Asili ya-mungu-ndani-yetu1

Post on 25-Dec-2014

3891 Views

Category:

Documents

45 Downloads

Preview:

Click to see full reader

DESCRIPTION

 

Transcript

KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO

KWA

NGUVU YA MAOMBI

Mwalimu, Mgisa Mtebe 0713 497 654

KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO

KWA

NGUVU YA MAOMBI

2Petro 1:3-4

2Petro 1:3-4 3 Kwakuwa uweza wake (yaani,

nguvu zake za) uungu umetupatia mambo yote tunayohitaji kwa ajili

ya uzima na uchaji wa Mungu, kwa kumjua Yeye aliyetuita kwa utukufu Wake na wema Wake

mwenyewe.

2Petro 1:3-4 4 Kwa sababu hiyo, ametukirimia

ahadi Zake kuu na za thamani kupitia mambo haya, ili kwa

kupitia hayo mpate kuwa washiriki wa tabia za uungu, mkiokolewa na uharibifu (au upotovu) ulioko duniani kwa

sababu ya tamaa mbaya.

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Summary

KUSUDI LA KANISA

1. KUMILIKI NA KUTAWALA

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Summary

KUSUDI LA KANISA

1. KUMILIKI NA KUTAWALA

2. KUSTAWI NA KUONGEZEKA

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Summary

KUSUDI LA KANISA

1. KUMILIKI NA KUTAWALA

2. KUSTAWI NA KUONGEZEKA

3. KUMSIFU NA KUMWABUDU

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26,28

26 Tufanye mtu kwa sura yetu na kwa mfano wetu wakatawale dunia na vyote tulivyoviumba juu ya uso

wa dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26-18

28 Mungu akaumba Mwanaume na Mwanamke, akawaweka katika bustani ya dunia, akawaambia,

zaeni mkaongezeke na kuitawala (kuitiisha) dunia.

KUSUDI LA KANISA

Ufunuo 5:9-10 9 Wewe Mungu … unastahili

heshima zote, kwa sababu ulichinjwa na kwa damu yako

ukamnunulia Mungu watu kutoka katika kila kabila, kila lugha, kila jamaa na kila taifa.

(yaani kanisa).

KUSUDI LA KANISA

Ufunuo 5:9-10

10 Nawe umewafanya hawa wawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao

wanamiliki dunia.’’

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Ufunuo 5:8-10

Ufalme Makuhani

Kutawala Ibada

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Ndio maana tunapokumbuka kuzaliwa kwa Bwana Yesu

duniani, (kama Adam wa pili), tunakumbushwa kwamba,

alizaliwa kwanza kama Mfalme na sio Kuhani, ili kurudisha

mamlaka ya Mungu duniani.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, kusudi la awali la Mungu ni kumwezesha

mwanadamu kuitawala dunia (pamoja na Mungu) ili

mwanadamu awe na maisha mazuri yatakayomwezesha kuwa

chombo kizuri cha ibada.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 8:4-8

Mwanadamu ni nani hata umemwangalia hivi?

Umemfanya mdogo kidogo tu kuliko Mungu,

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 8:4-8

ukamvika taji ya Utukufu na heshima, ukamtawaza juu ya kazi za mikono yako, ukavitia

vitu vyote chini ya miguu yake…

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 8:4-8

Hilo neno “juu ya” = (Over All)

= Mkuu

= Mtawala

“Mashal” = Mfalme

(Kiebrania) = Mwakilishi

= Mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18-19

18 Na milango ya kuzimu

haitaweza kulishinda kanisa

langu nitakalolijenga

(kwa mfumo huu).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18-19

19 Kwa maana nitawapa funguo za Ufalme, na mambo

mtakayoyafunga (ninyi) yatakuwa yamefungwa

(mbinguni);

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18-19

19 … na mambo mtakayoyafungua (ninyi) yatakuwa yamefunguliwa

(mbinguni)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 115:16

Mbingu ni mbingu za Bwana, bali nchi amewapa

wanadamu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, kusudi la awali la Mungu ni kumwezesha

mwanadamu kuitawala dunia (pamoja na Mungu) ili

mwanadamu awe na maisha mazuri yatakayomwezesha kuwa

chombo kizuri cha ibada.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ili kumwezesha mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu,

Mungu alimuumbia mfumo wa uungu katika utu wake wa ndani, ili

atende kazi duniani kwa kutumia Nguvu za Mungu.

(Mwanzo 1:26-28)

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Mwanzo 1:26-18

Kwanini ni lazima

Kuitawala Dunia?

(kuitiisha)

Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?

Kuna kuna upinzani

wa adui shetani (vita na mapambano)

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17

7 “Kulikuwa na vita mbinguni, Malaika Mkuu wa majeshi ya

Mungu, Malaika Mikaeli, akapigana na yule joka …

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17

3 “ambaye ni baba wa uongo, na mkiani mwake anakokota

theluthi (1/3) ya nyota za mbinguni (malaika wa Mungu) …

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17

7 “Kulikuwa na vita mbinguni, katika ya Mikaeli, malaika Mkuu wa majeshi ya Mungu, na yule joka (ibilisi shetani) na malaika

zake aliowadanganya …”

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17

8 “Nao hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana tena

mbinguni. 9 Yule joka aitwaye ibilisi na shetani, akatupwa duniani, na malalika zake wakatupwa pamoja naye.

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17

10 “Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, sasa kumekuwa wokovu na nguvu na ufalme wa Mungu

wetu na mamlaka ya Kristo wake, kwa maana ametupwa chini mshitaki wa ndugu zetu”.

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17

11 “Nao wakamshinda yule joka na malaika zake, kwa damu ya mwana kondoo na kwa neno la

ushuhuda wao, ambao hawakupenda maisha yao hata

kufa”.

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17

12 “Kwahiyo shangilieni enyi enyi wote mkaao mbinguni; lakini ole

wa ninyi mkaao duniani! Kwa maana yule joka ibilisi, ameshuka kwenu, ana hasira nyingi akijua

ana wakati mchache!

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:3-4, 7-12, 17

17 “Joka akamkasirikia yule mwanamke (kanisa), akaenda

afanye vita juu wa wazao wake wazishikao amri za Mungu na kuwa na ushuhuda wa Yesu …”

Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?

Kwasababu kuna vita Mathayo 16:18-19

Ndio maana Bwana Yesu alisema ‘Nitalijenga Kanisa langu, wala milango ya kuzimu (nguvu za

giza) haitaweza kulishinda kanisa langu nitakalolijenga’

VITA VYA ROHONI

Kwahiyo, ni lazima tutumie mamlaka ya Mungu duniani,

kwasababu, kuna vita na upinzani (mashindano), kati ya shetani na watoto wa Mungu

(kanisa la Bwana Yesu).”

(Mathayo 16:18)

Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?

Kutawala Ni Mfano na

Asili ya Baba yetu

‘Mfalme wa wafalme’

Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?

Ni Mfano/Asili ya Baba yetu Mwanzo 1:26,28

‘Tufanye mtu kwa sura yetu na kwa mfano wetu, wakatawale

dunia na vyote tulivyoviumba juu ya uso wa dunia’.

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

Mwanzo 1:26-18

Kwanini ni lazima

Kuitawala Dunia?

(kuitiisha)

Kwanini ni lazima kuitawala Dunia?

Kuna kuna upinzani

wa adui shetani (vita na mapambano)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Shetani ametangaza vita na wototo wote wa Mungu,

kwasababu Mungu amempiga na kumfukuzwa kutoka katika

mbingu takatifu na kutoka katika cheo chake cha kuongoza ibada

za malaika wa mbinguni.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hivyo, Shetani anachowinda, ni kumlipizia Mungu kisasi; lakini

kwakuwa hawezi kurudi juu kumlipizia Baba kisasi, ndio

maana anaamua kumalizia hasira zake zote kwa watoto wa

Mungu, yaani mimi na wewe (kanisa).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Shetani anachokifanya, ni kutafuta

namna ya kumpiga binadamu na mazingira yake, ili kumvurugia

Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka duniani (kwa watoto wa

Mungu).

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA

KUSUDI LA KANISA

Ni Kanisa liweze kulimiliki na Kutawala dunia na mazingira

yake, ili binadamu aweze kuishi maisha mazuri na kuwa chombo

kizuri cha kumsifu na kumwabudu Mungu aliye juu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hivyo, Nguvu za Mungu ni za lazima katika maisha, ili kumwezesha mwanadamu, kumshinda adui

shetani na vizuizi vyake na kumwezesha kutawala maisha

yake na mazingira yake.

(Mwanzo 1:26-28; Zaburi 8:4-8)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Nguvu za Mungu ni za lazima, ili kumwezesha

mwanadamu kuitawala dunia pamoja na Mungu, na

kumwezesha mwanadamu awe chombo kizuri cha ibada,

(Mwanzo 1:26-28)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hivyo, Mungu anapokupa Nguvu zake, kwa ajili ya maisha yako duniani, anatafuta kukulinda

wewe, ili pia kuilinda na ibada yake inayotoka katika maisha

yako (inayotoka duniani).

(Yohana 4:23)

VITA VYA ROHONI

Ni kwamba, kuna mapambano, kuna vita na upinzani

(mashindano), kati ya shetani na watoto wa Mungu (kanisa la

Bwana Yesu Kristo).”

(Mathayo 16:18-19)

KUUFAHAMU NA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO

KWA

NGUVU YA MAOMBI

Yakobo 5:16-18

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 5:16-18

17 Eliya likuwa mwanadamu kama sisi, lakini aliomba kwa bidii, mvua isinyeshe juu ya

nchi, na mvua haikunyesha juu ya nchi kwa muda wa miaka mitatu (3) na miezi sita (6).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 5:16-18

18 (baada ya miaka mitatu na nusu) Eliya akaomba tena kwa bidii, ili mvua inyeshe, na mvua

ikanyesha, na nchi ikazaa matunda yake.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 5:16-18

16 Kwahiyo basi, vivyo hivyo na ninyi, ombeaneni ili mpate kuponywa; kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana,

akiomba kwa bidii.

(Hosea 4:6, Warumi 10:2)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa mfano;

Yesu na Petro kutembea juu

ya maji.

Mathayo 14:25-33

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 14:25-33

25 Wakati wa zamu ya nne ya usiku (ni kati ya saa 9 na saa 12

alfajiri), Yesu akawaendea wanafunzi wake akiwa anatembea juu ya maji

(kinyume na kanuni za asili).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 14:25-33

26 Wanafunzi wake walipomwona akitembea juu ya

maji, waliingiwa na hofu kuu, wakasema, ‘‘Ni mzimu.’’

Wakapiga yowe kwa kuogopa.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 14:25-33

27 Lakini mara Yesu akasema nao, akawaambia, “Jipeni

moyo! Ni Mimi, msiogope.’’ 28 Petro akamjibu, ‘‘Bwana, ikiwa ni Wewe, niambie nije kwako

nikitembea juu ya maji.’’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 14:25-33

29 Yesu akamwambia, “Njoo.’’ Basi Petro akatoka kwenyen

chombo, akatembea juu ya maji kumwelekea Yesu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 14:25-33

30 Lakini alipoona upepo mkali aliingiwa na hofu, naye akaanza kuzama, huku akipiga kelele, “Bwana, niokoe!’’ 31 Mara Yesu akanyosha mkono Wake na kumshika, akamwambia, …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 14:25-33

31 … “Wewe mwenye imani haba, kwa nini uliona shaka?’’ 32 Nao walipoingia ndani ya

chombo, upepo ukakoma.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 14:25-33

33 Ndipo wote waliokuwamo ndani ya kile chombo

wakamwabudu Yesu wakisema, “Hakika, Wewe ndiwe Mwana wa

Mungu.’’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Makusudi ya Mungu ni sisi kanisa lake, tukue kiroho na

tuwe wa mfano wa Yesu mwenyewe

Yohana 14:12

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 14:12

“Amin, amin, nawaambia, kila mtu aniaminiye Mimi, kazi

nizifanyazo, yeye naye atazifanya, na hata kubwa kuliko

hizi atazifanya, kwa sababu Mimi ninakwenda kwa Baba.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11-15 11 Yeye ndiye aliyeweka wengine

kuwa mitume, wengine kuwa manabii, wengine kuwa

wainjilisti, wengine kuwa wachungaji na wengine kuwa

walimu,

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11-15 12 kwa kusudi la kuwakamilisha

watakatifu kwa ajili ya kazi za huduma, ili kwamba mwili wa

Kristo upate kujengwa.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11-15 13 mpaka sote tutakapoufikia umoja katika imani na katika

kumjua sana Mwana wa Mungu na kuwa watu wazima kiroho,

hata kufikia cheo (level) ya kipimo cha ukamilifu wa Kristo.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11-15 14 Ili tusiwe tena watoto

wachanga, tukitupwatupwa huku na huku na kuchukuliwa na kila upepo wa mafundisho kwa hila

za watu, kwa ujanja, kwa kufuata njia zao za udanganyifu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11-15 15 Badala yake, tukiambiana

kweli kwa upendo, katika mambo yote tutakua, hata tumfikie Yeye aliye kichwa,

yaani, Yesu Kristo.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa mfano;

Petro na Yohana kumponya kilema wa miaka 40.

Matendo 3:1-10

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 3:1-10

1. Siku moja Petro na

Yohana walikuwa

wanapanda kwenda hekaluni

kusali yapata saa tisa alasiri.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 3:1-10

2 Basi palikuwa na mtu mmoja

aliyekuwa kiwete tangu

kuzaliwa. Alichukuliwa na

kuwekwa kwenye lango la

hekalu liitwalo Zuri, kila siku ili

aombe msaada kwa watu wanaoingia hekaluni.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 3:1-10

3 Huyu mtu akiwaona Petro na

Yohana wakikaribia kuingia

hekaluni, aliwaomba wampe sadaka.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 3:1-10

4 Wakamkazia macho, kisha

Petro akamwambia, ‘‘Tutazame

sisi.’’

5 Hivyo yule mtu akawatazama,

akitazamia kupata kitu kutoka

kwao.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 3:1-10

6 Ndipo Petro akamwambia,

‘‘Sina fedha wala dhahabu,

lakini kile nilicho nacho ndicho

nikupacho. Kwa jina la Yesu wa

Nazareti simama, uende.’’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 3:1-10

7 Petro akamshika yule mtu

kwa mkono wa kuume

akamwinua, mara nyayo zake

na vifundo vya miguu yake

vikapata nguvu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 3:1-10 8 Akaruka juu na kusimama,

akaanza kutembea. Kisha

akaingia Hekaluni pamoja na

Petro na Yohana, huku

akitembea na kurukaruka na

kumsifu Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 3:1-10 9 Watu wote walipomwona

akitembea na kumsifu

Mungu, 10 wakamtambua

kuwa ni yule mtu aliyekuwa

akiketi nje ya hekalu penye

lango liitwalo Zuri …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Matendo 3:1-10 10 … akiomba msaada, nao

wakajawa na mshangao,

wakastaajabu juu ya yale

yaliyomtukia.

Lengo letu ni kujifunza KUITAMBUA

ASILI YA MUNGU ILIYO NDANI MWETU

ILI ITUWEZESHE KUJUA NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

AU

NAMNA YA KUOMBA SAWA SAWA

NINI MAANA YA KUOMBA

Tafsiri,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili

kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika

namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.

NINI MAANA YA KUOMBA

Tafsiri,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili

kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika

namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.

NINI MAANA YA KUOMBA

Tafsiri,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili

kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika

namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.

NINI MAANA YA KUOMBA

Kwasababu,

Mungu ni Roho,

(Yohana 4:23-24)

Hii ina maana kwamba,

Mungu anaishi katika

ulimwengu wa roho.

NINI MAANA YA KUOMBA

Na Kwasababu …

Kuomba ni ‘namna ya mtu kumwendea Mungu’

(Waebrania 11:6)

“Kila mtu amwendeaye Mungu, inampasa kuamini kwamba Mungu

yupo, na huwapa thawabu, wale wote wamtafutao”

NINI MAANA YA KUOMBA

Kwahiyo,

Kuomba, ni namna ya mtu,

kwenda au kuingia katika

uwepo wa Mungu,

(katika ulimwengu wa roho)…

NINI MAANA YA KUOMBA

Tafsiri,

… ili kuongea na Mungu …

NINI MAANA YA KUOMBA

Tafsiri,

… na kuuathiri ulimwengu

wa roho, katika namna

ambayo …

NINI MAANA YA KUOMBA

Tafsiri,

… itasababisha na kuleta

mabadiliko katika ulimwengu

wa mwili.

NINI MAANA YA KUOMBA

Mabadiliko gani hayo?

