii na katikaakhera.

(4) Katika sura Mu’min, Anasema:

“Siku ambayo hautawafaa madhalimu udhuru wao, na watapata laana na makaziyao yatakuwa mabaya.” (40:52)

Mikesha ya Peshawar

364

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 364

Page 383: Mikesh A

(5) Katika sura Hud, Anasema:

“…Sasa kwa hakika laana ya Allah iko juu ya madhalimu.” (11:18)

(6) Katika sura Al-A’raf, Allah anasema:

“…Mara mtangazaji atatangaza baina yao kwamba laana ya Allah iko juu ya mad-halimu.” (7:44)

Halikadhalika, katika aya nyingine nyingi zilizoteremshwa kuhusu watu madhaalimu, niwazi kwamba kila dhaalimu amelaaniwa. Sidhani yeyote katika ninyi atakataa dhuluma zawazi zilizofanywa na Mu’awiya. Hivyo kwa ukweli wenyewe kwamba alikuwa dhaalimu,huthibitisha kwamba alistahili laana ya Allah kwa mtazamo wa dalili hizi za wazi, sisi piatunaweza kumlaani mtu ambaye anastahili laana ya Allah.

(7) Katika sur ya Nisa Allah Anasema:

“Na mwenye kumuuwa Muumini kwa kukusudia, basi malipo yake ni Jahannam,humo atakaa milele na Mwenyezi Mungu amemghadhibikia na amemlaani, naamemuandilia adhabu kubwa.” (4:93)

MAUAJI YA WAUMINI MASHUHURI KAMA IMAM HASAN, AMMAR, HAJAR BIN ADI, MALIK ASHTAR, MUHAMMAD

BIN ABI BAKR, NK. KWA AMRI YA MU’AWIYA.

Aya hii tukufu kwa uwazi inasema kwamba kama mtu anamuua muumini mmoja kwamakusudi, anastashili laana ya Allah na makazi yake ni Jahannam. Je, Mu’awiya hakujihu-sisha na mauaji ya waumini? Je, hakuamuru mauaji ya Hajar Bin Adi na masahaba wakesaba? Je hakuamuru kwamba Abdu’r-Rahman Bin Hasan Al-Ghanzi azikwe akiwa hai? IbnAsakir na Yaqub Bin Sufyan katika vitabu vyao vya Ta’rikh; Baihaqi katika kitabu chakeDala’il; Ibn Abdu’l-Birr katika Isti’ab; na Ibn Athir katika Kamil wamesimulia kwambaHajar Bin Adi alikuwa mmoja wa masahaba maarufu ambaye, pamoja na masahabawengine saba aliuawa kikatili na Mu’awiya. Kosa lao lilikuwa kukataa kumlaani Ali.

Mikesha ya Peshawar

365

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 365

Page 384: Mikesh A

Imam Hasan alikuwa ni mjukuu mkubwa wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Je, yeye hakuju-muishwa katika As’hab-e-Kisa (Watu wa shuka/kishamia)? Je, yeye siye mmoja wa vion-gozi wawili wa vijana wa Peponi na Mu’mini wa daraja la juu? Kwa mujibu wa riwaya yaMas’ud, Ibn Abdu’l-Birr, Abu’l-Faraj Ispahani, Tabaqa cha Muhammad Bin Sa’d,Tadhkira cha Sibt Ibn Jauzi, na maulamaa wengine maarufu wa Sunni, wanaandika kwam-ba, Mu’awiya alimpelekea sumu Asma Ju’da na kumuahidi kwamba kama akimuua HasanIbn Ali, atampa Dirham 100,000 na atamuozesha kwa mwanawe Yazid. Baada ya kifo chaImam Hasan, alimpa dirham 100,000 lakini akakataa kumuozesha kwa Yazid. Utasitakumita Mu’awiya mlaaniwa? Je, sio ukweli kwamba katika vita vya Siffin sahaba mkub-wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Ammar Yasir, aliuawa kwa amri ya Mu’awiya? Maulamaawenu wote mashuhuri wanasema kwa muafaka mmoja kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alimuambia Ammar Yasir: Haitachukuwa muda kabla wewe hujauawa na kikundi chakiuasi na kipotofu.”

Je, una mashaka yoyote kwamba maelfu ya waumini waaminifu waliuawa na wafuasi waMu’awiya? Je, askari safi na shujaa, Malik Ashtar hakulishwa sumu kwa amri yaMu’awiya? Je, unaweza kukataa kwamba maofisa wakuu wa Mu’awiya, Amr Bin Aas naMu’awiya Bin Khadij, walimuuwa kikatili gavana wa Amir wa waumini, mchamunguMuhammad Bin Abi Bakr? Bado hawakutosheka na hilo, wakauweka mwili wake kwenyemzoga wa punda na kuuchoma moto. Kama nikisema niwape maelezo kuhusu wauminiwaliouawa na Mu’awiya na maofisa wake, itahitaji si usiku mmoja, bali zaidi.

MAUAJI YA WAUMINI 30,000 WALIOUAWA NABUSR BIN ARTAT KWA AMRI YA MU’AWIYA

Ukatili mkubwa kabisa ulikuwa ni ule wa Busr Bin Artat ambaye aliwauwa maelfu ya wau-mini kwa amri ya Mu’awiya.

Abu’l-Faraj Ispahani na Allama Samhudi katika Ta’rikhu’l-Madina, Ibn Khallikan, IbnAsakir na Tabari katika vitabu vyao vya Ta’rikh; Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha, Jz. 1, na wengine wengi wa katika maulamaa wenu maarufu wameandika kwam-ba Mu’awiya alimuamuru Busr kushambulia San’a na Yemen kutokea Madina na Makka.Alitoa amri kama hiyo hiyo kwa kwa Zuhak Bin Qais Al-Fahri na wengine. Abu’l-Farajanaisimulia katika maneno haya: “Yeyote katika masahaba na Shia wa Ali akionekana laz-ima auawe; hata wanawake na watoto wasiachwe.” Kwa amri hizi kali, walitoka na watu3000 na akashambulia Madina, San’a, Yeman, Ta’if, na Najran. Walipofika Yemen,gavana, Ubaidullah Ibn Abbas, alikuwa nje ya mji. Waliingia ndani ya nyumba yake nakuuwa watoto wake wawili Sulaiman na Daudi katika mapaja ya mama yao.

Mikesha ya Peshawar

366

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 366

Page 385: Mikesh A

Ibn Abi’l-Hadid anaandika katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha, Jz. 1, uk. 121, kwamba kati-ka shambulio hili watu 30,000 waliuawa, ukiondoa wale waliochomwa moto wakiwa hai.Je, mabwana nyie bado mna mashaka kwamba Mu’awiya anastahili kulaaniwa?

MU’AWIYA ALITOA AMRI KWAMBAALI ALAANIWE

Miongoni mwa ushahidi mwingi uliowazi kwamba Mu’awiya alikuwa kafiri na kustahililaana ilikuwa kumkataa kwake hadharani Amir wa Waumini na kuwaamuru watu wasomevisomo vya malaanifu dhidi ya mtukufu Imam katika Qunuti zao. Jambo hili linakubaliwana wote, ninyi na sisi. Hata wanahistoria wa mataifa mengine wameandika kwamba maten-do maovu yalikuwa yakifanywa wazi na kwamba watu wengi waliuawa kwa sababuhawakutoa maneno yale ya laana dhidi ya Imam Ali. Uovu huu ulisitishwa na Khalifa waBanu Umayya, Umar Ibn Abdu’l-Aziz.

Ni dhahiri, mtu ambaye humlaani ndugu yake Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), mume waFatima, Amir wa Waumini, Ali Bin Abi Talib na ambaye anawaamrisha wengine kufanyahivyo kwa hakika ni mlaaniwa. Jambo hili limeandikwa na ulamaa wenu wote maarufukatika vitabu vyao sahihi. Kwa mfano, Imam Ahamad Bin Hanbal katika Musnad yake,Abu Abdu’r-Rahman Nisa’i katika Khasa’isu’l-Alawi, Imam Tha’labi na Imam Fakhru’d-din Razi katika Tafsir zao, Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha, MuhammadBin Yusuf Ganji Shafi’i katika Kifayatu’t-Talib, Sibt Ibn Jauzi katika Tadhkira, SulaymanBalkhi Hanafi katika Yanabiu’l-Mawadda, Mir Seyyid Ali Hamadani katika Mawaddatu’l-Qurba, Dailami katika kitabu chake Firdaus, Muslim Bin Hajjaj katika Sahih yake,Muhammad Bin Talha Shafi’i katika Matalabu’s-Su’ul, Ibn Sabbagh Maliki katika katikaFusulu’l-Muhimma, Hakim katika Mustadrak, Khatib Khawarizzmi katika Manaqib yake,Abraham Hamwaini katika Fara’id, Ibn Maghazili Shafi’i katika Manaqib yake, Imam’l-haram kati Dhakha’iru’l-Uqba, Ibn Hajar katika Saw’iq, na maulamaa wenu mashuhuriwamwesimulia katika tofauti kidogo ya maneno kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alise-ma: “Mtu ambaye anamtukana Ali, ananitukana mimi; na mwenye kunitukana mimi, haki-ka anamtukana Allah.”

Dailami katika katika Firdaus, Sulayman Hanafi katika Yanabiu’l-Mawadda wamesimuliakwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Mtu ambaye anamchukiza Ali, hakikaananichukiza mimi, na laana ya Allah iko juu ya yule ambaye ananichukiza mimi.” IbnHajar Makki katika kitabu chake Saw’iq anasimulia hadithi inayohusu matokeo kwa mtuambaye hulaani dhidi ya yeyote katika kizazi cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Anasimuliakwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Kama mtu yeyote atamlaani Ahlu’l-Baytiwangu, hakuna cho chote kwake bali kuondolewa katika Uislamu. Kama mtu yeyoteatanichukiza mimi kuhusiana na Ahlul’l-Bayti wangu, laana ya Allah iwe juu yake.”

Mikesha ya Peshawar

367

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 367

Page 386: Mikesh A

Kwa hiyo, kwa hakika Mu’awiya alikuwa amelaaniwa. Kama inavyosimuliwa na ibn Athirkatika kitabu chake Kamil, Mu’awiya alizoea kumalaani Ali, wajukuu wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) Hasan na Husein na vile vile Abbas na Malik Ashtar katika Qunut ya sala zakeza kila siku.

Imam Ahmad Hanbal anasimulia katika Musnad yake kutoka vyanzo mbali mbali kwam-ba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Kama mtu yeyote anamchukiza Ali atatendewakama Yahudi au Mkirsto katika Siku ya Hukumu.” Kwa hakika lazima uelewe kwamba nimoja ya mafundisho ya Uislamu kwamba kumuita Allah na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)kwa majina mabaya humpeleka mtu kwenye ukafiri.

Muhammad Bin Ganji Shafi’i katika Kifayatu’t-Talib sehemu ya 10, anasimulia kwambasiku moja Abdullah Ibn Abbas na Sa’id Ibn Jabir waliona katika ukingo wa Zamzam kikun-di wa watu wa Syria wakimshutumu Ali. Walikwenda pale walipo na wakasema: “Ni nanimiongoni mwenu aliyekuwa anamtukana Mtukufu Mtume wa Allah (s.a.w.w.)?” wakajibu:“Hakuna kati yetu aliyekuwa anamtukana Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).” Kisha wakasema:“Vema, nani miongoni mwenu aliyekuwa anamtukana Ali?” Wakasema: “Ndio tulikuwatukimtukana Ali.”Kisha Abdullah na Sa’id wakasema: “Yawapasa mshuhudie kwamba tulimsikia Mtukufu

Mtume (s.a.w.w.) akimuambia Ali, ‘Mtu anayekutukana wewe kwa hakika hunitukanamimi; mtu ambaye hunitukana mimi, kwa hakika humtukana Allah. Kama mtu akimtukanaAllah, Atamtumpa kichwa chini kwenye moto wa Jahannam.’”

MASAHABA WA MTUME WALIKUWA KATIKAVIWANGO TOFAUTI VYA UWELEWA

Sheikh: Je, ni sahihi kwa mtu wa hadhi yako kumlaani sahaba wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) mwenye uwezo na hadhi kama huyu? Je, sio ukweli kwamba Allah swt., ame-teremsha idadi ya aya katika kuwatukuza masahaba wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) naakawapa habari njema za kuokolewa kwao. Khalu’l-Mu’munin Mu’awiya, ambaye kwahakika alikuwa sahaba mashuhuri, alistahiki sifa iliyomo katika aya hii tukufu. Je,kutukana sahaba sio sawa na kumtukana Allah na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)?

Muombezi: Huenda umesahau kile ambacho tayari nimekuambia katika mikesha iliyopi-ta. Hakuna anayekataa kwamba aya zimeteremshwa katika kuwasifu masahaba. Lakinikama unaelewa maana ya sahaba, utakubali kwamba aya zilizoteremshwa katika kuwasifumasahaba kwa ujumla haziwahusishi masahaba wote. Hatuwezi kuwachukuliwa wotekuwa ni wasafi kabisa. Bwana mheshimiwa! Unajua vizuri sana kwamba sahaba kilughaina maana ya kuunganika kwa watu pamoja. Hivyo inaweza kuwa na maana ya kuishipamoja au kama kwa kawaida inavyoeleweka, kusaidia au kutoa msaada kwa wengine.Kwa mujibu wa leksikografia (usawidi kamusi) ya Kiarabu, Qur’ani, na hadithi, sahaba wa

Mikesha ya Peshawar

368

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 368

Page 387: Mikesh A

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) maana yake ni mtu ambaye ametumia uhai wake katika kuwapamoja na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), imma awe alikuwa Mwislamu au kafiri. Hivyotafsiri yako kwamba masahaba wote wanastahiki Pepo sio sahihi. Hii inakinzana na akiliya kawaida na halikadhalika hukinzana na hadithi.

KATIKA MANENO YA QUR’ANI TUKUFU SAHAB NA SWAHABA, KWA MAANA YA “WENZI”

HAYANA MAANI YA KIHESHIMA

Nitawasilisha aya za Qur’ani za nyogeza na hadithi sahihi kutoka wanachuoni wa Sunni ilikwamba usije ukakosea kuhusu neno sahaba. Neno hili lilikuwa linatumika kwa sahabawote, iwe walikuwa Waislamu au la:(1) Katika Suratun Najm, Allah anawaambia washirikina:

“Kwamba swahibu wenu hakupotea wala hakukosea.” (53:2)

(2) Katika Surat Saba, Allaha anasema:

“Sema: mimi ninakunasihini tu kwa jambo moja kuwa; msimame kwa ajili ya Allah,wawili wawili na mmoja mmoja, kisha mtafakari: swahiba wenu hana waz-imu…”(34:46)

(3) Katika Surat Kahf, Allah anasema:

“…Na akamwambia swahiba wake hali akibishana naye: mimi nina mali nyingikuliko wewe na (nina) nguvu zaidi kwa wafuasi.” (18:34)

(4) katika Sura hiyo hiyo, Allah anasema:

“Swahiba wake akamwambia hali ya kubishana naye: je, umemkufuru yule aliyeku-umba kwa udongo, tena kwa tone la manii, kisha akakufanya mtu kamili.” (18:37)

Mikesha ya Peshawar

369

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 369

Page 388: Mikesh A

(5) Katika Sura ya A’raf, Allah anasema:

“Je, hawatafakari? Swahiba wao hana wazimu, hakuwa yeye ila ni muonyajidhahiri.” (7:184)

(6) Katika Sura ya An’am, Allah anasema:

“Sema: Je, tumuombe asiyekuwa Allah ambaye hatupi faida wala hawezi kutudhuru,na turudishwe nyuma baada ya Allah kutuongoza, sawa na yule ambaye mashetaniyamempoteza akiwayawaya katika ardhi? Anao maswahiba wanaomwita kwenyemwongozo hasa ni mwongozo wa Allah, na tumeamrishwa tumnyenyekee Mola wawalimwengu wote.” (6:71)

(7) Katika sura ya Yusuf, Allah anasema: (Yusuf akiwaambia wafungwa wenzake wawili)

“Enyi maswahiba wangu wawili, je, waungu wawili wanaofarikiana ni bora au AllahMmoja, Mwenye nguvu?” (12:39)

Hizi ni aya chache, ambazo nimezinukuu kwa njia ya mfano. Ni wazi kwamba manenosahaba, sahib, musahib na ashab hayana uhusiano maalum kwa Waislamu. Hutumika kati-ka kuwahusu Waislamu na washirikina halikadhalika. Kama nilivyosema, mtu ambaye anashughuli ya kijamaa na mtu mwingine anaitwa musahib au ashab. Masaba wa MtukufuMtume (s.a.w.w.) huashiria wale ambao wana shughuli za kijamii pamoja na yeye. Kwahakika miongoni mwa sahaba wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na miongoni mwa waleambao walikaa pamoja naye, walikuwa ni aina zote za watu, wazuri na wabaya, wauminina halikadhalika wanafiki. Aya zilizoteremshwa katika kuwasifu masaba haziwezi kuhu-sishwa kwao wote. Zinaashiria tu kwa wale masahaba wazuri. Vile vile ni kweli kwambahakuna katika mitume wakubwa wa zamani ambao walikuwa na masahaba maarufu mnokama wale wa Mtukufu Mtume wetu (s.a.w.w.). Kwa mfano, masahaba wa Badr, Uhud, na

Mikesha ya Peshawar

370

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 370

Page 389: Mikesh A

Hunain walikuwa kiasi kwamba walitimiza kipimo cha wakati ule. Walimsaidia MtukufuMtume (s.a.w.w.) na walikuwa imara katika uthabiti wao.

Lakini miongoni mwa masahaba wake vile vile ilikuwako idadi ya watu wenye tabia duni,maadui wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na Ahlul’l-Bayti wake, watu kama Abdullah BinUbayy, Abu Sufyan, Hakam Bin Aas, Abu Huraira, Tha’labi, Yazid Bin Sufyan, Walid BinAqaba, Habib Bin Musailima, Samra Bin Jundab, Amr Bin Aas, Busr Bin Artat (mtawaladhalimu mwenye kiu ya damu), Mughira Bin Shu’ba, Mu’awiya Bin Abi Sufyan, naDhu’s-Sadiyya. Watu hawa, kwa nyakati zote, katika uhai wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)na hata baada ya kufa kwake, walisababisha ghasia kubwa miongni mwa watu. Mmoja wawatu kama hawa ni Mu’awiya, ambaye Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimlaani katika wakatiwa uhai wake mwenyewe. Baada ya kifo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), wakati Mu’awiyaalipopata fursa, alifanya uasi kwa jina la kulipa kisasi kwa ajili ya kifo cha Uthman naakasababisha umwagaji damu ya Waislamu wengi. Katika mauaji haya masahaba wengiwenye kuheshimiwa wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), kama Amar Bin Yasir, waliuawakishahidi. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe alitabiri kifo chke hicho cha shahada.Nimekwishataja baadhi ya hadithi zinazohusiana na tukio hili.

QUR’ANI TUKUFU INAWASIFIA MASAHABA WEMALAKINI PIA INAWALAANI MASAHABA WAOVU

Kuna aya nyingi katika Qur’ani Tukufu na hadithi zenye kuwasifia masahaba mashuhurina waumini wachamungu. Na vile vile kuna aya nyingi na hadithi zenye kuwalaani walemasahaba waliokuwa ni watenda maovu.

Sheikh: Vipi utadai kwamba masahaba wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) walisababishavurugu za kijamii?

Muombezi: Hili sio tu dai langu. Allah swt., katika Sura ya Aali Imran anasema:

“Na hakuwa Muhammad ila ni Mtume aliyepitiwa na mitume kabla yake. Basi je,akifa au akiuliwa mtarudi nyuma kwa visigino vyenu?...” (3:144)

Mbali ya hii na aya nyingine za Qur’ani, maulamaa wenu wenyewe, pamoja na Bukhari,Muslim, Ibn Asakir, Yaqub Bin Sufyan, Ahmad Bin Hanbal, Abdu’l-Birr, na wenginewamesmulia idadi ya riwaya na hadithi kuhusiana na kulaaniwa kwa baadhi ya masahaba.Nitafanya rejea kwenye hadithi mbili tu. Bukhari anasimulia kutoka kwa Sahl Ibn Sa’d naAbdullah Ibn Mas’ud kwamba Mtukufu Mtume wa Allah (s.a.w.w.) alisema: “Nitakuwanawangojea kwenye chemchemu ya Kauthar. Wakati kundi kati yenu litakapotoka kutoka

Mikesha ya Peshawar

371

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 371

Page 390: Mikesh A

kwenye njia yangu, nitasema, ‘Ewe Allah! Hawa walikuwa ni masahaba wangu!’ Kishajibu kutoka Kwake litakuja kwangu: ‘Wewe hujui ni mangapi waliyoyazua baada yako.’”

Tena Imam Ahmad Bin Hanbal katika Musnad yake, Tabrani katika Kabir, na Abu NasrSakhri katika Ibana wanasimuliwa kutoka kwa ibn Abbas kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alisema: “Nataka kuwaokoeni ninyi kutoka kwenye adhabu ya Jahannam.Nawatakeni ninyi muogope moto wa Jahannam na kufanya mabadiliko kwenye dini yaAllah. Wakati nitakapofariki na kutenganishwa na ninyi, nitakuwepo kwenye chemchemuya Kauthar. Yeyote yule atakayenifikia mimi hapo atakuwa ameokolewa. Wakati wamwisho nintakapoona idadi kubwa ya watu wameshikwa katika adhabu ya kimungu,nitasema: ‘Ewe Allah! Hawa ni watu wa umma wangu.’ Jibu litakuja: ‘Hakika, watu hawawalirudi kwenye imani yao ya zamani (waliritadi) baada yako.’ Kwa mujibu wa riwaya yaTabrani katika Kabir, jibu litakuwa: “Hujui ni uzushi gani waliuanzisha baada yako.Walifuata dini yao ya zamani ya ujinga.”

ABU TALIB ALIKUWA MUUMINI IMARA

Unasisitiza kwamba Mu’awiya na Yazid ni Waislamu ingawa ukatili wao mwingi ume-andikwa katika kwenye vitabu vyenu wenywewe. Baadhi ya maulamaa wa Sunni wame-andika vitabu kamili katika kuwalaani, lakini kwa ukaidi unasisitiza kwamba walikuwawanastahiki sifa na Abu Talib muumini mwaminifu alikuwa kafir! Ni dhahiri kabisakwamba mazungumzo haya ya kipuuzi ni matokeo ya chuki dhidi ya Amir wa WauminiAli. Unajaribu kukataa hoja ambazo zinathibitisha ukafiri na unafiki wa Mu’awiya naYazid. Na bado unakataa matamko ya wazi ya Abu Talib yanayohusiana na imani yake juuya Allah na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

USHAHIDI WA NYONGEZAJUU YA IMANI YA ABU TALIB

Je, sio kweli kwamba Ahlu’l-Bayt wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wamesema kwamba AbuTalib alikuwa mu’mini na kwamba alikufa akiwa mu’mini? Je, Asbagh Bin Nabuta, mtumwenye kuaminiwa sana, hakusimulia kutoka kwa Amir wa Wauimini kwamba alisema:“Naapa kwa jina la Allah kwamba baba yangu, Abu Talib, babu yangu, Abdu’l-MuttalibHashim, na Abdu’l-Manaf kamwe hawakuabudia masanamu.” Je, ni sahihi kwamba ukataemaelezo ya Ali na Ahlu’l-Bayti na kuamini maelezo ya mlaaniwa Mughira, ma-Awami,Makhawarij, Manasibi, na maadui wengine wa Amir wa Waumini?

Mikesha ya Peshawar

372

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 372

Page 391: Mikesh A

JA’FAR TAYYAR AMEKUBALI UISLAMUKWA AMRI YA BABA YAKE

Aidha, wengi wa maulamaa wenu pamoja na Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha, wameandika kwamba siku moja Abu Talib alikuja msikitini na akaona kwambaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa anaswali. Ali naye alikuwa anaswali upande wake wakulia. Abu Talib akamuamrisha mtoto wake Ja’far ambaye alikuwa pamoja naye naalikuwa bado hajaingia katika Uislamu, akamuambia ‘Simama pembeni kwa binamu yakona uswali pamoja naye.’ Ja’far alisogea mbele na akasimama upande wa kushoto waMtukufu Mtume (s.a.w.w.), akaanza kuswali swala zake. Wakati huo Abu Talib akasomabeti hizi za shairi:

“Hakika Ali na Ja’far ni nguvu na faraja yangu katika huzuni na masikitiko. Ewe Ali naJa’far! Kamwe msiachane na binamu yenu na mpwa wangu, bali msaidieni. Naapa kwam-ba kamwe sitamuacha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Je, yawezekana mtu akaacha kufuatanana Mtume wa familia tukufu kama hii?”

Hivyo ni mtazamo wa wote pamoja wa maulamaa wenu kwamba kuingia Uislamu kwaJa’far na kuswali pamoja na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ilikuwa ni kwa amri ya Abu Talib.

MTUKUFU MTUME ALILIA SANA WAKATI WA KIFO CHA ABU TALIB NA AKAOMBA BARAKA ZA ALLAH

ZIWE JUU YAKE

Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha na Ibn Jauzi katika Tadhkirat-e-Khawasu’l-Umma wanasimulia kutoka Tabaqat-e-Muhammad, Ibn Sa’d, ambayeanasimulia kutoka kwa Waqidi na Allama Seyyid Muhammad Bin Seyyid Rasul Barzanjikatika Kitabu’l-Islam Fi’l-‘am-u-Aba’-e-Sayyidul’l-An’am, riwaya kutoka kwa Ibn Sa’dna Ibn Asakir, ambao wanasimulia kutoka kwenye vyanzo sahihi kutoka kwa MuhammadBin Ishaq kwamba Ali alisema: “Wakati Abu Talib alipokufa na nilipomjulisha MtukufuMtume wa Allah (s.a.w.w.) kuhusu kifo hicho, alilia sana. Kisha akaniambia, ‘Nendaukaoshe mwili wake kwa ajili ya matayarisho ya mazishi, uuvishe mwili wake sanda, naumzike. Allah ambariki na awe na huruma juu yake!”

Je, inaruhusiwa na Uislam kufanya ibada za mazishi kwa mshirikina? Je, ni sawa kwetukusema kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliomba baraka za Allah juu ya kafiri namshirikina? Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hakutoka Nyumbani mwake kwa muda wa sikukadhaa na kuendelea kuomba kwa Allah kwa ajili amani ya milele ya Abu Talib.

Mikesha ya Peshawar

373

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 373

Page 392: Mikesh A

NAUHA* ZA ALI KWA AJILI YABABA YAKE, ABU TALIB

Kama utaangalia kitabu Tadhkira cha Sibt Ibn Jauzi, uk. 6 utaona nini alichosema Amir waWaumini katika nauha zake kwa ajili ya baba yake: “Ewe Abu Talib! Ulikuwa ni mbinguya wenye kutafuta hifadhi, mvua ya neema kwa ardhi kavu, na mwanga ulio penyeza kati-ka giza. Kifo chako kimeporomosha nguzo za usalama. Sasa Mfadhili halisi amewekarehema juu yako. Allah swt., amekuambatanisha na baraza Yake. Hakika ulikuwa ndiweami mbora wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).”

Je, yaweza kuaminika kwamba mtu ambaye alikuwa mfano halisi wa tawhid angewezakuandika nauha kama hii kwa ajili ya mtu aliyekufa kafiri?

ABU TALIB ALIFICHA IMANI YAKE AMBAPO ABBAS NA HAMZA WALITANGAZA ZAKWAO

Sheikh: Kama Abu Talib alikuwa muumini, kwa nini asidhihirishe imani yake kamawalivyofanya ndugu zake, Hamza na Abbas?

Muombezi: Kulikuwepo na tofauti kubwa sana kati ya Abbas na Hamza na Abu Talib.Hamza alikuwa haogopi kabisa na mtu mwenye kutisha sana kiasi kwamba watu waMakka walimuogopa sana. Kuingia kwake Uislamu kulidhihirisha msaada mkubwa mnokwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Hata hivyo, Abbas hakutangaza Uislamu wake mara moja.Ibn Abdu’l-Birr anaandika katika kitabu chake, Isti’ab kwamba Abbas aliingia Uislamuwakati akiwa Makka, lakini aliificha imani yake kwa watu. Wakati Mtume alipohamakutoka Makka, Abbas vile vile alikusudia kuwa pamoja naye. Lakini Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alimuandikia kwamba kubakia kwake Makka kutakuwa na manufaa kwake(yeye Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)). Kwa hiyo, alibakia Makka na akawa anampelekeahabari Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kutoka pale. Waabudu masanamu walikuja naye kwenyevita vya Badr. Wakati makafiri waliposhindwa, alichukuliwa mateka. Katika siku yakuishinda Khaibar aliruhusiwa mwishowe kudhihirisha imani yake.

Sheikh Sulayman Balkhi Hanafi katika Yanabiu’l-Mawadda, sura ya 56, uk. 226, anasimu-lia kutoka kwenye Dhakha’iru’l-Uquba cha Imam’l-Haram Abu Ja’far Ahmad BinAbdullah Tabari Shafi’i, ambaye anasimulia kutoka kwenye Fadha’il cha Abu’l-QasimIlahi kwamba wanachuoni wanajua kwamba Abbas aliingia Uislamu mwanzoni lakini ali-ificha imani yake. Katika vita vya Badr wakati alipokuja na makafiri, Mtukufu Mtume

Mikesha ya Peshawar

374

* Nauha ni nyimbo za maombolezo.

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 374

Page 393: Mikesh A

(s.a.w.w.) aliwaeleza watu wake: “Yeyote atakayemuona Abbas asimuuwe kwa sababu ali-fuatana na makafiri bila hiyari yake. Alikuwa tayari kuhama, lakini nilimuandikia baruakwamba abakie kule awe ananipa habari kuhusu makafiri.” Siku ambayo Abu Rafi’ialimjulisha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwamba Abbas ametangaza kukubali kwakeUislamu, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimuacha Abu Rafi’i huru.

KWA NINI ABU TALIB AFICHE IMANI YAKE

Kama Abu Talib angeonesha imani yake Kureishi wote na taifa lote la Arabia lingeunganadhidi ya Bani Hashim. Abu Talib alifahamu faida ya kuficha Uislamu wake. Alijifanyakuwa mtiifu kwa Makureishi ili azuiye shughuli za adui.

Alimuradi Abu Talib anabakia hai, hali hiyo iliendelea, na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alikuwa katika ulinzi. Lakini wakati wa kifo cha Abu Talib, Malaika Jibrail alitokeza mbeleya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na akasema: “Sasa yakupasa kuondoka Makka. Baada yaAbu Talib huna msaidizi hapa.”

Sheikh: Je, Uislamu wa Abu Talib ulijulikana wakati wa uhai wa Mtukufu Mtume waAllah (s.a.w.w.)? Na je, umma uliamini hivyo?

Muombezi: Ndiyo, ulijulikana sana kwa watu na walilitamka jina lake kwa heshimakamili kabisa.

IMANI YA ABU TALIB ILIKUWA IKIJULIKANA KWAKAWAIDA WAKATI WA UHAI WA MTUKUFU MTUME

Sheikh: Inawezekanaje kwamba wakati wa uhai wa Mtume kitu kilikuwa kinazungumzwasana na kwa kawaida kikajulikana kwa watu wote, lakini baada ya muda wa miaka the-lathini, mtazamo wa kinyume ukapata nguvu kwa sababu ya hadithi za uwongo?

Muombezi: Huu haukuwa mfano wa kipekee. Mara nyingi kile ambacho kilikubaliwawakati wa uhai wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kilibadilika kabisa muundo wake baada yamiaka michache kwa sababu ya hadithi za kughushi. Amri nyingine za kidini na matendoya ibada yaliyokuwepo wakati wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) yaliachwa baada ya miakakadhaa kwa sababu ya ushawishi wa watu.

Mikesha ya Peshawar

375

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 375

Page 394: Mikesh A

NDOA YA MUT’A NA HAJJ NISA ZILIKUWA HALALI MPAKA WAKATI WA ABU BAKR LAKINI

ZIKAJA KUHARAMISHWA NA UMAR

Sheikh: Tafadhali hebu taja mfano mmoja wa mabadiliko kama hayo.

Muombezi: Kuna mifano mingi; miwili itatosha kuelezea nukta yangu. Nitajadili mut’a(ndoa ya muda) na Hajj Nisa. Madhehebu zote zinakubali kwamba matendo haya mawiliya kiibada yalikuwa ya kawaida wakati wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Aidha, yalikuwayakitekelezwa wakati wa ukhalifa wa Abu Bakr na vile vile sehemu ya kipindi cha ukhal-ifa wa Umar. Lakini Khalifa Umar alisababisha ugeuzaji kabisa wa amri ya Qur’ani.Alisema: “Mut’a mbili zilikuwa zinafanyika wakati wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Sasanatamka kwamba zote ni haramu na nitawaadhibu wale ambao wanajishughulisha katikamatendo haya.”

Kilichokuwa kumehalalishwa na Allah ghafla kilifutwa. Hukumu ya Umar ilitangazwakwa mapana sana na ikafuatwa kibubusa sana kiasi kwamba ile sheria ya asili mara mojaikasahauliwa. Hata leo hii, wengi wa ndugu zetu Masunni wanaiona Mut’a kama uzushiwa Mashi’a.

Kama wazo la ajabu ajabu la Umar limeweza kugeuza amri ya wazi ya Allah na ukweli wakihistoria kwamba mut’a ilikuwa ikifanyika, je, unaweza kuwa na shaka kwamba imaniijulikayo vizuri ya Abu Talib inaweza vile vile kukatiliwa?

Sheikh: Je, unataka kusema kwamba mamilion ya Waislamu wamevunja amri ya Qur’anina sunna ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)? Kumbuka, ulimwengu wote unatuita sisi Sunni,yaani, wafuasi wa Sunna. Mashi’a wanaitwa Rafidh, yaani, wale waliopotoka kutokakwenye sunna ya Mtume.

SUNNI KWA KWELI NDIO MARAFIDHI NAMASHI’A NDIO SUNNI HASA

Muombezi: Kiukweli hasa Mashi’a ndio Masnni, yaani, wao wanafuata Qur’ani Tukufuna sunna ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Ninyi watu nyie ni Marafidhi kwa sababu mnavun-ja amri za Qur’ani Tukufu na maamrisho ya Mtume.

Sheikh: Hii ni ajabu kweli! Umewageuza mamiloni ya Waislamu safi kuwa marafidhi!Unaweza kuleta hoja yoyote ya kuunga mkono hili?

Muombezi: Nimekwisha kukuambia katika mikesha iliyopita kwamba Mtukufu Mtume

Mikesha ya Peshawar

376

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 376

Page 395: Mikesh A

(s.a.w.w.) ilituagiza kwamba baada yake lazima tufuate Qur’ani Tukufu na kizazi chake.Lakini ninyi watu kwa makusudi mkakitelekeza kizazi cha Mtume na kufuata wengine.Mmeutupa mwenendo wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Mliwaacha watu wale (Ahlu’l-Bayti) kwa amri ya masheikh wenu wawili na kisha mkawaita wafuasi halisi wa sunna yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) Marafidhi.

Miongoni mwa maagizo hayo kuna amri nyingine ya wazi katika Qur’ani Tukufu ambayoinasema: “Na jueni kwamba chochote mlichokiteka, basi sehemu yake ya tano ni ya Allah naMtume na (jamaa zake Mtume) na yatima na masikini na msafiri (aliyeharibiki-wa)…” (8:41) Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliitekeleza amri hii na akatoa khums (1/5) yamali iliyopatikana kutoka kwa adui na kuwapa jamaa na ndugu zake. Lakini ninyi watumnaupinga mwendo huu.

Kufanya mut’a ni mfano mwingine mzuri. Ilikuwa ni kwa mujibu wa amri ya Allah.Ilithibitishwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na masahaba zake. Utekelezaji wake uliende-lea wakati wa ukhalifa wa Abu Bakr na vile vile kwa kipindi katika wakati wa ukhalifa waUmar. Lakini kwa amri yake Umar ninyi watu mmekifanya haramu kile Allah alichoki-fanya halali. Aidha, mmeiuuza sunna ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Na bado mnajiitawenyewe Sunni na kutuita sisi Rafidh.

Khalifa Umar mwenyewe hakutoa sababu yoyote ya kuifuta amri ya Mungu. Maulamaa waSunni wamejaribu bila mafanikio kuthibitisha kwamba uamuzi wa Khalifa Umar ulikuwawa haki.

HOJA ZA UHALALI WA MUT’A

Sheikh: Unaweza ukathibitisha uhalali wa mut’a? unaweza ukathibitisha kwamba KhalifaUmar alivunja amri ya Qur’ani na sunna ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)?

Muombezi: Uthibitisho wenye nguvu sana unatolewa na Qur’ani Tukufu. Katika Sura yaNisa Allah anasema:

“…Na kwa wale ambao mmestarehe nao katika wao, basi wapeni mahari yao yaliy-olazimu…” (4:24)

Kwa dhahiri amri ya Qur’ani Tukufu daima ni ya wajibu isipokuwa iwe imefutwa naQur’ani yenyewe. Kwa vile haikufutwa, amri hii hubakia ya wajibu daima.

Sheikh: Vipi aya hii isihusike na ndoa ya kudumu? Ni aya hii hii ambayo hutoa maeleke-

Mikesha ya Peshawar

377

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 377

Page 396: Mikesh A

zo kuhusu kulipa mahari.

Muombezi: Umeichanganya nukta yenyewe. Maulamaa wenu wenyewe, kama Tabarikatika Tafsir-e-Kabir, Jz. 5 na Imam Fakhru’d-din Razi katika tafsiri yake Tafsir-e-Mafatihu’l-Ghaib, Jz. 3, wamethibitisha kwamba aya hii inazungumzia mut’a.

Mbali na tafsiri ya wazi ya maulamaa wenu na wafasir, vile vile una habari kwamba kati-ka Sura yote ya Nisa, aina mbali mbali za ndoa zimetajwa: ndoa ya kudumu, mut’a, (ndoaya muda) na ndoa ya mulk-e-Yamin (watumwa).

Kwa ndoa ya kudumu Qur’ani Tukufu inasema:

“…Basi oweni mnaowapenda katika wanawake, wawili au watatu au wanne; lakinikama mkiogopa kuwa hamuwezi kufanya uadilifu basi (oweni) mmoja au waliomi-likiwa na mikono yenu…” (4:3)

Kuhusu Mulk-e-Yamin (watumwa), Allah anasema:

“Na miongni mwenu asiyeweza kupata mali ya kuoa wanawake waungana waKiislamu, basi aowe katika wajakazi wenu wa Kiislamu mliowamiliki; na Allah ana-jua sana imani yenu. Baadhi yenu mnatokana na baadhi, basi waoeni kwa idhini yawatu wao na muwape mahari yao kwa haki…” (4:25)

Ile amri katika aya ya 24 ya sura Nisa inayosema: “…Na kwa wale ambao mmestarehenao katika wao, basi wapeni mahari yao yaliyolazimu…”

ilikuwa kwa ajili ya mut’a, au ndoa ya muda. Isingeweza kuwa kwa ajili ya ndoa ya kudu-mu, kwani vinginevyo, ingemaanisha kwamba katika sura hiyo hiyo amri inayohusu ndoaya kudumu imerudiwa mara mbili, ambayo ni kinyume cha kanuni, na kama ni kwa ajiliya mut’a, basi kwa dhahiri ni amri ya kudumu na iliyo tofauti (na ndoa nyingine).

Pili, sio Mashi’a tu bali Waislamu wote wanakubali kwamba mut’a ilikuwa ikifanyikawakati wa siku za mwanzo za Uislamu. Masahaba mashuhuri waliifanya wakati wa uhai

Mikesha ya Peshawar

378

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 378

Page 397: Mikesh A

wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Kama aya hii inaashiria ndoa ya kudumu, basi ni ipi ayakwa ajili ya mut’a? kwa dhahiri hii ndio aya inayohusu mut’a, ambayo wafasir wenuwenyewe wameikubali. Hakuna aya katika Qur’ani Tukufu ambayo inaifuta amri hii.

AHLI-SUNNA WAZINGATIA UHALALI WA MUT’A

Imesimuliwa katika Sahih Bukhari na Musnad ya Imam Ahmad Ibn Hanbal, kutoka kwaAbu Raja kutoka kwa Imran Ibn Hasin, kwamba aya ya mut’a iliteremshwa katika Kitabucha Allah. Hivyo tulifanya (mut’a) kwa mujibu wake wakati wa uhai wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). hakuna aya iliyoteremshwa kuifanya haramu, wala kamwe Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) hajaikataza. Mtu mmoja aliamua kuibadilisha amri hii. Bukhari anasema kwam-ba mtu huyo alikuwa ni Umar.”

Muslim katika Sahih yake Jz. 1, katika sura ya Nikatu’l-Mut’a, anasema: “Hasan Halwa’ialitusimulia kwamba, aliambiwa na Abdu’r-Razzaq, ambaye alijulishwa na Ibn Jarih,ambaye alielezwa na ‘Ata kwamba Jabir Ibn Abdullah Ansari alikuja Makka kwa ajili yaUmra na walikwenda nyumbani kwake alikofikia. Watu walimuuliza maswali mengi.Wakati walipokuja kwenye suala la mut’a, yeye alisema: ‘Ndio, tulizoea kufanya mut’awakati wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na wakati wa ukhalifa wa Abu Abkr na Umar.’”

Vile vile katika kitabu hicho hicho Jz. 1, katika sura ya al-Mut’a Bi’l-Hajj wa’l-Umra,inasimuliwa kutoka kwa Abu Nazara kwamba alisema: “Nilikuwa pamoja na Jabir IbnAbdullah Ansari wakati mtu mmoja alipokuja na kusema: ‘kuna tofauti ya maoni kati yaIbn Abbas na ibn Zubair kuhusu hizi mut’a mbili, Mut’atu’n-Nisa na Mut’atu’l-Hajj.’Kisha Jabir akesema: ‘Tumezifanya zote hizo wakati wa uhai wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Baada ya hapo, wakati Umar alipozikataza, hatukuweza kuzifanya.’”

Imam Ahmad Bin Hanbal katika Musnad yake, Jz. 1, uk. 25, anasimulia riwaya ya AbuNazara katika njia nyingine. Vile vile wote wanasimulia riwaya nyingine kutoka kwa Jabirkwamba yeye alisema: “Katika siku za uhai wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na Abu Bakr,tulizoea kufanya mut’a kwa makubaliano ya kiganja cha tende na unga mpaka Umaralipoikataza katika suala la Amr Bin Harith.” Hamid, katika Jam’-e-Bainu’s-Sahihain,anasimulia kutoka kwa Abdullah Ibn Abbas kwamba alisema: “Tulizoea kufanya mut’awakati wa uhai wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Wakati Umar alipokuwa Khalifa akasema:‘Allah swt., alifanya chochote alichokitaka kwa ajili ya Mtume Wake. Sasa amekufa, naQur’ani inachukuwa mahala pake. Hivyo wakati ukianza Hajj au Umra, lazima uzimalizekama Allah alivyokuamuruni. Lazima mtubie na mjiepushe kufanya mut’a, nileteeni yulealiyefanya mut’a ili niweze kumpiga mawe.’”

Kuna riwaya nyingi kama hizo katika vitabu vyenu wenyewe vya kuaminika zikioneshakwamba mut’a iliruhusiwa wakati wa uhai wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Masahaba wali-

Mikesha ya Peshawar

379

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 379

Page 398: Mikesh A

ifanya mpaka Umar alipoiharamisha. Mbali na riwaya hizi, baadhi ya masahaba, kamaUbayy ibn Ka’b, ibn Abbas, Abdullah ibn Mas’ud, Sa’id ibn Jabir na Sa’d wamesoma ayaya mu’ta katika njia hii: “…na kwa wale ambao mmefanya nao mut’a mpaka mudauliowekwa…” Jarullah Zamakhshari anasimulia katika Kash’shaf kutoka kwa kwa IbnAbbas na vile vile Muhammad Bin Jarir Tabari katika Tafsir-e-Kabir na Imam Fakhru’d-din Razi katika Tafsir-e-Mafatihu’l-Ghaib, Jz. 3, wakiandika kuhusu aya hii tukufu naImam Nuwi katika Sharh-e-Muslim, Sura ya 1, Nikatu’l-Mut’a anasimulia kutoka kwaNazari kwamba Qadhi Ayaz alieleza kwamba “Abdullah Bin Mas’ud, yule mwandishi waWahyi, alizoea kusoma aya hii katika njia hiyo hiyo, yaani, ‘mpaka muda uliowekwa.’”

Imam Fakhru’d-din Razi, baada ya kunukuu maelezo ya Ubayy Ibn Ka’b na Ibn Abbas,alisema: “Umma haukukataa usomaji wao wa aya katika njia hii, hivyo tulichokisemakimekubaliwa kwa ijma (makubaliano ya wote pamoja).”

Tena katika ukurasa ufuatao anajadili kwa namna hii: “Usomaji huu kwa dhahirihuthibitisha kwamba mut’a inayo idhini ya kidini. Hatuna tofauti ya maoni kwamba mut’ailiruhusiwa katika wakati wa uhai wa Mtukufu Mtume.”

AMRI INAYORUHUSU MUT’A HAIKUFUTWA

Sheikh: Unaweza kuthibitisha kwamba ilikuwa halali wakati wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) na kwamba haikufutwa baadae?

Muombezi: Kuna ushahidi mwingi kwamba amri hii haikufutwa. Hoja yenye kuvutia sanani kwamba mut’a iliruhusiwa kuanzia wakati wa uhai wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)mpaka katikati ya ukhalifa wa Umar.

Maelezo ya Khalifa Umar mwenyewe yamesimuliwa kwa jumla na maulamaa wenu.Wameandika kwamba alipanda kwenye mimbari na akasema: “Katika wakati wa Mtumemut’a mbili ziliruhusiwa. Mimi ninazifanya zote mbili hizi kuwa ni haramu, na kama mtuyeyote atazifanya, nitamuadhibu.”

Sheikh: Unachosema ni sahihi, lakini nukta yangu ni kwamba kuna amri nyingi ambazozilikuwa zikitumika mwanzo katika wakati wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), lakini baadaezikafutwa. Mut’a vile vile iliruhusiwa wakati wa mwanzo, lakini baadae ikapigwa maru-fuku.

Muombezi: Kwa vile asili na msingi wa dini ni Qur’ani Tukufu, kama amri yoyoteinakuwemo ndani ya Qur’ani ufutaji wake lazima vile vile uwe ndani yake. Sasa tafadhalinifahamishe ni wapi katika Qur’ani ambapo amri hii imefutwa.

Mikesha ya Peshawar

380

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 380

Page 399: Mikesh A

Sheikh: Katika Sura ya 23, Mu’minin, aya ya 6 inafuta amri hii. Inasema: “Isipokuwakwa wake zao au kwa (wanawake) wale waliomilikiwa na mikono yao, basi hao siwenye kulaumiwa.” (23:6) Aya hii inaweka masharti mawili kwa ajili ya uhusiano wakinyumba: ndoa au kuingiliana (kijamiiana) na mtumwa. Hivyo aya hii inathibitishakwamba amri ya mut’a ilifutwa.

Muombezi: Aya hii kwa njia yoyote haithibitishi kwamba mut’a ilifutwa; baliinaithibitisha. Mwanamke aliyeunganishwa na mut’a ni mke halisi wa mwanaume huyo.Lau asingekuwa mke wake halisi, Allah asingeamrisha mahari yake ilipwe. Aidha, sura yaal-Mu’minin iliteremshwa wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) yuko Makka, Sura ya Nisailiteremshwa wakati akiwa Madina. Ni dhahiri kwamba Sura za Makka zilitangulia zile zaMadina. Je, inawezekana aya A kufuta aya B, ikiwa aya A ilikuja kabla ya B?

MASAHABA MAARUFU NA IMAM MALIK WANASISITIZAKWAMBA AMRI YA MUT’A HAIJAFUTWA

Abdullah Ibn Abbas, Abdullah Ibn Mas’ud, Jabir Bin Abdullah Ansari, Salama Ibn Akwa,Abu Dharr Ghifari, Subra Bin Ma’bad, Akwa Bin Abdallah al-Aslami na Imran Bin Hasinwameeleza kwamba amri ya mut’a haijafutwa. Aidha, maulamaa wenu maarufu wame-thibitisha kwamba haijafutwa. Kwa mfano, Jarullah Zamakhshari, katika Tafsir-e-Kashshaf kuhusiana na maelezo ya Abdullah Ibn Abbas kwamba aya ya mut’a ilikuwa nimoja ya amri za wazi za Qur’ani Tukufu, anasema kwamba aya hii haijafutwa. ImamMalik Bin Anas vile vile alisema kwamba uruhusiwaji ya mut’a haukufutwa.

Mulla Sa’idu’d-din Taftazani katika Sharh-e-Maqasid, Burhanu’d-din Hanafi katika kitabuchake, Hidaya, Ibn Hajar Asqalani katika Fathu’l-Bari na wengine vile vile wamesimuliaile kauli na hukumu ya Malik ambaye anasema: “Mut’a ni halali. Imeruhusiwa na dini.Uhalali wake, kwa ilivyothibitishwa na Ibn Abbas, hujulikana sana na wengi wa masaha-ba wake kutoka Yeman na Makka walikuwa wakiifanya.” Katika sehemu nyingine anase-ma: “Mut’a ni halali kwa vile imeruhusiwa, na uhalali wake na ruhusa yake imethibitimpaka iwe imefutwa.” Utaona kwamba mpaka Malik alipokufa kulikuwa hakuna ushahi-di kwamba amri ya mut’a imefutwa.

Aidha, wafasiri wenu maarufu, kama Zamakhshari, Baghawi, na Imam Tha’labi wamefu-ata msimamo wa Ibn Abbas na masahaba wengine maarufu na wameamini katika uhalaliwa mut’a.

Mikesha ya Peshawar

381

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 381

Page 400: Mikesh A

MASHARTI YOTE YA NDOA YANATIMIZWAKATIKA NDOA YA MUT’A

Sheikh: Kwa vile hakuna masharti kwa mwanamke aliyeunganishwa katika mut’a, kamavile urithi, talaka baada ya muda kwisha na kumkimu, kama ilivyo muhimu kwa mke,hawezi kuwa mke halisi.

Muombezi: Mwanamke aliyeunganishwa na mwanaume kwa mut’a, analindwa namasharti yote ya mke yeyote isipokuwa yale ambayo kimantiki yameondolewa. Mut’a niaina ya ndoa, ambayo kwayo mwanamke anastahiki kuwa mke halisi. Kama mamboyalivyo kwa ajili ya ustawi wa umma na kuwaokoa kutokana na uvunjaji wa sheria, baad-hi ya masharti na taratibu zimeondolewa.

Ama kuhusu masharti yake, kwanza, haikuthibishwa kwamba urithi ni sharti la muhimukatika ndoa. Wanawake wengi, pamoja na kuwa wake, hawapati urithi kutoka kwa waumezao. Kwa mfano, wake wasio watiifu au wale wanaouwa wananyimwa urithi.

Pili, haikuthibitishwa kwa uhakika iwapo mwanamke aliyeunganishwa katika mut’aananyimwa haki yake ya urithi. Wanachuo wa sheria wanahitalifiana katika maoni juu yahili, na tofauti kama hizi zipo pia miongoni mwenu.

Tatu, maulamaa wa Imamiyya kwa kauli moja wanashikilia mtazamo wa kwambamwanamke aliyeunganishwa katika mut’a vile vile lazima akae edda. Ufupi wakeumewekwa kwamba ni siku 45. Kama mume akifariki itambidi huyo mke akae edda yakawaida ya miezi mine na siku kumi, awe amewahi kujamiana na mume wake au la, auiwapo amevuka umri wa kupata haidhi au la.

Nne, haki ya kumkimu sio sharti la muhimu liloambatanishwa kwenye ndoa. Kuna idadiya wake ambao hawastahili matumizi ya kukimiwa, kama vile wale ambao sio watiifu auambao wamewauwa waume zao.

Tano, kwisha kwa muda uliokubaliwa kwenyewe ni talaka. Halikadhalika, kwa ridhaa yamume wake, anaweza kuachika kabla ya muda kwisha.

Kwa hiyo, hakuna katika masharti uliyotaja aambalo lina nguvu yoyote ya kisheria.Mwanachuoni maarufu wa Shia, Allama Jamalu’d-Din Hilli (Hasan bin Yusuf Bin Ali BinMutahhari), alitoa katika maelezo marefu hoja hiyo hiyo kwa majibu ya mitazamo ya ula-maa wenu maarufu. Nimeyataja kwa ufupi. Anayetaka kusoma kwa urefu, anaweza kuan-galia kitabu cha Allama Hilli, Mabahithat-e-Sunniyya wa Ma’rifat-e-Nussariyya.

Mikesha ya Peshawar

382

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 382

Page 401: Mikesh A

JE, AMRI YA QUR’ANI JUU YA MUT’A ILIFUTWANA MTUKUFU MTUME?

