Top Banner
HOTUBA YA WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII MHE. DKT. SEIF SELEMAN RASHID (MB), KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2014/15
116

hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

Feb 03, 2017

Download

Documents

doancong
Welcome message from author
This document is posted to help you gain knowledge. Please leave a comment to let me know what you think about it! Share it to your friends and learn new things together.
Transcript
Page 1: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

HOTUBA YA WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMIIMHE. DKT. SEIF SELEMAN RASHID (MB),

KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2014/15

Page 2: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

YALIYOMO

UTANGULIZI.......................................................... 1

VIPAUMBELE.VYA.WIZARA.KATIKA.BAJETI.YA.MWAKA.2014/15................................................... 6

MAPITIO.YA.UTEKELEZAJI.WA.BAJETI.YA.MWAKA.2013/14,..NA.MWELEKEO.WA.KAZI.ZITAKAZOTEKELEZWA..KATIKA.MWAKA.2014/15................................................... 7

Mwenendo.wa.Mapato,.Matumizi.ya.Kawaida.na.Miradi.ya.Maendeleo.......................................... 7

RASILIMALI.WATU.KATIKA.SEKTA.YA.AFYA......... 9

URATIBU,.UFUATILIAJI.NA.UGHARAMIAJI.HUDUMA.ZA.AFYA.............................................. 13

HUDUMA.ZA.KINGA............................................ 22Udhibiti.wa.Magonjwa..................................... 22

Udhibiti.wa.Malaria......................................... 25

Udhibiti.wa.Homa.ya.Dengue........................... 27

Udhibiti.wa.Kifua.Kikuu.na.Ukoma................. 29

Udhibiti.wa.UKIMWI........................................ 31

Udhibiti.wa.Magonjwa.Yaliyokuwa.Hayapewi.Kipaumbele...................................................... 34

Huduma.ya.Afya.ya.Uzazi.na.Mtoto................. 35

Huduma.za.Chanjo.......................................... 41

Usafi.wa.Mazingira.......................................... 43

ii

Page 3: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

Elimu.ya.Afya.kwa.Umma................................ 45

Huduma.za.Lishe............................................. 46

HUDUMA.ZA.TIBA............................................... 50Huduma.za.Tiba.katika.Hospitali.ya.Taifa,.Hospitali.ya.Kanda.na.Hospitali.Maalum......... 50

UKAGUZI.NA.UHAKIKI.WA.UBORA.WA.HUDUMA.ZA.AFYA.NA.USTAWI.WA.JAMII.......... 65

Uhakiki.na.Ukaguzi.wa.Ubora.wa.Huduma.za.Afya.............................................. 65

Udhibiti.wa.Ubora.wa.Taaluma.za.Afya..na.Vituo.vya.Kutolea.Huduma.za.Afya........................... 69

HUDUMA.ZA.USTAWI.WA.JAMII......................... 74Huduma.kwa.Wazee.na..Watu..Wenye.Ulemavu.......................................................... 74

Huduma.za.Ustawi.wa.Familia,.Watoto,.Malezi.na.Maendeleo.ya.Awali.ya.Watoto.Wadogo...... 76

Huduma.za.Haki.za.Mtoto.na.Marekebisho.ya.Tabia................................................................ 78

UDHIBITI.WA.KEMIKALI.NCHINI......................... 79

UDHIBITI.WA.UBORA.WA.CHAKULA.NA.DAWA.. 81

UTAFITI.WA.MAGONJWA.YA.BINADAMU............ 83

USHIRIKIANO.WA.NDANI.NA.NJE.YA.NCHI......... 85

SHUKRANI........................................................... 85

MAPATO.NA.MAOMBI.YA.FEDHA.KWA.KAZI.ZILIZOPANGWA.KUTEKELEZWA.KATIKA.MWAKA.WA.FEDHA.2014/15.................................................. 91

iii

Page 4: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

Mapato............................................................. 91

Matumizi.ya.Kawaida....................................... 91

Miradi.ya.Maendeleo........................................ 92

Maombi.ya.Fedha.kwa.mwaka.2014/15.......... 92

VIREFU.VYA.VIFUPISHO.VILIVYOTUMIKANDANI.................................................................. 94

VIAMBATISHO..................................................... 99

.

iv

Page 5: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

HOTUBA YA WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMIIMHE. DKT. SEIF SELEMAN RASHID (MB),

KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2014/15

UTANGULIZI

1. Mheshimiwa Spika, kufuatia.taarifa. iliyowa-silishwa. leo.ndani.ya. Bunge. lako. Tukufu.na.Mwenyekiti. wa. Kamati.ya.Kudumu.ya.Bunge.ya. Huduma. za. Jamii. iliyochambua. Bajeti.ya.Wizara. ya. Afya. na. Ustawi. wa. Jamii,. naomba.kutoa.hoja.kwamba. sasa.Bunge.lako. likubali.kupokea. na.kujadili. Taarifa.ya.Utekelezaji.wa.Kazi.za.Wizara.ya.Afya.na.Ustawi.wa.Jamii.kwa.mwaka. 2013/14. na. Mipango. ya. Utekelezaji.katika. Bajeti. ya. mwaka. 2014/15.. Aidha,.naliomba.Bunge.lako.Tukufu.likubali.kupitisha.Makadirio.ya.Matumizi.ya.Kawaida.na.Mpango..wa.Maendeleo..ya.Wizara.ya.Afya.na.Ustawi.wa.Jamii.kwa.mwaka.2014/15.

2. Mheshimiwa Spika, awali.ya.yote, napenda.kuchukua. fursa. hii . kwa. unyenyekevu.mkubwa. kumshukuru. Rais. wa. Jamhuri.ya. Muungano. wa. Tanzania. Mheshimiwa.Dkt.. Jakaya. Mrisho. Kikwete. kwa. imani. yake.kwangu. kuniteua. kuwa. Waziri. wa. Afya. na.Ustawi.wa.Jamii..Ninaahidi. kufanya.kazi.kwa.uadilifu. na. kwa. uwezo. wangu. wote. kwa.kushirikiana.na.Viongozi.na.Watendaji.wa.ngazi.zote..Aidha, namshukuru.kwa.dhati,.kwa.

1

Page 6: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

kuendelea.kutuongoza.na.kutoa.maelekezo.ya.kutuwezesha.kutoa.huduma.za.afya.na.ustawi.wa. jamii.. Mheshimiwa. Rais. ameendelea.kuiunganisha.Wizara. na.Taasisi. za. kitaifa. na.kimataifa. ambazo. zinachangia. katika. jitihada.za.Serikali. za. kuboresha.huduma.za. afya.na.ustawi.wa.jamii..

3. Mheshimiwa Spika, napenda.pia.kuchukua.fursa. hii. kumpongeza.kwa.dhati.Makamu.wa. Rais. Mheshimiwa. Dkt.. Mohamed. Gharib.Billal. kwa. uongozi. wake. na. maelekezo. yake.ambayo. yamesaidia. sana. kuongeza. ufanisi.katika.utendaji.na.kuimarisha.huduma.za.afya.na.ustawi.wa.jamii..Aidha,.naomba.nimpongeze.Mheshimiwa.Mizengo.Kayanza.Peter.Pinda.(Mb),.Waziri. Mkuu. wa. Jamhuri. ya. Muungano. wa.Tanzania. kwa. hotuba.yake.aliyoitoa. ambayo.ni. dira. ya. jinsi. Serikali. itakavyotekeleza.majukumu. yake. katika. mwaka. wa. fedha.2014/15.. Vilevile,. napenda. niwashukuru.Mheshimiwa. Celina. Ompeshi. Kombani. (Mb).Waziri. wa. Nchi. Ofisi. ya. Rais,. Menejimenti. ya.Utumishi. wa. Umma. na. Mheshimiwa. Hawa.Abdulrahman.Ghasia.(Mb).Waziri.wa.Nchi,.Ofisi.ya. Waziri. Mkuu,. Tawala. za. Mikoa. na. Serikali.za. Mitaa,. ambao. tunashirikiana. kwa. karibu.katika.kusimamia.utoaji.wa. huduma. za. afya.na. ustawi. wa. jamii.. Aidha,. nawashukuru.Mawaziri. wa. Wizara. nyingine. zote. ambazo.zinashirikiana..na.Wizara.yangu. katika.utoaji.wa.huduma.za.afya.na.ustawi.wa.jamii..

2

Page 7: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

4. Mheshimiwa Spika, kipekee. napenda.kuishukuru. Kamati.ya. .Kudumu..ya. .Bunge..ya. .Huduma. . za. .Jamii,. chini. ya.Mwenyekiti.wake.Mheshimiwa.Margareth. Simwanza.Sitta.(Mb),.kwa. ushauri. na. maelekezo. waliyoyatoa.wakati. wa. maandalizi. ya. Bajeti. hii.. Aidha,.namshukuru.Waziri.Kivuli.wa.Afya.na.Ustawi.wa. Jamii. Dkt.. Anthony. Gervas. Mbassa. (Mb).kwa.kuendelea.kutupatia.ushirikiano..mkubwa.katika. kutekeleza. majukumu. ya. sekta. ya.afya.. Naahidi. kuzingatia. ushauri. wake. katika.kutekeleza. majukumu. ya. sekta. ya. afya.. Pia,.nawashukuru. Waheshimiwa. Wabunge.wote. kwa. kuchangia. hotuba. zilizotangulia..Michango. yao. imesaidia. kuboresha. hotuba.yangu.. Nawaahidi. kwamba,. Wizara. yangu.itazingatia. ushauri. wao. katika. kutekeleza.majukumu.na.kazi.zilizopangwa..

5. Mheshimiwa Spika, napenda. kutoa. pongezi.kwa. Wabunge. wapya,. Mheshimiwa. Yusuf.Salim. Hussein. ambaye. amechaguliwa.kuwa. Mbunge. wa. Chambani;. Mheshimiwa.Godfrey.William.Mgimwa.Mbunge.wa.jimbo.la.Kalenga.na.Mheshimiwa.Ridhiwani.Jakaya.Kikwete.wa.jimbo.la.Chalinze..Nawapongeza.sana.kwa.kuchaguliwa.kwao.na.sasa.kazi.iliyo.mbele.yao.ni.kuwatumikia.wananchi.kwa.ari.na.kasi.kubwa.ili.waweze.kujiletea.maendeleo.katika.Majimbo.yao..

6. Mheshimiwa Spika,.naomba.kutoa.salamu.za.pole.kwako,.Bunge.lako.Tukufu.na.kwa.familia.na.

3

Page 8: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

wananchi.wa.jimbo.la.Kalenga.na.Chalinze.kwa.vifo.vya.Mheshimiwa.William.Mgimwa.aliyekuwa.Mbunge. wa. Jimbo. la. Kalenga. na. Waziri. wa.Fedha.pamoja.na.Mheshimiwa.Said.Bwanamdogo.aliyekuwa.Mbunge.wa.Chalinze..Aidha,.nachukua.nafasi.hii.kuwapa.pole.familia,.ndugu,.jamaa.na.marafiki.kwa.vifo.vingine.vilivyotokana.na.sababu.mbalimbali..Vilevile,.natoa.pole.kwa.waathirika.wa. mafuriko. yaliyotokea. sehemu. mbalimbali.nchini. ikiwemo. wilaya. ya. Rufiji. ambako. ndiko.waliko. wananchi. walioniamini. na. kunituma.hapa. bungeni. nikiwa. Mbunge. wao. pamoja. na.wagonjwa. na. majeruhi. wa. ajali. mbalimbali.waliopo. hospitalini. na. nyumbani.. Namuomba.Mwenyezi.Mungu.awaponye.haraka,. ili.waweze.kuendelea.na.ujenzi.wa.Taifa.

7. Mheshimiwa Spika,. kutokana. na. juhudi.kubwa.za.Serikali.kwa.kushirikiana.na.Wadau.wa.Maendeleo,.Sekta.Binafsi.pamoja.na.wadau.wengine,.Sekta.ya.Afya.imepata.mafanikio.mengi..Kati.ya.mafanikio.hayo.ni.pamoja.na.kupunguza.vifo. vya. watoto. wenye. umri. chini. ya. miaka.mitano. kutoka. vifo. 147. mwaka. 1999. hadi. 54.mwaka.2013.kwa.kila.vizazi.hai.1,000.na.hivyo.kufikia. lengo. la. Maendeleo. ya. Milenia. namba.nne. (MDG4). la.kupunguza.vifo.vya.watoto.kwa.theluthi. mbili. ifikapo. mwaka. 2015.. Pamoja. na.mafanikio. hayo,. Wizara. itaendelea. kutekeleza.mikakati. ya. kupunguza. vifo. vya. watoto. kwa.kasi. zaidi.. Katika. juhudi. za. kuongeza. kasi. ya.kupunguza. vifo. vitokanavyo. na. uzazi,. Wizara.

4

Page 9: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

imeandaa. Mkakati. Maalum. uliozinduliwa. na.Mheshimiwa.Rais.wa.Jamhuri.ya.Muungano.wa.Tanzania. Dkt.. Jakaya. Mrisho. Kikwete. tarehe.15.Mei,.2014..Mkakati.huu.pamoja.na.mambo.mengine.umeainisha.afua.zitakazoleta.matokeo.ya.haraka.ya.kupunguza.vifo.hivyo..Aidha,.suala.la.uwajibikaji.katika.ngazi.zote.limesisitizwa,.ili.tuweze.kupima.mafanikio.ifikapo.mwishoni.mwa.mwaka.2015.

8. Mheshimiwa Spika,. mafanikio. mengine. ni..kumaliza. tiba. na. kupona. kwa. kiwango. cha.asilimia. 88. ya. wagonjwa. wote. wa. kifua. kikuu.wanaoanza. matibabu. kila. mwaka,. ambapo.lengo.la.Shirika.la.Afya.Duniani.ni.asilimia.85..Wizara.imefanikiwa.kuchunguza.na.kutibu.idadi.ya.wagonjwa.wa.Kifua.Kikuu.kutoka.wagonjwa.11,000. mwaka. 1980. hadi. kufikia. zaidi. ya.63,892.mwaka.2012..Vilevile,.katika.Hospitali.ya.Kibong’oto. matibabu. yalitolewa. kwa. wagonjwa.95. wa. Kifua. Kikuu. sugu. ikiwa. ni. ongezeko. la.wagonjwa.50.kutoka.45.kwa.mwaka.2012/13..Kati.ya..wagonjwa.waliomaliza.tiba,.asilimia.75.walipona,. kiwango. ambacho.ni. cha. juu.kabisa.kufikiwa.katika.ukanda.wa.Kusini.mwa.Jangwa.la.Sahara.kwenye.tiba.ya.kifua.kikuu.sugu..

9. Mheshimiwa Spika,. Wizara. pia. ilitekeleza.kwa.mafanikio.Mpango.Mkakati.wa.II.wa.Sekta.ya. Afya. wa. Kudhibiti. UKIMWI. (2008-2013). na.kufanikiwa.kupunguza.kiwango.cha.maambukizi.ya.VVU.kutoka.kwa.mama.wajawazito.kwenda.kwa.watoto.kutoka.asilimia.26.mwaka.2010.hadi.

5

Page 10: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

asilimia.15.mwaka.2012..Pia,.kwa.kushirikiana.na.wadau,.Wizara.imefanikiwa.kupunguza.pengo.la.watumishi.wa.sekta. ya.afya.kutoka.asilimia.68.mwaka.1999.hadi.kufikia.asilimia.52.mwaka.2013.. Lengo. ni. kuhakikisha. kwamba. sekta. ya.afya. inakuwa. na. watumishi. wa. kutosha. na.wenye.ujuzi.

VIPAUMBELE VYA WIZARA KATIKA BAJETI YA MWAKA 2014/15

10. Mheshimiwa Spika, vipaumbele.vya.Wizara.ya.Afya.na.Ustawi.wa.Jamii..katika.bajeti.ya.mwaka.2014/15.ni.kama.ifuatavyo:

i). Kutekeleza. mipango. na. mikakati. ya. kisekta.yenye.lengo.la.kuboresha.utoaji.wa.huduma.ikiwemo.kupunguza.vifo.vitokanavyo.na.uzazi.

ii). Kuimarisha.huduma.za.kinga,.tiba,.mafunzo.na.kupambana.na.magonjwa.ya.kuambukiza,.yasiyo.ya.kuambukiza.na.yaliyokuwa.hayapewi.kipaumbele.

iii).Kuendeleza. ujenzi. na. ukarabati. wa.miundombinu.ya.kutoa.huduma.pamoja.na.kuimarisha.mfumo.wa.rufaa..

iv).Kuimarisha.vyuo.vya.mafunzo.kwa.wataalam.wa.sekta.ya.afya.na.ustawi.wa.jamii.

6

Page 11: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA MWAKA 2013/14 NA MWELEKEO WA KAZI ZITAKAZOTEKELEZWA KATIKA MWAKA 2014/15

11. Mheshimiwa Spika, Wizara. katika. kutekeleza.majukumu.yake. inazingatia.Sera,.Mipango.na.Mikakati.mbalimbali.ya.kitaifa.na.kimataifa.ikiwa.ni.pamoja.na.Malengo.ya.Maendeleo.ya.Milenia,.Dira.ya.Taifa. ya. Maendeleo. (2025),.Mpango. wa.Taifa.wa.Maendeleo. wa.Miaka.Mitano. (2011/12.–. 2015/16),. Mkakati. wa. Kukuza. Uchumi. na.Kupunguza.Umaskini.II.(2010),.Sera.ya.Afya.(2007),.Mpango.Mkakati.wa.III.wa.Sekta.ya.Afya. (2009. –. 2015),. Mpango. Kazi. wa. Taifa.wa.Huduma.na.Matunzo.kwa.Watoto.walio.katika.Mazingira.Hatarishi.II.(2013.–.2017),.Mpango. wa. Maendeleo. ya. Afya. ya. Msingi.(2007–.2017),.Sera.ya.Taifa.ya.Wazee.(2003).na.Sera.ya.Taifa.ya.Huduma.na.Maendeleo.ya.Watu.Wenye.Ulemavu.(2004)..Aidha,.Wizara.imeendelea.kutekeleza.malengo. yaliyoainishwa.katika. Ilani.ya. Uchaguzi. ya. Chama. Cha. Mapinduzi. ya.mwaka.2010..

Mwenendo wa Mapato, Matumizi ya Kawaida na Miradi ya Maendeleo

12. Mheshimiwa Spika, Wizara.ya.Afya.na.Ustawi.wa.Jamii.hukusanya.mapato.yake.kutokana.na.malipo. ya. ununuzi. wa. vitabu. vya. maombi. ya.

7

Page 12: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

zabuni,.mapato.kutoka.Bodi.mbalimbali.za.Wizara,.ada. za. uchangiaji. wa. gharama. za. mafunzo,.marejesho.ya.masurufu.pamoja.na.makusanyo.yatokanayo.na.utoaji.wa.huduma.katika.Taasisi.na.Mashirika.yaliyo.chini.ya.Wizara..Hadi.kufikia.mwezi.Mei,.2014.Wizara.imekusanya.jumla.ya.Sh. 64,140,816,438.00.ikilinganishwa.na.makadirio.ya.Sh..61,379,844,405.00.yaliyoidhinishwa.kwa.mwaka.2013/14..Katika.mwaka.2014/15,.Wizara.inatarajia. kukusanya. Sh.. 78,671,519,016.00 ambayo. ni. asilimia. 28.2. zaidi. ya. makadirio. ya.mwaka.2013/14..

13. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2013/14,.jumla.ya.Sh..753,856,475,000.00 ziliidhinishwa.kwa.ajili.ya.utekelezaji.wa.majukumu.ya.Wizara..Kati. ya. fedha. hizo,. Sh.. 282,573,534,000.00.ni. kwa. ajili. ya. Matumizi. ya. Kawaida. na. Sh..471,282,941,000.00. kwa. ajili. ya. Miradi. ya.Maendeleo..Hadi.kufikia.mwezi.Mei.2014.jumla.ya.Sh..387,519,847,411.00. .zilipokelewa..Kati.ya.fedha.zilizopokelewa.Sh..248,801,389,869.00.ni. fedha. za. Matumizi. ya. Kawaida. na. Sh.138, 718,457,542.00.ni.fedha.za.Miradi.ya.Maendeleo...Aidha,. katika. kipindi. hicho. jumla. ya. Sh..364,790,682,101.00. zilitumika.. Kati. ya. hizo,.Sh..239,862,151,280.00.ni. fedha.za.Matumizi.ya.Kawaida.na.Sh. 124,928,530,821.00.ni.fedha.za.maendeleo..Vilevile,.dawa,.vifaa.na.vifaa.tiba.vyenye. thamani. ya. Sh.. 206,292,515,316.00.vilipokelewa. kutoka. Mfuko. wa. Dunia. kupitia.Mpango.Maalum.wa.Ununuzi.

8

Page 13: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

RASILIMALI WATU KATIKA SEKTA YA AFYA

14. Mheshimiwa Spika, kwa. miaka. saba. (7).mfululizo Wizara.imeendelea.kutekeleza.Mpango.wa. Maendeleo. wa. Afya. ya. Msingi. (MMAM).kwa. kuongeza. idadi. ya. wanafunzi. watarajali.waliodahiliwa.katika.Vyuo.vya.Afya.na.Ustawi.wa.Jamii.kutoka.wanafunzi.7,956.mwaka.2012/13.hadi.8,582..mwaka.2013/14.(Kiambatisho Na. 1)..Tangu.kuanza.utekelezaji.wa.MMAM.mwaka.2007,. asilimia. 86. ya. lengo. ambalo. ni. kudahili.wastani. wa. wanafunzi. 10,000. kwa. mwaka.ifikapo. mwaka. 2017. limefikiwa.. Jitihada. hizi.zinaonekana. katika. ongezeko. kubwa. la. idadi.ya. wahitimu. kutoka. wahitimu. 3,404. mwaka.2007/08.hadi.6,513.mwaka.2013/14..

15. Mheshimiwa Spika,. ili. kuhakikisha. malengo.ya.MMAM.yanafikiwa,.Wizara. imefanya. jitihada.mbalimbali. ikiwa. ni. pamoja. na. kuanzisha.mafunzo.kwa.njia.ya.kielektroniki.(eLearning),.kwa.wanafunzi. wa. Uuguzi. wanaojiendeleza. kutoka.ngazi. ya. cheti. kwenda. ngazi. ya. Stashahada..Jumla. ya. wanafunzi. 154. wamedahiliwa. katika.mafunzo. hayo. ya. miaka. miwili. (2).. Vilevile,.Wizara. imekamilisha. mtaala. wa. mafunzo. ya.masafa. kwa. tabibu. wasaidizi. kuwa. tabibu. na.jumla. ya. watumishi. 60. wamejiunga. katika.mafunzo.hayo..Pia,.Wizara.imeendelea.kufadhili.wataalam. 372,. wanaochukua. mafunzo. ya.uzamili. katika. nyanja. mbalimbali. ndani. na.nje. ya. nchi. ambapo. wanafunzi. 327. wanasoma.ndani. ya. nchi. na. wanafunzi. 45. wanasoma. nje.

9

Page 14: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

ya.nchi..Wizara.inakamilisha..ujenzi.na.upanuzi.wa.vyuo.vya.kutolea.mafunzo.vya.kada.za.afya.katika.mikoa.ya.Dar.es.Salaam.(Chuo.Kikuu.cha.Kumbukumbu.ya.Hurbert.Kairuki),.Pwani.(Chuo.cha.Uuguzi.Bagamoyo).na.Katavi.(Chuo.cha.St..Bakhita)..

16. Mheshimiwa Spika, katika.mwaka.2014/15,.Wizara.itafanya.ukarabati,.ununuzi.wa.vifaa.na.vitabu. vya. rejea. kwa. vyuo. 48,. na. kuimarisha.kanda.8.za.mafunzo.kwa.kuzinunulia.vitendea.kazi.. Aidha,. Wizara. itaboresha. vyuo. vya.kufundishia.Tabibu.Meno.vya.Tanga.na.Mbeya.kwa.kuvinunulia.mashine.za.x-ray.kwa.ajili.ya.mafunzo. kwa. vitendo.. Vilevile,. itaendelea. na.awamu.ya.pili.ya.ujenzi.na.upanuzi.wa.vyuo.vya.mafunzo.vya.kada.ya.afya.katika.mikoa.ya.Tanga.(Bombo),.Dodoma.(Chuo.cha.Uuguzi.Mirembe.na.Mvumi).na.Mtwara.(Mtwara.COTC)..

17. Mheshimiwa Spika, baada.ya.kuelezea.utekelezaji.na.mipango.ya.mafunzo.ya.kada.za.afya.naomba.sasa.nielezee.utekelezaji.na.mipango.ya.mafunzo.ya. kada. za. ustawi. wa. jamii. Katika. mwaka.2013/14,.Chuo.cha.Ustawi.wa.Jamii.Kisangara.kilidahili.wanafunzi.watarajali.83.na.katika.mwaka.2014/15. kitadahili. wanafunzi. 110.. Vilevile,.katika. mwaka. 2013/14,. Taasisi. ya. Ustawi. wa.Jamii.ilidahili.jumla.ya.wanafunzi.1,468..katika.ngazi.za.astashahada,.stashahada,.shahada.na.uzamili.na.wanafunzi.1,214.walihitimu..Taasisi.imeanzisha.mafunzo.ya.Masafa.ya.kuwahudumia.watoto,. familia. na. jamii. zilizoathirika. na. VVU.na. UKIMWI.. Aidha,. Taasisi. imepata. ithibati. ya.

10

Page 15: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

kuendesha. mafunzo. ya. Shahada. ya. Uzamili.katika. fani. ya. ustawi. wa. jamii. na. ujenzi. wa.maktaba.umekamilika..Katika.mwaka.2014/15,.Taasisi.itaandaa.mitaala.katika.kozi.za.Shahada.ya.Ushauri.Elekezi,.Shahada.ya.Elimu.ya.Awali.na.Maendeleo.ya.Mtoto.na.Shahada.ya.Utawala.na.Uongozi.katika.Biashara.pamoja.na.kununua.samani.za.jengo.la.maktaba..

18. Mheshimiwa Spika, Wizara.ilikamilisha.Mpango.Mkakati. wa. Raslimali. Watu. utakaotekelezwa.mwaka.2014.hadi.2019..Aidha,.Wizara.iliandaa.na. kukamilisha. ikama. ya. watumishi. wa. Sekta.ambayo.itasaidia.katika.kuhakikisha.mgawanyo.sahihi. wa. watumishi. maeneo. yote. nchini.. Pia,.Wizara..imeweka.mfumo.wa.takwimu.za.rasilimali.watu. unaoonesha. hali. halisi. ya. watumishi. wa.Sekta. ya. Afya. nchi. nzima. ikijumuisha. Sekta.Binafsi.na.Umma. Vilevile,.mwongozo.wa.kisera.wa.watumishi.wa.sekta.ya.afya.umekamilika.

19. Mheshimiwa Spika, katika. mwaka. 2013/14, Wizara. ilipata. kibali. cha. kuwapangia. vituo.vya.kazi.waajiriwa.11,221..Kati. ya.hao.10,940.ni.wataalam.wa.kada. za.Afya,. 57.ni.wataalam.wa. Lishe. na. 224. ni. wataalam. wa. Ustawi. wa.Jamii..Hadi.mwezi.Mei,.2014.jumla.ya.wataalam.5,912. walikuwa. wamepangiwa. vituo. vya. kazi.katika.mamlaka.mbalimbali.za.ajira.ambazo.ni.Halmashauri,. Sekretarieti. za.Mikoa.na.Wizara..Wataalam.wa.kada.za.Lishe.na.Ustawi.wa.Jamii.wataajiriwa.katika.utaratibu.wa.ajira.Serikalini.chini.ya.Sekretarieti.ya.Ajira.katika.Utumishi.wa.Umma.(Kiambatisho Na.2).

11

Page 16: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

20. Mheshimiwa Spika, katika. mwaka. 2014/15,.Wizara. chini. ya. Fungu. 52,. imepanga. kuajiri.wataalam. 203. wa. kada. mbalimbali. kulingana.na.ikama.na.kuwapandisha.vyeo.watumishi.720.watakaokuwa.wametimiza.sifa.za.kupanda.vyeo.kwa.mujibu.wa.miundo.ya.utumishi..Aidha,.kwa.kushirikiana. na. Ofisi. ya. Waziri. Mkuu,. Tawala.za.Mikoa.na.Serikali. za.Mitaa.na.Ofisi.ya.Rais.Menejimenti. ya. Utumishi. wa. Umma;. Wizara.itaendelea.kuwapangia.vituo.vya.kazi.wataalam.wa.kada.za.afya.watakaohitimu.mafunzo.katika.vyuo. vya. afya. ili. kuimarisha. huduma. katika.vituo.vya.kutoa.huduma.za.afya.nchini..