NINI MAANA YA KUOMBA

Mabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, masomo mazuri, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBA

Mabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, masomo mazuri, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBA

Mabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBA

Mabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBA

Mabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBA

Mabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBA

Mabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBA

Mabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBA

Mabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBA

Mabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBA

Mabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBA

Mabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBA

Mabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBA

Mabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NAMNA YA KUOMBA

Bwana Yesu anasema;

“Ombeni nanyi mtapewa,

Kwa maana kila aombaye

Hupokea (hupewa) …

(Mathayo 7:7-11)

NAMNA YA KUOMBA

Na wachache wanaoomba

Biblia anasema;

“Mnaomba na hata hampati,

Kwasababu mnaomba vibaya”

(Yakobo 4:3)

NAMNA YA KUOMBA

Bwana Yesu anasema;

“Hata mpaka sasa hamjaomba

ombeni (vizuri) basi, ili furaha

yenu, iwe timilifu”

(Yohana 16:24)

NGUVU YA MAOMBI

NAMNA YA

KUOMBA KWA USAHIHI

HATA KULETA

MABADILIKO DUNIANI.

NAMNA YA KUOMBA

Mambo Muhimu ya

Kufahamu, ili kujua;

NAMNA YA

KUOMBA IPASAVYO

NAMNA YA KUOMBA

Mambo Muhimu ya

Kufahamu, ili kujua;

NAMNA YA

KUOMBA KWA UFANISI

NGUVU YA MAOMBI

Kuujua Ulimwengu wa roho

NGUVU YA MAOMBI

Kuujua Ulimwengu wa roho

Namna ya kwenda rohoni

NGUVU YA MAOMBI

Kuujua Ulimwengu wa roho

Namna ya kwenda rohoni

Nafasi/Mamlaka yako rohoni

NGUVU YA MAOMBI

Kuujua Ulimwengu wa roho

Namna ya kwenda rohoni

Nafasi/Mamlaka yako rohoni

Namna ya Kupiga Vita rohoni

NGUVU YA MAOMBI

Kuujua Ulimwengu wa roho

Namna ya kwenda rohoni

Nafasi/Mamlaka yako rohoni

Namna ya Kupiga Vita rohoni

Namna ya Kuathiri rohoni

NGUVU YA MAOMBI

Kuujua Ulimwengu wa roho

Namna ya kwenda rohoni

Nafasi/Mamlaka yako rohoni

Namna ya Kupiga Vita rohoni

Namna ya Kuathiri rohoni

(Nguvu ya Maombi)

NAMNA YA KUOMBA

Kwahiyo

Hebu tujifunze sasa;

1. KUUFAHAMU ULIMWENGU WA ROHO.

NINI MAANA YA KUOMBA

Tafsiri,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili

kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika

namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.

NINI MAANA YA KUOMBA

Kwahiyo,

Kuomba, ni namna ya mtu,

kwenda au kuingia katika

uwepo wa Mungu,

(katika ulimwengu wa roho)…

NINI MAANA YA KUOMBA

Tafsiri,

… ili kuongea na Mungu …

NINI MAANA YA KUOMBA

Tafsiri,

… na kuuathiri ulimwengu

wa roho, katika namna

ambayo …

NINI MAANA YA KUOMBA

Tafsiri,

… itasababisha na kuleta

mabadiliko katika ulimwengu

wa mwili.

NINI MAANA YA KUOMBA Mabadiliko gani hayo?

Maisha mazuri, Familia nzuri, Masomo mazuri,, Kazi nzuri,

Biashara nzuri, Maendeleo Mazuri, Afya nzuri, Tabia nzuri, Huduma

nzuri, Serikali nzuri, Taifa zuri, Nchi nzuri, Kanisa zuri, Jamii ya watu

wazuri, nk. nk. nk.

NINI MAANA YA KUOMBA

Kwahiyo,

Kuomba, ni namna ya mtu,

kwenda au kuingia katika

katika Ulimwengu wa roho ...

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

ni nini?

KANUNI ZA KIROHO

Kwa Mfano;

Uumbaji wa vitu vya Dunia

Mwanzo 1:1-5, 14-19

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1-5, 14-19 1 Hapo mwanzo, Mungu aliumba

mbingu na nchi; 2 na Dunia ilikuwa haina umbo tena ilikuwa tupu, giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji, naye Roho wa

Mungu alitanda juu ya maji.

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1-5, 14-19

3 Mungu akasema, “Iwepo nuru’’ nayo nuru ikawepo. 4 Mungu

akaona ya kuwa nuru ni njema, ndipo Mungu akatenganisha nuru

na giza.

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1-5, 14-19

5 Mungu akaiita nuru “mchana’’ na giza akaliita “usiku.’’ Ikawa

jioni ikawa asubuhi, siku ya kwanza.

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1-5, 14-19

14 Mungu akasema, “Iwepo mianga kwenye nafasi ya anga ili

itenganishe mchana na usiku, nayo iwe alama ya kutambulisha

majira mbali mbali, siku na miaka,

KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19

15 nayo iwe ndiyo mianga

kwenye nafasi ya anga itoe nuru juu ya dunia.’’ Ikawa hivyo.

16 Mungu akafanya mianga miwili mikubwa …

KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19

16 … Mwanga mkubwa utawale

mchana (Jua) na mwanga mdogo utawale usiku (Mwezi). Pia

Mungu akafanya na nyota za mbinguni.

KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19

17 Mungu akaiweka hiyo mianga mikubwa miwili (yaani Jua na Mwezi) katika anga ili iangaze

dunia. 18 … Mungu akaona kuwa hili nalo ni jema. 19 Ikawa jioni,

ikawa asubuhi, siku ya nne.

KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19

Kumbe Nuru ya Ulimwenguni, haitoki kwenye jua na mwezi,

kwasababu Nuru ilikuwepo tangu siku ya kwanza wakati jua na

mwezi viliumbwa baadaye kabisa katika siku ya nne!

KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19

Kumbe jua si chanzo cha Mwanga au Nuru inayoangaza

ulimwenguni, bali jua ni “kibebeo” tu cha kuleta mwanga duniani, lakini jua si chanzo cha

Nuru inayoangaza duniani.

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1-5, 14-19

Nuru Jua Mwanga

(Yesu/Neno)

Yoh 1:7-9

KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19

Kwa lugha rahisi; Mwanga au Nuru inayoangaza

duniani, ina vyanzo viwili; kimoja ni kipo katika ulimwengu wa mwili na kingine kipo katika

ulimwengu wa roho.

KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19

Chanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha

Nuru cha mwilini kuwepo. Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha

kimwili kinatawaliwa na chanzo cha Nuru cha kiroho.

KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19

Hii ina maana kwamba; Kanuni za Kiroho zilikuwepo kabla

ya Kanuni za Kimwilini kuwepo. Kwahiyo, Kanuni za Kiroho ndizo

zinazotawala Kanuni za Kimwili za Ulimwengu huu.

KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19

Hii ina maana kwamba; Hakuna kitu kinachofanyika katika

Ulimwengu wa mwili, mpaka kimefanyika kwanza katika

Ulimwengu wa roho.

KANUNI ZA KIROHO Mwanzo 1:1-5, 14-19

Chanzo cha Nuru cha rohoni, kilikuwepo kabla ya chanzo cha

Nuru cha mwilini kuwepo. Kwahiyo, chanzo cha Nuru cha

kimwili kinatawaliwa na chanzo cha Nuru cha kiroho.

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 5:12 12 Kisha Yesu akasema nao tena akawaambia, “Mimi ni Nuru ya

ulimwengu. Mtu ye yote akinifuata hatatembea gizani kamwe, bali

atakuwa na nuru ya uzima.”

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 3:16-20 19 Hii ndiyo hukumu kwamba: Nuru

imekuja ulimwenguni, nao watu wakapenda giza kuliko Nuru kwa sababu matendo yao ni maovu.

KANUNI ZA KIROHO

Mwanzo 1:1-5, 14-19

Nuru Jua Mwanga

(Yesu/Neno)

Yoh 1:7-9

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:1-4

“Mtu hataishi kwa mkate tu,

bali kwa kila Neno litokalo

katika kinywa cha Bwana”.

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Mkate Afya

KANUNI ZA KIROHO Luka 4:1-4

Hii pia ina maana kwamba,

Afya ya mtu haitoki katika mkate tunaokula tu, bali kwa katika

Neno litokalo katika kinywa cha Bwana Mungu.

KANUNI ZA KIROHO Luka 4:1-4

Hii pia ina maana kwamba,

Afya ya mtu haitoki katika Dawa anazotumia tu, bali kwa katika

Neno litokalo katika kinywa cha Bwana Mungu.

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Dawa Afya

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Nyumba Ulinzi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Kitanda Usingizi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Kitabu Akili

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Pete Upendo

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Cheti Kazi

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Ajira Mafanikio

KANUNI ZA KIROHO

Kumb 8:1-18, Luka 4:1-4

Mistari hii inatuonyesha kwamba, kumbe kuna kanuni zingine za kiroho, zilizo juu sana kuliko

kanuni hizi za kimwili, na ndizo zinazotawala ulimwengu huu wa

kimwili na kanuni zake.

ULIMWENGU WA ROHO

Watu wa Mungu wakielewa, nafasi ya kanuni za kiroho

katika maisha yao, wataweka bidii na nidhamu ya kuishi

katika maisha yanayotimiza kanuni za kiroho.

KANUNI ZA KIROHO

Kwa lugha rahisi;

Waebrania 11:3

“Vitu vinavyoonekana, viliumbwa kwa vitu visivyo

dhahiri (au vitu visivyo wazi wazi au vitu vinavyoonekana)”

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11:3

Kwasababu hiyo,

Vitu vinavyoonekana, vinatawaliwa na vitu

visivyoonekana;

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11:3

Kwasababu hiyo,

Mambo ya Ulimwengu wa mwili yanatawaliwa na mambo ya

ulimwengu wa roho;

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11:3

Kwasababu hiyo,

Kanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual

Principles).

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:1-4

“Mtu hataishi kwa mkate tu,

bali kwa kila Neno litokalo kwa Bwana”.

KANUNI ZA KIROHO

Luka 4:4

Neno Mkate Afya

KANUNI ZA KIROHO

Kumb 8:1-18, Luka 4:1-4

Mistari hii inatuonyesha kwamba, kumbe kuna kanuni zingine za kiroho, zilizo juu sana kuliko

kanuni hizi za kimwili, na ndizo zinazotawala ulimwengu huu wa

kimwili na kanuni zake.

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11:3

Kwasababu hiyo,

Kanuni za kimwili (Natural Principles) zinatawaliwa na Kanuni za Kiroho (Spiritual

Principles).

KANUNI ZA KIROHO

2Wakorintho 4:18

Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vitu

visiyoonekana (vya kiroho) kwani hivyo ndivyo vya milele

(vya kudumu).

NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu w

Ulimwengu wa roho ni ulimwengu wa vitu

visivyoonekana na kushikika lakini ni vitu halisi kabisa;

Ni vitu vilivyopo kabisa

ila hatuvioni tu.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waebrania 11:3

‘Nasi twajua ya kuwa, ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili)

havikuumbwa kwa vitu vilivyo dhahiri (wazi wazi)’

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waebrania 11:3

‘… ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili) viliumbwa kwa vitu

visivyo dhahiri (wazi wazi)’

- (vitu vya kiroho) -

NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu w

Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

• Vitu visivyoonekana

na

• Vitu vinavyoonekana

NGUVU YA MAOMBI

ULIMWENGU WA ROHOUlimwengu w

Vitu visivyoonekana (vya ulimwengu wa roho) ndivyo

vilivyosababisha vitu vinavyoonekana (vya ulimwengu wa mwili) kutokea na kuumbika.

(Waebrania 11:3)

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waebrania 11:3

‘… ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Mungu, na vitu vinavyoonekana (vya kimwili) viliumbwa kwa vitu

visivyo dhahiri (wazi wazi)’

- (vitu vya kiroho) -

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

2 Wakorintho 4:18

Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana

(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu

(vinavyotawala vya kimwili).

NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu w

Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

• Vitu visivyoonekana

(Vitu vya Kiroho)

NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu w

Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

• Vitu vinavyoonekana

(Vitu vya Kimwili)

NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu w

Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

• Vitu visivyoonekana

• Vitu vinavyoonekana

Na vyote viko kwa pamoja

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Ulimwengu wa roho ni ulimwengu wa vitu halisi kabisa, na uko hapa hapa tulipo, lakini

hatuvioni tu kwa macho haya ya kawaida (macho ya kimwili).

(2 Wakorintho 4:18)

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kwa lugha rahisi ni kwamba, ulimwengu huu, una pande

mbili. Yaani upande wa rohoni na upande wa mwilini. Ni

ulimwengu mmoja, ila una pande mbili.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Yaani upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na

upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote viko hapa hapa, viko pamoja!

(2Wakorintho 4:18)

Ulimwengu wa Roho

Hii ni kwasababu

Ulimwengu wa roho ndio ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilishwa,

ndipo Mungu akasababisha ulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka

katika ulimwengu wa roho.

(Waebrania 11:3)

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waebrania 11:3

Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba katika ulimwengu wa

kiroho kwanza, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai-

photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.

NGUVU YA MAOMBI

Waebrania 11:3

Kwahiyo, kila kitu duniani kina original copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft-copy na hard-copy

yake (yaani kina upande wa mwilini na wa rohoni).

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kila cha Kimwili,

kina cha kiroho chake

1 Wakorintho 15:44

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

1 Wakorintho 15:44

“Ikiwa kuna mwili wa asili,

Basi na mwili wa roho pia, upo”

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kwa Mfano

Uumbaji wa Dunia

Waebrania 11:3

Ulimwengu wa roho

Neema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho

Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21

(1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4 7

33

30 3 ½ 3 ½ 3 ½

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

Mile

le

Ulimwengu wa roho

Neema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho

Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21

(1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4 7

33

30 3 ½ 3 ½ 3 ½

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

Ulimwengu wa Mwili

Torati na Manabii Kuzaliwa Injili

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo Kalvari Kanisa Sasa

Mile

le

Ulimwengu wa roho

Neema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho

Mwa 1 Mwa 3 Kumb, Isa, Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21

(1) Ufu 13 :8 (2) Efe 1:3-4 7

33

30 3 ½ 3 ½ 3 ½

600 Injili Kanisa Dhiki

Ulimwengu wa Roho 700 2000

Ulimwengu wa Mwili

(4) Daniel 7:13 – 14, 27 (5) Daniel 7:13 – 14, 27

(3) Isaya 9: 6

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo

Mile

le

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waebrania 11:3

Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba kwanza katika ulimwengu

wa kiroho, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai-

photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kwahiyo

Kila cha Kimwili,

kina cha kiroho chake

1 Wakorintho 15:44

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

1 Wakorintho 15:44

“Ikiwa kuna mwili wa asili,

Basi na mwili wa roho pia, upo”

NGUVU YA MAOMBI

Waebrania 11:3

Kwahiyo, kila kitu duniani kina original copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft-copy na hard-copy

yake (yaani kina upande wa mwilini na wa rohoni).

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Ayubu 8:9

“Kwakuwa sisi ni wa jana tu, wala hatujui neno, maisha yetu

ni kama kivuli”

- Photocopy -

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Zaburi 39:6a

“Binadamu huko na huko

kama kivuli”

- Photocopy -

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri

limeanza leo, hapana;

Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa

zilizopita.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

2 Wakorintho 4:18

Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana

(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu

(vinavyotawala vya kimwili).

NGUVU YA MAOMBI

Kwasababu, Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa

mwili; Na hii ina maana kwamba,

hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini,

mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu

wa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini),

bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu

duniani.

‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya kwa visivyoonekana.’

(Waebrania 11:3)

NGUVU YA MAOMBI

Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta

mabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu

vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko

katika ulimwengu wa mwili.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kwa Mfano

Maombi ya Nabii Eliya

Yakobo 5:17-18;

NGUVU YA MAOMBI

Kwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17-18;

Eliya alikuwa binadamu tu kama sisi, lakini aliomba kwa bidii, ili kuifunga

mvua, na Mungu alimsikia, na mbingu zikafungika na mvua (ya ki-

mwilini) haikunyesha juu ya nchi, kwa muda wa miaka 3 na nusu.

NGUVU YA MAOMBI

Kwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17-18;

Japo kulikuwa na kanuni zote za kisayansi za mvua kunyesha, lakini

Eliya, kwa njia ya maombi, alikwenda rohoni, akaathiri (tibua)

kanuni zinazotawala mvua mwili, na ndio maana mvua haikunyesha.

NGUVU YA MAOMBI

Kwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17-18;

Baada ya miaka mitatu na nusu, nchi yote ilikuwa kavu kabisa na misitu

yote imepukutika; kwahiyo hakukuwa na kanuni za kutosha

kuruhusu mvua kunyesha.

