-
ISSN 0856 - 3861 Na. 1179 SHAABAN 1436, IJUMAA , MEI 29-JUNI 4,
2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=
Sauti ya Waislamufacebook: [email protected]
AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST
Wasiwasi watanda....
Shule za Kiislamu kufutwaKundecha awataka Waislam kuwa machoJe,
ni kufanyia kazi wasiwasi wa Mungai? Kauli ya Waziri Mkuu
Mizengo Pinda inatisha!Mh. Selasini katimiza wajibu wakeUkristo
wake, haukubali mambo hayo
Siku zitakapodhihirishwa SiriKila Mchunga ataulizwa
SHEIKH Msellem.
Soma Uk. 20
RAIS Dkt. Shein.
Waziri Mkuu Pinda. RAIS Kikwete.
Apania kuua Waislamu kijiji kizima lakiniHajashitakiwa kwa
tuhuma za ugaidiHata katika ule utaratibu wetu wa
kawaidaWaliokamatwa Arusha walikuwa Waarabu
Mheshimiwa Mbunge alikosea
Askofu hawezi kuwa gaidi!Uk. 10
Allah Ameonya mwenye kwenda kuhiji asivunjiwe heshima, yaani
atukuzwe(Al-Maaidah:2). Kwa mapenzi ya Allah, huyu amepewa cheo
maalum cha "Al-Hajj au HAJJAT". Waislamu hatuna budi tuipende sana
Hijja Muda unakwisha! Gharama zote kwa Hijja ni Dola 4,500. Umra ya
Ramadhani ni Dola 2,300. Karibuni Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa huduma
nzuri na uongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania Bara:
0765462022;0782804480;
0717224437.Zanzibar:0777468018;0777458075;0777845010.
(11) "MWENYE KUHIJI" NI KIPENZI CHA ALLAH!
-
2 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786Cel: 0784 370 208, 0713 110 148,
0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]
zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam
Tahariri/Habari
Kauli ya Waziri Mkuu Pinda inakatisha tamaaK WA h a k i k a k i
l a aliyesikiliza swali na Mbunge wa Mji Mkongwe ( C U F ) , M u h
a m m e d I b r a h i m S a n ya k wa M h e s h i m i wa Wa z i r i
Mkuu wiki iliyopita na utangulizi wa Waziri Mkuu katika jibu lake,
lazima atajiuliza maswali mengi ambayo hayana majibu.
Swali la Mh. Sanya lilikuwa wazi sana na lenye kugusa suala zito
la kuvunjwa haki za kiraia, kisheria na kikatiba, za Masheikh
wanaoshikiliwa kwa zaidi ya mwaka sasa kwa tuhuma za ugaidi. Baada
ya kutoa maelezo marefu na kuuliza swali, bado Mh. Sanya alitakiwa
na Mheshimiwa Spika kufafanua zaidi alikuwa akikusudia watuhumiwa g
a n i a m b a p o S a n y a alisema wazi kuwa, hao ni Masheikh wa
UAMSHO wa n a o s h i k i l i wa k wa tuhuma za ugaidi.
Sasa sikiliza j ibu la Waziri Mkuu, Mheshimiwa Mizengo Kayanza
Peter Pinda:
Mheshimiwa Spika, ni bahati mbaya tu kwamba swali halipo wazi
sana, i l i tuweze kujua hasa k inachota futwa n in i .
Ningeshukuru sana kama ningejua Masheikh hawa nani , wanatuhumiwa
kwa makosa yapi , na pengine kwa sasa wapo katika hatua ya
upepelezi, w a m e s h a f i k i s h w a mahakamani, ili niweze
kuwa na uhakika kwamba kinachotafutwa hapa ni katika stage (hatua)
gani ya mchakato katika suala hilo ambalo linawakabili.
Si mara ya kwanza suala la Masheikh hawa k u f i k i s h wa B u
n g e n i Dodoma. Lishazungumzwa s a n a w a h e s h i m i w a
Wabunge wakihoji mambo ya msingi kuhusiana na watuhumiwa hao. Na
mambo yanayohojiwa ni manne. Moja, ni madai ya watuhumiwa hao
kuwa
walifanyiwa vitendo vya kinyama na kudhalilisha, kinyume kabisa
na sheria, katiba, haki za binadamu, na ubinadamu wenyewe. Pili,
kunyimwa matibabu stahiki baada ya kuumizwa walipofanyiwa ukatili
huo. Tatu, kushikiliwa kwa muda mrefu bila kesi yao kuzungumzwa
huku wakinyimwa haki ya dhamana. Nne, wanahoji, k wa n i n i wa k a
m a t we na kuletwa mahakama za Tanzania Bara wakati Zanzibar ni
nchi na ina mahakama zake.
Wiki hii, wakati Bunge hili la Katiba likiendelea, Mbunge wa
Viti Maalum ( C H A D E M A ) M h . Maryam Salum Msabaha
alizungumzia suala hili hili na hoja ni hizi hizi. Kwamba kama watu
wana kesi ya kujibu, si izungumzwe basi kama ushahidi upo utolewe
ijulikane moja kuwa wamehukumiwa?
Katika madai haya ya kufanyiwa vitendo vya kinyama na
kudhalilisha, yaliwahi kutolewa majibu na maelezo ya kejeli na kwa
hakika ya dharau, jeuri na kibri ndani ya Bunge. Ikidaiwa kuwa
utafanyika uchunguzi isi je kuwa wanaodai kudhalilishwa, w a l i c
h o f a n y i w a n i kamchezo walikozoeya!
Sasa leo tena, baada ya maelezo marefu ya M h e s h i m i w a S
a n y a , Waziri Mkuu anasema, hajui ni Masheikh gani, w a n a t u
h u m i w a k w a makosa yapi na hajui nini kinatafutwa! Kwa hakika
hii inakatisha tamaa kabisa.
W a p o w a b u n g e , wanasheria, wasomi na wananchi wa
kawaida, a m b a o w a m e k u w a wakihoji kwamba, kama Zanzibar
ni nchi, kwa nini Masheikh wakamatwe kimya kimya na kupelekwa Bara?
Imekuwa kama zile Rendition za Marekani (Extraordinary rendition /
irregular rendition- the government sponsored
k i d n a p p i n g a n d extrajudicial transfer of a person
from one country to another).
Lakini pia wanahoji, hata kama wanatuhumiwa kwa shutuma nzito
kama h iyo ya uga id i , kwa nini wadhalilishwe na kufanyiwa
vitendo vya ki-firauni kama wenyewe walivyodai kufanyiwa n a k u t
o a u s h a h i d i mahakamani?
Hata hivyo, la kusikitisha na kushangaza kabisa ni kuwa, pamoja
na kilio cha watuhumiwa hao, pamoja na hoja za wananchi, pamoja na
ushahidi wa kutisha unaowasilishwa
mahakamani ukionyesha hali mbaya za watuhumiwa hao kutokana na
vitendo walivyofanyiwa, wenye r a i a wa o k i m ya a a ! ! ! Wenye
wapiga kura wao ambao wanawataraj ia Wazanzibari na Waislamu
wafuasi wa Masheikh hao, wawapigie kura mwaka huu wabaki Ikulu au
wenye tamaa ya kuingia, waingie, kimyaa!!!
F a r a j a p e k e e k w a Masheikh wetu hawa imebaki katika
Imani yao kwamba ipo SIKU ya Hukumu. Yupo Hakimu wa M a h a k i m u
A l i ye Muadilifu. Na Yupo Maliki yaumiddiin.
Lakini tukumbushe tu jambo moja na hii ni kwa mujibu ya amri ya
Fadhakkir.
Sisi sote ni wachunga. Na kila mchunga ataulizwa kwa vile
alivyovichunga.
Raha ya mamlaka haiishii tu kwa kukimbizwa na vingora huku
wengine wakipisha njia wewe peke yako upite.
Kuna na kuulizwa juu ya hawa wanaokupisha njia ukipitishwa mbio
utadhani kila mtu unayemuona ni adui yako.
Vipi uliwachunga. Vipi uliwatendea. Na siku hiyo, hakuna vingora
vya kukupitisha mbio katika Siratwa.
Na ambao uwapatao msiba husema: hakika sisi ni wa Mwenyezi
Mungu, na kwake Yeye tutarejea (2:156).
H i v y o n d i v y o a l i v y o a n z a k u s e m a Sheikh
Walid Alhad, Imamu Mkuu wa Msikiti wa Kichangani wakati akitoa
taarifa za msiba wa ndugu yake Omary Alhad.
Imam Alhad ambaye ni kaka wa marehemu, alisema mdogo wake Sheikh
Omary alikuwa Muhadhiri wa Msikiti wa Kichangani, uliopo Magomeni
jijini Dar es Salaam.
Sheikh Omary alifariki siku ya Jumatano katika H o s p i t a l i
y a Ta i f a Muhimbili jijini Dar es Saalam ambako alikuwa amelazwa
kwa ajili ya matibabu kutokana na kusumbuliwa na maradhi ya moyo
kwa muda mrefu.
Marehemu alizikwa Alhamisi wiki hii (jana) k a t i k a m a k a b
u r i ya Mwinyi Mkuu Jijini Dar es salaam baada ya swala ya
Alasir.
Marehemu ameacha mjane na watoto wawili.
Akielezea kwa ufupi wasifu wa mdogo wake, Sheikh Walid Alhad a l
i s e m a m a r e h e m u alizaliwa mwaka 1970 jijini Dar es Salaam
na kusoma shule ya msingi, Ilala Mchanganyiko Dar es Salaam, ambapo
baadae alijiunga na shule ya sekondari ya al Haramain jijini ambako
alihitimu kidato cha nne.
Sheikh Omary Alhad hatunayeNa Azza Ally Ahmed
Al-Marhum Sheikh Omary Alhad.
Imam huyo alisema, Sheikh Alhad baadae alijiunga na hapo hapo
Alharamain na masomo ya Dini.
A i d h a , a l i s e m a Sheikh Omar Alhad, a l i t a f u t a e
l i m u ya Dini na kupata darsa kwa Masheikh wengi, baadhi yao
wakiwa ni baba yake mzazi Sheikh Alhad Omary, Sheikh Mohamed Ali
Buhury na Sheikh Ahmed Khaidary.
Hao ni baadhi tu ya Masheikh ambao walimpa elimu ya dini marhum
Omary Alhad.
Sheikh Omar Alhad katika harakati zake za kuhudumia jamii,
alianzisha taasisi ya kusaidia kina mama na watoto mbalimbali wenye
matatizo.
S h e i k h W a l i d alisema mdogo wake hakuwahi kufanya kazi
nyengine katika uhai wake isipokuwa kazi ya Daawa na kusaidia jamii
hadi mwisho wa uhai
wake. A l i k u w a n i
mwanaharakati katika masuala ya dini na aliipenda kazi yake.
Alijitoa kwa moyo wake wote kuitetea na kueneza dini ya
Allah.
Tumempoteza mtu muhimu sana miongoni mwa Wahadhiri walio kuwa na
upeo mkubwa wa masuala ya dini.
A l i s e m a S h e i k h Walid huku uso wake akionekana kujawa
na huzuni kubwa.
N a y e I m a m wa M a s j i d N u u r , Magomeni, Ustadh Amir
Hangali, alisema alimfahamu Sheikh Omary Alhad kutokana na
kujihusisha sana na kuitetea dini na weledi wake katika maswala ya
dini.
Alisema alikuwa ni mtu wa harakati na alikuwa Khatibu maarufu
hasa katika Msikiti wa Kichangani.
I m a m u h u y o aliwaasa Waislamu kujiandaa na siku ambayo ni
lazima kila mtu aipitie katika maisha yake na kwamba mauti sio
hiyari ni jambo la lazima kwa kila mtu.
Alisema ni jambo jema kwa Waislamu kujenga mazoea ya kujiandaa
na zawadi pekee ya kwenda nayo ni amali iliyo njema.
A l i s e m a h i l o l i t a w e z e k a n a k w a Waislamu
kuacha mambo ambayo hayampendezi Mwenyezi Mungu kwa safari
hiyo.
-
3 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015Habari
Shule za Kiislamu kufutwaJ a m b o l a k u t i s h a zaidi
linakuja, ndivyo walivyoambiwa Waislamu na Amir wa Shura ya Maimam
na Baraza Kuu, Sheikh Mussa Kundecha.
Jambo lenyewe ni kuwa upo mpango unakuja wa kufuta shule za
Kidini au kuzifanya ziwe binafsi kwa maana ya kuwa zisajili
wanafunzi wa dini zote.
S h e i k h K u n d e c h a alitoa tahadhari hiyo kwa Waislamu
katika kongamano lililofanyika k a t i k a M s i k i t i w a
Magomeni, Kichangani, Ijumaa iliyopita.
Ilikuwa ni baada ya kutoa taarifa juu ya kadhia ya kukamatwa
ovyo Masheikh na Walimu wa Madrasa kwa kisingizio c h a k u p a m b
a n a n a ugaidi, Sheikh Kundecha aliwataka Waislamu kukaa macho na
kuwa makini kwani kuna balaa jingine linakuja.
Hapo ndio akafichua kuwa, Shule za Kiislamu a m b a z o h u c h
u k u a wanafunzi Waislamu pekee, (au zile za Kikristo a m b a z o
h u c h u k u a Wakristo tu) huenda zisiwepo tena na wamiliki wake
kutakiwa kuingiza watu wa dini nyingine.
H a b a r i z a i d i zinafahamisha kuwa upo Muswada wa Sheria
ya Elimu, ambapo hata kabla ya kupitishwa kuwa sheria, kuna baadhi
ya taasisi za Kiislamu zimenyimwa usajili huku wahusika wakiambiwa
kuwa hata waliokwishapewa leseni watanyanganywa.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya vikao vya taasisi za
Kiislamu v inavyoendelea h iv i sasa juu ya jambo hilo, baadhi ya
maofisa wa Wizara ya E l imu na M a f u n z o ya U f u n d i
wamefahamisha kuwa tayari yameshatolewa maelekezo kwa Wakaguzi wa
El imu wa Mikoa kukusanya Leseni za Shule hizo za Kidini, ili
zisajiliwe upya kama binafsi.
Hata hivyo, baadhi ya Wakaguzi walioulizwa juu ya jambo hili,
walisema kuwa bado hawajapata maelekezo yoyote.
H a d i t u n a k w e n d a mitamboni, juhudi za mwandish i
kumpata Afisa kutoka Ofisi ya Usajili, aliyedai kuwa lesen i z i
takusanywa na mpya hazi tolewi , hazikufanikiwa.
Hata hivyo, baadhi ya viongozi wa taasisi za Kiislamu wamekiri
kunyimwa leseni na kuambiwa kuwa hakuna s a b a b u y a k u p e w a
wakati zoezi lililopo ni kukusanywa zilizokwisha kutolewa.
