KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’

Post on 24-Feb-2016

786 Views

Category:

Documents

40 Downloads

Preview:

Click to see full reader

DESCRIPTION

KUMPENDA MUNGU ‘ Faida na Nguvu zilizopo katika Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu. ’. Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 www.mgisamtebe.org. IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO. Warumi 8:28 - PowerPoint PPT Presentation

Transcript

Mwl. Mgisa Mtebe+255-713-497-654

www.mgisamtebe.org

KUMPENDA MUNGU‘Faida na Nguvu zilizopo katika

Kukua na Kuongezeka katika Kumpenda Mungu.’

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:2828 Nasi twajua ya kuwa,

katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja na

wale wanaompenda, katika kuwapatia mema.

NGUVU YA UPENDO

Upendo wa MunguYohana 3:16

Yohana 14:23,21

AINA ZA UPENDO

Yoh 3:16, Rum 1:28-32/5:5-8Kwa maana jinsi hii, Mungu

aliupenda ulimwengu wa watu waovu na wenye ubaya

wa kila namna, akamtoa Mwanaye wa pekee Yesu Kristo, kufa kwa ajili yao.

AINA ZA UPENDO

Yohana 14:23,21Bwana Yesu akasema, ‘Mtu akinipenda, atapendwa na Baba yangu aliye juu; Nami

pia nitampenda; nasi tutakuja kufanya makao

kwake, na kujifunua kwake’.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Tafakari Neno Upendo katika mistari ifuatayo;

Yohana Yohana 3:16 14:21,23

AINA ZA UPENDO

Yyoh 3:16 ; Yoh 14:23,21 Upendo wa Mungu

unaotajwa katika Yoh 3:16 ni tofauti na Upendo wa Mungu unaotajwa ktk Yoh 14:21-23 Kumbe kuna aina tofauti za

Upendo wa Mungu.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Tafakari Neno Upendo katika mistari ifuatayo;

Yoh 3:16 Yoh 14:21-23 Upendo Upendo Usio na Wenye Masharti Masharti

AINA ZA UPENDO

Yyoh 3:16 ; Yoh 14:23,21 Upendo wa Mungu kwa

wanadamu, hauko katika ngazi moja, haufanani.

Mungu anatupenda kitofauti-tofauti.

AINA ZA UPENDO

Yyoh 3:16 ; Yoh 14:23,21 Mungu anatupenda

wanadamu kwa aina tofauti-tofauti za Upendo.

Hii ina maana kwamba, kuna aina mbalimbali za Upendo.

NGUVU YA UPENDO

Aina za UpendoYohana 3:16

Yohana 14:23,21

NGUVU YA UPENDO

Aina za Upendo.

1. AGAPE (Upendo wa Mungu)2. STORGE (Upendo wa Ndugu)3. PHILEO (Upendo wa Kirafiki)4. EROS (Upendo wa Mahaba)

NGUVU YA UPENDO

Aina za Upendo.

1. AGAPE (Godly Love)2. STORGE (Family Love)3. PHILEO (Friendship Love)4. EROS (Romantic Love)

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

1. AGAPE (Godly Love)UPENDO WA MUNGU

Rum 5:8 Yoh 3:16

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Sifa Kuu (4) za Upendo - Agape.

1. Hauangalii hali ya mtu ya nje.

2. Hauna masharti yoyote.3. Hauna kipimo au kiwango.4. Hauna mwisho au kikomo.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

1. AGAPE (Godly Love)UPENDO WA MUNGU

Mfano; Upendo wa Mungu kwa

Wanadamu/Ulimwengu. (Yohana 3:16, Rum 1:28-32)

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

1. AGAPE (Godly Love)UPENDO WA MUNGU

Mfano; Upendo wa Msamaria mwema kwa Mhanga.

(Luka 10:29-37)

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

2. STORGE (Family Love)UPENDO WA KINDUGU

(Upendo wa Damu)

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Sifa Kuu (4) za Upendo - Storge.

1. Hauangalii hali ya mtu ya nje.

2. Hauna masharti yoyote.3. Hauna kipimo au kiwango.4. Hauna mwisho au kikomo.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

2. STORGE (Family Love)UPENDO WA KINDUGU

Luka 15:11-32(Upendo wa Baba kwa

Mwana Mpotevu)

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

2. Storge (Family Love)UPENDO WA KINDUGU

Mfano; Upendo wa Musa kwa

Waebrania. (Kutoka 2:11-12)

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

3. PHILEO (Friendship)UPENDO WA KIRAFIKI

(Upendo wenye Sababu)Mithali 18:24

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Sifa Kuu (4) za Upendo - Phileo.

1. Huangalia hali ya mtu ya nje.2. Una masharti fulani-fulani.3. Una kipimo au kiwango.4. Una mwisho au kikomo.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

3. Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI

Mfano; Upendo wa Jonathan

na Daudi. (1Samwel 18:1-5)

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

3. Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI

Mfano; Upendo wa Yesu kwa Martha,

Mariam na Lazaro. (Yahano 11:1-5)

AINA ZA UPENDO

Kama binadamu wanavyoweza kupendana katika urafiki wa

karibu sana, vivyo hivyo, Mungu ana watu walimpenda

sana hata kujenga naye uhusiano wa karibu sana wa kirafiki. (Mathayo 22:37-38)

AINA ZA UPENDO

Mathayo 22:37-38“Mpende Bwana Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa

roho yako yote, na kwa akili zako zote. Amri hii ndiyo kuu,

tena ndiyo ya kwanza.”

AINA ZA UPENDO

Yohana 14:23,21Bwana Yesu akasema, ‘Mtu akinipenda, atapendwa na Baba yangu aliye juu; Nami

pia nitampenda; nasi tutakuja kufanya makao

kwake, na kujifunua kwake’.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-30Kiwango cha utendaji kazi wa

Nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea sana kiwango cha Upendo wako

kwa Mungu.

AINA ZA UPENDO

Math 22:37-38, Yoh 14:23,21Kuna watu wamempenda

Mungu sana kuliko wengine, nao wamepewa kiwango cha juu cha Upendo wa Mungu,

wamekuwa Marafiki wa Mungu Mwenyezi.

AINA ZA UPENDO

Mithali 8:17‘Ninawapenda wanipendao,

na wale wanitafutao kwa bidii, wataniona. (nitajifunua

kwao kwa njia ya kipekee).’

AINA ZA UPENDO

3. Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI

Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya

Mungu na Henoko (Enock). (Mwanzo 5:21-24)

AINA ZA UPENDO

3. Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI

Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya

Mungu na Ibrahimu. (Yakobo 2:23)

AINA ZA UPENDO

3. Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI

Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya

Mungu na Musa. (Hes 12:5-10; Kut 33:9-23; )

UPENDO WA KIRAFIKI

3. Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI

Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya Mungu na Mfalme Daudi.

(Mathayo 12:1-8)

HEKALU la Mungu Patakatifu pa

Patakatifu Patakatifu

Uwanda

wa Nje

UPENDO WA KIRAFIKI

3. Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI

Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya Mungu na Mfalme Daudi.

(1Sam 13:13-14, Mdo 13:21-22)

UPENDO WA KIRAFIKI

3. Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI

Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya

Yesu na Yohana. (Yohana 21:15-24)

1 (Yoh 21:15-24) (Yoh 21 3 (Math 17:1-9)

12 (Luka 6:12-15)

2 70 (Luka 10:1,17)

3 120 (Mdo 1:15)

500 (1Kor 15:3-8)

Umati wa Wanafunzi.

NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

4. EROS (Romantic)UPENDO WA MAHABAEfe 5:25; Mhu 9:8-9; Wimbo 7:1-10 / 4:1-7

Sifa Kuu (4) za Upendo - Eros.1. Huangalia hali ya mtu ya nje.2. Una masharti fulani-fulani.3. Una kipimo au kiwango.4. Una mwisho au kikomo.5. Unaelekea kwa mtu 1 tu.6. Ni Mtu wa jinsia tofauti tu.7. Unakuwa na Agano.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

4. Eros (Romantic Love)UPENDO WA MAHABA

Mfano; Upendo wa Mahaba kati ya

Isaka na Rebeca. (Mwanzo 26:11)

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

4. Eros (Romantic Love)UPENDO WA MAHABA

Mfano; Upendo wa Mahaba kati ya

Yakobo na Raheli. (Mwanzo 29:16-20 (10-30)

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

4. Eros (Romantic Love)

Mfano; Upendo wa Bwana Yesu na

Mungu Baba. Yoh 15:9-10, Yoh 10:38,30

Yoh 14:10-11, 20

1 (Math 26:36-41) (Yoh 21 3 (Math 17:1-9)

12 (Luka 6:12-15)

2 70 (Luka 10:1,17)

3 120 (Mdo 1:15)

500 (1Kor 15:3-8) Umati wa Wanafunzi

NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU

MEASURE OF LOVE

Kiwango cha Upendo

Je Unampenda Mungu Kiasi Gani?