NGUVU YA MAOMBI

Kwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17-18;

Eliya akaomba tena kwa bidii, ili kuifungua mvua kutoka katika uliwengu wa roho, na Mungu

alimsikia, na mbingu zikafunguka na mvua (ya ki-mwilini) ikanyesha na

nchi ikazaa matunda yake.

NGUVU YA MAOMBI

Kwa Mfano wa Nabii Eliya

1Wafalme 18:41-44;

Angalia hilo neno, “nasikia sauti ya mvua tele” (mst.41)

Hiyo haikuwa mvua ya mwilini, bali rohoni, kwasababu ni Eliya peke yake

aliyeisikia, na kutoa tangazo.

Ulimwengu wa roho

Ulimwengu wa Roho

Kabla ya Toba (Kumb 28:15-24)

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu

Ulimwengu wa roho

Ulimwengu wa Roho

Baada ya Toba (Kumb 28:1-14)

/ / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uyahudi Uyahudi

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu

Ulimwengu wa roho

Ulimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / /

/ / / / / / / / /

/ / / Mvua ya Mwilini / /

/ / / (Mstari 44-45) / / /

/ / / / / / / / /

/ / / / / / / / /

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu

NGUVU YA MAOMBI

Kwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17-18;

Japo hakukuwa na kanuni zozote za kisayansi za kuruhusu mvua

kunyesha, lakini Eliya, kwa njia ya maombi, alikwenda rohoni, akaathiri kanuni zinazosababisha mvua mwili,

na ndio maana mvua ikanyesha.

Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa Roho

Kabla ya Toba Baada ya Toba Baada ya Maombi

/ / / / / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / / / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / / Mvua ya rohoni /

/ / / / / / / / / / / / / / /

/ / / / / / / / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili / / / / /

/ / / / / /

/ / (mstari 44-45) / /

/ / Mvua ya Mwilini /

/ / / / /

/ / / / / /

Uyahudi Uyahudi Uyahudi

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri

limeanza leo, hapana;

Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa

zilizopita.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani

lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

2 Wakorintho 4:18

Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana

(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu

(vinavyotawala vya kimwili).

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya

maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea

mambo ambayo usingetaka kabisa yakupate.

NGUVU YA MAOMBI

Kwasababu, Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa

mwili; Na hii ina maana kwamba,

hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini,

mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu

wa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini),

bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu

duniani.

‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya kwa visivyoonekana.’

(Waebrania 11:3)

NGUVU YA MAOMBI

Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta

mabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu

vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko

katika ulimwengu wa mwili.

NGUVU YA MAOMBI Ulimwengu w

Katika ulimwengu wetu, kuna vitu vya Namna kuu mbili (2);

• Vitu visivyoonekana

na

• Vitu vinavyoonekana

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Yaani kuna upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na

upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote viko hapa hapa, viko pamoja!

(2Wakorintho 4:18)

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Ni kama vile karatasi, ina upande wa mbele na ina

upande wa nyuma. Lakini ni karatasi moja (sio mbili). Ni kama mkono (kiganja) kina

upande wa mbele na wa nyuma.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Ni kama vile mkono wako (kiganja cha mkono) kina

upande wa mbele na wa nyuma. Lakini ni mkono mmoja, ila una apnde mbili. Basi ni vivyo hivyo

na dunia yetu.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote

viko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti!

Yaani Rohoni na Mwilini.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

1.

Kwa Mfano wa

Nabii Elisha na Gehazi.

2 Wafalme 6:8-17

Ulimwengu wa Roho

2Wafalme 6:8-17

Elisha, alipokuwa amezungukwa na maadui, Gehazi alipatwa na hofu

na woga, kwasababu hakujua kwamba kuna malaika wa Mungu wamewazunguka. Ni kwasababu

pale pale, ila ni katika upande usioonekana (rohoni).

Ulimwengu wa Roho

2Wafalme 6:8-17

Baada ya Elisha kufanya maombi, ili macho yake yafunguke, ndipo Gehazi akawaona malaika wengi

wa mbinguni waliowazunguka pande zote. Kwahiyo, macho yake yakaruhusiwa kuona upande wa

pili wa dunia (rohoni).

Ulimwengu wa Roho

2Wafalme 6:8-17

Malaika wanaoneka hapa, hawakuja baada ya Elisha kufanya

maombi, bali walikuwepo siku zote pamoja nao, ila huwa wapo katika ulimwengu wa roho ambao macho

yetu hayajaruhusiwa kuuona.

Ulimwengu wa Roho

2 Wafalme 6:8-17

Gehazi hakuwa tu amewezeshwa kuchungulia rohoni, ndio maana hakuweza kuwaona malaika wa

mbinguni, japo walikuwepo hapo pamoja nao, siku zote, ila ni katika ulimwengu wa roho ambao macho

yetu hayajaruhusiwa kuuona.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote

viko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti!

Yaani Rohoni na Mwilini.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

2.

Kwa Mfano wa

Nabii Eliya na Elisha.

2 Wafalme 2:7-15

Ulimwengu wa Roho

2Wafalme 2:7-10-12-15

Kama Eliya angetoweka ghafla mbele ya macho ya Elisha, angekuwa ametoka katika ulimwengu wa mwili tu na

kupenya katika ulimwengu wa roho ambao hatuuoni.

Ulimwengu wa Roho

2Wafalme 2:7-10-12-15

Kwa mtu ambaye si mwonaji (Nabii) asingeona mambo ya

rohoni, mwanzo wala mwisho wa kuondoka kwa Eliya; bali

angeona, Eliya ametoweka tu ghafla mbele ya macho yake.

Ulimwengu wa Roho

2Wafalme 2:7-10-12-15

Lakini kwa mtu ambaye ni mwonaji (Nabii), angeona

mwanzo na mwisho wa kuondoka kwa Eliya; kwasababu

anaruhusiwa (anawezeshwa) kuchungulia rohoni.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote

viko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti!

Yaani Rohoni na Mwilini.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

3.

Kwa Mfano wa

Bwana Yesu na Wanafunzi

Wawili wa Emmaus.

Luka 24:13-52

Ulimwengu wa Roho

Luka 24:13-52

Kama wangeruhusiwa (wezeshwa) kuchungulia katika ulimwengu wa roho, hawa ndugu 2, wasingeona Yesu akitoweka mbele yao, bali

wangeona mwanzo mpaka mwisho wa kuondoka kwa Bwana Yesu,

mbele ya macho yao.

Ulimwengu wa Roho

Luka 24:13-52

Kwasababu kutoweka ghafla kwa Bwana Yesu, mbele ya macho yao,

kulikuwa ni hali ya Bwana Yesu kutoka tu katika ulimwengu wa

mwili, na kupenya (kuingia) katika ulimwengu wa roho ambao macho

yetu hayauoni tu.

Ulimwengu wa Roho

Luka 24:13-52

Lakini kwa kuwa hawakuruhusiwa (hawakuwezeshwa) kuchungulia rohoni, ndio maana hawakuweza kuona, mwanzo wala mwisho wa

kuondoka kwa Bwana Yesu. Katika macho yao Yesu alitoweka.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote

viko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti!

Yaani Rohoni na Mwilini.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

4.

Kwa Mfano wa

Bwana Yesu na Wanafunzi

Waliomwona akipaa Mbinguni.

Matendo 1:9-11

Ulimwengu wa Roho

Matendo 1:9-11

Kwakuwa waliruhusiwa (wezeshwa) kuchungulia katika ulimwengu wa

roho, hawa wanafunzi wa Yesu, waliona jinsi Bwana Yesu akipaa juu kwenda mbinguni, (tangu mwanzo

kuondoka kwake mpaka mwisho wa upeo wa macho yao).

Ulimwengu wa Roho

Matendo 1:9-11

Kwasababu waliruhusiwa kuchungulia rohoni, hivyo katika

kutazama kwao, Bwana Yesu hakutoweka ghafla katika macho

yao, bali waliona mwondoko mzima wa Bwana Yesu kutoka mwilini na kupenya kwake (kuingia) rohoni.

Ulimwengu wa Roho

Matendo 1:9-11

Lakini kama angekuwepo mtu miongoni mwao ambaye si

mwanafunzi wa Yesu, yamkini asingeona kuondoka kwa Bwana

Yesu, bali yeye angeona Yesu ametoweka tu mbele yao.

Ulimwengu wa Roho

Matendo 1:9-11

Hii ingefanyika hivyo, kama tu mtu huyo (ambaye si mwanafunzi),

hajapewa ruhusa (hajawezeshwa) kuona mambo ya ulimwengu wa roho; huyo, angeshitukia tu Yesu ametoweka

mbele yao, lakini kumbe wakati wenzake wote wanamwona Bwana

Yesu akiondoka juu na mawingu.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waebrania 11:3

Kwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba kwanza katika ulimwengu

wa kiroho, na alipoikalimisha rohoni, ndipo akaizaa (akai-

photocopy au akai-print) katika ulimwengu wa mwili.

Ulimwengu wa Roho

Hii ni kwasababu

Ulimwengu wa roho ndio ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilishwa,

ndipo Mungu akasababisha ulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka

katika ulimwengu wa roho.

Waebrania 11:3

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Dunia hii hii moja, ina upande wa vitu vinavyoonekana (mwilini) na upande wa vitu visivyoonekana (yaani vya rohoni); lakini vyote

viko hapa hapa, katika dunia moja ila ni katika pande mbili tofauti!

Yaani Rohoni na Mwilini.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kila cha Kimwili,

kina cha kiroho chake

1 Wakorintho 15:44

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

1 Wakorintho 15:44

“Ikiwa kuna mwili wa asili,

Basi na mwili wa roho pia, upo”

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

2 Wakorintho 4:18

Tusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana

(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumu

(vinavyotawala vya kimwili).

Ulimwengu wa roho

Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili.

Kwahiyo

Hakuna kitu kinafanyka katika mwili, mpaka kwanza

kimefanyika katika roho. Waebrania 11:3

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri

limeanza leo, hapana;

Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa

zilizopita.

NGUVU YA MAOMBI

Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta

mabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu

vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko

katika ulimwengu wa mwili.

NGUVU YA MAOMBI

Kwasababu, Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa

mwili; Na hii ina maana kwamba,

hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini,

mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30

‘Mungu ameshatubariki kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa

roho; kama alivyotuchagua katika yeye, kabla ya kuwekwa misingi ya

ulimwengu, tuwe watakatifu’.

Ulimwengu wa roho

Ulimwengu wa Roho

Baada ya Toba (Kumb 28:1-14)

/ / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uyahudi Uyahudi

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu

Ulimwengu wa roho

Ulimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / /

/ / / / / / / / /

/ / / Mvua ya Mwilini / /

/ / / (Mstari 44-45) / / /

/ / / / / / / / /

/ / / / / / / / /

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu

NINI MAANA YA KUOMBA

Kwahiyo,

Maombi, ndio njia ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu

wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho mpaka kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa mwilini.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30

Kama Eliya asingeomba kwa bidii, ile baraka ya mvua (rohoni) ingekomea huko huko rohoni, na huku duniani,

watu wa Mungu wangeishi maisha ya shida na taabu; na kumbe wana baraka

nyingi sana kwa maisha yao, rohoni.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani

lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30

Na sisi pia tusipoomba, baraka hizi zote tulizopewa katika ulimwengu

wa roho, zitabaki huko huko rohoni, wakati huku duniani, tunateseka kwa maisha magumu, yaliyojaa

shida na taabu nyingi.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30

Kwanini tunaishi maisha magumu na ya mateso, yaliyojaa shida na

taabu nyingi, na kumbe kule rohoni tuna baraka zetu nyingi sana

kutoka kwa Mungu, za kutusaidia katika maisha yetu ya kila siku?

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waebrani 11:3; Waefeso 1:3-4,

Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(1) Hatujajua siri ya ulimwengu wa roho inavyoingiliana na ulimwengu wa mwili, hata kuleta mabadiliko

tunayotaka kuyaona huku duniani. ~ kutokujua ~

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Isaya 59:16, Mathayo 26:40-41

Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(2) Hatuna nidhamu na bidii ya kwenda rohoni kwa njia ya maombi, hata kuchukua na

kutelemsha baraka zetu duniani. ~ Uzembe ~

NGUVU YA MAOMBI

Hosea 4:6, Warumi 10:2

Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(3) Hatuna maarifa na bidii ya kutumia kanuni za kiroho, kwa

namna sahihi, katika madhabahu ya Bwana

(ulimwengu wa kiroho).

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya

maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea

mambo ambayo usingetaka kabisa yakupate.

NGUVU YA MAOMBI

Kwahiyo, ni lazima tujue kwamba, Ulimwengu wa roho ndio

unaotawala ulimwengu wa mwili;

Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyika katika

Ulimwengu wa mwilini, mpaka kwanza kimefanyika katika

Ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu

wa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini),

bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu

duniani.

‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya kwa visivyoonekana.’

(Waebrania 11:3)

NINI MAANA YA KUOMBA

Kwahiyo basi,

Maombi, ndio njia ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili kuwasiliana na Mungu

wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho hata kuleta mabadiliko

katika ulimwengu wa mwilini.

NAMNA YA KUOMBA

Mambo Muhimu ya

Kufahamu, ili kujua;

NAMNA YA

KUOMBA KWA UFANISI

NGUVU YA MAOMBI

Kuujua Ulimwengu wa roho

NGUVU YA MAOMBI

Kuujua Ulimwengu wa roho

2. Namna ya kwenda rohoni

NAMNA YA KUOMBA

2. NAMNA YA

KUMWENDEA MUNGU.

Namna ya kuingia rohoni.

NINI MAANA YA KUOMBA

Tafsiri,

Kuomba, ni namna ya mtu, kwenda katika ulimwengu wa roho, ili

kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika

namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika ulimwengu huu wa mwili.

NINI MAANA YA KUOMBA

Na Kwasababu …

Kuomba ni ‘namna ya mtu kumwendea Mungu’

(Waebrania 11:6)

“Kila mtu amwendeaye Mungu, inampasa kuamini kwamba Mungu

yupo, na huwapa thawabu, wale wote wamtafutao”

NINI MAANA YA KUOMBA

Mungu yuko wapi?

NAMNA YA KUOMBA

Kwasababu,

Mungu ni Roho,

(Yohana 4:23-24)

Hii ina maana kwamba,

Mungu anaishi katika

ulimwengu wa roho.

NAMNA YA KUOMBA

Kwahiyo,

Kuomba, ni namna ya mtu,

kwenda au kuingia katika

uwepo wa Mungu,

(katika ulimwengu wa roho)…

NAMNA YA KUOMBA

Ndio maana Biblia inasema;

“Kila mtu amwendeaye Mungu,

inampasa kuamini kwamba Mungu

yupo, na huwapa thawabu,

wale wote wamtafutao”

(Waebrania 11:6)

MUNGU YUKO WAPI?

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!

‘Mtu akinipenda, Mimi na Baba tutampenda, na kuja kufanya

makao ndani yake na kujifunua (kujidhihirisha) kwake’

Yohana 14:21,23

MUNGU YUKO WAPI?

“Ndani yake”

maana yake nini?

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Sehemu Kuu za Mwanadamu

Roho Roho

Nafsi

Mwili

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwanadamu ni

1. Mwili,

2. Nafsi, na

3. Roho.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwili, Nafsi, Roho

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwili, Nafsi, Roho

Ulimwengu Ulimwengu

wa Mwili Kiungo wa Roho

SEHEMU KUU ZA MWANADAMU

Mwa 2:7

Nyama

Damu

Mifupa

Mwanadamu

Mwili Nafsi Roho

SEHEMU KUU ZA MWANADAMU

Mwa 2:7 Mtu

Fikra

Hisia

Maamuzi

NAFSI ROHO

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwili, Nafsi, Roho

Ulimwengu Ulimwengu

wa Mwili Kiungo wa Roho

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine

Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana

na ulimwengu wa roho.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Uwezo wa ki-Mungu

katika roho yako.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Yohana 14:23, 21

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!

Kwahiyo, njia ya kuingilia katika ulimwengu wa roho, haiko mbali nasi, iko ndani yetu.

(rohoni)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1.

Kujitambua Asili ya roho yako

(Wewe)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kuitambua asili ya

Mungu iliyopo

“Ndani yako”

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hivyo basi, Kumbe

Chanzo kingine cha nguvu za Mungu za kutusaidia kuishi maisha ya

ushindi na mafanikio, ni kutokea ndani yetu; Kwasababu Roho

Mtakatifu wa Mungu anaishi katika utu wetu wa ndani (roho zetu).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

“Ndani yetu”

maana yake nini?