21. Mheshimiwa Spika, katika. kuhakikisha. tija.na.ufanisi.kazini,.Wizara.itaendelea.kutathmini.matokeo. ya. utendaji. wa. watumishi. wake. kwa.kutumia.mfumo.wa.wazi.wa.upimaji.wa.watumishi.(OPRAS).na.kutoa.mafunzo.ya.mfumo.huo.kwa.waajiriwa.wapya.232.na.kwa.watumishi.waliopo.kazini. ambao. hawakuwahi. kupatiwa. mafunzo.hayo.. Vilevile,. mafunzo. elekezi. yatatolewa.kwa.waajiriwa.wapya.kwa. lengo. la. kuimarisha.utendaji. wao.. Pia, Wizara. kwa. kushirikiana.na. Ofisi. ya. Rais,. Menejimenti. ya. Utumishi. wa.Umma,. itaimarisha.mfumo.wa.kielektroniki.wa.taarifa. za. rasilimali. watu. zikijumuisha. taarifa.za.Hospitali.Teule.za.Halmashauri.na.Hospitali.za. Mashirika. ya. Hiari. kwa. lengo. la. kuwa. na.taarifa. sahihi. na. mipango. bora. ya. rasilimali.watu..Mfumo.huu.wa.kieletroniki.utaboreshwa.ili.utusaidie.kuwatambua.watumishi.walioingia.

12

Page 17: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

kazini. na. kutuwezesha. kuwapanga. watumishi.katika.kila.Kituo.cha.kutolea.huduma.kulingana.na.mahitaji.halisi.

22. Mheshimiwa Spika,. sambamba. na. ongezeko.la.watumishi.wa.afya,.katika.mwaka.2013/14,.Wizara. iliendelea. kutekeleza. ahadi. yake. ya.kuboresha. mazingira. ya. kazi. ili. kuhakikisha.wafanyakazi. wanabaki. katika. sekta. ya. afya.kwa.muda.mrefu..Katika.kutekeleza.azma.hiyo,.Wizara. imekamilisha. ujenzi. wa. nyumba. 85. za.watumishi. wa. afya. katika. mikoa. ya. Singida.(30),.Rukwa.(20).na.Ruvuma.(35)..Katika.mwaka.2014/15,.Wizara.itaendelea.na.ujenzi.wa.nyumba.80. za.watumishi.katika.mikoa. ya.Arusha. (20),.Manyara.(20),.Pwani.(20).na.Morogoro.(20).

URATIBU, UFUATILIAJI NA UGHARAMIAJI HUDUMA ZA AFYA

23. Mheshimiwa Spika,.Wizara.imeendelea.kuratibu.mahusiano.ya.kiutendaji,.ufuatiliaji.na.tathmini.kwa.kuzishirikisha.Ofisi.ya.Waziri.Mkuu.Tawala.za. Mikoa. na. Serikali. za. Mitaa. na. Wadau. wa.Maendeleo..Vikao.vya.pamoja.vya.wadau.wa.sekta.ya. afya. vimefanyika. ili. kupima. na. kuboresha.utendaji.wa.Sekta..Aidha,.katika.kutekeleza.Sera.ya. ugatuaji. madaraka,. Wizara. ilitoa. mafunzo.kwa. Wajumbe. 200. wa. Timu. za. Uendeshaji. wa.Huduma.za.Afya.za.Mikoa.yote.kuhusu.kuandaa.Mipango.Kabambe.ya.Afya.ya.Halmashauri.kwa.

13

Page 18: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

kutumia.mfumo.wa.PlanRep3.ili.waweze.kuandaa.na.kusimamia.mipango.ya.afya.ya.Halmashauri.zilizo. chini. yao.. Kutokana. na. mafunzo. hayo,.Timu.za.Mikoa.zimeweza.kusimamia.vizuri.Timu.za.Halmashauri.na.hivyo.kuandaa.mipango.ya.Afya.ya.Halmashauri.ya.mwaka.2014/15 yenye.ubora.ikilinganishwa.na.ile.ya.mwaka.2013/14.

24. Mheshimiwa Spika,.ili.kuhakikisha.kunakuwa.na. uwajibikaji. wa. kutosha. katika. kutekeleza.vipaumbele. katika. sekta. ya. afya. na. utawala.bora,. Wizara. ilifanya. ziara. ya. ufuatiliaji. wa.utekelezaji.wa.majukumu.ya.Bodi.na.Kamati.za.Afya. katika. Halmashauri. za. Wilaya. za. Meatu,.Maswa,..Njombe,..Makete,..Arusha,..Karatu,.Bahi,.Kondoa,. Bukoba,. Muleba,. Sengerema,. Ilemela,.Muheza,.Gairo,.Geita,.Mumba,.Busokelo,.Mbogwe,.Nyang’wale,.Mkinga,.Bumbuli,.Ikungi,.Mkalama,.Chemba,. Ushetu. na. Msalala. na. Halmashauri.za. Manispaa. za. Ilala,. Kinondoni. na. Dodoma...Bodi. na. Kamati. hizi. zinatakiwa. kuhakikisha.uwajibikaji. unaimarika. kwa. watoa. huduma.pamoja.na.viongozi.wao.katika.vituo.vya.kutolea.huduma.za.afya..Katika.mwaka.2014/15,.Bodi.na.Kamati.za.Usimamizi.wa.Huduma.za.Afya.katika.Halmashauri.mpya.29.zitaanzishwa..Pia,.Wizara.itaanzisha. mfumo. wa. kupima. uwajibikaji. kwa.kutumia.kadi.maalum.yenye.vigezo.(community score card).katika.Halmashauri.20..

25. Mheshimiwa Spika, Sera. ya. Afya. ya. mwaka.2007. inaelekeza. kuwa. na. vyanzo. vya. fedha.vinavyoaminika.pamoja.na.kuhakikisha.sekta.ya.

14

Page 19: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

afya.inapata.rasilimali.za.kutosha..Ili.kutekeleza.maelekezo.hayo.ya.Sera.ya.Afya,..Wizara.ilifanya.tafiti. kumi. na. moja. ambazo. ni. Muundo. wa.Mfumo.wa.Bima.ya.Afya;.Kitita.cha.Msingi.cha.Mafao.ya.Huduma;.Maboresho.ya.Mfuko.wa.Afya.ya. Jamii;.Ushirikishaji.wa.Wasio.na.Uwezo.na.Makundi.Maalum;.Ubia.kati.ya.Sekta.ya.Umma.na.Binafsi;.Vigezo.vya.Kugawa.Rasilimali.katika.Ugharamiaji. Huduma. za. Afya;. Malipo. kwa.Ufanisi;.Usimamizi.wa.Fedha.za.Umma;.Uhuru.wa.Watoa.Huduma.Kufanya.Maamuzi;.Tathmini.ya. Uwezo. wa. Kitaasisi. na. Tathmini. ya. Uwezo.wa. Kirasilimali. fedha. na. Ubunifu. wa. vyanzo.vya. fedha..Matokeo. ya. tafiti. hizo. yamewezesha.kuanza.maandalizi.ya.Mkakati.wa.Ugharamiaji.wa. Huduma. za. Afya. nchini.. Mkakati. huo.utaonesha.njia.madhubuti.za.kuhakikisha.kuwa.wananchi.wote.wanapata.huduma.bora.za.afya.bila.ya.kikwazo.cha.fedha.yaani.Universal Health Coverage..Aidha,.kuwepo.kwa.Mkakati.huo,.ni.utekelezaji.wa.Ilani.ya.Uchaguzi.ya.Chama.Tawala.ya.mwaka.2010,.Ibara.ya.86(f),.kuhusu.kuongeza.wigo.wa.wanufaika.wa.huduma.za.bima.ya.afya.nchini.kufikia.asilimia.30.ifikapo.mwaka.2015..Kwa. sasa. huduma. hiyo. imefikia. asilimia. 19.2.(Kiambatisho Na.3)..Kupitia.Bunge.hili,.napenda.kutoa.wito.kwa.kila.Mtanzania,.Mkuu.wa.Kaya,.Kiongozi.wa.Shirika,.Kampuni.na.Taasisi,.wote.kwa.ujumla.wao.kuona.umuhimu.wa.kujiunga.na.bima.ya.afya.sasa,. ili.kuhakikisha.kila.mtu.nchi.nzima.anapata.huduma.bora. za. afya.bila.ya.kulazimika.kuwa.na.pesa.wakati.wa.kuhitaji.

15

Page 20: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

matibabu..

26. Mheshimiwa Spika,. kwa.kutumia.Mfumo.wa.Hesabu.za.Matumizi.ya.Taifa.katika.Afya.(National Health Accounts).inaonesha.kuwa.matumizi.kwa.mtu. mmoja. (per capita). katika. sekta. ya. afya.yaliongezeka.kutoka.Dola.za.Marekani.41.mwaka.2010/11. hadi. kufikia. Dola. za. Marekani. 49.mwaka.2011/12..Kiwango.hiki.bado.ni.cha.chini.ukilinganisha.na.kilichopendekezwa.na.Shirika.la.Afya.Duniani.cha.Dola..za.Marekani.60..Aidha,.Wizara. iliwianisha. mifumo. tofauti. inayotumika.kuandaa.taarifa.za.matumizi.ya.fedha.ya.Wizara,.Tume.ya.Taifa.ya.Kudhibiti.UKIMWI.na.programu.ya.Mama.na.Mtoto..Zoezi.hili.lilirahisisha.kupata.taarifa. za. matumizi. yote. katika. sekta. ya. afya.(Binafsi. na. Serikali).. Matokeo. ya. taarifa. hizi.yanatumika.katika.kupanga.na.kutekeleza.sera.ya.afya.na.mikakati.mbalimbali.ya.afya..Katika.mwaka. 2014/15, Wizara. itaendelea. kuboresha.na. kuainisha. mifumo. ya. uandaaji. taarifa. za.ufuatiliaji.wa.matumizi.katika.sekta.ya.afya. ili.kuwa.na.taarifa.hizi.muhimu.kwa.wakati.

27. Mheshimiwa Spika, vyanzo. mbadala. vya.mapato. vya. kugharamia. huduma. za. afya.ikiwemo.Bima.za.afya.vimekuwa.muhimu.sana.katika. vituo. vya. kutolea. huduma. za. afya. na.vimekuwa. vikipunguza. pengo. la. mahitaji. ya.raslimali.fedha.kwa.kiwango.kikubwa..Kutokana.na. Ripoti. ya. Mapitio. ya. Matumizi. ya. Fedha. za.Umma.(Public.Expenditure.Review.–.PER,.2012).inaonesha.kwamba.vyanzo.mbadala.vinachangia.

16

Page 21: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

wastani. wa. asilimia. 5. ya. mapato. yote. ya.Halmashauri. kwa. sekta. ya. afya.. Hadi. kufikia.mwezi. Mei,. 2014,. Mfuko. wa. Taifa. wa. Bima. ya.Afya.uliwalipa.watoa.huduma.za.matibabu.kiasi.cha. Sh.. bilioni 77.7.. Aidha,. Mfuko. ulianza.kutekeleza.utaratibu.wa.kuwaunganisha.watoa.huduma.katika.mtandao.wa.kompyuta.ili.wawe.wanaandaa. na. kuwasilisha. madai. kwa. njia. ya.kielektroniki.. Hatua. hii. itapunguza. muda. wa.malipo.na. itaharakisha.utekelezaji.wa.Mkakati.wa.Kitaifa.wa.e-Health.ambao.Wizara.iliuzindua.mwezi. Oktoba,. 2013.. Vilevile,. utaratibu. huo.utapunguza.changamoto.za.madai.sahihi.kutoka.kwa.baadhi.ya.watoa.huduma.wasio.waaminifu..Katika. mwaka. 2014/15,. Mfuko. utasambaza.mfumo. wa. e-claims wa. kuwasilisha. madai. ya.watoa.huduma.za.matibabu.ili.kuweza.kuwalipa.kwa. muda. usiozidi. siku. sitini. zilizowekwa.kisheria.tangu.wanapowasilisha.madai.

28. Mheshimiwa Spika, tangu.mwaka.2007.Mfuko.umetoa. mikopo. ya. vifaa. tiba. na. ukarabati.wa. vituo. vya. matibabu. yenye. jumla. ya. Sh..bilioni 5.07. kwa. vituo. vya. kutolea. huduma.vyenye.mkataba.na.Mfuko..Hadi.sasa.jumla.ya.Sh.. bilioni 2.8. zimerejeshwa.. Katika. mwaka.2013/14,.Mfuko.ulifanya.utafiti.kuhusu.ufanisi.wa.mikopo.ya.vifaa. tiba.na.ukarabati.wa.vituo.vya. matibabu. ambapo. matokeo. yalionyesha.wadau.wengi.walihitaji. elimu. zaidi. na. kuomba.uwigo. wa. huduma. ujumuishe. pia. mikopo. kwa.ajili. ya. kununulia. dawa.. Kwa. sababu. hiyo,.

17

Page 22: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

Mfuko.wa.Taifa.wa.Bima.ya.Afya.utaanza.kutoa.mikopo.hiyo.kwa.vituo.vya.matibabu.vilivyo.chini.ya.Mamlaka.za.Serikali.za.Mitaa..Aidha,.Mfuko.ulifanya.utafiti.wa.magonjwa.50.yanayoisumbua.jamii. ili. kuboresha. huduma. za. Mfuko. kwa.wanachama.wake..Vilevile,.ili.kupeleka.huduma.karibu.na.jamii,.Mfuko.umeanza.ujenzi.wa.ofisi.za.mikoa.ya.Tabora,.Mbeya.na.Dodoma.na.kiasi.cha.Sh..bilioni 15.kimetengwa.kwa.ajili.ya.kazi.hiyo..

29. Mheshimiwa Spika, katika. mwaka. 2014/15,.Mfuko. utatoa. vitambulisho. vipya. na. bora. kwa.wanachama. wake.. Zoezi. hili. litatanguliwa. na.kuweka. miundombinu. ya. kielektroniki. (data centre).yenye.uwezo.zaidi,.uhakiki.wa.taarifa.za.wanachama.na.kuwaandikisha.upya.wanachama.wote.. Vitambulisho. hivi. vitasaidia. udhibiti. wa.matumizi. ya. huduma. za. bima. kwa. wanufaika.stahiki.tu.kwani.vitaweza.kusomwa.katika.vituo.vya. kutoa. huduma. pamoja. na. kutoa. taarifa.moja. kwa. moja. katika. tange. ya. Mfuko.. Aidha,..Mfuko.utaunganisha.mfumo.huu.wa.taarifa.na.mfumo.wa.vitambulisho.wa.Taifa.unaoratibiwa.na.Mamlaka.ya.Taifa.ya.Vitambulisho..

30. Mheshimiwa Spika,.Mfuko.wa.Taifa.wa.Bima.ya.Afya..umeazimia.kuongeza..wanachama.wake.ambao. kwa. sasa. ni. asilimia. 7.4. ya. Wananchi.wote. kwa. kuvisajili. vikundi. mbalimbali. vya.wajasiriamali. na. ushirika. katika. huduma. za.Mfuko. kwa. kupitia. uchangiaji. wa. mtu. mmoja.mmoja.. Katika. utaratibu. huo,. uongozi. wa.

18

Page 23: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

vikundi.ndiyo.utakuwa.wadhamini.na.pia.ndiyo.utakaokuwa.wakala.wa.Mfuko.katika.ukusanyaji.wa. michango. na. ufuatiliaji. wa. upatikanaji. wa.huduma.. Vilevile,. Mfuko. utafanya. tathmini. ya.nne. ya. Mfuko. ili. kuangalia. uhai. wa. Mfuko. na.huduma.zake.kwa.wanachama..

31. Mheshimiwa Spika, mwaka. 2001. Wizara.ilianzisha. utaratibu. wa. kugharimia. huduma.za. afya. kwa. kuchangia. Mfuko. wa. Afya. wa.Jamii. (CHF). kwa. ajili. ya. sekta. isiyo. rasmi. na.wananchi. waishio. vijijini.. Hadi. kufikia. mwezi.Mei,. 2014. Watanzania. 4,010,844. sawa. na.asilimia. 9.2. walikuwa. wamejiunga. . na. Mfuko.wa. Afya. ya. Jamii.. Ili. kuhakikisha. wananchi.wengi. wanajiunga. na. utaratibu. huo,. Mfuko.umeendelea. kuhamasisha. Halmashauri. ili.ziweze. kuandikisha. watu. wengi. zaidi. katika.Mfuko. huu.. Kutokana. na. jitihada. hizo,. Mfuko.wa.Afya.ya.Jamii.kwa.sehemu.za.mjini.umeanza.kutumika.katika.mkoa.wa.Dar. es.Salaam.kwa.kuhusisha.vikundi.vya.uzalishaji..Katika.mwaka.2014/15. utaratibu. huo. unaojulikana. kama.Tiba. kwa. Kadi. (TIKA). utaenezwa. katika. mikoa.ya. Mwanza,. Singida,. Ruvuma,. Pwani,. Tanga,.Lindi.na.Kilimanjaro..Naomba.nichukue.nafasi.hii. kuwashauri. Waheshimiwa. Wabunge. wote.kujiunga.na.Mfuko.huo.ili.kuwa.mfano.na.kutoa.elimu. ya. Mfuko. huo. katika. maeneo. yenu. ili.wananchi.wengi.waweze.kujiunga..Mimi.binafsi.nimejiunga.na.Mfuko.huu.na.nimeona.faida.zake.hivyo.nawaomba.wananchi.wote.nchini.wajiunge.

19

Page 24: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

na.Mfuko.huo.(Kiambatisho Na.4).

32. Mheshimiwa Spika, mwezi.Oktoba.2013,.Wizara.ilikamilisha. na. kuzindua. Mpango. Mkakati. wa.Matumizi. ya. TEHAMA.katika. sekta. ya. afya.wa.mwaka.2013.-.2018..Huu.ni.utekelezaji.wa..Sera.ya.Afya.ya.mwaka.2007,.inayoelekeza.matumizi.ya.mfumo. endelevu.wa.habari. na.mawasiliano.katika.shughuli.za.sekta.ya.afya..Katika.hatua.za. awali. za. kutekeleza. mpango. huo,. Wizara.imeanzisha.mfumo.wa.kukusanya.taarifa.za.vituo.vya.kutolea.huduma.za.afya.na.kutoa.mafunzo.ya.kutumia.mfumo.huo.kwa.mikoa.yote..Aidha,.Wizara. imeboresha. huduma. za. tiba. kwa. njia.ya.mtandao. -. telemedicine..Hadi. sasa.huduma.hiyo. inajumuisha.Hospitali. ya.Rufaa.ya.Kanda.Mbeya,. Temeke,. Bagamoyo,. Mwananyamala,.Amana,.Tumbi.na.Hospitali.ya.Rufaa.ya.Taifa.ya.Muhimbili.. Mafunzo. juu. ya. kutumia. mtandao.huo.kwa.wataalam.wa.afya.katika.hospitali.hizi.yamekamilika.na.hospitali.hizo.tayari.zimeanza.kuwasiliana.ili.kuboresha.tiba.na.kutoa.mafunzo.kazini. kwa. njia. ya. mtandao.. Pia,. mafunzo. ya.kutumia. mfumo. wa. taarifa. za. magonjwa. ya.mlipuko.kwa.njia.ya.simu.yamefanyika.

33. Mheshimiwa Spika, katika.mwaka.2014/2015,.Wizara.itaunganisha.Hospitali.za.Rufaa.za.Kanda.(Bugando. na. KCMC),. na. Hospitali. maalumu.(Mirembe,. Ocean. Road. na. MOI). katika. mfumo.wa. telemedicine. ili. kuboresha. huduma. za.ushauri.na.tiba.katika.mtandao.na.kupunguza.rufaa.zisizo.za.lazima..Aidha,.Wizara.inategemea.

20

Page 25: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

kutengeneza.ghala. la.Taifa. la.kuhifadhi. taarifa.za.sekta.ya.afya.katika.mfumo.wa.kielektroniki.ujulikanao. kama. National Data Warehouse..Mfumo. huu. utawezesha. Wizara. kupata. taarifa.zote.kutoka.kwenye.taasisi.zake,.miradi.misonge.na.vituo.vya.afya.binafsi.na.vya.serikali.kwa.njia.ya.kielekroniki..Vilevile,..itaandaa.mwongozo.wa.ufungaji.wa.mifumo.ya.kielekroniki.katika.vituo.vya.kutoa.huduma.za.afya.hapa.nchini..Kuwepo.kwa.mwongozo.huo.kutawezesha.mifumo.iliyopo.na.itakayofuata.kuweza.kuwasiliana.ili.kuongeza.ufanisi.

34. Mheshimiwa Spika,. kama. nilivyoahidi. katika.hotuba. yangu. ya. mwaka. 2013/14,. Wizara.ilikamilisha. kutoa. mafunzo. ya. programu. ya.kielektroniki.inayojulikana.kama.District Health Information Software.(DHIS2).kwa.wajumbe.609.wa.Timu.za.Uendeshaji.wa.Huduma.za.Afya.za.mikoa. na. Halmashauri. za. mikoa. 19. iliyobaki..Mikoa. hiyo. ni. Mwanza,. Kagera,. Mara,. Tabora,.Kigoma,.Arusha,.Manyara,.Singida,.Kilimanjaro,.Tanga,.Morogoro,.Iringa,.Mbeya,.Rukwa,.Ruvuma,.Geita,.Katavi,.Simiyu.na.Njombe..Lengo.kuu.ni.kuhakikisha.upatikanaji.wa.takwimu..sahihi.za.afya.na.kwa.wakati.pamoja.na.kuzijengea.uwezo.Timu.za.Uendeshaji.za.Afya.katika.uchambuzi.na.utumiaji.wa.takwimu.katika.kupanga.na.kutoa.maamuzi. sahihi.. Aidha,. Wizara. imekamilisha.utekelezaji.wa.majaribio.ya.mfumo.wa.matumizi.ya.simu.kwa.ajili.ya.kutolea.taarifa.mbalimbali.za.sekta.ya.afya.(m-Health).katika.Halmashauri.

21

Page 26: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

za. Wilaya. za. Bunda,. Misungwi,. Muleba. na.Manispaa.ya.Temeke..Kutokana.na.mafanikio.ya.huduma.hiyo,.Wizara.ilipanua.huduma.hiyo.kwa.awamu.kwa.kuanzia.na.mkoa.wa.Kagera..Katika.mwaka.2014/15, Wizara.itaendelea.na.upanuzi.wa.huduma.hiyo.katika.mikoa.ya.Mwanza,.Mara.na.Kilimanjaro.

HUDUMA ZA KINGA

Udhibiti wa Magonjwa

35. Mheshimiwa Spika,. Wizara. imeendelea. na.jitihada.mbali.mbali. za.kudhibiti.magonjwa.. Ili.kutimiza.lengo.hilo,.Wizara.ilifuatilia.mwenendo.na.viashiria.vya.magonjwa.yanayotolewa.taarifa.kitaifa.na.kimataifa.ikiwa.ni.pamoja.na.magonjwa.ya. mlipuko.. Aidha,. Wizara. imeimarisha. utoaji.wa. taarifa. za.magonjwa.kwa.njia. ya. simu.kwa.kutumia. mfumo. maalumu. wa. kielektroniki..Teknolojia. hiyo. imesaidia. utoaji. wa. taarifa.mapema. na. hivyo. kuwezesha. udhibiti. wa.magonjwa.ya.milipuko.kwa.haraka.zaidi..Awamu.ya. majaribio. ya. utekelezaji. wa. mfumo. huo.imehusisha.mikoa.ya.Dar.es.Salaam. (Temeke),.Mwanza. (Misungwi). na. Mara. (Bunda). ambapo.mwitikio.wa.kutumia.mfumo.huo.kwa.Wataalam.wa.afya.na.Wadau.wengine.katika.maeneo.hayo.ya. majaribio. ni. mkubwa.. Hii. ni. ishara. kuwa.Mpango. huu. utafanikiwa. baada. ya. kuanza.kutekelezwa.katika.maeneo.mengine.nchini..

22

Page 27: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

36. Mheshimiwa Spika, vilevile,. . Wizara.imeendelea. kufuatilia,. kuchukua. tahadhari. na.kudhibiti.magonjwa.katika.mipaka. ya.nchi. yetu.yanayoweza. kuingia. kutokana. na. wasafiri.wanaoingia. nchini. kwa. kuzingatia. kanuni. za.afya. za. kimataifa.. Ufuatiliaji. umefanyika. kwa.magonjwa. mapya. yanayojitokeza. (emerging infectious diseases). ikiwemo. ebola,. dengue. na.mafua.makali. yanayosababishwa.na. virusi. vya.influenza,.ambapo.hakuna.ugonjwa.uliothibitika.kuingia. nchini. isipokuwa. ugonjwa. wa. dengue.ambao. unaendelea. kudhibitiwa.. Pia,. Wizara.imeboresha. Maabara. Kuu. ya. Taifa. ambapo.baadhi.ya.magonjwa.kama.vile.homa.ya.bonde.la.ufa.(RVF),.dengue,.mafua.makali.ya.influenza.na.coronavirus.yanaweza.kudhibitiwa.hapa.nchini..

37. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15,.Wizara.itaendelea.kufuatilia.mwenendo.na.viashiria.vya. magonjwa. yanayotolewa. taarifa. kitaifa. na.kimataifa.ikiwa.ni.pamoja.na.magonjwa.ya.mlipuko..Aidha,.itatekeleza.kwa.awamu,.utoaji.wa.taarifa.za. magonjwa. kwa. njia. ya. simu. kwa. kutumia.mfumo.maalumu.wa.kielektroniki.na.kuendesha.mafunzo. kwa. wataalam. wa. afya. toka. ngazi. ya.vituo.vya.kutolea.huduma.za.afya.nchini.katika.mikoa.ya.Rukwa,.Mtwara,.Kilimanjaro,.Mara.na.Kagera.. Wizara. itaendelea. kufanya. ufuatiliaji.wa. magonjwa. pamoja. na. matukio. mbalimbali.ya. kiafya. kwa. kutekeleza. mpango. kazi. uliopo.wa.kanuni.za.afya.za.Kimataifa.za.mwaka.2005.ambapo.ufuatiliaji.huo.pia.utahusisha.vituo.vya.afya.bandarini.

23

Page 28: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

38. Mheshimiwa Spika,. Wizara. kupitia. programu.ya. Field Epidemiology and Laboratory Training imeendelea. kutoa. mafunzo. ya. muda. mrefu.ya. ufuatiliaji. na. udhibiti. wa. magonjwa.yanayoambukiza. na. yasiyoambukiza. kwa.watumishi. wa. afya. kupitia. miongozo. ya. kitaifa.na.kanuni.za.afya.za.kimataifa..Aidha,.wataalam.45.wamehitimu.mafunzo.ya.muda.mrefu.katika.ngazi. ya. shahada. ya. uzamili. na. wataalam. 302.mafunzo.ya.muda.mfupi..Hii.ni.sawa.na.asilimia.23.ya.malengo.kwa.kozi.ya.shahada.ya.uzamili.na.asilimia.76.ya.malengo.kwa.kozi.ya.muda.mfupi..Ili.kufikia.malengo.ya.kufundisha.wataalam.200.kwa. miaka. mitano,. Wizara. kupitia. programu.hiyo. itaendelea.kutoa.mafunzo.ya.muda.mrefu.ambapo. katika. mwaka. 2014/15. itaongeza.wanafunzi.14..Pia,.itaendelea..kutoa.mafunzo.ya.muda.mfupi.ya.epidemiolojia.kwa.watumishi...

39. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2013/14.Wizara. imetoa. chanjo. kwa. mahujaji. 3,820.kwa. ajili. ya. kuzuia. magonjwa. ya. homa. ya. uti.wa. mgongo. na. kutoa. elimu. kwa. mahujaji. hao.ya. namna. ya. kujikinga. na. maambukizi. ya.magonjwa. ya. mlipuko. ikiwemo. mafua. makali..Wizara.itaendelea.kufanya.ufuatiliaji.wa.magonjwa.ya.mafua.ikiwemo.mafua.makali.ya.ndege.katika.vituo.maalum.vinne.(4).vilivyopo.nchini.ambavyo.ni.Sekou.Toure.(Mwanza),.Hospitali.ya.Wilaya.ya.Kibondo. (Kigoma),.Hospitali. ya.Mwananyamala.(Dar.es.Salaam).na.Kliniki.ya.IST.(Dar.es.Salaam)..Juhudi.hizi..zinajumuisha..na.kuchukua.sampuli.

24

Page 29: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

kutoka. kwa. wagonjwa. waliofikisha. vigezo. vya.utambuzi.ili.kuzifanyia.uchunguzi..

40. Mheshimiwa Spika, Wizara. kwa. kushirikiana.na. Wizara. ya. Maendeleo. ya. Mifugo. na. Uvuvi.iliendelea. kutekeleza. mradi. wa. majaribio. wa.kutokomeza. ugonjwa. wa. kichaa. cha. mbwa..Hadi. sasa,. mradi. umeshatoa. dozi. 26,333. za.chanjo. ya. kuzuia. ugonjwa. huo. katika. mikoa.ya. Morogoro,. Pwani,. Mtwara,. Lindi. na. Dar. es.Salaam..Wizara.pia,.imepanga.kufanya.ufuatiliaji.wa.ugonjwa.wa.kichaa.cha.mbwa.katika.mikoa.ya. Arusha,. Mwanza,. Singida. na. Kilimanjaro.ambayo.haikufikiwa.na.mradi.wa.majaribio.wa.kutokomeza.ugonjwa.huo.nchini..Nichukue.fursa.hii.kuwataka.watumishi.wote.ambao.kwa.namna.moja.au.nyingine.wanashiriki.katika.kuuza.dawa.za. kichaa. cha. mbwa. ambazo. hugharamiwa. na.Serikali,.kuacha.tabia.hiyo.mara.moja..Viongozi.wote. wa. ngazi. zote. katika. vituo. vya. kutolea.huduma.za.afya.nchini.wawachukulie.hatua.kali.watumishi. wote. wenye. tabia. hiyo,. kwa. mujibu.wa.sheria.

