Top Banner
AHLUBAYT NDANI YA TAFSIRI ZA KISUNNI SEHEMU YA KWANZA KWA MUJIBU WA TABARI NA THA’LABI Kimeandikwa na: Sheikh Nizar al - Hasan Kimetarjumiwa na: Hemedi Lubumba (Abu Batul) AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page A
106

Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

Mar 22, 2016

Download

Documents

Ahlul Bayt, yaani Watu wa Nyumba ya Mtume Muhammad SAW ni viongozi ambao Mtume alituusia tuwafuate. Katika hotuba yake ndefu na maarufu aliyoitoa pale Ghadir Khumm katika msafara wake wa kurejea kutoka Hija yake ya mwisho, Mtukufu Mtume SAW alisema haya mbele ya masahaba na mahujaji zaidi ya laki moja: “...Nakuachieni vitu viwili vizito: Qur’ani na Ahlul Bayt wangu. Viwili hivyo havitaachana mpaka vinifikie katika [hodhi ya] Kawthar. Nawausia juu ya Ahlul Bayt wangu! Angalieni jinsi mtakavyojihusisha nao. Kama mkishikamana na viwili hivi hamtapotea kamwe...” (kwa maelezo zaidi soma kitabu cha al-Ghadir)
Welcome message from author
This document is posted to help you gain knowledge. Please leave a comment to let me know what you think about it! Share it to your friends and learn new things together.
Transcript
Page 1: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

AHLUBAYTNDANI YA TAFSIRI

ZA KISUNNI

SEHEMU YA KWANZA

KWA MUJIBU WA TABARI NA THA’LABI

Kimeandikwa na:Sheikh Nizar al - Hasan

Kimetarjumiwa na:Hemedi Lubumba (Abu Batul)

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page A

Page 2: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

B

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page B

Page 3: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

© Haki ya kunakili imehifadhiwa na:AL-ITRAH FOUNDATION

ISBN: 978 - 9987 - 512 - 93 - 5

Kimeandikwa na:

Sheikh Nizar al - Hasan

Kimetarjumiwa na:Hemedi Lubumba (Abu Batul)

Kupangwa katika Kompyuta na:Ukhti Pili Rajab.

Toleo la kwanza: Januari, 2011Nakala: 1000

Kimetolewa na kuchapishwa na:Alitrah Foundation

S.L.P. 19701 Dar es Salaam, TanzaniaSimu: +255 22 2110640

Simu/Nukushi: +255 22 2127555Barua Pepe: [email protected]

Tovuti: www.alitrah.orgKatika mtandao: www.alitrah.info

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page C

Page 4: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

YALIYOMO

Utangulizi....................................................................................................2

Ahlul Bayt (a.s) ndani ya Tafsir ya Tabari, inayoitwa Jamiul - BayanAmtaawiil Ayil -Qur’an...............................................................................8

Ahlul Bayt (a.s) ndani ya Tafsiri ya At-Thaalabiy, inayoitwa Al-KashfuWal-Bayan Fii Tafsiril-Qur’ani.................................................................39

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page D

Page 5: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

NENO LA MCHAPISHAJI

Kitabu kilichoko mikononi mwako ni tarjuma ya kitabu cha Kiarabukiitwacho, Ahlu ‘l-Bayti Fi Tafasiri Ahli ‘s-Sunnah kilichoandikwa naSheikh Nazri Hasan. Sisi tumekiita, Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri zaKisunni. Hii ni sehemu ya kwanza inayochambua tafsiri za wanavyuoniwakubwa wa Kisunni – Tabari na Tha’labi.

Ahlul Bayt, yaani Watu wa Nyumba ya Mtume Muhammad SAW ni vion-gozi ambao Mtume alituusia tuwafuate. Katika hotuba yake ndefu namaarufu aliyoitoa pale Ghadir Khumm katika msafara wake wa kurejeakutoka Hija yake ya mwisho, Mtukufu Mtume SAW alisema haya mbeleya masahaba na mahujaji zaidi ya laki moja: “...Nakuachieni vitu viwilivizito: Qur’ani na Ahlul Bayt wangu. Viwili hivyo havitaachana mpakavinifikie katika [hodhi ya] Kawthar. Nawausia juu ya Ahlul Bayt wangu!Angalieni jinsi mtakavyojihusisha nao. Kama mkishikamana na viwili hivihamtapotea kamwe...” (kwa maelezo zaidi soma kitabu cha al-Ghadir)

Lakini bahati mbaya sana sio Waislamu wote wanaowafuata Ahlul Bayt ASpamoja na kwamba wanavyuoni wa madhehebu zote wameandika habarizao katika vitabu vyao na kuonesha kwamba hawa ni viongozi wa Ummahuu wa Kiislamu.

Mwandishi wa kitabu hiki anajaribu kuthibitisha hilo kwa kutoa rejeambalimbali kutoka vitabu maarufu vya wanavyuoni wa Kisunni.

Ni muhimu kukubaliana na kuziheshimu tofauti za kila mmoja na kutam-bua msimamo na mtazamo wa kila mmoja. Matatizo huja pale mtu anapo-lazimisha tabia, imani na mila zake zitawale wengine au kuzifisha itikadina misimamo ya wengine. Ni muhimu kufikiria kila aina ya maoni katikakujaribu kuamua ukweli. Uislamu kimsingi uko dhidi ya kufuata kibubusa.

E

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page E

Page 6: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

Wafuasi wa madhehebu nyingine wanaweza kuchambua uthibiti wa kitabuhiki ili kujenga maoni yao wenyewe kuhusu mtazamo mzuri wa mtumwenyewe. Ni muhimu mtu kuelewa hoja za wale ambao hakubaliani nao.Inaweza ikasemwa kwamba wale ambao hawaelewi kabisa mtazamo wamaoni tofauti, hawaelewi kwa ukamilifu mtazamo wa kwao wenyewe.

Tumekiona kitabu hiki ni chenye manufaa sana, hususan wakati huu wamaendeleo makubwa ya elimu katika nyanja zote, ambapo uwongo, nganoza kale na upotoshaji wa historia ni mambo ambayo hayana nafasi tenakatika akili za watu.

Kutokana na ukweli huo, Taasisi yetu ya Al-Itrah Foundation imeamuakuchapisha kitabu hiki kwa lugha ya Kiswahili kwa madhumuni yakeyaleyale ya kuwahudumia Waislamu, hususan wazungumzaji waKiswahili.

Tunamshukuru ndugu yetu, Hemedi Lubumba (Abu Batul) kwa kukubalijukumu hili la kukitarjumi kitabu hiki. Vilevile tunawashukuru wale wotewalioshiriki kwa njia moja au nyingine hadi kufanikisha kuchapishwakwake.

Ni matumaini yetu kwamba kitabu hiki kitakuwa ni changamoto kubwakwa wasomaji wetu.

Mchapishaji:Al-Itrah Foundation

F

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page F

Page 7: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

NENO LA JUMUIYA

Hakika mirathi ya Ahlul-Bait ambayo imehifadhiwa na kambi yao nawafuasi wao dhidi ya upotovu inaonyesha ni kambi iliyokusanya ainambalimbali za taaluma za kiislamu.

Kambi hii imeweza kulea nafsi mbalimbali zilizo tayari kunywa kutokakwenye chemchemu hiyo, na kuupa umma wa kiislamu wanavyuoniwakubwa wenye kufuata nyayo za ujumbe wa Ahlul-Bait.

Wanavyuoni waliokusanya vidodosa na maswali mbalimbali ya madhehe-bu na mitazamo tofauti ya kifikira kuanzia ndani ya desturi ya kiisilamuhadi nje ya desturi hiyo, huku wao wakitoa majibu na utatuzi makini juuya maswali hayo ndani ya karne zote.

Jumuiya ya kimataifa ya Ahlul-Bait imefanya hima kutetea tukufu zaujumbe wa Uislamu na ukweli wake ambao umechafuliwa na makundi,madhehebu na wanaharakati mbalimbali wenye chuki na Uislamu.

Jumuiya imefuata nyayo za Ahlul-Bait na za wafuasi wa kambi yao njemaambayo imefanya hima kujibu madai yenye kuendelea na daima ikajaribukubaki ndani ya msitari wa mapambano kwa kiwango kinachohitajikandani ya kila zama.

Hakika uzoefu ambao umehifadhiwa ndani ya vitabu vya wanavyuoni wakambi ya Ahlul-Bait katika dhamira hii ni wa aina ya pekee, kwa sababuuna akiba ya kielimu inayotegemea akili na hoja, huku ukijiepusha namatamanio na upendeleo uliokatazwa.

Unazungumza na wasomi na wanafikra wenye fani maalumu, mazungum-zo ambayo yanakubalika kiakili na yanapokewa na maumbile yaliyo sala-ma.

G

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page G

Page 8: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

H

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Jaribio hili la Jumuiya ya kimataifa ya Ahlul-Bait limekuja kuwapa watafu-ta ukweli hatua mpya ya uzoefu wa thamani kupitia mada na vitabuvinavyoandikwa na waandishi wa zama hizi ambao ni wafuasi wa madhe-hebu ya Ahlul-Baiti (a.s.) au miongoni mwa wale ambao MwenyeziMungu amewapa neema ya kujiunga na kambi hii tukufu.

Achia mbali kwamba jumuia hii pia hujishughulisha na uchapishaji nauhakiki wa yale yenye faida toka katika vitabu vya ulamaa wa zamani wakishia, ili vitabu hivi viwe maji matamu kwa nafsi zenye kuitafuta haki, iliziweze kufikia kwenye haki ambayo inatolewa na Kambi ya Ahlul-Baytulimwengu mzima, ndani ya zama ambazo akili inaerevuka na nafsi naroho zinaboreka kwa kasi ya pekee.

Tunatoa shukurani njema kwa Samahatu Sheikh Nazar Hasan kwa kuandi-ka kwake kitabu hiki, na kwa ndugu zetu wote waliosaidia kukichapisha.

Na sote tunategemea na kutaraji kuwa tutakuwa tumetoa kile tulichoki-weza katika juhudi za kutekeleza baadhi ya wajibu tulionao mbele yaujumbe wa Mtukufu Mola wetu Mlezi ambaye alimtuma Mtume Wake nauongofu na dini ya haki ili aipe ushindi dhidi ya dini zote. Na MwenyeziMungu anatosha kuwa shahidi.

Jumuiya ya kimataifa ya Ahlu-BaitKitengo cha utamaduni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page H

Page 9: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

I

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page I

Page 10: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page 1

Page 11: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

2

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

UTANGULIZI

Kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe wote.Rehema na amani zimwendee Mtume Muhammad, yeye na aali zake wato-harifu. Na daima laana iwe juu ya wote walio maadui zao na wakanushajiwa fadhila zao.

Qur’ani iliteremkia katika nyumba tohara na safi, ambazo imeidhinishwazitukuzwe, katika nyumba za aali Muhammad watoharifu, ambazoMwenyezi Mungu Mtukufu amezifanya makhsusi kwa ajili ya heshima nautukufu kuliko nyingine, na Mwenyezi Mungu akazighani (nyumba hizo)kupitia Aya za Qur’ani tukufu ambazo zitaendelea kubaki muda wa dahariyote zikisomwa usiku na mchana, na si nyumba za viumbe wengine.

Kwa ajili hiyo tunawaona (a.s.) wao ndio watambuzi na wajuzi wa Kitabucha Mwenyezi Mungu Mtukufu kuliko wengine wote, na kwa ajili hiyotunamwona Amirul-Muuminina (a.s.) Ali bin Abu Talib (a.s.) akisema:“Lau nikitandikiwa mto kisha nikaketi juu yake nitahukumu baina yawanataurati kwa Taurati yao na wanainjili kwa Injili yao, na baina yawanazaburi kwa Zaburi yao na wanafurqan kwa Furqani yao. Wallahihakuna Aya yoyote iliyoteremshwa bara au baharini, katika tambarare aujabali, mbinguni au ardhini, usiku au mchana, ila mimi namjua ni naniiliteremka kwa ajili yake, na iliteremka kuhusu nini.”1

Abu Naiim ameandika katika kitabu Hilyatul-Awliyai kutoka kwa ImamAli (a.s.) kwamba alisema: “Wallahi hakuna Aya iliyoteremka ila najuailiteremka kwa ajili ya nani, na wapi iliteremka, na hakika Mola wanguMlezi amenitunukia moyo wenye akili na ulimi wenye kudadisi.”

Na pia Abu Naiim ameandika katika kitabu Hilyatul-Awliyai kutoka kwaIbnu Masuud, amesema: “Hakika Qur’ani iliteremshwa kwa herufi saba,1 Matwalibus-Suul, cha Ibnu Talha as-Shafiiyu Juz. 1, Uk. 125, chapa ya Taasisiya Ummul-Qura.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page 2

Page 12: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

3

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

hakuna herufi yoyote ila ina dhahiri na batini, na hakika Ali bin Abu Talibndiye mwenye dhahiri na batini.”

Na kuna kauli moja inanasibishwa na Amirul-Muuminina (a.s.): “Lau niki-taka kuwapigisha magoti ngamia arubaini kwa tafsiri ya Qur’anininaweza.”

Kisha wao ndio wafasiri wa wahyi wa Mwenyezi Mungu Mtukufu, wenzawa Kitabu chake na Kitabu kitamkacho, haya ndio yathibitishwayo naHadithi ya Vizito viwili: “Mimi ni mwenye kuacha kati yenu vizito viwili:Cha kwanza ni Kitabu cha Mwenyezi Mungu, humo mna uongofu nanuru…., na Ahlul-Baiti wangu, nawakumbusheni Mwenyezi Mungukuhusu Ahlul-Baiti wangu, nawakumbusheni Mwenyezi Mungu kuhusuAhlul-Baiti wangu.”2

Hivyo wao ndio wabainishaji, wafafanuzi na wafasiri wa misamiati yaQur’ani Adhimu. Kwa sababu Kitabu cha Mwenyezi Mungu kina haja yakupata mfasiri, mfafanuzi na mfasiri, hivyo ni aula kifani chake na mwen-za wake ndiye mbainishaji, mfasiri, alimu na mjuzi wa Kitabu hicho na simwingine.

Kwa ibara nyingine tunaweza kusema: Hakika Ahlul-Baiti (a.s.) ndiowaliokusudiwa, kuainishwa na kuashiriwa katika semi zake (s.w.t.). Balini katika nyumba zao ndimo kulimoteremka Kitabu, na wenye nyumbandio wajuzi zaidi wa yale yaliyomo ndani ya nyumba yao.

Kuanzia hapa tunawakuta Ahlul-Baiti (a.s.) siku zote wakiifasiri Qur’anina Maneno ya Mwenyezi Mungu vizuri zaidi na kwa ukamlifu mno. Nawatu wote wakirejea kwao bila kumtenga yoyote, na wala hatujaona tukiolililo kinyume na hali hiyo, hata Ibnu Abbas ambaye ni kinara na kiongoziwa wafasiri miongoni mwa sahaba yeye naye alikuwa ni mwanafunzi waAli (a.s.), yeye mwenyewe anasema: “Tafsiri ya Qur’ani niliyonayo nikutoka kwa Ali bin Abu Talib (a.s.).” 2 Sahih Muslim, Juz. 4, Hadithi ya 1873.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page 3

Page 13: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

4

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Hapo hapo tunawaona ulamaa wa makundi mawili, Shia na Sunniwameifasiri Qur’ani Tukufu kupitia riwaya na nukuu, kama vile Tafsiri yaAli bin Ibrahim al-Qummiy, Tafsirul-Ayyashiy na Furatil-Kufiy, Kanzud-Daqaiq ya Ibnu al-Mash’hadiy, al-Burhan ya Sayyid Hashim al-Bahraniy,Nurut-Thaqalayn ya Sheikh Abdu Ali al-Hawiziy, na wengineo miongonimwa Maimamiya ambao wameifasiri Qur’ani kupitia Ahlul-Baiti (a.s.). Namiongoni mwa Masunni ni kama vile al-Haskaniy katika Shawahidut-Tanziil, Isfihaniy katika an-Nuru al-Mushtaalu na al-Wahidiy katikaAsbabun-Nuzuul.

Pia zipo tafsiri zilizozagaa huku na huko ambazo zinategemewa na Sunnikatika utafiti na mchakato wa kielimu. Tafsiri hizi zimefasiri baadhi ya Ayatukufu kwamba walengwa halisi wa Aya hizo ni aali Muhammad (a.s.),hivyo tumejaribu kuzikusanya na kuziweka pamoja Aya hizi toka katikakabati za vitabu vya tafsiri muhimu zenye kutegemewa kwao. Miongonimwazo ni:

Jamiul-Bayan Fii Tafsiril-Qur’ani ya Abu Ja’far Muhammad bin Jarir binYazid bin Kathiir bin Ghalib at-Tabari, aliyefariki mwaka 310 A.H. Nasihapa tumetegemea chapa ya Misri yenye juzuu 30.

al-Kashfu wal-Bayan Antafsiril-Qur’ani ya Abu Is’haqa Ahmad ibnuIbrahim at-Thaalabiy an-Nisaburiy al-Muqriu, aliyefariki mwaka 427A.H.

Maalimut-Tanziil ya Abu Muhammad Husain bin Masuud bin Muhammad,maarufu kwa jina la Farrau al-Baghawi as-Shafiy, aliyefariki mwaka 516A.H. Nasi hapa tumetegemea chapa ya Beirut ambayo ina Juzuu 4.

al-Kashaf Anihaqaiqit-Tanziil Wauyuunil-Aqawiil Fii Wujuhit-Taawiil yaAbu Qasim Mahmudu bin Umar bin Muhammad bin Umar al-Khawarazimiy al-Hanafiy al-Muutazaliy az-Zamakhshariy, mwenye lak-abu ya Jarullah, aliyefariki mwaka 538 A.H. Nasi hapa tumetegemea chapaya Misri ya mwaka 1948 A.D.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page 4

Page 14: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

5

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Mafatihul-Ghaybi ya Abu Abdillah Muhammad bin Umar bin Husain binHasan bin Ali at-Tamimiy al-Bakriy at-Tarstaniy ar-Razi, mwenye lakabuya Fakhrud-Din, maarufu kwa jina la Ibnul-Khatib as-Shafiy, aliyefarikimwaka 606 A.H.

An’warut-Tanziil Waasrarut-Taawiil ya Kadhi Mkuu Nasrud-Din (Abul-Khayri), Abdullah bin Umar bin Muhammad bin Ali al-Baydhawi as-Shafiy, aliyefariki mwaka 691 A.H. iliyo katika juzuu mbili, iliyochapish-wa Misri mwaka 1968 A.D.

al-Jamiu Liahkamil-Qur’ani ya Abu Abdillah Muhammad bin Ahmad binAbubakri al-Ansariy al-Khazrajiy al-Undlusiy al-Qurtubiy, aliyefarikimwaka 761 A.H. iliyo katika juzuu ishirini, iliyochapishwa Misri mwaka1950 A.D.

Tafsirul-Qur’ani al-Adhiim ya Hafidh Imadud-Din (Abul-Fidai), Ismailbin Amru bin Kathiir bin Dhaw’u bin Kathiir bin Zar’i al-Baswriy ad-Damashqiy, Ibnu Kathiir, aliyefariki mwaka 774 A.H. iliyo katika juzuutano, iliyochapishwa Beirut.

ad-Duru al-Manthur Fii Tafsiri Bil-Maathur ya Hafidh Jalalud-Din (Abul-Fadhli), Abdurahman bin Abubakri bin Muhammad as-Suyuti, aliyefarikimwaka 911 A.H. iliyo katika juzuu nne, iliyochapishwa Misri.

Ruhul-Bayan ya Allamah Sheikh Ismail Haqiyyu al-Barsiyyu, aliyefarikimwaka 1137 A.H. iliyo katika juzuu thelathini, nasi hapa tumetegemeachapa ya Uthmaniya ya mwaka 1330 A.H.

Ruhul-Maaniy ya Allamah Abul-Fadhli Shihabud-Din, Sayyid MuhammadAl-Alusiy, aliyefariki mwaka 1270 A.H., iliyo katika juzuu thelathini, nasihapa tumetegemea chapa ya Misri ambayo ilipigwa chapa na Al-Muniriyahmwaka 1345 A.H.Tafsirul-Qummiy, maarufu kwa jina la Mahasinut-Taawiili ya Allamah as-Sham Muhammad bin Jamalud-Din al-Qasimiy, aliyefariki mwaka 1322A.H., iliyo katika juzuu kumi na saba, nasi hapa tumetegemea chapa ya

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page 5

Page 15: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

6

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Beirut ya Ihyaut-Turathil-Arabiy ya mwaka 1415 AH.

Tafsiri hizi zimepangwa kulingana na kipaumbele na umuhimu.

Hivyo kutokana na wajibu wa kiitikadi na jukumu la kisheria, pia kutokanana kuwepo mapungufu ambayo ni lazima tuyazibe kwa kile kinachonasib-iana na ukubwa wa mahitaji ya upungufu huo, na ili kuitikia wito waMwenyezi Mungu Ambaye mara kwa mara ametangaza katika Qur’aniwito wa kuwapenda aali Muhammad (a.s.) aliposema: “Sema: Kwa hayasiombi malipo yoyote kwenu isipokuwa mapenzi kwa kizazi changu”(Sura Shura: 23), tumefanya kazi hii iliyobarikiwa ambayo inamiminamaji kutoka katika bahari ya aali Muhammad (a.s.) iliyojaa na yenyekububujika.

Na ni kutokana pia na umuhimu wa kazi hii katika kuthibitisha maarifa nanafasi ya Ahlul-Baiti (a.s.), ili uthibitisho huo uwe hoja yenye nguvu, nahapo utimie msemo “Nafuata kinywa chako.” Pia ni ili kuthibitisha kwam-ba wao ndio walioainishwa na kukusudiwa na Kitabu cha MwenyeziMungu Mtukufu.

Kazi hii imeendelea toka siku ya kumi na nane ya mfunguo pili mwaka1420 A.H. mpaka siku ya ishirini na tatu ya mfunguo tatu mwaka 1426A.H., lakini kazi hii ilikumbwa na matatizo mengi ikiwa ni pamoja na halikutotulia, kutopatikana rejea, na nyudhuru nyingine mfano wa hizo.

Pamoja na hayo yote tulivumilia kwa kalamu ya mahaba na upendo wetukwa wateule Ahlul-Baiti (a.s.) nyudhuru zote zilizotukabili, tukazama kati-ka kina cha tafsiri na wafasiri ili tutoe humo johari na vito vya aaliMuhammad (a.s.) baada ya kuwa vimefichwa na kufunikwa na vumbi lahistoria kwa sababu za siasa ya kidunia.

Pia katika ziara yetu ya kitafsiri tumezitambua nafsi za wafasiri, hivyotumegundua kwamba Ibnu Kathir ndiye mwenye maradhi makubwa yanafsi na ndiye mwenye chuki kubwa dhidi ya Ahlul-Baiti (a.s.) na wafuasiwao wema. At-Thaalabiy ndiye mwadilifu na mwenye insafu kuliko

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page 6

Page 16: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

7

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

wengine.

Utafiti huu tuliuwakilisha kwenye kongamano la mwaka la Sheikh Tusiyambalo lilifanyika katika Jamhuri ya Kiislam ya Iran katika Jiji la QumTakatifu, mwaka 1426 A.H. hatimaye ukapata tuzo katika kongamano hiloadhimu.

Haya yote ni sehemu ya fadhila za Mola wangu na neema kutoka Kwake(s.w.t.), na ni sehemu ya msaada toka katika roho toharifu (a.s.), kwasababu kazi hii ni kwa ajili yao na si kwa ajili ya mwingine.

Mwisho tunainua mikono yote kutoa shukurani kwa Mwenyezi MunguMtukufu, tunamwomba maghufira dhidi ya utelezo na makosa yaliyotokakwetu, kwa sababu umaasumu ni wa wenye nao. Pia tunamtaka msamahamsomaji mpendwa kutokana na makosa yasiyo ya kukusudiwa atakayoy-akuta humu. Na kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu Mola Mlezi waviumbe wote.

Nizar Hasan2 Mfunguo Nne 1427 A.H.Qum Takatifu

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page 7

Page 17: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

8

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUL-BAIT (A.S.) NDANI YA TAFSIRIYA TABARI, INAYOITWA JAMIUL-BAYAN

ANITAAWIIL AYIL-QUR’ANI

SURA AALI IMRANKauli ya Mwenyezi Mungu:

“Hakika Mwenyezi Mungu alimchagua Adam na Nuh na watoto waIbrahim na watoto wa Imran juu ya walimwengu wote.” (Sura AaliImran; 3:33).