Kwa uapnde mwingine,
Na Mwandishi Wetu
SHEIKH Kundecha akiongea Waislamu katika kongamano lililofanyika
katika Msikiti wa Kichangani, Magomeni Jijini Dar es Salaam Ijumaa
iliyopita.
b a a d h i y a v i o n g o z i waliokuwa wakifuatilia suala
hili na kufanya warsha wiki iliyoipita, wamearifu kuwa hoja
zinazotolewa na baadhi ya watumishi katika ofisi ya Usajili ni kuwa
zinazotakiwa ni seminari za watu wachache za kufundishia watu wa
kutumikia makanisa au misikiti, sio kuwa na shule yenye wanafunzi
zaidi ya 300 na wanaosoma masomo mengine zaidi ya yale ya dini
husika ya kumfanya mwanafunzi kuwa Padiri au Sheikh.
K w a m u j i b u w a Muswada wa Sheria ya El imu ul iopo mezani
hivi sasa, ipo Mamlaka itakayoitwa Basic And Secondary Educat ion A
u t h o r i t y a m b a y o i t a t a k i w a k u o n d o a vikwazo
vote kwa mtoto yoyote kupata elimu bora.
Kwa hiyo, kwa mujibu wa uchambuzi wa baadhi ya wataalamu
walioupitia muswada huo, kama watu wataona shule yako ya
Msikitini/Kanisani, ni Bora ila kipengele cha Dini kinamzuiya mtoto
wa dini nyingine kusoma, basi Mamlaka hiyo, inaweza kuingilia kati
kuondoa kikwazo hicho.
Kama jambo hili litapita, itakuwa pigo jingine la karne kwa Wais
lamu katika zile jitihada zao za kujikwamua kielimu.
I l ikuwa wakat i wa ukoloni ambapo kutokana na wakoloni
kufungamana na Ukristo, walikuwa wakichukua kodi kutoka k w a Wa t
a n g a n y i k a , Waislamu na Wakristo, lakini wakitoa ruhusa na
ruzuku kwa Watanganyika Wakrsito pekeee kuwa na shule.
H a t a b a a d a y a kupatikana uhuru, bado serikali ilikuwa
ikitoa pesa kwa shule za Wakristo
pekee.Kwa wakati ule, baada
ya Waislamu kupiga kelele wakilalamikia mfumo na utarat ibu huo
wa kidhalimu na kibaguzi, na kuona ser ikal i ya kikoloni na
Tanganyika huru, haijali, walianzisha juhudi za kujenga shule zao
kwa harambee, lakini pia wakiendelea kupigania kile kilicho haki
yao katika Hazina ya Taifa.
Hata hivyo, juhudi za Waislamu zilikumbana na P i g o l a k wa n
z a kutoka kwa Mwalimu Nyerere ambaye alitaifisha shule.
Kutokana na propaganda iliyopigwa katika siasa hizo za
kutaifisha shule, M w a l i m u N y e r e r e alionekana kama
shujaa na msamaria mwema asiye mbaguzi aliyetaka na Waislamu
wasome.
Lakini ukweli wa jambo lenyewe ilikuwa hatua na mkakati wa
kuwarejesha nyuma Waislamu.
Moja, iliuwa ule moyo wa Waislamu wa kujizatiti na kuwa na moyo
wa kujiletea maendeleo.
Pili, zile nafasi chache zilizokuwa zikipatikana kuwapa fursa
watoto wa Ki is lamu kusoma ziliporwa.
Waislamu walifungiwa tena milango ya kusoma kama ilivyokuwa
wakati wa mkoloni.
Hii ni kutokana na sababu kwamba baada ya shule kutai f ishwa
zikiwemo zile za Kikristo, bado uongozi wa shule zote hizo pamoja
na maofisa walioteuwa nani asome, zilibaki mikononi mwa Wakristo,
na inajulikana ni kwa namna gani Waislamu walidhulumika katika
utaratibu huo.
Hata hivyo, pamoja na baadhi ya shule za Kikristo nazo
kutaifishwa, bado
kulikuwa na nyingine zilizokuwa za seminary a m b a p o w a k i
s o m a Wa k r i s t o p e k e e n a wakichaguliwa kuingia shule za
serikali za kidato cha tano na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam au
kupata scholarship za serikali.
K a t i k a m u d a w o t e wa Mwalimu Nyerere kama Rais,
haikupata kuandikishwa shule ya seminary ya Kiislamu.
Na namna ya kuwazuiya Waislamu ilikuwa ukiomba tasjila unaambiwa
uende Bakwata. Ukifika Bakwata i l ishapewa maelekezo ikatae.
I l i k u w a k i p i n d i al ipokuwa Waziri wa Elimu ni
Marehemu Prof. Kighoma Ali Malima, aliyefungua mlango baada ya
kusema kuwa hapakuwa na sheria inayowalazimisha Waislamu
wasiandikishe shule ila chini ya Bakwata.
Pa m o j a n a j u h u d i zinazoendelea Waislamu kutaka
serikali yao itende h a k i k wa r a i a wa k e wote, kwa miaka ya
hivi karibuni pamekuwa na mwamko mkubwa na kujitolea kukubwa kwa
Waislamu katika kujenga na kuendesha shule na vyuo.
A w a l i W a i s l a m u walipoanza juhudi hizi mwishoni mwa
miaka ya 1980, serikali ilitoa kauli kuwa shule za seminari
hazitatambulika.
Na kwamba, kinyume n a i l i v y o k u wa h u k o nyuma ambapo,
watoto wa Kikristo kutoka seminari za Kikristo walikuwa
wakichaguliwa kidato cha tano shule za serikali, sasa itakuwa
hawachaguliwi tena.
H a t a h i v y o , h i y o haikuwakatisha tamaa Waislamu. Na
kwa bahati nzuri, kimya kimya serikali
yenyewe haikutekeleza azma yake hiyo ambayo kwa kila sura,
ilikuwa ikionyesha kuwalenga Waislamu.
Takriban sasa kila msikiti una shule ya Awali na mingine Awali
na Msingi huku taasisi nyingi za Kiislamu zikianzisha shule za
sekondari na vyuo.
Kwa mujibu wa tahadhari na taarifa iliyotolewa na Amir Kundecha,
ni kuwa shule hizi za Waislamu sasa basi.
I t a k u wa s a s a b a s i kwa sababu hata kama w a t a k u w
e p o , l a k i n i watakuwa ni wachache sana katika Waislamu ambao
watakubali Zakka na Sadaka zao zitumike kujengea na kuendeshea s h
u l e z a M i s i k i t i zinazosomesha Waislamu na wasio
Waislamu.
K a t i k a m o j a y a M i h a d h a r a y a k e , Marehemu
Sheikh Ilunga Hassan Kapungu aliwahi kueleza hofu aliyokuwa nayo
aliyekuwa Waziri wa El imu wakat i ule M h e s h i m i wa J o s e p
h Mungai.
Ilunga akiwa ofisini Waziri Mungai akifuatilia usajili wa shule
yao moja ya Kiislamu kule Mwanza, Joseph Mungai alisema, anashindwa
kujua hali itakuwaje miaka 50 ijayo wakati ambapo watoto wa
Waislamu watakuwa wamesoma sawa na watoto wa Kikristo.
I l i k u w a n i k a t i k a m a z u n g u m z o y a kawaida
ambapo Mungai al imwonyesha I lunga m a j a l a d a m e n g i n a
kumwambia kuwa yote yale yalikuwa ni maombi ya Waislamu wanataka
kusajili shule.
Mheshimiwa Waziri, Wa i s l a m u w e n y e w e h a wa n a u we
z o n d i o wanahangaika kujenga.
Alisema Ilunga kama kumwambia mheshimiwa asiwe na wasiwasi maana
nguvu na kasi ya Waislamu haiwezi kushindana na ile ya
Wakristo.
Sawa. Leo mnahangaika n a k u j e n g a . I t a f i k a m a h a
l i m n a e n d e s h a . L e o s i s i t u m e s o m a , n y i n y
i h a m j a s o m a , lakini miaka 50 i jayo, watoto wenu watakuwa
wa m e s o m a n a w e t u watakuwa wamesoma, hali itakuwaje.
Alisema Sheikh Ilunga ( M u n g u A m r e h e m u ) akimnukuu
aliyekuwa Waziri wa Elimu (mwaka 2000-2005) Joseph Mungai.
A m b a c h o p e n g i n e inabidi Waislamu wajiulize: Mkakati
huu na nia hii ya kufuta shule za Kidini na badala yake kuwa
Binafsi, je ni katika kukabiliana na hofu aliyokuwa nayo Joseph
Mungai?
-
4 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015Makala
WAKATI vyama vingi vinaanzishwa tena hapa Zanzibar, vilianza na
matumaini makubwa kutoka kwa wananchi baada ya kuchoshwa na
ukiritimba wa chama k i m o j a . M a t u m a i n i makubwa
yalitegemewa kupatikana kutokana n a c h a m a t a w a l a k w a m
b a k i l i k u w a tayari kujisahihisha na makosa yao ya nyuma na
kutandika na kuonyesha njia na mwelekeo mpya wa kuongoza Taifa
badala ya uchu wa kutawala. Sababu zozote zile naziwe katika kuleta
na hatimae kukubali mfumo wa vyama vingi mategemeo ya mabadiliko
yalitarajiwa k u we p o n a k u we p o kwa kiwango kikubwa p a m o
j a n a k u s a h a u yaliyopita, ijapokuwa wengi wal ioathi r ika
wa m e s a m e h e l a k i n i hawakusahau.
Hali haikuwa hivyo, bali ilikuwa kunyume chake. Chuki, ubagizi
ulizidi kushamiri na kupaliliwa. Miaka ishirini na tatu katika uhai
wa taifa ni kidogo mno, ni kama jana au juzi tu ilipoanza enzi ya
Dr. Salmini bin Amour Komandoo, enzi ya upandikizi fitna, chuki na
ubaguzi baina ya Wapemba na Waunguja kwa sababu tu Wapemba
wamekikataa Chama cha Mapinduzi.
S a l m i n A m o u r aliwaondoa Wapemba wote katika nafasi za
uongozi katika serikali, alimbakisha Shajak tu. CCM ilianza
kuwabagua na inaendelea kuwabagua Wazanzibari na kuwaweka kat ika
mafungu na madaraja. Hawa ni Waswahili na hawa ni Waarabu. Hawa ni
Wapemba na hawa ni Waunguja. Hawa ni Weupe na hawa ni Weusi. Hawa
ni Wazanzibari halisi na hawa si Wazanzibari halisi. Hawa ni
wenzetu na hawa si wenzetu. Imekuwa i k i t u m i a m i s i n g i
ya makundi iliyoyajenga na kutunga lugha za kibaguzi kwa kundi moja
dhidi ya jengine.
Hiyo ndio CCM. Mpaka leo CCM imekuwa ikifanya unyanyasaji na
mateso kadhaa wa kadhaa hata ya kisaikologia kwa msingi wa makundi
hayo. Kufanya wengine ni wenye nchi na wengine ni wahamiaji tu Nani
aliesahau kauli ya Komandoo kat ika mkutano wa Kibanda maiti
akijitutumua kwa kusema
Vitimbi vya CCMNa Salma Alghaythiya,
Wapemba weshasoma sasa zamu ya wenzao Waunguja, kauli ambayo
ilitafsiriwa kwa vitendo kuwanyima Wapemba nafasi za Masomo ndani
na nje.
Hivo nani kasahau kauli ya Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi
aliposema hawa Wapemba ni vijibwa vya santuri wanaiga sauti za
mabwana zao yaani leo wapemba si watu na Wapemba hawana haki ya
kutoa mawazo yao?.
Kauli nyingi za dharau na kejeli zilitolewa hata kufika hadi
kusemwa Mpemba kuingia Ikulu ni sawa na mbwa kuingia msikitini. CCM
kama kingalikuwa ni chama cha kuongoza nchi, sio kutawala, basi
kingefanya utafiti wa kina kujua sababu ya Wapemba k u i k a t a a
C C M i l i kufahamu. Lakini CCM ni chama cha kutawala h a t a b i
l a ya k u p a t a r idhaa ya wananchi . Lakini maskini ni chama
ambacho kimeshapoteza dira na mwelekeo. Haya yalisemwa zamani na
aliekuwa Katibu Mkuu wa CCM Horace Kolimba.
Vishindo vya CCM v i l i t u m i a n g u v u z a dola bi la hata
kujal i Katiba wala sheria za nchi. Vyama vya siasa ambavyo
viliruhusiwa kufungua matawi pamoja na kufanya mikutano ili kuweza
kunadi sera zao
na kuweza kukubalika hii ikiwa ni haki yao chini ya sheria,
lakini haikuwa hivyo pale chama cha CUF kilipofungua tawi na
kuperushwa bendera Shumba Mjini (Pemba). Alitokea Mkuu wa wilaya
Feruzi na kupeleka askari wa FFU ili kuteremsha bendera ya chama
cha CUF. Nguvu za kupita mpaka zilitumika na jeshi la polisi
lilitumika na walitumia risasi na kuua pamoja na kujeruhi. Nani
amesahau mauaji ya kijana Awadh hapo Mtendeni.
Hatuwezi kusahau watu waliouawa katika maandamano ya amani k u p
i n g a m t o k e o ya uchaguzi yaliyofanya CUF. Wengi walijeruhiwa
na kuwa na vilema vya m a i s h a n a w e n g i n e kukimbilia
Kenya baada kusakwa kwa mabunduki, nini wameandamana.
Sote tunakumbuka pale Maaalim Seif pamoja na viongozi wenzake wa
CUF akina Juma Duni, Maulid Makame, Mloo na wengineo walifunguliwa
kesi (za nyaraka za siri, uchochezi na uhaini) ili kuzuia na
kuwafumba midomo katika kuikosoa CCM na kutokubaliana na sera za
CCM. Sasa hii leo si ajabu kuona kesi inayomkabili Mansour baada ya
kuikosoa CCM na sera zake.
Vitimbi hivi vya CCM
ni vingi na si vigeni katika siasa za Zanzibar. Ubao wa Kisonge
umekuwa ukitumika tokea enzi kuchochea fitna ,chuki na mgawanyiko.
Leo Kisonge i n a t a m k a Wa p e m b a wende kwao, Wapemba
wahame, Wapemba na Warabu wahame, Unguja
tumepindua. Hivo hizi nazo siasa au ni kuishiwa?
Kufukuza kiongozi kama Hassan Nassor Moyo na wengine
waliofukuzwa kabla yake, inaonyeza wazi kwamba meli inakwenda mrama
na kuf i l i s ika kisiasa na kutovumilia na kuheshimu mawazo ya
wengine. CCM inataka watu wote waimbe wimbo huo huo mmoja.
Bado CCM iko katika us ing iz i wa manane na kuota ati Mwarabu
atarudi. Hivyo Mwarabu gani ataerudi kutawala Zanzibar. Ikiwa
Mwarabu atarudi, basi ni katika kuitikia maombi ya msaada unaoombwa
na viongozi wa CCM na Serikali. Leo Rais Kikwete, kesho Spika
Makinda, akifatiwa na Benard Membe, Lukuvi na akina Shamhuna na Dr.
Makame wakibeba mikoba yao kuelekea Arabuni. Ndio hao hao ak ina
William wakirudi huku kuwalani Waarabu na kuwapa chambi malenga wa
matus i kutukana Warabu.