Yohana 21:15-17

NGUVU YA UPENDO

Kiwango cha Upendo(Yesu na Petro)

Yohana 21:15-17

NGUVU YA UPENDO

Kiwango cha Upendo(Yesu na Petro)

Yohana 21:15-17‘Simoni Mwana wa Yona,

Je wanipenda kuliko hawa?’

NGUVU YA UPENDO

Kiwango cha Upendo

Mfano;(Yesu, Simoni, Kahaba)

Luka 7:36-50

NGUVU YA UPENDO

Kiwango cha UpendoLuka 7:36-50

‘Wewe, umesamehewa dhambi kidogo, ndio maana umependa

kidogo; lakini mwanamke huyu, amesamehewa dhambi

nyingi, na ndio maana amependa sana.’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-3028 Nasi twajua ya kuwa,

katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja na

wale wanaompenda, katika kuwapatia mema.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-30Kiwango cha utendaji kazi wa

Nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea sana kiwango cha Upendo wako

kwa Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1515 Lakini tuishike kweli katika

upendo na kukua (katika upendo) hata tumfikie yeye

katika yote, yeye aliye kichwa, yaani Kristo Yesu.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Yoh 3:16-18, Yoh 14:23,21Mungu anapokupenda

kwanza kwa Upendo wa Agape, atasubiri kuona kama

utaupokea na kuitikia kwa kumrudishia Upendo.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Yohana 3:16-18, Warumi 5:5-8

AGAPE / STORGE

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Yoh 3:16-18, Yoh 14:23,21Mtu anapoitikia kwa kumpenda

Mungu kwa vigezo ambavyo Mungu anataka, ndipo Mungu hufungulia Upendo mwingine,

wa ngazi ya pili, Upendo wa Kirafiki (Phileo) tofauti na Agape.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Yohana 14:23,21 Mithali 8:17

AGAPE / STORGE PHILEO

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Yoh 3:16-18, Yoh 14:23,21Mtu aliyependwa na Mungu

Kirafiki (Phileo), akiitikia upendo huo kwa kumpenda Mungu kwa

zaidi sana, ndipo Mungu naye hufungulia Upendo mzito (Eros),

Upendo wa Ngazi ya Kwanza.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Yohana 15:1-15, Yohana 10:30

AGAPE / STORGE PHILEO

EROS

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Yohana 15:1-15(Condition) Mkizishika amri

zangu, ndipo mtaweza kukaa katika Pendo langu (Eros); kama vile mimi nilivyozishika amri za

Baba yangu, na kukaa katika Pendo lake (Eros).

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Yohana 15:1-15 Mimi ndani ya Baba, na Baba ndani yangu; nami ndani yenu,

nanyi ndani yangu.(Erotic/Romantic Love)

Yohana 10:38, 30

AINA ZA UPENDO

3. UPENDO WA KIRAFIKI

Kwa Mfano;Yesu na Wanafunzi wake.

Luka 6:13-16

1 (Math 26:36-41) (Yoh 21 3 (Math 17:1-9)

12 (Luka 6:12-15)

2 70 (Luka 10:1,17)

3 120 (Mdo 1:15)

500 (1Kor 15:3-8) Umati wa Wanafunzi

NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Yohana 15:1-15 Mimi ndani ya Baba, na

Baba ndani yangu; nani ndani yenu, nanyi ndani yangu.(Erotic/Romantic Love)

Yohana 10:38, 30

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Rum 8:28-30, Yoh 14:23,21Kuna watu wamempenda

Mungu sana kuliko wengine, nao wamepewa kiwango cha juu cha upendo wa Mungu,

wamekuwa Marafiki wa Mungu Mwenyezi.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Yohana 15:1-15 Mimi ndani ya Baba, na

Baba ndani yangu; nani ndani yenu, nanyi ndani yangu.(Erotic/Romantic Love)

Yohana 10:38, 30

NGUVU YA UPENDO

Kiwango cha Upendo(Quality and Quantity)

Luka 7:36-50

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-30Kiwango cha utendaji kazi wa

Nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea sana kiwango cha Upendo wako

kwa Mungu.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1515 Lakini tuishike kweli katika

upendo na kukua (katika upendo) hata tumfikie yeye

katika yote, yeye aliye kichwa, yaani Kristo Yesu.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-15Kukua katika Upendo, ina

maana kuu mbili (2);

1. Kukua Kiwango cha Upendo

(Quantitative Growth)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-15Kukua katika Upendo, ina

maana kuu mbili (2);

2. Kukua ktk Aina ya Upendo (Qualitative Growth)

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1515 Lakini tuishike kweli katika

upendo na kukua (katika upendo) hata tumfikie yeye

katika yote, yeye aliye kichwa, yaani Kristo Yesu.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Math 22:27-28, Yoh 14:23,21Kuna watu wamempenda

Mungu sana kuliko wengine, nao wamepewa kiwango cha juu cha upendo wa Mungu,

wamekuwa Marafiki wa Mungu Mwenyezi.

AINA ZA UPENDO

Yohana 14:23,21Yesu alisema, ‘mtu akinipenda,

atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda; nasi

tutakuja kufanya makao kwake, na kujifunua kwake’.

AINA ZA UPENDO

Mithali 8:17, Yeremia 29:11-13Ninawapenda wanipendao, na

wale wanitafutao kwa bidii, wataniona. Utanitafuta, nami

nitaonekana kwako, ukinitafuta kwa bidii na kwa

moyo wako wote.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-3028 Nasi twajua ya kuwa,

katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja na

wale wanaompenda, katika kuwapatia mema.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-30Kiwango cha utendaji kazi wa

Nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea sana kiwango cha Upendo wako

kwa Mungu.

AINA ZA UPENDO

2Nyakati 16:9Macho ya Bwana Mungu, hukimbia-kimbia duniani

kote, akitafuta mtu aliyekamilika moyo, ili

ajionyeshe mwenye nguvu, kupitia mtu huyo.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1515 Lakini tuishike kweli katika

upendo na kukua (katika upendo) hata tumfikie yeye

katika yote, yeye aliye kichwa, yaani Kristo Yesu.

SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO.

Amri Kuu Mbili (2)1. Kumpenda Mungu wako2. Kumpenda Jirani yako

Mathayo 22:36-40

SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO

1. Kumpenda Mungu.

Mathayo 22:36-40

SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO

Mathayo 22:36-4036 “Mwalimu, katika Torati, ni

amri ipi iliyo kuu? 37 Yesu akamwambia ‘Mpende Bwana Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote,

na kwa akili zako zote.”

SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO

Mathayo 22:36-4038 “Hii ndiyo amri iliyo Kuu,

tena ni ya kwanza. 39 Na ya pili, yafanana na hii; nayo inasema, hivi; ‘Mpende jirani yako kama

nafsi yako (yaani kama unavyojipenda mwenyewe).”

SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO

Mathayo 22:36-4040 “Torati yote na Manabii

hutegemea katika amri kuu hizi mbili” (Kumpenda Mungu na

Kumpenda Jirani yako.)

SIGNS OF LOVE

Ishara za UpendoUnajuaje kwamba

Unampenda Mungu?

Yohana 21:15-17

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo

1. Muda unaotumia.Kitu unachokipenda, ndicho

kinachukua muda wako mwingi zaidi. Vivyo hivyo, na kwa Mtu

unayempenda, utapenda kutumia muda wa kutosha pamoja naye.

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo

1. Muda unaotumia.- Uwiano wa Matumizi ya -

Muda wako maishaniKutoka 33:7-11

Mathayo 14:22-23

ISHARA ZA UPENDO

1. Muda Unaotumia katika

(a) Mawasiliano Mazuri.Mtu unayempenda,

utahakikisha kila siku au mara kwa mara, unakuwa na muda

wa kuongea naye.

ISHARA ZA UPENDO

1. Muda Unaotumia katika

(a) Mawasiliano Mazuri.- Maisha ya Maombi -

Yeremia 33:3, Waefeso 6:18Wakolosai 4:2, 1Thes 5:17

ISHARA ZA UPENDO1. Muda Unaotumia katika (b) Kusikia Kutoka Kwake.

Kwa mtu unayempenda, utakuwa na hamu kubwa, ya kila

siku au mara kwa mara; ya kutamani kusikia kutoka kwake; Kusikia mawazo yake, hisia zake,

mipango yake, n.k.

ISHARA ZA UPENDO

1. Muda Unaotumia katika

(b) Kusikia Kutoka Kwake.- Kusoma Neno la Mungu -

Kolosai 3:16, Zaburi 19:9-10

ISHARA ZA UPENDO1. Muda Unaotumia katika (c) Kutafuta Kumjua Zaidi.

