-
5/24/2018 An Nuur 1130
1/16
ISSN 0856 - 3861 Na. 1130 SHAABAN 1435, IJUMAA , JUNI 20-26,
2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=
Sauti ya Waislamu
www.annuurpapers.co.tz facebook: [email protected]
T A M A S H A l aujenzi wa Kituo chaKiislamu Pembal i n a h i t
i m i s h w aleo kwa seminajuu ya utekelezajiw a p r o g r a m z
akuendeleza Uislamunchini.
Tamasha lafana Pemb
Tunakoelekea kubayaItakuwa ni haya aliyofanyiwa Aisha
Kapoteza macho, pua na uso woteMbiu ishapigwa Unguja, Mbagala
953 washiriki kutoka mikoa yote
Wachangia Sh. 11,492,000 za uje
Mwanza wavunja rekodi mahudhu
Kilimanjaro waingia Big 3 michanNa Mwandishi Wetu T a m a s h a
h
ambalo lilifungulJuni 13 wiki iliyolilihudhuriwa
wawakilishi kutmikoa yote nchisipokuwa mimipya ya
GeitaKatavi.
Jumla ya washInaendelea U
Machafuko yakolea Kenya MAITI za wananchi wa Kenya waliouliwa
kashambulio lililofanyika Mombasa hivi kariHabari Uk. 5.
Mwandishi Terese Cristiansson, akishikilia picha ya Aisha
ikionyesha uso wakeulivyo baada ya kulipuliwa. Soma Uk. 8
(8) KILA ENEO LIPELEKE MAHUJQur'ani imedhamini kuwa tutakwen
Hijja kutoka milima na mabonde ya m(Al-Hajj:27). Yaani Mwenyezi
Mun
Anataka tutoke kila eneo kwenda Hijjamwaka. Sharti la kukubaliwa
dua zesisi kuitikia wito wake! (Al-Baqara:1
Karibuni Ahlu Sunna wal Jamaa kwmipango mizuri na huduma bora.
Ghazote ni Dola 4,500. Wahi kulipa uita
mali yako na uboreshe Hijja yakoTafadhali wasiliana nasi:
Tanzania B
0655/0765/0682/0777 - 462022; Zanz
0777468018/0685366141/06576067
-
5/24/2018 An Nuur 1130
2/16
2 AN-N
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26,
AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786
Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 ,
DSM.www.annuurpapers.co.t E-mail: [email protected]
Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo),
barabara ya Morogoro, D'Salaam
Tahariri
KUNA taarifa kwambaserikali ya Tanzaniaimekubali kutoa mafunzoya
kijeshi kwa askariwa jeshi la serikali yaSomalia, kama sehemu
yajitihada zake za kusaidiakupatikana amani nausalama nchini
Somaliakufuatia ombi la Rais wasasa wa Somalia HassanSheikh
Mohamud.
Hii ni mara ya pili kwaTanzania kukubali ombi
la serikali ya Somali kutoamafunzo kwa askari waSomalia.
Mwaka 2012 serikaliilikubali kutoa mafunzokwa askari 1,000
waSomalia kufuatia ombi laRais aliyemaliza mudawake Somalia Sheikh
SharifSheikh Ahmed.
Moja ya sababu kubwaya Tanzania kuridhia ombihilo, imeelezwa
kuwa nikuongeza uwezo wa kikosihicho cha Somalia kuilindanchi
hiyo.
M k u r u g e n z i w aMawasiliano Ikulu Bw.
S a l v a R w e y e m a m u ,al inukul iwa akisemakuwa tayari
makambi yamafunzo yameandaliwa nakwamba kinachosubiriwani Somalia
kuteua haoaskari 1000 kuja nchinikwa ajili ya mafunzo hayo.
Bw. Reyemamu alisemak u w a m a f u nz o k w aaskari hao wa
Somaliayatawawezesha kuwaa s k a r i w a k i t a a l a
mwatakaosaidia kudumishausalama wa nchi yao, haliitakayotoa nafasi
ya nchikujihusisha na masuala yamaendeleo.
Naye Waziri wa Ulinzi naJeshi la Kujenga Taifa Dk.Hussein
Mwinyi, alisema
Jeshi la Ulinzi la Wananchiwa Tanzania (TPDF)limekuwa
likiongozakatika kutoa mafunzo naoperesheni za kulindaamani kat ika
Afr ikaMashariki na zaidi ya hapokujenga ushirikiano imarawa
kanda.
Alinukuliwa akisemakuwa hata mwaka uliopita,
Jeshi letu lilitoa fursa zamafunzo kwa vikosi namaofisa wa jeshi
kutokanchi za Botswana, Kenya,
Tuwe makini na mambo ya SomaliaUshauri wa Mhe. Ndugai
uchukuliwe
Uganda, Rwanda, Burundi,Malawi, Zambia, Namibia,Ushelisheli,
Swaziland naZimbabwe.
Aidha alisema Tanzaniaa w a l i i l i w a hi k u to amafunzo kwa
vikosi vyaSomalia katika kutoamwitiko wa ombi la Umojawa
Afrika.
Al i ta j a o pe r e she n inyingine ambazo Tanzaniailikuwa na
jukumu lakuongoza katika kulinda
amani kuwa ni pamoja naJamhuri ya Demokrasia yaKongo, Lebanon na
Sudaniya Kusini.
Kimsingi hatuna tatizona misaada ya kijeshiinayotolewa na
serikaliyetu kwa majirani zetuwenye mizozo.
Tunachotizama hapani aina ya mzozo uliopoSomalia na madhara
yakekwa mataifa jirani. Hulkaya pande mbili za mzozoSomalia na
uhusiano waona nchi nyingine katikakutatua tofauti zao, lakinila
muhimu zaidi ni nchi
zenye lengo la kusaidiautatuzi kuwa na ufahamuwa kina wa mzozo
huokatika kuchukua hatua zakusaidia kuutatua.
Kwa jinsi hali ilivyoS o m a l i a , k i l a n c h iiliyohusika
kijeshi katikakujaribu kutatua mzozo wanchi hiyo, zilikabiliwa
namatukio ya mashambulizindani ya ardhi za nchi hizo.Ethiopia,
Uganda na sasaKenya, ni mfano mzurikwetu.
T a n g u U g a n d ailipopeleka jeshi lake hukoSomal ia ,
imeambuliamashambulizi ndani yanchi yake huku askari
wakewakiendelea kupotezamaisha Somalia na badohali
haijatengemaa.
Kenya sasa imegeuzwauwanja wa mapambano.Kila kukicha
mashambuilizihayaishi na raia wasiona hatia wakiendeleakupoteza
maisha na malikuharibiwa.
Kwa bahati mbaya,machafuko ya Somaliayamekuwa
uchochorounaotumiwa na mataifamakubwa, kupandikizatna za kichochezi
katika
mataifa jirani na Somalia.Hivi sasa tunaona
kila linapotokea tukiola mlipuko hapa kwetu,au hata nchi za
jirani,kwa namna moja aunyingine lazima tukio hilolitahusishwa na
Alshaababau al Qaeda.
N a k u w a f i t n aimekolezwa vya kutoka,
jamii ya watu wa imanifulani wanakuwa ndiowalengwa na
washukiwawa kwanza wa matukiohayo.
Tuseme tu kwamba,wakati serikali iliposemainajiandaa kutoa
mafunzoya kijeshi kwa askari waSomalia nchini, tayariWatanzania
wameonyeshawasiwasi mkubwa.
Kw a m ba T a nz a ni akujihusisha kijeshi katikam a su a l a y
a S o m a l i akunaweza kukaribishamashambulio ya kigaidikutoka kwa
al-Shabaab
kama inavotokea Kenyahivi sasa.Lakini pia yapo maoni
na tuhuma kuwa kilanchi inaposhinikizwana kufanywa ama
mtoamajeshi kwenda kupiganaSomalia, huwa inachofanyani kupigana
proxy war yamabeberu na wala vitahiyo haiwasaidii Somaliaila
kuwaangamiza zaidi.Na nchi inayotumiwakupigana au kufunza
jeshi dhidi ya al Shabab,basi hutumiwa kisingiziocha kutangaziwa
uaduina al Shabab ikapigwana kufanyiwa matukio yakigaidi ili kuleta
machafukokatika nchi.
Si hivyo tu, bali kunatoamwanya kwa tna ya ugaidikukolea na
kusababishakupandikizwa vitendo vyamachafuko na kulazimikaserikali
kupanua mpangowake na kuingia moja kwamoja kijeshi na
kwendaSomalia.
Tunapaswa kujifunzakutoka kwa ndugu zetuwa Kenya. Awali
Kenyahaikuwa na uhasama naSomalia, na ilikuwa msaadamkubwa wa
kupokeawakimbizi kutoka Somalia
wanaokimbia machafuko.Lakini kwa kuamua
kuingilia kijeshi Somalia,leo imegeuka uwanja wavita kwa
wanakabiliwana mashambulio ya marakwa mara ya kigaidi.Watu
wanauliwa, watuwanaharibiwa mali zao,tna imeingizwa na serikalisasa
inatesa raia wakeyenyewe.
Tunapaswa kuepukatatizo hili. Vikundi vyawapiganaji
tunavyovisikiakama Boko Haram nchiniNigeria, Al Shaabab ni
makundi yasiyoelewekahakika yake kwani kama alShabab yapo madai
kuwahupewa silaha na hao haowanaowapa silaha serikaliya Somalia na
AMSOM.
Tunavyoona, kwa jinsimazingira ya mzozo waSomalia ulivyo,
serikaliinapaswa kuepuka kabisakujihusisha kijeshi katikamgogoro wa
nchi hiyo.
Kwa hili la Somalia, kaziya Jeshi letu la Wananchiibakie kulinda
mipaka yanchi yetu na raia wake.
Tunafahamu Somaliakuna tatizo, lakini litakuwa
jambo jema kama serikaliitakuwa mbali na matatizoya Somalia
isifanywekatagosi wa kupiganaproxy war ya mabeberu.
S e r i k a l i i n a w e z akutumia ushawishi wakekatika ukanda
huu waAfrika Mashariki na katikamaziwa makuu, kuingiaSomalia
kidiplomasia, kwakuweka mikakati sahihiya kukutanisha
pandezinazozozana ili kujaribu
kujadiliana na kufikiamakubaliano.Hata kama itaamuliwa
kufanya mazungumzo yakidiplomasia kwa pandezinazovutana jijini
Dar esSalaam, tunaamini hilohaliwezi kuzalisha uaduikati ya pande
zinazozozanaSomalia na nchini yetu.Hi lo hal iwezi
kuzaamashambulizi nchini kamailivyo Kenya hivi sasa.
Ukiacha kutumia njia zakidiplomasia, pia tunawezakuingia katika
kusaidiamzozo wa Somalia kamatulivyofanya siku zanyuma, ambapo
serikaliilitoa msaada wa chakula
kukabiliana na baa la njaanchini humo.Tuchukue fursa hii
kumpa pongezi Naibu
Spika wa Bunge la Jamya Muungano wa TanzBw. Job Ndugai,
amamesema litakuwa jla hatari sana kwa usawa taifa kutuma vnchini
Somalia, ambvingechochea uhasamal-Shabaab.
J a p o k u wa s e r iimezungumzia kmafunzo kwa askar
Somalia nchini na si kupeleka vikosi, lkwa kuwa hatua hiya
kijeshi, inawezepia ikaria kutuma vkama ilivyofanya hCongo- DRC,
DarfuComoro.
Bw. Ndugai aliiserikali Serikali haiphata kidogo kufiwazo la
kupeleka vnchini Somalia kwa saitakuwa ni hatari kukwa Taifa.
Alifafanua kwakama kitatokea choctunapaswa kuwezmikutano kwa
aji
pande zenye migokusuluhisha tofauti zBw. Ndugai alis
vikosi vya Tanzhaviwezi kutumwa knchi yoyote bila ya riya Bunge,
kupitia Kaya Ulinzi na Usalamana uhakika kwampango wowote khuo
utazuiwa na wab
M u hi m u k w e tukufahamu asili ya mgowa Somalia na mazyake
yanatokolezwmabeberu kila uchao
T u m w a c he be baliyelikoroga alin
m w e ny e w e . S i o kutumika kama upkukoroga uji wa
mTutaungua.
Kumradhi
Tunaomba radhi wasomaji na familia ya marehSheikh Mohamed Idris
kwa kuchapisha kimakosa yake katika toleo lililopita. Aidha,
tunaomba radhkuchapishwa kimakosa wasifu wa Sheikh MohaIdris.
MHARIRI
AL-MARHUUM Sheikh Mohamed Idris.
-
5/24/2018 An Nuur 1130
3/16
3 AN-N
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, Habari
Wakati Mwenyekiti waCUF Taifa Prof. IbrahimLipumba akiichambuana
kuikosoa bajeti yaSerikali ya mwaka2014/2015 kwa kuelezakuwa ina
mapungufumengi, ameunga mkonouamuzi wa Serikalikuwa na utaratibuwa
kutoa taarifa yamisamaha ya kodi
kila robo ya mwakakwa kuwatang azaw a l i o n u f a i k a n
amisamaha hiyo kwenyetovuti ya Wizara yaFedha.
Katika taarifa yakealiyoitoa kwa vyombovya habari Ofisi Kuuza
CUF, Buguruni jijiniDar es Salaam, Prof.L i pu mba amesemautaratibu
huo unawezakusaidia kudhibi t imisamaha ya kodi, nakuwawezesha
wananchikuwa na taarifa zamisamaha na kuwezakudai kufutwa
kwamisamaha hiyo.