C C M i n a e n d e l a k u w a p i g a m a f u n g u W a z a n
z i b a r i i l i wachukiane, wahasimiane na wapigane. Huku ndio
kupoteza dira na kuishiwa kisiasa. Vijana wa leo ambao wana malengo
ya kujikwamua na hali duni ya maisha na kiu ya kutaka mabadiliko na
maendeleo. Hawawezi k u c h e z a n y i m b o ya Mwarabu
atarudi.
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Anne Makinda (kshoto)
akiwa katika moja ya ziara nchini Oman.
-
5 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4,
2015Habari/Matangazo
S h i r i k a K u u l a Kijasusi la Marekani CIA, limelaumiwa
kwa kuwa chanzo c h a u g a i d i n a ki le k inachoi twa m i s i m
a m o m i k a l i ya k i d i n i i n a y o s h u h u d i w a nchini
Kenya.
Kwa muj ibu wa toleo la leo (juzi) la gazeti la kila siku la
People Daily la nchini Kenya, afisa wa serikali ya Kenya ambaye
hakutaka jina lake litajwe, alisema mradi wa CIA wa kuwaunga
mkono
MALAYSIA na Indonesia zimekubali kuwaruhusu maelfu ya wakimbizi
wa Kiislamu wa wahamiaji wa jamii ya Rohingya kutoka Myanmar na
wale kutoka Bangladesh kuingia katika nchi hizo.
W a k i m b i z i h a o wamekwama baharini kwa siku kadhaa
sasa.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Malaysia Anifah Amas, alisema nchi
yake na Indonesia zimekubaliana kuendelea kutoa misaada ya k i b i
n a d a m u k wa wahamiaji haramu 7,000 ambao bado wamekwama b a h
a r i n i n a k u wa p a makazi ya muda, huku mchakato wa kuwapa
makazi na kuwarejesha makwao ukishughulikiwa kwa kipindi cha mwaka
moja ujao na jumuiya ya kimataifa.
Anifah ameonya kuwa Malaysia na Indonesia h a z i n a r a s l i
m a l i z a k u t o s h a k u wa s a i d i a wahamiaji hao na
kuutaka ulimwengu kushirikiana nao kuwasaidia wahamiaji h a o n a k
u o n g e z a kuwa nchi hizo mbili hazitajishughulisha katika
kuwatafuta na kuwaokoa wahamiaji hao baharini bali zitawasaidia tu
wale watakaofika katika fukwe zao.
K wa u p a n d e wa k e Myanmar imeonekana k u l e g e z a s e r
a z a k e za kibaguzi dhidi ya Waislamu, kwa kusema iko tayari pia
kuwasaidia wahamia j i hao huku shinikizo kutoka kwa jumuiya ya
kimataifa zikizidi kutaka wahamiaji hao kupokea misaada kutoka kwa
Thailand, Malaysia na Indonesia.
W a i s l a m u h a o wamelazimika kukimbia makazi yao kutokana
na kuuliwa na wafuasi wa dini ya Budha, ambao ndio wengi katika
nchi hiyo.
M ya n m a r i m e s e m a inat iwa was iwas i na hali ya
wahamiaji hao wanaohangaika baharini na inafuatilia kwa karibu
matukio hayo.
Wengi wa wahamiaji hao waliokwana ni wa kutoka jamii ya Rohingya
ambao hawatambuliki rasmi na serikali ya Myanmar w a n a o w a c h
u k u l i k a wahamiaji kutoka Bengali, huku wakidharauliwa pakubwa
na makundi mengine nchini humo.
Indonesia, Malaysia kupokea wakimbizi WaislamuMakaburi ya
halaiki yagunduliwa
MMOJA wa wahamiaji wa jamii ya Rohingya kutoka Myanmar
aliyenusurika kifo.
Mawaziri wa mambo ya nje wa Thailand, Malaysia na Indonesia
wamekutana mjini Kuala Lumpur, kujadili tatizo hilo la kukwama
wahamia j i hao baharini , ambao hakuna taifa linaloridhia
kuwahifadhi.
Myanmar hata hivyo imeususia mkutano huo kwa kusema haingependa
kulifanya suala hilo kuwa la kimataifa.
Wa k a t i h u o h u o , wavuvi nchini Indonesia wamewaokoa
wahamiaji 370 wiki hii waliokuwa wamekwama kwa boti
mbili katika jimbo la Aceh. Mkuu wa Shirika la
Uokozi la mji wa Langsa Khairul Nova, amesema wahamiaji hao
kutoka j a m i i y a R o h i n g y a walikuwa wameishiwa maji
mwilini, wana njaa na wamedhoofika sana.
Uokozi huo unakuja siku moja tu baada ya jeshi la Indonesia
kuwataka wavuvi kutowasaidia wahamiaji waliokwama majini.
Idadi ya wahamiaji waliokolewa katika jimbo hilo la Aceh mwezi
huu imefikia 1,800.
Shirika la umoja wa mataifa la kushughulikia w a k i m b i z i U
N H C R l inakadir ia kiasi cha wahamiaji 2,000 huenda bado
wamekwama majini kat i ya Myanmar na Bangladesh
Katika tukio jingine, makaburi yasiyopungua 3 0 y a n a y o s a
d i k i w a k u wa n a v i w i l i w i l i vya wahamiaji kutoka
Myanmar na Bangladesh yamegunduliwa katika jimbo la Kaskazini mwa
Malaysia la Perlis.
Kwa mujibu wa gazeti la Star, miili ipatayo 100
ilipatikana kwenye kaburi moja la umati siku ya Ijumaa.
Wa z i r i wa M a m b o ya Ndani wa Malaysia, Zahid Hamidi,
amesema m a k a b u r i h a y o yamepatikana kwenye kambi 17
zilizohamwa z a k u h i f a d h i w a t u wanaosafirishwa kwa njia
ya magendo.
Makaburi kadhaa ya umati pia yamegunduliwa nchini Thailand
katika njia inayotumiwa na Waislamu wa Rohingya wanaokimbia mateso
nchini Myanmar.
Hii ni mara ya kwanza kwa makabur i kama hayo kugunduliwa nchini
Malaysia.
Wa k a t i h u o h u o Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la
Human Rights Watch, limekosoa vikali sheria mpya ya idadi ya watu
iliyosainiwa na Rais wa Myanmar Thein Sein.
Shirika hilo limesema kuwa sheria hiyo inalenga jamii ya
wachache ya Waislamu wa kabila la Rohingya.
Sheria hiyo iliyosainiwa Mei 19 mwaka huu, pamoja n a m a m b o
m e n g i n e inaruhusu serikali za m a j i m b o k u a n z i s h a
mpango wa uzazi wa mpangilio ili kupunguza ongezeko la kizazi.
Serikali ya Myanmar haiwatambui Waislamu wa Rohingya kuwa ni
raia wa nchi hiyo, ikisisitiza kuwa ni wahamiaji haramu licha ya
kuishi nchini humo kwa karne kadhaa.
(ABNA).
CIA chanzo cha ugaidi Kenya 'Mujahidina' katika vita vya
Afghanistan vya muongo wa 80, n d i o c h a n z o c h a misimamo
mikali ya kidini.
L a w a m a h i z o z i m e t o l e w a k w a sababu baadhi ya
Wakenya walioshiriki kat ika v i ta h ivyo dhidi ya Shirikisho la
Sovieti, walirudi nyumbani na kupanda mbegu za misimamo mikali ya
kidini na k u e n e z a u g a i d i unaoshuhudiwa hivi sasa nchini
humo.
G a z e t i h i l o
l i n a d o k e z a k u wa vijana wanaojiunga na Al Shabab hivi
sasa wamechochewa na wale walioshiriki katika mradi wa CIA nchini
Afghanistan.
Gazeti hilo linafichua kuwa Sheikh Abubakr Shariff, maarufu kama
Makaburi aliyeuawa Mombasa Januar i 2014, alishiriki katika vita
hivyo bega kwa bega na 'Mujahidina' wal iopata himaya y a C I A n c
h i n i Afghanistan.
A i d h a P e o p l e Dai ly l imeandika
k u w a w a l i o e n d a Afghanistan walipata mamilioni ya dola
na kwamba wengine walipitia Dubai kabla ya kujiunga na mradi huo wa
CIA, ambao m b e g u z a k e s a s a zimechipukia Kenya.
G a z e t i h i l o p i a l i m e a n d i k a k u wa i n a w e z
e k a n a Masheikhe waliouawa akiwemo 'Makaburi' waliuliwa na
maafisa wa CIA kwani shirika hilo la ki jasusi la Marekani limekuwa
likifuatilia nyendo zao.
-
6 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015MAKALA H A T U
K U K A A kutimiza hata wastani w a m i e z i m i t a t u ,
tukaaabiwa kuwa sisi sasa tuna kesi ya ugaidi. S i j u i k e s h o
k u t wa tutakuja kuambiwaa tuna kesi ya uhaini. Lakini ikiwa ni
kwa madai yetu sisi kudai hishma ya nchi yetu, na haki sawa baina
ya nchi hizi mbili, madai y e t u m h e s h i m i w a hatuwezi
kuyageuka, hata watuite sisi nani. Watuite magaidi, watuite
wahaini, watafute na jina jingine lolote lile, bado tutabakia kuwa
tunadai madai yetu haya.
M h e s h i m i w a ( H a k i m u ) ninayatanguliza haya
makusudi i l i angalau upate picha, wakati faili hili unalo, upate
ile picha yenyewe.
Wengi wetu wamekuja k u c h u k u l i wa k a t i k a majumba yao
saa nane za usiku. Wengine mpaka kuvunjiwa milango yao na
kusafirishwa kuletwa huku Tanganyika (Tanzania Bara). Kwa NDUGU
ZETU tunaoambiwa wa DAMU na WANATUPENDA.
Ki l ichotokea baada ya hapo ni mahojiano ya kishenzi. Ya
kikatili. U n a we z a u k a o n a n i maneno mazito, lakini
mheshimiwa hicho ndio kilichojiri.
Huwezi ukamchukua mtu mwenye heshma m f a n o k a m a S h e i k
h Msellem Bin Ally kiongozi wa Jumuiya na Taasisi ya Kiislamu,
wakati huo huo ni Mfasiri wa Quran Tu k u f u , t a f s i r i ya k
e inaendeshwa katika redio Afrika Mashariki nzima, na watu
wanaisikiliza watu dunia nzima, leo u n a m c h u k u a S h e i k h
kama huyo unamhoji uchi wa mnyama! Na sote takribani tumehojiwa u c
h i w a m n y a m a . Mbali ya kuwa Sheikh kama huyo hujatosheka,
unamtundika na pingu kama alivyozaliwa, eti unamhoji. Ushenzi gani
huo na ukat i l i gani . Mheshimiwa nataka uione hiyo picha
ilivyokwenda ili uone kuwa kesi hii ina mashinikizo maalum ya
kisiasa. Ni kama sisi tupo katika detention maalum. Tunazuiwa
tu.
Unamsikia sasa hivi mwakilishi wa DPP a n a v y o z u n g u m z
a . Wa n a s u b i r i r e k o d i
Kila mchunga ataulizwaSiku zitakapodhihirishwa Siri
y a m a h a k a m a . Mheshimiwa h icho anachokizungumza y e y e
, t a y a r i k i m e s h a t o l e w a m a a m u z i , y a a n i
maamuzi ya mahakama ya mwanzo, ya ombi l e t u t u l i l o p e l e
k a , yametolewa mwezi wa kumi na mbili (mwaka jana 2014)
mheshimiwa.
Mwezi wa kumi na mbili mpaka leo, ni miezi mitano, anasubiri
rekodi. Mheshimiwa unapata picha hapa. Ya kuwa hapa kuna usanii
unachezwa. Na kama maneno makali, sisi hatukusema maneno makali
Tumedai hishma ya nchi yetu.
Na hii si mara ya kwanza, watu waliodai ( m a d a i h a ya ) h a
t a gazeti la hivi karibuni l a M w a n a n c h i Mheshimiwa Hassan
Nassor Moyo anasema madai haya yalianza toka mwaka wa 1970
lilipokuja jopo zima la serikali ya Zanzibar kuja hapa. Baada ya
kufika hapa likiongozwa na Rais wa Zanzibar mwenyewe na Baraza lake
zima, wanadai haki sawa na heshima kamili. Lakini Kwa bahati mbaya,
huyo anayeambiwa alikuwa Baba wa Taifa, akawaambia wakati
haujafika.
Sie sio wa mwanzo kuletwa hapa. Hata Mwanasheria Mkuu, Dourado
alichukuliwa akaletwa magereza huku akafungwa huku. Kwa nini?
Anadai hishma ya Zanzibar. Mheshimiwa Ali Muhsin aliletwa hapa hapa
naye. Ni mlolongo w a u d h a l i l i s h a j i . W a n a d h a l i
l i s h w a Wazanzibari. Kutolewa katika nchi yao, na kuletwa
katika nchi hii ya Tanganyika na k u f a n y i wa m a m b o
yasiyoingia akilini.
W a z a n z i b a r i
w a l i o t o l e w a k u l e wanakaribia 50 sasa hivi. Kila
anayeonekana, h u y u a n a c h u k i z a , a n a c h u k u l i w a
t u . Wachache tunaojuana. Wengi wetu hatujuani. Tumekuja kujuana
hapa.
M a d a i y e t u makubwa, sis i ni Wazanzibari. Zanzibar kuna
Rais. Rais wetu wa Zanzibar apewe heshma yake kama Rais wa
Zanzibar. Tuna Rais, tuna DPP, tuna Mahakama ya Wilaya, Mahakama ya
Mwanzo, tuna Mahakama ya Wilaya, Mahakama ya Mkoa, tuna Mahakama K
u u Z a n z i b a r . N a Mahakama Kuu iliyopo h a p a , h a i n a
h a d h i k u z i d i M a h a k a m a Kuu ya Zanzibar. Ile Mahakama
Kuu, hii Mahakama Kuu. Hadhi sawa. Kuletwa hapa ni kudhalilishwa na
hata kunyanyaswa wake zetu na watoto wetu na jamaa
zetu. Utamchukuaje mtu kumpeleka nchi nyingine? Mmejigeuza nyie
Wamarekani?
Z a n z i b a r k u n a M a h a k a m a .tushitakiwe Zanzibar. Z
a n z i b a r s i s i tumekuwa tukihojiwa. Tumeshaitwa na majopo ya
viongozi tofauti, wakiwemo Makamishna na wengineo, kutuhoji, lakini
wal ikuwa ni w a t u w a s t a a r a b u . Tunashangaa kuletwa hapa
tunahojiwa na watu uchi wa mnyama. Unajiuliza kulikoni?
H i v i t u s e m e ndivyo alivyoamrisha M h e s h i m i w a R a
i s K i k w e t e w a f a n y e h a o m a o f i s a w a P o l i s i
? N d i v y o w a l i v y o a m r i s h w a hivyo!
(Sehemu ya maelezo yaliyotolewa na Sheikh Farid Had Mahakamani
jijini Dar es Salaam)
SHEIKH Msellem Ali Msellem.
