Top Banner
Imani ya Waanabatisti Translated from What is an Anabaptist Christian? Palmer Becker, author Mennonite Mission Network, USA, ©2008 (revised 2010) Swahili translation (by permission) ©Joseph Bontrager, 2015
21

Imani ya Waanabatisti - assets.mennonites.org · ki-maadili, na ki-mahusiano, na ki-uchumi. Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni ishara

Sep 21, 2019

Download

Documents

dariahiddleston
Welcome message from author
This document is posted to help you gain knowledge. Please leave a comment to let me know what you think about it! Share it to your friends and learn new things together.
Transcript
Page 1: Imani ya Waanabatisti - assets.mennonites.org · ki-maadili, na ki-mahusiano, na ki-uchumi. Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni ishara

Imani ya Waanabatisti

Translated from

What is an Anabaptist Christian?

Palmer Becker, author

Mennonite Mission Network, USA, ©2008 (revised 2010) Swahili translation (by permission) ©Joseph Bontrager, 2015

Page 2: Imani ya Waanabatisti - assets.mennonites.org · ki-maadili, na ki-mahusiano, na ki-uchumi. Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni ishara

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 1

UtanguliziImaniyaki-AnabatistinajinsiWaanabatistiwanavyoamininakuishiimekuwepotangumwanzowaUkristo.Hataleo,katikamadhehebumenginahuendakatikakilatawi,wapowaaminiwenyeimaniinayofanananaimaniyaWaanabatistiwakwanza.AnabatistininamnayakuishiUkristo.KamawalipoWakristowaAnglican,Batisti,naLutheri,hivyowapoWakristowaki-Anabatisti.“Anabatisti”nijinalililoundwamaanayake“wanaobatizatena.”JinahilolilipewaWakristowakarneya16walioonakwambaubatizowawatotowachangahaunafaidambeleyaMungu.Kwahiyohaowakwanzawakabatizanakamawatuwazimajuuyaungamowaimaniyao.HaoWakristowaki-AnabatistiwalikuwawatanguliziwaWakristoWamennonitewaleonawenginewengiwadesturiyaKanisaHuru.WakristoWamennonitewaki-AnabatistiwanashikaimanisawanaWakristowengikatikamadhehebumengine.WanaaminiMunguwaUtatu,aliyemtakatifunamwenyeneema,nawanaminiwokovukwaneemakwanjiayatobanaimani.WanaaminikwambaYesualikuwanibinadamupiaalikuwaniMungu,nakwambamaandikomatakatifuyalipumuliwanaRohoMtakatifukwahiyonimsingiwaimaniyetu.WanaaminiuwezowaRohoMtakatifunakwambaKanisanimwiliwaKristo.Lakiniwakatimwinginewanashikaimanihizotofautinawengine.Waanabatistiwanawezakuitwa“tawilakushotolamatengenezoyaki-Protestant.”Walitokeawakatiwamabadilikomakubwakijamiinakiuchumi,nawalitakakuendelezamatengenezoyaliyoanzishwanaMartinLuther,UlrichZwingli,naJohnCalvin.Tangumwanzo,Wakristowaki-AnabatistiwanakazaumuhimuwakumfuataYesukatikamaishayakilasiku,nakushirikiananawenzaoKristoakiwakatikati,nakushindamigogorokwaamani.Je,unawezakujihesabukamaMkristowaki-Anabatisti?Watengenezajiwenginewalifundishakwambawokovuhupatikanakwanjiayaimaninakupitianeemapekee,lakiniwaliendeleakushikanianafikirazaKonstantinonaAgostinowalioishikarnezannenatano.WakatimwingineWamennonitewamekazamafundishoyaMennoSimonsnaWaanabatistiwakarneya16tu.KilaufufuowakanisahuonyeshamaanayakuwaMkristokwawakatiulenakatikahaliile.LakinimwishoinatubiditurudikwaYesu,ambayenimwanzonamwandishiwaimaniyetu,ilikugunduamisingiyaimaniyakwelikwawakatiwetu.ShidakubwayaUkristosikwambamadhehebunimengi,balinikwambamadhehebuyanasitakujifunzakutokakwamadhehebumengine.WakristoWaanabatistiwanapaswakujifunzakutokakwaWakristowengine,kwamfanokuhusuutawalananeemayaMungu,najinsiyakushirikikatikaduniayetu.NaWakristowenginewanawezakujifunzakutokakwaWaanabatisti,kwamfanokuhusukumfuataYesukatikamaishayakilasiku,na

Page 3: Imani ya Waanabatisti - assets.mennonites.org · ki-maadili, na ki-mahusiano, na ki-uchumi. Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni ishara

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 2

kufafanuamaandikokwakuwekaKristokati,nakukubaliKristokuwaBwanawamaishayote.MwiliwaKristonimmojailaviungovyakenivingi.Kamakiungokimojakinakosakushirikishakaramazakanamaoniyake,kinakuwakamachumvikilichopotezaladhayake.Katikakitabuchake,DifferentiateorDie(TofautishaauKufa),mwandishiJackTroutameandika,“Kundilisilowezakuletakaramatofautinawengine,litakufa.”Je,nikaramaganiambayoWakristoWaanabatistiwanawezakuleta,napiakunaniniwanawezakupokeakutokakwawengine?Miradiyetunamalengoyetuhubadilika,lakiniipomisingiyapekeeyaki-Anabatistitangumwanzowake,ambayohaiwezikubadilika.Je,misingihiyoyapekeeyaWakristoWaanabatistiniipi?Kitabuhikikitaelezakanunitatukuu.Nayoni:1. Yesunikiinichaimaniyetu.2. Jamiinikiinichamaishayetu.3. Upatanishonikiinichakaziyetu.

Kwamtazamowaki-Anabatisti,kuwaMkristohuunganishahayomatatu,yaanikumwaminiYesu,nakushirikikatikajamii,pamojanakuishikwaupatanisho.HayonamengineyaliyokuwamuhimukwaWaanabatistikatikamaishayaonahatakwakifochao,sasayanakubaliwanaWakristowengi.Iladesturinamafundishomenginebadoyanawakwazaaukuwatatanisha.LakiniwenginewanazidikuonamawazoyaWaanabatistikuwamsaadakatikakumfuataYesukwauaminifukatikaduniayasasa.KanunihizotatutunazoelezakatikakitabuhikizilitokananamafundishoyaHaroldSBenderkatikahotubayake,TheAnabaptistVision(MaonoyaKi-Anabatisti),iliyotolewamwaka1943kwashirikalaAmericanSocietyofChurchHistory.BenderalielezajinsianavyofafanuamisingiyaWaanabatistikatikamaandikoyao.1. UkristonikuwamwanafunziwaYesu.NikumfuataYesukatikamaishayakilasiku.2. Kanisanikuwandugukatikajamaa.WashirikikatikakanisawanajitoakwaKristo,napiawanajitoanakilammojanakwahiariyake.

3. WafuasiwaYesuwanashikamaadiliyaupendonakutolipizakisasi.Sisijinsitulivyobadilishwatunatafutakuwawapatanishinatunakataakujihusishakatikaukatilinavita.

LakinimaelezohayomatatuyalifundishwanawenginekablayaWaanabatistikuyashika.Katikakitabuhikitutaelezajinsimafundishohayoyalivyotokeanakuendelezwa,natutapendekezajinsiyanavyowezakufaakatikaduniayasasa.Halafututayafananishanamafundishomenginenatutaongezamaswaliyakujadiliana.KwelinimekazamamboyaWaanabatistiyanayotujengatunasikutajamengineyasiyofaa.Kusudilangunikutoanafasikwawanaotakakuulizanakujibuswali,“Je,Mkristowaki-Anabatistiwakweliyukoje?”