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 2:7, inasema

‘Bwana Mungu akafanya mtu kwa mavumbi ya ardhi,

akapuliza puani pumzi iliyo hai, mtu akawa nafsi hai’.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 2:7, inasema

Mwili Nafsi Roho

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, from Mwanzo 2:7

Mwanadamu ni

1. Mwili

2. Nafsi

3. Roho

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa uhalisi kabisa, iko hivi;

Roho

Nafsi

Mwili

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, roho (wewe) inabeba asili ya Mungu; kwasabau

imeumbwa/umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu

mwenyewe.

Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwa 2:7

Mungu

Roho

Dunia Nafsi

(Udongo) Mwili

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna uwezo na nguvu za

ki-Mungu.

Huko rohoni (Ndani yako) kuna asili ya ki-Mungu; kuna sura na

mfano wa Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mungu ndiye asili yetu

(sisi roho)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, roho yako (wewe) unabeba asili ya Mungu kabisa; kwasababu roho yako (wewe)

umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu mwenyewe.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo;

Ndani yako (rohoni) kuna asili ya ki-Mungu. Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna

uwezo wa ki-Mungu;

(Nguvu za Mungu)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwa 2:7

Mungu

Roho

Dunia Nafsi

(Udongo) Mwili

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Wewe ni mungu

mdogo duniani!

Zab 82:6

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zab 82:6

6 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’, ninyi nyote ni wana wa Aliye

Juu Sana.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33-36

33 Wayahudi wakamjibu, “Hutukupigi mawe kwa sababu ya mambo mema uliyotenda, bali ni kwa kuwa umekufuru.

Wewe ingawa ni mwanadamu unajifanya kuwa Mungu.’’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33-36

34 Yesu akajibu akawaambia, ‘‘Je, haikuandikwa katika Torati yenu

kwamba, ‘Ninyi ni miungu?’

35 Kama aliwaita (ninyi) ‘miungu’, ninyi ambao neno la Mungu

limewajia …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33-36

36 Si zaidi sana mimi, ambaye Baba ameniweka wakfu

(mtakatifu), kujiita Mungu? Sasa, mnawezaje kusema kwamba,

ninakufuru eti kwasababu nimesema ‘Mimi ni Mwana wa

Mungu (au Mungu)?’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Yohana 5:1-4

1 Kila mtu aaminiye kwamba Yesu ni Kristo, amezaliwa na Mungu (kwahiyo, ni Mungu

mdogo duniani).

(Zaburi 82:6)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Yohana 5:1-4

4 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,

huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,

kuushindako ulimwengu, hiyo Imani yetu.”

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:1

1 Imani ni kuwa na uhakika wa mambo yasiyoonekana.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:1

Kwahiyo, hata kama huoni kwa macho au hujashika kwa mikono, lakini amini tu kwamba, wewe ni

Mungu mdogo duniani.

Kwasababu ‘Hatuenendi kwa kuona, bali kwa imani. (2Kor 5:7)’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:1

Na huko kuamini hivyo, ndiko kunakofungulia Nguvu za Mungu, za kuushinda ulimwengu. Imani

hiyo ndiyo inayo switch ‘ON’ nguvu za Mungu kutoka ndani yako (mito ya maji ya uzima).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani!

Zaburi 82:6

Yoh 10:33-36

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hivyo basi, Kumbe

Chanzo kingine cha nguvu za Mungu za kutusaidia kuishi maisha ya

ushindi na mafanikio, ni kutokea ndani yetu; Kwasababu Roho

Mtakatifu wa Mungu anaishi katika utu wetu wa ndani (roho zetu).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kwamba roho yako ndiyo inayotumiwa na

Mungu kuachilia nguvu zake, kutakufanya uwe mtu mwoga na

dhaifu maisha;

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katika

kukabiliana na maisha ya kila siku, yaliyojaa kila aina ya upinzani na

vita dhidi ya mtu wa Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kuzima utendaji kazi wa nguvu za Mungu maishani mwako; nawe

utaishi chini ya kiwango cha mtoto wa Mungu (yaani maisha ya

kushindwa na kuzuilika)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutakufanya uwe mtu wa kuhangaika huku na

huku kutafuta msaada wa mbali, juu ya mambo ambayo wangeweza

kuyatawala, kama wangekuwa na ufahamu wa msaada walionao

karibu zaidi (yaani, ulio ndani yao).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hosea 4:6

Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Kwasababu

nimekupa maarifa, nawe umeyakataa, basi na mimi

nimekukataa wewe.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Biblia inasema kwamba, unatakiwa kufundishwa

na kufundishika ili tukue kiroho mpaka kufika katika cheo cha

Kristo Yesu.

Waefeso 4:11-14

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11-14

Nguvu za Mungu zilizopo ndani yako, zinatosha kabisa kukuwezesha kuishi na kuyatawala mazingira yako kwa

ushindi na kwa mafanikio, kama Bwana Yesu alivyoishi na kuyatawala

mazingira yake, bila kushindwa au kuzuiliwa na hali yoyote.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Uwezo wa ki-Mungu

katika roho yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 14:23, 21

‘Mtu akinipenda, mimi na Baba tutampenda, na kuja kufanya

makao ndani yake, na kujidhihirisha (kujifunua) kwake’.

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wewe una asili ya Mungu

Mwili Nafsi Roho

UTUKUFU

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wewe una asili ya Mungu

Kuona Kuelewa Kujua

(See) (Understand) (Knowing)

UTUKUFU

Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, roho (wewe) inabeba asili ya Mungu; inayoweza

kutawala mazingira yako, bila kuzuilika na kanuni za

kimwili/kidunia.

(Physical Principles)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna uwezo na nguvu za

ki-Mungu.

Huko rohoni (Ndani yako) kuna asili ya ki-Mungu; kuna sura na

mfano wa Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwa 2:7

Mungu

Roho

Dunia Nafsi

(Udongo) Mwili

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mungu ndiye asili yetu

(sisi roho).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndani yako (rohoni) kuna asili ya Mungu kabisa. Na hii ina maana kwamba, ndani yako

kuna uwezo wa ki-Mungu, yaani tabia za Kiungu;

(Nguvu za Mungu)

2Petro 1:3-4

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Petro 1:3-4

Mungu

Roho

Dunia Nafsi

(Udongo) Mwili

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Tabia za Kiungu;

2Petro 1:3-4

‘… Mungu ametukirimia ahadi kubwa mno za thamani,

ambazo, kwa hizo (ahadi), ametushirikisha tabia za

uungu.’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Wewe ni mungu

mdogo duniani!

Zab 82:6

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zab 82:6

6 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’, ninyi nyote ni wana wa Aliye

Juu Sana.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; yaani sura na mfano wa Mungu (Divine Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kutawala

ulimwengu wa roho na mwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na kama roho ya binadamu ikitengwa na mwili au mwili

wake ukidhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-Mungu iliyonayo; yaani ile ‘tabia ya uungu.’ (2Petro 1:3-4).

Uwezo wa roho ya Mtu

Roho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa;

Kwa Mfano;

Uwezo wa kujua mambo, bila kuelezwa au kuona.

Uwezo wa roho ya Mtu

Mfano 1:

Tajiri na Lazaro

Luka 16:19-31

Uwezo wa roho ya Mtu

Luka 16:19-31

Swali:

Tajiri na Lazaro wamekufa, hivyo, wako nje ya miili yao. Kule kuzimu, tajiri alamwona Lazaro upande wa pili akiwa kifuani kwa Baba Ibrahimu.

Uwezo wa roho ya Mtu

Luka 16:19-31

Swali:

Ikiwa enzi zile hakukua na picha wala video, Tajiri alijuaje

kwamba, yule pale aliyempakata Lazaro ndiye Baba Ibrahimu aliyeishi zamani sana?

Uwezo wa roho ya Mtu

Luka 16:19-31

Jibu:

Tajiri alikuwa nje ya mwili wake, hivyo roho yake nje ya mwili,

ilikuwa na uwezo wa Kujua bila kuambiwa.

Uwezo wa roho ya Mtu

Mfano 2:

Yesu, Musa na Eliya;

Petro, Yakobo na Yohana;

wakiwa katika maombi ya Mlimani.

Mathayo 17:1-9

Uwezo wa roho ya Mtu

Mathayo 17:1-9

Katika maombi ya Bwana Yesu kule mlimani, Utukufu wa

Mungu unafunuka, na Manabii Musa na Eliya wanatokea

pamoja na Yesu, na Petro anakiri kwa Bwana Yesu, kuwatambua.

Uwezo wa roho ya Mtu

Mathayo 17:1-9

Swali:

Ikiwa enzi zile hakukua na picha wala video, Petro aliwezaje kujua kwamba, yule pale ni Petro na yule pale ni Musa?

Uwezo wa roho ya Mtu

Mathayo 17:1-9

Jibu:

Wanafunzi wa Yesu, walikuwa ndani ya Utukufu wa Mungu,

kwahiyo nafsi zao zilikuwa rohoni zaidi kuliko mwilini, ndio maana walijua bila kuambiwa.

Uwezo wa roho ya Mtu

Mwili, Nafsi, Roho

Ulimwengu Ulimwengu

wa Mwili Kiungo wa Roho

Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe una asili ya Mungu

Kuona Kuelewa Kujua

UTUKUFU

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho ya mwanadamu (wewe), ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha tabia za uungu/ki-Mungu iliyonayo.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” nasi tutaweza kutembea

katika kiwango cha ki-Mungu cha mafanikio na ushindi, bila

kuzuiliwa na chochote.

Uwezo wa roho ya Mtu

*** Mawazo (ktk nafsi) yako yana uwezo mkubwa sana wa kuwasha (ON) au kuzima (OFF)

nguvu za Mungu na kuathiri mazingira yako, vizuri au vibaya;

Inategemea tu, nafsi imeegemea upande upi, rohoni au mwilini.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe una asili ya Mungu

Kuona Kuelewa Kujua

UTUKUFU

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani!

Zaburi 82:6

Yoh 10:33-36

Uwezo wa roho ya Mtu

Mfano 3:

Miujiza iliyofanywa na

Wanafunzi wa Yesu.

(Matendo 5:12/19:11)

Uwezo wa roho ya Mtu

Matendo 5:12/19:11

Mungu akafanya kwa mikono ya mitume, miujiza ya kupita

kawaida. Mikono yao, vivuli vyao na leso zao, zilikuwa na

nguvu za Mungu zilizowaponya watu walioonewa na ibilisi.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho ya mwanadamu (wewe), ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili kudhoofishwa, basi roho

itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-Mungu iliyonayo.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine

Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana

na ulimwengu wa roho.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili

kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-

Mungu iliyonayo.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” nasi tutaweza kutembea

katika kiwango cha ki-Mungu cha mafanikio na ushindi, bila

kuzuiliwa na chochote.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” kwasababu, mawazo yako

yananafasi kubwa ya kuwasha au kuzima nguvu za Mungu na

kutawala mazingira ya kimwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1. Kujitambua

(Mawazo ya Ushindi)

Mithali 23:7

‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake) ndivyo

alivyo (atakavyokuwa)’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano;

Gideon na Malaika wa Mungu

Waamuzi 6:1-16

‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake) ndivyo

alivyo (atakavyokuwa)’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideon amezaliwa na kukulia katika utumwa, na ndivyo

alivyokuwa anajiona na kujiwazia; na hali hiyo ndiyo iliyozima uwezo na nguvu za

Mungu ndani yake.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Malaika wa Mungu alimwona Gideon, tofauti na yeye

alivyojiona; na ndio maana alimwita Gideon jina la SHUJAA japo Gideon alikuwa anajiona

MTUMWA.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Malaika wa Mungu akapuuza malalamiko ya Gideoni, na

kumwambia, “(usitegemee kwamba nitakupa chochote, kwasababu

ulichonacho, kinakutosha sana, ila umekizima mwenyewe, kwa jinsi tu

unavyojiona na kujiwazia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kisha Malaika wa Mungu akamwambia Gideoni kwamba,

“(ukibadilisha ujavyojiona na kujiwazia, kutoka mtumwa kwenda shujaa, nguvu za Mungu ndani yako zitaingia kazini) basi enenda katika

nguvu zako (hizo), ukawapige wamidiani.”

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideoni aliposikia na kuamini tu maneno ya Malaika, na

akabadilisha alivyokuwa anajiona na kujiwazia, ndipo nguvu za Mungu, zilizokuwa

ndani yake ziliingia kazini (ON).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao

(wamidian) kwa nguvu za Mungu, ambazo zilikuwepo siku zote ndani yao, lakini zilikuwa zimalala (zima) kwa jinsi walivyokuwa wanajiona

na kujiwazia (kitumwa).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao

(wamidian) kwa nguvu za Mungu, na si kwa sababu nyingine yoyote

ya kibinadamu.

Wamidian 30,000 : 300 Waisrael

Wamidian 100 : 1 Waisrael

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1. Kujitambua

(Mawazo ya Ushindi)

Mithali 23:7

‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake) ndivyo

alivyo (atakavyokuwa)’

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” kwasababu, mawazo yako

yananafasi kubwa ya kuwasha au kuzima nguvu za Mungu na

kutawala mazingira ya kimwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1. Kujitambua

Mawazo ya Ushindi

Warumi 12:2,

‘Mgeuzwe fikra zenu na nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu kwenu, yaliyo mema…’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mawazo ya Ushindi

Waefeso 4:21-23,

21 ‘ikiwa mlisikia na kufundishwa, kama kweli ilivyo katika Yesu,

22 basi mvue mwenendo wa kwanza, utu wa zamani,

unaoharibika …’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mawazo ya Ushindi

Waefeso 4:21-23,

24 ‘… mvae utu mpya, ulioumbwa kwa namna/mfano wa Mungu … 23 kisha mfanywe wapya katika

roho ya nia zenu (nafsi zenu)’

ROHO MTAKATIFU

Yohana 14:12,

Roho Mtakatifu tuliyenaye, ndiye aliyekuwa ndani ya Kristo Yesu, na

ndiye aliye chanzo cha nguvu za Mungu, tunazohitaji kufanya

mambo makubwa zaidi, kama yale yale na kuliko yale aliyoyafanya

Bwana Yesu!

ROHO MTAKATIFU

Yohana 14:12,

Ni aibu kuwa na Roho Mtakatifu wa Mungu, halafu ukabaki kuwa

binadamu wa kawaida.

‘Ordinary human being’

‘Natural human being’

ROHO MTAKATIFU

Yohana 14:12,

Roho Mtakatifu wa Mungu, anataka kufanya uwe binadamu

asiye wa kawaida (wa ajabu).

‘Extra -Ordinary human being’

‘Super-Natural human being’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 14:12/16:7-8

‘Amini Amini nawaambia, kila mtu aniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo, (miujiza) na yeye atazifanya, naam,

hata kubwa kuliko hizi atafanya; kwasababu nakwenda kwa baba

kuwaletea, Roho yule yule aliyeniwezesha mimi kufanya haya.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na si Yesu peke yake, hata binadamu wengine wa kawaida,

waliweza kufaya mambo ya ajabu duniani, kinyume na taratibu za kawaida za kimwili, na wakaishi maisha ya ushindi na mafanikio

duniani, bila kuzuilika.

Yohana 14:12/16:7-8

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Musa aliweza kufungua bahari ya Shamu na watu millioni 2

wakapita katika nchi kavu, katikati ya ghorofa mbili za maji kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida

za kimwili (archmedis priciple).

Kutoka 14:1-31

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Joshua aliweza kusimamisha mzunguko wa dunia

hata jua likasimama mpaka walipomaliza shughuli yao kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Joshua 10:12-15

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Eliya aliweza kuzuia mvua kwa miaka mitatu japo

kulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya kuruhusu mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17-18

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na ndio maana pia aliweza kurudisha mvua juu ya nchi, japo hakukuwa na

kanuni za kimwili za kuruhusu (kusababisha) mvua kunyesha, kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17-18

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Petro aliweza kumponya kilema katika mlango wa hekalu, bila operation ya miguu (kama Yesu), kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Matendo 3:1-16

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Uwezo wa roho ya Mtu

Matendo 5:12/19:11

Mungu akafanya kwa mikono ya mitume, miujiza ya kupita

kawaida. Mikono yao, vivuli vyao na leso zao, zilikuwa na

nguvu za Mungu zilizowaponya watu walioonewa na ibilisi.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Filipo aliweza kusafiri kwa kupaa na kunyakuliwa

(kutoweka) kama Yesu, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za

kawaida za kimwili.

Matendo 8:26-40

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii inaonyesha wazi kwamba; Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; yaani sura na

mfano wa Mungu (Divine Nature). Kwahiyo Roho yako

ina uwezo wa kutawala ulimwengu wa roho na mwili.

Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe una asili ya Mungu

Kuona Kuelewa Kujua

UTUKUFU

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kwamba Roho wa Mungu yuko ndani

yako, na hivyo, roho yako ndiyo inayotumiwa na Mungu kuachilia

nguvu zake, kutakufanya uwe mtu mwoga na dhaifu maisha;

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katika kukabiliana na maisha ya kila

siku, yaliyojaa kila aina ya upinzani na vita dhidi ya mtu wa

Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kutazima utendaji kazi wa nguvu za

Mungu maishani mwako; nawe utaishi chini ya kiwango cha mtoto

wa Mungu (yaani maisha ya kushindwa na kuzuilika)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Kutokujua (Kutokuwa na ufahamu huu) watu wa Mungu

wengi wamezuia utendaji kazi wa nguvu za Mungu kutoka ndani yao, na Nguvu kubwa sana za

Mungu zimebaki ndani yao zimelala (hazijatumika).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na matokeo yake ni kwamba, watu wa Mungu wengi wanahangaika na kutumia muda mwingi na gharama

kubwa, kukimbia-kimbia kushoto na kulia, kutafuta msaada wa mbali,

wakati ndani yao wameacha msaada ulio karibu; yaani nguvu za

Mungu nyingi, zimebaki zimelala ndani yao, bila kutumika.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mawazo yana nguvu ya kuathiri maisha yako na mazingira yako.

Ukiwaza vibaya, utoongea vibaya. Na maneno yana nguvu

ya kuumba!

Mithali 18:20-21

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO

Mithali 18:20-21

‘Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi, na wao

wautumiao, watakula matunda yake.’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO

Maneno ya nguvu za kuumba. Ulimwengu uliumbwa kwa

NENO la Mungu.

Yohana 1:1-4

Ebrania 11:3/4:12

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO

Inatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao unatokana na

uwepo wa Roho Mtakatifu ndani ya hilo Neno

Waebrania 4:12

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO

Waebrania 4:12

“Neno la Mungu li hai

tena lina Nguvu”

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO

Yohana 6:63

‘Roho ndio itiayo uzima (uhai),

kwani mwili (pasipo roho)

haufai kitu’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO

2 Wakorintho 3:6

“Andiko peke yake linaua, lakini Roho wa Mungu anahuisha”

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO

Inatokana na Uhai wa Neno lenyewe, ambao ni uwepo wa Roho Mtakatifu ndani ya Neno

Waebrania 4:12

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO

2 Timotheo 3:16-17

Kila andiko lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho

na kubadilisha mwenendo.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO

2 Timotheo 3:16-17

Andiko + Pumzi = Neno (Hai)

Herufi + Roho = Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO

Mithali 18:20-21

Unapoachilia Neno la Mungu kutoka ndani yako kwa imani,

Roho wa Mungu huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa

hilo neno maishani mwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO

Mithali 18:20-21

Unapoachilia neno baya kutoka ndani yako kwa imani, basi roho

mbaya huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa hilo neno hilo maishani mwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO

Mithali 18:20-21

Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi, na wao

wautumiao, watakula matunda yake.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO

Mithali 6:2

Umetegwa kwa maneno yako na umekamatwa na maneno ya

kinywa chako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO

Wakolosai 3:16

Neno la Kristo likae kwa wingi ndani yako katika hekima yote.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO

Waefeso 4:29

Neno lolote lililo ovu, lisitoke kinywani mwenu, bali lile lililo

jema, la kumfaa msikiaji.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO

Maneno ya nguvu za kuumba. Yohana 1:1-4

Ebrania 11:3/4:12

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENO

Maneno mazuri huzaliwa na Mawazo mazuri. Na mawazo

mazuri hutokana na Mtazamo/kuona vizuri.

Ukikosea kuona, utakosea kuwaza na kutakosea kuongea.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa Imani

Mawazo Mtazamo

Maneno

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukikosea kuona, utakosea kuwaza. Na ukikosea kuwaza,

utakosea kuongea. Kwahiyo, Ili kuongea vizuri, lazima uwaze

vizuri, na ili uwaze vizuri, lazima uone vizuri.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mambo yatakayokusaidia Kutembea kwa Ushindi.

a) Macho ya rohoni

b) Mawazo ya ushindi

c) Maneno ya Ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni

Hesabu 13:26-33, 4:1-9

Wengine waliona majitu, wakati wengine waliwaona hao majitu

ni ‘chakula’ kwao.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni

Waefeso 1:15-19

Mtume Paul alituombea, macho ya mioyo yetu, yatiwe nuru, ili

tupate kujua mambo yafuatayo; (1) tumaini (2) utajiti na

(3)nguvu zilizo ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

10. Kutembea kwa Imani

Mtazamo

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(b) Mawazo ya Ushindi

Mithali 23:7

‘Ajionavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo’

(Rum 12:2, Efe 4:20-24)

Kutembea na nguvu za Mungu

Mawazo Mtazamo

Kutembea na nguvu za Mungu

Maneno mazuri huzaliwa na mawazo mazuri. Na mawazo

mazuri hutokana na kuona vizuri.

Ukikosea kuona, utakosea kuwaza na kutakosea kuongea.

Kutembea na nguvu za Mungu

(c) Maneno ya Baraka/Ushindi

Yohana 6:63, Ebr 4:12-13

Mith 18:20-21, Mith 6:1-2

Kutembea na nguvu za Mungu

Maneno mazuri huzaliwa na mawazo mazuri. Na mawazo

mazuri hutokana na kuona vizuri.

Ukikosea kuona, utakosea kuwaza na kutakosea kuongea.

Kutembea na nguvu za Mungu

Mawazo Mtazamo

Maneno

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1. Kujitambua

Mawazo ya Ushindi

Mith 23:7

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Yohana 14:23, 21

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!

Kwahiyo, njia ya kuingilia katika ulimwengu wa roho, haiko mbali nasi, iko ndani yetu.

(rohoni)

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!

Kwahiyo, mtu ukiweze kupenya na kuingia ndani yake (rohoni

mwake), kwa njia ya maombi, atakuwa amekutana na

Ulimwengu wa roho, unaotawala ulimwengu wa mwili.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe una asili ya Mungu

Mwenendo Fikra Hisia

UTUKUFU

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe una asili ya Mungu

Kuona - Kuelewa - Kujua

UTUKUFU

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwili Nafsi Roho

Kuona Kuelewa Kujua

(See) (Understand) (Know)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, roho (wewe) inabeba asili ya Mungu; kwasababu

imeumbwa/umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu

mwenyewe.

Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwa 2:7

Mungu

Roho

Dunia Nafsi

(Udongo) Mwili

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna uwezo na nguvu za

ki-Mungu.

Huko rohoni (Ndani yako) kuna asili ya ki-Mungu; kuna sura na

mfano wa Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mungu ndiye asili yetu

(sisi roho).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, roho yako (wewe) unabeba asili ya Mungu kabisa; kwasababu roho yako (wewe)

umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu mwenyewe.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndani yako (rohoni) kuna asili ya ki-Mungu. Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna

uwezo wa ki-Mungu;

(Nguvu za Mungu)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwa 2:7

Mungu

Roho

Dunia Nafsi

(Udongo) Mwili

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Wewe ni mungu

mdogo duniani!

Zab 82:6

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zab 82:6

6 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’, ninyi nyote ni wana wa Aliye

Juu Sana.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33-36

33 Wayahudi wakamjibu, “Hutukupigi mawe kwa sababu ya mambo mema uliyotenda, bali ni kwa kuwa umekufuru.

Wewe ingawa ni mwanadamu unajifanya kuwa Mungu.’’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33-36

34 Yesu akajibu akawaambia, ‘‘Je, haikuandikwa katika Torati yenu

kwamba, ‘Ninyi ni miungu?’

35 Kama aliwaita (ninyi) ‘miungu’, ninyi ambao neno la Mungu

limewajia …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33-36 36 Si zaidi sana mimi, ambaye

Baba ameniweka wakfu na kunituma ulimwenguni; kujiita

Mungu? Sasa, mnawezaje kusema kwamba, ninakufuru eti kwasababu nimesema ‘Mimi ni

Mwana wa Mungu?’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani!

Zaburi 82:6

Yoh 10:33-36

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine

Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana

na ulimwengu wa roho.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili

kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-Mungu katika kujua mambo bila

kuelezwa au kuona.

Uwezo wa roho ya Mtu

Mfano 1:

Yesu, Musa na Eliya;

Petro, Yakobo na Yohana;

wakiwa katika maombi ya Mlimani.

Mathayo 17:1-9

Uwezo wa roho ya Mtu

Mathayo 17:1-9

Katika maombi ya Bwana Yesu kule mlimani, Utukufu wa

Mungu unafunuka, na Manabii Musa na Eliya wanatokea

pamoja na Yesu, na Petro anakiri hivyo kwa Bwana Yesu.

Uwezo wa roho ya Mtu

Mathayo 17:1-9

Swali:

Ikiwa enzi zile hakukua na picha wala video, Petro aliwezaje kujua kwamba, yule pale ni Petro na yule pale ni Musa?

Uwezo wa roho ya Mtu

Mathayo 17:1-9

Jibu:

Wanafunzi wa Yesu, walikuwa ndani ya Utukufu wa Mungu,

kwahiyo nafsi zao zilikuwa rohoni zaidi kuliko mwilini, ndio maana walijua bila kuambiwa.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwili, Nafsi, Roho

Ulimwengu Ulimwengu

wa Mwili Kiungo wa Roho

Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe una asili ya Mungu

Kuona Kuelewa Kujua

UTUKUFU

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwili Nafsi Roho

Kuona Kuelewa Kujua

(See) (Understand) (Know)

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili

kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-

Mungu katika kujua bila kuelezwa au kuona.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kuweka nafsi (fikra,

hisia na maamuzi) zetu rohoni zaidi, basi tutaweza kutembea

katika kiwango cha ki-Mungu cha kujua na kuamua mambo kwa

usahihi kabisa, bila kubahatisha.

Uwezo wa roho ya Mtu

Mfano 2:

Tajiri na Lazaro

Luka 16:19-31

Uwezo wa roho ya Mtu

Luka 16:19-31

Swali:

Tajiri na Lazaro wamekufa, hivyo, wako nje ya miili yao. Kule kuzimu, tajiri alamwona Lazaro upande wa pili akiwa kifuani kwa Baba Ibrahimu.

Uwezo wa roho ya Mtu

Luka 16:19-31

Swali:

Ikiwa enzi zile hakukua na picha wala video, Tajiri alijuaje

kwamba, yule pale aliyempakata Lazaro ndiye Baba Ibrahimu aliyeishi zamani sana?

Uwezo wa roho ya Mtu

Luka 16:19-31

Jibu:

Tajiri alikuwa nje ya mwili wake, hivyo roho yake nje ya mwili,

ilikuwa na uwezo wa Kujua bila kuambiwa.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Wewe na Mimi ni miungu wadogo duniani!

Zaburi 82:6

Yoh 10:33-36

Mungu Ndiye Asili Yetu.

Mwa 2:7 Mungu

Dunia Mwili Nafsi Roho

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwili, Nafsi, Roho

Ulimwengu Ulimwengu

wa Mwili Kiungo wa Roho

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe una asili ya Mungu

Kuona Kuelewa Kujua

UTUKUFU

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine

Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana

na ulimwengu wa roho.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki-Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili

kudhoofishwa, basi roho itaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki-

Mungu katika kujua bila kuelezwa au kuona.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kuweka nafsi (fikra,

hisia na maamuzi) zetu rohoni zaidi, basi tutaweza kutembea

katika kiwango cha ki-Mungu cha kujua na kuamua mambo kwa

usahihi kabisa, bila kubahatisha.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Mwili, Nafsi, Roho

Ulimwengu Ulimwengu

wa Mwili Kiungo wa Roho

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki-Mungu; sura na mfano wa Mungu (Divine

Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kuwasiliana

na ulimwengu wa roho.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Kwahiyo, kumbe dirisha (tundu) la kuingilia na kugusana na ulimwengu wa roho, haliko mbali nasi, liko ndani yetu

(rohoni).

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Kwahiyo, mtu wa Mungu akitaka kwenda rohoni, kukutana na

Ulimwengu wa roho, anaweza kwenda kwa njia zifuatazo;

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

1. Kwa njia ya Maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

1. Kwa njia ya Maombi

2. Kwa njia ya Ibada

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

1. Kwa njia ya Maombi

2. Kwa njia ya Ibada

3. Kwa njia ya Ndoto

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

1. Kwa njia ya Maombi

2. Kwa njia ya Ibada

3. Kwa njia ya Ndoto

4. Kwa njia ya Maono

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

1. Kwa njia ya Maombi

2. Kwa njia ya Ibada

3. Kwa njia ya Ndoto

4. Kwa njia ya Maono

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

1. Kwa njia ya Maombi

“Kila mtu amwendeaye Mungu,

inampasa kuamini kwamba

Mungu yupo, na huwapa thawabu,

wale wote wamtafutao”

(Waebrania 11:6)

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

1. Kwa njia ya Maombi

Mtu wa Mungu anapoingia katika, maombi, huwa anahamisha fikra zake

na hisia zake, kutoka katika mwili (ambako ndiko ameishi zaidi ktk siku nzima) na kuziweka katika roho yake,

mahali Mungu alipo (anaishi) ili kuwasiliana naye.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

1. Kwa njia ya Maombi

Kwa njia ya maombi, mtu huwa anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao

hauonekani kwa macho yetu ya kimwili, lakini upo.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

2. Kwa njia ya Ibada

“Ingieni malangoni mwake

kwa Kushukuru, ingieni nyuani

mwake kwa kusifu”

(Zaburi 100:1-5)

MUNGU ANAKAA WAPI?

Mungu anaishi ndani yetu!

Au hamjui ya kuwa miili yenu ni hekalu la Roho Mtakatifu, na kwamba Mungu anaishi ndani yenu? (1Wakorintho 3: 9, 16)

Wewe ni HEKALU la Mungu

Patakatifu pa

Patakatifu

Patakatifu

Uwanda Uwanda

wa Nje

Wewe ni HEKALU la Mungu

Mwili Nafsi Roho

Nje

Wewe ni HEKALU la Mungu

Mwili Nafsi Roho

Nje Ptf

Wewe ni HEKALU la Mungu

Mwili Nafsi Roho

Nje Ptf PPP

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la Mungu

Nje Ptf PPP

UTUKUFU

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la Mungu

Nje Fikra Hisia

UTUKUFU

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la Mungu

Ukitaka kukutana na Mungu

(Utukufu) lazima ujue namna ya kuuhamisha moyo/nafsi wako

kutoka katika mwili na kwa njia ya maombi, na kuielekeza

rohoni mwako.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la Mungu

Mwenendo Fikra Hisia

UTUKUFU

NAMNA YA KUINGIA ROHONI

Ni muhimu tujue kwamba;

“Kusifu na kuabudu pia, kuna namna yake ya ajabu sana, ya

kukuingiza katika ulimwengu wa roho unapotaka kuomba, na

kukukutanisha utukufu wa Mungu kule ndani katika roho yako,”

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

MUNGU ANAKAA NDANI YETU!

Kwahiyo, mtu ukiweze kupenya na kuingia ndani yako (rohoni

mwako), kwa njia ya maombi, utakuwa umekutana na

Ulimwengu wa roho, unaotawala ulimwengu wa mwili

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe ni HEKALU la Mungu

Mwenendo Fikra Hisia

UTUKUFU

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

2. Kwa njia ya Ibada

Kwa njia ya ibada, mtu huwa anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao

hauonekani kwa macho yetu ya kimwili, ila upo.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

Kwa njia ya Maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

Kwa njia ya Maombi

Kwa njia ya Ibada

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

Kwa njia ya Maombi

Kwa njia ya Ibada

3. Kwa njia ya Ndoto

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya Ndoto

Kwa kuwa ndoto si kitu mtu anaweza kupanga, basi hawezi

kuki-control. Ndoto ni kitu ambacho utasubiri kikutokee.

(Mungu akupe mwenyewe)

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya Ndoto

Mtu analala usingizini, mwili wake huwa unapumzika, hivyo, nafsi

yake (fikra na mawazo) vinakosa kazi, hivyo huamua kumgeukia roho, ambayo iko-connected na

ulimwengu wa roho.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya Ndoto

Kwahiyo, japo mtu amelala usingizi (mwilini), lakini roho, ambayo

iko-connected na ulimwengu wa roho, inaendelea kutembea na

kufanya mambo mengi sana katika ulimwengu wa roho.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya Ndoto

Kwahiyo, kwa njia ya ndoto, mtu anakuwa ameunganishwa

(connected) na ulimwengu wa roho, na anaendelea kutembelea na kufanya mambo mengi sana

katika ulimwengu wa roho.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya Ndoto

Mathayo 1:20-25

20 Yusufu alitokewa na malaika wa Bwana katika ndoto na kusema,

“usiogope kumchukua Maria awe mke wako, kwa maana mimba aliyo nayo ni

kwa uweza wa Roho Mtakatifu”.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya Ndoto

21 “Naye atamzaa mwana , nawe utamwita jina lake Yesu, kwa maana

yeye ndiye atakayewaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao.”