-
7 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015Makala
Profesa Ibrahim Noor Shariff
Propaganda za udini shuleni Tanzania-4
B A A D A ya k u o n e s h a ubaya wote tuliouonesha
wanaosingiziwa Waislamu, sasa angalia mfano wa vile Ukristo na
Wakristo wal ivyochorwa kat ika kitabu kiitwacho History for
Secondary Schools, Form Two mlango wa 7 chini ya anuani ya
Abolition of Slave Trade yaani Kupigwa Marufuku Biashara ya Utumwa,
ukurasa wa 84:
Katika vitabu vya historia Tanzania v ina sehemu nyingi ambazo
wakoloni na wamishinari wanasifiwa kwa ku jenga shule na mengineyo
na kukhusu utumwa hawakutajwa sana ila kusifiwa sana katika k u u o
n d o s h a u t u m wa . Hawakutajwa kabisa vile walivyowauwa
millioni kumi ya Waafrika katika Kongo (Congo) na wengine kukatwa
mikono na kuadhibiwa vikali sana kwa namna nyinginezo za kikatili.
Kama nilivyosema, propaganda si lazima uone katika yaliyozungumzwa
na yaliyochorwa, bali pia huwemo pale yanapokuwa hayatajwi kwa uovu
wao pale panapohitajiwa kutajwa. Kwa mfano, ukiangalia utaona kuwa
wamewasifu wakoloni wa Kizungu kwa kuondosha biashara ya utumwa
bila ya kuelezea chochoke kukhusu yale aliyoyafanya Sayyid Said
katika mamlaka zake ya l i y o s a i d i a p a k u b wa kupiga
marufuku biashara ya utumwa.
Sayyid Said na biashara ya utumwa
Propaganda za wenye siasa kali za udini hazitaki kuangalia
ukweli wa biashara ya utumwa. La muhimu kwao ni kuonesha vipi
Waislamu, na Waislamu peke yao ndio waliokuwa wabaya kuliko watu
wote duniani. Kwa mfano, ukisoma khabari walizoziandika kukhusu
Sayyid Said bin Sultan aliyetawala Zanzibar na upwa wa Afrika
Masharika katika nusu ya kwanza ya
Karne ya 19, utaona ni maovu matupu wanayoyaelezea. Hawataji
kabisa kuwa Sayyid Said aliandikiana mkataba na Serikali ya
Kiingereza tarehe 22 September 1822 kushirikiana katika kuzuia
biashara ya utumwa na kuwapa rukhsa Waingereza y a k u p a n d a c
h o m b o c h o c h o t e c h a r a i a wa Zanzibar wanaodhaniwa w
a n a f a n y a b i a s h a r a ovu hiyo ya kuwauzia binadamu
Wakristo. Kwani Sayyid Said na Waingereza walielewa vizuri sana
namna walivyokuwa wakiteswa wa t u m wa wa K i a f r i k a katika
nchi zilizomilikiwa na Wazungu Wakristo.
Kulikuja wakati Wafaransa walikuwa tayari kuipiga v i ta Dola ya
Zanzibar kwa sababu ya kuzuiliwa Wafaransa hata kuwachukua vibarua
kwa ghi lba i l i baadaye kuwatia utumwani. Sayyid Said aliung'amua
ujanja wao Wafaransa. Yote haya yalitokea kitambo kabla ya huo
mkataba wa 1873 uliofikiwa na Sayyid Barghash. Katika kitabu chake
kiitwacho "History of Zanzibar from the Middle Ages to 1856," Sir
John Gray (aliyekuwa Jaji Mkuu Zanzibar) anatuelezea mengi juu ya
juhudi alizozichukua Sayyid Said katika kuwazuilia wafanya biashara
ya utumwa kutoka nchi za Wakristo, kununua binadamu katika mamlaka
zake. Ifuatao ni tafsiri ya mmoja katika mifano hiyo:
Tafsiri: [] mnamo mwaka 1851, wakati baba yake akiwa tena Oman
[] Khalid alikuwa tena anakaimu kuiongoza Zanzibar. Kabla ya
kuondoka, Sayyid Said
a l impa mwanawe amri kali ya kuzuia uvunjwaji wowote wa
mikataba ya biashara ya utumwa na Uingereza kwa namna yoyote
iliyoyumkinika. Baada ya Sultani kuondoka, jahazi kubwa la
mfanyabiashara wa Kifaransa liliwasili kisiwani humo, hapana shaka
kwa dhamira ya kuwaandikisha wafanyakazi huru kwa ajili ya mashamba
huko Bourbon (Reunion). Jaribio la kuyapa aina fulani ya uhalali
malipo yaliyofanyika hapo kwa kumpa mmliki watumwa bakhshishi kwa
kila mtumwa aliyeshiriki kwa dhamira hii. Baada ya kulipwa
bakhshishi, mmiliki alitoa tangazo rasmi lenye maneno yafuatayo,
Mtu huyu al ikuwa mtumwa wangu. Ninamwacha huru. Ana uhuru wa
kuhudumu kwa mfanyabiashara wa Kifaransa au mwengine yeyote, ikiwa
ataku-baliana na masharti yaliyowekwa. Masharti yanayotajwa hapa ni
kwamba mtumwa huyo alipaswa kufanya kazi kwa tajiri wake wa
Kifaransa kwa miaka mitano na baada ya hapo ana uhuru wa kwenda
atakako .
Ameongeza Gray na haya yafuatayo:
Tafsiri: Sio tu kwamba Khalid alipiga marufuku kwa nguvu kali
aina yoyote ya makubaliano kama hayo, bali pia alipeleka boti
kwenye jahazi la Kifaransa, ambalo aliamini kuwa l i l ikuwa
limechukua watumwa kumi na mbili ambao walikuwa wa k i p e l e k wa
B o u r b o n bila ya ridhaa zao. Bwana
Belligny, Balozi wa Ufaransa, ghafla alifoka. Akapeleka
malalamiko rasmi Muscati. Ikisha akaelekea mwenyewe B o u r b o n ,
a k i t a n g a z a kwamba hatorejea mpaka khatua fulani
zichukuliwe na Serikali ya Jamhuri ya Ufaransa kulipiza kisasi cha
kile anachoamini kuwa ni dharau dhidi ya bendera [Dola] ya
Ufaransa.
Hii ilikuwa ndiyo kadiri iliyofika Zanzibar chini ya utawala wa
Sayyid Said kat ika kuzuia biashara ya utumwa hata kabla ya
kutawala Sayyid Barghash, na kuna mengi mengineyo ya kweli ambayo
hayatajwi na wenye propaganda zao za chuki za udini dhidi ya
Waislamu.
P i l i , W a p o r t u g i z i hawakuwa na uhusiano mzuri na
Dola ya Zanzibar b a a d a ya Wa a r a b u n a Waswahili kupigana
nao na kuwafurusha mpaka Msumbiji. Wala Waportugizi hawakuwa na
haja ya kununua watumwa kwa wafanya biashara kutoka katika Dola ya
Zanzibar, kwani walikuwa wakikamatiwa na kuuziwa b inadamu wengi
kutokana na Wayao na makabila mengineyo ya Kiafrika yenye nguvu
yalioko Msumbiji, Angola na kwingineko. Ukhabithi mkubwa sana
ulifanywa na baadhi ya Waafrika katika kuwahujumu, kuwauwa wengi,
kuwakamata idadi kubwa na kuwatia utumwani mateka wa Kiaafrika. Kwa
hivyo, hawakusafirishwa watumwa kutoka Zanzibar kupelekwa nchi za
nje baada ya 1822. Na kabla ya hapo, kulikuwa ni muda mfupi tu
kulipotendwa hayo. Kwa hivyo hao wenye kudai kuwa Zanzibar ilikuwa
kituo kikuu cha biashara ya utumwa baina ya Afrika na nchi za
Mashariki, si maneno ya yaliyoeleza ukweli sawasawa.
Kama kweli wanataka kutuelezea ukweli sawasawa, basi watueleze
yanayokhusu biashara hiyo kikamilifu. Watueleze ukhabithi wa
Waafrika katika kuwakamata Waafrika wengine waliokuwa hawana nguvu.
Watueleze nani waliokuwa wanahitajia watumwa wengi na sababu z a k
e . Wa t u e l e z e p i a waliwachukua watumwa wangapi na
kuwapeleka wapi. Watuambie, bila ya kificho, hali za hao watumwa wa
Kiafrika zilivyokuwa, na khalafu hali za vizazi vyao ziko katika
hali gani leo kila mahala duniani.
Siasa za chuki ni siasa za kuangamiza. Kubomoa ni rahisi,
kujenga ndiyo kazi. Hakuna Wazanzibari huko Zanzibar ambao
wanauelewa ukweli, wakawaendea hao mapadiri walioko makanisani
Zanzibar na kuwaambia kuwa wanayowazungumzia watalii na wengineo
wenye kuzuru Kanisa la Kimoto kuwa nusu ya ukweli wanaouelezea
humalizikia kuwa ni uwongo na ni makosa kwa Mungu na kwa binadamu
pia? Hakuna Mzanzibar i anayeweza kuwakabili na kuwaelezea kuwa huo
uchache wa ukweli wanaouzungumza kulimalizikia kunyooshewa Waarabu
peke yao vidole vya lawama na hati-maye katika mavamizi ya 1964
ikawa ndiyo moja katika sababu za kuuliwa idadi isiyojulikana ya
Wazanzibari kwa ukhabithi m k u b w a s a n a ? K u w a jukumu la
fitina zimo juu ya vichwa vyao pia. Hakuna Mzanzibar i anayeweza
kuwaambia hao wenye kupandikiza siasa kali za udini kuwa fitina za
kuulisha watu ni dhambi kubwa ambayo wadhulumiwa watakuja kulipiwa
mbele ya Hakii? Haitoshi kujidai wanaelezea ya ukweli na ilihali
hawafanyi hivyo, nusu ya ukweli huweza kuwa ni uwongo. Kuzungumzia
kuwa Kwa Kimoto kulikuwa na soko la utumwa na watumwa wakifanywa
hivi na vile na wafanyaji hayo walikuwa ni Waislamu, Waswahili au
Waarabu na waliowakomboa ni Wakristo au Wazungu ni kutuelezea nusu
ya ukweli ulivyokuwa, na kwa hivyo ni ya uwongo w a n a y o y a t a
p a k a z a u l i m w e n g u n i k a m a tunavyoona.
Na nchi za Ghuba (Yemeni, Omani, Amarati, Bahareni na Kuweit)
ambako tunazugwa kuwa walipelekwa watumwa wa Kiafrika kwa
mamilioni, idadi ya Waarabu wenyewe haifiki milioni arubaini hii
leo, na idadi ya wenye asili za Kiafrika hadi hii leo ni ndogo
sana. Waarabu hawakuwa na mahitaji ya kuwatumilia w a t u m w a k u
w a l i m i a m a s h a m b a m a k u b w a walokuwa hawanayo kama
walivyohitajia Wazungu katika nchi walizozimiliki, khasa zile
zilioko Amerika, kwa sababu nchi zao Waarabu ni za jangwa
zisizokuwa na maji ya kutosheleza wala ardhi za rutuba ila chache
tu. Hakukuwa na haja ya kumpeleka mtumwa katika jangwa kulima;
alime nini jangwani?
-
8 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015Tangazo
ISLAMIC PROPAGATION CENTREORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA
KIDATO CHA TANO 2015/2016 KATIKA SHULE ZA IPC
I. KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL.-SAME -KILIMANJARO
A.WAVULANANA JINA KAMILI TAHASUSI1 MOHAMED OMARI MOHAMMED PCB2
YAHYA KHALFAN KABOZA PCB3 FADHILI ADAM ALLY CBG4 IBRAHIM HASSAN
KIBONA EGM5 NASSIB BAKARI LULELA HKL6 ISSA SALIMU CBG7 ABDALLAH
HUSSEIN MSUYA PCB8 RAMADHAN HAMIS MBOZU HGL9 SULEIMAN MAJALIWA
KYONDA HGL10 SOUD SULEIMAN SALUM PCB11 HAMIM RAJABU NKYA ECA12
AHMED R.SALUM PCB13 HAMAD ALLY PCB14 IBRAHIM HAJI MWEVURA HGE15
SWALEHE ABEID SWALEHE ECA16 JUMA SAIDI RAMADHAN PCM17 ABDALLAH AYUB
ABDALLAH PCB18 MOHAMMED KARIM MUHAMMED EGM19 HUSSEIN RAMADHAN HOTI
HGL20 JUMA SALIM MRUMA PCB21 IDDY BAKARI MSUYA HKL22 ALLY MWINDADI
BAULEY CBG23 HUSSEIN ABEID HGK24 HARUN HASSAN MUHAMMED PCB25 ALLY
BAKARI MWICHANDE PCM26 IBRAHIM TAINADA NGOMUO PCB27 HUSSEIN ABBY
MDEE PCM28 MUHAMMED TWALIB KATULLA PCB29 ALFAN IBRAHIM. CBG30 AKIDA
NYALUKE HGK31 LUQMAN J.KOOSA PCB32 KASIMU SAIDI JUMA CBG33 MOHAMMED
.I.KARATA PCB34 BANDARI ISMAILI CBG35 ABDULHAKIM HASHIM KOMBO HGE36
ALLY ATHUMANI ALLY CBM37 MUHAMMED YAHYA MBWERA CBG38 MADUA ALLY
BARUTI CBG39 TWAHA RASHID TWAHA CBG40 HASSAN ALLY HIZZA PCB41 OMARY
SWALEHE OMARY PCB42 HAMADI .A .HAMADI PCB43 RAJAB HALID NYONI PCM44
SULEIMAN S.MSANGI. KLA45 ABUUBAKAR.A.ISSA PCM46 SULEIMAN
S.ABDULRAHMAAN HGE47 ABDALLAH. B.MVUNGI EGM48 RASHID IDD TWAHIRU
PCB49 ALLY MOHAMMED SAMIJI PCB50 ABBAS KHALID UPUNDA HGL51 YUSUFU
SUDI ZUBERI PCBB.WASICHANANa. JINA KAMILI TAHASUSI01 SAMIRA SAIDI
MKONGE HKL02 KHADIJA H HAMADI ECA03 JASMIN A.MIKONGO ECA04 SAIDINA
M MCHOMVU CBG05 ZUHRA NASSORO HAMAD HKL06 RADHIA ALLY HASSAN HGE07
CAROLINE PROSPER CBG08 SABRINA ALLY ABOUD PCB09 SUMAIYA ISMAILI
MTORO CBG10 SHEILA SALUM LUYEKO ECA11 AISHA SALUM KLA12 SALMA
ABDULRHMAN SALEHE PCB13 MARIYAM MAKAME NYANGE PCB14 SHAZMA HAMIDU
KIMARO ECA15 AISHA MAHMOUD PCB16 HAWA HAIDAR HEMED PCB17 SAADA
ABDALLAH RASHID EGM18 AMINA ABDALLAH KILUVIA HGE19 SOFIA YUSUF
CBG20 RUQAIYA AMRI SULEIMAN PCB21 HADIJA MOHAMMED EGM22 HAMIDA
MALIKI MKINDI CBG23 NASRA MUHSIN SAIDI PCB24 MARIAM HAMIS SHIMBO
ECA25 SOPHIA HARUNI MBALAMO ECA26 SAUDA RASHIDI MVUNGI HKL27 MARIAM
K. ALLY HKL28 JOHARI HENRY ELIBARIKI CBG29 SHARIFA HUSSEIN KIBAURA
HGL30 ZAWADI .H. KIBINDU EGM31 RAYA ISSA NASSOR PCB32 FATMA KHAMIS
MBANO PCB33 AZIZA SHAZIL HGL34 HUSNA HAMISI NGULYAVYANGU PCB35
ELISIAMINA MSHANA. PCB36 SHEKHA RASHID SAID PCB
37 SADA MUHAMMED KISIWA CBG38 JOHA MUHAMMED ATHUMANI KLA39
KHADIJA IBRAHIM IDDY ECA40 SAMIRA SADIKI KGL41 MWANAHAWA OMARI
DAUDI ECA42 LULU AMOUR SEIF PCB43 HAMIDA ATHUMANI CBM44 JOKHA
ABDULKARIM MOHAMMED PCB45 HADIJA DAUDI CBG46 ASHA OMARI MBARUKU
PCB46 SALAMA K.HAMZA CBG46 SWIFATH HASSAN PCB47 BINZUA NASIR MRUTU
CBG48 SAUMU RAMADHAN MBANO PCB49 MWAJUMA SALEHE SABO ECA50 ZUBEDA
NYANDA SWEYA EGM51 SHAMSA DAUDI UDDY PCB52 BITHUME SHEHA HASSAN
PCB53 KHAULAT HAMIS MUSSA PCB54 HAJRA KHAMIS SAID PCB55 AMINA IDD
MULLENGA HGE56 KHUSNA .S.KASEKO HGL57 MAHIJA SHABANI ECA58 HALIMA
ABDULRAHMAAN MWENDA PCB59 MUNIRA HAMIS ABDALLAH PCB60. FATMA NUHA
HGE61 MARYAM YAHYA ECA62 AMINA SAIDI MUSTAFA ECA63 ZAINAB AMEIR
RAMADHAN ECA64 SWAUMU. A.ALLY HKL65 ZAINAB ABDILLAAHI MSUYA HKL66
ZEYANA NASSOR CBG67 RUKIA SALUM IBRAHIM EGM68 AISHA ABTWALIB YUSUFU
PCM69 ZAINABU ABDILLAH MSUYA HKLII. UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL
-DSMA.WAVULANANA. JINA KAMILI TAHASUSI1. OMARI ISSA KIDETE KLA2
HASSAN HAMISI PCB3 HUSSEIN HAMISI ECA4. YUSUF AYOUB ECA5. FARUKI B.