Sheikh: Mbali na aya hii tukufu vile vile kuna idadi kubwa ya hadithi ambazo zinazsemakwamba amri inayohusiana na mut’a imefutwa wakati wa uhai wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.).

Muombezi: Tafadhali tufahamishe amri hiyo ya kufuta.

Sheikh: Imesimuliwa pamoja na tofauti fulani. Baadhi ya wasimuliaji wanasema kwambailifutwa siku ya kutekwa kwa Khaibar, baadhi wanasema ilitokea katika siku ya kutekwaMakka, baadhi wanasema kwamba ilikuwa wakati wa hija ya mwisho, na baadhi wanase-ma kwamba ilikuwa katika siku ya Tabuk. Wengine, hata hivyo, maoni yao ni kwambaamri hiyo ya kufuta ilitolewa siku ya Umratu’l-Qadhwa (Hija ya mwago).

HOJA ZINAZOHUSU KUFUTWA KWAKE WAKATI WA UHAI WA MTUME

Muombezi: Hizo riwaya zinakinzana zenyewe zinathibitisha wazi kwamba kulikuwahakuna amri ya kufutwa. Na vipi riwaya hizo zitaaminika wakati kinyume chake kunahadithi nyingi zilizosimuliwa katika Sahih-e-Sitta: Jam-e-Bainu’s-Sahihain, Jam-e-Bainu’s-Sahih-e-Sitta, Musnad, nk., kutoka kwa masahaba maarufu ambazo zinathibitishakwamba aya hii haikufutwa mpaka wakati wa ukhalifa wa Umar.

Hoja ya kuvutia sana ambayo maulama wenu wenyewe wameinukuu ni ile kauli ya KhalifaUmar, ambaye alisema: “Naziharamisha zile mut’a mbili ambazo zilikuwa zikitumikawakati wa uhai wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).” Lau kungelikuwa na aya, au amri yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.), Khalifa angelisema: “Kwa mujibu wa maelekezo ya MtukufuMtume (s.a.w.w.), ambayo yanaungwa mkono na aya ya Qur’ani, kama mtu atafanya kiten-do cha haramu kwa kuvunja amri iliyofutwa, mimi nitamuadhibu.” Maelezo kama hayayangekuwa zaidi sana yenye kuvutia kwa watu. Lakini alisema tu: Mut’a mbili zilikuwazimeruhusiwa wakati wa uhai wa Mtume, mimi naziharamisha.”

Hata hivyo, kama madai yako ni sahihi na aya ya mut’a ilifutwa, kwanini wanafunzi waMtukufu Mtume (s.a.w.w.), kama Abdullah Ibn Abbas, Imran Bin Hashim na masahabawengine waliifanya? Muhadithina na wanahistoria wenu wakubwa, ikiwa ni pamoja naBukhari na Muslim, wameandika habari hii. Taarifa zote hizi zinathibitisha kwa uwazikwamba kutoka wakati wa uhai wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mpaka wakati wa ukhalifawa Umar masahaba walifuata sheria hii.

Mikesha ya Peshawar

383

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 383

Page 402: Mikesh A

JE, KHALIFA UMAR ANGEWEZAKUIFUTA MUT’A?

Hivyo, ni wazi kwamba mut’a itaendelea kuwa halali daima. Abu Isa Muhammad BinSawratu’t-Tirmidhi katika Sunan yake, ambayo inachukuliwa na ninyi kama moja ya Sahihsita, Imam Ahmad Bin Hanbal katika Musnad yake, sehemu ya 2, uk. 95, na Ibn Athir kati-ka Jam’u’l-Usul wamesimulia kwamba mtu mmoja wa Syria alimuuliza Abdullah BinUmar Bin Khattab anachofikiria kuhusu Mut’a-e-Nisa. Yeye akasema: “Bila shaka, ilivyohiyo ni halali.” Yule mtu akasema tena: “Lakini baba yako, Khalifa, alikataza watukuifanya.” Akasema: “Iliamriwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.); hivyo, kama imekatazwana baba yangu amri hiyo haiwezi kuizidi amri ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Mimi nimfuasi wa amri ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).”

Ama kwa riwaya ambazo zimesimuliwa, huenda watu walighushi hadithi baadae ili kuun-ga mkono kauli ya Umar. Suala hili liko wazi kiasi kwamba halihitaji ufafanuzi wa zaidi.Ukweli ni kwamba huna ushahidi wa kweli juu ya uharamu wa mut’a isipokuwa ile kauliya Khalifa Umar.

Sheikh: Kauli ya Khalifa Umar yenyewe ni ushahidi wenye nguvu sana kwa ajili yaWaislamu, na lazima waifuate. Kama alikuwa hakuisikia kutoka kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) asingeweza kuisema.

Muombezi: Je, kauli ya Khalifa Umar ni ya kushurutisha kiasi hicho kwamba Waislamulazima waifuate? Sijaona hadithi hata moja kwenye vitabu vyenu, ambayo kwayo MtukufuMtume (s.a.w.w.) alisema kwamba kauli ya Umar Bin Khattab ilikuwa ni chanzo kilichoth-ibitishwa au kwamba Waislamu lazima waifuate. Kwa upande mwingine vitabu vyenuvimejazwa hadithi za kuaminika zinazosema kwamba lazima tufuate kizazi cha MtukufuMtume (s.a.w.w.), hususan Ali. Nimzitaja baadhi ya hadithi hizi katika mikesha iliyopita.Hao Ahlul’l-Bayti wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wamesema kwamba amri ya mut’ahaikufutwa.

Umesema kwamba lau kama Khalifa Umar asingesikia amri hiyo ya kufuta mut’a kutokaMtukufu Mtume (s.a.w.w.), asingesema aliyoyasema. Lakini hili ni rahisi kulikanusha.Kwanza, kama Khalifa Umar alikuwa amesikia juu ya ufutwaji wa amri ya mut’a kutokakwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), angeisimulia wakati wa uhai wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) mpaka wakati wa ukhalifa wake mwenyewe. Hii ingekuwa na umuhimu maalumkwa vile aliwaona masahaba mashuhuri walikuwa wakiifanya, na ilikuwa ni wajibu wakekuwaeleza watu kwamba matumizi ya mut’a yalikuwa yamefutwa. Kwanini hakutekelezajukumu la kuzuiya uovu?

Mikesha ya Peshawar

384

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 384

Page 403: Mikesh A

Pili, matumizi ambayo yalikuwepo miongoni mwa umma kwa amri ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), yangeweza tu kufutwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Kusingekuwa naucheleweshaji katika suala hili. Je, inaingia akilini kwamba kama amri kwa ajili ya ummailikuwa imekwisha kusambazwa na baadae ikafutwa, je, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)asingezungumza kwa mtu yeyote isipokuwa kwa Umar? Na je, ingeleta maana yoyotekwamba Umar asingemuambia mtu yeyote mpaka baadae katika ukhalifa wakemwenyewe? Katika kipindi chote hiki wakati umma ukiendelea kufuata amri hii (inayodai-wa) iliyofutwa, je, hakukuwa na uwajibikaji kwa upande wa Umar?

Unasema kwamba ukatazaji wa matumizi “yaliyofutwa na yasiyo ya kidini” usingewezakufanywa ujulikane kwa watu wengine na kwa hiyo umma uliendelea kuyafuata. Je, mtumwingine yeyote yule mbali na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) anaweza kuwajibishwa kwasababu ya kutokutangaza amri iliyofutwa, akiwa yeye kamuambia Umar peke yake tu? Je,sio ukafiri kusema kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amepuuza kutekeleza kazi yake nakwamba umma kwa sababu ya kutokujua kwao, waliendelea kutenda amri iliyofutwa kwamuda mrefu?

Tatu, kama amri ya mut’a ilikuwa imefutwa wakati wa uhai wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)na Umar alikuwa amelisikia hili kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Umar angelisemawakati alipokuwa analikataza hili kwamba yeye mwenyewe amemsikia Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) akisema kwamba matumizi ya mut’a yamepigwa marufuku. Ni dhahari, kamaangekuwa anarejea kauli ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), umma ungevutiwa mno na hilo.Lakini alisema: “Wakati wa uhai wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), mut’a mbili zilikuwazimeruhusiwa, lakini mimi ninaziharamisha. Sasa nitawapiga mawe wale wanaoifanya.”Je, sio jukumu la Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kutangaza vitu kuwa ni halali au haramu? Au,inaweza kuwa haki ya Khalifa ambaye alichaguliwa na watu?

Sielewi ni kwa misingi ipi Umar alitangaza kuharamisha kile alichohalalisha Allah swt.Ajabu iliyoje Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe kamwe hajasema kwamba ameki-fanya kitu fulani kuwa halali au haramu. Wakati wowote alipotangaza amri yeyote, alise-ma kwamba Allah alimuamrisha kuifikisha kwa watu. Ujasiri ulioje alikuwa nao Umar ali-posema: “Mut’a mbili zilikuwa zimeruhusiwa wakati wa uhai wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Mimi nazifanya zote hizo kuwa haramu. Nitawaadhibu wale ambao wanatendamatendo hayo.”

Mikesha ya Peshawar

385

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 385

Page 404: Mikesh A

AMRI YA ALLAH AU YA MTUKUFU MTUME HAIWEZI KUFUTWA NA KHALIFA

Sheikh: Kwa hakika unafahamu kwamba baadhi ya wanachuoni wetu wenye ilmu ya juuwanaamini kwamba kwa vile Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa mujtahid katika masualaya amri za kidini, mujtahid mwingine kwa mujibu wa utafiti wake mwenyewe, anawezakuweka kando amri iliyotangulia. Ni kwa msingi huu kwamba Umar alisema:“Naviharamisha vitu viwili hivyo.”

Muombezi: Katika kujaribu kuweka sawa kosa moja unafanya makosa mengine mengi.Je, ijtihad ina maana yoyote katika kukanganya amri yoyote ya Qur’ani Tukufu. Je, kauliyako hiyo sio ya kichekesho kabisa na inayopingana na aya za Qur’ani? Allah swt., anase-ma katika Sura ya Yunus:

“…Sema: siwezi kuibadilisha kwa hiari ya nafsi yangu. Sifuati ila ninayofunuliwakwa wahyi…” (10:15)

Ni kweli kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hawezi akafanya mabadiliko yoyte katikaamri za dini isipokuwa mpaka aamrishwe na Allah kufanya hivyo. Vipi, amewezaje Umar,ambaye hana ujuzi wa Wahyi, kuwa na mamlaka ya kufanya haramu kile ambacho Allahamekifanya halali? Katika Suratun-Najm Allah anasema:

“Wala hazungumzi kwa matamanio ya nafsi yake. Hayakuwa haya ila ni wahyiulioteremshwa. (53:3-4)

Katika Surat Ahqaf, Allah anasema:

“Sema: mimi sio wa kwanza katika mitume, wala sijui nitakayofanywa mimi walamtakayofanywa ninyi. Sifuati ila niliyoteremshiwa kwangu, na mimi siye ila nimuonyaji dhahiri. (46:9)

Mikesha ya Peshawar

386

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 386

Page 405: Mikesh A

Utii kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ni wajibu. Hakuna yeyote, awe Umar au mtumwingine yeyote, aliye na haki ya kuingilia amri za Mungu na kufanya haramu alichoki-fanya Allah halali.

MANUFAA HAYAWI MSINGI KWA AJILI YA UFUTAJI

Sheikh: Kwa hakika Umar aliona inafaa na akaichukulia katika masilahi bora ya watukuifuta amri ile. Tunaona siku hizi kwamba baadhi ya watu wanamchukua mwanamkekatika mut’a kwa ajili ya kustarehe tu kwa muda wa saa moja, mwezi mmoja, au mwakammoja. Baadae bila kujali kama mwanamke ni mjamzito au la, wanamtelekeza.

Muombezi: Huu ni mzaha mkubwa! Uhalali huu wa amri ya Kiislamu unahusiana nini nawatu wanaojiingiza katika uhusiano wa kujamiiana kuliko haramu? Kama tukifuata hiyomantiki yako, huenda hata ndoa ya kudumu itafanywa kuwa haramu. Kwani kuna watuwanawaoa wasichana wazuri wenye heshima zao kwa ajili ya pesa zao au urembo wao nabaadae huwaacha bila kuwapa msaada wowote wa kifedha. Kwa vile baadhi ya watuwanafanya hivi, unafikiri ndoa ya kudumu lazima ifutwe?

Hapana. Lazima tuwahimize watu kuwa wanyofu na kuwapa mafunzo sahihi ya duni.Kama mtu mnyofu atajikuta hana uwezo wa kubeba jukumu la kuwa na mke wa kudumu,na kama anataka kuepuka kitendo cha haramu, atakuwa kwa kuafikiana na sheria ya dini,anataka kuchukua mwanamke katika mut’a au ndoa ya muda. Kwa hiyo, atataka kujuamasharti ya mut’a kwa sababu anajua kwamba kwa kila amri kuna masharti fulani. Wakatiwa makubaliano ya wote wawili, atatoa kile kiasi cha mahari kwa ajili ya mwanamkeambacho kitatosha kwa matumizi ya kumkimu wakati wa edda, ambao ni siku 45, baadaya muda wa kipindi cha mut’a kwisha.

Pili, baada ya kutengana, atamuangalia mwanamke wakati wa kipindi chote cha edda.Kama atakuwa mjamzito, atamtunza mama huyo sawa sawa ili aweze kumchukua mtotowake atakapo zaliwa. Kama baadhi ya watu wanashindwa kufuata masharti haya, hainamaana kwamba amri ya halali ya kisheria imefutwa.

Ustawi wa umma ulikuwa unajulikana vizuri kwa Allah na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)kuliko Umar. Na hawakukataza mut’a. Kama wao hawakuikataza, hakuna Khalifa auImam, au mtu yoyote yule, hata aliyeteuliwa na Mungu, anayeweza kwa hiyari yakemwenyewe kukifanya haramu kile Allah alichokifanya halali. Hivyo madai yako kwambailikuwa ni kwa masilahi ya umma kwamba watu waache mut’a, hayathibitiki.

Mut’a haikuwa ndio sababu ya kuenea kwa uvunjaji wa sheria; bali ilikuwa ni kupigwamarufuku kwake ndiko ambako kumeeneza uzinifu. Wale vijana wa kiume na wa kikeambao hawakumudu kuungana katika ndoa ya kudumu kama hawawezi kujidhibiti na

Mikesha ya Peshawar

387

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 387

Page 406: Mikesh A

kuzuia hamu zao za kujamiiana, watajiingiza katika ngono haramu. Na kama mamboyalivyo kuenea kwa zinaa na uasherati huharibu maadili mema ya mataifa yote kabisa.

Imam Tha’labi na Tabari katika Tafsir zao na Imam Ahmad Bin Hanbal katika Musnadyake, wakiandika kuhusiana na aya ya mut’a, wanasimulia kutoka kwa Amiru’l-Mu’mininAli kwamba alisema: “Kama Umar asingezuia mut’a hakuna mtu yeyote, isipokuwamwanaume mwenye bahati mbaya, angefanya uzinifu.”

Vile vile Ibn Jarih na Amr Bin Dinar wanasimulia kutoka kwa Abdullah Ibn Abbas ambayealisema: “Kwa hakika mut’a ni rehema ya Allah, ambayo ameitoa kwa umma waMuhammad. Kama Umar asingeipiga marufuku, hakuna mtu yeyote isipokuwa mtumwenye bahati mbaya angefanya uzinifu.”

Hivyo, kwa mujibu wa maoni ya masahaba wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), sababu hasa yakuenea kwa uzinifu ilikuwa ni kukatazwa kwa mut’a, na si kwa ajili ya kuifanya. Kwahakika amri zote za Mungu zinazohusu halali na matendo ya halali ambazo zimewasilish-wa kwa umma kupitia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) zilikusudiwa kwa ajili ya ustawi wawatu. Bado zinaendelea kuwanufaisha watu hadi hii leo.

IMANI YA ABU TALIB ILIKUWA INAJULIKANA SANAWAKATI WA MTUKUFU MTUME

Mada yetu ya kujadali haikuwa hii, lakini nilitaka kuondoa shaka yenu kwa vile umesemakwamba kile kilichokuwa kinajulikana wakati wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kinaweza-kikafanywa kuwa bure kabisa kupitia hadithi za kughushi. Halikadhalika hakuna uhalalikatika kukataa kwako kuhusiana na imani ya Abu Talib. Imani yake wakati wa uhai waMtukufu Mtume (s.a.w.w.) ilikuwa vile vile inajulikana sana na kuchukuliwa kwa heshi-ma. Lakini kwa kubuni hadithi ya Zahza, baadhi ya watu wakaeneza riwaya za kinyumekabisa. Watu wasio na ujuzi, wakiwafuata wakubwa zao kibubusa, wakazikubali riwaya hiiya uwongo.

Kwa ufupi, nilichosema kinathibitisha vya kutosha na zaidi kwamba Ali alitokana nafamilia bora kiasi kwamba hakuna yeyote katika masahaba maarufu anayeweza kulingananaye.

MAHALI ALIPOZALIWA ALI ILIKUWA NI NDANI YA KA’ABA

Dalili nyingine ya hadhi maalum ya Ali ilikuwa ni mahali alipozaliwa. Hakuna mtumwingine yeyote, kuanzia kwa Adam kuja chini kupitia mitume wote, aliyekuwa na sifahii. Kati ya wanadamu wote, ni yeye peke yake aliyezaliwa katika eneo takatifu la Ka’aba.Wakati wa kuzaliwa kwa Nabii Isa, mama yake mashuhuri alilazimika kutoka kwenye

Mikesha ya Peshawar

388

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 388

Page 407: Mikesh A

nyumba takatifu. Sauti ilimuambia: “Ewe Maiamu! Toka humo Baitu’l-Muqaddas, kwavile ni sehemu ya kufanyia ibada na sio ya kuzalia watoto.”

Lakini wakati wa kuzaliwa Ali ulipokaribia, mama yake, Fatima Bint Asad, aliambiwakuingia ndani ya Kaaba. Na hii haikuwa jambo la bahati kana kwamba mwanamke alikuwandani msikiti na ghafla akajifungua mtoto. Yeye aliitwa makhsusi kabisa kuingia ndani yaKaaba, ambayo mlango wake ulikuwa umefungwa. Baadhi ya watu wasio na ujuziwanafikiri kwamba Fatima Bint Asad alikuwa ndani ya Msikiti Mtukufu wakati aliposikiauchungu wa kuzaa, hakuweza kutoka nje, na akajifungua mtoto. Ukweli ulikuwa nikinyume cha hivyo. Ulikuwa ni mwezi wa Fatima Bint Asad wa kujifungua. AlikwendaMasjidu’l-Haram, ambako alisikia uchungu wa uzazi. Alimuomba Allah katika eneo takat-ifu la Kaaba akisema: “Ewe Allah! Nakuomba kwa jina la heshima Yako na kwaunyenyekevu, kunipunguzia uchungu huu wa uzazi.” Ghafla ukuta wa Kaaba, ambaoulikuwa mzima kabisa, ulitoa mwanya.

Riwaya nyingine inasema kwamba sauti ilisikika ikisema: “Ewe Fatima! Ingia ndani yaNyumba (al-Ka’aba).” Fatima akaiingia ndani ya Nyumba ya Allah, mbele ya kundi lawatu ambao walikuwa wamekaa pembeni mwa sehemu hiyo, ukuta wa Kaaba ulipasuka naFatuma Bint Asad aliingia ndani kisha ukuta ule ukarudia hali yake ya kawaida. Watu wal-ishangazwa sana. Abbas vile vile alikuwepo pale. Wakati alipoona kilichotokea, mara mojaakamuambia Abu Talib kwa sababu alikuwa nazo funguo za mlango. Mara moja alikujapale na akajaribu kwa bidii zake zote kufungua mlango, lakini mlango haukufunguka. Kwamuda wa siku tatu Fatima Bint Asad alibakia ndani ya Kaaba, inavyoonekana bila chaku-la cha aina yoyote. Tukio hili lisilokuwa la kawaida likawa ni gumzo la mjini hapo.Hatimaye, katika siku tatu, sehemu aliyopitia ilifunguka tena, na Fatima akatoka nje. Watuwakaona kwamba alikuwa amepakata mtoto mzuri mikononi mwake. Madhehebu zote(Shia na Sunni) wanakubali kwamba hakuna mtu mwingine yeyote ambaye amewahikupewa sifa kama hiyo kamwe. Hakim katika Mustadrak yake na Nuru’d-din Bin SabbaghMalik katika Fusulu’l-Muhimma, Fasl ya 1, uk. 14, anasema: “Hakuna yeyote kabla ya Alialiyezaliwa ndani ya Kaaba. Hii ilikuwa ni sifa aliyopewa Ali ili kuzidisha ubora wa hes-hima, cheo, na hadhi yake.”

ASILI YA JINA LA ALI ILIKUWA NI ULIMWENGU USIOONEKANA

Dalili nyingine ya hadhi maalumu ya Ali ni kwamba jina lake lilikuwa na asili katikaulimwengu usioonekana.

Sheikh: Umesema kitu kigeni. Hii ina maana Abu Talib alikuwa Mtume ambaye alimpajina Ali kupitia msukumo wa ki-Mungu. Kauli yako ni moja kati ya ule uwongo ambao

Mikesha ya Peshawar

389

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 389

Page 408: Mikesh A

Mashi’a wameutunga katika mapenzi yao yaliyovuka mpaka (ghulu) kwa Ali. Lakini nikichekesho kusema kwamba Allah aliamuru kwamba mtoto huyo aitwe Ali. Ali lilikuwa nijia la kawaida ambalo wazazi hao kwa utashi wao, walipanga kumpa mtoto wao. Halikuwana cho chote cha kuhusiana na ulimwengu wa ghaibu.

Muombezi: Kitu nilichosema hakina ugeni ndani yake. Kustaajabu kwako kunatokana nakukosa ujuzi kwako kuhusu ustahili na sifa ya wilaya (uandamizi).

Kwanza, wewe unafikiri kwamba mtoto huyo alipewa jina baada ya kuzaliwa kwake,ingawaje haikuwa hivyo. Katika vitabu vyote vitakatifu, majina ya Muhammad na Aliyametajwa. Allah swt., aliwapa majina miaka elfu kadhaa kabla ya uumbaji wa ulimwen-gu. Majina haya yaliandikwa mbinguni, kwenye milango ya mbingu na kwenye Arsh.Hayahusiani cho chote na wakati wa Abu Talib.

Sheikh: Hakika kauli hii ni mfano wa mapenzi yaliyovuka mpaka juu ya Ali.Umempandisha juu mno kiasi kwamba unadai kwamba jina lake liliandikwa zamani mnokabla ya kuumbwa ulimwengu. Matokeo ya kauli kama hizi ni kwamba wanachuo wenuwanachukulia kulitaja jina la Ali baada ya jina la Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) katika adhana.

Muombezi: Hapana, bwana, kauli yangu haihusiani na mapenzi ya kuvuka mpaka. Na siomimi niliyeandika jina lake mbinguni. Allah aliamrisha jina la Ali liandikwe pamoja naJina Lake na jina la Mtume Wake.

Sheikh: Tafadhali taja yoyote katika hadithi hizo.

BAADA YA MAJINA YA ALLAH NA MTUKUFU MTUME JINA LA ALI LIMEANDIKWA JUU YA ARSH

Muombezi: Muhammad Bin Jarir Tabari katika Tafsiir yake, Ibn Asakir katika Ta’rikhyake, Muhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’i, katika Kifayatu’t-Talib, sura ya 62, Hafidh AbuNu’aim, katika Hilyatu’l-Auliya, na Sheikh Sulaiman Balkhi Hanafi katika Yanabiu’l-Mawadda, uk. 238, sura ya 56, hadithi ya 52, wanasimulia kutoka kwenye Dhakha’iru’l-Uqba ya Imam’l-Haram Ahmad Bin Abdullah Tabari Shafi’i kutoka kwa Abu Huraira(pamoja na tofauti kidogo maneno) kwamba Mtukufu Mtukufu alisema: “Imeandika juu yaArsh kwamba, ‘Hakuna mungu ila Allah, Mmoja Ambaye hana mshirika; na Muhammadni Mjumbe na Mtume Wangu, ambaye nimemuimarisha kupitia kwa Ali Bin Abi Talib.’”

Vile vile katika Khasa’isu’l-Kubra ya Jalalu’d-Din Suyuti, Jz. 10, na Tafsir-e-Durr-e-Mansur, mwanzoni mwa sura ya Isra’il, inasimuliwa kutoka Ibn Adi na Ibn Asakir, ambaowanasimulia kutoka kwa Anas Ibn Malik, kwamba Mtukufu Mtume wa Allah alisema

Mikesha ya Peshawar

390

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 390

Page 409: Mikesh A

kwamba aliona maandishi kwenye Arsh: “Hakuna mungu ila Allah; Muhammad ni Mtumewa Allah; nimempa msaada kupitia kwa Ali.”

Katika Yanabiu’l-Mawadda inasimuliwa kutoka kwenye Dhakha’iru’l-Uqba ya Imam’l-Haram Tabari, kwa mujibu wa riwaya ya Sirat-e-Mullah, kwamba Mtukufu Mtume waAllah (s.a.w.w.) alisema: “Katika ule usiku wa Mi’raj, nilipochukuliwa mpaka kwenyembingu ya juu kabisa, huko niliona maandishi upande wa kulia wa Arsh: ‘Muhammad niMtume wa Allah. Nimempa msaada kupitia kwa Ali.’”

Imesimuliwa katika Yanabiu’l-Mawadda, Hadith 19, kutoka kwenye Kitabu’s-Sabi’in chaImamu’l-Haram Tabari, akinukuu kutoka Manaqib ya Faqih Wasti Ibn Maghazili Shafi’i,na vile vile Mir Seyyid Ali Hamadani Shafi’i anaandika katika Mawadda 6 kutokaMawaddatu’l-Qurba hadithi mbili; Khatib Khawarizmi katika Manqib, Ibn Shirwaih kati-ka Firdaus, na Ibn Maghazili Shafi’i katika Manaqib, akisimulia kutoka kwa Jabir BinAbdulla Ansari kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Imeandikwa katika mlangowa Pepo kwamba ‘hakuna mungu ila Allah, Muhammad ni mtume wa Allah, na Ali ni Wali(mwandamizi) wa Allah na ndugu wa Mtukufu wa Mtume wa Allah.’ Hiyo iliandikwamiaka 2,000 kabla ya kuumbwa kwa mbingu na ardhi.”

Nakumbuka hadithi nyingine. Mir Seyyid Ali Faqih Shafi’i anaandika katika Mawadda 8ya Mawaddatu’l-Qurba kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimuambia Ali: “Nimelionajina lako likiwa limeunganishwa na la kwangu katika sehemu nne:

(1) Katika usiku wa Miraji wakati nilipofika Baitu’l-Maqaddas (Kuba ya Jiwe), nilionamaandishi juu ya jiwe: “Hakuna mungu ila Allah, na Muhammad ni Mtume wa Allahambaye nimempa msaada kupitia kwa waziri wake Ali.”

(2) Wakati nilipofika Sidratu’l-Muntaha, niliona maneno: “Hakika Mimi ni Allah; haku-na mungu ila Mimi, Mmoja, na Muhammad miongoni mwa viumbe wangu wote ndiyempendwa Wangu. Nimempa msaada kupitia kwa waziri wake, Ali.”

(3) Wakati nilipofikia Arsh ya Allah swt, niliona kuna maandshi kwenye nguzo zake:“Hakika, Mimi ni Allah, na hakuna mungu isipokuwa Mimi. Katika viumbe Wanguwote Muhammad ni mpendwa Wangu. Nimemsaidia kupitia kwa waziri wake, Ali.”

(4) Wakati nilipofika Peponi, niliona maandishi kwenye lango lake: “Hakuna mungu, ilaMimi. Katika viumbe Wangu wote Muhammad ndiye mpendwa Wangu. Nimemsaidiakupitia kwa waziri wake, Ali.”

Imam Tha’labi katika Tafsir Kashfu’l-Bayan na Sheikh Sulaiman Balkhi katika Yanabiu’l-Mawadda, sura 24, akisimulia kutoka kwa Hafidh Abu Nu’aim Ispahani, Muhammad Bin

Mikesha ya Peshawar

391

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 391

Page 410: Mikesh A

Jariri Tabari katika Tafsir na Ibn Asakir katika Ta’rikh yake, anasimulia kutoka kwa IbnAbbas na Abu Huraira kwamba aya 62 ya Sura ya Anfal:

“…Yeye ndiye aliyekusaidia kwa ushindi wake na kwa waumini.” (8:62)

kisha wanasema kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Niliona maandishi juu yaArsh kwamba: ‘Hakuna mungu ila Allah, Mmoja, ambaye hana mshirika, na Muhammadni mtumishi na Mtume Wangu; nimemtia nguvu kwa Ali Bin Abi Talib.”

Kisha wanasimulia hadithi nyingine za aina hii kutoka kwenye Kitab-e-Sifa na Manaqib.Chanzo cha majina ya Muhammad na Ali ni Allah Mwenyewe.

MANENO YALIYOTUMIWA NA ADAM KWA AJILI YA KUKUBALIWA KWA TOBA YAKE YALIKUWA NI

MAJINA YA WATOHARIFU WATANO

Vile vile Imam Tha’labi katika Tafsiir Kashfu’l-Bayan na Sheikh Sulaiman Balkhi Hanafikatika Yanabi sura ya 24, wakisimulia kutoa kwa Faqih Wasti Ibn Maghazili Shafi’i nimaelezo juu ya aya 37 ya Sura ya 2 ya Qur’ani Tukufu: “Kisha Adam akapokea manenokutoka kwa Mola wake, akamkubalia toba yake; hakika Yeye ndiye apokeaye toba,Mwenye kurehemu.” (2:37)

Sa’id ibn Jabir alisimulia kutoka kwa Ibn Abbas, ambaye amesema: “Mtukufu Mtume ali-ulizwa kuhusu maneno ambayo Nabii Adam alikuwa amejifunza na ambayo yalisababishakukubaliwa kwa toba yake. Mtukufu Mtume akasema: “Alimuomba Allah kwa majina yaMuhammad, Ali, Fatima, Hasan na Husein. Hivyo Allah swt. aliikubali toba yake na akam-samehe.”

WAHYI NA ILHAM VILITOLEWA KWA WATU WENGINE MBALI NA MITUME, HATA KWA WANYAMA

Kuhusu Abu Talib kupewa wahyi na utume, hapa tena umekosea. Wahyi na Ilham vinahatua ambazo sio za kipekee kwenye cheo cha utume tu. Istilahi hizi zinaashiria kwenyeuwezo wa mtu wa kuelewa moja kwa moja ilmu iliyofichwa. Ilmu hii inatolewa kwa watumaalum na halikadhalika kwa wanyama. Je, na nyuki alikuwa mtume ambaye kwaye Allahalitumia wahyi? Aya ya Qur’ani Tukufu katika Sura ya Nahl kwa uwazi inasema: “Na Mola wako akamteremshia wahyi nyuki kwamba tengeneza majumba katika

Mikesha ya Peshawar

392

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 392

Page 411: Mikesh A

milima na katika miti na katika yale wanayojenga.” (16:68)

Je, unafikiri kwamba Nukhabuz (au, kwa mujibu wa wafasir wengine Yukhabuz), mamayake Nabii Musa alikuwa Mtume? Katika Surat al-Qasas imeelezwa wazi kwambaalipewa amri mbili, sheria mbili za kukataza, vipande viwili vya habari na bishara njemambili kwa njia ya Wahyi, Allah alisema:

“Na tulimpelekea wahyi mama yake Musa kwamba mnyonyeshe, na utakapomhofiabasi mtie mtoni na usiogope wala usihuzunike, kwa hakika sisi tutamrudiasha kwako,na tutamfanya miongoni mwa mitume.” (28:7)

Mbali na ukweli huu, sio muhimu kwa mwongozo wa watu kwamba maelekezo yote naamri za Allah ziwasilishwe kwa Wahyi. Wakati mwingine huwaongoza watu kwa sauti.Imetokea mara kwa mara na Qur’ani Tukufu inatoa ushahidi wa habari hii katika Sura yaMariamu, anasema jinsi alivyomuongoza Mariamu:

“Kisha (sauti) (19:24-26) ikaita kutoka chini yake: Hakika Mola wako ameweka kiji-to chini yako.” (19:24)

ABU TALIB ALIONGOZWA NA ALLAH KUMPAMTOTO WAKE JINA LA ALI

Katika njia hiyo hiyo ambayo nyuki, mama yake Musa na mama yake Isa walivyoelekezwana Allah, ingawa hakuna hata mmoja kati yao aliyekuwa mtume, Abu Talib vile vilealielekezwa kumpa mtoto wake jina.

Aidha, hakuna mtu hata mmoja ambaye amewahi kusema kwamba Abu Talib ni mtume aukwamba Wahayi uliteremshwa kwake. Sauti ya ki-ungu na ubao ndio vilikuwa na maeleke-zo hayo ya kumpa mtoto jina. Maulamaa wenu wenyewe wameandika kuhusu habari hiikatika vitabu vyao.

Sheikh: Ni wapi maulamaa walipoelezea hili?

Muombezi: Kuna vitabu vingi kama hivyo.

Mikesha ya Peshawar

393

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 393

Page 412: Mikesh A

UFUNUO WA LAWH (UBAO) KWA ABU TALIB

Mir Seyyid Ali Hamadani Faqih Shafi’i, katika Mawaddatu’l-Qurba yake, Mawadda ya 8,kutoka kwenye riwaya ya Abbas Bin Abdu’l-Muttalib, ambayo Sulayman Balkhi Hanafivile vile ameinukuu katika Yanabiu’l-Mawada yake sura ya 56, na Muhamaad Bin YusufGanji Shafi’i katika kitabu chake Kifayatu’t-Talib wanasimulia pamoja na tofauti kidogoya maneno kwamba wakati Ali alipozaliwa mama yake Fatima Bint Asad alimpa jina lababa yake Asad. Abu Talib hakukubaliana naye na akasema: “Ewe Fatima! Twendekwenye vilima vya Qubais, na tumuombe Allah (baadhi ya wasimuliaji wanasema kwam-ba, alisema twende kwenye Masjidu’l-Haram). Huenda akatueleza jina la mtoto huyu.”Ilikuwa usiku wakati walipowasili kwenye vilima vya Abu Qubais (au Masjidu’l-Haram)na wakaanza maombi yao. Abu Talib aliomba: “Ewe Muumba wa usiku huu wa giza namwezi unaong’ara, tufahamishe tujue utashi Wako kuhusiana na jina la mtoto huyu?”

Katika wakati huo sauti ilisikika kutoka angani. Wakati Abu Talib aliponyanyua kichwachake aliona ubao kama kito cha kijani, wenye misitari mine iliyoandikwa juu yake.Aliuchukuwa ule ubao akaukumbatia kifuani kwake. Wakati alipousoma aliona manenohaya: “Nimewapa heshima maalum juu yenu nyote kwa kuwapeni mtoto twahir, maarufu.Amepewa jina la Ali kutoka upande wa Allah. Linatokana na ‘Aliy’ (Aliyetukuka).”

Ganji Shafi’i anaandika katika Kifayatu’t-Talib kwamba sauti ilikuja katika kujibu ushairiwa Abu Talib akisoma beti hizi mbili: “Enyi watu wa nyumba tukufu ya Mtume! nime-watukuza ninyi kwa kuwapa mtoto aliye twahara. Hakika, ameitwa Ali kutoka upande waAllah swt. Jina hili linatokana na jina la Allah Mwenyewe la Al-Aliiyu.”

Abu Talib alifurahishwa mno na akaporomoka chini na akamsujudia Allah swt. Kamaishara ya shukurani kwa ajili ya tukio hili kubwa, alitoa dhabihu ngamia kumi. Alitundikaule ubao ndani ya Masjidu’l-Haram. Bani Hashim walikuwa wakijifaharisha na ubao huombele za Makureishi. Ubao huo ulibakia umening’inia pale mpaka ulipotoweka wakati wavita kati ya Abdullah Ibn Zubair na Hajjaj.

Riwaya hii vile vile inaunga mkono hadithi iliyotajwa huko nyuma ambayo inasemakwamba kuanzia mwanzoni hasa Abu Talib alikuwa ni muumin. Alimuomba Allah kumta-jia jina la mtoto. Alipoona neema ya ukarimu wa Allah, aliporomoka chini katika hali yakusujudu mbele Yake. Je, hii ni tabia ya kafiri?

Mikesha ya Peshawar

394

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 394

Page 413: Mikesh A

JINA LA ALI SIO SEHEMU YAADHANA AU IQAMA

Umedai kwamba wanachuoni wa Shia wanasisitiza kwamba jina la Ali huchukuliwa kamawajibu katika Adhana na Iqama. Kwa kweli hakuna mwanachuoni hata mmoja aliyeelezakwamba jina la Ali ni sehemu muhimu ya Adhana au Iqama. Katika vitabu vyote vya fiqihmafaqih wote wa Shia bila kuhitilafiana wanasema kwamba kushuhudia wilayat yaAmirru’l-Muminin sio sehemu ya Adhana au Iqama. Kuitamka katika adhana au iqamakwa nia hiyo ni haram. Kama wakati wa kuanza kwa Swala nia ni kwamba jina la mtuku-fu Imam ni sehemu ya lazima ya Swala, basi utekelezaji wa swala hiyo unakuwa Batili.Lakini bila shaka, baada ya kutaja jina la Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), ukataja na jina la Alibila kulichukulia ulazima kwa madhumuni hayo, bali kwa ajili ya heshima na kubarakiwainafaa. Allah amelitaja jina lake kila mahali baada ya kutaja jina la Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) kama nilivyokwisha kutaja huko nyuma.

Sasa tunakuja kwenye hoja yetu kubwa: hakuna yeyote miongoni mwa sahaba mashuhurialiyekuwa na nasaba tukufu kama alivyokuwa Ali.

UCHAMUNGU WA ALI

Ama kwa uchamungu wa Ali, hakuna mwingine yeyote anayelingana naye. Wote marafikina maadui zake wanakubali kwamba baada ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), hakunamwingine aliyekuwa mchamungu kama alivyokuwa Ali. Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahnu’l-Balagha na Muhammad Ibn Talha Shafi’i katika Matalibu’s-Su’ul, wanasimuliakutoka kwa Umar Ibn Abdul’l-Aziz kwamba mtukufu Imam alikuwa mbora zaidi katikauchamungu kuliko wanadamu wote. Yeye anasema: “Hatumjui mtu yeyote katika ummabaada ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ambaye alikuwa mtiifu zaidi na mchamungu kulikoAli Bin Abi Talib.” Mullah Ali Qushachi, pamoja na chuki yake kubwa, anaandika kwam-ba wanadamu hawawezi kutambua fadhila za Ali. Katika kitabu chake Sharh-e-Tajridanasema: “Watu wanashangazwa wanaposikia matendo ya maisha ya Ali.”

RIWAYA YA ABDULLAH BIN RAFI’I

Abdullah Ibn Rafi’i anasema kwamba katika mwisho wa siku ya funga, alikwenda kwaAmiru’l-Mu’minin. Aliona kwamba mfuko uliofungwa kwa lakiri uliletwa kwake. WakatiAli alipoufungua, ulionekana kuwa unga ambao haukuchekechwa. Imam alichota mafum-ba matatu ya unga, akayala, akanywa maji kidogo, na akatoa shukurani kwa Allah.Abdullah Bin Rafi’i akasema: “Ewe Abu’l-Hasan! Kwanini umeufunga kwa lakiri mdomo

Mikesha ya Peshawar

395

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 395

Page 414: Mikesh A

huo wa mfuko?” Imam akajibu: “Ni kwa sababu watoto wangu ambao wananipenda sanawasije wakachanganya mafuta ya zeituni au sukari pamoja na unga huu, ambao utafanyanafsi ya Ali kuonja utamu wake.”

Hivyo alikuwa na tabia ya kujiweka mbali na vyakula vitamu ili asije akalainishwa navyo.Sulaiman Balkhi Hanafi vile vile ameitaja hadithi hii katika Yanibiu’l-Mawadda, sura ya51, kutoka kwa Ahnaf Bin Qais.

RIWAYA YA SUWAID BIN GHAFLAAidha,Sheikh katika Yanabiu’l-Mawadda, Muhammad Bin Talha Shafi’i katikaMatalabu’s-Su’ul, Khatib Khawarizmi katika Manqib, na Tabari katika Ta’rikh yakewamesimulia kutoka kwa Suwaid Bin Ghafla kwamba alisema: “Siku moja nilipa bahatiya kumtembelea Amiru’l-Mu’minin. Niliona mbele yake kikombe cha maziwa ambayoyalikuwa chachu mno kiasi kwamba niliweza kusikia harufu yake. Imam alikuwa na mkatemkavu katika mkono wake. Ulikuwa mkavu sana kiasi kwamba haikuwezakana kuuvunja.Imam aliuvunja kwa kuuweka chini ya goti lake na baada ya kuulainisha katika maziwayale chachu, aliula. Alinikaribisha na mimi nile pamoja naye. Nilimuambia kwamba nime-funga. Imam akasema: “Nimesikia kutoka kwa swahiba yangu, Mtume wa Allah, kwambakama mtu amefunga na anapenda chakula fulani, lakini hakili kwa ajili ya Allah, basi Allahatampa vyakula vya kimbinguni.”

Suwaid aliendelea: “Nilipoona hali ya Ali, nilishangazwa sana. Nilimuuliza mtumishi waImam, Fizza, ambaye alikuwa amesimama karibu yangu, kwa nini hamuogopi Allah,yaani, kwa nini alipika ule mkate wa shayiri bila kuondoa mapumba. Fizza alisema kwakuapa kwamba Ali mwenyewe alimuagiza kwamba asiondoe mapumba. Imam akaniulizanilichokuwa nazungumza na Fizza. Nilimuambia kwamba nilikuwa nikimuuliza ni kwanini hakuuchekecha huounga. Ali akasema: ‘Baba yangu na mama yangu watolewe kafarakwa ajili ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)! Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kamwe hakuwahikuondoa mapumba; kamwe hajazima njaa yake kwa mkate wa ngano kwa muda wa sikutatu mfulilizo. Mimi ninafuata mwenendo wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),’”

ALI ALIJIZUIA KULA HALWA

Muwaffaq Bin Ahmad Khawarizmi na Ibn Maghazili Faqih Shafi’i wanaandika katikaManaqib zao kwamba siku moja wakati wa ukhalifa wa Ali, kiasi fulani cha halwa (ainaya chakula kitamu) kililetwa mbele yake. Alichukua kidogo akakinusa, na akasema:“Kuvutia kulikoje na harufu nzuri iliyoje! Lakini Ali hajui ladha yake. Kamwe sijawahikula halwa.” Msimuliaji akasema kumuambia: “Ewe Ali! Je, kwani halwa ni haramukwako?” Imam akajibu: “Kile ambacho Allah amekifanya kuwa halali hakiwezi kamwe

Mikesha ya Peshawar

396

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 396

Page 415: Mikesh A

kuwa haramu. Lakini je! naweza kuridhika kulijaza tumbo langu ambapo kuna watu wenyenjaa katika nchi? Je, naweza kulala, na tumbo langu likiwa limejaa wakati watu katikaHijazi yote wanakufa kwa njaa? Vipi nitaridhika mimi mwenyewe na jina langu likiwa niAmiru’l-Mu’minin? Kwanini nisijishirikishe na watu katika ufukara na shida zao.” Vilevile Khawarizmi anasimulia kutoka kwa Abi Bin Thabit kwamba siku moja ‘faluda’ (kin-waji kitamu) kililetwa mbele ya Ali, lakini alizuia hamu yake na hakuinywa. Hii ni baad-hi ya mifano ya mwenendo wake kuhusiana na kula na kunywa. Alikula mkate mkavu washayiri wakati mwingine pamoja na siki au chumvi na wakati mwingine pamoja na mbogakidogo na maziwa. Kamwe kulikuwa hakuna aina mbili ya chakula katika kitambaa chameza ya chakula.

Katika mwaka wa 40 A.H. katika usiku wa mwezi 19 Ramadhani, wakati Abdu’r-RahmanMuljim Muradi (L.A) alipomtia lile jeraha baya, yeye alikuwa mgeni nyumbani kwa bintyake,Ummu’l-Kulthum, kwa ajili ya kufuturu. Wakati mkate, maziwa na chumvivilipowekwa kwenye kitambaa cha chakula, Ali ambaye alikuwa na mapenzi makubwa nabint yake Ummu’l-Kulthum, kwa hasira akasema: “Sijaona msichana kuwa katili hivi kwababa yake.” Ummu’l-Kulthum akasema: “Baba! Nimefanya kosa gani?” Ali akasema:“Ulisha wahi kumuona baba yako akiwa na vyakula vya aina mbili katika kitambaa chakecha chakula?” Kisha aliamuru kwamba maziwa yaondolewe. Hata hivyo, alikula vipandevichache vya mkate na chumvi na kisha akasema: “Itatubidi kuja kutoa hesabu kwa ajili yavitu vyote vya halali; kuna adhabu kwa ajili ya matendo haramu.”

MAVAZI YA ALI

Mavazi ya Ali yalikuwa duni sana. Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha, IbnMaghazili Shafi’i katika Manaqib, Imam Ahmad Ibn Hanbal katika Musnad yake, Sibt IbnJauzi katika Tadhkira, na wengine katika maulamaa wenu wameandika kwamba: “Mavaziyake yalikuwa ni nguo yenye mikwaruzo, gwanda (lisilo laini), iliyonunuliwa kwa dirhamtano.” Aliweka viraka kwenye nguo zake. Viraka vilikuwa vya ngozi au majani ya mtende,viatu vyake vile vile vilikuwa vimetengenezwa kwa majani ya mtende.

Muhammad Bin Talha Shafi’i katika Matalibu’s-Su’ul, Sulaiman Balkhi Hanafi katikaYanabiu’l-Mawadda, na Ibn Abi’l-Hadid Mut’azali katika Sharh-e-Nahju’l-Balaghawameandika kwamba Ali alikuwa na viraka vingi sana katika nguo zake kiasi kwambawakati wa ukhalifa wake, binamu yake Abdullah Ibn Abbas aliviona na akahuzunika. Aliakasema: “Nina viraka vingi katika nguo zangu kiasi kwamba sasa namuonea haya huyomshona viraka. Kwani Ali anahusika nini na mapambo ya kidunia? Vipi nitatosheka nastarehe ambazo ni za kutoweka na neema ambayo sio ya kudumu?” Mtu mwingine alipin-ga jinsi Ali anavyoonekana akisema: “Kwa nini unaweka viraka kwenye nguo zako hatawakati wa ukhalifa wako na ukubwa?” Hali hii hufanya maadui wakudharau.” Ali akase-ma: “Hili ni aina ya vazi ambalo huzuia majivuno yetu, huondoa hisia za kiburi ndani yamtu, na hukubaliwa na muumini.”

Mikesha ya Peshawar

397

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 397

Page 416: Mikesh A

Muhammad Bin Talha katika Matalibu’s-Su’ul, Khawarizmi katika Manaqib yake, IbnAthir katika kitabu chake Kamil, na Sulaiman Balkhi katika Yanabiu’l-Mawadda wames-imulia kwamba Ali na mtumishi wake walikuwa na nguo zinazofanana. Alinunua nguombili za aina moja na bei moja, moja alivaa mwenyewe na moja alimpa mtumishi wake,Qanbar. Hizi zilikuwa ndio desturi za Ali kuhusiana na chakula na mavazi. Yeyemwenyewe alikula mkate mkavu wa shayiri na kuwapa masikini na yatima mikate iliyoten-genezwa kwa ngano, sukari, asali na tende. Alivaa nguo zenye viraka yeye mwenyewe,lakini aliwapa mayatima na wajane nguo nzuri.

MAZUNGUMZO YA ZURAR NA MU’AWIYAKUHUSU ALI

Kuna mifano mingi ya Ali kuipa nyogo dunia, Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha, Hafidh Abu Nu’aim Isfahani katika Hilyatu’l-Auliya, Jz. 1, uk. 84, SheikhAbdullah Bin Amir Shabrawi Shafi’i katika Kitabu’l-I’ttihad Bil Hubbi’l-Ashraf, uk. 8;Muhammad Bin Talha katika Matalibu’s-Su’ul, uk 33; Nuru’d-din Bin Sabbagh Malik kati-ka Fusulu’l-Muhimma, uk. 128; Sheikh Sulaiman Balkhi Hanafi katika Yanabiu’l-Mawadda, sura 51; Sibt Bin Jauzi katika Tadhkira Khawasu’l-Umma mwishoni mwa suraya 5, na wengine wengi katika maulamaa na wanahistoria wenu maarufu wameandika kwaurefu mazungumzo kati ya Mu’awiya na Zurar Bin Zumra. Mwishoni mwa mazungumzoyake na Mu’awiya, Zurar alimtukuza Ali katika maneno haya: “Katika nyakati fulaninimemuona Ali wakati wa usiku, nyota zikiwa zimezagaa mbinguni, akiwa ameshikandevu zake na kutapatapa kama mtu aliyeumwa na nyoka, akilia kama vile yuko kwenyemaumivu makali, akisema: ‘Ewe dunia! Mdanganye mwingine badala yangu mimi. Je,unanikumbatia mikononi mwako na una mapenzi makubwa na mimi? Hili haliwezekani.Nimekupa talaka tatu, ambazo kwazo baada yake kuungana tena ni muhali. Muda wako nimfupi, hofu unayoleta ni kubwa, na starehe yako ni yenye kufedhehesha sana. Allahatuokoe na uhaba wa njia za kusafiria, umbali wa mashukio, na hatari za njiani!’ KishaMu’awiya akaanza kulia na kusema: ‘Allah amhurumie Abu’l-Hasan. Wallahi alikuwakama hivyo.’Vile vile alisema: ‘Wanawake hawana uwezo wa kuzaa mtu kama Ali Bin AbiTalib.’”

UTAMBUZI WA MTUME JUU YAUCHAMUNGU WA ALI

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe alitambua uchamungu wa dhahiri wa Ali,Muhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’i katika Kifayayu’t-Talib, sura ya 46, anasimulia kuto-ka kwa Ammar Yasir, ambaye alisema kwamba alisikia kutoka kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) kwamba alimwambia: “Hakika Allah amekupa wewe pambo ambalo mfanowake hakumpa yeyote yule ambaye Alimpenda. Na (pambo) hilo ni uchamungu wako kati-

Mikesha ya Peshawar

398

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 398

Page 417: Mikesh A

ka ulimwengu huu. Amekufanya hivyo kiasi kwamba hunufaiki kutokana na ulimwenguhuu, wala hauwezi kukufanya wewe kuuelekea. Amejaalia juu yako wewe upendo kwamasikini na mafukara. Hivyo walifurahishwa na Uimam wako na mimi vile vile nimefu-rahishwa nao kwa sababu ya kukufuata wewe. Aliyebarikiwa ni yule anayefanya urafki nawewe na kukukubali; na laana iwe kwa yule ambaye ni adui kwako. Wale wanaokupendana kukubali wewe watakuwa majirani zako katika Pepo na maswahiba wako katika kasiryako. Wale ambao walikuwa wakikupinga wewe watahesabiwa kama waongo na AllahSiku ya Hukumu wapewa adhabu yao inastahili.”

ALLAH NA MTUKUFU MTUME WALIMUITA ALI ‘IMAMU’L-MUTTAQIN’ (KIONGOZI WA WACHAMUNGU)

Alifikia hatua ya hali ya juu ya uchamungu kiasi kwamba marafiki na maudui wanamuitaImam’l-Muttaqin (kiongozi wa wachamungu). Kwa hakika mtu wa kwanza kumuita kwasifa hii ni Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe. Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha, Jz. 2, uk. 450; Hafidh Abu Nua’aim Ispahani katika Hilyatu’l-Auliya; Mir SeyyidAli Hamadani katika Mawaddatu’l-Qurba na Muhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’i katikaKifayatu’t-Talib, sura ya 54, wanasimulia kutoka kwa Anas Bin Malik kwamba siku mojaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimuambia amletee maji kwa ajili ya kuchukulia wudhu.Wakati alipoleta maji Mtumkufu Mtume alichukuwa wudhu na kisha akasali Sala ya rakaambili. kisha akasema: “Ewe Anas! Mtu atakayefuatia kuingia mlango huu ni mkuu wawachamungu, kiongozi wa Waislamu, mtawala wa waumini, na mwisho wa mawasii(warithi) ambaye atawaongoza watu wenye nyuso na mikono angavu mpaka Peponi.”

Anas anasema: “Nilimuomba Allah moyoni mwangu mwenyewe kwamba aweze kumletaAnsar (mtu wa Madina) mmoja kwenye mlango huo, lakini nililifanya ombi langu kuwasiri. Ghafla, nilimuona Ali akiingia mlangoni. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akauliza huyoalikuwa ni nani. Nikajibu kwamba alikuwa ni Ali Bin Abi Talib. Kisha Mtufufu Mtumekwa furaha akaamka kumuamkia Ali. Alimkumbatia kwenye mikono yake na kumfutajasho katika uso wake. Ali akasema, ‘Ewe Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)! Unanifanyia mimileo kiasi ambacho hujanifanyia kabla!’ Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: ‘Kwa nininisifanye hivyo wakati ambapo wewe utawasilisha utume wangu kwa umma, utafanyawasikie sauti yangu, na utawaelezea yale mambo ambayo kwayo wamehitalifianakimaoni.’”