(Mathayo 1:20-25)

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya Ndoto

24 Yosefu alipoamka kutoka usingizini, akamchukua Maria kuwa mke wake.

25 Lakini hawakukutana kimwili mpaka Maria alipojifungua mwanaye wa

kwanza na akamwita jina lake Yesu.

(Mathayo 1:20-25)

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya Ndoto

Mara nyingi unapokwenda kulala na ukaota ndoto, roho yako huwa inakwenda katika ulimwengu wa

roho na kukutana na mambo mengi sana na kufanya mambo

mengi, huko rohoni.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya Ndoto

Kuamka usingizini na kuzinduka kutoka katika ndoto, kwa uhalisi

kabisa, huwa ina maana kwamba, umerudi tu mwilini kutoka katika ulimwengu wa kiroho ulikokuwa umekwenda kwa njia ya ndoto.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

3. Kwa njia ya Ndoto

Kwa njia ya ndoto, mtu huwa anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao

hauonekani kwa macho yetu ya kimwili.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

Kwa njia ya Maombi

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

Kwa njia ya Maombi

Kwa njia ya Ibada

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

Kwa njia ya Maombi

Kwa njia ya Ibada

Kwa njia ya Ndoto

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Namna ya kwenda rohoni;

Kwa njia ya Maombi

Kwa njia ya Ibada

Kwa njia ya Ndoto

4. Kwa njia ya Maono

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya Maono

Kama ndoto, maono pia si kitu mtu anaweza kupanga, basi hawezi pia

kuki-control. Kama ndoto, maono ni kitu ambacho mtu atasubiri

kimtokee. (Yaani ni mpaka Mungu akupe mwenyewe)

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya Maono

Maono ni kama ndoto, ni taswira au maono ambayo mtu anayapata

akiwa hajasinzia (hajalala).

Mfano; mtu anaweza akawa anomba, anatembea, amekaa,

anafanya shughuli zake, n.k.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya Maono

(Ufunuo 1:9-10)

9 Mimi Yohana, ninayeshiriki pamoja nanyi mateso kwa ajili ya Yesu,

nilikuwa katika kisiwa kiitwacho Patmo kwa ajili ya neno la Mungu na

ushuhuda wa Bwana Yesu.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya Maono

10 Nilikuwa katika roho siku ya Bwana (jumapili), nami nikasikia

sauti kubwa ikisema, “Andika kwenye kitabu haya yote

unayoyaona, kisha uyapeleke kwa makanisa saba nitakayokuambia.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya Maono

Ufunuo 20:11-15

‘Kisha nikaona, kiti cha enzi; mauti na kuzimu zikawatoa wafu wake; wote, wakasimamishwa mbele za kiti cha enzi; vitabu vikafunguliwa’

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya Maono

Ufunuo 20:11-15

‘nikaona majina yakisomwa, na iwapo mtu akuonekana

ameandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika lile ziwa la moto, ndio Jehanamu ya milele’

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

4. Kwa njia ya Maono

Kwa njia ya maono, mtu huwa anauingia na kuutembelea ulimwengu wa roho ambao

hauonekani kwa macho yetu ya kimwili, lakini upo.

KUONGOZWA NA ROHO

KUONGEZA USIKIVU

KWA SAUTI YA

ROHO MTAKATIFU

KUONGOZWA NA ROHO

Masharti ya Usikivu Mzuri;

1. Maisha ya Utakatifu

(Yoh 9:31, 2Wakor 6:14-18)

(1Pet 1:15-16, Isa 57:17)

VITA YA MWILI NA ROHO

(Utukufu) Uhusiano Mungu

Mwili Roho

Dunia

Nafsi

Shetani

KUONGOZWA NA ROHO

Masharti ya Usikivu Mzuri;

2. Kusifu na Kuabudu

(Yoh 4:23-24, Zab 22:3)

(2Nyak 5:13-14)

KUONGOZWA NA ROHO

Masharti ya Usikivu Mzuri;

3. Kusoma Neno kwa Bidii

(Waebr 4:12, Wakol 3:16-17)

(2Tim 3:16-17)

KUONGOZWA NA ROHO

Masharti ya Usikivu Mzuri;

4. Maombi ya Muda Mrefu

(Wakol 4:2, 1Thes 5:17)

(Luka 6:12/18:1)

KUONGOZWA NA ROHO

Masharti ya Usikivu Mzuri;

5. Kukusanyika katika Ibada

(Math 18:19-20, Waebr 10:25)

KUONGOZWA NA ROHO

Masharti ya Usikivu Mzuri;

6. Kuenenda kiroho

(Katika Roho)

Wagal 5:16-25, Warum 8:5-12

1Wakor 1:1-9

KIROHO NA KIMWILI

Rohoni Mwilini

Tabia za rohoni Tabia za mwilini Upendo, Furaha, Amani Chuki, Hasira, Uadui

Wema, Upole, Fadhili Ubaya, Ukali, Uchoyo

Uvumilivu, Uaminifu Kutokuvumilia, Uongo,

Utii, Unyenyekevu, Kiasi, Wizi, Kiburi, Kujiona,

Maombi, Neno, Ibada Uzinzi, Uasherati, Ulevi

Utoaji, Kuhudumia, n.k. Uchawi, Mila mbaya, n.k.

KUONGOZWA NA ROHO

Masharti ya Usikivu Mzuri;

7. Kutembea katika kiwango

Waebrania 5:11-14

Wagalatia 4:1

Mathayo 17:1-9

KUONGOZWA NA ROHO

Vizuizi vya Usikivu Mzuri;

7 (a) Kiwango cha Ujazo (Kiwango cha Charge)

(1Sam 16:13, Zab 23:5)

(Matendo 4:31)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kujaa Nguvu za Mungu

Kiwango, Kipimo, Ujazo

KUONGOZWA NA ROHO

Vizuizi vya Usikivu Mzuri;

7 (b). Kiwango cha Ngazi ya Kiroho

(Kutoka 24:1-8, Luka 6:13-16)

Waebr 5:11-14, Waef 4:11-15)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KUJAZWA ROHO Mt.

Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi

katika hali yoyote tu (japo anaweza), bali anafanya kazi

katika viwango vyake maalum.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;

Musa na Wazee 70 wa Israeli.

Kutoka 24:1-18

7. Ngazi (Level) ya Wito

Kutoka 24:1-18

^ 1st Class

^^^ 2nd Class

^^^^^^^^^^ 3rd Class

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;

Wanafunzi wa Yesu.

Luka 6:13-16

1 (Yoh 21:19-24)

3 (Math 17:1-9)

12 (Luka 6:12-15)

2 70 (Luka 10:1,17)

3 120 (Mdo 1:15)

500 (1Kor 15:3-8)

NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU

KIWANGO CHA NDANI YA MUNGU

NGAZI YA IMANI

Luka 6:13-16

Usiridhike kuwa mwanafunzi wa Yesu, bali tafuta kuongezeka katika

ngazi yako ndani ya Mungu

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Kuongozwa/Usikivu;

1. Utakatifu (1Pet 1:15-16, Isa 57:17)

2. Kuabudu (John 4:23-24, Psa 22:3)

3. Maombi (Exo 24:12-18, Luk6:1219)

4. Neno (Heb 4:12, Col 3:16)

5. Ibada (Math 18:19-20)

6. Kiroho (Wag 5:16, War 8:5-8)

7. Kiwango (Efes 4:11-15, Ebr 5:11-14)

KUONGOZWA NA ROHO

VIZUIZI VYA KUSIKIA

UONGOZI WA

ROHO MTAKATIFU

VIZUIZI VYA KUONGOZWA Maisha ya Kinyume cha Masharti;

1. Kuishi katika Dhambi na Uasi.

2. Kukosa kuabudu kirefu (binafsi).

3. Kukosa maombi ya kutosha.

4. Kukosa mafundisho ya Neno la Mungu

5. Kukosa ibada (za pamoja).

6. Kuenenda kimwili (Tabia za kimwili). 7. Kukosa Ujazo na Kiwango cha kiroho.

NGUVU YA MAOMBI

Kuujua Ulimwengu wa roho

NGUVU YA MAOMBI

Kuujua Ulimwengu wa roho

Namna ya kwenda rohoni

NGUVU YA MAOMBI

Kuujua Ulimwengu wa roho

Namna ya kwenda rohoni

3. Nafasi/Mamlaka yako rohoni

NAMNA YA KUOMBA

3. MAMLAKA YA ROHONI

Nafasi yako katika

Ulimwengu wa roho

NAMNA YA KUOMBA

Silaha za Vita Vyetu

Tumeshajifunza kwamba Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu

wa mwili. Na hakuna kitu kinachoweza kufanyika katika ulimwengu wa kimwili mpaka

kwanza kimefanyika katika ulimwengu wa roho.

MAMLAKA YA MKRISTO

KABLA YA DHAMBI “Mashal”

Zab 8:4-8

ADAM

MALAIKA

DUNIA

SHETANI

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

MUNGU

NAMNA YA KUOMBA

Silaha za Vita Vyetu

Shetani akiijua siri hii, na akitaka kuwa mungu wa dunia, aliatafuta

kwa bidii kumwangusha Adam katika kiti /nafasi yake (rohoni);

na alipofanikiwa, aliushika na kuutawala ulimwengu wa roho.

NAMNA YA KUOMBA

Silaha za Vita Vyetu

Shetani alijua siri hii, na alipoukamata tu ulimwengu wa roho, akawekeza majeshi yake

yote katika ulimwengu wa roho ili atawale ulimwengu wa mwili na

kuwa mkuu wa dunia hii.

MAMLAKA YA MKRISTO

KABLA YA DHAMBI

Zaburi 8:4-8

“Juu ya” = “Mashal”

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

MUNGU

MAMLAKA YA MKRISTO

BAADA YA DHAMBI

SHETANI ALITAPELI

NAFASI YA ADAM

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

MUNGU

MAMLAKA YA MKRISTO

BAADA YA DHAMBI

Warumi 5:12, 14

Waebrania 2:14, 15

Yohana 16:11

SHETANI

MALAIKA

DUNIA

ADAM

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

Waefeso 2:1-2

1Yohana 5:19

Luka 4:5-8

2Korintho 4:3-4

MUNGU

Mamlaka ya shetani ulimwenguni

Efe 2:1-2 – Mfalme wa anga

2Kor 4:4 – Mungu wa dunia hii

1Yoh 5:19 – Mtawala (Controler)

Yoh 12:31 – Mkuu wa Ulimwengu

Yoh 14:30 – Mkuu wa Ulimwengu

Yoh 16:11 – Mkuu wa Ulimwengu

Mamlaka ya shetani ulimwenguni

Warumi 5:14

Kwahiyo, mauti ikatawala (shetani) tangu wakati wa Adamu

hadi wakati wa Musa; mauti iliwatawala watu wote hata wale ambao hawakuvunja amri kama

alivyofanya Adamu

BAADA YA WOKOVU

Walosai 2:13-15

Kwa njia ya msalaba na damu yake, Bwana Yesu alifuta kabisa

deni la dhambi (hati ya mashitaka) juu yetu; kisha akavunja nguvu na mamlaka za shetani na kumfanya

aidu hadharani.

BAADA YA WOKOVU

Walosai 2:13-15/1:13

Lakini, kwa kifo cha Bwana Yesu, ufalme wa shetani duniani,

ulipinduliwa na mabadiliko ya kimamlaka yalitokea katika

Ulimwengu wa roho;

Ufunuo 11:15

BAADA YA WOKOVU

Walosai 1:13

‘Naye Mungu, alituokoa kutoka katika nguvu za giza na

kutuhamisha na kutuingiza katika Ufalma wa mwanaye

mpendwa, Yesu Kristo.’

BAADA YA WOKOVU

Waefeso 2:6/1:20-23

Akatufufua pamoja naye, akatuketisha pamoja naye, katika Ulimwengu wa roho; aliomketisha Kristo Yesu siku aliyomfufua, juu

sana kuliko falme zote na mamlaka zote za mwilini na rohoni pia.

MAMLAKA YA MKRISTO BAADA YA WOKOVU

Waefeso 2:6 Waefeso 1:18-23

MALAIKA

SHETANI

DUNIA

ADAM 1

Mkuu

Mfalme

Mtawala

Mwakilishi

mungu

MUNGU + ADAM 2

BAADA YA WOKOVU

Ufunuo 11:15

Kisha, malaika wa saba akapiga tarumbeta, na jeshi lote la

mbinguni wakashangilia kwa kelele za ushindi wakisema, ufalme wa

dunia, umekwisha kuwa Ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake.

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Luka 10:19

Tazama, nimewapa mamlaka yote ya kukanyaga nge (nguvu ya

maumivu) na nyoka (nguvu ya uasi) na nguvu zote za yule adui

(waganga, wachawi, nk); na wala hakuna kitu kitakachowadhuru.

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Mathayo 16:18-19

Nitalijenga kanisa langu, wala milango ya kuzimu haitaweza kulishinda; na mambo yoyote

mtakayoyafunga duniani, yatakuwa yamefungwa mbinguni

(katika ulimwengu wa roho).

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Mathayo 16:18-19

… na mambo yoyote mtakayoyafungua duniani, yatakuwa yamefunguliwa mbinguni (yaani yatakuwa yamefunguliwa pia katika

ulimwengu wa roho).

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Ufunuo 5:8-10

Watu walionunuliwa kwa damu ya Mwana-kondoo Yesu Kristo, wamefanyika Wafalme na

Makuhani; nao wamepewa kumiliki na kutawala juu ya nchi (katika

ulimwengu wa mwili).

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Yeremia 1:9-10

Tazama, nimekuweka leo juu ya falme na juu ya mamlaka, ili

kuvunja, kubomoa, kuharibu, na kung’oa, kisha nimekuweka ili

kujenga na kupanda.

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Yeremia 51:20

Wewe ni rungu langu la vita; kwa kukutumia wewe, nitavunja-vunja

falme na nitavunja-vunja mamlaka.

(kwakuwa nimekuweka juu ya falme na juu ya mataifa)

(Yeremia 1:9-10)

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Ufunuo 5:8-10

Kwahiyo, watu walionunuliwa kwa damu ya Mwana-kondoo Yesu

Kristo, wanafanyika Wafalme na Makuhani; nao wanapewa kumiliki

na kutawala juu ya nchi.

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Ufunuo 5:8-10

Mtu anapotubu dhambi zake na kupokea wokovu wa Bwana wetu

Yesu Kristo, basi anarudishiwa mamlaka ya ‘Adam’ ya kumiliki na kutawala dunia (mazingira yake na

maisha yake kwa ujumla).

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Waefeso 2:6/1:18-23

Mtu wa Mungu anapokwenda katika ulimwengu wa roho, akitaka

kuwa mshindi na mwenye mafanikio, basi ni lazima na ni

muhimu ajue mamlaka aliyonayo katika ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30

Kwanini tunaishi maisha magumu na ya mateso, yaliyojaa shida na taabu nyingi, wakati kule rohoni tumepewa baraka nyingi sana

kutoka kwa Mungu, za kutusaidia katika maisha yetu ya kila siku?

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30

Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(1) Hatujajua siri ya ulimwengu wa roho inavyoingiliana na ulimwengu wa mwili, hata kuleta mabadiliko

tunayotaka kuyaona huku duniani. ~ kutokujua ~

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30

Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(2) Hatuna nidhamu na bidii ya kwenda rohoni kwa njia ya maombi, hata kuchukua na

kutelemsha baraka zetu duniani. ~ Uzembe ~

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30

Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(3) Hatujui mamlaka yetu, tuliyopewa na Kristo, katika

Ulimwengu wa roho.

~ Kutojua ~

NGUVU YA MAOMBI

Kuujua Ulimwengu wa roho

NGUVU YA MAOMBI

Kuujua Ulimwengu wa roho

Namna ya kwenda rohoni

NGUVU YA MAOMBI

Kuujua Ulimwengu wa roho

Namna ya kwenda rohoni

Nafasi/Mamlaka yako rohoni

NGUVU YA MAOMBI

Kuujua Ulimwengu wa roho

Namna ya kwenda rohoni

Nafasi/Mamlaka yako rohoni

4. Namna ya Kupiga Vita rohoni

NAMNA YA KUOMBA

4. VITA VYA ROHONI Mapambano yaliyopo katika

Ulimwengu wa roho

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18

“Kuna mashindano (kuna vita), kati ya milango ya kuzimu

(nguvu za giza) na kanisa la Bwana Yesu Kristo.”