Kwa mtu unayempenda, utatamani sana, kumjua kwa undani zaidi. Kujua, mawazo

yake, hisia zake, anavyovipenda, asivyopenda, mipango yake, na zaidi, kumjua kitabia/sifa zake.

ISHARA ZA UPENDO

1. Muda Unaotumia katika

(c) Kutafuta Kumjua Zaidi.- Kujenga Uhusiano wa Kina -

1Yoh 1:1-3, Efes 4:11-152Pet 3:18, Ayub 22:21

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo2. Utii na Uaminifu.

Mtu unayempenda, hautapenda kumkwaza wala kumuudhi; utafurahi kufanya

yale anayotaka na kutokufanya yale asiyoyataka.

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo

2. Utii na Uaminifu.- Kutii Neno la Mungu -Yoh 14:21-23, 1Yoh 5:3

Zaburi 119:9, 11

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo

2. Utii na Uaminifu.- Maisha ya Utakatifu -Isaya 57:15, 1Pet 1:15-16 Waefeso 4:17-25, Zab 16:3

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo3. Kumsifia na Kumtukuza

Mtu unayempenda, utajikuta unapenda kumsifia

na kumtukuza, yeye binafsi au mbele za watu wengine.

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo

3. Kumsifia na Kumtukuza- Kumsifu Mungu -

Zab 148:1-13, Zab 150:1-6Zaburi 71:8

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo4. Kutamani Kumgusa. Mguso ni ishara mojawapo ya juu ya uhusiano mzuri kati ya

watu. Mtu unayempenda, una hamu na shauku ya kumshika

au kumgusa kwa upendo.

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo

4. Kutamani Kumgusa.- Maisha ya Ibada -

Yoh 4:23-24, Zab 96:5

SIGNS OF LOVEIshara za Upendo

5. Heshima na Adabu.Kwa mtu unayempenda, utajikuta una heshima na

adabu ya kipekee juu yake.

SIGNS OF LOVEIshara za Upendo

5. Heshima na Adabu.- Kumheshimu na -

Kumwogopa MunguMath 15:8, Yoh 5:22-23

Yoh 8:49, Yak 2:19, Yoh 12:26

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo6. Kuujaa Moyo (Mawazo)

Mtu unayempenda, huwa unapenda kumweka mawazoni mwako na moyoni mwako; na huwa anaujaza moyo wako na

mawazo yako popote ulipo.

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo6. Kuujaa Moyo (Mawazo)

- Kumtafakari Mungu -

Warumi 8:5, Wafilipi 4:8, Waebrania 3:1

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo7. Kuzawadia kwa Furaha. Mtu unayempenda, utajikuta una msukumo wa mara kwa

mara wa kumzawadia na kumpa vitu ili kuidumisha furaha yake na kuhakikisha ustawi wake.

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo

7. Kuzawadia kwa Furaha.- Utoaji mzuri wa Sadaka -

Luka 7:36-50, Yohana 3:16

SIGNS OF LOVEIshara za Upendo

7. Kuzawadia kwa Furaha.- Utoaji mzuri wa Sadaka -

Mithali 3:9-10, Malaki 3:7-12 Hagai 1:1-11

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo8. Moyo wa Kumtumikia.

Mtu unayempenda, una moyo wa kumtumikia na hata

kujitoa kwa ajili yake; ili kumpendeza, kumtunza na

hata kumlinda.

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo

8. Moyo wa Kumtumikia.- Serving God -

Yohana 12:26, 1Wakorintho 4:1-2

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo9. Kumwamini.

Mtu unayempenda, utajikuta una namna ya kipekee ya

kumwamini na kumtegemea.(Believe and Trust)

SIGNS OF LOVEIshara za Upendo

9. Kumwamini. - Belief and Trust -

1Yoh 4:18, Ebr 11:1-6 Warumi 4:17-21

SIGNS OF LOVEIshara za Upendo

9. Kumwamini.- Belief and Trust -

Mfano: Yesu na Petro BahariniMath 14:22-33

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo10. Moyo wa Uvumilivu.

Mtu unayempenda, utajikuta una Neema ya kutosha ya

kumvumilia na kumchukulia vile alivyo, kwa amani na

furaha ya moyoni.

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo

10. Moyo wa Uvumilivu.- Kumsubiri Mungu -

Waebrania 6:13-15, 12

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo11. Ujasiri wa Kumlinda.

Mtu unayempenda, utajikuta una ujasiri wa kumtetea na kumlinda, yeye na heshima yake.

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo

11. Ujasiri wa Kumlinda.- Kulinda Heshima Yake -

Waebrania 6:13-15, 12

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo

11. Ujasiri wa Kumlinda.- Wivu wa Bwana -

Yoh 2:13-17, Yak 4:4-5

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo12. Utamwambia Maneno.

Mtu unayempenda, una hamu ya kumwambia mara

kwa mara kwamba unampenda; japo anajua.

SIGNS OF LOVE

Ishara za Upendo

12. Utamwambia Maneno.- Confess n’ Declare -

Yohana 21:15-17, Zaburi 18:1

AINA ZA UPENDO

Yohana 14:23,21Yesu alisema, ‘mtu akinipenda,

atapendwa na Baba yangu, nami nitampenda; nasi

tutakuja kufanya makao kwake, na kujifunua kwake’.

AINA ZA UPENDO

Mithali 8:17, Yeremia 29:11-13Ninawapenda wanipendao, na

wale wanitafutao kwa bidii, wataniona. Utanitafuta, nami

nitaonekana kwako, ukinitafuta kwa bidii na kwa

moyo wako wote.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-3028 Nasi twajua ya kuwa,

katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja na

wale wanaompenda, katika kuwapatia mema.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-30Kiwango cha utendaji kazi wa

Nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea sana kiwango cha Upendo wako

kwa Mungu.

AINA ZA UPENDO

2Nyakati 16:9Macho ya Bwana Mungu, hukimbia-kimbia duniani

kote, akitafuta mtu aliyekamilika moyo, ili

ajionyeshe mwenye nguvu, kupitia mtu huyo.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Math 22:27-28, Yoh 14:23,21Kuna watu wamempenda

Mungu sana kuliko wengine, nao wamepewa kiwango cha juu cha upendo wa Mungu,

wamekuwa Marafiki wa Mungu Mwenyezi.

AINA ZA UPENDO

Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI

Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya

Mungu na Ibrahimu. (Yakobo 2:23)

AINA ZA UPENDO

Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI

Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya

Mungu na Musa. (Hes 12:5-10; Kut 33:9-23; )

UPENDO WA KIRAFIKI

Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI

Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya Mungu na Mfalme Daudi.

(1Sam 13:13-14, Mdo 13:21-22)

UPENDO WA KIRAFIKI

Phileo (Friendship Love)UPENDO WA KIRAFIKI

Mfano; Upendo wa Kirafiki kati ya

Yesu na Yohana. (Yohana 21:15-24)

1 (Yoh 21:15-24) (Yoh 21 3 (Math 17:1-9)

12 (Luka 6:12-15)

2 70 (Luka 10:1,17)

3 120 (Mdo 1:15)

500 (1Kor 15:3-8)

Umati wa Wanafunzi.

NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Math 22:27-28, Yoh 14:23,21Kuna watu wamempenda

Mungu sana kuliko wengine, nao wamepewa kiwango cha juu cha upendo wa Mungu,

wamekuwa Marafiki wa Mungu Mwenyezi.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1515 Lakini tuishike kweli katika

upendo na kukua (katika upendo) hata tumfikie yeye

katika yote, yeye aliye kichwa, yaani Kristo Yesu.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-15Kukua katika Upendo, ina

maana kuu mbili (2);

1. Kukua Kiwango cha Upendo

(Quantitative Growth)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-15Kukua katika Upendo, ina

maana kuu mbili (2);

2. Kukua ktk Aina ya Upendo (Qualitative Growth)

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1515 Lakini tuishike kweli katika

upendo na kukua (katika upendo) hata tumfikie yeye

katika yote, yeye aliye kichwa, yaani Kristo Yesu.

SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO.

Amri Kuu Mbili (2)1. Kumpenda Mungu wako2. Kumpenda Jirani yako

Mathayo 22:36-40

SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO

2. Kumpenda Jirani.

Mathayo 22:36-40

SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO

Mathayo 22:36-4036 “Mwalimu, katika Torati, ni

amri ipi iliyo kuu? 37 Yesu akamwambia ‘Mpende Bwana Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote,

na kwa akili zako zote.”

SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO

Mathayo 22:36-4038 “Hii ndiyo amri iliyo Kuu,

tena ni ya kwanza. 39 Na ya pili, yafanana na hii; nayo inasema, hivi; ‘Mpende jirani yako kama

nafsi yako’ (yaani kama unavyojipenda mwenyewe).”