Vile vile Ibn Abi’l-Hadid katika Shahr-e-Nanju’l-Balagha, Jz. 2, na Hafidh Abu Nu’aimkatika Hilyatu’l-Auliya wanaandika kwamba siku moja Ali alikuja kwa Mtume. Mtumeakamuambia: “Karibu, kiongozi wa Waislamu na Mkuu wa wachamungu.” Ali akasema:“Namtukuza Allah kwa neema ambayo ameiweka juu yangu, na naomba ukarimu Wake

Mikesha ya Peshawar

399

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 399

Page 418: Mikesh A

kwangu.” Muhammad Bin Talha Shafi’i vile vile anasimulia hadithi hii mwishoni mwajuzu ya 4, sehemu ya 1, ya Matalibu’s-Su’ul na kwayo inathibitisha kwamba Ali alikuwaImam wa wachamungu wote.

Hakim, katika Mustadrak, sehemu ya 3, uk. 38 na Bukhari na Muslim, kila mmoja katikaSahih yake, wanasimulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Allah amenitumiawahyi kuhusu Ali unaohusiana na mambo matatu: (1) ni maula na mkuu wa Waislamu; (2)ni mkuu wa wachamungu; na (3) ni kiongozi ambaye atawaongoza watu wenye nyuso namikono angavu (kwenda Peponi).”

Muhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’i anasimulia katika Kifayatu’l-Talib sura ya 45, kutokakwa Abdullah Bin Asad bi Zurara kwamba Mtume alisema: “Katika usiku wa Miraji,wakati nilipochukuliwa kwenda mbinguni, niliruhusiwa kuingia kasir ya lulu, ambayosakafu yake ni ya dhahabu inayomeremereta. Kisha wahyi ulitumwa kwangu, na nilielezwavitu vitatu kuhusu Ali: (1) kwamba kwa hakika yeye ni maula na mkuu wa Waislamu; (2)kwamba yeye ni Imam na mkuu wa wachamungu; na (3) kwamba yeye ni kiongozi ambayeatawaongoza watu wenye nyuso na mikono angavu (kwenda Peponi).”

Imam Ahmad Bin Hanbal anaandika katika Musnad yake kwamba siku moja MtukufuMtume (s.a.w.w.) alimuambia Ali hivi: “Ewe Ali! Kuutazama uso wako ni ibada; hakikawewe ni mkuu wa wachamungu na kiongozi wa waumini. Yule aliye rafiki yako ni rafikiyangu, na aliye rafiki yangu kwa hakika ni rafiki wa Allah. Yeye ambaye ana nia mbayadhidi yako ana nia mbaya dhidi yangu, na yule ambaye ana nia mbaya dhidi yangu hakikaana nia mbaya dhidi ya Allah.”

Hivyo inatosha kwa cheo kitukufu cha Ali kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisisitizakwamba Ali anawapita masahaba katika uchamungu. Yeye peke yake ndiye aliyekuwaamepewa cheo cha ‘Imam’l-Muttaqin,’ na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mara kwa maraalimtaja kama hivyo.

KAMWE IMAM’L-MUTTAQIN ALI HAKUWA NAMAPENZI YA KUJIINGIZA KWENYE

ANASA AU MAMLAKA

Sheikh: Mtu hawezi kusema sana katika kumtukuza Ali, bila shaka Mu’awiya alisema kitusahihi: wanawake wa ulimwenguni hawana uwezo wa kuzaa mtu kama Ali.

Muombezi: Sasa ni wazi kwamba miongoni mwa masahaba wenye kuheshimika Alialikuwa mkuu wa wachamungu. Kuna wazo limenijia sasa hivi. Kama mtaniruhusunitawaomba kitu kimoja.

Mikesha ya Peshawar

400

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 400

Page 419: Mikesh A

Sheikh: Ndio tafadhali fanya hivyo.

Muombezi: Baada ya kukiri kwamba miongoni mwa masahaba maarufu Ali alikuwa nahadhi ya kipekee ya kuwa mkuu wa wachamungu, je, utaweza kufikiria kwamba alikuwana mwelekeo wowote wa kujiingiza kwenye anasa au mamlaka?

Sheikh: Haiwezekani kufikiria kitu kama hicho kuhusu yeye. Umeonesha jambo linalo-julikana sana kwamba Ali aliipa dunia talaka tatu. Tukiwa tumethibitisha kujitenga kwakena dunia vipi ataiinamia. Mbali na hili, cheo chake ni kitukufu mno kiasi kwamba hai-wezekani kuhusisha ndani yake dhana ya uwongo kama hiyo kwake.

Muombezi: Hivyo ina maana kwamba matendo yote ya mtu mfano wa uchamungu kamahuyo yalikuwa ni kwa ajili ya Allah. Kamwe hakugeuka hata inchi moja kutoka kwenye ilenjia ya haki.

Sheikh: Ni dhahiri kwamba sisi hatukatai mambo haya kuhusu Ali.

KUKATAA KWA ALI KUTOA KIAPO CHA UTII KWA ABUBAKR KUNATHIBITISHA MBINU YA KUCHAGULIWA

KWAKE KAMA KHALIFA HAIKUWA SAHIHI

Muombezi: Wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipofariki, kwa mujibu wa wosia waMtukufu Mtume (s.a.w.w.), Ali alifanya taratibu zote za mazishi. Baadhi ya watu, wakiwawamekutana huko Saqifa-e-bani Sa’ida, walikula kiapo cha utii kwa Abu Bakr. Baadae,wakati Ali alipoitwa, kwanini alikataa kula kiapo cha utii?

Kama namna ambayo kwamba Abu Bakr alichaguliwa kuwa Khalifa ilikuwa sahihi nasuala la Ijma lilithibitika kuwa la haki, basi Ali, akiwa mchamungu kiasi kikubwa mnoasingepotoka kutoka kwenye haki. Utakumbuka hadithi ambayo niliitaja katika mikeshailiyopita, ambayo kwayo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Ali yuko pamoja na haki nahaki iko pamoja na Ali.” Kama mkutano kule Saqifa ulikuwa umetegemezwa juu ya uadil-ifu na uchaguzi wa Abu Bakr kama Khalifa ulikuwa halali, Imam (Ali) angewakaribishana kumkubali Abu Bakr kama Khalifa wa haki. Lakini kwa kweli alipinga uchaguzi ulekwa nguvu zote. Upinzani wa Ali lazima utakuwa uliegemea juu ya moja ya mambo maw-ili. Amma Ali alikuwa anakwenda kinyume na njia ya haki, na alivunja amri ya MtukufuMtume (s.a.w.w.), au alichukulia hiyo Ijma kuwa ni kichekesho.

Amma kwa uwezekano huu wa kwanza, hiyo haiwezekani kufikiria kwamba Ali angewezakuikataa haki. Kwa mujibu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) “Ali yuko pamoja na haki nahaki iko pamoja na Ali.” Aidha, hakuna hata mtu mmoja ambaye amewahi kudai kwamba

Mikesha ya Peshawar

401

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 401

Page 420: Mikesh A

yeye (Ali) alikuwa anapenda mamlaka ya kidunia. Aliupa ulimwengu talaka tatu. Hakuwana haja ya kupata umaarufu wa kisiasa. Ilikuwa ni ile hali ya pili ambayo ilimchochea yeyekukataa kuukubali ukhalifa wa Abu Bakr. Alijua unapingana na utashi wa Allah naMtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Sheikh: Ni ajabu kwako wewe kusema kwamba Ali hakula kiapo cha utii kwa Abu Bakr.Rejea katika vitabu vyenu na vyetu vya historia vithibitisha kwamba Ali alikula kiapo chautii kwa Khalifa Abu Bakr na hakupinga Ijma.

Muombezi: Je, umesahau mijadala yetu yote iliyopita ambayo kwayo nilitoa maelezokamili ya kauli za maulamaa wenu mashuhuri? Hata Bukhari na Muslim wameandika kilammoja kwenye Sahih yake kwamba Ali hakutoa kiapo cha utii katika wakati ule.Maulamaa wenu kwa ujumla wamekiri kwamba katika siku ya kwanza, wakati mtukufuImam alipoburuzwa kwa nguvu na kwa matusi kutoka nyumbani kwake kwenda msikitini(kama ilivyoelezwa mapema) yeye hakutoa kiapo bali alirudi nyumbani. Ibrahim Bin Sa’dSaqafi (kafa 283 A.H.), Ibn Abi’l-Hadid, Tabari na wengine wameandika kwamba Ali ali-toa kiapo cha utii baada ya miezi sita (yaani, baada ya kifo cha Fatima). Hata kamatukubali, kwa njia ya kukisia, kwamba Imam alitoa kiapo cha utii, kwa nini alingojeampaka baada ya miezi sita kabla ya kufanya hivyo?

Sheikh: Kwa hakika lazima kulikuwa na sababu fulani kwa hilo. Yeye peke yake ndiyealilijua hilo. Lakini kwa nini tuwe na wasi wasi kuhusu kutoafikiana kwa wakubwa zetu?Kwa nini tudasisasi tofauti zao baada ya miaka 1300? (kicheko kikubwa kutoka kwawasikilizaji).

Muombezi: Wakati unapokuwa huwezi kupata jibu kuthibitisha hoja yako, unategemeajuu ya jibu kama hilo. Lakini mbele za watu wapenda haki suala hilo liko wazi mno kuhi-taji ufafanuzi wowote au uthibitisho.

Amma kwa maelezo yako kwamba hatuhitaji kuingilia katika tofauti za watangulizi wetu,bila shaka uko sawa, kwa kadiri kwamba mambo yao sio mzigo juu yetu. Lakini katikasuala lililopo sasa umekosea kwa sababu ni wajibu wa kila Mwislamu mwadilifu kuwa naimani iliyoegemea juu ya mantiki, sio kwa kufuata kibubusa bila kuelewa. Kwa kufanyautafiti kuhusiana na dini, tunasoma historia inayofahamika ya Waislamu. Tunaona kwam-ba baada ya kufariki Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) madhehebu mbili zilijitokeza. Kwa hiyo,tunapaswa kufanya utafiti wa kina ili tujue ni madhehbu ipi ambayo imeongozwa kwasawa sawa. Ni dhahiri hatupaswi kuwafuata kibubusa watangulizi wetu bila kuelewa.

Sheikh: Hakika hoja yako ni kwamba ukhalifa wa Abu Bakr haukuwa wa haki. Lakinikama Abu Bakr hakuwa ndiye Khalifa wa haki, na kama ilikuwa ni haki ya Ali kuijazanafasi hiyo, kwa nini asitumie nguvu zake na ujasiri maalumu kusimamisha haki? Alikuwa

Mikesha ya Peshawar

402

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 402

Page 421: Mikesh A

akihudhuria katika Sala vile vile, na mara kwa mara alikuwa akitoa ushauri wa kufaa kwamakhalifa mashuhuri katika masuala muhimu.

UKIMYA WA MITUME WATUKUFU

Muombezi: Kwanza, Mitume na warithi wao walitenda kwa mujibu wa utashi wa Allah.Kwa hiyo, hatuwezi kuleta pingamizi lolote la kwa nini hawakupigana vita, au kwa niniwalitwaa kunyamaza kimya mbele ya adui, au kwa nini walishindwa. Kama utachunguzataarifa za kihistoria kuhusiana na maisha ya mitume watukufu na warithi wao, utaonamifano mingi kama hii ya kunyamaza kimya. Qur’ani Tukufu imesimulia baadhi yamatukio hayo. Katika Surat al-Qamar, Qur’ani Tukufu inasimulia kile alichosema NabiiNuh pale watu wake walipompuuza:

“…Kwa hakika nimeshindwa, kwa hiyo nisaidie.” (54:10)

Katika Surat Mariam, Qur’ani inatusimulia ukimya wa Nabii Ibrahim wakati alipotakamsaada kutoka kwa ami yake Azar na akapokea jibu la kuvunja moyo:

“Na mimi najitenga nanyi na mnayoyaabudu kinyume cha Allah…”(19:48)

Hivyo kama vile ambavyo Nabii Ibrahim alivyojitenga kutoka kwa watu wakati alipokosamsaada kutoka kwa ami yake Azar, Ali vile vile lazima atakuwa alijitoa kwa watu na aka-jitenga nao.

Sheikh: Nafikiri kujitenga huku kunaonesha kujitoa kwa moyo. Yaani, alijitoa na akakaambali nao lakini hakuchukua kujitenga kwa kimwili.

Muombezi: Kama utachunguza maelezo ya wafasiri wa madhehebu zote, utaona kwambakujitoa kwake huku kutoka kwa watu kulikuwa ni kwa kimwili, sio tu kwa kisaikolojia.Nakumbuka kwamba Imam Fakhru’d-din Razi anasema katika tafsiri yake Tafsir-e-Kabir,jalada la 5, uk. 809: “Kujitenga kutokana na kitu maana yake ni kukaa mbali nacho.Alichomaanisha Ibrahim ilikuwa kwamba alitaka kukaa mbali nao, kimwili na kwa msi-mamo wa kidini.” Taarikh zinasimulia kwamba baada ya kukataa huku Ibrahim alihamakutoka Babylon kwenda Kuhistan iliyoko Fars (Iran ya sasa) na akaishi maisha ya kujiten-ga katika mazingira yale ya milima kwa muda wa miaka saba. Kisha baadae akarudiBabylon na tena akatangaza hadharani ujunbe wa Allah na akavunja masanamu ya watu.

Mikesha ya Peshawar

403

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 403

Page 422: Mikesh A

Katika hili watu wakamtupa kwenye moto. Allah akaufanya moto kuwa baridi na salamakwa ajili yake, na hivyo utume wake ukasimama imara. Katika Surat al-Qasas, kisa kina-chohusu Mtume Musa kukimbia kwa kuhofia maisha yake kimesimuliwa katika njia hii:

“Basi (Musa) akatoka akiogopa, akiangilia huku na huku, akasema: Mola wangu!niokoe katika watu madhalimu.” (28:21)

Katika Surat al-A’raf, Qur’ani Tukufu inatuelezea masaibu ya Harun wakati Musa alipo-mucha katika uongozi wa Bani Israil. Punde watu wakaanza kuabudu ndama wa dhahabu,kwa sababu Harun hakuwa na mtu wa kumsaida, aliamua kunyamaza kimya. Qur’aniinasema:

“…Na akakamata kichwa cha nduguye akamvuta kwake akasema: Ewe mwana wamama yangu! Hakika (watu) hawa wamenidharau, na hata walikaribia kuniuwa…”(7:150)

HALI YA ALI INAFANANA NA YA HARUN

Hivyo, kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu Harun hakuchomoa upanga dhidi ya watu.Alijichukulia njia ya ukimya wakati wao walipofuata ndama wa dhahabu wa Samiri kamakitu cha kuabudu kwa sababu yeye (Harun) alitambua kwamba alikuwa amezidiwa kwawingi wao. Halikadhalika, Ali, ambaye Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimtangaza kuwa anacheo sawa na Harun (kama tulivyoeleza kwa urefu huko nyuma), vile vile alikuwa sawasawa kabisa katika kuchukua njia ya kunyamaza kimya na uvumilivu wakati alipoachwapeke yake. Mtukufu Imam aliletwa msikitini kwa nguvu na upanga wa wazi uliwekwakichwani mwake ili kumlazimisha kula kiapo cha utii. Baadae alikwenda kwenye kaburi laMtukufu Mtume (s.a.w.w.) na akayarudia maneno yale yale ambayo Allah ameyasimuliakwa ulimi wa Harun. Harun alisema kumuambia Musa: “…Hakika (watu) hawawamenidharau, na hata walikaribia kuniuwa…”

KUNYAMAZA KWA MITUME

Mfano wa Mtume Muhammad kuhusiana na nukta hii kwa hakika zaidi ni mwongozo.Lazima tufikirie ni kwa nini alikaa kimya kwa muda wa miaka kumi na tatu mbele yaharakati mbaya za maadui huko Makka mpaka mwishowe akalazimika kuuacha mji wakewa nyumbani wakati wa giza la usiku. Sababu ilikuwa ni kwamba alikuwa hana wasaidizi.

Mikesha ya Peshawar

404

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 404

Page 423: Mikesh A

Kwa kweli, hata wakati wa mamlaka yake, hakuweza kuachana na baadhi ya mambo yaliy-ozushwa

Sheikh: Inakuwaje wewe unasema Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alishindwa kuangamizamambo ya uzushi?

MTUKUFU MTUME HAKUWEZA KUFANYAMABADILIKO MAKALI KWA KUHOFIA WATU

Muombezi: Imesimuliwa na Hamidi katika Jam’i bainu’s-Sahihain na Imam Ahmad BinHanbal katika Musnad kutoka kwa Ummu’l-Mu’minin Aisha kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alimwambia: “Lau kama watu hawa wasingekuwa karibu na zama za ukafiri naujinga, na kama nisingeogopa kwamba ingeharibu imani zao, ningeamuru Nyumba yaKa’ba ibomolewe na chochote kilichokuwa kimechukuliwa kutoka humo kirudishwe.Baada nikiwa nimeisawazisha, ningelisimamisha milango miwili kuelekea upande wakemashariki na magharibi kama ilivyokuwa wakati wa Nabii Ibrahim, na ningeijenga tenajuu ya misingi iliyowekwa na Ibrahim.”

Bila shaka kama Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe alikuwa hakuweza kupingamageuzi makubwa yaliyokwisha kuanzishwa, Ali alikuwa na haki ya kutekeleza kanunihiyo hiyo wakati alipokabiliana na changamoto kama hiyo. Faqihi mkubwa, Wasti IbnMaghazili Shafi’i, na Khatib Khawarizmi wanasimulia katika Manaqib zao kwambaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimuambia Ali: “Umma una kinyongo kikubwa dhidi yako.Punde tu baada ya kifo changu watakulaghai na kufichua kile walichokuwa nacho katikanyoyo zao. Nakuagiza kuwa mvumilivu na ujizuiye mwenyewe kwa wakati huo ili kwam-ba Allah aweze kukupa malipo yake na fidia nzuri.

BAADA YA KIFO CHA MTUKUFU MTUME UVUMILIVU WA ALI ULIKUWA NI KWA AJILI YA ALLAH

Pili, Amiru’l-Mu’minin kamwe hakujiangalia yeye mwenyewe bali alikuwa siku zotemwenye kumkumbuka Allah. Alikuwa amezama kabisa kwa Allah. Alijitolea yeyemwenyewe na watu wake kwenye utashi wa Allah. Kwa hiyo, subira na uvumilivu wakekatika kupata haki yake ilikuwa kwa ajili ya Allah ili kwamba kusije kukawepo nakutokuelewana miongoni mwa Waislamu, na kwamba watu wasije wakarudia kwenyeukafiri wao wa zamani. Wakati Fatima aliponyang’anywa mali yake, alirudi nyumbaniakiwa amehuzunika na kuvunjika moyo. Alimuambia Ali: “Umerudi nyuma kama kileng-wa. Umejitenga na ulimwengu kama mtu aliye shutumiwa na umevunja mbawa zakozifananazo na mwewe. Sasa mbawa hizo dhaifu za ndege hazikusaidii wewe. Huyu Ibn

Mikesha ya Peshawar

405

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 405

Page 424: Mikesh A

Qahafa (Abu Bakr) ananinyang’anya kwa nguvu zawadi ya baba yangu na uwezo wakujikimu wa watoto wangu. Kwa hakika watu hawa wamenitukana kwa nia mbaya ya wazina kunikaripia.” Alizungumza kwa muda mrefu.

Mtukufu Imam alimsikiliza Fatima mpaka aliponyamaza. Kisha akampa jibu fupi ambalolilimridhisha. Alisema: “Ewe Fatima! Katika suala la dini na kulingania haki, kamwe mimisijawa mnyonge. Je, unataka kwamba hii dini takatifu ibakie imara na kwamba jina la babayako mtukufu liwa linatajwa msikitini (katika adhana) hadi milele na miliele?” Akasema:“Ndio. Hiyo ndio hamu yangu kubwa.” Ali akasema: “Basi lazima uwe na subira. Babayako amenipa maelekezo kuhusu hali hii, na najua kwamba lazima niwe mvumilivu.Vinginevyo, ninazo nguvu kiasi kwamba naweza kumshinda adui na kuirudisha haki yakokutoka kwao. Lakini lazima uelewe kwamba katika hali hiyo dini itaharibika. Hivyo, kwaajili ya Allah na kwa ajili ya usalama wa dini ya Allah, kuwa mvumilivu. Malipo ya akherakwa ajili yako ni bora kuliko haki ambayo imeporwa.”

Ni kwa aliji hii kwamba Amiru’l-Mu’minin aliifanya subira kuwa ni tabia yake. Alitwaauvumilivu na kukaa kimya kwa ajili ya usalama wa Uislmu. Katika khutba zake nyingiamelirejea suala hili.

MAELEZO YA ALI JUU YA KUFAA KWA KIMYA CHAKE BAADA YA KIFO CHA MTUKUFU MTUME

Ibrahim Bin Muhammad Saqafi, ambaye ni mmoja wa maulamaa wa kuaminika wa Sunni,Ibn Abi’l-Hadid, na Ali Ibn Muhammad Hamadani wanasimulia kwamba Talha na Zubairwalivunja kiapo chao na wakaenda Basra, Ali aliamuru watu kukusanyika msikitini. Kishabaada ya kumshukuru Allah swt., alisema: “Baada ya kifo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)tulisema kwamba sisi ni Ahlu’l-Bayti, warithi wake, na watu wenye haki kupokea mirathiyake. Hakuna mtu yeyote isipokuwa sisi tu anayeweza kudai utawala baada yake. Lakinikikundi cha wanafiki kimepora utawala wa Mtukufu Mtume wetu (s.a.w.w.) kutoka kwetuna kuuweka kwa wale ambao walikuwa ni wapinzani wetu. Wallahi, nyoyo zetu na machoyetu yalilia kwa ajili hilo. Wallahi, tulijawa na huzuni kubwa na simanzi. Naapa kwa jinala Allah kwamba kama kusingekuwa na hofu kwamba umma wa Kiislamu utaangamia,tungeweza kuupindua ukhalifa. Walikalia kiti cha utawala mpaka wakafikia mwisho wao.Sasa Allah amerudisha ukhalifa kwangu. Na watu hawa wawili (Talha na Zubair) vile vilewalikula kiapo cha utii kwangu. Sasa wameelekea Basra wakidhamiria kusababisha gha-sia miongoni mwa watu.”

Miongoni mwa wanachuoni wenu wakubwa, Ibn Abi”l-Hadid na Kalbi, wamesimuliakwamba wakati wa kutoka kwake kwenda Basra, Ali aliwahutubia watu. Yeye alisema:“Wakati Mtukufu Mtume wa Allah (s.a.w.w.) alipofariki, Makureishi walitushtukiza nawakatunyang’anya haki ambayo tuliistahiki zaidi kuliko yeyote yule. Hivyo niliona kwam-

Mikesha ya Peshawar

406

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 406

Page 425: Mikesh A

ba ni bora kuchukua subira wakati ule, kuliko kuwaacha Waislamu watetengane na damuyao kumwagwa, kwani walikuwa ndio wameingia kwenye Uislamu hivi karibuni tu.”

Ukimya wa Ali na kuacha kuupa changamoto ukhalifa wa Abu Bakr na Umar hakukuwakwa ajili kupatana nao. Ilikuwa ni kwa sababu alitaka kuepusha kusababisha mgogoromkali miongoni mwa watu na kwa sababu alitaka kuikoa dini kutokana na kuangamia.

Hivyo, baada ya miezi sita ya ukimya na kutokubali, basi, kama ilivyoelezwa na maulamaawenu, alitoa kiapo cha utii na akashirikiana nao. Katika barua aliyoipeleka kwa watu waMisri kupitia kwa Malik Ashtar, yeye anaandika wazi kwamba kimya chake kilikuwa nikwa ajili ya kuhifadhi Uislamu.

Maandishi ya asili ya barua ya Ali ambayo Ibn Abi’l-Hadid ameyaandika katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha, jalida ya 4, uk. 164, ni kama ifuatavyo:

BARUA YA AMIRU’L-MU’MININ KWA WATU WA MISRKUELEZEA UKIMYA WAKE WAKATI ALIPONYIMWA

UKHALIFA

“Allah swt., alimtuma Muhammad kama shahidi wa mitume ili kuwaonya watu. Hivyowakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipokufa Waislamu wakabishana wenyewe kwawenyewe kuhusu ni nani atakayemrithi. Naapa kwa Allah kwamba kamwe sikufikiria aukuamini, wala hakukuwa na dalili japo kidogo juu ya hilo, kwamba watu wa Arabuniwataichukua haki ya urithi kutoka kwa Ahlu’l-Bayt na kuwapa wengine baada yao. Ilikuwahaiwaziki kwamba baada ya kifo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), pamoja na amri yake yawazi, wao wangeninyima mimi haki hiyo.

“Nilihuzunishwa sana kwamba watu walikimbia kuelekea kwa mtu fulani (Abu Bakr) nakula kiapo cha utii kwake. Hivyo, nilijitenga mpaka nilipoona kwamba kundi la watuwalikengeuka kutoka kwenye Uislamu na kukusudia kuuangamiza. Kisha nikahofiakwamba kama sikuusaidia Uislamu na Waislamu, Uislamu ungepatwa na uharibifu kiasikwamba ungezidisha maumivu kwangu kuliko ilivyokuwa kwa kuporwa ukhalifa. Bilashaka nguvu za kisiasa haziwezi kudumu kwa muda mrefu. Lazima zitatoweka kamamawingu. Ilikuwa ni kwa hali kama hizi kwamba ilinilazimu kusimama, ili kwamba upa-gani uweze kuwa mnyonge na Uislamu kuwa imara.”

Mikesha ya Peshawar

407

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 407

Page 426: Mikesh A

KHUTBA YA AMIRUL-MU’MININ BAADA YA KUUAWASHAHIDI KWA MUHAMMAD BIN ABU BAKR

Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha, jalada la 2, uk. 35, anasimulia kutokaKitabu’l-Gharat cha Ibrahim Ibn Sa’d Bin Hilal Saqafi, ambaye anasimulia kutoka kwaAbdru’r-Rahman Bin Jundab, ambaye anasimulia kutoka kwa baba yake kwamba wakatimaadui walipoikalia Misr na Muhammad Bin Abu Bakr alipokuwa ameuawa, Amiru’l-Mu’minin alitoa khutba ambayo ndani yake alionesha hisia zake za uchungu dhidi ya msi-mamo waliouchukua Waislamu baada ya kifo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Aliandikamaelezo yake kwa watu wa Misri. Mtukufu Imam alisema: “Mtu mmoja aliniambia; ‘Ewemwana wa Abu Talib! Uchu ulioje ulionao kwa ajili ya ukhalifa.’ Nikamuambia: ‘Wewe nimwenye uchu zaidi kuliko mimi na uko mbali mno na kwenye nafasi hiyo. Nani mwenyeuchu zaidi kati yetu? Je, ni mimi ambaye nadai haki yangu, ambayo kwamba Allah naMtukufu Mtume (s.a.w.w.) wamenifanya mimi mdai mwenye haki zaidi, au ninyi, ambaoMmenizuia haki hiyo na umeweka vikwazo kati yangu na haki yangu.?’

“Wote walifungwa midomo na hawakuweza kusema hata neno moja. Hakika, Allah hawa-saidii watu waovu.”

Maelezo haya na khutba nyingine za Imam Ali huonesha kwamba sababu ya Imamkutokumkabili adui, bali akachukua njia ya ukimya na (kama inavyosemwa na maulamaawenu) akatoa kiapo cha utii baada ya miezi sita, haikuwa kwamba alikubaliana nao kati-ka uamuzi wao kuhusiana na ukhalifa. Ilikuwa ni kwa sababu alihofia kwamba Uislamuungetoweka na kwamba Waislamu wangegawanyika. Kama Ali angesimama kuichukuwahaki yake, bila shaka baadhi ya watu wangemuunga mkono (wengi walimuomba kufanyahivyo) na vita ya wenyewe kwa wenyewe ingeanza.

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amekufa tu hivi punde. Waislamu walikuwa karibu sana nazama za ukafiri, na mizizi ya imani ilikuwa bado haijaimarika. Mayahudi, Wakirsto,waabudu masanamu, na wanafiki, ambao walikuwa maadui wakubwa, wangepata fursa yakuharibu heshima ya Waislamu. Hatimaye Uislamu ungeanguka.

Amirul-Mu’minin aliyaelewa mambo haya. Aidha, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimuambiakwamba msingi wa Uislamu hautaharibiwa na kwamba dini ilikuwa kama jua, ambayoinaweza kufichwa wakati mwingine kwenye mawingu ya ujinga na uadui lakini mwishoweitajitokeza ikiangaza mwanga wake kila sehemu.

Mikesha ya Peshawar

408

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 408

Page 427: Mikesh A

Kwa ufupi, alidai haki yake kwa muda wa miezi sita na akathibitisha usahihi wa haki yakekatika idadi ya mikutano na mikusanyiko, lakini hakula kiapo cha utii. Ingawa hakukim-bilia kwenye kupigana, aliendelea kudai haki yake kwa hoja na malalamiko.

KHUTBA YA SHAQSHIQAYYA VILE VILE INAELEZEAUKIMYA WA ALI

Mtukufu Imam alianza khutba yake ya Shaqishaqiyya kwa nukta ile ile. “Wallahi! mwana wa Abu Qahafa (Abu Bakr) amejivisha nao (ukhalifa) ingawa kwa haki-ka alijua kwamba uhusiano wangu nao ulikuwa kama nafasi ya mhimili katika mashine yakusaga, maji ya mafuriko yanatiririka kutoka kwangu, na hakuna anayeweza kufikiakiwango cha ujuzi wangu. Nilijitenga na ukhalifa. Kisha nikaanza kutafakari iwaponiichukuwe haki yangu kwa nguvu au nivumilie giza hili kwa ukimya, ambalo kwalo aliyekomaa anyongeshwa, mdogo anakua na kuwa mzee, na muumini wa kweli kwaanashughulika kwa mashaka mpaka akutanane na Allah (wakati wakufariki). Nilionakwamba subira ndio njia nzuri ya kufuata. Hivyo, nilikuwa mvumilivu ingawa kulikuwana muwasho kwenye macho na kusongwa kwenye koo. Nilitazama uporaji wa urithiwangu mpaka wa kwanza akaondoka. Lakini akaukabidhi ukhalifa kwa Ibn Khattab(Umar) baada yake.”

Khutba hii imejaa mihemuko mizito ya Ali. Lakini kiasi hiki kinatosha kuthibitisha nuktayetu.

MASHAKA KUHUSU KHUTBA YA SHAQSHAQIYYA

Sheikh: Kwanza kabisa khutba hii haithibitishi kutokuridhika kwa Imam. Pili, khutba hiihaihusiani na Ali. Kwa kweli, ni kazi ya Seyyid Sharif Razi, ambaye aliijumuisha katikakhutba za Ali. Kwa kweli Ali hana malalamiko dhidi ya makhalifa. Bali yeye alikuwaameridhika kabisa nao.

Muombezi: Kauli yako hii imeegemea juu ya chuki ya hali ya juu kabisa. Kile ambachoAli ameelezea na kulalamikia kimekwisha simuliwa mapema. Huzuni za Imam hazikuishiakwenye khutba hii. Tuhuma yako kwamba mtunzi wa khutba hii alikuwa ni yulemwanachuoni mashuhuri mchamungu, Seyyid Raziu’d-din, sio sahihi. Wanachuoni wenumashuhuri, kama Izzu’d-din Abdu’l-Hamid Ibn Abi’l-Hadid, Sheikh Muhammad Abduh,Mufti wa Misri, na Sheikh Muhammad Khizari katika Muhadhirat-e-Ta’rikhu’l-Uma’imu’l-Islamiyya, uk. 127, wametamka kwamba khutba hii ni ya Ali. Wanachuoniwenu wenyewe wameandika sharhe juu ya khutba hii. Baadhi ya maulamaa wenu washu-pavu wa zama za baadae kidogo walifanya juhudi kubwa kusababisha mashaka kuhusu

Mikesha ya Peshawar

409

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 409

Page 428: Mikesh A

usahihi wake, lakini hakuna yeyote katika zaidi ya wale maulamaa mashuhuri arobaini waSunni na Shia, ambao wameandika sharhe juu ya Nahju’l-Balagha, aliyesema kitu chaajabu kama hicho.

SEYYID RAZI

Bila shaka, mwanachuoni mchamungu mkubwa, Seyyid Raziu’d-din, angezuia kuhusishamoja ya khutba zake kwa Ali. Aidha, wataalamu katika lugha ya Kiarabu na fasihi yakeambao wamechunguza khutba za Nahju’l-Balagha wameamua kwamba, kwa mtazamo wamtindo bora na fikra za kina, kazi hii (khutba) haiwezekani kuigwa na mtu yeyote.

Maulamaa wenu mashuhuri, kama Izza’d-di Abdu’l-Hamid Bin Abi’l-Hadid Mut’azali naSheikh Muhammad Abduh, wamekiri kwamba uzuri na ujuzi wa kina wa khutba za Alihuthibitisha kwamba kazi hii iko chini katika ubora tu kwa maneno ya Allah na MtukufuMtume (s.a.w.w.).

Ibn Abi’l-Hadid anamsimulia Musaddiq Bin Shabbib akisema kwamba mwanachuomashuhuri Ibn Khashshab alisema: “Haiwezekani kwa Razi au kwa yeyote yule kutoamtungo kama huu. Tumezipitia kazi za Razi; haziwezi kulinganishwa na maandiko hayana khutba hizi tukufu.”

KHUTBA YA SHAQSHAQIYYA ILIANDIKWA ZAMANI KABLA YA KUZALIWA KWA SEYYID RAZI

Wakipuuza vipengele vingine vyote vya suala hili, wanachuo wengi, muhadithina, nawanahistoria (wote Shia na Sunni) wamesimulia juu ya kuwepo kwa khutba hii kabla yakuzaliwa kwa mwanachuoni huyu mkubwa Seyyid Razi na baba yake Abu AhmadNaqibu’t-Talibin.

Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha anaandika kwamba aliiona khutba hiikatika vitabu vya Sheikh wake, Abu’l-Qasim Balkhi Imam-e-Mut’azila, ambaye aliishikatika wakati wa Muqtadir B’illah Abbasi. Ni dhahiri, Seyyid Razi alizaliwa muda mrefubaada yake. Vile vile anaandika kwamba aliiona khutba hii katika Kitabu’l-Insaf, chamubalighin mashuhuri, Abu Ja’far Bin Qubba, ambaye alikuwa mmoja wa wanafunzi waSheikh Abu’l-Qasim Balkhi na ambaye amekufa kabla ya kuzaliwa Seyyid Razi.

Vile vile Sheikh Abu Abdullah Bin Ahmad, anayejulikana sana kwa jina la Ibn Khashshab,anasimuliwa kwamba alisema: “Niliiona kutba hii katika vitabu vilivyoandikwa miaka 200kabla Seyyid Razi hajazaliwa. Vile vile nimeiona khutba hii katika vitabu vya wanachuo

Mikesha ya Peshawar

410

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 410

Page 429: Mikesh A

wa fasihi ambao wameviandika kabla ya kuzaliwa baba yake Seyyid Razi, AhmadNaqibu’t-Talibin.”

Amma kwa madai yako kwamba Ali alikuwa ameridhika na wapinzani wake. Haya bilashaka yanapuuza kauli zisizoidadi za kinyume chake zilizotolewa na maulamaa wenu,ambazo nimezionesha huko nyuma. Nitaonesha mfano mwingine tena bado. Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha, jalada la 2, uk. 561, anamsimulia Ali akisema:“Nilibakia na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuanzia mwanzo mpaka kifo chake. MtukufuMtume (s.a.w.w.) alipumua pumzi yake ya mwisho juu ya kifua changu. Alikuwa ni miminiliyeuosha mwili wake pamoja na msaada wa malaika, niliendesha sala ya mazishi yake,na nikamzika. Hivyo, hakuna mtu yeyote aliye karibu zaidi naye, au mrithi wa haki zaidikwake kuliko mimi.”

Kuelekea mwisho wa khutba yake anawataja wapinzani wake katika maneno haya: “Naapakwa jina la Allah, aliye Mmoja, kwamba niko kwenye njia iliyo sahihi na kwamba haowapinzani wangu wako kwenye njia ya upotofu.”

Lakini wewe unadai kwamba Ali aliwachukulia wapinzani wake kuwa katika njia sahihi.Natamani ungeiangalia kwa makini ile aya ya Qur’ani Tukufu inayosema:

“Wanataka kuzima nuru ya Allah kwa vinywa vyao, lakini Allah amekataa isipokuwakutimiza nuru Yake, ijapokuwa makafiri wanachukia.” (9:32)

MKUTANO WA KUMI, JUMAMOSI USIKU 3 SHA’BAN 1345 A.H

UCHAMBUZI WA ELIMU YA UMAR JUU YA SHERIA ZA KIISLAM.

Nawab: Asubuhi hii kijana wangu, Abdu’l-Aziz , ambaye ni mwanafunzi katika chuo chaIslamiyya, ametueleza kuwa mwalimu wao ameliambia darasa kuwa Khalifa Umar ibnKhattab alikuwa ndio mwanasheria mkuu wa wakati wake mjini Madina. Alikuwa na ujuzikamili wa aya za Qur’ani na maana zake. Alikuwa mbora zaidi ya wanasheria wotemashahuri kama Ali bin Abi Talib. Abdullah bin Mas’ud , Abdullah bin Abbas, Akrama na

Mikesha ya Peshawar

411

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 411

Page 430: Mikesh A

Zaid bin Thabit. Hata Ali Bin Abi Talib ambaye ujuzi wake wa Fiqh, alipokabiliana nasuala gumu ulikuwa mkubwa, alimtaka ushauri Umar kuhusiana na haki za Waislam.Khalifa kila mara aliyatatua matatizo magumu ya Ali. Sisi sote tunalikubali hili kwasababu wanachuoni wetu wanasema kwamba Umar alishika nafasi kubwa isiyo kifani kati-ka elimu na ujuzi. Ninakuomba uielezee nukta hii ili sisi sote, pamoja na mwanangu huyo,tuweze kuuelewa ukweli.

Muombezi: Ni ajabu kwamba huyo Mwalimu amesema hivyo. Hata wanachuoni wenuhawajathubutu kudai hivyo kamwe. Kama baadhi ya watu mashabiki kama Ibn NazmZahiri alisema hivyo, walipingwa vikali na wanachuoni wenu. Aidha sifa hii haikudaiwana Khalifa Umar mwenyewe. Hakuna mwanachuoni hata moja wa kwenu aliyeandikajambo hili katika vitabu vyao. Wapokezi au wanahistoria ambao wameandika chochotejuu ya maisha ya Khalifa Umar Bin Khattab wamedokeza juu ya tabia yake ya ujanja,ugumu wa moyo wake na hila zake za kisiasa lakini hawakujishughulisha sana juu yaelimu yake.

ELIMU YA UMAR JUU YA SHERIA ZAKIISLAMU ILIKUWA DHAIFU

Kwa hakika, vitabu vya madhehebu zote vimejaa mifano ambayo inaonyesha wazi kwam-ba Umar hakuwa mjuzi sana katika masuala ya elimu na fiqh. Kila alipokabiliwa namambo kama hayo alikuwa akitaka ushauri kwa Amiru’l-Mu’minin Ali, Abdullah binMas’ud na Mafaqihi wengine wa Madina. Ibn Abi’l-Hadid anataja jina la Abdullah BinMas’ud hasa, miongoni mwa mafaqihi wa Madina, na anasema kwamba Umar alisisitizakwamba Abdullah wakati wote abaki naye ili kwamba wakati wowote hali ikijitokeza,ataweza kutakiwa ushauri juu ya mambo ya fiqh.

Sheikh: (Kwa hasira). Ni wapi imeandikwa kwamba Umar hakuwa mjuzi wa masuala yadini na elimu ya fiqh?

Muombezi: Sikusema kwamba Khalifa Umar alikuwa hana ujuzi kabisa. Nilisema kwam-ba hakuwa mjuzi sana katika masuala ya fiqh na elimu. Ninaweza kuthibitisha hayaninayosema.

Sheikh: Utathibitisha vipi kwamba Khalifa Umar alikuwa na elimu dhaifu katika mamboyanayohusiana na fiqh na sheria za kidini?

Muombezi: Kuna hadithi nyingi sana katika vitabu vyenu vya Sahih. Mbali na hili, kunakukiri kwa Umar mwenyewe ambako amekufanya mara nyingi.

Mikesha ya Peshawar

412

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 412

Page 431: Mikesh A

MWANAMKE AMNYAMAZISHA UMAR KATIKA JAMBO LA SHERIA.

Jalalud-Din Suyuti kaitka Tafsir Durru’l-Mansur” Juzuu ya 11 uk. 133; Ibn Kathir katikaSherehe yake Juz. 1 uk. 468; Jarullah Zamakhshari katika Tafsir Kashshaf Juz. 1, uk. 357,Fadhil Nishapuri katika Tafsir-Gharibu’l-Qur’an Juz. 1, kuhusiana na Sura ya Nisa(Mwanamke) ya Qur’ani Tukufu, Qartabi katika Tafsir yake Juz. 5, uk. 99. Ibn MajaQazwini katika Sunan yake Juz. 1, Asadi katika Hashiyya–e-Sunnan Juz. 1, uk. 583;Baihaqi katika Sunan Juz, 7, uk. 233, Qastalani katika Irshadu’s-Sari-Sharh-e-SahihBukhari Juz. 8, uk 57; Muttaqi Hindi katika Kanzu‘l-Ummal Juz. 8 uk. 298; HakimNishapuri katika Mustadrak Juz. 11, uk. 177; Abu Bakr Baglani katika Tamhid yake uk.199; Ajluni katika Kashful-Khufa’ Juz. 1, uk. 270; Qadhi Shukani katika Futuhu‘l-QadirJuz. 1, uk 407; Dhahabi katika Takhlis-e-Mustadrak, Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahjul-Balagha Juz. 1 uk. 61, na Juz. 7, uk. 96; Hamid katika Jam’-e-Bainu’s-Sahihain,Faqih Wasiti Ibn Maghazili Shafi’i katika Manqib yake; Ibn Athir katika Nihaya yake, nawengineo. Kwa usahihi wamesimulia, pamoja na tofauti kidogo ya maneno kwamba sikumoja Khalifa Umar, akiwa katika kuwahutubia watu alisema: “Ikiwa yeyote ataoa naakaweka kiwango cha Mahari cha zaidi ya dirham 400 kwa mkewe, nitamtwisha ileadhabu iliyoamriwa juu yake na nitakihifadhi kile kiasi kilichozidi kwenye Baitul-Mal(Hazina ya Umma)”

Mwanamke mmoja katika ile hadhara akasema kwa Sauti kubwa: “Umar! Hicho una-chokisema ndio chenye kukubalika zaidi au sheria ya Allah? Je, Allah Mwenye Nguvuhasemi: “Na ikiwa unataka kuwa na mke (mmoja) badala ya mwingine na umempammoja wao rundo la dhahabu, basi usichukue chochote kutokana nayo.” (4:20)

Alikwisha kuisikia aya hii na yale majibu makali ya mwanamke huyo, Umar akasema:‘Wewe unayo elimu nzuri ya fiqh na matatizo kuliko Umar, nyote nyie pamoja na hata walewanamke wanaotawa waliokaa majumbani mwao.’” Halafu Umar akapanda tena juu yamimbari na akasema: “Ingawa nimewakatazeni kutoa zaidi ya dirham 400 kama maharikwa wake zenu, sasa ninawaruhusuni kutoa kiasi chochote mnachotaka zaidi ya kiwangokilichowekwa. Hakuna ubaya ndani yake.”

Hadithi hii inaonyesha kwamba khalifa Umar hakuwa na ujuzi sana juu ya Qur’ani na fiqh.Vinginevyo asingeweza kusema jambo lisilo sahihi waziwazi namna hiyo kiasi kwambaakaweza kunyamazishwa na mwanamke asiyekuwa na elimu.

Sheikh: Hapana sivyo hivyo, ukweli ni kwamba Khalifa alitaka kuwalazimisha watukupunguza kiwango cha mahari kulingana na Sunna. Ingawa Uislam unaruhusu tutoe kiasi

Mikesha ya Peshawar

413

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 413

Page 432: Mikesh A

kikubwa, ni vyema tukajieupusha na hilo ili masikini wasiumie. Ilikuwa ni kwa sababu hiikwamba alisema kiasi cha mahali kisiwe kinazidi kile kiasi kilichowekwa kwa wakezeMtukufu Mtume.

KUNYANG’ANYA KIASI CHOCHOTE CHAMAHARI NI KINYUME CHA SHERIA

Muombezi: Hii ni namna ya kisingizio kisicho na maana ambacho hata Umar hakuwa nahabari nacho. Vinginevyo angeweza kukubali kosa lake mwenyewe na asingelisema.“Ninyi ni mafakihi wazuri kuliko Umar, nyote nyie, ukijumuisha na wake wa nyumbani.”Vinginevyo pia angeliweza kusema haya unayoyasema sasa.Mbali na hili, kila mtu anajua kwamba kitendo kilicho kinyume cha sheria hakiwezikufumbiwa macho kama njia ya kupata matokeo mazuri na ya kisheria. Ni dhahiri ile maliya mwanamke, ambayo ameimiliki kulingana na kanuni za Qur’ani haingeweza kwa she-ria kuporwa kutoka kwake na kuwekwa kwenye Baitu’l-Mal.

Mbali na mazingatio yote hayo, si sheria kutoa adhabu igusayo kimwili kwa mtu ambayehajatenda kosa. Angalau sijawahi kuona uamuzi wowote kama huo ukifanywa kulinganana kifungu chochote cha Sheria. Naomba unifahamishe kama unaweza kueleza mfanokama huo. Ikiwa hakuna kanuni yoyote katika hukumu za sheria, basi itakubidi ukubalikwamba hilo dai la Mwalimu huyo lilikuwa la uongo.

UMAR KUKATAA KIFO CHA MTUME KUNATHIBITISHAKWAMBA ALIKUWA HAZIJUI BAADHI YA

AYA ZA QUR’ANI

Kwa bahati mbaya, Umar alikuwa amejenga tabia ya kuwa na hasira, na ili kuwatishiawengine alisema: “Nitakuadhibuni!”

Imam Ahmad bin Hanbal katika Musnad yake; Hamidi katika “Jam’-e-Bainu’s- Sahihain;Tabari katika Ta’rikh yake, na wanachuoni wengine wamesimulia kwamba alipokufaMtukufu Mtume (s.a.w.w.), Umar alimwendea Abu Bakr na kumuambia kwamba alikuwana wasiwasi kwamba kuna uwezekano kwamba Muhammad hakufa. Huenda amejifanyatu kuwa kafa ili aweze kuwatambua marafiki na maadui zake, au pengine ametoweka kamaMusa na atarudi tena kuwaadhibu wale waliokuwa sio waaminifu na watiifu kwake.

Umar aliendelea kusema: “Hivyo kama mtu yeyote atasema kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) amekufa, nitamuadhibu.” Abu Bakr alipoyasikia haya akawa naye pia hana

Mikesha ya Peshawar

414

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 414

Page 433: Mikesh A

uhakika nayo, na watu pia wakachanganyikiwa na tofauti zikazuka miongoni mwao.Wakati Ali alipolifahamu hili, alitokeza mbele ya lile kundi la watu na kusema. “Enyiwatu! kwa nini mnafanya tafarani za kijinga hivyo? Mmeisahau ile Aya tukufu, ndani yakeambamo Allah amemuambia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) “Hakika wewe utakufa, na piawatu wa Umma wako.” (39:30) Kwa hiyo, kulingana na aya hii Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) ameiaga dunia hii.” Hoja hii ya Ali iliwaridhisha watu na wakaamini kwambaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa amekwishafariki kweli. Ndipo Umar akasema:“Ilikuwa ni kana kwamba nilikuwa sijawahi kuisikia aya hii.”

Ibn Athir katika Kamil na Nihaya yake, Zamakashari katika Asasu’l-Balagha, Shahrastanikatika Milal wa’n-Nihal (Mugaddama IV) na wengineo wengi wa wanachuoni wenuwameandika kwamba Umar alikuwa akikemea: “Mtukfu Mtume hajafa,” wakati Abu Bakralipomfikia na kusema: “Je Allah Mwenye Nguvu hasemi: ‘Hakika utakufa na vile vile nawatu wa Umma wako.” Pia anasema ikiwa basi atakufa au kuuawa, mtageuka nyuma juuya visigino vyenu. (3:144)

Umar kisha akawa kimya na akasema: “ Ilikuwa ni kama kwamba sijawahi kuisikia ayahii. Sasa ninaamini kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amekufa.

AMRI YA UMAR YA KUWAPIGA MAWE WATU WATANO NA KUKATIZWA NA ALI

Hamidi anasimulia katika “Jam’-e-Bainu’s-Sahihain” yake kwamba katika wakati waUkhalifa wa Umar, watu watano walikamatwa kwa kosa la uzinzi na kufikishwa kwaUmar. Ilithibitika kwamba watu watano hao wamefanya zinaa na mwanamke fulani.Umar mara moja akaamuru wapigwe mawe mpaka wafe. Wakati huo Ali akaingia mleMsikitini na baada ya kuwa amesikia kile Umar alichoamuru akamuambia: “Hapa amriyako ni kinyume na sheria ya Allah.”

Umar akasema: “Ali! Zinaa imethibitika. Kifo kwa kupigwa mawe ndio adhabu iliyoag-izwa kwa dhambi hii.”

Ali akasema: “Katika suala la uzinzi, kuna hukumu tofauti katika hali tofauti, kwa hiyokatika kesi hizi zilizopo, hukumu tofauti ni lazima zitolewe.

Umar akamuomba afafanue ni hukumu gani za Allah na Mtume wake juu ya kesi hizo,kwani Umar alimsikia Mtume akisema katika nyakati tofauti: “Ali ndiye mtu mwenyeelimu zaidi na hakimu bora.

Ali akaagiza wale watu watano waletwe mbele yake. Aliamuru yule mtu wa kwanza

Mikesha ya Peshawar

415

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 415

Page 434: Mikesh A

akatwe shingo. Akamuru yule wa pili apigwe mawe mpaka afe. Akaamuru yule wa tatuapigwe viboko 100. Mtu wa nne alipigwa viboko 50. Na mtu wa tano alipata viboko 25.Umar akiwa ameshangaa na kuduwaa, akasema: “Abu’l-Hasan, vipi umeamua kesi hizikatika njia tano tofauti.”

Mtukufu Imam akasema: “Yule mtu wa kwanza alikuwa ni kafir chini ya ulinzi waKiislam. Amefanya zinaa na mwanamke Muislam. Kwa vile amepoteza ulinzi wa Uislamalipaswa kuuliwa. Yule wa pili alikuwa na mke, kwa hiyo amepigwa mawe mpaka kufa.Yule mtu wa tatu alikuwa hajaoa, hivyo, amehukumiwa kupewa viboko 100. Yule mtu wanne alikuwa mtumwa ambae anastahili adhabu nusu ya yule mtu huru, ambayo ni viboko50. Na yule mtu wa tano alikuwa ni mwenda wazimu, hivyo alifanyiwa Ta’ziir - alipewaadhabu hafifu, ambayo ni viboko 25 (kama kumuadabisha - )

Kisha Umar akasema: “Kama Ali asingekuwapo, Umar angeangamia: Ewe Abu’l-Hasan!Natumai sitakuwepo hai wakati wewe ukiwa huko miongoni mwetu.”

UMAR KUAMRISHA MWANAMKE MWENYE MIMBA KUPIGWA MAWE

MPAKA AFE NA ALI KUINGILIA KATI

Muhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’i katika Kifayatu’t-Talib Fi Manaqib-e-Amiru’l-Mu’minin Ali Bin Abi Talib; Imam Ahmad Ibn Hanbal katika Musnad; Bukhari katikaSahih yake; Hamid katika Jam’e-Bainu’s-Sahihain; Sheikh Sulaiman Balkhi katikaYanabiu’l-Mawadda, sura ya 4, uk. 75, kutoka Manaqib ya Khawarizmi; Imam Fakhru’d-din Razi katika Arba’in, uk. 466; Muhibu’d-din Tabari katika Riyazu’n-Nazara, Jz. 2, uk.196; Khatib Khawarizmi katika Manaqib, uk. 48; Muhammad Bin Talha Shafi’i katikaMatalibu’s-Su’ul, uk. 113; na Imam’l-Haram katika Dhakha’iru’l-Uqba, uk. 80, anankuuriwaya ifuatayo:

Mwanamke mjamzito aliletwa mbele ya Umar Bin Khattab. Katika kuhojiwa alikiri kwam-ba alikuwa na hatia ya kufanya zinaa, na hivyo Khalifa akaamuru apigwe mawe. Kisha Aliakasema: “Amri yako inatekelezeka kwa mwanamke huyu, lakini huna mamlaka juu yamtoto wake.”