P r o f . L i p u m b aambaye ni mchumikitaaluma amesema
ilikujenga utamaduni wakulipa kodi kuwa isharaya uzalendo ni
muhimumisamaha ya kodi kwaviongozi wa serikaliwakiwemo wabungena
mawaziri iondolewe,akifafanua kuwa nivigumu kwa viongoziambao
hawalipi kodi
k u w a h a m a s i s h aw a n a n c h i k u w awazalendo na
kulipakodi.
A k i z u n g u m z i autekelezaji wa miradichini ya viwango,
Prof.L i pu mba amesemakumekuwepo na tatizo la
baadhi ya watendaji waserikali kuchangamkiaununuzi wa vifaa
kwamategemeo ya kupataCommission kulikomalengo ya kuongezaufanisi,
jambo ambalolinapunguza ufanisi
Prof. Lipumba aunga mkonotaarifa misamaha ya kodi
Aikosoa bajeti ya serikalikwa miradi hiyo.
Aidha amepongezautaratibu wa serikali wakudhibiti matumizi
yaumma kwa kuunganishamatumizi yote ya serikalichini ya mfumo
mmojau n a o s i m a m i w a n aMlipaji Mkuu wa Serikalikupitia
akaunti moja yahazina Single TreasuryAccount.
Amefahamisha kuwakuwepo kwa utaratibuhuo ni jambo zuri,
lakinilinahitaji maandaliziikiwa ni pamoja nakufunga akaunti
nyingizinazotumiwa na taasisinyengine za Serikali.
Wizara na Idara nyingizimeendelea kufunguaakaunti mpya.
KunaWizara zinazopingaHazi na ku si mami aulipaji wa makandarasiw a
n a o t e k e l e z amiradi ya maendeleo.Utekelezaji wa SingleT r e
a s u r y A c c o u n t u nahi ta j i ku u ngwamkono kikamilifu
naRais, alifafanua Prof.Lipumba.
Hata h i vyo P r of .I b r a h i m L i p u m b a ,ameichambua
bajeti yaSerikali ya Jamhuri yaMuungano wa Tanzaniakwa mwaka wa
fedha2014/2015, na kusemakuwa ina mapungufumengi.
Al i mesema ba je t ihiyo bado hai ja toa
kipaumbele kwenyemiradi ya maendeleo nakwamba, bajeti
mbadalailitakiwa ijikite katikaukusanyaji wa mapatokwa umakini,
sambambana kuwepo matumizimazuri ya fedha zaumma.
Alieleza kuwa kunahaja ya kuwepo mikakatimadhubuti ya
kuanzishana kuendeleza viwandavinavyotumia mali ghaza ndani, na
kuwezakuajiri watu wengi katika
viwanda kama vya nguona bidhaa nyingine zamatumizi ya ndani,
ilikukidhi soko la ajira nauchumi kwa ujumla.
P r o f . L i p u m b aamewaambia waandishiwa Habari kuwa
bajetiikiwa nyenzo muhimuya sera za serikali ,inapaswa
kuandaliwakwa umakini ili iweze
kutekelezwa kwa mujibuwa mahitaji yaliyopo.Amesema ni jambo
la kushangaza kuonabajeti inayoidhinishwak a t i k a b u n g e k
i l amwaka haitekelezwikama ilivyopangwa, na
badala yake kunakuwana tofauti kubwa kati ya
bajeti inayoaidhinishwana ile inayopatikana kwamatumizi ya
mwaka.
A l i o n g e z a k u w aba ad hi ya Wi za ra zaSer i ka l i z i
meku wazikipata fedha chini ya
asilimia 50 ya matumiziy a l i y o p a n g w a n akusababisha
miradimingi ya maendeleokuzorota kutokana naukosefu wa fedha.
Aidha amesema bajetihiyo bado inabakia kuwategemezi kutokana
namapato ya ndani kuwamadogo, ikilinganishwana matumizi ya
kawaidaya serikali.
Alifahamisha kuwas e r i k a l i i n a p a s w akujipanga
ipasavyo,ili kuepuka utegemezikwa bajeti ya maendeleo,a m b a p o a
m e s e m aimekuwa ikitegemeazaidi misaada na mikopokutoka nchi za
nje namashirika ya Kimataifa.
Ametaja mambo yamsingi yanayopaswakuzingatiwa wakati
wautayarishaji wa bajetikuwa ni pamoja na bajetikuweza kukia
malengoya uchumi mpana, ukuajiwa pato la taifa, mfumkowa bei, akiba
ya fedhaza kigeni pamoja na
thamani sarafu.
M a m b o m e n g i n ealiyobainisha ni kutakamatumizi
yagawiwekulingana na malengoya sera ya taifa pamojana kujenga
mazingiraya utekelezaji mzuri wa
bajeti.Katika hatua nyingine
Prof. Lipumba alisemab a d o b a j e t i h i y oh a i j a w e k
a b a y a n akuhusu ukuaji wa deni laTaifa, ambalo amesemalimekuwa
likikuwa kwaasilimia 20 kwa mwakawakati ukuaji wa uchumi
ni asilimia 7 kwa mwaka.
Amesema deni
ni hatari kwa Taiflinapaswa kuwekmikakati imaralisiendelee
kuongena kudumaza patwananchi.
Amesema lichaserikali kudai bimelenga kupunggharama za makwa
wananchi, lawananchi walio w
ba do wana on a kgharama za mazinaendelea kupakwa kasi kubwa
kutakwimu zinazoto
na serikali.
Mwenyekiti wa CUF Prof. Ibrahim Lipumba.
CHAMA Cha WananchiCUF kinaendelea namaandalizi yake kwaajili ya
Mkutano MkuuTaifa utakaoambatanana uchaguzi wa viongoziwakuu wa
Kitaifa waChama hicho.
A k i z u n g u m z a n awaandishi wa habarikatika Osi Kuu za
Chamahicho Buguruni Dar esSalaam, Katibu Mkuu waChama hicho Maalim
SeifSharif Hamad, amesemamaandalizi yote ya msingikwa ajili ya
mkutano huoyamekamilika.
Alisema katika mkutanohuo unaotarajiwa kufanyika
Juni 23 hadi 27, wajumbewa mkutano watapokeataarifa mbalimbali
zakazi za chama kuanziamwaka 2009 hadi 2014,pia watapata fursa
yakuzijadili.
Uchaguzi Mkuu CUF Juni Na Mwandishi Wetu A m e b a i n i s h
a
nyingine katika mkuhuo kuwa ni pamokuwachagua vionwakuu wa
kitaifachama hicho, ambaMwenyekiti wa TMakamu MwenyekiKatibu
Mkuu.
V i o ng o z i w e nwatakaochaguliwa k
mkutano huo ni wajuwa Baraza Kuu la UonTaifa pamoja na wajuwa vi
t i maalum wanawake.
Maalim Seif , taametangaza nia ya kunafasi yake ya UkaM k u u .
A i d h a kuwezekano Mwenyekchama hicho Prof. Lipunaye akatetea
nafasi katika uchaguzi unaotazamiwa kufankatika hoteli ya Blue
Ubungo Plaza, jijini Dsalaam.
-
5/24/2018 An Nuur 1130
4/16
4 AN-N
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, Habari
Tamasha lafana Pembawote ni 956 ambapokwa watu waliotokambali
(Bara), Mwanzai m e on g oz a k w akuleta wawakilishi36.
Katika jumla ya
kazi zilizofanyikakatika tamasha hiloni kusasha eneo lakituo,
kutengeneza
barabara na nj iazinazopita kati yamajengo na kazin y i n g i n
e k a m azilipopangwa nakus imamiwa naAmir wa tamasha.
W a i s l a m uw a l i o h u d h u r i at a m a s h a h i l
o
wakitokea Bukoba,M a ra , M w a n z a ,Kigoma, Ruvuma(Songea),
Lindi ,Rukwa na mikoamingine ya Barawaki jumuika nawenzao wa
Ungujana pemba, walijilipianauli zao wenyeweambapo pamojana kufanya
kazi,kila mkoa ulikujana mchango wakuendeleza kituo.
A w a l i k a t i k atamasha la mwaka
jana lili lofanyikaKirinjiko, Same, kilamkoa ulipangiwakiasi cha
mchango wafedha unachotakiwakukusanya na kuletaw a k a t i h u u w
atamasha.
Kiwango cha chinikilikuwa shilingilaki tano kwa mikoakama Lindi,
Mtwara
na Rukwa.Kwa mkoa waDar es Salaam waowali leta mil ionita tu (3
,000 ,000)w a k i fu a t i w a n aMwanza walioletamilioni mbili
laki sita(2,600,000).
M k o a w aKil imanjaro naouliingia katika Big3 kwa kuleta
shilingimilioni moja na elfu
Inatoka Uk. 1 tisini (1,090,000)Jumla ya fe
zote zilizokusanna wanatamazil i f ikia shi l imilioni kumimoja,
laki nnetisini na mbili
(11,492,000)Pamoja na kufakazi kwa pamwakiwemo washkutoka katika
vvya jirani waliokwanakuja na kurkulikuwa na raza usiku za
kufaibada za pamojkujikurubisha kAllah na kuwommsaada wake
kakukamilisha kaz
ujenzi wa kituo hna harakati nyinza Kiislamu nch
Aidha, kulifanpia semina ambndiyo inafungl e o a m b awashiriki
walipeuzoefu wao kakufanya harakza Kiislamu kamaeneo wanayok u p i
t i a K a mz a K u e n d e l eUislamu.
Kitakapokamiujenzi wake, kc h a K i i s l aShengejuu,
Pemkinatarajiwa kuwshule ya awali, shya msingi, sekonna chuo cha
ualiufundi. Vyote hivikiendeshwa kmaadili ya Kiisla
Kufanyika kt a m a s h a h i l iShengejuu, ni ka
utaratibu amu m e d u m u ktakribani miakasasa waliojiweWaislamu
katkujiletea maende
N i k u p imatamasha himejengwa ShulKiislamu Ubu(DSM),
Kirinj(Same), Nyas(Mwanza) na Mk(Songea).
PICHANI juu na chini, baadhi ya Waislamu wakiwa katikaTamasha la
ujenzi wa Kituo cha Kiislamu Shengejuu Pembamwishoni mwa wiki.
-
5/24/2018 An Nuur 1130
5/16
5 AN-N
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, Habari za Kimataifa
Julius Kithuure, Nairobi,na Bosire Boniface ,Garissa
JUMATATU ya wiki hii,Maafisa wa serikali yaKenya wamesema
watuwanaodaiwa kuwa niWanamgambo wa al-Shabaab, wameuvamiam j i w a
p w a n i w aKenya, Malindi eneo
la Mpeketoni jioni yaJumapili iliyopita nakufanya
mashambulizimakubwa katika kituocha polisi, hoteli, na ofsiza
serikali, na kuua kiasicha watu 60.
M a s h u h u d awamenukuliwa wakisemakuwa kiasi cha watu
50wakiwa na silaha nzito,waliingia kwa magarikatika mji huo uliopo
kiasicha kilomita 100 kutokampaka wa Somalia nakwanza
kukishambuliakituo cha polisi kabla yakuwapiga risasi hovyo nakuzua
tafrani kwa watuwaliokuwa wanaangalia
mechi za Kombe la Duniakwenye baa na hoteli zamji huo.
Habari zilizopatikanak a t i k a m ta nd a o w asabahi zilieleza
kuwa,Naibu Mkuu wa Wilaya,Benson Maisori, alisemamajengo kadhaa
kwenyemji huo yalichomwamoto, zikiwemo hoteli,mikahawa, benki na
osiza serikali.
"Walikuwa kiasi chawashambuliaji 50, wakiwana silaha nzito
kwenyemagari matatu, walikuwawakipeperusha benderaya al-Shabaab,
Walikuwawakipiga mayowe kwa
Kisomali na kusema"Allahu Akbar," alisema.I m e e l e z w a k u
w a
w a s h a m b u l i a j i h a owalijaribu kushambuliakituo cha
polisi, likiwemoghala la silaha lakini Bw.Maisori, alisema maosawa
polisi walilinda jengohilo na kuwashinda nguvuwashambuliaji
hao.
Mapigano makali yarisasi yaliendelea hadiusiku wa manane,
lakinii l ipof ik ia a l fa j i r i ya
Jumatatu, mji huo ulirejeakwenye utulivu, hukuvikosi vya usalama
vikiwavinawasaka washambuliajina maafisa wa serikali
wakikusanya miili.Msemaji wa polisi,Zipporah Gatiria
Mboroki,alinukuliwa na mtandaowa Sabahi, akithibitishakwamba watu
49 walikuwawamekufa, akiwemoaskari polisi mmoja.
Mkuu wa Polisi waKenya, David Kimaiyona Waziri wa Mamboya Ndani
na Uratibu waSerikali Kuu, Joseph oleLenku, waliripotiwa kuwanjiani
kuelekea Mpeketonikutathmini hali hiyo.
Mkazi wa Mombasa,Lucy Muthoni alisemamaafisa wa usalama wa
Machafuko yakolea KenyaRaia wataka kuwajibishwa usalama
Kenya hawakuwepowakati washambuliajiwakiendelea na mauajiyao ya
kiholela, wakipitanyumba kwa nyumba.
" T u m e o g o f y w a nahaya tuliyoshuhudia.Mpeketoni
imekuwasehemu ya amani natulivu sana. Hatujawahikushuhudia ghasia
zakiwango hiki. Tulisamilikahata na machafuko ya
ba ada ya ucha guzi wa2007 ambayo yalizikumbap a n d e n y i n g
i n e z anchi. Lakini amani hiyoimetoweka na sasa tunakhofu sana.
Alisema mkazihuyo.
Mbunge wa LamuM a s h a r i k i J u l i u sNdegwa Kariuki,
alisemaalinusurika mashambuliow a k a t i a l i p o k u w
aanakutana na baadhiya wapiga kura wakekatika Breeze View
Hotel,ambayo ilishambuliwa nakuchomwa moto ambapoalidai mmiliki wa
hotelihiyo aliuawa.