SIGNS OF LOVEISHARA ZA UPENDO

Mathayo 22:36-4040 “Torati yote na Manabii

hutegemea katika amri kuu hizi mbili” (Kumpenda Mungu na

Kumpenda Jirani yako.)

SIGNS OF LOVE

Kumpenda Mungu kwa Kuwapenda Watu wa

Mungu.

1Yohana 2:7-111Yohana 4:7-12, 18-21

Kuwapenda Watu wa Mungu

1Yohana 4:7-12, 18-2121 Na amri hii tumepewa

na yeye (Mungu), ya kwamba, yeye ampendaye

Mungu, na ampende na ndugu yake.

Kuwapenda Watu wa Mungu

Amri ya Upendo1Yohana 2:7-11

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 2:7-11

7 Wapenzi, siwaandikii amri mpya, ila mari ya zamani mliyokuwa nayo tangu

mwanzo. Na hiyi amri ya zamani, ni neno lile mlilolisikia.

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 2:7-11

8 Tena nawaandikia amri mpya, neno lililo kweli ndani

yake na ndani yenu; kwakuwa giza linapita na ile nuru ya kweli imekwisha kung’aa.

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 2:7-11

9 Yeye asemaye kwamba yuko nuruni, lakini anamchukia ndugu yake, basi mtu huyo bado yupo gizani hata sasa (inangawa yeye anajidhania

yuko nuruni.)

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 2:7-11

10 Yeye ampendaye ndugu yake, anakaa katika nuru, wala

ndani yake hakuna kikwazo (yaani giza).

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 2:7-11

11 Bali yeye machukiaye ndugu yake, yu katika giza. Tena

anakwenda gizani, wala hajui aendako, kwasababu giza

limempofusha macho.

Kuwapenda Watu wa Mungu

Mathayo 5:21-2321 Mmesikia watu wa kale walivyowaambia, kwamba

‘usiue’ na ‘mtu akiua’, itampasa hukumu.

Kuwapenda Watu wa Mungu

Mathayo 5:21-2322 Lakini mimi nawaambieni, ya kwamba, ‘kila amwoneaye ndugu yake hasira’, itampasa

mtu huyo hukumu. (kama vile ni mtu aliyeua).

Kuwapenda Watu wa Mungu

Mathayo 5:21-2322 … na mtu akimfyonza

ndugu yake, itampasa mtu huyo kuwekwa katika baraza (kujadiliwa kama vile ni mtu

aliyempiga mwenzake) …

Kuwapenda Watu wa Mungu

Mathayo 5:21-23

22 … na mtu akimwapiza mwenzake, itampasa mtu

huyo, jehanaum ya moto …

Kuwapenda Watu wa Mungu

Mathayo 5:21-2323 Basi, ukileta sadaka yako madhabahuni, ukakumbuka ya kwamba ndugu yako ana

neno juu yako, …

Kuwapenda Watu wa MunguMathayo 5:21-23

24 … Basi iache sadaka yako mbele ya madhabahu

(usiitoe), bali nenda kwanza ukapatane na ndugu yako, ndipo urudi kuitoa sadaka

yako kwa Mungu.

Kuwapenda Watu wa Mungu

Amri ya Upendo1Yohana 4:7-12, 18-21

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 4:7-12, 18-21

7 Wapenzi, na tupendane; kwakuwa pendo latoka kwa Mungu, na kila apendaye,

amezaliwa na Mungu, naye anamjua Mungu.

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 4:7-12, 18-21

8 Yeye asiyependa wengine, hakumjua Mungu, kwa maana Mungu ni Pendo. 9 Katika hili, pendo la Mungu limeonekana

kwetu, kwamba Mungu ametuma mwanye wa pekee...

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 4:7-12, 18-21

9 … ili tupate uzima wa milele kupitia yeye (Yesu) 10 Hili

Pendo, sio kwamba sisi tulimpenda Mungu, bali ni

kwamba, yeye ndiye aliyetupenda sisi kwanza …’

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 4:7-12, 18-21

10 … akamtuma mwanawe kuwa kipatanisho kwa dhambi zetu. 11 Wapenzi, ikiwa Mungu alitupenda sisi hivi, imetupasa

(amri) na sisi kupendana (deni).

Kuwapenda Watu wa MunguWarumi 13:8

8 “Msiwiwe (msidaiwe) na mtu kitu chochote, isipokuwa

kupendana (Upendo); kwa maana ampendaye mwenzake, ameitimiza sheria (Ukamilifu).

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yoh 4:11 ; Rum 13:8Kutokana na kile kitu

ambacho, Mwana wa Mungu ametutendea sisi, tusikie kuwa

na deni la maisha la sisi pia kudaiwa kuonyesha pendo

kama hilo kwa wengine.

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 4:7-12, 18-21

12 Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote. Lakini

tukipendana, Mungu hukaa ndani yetu na Pendo lake

limekamilika ndani yetu (na kujidhihirisha) (Yoh 14:23,21).

AINA ZA UPENDO

Yohana 14:23,21Bwana Yesu akasema, ‘Mtu akinipenda, atapendwa na Baba yangu aliye juu; Nami

pia nitampenda; nasi tutakuja kufanya makao

kwake, na kujifunua kwake’.

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 4:7-12, 18-21

18 Katika pendo, hakuna hofu, kwa maana Pendo lililo kamili

(lililokamilika), huitupa nje hofu; kwa maana hofu ina adhabu, na mwenye hofu,

hakukamilishwa katika Pendo.

Kuwapenda Watu wa Mungu1Yohana 4:7-12, 18-21

19 Sisi twapenda kwa maana yeye (Yesu) alitupenda sisi kwanza. 20 Mtu akisema,

nampenda Mungu, na wakati huo huo anamchukia ndugu

yake, mtu huyo ni mwongo ...

Kuwapenda Watu wa Mungu

1Yohana 4:7-12, 18-2120 … kwa maana mtu

asiyempenda ndugu yake ambaye anamwona,

hawezi kumpenda Mungu ambaye hakumwona.

Kuwapenda Watu wa Mungu

1Yohana 4:7-12, 18-2121 Na amri hii tumepewa

na yeye (Mungu), ya kwamba, yeye ampendaye

Mungu, na ampende na ndugu yake.

Kuwapenda Watu wa MunguKumbe;

Upendo sio hisia, Upendo Matendo na Upendo ni amri.

Tunatakiwa kuonyeshana Upendo hata kama hatujisikii kufanya hivyo, kutokana na

tofauti zetu fulani-fulani.

Upendo KwaWatu wa Mungu

AGAPE (Godly Love)UPENDO WA MUNGU

Mfano; Upendo wa Msamaria mwema kwa Mhanga.

(Luka 10:29-37)

Upendo KwaWatu wa MunguLuka 10:29-37

‘Mtu mmoja msafiri, alikutana na wanyanganyi; wakampiga

sana na kumnyang’anywa vitu vyake na mali zake zote, na

kumwachwa barabarani akiwa nusu ya kufa’.

Upendo KwaWatu wa MunguLuka 10:29-37

‘Kwa nasibu, akapita Kuhani (Mpakwa mafuta wa BWANA),

(Mtu wa Kanisani) lakini hakumsaidia kabisa, bali

alimpita kwa mbali asimpe msaada wowote’.

Upendo KwaWatu wa MunguLuka 10:29-37

‘Baada ya muda kidogo, akapita Mlawi (Mpakwa

mafuta wa BWANA), (Mtu wa Kanisani) lakini hakumsaidia

kabisa, bali alimpita kwa mbali asimpe msaada wowote’.

Upendo KwaWatu wa MunguLuka 10:29-37

‘Baada ya muda, akapita Msamaria (Mtu aliye-

dharaulika) (Mtu wa Mataifa), lakini huyu, akasimamisha

punda wake, akashuka kumsaidia yule mhanga.’

Upendo KwaWatu wa MunguLuka 10:29-37

‘Akamfanyia huduma ya kwanza, akamuosha vidonda

vyake, akampaka divai (dawa), akamvifunga, akampakia

katika punda wake na kumkokota hospitalini.

Upendo KwaWatu wa MunguLuka 10:29-37

‘Akamlipia matibabu yote, akamlipia na nyumba ya

wageni, akamlipia huduma zote za chakula na mahitaji yake yote muhimu; na bado

akaacha fedha ya ziada.’

Upendo KwaWatu wa MunguLuka 10:29-37

‘Na bado akadai, akirudi kutoka safari yake, atarudi

kupita hapo tena, na akikuta gharama zimeongezeka,

atazilipa ha hizo zilizozidi.’