Umar akamuachia yule mwanamke na akasema: “Wanawake hawana uwezo wa kuzaa mtukama Ali. Kama Ali asingekuwa hapa, Umar angeangamia.” Aliendelea kusema: “Allahasiniache niishi kiasi cha kukabiliana na tatizo ambapo Ali hayupo ili alitatue.”

Mikesha ya Peshawar

416

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 416

Page 435: Mikesh A

UMAR ATOA AMRI MWANAMKE PUNGUANI APIGWE MAWE - NA ALI KUINGILIA KATI

Imam Ahmad bin Hanbal katika Musnad yake, Imam’l-Haram Ahmad Bin AbdullahShafi’i katika Dhakha ‘iru’l-Mawadda sura ya 2, uk. 75, kutoka kwa Hasan Basri, IbnHajar katika Fat’hul-Bari Juz. 12, uk 101; Abu Dawud katika Sunan yake Juz. 2, uk. 227;Munadi katika Faizu‘l-Qadir Juz. 4 uk 257; Hakim Nishapuri katika Mustadrak Juz. 2, uk.59, Qastalani katika Irshadu’s-Sari Juz. 10, uk. 9; Baihaqi katika Sunan Juz. 8, uk. 164Mahibu‘d-Din Tabari katika Riyazu’n-Nazar juz. 2, uk. 196; Khatib Khawarizmi katikaMunaqab uk. 48; Muhammad Ibn Talha Shafi’i katika Matalibu’s-Su’ul; Imam’I-Haramkatika Dhakha’irul-Uqba uk. 80; Ibn Maja katika Sunan Juz. 2, uk. 227; Bakhari katikaSahih yake mlango wa la yarjumu’l-Majnun wal-Majnuna, na wengi wa Ulamaa wenuwamesimulia tukio lifuatalo:-

Siku moja mwanamke punguani aliletwa mbele ya Khalifa Umar Bin Khattab. Alikuwaamefanya zinaa na akakubali kosa lake. Umar akaamuru apigwe mawe. Amirul-Mumininalikuwapo pale. Akamuambia Umar: “Unafanya nini wewe? Nimesikia Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) akisema watu wa aina tatu wako huru kutokana na mkono wa sheria: Mtu aliye-lala mpaka atakapoamka, mwendawazimu mpaka atakapopona na akapata fahamu tena, namtoto mpaka atakapopata umri.” Kusikia hili, Umar akamuachia huru yule mwanamke.

Ibnu’s-Saman katika Kitabu’l-Muwafiqa ameandika habari nyingi kama hizi. Kuna baadhiya maelezo ambayo yanasimulia hukumu za Umar takriban 100 za kimakosa na uongo.

ELIMU NA SIFA ZA ALI

Nuru’d-Din Bin Sabbagh Malaki katika Fusulu‘l-Mahimma Sura ya 3, uk. 17 akiandikakuhusu Ali amesema: “Sura hii ina mambo yanayohusiana na elimu ya Ali. Mojawapo yavipengele hivyo ni ile elimu ya fiqh (Sha’ria) ambayo juu yake yamesimama matendo yahalali na ya haramu ya mwanadamu. Ali alielewa undani wa Sheria. Mas’ala yake magu-mu, yalikuwa ni mepesi kwake na alizielewa tafsiri zake kwa ukamilifu. Ilikuwa ni kwasababu hii kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema kuwa Ali ndiye mtu anayefaa zaidiwa Umma huu kwa kufafanua maswali ya sheria. Imam Abu Muhammad Husein ibnMas’ud Baghawi katika Masabih yake anasimulia kutoka kwa Anas kwamba wakatiMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipowateua kila mmoja wa sahaba zake kwenye nafasimaalum, alimteua Ali kwenye cheo cha Hakimu na kusema: “Ali ni Hakimu bora miongo-ni mwenu wote nyie (masahaba na Umma).

Kwa kweli unapolinganisha maneno ya huyu Mwalimu wa chuo asiyefahamu na Hadithiza wanachuoni wenu wakubwa, utathibitisha kwamba dai lake halina msingi. Mwalimu

Mikesha ya Peshawar

417

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 417

Page 436: Mikesh A

huyu anadai zaidi ya alivyodai kiongozi wake. Umar mwenyewe alikuwa daima akionye-sha udhaifu wake dhidi ya Ali. Imam Ahmad Bin Hanbali katika Musnad yake, Imam‘l-Haram Ahmad Makki Shafi’i katika Dhakha’irul-Uqba, Sheikh Sulayman Balkhi Hanafikatika Yanabiu’l-Mawadda Sura ya 56, na Muhibu’d-Din, Tabari katika Riyadhu’n-Nazara, Juz. ya 2, uk. 195, wanamnukuu Mu’awiya akisema: “Kila mara Umar BinKhattab alipokabiliwa na tatizo gumu, alitafuta msaada wa Ali.” Abu’l-Hajaj Balawi kati-ka Alif-Ba yake Juz. 1, uk. 222 anaandika kwamba wakati Mu’awiya aliposikia habari zakuuawa Shahidi kwa Ali, alisema “Kwa kifo cha Ali, Fiqh na Elimu vimeanguka.” Vilevile ananukuu Sa’id Bin Masayyab akisema kwamba Mu’awiya alisema: “Umar daimaalitafuta kimbilio kwa matatizo ambayo Ali hakuwepo kumsaidia.”

Abu Abdullah Muhammad Bin Ali al-Hakim al-Tirmidhi katika sherhe yake ya Risalat-e-Fathu’l-Mubin anaandika: “Masahaba wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) walimtaka ushauriAli katika mambo yanayohusiana na hukumu za Qur’ani Tukufu na kukubali fatwa zake.Umar Bin Khattab amesema katika nyakati tofauti kwamba: “ Kama Ali asingelikuwako,Umar angeangamia.” Mtukufu Mtume wa Allah (s.a.w.w.) pia amesema: “ Mtu mwenyeelimu ya juu zaidi miongoni wa Umma wangu ni Ali Bin Abi Talib.”

Yaliyosimuliwa kwenye vitabu vya Hadithi na Historia yanathibitisha kwamba Umaralikuwa amekosa sana elimu ya kawaida na ya fiqh kiasi kwamba alikosea hata kulinganana matatizo ya kawaida. Masahaba ambao walikuwa wa rika lake walimuonya kutokana naudhaifu wake.

Sheikh: Wewe huna huruma kwa kumsingizia Umar mambo kama hayo. Inawezekanakwa Khalifa kukosea katika masuala ya dini?

Muombezi: Ukali huu hautoki upande wangu. Maulamaa wenu wameonyesha ukwelikuhusu jambo hili.

Sheikh: Kama ukiweza tafadhali tujulishe mambo haya kwa vyanzo sahihi ili ukweliuweze kudhihirika wazi.

Muombezi: Kuna mifano mingi ya namna hiyo. Takriban 100 kati ya hiyo imo kwenyevitabu vyenu, lakini nitatoa mmoja kati ya hiyo kama mfano:-

Muslim Bin Hajjaj katika Sahih yake, sura aya Tayamamu; Hamidi katika Jam-e-Bainu’s–Sahihain, Imam Ahmad Hanbali katika Musnad yake Juz. 4, uk 265, 319, Baihaqi katikaSunan Juz. 1, uk. 209, Abu Dawud katika Sunan Juz. 1, uk 53, Ibn Maja katika Sunan Juz.1 uk. 200, Imam Nisa’i katika Sunan yake Juz. 1, uk 59-61, na wengine wa Ulamaa wenuwakubwa kwa njia tofauti na maneno tofauti, wameandika kwamba wakati wa Ukhalifa waUmar, mtu mmoja alimjia na kusema: Imekuwa ni lazima kwangu nifanye ghusl (josho la

Mikesha ya Peshawar

418

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 418

Page 437: Mikesh A

tohara) lakini hakuna maji yanayoweza kupatikana. Nitafanya nini katika hali kama hii.

Umar akasema: “Mpaka upate maji ya kufanyia josho, vinginevyo usisali.”

Kwa wakati huo Ammar-e-Yasir, Sahaba wa Mtume, alikuwepo. Yeye akasema: “EweUmar! Umesahau kwamba katika moja ya safari ambazo wewe na mimi tulitokea kuwatunahitaji kufanya josho. Kwa vile maji hayakupatikana wewe hukusali, lakini nilifikirianjia ya tayammum badala ya josho ni kwamba ni budi vumbi lipakwe juu ya mwili wanguwote. Hivyo nilipaka vumbi katika mwili wangu na nikatekeleza Sala. Tulipokwenda kwaMtukufu Mtume (s.a.w.w.), alisema, huku akitabasamu: “Kwa tayammum kiasi hikikinatosha kwamba viganja vya mikono yote vinaguswa kwenye udongo kwa pamoja naviganja hivyo vifutwe kwenye paji la uso, kisha nyuma ya mkono wa kulia kufutwe nakiganja cha kushoto na kisha nyuma ya mkono wa kushoto ufutwe na kiganja cha kulia.”Sasa kwa nini unamwambia huyu mtu asitekeleze Sala?

Umar aliposhindwa kutoa jibu alisema: “Ammar muogope Allah.” Kisha Ammar akasema,“Unaniruhusu nisimulie hadithi hii? Umar akasema: “Nakuachia ufanye unavyopenda.

Kwa kuzingatia hadithi hii sahihi ambayo Ulamaa wenu wenyewe wameisimulia, utakirikwa kweli kwamba dai la Mwalimu huyo lilikuwa la uongo mtupu. Anaweza mtu mwenyeelimu nzuri ya fiqh na ambaye amekuwa mara kwa mara pamoja na Mtume na amesikiakutoka kwa Mtume jinsi tayammum inavyopaswa kufanyika wakati maji hayakupatikana,kuja kumuambia Muislam kwamba kama hatapata maji ajiepushe na kuswali Sala zake?Hii ni ajabu hasa kwa vile Qur’ani Tukufu inatuambia sisi kwamba katika hali kama hiyotunapashwa kufanya tayammum.

Kitendo cha tayammum miongoni mwa Waislam ni maarufu sana kwamba hata Muislamasiye na elimu anajua kwamba, chini ya masharti maalum inachukua nafasi ya kanuni zaudhuu na taratibu za josho. Sasa tutasemaje kuhusu Sahaba wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)na Khalifa? Je, hapashwi kulijua jambo hili? Katika suala hili mimi sio ninadai kwambaKhalifa Umar aliibadili sheria ya Allah kwa makusudi. Lakini hili kwa hakikalinawezekana: alikuwa dhaifu katika uwezo wake wa kuhifadhi habari na ilikuwa ni vigu-mu kwake kukumbuka Sheria. Na hii ndio ilikuwa sababu, kama Ulamaa wenuwalivyoandika, alizoea kumwambia Faqih hodari, Abdullah Ibn Ma’sud: “Unapashwadaima kuwa nami ili kwamba wakati wowote mtu akiniuliza swali, utaweza kumjibu.”

Sasa, enyi waungwana! Mnapashwa kuamua ni tofauti gani iliyopo kati ya mtu ambayeelimu yake ni haba hivyo kwamba hawezi kuelewa maswala mepesi na yule ambaye maramoja tu anayaelewa masuala magumu.

Sheikh: Nani mwingine anaweza kuwa mtu huyo mbali na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)?

Mikesha ya Peshawar

419

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 419

Page 438: Mikesh A

Muombezi: Ni dhahiri kabisa kwamba, baada ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hakuna mtumiongoni mwa Masahaba aliyekuwa na elimu kama hiyo ila lile “lango la elimu” yaMtume, Ali ambaye kuhusu yeye Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe amesema: “Alindiye mwenye elimu zaidi kati yenu.

ELIMU YOTE ILIKUWA IKO DHAHIRI KABISA KWA ALI.

Abu’l’Mu’ayyid Mu’affaq Bin Ahmad Khawarizmi anasema katika Manaqib yake kwam-ba siku moja Umar alimuambia Ali Bin Abi Talib kwa namna ya mshangao kwamba: “Nivipi kwamba ikiwa swali lolote unaulizwa wewe, unatoa jibu lake bila chembe ya kusitahata kidogo?”

Imam Mtukufu akaufungua mkono wake mbele yake na kusema: “Unaona vidole vingapi?Umar mara moja akasema: “Vitano.” Ali akasema: “Kwa nini hukutafakari juu ya hili?

Umar akasema: “Hakukuwa na haja ya kutafakari kwa vile vidole vyote vitano vilikuwambele ya macho yangu.”

Kisha Ali akasema: “Basi vivyo hivyo, masuala yote na mambo ya elimu kwanguyanaonekana wazi kabisa. Ninatoa majibu yake bila ya kuwaza.”Sasa, enyi waungwana! Hivi sio kwa sababu ya hisia za upendeleo tu kwamba, mwalimuhuyu anaongoea upuuzi kama huu na kuwapotosha vijana wasio na elimu! Je, inaingiaakilini na kukubalika kwamba yule mtu aliyekuwa na ujuzi mkubwa wa elimu na sayansizote na aliyekuwa ndio “lango la elimu” ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), aweze kumtakaushauri Umar ili amtatulie matatizo yake?

MU’AWIYA ANAITETEA NAFASI YA ALI

Hadithi moja imefanya kunijia, naiweka mbele yenu kama ushahidi wa ziada wa hojayangu. Ibn Hajjar Makki, mwanachuo anayejulikana kwa kutostahimili kwake anaandikakatika kitabu chake Sawa’iq-e-Muhriqa, sura ya 2, Maqsad ya 5, uk. 110 chini ya aya 14,kwamba Imam Ahmad Hanbal amesimulia na pia Mir Seyyed Ali Hamadani katikaMawaddatu’l-Qurba na Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahjul’l-Balagha wamesimuliakwamba, mtu mmoja alimuuliza Mu’awiya swali. Mu’awiya akasema: “Muulize Ali juuya hilo kwani ndiye mtu mwenye elimu zaidi.”Yule Mwarabu akasema: “Nalipendelea jibu lako wewe kuliko jibu la Ali.”

Mu’awiyya akasema: “Umetamka jambo baya sana: umemkataa mtu ambaye MtukufuMtume (s.a.w.w.) mwenyewe amemfunza na ambaye kwake alimuambia: “Unao uhusianokwangu sawasawa na Harun aliokuwa nao kwa Musa, isipokuwa tu kwamba hakutakuwana Mtume baada yangu. Na zaidi ya hayo, kila wakati Umar alipotatizwa na masuala

Mikesha ya Peshawar

420

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 420

Page 439: Mikesh A

magumu, alimuuliza Ali juu yake na kuomba maoni yake.”

Hii inakumbusha ule usemi: “Uadilifu hasa ni ule ambao hata adui anautolea ushahidi.”

UMAR AKIRI JUU YA KUTOJUA KWAKE KUHUSUMAS’ALA MAGUMU, NA KUTAMKA KWAKE KWAMBA

KAMA ALI ASINGEMSAIDIA MATATIZO YAKE YASINGELI-FUMBULIWA

Ili kuendeleza kuunga mkono zaidi ubora wa Ali juu ya Umar tunanukuu kile Ulamaawenu mashuhuri walichosema. Nuru’d-Din Bin Sabbagh Maliki katika Fusulu’l-Muhimma, Muhamamd Bin Talha Shafi’i katika Matalibu’s-Su’ul; Imam Ahmad BinHanbal katika Musnad; Khatb Khawarizmi katika Manaqib Sulayman Balkhi Hanafi kati-ka Yanabiu’l-Mawadda na wengine wengi wameandika kwamba katika nyakati sabiniUmar amesema: “Kama Ali asingelikuwepo, Umar angeangamia.”

Nuru’d-Din Maliki katika Fasulu’l-Muhimma anaandika kwamba wakati mmoja mtummoja aliletwa kwa Umar. Aliulizwa mbele ya halaiki ya watu: “Umeianzaje asubuhiyako” Yeye akasema: “Niliamka asubuhi hii katika hali hii: Nikiyapenda matamanio nakuichukia haki, nilishuhudia ukweli wa Mayahudi na Wakristo, nikaamini ambachosijakiona na katika ambacho hakijaumbwa bado.” Umar akaamuru Ali aletwe mbele yake. Suala hili lilipowekwa mbele ya Amiru’l-Mu’minin, yeye akasema, alichokisema mtu huyu ni sahihi. Anasema anapenda vishaw-ishi. Anamaanisha kwa hili, mali na watoto. Allah anasema ndani ya Qur’ani Tukufu:

“Na jueni kwamba mali zenu na watoto wenu ni mtihani.” (8:28).

Kwa kuchukia haki unamaanisha kifo. Qur’ani inasema:

“Na hofu ya mauti itakuja kwa ukweli.” (50:19)

Mikesha ya Peshawar

421

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:01 PM Page 421

Page 440: Mikesh A

Kwa kushuhudia ukweli wa Mayahudi na Wakristo anamaanisha kile Allah Anachosema:

“Mayahudi walisema kwamba Wakristo hawakuwa kwenye njia iliyonyooka naWakristo walisema kuwa Mayahudi hawakuwa katika njia iliyooka.” (2:113).

Hii ni kwamba Madhehebu zote hizi zina zinasingiziana. Hivyo Mwarabu huyu anasemaanakubaliana nazo zote, au kwamba anazikataa zote. Anasema kwamba anaamini kileambacho hajakiona, akimaanisha kwamba anamwamini Allah swt. Mwenye Nguvu zote.Anaposema kwamba, anaamini katika ambacho hakijaumbwa bado, yaani ambacho hakiposasa, anaashiria Siku ya Hukumu, ambayo bado haijafikia wakati wake wa kuwepo.

Kisha Umar akasema: “Naomba hifadhi ya Allah kutokana na hali ngumu ambayo Aliatakuwa hayupo kunisaidia.”

Hadithi hii fupi ya kweli imesimuliwa kwa namna inayojieleza nzuri zaidi na ya tofauti, nawengineo kama Muhammad Bin Ganji Shafi’i katika Kifayatu’t-Talib Sura ya 57, kutokakwa Hudhaifa Bin Al-Yaman, aliyeinukuu kutoka kwa Khalifa Umar.

Kuna idadi ya matukio kama hayo wakati wa ukhalifa wa Abu Bakr na Umar, ambao wotewalikuwa hawana uwezo wa kutoa jawabu sahihi. Alikuwa ni Ali aliyetoa jawabu. Hasawakati Mayahudi, Wakristo na Wanachuoni wa Sayansi ya asili walipokuja na kujadilimasuala magumu, alikuwa ni Ali peke yake aliyeyatatua.

Kulingana na Ulamaa wenu, kama Bukhari na Muslim, kila mmoja katika Sahih yake;Nishapuri katika Tafsiir yake; Ibn Maghazili Faqih Shafi’i katika Manaqib; MuhammadBin Talha katika Matalibu’s-Su’ul, Sura ya 4 uk. 13 na 18; Hafiz Ibn Hajar Asqalan (aliyek-ufa mwaka 852 A.H) katika Tahdhibu’t-Tahdhib (Kilichochapishwa Hyderabad Daccan)uk. 338; Qadhi Fadhlullah Ruzbahar Shirazi katika Ibta’lu’l-Batil, Muhibu’d-Din Tabarikatika Riyadhu’n-Nazala Juz. 2, uk. 39, Ibn Kathir katika Ta’rih yake Juz. 7 uk. 369; IbnQutayba Dinawazi (aliyekufa 276 A.H.) katika Ta’wil-e-Mukhtalafu’l-Hadith (kili-chochapwa Misri), uk. 201-202; Muhamamd Bin Yusuf Ganji Shafi’i (aliyekufa 658 .A.H).katika Kifayatu’t-Talib sura ya 57, Jalala’d’Din Suyuti katika Ta’rikhu’l Khulafa uk. 6,Seyyed Mu’min Shabalnji katika Nuru’l-Absar uk 73, Nuru’d-Din Ali Bin AbdullahSamhudi (aliyekua (911 A.H) katika Jawahiru’l-Iqdain, Al-Hajj Ahmad Afindi katikaHidayatu’l-Murtab uk. 146 na 153, Muhammad Bin Ali As-Sabban katika Ishafu’r-Raghbin uk. 52, Yusuf bin Sibti Ibn Jauzi katika Tadhkira Khawasu’l-Ummal, sura ya 6 uk.37, Ibn Abi’l-Hadid (aliyekufa 655 A.H) katika Sharhe-Nahju’l-Balagha Juz. 1; Mula Ali

Mikesha ya Peshawar

422

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 422

Page 441: Mikesh A

Qushachi katika Sharh-e-Tajrid, uk. 407; Akht Abu’l-Khutaba Khawarizmi katikaManaqib uk. 48 na 60, hata yule asiyemvumilivu, Ibn Hajar Makki (Kafa 973 A.H) katikaSawa’iq Muhriqa uk. 78; Ibn Hajar Asqalani katika Isaba Juz. 2, uk. 509 na Allama IbnQayyim Jauzia katika Turuqu’I-Hikmiyya uk. 47 na 53 wameandika mambo mengi yanay-oonyesha kwamba Umar alipeleka masuala magumu na mazito, hususan masuala magumuya Mfalme wa Roma, kwa Amiru’l-Mu’minin.

Umar mara kwa mara alipeleka masuala kwa Ali kwa ajili ya ufumbuzi, na alipokuwaakisikia uamuzi wake alikariri kusema: “Ninaomba ulinzi wa Allah kutokana na halingumu ambamo Ali huyupo kunisaidia.” Wakati mwingine alisema: “Kama Aliasingekuwapo, Umar angeangamia.”

Ibn Maghazili Shafi’i katika Manaqib yake, na Hamidi katika Jam’-e-Bainu’s-Sahihainwanaandika kwamba Makhalifa walichukua ushauri kwa Ali katika masuala yote nakwamba alikuwa ndio tegemeo kubwa ambaye alifutu mas’ala magumu ya kidini nakidunia, makhalifa hao walisikiliza kwa makini maelezo na maagizo yake na wakay-atekeleza.

ALI NDIYE ALIYEFAA ZAIDI KWENYE NAFASI YA UKHALIFA.

Elimu ndiyo kipimo bora zaidi cha kipaumbele. Qur’ani Tukufu kwa uwazi inaeleza. “Niyeye basi aongozaye kwenye haki anayestahiki zaidi kufuatwa, au ni yule ambayeyeye mwenyewe haendi sawa ila zaidi kufuatwa, au ni yule ambaye mwenyewehakuongoka ila mpaka aongozwe? Basi sasa mna nini nyie, ni vipi mnavyoamua?(10:35). Hii ni kwamba, yule aliye na sifa nzuri za uongozi lazima awe ndio kiongozimkuu wa watu, sio yule ambaye hana ujuzi wa namna ya kuongoza na ambaye yeyemwenyewe anatafuta muongozo toka kwa wengine.

Aya hii ndiyo (hoja) ushahidi mzito kwamba mtu mbora hawezi kufanywa kuwa chini yamtu dhaifu. Suala la Ukhalifa, Uimam, na Uandamizi wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)unakuja chini ya kanuni kama hii. Hii inashuhudiliwa na aya nyingine ambayo inasema:

“Je, wale wanaojua na wale wasiojua wako sawa?” ( 39:9)

Mikesha ya Peshawar

423

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 423

Page 442: Mikesh A

KWA VIWANGO VYOTE ALI ALIKUWA NDIYE ALIYEKUWA NA HAKI ZAIDI YA UKHALIFA:

Sheikh: Tunakubali kwa dhati kwamba Ali alikuwa na sifa zote bora kama ulivyozitaja.Hakuna yeyote ila Makhawarij wakaidi, aliyewahi kuukana ukweli huu. Lakini hili nalolinakubalika: Seyyed Ali mwenyewe kwa hiari na furaha alikubali ukhalifa wa makhalifa(watatu wa kwanza) na akaridhia ubora wao na haki yao ya kumtangulia yeye. Hivyo kunafaida gani ya sisi kuwa na wasiwasi, baada ya miaka 1300, juu ya uamuzi wao na kupiganabaina yetu juu ya kwa nini umma uliwachagua Abu Bakr, Umar na Uthman.

Hivyo kuna madhara gani kama tunakuwa kwenye amani na urafiki na kila mmoja katiyetu na kukubali historia ilichokiandika na kile ambacho ulamaa wenu vile vile kwa ujum-la wamekikubali: baada ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Abu Bakr, Umar na Uthman kwakufuatana, walishika nafasi ya ukhalifa. Tungeishi pamoja kama ndugu na kwa pamojatukaukubali ubora wa Ali katika elimu na matendo na uhusiano wake makhsusi na MtukufuMtume (s.a.w.w.). Katika njia ile ile ambayo Madhehebu zetu nne zimeungana, Mashi’apia wangeshirikiana nasi.

Hatukatai daima ubora wa elimu ya Ali na tabia, lakini unapaswa ukubali kwamba kulin-gana na suala la umri, mbinu za kisiasa, uvumilivu na utulivu usoni wa adui, Abu Bakralikuwa bila shaka ni bora kuliko Ali. Ilikuwa ni kwa sababu hii kwamba kupitia uamuziwa pamoja wa Umma, yeye alikalia kiti cha ukhalifa.

Ali alikuwa kijana bado kwa wakati ule na hakuwa na uwezo wa kubeba majukumu yaukhalifa. Hata miaka 25 baadae, pale alipochukua ukhalifa, machafuko mengi yalitokeakwa sababu tu hakuwa mwanasiasa mwenye uwezo.

KIAPO CHA UTII CHA ALI KWA MAKHALIFANI CHA KULAZIMISHWA.

Muombezi: Kwanza, umesema kwamba Amiru’l-Mu’minin kwa hiari yake alitoa kiapocha utii kwa wale makhalifa watatu. Kuna simulizi inanijia akilini ambayo ni yenye kufaakwa mjadala huu.

Katika siku za zamani barabara kuu za Iran zilikuwa zenye hatari, na wale waliokuwawakienda kuzuru kwenye makaburi matakatifu walikabiliana na matatizo wakati wa safarizao. Msafara fulani uliangukia kwenye makucha ya waporaji, ambao waliiba mali za watuhao. Walipokuwa wakigawana ngawira miongoni mwao, sanda ya hujaji mmoja ikaan-gukia mikononi mwa mporaji mzee. Akasema: “Enyi waungwana mahujaji! Sanda hii ni

Mikesha ya Peshawar

424

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 424

Page 443: Mikesh A

ya nani? Hujaji mmoja akasema: “Ni yangu” Yule mporaji akasema: “Mimi sina sanda,kwa hiyo tafadhali unipe mimi sanda hii ili iwe ni yangu kihalali. Yule hujaji akasema:“Mali yangu yote ni yako, lakini nirudishie sanda hiyo, kwa vile niko katika hatua zamwisho za maisha yangu na imenichukuwa taabu kubwa kwa matayarisho ya vazi hili kwaajili yangu kwa ajili ya Akhera. Huu ni utajiri wangu nilioutunza.”

“Yule mporaji akasisitiza kwa mkazo sana juu ya dai lake, lakini yule hujaji alirudia jambolile lile kwamba hataiachia haki yake ile kwa mtu yeyote yule.” Yule mporaji, akichomoaupanga wake, alianza kumparura yule hujaji kati ya kichwa chake na uso na kusemakwamba angeendelea kumpiga mpaka atakapomuachia yeye sanda hiyo na kusema: “Nihalali.” Maskini hujaji yule mzee alipigwa hivyo kiasi kwamba alianza kupiga kelele.“Bwana! Halali! Halali! Halali! Ni halali zaidi kuliko maziwa ya mama yake mtu.”

Natumaini mtanisamehe. Lakini nilitaka kuvuta usikivu wenu kwa haya ninayotakakuelezea. Pengine mmesahau yale ambayo nimeyathibitisha kwenye mikesha iliyopita.Nilitaja kumbukumbu sahihi za kihistoria, ambazo Ibn Abi‘l-Hadid, Jauhari, Tabari,Baladhuri, Ibn Qutayba, Mas’udi na wengine katika ulamaa wenu wamezihakikisha,kwamba walitishia kuchoma moto nyumba ya Ali, yeye akaburuzwa hadi msikitini naaliamriwa kwa upanga kooni mwake; “Toa kiapo cha utii, vinginevyo utakatwa shingo.”Je, huu ni mfano wa kiapo cha hiari?

KUSIWEPO NA “IMANI POVU” KATIKA DINI:

Pili, nimekwishasema mapema kwamba tusiwe na “Imani povu” katika misingi ya dini.Unasema kwamba kwa vile historia inatuambia sisi kwamba makhalifa hawa wannewalikuwa watawala, tungewafuata wazee wetu na tuwe na imani juu yao. Lakini akili yakawaida na Hadithi vinatuambia kwamba imani kimsingi isimame juu ya mantiki.

Ninarudia tena kwamba wanahistoria wenu na wetu wameandika kwamba baada ya kifocha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Umma uligawanyika katika madhehebu mbili.Madhehebu moja ikasema kwamba Abu Bakr angepaswa kufuatwa na ile madhehebunyingine iliamini kuwa Ali angefuatwa. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Kumtii Alini kunitii mimi, na kutomtii Ali ni kutonitii mimi.” Kwa hiyo utii kwa Ali kulikuwa, kulin-gana na amri ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kulikuwa ni lazima. Hivyo ilikuwa ni wajibuwa kila mmoja wa madhehebu zetu mbili kusikiliza hoja za pande hizi mbili na kuchaguanjia ya sawa.

Mikesha ya Peshawar

425

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 425

Page 444: Mikesh A

IMANI INAPASWA KUSISIMAMA JUU YAMANTIKI NA UCHUNGUZI WA DHATI.

Imani yangu juu ya Allah imesimama juu ya maarifa. Nimesoma vitabu vya madhehebuna dini mbali mbali. Ninaukubli ukweli kwamba Muhammad alikuwa Mtume wa mwishokwa msingi wa mantiki na sio kuwafuata wazee wangu kwa mkumbo tu. Vivyo hivyo,nimejifunza kwa undani mamia ya vitabu vya madhehebu zote, hususan vile vya madhe-hebu ya Sunni ambavyo ndani yake mna hoja za wazi za kuthibitisha Uimam na Ukhalifawa Amiru’l-Mu’minina. Ninyi watu mnatupa tu macho juu juu kwenye Aya na Hadithizenye kumtukuza Ali na kisha mnafanya tafsiri za ajabu ajabu juu yao.

Tatu, unasema kwamba tungekubali mpangilio na historia wa makhalifa: Abu Bakr, Umar,Uthman, na Hodhrat Ali. Lakini huu ni upumbavu. Ubora wa mwanadamu juu ya wanya-ma ni kutokana na elimu yake na hekima. Kwa hiyo hatuwezi kuwafuata wazee wetu vivihivi kwa upovu tu.

Kwa mujibu wa ulamaa wenu mashuhuri, ubora wa Ali katika elimu umethbitishwa wazikabisa. Kwa hiyo, haki ya kutangulia kwake kama Khalifa ni lazima pia ikubaliwe.Madhali alikuwa ndie “Lango la Elimu” ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kumkiuka yeye nikukiuka toka kwenye uongofu. Tunakiri kwamba baada ya kifo cha Mtukufu Mtume, AbuBakr alikuwa Khalifa kwa miaka miwili na miezi mitatu, akifuatiwa na Umar kwa miakakumi, na Uthman kwa miaka kumi na mbili. Lakini ukweli huu hauondoi nafasi sahihi yamantiki na hadith. Historia haiwezi kumnyima “Lango la Elimu” ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) haki yake.

Firdaus, Dailami, Abu Nu’aim Ispahani, Muhammad bin Ishaq Muttalabi, mwandishi wakitabu Maghazi, Hakim, Hamwaini, Khatib Khawarizmi na Ibn Maghazili wanasimuliaama toka kwa ibn Abbas, au Sa’id Khadiri, au Ibn Mas’ud ambao wote wanamnukuuMtukufu Mtume (s.a.w.w.) akisema: “Watakuja kuulizwa juu ya Uandamizi (Ukhalifa) naAli Bin Abi Talib.”

AMRI YA MTUME YA KUMTII ALI.

“Na chochote anachokupeni Mtume, kipokeeni, na kutokana na chochote ana-chokukatazeni kiacheni. (59:7)

Kwa hiyo ni lazima tutii maamrisho ya Mtume Mtukufu. Tunapoangalia kwenye maagizoya Mtukufu Mtume tunaona (kama ilivyoandikwa kwenye vitabu vyenu vya kuaminika)

Mikesha ya Peshawar

426

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 426

Page 445: Mikesh A

kwamba miongoni mwa Umma wake wote, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amemwita Ali pekeyake lango la elimu yake na ametuamuru sisi tumtii yeye. Kwa kweli amesema kwambautii kwa Ali ulikuwa sawa na utii kwake.

Imam Ahmad Bin Hanbal katika Musnad yake, Imam‘l-Haram katika Dhakha’iru’l Uqba,Khawarizmi katika Manaqib, Sulayman Hanafi katika Yanabui‘l-Mawadda, Muhammadbin Yusuf Ganji shafi’i katika Kifayatu’t-Talib na Ulamaa wengine wameeleza kwambaMtukufu Mtume wa Allah (s.a.w.w.) amesema “Enyi Ansar! Niwaonyesheni mtu ambayemtamuambata na ambaye kamwe hata waongoza kombo?” Watu hao wakasema: “Ndio,hebu tumfahamu mtu huyo.” Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Ni Ali, kuweni rafikiyake, mheshimuni yeye, na mfuateni yeye. Hakika yuko na Qur’ani na Qur-an iko pamo-ja naye. Kwa kweli atawaongozeni kwenye njia ya haki na hatakuacheni mpotee. Chochotenilichowaambieni, mimi nimekiambiwa na Jibril.

Vile vile, kama ilivyosimuliwa na ulamaa wenu, Mtukufu Mtume alimwambia Ammar al-Yasir: “Kama wanadamu wote watakuwa upande mmoja, na Ali akawa upande mwingine,unapaswa kutwaa njia ya Ali na uache ya wengine.” Pia, kwa nyakati tofauti na mahalitofauti, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa kurudiarudia amesema: “Yule ambaye anamtii Ali,kwa kweli amenitii mimi. Yule anayenitii mimi anamtii Allah.”

HAKUNA HADITHI INAYOPATIKANA YENYE KUWATAJAMAKHALIFA WENGINE KAMA “VIONGOZI WA UMMA”

AU “MILANGO YA ELIMU.”

Hakuna hata hadithi moja katika vitabu vyenu ambayo ndani yake Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) anasema: “Baada yangu, kiongozi wa kwenye njia ya sawa, au ‘lango langu laelimu’ au Mshika Makamu au Khalifa wangu’ ni Abu Bakr, Umar, au Uthman. Unawezakutaja Hadith kama hiyo ambayo sio ya kuzushwa na vikundi vya Bakari na Amawi?

Lakini mnatutaka sisi tutoe nafasi ya nne kwa “Lango la Elimu” la Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), “Mrithi na Khalifa” wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa kunukuu maneno yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe, na tuwafuate wale ambao juu yao hakuna maagi-zo yoyote yale. Kama tutafuata ushauri wako, hatutakuwa tumevunja utii kwa Allah naMtume wake Mtukufu?

ULAMAA WA KISUNNI HAWATAKI USHIRIKIANO NA SISI.

Nne, Umesema kwamba, kama hizi madhehebu nne (Hanafi, Maliki, Hanbali na Shafi’i)tungekuwa nasi tujiunge nanyi. Lakini ninyi watu mnawaita Shia ni Rafidhi, washirikina

Mikesha ya Peshawar

427

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 427

Page 446: Mikesh A

na makafiri. Kwa hakika washirikina na waumini hawawezi kuungana. Sisi, hata hivyo,tuko tayari kabisa kushirikiana na ndugu zetu Sunni. Kwa kweli sharti ni kwamba ninyi nasisi tuwe na uhuru sawa wa kutetea imani zetu za kidini.

Kama vile ambavyo wafuasi wa madhehebu hizi nne walivyo huru katika matendo yao,wafuasi wa kizazi cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) nao pia wawe huru katika matendo yao.Tunaona kwamba, kati ya madhehebu zenu hizi nne kuna tofauti mbaya sana kiasi kwam-ba baadhi yao wanawaita wengine makafiri na watenda dhambi. Bado mnawachukulia waokama ni Waislamu na kuwaruhusu uhuru wa vitendo. Lakini kuwaita maskini Mashi’awashirikina na makafiri, mnawatoa nje ya Kundi la Waislamu na kuwanyima uhuru waowa kuitekeleza dini yao. Tutategemeaje kuwa na umoja na ushirikiano?

KUSUJUDU JUU YA UDONGO KWA SHI’AKUNAPINGWA NA WENGINE BILA YA SABABU.

Chukua mfano wa kusujudu kwetu kwenye udongo. Ni makelele gani hayo mnayofanyakwa ajili ya udongo huo na turba, kipande kidogo cha udongo wa ardhi tukufu ya Karbala,ambacho juu yake tunaweka vipaji vyetu vya uso wakati wa kusujudu. Ninyi mnashikiliakwamba ni sanamu na mnatuita sisi waabudu sanamu, ingawa tunasujudu juu ya udongokwa idhini ya Allah na Mtukufu Mtume wake (s.a.w.w.). Aya za Qur’ani zinatuagiza sisikufanya sijida, na kusujudu maana yake ni kuweka paji la uso juu ya ardhi. Bila shaka kunatofauti ya maoni kati yetu na ninyi juu ya vitu ambavyo tunasujudia juu yake.

Sheikh: Basi kwa nini hamfanyi sijida kama wafanyavyo Waislam wengine wote ilikwamba pasiwe na tofauti na kutoelewana huku kukaweza kutoweka.

Muombezi: Kwanza, tafadhali hebu natufahamu kwa nini ninyi Shafi’i mnatofautianasana na Maliki na Hanbali katika vyote, shuruti za matendo na misingi ya Imani zenu.Wakati mwingine wanafikia mpaka kuitana “Mtenda dhambi” na “Kafir.” Ingekuwa borakama wote wangekaa pamoja na kupata imani moja, ili kwamba kusiwepo na tofauti.

Sheikh: Ipo tofauti ya maoni miongoni mwa mafakihi, lakini yeyote kati yetu atakayem-fuata yeyote kati ya Mafakihi hawa - Imam Shafi’i, Imam A’zam, Imam Maliki au ImamAhmad Bin Hanbal - atalipwa na Allah.

TOFAUTI KATI YA MADHEHEBU MANNEZINAPUUZWA BALI SHI'A HAWAVUMILIWI

Muombezi: Tafadhali sana kuwa mwadilifu, huna sababu ya kuwafuata mafakihi hawawanne ila tu kwamba, baadhi yao walikuwa ni watu wenye elimu. Mnawafuata bila yakufikiria. Mnaongozwa na pua na bado mnadai kwamba matendo yenu yatalipwa ingawa

Mikesha ya Peshawar

428

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 428

Page 447: Mikesh A

kuna tofauti katika imani na matendo miongoni mwao. Tunafuata amri za familia yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.), ambao, kulingana na Mtume mwenyewe na wanachuoni wenuwenyewe, walikuwa wenye elimu zaidi nanyi bado mnasema sisi ni makafiri. Ni lazimamkiri kuwa uadui huu hautokani na tofauti katika maoni. Chanzo chake ni kwamba sisitunaipenda familia ya Mtume, na maadui zetu wanalea chuki ya siri dhidi yao.

Kiasi ambacho tofauti katika misingi ya Imani na Vitendo vya Ibada vinahusika, ziko nyin-gi mno miongoni mwa madhehebu zenu hizi nne, Nyingi ya fatwa na maimam na mafak-ihi wenu zinapingana na maelekezo ya wazi yaliyomo ndani ya Qur'ani Tukufu. Lakinihamkutamki neno lolote dhidi ya wale ambao wanatoa fatwa kama hizo na walewanaozitekeleza. Bado wakati Shi'a wanaposujudu kwenye udongo halisi kulingana naSheria ya Qur'ani Tukufu, mnawaita makafiri!

FATWA ZA WANACHUONI WA SUNNI ZINAKWENDA KINYUME NA MAELEKEZO

YA QUR'ANI

Sheikh: Ni wapi wanachuoni wa Fiqh wa Sunni na Maimam wanne wametoa fatwa zina-zokwenda kinyume na Qur'anii Tukufu?

Muombezi: Mara nyingi wametoa amri kinyume na amri za Qur'ani Tukufu na kinyumena maoni (ijma) yaliyokubaliwa na umma. Ulamaa wenu wenyewe wameandika idadi kad-haa ya vitabu juu ya tofauti miongoni mwa madhehebu haya manne. Nakushauri usomekile kitabu maarufu Masa'ilu'l-Khalif fi'l-fiqh cha Sheikhu’t-Ta’ifa Abu Ja’far MuhammadIbn Hasan Ibn Ali Tusi, ambaye ameandika tofauti zote za mafakihi wa Kiislam kutokakwenye sura ya Tohara mpaka kwenye sura ya Diyat (Kisasi). Nitatoa mmoja kati yamifano mingi ya kanuni za kisheria, zilizoamuliwa kinyume na Qur’ani Tukufu.

Seikhh: ndiyo, hebu tupe mfano wa hili.

KATIKA KUKOSEKANA MAJI KWA AJILI YAJOSHO NA UDHU MTU AFANYE TAYAMMAM

Ninyi waungwana mnafahamu kwamba josho la wajibu ni kanuni muhimu ya Kiislam.Kutegemea mazingira, mtu huosha mwili mzima (josho) au sehemu yake (udhu). “Mnaposimama kusali. Osheni nyuso zenu na mikono yenu mpaka kwenye kongombili.” (5:6)

Mikesha ya Peshawar

429

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 429

Page 448: Mikesh A

Kama vilivyo, tunapaswa tutawadhe kupata udhu kwa maji safi. Wakati hatuna maji,tufanye tayammam, kulingana na Aya:“Na kama msipopata maji basi chukueni udongo(safi) na mpake nyuso zenu na mikono yenu.” (4:43)

Tunapaswa kufanya tayammam kwa udongo safi. Katika suala la awali, maji kwa ajili yaudhuu ni muhimu. Katika suala la pili, maji hayapatikani, au kama kuna sababu nyingineya udhuru basi, iwe tumo katika safari au tupo nyumbani, tutapaswa kufanya tayammam,kupaka mikono na nyuso kwa vumbi safi, badala ya udhu. Katika nukta hii, mafakihi wotewa Kiislam wanakubaliana, ama wewe Shi’a Ithna Ashari, Maliki, Shafi’i, au Hanbali,

FATWA YA ABU HANIFA KWAMBA KAMA MAJIYASIPOPATIKANA TUNAWEZA KUFANYA JOSHO

LA UDHU KWA KUTUMIA (NABIZ) KOSHA LA MTENDE.

Lakini Imam wenu mkubwa sana, Abu Hanifa (ambaye fatwa zake nyingi sana zimetege-mea kwenye dhana) anasisitiza kwamba wakati tukiwa safarini na kama hatuwezi kupatamaji, tunapaswa kuoga josho kutumia Nabiz ( maji ya kosha la mtende). Lakini kila mtuanajua kwamba Nabiz ni kosha la mtende na sio halali kuchukua udhu kwa maji yaliy-ochanganyika.

Qur’ani Tukufu inaagiza kamba ni lazima juu yetu sisi kuchukua udhu kwa ajili ya ibadaya Sala kwa kutumia maji safi. Kama maji hayapatikani, tunapaswa kufanya tayammam.Imam A’zam Abu Hanifa anasema kwamba tunaweza kuoga josho au udhu kutumia Nabiz.Huu ni uvunjaji wa wazi wa Sheria ya Qur’ani. Kwa upande mwingine , Bukhari katikaSahihi yake ameandika hivi “Sio halali kuchuku udhu kwa Nabiz au kilevi.”

Hafidh: Ninafuata madhehebu Shafi’i na ninakubaliana na wewe kabisa katika suala hili.Kama hakuna maji tufanye tayammam, na hairuhusiwi kuchukua udhu kwa Nabiz. Fatwahii imezushiwa Imam Abu Hanifa kwa msingi ya umaarufu wa jumla wa hiyo nabiz.

Muombezi: Kwa kujua ukweli halisi unafanya kisingizio hiki. Fatwa hii ya Abu Hanifaimesimuliwa kwa mfululizo sana. Ninamnukuu Fakhru’d-Din Radhi anayesema katikasherehe yake ya Mafatihul-Ghaib, Juzuu ya 3 uk. 553 kuhusiana na aya hii ya tayammam,mas’ala ya 5; Shafi’i anasema kwamba “Udhu kwa kutumia Nabiz (kosha la mtende) siohalali, na Abu Hanifa anasema kwamba ni halali wakati mtu anapokuwa yuko kwenyesafari. Pia Ibn Rushd ameandika fatwa hii ya Abu Hanifa katika kitabu chake Hidayatu’l-Mujtahid.

Sheikh: Utasemaje kwamba fatwa hii ni kinyume na amri ya Qur’ani? Baadhi ya Hadith,

Mikesha ya Peshawar

430

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 430

Page 449: Mikesh A

zinaithibitisha kwa uwazi kabisa kutoka kwenye kitendo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Muombezi: Unaweza kutaja Hadithi yeyote yenye kuunga mkono hoja yako?

Sheikh: Katika Hadithi ambayo Abu Zaid, mtumwa wa Amr Bin Harith anasimulia kuto-ka kwa Abdullah Bin Mas’ud kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimuambia, kwenyeusiku wa majini (Lailatu’j-Jinn usiku ambapo Mtume alipokea kiapo cha utii kutoka kwamajini) kwamba: “Je, unayo maji kidogo” Yeye ( Abu Zaid) akasema: “Hapana, ipo nabizkidogo tu” Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Mtende ni msafi, na maji pia ni masafi.Kusema hivyo akachukua wudhu.

Kuna Hadithi nyingine ambayo Abbas Bin Walid Bin Sabihu’l-Halal Damishqi anasimu-lia kutoka kwa Marwan Bin Muhammad Tahir Damishqi ambaye alisimulia kutoka kwaAbdullah bin Lahi’a ambaye ameisimulia kutoka kwa Abdullah Bin Mas’ud ambaye alise-ma: Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliniambia katika usiku wa majini “Je unayo maji”Nikasema: “Hapana, lakini kuna Nabiz katika hiyo ndoo.” Kisha Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) akasema: “Mtende ni msafi, na maji yake ni masafi. Nimiminie.” Hivyo nilim-miminia (juu ya viungo vyake), na akachukua udhu nayo.”

Ni dhahiri, kitendo hiki cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ni mfano kwa ajili yetu sisi wa kuu-fuata. Hakuna kanuni au hoja iliyo bora kuliko vitendo vyake. Ni kwa sababu hiyo kwam-ba Imam wetu A’zam amekubali uhalali wake.

Muombezi: Pengine ingelikuwa vyema kama ungelinyamaza kimya. Sasa ndugu zetuSunni watajua kwamba Viongozi wao walikosea. Walitoa fatwa kwa misngi ya dhana tu.Kwanza kabisa, natuchunguze hawa wasimuliaji wa Hadithi hii walikuwa ni nani.

Kwanza, Abu Zaid, mtumwa wa Amir Bin Harith, ni mtu asiyejulikana, na kulingana nawanachuoni au Hadithi, ni mtu asiyekubalika kama alivyoelezwa na Tirmidh na wengineo.Dhahabi katika Mizanu‘l-itidal yake anasema: “Mtu huyu hajulikani kwetu na hadithi hiiambayo imesimuliwa kutoka kwa Abdullah Bin Mas’ud siyo sahihi.” Hakim anasema;“Hakuna hadithi nyingine iliyosimuliwa na mtu huyu asiyejuliakana.”

Bukhari pia amemtaja kama msimuliaji wa Hadithi asiyetegemewa. Kwa sababu hii,Ulamaa mashuhuri, kama Qastalani na Sheikh Zakariyya Ansari, wameandika katikaSherehe zao za Sahih Bukhari kwamba “udhu sio halali kwa kutumia nabiz au vileo.”Wanaeleza kwamba hadithi iliyorejewa hapo juu ni dhaifu. Hii hadithi ya pili pia nayohaikubaliki. Kwanza, hakuna mwanachuo, ispokuwa Ibn Maja, aliyeisimula kwa namnahii.

Pili, Ulamaa maarufu hawakuiingiza katika Sunna zao kwa sababu sanadi ya wasimuliziwake ina utata.

Mikesha ya Peshawar

431

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 431

Page 450: Mikesh A

Dhahabi katika Mizanu’l-Itiqad yake amenukuu idadi ya kauli zinazoonyesha kwambaAbbas Bin Walid sio wakutegemewa. Hivyo wasanifu na wafasiri wamemkataa yeye mojakwa moja. Na kuhusu Marwan Bin Muhammad Tahiri, alikuwa ni wa lile kundi lililopotoka la Marhaba. Ibn Hazm na Dhahabi wamethibitisha kwamba alikuwa msimuliajihadithi asiyetegemewa.

Vivyo hivyo, Abdullah Bin Lahi’a pia ametiliwa mashaka na Ulamaa mashuhuri nawafasiri. Kwa hiyo pale sanadi ya wasimulizi wa hadithi inapokuwa ni ya asili ya masha-ka hivyo kwamba ulamaa wenu wenyewe wanaikataa, hadithi hiyo inapoteza thamani.

Tatu, kwa msingi wa hadithi, ambayo wanachuoni wenu wameisimulia kutoka kwaAbdullah Bin Mas’ud, hakukuwa na mtu yeyote pamoja Mtukufu Mtume kwenyeLailatu’j’Jinn. Abu Dawud katika Sunnan yake, sura ya Udhu, na Tirmidhi katika Sahihyake wanasimulia kutoka kwa Al-Qama kwamba Abdullah Bin Mas’ud aliulizwa: “Ni nanimiongoni mwenu aliyekuwa pamoja na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) katika ule usiku waLailatu’j-jinn? Yeye akasema: “Hakuna mtu aliyekuwa naye kutoka miongoni mwetu.”

Nne, Lailatu’j-Jinn ulitokea Makkah kabla ya Hijra (kuhama kwa Mtume), ambapowafasiri wote wanasema kwamba aya ya Tayammam ilishuka Madina. Hivyo amri hii kwahakika inaifuta ile amri iliyotangulia huko nyuma. Ilikuwa ni kwa sababu hii kwambamafakihi wenu wakubwa, kama vile Imam Shafi’i, Imam Malik na wengineo wameitamkakwamba ni haram.

Inashangaza kwamba huyu Sheikh anawasilisha Hadithi dhaifu kama yenye kuaminikausoni mwa Qur’an Tukufu na anajaribu kuthibitisha maelezo ya Abu Hanifa kuwa ya sawa-sawa na sahihi.

KUOSHA MIGUU KATIKA UDHU NI KINYUME NA SHERIA YA QUR’ANI

Mbali na kanuni zilizokubalika za udhu zilizotajwa katika Aya ya hapo juu, baada yakuosha uso na mikono, sehemu ya kichwa na za miguu mpaka kwenye vifundo ni zakupakwa. Aya hii tukufu inasema wazi: “Na pakeni sehemu ya vichwa vyenu na sehemuya miguu yenu mpaka kwenye vifundo.” Lakini wanachuoni wenu wote wa fiqhwanashikilia kwamba miguu ioshwe, wakipinga hukumu ya wazi ya Qur’ani. Kuna tofau-ti kati ya kuosha na kupaka.

Sheikh: Kuna Idadi kadhaa ya Hadith zinazoonyesha kwamba miguu ni ya kuoshwa.

Muombezi: Kwanza, hadithi zinazorandana na hukmu za Qur’ani tu ndio zinazokubali-ka. Kwa hakika, kutangua aya wazi ya Qur’ani kwa hadith moja tu haiwezi kamwe kuwa

Mikesha ya Peshawar

432

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 432

Page 451: Mikesh A

halali. Aya hii tukufu kwa uwazi kabisa inaagiza kupaka, sio uoshaji wa miguu. Kamautafikiri kwa uangalifu kidogo utaona kwamba aya yote mzima inaelekea wenye maanahiyo hiyo. Inaanza na hukmu ya “osha uso wako na mikono yako.” Hiki kiungo “na”kinaashiria kwamba baada ya kuosha uso, tunapaswa pia kuosha kichwa mikono.Kadhalika, katika hukmu ya pili: “na pakeni sehemu vichwa vyenu na sehemu ya miguuyenu.” Kupakwa kwa kichwa na kwa miguu kumeunganishwa na kile kiungo “na.” Hiiinaonyesha wazi kwamba baada ya kupaka kichwa, na miguu nayo ni lazima ipakwe.Inapita bila kupingwa kwamba kuosha hakuwezi kubadilishwa na kupaka. Hivyo kamakuosha uso na mikono kulivyo lazima, kule kupaka kichwa na miguu pia ni lazima.Hairuhusiwi kwamba kimoja kipakwa na kingine kioshwe. Vinginevyo, hiki kiungo “Na”kitakuwa hakina maana yoyote.