Udhibiti wa Malaria

41. Mheshimiwa Spika, katika. hotuba. yangu. ya.bajeti. ya. mwaka. 2013/14. niliahidi. kuendeleza.mikakati. na. afua. mbalimbali. za. kudhibiti.ugonjwa. wa. malaria. ili. kuhakikisha. mafanikio.yaliyopatikana. katika. kudhibiti. malaria.

25

Page 30: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

yanakuwa. endelevu. Ili. kutimiza. ahadi. hiyo, jumla.ya.vyandarua.1,691,339.vyenye.viuatilifu.vya. muda. mrefu. (LLINs). vilisambazwa. kupitia.Mpango. wa. Hati. Punguzo. kwa. wajawazito. na.watoto. wachanga.. Aidha,. vyandarua. 510,000.viligawiwa. bila. malipo. katika. kaya. kupitia.wanafunzi. wa. shule. zote. 2,302. za. msingi.na. sekondari. zilizopo. katika. Mikoa. ya. Lindi,.Mtwara.na.Ruvuma..Lengo.ni.kuwepo.mkakati.endelevu. wa. kusambaza. vyandarua. kwa. jamii,.ili. kuhakikisha. kuwa. viwango. vilivyofikiwa.vya. umiliki. wa. vyandarua. kwa. asilimia. 95. na.matumizi. ya. vyandarua. hivyo. kwa. asilimia. 75.havishuki..

42. Mheshimiwa Spika, vilevile,. Wizara. ilipulizia.dawa. -. ukoko. katika. kuta. ndani. ya. . nyumba.kwenye.kaya.838,000.katika.Mikoa.ya.Kagera,.Mwanza.na.Mara..Jumla.ya.wananchi.4,505,752.katika. maeneo. hayo. wamekingwa. dhidi. ya.maambukizi. ya. ugonjwa. wa. malaria,. ikiwa. ni.sawa.na.asilimia.95.ya.walengwa..Wizara.ilipitia.na. kuboresha. mwongozo. mpya. wa. uchunguzi.na.matibabu.ya.Malaria,.(National Guidelines for Malaria Diagnosis and Treatment).kwa.kuzingatia.matumizi. ya. kipimo. cha. malaria. kinachotoa.majibu.kwa.haraka.malaria rapid diagnostic test (mRDT).na.matumizi.ya.sindano.(Inj. Artesunate).kama.chaguo.la.kwanza.kwa.tiba.ya.malaria.kali..Jumla. ya. watoa. huduma. 11,765. wamepatiwa.mafunzo.ya.uchunguzi.kwa.kutumia.vipimo.vya.mRDT.nchi.nzima..

26

Page 31: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

43. Mheshimiwa Spika, katika. mwaka. 2014/15,.Wizara. itaanza. kutekeleza. Mpango. Mkakati.wa. Kudhibiti. Malaria. 2014-2020,. kwa. kugawa.vyandarua. 7,150,000. vyenye. viuatilifu. vya.muda. mrefu. kwa. makundi. mbalimbali. ikiwa..ni. pamoja. na. wanafunzi. shuleni. katika. mikoa.ya. Lindi,. Mtwara. na. Ruvuma.. Aidha,. Wizara.itaendelea. kunyunyizia. dawa. ukoko. katika.kuta. ndani. ya. nyumba. katika. mikoa. yenye.maambukizi. makubwa. ikiwemo. mikoa. ya.Mwanza,.Mara.na.Geita..Vilevile,.utekelezaji.wa.mradi.wa.kuangamiza.viluwiluwi.vya.mbu.katika.mazalia. (aquatic stage). kwa.kutumia. viuadudu.vya. kibailojia. (Biolarvicides). katika. Mikoa. 5. ya.Kagera,. Mwanza,. Mara,. Shinyanga. na. Geita.utaendelea..

Udhibiti wa Homa ya Dengue

44. Mheshimiwa Spika,. nchi. yetu. kwa. mara.nyingine. imekumbwa. na. mlipuko. wa. homa. ya.dengue..Homa.ya.dengue.ilijitokeza.Dar.es.Salaam.kwa.mara.ya.kwanza.2010.na.ya.pili.mwaka.2012.na. kudhibitiwa.. Januari. mwaka. huu,. ugonjwa.huo.ulilipuka.tena.katika.jiji.la.Dar.es.Salaam...Katika.mlipuko.ulioanza.mwezi.Januari.hadi.Mei,.2014. jumla.ya.wagonjwa.1,039.walithibitishwa.kuwa.na.virusi.vinavyosababisha.ugonjwa.huo..Idadi.hiyo.inahusisha.wagonjwa.1,029.wa.Mkoa.wa.Dar.es.Salaam..Mikoa.mingine. iliyoripotiwa.kuathirika.na.ugonjwa.huo.ni.Mbeya.(2),.Kigoma.(3),.Mwanza. (2),.Kilimanjaro. (1),.Njombe. (1).na.

27

Page 32: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

Dodoma.(1)..Hadi.sasa.jumla.ya.wagonjwa.wanne.wameripotiwa. kufariki. kutokana. na. ugonjwa.huo.

45. Mheshimiwa Spika,. hatua. mbalimbali.zimechukuliwa. ili.kupambana.na.ugonjwa.huo.ikiwa.ni.pamoja.na.kuimarisha.uwezo.wa.maabara.kupima.ugonjwa,.kujenga.uwezo.wa.watumishi.wa. afya. kuhudumia. wagonjwa,. kuelimisha.jamii. na. kudhibiti. mbu. wanaoambukiza.dengue.. Mkazo. umewekwa. katika. zoezi. la.kupambana.na.mbu.kama.muhimili.mkuu.wa.kuzuia. kuenea. kwa. maambukizi. ya. ugonjwa.huo..Zoezi. la. . kuangamiza.mbu.kwa.kupulizia.dawa.limefanyika.na.linaendelea.katika.maeneo.mbalimbali. ya. jiji. la. Dar. es. Salaam. na. pia,..mabasi. zaidi. ya. 600. yaendayo. nje. ya. mkoa.wa. Dar. es. Salaam. yamepuliziwa. dawa.. Aidha,.Wizara.imenunua.vipimo.(test kits).5,700.nchini.na. mafunzo. yametolewa. kwa. watoa. huduma.ili. kuwapa. uwezo. wa. kuwabaini. wagonjwa. wa.dengue.wanaohudhuria.vituoni..Utafiti.kuhusu.ukubwa. wa. maambukizi. ya. virusi. vya. dengue.kwa.binadamu.na.mbu.umeanza.katika.wilaya.zote. za. mkoa. wa. Dar. es. Salaam.. Utafiti. huu.unafanywa. na. Taasisi. ya. Taifa. ya. Utafiti. wa.Magonjwa.ya.Binadamu.(NIMR)...

46. Mheshimiwa Spika,. hadi. sasa. hakuna. dawa.maalum.au.chanjo.ya.ugonjwa.huo.bali.mgonjwa.anatibiwa.kutokana.na.dalili.zitakazoambatana.na.ugonjwa.huo.kama.vile.homa,.kupungukiwa.

28

Page 33: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

maji. au. damu.. Ili. kujikinga. na. ugonjwa. huo.naomba. nitoe. rai. kwa. wananchi. wote. kwamba.wafukie.madimbwi.ya.maji.yaliyotuama.kwenye.maeneo. wanapoishi,. waondoe. vitu. vyote.vinavyoweza. kuweka. mazalio. ya. mbu. kama.vifuu.vya.nazi,.makopo,.magurudumu.ya.magari.yaliyotupwa.hovyo,.vichaka.vifyekwe,.mashimo.ya.majitaka.yafunikwe.kwa.mifuniko.imara.na.gata.za.mapaa.ya.nyumba.zisafishwe.ili.kutoruhusu.maji.kutuama..Vilevile,.ili.kujikinga.na.kuumwa.na. mbu. tutumie. viuatilifu. vya. kufukuza. mbu,.vyandarua. vilivyosindikwa. viuatilifu. na. tuweke.nyavu.kwenye.madirisha.na.milango.ya.nyumba.tunazoishi.. Hata. hivyo,. tunashauri. wananchi.kwenda. vituo. vya. afya. haraka. pindi. waonapo.dalili. za. ugonjwa. huo.. Pia,. sote. tuzingatie.utunzaji. wa. mazingira. yetu. nayo. yatatutunza.na.kutuepusha.na.maradhi.yanayoambatana.na.mazingira.machafu.

Udhibiti wa Kifua Kikuu na Ukoma

47. Mheshimiwa Spika,.Wizara.iliandaa.Miongozo.ya. mafunzo. kwa. ajili. ya. watumishi. wa. afya.kuhusu.uchunguzi.na.matibabu.ya.maambukizi.ya. pamoja. ya. kifua. kikuu. na. UKIMWI. kwa.watoto. na. kuanzisha. kituo. cha. mfano. katika.hospitali. ya. Mwananyamala. kama. sehemu. ya.kupata.uzoefu..Aidha,..mafunzo.yalitolewa.kwa.watumishi. wa. afya. 1,490. kuhusu. matibabu.ya. maambukizi. ya. pamoja. ya. kifua. kikuu. na.

29

Page 34: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

UKIMWI. kwa. watoto. katika. mikoa. ya. Dar. es.Salaam,. Iringa,. Morogoro,. Tanga,. Tabora,.Singida,. Mtwara,. Lindi,. Shinyanga,. Mwanza,.Kilimanjaro,.Arusha,.Pwani.na.Mbeya..Vilevile,..huduma. za. uchunguzi. wa. vimelea. vya. kifua.kikuu.na.usugu.wa.vimelea.kwa.dawa.za.kifua.kikuu. ziliboreshwa. kwa. kusambaza. mashine.za.Gene-Xpert.katika.mikoa.ya.Dar.es.Salaam,.Rukwa,. Iringa,. Mbeya,. Kilimanjaro,. Mtwara,.Geita,.Ruvuma,.Tanga.na.Mwanza..Kwa.mara.ya.kwanza.utafiti.wa.kutathmini.ukubwa.wa.tatizo.la.kifua.kikuu.nchini.ulifanyika. (TB Prevalence Survey -.2013)...Utafiti.huo.ulibaini.kwamba..bado.kifua.kikuu.ni.tatizo.kubwa.ambapo.matokeo.ya.awali.yanaonesha.kuwa.tatizo.la.kifua.kikuu.ni.wagonjwa. 295. kati. ya. watu. 100,000.. Vilevile,.ugonjwa. wa. kifua. kikuu. upo. zaidi. kwa. watu.wenye.umri.zaidi.ya.miaka.45.kuliko.miongoni.mwa.vijana.

48. Mheshimiwa Spika, katika. mwaka. 2014/15, Wizara.itaendelea.kugatua.huduma.za.matibabu.ya. kifua. kikuu. sugu. nchini. kutoka. Hospitali.ya. Kibong’oto. kwenda. kwenye. ngazi. ya. wilaya..Aidha,. huduma. za. kifua. kikuu. zitaanzishwa.katika.maeneo.ya.migodi.na.machimbo..Vilevile,..maabara. za. kifua. kikuu. nchini. zitaboreshwa.ili.kuongeza.ugunduzi.wa.kifua.kikuu. ikiwemo.kifua. kikuu. sugu. kwa. kuendelea. kusambaza.mashine.za.Gene-Xpert.nchini..

49. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2013/14.kampeni.za.kuhamasisha.jamii.kutambua.dalili.

30

Page 35: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

za. awali. za. ukoma. zilifanyika. katika. wilaya.za. Mvomero,. Chato. na. Mkinga.. Aidha,. zoezi.la. utambuzi. wa. wagonjwa. wapya. wa. ukoma.lilifanyika.katika.wilaya.ya.Mkinga,.ambapo.kati.ya. watu. 393. waliochunguzwa. 12. walikuwa. na.ugonjwa.wa.ukoma..Vilevile,.jumla.ya..jozi.3,800.za.viatu.kwa.watu.walioathirika.na.ukoma.sawa.na. asilimia. 95. ya. lengo. lililo. kusudiwa. la. jozi.4,000.zilitolewa...Katika.mwaka.2014/15,.Wizara.itaongeza.vituo.vya.kutoa.huduma.shirikishi.za.kifua.kikuu.na.UKIMWI.na. itaendelea.kufanya.kampeni. maalum. ya. kuelimisha. jamii. kuhusu.ugonjwa.wa.ukoma.na.utambuzi.wa.wagonjwa.wa.ukoma.katika.wilaya.zenye.viwango.vya.juu.vya. maambukizi. zikiwemo. wilaya. za. Liwale,.Nkasi,.Nanyumbu.na.Mkinga..Vilevile,..Mpango.Mkakati.wa.Tano.wa.Kudhibiti.Kifua.Kikuu.na.Ukoma.(2015.–.2019).utaandaliwa.

Udhibiti wa UKIMWI

50. Mheshimiwa Spika,. katika. Mpango. Mkakati.wa.Tatu.wa.Sekta.ya.Afya. (2009-2015),.Wizara.iliweka. kipaumbele. katika. kudhibiti. magonjwa.ikiwemo. UKIMWI.. Kutokana. na. jitihada. hizo,.maambukizi. ya. UKIMWI. Tanzania. Bara.yamepungua. kutoka. asilimia. 5.8. mwaka. 2008.hadi.kufikia.asilimia.5.3.mwaka.2012..Mafanikio.haya. yamewezekana. kutokana. na. kutekeleza.afua.mbali.mbali.zikiwemo.kutoa.na.kusimamia.huduma.za.ushauri.nasaha.na.upimaji.wa.VVU..

31

Page 36: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

Hadi.kufikia.mwezi.Desemba,.2013.idadi.ya.watu.waliopima. imeongezeka. kutoka. watu. 11,640.mwaka. 2009. hadi. 20,469,241.. Hii. ni. sawa. na.wastani.wa.ongezeko.la.watu.zaidi.ya.2,000,000.kwa.kila.mwaka..Ongezeko.hilo.ni.kielelezo.kuwa.jamii.imehamasika.kupima.na.kufahamu.hali.za.afya.zao.

51. Mheshimiwa Spika,. kwa. mwaka. 2013. watu.186,428,. wameanzishiwa. dawa. za. kupunguza.makali. ya. VVU.. Wizara. pia,. imeendelea. kutoa.huduma. za. udhibiti. wa. VVU. na. UKIMWI. kwa.watoto.ambapo.kwa.kipindi.hiki..watoto.15,463.wameanzishiwa.dawa.za.ARVs...Aidha,.ili.kuleta.mwendelezo. wa. huduma. kutoka. kwenye. vituo.vya. kutolea. huduma. za. afya. hadi. nyumbani,.huduma. imetolewa. kwa. wagonjwa. nyumbani.ambao. wanaishi. na. virusi. vya. UKIMWI.. Hadi.kufikia.Desemba.2013,. jumla.ya.watu.304,298.wamepatiwa.huduma.hii..Wizara.pia,.ilinunua.na.kusambaza.mashine.32.za.aina.ya.Facs Counts.ambazo. zina. uwezo. mkubwa. wa. kupima. CD4.na. kuzisambaza. kwenye. hospitali. za. Mikoa. na.Wilaya.(Kiambatisho Na. 5)..Vilevile,..uchunguzi.wa. kifua. kikuu. ulifanyika. kwa. watu. 457,901.wanaoishi.na.VVU.ambao.wanahudhuria.kliniki.za.huduma.ya.tiba.na.matunzo..Kati.yao,.wagonjwa.5,413.sawa.na.asilimia.1.2.waligundulika.kuwa.na.maambukizo.ya.kifua.kikuu.na.walianzishiwa.dawa.za.kifua.kikuu..

52. Mheshimiwa Spika,.katika.mwaka.2014/2015,.Wizara. itaendelea. kutekeleza. Mpango. Mkakati.

32

Page 37: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

wa.Tatu.wa.Sekta.ya.Afya.wa.Kudhibiti.UKIMWI.(2013-2017),. kwa. kutoa. huduma. za. tiba. na.matunzo..kwa.wanaoishi.na.VVU.na.kuwaanzishia.dawa. za. kupunguza. makali. ya. VVU. wagonjwa.wapya. 202,000. ifikapo. Juni. 2015,. kuwezesha.vituo. 600. vinavyotoa. ARVs. kwa. mama. (B+).viweze. pia. kutoa. huduma. za. tiba. na. matunzo.kwa.watoto.na.watu.wazima.wanaoishi.na.VVU,.kupanua.huduma.za.wagonjwa.nyumbani.hadi.kufikia. watu. 424,298,. kununua. vifaa. tiba. vya.maabara. na. vitendanishi,. mashine. ndogo. 105.za.kupima.CD4.na.kusambaza.kwenye.vituo.vya.afya.na.zahanati.

53. Mheshimiwa Spika,. Wizara. ilifanya. utafiti. na.kujua.hali.ya.maambukizi.ya.VVU.kwa.wanawake.wanaofanya. biashara. ya. ngono. katika. Mikoa.saba.ya.Dar.es.Salaam,.Iringa,.Mbeya,.Mwanza,.Shinyanga,.Tabora.na.Mara..Matokeo.ya.utafiti.huo. yanaonesha. kuwa. maambukizi. ni. kati.ya. asilimia. 14.0. hadi. 37.5. ambayo. ni. zaidi. ya.wastani.wa.maambukizi.kwa.wanawake.kitaifa.ya.asilimia.6.2..Wizara.imeandaa.miongozo.kwa.watoa.huduma.za.afya.na.kuboresha.miongozo.mbalimbali.ya.UKIMWI.ili.kuweza.kutoa.huduma.za.afya.kwa.makundi.hayo.maalumu..Aidha,.kwa.kutambua. mchango. wa. tohara. kwa. wanaume.katika.kukinga.maambukizi.ya.UKIMWI.na.kwa.kuzingatia. kuwa. tafiti. zinaonesha. tohara. kwa.wanaume.inapunguza.maambukizi.ya.VVU.kwa.asilimia.60.kipaumbele.kimewekwa..katika.afua.hii. kwa. mikoa. kumi. na. mbili. yenye. asilimia.

33

Page 38: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

kubwa. ya. maambukizi. ya. VVU. na. kiwango.kidogo.cha.tohara.kwa.wanaume..Mikoa.hiyo.ni.Mbeya,. Iringa,.Rukwa,.Njombe,.Katavi,.Tabora,.Shinyaga,. Kagera,. Simiyu,. Geita,. Mwanza. na.Mara.. Hadi. kufikia. Desemba. 2013,. jumla. ya.wanaume.672,225.walipata.huduma.ya. tohara.sawa.na.asilimia.32.ya.lengo.la.kufanya.tohara.kwa.wanaume.2,102,252. ifikapo.mwaka.2017..Katika.mwaka.2014/15,.Wizara.itatoa.huduma.ya. tohara. kwa. wanaume. wapatao. 462,495. wa.mikoa.hiyo.kumi.na.mbili.

Udhibiti wa Magonjwa Yaliyokuwa Hayapewi Kipaumbele

54. Mheshimiwa Spika, Wizara. imeendelea. na.utekelezaji.wa.Mpango.wa.Kudhibiti.Magonjwa.Yaliyokuwa. Hayapewi. Kipaumbele. 2012-2017.kwa.kugawa.dawa.za.kinga-tiba.za.magonjwa.ya.matende.na.mabusha,. vikope,.usubi,.kichocho.na.minyoo.ya.tumbo..katika.wilaya.108.ndani.ya.mikoa.17.hapa.nchini..Jumla.ya.wananchi.milioni.17.walifikiwa.katika.umezaji.dawa.hizi,.na.dozi.milioni. 42. za. dawa. za.kinga-tiba. ya.magonjwa.haya. zilitumika.. Aidha,. katika. mkoa. wa. Dar.es. Salaam. ambapo. dawa. hizi. zilitolewa. kwa.mara.ya.kwanza,.jumla.ya.wananchi.2,694,986.walimeza.dawa.hizo.ambazo.ni.sawa.na.asilimia.58.ya.wakazi.wote...Vilevile,.wanafunzi.401,686.sawa.na.asilimia.82.ya.wanafunzi.wote.jijini.Dar.es. Salaam. walipata. kinga-tiba. ya. kichocho. na.

34

Page 39: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

minyoo.. .Katika.mkoa.wa.Mwanza.ambapo.pia.ni.mara.ya.kwanza.wananchi.kumeza.dawa.hizi,.jumla. ya. wanafunzi. 554,379. sawa. na. asilimia.79.1.ya.wanafunzi.wote.mkoani.Mwanza.walipata.kinga-tiba.ya.kichocho...

55. Mheshimiwa Spika, katika. mwaka. 2014/15,.Wizara. itaendelea. na. utekelezaji. wa. Mpango.wa. Kudhibiti. Magonjwa. Yaliyokuwa. Hayapewi.Kipaumbele. kwa. kugawa. dawa. za. kinga-tiba.za. magonjwa. ya. matende. na. mabusha,. usubi,.vikope,. kichocho. na. minyoo. katika. wilaya. 108.zilizomo. ndani. ya. mikoa. 17. ambayo. Mpango.unatekelezwa..Aidha,.huduma.hiyo.itapanuliwa.katika.mikoa.minne.ya.Geita,.Simiyu,.Mara.na.Kigoma,.ambapo.jumla.ya.wilaya.38.zitahusishwa...

Huduma ya Afya ya Uzazi na Mtoto

56. Mheshimiwa Spika,. katika. kuhakikisha. vifo.vya. akina. mama. vinavyotokana. na. uzazi. na.vifo.vya.watoto.vinapungua,.Wizara.imeendelea.kutekeleza. Ilani.ya.Uchaguzi. Ibara.ya.86. (j).na.Mpango.Mkakati.wa.Kuongeza.Kasi.ya.Kupunguza.Vifo.Vitokanavyo.na.Matatizo.ya.Uzazi.na.Vifo.vya.Watoto.(2008-2015)...Watoa.Huduma.za.Afya.ya.Uzazi.na.Mtoto.2,439..wamejengewa.uwezo.kwa.kuwapatia.stadi.za.kuokoa.maisha.katika.ngazi.ya.vituo.vya.kutolea.huduma.za.afya..Aidha,.Watoa.Huduma. 622. katika. jamii. walipata. mafunzo.ya. kuelimisha. jamii. umuhimu. wa. kujifungulia.

35

Page 40: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

katika.vituo.vya.kutolea.huduma.za.afya,.huduma.bora.kwa.mjamzito.hadi.siku.arobaini.baada.ya.kujifungua,.pamoja.na.huduma.ya.mtoto.kuanzia.ngazi. ya. kaya.. Vilevile,. Watoa. Huduma. 189.walipatiwa.mafunzo.ya.huduma.ya.mama.baada.ya.kujifungua.mtoto.hadi.siku.arobaini.baada.ya.kujifungua..Watoa.huduma.hao.walitoka.mikoa.ya.Mwanza,.Shinyanga,.Simiyu,.Tabora,.Dodoma,.Singida,. Morogoro,. Iringa,. Mbeya,. Mtwara. na.Lindi..Vilevile,..vifaa.tiba.vinavyotumika.wakati.wa.dharura.ya.huduma.za.uzazi.vimesambazwa.katika.hospitali.na.vituo.vilivyopandishwa.hadhi.kuviwezesha.kufanya.upasuaji.mkubwa..

57. Mheshimiwa Spika, katika.mwaka.2014/2015,.Wizara. itaendelea. kuwajengea. uwezo. Watoa.Huduma. za. Afya. ya. Uzazi. na. Mtoto. katika.vituo.vya.kutolea.huduma.za.afya..Aidha,Wizara.itahamasisha. na. kushirikisha. jamii. katika.masuala. yanayohusu. afya. ya. uzazi. kwa. kutoa.mafunzo. katika. nyanja. mbalimbali. na. kufanya.ufuatiliaji. na. usimamizi. shirikishi.. Vilevile,.Wizara. itakamilisha. na. kuanza. kutekeleza.mpango.mahsusi.wa.ufuatiliaji.vifo.vya.wanawake.vitokanavyo.na.uzazi.na.vifo.vya.watoto.wachanga.katika.ngazi.zote.

58. Mheshimiwa Spika, Wizara. imekuwa.ikitekeleza.Mradi.wa.Kupunguza.Vifo.vya.Uzazi.wa.Mama.na.Mtoto.(Support to Maternal Mortality Reduction Project). kwa. kushirikiana. na. Benki.ya.Maendeleo.ya.Afrika.(AfDB).katika.mikoa.ya.Mtwara,.Mara.na.Tabora..Mikoa.hiyo. ilibainika.

36

Page 41: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

kuwa.na.viwango.vikubwa.vya.vifo.vitokanavyo.na. uzazi. na. hivyo. ujenzi. na. ukarabati. ulianza.katika. baadhi. ya. Vituo. vya. Afya. na. Hospitali.zilizomo. katika. Wilaya. za. Mikoa. hiyo.. Kupitia.Mradi.huo,.majengo.ya.upasuaji.katika.Hosipitali.ya.Rufaa.ya.Mkoa.wa.Mara.na.Vituo.vya.Afya.10.na.Zahanati.53.yamekamilika.na.vifaa.na.vifaa.tiba.vimefungwa..Aidha,.nyumba.za.watumishi.19.na.Chuo.cha.Madaktari.Wasaidizi.cha.Kanda.ya.Kusini.–.Mtwara.zimekamilika.na.zinatumika..

59. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15,.Wizara. itakamilisha. ujenzi. wa. miradi. ambayo.haikukamilika. katika. mwaka. 2013/14. katika.mikoa. ya. Tabora. na. Mara.. Miradi. hiyo. ni.ukamilishaji.wa.ujenzi.wa.majengo.ya.upasuaji.na.ufungaji.wa.vifaa.na.vifaa.tiba.katika.Hopitali.ya.Rufaa.ya.Kitete,.Hospitali.za.Wilaya.ya.Igunga.na.Nzega.na.Vituo.vya.Afya.sita.(6)..Aidha,.ujenzi.wa.Chuo.cha.Madaktari.Wasaidizi.–.Tabora.na.Wodi.nne.(4).katika.Hopitali.ya.Rufaa.ya.Kitete.zitakamilishwa.. Vilevile,. nyumba. za. watumishi.nne.(4).na.Kliniki.za.Afya.Mtoto.na.Uzazi.(RCH).nane. (8),. majengo. ya. wagonjwa. wa. nje. (OPD).manne.(4).yatakamilishwa.katika.mkoa.wa.Tabora..Katika. mkoa. wa. Mara,. majengo. ya. upasuaji.katika.Vituo.vya.Afya.10.yatakamilishwa.

60. Mheshimiwa Spika,.katika.kutekeleza.Mpango.wa.Kitaifa.wa.Uzazi.wa.Mpango.Uliothaminiwa.(2010-2015),. Wizara. ilinunua. na. kusambaza.dawa. za. uzazi. wa. mpango. nchini. kote.. . Kiasi.cha. Sh.. bilioni 6. zilitumika. kwa. ajili. ya.

37

Page 42: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

ununuzi.na.usambazaji.wa.vidonge..vya.kumeza.2,891,520,. sindano.904,976,.vipandikizi.331,824.na. kondomu. 15,004,800.. Aidha,. watoa. huduma.1,673.walipatiwa.mafunzo.ya.stadi.za.uzazi.wa.mpango..Vilevile,.miongozo,.mitaala.na.vijarida.vya.uzazi.wa.mpango.vilifanyiwa.maboresho.na.kusambazwa.kwa.watumiaji..Wizara.pia,.ilifanya.uraghibishi.kwa.viongozi.72.kuhusu.umuhimu.wa. kutenga. fedha. kwa. ajili. ya. kutekeleza.shughuli. za.uzazi.wa.mpango.katika.mikoa. ya.Dar. es. Salaam,. Shinyanga. na. Dodoma.. Pia,.ilizindua.upya.Nyota. ya.kijani. ili. kuhamasisha.ongezeko. la. kutumia. huduma. za. uzazi. wa.mpango. nchini.. Katika. mwaka. 2014/2015,.Wizara. itaendelea. kutekeleza. mpango. wa.kitaifa.wa.uzazi.wa.mpango.uliothaminiwa.kwa.kununua. na. kusambaza. vidonge. vya. kumeza,.sindano,. vipandikizi,. vitanzi. na. kondomu. ili.ziweze.kuwafikia.wananchi.wanaozihitaji.nchini..

61. Mheshimiwa Spika,. Wizara. imetelekeza. Ilani.ya. Uchaguzi. Ibara. ya. 85. (i). ya. kudhibiti. vifo.vya. watoto. na. kupata. mafanikio. makubwa. ya.kupunguza. vifo. vya. watoto. wenye. umri. chini.ya. miaka. mitano. hadi. kufikia. watoto. 54. kwa.kila.vizazi.hai.1,000.. Ili.kuhakikisha.vifo.hivyo.vinaendelea.kushuka,.Wizara.ilitoa.mafunzo.ya.matibabu. ya. magonjwa. ya. watoto. kwa. uwiano.yaani. Integrated Management of Childhood Illness-IMCI. kwa. Watoa. Huduma. 1,412. kutoka.Wilaya. 24. za. Mikoa. 11. nchini.. Vilevile,. Watoa.Huduma.7,361.walipata.mafunzo.ya.namna.ya.