Upendo KwaWatu wa Mungu

Yohana 15:1-15, Yohana 10:30

AGAPE / STORGE PHILEO

EROS

Upendo KwaWatu wa Mungu

AGAPE (Godly Love)UPENDO WA MUNGU

Mfano; Bwana Yesu Kuwatumikia

Wanafunzi wake (Yohana 13:3-17)

Upendo KwaWatu wa MunguYohana 13:3-17

‘Yesu hali akijua Baba amempa vyote mikononi mwake …

alionoka chakulani, akatwaa beseni, maji na kitambaa alichokuwa amejifunga;

Upendo KwaWatu wa MunguYohana 13:3-17

‘Yesu akawatawadha wanafunzi wake wote miguu yako …

Alipokwisha kuwatawadha, akaketi na kuwauliliza; Je

mmefahamu hayo niliyoyatenda?’

Upendo KwaWatu wa MunguYohana 13:3-17

‘Yesu akawatawadha wanafunzi wake wote miguu yako …

Alipokwisha kuwatawadha, akaketi na kuwauliliza; Je

mmefahamu na kuelewa na hayo niliyoyatendea?’

Upendo KwaWatu wa MunguYohana 13:3-17

14 ‘Ikiwa mimi niliye Mwalimu na Bwana kwenu, nimewatawadha ninyi miguu, vivyo hivyo na ninyi mnatakiwa kutawadhana miguu

(ili muwe watumishi kila mtu kwa mwenzake)

Upendo KwaWatu wa MunguMarko 10:42-45

42-43 ‘Mwafahamu, wale wakuu wa dunia, huwatawala kwa

nguvu na huwatumikisha; lakini haitakuwa hivyo kwenu. Yeye

atakaye kuwa mkubwa kwenu, atakuwa mtumishi wenu’

Upendo KwaWatu wa Mungu

Marko 10:42-45

45 ‘Kwakuwa Mwana wa Adamu, hakuja kutumikiwa,

bali kutumika’

Upendo KwaWatu wa Mungu

Yohana 15:1-15, Yohana 10:30

AGAPE / STORGE PHILEO

EROS

Upendo KwaWatu wa Mungu

AGAPE (Godly Love)UPENDO WA MUNGU

Mfano; Kuwahudumia Wahitaji.

Mathayo 25:30-46

Kuwapenda Watu wa Mungu

Mathayo 25:30-46Yesu anasema “Nilikuwa na Njaa hamkunilisha, nilikuwa uchi, hamkunivika; nilikuwa

mgonjwa, hamkuja kunitazama, nilikuwa mfungwa, hamkuja

kunitia moyo, nilikuwa mgeni hamknkaribisha.”

Kuwapenda Watu wa Mungu

Mathayo 25:30-46Na watu watauliza, “Bwana, ni

lini tulikuona na njaa hatukukulisha? Ni lini Bwana

tulikuona uchi tukakataa kukuvika? Ni lini ulilazwa

hospitali au kufungwa gerezani na hatukuja kukutazama?”

Kuwapenda Watu wa Mungu

Mathayo 25:30-46Ndipo Bwana atawaambia “Kwa kadri ambavyo hamkuwafanyia wale waliokuwa na uhitaji huo, ndivyo ambavyo hamkunifanyia mimi. Hivyo ondokeni kwangu

ninyi mtendao maovu.”

Kuwapenda Watu wa MunguYakobo 2:15-17

15 Ikiwa ndugu (muumini) yu uchi, na kupungukiwa na riziki

16 na mtu wa kwenu akawaambia, enendeni zenu kwa amani, mkaote moto na

kushiba, lakini asiwape mahitaji ya mwili, yafaa nini?

Kuwapenda Watu wa MunguYakobo 2:15-17

17 “Vivyo hivyo na Imani, isipokuwa ina matendo, Imani hiy imekufa nafsini mwake.”

Kuwapenda Watu wa MunguMathayo 5:43-45

43 “Mmesikia kwamba imenenwa, ‘mpende jiani

yako na mchukie adui yako’ 44 Lakini mimi nawaambia, ‘wependeni adui zenu, tena

waombeeni wanaowaudhi”…

Kuwapenda Watu wa MunguMathayo 5:43-45

45 “… ili mpate kuwa Wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua

lake, waovu na wema; huwanayeshea mvua wenya

haki na wasio haki.

Kuwapenda Watu wa MunguMathayo 5:43-45

46 “Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi,

mwapata thawabu gani? Hata watoza ushuru, je, nao hawafanyi hayo hayo?

Kuwapenda Watu wa MunguMathayo 5:43-45

47 Tena mkiwasalimia ndugu zenu tu, mnatenda tendo gani

la ziadi? Hata watu wa mataifa, je nao, hawafanyi

kama hayo?

Kuwapenda Watu wa MunguMathayo 5:43-45

48 Basi ninyi mtakuwa wakamilifu, kama Baba yenu

aliye mbinguni alivyo mkamilifu (kwa kuwatendea

wema wale msiowajua na wale wanaokuudhi).

Kuwapenda Watu wa MunguWaebrania 13:1-4

1 Upendano wa Ndugu na udumu. 2 Msisahau

kuwafandhili wageni; maana kwa njia hii wengine

wamewakaribisha malaika pasipo kujua.”

Kuwapenda Watu wa MunguWaebrania 13:1-4

3 Wakumbukeni hao waliofungwa, kana kwamba

nanyi pia mmefungwa pamoja nao. Waumbukeni pia na wale

wanaodhulumiwa, kwa vile nanyi mlivyo katika mwili.’

Kuwapenda Watu wa MunguYakobo 1:27

Dini iliyo safi, isiyo na takataka (uchafu) mbele za Mungu Baba ni hii, kwenda

kuwatazama yatima na wajane katika dhiki zao, na kujilinda na dunia pasipo

mawaa (utakatifu).

Upendo KwaWatu wa Mungu

AGAPE (Godly Love)UPENDO WA MUNGU

Mfano; Kanisa la Kwanza Kuwahudumia Wahitaji.

Matendo 2:41-47

Kuwapenda Watu wa MunguMatendo 2:41-47

44-45 ‘Na wote Walioamini, walikuwa mahali pamoja, na kuwa na vitu vyote shirika,

wakiuza mali zao na vitu vyao na kuwagawia watu wote kama kila

mtu alivyokuwa na haja.’

Kuwapenda Watu wa MunguMatendo 2:41-47

46-47 ‘Na siku zote walidumisha ushiraka kwa furaha na kwa

moyo mweupe, hata watu wote wakaingiwa na hofu … Na Bwana akalizidisha kanisa kila siku kwa wale wliokuwa wakiokolewa.’

Kuwapenda Watu wa MunguMatendo 2:41-47

41-42 ‘Na wale waliolipokea Neno la Mungu, wakaongezeka

wapata watu elfu tatu (wa kiume); wakawakidumu katika fundisho la Mitume na Katika

Ushirika na Katika kusali’

Kuwapenda Watu wa MunguKumbuka kwamba;

Upendo sio hisia, Upendo Matendo na Upendo ni amri.

Tunatakiwa kuonyeshana Upendo hata kama hatujisikii kufanya hivyo, kutokana na

tofauti zetu fulani-fulani.

NGUVU YA UPENDO

Kiwango cha UpendoMwanamke Kahaba na

Bwana YesuLuka 7:36-50

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu

KUZIDI KUONGEZEKA KATIKA UTUKUFU WA MUNGU

2 Wakorintho 3:18

Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu

NGUVU YA UPENDO

Kiwango cha UpendoMtume Petro na

Bwana YesuYohana 21:15-17

KIWANGO CHA UPENDO

Kwa Mfano wa Pembetatu ya MotoKitu (Fuel)

Joto Hewa (Heat) (Oxygen)

MOTO

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kiwango maalum cha UPENDO wako kwa Mungu, kitafungulia Nguvu za Mungu kichohitajika

kuleta mabadiliko yanayohitajika, katika ulimwengu wa roho na katika ulimwengu wa

mwili.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-30Kiwango cha utendaji kazi wa

Nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea sana kiwango cha Upendo wako

kwa Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kiwango maalum cha UPENDO wako kwa Mungu, kitafungulia Nguvu za Mungu kichohitajika

kuleta mabadiliko yanayohitajika, katika ulimwengu wa roho na katika ulimwengu wa

mwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa Mungu maishani mwako, unategemea

sana Kiwango cha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi

ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo … Kuna baadhi ya mambo

maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, ikiwa hatutengeneza

au hatutazalisha Nguvu za Mungu za kutosha, ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …***… ikiwa tutatengeneza au

tutazalisha Nguvu nyingi za Mungu ndani yetu,

tutauwezesha mkono wa Mungu, kufanya mambo mengi na makubwa, aliyokusudia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini …***… ikiwa tutatengeneza au tutazalisha Nguvu kidogo za

Mungu ndani yetu, basi tutauzuia mkono wa Mungu,

kufanya mambo mengi na makubwa aliyokusudia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano;Yesu na Pepo SuguMathayo 17:9-20.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-20Yesu aliposhuka kutoka

mlimani, alikuta umati mkubwa wa watu ukimsubiri. Baba mmoja akamwangukia

Yesu miguuni na kumsihi akisema …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-20Bwana Mkubwa, ninaomba

umponye mwanangu, ana pepo la kifafa; na mara nyingi limemwangusha katika maji

na katika moto, ili kumdhuru, lakini amesalimika …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-20… Nimemleta kwa wanafunzi

wako, lakini wameshindwa kumtoa huyu pepo. Ndipo Yesu akaamuru akisema ‘nitakaa nanyi hata lini?

mleteni kwangu’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-20Kijana alipoletwa, Yesu akamkemea

yule pepo, na likamtoka mara moja na kumwacha kijana akiwa

huru na mzima kabisa. Watu wote wakashangaa na kumtukuza

Mungu kwa furaha.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-2019 Kisha wanafunzi wake

wakamwendea Yesu faraghani, mahali pasipokuwa na watu; wakamwuliza, “Bwana, Kwa nini sisi hatukuweza kumtoa

yule Pepo?”