Hali kadhalika, mbali na maana hizi za wazi, sheria ya Kiislam haibebi hukumu ngumu nazenye uzito. Kuosha miguu ni kugumu zaidi ya kupaka hiyo miguu. Hukumu ya kidiniimedhamiriwa kufanya kuchukua udhu kuwe kwepesi, kama usemi wa aya unavyopen-dekeza pia. Imam Fakhru’d-Din Razi, mfasiri mkubwa wa Kisunni, anatoa hoja yenyemaelezo zaidi kuhusu hali halisi ya ulazima wa kupaka miguu katika udhu. Utafaidika kwakuisoma hiyo.

KUPAKA JUU YA SOKSI NI KINYUME NA SHERIAYA WAZI YA QUR’AN TUKUFU

La ajabu zaidi kuliko kuosha miguu ni kupaka juu ya soksi. Kuna hitilafu miongoni mwamafaqihi wa Kisunni juu ya kwamba inaweza kufanywa wakati wa safari au ukiwa nyum-bani.

Hukmu hii ni kinyume na maelekezo ya Qur’ani ambayo inashurutisha kwamba tunapaswakupaka miguu na sio soksi. Hukmu hii pia inapingana na hukmu ya awali ya kuosha miguu.Ikiwa kupaka miguu sio halali, kwa nini wamefanya kupaka juu ya soksi kuwa ni halali?

Sheikh: Kuna Hadithi nyingi zinaoonyesha kwamba bwana Mtume alipaka soksi zake.Kwa maana hiyo, mafaqihi wakaichukulia hiyo kama uthibitisho wa uhalali wa kitendohicho.

Muombezi: nimerudiarudia kushauri kwamba, kulingana na amri ya Bwana Mtume,hadithi inayodaiwa imesimuliwa kutoka kwake ambayo hairandani na Qur’ani Tukufu niya kukataliwa. Wazushi hawa na wanasiasa wajanja wametunga Hadithi nyingi. Kwasababu hiyo, Ulamaa wenu mashuhuri wamekataa Hadithi za namna hii.

Mbali na ukweli kwamba hadithi hizi haziendani na sheria za wazi Qur’ani Tukufu,zenyewe ziko zinapingana. Ulamaa wenu wakubwa wenyewe wameukubali ukweli huu.

Mikesha ya Peshawar

433

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 433

Page 452: Mikesh A

Kwa mfano, yule mwenye hekima nyingi, Ibn Rushd Andalusi, katika Badaytu’l-Mujtahidwa Nihayyatu‘l-Muqtasid yake Juz. 1, uk. 15-16, anasema juu ya tofauti hii. “Sababuambayo wanahitilafiana nayo ni kwamba riwaya juu yao zinapingana zenyewe.” Mahalipengine anasema: “Sababu ambayo wanahitalafiana kwayo ni kwamba, riwaya juu yaohaziendani daima.”

Kwa hiyo, kusimamisha hoja juu ya riwaya na hadithi ambazo zinapingana zenyewe naambazo pia ni kinyume kabisa na maagizo ya Qur’ani ni kichekesho kabisa. Unajua kwam-ba kati ya hadith ambazo zinapingana zenyewe, ni zile tu ambazo zinakubaliana na Qur’aniTukufu ndizo zinazokubaliwa. Ikiwa hadithi yoyote inapingana na Qur’ani, hiyo ni yakutupwa moja kwa moja.

KUPAKA JUU YA KILEMBA NI KINYUME NA SHERIA YA QUR’ANI

Aya hii inaeleza wazi kwamba, “Na pakeni sehemu ya vichwa vyenu” (baada ya kuoshauso na mikono). Kwa misingi ya amri hii ya Qur’ani, mafaqihi wa Kishia, kwa kuwafuataMaimam wao, wanashikilia kwamba, kichwa chenyewe ni cha kupakaza katika kuchukuaudhu. Mafaqih wa Shafi’i, Maliki, Hanfi wanapatana. Lakini Imam Ahmad Bin Hanbali,Ishaq, Thawri na Quza’i wamesema kwamba kupaka juu ya kilemba inasihi. Hii ime-andikwa na Imam Fakhru’d-Din Razi katika Tafsir-e- Kabir. Mtu yeyote mwenye fahamuanajua kwamba kupakaza juu ya kilemba na kupakaza juu ya kichwa ni mambo mawilitofauti kabisa.

SHI’A PEKEE NDIO WANAOLAUMIWAKWA TOFAUTI KAMA HIZO:

Kuna tofauti nyingine za hali ya juu sana miongoni mwa mafaqihi wenu na miongoni mwamadhehebu nne hizi. Ingawa nyingi ya hizo zinapishana waziwazi na maagizo ya Qur’ani,hamtoani makosa kati yenu. Kila mmoja wao yuko huru kudumisha maoni yake.

Hamumuiti Abu Hanifa na mahanafiya kuwa ni washirikina, wanaporuhusu udhukuchukuliwa kwa Nabiz (Maji ya mtende yaliyochachuliwa) wala hamshutumu tafsir zina-zojipinga zenyewe za sheria, ambazo zinavunja hukumu za Qur’ani. Lakini mnawapingaShi’a ambao, wanawafuata kizazi cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Kwa kweli mnawaitawafuasi ile familia tukufu Rafidhi na Makafiri! Umesema kwa kukariri katika mikeshailiyopita kwamba ibada za Kishi’a zinathibitisha kuwa wao ni washirikina. Umeuliza kwanini hatufanyi Sala kama Waislam? Sisi tunaswali Swala zile zile ambazo wewe naWaislam wengine wote wanazosali; rakaa mbili za Al-fajir, (sala ya asubuhi), rakaa nne

Mikesha ya Peshawar

434

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 434

Page 453: Mikesh A

za Adhuhuri (Sala ya mchana), rakaa nne za Asr (Sala ya alasiri), rakaa tatu za magharibi(Sala ya wakati wa kuzama jua), na rakaa nne za Isha (Sala ya jioni).

Na kwa tofauti katika kanuni za ibada, zipo tele katika madhehebu zote za Kiislamu. Kwamfano, kuna tofauti ya wazi kati ya Abu’l-Hasan Ash’ari na Wasil Bin Ata katika misingina kanuni za ibada. Pia Maimam wenu wanne (Abu Hanifa, Maliki, Shafi’i na AhmadHanbal) na mafaqihi wengine wakubwa kama Hasan, Dawud, Kathir, Abu Sur, Quza’i,Sufyan Thawri, Hasan Basr na Qasim Bin Salam n.k, wana tofauti miongomi mwao.Katika namna hiyo hiyo, hukumu za Maimam watukufu wa Ahlul Bayt zinatofautiana nakauli za mafaqihi wenu. Ikiwa tafsiri za kisheria za mafaqihi hawa na tofauti zao za maonizinaweza kushutumiwa, kwa nini shutuma kama hizo zisitolewe dhidi ya madhehebutofauti za Kisunni?

KWA MUJIBU WA ULAMAA WA KISUNNIKUSUJUDU JUU YA KINYESI KIKAVU

NA KINYESI CHA MNYAMA NI HALALI.

Ulamaa wengi wa Sunni wanazikubali tafsiri za kisheria ambazo zinakiuka amri ya waziya Qur’ani na bado wanatoa tafsiri potovu kwa amri zenye kueleweka wazi. Mafaqihwengine wanatoa maoni tofauti. Bado hamzichukulii tafsiri zao au ibada zao kama niukafiri. Lakini kuhusiana na ufanyaji wetu wa sijda mnatoa upinzani kwa sauti kubwa,mkisema kwamba, Shi’a ni waabudu sanamu, wakati mnapuuza tamko la ulamaa wenuwenyewe kwamba kusujudu juu ya kinyesi kikavu kunaruhusiwa.

KUSUJUDU JUU YA MAZULIA BADALA YAARDHI NI KINYUME NA AGIZO LA QUR’ANI

Maamuzi ya kisheria ya mafaqih wa Shi’ah, wakiwafuata Maimam wao watukufu,yanakubaliana kwa uwazi na maagizo ya Qur’ani Tukufu. Kwa mfano, mafaqihi wenuwanachukulia mazulia ya sufi, pamba, hariri na mazulia mengine sawa sawa na udogo.Lakini ni wazi kwamba mazulia haya sio udongo wenyewe.

Lakini Shi’ah, kwa utii kwa Maimam wao wa Ahlul-Bayt wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)wanasema: “Sijda haisihi juu ya chochote isipokuwa juu ya udongo au vile vitu,vinavyokua kutoka kwenye udongo na havitumiki kwa kula au kuvaliwa.” Kwa hilimnawakemea na kuwaita washirikina. Kwa upande mwengine hamuiti kusujudu kwenyekinyesi kikavu ni ushirikina. Ni dhahiri kabisa kwamba, kusujudu juu ya udongo kamailivyoamriwa na Allah na kusujudu juu ya mazulia ni vitu tofauti kabisa.

Sheikh: Ninyi watu mnafanya Sijda kwenye vipande vya udongo wa Karbala. Mnakuwa

Mikesha ya Peshawar

435

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 435

Page 454: Mikesh A

na vibonge hivyo vidogo vya udongo kutoka nchi ile. Viko kama sanamu, na mnachukuliakusujudu juu yao ni lazima. Kwa kweli, kitendo hiki ni kinyume na taratibu na ibada zaWaislam.

Muombezi: Imekuwa ni desturi yako kuwafuata wakubwa wako kiupofu ingawa haipen-dezi mtu muungwana kama wewe kusema kwamba ule udongo halisi wa Karbala ni kamasanamu.

Rafiki yangu mheshimika! Shutuma juu ya imani yoyote ni lazima itegemee juu ya ushahi-di. Kama ungevisoma vitabu vya Ilmu vya Shi’ah, ungelipata jawabu la shutma zako, nausingewapotosha ndugu zetu Sunni kwa upinzani wa uongo.

SHIA HAWACHUKULII KUSUJUDU JUUYA UDONGO WA KARBALA KUWA NI WAJIBU

Kama unaweza kutuonyesha kutoka kwenye tafsiri yetu yoyote hadithi moja au tamkolinaloashiria kwa kusujudu juu ya udongo wa Karabala ni wajibu, tutayakubali maelezoyako yote kwamba ni sahihi. Kwa kweli, katika vitabu vyetu vyote vya kanuni za kidini,kuna maelekezo ya wazi kwamba, kwa mujibu wa amri ya Qur’ani Sijda ni lazima ifany-we juu ya udongo halisi. Hii inajumuisha vumbi, mawe, mchanga na majani, ili mradi tuisiwe ni madini. Zaidi ya hayo, Sijda inaweza kufanywa juu ya vile vitu vinavyoota kuto-ka kwenye ardhi, mradi tu havitumiwi kwa chakula au kuvaliwa.

Sheikh: Basi kwa nini mnayo kawaida ya kuwa navyo vibonge vidogo vya udongo tokaKarbala na mnafanya Sijda juu yake wakati wa Sala?

SHIA WANAKUWA NA VIDONGE VYA UDONGO KWA AJILI YA KUSUJUDIA WAKATI WA SALA.

Muombezi: Kusujudu juu ya udongo safi ni faradhi. Ibada ya Sala kwa kawaida inafanyi-ka kwenye nyumba ambazo zimepambwa na mazulia (makapeti). Hata kama mazulia hayoyataondolewa, ile ardhi iliyo chini yao kwa kawaida inakuwa na chokaa na vitu vingineambavyo juu yao sijda hairuhusiwi. Kwa hiyo, tunakuwa na kipande cha udongo ili kwam-ba tuweze kusujudia. kwa hiyo, tunakuwa na kipande cha udongo ili kwamba tuweze kusu-judia juu yake. (Mujtahid wengi wa Shia’h wanachukulia chaki, plasta, chokaa na maweya kuchimbuliwa kama vile ageti vyenye kuruhusika tu pale vinapokosekana vile vituvilivyopendekezwa, lakini hata hivyo vinaondoa mawe yenye madini halisi na madiniyaliyosafishwa - Mfasiri).

Mikesha ya Peshawar

436

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 436

Page 455: Mikesh A

Sheikh: Tunachokiona ni kwamba, Shi’ah wote wana vidonge vya udongo wa Karbala nawanachukulia kufanya sijda juu yake ni faradhi.

KWA NINI TUNASUJUDU JUU YAULE UDONGO WA KARBALA

Muombezi: Ni kweli kwamba sisi tunasujudu juu ya udongo wa Karbala, lakini sisi hat-ulichukulii hilo kwamba ni wajibu. Kulingana na maelekezo yaliyomo ndani ya vitabuvyetu vya Fiqh tunachukulia sijda ni wajibu juu ya udongo safi. Hata hivyo, kulingana naAhlul’Bayt, sajda juu ya udongo safi wa sehemu aliyozikiwa Husain (a.s) kule Karbala, nibora zaidi

Inasikitisha kwamba baadhi ya watu kwa uovu tu wanashikilia kwamba Shi’ah wana-muabudu Husein. Wanatilia nguvu maoni yao kwa kusema kwamba Shi’ah wanafanyaSajda zao juu ya udongo uliochulikuliwa toka Karbala. Kwa kweli kamwe hatumuabuduHusain, Ali au Muhammad. Tunamuabudu Allah swt. peke yake, na ni kulingana na amriya Allah kwamba tunafanya Sajda juu ya udongo halisi tu. Kusujudu kwetu sio kwa ajiliya Husain. Lakini kutokana na maagizo ya Maimam wasiokosea wa kizazi cha MtukufuMtume (s.a.w.w.), kusujudu juu ya udongo safi wa Karbala kunapelekea kwenye malipomakubwa juu yetu, lakini sio wajibu.

Sheikh: Utadai vipi kwamba udongo wa Karbala una sifa maalum na kwamba unastahilikupendelewa zaidi ya udongo mwingine?

SIFA ZA HALI YA UDONGO WAKARBALA.

Muombezi: Kwanza, ni ukweli kwamba sehemu tofauti zina sifa tofauti. Kila kipandecha ardhi kina sifa maalum ambayo ni mtaalam wa utafiti wa ardhi na mawe (geologist) tuanayezijua. Wasio wataalam hawayajui mambo haya.

Pili, sifa, hali maalum ya udongo wa Karbala zilijulikana kabla ya wakati wa Maimamwatukufu. Kilikuwa ni kitu chenye mazingatio maalum katika wakati wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) pia, kama ilivyokuwa imeandikwa kwenye vitabu sahihi vya Ulamaa wenuwenyewe.

Katika Khasa’isu’I-Kubra cha Jalalu’d-Din Suyuti, idadi ya hadithi za Ummu’I-Mu’mininUmm Salma, Ummu’I-Mu’minin Aiyesha, Ummu’I-Mu’Minin Fadhl, Ibn Abbas na AnasBin Maliki na kadhalika, juu ya udongo wa Karbala zimesimuliwa na Ulamaa wenu

Mikesha ya Peshawar

437

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 437

Page 456: Mikesh A

mashuhuri na wasimulizi wanaotegemewa kama Abu Nu’aim Ispahani, Baihaqi na Hakim.

Hadithi moja inasema: “Nilimuona Husain amekaa katika paja la babu yake, MtukufuMtume (s.a.w.w.) aliyekuwa na donge jekundu la udongo mkonini mwake. MtukufuMtume (s.a.w.w.) alikuwa akibusu ule udongo na kulia. Nilimuuliza udongo ule ulikuwanini? Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), akasema: “Jibril amenijulisha kwamba mwanangu, huyuHusain, atauawa huko Iraq. Ameniletea udongo huu mimi kutoka kwenye ardhi ile. Ninaliakwa sababu ya mateso yatakayomfika Husein.”

Kisha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akaukabidhi ule udongo kwa Ummu Salma na akamuam-bia: “Pale utakapoona kwamba udongo huu unageuka kuwa damu, utajua kwamba Husainwangu amechinjwa.”

Ummu Salma aliuweka udongo ule kwenye chupa na akaweka uangalizi juu yake mpakaakaona mnamo siku ya Ashura, mwama 61 A.H. kwamba umegeuka kuwa damu. Ndipoakajua kwamba Husain Bin Ali ameuawa shahidi.

Imeandikwa na Ulamaa wenu mashuhuri na mafaqihi wa Kishia kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) na Maimam waliweka mazingatio maalum juu ya udongo halsi wa Karbala.Baada ya kuuawa shahidi Imam Husain, Imam Seyyedu’s-Sajidin Zainur’I- Abidin, AliBin Husain aliuokota kidogo, akautangaza kuwa ni udongo Mtakatifu na akauwekakwenye begi lake. Imam huyu Mtukufu alitumia kufanya Sajda juu yake na alitengenezatasbihi kutokana nao na akadhukuru sifa za Allah kwayo.

Baada yake, Maimam wote walaiomfuatia waliuchukulia udongo ule kuwa ni mtakatifu nawalitengeneza tasbih kutokana nao na kidongo kidogo cha kusujudia juu yake.Waliwashawishi Shi’ah kufanya sajda juu yake, kwa kuelewa kuwa haikuwa ni wajibu,lakini kwa maoni ya kutarajia kupata malipo makubwa. Maimam watukufu walisisitizakwamba kusujudia mbele ya Allah lazima kuwe juu ya udongo safi tu, na kwambaingekuwa ni bora zaidi kama ingefanywa juu ya udongo ule wa Karbala.

Yule mwanachuoni mkubwa, Abu Ja’far Muhammad Bin Hasan Tusi anaandika katikakitabu chake Misbahu’l-Mutahajjid kwamba Imam Ja’far as-Sadiq aliweka udongo kido-go kutoka kwenye kaburi la Imam Husain katika kitambaa cha rangi ya manjano ambachoalikifunua wakati wa sala na kufanya Sajda yake juu yake. Shi’ah kwa muda mrefu wame-jiwekea udongo huu. Kisha, kwa kuhofia kwamba ungeweza kunajisika, waliukandavidonge vidoga au vipande, ambavyo sasa vinaitwa Muhr. Tunavichukulia kwamba nivitakatifu na wakati wa sala tunasujudu juu yavyo, sio kama tendo la wajibu lakini kwamtazamo wa sifa yake maalum, vinginevyo tunapokuwa hatuna udongo halisi, tunasujudujuu ya ardhi safi, au jiwe safi. Kwa namna hii, tendo letu la faradhi (sajda) linatimia.

Tunashangazwa na tabia ya Ulamaa wenu ambao hawaoni makosa kwenye fatwa za haya

Mikesha ya Peshawar

438

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 438

Page 457: Mikesh A

madhehebu manne ya Sunni. Ni kwamba, kama Imam A’ zam anasema kwamba katikakukosekana maji udhu unaweza kuchukuliwa kwa nabiz, Shafi’i, Maliki na Hanbalihawana pingamizi juu yake. Ikiwa Imam Ahmad Bin Hanbali anaamini kuonekana kwaAllah au anachukulia ni halali kupaka maji juu ya kilemba katika utaratibu wa udhu, ula-maa wa hizo madhehebu zingine hawamshutumu. Halikadhalika, hawalaumu fatwa zakipekee kama ile ya kuungana katika ndoa na wafulana wadogo wakati wa safari, kusujudujuu ya kinyesi au kitu chochote kilichonajisika, au kuingiliana na mama zao kwa kutumianguo ya kujifunika.

Lakini tunaposema kwamba kizazi cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wamesema kwamba,kusujudu juu ya udongo wa Karbala ni jambo lenye thamani mnasema kwamba hawaShi’ah ni washirikina.

UMRI MKUBWA SIO KIGEZO CHA UKHALIFA.

Sasa nitaijibu hoja yako. Kuzungumzia juu ya umri uliosogea na makubaliano (ijma), ume-sema kwamba kwa sababu ya umri wake, Abu Bakr alistahili kipaumbele. Hata baada yamikesha kumi, wakati ambamo nimetengua hoja yako kuhusiana na ijima (makubaliano yapamoja) na upendeleo kutegemea juu ya umri, unaizusha tena hoja hiyo kana kwambahakuna lililosemwa. Hata hivyo, sitakuacha bila ya kujibiwa.

ALI ATEULIWA KUWASILISHA AYA ZASURAT BARA’A (TAWBA) YA QUR’ANI TUKUFU

Umetoa hoja kwamba Abu Bakr alistahili kipaumbele kwa sababu ya umri wake na mbinuzake za kisiasa, lakini ni vipi kwamba baadhi ya watu waliamua kwamba kwa kusudikubwa ilikuwa ni sharti kwa mtu kuwa mzee na mwenye mbinu za kisiasa, lakini Allah naMtume wake hawakulielewa hili. Kwa kukuziwasilisha aya arobaini za mwanzo za Bara’akwa watu, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimuuzulu Abu Bakri na kumtuma huyo kijana Alibadala yake.

Nawab: Bwana Mheshimika! Tafadhali usiiache nukta hii katika hali ya kutoelewekavizuri. Tufahamishe ni kwa lengo gani Abu Bakr aliuzuliwa na akachaguliwa Ali mahalipake. Nilipowauliza watu hawa (akiwanyooshea kidole Ulamaa wake) juu ya hili, walitoajibu la wasi wasi, wakisema kwamba lilikuwa ni jambo lililokuwa halina umuhimu.Tafadhali hebu lielezee jambo ili.

Muombezi: Umma wa Kiislam, pamoja na ulamaa na wanahistori wa madhehebu zote(Shi’ah na Sunni) wanaukubali ukweli kwamba wakati ziliposhuka zile aya za mwanzo zaSura ya Bara’a katika kuwashutumu wanaoabudu sanamu, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)

Mikesha ya Peshawar

439

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 439

Page 458: Mikesh A

alimuita Abu Bakr akampa aya hizo, akimuagiza yeye kuzipeleka Makka na kuzisoma kwawatu wa Makka wakati wa Hijja.Abu Bakr alikuwa amekwenda mwendo mfupi tu wakati Jibril alipotokea na kusema: “EweMtume wa Allah! Allah swt. anatuma salam Zake kwako na anasema kwamba hili suala laQur’ani Tukufu liwe limepelekwa ama na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe au namtu ambaye anatokana naye.”

Kwa hali hiyo, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akamuita Ali na kumwambia: Mkimbilie AbuBakr na uchukue zile aya za Bara’a toka kwake na ukaziwasomea waabudu masanamu waMakka. Ali akaondoka mara moja. Alimkuta Abu Bakr hapo Dhu’l-Halifa na akamfikishiaule ujumbe wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Akazichukua ziel aya toka kwa Abu Bakr naalipofika Makka, akazisoma kwenye mkusanyiko wa watu.

Nawab: Habari hizi zimeandikwa kwenye vitabu vyetu vya Sahih?

Muombezi: Nilikwisha kueleza punde kwamba Umma wote unakubaliana juu ya sualahili. Nitakupa baadhi ya rejea sasa hivi, ili kwamba utakapofikiria juu ya suala hii utawezakujua kwamba ni suala la maana sana. Waandishi mashuhuri wafutao wameiandika habarihii katika vitabu vyao na kwa ujumla wakathibisha ukweli wake.

Bukhari katika Sahih yake, Jz. ya 4 na 5; Abdi katika Jam-e-Bainu’s–Sihahi’s-Sitta, Jz. ya2, Baihaqi katika Sunan uk. 9 na 224; Tirmidhi katika Jam’i; Juz 2, uk. 135, Abu Dawudkatika Sunan, Khawarizmi katika Manaqib; Shukani katika Tafsir Juz. 11, uk. 319, IbnMaghazili katika Manaqib, Faqih Shafi’i’ katika Fadha’il yake, Muhammad Bin TalhaShafi’i katika Matalibu’s-Su’ul uk. 17; Sheikh Sulayman Balkhi Hanafi katika Yanabiu’l-Mawadda Sura ya 18, Muhibu’d-Din Tabari katika Riyazu’n-Nazara uk. 147 naDhakha’iru’I-Uquba uk. 69, Sibt Ibn Jauzi katika Tadhkira Khawasu’I-Umma uk. 22,Imam Abdu’r-Rahman Nisa’i (mmoja wa Maimam wa Sihah) katika Khasa’isul-Alawi uk.14 (ameandika hadithi sita zinazohusiana na suala hili); Ibn Kathir katika Ta’rikh-e-KabirJuz. 5, uk. 38 na Juz. 7, uk. 357 Ibn Hajar Asqalani katika Isaba Juz. 11 uk. 509, Jalalu’d-Din Suyuti katika Durru’I-Mansur Juz. 3, uk. 208, ( katika Sherehe juu ya Aya ya kwan-za ya Bara’a) Tabari katika Jam’uI-Bayan, Juz . 10, uk. 41, (katika Sherehe ya Bara’a);Imam Tha’labi katika Tafsiri-e-Kashfu’I-Bayan, Ibn Kathir katika Tafsir Juz. 11 uk. 333;Alusi katika Ruha’l-Ma’ani Juz 3, uk. 268, yule mkaidi, Ibn Hajar Makki katika Sawa ‘iquk. 19 Haithami katika Majma’u’z-Zawa’id Juz. 7, uk. 29, Muhammad Bin Ganji Shafi’ikatika Kifayatu’t-Talib uk. 125 Sura ya 62 (akisimulia kutoka kwa Abi Bakr na Hafiz AbiNu’aim na kutoka kwenye Musnad ya Hafiz Damishqi kama ilivyosimuliwa na AbiNu’aim katika njia tofauti); Imam Ahmad Bin Hanbal katika Musnad, Juz. 1 uk 3 na 151,Juz. 3, uk. 283 na Juz IV uk. 164-5; Hakim katika Mustadrak, Juz. 2, Kitab Maghazi uk.51 na katika Juz. 2 ya kitabu hicho hicho uk. 331; Mulla Ali Muttaqi in Kanzu’l-Ummal,Juz. 1 uk 246 mpaka 249 na Fadha’il-i-Ali Juz. 6, uk. 154.

Mikesha ya Peshawar

440

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 440

Page 459: Mikesh A

SABABU YA KUTEULIWA ALI.

Seyyed Abdu’l-Hayy: Kwa nini Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), ambaye vitendo vyake vina-tokana na Allah, asimpangie Ali kazi hii tangu mwanzo?

Muombezi: Kwa vile hakuna sababu juu ya ukweli huu zilizoandikwa, sisi hatujui. Lakinimaoni yangu ni kwamba mabadiliko haya yamekusudiwa kuonyesha ubora wa Ali. Kwakiwango chochote, kwa hakika inatengua lile dai la umri au uzoefu wa kisiasa kuwa ndiozilizokuwa sababu za kumuondoa Ali katika Ukhalifa. Kama Ali angeteuliwa katika kazihii mwanzoni, lingeonekana ni jambo la kawaida, na isingewezekana kwetu sisi kuwathi-tishia ninyi ubora wa Ali. Kama umri wa Abu Bakr na uwezo wa kisiasa vingethibitishaubora wake asingeweza kurudishwa kwenye kazi kama hiyo. Lakini ukweli ni kwamba,kuwasilisha ujumbe wa utume ni kazi ya Mtume au Khalifa wake.

HADITHI YA KUFUATANA YA ABU BAKR

Seyyed Abdu’l-Hayy: Kwa mujibu wa baadhi ya hadithi, Abu Huraira anasema kwambaAli alikuwa ameagizwa kwenda Makkah pamoja na Abu Bakr kuwafundisha watu kanuniza Hijja. Ali alikuwa asome zila aya za Bara’a kwa watu. Kuwasilisha ujumbe wa utumekwa namna hii kunaashiria kwamba wote walikuwa cha cheo kinacholingana.

Muombezi: Kwanza, hii ni hadithi ya kughushi ya wafuasi wa Abu Bakr. Wenginehawakuisimulia hii. Pili, umma wote ulikubaliana kwamba Abu Bakr alirudishwa na nafasiyake ikachukuliwa na Ali. Jambo hili limesimuliwa kwa wingi sana katika vitabu vyahadithi vya madhehebu zote. Ni dhahiri, makubaliano ya umma wote ni kwamba ni lazimatutegemee kwenye zile hadithi ziliyosimuliwa kwa wingi na sahihi. Kama kuna hadithi yapeke inayotofautiana na hadithi sahihi, hiyo tuikatae. Maoni haya yanashikiliwa na watuwote wenye msimamo na wasimuliaji. Kuteuliwa kwa Ali, kurudi kwa Abu Bakr katikahali ile ya huzuni na kukata tamaa, Mtukufu Mtume kumliwaza na kumridhisha yeyekwamba hayo yalikuwa ni matakwa ya Allah - yote haya ni mambo ya kweli ambayoyanakubalika kwa jumla.

USHUHUDA MWINGINE KWAMBA UMRI SIOKIGEZO CHA UKHALIFA:

Kuna ushahidi mwingine kwamba haki ya kipaumbele haina uhusiano wa umri. Haki yaupendeleo inapatikana katika elimu na Ucha-Mungu. Yeyote anayezidi katika elimu naUcha-Mungu atastahiki upendeleo. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Watu wote niwafu, lakini watu wenye elimu wako hai.”

Mikesha ya Peshawar

441

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 441

Page 460: Mikesh A

Kwa sababu hiyo, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimpa Ali nafasi ya kwanza miongoni mwamasahaba na akasema. “Ali ndio lango la elimu.” Ni wazi kwamba lango la elimu yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) lazima awazidi wengine.

Bila shaka, wale waswahaba wengine wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) waliobakia kuwawatiifu kwake, walikuwa wote ni watu waadilifu (wema). Daima hatukatai ile nafasi yauadilifu wa Masahaba, lakini sifa zao haziwezi kuchukua ulinganisho na sifa za lango laelimu la Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

MTUKUFU MTUME ALIMTUMAALI KWENDA YEMEN.

Wanazuoni wenu maarufu wameandika kwa kirefu juu ya Ali kutumwa kwenda Yemenkuwaongoza watu wa huko. Imam Abdu‘r-Rahman, Nisa‘i amesimulia hadithi sita kuhususuala hili katika Khasa’isu’l-Alawi yake.

Vile vile Abu’I-Qasim Husain Bin Muhammad Raghib Ispahani katika Mahadhiratu‘l-Udaba yake Juz. 2, uk. 212 na wengine, wameandika kwamba wakati Mtukufu Mtumealipomuamuru Ali kwenda Yemen, Ali alijitetea kwamba alikuwa mdogo na alihisi namnaya uzito juu ya kuwekwa juu ya watu wazima wa kabila lake. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)akajibu: “Hakika Allah atauongoza moyo wako na kuupa nguvu ulimi wako.”

Kama umri ulikuwa hitajio la kupendekezea, kwa nini basi Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)mbele ya Masahaba mashuhuri na watu wazima kama Abu Bakr, alimtuma Hadhrat Alikwenda Yemen kuwaongoza watu kule?

BAADA YA MTUKUFU MTUME ALI ALIKUWANDIYE KIONGOZI WA UMMA

Akizungumza na Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.), Allah akasema katika Qur’aniTukufu :

“Wewe ni muongozaji tu na (kuna) kiongozi kwa kila watu” (13:7)

Imam Tha’labi katika Tafsir-e-Kashfu‘I-Bayan yake; Muhammad Bin Jarir Tabari katikaTafsir yake; Muhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’i katika Kifayatu‘t-Talib Sura ya 62, kuto-ka kwenye Ta’rikh-e-Ibn Asakir; Sheikh Suleyman Balkhi Hanafi katika Yanabiu‘I-Mawadda mwisho wa Sura ya 26 kutoka kwa Tha’labi, Hamwaini, Hakim, Abu’I-Qasim

Mikesha ya Peshawar

442

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 442

Page 461: Mikesh A

Haskani, Ibn Sabbagh Maliki, Mir Seyyed Ali Hamadani na Manaqib ya Khawarizmi,wakisimulia kwa idhini ya Ibn Abbas, Amiru’l-Mu’minin na Abu Buraid Aslami katikamaneno tofauti, wamesimulia hadithi kumi na moja ambazo lengo lake kuu ni kwamba,wakati iliposhuka aya hiyo hapo juu, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), akiweka mkono wake juuya kifua chake mwenyewe, alisema; “Mimi ndiye yule muonyaji.” Kisha akiweka mkonowake kwenye kifua cha Ali, akasema: “Baada yangu mimi, wewe ndiye kiongozi waUmma. Wale watakaopokea muongozo toka kwako watakuwa ndio walioongoka.”

NJAMA ZA MAADUI

Vile vile umesema baada ya miaka 25, wakati alipokuwa Khalifa, ilikuwa kutokana naukosefu wake wa uzoefu katika Siasa kwamba ndipo machafuko na umwagaji damu uka-tokea. Sina uhakika kwamba una maana gani unaposema siasa. Kama siasa ina maana yaudanganyifu, njama na kuchanganya haki na batili (kama vile watu katika zama zotewalivyofanya ili kujipatia Mamlaka), ningeweza kukiri kwamba Ali alikuwa ametolewambali kabisa kwenye siasa ya namna hiyo. Kwangu mimi siasa ina maana ya uadilifu nautendaji wa mamlaka halali.

ALI ALICHUKIA SIASA YA DHULMA - CHAFU:

Ali ambaye alikuwa ni mfano wa haki, alijitenga mbali na siasa za kidhalimu. Kamanilivyosema mapema, wakati Amiru‘l-Mu’minina aliposhika ukhalifa dhahiri, mara mojaaliwaengua viongozi wote wa awali na watumishi. Abdullah Ibn Abbas (binadamu yake)na wengineo wakasema: “Ingekuwa vema kama ungeiahirisha amri hii kwa siku chache,ili kwamba viongozi na magavana na majimbo waukubali ukhalifa wako. Kisha unawezakuwauzulu.” Imam Mtukufu akasema: “Mmenipa ushauri kuhusu siasa ya jambo hili.Lakini hamuelewi kwamba endapo nitayumbishwa na kile kinachoitwa ‘Siasa’ nanikaruhusu watawala waonevu wabaki katika nafasi zao, ingawa iwe ni kwa muda mfupitu, ningewajibika kuulizwa mbele za Allah kwa ajili ya kipindi hicho. Wakati wa kuulizwa,ningewajibishwa kwa hilo. Hili haliwezi kutarajiwa kwa Ali.” Ili kurejesha haki, Ali alia-muru mara moja kuuzuliwa kwa watawala waonevu. Hatua hii ilisababisha kuwepo upin-zani toka kwa Mu’awiya Talha, Zubair na wengine ambao walipanga maasi na kusababishaghasia kubwa na umwagaji wa damu katika nchi. Enyi waungwana! Hamlielewi vizuri hilijambo. Kwa vile hamkufanya uchunguzi wa suala hili, mnapotoshwa na wana-propagandawanaodai kuwa yale maasi wakati wa ukhalifa wa Ali yalitokana na kukosa kwake kuwana ujuzi wa siasa. La hasha. Kulikuwa na agenda zingine zikifanya kazi.

Mikesha ya Peshawar

443

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 443

Page 462: Mikesh A

VURUGU WAKATI WA UKHALIFA WA AMIRUL-MU’MININ ZILITOKANA NA UADUI DHIDI YAKE.

Kwanza, kwa muda wa miaka 25 watu walikuwa wameshawishiwa kumpinga Ali. Ilikuwani vigumu kwa hiyo kukubali uandamizi na Ukhalifa wake au kuitambua hadhi yakekubwa. Mfano wa upinzani huu ulitokea katika siku ya kwanza ya ukhalifa wake. Mtumaarufu mmoja aliingia kwenye lango la Msikiti, na alipomuona Imam juu ya mimbari,akakemea: “Nalipofuke jicho lile ambalo linamuona Ali juu ya mimbari badala ya KhalifaUmar!”

Pili. haikuwa rahisi kwa watu wenye tamaa ya dunia kukubali uadilifu wa Ali, hasa kwavile matamanio yao yalikwishapewa mwanya huru wakati wa Ukhalifa wa Uthman. Kwahiyo walisimamisha upinzani dhidi yake, ili kwamba mtu ambaye angetimiza haja zaoangewaza kutwaa madaraka. Matakwa yao yalitimilizwa wakati wa Ukhalifa waMu’awiya. Kwa hiyo, Talha na Zubair mwanzoni walitoa kiapo cha utii kwa Ali, lakiniwalipoona haja zao za kutaka mamlaka hazikutimizwa, wakavunja kiapo chao nawakampinga waziwazi katika vita vya Ngamia (Jamal).

AISHA KWA KIASI KIKUBWA ALIHUSIKASANA NA MAASI DHIDI YA ALI

Tatu, historia inatuambia kuhusu ni nani hasa aliyekuwa mchochezi mkuu wa machafukokuanzia mwanzoni mwa Ukhalifa huo. Je, alikuwa ni mwingine yeyote mbali na Ummu’l-Mu’min Aisha? Hakuwa ni Aisha ambaye kulingana na kauli za wapokezi wa Sunni naShi’ah kwa pamoja, aliyepanda Ngamia (kinyume na amri ya wazi ya Allah na Mtumewake Mtukufu kwamba akae ndani ya nyumba yake) akafika Basra na akachochea vitakubwa sana?

Unadai kwamba vita vilivyoleta madhara kwa pande zote vilitokana na Ali kukosa upeo wakisiasa. Hii ni kauli yenye kupotosha sana. Kama Aisha asingefanya maasi dhidi yake,hakuna hata mtu mmoja ambaye angeweza kuwa na ujasiri wa kumpinga Ali, baada yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuwa amekwishatangaza wazi kuwa “Kupigana dhidi ya Ali nikupigana dhidi yangu.” Aisha aliwachochea watu kupigana dhidi ya Ali.

Mikesha ya Peshawar

444

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 444

Page 463: Mikesh A

VITA VYA ALI VYA JAMAL, SIFFIN NA NAHRWAN VILIKUWA KAMA VITA VYA MTUKUFU MTUME

DHIDI YA MAKAFIRI.

Vita vya Ali dhidi ya maadui na wanafiki huko Basra, Siffin na Nahrwan vilikuwa kamavile vita vya Mtukufu Mtume dhidi ya makafiri.

Sheikh: Ilikuwaje vita dhidi ya Waislamu viwe kama vita dhidi ya makafiri?

Muombezi: Ulamaa wenu mashuhuri kama Ahmad Bin Hanbal katika Musnad yake, SibtIbn Jauzi katika Tadhkira, Sulayman Bakhri katika Yanabiu’I-Mawadda, Imam Abdur-Rahman Nisai katika Khasa’isu’l-Alawi; Muhammad Bin Talha Shafi’i katika Matalibu’s-Su’ul; uhammad bin Talha Ganji Shafi’i katika Kifayatu’t-Talib Sura ya 37, na Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahjul-Balagha wameandika kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alitabiri vita vya Ali dhidi ya “Nakisin, “Qasitin” na “Mariqin” miognoni mwao “nakisin”ilimaanisha Talha, Zubair na wafuasi wao; “Qasitin” ilimaanisha Mu’awiya na wafuasiwake, na “Mariqin” ilimaanisha Khawarij (waliojitoa) wa Nahrwan. Wote kwa pamojawalikuwa ni waasi ambao kuuwawa kwao kulikuwa ni halali na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)aliamuru adhabu hiyo hiyo juu yao wakati alipobashiri mapigano ya vita hivyo.

Muhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’i katika Kifayatu’t-Talib sura ya 37, amesimulia hadithitoka kwa Sa’id Bin Jabir, ambaye ameisimulia hadith hii kutoka kwa Ibn Abbas, kwambaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimuambia Ummu Salma: “Huyu ni Ali Bin Abi Talib. Nyamayake ni nyama yangu, damu yake ni damu yangu, na yeye kwangu, ni kama Harunalivyokuwa kwa Mussa isipokuwa tu kwamba hakutakuwa na Mtume baada yangu. UmmSalma, huyu Ali ni kiongozi wa walioamini, ni kiongozi wa Waislam, ndiye hafidhi waelimu yangu, mshikamakamu (mwandamizi) wangu na lango la elimu. Ni Ndugu yangukatika dunia hii na Akhera, yuko nami katika sehemu iliyotukuka mno, atapigana dhidi“Nakisin” “Qasitin” na “Mariqin.” Baada ya kusimulia hadithi hii Muhammad Bin Yusufanasema kwamba haidthi hii inathibitisha kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwaamemjulisha Ali kuhusu vita hivyo dhidi ya makundi yale matatu na kwamba alikuwaamemuamuru Ali kupigana dhidi ya makundi haya matatu.

Makhnaf Bin Salim anasemekana kwamba alisema kuwa wakati Abu Ayyub Ansari(aliyekuwa sahaba maarufu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipokuwa akienda na jeshikupigana katika vita hivyo, alisema “Abu Ayyub! Ajabu iliyoje juu yako! Wewe ni yuleyule mtu aliyepigana dhidi ya washirikina katika upande wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),lakini sasa hivi umejipinda kupigana dhidi ya Waislam!” Kisha Abu Ayyub akasema:

Mikesha ya Peshawar

445

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 445

Page 464: Mikesh A

“Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliniamuru mimi nipigane dhidi ya makundi haya matatu:nayo ni akina Nakisin, Qastin na Mariqin,”

Imam Abdu’r –Rahman Nisa’i katika Khasa‘isul’l-Alawi, hadithi ya 155, akisimulia kuto-ka kwa Abu Sa’id Khadiri na Sulayman Balhi Hanafi katika Yanabi uk. 59 (sura ya 2) kuto-ka kwenye Jam’u’l-Fawaid anasema kwamba Abu Sa’id amesema: “Tulikuwa tumekaa naMasahaba, tukimsubiri Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alipokuwa anakuja kuelekea kwetu, tuliona kuwa bakozi ya kiatu chake imevunjika.Alibwaga kiatu chake kwa Ali, ambaye alianza kukirekebisha. Kisha Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) akasema: Hakika, kuna mmoja kati yenu ambaye atapigana kutetea tafsir halisiya Qur’ani Tukufu kama nilivyopigana (dhidi ya Makafiri).”

Kisha Abu Bakr akasema: “Mtu huyo ni mimi?”Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “La”Kisha Umar akasema: “Je, ni mimi?”

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema; “La! Ni yule mtu anayerekebisha viatu vyangu.

Hadithi hii inaonyesha kwamba vita vya Ali vilipiganwa kwa ajili ya tafsiri halisi yaQur’ani Tukufu. Kwa hiyo ina maana kwamba, ghasia za watu wakati wa ukhalifa wa Alihazikuwa kutokana na udhaifu wa kisasa wa Amiru’l-Mu’minin bali zilitokana na uadui wawapinzani wake.

BAADA YA MTUKUFU MTUME ALI ALIKUWA NDIYE BINGWA ZAIDI WA MAMBO YA UTAWALA

Ninyi waungwana mnaweza kuona kwamba inaelimisha zaidi kuyachunguza maagizo Alialiyoyatuma kwa magavana wake na maofisa wa kijeshi na kiraia. Kwa mfano, zile amrina maagizo aliyotuma kwa Malik Ashtar na Muhammad Bin Abu Bakr kwa ajili yakuitawala Misri, kwa Uthman Bin Hunaif na Abdullah bin Abbas wa Basra, na kwaQutham bin Abbas kwa ajili ya kuiongoza Makkah ni mifano ya uongozi bora wa Ummana vile vile haki ya jamii. Nyaraka hizi ni sehemu ya Nahjul’Balagha.

ALI ALIKUWA NA ELIMU YAULIMWENGU WA GHAIB

Ukweli huu umekubaliwa wote, wafuasi wa Ali na maadui zake. Huyu Imam Mtukufualikuwa ni Imamu’l-Muttaqin (Kiongozi wa wacha Mungu). Alikuwa na elimu kamili yamaana ya Qur’ani Tukufu. Zaidi ya hayo, alikuwa na elimu ya Ghaib.

Sheikh: Haijaniingia akilini vizuri hii kauli yako isiyoeleweka kwamba Ali alikuwa na

Mikesha ya Peshawar

446

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 446

Page 465: Mikesh A

elimu ya Ghaib. Tafadhali hebu ielezee.

Muombezi: Hakuna utata wowote ndani yake. Kupambanukiwa na Ghaib, maana yake nikujua siri za ulimwengu (mbingu na Ardhi), ambazo zilijulikana kupitia Neema Tukufukwa Mitume wote na waandamizi wao. Kila mmoja alipewa kiasi cha elimu ya Ghaibkama Allah alivyoona inatosheleza kwao kwa ajili ya kufikisha ujumbe Wake. Baada yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.), Amiru’l-Mu’minin alijaaliwa na elimu kama hiyo.

Sheikh: Kamwe sikutegemea kama utashikilia maoni ya wale Shi’ah wakorofi. Sifa hiiimezidi mno kiasi kwamba hata huyo anayesifiwa asingeikubali. Kuwa na elimu ya Ghaibni sifa inayomhusu Allah peke yake, hakuna katika viumbe vyake anayeweza kuwa na uhu-siano nayo.

Muombezi: Kuamini kwamba Mitume wakubwa, na washikamakamu wao, na watumishiwengine watukufu wa Allah walikuwa na elimu ya Ghaib hakuna chochote kinachohusianana ukorofi. Bali hasa, ilikuwa ni moja ya sifa zao, iliyoonyesha kujitoa kwao kwa Allah.Tunao ushahidi wa wazi wa ukweli huu kutoka kwenye hadithi na Qur’ani Tukufu.

JE ELIMU YA GHAIBU IMETENGWAKWA ALLAH TU?

Sheikh: Qur’ani Tukufu inapingana na kauli yako.

Muombezi: unaweza kuzisoma Aya hizo ambazo zinapingana na kauli yangu?

Sheikh: Kuna Aya nyingi ndani ya Qur’ani Tukufu, ambazo zinaunga mkono maoniyangu. Kwa mfano, Qur’ani Tukufu inasema:“Na ziko kwake funguo za (mambo) yaliy-ofichikana hakuna anayezijua ila Yeye tu, na anajua yaliyomo barani na baharini, nahalianguki jani ila analijua, wala punje ndani ya giza la ardhi, wala chochote chakijani au kikavu bali yote yamo ndani ya kitabu kidhihirashacho.” (6:59)

Huu ndio ushahidi unaotosheleza sana kwamba hakuna hata mmoja ila ni Allah tu mwenyeelimu ya Ghaib. Ikiwa mtu ataamini mtu mwingine yeyote kuwa na elimu ya Ghaib,amemfanya mmoja wa viumbe Wake kuwa mshirika katika sifa za Allah. Unadai kwam-ba Ali alikuwa na utambuzi wa yaliyo ghaib. Hii ina maana kwamba mbali na kumfanyakwako yeye ni mshirika katika sifa za Allah, umekifanya cheo chake kuwa ni cha juu zaidikuliko kile cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alirudiarudia kuse-ma: “Mimi ni mtu kama ninyi. Allah pekee ndie aijuaye Ghaib.” Mtukufu Mtume kwauwazi kabisa alielezea kutokuwa kwake na elimu ya Ghaib. Umeisoma Aya ya Qur’aniinayosema:

Mikesha ya Peshawar

447

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 447

Page 466: Mikesh A

“Waambie: Bila shaka mimi ni binaadamu tu kama nyie, ninaletewa Wahyi kwambaMungu wenu ni Mungu Mmoja tu.....” ( 18:110).

Hii ni kwamba, yaani tofauti pekee kati yenu na mimi ni kwamba, ufunuo (Wahy) kutokakwa Allah unakuja kwangu mimi.

Mahali pengine Allah anasema:

“Sema: Mimi sina mamlaka ya kujipa nafuu wala ya kujiondolea madhara ila kamaapendavyo Allah; na kama ningejua ya Ghaib, bila shaka ningejizidishia memamengi, wala lisingelinigusa dhara. Mimi sio lolote bali ni muonyaji na mtoaji wahabari njema kwa watu wanaoamini. “ (7:188)

Na tena anasema:

“Wala sikuambieni kwamba nina hazina za Allah, wala kwamba nayajua mambo yaghaib .....” (11:31).

Allah anasema tena:

“Hakuna hata mmoja katika mbingu na ardhi anayejua yaliyoko ghaibuni ila Allah:Na hawajui ni lini watafufuliwa (27:65)

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe alikiri kwamba alikuwa hajui ya ghaib na kwambaelimu yake ilikuwa kwa Allah pekee tu. Unawezaje kudai kamba Ali alikuwa na elimukama hiyo?

Imani yako ni jaribio la kuukweza ubora wa Ali kuliko ule wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).Je, Qur’ani Tukufu haisemi:

Mikesha ya Peshawar

448

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 448

Page 467: Mikesh A

“Wala hakuwa Allah ni mwenye kuwajulisha yaliyo ghaib…” (3:179).

Ni kwa msingi gani wewe unaamini kwamba kuna yeyote, isipokuwa Allah, analiye naelimu ya ghaib?

Muombezi: Utangulizi wa maelezo yako ni sahihi. Lakini umaliziaji uliochukua unamakosa. Umesema kwamba mjuzi wa Ghaib ni Allah; kwamba funguo za Ghaib anazoAllah Mwenye nguvu, na kwamba kwa mujibu wa ile aya ya mwisho ya Sura ya Al-Kahf(pango), mwisho wa Mitume, Mitume wengine wote, wandamizi (warithi) wao, naMaimam watukufu walikuwa ni sawa na binaadamu wengine. Katika maumbile yao yakimwili waliumbwa kama wengine wote.

Mambo yote haya ni kweli, na madhehebu ya Shia inayakubali yote. Pia, aya zote ulizozi-soma ni za kweli hasa katika fuo lake halisi. Lakini haya maneno “Mtukufu Mtume ” kuto-ka kwenye Sura ya Hud yanaashiria kwa Mtume Nuhu. Aya ya 50 ya Sura ya Al-An’am(Ng’ombe) inaashiria kwa Mtume wetu aliyetukuka. Wakati makafiri walipomuuliza nikwa nini hakukuwa na dalili zozote za yeye kuwa na hazina za Mwenyezi Mungu au elimuya yaliyoghaib, hii ikateremshwa.

“Sema! Mimi siwaambii kwamba ninazo hazina za Allah, wala ninayajua ya Ghaib,wala siwaambii kwamba mimi ni malaika, sifuati lolote ila kile kilichofunuliwa kwan-gu .....” (6:50)

Aya hii ilikuwa ni majibu kwa ile dhana potofu kwamba matendo ya Mtume yanawezakuathiriwa na mtazamo wa tamaa za kidunia. Na kuhusu elimu ya ghaib, tunaamini kwam-ba Mitume na washikamakamu wao walikuwa nayo. Siwahusishi na sifa za Allah. Lakinizawadi hii ni sehemu ya wahyi na Ilham (Wahai na msukumo kutoka kwa Allah ) ambavyoviliondoa mapazia ya ujinga toka kwenye uono wao na kufichua ukweli kwao. Nitaelezeahii kwa kirefu.

Mikesha ya Peshawar

449

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 449

Page 468: Mikesh A

ELIMU NI YA NAMNA MBILI, YA DHATI (YA ASILI) NA ARZI (YA KUTAFUTA)

Sisi Shi’ah wa madhehebu ya Imamiyya tunaamini kwamba elimu ina namna mbili: Dhatina Arzi. Elimu ya Dhati au ya asili ni makhususi kwa Allah. Tunaweza kuitambua lakinihatuwezi kuufahamu ukweli wake. Kwa njia yoyote tutakayoweza kujaribu kuieleza, elimuya asili iko nje ya ufahamu wa wanaadamu. Arzi, au elimu ya kutafuata ni ile ambayo kwaasili yake mwanadamu hanayo, Ima awe ni Mtume au la. Anakuja kunufaika nayo baadae.Elimu hii pia ni ya aina mbili: Tahsili na ladunni. Tahsili ni ile elimu inayopatikana kwakusoma na uzoefu. Ikiwa mwanafunzi ataandamana na utaratibu wa kawaida wa elimu,kwa mfano, anakwenda shule na anajifunza toka kwa mwalimu wake. Kama Allah akipen-da, atapata elimu kulingana na juhudi zake za ule muda atakaoutumia kwa kujifunza.

Ladunni inarejea kwenye ile elimu ambayo mtu anaipokea moja kwa moja kutoka kwaAllah. Haijifunzi kupitia kwenye herufi na maneno bali anaipokea moja kwa moja tokakwa Mwenye ukarimu wote. Allah anasema katika Qur’ani:

“Na ambaye tulimfundisha elimu itokayo kwetu.” (18:65)

Shi’ah hawadai kwamba elimu ya ghaib ilikuwa ni ya asili ndani ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) au maimam au kwamba wao waliielewa kama anavyoielewa Mwenyezi Mungu.Tunachokisema ni kwamba Allah hayuko hakufungika au kuwa na mipaka. Anawezakutoa elimu na mamlaka kwa yeyote amtakae. Wakati mwingine hutoa elimu mwa mtukwa njia ya mwalimu na wakai mwingine moja kwa moja kutoka kwake. Hii elimu yakupewa moja kwa moja inaitwa elimu ya ghaib.

Sheikh: Maelezo yako ya awali ni sahihi. Lakini utashi wa ki-Ungu hauwezi kuruhusumambo yasiyo ya kawaida kama kumpa mtu elimu ya ghaib moja kwa moja, yaani, bila yauwakala wa mwalimu.

Muombezi: Hapana, wewe na marafiki zako mmekosea. Kwa hakika mara kwa mara, bilakujua, mnapingana na wengi wa wanazuoni wenu mashuhuri. Allah aliweka juu ya Mitumewake wote na waandamizi wao elimu ya ghaib. Chochote kilichohitajika kwao ilikutekeleza kazi zao.