Wakazi katika vijij ivya jirani na Mpeketoni,w a l i r i p o t i
k w a m b awatu hao wenye silahawaliwashambulia wakatiwalipokuwa
wanakimbiamapigano mjini.
Mwezi uliopita, mamiaya watalii wa Uingerezawalihamishwa kutoka
kwahoteli za mapumziko zaufukweni karibu na mjiwa Mombasa,
kufuatiliatahadhari za mashambulioya kigaidi Osi za Mamboya Nje za
Uingereza na
Jumuiya ya Madola.Uingereza pia ilitoa
onyo wiki iliyopita kwawananchi katika mataifakadhaa ya Afrika
Mashariki
ya Djibouti, Ethiopia,K e n y a n a U g a n d a ,ambayo yana
askari wakenchini Somalia kuchukuatahadhari hususan katikamaeneo
yanaoonyeshwafainali za Kombe la Duniakwa umma.
Alhamisi i l iyopita,Inspekta jenerali waPolisi nchini Kenya
DavidKimaiyo, a l i tangaza
ha tu a z a k i u sa l a m azilizoboreshwa katikas e h e m u z a
u m m azinazoonesha mechi zaKombe la Dunia.
Rais Uhuru Kenyatta,ametakiwa na raia kuitishauchunguzi haraka
kujuakwa nini nchi inakabiliwasana na mashambulizi yakigaidi, licha
ya kuwa nachombo cha kiintelijensia
na Kitengo cha Polisi chaKupambana na Ugaidiv i na v y o pe w a
f e d hanyingi.
Wananchi wamehojimaisha yao yataendeleakuwa katika hali ya
hatarihadi linin na kupoteakwa sababu ya wakubwaw a p o l i s i , a
m b a ow a na o ne k a na k u w akatika usingizi mzito hata
baada ya mfulul izo wamashambulizi ya kigaidi.Walieleza kuwa
kwa
jinsi hali ilivyo sasa ni kamamaisha yao yanabakiakutolewa
takwimu tukila baada ya kila tukio laugaidi.
B w . J o e l O m o l o ,mfanyakazi wa Benkiya Equity mjini
Nairobi,alisema aliona picha
ya magar i ya pyakiunguzwa, majkuteketezwa na mkusambaa
kote.
Al i se m a k u to kna kukithir i halmashambulizi, kunaya
wahusika wa maya usalama kuwajkutokana na makoskiusalama na
wahu
kujiuzulu bila kuskufukuzwa kazi.
"Tunataka ukwelinini ilichukua mpolisi kufika, tunamajibu ya
kuridhishya jinsi gani magaidi waliingia mjini wkaunti zinatakiwa
kzimewekwa katika htahadhari kubwa salihoji.
Bw. Cyrus Kyuambaye ni dereva
basi kat i ya Nai robMombasa alisema kni kweli kulikuwa naya
watu 50 wenye s
kunahitajika majibu sji ns i kundi hi li kulilivyokuwa na
uwezkuingia katika nchkutambulika.
Alishangazwa k i t e n d o c h a p okuchukua zaidi yanne za
mashambulimauaji bila kufanya jkabisa kuzuia mauajiau kuwakamata
wau
W a k e n y a w ewameishutu IdarUsalama wa Taifa nhumo kwa
kufanshambulio hilo.
Hata hivyo, Rai
Kenya, Uhuru Kenamesema kuwa, shamhilo si la kigaidi
balikisiasa.
Mashambulio ya kwa mara yanayotnchini Kenya, serikavyombo vyake
vyawamekuwa wakiyahuna na ugaidi huskikundi cha Al-Shacha
Somalia.
KIEVM azung umzo katiya Urusi, Ukraine naUmoja wa Ulaya
kuhusugesi asili yaliyofanyikaJumapili huko Kiev,yamemalizika
bilakufkiwa makubaliano.
Mkurugenzi Mkuuwa kampuni ya mafutana gesi asili ya Ukraineya
Naftogas Bw. AndreKobol ev , amesemaKamati ya Umoja waUlaya
imependekezakuwekwa bei ya muda
Urusi mbioni kuzuia gesi kwenda Ulaya gesi kati ya dola
zakimarekani 300 na 385kila mita za ujazo elfumoja kutokana na
tofautiya majira ya baridi na ya
joto, lakini Urusi imekataapendekezo hilo.
Baada ya mazungumzohayo, Waziri wa Nishatina Viwanda vya Makaaya
Mawe wa Ukraine Bw.Yuri Prodan, amesemaUrusi imesema wazikatika
mazungumzo hayokwamba, kama Ukrainehaitalipa gharama husika,
Urusi itapunguza kiagesi asili inayouzwa nUkraine.
H a b a r i n y i n gzinasema, kampuni yasili ya Urusi Gazp
J u m a t a t u w i k i ilitangaza kuwa, kusaa 4:00 asubuhi kwza
Moscow, kampunitatekeleza utaratibmalipo ya awali kwainayouzwa kwa
kamya Ukraine, baadkampuni hiyo kushinkulipia deni lake la
dokimarekani bilioni 4.
WANANCHI wa Kenya wakishangaa maiti za wenzao zilizotokana na
machafukoyanayoendelea kutokea Mombasa, Kenya.
-
5/24/2018 An Nuur 1130
6/16
6 AN-N
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, Habari/Tangazo
UONGOZI WA SHULE WAKISHIRIKIANA NA JUMUIYAYA WANATAALUMA WA
KIISLAM TANZANIA (TAMPRO)WANAYOFURAHA KUWATANGAZIA WAZAZI NAWALEZI
KUWA TUMEANZA KUPOKEA WANAFUNZI WAKIDATO CHA TANO KWA MICHEPUO YOTE
YA MASOMOYA ARTS NA BIASHARA.AIDHA NAFASI ZIPO KWA WALE WOTE
WANAOTAKAKUHAMIA KATIKA KIDATO CHA, KWANZA, PILI, TATU,NNE, NA
SITA
T U N A O W A L I M U W E N Y E S I F A N A M A K I N
IWATAOHAKIKISHA KUWA MWANAO ANAPATA ELIMUBORA NA MALEZI MEMA
PIA DARASA LA QT LIPO.
WANAFUNZI WETU WOTE WA KIDATO CHA SITAHUWA WANAENDELEA NA MASOMO
YA ELIMU ZA JUU.CHAKULA CHA MCHANA KINATOLEWA SHULENI KWAWANAFUNZI
WOTE.
GHARAMA YA FOMU NI TSHS.10, 000KWA MAWASILIANO:
SIMU NO.0754 400026, SIMU NO.0787 754244IMETOLEWA NA UONGOZI
MPYA WA SHULE
SHULE YA SEKONDARI YA BONDENIS.L.P.2013, ARUSHA
NAFASI ZA KIDATO CHA TANO KWA MWAKA 2014/2015
M A K A M U w aKwanza wa Rais waZanzibar Mhe. MaalimSeif Sharif
Hamad,a m e v i k u m b u s h avyombo vya sheriajuu ya wajibu wak u
s h i r i k i a n a n aw a n a n c h i k a t i k autekelezaji wa
sheria,ili kuhakikisha kuwahaki inatendeka kwawatu wanaokabiliwa
nakesi mahamani.
Maalim Seif alitoakauli hiyo katika hoteliya Zanzibar OceanView,
wakati akifunguamafunzo ya siku nne
kwa Majaji, Mahakimu,Wanasheria, Mawakili
Wadau wa sheria Zanzibar wafundwNa Mwandishi Maalum p a m o j a
n a k a d a
nyengine za sheria.Alisema mara nyingi
wananchi wamekuwa
wakikosa haki zaom a h a k a m a n i k w amadai ya ku weposababu
mbal imbal izikiwemo uchelewajiwa kesi, kukosekanakwa mashahidi
namahakimu wa kundeshakesi hizo.
Alitaka matatizo hayokupewa kipaumbelen a k u t a t u l i w a i
l ikuondosha vikwazov y a k u p a t i k a n ahaki miongoni
mwawananchi.
A l i o n g e z a k u w akatika kufanikisha
KITUO Cha Afya chaKijiji cha MamboM t a e w i l a y a n iL u s h
o t o m k o a n iTanga kinakabiliwana uhaba mkubwawa vifaa vya
kupimamaradhi.
I m e b a i n i k akuwa kituo hichok i n a c h o h u d u m i
awakazi zaidi ya elfuhamsini na sita, kinakipimo kimoja tu
chakupima malaria, hukukifaa cha kupimiashinikizo la damu-B P i k i
s e m e k a n akinamilikiwa na Dk.Malik Karata na siomali ya kituo
hicho.
Wakazi wa eneo
hilo wameeleza kuwawagonjwa wanaokakituoni hapo hupatiwamatibabu
baada yakupimwa kwa machotu, jambo ambalolimewatia wasiwasi nakudai
hali hiyo ni sawana kuchezea maishayao.
Bw. John Shekiughoa l i s e m a u h a b amkubwa wa vipimokama
vile vya damu
Hakuna vipimkituo cha afyMambo Mtae
masuala hayo ni lazimavyombo vinavyohusikak u s h i r i k i a n
a k w apamoja, ili kuona kuwa
wananchi wanapatahaki zao wanazostahikikwa wakati muafaka.
Makamu wa Kwanzawa Rais pia alisisitiza
juu ya haki ya dhamanak w a w a s h i t a k i w awanaoweza
kupewadhamana kwa mujibuwa sheria na kwamba,
jambo la msingi nikuwajengea mazingira
b o r a wa s h i t a k i w ahao ili waweze kufikam a h a k a m a
n i p a l ewanapohitajika.
Aidha amesisitizahaja ya kuzitazama
sheria ambazo haziletiusawa na zenye ubaguzindani yake, ili
ziwezek u b a d i l i s h w a n a
wananchi washirikishwekatika mageuzi hayo.M a p e m a
akizungumza katikamafuzo hayo, Waziriwa Katiba na Sheria
Zanzibar AboubKhamis Bakari, amesuala la uchelewawa kesi hal iz
ihmahakama peke y
bali kuna wadau wwakiwemo mashahipolisi ambao wanapkushirikiana
kikamkuhakikisha kuwa thilo linaondoka.
Na AbdulkarimMsengakamba
vinavyojumuishamaradhi ya Taiv ip im o vy a hkubwa na ndovyote
havipatikkatika kituo hicho
B w . S h e k i ualisema kuwa kasiku za nyuma, viphivyo
vilikuw
l a k i n i k w a shaijulikani viko wAlisema kuwa
shaka kwamba vhivyo vilivyokuvikipatikana siknyuma,
haifahamvilikuwa vinamilikmadaktari wenye
W a n a k i jw a m e w a o mwahusika ambaserikali kupitia Wiya
Afya kuchungkituo hicho, ili kiwkutoa huduma bkwa wagonjwa w
N a y e DM a l i k K a r aalipozungumzagazeti hili kwa njisimu,
alikiri kuwuhaba wa viplakini wanaendkutoa huduma.
Hata hivyo aliskama yupo mwekutoa misaada ya vhivyo vya
maabwatashukuru san
-
5/24/2018 An Nuur 1130
7/16
7 AN-N
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, Tangazo
K I L A k i p i n d ic h a h i s t o r i ak i l i c h o h u s i
s h w an a k u m s h i r i k i s h aM weny ezi M ung u
(s.w.t.) na mapatina(wenza) - vitu au watu,kwa njia yoyote ile-
ama kwa kuabudumasanamu na kuyapasifa za kiungu, au kwakuwav isha
uung uwanadamu wenzaoa u k u u s i n g i z i aulimwengu au
vyanzovingine vya kidunia wakuumba - ni giza tupu.Hivi ndivyo
ilivyo kwasababu pindi imaniya Umoja au Upwekewa Mungu (s .w.t .
)ikitolewa katika moyo,
akili na roho "huingiagiza", viwango vyotehubadilika na vituna
dunia hutazamwakwa mitizamo bandia.H a l i k i m a a d i l i
,kiroho, kijamii, nahata kiuchumi nakisayansi ya jamiindiyo
inayoelezewana aya ifuatayo yaQur'an kuwa ni hali
ya(jahiliyya):
Au (amali zao zilembaya) ni kama gizakatika bahari kuu,
iliyofunikwa na mawimbi
juu ya mawimbi, na juuyake yapo mawingu.Giza juu ya giza.
Akiutoam t u m k o n o w a k eanakaribia asiuone (kwakiza
kilivyoshtadi).Na ambaye MwenyeziMungu hakumjaaliakuwa na "Nuru
kamwehatakuwa na nuru.(Surat An-Nur, 24:40)
M i m i s i p e n d ikuelezea mambo yauongo. Isitoshe, niupotofu
ulioje kwangumimi kuuelezea uongowakati ukweli unaweza
kuelezewa? Kwa mujibuw a m a n e n o Y a k eMwenyewe MwenyeziM u
n g u ( s . w . t . ) ,Amesema hivi:
Basi huyo ndiyeM w e n y z i M u n g u ,Mola mlezi wenu wahaki.
Na kipo kitu gani
baada ya (kuiacha) haki,isipokuwa upotovut u ? B a s i h u w a j
emkageuzwa? (SuratuYunus, 10:32)
H a t a h i v y o , i l ituliweke wazi somo hili,
Muhammad (s.a.w.) alitumwa kuja kuwa rehma kipindi cha giza cha
ujahili
ninaona ni lazima nisememachache kuhusu zamaza ujahiliya, yaani
kablaUislamu haujaja.
