1 ENTRÉE NAJA KWAKO BWANA R/ Naja kwako Bwana unipokee ntumishi wako kuijongeya altare yako ee Bwana unipokee Kukutolea sada ka ya misa ee Bwana unipokee katika milango yako Bwana napita niwekee mkono Wako unibariki. 1. Ninakuja kwako ee Mungu wangu kukutolea shukrani, sala na maombi yangu. 2. Ninakushujudu ee Mungu wangu nifanye toba ya kweli katika hii nyumba takatifu. DE TOUTE LA TERRE R/ Venez dans la Maison de Dieu, Il nous appelle tous : hommes, femmes et enfants. Chantons dansons louons pour notre Seigneur, rendons-lui grâce, honneur pour tous ses bien faits. 1. De toute la terre aux coins d’horizon 2. (Que) tu sois riche ou pauvre (que) tu sois noir ou blanc. 3. (Que) tu sois en tristesse (que) tu sois dans la joie. 4. Vous tous les malades et tous les souffrants. 1-4 : Dieu nous appelle dans sa maison. NYUMBANI MWA BWANA WETU R/ Nyumbani mwa Bwana wetu muna furaha, wakristu njooni wotee wote tumwabudu. 1. Enyi mapadri: ingia kwa Bwana, Enyi watawa: ingia kwa Bwana. 2. Enyi wa Baba: ingia kwa Bwana, Enyi wa mama: ingia kwa Bwana. 3. Enyi Vijana: ingia kwa Bwana, Enyi Watoto: ingia kwa Bwana. 4. Enyi Wazee: Ingia kwa Bwana, Enyi wakristu: ingia kwa Bwana. 5. Enyi wakaka: ingia kwa Bwana, Enyi Vijana: Ingia kwa Bwana. NALIFURAHI SANA R/ Nilifurahi sana walipo niambia twende nyumbani mwa Bwana .
This document is posted to help you gain knowledge. Please leave a comment to let me know what you think about it! Share it to your friends and learn new things together.
Transcript
1
ENTRÉE
NAJA KWAKO BWANA
R/ Naja kwako Bwana unipokee ntumishi wako kuijongeya altare yako ee Bwana unipokee Kukutolea sada ka ya misa ee Bwana unipokee katika milango yako Bwana napita niwekee mkono Wako unibariki.
1. Ninakuja kwako ee Mungu wangu kukutolea shukrani, sala na maombi yangu.
2. Ninakushujudu ee Mungu wangu nifanye toba ya kweli katika hii nyumba takatifu.
DE TOUTE LA TERRE
R/ Venez dans la Maison de Dieu, Il nous appelle tous : hommes, femmes et enfants. Chantons dansons louons pour notre Seigneur, rendons-lui grâce, honneur pour tous ses bien faits.
1. De toute la terre aux coins d’horizon2. (Que) tu sois riche ou pauvre (que)
tu sois noir ou blanc.3. (Que) tu sois en tristesse (que) tu
sois dans la joie.4. Vous tous les malades et tous les
souffrants.
1-4 : Dieu nous appelle dans sa maison.
NYUMBANI MWA BWANA WETU
R/ Nyumbani mwa Bwana wetu muna furaha, wakristu njooni wotee wote tumwabudu.
1. Enyi mapadri: ingia kwa Bwana, Enyi watawa: ingia kwa Bwana.
2. Enyi wa Baba: ingia kwa Bwana, Enyi wa mama: ingia kwa Bwana.
3. Enyi Vijana: ingia kwa Bwana, Enyi Watoto: ingia kwa Bwana.
4. Enyi Wazee: Ingia kwa Bwana, Enyi wakristu: ingia kwa Bwana.
5. Enyi wakaka: ingia kwa Bwana, Enyi Vijana: Ingia kwa Bwana.
NALIFURAHI SANA
R/ Nilifurahi sana walipo niambia twende nyumbani mwa Bwana . (Nalijazwa furaha, furaha ya Bwana furaha kubwa sana) x.
1. Sana miguu, miguu yetu, imesimama kwa milango yako ee yerusalemu
2. Yerusalemu, yerusalemu uliyejengwa ama muji ule wenyi kuungana na wote.
3. Makabila, makabila ya Bwana, yamepanda huko wakilitukuza jina lake.
NJOONI WOTE TUMWENDEYE BWANA
R/Njooni wote tumwendeye Bwana, tumwendeye hekaluni mwake, na furaha kubwa tukiimba wote, njooni nyumbani mwake.
1. Tuje mbele yake kwa masifu tumshangiliye kwa nyimbo nzuri.
2. Ingieni wote kwa shangwe kubwa tukimsifu kwa raha kubwa.
2
3. Jongeeni wote tumuabudu tumwangukie muumba wetu.
4. Njooni wote mbele ya Bwana atumwangie baraka yake.
DIEU NOUS ACCUEILLE EN SA MAISON
R/ Dieu nous accueille en sa maison, Dieu nous invite en son festin, jour d’alegresse et jour de joie, Alleluia.
1. Oh quelle joie quand on m’a dit approchons-nous de sa maison dans la cite du Dieu vivant,
2. Jerusalem rejouis-toi car le Seigneur est avec toi pour ton bonheur il t’a choisi.
3. Criez de joie pour notre Dieu chantez pour car il est bon car eternel est son amour.
4. Avec Jesus nous etions morts, avec Jesus nous revivons nous avons part clarte.
5. Approchons-nous de ce repas où Dieu conduit tous ses enfants mangeons le pain qui donne vie.
6. Que Jesus christ nous garde tous dans l’unite du meme corps nous qui mangeons le meme pain.
7. Soyons temoins de son Esprit, que disparaisse toute peur, montrons au monde notre foi.
TERRE DES HOMMES
R/Terre des hommes Ciel de Dieu Eglise des peuples; Ciel des hommes terre de Dieu, Eglise du Seigneur.
1. Rassemblés dans le Christ conduits par l’Esprit: nous proclammons la parole. Envoyes par le Pere unis dans l’Esprit: nous construisons le Royaume.
2. Rassembles dans le Christ conduits par l’Esprit: nous vivont au coeur du monde. Envoyes par le Pere unis par l’Esprit: nous vivons au coeur du monde.
3. Rassembles dans le Christ conduits par l’Esprit: nous respectons tous les peuples. Envoyes par le Peres unis par l’Esprit: solidaires des plus pauvres.
4. Rassembles dans le Christ conduits par l’Esprit: nous ressuscitons ensemble. Envoyes par le Pere unis dans l’Eprit nous liberons l’esperence.
DUNIA YOTE
R/ Njooni wote tuingie mwake Bwana matendo yake ni ya ajabu, Dunia yote imwabuduye bwana karibu naye ni nguvu tele,
Tuingie wote na furaha, tumusifu kwa nyimbo za shangwe wema wake, u milele nyumbani mwake.
1. Mwimbieni bwana kwa kuwa ni mtukufu, uwema wake ni wa milele. Enyi inchi zotekuzeni mungu kweli mutoleeni sifa tukufu.
2. Kageuza bahari kuwa inchi kavu taifa lake likaokoka. Mwimbieni Bwana jina lake tukufu matendo yake ni ya ajabu.
3. Atawala vema juu ya mataifa awakanyaga wenyi kiburi. Amezipa roho zetu uzima bora, na miili yetu nguvu nyingi.
4. Nalimulilia yeye kwa kinywa changu, anasikia kilio changu. Tena nalimsifu kwa ulimi wangu, Dunia yote aliumb
3
LELO ESENGO
R/ Lelo Esengo Esengo x2 Nzambe tokoyembela a, nzambe biso toye lelo na esengo aee.
1. Ba Tata esengo aee…2. Ba Mama esengo aee…3. Ba yaya esengo aee…4. Bilenge esengo aee…5. Bachorale esengo aee…6. Bachristu esengo aee…
MUYISHE MWESHI
R/Muyishe mweshi ah, emwani mwe mugogomirwe aha, nabah’omurhula ayi yeye aha n’emisi y’enyanya aha x2
1. Irhondo bakaba babirhi, ayiyeye aha bagwasiny’okw’izino lyani, nani nabagwase ayiyeye aha guhika aha guyurha.
2. Lyorhushuzo kw’izu lyage ayiyeye aha rhuyunvirize emyanzi yage, rhumuhu n’obwonjo, ayiyeye aha lyo ruhashimukuza.
3. Namahanga rhulemire rhweshi, ayiyeye aha mpulyo rhumukuza, rhumukolerhe kwinja han’igulu ayiyeye aha n’oluhembo lwirhu mu mpingu.
NITAINGIA NYUMBANI MWAKE BWANA
R/Nitanigia nyumbanai mwake Bwana, nitajongea altare yake, nitakaribia uwanja wake bwana nifuraha moyoni mwangu.
1. Makao yako yapendeza sana ee Bwana wa majeshi, na ndio maana ninakuja mbele yako.
2. Nalifurahi sana walipo niambia twende kwale, ni heri shangwe furaha moyoni mwangu.
3. Bwana ni mwanga wangu tena Bwana ni wokovu wangu sioni woga wanapo nishambulia.
4. Neno moja ninaitaji ee Bwana maishani mwangu, kuketi nawe kutazama uso wako.
TUINGIE WOTE NA FURAHA
R/ Tuingie wote na furaha nyumbani mwake Bwana Mungu tuingie wote na kumsifu Bwana mwokozi wetu.
1. Ee Bwana sisi wano, tunakuja nyumbani mwako.
2. Tunakuja kwako ee Bwana kutafuta neema yako.
3. Ee wakristu njooni wote tumwabudu Mungu wetu.
MAKAO YA BWANA
1. Ee Bwana napenda makao ya nyumba yako na mahali pautakatifu wako.
R/Ee Bwana na furaha yangu yote ninakuja ninakuja, ninakuja ee bwana kwa kutukuza.
2. Kwani wema wako wajaza maisha yangu, naenda katika uaminifu wako
3. Naosha mikono yangu katika usafi, nitaizungukia altare yake.
4. Ili nitangaze waziwazi sifa yako nakuyaeleza maajabu yako
SISI WOTE WATOTO WA MUNGU
4
R/ Sisi wote watoto wa Mungu, twakusanyika kwa kumsifu Mungu Baba wetu.