Sheikh: Kwa kukabiliana na aya hizi za Qur’ani Tukufu, ambazo kwa uwazi kabisazinakataa wazo la elimu ya ghaib ya mtu, una ushahdi gani kwa kutia nguvu hoja yakohiyo?

Mikesha ya Peshawar

450

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 450

Page 469: Mikesh A

Muombezi: Hatuko kinyume na aya hizo za Qur’ani Tukufu. Kila aya ya Qur’ani tukufuilishushwa kwa sababu maalum ambayo, kulingana na mazingira, ilikuwa wakatimwingine kinyume na wakati mwingine kwa hakika yake (positive). Hii ndio maana inase-mekana kwamba miongoni mwa aya za Qur’ani Tukufu, aya moja inaipa nguvu nyingine.Kwa vile makafiri mara kwa mara walidai miujiza kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),zile aya za kinyume zilizotajwa hapo juu zikashushwa. Ili kuthibitisha lengo halisi ayazenye kujihakiki pia zilshushwa ili kwamba hali iweze kueleweka.

USHAHIDI WA QUR’ANI KWAMBAMITUME WALIKUWA NA ELIMU YA GHAIB

Sheikh: Hii ni ajabu sana. Unasema kwamba kuna ushahidi wa uhakika ndani ya Qur’ankwamba Mitume walikuwa na elimu ya ghaib. Tafadhali zisome aya hizo.

Muombezi: Usishikwe na mshangao. Wewe unazijua. Allah Mwenye nguvu zote anase-ma:

“Ni mjuzi wa yaliyo ghaib! Hivyo hamfichulii yeyote siri zake, ila kwa Mtumeambaye amemridhia; basi kwa hakika humwekea walinzi (watembee) mbele yake nanyuma yake, ili aweze kujua (mtume) kwamba wamekwisha fikisha ujumbe wa Molawao, na Yeye anayajua yale waliyonayo, na amedhibita idadi ya vitu vyote.” (72:26-28)

Aya hii inaonyesha kwamba Mitume watukuka wa Allah ambao wamejaaliwa na elimu yaghaib ni wa namna yao pekee.

Pili, ile aya ya Sura ya familia ya Imran, sehemu yake ambayo umeisoma, inathibitishahoja yangu. Aya nzima inasomeka kama ifuatavyo:“Wala hakuwa Allah kuwajulisheni ya ghaib, lakini Allah humchagua katikaMitume wake yule anayempenda, kwa hiyo muamini Allah na Mtume wake, kamamtaamini na mkamcha mungu, basi mtakuja kupata malipo makubwa.” (3: 179)Aya hizi zote zinaonyesha wazi kwamba Mitume wa Allah walipewa elimu ya ghaib. Ikiwahakuna yeyote isipokuwa Allah, aliyekuwa na elimu ya ghaib, hiki kifungu “anachaguakatika Mitume wake yule ampendaye.” Kingeuwa hakina maana yoyote. Allah anasemakatika Sura ya Hud:

Mikesha ya Peshawar

451

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 451

Page 470: Mikesh A

“Hizi ni katika habari za ghaib tunazokufunulia wewe, ulikuwa huzijui; wewe walawatu wako kabla ya hii (Qur’ani kuteremshwa). Kwa hiyo kuwa na subira, hakikamwisho (mwema) ni wa wale wamchao (Mwenyezi Mungu).” (11:49)

Katika Sura ya Shura Yeye anasema:

“Na hivyo ndivyo tulikushushia Wahiy kwa amri yetu. Ulikuwa hujui kitabu ni nini,wala imani (ni nini), lakini tumekifanya (Kitabu hiki) ni nuru, kwayo tunamuongozatumtakaye katika waja wetu .....” (42:52)

Kama elimu ya ghaib isingekuwepo duniani, ni vipi Mitume walifichua mambo yanasio-julikana na kuwaambia watu juu ya maisha yao ya siri? Je, hakimo ndani ya Qur’ani kileIsa (a.s) alichosema kwa wana wa Israeli?

“Na niwape habari na mnachokula na kile mnachokiweka akiba katika nyumba zenu..... (3:49)

Kama nitasoma aya zote za Qur’ani Tukufu, zinazounga mkono ukweli huu, itawezakuchukua muda mrefu. Kiasi hiki kinaelekea kutosheleza.

Sheikh: Maelezo kama haya yanawapa moyo wapiga ramli, wabashiri, watazama vigan-ja na watazamia vyota na waongo wengine wanaowadanganya watu na kujaza mifuko yaona pesa.

MADAI YA KUWA NA ELIMU YA GHAIB KUPITIANJIA NYINGINEZO NI YA UONGO.

Muombezi: Imani katika kweli haielekezi kwenye matokeo mabaya: Ni ujinga wa watuunaowateka nyara. Kama Waislam wangemfuata yule mwenye elimu, kwa mujibu wamaelekezo ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), hasusan kama wasingelitelekeza lile lango la

Mikesha ya Peshawar

452

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 452

Page 471: Mikesh A

elimu kuanzia mwanzo kabisa, wasingeliweza kuangukia mateka kwa watu waovu.Qur’ani Tukufu inasema wazi: “Yoyote yule amchaguaye kati ya Mitume.” Neno mtumelinaonyesha dhahiri kwamba kuna waja wataule wa Allah ambao wanapokea elimu yaghaib moja kwa moja kutoka Kwake bila ya kupata kujifunza kupitia njia za kawaida.

Endapo mtu yoyote, ambaye sio mtume au Imam atadai kwamba anaweza kutabiri mamboya ghaibu kwa njia ya falaki, utazamia viganja au kutupa simbi kuelezea bahati, huyo nimuongo. Waislam wa kweli, ambao wanafuata Qur’ani Tukufu kamwe hawawaamini watukama hao, wala hawawi mawindo ya ulaghai wao kwani wanajua kwamba hawapaswikufuata chochote ila Qur’ani Tukufu na wabebaji na wafasiri wa Qur’ani Tukufu, yaani,Mtukufu Mtume Muhammad (s.a.w.w.) na kizazi chake, ambao wanalingana na Qur’ani.

Kwa kifupi, ikiwa yeyote isipokuwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na waandamizi wakewatoharifu atadai kwamba anayo elimu ya ghaibu na akasema kwamba anaweza kutabirimatukio ya baadae, yeye ni mbabaishaji, kwa njia yoyote ile atakayochukua.

WAANDAMIZI WA MITUME PIA WALIKUWANA ELIMU YA GHAIB.

Sheikh: Kwa vile Mitume walipokea wahyi takatifu walikuwa kulingana na kauli yakowana elimu ya Ghaib. Lakini kwani Ali naye alikuwa Mtume? Au alihusishwa na shughuliza utume ambazo kwazo alijua mambo ya ghaibu?

Muombezi: Kwanza, kwa nini unatupotosha sisi kwa kutumia maneno “kulingana nakauli yako?” Badala ya hayo kwa nini usitumie maneno “kulingana na kauli ya Allah.”Sisemi lolote kwa hiari yangu. Ninazungumzia hukumu za Qur’an Tukufu na kwa misingiya maeleo ya mfasiri wa Qur’ani Tukufu, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), ninatoa ile maanayake halisi. Nimewasilisha kwenu, kwa misingi ya ushahidi wa Aya za Qur’an, Mitume namanabii wa Allah walikuwa watu watukufu mno na walikuwa na elimu ya ghaib.Wanazuoni wenu wenyewe mashuhuri wameukubali ukweli huu na wamelazimikakusimulia mifano ya Mtukufu Mtume kuwa na elimu ya ghaib.

Ibn Abi’l-Hadid Mut’azali katika Sharh-e-Nahjul- Balagha Juz. 1, uk. 67 (kilichochapish-wa Misri), anaandika hadithi kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwamba alimuambiaAli: “Baada yangu, utapigana dhidi ya Nakisin, Qasistin na Mariqin.” Anasema kwambahii ni moja ya uthibitisho wa Utume wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa sababu inatabiriwazi wakati ujao usiojulikana. Matukio yaliyotabiriwa yalitokea karibuni miaka 30baadae, vilevile haswa kama yalivyotangulia kuelezwa.

Pili, Shi’ah hawadai kamba Amiru‘l-Mu’minin au Maimam Watukufu walikwa Mitume.Tunaamini kwamba Muhammad alikuwa ndiye Mtume wa mwisho wa Allah. Hakuna hatammoja aliyeshirikishwa naye katika utume. Tunaamini kwamba, ikiwa yeyote angekuwa

Mikesha ya Peshawar

453

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 453

Page 472: Mikesh A

Mikesha ya Peshawar

454

na imani kinyume na hii, basi huyo sio muumini. Bila shaka, sisi tunaaminikatika ule Uimam ki-Mungu aliopewa Ali na kuwatambua ( kuwachukulia) watu kumi namoja katika kizazi chake kama Maimam wetu watukufu na Waandamizi wa haki naMakhalifa wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Tunaamini kwamba Allah Mwenye nguvu zoteamewajaalia wao na elimu ya ghaib kupitia kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Tunaamini kwamba uoni wa watu wa kawaida umewekewa pazia hivyo kwambawanaweza kuona tu vitu vyenye kuonekana. Kadhalika hivyo ndio ilivyokuwa kwa mitumena mawasii ila kwamba, kulingana na wakati na mazingira, Allah, Mjuzi wa yote, alilion-doa pazia na akafichua habari muhimu kwao kutoka kwenye ulimwengu wa ghaib. Nawakati elimu ya Ghaib ilipokuwa sio ya lazima, lile pazia liliwatenga wao pia na huoulimwengu mwingine.

Hivyo, wakati mmoja Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Kama ningejua ya ghaib, kwelikabisa ningeweza kuwa na wingi wa mazuri.” Yaani, kwa asili hasa, alikuwa hana elimuya ghaib. Aliijua tu wakati ambapo, kwa rehema za Allah, pazia hilo lilipofunuliwa.

Sheikh: Ni vipi na ni wapi ambapo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) anawapa watu habarikuhusu ghaib?

Muombezi: Kwa kuzingatia aya ya Qur’ani ambayo kwayo tayari nimekwishairejea,wewe unamfikiria kwamba Muhammad ni mwisho wa Mitume, ni Murtaza (aliyechaguli-wa) na ni Mtume wa kweli wa Allah?

Sheikh: Hilo ni swali la ajabu. Ni dhahiri kabisa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa ndiyemchaguliwa na wa mwisho wa Mitume.

Muombezi: Basi kwa mujibu wa aya hii tukufu: “Mjuzi wa yaliyo ghaib! Hivyo habain-ishi siri zake kwa yeyote ila kwake yule ambaye anamchagua kuwa Nabii” basiMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa anayo elimu ya ghaib. Aya hii inasema wazi kwambaAllah hutoa elimu Yake ya ghaib kwa mtume wake aliyemchagua.

Sheikh: Ukichukulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa na elimu ya ghaib, hiiinahusiana vipi na madai yako kwamba Ali alikuwa na elimu hii ya ghaib pia?

Muombezi: Tena, kama ninyi watu mtachunguza kwa busara zile hadithi sahihi na Sunnaza Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), mtaweza kuelewa haraka sana ukweli kuhusu hili na mambomengine mengi.

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 454

Page 473: Mikesh A

Sheikh: Kama ujuzi wetu una mpaka, kwa neema za Allah, wewe unayo akili pana naulimi fasaha. Tafadhali tusimulie hizo hadithi zinazothibitisha kwamba Ali alikuwa naelimu ya ghaib. Kama elimu ya ghaib ni muhimu kwa mawasii wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), kusingekuwa na ubaguzi katika hali hii. Washikamakamu wote, hususan walemakhalfia wakubwa wangekuwa wanayo elimu ya ghaib, ingawa tunaona hakuna hatammoja katika makhalifa hao aliyewahi kudai kuwa nayo. Bali, kama Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), walielezea kutokuwa na uwezo kwao wa kuijua. Kwa nini basi unamfanya Alini tofauti?

Muombezi: Kwanza, nilikisha kuwaambieni kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hakunana uwezo wa kiasili wa kujua ya Ghaib. Wakati aliposema “Kama ningeyajua ya ghaib,kwa hakika ningeweza kuwa na wingi wa mema,” alimaanisha kwamba elimu ya ghaibsiyo ya asili kwake, kama ilivyokuwa kwa Allah. Wakati Allah alipokuja kuliondoa paziakutoka kwa Mtukufu Mtume, alikuja kujua mambo yaliyofichika.

MAIMAM WATUKUFU WALIKUWA NDIO MAKHALIFA WAKWELI NA WALIKUWA NA ELIMU YA GHAIB.

Pili, unasema kwamba, kama Ali alikuwa na elimu ya ghaib, hawa makhalifa wenginewangekuwa nayo vile vile. Tunakubaliana na wewe. Tunasema pia kwamba makhalifa waMtukufu Mtume (s.a.w.w.) wangekuwa na elimu zote, ya dhahiri na ya vitu visivy-oonekana. Kwa kweli uwezo na sifa za makhalifa zingefanana hasa sawa na zile zaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) katika mambo yote, isipokuwa lile jukumu la Utume lenyewena unabii, ambalo linajumuisha uwezo wa kupokea wahyi moja kwa moja. Bila shakaunawaita makhalifa wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) watu wale ambao walichaguliwa tukuwa hivyo na watu wachache ingawa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa amewalaani,kwa mfano, Mu’awiya.

Lakini tunasema kwamba makhalifa na mawasii wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ni waleambao wameteuliwa kuwa makhalifa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe, kama vilemitume waliotangulia walivyoteua mawasii wao wenyewe. Hivyo wale makhalifa namawasii walioteuliwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa amri ya Allah, waliziwakilishavizuri sana sifa zake, na kwa sababu hiyo walikuwa nayo elimu ya ghaib. Wale makhalifawa kweli walikuwa watu kumi na mbili ambao majina yao yameandikwa katika vitabuvyenu wenyewe vya hadithi. Nao ni wale wa familia ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) nawanamjumuisha Ali na wale kumi na moja wa kizazi chake. Na ukweli kwamba walewatu wengine hawakuwakuteuliwa Makhalifa unadhihirishwa na kauli yako mwenyewe,ambayo inathibitishwa na Ulamaa wenu wakubwa kwamba walikuwa mara kwa marawakielezea kutokujua kwao kwa hata mambo ya kawaida, ukiachilia mbali kuitaja elimuya ghaib.

Mikesha ya Peshawar

455

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 455

Page 474: Mikesh A

LANGO LA ELIMU.

Tatu, unaulizia ni hadithi gani inayothibitisha kwamba Amiru’l-Mu’minin Ali alikuwanayo elimu ya ghaib, kwa kweli zipo hadithi nyingi zinazounga mkono jambo hili. Mojainaitwa “Hadithi ya Madina.” Imehadithiwa na madhehebu zote (Shia na Sunni) takribankwa wingi sana kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema katika nyakati na matukiomengi kuhusu Ali, kwamba alikuwa ni “Lango la elimu yake.” Haya yalikuwa ndiyomaneno yake; “Mimi ni jiji la elimu na Ali ndie lango lake. Hivyo yoyote anayetakakutafuta elimu lazima aje kwenye lango.”

Sheikh: Hadidhi hii sio sahihi kwa mujibu wa ulamaa wetu. Hata kama kuna hadithi kamahiyo, lazima itakuwa ni ya pekee, moja ya hadithi dhaifu.

Muombezi: Inasikitisha kwamba unaiita hadithi hii yenye nguvu kwamba ni simulizi iliy-opeke yake, au mojawapo ya hadithi dhaifu. Ulamaa wenu mashuhuri wamelithibitisha hii.Ungelikitazama Jam’u-l-Jawami’y cha Suyuti, Tahdhibu‘I-Ansar cha Muhammad bin JarirTabari, Tadhkiratu‘l-Abrar cha Seyyed Muhammad Bukhari, Mustadrak ya HakimNishapuri, Naqdu’s-Sahili cha Firuzabadi, Kanzu’l-Ummal cha Ali Muttaqi Hindi,Kifayatu’t-Talib cha Ganji Shafi’i, na Tadhkiratu‘l-Muzu’a cha Jamalu’d-Din Hindi.Wanaandika “Ikiwa mtu ataikataa hadithi hii atakuwa kwa hakika amekosa.” Pia katikaRauzatu’l-Nadiya cha Amir Muhammad Yamani, Bahru’l-Asanid cha Hafiz AbuMuhammad Samarqandi na Matalibu’s-Su’ul cha Muhammad Bin Talha Shafi’i, kwaujumla wamethibitisha ukweli wa hadithi hii.

Hadithi hii imesimuliwa katika njia nyingi tofauti na kutoka kwenye vyanzo mbali mbali.Wengi wa Masahaba na wafuasi wameisimulia hadithi hii, pamoja na Ali, Abu MuhammadHasan Bin Ali, mjukuu mkubwa wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Abdullah Bin Abbas, JabirIbn Abdullah Ansari, Abdullah Ibn Mas’ud, Hudhaifu Bin Al-Yaman, Abdullah Ibn Umar,Anas Bin Maliki, na Amr Bin Aas.

Miognoni mwa Tabi’ in (Kizazi cha pili baada ya Masahaba) wafuatao wameisimuliahadithi hii: Imam Zainu’I-Abidin, Imam Muhammad Baqir, Asbagh Bin Nabuta, JarirAzzabi, Harith bin Abdullah Hamdani Kufi, Sa’d Bin Ta’rifu’l-Hanzali Kufi, Sa’id BinJabir Asadi Kufi, Salam Bin Kuhail Hazarmi Kufi, Sulayman Bin Mihran A’mash Kufi,Asim Bin Hamza Saluli Kufi, Abdullah Bin Uthman bin Khisam al-Qari al-Makki, Abdur-Rahman Bin Uthman, Abdullah bin Asila al-Muradi, Abu Abdullah Sanabahi, na MujahidBin Jabir Abu’I Hajjaj al-Makhzumi al-Makki. Mbali na Ulamaa wa Shi’ah, ambao kwakauli moja wameikamata hadithi hii, wengi wa wasimulizi na wanahistoria wenumashuhuri wameiandika hadithi hii. Nimeziona rejea kama mia mbili kutoka wa ulamaa

Mikesha ya Peshawar

456

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 456

Page 475: Mikesh A

wenu ambao wamesimulia hadithi hii tukufu. Nitataja baadhi ya wale Ulamaa mashuhurina vitabu vyao.

ULAMAA WA SUNNI AMBAO WAMESIMULIA ILE HADITHI YA “JIJI LA ELIMU”

(1) Mfasiri na mwanahistoria wa karne ya tatu Muhammad Bin Jarir Tabari (kafa. 310A.H.): Tahdhibu’I-Athar,

(2) Hakim Nishapuri (kafa 405 A.H): Mustadrak, Juz. 3, uk. 126, 128, 226(3) Abu ‘Isa Muhammad Bin Tirmidhi (kafa 289 A.H): Sahih(4) Jalul’d-Din Suyuti (kafa 911 A.H); Jam’u’l-Jawami’y na Jam’u’s-Saghir Juz. 1, uk. 374(5) Abu’l-Qasim Sulayman Bin Ahmad Tabrani (kafa 491 A.H): Kabir na Ausat.(6) Hafiz Abu Muhammad Hasan Samarqandi (kafa 491. A.H): Bahru’l-Asanid(7) Hafiz Abu Nu’aim Ahmad bin Abdullah Ispahani (kafa 410 A.H): Ma’rifatu’l-Sahaba.(8) Hafiz Abu Amr Yusuf Bin Abdullah Bin Abdu’l-Bar Qartabi (kafa 463 A.H): Isti’ab Jz.

2, uk 461(9) Abu’l Hasan Faqih shafi’i Ali bin Muhammad Bin Tayyib al-Jalabi Ibn Maghazili (kafa

483 A.H): Manaqib(10) Abu Shuja’ Shirwaih Hamadani Dailami (kafa 509 A.H): Firdausu’l-Akhbar.(11) Abu’l-Muayyid Khatib Khawarizmi (kafa 568 A.H): Manaqib uk. 49 na Maqtalu’l-

Husain Juz, 1. uk. 43(12) Abu’l-Qasim bin Asakir Ali Bin Hasan Damishqi (kafa 572 A.H): Ta’rikh-e-Kabir.(13) Abu’l-Hujjaj Yusuf Bin Muhammad Andalusi (kafa 605 A.H): Alif-Bas Juz. 1, uk, 222(14) Abu’l-Hasan Ali Bin Muhammad bin Athir Jazari (kafa 630 A.H): Asadu’l-Ghaiba Jz.

4, uk. 22(15) Muhibu’d-Din Ahmad Bin Abdullah Tabari Shafi’i (kafa 694 A.H) Riyazu’l-Nuzra,

Juz. 1, uk. 129, na Dhakha’iru’l-Uqba uk. 77(16) Shamsu’d-Din Muhammad Bin Ahmad Dhahabi Shafi’i (kafa 748 A.H) Tadhkiratu’l-

Huffaz, Juz, 4, uk 28.(17) Badru’d-Din Muhammad Zarkashi Misri (kafa 749 A.H.): Faizu’l-Qadir Juz. 3, uk.47(18) Hafiz Ali Bin Abi Bakr Haithami (kafa 807 A.H): Majma’u’z-Zawaid, Juz. 9, uk. 114(19) Kamalu’d-Din Muhammad Bin Musa Damiri (kafa 808 A.H): Hayatu’l-Haiwan Juz.

1, uk. 55(20) Shamsu’d-Din Muhammad Bin Muhammad Jazari (kafa 833 A.H): Asnu’l-Matalib

uk. 14(21) Shahabu’d-Din Bin Hajar Ahmad Bin Ali Asqalani (kafa 852 A.H): Tahdhibu’l-

Tahdhib Juz. 7, uk. 337(22) Badru’d-Din Mahmud Bin Ahmad Aini Hanafi (kafa 855 A.H): Umdatu’l-Qari Juz. 7,

Mikesha ya Peshawar

457

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 457

Page 476: Mikesh A

uk. 631(23) Ali Bin Hisamu’d-Din Muttaqi Hindi (kafa 975 A.H): Kanzu’l-Ummal, Juz. 6, uk. 156(24) Abu’r-Ra’uf Al-Munawi Shafi’i (kafa 1031 A.H): Faizu’l-Qadir, Sharh-e-Jami’u’l-

Saghir, Juz. 4, uk. 46(25) Hafiz Ali Bin Ahmad Azizi Shafi’i (kafa 1070 A.H): Siraju’l-Mumir, Jam’u’s-Saghr

Juz. 3. 63(26) Muhammad Bin Yusuf Shami (Kafa 942 A.H): Subulu’l-Huda wa’l-Rishad fi Asma’i

Khairu’l-Ibad.(27) Muhammad Bin Yaqub Firuzabadi (kafa 817 A.H): Naqdu’s-Sahih.(28) Imam Ahmad Hanbal (kafa 241 A.H): Mujaladab-e-Munaqab, na Musnad. (29) Abu Salim Muhammad Bin Talha Shafi’i (kafa 652 A.H): Matalibu-s-Su’ul.(30) Sheikhu’l-Islam Ibrahim Bin Muhammad Hamwaini (kafa 722 A.H): Fara’idu’s-

Simtain.(31) Shahabu’d-Din Dowlat Abadi (kafa 849 A.H ): Hidayatu’s-Su’ada.(32) Alama Samhudi Seyyd Nur’d-Din Shafi’i (kafa 911 A.H): Jawahiru’l-Iqdain.(33) Qazi Fadhl Bin Ruzbahan Shirazi: Ibta’lu’l-Batil.(34) Nur’d-Din Bin Sabagh Maliki (kafa 855 A.H): Fusulul-Muhimma(35) Shahabu’d-Din Bin Hajar Makki (Adui mbaya na shabiki, alikufa 974 A.H): Sawa’iq-

e-Muhriqa,(36) Jamalu’d-Din Ata’ullah muhadith-e-Shirazi (kafa 1000 A.H): Arbain(37)Ali Qari Harawi (kafa 1014 A.H): Mirqat Sharh-e-Mishkat(38) Muhammad Bin Ali As-Subban (kafa 1205 A.H): Is’afu’l-Raghbin.(39) Qadhi Muhammad Bin Sukani (kafa 1250 A.H): Fawa’idu’l-Majmu’a fi’l-Ahadithi’l-

Muzua.(40) Shahabu’d-Din Seyyed Mahmud Alusi Baghdadi (kafa 1270 A.H): Tafsir-e-Ruhu’l-

Ma’ani.(41) Imam al-Ghazali:- Ihya’u’l-Ulum(42) Mir Seyyed Ali Hamadani Faqih-e-Shafi’i: Mawaddatu’l-‘Qurba.(43) Abu Muhammad Ahmad Bin Muhammad Asimi: Zainu’l-Fata (Sherehe juu ya Sura

‘Hal Ata’)(44) Shamsu’d-Din Muhammad Bin Abdu’r-Rahman Sakhawi (kafa 902 A.H):

Maqasidu’l-Hasana.(45) Sulayman Balkhi Hanafi (kafa 1293 A.H): Yanabiu’l-Mawadda, Sura ya 14.(46) Yusuf Sibt Ibn Jauzi: Tadhkirat-e-Khawasu’l-Umma.(47) Sadru’d-Din Seyyed Husain Fuzi Harawi: Nuzahatu’l-Arwah.(48) Kamalu’d-Din Husain Meibudi: Sharh-e-Diwan.(49) Hafiz Abu Bakr Ahmad Bin Ali Khatib Baghdadi (kafa 463 A.H): Ta’rikh Juz. 2, uk.377, Juz. 4, uk 348 na Juz. 7, uk. 173.(50) Muhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’i (kafa 658 A.H): Kifayatu’t-Talib, mwishoni mwa

Sura ya 58.

Mikesha ya Peshawar

458

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 458

Page 477: Mikesh A

Baada ya kunukuu hadithi sahihi tatu kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), anasema:“Kwa kifupi, wale masahaba waliokuwa na elimu ya juu, kizazi kilichofuatia baada yao,na kile kizazi cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), wote walikiri ubora, elimu pana, na hukmuza Ali.

Ili kuwa na uhakika Abu Bakr, Umar, na Uthman na masahaba wengine waliokuwa naelimu walikuwa wakimuoma yeye kuhusu mas’ala ya kidiini na walifuata ushauri wakekatika mambo ya utawala. Walikiri kwamba alikuwa hapitiki katika elimu na maarifa. Nahadithi hi haimkadirii cha zaidi (ya alivyo) kwani cheo chake mbele ya Allah, MtukufuMtume (s.a.w.w.), na waumini ni kikubwa sana zaidi kuliko hivyo, Imam Ahmad BinMuhamamd Bin Al-Sidiqqi Magharibi katika kuthibitisha hadithi hii tukufu ameandikakitabu, Fathu’l-Mulku’l-Ali bi Sihat-e-Hadith-e-Bab-e-Madinatu’l-Ilm. (Kilichochapishwana Ilamiyyah Press, Misri, 1354 A.H). Kama hamjatosheka hata sasa hivi, ninaweza kuku-peni rejea zaidi.

KUSIMULIA SIFA ZA ALI NI IBADA

Seyyed Adil-Akhtar (Mwanachuoni, mwandishi wa vitabu, na kiongozi wa Sunni):Mara kwa mara nimeona katika hadithi kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisemakwamba kusimulia sifa za Ali ni ibada. Yule mwanazuoni mkubwa, Mir Seyyed AliHamadani Shafi’i, anaandika katika Mawaddatu’l-Qurba yake kwamba, “Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) amesema kwamba Malaika wanauangalia kwa makini makhususi mkusanyikoambamo ubora na sifa za Ali zinasimuliwa. Wanaomba rehma za Allah juu ya watu hao.Zaidi ya hayo, kusimulia hadithi za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hilo peke yake ni ibada.Hivyo, ninaomba kwamba utusimulie hadithi zenye maelezo zaidi ili kwamba mkusanyikohuu uwe ni kitovu cha ibada kamilifu zaidi.

HADITHI YA “MIMI NI NYUMBA YA MAARIFA.”

Muombezi: Ipo hadithi ambayo kwa kweli imesimuliwa kwa mfululizo mkubwa sana.Wasimulizi wa Madhehebu zote wameisimulia. Miongoni mwa ulamaa wenu ambaowameismulia ni Imam Ahmadi Bin Hanbal (katika Manaqib, Musnad), Hakim(Mustadrak), Mulla Ali Muttaqi (Kanzu’l-Ummal Jz. 6, uk. 401, Hafiz Abu Nu’aimIsfahani (Hilyatu’l-Auliya, Juz. 1, uk. 64). Muhammad Bin Sabban Misri (Is’afu’r-Raghibin) Ibn Maghazili Faqih Shafi’i (Manaqib) Jalalu’d-Din Suyuti (Jam’us-Saghir,Jam’ul-Jawami’y na La’aliu’l-Masnua), Abu Isa Tirmidh (Sahih, Jz. 2, uk. 2140),Muhammad Bin Talha Shafi’i (Matalibu’s-Su’ul), Sheikh Sulayman Balkhi Hanafi(Kifayatut-Talib) Sibt Ibn Jauzi (Tadhkirat-e- Khawasu’l-Umma), Ibn Hajar Makki (Sawa‘iq Muhriqa) Sura ya 9, Faslu ya 2, uk. 75) Muhibu’d-Din Tabari (Riyazun-Nuzra),Sheikhu’l Islam Hamwaini (Fara’idus-Simtain), Ibn Sabbagh Maliki (Fasulu’l-Muhimma)Ibn Abi’l-Hadid Mu’tazali (Sharh-e-Nahjul-Balagha) na kundi la wengine. Wanathibitisha

Mikesha ya Peshawar

459

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 459

Page 478: Mikesh A

usahihi wa hadithi hii na wamemnukuu Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akisema : “Mimi niNyumba ya maarifa na Ali ni lango lake, hivyo ikiwa mtu ana tamaa ya kupata elimu basianapashwa kuja kwenye lango.

Muhammad bin Yusuf Ganji Shafi’i ametenga sura ya 21 kwa ajili ya hadithi hii. Baadakutoa vyanzo vyake na rejea zake, anatoa maoni yake binafsi juu yake. Anasema hadithiina hadhi ya juu sana. Yaani, Allah Mtukufu ambaye ndie chanzo cha maarifa na elimu yamambo yote na ambaye amefundisha kuhimiza mema na kukataza maovu kwa MtukufuMtume (s.a.w.w.) ndiye ambaye pia amezitunuku zawadi hizi juu ya Ali. Kwa hiyo,Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Ali ndiye mlango wa maarifa yangu. Yaani, kamamnataka kufaidika na maarifa yangu budi mgeukie kwa Ali, ili kwamba hali halisi iwezekufichuliwa kwenu.”

Ibn Maghazili Shafi’i katika Manaqib, Ibn Asakir katika Ta’rkih yake (akiandika kutokawka Masheikh wake mwenyewe), Khatib Khawarizmi katika Manaqib yake, Sheikhu’l-Islam Hamwaini katika Fara’id, Dailami katika Firdaus, Muhammad Yusuf Ganji Shafi’ikatika Kifayatu’t-Talib Sura ya 58 Sheikh Sulayman Balkhi Hanafi katika Yanabiu’l-Mawadda Sura ya 14, na wengineo katika Ulamaa wenu mashuhuri wamesimulia kutokakwa ibn Abbas na Jabir Ibn Abdullah Ansari kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akiwaamemshika Ali mkono, alisema: “Huyu ni Ali - Bwana na kiongozi wa wacha-Mungumuuaji wa makafiri. Yeyote atakayemsaidia yeye ni mwenye kuungwa mkono, na yeyoteatakayemtupa atakuwa yeye mwenyewe ametupwa.” Kisha Mtukufu Mtume akinyanyuasauti yake, akasema: “Mimi ni Jiji la elimu na Ali ni lango lake.”

Pia Shafi’i anaandika kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Mimi ni jiji la elimu,na Ali ni lango lake, hakuna aingiaye kwenye nyumba ila kupitia kwenye lango.”

Yule mtunzi wa Manaqib-e-Fakhira anasimulia kutoka kwa Ibn Abbas kwamba MtukufuMtume (s.a.w.w.), alisema: “Mimi ni jiji la Elimu, na Ali ni lango lake. Hivyo yeyoteanayetaka kupata elimu ya dini ni budi aje kwenye lango.” Kisha akasema: “Mimi ni jijila elimu na wewe Ali ndio lango lake. Anadanganya anayefikiri kwamba atanifikia mimikupitia njia nyingine kuliko kupitia kwako.”

Ibn ‘Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahjul-Balagha yake, Abu Ishaq Ibrahim BinSa’da’d–Din Muhammad Hamwaini katika Fara’idu’s-Simtain kutoka kwa Ibn Abbas yulemashuhuri Khatib Khawarizmi katika Manaqib kutoka kwa Amr Bin Aas, Imam’I-HaramAhmad bin Abdullah Shafi’i katika Dhakha’iru’l-Uquba, Imam Ahmad Bin Hanbal katikaMusnad, Mir Seyyed Ali Hamdani katika Mawaddatu’l-Qurba, na vilevile yule mkaidimkubwa, Ibn Hajar katika Sawa’iq-e-Muhriqa, Sura ya 9, Fasilu ya 11 uk. 75, hadithi ya9 kutoka kwa Bazaz miongoni mwa zile hadithi arobaini ambazo ameziandika kuhusu sifaza Ali, Tabrani katika Ausat yake kutoka kwa Jabir Ibn Abdullah Ansari, Ibn Adi kutoka

Mikesha ya Peshawar

460

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 460

Page 479: Mikesh A

kwa Abdullah Ibn Umar, Hakim na Tirmidhi kutoka kwa Ali wamesimulia kwambaMtume wa Allah alisema: “Mimi ni Jiji la Elimu, na Ali ni lango lake. Hivyo yeyoteanayetafuta elimu hanabudi kuja kupitia langoni.”

Kisha wanasema kuhusu hadithi hiyo hiyo: Watu wasioelewa wamesita kuikubali hadithihii na wengine wao wamesema kwamba hii ni hadithi ya kughushi. Lakini pale Hakim(Mtunzi wa Mustadrak) ambaye kauli yake mnaichukulia kuwa ni yenye nguvu, alipoy-asikia mambo haya akasema: “Hakika, hadithi hii ni ya kweli.”

UFAFANUZI WA HADITHI YA “LANGO LA ELIMU”

Mtunzi wa Abaqatu’l-Anwar, Allama Seyyed Hamid Husain Dihlawi Sahib, amekusanyajuzuu mbili zenye kuonyesha vyanzo na usahihi wa hadithi hii. Kila moja ya juzuu hizi inaukubwa kama juzuu yeyote ya Sahih ya Bukhari.

Sikumbuki ni vyanzo vingapi amevitaja kutoka kwa Ulamaa maarufu wa Sunnikuthibitisha kwamba wasimulizi wa haidthi hii wanafanya mfululizo wa usimuliajiusiokatika,bali ninakumbuka kiasi hiki: Nilipokuwa ninakisoma kitabu hicho, niliombadua kwa ajili ya mtu yule maarufu, ambaye alikuwa msomi sana na ambaye alikuwaamechukua uangalifu wake mwingi sana katika ukusanyaji wa kitabu hicho. Kitabu hichokinathibitisha kwamba Ali alikuwa na hadhi ya kipekee miongoni mwa masahaba waMtukufu Mtume.

Sasa, juu ya tafadhali, hebu kuweni wakweli. Hivi ilikuwa ni sawa kuufunga mlango waelimu ambao Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa ameufungua kwa ajili ya Umma wote?Je! Watu walihalalishwa katika kufungua mlango wa mtu wa chaguo lao, ambaye hakuwana mahusiano yoyote na kiwango cha elimu ya Ali?

Sheikh: Tumekwishajadili vya kutosha lile jambo la kwamba hadithi hii kwa ujumlainakubaliwa na Ulamaa wetu. Hakuna shaka baadhi ya wasimuliaji wamesema kwamba nidhaifu, ni hadithi ya peke yake, wakati wengine wametamka kwamba imesimuliwa kwamfululizo sana. Lakini hii inahusiana nini na “elimu ya Ghaib,” ambayo Ali anafikiriwakuwa alikuwa anayo?

ALI ALIKUWA NA ELIMU YA GHAIB

Muombezi: Hivi hamkukubali mapema kwamba yule mwisho wa Mitume alikuwa nimbora wa viumbe vyote vilivyoumbwa? Na je! Qur’ani haisemi kwamba Allah hafichuisiri zake kwa yeyote “ukiacha kwa yule kati ya Mitume wake ambaye amemchagua? Allahalimuondolea pazia yeye, na akajaalia juu yake yeye elimu ya Ghaib. Hivyo, mbali na aina

Mikesha ya Peshawar

461

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 461

Page 480: Mikesh A

zingine za elimu, alikuwa nayo elimu ya Ghaib. Wakati Mtukufu Mtume aliposema, “Mimini jiji la elimu na Ali ni lango lake,” elimu yote ya jiji ingeweza kupatikana kupitia kwenye“lango la elimu.” Elimu kama hiyo ilichanganya pamoja na ile elimu ya ghaib.

ALI ALIJUA MAANA YA DHAHIRI NA YA NDANI YAQUR’ANI TUKUFU

Miongoni mwa wengine, Hafiz Abu Nu-aim Ispahani katika Hilyatu’l-Auliya, Juz.1 uk. 65Muhammad Bin Yusufu Ganji Shafi’i katika Kifayatu’t-Talib Sura aya 74 na SulaimanBalkh Hanafi katika Yanabiu’l-Mawadda, Sura ya 14 uk. 74 kutoka kwenye Faslu’l-Khitab, anamnukuu Abdullah Ibn Ma’sud yule mwandishi wa wahyi akisema kama:“Hakika, Qur’ani Tukufu imeshushwa juu ya hefufi saba, herufi ambazo kila moja inamaana ya dhahiri na iliyofichika. Kwa hakika Ali anazielewa maana zote za Qur’ani, zadhahiri na ya ndani.

MTUKUFU MTUME ALIFUNGUA MILANGO 1000 YAELIMU KATIKA MOYO WA ALI.

Ulamaa wenu wakubwa wemekiri katika vitabu vyao vya sahihi kwamba Ali alikuwa naelimu ya ghaib. Baada ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) yeye alikuwa ni Murtadha (aliyech-aguliwa) miongoni mwa Umma wote.

Abu Hamid Ghazali katika Kitabu chake Bayan-e-Ilm’l-Ldunni ameandika kwamba Alialisema: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliweka ulimi wake kinywani mwangu. Kutokakwenye mate ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), milango 1000 za elimu ilifunguliwa kwangu,na kutoka katika kila mlango, milango mingine 1000 ilifunguliwa kwangu.”

Yule kiongozi wenu mashuhuri, Suleyman Balkhi Hanafi katika Yanabiu’l-MawaddaSura ya 14. uk ,7 anasimulia kutoka kwa Asbagh Ibn Nabuta ambaye amemnukuu AmruI-Mu’minin kwamba alisema: “Hakika, Mtukufu Mtume alinifundisha mimi milango 1000ya elimu kila mlango ambao ilifungua, milango mingine 1000 kufanya milango milionimoja. Hivyo, ninajua nini kimekwisha tokea tayari na nini kitakachotokea mpaka Siku yaHukumu.

Katika sura hiyo hiyo anasimulia, kutoka kwa Ibn Maghazili kwa idhini ya huyu wamwisho mwenyewe, kutoka kwa Abu’s-Sabba, ambaye alisimulia kutoka Ibn Abbas,ambaye amemnukuu Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akisema: “Katika usiku wa Miraj, wakatinilipokuwa mbele za Allah, Alizungumza nami kwa siri. Kila chochote nilichojifunza, nil-

Mikesha ya Peshawar

462

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 462

Page 481: Mikesh A

imfundisha Ali. Yeye ni lango la elimu yangu.”

Yule mwandishi maarufu, Mu’affaq bin Ahmad Khawarizmi, amesimulia vivyo hivyokutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa njia hii: “Jibrail aliniletea busati kutokapeponi. Nilikaa juu yake mpaka nikafikishwa karibu na Mola wangu. Kisha alizungumzanami na akaniambia mambo ya Siri. Kila nilichojifunza nilikifikisha kwa Ali. Yeye ndiyelango la elimu yangu.” Kisha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akamwita Ali na akasema: “Ali!Kukubaliana na wewe ni kukubaliana na mimi; kukupinga wewe ni kunipinga mimi.Wewe ndio elimu ambayo inaniuganisha mimi na Umma wangu.”

Hafiz Abu Nu’aim Ispahani katika Hilyatu’l-Auliya, Mulla Ali Muttaqi katika Kanzu’l-Ummal, Juz. 6, uk. 392, na Abu Ya’la wanasimulia kutoka kwa Ibn Lahi’a, ambayealisimulia kutoka kwa Hayy Bin Abd Maghafiri, ambae alisimulia kutoka kwa Abdu’r-Rahman, ambaye alisimulia kutoka kwa Abdullah Bin Umar, ambae alisimulia kwambaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipokuwa kwenye kitanda chake cha mauti alisema “Nileteenindugu yangu hapa kwangu.”

Wakati Abu Bakr alipomjia, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aligeuzia uso wake kando. Tenaakasema, “Niitieni ndugu yangu hapa.” Kisha Uthman akaja, na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)akamgeuzia uso pia. Baadhi ya wengine wanasimulia kwamba baada ya Abu Bakr, Umaralikuja na kisha Uthman.

Baada ya hayo, hata hivyo Ali aliitwa ndani. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akamfunika nablanket lake na akapumzisha kichwa chake juu yake.

Wakati Ali alipotoka nje, watu wakamuuliza: “Ali! Ni nini alichokuambia Mtukufu Mtume(s.a.w.w.)?”

Imam akasema, “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amenifundisha milango 1000 ya elimu na kilamoja ya milango hiyo una milango 1000 mingine.

Hafiz Abu Nu’aim Ahmad bin Abdullah Ipahani (kafa 430 A.H) katika Hiliyatul-Auliyayake Jz. 1, uk. 65, akiandika kuhusu sifa za Ali, Muhammad Jazari katika Asnu’l-Matalibuk. 14, na Muhammad bin Yusuf Ganji Shafi’i katika Kifayatu’t-Talib, sura ya 48, wames-imulia kwa vyanzo vya kuaminika kutoka kwa Ahmad Bin Imran Bin Salma Bin Abdullahkwamba alisema: “Tulikuwa pamoja na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wakati alipouliziakuhusu Ali Bin Abi Talib. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisiema: “Maarifa yamegawanywakatika sehemu kumi, ambazo tisa zilipewa Ali na moja ilitolewa kwa wanadamu wote.

Pia Mua’ffaq Bin Ahmad Khawarizmi katika Manaqib, Mullah Ali Muttaqi katikaKanzu’l-Umal Juz. 6, uk. 156 na 401 kutoka kwa wanazuoni wengi maarufu, Ibn MaghaziliFaqih Shafi’i katika Faza’il na Sulayman Balkhi katika Yanabiu’l-Mawadda kwa vyanzohivyo hivyo kutoka kwa mwandishi wa Wahyi, Abdullah bin Mas’ud, Muhammad Bin

Mikesha ya Peshawar

463

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 463

Page 482: Mikesh A

Talha Shafi’i katika Matalibu’s-Su’ul uk. 14 na wengineo wengi wanasimulia kutoka kwaHulays Bin ‘Alqama kwamba wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipoulizwa kuhusu Alialisema: “Maarifa yamegawanywa katika sehemu kumi ambazo kati ya hizo, tisa amepe-wa Ali na wanadamu wote wamepata sehemu moja. Katika hiyo sehemu moja, fungu laAli pia lilikuwa ndio kubwa.”

Pia katika Yanabiu’l-Mawadda, sura ya 14, imesimuliwa kutoka kwenye Sharh-e-RisalaFathu’l-Mubin cha Abu Abdullah Muhammad Bin Ali al-Hakim Tirmidhi kwambaAbdallha Bin Abbas alisimulia hadithi ifuatayo: “Elimu ina sehemu kumi. Sehemu tisa niza Ali peke yake, na ile ya kumi iliyobakia ni ya wanadamu wote. Katika hiyo sehemumoja pia, Ali aligaiwa fungu kubwa zaidi.”

Pia Muttaqi Hindu katika Kanzu‘l–Ummal Juz. 6, uk. 153, Khatib Khawarimi katikaManaqib, uk 49, na Maqtalu’l- Husain, Juz. 1, uk. 43, Dailami katika Firdausu’l-Akhbar,na Sulayman Balkhi katika Yanabiu’l-Mawadda, sura ya 3, anamuelezea Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) kwamba alisema; “Baada yangu mimi, miongoni mwa Umma wote, mtumwenye elimu na hekima zaidi ni Ali Bin Abi Talib.”

KUIKABIDHI ELIMU YA MTUME KWA ALI.

Hatusemi kwamba Ali Bin Abi Talib na hawa watu kumi na moja wa Kizazi chake, hawaMaimam, walipokea elimu moja kwa moja toka kwa Allah kupitia wahyi (ufunuo) kamailivyokuwa kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Lakini tunaamini kwamba huyu wa mwishokatika Mitume wa Allah alikuwa ndio kitovu cha rehma za Allah. Faida yoyote wanay-oipata viumbe inatoka kwa Allah Mwenye uwezo, kupitia kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)

Kwa hiyo elimu yote, pamoja na matukio muhimu ya wakati uliopita na ujao, yalifanywayafahamike kwao wakati wa uhai wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Elimu nyingine ilikabid-hiwa kwao na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wakati alipokuwa karibu na kuiaga dunia hii.

Maulamaa wenu wamesimulia hadithi kutoka kwa Ummu’l-Mu’minin Aisha kuhusunukta hii. Mwisho wa hadithi hii yeye alisema: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimwita Alina akamkumbatia na akamfunika kichwa chake na shuka. Nilichomoza kichwa changumbele na nikajajribu sana kuwasikiliza, lakini sikuweza kuelewa chochote. Wakati Alialiponyanyua kichwa chake, paji la uso wake lilifunikwa na kijasho chembamba. Watuwakamwamba, Ali Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amekwambia nini kwa muda mrefu wotehuo?Kisha Ali akasema: ‘Hakika Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amenifundisha milango 1000 yaelimu, kila mmoja ambao ulifungua milango mingine 1000.’

Katika siku za mwanzoni za Utume wake (kama nilivyotaja katika mikesha iliyopita)

Mikesha ya Peshawar

464

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 464

Page 483: Mikesh A

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliandaa chakula kwa watu arobaini katika ndugu zake wakaribu kwenye Nyumba ya Abu Talib. Baada ya kutangaza Utume wake, Ali alikuwa wakwanza kutangaza imani yake. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimshika katika mikono yakena akamtemea mate yake mdomoni mwake. Ali baadae alisema kuhusu tukio hili “Mara tubaada ya hili, chemchemi za maji ziliibuka ndani ya kifua changu.” Ulamaa wenumashuhuri, wenyewe wamesimulia kwamba wakati akitoa hotuba, Imam aliashiria kwenyemaana hiyo hiyo akasema; “Niulizeni mimi juu ya lile msilolielewa kabla sijafa. Kifuachangu ni hifadhi ya elimu isiyo na mpaka.” Kisha akiashiria kidole kwenye tumbo lakeakasema, “Hii ni ghala ya elimu, haya ni mate ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), hiki ndichoMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alichonilisha mimi kama nafaka.”

Muda wote wa maisha yake ya ukubwani Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alitoa elimu na neemakwa Ali katika njia tofauti. Kila elimu Allah aliyompa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Mtumealiweka ndani ya kifua cha Ali.

JAFR-E-JAMI’A NA ASIL YAKE

Moja ya vyanzo vya neema tukufu ambazo Ali alizipokea kutoka kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) ilikuja kupatia Jafr-e-Jami’a, kitabu kilichojaa siri za ulimwengu. Ulamaa wenumaarufu,wenyewe wanakubali kwamba kitabu hiki na elimu maalum ni miongoni mwaneema adimu kwa Ali na Maimam watukufu.

Hujjatu’l-Islam Abu Hamid Ghazali ameandikwa kwamba, “Kuna kitabu kutoka kwabwana na kiongozi wa wachamungu Ali Bin Abi Talib. Jina lake ni Jafar-e-Jam’ud-Duniawa’l-Akhira. Kitabu hicho kinazo sayansi zote, ukweli na mambo yaliyofumbika, mamboya ghaib, asili ya vitu na athari zake, asili ya majina na herufi, ambavyo hakuna anayevi-fahamu isipokuwa Ali na watu kumi na moja wa kizazi chake. Ukweli ni kwambawamerithi kitabu hiki kutoka kwa baba zao.”

Kadhalika, Sulayman Balkhi katika Yanabiu’l-Mawadda, uk. 403, anatoa maelezo marefukuhusu kitabu hicho, kutoka kwa Muhammad Bin Talha Shafi’i kwenye kitabu chakeDurru’l-Munazzam. Anasema kwamba Jafr-e-Jami’a, kina funguo za elimu, kina kurasa1,700 na ni mali ya Ali Bin Abi Talib pekee.

Pia imeandikwa katika Ta’rikh-e-Ningaristan kutoka kwenye Shar-e-Mawaqif kwambaJafr na Jami’a ni vitabu viwili ambayo ni mali ya Ali pekee. Vinaelezea, kupitia elimu yahefufi, matukio yote mpaka mwisho wa dunia. Kizazi chake vile vile, kinatabiri kwa msin-gi wa vitabu hivyo.

Nawab: Tafadhali tupatie habari zaidi kuhusu kitabu hiki cha Jafr.

Mikesha ya Peshawar

465

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 465

Page 484: Mikesh A

Muombezi: Katika mwaka wa kumi Hijiria, wakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliporudikutoka Hijja yake ya mwisho, Jibril alimjia na kufahamisha juu ya kifo chake. KishaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alinyanyua mikono yake juu na akasema, “Ewe Mungu Wangu!Umeniahidi mimi; nawe kamwe si mwenye kurudi nyuma juu ya neno Lako.”

Jibu kutoka kwa Allah likaja: “Mchukue Ali pamoja na wewe, na mkiwa mmekaa juu yamilima ya Uhud, na migongo yenu ikielekea kibla, waite wanyama wa porini. Wataitikiawito wako. Miongoni mwao atakuwepo mbuzi mwekundu, mwenye pembe kubwa.Muamuru Ali amchinje na kumchuna ngozi yake na uigeuze nje ndani. Itaonekana ikiwaimekaushwa. Kisha Jibril atakuja na kalamu na wino, ambao utakuwa tofauti na wino waduniani. Mwambie Ali aandike kile Jibril atakachosema. Maandishi hayo pamoja na hiyongozi vitadumu hasa katika hali hiyo hiyo na kamwe haitaoza. Daima itabakia salama.Kila itakapofunuliwa itakutwa ni safi” Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikwenda kwenye vili-ma vya Uhud na akatekeleza maagizo yale matukufu. Jibril alikuja na akaiweka ile kala-mu na wino mbele ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), ambaye alimuamuru Ali ajiandaekuandika.

Jibril alimsimulia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) matukio yote muhimu ya dunia naye alimua-giza Ali kuyaandika kwenye ile ngozi. Aliandika hata kwenye ngozi ya mikono na miguu. Aliandika kila kitu ambacho kilikwisha tokea au kile ambacho kingetokea hadi Siku yaHukumu. Aliandika majina ya wanae ambao walikuwa hawajazaliwa, na vizazi vyao namajina ya marafiki na maadui zao. Aliandika vile vile kila kile ambacho kingewatokea kilammoja wao hadi Siku ya Hukumu. Kisha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akakitoa kile kitabuna elimu ya Jafr kwa Ali na akakifanya ni sehemu ya urithi wa Uimam. Kila Imam kwazama, alikikabidhi kwa wasii wake.

Hiki ni kitabu kile kile ambacho Abu Hamid Ghazali kuhusu hicho anasema: Jafr-e-Jami’a ni kitabu ambazo kwa jumla ni mali ya Ali na watu kumi na mmoja kwa kizazichake. Kina kila kitu.”

Nawab: Inawezekana vipi kwamba mambo yote ya dunia yawe ni ya kuandikwa kwenyengozi ya mbuzi?

Muombezi: Kwanza, hadithi yenyewe inaonyesha kwamba haikuwa ni mbuzi wa kawai-da. Alikuwa ni mbuzi mkubwa ambaye aliumbwa kwa madhumuni haya.Pili, kilichokuwa kimeandikwa hakikuwa ni maandishi ya kwenye vitabu vya kawaida.Kiliandikwa kwa herufi na alama za siri.

Nimekwisha kuwaambieni kwamba mwandishi wa Ta’rikh-e- Nigaristan ameeleza kutokaSharh-e-Mawaqif kwamba Jafr na Jami’a vina herufi za kialfabeti ambazo kupitia kwazohabari hufichuliwa.

Mikesha ya Peshawar

466

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 466

Page 485: Mikesh A

Kisha Mtukufu Mtume wa Allah (s.a.w.w.) alikabidhi ufunguo wa siri hii kwa Ali, ambaye,kwa amri ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), aliikabidhi kwa warithi wake, hao Maimamwatukufu.