Mtume Muhammad(S.A.W) alikuja katikawakati ambao watuhawakujua
dini yaukweli, na kwa hiyowaliabudu masanamuya watu. Hawakujuadini
ya ukwel i , nakwa hiyo waliabudu
masanamu ya udongo,mkate na hata ya jibinikama inavyosema
Quraan:
N a o , b a d a l a y aM wenyez i M u ngu ,w a n a a b u d u w a
s i owadhuru (wanapoachak u w a a b u d u ) w a l ak u w a n u f a
i s h a(wanapowaabu du ) ,na wanasema; hawa( w a u n g u w a d o g
o ,washirika wa Mungu!Tu nawaowaabu du )ndio waombezi wetukwa
Mwenyezi Mungu!
Asiyo yajua ya katikambingu wala katikaa r d h i ? S u b h a n a
h uwa taala ametakasikan a u p u n g u f u w akuhitaji mshirika)
naametukuka na haowanaowashir ikishanaye (Surat Yunus 10:18)
W a l i c h a n g amasanamu ya, udongoya, mkate, na hata
jibini,nao wakasema hivi:Hao ni waombezi wetukwa Mungu walikuwaduni
kwa fikra na
maadili kiasi kwamba,k a m a a l i v y o r i p o t iAbu Dharr
Al-Ghafirik u w a , w a n a w e z akuketi ili kula chakula,na
wakayakatakatamasanamu yao vipandevipande kisha wakayala.K i s i n
g i z i o p e k e ewaliochukuwa nachokwa ujahiliya (ujinga)wao huo,
walisemakwamba wal i ku wa
wanafuata nyanyo zamababu zao, kamainavyosema Qur aan:
Na wanapoambiwa:fuateni aliyoyateremshaMwenyezi Mungu,
waohusema; bali tutafuatatul iyowakuta nayo
baba zetu, j, hata ikiwababa zao wa likuwah a w a e l e w i k i
t u ,wala hawakuongoka(watawafuata vivyohivyo kiupofu)? SuratAl-
Baqarah,2:170)
Hata walikia hali yakuwazika watoto wao
wanawake huku wakiwahai, kama inavyosemaQur,an:
Na Mmoja waoanapopewa habari yakuzaliwa kwa msichana,uso wake
husawijika,naye ka jaa majuto.A k a w a a n a j i f i c h
ausionekane na watukwa ubaya wa habarializoambiwa (kuhusukuzaliwa
mtoto wakewa kike)! Je, akae naye
ju u ya fe dh eh a hi yoau amfukie udongoni(kaburini), ilhali
badomzima, ili ae kaburini
kwa kukosa hewa)?Tazama uovu wajinsiw a n a v y o h u k u m u !
"(Surat An-Nahl, 16:58-59)
Kabla ya kuja kwaUislamu, wanawakewal idharaul iwa
nakunyanyaswa, siyokatika nchi za Arabunitu, bali pia katika nchiza
Kirumi na Uajemi(Watawala wa Sassan,huko Persia (Uajemi)
mnamo "mi aka ya211-651A.D.). Qur'aninatangaza wazi wazikuwa
wauaji hao wotewatakuja kuulizwa juuya haya:
Na mtoto msichanaal iyezikwa hal i yaku wa a l i ku wa ha
iatakapoulizwa, Kwakosa gani aliuliwa?"(Surat At-Takwiyr,
81:8-9)
Siku moja, baada yakutangazwa Unabii waMuhammad (s.a.w.),mmoja
wa Masahabazake alimwendea Mtume
(s.a.w.), na akamhadithiaalichomfanyia bintiyake, kama
ifuatavyo:
"Ewe Mjumbe waAllah (s.w.t.)! Nilikuwana Binti yangu. Sikumoja
nikamwambiamamake amvishe nguo,kwa kuwa nilikuwanampeleka kwa
mjombawake. Masikini mamahuyo alijua maana yamaneno hayo,
hakuwezakufanya lolote zaidi yakutii na kulia tu. Mkewangu
akamvalisha
binti huyo nguo nzuri,na binti mwenyewe
alikuwa anafurakwenda kwa mjowake. Ni l impelkaribu ya
kisimanikamwambia atazkisimani. Nikamteke kuelekea kisimAlipokuwa
akiangchini alikuwa ak(Baba, Baba!'." Kahuyo Sahaba
alivyokakisimulia hadithiMtume) alikuwa akwa kwi kwi kamani yeye
aliyempondugu yake wa dwa karibu kabisa.
Nyoyo zil ikwikuwa sugu. Kila sh i mo l i l i ch i mb
jangwani ili azikwemsichana asiyekn a h a t i a y o y oWanaadamu
walikwakatili zaidi kuh a t a f i s i . W en g u v u w a l i k
uwakiwateketeza wnguvu na wadhoI l i ku wa ni wakambao unduli
ulikkawaida ya wanadaukatili ulidhihirishwenye kiu ya tukuk u m w a
g a d akulihesabika kuwsifa, zinaa ya watu wndoa na wasiyokuwndoa
ilikuwa ni kawzaidi kuliko ndoak i s h e r i a . M i u n
ya familia ilikwkuharibiwa.
Kipindi hiki cha ndicho kilichofuana Uislamu. Na bakkuondosha
maovu mengine, MwenyMungu (s.a.w) hakukurudia katazo la kwatoto
wadogo, kinavyosema Qur'an
S e m a : n j onikusomeeni akuharamishieni Mwenu mlezi. Naykuwa,
msimshirikyeye na chochote
wazazi wenu wafanywema. Wala msiwaw a t o t o w e n u ksababu ya
umasikintunakuruzukuni nyna wao. Wala msikam a m b o m a c h
ayanayoonekana, yanayofichikana. Wmsiuwe nafsi ambM w e n y e z i M
u nameharamisha kuiuila ikiwa kwa hHayo amekuusienmyatie akilini.
(SAl-An`aam, 6:151)
-
5/24/2018 An Nuur 1130
8/16
8 AN-N
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, Makala
HIVI sasa mtoto Aishaakiwa na umri wamiaka mitano (5) hanamacho,
pua wala usohautambuliki kuwaana sura ya namna gani.Kilichosalia ni
paji lauso kuelekea kichwani.Mkono mmoja pia
haupo.Aisha hakuzaliwakatika hali hii. Walahakukwa na
masaibu
Tunakoelekea kubayaItakuwa ni haya aliyofanyiwa AishaKapoteza
macho, pua na uso woteMbiu ishapigwa Unguja, Mbagala
Mwandishi Terese Cristiansson, akishikilia picha ya Aisha
ikionyesha uso wakeulivyo baada ya kulipuliwa.
i n a v y o t u b a i n i s h i aQ u r a n i k i l e n g
akututanabahisha kuwatujihadhari nao.
N a w a n a p o aa m b i w a : M s i f a n y euharibifu
ulimwenguni,husema: Bali sisi niwatengezaji. Hakikawao ndio
waharibifu,lakini hawatambui.(2:11, 12).
Ilikuwa ni Septemba7 , 2 0 1 3 , a m b a p okombora kutoka
droneya Wamarekani lilipigagari iliyokuwa na abiria15 kule
Afghanistan.Wote waliokuwemo
waliuliwa isipokuwamtoto Aisha wakati huoaiwa na umri wa
miakaminne (4).
A i s h a a l i k u w aakisari na wazazi wakena ndugu zake, kaka
nadada kutoka nyumbanikwao Gamber, katika
Jimbo la Kunar. Maarufukama American birdsU . S . d r o n e , n
d i y oiliyomtia Aisha kilemacha maisha, kupotezafamilia yake yote
nakubaki yatima asiye nadada wala kaka. Kipofu,
bila pua, bila masikio nabila sura ya kueleweka.
Ilikuwa wapita njiaambao walipotizamana kupekua mabakiya gari
lililoharibiwa
kabi sa (wr eckage) ,w a l i t o s h e k a k u w ahakuna
kilichosalia haikutokana na gari hiyoilivyokuwa imeharibiwana
kuwepo mtapanyikowa vipande vya miili yawatu. Hata hivyo katikahali
ambayo walisema nikama muujiza, walisikiasauti ikiita, nataka
maji,nataka maji, maji, maji.Huyo alikuwa ni mtotoAisha.
Alipotolewa kutoka
mahali pale, ulikhuwezi kumtambua
jinsi uso ulivyoharibAmepoteza pua, mna mkono.
Taar i fa za Aizilika katika masikmacho ya walimw
ba ada ya mwand
Terese Cristianssongazeti moja la SweExpressen kuka k
haya kutokana na ajaliya moto au gari. Aishaameharibiwa uso
wake.Kaharibiwa mustakbali
wa maisha yake yote.Ni katika jumla yamatokeo ya ufisadi nauovu
unaofanywa na
binadamu katika ardhiya Al lah. Mafisadiambao kila
wakiambiwamsifanye ufisadi nauharibifu katika ardhi,w a o h u t a m
b a n akujigamba kuwa waondio watengezaji. Balitambueni kuwa
hakikahao n i wahar i b i fuw a k u b w a k a m a
hospitali ya WafarKabul akifuatilia hnyingine kabisa. Hndio
akakutana
dakitari HumayZaheer, aliyemwakuwa pamoja na hanazofuatili,
kipokisa cha Aisha.
Kwa hakika kisaAisha ni cha kutishkusikitisha kilichommpaka Rais
HaKarzai kuka hospkumwona. Karzai bya kumwona mAisha anasema,
Inatoendelea U
-
5/24/2018 An Nuur 1130
9/16
9 AN-N
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, Makala
Tunakoelekea kubayaInatoka Uk. 8
hakika hiyo ilikuwasiku mbaya kabisailiyowahi kumpitikiakatika
maisha yake. Kwamaana kuwa hajapatapokuona jambo la kutishana
kuhuzunisha kama
alivyomshuhudia Aishaalivyo.Siku mbaya katika
maisha yangu ilikuwasiku nilipomtembeleamtoto mdogo mwenyeumri
wa miaka minnena nusu. Aisha alikuwahana uso. Uso wakeulikuwa
umelipuliwana kuharibiwa kabisak u t o k e a k i d e v u n ih a d i
j u u . K i p o f u ,alikuwa na macho,kwani yameharibiwa.Hana mkono
mmoja.
Amepoteza familia yote,yote kabisa. Familia yawatu 14
imeangamizwana bomu la pale Kunar.Kwa hakika, siku ilenilitamani
lau mtotoA i s h a a n g e k u w aamekufa akazikwa nawatu wengine
wa familiayake, wazazi wake, kakana dada zake.
H a y o y a l i k u w am a n e n o y a R a i sHamid Karzai hukua
k i b u b u j i k w a n a
m a c h o z i b a a d ay a k u s h u h u d i amasaibu
yaliyomkutamtoto Ai sha . Hatahivyo al ichotakiwak u k u m b u k a
n akuzingatia Karzai nikuwa yeye ana mchangomkubwa. Yeye ni
katikawatu watakaoulizwa juuya ukatili aliofanyiwaAisha na
wanaofanyiwaw a t u w e n g i n e w aAfghanistan. Yeye ndiye
aliyekubali kutumiwakama ki bar aka waM a r e k a n i h u k
uakishirikiana nao katikakuwaangamiza nduguzake kwa madai kuwani
magaidi. Haya ndiyomatoke ya lazima kwakila anayewakaribishawatu
hawa . Hawahawaingii katika mijina nchi, ila hufanyauharibifu na
kuletamaangamizi kwa watu.
Wasivyo na a ibuwatu hawa, baada yakutangazwa habariza Aisha,
wal ikujaw a k a m c h u k u a n ak u m p e l e k a k a t i k
ahospitali ya ki jeshiWashington- WalterReed Military
Hospital,Washington, bila hataya kuomba ruhusakwa ndugu wa karibuwa
Aisha akiwemomjomba wake. Hivi sasawanamlea Aisha katikakituo
kiitwacho Solacefor Children, ambachokazi yake kubwa ni
kuwakusanya watotow a K i a f g h a n i s t a nwaliopoteza
wazaziwao au kujeruhiwakatika matukio kamahilo la Aisha, halafuhuko
huwapatia wazaziwa kupanga (fosterfamilies). Kuna wengine
ba ad ae hu ware je shakwa wazazi na nduguzao Afghanistan,
lakiniwengine hupotelea hukoMarekani.
Habari zinafahamishak u w a m w a n d i s h iCristiansson,
aliendampaka Washingtonkufuatilia habari zaAisha, lakini watu
wakituo cha Solace wakadaikuwa wao walipoletewamtoto huyo
waliambiwakuwa hakuwa na wazaziwala familia. Alifanyakuokotwa tu.
Hata hivyoalipowaambia kuwa anafamilia iliyoangamizwan a m a k o m
b o r ay a M a r e k a n i ,Solace, wal ikat isham a z u n g u m z
o n a
h a w a k u t a k a t e n akuongea habari za mtotoAisha.
Waandishi wa habarina watu ndugu waAisha, walizuiwa kupatahabari
za Aisha na hiini katika jitihada zakucha uovu na ubayawa
mashambulizi yadrone. Ilikuwa ni Machimwaka huu ambapoa n g a l a u
m j o m b aw a A i s h a , B w a n a
Hasrat Gul, alipewataarifa kuwa Aishaamekabidhiwa familiamoja ya
Kiislamu huko
Marekani kukaa naye.Hata hivyo anasemakuwa wanachotaka
nikurejeshewa Aisha wao.Aisha hastahiki kukaana watu ambao
ndiowalilipua uso wakena kumpotezea pua,macho na mkono.
Watuwaliomuuwa baba yake,mama yake, kaka zakena dada zake.
Mwaka huu 2014unaingia mwaka wa tano(5) wa mashambulizi ya
drone toka Rais Obamaal i poanz i sha U.S .drone program.
