Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto , 2009-10 1 Matokeo ya Awali Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dar es Salaam, Disemba 2, 2010 UTAFITI WA AFYA YA UZAZI NA MTOTO TANZANIA 2009-10
Feb 02, 2016
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
1
Matokeo ya Awali
Ofisi ya Taifa ya TakwimuDar es Salaam, Disemba 2,
2010
UTAFITI WA AFYA YA UZAZI NA MTOTO TANZANIA 2009-10
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
2
• 1. Utangulizi
• 2. Matokeo Muhimu
• 3. Hitimisho
Picha kwa Hisani ya Concern
Yaliyomo
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
3
Utafiti huu ulitekelezwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS)
Gharama za ndani za Utafiti huu ziligharamiwa na Mfuko Maalum wa Kitengo cha Kuondoa Umaskini (PED) kilicho chini ya Wizara ya Fedha na Uchumi, Wizara ya
Afya na Ustawi wa Jamii, Mashirika ya Misaada ya Umoja wa Mataifa
Msaada wa Kiufundi ulitolewa na MEASURE DHS/ Macro International
Msaada wa Kiufundi uligharamiwa na Shirika la Misaada ya Maendeleo la Marekani (USAID)
1. Utangulizi
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
4
Historia ya Tafiti za Afya ya Uzazi na Mtoto Tanzania
• Utafiti wa kwanza wa DHS ulifanyika mwaka 1991/92 na kufuatiwa na Utafiti mwingine mwaka 1994 (Knowledge, Attitude and Practice Survey (TKAPS))
• Utafiti wa pili wa DHS ambao ulishirikisha maeneo yale yale ya mwaka 1991/92 ulifanyika mwaka 1996. Ukafuatiwa na mwingine wa mwaka 1999 (Tanzania Reproductive and Child Health Survey (TRCHS)). Utafiti huu ulikuwa kama ule wa 1994 lakini ukiwa na viashiria vya zaida kama ilivyoshauriwa na wadau wakuu.
• Utafiti wa DHS wa tatu ulifanyika mwaka 2004/05
• Utafiti wa DHS wa 2009/10 ni wa nne na kama zilivyokuwa tafiti zilizotangulia, ulihusisha Tanzania Bara na Visiwani.
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
5
Madhumuni ya UtafitiKupata taarifa juu ya:
– Sifa bainifu za kaya na wanakaya– Viwango vya uzazi na upendeleo wa kuzaa– Ufahamu na matumizi ya njia za uzazi wa mpango– Vifo vya watoto– Afya ya mama na mtoto– Unyonyeshaji wa watoto– Hali ya lishe ya wanawake na watoto wadogo– Kinga na matibabu dhidi ya Malaria– Hali ya kiuchumi ya wanawake– Tendo la kujamiiana– Umiliki na matumizi ya vyandarua– Ukatili dhidi ya wanawake majumbani– Nasuri (Fistula)– Ufahamu wa VVU/UKIMWI na magonjwa mengine ya
zinaa
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
6
Utafiti na Sampuli
• Huu ni Utafiti wenye sampuli ya Kitaifa, uliohusisha zaidi ya kaya 10,000
• Sampuli ya Utafiti inaruhusu makisio ya baadhi ya viashiria katika ngazi ya mkoa, mlinganisho kwa maeneo ya mijini na vijijini na makisio kwa ngazi ya kanda mbali mbali
• Wanawake wote wa umri wa miaka 15-49 katika kaya zote na sampuli ndogo ya wanaume wa miaka 15-49 katika kila kaya ya tatu walihojiwa kwa mahojiano binafsi
• Ukusanyaji wa taarifa kwenye kaya ulifanyika kati ya Disemba 2009 na Mei 2010
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
7
Vipimo Vilivyofanyika• Vipimo vya Urefu na uzito vilifanyika kwa wanawake wote wa
umri wa miaka 15-49 na watoto chini ya miaka mitano
• Kiwango cha damu kwa watoto wa umri wa miezi 6-59 na wanawake wa miaka 15-49 kilipimwa papo hapo kwenye kaya
• Sampuli ya damu ilichukuliwa kwa ajili ya upimaji wa Vitamin “A” kwa watoto na wanawake katika maabara
• Upimaji wa madini Joto – Ulifanyika kwa njia tatu- kwa kupima papo hapo chumvi inayotumiwa na kaya
zilizohojiwa, - kwa kila kaya tatu chumvi ya ziadi ilichukuliwa kwa ajili ya vipimo vya maabara- Kwa kutumia sampuli ya mkojo kwa wanawake wa
miaka 15-49
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
8
2. Matokeo: Mwitikio wa Utafiti
• Idadi ya Kaya zilizochaguliwa na zilizo na wakazi: 9,3741 – Kiwango cha mwitikio kwa kaya: 99%
(9,623)• Idadi ya Wanawake: 10,522
– Kiwango cha mwitikio wa Wanawake: 96% (10,139)
• Idadi ya Wanaume: 2,770– Kiwango cha Mwitikio kwa Wanaume: 91%
(2,527)
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
9
ii. Taarifa za Wahojiwa
Karibu wahojiwa watatu kati ya kumi wanaishi maeneo ya mijini.