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-20

20 Yesu akawajibu na kuwaambia, ‘‘Ni kwasababu ya upungufu wa Imani yenu; (au ni kwasababu ya imani

yenu kuwa ndogo) …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-2020 “… Lakini kama mkiwa na

imani kama punje ndogo ya haradali, mtaweza kuuambia

milima huu, ‘ondoka hapa uende pale’ nao utaondoka.

Na wala hakutakuwa na jambo lisilowezekana kwenu.’’

Mathayo 17:9-20

Jiuluze kwa namna hii;Amewakemea kwa kuwa na imani kidogo, lakini hapo hapo anawaambia, walihitaji imani

ndogo kama punje ya haradali, kuhamisha mlima!

Yesu alimaanisha nini?

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-2020 “… Lakini kama mkiwa na

imani kama punje ndogo ya haradali, (iliyo na tabia na

uwezo wa kukua, kuliko miti yote ya mboga, na kukua hata kuwa mti mkubwa)

(Mathayo 13:31-32)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-2020 “… (hakika mngetembea na

kiwango kikubwa cha nguvu za Mungu) kiasi cha kuweza

kuhamisha mlima, (kwa nguvu ya neno lako),

ungehamia upande ule. (mafafanuzi yameongezewa)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-2020 “… (Nanyi mngetembea

katika kiwango ambacho), hakuna jambo litakuwa la

kushindikana kwenu.

(mafafanuzi yameongezewa)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9-2021 Lakini (mapepo) ya namna

hii, hayatoki isipokuwa kwa kufunga na kuomba.

(mafafanuzi yameongezewa)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Maombi = Imani = Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni Muhimu Tujue Kwamba …

Upendo = Imani = Nguvu

NGUVU YA UPENDO

Kiwango cha Upendo(Mwanamke Kahaba)

Luka 7:36-50

NGUVU YA UPENDO

Kiwango cha Upendo(Petro, Yohana)

Yohana 21:15-24

7. Ngazi (Level) ya WitoKutoka 24:1-18

^ 1st Class ^^^ 2nd

Class ^^^^^^^^^^ 3rd Class

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Wanafunzi wa Yesu.

Luka 6:13-16

1 (Math 26:36-41) (Yoh 21 3 (Math 17:1-9)

12 (Luka 6:12-15)

2 70 (Luka 10:1,17)

3 120 (Mdo 1:15)

500 (1Kor 15:3-8) Umati wa Wanafunzi

NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU

NGUVU YA UPENDO

ASILI YA MUNGU NDANI YETU

1Yohana 5:1,4

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-44 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,

huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,

kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”

IMANI YA USHINDI

Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano

wa Mungu, (au asili ya Mungu) ambayo inakupa Nguvu ya

ushindi dhidi ya kila upinzani wa adui shetani maishani

mwake.

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:37

‘Na katika mambo yote, tunashinda na zaidi ya

kushinda kupitia kwa Kristo Yesu aliyetupenda.’

KANUNI ZA KIROHO1Yoh 5:4, Rum 8:37

Pamoja na kwamba Neno la Mungu linatuahidi Ushindi wa Yesu msalabani, kwamba ndio

uwe ushindi wetu sisi tuaminio, lakini bado waumini wengi

tunaishi maisha ya kushindwa.

KANUNI ZA KIROHO

Zipo sababu nyingi; Lakini moja ya sababu kubwa,

ni kutokuwa na kiwango cha kutosha cha Upendo wa Mungu, kitu ambacho

kinasababisha kuzimika kwa nguvu za Mungu.

NGUVU YA UPENDO

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Wagalatia 5:6

NGUVU YA UPENDOWagalatia 5:6

“Maana katika Kristo Yesu, kutahiriwa hakufai neno,

wala kutokutahiriwa, bali ni Imani itendayo kazi kwa

Upendo.”

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni Muhimu Tujue Kwamba …

Upendo = Imani = Nguvu

KIWANGO CHA NGUVU YA MUNGU

Kuna kiwango maalum cha Nguvu za Mungu,

kinachohitajika kusababisha mtu wa Mungu, aishi maisha

ya ushindi na mafanikio, duniani.

Waefeso 3:20

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2O20 Atukuzwe Mungu, yeye

awezaye kutenda mambo ya ajabu mno (yasiyopimika)

kuliko yote tunayo-yawaza au tunayoyaomba …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2O20 … Mungu anaweza kutenda mambo yote, kwa kadiri (kwa kiwango au kwa kipimo) cha

Nguvu zake kinachotenda kazi ndani yetu.

KIWANGO CHA IMANI

Kiwango hicho maalum cha Nguvu za Mungu,

kinazalishwa na Kiwango maalumu cha Imani na

kiwango cha Imani, kinazalishwa na kiwango cha Upendo wako kwa Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni Muhimu Tujue Kwamba …

Upendo = Imani = Nguvu

KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI

KANUNI ZA KIROHO ZA MAISHA YA USHINDI

UTANGULIZIKanuni za kiroho, ni mambo

ambayo, tukiyatumia maishani, mwetu, yatasababisha Roho Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu,

zinazohitajika kutupa maisha ya ushindi na mafanikio, katika

ulimwengu wa mwili.

KANUNI ZA KIROHOVitu maalum

vinavyosababisha kuzalishwa kwa Nguvu za Mungu ili tuishi maisha ya ushindi,

vinaitwa ‘KANUNI ZA KIROHO’.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;

Taa na Mwanga

Aina mbili za Nguvu;

Kanuni za Sayansi

Taa (Bulb)Waya

Nguvu iliyopo Itendayo kazi(Potential Energy) (Kinetic Energy)

Kanuni za Sayansi

MwangaWaya (Light)(Wire) Betrii (Battery)

Ziunganishwe (connected)ipasavyo (sawasawa) kwa

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Aina mbili za Nguvu; Nguvu iliyopo

- (Potential Energy)

Nguvu inayotenda kazi - (Kinetic Energy)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Aina mbili za Nguvu; 1. 2. Nguvu iliyopo Itendayo kazi(Potential Energy) (Kinetic Energy)

Aina mbili za Nguvu;

Kanuni za Sayansi

Taa (Bulb)Waya

Nguvu iliyopo Itendayo kazi(Potential Energy) (Kinetic Energy)

Ziunganishwe (connected)ipasavyo (sawasawa) kwa

Kanuni za Sayansi

Taa (Bulb)Waya (Wire) Betrii (Battery)

Kanuni za Sayansi

MwangaWaya (Light)(Wire) Betrii (Battery)

Ziunganishwe (connected)ipasavyo (sawasawa) kwa

NGUVU ZA UMEME

Aina mbili za Nguvu;

Nguvu iliyopo Itendayo kazi(Potential Energy) (Kinetic Energy)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KANUNI ZA KIROHO Ni mambo ambayo, tukiyaweka

kwa pamoja ndani yetu (rohoni), yatasababisha Roho

Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.

NGUVU ZA MUNGU

Kanuni za Kiroho

Neno (Bulb)Maombi (Wire) (Battery) Roho Mtakatifu

Aina mbili za Nguvu za Mungu

Kanuni za Kiroho (Connected)

Neno (Bulb)Maombi (Wire) Roho Mtakatifu (Battery)

Aina mbili za Nguvu za Mungu

Kanuni za Kiroho (Connected)

Nuru (light)Maombi (Wire) Roho Mtakatifu (Battery)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni za Kiroho (Connected);Ushindi, Afya,nk Nuru ya

(Matendo) Ulimwengu Roho Mtakatifu Nguvu za Roho (Potential Energy) (Kinetic Energy)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni jambo moja kuwa na Taa, (bulb) na ni jambo jingine kuwa

na Mwanga (Nuru ya) hiyo Taa (bulb). Pasipo nguvu za Mungu, utabaki taa (bulb) tu,

isiyowaka (isiyo na nuru)

Mathayo 5:14-16

14 “Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji uliojengwa kilimani

hauwezi kufichika (kwasababu ya taa zake) ...