1. Tumtoleye mungu sadaka ya misa, kwa kumsifu na kumwabudu.
2. Tuungane na mwokozi Yesu kristu kwa kutolea sadaka hii.
3. Tuungane katika mapendo moja na kumpenda Mungu babetu.
4. Sifa kwa Baba Mwana Roho mtakatifu kama mwanzo sasa daima.
KARIBUNI WOTE
R/Karibuni wote (Karibuni wote) karibuni ndugu karibuni, ingieni na furaha kubwa (nyumbani) nyumbani mwa babetu.
1. Nali furahi sana walipo niambia twende kwa Bwana
2. Sasa miguu yetu yasimama Katika lango la Bwana
3. Tunaomba amani kwa ajili ya rafiki ndugu zetu.
MUJENI WANDUGU KUSIKIA
1. Mujeni wandugu kusikiya maneno ya mungu tukisali na kumuimbiya tukimsifuna na furaha mujee (x2)
R/ Wababa mujee wababa mujee, muje mukasikie maneno yatoka kwake baba muumbaji baba atuma mkombozi mkombozi yesu askanti kwa mungu baba aa (x2)
2. Mungu baba alituonyesha mapendo ya kweli kamtoa mwana wake yesu kwa malipo ya zambi mujee.
3. Enyi waamini waamini wa Dunia vijana na wazee tumtolee Mungu wetu sifa milele amina mujee.
AMANGO NDI IMBELE ZA LARHA
R/ Amango ndi imbele za larha nyakasane we, Larha nyakasane ye bucire bwani, nayumv’omwishingo gungwerhe mushana, (bulya ye mwishingo go busole bwani)x2
R/ Venez chantons notre Dieu lui le roi des cieux, il est venu pour sauver l’humanité et nous donner la vie, exulte pour ton roi Jérusalem danse de joie.
1. Il est venu pour nous sauver du péché : exulte Jérusalem danse de joie.
Oui par sa mort tous nous sommes libérés :……………
2. Oui tous ensemble rejetons notre péché :…………………………….
Dans sa bonté tous nous sommes pardonnés :…………………………….
3. Le roi de gloire nous a donné le salut :………
Sa majesté nous pouvons la contampler :……………………
4. S’il est venu ce n’est pas pour nous juger :……………………..
Mais seulement pour que nous soyons sauvés :………………….
5. Si nous croyons par lui nous sommes guéris :………………………………………
Oui nous croyons que c’est lui le pain de vie :……………………………….
6. Dieu parmi nous c’est Jésus Emmanuel :…………………..
Par son Esprit, il est au milieu de nous :……………………………
MUJE TWENDE WOTE
R/ Muje twende wote nyumbani mwa Bwana na furaha tukimuimbia tumshangilie na kumshukuru kwa mema yote anayo tutendea maishani mwetu.
1. Tuingie na furaha tusikilize neno la Mungu nyumbani mwake
2. Tuingie na furaha tumuangukie muumba wetu nyumbani mwake
3. Tuingie na furaha tumuimbie nyimbo nzuri nyumbani mwake
8
4. Tunaomba msamaha wa zambi zetu ee Mungu baba utuhurumie.
9
GLORIA
IMANA N’ISINGIZWE MW’IJURU
R/Imana n’isingizwe mw’ijuru
Imana n’isingizwe mw’ijuru no munsi abantu ikunda bahorane amahoro
1. We mulemi w’empingu n’igulu (rhukusamire)We mulemi w’izuba n’omwezi (rhukuharamye)We mulemi w’abantu boshi (rhukuyimbire)
2. Yesu Kristu miciza n’abantu (rhukusamire)Yesu Kristu wema buzine (rhukuharamye)Yesu Kristu mfula ya Larha (rhukuyimbire)
3. We njira yo kuhika emwa larha….We murhula wema buzine ……We buzine na byoshi…….
4. We muka mwimana kamole wirhu….We nshako yobuzine….We muguma na Larha n’omugala……….
SIFA KWA MUNGU
1. Sifa kwa Mungu BabaMuumbaji wa vitu vyote sifa ee kwa Mungu Baba
R/ Sifa ee sifa ee sifa ee eeR/ Ee sifa kwa Mungu juu mbinguni sifa na duniani amani kwa watu wema x2
2. Sifa ee kwa Mungu mwana mukombozi wa watu wote sifa ee kwa Mungu mwana
3. Sifa kwa Mungu Mtakatifu Ubarikiwe na utukuzwe sifa ee kwako milele.
GLOIRE A DIEU PAIX AUX HOMMES SUR LA TERRE
R/ Gloire à Dieu paix aux hommes sur la terre (x2)
1. Nous te louons nous te chantons, nous te rendons grâce.
2. Seigneur Jésus, Agneau de Dieu, Sauveur du monde.
3. Esprit Saint vivificateur de l’Eglise de Dieu.1-3 : Dieu de l’Univers
SIFA KWA MUNGU SIFA SIFA
R/ Sifa kwa Mungu sifa sifa kwa Mungu juu mbinguni amani duniani kwa watu anaowapenda.
1. Tunakusifu, tunakuheshimu, tunakuabudu, twkutukuza tunakushukuru kwa ajili ya utukufu wako mkuu.
2. Bwana Mungu mfalme wa mbingu, Mungu baba mwenyezi, Bwana Yesu Kristu mwana wa pekee Bwana Mungu mwana kondoo wa Mungu mwana wa Baba.
14
3. Unaye ondoa zambi za dunia utuhurumie, unayeondoa zambi za dunia upokee ombi Letu, unaye kaa kume kwa Baba utuhurumie.
4. Kwa maana wewe peke yako Mtakatifu, kwa maana wewe peke yako mtakatifu, wew pekee yako bwana, wew peke yako mkuu Yeso Kristu.
5. Pamoja na Roho Mtakatifu, katika utukufu wa Mungu Baba Amen(x3)
GLOIRE A DIEU AU PLUS HAUT DES CIEUX
R/ Gloire à Dieu au plus haut des cieux, joie du ciel sur la terre, gloire à Dieu au plus haut des cieux, louange à toi Alleluia.
1. Pour tes merveilles, Maitre du monde, nous te louons nous te glorifions, pour ton immense gloire eternelle nous te louons nous te glorifions.
R2/ Alleluia nous te louons, alleluia nous t’acclamons, alleluia gloire à toi Seigneur.
2. Sauveur du Monde, ô fils du Père nous te louons nous te benossons. O Fils unique de Dieu le Pere, nous t’adorons nous te glorifions.
3. Toi qui enlèves les peches du monde nous te louons nous te benissons. O toi qui siege à la droite du Pere, nous t’adorons nous te glorifions.
4. O Angeau immole, ô toi qui seul est saint nous te louons nous te benissons. O agneau immoleee, toi seul est tout puissant nous t’adorons, nous te glorifions.
5. Avec le Saint Esprit, le feu qui vivifie, nous te louons nous te benissons. Dans la Gloire de Dieu le Pere, nous t’adorons nous te glorifions.
SIFA KWA MUNGU JUU MBINGUNI
R/ Sifa kwa Mungu juu mbinguni na amani duniani kote, kwa watu wenyi mapenzi mema.
1. Tunakusifu, tunakuheshimu twakuabudu Mungu wetu, tunakutukuza tunakushukuru kwa utukufu wako mkuu.
2. Ee Bwana Mungu mfalme wa mbingu ee Mungu baba mwenyezi ee Yesu Kristu mwana wa pekee mwana kondoo wake Mungu.
3. Uondowae zambi za Dunia twaomba utuhurumie, uondowae zambi za Dunia ulipokee ombi letu.
4. Unaye kaa kuumeni kwa Baba ee kristu utuhurumie, kwa maana we pekee yako ni mtakarifu Mungu mkuu.
5. Na pamoja na pamoja na Mungu Roho mtakatifu, tena katika utukufu wa Mungu Baba siku zote.
2. Watu wote walipo muacha Yesu x2 wakamwambiya Bwana ni vema tubakiye hapa e x2
UTUKUZWE BWANA WE
R/Utukuzwe Bwana we, mbinguni na duniani usifiwe bwana we ee watu wote wakupende ee bwana mwema .
1. Sheria za Bwana ni kamilifu, aifuatae husabitishwa roho.
2. Ushuhuda wa Bwana ni wa kweli, humtilia mjinga hekima.
3. Amri za Bwana ni adili zinafurahisha kweli moyo.
4. Amri za Bwana ni safi zinaangazia macho nuru.
SIKU YA BWANA
R/ Hii ndio siku aliyo yifanya Bwana tushangilie na tufurahiwe nayo.
1. Waseme hivyo wale walio kombolewa na Bwana
2. Waseme hivyo wakombolewa mkononi mwa adui
3. Waseme hivyo aliyo wakusanya katika inchi
4. Amefufuka Kristu msulubiwa kwa ajili yetu.
SEMA NENO LAKO
17
R/ Sema neno lako (ee Bwana Mungu usibaki kimya tena) niangazie (gizani nilimo katika maisha hii) nitakuwa wako (ee Mungu kama upendavyo mwenyewe) leo mpaka milele.
1. Maisha yako yatakufalia nini, ukipoteza uzima kwa Mungu , ayapotezae kwa kunifuata ataishi nami milele kwa Baba.
2. Ukinipenda shika amri zangu na utapata heri kamili, ukinisikia haya juu ya msalaba wangu nami nitakujia haya kwa Mungu Baba.
YESU NI MZABIBU
R/ Nani kweli ni mzabibu, mimi ni mzabibu mimi ni mzabibu nanyi mu matawi yangu.
1. Kaeni ndani mwangu nami ndani yenu kwani mu matawi yangu.
2. Bila nguvu yangu hatuwezi lolote kwani mu matawi yangu
3. Bila nguvu yangu hamuwezi kuzaa kwani mu matawi yangu.
KAZI ZAKO
R/ Kazi zako zinakutukuza Bwana wamini wako wanakusifu.
1. Nitakutukuza ee Mungu wangu mfalme, nitasifu jina lako daima na milele.
2. Kila siku nataka kukusifu, na kutukuza jina lako daima na milele
MSHANGILIENI MUNGU
R/ Mshangilieni Mungu, mshangilieni Bwana enyi nchi zote mtoleeni Mungu sifa tukufu.