Page 4: Imani ya Waanabatisti - assets.mennonites.org · ki-maadili, na ki-mahusiano, na ki-uchumi. Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni ishara

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 3

Watuwengiwamenitiamoyokwakazihiyo.Lakinimanenoyakitabuhikiniyangu,najuayakuwaWakristowengiwatajikutakwanamnambalimbalikatiyamaoninamawazoninayoelezahapa.

Kanuniya1.YesunikiinichaimaniyetuYesualianzahudumayakemnamomwaka30akikusanyakundilawanafunzi.Kwakipindichamiakamitatuwanafunzihaowaliishi,nakula,nakufanyakazinaYesu.Waliangaliajinsialivyowahurumiamaskini,naalivyoponyawaliouguaugonjwa,naalivyofanyavipofukuonatena,alivyowasamehewenyedhambi,naalivyowafundishawatuwote.Wakatiwahudumahizonatenabaadayakufukakwake,Yesuakawakatikatiyaimaninamaishayao.Wakapatakumwaminikamamwalimu,namwokozi,nabwanawao,lakinitofautinawalimu,nawokozi,namabwanawenginewawakatiule.Kwawanafunzihao,kumfuataYesukulikuwazaidikulikokumwaminiaukumwabuduYesutu.MaanayakeilikuwakujazwaRohoMtakatifunakumtiiYesukatikamaishayakawaidayakilasiku.WalikuwawamejitoakwaYesunaRohoMtakatifualikuwepokatikamaishayao.KwahiyowatuwakatambuakwambawalibadilishwailikufanananaYesukatikamitazamoyaonajinsiwalivyoishi.IkiwawanafunziwaYesuwangeulizwa,naaminiwangalisema,“YesuKristondiyekiinichaimaniyetu.”Kwamiaka250baadayaKristo,WakristowaliendeleakuwananguvuyaRohowaYesukatikamaishanahudumayao.Lakinikatikakarnezilizofuata,mabadilikomengiyalitokeakatikaimaniyaKikristohatailianzakuonekanakamanidininyingine.Watuwawilihasawametokeakuwawamesababishamabadilikohayo.Mmojanimwanasiasa,mwinginenimtheologia.KonstantinonikaisariwaDolayaRumi.Baadayakuonamaonoyamsalabamawinguni,akaachakuwatesaWakristonaakatangazaUkristokamanidinirasmiyaDolayaRumi.Lakini,kuanziautawalawakenakuendelea,Wakristowalianzakupimwakufuatananaimaniyaowaliyoshikakulikomaishayaowalivyoishi.Agostino,mtheologia,alitokeabaadayaKonstantino.AliongokakwanamnayaajabunawenginewamemwitamtheologiamkuuwaKanisalaMagharibi.Lakinikidogomaononamabadilikoyalitokeatofautinawanafunziwakwanza.BadalayakukazamaishanahudumayaYesu,KanisalilianzakutiamkazozaidikatikakifochakeYesu.ImaniyaMitume,iliyoandikwawakatihuo,haitajimafundishonakaziyaYesu.Badalayakusema“Yesunimsingiwaimani,”wafuasiwaAgostiniwalipendakusema,“KifochaYesunimsingiwaimaniyetu.”Mabadilikomakubwayalitokea.Wakristowakwanzawaliteswanakujikusanyakuabudukisiri,sasawalikutanakatikamakanisamakubwa.Walioaminiwakatiwakanisalakwanzawalifundishwahalafukubatizwakamawatuwazimajuuyaimaniyao,nakujiungana

Page 5: Imani ya Waanabatisti - assets.mennonites.org · ki-maadili, na ki-mahusiano, na ki-uchumi. Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni ishara

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 4

ushirikawawaaminio.Sasawaliwabatizawatotowachanga,nawalihesaburaiawoteisipokuwaWayahudikuwaniwashirikikatikakanisalililojijunganaserikaliwanchi.WakatikanisalakwanzalilielekezawashirikikumfuataYesu,sasalilikazamafundishonamatendoyaibada,nakujilindanamaaduiyao.Wakristowakwanzawalishuhudiaimaniyaokwamajirani,sasauinjilistinikupanuamipakaya“DolayaKikristo.”NakatiyaWakristowakwanzawengiwalikataakuingiajeshini,wakatiwakifochaAgostinowalikuwaniWakristotuwaliruhusiwakuingiakatikajeshilaKirumi.Katiyamiaka1200na1500baadayaKristo,kulikuwanawatunavikundimbalimbaliwalianzakutambuakwambakanisalilikuwalimeachananamafundishojuuyawokovunakanisajinsiyalivyofundishwanakanisalakwanza.Katiyahaowatengenezaji,alikuwamtawawakijerumani,aliitwaMartinLuther,aliyekuwaamesomeshwatheologianamaoniyaAgostino.WenginewalikuwaUlrichZwingli,mchungajiwaKiswisi,naJohnCalvin.Haowanateolojiawalitokezamabadilikomakubwa.Lutherhasaalikwazwanadesturinamatendoyamakuhaninamapapakwajinsiwalivyotoamsamahanaukombozikutokapurgatorikufuatananamatendoyawatu,nawaliuzavyetivyamsamaha.Tarehe31Oktoba,1517,Lutheraliwekamaoniyakekatikamaneno95aliyopigakwamsumalimlangonimwakanisakuuhapoWittenberg,Ujerumani.Tendohilolilianzishamatengenezoyaki-Protestant.LuthernaZwingliwalikubalikuwamaandikopekeeyanamamlakakuhusuimaninamaisha,nawakasisitizakwambawokovunikwaneemakupitiaimanitu.Lakini,wokovuhuoulielewekakuwanakusudilakuletauzimawamilele.Wenginewanauitawokovuwarohobadalayawokovukamili.WalifundishakwambaWakristowanapaswakumtumikiaMungunamajirani,lakinihawakukazaumuhimuwakumfuataYesukatikamaishayakilasikunaushirikianonaWakristowenzao.WanafunziwachachewaUlrichZwingli,wakiwemoConradGrebel,FelizManz,naGeorgeBlaurock,waliishimjiwaZurich,Uswisi,nawalikutanakilawakatikwakuisomaBiblia.Wakatihuohuo,wenginekatikanchizaUjerumaniwaKusininaMoravia,kamaHansHut,HansDenk,PilgramMarpeck,naJakobHutterwalikuwawanatafutamafundishoyaBibliakuhusumaswaliyawokovu.BaadayeakatokeaMennoSimons,aliyekuwaametokakatikaukuhaniwaKirumi,nayeakafundishanakukusanyavikundivyawaaminiwaliotokeanchiyaUholanzi.HaowanafunziwaBibliawaliendeleakusomajuuyaYesunawanafunziwake.NenokuukwawengililikuwaWaebrania12:2,“TumtazameYesualiyeanzishanaanayekamilishaimaniyetu.”NenokuukwaMennoSimonslilikuwa1Wakorintho3:11,“Kwamaanahakunamtuanayewezakuwekamsingimwingineisipokuwauleuliokwishajengwa,ambaoniYesuKristo.”Pamojanamanenohayo,walionakwambamwenendowakikristojinsiunavyoelezwakatikaHotubayaYesuMlimani(Matayo5-7)nimaishayakawaidakwaMkristo,anayeishikwauwezowaRohoMtakatifu.