Kwamujibu wa taarifa ya TheBureau of Investigative
J o u r na l i s m , k a t i kakipindi hicho jumlaya watu 2,400
na zaidikidogo wameul iwaambapo zaidi ya 200 niwatoto wadogo. Na
hiyoni katika Pakistan pekee.
Ilikuwa ni Septembahiyo hiyo ya 2013,ambapo wakati Aisha
analipuliwa na famnzima kuteketea, Barack Obama akmashambulizi
ya d
kwa kile alichosku wa ni ha l a l iyanayosa i di a skatika
kukabiliamagaidi na kwayataendelea kutumkila ambapo Mareimeingia
kupambanmagaidi.
T u n a c h o t a kk u f a h a m u w a ktunasoma habari za Aisha
ni kuwa wale waliozoeya kukelele za mbwa m
wa uwongo, wakkuitangazia Tanzkuwa ina kitishomagaidi (Al
ShabaQaidah), wajue kkitisho hicho kikkolea, wenye vitaya ugaidi
wataingimatokeo yake ni khaya yanayomtoa Karzai machozi.
Dhaitachagua MuislMkristo, mwandishhabari wala mchuau mtoto
mchanga
Mwandishi Terese Cristiansson akiwa kazini.
-
5/24/2018 An Nuur 1130
10/16
10 AN-N
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, MAKALA
Kwa jina MwenyeziMungu mwingi warehma na mwingi waukarimu. Kila
sifan j e m a a n a s t a h i k iMwenyezi Mungu kwaneema
alizotuneemeshazenye kuonekana nazisizoonekana.
Na katika kila kitutumeumba Dume na Jikeili mpate
kufahamu[51:49]
Mpenzi msomaj i ,m a n e n o h a y a y aA l l a h M u u m b
ayanatubainishia jinsim w a n a n d a m u n avyote
alivyoviumbaameviweka katika Joziya uwili, uwili utokanaona ujike
na udume
unaopatikana katikavitu vyote vilivyomokatika maisha, yenyek u p
a t i k a n a k w awanadamu, hayawani,m i m e a , j a m a d
i(inanimate), katika bakiya maada nyingine nahata katika
chembe(particle/atom) za vituvyenye mkondo hasina chanya. Jozi
hiiinazingatiwa kuwa niajabu yenye kuvuta akilina kra za
walimwenguna kuzifanyia utafiti.Q u r - a n i T u k u f uinauvuta
mtazamo naakili ya mwanadamukuielekea ajabu hiikupitia kauli tukufu
yaAllah (s.w):
N a a m e t u k u k aA l l a h a a l i y e u m b aDume na Jike
katika(vitu) vyote, katikavile ivioteshavyo ardhi(Mimea) na kat
ikanafsi zao (wanadamu)n a k a t i k a v i l ewasivyovijua.
[36:36]
Allah Mola Muumbaameumba jozi ya udumena ujike katika kila
ainaya viumbe vyake. Eneona dhima ya jozi hiyohufanya kazi katikau
l i m w e n g u w a k emakhsusi kwa kulinganana nidhamu
(utaratibu)maa l u mu i s i yo yakubahatisha. Katikaeneo la
wanadamutunaiona jozi hii bainaya mwanamume namwanamke ni njia
ya
Ndoa na madhara ya zinaaNa Hemed S. Marhoon
kuzaana, kuongezeka nakujiimarisha sawasawakatika siha ya mwili
nanafsi. Na kwa kupitia
jozi hii ndio kizazi chawanadamu huendeleakubakia katika
maishaya sayari hii ya dunia.
Kwa kuuzingatiau k w e l i h u u u l i odhahiri,
tunalazimikakukubali kwamba kilammoja wa wanajozi
hawa mwanamumen a m w a n a m k e n isehemu isiyotengekana
mwenzake. Kwam a n e n o m e n g i n ew a w i l i h a w a k w
apamoja ndio huundaumbile moja kamili lamwanadamu. Umbileambalo
halipatikanii l a k w a w a w i l ihawa kuungana nakuchanganyika
pamojakatika maisha ambayoyatawaunganisha na
kuwa nafsi moja. Na hilila kuwa nafsi na mwilimmoja halipatikani
ilakwa njia na msaada wandoa na si vinginevyo.Ni kwa sababu hi
indio maana mfumo wandoa katika Uislamuu k a w a n i m f u m ow a k
u k a m i l i s h a n a( i n t e g r a t i o n /complementarity)
bainaya mwanamume namwanamke.
N a h i v i n d i v y o
inavyobainisha kauliya Allah (s.w) katikaQuran:
Na katika ishara zake(za kuonyesha ihsaniyake juu yenu) ni
kuwaamekuumbieni Wakezenu katika jinsi yenuili mpate utulivu
kwao,naye amejaalia mapenzina huruma baina yenu.Bila shaka katika
hayazimo ishara kwa watu
wanaokiri. [30:21]Hii ndio maana ya
kuumbwa mwanamumena mwanamke kutokanana asili moja. Ndoa
ndiomfumo bora unaobebadhamana ya utwaharifuwa tone la manii naule
wa tumbo la uzazi.Ndoa huchukua dhimaya kuhakikisha kuwambegu
imetoka ndipona kuingia ndipo, yaaniyametoka kihalali nakuingia
mahala pa halali
(mke). Ni katika hali namazingira haya ya ndoandipo hudhibitika
nakuthibitika ukweli wanasabu ya mwanadamutofauti na ile ya
hayawaniwengine.
Ndoa katika Uislamundio njia sahihi yak u f u a t w a a m b a y
oh u w a k u t a n i s h apamoja mwanamke namwamume. Na ndionjia ya
kimaumbile yakuzaliana inayotakiwa
kuyatawala maishaya mwanadamu kwaa j i l i y a k u h i f a d h
ina ku l i nda hadhi ,utukufu na heshima yamwanadamu kama mtu
binafsi na kama jamii .Allah Mola Mtukufua n a t u a m b i a : N
ahakika tumewatukuzawanadamu [17:70].
Sasa ikiwa AllahM o l a a l i y e t u u m b a
ametutukuza sisi wajawake na akatuwekeautarat ibu wa ndoai l i k
u u c h u n g a n akuuendeleza utukufuwetu huu. Kwa nini
basi sisi tuliofadhiliwana kupendelewa kwakupewa hiba ya
utukufuhuu tunaukataa?! Na
badala yake tunautwaauduni na kufuata njiachafu na mbaya yazinaa
inayotuweka nakutulinganisha sawa
na wanyama ambaohawakupewa utukufumithili ya tuliopewasisi?!
Zinaa ni chimbukol a f i sadi kwa mtu
bi na fs i na jami i kwaujumla. Zinaa ina atharimbaya
zinazomrudiamuhusika mwenyewekatika maisha yake nakatika jamii
ambazoz i n a i h a l a l i s h a n ak u i t u n g i a m i f u m om
a a l u m u . K a t i k a
mifumo hii michi n a y o n u k a , anakuwa hana kdhidi ya zinaa
kanafsi, familia na mmume wake. Ukiacmbali kwamba zinmashine yenye
jukla kuifisidi siha (
ya muendekezajitendo hili lisilo la kZinaa pia ni kiwac h e n y
e d h i m akuzalisha na kusammaradhi ya kuambuyatokanayo na uhuu.
Maradhi amhuharibu kizazi naya kizazi. Ukimwkatika jumla ya mmakuu
yanayozalina kiwanda hikizinaa, huu ni ukusiopingika.
K u t o k a n a
madhara haya makuyatokanayo na zindipo Uislamu kdini na mfumo
sawa maisha ukaikamkuikemea vikali kzinaa. Ukaifanya zkuwa ni
miongoni madhambi makunyu ma ya dhaz a k u m s h i r i k iAllah na
kuua ni l i y o h a r a m i s hKutokana na sababuAllah (s.w)
ameike
na kuikataza zinaaWala musiikaZinaa, hakika huuchafu (mkubwani
njia mbaya kab[17:32]
K a t i k a U i s l akujilinda na kujihifna zinaa ni mionmwa
sifa za wauwaliofaulu na kufAmesema MwenMungu Mtukufu:
. . n a a mwanazilinda tupuIsipokuwa kwa wzao au kwa
iliyowammkono yao ya kukwani hao si wekulaumiwa. Laanayetaka
kinycha haya, basi hao warukao mipaka [7]
Zinaa ni sabachemchem na chacha aina mbalimbashari, uovu na
fikubwa katika jam
Inaendelea U
-
5/24/2018 An Nuur 1130
11/16
11AN-N
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, Makala
PROFESSOR KhadijaW a t s o n , a l i k u w a
mwana Theologia ,Missionary, Mchungaji,Mkristo mhafdhina nakamwe
hakuonekanakama angeweza kuwamuumini wa Kiislamu.
Miaka sita iliyopita,katika maisha yake yote,alilelewa katika
maishaya Ukristo (awali kamamuumini wa RomanKatoliki na
baadaeMlokole). Alihitimustashahada ya uhubiri(Standard
MinisterialDiploma), shahada yaTheology na shahada ya
uzamili ya Divinity.Lakini pamoja na hayoyote, hatimaye
aligeukiaUislamu na kusilimu!
N i j a m b o g a n il i l i l o m f a n y a P r o f .K h a d i
j a k u f a n y am a b a d i l i k o h a y oyaliyowashtua wengi,i k
i l i n g a n i s h w a n amsimamo na elimuya Ukristo
aliyokuwanayo?
Mama huyo anaelezak u w a c h a n z o c h akubadilika kwake,
nikuanza kuhoji baadhi ya
mambo katika imani yaKikristo wakati anasomashahada yake ya
uzamiliya Divinity.
Ilikuwa tabia yakekusoma sana Bibliakatika kipindi cha miaka12.
Alifanya hivyo marakwa mara pamoja nakuhubiri na kufundisha.
Wakati huo akisoma,a l i a n z a k u t a m b u amikanganyiko
kadhaan d a n i y a U k r i s t o .Alitoa mfano kuwawalifundisha
habari zadhambi ya asili kutokakitabu cha Mwanzo3, lakini
ilitofautianana katika kitabu chaEzekiel 18:1-22.
A n a s e m a k u w akama maandiko hayaya mwanzo sio
kweli,msingi wote wa Ukristounaanguka.
Niliona mambo hayawakati nayasoma, namara zote nilishindwakuyati
l ia maanani ,lakini nilikosa mudakuyafanyia uchunguzikwasababu ya
kubanwa
Alivyosilimu Prof. Khadija WatsoNa Khadija Watson,
California, Marekani na masomo yangu.Ndio, katika miaka
yangu nane ya masomotulisoma vitabu vya
Biblia, kimoja baadaya kingine, sura kwasura, aya kwa aya,
hatahi vyo ha tu ku wahikufanya ulinganifu,hivyo mkanganyikowowote
ulioonekanahaukuelezwa kabisa.
Alisema katika kipindihicho, ilikuwa ndio marayao ya kwanza
kujifunzahistoria ya Kanisa kwauhalisia wake na siokutoka kwenye
Biblia.
Alisema ni katikanukta hii alianza kuhoji
juu ya mafundishoya Kikristo ambayohayakuwepo enzi zauhai wa
Yesu, badalayake mafundisho hayoyalianza miaka 325
baadae, yakianzia namafundisho ya utatu.
Akielezea historiayake katika kanisa hadikusilimu, Bi.
Khadijaalieleza kuwa nenoutatu halikupatikanakatika Biblia
yeyoteduniani, wala katikalugha za asili za kigirikina Kiibrania.
(Hizo
ndizo lugha ambazokwa asili yake zilitumikakuandika Biblia).
Khadi ja anasemakuwa mafundisho hayoya utatu yalianzishwakwa
mara ya kwanzak w e n y e m a b a r a z amanne ambayo
ndiyoyaliyoufanya Ukristoleo, lakini kwasababuWakatoliki kwa
wakatihuo wasingeukubali,ulianzishwa tena miaka68 baadae, katika
Barazala pili la Nicaea.
Kupitia mafundisho
ya kibinadamu, ambayoyalimfanya Yesu kuwaMungu na binadamuw a k
i u m e , h a d ikukia mafundisho yamaafikiano, au
perfectsacrifice, uhandishiwa mafundisho hayayote ulichukua zaidi
yamiaka 100.
Siku zote nilikuwa nahamu kubwa ndani yamoyo wangu kumjuazaidi
Mungu. Siku mojanilikwenda kwa profesawangu na kumweleza,
" K u n a u w e z e k a n ok w a m b a k u n aUkristo zaidi
kulikoule tunaoufundisha.Tunawaambia watukuwa lazima wazaliweupya "
(ikiwa na maanaunatakiwa utoe kaulindani ya nafsi yako nakuamua
kumwombaYesu Kristo a ingiendani ya moyo wako na
kukusamehe dhambizako na kukufanya mtumpya), au unatakiwakuwa na
roho mtakatifuikiwa ni ziada ya kuwa M l o k o l e a m b a p omtu
anakuwa na hisiaza ndani za moyomtakatifu, zikikolezwana kutamka
kwa ulimi.
Nilizoea kuwa navyote hivyo ingawahaya hayatambuliwin a M a k a
n i s a y o t eya Ki kr i s to . Ku nakutokubaliana na
tofautinyingi za kanuni zakielimu za madhehebuya kidini.
Protestantihawawatambui Katolikina hata kuona kuwa sioWakristo
kwasababuwanamwabudu Maria,Mama wa Yesu.
Wasabato hawanam a h u s i a n o n awasiokuwa Wasabato.K u n a M
e t h o d i s t ,Wesleyan, Presbyterian,C o n g r e g a t i o n a l
,Kanisa la Pentecostemaelfu ya makanisay a n a y o j i t e g e m e
a
ambayo hayapo chiniya madhehebu yeyote.