Al-Muthana amenisimulia, amesema: “Abdullah bin Salih ametusimulia,amesema: Muawiya amenisimulia kutoka kwa Ali, kutoka kwa Ibnu Abbaskuhusu kauli yake (s.w.t.): “Hakika Mwenyezi Mungu alimchagua Adamna Nuh na watoto wa Ibrahim na watoto wa Imran juu ya walimwenguwote.” (Sura Aali Imran; 3:33), amesema: ‘Hao ni waumini toka aaliIbrahim, aali Imran, aali Yasini na aali Muhammad (s.a.w.w.).”3

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Na Malaika waliposema: Ewe Maryam! Hakika Mwenyezi Munguamekuteua na akakutakasa na akakuteua juu ya wanawake waulimwenguni.” (Sura Aali Imran; 3:42).

3 Tafsirut-Tabariy Juz. 3, Uk. 234. Inadhihiri toka katika baadhi ya tafsiri kamaTafsiri Al-Khazin, Durul-Manthuur na Shawahidut-Tanziil kwamba Aali Yasinndio hao hao Aali Muhammad (s.a.w.w.).

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page 8

Page 18: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

9

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Bushru ametusimulia, amesema: Ametusimulia Yazid, amesema: Saidametusimulia kutoka kwa Qatadah kuhusu kauli yake (s.w.t.): “Na Malaikawaliposema: Ewe Maryam!” kwamba tumeambiwa kwamba Mtume waMwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alikuwa akisema: “Yakutosha juu yawanawake wa ulimwenguni: Maryam binti Imran, mke wa Firaun, Khadijabinti Khuwaylid na Fatima binti Muhammad.”4

Nimesimuliwa kutoka kwa Ammar, amesema: Ametusimulia Ibnu AbiJa’far kutoka kwa baba yake kuhusu kauli yake (s.w.t.): “Na Malaika wali-posema...”, akasema: “Thabitu al-Bunaniy alikuwa akisimulia kutoka kwaAnas bin Malik kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alisema:‘Kati ya wanawake wa ulimwenguni wabora ni wanne: Maryam bintiImran, Asia binti Muzahim mke wa Firaun, Khadija binti Khuwaylid naFatima binti Muhammad.”’

Amesema: Ametusimulia Adam al-Asqalani, amesema: Shaabah ame-tusimulia, amesema: Ametusimulia Amru bin Murrah, amesema:Nilimsikia Murrah al-Hamdani akisimulia kutoka kwa Abu Musa al-Ash’ariy kwamba amesema: Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alise-ma: “Kati ya wanaume wamekamilika wengi, na kati ya wanawakehajakamilika ila Maryam, Asia mke wa Firaun, Khadija binti Khuwaylidna Fatima binti Muhammad.”

Amesema: Ametusimulia Abul-As’wad al-Misriy, amesema:Ametusimulia Ibnu Twiat kutoka kwa Umarat bin Ghazyat, kutoka kwaMuhammad bin Abdurahman bin Amru bin Uthman, kwamba alisimuliwana Fatima binti Husein bin Ali kwamba: Fatima binti wa Mtume waMwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alisema: “Siku moja Mtume wa MwenyeziMungu (s.a.w.w.) aliingia kwa Aisha nami nikiwa humo, akaninong’onezanami nikalia, kisha akaninong’oneza tena nami nikacheka, Aisha akani-uliza kuhusu hali hiyo, nikamwambia: ‘Bila shaka umefanya haraka hivikweli nikupe siri ya Mtume wa Mwenyezi Mungu?’ akaniacha. “

4 Juz. 3, Uk. 263.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page 9

Page 19: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

10

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Alipofariki Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) Aisha alimuuliza, nayeakamjibu: Ndio alininong’oneza akasema: “Jibril alikuwa akiipitia Qur’anikila mwaka mara moja, na hakika mwaka huu kaipitia Qur’ani mara mbili,na hakika hakuna Nabii yeyote ila alipewa nusu ya umri wa Nabiialiyekuwa kabla yake, na hakika ndugu yangu Isa umri wake ulikuwamiaka mia moja na ishirini, nami hivi sasa nina miaka sitini, nami nimwenye kufariki ndani ya mwaka huu, na hajapata mwanamke yeyote katiya wanawake wa ulimwenguni kufikwa na msiba mfano wa ule utakaoku-fika, wala usiwe mwanamke usiye na subira” ndipo nikalia, kisha akasema(s.a.w.w.): “Hakika wewe ni mbora wa wanawake wa peponi.”5

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Na watakaokuhoji baada kukufikia elimu hii, waambie: Njoonituwaite watoto wetu na watoto wenu, na wanawake zetu na wanawakewenu, na nafsi zetu na nafsi zenu, kisha tuombe kwa unyenyekevututake laana ya Mwenyezi Mungu iwashukie waongo.” (Sura AaliImran; 3:61).

Ametusimulia Ibnu Hamid, amesema: Ametusimulia Jariri kutoka kwaMughira, kutoka kwa Amir, amesema: “Akaamrishwa, yaani Mtume(s.a.w.w.) kuombeana laana na watu wa Najran kwa kauli yake (s.w.t.): “Na

5 Tafsirut-Tabari Juz. 3 Uk. 264. Vipi Fatima asiwe mbora wa wanawake wapeponi na hali yeye ndiye kiumbe mtukufu na mkweli kuliko wao. MtumeMuhammad (s.a.w.w.) alisema kuhusu haki yake kama ilivyo katika kitabuBukhari Juz. 2 Uk. 185: “Fatima ni sehemu ya nyama yangu…”, na bila shaka nikwamba Mtume ndiye mbora katika nyumba zote mbili (Dunia na Akhera) naFatima ni kipande na sehemu ya baba yake, hivyo ni lazima Fatima awe mbora wawanawake wa ulimwenguni katika nyumba zote mbili (Dunia na Akhera).

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page 10

Page 20: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

11

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

watakaokuhoji…”, hivyo (watu wa Najran) wakaahidiana wamwombeelaana na wakamuahidi iwe ni siku ya kesho, ndipo wakaenda kwa SayyidAskofu, naye alikuwa ndiye mwenye akili kuliko wao hivyo wakamfuata,wakaenda kwa mtu mwenye akili miongoni mwao, wakamweleza yalewaliyokubaliana na Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.), akawaambia:“Mmefanya nini?” akawalaumu na kuwaambia: “Ikiwa kweli ni Mtumekisha akiwaombea mabaya katu Mwenyezi Mungu hatomghadhibisha katiyenu. Na ikiwa ni Mfalme akiwashinda katu hatowabakisheni.”Wakasema: Tutafanya nini nasi tayari tumeshamwahidi? Basi walipok-wenda Mtume alikwenda na hali amemkumbatia Hasan na amemshikamkono Husein na Fatima akitembea nyuma yake, akawaita, wakasema:Tunajikinga kwa Mwenyezi Mungu. Kisha akawaita tena, wakasema:Mara zote tunajikinga kwa Mwenyezi Mungu. Mtume (s.a.w.w.) akasema:“Ingieni katika Uislamu mtapata haki waliyo nayo waislamu, na mtawa-jibikiwa na yale yaliyo wajibu kwa waislamu….”6

Ametusimulia Ibnu Hamid: Ametusimulia Isa bin Farqad kutoka kwaAbul-Jarud, kutoka kwa Zayd bin Ali kuhusu kauli yake (s.w.t.): “Njoonituwaite watoto wetu na watoto wenu…” amesema: “Walikuwa Mtume waMwenyezi Mungu, Ali, Fatima, Hasan na Husein.”7

Ametusimulia Muhammad bin Husein, amesema: Ametusimulia Ahmadbin al-Mufadhil, amesema: Kutoka kwa as-Sadiy kuhusu kauli yake(s.w.t.): “Na watakaokuhoji baada kukufikia elimu hii…”, Mtume(s.a.w.w.) aliwashika mkono Hasan, Husein na Fatima, akamwambia Alitufuate, akatoka pamoja nao, siku hiyo hakuna nasara yeyote aliyejitokeza,Mtume akasema: “Lau wangejitokeza basi wangeteketea.”8

Yunus amenisimulia, amesema: Ibnu Wahbi ametupa habari, amesema:Ametusimulia Ibnu Zayd, amesema: Mtume wa Mwenyezi Mungu

6. Juz. 3 Uk. 299. al-Haskaniy ameiandika katika Shawahidut-Tanziil Juz. 1 Uk.120, chapa ya Beirut.7. Tafsirut-Tabari Juz. 3 Uk. 300.8. Juz. 3 Uk. 300.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page 11

Page 21: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

12

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

(s.a.w.w.) aliambiwa: “Lau ungewalaani kaumu ungekuja na nani ulipose-ma: “…watoto wetu na watoto wenu…”? Akasema (s.a.w.w.): “Hasan naHusein.”9

Muhammad bin Sanan amenisimulia, amesema: Ametusimulia Abu Bakral-Hanafiy, amesema: Ametusimulia al-Mundhir bin Thaalabah, amesema:Ametusimulia Ulbau bin Ahmar al-Yashkriy, amesema: Ilipoteremka Ayahii: “Waambie: Njooni tuwaite watoto wetu na watoto wenu…” Mtumewa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alituma waitwe Ali, Fatima, na watotowao wawili Hasan na Husein, kisha akawaita wakristo ili waombeanelaana. Kijana miongoni mwa Mayahudi akasema: “Ole wenu! Si wali-wausieni jana ndugu zenu ambao waligeuzwa nyani na nguruwe kwambamsishiriki maapizo.” Wakaacha.10

Ametusimulia Hasan bin Yahya, amesema: Abdurazaq ametupa habari,amesema: Maamar ametupa habari kutoka kwa Qatadah kuhusu kauli Yake(s.w.t.): “Na watakaokuhoji baada kukufikia elimu hii…”, amesema:Mtume (s.a.w.w.) alipowakusudia watu wa Najran alimshika mkono Hasanna Husain, akamwambia Fatima tufuate, maadui wa Mwenyezi Munguwalipoona mwonekano huo wakarejea.11

Kauli ya Mwenyezi Mungu: “Na hakika Mwenyezi Mungu aliwatimiziamiadi yake….” (Sura Aali Imran: 152).

Ametusimulia Muhammad, amesema: Ametusimulia As’bat kutoka kwaas-Sadiy, amesema: Mtume wa Mwenyezi Mungu alipotokeza kwamushrikina huko Uhud aliwaamuru askari wa mishale wakakaa juu yamlima wakiwa wamezielekea ngamia za mushrikina, akasema: “Msitokemlipo..” na akamfanya Abdullah bin Jubair kuwa kiongozi wao. Kishaakasimama Talha bin Uthman mshika bendera ya mushrikina akasema:

9. Tafsirut-Tabari Juz. 3 Uk. 301.10. Tafsirut-Tabari Juz. 3 Uk. 301.11. Tafsirut-Tabari Juz. 3, Uk. 301. Tunapata nukta zifuatazo kama faida kutokakatika Aya ya Maapizano:

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page 12

Page 22: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

13

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

“Enyi kundi la wafuasi wa Muhammad! Bila shaka nyinyi mnadai kwam-ba Mwenyezi Mungu atatuharakisha motoni kupitia panga zenu na atawa-harakisheni peponi kupitia panga zetu, basi je yupo yeyote miongonimwenu anayetaka Mwenyezi Mungu amuharakishe peponi kupitia upangawangu au aniharakishe motoni kupitia upanga wake?”

Akasimama Ali bin Abu Talib akasema: “Naapa kwa Yule Ambaye nafsiyangu imo mikononi Mwake, sitokuacha mpaka Mwenyezi Munguakuharakishe motoni kupitia upanga wangu.” Ali akampiga dharubalililokata miguu yake na hatimaye akaanguka chini, tupu yake ikafunuka,akasema: “Nakuomba kwa ajili ya Mwenyezi Mungu na udugu ewe bina-mu yangu.” Ndipo akamwacha, Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)akatoa Takbira na sahaba zake wakamwambia Ali: “Kitu gani kilikuzuiausimuuwe moja kwa moja.” Akasema: “Hakika binamu yangu aliniombapindi utupu wake ulipofunuka, hivyo nikamwonea haya.”12

SURAT AL-MAIDA

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Hakika Walii wenu hasa ni Mwenyezi Mungu na Mtume wake nawale walioamini ambao husimamisha Swala na hutoa Zaka wakiwawamerukui.” (Surat al-Maida: 55).

Amesema: Ametusimulia Abdullah bin Salih, amesema: “AmenisimuliaMuawiya bin Salih kutoka kwa Ali bin Talha, kutoka kwa Ibnu Abbaskuhusu kauli yake (s.w.t.): “Hakika Walii wenu hasa ni Mwenyezi Munguna Mtume wake na wale walioamini…” inamkusudia Ali bin Abu Talib.”13

12. Tafsirut-Tabari Juz. 4, Uk. 125.13.Tafsirut-Tabari Juz. 6, Uk. 288. Pia Al-Ayyashiy ameiandika katika tafsiriyake Juz. 1, Uk. 356, chapa ya Beirut.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page 13

Page 23: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

14

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Ametusimulia Muhammad bin Husein, amesema: Ametusimulia Ahmadbin al-Fadhlu, amesema: Ametusimulia Asbat kutoka kwa as-Sadiy, ame-sema: “Kisha akawajuza ni nani atakayewatawala, akasema: “Hakika Waliiwenu hasa ni Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wale walioaminiambao husimamisha Swala na hutoa Zaka wakiwa wamerukui.” Ali binAbu Talib alipitiwa na ombaomba akiwa amerukui msikitini, ndipo akam-pa pete yake.”

Ametusimulia Hinad bin as-Sariy, amesema: Ametusimulia Ubdat kutokakwa Abdul-Malik, kutoka kwa Abu Ja’far, amesema: “Nilimuuliza kuhusuAya hii: “Hakika Walii wenu hasa ni Mwenyezi Mungu na Mtume wake nawale walioamini…” Tukasema: Wale walioamini. Tukasema: Imetufikiakwamba iliteremka kwa ajili ya Ali bin Abu Talib. Akasema: “Ali ni mion-goni mwa wale walioamini.”

Ametusimulia Ismail bin Israil ar-Ramliy, amesema: AmetusimuliaAywabu bin Suwaydi, amesema: “Ametusimulia Utbah bin Abu Hakimkuhusu Aya hii: “Hakika Walii wenu hasa ni Mwenyezi Mungu na Mtumewake na wale walioamini…” akasema: Ali bin Abu Talib.”

Amenisimulia al-Harith, amesema: Ametusimulia Abdul-Aziz, amesema:Ametusimulia Ghalib bin Ubaydullah, amesema: “Nimemsikia Mujahidakisema kuhusu kauli yake (s.w.t.): “Hakika Walii wenu hasa ni MwenyeziMungu na Mtume wake na wale walioamini…”, akasema: Iliteremka kwaajili ya Ali bin Abu Talib, alitoa sadaka na hali akiwa katika rukuu.”14

14. Tafsirut-Tabari Juz. 6 Uk. 289.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page 14

Page 24: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

15

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

SURA AL-AN’AM

Kauli ya Mwenyezi Mungu: “…Na toeni haki yake siku ya kuvunwakwake…” (Sura al-An’am: 141).

Ametusimulia Umar bin Ali, amesema: Ametusimulia Kathiir bin Hisham,amesema: Ametusimulia Ja’far bin Barqan kutoka kwa Yazid bin al-Aswam, amesema: “Ilikuwa mtende unapokatwa mtu huja na tawi lake nakuliweka pembezoni mwa msikiti, masikini huja na kulipiga kwa fimboyake, zikipikutika tende huzila, ndipo siku moja Mtume wa MwenyeziMungu akaingia akiwa pamoja na Hasan na Husein (a.s.) mmoja waoakaokota na kula tende, Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)akamtemesha toka kinywani mwake. Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.) na Ahlul-Baiti zake walikuwa hawali sadaka. Hivyowakateremshiwa: “…Na toeni haki yake siku ya kuvunwa kwake…”15

SURA AARAF

Kauli ya Mwenyezi Mungu: “Na tutaondoa chuki vifuani mwao……”(Sura Aaraf: 43).

Ametusimulia Muhammad bin Abdul-Aala, amesema: AmetusimuliaMuhammad bin Thawri kutoka kwa Maamar, kutoka kwa Qatadah, ame-sema: Ali bin Abu Talib alisema: “Hakika mimi16 nataraji bila shaka kuwandiye niliye miongoni mwa wale ambao Mwenyezi Mungu amesemakuwahusu: “Na tutaondoa chuki vifuani mwao……”

15. Tafsirut-Tabari Juz. 8, Uk. 57.16. Tafsirut-Tabari Juz. 8, Uk. 183. al-Haskaniy ameandika katika kitabuShawahidut-Tanziil Juz. 1, Uk. 220, kutoka kwa Abdullah bin Malil, kutoka kwaAli (a.s.) kuhusu kauli yake (s.w.t.): "Na tutaondoa chuki vifuani mwao……"kwamba alisema (a.s.): "Iliteremka kwa ajili yetu."

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page 15

Page 25: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

16

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

SURA AL-AN’FALKauli ya Mwenyezi Mungu: “Na walipokupangia njama wale walioku-furu ili wakufunge au wakuue au wakutoe…” (Sura al-An’fal: 30).Ametusimulia Hasan bin Yahya, amesema: Ametupa habari Abdurazaq,amesema: Baba yangu amenipa habari kutoka kwa Akrimah, amesema:“Pindi Mtume (s.a.w.w.) alipotoka kwenda pangoni alimwamuru Ali binAbu Talib (a.s.) akalala kitandani kwake, wakakesha mushrikina wakim-linda, kila walipomwona amelala walidhani ndiye Mtume (s.a.w.w.) hivyowakamwacha. Ilipofika asubuhi walimvamia na hali wakidhani ndiyeMtume (s.a.w.w.), ghafla wakajikuta wamemzingira Ali (a.s.).”17

Amenisimulia al-Muthana, amesema: Ametusimulia Abdurazaq kutokakwa Maamar, amesema: Uthman al-Jazriy amenipa habari kwamba:Hakika Muqsim huria wa Ibnu Abbas alimpa habari kutoka kwa IbnuAbbas kuhusu kauli yake (s.w.t.): “Na walipokupangia njama walewaliokufuru” kwamba alisema: “Makuraishi walishauriana usiku mmojahuko Makka, baadhi yao wakasema: Akiamka mfungeni kwa kizuizi.Wakimkusudia Mtume (s.a.w.w.). Na wengine wakasema: Muuweni hukuwengine wakisema: Mfukuzeni. Ndipo Mwenyezi Mungu akamjuza Nabiiwake mkakati huo.

Ali bin Abu Talib akalala usiku huo juu ya kitanda cha Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) na Mtume akatoka, walipofika asubuhi walimvamia na walipo-muona kuwa ni Ali, Mwenyezi Mungu alizuia njama yao, wakasema:“Yupo wapi swahiba wako?” Akajibu: “Sijui.” Wakafuata nyayo zake nawalipoufikia mlima na kupitia pangoni wakaona utando wa buibui mlan-goni.”

17 Juz. 9, Uk. 228. al-Hafidh al-Haskaniy amesema katika kitabu chakeShawahidut-Tanziil Juz. 1, Uk. 96, kwamba: "Ali alipolala juu ya kitanda chaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) Mwenyezi Mungu aliteremsha Qur'ani nayo ni kauliyake (s.w.t.): "Na miongoni mwa watu kuna ambaye huiuza nafsi yake kwa ajiliya kutaka radhi ya Mwenyezi Mungu na Mwenyezi Mungu ni Mwenye hurumajuu ya waja." (Sura al-Baqarah: 207)."

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page 16

Page 26: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

17

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Muhammad bin Husein, amesema: Ametusimulia Ahmad bin Mufdhilkutoka kwa as-Sadiy kuhusu kauli yake (s.w.t.): “Na walipokupangianjama wale waliokufuru ili wakufunge…”, amesema: “Ni pindi wazee wakikuraishi walipokusanyika kushauriana kuhusu Mtume (s.a.w.w.). Ibilisiakaja kwa sura ya mtu mmoja miongoni mwa watu wa Najdi akaingiapamoja nao katika bunge.

Baadhi yao wakasema: “Muhammad atakapolala kitandani kwakemshikeni na kumweka kizuizini katika nyumba, tumzuie kwa muda tuoneitakuwaje.” Ibilisi akasema: “Hilo ulilosema ni baya mno, mtamwekakizuizini katika nyumba jamaa zake watakuja na kumtoa.” Wakasemamzee amesema kweli.

Abu Jahli ambaye alipata ubora kwao kwa kutiiwa na Ibilisi akase-ma: “Bali tuliweke jukumu hili katika kila tumbo miongoni mwamatumbo ya kikuraishi, tumchague mtu mmoja toka kila tumbo natumpe silaha na wote wamvamie Muhammad kwa pamoja,wampige pigo la mtu mmoja, hapo kizazi cha Abdul-Mutalibhawawezi kuwaua makuraishi hivyo hawatoambulia ila fidia tu.” Ibilisi akasema: “Umesema kweli, kijana huyu ndiye mwenyemawazo mazuri mno kati yenu.” Wakatekeleza hilo. MwenyeziMungu akampa habari hiyo Mtume Wake, akaenda pangoni na Alibin Abu Talib akalala juu ya kitanda chake.”18

Kauli ya Mwenyezi Mungu: “Na jueni kwamba chochote mlichopataghanima, basi khumsi yake ni ya Mwenyezi Mungu na Mtume najamaa na mayatima na masikini na msafiri……” (Sura al-An’fal: 41).

Amenisimulia Ibnu Wakiiu, amesema: Baba yangu amenisimuliakutoka kwa Sharik, kutoka kwa Khaswif, kutoka kwa Mujahid,amesema: “Aali Muhammadi haikuwa halali kwao sadaka ndipoakawawekea khumsi.”19

18. Tafsirut-Tabari Juz. 9, Uk. 229.

19.Tafsirut-Tabari Juz. 10, Uk. 5. Shawahidut-Tanziil Juz. 1, Uk. 218.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page 17

Page 27: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

18

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Amenisimulia Ahmad bin Is’haqa, amesema: Ametusimulia Abu Ahmad,amesema: Katusimulia Sharik kutoka kwa Khaswif kutoka kwa Mujahid,amesema: “Mtume wa Mwenyezi Mungu na Ahlul-Bait wake hawakuwawakila sadaka ndipo wakawekewa khumsi.”

Amenisimulia Muhammad bin Ammara, amesema: Ametusimulia Ismailbin Aban, amesema: Ametusimulia Swabahu bin Yahya al-Mazniy kutokakwa as-Sadiy, kutoka kwa Ibnu Daylamiy, amesema: Ali bin Husein (a.s.)alimwambia mzee mmoja wa Sham: “Hivi umewahi kusoma katika Suratal-Anfal: “Na jueni kwamba chochote mlichopata ghanima, basikhumsi yake ni ya Mwenyezi Mungu na Mtume na jamaa…” Mzeeakasema: “Ndio, kwani nyinyi ndio hao?” Akasema (a.s.): “Ndio.”

Amenisimulia al-Harith, amesema: Ametusimulia Abdul-Aziz, amesema:Ametusimulia Abdul-Ghaffar, amesema: Ametusimulia al-Man’hal binAmru, amesema: Nilimuuliza Abdullah bin Muhammad bin Ali na Ali binHusein kuhusu khumsi, wakasema: “Hiyo ni ya kwetu.” NikamwambiaAli: “Hakika Mwenyezi Mungu anasema: “…na mayatima na masikini…”Akasema: “Mayatima wetu na maskini wetu.”20

SURA TAWBA

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“(Tangazo la) Kujitoa Mwenyezi Mungu na Mtume wake kwa walemlioahidiana nao miongoni mwa mushrikina.” (Sura Tawba: 1).

Ametusimulia Ahmad bin Is’haqa, amesema: Ametusimulia Abu Ahmad,amesema: Ametusimulia Israil kutoka kwa Abu Is’haq, kutoka kwa Zaydbin Yushyau, amesema: “Iliteremka Sura Baraa Mtume wa Mwenyezi

20. Juz. 10, Uk. 8.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page 18

Page 28: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

19

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Mungu akamtuma nayo Abu Bakr kisha akamtuma Ali, akaichukua tokakwake. Abu Bakr aliporejea kwa Mtume akasema: ‘Je kuna chochote kili-choteremka kunihusu?’ Mtume (s.a.w.w.) akasema: ‘Hapana, lakini bilashaka nimeamrishwa niitangaze mimi mwenyewe au mtu kutoka katikaAhlul-Baiti wangu.”’21

Ametusimulia Ibrahim bin Said al-Jawhariy, amesema: AmetusimuliaHusein bin Muhammad, amesema: Ametusimulia Sulayman bin Qarmikutoka kwa Aamash, kutoka kwa Hakim, kutoka kwa Muqsim, kutoka kwaIbnu Abbas, kwamba: “Hakika Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)alimtuma Abu Bakr na Sura Baraa, kisha akamtumia Ali aichukue tokakwake.

Abu Bakr akasema: ‘Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! kuna lolote lime-tokea kwangu?’ Akasema (s.a.w.w.): ‘Hapana, wala hafikishi kwa niabayangu ila mimi mwenyewe au Ali.’Alikuwa amemtuma Ali mambo manne: Haiingii peponi ila mwislamu,baada ya mwaka huu mushriku haruhusiwi kuhiji wala kutufu na halimtupu. Na yule ambaye kati yake na Mtume wa Mwenyezi Mungu kunaahadi basi itaendelea mpaka mwisho wa muda wake.