Page 6: Imani ya Waanabatisti - assets.mennonites.org · ki-maadili, na ki-mahusiano, na ki-uchumi. Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni ishara

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 5

WakristowakwanzawaKi-AnabatistiwalikubaliImaniyaMitumenamengikatikamahubiriyaLuthernaZwingli,lakiniwalidaikwambamafundishoyaoyanapunguaimaniyakibiblia.Kwafundishola“kuhesabiwahakikwaimani”(Warumi5:1)waliongeza“kuzaliwamarayapili”(Yohana3:3).WalikubalikwambawokovunikwaneemayaMungu,lakiniwalikazaumuhimuwautiikwaupandewawaamini.WalisisitizakwambawokovukupitiaYesunakwanguvuyaRohoMtakatifu,lazimautabadilishamaishayamtu,ki-maadili,naki-mahusiano,naki-uchumi.Ubatizowawatuwazimaulielewekakuwaniisharayawokovuhuunakuonyeshakwambamaishayamtuyamebadilishwa.KamaungaliulizahaoWakristoWaanabatistiwakwanza,wangalijiunganawanafunzawakwanzawaYesukwakusema,“Yesundiyekiinichaimaniyetu!”Je,nenohililatuhususisileokwavipi?Wakristowaki-AnabatistiwanaelewaYesunikiinichaimaniyaokwanjiahizitatu:

1.TunamfuataYesukatikamaishayetuyakilasikuUkristoninini?NikujisikiakuwanikaribunaMungu,aukukubalimafundishofulani,aukuhesabiwahakimbeleyaMungu?Hayoyotenisawa,lakinizaidiyahayo,maanayakuwaMkristonikumfuataYesukatikamaishayakilasiku.WakristowaKi-Anabatistiwanasemakuwa,“UkristoniUanafunzi!”NenolakijerumaniniNachfolgeChristiau“kumfuataKristo.”KatiyaWaanabatistiwakwanzaalikuwaniHansDenk,aliyesema,“MtuhawezikumjuaKristokweliisipokuwaanamfuatakatikamaishayakeyakilasiku;namtuhawezikumfuataKristokatikamaishayakeyakilasikuisipokuwaanamjuakweli.”MaanayawokovukwadesturiyaWaanabatistinikubadilishwakutokamaishayazamanihatakwamaishayanayoonyeshanianamatendoyaYesu.WokovusibadilikotukatikajinsiMunguanavyotuona.PianibadilikokatikanianamatendoyetumbeleyaMungu,nakwawatu,nambeleyadunia.BadilikohilolinawezeshwanaRohoMtakatifuanayekaandaniyetu,naanayewezeshawanafunzikumfuataYesuskatikamaishayaoyakilasiku.Wakristowengihatabaadayakupokeawokovuwanaendeleakudhanikwambawapaswakufanyadhambinawanashindwakuishikatikaushindinamaishamapya.Wenginewanasema,“Maishayangusitofauti,nimesamehewatu.”LakiniWakristowaki-Anabatistihawakubali.WanaaminiyakwambamafundishonaRohowaYesuanawawezeshakubadilishwanakushindanguvuzamaovu.WametiwamoyokumfuataYesukatikamamboyoteyamaishayaoyakilasiku.

2.TunafafanuaBibliakwakuwekaKristokwanzaWakristowengiwanasomaBibliawakionamamlakayasehemuzotenisawa.YaanikwamfanomanenoyaMungukwaMusakatikaAganolaKaleyanabebamamlakakwetusawanamanenoyaYesukatikaAganoJipya.Kamamtuanatafutaukwelikuhusumamboyakisiasaaukijamiikamavitaauadhabuyakifo,anayeaminiusawawaBibliaatasomaAganolaKalenakufuatamafundishoyake,hatakamaYesusalifundishamengine.

Page 7: Imani ya Waanabatisti - assets.mennonites.org · ki-maadili, na ki-mahusiano, na ki-uchumi. Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni ishara

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 6

WakristowenginewanafafanuaBibliawakiaminikwambaMungualijifunuakwanjiatofautikatikavipindimbalimbali.IliwawezekuelewamapenziyaMungu,inawabidikwanzakujuanikatikakipindiganinenohilolilitamka.Hivyo,wanaaminikuwamafundishoyaYesualivyofundishakatikaHotubaMlimani(Matayo5-7)nikwakipindichabaadayekatikaUfalmewaKristoatakaporudiduniani.Nakwawakatihuu,wanaaminikuwaYesuhupokeasifanaibadayetu,lakinisiutiiwetu.Wakristowaki-AnabatistiwanafafanuaBibliayotekwakuwekaKristokwanza.YesuniufunuokamiliwaMunguyamapenziyakeMungu,kwahiyowakatimwinginemafundishoyaYesuyanazidimafundishomengineyaliyotangulia.Yesumwenyewealisema,“Mmesikiawatuwakalewalivyoambiwa,…balimiminawaambieni…”(Mathayo5:21,27,31,38,43).Vivyohivyo,mwandishiwaWarakakwaWaebraniaaliandika,“Mungu,ambayeamesemazamaninababazetukatikamanabiikwasehemunyinginakwanjianyingi,mwishowasikuhiziamesemanasisikatikaMwana,….Yeyekwakuwanimng’aowautukufuwakenachapayanafsiyake….”(Waebrania1:1-3).MmishenariPeterKehleralisema,“KamaBibliainanionyeshaYesuKristotu,imenitosha!”Wakristowaki-AnabatistiwanakubaliyakwambaMaandikoyoteyanatokakwaMungu,lakinihawafuatimanenoyotekamanimaagizotu.Biblianinenolamaandishi,napiakunaRohowaYesu,natunahesabuyotekuwanamamlaka.TunafafanuaBibliakupitiaRohowaYesu.WanafunziwaYesuwanakoseaikiwawanainuanenolamaandishijuuyaRoho,auwakiinuaRohojuuyanenolamaandishi.NenonaRoholazimakushikamana.Kwahiyo,Wakristowaniayaki-AnabatistiwanaelewaMaandikokwambayanatoamaarifakuhusuMungu,lakiniwanamwelewaYesukamamamlakayamwishokuhusuimaninamaisha.YesuniBwanawaMaandikonakielelezochamaadiliyamtubinafsinayakijamii.MaandishiyotemenginehayanamamlakaisipokuwayanalingananamafundishoyaYesunaRohowaYesu.Kwahiyo,kamaMkristowaniayaki-Anabatistiatakabiliwanaswalikuhusumamboyamwenendobora,watatafutamwongozokwanzakatikamafundishoyaYesu,ndipowatasomamaandikomengineilikuelewazaidi.NaikiwasehemumbilizaBibliazinaonekanakufundishatofauti,watawekanenolaYesumbele.

3.TunamkubaliYesukuwaMwokozipamojanaBwanawetuWakristowengiwanamkubaliYesukuwaniMwokoziwaobinafsikutokadhambi,lakinihawaoniumuhimuwakumfuatakatikamaishayaoyakilasiku.WanamtazamiaYesukuwaokoakutokakatikamazoeayaomabaya,lakiniwakatiwanapokabiliwanamatatizoyakijamiiaukisiasa,wanatiimwajiriwao,aubalozi,aumkuuwajeshi,aurais.KwahiyoWakristowengileowanatiiamrizaviongoziwakiduniakulikoamrializotoaYesu.Wakristowaniayaki-AnabatistiwanaaminikwambatunapaswakutiiserikalikiasiinavyolingananamafundishoyaYesu.Kusudilaserikalinikutunzauhainataratibukatikadunia.Lakinisikamatunatiisheriazotezaserikali.Utiiwetuwakwanzanikwa

Page 8: Imani ya Waanabatisti - assets.mennonites.org · ki-maadili, na ki-mahusiano, na ki-uchumi. Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni ishara

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 7

YesunakwaufalmewaMungu,kwahiyoinawezekanatutapaswakutotiisheriaikiwanikinyumechamafundishonaniayaYesu.IkiwamagonganokatiyanjiayaYesunanjiazaKaisari,tunaungajibulawanafunziwakwanza,“ImetupasakumtiiMungukulikowanadamu”(Matendo5:29).Kwahiyo,Wakristowenyeniayaki-Anabatistiniwatuwaimaniwanaotafuta:1. KumfuataYesukatikamaishayaoyakilasiku.2. KufafanuaBibliakatikaRohowaYesu.3. KumtiiYesuKristojuuyamamlakanyinginezote.