Ufunuo 12:7-12, 17

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:7-12, 17

7 “Kulikuwa na vita mbinguni, Malaika Mkuu wa majeshi ya

Mungu, Malaika Mikaeli, akapigana na yule joka na

malaika zake …”

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:7-12, 17

8 “Nao hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana tena

mbinguni. 9 Yule joka aitwaye ibilisi na shetani, akatupwa duniani, na malalika zake wakatupwa pamoja naye.

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:7-12, 17

10 “Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, sas kumekuwa wokovu na nguvu na ufalme wa Mungu

wetu na mamlaka ya Kristo wake, kwa maana ametupwa chini mshitaki wa ndugu zetu”.

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:7-12, 17

11 “Nao wakamshinda yule joka na malaika zake, kwa damu ya mwana kondoo na kwa neno la

ushuhuda wao, ambao hawakupenda maisha yao hata

kufa”.

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:7-12, 17

12 “Kwahiyo shangilieni enyi enyi wote mkaao mbinguni; lakini ole

wa ninyi mkaao duniani! Kwa maana yule joka ibilisi, ameshuka kwenu, ana hasira nyingi akijua

ana wakati mchache!

VITA VYA ROHONI

Ufunuo 12:17

17 “Joka akamkasirikia yule mwanamke (kanisa), akaenda

afanye vita juu wa wazao wake wazishikao amri za Mungu na kuwa na ushuhuda wa Yesu …”

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18

“Nitalijenga kanisa langu, litapambana na milango ya kuzimu (nguvu za giza), na

milango ya kuzimu, haitaweza kulishinda kanisa langu …”

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18

“Kwahiyo, kuna mashindano (kuna vita), kati ya milango ya

kuzimu (nguvu za giza) na kanisa la Bwana Yesu Kristo.”

Ufunuo 12:17

VITA VYA ROHONI

2Wakorintho 10:3-5

“Ingawa tunaenenda katika mwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili. Bali silaha zetu zina nguvu

katika Mungu (roho).”

VITA VYA ROHONI

Waefeso 6:12

“Kushindana kwetu (vita) si juu ya damu na nyama (mwili) bali ni juu ya falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi

ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.”

VITA VYA ROHONI

Waefeso 6:12

“Vaeni silaha zote na Twaeni silaha zote za Mungu ili muweze

kushindana na falme za giza, mamlaka za giza, wakuu wa giza

na majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.”

VITA VYA ROHONI

Mathayo 16:18

“Kwahiyo, kuna mashindano (kuna vita), kati ya milango ya

kuzimu (nguvu za giza) na kanisa la Bwana Yesu Kristo.”

Ufunuo 12:17

NAMNA YA KUOMBA

4. VITA VYA ROHONI

Rejea habari ya

Maombi ya Nabii Eliyah

1Wafalme 18:41-45

VITA VYA KIROHO

1Wafalme 18:41

‘Katika ulimwengu wa roho, Mungu alikuwa ameshatelemsha baraka

walizokuwa wanahitaji katika ulimwengu wa mwili; lakini

kulikuwa na kizuizi kilichokuwa kinaishikilia baraka yao (kinaizuia)

katika ulimwengu wa roho’.

Ulimwengu wa roho

Ulimwengu wa Roho

Baada ya Toba (Kumb 28:1-14)

/ / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uyahudi Uyahudi

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu

Ulimwengu wa roho

Ulimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16-18) / / / / / / / / / /

/ / / (mstari wa 41) / / / /

/ / Mvua ya rohoni / / / /

/ / / / / / / / / /

Ulimwengu wa Mwili / / / / / / / / /

/ / / / / / / / /

/ / / Mvua ya Mwilini / /

/ / / (Mstari 44-45) / / /

/ / / / / / / / /

/ / / / / / / / /

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu

VITA VYA KIROHO

Kwahiyo,

Kwa njia ya Maombi, yaani kwenda katika ulimwengu wa roho, mtu wa

Mungu ataweza kuwasiliana na Mungu wake, na kuuathiri

ulimwengu wa roho mpaka kuleta mabadiliko duniani, katika

ulimwengu wa mwilini.

VITA VYA KIROHO

Kwahiyo,

Kwa njia ya Maombi, Eliya aliweza kwenda katika ulimwengu wa roho,

na kupambana na nguvu za giza zilizokuwa zinazuia baraka ya Israeli (rohoni) ili kuzuia watu wa Mungu

wasifurahie maisha katika ulimwengu wa mwili.

VITA VYA KIROHO

Ulimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30

Kama Eliya asingeomba kwa bidii, ile baraka ya mvua (rohoni) ingekomea huko huko rohoni, na huku duniani,

watu wa Mungu wangeishi maisha ya shida na taabu; na kumbe wana baraka

nyingi sana kwa maisha yao, rohoni.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani

lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waefeso 6:10-13, 2Wakorontho 10:3-5

Na sisi pia tusipopambana na nguvu za giza, baraka hizi zote

tulizopewa katika ulimwengu wa roho, zitabaki huko huko rohoni, wakati huku duniani, tunateseka kwa maisha ya shida na taabu.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30

Kwanini tunaishi maisha magumu na ya mateso, yaliyojaa shida na taabu nyingi, wakati kule rohoni tumepewa baraka nyingi sana

kutoka kwa Mungu, za kutusaidia katika maisha yetu ya kila siku?

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30

Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(1) Hatujajua siri ya ulimwengu wa roho inavyoingiliana na ulimwengu wa mwili, hata kuleta mabadiliko

tunayotaka kuyaona huku duniani. ~ kutokujua ~

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30

Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(2) Hatuna nidhamu na bidii ya kwenda rohoni kwa njia ya maombi, hata kuchukua na

kutelemsha baraka zetu duniani. ~ Uzembe ~

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30

Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(3) Hatujui mamlaka yetu, tuliyopewa na Kristo, katika

Ulimwengu wa roho.

~ Kutojua ~

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waefeso 1:3-4, Warumi 8:29-30

Ni kwasababu; watu wa Mungu,

(4) Hatujui namna ya kupigana na kushindana na nguvu za giza, katika Ulimwengu wa roho.

~ Kutojua ~

NGUVU YA MAOMBI

Kwahiyo, ni lazima tujue kwamba, Ulimwengu wa roho ndio

unaotawala ulimwengu wa mwili;

Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyika katika

Ulimwengu wa mwilini, mpaka kwanza kimefanyika katika

Ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya

maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea

mambo ambayo usingetaka kabisa yakupate.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu

wa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini),

bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu

duniani.

‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya kwa visivyoonekana.’

(Waebrania 11:3)

NAMNA YA KUOMBA

4. VITA VYA ROHONI

Rejea habari ya

Maombi ya Daniel

Daniel 10:1-14, 20

Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa Roho

Siku 21

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu

Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa Roho

Siku 21

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu

Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa Roho

Vita ya

Siku 3

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu

mfalme mfalme mfalme

Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa Roho

Siku 21

Uyahudi Uajemi Uyunani

Siku 3

Ulimwengu wa Mwili

Siku 24

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu

mfalme mfalme mfalme

Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa Roho

Siku 21

Uyahudi Uajemi Uyunani

Siku 3

Ulimwengu wa Mwili

Siku 24

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu

mfalme mfalme mfalme

Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa Roho

Fitina

2Nyak 20

Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu

Mkuu Mkuu Mkuu

Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa Roho

Fitina 2Nyak 20

Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu

Mkuu Mkuu Mkuu

Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa Roho

Fitina 2Nyak 20

Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu

Mkuu Mkuu Mkuu

Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa Roho

Fitina 2Nyak 20

Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu

Mkuu Mkuu Mkuu

Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa Roho

Fitina 2Nyak 20

Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu

Mkuu Mkuu Mkuu

Ulimwengu wa roho Ulimwengu wa Roho

Fitina 2Nyak 20

Math 12:25

Uyahudi Uajemi Uyunani

Ulimwengu wa Mwili

Uyahudi Uajemi Uyunani

Efe 2:2 Efe 6:12 Efe 2:2 Efe 6:12 Mkuu Mkuu Mkuu

Mkuu Mkuu Mkuu

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili; kwahiyo, hakuna kitu

kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, mpaka

kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBI

Ukombozi wa Israeli, ulifanyika kwanza katika ulimwengu wa roho, ndipo ukaweza kutokea katika Ulimwengu wa mwili.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri

limeanza leo, hapana;

Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa

zilizopita (wakati uliopita).

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu

wa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini),

bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu

duniani.

‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya kwa visivyoonekana.’

(Waebrania 11:3)

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya

maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea

mambo ambayo usingetaka kabisa yakupate.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waefeso 6:12

Kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama (mwili) bali ni juu

ya falme na mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya mapepo

wabaya, katika ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBI

Waefeso 1:20-21

Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa mahali alipoketishwa yeye, katika

ulimwengu wa roho, juu sana kuliko falme na mamlaka za giza; ili

tuweze kuvunja na kuharibu kazi za shetani duniani.

NGUVU YA MAOMBI

Na ndio maana Mungu anatuambia katika Neno lake kwamba,

‘tusijisumbue kwa jambo lolote maishani, bali katika kila jambo,

tusali na kuomba na kushukuru...’ (Wafilipi 4:6-7)

VITA VYA KIROHO

Matendo 19:18-20

Inatufundisha kwamba, Usijaribu kupigana vita vya kiroho, kama

huna mamlaka ya kiroho.

NAMNA YA KUOMBA

Silaha za Vita

Vyetu

NAMNA YA KUOMBA

Silaha za Vita Vyetu

Kwahiyo;

Mtu wa mungu anapokwenda rohoni, ni lazima ajue kwamba,

atakutana na adui shetani anayetawala eneo lake (eneo

linaloombewa)

NAMNA YA KUOMBA

Silaha za Vita Vyetu

Hivyo basi, inampasa mtu wa Mungu anayetaka kuleta mabadiliko, ajue

namna ya kupigana na adui shetani juu ya maeneo anayoyaombea.

Waefeso 6:12, 10-11,13

NAMNA YA KUOMBA

Silaha za Vita Vyetu

Aina kuu 2 za silaha

1. Silaha za Ulinzi (mst.11)

2. Silaha za Kupiga (mst.13)

Waefeso 6:12, 10-11,13

NAMNA YA KUOMBA

1. Silaha za Ulinzi

(Kujilinda) (Waefeso 6:13)

NAMNA YA KUOMBA

1. Silaha za kujilinda (mst.11)

a) Kofia ya Chuma kichwani (WOKOVU)

Kwenda rohoni / vitani wakati hujaokoka, ni kama kwenda vitani

bila kofia ya chuma

(Warumi 10:9-10, Mdo 19:8-20)

NAMNA YA KUOMBA

1. Silaha za kujilinda (mst.11)

b) Gamba la chuma kifuani (UTAKATIFU)

Kwenda rohoni / vitani wakati hauishi maisha matakatifu, ni

kama kwenda vitani ulinzi kifuani.

(1Pet 1:15-16, Kumb 23:14)

NAMNA YA KUOMBA

1. Silaha za kujilinda (mst.11)

c) Mkanda wa Kweli kiunoni (NENO LA KUIMARISHA)

Kwenda rohoni / vitani wakati huna maneno ya kukuimarisha, ni

kama kuvaa gwanda bila mkanda.

(Yohana 17:17, Kolosai 3:16)

NAMNA YA KUOMBA

1. Silaha za kujilinda (mst.11)

d) Mabuti ya Utayari Miguuni (UTAYARI + UJASIRI)

Kwenda rohoni / vitani wakati huna ujasiri, ni kama kwenda vitani bila

mabuti ya jeshi/kazi.

(2Timotheo 4:2, 2Timotheo 1:7)

NAMNA YA KUOMBA

1. Silaha za kujilinda (mst.11)

e) Ngao ya Imani mkononi (UHAKIKA)

Kwenda rohoni / vitani wakati huna uhakika (imani), ni kama kwenda

vitani bila ngao mkononi.

(Ebrania 11:1, 6, Mark 11:20-24)

NAMNA YA KUOMBA

2. Silaha za Kupiga

(Kushambulia) (Waefeso 6:13)

NAMNA YA KUOMBA

2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

a) JINA LA YESU

Wafilipi 2:9-10, Marko 16:16-20

Jina la Yesu lina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, ndilo

Jina kuu zaidi, jina la Baba.

Yoh 17:6,11

NAMNA YA KUOMBA

2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

b) NENO LA YESU

Waebrania 4:12, Waefeso 6:17

Neno la Yesu lina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Neno

ni Bwana Yesu mwenyewe.

Yoh 1:1-4

NAMNA YA KUOMBA

2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

c) DAMU YA YESU

Ufunuo 12:11, Waefeso 1:7

Damu ya Yesu ina nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Damu

ya Yesu ina Roho wa Yesu.

Walawi 17:14

NAMNA YA KUOMBA

2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

d) ROHO WA YESU

2Wathesalonike 2:8, Yeremia 51:1

Roho wa Yesu ana nguvu zote na mamlaka yote kwasababu, Roho

wa Yesu ni Uhai wa Mungu

1 Wakorintho 2:11-12

NAMNA YA KUOMBA

2. Silaha za Kushambulia (mst.13)

e) JESHI LA MALAIKA WA YESU

Ufunuo 19:10, Mathayo 26:52-53

Malaika wa Yesu wana nguvu na mamlkaka juu ya mashetani, ikiwa tu watapewa maagizo

Ufunuo 12:7-10, Zab 34:7, Zab 91

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengu

wa mwili), halifanyi jambo hilo moja kwa moja duniani (mwilini),

bali analifanya kwanza katika ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Mungu

duniani.

‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya kwa visivyoonekana.’

(Waebrania 11:3)

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kwahiyo, ukiona jambo limetokea mahali fulani leo, usije ukafikiri

limeanza leo, hapana;

Ukweli ni kwamba, leo ndio jambo hilo limejitokeza, lakini mbegu yake ilipandwa huko rohoni siku kadhaa

zilizopita (wakati uliopita).

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya

maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea

mambo ambayo usingetaka kabisa yakupate.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waefeso 6:12

Kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama (mwili) bali ni juu

ya falme na mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya mapepo

wabaya, katika ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya

maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea

mambo ambayo usingetaka kabisa yakupate.

NGUVU YA MAOMBI

Waefeso 1:20-21

Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa mahali alipoketishwa yeye, katika

ulimwengu wa roho, juu sana kuliko falme na mamlaka za giza; ili

tuweze kuvunja na kuharibu kazi za shetani duniani.

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Luka 10:19

Tazama, nimewapa mamlaka yote ya kukanyaga nge (nguvu ya

maumivu) na nyoka (nguvu ya uasi) na nguvu zote za yule adui

(waganga, wachawi, nk); na wala hakuna kitu kitakachowadhuru.

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Mathayo 16:18-19

‘milango ya kuzimu haitaweza kulishinda kanisa nililojenga; na

mambo yoyote mtakayoyafunga au mtakayofungua duniani, yatakuwa

yamefungwa na kufunguliwa mbinguni (ulimwengu wa roho).

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Yeremia 1:9-10

Tazama, nimekuweka leo juu ya falme na juu ya mamlaka, ili

kuvunja, kubomoa, kuharibu, na kung’oa, kisha nimekuweka ili

kujenga na kupanda.

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Yeremia 51:20

Wewe ni rungu langu la vita; kwa kukutumia wewe, nitavunja-vunja

falme na nitavunja-vunja mamlaka.

(kwakuwa nimekuweka juu ya falme na juu ya mataifa)

(Yeremia 1:9-10)

Mamlaka ya mtu wa Mungu

Ufunuo 5:8-10

Watu walionunuliwa kwa damu ya Mwana-kondoo Yesu Kristo, wamefanyika Wafalme na

Makuhani; nao wamepewa kumiliki na kutawala juu ya nchi (katika

ulimwengu wa mwili).

NGUVU YA MAOMBI

Waefeso 1:20-21

Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa mahali alipoketishwa yeye, katika

ulimwengu wa roho, juu sana kuliko falme na mamlaka za giza; ili

tuweze kuvunja na kuharibu kazi za shetani duniani.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Hii wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri ulimwengu wa roho

inavyotakiwa, zitapindua kanuni za kimwili, ili mambo yako ya mwilini,

yafanyike na kukamilika, sawa sawa na mapenzi ya Mungu, hata ikibidi, iwe bila kupitia katika njia za kawaida za

kimwili.