MCHALAGANYA CBG6. OMAR ABDUL AZIZ SAID CBG7. IBRAHIM RAMADHANI EGM8
IBRAHIM MTENDA HKL9 WAZIRI JUMA CBG10 RIDHWAN YAHYA ECA11 HUSSEIN
SALUM MBAYA CBG12. SELEMAN KAISANGA OMAR KLA13. ABDULKADIR NASSOR
MOHAMMED PCM14 SAID HAMDAN HGL15 ABUBAKAR RAMADHAN HAJI PCM16 IDDI
ISMAIL MBILINYI HKL17 MUSSA ISHUZA KAWAMBWA EGM18 ISMAIL ALLY KILUA
PCB19 FAHMY HAMAD ABDALLAH CBG20 SAID HASSAN SIMA CBG21 ZAKARIA
ELIUS MWAJA ECA22 KHAMISI SALIM KIMARO ECA23 ABDUL-RAZAK SEIF PCB24
JABIR MIRAJI MLOSHA HGK25 ISMAIL Y. AMIY CBG26 ZUBERI HAMISI KLA27
ABUBAKARI RAMADHANI SALIM CBG28 ABDALLAH RAMADHAN CBG29. SALUM
HASSAN MUTAFUNGWA HGE30 SALUMU HASSAN MUTAFUNGWA HGE31 RAMADHANI A.
URASSA ECAB. WASICHANANA. JINA KAMILI TAHASUSI1. AMINA YAHAYA IDDI
HKL2. HUSNA SINNA MALTIN PCB3 MCHANGA SAIDI BAKARI ECA4. BI-ULEDI
ATHUMANI MAISHA CBG5. ZENA HASSANI MALILO PCB6. JOHARI HUSSEIN ISSA
HKL7. ZUHURA SHARIFF JUMA ECA8. SALHA MARSHAL HKL9 MASSAD M. GHARIB
HKL10. SAMIRA MBARAKA HEMEDY ECA11. SAWIYA RASHID MTAWALA PCB12.
ANZIRAN ATWAI SAID HKL13. ASMA ALLY NASSOR HGE14. LATIPHA BUD
MAJANJA PCB15. AMNE SAID HEMEDY EAM16 AMINA YAHYA IDDI HKL17. HAJRA
KHAMIS MASOUD PCM18 YUSRA SAID ALLY HGE19 KHADIJA HASSAN ABDULLLAH
HKL20 MARIAM SAID IRUNGA EGM21 MWAJUMA KHAMIS MBANO HKL22. HALIMA
BILALY MBUYU HGE
23 ZULFA FADHILI BAKILI CBG24 AISHA MRISHO SAIDI CBG25 AISHA
ABOUBAKAR MASOUD PCB24 FATMA M. MWISHEHE CBG25 ARAFA ISMAIL ALLY
ECA26 NASRA MOHAMED SALUM CBG27 SABRINA ZUBEIR MZEE PCB28 FATUMA
SULEIMAN ALLY CBG29 MARIAM AMANI ISSA HGK30 HAFSWAT MTEPA HKL31
ZAINAB HEMEDY ECA32 ZULEKHA ALI ISSA PCB33 NIHADU ILIYASA NGOKOJA
HGE34 AMINA NASIBU ALLY CBG35. FATMA ISSA MTUWA CBG36 SABBAH SLIM
HKL37. JOKHA MOHAMMED SEIF PCB38. MARIAM ABDUL-RAHMAN JUMA HGK39.
AZIZA SHABAN ECA40 ZABIBU HAMLO NJWAYO HGE41 SOPHIA SAID MGALLAH
HGL42 UMMY-KULTHUM J. CHAPONDA HKL43 NAJMA ALLY MOHAMED HKL44
JASMINE YAHYA HKL45 RAYA SEIF OMAR PCB46 SALMA MUJITABA EGM47 ZAKIA
FEDASTUS NYAHONGE HGE48 SALMA RASHIDI JUMA HGEIII . NYASAKA
-MWANZAA.WAVULANANA. JINA KAMILI TAHASUSI1. CHONGELA SELEMAN CBG2.
YUNUS SULEIMAN PCB3. IDDI YAHYA HASSANI HKL4. JUMANNE ATHUMAN
MNZAVA PCB5. ABDUL-NASER S. SULEIMAN EGM6. MRISHO RAJAB MRISHO
PCB7. OMARI AHMAD BAGIRAMENSHI EGM8. IDDI KASSIM IDDI ECA9. YAAMAN
ABBAS HASSAN PCB10. AHMAD S. ABDUL-AZIZ PCM11. ABDULSHAKUR OTHMAN
OMARY EGM12. FARID KHASSAN PCB13. KARIM JUMA NSOMBA HGL14 KHARID
KHASIM CBG15 KHALIFA MWAMBA HKL16 SHABAN OMARY HGE17. HAMIS IBRAHIM
OMARY HGLB.WASICHANANA. JINA KAMILI TAHASUSI1 AZIZA OMARY MGAZA
HKL2 HADIJA M MBAROUK CBG3 REHEMA M NGONJI PCB4 HADIJA ABDALLAH
LUKAGO HKL5 SWAHIBA ABDALLAH CBG6 AMINA BAONJA MSANGI PCB7 JAMILA
KISIJA NTUMBA KLA8 THUWAYBA SULEYMAN NAMBUNGO HKL9 HUSNA SHABANI
HAMISI HKL10. HALIMA CHATE AYOUB PCB11. HAULAT RASHID KWANGAYA
PCB12. MARYMA ALLY KILIMA PCB13 LUCKY SHABANI PCB14 HAWA HASSAN
HUSSEIN PCB15 HAWA SHARIF ABDALLAH HKL16. TUNU ATHUMAN KAKWEKWE
EGM17. GLORIA SANGA EGM18 AMINA IDD SALUM KLA19 NYANCHARA HASSAN
KITAMA HGE20 HUSNA A MUNISI HGE21. NEEMA ULIMWENGU BANDULILA HGE22
MARIAM RASHID SEIF HGK23 MWAJIBU MAJIDI IGANGULA HKL24 MSEI
RAMADHANI NYAGANI HGL25 FATMA HUSSEIN MWAMBA PCB26 AHLAM SULEIMAN
NASSOR HGE32 QUDRAT MUSSA RASHID HKL33 SHANI J MTULA CBG34 ZUBEDA
AHINDA EGM35 LUCKY SHABANI PCBMUHIMU.1. WALIOCHAGULIWA NA AMBAO
HAWAJAPATA MAELEKEZO
YA KUJIUNGA (JOINING INSTRUCTIONS) WAZIFUATE PALE WALIPOCHUKULIA
AU KURUDISHA FOMU.
2. NAFASI BADO ZIPO KWA SHULE ZOTE TATU NA FOMU ZINAPATIKANA
KATIKA VITUO VYA KUUZIA FOMU KOTE NCHINI AU KATIKA TOVUTI
WWW.ipc.org.tz
3. KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU KWA WAKUU WA SHULE
1. KIRINJIKO ISL.S.S. -07842964242. UBUNGO ISLAMIC HIGH
SCHOOL-06573501723. NYASAKA ISLAMIC S.S.-0786417685.
WABILLAHI TAWFIIQ.MKURUGENZI.
-
9 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015Makala
Mafundisho ya Quran
Fethullah-Gulen
MFANO wao ni kama mfano wa mtu ambaye ameuwasha m o t o u l i p
o v i o n y e s h a vilivyo pambizoni mwake akauondosha Mwenyezi
Mungu mwangaza wao na akawaachia katika viza hawaoni kitu chochote.
[Al-Qarah 17]
A y a h i i t u k u f u , inauswamirisha ulimwengu wa ndani, na
inaonyesha kwa mfano wenye kuguswa na wenye kushuhudiwa.
Kutokana na kuangalia kwamba wanafiki wanaishi k a t i ya Wa i s
l a m u n a wanachanganyika nao, kwa sababu hiyo unakuwa mwepes i
kwao wakat i mwingi muweko wa nuru ya imani. Isipokuwa unafiki
ambao umezama na kubobea kwao katika nyoyo zao na vichwani mwao,
unawazuia kufaidika na nuru hii. Ndiyo hawa wanafiki wamegeuka na
kuingia kwenye hali
ambayo hawaoni pamoja na kwamba macho yao yamefunuliwa ama kwa
sababu ya kutoshughulika na nuru ya Mwenyezi Mungu ambao anauchukua
Mtume mtukufu mkononi mwake au kuudharau mwenge huo au kwa sababu
ya kuyaharibu maandalizi ya maumbile yao. Isipokuwa pamoja na hayo
inawaelekea nuru ya mwenge ambayo inayachukua macho na badala ya
kuiangalia nuru kwa jicho la kuamini, tunawaona wanafanya haraka
kwa shaka zao na kuzingazinga k w a o k u i f u t a n g u v u yenye
kuchembuka katika roho zao na wanaiondoa taathira yake mpaka tamko
(Istaqada) ameuwasha moto linaashiria kwamba wao walikuwa wanafanya
mpango wa kuipindua nuru hii na kuigeuza kuwa moto wenye kuunguza
badala ya kufaidika nayo katika kuikataa njia.
A m a m a k a f i r i wa o , hawakuijua imani wala nuru yenye
kutokana na imani. Hawakuiona milele na hawakuingia kat ika
mazingira yake matakatifu. Kwa sababu hiyo wakati walipohisi
makafiri sababu hii au hiyo nuru katika hisia yao tukawatoa
wapingaji kat ika wao wali jar ibu k u s h i k a m a n a n a y o n
a kuipitisha sehemu ya maisha yao kama waumini wenye Ikhlas i .
Hapana shaka kwamba tofauti kati ya nuru
na kiza na kati ya imani na ukafiri ina mchango mkubwa katika
jambo hili . Wale ambao walikuwa wanaona hii huko nyuma mambo
mengine, wakati walipoiona nuru hii, waliingia katika ulimwengu
unaozungukwa na uzuri wa Uislamu na mvuto wake. Kwa sababu hii
wakati tunapolinganisha kati ya ufuataji wa dini wa wale ambao
wanasikia kutokana na Uislamu na wanauelewa kwa mara ya kwanza na
wanauamini na wanaishi nao na kati ya ufuataji wa dini kwa wale
Waislamu ambao wamezaliwa katika nchi za Kiislamu isipokuwa wa c h
a c h e k a t i k a wa o , atafahamu kwa sura ya wazi sana usahihi
wa yale ambayo tumeyasema hapo juu.
Wao ni viziwi, wao ni mabubu, wao ni vipofu, kwa sababu hiyo
hawarejei. [Al-Baqarah 18]
Moja kati ya aya mbili h iz i , inafungamana na wa n a f i k i n
a n y i n g i n e inafungamana na makafiri. Na kama inavyoonekana
hapa kuna kigawanyo cha pamoja kati ya wanafiki na kati ya makafiri
katika maudhui ya unganganizi na kutovumilia na kukosekana ulaini
katika mwelekeo wa mtazamo na fikra iliyobadili. Kwa sababu hiyo
kila moja katika makundi mawili haya linasifiwa kwamba wao ni
viziwi, mabubu, vipofu. Is ipokuwa sababu kat i ya makundi hayo
mawili zinatofautiana kufuatana na hizo aya mbili. Kwani sababu
katika aya ya kwanza inarejea
kwenye kutorejea kwao kwenye umbile lao la asili,
lililotangulia. Ama sababu katika aya nyingine inarejea kwenye
kutozitumia akili zao. Na chachu ya pamoja ambayo inawafanya wawe
viziwi, mabubu, vipofu na kutoongoka kwao kuelekea kwa Muumbaji
mtukufu kwa kukisoma kitabu cha U l i m w e n g u a m b a c h o k i
m e w e k wa m b e l e ya macho yao kama maonyesho y a M w e n y e
z i M u n g u yenye kupendeza yenye kustaajabisha, na kutosimama
kwao kwa kutokifanyia tathmini kitabu hiki ukweli wa kukifanyia
tathmini na wala kwa kuuchunguza kwa kina huu ulimwengu na matukio
na kuyachunguza na kuchukua mazingatio kutokana na matukio hayo, na
kutoyaazima masikio yao kwa kuvisikiliza vitabu vilivyoteremshwa na
pia kutoisikiliza sauti ya hisia na dhamira zao. Na lau kwamba wao
wangeyafanya haya, wangefanya haraka kama waumini, kwenye k u s h u
h u d i a k w a m b a Hapana Mola apasaye k u a b u d i w a k w a h
a k i i s i p o k u w a M w e n y e z i Mungu. Maana wangekuwa
wamezitumia aki l i zao n a wa m e r e j e a k we n ye maumbile yao
ya asili, na wameyapitisha maisha yao kufuatana na katiba na kanuni
ya Mwenyezi Mungu na kufuatana na maamrisho yake na makatazo yake.