YesuKristondiyekiinichaimaniyao.Je,weweniMkristowaki-Anabatisti?

Kanuniya2.JamiinikiinichamaishayetuMwanzowakaziyakeYesualiundajamiiyawanafunzi.AlimkaribishaPetronaAndreahalafuYakobonaYohanakujiunganaye.Baadayasimudamrefuwalikuwawengiwaliomfuatanakatiyahaoaliwachaguawanafunzi12(Marko3:13-19).Wakajifunza,walikula,walisafari,nakuhudumiapamojahadihaposikuyaPentekostewalikuwakiinichajamiimpyaiitwayokanisa.KatikaMatendo2waaminiwakwanzawalikutanasikukwasiku,sikatikahekalutu,balipia“wakimegamkatenyumbakwanyumba,nakushirikichakulachaokwafurahanakwamoyomweupe,wakimsifuMungu,nakuwapendezawatuwote”(Matendo2:46).KanisakatikaAganoJipyalilionyeshamaishayaliyokuwatofautinadesturizakidininakisiasazasikuhizo.Maishahayotofautiwaliyafundishanakuyafurahiakatikaeneolahekalu,piakatikavikundivyaonyumbani.Yesualielezahaliyakanisakwakutumiamfanowajamaa.HivyoilikuwawazikwambaYesualitakawanafunziwasimwaminitu,balikushirikianakatikahaliyaundugukamakatikajamaamoja.WatuwalipotazamajinsiMungualivyowafanyiakatikamakundihayonakupitiamakundihayo,wakashangaa.Wanafunziwalikuwanakarama,nania,naujasirikuendelezakaziyaYesualivyofanyaalipokuwanaokimwili.KamaungaliwaulizahaowanafunziwakwanzawaYesu,wangalikujibu,Jamiiyakikristonikiinichamaishayetu!LakinimfalmeKonstantinobadalayakukazahaliyakanisainayofanananajamaayandugunadadawaliokutananakusomaBiblia,alikazakwambakanisanikundilinalokutanakatikamakanisamakubwa.Watajiriambaowalikuwawamepingamaishayawokovu,sasawalikuwatayarikujiunganakanisalililohusikanamfalme.WatuwengiwalibatizwahatawasiokuwawanamfuataYesukweli.Kufuatananahalihiyo,badalayakanisaduniani,ile“dunia”iliingiandaniyakanisa.Kwamsaadawamamayakenakutiwamoyonaye,KonstantinoalianzakujengamakanisamakubwahukoRuminapiamahalialipozaliwanaalipokufaYesu.Haikuchukuamuda

Page 9: Imani ya Waanabatisti - assets.mennonites.org · ki-maadili, na ki-mahusiano, na ki-uchumi. Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni ishara

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 8

mrefumakanisayalijengwakatikakaribukilamji.Badalayakusema,“jamiiyakikristonikiinichamaishayetu,”Wakristowalianzakusema,“jengolakanisanikiinichamjiwetu.”MtheologiaAgostinoalijitahidikuwamtiifukatikamaishayakeyabinafsi,katiyawatuwaliohesabukwambawatuwoteniWakristo.YeyenawanafunziwakewalionakwambahaiwezekanikutofautishawalewaliojiunganamwiliwaKristonawenginewasiojiunga.Alisema,“lazimanganonamagugukukomaapamoja.”BadalayakutambuaKristokatikajamiiyawaaminio,AgostinoalikazakuwatunatambuaMungukatikamatendoyaibada.Imaniiliyotokeanikwambamsamahawadhambiyaasilihupatikanakatikaubatizo.Namsamahawadhambizakilasikuhupatikanakatikamisa(MezayaBwana).Karnezilizofuatailitokeaimanikatikapurgatory,nakwambamtuatawezakutokakatikapurgatorymapemakwanjiayakuombeawatakatifu,nakutoasadakakwamaskini,nakununuamsamahakutokakwapapa.Kufuatananahayo,imaniyakwambaWakristowameunganishwanaKristonapiakwaWakristowenzao,ilianzakupotea.WaliotakakumfuatanakumtiiYesunakujiunganajamiiyakikristowaliamuakuwawatawanawalikaakatikanyumbawakitengwanawatuwakawaida.IlianzakuonekanakwambahaiwezekanimtuwakawaidakumfuataYesukatikamaishayakilasikunakuishikatikajamiiyakikristo.MartinLuthernawatengenezajiwenginewalitakamwanzonikutengenezakanisakwakufuatamafundishoyaBiblia.WakajitenganakanisalaRuminakatikamahubiriyaowalikazaukuhaniyawaaminiowote.IlawengiwaliowafuataLuthernaZwingliwalikuwawakulimawaliotakakujiwekahurunautawalawamabwananawatawalawaliowatesawawakatiule.Wakulimawenginewalianzakushikasilahailikuwashindawakubwahao,naLuthernaZwingliwalitakakulindausalamanawakateteawakubwawaserikali.Nakwanjiahiyo,bilakutaka,walianzishamapatanomapyakatiyakanisanaserikali.Kwanjiiahiyo,walikwazawakulimawengiwasiwaamini.IlitokeaVitayaWakulimanahivyoLuthernaZwinglihawakufaulukutekelezamatengenezomakuujinsiwalivyotaka.WakaendeleakufuatataratibuzaKonstantinonatheologiayaAgostino,wakakubalikanisaliwekanisalaserikali.Ubatizowawatotowachangaulikuwamlangowakuingiakatikaushirikawakanisa,upangawaserikaliulitumiwakamachombochakutunzataratibu,nawalionakwambasehemuzotezaBiblia,yaaniAganolaKalenaAganoJipya,zinafafanuamapenziyaMungukwausawa.Waanabatistiwakwanza,naMennoSimonsnaye,walisikitikiajinsiMatengenezohayakutimilika.HawakutakakulirudishakanisakwataratibuziletuzilizoanzishwanaKonstantinonaAgostino.WalitakakulirudishakanisakwahaliyakelilivyokuwakatikaAganoJipya.Waliaminikwambainapasakanisakuwatofautinakutengwanataratibuzadunia.Kwasababuyamateso,ilibidiWaanabatistiwakwanzakukutanakwasiriilikusomaBiblia,kushirikiana,nakwamaombinaibada.Katikanyumbazaonakatikamahalipa

Page 10: Imani ya Waanabatisti - assets.mennonites.org · ki-maadili, na ki-mahusiano, na ki-uchumi. Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni ishara