38

Page 43: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

kumsaidia. mtoto. mchanga. kupumua. kutoka.mikoa. ya. Arusha,. Dar. es. Salaam,. Morogoro,.Lindi,. Ruvuma,. Iringa,. Njombe,. Manyara. na.Mbeya..Wizara.pia,.ilinunua.na.kusambaza.Ambu bag/masks.7,153.na.Penguin suckers.9,550.kwa.ajili. ya. kuwahudumia. watoto. wanaoshindwa.kupumua.mara.baada.ya.kuzaliwa.na.madoli.ya.kufundishia.3,267..

62. Mheshimiwa Spika, katika.mwaka.2014/2015,.Wizara. itaendelea. kuwapatia. watoa. huduma.mafunzo.ya.namna.ya.kumsaidia.mtoto.mchanga.kupumua.sambamba.na.kusambaza.vifaa.husika.ili. kukamilisha. lengo. la. kufikia. . nchi. nzima..Aidha,.Watoa.Huduma.watapatiwa.mafunzo.ya.matibabu. ya. magonjwa. ya. watoto. kwa. uwiano.katika. mikoa. 14. ya. Mwanza,. Mara,. Kagera,.Kigoma,.Rukwa,.Arusha,.Dodoma,.Kilimanjaro,.Tanga,.Ruvuma,.Lindi,.Mtwara,.Geita.na.Pwani..

63. Mheshimiwa Spika,. tatizo. la. saratani.limekuwa. likiongezeka. mwaka. hadi. mwaka.. Ili.kukabiliana. na. tatizo. hilo,. . jumla. ya. vituo. 54.vya. kufanya. uchunguzi. wa. saratani. ya. shingo.ya. kizazi. vimeanzishwa. na. kupatiwa. vifaa. vya.kutibu. mabadiliko. ya. awali. katika. mikoa. ya.Mbeya.(5),.Ruvuma.(2),.Arusha.(4),.Manyara.(4),.Kilimanjaro.(5),.Tabora.(5),.Rukwa.(2).na.Katavi.(2).. Vituo. vingine. ni. pamoja. na. Hospitali. ya.Taifa.Muhimbili,.na.vituo.vya.Marie Stopes.(11).na.vituo.vinavyofadhiliwa.na.Population Service International - PSI.(13)..Huduma.hizo.zinachangia.kupunguza. tatizo. la. saratani. kwa. kufanya.

39

Page 44: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

utambuzi. wa. awali.. Aidha,. watoa. Huduma. za.Afya.185.walifundishwa.jinsi.ya.kutoa.huduma.ya.uchunguzi.wa.dalili. za. awali. za. saratani. ya.shingo. ya. kizazi.. Katika. mwaka. 2014/2015,.Wizara.itafungua.vituo.vipya.20.vya.uchunguzi.wa.dalili.za.awali.za.saratani.ya.shingo.ya.kizazi.katika. mikoa. ya. Lindi. (3),. Mtwara. (5),. Tanga.(5),.Singida.(4).na.Simiyu.(3).na.kununua.vifaa.vinavyohitajika.kwa.kila.kituo. ikiwa.ni.pamoja.na.kuwafundisha.Watoa.Huduma.za.Afya..90...

64. Mheshimiwa Spika,.Wizara.inatekeleza.Mpango.Mkakati.wa.Kutokomeza.Maambukizi.Mapya.ya.VVU.toka.kwa.Mama.kwenda.kwa.Mtoto.(2012-2015).kwa.kuanzisha.mpango.wa.kutoa.dawa.za.kupunguza.makali. ya.UKIMWI.kwa.wajawazito.wanaoishi. na. virusi. vya. UKIMWI. kwa. maisha.yao.yote.kwa.mikoa.yote..Jumla.ya.wajawazito.79,110. wamefikiwa. na. mpango. huo.. Aidha,.wakufunzi.45.ngazi.ya.taifa..na.wakufunzi.258.wa.mikoa.na.wilaya.wamepatiwa.elimu.na.ujuzi.wa.kuwaelimisha.Watoa.Huduma..Hadi.kufikia.Januari.2014.watoa.huduma.1,712.wamepatiwa.mafunzo. hayo. na. vituo. 966. vimeanza. kutoa.huduma. hizo.. Miongozo. mbalimbali,. vitendea.kazi,. dawa. na. vifaa. vinaendelea. kusambazwa.kwa.kufuata.utaratibu.uliopangwa. Katika.mwaka.2014/2015,.Wizara.itaendelea.kutekeleza.mpango.wa. kutokomeza. maambukizi. ya. VVU. toka. kwa.mama. kwenda. kwa. mtoto. kwa. kutoa. mafunzo.kwa. watoa. huduma. ili. kupanua. huduma. hizo.kufikia.vituo.vyote.vinavyotoa.huduma.za.afya.ya.

40

Page 45: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

uzazi.na.mtoto.nchini..Aidha,.Wizara.itaendelea.kuhamasisha.wananchi.pamoja.na..kuhakikisha..upatikanaji. wa. huduma. hizo. katika. vituo. vya.kutolea.huduma.nchini.kote..

65. Mheshimiwa Spika,.kuhusu.masuala.ya.jinsia.ambayo.ni.mtambuka,..Wizara.imetoa.mafunzo.kwa.Watoa.Huduma.za.Afya.400.ili.kuwawezesha.kuhudumia. waliofanyiwa. ukatili. wa. kijinsia.katika.mikoa.ya.Dar.es.Salaam,.Iringa,.Njombe,.Mbeya,. Mara. na. Shinyanga.. Aidha,. mwongozo.wa. kutoa. huduma. toshelezi. (One Stop Centre).ulikamilika. na. kituo. cha. kutoa. huduma.toshelezi. kwa. waliofanyiwa. ukatili. wa. kijinsia.na. ukatili. dhidi. ya. watoto. kilianzishwa. katika.Hospitali. ya. Amana.. Katika. mwaka. 2014/15,.Wizara.itaendelea.kupanua.wigo.wa.upatikanaji.wa.huduma.za.afya.kwa.waliofanyiwa.ukatili.wa.kijinsia.na.ukatili.dhidi.ya.watoto.kwa.kuendelea.kutoa.mafunzo.kwa.watoa.huduma. za.afya.na.kuongeza.vituo.vya.kutoa.huduma.toshelezi.kwa.waliofanyiwa..ukatili.wa.kijinsia.na.ukatili.dhidi.ya.watoto.

Huduma za Chanjo

66. Mheshimiwa Spika, tumepata mafanikio.makubwa..katika.eneo.hili.la.chanjo.na.mafanikio.hayo.yamechangia.sana.katika.kupunguza.vifo.vya.watoto. Kwa.mujibu.wa.Mwongozo.wa.Shirika.la.Afya.Ulimwenguni,.Wizara.ilianzisha.dozi.ya.pili.

41

Page 46: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

ya.chanjo.ya.surua.kwa.watoto.wenye.umri.wa.miezi.18.ili.kuongeza.kinga.dhidi.ya.ugonjwa.wa.surua.nchini..Aidha,.katika.kutekeleza.mkakati.wa.kuzuia.saratani.ya.shingo.ya.kizazi,.Wizara.ilianzisha.chanjo.ya.Human Papiloma Virus.kwa.wasichana.waliofikia.umri.wa.miaka.tisa.katika.Halmashauri. za. mkoa. wa. Kilimanjaro.. Katika.mwaka. 2014/15,. Wizara. itaanzisha. chanjo.mpya.yenye.muungano.wa.chanjo.mbili.za.surua.na. rubela,. kwa.watoto.wenye.umri.wa.miezi. 9.na. 18. ili. kuwakinga. dhidi. ya. magonjwa. hayo..Aidha,. kampeni. ya. chanjo. ya. surua. na. rubela.utafanyika.kwa.watoto.wenye.umri.kati.ya.miezi.9.na.miaka.15. ili.kutekeleza. lengo.na.mkakati.wa.kutokomeza.magonjwa.hayo.hapa.nchini..

67. Mheshimiwa Spika, katika. kuhakikisha.huduma. za. chanjo. zinatolewa. kwa. ubora.unaotakiwa,. Wizara. ilinunua. chanjo. vichupa.9,379,740. vyenye. jumla. ya. dozi. 25,948,130.na. majokofu. 405. na. kusambazwa. katika.Halmashauri. zote. nchini.. Aidha,. Halmashauri.zilijengewa.uwezo.katika.mafunzo.ya.kusimamia.huduma. za. chanjo. kwa. washiriki. 49. kutoka.Halmashauri. za. Mufindi,. Mbarali,. Makete,.Njombe,. Ngara,. Karagwe,. Muleba,. Urambo,.Igunga,. Ileje,. Hanang,. Kishapu,. Songea,.Manispaa. za. Iringa,. Tabora. na. Jiji. la. Mbeya..Katika. mwaka. 2014/15,. Wizara. itaendelea.kununua.na.kusambaza.dawa.za.chanjo.na.vifaa.vya.kutolea.chanjo.katika.Halmashauri.zote.hapa.nchini,.kuimarisha.huduma.za.mnyororo.baridi.

42

Page 47: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

katika.Bohari.Kuu.ya.Dawa.ili.kuhimili.ongezeko.la.chanjo.na.kuzijengea.uwezo.Halmashauri.zote.ili. ziweze. kutoa. huduma. za. chanjo. kwa. ubora.unaotakiwa.

Usafi wa Mazingira

68. Mheshimiwa Spika, Wizara.iliratibu.utekelezaji.wa. Kampeni. ya. Kitaifa. ya. Usafi. wa. Mazingira.katika.Mikoa.25.na.Halmashauri.168.nchini..Hadi.kufikia.mwezi.Mei.2014,.jumla.ya.kaya.183,528.ziliboresha.vyoo.na.kaya.121,902.ziliweka.vifaa.kwa. ajili. ya. kunawia. mikono. baada. ya. kutoka.chooni..Jumla.ya.vitongoji.6,466.vilisaini.matamko.ya. kuboresha. vyoo. na. usafi. wa. mazingira. kwa.ujumla.. Aidha,. Wizara. iliratibu. Mashindano. ya.Usafi. wa. Mazingira. katika. Halmashauri. zote.nchini,.ambapo.washindi.walikuwa.Jiji.la.Mwanza.(katika.ngazi.ya.Majiji);.Manispaa.ya.Moshi.(ngazi.ya. Manispaa);. Halmashauri. ya. Mji. wa. Mpanda.(ngazi. ya. Miji). na. Halmashauri. ya. Wilaya. ya.Njombe. (ngazi. ya. Wilaya).. Vilevile,. mashindano.haya. yalijumuisha. vitongoji. vinavyotekeleza.kampeni.ya.kitaifa.ya.usafi.wa.mazingira,.ambapo.Kitongoji.cha.Mserakati. (Kondoa),.Kitongoji.cha.Ndemanilwa. (Mlele). na. Kitongoji. cha. Kasanda.(Kibondo).vilipewa.zawadi.kwa.kutekeleza.vizuri.Kampeni. hii. (Kiambatisho Na.6).. Pia,. Wizara.imekamilisha. maandalizi. ya. Mpango. kazi. wa.Taifa.wa..Huduma.za.Maji.Salama.katika.Ngazi.ya.Kaya.(2014-2019)..

43

Page 48: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

69. Mheshimiwa Spika,. katika. kuimarisha. mfumo.wa. kukusanya,. kusafirisha,. kuhifadhi. na.uteketezaji.salama.wa.taka.zitokanazo.na.huduma.za.afya,.Hospitali.20.za.Mikoa.na.Hospitali.120.za.Wilaya. zilikaguliwa.. Aidha,. . huduma. za. afya.ziliimarishwa. kwenye. vituo. vya. afya. bandari,.viwanja.vya.ndege.na.mipaka.ya.nchi.kavu.kwa.madhumuni.ya.kudhibiti.kuingia.na.kuenea.kwa.magonjwa.. Jumla. ya.wasafiri. 1,200.walipatiwa.chanjo.ya.homa.ya.manjano.na.jumla.ya.wasafiri.400. kutoka. nchi. zenye. ugonjwa. wa. homa. ya.manjano.walikaguliwa.na.kupatiwa.chanjo.hiyo..

70. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15,.Wizara. itafanya.kampeni.ya.kitaifa.ya.usafi.wa.Mazingira.na.kuandaa.awamu.ya.pili.ya.kampeni.ya.udhibiti.wa.taka.ngumu.na.maji.taka,.usafi.wa. mifereji. ya. maji. ya. mvua. na. usalama. wa.maji.ya.kunywa..katika.kaya..Aidha,.Makatibu.Tawala.wa.Mikoa.25;.Wakurugenzi.wa.Majiji.4.na.Wakurugenzi.wa.Manispaa.18.watahamasishwa.kuhusu. udhibiti. wa. uchafuzi. wa. mazingira.unaotokana. na. taka. ngumu.. Vilevile,. mafunzo.yatatolewa. kwa. Maafisa. Afya. wa. Majiji. (4). na.Manispaa.(18)..kuhusu.kanuni.za.Sheria.ya.Afya.ya.Jamii.ya.mwaka.2009..Pia,..Mkakati.wa.Pili.wa.Kuzuia.Maambukizi.ya.VVU,.UKIMWI,.Kifua.Kikuu. na. Homa. ya. Ini. utasambazwa. katika.sehemu.za.kazi.katika.Halmashauri.zote.nchini..Wizara.itakamilisha.Mfumo.wa.kielektroniki.wa.taarifa.za.afya.mazingira,.ambao. .utajumuisha.taarifa.za.usafi.wa.mazingira,.usalama.wa.maji,.

44

Page 49: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

chakula.salama,.usafi.binafsi.hususan.kunawa.mikono.kwa.maji.na.sabuni.katika.nyakati.zote.muhimu,.udhibiti.wa.taka.ngumu.na.udhibiti.wa.taka.zitokanazo.na.huduma.za.afya..

Elimu ya Afya kwa Umma

71. Mheshimiwa Spika,. Wizara. inatambua.umuhimu.wa.elimu.ya.afya.kwa.umma.ili.jamii.iweze.kujikinga.na.magonjwa.badala.ya.kusubiri.kuugua. na. kupata. tiba. ambayo. ni. gharama.kubwa.zaidi..Kwa.sababu.hiyo,.Wizara.iliandaa.mada. 68. za. kuelimisha. na. kuhamasisha. jamii.kuhusu. umuhimu. wa. kutunza. afya,. kubadili.tabia.hatarishi.kwa.afya,.kujikinga.na.maradhi,.na.kutumia.huduma. za.afya.kwenye. vituo. vya.kutolea.huduma..Mada.hizo.zilitolewa.kwa.njia.ya.radio,. televisheni,.machapisho,.mitandao.ya.simu,. tovuti. na. njia. za. asili. kama. vile. ngoma,.nyimbo,. ngonjera. ili. kuwafikia. watu. wengi.zaidi.. Aidha,. Wizara. ilikamilisha. Mkakati. wa.Kuelimisha.na.Kuboresha.afya.(2014.–.2020).na.Mwongozo.wa.Kisera.wa.Huduma.za.Afya.Ngazi.ya. Jamii. (2014).. Vilevile,. mafunzo. yalitolewa.kwa.wahudumu.wa.afya.ngazi.ya.Jamii.15,711.katika.mikoa.yote.nchini.ili.kuboresha.utoaji.wa.huduma.za.afya.katika.ngazi.ya.jamii..

72. Mheshimiwa Spika, katika. mwaka. 2014/15,.Wizara. itatoa. mafunzo. elekezi. kwa. timu. za.uelimishaji.wa.huduma.za.afya.za.Halmashauri.na.Mikoa.jinsi.ya.kupanga,.kuratibu,.kutekeleza,.kufuatilia. na. kutathmini. huduma. za. elimu. ya.

45

Page 50: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

afya.katika.maeneo.yao..Awamu.ya.kwanza.ya.mafunzo.haya.itahusisha.mikoa.ya.Iringa,.Mbeya.na. Njombe.. Wizara. pia,. itaendelea. kuboresha.huduma.za.afya.ngazi.ya.jamii.kwa.kutayarisha.mtaala.wa.mafunzo.ya.wahudumu.wa.afya.ngazi.ya. jamii. Vilevile, itatayarisha. mafunzo. kwa.wataalamu.wa.afya. .katika.kutambua. tatizo. la.usonji. (Autism Spectrum Disorder),.na.kuandaa.utaratibu.wa.kuwatambua.na.kuwapa.mafunzo.wazazi.na.watoto.walio.na.matatizo.hayo.

Huduma za Lishe

73. Mheshimiwa Spika, katika.kugatua.majukumu.ya. Taasisi. ya. Chakula. na. Lishe. kwenda. ngazi.ya. Halmashauri,. Wizara. ilitoa. mafunzo. kwa.Maofisa.Mipango.na.Maofisa.Lishe.318,.kutoka.katika. ngazi. ya. Halmashauri. 159. na. Maofisa.Lishe. 50. ngazi. ya. mikoa. ili. waweze. kuingiza.mipango.ya.lishe.katika.bajeti.za.Halmashauri...Aidha,.Wizara.kupitia.Taasisi.iliratibu.na.kutoa.mafunzo. ya. kumhudumia. na. kumtibu. mtoto.mwenye. utapiamlo. mkali. kwa. watoa. huduma.katika.hospitali.ya.Taifa.ya.Muhimbili;.hospitali.za.Rufaa.za.Kanda.za.Mbeya,.KCMC,.Bugando,.Lugalo.na.hospitali.za.Rufaa.za.Mikoa.ya.Mtwara,.Lindi,.Arusha,.Iringa,.Morogoro,.Njombe,.Pwani.(Tumbi).pamoja.na.hospitali.ya.Amana.pamoja.na.hospitali.za.Halmashauri.ya.Korogwe,..Rungwe,.Mbozi,. Mufindi,. Ludewa,. Makete,. Mbarali. na.hospitali. teule. za. Halmashauri. ya. Wilaya. ya.

46

Page 51: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

Iringa.na.Mbeya..Hospitali.nyingine.ni.Lugarawa,.Ikonda.na.hospitali.ya.shirika. la.dini.ya.Mbozi.nazo. zilipata. mafunzo. hayo.. Vilevile,. watoa.huduma. za. afya. 277. kutoka. vituo. vya. kutolea.huduma.za.afya.katika.mikoa.ya.Arusha,.Mbeya,.Iringa,. Njombe,. Ruvuma,. Tabora,. Rukwa. na.Katavi. walipata. mafunzo. kuhusu. matibabu.ya. utapiamlo. kwa. kutumia. chakula. dawa. kwa.watoto.na.watu.wenye.VVU..Pia,.watoa.huduma.2,530.kutoka.Halmashauri.za.Wilaya.za.Mpwapwa,.Kongwa,.Chamwino,.Monduli,.Ngorongoro,.Karatu,.Meru,. Arusha. na. Longido. walielekezwa. jinsi. ya.kutambua.na.kuainisha.utapiamlo.na.uboreshaji.wa.lishe.kwa.watu.wenye.utapiamlo.

74. Mheshimiwa Spika,. Wizara. kupitia. Taasisi.ilikamilisha. Mwongozo. wa. Kitaifa,. Kitita. cha.Mafunzo. ya. Kulisha. Watoto. Wachanga. na.Wadogo. katika. ngazi. ya. . jamii. na. Mkakati. wa.Kitaifa.wa.Mawasiliano.ya.Lishe..Aidha,.Taasisi.ilitoa.mafunzo.ya.ulishaji.wa.watoto.wachanga.na. wadogo. kwa. watoa. huduma. za. afya. 262.ngazi.ya.wilaya.na.vijiji.katika.Halmashauri.za.Wilaya. za. Makete,. Mbeya,. Ruangwa,. Singida,.Ikungi,.Chamwino.na.Bahi..Vilevile,.usimamizi.shirikishi.ulifanyika.katika.viwanda.6..vya.21st Century Food & Parkaging LTD, Pembe Flour Mills LTD, SS Bhakhresa & Co. LTD, Monaban Trading & Farming Co. LTD.na.Coast Mill.vinavyoongeza.virutubishi.vya.madini.ya.chuma.na.zinki,.folic acid,.niacin. na. vitamini.B12. .kwenye.unga.wa.ngano.na.viwanda.vitatu.vya.East Coast Oils and

47

Page 52: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

Fats LTD, BIDCO Oils & Soap LTD. na. Murzah Oil Mills LTD. vinavyoongeza. vitamini. A. kwenye.mafuta.ya.kula..

75. Mheshimiwa Spika,. hadi. Mei. 2014,. jumla. ya.kilo.215,700.za.virutubishi.ziliongezwa.kwenye.unga.wa.ngano.na.kilo.3,000.za.vitamini.A.kwenye.mafuta. ya. kula. kwa. viwango. vilivyokusudiwa.kukidhi. mahitaji. ya. mwili. na. zaidi. ya. watu.milioni.14.wamefikiwa.na.vyakula.vilivyoongezwa.virutubishi.vya.madini.na.vitamini..Aidha,.Wizara.ilipanua.wigo.wa.kuongeza.virutubishi.maeneo.ya.vijijini.kwa.kuhamasisha.na.kutoa.mafunzo.ya.namna.ya.kuchanganya.virutubishi.na.unga.wa.mahindi.kwa.watu.683.wenye.vinu.vya.kusaga.unga.wa.mahindi.katika.Halmashauri.za.Wilaya.za. Iringa. (318),. Kilolo. (216). na. Mji. wa. Njombe.(149).. Vilevile,. Wizara. ilianzisha. programu. ya.kutumia. virutubishi. nyongeza. katika. vyakula.vya.watoto.walio.kwenye.umri.wa.miezi.sita.hadi.chini.ya.miaka.mitano.katika.Mikoa.ya.Manyara,.Dodoma.na.Morogoro..Pia,.Wizara.ilinunua.jumla.ya.paketi.3,480,000.za.virutubishi.nyongeza.kwa.watoto.milioni.1.8.wa.umri.wa.miezi.sita.hadi.23.kwa.ajili.ya.mikoa.ya.Iringa,.Arusha.na.Njombe..

76. Mheshimiwa Spika, kwa. mwaka. 2014/15,.Wizara. kupitia. Taasisi. itapanua. wigo. wa.upatikanaji.wa.virutubishi.nyongeza.kwa.watoto.chini.ya.miaka.mitano.hususan.kwenye.zile.kaya.zenye.umaskini.uliokithiri.ili.kuwanusuru.watoto.kutokana.na.utapiamlo.mkali..Vilevile,.itapanua.wigo.wa.kuongeza.virutubishi.kwenye.unga.wa.

48

Page 53: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

mahindi.hususan.ngazi.ya.vijijini.ambako.ndiko.waliko.waathirika.wengi.wa.utapiamlo.

77. Mheshimiwa Spika,. Wizara. kupitia. Taasisi.ilitoa.mafunzo.ya.kuongeza.virutubishi.kwenye.chakula.kwa.wahudumu.wa.afya.ngazi.ya.jamii.1,086.katika.Halmashauri.za.Wilaya.za.Njombe,.Kilolo,.Iringa,.Karatu,.Monduli.na.Meru..Taasisi.kwa. kushirikiana. na. Mfuko. wa. Taifa. wa. Bima.ya. Afya. ilielimisha. jamii. kuhusu. magonjwa.yanayoweza. kuepukwa. kwa. kuzingatia. lishe.bora.. Katika. mwaka. 2014/15,. usimamizi.shirikishi.na.uhamasishaji.kuhusu.uwekaji.wa.madini. joto. kwenye. chumvi. na. matumizi. yake.utafanyika. kwa. viongozi. katika. Halmashauri.29.zenye.kaya.chini.ya.asilimia.50.zinazotumia.chumvi. yenye. madini. joto. hapa. nchini.. Aidha,.Taasisi. itakamilisha. Mkakati. wa. Kitaifa. wa..Ulishaji. wa. Watoto. Wachanga. na. Wadogo. na.Mpango. wa. Utekelezaji. wa. mwaka. 2014/15-.2018/19..Vilevile,.Wizara.itapanua.wigo.wa.mradi.wa.kuongeza.virutubishi.kwenye.vyakula.ngazi.ya. Taifa. kwa. kuongeza. viwanda. vinavyoongeza.virutubishi.kwenye.vyakula.kutoka.tisa.vya.sasa.hadi.kufikia.15.

49

Page 54: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

HUDUMA ZA TIBA

Huduma za Tiba katika Hospitali ya Taifa, Hospitali za Kanda na Hospitali Maalum

78. Mheshimiwa Spika,. katika. kutekeleza. Ilani.ya.Uchaguzi.ya.CCM.ya.mwaka.2010,.Ibara.ya.86. (a). (ii). Wizara. iliendelea. na. utekelezaji. wa.MMAM.. Tangu. mwaka. 2007. hadi. 2013,. vituo.vipya. 1,153. vilijengwa. ili. kukidhi. mahitaji. ya.huduma.za.afya.kwa.wananchi..Kuanzia.mwaka.2012.hadi.2013.vituo.vipya.vilivyojengwa.ni.319.(Kiambatisho Na.7). Aidha,. Wizara. ilipanua.huduma. za. kibingwa. kwa. kuendeleza. ujenzi.wa. miundo. mbinu. katika. hospitali. za. Rufaa.za. Kanda. za. Mbeya,. Bugando. na. Hospitali. za.ngazi. ya. Taifa. za. Kibong’oto,. Mirembe,. Taasisi.ya. Mifupa. Muhimbili. na. Taasisi. ya. Saratani.Ocean.Road..Miundo.mbinu.hiyo.ni.pamoja.na.awamu.ya.tatu.ya.ujenzi.wa.jengo.la.Taasisi.ya.Mifupa.Muhimbili,. jengo. la.wodi.katika.Taasisi.ya. Saratani. Ocean. Road,. jengo. la. huduma. za.dharura.hospitali.ya.Taifa.Muhimbili,.ujenzi.wa.vyumba. vinne. vya. upasuaji. na. ukarabati. wa.wodi.ya.wagonjwa.wa.akili.Bugando.

79. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15,.miradi.ya.ujenzi.na.ununuzi.wa.vifaa.itaendelea.kukamilishwa.kwa.kufanya.ukarabati.wa.jengo.la. kutunzia. kumbukumbu. katika. Hospitali. ya.Taifa.Muhimbili.na.ujenzi.wa. jengo. la.huduma.za. dharura. KCMC.. Aidha,. katika. hospitali. ya.Kanda. Bugando,. Wizara. itakamilisha. ujenzi.

50

Page 55: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

wa. jengo. la.saratani.awamu.ya.mwisho,.ujenzi.wa. jengo. la. kliniki. ya. Bima. ya. Afya,. itanunua.mtambo.mkubwa.wa.oksijeni,.kufunga.incinerator kubwa. kwa. ajili. ya. kuchoma. taka. hatarishi. na.kuweka. kamera. za. usalama.. Katika. hospitali.ya. Rufaa. ya. KCMC. . kitaanzishwa. kitengo. cha.huduma. za. uangalizi. wa. karibu. kwa. watoto.wachanga.chenye.uwezo.wa.kulaza.watoto.100.na.kununua.vifaa.vya.kisasa.kwa.ajili.ya.upasuaji.kwa.kupitia.tundu.dogo..Katika.hospitali.ya.Afya.ya.Akili.Mirembe,.Wizara.itakamilisha.ujenzi.wa.jengo.la.huduma.ya.utengamao.kwa.waathirika.wa.dawa.za.kulevya.na.kuweka.samani,.pamoja.na.kukarabati.nyumba.za.watumishi.na.wodi.za.wagonjwa..

80. Mheshimiwa Spika, pia,. maabara. itajengwa..katika. hospitali. ya. Kibong’oto. yenye. uwezo. wa.kutambua.vimelea.vya.kifua.kikuu.sugu.na.vya.magonjwa.ya.mlipuko.na.kuambukiza..Maabara.hiyo.itatumika.kupokea.vipimo.vya.rufaa.kutoka.nje. ya. mkoa. na. kutoa. mafunzo. kwa. wataalam.kwa. kushirikiana. na. vyuo. vikuu. vya. afya. na.tiba.nchini..Pia,.ujenzi.wa.kukamilisha.jengo.la.huduma.za.radiolojia.katika.Hospitali.ya.Rufaa.ya.Kanda.Mbeya.utaendelea.

81. Mheshimiwa Spika, ili. kuboresha. huduma.zitolewazo. katika. Hospitali. ya. Taifa. Muhimbili, Wizara. ilinunua. na. kusimika. vifaa. na. vifaa.tiba.kwa.ajili. ya.kituo.cha.upasuaji.na. tiba.ya.magonjwa.ya.moyo.pamoja.na.mafunzo.. .Vifaa.vilivyonunuliwa. vimewezesha. huduma. za. tiba.