Ndiyo hakika wao ni viziwi kwa sababu wao hawawezi kusikia kila
kitu na hali ya kuwa kitu hicho kina mtakasa
Mwenyezi Mungu mtukufu kwa ulimi wake maalumu na kinamtukuza. Na
wao ni mabubu kwa sababu wao hawawezi kuyazungumzia yale ambayo
wanayahisi katika vina vya hisia zao na hawawezi kuviweka wazi. Na
wao ni vipofu, kwa sababu wao hawazioni njia zenye kufahamisha juu
ya kupatikana kwa Mwenyezi Mungu mtukufu na upweke wake.
Tutakapokuja kwenye ufupisho wa aya, tutaona kwamba aya
inawasifia makafiri kwamba wao hawana akili maana hawazitumii akili
zao na hawafikiri na mambo ndiyo yalivyo, kwa sababu lau wangekuwa
wanaweza kufikiri au lau wangefikiri njia ambazo zinapelekea kwenye
imani kwa wepesi mkubwa sana, kwa ushahidi wa kwamba hawa makafiri
wenye kupinga, wenye kuasi ambao walimuudhi Mtume mtukufu (S.A.W.)
na maswahaba zake pale Makkah kwa muda wa miaka mingi sana, na
wakawapa adhabu wakati walipowajuwa Waislamu baada ya suluhu ya
Hudaibiya kuwajua vizuri sana, katika hayo mazingira matulivu,
waliacha upingaji wao wa zamani na mtazamo wao uliodumaa wa kale na
walijuwa kwamba wao wako juu ya makosa makubwa. Kwa sababu hiyo
wanaelekea upande wa haki. Ndiyo kufika makafiri kwenye nukta hii
muhimu kunafungamana na kuzamisha kwao fikra na kufanya tathmini
kwao. Kwa sababu hiyo tumeiona Quran tukufu inalifupisha jambo lao
katika kadhia hii kwa kusema kwamba, wao hawana akili.
SAHABA mmoja aliwahi kumwomba Mtume (s.a.w.) ampe taarifa
kumhusu yeye mwenyewe. Naye akawaambia hivi:
"Mimi ndiye mtu ambaye Ibrahim (a.s.) aliomba nije, na ambaye
Yesu (Nabii 'Isa ibn Maryam) (a.s.) alitangaza habari njema za ujio
wangu.
Usemi huu unadokeza aya zifuatazo za Quran:
Ewe Mola Mlezi wetu! Wale tee mtume anaye tokana na wao,
awasomee aya zako, na awafundishe Kitabu (Chako) na hikima
(nyingine) na awatakase (na kila mabaya). Hakika Wewe Ndiwe Mwenye
nguvu, Mwenye hikima." (Surat Al-Baqarah, 2:129)
Na Isa bin Mariamu aliposema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi
ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, ninayethibitisha yaliyo kuwa
kabla yangu katika Taurati, na mwenye kubashiria habari njema za
kuja Mtume atakayekuja baada yangu; ambaye jina lake litakuwa ni
Ahmad ( M u h a m m a d ) ! L a k i n i alipowaletea hoja zilizo
wazi, walisema: Huu ni uchawi ulio dhaahiri!" (Surat As-Saff,
61:6)
Mjumbe ( s . a .w. ) wa Al lah ( s .w. t . ) a l ikuwa
akitazamiwa au akingojewa kuwa atakuja. Manabii
Nabii aliyekuwa akingojewaZisemavyo Taurati na Zaburi za
Mayahudi na Wakristo
w o t e w a l i o m t a n g u l i a walimwongelea Mtume (s.a.w.)
na walitabiri ujio wake.
Aya ya Qur'an 3:81 inataja waziwazi kuwa Mola (s.w.t.) Alifanya
kiaga (convenant) m a a l u m n a M a n a b i i kwamba watamwamini
na watamsaidia Mjumbe huyo atakayekuja baada yao na
atakayethibitisha ujumbe waliouleta wao:
N a p a l e M w e n y e z i Mungu Alipochukua ahadi ( k i a g a
) k wa M a n a b i i : Nikisha kukupeni Kitabu na hikima, kisha
akakujieni Mtume mwenye kusadikisha mliyonayo, ni juu yenu
mumuamini na mumsaidie. A k a s e m a : J e , m m e k i r i na
mmekubal i kushika agizo langu juu ya hayo? Wakasema: Tumekubali.
Akasema: Basi shuhudieni, na Mimi ni pamoja nanyi katika
kushuhudia. (Surat Aali 'Imran, 3:81)
M a k a l a ya s a s a ( ya Bibl ia za Wakris to) ya Taurati,
Injili, na Zaburi,
mpaka hivi sasa (baada ya kukarabatiwakarabatiwa)
zinazomzungumzia Nabii Muhammad (s.a.w.) na hata Maswahaba.
Marehemu Husayn Jisri alizitambua jumla ya aya 114 za aina hii. Na
akazinukuu katika kitabu chake Risalat Al-Hamidiya. Hapa chini
tunanukuu baadhi ya aya hizo (kama Biblia zao Wakristo wenyewe
zinavyoandika):
Kumb. La Taurati 33:2 (Musa) Akasema: (Bwana alitoka Sinai,
akawaondokea kutoka Seiri , al iangaza kutoka kilima cha Paran,
akaja Meribath-kadeshi. Upande wa mkono wake wa kuume palikuwa na
sheria ya moto moto kwao.
(Tafsiri hii ni ya Biblia ya Kiswahili ya "Bible Societies of
Kenya and Tanzania, Union Version, 1952".)
Tafsiri hii inakanganya makusudi hapo inapotaja ' M e r e b a t
h K a d e s h n a kutowataja masahaba au watakatifu 10,000 kama
ziandikavyo tafsiri nyingi
za Kiingereza (na za lugha zingine za kigeni) kama Biblia hii
"Authorized King James Version, 1979", ambayo imeandika hivi:
"Deuteronomy 33:2 And he (Moses) said, The Lord came from Sinai
and rose up from Se'ir unto them; he shined forth from mount Paran,
and he came with ten thousand saints: from his right hand sent a
fiery law for them. "
Ambayo ta fs i r i yake halisi ya Kiswahili ni kama
ifuatavyo:
"kumbukumbu la Torati 33:2 Naye (Musa) alikuja kutoka Sinai.
Akawaondokea kutoka Seiri kuja kwao; Aliangaza kutoka kilima cha
Parani, na alikuja na wa t a k a t i f u e l f u k u m i . Kutoka
katika mkono wake wa kuume ilikuja sheria motomoto kwa ajili
yao."
A y a h i i y a T o r a t i inaongelea kwa pamoja juu ya Nabii
Mu Nabii Isa (Yesu, na Muhammad (a.s.). Kwa mfano ikitaja Sinai,
ndiko Nabii Musa (a.s.) alikoongea
n a M w e n y e z i M u n g u (s.w.t.) akapewa Kitabu cha
Taurati (Torati). Inapoitaja Seiri pale ni huko Palestina, ambako
Yesu (a.s.) alipokea Wahyi (Ufunuo Kiungu). Na ikitajwa Paran ndiko
ambako Mwenyezi Mungu (SWT) Alikojidhihirisha Yeye Mwenyewe kwa
walimwengu kwa mara mwisho kwa Wahyi Wake Aliyompelekea Nabii
Muhammad (s.a.w).
Paran ni safu ya milima kule Makka . Imeta jwa katika Taura'
Torati ya Biblia katika aya nyingi pamoja na aya hii ifuatayo:
21:19,21, kuwa mahali pale ni jangwani ambako Hajiri (Hagar)
alikoachwa na mume wake , lbrahimu (a.s.) ili aishi na mwana wao,
Ismail aliyekuwa mwana wa kwanza wa Nabii Ibrahim na mkewe Hajar,
na kwa kuwa wote wawili, hususan mwanawe Ismail, walikuwa na kiu
sana, Mwenyezi Mungu (SWT) Akamtengenezea kisima cha maji ya
Zamzam. Kumbuka Muhammad s.a.w ni kizazi cha Nabii Ismail, wakati
Yesu (a.s) ni kizazi cha Ishaq (Isaka au Isaac), na wote
wawili-Muhammad na Yesu na baba zao wakuu (wahenga wao), yaani
Ismail na Ishaq ni ndugu, kwa kuwa wote ni vizazi vya babu yao mkuu
Nabii Ibrahim (a.s).
-
10 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015Makala
MWEZI Machi mwaka huu, baadhi ya vyombo vya habari vya Marekani
vilitoa habari yenye kichwa cha habari:
Clarion Project: Fake Terror Expert Ryan Mauro Refuted By
Chicago-Area Police.
Kwa mujibu wa taarifa za gazeti la Chicago (Chicago Tribune),
Ryan Mauro katika kipindi chake katika Fox News alikuwa amedai kuwa
sehemu moja ijulikanayo kwa jina la Oak Brook, kule Chicago,
kulikuwa na kambi ya Mujahidina na Waislamu Siasa Kali, akishangaa
ni kwanini magaidi hao hawajachukuliwa hatua wakati wana hatarisha
usalama wa Chicago na Marekani kwa ujumla.
Taarifa hizo ziliwastua wananchi wa eneo hilo ambapo, maofisa wa
serikali za miji na mitaa pamoja na wananchi waliwasiliana na Idara
ya Polisi kutaka ufafanuzi juu ya taarifa hizo. Kwa vile Idara ya
Polisi katika Chicago, katika majalada yake na hata katika
uchunguzi wake baada ya kupata taarifa za Fox News, hawakuona kambi
hizo za kigaidi, ilibidi watafute taarifa zaidi kutoka FBI.
The village president and manager contacted me about concerns
about it. We started looking at any organization with any kind of
connections and couldnt find any.
Ilisema taarifa ya Mkuu wa Idara ya Polisi, James Kruger, katika
eneo la Oak Brook, Chicago, akimaanisha kuwa pamoja na kufanya
uchunguzi wa taasisi zote, hawakuweza kugundua hata moja ambayo
inaweza kuhusishwa na madai ya Mchungaji Mtaalamu Ryan Mauro wa
Clarion Project.
Katika uchunguzi wao, Polisi wanasema kuwa, kama ni taasisi za
Kiislamu ni ile iitwayo North American Islamic Trust, iliyopo 721
Enterprise Drive, Oak Brook halikadhalika Islamic Center of
Oakbrook Terrace iliyopo 1S270 Summit Ave., Oakbrook Terrace. Na
zote hizo wanazifahamu na hazina matatizo.
Hata hivyo, kutokana na jinsi kitisho kilivyokuwa kikubwa na
kilivyokuwa kimewahamanisha watu wa Chicago, ilibidi Mkuu wa Polisi
Bwana James Kruger kutafuta usaidizi kutoka FBI.
They said it is a legitimate place of business; there are no
threats or other concerns in the village. FBI said the Islamic
Center of Oak Brook Terrace
Siasa kali, wachambuzi feki
MTU huyu angekuwa Muislamu, je, asingeshitakiwa kwa kosa la
ugaidi?
Would This Man Be Charged With Terrorism If He Were Muslim?
Haya ni maneno ya baadhi ya wananchi wa Marekani, kama
yalivyojitokeza katika mitandao ya kijamii. Wananchi hao wamekuwa
wakiulizana katika mwezi huu wa Mei kufuatia kisa cha mtu
Mheshimiwa Mbunge alikoseaAskofu hawezi kuwa gaidi!Na Omar
Msangimmoja aliyetaka kuwaangamiza Waislamu wote wa eneo la
Islamberg, New York.
Hili pia ndio swali alilouliza Mbunge wa Vi t i Maalum, kutoka
Pemba (CHADEMA), Mheshimiwa Maryam Salum Msabaha pale Bungeni
Dodoma.
Hoja ya Mbunge Maryam ilikuwa juu ya anachoona udhalimu na
uonevu wanaofanyiwa Masheikh kutoka Zanzibar waliopachikwa tuhuma
za ugaidi.
Leo nataka niseme tena kwa kinywa kipana. Ingekuwa ni Mapadri na
Maaskofu, wamo mle
ndani, leo kungekuwa na amani Tanzania Bara?
Hili ndio swali la Mheshimiwa Maryam Msabaha. Ni swali nzuri.
Lakini alichosahau Mheshimiwa Mbunge Maryam ni kuwa Askofu au Padri
hawezi kutuhumiwa kufanya ugaidi. Hili ni neno kwa watu maalum na
kwa malengo maalum ya mabeberu. Na sie huku tunatumikishwa tu. Na
mwisho wa yote, kujiangamiza kwa
is not a concern.Hiyo ilikuwa taarifa ya Idara
ya Polisi kwa serikali na watu wa Chicago, kwamba hata FBI
wamekanusha na kusema kuwa hakuna taasisi yoyote ya Kiislamu ndani
ya Chicago ambayo ina tuhuma za ugaidi au kuwa na kambi za kutolea
mafunzo ya kijeshi.
Hata hivyo, baadhi ya wakazi wa Chicago wanasema kuwa, taarifa
hiyo ya FBI, imekuja katika sura hiyo kutokana na namna watu
walivyolifuatilia jambo hilo. Hapakuwa na namna ya kutoa taarifa za
urongo kwa sababu wasingeweza kuzithibitisha na watu walikuwa
wakifuatilia.
Thank God the FBI didnt see this as an opportunity to
manufacture its own terror plot in Oak Brook, like it has in other
places.
N d i v y o w a t u walivyosambaziana taarifa kuwa Ryan Mauro
alitoa taarifa ya kitisho cha ugaidi Chicago, wakati haikuwa katika
mpango wa FBI kutengeneza kitisho cha ugaidi katika eneo hilo.
Lilipotokea lile shambulio la bomu katika kanisa la Josefu
Mfanyakazi, Arusha, baadhi ya vyombo vya habari vilianza k u s e m
a k u wa m u h u s i k a alionekana akiwa amevaa kanzu. Lakini hata
tulipoamua kama nchi na kama serikali tufunge mpaka wetu
tuwachunguze watu wanaoingia au kutoka kupitia Namanga, basi
tuliofanikiwa kuwaona kuwa wanaweza kuwa watuhumiwa wa kuanza nao,
walikuwa Waarabu!
Zimewahi kutolewa kauli huko nyuma, bila kutolewa ushahidi wala
watuhumiwa kufikishwa mahakamani, kuwa kuna Waislamu wanapanga
kushambulia makanisa na kuuwa viongozi wa Kikristo. Taarifa kama
hizo zikapewa umuhimu mkubwa katika vyombo vya habari halikadhalika
vyombo vyetu vya usalama.
Ni mara kadhaa jeshi la polisi limetangaza kuyalinda makanisa
ama siku za Jumapili au katika Sikukuu kama za Krismasi. Lakini
yote hayo yanakuja katika mazingira yanayotoa sura kuwa watuhumiwa
wanaohofiwa ni Waislamu.