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 9

kujifichamaranyingiwalimpokeaKristokatiyao.WalioanzakumwaminiYesuKristonawakaahidikumfuatakatikamaishayakilasiku,wakabatizwanakupokelewakatikakundilawaaminikamamshirikipamojanao.Vikundihivyowalitoaushuhudawanguvukatikamikoayao.MsomikutokanchiyaJapan,MchungajiTakashiYamada,alisomamaandikoyawasomiwengine62waliochunguzamwanzowaWaanabatisti.Akatambuakwamba“katikakanisalaasilipiakatiyaWaanabatistiwakwanza,jambolakipekeenikwambawalikutanakatikavikundiwalipozeakuonyananakutiananguvunahivyokuwawezeshakushuhudiambeleyadunia.”Wakristowaki-Anabatistiwalizoeakutajanguvuyakuishimaishayaliyotofautinataratibuzadunia.Walidai“maishamatakatifu”kutokakwawashirikiwotewenzao,nahasakutokakwaviongozi.WalielezakwambaMkristomwaminifuniyuleanayeishikwauongozinataratibuzaRohoMtakatifu,walasiyuleambayeamesamehewadhambizaketu.NawalioachakumfuataYesukatikamaishayaoyakilasikuaukuendeleakwanamnaisiyofuatanamnayaki-KristowakatengwanamwiliwaKristo.WaanabatistiwaliaminikuwakanisaniwaaminiwaliobadilishwanawaliokuwawamejitoakwaYesunawameahidikutembeapamojakatikaushirikano.Lakinimakanisamengine,yaki-Protestantipamojanaki-Katoliki,wakaonahayokuwanitishiokwamakanisayao.KwahiyowakawafunganakuwatesaWaanabatistiwengi.Waliokufakwakuzamishwamajini,aukukatwakichwa,aukuchomwamotonikwaajiliyaimaniyao,walizidi4,000.KatiyaWaanabatistiwakwanzazilikuweponatofautinyingi.Wenginewalikazazaidimamboyamwishowadunia.Wenginewalianzakuvuruganakutumianguvuzakidunia.Kwamfano,katikamjiwaMunster,Ujerumani,kundimojalilichaguawazee12nakuwawekabadalahalmashauriyamjinawakajitangazakuwaIsraeliMpya.Naowalianzakuongezawakenakushikasilahazaserikalikujilinda.MatendoyakundihililapembeniyaliharibusifazaWakristowaki-Anabatistinaki-Menno,nakunawenginewanaoaminisifahizombayahataleo.KwaimaniyaoyakwambaniwatuwaYesu,najinsiwalivyosaidiana,Waanabatistiwakwanzawalipatauwezowakuwawaaminifukatikaduniailiyowapinga.Kamaungaliwauliza,naaminiwangalikujibupamojanawanafunziwakwanzawaYesu,“KiinichamaishayetunijamiiambayoimewekaKristokwanza.”Katikaduniayaleo,sisiWakristowaki-Anabatistiwanaelewakwambajamiinikiinichamaishayetukwanjiahizitatu:

1.MsamahanilazimakatikajamiiYesualikujailituwenauzimanatuwenaotele.Akaombakwanguvukwamba,jinsiyeyenimmojanaBabayake,vivyonasisituwenaumojakatiyetu.Kwahiyo,ikiwasisimwili

Page 11: Imani ya Waanabatisti - assets.mennonites.org · ki-maadili, na ki-mahusiano, na ki-uchumi. Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni ishara

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 10

waKristotunakubalikuombeanamsamaha,tunajengaumojawakaribupamojanafaidazake.TobanamsamahazinaondoavizuizivinavyozuiaushirikianowetunaMungunakatimwetu.Wakristowaki-Anabatistiwanaaminikwambamsamahanilazimailikujenganakutunzaushirikiano.Tatizolakimsingikatiyawanadamusikukosapesa,kukosaelimu,walakukosauwezo.Tatizolakimsinginikwambatunakoseana.Tangumwanzosisibinadamu,tukiwabinafsiaukatikavikundi,tumemkoseaMungunawenzetukatikamawazonamatendoyetu.MatokeonikuvunjamahusianonaMungu,nawenzetu,hatanarohoyetundaniyetu,naulimwengumzima.Upatanishohuwezekanaiwapoupandemmojahutubukwelinakuombamsamaha.Lakinikwabahatimbayakatikaduniapasiponiayakikristomwanadamuhujaribukusahaubilamsamaha.Maranyingitunakataamatendoyetunakujiteteabadalayakutubukwelinakusamehe.

2.BibliahufafanuliwakatikajamiiWakristowengiwanaposomanakuchunguzaBibliabaadayewanatangazayalewaliyoelewawenyewekamaniukwelikamili.Nahuwakamamtuanategemeatuufafanuziwakebinafsiananzakuelewanakuelezamamboyamakosanayakubabaisha.Wakristowenginewanaaminikwambaniwachungaji,namakuhani,nawalimutuwanaowezakuelewanakuelezaMaandikokwaukweli.KwahiyowenginewanaachakusomaBiblianakutafutamaanayake.Wakristowaniayaki-AnabatistihuaminikwambailikufafanuaBibliavizuri,inambidikilamtubinafsikusomaMaandikohalafukushaurianakatikakundilawaamini.NahayoyotekwauongoziwaRohoMtakatifu.Nikawaidatukijikusanyakatikavikundi,madarasa,namikutanonatukiongozwanaRohowaKristo,tunawezakujuamaanayaMaandikonakutatuamaswaliyanayotukabili.

3.JamiinikukutanausokwausoKanisalinafanananandegeyenyemabawamawili.Bawamojanijamiikubwalikiabudu,tunakazauhusianowetunaMunguMtakatifuanayezidiakilizetu.Bawalapilinivikundividogotunapokazauhusianowetuwakaribunausokwauso.Ndegekurukahuhitajimabawayotemawili.Mahusianoyamaanahuwanikatikavikundividogovyawatuwasiozidi12.Tumeonahayowakatitukikutanakwakushauriana,aukutambuavipawavyetuvyahuduma,autukijikusanyakwakushirikianatu.Makanisayenyeuzimahuwekataratibuzakuwezeshaushirikiano.Maranyinginiushirikawavikundi.Wenginewanasisitizakwambavikundiniasiliyakanisa.

Page 12: Imani ya Waanabatisti - assets.mennonites.org · ki-maadili, na ki-mahusiano, na ki-uchumi. Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni ishara

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 11

Kujumlisha,Wakristowaniayaki-Anabatistiwanazoeajamiiyakikristokamakiinichamaishayao.Wanaonakwamba:1. Msamahanilazimakwaushirikiano.2. MaongezinakushauriananilazimakatikakufafanuaMaandiko.3. Vikundividogovikikutanausokwausonijambolakimsingikatikauzimawakanisa.

KumwaminiYesu,kushirikikatikakanisa,nakutendamatendomapyahujengajamiiyakikristo.Je,weweniMkristowaniayaki-Anabatisti?

Kanuniya3.UpatanishonikiinichakaziyetuMungualitumamwanaye,Yesu,iliafumbuetatizoladhambi.YesualikujakutupatanishanaMungunapiakutupatanishanawenzetu.Yesualionahaliyakuvunjikanaudhalimuzaainazote.Naaliandaanakufundishawanafunziwawemashahidiwakenakuletaupatanisho.YesualielezahatuazakupatanakatikaushirikawaimanikatikaMatayo18:15-20.Mtunawatuwaliokwazwawakutanekwanzamojamojakwakutafutaupatanishokatikatatizolinalowakwaza.Ikiwahatuahiiinashindikanahatuanyinginenikuhusishawashirikiwenginekatikakutafutaamani.KatikaHotubaMlimani,YesualifundishawanafunziwakekwambaamaninahakikatiyawatuhutokananakutafutakwanzaufalmewaMungu,nakutubumakosa,nakuwafanyiawenginekamasisiwenyewetunatakakufanyiwa.Yesualisema,“Msiwapendetuwanaowapenda.Hatawatuwamataifawanafanyahivyo.Wapendeniaduizenu,waombeeniwanaowaudhi”(Matayo5:43-48).Yesuhakusemabure,alisemakwaajiliyetu.KumfuataYesunikutendamatendomapya.Mwishowamaishayakeduniani,Yesualisema,“KamaBabaalivyonitumamimi,miminaminawapelekaninyi”(Yohana20:21).“Basi,enendeni,mkawafanyemataifayotekuwawanafunzi,mkiwabatizakwajinalaBaba,naMwana,naRohoMtakatifu;nakuwafundishakuyashikayoteniliyowaamuruninyi”(Matayo28:18-20).Baadayewanafunziwakwanzawalitokanakueneakatikaduniayoteiliyojulikanakwawakatiule.Walihubirinakufundisha,nakuishikwanjiampyailiwatuwotewapatekupatanishwanaMungunawatuwenzao.ChangamotokubwailiyowakabiliWakristowakwanzailikuwamigogoroyakikabila,nakidini,nakimilakatiyaWayahudinaMataifa.NamitumewalipoonajinsiwatuwadesturimbalimbaliwaljazwaRohoMtakatifunakupatanishwakatikajamaayaMungu,walikubaliyakwambanikupitiaimanikatikaKristotu,walasisherianataratibuzadini,watuwadesturimbalimbaliwanawezakuwamwilimmojanakuishikwaamani.