1. Mshangilieni Mungu enyi nchi zote uimbeni utukufu wa jina lake, mtoleeni sifa utukufu.
2. Mwimbieni Mungu matendo yako jinsi yalivyo ya kutisha, Dunia nzima ikuabudu na kukuimbia, iliimbie jina lako.
3. Njoni tazameni matendo ya Mungu, amafanya ya kutisha kati ya mataifa.
4. Enyi mataifa msifuni Mungu wetu zitangazeni habari za sifa yake.
5. Usifiwe Mungu hakukatalia maombi yangu, wala hakuondowa wema wake kwangu.
MSIKIE SAUTI YAKE zab: 94
R/ Msikie sauti yake, msifanye migumu mioyo yenu.
1. Njooni tumpigieni bwana kelele za furaha, tumshangilie mwamba wa wokovu wetu.
2. Tuje mbele yake kwa masifu, tumshangilie kwa nyimbo na sauti.
3. Njooni, tumwabudu na ku mwangukia, tumpigie magoti bwana alie tuumba.
4. Kwani Bwana ni Mungu mkuu na mfalme juu ya miungu yote.
18
BENI SOIS-TU SEIGNEUR (Ps 144 (145) (ASKIF BANGA)
R/ Beni sois-tu à jamais Seigneur Dieu de L’Univers, Seigneur Dieu de l’Univers.
1. Je t’exalte mon Dieu mon Roi, je benirai sans cesse ton nom , chaque jour je veux te benir sans fin, je louerai ton nom.
2. Le Seigneur est tendresse et pitie, lent à la colere et plein d’amour, la bonte du Seigneur est pour tous, sa tendresse pour toutes les œuvres.
3. Que ton œuvre tout entiere te rende grace Seigneur, que tes fideles te benissant ! ils diront la gloire de ton reigne, ils parleront de ta puissance.
4. Le Seigneur est toujours vrai quand il parle, toujours fidele quand il agit, il retient tous ceux qui tombent, il redresse tous les accables.
MUTACHOTA MAJI
R/ Mutachota maji mutachota kwa furaha kisimani mwa wokovu, kwa furaha kisimani mwa wokovu.
1. Sasa Mungu ni mwokozi, na mtumainia (x2) wala sina hofu tena
2. Kwa kuwa Bwana ni nguvu yangu, na wimbo wangu Bwana amekuwa kweli wokovu wangu.
BWANA YESU MUCHUNGA WANGU
1. Bwana Yesu muchunga wangu unichunge pembeni yako nifike mbingu muji uke wa shangwe na amani.
R/ Ee Yesu uondowe woga ndani ya maisha yangu
Ee mimi peke sitaweza univike silaha
Ee ili nimshinde shetani na mambo yake yote
Ee nifike kule mbinguni niwe pamoja nawe.
2. Mwili huu ni muzaifu wajaa kiburi na chuki nisaidie ee bwana niushinde milele
3. Unikamate bwana wangu nitembeye ndani ya mwanga nikutumikie ee bwana maisha yangu yote.
ZAENI MATUNDA MEMA
1. Zaeni matunda mema
Zaeni matunda yale
Zaeni yenye baraka
Zaeni ya heri
R/ Bwana akiyapokeya yatabarikiwa vema
Zaeni matunda mema zaeni ya heri
2. Safisha mwenendo wako
Safisha matendo yako
Safisha na Bwana Yesu
Safisha yote.
3. Fanyeni kazi kindugu
Fanyeni kazi kwa bidii
Fanyeni nwa bwana Yesu
Fanyeni yote
19
4. Tolea matunda yako
Pamoja na moyo wako
Naye Bwana mungu wako
Atakubariki
5. Baraka za Mungu Baba
Baraka za Mungu mwana
Na za Roho mtakatifu
Ziwe na nyinyi wote.
HAKUNA KITU
R/Hakuna kitu kinaweza kututenda na mapendo ya Yesu x2
- Wala Mateso hayawezi kututenga mbali na Mungu
- Wala tabu: haiwezi kututenga mbali na Mungu
- Kufukuzwa………………………………………
- Wala njaa………………………………………
- Kuchukiwa……………………………………..
- Wala utupu hauwezi……………………..
- Wala upanga…………………………………
- Wala hatari haiwezi……………………….
- Wala upanga hauwezi……………………
- Umaskini………………………………………..
Sababu yako tunaishi na masumbuko yetu yote x2
Tukivumilia tunaweza kuwa wote sawa kondoo x2
Mwisho wetu tutafurahiwa pamoja na Bwana Yesu x2
Hakuna kittu kinaweza kututenga mbali na Yesu.
BWANA NDIYE MCHUNGAJI WANGU
R/ Bwana ndiye mchungaji wangu sikosewi na kitu
1. Anipumzisha kwenyi malisho mabichi, anipeleka kwenyi maji matulivu.
2. Anionza njiani iliyo sawa kwa ajili ya jina lake takatifu.
3. Na nikipita katika bonde la giza bwana sitaogopa kitu uko nami.
4. Gongo lake na bakora yako ee Bwana, ndizo zanituliza moyo, moyo wangu.
5. Watandika meza mbele yangu ee Bwana, machoni ya adui zangu, zangu zote.
6. Umenipaka kichwa mafuta ee Bwana, kikombe changu chafurika, chafurika.
20
NAKUTUKUZA EE BWANA Ps 29 (30) : 2, 4-6
R/ Nakutukuza ee bwana kwa kuwa umeniokowa, nakutukuza ee bwana kwa kuwa umeniokowa.
1. Nakutukuza ee Bwana kwa kuwa umeniokowa wala haukuwafurahisha adui zangu juu yangu.
2. Ee BWana umeondoa roho yangu kuzimuni umeniokowa katika wale wanashuka shimoni.
3. Mwimbieni Bwana enyi waaminifu wake shukurani jina lake takatifu.
4. Kwani hasira yake ni ya kitambo kidogo mapendo yake yadumu maisha yote.
2. Ona ndani ya shamba lile, utakuta watu walio poteya, kusanyeni wote na kuwafundisha neno langu. Nitaenda kutimiza mapenzi yako Bwana, unitumee.
HERI TAIFA
R/ Heri taifa alilo chagua Bwana kuwa urisi wake.
1. Neno la Bwana ni la Kweli Matendo yake yote ni maaminifu.
2. Anapenda unyofu na haki, Dunia inajaa wema wake Bwana.
PARLE SEIGNEUR
R/ Parle, Parle Seigneur ton serviteur ecoute x2
1. Parle mon Dieu au milieu de ma nuit, je tend l’Oreille et tresaille à ta voix, parle mon Dieu aussitot j’obeis, mon coeur s’attache à ne suivre que toi.
2. Parle mon Dieu par ta voix tu gueris la mer se calme et l’enfant n’est plus mort, parle mon Dieu que ton
soufflé de Vie penetre en moi et me rende plus fort.
3. Parle mon Dieu et domine le bruit qui fait le monde abreuve de discours, parle mon Dieu reunís tes brebis ressemble-les au seul cri de l’amour.
VIENS VERS LE PERE
R/ Pardonnez-moi frère et laissez-moi recevoir la pure lumière, car une eau vive murmure en mon coeur, viens vers le père.
1. Seigneur Jésus né dans la pauvreté, c’est toi que je veux, au momento où je vais naître à la vie,
2. Seigneur Jésus, ressuscité des morts…..
3. Seigneur Jésus, livré et mort en croix….
4. Seigneur Jésus, frère des opprimés,….
5. Seigneur Jésus, chemin des égarés….
6. Seigneur Jésus, lumière des nations…
HATUTAFICHA: (zaburi 77(78) 3-4-34-39
R/Hatutaficha, tutaambia kizazi kijacho, sifa na nguvu ya maajabu aliyo fanya Bwana.
24
1. Mambo baba zetu walituhadisia mambo tuliyosikiya na kuyajuwa vema.
1. Enyi watumishi wa Bwana sifuni jina la Bwana, Jina la Bwana litukuzwe, sasa na hata milele.
2. Jina la Bwana Litukuzwe tangu kutoka kwa jua, Jina la Bwana lisifiwe mpaka kutuwa kwa jua.
3. Ni Mkuu juu ya mataifa, utukufu juu ya mbingu, Nani sawa , Mungu wetu akae juu kabisa.
ALELUYE MTU AKINIPENDA
R/Aleluya(5) amen
1. Aleluya Mtu akinipenda atashika neno langu naye babangu atamupenda , nasi tutakuja kwake asema bwana.
2. Aleluya mimi nipo njia ukweli piya uzima, mtu hawezi kufika kwa baba, ila akipita kwangu asema bwana.
3. Kwa kuwa umeniona mimi eeToma umesadiki, heri wale walio sadiki hata kama wasione asema bwana.
4. Uwe mwaminifu mpaka kufa, ndivyo asemavyo bwana, nami nitakupatiya taji la uzima wa milele asema bwana.
NILAKWELI NENO LA BWANA.
R/Ni la kweli neno hilo la Bwana, neno njema (x2)
Neno hilao ndugu lakuita wewe neno la wokovu neno njema (x2)
1. Bwana Yesu yupo sasa mlangoni, anakuja.
2. Aleluluya aleluya aleluya, aleluya.3. Simameni yusikilize neno
27
CREDO
NAMSADIKI MUNGU ROHO SAFI
R/Namsadiki Mungu Baba Mungu Mwana, Mungu Roho safi Mungu moja.
1. Mungu Baba ametuma mwana duniani kwa kutukomboa.
2. Huruma yake niya milele tumefanya mubaya tukazarau.
3. Akapata mwili kwa Roho akazaliwa na Maria
4. Akateswa akafa akafufuka siku ya tatu
5. Akapanda mbinguni siku ya asensio anakaa kuumeni kwa Baba
6. Naisadiki Elkezia moja takatifu katolika ya mitume
7. Namssadiki roho mtakatifu Mungu anaye leta uzima
8. Ninaungama ubatizo moja kwa maondoleo ya zambi zangu
9. Ninangojea ufufuo wa wafu na uzima wa milele.
NAMSADIKI MUNGU BABA
1. Namsadiki Mungu Baba muumba wa mbingu na dunia na Yesu kristu mwana wa pekee aliyepata mwili kwa tendo la Roho mtakatifu akazaliwa na Bikira Maria
2. Akasulubiwa akafa akazikwa akashuka kuzimuni siku ya tatu akafufuka akapanda mbinguni anapokaa mkono wa Baba ee mwi atarudi kuamuwa wazima na wafu.