51

Page 56: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

na. upasuaji. wa. moyo. kuanza. rasmi. katika.kituo. hicho.. Kituo. hicho. kimezinduliwa. na.Mheshimiwa.Rais.wa.Jamhuri.ya.Muungano.wa.Tanzania,. Dkt.. Jakaya. Mrisho. Kikwete,. tarehe.27.Aprili,.2014..Aidha,.Mheshimiwa.Rais.aliagiza.kwamba.katika.mwaka.2014/15,.Sekta.ya.Afya.itaingia. katika. Mpango. wa. Matokeo. Makubwa.Sasa. (BRN).. Tunamshukuru. Mheshimiwa. Rais.kwa. maamuzi. hayo. nasi. kwa. kushirikiana. na.wadau. tutahakikisha. utekelezaji. wa. Mpango.huo.unafanikiwa.....

82. Mheshimiwa Spika, katika.kutekeleza.Mpango.Mkakati.wa.Tatu.wa.Sekta. ya.Afya.wa.mwaka.2009-2015. na. Sera. ya. Afya. kuhusu. huduma.za.rufaa.kwa.wananchi.wote,.Taasisi.ya.Mifupa.ya. Muhimbili. ilitoa. huduma. za. kibingwa. za.mkoba. kwa. wagonjwa. 513.. Kati. yao. wagonjwa.116. walifanyiwa. upasuaji. katika. Hospitali. za.Rufaa.ngazi.ya.Kanda.za.Bugando.na.Mbeya.na.katika.Hospitali.ya.Rufaa.ya.Mkoa.wa.Morogoro..Katika.mwaka.2014/15, Wizara.itaongeza.utoaji.wa.huduma.za.rufaa.ngazi.ya.Taifa.kwa kupitia.huduma.za.mkoba.katika.Hospitali.za.Mikoa.na.za. Kanda. ili. kuwapunguzia. wananchi. adha. ya.kusafiri.umbali.mrefu.kufuata.huduma.za.rufaa.ngazi.ya.Taifa.

83. Mheshimiwa Spika,.katika.utekelezaji.wa.Ilani.ya.Uchaguzi.ya.CCM.Ibara.ya.86:.(g).na.kufikia.Malengo. ya. Maendeleo. ya. Milenia. na. Malengo.ya. Mkakati. wa. Tatu. wa. Sekta. ya. Afya. (2009-.2015),. Wizara. iliendelea. kuanzisha. huduma.

52

Page 57: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

za. tiba. za. kibingwa. katika. hospitali. za. kanda,.maalum.na.hospitali.ya.Taifa.ili.kupunguza.idadi.ya. wagonjwa. wanaopelekwa. nje. ya. nchi. kwa.uchunguzi. na. matibabu.. Huduma. za. upasuaji.mkubwa. wa. moyo. zimeendelea. kutolewa.ambapo.hadi.sasa.jumla.wagonjwa.671.walipata.huduma.hiyo.kwa.mafanikio.katika.hospitali.za.Muhimbili,.Bugando.na.KCMC..Aidha,.jumla.ya.wagonjwa. 211. walifanyiwa. upasuaji. maalum.katika.Taasisi.ya.Mifupa.Muhimbili.ambapo.29.walifanyiwa.upasuaji.wa.ubongo,..107.upasuaji.uti. wa. mgongo,. 56. waliwekewa. viungo. bandia.vya.nyonga.na.19.viungo.bandia.vya.goti..Katika.mwaka. 2014/15,. Taasisi. ya. Mifupa. Muhimbili.inatarajia. kuwahudumia. wagonjwa. wapatao.6,900.. Aidha,. itafanya. upasuaji. wa. kuweka.viungo. bandia. vya. nyonga. kwa. wagonjwa.wapatao. 400,. kuweka. viungo. bandia. vya. goti.kwa. wagonjwa. 150,. upasuaji. wa. ubongo. kwa.wagonjwa. 240,. upasuaji. wa. uti. wa. mgongo.na. mishipa. ya. fahamu. kwa. wagonjwa. 400. na.upasuaji.wa.watoto.wenye.vichwa.vikubwa.600..

84. Mheshimiwa Spika,. huduma. nyingine. za.kibingwa.zilizotolewa.zilikuwa.ni.kusafisha.damu.kwa.wagonjwa.wenye.matatizo.ya.figo..Wagonjwa.245. walifanyiwa. mizunguko. 2,615. katika.Hospitali. ya. Taifa. ya. Muhimbili. na. wagonjwa.35.walihudumiwa.katika.Kituo.cha.Chuo.Kikuu.cha. Dodoma.. Aidha,. Wizara. ilinunua. mashine.mpya.5.za.kusafisha.damu.katika.Hospitali.ya.Taifa. Muhimbili. na. kufanya. jumla. ya. mashine.

53

Page 58: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

kumi. na. sita.. Vilevile,. Hospitali. ya. Mirembe.ilihudumia.wagonjwa.wa.akili.1,783.waliolazwa.na. wengine. 7,124. walihudumiwa. na. kurudi.nyumbani.. Wagonjwa. wa. akili. wahalifu. wapya.243.walihudumiwa.na.Taasisi.ya.Isanga..Katika.mwaka. 2014/15,. Wizara. itaendelea. kuboresha.huduma.za.rufaa.za.kibingwa.katika.Hospitali.za.rufaa.ngazi.ya.kanda.na.Taifa...Aidha,.itaimarisha.huduma.za.afya.kwa.wagonjwa.wa.nje.na.ndani.hasa.katika.vitengo.vya.magonjwa.ya.saratani,.mishipa.ya.fahamu,.mapafu.na.figo..

85. Mheshimiwa Spika,.Serikali.imeendelea.kudhibiti.matumizi. ya. dawa. za. kulevya.. Kwa. upande. wa.sekta.ya.afya,.mafunzo.maalum.kwa.madaktari.yalitolewa.hapa.nchini.kuhusu.matumizi.ya.dawa.aina. ya. methadone. kwa. waathirika. wa. dawa.za.kulevya.. .Aidha,.Wizara.kupitia.Hospitali.ya.Taifa. Muhimbili. imeendelea. kupanua. huduma.kwa.waathirika.wa.kujidunga.dawa.za.kulevya.zinazotolewa. katika. Hospitali. za. Rufaa. za.Mkoa.za.Mwanayamala.na.Temeke..Waathirika.1,369. walihudumiwa;. 790. katika. Hospitali. ya.Taifa. Muhimbili,. Temeke. 19. na. hospitali. ya.Mwananyamala. 560.. Vilevile,. Wizara. iliandaa.mwongozo.wa.kusambaza.huduma.ya.methadone.nchi.nzima..

86. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15,.Wizara. itaendelea. kuzijengea. uwezo. Hospitali.za.Rufaa.za.Kanda.na.Hospitali.za.Rufaa.ngazi.ya.Mikoa.katika.kuratibu.huduma.za.magonjwa.yasiyo. ya. kuambukiza. ili. kuelimisha. na.

54

Page 59: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

kuhamasisha.jamii.juu.ya.kujikinga.na.kupata.matibabu. mapema. dhidi. ya. magonjwa. hayo..Aidha,.hospitali.ya.Taifa.Muhimbili.itahudumia.wanaojidunga. sindano. za. dawa. za. kulevya.2,000,. Mwananyamala. 3,000,. Temeke. 5,000.na. itaanzisha. huduma. hizo. katika. Hospitali.ya. Rufaa. ya. Mkoa. ya. Amana. Vilevile,. Wizara.itaendelea. kusisitiza. na. kuhakikisha. kuwa.huduma.ya.methadone.inasambazwa.nchi.nzima.katika. kipindi. cha. miaka. mitano. ijayo.. Pia,.hospitali.ya.Afya.ya.Akili.ya.Mirembe.itaongeza.wigo. wa. kutoa. huduma. za. tiba. na. mafunzo.kwa. wagonjwa. waathirika. wa. dawa. za. kulevya.wanaofika.hospitalini.na.kurudi.nyumbani.hasa.baada. ya. kukamilika. jengo. la. huduma. hizo.linalojengwa.Itega....

87. Mheshimiwa Spika,.hadi.Mei.2014,.Taasisi.ya.Saratani.Ocean.Road.ilipokea.na.kuwahudumia.wagonjwa. wapya. 4,712.. Hili. ni. ongezeko. la.wagonjwa. 976. ukilinganisha. na. kipindi. cha.Julai-Mei. 2012/13.. Ongezeko. hili. linatokana.na. uhamasishaji. wa. jamii. kupitia. kampeni.mbalimbali.. Aidha,. jumla. ya. wanawake. 5,504.walifanyiwa. uchunguzi. wa. saratani. ya. shingo.ya. kizazi. na. matiti.. Katika. uchunguzi. huo.jumla. ya. wanawake. 232. waligunduliwa. na.dalili. za. awali. za. saratani. ya. shingo. ya. kizazi.na.82.walikutwa.na.dalili.za.saratani.ya.matiti...Vilevile,.wanawake.4,300.walifanyiwa.uchunguzi.wa.saratani.ya.shingo.ya.kizazi.katika.Hospitali.ya.Rufaa.ya.Kanda,.Mbeya..Kati..yao,.wanawake.500.walifanyiwa.uchunguzi.wa.kina.na.kupewa.

55

Page 60: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

matibabu. ya. awali. pamoja. na. rufaa.. Pia,.huduma. ya. matibabu. ya. saratani. yalitolewa.katika.Hospitali.ya.Kanda.ya.Rufaa.ya.Bugando.kwa. wagonjwa. 8,299. kuanzia. Januari. hadi.Desemba.2013..Katika.mwaka.2014/15,.Wizara.itaendelea.kutoa.huduma.za.kinga,.uchunguzi,.matibabu. ya. saratani. na. tiba. shufaa.. Vilevile,.Wizara. itakamilisha. usimikaji. wa. Mitambo.katika.Hospitali.ya.Bugando.kwa.ajili.ya.Tiba.ya.magonjwa.ya.saratani.

88. Mheshimiwa Spika,..Hospitali.ya.Kibong’oto.ni. Hospitali. ya. Rufaa. ya. ugonjwa. wa. kifua.kikuu.. Kwa. kuwa. tatizo. la. VVU. na. kifua.kikuu.limekuwa.likienda..sambamba,.huduma.za. magonjwa. haya. kwa. sasa. zinafanyika. kwa.pamoja.. Kwa. mwaka. 2013/14,. Hospitali.iliwahudumia. wagonjwa. wanaoishi. na. VVU.9,288;. kifua. kikuu,. kifua. kikuu. pamoja. na.UKIMWI. 672. na. wagonjwa. 11,604. wenye.magonjwa.mengine..Aidha,.uchunguzi.wa.vimelea.vya.kifua.kikuu.kwa.kutumia.vinasaba.ulianza,.na. vipimo. 138. vimeshafanyika. na. kugundua.wagonjwa. 11. wenye. usugu. wa. dawa. za. kifua.kikuu.. Vilevile,. huduma. za. kifua. kikuu. sugu.zilianzishwa.katika.zahanati.ya.Gereza.la.Ukonga.(Ilala),.Sinza.Palestina.(Kinondoni),.Tambukareli.(Temeke),.Kituo.cha.Afya.Saba.Saba.(Morogoro).na. Hospitali. ya. Rufaa. ya. Mkoa. Sekou. Toure.(Mwanza)..Mafunzo.ya.kutoa.tiba.kwa.wagonjwa.wa.kifua.kikuu.sugu.yalifanyika.kwa.watumishi.126.kutoka.katika.wilaya.39.nchini.

56

Page 61: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

89. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15,.Hospitali. ya. Kibong’oto. itahudumia. wastani.wa. wagonjwa. wa. UKIMWI. 9,000,. kifua. kikuu.na. UKIMWI. 800,. kifua. kikuu. sugu. 120. na.wagonjwa. 20,000. wenye. magonjwa. mengine..Hospitali.itaongeza.vituo.20.vya.kutoa.huduma.za.kifua.kikuu.sugu.katika.hospitali.10.za.rufaa.za. Mikoa. ya. Mwanza,. Tanga,. Mbeya,. Mara,.Iringa,. Njombe,. Dodoma,. Ilala,. Kinondoni. na.Temeke.. Aidha,. itaendelea. kutoa. mafunzo. kwa.watoa.huduma.za.afya.200.kutoka.katika.wilaya.mbalimbali. za. nchi,. kutoa. utaalam. wa. juu. wa.huduma. za. kifua. kikuu. sugu. na. kuvijengea.uwezo. vituo. 20. vitakavyoanzishwa. nchini..Vilevile,. Hospitali. kwa. kushirikiana. na. Taasisi.ya.Utafiti.na.wadau.mbalimbali. itafanya.utafiti.wa. kuboresha. ugunduzi. na. matibabu. ya. kifua.kikuu,.kifua.kikuu.sugu.na.mifumo.mizima.ya.utoaji.wa.huduma.za.afya..

90. Mheshimiwa Spika,. . Sera. ya. Afya. ya. mwaka.2007. imeelekeza.kuimarisha.mfumo.wa.kitaifa.ambao. unasimamia. ukusanyaji,. upimaji,.utunzaji,. usambazaji. na. matumizi. ya. damu.salama.nchini...Ili.kutimiza.azma.hiyo,.hadi.kufikia.Mei.2014,.Wizara.ilikusanya.chupa.128,311.za.damu. salama. ambayo. ni. sawa. na. asilimia. 75.ya.lengo..Aidha,.katika.juhudi.za.kuhamasisha.jamii. kuchangia. damu. kwa. hiari,. vipeperushi.64,000.vilisambazwa.na.jumla.ya.vikundi.12.vya.wachangia.damu.kwa.hiari.vilianzishwa..Vilevile,.matumizi. ya. mfumo. mpya. wa. kielektroniki.

57

Page 62: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

(e-health).ikiwa.ni..pamoja.na.matumizi.ya.simu.za. mkononi. (m-health),. yaliwezesha. kutuma.ujumbe.mfupi.kwa.wachangia.damu.90,000.na.kupata.taarifa.na.takwimu.mbalimbali.kuanzia.kwa. mchangiaji. damu. hadi. kwa. mgonjwa.anayepewa. damu.. Napenda. nitumie. fursa. hii kuwashukuru. wote. waliochangia. damu. na.kuhamasisha. jamii. kuchangia.damu.kwa.hiari.kwa.manufaa.yetu.sote..Katika.mwaka.2014/15,.Wizara. itaendelea. kuhakikisha. upatikanaji. wa.damu. salama. na. itahamasisha. upatikanaji. wa.wachangia.damu.wa.kudumu.kutoka.asilimia.25.hadi.40...

91. Mheshimiwa Spika, Wizara.iliendelea.kuratibu.na. kusimamia. huduma. za. uchunguzi. wa.magonjwa. ya. binadamu. kama. ilivyoainishwa.katika. Mpango. Mkakati. wa. Tatu. wa. Sekta. ya.Afya.. Maabara. ya. Taifa. ya. Uhakiki. wa. Ubora.na. Mafunzo,. Hospitali. ya. Taifa. Muhimbili,.Hospitali. za.Rufaa.Mbeya,.KCMC,.Bugando.na.Mnazi. Mmoja. (Zanzibar). zipo. kwenye. mpango.wa. urasimishaji. kwa. viwango. vya. kimataifa.vya. ubora. wa. huduma. za. maabara.. Napenda.kutumia.nafasi.hii.kulijulisha.Bunge.lako.tukufu.kuwa. . mwezi. Februari. 2014. Maabara. ya. Taifa.ya.Uhakiki.wa.Ubora.na.Mafunzo.ilipewa.rasmi.ithibati.ya.viwango.vya.kimataifa.vya.ubora.wa.huduma. za. maabara.. Katika. mwaka. 2014/15,.Wizara. itaendelea. kuchukua. hatua. thabiti. ya.kuhakikisha.vipimo.vya.uchunguzi.wa.magonjwa.vinatoa. matokeo. sahihi. ikiwa. ni. pamoja. na.

58

Page 63: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

uhakiki. wa. ubora. wa. vipimo. vya. maabara. na.kufanya.matengenezo.kinga.ya.vifaa.mara.kwa.mara. ili. kuwezesha. matibabu. kutolewa. kwa.ufanisi...

92. Mheshimiwa Spika,. katika. kutekeleza. Sera.ya. Ushirikiano. baina. ya. Serikali. na. Sekta.Binafsi. (Public. Private. Partnership). ya. mwaka.2009,.jumla.ya.mikoa.15.ya.Arusha,.Morogoro,.Kigoma,. Tabora,. Kilimanjaro,. Dodoma,. Lindi,.Mbeya,. Iringa,. Ruvuma,. Mwanza,. Shinyanga,.Simiyu,.Tanga.na.Pwani.ilihamasishwa.ili.iweze.kusimamia.na.kuratibu.ushirikishwaji.wa.sekta.binafsi.katika.utoaji.wa.huduma.za.afya..Aidha,.Halmashauri. 61. kati. ya. 133. zilizohamasishwa.zimesaini.mkataba.wa.makubaliano.na.wamiliki.wa. vituo. binafsi. vya. kutolea. huduma. za. afya.katika.maeneo.ambayo.hayana.vituo.vya.umma.ili. vituo. hivyo. vitoe. huduma. kwa. niaba. ya.Halmashauri.husika..

93. Mheshimiwa Spika,.Hospitali.tatu.za.Rufaa.za.Kanda. za. Mashirika. ya. kujitolea. za. Bugando,.KCMC.na.CCBRT.zimeendelea.kupatiwa.ruzuku.kwa. ajili. ya. kulipia. mishahara. na. kununulia.vifaa,.vifaa.tiba.na.vitendanishi. ili.kuziwezesha.kutoa. huduma. za. rufaa. ngazi. ya. kanda.. Pia,.hospitali. kumi. zilizopandishwa. hadhi. kuwa.Hospitali. za. Rufaa. ngazi. ya. Mkoa. zimeendelea.kupatiwa. fedha. za. uendeshaji.. Hospitali. hizo.ni. St.. Francis. (Morogoro),. Ilembula. (Njombe),.Nyangao.(Lindi),.St..Gaspar.(Singida),.Peramiho.(Ruvuma),. Nkinga. (Tabora),. Arusha. Lutheran.

59

Page 64: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

Medical. Centre. (Arusha),. Hydom. (Manyara),.Ndanda.(Mtwara),.Kabanga.(Kigoma).na.Hospitali.Teule. za. Halmashauri. 35.. Katika. mwaka.2014/15,. Wizara. itaendelea. kushirikiana. na.Hospitali.za.Mashirika.ya.Kujitolea.na.za.Binafsi.kwa.kuzipatia.dawa.na.vifaa.tiba.kwa.mujibu.wa.makubaliano..

94. Mheshimiwa Spika,.katika.juhudi.za.kupanua.wigo.wa.utoaji.wa.huduma.za.kibingwa,.Taasisi.ya. Mifupa. Muhimbili. iliandaa. na. kukamilisha.mitaala.ya. shahada.ya.uzamili. ya.upasuaji.wa.ubongo,.uti.wa.mgongo.na.mishipa.ya.fahamu..Mitaala. hiyo. imewasilishwa. Chuo. Kikuu. cha.Afya. na. Sayansi. Shirikishi. Muhimbili. kwa. ajili.ya.kuidhinishwa..Aidha,.Taasisi.ya.Saratani.ya.Ocean. Road. ilitoa. mafunzo. ya. uchunguzi. wa.saratani. ya. shingo. ya. kizazi. katika. hospitali.zilizopo.katika.mikoa.ya.Mwanza,.Mara,.Mtwara,.Dodoma,.na.Arusha.na.jumla.ya.washiriki.384.walihudhuria.. Mafunzo. hayo. pia. yalijumuisha.washiriki. kutoka. Zanzibar.. Katika. mwaka.2014/15,. Taasisi. ya. Saratani. itaendelea. kutoa.mafunzo. ya. Shahada. ya. Tiba. ya. Saratani. kwa.Mionzi. na. Shahada. ya. Uzamili. katika. Tiba. ya.Sayansi.ya.Saratani.kwa.kushirikiana.na.Chuo.Kikuu.cha.Afya.na.Sayansi.Shirikishi.Muhimbili.

95. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2013/14,.jumla. ya. Sh.. 52,383,332,700.00. zimetumika.kununua,.kutunza.na.kusambaza.dawa,. vifaa,.vifaa. tiba. na. vitendanishi. katika. vituo. vya.kutolea.huduma.za.afya.vya.umma..Kati.ya.fedha.

60

Page 65: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

hizo,. Serikali. ilitoa. Sh.. 28,883,332,700.00.na. Wadau. wa. Maendeleo. kupitia. Mfuko. wa.Pamoja. walichangia. Sh.. 23,500,000,000.00..Aidha,. Mfuko. wa. Dunia. wa. kupambana. na.UKIMWI,. Malaria. na. Kifua. Kikuu. ulitoa. Sh..206,292,515,316.00. kwa.ajili. ya. kununua.na.kusambaza. dawa. zinazogharamiwa. na. Mfuko.huo.

96. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15.Sh.. 239,351,303,506.00. zimetengwa. kwa. ajili.ya. kununua,. kutunza. na. kusambaza. dawa,.vifaa,.vifaa.tiba.na.vitendanishi.katika.vituo.vya.kutolea.huduma.za.afya.vya.umma..Kati.ya.fedha.hizo,.Serikali.itatoa.Sh..58,808,637,185.00.na.Wadau.wa.Maendeleo.kupitia.Mfuko.wa.Pamoja.watachangia. Sh.. 10,500,000,000.00.. Aidha,.Mfuko. wa. Dunia. wa. kupambana. na. UKIMWI,.Malaria. na. Kifua. Kikuu. utatoa. Sh.. 170, 042, 666, 321.00 kwa.ajili.ya.kununua.na.kusambaza.dawa.zinazogharamiwa.na.Mfuko.huo.

97. Mheshimiwa Spika, Taasisi.ya.Taifa.ya.Utafiti.wa. Magonjwa. ya. Binadamu. ilifanya. zoezi. la.makadirio.ya.kitaifa.ya.dawa,.vifaa.na.vifaa.tiba.kwa.lengo.la.kupata.matumizi.halisi.ya.dawa.na.kutoa. mwelekeo. wa. mahitaji. kitaifa.. Kutokana.na. makadirio. hayo,. mahitaji. kitaifa. ya. dawa,.vifaa. tiba.na.vitendanishi.kwa.mwaka.2013/14.yalifikia. kiasi. cha. Sh.. 549,524,883,800.00.na. Sh.. 577,001,127,990.00. kwa. mwaka.2014/15.. Makadirio. hayo. hayakuhusisha. dawa.zinazogharamiwa. na. Mfuko. wa. Dunia. wa.

61

Page 66: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

Kupambana.na.UKIMWI,.Kifua.Kikuu.na.Malaria.

98. Mheshimiwa Spika,.Wizara.kupitia.Bohari. ya.Dawa. imeendelea. kuboresha. upatikanaji. wa.dawa,.vifaa.na.vifaa.tiba.katika.vituo.vya.kutolea.huduma.za.afya.kulingana.na.uwezo.wa.bajeti.hadi. kufikia. asilimia. 77.kati. ya. asilimia. 95. ya.lengo.. Sambamba. na. hilo,. Bohari. ya. Dawa.imekamilisha. awamu. ya. pili. ya. kuboresha.mfumo. wa. usambazaji. wa. dawa. na. vifaa. tiba.hadi.vituo.vya.kutolea.huduma.za.afya.kutoka.mikoa.kumi.mwaka.2012/13.hadi.Mikoa.yote.25.ya.Tanzania.Bara..Usambazaji.huo.umefanyika.katika. zahanati. 4,500,. vituo. vya. afya. 507,.hospitali. ngazi. ya. Halmashauri. 115,. hospitali.ngazi.za.mikoa.36,.hospitali.za.rufaa.za.kanda.4,. hospitali. maalum. 4,. hospitali. ya. Taifa. 1,.hospitali.za.jeshi.la.wananchi.2.na.hospitali.ya.jeshi.la.polisi.1..Aidha,.Bohari.ya.Dawa.imeweka.alama.maalum.GOT.katika.dawa.52.za.Serikali.ili. kuongeza.udhibiti.wa.dawa.kupotea..Katika.mwaka.2014/15.idadi.ya.dawa.zitakazowekewa.alama.maalum.zitakuwa.132.

99. Mheshimiwa Spika,. katika. kuimarisha.upatikanaji.wa.dawa.za.malaria,.Wizara.ilinunua.na.kusambaza.katika.vituo.vya.kutolea.huduma,.jumla. ya. dozi. 22,029,870. za. dawa. mseto. na.kipimo. cha. malaria. kinachotoa. majibu. haraka.(mRDT). 24,696,750.. Katika. mwaka. 2014/15,.Wizara.itanunua.na.kusambaza.dawa.mseto.za.malaria.dozi,.28,159,986.na.mRDT.16,996,683.katika.Sekta.ya.Umma.na.Sekta.Binafsi.

62

Page 67: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

100. Mheshimiwa Spika, Wizara. ilisambaza. viti.maalum. kwa. ajili. ya. kutolea. huduma. za. afya.ya.kinywa.katika.kliniki.20.za.meno.ambazo.ni.Katoro,.Karumwa.na.Nzera. (Geita),.Kingolwira,.Kidodi. na. Gairo. (Morogoro),. Mjesani. na. Mnazi.(Tanga),. Pugu,. Rangi. Tatu. na. Tandale. (Dar.es. Salaam),. Nkwenda. na. Kayanga. (Kagera),.Kasaunga.na.Kiagata.(Mara).na.katika.hospitali.za. Ileje,. Mbozi. na. Mbarali. (Mbeya),. Mtakatifu.Raphael.(Tanga).na.Rubya.(Kagera).

101. Mheshimiwa Spika,.katika.kuboresha.mfumo.wa. upatikanaji. wa. dawa,. Bohari. ya. Dawa.imeshirikiana. na. Sekta. Binafsi. ili. kuhakikisha.kuwa.dawa.na.vifaa.tiba.vinapokosekana.katika.bohari.zake,.Mshitiri.wa.Sekta.Binafsi.anakuwa.tayari.kuwezesha.upatikanaji.wa.dawa.hizo.kwa.ajili.ya.vituo.vya.kutolea.huduma.za.afya.nchini..Katika.hatua.hiyo,.jumla.ya.Washitiri.binafsi.15.wamehusishwa.ndani.ya.mfumo.huo.kupitia.njia.ya.ushindani.kwa.kutumia.Sheria.ya.Manunuzi.ya.Umma.ya.mwaka.2011..Pia,.ndani.ya.Wizara.kimeanzishwa.Kitengo.maalum.cha.kusimamia.shehena.na.taarifa.za.dawa.na.kuweka.mfumo.ambao. utawezesha. kupatikana. kwa. taarifa.za. dawa. kwa. njia. ya. kielektroniki.. Wizara.imetoa. mafunzo. kwa. Watoa. Huduma. za. Afya.katika. Halmashauri. 117. nchini. ili. kuwajengea.uwezo.wa.kutumia.mfumo.huo.wa.kielekroniki.(Kiambatisho Na.8)..Halmashauri.88.zinaagiza.dawa.kwa.kutumia.mfumo.huo.wa.kielekroniki.

63

Page 68: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

102. Mheshimiwa Spika,.katika.kuboresha.utunzaji.wa. dawa,. Wizara. kupitia. Bohari. ya. Dawa.inaendelea.na.ujenzi.wa.maghala. ya.kisasa. ya.kuhifadhi. dawa.. Hatua. za. ujenzi. ziliendelea.sanjari. na. kurejesha. zaidi. ya. mita. za. mraba.11,000. zilizokuwa. zimekodishwa. kwa. gharama.ya. zaidi. ya. Sh.. bilioni 1. kwa. mwaka. Katika.mwaka.2014/15,.Bohari. ya.Dawa. itakamilisha.ujenzi.wa.maghala.ya.kisasa.ya.kuhifadhia.dawa.kwa.zaidi.ya.mita.za.mraba.8,000.katika.mikoa.ya.Tanga,.Tabora,.Mtwara.na.Dar.es.Salaam.

103. Mheshimiwa Spika,.Wizara.iliandaa.mwongozo.wa. uteketezaji. wa. dawa,. vifaa. na. vifaa. tiba.vilivyoisha. muda. wa. matumizi. na. imeendelea.kusimamia.uteketezaji.wa.bidhaa.hizo.na.kutoa.mafunzo. kwa. wakufunzi. 30. kutoka. katika.Ofisi.ya.Mhakiki.Mali.wa.Serikali.na.wataalam.kutoka. Ofisi. za. Waganga. Wakuu. wa. Mikoa. na.Wilaya.. Wakufunzi. hao. wametoa. mafunzo. kwa.Halmashauri. zote. katika. mikoa. ya. Manyara,.Arusha,.Kilimanjaro.na.Tanga..Wizara.inaendelea.kuimarisha.mfumo.wa.kielektroniki.ili.kudhibiti.matumizi.ya.dawa.na.kupunguza.idadi.ya.dawa.zinazoweza. kuisha. muda. wake. zikiwa. katika.bohari.au.ghala.za.hospitali.mbalimbali.nchini..Vilevile,. Wizara. imechapisha. na. inaendelea.kusambaza.mwongozo.mpya.wa.matibabu.nchini.na.orodha.ya.dawa.muhimu..

104. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15,.Wizara. itaendelea. kushirikisha. Sekta. Binafsi.katika. kuwezesha. upatikanaji. wa. dawa. pale.