Wote wanatofautianak a t i k a n u k t a z amisingi au kisera
aukatika kutafsiri Biblia.Ni l i ona kama ki l etunachofundisha
nihalisi, kulikuwa hakunahaja ya madhehebu.Kungekuwa mabadilikoya
dhahiri katika jamii
i n a y o t u z u n g u k a .Badala yake, jamiiinaporomoka na
kuwakatika hali mbaya kulikoi l i v y o k u w a m i a k ahamsini
iliyopita.
Zinazoitwa nchi zaWakristo ni miongonimwa nchi zenye halimbaya
zaidi. Profesawangu hakuwa na lakujibu. Nilisonga mbelena kuhitimu
shahadayangu ya uzamili yamasomo ya dini (a degreein Theology)
mwaka1993. Mwezi mmoja
baa da ya kuhit im u,n i l i a m u a k u s o m alugha ya
Kijerumani.M w a n a f u n z imwenzangu mmojaal ikuwa ni daktar
iambapo alifanya kazimiaka sita Dubai.
T u l i k u j a k u w amaraki na nilitambuamaswali yake
aliyokuwaakiniuliza mara zoteyal ihusu andiko laagano la kale. Nami
pianilikuwa mara nyinginamuuliza maswali
kuhusu utamadwa Mashariki ya Sikuwahi kuwa na hya Uislamu,
ingmasomo yangu myalikuwa ya masuadini. Tulisoma maya Uislamu,
BuddhHinduism, AnimisCatholicism sambana tamaduni zake.
Haja yangu ilik
k u j u a m a m b oAnimism, au din
jadi. Wakati tulipokpamoja ni l igunkuwa yuko tofaMara zote
alitaka kulakini katika mtazwa Kikristo. Tulipoktumetoka, alikuwa
zote akiwapa feombaomba. I l i fmahali akawa na mwa plasitiki
ukiwsarafu ndani ya gariajili ya kazi hiyo.
S i k u m oni l imwambia kkabla ya kumfahvizuri zaidi, nilyeye
ni MuislaAlinithibitishia kwakati alipokuwa Dalikuwa Muislalakini
hakuwahi kuifamilia yake. AlipoPhilippines, aliritena na hakuswali
kufuata Uislamu Familia yake ilikya Kikatoliki, ingyeye hakuwa na
h
Inaendelea U
Khadija Watson
-
5/24/2018 An Nuur 1130
12/16
12 AN-N
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, Mashairi/Habari
Ndoa na madhara ya zinaInatoka Uk. 10
wanadamu. Kutokanana sababu hiyo nanyenginezo, Uislamu
u m e w e k a a d h a b uitakayomzuia mzinifukufanya tendo
hilo
baya. Kwa kuwe kasheria hizi, Uislamuumemuhifadhi mtu
binafsi na jamii nzimakutokana na atharimbaya zitokanazo
nauchafu huu wa zinaa.
W a k a t i a m b a p oUislamu unayafanyayote haya, kanuniz i l
i z o w e k w a n akutungwa na binadamuvi u mbe dha i fu
nawapungufu wa kila hali,zinampa mtu uhuru wakufanya zinaa
katikahali ya maridhiano namakubaliano baina yawahusika wa tendo
hili.
K a t i k a h a l i y amaisha ya sasa imekiawanadamu
kuhalalishazinaa na kuitungia sheriayake, kutengenezewav i f a a p
a m o j a n akutengewa sehemumaalumu ya kufanyia ilikumrahisishia
mtendaji.
Kwa kutumia kigezohicho, zinaa imekuwani sehemu ya kuingiziapato
kwa watu binafsina taifa kwa ujumla.
Sababu kama hizizinakamilisha manenoya Mtume Muhammad(s.a.w)
pale aliposema:"Ikidhihirika zinaana riba katika ardhi
bas i wamejihalalishia(wamejitakia) wenyewenafsi zao adhabu
yaMwenyezi Mungu".
Na amesema tenaM t u m e ( S . A . W ): "Haienei zinaa
nauasherati katika jamii ilaitaenea kwao vitu viwili,(mauti na
magonjwayasiyojulikana)".
Mpenzi msomaj i ,yatupasa tutambuekuwa kila mwanadamuni mkosaji
na mmborawa mkosaji ni yulem w e n y e k u t u b i amakosa yake.
Ikiwawewe ni miongoni
mwa wenye kutendadhambi hii ya Zinaa naunachukizwa na jambohilo,
basi nafasi ipo ya
kufanya tawba juu yadhambi hii kubwa kablahayajakuka mauti.
NaMwenyezi Mungu niMsamehuvu, Mpole.
Ikiwa ni mwanamumeuliyekia umri wa kuoa
basi fanya hima kuoa ilikutekeleza ule utukufualiotutukuza Mola
wetu.Na ikiwa ni mwanamkena bado hukujaaliwandoa ilhali
umeshakiaumri, basi fanya subrampaka Al lah (s .w)atakapokujaalia
rizkiyako. Ama kwa walew a l i o k u w a n d a n iya ndoa
watambueku wa wal i z i fu ngandoa zao kwa ajili yakutekeleza
Sheria yaMwenyezi Mungu, basiwanapozivunja sheriahizo kisha
wakajihisiwapo huru kwa kulekutohukumiwa kwaohapa duniani
kutokanana sheria alizoziwekaMola, watambue kuwa
kwake Yeye M ol ahaziepukiki.
U i s l a m uumeiharamisha zinaakwa sababu ya madharamengi
yanayotokanan a y o n a u k a w e k aadhabu kali kwa kilamwenye
kujitumbukizakatika uchafu huu.Falsafa na hekimaya adhabu kali hii
nikumlinda mtu binafsina jamii kwa ujumla
dhidi ya madhara nataathira mbaya ya zinaa.Bwana Mtume-Rehemana
Amani zimshukie-aka tu tahadhar i shad h i d i y a k u a c h
akuzitekeleza adhabu hizikwa kumuonea hurumamwenye kutenda
kosahilo,akatuambia:
I t a k a y e m z u i l i ah u r u m a y a k ekuitekeleza
adhabumiongoni mwa adhabu
za Al lah. Bi lashaka huyo ataka m e m p i n g a Akatika amri
yake.
U i s l a mhaukumuacha hmwanadamu hkuyashibisha maumyake a
takavyokupenda. Kwa ambayo ataisidi yake na wengakayadhuru
maadkuubomoa utu pana kuzisambaratf a m i l i a k u y a p a r a g a
n y imajumba. Uislaumesimama msimwa kati na kati, ukau
wito wa maumn a k u y a w eutaratibu maaluutaratibu
amabaomwanadamu anapkuufuata ili kufukamilifu.
Vijana wengi wuwezo na wengi wanaishi na wanaw
bila ya ndoa kama mna mke. Na wen
japo hawaishi pamlakini wanawahudkwa matumizi ySi jambo jema
kidogo, MwenMungu ametupataratibu nyepeszenye manufaa km a h u s
i a n o y ekufanya kinyume cni kama kumuonykuwa za kwako
bora zaidi. Ni kibrMwenyezi Mu
amesema katika kichake kitukufu: wapeni wanawmahari yao hali ya
kni kipawa..[4:4]
Ikiwa mtu anay a k u o a / k u o lhatokuwa na sabya kushindwa
kufhivyo kutokana wwa utekelezaji wikiwa misingi na tarz i t a f u
a t w a . HM w e n y e z i M uakiwaahidi fadzaidi, pale
aliposem
"... wakiwa mafM w e n y e z i M uatawatajirisha kafadhila
Zake..." [24
Nani alo kama mamaHana baba wala mama, kwa uwezo katukukaViumbe
vizuri sana, ametuumba hakikaTupate heshimiana, mama daraja
kampaNani alo kama mama, kama yupo nambieni.Mama amepata shida,
tumboni amekuwekaMiezi tisa sihaba, huku akiangaikaMempa nyingi
suluba, kula asichokitakaNani alo kama mama, kama yupo
nambieni.Siku ile ikaka, kukuleta duniani
Ilikuwa patashika, roho yake mkononiAkajalia Rabuka, ukatolewa
tumboniNani alo kama mama, kama yupo nambieni.
Usiku nawe akesha, yakikuka maradhiHawezi wewe kukwacha, atakosa
usingiziChakula atakiacha, yakuondoke maudhiNani alo kama mama,
kama yupo nambieni.Mtoto awezalia, mama akakosa rahaNa dawa
kumpatia, hana anachouguaKumbe imemtokea, mamie kumdekeaNani alo
kama mama, kama yupo nambieni.Mama huikosa raha, pale unapouguaMoyo
hupata jeraha, hutamani na kuliaKule na huku huhaha, tiba upate
fanyiwaNani alo kama mama, kama yupo nambieni.Huruma hukuonea,
madhara yakikukaYeye atakuchukua, mikononi takuwekaDua atakuombea,
yakuondoke mashakaNani alo kama mama, kama yupo nambieni.Hata awe
masikini, atafanya kila njiaIsikupate huzuni, usisumbuke na
njaaHukuweka mgogoni, uache kulialiaNani alo kama mama, kama yupo
nambieni.Kila unachokiona, wewe unakililiaPengine hakina mana, wala
kwako manufaaHujitoa wako mama, ili upate tuliaNani alo kama mama,
kama yupo nambieni.Hongera za kina mama, popote ziwekieAllah awape
salama, na sisi aturidhieTuwafanyieni wema, na wao wajivunieNani
alo kama mama, kama yupo nambieni.Mwl. Zainab Ally KhatibShule ya
Msingi Nangurukuru-Kilwa.
Mkutubi nimeona,tahadhari niwapeniLengo ni kuzinduana,mimi pamwe
ikhiwaniKazi ya kukumbushana,yetu sote kiimaniShime kombe la dunia,
lisimeze Ramadhani
Limeshaanza pamema,ndani ya mwezi ShabaniKwa kasi
limechachama,kuwateka insaniMajumba wanayahama,wanakesha
ukumbiniShime kombe la dunia,lisimeze RamadhaniUsiku kucha wakesha,
macho pima runinganiIbada kuahirisha, imeshakua fasheniSala
kuziharakisha,kuwahia laghawiniShime kombe la dunia, lisimeze
Ramadhani
Ishara zaonekana, imani kushuka chiniWapo wanokosekana, kuka
msikitiniLaghawi zimewabana, na hawaki jamaniShime kombe la dunia,
lisimeze Ramadhani
Karibu utaingia, Mtukufu RamadhaniNimepatwa na hisia, changamoto
imbeleniMpira kushabikia, tutafanya lamwanzoniShime kombe la dunia,
lisimeze Ramadhani
Hala hala waumini, tusishindwe na shetaniTukiri kwa makini, lipi
litatuauniTukiwa makaburini, pamwe huko hesabuniShime kombe la
dunia, lisimeze Ramadhani
Si chotwe kama chotara,kuingizwa mkumboniUsichague mpira,
tarawehe ukahini
Utaipata hasara, kuitenga QuraniShime kombe la dunia, lisimeze
Ramadhani
Ni kipi kilichobora,kama kuhama dhambini?Ni mwezi wa
maghura,msamaha tuombeniTufanye istighfara, na kukesha ibadaniShime
kombe la dunia, lisimeze Ramadhani
Heshima tuupatie,hauzidi thelathiniTena tuukumbatie, tupate
zakwake shaniFuraha tujisikie, kupata huu ugeniShime kombe la
dunia, lisimeze Ramadhani
Kaditama nimeka, hapa ndipo ukingoniMkutubi naondoka, narajea
vitabuniVizuri tukazinduka,kutoka usingiziniShime kombe la dunia,
lisimeze Ramadhani
Isihaka Hemed Mzuzuri (Sauti ya Mkutubi)S.L.P 1031,
MUM-Morogoro
KOMBE LA DUNIA LISIMEZE RAMADHANI
-
5/24/2018 An Nuur 1130
13/16
13 AN-N
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, Makala
Alivyosilimu Prof. Khadija WatsoInatoka Uk. 11
na Kanisa Katoliki, balialipendelea zaidi Kanisala Protestanti.
Ilikuwa
ni katika kipindi hiki,nilikutana na Mlipinoaliyekuwa
Muislamuwakati akifanya kaziSaudi Arabia. Nilikuwanaishi Manila
wakatihuo na ingawa kulikuwana Waislamu pale,sikuhangaika nao.
Niliona jambo hilililikuwa geni zaidi,kwamba ningekutanana watu
wawili ambaowalikuwa Waislamukwa muda mfupi kamahuo.
Huku nikijua jinsigani Mungu anafanyakazi kat ika maishayangu
kupitia hali yakawai da . Ni l i semakwa u tani , "Okay,M u n g u ,
u n a j a r i b uk u n i a m b i a j a m b ogani?" Ni l imuul izak
u h u s u U i s l a m una swali la kwanzakuuliza lilihusiana ni
ji ns i ga ni wana wakewanachukul iwa naUislamu. Ni
jambolinalofahamika kamatunavyoelezwa katika
nchi za M aghar i b ina ku si ki a ku pi t i avyombo vya
habarikuwa mwanamke waKiislamu ni raia daraja lapili asiyekuwa na
haki.Lazima ajifiche katikavazi la abaya/purdah aukujifunika
kwasababuwanaume zao hawatakimtu yeyote amuone.
Lazima abakie ndaniya nyumba na pamoja nahilo, mume ana haki
yakumpiga! Nilishtushwana majibu ya rafikiy a n g u h u y u , p a l
e
aliposema kuwa mkena mama wamewekwakatika daraja la heshimakubwa
katika Uislamu.A l i e l e z e a k u w awanawake wanajifunikamiili
yao kwa sababuni amri ya MwenyeziMungu kwa ajili yaulinzi wa
mwanamke.