Mathayo 5:14-16

16 Vivyo hivyo na ninyi, nuru yenu (ushindi, mafanikio, nk) na viangaze mbele ya watu, ili wapate kuona matendo yenu mema wamtukuze Baba yenu

aliye mbinguni.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mungu anataka, tuwe tofauti!Kwamba …

Katikati ya giza, sisi tuwe nuru,Katikati ya kuanguka, sisi tusianguke,Katikati ya kufeli, sisi tusifeli, tufaulu,Katikati ya hasara, sisi tupate faida,

Mathayo 5:14-16 Giza Vs Nuru Kufeli – Kufaulu Hasara – Faida Kushindwa – Ushindi Magonjwa – Afya/Uponyaji Uasi/Uovu – Haki/Utakatifu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 5:14-16 Ni jambo moja kuwa na Taa, na ni jambo jingine kuwa Mwanga. Pasipo nguvu za Mungu, utabaki

kuwa kama buld tu, isiyowaka (isiyotoa mwanga)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni jambo moja kuwa na Jenereta, na ni jambo jingine kuwa na Umeme (Nguvu ya Umeme). Pasipo nguvu za

Mungu, utabaki kuwa Jenereta tu, isiyowaka (isiyozaa umeme)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KANUNI ZA KIROHO Ni mambo ambayo, tukiyaweka

kwa pamoja ndani yetu (rohoni), yatasababisha Roho

Mtakatifu aliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu.

KANUNI ZA KIROHO Ni mapenzi ya Mungu tuishi

maisha ya ushindi na mafanikio ili kutimiza kusudi la Mungu na kuishi maisha

mazuri kama chombo maalum cha kumsifu na kumwabudu

Mungu.

KANUNI ZA KIROHO Ni mapenzi ya Mungu tuishi

maisha ya ushindi na mafanikio ili kutimiza kusudi la Mungu na kuishi maisha

mazuri kama chombo maalum cha kumsifu na kumwabudu

Mungu.

2Petro 1:3-4Tunaishi kwenye ulimwengu

ulioharibika sana kwasababu ya dhambi na uovu. Mtu wa Mungu

akitaka kuishi kwa ushindi na mafanikio katikati ya uharibifu huu, bila kuingia katika uovu

(kujichafua), ni lazima iwe ni kwa nguvu za Mungu tu.

KUKUA KATIKA UPENDO

KANUNI ZA KIROHOWatu wa Mungu wakielewa,

nafasi ya kanuni za kiroho katika maisha yao, wataweka

bidii na nidhamu ya kuishi katika maisha yanayotimiza

kanuni za kiroho.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Hilo Ndilo

Kusudi la MunguWaefeso 4:11-15

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1511 Naye alitoa wengine, kuwa

Mitume na Manabii, Wachungaji, Wainjilisti na

Waalimu;

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1512 Kwa kusudi la

kuwakamilisha watakatifu, hata kazi ya huduma

itendeke.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1514 ili tusiwe tena watoto

wachanga, tukitupwa huku na huku, na kuchukuliwa na kila upepo wa elimu, kwa hila za watu, kwa ujanja, tukizifuata

njia za udanganyifu.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1513 Hata na sisi wote,

tutakapoufikia umoja wa imani, na kumfahamu sana

Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata

kufika katika cheo cha Kristo.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1515 Lakini tuishike kweli katika

upendo na kukua (katika upendo) hata tumfikie yeye

katika yote, yeye aliye kichwa, yaani Kristo Yesu.

Kusudi la Mungu

TUFANANE NA MWANA WA MUNGU

YESU KRISTO.

Warumi 8:28,29-30

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-3029 Maana wale aliowajua

tangu asili, aliwachagua tangu asili, ili wafananishwe

na mfano wa mwanaye (Yesu Kristo).

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-3030 Na hao aliowajua tangu

asili, aliwaita; na hao aliowaita, akawahesabia

haki; na hao aliowahesabia haki na aliwatukuza.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Kusudi la MunguMathayo 28:18-20

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Mathayo 28:18-20Enendeni ulimwenguni

mwote mkawafanye mataifa yote kuwa ‘wanafunzi’

wangu

“Acollotheo”

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Mathayo 28:18-20

“Acollo + Theo” Kufanywa kwa namna Mungu ile ile

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Mathayo 28:18-20

“Acollo-theo”Kufanywa kwa namna

ile ile ya Mungu.

KUSUDI LA MUNGU

Yohana 1:12, Warumi 8:23Na ni mapenzi na makusudi ya Mungu, kwamba sisi watoto wake, tukue na kuongezeka ki-imani, mpaka tufikie cheo

cha Uana wa Mungu.

KUSUDI LA MUNGU

Yohana 1:12, Warumi 8:23Na mtu akimwamini Yesu

Kristo, anafanyika Mtoto wa Mungu, na kupewa uwezo wa

hatimaye kuja kufanyika Mwana Mungu.

(kuufikia Uana wa Mungu).

KUSUDI LA MUNGU

Warumi 8:19-23, 28-30Kuwa Mwana wa Mungu, ni cheo na sio jinsia. Ni hatima

ya kufikiwa (Graduation)Waefeso 4:11-15

Warumi 8:29

KUSUDI LA MUNGURumi 8:28-30, Efes 4:11-15

Mtoto anapofanyika Mwana, anashuhudia utendaji kazi wa

Nguvu za Mungu maishani mwake, kinachofanana na cha

Bwana wetu Yesu Kristo (Mwana wa Mungu).

Warumi 8:19-23Tofauti ya Mwana wa Mungu na

Mtoto wa Mungu ipo katika kuaminiwa na Mungu na

kukabidhiwa wajibu unaokupa kibali cha kutembea na kiwango

fulani cha nguvu za Mungu

UKOMBOZI WA MWILI

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

VIGEZO NA MASHARTIWarumi 8:28-30

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-3028 Nasi twajua ya kuwa,

katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja na

wale wanaompenda, katika kuwapatia mema.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-3029 Maana wale aliowajua

tangu asili, aliwachagua tangu asili, ili wafananishwe

na mfano wa mwanaye (Yesu Kristo).

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-3030 Na hao aliowajua tangu

asili, aliwaita; na hao aliowaita, akawahesabia

haki; na hao aliowahesabia haki na aliwatukuza.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-3028 Nasi twajua ya kuwa,

katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja na

wale wanaompenda, katika kuwapatia mema.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-30Kiwango cha utendaji kazi wa

Nguvu za Mungu maishani mwako, kitategemea sana kiwango cha Upendo wako

kwa Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni Muhimu Tujue Kwamba …

Upendo = Nguvu Kwa Mungu za Mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …

Kiwango cha = Kiwango cha Upendo Nguvu

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Siri ya Uwezo wa Bwana Yesu

Luka 4:14, 18-19

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Luka 4:14, 18-19 Baada ya kushinda majaribu

yote, Bwana Yesu alirudi Galilaya katika Uweza na

Nguvu za Roho Mtakatifu; Habari zake zikaenea pande zote za Uyahudi na Samaria.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Luka 4:14, 18-19… akaingia Hekaluni,

akahubiri akisema “Roho wa Bwana Mungu yuko juu

yangu, na amenipaka mafuta, niwafungue watu

wote walifungwa (na ibilisi).

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Matendo 10:38… Mungu alimpaka Yesu Kristo Mafuta kwa Roho

Mtakatifu na Nguvu, naye akazunguka, akiwaponya

wote walioteswa na kuonewa na ibilisi shetani.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Shauku ya YesuYohana 14:12-14

Yohana 16:7

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Luka 4:14, 18-19 Kwasababu Bwana Yesu ametupa Roho Mtakatifu yule yule aliyemwezesha

yeye Yesu kuwa mtu asiye wa kawaida kati ya watu wa

kawaida, hivyo basi …

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Yoh 14:12 Yoh 16:7Amini Amini nawaambia,

kwasababu ninakwenda kwa Baba (kuwaletea Roho

Mtakatifu), basi kila mtu aniaminiaye mimi, hizi kazi

nizifanyazo, na yeye atazifanya.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Luka 4:18 Kwasababu Bwana Yesu ametupa Roho Mtakatifu yule yule aliyemwezesha

yeye Yesu kuwa mtu asiye wa kawaida kati ya watu wa

kawaida, hivyo basi …

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Yoh 14:12 Yoh 16:7 … Shauku ya Bwana Yesu, ni

sisi waumini wake wote, kukue kiroho mpaka tufikie

uwezo wa kufanana na yeye, katika utendaji wa maisha yetu ya kila siku.