64

Page 69: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

zinapokosekana. Bohari. ya. Dawa.. Hatua. hiyo.itaenda. sanjari. na. mkakati. wa. kuhusisha.Sekta. Binafsi. katika. kuanzisha. uzalishaji. wa.dawa. na. vifaa. tiba. na. kufanya. mabadiliko.katika. Sheria. iliyoianzisha. Bohari. ya. Dawa.kwa.ajili. ya.kufungua.milango. zaidi.kwa.sekta.binafsi..Utaratibu.wa.kimfumo.utaanzishwa.na.kuimarishwa. ili. kuhakikisha. sehemu. ya. fedha.zinazokusanywa. katika. vituo. vya. huduma.zinapelekwa.moja.kwa.moja.Bohari.ya.Dawa.ili.vituo.husika.vipatiwe.dawa.vifaa,.na.vifaa.tiba..Vilevile,. Wizara. itatoa. mafunzo. ya. kutumia.Mfumo.wa.taarifa.za.kielektroniki.za.dawa.kwa.Halmashauri.93.zilizobaki..Pia,.Waganga.Wakuu.wa. mikoa,. wilaya. na. wajumbe. wa. kamati. za.afya.watapata.mafunzo.ya.utumiaji.wa.takwimu.zitakazokusanywa..

UKAGUZI NA UHAKIKI WA UBORA WA HUDUMA ZA AFYA NA USTAWI WA JAMII

Uhakiki na Ukaguzi wa Ubora wa Huduma za Afya

105. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2013/14,.Wizara.ilitoa.mafunzo.kwa.wajumbe.262.wa.Timu.za.Uendeshaji.Huduma.ya.Afya.za.Halmashauri.kutoka. Mikoa. sita. ya. Dar. es. Salaam,. Kigoma,.Rukwa,.Shinyanga,.Singida.na.Tabora.kuhusu.kukinga. na. kudhibiti. maambukizi.. Lengo.lilikuwa. kuzijengea. uwezo. timu. hizi. ili. ziweze.kusimamia. viwango. vya. kukinga. na. kudhibiti.

65

Page 70: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

maambukizi. wakati. wa. kutoa. huduma. za. afya.katika.Halmashauri.zao..Katika.mwaka.2014/15,.mafunzo.hayo.yatatolewa.kwa.wajumbe.500.wa.Timu.za.Uendeshaji.Huduma.ya.Afya.za.Mikoa.na.Halmashauri,.Timu.za.Menejimenti.za.Hospitali.za.Rufaa.za.Mikoa.na.Timu.za.Uimarishaji.Ubora.za. hospitali. za. Mikoa. kutoka. mikoa. minne. ya.Geita,.Katavi,.Njombe.na.Simiyu..Aidha,.Wizara.itafanya. usimamizi. shirikishi. katika. hospitali.50. zilizopata.mafunzo.ya.kukinga.na.kudhibiti.maambukizi.

106. Mheshimiwa Spika,.Wizara.imeanza.kutekeleza.utaratibu.wa.kutoa.ithibati.kwa.vituo.vya.kutolea.huduma.za.afya.nchini.ambapo.vituo.vinapewa.vyeti.kulingana.na.hatua.ya.utekelezaji.iliyofikiwa.kuhusu.ubora.wa.huduma..Hadi.sasa.vituo.151.vimefanyiwa.tathmini.ya.awali.na.wataalam.wa.afya.58.wamepata.mafunzo.ya.kuwa.wawezeshaji.na.10.kati.yao.wamefikia.hatua.ya.wathamini..Aidha,.Wizara.imechapisha.na.kusambaza.nakala.1,200.za.Mpango.Mkakati.wa.Uimarishaji.wa.Ubora.wa.Huduma.za.Afya.na.Ustawi.wa.Jamii.Nchini.(2013.–.2018)..Vilevile,.mafunzo.yametolewa.kwa.watoa. huduma. 200. kuhusu. utoaji. salama. wa.damu,.yenye.lengo.la.kuimarisha.utoaji.salama.wa. damu. na. kuhakikisha. kuwa. sampuli. za.damu.zinakidhi.viwango.vya.kitaifa.na.kimataifa..Watoa. huduma. hao. walitoka. katika. hospitali.10. za. Bugando,. Mbeya. Rufaa,. KCMC,. Taasisi.ya. Mifupa. Muhimbili. na. Hospitali. za. Rufaa. za.Mikoa.ya.Lindi,.Tanga,.Tabora,.Singida,.Amana.

66

Page 71: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

na.Iringa..Katika.mwaka.2014/15,.Wizara.itatoa.mafunzo.kwa.wataalam.500.kutoka.hospitali.hizo..Aidha,.Wizara. itaendelea.kupanua. shughuli. za.utoaji.cheti.wa.hatua.kwa.hatua.katika.hospitali.zilizopo. katika. mikoa. ya. Ruvuma,. Njombe. na.Iringa..

107. Mheshimiwa Spika,. Wizara. ilitoa. . mafunzo.ya. uongozi. kwa. wauguzi. viongozi. 47. kutoka.Hospitali.ya.Taifa.Muhimbili,.Hospitali.ya.Rufaa.Mbeya,.Mtwara,.KCMC,.Aga.Khan,.Kibaha,.Vyuo.vya. Mafunzo. ya. Uuguzi,. Baraza. la. Wauguzi.na. Chama. cha. Wauguzi.. Katika. mwaka.2014/15,.Wizara. itaendelea.kufuatilia.huduma.zinazotolewa. na. Wauguzi. pamoja. na. Wakunga.ili.kutathmini.ubora.wa.huduma.hizo.kulingana.na. miongozo. ya. utoaji. huduma. katika. mikoa.minane.ya.Dodoma,.Njombe,.Katavi,.Shinyanga,.Mwanza,.Mara,.Kagera.na.Dar.es.Salaam..

108. Mheshimiwa Spika,.Wizara.ilitathmini.utayari.wa. kukabiliana. na. dharura. na. maafa. katika.mikoa. ya. Pwani,. Arusha,. Kilimanjaro,. Mtwara.na. Mara. na. kuangalia. utayari. wa. hospitali.30. katika. kutoa. huduma. za. dharura.. Aidha,.Wizara. imeandaa. mwongozo. wa. sekta. ya. afya.wa. utoaji. huduma. za. dharura. kwa. majeruhi.wengi.na.kutoa.mafunzo.kuhusu.huduma.hiyo..kwa. wataalam. wa. afya. 52. kutoka. mikoa. ya.Mwanza,. Shinyanga,. Mara. na. Kagera.. Katika.mwaka.2014/15,.Wizara.itatathmini.utayari.wa.kukabiliana.na..dharura.katika.mikoa.ya.Mbeya,.Dodoma,. Mwanza,. Kagera. na. Shinyanga.. Pia,.

67

Page 72: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

Wizara.itachapisha.na.kusambaza.miongozo.ya.Sekta.ya.Afya.ya.utoaji.wa.huduma.za.dharura.nchini..na.kutoa.mafunzo.kwa.timu.za.dharura.za.mikoa..

109. Mheshimiwa Spika,. Wizara. ilikagua. vituo.95. vya. kutolea. huduma. za. Radiolojia. katika.mkoa.wa.Dar.es.Salaam..Matokeo.yameonesha.kuwa.vituo.vyote.vina.mashine.na.vitendea.kazi.na. wataalam. ambao. hawatoshelezi. mahitaji.hususan. madaktari. bingwa-radiolojia.. Aidha,.Wizara. ilifanya.ukaguzi.katika.hospitali.binafsi.na. za. umma. katika. Mikoa. ya. Lindi,. Mtwara,.Manyara,.Kagera,.Katavi,.Njombe,.Iringa,.Pwani,.Singida,. Arusha,. Mwanza. na. Kigoma.. Vilevile,.Wizara. ilifanya.ukaguzi.wa.hospitali. ya.Nkinga.katika. mkoa. wa. Tabora. na. kuipandisha. hadhi.kuwa. hospitali. ya. mafunzo. kwa. vitendo. kwa.Madaktari. hivyo. kufanya. idadi. ya. vituo. vya.mafunzo.kwa.vitendo.kufikia.20..

110. Mheshimiwa Spika,.Wizara..ilikagua..maabara.binafsi. za. afya. 71. na. maduka. ya. kuuza. vifaa.vya. maabara. (25). katika. mikoa. ya. Shinyanga.(maabara. 5,. duka. 1),. Ruvuma. (maabara. 22),.Iringa.(maabara.16,..duka.1),..Singida.(maabara..4),.Tanga.(maabara.19),.Mwanza.(maabara.5,.duka.1).na.Ilala.(.maduka.22)..Aidha,.Wizara.ilikagua..vifaa.vya.maabara.za.afya.vinavyoingizwa.nchini.katika. Viwanja. vya. ndege,. Bandari. na. mipaka.ya.nchi.katika.mikoa.ya.Dar.es.Salaam,.Mtwara,.Lindi,.Kigoma,.Mwanza,.Ruvuma,.Mbeya,.Mara,.Arusha,. Kilimanjaro. na. Tanga.. Ukaguzi. huo.

68

Page 73: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

ulibainisha. kuwa. baadhi. ya. maabara. hazina.wataalam. wenye. sifa,. hazijasajiliwa,. zinatoa.huduma.ya.kupima.vipimo.vilivyozidi.uwezo.wa.maabara.zao.na.nyingine.vyumba.vya.maabara.havikidhi. viwango.. Sababu. hizo. zilisababisha.maabara.12.kufungiwa.kutoa.huduma..Maabara.hizo.ni.kutoka.mikoa.ya.Shinyanga.(1),.Ruvuma.(5),.Iringa.(3).na.Tanga.(3).

Udhibiti wa Ubora wa Taaluma za Afya na Vituo vya Kutolea Huduma za Afya

111. Mheshimiwa Spika,. Wizara. kwa. kupitia.Mabaraza. ya. Taaluma. ilisimamia. maadili. na.kusajili.wataalam.waliokidhi.viwango.vya.kutoa.huduma.za.afya.nchini..Hadi.kufikia.mwezi.Mei,.2014,. jumla. ya. wataalam. 5,927 walisajiliwa.kupitia.mabaraza.yao.ya.kitaaluma.(Kiambatisho Na.9)..Mabaraza.hayo.ni.pamoja.na.madaktari.na. madaktari. wa. meno,. wauguzi. na. wakunga,.wafamasia,.maabara,.upeo.wa.macho.kuona.na.afya.ya.mazingira...

112. Mheshimiwa Spika,.Wizara.ilisajili.vituo.binafsi.vya.kutolea.huduma.za.afya.184,.vituo.vya.tiba.asili.na.tiba.mbadala.22,.maabara.binafsi.za.afya.85,.makampuni.20.yanayoagiza.na.kuuza.vifaa.na.vitendanishi.vya.maabara.za.afya..Aidha,.Wizara.imeanza. kusajili. Taasisi. zinazotoa. huduma. za.Afya.Mazingira.katika.Halmashauri.zote.nchini.kwa.lengo.la.kuinua.kiwango.cha.usafi.kwa.jamii.

69

Page 74: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

katika.miji,.manispaa.na.majiji..Vilevile,.Wizara.kupitia.Baraza.la.Famasi,.ilisajili.maduka.mapya.ya.dawa.muhimu.5,757.baada.ya.kukidhi.vigezo...Aidha,. Baraza. . lilitoa. mafunzo. ya. watoa. dawa.15,800. ili. kuwajengea. uwezo. wa. kutekeleza.majukumu.yao.kwa.kuzingatia.sheria..

113. Mheshimiwa Spika,.maombi..2,273..ya.kusajili.chakula,. 1,496. dawa,. 764. vipodozi,. 198. vifaa.tiba. na. 18. majaribio. ya. dawa. yalipokelewa. na.kutathminiwa. na. Mamlaka. ya. Udhibiti. wa.Chakula.na.Dawa.Nchini.(TFDA)...Kati.ya.maombi.hayo,. maombi. 2,928. yaliidhinishwa. na. hivyo.bidhaa.husika.kuruhusiwa.kuuzwa.nchini..

114. Mheshimiwa Spika, Wizara. iliteua. wakaguzi.120.ili.kukagua.maduka.ya.dawa.na.kuhakikisha.kuwa.maduka.hayo.yanaendeshwa.kwa.kufuata.sheria. na. miongozo. iliyowekwa. na. kutoa.huduma. iliyo. bora. kwa. wananchi.. Aidha,.Wizara.imetoa.mafunzo.yakinifu.ya.ukaguzi.wa.dawa. kwa. wakaguzi. 80. wa. mikoa. ya. Dodoma,.Singida,. Tabora,. Iringa,. Pwani,. Morogoro. na.Dar. es. Salaam.. Vilevile,. Wizara. imeandaa. na.kutengeneza. kanuni,. miongozo,. taratibu. na.maandiko.mbalimbali.na.kuunda.mitaala. (NTA level 4-6). kwa. ajili. ya. mafunzo. ya. taaluma. ya.Famasi.ili.kuhakikisha.kuwa.wanafunzi.husika.wanapata. ujuzi. na. uwezo. unaohitajika.. Pia,.Wizara.imekagua.na.kupitisha.vyuo.vitatu.kwa.ajili.ya.kutoa.shahada.ya.Famasi,.vinne.kwa.ajili.ya.stashahada,.sita.vya.cheti.katika.Famasi.na.sita.cheti.katika.taaluma.ya.ugawaji.wa.dawa..

70

Page 75: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

115. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15,.Wizara. itapitia. Sheria. ya. Uongozi. wa. Hospitali.za. Watu. Binafsi. ya. mwaka. 1977. na. Sheria. ya.Uratibu.wa.Maabara.Binafsi.za.Afya.ya.mwaka.1997..Baraza.la.Madaktari.litaandaa.mwongozo.wa. mafunzo. kwa. vitendo. pamoja. na. kupitia.upya.mwongozo.wa.mwenendo.wa.maadili.kwa.madaktari..Aidha,.Baraza. la.Tiba.Asili. na.Tiba.Mbadala.litatoa.mafunzo.kwa..waganga..wa.Tiba.Asili.na.Tiba.Mbadala.kuhusu.lishe.bora,.usafi.na. kuzuia. maambukizi. ya. magonjwa.. Katika.mwaka. 2014/15,. Baraza. litatoa. mafunzo. kwa..waratibu. . wa. tiba. asili. na. tiba. mbadala. katika.mikoa. na. Halmashauri. mpya. kuhusu. miiko,.maadili.na.mienendo.ya.waganga.wa.tiba.asili.na.tiba.mbadala.na.taratibu..za..usajili.

116. Mheshimiwa Spika,.naomba.nichukue.nafasi.hii.kuwasihi.wataalam.wa.tiba.asili.na.tiba.mbadala.kuacha.mara.moja.kujitangaza.kuwa.na.uwezo.wa.kutoa.tiba.dhidi.ya.ugonjwa.wowote.ule.ambao.uwezo. huo. haujathibitishwa. kitaalam.. Hilo. ni.kosa.kwa.mujibu.wa.sheria.iliyoanzisha.tiba.asili.na. tiba.mbadala..Yapo.matangazo.yanayohusu.kuwa. na. uwezo. wa. kutibu. UKIMWI,. kisukari.na. shinikizo. la. damu.. Kwa. mujibu. wa. sheria.ya.Tiba.Asili.na.Tiba.Mbadala.matangazo.hayo.yaondolewe.mara.moja..Wizara.itatoa.mwongozo.na.taratibu.zinazopaswa.kufuatwa.ili.dawa.husika.zithibitishwe.kitaalam.Napenda.kuchukua.fursa.hii.kuagiza.vyombo.husika.vya.serikali.vifuatilie.kwa.karibu.na.kuchukua.hatua.kwa.mujibu.wa.

71

Page 76: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

sheria.kwa.wale.wote.watakaoenda.kinyume.na.sheria..

117. Mheshimiwa Spika,..katika.kutekeleza.Mpango.Mkakati. wa. Tatu. wa. Sekta. ya. Afya. wa. mwaka.2009.–.2015,.wajumbe.85.kutoka.vyama.16.vya.Tiba.Asili.walipata.elimu.kuhusu.sheria,.kanuni,.miongozo.na.namna.bora.ya.kutoa.huduma.ya.tiba. asili.. Pia,. elimu. ilitolewa. kwa. wananchi.kupitia. vyombo. vya. habari. juu. ya. kuzingatia.sheria,.kanuni.na.miongozo.ya.tiba.asili.na.tiba.mbadala..

118. Mheshimiwa Spika,. kutokana. na. ongezeko.la. huduma. za. tiba. asili. na. tiba. mbadala.hasa. katika. maeneo. ya. mijini,. katika. mwaka.2014/15,. Wizara. itafanya. ukaguzi. elekezi. juu.ya. matangazo. yanayofaa. na. yasiyofaa. ya. tiba.asili.na.tiba.mbadala.katika.majiji.ya.Mwanza,.Arusha,.Tanga,.Mbeya.na.Dar.es.Salaam..Aidha,.itaendelea.kukamilisha.Mpango.mkakati.pamoja.na.kuelimisha. jamii.kuhusu.sheria,.kanuni.na.miongozo.mbalimbali.ya.tiba.asili.na.mbadala..

119. Mheshimiwa Spika,. Wizara. imeandaa.mapendekezo. ya. marekebisho. ya. . Sheria.mbalimbali.na.kuwasilisha.Ofisi.ya.Mwanasheria.Mkuu.wa.Serikali.kwa.ushauri..Sheria.hizo.ni:

i.. Sheria.ya.Chakula,.Dawa.na.Vipodozi,.Na..1.ya..2003;

ii.. Sheria.ya.Idara.ya.Bohari.ya.Dawa.Na..13.ya.mwaka.1993;

iii.. Sheria.ya..Mfuko.wa.Taifa.wa.Bima.ya.Afya.

72

Page 77: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

Na..8.ya.mwaka.1999;

iv.. Sheria. ya. Hospitali. . ya. Taifa. ya. Muhimbili..Namba.5.ya.Mwaka.2000;

v.. Sheria. ya. Maabara. Binafsi,. . Namba. . 10. ya.Mwaka.1997;.na.

vi.. Sheria.ya.Chuo.cha.Ustawi.wa.Jamii.Namba.26.ya.Mwaka.1973.

Pamoja. na. marekebisho. ya. sheria. hizo,. Wizara.kwa.kushirikiana.na.Ofisi.ya.Mwanasheria.Mkuu.wa. Serikali. pia. itakamilisha. Kanuni. ya. Afya.Akili,.2013;.Kanuni.ya.Kusimamia.na.Kudhibiti.Maambukizi. ya. UKIMWI,. 2013;. na. Kanuni. ya.Kudhibiti.Matumizi.ya.Bidhaa.za.Tumbaku,.2013.

120. Mheshimiwa Spika, Wizara. iliandaa. kanuni.za.Sheria. ya.Mtoto.Na.. 21. ya.mwaka.2009.na.kutangazwa. katika. gazeti. la. Serikali. Na.. 151.hadi.155.la.tarehe.04.Mei,.2012.na.195.hadi.197.la.tarehe.03.Mei,.2012..Kanuni.hizo.ni.Kanuni.ya.Makao.ya.Watoto,.Ufundi.Stadi,.Kuasili,.Malezi.ya.Kambo.na.Mahabusi.za.Watoto..Aidha,.Kanuni.ya.Shule.ya.Maadilisho,.Vituo.vya.Kulelea.Watoto.Wadogo. Mchana. na. Wachanga. na. Kanuni. ya.Ulinzi. na. Usalama. wa. Mtoto. zimekamilika. na.kuwasilishwa. kwenye. mamlaka. husika.. Katika.mwaka.2014/15,.Wizara.itakamilisha.kanuni.za.kamati.ya.ustawi.wa.jamii.kwenye.mahabusi.za.watoto..

73

Page 78: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

HUDUMA ZA USTAWI WA JAMII

121. Mheshimiwa Spika, Wizara.iliendelea.kuratibu,.kutoa.na.kusimamia.huduma.za.ustawi.wa.jamii.kwa.makundi.maalum.ambayo.ni.wazee,.watu.wenye. ulemavu,. watoto. walio. katika. mazingira.hatarishi,. watoto. walio. katika. mkinzano. na.sheria,.familia.zenye.migogoro.ya.ndoa.na.familia.zenye.dhiki...Aidha,.ilianza.kutekeleza.mkakati.wa. kuboresha. rasilimali. watu. ya. wataalam. wa.ustawi. wa. jamii. kwa. kuanzisha. kitengo. cha.mafunzo.na.maendeleo.ya.watumishi.

Huduma kwa Wazee na Watu Wenye Ulemavu

122. Mheshimiwa Spika, Serikali.imeendelea.kutoa.huduma. kwa. watu. wenye. ulemavu. kwa. lengo.la. kuwawezesha. kujiajiri. na. kuajiriwa.. Hivyo,.Wizara. ilihakikisha. kwamba. vyuo. vya. watu.wenye.ulemavu.vya.Yombo..na.Singida.vinatoa.mafunzo.ya.stadi.za.kazi.kwa.wanafunzi.wenye.ulemavu.wa.aina.mbalimbali..Jumla.ya.wanafunzi.190.wakiwemo.wanawake.80.na.wanaume.110.wamepata. mafunzo. hayo.. Aidha,. Chuo. cha.Luanzari. Mkoa. wa. Tabora. kimekarabatiwa. na.kinatarajiwa. kuanza. kutoa. huduma. katika.mwaka. wa. fedha. 2014/15.. Vilevile,. katika.mwaka.2014/15,.vyuo.hivyo.vitadahili.jumla.ya.wanafunzi.watarajali.240..

123. Mheshimiwa Spika,. Serikali. pia,. iliendelea.kutoa. huduma. za. msingi. za. chakula,. malazi,.mavazi.na.matibabu.kwa.wazee.na.watu.wenye.

74

Page 79: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

ulemavu.wasiojiweza.1,235.wakiwemo.wanaume.628. na. wanawake. 607,. wanaotunzwa. na.kulelewa. katika. makazi. 17. ya. Serikali.. Aidha,.Wizara. iliratibu. huduma. za. matunzo. katika.makazi.24.yanayoendeshwa.na.mashirika.yasiyo.ya.kiserikali...

124. Mheshimiwa Spika, napenda.kuchukua.fursa.hii.kuwakumbusha.wananchi.pamoja.na.Waheshimiwa.Wabunge. kwamba. kwa. mujibu. wa. Sera. ya. Taifa.ya.Wazee.(2003).na.Sera.ya.Taifa.ya.Huduma.na.Maendeleo. kwa. Watu. Wenye. Ulemavu. (2004),.matunzo. ya. wazee. na. watu. wenye. ulemavu.wasiojiweza. ni. jukumu. la. familia. na. jamii...Matunzo.katika.taasisi.zilizo.rasmi.ni.hatua.ya.mwisho.pale.ambapo.itathibitika.kuwa.mhusika.hana. kabisa. ndugu. wa. kumtunza. katika. jamii.yake..

125. Mheshimiwa Spika,. katika. kutekeleza. Sheria.Na..9.ya.mwaka.2010.ya.Watu.Wenye.Ulemavu,.Wizara. imeunda. Baraza. na. Mfuko. wa. Taifa.wa.Huduma.kwa.Watu.wenye.Ulemavu.. Lengo.ni. kuwajengea. uwezo. na. kuongeza. ushiriki.kwa. watu. wenye. ulemavu. katika. kuzifikia.fursa. na. haki. za. maendeleo. na. kuimarisha.utawala.bora.. .Katika.mwaka.2014/15,.Wizara.itaendelea.kuziongezea.uwezo.Halmashauri.kwa.kuhakikisha. kuwa. majukumu. ya. ustawi. wa.jamii.yanajumuishwa.katika.Mipango.Kabambe.ya.Afya.ya.Halmashauri.na.kuboresha.huduma.kwa.makundi.ya.watu.wenye.ulemavu.na.wazee.wasiojiweza..

75

Page 80: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

Huduma za Ustawi wa Familia, Watoto, Malezi na Maendeleo ya Awali ya Watoto Wadogo

126. Mheshimiwa Spika, Wizara...imesambaza..Mpango.Kazi. wa. Taifa. wa. Huduma. za. Malezi,. Matunzo.na. Ulinzi. kwa. Watoto. walio. katika. Mazingira.Hatarishi. (2013-2017). na. kutoa. mafunzo. kwa.Asasi.104.na.Halmashauri.zote.za.Mikoa.ya.Dar.es. Salaam,. Morogoro. na. Pwani.. Aidha, Wizara.imefanya. utambuzi. wa. watoto. walio. katika.mazingira.hatarishi.katika.Halmashauri.za.Rufiji,.Kilosa,. Ulanga,. Mvomero. na. Tunduru. ambapo.watoto.13,628.walitambuliwa.na.kufanya.jumla.ya.watoto.waliotambuliwa.na.kupatiwa.huduma.za. msingi. kuwa. 894,519. katika. Halmashauri.111.zilizofanyiwa.utambuzi..Katika.kuhakikisha.kwamba.mfumo.wa.ulinzi.na.usalama.wa.mtoto.unaimarishwa,. Wizara. imeendelea. kufanya.ufuatiliaji. katika. Halmashauri. za. Wilaya. ya.Hai,. Magu,. Bukoba,. Kasulu,. Musoma,. Ilemela.na. Manispaa. za. Ilala,. Temeke,. Nyamagana. na.Kinondoni.zinazotekeleza.mfumo.huo.. .Vilevile,.mfumo. huo. umeanzishwa. katika. Halmashauri.za.Wilaya.ya.Mufindi,.Mbeya,.Makete,.Mkuranga.na.Mbarali..Pia,.mafunzo.ya.ulinzi.na.usalama.wa. mtoto. yametolewa. kwa. Maafisa. Ustawi. wa.Jamii.75.na.timu.tisa.za.ulinzi.na.usalama.ngazi.ya.Halmashauri.katika.Halmashauri.zote.zenye.mifumo.ya.ulinzi.na.usalama.wa.mtoto.

127. Mheshimiwa Spika, Wizara. imetoa. msaada.wa. Rais. kwa. wanawake. 27. waliojifungua.watoto. zaidi. ya. wawili. kwa. wakati. mmoja..

76

Page 81: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

Aidha,. ilipokea.maombi. 85. ya.kutoa.malezi. ya.kambo. na. kuasili.. Kati. ya. hayo,. maombi. 20.yalikubaliwa.baada.ya.kukidhi.vigezo.na.maombi.65.yanaendelea.kufanyiwa.kazi..Vilevile,.Baraza.la.Usuluhishi.wa.Ndoa.la.Kamishna.wa.Ustawi.wa. Jamii. . lilipokea. jumla. ya. mashauri. 160. ya.ndoa.zenye.mifarakano.na.migogoro,.mashauri.55.yalisuluhishwa,.40.yalipelekwa.mahakamani.kwa.hatua.zaidi.za.kisheria.na.65.yanaendelea.kusikilizwa..Pia, mafunzo.ya.kuwajengea.uwezo.walezi. 720. wanaotoa. huduma. katika. makao.ya. watoto. na. vituo. vya. kulelea. watoto. wadogo.mchana.yalitolewa..

128. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15, Wizara. itaanzisha. na. kuimarisha. . mifumo. ya.ulinzi.na.usalama.katika.Halmashauri.za.Wilaya.10.za.Muleba,.Karatu,.Monduli,.Same,.Bagamoyo,.Shinyanga,. Kibaha,. Kisarawe,. Kahama. na. Jiji.la.Arusha.na.kuendesha.mafunzo.kwa.timu.za.ulinzi.na.usalama.wa.mtoto.na.maafisa.ustawi.wa.jamii..Vilevile,.itasambaza.na.kutoa.mafunzo.kwa. watendaji. wakuu. katika. Halmashauri.40. kuhusu.Mpango.Kazi.wa.Kitaifa.wa.Pili.wa.Huduma. kwa. Watoto. walio. katika. Mazingira.Hatarishi.-.2013-2017,.Sheria.ya.Mtoto.Na..21.ya.2009.na.kanuni.zake..Pia,.ukaguzi.utafanyika.katika.makao.30.ya.kulelea.watoto.walio.katika.mazingira.hatarishi.

77

Page 82: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

Huduma za Haki za Mtoto na Marekebisho ya Tabia

129. Mheshimiwa Spika, Wizara. ilitoa. hifadhi,.matunzo. na. marekebisho. ya. tabia. kwa. watoto.617.waliokinzana.na.sheria.katika.mahabusi.za..Mbeya,.Tanga,.Dar.es.Salaam,.Moshi,.Arusha.na.Shule.ya.Maadilisho.Irambo..Katika.kukabiliana.na tatizo. la. watoto. wanaoishi. na. kufanya. kazi.mitaani,.Wizara.iliwaondoa.watoto.222.katika.jiji.la.Dar.es.Salaam.na.kuwaunganisha.na.familia.zao. sehemu. mbalimbali. nchini.. Wizara. pia,.iliratibu. utekelezaji. wa. mradi. wa. majaribio. wa.marekebisho. ya. tabia. kwa. awamu. ya. pili. kwa.watoto.111.walio.katika.mkinzano.na.sheria.na.walio.hatarini.kuingia.katika.mkinzano.na.sheria,.katika.Manispaa.ya.Temeke...Lengo.la.mradi.ni.kuwachepua.watoto.hao.wasiingie.katika.mfumo.rasmi.wa.sheria...