Page 13: Imani ya Waanabatisti - assets.mennonites.org · ki-maadili, na ki-mahusiano, na ki-uchumi. Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni ishara

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 12

KarnezakwanzabaadayaYesu,waliomfuataYesuwalikataakushikasilahazakijeshinakuiingiakatikavita.Walielewakwambawalikuwawamepewaamriyakuwapendaaduizao,walasikuwaua.“LakinivyotepiavyatokananaMungu,aliyetupatanishasisinanafsiyakekwaKristo,nayealitupahudumayaupatanisho,”alisemaPaulokatika2Wakorintho5:18.UngaliwaulizaWakristowakwanza,naaminiwangalijibu,“KupatanishawatukwaMungunakwabinadamuwenzaonikiinichakaziyetu!”Konstantinoalipoanzakuunganishakanisanaserikali,mabadilikomakuuyalitokeakatikakanisa.Yesualisema,“Ufalmewangusiowaulimwenguhuu”(Yohana18:36),lakiniKonstantinoalikuwanimfalme.Baadayamudakupita,ufalmewahiarialipotawalaYesu,yaanikanisa,ulianzakufanananaufalmealipotawalakaisari.ImaniyaWakristowakwanzawaliokuwawameshikakwanguvuilidhoofika.Katikakanisawalikuwapowatajirinawenginewalizidikuwamaskini.Wakristowalianzakutesawenzao.Waliokuwawatukuteteaamanisasawaliingiavitani.Badalayakutumianguvuzaokwauinjilisti,upatanisho,nakuwahudumiawengine,walitumiakiasikikubwachamaliyaokwakujengamakanisamakuukatikakilamkoawaUlaya.Kujengamakanisamakuuulikuwakiinichakaziyao.Agostinoalijitahidisanakuhusudhambizakibinafsikamaulevi,tamaa,michezowakamari,nauasherati.Lakinimafundishonamatendoyakekuhusuamaninahakiyalikuwadhaifukwasababukanisaliliunganishwanaserikaliyadola.Badalayakutafutakupatanishwanaadui,Agostinoalipatakuaminikwambaimaniyakikristoyahitajikujilindanaadui.Alifundishakwambakuna“vitayahaki”inayowaruhusuWakristokuingiakatikavitanakutumianguvu,ilikulindahaki.MawazohayokuhusuvitayanashikwanaWakristowengihataleo.Luther,Zwingli,naCalvinwalifanyamengimazuri.Lutheraliundampangowa“mfukowajamii,”naCalvinalijaribukuwekataratibuzakikristokatikamaisha.Lakini,kamaAgostino,walikazamsamahawakibinafsi,nakutiikwaAmri10zaMungu,lakinimafundishonamwenendoyalikuwadhaifu,juuyaneemainayobadilishamaisha,nauinjilisti,naupatanisho.Wakristowakwanzawaki-AnabatistichiniyauongoziwaMennoSimonsnawenginewalijitahidikuelewanakufundishanamnayakuishikamamwiliwaKristoduniani.WaliaminikwambawafuasiwaYesuwanawezakufanananaYesunakutendakamaYesualivyotenda,kwakaziyaRohoMtakatifu,nakwakuahidianakujiungapamoja.Waanabatistiwakwanzawalikutanakatikanyumbazaonakatikavikundi.HapowalitambuauwepowaRohoMtakatifu.WalichunguzaMaandikokamamsingiwamaishayaonakushaurianajinsiyakuishikikristo.WaanabatistiwalionaMaandikokuwani“silaha”yaopekee.Katikamafundishoyaowalikazaushirikianokiuchumi,wawenaamaninaMungu,naamanikatiyao,naamaninamaaduiyao.

Page 14: Imani ya Waanabatisti - assets.mennonites.org · ki-maadili, na ki-mahusiano, na ki-uchumi. Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni ishara

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 13

KutokeakwaWaanabatistikunawezakuelewekakuwaniuamshowakirohowawakatiwaMatengenezo.ViongoziwaowalifundishakuhusunguvuzaRohoMtakatifukulikowatengenezajiwengine.WaliaminikwambaniRohoMtakatifuanayewawezeshakwamaishayakumfuataYesu,nakufanyauinjilisti,nakwahudumayaupatanisho,nakuishimaishayakiroho.Waanabatistipiawalikuwawainjilistihodariwakarnela16.ViongoziwaowalidumukatikakutembeleasehemuzotezaUlayawakijaribukupatanishawatukwaMungunakwawenzao.MaelfuyawatuwaliingiakatikauhusianonaYesunawakajiunganashirikazaki-Anabatisti.ShirikahizozilitokeanakueneakatikasehemunyingizaUlaya.Pamojanahayo,Waanabatistiwalisaidiakuendelezahakikatikajamii.Vikundivingivyaki-Anabatistivilijulikanakwaajiliyajinsiwalivyoshirikianakiuchuminapiakwajinsiwalivyotafutakuletahakikwawatuwote.Wakulimawengiwalikuwawanaupingautawalamkaliwamabwanawao,naviongozinawaaminiwaki-Anabatistiwalijaribukuletamatatizohayombeleyawatawala.Katikavikundivyaowaliundajamiiiliyokuwabadalayajamiiyadolaauyamabwana.WalionahaiwezekanimtuanayemfuataYesukwelinaaliyebadilishwanaRohowaMungunakubatizwakatikamwilimmojawaKristo,kunyimamalinavifaayakekwanduguanayeishikatikashida.JinsiwalivyoelewaMaandikonajinsiwalivyoahidianakumfuataYesukatikamaishayakilasiku,Wakristowaki-Anabatistiwaliaminikwambakushirikikatikavitanikosa.Sawanawanafunziwakwanza,walikataakujiunganajeshihatakamaWaturukiwaki-IslamuwalikuwawanavamiaUlaya.Badalayakupiganajuuyamaadui,WaanabatistiwalikubalikuufuatamfanowaYesu,ambaye“alipotukanywa,hakurudishamatukano;alipoteswa,hakuogofya”(1Petro2:23).Ungaliwauliza,naaminiMennoSimonsnaviongoziwenginewaWakristowaki-Anabatistiwangalijiunganawanafunziwakwanzakwakusema,“KupatanishawatukwaMungunakwawenzaonikiinichakaziyetu!”Wakristowenyeniayaki-Anabatistiwanaaminikwambaupatanishonikiinichakaziyetukwanjiahizitatu:

1.TusaidiewatukupatananaMunguSawanaMungualivyochukuahatuakutupatanishanayekatikaYesuKristo,napiakwabinadamuwenzetu,ndivyoanavyotupelekasisikuchukuahatuakuletaupatanishohuokatikaYerusalemu,naYudea,naSamaria,nahatamwishowanchi.Munguametuwekeahudumayaupatanisho.Wakristowaleowenyeniayaki-Anabatistihutumwakuwafanyawatukuwawanafunzi,nakuwabatiza,nakuwafundishamamboyoteYesukwajinsialivyoishinakufundisha.WanatakawenginepiawamwaminiYesu,nakujiunganajamiiyakikristo,nakutendamatendomapya.