Ametusimulia Ibnu Hamid, amesema: Ametusimulia Salmah,amesema: Ametusimulia Muhammad bin Is’haq kutoka kwaHakim bin Ibad bin Hanif, kutoka kwa Abu Ja’far Muhammad binAli bin Husein bin Ali, amesema: “Ilipoteremka Sura Baraa kwaMtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alimtuma Abu Bakr,akaambiwa: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! ungemtumia mtuAbu Bakr. Akasema: ‘Hafikishi kwa niaba yangu ila mtu kutokakatika Ahlul-Baiti wangu.’ Kisha akamwita Ali bin Abu Talib nakumwambia: ‘Ondoka na kisa hiki toka mwanzo wa Baraa,watangazie watu siku ya kuchinja watakapokusanyika.’ Ali binAbu Talib akatoka akiwa amepanda ngamia wa Mtume waMwenyezi Mungu al-Adhbau.”22

21. Juz. 10, Uk. 64.22.Tafsirut-Tabari Juz. 10, Uk. 65.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page 19

Page 29: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

20

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Amenisimulia Muhammad bin Husein, amesema: Ametusimulia Ahmadbin al-Mufdhil, amesema: Katusimulia Asbat kutoka kwa as-Sadiy, amese-ma: “Aya hizi mpaka aya ya arubaini, Mtume wa Mwenyezi Mungu alim-tuma nazo Abu Bakr na akamwamuru azitangaze kwa mahujaji.Alipotembea hadi kuufikia mti kwa Njia ya Dhilhalifa alimtumia Aliakaichukua toka kwake. Abu Bakr akarejea kwa Mtume na kusema: ‘EweMtume wa Mwenyezi Mungu! baba yangu na mama yangu wawe fidiakwako, je kuna chochote kimeteremka kunihusu?’ Akasema (s.a.w.w.):‘Hapana, lakini hafikishi kwa niaba yangu asiyekuwa mimi au asiyetokanana mimi.”

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Je, mnafanya kuwanywesha mahujaji na kuamirisha msikiti mtuku-fu ni sawa na yule aliyemwamini Mwenyezi Mungu na Siku yaMwisho na akapigana jihadi katika njia ya Mwenyezi Mungu?Hawawi sawa mbele ya Mwenyezi Mungu na Mwenyezi Munguhawaongozi watu madhalimu.” (Sura Tawba: 19).

Amenisimulia Yunus, amesema: Ibnu Wahbi ametupa habari, amesema:Nimepewa habari kutoka kwa Abu Swakhri, amesema: NilimsikiaMuhammad bin Kaab al-Qardhiyu akisema: “Talha bin Shayba toka kizazicha Abdudar, Abbas bin Abdul-Mutalib na Ali bin Abu Talib kila mmojaalijigamba.

Talha akasema: ‘Mimi ndio mtunza Nyumba, funguo zimomikononi mwangu na hata nikitaka nalala humo.’Abbas akasema: ‘Mimi ndiye mgawa maji na msimamizi wake nahata nikitaka nalala msikitini.’

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page 20

Page 30: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

21

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Ali akasema: ‘Sijui mtasema nini. Bila shaka nimeswali miezi sitakabla ya mtu yeyote na mimi ndiye mwanajihadi.’

Ndipo Mwenyezi Mungu akateremsha: “Je, mnafanya kuwanywe-sha mahujaji na kuamirisha msikiti mtukufu….””23

Muhammad bin Hasan amenisimulia, amesema: Ahmad bin al-Mufdhilametusimulia, amesema: Amesema Asbat kutoka kwa as-Sadiy kuhusu“kuwanywesha mahujaji ….” kwamba: “Ali, Abbas na Shayba bin Uthmankila mmoja alijigaba. Abbas akasema: ‘Mimi ndiye mbora wenu, mimihuwanywesha mahujaji wa Nyumba ya Mwenyezi Mungu.’ Shayba akase-ma: ‘Mimi naamirisha misikiti ya Mwenyezi Mungu.’Ali akasema: ‘Miminilihama pamoja na Mtume wa Mwenyezi Mungu na hupigana jihadipamoja naye katika Njia ya Mwenyezi Mungu.’ ndipo Mwenyezi Munguakateremsha: “….na yule aliyemwamini Mwenyezi Mungu na Siku yaMwisho na akapigana jihadi katika njia ya Mwenyezi Mungu?...”24

SURA HUD

Kauli ya Mwenyezi Mungu: “Basi je, aliye na dalili wazi itokayo kwaMola wake na anaifuata na shahidi atokaye kwake..” (Sura Hud: 17).

Ametusimulia Muhammad bin Ammara al-Asadiy, amesema:Ametusimulia Zariq bin Marzuq, amesema: Ametusimulia Swabahu al-Farai kutoka kwa Jabir, kutoka kwa Abdullah bin Yahya, amesema: Ali(a.s.) alisema: “Hakuna mtu yeyote miongoni mwa makuraishi ila Ayamoja au mbili zilishuka kwa ajili yake.” Ndipo mtu mmoja akamwambia:‘’Ni ipi iliyoteremka kwa ajili yako?’’ Ali akasema: “Hivi hausomi Ayailiyoteremka katika Sura Hud: “….. na anaifuata na shahidi atokayekwake..”25

23. Tafsirut-Tabari Juz. 10, Uk. 96.24. Shawahidut-Tanziil Juz. 1, Uk. 244. al-Manaqib cha Ibnu al-Mughazaliy,Hadithi ya 324. Ghayatul-Marami, Mlango wa 63.25.Tafsirut-Tabari Juz. 12, Uk. 15. Rejea Tafsirul-Ayyashiy Juz. 2, Uk. 153. Naal-Burhan Juz. 2, Uk. 213.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page 21

Page 31: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

22

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

SURA AR-RAAD

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Hakika wewe ni mwonyaji tu. Na kila kaumu ina wa kuwaongoza.”(Sura ar-Raad: 7).

Ametusimulia Ahmad bin Yahya as-Swufiy, amesema: AmetusimuliaHasan bin Husein al-Ansariy, amesema: Ametusimulia Maadh bin Muslim,amesema: Ametusimulia al-Harawi kutoka kwa Atau bin as-Saib, kutokakwa Said bin Jubair kutoka kwa Ibnu Abbas, amesema: “Ilipoteremka:“Hakika wewe ni mwonyaji tu. Na kila kaumu ina wa kuwaongoza.”Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) aliweka mkono wake juu ya kifuachake na kusema: ‘Mimi ndiye mwonyaji na kila kaumu ina wa kuwaon-goza.’ Akaashiria mkono wake kwenye bega la Ali bin Abu Talib na kuse-ma: ‘Ali wewe ndiye mwongozaji. Kupitia kwako wataongoka wenyekutaka kuongoka baada yangu.”26

SURA AN-NAHLI

Kauli ya Mwenyezi Mungu: “Na hatukutuma kabla yako ila wanaumetuliowapa wahyi. Basi waulizeni wenye ukumbusho ikiwa nyinyihamjui.” (Sura an-Nahli: 43).

Ametusimulia Ibnu Wakiu, amesema: Ametusimulia Ibnu Yaman kutokakwa Israil kutoka kwa Jabir, kutoka kwa Muhammad bin Ali bin Huseinbin Ali, Abu Ja’far, kuhusu kauli yake (s.w.t.): “Basi waulizeni wenyeukumbusho ikiwa nyinyi hamjui.” Amesema: “Sisi ndio wenye ukum-busho.”27

26. Juz. 13, Uk. 108.27. Tafsirut-Tabari Juz. 14, Uk. 109.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page 22

Page 32: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

23

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

SURA ISRAI

Kauli ya Mwenyezi Mungu: “Na mpe jamaa wa karibu haki yake namaskini na mwana njia, wala usifanye ubadhirifu.” (Sura Israi: 26).

Amenisimulia Muhammad bin Ammara al-Asadiy, amesema:Ametusimulia Ismail bin Aban, amesema: Ametusimulia Swabahu binYahya al-Muzniy kutoka kwa as-Sadiy, kutoka kwa Abu Daylam, amese-ma: Ali bin Husein (a.s.) alimwambia mzee mmoja wa Sham: “Hivi ume-wahi kusoma Qur’ani?” akajibu ndio. Ali akasema: “Hivi hujasoma katikaSura Israi: “Na mpe jamaa wa karibu haki yake..”?” mzee akasema: ‘’Hivinyinyi ndio jamaa wa karibu ambao Mwenyezi Mungu, Ambaye zime-tukuka sifa Zake, ameamuru wapewe haki yao?!!” Ali akasema: “Ndiosisi.”28

SURA TWAHAKauli ya Mwenyezi Mungu:

“Hakika mimi ni Mwingi wa maghufira kwa anayetubia na akaaminina akatenda mema tena akaongoka.” (Sura Twaha: 82).

Wengine wamesema yale aliyotusimulia Ismail bin Musa al-Fazari, ame-sema: Umar bin Shakir ametupa habari, amesema: Nilimsikia Thabit al-Bunan akisema kuhusu kauli yake (s.w.t.) “Hakika mimi ni Mwingi wamaghufira kwa anayetubia na akaamini…” “Ni kuamini Uwalii wa Ahlul-Baiti wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)”29

28. Juz. 15, Uk. 72.29. Juz. 16, Uk. 195.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:09 AM Page 23

Page 33: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

24

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

SURA ANBIYAIKauli ya Mwenyezi Mungu:

“Na hatukutuma kabla yako ila wanaume tuliowapa wahyi. Basiwaulizeni wenye ukumbusho ikiwa nyinyi hamjui.” (Sura Anbiyai:43).

Amenisimulia Ahmad bin Muhammad Tusiy, amesema: AmenisimuliaAbdurahman bin Salih, amesema: Amenisimulia Musa bin Uthman kutokakwa Jabir al-Jaafiy, amesema: “Ilipoteremka: “Na hatukutuma kabla yakoila wanaume tuliowapa wahyi. Basi waulizeni wenye ukumbusho ikiwanyinyi hamjui.” Ali bin Abu Talib alisema: ‘Sisi ndio wenye ukumbusho.’”

SURA HAJJKauli ya Mwenyezi Mungu:

“Hawa mahasimu wawili waliohasimiana kwa ajili ya Mola wao...”(Sura Hajj: 19).

Amenisimulia Yaakub, amesema: Ametusimulia Haytham, amesema: AbuHashim ametupa habari kutoka kwa Abu Mujliz, kutoka kwa Qaysu binUbada, amesema: “Nilimsikia Abudhari akiapa kiapo kwa ajili ya Aya hii:“Hawa mahasimu wawili waliohasimiana kwa ajili ya Mola wao...” kwam-ba iliteremka kwa ajili ya wale waliojitokeza kupambana Siku ya Badri:Hamza, Ali na Ubayda bin al-Harith. Na kwamba Ali alisema: “Mimi ndiyewa awali au wa kwanza atakayepiga magoti mbele ya Mwenyezi MunguSiku ya Kiyama kwa ajili ya uhasama.”30

30. Juz. 17, Uk. 131.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 24

Page 34: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

25

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

SURA SHUARAU

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Na uwonye jamaa zako walio karibu.” (Sura Shuarau: 214).

Amesema: Ametusimulia Salmah, amesema: Ametusimulia Muhammadbin Is’haqa kutoka kwa Abdul-Ghaffar bin al-Qasim, kutoka kwa al-Manhal bin Amru, kutoka kwa Abdullah bin al-Harith bin Nawfal bin al-Harith bin Abdul-Mutalib, kutoka kwa Abdullah bin Abbas kutoka kwa Alibin Abu Talib, amesema: “Ilipoteremka Aya hii kwa Mtume wa MwenyeziMungu (s.a.w.w.): “Na uwonye jamaa zako walio karibu,” Mtume waMwenyezi Mungu (s.a.w.w.) aliniita na kuniambia: ‘Ewe Ali! HakikaMwenyezi Mungu ameniamuru niwaonye jamaa zangu walio karibu. Sualahilo likaniumiza kichwa na nikatambua kwamba nitakapowadhihirishiajambo hili nitakumbana na nisiyoyapenda toka kwao. Nikanyamaza mpakaaliponijia Jibril na kuniambia: Ewe Muhammad! Hakika usipofanyaunayoamrishwa Mola wako atakuadhibu. Ewe Ali! Tuandalie pishi lachakula uweke mguu wa mbuzi na utujazie birauli ya maziwa, kisha niku-sanyie watoto wa Abdul-Mutalib ili niwaeleze na kuwafikishia yaleniliyoamrishwa.’ Nikatekeleza aliyoniamrisha (s.a.w.w.).’

Kisha nikamwitia na wakati huo walikuwa wanaume arobaini,amezidi mtu mmoja au amepungua mmoja, humo walikuwemoami zake: Abu Talib, Hamza, Abbas na Abu Lahab.Walipokwishakusanyika kwake alinitaka niwaletee chakula nili-chowatengenezea, nami nikawaletea. Nilipokiweka Mtume waMwenyezi Mungu alichukua kipande kidogo cha nyama akakikatakwa meno yake kisha akakitupia pembezoni mwa sinia, akasema:“Chukueni kwa Jina la Mwenyezi Mungu.

“Kaumu wakala mpaka wakatosheka na wala sikuona ila sehemuambazo mikono yao ilikuwa ikimega. Naapa kwa MwenyeziMungu Ambaye nafsi ya Ali imo mikononi mwake, chakula nili-chowapa wote ni cha kuweza kula mtu mmoja.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 25

Page 35: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

26

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

“Kisha akasema wape watu kinywaji, nikaja na ile bilauri wakanywampaka wakatosheka wote. Naapa kwa Mwenyezi Mungu kilikuwa nikinywaji cha kutosheka mtu mmoja.

“Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alipotaka kuwaeleza, Abu Lahabalimtangulia kuongea, akasema: “Jamaa yenu amewaroga kwa karamu.”Ndipo kaumu wakatawanyika na wala Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.) hakufanikiwa kuwaeleza, akasema (s.a.w.w.): “Kesho Ali.Hakika mtu huyu amenitangulia kusema yale uliyoyasikia, kaumuwametawanyika kabla sijawaeleza, hivyo tuandalie chakula mfano wa kileulichoandaa kisha unikusanyie.

“Nikatekeleza kisha nikawakusanya, kisha akanitaka nilete chakulanikawaletea naye akafanya kama alivyofanya jana, wakala mpakawakatosheka. Mtume akasema wape kinywaji nikawaletea bilauri wakany-wa mpaka wote wakatosheka. Kisha Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.) akaongea kwa kusema: “Enyi wana wa Abdul-Mutalib! Hakikamimi wallahi simjui kijana wa kiarabu aliyewaletea jamaa zake kitu borakuliko hiki nilichowaletea. Hakika mimi nimewaletea kheri ya dunia naakhera. Na hakika Mwenyezi Mungu ameniamuru niwalinganie kwayo,basi ni nani kati yenu atanisaidia katika jambo hili, awe ndugu yangu nakadha wa kadha.”

“Watu wote wakakaa kimya, nikasema na hali mimi nikiwa ndiye mdogokiumri kuliko wote, mwenye tongotongo machoni (mtoto) kuliko wote,mwenye tumbo kubwa kuliko wote na mwenye muundi wenye majerahamadogo kuliko wote: “Mimi ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu nakuwawaziri wako.” Akaishika shingo yangu kisha akasema (s.a.w.w.): “Hakikahuyu ni ndugu yangu na kadha wa kadha, msikilizeni na mumtii.” Kaumuwakaongea na hali wakicheka na wakimwambia Abu Talib: “Bila shakaamekuamuru umsikilize na kumtii mwanao.’”31

31. Tafsirut-Tabari Juz. 19, Uk. 121.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 26

Page 36: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

27

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

SURA AS-SAJDA

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Je, aliye muumini ni sawa na aliye fasiki? Hawawi sawa.” (Sura As-Sajda: 18).

Ibnu Hamid ametusimulia, amesema: Ametusimulia Salmah bin al-Fadhli,amesema: Amenisimulia Ibnu Is’haq kutoka kwa baadhi ya maswahibazake, kutoka kwa Atau bin Yasar, amesema: “Iliteremka Madina ikimhusuAli bin Abu Talib na Walid bin Uqbah bin Abu Muit. Kulikuwa na manenobaina ya Walid na Ali, Walid bin Uqbah akasema: ‘Mimi ni mfasaha kulikowewe, mwenye meno makali kuliko wewe na shujaa kuliko wewe.’ Aliakasema: ‘Nyamaza bila shaka wewe ni fasiki.’ Ndipo Mwenyezi Munguakateremsha: “Je, aliye muumini ni sawa na aliye fasiki? Hawawi sawa.”32

SURA AHZAB

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Hakika si mengineyo Mwenyezi Mungu anataka kuwaondolea ucha-fu, enyi watu wa nyumba ya Mtume, na kuwatakasa kabisa kabisa.”(Sura Ahzab: 33).

Amenisimulia Yunus, amesema: Ibnu Wahab ametupa habari, amesema:Amenisimulia Muhammad bin Al-Muthana, amesema: AmetusimuliaBakru bin Yahya bin Zaban al-Inziy kutoka kwa Abu Said al-Khidriy, ame-

32 Juz. 21, Uk. 107.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 27

Page 37: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

28

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

sema: Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) amesema: “Aya hii:“Hakika si mengineyo Mwenyezi Mungu anataka kuwaondolea uchafu,enyi watu wa nyumba ya Mtume, na kuwatakasa kabisa kabisa.” ime-teremka kwa ajili ya watano: Kwa ajili yangu, Ali, Hasan, Husein naFatima.”33

Ametusimulia Ibnu Wakiu, amesema: Ametusimulia Muhammad binBashir kutoka kwa Zakariya, kutoka kwa Mas’ab bin Shayba, kutoka kwaSwafiya binti Shayba, amesema: Aisha alisema: “Siku moja Mtume alito-ka akajifunika shuka lililodariziwa na manyoya meusi. Akaja Hasanakamwingiza na kuwa pamoja naye katika shuka, kisha akasema: “Hakikasi mengineyo Mwenyezi Mungu anataka kuwaondolea uchafu, enyi watuwa nyumba ya Mtume, na kuwatakasa kabisa kabisa.”

Ametusimulia Ibnu Wakiu, amesema: Ametusimulia Muhammad bin Bakrkutoka kwa Hamad bin Salmah, kutoka kwa Ali bin Zayd, kutoka kwaAnas, amesema kwamba: “Hakika Mtume alikuwa akipitia nyumbani kwaAli muda wa miezi sita kila alipotoka kwenda kusali, na alikuwa anasema:

‘Swala enyi Ahlul-Baiti. Hakika si mengineyo Mwenyezi Munguanataka kuwaondolea uchafu, enyi watu wa nyumba ya Mtume, nakuwatakasa kabisa kabisa.”34

Amenisimulia Musa bin Abdurahman al-Masruqiy, amesema:Ametusimulia Yahya bin Ibrahim bin Suwayd an-Nakhaiy kutoka kwaHilal – yaani Ibnu Maqlaswi-, kutoka kwa Zayd, kutoka kwa Shahru binHawshab, kutoka kwa Ummu Salama, amesema: “Mtume, Ali, Fatima,Hasan na Husein walikuwa kwangu, nikawaandalia henzirani wakala nakulala, akawafunika shuka kisha akasema: ‘Ewe Mwenyezi Mungu! hawani Ahlul-Baiti wangu, waondolee uchafu na watakase kabisa kabisa.”35

33 Juz. 22, Uk. 6.34 Tafsirut-Tabari Juz. 19, Uk. 121.35 Tafsirut-Tabari Juz. 22 Uk. 6.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 28

Page 38: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

29

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Ametusimulia Wakiu, amesema: Ametusimulia Abu Naiim, amesema:Ametusimulia Yunus bin Abu Is’haqa, amesema: Abu Daud amenipahabari kutoka kwa Abul-Hamrau, amesema: “Niliishi Madina miezi sitabila kutoka zama za Mtume (s.a.w.w.), nilimwona Mtume kila ichomoza-po alfajiri akienda kwenye mlango wa Ali na Fatima na kusema: “Hakikasi mengineyo Mwenyezi Mungu anataka kuwaondolea uchafu.”

Amenisimulia Abdul-Aala bin Waswil, amesema: Ametusimulia al-Fadhlubin Dukyan, amesema: Ametusimulia Abdusalama bin Harbi kutoka kwaKulthum al-Muharabiy, kutoka kwa Abu Ammar, amesema: “Miminilikuwa nimeketi kwa Wathila bin al-Asqau ndipo walipomtaja Ali nakumkashifu, walipoondoka akasema (Wathila): ‘Keti mpaka nikupe habariza huyu waliyemkashifu, mimi nilikuwa kwa Mtume wa MwenyeziMungu (s.a.w.w.) pindi walipomjia Ali, Fatima, Hasan na Husein, akawa-funika shuka lake kisha Mtume akasema: ‘Ewe Mwenyezi Mungu! hawani Ahlul-Baiti wangu. Ewe Mwenyezi Mungu! waondolee uchafu nawatakase kabisa kabisa.”’

Amenisimulia Abdul-Karim bin Abu Umayri, amesema: AmetusimuliaWalid bin Muslim, amesema: Ametusimulia Abu Amru, amesema:Amenisimulia Shaddad, amesema: Nilimsikia Wathilat bin al-Asqauakisimulia kwamba: “Nilimuulizia Ali nyumbani kwake, Fatima akanijibukwamba ametoka lakini punde tu atakuja akiwa na Mtume wa MwenyeziMungu (s.a.w.w.), punde Mtume wa Mwenyezi Mungu akafika na kuingiandani nami nikaingia. Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akaketi juuya kitanda na kumkalisha Fatima kuliani kwake na Ali kushotoni kwake naHasan na Husein mbele yake, akawafunika nguo yake na kusema: “Hakikasi mengineyo Mwenyezi Mungu anataka kuwaondolea uchafu, enyi watuwa nyumba ya Mtume, na kuwatakasa kabisa kabisa.” Ewe MwenyeziMungu! Hawa ndio watu wa nyumba yangu, ewe Mwenyezi Mungu watuwa nyumba yangu ndio wenye haki zaidi (kuliko mtu baki).”36

Amenisimulia Abu Karib, amesema: Wakiu ametusimulia kutoka kwa

36 Tafsirut-Tabari Juz. 22 Uk. 7.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 29

Page 39: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

30

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Abdul-Hamid bin Bahram, kutoka kwa Shahri bin Hawshab, kutoka kwaFudhaylu bin Marzuq, kutoka kwa Atia kutoka kwa Abu Said al-Khudriy,kutoka kwa Ummu Salama, amesema: “Aya hii ilipoteremka: “Hakika simengineyo Mwenyezi Mungu anataka kuwaondolea uchafu, enyi watu wanyumba ya Mtume…” Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alimwitaAli, Fatima, Hasan na Husein akawafunika kishamia cha Khaibari, akasea-ma: ‘Ewe Mwenyezi Mungu hawa ndio Ahlul-Baiti wangu. EweMwenyezi Mungu waondolee uchafu na watakase kabisa kabisa.’ UmmuSalama akasema: ‘Mimi ni miongoni mwao?’ Akasema (s.a.w.w.): ‘Weutaelekea katika kheri.”

Ametusimulia Abu Karib, amesema: Ametusimulia Masw’ab bin al-Miqdam, amesema: Ametusimulia Said bin Zarbiyu kutoka kwaMuhammad bin Sirini kutoka kwa Abu Huraira, kutoka kwa UmmuSalama, amesema: “Fatima alikwenda kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.) akiwa amebeba chungu chake chenye uji akakiweka mbele yake,akasema (s.a.w.w.): ‘Yuko wapo mwana wa ami yangu na wanao?’ akase-ma: ‘Nyumbani.’ Akasema (s.a.w.w.) waite, Fatima akatoka na kwendakwa Ali na kumwambia: ‘Itikia wito wa Mtume wewe na wanao.’

Ummu Salama anasimulia kwamba: Alipowaona wakija aliny-oosha mkono wake hadi kwenye kishamia kilichokuwa juu yakitanda akakivuta na kukitandika na akawakalisha juu yake, kishaakazishika pembe za kishamia kwa mkono wake wa kushotoakazikusanyia juu ya vichwa vyao na akanyoosha mkono wake wakulia kwa Mola wake Mlezi na kusema: ‘Ewe Mwenyezi Munguhawa ndio Ahlul-Baiti wangu, waondolee uchafu na watakasekabisa kabisa.”37

Ametusimulia Abu Karib, amesema: Ametusimulia Hasan bin Atiyah,amesema: Ametusimulia Fadhilu bin Marzuq kutoka kwa Atiyah kutokakwa Abu Said kutoka kwa Ummu Salama mke wa Mtume (s.a.w.w.)kwamba: “Hakika Aya hii iliteremka nyumbani kwake: “Hakika simengineyo Mwenyezi Mungu anataka kuwaondolea uchafu..”. Alisema:

37 Tafsirut-Tabari Juz. 22 Uk. 7.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 30

Page 40: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

31

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

“Nami nilikuwa nimeketi mlangoni, nikamwambia: Ewe Mtume waMwenyezi Mungu! Mimi sio miongoni mwa Ahlul-Baiti? Akanijibu:‘Hakika wewe utaelekea katika kheri, wewe ni miongoni mwa wakezeMtume (s.a.w.w.).’” Ummu Salama alisema: “Ndani ya nyumba alikuwe-mo Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.), Ali, Fatima, Hasan na Huseinradhi za Mwenyezi Mungu ziwaendee.”