130. Mheshimiwa Spika, katika. mwaka. 2014/15,.Wizara. itasimamia. na. kuratibu. huduma.zitolewazo. kwa. watoto. walio. katika. mkinzano.na. sheria. kwa. kuzingatia. viwango. vya. ubora.vilivyoainishwa.. Wizara. itatoa. mafunzo. kwa.watumishi.165.kutoka.Halmashauri.ya.Manispaa.ya.Temeke,.Ilala.na.Kinondoni.na.mahabusi.za.watoto.za.Mbeya,.Tanga,.Dar.es.Salaam,.Arusha,.Moshi.na.Shule.ya.maadilisho.Irambo.ili.watoe.huduma.bora.na.kwa.ufanisi.kwa.watoto.walio.katika.mkinzano.na.sheria..

78

Page 83: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

UDHIBITI WA KEMIKALI NCHINI

131. Mheshimiwa Spika,. Wakala. wa. Maabara. ya.Mkemia. Mkuu. wa. Serikali. ilipokea. sampuli.3,438.za.vyakula,.dawa,.kemikali,.maji.na.maji.taka,.bidhaa.za.viwandani.na.mazingira..Kati.ya.hizo,.sampuli.2,190.zilichunguzwa.na.kutolewa.matokeo.ambayo.ni.sawa.na.asilimia.63.7..Aidha,.Wakala. ulipokea. sampuli. 7,798. zinazohusiana.na.makosa.ya.jinai.na.matatizo.ya.kijamii..Kati.ya.hizo,.sampuli.6,166.zilichunguzwa.na.kutolewa.matokeo.ambayo.ni.sawa.na.asilimia.79..Katika.mwaka.2014/15,..utaimarisha.utoaji.huduma.za.uchunguzi. wa. sampuli. na. vielelezo. mbalimbali.na.kutoa.matokeo.kwa.wakati. ili.kulinda.afya,.mazingira.na.utoaji.haki.kwa.kuzipatia.maabara.zilizo.katika.kanda.mashine.za.kisasa,.vifaa.na.vitendanishi.vya.kutosha...

132. Mheshimiwa Spika,. Wakala. wa. Maabara. ya.Mkemia. Mkuu. wa. Serikali. iliendesha. semina.kwa.washiriki.130.ambao.walikuwa.ni.waandishi.wa.habari.na.wawakilishi.kutoka.Ofisi.ya.Rais,.Asasi. zisizo. za. Serikali,. waendesha. mashtaka,.maofisa. upelelezi. na. polisi. kuhusu. Sheria. ya.Usimamizi.wa.Vinasaba.vya.Binadamu.Sura.ya.73.. Lengo. lilikuwa. ni. kuwaelimisha. kuzingatia.taratibu. za. uchukuaji,. ufungaji,. uhifadhi. na.usafirishaji.wa.sampuli.au.vielelezo.vinavyohitaji.uchunguzi. wa. vinasaba. vya. binadamu.. Pia,.kuhusu. Sheria. ya. Udhibiti. wa. Kemikali. Na..3. ya. mwaka. 2003. ilitolewa. kwa. washiriki. 386.wakiwemo. Waheshimiwa. Wabunge,. waandishi.

79

Page 84: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

wa.habari,.Asasi.zisizo.za.Kiserikali,.wanafunzi.wa.shule.za.msingi.na.wanafunzi.wa.Chuo.Kikuu.cha.Dar.es.Salaam.

133. Mheshimiwa Spika,. Wakala. wa. Maabara. ya.Mkemia.Mkuu.wa.Serikali.pia.ilikagua.maabara.za.taasisi.58.katika.mikoa.ya.Mwanza,.Arusha,.Kilimanjaro,. Tanga,. Morogoro,. Dodoma. na.Mbeya.ili.kubaini.iwapo.zinatumia.teknolojia.ya.vinasaba. vya. binadamu. katika. kazi. zake.. Nia.ya.ukaguzi.huu.ni.kuzitambua.na.kuzisajili.na.baadaye.kuweza.kufuatilia.utekelezaji.wa.Sheria.ya.vinasaba.katika.maabara.hizo.(Kiambatisho Na. 10).. Aidha,. vituo. 20. vya. mipakani. vina-vyotumika. kuingizia. na. kutolea. mizigo. ya.kemikali. nchini. vilikaguliwa.. Vituo. hivyo.vinajumuisha. Horohoro,. Kasumulu,. Tunduma,.Kasanga,. Kasyesya,. . Sirari,. Namanga,. Holili,.Tarakea,.Mtukula,.Lusumo,.Kabanga,.Kasanga,..Mosi,.kituo..cha.bandari.ya.Dar.es.Salaam,.Tanga.na.bandari.kavu.ya.Isaka.na.viwanja.vya.ndege.vya.Julius.Nyerere,.Kilimanjaro.na.Songwe.

134. Mheshimiwa Spika,.ili.kubainisha.aina.za.sumu.zinazotumika.kwenye.matukio.ya.uhalifu,.Wakala.ulianzisha. kituo. cha. kudhibiti. na. kuhifadhi.takwimu.za.aina.za.sumu.zipatikanazo.maeneo.mbalimbali. nchini. kilichopo. Dar. es. Salaam. Katika. mwaka. 2014/15,. Wakala. utasimamia.mradi. wa. kitaifa. wa. kuzuia. na. kudhibiti. ajali.zinazohusisha. kemikali. ili. kuepusha. madhara..kwa. binadamu. na. uharibifu. wa. mazingira. na.mali..

80

Page 85: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

UDHIBITI WA UBORA WA CHAKULA NA DAWA

135. Mheshimiwa Spika, Wizara.kupitia.Mamlaka.ya.Chakula.na.Dawa.iliendelea.kudhibiti..usalama..na. . ubora. . wa. . bidhaa. . . za. chakula,. . dawa,..vipodozi..na..vifaa..tiba..kwa..kukagua.maeneo..5,321.yanayojihusisha.na.uzalishaji.na.uuzaji.wa.bidhaa.hizo..Maeneo.yaliyokaguliwa.ni.pamoja.na;.maeneo.ya.kusindika.na.kuuzia.chakula.3,066,.maduka. ya. dawa. 1,701,. maduka. ya. vipodozi.516.na.maduka.ya.vifaa.tiba.38..Kati.ya.maeneo.5,321. yaliyokaguliwa,. maeneo. 4,450. yalikidhi.vigezo. sawa. na. asilimia. 84.. Maeneo. ambayo.hayakukidhi. matakwa. ya. sheria. yalielekezwa.kufanya. marekibisho. husika. ndani. ya. muda.maalum.. Aidha,. katika. ukaguzi. huo,. Mamlaka.ilibaini. na. kuteketeza. bidhaa. ambazo. hazifai.kwa.matumizi.ya.binadamu;.tani.132.za.chakula.zenye.thamani.ya.Sh..117,138,075.00,.tani.137.za.dawa.zenye.thamani.ya.Sh..239,503,007.00.na. tani.4.83. za. vipodozi. zenye. thamani. ya.Sh..52,740,456.00.. .Vilevile,.Mamlaka.ilichunguza.sampuli. 1,848. ambapo. 1,071. zilikuwa. za.dawa,.723.za.chakula.na.54.za.vifaa.tiba..Kati.ya. sampuli. zilizochunguzwa,. sampuli. 1,781.zilikidhi.viwango.sawa.na.asilimia.96.4..Bidhaa.zilizoshindwa.kukidhi.vigezo.ziliondolewa.sokoni.na.baadhi.zilikataliwa.au.kufutiwa.usajili.

136. Mheshimiwa Spika, Mamlaka. pia. ilitoa. vibali.mbalimbali.vya.kuingiza.nchini;.chakula.(3,672),.dawa.(1,611),.vipodozi.(5,776).na..vifaa.tiba.(740)..Mamlaka. ilipokea. na. kutathmini. taarifa. 477.za. madhara. yanayohusishwa. na. matumizi. ya.

81

Page 86: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

kawaida.ya.dawa.na.201.kutokana.na.majaribio.ya.dawa.ambapo.ilibainika.kwamba.hapakuwa.na.mahusiano.ya.moja.kwa.moja.ya.madhara.hayo.na.dawa.zilizotumiwa.. .Aidha,.Mamlaka.katika.kuelimisha. jamii. kuhusu. matumizi. sahihi. na.udhibiti.wa.masuala.ya..chakula,.dawa,.vipodozi.na.vifaa.tiba..iliandaa.na.kurusha.vipindi.18.vya.radio.na.11.vya.TV,.taarifa.kwa.umma.12...na..ilifanya. mikutano. 5. na. waandishi. wa. habari..Vilevile,. jumla. ya. watumishi. 40. walihudhuria.mafunzo. ndani. na. nje. ya. nchi. ili. kuwajengea.uwezo.wa.kukabiliana.na.changamoto.za.udhibiti.wa.chakula,.dawa,.vipodozi.na.vifaa.tiba...

137. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15,.Mamlaka. itaendelea. kushirikiana. na. Ofisi.ya. Waziri. Mkuu. -. TAMISEMI. katika. kudhibiti.usalama.na.ubora.wa.bidhaa..za.chakula,.dawa,.vipodozi. na. vifaa. tiba. kwa. kukagua. maeneo.yanayojihusisha. na. uzalishaji. na. uuzaji. wa.bidhaa..hizo..Aidha,.Mamlaka.itasajili,.itadhibiti.uingizaji. nchini. na. kufanya. uchunguzi. wa.kimaabara. kujiridhisha. na. usalama. na. ubora.wa.bidhaa.hizo.ili.kulinda.afya.za.walaji..Vilevile,.itatoa. . elimu. . kwa. jamii. kuhusu. . ubora. . na..usalama..wa.bidhaa.za.chakula,.dawa,.vipodozi.na. vifaa. tiba. na. kufuatilia. taarifa. za. athari.zinazotokana.na.matumizi.ya.bidhaa.hizo..Pia,.itaanza. ujenzi. wa. maabara. na. Ofisi. ya. Kanda.ya.Ziwa.katika. jiji. la.Mwanza..Kukamilika.kwa.ujenzi. huo.kutaimarisha.utoaji.wa.huduma. za.udhibiti.wa.ubora,.usalama.na.ufanisi.wa.bidhaa.za.chakula,.dawa,.vipodozi.na.vifaa.tiba.nchini.

82

Page 87: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

UTAFITI WA MAGONJWA YA BINADAMU

138. Mheshimiwa Spika, Taasisi. ya. Utafiti. wa.Magonjwa. ya. Binadamu. ilifanya. ufuatiliaji.kuhusu. njia. bora. ya. kutibu. maji. katika.Wilaya. za. Geita. na. Kisarawe.. Taasisi. ilibaini.mabadiliko. makubwa. katika. tabia. ya. usafi. na.usalama. wa. maji. ya. kunywa. katika. kaya.. Hivi.sasa,.kaya.ambazo.zinatumia.maji.yaliyotibiwa.zimeongezeka.kutoka.asilimia.20.hadi.95..Kaya.zenye.mfumo.salama.wa.kutunza.maji.ya.kunywa.zimeongezeka. kutoka. asilimia. 0. hadi. 79;. na.kaya.zinazotumia.chombo.kimoja.cha.kunawia,.kuchotea.na.kunywea.maji.zimepungua.kutoka.asilimia.100.hadi.0..Matokeo.haya.yanaiwezesha.Wizara. kuandaa. mpango. wa. uhamasishaji.usalama.wa.maji.ngazi.ya.kaya.kitaifa.ikiwa.ni.moja. ya. kinga. muhimu. dhidi. ya. magonjwa. ya.kuhara..

139. Mheshimiwa Spika, Taasisi.pia.ilifanya.utafiti.wa.uwepo.wa.ugonjwa.wa.vikope.katika.Halmashauri.za. Wilaya. 10. za. Kibaha,. Siha,. Misungwi,.Karagwe,.Mbarali,.Namtumbo,.Tunduru,.Magu,.Kilosa,.Kilindi.na.Songea..Matokeo.ya.utafiti.huo.yameonesha.kuwa.Wilaya.ya.Kilindi.pekee.ndiyo.bado.ina.maambukizi.ya.ugonjwa.huo.kwa.zaidi.ya.asilimia.10.na.hivyo.italazimika.kuendelea.na.zoezi.la.umezaji.wa.dawa..

140. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15,.Taasisi. itafanya. tafiti. zifuatazo:. majaribio. ya.dawa. za. kudhibiti. VVU. ili. kutathmini. ubora.

83

Page 88: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

wa. dawa. mpya. ijulikanayo. kama. FOZIVUDINE.iliyo.katika.mseto.wa.dawa.zitakazotumika.kwa.wagonjwa.wanaoanza.dawa.na.wale.wanaojenga.usugu.wa.dawa. za.kundi. la.kwanza;. tathimini.ya.ufanisi.wa.vipimo.vipya.vya.kifua.kikuu.kwa.kuhusisha.hospitali.za.rufaa.za.mikoa.ya.Mara,.Kilimanjaro,. Arusha,. Pwani. na. Shinyanga. na.Mkoa.wa.Mjini.Magharibi. –.Zanzibar.na.utafiti.wa.magonjwa.ya.matende.na.mabusha,.minyoo.ya. tumbo. na. kichocho. katika. Halmashauri. za.Wilaya. za. Newala,. Tandahimba,. Mkuranga,.Chamwino,.Kondoa,.Singida,. Iramba,.Manyoni,.Nkasi,. Sumbawanga,. Mpanda,. Mlele,. Nsimbo,.Muheza.na.Lushoto,.Mji.wa.Mpanda.na.Manispaa.za. Dodoma. na. Sumbawanga. ilifanyika.. Aidha,.Taasisi. itafanya. majaribio. ya. mbinu. mpya. ya.kutumia. vitambaa. vilivyosindikwa. viuatilifu.vitakavyowekwa. ukutani. ndani. ya. nyumba.katika. vijiji. 20. katika. Wilaya. ya. Muheza.ili. kupambana. na. mbu. waenezao. malaria..Vilevile,. Taasisi. itafanya. tathmini. ya. hali. ya.uwepo. wa. maambukizi. ya. ugonjwa. wa. vikope.baada. ya. kumeza. dawa. kwenye. Wilaya. 7. za.Bahi,. Chamwino,. Mpwapwa,. Dodoma,. Igunga,.Mkuranga,.na.Rufiji..Wizara.itafanya.tathmini.ya.aina.nne.za.vyandarua.vilivyosindikwa.viuatilifu.(Icon.Maxx®,.MiraNet®,.PandaNet®.na.LifeNet®).ili.kutathmini.ubora.wake.katika.kupambana.na.mbu.hasa.wale.wanaoeneza.vijidudu.vya.ugonjwa.wa.malaria..Pia, Wizara.kupitia.Taasisi.itasimika.mitambo. ya. kutengeneza. dawa. za. asili. katika.majengo.ya.kiwanda.kilichojengwa.Mabibo,.Dar.es.Salaam..

84

Page 89: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

USHIRIKIANO WA NDANI NA NJE YA NCHI

141. Mheshimiwa Spika, katika.mwaka.2013/14,.Wizara. iliendelea. kushirikiana. na. nchi. rafiki.katika. kuimarisha. sekta. ya. afya. nchini..Aidha,.iliratibu.na.kushiriki.kwenye.mikutano.ya.Jumuiya.za.Kikanda.za.SADC,.EAC,.ECSA-.Health. Community. na. Mashirika. mengine.ya. Kitaifa. na. katika. kutekeleza. maamuzi. ya.pamoja.yenye.manufaa.kwa.Taifa..Katika.mwaka.2014/15,. Wizara. itaimarisha. ushirikiano.na. nchi. rafiki. na. Mashirika. ya. Kimataifa.yanayosaidia. sekta.ya.afya.na.ustawi.wa.jamii..Aidha,.itaimarisha.ushirikiano.na.sekta.nyingine.ambazo. zinachangia. katika. kutoa. huduma. za.afya.na.ustawi.wa.jamii.nchini..Vilevile, Wizara.kwa.kushirikiana.na.mikoa.na.wadau.wa.sekta.itaendelea. kuadhimisha. siku. mbalimbali. za.Afya.za.Kitaifa.na.Kimataifa..Baadhi.ya.siku.hizo.ni. za. Afya,. Malaria.Afrika,.UKIMWI,.Kifua.Kikuu,.Ukoma,.Wazee,.Watu.wenye.Ualbino,.Watu.Wenye.Ulemavu,.Kutotumia..Tumbaku,..Tiba..Asili.ya.Mwafrika,. Wachangia. Damu,. Utepe. . Mweupe,.Siku.ya.Wauguzi.na.Fimbo.Nyeupe.

SHUKRANI

142. Mheshimiwa Spika, napenda. . kuchukua..nafasi. . hii. . ya. kipekee. kuzishukuru. nchi. za.Denmark,.Uswisi,.na.Ireland..na..Mashirika. ya..Maendeleo...ya..Kimataifa.yakiwemo..Benki..ya..Dunia,.CIDA.(Canada),...UNICEF.na.UNFPA.kwa.kutoa.

85

Page 90: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

misaada..katika.Mfuko.wa.Pamoja.wa.Sekta.ya.Afya.na.Ustawi.wa.Jamii.ambao..umesaidia.kwa.kiasi.kikubwa.kuboresha..huduma.. za.afya.na.ustawi. wa. jamii.. Pia,. napenda. kuzishukuru.nchi.nyingine.za.Canada,.China,.Cuba,.Hispania,.India,. Ireland,. Italia,. Japan,. Korea. Kusini,.Marekani,.Misri,.Sweden,.Uingereza,.Ujerumani.na.Ufaransa.na.ambazo. zimeendelea..kuisaidia.sekta. ya. afya. na. ustawi. wa. jamii. kwa. njia.mbalimbali.

143. Mheshimiwa Spika, vilevile. nashukuru.mashirika.mengine.ya.Kimataifa.kwa.ushirikiano.wao. mzuri. na. Wizara.. Mashirika. haya.yanajumuisha.Benki.ya.Maendeleo.ya.Afrika.(AfDB), Benki.ya.Nchi.za.Kiarabu.kwa.ajili.ya.Maendeleo..ya.Uchumi.ya.Nchi.za.Afrika.(BADEA), Jumuiya.ya.Nchi.za.Ulaya.(EU), GAVI, Shirika.la.Kimataifa.la.Nguvu..za.Atomiki.(IAEA), Shirika.la.Umoja.wa.Mataifa.la.Kudhibiti. UKIMWI. (UNAIDS), Shirika. la. Umoja. wa.Kimataifa. la. Maendeleo. (UNDP), Shirika. la. Afya.Duniani..(WHO) na.Benki.ya.Dunia.(WB). Wengine.ni.Abbott Fund, BASIC NEED (UK), Baylor College of Medicine ya.Marekani,.Canadian.Bar.Association,.CDC, CORDAID (Netherlands),CUAMM, DANIDA, DFID, Engender Health (USA), EED, Elizabeth Glaser Paediatric Aids Foundation (EGPAF), Family Health International (FHI), FINIDA, GIZ, Good Samaritan Foundation (GSF), German TB and Leprosy Relief Association (GLRA), HelpAge International, ILO, Jane Adams School of Social Work ya.Chuo.Kikuu..cha.Illinois Marekani,.John Snow Incorporation (JSI), JICA,

86

Page 91: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

KOICA, KfW, Madaktari.Afrika.na.Madaktari.Wasio.na. Mipaka. (Medicins Sans Frontieres – MSF), MSERIOR, ORIO,...P4H, SAREC, SDC, SIDA (Sweden),..Shirika.la.Upasuaji.la.Spain, SIGN la.Marekani,.na.Shirika.la.Human Resource Capacity Project, Touch Foundation, USAID na.UN-Women.

144. Mheshimiwa Spika, tunawashukuru. pia.Wadau. wa. Maendeleo. . ambao. ni. African.Programme. for. Orchorcerciasis. Control,. Africare, Axios International, Aids Relief Consortium, AIHA, ASCP, ASM, APHL, Balm and Gillead Foundation, Bill and Melinda Gates Foundation, Clinton Health Access Initiative, CLSI, CMB, Christoffel Blinden Mission (CBM), Christian Relief Services (CRS), Citi Bank, Department of Defence ya Marekani, Community of Saint Egidio (DREAM), Duke University, ECSA, Futures Group, Glaxo Smith Kline (GSK), Global Fund, General Electric (GE – USA), Havard University na University of Maryland, Helen Keller International, Henry Jackson Foundation, IMA, ICAP, International Trachoma Initiative, Intrahealth, International Eye Foundation, I-TECH, Jhpiego, Johns Hopkins University, Labiofarm Industry, London School of Hygiene and Tropical Medicine, Management Science for Health (MSH), MEDA, Merck & Company, Malaria No More, Military Advancement for Medical Research, NOVARTIS, Pathfinder, PATH, President’s Emergency Plan for AIDS Relief (PEPFAR), Pharm Access International, PactWorld, Plan International, Pfizer, Qiagen, Research Triangle Institute (RTI), Regional

87

Page 92: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

Psychosocial Support Initiatives (REPSSI), Saint Thomas Hospital- London, Save the Children, Sight Savers International, Supply Chain Management Systems (SCMS) na University of Columbia, URC, USA-Presidential Malaria Initiative (PMI), World Vision, FXB, Walter REED Army Institute of Research (WRAIR) na World Education Inc.

145. Mheshimiwa Spika, niwashukuru. watu..binafsi,. vyama. vya. hiari. na. mashirika. yasiyo.ya.kiserikali.ya.ndani.ya.nchi.kwa.kuwa.mstari.wa. mbele. . katika. kuchangia. uimarishaji. wa.huduma..za.afya.na.ustawi.wa.jamii...Mashirika.hayo.ni.pamoja.na.AGOTA, Aga Khan Foundation, APHFTA, AMREF, AGPAHI, APT, BAKWATA, Benjamin William Mkapa HIV/AIDS Foundation, CCBRT, CSSC, CCT, Counsenuth, ELCT, Ifakara Health Institute, Lions Club, MAT,. AFRICARE,. Msalaba.Mwekundu,. MEHATA,. MEWATA,. MUKIKUTE,. MDH, MeLSAT, PASADA, PAT, PSI, PRINMAT,. Rotary Club International,..SIKIKA,.Shree Hindu Mandal,.TANNA, TPHA, TPRI,.Tanzania Surgical Assosciation (TSA), Tanzania Diabetic Association, TANESA, THPS, TUNAJALI, Tanzania Midwife Association, TDA, TAYOA, TISS, TEC, UMATI, USADEFU, White Ribbon Alliance, Mabaraza.yote.ya.Kitaaluma,.Mashirika,.hospitali.na.vituo.vya.kutolea..huduma..za.afya.na. ustawi. wa. jamii. nchini. pamoja. na. vyama.vyote.vya.kitaaluma.vya.sekta.ya.afya.na.ustawi.wa.jamii.

88

Page 93: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

146. Mheshimiwa Spika, navishukuru. . Vyuo.Vikuu..vya.Dar.es.Salaam,.Muhimbili,.Sokoine,.Ardhi,.Mzumbe,.Dodoma,.Chuo..Kikuu..Huria,.Kumbukumbu. . ya. . Hurbert. . Kairuki,. IMTU,.Tumaini,.St..Agustino,.CUHAS,.Sebastian..Kolowa,.St..John,.Aga.Khan, Morogoro..Muslim,.Arusha.pamoja.na.Vyuo.vyote.vya.Sekta.ya.Afya.na.Ustawi.wa. Jamii. kwa. kuwa. mstari. wa. mbele. . katika.kuchangia. uimarishaji. wa. huduma. za. afya..Aidha,.nawashukuru..wadau..wengine.waliotoa.huduma..ya.elimu.kwa.njia.za.redio,.televisheni,.magazeti..na.mitandao..ya.kijamii.katika.masuala.ya.afya.na.ustawi.wa.jamii.

147. Mheshimiwa Spika, katika. kipindi. hiki. cha.utendaji.wangu.wa.kazi.kama.Waziri,.nimepata.ushirikiano. mkubwa. toka. kwa. viongozi. na.wafanyakazi. wa. Wizara.ya. Afya. na.Ustawi. . wa..Jamii..Napenda.kumshukuru.Mheshimiwa.Dkt..Kebwe. Stephen. Kebwe. (Mb.),. Naibu. Waziri. wa.Afya.na.Ustawi.wa.Jamii..Aidha,.nachukua.fursa.hii. kumshukuru. Katibu. Mkuu. Bwana. Charles.Amos. Pallangyo. kwa. kunipa. ushirikiano. katika.utekelezaji.wa.majukumu. yangu.katika.kipindi.hiki..Vilevile,.nawashukuru..Dkt..Donan.William.Mmbando,. Mganga. . Mkuu. wa. Serikali,. Bwana.Dunford. Daniel. Makala,. Kamishna. wa. Ustawi.wa.Jamii.na.Wakurugenzi.wa.Idara.zote.katika.Wizara.ya.Afya.na.Ustawi.wa.Jamii..Nawashukuru.pia,. Mkurugenzi. wa. Hospitali. ya. Taifa,. na.Wakurugenzi.wa.Hospitali.Maalum.na.za.Kanda.na.Taasisi.zilizo.chini.ya.Wizara,.Waganga.Wakuu..

89

Page 94: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

wa..Mikoa.na..Wilaya,.Waganga..Wafawidhi..wa.Hospitali,.Vituo.vya.Afya.na.Zahanati,.Wakuu.wa.Vyuo.vya.Mafunzo.ya.Afya.na.Ustawi.wa.Jamii.na.wafanyakazi. wote. wa. Sekta. ya.Afya.na. Ustawi.wa.Jamii.na.Mashirika.ya.Dini,. ya.Kujitolea.na.Binafsi.. Natoa. shukurani. kwa. sekta. nyingine.ambazo. . tunashirikiana. . nazo. . katika. . kutoa..huduma...za.afya.na.ustawi.wa.jamii.pamoja..na.wananchi..wote.kwa.ushirikiano.wao..Nawaomba.waendelee. kuzingatia. misingi. ya. afya. bora. ili.hatimaye.waweze.kufanya. kazi. kwa. bidii. kwa.manufaa.ya.taifa.letu.

148. Mheshimiwa Spika, nichukue. fursa.hii. pia.kuishukuru.familia.yangu..Kipekee.namshukuru.mke. wangu. mpenzi. Mariam. . S.. Abdulaziz. na.watoto.wetu.Tariq,.Meyye,.Shekhan.na.Amour.kwa.uvumilivu. na. kunitia. moyo. katika. kutekeleza..majukumu..yangu..ya.Kitaifa..Kwa.wananchi..wa.Jimbo. la.Rufiji.nawashukuru.kwa.ushirikiano.mnaoendelea. kunipatia. katika. kuendeleza.Jimbo. na. naahidi. nitaendelea. kuwaenzi. na.kuwatumikia. kwa. nguvu. zangu. zote. ili. kuleta.mabadiliko. . ya. haraka. ya. kimaendeleo. katika.Jimbo.letu.la.Rufiji.

90

Page 95: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

MAPATO NA MAOMBI YA FEDHA KWA KAZI ZILIZOPANGWA KUTEKELEZWA KATIKA MWAKA WA FEDHA 2014/15

Mapato

149. ..Mheshimiwa Spika,.katika.mwaka.2014/15,.

Wizara. imekadiria. kukusanya. mapato. ya. kiasi.

cha.Sh..78,671,519,016.00..Kati.ya.fedha.hizo,.

Sh.. 72,507,162,016.00. zitakusanywa. katika.

Mashirika. na. Taasisi. zilizo. chini. ya. Wizara. na.

kiasi. cha. Sh. 6,164,357,000.00. ni. kutoka.

katika. vyanzo. vya. Makao. Makuu.. Vyanzo.

hivyo. vinatokana. na. makusanyo. ya. uchangiaji.

wa. huduma. za. afya,. tozo. na. ada. mbali. mbali,.

usajili.wa.vituo.vya.binafsi.vya.kutolea.huduma,.

maabara.binafsi.na.Mabaraza.ya.Kitaaluma.

Matumizi ya Kawaida

150. Mheshimiwa Spika, katika. mwaka.

2014/15,. Wizara. inakadiria. kutumia. kiasi.

cha. Sh.. 317,223,431,000.00 kwa. ajili. ya.

Matumizi. ya. Kawaida.. Kati. ya. fedha. hizo,. Sh..

112,723,859,000.00 kitatumika. kwa. ajili. ya.

Matumizi.Mengineyo.na.Sh..204,499,572,000.00.

kitatumika.kwa.ajili.ya.Mishahara.ya.Watumishi..

Kati.ya.fedha.zilizotengwa.kwa.ajili.ya.mishahara,.

91

Page 96: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

kiasi. cha. Sh.. 39,728,561,634.00 ni. kwa.

ajili. ya. watumishi. wa. Makao. Makuu. na. Sh..

164,771,010,366.00..ni.kwa.ajili.ya.watumishi.

wa.Taasisi,.Mashirika.na.Wakala.zilizo.chini.ya.

Wizara.

Miradi ya Maendeleo

151. Mheshimiwa Spika,. katika. mwaka. 2014/15,.

Wizara. inakadiria. kutumia. jumla. ya. Sh..