P i a a l i n i e l e z e akuwa hata siku mojaunyanyasaji wa
mkesi sehemu ya Uislamu.Nilikuwa na hakikakuwa kile
nilichoelezwa
ni sahihi na nilikuwat a y a r i k u o n y e s h ahuruma yangu
kwawanawake wa Kiislamu.Baada ya kuelezwaukwel i huu ambaoumekuwa
kinyumena uongo niliokuwanimefundishwa hapo
k a b l a , n i l i e n d e l e akumuuliza maswalimengine: Allah
ni nani,na Muhammad (saw) ninani na ana mahusianogani na
Waislamu?.
Kwa wakati huo,nilikuwa nafundishakatika vyuo, kwa hiyomaswali
yangu mengiyalikuwa ya kina. Rakiyangu huyo alikiri kuwaalikuwa
ndio kwanzan a y e y e a m e i n g i akatika Uislamu hivyoasi
ngeweza ku j i bumaswali yote, hivyo
alinisindikiza katikaKituo cha Kiislamuambako ku na mtuangeweza
kunijibu.
N i l i p o s i k i a h i l i ,n i l i o m b a " B w a n a
,(ikimaanisha Yesu kwawakati huo), kamahuu ni ushetani (kamaambavyo
Wakr i s towengi wanavyofikirikuwa ndivyo ulivyoU i s l a m u ) , b
a s ianionyeshe. Sitaendahata mara moja."
Baada ya hapo, sikuwa
katika hisia za kishetani.Sikuhisi kupata hali yakupata wasiwasi
na sita,hivyo nilikwenda nayelakini kwa tahadhari.
Nilishangazwa najinsi wal ivyotupokea.Nilifundishwa Kanisani.Ni
l i jua kuwa kuna
m b i n u n y i n g i n anjia zinatumika paleanapohamasishwa
mtukuingia katika dini yako.
H a p o k i t u o n ihawakutumia njia yeyotekatika hizo!
Hakukuwana udhali l ishaji wakisaikolojia, hakukuwan a s h i n i k
i z o z ahi la , hakukuwa nausumbufu, hakukuana maneno kama
haya"tunakuwa tunakujakukufundisha Qurnnyumbani kwako
kamawanavyofanya Wakristo
wanapotumia mfunzoya Biblia, hakukuwa nakupigiwa simu.
Walikuwa wawazina wakweli. Walinipa
ba ad hi ya vi ta bu nakusema kuwa kamanitakuwa na swali
lolotewatafurahi kunijibu.
Nilienda nyumbaniu s i k u h u o n akusoma vitabu
vyotewalivyonipa. Nilivutiwana kushangazwa. Hiiilikuwa mara yanguya
kwanza kusoma
kikamilifu kitabu chaUislamu kilichoandikwana Muislamu.
V i t a b u v y o t etulivyowahi kuvisomakatika masomo
yangumiaka nane juu yaUi s l amu , v i l i ku wav i m e a n d i k w
a n a
Wakristo.Vitabu hivi viliakisikile walichokikiri juuya Uislamu.
Lakiniwanavyofikiri ulivyoUislamu na jinsi ulivyoUislamu wa kweli
ni vituviwili vyenye mitazamotofauti kabisa.
Wakristo ni wenyekuamini sana, lakiniwanaamini kwa
makosa.Nilirejea siku iliyofuatana kujadil iana kwasaa tatu juu ya
kilenilichokisoma. Walinipavi tabu v i ngi ne na
nilirejea nyumbani nausiku nikavisoma.H a d i m w i s h o w
e
n i k a w a n i m e s o m avitabu kumi na mbilina kutumia zaidi
yasaa 15 katika mjadala.Nimesoma miaka nanemasomo ya dini
yaKikristo. Mwisho wawiki hiyo, nilifahamukuwa Uislamu ni diniya
kweli.
Nilifuata Uislamubaada ya hapo? Hapana,kwa sababu hata
wakati
huo sikuwa mnaHaukuwa katika mwangu. Miongoni maswali ya mwa
kuuliza wiki ile lilikswali hili : Allah ni nTumefundishwa
kMungu wa Waislammungu wa wapag( K a m a m u n g u H i n d u l a k
i n i lake ni Allah na hndiye mungu mmw a n a y e m w a b
uWaislamu).
Nilishangaa kkwamba Allah ni mwa yote -The Omnis(All-Knowing),
mwnguvu zote Omnip( A l l - P o w e r f u l )
aliyepo wakati wO m n i p r e s e n t (Present).
Yeye ni muummtoaji na mvumiHaya hayafanann i l i y o s o m a k
aupagani na nimetamkwa hakika, huyuMungu wa kipagYeye ni mmojaMungu
pekee, hwashirika. Hii ni tona mafu ndi shoUtatu ambako Muana nafsi
tatu, BMwana (Yesu), na R
Mtakatifu, wote wausawa wa pamojumilele wa pamoja
T u n g e p e nkuwauliza rafiki Wakristo, Yesu alikyupi wakati
alipokanasulubiwa msalana kusema "Eli, Eli, LSabachtani? (Muwangu,
Mungu wambona umeniach(Mahew 27: 46).
A l i k uakizungumza peke yLabda unaweza kus"hapana, hiyo
nsehemu ya uanadwa Yesu " (Maanya Incarnation amYesu alikuwa
Mung
binadamu).Swali la pili nililo
lilikuwa: Muham(saw) ni nani hukusna Waislamu?
Nilistaajabu kk u w a W a i s l ah a w a m u a b uM u h a m m a
d ( sk a m a W a k r iwanavyomuabudu
Inaendelea U
-
5/24/2018 An Nuur 1130
14/16
14 AN-N
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, Makala/Tangazo
(as).W a i s l a m u
wanamuomba Allah
kumrehemu Muhammadna Masahaba na ahli zakekama wanavyomumbaAllah
kumrehemu NabiiIbrahim (as) na ahli zakemwisho wa swala.
Ni l i tambua kuwaMitume na Manabii wotepamoja na Yesu
wotewanaombewa kwa Allahkwa dua hiyo.
Ujumbe huu ni wakumwabudu Mungummoja wa kweli. Musaalizungumza
kwa watuwa Israel "Sikia enyiIsrael! Bwana Mungu
wako ni Mungu mmojana unapaswa kumpendaBwana Mungu wakokwa moyo
wako wote,kwa ufahamu wako wotena nguvu zako zote."(Deuteronomy
6:4)
Yesu pia alitoa ujumbehuo, "Sikia enyi Israel!Bwana Mungu wakoni
Mungu mmoja naunapaswa kumpendaBwana Mungu wako kwamoyo wako wote,
kwaufahamu wako wote nanguvu zako zote." (Mark12:29,30).
Zingatia: Yesu alisemaMungu mmoja, sio tatukwa moja! Yesu
mwenyehakuwahi kusema yeye nimwana wa Mungu, kamawengine
wanavyomwita.
Ujumbe wa Musana Yesu ulitumwa kwawatu maalum, Wayahudi.Katika
Biblia maneno" S i k i e e n y i I s r a e lyamerusiwa mara kwamara
na Mitume ikiwa nipamoja na Yesu.
Q u r a n T u k u f uhaikuteremshwa kwawatu maalum ingawaMtume
(saw) alikuwaMwarabu na lugha niKiarabu.
Allah anasema katikaQuran (zaidi ya maraishirini) kuwa
Uislamuumeshushwa kwa ajili ya
binadamu wote.Swali la tatu lililoulizwa
lilikuwa: Ni maneno ganiya swala? Hata hivyosote tuliona picha
zaWaislamu wakiswalikuelekea katika Ka'bahya Makkah. Tulikuwatu k i
d ha ni k w a m ba
Alivyosilimu Prof. Khadija WatsoInatoka Uk. 13 Waislamu
wanaamini
kwamba lile jiwe jeusi ndioMungu wao au walidhanikuwa mungu wao
yuko
ndani yake pale. Hili kwamara nyingine lilionyeshauj inga ambao
wengiwasiokuwa Waislamu hasaWakristo, katika kuuelewaUislamu.
Tangu swala na mamboya utukufu mara zoteyalikuwa muhimu
sanakwangu kama Mkristo,nilikuwa nitaka sana kujuanjia na maneno ya
swala.
Walinijibu "kabla yayote kuiendea swala niusa-wote wa kiroho
nakimwili. Allah, Muumbawa binadamu ndiye pekee
mwenye haki ya kusemani namna gani tutakujambele yake katika
swala.
Aw a l i n i l i po k u w aMkatoliki, nilikuwa napigamagoti na
kuonyeshaishara ya msalaba. Baadae,nilipokuwa Protestant,tu l i i
nu a m i k o no nakuimba, kupiga makofi,kucheza na kulia.
Katika ujinga wetu,tulidhani hii ilikuwa njiasahihi ya
kumwabuduMungu. Alitueleza katikaQuran tukufu njia sahihiya kufuata
kumwabudu
Mungu (Sura ya 5 aya ya6).
Tunatakiwa kuoshamikono yetu, uso, mikono,kichwa na miguu.
Kwa kufanya hivyo,dhambi ndogondogotulizozifanya kupitiaviungo
hivi vya miili yetuzinaondolewa.
Baadae nenda simamahuku ukielekea Makkah(nukta ya uelekeo
waswala) na nyanyua mikonoyako ukisema, "MwenyeziMungu ni mkubwa".
Baadaya hapo, tunasoma sura yakwanza ya Quran Tukufu:(Sura ya 1 Aya
1-7).
Kwa ujumla nifunzwautaratibu mzima wakuswali kuanzia
kujitakasakabla ya swala (twahara),kufunga swala,
kuitidali,kurukuu, kusu judu,huku sehemu kubwa yaswala ikimtukuza
zaidiMwenyezi Mungu.
Na Ibada yote ya swalani maelekezo ya MwenyeziM u n g u m w e n
y e w ea l i y o m p a M t u m eMuhammad (saw) kupitia
kwa Malaika wake Jibreel(Gabriel).
Nilikuja kutambuakuwa Waislamu ni watu
pekee duniani ambaowameelekezwa kuswalimithili ya wanavyoswaliM
a l a i k a , n a s w a l ainafanywa kwa kuzingatiamuda maalum
kulingananafasi ya jua. Hii ina maanakuwa katika mzungukowa dunia,
Waislamupekee ndio wanaoendanao sambamba kwa ibadambele ya Mungu
hivyokumwabudu kwa saa 24kwa siku.
Swali la mwisho lilihusuu ha k i k a w a Q u r a nTukufu. Biblia
imetokana
na vitabu 66 (Biblia yaKikatoliki inavyo zaidi) naimeandikwa na
waandishitofauti zaidi ya 40.
Kwa baadhi ya vitabuwakati mwingine hatamwandishi hafahamikiau
hakubainishwa. Kwamfano kitabu cha Ruthkatika agano la Kale
naWaebrania katika Agano
Jipya.Ingawa Waebrania
anahusishwa na Paul,ba do ha onekani nd aniyake na katikati ya
kitabucha Waebrania, mtindo wa
uandishi umebadilika.Prof. Khadija anasema
Wakristo wa kawaidahawawezi kuona haya hadiuwe umesomea
shahadaya theolojia, kwa kawadatu huwezi kutambua hayokwa kusoma tu
Biblia.
Katika Biblia unakutanana lugha mbili. Kiibraniana Kigiriki
katika agano
Jipya. Hata hivyo sijawahik u s i k i a k u w a Y e
sualizungumza kigiriki.Nililazimika kusoma kwalugha zote mbili
masomoyangu.
Lakini nimevutiwa
kujua kwamba QuranT u k u f u i l i k u w a n amwandishi mmoja
tu,ambaye ni Allah (sw)mwenyewe.
Kila inapoanza sura,isipokuwa sura mojatu, inaanza kwa jina
laMwenyezi Mungu, mwingiwa rehema mwenyekurehemu, tofauti na
Bibliaambayo katika agano laKale: Kitabu cha, auAgano Jipya ambalo
surahuanza: Neno kwa mujibuwa. . . (Mathayo, Mark,
Luka au John).H a t a h i v y o , k w a
mujibu wa wasomi waBiblia, Mahew, Mark naLuka hawakuwahi
kuwawanafunzi wa Yesu.
Walikuwa wanafunziPeter na Paul. Mark ni
k i t a b u c h a k w a n z akuandikwa katika miakaya 68 AD.
Wasomi wengiwa Biblia wanaona kuwaMathayo amenakili nakuunga unga
kutoka kwaMark na kwamba, Markalipata baadhi ya taarifakutoka
chanzo kinginekilichoitwa Q.
Luka ameeleza katikamaandiko yake na kitabuc ha k e c ha M a te
nd okwamba maelezo yake nimkono wa pili. Maandikoya John
yaliandikwakatika miaka ya 100 AD.Kama nilivyosema, mpakauwe
umesoma theology,v i n g e v y o h u w e z ikutambua mambo
haya.
J a m b o j i n g i n el i l i l o n i v u t i a k a t i k
aUislamu, kwa kweli niQuran kubakia ilivyo bilakubadilika tangu
miaka1421.
Kile kinachosomwa leoni sawa kabisa kama vilealivyofunuliwa
MtumeMuhammad (saw). Walewanaosoma tafsiri yaQur;an tukufu mara
zotewatakuta maneno yaKiarabu kama yalivyo.
Lazima ikumbutafsiri sio kubadili l(Katika kila lugha, m i u n d
o k a d h a agrama, sawa na vifvya maneno (phra m b a v y o h a v i
wkutafsiriwa barabara
K w a h i y o t a f
i n a k a m i l i k a kupata maana yak i l i c h o z u n g u
mpamoja na maneno yaliyotumia.
N d i o m a a n a Muislamu anasisitkusoma Lugha ya Kiacha
Quran.