3. Namsadiki Roho mtakatifu Eklezia Katolika shirika la watakatifu maondoleo ya zambi ufufuo wa mwili na uzima wa milele
NAMSADIKI MUNGU MKUUR/ Namsadiki Mungu, namsadiki Mungu Mkuu namsadiki Bawana.
1. Namsadiki Mungu Mwenyezi, Muumba wa ulimwengu, navitu vinavyo onekana navisivyo onekana; namsadiki pia mungu mwana mkombozi wa dunia, aliye zaliwa na Maria. Bikira wa neema.
2. Anaye kweli Umungu moja sawa na Baba yake, nikweli mutu na Mungu kweli, Yeye hakuumbwa. Alishuka toka mbinguni kwa ajili yaku, kwa ajili ya sisi watu na kwa wokovu wetu.
3. Akakamata mwili wetu akajifanya mutu, akateswa sana na waaskari wake ponsio Pilato. Akafa vikali Mwasalabani juu ya kalvario, mikono na miguu yake vikitobolewa.
4. Akazikwa vema na Yosefu, kaburini mwake, akafufuka siku ya tatu kamailivyo andikwa. Mwisho akapanda mbinguuni anapokaa kwa baba kule ana tutayarishia, makao yeetu.
5. Namsadiki Roho mtakatifu, Bwana mleta uzima, Bwana mleta uzima, ndiye kiongozi wa eklezia duniani kote.
28
6. Eklezia yake naisadiki, takatifu kabisa, ilio toka kwa mitume Eklezia katoliuka. Pa saa ya Mwisho nikafufuke kwa uzima mpya, nangoja ufufuo wa wafu, uzima wa milele. Amen!
NAMSADIKI MUNGU BABA1. Namsadiki Mungu Baba, Namsadiki
Mungu Mwana, Namsadiki Mungu Roho Namsadiki.
R/ Namsadikii, Namsadikii, Muumba wa vytote.
2. Namsadiki Mungu baba, aliumba vitu vyote namsadiki namsadiki namsadiki.
3. Namsadiki Mungu mwana alikufa msalabani siku tatu kafufuka namsadiki.
4. Namsadiki Roho pia mtakatifu Mungu moja namsadiki namsadiki, namsadiki.
5. Nasadiki Eklezia moja takatifu katolika, namsadiki namsadiki namsadiki.
6. Nangojea ufufuo na uzima wa milele namsadiki namsadiki namsadiki.
NINASADIKI MUNGU BABAR/ Ninasadiki Mungu Baba, Ndiye chemchem ya uzima, Nina sadiki kwamba, furaha yote yatoka kwake.
1. Ninasadiki Mungu baba anaviumba vitu vyote, Nina sadaki Mungu mwana, nimkombozi wa Dunia.
2. Ninasadiki kwamba yesu amezaliwa na Maria, ameteswa na amekufa ila yesu emefufuka.
3. Na Yesu amepanda mbinguni kututayarishia na fasi, atarudi kuamua wazima na wafu.
4. Nasadiki Mungu roho ndiye chemchem ya uzima, Anastahili nimuabudu pamoja na Baba na Mwana.
5. Nasadiki Eklezia moja ni takatifu Katolika hiyo eklezia niliyomo imetoka kwa mitume.
6. Naungama ubatizo moja kwa maondoleo ya zambi, nangojea ufufuo na uzima wa milele.
NINASADIKI KWA MOYO WANGU WOTE.
R/ Ninasadiki Kwa moyo wangu wote Mungu moja ninamsadikia.
1. Namsadikia Mungu Baba Muumba Mbingu na Dunia: NamsadikiNa Bwana Moja Yesu kristu mwana wa pekee wa Mungu: Namsadiki
2. Mungu aliye shuka duniani kwa kutukomboa: NamsadikiaNa Bwana moja Yesu kristu mwana wa pekee wa Mungu: Namsadiki
3. Aliye panda kwa Baba anapokaa kuumeni kwake: NamsadikiMfalme milele atarudi kuamua watu wake: Namsadiki.
4. Na Roho mtakatifu Mungu anaye leta uzima: NamsadikiEklezia moja katolika takatifu ya Mitume: Namsadiki
5. Ninaungama Ubatizo moja kwa kusamehewa: NaungamaNinangojea Ufufuo na Uzima wa milele: Nangojea
29
NAMSADIKI MUNGU MOJA BABA MWENYEZIR/ Namsadiki Mungu moja, Baba mwenyezi Muumba wa mbingu na dunia, nayo yote yanayo onekana na yasiyo onekana.
1. Namsadiki Kristu mwanae wa peke, aliye zaliwa na Bikira Maria.
2. Aliye tushukia toka mbinguni kwa ajili yetu sisi kutukomboa.
3. Akasulubiwa kwa ajili yetu, ilikuwa wakati wa ponsio Pilato.
4. Naye akafufuka siku ya tatu akapanda mbinguni kukaa na Baba.
5. Namsadiki pia Roho mtakatifu, yeye ndiye mwanga maishani mwa watu.
6. Nasadiki pia eklezia moja, katolika takatifu na ya mitume.
7. Naungama kweli ubatizo moja, ufufuo wa mwili uzima wa milele.
NAMSADIKI MUNGU MOJA
R/ Namsadiki Mungu Moja. Nasadiki utatu mtakatifu.
1. Namsadiki Mungu moja, Baba mwenyezi muumba wa vyote.
2. Namsadiki Yesu Kristu, Mungu Kweli na mkombozi wetu.
3. Aliye kufa na kufufuka, kwa ajili ya wokovu wetu.
4. Namsadiki Roho mtakitifu, Mungu kweli na mleta uzima.
5. Nasadiki eklezia moja, takatifu katolika ya mitume,
6. Naungama ubatizo moja, kwa maondoleo ya zambi
7. Ninangojea ufufuo, pia uzima wa milele amina.
MIYE NASADIKI
R/ Miye nasadiki Baba, mwanae, Miye nsadiki roho wa mapendo.
1. Aliumba vyote Babae vya mu dunia na vya mbinguni, vyote ni enzi lako Baba ni muumba
2. Alizaliwa na ma(ma) Maria, akateswa zamani zote nasadiki, akateswa zamani zote nasadiki.
3. Kafufuka kapanda mbinguni, anakaa kuume kwa Baba nasadiki.
4. Nasadiki eklezia moja, takatifu na ya mitume nasadiki.
5. Naungama ubatizo moja, kwa maondoleo ya zambi nasadiki.
6. Naungama ufufuo wa wafu, nauzima wa milele nasadiki.
NAMSADIKI MUNGU ALIYE NIUMBA.
R/ Namsadikia Mungu aliye niumba, namsadikia Mungu aliye anikomboa, namsadiliaMungu aliye nipa nguvu, utatu mtakitu. Amen!
1. Mungu Baba muumbaji wa mbingu na Dunia: namsadikia
2. Mungu mwana aliyeshuka kwetu, kwa kutukomboa: namsadikia
3. Na wakati wa Pilato akateswa, akasulubiwa: namsadikia
4. Akazikwa na baada ya siku tatu, akafufuka: namsadikia
5. Naye Roho mtakatifu Mungu sawa na Baba na Mwana: namsadikia
6. Na Eklezia katilika takatifu, itokayo kwa mitume: namsadikia
7. Nangojea ufufuo wa mwili na uzima wa milele: namsadikia.
1. Namsadikia Mungu Baba, Yesu mwanae wa pekee, Bwana wetu naamini.
2. Kateswa Kauwawa, siku tatu kafufuka, akapanda kwa Baba naamini
3. Namsadiki Roho Mtakatifu, mwangaza wa kanisa, mwongozi wetu naamini.
4. Naungama ufufuo, wa wafu na uzima, wa milele, amen!
MIMI KWELI NAMSADIKI
R/ Mimi kweli namsadiki kwa Mungu aliye niumba (yee) muumba wa mbingu na dunia kweli namsadiki.
1. Namsadikia Mungu Baba namwenyezi muumba wa mbingu na dunia na vyote vilimo
2. Namsadikia Mungu mwana, yesu kristu mwana wa peke wa Mungu yeye alizaliwa na Baba mbele ya nyakati.
3. Akateswa akafa akafufuka kama ilivyo andikwa yeye atarudi kuamua wazima na wafu.
4. Namsadikia pia Roho mtakatifu, Bwana na mleta uzima yeye naisadikia Eklezia moja katolika.
5. Naungama ubatizo moja kwa maondoleo yambi nangojea ufufuo wa wafu na uzima wa milele.
NINA AMINI MUNGU MOJA
R/ Nina amini Mungu Moja nina ungama kwamba sina mwengine Mungu wangu niwa mapendo ameviumba mbinguni na Dunia.
1. Aliumba vyote vionekanavyo na visivyo onekana, tangu mwanzo Mungu huyo ni Baba anapenda watu wote Mungu huyo na niwa maajabu astahili sifa kubwa.
2. Alimtuma Yesu mwanae wa pekee kazaliwa na Maria, akateswa zamani za Pilato, kwa ajili ya zambi zetu, akateswa hata na kufariki siku (ya) tatu kafufuka.
3. Yesu alipanda mbingu kwa Babae anakaa kuume kwake, ninaamini kwamba atarudi kuwatwaa watu wake, hapo ufalme wake wa furaha utadumu bila mwisho.
4. Ninaamini roho mutakatifu ni mwangaza wa Dunia, ninaamini Eklezia katolika takatifu ya mitume, nina ungama ubatizo moja nangojea ufufuko.
JE CROIS EN TOI
R/ Je crois en toi seigneur mon Dieu, je crois en ta grandeur, je crois en toi seigneur mon Dieu je crois en ton amour.
1. Tu crearas le ciel et la terre: O oui seigneur je crois
Tu es le seul unique vrai Dieu:………
2. Seigneur Jesus le fils du tres haut:…
31
Ne de Marie tu viens sur la terre:……
3. Mort sur la croix tu fus enseveli:……
Pour nous sauver tu es ressuscites:..
4. Monte au ciel tu es pres du Pere:…...
Tu reviendras pour nous jugar:……….
5. Esprit d’amour Saint Esprit de Dieu.
Tu communies le Pere et l’Esprit:…….
6. Un seul bapteme pour le salut, O oui seigneur je reconnais
La vie eternelle dans ton royaume, O oui seigneur j’attends
NASADIKI
R/Nasadikia Mungu moja muumba wa mbingu na Dunia.