Ametusimulia Abu Karib, amesema: Ametusimulia Khalid bin Mukhallad,amesema: Ametusimulia Musa bin Yakub, amesema: AmenisimuliaHashim bin Utbah Ibnu Abu Waqqas, kutoka kwa Abdullah bin Wahab binZam’at, amesema: “Ummu Salama alinipa habari kwamba: Hakika Mtumewa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) aliwakusanya Ali, Fatima, na Hasan naHusein kisha akawafunika nguo yake, kisha akaelekea kwa MwenyeziMungu na kusema: ‘Hawa ndio Ahlul-Baiti wangu.’ Ummu Salama akase-ma: ‘Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! (Allah) Amenijumuisha pamojanao?’ akasema (s.a.w.w.): ‘Hakika wewe ni miongoni mwa wakezangu.”’38

Amenisimulia Ahmad bin Muhammad at-Tusiy, amesema: AmetusimuliaAbdurahman bin Salih, amesema: Ametusimulia Muhammad binSulayman al-Isbahani kutoka kwa Yahya bin Ubaydul-Makkiy, kutoka kwaAtau, kutoka kwa Umar bin Abu Samla, amesema: “Aya hii: “Hakika simengineyo Mwenyezi Mungu anataka kuwaondolea uchafu, enyi watu wanyumba ya Mtume…” iliteremka kwa Mtume (s.a.w.w.) hali akiwa nyum-bani kwa Ummu Salama. Mtume akamwita Hasan, Husein na Fatima nakuwakalisha mbele yake, akamwita Ali akamkalisha nyuma yake, wakaji-funika yeye na wao kishamia kisha akasema: ‘Ewe Mwenyezi Munguhawa ndio Ahlul-Baiti wangu, waondolee uchafu na watakase kabisakabisa.’”

Amenisimulia Muhammad bin Ammara, amesema: Ametusimulia Ismailbin Aban, amesema: Ametusimulia Swabbah bin Yahya al-Mar’iyyu kuto-ka kwa as-Sadiy kutoka kwa Abu Daylam, amesema: Ali bin Husein (a.s.)

38 Tafsirut-Tabari Juz. 22, Uk. 8.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 31

Page 41: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

32

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

alimwambia mzee wa Sham: “Umewahi kusoma katika Sura Ahzab:“Hakika si mengineyo Mwenyezi Mungu anataka kuwaondolea uchafu,enyi watu wa nyumba ya Mtume, na kuwatakasa kabisa kabisa.’” Mzeeakasema: “Hivi ni nyinyi hao? “ Ali bin Husein akasema: “Ndio ni sisi.”

Ametusimulia Ibnu al-Muthana, amesema: Ametusimulia AbuBakr al-Hanafiy, amesema: Ametusimulia Bakiri bin Mismar,amesema: Nilimsikia Amir bin Said akisema: Saad amesema:Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alisema: “Wahyiulipomteremkia alimchukua Ali, wanae na Fatima akawaingizachini ya nguo yake kisha akasema: Mola wangu Mlezi hawa ndiondugu zangu na Ahlul-Baiti wangu.”39

Ametusimulia Ibnu Hamid, amesema: Ametusimulia Abdullah binAbdul-Quddus kutoka kwa Aamash, kutoka kwa Hakim bin Said,amesema: “Tulimtaja Ali bin Abu Talib radhi za Mwenyezi Munguzimwendee mbele ya Ummu Salama, akasema: Kwa ajili yakeiliteremka: “Hakika si mengineyo Mwenyezi Mungu anatakakuwaondolea uchafu, enyi watu wa nyumba ya Mtume, nakuwatakasa kabisa kabisa.”

Ummu Salama akasema: Mtume (s.a.w.w.) alikuja nyumbani kwangu, aka-niambia usimpe yeyote idhini ya kuingia. Akaja Fatima sikuweza kumzuiana baba yake, kisha akaja Hasan sikuweza kumzuia asiingie kwa babu yakena mama yake. Akaja Husain sikuweza kumzuia, akaja Ali sikuwezakumzuia, ndipo wakamzunguka Mtume (s.a.w.w.) wakiwa juu ya busati,Mtume wa Mwenyezi (s.a.w.w.) akawafunika kwa kishamia alichokuwaamejitanda, kisha akasema: ‘Ewe Mwenyezi Mungu hawa ndio Ahlul-Baitiwangu. Waondolee uchafu na watakase kabisa kabisa.’ Ndipo ikateremkaAya hii walipokusanyika juu ya busati. Nikasema ewe Mtume waMwenyezi Mungu! Na mimi? Ummu Salama anasema: “Wallahihakukubali bali alisema: Hakika wewe utaelekea katika kheri.”

39 Tafsirut-Tabari Juz. 22, Uk. 7.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 32

Page 42: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

33

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Hakika Mwenyezi Mungu na malaika wake wanamswalia Nabii.Enyi ambao mmeamini! Mswalieni na mumsalimu kwa salamu.”(Sura Ahzab: 56).

Ametusimulia Ibnu Hamid, amesema: Ametusimulia Harun kutoka kwaAnbasat kutoka kwa Uthman bin Mawhib kutoka kwa Musa bin Talhakutoka kwa baba yake, amesema: “Mtu mmoja alikwenda kwa Mtume(s.a.w.w.) na kumwambia: Nimemsikia Mwenyezi Mungu akisema:“Hakika Mwenyezi Mungu na malaika wake wanamswalia Nabii…” ni ipinamna ya kukusalia? Mtume akasema: ‘Sema: Ewe Mwenyezi Mungu!Mrehemu Muhammad na aali Muhammad kama ulivyomrehemu Ibrahimna aali Ibrahim, hakika wewe ni Muhimidiwa Msifiwa. Na mbarikiMuhammad na aali Muhammad kama ulivyombariki Ibrahim na aaliIbrahim, hakika wewe ni Muhimidiwa Msifiwa.’”40

Ametusimulia Abu Karib, amesema: Ametusimulia Malik bin Ismail, ame-sema: Ametusimulia Abu Israil kutoka kwa Yunus bin Khabab, amesema:Bifaris alituhutubia akasema: “Hakika Mwenyezi Mungu na malaika wakewanamswalia Nabii…” amenipa habari yule aliyemsikia Ibnu Abbas akise-ma: ‘Hivi ndivyo ilivyoteremka. Tukamwambia: Ewe Mtume waMwenyezi Mungu! Tumeshajua namna ya kukutolea salamu, ama salatutakusaliaje? Akasema: Ewe Mwenyezi Mungu! Mrehemu Muhammad naaali Muhammad kama ulivyomrehemu Ibrahim na aali Ibrahim, hakikawewe ni Muhimidiwa Msifiwa. Na mbariki Muhammad na aaliMuhammad kama ulivyombariki Ibrahim, hakika wewe ni MuhimidiwaMsifiwa.’41

40 Juz. 22, Uk. 43.41 Tafsirut-Tabari Juz. 22, Uk. 44.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 33

Page 43: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

34

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Ametusimulia Bushru, amesema: Ametusimulia Yazid, amesema:Ametusimulia Said kutoka kwa Qattadah kuhusu kauli yake (s..w.t.):“Hakika Mwenyezi Mungu na malaika wake wanamswalia Nabii…” ame-sema: “Ilipoteremka Aya hii walisema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu!Tumeshajua namna ya kukutolea salamu, ama sala tutakusaliaje?Akasema: ‘Semeni: Ewe Mwenyezi Mungu! Mrehemu Muhammad na aaliMuhammad kama ulivyomrehemu Ibrahim na aali Ibrahim.”’

Ametusimulia Ibnu Hamid, amesema: Ametusimulia Jarir kutoka kwaMughira kutoka kwa Ziyad kutoka kwa Ibrahim kuhusu kauli yake (s.w.t.):“Hakika Mwenyezi Mungu na malaika wake wanamswalia Nabii…” ame-sema: “Walisema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! Tumeshajua namnaya kukutolea salamu, ama sala tutakusaliaje? Akasema: ‘Semeni: EweMwenyezi Mungu! Mrehemu Muhammad mja wako na Mtume wako naAhlul-Baiti wake, kama ulivyomrehemu Ibrahim hakika wewe niMuhimidiwa Msifiwa.”’

Amenisimulia Ja’far bin Muhammad al-Kufiy, amesema: AmetusimuliaYaala bin al-Ajlahu kutoka kwa al-Hakam bin Utbah, kutoka kwa Abdullahbin Abu Layla, kutoka kwa Kaab bin Ajarah, amesema: “Ilipoteremka:“Hakika Mwenyezi Mungu na malaika wake wanamswalia Nabii…” nil-imwendea na kumwambia: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu!Tumeshajua namna ya kukutolea salamu, ama sala tutakusaliaje? Akasema(s.a.w.w.): Sema: Ewe Mwenyezi Mungu! Mrehemu Muhammad na aaliMuhammad, kama ulivyomrehemu Ibrahim na aali Ibrahim, hakika weweni Muhimidiwa Msifiwa. Na mbariki Muhammad na aali Muhammad,kama ulivyombariki Ibrahim na aali Ibrahim, hakika wewe ni MuhimidiwaMsifiwa.”

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 34

Page 44: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

35

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

SURA AS-SAFFAT

Kauli ya Mwenyezi Mungu: “Amani kwa Ilyasin.” (Sura as-Saffat:130).

Amesema: Maana yake ni Salamu kwa aali Muhammad (s.a.w.w.).42

SURA AS-SHURA

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Sema: Kwa haya siwaombi malipo yoyote kwenu isipokuwa mapenzikatika ndugu...” (Sura as-Shura: 23).

Ametusimulia Abu Karib, amesema: Abu Usama ametusimulia kutoka kwaAbdul-Malik bin Maysara kutoka kwa Taus kuhusu kauli yake (s.w.t.):“Sema: Kwa haya siwaombi malipo yoyote kwenu isipokuwa mapenzikatika ndugu...” amesema: “Ibnu Abbas aliulizwa kuhusu Aya hiyo, IbnuJubayri akasema: Hao ni karaba ambao ni aali Muhammad.”43

Amenisimulia Muhammad bin Ummara, amesema: Ametusimulia Ismailbin Aban, amesema: Kutoka kwa As-Sadiy kutoka kwa Abu Daylam ame-sema: Alipoletwa Ali bin Husein na hali ni mateka na kusimamishwa kati-ka barabara kuu ya Damascus alisimama mzee mmoja kati ya watu waSham, akasema: ‘Kila sifa njema ni ya Mwenyezi Mungu ambaye ame-wauwa na kuwang’oeni na kung’oa mzizi wa fitina.’ Ali bin Husein radhiza Mwenyezi Mungu zimwendee akasema: ‘Umewahi kusoma Qur’ani?’akajibu ndio. Akasema (a.s.): ‘Umewahi kusoma Aali Haa Miim?’Akajibunimewahi kusoma Qur’ani na sijawahi kusoma Aali Haa Miim. Akasema(a.s.): ‘Hujawahi kusoma: “Sema: Kwa haya siwaombi malipo yoyote

42 Tafsirut-Tabari Juz. 23, Uk. 96.43 Juz. 25, Uk. 23.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 35

Page 45: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

36

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

kwenu isipokuwa mapenzi katika ndugu...”’ Mzee akasema: ‘Nyinyi ndiohao?’ Akasema (a.s.): ‘Naam ndio sisi.’

SURA MUJADILAHKauli ya Mwenyezi Mungu:

“Enyi mlioamini! Mnaposema siri na Mtume, basi tangulizeni sadakakabla ya kumsemesha, hayo ni bora kwenu na ni safi sana, na ikiwahamkupata basi Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kusamehe, Mwenyekurehemu “ (Sura Mujadilah: 12).

Amenisimulia Muhammad bin Amru, amesema: Ametusimulia AbuAswim, amesema: Ametusimulia Isa kutoka kwa Ibnu Abu Najihu kutokakwa Mujahid kuhusu kauli yake (s.w.t.): “…basi tangulizeni sadaka kablaya kumsemesha…” amesema: “Walikatazwa kusema siri na Mtume(s.a.w.w.) mpaka watoe sadaka. Hakuna aliyeweza kusema naye siri ila Alibin Abu Talib radhi za Mwenyezi Mungu zimwendee, alitoa sadaka yadinari. Ndipo (baada ya sadaka hiyo) ikateremka ruhusa (iliyoondoa shartila sadaka.).”44

Ametusimulia Muhammad bin Ubaydu bin Muhammad al-Muhariby, ame-sema: Ametusimulia al-Mutalib bin Ziyad kutoka kwa Mujahid, amesema:Ali bin Abu Talib radhi za Mwenyezi Mungu zimwendee alisema: “Hakikakatika Kitabu cha Mwenyezi Mungu kuna Aya ambayo hakuna yeyotealiyeifanyia kazi kabla yangu, wala hakuna yeyote atakayeifanyia kazibaada yangu, nayo ni: “Enyi mlioamini! Mnaposema siri na Mtume, basitangulizeni sadaka kabla ya kumsemesha hayo ni bora kwenu na ni safisana…..””Amenisimulia Musa bin Abdurahman al-Masruqiy, amesema:

44 Juz. 28, Uk. 20.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 36

Page 46: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

37

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Ametusimulia Abu Usama kutoka kwa Shablu bin Ubada kutoka kwaMujahid kuhusu kauli yake (s.w.t.): “Enyi mlioamini! Mnaposema siri naMtume …..” amesema: “Walikatazwa kusema siri na Mtume mpaka watoesadaka. Hakuna aliyeweza kusema naye siri ila Ali bin Abu Talib radhi zaMwenyezi Mungu zimwendee. Alitoa sadaka ya dinari. Ndipo (baada yasadaka hiyo) ikateremka ruhusa (iliyoondoa sharti la sadaka.).

Abu Karib ametusimulia, amesema: Ametusimulia Ibnu Idirisa, amesema:Nilimsikia Laythu kutoka kwa Mujahid, amesema: Ali bin Abu Talib radhiza Mwenyezi Mungu zimwendee alisema: “Kuna Aya katika Kitabu chaMwenyezi Mungu ambayo hakuna yeyote aliyeifanyia kazi kabla yangu,wala hakuna yeyote atakayeifanyia kazi baada yangu. Nilikuwa na dinarimoja nikaichenji na kupata dirhamu kumi, nikawa kila niendapo kwaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) hutoa sadaka dirhamu moja.”

SURA TAGHABUN

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Bila shaka mali zenu na watoto wenu ni jaribio, na kwa MwenyeziMungu kuna malipo makubwa.” (Sura Taghabun: 15).

Ametusimulia Abu Karib, amesema: Ametusimulia Uthman bin Najiyahkutoka kwa Husein bin Waqid, amesema: Abdullah bin Barida amesema:“Nilimwona Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akitoa hotuba ghaflawakaja Hasan na Husein radhi za Mwenyezi Mungu ziwaendee wakiwawamevaa kanzu mbili nyekundu na hali wakidondoka na kuamka, Mtumewa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akateremka toka mimbarini akawachukuana kuwanyanyua na kuwaweka mapajani mwake kisha akasema:‘Mwenyezi Mungu na Mtume wake wamesema kweli. Bila shaka malizenu na watoto wenu ni jaribio, nilipowaona hawa wawili sikuweza kuvu-milia.’”45

45 Juz. 28, Uk. 126.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 37

Page 47: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

38

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

SURA AL-HAQQAH

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Ili tuifanye ukumbusho kwenu, na sikio lisikialo lisikie.” (Sura al-Haqqah: 12).

Ametusimulia Ali bin Sahli, amesema: Ametusimulia Walid bin Muslim,amesema: Nimemsikia Makhula akisema: “Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.) alisoma: “…na sikio lisikialo lisikie.” Kisha akamgeukia Ali nakusema: ‘Nilimwomba Mwenyezi Mungu sikio lako alifanye hivyo.’ Aliradhi za Mwenyezi Mungu zimwendee alisema: ‘Basi sikuwahi kusikiakitu chochote toka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu kisha nikakisa-hau.”’46

Amenisimulia Muhammad bin Khalqu, amesema: Amenisimulia Bushrubin Adam, amesema: Ametusimulia Abdullah Ibnu Zubair, amesema:Amenisimulia Abdullah bin Rustam, amesema: Nilimsikia Burayda akise-ma: “Nilimsikia Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akisemakumwambia Ali (a.s.): ‘Ewe Ali! Hakika Mwenyezi Mungu ameniamurunikusogeze karibu, nisikutenge mbali na nikuelimishe nawe usikie vilivyo.Na Mwenyezi Mungu amehakikisha unasikia vilivyo.’ Ndipo ikateremka:“…na sikio lisikialo lisikie.””

Amenisimulia Muhammad bin Khalfu, amesema: Ametusimulia Ismail binIbrahim Abu Yahya at-Tamimiy kutoka kwa Burayda al-Aslamiy, amese-ma: “Nilimsikia Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akisemakumwambia Ali (a.s.): ‘Hakika Mwenyezi Mungu ameniamuru nikuelim-ishe, nikusogeze karibu, nisikunyanyapae na nisikutenge mbali.”’

46 Tafsirut-Tabari Juz. 29 Uk. 55.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 38

Page 48: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

39

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

SURAT AL-BAYYINA

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Hakika wale walioamini na kutenda mema, hao ndio wema waviumbe.” (Sura al-Bayyina: 7).

Ametusimulia Ibnu Hamid, amesema: Ametusimulia Isa bin Farqad kuto-ka kwa Abul-Jarud kutoka kwa Muhammad bin Ali kuhusu kauli yake(s.w.t.): “Hakika wale walioamini na kutenda mema, hao ndio wema waviumbe.” amesema: Mtume akasema: “Ali ni wewe na wafuasi wako.”47

AHLUL-BAIT (A.S.) NDANI YA TAFSIRI YA AT-THAALABIY, INAYOITWA

AL-KASHFU WAL-BAYAN FII TAFSIRIL-QUR’ANI

SURA AL-FATIHAKauli ya Mwenyezi Mungu:

“Tuongoze njia iliyonyooka.” (Surat al-Fatiha: 6).

Muhammad bin Abdullah al-Qayiniy ametupa habari, amesema:Ametusimulia Abu Hasan bin Uthman an-Naswibiy huko Baghdad, ame-sema: Ametusimulia Abul-Qasim, amesema: Ametusimulia Abu HafsaUmar bin Ahmad bin Uthman, amesema: Baba yangu ametusimulia, ame-sema: Ametusimulia Hamid bin Sahli, amesema: Ametusimulia Abdullah47 Juz. 30 Uk. 265.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 39

Page 49: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

40

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

bin Muhammad al-Ajliy, amesema: Ametusimulia Ibrahim bin Jabir kuto-ka kwa Muslim bin Hayyan kutoka kwa Burayda kuhusu kauli yake(s.w.t.): “Tuongoze njia iliyonyooka.” amesema: “Ni Njia ya Muhammadna aali zake amani iwe juu yao wote.”48

SURAT AL-BAQARAH

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Na katika watu yuko auzaye nafsi yake kwa kutaka radhi yaMwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu ni Mpole kwa waja.” (Suraal-Baqara: 207).At-Thaalabi amesema: Nimeona katika baadhi ya vitabu kwamba Mtumewa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alipotaka kuhama alimwacha badala yakeAli bin Abu Talib huko Makka ili alipe madeni yake na akabidhi amanazilizokuwa kwake. Na alimwamuru siku aliyotoka kwenda pangoni –Mushrikina wakiwa wameizingira nyumba yake - alale kitandani kwake naalimwambia: “Jitande joho langu la kijani na ulale juu ya kitanda changuhakika hutopatwa na lolote lichukizalo kutoka kwao inshaallah.” Ali ali-fanya hivyo.

Ndipo Mwenyezi Mungu akawafunulia malaika (Jibril na Mikail):Hivi hamui kama Ali bin Abu Talib! nimeweka undugu kati yakena Muhammad naye amelala juu ya kitanda chake akijitoa fidiakwa niaba yake na kuupa uhai wake (Muhammad) kipaumbelekabla ya uhai wake binafsi. Teremkeni aridhini mkamlinde dhidiya adui wake.

` Malaika Jibril akateremka na kukaa kichwani kwake na Mikailakakaa miguuni kwake na hali Jibril akinadi: “Pongezi pongezi!Ewe Ali! Mwenyezi Mungu anajionea fahari kwako mbele ya

48 Ameipokea Shahru Ashub katika kitabu al-Manaqib Juz. 2, Uk. 271.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 40

Page 50: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

41

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Malaika.” Kwa ajili ya Ali Mwenyezi Mungu akateremsha kwaMtume wake akiwa njiani kuelekea Madina:

“Na katika watu yuko auzaye nafsi yake kwa kutaka radhi yaMwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu ni Mpole kwa waja.”49

Abu Muhammad Abdullah bin Muhammad Abdullah al-Qadhiy ametupahabari, amesema: Abu Husein Muhammad bin Uthman bin Hasan an-Naswibiy ametusimulia huko Baghdad, amesema: Abu Bakr Muhammadbin Hasan bin Salih as-Subiiy ametusimulia huko Halbi, amesema:Ametusimulia Ahmad bin Muhammad bin Said, amesema: AmetusimuliaMuhammad bin Mansur, amesema: Ametusimulia Ahmad bin AbuAbdurahman, amesema: Ametusimulia Hasan bin Muhammad Farqad,amesema: Ametusimulia al-Hakam bin Dhahir, amesema: Ametusimuliaas-Sadiy kuhusu kauli yake (s.w.t.): “Na katika watu yuko auzaye nafsiyake kwa kutaka radhi ya Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu niMpole kwa waja,” amesema: Ibnu Abbas alisema: “Iliteremka kwa ajili yaAli bin Abu Talib (a.s.) pindi Mtume (s.a.w.w) alipowatoka Mushrikina nakwenda pangoni akiwa pamoja na Abu Bakr. Ali ndipo alipolala juu yakitanda cha Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.).”50

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Wale watoao mali zao usiku na mchana kwa siri na dhahiri, wanaujira wao kwa Mola wao Mlezi; wala haitakuwa hofu juu yao walawao hawatahuzunika.” (Surat al-Baqara: 274).

49 Ameipokea al-Haskaniy katika kitabu Shawahidut-Tanziil Juz. 1, Uk. 123,Hadithi ya 133. Ameipokea al-Ghazali katika kitabu Ihyau Uluumid-Din Juz. 3,Uk. 238 katika kubainisha fadhila zake na utoaji kipaumbele wake. AmeipokeaIbnu Shahri Ashub katika kitabu chake Al-Manaqib Juz. 2, Uk. 65. 50 Rejea kitabu Sharhu Nahjul-Balagha cha Ibu Abil-Hadid Juz. 1, Uk. 789.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 41

Page 51: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

42

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Amenipa habari Ibnu Fanjawihi, amesema: Ametusimulia Abu Ali binHabish al-Maqriy, amesema: Ametusimulia Wahib kutoka kwa Ayub kuto-ka kwa Mujahid, kutoka kwa Ibnu Abbas, amesema: “Ali bin Abu Talibalikuwa na dirhamu nne hakuwa anamiliki nyingine zaidi ya hizo, akatoasadaka dirhamu moja kwa siri na nyingine kwa dhahiri, nyingine usiku nanyingine mchana. Ndipo ikateremka Aya hii.”51

SURA AALI IMRANKauli ya Mwenyezi Mungu:

“Hakika Mwenyezi Mungu alimchagua Adam na Nuh na watoto waIbrahim na watoto wa Imran juu ya walimwengu wote.” (Sura AaliImran: 33).

Abu Muhammad Abdullah bin Muhammad al-Qadhiy ametusimulia, ame-sema: Ametusimulia Abu Hasan Muhammad bin Uthman bin Hasan an-Naswibiy, amesema: Ametusimulia Abu Bakr Muhammad bin Husein binSalih as-Subiiy, amesema: Ametupa habari Ahmad bin Muhammad binSaid, amesema: Ametusimulia Ahmad bin Maytham bin Abu Naim, ame-sema: Ametusimulia Abu Junada as-Saluliy kutoka kwa Aamash kutokakwa Abu Wail, amesema: Nimesoma katika Msahafu wa Abdullah binMas’ud: “Hakika Mwenyezi Mungu alimchagua Adam na Nuh na watotowa Ibrahim na watoto wa Imran juu ya walimwengu wote.”