NGUVU YA MAOMBI

Kuujua Ulimwengu wa roho

NGUVU YA MAOMBI

Kuujua Ulimwengu wa roho

Namna ya kwenda rohoni

NGUVU YA MAOMBI

Kuujua Ulimwengu wa roho

Namna ya kwenda rohoni

Nafasi/Mamlaka yako rohoni

NGUVU YA MAOMBI

Kuujua Ulimwengu wa roho

Namna ya kwenda rohoni

Nafasi/Mamlaka yako rohoni

Namna ya Kupiga Vita rohoni

NGUVU YA MAOMBI

Kuujua Ulimwengu wa roho

Namna ya kwenda rohoni

Nafasi/Mamlaka yako rohoni

Namna ya Kupiga Vita rohoni

5. Namna ya Kuathiri rohoni

(Nguvu ya Maombi)

NAMNA YA KUOMBA

5. NGUVU YA MAOMBI

Namna unavyoweza Kuuathiri Ulimwengu wa

Roho

NGUVU YA MAOMBI

Maombi yana nguvu ya ajabu sana ya kuuagiza Mkono wa Mungu na

kuuingiza kazini Mkono wa Mungu

Isaya 45:11

NGUVU YA MAOMBI

Isaya 45:11

Kwa habari ya Kazi za Mikono

yangu, haya niagizeni, haya

niamuruni

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani

lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.

NGUVU YA MAOMBI

Mathayo 16:18-19

Mambo mtakayoyafunga ninyi duniani, ndipo yatakuwa

yamefungwa mbinguni; na mambo mtakayoyafungua

ninyi duniani, ndipo yatafunguliwa mbinguni

NAMNA YA KUOMBA

Daniel 4:17

Vijana 4 waliojua namna ya kuuathiri ulimwengu wa roho,

walisabababisha Mfalme wa nchi kuwa kichaa kwa muda.

NAMNA YA KUOMBA

Daniel 4:17

Hukumu hii (juu yako Mfalme, kukufanya kichaa kwa muda) imekuja kwa agizo la Walinzi

(Waombaji)

Isaya 62:7-11

NAMNA YA KUOMBA

Yakobo 5:17-18

Nabii Eliya alipoathiri kanuni za kiroho kwa njia ya maombi,

mvua haikunyesha juu ya nchi, japo kulikuwa na kanuni zote

za kisayansi za mvua kunyesha.

NAMNA YA KUOMBA

Yakobo 5:17-18

Baada ya miaka 3 na nusu ya ukame mkali, Nabii Eliya aliziathiri tena kanuni za

kiroho kwa njia ya maombi, na mvua ikanyesha juu ya nchi, na

nchi ikazaa matunda yake.

NAMNA YA KUOMBA

Kutoka 14:1-43

Baada ya Musa kuziathiri kanuni za kiroho kwa njia ya maombi, maji ya bahari yaligawanyika

na kusimama kama ukuta, kushoto na kulia, na Israeli wakapita juu ya nchi kavu.

NAMNA YA KUOMBA

Kutoka 14:1-43

Baada ya Yesu kuziathiri kanuni za kiroho sawa sawa, kwa njia ya

maombi, maji ya kawaida yalibadilika na kuwa divai safi

bila kutumia maabara.

NAMNA YA KUOMBA

Matendo 8:26-40

Baada ya kanuni za kiroho kuathiriwa ipasavyo, Filipo alinyakuliwa na Roho wa

Mungu na kutoweka mbele ya watu, na akatokea nchi

nyingine bila kutumia usafiri.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani

lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kutembea juu ya maji, kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Mathayo 14:22-33

Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kugeuza maji kuwa divai (bila maabara), kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yohana 2:1-11

Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kumponya aliyekuwa na upofu, bila kumfanyia operation ya macho, kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Marko 8:23-25

Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kumfufua mtu aliyekufa na kuoza, kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yohana 11:17-53

Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kuingia ndani ya nyumba iliyofungwa bila

kupita mlangoni wala dirishani, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yohana 20:19-25/Luka 24:36-43

Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Yesu aliweza kuinuliwa na kupaa juu kwenda mbinguni,

(bila baloon) kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za

kawaida za kimwili.

Matendo 1:6-11

Kanuni za kimwili hazikumzuia kufanya alicholazimika kufanya.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani

lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Na huu ndio utaratibu ambao Mungu alikusudia tuweze

kuutawala ulimwengu, pale kanuni za kimwili zinapotuzuia au

zinapokataa kufanya kazi kama tulivyotarajia (zinapotugomea).

Ulimwengu wa Roho

‘Amini Amini nawaambia, kila mtu aniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo, (miujiza) na yeye atazifanya, naam,

hata kubwa kuliko hizi atafanya; kwasababu nakwenda kwa baba

kuwaletea, Roho yule yule aliyeniwezesha mimi kufanya haya.

Yohana 14:12/16:7-8

Ulimwengu wa Roho

Kwahiyo, si Yesu peke yake, hata binadamu wengine wa kawaida,

waliweza kufaya mambo ya ajabu duniani, kinyume na taratibu za kawaida za kimwili, na wakaishi maisha ya ushindi na mafanikio

duniani, bila kuzuilika.

Yohana 14:12/16:7-8

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Musa aliweza kufungua bahari ya Shamu na watu millioni 2

wakapita katika nchi kavu, katikati ya ghorofa mbili za maji kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida

za kimwili.

Kutoka 14:1-31

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Musa aliweza kutoa maji kutoka kwenye mwamba na watu millioni 2 na wanyama wao, wote

wakanywa na kutosheka kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Kutoka 17:1-7

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Joshua aliweza kusimamisha mzunguko wa dunia

hata jua likasimama mpaka walipomaliza shughuli yao kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Joshua 10:12-15

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Eliya aliweza kuzuia mvua kwa miaka mitatu japo

kulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya kuruhusu mvua kunyesha, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17-18

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Ulimwengu wa Roho

Na ndio maana pia aliweza kurudisha mvua juu ya nchi, japo hakukuwa na

kanuni za kimwili za kuruhusu (kusababisha) mvua kunyesha, kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17-18

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Petro aliweza kumponya kilema katika mlango wa hekalu, bila operation ya miguu (kama Yesu), kitu

ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Matendo 3:1-16

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Ulimwengu wa Roho

Ndio maana Filipo aliweza kusafiri kwa kupaa na kunyakuliwa

(kutoweka) kama Yesu, kitu ambacho ni kinyume kabisa na kanuni za

kawaida za kimwili.

Matendo 8:26-40

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani

lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Shetani akijua siri hii, alimwangusha Adam, kisha akaketi katika nafasi ya

kuitawala dunia rohoni, na akaviweka vikosi vya majeshi yake yote katika

ulimwengu wa roho, ili aweze kuitawala dunia.

Waefeso 6:12

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waefeso 6:12

Kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama (mwili) bali ni juu

ya falme na mamlaka za giza, wakuu wa giza na majeshi ya mapepo

wabaya, katika ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Na ndio maana, Mungu alipomfufua Yesu kutoka katika wafu, naye pia

alimketisha katika ulimwengu wa roho ili aweze kuitawala dunia ya mwilini.

Waefeso 1:18-21

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Na sio Yesu tu, bali Mungu akatufufua na sisi pia kutoka katika wafu, na

ktuketisha na sisi pia katika ulimwengu wa roho, juu sana kuliko falme na

mamlaka za giza, ili tuweze kuitawala dunia ya mwilini.

Waefeso 1:18-21 / Waefeso2:6

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Hii ni kutokana na kanuni ya uumbaji wa dunia; kwamba, ulimwengu wa

roho ndio ulioumbwa kwanza, kisha ukauzaa ulimwengu wa mwili; kwahiyo,

mtu akishika ulimwengu wa roho, anakuwa na uwezo wa kuutawala

ulimwengu wa mwili.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho ndio unaotawala ulimwengu wa mwili;

kwahiyo,

Hakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini,

mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Utendaji kazi wa Mungu duniani, huanzia katika ulimwengu wa roho

kwanza. Mambo yakikamilika rohoni, ndipo huyazaa mambo hayo

katika ulimwengu wa mwili.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kwahiyo, siku yako/yetu ya kesho (future) ipo kamili kabisa katika

ulimwengu wa roho, na una uwezo wa kwenda rohoni kuirekebisha,

kabla haijazaliwa katika ulimwengu wa mwili.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya

maombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea

mambo ambayo usingetaka kabisa yakupate.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Waefeso 1:20-21

Bwana Yesu alipofufuka, alitufufua na sisi kutoka katika mauti

(dhambi), na akatuketisha mahali alipoketishwa yeye, katika

ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBI

Waefeso 1:20-21

Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa mahali alipoketishwa yeye, katika

ulimwengu wa roho, juu sana kuliko falme na mamlaka za giza; ili

tuweze kuvunja na kuharibu kazi za shetani duniani.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kupitia siri hii, tunaweza kutawala mambo yote ya mwili (physical

creation) kama tutaijua siri hii kuu ya ulimwengu wa roho na kama

tutajua namna ya kwenda na kuutawala ulimwengu wa roho.

NAMNA YA KUOMBA

NGUVU YA MAOMBI

Namna ya Kuuathiri

Ulimwengu wa roho kwa

njia ya maombi.

NAMNA YA KUOMBA

NGUVU YA MAOMBI

1.Kufunga Mambo unayotaka yafungike

Mathayo 16:18-19

Yakobo 5:16-18

NAMNA YA KUOMBA

NGUVU YA MAOMBI

2. Kufungua Mambo unayotaka yafunguke

Mathayo 16:18-19

Yakobo 5:16-18

NAMNA YA KUOMBA

NGUVU YA MAOMBI

3. Kuua Kufisha Mambo unayotaka yafe kabisa

Marko 11:12-14

‘tangu leo mtu asile matunda kwako’

(Kuanzia leo Ufe kabisa)

NAMNA YA KUOMBA

NGUVU YA MAOMBI

4. Kuhuisha / Kufufua Mambo unayotaka yafufuke

Yohana 11:11-15

‘Lazaro, rudi katika uhai wako tena’

Ezekieli 37:1-14

NAMNA YA KUOMBA

NGUVU YA MAOMBI

5. Kuhamisha Nyakati/Matukio

Marko 13:14-19

‘Ombeni kukimbia kusiwe wakati wa baridi (kuwe wakati wa joto)’

Yohana 2:1-11, Isaya 38:1-5

NAMNA YA KUOMBA

NGUVU YA MAOMBI

6. Kujua Mambo yaliyojificha

a)Yaliyopita (Ufu 5:1-5/13:8)

NAMNA YA KUOMBA

NGUVU YA MAOMBI

6. Kujua Mambo yaliyojificha

a)Yaliyopita (Ufu 5:1-5/13:8)

b)Ya Sasa (Dan 1:17-20/17-24)

NAMNA YA KUOMBA

NGUVU YA MAOMBI

6. Kujua Mambo yaliyojificha

a)Yaliyopita (Ufu 5:1-5/13:8)

b)Ya Sasa (Dan 1:17-20/17-24)

c)Yajayo (Isa 9:6/Dan 7:13-14,17)

NAMNA YA KUOMBA

NGUVU YA MAOMBI

7. Kuwa sehemu 2 wakati mmoja

1Wakorintho 5:3-4

Ingawa sipo nanyi kimwili, lakini mjue kwamba nipo nanyi kiroho

Wafalme 5:14-27

NAMNA YA KUOMBA

NGUVU YA MAOMBI

Tukijua siri hii ya maombi, jinsi yanavyoweza kubadilisha

ulimwengu wa roho, tutajibidiisha kuomba, ili kuleta mabadiliko tunayotamani kuyaona katika

maisha yetu, duniani.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga

Kiu, Bidii na Nidhamu ya kimaombi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu

ya Kukaa na Mungu

Kwa Mfano wa Musa

Kut 24:1-18

Kut 34:29-35

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu

ya Kukaa na Mungu

Kwa Mfano wa Joshua

Kut 24:1-18/32:9-19

Kut 33:7-11

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika

uwepo wa Mungu

Kutoka 24:1-18/32:9-19

Wazee walishindwa kumsubiri Musa katika maombi, lakini Joshua aliweza kukaa siku zote 40.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika uwepo

wa Mungu

Kutoka 33:7-11

Mzee Musa alichoka kuomba, akaondoka katika hema, lakini Joshua alikaa katika uwepo wa

Mungu hata kwa muda wa ziada .

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa katika

uwepo wa Mungu

Bidii na Nidhamu katika mambo

ya Mungu, inalipa.

(Inakupa kibali mbele za Mungu)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Joshua 3:7

7 Ndipo BWANA akamwambia Yoshua, “Leo nitaanza kukutukuza machoni pa Israeli yote, ili wapate

kujua kuwa niko pamoja nawe kama nilivyokuwa pamoja na

Mose. (Nitafungua maji ya mto Jordan mbele yako)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu

ya Kukaa na Mungu

Kwa Mfano wa Mfalme Daudi

Zab 63:1-3

Zab 27:4

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Bwana Yesu alikuwa na bidii na nidhamu ya hali ya juu ya kukaa

katika uwepo wa Mungu

Na ndio maana, bidii yake na nidhamu katika mambo

ya Mungu, ilikuwa inamlipa.

(Inampa kibali mbele za Mungu)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu

ya Kukaa na Mungu

Kwa Mfano wa Bwana Yesu

Math 14:22-23

Luka 6:12,17-19

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Nyakati 16:9

9 Macho ya Bwana yanakimbia-kimbia duniani mwote, yakitafuta mtu aliyekamilika moyo, ili Mungu

ajionyeshe kwamba yeye ni mwenye nguvu, kupitia mtu huyo.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu

Wengi wana Kiu, lakini hawana;

Nguvu za kuomba muda mrefu. Hebu tumwombe Mungu atupe nguvu mpya, ili tuweze kuomba

kwa muda mrefu.

Luka 22:40-46

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Jenga Kiu na Bidii na Nidhamu Bwana Yesu alipochoka kuomba, Mungu alimtia nguvu mpya ili azidi

kuomba mpaka kuvuka jaribu alilokuwa nalo. Hebu nasisi

tumwombe Mungu atupe nguvu mpya, ili tuweze kuomba kwa muda

mrefu, ili tuvuke na kushinda. Luka 22:40-46

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwamba …

Utendaji wa mkono wa Mungu maishani mwako,

unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu

kinachotenda kazi ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 3:20

Atukuzwe Mungu, awezaye kutenda mambo ya ajabu mno,

kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadri ya nguvu zake zitendazo kazi ndani yetu.

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Hii inaonyesha wazi kwamba Kanuni za kiroho zikiathiri

ulimwengu wa roho inavyotakiwa, zinaweza kuzitawala na kuzipinda kanuni za kimwili, ili jambo fulani

lifanyika na kukamilika, bila kupitia katika njia za kawaida za kimwili.

NGUVU YA MAOMBI

Waefeso 1:20-21

Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa mahali alipoketishwa yeye, katika

ulimwengu wa roho, juu sana kuliko falme na mamlaka za giza; ili

tuweze kuvunja na kuharibu kazi za shetani duniani.

Lengo letu ni kujifunza KUITAMBUA

ASILI YA MUNGU ILIYO NDANI MWETU

2Petro 1:3-4 3 Kwakuwa uweza wake (yaani,

nguvu zake za) uungu umetupatia mambo yote tunayohitaji kwa ajili

ya uzima na uchaji wa Mungu, kwa kumjua Yeye aliyetuita kwa utukufu Wake na wema Wake

mwenyewe.

2Petro 1:3-4 4 Kwa sababu hiyo, ametukirimia

ahadi Zake kuu na za thamani kupitia mambo haya, ili kwa

kupitia hayo mpate kuwa washiriki wa tabia za uungu, mkiokolewa na uharibifu (au upotovu) ulioko duniani kwa

sababu ya tamaa mbaya.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Wewe ni mungu

mdogo duniani!

Zab 82:6

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zab 82:6

6 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’, ninyi nyote ni wana wa Aliye

Juu Sana.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33-36

33 Wayahudi wakamjibu, “Hutukupigi mawe kwa sababu ya mambo mema uliyotenda, bali ni kwa kuwa umekufuru.

Wewe ingawa ni mwanadamu unajifanya kuwa Mungu.’’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33-36

34 Yesu akajibu akawaambia, ‘‘Je, haikuandikwa katika Torati yenu

kwamba, ‘Ninyi ni miungu?’

35 Kama aliwaita (ninyi) ‘miungu’, ninyi ambao neno la Mungu

limewajia …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33-36

36 Si zaidi sana mimi, ambaye Baba ameniweka wakfu

(mtakatifu), kujiita Mungu? Sasa, mnawezaje kusema kwamba,

ninakufuru eti kwasababu nimesema ‘Mimi ni Mwana wa

Mungu (au Mungu)?’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Yohana 5:1-4

1 Kila mtu aaminiye kwamba Yesu ni Kristo, amezaliwa na Mungu (kwahiyo, ni Mungu

mdogo duniani).

(Zaburi 82:6)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Yohana 5:1-4

4 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,

huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,

kuushindako ulimwengu, hiyo Imani yetu.”

top related