1. Namsadiki Mungu baba mwenyezi, muumba wa mbingu na Dunia, vyote vinavyo onekana, na visivyo onekana, Nasadiki.
2. Naye Yesu mwana wake wa pekee, aliye zaliwa na Maria akakufa, akazikwa, kwa ajili ya zambi zetu nasadiki.
3. Akafufuka kiisha siku tatu, kama ilivyo andikwa yeyé ni mfalme bwana wetu, mwana wa aliye juu, nasadiki.
4. Akapanda mbingu kwa Mungu baba, anapokaa kuukme kwake,
ndipo atarudi kuamuwa wazima na wafu Namsadiki.
5. Namsadiki Roho mtakatifu, mutakasa wa Eklezia, nina sadiki Eklezia moja katolika ya mitume, nasadiki.
6. Na ungama ubatizo moja maondoleo ya zambi, nina sadiki ufufuo na uzima wa milele, Amen.
NEMERI IMANA IMWE.
R/ Nemeri Imana imwe Dat’ushobora byose. Nemera nyagasani umwe Yesu Kristu na Roho mutagatifu nyagasani utanga ubuzima.
1. Nemera Imana imwe Dat’ushobora byose , waremy’ijuru n’isi n’ibitaboneka, nemera na nyagasani umwe Yezu Kristu umwana w’Imana.
2. Mbere ya byose Imana yari isanzwe imubyaye, ni Imana ikomoka ku Mana, ni urumuri rukomoka k’urumuri n’Imana nyakuri ikomoka ku mana nyakuri.
3. Yarabyawe ntiyaremwe asangiye kamere na se, niwe byose bikesha kubaho, icyatumye amanuka mu ijuru ni twebwe abantu no kugirango dukire.
4. Yasamwe ku bwa Roho mutagatifu, abyarwa na bikira Mariya nok’aba umuntu, yabambwe ku musaraba
32
aritwe agirira kungoma ya Ponsiyo Pilato
5. Niho yababaye maze arapfa maze arahambwa nuko ku munsi wa gatatu arazuka nkuko byari byaranditswe, maze azamuka ajya mu ijuru yicara iburyo bw’Imana data
7. Nemera na Roho mutagatifu nyagasani utanga ubugingo, uturuka ku mana data na mwana, arasengwa agasingizwa hamwe na data na mwana, niwe wabwirije abahanuzi ibyo bavuga.
8. Nemera na kiriziya imwe ntagatifu gatulika, kandi ishingiye ku ntumwa, ndahamya ko batisimu ari imwe ikiza abantú ibyaha.
Seigneur ecoute nos prieres, nous sommes loins de toi nous avons peche, Seigneur exhausse nos prieres.
Mana yacu turagusenga utwumvire Date, mana yacu turagusenga akira amasengesho yacu.
34
OFFERTOIRE
NAYE NA MABONZA
R/ Naye (x6) na mabonza (naye ee) (x2)
1. Ba tata baza koyaa (x2) na maboza.2. Ba mama baza koyaa (x2) na
mabonza.3. Bilenge biza koyaa (x2) na mabonza
R2. Tata Ndima Biloko topesi yo (x2)
1. Ba tata bapesi yo ee yambae (x2)2. Ba mama bapesi yo ee yambae (x2)3. Ba mama bapesi yo ee yambae (x2)4. Bilenge bipesi yo ee yambae (x2)5. Banyango bapesi yo ee yambae (x2).
SASA NI WAKATI WA SADAKA
R/ Sasa ni wakati wa kutolea, towenis \sadaka wandugu na moyo mwema.
1. Ona twakuja kwako kukutolea sadaka
2. Sadaka tunayo leta ni alama ya mapendo
3. Totowe na moyo mwema nasi tutabarikiwa
4. Ukiwa na moyo mgumu, usitoe sadaka yako.
5. Ukiwa na chuki ndugu, sadaka yako ni ya bure.
BWANA UPOKEYE MALI YANGU
1. Bwana upokeye mali yangu nakutolea kwa furaha, ulinikomboa toka zambi pokea matoleo yangu
R/ Ee Bwana Yesu wangu, ulitafuta zambini, natowa Roho yangu ifanye akazi yako bwana.
(Basse): Bwana wangu mwokozi yesu wangu mwokozi, mwokozi wangu ulinitafuta zambini nakutolea roho yangu nakutolea, Yesuutawale maisha yangu.
2. Nayaweka mali yangu juu mbinguni kwako we bwana Mungu, Tumaini langu nitayakuta huko mbinguni kwa baba.
3. Ulininunua bwana Yesu mimi mali yako bwana wangu kwa hiinatowa mali yangu ifanye kazi yako bwana.
POKEA SADAKA TUNAKUTOLEA
1. Pokea sadaka tunakutolea ee Baba kwa kwa imani kubwa ee x2
R/ Sadaka iye sadaka iye iye baba Mungu, pokea sadaka twakutolea x2
2. Na Wa baba wote wanakutolea ee Baba kwa imani kubwa pokea ee
3. Na wa mama wote wanakutolea …4. Na wa kaka wote wanakutolea……5. Na wa dada wote wanakutolea…..6. Na wa toto wote wanakutolea……
35
BABA MWEMA
R/ Baba mwema utazame sisi wanaana wako, twakutolea tulivyo navyo
2. Ogu mugati rhwarherekera, rhwarherekera bene werhu aha,Guhinduke mubiri gw’omwana wawe, mubiri gw’omwana wawe aleluya aha
Aleluya aha ha aha x2
3. Eri rivai rhwarherekera, rwarherekera bene wirhu aha,Lihunduke muko gwage mutagatifu muko gwage mutagatifu aleluya aha
Aleluya aha ha aha x2
4. Ngasi kantu rhubone eno mwirhu, erhi emwaweRhukarenzire aha n’ebyo byoshi warhuhire muhanyi nirhu rhweshi rhukuluzire ebyo aha rhuhune rhweshi aa rhuhune rhweshi aha a aha.
R/ Tu es beni pour l’eternite, toi le seigneur qui nous donne ce pain et ce vin qui sont source de vie.
1. Nous presentons ce pain à ta table par ton amour qu’il devienne ton corps
2. Nous presentons ce vin à ta table par ton amour qu’il devienne ton sang
3. Pour toi seigneur nous chantons en freres fais qu’à ce pain nous soyons tous unis
4. Pour toi seigneur nous chantons en freres fais qu’à ce vin nous soyons tous unis
5. C’est ton amour qui nous a donne, de tous nos travaux voici notre fruit.
BWANA MUNGU MALI YOTE NI YAKO.
R/ Bwana Mungu mali yote ni yako, we mwenyezi wa vyote, twatolea sadaka kwako e Mungu
1. Ibrahimu katowa mwanae sadaka kwako ee Mungu
2. Abeli, katowa kondo nono kwako ee Mungu
3. Noe naye katowa sadaka safi kwako ee Mungu
4. Yusufu Barnaba katolea shamba lake kwako ee Mungu
5. Mujane naye katolea senti mbili kwako ee Mungu
6. Bwana Yesu katowa mwiliwe sadaka kwako ee Mungu
40
TU N’AS VOULU NI SACRIFICE
R/Tu n’as voulu ni sacrifice, tu n’as voulu ni holocoste, mais tu m’as faconne un corps et je dis seigneur me voici.
1. J’etais un pecheur quand le seigneur m’as appele, il m’a pris malgre mon peche, et j’ai su ce jour que son amour est sans frontiere : prends ma vie je suis à toi seigneur.
2. J’etais percepteur quand son regard m’a foudroye et j’ai du changer de santier, j’ai ferme la porte sans regerder en arriere :…………………….
3. J’etais commercant et j’amassais beaucoup d’argents, je dormais en paix sans souci, j’ai vendu mes biens, quite les miens pour le suivre :………
4. J’etais artisan et je n’etais pas indigent, je ne songeais qu’à mes outils, j’ai change de vie pour retrouver la joie de vivre :……………
NAZALI MWANA WA YO
1. Nazaili mwana wa yo naye kopesa yo mabonza : nkolo tata yamba mabonza x2
R/ Tata nzambe eee, tata yamba mabonza
Tata limbisa ngai : tata yamba , mabonza
Tata salisa ngai aa :……………………
Ngayi mwana wayo :…………………..
2. Moteme mwanga mobebi nayeleli yo : tata yamba mabonza
3. Batata ba biso banso babonzeli yo :..4. Bamama ba biso banso babonzeli
1. Utukuzwe ewe baba Mungu utukuzwe aleluyaKwani Yesu mufufuka ametualika:…………..
R/ Utukuzwe, utukuzwe baba Mungu wa ulimwengu:….
2. Tumepokeya mkate mazao ya mashamba:……..Ndiyo alama kwetu ya wema wako mkuu:…….
3. Ni tunda la bidii ya mkono na ya moyo:………..(U)jaliye iwe kwetu chakula cha uzima :……….
4. Zawadi ya divai kutoka mizabibu :…Ndiyo alama kwetu ya wema wako mkuu :……
5. Ni tunda la bidii ya mkono na ya moyo:………….(U)jalie iwe kwetu kinywaji chake roho :…
COMMENT TE RENDRAI-JE GRACE
R/ Comment te rendrai-je grâce au seigneur, pour les biens que tu m’as fait, je m’avancerai vers ton Autel, en portant les merveilles de ton amour.
1. Toutes nos richesses proviennent du seigneur marchons vers lui mes frères : pour lui offrir nos présents en reconnaissance de son amour, donnons au seigneur de ce que nous avons.
2. Toutes nos richesses provinent du seigneur, marchons vers lui mes frères : pour lui confier nos trésors en reconnaissance de ses merveilles offrons avec joie argents et produits.
3. Toutes nos richesses proviennent du seigneu, marchons vers lui mes
43
frères, pour lui confier notre vie en reconnaissance de sa puissance rendons au seigneur la gloire et l’honneur.
4. Toutes nos richesses proviennent du siegneur marchons vers lui mes frères pour lui confier nos familles en reconnaissance de sa grandeur il est généreux plein de bénédictions
LES GRAINS DE BLE MOULUS ENSEMBLE
1. Les grains de blé moulus ensembles sont devenus un meme pain :
C’est Jésus Christ qui nous ressemble, Vivante hostie aux mille grains.