Hili ndio tatizo. Kuendesha propaganda za kupandikiza chuki
Inaendelea Uk. 11
Inaendelea Uk. 11
Robert R. Doggart
-
11 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 201511
AN-NUURMakala
Siasa kali, wachambuzi fekiInatoka Uk. 10kinyume kabisa na hali
halisi ya wananchi tunavyoishi mitaani. Na kwa bahati mbaya, vyombo
vyetu vya habari, na hata vya usalama na baadhi ya wanasiasa wetu,
wamekuwa wakihusika katika propaganda hii chafu.
Iliwahi kutolewa habari katika moja ya magazeti ya kila wiki
hapa nchini kuwa Masheikh wa UAMSHO, walikuwa wameandaa kikosi na
kukodi boti maalum, kuleta kikosi hicho Dar es Salaam ili kusaidia
kikosi cha Waislamu wa Dar es Salaam kuchoma makanisa Mbagala.
Pamoja na kuwa wanaotupiwa tuhuma hizi za ugaidi ni Masheikh wa
UAMSHO, lakini tuhuma kubwa zaidi ni, kwanza kwa Serikali ya
Zanzibar na Vikosi vyake. Kwamba, wao wanaruhusu Masheikh wa UAMSHO
wanakusanya kikosi cha magaidi, mpaka wanakodi boti ya kuleta
kikosi hicho Dar es Salaam, wao hawana habari!!! Mpaka leo
hatujasikia kesi iliyofunguliwa dhidi ya mwenye boti aliyekodiwa
kuleta magaidi Dar es Salaam, wala SMZ kutoa kauli kuwa taarifa
zile zilikuwa urongo mtupu!
L a k i n i m t u h u m i w a n a mshutumiwa mwingine ni
serikali ya Dar es Salaam, kuanzia Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,
boti ilikotia nanga (Mbweni) kushusha magaidi, Mkuu wa Mkoa na
vyombo vya usalama vilivyo chini yake. Taarifa zilisema kuwa boti
ya kukodi ilishusha magaidi Mbweni kisha wakapanda daladala hadi
Tandika.
Kama ilivyokuwa kwa wale wakuu wa serikali na Polisi katika
Chicago, tulitarajia kuwa watu hao wa serikali ya Dar es Salaam,
wangelifuatilia suala hilo na kutoa taarifa, ama ya kuthibitisha na
kueleza hatua walizochukua au kukanusha ili kuwatoa wananchi hofu
ya kitisho cha Masheikh wa UAMSHO walioletwa Dar es Salaam kusaidia
harakati za kuchoma moto makanisa!
Hilo halikufanyika. Kimyaa! Badala yake wanasiasa wetu na polisi
wetu, walibaki kutoa kauli kama zile zile za gazeti na akina
Mchungaji Ryan Mauro, kwamba kuna Waislamu wanapanga kuchoma moto
makanisa na kuuwa viongozi wa Kikristo.
Kwa tuhuma nzito kiasi hicho,
unadhani Mkristo atamfikiria vipi Muislamu wa nchi hii!
Kwa hiyo, leo unapozungumzia habari za Sheikh Msellem, Mtanzania
wa Bara, awe Muislamu au Mkristo, anamtizama kwa jicho na sura
iliyopakwa na gazeti lile kuwa ni gaidi aliyeandaa kikosi cha
magaidi kuja Dar es Salaam kusaidia uchomaji Makanisa na kuuwa
viongozi wa Kikristo!
Kwa hiyo, wewe ukisema, Sheikh Msellem anadhulumiwa, hawezi
kupata huruma ya Watanzania wenzake Wakristo wala Waislamu wenzake
(walio wengi).
Hili ndilo tatizo lililowazalisha akina Robert R. Doggart kule
Marekani. Na kwa bahati mbaya, kwa vile akina Robert wana matawi ya
makanisa yao huku, wametuletea mikakati na chuki zao hizo hizo.
Lakini kwa bahati mbaya tena, tena hii mbaya zaidi, akina Robert
walio katika FBI, ndio hao hao tumewachukua kuwa ni wataalamu wetu
katika Counter Terrorism zao walizobuni kwa malengo yao na
kutupatia vikosi na vitendea kazi.
K u l e C h i c a g o Wa i s l a m u walimshukuru Mwenyezi Mungu
kwa kuwa wakati akina Ryan wakipika propaganda zao, FBI haikuwa na
mpango wa kufanya Sting Operation au mkakati wowote wa Entrapment
katika eneo la Oak Brook.
Kitendo cha serikali ya Zanzibar na ya Dar es Salaam, kukaa
kimya, bila kusema chochote juu ya tuhuma kuwa Masheikh wa UAMSHO
walikodi boti ya magaidi kuja Dar es Salaam kusaidia zoezi la
kuchoma moto makanisa, inatufanya tuwe na wasiwasi kuwa kuna mambo
mazito yanaendelea katika kushikiliwa Masheikh hawa, ambayo si
rahisi kwa mwananchi wa kawaida kuyajua.
Kule Chicago ilikuwa bahati nzuri kwa Waislamu wa Oak Brook.
Wakamshukuru Mungu kwa kusema:
Thank God the FBI didnt see this as an opportunity to
manufacture its own terror plot in Oak Brook, like it has in other
places.
Katika hil i la akina Sheikh Msellem, yaelekea kuwa tofauti.
Ndio maana pengine hata Waziri Mkuu, Mheshimiwa Mizengo Pinda
anaomba ufafanuzi Mzee Sanya amwambie, Masheikh hao kina nani na
wanakabiliwa na tuhuma gani!
Askofu hawezi kuwa gaidi!Inatoka Uk. 10mikono yetu kama
inavyotokota Kenya na Nigeria.Katika kesi ya New York, Bwana mmoja
Mkristo siasa kali, akitajwa kwa jina la Robert R. Doggart
alitangaza kuwa anakusudia kuwaangamiza Waislamu wote wa Islamberg
pamoja na kuchoma moto misikiti yao na kubomoa nyumba zao.
Islamberg, ni eneo linalokaliwa na Waislamu wengi katika Jimbo la
New York, Marekani.
Kat ika kuonyesha kuwa hakukosea na kwamba kweli kadhamiria
kuwaangamiza Waislamu kama akipata fursa, Robert alipofikishwa
mahakamani, hakuleta lugha za kuzunguka wala kujitetea. Alitamka
wazi mbele ya mahakama kuwa anakusudia kufanya jinai hiyo.
Robert R. Doggart admitted to plotting to kill residents in
Islamberg, a Muslim area in the state of New York.
N d i v y o i l i v y o r i p o t i w a ikionyesha hali i l
ivyokuwa mahakamani katikati ya mwezi huu, na hivyo kuifanya kesi
hiyo kuwa nyepesi na iliyochukua muda mfupi.
Robert R. Doggart (63) ambaye mwaka jana 2014 aligombea ubunge
katika Bunge la Congress, akitaka kuwawakilisha wakazi wa
Tennessee, alikamatwa Aprili 10, baada ya kusambaza habari za
dhamira yake ya kutaka kwenda kuwaangamiza Waislamu na
kuchoma Misikiti yao. Doggart alitangaza kufanya mashambulizi
hayo akishirikiana na Wakristo wenzake siasa kali (right-wing
militia- OAF)
We will burn down their buildings (and) if anyone attempts to,
uh, harm us in any way, our stand gunner will take them down from
350 yards away. The standoff gunner would be me.
Were gonna be carrying an M4 with 500 rounds of ammunition,
light armour piercing, a pistol with three extra magazines, and a
machete.
And if it gets down to the machete, we will cut them to
shreds.
Hiyo ni kauli ya Doggart
akieleza jinsi yeye na wenzake watakavyowauwa Waislamu wa
Islamberg, New York, kuchoma majengo na Misikiti yao, na aina ya
silaha watakazotumia.
Pamoja na uzito wa kesi hii, lakini inaonekana kupita kimya
kimya kwa sababu, kwanza vyombo vya usalama, FBI, na wengine,
hawajaifanya kuwa ni habari. Uzoefu unaonyesha kuwa inapokuwa ni
jambo limemuhusu Muislamu, hata likiwa dogo kiasi gani au hata
ikiwa ni katika zile sting Operation zao, basi itaitishwa Press
Conference, ambapo wanausalama watatoa taar i fa juu ya j ambo h i
lo linalomuhusu Muislamu.
Hata hivyo, kwa hili la Robert na siasa kali wenzake Wakristo l
a k u a n g a m i z a Wa i s l a m u
Inaendelea Uk. 16
WANAODAIWA kujifunza ugaidi marekani
-
12 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 201512
Tangazo/MASHAIRI
SUMU YA HARAKATI ! Kalamu nimeishika, kutoa yangu indhari, Lengo
ipate kufika, Bara nako Zanzibari, Kwa kila anohusika, na haya
ajihadhari, Umimi, mali na vyeo, ni sumu ya harakati. Mambo haya
kwa hakika, chimbuko la nyingi shari, Sahali kubanangika, umma kwa
kuyakhitari, Aula kuyaepuka, mambo haya ni hatari, Umimi, mali na
vyeo, ni sumu ya harakati.
Umimi ebu kumbuka, ya ibilisi fakhari, Baidi 'livyomuweka, na
rehema za Qahari, Kwa sijida kukiuka, kisa umbole la nari, Umimi,
mali na vyeo, ni sumu ya harakati.
Ruwazaye kuishika, twahisi ni ufakhari, Kumbe ni kujahilika, na
za dunia ghururi, Nadra kumkinika, sote kuwa Maamiri, Umimi, mali
na vyeo, ni sumu ya harakati. Kulikoni kuutaka, kila mtu Uamiri
!Hata nyumbayo mulika, mu wangapi Maamiri ?U wahidu kwa hakika,
upinge au ukiri,Umimi, mali na vyeo, ni sumu ya harakati. Fulusi
mbele kuweka, jengo kutaliathiri, Malengo tuloyaweka, sahali
kuyahajiri, Kwa mwake ndani kusaka, ghawazi na utajiri, Umimi, mali
na vyeo, ni sumu ya harakati. Uluwa pia kutaka, kwa sasa
tumekithiri, Kwa hili twahangaika, huku na kule twajiri, Kwa mioyo
kutoridhika, jengo kutalidamiri, Umimi, mali na vyeo, ni sumu ya
harakati. Haya tusipoepuka, wenyewe twajisihiri, Tujaribu
kuridhika, bado tawili safari, Kwa hili kulikiuka, hatutafika
dahari, Umimi, mali na vyeo, hilaki ya harakati. ABUU
NYAMKOMOGI-MWANZA.
1. Naanza kuwasabahi, ndugu zangu IslamuNimekuja asubuhi,
nipatieni kalamuIli nipate kuwahi, niwemo katika zamuMasikini paka
wangu, amefariki dunia
2. Paka niliyempenda, sasa ameshafarikiNilimuona kakonda, kumbe
yu katika dhikiAlishikwa na vidonda, mwili hautamanikiMasikini paka
wangu, amefariki dunia
3. Mwenzenu nina majonzi, kwani nimeondokewaTena ni kubwa
simanzi, fadhaa imeningiaPaka wangu ni kipenzi, sote
tulimzoweaMasikini paka wangu, amefariki dunia
4. Paka sifa alipata, hapa mtaani kwetuKila unapomkuta, katulia
kama mtuNa wala hana matata, paka ni mpenda watuMasikini paka
wangu, amefariki dunia
5. Paka halikuwa jizi, kama yalivyo mengineKuiba vilivyo wazi,
avitafune tafuneAli paka msikizi, tapata wapi mwengineMasikini paka
wangu, amefariki dunia
6. Kwa kuwinda usiseme, paka huyu ni hodariPanya wake kwa waume,
wote akiwavinjariNyumba ilikuwa kame, kaimaliza hatariMasikini paka
wangu, amefariki dunia
7. Mwengine nileteeni, msiifanye ajiziAkizowea nyumbani,
atanifanyia kaziFanyeni hima jamani, mi ukiwa siuwezi Masikini paka
wangu, amefariki dunia
8. Nairejesha kalamu, yatosha niliyonenaNani wakumlaumu, ni
shani ya MaulanaHakuna kinachodumu, mauti yametubanaMasikini paka
wangu, amefariki dunia
Mtunzi:Zainab Hamisi Mtima
Mbweni, Zanzibar Tel:- 0777 357 031
MASKINI PAKA WANGU
Waislamu wote nchini mnaalikwa kuhudhuria Tamasha la Ujenzi wa
Kituo cha Kiislamu Ilongo Mbeya litakalofanyika kuanzia tarehe 05,
12 Juni, 2015.
Shime Waislamu tujitahidi kuhudhuria kwa wingi. Wasio na wasaa
wa kuhudhuria wachangie fedha na vifaa vya ujenzi.
Tukumbuke, tukifanya hivyo tutakuwa tumefanya biashara na Allah
(s.w) kwa mafanikio ya hapa duniani na malipo ya Pepo Quran
(61:10-13)
Usafiri / Gharama: Kutokana na Miundombinu ya barabara kwa sasa
kila mkoa utaratibu safari ya Mbeya kupitia Maamir wa Mikoa
Kwa kupitia Dar es Salaam nauli ni Tshs. 70,000/- kwenda na
kurudi Dar. Kuripoti Dar es Salam ni tarehe 04/06/2015
(0689665045/0713 992395).
Kipindi hiki Mkoa wa Mbeya una baridi, hivyo wanatamasha waje na
nguo za kuzuia baridi.
Wabillah TawfiiqAMIR TAIFA
TAMASHA LA KITAIFAILONGO MBEYA
05 12 JUNI , 2015
-
13 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015MAKALA
BAADA ya kuandika makala kuhusu mazingatio kutokana n a m a j a
n g a a m b a p o nilieleza jinsi Maskeikh wanavyodhalilishwa na
kunyimwa haki zao za kimsingi kama raia, nilipata ujumbe wa simu
kutoka kwa msomaji kama ifuatavyo:
Sms kutoka kwa vijana wa Kisalafi Mwanakwerekwe, tunawaambia
gazei la An nuur ya kuwa hakuna uadilifu kwa kuwatetea makhawarij
(..... wa motoni) Mashekhe uchwara wa Uamsho.
Pale ambapo nimeacha dashi ni kwamba sikuweza kuyanakili maneno
halisi k u t o k a n a n a u k u b w a w a m a n e n o y e n y e w
e (wametukana). Utashangaa, mtu anajiita Muislamu safi, salafi
anayejibashiria Pepo, lakini anakuwa na kinywa cha kumtukana
binadamu mwenzake, s i kwambii Muislamu!!!
Sasa n imeonelea leo niandike kuhusu hawa Khawarij ni nani ili
wasomaji waepukane na kasumba i n a y o e n e z wa n a wa t u
wanaojiita Salafi. Kwa kweli fikra hii ni potofu sana na kama
utaisoma makala hii kwa utulivu basi utaona ni Kundi gani hasa
lenye hizo fikra za ki-Khawarij.
Khawariji inatokana na neno la Kiarabu, khuruj maana yake ni
kutoka. Na Kundi hili lilitoka katika Uislamu kwa kuvunja kiapo cha
utiifu kwa Maamiri wa Dola ya Kiislamu na kuacha itikadi sahihi ya
Kiislamu na kuwaua viongozi wa Dola ya Kiislamu. Itikadi kuu za
Khawariji zilikuwa kama zifuatazo:
Walikosea kuitafiri Qurani, na waliitafsiri wanavyotaka wao.