Page 15: Imani ya Waanabatisti - assets.mennonites.org · ki-maadili, na ki-mahusiano, na ki-uchumi. Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni ishara

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 14

Kuzaliwatenani“mtukujitoamaishayakekwakiasianavyoweza,kwaYesuKristokwakiasianavyomwelewa.”Hapoatapewamaishamapya.AtapewaniampyanaRohoMtakatifuatamwezeshakuishikufuatanananiahiyompya.KamamtuakipatanishwanaMungunamaishayakepiahubadilika.AnayemkubaliYesu,anabadilishwamawazoyake,pamojanaurafikiwakenamatendoyake.Atabadilikanakuwamtumpyakiakili,nakimoyo,nakimwili,nakijamii,nakisiasa.Nahivyowamekuwatofautisananadunia.

2.TusaidiewatukupatananawenzaoKiinichakaziyetunikuwapatanishawatukwaMungu,lakinipiakwabinadamuwenzao.Nahuendatutahitajikutafutachanzochamigogoronakuwasaidiawanaohusikakupatana.Upatanishounahitajikusikilizana,kutubukweli,kusamehebilaubinafsi,nakurudishakilichoondolewakwakiasikinachowezekana.MsamahahuondoakutazavikwazozinazotutenganaMungu,napiazinazotutenganawaaminiwenzetu.TunawezakushirikianaMezayaBwanakwasababuyamsamahatuliopokeakutokakwaMungunakutokakwawenzetu.SisiWakristoinatubidituwebarakakwawatuwotebilakujaliwalipotoka,kamaniwanaumeauwanawake,auimaniyao.Tunapokutananamigogorokatiyawatuauvikundi,inatubidituwena“niayaupatanisho”badalayahukumu.Lakinihatuwezikuongozawenginekamasisiwenyewehatutangulii.Tukiwashauriwenginekupatanishwanakubadilishwa,inatubidisisipiakubadilishwa.

3.TuwewajumbewaupatanishokatikaduniayetuUpatanishohuunganishauinjilistinausuluhisho.Wakristowenginewanasemakwambauinjilistinikiinichakaziyetu,nawenginewanasemaniusuluhisho,lakinitunaaminikwamba“upatanishonikiinichakaziyetu!”MakusudiyaMunguni“kuvipatanishavituvyotenanafsiyake”(Wakolosai1:20).Wakristowaki-Anabatistileowanakataakuingiavitanikwasababuwanaelewawokovuhuletamabadilikoyamaisha.Katikavitavyasikuhizi,wanajeshihujifunzauongo,nachuki,nauuaji.Watuwaliobadilikahawawezikujiunganahayo.Kuletaamanisikutulizamgogorotu.SisikamawanafunziwaYesutuliobadilika,tunapaswa“kupigavita”kwanguvuzotejuuyauovunaudhalimukulikowengine,ila“vita”vyetunitofauti.TunajiunganaMtumePauloalivyosema,“ingawatunaenendakatikamwili,hatufanyivitakwajinsiyamwili.Maanasilahazavitavyetusizamwili”(2Wakorintho10:3-4).Historianahaliyabinadamuhutuonyeshakwambaukatilihuzidishaukatili.Njiayapunguzaukatilinakufuatataratibuzaamaninakurekebishamamboyaudhalimuyaliyousababishaukatilihuo.Katikanyakatizotenakatikahalizotetunapaswakuiga

Page 16: Imani ya Waanabatisti - assets.mennonites.org · ki-maadili, na ki-mahusiano, na ki-uchumi. Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni ishara

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 15

mfanonaniayaYesu.Yesualitumiamanenoyaupendonaamani,badalayabundukinamabomu,nahivyoaliwezakuwasuluhishanakuwavutakuingiakatikajamaayaMungu.Niayetuiwe“iyohiyo…ambayoilikuwamopiandaniyaKristoYesu”(Wafilipi2:5).Suluhishonikazingumu.InatubidikutoamaishayetuiliwatuwaduniayetuwapatanishwenaMungu,nawaokwawao,hatanamaadui.LakinihakunafurahakubwakulikokuishimaishayaamaninakuongozawenginekatikamahusianoyaamanikwaMungunakwawenzao.Kujumlisha,Wakristowaniayaki-Anabatistihuaminikwambawameitwakwa:1. KupatanishawatunaMungu.2. Kupatanishawatukwabinadamuwenzao.3. Kuwawajumbewaupatanishokatikaduniayetu.

Upatanishonikiinichakaziyao.Je,weweniMkristowaki-Anabatisti?

NenolamwishoJe,tunaonajejinsiWanabatistiwanavyelewaimaniyakikristo?Mfanowaounatufundishanini?Zaidiyamiakamiamojailiyopita,ProfessorRufusJonesalisisitizakwamba“kanunikuuzanchizetu,kamauhuruwaimani,nakutengakanisanaserikali,nahiariyadini,ambayonimisingiyademokrasi,zatokakatikaimaniyaWaanabatistikatikakipindiyaMatengenezo.Haoviongoziwalielezakanunihizokwaujasirinawaliitamakanisakuwafuatakwamatendoyao.”Maelezoyafuatayo,je,yanaelezajinsiunavyoelewaimaniyakikristo?Kamandivyo,weweniMkristowaniayaki-Anabatisti!

Yesunikiinichaimaniyangu._ NamtazamaYesu,mwenyekuanzishanamwenyekutimizaimaniyangu._ NafafanuaMaandikokwakuwekaKristokwanza._ NakubaliukristowakwelinikumfuataYesukatikamaishayakilasiku.

Jamiinikiinichamaishayangu._ Naaminikuwamsamahanimsingiwaushirikiano._ NinasomaMaandikopamojanawengineilikuelewajinsiyanavyotuhusuleo._ Nakubalikwambavikunditunapokutanausokwausonilazimakatikakanisahai.

Upatanishonikiinichakaziyangu._ NimeitwakupatanishawatukwaMungukwanjiayakumwaminiYesu._ Naaminikwambaupatanishoniuinjilistipamojanausuluhisho.

Page 17: Imani ya Waanabatisti - assets.mennonites.org · ki-maadili, na ki-mahusiano, na ki-uchumi. Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni ishara

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 16

_ Nakataanamnazotezaudhalimunaukatili,natafutanjiazaamanibadalayavitanamashindanomengine.

Page 18: Imani ya Waanabatisti - assets.mennonites.org · ki-maadili, na ki-mahusiano, na ki-uchumi. Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni ishara

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 17

MaelezonaMaswalikwaMajadilianoKanuniya1.Yesunikiinichaimaniyetu

TumtazameYesu,mwenyekuanzishanamwenyekutimizaimaniyetu.(Waebrania12:2)

Wakristowengiwanakaza: WaAnabatistiwaongeza:1.KifochaYesuWakristowengiwanatianguvuhasajuuyautakatifuwaMungunahajayetuyawokovuwakibinafsi.Wanakazakwamba“Yesualikujailiafe”nahawakazisanamaisha,namfundisho,nanguvuzaRohowaYesu.Wanaonaukristohalisinimsamaha.