Les grains de blé moulus ensembles sont devenus un meme pain.
2. Recois, O Père cette Hostie Que nous t’offrons pour les péchés :
Fais de ce pain L’Echaristie le corps du Christ ressuscité
Recois, O Père cette Hostie Que nous t’offrons pour les péchés
3. Tous les raisins pressés ensembles sont devenus un même vin :
C’est Jésus-Christ qui nous rassemble, Vivante grappe aux mille grains.
Tous les raisins presses ensembles sont devenus un même.
4. Recois, O Père, en ce Calice, le vin crée pour notre joie :
Qu’il soit le sang du sacrifice, Vrai sacrement du Christ en Croix !
Recois, O Père, en ce Calice, le vin crée pour notre joie
EE NDUGU TOA
1. Una nini cha kumpa Bwana ? Juwa kwamba yote mali yake
Usifanye choyo mbele yake, umrudishie shukwani
R/ Toa ndugu toa leta leta moyo wako kwa Bwana, toa toa pia mazao yako : utatuzwa naye.
R/ Rendons grace au Seigneur car il est bon et son amour n’a pas de fin.
1. Rendons grace au Seigneur, oh pour le pain et le vin pour la parole de vie merci seigneur
2. Pour le ciel et la terre, oh, les astres, les mers, nos cœurs clament sans fin merci seigneur.
3. Que nos cœurs tous joyeux, tout ce qui te chante toujours merci seigneur.
55
MBINGU NA DUNIA
R/ Mbingu na Dunia mwimbieni Mungu nanyi mikono ya watu mpigieni aksanti ; kwani Bwana amanitendea makubwa.
1. Enyi mbingu za Bwana mtukuzeni, enyi maji ya anga mtukuzeni, Jua na mwezi mtukuzeni bwana enyi nyota za mbingu mtukuzeni. (Kwani Bwana amenitendea makuu ) x2
2. Usiku na mchana mtukuzeni enyi mwanga na giza mtukuzeni Dunia yote tukuzeni bwana milima na mabonde mtukuzeni kwani bwana amenitendea makuu.
3. Chemchem bahari mito mtukuzeni ndege zote za anga mtukuzeni vitembeavyo majini mtukuzeni umeme na vilima mtukuzeni, kwani bwana amenitendea makuu
4. Wanyama wa Porini na mifugo majani yote na miti mtukuzeni enyi viumbe vyote mtukuzeni malaika wa bwana, kwani bwana amenitendea makuu.
Sur l’Eglise de ce temps alleluia que l’Esprit vient purifier.
YE IYE YE
1. Ye iye ye dunia nzima shukuri bwana wetu wa mbingu ye iye ye ye x2
R/ Baba we usifiwe, Baba we utukuzwe
Baba we upo mwema kweli, sababu ya huruma yako iyoo
2. Aligeuza maji kuwa nchi kavu, watu walivuka mto kwa miguu
Kwa hiyo twa taka furahiya bwana, yeye aliye mkuu sana iyo
3. Enyi mataifa sifuni mungu wetu, zitangazeni habari za sifa yake
Amezipa roho zetu uzima wala hakuacha miguu yetu itereze iyo
4. Nitaingiya nyumbani mwake bwana, na sadaka yangu ya kuteketezwa
Nitatimiza naziri zangu kwake, nilizotoa kwa midomo yangu iyo
NITAMWIMBIA BWANA
R/ Nitamwimbia bwana Mungu wa huruma
Siku zote na milele Mungu wa huruma Bwana x2
Aksanti sana ee Bwana kwa uwema wako
1. Nafurahi sana Mungu wangu umenitendea makuu
Moyo wangu pia na mwili wangu vyote vya kushangilia
2. 2ème Voix: Watu wote wa dunia waimba sifa yako
Wamalaika na watakatifu wote wakuabudu bwana
B- Ndege miti nyama binadamu wote tumsifu x2
Tenor- Wote tumwimbie bwana tumpigie aksanti tumshangilie bwana Mungu ……
56
3. Bwana ni mwenyi nguvu na uwezo wote bwana ni mwema sana bwana amejaa huruma
B- Tumpigie x2 Bwana x2
Tenor- Tumpigie Bwana aksanti aksanti
2ème Voix: Enyi Viumbe vyote aksanti sana
Wa Baba wa Mama …………………
Wa Kaka w Dada………………………
Tumpigiye Bwana …………………...
Wazee na Watoto……………………
Tumpigie Bwana ……………………..
TUNAKUSHUKURU BWANA
R/ Tunakushukuru Bwana mbinguni na Duniani kote tunasifu jina lako ee Bwana ee Bwana x2.
1. Kwa mema uliyo tutendea: tunasifu jina lako
Mbinguni na Duniani kote:...
2. Kwa vyote ulivyo tuambia:……………
Wanyama wa pori na vifungo:………
3. Kwa vyote tunavyo vitawala:………
Vionekanavyon kwetu sisi:…
4. Shukrani na shangwe kwako Bwana:….
Tusifu wote milele amen:……
MSHUKURUNI MUNGU
R/Mshukuruni Mungu (Kweli) kwa sababu ndiye mwema wema wake ni wamilele, wema wake ni wamilele.
1. Mushukuruni Mungu wa miungu: wema wake ni wa milele
Mshukuruni Bwana wa mabwana:…..
2. Alifanya mambo ya ajabu:………….
Amefanya mbingu kwa hekima:………
3. Aliweka nchi juu ya maji:………………
Alifanya mianga mikubwa:…………
4. Nalo jua litawale mchana:……………
Mwezi nyota zitawale usiku:………
5. Akampa chakula kila kiumbe:………
Mshukuruni Mungu wa mbinguni:..
NIMEONJA PENDO LAKO
1. Nimeonja pendo lako nimejuwa yu mwema: nitakushukuru nitawainuwa wote wakusifu wewe, Nitawaongoza vema waimbe kwa furaha:………………………………
R/ Ukarimu wako Bwana na huruma yako wewe, msamaha wako Bwana na upole wako wewe umenitendeya wema usiyo pimika: nitakushukuru nitawainuwa wote wakusifu wewe.
2. Kina mama simameni mpige vigelegele:………………
Na kina Baba nyanyuka mukapige magoti :….
57
3. Vitambaa mikononi vipeperushwe juu:…..
Na vichwa viyumbeyumbe kwa mwendo wa kuringa:…………
4. Nitakushukuru mimi na nyumba yangu yote:……………………..
Nitayatangaza haya maisha yangu yote:…………………………………………
MSHUKURUNI BWANA (ZAB : 117)
R/ Mshukuruni Bwana kwani ndiye mwema kwani wema wake ni wa milele.
1. Nyumba ya Israeli iseme kweli wema wake ndiye wa milele,Wenye kumwabudu Bwana waseme , kweli wema wake ndiye wa milele.
2. Katika Mashaka nilimwomba Bwana, Bwana akanisikiliza akanipa tulizo Bwana ni pamoja nami siogopi kitu mwanadamu aweza kutenda nini ?
3. Ni bora kumkimbiliya bwana kuliko kumwaminia mwanadamu ni bora kumkimbilia Bwana Kuliko Kuaminia wakuu.
NITAMSHUKURU BWANA
Nitamshukuru Bwana, nitamwimbia Bwana, nitamchezea bwana, ee Bwana x2
Tutamshukuru kwani yeye ni Masiya, kwani yey ni mwokozi x2. Amen x16 alleluya.
58
ASIFIWE DUNIANI KOTE
1. Asifiwe Duniani kote na mbinguni asifiwe.
R/ Furaha kwake Bwana furaha kwake yeye, furaha ye ye ye ye ye ye, furaha ye ye ye furaha. Shangilieni Bwana shangilieni ye ye shangili yeye ye ye ye ye shangili ye ye ye ye shangilie.
2. Aliumba mbingu na dunia, vitu vyoye ni yeye.
3. Ndege zote zilizo porini na samaki majini.
4. Vitu vyote vinavyoonekana, na visivyo onekana.
MAISHA YANGU
R/Maisha yangu Yesu nitakufwatae, mahali pote nitakufwatae mahali pote.
1. Muniache nifwate njia ya Bwana.2. Muniache nifwate njia na chagua.3. Wenzangu watanicheka
1. Ameangalia udogo wangu, vizazi vyote vitamtukuza. Amenitendea maajabu amenitendea mambo mengi yeye ni mtakatifu.
2. Wema wake umepelelezwa kwa wale wote wenyi kumuheshimu kwa nguvu yake ametawanya wenyo kujivuna.
3. Amewashusha wakubwa chini amewapandisha watu wapole,
wenyi njaa amewapa mali, wenyi mali amewarudisha mikono mitupu.
4. Akikumbuka huruma yake akaisaidia Israeli alivyo mwambia Ibrahimu amemuaganisha Ibrahimu na uzao wake.
EE BIKIRA MAMA WA MUNGU
1. Ee Bikira mama wa Mungu sisi wanao twakulilia x2
R/ Ee mama utuombee kwa Yesu, ee mama usafi wa mwili na wa moyo x2
2. Uwe nasi mama siku zote kwani muovu atuzunguka x2
3. Uwe jibu na musaada wetu ili Imani isipotee x2
Twalia mbele yako mama sisi waana wa dunia x2
UTAZAME WANA WAKO WA DUNIA
R/Utazame waana wako wa dunia we mama Maria, waana wako wa dunia hii wanakulilia we mama Maria.
1. Sala zetu hazifai kwa huruma na mapendo yako malkia we mama Maria
2. Mama mwombezi wetu malkia, Bikira wa rozario tunakulilia, we mama Maria
3. Tunda la Roho mlango wa mbingu, Bikira wa rozario tuna kulilia we mama Maria
4. Mama Maraia utuombee kwa mtoto wako Yesu alikuitikia we Mama Maria.
63
NJOO KWANGU MARIA
1. Njoo kwangu mama Maria mwema
Uniongoze njia ya kwenda mbinguni kwa baba nikaishi milele x2
R/ Njoo Maria njo kwangu Maria uniongoze x2
2. Njoo unijaze neema ya kushinda maovu nifuate njia njema ya kufika kwa Yesu x2
3. Njoo kwangu Mama Mara mwema unilinde mawana nidafiri pasipo mashaka safarini ya nguvu x2
NJONI KWANGU MIMI MALKIA WA MBINGU
R/Njooni kwangu mimi malkia wa mbingu, njooni kwangu mutapata utulivu.