305,729,492,000.00. . kwa. ajili. ya. utekelezaji.

wa. Miradi. ya. Maendeleo.. Kati. ya. fedha. hizo,.

fedha.za.Ndani.ni.Sh..54,000,000,000.00 .na.

fedha. za.Nje.ni.Sh..251,729,492,000.00..Kati.

ya. fedha. hizo. za. Nje,. Sh.. 18,526,675,000.00..

zitatolewa.na.Wahisani.wanaochangia.Mfuko.wa.

Pamoja.na.Sh..233,202,817,000.00..zitatolewa.

na.Wahisani.walio.nje.ya.Mfuko.

Maombi ya Fedha kwa Mwaka 2014/15

152. . Mheshimiwa Spika,. ili. kuwezesha. Wizara.

ya. Afya. na. Ustawi. wa. Jamii. kutekeleza. kazi.

zilizopangwa.katika.mwaka.2014/15,.naliomba.

Bunge.lako.tukufu.likubali.kuidhinisha.Makadirio.

ya. Matumizi. ya. Wizara. ya. Afya. na. Ustawi. wa.

92

Page 97: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

Jamii.pamoja.na.Taasisi.zake.yenye.jumla.ya.Sh..

622,952,923,000.00.. Kati. ya. fedha. hizo,. Sh..

317,223,431,000.00. ni. kwa. ajili. ya. Matumizi.

ya.Kawaida.na.Sh..305,729,492,000.00.ni.kwa.

ajili.ya.utekelezaji.wa.Miradi.ya.Maendeleo.

153. Mheshimiwa Spika,.Hotuba.hii.inapatikana.pia.katika. tovuti. ya. Wizara. ya. Afya. na. Ustawi. wa.Jamii;.www.moh.go.tz.

154. Mheshimiwa Spika, naomba. kutoa.hoja.

93

Page 98: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

VIREFU NA VIFUPISHO

AfDB. -. African.Development.Bank

ADDO.. -. Accredited.Drug.Dispensing.Outlet

AGOTA.. -. Association.of.Gynaecologists.and.Obstetricians.

. . of.Tanzania

AMREF. -. African.Medical.and.Research.Foundation

ALu.. -. Artemether./Lumefantrine

APHFTA.. -. Association.of.Private.Health.Facilities.in.

. . Tanzania

AIDS.. -. Acquired.Immuno-Deficiency.Syndrome

ARV.. -. Anti-Retro.Viral

BADEA.. -. Banque.Arabe.pour.Development.Economique.

. . en.Afrique

BAKWATA.. -. Baraza.Kuu.la.Waislamu.Tanzania

CBM. -. Christoffel.Brinden.Mission

CCBRT.. -. Comprehensive.Community.Based.

. . Rehabilitation.in..Tanzania

CCM.. -. Chama.Cha.Mapinduzi

CCT.. -. Christian.Council.of.Tanzania

CDC. -. Centres.for.Disease.Control.and..Prevention,.

. . Atlanta.Georgia.–.USA

CEDHA.. -. Centre.for.Education.and.Development.in.

. . Health.Arusha

CHF. -. Community.Health.Fund

CIDA.. -. Canadian.International.Development.Agency

COTC. -. Clinical.Officers.Training.College

CRS. -. Christian.Relief.Services

CSD. -. Central.Sterilizing.Department

CSSC. -. Christian.Social.Services.Commission

CUAMM.. -. International.College.for.Health.Cooperation.in.

. . Developing..Countries

94

Page 99: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

DANIDA. -. Danish.International.Development.Agency

DDH.. -. District.Designated.Hospital

DFID... -. UK.Department.for.International.

. . Development

DHIS.. -. District.Health.Information.Software

Dkt. -. Daktari

DNA.. -. Deoxyribo.NucleicAcid

DPT-HB. -. Diptheria,.Pertussis.Tetanus,.Hepatitis..

EAC.. -. East.African.Community

EED.. -. Electro.Encephalogram

ECSA. -. East,.Central.and.Southern.Africa.

ECSAHC. -. East,.Central.and.Southern.Africa.Health..

. . Community

EGPAF. -. Elizabeth.Glaser.Paediatric.AIDS..Foundation

ELCT.. -. Evangelical.Lutheran.Church.of..Tanzania

EU.. -. European.Union

FHI.. -. Family.Health.International

FINIDA. -. Finish.International.Development.Agency.

GAVI.. -. Global.Alliance.for.Vaccine.and.Immunisation.

GE-USA.. -. General.Electric-.United.States.of.America

GLRA.. -.. German.TB.and.Leprosy.Relief.Association

GSF.. -. Good.Samaritan.Foundation

GSK... -. Glascow.Smith.Kline

GIZ.. -. German.Society.for.International.

. . Cooperation.(Deutsche.Gesellschaft.für.. .

. . Internationale..Zusammenarbeit).

GoT. -. Government.of.Tanzania

HIB. -. Haemophilus.Influenza.Type.B

HIV. -. Human.Immuno..Deficiency.Virus.

HPV. -. Human.Papiloma.Virus

IAEA. -. International.Atomic.Energy.Agency

ILS. -. Integrated.Logistic.System

95

Page 100: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

ILO. -. .International.Labour.Organisation

IMA. -. .International.Missionary.Association

IMTU. -. .International.Medical.and.Technology.

. . University

ISO. -. .International..Standard.Organization

JICA.. -. .Japan.International.Cooperation.Agency

JSI. .-. John.Snow.Incorporation.

KCMC. -. Kilimanjaro.Christian.Medical.Centre

KfW.. -. Kredit.feur.Wiederaufbau

KOICA.. -. Korea.International.Cooperation.Agency

LLINS. -. Long-Lasting.Insecticide-treated.Nets.

MAT.. -. Medical.Association.of.Tanzania

Mb... -. Mbunge

MDH. -. Management.and.Development.for.Health

MDG. -. .Millennium.Development.Goals

MDP. -. Mectizan.Donation.Programme

MDR-TB. -. .Multi.Drug.Resistance.-.Tuberculosis

MEDA. -. Menonnites..Economic.Development.Associates

MEHATA.. -. Mental..Health..Association.of.Tanzania.

MEWATA. -. Medical.Women.Association.of.Tanzania.

MUKIKUTE. -. Mapambano.ya.UKIMWI.na.Kifua.Kikuu.

. . –.Temeke.

MMAM.. -. Mpango.wa.Maendeleo.ya.Afya.ya.Msingi

MNH.. -. Muhimbili.National.Hospital

MOI. -. .Muhimbili.Orthopaedic.Institute

mRDT. -. Malaria.Rapid.Diagnostic.Test

MSD.. -. Medical.Stores.Department

MSH.. -. .Management.Science.for.Health

MSF.. -. .Medicine.Sans.Frontiers

MTUHA.. -. Mfumo.wa.Taarifa.za.Uendeshaji..Huduma.za..

. . Afya

MVA.. -. Manual.Vacuum.Aspiration

96

Page 101: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

NACTE.. -. .National..Accreditation.Council.for.Technical..

. . Education

NHIF.. -. National.Health.Insurance.Fund

NIMR.. -. National.Institute.of.Medical.Research.

NORAD.. -. Norwegian.Agency.for.Development.

NSSF.. -. .National.Social.Security.Fund

OPEC. -. Organisation.of.Petroleum-Producing.Countries

OPRAS. -. Open.Performance.Review.and.Appraisal.System

ORCI... -. Ocean.Road.Cancer.Institute.

ORET.. -. Overseas.Related.Export.Trade.

P.4.P.. -. Pay.for.Performance

P.4.H.. -. Providing.for.Health

PASADA. -. .Pastoral.Activities.and.Services.for.People.with.

. . AIDS.

PAT.. -. Paediatric..Association.of.Tanzania

PEPFAR. -. .President’s.Emergency.Plan..for.AIDS..Relief.

PER. -. Public.Expenditure.Review

PHC/PHCI. -. Primary.Health.Care/Primary.Health..Care.

. . Institute.

PMI. -. Presidential.Malaria.Initiative

PSI.. -. Population..Service.International

PRINMAT.. -. Private.Nurse.and.Midwives.Association.of.. .

. . Tanzania

REPSSI.. -. Regional.Psychosocial..Support..Initiatives.

RTI.. -. Research.Triangle.Institute

RVF. -. Rift.Valley.Fever

SADC.. -. Southern.Africa.Development.Cooperation

SADCAS. -. Taasisi.ya.Idhibati.ya.Nchi.za.SADC

SAREC.. -. Swedish.Agency.for.Research..Cooperation.in..

. . Development.Countries

SCMS. -. Supply.Chain.Management.System

SDC.. -. Swiss.Agency.for.Development.and.Cooperation.

97

Page 102: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

98

SIDA.. -. Swedish.International.Development.Authority.

TANESA.. -. Tanzania.Netherlands.Support.to.AIDS.Control.

TAYOA. -. Tanzania.Youth.Allow.

TEC. -. Tanzania.Episcopal.Conference.Centre

TB. -. Tuberculosis

TDHS... -. Tanzania.Demographic.and.Health.Survey.

TEC.. -. Tanzania.Episcopal.Conference.

TEHAMA. -. Teknolojia.ya.Habari.na.Mawasiliano.

TFDA. -. Tanzania.Food.and.Drugs.Authority

TFNC.. -. Tanzania.Food.and.Nutrition.Centre

TIKA. -. Tiba.kwa.Kadi

TISS.. -. Tanzania.Interbank.Settlement.Systems

TPHA.. -. .Tanzania.Public.Health.Association

TSA. -. Tanzania.Surgical.Assosciation

UMATI. -. Chama.cha.Uzazi.na.Malezi.Bora.Tanzania

UN.. -. United.Nations

UNAIDS. -. United.Nations.Programme..on.AIDS

UNDP.. -. United.Nations.Development.Programme.

UNFPA.. -. United.Nations.Fund.for.Population..Activities

UNHCR.. -. United.Nations.High.Commission.for.Refugees.

UNICEF. -. United.Nations.Children’s.Fund

USA.. -. United.States.of.America

USADEFU.. -. Usambara.Development.Fund

USAID. -. United.States.Agency.for.International.. .

. . Development

UKIMWI. -. Upungufu.wa.Kinga.Mwilini

VVU. -. Virusi.Vya.UKIMWI

WAVIU. -. Watu.Wanaoishi.na.Virusi.vya.UKIMWI

WB. -. Word.Bank

WHO.. -. World.Health.Organisation

WRAIR.. -. Walter.REED.Army.Institute.of.Research

Page 103: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

Kiambatisho Na. 1

Mwenendo.wa.udahili.wa.Wanafunzi.katika.Vyuo.vya.Mafunzo.kwa.mwaka.2009/10.-.2013/14

99

Page 104: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

100

Kia

mbat

ish

o N

a. 2

KADA

ARUSHA

DODOMA

DSM

GEITA

IRINGA

KAGERA

KATAVI

KIGOMA

KILIMANJARO

LINDI

MANYARA

MARA

MBEYA

MOROGORO

MTWARA

MWANZA

NJOMBE

PWANI

RUKWA

RUVUMA

SHINYANGA

SIMIYU

SINGIDA

TABORA

TANGA

WIZARA

JUMLA  KIMKOA

AFISA

 AFYA  M

AZINGIRA  DARAJA  LA  II

25

31

11

23

23

34

30AFISA

 AFYA  M

AZINGIRA  M

SAIDIZI  D

ARAJA  LA  II

19

1610

116

31

187

32

926

319

419

623

31

314

522

2AFISA

 MTEKNOLO

JIA  M

AABARA  DARAJA  LA  II

22

14

21

23

724

AFISA

 MTEKNOLO

JIA  M

IONZI  DARAJA  LA  II

22

4AFISA

 MUUGUZI  DARAJA  LA  II

12

31

21

23

722

AFISA

 MUUGUZI  M

SAIDIZI  D

ARAJA  LA  II

3924

5531

633

624

4424

3816

4248

2852

2520

831

4232

1619

6918

790

DAKTARI  B

INGWA  DARAJA  LA  II

22

22

21

11DAKTARI  D

ARAJA  LA  II

61

272

23

36

42

15

32

103

61

23

24

47

1612

5DAKTARI  M

SAIDIZI  D

ARAJA  LA  II

11

13

11

11

212

DAKTARI  W

A  M

ENO  DARAJA  LA  II

11

21

11

11

9FIZIOTH

ERAPIA  DARAJA  LA  II

410

58

42

44

26

49FU

NDI  SANIFU  VIFAA  TIBA  DARAJA  LA  II

11

KATIBU  W

A  AFYA  DARAJA  LA  II

31

11

23

21

31

22

21

21

62

36MFAMASIA  DARAJA  LA  II

24

12

31

12

21

31

21

22

14

616

57MHUDUMU  W

A  AFYA

4451

289

5149

131

1624

105

9125

2317

4855

4887

3533

1927

2783

6MKEM

IA  DARAJA  LA  II

1010

MSA

IDIZI  W

A  AFYA

11

21

5MSA

IDIZI  W

A  KUMBUKU

MBU  DARAJA  LA  II

32

33

213

MTEKNELOJIA  M

AABARA  DARAJA  LA  II

12

11

11

7MTEKNOLO

JIA  DAWA  DARAJA  LA  II

42

143

17

22

51

19

59

13

22

51

24

85MTEKNOLO

JIA  M

AABARA  DARAJA  LA  II

32

81

24

15

11

43

15

31

13

16

56MTEKNOLO

JIA  M

ACHO  DARAJA  LA  II

111

21

116

MTEKNOLO

JIA  M

ENO  DARAJA  LA  II

11

MTEKNOLO

JIA  M

IONZI  DARAJA  LA  II

31

11

22

21

12

21

19MTEKNOLO

JIA  M

SAIDIZI  D

AWA

41

23

43

11

12

22MTEKNOLO

JIA  M

SAIDIZI  M

AABARA

61

63

33

31

45

22

26

14

31

32

71

69MTEKNOLO

JIA  M

SAIDIZI  M

AABARA  DARAJA  LA  II

13

11

14

41

11

32

22

128

MTEKNOLO

JIA  VIUNGO  BANDIA  DARAJA  LA  II

22

4MTO

A  TIBA  KWA  VITEN

DO  DARAJA  LA  II

22

MUHUDUMU  W

A  AFYA

11

MUUGUZI  DARAJA  LA  II

107

143

113

8312

210

460

6497

4665

128

156

149

5414

012

688

167

158

114

7481

8917

254

2754

TABIBU  DARAJA  LA  II

368

2911

57

22

217

136

1936

325

535

45

125

34

316

340

TABIBU  M

ENO  DARAJA  LA  II

42

21

22

11

11

32

123

TABIBU  M

SAIDIZI

26

99

610

617

27

428

235

1911

1112

92

411

1622

9Jumla  Kuu

272

249

341

176

226

232

9911

424

812

615

918

438

333

112

330

823

825

724

632

025

617

012

016

937

419

159

12

Oro

dh

a.ya

.Mga

wan

yo.w

a.A

jira

.Mpya

.kw

a.K

ada.

za.A

fya.

kw

a.M

ikoa

.kw

a.m

wak

a.2013/14

Page 105: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

Kiambatisho Na. 3

Mifuko.mbalimbali..ya.Bima.za.Afya.nchini

Eneo NHIF CHF NSSF-SHIBBima

BinafsiCBHI

Idadi.ya.wanufaika

3.12.milioni 3.5.milioni 102,890 450,000440,000

Kaya.571,611

Kaya.586,943

Kaya.31,000

Kaya.150,000

Asilimia.ya.wigo

7.40 9.20 0.12 1.40 1.3

WahusikaWafanyakazi.wa.Serikali.na.Binafsi

Sekta.isiyo.rasmi.na.kipato.kidogo

Sekta.rasmi.na.Isiyo.rasmi

BinafsiSekta.isiyo.rasmi.na.kipato.kidogo

Uandikishaji Lazima Hiari Hiari Hiari Hiari

Kiwango.cha.Mchango

Asilimia.6.ya.mshahara

Sh..5,000/=.hadi.15,000/=.(Tele.kwa.Tele)

Sehemu.ya.asilimia.20.Mchango.wa.Pensheni

Sh..300,000/=.hadi.950,000/=

Sh..30,000/=.hadi.40,000/=

MalipoMalipo.kwa.huduma

Malipo.kwa.kichwa

Malipo.kwa.kichwa

Malipo.kwa.kichwa

Malipo.kwa.kichwa

Wasimamizi SSRA SSRA TIRAHakuna.usimamizi.rasmi.kisheria

101

Page 106: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

Kiambatisho Na. 4

Wanufaika.wa.Mifuko.ya.Bima.ya.Afya.hadi.Mei.2014

Mfuko Wachangiaji/Kaya Wanufaika Asilimia ya Wanufaika

NHIF 586,369 3,236,757 7.42

CHF/TIKA 668,474 4,010,844 9.20

Jumla 1,254,843 7,249,601 1662.00%

Kiambatisho Na. 5

Usambazaji.wa.Facs Count Machine.katika.Hospitali.za.Mikoa.na.Wilaya.

Na Mkoa Wilaya Kituo Cha Huduma Idadi

1 Dar.es.Salaam Ilala Kituo.Cha.Afya.Buguruni 1

2 Dar.es.Salaam Kinondoni Hospitali.ya.Emelio.Mzena. 1

3 Singida Singida Hospitali.ya.Mkoa.Singida 1

4 Dar.es.Salaam Ilala Hospitali.ya.Ocean.Road. 1

5 Kigoma Kigoma.(M) Hospitali.ya.Mkoa.Maweni. 1

6 Kilimanjaro Same Hospitali.ya.Wilaya.Same 1

7 Kilimanjaro Mwanga Hospitali.ya.Wilaya.Usangi 1

8 Kilimanjaro Moshi.(M) Hospitali.ya.Kilema. 1

9 Kilimanjaro Moshi.(M) Hospitali..Teule.ya.Kibosho. 1

10 Lindi NachingweaHospitali.ya.Wilaya.Nachingwea. 1

11 Manyara Babati.U Hospitali.ya.Wilaya.Babati. 1

12 Mwanza MwanzaHospitali.ya.Mkoa.Sekoutoure. 1

13 Tabora Tabora Hospitali.ya.Mkoa.Kitete. 1

102

Page 107: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

14 Kagera MulebaHospitali.ya.Kagondo.Mission. 1

15 Iringa Makete Hospitali.ya.Wilaya.Makete. 1

16 Iringa LudewaHospitali.ya.Lugarawa.Lutheran. 1

17 Iringa MaketeHospitali.ya.Bulongwa.Mission 1

18 Iringa NjombeHospitali.Teule.ya.Tosamaganga. 1

19 Kagera BiharamuloBiharamulo.Hospitali.ya.Wilaya 1

20 Kagera KaragweNyakahanga.Hospitali.ya.Wilaya 1

21 Kagera NgaraMurgwanza.Hospitali.ya.Wilaya 1

22 Kilimanjaro Moshi.RuralHospitali.ya.Kifua.Kikuu.Kibongoto. 1

23 KilimanjaroMoshi.Urban Hospitali.ya.Mkoa.Mawenzi. 1

24 Manyara HydomeHospitali.ya.Haydom.Lutheran. 1

25 Kilimanjaro Siha Hospitali.ya.Wilaya.Siha. 1

26 Pwani BagamoyoHospitali.ya.Wilaya.Bagamoyo. 1

27 Pwani MkurangaHospitali.ya.Wilaya.Mkuranga. 1

28 Tabora Nzega Hospitali.ya.Wilaya.Nzega. 1

29 Tabora Urambo Hospitali.ya.Wilaya.Urambo. 1

30 Tabora Sikonge Hospitali.ya.Wilaya.Sikonge. 1

31 Tabora Nkinga Hospitali.ya.Wilaya.Nkinga. 1

103

Page 108: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

32 Zanzibar Zanzibar Hospitali.ya.Jeshi.Bububu. 1

Jumla Kuu 32

Kiambatisho Na. 6

Matokeo.ya.mashindano.ya.usafi.2010.-.2013

Ngazi Mwaka

2010

Mwaka

2011

Mwaka

2012

Mwaka

2013

Jiji 1.Mwanza 1..Mwanza 1..Mwanza 1.Mwanza

2..Mbeya 2..Mbeya 2..Tanga

3..Tanga. 3..Tanga 3..Mbeya

Manispaa 1..Moshi 1.Moshi 1.Moshi 1.Moshi

2.Iringa 2..Arusha 2.Arusha 2.Iringa

3.Arusha 3..Iringa 3.Bukoba 3.Morogoro

Miji 1.Njombe 1..Mpanda 1.Mpanda 1.Mpanda

2..Njombe 2.Njombe 2.Njombe

3..Babati 3.Babati 3.Makambako

Wilaya 1.Njombe 1..Njombe 1.Meru 1.Njombe

2.Kasulu 2..Meru 2.Njombe 2.Rungwe

3.Meru 3..Rungwe 3.Rungwe 3.Meru

Kiambatisho Na. 7

Ongezeko.la.Vituo.vya.Kutolea.Huduma.za.Afya.kati.ya.mwaka.2012.-.2013

Aina ya kituo

2012 2013 Ongeze-ko

Mmiliki

Binafsi Serikali Jumla Binafsi Serikali Jumla

Zahanati 1,358 4,322 5,680 1,444 4,469 5,913 233

Vituo.vya.Afya 140 498 638 222 489 711 73

104

Page 109: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

Hospitali 129 112 241 140 114 254 13

Jumla 1,627 4,932 6,559 1,806 5,072 6,878 319

Kiambatisho Na. 8

Orodha. ya. Halmashauri. ambazo. Wataalam. wake.walipata.Mafunzo.kuhusu.Kuagiza.dawa.kwa.kutumia.Mfumo.wa.Kielektroniki.kwa.mwaka.2013/14...

Na Jina la Halmashauri

Na Jina la Halmashauri

Na Jina la Halmashauri

1 Babati..DC 40 Kisarawe...DC 79 Mvomero.DC

2 Babati.TC 41 Kishapu.DC 80 Mwanga.DC

3 Bagamoyo.DC 42 Kiteto.DC 81 Nachingwea.DC

4 Bahi.DC 43 Kondoa..DC 82 Namtumbo.DC.

5 Bariadi.DC 44 Kongwa.DC 83 Nanyumbu.DC

6 Bariadi.TC 45 Kwimba.DC 84 Newala.DC.

7 Biharamulo.DC 46 Lindi.DC. 85 Njombe.DC

8 Bukoba.DC. 47 Lindi.MC. 86 Njombe.TC

9 Bukoba.MC. 48 Liwale.DC. 87 Nkasi.DC

10 Bukombe.DC 49 Ludewa.DC 88 Nsimbo.DC

11 Busega.DC 50 Lushoto.DC 89 Nyamagana.MC

12 Butiama.DC 51 Mafia.DC. 90 Nyang’Wale.DC.

13 Chamwino.DC 52 Magu.DC 91 Nzega.DC

14 Chato.DC 53 Makete.DC 92 Rombo.DC

15 Chato.DC 54 Manyoni.DC 93 Rorya.DC

16 Geita.DC. 55 Masasi.DC 94 Ruangwa.DC

17 Hai.DC 56 Masasi.TC 95 Same.DC

18 Hanang..DC 57 Mbeya.CC. 96 Serengeti.DC

19 Handen.DC 58 Mbeya.DC. 97 Shinyanga.DC

20 Igunga.DC 59 Mbinga.DC. 98 Shinyanga.MC

21 Ilala.MC 60 Mbozi.DC. 99 Siha.DC

22 Ilemela.MC 61 Mbulu..DC 100 Sikonge.DC

105

Page 110: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

Na Jina la Halmashauri

Na Jina la Halmashauri

Na Jina la Halmashauri

23 Iringa.MC 62 Missenyi.DC. 101 Simanjiro..DC

24 Itilima.DC 63 Misungwi.Dc. 102 Singida.DC

25 Kahama.TC 64 Mkuranga..DC 103 Singida.MC

27 Kalambo.DC 65 Mlele.DC 104 Songea.DC.

27 Karagwe.DC. 66 Momba.DC. 105 Sumbawanga.DC

28 Kasulu.DC 67 Morogoro.MC. 106 Sumbawanga.TC

29 Kibaha.DC 68 Moshi.DC 107 Tabora.DC.

30 Kibaha.TC 69 Moshi.MC 108 Tabora.MC.

31 Kibondo.DC 70 Mpanda.DC 109 Tandahimba

32 Kigoma.DC. 71 Mpanda.TC 110 Tarime.DC

33 Ujiji.DC 72 Msalala.DC 111 Tarime.TC

34 Kilindi.DC 73 Mtwara.DC. 112 Temeke..MC

35 Kilolo.DC 74 Mtwara.MC. 113 Tunduru.DC

106

Page 111: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

Na Jina la Halmashauri

Na Jina la Halmashauri

Na Jina la Halmashauri

36 Kilombero.DC 75 Mufindi.DC 114 Ukerewe.DC

37 Kilosa.DC 76 Muleba.DC. 115 Ulanga.DC

38 Kilwa.DC 77 Musoma.DC 116 Urambo.DC

39 Kinondoni.DC 78 Musoma.TC 117 Ushetu.DC

Kiambatisho Na. 9

Idadi.ya.Wanataaluma.wa.Afya.waliosajiliwa.

Na Wataalam Wataalam waliosajiliwa kuanzia Julai mwaka 2013 hadi Mei 2014

Jumla ya Wataalam

waliosajiliwa hadi Mei

2014

1 Madaktari.(pamoja.na.Madaktari.Wasaidizi.-.AMO

1,285 12,029

2 Wauguzi 3,100 33,000

3 Wafamasia 259 2,506

4 Wataalam.wa.Maabara

170 3,175

107

Page 112: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

5 Wataalam.wa.Radiolojia

123 480

6 Wataalam.wa.Optometria

167 440

7 Wataalam.wa.Afya.Mazingira

823 2,642

Jumla 5,927 54,272

Kiambatisho Na. 10

Maabara. na. Taasisi. zilizokaguliwa. na. Maabara. ya.Mkemia.Mkuu.wa.Serikali

No. Mkoa Taasisi/Maabara Idadi

1. Morogoro a). NIMR

b). IHI

c). SUA.

d). Morogoro.Hospital.

e). Central.Police.(Forensic.Bureau.Department/Lab).

5

2. Dodoma a). University.Of.Dodoma

b). Dodoma.General.Hospital.

c). Dodoma.Central.Police

d). St.Johns.University

e). Mvumi.Hospital

5

3. Tanga a). NIMR-.Amani.Muheza

b). Bombo.Hospital.

c). Teule.Hospital.–.Muheza

d). Central.Police.(Forensic.Bureau.Department).

e). NIMR.–.Tanga.Mjini

f). Mlingano.Research.Centre

6

108

Page 113: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

No. Mkoa Taasisi/Maabara Idadi

4. Kilimanjaro a). KCMC.Hospital

b). Tumaini.University.

c). Moshi.Technical.College

d). Mawenzi.Hospital.

e). Kibong’oto.Hospital

f). Moshi.Central.Police

8

5. Arusha a). Arusha.Central.Police

b). Mount.Meru.Hospital

c). TAWERI.-.Arusha

d). GCLA.-.Arusha

e). Nelson.Mandela.University

f). Seliani.Hospital

6

6. Mbeya a) Ofisi.ya.Mganga.Mkuu.wa.Mkoa.

b) Hospitali.ya.Mkoa..

c) Hospitali.ya.Rufaa.ya.Mbeya

d) Hospitali.Teule.ya.Mbalizi.

e) Hospitali.ya.Wilaya.Vwawa.

f) “Baylor.College.of.Medicine”

g) Hospitali.ya.Wilaya.ya.Tukuyu.

h) National.Institute.for.Medical.Research-.(NIMR)

i) Makao.Makuu.ya.Polisi.

j) Kituo.cha.Polisi.Tukuyu

10

109

Page 114: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii

No. Mkoa Taasisi/Maabara Idadi

7 Mwanza a) National.Institute.for.Medical.Research.(NIMR)-Mwanza.

b) Makao.Makuu.ya.Jeshi.la.Polisi.Mkoa.wa.Mwanza

c) Ofisi.ya.Mganga.Mkuu.Mkoa.wa.Mwanza

d) Hospitali.ya.Mkoa.wa.Mwanza.Sekou-Toure..

e) Hospitali.ya.Rufaa.Bugando

f) Hospitali.ya.Wilaya.Misungwi

g) Hospitali.ya.Wilaya.Kwimba

h) Kituo.cha.Utafiti.Ukiriguru.

8

8 Dar. es.Salaam

a) Polisi.Makao.Makuu.Dar.es.Salaam.(Forensic.Bureau.Laboratory).

b) National..Health.Laboratory.Quality.Assurance.and.Training..Centre..(Nhl-Qatc)

c) Muhimbili.National.Hospital.(MNH)

d) Chuo.Kikuu.cha.Tiba.Muhimbili.(MUHAS).

e) Aga.Khan.Hospital

f) Chuo.Kikuu.cha.Dar.Es.Salaam

g) Chuo.cha.Kikuu.cha.Ardhi

h) Dar.es.Salaam.Institute.of.Technology.(D.I.T).

i) International.Medical.and.Technology.University.(IMTU).

j) Hubert.Kairuki

10

Jumla 58

110

Page 115: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii
Page 116: hotuba ya waziri wa afya na ustawi wa jamii