2Petro 1:3-4

Kusudi la Somo;TABIA YA KIMUNGU ‘Kuitambua na Kuachilia Asili ya Mungu iliyo Ndani Yako.’

IMANI YA USHINDI

2Petro 1:3-43-4 Mungu ametukirimia ahadi

zake kubwa na za thamani (NENO) ambazo kwahizo,

twaweza kuwa washirika wa Tabia za Mungu, tukiokolewa

na uharibifu wa dunia.

IMANI YA USHINDI

2Petro 1:3-4Tunaishi katika ulimwengu wenye kila aina ya uasi na

uharibifu mkubwa ndani yake. Pasipo Nguvu za Mungu, mtu wa Mungu hawezi kushi kwa

ushindi na mafanikio.

IMANI YA USHINDI

2Petro 1:3-4, Mwa 1:1-31Siri ya Ushindi wa Mtu wa Mungu, ni kujua namna ya kutumia Nguvu ya Uumbaji

iliyoko katika Neno la Mungu, lililoumba dunia nzuri kutoka

katika ubaya na uharibifu.

IMANI YA USHINDI

2Petro 1:3-43-4 Mungu ametukirimia ahadi

zake kubwa na za thamani (NENO) ambazo kwahizo,

twaweza kuwa washirika wa Tabia za Mungu, tukiokolewa

na uharibifu wa dunia.

IMANI YA USHINDI

Waebrania 11:3Nasi Twajua ya kuwa,

Ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, hata vitu

vinavyoonekana vilifanywa kwa vitu visivyoonekana.

IMANI YA USHINDI

2Petro 1:3-4, Mwa 1:1-31Siri ya Ushindi wa Mtu wa Mungu, ni kujua namna ya kutumia Nguvu ya Uumbaji

iliyoko katika Neno la Mungu, lililoumba dunia nzuri kutoka

katika ubaya na uharibifu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Yohana 5:1-41 Kila mtu aaminiye kwamba

Yesu ni Kristo, amezaliwa na Mungu (kwahiyo, ni Mungu

mdogo duniani).(Zaburi 82:6)

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1-44 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,

huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,

kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”

IMANI YA USHINDI

Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano

wa Mungu, (au asili ya Mungu) ambayo inakupa Nguvu ya

ushindi dhidi ya kila upinzani wa adui shetani maishani

mwake.

IMANI YA USHINDI

Mathayo 17:20‘Nanyi mtauambia mlima huu (kwa amri) kwamba ng’oka hapa, uende pale,

nao utatii’

IMANI YA USHINDI

Marko 13:23-24‘Amini amini nawaambia,

yeyote atakayeuambia mlima huu ng’oka, ukatupwe baharini, wala asione shaka, bali aamini hayo ayasemayo, yametokea,

yatakuwa yake.

IMANI YA USHINDI

2Petro 1:3-4, Mwa 1:1-31Siri ya Ushindi wa Mtu wa Mungu, ni kujua namna ya kutumia Nguvu ya Uumbaji

iliyoko katika Neno la Mungu, kutoka katika kinywa chake.

(Isaya 55:10-11)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO2 Timotheo 3:16-17

Andiko + Pumzi = Neno (Hai)

Herufi + Roho = Nguvu Isaya 55:11-12

Mathayo 16:18-19

18 ‘Nami nitalijenga Kanisa langu, wala milango ya

kuzimu haitaweza kulishinda; kwa maana nitawapa funguo

za Ufalme …

Mathayo 16:18-1919 … na lolote mtakalo-

lifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni, na

lolote mtakalolifungua duniani, litakuwa

limefunguliwa mbinguni.

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Ili Mwanadamu aweze kulitimiza Kusudi la Mungu vizuri, Mungu

alimpa Mwanadamu Mamlaka ya Kumiliki na Kutawala mazingira

yake, ili awe na maisha mazuri ya kumtumikia Mungu kama vyombo vizuri vya ibada.

Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

KABLA YA DHAMBI

(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)

Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)

BAADA YA WOKOVU (KALVARI)

(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)

KANUNI ZA KIROHO

Bwana Yesu aliomba hivi:Yohana 17:22

‘Baba, Utukufu ule ulionipa, nami nimewapa wao (Kanisa)’; ‘yaani watu walioniamini, walinipokea

maishani mwao na wanaishi kwa kanuni zangu za kiroho’

Uwezo wa roho ya Mtu

Mwili, Nafsi, Roho

Ulimwengu Ulimwengu wa Mwili Kiungo wa Roho

Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe una asili ya Mungu

Kuona Kuelewa Kujua

UTUKUFU

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 14:12/16:7-8‘Amini Amini nawaambia, kila mtu aniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo, (miujiza) na yeye atazifanya, naam,

hata kubwa kuliko hizi atafanya; kwasababu nakwenda kwa baba

kuwaletea, Roho yule yule aliyeniwezesha mimi kufanya haya.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na si Yesu peke yake, hata binadamu wengine wa kawaida,

waliweza kufaya mambo ya ajabu duniani, kinyume na taratibu za kawaida za kimwili, na wakaishi maisha ya ushindi na mafanikio

duniani, bila kuzuilika.Yohana 14:12/16:7-8

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Petro aliweza kumponya kilema katika mlango wa

hekalu, bila operation ya miguu (kama Yesu), kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za

kawaida za kimwili.Matendo 3:1-16

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Uwezo wa roho ya Mtu

Ndio maana Mitume waliweza kufanya mikubwa (kama Yesu), kitu ambacho si cha kawaida.

Matendo 5:12/19:11Na Mungu akafanya kwa

mikono ya mitume, miujiza ya kupita kawaida …

Uwezo wa roho ya Mtu

Matendo 5:12/19:11… mikono yao, vivuli vyao na

hata leso zao, zilikuwa na nguvu za Mungu zilizowaponya watu

walioonewa na ibilisi.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Musa aliweza kufungua bahari ya Shamu na wana wa Isarel

wakapita juu ya nchi kavu, katikati ya kuta mbili za maji, kitu ambacho ni

kinyume kabisa na kanuni za kimwili.Kutoka 14:13-31

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Joshua aliweza kuzivunja kuta kubwa na nene sana za mji wa Yeriko, bila kutumia ‘Katapila’ kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Joshua 6:12-27Kanuni za kimwili hazikumzuia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Joshua aliweza kusimamisha mzunguko wa dunia

hata jua likasimama mpaka walipomaliza shughuli yao kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Joshua 10:12-15Kanuni za kimwili hazikumzuia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Eliya aliweza kuzuia mvua kwa miaka mitatu japo

kulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya kuruhusu mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na ndio maana pia aliweza kurudisha mvua juu ya nchi, japo hakukuwa na

kanuni za kimwili za kuruhusu (kusababisha) mvua kunyesha, kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17-18Kanuni za kimwili hazikumzuia.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Warumi 8:28-3029 Maana wale aliowajua

tangu asili, aliwachagua tangu asili, ili wafananishwe

na mfano wa mwanaye (Yesu Kristo).

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1513 Hata na sisi wote,

tutakapoufikia umoja wa imani, na kumfahamu sana

Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata

kufika katika cheo cha Kristo.

Mathayo 16:18-19

18 ‘Nami nitalijenga Kanisa langu, wala milango ya

kuzimu haitaweza kulishinda; kwa maana nitawapa funguo

za Ufalme …

Mathayo 16:18-1919 … na lolote mtakalo-

lifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni, na

lolote mtakalolifungua duniani, litakuwa

limefunguliwa mbinguni.

IMANI ITENDAYO KAZI KWA UPENDO

Waefeso 4:11-1515 Lakini tuishike kweli katika

upendo na kukua (katika upendo) hata tumfikie yeye

katika yote, yeye aliye kichwa, yaani Kristo Yesu.

NGUVU LA NENO LA MUNGU

Kanuni hizi tulizojifunza, zikusaidie kuzalisha nguvu za Mungu ndani yako, kwasababu, utendani kazi wa mkono wa Mungu maishani

mwako unategemea sana kiwango cha nguvu zake, kinachotenda kazi

ndani yako.

Mafundisho Mengine

Vitabu vingine, CD na DVD za Mafundisho vya Mwalimu Mgisa

Mtebe, yanapatikana katika duka la Vitabu vya Kikristo la

Azania Front Cathedral Luther House, Sokoine Drive

Dar es Salaam.

Kwa mawasiliano zaidi,Mwl. Mgisa Mtebe (Christ Rabbon Ministry)

Dar es Salaam, Tanzania.+255 713 497 654+255 783 497 654

mgisamtebe@yahoo.comwww.mgisamtebe.org

top related