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Alipomzaa alisema: Mola wangu! Nimemzaa mwanamke, na

51 Ameipokea al-Wahidiy katika kitabu Asbabun-Nuzuul Uk. 64. Ibnu Asakir kati-ka kitabu Taarikhud-Damashqi Juz. 2, Uk. 13, Hadithi ya 918. Na Tabari katikakitabu ar-Riyadh an-Nadhrah Juz. 2, Uk. 206.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 42

Page 52: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

43

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Mwenyezi Mungu anajua sana aliyemzaa. Na mwanamume si kamamwanamke na nimemwita Maryam...” (Sura Aali Imran: 36).

Abu Zar’at amepokea kutoka kwa Abu Huraira kwamba Mtume waMwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alisema: “Yakutosha katika wanawake waulimwenguni: Maryam binti Imran, Asia mke wa Firaun, Khadija bintiKhuwaylid na Fatima binti Muhammad.”

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“…Kila mara Zakariya alipoingia Mihrab hukuta vyakula. Akasema:Ewe Maryam unatoa wapi hivi. Akasema: Vinatoka kwa MwenyeziMungu. Hakika Mwenyezi Mungu humruzuku amtakaye bilahesabu.” (Sura Aali Imran: 37).

Kutoka kwa Jabir bin Abdullah amesema kwamba hakika Mtume(s.a.w.w.) alikaa siku kadhaa bila kula chakula mpaka hali hiyo ikawa nzitojuu yake. Akaenda kwenye nyumba za wakeze lakini hakukuta chochotekwao ndipo akaenda kwa Fatima na kumwambia: “Ewe mwanangumpendwa! Je una chochote ninachoweza kula kwani hakika mimi nimwenye njaa?” Akamjibu: “Wallahi sina ewe Mtume wa MwenyeziMungu kwa haki ya baba yangu na mama yangu.” Mtume alipotoka jiraniwa Fatima alimletea Fatima vipande viwili vya mkate na finyango yanyama. Fatima akawatuma Hasan na Husein waende kumwita Mtume(s.a.w.w.) naye akaenda. Fatima akamweleza na kumfunulia bakuli. GhaflaFatuma akakuta bakuli limejaa mikate na nyama na akatambua kuwa nibaraka toka kwa Mwenyezi Mungu. Mtume (s.a.w.w.) akasema: Umetoawapi hivi? Akajibu: “Ni kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Hakika MwenyeziMungu humpa riziki amtakaye bila hesabu.”

Mtume akamuhimidi Mwenyezi Mungu na kusema: “Kila sifanjema ni ya Mwenyezi Mungu Ambaye amekufanya kifani wa bibi

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 43

Page 53: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

44

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

mtukufu wa wana wa Izrael (Mariam). Kwani hakika yeye alikuwaaruzukiwapo chochote na Mwenyezi Mungu husema: HakikaMwenyezi Mungu humpa riziki amtakaye bila hesabu.” KishaMtume (s.a.w.w.) akampeleka ujumbe Ali aje. Akala Mtume naAhlul-Baiti wake wote kwa pamoja mpaka wakashiba. Fatimaalisema: “Bakuli lilibaki kama lilivyokuwa likiwa limejaa. Hivyonikawagawia majirani zangu wote na Mwenyezi Mungu aliwekahumo kheri nyingi na baraka.”

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Na watakaokuhoji baada kukufikia elimu hii, waambie: Njoonituwaite watoto wetu na watoto wenu, na wanawake zetu na wanawakewenu, na nafsi zetu na nafsi zenu, kisha tuombe kwa unyenyekevututake laana ya Mwenyezi Mungu iwashukie waongo.” (Sura AaliImran: 61).

At-Thaalabi amesema: Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alipou-somea ujumbe wa Najran Aya hizi na kuwaomba wafanye maombi yalaana walisema: “Mpaka turejee na tutafakari jambo hili kisha keshotutakuja tena.” Ndipo kesho wakaenda kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.), na Mtume akatoka akiwa amemkumbatia Husein na amemshikamkono Hasan huku Fatima akitembea nyuma yake na Ali akiwa nyuma yaFatima. Akawaambia: “Mimi nitakapokuwa naomba nyinyi muwemnaitikia.”

Askofu wa Najran akasema: “Enyi wakristo! Mimi naziona nyuso hizikama zitamuomba Mwenyezi Mungu auondoe mlima kutoka mahala pake,atauondoa, msiapizane naye mtaangamia, na hatabaki mkiristo yeyote hapaduniani mpaka siku ya Kiyama.”Wakasema: “Ewe Abul-Qasim! Tumeona tusiapizane na wewe na

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 44

Page 54: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

45

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

tukuwache uendelee kuwa katika dini yako nasi tuendelee kubaki katikadini yetu. ”

Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akasema: “Mkikataa kufanyamaapizano basi msilimu mtapata haki waliyonayo waislamu na mtawa-jibikiwa na yale yaliyo wajibu kwao.” Wakakataa, ndipo Mtume akawaam-bia: “Basi hakika mimi nitawafukuzeni kupitia waarabu.” Wakasema:“Hatuna nguvu ya kupigana vita na waarabu, lakini sisi tunafanya suluhuna wewe usitushambulie kivita na wala usitufukuze na wala usitutoe kati-ka dini yetu. Kwa sharti tukupe kila mwaka Hilla52 elfu mbili: Elfu mojakatika mwezi wa Safar na elfu nyingine katika mwezi wa Rajab.”

Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akafanya nao suluhu kwa shartihilo na akasema: “Naapa kwa Yule Ambaye nafsi yangu imo mikononimwake hakika adhabu imeshateremka juu ya watu wa Najran. Na lauwangefanya maapizano wangegeuzwa nyani na nguruwe na bonde laolingewaka moto. Na Mwenyezi Mungu angeiteketeza Najran na watu wakehata ndege aliyopo juu ya mti. Wala mwaka usingepita wakristo wotewangekuwa wameteketea.”53

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Kama mmepatwa jeraha, basi kuna kaumu wamekwishapata jerahakama hilo, na siku za namna hii tutawaletea watu kwa zamu. Na iliapate kuwajua Mwenyezi Mungu ambao wameamini katika nyinyi naafanye miongoni mwenu mashahidi. Na Mwenyezi Mungu hawapendimadhalimu.” (Sura Aali Imran: 140).52 Jina la pesa kama vile Dola, Shilingi, Paundi na mfano wa hizo.53 Ameipokea Ahmad bin Hanbal katika kitabu al-Fadhail Uk. 27. al-Wahidiykatika kitabu Asbabun-Nuzuul Uk. 74. Na ameipokea pia Tabarani katika kitabuDalailun-Nubuwa Juz. 1, Uk. 197, Sura ya 21.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 45

Page 55: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

46

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Anas bin Malik amesema: Ali bin Abu Talib, Mwenyezi Mungu autukuzeuso wake, alikuja siku hiyo kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)akiwa na majeraha zaidi ya sabini, yatokanayo na mikuki, pigo la mishale.Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akawa anayapangusa nayoyanapona kwa idhini ya Mwenyezi Mungu kama vile hayakuwa ni majer-aha.

SURA NISAIKauli ya Mwenyezi Mungu:

“Enyi mlioamini! Msikaribie Swala na hali mmelewa mpaka myajuemnayoyasema; wala mkiwa na janaba isipokuwa mkiwa safarinimpaka muoge. Na muwapo wagonjwa au mko safarini au akawammoja wenu ametoka chooni au mkagusana na wanawake, kisha msi-pate maji, basi tayamamuni na mchanga ulio twahara; mpake nyusozenu na mikono yenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wakusamehe Mwenye kughufiria.” (Sura Nisai: 43).

Ismaili bin Umaiyya amesema kutoka kwa Husein kutoka kwa UmmuSalama, amesema: Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alisema:“Hakika kuingia ndani ya msikiti wangu ni haramu kwa kila mwanamkemwenye hedhi na kila mwanaume mwenye janaba ila kwa Muhammadi naAhlul-Baiti wake: Ali, Fatima, Hasan na Husein (a.s.).”54

54 Tanbihi: at-Thaalabi katika kuifasiri kauli ya Mwenyezi Mungu: “Ambaommestarehe nao katika wao, basi wapeni mahari yao yaliyo lazimu.” (Sura Nisai:24) amesema: Ali bin Abu Talib alisema: ‘Lau si Umar kukataza kuoa ndoa yamuda (Muta) asingelizini ila mwovu wa kupindukia.”’

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 46

Page 56: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

47

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

SURA MAIDA

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Hakika walii wenu hasa ni Mwenyezi Mungu na Mtume wake nawale walioamini ambao husimamisha Swala na hutoa Zaka wakiwawamerukui.” (Sura Maida: 55).

Ibnu Abbas amesema: as-Sadiy, Utba bin Hakim na Ghalib bin Abdullahwamesema: Kauli yake (s.w.t.): “Hakika walii wenu hasa ni MwenyeziMungu na Mtume wake na wale walioamini ambao husimamisha Swala nahutoa Zaka wakiwa wamerukui.” Alimkusudia Ali bin Abu Talib.Ombaomba alipita kwake na hali yeye karukui msikitini akampa pete yake.

Kutoka kwa Ibayat bin ar-Rabiiyyu, amesema: Alipokuwa Abdullah BinAbbas ameketi katika ukingo wa Kisima cha Zamzam ghafla alikuja mtualiyekuwa kafunga kilemba. Ikawa kila Ibnu Abbas akisema: ‘Mtume waMwenyezi Mungu alisema’ naye husema: ‘Mtume wa Mwenyezi Mungualisema’. Ndipo Ibnu Abbas akasema: Nakuomba kwa heshima yaMwenyezi Mungu uniambie wewe ni nani?

Akaondoa kilemba usoni na kusema: ”Enyi watu! Anayenitambuaameshanitambua. Mimi ni Jundub bin Junada niliyepigana vita vyaBadri Abudhari al-Ghaffari. Nilimsikia Mtume wa MwenyeziMungu (s.a.w.w.) kwa masikio yangu haya mawili la sivyo yap-atwe na ukiziwi, akisema: “Ali ni kiongozi wa watu wema.Muuwaji wa makafiri. Atasaidiwa yule mwenye kumsaidia naatatelekezwa yule mwenye kumtelekeza.”

“Hakika mimi siku moja niliswali pamoja na Mtume wa MwenyeziMungu (s.a.w.w.) Swala ya Adhuhuri, ombaomba akaomba msiki-tini na hakuna yeyote aliyempa, ndipo ombaomba akainua mikonoyake mbinguni na kusema: “Ewe Mwenyezi Mungu shuhudia

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 47

Page 57: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

kwamba bila shaka mimi nimeomba ndani ya msikiti wa Mtumewa Mwenyezi Mungu na sijapewa chochote na yeyote.” Kipindihicho Ali alikuwa amerukuu ndipo akamwashiria kwenye chandachake cha kulia kilichokuwa na pete. Ombaomba alikwenda nakuchukua pete toka kwenye chanda chake na hali Mtume akitiza-ma kwa macho yake.

“Mtume alipomaliza Swala yake aliinua kichwa chake mbingunina kusema: ‘Ewe Mwenyezi Mungu! Ndugu yangu Musa alikuom-ba: Akasema: Ee Mola wangu! Nipanulie kifua changu. Na uni-fanyie wepesi kazi yangu. Na ufungue fundo katika ulimi wangu.Wapate kufahamu kauli yangu. Na uniwekee waziri katika jamaazangu. Ndugu yangu Harun. Nitie nguvu kupitia yeye. Naumshirikishe katika kazi yangu.” (Sura Twaha: 25 – 32)ukamteremshia Qur’ani yenye kutamka: “Akasema: Karibunitutautia nguvu mkono wako kwa ndugu yako na tutakupeni ushin-di..” (Sura al-Qasas: 35).

“Ewe Mwenyezi Mungu! Na mimi ni Muhammad Nabii wako nachaguo lako. Ewe Mwenyezi Mungu Nipanulie kifua changu. Naunifanyie wepesi kazi yangu. Na uniwekee waziri katika jamaazangu. Ndugu yangu Ali. Nitie nguvu kupitia yeye.’”

Abu Dharri anasema: “Wallahi kabla Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.) hajamaliza Jibril akateremka kutoka kwa MwenyeziMungu na kusema: Ewe Muhammad soma. Akasema nisome nini?Akamwambia soma: “Hakika walii wenu hasa ni MwenyeziMungu na Mtume wake na wale walioamini ambao husimamishaSwala na hutoa Zaka wakiwa wamerukui.”55

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

48

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

55 Ameipokea Humawi katika kitabu Faraidus-Samtwayn Juz. 1, Uk. 191, Chapaya Beirut, Hadithi ya 162, Mlango wa 39.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 48

Page 58: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

49

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

“Ewe Mtume! Fikisha uliyoteremshiwa kutoka kwa Mola wako; nakama hutafanya, basi hukufikisha ujumbe wake. Na MwenyeziMungu atakulinda na watu. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoziwatu makafiri.” (Sura Maida: 67).

Abu Ja’far Muhammad bin Ali amesema: “Maana yake ni: Fikisha uliy-oteremshiwa kuhusu ubora wa Ali bin Abu Talib. Ilipoteremka Aya hiiMtume alimshika Ali mkono na kusema: Ambaye mimi nina mamlaka juuyake basi Ali ana mamlaka juu yake.”

Kutoka kwa Adiy bin Thabit kutoka kwa al-Barrau, amesema: Tuliporudipamoja na Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) tulifika sehemu iitwayoGhadir Khum. Akanadi Swalatu Jamia, na akafagia chini ya miti miwili.Akauinua mkono wa Ali na kusema: “Mimi si nina mamlaka zaidi kwawaumini kuliko nafsi zao?” Wakajibu: “Ndio una mamlaka ewe Mtume waMwenyezi Mungu?” Akasema: “Huyu ni mwenye mamlaka juu ya kilaambaye mimi nina mamlaka juu yake. Ewe Mwenyezi Mungu mpendeyule atakayempenda na mfanyie uadui yule atakayemfanyia uadui.” Umariakamwendea na kumwambia: “Hongera ewe mwana wa Abu Talib,umekuwa mwenye mamlaka juu ya kila muumini wa kiume na wa kike.”

Kutoka kwa al-Kalbiy, kutoka kwa Abu Salih, kutoka kwa Ibnu Abbaskuhusu kauli yake (s.w.t.): “Ewe Mtume! Fikisha uliyoteremshiwa kutokakwa Mola wako..” amesema: Iliteremka kwa ajili ya Ali, Mtume aliamr-ishwa afikishe kwa ajili yake. Akauinua mkono wa Ali na kusema:“Ambaye mimi nina mamlaka juu yake basi huyu Ali ana mamlaka juuyake. Ewe Mwenyezi Mungu mpende ampendaye na mfanyie uaduiamfanyiaye uadui.”56

56 Ameipokea Ibnu Asakir katika kitabu Taarikh Damashqi Juz. 2, Uk. 85, Chapaya pili, Hadithi ya 588.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 49

Page 59: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

SURA AL-AN’FALKauli ya Mwenyezi Mungu:

“Na jueni kwamba chochote mlichopata ghanima, basi khumsi yake niya Mwenyezi Mungu na Mtume na jamaa na mayatima na masikini namsafiri……” (Sura al-An’fal: 41).

Az-Zahri amesema: “Fatima na Abbas walikuja kwa Abu Bakr kumwom-ba mirathi yao toka katika Shamba la Fadak na ghanima za vita vyaKhaibar. Abu Bakr akawaambia: Nilimsikia Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.) akisema: ‘Sisi Manabii haturithiwi, tunayoyaacha ni sadaka.’”

Man’hal bin Umar anasema: “Nilimuuliza Abdullah bin Muhammad binAli na Ali bin Husein kuhusu khumsi. Wakasema: ‘Ni ya kwetu.’Nikamwambia Ali: Mwenyezi Mungu anasema: “…..na mayatima namasikini na msafiri……” Akasema: ‘Mayatima wetu, maskini wetu nawasafiri wetu.’”

SURA TAWBA

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“(Tangazo la) Kujitoa Mwenyezi Mungu na Mtume wake kwa walemlioahidiana nao miongoni mwa mushrikina.” (Sura Tawba: 1).

Muhammad bin Is’haqa na Mujahid wamesema: Ulipoingia mwaka wa tisaMtume wa Mwenyezi Mungu alikusudia kwenda Hija akasema: Bila shakamushrikina watahudhuria ili wahiji na hali wakiwa uchi, sipendi kuhiji

50

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 50

Page 60: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

51

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

mpaka watakapokuwa kinyume na hivyo. Ndipo Mtume wa MwenyeziMungu akamtuma Abu Bakr awe kiongozi awaongoze watu katika msimuwa Hija hiyo. Akampa aende na Aya arobaini toka mwanzo wa Sura Baraaili akawasomee mahujaji wa msimu huo.

Baada ya Abu Bakr kuondoka Mtume wa Mwenyezi Mungu alimwita Alina kumwambia: “Nenda na kisa hiki kuanzia mwanzo wa Baraakawatangazie watu watakapokusanyika.” Ali akotoka akiwa juu ya ngamiawa Mtume wa Mwenyezi Mungu mpaka alipomdiriki Abu Bakr hukoDhul-Halifa akaichukua Sura ile toka kwake.

Abu Bakr akarejea kwa Mtume (s.a.w.w.) na kumwambia: ‘Ewe Mtume waMwenyezi Mungu! Baba yangu na mama yangu wawe fidia kwako, jekimeteremshwa chochote kunihusu?’ Mtume (s.a.w.w.) akasema: ‘Hapana,lakini hapaswi kufikisha kwa niaba yangu ila mimi mwenyewe.’ Au alise-ma: ‘Mtu atokanaye na mimi.’57

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Na wale waliotangulia wakawa wa kwanza katika Muhajirina naAnsari...” (Sura Tawba: 1).

Baadhi yao wamesema: Mwanamume wa kwanza kumwamini Mtume waMwenyezi Mungu (s.a.w.w.) ni Ali bin Abu Talib. Hiyo ni kauli ya IbnuAbbas, Jabir, Zayd bin Arqam, Muhammad bin al-Munkadir, Rabiarur-Raayi na Abu Hazim al-Madaniy.

Al-Kalbiy amesema: “Ali aliupokea Uislamu angali mtoto wa miaka tisa.” Mujahid na Ibnu Is’haqa wamesema: “Aliupokea Uislamu angali mtoto wamiaka kumi. ”

57 Al-Haskaniy amepokea kisa hiki kwa njia mbalimbali na kwa matamshi tofau-ti katika Hadithi ishirini kuanzia Hadithi ya 308 mpaka Hadithi ya 328 katikakitabu chake Shawahidut-Tanziil.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 51

Page 61: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

Na imepokewa kwamba Abu Talib alimwambia Ali: “Ewe mwanangu, niimani gani hii uliyo nayo?” Akajibu: “Ewe baba yangu mpendwa,nimemwamini Mwenyezi Mungu na Mtume wake na nimesadikisha aliy-oyaleta na nimeswali pamoja naye kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. ”Akamwambia: “Hakika Muhammad halinganii ila kwenye kheri shika-mana naye. ”

Ubaydullah bin Musa amepokea kutoka kwa al-Alau bin Man’hal binUmar, kutoka kwa Abbas bin Abdullah, amesema: “Nilimsikia Ali akise-ma: “Mimi ni mja wa Mwenyezi Mungu na ndugu wa mjumbe wake, namimi ni Swidiqi mkubwa. Hatodai hayo baada yangu ila ni mwongomzushi. Nimeswali miaka saba kabla ya watu. ”

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Enyi mlioamini! mcheni Mwenyezi Mungu na kuweni pamoja nawakweli.” (Sura Tawba: 119).

Abdullah bin Muhammad bin Abdullah amenipa habari, amesema:Ametusimulia al-Kalbiy, kutoka kwa Abu Salih kutoka kwa Ibnu Abbaskuhusu Aya hii: “Enyi mlioamini! mcheni Mwenyezi Mungu na kuwenipamoja na wakweli.” Amesema: Ni kuwa pamoja na Ali bin Abu Talib namaswahaba wake.”

Na Abdullah amenipa habari, amesema: Ametusimulia Muhammad binUthman, amesema: Ametusimulia Mufadhal bin Salih kutoka kwa Jabirkutoka kwa Abu Ja’far kuhusu kauli yake (s.w.t.): “Enyi mlioamini!mcheni Mwenyezi Mungu na kuweni pamoja na wakweli.” Amesema: “Nikuwa pamoja na aali Muhammad.”58

52

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

58 Al-Haskaniy ameipokea katika kitabu chake Shawahidut-Tanziil, Hadithi ya353. Na Sayyid Hashim al-Bahraniy katika kitabu Ghayatul-Marami Uk. 375,Mlango wa 77.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 52

Page 62: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

53

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

SURA HUDKauli ya Mwenyezi Mungu:

“Basi je, aliye na dalili wazi itokayo kwa Mola wake na anaifuata nashahidi atokaye kwake..” (Sura Hud: 17).

Abdullah al-Qariu amenipa habari, amesema: Ametupa habari al-QadhiAbul-Husain an-Naswibiy, amesema: Ametupa habari Hasan bin Hasankutoka kwa Habban kutoka kwa al-Kalbiy, kutoka kwa Abu Salih, kutokakwa Ibnu Abbas kuhusu kauli yake (s.w.t.): “Basi je, aliye na dalili waziitokayo kwa Mola wake..” kuwa ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na “..naanaifuata na shahidi atokaye kwake..” ni Ali peke yake.59

Abul Jarud ametupa habari kutoka kwa Habib bin Yasar kutoka kwaZadhan, amesema: “Nilimsikia Ali akisema: “Naapa kwa Yule Ambayeameotesha punje na kuumba nafsi, lau nikitandikiwa mto nikaketi juu yakenitawahukumu wanataurati kwa Taurati yao, wanainjili kwa Injili yao,wanazaburi kwa Zaburi yao na wanafurqan kwa Furqani yao. Naapa kwaYule Ambaye ameotesha punje na kuumba nafsi, hakuna mtu yeyote mion-goni mwa makuraishi aliyepitiwa na mtihani ila mimi najua matokeo yakekama utampeleka peponi au utamwingiza motoni.” Akasimama mtummoja na kumwambia: “Ni ipi Aya yako ewe Amirul-Muuminina iliy-oteremka kuhusu madai yako? ” Akasema: “Basi je, aliye na dalili waziitokayo kwa Mola wake na anaifuata na shahidi atokaye kwake..” Mtumewa Mwenyezi Mungu ana dalili ya wazi toka kwa Mola wake na mimi nishahidi atokaye kwake. ”60

59 Ameipokea Ibnu Asakir katika kitabu Taarikh Damashqi Juz. 2, Uk. 420,Hadithi ya 928, kwenye wasifu wa Amirul-Muuminiina.60 Ameiandika Humawi katika kitabu Faraidus-Samtwayn Juz. 1, Uk. 238,Mlango wa 63.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 53

Page 63: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

SURA AR-RAAD

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Na katika ardhi mna vipande vilivyokaribiana. Na zipo bustani zamizabibu na mimea mingine na mitende ichipuayo kwenye shina naisiyochipua kwenye shina moja inayonyweshelezwa maji yaleyale. Natunaifanya bora baadhi yake kuliko mingine katika kula. Hakika kati-ka hayo kuna ishara kwa watu wanotia akilini.” (Sura ar-Raad: 4).

Kutoka kwa Abdullah bin Muhammad bin Aqiil, kutoka kwa Jabir, amese-ma: “Nilimsikia Mtume wa Mewenyezi Mungu (s.a.w.w.) akimwambiaAli: “Watu wanatokana na miti tofauti. Na mimi na wewe tunatokana namti mmoja.”61

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Hakika wewe ni mwonyaji tu. Na kila kaumu ina wa kuwaongoza.”(Sura ar-Raad: 7).

54

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

61 Al-Haskaniy ameipokea katika kitabu chake Shawahidut-Tanziil, Hadithi ya395. Na ameipokea Ibnu Asakir katika kitabu Taarikh Damashqi Juz. 1, Uk. 142,Hadithi ya 177, Chapa ya Pili.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 54

Page 64: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

55

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Kutoka kwa Said bin Jubair, kutoka kwa Ibnu Abbas, amesema:“Ilipoteremka Aya hii Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) aliwekamkono wake juu ya kifua chake na kusema: ‘Mimi ndiye mwonyaji.’Akaashiria mkono wake kwenye bega la Ali na kusema: ‘Ali wewe ndiyemwongozaji. Kupitia kwako wataongoka wenye kutaka kuongoka baadayangu.”62

Kutoka kwa Sufyan Ath-Thawriy, kutoka kwa Abu Is’haqa, kutoka kwaZaid bin Yatbau, kutoka kwa Hudhayfa amesema kwamba: Mtume waMwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alisema: “Mkimwacha Ali awatawalemtamkuta ni Kiongozi mwongozaji.”

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Wale ambao wameamini na wakafanya matendo mema, raha ni yaona marejeo mazuri.” (Sura ar-Raad: 29).

Kutoka kwa Abu Ja’far amesema: Mtume wa Mwenyezi Mungualiulizwa kuhusu kauli yake (s.w.t.): “…raha ni yao na marejeomazuri.” akasema: “Tuba ni mti ambao shina lake limo ndani yanyumba yangu na matawi yake yamewafikia watu wa Peponi.”