Asilimia 97 ya wahojiwa wanaishi Tanzania Bara, na Asilimia 3
wanaishi Zanzibar.
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
10
Kiwango cha Elimu ya Wahojiwa
1910
1518
5049
1623
Wanawake Wanaume
Elimu ya Sekondariau ZaidiElimu ya Msingi
Elimu Kiasi yaMsingiWasiosoma
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
11
5.45.4
Kwa sasa, Mwanamke wa kitanzania, kwa
wastani anazaa watoto 5.4 katika maisha yake.
iii. Uzazi
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
12
Mwenendo wa Kiwango cha Uzazi
Wastani wa
watoto kwa
wanawake 15-49
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
13
iv. Matumizi ya Njia za Uzazi wa Mpango
• Karibu wanawake watatu kati ya kumi (29%) kwa sasa wanatumia njia ya uzazi wa mpango
– Asilimia 24 wanatumia njia za kisasa
– Asilimia 5 wanatumia njia za asili
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
14
Utumiaji wa Njia za uzazi wa Mpango kwa Wanawake
Walioolewa
2.3
10.6
6.7
27.4
7
34.4
Kondomu yaKiume
Sindano
Vidonge
Njia yoyoteya kisasa
Njia yoyoteya asili
Njia yoyote
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
15
Mwenendo wa Matumizi ya Njia za Uzazi wa Mpango (Asilimia ya
Wanawake walio kwenye ndoa)
27
20
1213
7
34
2625
18
10
1991-92 1996 1999 2004-05 2010
Njia za Kisasa Njia yoyote
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
16
v. Viwango vya Vifo vya Watoto
26
51
81
Vifo kabla yamwezi wa
kwanza wa uhai
Vifo kabla yamwaka wa
kwanza wa uhai
Vifo kabla yamiaka mitano
Vifo kwa kila watoto 1,000 waliozaliwa hai miaka 5 kabla ya utafiti kufanyika
Mtoto mmoja kwa kila watoto kumi na mbili Tanzania hufariki kabla ya kufikia miaka mitano
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
17
Mwenendo wa Vifo vya Watoto
56 59
3625
8899
6851
137147
112
81
1996 1999 2004 2009
Vifo kati ya mwezi mmoja wa uhai na mwaka mmoja wa uhaiVifo vya watoto kabla ya mwaka mmoja wa uhaiVifo vya watoto kabla ya miaka mitano
Kwa miaka 5 kabla ya utafiti
Vifo kwa kila watoto 1,000 walioza-liwa hai
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
18
Antenatal Care by Mother’s Education
98
97
96
94
Elimu yaSekondari au
zaidi
WaliohitimuElimu yaMsingi
HawakumalizaMsingi
Wasiosoma
Asilimia ya wanawake waliojifungua katika miaka 5 iliyopita ambao walihudumiwa na mtoa huduma
aliyesomea
Karibia asilimia 96% ya wanawake waliojifungua katika kipindi ha miaka 5 iliyopita walisema walimuona mtoa huduma aliyesomea angalau mara moja.
vi. Huduma ya Afya ya Mama Mjamzito
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
19
9693
88
9793
85 85
2
75
54
96
Asilimia ya watoto wa umri wa miezi
12-23 kipindi
chochote kabla ya utafiti
vii. Chanjo za Watoto
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
20
Vaccination Trends
757168
TDHS 1999 TDHS 2004-05 2009-10
Asilimia ya watoto wenye umri wa miezi 12-23 ambao
wamepata chanjo zote
Mwenendo wa Utoaji Chanjo kwa Watoto
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
21
71
66
58
48
60
Sekondari nazaidi
Elimu yaMsingi
Elimu kiasi yaMsingi
Wasiosoma
Jumla
Asilimia ya watoto wenye umri wa miaka 6-59 ambao walipewa matone ya Vitamin “A” miezi sita kabla
utafiti
Kwa kiwango cha elimu ya mama
viii. Utoaji wa Matone ya Vitamin A
(Kwa watoto)
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
22
Mwenendo wa Utoaji wa Matone ya Vitamin “A”
46
60
14
1999 2004-05 2009-10
Asilimia ya watoto wa umri wa miezi 6-59 ambao walipata matone ya vitamin “A” miezi 6 kabla ya utafiti
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
23
Watoto ambao hupata maziwa ya mama tu wanatambulika kama wanaonyonya maziwa ya mama pekee.
Maziwa ya mama pekee yanashauriwa katika miezi 6 ya mwanzo ya maisha ya mtoto, kwa kuwa maziwa ya mama yana virutubisho muhimu anavyohitaji mtoto.