Ni yule tu ambaye anamiliki funguo hiyo ndiye anaweza kusoma siri za kitabuni humo.Vinginevyo mtu hana uwezo wa kujua chochote cha ghaib. Kwa mfano, Mfalme anampaalama za kutambua siri waziri wake, au viongozi ambao anawatuma majimboni. Ikiwaufunguo wa kuzielewa alama hizo unabakia na mfalme au mawaziri, basi hakuna mtuangeweza kutambua maandishi yale yalikuwa na maana gani. Kwa namna hiyo hiyo, haku-na yoyote isipokuwa Ali na wale kumi na mmoja wa kizazi chake, anayeweza kukielewakitabu cha Jafr-e-Jami’a.

Siku moja Amirul-Mu’minin alimpa kitabu hicho mwanae Muhammad Hanafiyya mbeleya wanae wote wengine wa kiume lakini hakuweza kuelewa chochote ndani yake ingawaalikuwa mtu mwenye elimu ya juu sana na mwerefu.

Nyingi ya amri walizotoa Maimam Maasumini hawa, au habari wakizozieleza, zilitokakwenye kitabu hicho hicho. Watu hawa watukufu walielewa siri za vitu vyote na waliwezakueleza ni mateso yaliyokuwa yawapate wao, vizazi vyao na Shi’ah wao, kutoka kwenyekitabu hicho hicho. Jambo hili limeandikwa kwa kirefu katika vitabu vy Hadithi.

IMAM RIDHAA ALITABIRI KIFO CHAKE.

Maelezo kina ya makubaliano kati ya khalifa Mamun ar-Rashid Abbasi na Imam Ridhayameandikwa katika Sharhe-e-Mawaqif. Baada ya mawawasiliano ya maandishi kwamiezi sita, pamoja na vitisho vya Mamun, Imam Ridha alilazimika kukubali kuwa mrithiwa Khalifa. Mkataba uliandikwa na Mamun akauweka sahihi, ukitamka kwamba, baadaya kifo cha Mamun, Ukhalifa utahamishiwa kwa Imam Ridha.

Wakati karatasi ya mkataba ilipowekwa mbele ya Imam Ridha, yeye aliandika maoni hayayafuatayo juu yake ( Mkataba): “Mimi, Ali Bin Musa Bin Ja’far, natamka hapa kwambamtumishi wa waumini (Mamun ur-Rashid), (Ajaaliwe kusimama imara kwenye haki naAllah amuongoze kwenye njia iliyonyooka), yeye ameitambua haki yetu, ambayo wenginehawakuitambua, hivyo ameunganisha yale mahusiano ambayo yalikuwa yametengwa,ametoa amani na kuridhika kwa wale watu ambao walikuwa wamefikwa na hofu, badalayake amewahuisha baada ya kuwa walikuwa wameshushwa hadi kwenye maangamizi;amewafanya kuwa wenye ustawi na wenye kuridhika wakati walikuwa wakiendeshamaisha ya wasiwasi, ili kwamba aweze kuzipata rehma za Allah na hakika karibuni Allahatatoa malipo mazuri kwa wale, ambao wanatoa shukrani kwake na Yeye habatilishimalipo ya wakweli. Hakika, amenifanya mimi kuwa mrithi wake na amenitwisha mimi

Mikesha ya Peshawar

467

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 467

Page 486: Mikesh A

mamlaka makubwa madhali tu niishi baada yake?”

Mwishoni mwake, Mtukufu Imam aliandika: “Lakini Jaf-e-Jami’a inasema kinyumechake, (yaani kwamba, mimi sitaishi kumzidi yeye) na mimi mwenyewe sijui ni vipi wewena mimi tutakavyotendewa. Ni Allah pekee, anayeamuru, ambaye amri yake ni ya kwelikabisa, na ambaye ndio hakimu bora.

Sa’d Bin Mas’ud Bin Umar Taftazani katika Sharh-e-Maqasidut-Talibin fi-ilm-e-Usulud-Din, akirejea kwenye maneno “Jafr wa Jami’a” yaliyoandikwa kwa mkono wa Imamkwenye mkataba, anatoa maoni kwa undani kwamba Imam alimaanisha kwamba kwamajibu wa Jafr na Jami’a, Mamun hangeweza kuidumisha ahadi yake na dunia iliona ninini kilichotokea. Yule kipenzi mzawa wa kizazi cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliuawashahidi kwa njia ya kupewa sumu. Hivyo ukweli na usahili wa elimu ya Imam Mtukufuulithibitika na ilifahamika kwa kila mmoja kwamba familia hii iliyotukuka ilikuwa nahabari juu mambo yote yanayojulikana na yasiyojulikana.

JIBRIL ALILETA KITABU KILICHOFUNGWASILI (SEALED) KWA AJILI YA WASII

WA MTUKUFU MTUME:

Moja ya zawadi tukufu zilizopokelewa na Ali kupitia kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)ilikuwa ni kitabu kilichofungwa kilicholetwa na Jibril. Mwanachuoni mkubwa na mwanahistoria, Allama Abu’l-Hasan Ali Bin al-Husain Mas’ud, anayeheshimiwa na madhehebuzote anaandika katika kitabu chake Isbatu’l-Wasiyya hivi: “Jibril na Malaika waaminiwawalileta kutoka kwa Allah Muweza, kitabu kilichofungwa, kwa Mtukufu Mtume naakamwambia: ‘wale wote walioko hapa pamoja nawe, isipokuwa wasii wako, waondokeili niweze kukupa kile Kitab-e-Wasiyya (Kitabu cha agano la mwisho)’”

Kisha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akawaamuru wale waliokuwa pale kuondoka isipokuwaAmiru’l-Mu’minin, Fatima, Hasan na Husein.

Jibril akasema: “Ewe Mtume! Allah anatuma salam Zake kwako na anasema kwamba hiindio hati ambayo ndani yake amekufanyia ahadi na amewafanya Malaika Zake kuwamashuhuda kwayo na kwamba Yeye Mwenye ni shahidi kwayo.”

Kisha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akaanza kutetemeka na akasema: “Salaam ni Yeye naSalaam zinatoka Kwake na Salam zinarudi Kwake.”

Akikichukua kile kitabu kutoka kwa Jibril, akakisoma na akakitoa Ali - Mtukufu Mtume

Mikesha ya Peshawar

468

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 468

Page 487: Mikesh A

(s.a.w.w.) akasema: “Hii ni ahadi na dhamana kutoka kwa Mungu Wangu kuja kwangu.Hakika nimetekeleza kazi yangu na nimefikisha ujumbe wa Allah.”

Amirul-Mu’minin akasema: “Mama yangu na baba wawe wenye kutoa kafara maisha yaokwa ajili yako! Nami pia nashuhudia kwenye ukweli wa ujumbe huu. Masikio yangu,macho, nyama na damu vinatoa ushahidi juu ya ukweli huu.”Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akamwambia Ali: “Hapa huu ni Usia wangu kutoka upande waAllah. Upokee na uwe wewe ni mdhamini wake mbele ya Allah. Ni juu yangu mimikutimiza wajibu wangu.” Ali akasema: “Nitakuwa mdhamini wake, na ni juu ya Allahkunisaidia mimi.”

Katika kitabu hiki, Amiru’l-Mu’minin ametakiwa kutimiza ahadi zifuatazo; “Kuwa nauraffiki kwa marafiki wa Allah, kuwa mkali kwa maadui wa Allah. Kuwa na subira kwamaonevu, kwa subira sana kuvumilia na kuzuia hasira wakati haki zake zinapoporwa,wakati anapotukanwa na wakati anaposhambuliwa bila haki?

Amiru’l-Mu’minin akasema: “Nakipokea, na nimeridhika nacho. Ikiwa nitaonyeshwakuvunjiwa heshima, ikiwa hadithi zitakataliwa, ikiwa hukmu za Quran Tukufu zitapuuzwa,ikiwa Ka’ba itabomolewa kusawazishwa na aradhi, na ikiwa ndevu zangu zitapakwa damuya kichwa changu hata hivyo nitavumilia na kuwa na subira.”

Baada ya hayo, Jibril, Michael na Malaika wengine wa karibu walitangazwa kamamashahidi wa Amiru’l-Mu’minin. Kadhalika Hasan, Husein na Fatima pia walikabidhiwawajibu huo huo. Matatizo na hali ambazo zilikuwa ziwakabili, hayo waliyaambiwa kilammoja wao kwa kirefu. Baada ya hapo lile agano lilifungwa kwa sili ya dhahabu ghafi nakupewa Ali.

Agano hili lina hadithi za Allah Muweza, Hadithi za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) upinzaniwa wale wenye kupinga na kubadili hukmu tukufu na matukio na majanga yote yaliy-otokea baada ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).Na hivi ndivyo anavyosema Allah: “Na kila kitu tumekiweka ndani ya Imam (Kiongozi)mwenye kudhihirisha yaani Ali”

Kwa kifupi, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alirithisha elimu yake kwa Ali na kwa kizazi chakeAli, Maimam Ma’sumin. Ingekuwa vinginevyo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) asingelimuitaAli “lango la elimu” na asingelisema: “Kama unataka kunufaika na elimu yangu, nendakwenye mlango wa Ali.”

Kama Imam huyo Mtukufu asingekuwa anamiliki elimu yote Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)asingeweza kutangaza mbele ya wote, marafiki na maadui kwamba: “Niulizeni lolotemnalotaka kabla sijafa na kuwaacheni.”

Mikesha ya Peshawar

469

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 469

Page 488: Mikesh A

Hakuna mwingine tena isipokuwa Ali tu aliyeweza kudai kamwe kuwa nayo sifa hiimwenyewe. Wakati wengine ambao waliodai kuwa na elimu walipoulizwa juu ya mamboyanayojulikana na yasiyojulikana walibaki kuaibika.

Hafidh Ibn Abdu’l-Barr Maghribi Andalusi katika kitabu Isti’ab fi Ma’rifati’l-As’hab ame-sema: “Yeyote aliyesema ‘Niulizeni mimi kabla sijafa na kuwaacheni’ alikuwa muongoisipokuwa Ali Bin Abi Talib.” Abdul’l-Abbas Ahmad Ibn Khallikan Shafi’i katika Wafayayake na Kitab-e-Baghdad katika Ta’rikh yake Juz. 13, uk. 163 anasimulia kwamba sikumoja Maqatil Bin Sulayman, aliyekuwa mmoja wa wanazuoni mashuhuri aliyejulikanakwa uwezo wake wa kujibu maswali haraka, alitangaza mbele ya mkusanyiko wa hadharakwamba: “Niulizeni mimi kuhusu lolote chini ya mbingu.”

Mtu mmoja alitoa swali hili kumuuliza yeye: “Ni lini Nabii Adam alipofanya Hijja? Ninani aliyemkata nywele alipomaliza? Maqatil alitatizwa na akabakia kimya.

Mtu mwingine akamuuliza: “Je, mdudu chungu ananyonya chakula kupita tumboni aukupitia njia nyingineyo? Kama ni kupitia tumboni, liko wapi tumbo na utumbo wake?”

Maqatil aliduwaa tena. Akasema: “Allah ameliweka swali hili moyoni mwake, ili kwam-ba majivuno juu ya elimu yangu yaweze kuwekwa kwenye aibu.”

Ni yule tu ambaye anao uwezo wa uhakika kikamilifu wa kujibu maswali yote anayewezakudai hivyo. Katika Umma mzima hakuna yeyote isipokuwa Ali Bin Abi Talib aliyekuwana hadhi hiyo.

Kwa vile alikuwa “lango la elimu” ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), alikuwa na ujuzi kamiliwa mambo yote, yanayojulikana na yasiyojulikana kama vile alivyokuwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Kwa hiyo, alikuwa anaweza kusema, “Niulizaeni mimi” naye akatoa majibu yapapo kwa papo na yenye kukinakisha kwa maswali yote. Miongini mwa Masahaba, vilevile, hapakuwa na mtu hata mmoja isipokuwa Ali, ambaye alitoa madai kama haya.

Imam Ahmad Bin Hanbal katika Musnad, Muwaffaq Bin Ahmad Khawarizmi katikaManaqib, yule Khwaja maarufu Sulayman Balkhi Hanafi katika Yanabiu’l-Mawadda,Baghawi katika Mu’jim, Muhibu’d-Din Tabari katika Riyazu’n-Nuzra Juz. 2, uk. 198 naIbn Hajar katika Sawa’iq uk. 76 wamemnukuu Sa’id Bin Musayya akisema kwamba haku-na yeyote katika Masahaba, isipokuwa Ali Bin Abi Talib aliyewahi kusema: “Niulizenimimi lolote mnalotaka.”

Mikesha ya Peshawar

470

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 470

Page 489: Mikesh A

TANGAZO LA ALI LA NIULIZENI MIMI NA RIWAYA ZA MASUNNI.

Idadi kubwa ya ulamaa wenu mashuhuri, kama Ibn Kathir katika Tafsir yake, Juz. 4, IbnAbdul’l-Birr katika Isti’ab, Sulayman Balkhi Hanafi katika Yanabiu’l-Mawadda,Muhiy’d-din Khawarizmi katika Manaqib, Imam Ahmad katika Musnad, Hamwaini kati-ka Fara’id, Ibn Talha katika Durru’l-Manzum, Mir Seyyed Ali Shafi’i katikaMawaddatu’l-Qurba, Hafidh Abu Nu’aim Ispahani katika Hilyatul-Auliya, MuhammadBin Talha Shafi’i katika Matalibus-Su’ul, Ibn Abi’l-Hadid katika Nuhju’l-Balaghah nabaadhi ya wanazuoni wengineo mashuhuri wa Sunni wamesimulia pamoja na tofauti kido-go ya maneno, kutoka kwa Amir Bin Wathila, Ibn Abbas, Abi Sa’id al-Buhturi, Anas BinMalik na Abdullah Bin Mas’ud kwamba Amiru’l-Mu’minin alitangaza kutoka kwenyeMimbar kwamba: “ Enyi watu! Niulizeni mimi chochote mnachotaka kabla sijafa, hakikamoyo wangu ndio ghala ya elimu yote. Niulizeni mimi kwa sababu ninayo elimu ya yaleyote yaliyopita na ya yale yote yatakayokuja?

Abi Dawud katika Sunan yake uk. 356, Imam Ahmad Bin Hanbali katika Musnad Juz. 1,uk. 278, Bukhari katika Sahih Juz. 1, uk. 46 na Juz. 10, uk. 241 wamesimulia kwa mam-laka kabisa kwamba Ali alisema: “Mnaweza kuniuliza juu ya chochote mnachotaka,ninaielewa asili ya kila jambo ambalo mngeliuliza juu yake.

MADAI YA ALI KWAMBA ANGEWEZA KUHUKUMU KESI KWA MUJIBU WA TAURATI NA VILE VILE KWA INJILI.

Sheikh Sulayman Bakhi Hanafi katika Yanabuu’l-Mawadda sura ya 14, uk. 74 anasimu-lia kutoka kwa Mu’affaq Bin Ahmad Khawarizmi na Sheikhil-Islam Hamwaini anasimu-lia kutoka kwa Abu Sa’id Buhturi kwamba yeye (Abu Sa’id) amesema: “Nilimuona Ali juuya Mimbar akiwa amevaa joho la Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), upanga na kilemba chake.Alikifunua kifua chake na akasema; “Niulizeni mimi chochote mnachotaka, kabla sijafa,kwa sababu kifua changu kimebeba maarifa mengi sana. Hili ni tumbo langu ambalo nighala ya elimu. Haya ni mate ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), hiki ndicho Mtukufu Mtumealichonilisha kama nafaka. Ninaapa kwa Allah kwamba ikiwa zulia litatandikwa nanikakaa juu yake, hakika nitamuelekeza mfuasi wa Taurati, kwa mujibu wa Taurati.Nitamuelekeza mfuasi wa Injili kwa mujibu wa Injili mpaka Taurati na Injili, zote ziwezekuongea na kutoa ushahidi kwa yafuatayo: Ali amesema ukweli na fatwa ambayo ameitoani ya kulingana na kile kilichodhihirishwa ndani yetu. Wakati unapokisoma hicho kitabuhuelewi kiasi hiki.

Mikesha ya Peshawar

471

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 471

Page 490: Mikesh A

ELIMU YA ALI KUHUSU AYA ZA QUR’ANI TUKUFU.

Sheikhul-Islam Hamwaini katika Faraid na Muayyidud-Din Khawarizmi katika Manaqibyake anasimulia kwamba huyu Imam Mtukufu alisema maneno haya kutoka mimbarini“Niulizeni mimi kuhusu nini msichokielewa kabla sijafa. Naapa kwa Allah aliyetawany-isha nafaka na akamuumba mwanadamu, kwamba kama mtaniuliza mimi kuhusu aya yoy-ote, ya Kitabu kitukufu cha Allah, nitakuelezeni juu yake - lini iliposhuka, ni wakati wamchana au usiku, kituo gani cha njiani, nyikani au mlimani, kumhusu nani iliteremshwa,muumini au dhidi ya mnafiki, nini Allah amemaanisha kwayo, na kama aya hiyo ni yajumla au ni aya maalum.

Hapa ndipo Ibn Kawwa, Khawarij huyu, akasimama na kusema: Hebu nifahamisha ni ninianachomaanisha Allah kwa kusema, “Wale walioikubali Imani na wakatenda matendomema ndio wabora wa watu.”

Imam Mtukufu akasema: “Aya hii inaashiria kwetu na wafuasi wetu, ambao nyuso zao,mikono na miguu vitakuwa vyenye kung’ara Siku ya Kiyama. Watatambuliwa kwa vipajivya nyuso zao.”

Imam Ahmad Ibn Hanbal katika Musnad yake na Sheikh Sulayman Balkhi katikaYanabiu’l-Mawadda sura ya 14 uk. 74, wanasimulia kutoka kwa Ibn Abbas kwamba Alialisema maneno haya akiwa mimbarini: “Niulizeni mimi kuhusu nini msichokielewa kablasijafa. Hakuna aya ambayo kwamba siielewi zaidi kuliko mtu mwingine yeyote anavy-oielewa. Ninajua ni vipi na wapi ilikoshukia. Niulizeni kuhusu ghasia yoyote, kwani haku-na ghasia ambayo kwamba simjui aliyeisababisha na ni nani aliyeuawa ndani yake.”

Ibn Sa’d katika Tabaqat Abu Abdullah Muhammad Bin Yusuf Ganji Shafi’i katikaKifayatu’t-Talib sura ya 52, na Hafidh Abu Nu’aim Ispahani katika Hilyatu’l-Auliya Juz. 1,uk. 68 wanasimulia kwa rejea sahihi kwamba Amirul-Mu’minin alisema: “Wallahi, haku-na aya iliyoteremshwa ila ninajua kwa uhakika ni kuhusu nani imeshushwa, na wapiilishushwa. Hakika Allah amejaalia juu yangu moyo wenye hekima na ulimi fasaha.”

Katika vitabu hivyo hivyo imesimuliwa kwamba Amiru’l-Mu’minin alisema: “Niulizenimimi kuhusu Kitabu cha Allah, Hakuna aya hata moja ambayo kwamba sijui iwapo kamaimeshushiwa vilimani ama nyikani.”

Mikesha ya Peshawar

472

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 472

Page 491: Mikesh A

ELIMU YA ALI KUHUSU WATU WANAOONGOZAAU WANAOPOTOSHA

Khawarizmi anasimulia katika Manaqib yake kutoka kwa A’mash, ambaye amesimuliakwamba Ubaya Bin Rab’i alisema: “Ali mara nyingi alizoea kusema ‘niulizeni kuhusunini msichokielewa kabla sijafa, naapa kwa Mungu Wangu kwamba hakuna mbuga yakijani au ardhi ya jangwa, au kikundi cha watu kinachopotosha watu mia moja au kuon-goza watu mia moja, ila ninawajua. Ninawajua vizuri zaidi ya yeyote wale wanaoongozawatu au wanaowachochea kwenye maovu hadi Siku ya Hukumu.”

Jalalu’d-din Suyuti katika Ta’rikhu’l-Khulafa uk. 124, Badru’d-din Hanafi katikaUmdatu’l-Qari, Muhibu’d-din Tabari katika Riyazu’n-Nuzra Juz. 2, uk. 198, Suyuti katikaTafsir-e-Itqan Juz. 2, uk. 319, na Ibn Hajar Asqalani katika Fathu’l-Bari Juz. 8, uk. 485 napia katika Tahdhibu’t-Tahdhib Juz. 7, uk 338 wanasimulia kwamba Ali alisema:“Niulizeni chochote mnachotaka, na ninaapa kwa Allah kwamba nitawaambia mambo yoteyatakayotokea hadi Siku ya Kiyama. Kama mtaniuliza kuhusu Kitabu cha Allah, naapakwa Mungu Wangu kwamba hakuna aya hata moja ambayo siielewi vizuri. Ninajua iwapokama aya ilishushwa wakati wa usiku au mchana, nyikani au katika vilima”

Anaweza mtu yeyote, isipokuwa yule mwenye elimu ya ghaib, kutoa madai kama hayombele ya wote, marafiki na maadui?

KUTABIRI KWAMBA SINAN BIN ANAS ALIKUWANDIYE MUUAJI WA IMAM HUSAIN.

Ibn Abil-Hadid Mut’azali ameandika hadithi hizo hizo katika Sharh-e-Nahjul’l-BalaghaJuz. 1, uk. 208 kutoka Gharat cha Ibn Hilal Saqafi. Yeye anasema kwamba mtu mmojaalisimama na akasema: “Hebu nijulishe kuhusu nywele za kichwa changu na ndevuzangu:”

Imam Mtukufu akasema: “Rafiki yangu, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alinifahamisha kwam-ba kuna malaika katika mzizi wa kila unywele wa kichwa chako nayekulaani wewe. Kunashetani katika mzizi wa kila unywele wa ndevu zako anayekupotosha. Kuna ndama katikanyumba yako atakayemuua mtoto wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).”Mtu huyu alikuwa ni Anas Nakh’iy, ambaye mwanae, Sinan, alikwua kitoto kidogo wakatiwa utabiri wa Ali. Mnamo mwako 61 Hijiria, Sinan alifika Karbala na alikuwa mmoja wawauaji wa Imam Husain. Baadhi ya muhadithina wanasema kwamba yule mtu ambaye ali-

Mikesha ya Peshawar

473

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 473

Page 492: Mikesh A

uliza lile swali alikwua Sa’d Bin Abi Waqas na kwamba mwanae (ndama) alikuwa ni yulemlaaniwa Umar Bin Sa’d ambaye alikuwa ndio kiongozi wa majeshi ya Yazid, mtumuhimu katika masaib ya Karbala. Vile vile inawezekana kwamba wote wawili waliulizaswali hilo katika mikutano miwili tofauti. Simulizi hizi hata hivyo, zinaonyesha kwambaImam Mtukufu alivuta mazingatio kwenye ukweli kwamba alikuwa anatambua mambo yaGhaib.

KUUTABIRI ULE USHIKA BENDERA WAHABIB BIN AMMAR

Ulamaa wenu mashuhururi, kama Imam Ahmad Bin Hanbal katika Musnad na Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Najur-Balagha, Jz. 1, uk. 208 wamesimulia kwamba wakati waUkhalifa wake wa dhahiri, Amirul-Mu’minina alikuwa amekaa katika msikiti wa Kufapamoja na sahaba zake wakati mtu mmoja aliposema kwamba Khalid Ibn Uwaita alikuwaamefariki huko Wadiyu’l-Qurba. Mtukufu Imam akasema: “Huyo hajakufa, na hatakufampaka aje kuwa kiongozi wa jeshi lililopotoka. Mshika bendera wake atakuwa Habib BinAmmar.”Kijana mmoja akasimama kutoka kwenye ule mkusanyiko na akasema: “Mimi ndiyeHabib Ibn Ammar, na ni mmojawapo wa marafiki zako wakweli na waaminifu.”

Ali akasema: “Mimi sijasema uongo na kamwe sitakujasema uongo. Nipo, kama imekuwanamuona Khalid, kiongozi wa jeshi lililopotoka, na wewe ndio mshika bendera wake. Watunyie mtaingia msikitini humu kupitia pale akiashiria kidole kwenye mlango Babu’l-fil) nakitambaa cha bendera hiyo kitachanwa na lile lango la msikiti.”

Miaka ikapita. Wakati wa Ukhalifa wa yule muovu Yazid, Ubaidullah Bin Ziyad akawandiye gavana wa Kufa na akatuma majeshi yenye kutisha kwenda kupigana na ImamHusain. Siku moja wengi wa wale waliousikia utabiri wa Amirul-Muuminin kuhusu juuyao Khalid na Habib Ibn Ammar, walikuwa wamekaa Msikitini humo wakati kelele zaaskari hao na miito yao zikisikika. Watu hao waliona kwamba Khalid Ibn Uwaita, kiongoziwa lile jeshi lililopotoka wakienda Karbala kupigana dhidi ya mtoto wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), waliingia Msikitini humo kupitia mlango ule ule wa Babu’l-Fil kufanyaonyesho. Habib Ibn Ammar alikuwa amebeba bendera. Wakati Habib alipoingia msikitinihumo, kitambaa cha bendera yake kilichanwa.Wanafiki walionyeshwa ni jinsi gani elimuya Ali ilivyokuwa nzito na jinsi ukweli wa utabiri wake ulivyokuwa.

Hivi, dalili hizi na utabiri huu havithibitishi kwamba Ali alikuwa na elimu ya ghaib?

Kama utasoma kwa makini Nahju’l-Balagha ambacho ni mkusanyiko wa khutba na semitukufu za Ali, utagundua kwamba mna utabiri mwingi wa wazi kuhusu majanga na macha-fuko, mambo kuhusu wafalme wakubwa, maasi ya watu wa Zanj, utawala wa wa-Mongoli,

Mikesha ya Peshawar

474

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 474

Page 493: Mikesh A

utawala wa Genghis Khan, Maelezo ya uonevu wa makhalifa na matendo yao kwa Shi’ah.”

Ibn Abil- Hadid ameyazungumzia mambo haya katika Nahjul-Balagha Juz.1, uk. 208-211.Yule Mwanazuoni mkubwa Balkhi Hanafi katika Yanabiu’l-Mawadda, vile vileameyazungumzia jinsi Ali mara kwa mara alivyoonyesha elimu yake nzito ndani ya khutu-ba zake na utabiri.

KUTABIRI UKANDAMIZAJI WA MU’AWIYA

Imam huyu, Mtukufu vile vile alitabiri kwamba Mu’awiya atawashinda watu wa Kufa naatawaamuru kumkataa yeye (Ali). Kwa mfano, Mtukufu Imam alisema; Mara tu, baadayangu, mtu mwenye koo kubwa na tumbo nene atawatawaleni ninyi. Atakula kila ataka-chokipata, na kama hatakipata, basi atakidai. Hivyo mnapaswa mje mumuuwe yeye huyo.Lakini kamwe hamtamuua. Hakika, mara moja atawaamrisheni kuniita mimi kwa majinamaovu na kuwawekeni mbali na mimi. Hivyo ninawaruhusuni kunitukana mimi kwasababu ni maneno ya mdomoni tu, ambayo kwangu mimi ni chanzo cha utakaso na kwenuninyi ni ulinzi dhidi ya madhara ya mtu huyu. Lakini, kwa vile kujitenga na chuki vinato-ka moyoni, msijechukua tabia ya chuki juu yangu. Nilizaliwa katika asili ya Uislam naUmoja wa Allah na nimekuwa wa mwanzo katika mambo ya Imani na Hijra (kuhama).”

Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha, na wanazuoni wenu wengine wa vyeovya juu wanathibitisha kwamba yule mtu aliyeashiriwa hapo juu alikuwa ni Mu’awiya BinAbu Sufyan. Utawala wake ulipokuwa imara uliwaamuru watu kumtukana na kumkashifuAli. Mwenendo huu mbaya uliendelea kwa miaka themanini, na Imam Mtukufu alitukan-wa kwenye misikiti, na kwenye khotuba za sala za Ijumaa.

Wakati Umar Bin Abdu-Aziz Amawi alipokuwa Khalifa, hata hivyo, aliikataza tabia hii yakuchukiza.

Kutabiri kwa Ali juu ya mwenendo huu muovu ni ushahidi mwingine wa kuwa kwake naelimu ya ghaib. Ali alibashiri matukio mengi ambayo yalithibitishwa baada ya miakamingi.

KUTABIRI MAUAJI YA DHU’TH-THADIYYA.

Kabla ya vita vya Nahrwan, Imam Mtukufu alitabiri kuuawa kwa Makhawarij hususan yaTazmala anayejulikana kama “Dhu’th-Thadiyya.” Alibashiri pia kwamba kati ya Khawarijhao sio hata watu kumi watakaosalimika na kwamba kati ya wailsam sio watu zaidi yakumi watakaouawa. Ibn Abil-Hadid na yule mwanazuoni mkubwa, Balkhi, na wengineowamesimulia kwamba kile alichokisema Imam kilitokea kuwa kweli. Ibn Abil-Hadid kati-

Mikesha ya Peshawar

475

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 475

Page 494: Mikesh A

ka Shar-e-Nahjul-Balagha Juz. 1, 425 anaandika hivi: “Hii ni moja ya zile hadithi, ambazozimesimuliwa takriban kwa mfululizo mwingi. Inajulikana sana na imesimuliwa kwamapana sana. Inachukuliwa kama moja ya miujiza ya Mtukufu Imam.”

Unaona kwa hiyo ile tofauti kubwa sana kati ya Ali na “Makhalifa’ wengine. Kamaangekuwa hana elimu ya ghaib, angeweza vipi kutabiri matukio ambayo yalitokea miakamingi baadae?

Kwa mfano, alitabiri kuuawa kwa Mitham Tammar katika mikono ya Ubaidullah BinZiyad, kuuawa kwa Juwairiyya na Rashid Hajari kulikofanywa na Ziyad, na kuuawa kwaAmr Bin Humuq katika mikono ya marafiki wa Mu’awiya. Alitabiri kufa shahidi kwamwanae, Imama Husain kwa kuwaambia watu wengi vile vile

UTABIRI JUU KUFA SHAHIDI KWAKE MWENYEWE, NA KUHUSU IBN MULJIM

Alitabiri vilevile kifo chake menyewe cha kishujaa. Yeye alisema kwamba muuaji wakealikuwa Abdu’r-Rahman Bin Muljim Muradi ingawa mtu yule aliyelaaninwa alidai kuwamwaminifu na mwenye kumuunga mkono. Ibn Kathir anaandika katika Usudu’l-Ghaibasura ya 4, uk. 25 na wengine pia wamesimulia kwamba Ibn Muljim alikuja kwa ImamMtukufu, mashairi yenye kumtukuza Amiru’l-Mu’minin mbele ya Masahaba. Alisema:“Wewe ndio kiongozi wa kweli, uliye huru kutokana na makosa yote na mashaka. Weweni mkarimu na mpole nawe u mtoto wa wale wahenga wenye roho za simba na majasiriambao walitambulika sana kwa ushujaa tangu mwanzo kabisa; ewe mrithi wa Mtume!Allah amekupa wewe hadhi hii na akajaalia juu yako zile sifa na umaarufu mkubwa uliokondani ya Qur’ani Tukufu.

Masahaba walishangazwa sana na ufasaha wake na mapenzi makali. Kisha mtukufu Imamakamjibu kwa ubeti: “Nakushauri unipende kwa moyo mweupe, ingawa ninajua wewe nimmojawapo wa maadui zangu.”

Ibn Hajar anasema katika Sawaiq-e-Muhriqa uk. 82 kwamba Mtukufu Imam, akimjibu IbnMuljim kwa ushairi, alisema: “Namuombea yeye kuishi, lakini yeye anataka kuniua. Huyurafiki wa wazi anatokana na ukoo wa Murad.” Abdu’l-Rahman akasema: Pengine ulilisakiajina langu na kwamba unalichukia jina langu hilo.”

Imam Mtukufu akasema: Laa sio hivyo, ninajua bila shaka hata kidogo kwamba wewe nimuuaji, na haitachkua muda mrefu kabla hujazipakaza ndevu zangu nyeupe na damu yakichwa changu. Ibn Muljim akasema: “Kama hivyo ndivyo, unaweza kufanya niuawe.”Masahaba nao pia walisisitiza kwamba angeuawa.

Mikesha ya Peshawar

476

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 476

Page 495: Mikesh A

Lakini Mtukufu Imam akasema: “Kamwe haitawezekana. Dini yangu hairuhusu hukumuya kisasi kabla ya kutendeka hio dhambi. Ninajua kwa yakini kuwa wewe ndio muuajiwangu, lakini hukmu za dini zinahusu matendo ya dhahihri. Kwa vile bado hujatenda tendola kidhalimo, siwezi kutoa adhabu yoyote juu yako.”

Thomas Carlyle wa Uingereza anaandika katika mfululizo wa hotuba zake za, ‘Juu yaMashujaa,’ kwamba Ali Bin Abi Talib aliuawa kwa sababu ya uadilifu wake. Yaani nikwamba, kama angehukumu kisasi kabla ya kutendeka hiyo dhambi, angeweza kwa haki-ka, kubakia salama. Hii ndio iliyokuwa kawaida kwa wafalme wa dunia ambao, maramoja, walimuua yeyote - hata ndugu wa karibu ambaye waemmhisi kuwa ni adui yao.

Tukio hili ni ushahidi mwingine wa ukweli kwamba hakuna yeyote mwenye elimu yaghaib isipokuwa aliye Mtume au Imam ambaye ni Ma’sum (safika kwa maana ya kuhifad-hiwa kutokana na kutokosea). Kama angekuwa mwenye kutokosea tu, kwa kule kuwakwake mwenye kutambua hali halisi ya mambo, angeweza kusababisha ghasia. LakiniMtume au Imam, ambaye pia ni mwenye kutokosea, baada ya kumtambua muuaji wake,huwa hatoi adhabu kabla ya kutendeka hasa kwa hiyo dhambi. Mifano hii yote haitoshelezikuthibitisha kwamba huyu Imam Mtukufu alikuwa ni utambuzi kamili wa matukio yajayosiku za baadaye?

UBORA WA ALI

Sheikh Sulayman Balkhi anasimulia mwanzoni mwa Yanabiu’l-Mawadda zile beti zaAmiru’l-Muminin ambazo zimechukuliwa toka kwenye Durru’l-Munazzam cha Ibn TalhaShafi’i. Mtukufu Imam alisema; “Kwa hakika, mimi ninayo elimu kamili ya vianzio vyote,na ninashutumiwa kuficha elimu ya viishilizio vyake. Mimi ndio mfachuaji wa mamboyaliyojificha na yasiyofahamika ninayo mbele yangu kumbukumbu ya yote yaliyopita naya wakati huu. Kwa kweli ninayo mamlaka juu ya vitu vyote, vikubwa na vidogo, na elimuyangu inazingira ulimwengu wote.

Imam Mtukufu huyu pia alisema: Ninaweza kuwabebesha ngamia sabini kwa mzigo washerehe ya Suratul-Fatiha (ya Qur’ani Tukufu).” Mtukufu Mtume amesema: “Mimi ni jijila elimu na Ali ndio lango lake. Pia Allah Muweza anasema tuingie kwenye nyumba kupi-tia milangoni. Hivyo yeyote anayetaka kupata elimu hanabudi ya kupitia mlangoni.”

Mbali na mambo mengine, hii mifano miwili inatosha kuthibitisha ubora wa Ali dhidi yawengine. Angepaswa, moja kwa moja, kumrithi Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kama kiongoziwa Waislam. Wakati ni ukweli unaokubalika kwamba Ali alikuwa ndio aalim mkubwasana kuliko wote, ni kichekesho kabisa kuchukulia kwamba mtu asiyekuwa na elimualikuwa na haki ya kushika nafasi yake.

Mikesha ya Peshawar

477

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 477

Page 496: Mikesh A

ALLAH ASINGEWEZA KUKUBALI KWAMBA MTU MBORA ASHIKIWE NAFASI YAKE NA MTU DUNI.

Hata Ibn Abi’l-Hadid katika kitabu chake, kuhusu hotuba ya kwanza anasema: “Mtumwenye hadhi ndogo alipewa upendeleo juu ya mtu wa hadhi iliyotukuka sana.” Kauli hiini yeye utambuzi wa ubora wa Imam Mtukufu lakini, ukaidi wake unamlazimishakuongeza, “Allah amekubali kwamba yule dhaifu awe badala ya yule mbora.”

Kauli hii inahuzunisha, kuja kama ilivyo, kutoka kwa mtu kama Ibn Abi’l-Hadid. Watuwote wenye burasa wataikataa. Madai yake yanapingana na uadilifu wa Allah, lakini kwahakika Allah ni Muadilifu sana Mwenye hekima. Hatoi kipaumbele kwa mtu dhaifu nakumruhusu kushika nafasi ya mwenye haki zaidi. Allah anasema katika Qur’ani Tukufu,

“Sema: wale wanaojua na wale wasiojua wanafanana? (39:9)

Tena anasema: “Hivi basi ni yule anayeongoza kwenye ukweli aliyebora zaidi kufuat-wa, au yule ambaye binafsi haendi sawa labda aongozwe?”

Ibn Abi’-Hadid anakubali kwa uwazi kabisa kwamba Ali alikuwa ndio mtu hasa aliyestahi-ki Ukhalifa. Anasema katika Sharh-e-Nahjul-Balagha Juz. 1, uk. 4, “Hakika Ali alikuwambora kuliko binadamu wote baada ya Mtukufu Mtume wa Allah (s.a.w.w.). Kuhusu hiliswala la Ukhalifa, alikuwa ndie mtu mwenye haki zaidi ya Waislam wote.”

“JIJI LA ELIMU” INATHIBITISHA HAKI YA ALI KUWA KHALIFA WA KWANZA

Zaidi ya hayo, ile kauli yenye kueleweka vyema ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), mwishonimwa hadithi hii, inathibitisha ubora wa Ali, ikisema: “Yule ambaye anapenda kutafutaelimu ni lazima aje kwenye mlango.” Hili neno “Mlango” hapa bila shaka ni Ali.Hivyo ni huyu lango kuu la uongozi ambaye Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ametuamuru kum-fuata, ndiye mwenye haki zaidi au yule ambaye watu wa memchagua? Jibu liko wazi. Amriya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) lazima itiiwe. Pili, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) pia aliwekakigezo cha kipaumbele na upendeleo, ambacho ni kule kuwa na elimu ya juu zaidi.

Sheikh: Kama Ali alikuwa na haki ya kipaumbele kwa sababu ya elimu yake ya juu,Mtukufu Mtume Allah (s.a.w.w.), angetamka kwa kupambanua ili kwamba Umma unge-jua kwamba utii kwake yeye ulikuwa ni wajibu. Lakini hakuna kauli ya namna hiyo inay-

Mikesha ya Peshawar

478

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 478

Page 497: Mikesh A

oweza kuonekana.

Muombezi: Ninapata uchungu sana kusikia matamshi kama hayo kutoka kwako. Unabahati mbaya ya kuwa na tabia ya kukataa kila kitu - hata ukweli wa wazi - pale unapopin-gana na maoni yako. Ndugu yangu mheshimiwa. Nimekuwa nikizisimulia kauli hizo kwamikesha kumi iliyopita. Hadhara hii na baadhi ya magazeti ya hapa yatashuhudia ukweliwa jambo hili. Lakini bado unasema hujaona kauli ya wazi ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).Hata vitabu vyenu wenyewe vya Sahih vimejaa tele matamshi ya wazi kuhusu jambo hili.Hebu ngoja nikuulize hivi: Je Umma unahitaji elimu ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na Sirat(hadithi na Suna)?

Sheikh: Hilo ni jambo la dhahiri. Masahaba wote na Umma wanahitaji uongozi, elimu naSunna na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mpaka Siku ya Kiyama.

Muombezi: Allah akubariki! Kama ingekuwa hakuna hadithi zingine makhsusi ila Hadithiya Madina, hata hii ingekuwa inatosha kuthibitisha nukta yangu. Mtume kwa uwazi kabisaanasema: “ Mimi ni jiji la elimu na Ali ndie lango lake, yule ambaye anataka kupataelimu hanabudi kuja kwenye mlango huu.”

KWA MUJIBU WA MTUKUFU MTUME ALI ALIWAZIDI WENGINE WOTE KATIKA ELIMU.

Ni tamko gani linaweza kueleweka wazi zaidi ya hadithi hii ambamo Mtukufu Mtumeanasema kwamba “yeyote anayetaka kupata manufaa ya elimu yangu hana budi kujakwenye mlango wa Ali kwa sababu yeye ndie lango la elimu!” Sasa kunakaribia kucha.Kwa usiku mzima nimekuwa wote nimekuwa nikijadili hoja hii kwa shauku kubwa nanimechukua muda wenu wote. Lakini sasa hivi umeipoza jazba yangu. Kama wahengawako, unakataa kusikiliza, na matokeo yake, ukipuuza maelezo yangu yote yenye kukuba-lika, unaukataa ukweli uliodhahiri.

Ni tamko gani litakalokuwa bora kuliko hili tamko la kuhusu elimu? Hivi mtu yeyotemwenye akili timamu atatetea kumkataa mtu mwenye hekima kwa kumpendelea mtu asiyena elimu? Bila shaka jibu ni hapana, kwa hiyo, lazima ukubali hoja yangu, ambayo siohoja yangu tu bali ni kanuni inayokubalika kwa watu wote wenye elimu: kwa vile Alialikuwa mbora katika elimu na hekima miongoni mwa Umma wote, utii kwake ni wajibu.Hali kadhalika, kama nilivyokwishataja, ulamaa wenu mashuhuri, kama Imam Ahmad BinHanbali (Musnad), Khawarizmi (Munaqab) na pia yule mkaidi, Ibn Hajar Makki katikaSawa’iq wamemnukuu Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akisema: “Katika Umma wangu, AliBin Abu Talib amewazidi wengine wote katika elimu.”

Mikesha ya Peshawar

479

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 479

Page 498: Mikesh A

Hapakuwa na hata mtu mmoja miongoni mwa Masahaba aliyelingana na Ali katika elimu.Ibn Maghazili Shafi’i katika Munaqab, Muhammad Bin Talha katika Matalibus-Su’ul,Hamwaini katika Fara’id na Sheikh Sulayman Hanafi katika Yanabiu’l-Mawadda, Sura ya14, wanasimulia kutoka kwa Kalbi kwamba yule mwanazuoni mkuu wa Umma, AbdullahIbn Abas, alisema: “Elimu ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) inatoka kwenye elimu ya Allah,elimu ya Ali inatoka kwenye elimu ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Elimu yangu na elimuya masahaba wote, ikilinganishwa na ya Ali, ni kama tone la maji mbele ya zile baharisaba.”

Katika Nahju’l-Balagha, khotuba ya 108, Ali anasema: “Sisi (Maimam ma’sumin) ni Mtiwa Utume, ndio makazi ya salama ya ujumbe mtakatifu, mahali pa mashukio ya Malaika,migodi ya elimu na ndio vyanzo vya hekima.”

Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha yake Juz. 2, uk. 236 akitoa maoni yakekuhusu khotuba hii, anasema: “Sifa hii alikuwa nayo dhahiri Mtukufu Imam kwa vileMtume wa Allah alisema: “Mimi ni jiji la elimu na Ali ndio lango lake, yeyote anayetakakupata elimu hana budi kuja kwenye lango hilo.”

Pia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Ali ndio hakimu bora miongoni mwenu.”

Ibn Abi’l-Hadid anaendela kusema: “Welekevu wa hukumu unahitaji aina nyingi za elimu:kiwango chake cha elimu kilikuwa ni cha juu sana kiasi kwamba hakuna yeyote aliyewezakulingana naye. Kwa kweli hakuna yeyote aliyemkaribia. Hivyo alikuwa na haki ya kudaikwamba: “sisi ni migodi ya elimu ya vyanzo vya hekima.” Kwa hiyo baada ya MtukufuMtume (s.a.w.w.) hakukuwa na yeyote aliyekuwa na haki zaidi ya kudai mambo haya kwaajili yake binafsi.”

Ibn Abdu’l-Birrr katika Isti’ab Juz. 3, uk. 38, Muhammad bin Talha katika Matalibu’s-Su’ul uk. 23 na Kadhi Aiji katika Mawaqif, uk. 276 wamemnukuu Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) akisema: “Ali ndio hakimu bora miongoni mwenu nyote.”

Suyuti katika Ta’rikhu’l-Khulafa uk. 115, Hafidh Abu Nu’aim katika Hilyatu’l-Auliya Juz.1, uk. 65, Muhammad Jazari katika Asniu’l-Matalib uk. 14, Muhammad Bin Sa’d katikaTabaqa uk. 459, Ibn Kathir katika Ta’rikh-e-Kabir, Juz. ya 7, uk. 359, na Ibn Abdu’l’Barrkatika Isti’ab Juz. 4 uk. 38, wanamnukuu Umar Ibn Khattab akisema: “Ali ndie hakimubora miongoni mwetu.”

Imesimuliwa katika Yanabiu’l-Mawadda kwamba Ibn Talha, mwandishi wa Durru’l-Munazzam anasema: “Huna budi kujua kwamba siri zote na miujiza ya vitabu vitakatifuinakuwamo ndani ya Qur’ani Tukufu. Chochote kilichoko ndani ya Qur’ani Tukufu kimondani ya Suratul-Fat’ha. Chochote kilichomo ndani ya Suratul-Fat’ha kimo ndani ya aya

Mikesha ya Peshawar

480

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 480

Page 499: Mikesh A

ya Bismillah ar-Rahman ar-Rahim (kwa jina la Mwenyezi Mungu mwingi wa neema,mwenye kurehemu.). Chochote kilichoko ndani ya aya Bismillah ar-Rahman ar-Rahimkimo ndani ya Ba (B) ya Bismillah. Kila kilicho ndani ya Ba ya Bismillah kimo ndani yadoti iliyoko chini ya Ba ya Bismillah. Ali alisema “Mimi ndio lile doti ambayo iko chiniya herufi Ba ya Bismillah.

Pia Sulayman Balkhi katika Yanbiu‘l-Mawadda anamsimulia ibn Abbas akisema “Safarimoja kwenye usiku na mbaramwezi baada ya sala ya Isha, Ali, akinishika mkono alinion-gozea kwenye makaburi ya Baqi na akasema: “Abdullah! Soma” Nikaisoma aya yaBismillah ar-Rahman ar-Rahim. Yule Imam Mtukufu aliendelea kunielezea siri na miujizaya ile herufi ya Ba ya kwenye Basimillah mpaka mapambazuko.”

Madhehebu zote kwa pamoja kwamba kuhusiana na elimu yake ghaib na kuwa kwake ndiomrithi wa elimu ya Mitume, Ali anashikilia nafasi ya pekee miongini mwa Masahaba wote.Muhammad Bin Talha Shafi’i katika Matalibu’s-Su’ul, Khatib-e-Khawarizmi katikaManaqib na Sulayman Balkh Hanafi katika Yanabiu’l-Mawadda wamesimulia kutokakwenye Durru’l-Munazzam cha Ibn Talha Halbi kwamba Ali alisema: “Niulizeni mimikuhusu mambo ya ghaib na miujiza isiyojulikana, kwa sababu kwa kweli mimi ndio Mrithiwa elimu ya Manabii Watukufu na Mitume wa Allah.”

Pia Imam Ahmad Bin Hanbal katika Musnad, Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha na Sulayman Balkhi katika Yanabiu’l-Mawadda wanasimulia kwamba Ali alita-mka kutoka kwenye mimbari kwamba: “Niulizeni mimi kuhusu lile msilolielewa kablasijafa. Ulizeni toka kwangu kuhusu njia za angani kwa sababu, kwa hakika ninajua zaidikuhusu njia zile kuliko hizi njia za ardhini.”

Ali alifanya hivi zamani sana kabla ya kugunduliwa darubini (Telescope). Watu mara kwamara walimuuliza yeye kuhusu maumbile ya kwenye anga naye aliyajibu maswali yao.

MAELEZO YA KANDA (ZONES ) ZA ANGANI

YANAVYOKUBALIANA NA ELIMU YA KISASAYA UNAJIMU.

Yule mwanazuoni Mkuu wa hadithi, Sheikh Ali Ibn Ibrahim Qummi wa karne ya 3 H.Akatika sherehe yake ya Sura ya Saffa (37), yule mwanazuoni mashuhuri, Sheikh Fakhru’d-Din Ibn Tarih Najafi, anayejulikana kwa ucha–Mungu wake, katika Kitabu’l-LighatMa’rafat-e-Majma’ul-Bahrain, kilichokusanywa takriban mika 300 iliyopita, na AllamaMullah Muhammad Baqir Majlis, katika Biharu’l-Anwar Juz. 14 wanasimulia kwamba Alialisema: “Zile nyota zilizoko mbinguni zimejazwa miji kama dunia hii ilivyo.” Sasa tafad-hali sana hebu kuwa mkweli. Wakati ule hakukuwa na fikra ya unajimu wa kisasa.

Mikesha ya Peshawar

481

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 481

Page 500: Mikesh A

Ulimwengu uliikubali ile dhana ya Ptolem kwamba dunia ndio kitovu cha ulimwengu.Ikiwa mtu alielezea kitu kipya kuhusu maeneo ya nyota na kikaja kuthibitishwa kuwa nikweli miaka elfu moja baadae, hutaweza kusema kwamba alikuwa na elimu ya ghaib?

ALI ALIZIMUDU SAYANSI ZOTE

Ukweli ni kwamba, baada ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Ali alikuwa ndio mtu mjuzi zaidikatika falsafa, fasaha ya lugha, fiqih (sharia), unajimu, elimu ya nyota za angani Jafr(ubashiri) hisabati, ushairi, ufasaha wa uongeaji ( rhetonic) na fani ya kuandika kamusi.Katika Sayansi zote, alitoa mchango muhimu sana ambao wataalam katika nyanja hiyowameuchukua kama msingi wa maendeleo ya zaidi. Kwa mfano, alimuabia Abu’l-Awadu’d-Du’ali (Mwandishi ambaye kwa jumla anasadikiwa kuhusika na ugunduzi wairabu (alama) za kiarabu cha maandishi) kwamba kulikuwa na sehemu tatu za uzungumza-ji (speech) jina, kitendo, kihusishi. Pia, aliweka kanuni za sarufi na sintaksi (upangaji nauhusishaji vipasho na maneno) ya lugha ya kiarabu na vile vile maelezo ya utamkaji namsamiati. Na kwa kupanga utamkaji sahihi kwa maandishi, aliilinda Qur’ani kutokana natafsiri potovu baadae.

KUKIRI KWA IBN ABI’L-HADID ULE UBORAWA ELIMU YA ALI.

Katika utangulizi na Sharh-e-Nahju’l-Balagha cha Ibn Abi’l-Hadid Mut’azali, utakuta jinsimwanazuoni huyu alivyozikubali na kuzisifu sifa za Ali katika nyanja zote za elimu.

Anasema: “Nitasema nini juu ya mtu huyu ambaye kwake sifa zote zimehusishwa, ambayeni mfano bora kwa kila taifa kufuata, na ambaye kwake, wote wanataka kujifananishanaye? Yeye kwa hakika ndiye chimbuko la sifa zote. Baada yake, yeyote aliyepata umaaru-fu, alinufaika kutoka kwake, kwani alifuata nyayo zake.”

Ibn Abi’l-Hadid anasema kwamba ile elimu ya wale mafaqih wakuu wanne, Abu Hanifa,Imam Malik, Imam Shafi’i, na Imam Hanbal imetokana na elimu ya Ali. Anasema “Walemasahaba walioelimika vyema katika fiqhi, waliijifunza hiyo kutoka kwa Ali.”

Nisingependa niwachukulie muda wenu mwingi kwa kunukuu zaidi kutoka kwamwanachuoni huyu maarufu. Lakini ninawasihi mkasome ule utangulizi wake kwenyeSharh-e-Nahjul-Balagha yake. Mtaweza kugundua jinsi mwanahistoria na mwanachuonihuyu mashuhuri alivyozikubali sifa za Ali. Yeye anasema, “Suala la Ali ni la ajabu.Maishani mwake mwote hajawahi kutamka maneno haya: ‘Mimi sijui.’ Alikuwa na elimujuu ya kila jambo.’”

Mikesha ya Peshawar

482

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 482

Page 501: Mikesh A

Mwishoni, mtunzi huyu anasema: “Ukweli huu unaweza kuhesabiwa kama moja ya miu-jiza ya Mtukufu Imam huyu. Elimu kama hii iko nje na uwezo na kuelewa kwamwanadamu.”

KUZALIWA KWA IMAM HUSAIN NA PONGEZI ZA MALAIKA.

Watu walikuja kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na kumpongeza kwa kuzaliwa kwa ImamHusain. Mmoja wa watu hao akasema: “Ewe Mtukufu Mtume! Tumeona kitu cha ajabukwa Ali.” Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akauliza, “Mmeona nini?” Yule mtu akasema:“Tulipokuja kutoa pongezi, tulizuiwa na kuambiwa kwamba Malaika 120,000 wamekujatoka mbinguni na walikuwa pamoja nawe. Tulishangazwa kuona ni vipi Ali angewezakujua hili na vipi ameweza kuwahesabu hao.”