Kisha akaulizwa tena mara nyingine akasema: “Ni mti wa peponishina lake limo ndani ya nyumba ya Ali na matawi yake yame-wafikia watu wa peponi.”

Akaambiwa: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! Mwanzo tuliku-uliza ukasema: “Tuba ni mti shina lake limo ndani ya nyumbayangu na matawi yake yamewafikia watu wa Peponi.”Tukakuuliza tena ukasema: “Ni mti wa peponi shina lake limondani ya nyumba ya Ali na matawi yake yamewafikia watu wapeponi.” Vipi hili?

62 Ibu Hajar al-Asqalaniy ameiandika katika kitabu Lisanul-Mizan Juz. 2, Uk. 99.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 55

Page 65: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

Akajibu: “Hakika nyumba yangu na nyumba ya Ali kesho ni mojasehemu moja.”63

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Na wale ambao wamekufuru wanasema wewe hukutumwa. Sema:Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi baina yangu na nyinyi nayule mwenye elimu ya Kitabu.” (Sura ar-Raad: 43).

Abdullah bin Atau amesema: “Nilikuwa nimeketi na Abu Ja’far msikitinindipo nikamwona Ibnu Abdullah bin Salam pembeni. Nikamwambia AbuJa’far: “Wanadai eti ambaye ana elimu ya Kitabu ni Abdullah bin Salam.Akasema: “Hakika huyo (mwenye elimu ya Kitabu) ni Ali bin AbuTalib.”64

Kutoka kwa Abu Umar Zadhan, kutoka kwa Hudhayfa kuhusu kauli yake(s.w.t.): “…na yule mwenye elimu ya Kitabu.” Alisema: “Huyo ni Ali binAbu Talib.”65

SURA MARYAMKauli ya Mwenyezi Mungu:

“Hakika wale ambao wameamini na wakatenda mema Mwingi warehema atawajaalia mapenzi.” (Sura Maryam: 96).

56

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

63 Ibnu al-Batriq ameiandika katika kitabu Khasaisul-Wahyi al-Mubin Uk. 209,Chapa ya Pili, Mlango wa Tatu. Na pia kaiandika Tabarasiy katika Tafsiri yakeMajmaul-Bayan anapoifasiri Aya hii. Na kaiandika al-Irbaliy katika kitabu KashfulGhummah Juz. 1, Uk. 323.64 Ameiandika Ibnu al-Mghzaliy katika kitabu chake al-Manaqib, Hadithi ya 258Uk. 313.65 Ameiandika Abu Naiim al-Asfahaniy katika kitabu an-Nuru al-Mushtaalu FiiMaa unzila Minal-Qur’an Fii Ali, Uk. 152, Sura ya kumi na tisa.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 56

Page 66: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

57

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Kutoka kwa al-Barau bin Azib amesema: “Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.) alimwambia Ali bin Abu Talib: “Ewe Ali, sema: Ewe MwenyeziMungu! Nipe hifadhi Kwako na niwekee mapenzi katika nyoyo za wau-mini.” Ndipo Mwenyezi Mungu akateremsha: “Hakika wale ambaowameamini na wakatenda mema Mwingi wa rehema atawajaalia mapen-zi.”66

SURA TWAHA

Kauli ya Mwenyezi Mungu: “Twaha.” (Sura Twaha: 1).

Amesema Ja’far bin Muhammad as-Sadiq (a.s.): “Twaha: Ni utakaso waAhlul-Baiti wa Muhammad.” Kisha akasoma: “Hakika si mengineyoMwenyezi Mungu anataka kuwaondolea uchafu, enyi watu wa nyumba yaMtume, na kuwatakasa kabisa kabisa.” (Sura Ahzab: 33).

SURA NURUKauli ya Mwenyezi Mungu:

“Katika nyumba ambazo Mwenyezi Mungu ameruhusu ziinuliwe nakutajwa humo jina lake, wanamtakasa humo asubuhi na jioni.” (SuraNuru: 36).

Akasimama mtu mmoja na kumuuliza: “Ni nyumba zipi hizi ewe Mtumewa Mwenyezi Mungu?” Akasema: “Nyumba za Manabii.” Abu Bakr akasi-mama na kusema: “Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! Nyumba hii nimiongoni mwazo, nyumba ya Ali na Fatima?” Akajibu: “Ndio ni miongo-ni mwazo bali ndio iliyo bora kuliko nyingine.”

66 Ameiandika Humawi katika Juz. 1, Uk. 8, Mlango wa 14.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 57

Page 67: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

SURA FURQAN

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Naye ndiye aliyemuumba mwanadamu kutokana na maji na akam-jaalia kuwa na nasaba na ukwe. Na Mola wako ni Mwenye uwezo.”(Sura Furqan: 54).

Amesema: Iliteremka ikimuhusu Mtume (s.a.w.w.) na Ali bin Abu Talib.Mtume alimuozesha Ali kwa Fatima, naye ni mtoto wa ami yake na mumewa binti yake, hivyo wao wawili wakawa na nasaba na ukwe.

SURA SHUA’RAUKauli ya Mwenyezi Mungu:

“Na uwonye jamaa zako walio karibu.” (Shua’rau: 214).

Kutoka kwa Abu Is’haqa amesema: Ilipoteremka Aya hii: “Na uwonyejamaa zako walio karibu.” Mtume wa Mwenyezi Mungu aliwakusanyawatoto wa Abdul-Muttalib kipindi hicho wakiwa ni wanaume arobaini.Mtu mmoja kati yao alikuwa akila mbuzi mzima. Akamwamuru Ali aan-dae mguu wa mbuzi akautengeneza chakula kisha Mtume akasema:“Karibuni kwa jina la Mwenyezi Mungu. ”

Watu wakakaribia na wakala mpaka wakatosheka. Kisha baada ya hapoakaomba maziwa akanywa funda moja kisha akawaambia: “Kunywenikwa jina la Mwenyezi Mungu.” Wakanywa mpaka wakatosheka. NdipoAbu Lahabi akawatangulia kwa kusema: “Huu ndio uchawi aliowarogamtu huyu.” Mtume akanyamaza hakusema chochote siku hiyo.

58

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 58

Page 68: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

59

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Kisha siku iliyofuata waliwaita na kuwaandalia chakula na kinywaji mfanowa kile. Kisha Mtume wa Mwenyezi Mungu akawaonya, akasema: “Enyiwana wa Abdul-Muttalib! Hakika mimi ni mwonyaji kwenu kutoka kwaMwenyezi Mungu. Na ni mbashiri wa yale ambayo hakuna yeyote aliye-waletea. Hakika mimi nimewaletea kheri ya dunia na akhera. Silimuni namnitii mtaongoka. Na ni nani ataniunga mkono na kunisaidia awe mrithiwangu, wasii wangu na khalifa wangu kwa watu wangu na anilipie denilangu.”

Kaumu wakakaa kimya. Akarudia wito huo mara tatu. Mara zote hizokaumu walikaa kimya na Ali akisema: “Mimi.” Mtume wa MwenyeziMungu akasema: “Wewe.” Kaumu wakanyanyuka na hali wakimwambiaAbu Talib: “Bila shaka amekuamuru umsikilize na kumtii mwanao.”

SURA NAMLUKauli ya Mwenyezi Mungu:

“Na Suleiman alimrithi Daud. Na akasema: Enyi watu! Tumefunzwausemi wa ndege. Na tumepewa kila kitu. Hakika hii ni fadhila iliyodhahiri.” (Sura Namlu: 16).

Ja’far bin Muhammad as-Saddiq amepokea kutoka kwa baba yake kutokakwa babu yake, kutoka kwa Hasan bin Ali, amesema: “Kipozamataza –aina ya ndege – aliapo huwa anasema: Ewe Mungu wangu! Walaani wenyekuwabughudhi aali Muhammad.”Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Watakaokuja na wema watapata bora kuliko hayo. Nao watasalimi-ka na.” (Sura Namlu: 89).

Kutoka kwa Abu Daud as-Sabuiy, kutoka kwa Abdullah banal-Jadliy, ame-

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 59

Page 69: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

sema: Niliingia kwa Ali bin Abu Talib akaniambia: “Ewe Abdullahnikueleze wema ambao atakayeuleta Mwenyezi Mungu atamwingizapeponi?” Nikamwambia ndio. Akasema: Wema huo ni kutupenda sisi nauovu ni kutubughudhi sisi.”

SURA AHZABKauli ya Mwenyezi Mungu:

“Hakika si mengineyo Mwenyezi Mungu anataka kuwaondolea ucha-fu, enyi watu wa nyumba ya Mtume, na kuwatakasa kabisa kabisa.”(Sura Ahzab: 33).

Amesema: Bakru bin Yahya bin Rayyan al-Askari ame-tusimulia, amesema: Ametusimulia Aamash kutoka kwa Atia,kutoka kwa Abu Said al-Khudri, amesema: Mtume waMwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alisema: “Aya hii: “Hakika simengineyo Mwenyezi Mungu anataka kuwaondolea uchafu,enyi watu wa nyumba ya Mtume, na kuwatakasa kabisakabisa.” imeteremka kwa ajili ya watano: Kwa ajili yangu,Ali, Hasan, Husein na Fatima.”67

Ametusimulia aliyemsikia Ummu Salama akisema kwamba:“Mtume (s.a.w.w.) alikuwa nyumbani kwake ndipo akajaFatima akiwa na chungu chenye uji na kuingia nacho kwaMtume. Mtume akamwambia mwite mumeo na wanao.Alikuja Ali, Hasan na Husein wakaingia kwa Mtume nawakaketi wakinywa uji huo na hali Mtume akiwa juu ya kitan-da chake cha mbao kilichotandikwa kishamia cha Khaibari.

60

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

67 Ameipokea al-Haythami katika Majmauz-Zawaid, Mlango wa Fadhila zaAhlul-Baiti, Juz. 9, Uk. 167. Na al-Wahid katika kitabu chake Asbabun-NuzuulUk. 267.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 60

Page 70: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

61

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Nikiwa chumba kingine naswali ghafla Mwenyezi Mungualiteremsha Aya hii: “Hakika si mengineyo Mwenyezi Munguanataka kuwaondolea uchafu, enyi watu wa nyumba yaMtume, na kuwatakasa kabisa kabisa.”

Nikaingiza kichwa chumbani kwa Mtume na kumwambia: Je namimi ni pamoja nanyi ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu?Akasema: “Hakika wewe upo katika kheri. Bila shaka wewe upokatika kheri.”68

Kutoka kwa Awamu bin Hawshab, amesema: “Amenisimuliamtoto wa ami yangu toka kizazi cha Harith bin Taymullah anayeit-wa Mujmiu, amesema: Niliingia na mama yangu kwa Aisha,mama yangu akamuuliza kwa kusema: “Umeona ulikuwa sawakutoka na kwenda kupigana Vita vya Jamali?” Akasema: Hakikailikuwa na makadara kutoka kwa Mwenyezi Mungu.

Kisha akamuuliza kuhusu Ali. Aisha akasema: “Umeniulizakuhusu mtu aliyekuwa akipendwa sana na Mtume wa MwenyeziMungu kuliko watu wote. Mume aliyekuwa akipendwa sana naMtume wa Mwenyezi Mungu kuliko watu wote. Nilimuona Ali,Fatima, Hasan na Husein wamefunikwa nguo na Mtume waMwenyezi Mungu kisha akasema: ‘Hawa ndio Ahlul-Baiti wanguna ndugu zangu wa karibu, hivyo waondolee uchafu na uwatakasekabisa.’ Nikasema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! Je mimi nimiongoni mwa ndugu zako? Akasema: ‘Wewe ni mtu baki hakikawewe utaelekea kwenye kheri.’ 69

Kutoka kwa Abdullah bin Ja’far at-Twayyar, kutoka kwa babayake, amesema: “Mtume alipoitazama rehema ikishuka toka mbin-guni (mvua) alisema: ‘Ni nani atakayeniitia?’ alisema mara mbili.Zainab akasema: “Mimi ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu.”

68 Ameipokea Ahmad bin Hanbal katika kitabu al-Fadhail Uk. 79, Hadithi ya 11,Chapa ya Kwanza. Na katika kitabu al-Musnad Uk. 292.69 Ameiandika Ibn Asakir katika Tarikh Damashqi Juz. 2, Uk. 163, Chapa 2,Hadithi 650.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 61

Page 71: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

Akasema: Niitie Ali, Fatima, Hasan na Husein. Akamweka Hasankuliani kwake, Husein kushotoni kwake na Ali na Fatima usonikwake. Kisha akawafunika kishamia cha Khaibar na kusema:“Ewe Mwenyezi Mungu kila Nabii ana ndugu na hawa ndio nduguzangu.” Ndipo Mwenyezi Mungu akateremsha: “Hakika simengineyo Mwenyezi Mungu anataka kuwaondolea uchafu, enyiwatu wa nyumba ya Mtume, na kuwatakasa kabisa kabisa.” Zainabakasema: ‘Ewe Mtume wa Mwenyezi niingie pamoja nanyi?’Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akasema: “Baki hapohapo, bila shaka inshaallah utaelekea katika kheri.”70

Kutoka kwa Awzaiy, kutoka kwa Shaddad Abu Ammar, amesema:“Niliingia kwa Wathila bin al-Asqau nikamkuta ameketi na baadhi yawatu. Ndipo walipomtaja Ali na kumkashifu nami nikamkashifu.Walipoondoka (Wathila) akaniambia: ‘Hivi kweli umemkashifu mtuhuyu?!!!’ Nikamwambia nimeona watu wanamkashifu nami nikashirikiananao kumkashifu. Akaniambia je nikueleze yale niliyosikia kutoka kwaMtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)? Nikasema ndio nieleze.

Akasema: “Nilikwenda kwa Fatima nikimuulizia Ali. Fatimaakanijibu kwamba ameelekea kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.), nikaketi na punde Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.) akaja na kuingia akiwa pamoja na Ali, Hasan na Huseinakiwa amemshika kila mmoja wao (Hasan na Husein) mkono.Akawaita Ali na Fatima na kuwakalisha mbele yake. Naakamkalisha Hasan na Husein kila mmoja pajani kwake. Kishaakawafunika nguo yake na kusoma Aya hii: “Hakika si mengineyoMwenyezi Mungu anataka kuwaondolea uchafu, enyi watu wanyumba ya Mtume, na kuwatakasa kabisa kabisa.” Kisha akasema:Ewe Mwenyezi Mungu! Hawa ndio watu wa nyumba yangu. Nawatu wa nyumba yangu ndio wenye haki zaidi (kuliko mtubaki).”71

62

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

70 Ameipokea Ibnu al-Mughaziliy katika kitabu al-Manaqib Uk. 305. Na al-Haythamiy katika Majmauz-Zawaid Juz. 9, Uk. 167.71 Ameiandika Ibnu Hanbal katika kitabu chake al-Musnad Juz. 4, Uk. 107. Nakatika kitabu chake al-Fadhail Uk. 66, Hadithi ya 102, Chapa ya Kwanza.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 62

Page 72: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

63

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Kutoka kwa Zayd bin Arqam, amesema: “Mtume wa MwenyeziMungu (s.a.w.w.) alisema: “Nawaapizeni kwa Mwenyezi Mungukuhusu Ahlul-Baiti wangu. Nawaapizeni kwa Mwenyezi Mungukuhusu Ahlul-Baiti wangu.”

Kutoka kwa Nafiu Abu Daud, kutoka kwa Abul-Hamrau, amesema:Niliishi Madina miezi tisa kama vile ni siku moja (yaani sikutoka nje yaMadina muda wa miezi tisa). Mtume wa Mwenyezi Mungu alikuwa anaku-ja kila siku asubuhi na kusimama kwenye mlango wa Ali na Fatima nakusema: “Swala. Hakika si mengineyo Mwenyezi Mungu anatakakuwaondolea uchafu, enyi watu wa nyumba ya Mtume, na kuwatakasakabisa kabisa.”72

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Hakika Mwenyezi Mungu na malaika wake wanamswalia Nabii.Enyi ambao mmeamini! Mswalieni na mumsalimu kwa salamu.”(Sura Ahzab: 56).

Ametupa habari Abdurahman bin Abu Layala, amesema: AmenisimuliaKaab bin Ajara, amesema: Ilipoteremka: “Hakika Mwenyezi Mungu namalaika wake wanamswalia Nabii. Enyi ambao mmeamini! Mswalieni namumsalimu kwa salamu.” Nilisema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu!Tumeshajua namna ya kukutolea salamu ni ipi namana ya kukusalia?Mtume akasema: ‘’Semeni: Ewe Mwenyezi Mungu! MrehemuMuhammad na aali Muhammad kama ulivyomrehemu Ibrahim na aaliIbrahim, hakika wewe ni Muhimidiwa Msifiwa. Na mbariki Muhammadna aali Muhammad kama ulivyombariki Ibrahim na aali Ibrahim, hakika72 Ameipokea Dhahabi katika kitabu chake Mizanul-Iitidal Juz. 2, Uk. 381.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:10 AM Page 63

Page 73: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

wewe ni Muhimidiwa Msifiwa. ‘’

Kutoka kwa Ibnu Mas’ud al-Ansariy alisema: “Mtume alikuja na kutukutatumeketi katika baraza la Saad bin Ubada. Bushru bin Saad akamwambia:Mwenyezi Mungu ametuamuru tukuswalie ewe Mtume wa MwenyeziMungu, basi ni vipi tutakavyokusalia?”

Mtume akakaa kimya mpaka tukatamani kwamba asingemuuliza. Kishaakasema (s.a.w.w.):

Semeni: “Ewe Mwenyezi Mungu! Mrehemu Muhammad na aaliMuhammad kama ulivyomrehemu Ibrahim na aali Ibrahim. Na mbarikiMuhammad na aali Muhammad kama ulivyombariki Ibrahim na aaliIbrahim katika walimwengu, hakika wewe ni Muhimidiwa Msifiwa.” Nasalamu ni kama mlivyojifunza.

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Hakika wale ambao wanamuudhi Mwenyezi Mungu na Mtumewake, Mwenyezi Mungu amewalaani duniani na Akhera, na ame-waandalia adhabu ya kufedhehesha. Na wale ambao wanawaudhiwaumini wanaume na waumini wanawake pasi na wao kufanya, haki-ka wamebeba dhulma kubwa na dhambi kumbwa.” (Sura Ahzab: 57 -58).Muqatil amesema: “Iliteremka kwa ajili ya Ali. Hiyo ni pale baadhi yawanafiki walipokuwa wakimuudhi na kumtukana.”73

64

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

73 Ameipokea al-Wahidiy katika kitabu chake Asbabun-Nuzuul Uk. 273.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 64

Page 74: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

65

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

SURA YASIN

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Ikasemwa: Ingia peponi! Akasema: Laiti watu wangu wangejua, jinsiMola wangu alivyonighufuria na akanifanya katika waheshimiwa.”(Sura Yasin: 26 - 27).

Kutoka kwa Abdurahman bin Abu Layla, kutoka kwa baba yake, amesema:“Mtume wa Mwenyezi Mungu alisema: “Vinara wa umma ni watatu hawa-jamkufuru Mwenyezi Mungu hata kidogo: Ali bin Abu Talib, rafiki waYasin na muumini wa aali Firaun. Wao ndio wasadikishaji wakubwa:Habib an-Najar muumini wa aali Yasin, Hazbil muumini wa aali Firaun naAli bin Abu Talib naye ndiye mbora wao.”74

SURA AS-SSAFFAT

Kauli ya Mwenyezi Mungu: “Amani kwa Ilyasin.” (Sura as-Saffat:130).Atakayesoma Aali Yasin kwa kukokoteza basi amekusudia AaliMuhammad.75

74 Ameipokea Ibnu Asakir katika kitabu Taarikh Damashqi Juz. 2 Uk. 282,Hadithi ya 813.75 Kuna riwaya nyingi zimepokewa zikisema kwamba Aali Yasin katika Aya hiindio hao hao Aali Muhammad (a.s.). al-Haskaniy amepokea Hadithi saba zikiwana maana hii, kuanzia Hadithi ya 791 mpaka ya 797. Na al-Irbaliy naye kazitajakatika kitabu chake Kashful-Ghumma Juz. 1, Uk. 324 katika anwani inay-ozungumzia Aya zilizoteremka kumuhusu Ali. Unaweza kurejea huko.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 65

Page 75: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

SURA GHAFIRKauli ya Mwenyezi Mungu:

“Wale wanaobeba Arshi, na wanaoizunguka, wanamsabihi kwakumuhimidi Mola wao, na wanamuamini na wanawaombea msamahawalioamini. Mola wetu! Umekienea kila kitu kwa rehema na ujuzi.Basi wasamehe ambao wametubu na wakaifuata Njia Yako, na wae-pushe na adhabu ya Jahannamu.” (Sura Ghafir: 7).

Amepokea Said bin Jubair kutoka kwa Abul-Hamrau mtumishi wa Mtume(s.a.w.w.), amesema: “Nilimsikia Mtume (s.a.w.w.) akisema: “Sikunilipopelekwa mbinguni niliona nguzo ya Arshi imenakishiwa kwa:Hapana Mungu apasaye kuabudiwa kwa haki ila Mwenyezi Mungummoja. Na hakika Muhammad ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Nimempanguvu kupitia Ali na nimemsaidia.”76

Amepokea Said bin Jubair kutoka kwa Abul-Hamrau mtumishi wa Mtume(s.a.w.w.), amesema: Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alisema:“Hasan na Husein ni hereni za Arshi na si zile za kutungikwa (za kuvaa nakuvuliwa bali ni za asili zisizoachana na Arshi).”

66

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

76 Al-Muttaqi al-Hindiy ameipokea ndani ya kitabu chake Kanzul-Ummal Juz. 6,Uk. 158.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 66

Page 76: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

67

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

SURA AS-SHURAKauli ya Mwenyezi Mungu:

“Sema: Kwa haya siwaombi malipo yoyote kwenu isipokuwa mapenzikatika ndugu...” (Sura as-Shura: 23).

Kutoka kwa Said bin Jubair, kutoka kwa Ibnu Abbas amesema:Ilipoteremka: “Sema: Kwa haya siwaombi malipo yoyote kwenuisipokuwa mapenzi katika ndugu...” walimuuliza: Ewe Mtume waMwenyezi Mungu (s.a.w.w.) ni akina nani hawa ndugu ambao ni imewa-jibishwa juu yetu kuwapenda. Akasema: “Ali, Fatima na watoto wakewawili.”77

Kutoka kwa Amru bin Musa, kutoka kwa Zayd bin Ali bin Huseinkutoka kwa baba yake, kutoka kwa babu yake Ali bin Abu Talib,amesema: “Nilimshitakia Mtume kuhusu husuda za watu dhidiyangu. Akasema: ‘Hivi huridhii kuwa mmoja kati ya wanne. Wakwanza kuingia Peponi. Ni Mimi, Wewe, Hasan, Husein na wakezetu wakiwa kuliani kwetu na kushotoni kwetu. Na wajukuu zetuwakiwa nyuma ya wake zetu. Na wafuasi wetu wakiwa nyumayetu.”’

Kutoka kwa Shahru Hawshab, kutoka kwa Ummu Salama, kutokakwa Mtume (s.a.w.w.) kwamba alimwambia Fatima: “Niitie mumewako na wanao.” Wakaja na ndipo akawafunika kishamia chakutoka Fadak, akainua mikono yake juu yao na kusema: “EweMwenyezi Mungu! Hawa ndio aali Muhammad, ziweke rehema

77 Ameiandika al-Mughzali katika kitabu chake al-Manaqib Juz. 352, Uk. 307. Naal-Fayruz Abad katika kitabu chake Fadhailul-Khamsa Juz. 1, Uk. 250.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 67

Page 77: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

zako na baraka zako juu ya Muhammad na aali Muhammad.Hakika wewe ni Muhimidiwa Msifiwa.” Nikainua kishamia iliniingie, ghafla akakivuta na kusema: “Hakika wewe u katikakheri.”

Abu Hazim amepokea kutoka kwa Abu Huraira, amesema: Mtume waMwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alimtazama Ali, Fatima, Hasan na Husein,kisha akasema: “Mimi ni mwenye kumpiga vita yule mwenye kuwapigenivita. Na ni mwenye kuishi naye kwa amani yule mwenye kuishi nanyi kwaamani.”

Kutoka kwa as-Sadiy, kutoka kwa Abu Daylam, amesema: “Alipoletwa Alibin Husein na hali ni mateka na kusimamishwa katika barabara kuu yaDamascus alisimama mzee mmoja kati ya watu wa Sham, akasema: “Kilasifa njema ni ya Mwenyezi Mungu ambaye amewauwa na kuwang’oeni nakung’oa mzizi wa fitina.” Ali bin Husein akasema: ‘Umewahi kusomaQur’ani?’ akajibu: “Ndio.” Akasema (a.s.): ‘Umewahi kusoma Aali HaaMiim?’Akajibu: “Nimewahi kusoma Qur’ani na sijawahi kusoma Aali HaaMiim.” Akasema (a.s.): ‘Umewahi kusoma: “Sema: Kwa haya siwaombimalipo yoyote kwenu isipokuwa mapenzi katika ndugu...”’ Mzeeakasema: ‘Nyinyi ndio hao?’ Akasema (a.s.): ‘Naam ndio sisi.’”