Chembe chembe za kinga katika maziwa ya mama yanatoa kinga dhidi ya magonjwa.
ix. Lishe: Unyonyeshaji Maziwa ya Mama Pekee
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
24
Maziwa ya Mama Pekee kwa Umri
Umri katika miezi
Asilimia ya watoto ambao hupewa
maziwa ya mama pekee
81
51
23
2 1 0.4 1
50
010
2030
4050
6070
8090
Chini yamiezi 6
<2 Miezi 2mpaka 3
Miezi 4mpaka 5
Miezi 6mpaka 8
Miezi 9mpaka
11
Miezi 12mpaka
17
Miezi 18mpaka
23
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
25
Mwenendo wa Utoaji Maziwa ya Mama Pekee
41
50
27
1999 2004-05 2009-10
Asilimia ya watoto umri wenye umri wa chini ya miezi 6 ambao hupewa maziwa ya mama pekee
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
26
Mwenendo wa Hali ya Lishe ya Watoto
44
5
2938
3
22
35
4
21
Kudumaa (Kimo kifupiikilinganishwa na
umri)
Kukonda (uzitomdogo ikilinganishwa
na kimo)
Uzito chini yaKiwango (Uzito
mdogo ikilinganishwana umri)
1999 2004-05 2009-2010
Asilimia ya watoto wa
umri chini ya miaka 5 ambao
wamedumaa au kuwa na uzito mdogo
(tatizo la wastani/kubw
a)
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
27
x. Malaria: Umiliki na Utumiaji wa Vyandarua kwa Aina na
Eneo
7584
7164 65 63
Jumla Mjini Kijijini
Chandarua Chochote
Chandarua chenye dawa
Asilimia ya kaya zenye vyandarua
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
28
Matumizi ya Vyandarua kwa Watoto
7381
7164 65 64
Jumla Mjini Kijijini
Chandarua Chochote
Chandarua chenye dawa
Asilimia ya watoto chini ya miaka mitano waliolala kwenye chandarua usiku wa kumakia siku ya mahojiano
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
29
Kinga Dhidi ya Malaria Wakati wa Ujauzito
52
22
53
58
64
26
61
66
Walipata Kinga ya Malaria kutokaKliniki wakati wa ujauzito
Walikunywa dozi 2+ za SP
Walipata IPT yoyote (SP)
Walikunywa dawa yoyote kamakinga ya malaria wakati wa
ujauzito
2009-102004-05
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
30
Matibabu ya Homa
23
59
41
Watotowaliokuwa nahoma wiki 2
kabla ya utafiti
Waliokunywadawa za malaria
Waliokunywadawa za malariasiku hiyo hiyo
au sikuiliyofuata baadaya kupata homa
Asilimia ya watoto wa umri chini ya miaka 5
Kati ya waliokuwa na homa, asilimia ya waliopata matibabu yaliyoonyeshwa
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
31
xii. UKIMWI/VVU: Ufahamu wa Njia za Kuepuka
UKIMWI/VVU
76
87
7176
90
70
Kutumia Kondomu Kuwa na mweza mmojaasiyeambukizwa
Kutumia kondomu nakuwa na mweza mmoja
asiyeambukizwa
Wanawake Wanaume
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
32
Ufahamu wa Njia za Kujikinga na UKIMWI kwa Kiwango cha Elimu
60 5964 66
75 73 77 73
Hawanaelimu
Elimu kiasiya Msingi
Elimu yaMsingi
Sekondariau zaidi
Wanawake
Wanaume
Asilimia ya wanaume na wanawake ambao wanafahamu kuwa hatari ya kupata UKIMWI inaweza kupunguzwa kwa kutumia kondomu NA kuwa na mweza mmoja asiyeambukizwa
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
33
Wapenzi Wengi Miongoni mwa Vijana
3
12.3
Wapenzi zaidi ya mmoja katika miezi 12 kabla yautafiti
Wanawake 15-24
Wanaume 15-24
Asilimia ya vijana wa kiume na wa kike ambao walikuwa wakishiriki tendo la ngono kipindi cha mwaka mmoja uliopita
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
34
xii. Vifo Vinavyotokana na Uzazi
Ni kifo chochote kilichotokea wakati wa Ujauzito, wakati wa kujifungua, au ndani ya
miezi 2 baada ya kujifungua au mimba kutoka/kutolewa.
• Inakadiriwa kuwa akina mama 454 kati ya watoto 100,000 waliozaliwa hai hufariki dunia kwa mwaka.
• Mwaka 2004-05, kiwango cha vifo hivi kilikadiriwa kuwa akina mama 578 kati ya watoto 100,000 waliozaliwa hai.
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
35
3. Hitimisho
• Haya ni matokeo ya awali• Katika hali ya kawaida matokeo haya
hayategemewi kubadilika sana• Uchambuzi wa kina ambao unahusisha
viashiria zaidi na mwenendo wa viashiria mbali mbali vya afya unafanyika kwa sasa
• Taarifa ya mwisho ya utafiti huu inategemewa kutolewa mwezi wa Januari/February 2011
Matokeo ya Awali Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto, 2009-10
36
Asanteni kwa Kunisikiliza