Heri yao waliosali Rozario hei wenyi kumkimbilia Maria.
1. Mama Maria usitusahau, sisi wenyi zambi tunamukosea Mungu
2. Mama Maria usitusahau sisi matajiri, tuna watesa maskini.
3. Mama Maria usitusahau sisi wa askari tuna wanyanyasa watu.
MILELE BABA
R/Milele Baba amemtayarisha Mama asiye na zambi, kwa neema yake Mungu baba akazaliwa Bikira.
1. Ajabu kubwa ikatokeya mbinguni: sifa yake itangazwe.
Mwanamke mwema akivaa jua:……
Amechapwa mwezi miguuni pake:…
2. Uso wake waangaa kama jua:………
Vazi lake leupe kama zeluji:………..
Kichwani taji la nyota kumi na mbili :
3. Tazama Bikira atamzaa mwana :…….
Atamwita jina lake Emmanueli :……..
Makabila yote yatamtaja mbwarikiwa :…
MUSALI ROZARIO
1. Enyi waana wangu uu mbona hamukunisikia, nimewaeleza mbele namna ingefaa kutenda nimesema musali ili mungu asaidie nyinyi hamukusali sasa mumesumbuka.
R/ Musali sana Rozario, nasema musali sana, mimi nitawaombeya, mimi ni mama yenu nataka muishi vema musichoke na sala.
2. Maisha munayo nyinyi, imejaamo wasiwasi, mwaogopa kila kitu njaa kiu na hasa vita, nawaleteya dawa ili musiogope tena, musali bila kucho Yesu atawajibu.
SALAMU NYOTA
R/ Salamu Mama wa Yesu, salamu Mama wa watu ; Mama utupokee tunakuja kuomba amani.
1. Salamu nyota ya mbingu, Maria mama wa Mungu, Maria Bikira mpole, umetufungulia mbingu.
2. Peleka Maombi yetu kwa Yesu mkombozi wetu kwa kufika duniani amejifanya mwana wako.
64
3. Takasa maisha yetu njiani utuongoze na tutamuona Yesu kwa furaha inayo dumu.
UMEPANDA MAMA
R/ umepanda mama mbinguni, umenyakuliwa mzima /umezungukwa na utukufu mbinguni/x2
1. Mama maria mama bila zambi : utuombee kwa Mungu
Mama mtukufu Mama wa mwokozi :
2. Mama maria mama bila taka :……
Mama mtukufu bikira milele :……..
3. Mama maria nyota ya mbinguni :…
Umestahili kumzaa mkombozi :…...
4. Ee Mama mwema utuangazie :…….
Kwa mfano wako tufanane nawe :…
5. Utuongoze kwa mapendo yako:…
Siku ya mwisho tufike mbinguni:...
6. Mama Maria mama wa Kibeho:…
Mama maria mama wa Rwanda mzima:…...
NIPO WOTE WAKO
R/ Nipo wote wako ee Maria, na vyote ninavyo ni vyako.
1. Ninakutolea macho yangu, ili nipate kuona kunacko mashimo.
2. Ninakutolea midomo yangu ili nitamke maneno yenyi kufaa.
3. Ninakutolea miguu yangu ili niwasaidie walio maskini.
4. Ninakutolea miguu yangu iki neende popote nieleze enjili.
5. Ninakutolea maisha yangu ili niishi milele na mwanao Yesu.
1. Shuka kwetu usikawiye twapoteya (u)tuopowe hima hima ushukiye, kwani nguvu hatuna tusiweze kwa mregeo basi wewe tuponye, njoo, njoo, njoo.
2. Tangu zambi ya wazee twakungoja tuopowe kwetu hapa ushukie kwani nguvu hatuna hatuwezi kwa mregeo shuka kwetu tuponye, njoo, njoo, njoo.
3. Ni kifano chake Mungu wetu si zaifu Roho yangu yatamani ya uwingu tumefungwa lakini yamepigwa makatao tusiingiye ndani, njoo njoo, njoo.
4. Siwe tena uso mkali angalia yetu hali tuelekee sasa kweli mashetani huwaka vita uzito tuna leo ulimwengu shuka njoo, njoo, njoo.
SASA HII NI WAKATI WA KUAMKA
R/ Sasa hii ni saa ya kuamka katika usingizi wetu wa dunia x2
1. Maana wokovu wetu umefika kuliko wakati tulipo amaini
2. Usiku umeendelea sana mchana nao sass ni karibu
3. Katika mchana twende vizuri, kwa ajili ya Mungu na ya Jirani
4. Tuvae Bwana Yesu Kristu natufikiri mahitaji ya mwili.
LE JOUR EST PROCHE
R/ Veilleurs où en est la nuit ? Veilleur où en est la nuit, la nuit s’avance le jour est proche, revenons vers le seigneur, le matin vient et encore la nuit ; marchons en enfants de la lumière.
1. Vienne le jour où nos ténèbre rencontreront ta lumière, Vienne le jour où toutes larmes rencontreront ton sourire.
2. Vienne le jour où l’espérance rencontrera ton étoile, vienne le jour où notre route rencontrera ta demeure.
3. Vienne le jour où ta tendresse, remplira toute la terre, vienne le jour où ton Eglise rencontrera ton royaume.
4. Vienne le jour où tous les hommes s’aimeront tous comme frères, vienne jour-là sur notre terre, vienne la paix éternelle,1-4 : Vienne ton royaume Seigneur, vienne ton amour.
68
NOEL
NJOONI WAKRITU TUFANYE SHANGWE
1. Njooni wakristu tufanye shangwe mwokozi Yesu amezaliwa,
Viumbe vyote tufanye shangwe:……
R/ Na tufanye shangwe, twimbe aleluya, mwokozi yetu amezaliwa.
2. Hakika mbingu zashangilia: mwokozi Yesu amezaliwa
Nayo Dunia yafanya shangwe:………
3. Juu mbinguni na duniani:…………….
Viumbe vyote vinafurahi:……………
4. Hii ni siku aliyo fanya:…………………
Tufurahiwe na tumwimbiye :……
5. Tufanye shangwe kwa nyimbo nzuri :……
6. Tusifu Bwana na tumwimbiye:……..
7. Mwenyi ukuu na utukufu:….………….
Ni mfalme Bwanana vitu vyote:……
SAA YA USIKU KATI
1. Saa ya usiku kati kulikuwa na kimya, wachungaji wa kondoo walikuwa wamekesha malaika toka juu mbinguni, walikuwa wakiimba sifa za Mungu.
2. Wachunga msiogope, mwende huko pangoni Mungu mwana yupo nasi, wachungaji wa kondoo usiku walikwenda kumwangaliya bwana Yesu
3. Tangu maelfu miaka, nabii wali muaguwa, sasa leo amefika twende wote kumwabudu, wamajusi toka kule mashariki walifika kumwabudu mwana wa Mungu.
4. Ndiye Emmanueli Mungu pamoja nasi, ni masiya Mukombozi Emmanueli Mungu nasi, Malaika toka juu mbinguni, walishuka wakiimba sifa za Mungu.
Gloria Gloria in excelsis deo x2
YESU KRISTU AMEN
R/ Yesu Kristu amen x3
Njooni wote tumshangilie amezaliwa mwokozi wetu, njooni wote tumushangilie amezaliwa.
1. Siku ya leo amen, amezaliwa amen, na amani na mapendo aleluya.
2. Siku ya leo amen, wachungaji amen, na majusi wamwangaliya Betlehemu.
3. Na sisi wote amen, wa dunia amen, tufurahiwe na mwokozi aleluya.
4. Sifa kwa Baba na kwa Mwana na kwa Roho mutakatifu aleluya.
69
SASA LATIMIYA
R/ Sasa latimiya: sasa latimiya agano alilosema tangu kale sasa la timiya x2
1. Usiku kati nasikiya sauti tamu mbali sana malaika waja wote makiimba sasa la timia
2. Wachunga mulio bondeni njooni wote kwa haraka, kitoto maskini chalazwa nyasini sasa latimia
3. Maria akimfunika Yosefu akimchungulia kwa mshangao wote wote wakiimba sasa latimia
4. Wa kwanza nani kumwabudu majusi walitoka mbali alama ya nyota iki watangulia sasa latimia
5. Herode mfalme wamayahudi akatafuta roho yake misri akaenda mama akimlinda sasa latimia.
1. Unaitwa mufariji paji la aliye juu, chemchem ya uzima moto pendo naza Roho pako
2. Wewe mwenyi paji saba, chanda cha kuume Mungu, Kiagani we cha Baba, unazisemesha ndimi.
3. Nia zetu angazia nyoyo zajaa na mapendo, mwili wetu muzaifu ukapate nguvu kwako.
4. Mbali ufukuze pepo na amani upe mbio, hivyo uwe kiongozi tuepuke kila zambi.
5. Kwako tukamjuwe Baba tena tumtambuwe Mwana, nawe tunakusadiki Roho utakae kwao
6. Mungu Baba asifiwe Mwana aliye fufuka, nawe tena mfariji kwa milele na milele.
SHUKA ROHO MTAKATIFU
R/Shuka Roho mtakatifu Mungu
Shuka Roho mtakatifu Mungu
Shuka ukae sana Rohoni mwetu
Kwa siku zote bwana ukazidishe imani yetu
Tuwe Imara kwa siku zote Bwana
Aleluya x3
1. Unaitwa mufariji: Roho Mungu
Pendo moto utaini: Roho Mungu shuka
Ni kipaji cha mwenyezi pia uzima wa mbinguni.
USHUKE ROHO YA BWANA
R/Ewe Roho ushuke Roho ya Bwana ushuke tujazwe furaha
1. Roho mtakatifu: kawashukiya
Kama ndimi za moto
2. Tufanye bidii : tumutafute
Huyo Roho mutulizaji
3. Atukuzwe Mwana Atukuzwe Mwana
Piya Roho mtakatifu.
80
ROHO MTAKATIFU UTUSHUKIE
R/ Roho mtakatifu utushukie tuongozwe nawe eee
1. Utushukie Roho wa mapendo utujaze sisi neema zako
2. Utushukie na uwashe moto wa mapendo yako ndani mwetu
3. Utushukie tuwe watumishi wa kuitangaza habari njema.
ESPRIT DE DIEU
R/ L’Esprit de Dieu repose sur moi, l’Esprit de Dieu m’a consacre, l’Esprit de Dieu m’a envoye proclamer la paix la joie.