Ametusimulia Ali bin Musa Ridha (a.s.), amesema:“Amenisimulia baba yangu Musa bin Ja’far (a.s.), amesema:Ametusimulia baba yangu Ja’far bin Muhammad as-Sadiq (a.s.),amesema: “Pete ya baba yangu Muhammad bin Ali (a.s.) ilikuwaimenakishiwa kwa nakshi ya: Dhana yangu nzuri ni kwaMwenyezi Mungu, kwa Nabii mwaminiwa, kwa wasii mwenyeihisani na kwa Husein na Hasan.”

Muhammad bin Abdurahman az-Zaafaraniy, amesema: “AliniapiaAhmad bin Ibrahim al-Jarjaniy, amesema: Mansur al-Faqihu, ame-sema: “Ikiwa kwa kuwapenda kwangu watano faradhi zanguhutukuka; na kuwachukuia kwangu wenye kuwafanyia uadui niurafidhi, basi mimi ni rafidhi.”

68

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 68

Page 78: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

69

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Kutoka kwa Anas bin Malik amesema: “Mtume wa MwenyeziMungu (s.a.w.w.) amesema: “Sisi ni kizazi cha Abdul-Muttalibmabwana wa watu wa Peponi: Mimi, Hamza, Ja’far, Ali, Hasan,Husein na Mahdi.”

Ali bin Musa Ridha (a.s.) amesema: “Amenisimulia Baba yangu Musa binJa’far (a.s.), amesema: Amenisimulia Baba yangu Ja’far bin Muhammad(a.s.), amesema: Amenisimulia baba yangu Muhammad bin Ali (a.s.), ame-sema: Amenisimulia baba yangu Ali bin Husein (a.s.), amesema: Mtumewa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alisema: “Pepo imeharamisha juu ya yulealiyewadhulumu Ahlul-Baiti wangu na akaniudhi kwa kuwaudhi kizazichangu. Yeyote atakayemtendea wema yeyote miongoni mwa kizazi chaAbdul-Muttalib na ikawa hajalipwa kutokana na wema huo, basi miminitamlipa kesho atakapokutana nami Siku ya Kiyama.”

Ametusimulia Yaala bin Ubaydu kutoka kwa Ismail bin Abu Khalid, kuto-ka kwa Qaysu bin Abu Hazim, kutoka kwa Jarir bin Abdullah al-Bajliy,amesema: Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alisema: “Ehe!atakayekufa na hali awapenda aali Muhammad basi amekufa na hali nishahidi. Ehe! atakayekufa na hali awapenda aali Muhammad basi ameku-fa na hali ameghufuriwa. Ehe! atakayekufa na hali awapenda aaliMuhammad basi amekufa na hali ametubia. Ehe! atakayekufa na haliawapenda aali Muhammad basi amekufa na hali ni muumini aliyekamilikakiimani. Ehe! atakayekufa na hali awapenda aali Muhammad basi ameku-fa na hali malaika wa mauti ameshambashiria Pepo, kisha Munkar naNakir. Ehe! atakayekufa na hali awapenda aali Muhammad MwenyeziMungu atawafanya malaika wa rehema wawe wenye kulizuru kaburi lake.

Ehe! atakayekufa na hali awapenda aali Muhammad MwenyeziMungu atamfungulia milango miwili ya Pepo kaburini. Ehe!atakayekufa na hali awapenda aali Muhammad atasindikizwaPeponi kama biharusi asindikizwavyo kwenda nyumbani kwamumewe. Ehe! atakayekufa na hali awapenda aali Muhammadbasi amefia ndani ya Sunna na Jamaa.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 69

Page 79: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

Ehe! atakayekufa na hali awachukia aali Muhammad atakuja Sikuya Kiyama na hali imeandikwa baina ya macho yake mawili:Amekata tamaa na rehema za Mwenyezi Mungu. Ehe! atakayeku-fa na hali awachukia aali Muhammad basi amekufa na hali nikafiri. Ehe! atakayekufa na hali awachukia aali Muhammadhatoipata harufu ya Pepo.”

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Na anayefanya wema tutamzidishia wema. Hakika Mwenyezi Munguni Mwingi wa maghufira Mwingi wa shukrani.” (Sura as-Shura: 23).

Kutoka kwa as-Sadiy, kutoka kwa Abu Malik, kutoka kwa Ibnu Abbaskuhusu kauli yake (s.w.t.): “Na anayefanya wema tutamzidishia wema.”amesema: “(Wema hapo) Ni kuwapenda aali Muhammad.”78

SURA AZ-ZUKHRUFKauli ya Mwenyezi Mungu:

“Na waulize Mitume wetu tuliowatuma kabla yako: Je, tulifanyamiungu mingine iabudiwe badala ya Mwingi wa rehema.” (Sura az-Zukhruf: 23).

Kutoka kwa Abdullah bin Mas’ud, amesema: Mtume wa MwenyeziMungu (s.a.w.w.) amesema: “Malaika aliniijia na kuniambia: ‘Ewe

70

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

78 Ameipokea al-Mughazaliy katika kitabu chake al-Manaqib, Hadithi ya 360 Uk.316. Na al-Haskaniy katika kitabu chake Shawahidut-Tanziil, Hadithi ya 846.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 70

Page 80: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

71

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

Muhammad! Waulize tuliowatuma kabla yako miongoni mwa Mitume,tuliwatuma walinganie nini.’ Nikasema uliwatuma walinganie nini?Akasema: ‘Walinganie uwalii wako na uwalii wa Ali bin Abu Talib.”’79

SURA AD-DUKHANKauli ya Mwenyezi Mungu:

“Mbingu na ardhi hazikuwalilia; wala hawakupewa muda.” (Sura ad-Dukhan: 29).

As-Sadiy amesema: “Alipouwawa Husein bin Ali (a.s.) mbingu ilimlilia nakilio chake ni wekundu wake.”Ametupa habari Abu Bakr al-Jawzaqiy kutoka kwa Hisham, kutoka kwaMuhammad bin Sirin, amesema: “Tulipewa habari kwamba wekundu uliy-opo kwenye mawingu haukuwapo awali mpaka pale Husein (a.s.)alipouwawa.”

Ametusimulia Hammad bin Salma, amesema: “Ametupa habari Sulaymual-Qadhi amesema: “Tulinyeshewa na mvua ya damu pindi Huseinalipouwawa.”

SURA AL-AHQAF

Kauli ya Mwenyezi Mungu: “…Basi leo mtapewa adhabu ya fedhe-ha….” (Sura al-Ahqaf: 20). Na Kauli ya Mwenyezi Mungu: “….Baliimewapotea, na huo ndio uwongo wao na waliyokuwa wakiyatunga.”(Sura al-Ahqaf: 28).

Kutoka kwa Thawbani huria wa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)amesema: Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alikuwa anaposafiri mtu79 Ameipokea Ibnu Asakir katika kitabu chake Taarikh Damashqi Juz. 2, Uk. 98,Hadithi ya 602, Chapa ya Pili.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 71

Page 81: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

wa mwisho kumuaga ni mtu toka katika ndugu zake. Na wa kwanzaatakayeingia kwake kumsalimu baada ya kurejea ni Fatima. Aliporudi tokakwenye moja ya vita alisimama mlangoni kwa Fatima na ghafla akamwonaHasan na Husein wamevaa pingu mbili za fedha. Akarudi na hakuingiakwake. Fatima alivyoona hivyo akadhani kwamba hakuingia kutokana naaliyoyaona.

Akatoka ndani na kuwavua watoto pingu. Watoto wakalia, ndipoakaikata na kuigawa vipande viwili kati yao. Wakaenda kwaMtume wa Mwenyezi Mungu na hali wakilia, Mtume waMwenyezi Mungu akaichukua pingu ile toka kwao na kusema:“Ewe Thawbani nenda na hii kwa watoto wa fulani (familia mojaya huko Madina) na umnunulie Fatima mkufu na bangili za menoya ndovu.” Na akasema: “Hakika hawa ni Ahlul-Baiti wangu,sipendi wale vizuri vyao katika maisha ya dunia.”

SURA AL-FAT’HUKauli ya Mwenyezi Mungu:

“Mwenyezi Mungu amekuahidini ngawira nyingi mtakazozichukua,kisha akakutimizeni haya, na akaizuia mikono ya watu isikufikieni, naili iwe dalili kwa waumini na kukuongozeni njia iliyonyooka.” (Suraal-Fat’hu: 20).

Kutoka kwa Ibnu Jarir, amesema: “Ametusimulia Ibnu Bashari, amesema:Ametusimulia Muhammad bin Ja’far, amesema: Wametusimulia baadhiyao, wamesema: Tulitoka pamoja na Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.) kwenda Khaibar usiku.

Amir bin al-Ukui alikuwa pamoja nasi, ndipo mtu mmoja akamwambia,ewe Amir bin al-Kui mbona hautusikilizishi mashairi yako. Amir alikuwani malenga hodari basi akawa anawaghania watu huku akisoma mashairi.”Msimuliaji anasema: “Tukawazingira mpaka tukapatwa na njaa kali kisha

72

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 72

Page 82: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

Mwenyezi Mungu akatupa ushindi. Hiyo ni kwamba Mtume wa MwenyeziMungu (s.a.w.w.) alimkabidhi bendera Umar na wakaondoka pamoja nayewale waliofanikiwa kwenda naye hadi wakafika Khaibar, kisha Umar najamaa zake wakakimbia. Wakarejea kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.) huku jamaa zake wakimshutumu kwa uoga naye akiwashutumuwao kwa uoga. Kipindi hicho Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)alikuwa anasumbuliwa na maumivu ya kichwa hivyo hakuweza kutokakwenda kuwaeleza chochote watu.

Abu Bakr akachukua bendera ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)naye alikwenda akapambana mapamabano makali sana. Kisha akarejea nandipo akaichukua Umar tena na kupambana mapambano makali kulikoalivyopamabana katika mapambano ya kwanza. Kisha akarejea.

Ndipo Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akapewa habari hizo,akasema: “Hakika kesho nitamkabidhi bendera mtu ambaye anampendaMwenyezi Mungu na Mtume wake na Mwenyezi Mungu na Mtume wakewanampenda. Ataichukua kwa nguvu.” Na hapo hakuwepo Ali.

Ilipofika kesho Abu Baki, Umar na makuraishi kwa ujumla walitamanijambo hilo kila mmoja akitaraji awe ndiye mtu huyo. Mtume waMwenyezi Mungu akamtuma Salma bin al-Kui amwite Ali. Akamwita, naAli alikuja akiwa juu ya ngamia wake mpaka akasogea karibu mno naMtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) hali akiwa anaumwa macho.

Salma anasema: “Nilikuja naye nami nikimwongoza mpaka kwa Mtume(s.a.w.w.). Akasema Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.): “Vipi haliyako?” Akajibu: “Nimepatwa na maradhi ya macho.” Akamwambia:“Sogea karibu yangu.” Akasogea na ndipo akamtemea mate machoni basikuanzia muda huo hakuugua macho mpaka anaingia kaburini.

Kisha akamkabidhi bendera, akaondoka na bendera huku akiwa amevaajoho la rangi ya urujuani nyekundu. Akafika mji wa Khaibar na ndipoMarhab aliyekuwa mlinzi wa ngome akatoka na hali amevaa dirizi (deraya)ya rangi ya njano na juu ya kichwa chake kavaa jiwe alilolitoboa mfano wa

73

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 73

Page 83: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

yai huku akisema:

“Khaibar imeshajua kwamba hakika mimi ni Marha;mwenye silaha kali na komandoo mzoefu.Pindi moto wa vita unapowashwa,mara hufuma mshale na mara hupiga.Himaya yangu huwa haikaribiwi.”Ali akajitokeza kumkabili naye akisema:

Mimi ndiye ambaye mama yangu alinipa jina la Haidari (Simba)Kama simba pori, shujaa mkali. Nitakuuweni kwa upanga wangu mauwaji ya kuteketeza.

Wakapigana mapigo mawili na ndipo Ali akamuwahi na kumpigapigo moja lililopasua jiwe na dirizi na kukipasua kichwa vipandeviwili mpaka upanga ukafika kwenye megego. Na hatimaye ali-uteka mji na ushindi ukapatikana mikono mwake.

Abu Rafiu huria wa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) anasema:“Tulitoka pamoja na Ali pindi Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)alipomtuma akiwa amemkabidhi bendera yake. Alipoikaribia ngome wali-toka wanangome na akapambana nao. Ndipo mtu mmoja miongoni mwamayahudi akampiga na hatimaye ngao yake ikadondoka. Ali akang’oamlango wa ngome na kuugeuza ngao yake, basi uliendelea kuwa mikononimwake kama ngao na hali yeye akipigana mpaka Mwenyezi Mungualipompa ushindi. Baada ya kumaliza aliutupa chini, hakika (lauungekuwepo) ungeniona nikiwa mmoja katika kundi la watu saba tukiji-tahidi kuugeuza mlango huo lakini hatuwezi.”Kauli ya Mwenyezi Mungu: “Muhammad Mtume wa Mwenyezi Munguna walio pamoja naye ni imara mbele ya makafiri na wenye kuhuru-miana wao kwa wao….” (Sura al-Fat’ha: 29).

74

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 74

Page 84: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

Ahmad bin Yazid ad-Daybajiy amesema: Ametusimulia al-Madaniy kuto-ka kwa Zayd, kutoka kwa Ibnu Umar, amesema: Mtume wa MwenyeziMungu (s.a.w.w.) alimwambia Ali: “Ewe Ali! Wewe ni mtu wa Peponi nawafuasi wako ni watu wa Peponi.”

SURA RAHMAN

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Amezikutanisha bahari mbili. Baina yao kuna kizuizi haziingiliani.”(Sura Rahman: 19 - 20).

Ametusimulia Abu Hudhuyfa kutoka kwa baba yake, kutoka kwa Sufyanat-Thawri amesema kuhusu “Amezikutanisha bahari mbili. Baina yao kunakizuizi haziingiliani.” Kwamba ni Fatima na Ali.

Na akasema kuhusu kauli yake (s.w.t.): “Katika hizo mbili hutokalulu na marijani.” (Sura Rahman: 22): kwamba ni Hasan naHusein. Na “Baina yao kuna kizuizi haziingiliani.” NiMuhammad.

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Karibu tutawakusudieni, enyi vizito viwili.” (Sura Rahman: 31).

Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Bila shaka mimi ni mwenye kuwaachia vizitoviwili kati yenu: Kitabu cha Mwenyezi Mungu na kizazi changu.”Akavijaalia kuwa ni vizito viwili kwa sababa ya utukufu ulivyonao nathamani iliyonavyo.

75

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 75

Page 85: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

SURA MUJADILAH

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Enyi mlioamini! Mnaposema siri na Mtume, basi tangulizeni sadakakabla ya kumsemeza hayo ni bora kwenu na ni safi sana, na ikiwahamkupata basi Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kusamehe, Mwenyekurehemu.” (Sura Mujadilah: 12).

Mujahid amesema: “Walikatazwa kusema siri na Mtume (s.a.w.w.) mpakawatoe sadaka. Hakuna aliyeweza kusema naye siri ila Ali bin Abu Talibradhi za Mwenyezi Mungu zimwendee, alitoa sadaka ya dinari. Ndipo(baada ya sadaka hiyo) ikateremka ruhusa (iliyoondoa sharti la sadaka.).”

Ali bin Abu Talib radhi za Mwenyezi Mungu zimwendee alisema: “Hakikakatika Kitabu cha Mwenyezi Mungu kuna Aya ambayo hakuna yeyotealiyeifanyia kazi kabla yangu, wala hakuna yeyote atakayeifanyia kazibaada yangu, nayo ni: “Enyi mlioamini! Mnaposema siri na Mtume, basitangulizeni sadaka kabla ya kumsemeza hayo ni bora kwenu na ni safisana…..” ilifaradhishwa kisha hukumu yake ikafutwa.”

Ibnu Umar alisema: “Ali alikuwa na mambo matatu ambayo kuwa nalomoja kati ya hayo ni jambo nilipendalo mno kuliko kuwa na ngamiamwekundu: Kuozwa Fatima, kukabidhiwa bendera Siku ya Khaibar na Ayaya kuongea siri na Mtume.”

76

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 76

Page 86: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

SURA TAGHABUN

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Bila shaka mali zenu na watoto wenu ni jaribio, na kwa MwenyeziMungu kuna malipo makubwa.” (Sura Taghabun: 15).

Kutoka kwa Husein bin Waqid Kadhi wa Muruwu, amesema: Abdullah binBarida amenisimulia kutoka kwa baba yake, amesema: “Mtume waMwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alikuwa akitoa hotuba na ghafla wakajaHasan na Husein wakiwa wamevaa kanzu mbili nyekundu na hali waki-dondoka na kuamka, Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akateremkatoka mimbarini akawafuata na kuwachukua na kuwaweka mapajanimwake juu ya mimbari, kisha akasema: ‘Mwenyezi Mungu amesemakweli. Bila shaka mali zenu na watoto wenu ni jaribio, nilipowaona hawawawili sikuweza kuvumilia.”

SURA TAHRIM

Kauli ya Mwenyezi Mungu: “…..Basi Mwenyezi Mungu ni mlinzi wake,na Jibril na waumini wema na Malaika….” (Sura Tahrim: 4).

Kutoka kwa Muhammad bin Ja’far bin Muhammad bin Ali bin Husein binAli bin Abu Talib (a.s.) amesema: “Amenisimulia mtu mmoja mwaminifuakiivusha toka kwa Ali bin Abu Talib (a.s.), amesema: Mtume waMwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alisema kuhusu kauli yake (s.w.t.): “…nawaumini wema…”: ‘Ni Ali bin Abu Talib.’”80

77

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

80 Ameiandika Ibnu Hajar al-Haythamiy katika kitabu as-Swawaiqul-MuhriqahUk. 144.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 77

Page 87: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

Kutoka kwa Musa bin Ja’far, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa babu zake(a.s.), kutoka kwa Asmau binti Umaysi amesema: “Nilimsikia Mtume waMwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akisema: ‘Na waumini wema ni Ali bin AbuTalib.’”81

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Na Mariam binti Imran aliyejilinda tupu yake….” (Sura Tahrim:12).

Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) amesema: “Kati ya wanaumewamekamilika wengi na wala hawajakamilika kati ya wanawake ilawanne: Asia binti Muzahim mke wa Firaun, Mariam binti Imran, Khadijabinti Khuwaylid na Fatima binti Muhammad.”

SURA AL-HAQQAH

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Ili tuifanye ukumbusho kwenu, na sikio lisikialo lisikie.” (Sura al-Haqqah: 12).

Kutoka kwa Abu Hamza at-Thumali amesema: “Amenisimulia Abdullahbin Hasan, amesema: Ilipoteremka Aya hii: “Ili tuifanye ukumbushokwenu, na sikio lisikialo lisikie.” Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)alisema: ‘’Nilimwomba Mwenyezi Mungu sikio lako alifanye hivyo eweAli.’’ Ali akasema: “Baada ya hapo sikuwahi kusahau chochote na walasikupasa kusahau.”82

78

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

81 Ameipokea al-Humawi katika kitabu chake Faraidus-Samtwayni Juz. 1 Uk.363, Chapa ya Kwanza, Mlango wa 67, Hadithi ya 290.82 Al-Haskaniy ameiandika katika kitabu chake Shawahidut-Tanziil.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 78

Page 88: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

Kutoka kwa Burayda al-Aslamiy amesema: Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.) alimwambia Ali: “Hakika Mwenyezi Mungu Mtukufu amenia-muru nikusogeze karibu nisikutenge mbali, na nikuelimishe nawe usikievilivyo. Na Mwenyezi Mungu amehakikisha unasikia vilivyo.”

SURA AL-MAARIJI

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Muulizaji aliuliza juu ya adhabu itakayotokea. Juu ya makafiri,hapana awezaye kuizuia.” (Sura al-Maariji: 1 - 2).

Sufyan bin Uyayna aliulizwa kuhusu kauli yake (s.w.t.): “Muulizaji ali-uliza” iliteremka kumhusu nani? Akasema: “Umeniuliza suala ambalohakuna aliyeniuliza kabla yako. Baba yangu alinisimulia kutoka kwa Ja’farbin Muhammad kutoka kwa baba zake, alisema: Mtume wa MwenyeziMungu (s.a.w.w.) alipofika Ghadir Khum aliwaita watu wakakusanyika.Akaunyanyua mkono wa Ali na kusema: “Ambaye mimi nina mamlaka juuyake basi huyu Ali ni mwenye mamlaka juu yake.”

Habari hizo zikazagaa na kuenea miji mbalimbali, ndipo zikamfikia al-Harith bin Nuuman al-Fihriy. Akaja kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.) akiwa amepanda ngamia wake. Alipofika Abtahu aliteremka nakumfunga ngamia wake kisha akamfuata Mtume katikati ya kundi lamasahaba zake. Akasema: “Ewe Muhammad! Umetuamrisha tushahidiliekwamba hapana Mungu wa haki ila Allah na kwamba wewe ni Mtume waAllah, tumekubali hilo kutoka kwako. Umetuamuru tuswali Swala tanotumekubali hilo kutoka kwako. Umetuamrisha tutoe Zaka tumekubali.Umetuamrisha kuhiji tumekubali. Umetuamrisha tufunge mwezi mzimatumekubali. Kisha haujatosheka kwa haya yote mpaka umenyanyuamikono ya binamu yako na kumfanya bora juu yetu ukasema: ‘Ambayemimi nina mamlaka juu yake basi huyu Ali ni mwenye mamlaka juu yake.’Je jambo hili ni kutoka kwako binafsi au ni kutoka kwa Mwenyezi

79

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 79

Page 89: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

Mungu?”

Mtume akasema: “Naapa kwa yule ambaye hapana Mungu ila Yeye, haki-ka hili ni kutoka kwa Mwenyezi Mungu.

Al-Harith akageuka na kuelekea kwenye mnyama wake huku akisema:“Ewe Mwenyezi Mungu! Ikiwa ayasemayo ni haki basi tuteremshie mvuaya mawe kutoka mbinguni na utuletee adhabu iumizayo.”

Kabla hajamfikia mnyama wake Mwenyezi Mungu akamwangushia jiweutosini na likatokea nyumani kwake akadondoka hapo hapo na kuuwawa.Mwenyezi Mungu akateremsha: “Muulizaji aliuliza juu ya adhabu itakay-otokea. Juu ya makafiri, hapana awezaye kuizuia.”83

SURA AL-MUDTHIR

Kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Kila nafsi itafungika kwa ilizozichuma. Isipokuwa watu wa kheri.”(Sura al-Mudathir: 38 - 39).

Kutoka kwa Abu Hamza at-Thumali kutoka kwa Abu Ja’far al-Baqir (a.s.)amesema: “Sisi na wafuasi wetu ndio watu wa kheri.”84

80

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

83 Ameipokea Ibnu Batrik katika sura ya pili ya kitabu chake Khaswaisul-Wahyial-Mubin Uk. 31, Chapa ya Kwanza. 84 Al-Haskaniy ameiandika katika kitabu chake Shawahidut-Tanziil Juz. 2, Uk.388, Hadithi ya 1038.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 80

Page 90: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

SURA AL-INSANKauli ya Mwenyezi Mungu:

“Wanatimiza nadhiri na wanaiogopa siku ambayo shari yake itaenea.Na huwalisha chakula masikini na yatima na mfungwa hali ya kuwawanakipenda. Tunakulisheni kwa ajili ya radhi za Mwenyezi Mungutu, hatutaki kwenu malipo wala shukurani. Hakika sisi tunaogopakutoka kwa Mola wetu siku yenye shida na taabu. Basi MwenyeziMungu atawalinda katika shari ya siku hiyo na kuwakutanisha naneema na furaha. Na atawapa mabustani na hariri kwa sababu wal-isubiri. Humo wataegemea viti vya enzi humo hawataona jua walabaridi.” (Sura al-Insan: 7 - 13).

Alitusimulia huko Basara Abul-Hasan Muhammad bin Ahmad bin Suhaylibin Ali bin Mahran al-Bahiliy, alisema: Alitusimulia Abu Mas’udAbdurahman bin Fahri bin Hilal, alisema: Alitusimulia al-Qasim bin Yahyakutoka kwa Abu Ali al-Anbariy, kutoka kwa Muhammad bin as-Saib, kuto-ka kwa Abu Salih, kutoka kwa Ibnu Abbas.