1.MaishayaYesuWakristowaki-AnabatistiwanakubaliutakatifunaneemayamsamahayaMungu,lakiniwanakazapia“Yesualikujailiaishi.”Kifochakeilisababishwakwasehemunajinsialivyoishi.YesuBwanaaliyefufukaanatuwezeshakumfuatakatikamaisha.UkristohalisinikumfuataYesu.

Je,unakubalikwamba“UkristohalisinikumfuataYesu”?

2.KufafanuaBibliasehemuzotesawaWakristowengiwanaangaliaMaandiko,badalayaYesu,kuwanimamlakayaoyamwisho.WanatafutamwongozokatikaMaandikokuhusuhalizamaishayao.MaamuziyaosilazimayalinganenamafundishonaRohowaYesu.

2.KufafanuaBibliakwakuwekaKristombeleWaanabatistiwanakubaliMaandikoyoteyalipumuliwayaMungu,lakiniYesundiyeufunuokamiliyaMungunamamlakayamwisho.YesualitimizaAganolaKale,nandiyekanunikwamaishanakwamaamuzi.

Elezatofautikatika“Bibliasehemuzotesawa”na“BibliayaKristombele.”

3.SerikalinimamlakayamwishoWakristowengihuaminiyakwambaviongoziwaserikaliwatokakwaMungu,kwahiyoinatupasakuwatiihatakamawanatoaamrikinyumechamafundishoyaYesuauinayopingaimani.

3.YesunimamlakayamwishoWaanabatistiwanatambuakwambaserikalihutokakwaMunguilikutunzamaishanataratibukatikaduniahii.LakiniamrizaserikalihaziwezikuzidinenolaYesuambayeniBwana.

Niuzitoganikatikamaneno,“YesundiyeBwana”?

Page 19: Imani ya Waanabatisti - assets.mennonites.org · ki-maadili, na ki-mahusiano, na ki-uchumi. Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni ishara

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 18

Kanuniya2.Jamiinikiinichamaishayetu

Nasikuzote…wakimegamkatenyumbakwanyumbanakushirikichakulachaokwafurahanakwamoyomweupewakimsifuMungu,nakuwapendezawatuwote.(Matendo2:46-47)

Wakristowengiwanakaza: WaAnabatistiwaongeza:1.MsamahakutokakwaMunguWakristowengiwanawekamkazozaidijuuyamsamahautokaokwaMungukulikomsamahakatiyabinadamu.Wanaaminimsamahahuletawokovuwamtubinafsinamaishayamilele.

1.MsamahakatiyaBinadamuWakristohuhitajikusamehewanaMungupamojanakusameheana.Msamahahujengaushirikianonaninjiakwamahusianoyaamani.

Je,msamahaunaletafaidaganikatikaushirikiano?

2.KufafanuaMaandikobinafsiWakristowengiwanajaribukuelewaMaandikokwaakiliyaowenyewenajinsiinavyohusumaishayao.AuwenginewanategemeazaidiwalimuauwachungajiwenyeelimuhiyokufafanuaMaandiko.

2.KufafanuaMaandikokatikaushirikaWaanabatistiwanaaminikwambauchunguziwaMaandikowamtubinafsiutakamilishwakatikauchunguziwapamojakatikavikundi.KatikakikunditunawezakushaurianakatikaRohowaYesu.

Je,kwanjiaganimnasomaBibliakwapamojakatikakanisalenu?

3.KukutanakatikamajengoyakanisaWakristowengihufikirikwambaushirikawaWakristokatikaibadanikanisahalisi.Maranyingiwanapendakuonakanisanijengo,autaratibu,auibadayaJumapili.

3.KukutanakatikavikundiWakristowaki-Anabatistiwanazoeakuonakanisakamanijamaii.Makanisayaliyohaimaranyingiyanahusianakamavikundivyaushirikiano,nawakisomaBiblia,nakushauriana,nakusalipamoja.

Ikiwavikundividogoniasiliyakanisalililohai,je,kwanjiaganivinawezakupewanafasizaidikatikakanisalako?

Page 20: Imani ya Waanabatisti - assets.mennonites.org · ki-maadili, na ki-mahusiano, na ki-uchumi. Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni ishara

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 19

Kanuniya3Upatanishonikiinichakaziyetu

LakinivyotepiavyatokananaMungu,aliyetupatanishasisinanafsiyakekwaKristonayealitupahudumayaupatanisho.(2Wakorintho5:18)

Wakristowengiwanakaza: WaAnabatistiwaongeza:1.KuhesabiwahakikwaimaniWakristowengiwanakazahasatabiayaMunguyautakatifunahajayetukuhesabiwahakikwaimaninakwakaziyaKristoalivyojitoadhabihu.Wanaonakwambawokovunikusamehewanakuwanauhakikakwambatutaendambinguni.

1.KubadilishwakwamaishaWakristowaki-AnabatistihukazatabiayaMunguyaupendonautunzaji.WanatamanikubadilishwanaRohoilikufanananaKristokatikamawazonamatendo.WokovunikupatanishwanaMungunakuwezeshwakuishikamaYesualivyoishikatikamaishayakilasiku.

TabiazotezaMungunimuhimu(utakatifu,upendo).Je,nitabiaganinimuhimukwako?

2.WokovuwakibinafsiWakristowengihuelewaupatanishokatiyamtubinafsinaMungu.Kufanyaamaninakujengajamiininyongezawalasiinjilihalisi.

2.MaishayaupatanishoWaanabatistiwanaonakwambaupatanishounahusumtubinafsipamojanajamiiyawatu.Uinjilistinaamanihuunganakatikaupatanishowakweli.

Je,hatuazakusuluhishakatikaMathayo18nizipi?

3.HudumayakijeshiWakristowengiwanatiimamlakayanchihatakamainaamurukinyumechamafundishoyaYesunadhamirayamtu.Wenginewanaaminikwambakuna“ukatiliunaookoa”na“vitayahaki.”Wakatiserikaliinapowaombahudumayakijeshi,wanakubalikufanya.

3.HudumayabadalaWaanabatistiwanatiimamlakayaduniahapoutiikwaKristounapowaruhusu.Watakataakushirikianaukatili.Nimuhumukurekebishaudhalimunakupatanishwanamaadui.Wanatafutasuluhubadalayanguvuzakijeshi.

Je,kunamatendoganiyanayojengaamanibadalayakutumianguvuzakijeshi?

Page 21: Imani ya Waanabatisti - assets.mennonites.org · ki-maadili, na ki-mahusiano, na ki-uchumi. Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni ishara

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 20

Juuyamwandishi,PalmerBecker

PalmerBeckeralisomeshwakatikavyuovyaGoshenCollege,naMennoniteBiblicalSeminary(sasaniAnabaptistMennoniteBiblicalSeminary),RegentCollege,naFullerTheologicalSeminary.Maishayakeyoteamehudumiakanisakamamchungaji,namwinjilisti,mishenari,mwandishinamwalimu.BeckerameongozaseminanyingijuuyavikundikatikakanisanaalikuwamkurugenziwaidarayamasomakwawachungajiyaHesstonCollege.Karibuniamesafirikatikanchinyingidunianiakifundishasemina.YeyenamkewakeArdyswanawatotowanewakubwa.BeckeranakaaKitchener,Ontario,Canada.

TranslatedfromWhatisanAnabaptistChristian?PalmerBecker,MennoniteMissionNetwork,RevisedEdition,2010.Itisbook#18intheMissioDeiseries,JamesR.Kraybill,editor.TranslatedbypermissionbyJosephBontrager,2015.