1. L’Esprit de Dieu m’a choisi pour etendre le regne du Christ parmi les nations, pour proclamer la bone nouvelle à ses pauvres ; J’exulte de joie en Dieu mon sauveur.
2. L’Esprit de Dieu m’a choisi pour etendre le regne du christ parmi les nations pour consloler les cœurs accables de souffrances :…………
3. L’Esprit de Dieu m’a choisi pour pour le regne du christ parmi les nations pour acceuillir le pauvre la grace de la delivrance :…………………………………
4. L’Esprit de Dieu m’a choisi pour pour le regne du christ parmi les nations pour celebrer sa gloire parmi tous les peuples :……………………………….
DESCENDS ESPRIT DE DIEU
R/ Descends Esprit, descends Esprit de Dieu, Esprit de vérité, donne la lumière à ce monde perdu.
1. Esprit de Dieu descends sur nous renouvelle la face de la terre.
2. Fortifie notre fragilité, Esprit de vie, Esprit
81
MARIAGE
TON DIEU SERA MON DIEU
R/ Ton D ieu sera mon Dieu, ta vie sera ma vie partout où tu iras, j’irai avec toi.
1. Heureux qui craint le Seigneur et qui marche sur la route du labeur de tes mains tu mangeras. Hereux es-tu en toi le bonheur.
2. Ton Epouse sera dans ta maison comme une vigne féconde, les enfants alentour de ta table, comme des plants d’Olivier.
3. Voila comment sera beni celui qui craint le Seigneur tu verras les fils de tes fils tous les jours de ta vie.
4. Tu verras Jerusalem dans le bonheur, tous les jours de ta vie, de Sion le Seigneur te benisse, vienne la paix sur Israel.
COMME UNE FIANCEE
R/ Ton Dieu sera mon Dieu, ta vie sera ma vie partout où tu iras, j’irai avec toi.
5. Heureux qui craint le Seigneur et qui marche sur la route du labeur de tes mains tu mangeras. Heureux es-tu en toi le bonheur.
6. Ton Epouse sera dans ta maison comme une vigne féconde, les enfants alentour de ta table, comme des plants d’Olivier.
7. Voila comment sera béni celui qui craint le Seigneur tu verras les fils de tes fils tous les jours de ta vie.
8. Tu verras Jérusalem dans le bonheur, tous les jours de ta vie, de Sion le Seigneur te bénisse, vienne la paix sur Israël.
COMME UNE FIANCEE
R/ Comme une fiancée parait pour son époux, tu resplendis de la gloire de Dieu oh alléluia alléluia tu surgis comme l’aurore.
1. Ecoute ma fille prête l’oreille, le Roi désire ta beauté
2. C’est lui ton Seigneur rend-lui tes hommages oublie ton peuple et ta maison.
3. Vêtue de brocarts la Reine est conduite auprès du Roi dans le palais.
4. Des Vierges la suivent lui font cortège dans l’allégresse et dans la foi
5. Puisse-je chanter ton nom d’âge en âge et tous les peuples te loueront.
6. Mon Cœur a frémi des belles paroles voici mon chant je l’offre au Roi.
EE BWANA UWALINDE
R/ Ee Bwana (u)walinde watunze ndowa hii daima, ee Bwana walinde wapate tuzo la milele.
1. Mbele ya kanisa lake Bwana mumeunganishwa ninyi pendo na amani ziwe kwenu ndoa itakate hima.
82
2. Mume umupende muke wako, liwe kubwa lako tuzo muke umutunze mume wako mbinguni (u)tatunukiwa.
3. Vita na ugomvi vijitenge omba radhi ukosapo choyo na anasa visiwepo mwanga wenu upendano.
4. Nyumba ya amani lengo lenu, kristu tegemeo lenu ndoa ni patano takatifu timilifu kwake Mungu.
5. Mungu awajaze neema zake mbarikiwe na watoto msiwapoteze waana wenu wote mali yake Mungu.
BAPTEME
83
SISI WOTE TULIBATIZWA
1. Sisi wote tulibatizwa katika jina lake Yesu Kristu mwokozi,
Ili tulizikwa na zambi neema (sababu ya ubatizo) ya ubatizo katika kufa.
Basse: Hum hapana hata kidogo kwa kuwa na zambi tafazali kuishi na Yesu hum
Kwa maana tumebatizwa na Baba na Mwana naye Roho mtakatifu.
Tenor: Tusidumu tena katika zambi neema, neema yake uzidi nasi lazima, tutembee kwa jua
La Babana la Mwana na la Roho mtakatifu amen.
2. Bwana Yesu alisulubiwa sababu mwili wa zambi uharibiwe na tena,
Tusitumikiye tena zambi sababu alishinda kifo mpaka heri.
PA KISIMA CHA BETESTA.
1. Pa kisima kile cha betesta, cha betesta kulikuwa watu wengi sana na wagonjwa, (navipofu na wagonjwa wenyi kupooza) X2
R/ Baba Mama nanyi ndugu zangu sisi wote, baba mama na nyi ndugu zangu sisi wote kisima chetu cha uzima ni Bwana Yesu. X2
2. Bwana Yesu katika kisima cha Yakobo Bwana Yesu katika kisima cya yakobo (alikuta mwanamke moja wa musamaria)x2
3. Bwana YEsu akamwomba maji nipe maji nipe maji yako ya kisima we mwanamuke ( nami nirakupa maji yangu ya uzima)x2
4. Walingoza malaika pale: walingoja malaika pale wale wagonjwa (ili waingiye kisimani akawaponye).
CHANTS DIVERS
84
BWANA YESU ANAKUITA WEWE
1. Bwana Yesu anakuita wewe anataka umutumikie
Sikia sauti yake umutumikie anakupenda x2
R/ Baba uache yote baba yooo
Baba kuja kwa Yesu akupenda
Mama uache yote mama yooo
Mama kuja kwa Yesu akupenda
Kaka uache yote kaka yooo
Kaka kuja kwa Yesu akupenda
Dada uache yote dada yooo
Dada kuja kwa Yesu akupenda
2. Wewe uliyekuwa mulevi
Bwana Yesu leo anakupenda sikia sauti………
3. Nawe uliye kuwa mulevi
Bwana Yesu leo anakupenda sikia sauti yake…….
4. We uliyekuwa musharati
Bwana Yesu leo anakupenda sikia sauti……
KWELI NITASIMAMA
R/Ni Kweli Kweli nitasi nimwendee Baba anisamehe x2
1. Ona huzuni yangu, ona mateso yangu usamehezambi zangu, unihurumiye bwana.
2. Bwana nakuja kwako, bwana nakulilia unisikilize wewe nguzo ya maisha yangu.
1. Ewe simoni petro mwana wa Yona juu yako nitajenga Eklezia yangu
R/ Uzichunge kondoo zangu x3 na nitakuwa nawe x2
2. Ewe Simoni Petro mwana wa Yoza nimejuwa kweli wanipenda
3. Nimekupatiya funguo za ufalme na mbinguni vile vile na duniani
4. Kile utakacho kifunga hapa chini na mbinguni vilele kitafungwa
5. Nanyi vile vile maaskofu wa Eklezia Bwana Yesu amewaambia leo
6. Nanyi vile vile mapadri wa Eklezia Bwana Yesu amewaambia leo
7. Nanyi vile vile viongozi wa Eklezia Bwana Yeu amewaambia leo
EWE MUNGU WANGU
R/ Ewe Mungu wangu x2 ninakutafuta uniokowe Roho yangu inaona kiu kwako, ndiwe bwana wangu na mungu wangu, kweli njoo x2
1. Roho yangu Bwana inakutamani, uje mbio bwana uniokowe, Roho yangu inaona kiu kwako ndiwe bwana wangu na mungu wangu kweli njoo.
2. Mwili wangu Bwana unakutamani sana, kama inchi kavu isiyo na maji, roho yangu inaona kiu kwako , ndiwe bwana wangu na mungu wangu kweli njoo.
BWANA YESU AMETUAMURU
1. Bwana Yesu ametuamuru tuheshimiye mapendo
R/Mapendo ya kweli hayaoni wivu, mapendo kamili yanavumili,
(mapendo makubwa hayahesabu mabaya) x2 ae
2. Ikiwa munajitowa mufe, bila mapendi ni bure
3. Ikiwa munahubiri vema,………………
4. Ikiwa munagawanya mali,……………
5. Hata mukisema lugha zote,……..….
89
MUNGU WANGU MBONA UNANIACHA
R/ Mungu wangu mbona unaniacha (mimi), katika tabu zote hizi maisha yangu niya mashaka (kwani) sina Roho nimekosa amani matatizomengi yananisonga (sana) nakuomba Bwana (u)nisaidiye maadui zangu wananiwinda (kutwa) wamenitega ili wanilkamate, nimelala macho wazi mimi (kama ndege) kama ndege mkingwa ju ya anga nimekuwa lwama kundi mimi (fanya hima) fanya hima Bwana uniokowe.
1. Nimekuwa kama kichekesho kwa watu jamani ii mimi bwana kila nipitapo hunisema na kunicheka wamenizushia maneno ya uwongo jamani, mimi ee Bwana mimi nimekuwa kijalala la kila baya
2. Maadui zangu kutwa wanisimanga jamani ii mimi bwana wanatiya kiwani sonya na kunitusi, jina langu limekuwa gumuzo lao jamanii mimi ee BWana sasa ndilo walitumialo kwa kulniya
SIKU NITA MUONA MUNGU (NShombo Marius)
R/ Siku Nyota ya asubui itangaa, siku nitajazwa na sifa yake bwana, siku machozi yangu yatakauka, Siku hiyo nitamwona Mungu wangu x2
1. Yesu Kristu uliye shinda kifo, moyo wangu unamtafuta Mungu mzima, siku hiyo nitaona sura yake
2. Yesu kristu, uliye shinda kifo, ni wewe furaha ya maisha yangu, katika njia ya mbingu nipeleke
3. Yesu Kristu uliye shinda kifo, siku Baba ataniita juu mbinguni kicheko chako ee kristu kinijie.
EE MUNGU WANGU.
R/EEe Mungu Mungu wangu moyo wangu usabiti nitaimba nitaimba zaburi (x2)