81

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 81

Page 91: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

Abul-Hasan bin Mahran amesema: Na alinisimulia Muhammad Zakariyaal-Basriyu, alisema: Amenisimulia Said bin Waqid al-Mazniy, alisema:Alitusimulia al-Qasim bin Bahram kutoka kwa Laythu, kutoka kwaMujahid kutoka kwa Ibnu Abbas kuhusu kauli yake (s.w.t.): “Wanatimizanadhiri na wanaiogopa siku ambayo shari yake itaenea.” Alisema: Hasanna Husein walipatwa na maradhi, babu yao Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.) alikwenda kuwaona akiwa pamoja na Abu Bakr na Umar nawaarabu kwa jumla walikwenda kuwaona. Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.) akasema: “Ewe Abal-Hasan ni vizuri lau ukiweka nadhiri kwaajili ya wanao. Na kila nadhiri isiyotimia haina wajibu wowote.”

Ali akasema: “Ikiwa wanangu watapona ugonjwa walionao nitafunga sikutatu kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu.”

Vijana wawili hao wakapata afya njema na hali nyumbani kwa aaliMuhammad hawana kitu si kichache wala kingi. Ali akaenda kwa Simonbin Jaba mtu wa Khaibari, naye alikuwa ni Myahudi, akakopa toka kwakepishi tatu za ngano.

Na katika Hadithi ya al-Mazniy ni kwamba: “Ali alikwenda kuombakuchambua pamba kwa jirani yake myahudi aliyekuwa akiitwa SimonJaba. Alimwambia: “Je unaweza kunipa pamba akuchambulie bintiMuhammad kwa malipo ya pishi tatu za ngano?” Akasema: Ndio. Akampanaye akaja na pamba na ngano. Akamweleza hayo Fatima naye akakubalina kutii.

Wamesema: “Fatima akachukua pishi moja akatwanga na kuoka mikatemitano, kila mmoja mkate mmoja. Ali alipomaliza kuswali pamoja naMtume swala ya Maghrib alikuja nyumbani na kikawekwa chakula mbeleyake, mara masikini akafika mlangoni kwao akagonga akisema: “AssalamAlaykum enyi watu wa nyumba ya Muhammad, mimi ni maskini katikawatoto wa kiislamu nipeni chakula Mwenyezi Mungu atakupeni chakulacha Peponi.”

82

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 82

Page 92: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

Ali akamsika, akasoma shairi:

“Fatima mwenye ubora na yakini, ewe binti wa mbora kuliko watu wote. Hivi humwoni mkata masikini amesimama mlangoni, akitoa sauti ya uchungu. Akimshitakia Mwenyezi Mungu na akinyenyekea. Analalamika kwetu kwamba ni mwenye njaa na mwenye huzuni. Kila mtu ni rehani wa chumo lake na mwenye kutenda kheriatabainika.Ahadi yake ni Pepo ya juu, aliyoiharamisha Mwenyezi Mungu kwa bakhili.Na bakhili ana kisimamo dhalili, Mola Mlezi atamtupa gerezani (motoni).Kinywaji chake humo ni maji ya moto na usaha.”

Naye Fatima akasoma shairi:

?????? ???? ???? ???? ????? ?? ??? ?? ???? ??? ??????????????? ?? ?????? ???? ?????? ????????? ??? ?????? ??????????? ??? ?????? ?? ???????? ?? ????? ???????? ?????????

??????? ??????? ??? ??????

Amri yako kwangu ewe binamu yangu ni yenye kutekelezwa.Sina haja na uduni wala udhalili. Umenyonyeshwa katika kheri maziwa ya ngamia,

83

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 83

Page 93: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

namlisha wala sisubiri muda.Nataraji nitakapowashibisha wenye njaa, nitaungana na wabora na jamaa.Na nitaingia Peponi na hali nikiwa na uombezi.

Wakampa chakula na wakashinda mchana kutwa na usiku kucha bila kuon-ja chochote ila maji.

Ilipofika siku ya pili Fatima akachukua pishi akatwanga na kuoka mikate.Ali alipomaliza kuswali pamoja na Mtume (s.a.w.w.) alikuja nyumbani nakikawekwa chakula mbele yao, mara akafika mlangoni kwao yatima tokakatika watoto wa muhajirana ambaye baba yake alikufa kishahidi siku yaAqabah, akagonga akisema: “Nipeni chakula Mwenyezi Mungu atakupenichakula cha Peponi.”

Ali akamsikia, akasoma shairi:

????? ???? ??????? ??????? ??? ????? ??? ???????????? ??? ????? ??? ??????? ??? ????? ?????? ???? ?????????? ?? ????? ??????? ?? ????? ?????? ??? ???????????? ?? ?????? ??? ??????? ?????? ??????? ????????

Fatima binti wa Sayyid karimu. Binti wa Nabii asiye muovu. Mwenyezi Mungu amemleta yatima. Atakayewahurumia watu naye atahurumiwa.Ahadi yake ni katika Pepo yenye neema. Bila shaka Pepo imeharamishwa juu ya muovu. (Usipompa) Mikono yako itakuwa katika moto wenye kuunguza, kinywaji chake ni usaha na maji ya moto.”

84

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 84

Page 94: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

Fatima naye akasoma shairi akisema:

???? ?????? ??? ????? ????? ????? ??? ??????????? ?????? ????? ?????? ???????? ????? ?? ???????

?????? ????? ???????? ?????? ??????? ?? ?????????? ?? ?????? ??? ????? ??? ????? ?????? ?????????

?????? ????? ?? ????????

Hakika mimi nampa wala sijali, namtanguliza Mwenyezi Mungu kabla ya familia yangu. Wameshinda na njaa na wao ni wanangu, mdogo wao atauwawa katika vita. Huko Karbala atauwawa kwa njama, ole wake na adhabu yule mwenye kumuuwa.Moto utamvuta mpaka chini, na hali mikononi mwake kafungwa pingu na minyororo. Kizuizi juu ya kizuizi.

Wakampa chakula na wakashinda siku ya pili mchana kutwa na usikukucha bila kuonja chochote ila maji.

Ilipofika siku ya tatu Fatima akachukua pishi lililobaki akatwanga nakuoka mikate. Ali alipomaliza kuswali pamoja na Mtume (s.a.w.w.) aliku-ja nyumbani na kikawekwa chakula mbele yao, mara mfungwa wa kivitaakafika mlangoni kwao akagonga akisema: “Assalam Alaykum enyi watuwa nyumba ya Muhammad, mnatuteka na kutufunga na wala hamtupichakula! Nipeni chakula mimi ni mateka wa Muhammad.”

Ali akamsikia, akasoma shairi:

????? ?? ???? ?????? ????? ???? ????? ????? ????????? ????? ?????? ??????? ?????? ?? ????? ??????

85

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 85

Page 95: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

Ewe binti wa Mtume Ahmad. Binti wa Mtume bwana mtiiwa. Huyu hapa mfungwa wa Mtume mwongozaji. Amefungwa pingu yake na kizuizi. Anatulalamikia njaa imembana. Atakayelisha chakula leo atakikuta kesho.Mbele ya Aliye juu Mmoja mwenye kupwekeshwa. Wanayoyalima wakulima watayavuna. Mlishe bila masimango yachafuayo. Ili ulipwe yale yasiyokwisha.

Fatima naye akasoma shairi akisema:

Kati ya kile kilicholetwa hakijabaki ila pishi mojaBila shaka kitanga changu kimeondoka pamoja na mkono85

wangu.Wallahi wanangu wana njaa, ewe Mola usiuache (mkono) upotee. Hutenda wema kwa kuanza, yule ambaye ni mpana karimu mwenye uwezo. Na juu ya kichwa changu sina hijabu, ila hijabu iliyofumwa kwa kamba.

Wakampa chakula na wakashinda siku ya tatu mchana kutwa na usikukucha bila kuonja chochote ila maji.

Ilipofika siku ya nne wakiwa tayari wameshatimiza nadhiri yao, Alialimshika Hasan mkono wa kulia na Husein mkono wa kushoto na kwen-da nao kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) na hali wao wawiliwakitetemeka kama vifaranga kutokana na ukali wa njaa. Mtume waMwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alipowatizama alisema: “Ewe Abal-Hasan!

86

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

85 Mkono na Kitanga hapa ni kinaya ya Pishi la Kwanza na la Pili. Hivyo anaom-ba pishi hizo zisiende na kupotea bure bali ziambatane na malipo mema. –Mtarjumi.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 86

Page 96: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

Hali niionayo yaniumiza mno twendeni kwa binti yangu Fatima.”Wakaenda kwake wakamkuta akiwa mihrabuni kwake na hali tumbo lakelimeshikana na mgongo wake na macho yake yamebadilika kutokana naukali wa njaa. Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alipomtazama nakutambua njaa aliyonayo kupitia uso wake, alisema: “Ee MwenyeziMungu nakuomba msaada, Ahlul-Baiti wa Muhammad wanakufa kwanjaa.”

Jibril (a.s.) akateremka na kusema: “Ewe Muhammad pokea, MwenyeziMungu anakupa pongezi kwa kitendo cha watu wa nyumba yako.” Mtumeakasema: “Nichukue nini ewe Jibril?” Jibril (a.s.) akamsomea:

87

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 87

Page 97: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

“Hakika ulimfikia mtu wakati fulani wa zama ambapo hakuwa kitukinachotajwa. Kwa hakika tulimuumba mtu kutokana na mbegu yauhai iliyochanganyika, tunamjaribu, hivyo tukamfanya ni mwenyekusikia mwenye kuona. Hakika sisi tumemuongoza njia awe mwenyekushukuru au awe mwenye kukufuru. Hakika sisi tumewaandaliamakafiri minyororo na pingu na moto uwakao. Hakika watawawatakunywa katika kikombe kilichochanganyika na kafuri.Chemchemu watakayoinywa waja wa Mwenyezi Mungu,wataitiririsha mtiririko. Wanatimiza nadhiri na wanaiogopa sikuambayo shari yake itaenea. Na huwalisha chakula masikini na yatimana mfungwa hali ya kuwa wanakipenda. Tunakulisheni kwa ajili yaradhi za Mwenyezi Mungu tu, hatutaki kwenu malipo wala shukurani.Hakika sisi tunaogopa kutoka kwa Mola wetu siku yenye shida nataabu. Basi Mwenyezi Mungu atawalinda katika shari ya siku hiyo nakuwakutanisha na neema na furaha. Na atawapa mabustani na haririkwa sababu walisubiri. Humo wataegemea viti vya enzi humohawataona jua wala baridi.” (Sura al-Insan: 1-13) – mpaka mwisho waSura.86

Qatadah bin Mahran al-Bahiliy amesema katika Hadithi hii kwamba:“Mtume akaharakisha mpaka akaingia kwa Fatima (a.s.). alipoiona haliyao waliyonayo aliwakumbatia na kuanza kulia, kisha akawaambia:“Naona nyinyi mna siku tatu na mimi ni mwenye kughafilika nanyi.”Ndipo Jibril (a.s.) akateremka na Aya hizi: Hakika watawa watakunywakatika kikombe kilichochanganyika na kafuri. Chemchemu watakayoiny-wa waja wa Mwenyezi Mungu, wataitiririsha mtiririko. Akasema: “Hiyo nichemchemu iliyopo katika nyumba ya Mtume (s.a.w.w.) inatiririka kwakusambaa kwenye nyumba za Manabii na waumini.

88

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

86 Al-Haskani ameipokea kwa mhtasari kwa matamshi mbalimbali katika Hadithiishirini, kuanzia Hadithi ya 1042 mpaka Hadithi ya 1061, katika kitabu chakeShawahidut-Tanziil. Sheikh as-Swaduq amepokea Hadithi 11 katika al-Majlis naHadithi 44 katika Amalis-Swaduq Uk. 212. Ibnu al-Batriq ameipokea kwa njiayake kutoka kwa at-Thaalabi katika sura ya 12 ya kitabu chake Khaswaisul-Wahyial-Mubin Uk. 100. Na katika kitabu chake kingine Al-Awasit katika sura ya 36Hadithi ya 570 amepokea kutoka kwenye kitabu al-Umdat Uk. 180. Na ameipokeaal-Khawarazimiy kwa njia yake kutoka kwa at-Thaalabi katika sura ya 17 yakitabu Manaqibu Amiril-Muuminina Uk. 188, Chapa ya Al-Gharri.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 88

Page 98: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

Wanatimiza nadhiri: Yaani Ali, Hasan, Husein na mtumishi wao Fidha. Wanaiogopa siku ambayo shari yake itaenea. Na huwalisha chakulamasikini na yatima na mfungwa hali ya kuwa wanakipenda. Na hali wanahaja nacho lakini wanmpa kipaumbele mwingine. Masikini: Ni miongonimwa masikini wa kiislamu. Yatima: Ni miongoni mwa mayatima wa kiis-lamu. Mfungwa wa kivita: Ni miongoni mwa mateka toka kwaMushrikina.

Na wanapowapa chakula husema: Tunakulisheni kwa ajili ya radhi zaMwenyezi Mungu tu, hatutaki kwenu malipo wala shukurani. Hakika sisitunaogopa kutoka kwa Mola wetu siku yenye shida na taabu.

Wallahi hawakulisema hili kwa ndimi zao bali kwa dhamira zao ndani yanyoyo zao. Ndipo Mwenyezi Mungu akafichua dhamira zao kwambawanasema: “Hatutaki malipo wala shukurani kutoka kwenu msije baadaekutusimbulia. Lakini sisi tumekupeni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu kwaajili ya kutaka thawabu zake.”

Mwenyezi Mungu akasema: Basi Mwenyezi Mungu atawalinda katikashari ya siku hiyo na kuwakutanisha na neema:- Katika sura zao. Na fura-ha:- Katika nyoyo zao. Na atawapa mabustani:- Watakayoishi humo. Nahariri kwa sababu walisubiri:- Watakayovaa na kutandika. Humo wataege-mea viti vya enzi humo hawataona jua wala baridi.”

Ibnu Abbas amesema: “Pindi watu wa Peponi watakapokuwa peponighafla wataona mwanga kama mwanga wa jua na Pepo imeangazwa kwamwanga huo. Watu wa Peponi watasema: Ewe Ridhwan, Mola wetuMtukufu amesema: “Hawataona jua wala baridi.” Ridhwan atawaambia:“Hili si Jua wala si Mwezi, lakini huyu ni Fatima na Ali wamecheka,kicheko ambacho kimeiangazia Pepo kutokana na nuru ya kicheko chao.”Na kwa ajili ya hao wawili Mwenyezi Mungu aliteremsha: “Hakika ulim-fikia mtu wakati fulani wa zama ambapo hakuwa kitu kinachotajwa.”Mpaka “Na juhudi yenu imethaminiwa.”87

89

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

87 Kuanzia Aya ya Kwanza mpaka ya Ishirini na Mbili. – Mtarjumi.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 89

Page 99: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

At-Thaalabiy anasema: Nina shairi kuhusu hilo:

Mimi ni mwenye kumtawalisha, kijana ambaye kwa ajili yake, aliteremshiwa Sura Hal Ata.

SURA AL-BALAD

Kauli ya Mwenyezi Mungu: “Je, anadhani kuwa hapana yeyoteanayemuona?” (Sura al-Balad: 7).

Kutoka kwa Ibnu Abbas amesema: Mtume wa Mwenyezi Mungu alisema:“Nyayo ya mtu haitonyanyuka Siku ya Kiyama mpaka aulizwe kuhusumambo mane: Umri wake aliutumia katika nini. Mali yake aliichumaje naaliitumiaje. Kazi yake, alifanya nini katika kazi yake. Na kuhusu mapenziyetu watu wa nyumba ya Mtume.”

SURA AD-DHUHA

Kauli ya Mwenyezi Mungu: “Na Mola wako hivi karibuni atakupa nautaridhika.” (Sura ad-Dhuha: 5).

Ja’far bin Muhammad amesema: Mtume wa Mwenyezi Mungu aliingiakwa Fatima akiwa amejifunika kishamia kilichotokana na pamba (kizito)na hali akitwanga kwa mkono wake na akimnyonyesha mwanae. Macho yaMtume wa Mwenyezi Mungu yakadondosha machozi baada tu yakum-tazama. Akasema (s.a.w.w.): “Ewe mwanangu mpemdwa! Yaanze machun-gu ya dunia uje kupata utamu wa Akhera. Bila shaka Mwenyezi Munguameniteremshia: “Na Mola wako hivi karibuni atakupa na utaridhika.”88

90

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

88 Nimemaliza kuitafiti Tafsiri hii siku ya ishirini na nne ya Mfungo Tatu, sikuya Mubahala, Mwaka 1425 huko katika Jiji la Qum Takatifu.

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 90

Page 100: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

ORODHA YA VITABU VILIVYO CHAPISHWA NAAL-ITRAH FOUNDATION

1. Qur'an Al-Kariim - Tafsir Al-Kashif Juzuu ya kwanza mpaka Thalathini

2. Uharamisho wa Riba3. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Kwanza 4. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Pili5. Hekaya za Bahlul6. Muhanga wa Imamu Husein (A.S.)7. Mikingamo iliyomzunguka Imamu Ali (A.S.)8. Hijab vazi Bora9. Ukweli wa Shia Ithnaashari10. Madhambi Makuu11. Mbingu imenikirimu12. Abdallah Ibn Saba13. Khadijatul Kubra14. Utumwa15. Umakini katika Swala16. Misingi ya Maarifa17. Kanuni za Ndoa na maadili ya Familia18. Bilal wa Afrika19. Abudharr20. Usahihi wa Historia ya Uislamu na Waislamu21. Salman Farsi22. Ammar Yasir23. Qur'an na Hadithi24. Elimu ya Nafsi25. Yajue Madhehebu ya Shia26. Ukusanyaji na Uhifadhi wa Qur'an Tukufu

91

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 91

Page 101: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

27. Al-Wahda28. Ponyo kutoka katika Qur'an. 29. Uislamu mfumo kamili wa maisha ya kijamii30. Mashukio ya Akhera31. Al Amali32. Dua Indal Ahlul Bayt33. Udhuu kwa mujibu wa Kitabu na Sunna.34. Haki za wanawake katika Uislamu35. Mwenyeezi Mungu na sifa zake36. Amateka Na Aba'Khalifa37. Nafasi za Ahlul Bayt (a.s)38. Adhana.39 Upendo katika Ukristo na Uislamu40. Nyuma yaho naje kuyoboka41. Amavu n’amavuko by’ubushiya42. Kupaka juu ya khofu 43. Kukusanya swala mbili44. Bismillah ni sehemu ya Qur’ani na husomwa kwa Jahara45. Kuwaongoza vijana wa kizazi kipya46. Kusujudu juu ya udongo47. Kusheherekea Maulidi Ya Mtume (s)48. Tarawehe49. Malumbano baina ya Sunni na Shia50. Kupunguza Swala safarini51. Kufungua safarini52. Umaasumu wa Manabii53. Qur’an inatoa changamoto54. as-Salaatu Khayrun Mina -'n Nawm55. Uadilifu wa Masahaba 56. Dua e Kumayl57. Sauti Ya Uadilifu wa Binadamu

92

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 92

Page 102: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

58. Umaasumu wa Mitume - Faida Zake Na Lengo Lake59. Umaasumu wa Mitume - Majibu Ya Aya Zenye Utata60. Umaasumu wa Mitume - Umaasumu wa Mitume

Muhammad (s)61. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Kwanza62. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Pili63. Kuzuru Makaburi64. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Kwanza65. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Pili66. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tatu67. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Nne68. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tano69. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Sita70. Tujifunze Misingi Ya Dini71. Sala ni Nguzo ya Dini72. Mikesha Ya Peshawar73. Malezi Ya Mtoto Katika Uislamu74. Ubora wa Imam 'Ali Juu ya Maswahaba Na Ushia ndio njia

iliyonyooka75. Hukumu za Kifikihi zinazowahusu Wanawake76. Liqaa-u-llaah77. Muhammad (s) Mtume wa Allah78. Amani na Jihadi Katika Uislamu 79. Uislamu Ulienea Vipi?80. Uadilifu, Amani na Mtume Muhammad (s) 81. Mitala na Ndoa za Mtume Muhammad (s) 82. Urejeo (al-Raja’a )83. Mazingira84. Utokezo (al - Badau) 85. Sadaka yenye kuendelea 86. Msahafu wa Imam Ali

93

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 93

Page 103: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

87. Uislamu na dhana88. Mtoto mwema89. Adabu za Sokoni90. Johari za hekima kwa vijana91. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Kwanza92. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Pili93. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Tatu94. Tawasali95. Imam Mahdi katika Usunni na Ushia96. Maana ya laana na kutukana katika Qur’ani Tukufu97. Hukumu ya kujenga juu ya makaburi98. Swala ya maiti na kumlilia maiti99. Shiya na Hadithi (kinyarwanda)100. Mariamu, Yesu na Ukristo kwa mtazamo wa Kiislamu101. Hadithi ya Thaqalain102 Fatima al-Zahra103. Tabaruku104. Sunan an-Nabii105. Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Kwanza)106. Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Pili)107. Mahdi katika sunna108. Kusalia Nabii (s.a.w)109. Ujumbe -Sehemu ya Kwanza110. Ujumbe - Sehemu ya Pili111. Ujumbe - Sehemu ya Tatu112. Ujumbe - Sehemu ya Nne113. Ngano ya kwamba Qur’ani imebadilishwa

94

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 94

Page 104: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

114. Iduwa ya Kumayili115. Maarifa ya Kiislamu.116. Ukweli uliopotea sehemu ya Kwanza117. Ukweli uliopotea sehemu ya Pili118. Ukweli uliopotea sehemu ya Tatu119. Ukweli uliopotea sehmu ya Nne120. Ukweli uliopotea sehmu ya Tano121. Johari zenye hekima kwa vijana122. Safari ya kuifuata Nuru123. Idil Ghadiri124. Myahudi wa Kimataifa125. Kuanzia ndoa hadi kuwa Wazazi126. Visa vya kweli sehemu ya Kwanza127. Visa vya kweli sehemu ya Pili128. Muhadhara wa Maulamaa129. Mwanadamu na Mustakabali wake130. Imam Ali binamu ya Mtume Sehemu ya Kwanza131. Imam Ali binamu ya Mtume Sehemu ya Pili132. Khairul Bariyyah133. Uislamu na mafunzo ya kimalezi134. Vijana ni Hazina ya Uislamu.135. Yafaayo kijamii136. Kusoma sura zenye Sijda ya wajibu137. Taqiyya138. Vikao vya furaha 139. Shia asema haya Sunni asema haya Wewe wasemaje?

95

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 95

Page 105: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

140. Uislamu na Mazingatio Sehemu ya Kwanza141. Uislamu na Mazingatio Sehemu ya Pili142. Azadari-Kuhuzunika na Kuomboleza143. Sunna katika Kitabu Fiqhi al-Sunnah144. Mtazamo Mpya - Wanawake katika Uislamu145. Kuonekana kwa Allah146. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt

(Sehemu ya Kwanza)147. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Pili)148. Ndugu na Jirani149. Ushia ndani ya Usunni150. Maswali na Majibu151. Mafunzo ya hukmu za ibada 152. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisusunni No 1153 Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisusunni No 2154. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisusunni No 3155. Abu Huraira156. Kati ya Alama kuu za dini Swala ya Jamaa. na Adabu za Msikiti

na Taratibu zake.157. Uadilifu katika Uislamu

96

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 96

Page 106: Ahlulbayt ndani ya tafsiri za kisunni (sehemu ya kwanza)

BACK COVERAhlul Bayt, yaani Watu wa Nyumba ya Mtume Muhammad SAW ni vion-gozi ambao Mtume alituusia tuwafuate. Katika hotuba yake ndefu namaarufu aliyoitoa pale Ghadir Khumm katika msafara wake wa kurejeakutoka Hija yake ya mwisho, Mtukufu Mtume SAW alisema haya mbeleya masahaba na mahujaji zaidi ya laki moja: “...Nakuachieni vitu viwilivizito: Qur’ani na Ahlul Bayt wangu. Viwili hivyo havitaachana mpakavinifikie katika [hodhi ya] Kawthar. Nawausia juu ya Ahlul Bayt wangu!Angalieni jinsi mtakavyojihusisha nao. Kama mkishikamana na viwili hivihamtapotea kamwe...” (kwa maelezo zaidi soma kitabu cha al-Ghadir)

Lakini bahati mbaya sana sio Waislamu wote wanaowafuata Ahlul Bayt ASpamoja na kwamba wanavyuoni wa madhehebu zote wameandika habarizao katika vitabu vyao na kuonesha kwamba hawa ni viongozi wa Ummahuu wa Kiislamu.

Mwandishi wa kitabu hiki anajaribu kuthibitisha hilo kwa kutoa rejeambalimbali kutoka vitabu maarufu vya wanavyuoni wa Kisunni.

Kimetolewa na kuchapishwa na:Alitrah FoundationS.L.P. 19701 Dar es Salaam, TanzaniaSimu: +255 22 2110640Simu/Nukushi: +255 22 2127555Barua Pepe: [email protected]: www.alitrah.orgKatika mtandao: www.alitrah.info

97

Ahlul Bayt Ndani ya Tafsiri za Kisunni

AHLUBAYT NDANI YA TAF. ZA KISUNNI No 1 check Lubumba.qxd 7/1/2011 11:11 AM Page 97