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akatabasamu na akamuuliza Ali ni vipi amejua kwambaMalaika wengi kiasi hicho wamekuja kwake. Imam Mtukufu akasema: “Baba yangu namama yangu watoe muhanga maisha yao kwa ajili yako! Kila mmoja wa Malaika aliyeku-ja kwako na akakusalimu wewe aliongea katika lugha tofauti. Katika kuhesabu, nilionakwamba wamezungumza katika lugha 120,000 hivyo nikajua kwamba Malaika 120,000walikuja kwako.”

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Ewe Abu’l-Hasan! Allah akuzidishie elimu yako nastaha zako.” Kisha, akiwageukia wale watu, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Mimini jiji la elimu, na Ali ndio lango lake. Hakuna tukio kubwa mno na dalili kubwa mnokuliko alivyo yeye. Yeye ni kiongozi wa watu, mbora wa watu, dhamana ya Allah na ghalaya elimu yake. Yeye ni ‘Ahlu-Dhikr’ (wale wanaojua) miongoni mwa wale walioashiriwakwa maneno ya Allah: ‘Kwa hiyo waulizeni wale wanaojua kama humjui.’ Mimi ni hazi-na ya elimu na Ali ndio funguo yake. Kwa hiyo yeyote anayetaka kuipata hazina hii ajekwenye ufunguo.”

Kama mtaweza kuonyesha sahaba mmoja au ndugu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)anayeweza kushindana na hadhi ya Ali, kwa hakika nitasalimu amri mbele yake. Lakinikama hamtaweza basi itakuwa ni wajibu wenu wa kidini kujiambatanisha wenyewekwenye haki bila kujali dunia itafikiri nini. Kisha alinyanyua mikono yake kuelekea mbin-guni na akaomba kwa Allah: “Ewe Allah! Kuwa shahidi yangu kwamba kwa uwazi kabisanimeielekeza njia ya kwenye haki na nimetekeleza wajibu wanug wa kidinin.

Mikesha ya Peshawar

483

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 483

Page 502: Mikesh A

KUKUBALI USHI’AH KWA NAWAB SAHIB.Nawab: Bwana Mtukufu, kwa mikesha kadhaa iliyopita tumesikia majadiliano mengikatika majlis hizi. Baadhi yetu tulikuwa tukichambua zile hoja za majadiliano miongonimwetu kila siku. Ninamshukuru Allah Mwenyezi, kwamba ametuonyesha njia. Zile taar-ifa potofu kabisa za wapinzani zilitupoteza sisi. Sasa ni wazi kwamba Shi’ah Ithna Ashariwameongoka sawa sawa.

Wote wale ambao tulikuwa tukihudhuria majilis hizi na watu wengi wa mji huu ambaowamezisoma makala za mijadala hii kwenye magazeti tumeonyeshwa ukweli kuhusuUislam. Bila shaka wote hawawezi kutamka hadharani imani zao kwa sababu ya mahu-siano yao binafsi ya shughuli zao na wapinzani, lakini wametueleza sisi kwa siri kwambawameukubali Ushi’ah. Lakini baadhi yetu hatuna woga na yeyote na tuko tayari kutangazakwamba katika mikesha hii tulitaka kudhihirisha mabadiliko yetu ya utii. Hakukuwa nafursa ya kufanya hivyo. Tumezisikia hoja zako zenye mvuto na sasa imani zetu ni imarakabisa.

Tunaomba uturuhusu sasa kulivuta pazia pembeni. Acha majina yetu yaandikwe kamawafuasi wa Bwana wetu, Amiru’l-Mu’minin na hao Maimam kumi na mbili. Tafadhalitangaza kwa watu wa madhehebu ya Shi’ah kwamba sisi tu wamoja pamoja nao. Uweshahidi Siku ya Kiyama mbele ya mahakama tukufu ya Haki na mbele ya babu yakoaliyetukuka kwamba tunayo imani kamili juu ya Maimam kumi na wawili hawa kamawarithi na washika makamu (waandamizi) wa Mtukufu Mtume wa Allah (s.a.w.w.).

Muombezi: Nianayo furaha kwamba baadhi yenu mmeitambua haki. Kwa mujibu wahadithi iliyoandikwa na Imam Ahmad Bin Hanbal kaitka Musnad yake, Ibn Abi’l-Hadidkatika Sharh-e-Nahju’l-Balagha na Muhammad Bin Talha Shafi’i katika Matulibu’s-Su’ul,na Ibn Maghazili katika Faza’il, na Khawarzmi katika Manaqib, na Sulayman Hanafi kati-ka Yanabiu’l-Mawadda, na wengine wengi, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ametuongozakwenye njia hii. Alisema: “Njia ya Ali ndio njia ya kwenye ukweli.” Ninatumaini kwam-ba ndugu zangu wengine katika Uislam pia wataacha ushabiki wao.

Nawab: Tunao wingi wa shukrani kwa ufasiri wako wa mambo kwa upole na kisomi.Kuna nukta moja bado ambayo inatusumbua. Inahusu Uimam wa Maimam hawa kumi nambili na majina yao. Katika mikesha kumi iliyopita, Amiru’l-Mu’min Ali alikuwa ndiokitovu cha mjadala wetu. Kwanza tuambie ile aya ya Qur’ani Tukufu inayothibitishaUimam wa Maimam hawa kumi na mbili. Pili, je majina ya Maimam hawa kumi na mbiliyameandikwa kwenye vitabu vyetu?

Muombezi: Ni swali muafaka na nitafurahi kulijibu lakini sasa ni karibu ya alfajir, na jibu

Mikesha ya Peshawar

484

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 484

Page 503: Mikesh A

langu haliwezi kuwa fupi sana. Kesho ni siku ya kuzaliwa (wilada) kwa mjukuu waMtukufu Mtume, Imam Husain na familia ya Qizilbash imeandaa tafrija katika ukumbi waRisaldar Imambara pengine huenda nitalijibu swali lako wakati huo.

Nawab: Ninakubaliana kabisa na wewe.

JUMAPILI, SHA’BAN 4, 1345 A.HWILADA YA IMAM HUSEIN.

Tafrija kubwa kabisa ilifanyika kuadhimisha wilada ya Imam Husain. Mwandishi huyu,Seyyed Muhammad Sultanu’l-Wa’idhin Shirazi, aliihutubia hadhara hiyo. Ilikuwa ndiokhotuba yake ya mwisho, na kama alivyoahidi usiku uliopita, alijibu lile swali kuhusuUimam, idadi na majina ya Maimam katika Qur’ran tukufu na hadithi. Aliianza hotubayake kwa aya ifuatayo: “Enyi mliamini! Mtiini Allah, na mtiini Mtume na wale wenyemamlaka miongoni mwenu. Kisha mtakapohitilafiana katika jambo lolote, lirud-isheni kwa Allah na Mtume, kama mnamuamini Allah na Siku ya Mwisho. Hii ni borasana na ni kheri nzuri mwishoni. (4:59)

UHURU HALISI

Fikra ya uhuru, kwamba watu wawe huru, limekuwa kwa muda mrefu ni wazo la kawai-da. Fikra ya juu juu kuhusu uhuru ni kwamba ina maana ya mtu kufanya kama anavyota-ka, fikra ambayo imeishia kwenye kupuuza sheira tukufu. Lakini kwa kweli uhuru halisini unyenyekevu, utii kwa Allah, Muumba wa vitu vyote.

Qur’ani Tukufu mara nyingi inawamrisha waumini kumtii Allah na wale wanaofaa kufu-atwa kutoka miongoni mwetu wenyewe. Ile aya tukufu ambayo nimeisoma kama dhamiraya mazungumzo yangu ni moja ya aya kama hizo ambayo inaashiria ni nani tunapaswakumtii. Inatuamrisha kumtii Allah, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na wale waliopewa mamla-ka. Hakuna tofauti ya maoni miongini mwa Waislam kuhusu utii unaomstahili MtukufuMtume (s.a.w.w.). Hata hivyo kuna tofauti ya maoni juu ya maana ya maneno. “Walewaliopewa Mamlaka miongoni mwenu.”

IMANI YA SUNNI KUHUSU MAANA YA“WALE WALIOPEWA MAMLAKA”

Ndugu zetu Sunni, wanaamini kwamba katika aya hiyo hapo juu, yale maneno “walewaliopewa mamlaka (ulu’l-amr) yanawahusu viongozi wa nchi. Kwa hiyo, waowanachukulia utii kwa wafalme na magavana ni wajibu hata kama viongizi hawawangekuwa waovu.

Mikesha ya Peshawar

485

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 485

Page 504: Mikesh A

Kwa hakika imani hii ni ya makosa. Uhaba wa muda hauniruhusu kutoa mazungumzomarefu kuunga mkono maoni yangu, hivyo nitawasumbueni tu na maelezo mafupi.

NJIA TATU ZA UTEUZI WA ‘UL’L-AMR’(WALE WALIOPEWA MAMLAKA)

Kwa hakika watawala wanapata mamlaka yao katika mojawapo ya njia hizi:1. Wanachaguliwa kwa Ijma (makubaliano ya wengi) 2. Wanapata Mamlaka kwa nguvu.3. Wanawekwa ki-Mungu - (kuteuliwa na Allah)

Ikiwa kiongozi anapata mamlaka kwa makubaliano ya Umma, sio wajibu kumtii yeyekama mtu anavyomtii Allah au Mtume. Haiwezekani kwa Waislam wote kumteua kiongozimwadilifu kwa sababu hata wawe waerevu kiasi gani au waangalifu kiasi watakavyokuwa,wataweza tu kumuamulia mtu kutokana na muonekana wake wa nje. Hawawezi kuusomamoyo wake au kujua kiwango cha imani yake.

VIONGOZI WA BANI-ISRAEL WALIOTEULIWANA MUSA WALIONEKANA HAWAFAI

Ni dhahiri kwamba Waislam hawawezi kudai kuwa na uelewa bora zaidi ya Nabii Musa.Yeye alichagua watu sabini kutoka kwenye maelfu kadha kwa uaminifu wao wakuonekanadhahiri na akawachukua kwenda pamoja naye mpaka mlima Sinai. Lakini wote katikakuchunguzwa, wakathibitika kwamba ni bure tu kwa sababu imani zao hazikuwa thabiti.Ukweli huu umetajwa katika Qur’ani Tukufu, aya 154 ya sura ya 7. Ikiwa wale walioch-aguliwa na Musa walithibitika kuwa sio waumini mioyoni, ni dhahiri kwamba mtu wakawaida atakuwa na uwezo wa chini zaidi wa kuchagua watawala wao wenye uwezo.Inawezekana kabisa kwamba wale waliochaguliwa kwa ucha-mungu wao wa dhahiri, hal-timaye wanaweza kutokea kuwa sio waumini. Hakika utii kwa watawala kama hao utad-hoofisha dini.

MANENO ‘ULI’L-AMR’ HAYAASHIRII KWA WATAWALA

Kwa hakika Allah asingewataka waja wake kumtii mtenda dhambi kama ambavyowangemtii Yeye au Mtume Wake. Zaidi ya hayo, kama uteuzi wa ‘Ul’l-Amr’ ungefanywakupitia makubaliano ya kweli, upiga kura ungebidi ufanyike kwa kila uteuzi mpya. Raiawote wa mataifa yote ya Kiislam wangepaswa kukubaliana juu ya mteuliwa katika kilauchaguzi. Katika miaka 1300 ya Uislam tunaona kwamba, baada ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), hakuna makubaliano kama hayo yaliyowahi kutokea, sasa hivi ni vigumu kupa-

Mikesha ya Peshawar

486

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 486

Page 505: Mikesh A

ta makubaliano kama hayo kwa sababu ulimwengu wa kiislam umegawanyika katika idadiya nchi, kila nchi ikiwa na mtawala wake. Zaidi ya hayo, kama kila nchi itachagua ‘Uli’l-Amri wake, pangekuwa na idadi kubwa ya ‘Uli’-l- amr’ wake, pangekuwa na idadi kubwaya ‘Ul-l amr’ kila mmoja akitiiwa ndani ya nchi yake, na watu wa nchi moja wasingewezakumtii ‘Uli’l-amr’ wa nchi nyingine. Bila shaka basi kuna suala la kiapo cha utii wakatikunapotokea tofauti - kama zilivyotokea mara kwa mara katika miaka 1300 iliyopita -baina ya ‘Mamlaka’ mbili. Halafu tunao Waislam wanaowaua Waislam wengine kwa jinala Uislam.

Lakini Uislam wa kweli hauhitaji tabia ya kichekesho kama hiyo ambayo itapelekeakwenye ugomvi wa wenyewe kwa wenyewe miongoni mwa Waislam. Kwa hiyo, inamaana kwamba huyo ‘Uli’l-amr’ ambaye tunayomriwa kumtii amepata mamlaka yake kwamakubaliano( Ijma). Mjadala huu uliotokea kwenye magezeti.

MTAWALA ANAYETWAA MADARAKA KWA NGUVUHAWEZI KUITWA ‘ULI’L-AMR.’

Ni sawa na kichekesho kushauri kwamba utii kwa dhalimu ni wajibu. Kama ingekuwahivyo, kwa nini wanazuoni wa Sunni wanawashutumu watawala waonevu na makhalifa,kama Mu’awiya, Yazid, muovu Ziyad Ibn Abib, Ubaidullah, Hajjaj, Abu Salma na Muslim.

Ikiwa yeyote atadai kwamba utii kwa watawala wakarofi ni wajib (na baadhi ya Ulamaakwa kweli wamesema hivyo) itakuwa ni kinyume kabisa na amri za Qur’ani. Allah marakwa mara amewalaani watenda madhambi katika Qur’ani Tukufu na amewakatazaWaislam kuwatii. Hivyo inawezekanaje katika aya hii Yeye atuamuru kuwatii madhalim?Ni dhahiri kabisa, sisi hatuwezi kuhusisha amri mbili zinazopingana kwa Allah Muweza.Hivyo, Imam Fakhru’d-din Razi kwa uwazi, anasema kuhusu aya hii tukufu kwamba hawa‘Uli’l-amr’ lazima wawe na uadilifu kamili. Vinginevyo Allah asingeweza kuunganishawajibu wetu wa kuwatii wao pamoja na wajibu wa kumtii Allah Mwenyewe na MtukufuMtume (s.a.w.w.).

‘ULI’L-AMR’ LAZIMA AAGIZWE NAKUTEULIWA NA ALLAH

Kwa mujibu wa Shi’ah, hawa ‘Uli’l-amr’ lazima wawe huru kutokana na dhambi nawasiokosea. Na kwa vile hakuna yeyote isipokuwa Allah, anayeweza kujua ukweli wa kinawa moyo, hawa ‘Uli’l-amr’ lazima wateuliwe na Allah. Hivyo Allah ambaye anawaagizaMitume pia ndie anawaagiza ‘Uli’l-amr’ aliye ‘Uli’l-amr’ ni dhahiri kwamba lazima awena sifa zile zile alizokuwa nazo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Katika aya hii tukufu, neno

Mikesha ya Peshawar

487

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 487

Page 506: Mikesh A

atwi’u (Mtii) limetumika mara mbili. Anasema “Mtii Allah na mtii Mtume.”Anapozungumzia juu ya ‘Uli’l-amr’ Yeye hatumii hili neno atiw’u tena lakini anatumiakiunganisha ‘na’ yaani, pamoja na ‘Uli’l-amr.’ Kuunganisha haya maneno katika njia hiiina maana kwamba ‘Uli’l-amr’ wana sifa sawa na alizonazo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)isipokuwa zile ambazo ni Makhsusi, za kipekee tu kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), kwamfano ‘Wahyi’ (ufunuo), Utume, na kadhalika. Kwa ufupi sifa za Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) ni budi awe nazo ‘Uli’l-amr’ isipokuwa bila shaka, kwa kile cheo cha Utume.

Kwa hali hiyo Shi’ah wanaamini kwamba haya maneno ‘Uli’l-amr’ yanawalenga hawaMaimam kumi na mbili, yaani Amirul-Mu’munin na wengine kumi na mmoja wa kizazichake, Ahlul-Bayt wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Aya hii ni moja uthibitisho wa Uimamwa Maimam hawa kumi na mbili. Mbali na hii, kuna aya nyingine nyingi zenye kuungamkono maoni yetu juu ya nukta hii.

(1) Kwa mfano, Qur’ani Tukufu inasema:

“Akasema: Hakika nitakufanya wewe kuwa Imam wa watu.” (Ibrahim) akasema:Na katika kizazi changu?” Akasema (ndiyo, lakini) Ahadi yangu haiwafikii madhal-im.” (2:124)

“Nabii anayo haki zaidi juu ya waumini kuliko nafsi zao, na wake zake ni mama zao;na wenye nasaba wana haki zaidi wao kwa wao katika Kitabu cha Allah kulikowengine wauminio au Muhajirina “ (33:6)

“Enyi mlioamini! Mcheni Mwenyezi Mungu na kuweni pamoja na wakweli.” (9:119)

“.....Hakika wewe ni muonyaji tu, na kila Umma una Kiongozi wake.”(13:7)

“Na kwa hakika hii ndio njia yangu iliyonyooka, basi ifuateni, wala msifuate njiambali mbali zikakutengeni mbali na njia yake.” (6:153)

Mikesha ya Peshawar

488

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 488

Page 507: Mikesh A

“Na katika wale tuliowaumba, kuna watu wanaongoza kwa haki na wanafanyauadilifu kwa haki hiyo.” (7:181)

“Na shikamaneni katika kamba ya Mwenyezi Mungu wote kwa pamoja na wala msi-farikiane” (3:103)

“Hivyo basi waulizeni wenye kujua (Ahlu’l-Dhikr) ikiwa ninyi hamjui .” (16:43)

“Hakika Mwenyezi Mungu anataka kuwaondoleeni uchafu, enyi watu wa nyumba(ya mtume) na kukutakaseni kwa utakaso ulio kamili.” (33:33)

“Hakika Mwenyezi Mungu amemchagua Adam na Nuh na kizazi cha Ibrahim nakizazi cha Imran juu ya walimwengu. Kizazi cha wao kwa wao, mmoja kutokana namwingine.(3:33-34)

“Kisha tukawapa Kitabu (kama urithi) wale ambao tumewachagua kutoka miongo-ni mwa waja wetu.....” (35:32)

“Mwenyezi Mungu ndie nuru ya mbingu na aridhi, mfano wa nuru yake ni kamashubaka (tundu) ndani yake mna taa, taa hiyo imo ndani ya tungi, na tungi hiyo nikama nyota inayong’ara sana, inayowashwa katika mti uliobarikiwa wa mzaituniusio na mashariki wale magharibi, mafuta yake yanakaribia kung’aa, ingawa motohauyagusa.....” (24:35)

Kuna aya nyingine nyingi ambazo zingeweza kunukuliwa. Wengi wa ulamaa wenumashuhuri wamesimulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Moja ya nne yaQur’ani Tukufu ni yenye kuitukuza Ahlul-Bayt.”

Mikesha ya Peshawar

489

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 489

Page 508: Mikesh A

Ibn Abbas anasemekana kwamba alisema. “Zaidi ya aya 300 zimeshushwa katika kum-tukuza Ali.”

Sasa, ninakuja kwenye hoja yangu ya asili kwamba hawa ‘Uli’l-amr’ ni lazima wawewenye wa kutotenda makosa kwa sababu utii kwao umeugnanishwa na utii kwa Allah naMtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Imam Fakhru’d-din Razi katika Tafsiir yake anakiri kwamba kama hatuwachukulii ‘Uli’l-amr kama wasiotenda makosa (ma’sum) itakuwa, katika utekelezaji, kusimamisha vituviwili vinavyopingana kuwa ni vya kweli. Wanazuoni wenu wenyewe wamethibitishakwamba sifa hizI walikuwa nazo Maimam hawa kumi na mbili pekee. Hii aya tukufu yaUtakaso (33:33) pia inathibisha ukweli huu.

KUTOTENDA DHAMBI NA MAKOSA(UMA’SUM) KWA MAIMAM WATUKUFU

KUMESIMULIWA KWA JUMLA SANA.

Sheikh Sulayman Balkhi Hanafi katika Yanabiu’l-Mawadda sura ya 77, uk. 445, naHamwaini katika Fara’idu’s-Simtain wanasimulai kwamba Ibn Abbas amesema:“Nilimsikia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akisema: ‘Mimi na Ali, Hasan, Husain na watu tisakatika kizazi cha Husain tuko safi kabisa na tusiofanya makosa ( ma’sum).’”

Salman Farsi anasema kwama Mtukufu Mtume, akiweka mkono wake kwenye bega laHusein, alisema: “Huyu ni Imam na mtoto wa Imam, na katika kizazi chake watakuwapoMaimam tisa ambao watakuwa wote ni hujjat waadilifu wa Allah na wema sana.”

Zaidi Ibn Thabit anasimulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema; “Hakikakutokana na kizazi cha Husain watazaliwa Maimam watakaokuwa Hujjat wema sana,Mahakimu wasiokosea kabisa.”

Imran Ibn Hasin anasimulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimuambia Ali: “Weweni mrithi wa elimu yangu. Wewe ni Imam na khalifa baada yangu. Wewe utawaeleza watukile wasichokijua. Wewe ni baba wa wajakuu zangu na mume wa binti yangu, katika kizazichako watakuwepo Maimam wasiokosea (ma’sum).

ELIMU YA AHLUL-BAYT.Abu Ishaq Hamwaini katika Fara’idu’s-Simtain, Hafidh Abu Nu’aim Ispahani katikaHiliyatu’l-Auliya, na Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahjul-Balagha wanasimulia kutokakwa Ibn Abbas kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Kizazi changu kiliumbwa

Mikesha ya Peshawar

490

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 490

Page 509: Mikesh A

kutokana na mbegu ile ile ambyo kutokana nayo niliumbwa mimi. Allah Mwenye uwezoamejaalia juu yao elimu na hekima. Laana naiwe juu yake yule atakayewakataa.”

Ibn Abi’l-Hadid katika Sharh-e-Nahju’l-Balagha na mtunzi wa Siratu’s-Sahaba,wanasimulia kutoka kwa Hudhaifa Bin Asaid kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amese-ma: “Ninawachieni nyuma yangu vizito viwili: Kitabu cha Allah na ‘Ahlul-Bait’ wangu.Kama mtashikamana navyo viwili hivi mtaongoka” Tabrani anasimulia nyongeza.“Msikatae mamlaka yao, vinginevyo mtaangamia. Msionyesha utovu wa nidhamu mbeleyao ama kuwapuuza, la sivyo mtaangamizwa. Msijaribu kuwafundisha wao kwa sababuhakika wanajua vizuri zaidi kuliko ninyi.”

Katika simulizi zingine Hudhaifa Bin Asaid anamukuu Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akise-ma: “Baada yangu kutakuwa na Maimam watokanao na kizazi changu. Idadi yao itakuwasawa na idadi ya Wajumbe wa Bani Israil, yaani, kumi na mbili, ambao kati yao tisawatakuwa ni kizazi cha Husain. Allah ameijaalia juu yao wote elimu yangu na hekima.Hivyo msiwafundishe kwa sababu kwa kweli wao wanajua vizuri zaidi kuliko ninyi.Wafuateni wao kwani kwa uhakika wako pamoja na haki, na haki iko pamoja nao.”

KWA NINI MAJINA YA HAWA MAIMAM HAYATOKEZI NDANI YA QUR’ANI TUKUFU

Kwanza, Kitabu hiki kitukufu ni cha kifupi sana. Ndani yake kinazo kanuni nyingi zajumla lakini maelezo ni machache, ambayo yameachiwa mfasiri mkuu, Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), kuyaelezea. Allah anasema: “Na chochote Mtume anachokupeni kipokeeni,na chochote anachokukatazeni, kiacheni. (59:7)

Kwa sababu haya majina na idadi ya Maimam hawa kumi na mbili hayakutajwa ndani yaQur’ani Tukufu, baadhi ya watu hawayakubali. Lakini kwa msingi huohuo wangewakataamakhalifa wao wenyewe kwani hakuna aya ya Qur’ani Tukufu inayotoa utajo wowote wamakhalifa wao isipokuwa Ali Bin Abi Talib, wala Makhalifa wa Bani Umayya au wa BaniAbbas, au wa mamlaka waliyopewa umma kumchagua khalifa kwa makubaliano (ijma).

Pili, ikiwa ni muhimu kukataa kitu chochote ambacho hakikuelezwa wazi ndani ya Qur’aniTukufu, basi mngelikataa nyingi ya taratibu na namna za ibada zetu kwa vile hakuna utajowa maelekezo yake ndani ya Qur’ani Tukufu.

Mikesha ya Peshawar

491

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 491

Page 510: Mikesh A

HAKUNA UTAJO WA RAKA’A ZA SWALANDANI YA QUR’ANI TUKUFU.

Ibada ya sala pengine ndio tendo kuu la kiibada katika maisha ya Muislam. MtukufuMtume (s.a.w.w.) alisisitiza kuitenda kwake. Alisema; “Sala ndio nguzo na mlinzi wa Dini.Kama sala itakubaliwa, basi matendo mengine yote ya kidini yatakubaliwa. Kamaitakataliwa, matendo mengine yote ya kidini pia yatakataliwa.”

Bila shaka, hakuna utajo ndani ya Qur’ani Tukufu wa idadi ya rak’aa za kutekelezwa kwakila sala au maelezo maalum yoyote kuhusu namna gani sala zitakavyoendeshwa. Je, hiiina maana kwamba tuzitelekeze Sala? Qur’ani Tukufu inasema kifupi tu: “Simamishenisala” Hakuna maelezo yoyote yanayotofautisha matendo ya wajib na ya sunna. Hayoyalielezwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Kwa njia hiyo hiyo amri zingine zimeandikwa katika Qur’ani Tukufu kwa kanuni tu.Maelezo yake, shuruti na maelekezo yanayostahili yalielezwa na Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Vivyo hivyo, kuhusu Uimam na Ukhalifa, Qur’ani Tukufu inasema tu: “MtiiniAllah na mtiini Mtume na wale wenye Mamlaka miongoni mwenu.” Na tunalazimishwakufuata amri ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuhusu hili kwa namna ileile tunavyofuatamaelekezo yake kuhusu uchambuzi wa ibada ya sala. Wafasiri wa Kiislam, imma Sunni auShi’ah, hawawezi kutoa maelezo (sharh) yao wenyewe juu ya Qur’ani Tukufu. MtukufuMtume (s.a.w.w.) amesema: “Ikiwa mtu yoyote atatoa maelezo yake mwenyewe juu yaQur’ani Tukufu, mahali pake ni Motoni.”

Kwa sababu hiyo, kila Muislam mwenye busara humgeukia mtafsiri halisi wa Qur’aniTukufu, yaani, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Kwa miaka mingi nimezisoma tafsiri zaQur’ani za wote Sunni na Shi’ah na Hadithi lakini sijakuta hata hadithi moja ambayo ndaniyake Mtukufu Mtume amesema kwamba ‘Ul’l-amr’ inawalenga viongozi wa kisiasa. Kwaupande mwingine, vitabu vyao wote Sunni na Shi’ah vimejaa idadi kubwa ya simulizikwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliulizwa kuelekeza maana ya ‘ul’l’-amr’ na alijibukwamba ‘ul’l-amr’ ilimhusu Ali na wengine kumi na mmoja wa kizazi chake. Nitatoachache tu ya hizi hadithi nyingi ambazo zimesimuliwa kupitia vyanzo vinavyokubaliwa naSunni.

‘ULI’L-AMR INAASHIRIA KWA ALI NA MAIMAM WA AHLUL- BAIT.

1. Abu Ishaq, Sheikhu’l-Islam Hamwaini Ibrahim Bin Muhammad anaandika katikaFara’idu’s-Simtain yake: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ametuambia kwamba ‘Uli’l-amr’inamhusu Ali Bin Abi Talib na Ahlul Bait wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Mikesha ya Peshawar

492

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 492

Page 511: Mikesh A

2. ‘Isa Bin Yusuf Hamadani anasimulia kutoka kwa Abu’l-Hasan na Salim Bin Qais,ambao wanasimulia kutoka kwa Amiru’l-Mu’minin Ali kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) amesema: “Wenza wangu ni wale ambao utii kwao umeunganishwa naMuweza Allah pamoja na utii Kwake Yeye mwenyewe. Ni wale ambao kwaoanawaashiria wakati anaposema: ‘Wale wenye Mamlaka kutoka mingoni mwenu.’ Nilazima kwamba hampingi wanachokisema. Muwatii na kufuata amri zao” Amirul-Mu’minin anaendela kusema kwamba: “Nilipoyasikia haya, nilisema: “Ewe Mtume,nifahamishe niwajue hao ‘Uli’l-amr’ ni akina nani.” Mtume akasema: “Oh, Ali! Wewendie wa kwanza wao.”

3. Muhammad Bin Mu’min Shirazi, mmoja wa wanachuoni wa kidini maarufu sana waSunni, anaandika katika Risala-e-l’tiqadat yake kwamba wakati Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alipomteua Amiru’l-Mu’minin kuwa mwakilishi wake hapo Madina aya ya“Uli’l-amr minkum” (Na wale wenye mamlaka kutoka miongoni mwenu) ilishushwakumhusu Ali Bin Abi Talib.

4. Sheikh Sulayman Balkhi Hanafi katika Yanabiu’l-Mawadda, sura ya 38 anasimuliakutoka kwenye Manaqib kwamba imeandikwa katika Tafsir-e-Mujahid kwamba aya hiiilishushwa kumhusu Amiru-Mu’minin wakati Mtukufu Mtume alipomteua kama mwak-ilishi wake huko Madina. Imam Mtukufu alisema: “Oh! Mtukufu Mtume wa Allah(s.a.w.w.)! Umeniteua mimi kuwa Khalifa juu ya wanawake na watoto? Kisha MtukufuMtume (s.a.w.w.) akasema “Wewe huridhiki kwamba una uhusiano nami sawa na Harunalivyokuwa kwa Musa?”

5. Sheikhu’l-Islam Hamwaini anamsimulia Salim Bin Qais Hilal kwamba amesema yafu-atayo: “Wakati wa Ukhalifa wa Uthman, niliona baadhi ya Muhajir na Ansar wamekaapamoja wakijisifu wenyewe. Ali alikuwa kimya miongoni mwao. Wale watu waka-muomba Ali azungumze. Yeye akasema: “Hamjui kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alisema: ‘Mimi na Ahlul Bait wangu tulikuwa nuru moja. Iliyokuwepo kwenye umbajiwake miaka 14000 kabla ya kuumbwa Adam? Wakati alipomuumba Adam, Aliiwekanuru ile katika uti wa mgongo wakepale aliposhuka kuja dunaini. Kisha akaiweka kwaNuhu ndani ya safina yake, kisha katika mgongo wa Abraham alipokuwa kwenye moto,vivyo hivyo katika migongo safi ya mababa na katika matumbo safi ya akina mama,ambao hakuna mmoja wao aliyezaliwa kinyume cha sheria” Wale waliokuwemokwenye lile kundi ambao walikuwa wa mbele katika vita vya Badr na Hunain wakase-ma: “Ndio, tumeyasikia maneno haya.” Kisha Ali akasema: “Niambieni kwa kiapokama mnajua kwamba katika Qur’ani Tukufu Allah ametoa kipaumbele kwa wale wamwanzo kabisa, na kwamba katika Uislam hakuna anaelingana na mimi kwa sifa.” Waowakasema: “Ndio, tunalithibitisha hili.”

Mikesha ya Peshawar

493

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 493

Page 512: Mikesh A

Kisha Ali akasoma kutoka kwenye Qur’ani Tukufu: “Na waliotangulia ni wa mbelekabisa, hawa ndio wale waliovutwa karibu na Allah.” (56:10-11) Akasema: “Wakatiaya hii iliposhushwa, watu walimuuliza Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ni nani walio wa mbelekabisa, na ni kuhusu nani aya hii imeshushwa. Sasa niambieni kwa kiapo kama mnajuakwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliwaambia kwamba Allah Muweza Aliishusha aya hiikuhusu mitume na washika makamu (waandamizi) wao. Mimi ni wa mbele kabisa mion-goni mwa Mitume na Ali, wasii (mwandamizi) wangu ni wa mbele kabisa miongoni mwawashika makamu wote?”

Kisha Ali akasema: “Qur’ani Tukufu inatumbia, ‘Mtiini Allah na mtiini Mtume na walewaliopewa mamlaka kutoka miongoni mwenu’ (4:59) na hii aya: ‘Hakika, hakikakiongozi wenu (si mwingine) ila Allah na Mtume wake (Muhammad) na walewalioamini, wale wanaosimamisha swala na kutoa zaka, huku wakiwa wamerukuu(5:55) na hii aya: “Hawakuchukua yeyote kama mtegemewa mbali na Allah na Mtumewake na wale walioamini.” (9:16)

Allah baadaye alimuamuru Mtume wake Mtukufu kumtambulisha yule aliyodhamiriwakwa haya maneno ‘Uli’l-amr’ wale waliopewa mamlaka kwa namna ile ile kama ibada yaSala, Saumu na Hijja zilivyopambanuliwa. Kwa hiyo, pale Ghadir-e-Khum MtukufuMtume (s.a.w.w.) aliniteua mimi kuwa juu ya watu na akatamka: “Enyi watu wakatiMwenyezi Mungu aliponipa utume nilihisi wasiwasi kwamba watu watanipinga mimi”

Kisha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akaendelea “Enyi watu mnajua kwamba Allah Mtukukazaidi ndie Mola wangu? Ninayo mamlaka zaidi juu ya nafsi za waumini zaidi ya waowaliyonayo juu yao wenyewe?

Wote walipothibitisha kwamba hivyo ndivyo ilivyokuwa, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)akatangaza: ‘Ambaye yeyote mimi ni bwana kwake, Ali ni bwana wake; Ewe Allah kuwarafiki wa yale ambae ni rafiki wa Ali na kuwa adui wa yeye ambaye ni adui wa Ali’

Kisha Salman akasimama na kuuliza: “Ewe Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ni upi mfanodhahiri wa ubwana wa Ali? Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akajibu: ‘Ubwana wa Ali ni kamaubwana wangu mimi mwenyewe. Ambaye yeyote mini ni bwana kwake Ali pia ni bwanawake.’”Kisha aya hii ikashushwa: “Leo hii nimewakamilishia dini yenu na nimeitimiza neemaYangu kwenu na nimeweachangulia Uislam kama dini.” (5:3) Hapo ndipo MtukufuMtume (s.a.w.w.) akasema: “Allahu-Akbar, Mungu ni Mkubwa, aliyeikamilisha hii dini,akatimiza neema Yake juu yangu, na ameridhishwa na Utume wangu na ameridhika na Alikuwa mshika makamu (mwandamizi) baada yangu.

Hadithi hii inathibitisha zile hadithi ambazo nimezisimulia katika mikesha iliyopitakuonyesha kwamba bwana (Maula) pia ina maana umiliki zaidi ya ule wa mtu mwenyewe.

Mikesha ya Peshawar

494

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 494

Page 513: Mikesh A

“Kisha watu wakasema “Ewe Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) tuambie majina ya washikamakamu (waandamizi) wako.” Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Wao ni Ali, ambayeni ndugu yangu, mrithi wangu na wasii wangu na bwana wa kila muumini baada yangu,kisha mwanawe, Hasan, kisha Husein, kisha watoto tisa wa Husain wanaofuatana, mmojabaada ya mwingine. Qur’ani Tukufu iko pamoja nao na wao wako pamoja na Qur’aniTukufu, Hawatatengana nayo, nayo haitatengana nao mpaka wanikute mimi kwenyeHaudhi ya Kauthar.’”

Baada ya kuandika habari hii nzima amesimulia hadithi nyingine tatu kutoka kwenyeManaqib zilizosimuliwa na Salim Bin Qais, Isa Bin Sirri na Ibn Mu’awiya zinazoonyeshakwamba haya maneno ‘Uli’l-amr’ yanawahusu Maimam kumi na wawili wa ‘Ahle Bait.’Ninaamini kwamba hadithi hizo hapo juu zinatosha kufafanua maana halisi ya ‘ul’l-amr.’Na kuhusu idadi na majina ya Maimam watukufu, nitasimulia hadithi zilizosimuliwa nawanazuoni maarufu wa Sunni, bila kurejea, kama ilivyokuwa desturi yangu, kwenyehadithi nyingi za wanazuoni wa Shi’ah.

MAJINA YA MAIMAM NA IDADIYAO - (KUMI NA MBILI).

(1) Sheikh Sulayman Balkh Hanafi katika Yanabiu’l-Mawadda yake, sura ya 76 anasimu-lia kutoka Fara’idu’s-Simtain cha Hamwaini, anayesimulia kutoka kwa Mujahid, anayes-imulia toka kwa ibn Abbas, kwamba Myahudi anayeitwa Na’thal alikuja kwa MtukufuMtume (s.a.w.w.) na akamuuliza maswali kuhusu Tawhid (Upweke wa Allah) MtukufuMtume (s.a.w.w.) akayajibu maswali yake na Myahudi yule akaingia Uislam. Kisha akase-ma: “Ewe Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), kila Mtume alikuwa na Wasii (mshika makamu)wake. Mtume wetu Musa Bin Imra, aliusia kwa Yusha Bin Nun. Tafadhal hebu niambie ninani wasii wako?” Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Mwandamizi (wasii) wangu niAli Bin Abi Talib, baada yake ni Hasan, na Husain na baada yao kuna Maimam tisa, ambaoni mfululizo wa kizazi cha Husain.”

Na’thal akamuuliza Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) majina ya Maimam hao. Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) akasema: “Baada ya Hussein, mwanawe Ali atakuwa Imam, baada yakemwanawe Muhammad, baada yake mwanae Ja’far, baada yake mwanae Musa, baada yakemwanae Ali, baada yake mwanae Muhammad, baada yake mwane Ali, baada yake mwanaeHasan, baada yake mwanae, Muhammad Mahdi atakuwa ndio Imam wa mwisho.Watakuwepo Maimam kumi na mbili.

Mikesha ya Peshawar

495

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 495

Page 514: Mikesh A

Zaidi ya majina haya ya Maimam tisa, hadithi hii inaeleza zaidi kwamba kila mmoja waoatafuata kama Imam baada ya baba yake. Na’thal aliulizia maswali zaidi na MtukufuMtume (s.a.w.w.) akaelezea namna ya kifo cha kila Imam.

Kisha Na’thal akasema: “Nashuhudia kwamba hakuna mungu ila Allah na kwamba weweni Mtume wake Mtukufu. Nashuhudia kwamba Maimam, hawa kumi na mbili ndo washikamakamu wako baada yako. Uliyoyasema ni sawa sawa hasa yale yaliyoandikwa kwenyevitabu vyetu na katika usia wa Musa.”

Kisha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Pepo ni yake yule anayewapenda na kuwatiihawa, na Moto wa Jahanamu ni kwa ajili yake yule atakayewachukia na kupinga hawa.”

Kisha Na’thal akasoma tenzi zenye maana kwamba ‘Allah aliyetukuka ashushe rehma juuyako, Mtume uliyechaguliwa na fahari ya Bani Hashim. Allah ametuongoza sisi kupitiakwako na watu watukufu kumi na mbili uliowataja. Hakika Allah amewatakasa na kuwahi-fadhi kutokana na uchafu. Yule anayewapenda wao amefuzu. Yule anayewachukia hawayu mwenye hasara. Wa mwisho wa Maimam hawa atakata kiu ya wenye kiu. Yeye ndiyeyule watu watakayemngoja. Ewe Mtume wa Allah, kizazi chako ni rehma kwangu na wau-mini wote. Wale wanaogeuka na kuwapa kisogo punde watatupwa kwenye Moto waJahannam.

(2) Yule mwanazuoni mkuu, Sheikh Sulayman Balkhi katika Yanabiu’l-Mawadda yake,sura ya 76, anasimulia toka kwenye Manaqib ya Khawarizmi, ambaye anasimulia kutokaWathila Bin Asqa’ Bin Qarkhab, ambaye anasimulia toka kwa Jabri Bin Abdullah Ansar,na pia Abu’l-Fazl Shaibani na yeye kutoka kwa Muhammad Bin Abdullah Bin IbrahimShafi’i, anayemnukuu Jabir Ansari (mmojawapo wa masahaba wakuu wa Mtume) kwam-ba amesema; “ Jundal Bin Junadab Bin Jubair, ambaye ni Myahudi, alikuja kwa MtukufuMtume (s.a.w.w.) na kumuuliza kuhusu Tawhid. Baada ya kusikia jibu lake, yule mtuakawa Muislam. Akasema kwamba katika usiku uliopita alimuona Musa katika ndotoakimuambia; ‘Ingia Uislam kwenye mikono ya wa mwisho katika Mitume, Muhammad,na ujiambatanishe wewe kwa washika makamu wake baada yake.’Alimshukuru Allah kwaneema ya Uislam. Kisha ndipo akamuomba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amtajie majina yaWashika Makamu wake. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alianza kwa kusema: “WashikaMakamu wangu ni kumi na mbili kwa idadi.”

Yule mtu akasema alikwishaliona jambo hili ndani ya Taurat. Alimuomba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) amtajie majina yao, na Mtume akasema: “Wa kwanza wao ndiye mkuu wawashika makamu na baba wa Maimam hao, naye ni Ali. Kisha wanafuata wanawe wawiliHasan na Husain. utawaona hawa watatu. Pale utakapofikia hatua ya mwisho ya uhaiwako, Imam Zainu’l-Abidini atazaliwa, na kitu cha mwisho utakachokula cha dunia hiikitakuwa ni maziwa. Kwa hiyo sikamana nao hawa ili ujinga usije ukakupotosha.”

Mikesha ya Peshawar

496

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 496

Page 515: Mikesh A

Kisha yale mtu akasema ameona katika Taurati na katika Maandiko mengineyo majina yaAli, Hasan na Hussein kama Elias, Shabbar, na Shabbir. Akamuomba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) amtajie majina ya hao Maimam wengine.

Kisha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akawataja wale Maimam tisa waliobakia pamoja naLakab zao na akaongeza: “Wa mwisho wao, Muhammad Mahdi, ataishi, lakini atatowe-ka. Atatokeza baadae na ataujaza ulimwengu na haki na usawa, kwani utakuwa umekumb-wa na dhulma na ukandamizaji. Hakika pepo ni kwa wale watakaoonyesha uvumilivuwakati wa ghaib (kutoweka) kwake. Pepo ni kwa wale ambao ni imara katika mapenzi juuyake. Hawa ndio wale ambao Allah Muweza amewasifu ndani ya Qur’ani Tukufu na kwaajili ya wale ambao Qur’ani Tukufu ni ‘muongozo kwa wale wanaojilinda ( kutokana namaovu). Wale ambao wanaamini katika yaliyo ghaib” Pia anasema “Hawa ni kundi laAllah: sasa hakika kundi la Allah ni la wenye kufuzu.”(58:22)

IDADI YA MAKHALIFA BAADA YAMTUKUFU MTUME NI KUMI NA MBILI

Mir Seyyed Ali Shafi’i Hamadani katika Mawaddatu’l-Qurba yake, (Mawadda ya 13),anasimulia kwamba Umar Bin Qais alisema: “Tulikuwa tumekaa katika kundi ambamoAbdullah Bin Mas’ud pia alikuwemo. Mara akaja Mwarabu mmoja na kusema: “Yupimiongoni mwenu ndio Abdullah?” Abdullah akasema: “Ni mimi.” Akasema (yuleMwarabu): Abdullah! Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikueleza kuhusu Makhalifa baadayake.?”

Abdullah Bin Ma’sud akasema: “Ndio, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: ‘Baada yanguwatakuwepo Makhalifa kumi na mbili, wanalingana na idadi ya Maimam wa Bani Isra’ili.”

Hadithi hii pia imesimuliwa kutoka kwa Sha’bi ambaye ameisimulia kutoka kwa Masruq,aliyeisimulia kutoka kwa Abdullah Shiba.

Pia Jurair, Ash’ath, Abdullah Bin Mas’ud, Abdullah Bin Umar na Jubair Bin Samra wotewanamsimulia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwamba alisema: “Watakuwepo Makhalifakumi na mbili baada yangu. Idadi yao italingana na Makhalifa wa Bani Isra’ili.” Kwamujibu wa simulizi ya Abdul’l-Malik, Mtukufu Mtume aliongeza: “Na wote watakuwakutoka Bani Hashim.”

Wanazoni wengi wa Sunni, akiwemo Tirmidhi, Abu Dawud, Muslim, Sha’bi wamesimuliavivyo hivyo. Yahya Bin Hasan, mwanazuoni mkubwa wa fiqh, amesimulia katika kitabuchake Kitab-e-Umda kutoka kwenye vyanzo kumi na mbili tofauti, kwamba “Hakika, kunaMakhalifa kumi na mbili baada ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), nao wote wanatokana na

Mikesha ya Peshawar

497

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 497

Page 516: Mikesh A

Maquraish.” Bukhari amesimulia kutoka kwenye vyanzo vitatu, Muslim kutoka vyanzotisa, Abu Dawud kutoka vyanzo vitatu, Tirmidhi toka chanzo kimoja, na Hamid tokakwenye vyanzo vitatu kwamba Mtukufu Mtume amesema: “Makhalifa na Maimam baadayangu ni kumi na mbili, na wote wanatokana na Maqurish.” Kwa mujibu wa baadhi yasimulizi zingine, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema. “Wote hao watatokana na BaniHashim.”

Katika uk. 446 Yahya Bin Hasan anasema: “Baadhi ya wanazuoni wamesema kwambahadithi zenye kuunga mkono hoja ya kwamba idadi ya Makhalifa na Maimam baada yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) ni kumi na mbili ni zenye kujulikana sana. Kila mmoja anafa-hamu kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipoainisha kwamba idadi ya Makhalifa wakeitakuwa kumi na mbili, alimaanisha kuwa watatokana na ‘Ahlul-Bait’ wake. Kusemakwamba alimaanisha Makhalifa waliokuwa sahaba zake itakuwa ni kinyume na ukweli(kwa vile wao walikuwa wanne tu).

Wala haiwezi kusemwa kwamba alimaanisha wale wafalme wa Bani Umayya, ambao waowalikuwepo kumi na watatu. Zaidi ya hayo, wao walikuwa wakandamizaji isipokuwaUmar Bain Abdu’l- Aziz (ingawa hata yeye aliupora ukhalifa na kumlazimisha Imam wazama hizo kubalikia kizuizini ndani ya nyumba yake). Kwa vile Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alisema: “Wote wanatokana na Bani Hashim.” Bani Umayya sio wa kuhesabika.

Kwa hiyo ni dhahiri kwamba Makhalifa wa haki wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) walikuwani wale Maimam kumi na wawili waliokuwa ni kizazi cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)ambao waliwazidi wengine wote katika elimu na ucha-Mungu. Ukweli huu unathibitishwana hadithi hii ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) iliyosimuliwa sana (mutawatir). “Ninaachanyuma yangu vizito viwili, Kitabu Kitukufu cha Allah (Qur’ani Tukufu) na ‘Ahlul-Bayt’wangu. Kama mtashikamana na viwili hivi, kamwe, kamwe, hamtapotea baada yangu.Hakika viwili hivi havitatengana mpaka vinikute mimi kwenye Haudhi ya Kauthar. Kamamtashikamana na viwili hivi, hamtapotoshwa kamwe.”

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Tafuteni elimu hata ikiwa china.” Tumetumia mike-sha kumi mirefu kujadili mambo yahusuyo elimu adhimu - njia ya Uislamu. Tumeonatofauti nyingi baina ya madhehebu ya Sunni na ile ya Shi’ah, na tunatumaini kwambaukweli wa kihistoria na hoja zenye mantiki vimefafanua asili ya tofauti hizo. Inshallahmijadala hii itawavuta watafutaji elimu wakweli kwamba: “Anaeongozwa na MwenyeziMungu hakuna yeyote wa kumpoteza.”

Mikesha ya Peshawar

498

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 498

Page 517: Mikesh A

ORODHA YA VITABU VILIVYO CHAPISHWA NA AL-ITRAHFOUNDATION:

1. Qur’ani Al-Kariim - Tafsir Al-Kashif Juzuu ya kwanza mpaka kumi na Tisa2. Uharamisho wa Riba3. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya kwanza 4. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya pili5. Hekaya za Bahlul6. Muhanga wa Imamu Husein (A.S.)7. Mikingamo iliyomzunguka Imamu Ali (A.S.)8. Hijab vazi Bora9. Ukweli wa Shia Ithnaashari10. Madhambi Makuu11. Mbingu imenikirimu12. Abdallah Ibn Saba13. Khadijatul Kubra14. Utumwa15. Umakini katika Swala16. Misingi ya Maarifa17. Kanuni za Ndoa na maadili ya Familia18. Bilal wa Afrika19. Abudharr20. Usahihi wa Historia ya Uislamu na Waislamu21. Salman Farsi22. Ammar Yasir23. Qur’ani na Hadithi24. Elimu ya Nafsi25. Yajue Madhehebu ya Shia26. Ukusanyaji na Uhifadhi wa Qur’ani Tukufu27. Al-Wahda28. Ponyo kutoka katika Qur’ani29. Uislamu mfumo kamili wa maisha ya kijamii30. Mashukio ya Akhera31. Al Amali32. Dua Indal Ahlul Bayt33. Udhuu kwa mujibu wa Kitabu na Sunna34. Haki za wanawake katika Uislamu35. Mwenyeezi Mungu na sifa zake36. Amateka 37. Nafasi za Ahlul Bayt (a.s)

Mikesha ya Peshawar

499

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 499

Page 518: Mikesh A

38. Adhana.39 Upendo katika Ukristo na Uislamu40. Nyuma yaho naje kuyoboka41. Amavu n’amavuko by’ubushiya42. Kupaka juu ya khofu 43. Kukusanya swala mbili44. Bismillah ni sehemu ya Qur’ani na husomwa kwa Jahara45. Kuwaongoza vijana wa kizazi kipya46. Kusujudu juu ya udongo47. Maulidi48. Tarawehe49. Malumbano baina ya Sunni na Shia50. Kupunguza swala safarini51. Kufungua safarini52. Kuzuru makaburi53. Umaasumu wa Manabii54. Qur’ani inatoa changamoto55. Tujifunze misingi ya dini56. Nahjul Balagha Sehemu ya Kwanza57. Nahjul Balagha Sehemu ya Pili58. Dua Kumayl59. Uadilifu wa masahaba60. Asalaatu Khayrunminaumi61. Sauti ya uadilifu wa binadamu62. Umaasumu wa Mitume Sehemu ya kwanza63 Maswali na Mishkili Elfu Sehemu ya kwanza64. Umaasumu wa Mitume Sehemu ya pili65. Umaasumu wa Mitume Sehemu ya tatu66. Maswali na Mishkili Elfu Sehemu ya pili67. Maswali na Mishkili Elfu Sehemu ya Tatu68. Sala ni nguzo ya dini69. Malezi ya mtoto katika Uislamu70. Shia asema haya, Sunni asema haya, wewe, wewe wasemaje?71. Ubora wa Imam Ali Juu ya Masahaba72 Hukumu ya Kujenga Juu ya Makaburi Ndani ya Sheria

Mikesha ya Peshawar

500

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 500

Page 519: Mikesh A

BACK COVER

Mikesha ya Peshawar ni nakala ya mjadala kati ya wanavyuoni mbalimbali wa Kisunni namwanachuoni mmoja wa Kishia mzaliwa wa Shiraz (Iran) aitwaye Sayyid Abdu ‘l-FaniMuhammad al-Musawi Sultanu ‘l-Wa’idhiin, ambaye wakati huo alikuwa na umri wamiaka 31 tu. Mjadala huu ulifanyika katika mji wa Peshawar ambao wakati huo ilikuwani sehemu ya Bara Hindi na hivi sasa ni sehemu ya Pakistan. Ulifanyika kuanzia tarehe 27Januari 1927 na kuundelea kwa mikesha kumi ndani ya msikiti ambako watu zaidi 200walihudhuria kila usiku. Mjadala huu ulifanywa kwa muundo mzuri wa kuheshimianapande zote bila ya kuvunjiana heshima. Mwandishi mwenyewe amejiita katika kitabu hikikama “Da’i” yaani mtu anayewaombea mema watu wengine, sisi tumelitafsiri neno hilokama “Muombezi”.

Huu ulikuwa ni mjadala uliopangwa vizuri, wa kielimu na utumiaji wa vipawa vya akiliambapo kila hoja iliyotolewa ilitumika elimu na akili kuiwasilisha mpaka pande zotezikaridhika.

Kimetolewa na kuchapishwa na:

Alitrah Foundation

S.L.P. 19701 Dar es Salaam, Tanzania

Simu: +255 22 2110640Simu/Nukushi: +255 22 2127555Barua Pepe: [email protected]: www.alitrah.org

Katika mtandao: www.alitrah.info

Mikesha ya Peshawar

501

Mikesha ya Peshawar- Final Edited- Shemahimbo final Edit Lubumba.qxd 12/4/2008 2:02 PM Page 501