Walikataa adhabu ya kaburi na walisema kuwa hakuna hodhi la Mtume (
S AW ) h u k o a k h e r a wala hakuna shufaa kwa Waislamu.
Walikataa kusali sala ya Ijumaa ila chini ya Imamu wao. Walikubali
ndoa bila ya walii. Hii ni kwa sababu waliwaona Waislamu wengi kuwa
ni makafiri. Waliwakufurisha Waislamu wengi wakiwemo wale
waliopigana vita vya Badri ambao walitabiriwa Pepo na Mtume (SAW).
Pia waliwakufurisha, yaani waliwaita makafiri wale wale Masahaba
waliokula kiapo cha utiifu chini ya mti ambao Allah (SW)
aliwaridhia. Waliitakidi kwamba Ali (RA) na Muawiya (RA) wote ni
makafiri na wanastahiki k u u wa wa . Wa l i wa z u i a wafuasi wao
kuolewa na Waislamu wengine ila wenye itikadi ya kikhawariji kama
wao, kwani wali i takidi kwamba Waislamu wote wasio na itikadi kama
wao ni makafiri. Walipigana na Waislamu wenzao na k u w a u a w a k
a w a a c h a
Hatari ya Salafi bandiaChimbuko lake Saudi ArabiaLengo kulinda
ufalme, uzayuni
Na Mussa Ame
makafiri. Hii ni kwa sababu waliitakidi kuwa Waislamu wenzao
wamekufuru na wale Wakristo ni Dhimmi kwa hivyo wakawaua Waislamu w
e n z a o w a k a w a a c h a makafiri.
Imamu Ali (RA) alipigana nao katika vita vya Nahran (656 CE) na
alifanikiwa kuwaua wengi wao, lakini baadye khawarij walikula njama
ya kumua Ali (RA) na Muawiya (RA) ambapo Khawarij Abdulrahman Ibn
Muljam alimuua Ali (RA).
Wa l i a m i n i k w a m b a M u i s l a m u y e y o t e a t a k
a y e f a n y a d h a m b i kubwa, hatosamehewa hata akitubu, na
ataingia motoni na hatotoka motoni. Kwa hivi sasa duniani hakuna
Kundi lenye sifa hizi kama Mtume(SAW) alizitaja sifa zao kwenye
hadithi sahihi j a m b o a m b a l o l i l i m p a ushahidi Imamu
Ali (RA) wa kuwaua kwani amri ya kuuliwa makhawariji aliitoa Mtume
(SAW) mwenyewe, na yeye Imamu Ali (RA) alimsikia Mtume (SAW) kwa
masikio yake
Katika Sahihi Muslim kuna mlango wa kuwataja makhawarij lakini
pia katika vitabu vyengine vya hadithi pia, nitanukuu hadithi za
Sahihi Muslim (SM).
Amesimulia Abiidhari (RA) Amesema Mtume ( S AW ) H a k i k a b a
a d a yangu watakuwepo watu wanasoma Qurani lakini h a i t o w a i
n g i a m o y o n i mwao, watatoka katika dini kama unavyotoka
mshale kwenda katika kiwindwa kisha hawatorudi tena hao ni viumbe
waovu(SM 1067 SB 3710).
Amesimulia Ali (RA) nimemsikia Mtume(SAW) akisema watatokea
katika zama za mwisho watu wenye umri mdogo wachache wa kufikiri,
watasema maneno kama ya kheri kumbe ni shari, wataisoma Qurani h a
i t a f i k a k o o n i k wa o , watatoka katika dini kama mshale
unavyopiga shabaha, mtakapowakuta waueni hakika katika kuwaua kwao
kuna ujira siku ya kiama(SM 1066 SB3611).
Amesimulia Abuu Saidi ( R A) a m e s e m a M t u m e (SAW)
Hakika katika asili ya mtu huyu kitatoka kizazi kinachosoma Qurani
lakini hapiti zaidi ya kwenye koo (hawaifahamu) watawaua Waislamu
na kuwaacha wa s h i r i k i n a , wa t a t o k a kwenye dini kama
mshale unavyokwenda kwenye s h a b a h a n i n g e wa k u t a
ningewapiga kipigo cha Adi(SB 2344 SM 1064)
Ziko hadithi zaidi ya ishirini ambazo ni Muttafaq a layhi z
inazowae lezea khawarija na kuwataja sifa zao na kuhalalisha
kuwaua. Suala sasa linakuja, jee Mashekhe wa Uamso wana sifa hizi
zilizotajwa katika hadithi hizi?.
Sifa kubwa ya khawarij ni kuitakidi kuwa Waislamu wenzake ni
makafiri na huwa ndiyo maadui wao namba moja (badala ya Mayahudi,
makafiri khalisi na washirikina wa sampuli zote). Na suala la kujua
ni nani mtu wa motoni, hilo anajua Allah (SW) peke yake hata Mtume
(SAW) alikuwa hajui. Ndiyo maana katika vita vya Uhud
vilipomalizika al iwasema vibaya wale waliongoza vita upande wa
makafiri kumbe wengine walikuja kusilimu na wakawa Waislamu wazuri.
Angalia kosa alilolifanya Sahaba la kuvujisha siri za kijeshi za
Mtume (SAW), lakini Allah (SW) alipomgomba alisema Enyi mlioamnini
msiwafanya adui zangu na adui zenu kuwa ni marafiki....(Mumtahina
1). Mtume (SAW) amekataza sana mtu kumwita Muislamu mwenziwe kafiri
kwa sababu kama hana ule ukafiri, basi utamrudia yule
aliyesema.
N i m e n u k u u h a d i t h i chache kutoka katika Sahihi
Trghyb (ST) ya Imamu Albany. Amesimulia Abii Dhar i (RA) amemsik ia
Mtume (SAW) akisema Anayemwita mwenzake kafiri au akamwita adui wa
Allah (SW) na hayuko hivyo, basi utamrejea mwenyewe (ukafiri) SB
6045 ST 2772).
Amesimulia Thabit (RA) .Kumlaani Muislamu ni kama kumuua na
anayemrembelea ukafiri muumini, ni kama aliyemuua (ST2776)
A m a k u m w i t a M w a n a c h u o n i S h e i k h uchwara
kwa kwel i n i aibu jambo hili kulifanya Muislamu anayesoma hadithi
za Mtume (SAW) labda huwa anasoma haziingii moyoni mwake.
Amesimulia Abii Hurayra ( R A) a m e s e m a M t u m e (SAW),
Inatosha kuwa ni shari akamili kwa mtu kumdogosha ndugu yake
Muislamu.(SM 2564).
Sasa hoja iliyobaki, labla ni kuwa Mashekhe wa Uamsho wanakosoa
utawala, kwa maana hiyo wanafanana na khawarij. Jawabu yangu kuhusu
hilo ni kuwa hao Mashekhe wa Kisalafi ndiyo waliyoongoza kukosoa
tawala
zao kwa sababu hazikufuata itikadi zao. Kama hoja ni kufungwa
jela, Maulamaa wa Kisalafu wanaongoza kwa kukaa sana gerezani, na
labda nitoe mifano michache. Imamu Abuu Hanifa (703-767) alipigwa
sana na Yazid Ibn Umar mtawala wa ukoo wa Umayya na alifungwa na
Khalifa Aboo Jaafar Mansoor mpaka akafa gerezani . Imam Malik
(717-801), alikamatwa akafungwa na akapigwa vibaya na Amiri wa
Madina wa utawala wa Abbass. Imam Sufyan Thawwry (719- 777 )
alikosoa utawala wa Mnsoor wa ukoo wa Abbas alipelekewa barua ya
kuwa Kadhi akaichana na Dola ya Abbass ikamuandama akajificha hadi
kufa kwake ndiyo maana hata madhehebu yake hayakuandikwa.
Imami Shafii (769-800) na Harun Rashid mwaka 805 akatiwa jela
halafu akaachiwa. Imam Ahmad Ibn Hambal (778-885) aliwazidi wenzake
kwa kukosoa utawala uliokuwa ukifuata falsafa za Muutazila ambao
waliamini kwamba Qurani imeumbwa. Lakini Imam Ahmad alipinga
hadharani hoja hizo. Akakamatwa na alifungwa miaka miwili na
Khalifa Mamoon na alikimbia na kujificha kwa miaka mitano mpaka
Khalifa Mutawakki l a l ipoingia madarakani (847-861).
Ahmad Ibnu Tamymiya (1263-1328) alikosoa utawala na alitiwa
ndani mara kadhaa kiasi kwamba muda mwingi aliutumia akiwa jela
yeye na mwanafunzi wake Ibnu Jawzy. Sasa jee Mashekhe wa Uamsho
wameleta lipi jipya.
L a k i n i j a m b o l i n a l o s h a n g a z a k a t i k a
msimamo wa wale wanaojiita Salafi ni kuwa ufahamu wao uko kinyume
na hao Salafi wenyewe kwa sababu msimamo wa Salaf ni kuwa wao
hawamtii ukafirini Muislamu kwa sababu tu ya kufanya kosa, mpaka
atakapoj i tangaza kuwa amekufuru. Anasema Imam Nawawy katika
sherhe ya Sahihi Muslim hadithi ya 56 Kitabu l Iman mlango wa 24
Wamekusanyika watu wa haki yaani Salaf wema kuwa mzinzi, mwizi
,muuaji na wengineo katika watendaji maovu, ukiacha shirki , hawawi
makafiri kwa maasi hayo, bali huwa Waislamu il iyopungua imani yao,
wakitubu husamehewa, na wakifa hawakutubu hukmu yao iko kwa Allah
(SW). Itikadi hiyo ya Salaf wema pia imenakiliwa katika Aqida
Tahawiyya Hakuna mtu katika watu wa kibla ambaye ni Muislamu
ataitwa kafiri mpaka aoneshe ukafiri wa dhahiri(Aqida tahawiyya
Ibnu Aziz Al Izz uk 268).
Fikra hii imetoka wapi sasa ya kuwaita Maulamaa khawarij na
kuwakufurisha Waislamu na kuwafanya
maadui badala ya makafiri wa kweli? Fikra hii imezuliwa S a u d
i A r a b i a w a k a t i Maulamaa wal ipokuwa wanaulaumu utawala
wa Kifalme kwa kuegemea zaidi kwa Marekani na Isareli na kuacha
misingi halisi ya Kiislamu ambayo ndiyo lengo la kuanzishwa Dola
hiyo. Sasa ili kujilinda na lawama, Masheikh wanaoukosoa utawala
huo wakapachikwa j i n a l a k h a w a r i j , n a M a u l a m a a
wa l i o b o b e a katika Taaluma, wakaitwa makafiri, wakafungwa
jela. Ndio unaona Ulamaa kama Said Qutbi akaitwa kafiri, kwawarij.
Kitabu cha Fiqhi Sunna kikakatazwa kusomwa kwa sababu kimeandikwa
na Sheikh Saidi Sabiq kutoka udugu wa Kiislamu.
Tabliigh pia kwao wao ni haramu kwa vile inatishia kuwepo kwa
utawala wao. Kwa sababu hi i , ndiyo maana utawala wa Saudia ukatoa
fedha ili kuuangusha utawala wa Misri uliokuwa na muelekeo wa
Kiislamu.
Kwa i t ikadi yao hi i , basi kila mwanaharakati anayetetea
Uislamu kwao ni khawarij na ni gaidi. Ndipo huko vijana
mnakopelekwa. Angalieni sana. Kuweni makini. Hizo ni fikra za
Kiyahudi. Mnapachikwa nazo mchukie Waislamu wenzenu mgombane nao,
muwaitakidi kama makafiri wakati huo huo mnasaidia ukafiri. Na kwa
fikra hizi mlizonazo, hamna msimamo wa Salaf wema ila mnafanana
zaidi na hao khawarij. Mtume (SAW) amemaliza mambo, anayemrembelea
mwenzake ukafiri na hali hanao ule ukafiri, humrejea mwenyewe.
Makafiri wapo hawana utata wakifa bila kusilimu, basi ni watu wa
motoni. Kwa nini basi hamuwalinganii hawa ili wasilimu. Kwanini
mjigeuze miungu mhukumu Waislamu na kuwatia motoni, kabla siku ya
hukumu, kazi ambayo hata Malaika hawakupewa. Hakuna mtu anayejijua
asilimia mia kuwa ni mtu wa Peponi. Tunataraji tu kheri kwa Allah
(SW), asi je akatugeuza mioyo yetu. Ndiyo maana dua kubwa aliyokuwa
akiomba mwenyewe Mtume (SAW) ni: Yaa Muqalibal qulluub thabit qalby
ala dynika .
S a l a f w a l i k u w a wanyenyekevu mbele ya wenzao, na huo
ndiyo uchamungu siyo kujikweza na kudharau watu. Bakari Ibn
Abdillahi Al Muzni, alimsikia baba yake Ulamaa wa Salaf akisema,
Ingekuwa sipo mimi hapa leo kwenye uwanja wa Arafa, ningesema watu
wote wamesamehewa ( Hilyatu talibul ilm- sherhe ya Uthaymin
11/6).
Hawa ndiyo Salaf, basi tufate nyendo zao.
Ewe Allah (SW) tusaidie waja wako. Amyn.
-
14 AN-NUURSHAABAN 1436, IJUMAA MEI 29- JUNI 4, 2015Makala
Na Ben Rijal
Na Ben Rijal
Mchango wa Waislmau katika maendeleo ya Dunia - 12
Fatilia kuandama kwa Mwezi
UWANJA WA VIJANA - JIONGEZEE MAARIFACHEMSHA BONGO namba 7
1. Aya gani katika Quran itajayo Chuma kwa manufaa ya mwanadamu?
(2 :148, 57:25, 62 :40) Jawabu: 57:25 (Samahani kwa kosa niliandika
57 :28)
2. Mamake Mtume Issa Bibi Maryam alipomzaa Mtume Issa
alikuwa..(Mjane, Bikra, Mke wa mtu). Jawabu: Bikra
3. Waislamu wanaamini kuwa Mtume Issa ali(Uwawa, Rufaishwa,
Alijiua). Jawabu: Rufaishwa
4. Anayaongoza Sala kwa Maamuma huitwa (Captain, Imam, Kiongozi)
Jawabu: Imam
5. Katika Quran neno Maisha limetajwa mara (185, 125, 145).
Jawabu: 145
6. Katika Quran neno Mauti limetajwa mara (6,655, 145, 125).
Jawabu: 145
7. Watoto wote wa Mtume Yaqoob ni (24, 11, 12). Jawabu:12
8. Allah (Mwenye enzi Mungu (Anawashirika, Malaika Hanamshirika)
Jawabu: Hanamshirika
9. Tokeo lipi lilitojwa katika Quran mwaka mmoja kabla ya Hijra?
Jawabu: Miraji
10. Alipofariki mama yake Mtume SAW, Mtume Mohammad SAW alikuwa
na umri wa miaka (7,8, 6) Jawabu: 6
K a t i k a k u m z u n