Si kwakuwa swalatunazisomwa kwa lya asili, lakini piamaana kuwa
Waislamwatu pekee duniani awanaunganishwa pakwa lugha moja.
Kwa mfano iwMuislamu wa C
atakwenda Marena ha w e z i k u o nKiingereza na Waiswa Marekani
hawakuzungumza Kichwanaweza kuwasikwa kutumia Kiakatika Quran.
Ingawa sikuinkatika Uislamu wiknilianza kuhudhmihadhara ya
KiislKwa mara nyingnilishtushwa na nilichokuwa
najifu(Itaendelea)
Khadija Watson.
-
5/24/2018 An Nuur 1130
15/16
15 AN-N
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, Habari/Tangazo
BISMILLAHIR RAHMANIR RAHIIM
MUNAZZAM
AT AL-DAAWA AL-I
SLMIYA - TANZANIA
KU
NDUCHI GIR
L
S I
SLAMIC HIGH SCHOOL- DSM(SHULE MAALUMU nA yakipekee kwa mabinti
wa kiislamu)
INAWATAK
IA KHE
R
I YA M
WE
Z
I M
T
U
KUF
U WA R
AMADHAN
I
INATANGAZA NAFASI ZA MASOMO KWA KIDATO CHA TANO
KWA MICHEPUO YOTE (SAYANSI, SANAA (ART) NA BIASHARA)
SHULE INA SIFA ZA KIPEKEE ZIFUATAZO:
> INAZINGATIA NA KUJALI MAADILI NA MALEZI YA KIISLAMU
>MASOMO YOTE YANAFUNDISHWA NI PAMOJA NA MAARIFA YA
UISLAMU, QUR AN NA LUGHA YA KIARABU
JIUNGE NA KUNDUCHI KWA UHAKIKA NA WEPESI WA KUJIUNGA NA CHUO
KIKUU
FOMU ZINAPATIKANA SHULENI KUNDUCHI AU TUPIGIE
0 7 1 3 4 6 5 4 3 7 / 0 7 1 3 5 1 5 0 5 4
NAFASI Z
A KUSOM
E
A UA
L
IMU- CH
ET
I NA DI
PLOM
AZI
NA
PAT
I
K
A
NA CH
UO CHA UA
L
IMU CH
A K
I
PE
K
E
E U
N
UN
IOKUJIUNGA NA CHUO PIGA SIMU
0
6
87505
2
92
/0715
8
2
2
332
/
0
65
4
08
394
0SIFA NI KWA MUJIBU WA WIZARA YA ELIMU
WASIO KAMILISHA SIFA WATAPOKELEWA NA KURUDIA MTIHANI
WANANDOA NA WALIOMALIZA ZAMANI WANAPOKELEWA
WA5 WENYE DIV I KWA SAYANSI WATASOMA BURE PIA DIV I KWA SANAA NA
DIV II KWA SAYANSI WATALIPA 60% YA
WAZAZI wa Kiislamunchini wametakiwakuwashonea mabintizao vazi la
Hijabu kwamujibu wa mwongozowa Qur an.
Wito huo umetolewana Mratibu wa vazi laHijabu kutoka BarazaKuu
la Jumuiya naTaasisi za Kiislamu (T)Ustadhi Shaabani Ally,mwishoni
mwa wikiiliyopita, akiwashajiishawazazi wa Kiislamukuachana na
wogakatika kutekeleza amri
za Allah (sw).U s t . S h a a b a nalisema suala la
uwogalinatakiwa lisiwepokwa wazazi na waleziwa Kiislamu,
katikakuwalea watoto waokatika maadili likiwemosuala la stara.
Katika kipindi hikicha likizo wazazi nawalezi wa Kiislamuwahaki
ki she ku wawanawashonea watotowao Hijabu badala ya
Tumieni likizo kuandaa hijabu za sare za shulNa Bakari
Mwakangwale maajabu ya Hijabu, na
waache woga katikakutekeleza amri za Allah(s.w). alisema
Ust.
Shaaban.Akifafanua nini Hijabu
na maajab ya Hijab,Ust. Shaaban alisema,Hijabu ni vazi
ambalolinafunika sehemu yoteya mwili isipokuwa usona viganja vya
mikonona maajabu ya Hijabuni kijuba kinachofunikakichwa na kuishia
juu yakifua, sketi fupi na shatila mikono mifupi.
Alisema, Muislamuwa kweli anayeelewa
haswa ni n i maanaya Hi jabu , hawez ikumshonea mtoto wakekijuba
kilicho juu yakifua, sketi fupi shati lamikoni mifupi.
Ust. Shaaban, alisemakutokana na uzoefuwake wa kuhamasishana
kusimamia suala hilomashuleni, amebainikwamba baadhi yaWaislamu na
Walimuwanaichukulia Hijabukuwa ni kitambaa cha
k i c h w a n i ( s h u n g i )b i l a ya ku z i n g at i
asehemu ingine ya mwiliimefunikwa kwa kiasigani.
Alisema walimu waliowengi katika Shule zaMsingi wanataka
watotowa Kiislamu wavaemaajabu ya Hijabu,wakiamini kwambaHijabu ni
kitambaakadogo kilichofunikakichwa badala ya vazil i l i l o f u n
i k a m w i l imzima.
Alisema, kutokana nahali hiyo ya ufahamukuanzia kwa Walimu
na Waislamu wenyeweni kupatiwa elimu yakutosha juu ya vazi
laHijabu, kwani akasemai k i w a W a i s l a m uwatapewa elimu
kwanamna iliyo nzuri bilashaka kutakuwa namabadiliko makubwaya
kimaadili kwa ummawa Kiislamu.
Alisema, ni ukweliusiopinginga kwamba,W a i s l a m u w e n g
iwamekosa elimu na
ufahamu juu ya diniyao na pindi anapowapaelimu juu ya vazi hilo
navipi binti wa Kiislamu
a w e k a t i k a s t a r andani ya sare ya shulewanaelewa na
kuingiakatika utekelezaji.
H a t a h i v y o U s t .Shaaban, alisema katikawazazi au walezi
hao
baada ya kue li mik ahugawanyika katikamakundi wawili
wapowanaotekeleza bi lahofu na wale ambaow a n a e l e w a l a k i
n iw a n a h o f i a w a t o t ow a o k u s u m b u l i w a
na walimu, na kuonamabinti wao wabakiekatika hali ileile
yaHijabu ya maajabu.
A l i s e m a ,kinachotakiwa kwawazazi si kujiuliza kamamtoto
atakubaliwa aukukataliwa akivaa staraakiwa Shuleni, baliwanatakiwa
kuelewawao ni wachunga nawanapaswa kusimamiamaadili kwa mujibu
wadini na si vinginevyo.
Akielezea vikwazoambavyo wanakumbananavyo mabi nt i waKiislamu
wanaovaaHijabu sahihi katikaShule za Msingi, alisema,hulazimishwa
kuvaavijuba vidogo, sketifupi na shati la mikonomifupi, na
kuelezwahiyo ndiyo Hijabu.
Ust. Shaaban, alisemaamekuwa akipambanana walimu na kesi
nyingikama hizo na anapokakujua tatizo, hulezwa
kuwa wamevaa kinyumena utaratibu wa Shulena anapowaeleza
kuwahivyo ndivyo Hijabuinavyokuwa, baadhiya Walimu hupingana kusema
Hijabu nikitambaa cha kichwani.
Alisema, kutokanana kesi nyingi za vazisahihi la Hijabu ni
lipi
baiana ya Walimu nawazazi (Waislamu) hivikaribuni Serikali
imetoaMuongozo mwingine
kwa wal i mu wikiwafafanulia aianHijabu kwa mujibudini ya
Kiislamu.
Ust. Shabani, aliMuongozo uliotolewKamishna wa Elimmwaka 2014,
umewwazi na kuonyek w a m b a k a u l iWalimu waliokwakigomea
Hijabumujibu wa Uislailikuwa ni misimyao wenyewe na Wizara ya
Elimu.
Alisema, Kamiswa Wizara ya El
aliweka wazi kwamiongozo yote ya ahaikuainisha ainHijabu
inayotakkuvaliwa na wanawa kike, kwa kSerikali ilijua kwa
j u k u m u h i l o nWaislamu wenyew
Ust. Shaaban, aliukirejea waraka Wizara ya ElimuFebr u ar i 14 ,
2s a s a u m e a i n iwazi kwamba Hiy a n a m n a gi v a l i w e k
i n y un a w a l i v y o k uwakilazimisha Wamashuleni ambayHijabu
bali ni maaya Hijabu.
Mratibu huyoHijabu, aliwaponw a z a z i a mhawakuyumba
kakusimamia vazi histara kwa mabinti na kulazimika Ser
kutoa muongozo watendaj i wakekuepusha kumpawa kiimani.
Ku pi t i a warhuu wa KamishnaElimu sasa wazazi hiyo iwaondoke,
kSerikali imetoa ufafakwa Walimu wakambao walikuwkikwazo katika uwa
Hijabu kwa muwa Dini yao. AliUst. Shaaban.
-
5/24/2018 An Nuur 1130
16/16
16 AN-N
SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26,
16MAKALA
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105
na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es
Salaam.
AN-NUUR16 SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, 2014
SomaGazeti la AN-NNUR
kila Ijumaa
IMEELEZWA kuwaharakati za kupiganiaUislamu ni jukumu lakila
Muislamu aliyehai na hakuna kurudinyuma, ikiwa kiongoziw a h a r a
k a t i h i z oametangulia mbele yahaki.
Hayo yamebainishwana Ustadhi SuleimanK a s s i m , w a k a t
iakiongea na Waislamukatika Msikiti wa Tungi,Temeke Jijini Dar esS
a l a a m m w i s h o n imwa wiki iliyopita,kat ika
Kongamanolililofanyika Msikitini
hapo.A k u z u n g u m z i aharakati za marehemuSheikh Ilunga
HassanKapungu na MzeeAmani Hamisi Mushi,waliotangulia mbele yahaki
hivi karibuni, Ust.Kassim alisema kwakuwa Jihadi ni jukumula kila
Muislamu, basikuondoka kwa kiongozihaiwi mwisho wa kazi
basi husimama kiongozimwingine na kushika
bendera ya Jihad.Kwa maana hiyo
al isisi t iza kwambaiwapo kiongozi waharakati ametanguliambele
ya haki, basinafasi hiyo lazimaichukuliwe na mtumwingine
miongonimwa Waislamu.
Akisherehesha aya yaQuran 3:144 alisema,M w e n y e z i M u n g
uameeleza katika ayahiyo kwamba hakuwaM u hammad i l a n iMtume na
kwamba,wamepita kabla yake
Waislamu watakiwa kuzibapengo la Sheikh Ilunga, MushNa Bakari
Mwakangwale
Mitume wengi, hivyoakifa au kuuawa haiwisababu ya ku r u
dinyuma.
K a s s i m a l i s e m apamoja na mazingatioya aya hiyo na
nyingine
nyingi zenye maudhuikama hayo, Waislamuwanatakiwa wajiulizehivi
sasa ni ibra ganiwanatakiwa waipatek u f u a t i a v i f o v y
amajemadari hao wawaili
waliorejea kwa Molawao.
K a s s i m a m b a y eanatoka Chuo ChaWaislamu Morogoro( M U M
) , a l i s e m af u n d i s h o k u b w alinalotokana na ayahiyo
ni kwamba, Allah(sw) anapowaondoaM ajemadar i wake ,Waislamu
wanaobakihawapaswi kurudinyuma katika kuupiganina kuupeleka
mbeleUislamu.
A l i o n g e z a k u w aAllah (s.w) amekemeamitazamo kuwa
Jihadiau harakati zinategemea
zaidi kuwepo kwaSheikh fulani, jamboambalo amel ielezaku wa ni
mtazamopotofu.
Waislamu lazimawaelewe kuwa Jihadina harakati ni jukumula kila
mmoja wetu,a k i o n d o k a y u l eambaye mlimwekambele
kukuongozeni,
bas i haraka nafas ihiyo ichukuliwe namwingine miongonimwenu.
Alisisitiza Ust.
Kassim.Aidha alisema kuwaM w e n y e z i M u n g ua m e w a a m
r i s h aWaislamu kupiganiadini (Uislamu) kwaniy e y e ( M w e n y
e z iM u n g u ) n d i y ealiyewachagua kufanyahivyo.
Hata hivyo alitoatahadhari kwambau n a p o f i k a w a k a t
iMuislamu yupo katikamitihani na misukosukok a m a i l i v y o s a
s a
ambapo M ashemahiri wamefaSheikh mwingine y
je la huku wenwakikabiliwa na
basi isije kutafsivibaya kauli ya A(sw) kuwa mwenya n a j u a j
i n s ikuinusuru dini hii
Muislamu ukiharakati kwa sabk i o n g o z i f u lkafa, wewe
ujueupungufu katika imyako. Alisema.
Alisema mionmwa mambo ambWaislamu wanatakujifunza kutoka Marhumu
hao wani ujasiri walioknao katika kufanyaya Dini.
A l i t o a m i fk w a m b a m w1 9 9 8 , A l - M a r hSheikh
Ilunga, alikuvamiwa nyumkwake Jijini Mwna kujeruhiwa, bya kupata
matiba l i kwenda mkoTabora na kuzunguna Waislamu kaMsikiti wa
Gon
na kuongea mamazito.
A l i s e m a S h eIlunga, alieleza a l i c h o t a m k i w
awavamizi wale kwalitaka kumuua sababu ya kukedhulma ya Serikali
dya Waislamu nchin
U s t . K a s sa l i s e m a k awanapatikana vion
j a s i r i , m a d h a lwasingefurukuta.
AL-MARHUUM Amani Khamis Mushi
AL-MARHUUM Ilunga Hassan Kapungu.